Hi

22 views
Skip to first unread message

amina massenga

unread,
Jun 5, 2007, 6:14:00 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com
Naitwa Amina Massenga napenda kuwasalimia na nimefurahi sana kupata mawasiliano yenu naomba mnihesabu ni mmoja wa familia yenu. Shukrani pekee zimwendee Godwin Godian kwa kunipa mawasiliano haya.  Napenda kukujulisha Benson ntakuwa Uganda kuanzia kesho tarehe 06.06.2007 kwa muda wa siku 30 naomba unitafute kwa namba yangu 0752 027789 ntakuwa kwenye chuo cha ERC kiko maeneo ya Ntinda ila usikonde bcoz ntakutafuta.  Msalimieni sana Namundi Simwanza mwambie nakumbuka mno.


Now that's room service! Choose from over 150,000 hotels
in 45,000 destinations on Yahoo! Travel
to find your fit.

japhet stephen

unread,
Jun 5, 2007, 6:29:28 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com
karibu sanaaaaa Amina Masenga katika jahazi hili
liloanza kujengwa makwa 1989, najua wengi tumefurahi
kujumuiaka nawe katika kulimalizia jahazi letu hope
tutashirikiana vyema.
Katika jahazi hili mwanawane tunakandamiza habari zote
mwanawane hasa zile zilizotokea tukiwa shule
Ma-bizinesi ya darasani,za-Siposisisi pia bila kusahau
mwanawane habari za-soon zinazojili kutokea siku hadi
siku bila kusahau kuji-muvuzisha kwenye vikao
vinavyopangwa na kordineta wetu Papaaa Mukuruuu,papaa
tule monde,mzeee mwenyewe wa Ngwasumaa William
Kaijage.

Regards Japhet B.Stephen(Kama hujui utajiju zamani
nilijulikana kama Bahati Kalewe.)
Stay Tuned.



--- amina massenga <aminam...@yahoo.com> wrote:

> Naitwa Amina Massenga napenda kuwasalimia na
> nimefurahi sana kupata mawasiliano yenu naomba
> mnihesabu ni mmoja wa familia yenu. Shukrani pekee
> zimwendee Godwin Godian kwa kunipa mawasiliano haya.
> Napenda kukujulisha Benson ntakuwa Uganda kuanzia
> kesho tarehe 06.06.2007 kwa muda wa siku 30 naomba
> unitafute kwa namba yangu 0752 027789 ntakuwa kwenye
> chuo cha ERC kiko maeneo ya Ntinda ila usikonde bcoz
> ntakutafuta. Msalimieni sana Namundi Simwanza
> mwambie nakumbuka mno.
>

> ---------------------------------


> Now that's room service! Choose from over 150,000
> hotels
> in 45,000 destinations on Yahoo! Travel to find your
> fit.
>
>
>




___________________________________________________________
New Yahoo! Mail is the ultimate force in competitive emailing. Find out more at the Yahoo! Mail Championships. Plus: play games and win prizes.
http://uk.rd.yahoo.com/evt=44106/*http://mail.yahoo.net/uk

Benson Kidenya

unread,
Jun 5, 2007, 6:50:27 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com
Karibu Sana! Mama Amina Masenga! "aka"  Ki-Moustache!"
katika jiji la Museveni kwa Mtoto Josee Chameleone! 
Wao! Mama! Wao! by Juma Kakere!
 
Uje tule maisha na kina Bigu Bigu Bigula -Ngoni! na Bebe Cool!
tukikumbukia enzi za kuchuma mifagio na kubeba vifuu!
 
Msalimie Bouncer wetu Mwalimu Masenga!
 
Benson


Pinpoint customers who are looking for what you sell.

amina massenga

unread,
Jun 5, 2007, 7:05:15 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com
Sawa mzee mbilikimo au umerefuka siku hizi

Benson Kidenya <benki...@yahoo.com> wrote:

Don't be flakey. Get Yahoo! Mail for Mobile and
always stay connected to friends.

Benson Kidenya

unread,
Jun 5, 2007, 7:27:31 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com

We Amina! Teh! Teh!  acha kabisa nimerefuka
sana siku hizi! Naona ukiniona hutanijua mpaka nijifanyie
self introduction! Nina zaidi futi sita mama nikilala kitanda
cha sita kwa sita najikunja kidogo ndio natosha!
 
Coco Madimba Kaijage niletee wanachama wengine!
Ndio maana nikashangaa Bahati Kalewe na Magnus "Kipwinto"
wanatangaza kuwa wameonana na Jeshi Iddfonce lakini
Moderator hata hustuki ukajituma kupata email yake!
 
Ila Mwanawane Alumni limejaa wagumu watupu hebu ongeza
juhudi kulilainisha kwa kuleta wadada wakutosha!
 
Benson! 

 


Fussy? Opinionated? Impossible to please? Perfect. Join Yahoo!'s user panel and lay it on us.

amina massenga

unread,
Jun 5, 2007, 7:40:06 AM6/5/07
to muga...@googlegroups.com
HAYA BWANA NTAKUONA LIVE! ANGALIA USIVAE MCHUCHUMIO UTASHUKA ILI UKANYAGE CHINI NIKUONE

Benson Kidenya <benki...@yahoo.com> wrote:

Building a website is a piece of cake.
Yahoo! Small Business gives you all the tools to get online.

Benson Kidenya

unread,
Jun 6, 2007, 10:26:17 AM6/6/07
to muga...@googlegroups.com
Yes Mugabe89 Alumni! Here are the 21 Top Stories during our era 1983-1989!
 Enzi zile za kusoma kimya! "aka" kusoma bila sauti!
  1. Baba anasema kimbia ng'ombe kimbia upesi baba ana njaa!
  2. Rafiki ni bora kuliko Mwanasesere!
  3. Manenge na Mandawa! -Jamaa alikula mpaka akapasuka tumbo!
  4. Heri Mimi Sijasema! -Jamaa walijificha manyasini wakapigwa mikuki ya kufamtu!
  5. Juma na Damasi wanagombana!
  6. Yule mama aliyechanwa sikio baada ya kukanyagwa heleni yake na mbuzi pale sokoni wakati akiuza vyungu!
  7. Jamaa mmoja alimtoa mwiba simba! -Duuh! Jamaa alikuwa kamanda wanawane!
  8. Sizitaki mbichi hizi! -Sungura hakufikia, kachoka hata mkia, mikono hakuyatia!
  9. Karudi baba Mmoja!
  10. Kibanga ampiga mkoloni! -Huko kijijini Kwachaga Tarafa ya Chimbageni Tanga!
  11. Sadiki na Sikiri! -Dogo mmoja alitoroka home na kupanda basi liendalo Kigoma!
  12. Nganenepa agongwa na nyoka! -aina ya moma akisaidia kuchimba vyoo!
  13. Kambi ya Kaboya!
  14. Gulio la Katerero!
  15. Jogoo aliyesema! -Pazi alibinuliwa na jogoo kuubwa baada ya kuwatesa kuku!
  16. Mwenge huko Mahenge! - Mgeni wetu uringe, huku tukuchunge!
  17. Adui wa afya! -Dr. Hiza amtembelea mzee Mweta kule Korongwe Tanga!
  18. Safari yenye mkosi! -Tairi likapasuka puu! Dereva akaonyesha ushupavu wake!
  19. Cha wageni na cha wote! -Sungura na Fisi!
  20. Sikukuu ya Saba-Saba!
  21. Andunje!
Baada ya hapo wanawane ilikuwa ni identification of Misamiati kama vile "kitoweo", "maakuli"  n.k kwenye hadithi iliyo-involve mambo ya misosi and then lastly ilikuwa ni kujibu maswali ya ufahamu mwisho wa hadithi ambayo yalikuwa ubwete kishezi manake majibu yalikuwa humohumo kwenye hadithi mwanawane!
 
Benson


Sick sense of humor? Visit Yahoo! TV's Comedy with an Edge to see what's on, when.

moses hella

unread,
Jun 9, 2007, 7:44:23 PM6/9/07
to muga...@googlegroups.com
bENSON!
 
HEBU PELEKA HII HOJA KWA YULE MWALIMU WETU WA NAMBA BWANA,
MAANA NAONA NACHANGANYWA TU HUKU MTAANI:
 
MATH IS POINTLESS
Theorem: All numbers are equal.
Proof: Choose arbitrary a and b, and let t = a + b. Then
a + b = t
(a + b)(a - b) = t(a - b)
a^2 - b^2 = ta - tb
a^2 - ta = b^2 - tb
a^2 - ta + (t^2)/4 = b^2 - tb + (t^2)/4
(a - t/2)^2 = (b - t/2)^2
a - t/2 = b - t/2
a = b
So all numbers are the same, and math is pointless.
 

Benson Kidenya <benki...@yahoo.com> wrote:

Choose the right car based on your needs. Check out Yahoo! Autos new Car Finder tool.

Benson Kidenya

unread,
Jun 11, 2007, 11:48:51 AM6/11/07
to muga...@googlegroups.com
Hey MGB89 Alumni!
 
I have been successfully connected with Amina Massenga here in Kampala through this Blog! Tuko huku na mtoto wa Migomigo, mtoto wa Jadide Trans! kama asemavyo Nyarukanda tukiipeperusha flag ya Mugabe kwa Museveni! We shall also arrange our exquisite meeting for Mugabe89 right here in Kampala kwa Josee Chameleone on the same date June 23, same time! as some of you will be at Vatican City Hotel! Ni Raha Tu!
 
Moses Hella Mtoto wa Kibangu! karibu sana baada ya kuwa kimya kwa kitambo! Kwanza hongera sana kwa kuoa! Vipi unakaa wapi siku hizi huko Dar!? na Kazi unafanyia wapi!?
 
Ile Math Mwana naicheck kwa kina naona mazingaombwe tu kama ya yule  Professor Singira! I see Nothing wrong and implausible to my current understanding! nafikiri viinimacho vinaanzia following the introduction of the term t-square over 4! so before we go further to yule mwl wa Number let us consult Magoti Kitilingo mzee wa Milinganyo!
 
Kijana Langeni yule jamaa mwenye mwanya kama alama ya ISUZU ambao mwanya huo uliokuwa ukimpendeza sana kama ule wa Avia Lupembe! kweli ni Komba! na alikuwa akikaa Mabibo karibu na Chabruma Bar! Ila niliwahi kusikia kijana alifariki lakini habari zenyewe hazina uhakika sana! hebu fuatilia Mwanawane!
 
Na yule mshikaji Gozbert Herman mtoto wa Mwanajeshi alikuwa anakaa huko Ubungo Kibangu Jeshini! kijana alikuwa akitesa na mkoba wake jeshi ambao mtu kawaida yaani raia huwezi kuwa nao mpaka baba yako awe mwanajeshi! Gozbert naye kwa sasa ni mwanajeshi kamili gado kwenda mbele!
 
Gozbert nitamkumbuka daima kwa kunifundisha kuendesha Baiskeli baada ya Adam Mikidadi "aka" Ng'ombe, Mzee kufungua Madarasa na vyoo! kunibania na baskeli yake fupa isiyo na kikalio cha nyuma!
 
Dada yetu Nyarukanda don't worry about your new names! but as long as one name starts with Nya... (Nyambuli) Aah Basi! hujaenda mbali it is the same you! besides it is also important to note that many people have also changed their names, Furthermore some have reverted to their original names! Kaijage, for instance, to mention few is nowdays called Coco Madimba!
 
Thatha Nyarukanda hebu umthaidie thana Kaijage kuwaleta Wadada kwenye Blog hili and if there is any one coming to Kampala please let me know! 
 
Benson

Rockus Ngalela

unread,
Jun 12, 2007, 1:33:32 AM6/12/07
to muga...@googlegroups.com
Kwanini Ben ulikuwa hubebi vifuu 5 kila day??? au coz Mwl.Mkuu ulikuwa naye??? watu kila day morning twahangaikia vifuu 5 ukikosa bakora why?? Enzi zileeeeeee
--
Rockus Deodat Ngalela
''Terra Estate Agency Company(T) Ltd.
Makunganya Street,Dar es Salaam-Tanzania.
Box 16596 Dar es salaam
Office Phone: +255-2420493
Mobile: +255-787 899317
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages