Kikao cha III cha wana Mubage 89 kilichofanyika Vatican Hotel Sinza tarehe 23/06/2007.
Waliohudhuria:
Agenda:
Jumla 46,000/=
NB: Idadi inayoonekana kwenye michango ni tofauti na inayoonekana kwenye mahudhurio hii ni kwa sababu ya hudhuru mbalimbali zilizotolewa na wajumbe nakuondoka kabla ya agenda hii.
Kama shukrani, Leticia alishukuru sana wanamugabe kwa kuwa naye pamoja katika kipindi kizito cha huzuni kwa njia mbalimbali, pia aliwashukuru kwa mchango na aliomba ushirikiano zaidi uendelee kudumu zaidi na zaidi.
Ooookey,Kwanza wanawane ni kweli kama alivyosema baba
Prosper naunga mkono kama si mguu kuwa wajumbe
tuliohudhulia tulikuwa wengi ila michango ni kidogo ni
sahihi kabisa kama ikiwezekana next time kuna
immergency yeyote imetokea tupate taarifa mapema kama
kuna mtu anaudhulu wake na amefika atoe mchango wake
alafu kama ni kuji-muvuzisha aruhusiwe wakati
ameshatoa mchango kinachohitajika.
Pili kuhusu njia tatu hii bwana ni BIG ISSUE very BIG
ISSUE. Kuna utata unaweza ukajitokeza siku yeyote
kutokana na taratibu hii ya uendeshaji wa magari
kutumia njia tatu, makampuni ya BIMA yanaweza kukataa
au kukwepa kwa makusudi kulipa fidia(Compensation)kwa
yeyote atakayepata ajali akiwa kwenye upande wa tatu
yaani aliyeingia upande mwingine wa barabara ambayo si
sahihi kiutaratibu kutumika wakati wa kuendesha vyombo
vya moto.
Utaratibu huu umekurupukiwa ili kuondoa msongamano
barabarani lakini haukuangalia sheria na taratibu za
usalama na uendeshaji wa vyombo vya moto barabarani
hivyo basi mwanawane wale wenzangu wenye magari ya
mikopo au urithi wawe makini kabla ya kujimuvuzisha
kwa madai ya kuwahi wanakoenda tulieni kidoooooogo
usije ukawahishwa kwa Sir God baada ya nyumbani.
Dondoo by JAPHET.
Asalaaam alkhum.
> ---------------------------------
> Sick sense of humor? Visit Yahoo! TV's Comedy with
> an Edge to see what's on, when.
>
>
>
___________________________________________________________
Yahoo! Mail is the world's favourite email. Don't settle for less, sign up for
your free account today http://uk.rd.yahoo.com/evt=44106/*http://uk.docs.yahoo.com/mail/winter07.html
| TRIP NI NINI LBDA NIULIZE KIDOGO ,SITOI MAANA YAKE LEO NI VYEMA NIKAACHA UWANJA KWENU.ILA MIE NAOMBA TUPANGE TRIP LENGO NA MADHUMUNI NI YALE YALE .JE MWENYEKITI UPO????????????WATU HAWA VIPI??????SIWAELEWI NI LIPI WATAKA ATI .KILA KITU TUKO NYUMA JE TUBEBWE MIGONGONI?????.NAOMN=BA NEXT KIKAO KIWE HUKO BAGAMOYO MSISITIZO FAMILIA ZETU TUWE NAZO --- On Wed, 7/25/07, William Kaijage <kai...@gmail.com> wrotemail.com> Subject: Minutes za Kikao cha Wana-Mugabe89 (Shukrani to Dennis Rwegoshora) To: muga...@googlegroups.com Date: Wednesday, July 25, 2007, 2:10 AM |
Kama sijakosea tulikubaliana itegemee na idadi ya watakaokuwa tayari. Sio busara ikiandaliwa halafu wakajitokeza watu 6 tu.
Halafu mwenyeji mwenyewe ROCKUS hashikiki yupo bize kumzidi hata KIKWETE.
Dennis. |
Wanawane kunani paleeeeeeeeeeeeee??? Haloo mabibi na mabwana kimya kingi kina mshido mkuu!!!!!!!!!!!!!!! Mara Bwagamoyo Mara vatican City niweke wapi maguu kwenye nanenane hii natarajia kuhudhuria kwenye mjumuiko huo kama itawezekana kwa kudura za Mnyezi Mungu.
|
|
From: Jefta Malaba <jdma...@yahoo.com> |