Nimepokea email nyingi kuhusu mustakabari wa Mugabe. Sikuzijibu haraka ili niweze kuzifanyia kazi. Mambo mazuri hayataki haraka na kimya kikuu kina mshindo mkuu
Ni kweli kwamba hatujakutana muda mrefu. Hata hivyo kuna changamoto za kutafuta topic mpya za michangamano yetu, attendance zimekuwa za chini sana tunapotaka kukutana na pia logistics (miundombinu) ya ukutanani. Haya ni mambo matatu. Nitaelezea.
CONTENTS
Najaribu kubadili format na modality ya mikusanyiko yetu ili kuleta meaning na useful definition ya hili libeneke. Kukutana tu kwa ajili kupiga masanga, kupata ndizi moshi na kupiga story kuhusu Mwalimu Rashid aka “Kigofu” sidhani kama kitakuwa kitu endelevu na meaningful.
Itakuwa muafaka zaidi tukifanya mambo ambayo yatagusa zaidi jamii yetu inayotuzunguka. Umoja wetu unaweza kufanya mambo makubwa zaidi kuliko objective zilizopo hivi sasa.
Ili la contents nitalizungumzia zaidi baada ya muda kadhaa kwa sababu ndio linahusu modality zenyewe.
LOGISTICS
Uendeshaji wa vikao (hususan 26-Apr-2007 Vatican City Hotel na 05-January-2008 Millenium Tower ambako attendance zilivuka record) unakuwa na gharama kwa watu wachache hususan Mimi, Vicent Msoffe na Kisali Nyari (na once Benson Kidenya on 01-Jan-2007). Mara zote tunazokutana, nimekuwa nikijiandaa na at least na kilo 2 in case nobody will share the cost. I am trying to avoid the situation of Mugabe89 becoming a one-man show. Ningependa ukutanaji uweze kufanyika hata mimi nisipokuwepo. Hapa nazungumzia sense of ownership.
Personally, kabla ya vikao nawapigia simu watu wote (kipindi cha 2007/8 kulikuwa hakuna NUSU THS wala ROBO THS). nawatumia SMS watu wote (around 51), at least three times (Wiki mbili kabla, siku moja kabla na siku ya tukio). Kipindi cha 2007/8 kulikuwa hakuna SMS 100 za TIGO wala za AIRTEL. Hizi zote ni gharama ambazo somebody should be willing to bear.
Tulianzisha utaratibu wa membership fee lakini tuliishia watu 6 tu kutoa hela kwa jumuia ya watu around 50 (Kaijage, Kisali, Moses, Benson, Nico na Msoffe). Itakuwa sio haki shughuli ya watu wengi iendeshwe kwa michango ya watu wachache. Itabidi turudi katika utaratibu wa watu kadhaa kujitolea wenyewe kugharamia shughuli. Inaweza ikawa mtu mmoja. Gharama ya kukutana kwetu inakuwa around 200,000 kama tukijumuisha na bites.
ATTENDANCE
Pamoja na hiyo, attendance (hususan baada ya kuanzisha membership fee) imekuwa ya chini mno. Kwneye jumuia kama hizi, ukishataja ada ndio ushawakimbiza watu. Ni kama kwenye club za Simba na Yanga.
Kuna siku tulijikuta watu watatu tu tunakutana Lion Hotel (Mimi, Nyarukanda na Kisali).
Mara nyingine (Cine Club, Easter Monday 24-Mar-2008) nilijikuta niko peke yangu na Mwamsiba Ramadhan tokea saa 9. Utafikiri tunatongozana. Wakati nakaribia kuondoka, Amani Mchome akanipigia simu yupo getini na mkewe wanaomba niwasaidie kulipa kiingilio cha getini buku mbili mbili. Wakati tunaondoka saa 1 jioni ndio, nikakutana na Raymond Simeon anatokea kazini na Kibajaj. Nakumbuka Jefta aka ”Sangara” nilimpigia simu akasema yupo Kitunda anaona kiwingu cha mvua kwa hiyo hataweza kutoka. Wengine kila mmoja na sababu yake. Mimi binafsi nakuwa nimepoteza muda wangu wa siku nzima wa maandalizi ya shughuli.
Nikafikiria ni vizuri tukitenga muda mrefu wa kutoonana ili tukikutana ilete umaana zaidi na iwe mshindo zaidi badala ya kukutana kila baada ya miezi kadhaa ili kuleta sense of importance.
SOCIAL RESPONSIBILITIES
Umoja wa wanamugabe89 utakuwa na maana zaidi kama tutashirikiana pia kwenye shughuli za kijamii badala ya kuweka msisitizo kwenye vikao tu.
Ukiachia kwenye shughuli yangu (27-Dec-2008), sikuona muitikio wa kutosha kwenye Send-off ya Leticia (21-May-2009), Harusi ya Magnus Kibonde (03-January-2010) au Harusi Alphonce Msalilwa aka “Kibiongo” (December-2010).
.
Nashukuru kwa wale wote waliojitokeza kumpa pole Karigo Karia alipokuja tarehe 12-March-2009 kwenye msiba wa dada yake.
Nawasihi sana tushiriki katika shughuli ya Nyarukanda Nyega aka Rachel Nyambuli (Kitchen Party: 17-Apr-2011, Send-Off:25-Apr-2011, Wedding: 01-May-2011).
THE WAY FORWARD
Wakati juhudi za kufanya mabadiliko ya modality ya ukutanaji wetu zinafanyika chini kwa chini kwanza, haimzuii mtu yoyote kuwaita idadi yoyote ya wanamugabe kukutana nao. Mtu yoyote mwenye kutaka kufanya hivyo ninaweza kumtumia updated contact list akihitaji kama nilivyokuwa naituma hapo nyuma.
Vilevile, kama kuna mtu au watu wako tayari kugharimia shughuli, ninaweza kuitisha kikao mwezi March au wa Nne Sikukuu ya Muungano (26-Apr) katika sehemu tutakayokubaliana. La sivyo itabidi tusubiri mpaka bwawa la maji la Mtera lijae ndio umeme upatikane.
Network bado inaongezeka. Tena kwa kasi ya kutisha. Kwa sababu Mugabe ndio mpango mzima. Nimepata contacts za George Mtui ”Kibrush”, Hashim and among others.
Nawatakia Valentine Njema na Maulid Njema
William Kaijage "Moto Pamba"
0715-683841
0783-883841
0754-883841
In the Name of Robert Mugabe aka "Jongwe"
BOSS UMENITIA UCHUNGU SANA NAOMBA NISAMEHEWE KWA UZEMBE WA KUTOTOKEA VIKAO KADHA,PIA TUCHUKUE OWNERSHIP FROM HEART.
HALAFU PENDEKEZA SIKU WEWE MWENYEWE MWENYEKITI WETU
--- On Thu, 11/15/12, edgar Chibura <chibu...@yahoo.com> wrote: |
|
Makorongo Edgar Mazegenja Geyonga William Chibura
| TRUE TRUE TRUE THE MUGABE 89 WILL NEVER DIE, --- On Thu, 11/15/12, William Kaijage <kai...@gmail.com> wrote: |
|
Jefta haya ni maneno aliyaongea Kaijage kwa uchungu sana tar 13/02/2011 saa 10:54 nawakumbusha baada ya kuona huu mjadala ukiendelea sijui kama nitakuwa Tanzania wakati huo ila tupo pamoja, watanzania{wafrika} twangea sana bila tafakuri ya kutosha, msiba wa Rama Kakungu nilikuwa mimi na Niko tu sasa umoja unaumuhimu gani hata kama hakuwa member na kifo nacho! Binafsi nampongeza sana Kaijage,Kisari,Niko hata mdogo wake Niko {Willy} angala matukio mengi ya furaha na uzuni wanajumuika ingawa Kisari ni kwa kiasi kuliko hao wengine. JEFTA pole kama umeguswa sasa piga kerere kuokoa umoja wetu!