Wazee wa Ngwasuma

34 views
Skip to first unread message

William Kaijage

unread,
May 31, 2007, 8:47:47 AM5/31/07
to muga...@googlegroups.com

Benson kuna siku uliniuliza Ngwasuma ndio kitu gani, tehe tehe tihi tihi tihihihihi..!

 

 Jamaa ndio hao hapo juu. Jumamosi iliyopita tulikuwa Mzalendo Pub, Milleniun Tower, Makumbusho kusherehekea kwa mara ya kwanza kuweza kuchukua zawadi ya "The Best Swahili Rhythm Album of 2007" kwenye Kili Music Award ambapo album ya "Dunia Kigeugeu" ilifanya ndivyo sivyo.  

You can't imagine, album yao ya mwisho kabla ya hii ilikuwa way back in 2002 ambayo ilikuwa inaitwa "Wazee wa Mujini". Jamaa huwa hawatoagi album ovyo ovyo kama Twanga Pepeta.  

FM Academia walipenda sana kutumia majina ya "The Dream Team", "Wajelajela Gwaa", "Wazee wa Mujini", "Wazee wa Pamba" au "Wazee wa Blingbling" hususan during kipindi kile Ndanda Kosovo alipotokomea Marekani. Kwa hivi sasa jina hilo nililolikandamiza kwenye subject hapo juu ndio limewakaa zaidi.

Jamaa hawana mpinzani kwa hivi sasa kutokana na uwezo wao Vocal, kushambulia jukwaa na uzito wa Sebene (Instrument). Inazikamata na kuzishika bendi zote nchini.  

Inaaminika kwa hivi sasa ndio the largest crowd puller in town kiasi kwamba ma-show yao huwa yanajaza utafikiri watu wanaingia bure, mpaka kununua bia unanunua kwa shida ile kichizi kutokana na msongamano wa watu counter.

Hao jamaa wanaosakata hapo juu wa 3 kulia ni Nyoshi Elsadat a.k.a. "Askofu wa Kwanza" ambaye ndio Kiongozi wa bendi. Wa 3 kushoto ni Pablo Masai.  

Baadhi ya prominent singers ni kama Patchou Mwamba, Mulemule "FBI", Kabeza na Jose Mara.   

Nguzo yao kubwa ni Rappers Kalidgo Mwanakitokololo, Toto Kalala na Toto Ze Bingwa.

Upande wa ulinzi kuna Elombee Kichinja, mpiga Solo ngangari na Khatib Balatee Kaamba mpiga drums wa kutisha ambaye ndio kiongozi msaidizi.
 

Ukija mwezi wa saba lazima mimi na Japhet tukupelekee New Msasani Club.   

Yours
//Jage "Le Grand"

japhet stephen

unread,
Jun 1, 2007, 12:30:26 AM6/1/07
to muga...@googlegroups.com
Le' grand Mopel, Papaa mwenyewe nimepata habari zako
kuhusu kumpa kijana somo la The Dream
Team,wana-Ngwasumaa,wototo wa mujini,watoto wa pamba
kali,watoto wa bling' bling',watoto wa kinondoni.
Baelezee muzee siku Benson anakujaah mujini lazima
tumpeleke akaone bile vitu iko kalijo mwana
Tchitokoloo,Mulu Mule,Kalijo mwamba ,Masai,King
Blaise, na "The presideer-Nyoshi El Saddat" mwenyewe
watoto Bana ngwasumaa nini nafanya.


--- William Kaijage <kai...@gmail.com> wrote:

> Benson kuna siku uliniuliza Ngwasuma ndio kitu gani,
> tehe tehe tihi tihi
> tihihihihi..!
>
>
>

> Jamaa ndio hao hapo juu. Jumamosi iliyopita
> tulikuwa Mzalendo Pub,
> Milleniun Tower, Makumbusho kusherehekea kwa mara ya
> kwanza kuweza kuchukua
> zawadi ya "The Best Swahili Rhythm Album of 2007"
> kwenye Kili Music

> Award<http://www.kilitimetz.com/>ambapo album ya

___________________________________________________________
Yahoo! Answers - Got a question? Someone out there knows the answer. Try it
now.
http://uk.answers.yahoo.com/

japhet stephen

unread,
Jun 1, 2007, 12:37:08 AM6/1/07
to muga...@googlegroups.com
Njooo nikuambieeee....njooo..........nikusimuliieeeee
......njooooonikuelezeeee.....njooo...nikutongozeeeee........kadonseeee........aaaahaaaa....ni
raha tupu mweleze kijana asije akasahau offer ipo
inamsubiriiiiiii......Wacha Ngwasuma bwana.

--- William Kaijage <kai...@gmail.com> wrote:

> Benson kuna siku uliniuliza Ngwasuma ndio kitu gani,
> tehe tehe tihi tihi
> tihihihihi..!
>
>
>

> Jamaa ndio hao hapo juu. Jumamosi iliyopita
> tulikuwa Mzalendo Pub,
> Milleniun Tower, Makumbusho kusherehekea kwa mara ya
> kwanza kuweza kuchukua
> zawadi ya "The Best Swahili Rhythm Album of 2007"
> kwenye Kili Music

> Award<http://www.kilitimetz.com/>ambapo album ya

___________________________________________________________
Yahoo! Mail is the world's favourite email. Don't settle for less, sign up for
your free account today http://uk.rd.yahoo.com/evt=44106/*http://uk.docs.yahoo.com/mail/winter07.html

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages