Wedding Pictures

31 views
Skip to first unread message

William Kaijage

unread,
Jan 29, 2009, 7:33:37 AM1/29/09
to Belinda, Eddo B, glu...@yahoo.com, Neema Mwanyika, Justin Alphonce, majin...@hotmail.com, Selestine Majula, mosen...@yahoo.com, kisali...@yahoo.com, Dennis Francis, japhet stephen, muga...@googlegroups.com, bagaya Filbert, josepha...@tigo.co.tz, Paul Kisoni, Ignas Chilewa, abella...@gmail.com, abra abra, Athanas Mbelwa, azza nyamakababi, BERNARD MICHAEL, bobs...@yahoo.com, Changa Changa, elina hongoli, ema...@hotmail.com, Emmanuel Kyomo, eta...@yahoo.com, Eutropia Ivan, Fridar Tesha, Gabriel Mkwawe, gns...@yahoo.co.uk, Harold G. Chipanha, Harold Ishebabi, hongol...@hotmail.com, Jafary Kiama, jamal kiama, jamil_...@yahoo.com, joelm...@hotmail.com, John Mayage, Johnson Massawe, Karim Makweta, Khushe Hauli, kis...@gmail.com, Kudra Chobanga, kyan...@yahoo.com, lupil...@yahoo.com, Madock Madock, magoke McZedeck, Mark Mawakyusa, michae...@yahoo.com, Mohamed Ayub, Moses Mkundwe, Mtituh Alumbwage, Neema Abdul, Nicodemus Warioba, Nicolaus Nzioka, peter malamsha, Principius Joseph, rki...@yahoo.com, robert kabeya, SELEMAN MOHAMED, Shubi Kaijage, Simon Nibampa, sol...@yahoo.co.uk, Tina Lupembe, Vitalis Ndume, Zephrine Galeba, Family



 


Ilikuwa ni Jumamosi ya tarehe 27-December-2008, na kati ya Ibungila Hall, Landmark Hotel, Ubungo Dar-es-Salaam siku William Felix Kaijage aka Coco Madimba Camarade Pamba alipofunga pingu za maisha na Mwasi Kitoko Mkami Kichonge Mahende Masero.

Bwana Harusi akisoma somo la kwanza

 

Willie akivalishwa pete

Bwana Harusi akiangalia kwa makini mkataba kabla ya kuusaini mbele ya Baba Paroko.

Maharusi wakiwa na wazazi wa bibi harusi

 

Nje ya kanisa mara tu baada ya kutoka wakiwa na wanaharusi wengine wa siku hiyo.

 

Nje ya kanisa

Hapa wakiwa na timu nzima ya ma-maids nje ya kanisa Katoliki la Mt. Maximillian Kolbe lililopo Mwenge jijini Dar-es-Salaam.

Maharusi wakiingia ukumbini wakisindikizwa na wimbo wa "No One Like You" wa P-Square.

Wakwe wakicheza Litungu, ngoma maarufu zaidi mkoani Mara

Samaki ana vipande vingapiiii...

Maharusi wakiwapungia mikono wageni waalikwa

Bwana Harusi akitambulisha ndugu zake.

Bibi Harusi naye akitambullisha ndugu na jamaa zake.

Pozi..

Dr. Balandya na Mama Balandya

Shemeji anatunong'oneza kitu

 

Wazee wa Kilungule..

Mama Balandya akimvalisha mkwe wake kitenge

Wazee wa Huawei

Nipe Tano…

Kamati ya maandalizi..

Wazazi..

Hapa tukifungua muziki na wimbo wa "Hallo" uliopigwa na Lionel Richie

Alama ya ushindi

 



--
Regards

William Kaijage
MSN: willyk...@hotmail.com
Mob: +255-754-883841
Web: www.kaijage.co.tz
image041.jpg
image001.jpg
image033.jpg
image012.jpg
image009.jpg
image002.jpg
image005.jpg
image007.jpg
image034.jpg
image003.jpg
image028.jpg
image035.jpg
image042.jpg
image037.jpg
image038.jpg
image008.jpg
image032.jpg
image013.jpg
image029.jpg
image036.jpg
image004.jpg
image039.jpg
image031.jpg
image040.jpg
image030.jpg
image043.jpg
image011.jpg
image006.jpg
image010.jpg

kariago karia

unread,
Feb 2, 2009, 8:12:04 PM2/2/09
to muga...@googlegroups.com
Hongereni sana maharusi wetu(kaijage family) .
Mimi nawatakia maisha mema na upendo katika nyumba yenu,amen.
 
kk.

 

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages