Tunashukuru kwa taarifa..natoa pole sana kwa mkami na familia yake..pia kwa wanamkungu.poleni sana
--
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Nasikitika kuwataarifu kuhusu msiba wa mtoto wa Mkami (Jamaton). Taratibu za mazishi zinafanyika mbezi beach maeneo ya kota za Benki kuu. Mazishi ya Jamaton yatakuwa kesho mchana kwenye makaburi yaliyopo mbezi beach. Kujua direction za kufika tafadhali wasiliana na wanamkingu wengi wameenda.
Tuungane sote kumsupport mwenzetu katika kipindi hiki kigumu.
Godliving
Sent from my iPhone
--
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Pole sana mungu akutie moyo na familia.