Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

18 views
Skip to first unread message

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 11, 2013, 9:10:40 AM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com
kwa kuanzia naomba kuwakumbusha email toka kwa ndugu Lucas, kuhusu umoja wa mkungu na kufikiria maendeleo. kila mmoja aisome tena. alipotuma mara ya kwanza hakuna aliyejibu. sasa tujibu.


2013/5/20 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Wanamkungu,
 
Kwanza poleni sana na majukumu ya hapa na pale; pia natoa pole za dhati  kwa wanamkungu wenzangu ambao waliopata matatizo hasa ya kuondokewa na wapendwa wao, na mengine ambayo walipata matitizo mengine yaliwafanya wawe na majonzi.
 
Leo nakuja na kitu kipya, ila kwa wakongwe kitakuwa ni cha kukumbushana tu juu ya kusudi hasa la kuanzishwaji wa mkungu huu.
 
Kusudi kuu la kuanzisha mkungu ilikuwa ni kuwa na kikundi cha watu ambao watabadilishana mawazo juu ya kuzikabili changamoto za kimaisha; ni kweli tumekuwa tukibadilsihana mawazo lakini bila kuwa na uwezo kiuchumi nafikiri bado tunakuwa hatujakidhi lengo kuu la uanzishwaji wa Mkungu familly, kwa maneno mengine hatuutendei haki mkungu familly. 
 
Kuna kipindi tulienda vizuri na ikafikia hadi mwanamkungu mmoja akatoa draft ya katiba ambayo wengi tunayo kwenye inbox za email zetu, sina uhakika kama kuna feed back yoyote ilipatikana.
 
Ombi kwa wanamkungu:
 
Kikundi kimekuwa kikubwa mno, na sasa tunaweza kabisa ku-retrive yale yote tuliyokuwa tumekubalina kuyatimiza muda ule na tuyafanye sasa.; kwa mfano
a) Tulikubaliana tuwe na katiba na ndani ya katiba kuwe na ufafanuzi wa muundo wa jumuiya yetu - Wengine  wakapendekeza iwe mkungu saccos na wengine wakafika mbali na kusema kwa sababu kikundi kimesheheni wataalamu wa fani mbalimbali basi baadaye tunaweza kukaifanya ikawa taasisi.
 
b) Tukubaliana kila kwezi kuanza kutoka michango kidogo kidogo ili kujiwekea uwezo wa kiuchumi, nakumbuka hata viongozi wa ukisanyaji michango hii walipatikana na  kiasi cha mchango kwa mwenzi kilikubalika
 
c) Pia tulikubaliana tuwe na  vitengo vya ujasilimali katika nyanja za Ufugaji, Kilimo, na tukawaomba baadhi ya wanamkungu wanaofanya mambo haya waweze kutoa elimu ya sekta hizi baadhi ya wanamkungu walijitolea kufanya hivyo (consultations)
 
 
Nilibahatika kukutana na wanamkungu wawili pamoja na mambo mengine tulijadili mfumo wa mkungu na tukapendekeza yafuatayo;
Modelator atuandikie email fupi wanamkungu wote ili tupate wote walio active na wenye nia ya kurudi kwenye root ya mkungu. (Back to mkungu root) Wale watakaokubaliana basi tuanze mara moja kuunda mkungu imara hii ni pamoja na kumwomba wana mkungu aliyekuwa  tayari kuandika  katiba - aendelee na kazi hiyo;
 
Ni hayo tu ndugu zangu,  nawatakia wiki njema, kazi njema, Tukumbuke tu Umoja ni nguvu na umoja, na nguvu hiyo inapatikana tu kama kuna uchakavu - mungu awape nguvu.
 
nawakilisha 
 
Mwana - Mkungu.
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
.....................................................................................
Mwemezi Elnathan Ngemera, BPharm, MAHMPP
Director - Maternal, Sexual and Reproductive Health
Care International in Tanzania
P. O. Box 10242 Dar es salaam, Tanzania
Phone:+2552666755; Mob +255713134030

Vincent Mashinji

unread,
Jun 11, 2013, 9:16:31 AM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Tuanzisheni SACCOS!

jacqueline mosha

unread,
Jun 11, 2013, 9:56:17 AM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com

 Nafikiri wengi hatuko serious nikianza na mimi mwenyewe hili jambo limezungumziwa karibu miaka mitatu iliyopita namkumbuka Ngemera alijitahidi sana bila kumsahau Comoro na Rose Mugashe aliyejaribu kushare katiba za vikundi vingine .
Labda Mashinji na wengineo tusaidiane hapo kutoa miongozo ambayo haitofanyiwa mizaha kama iliyopita na kuwe na kiongozi atayesimamia hilo .Je ni watu wote ambao ni member wa mkungu wanahitaji hiyo SACCOS  na wale ambao hawana mpango watatolewa mkungu ??PENYE WENGI HAKUKOSEKANI NENO NAWASILISHA.
 
Jacqui....

Date: Tue, 11 Jun 2013 16:16:31 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Pamela Lwakabare

unread,
Jun 11, 2013, 10:08:14 AM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com
now we are talking.

kama saccos ya gairo...

napendekeza robert mgeni awe chairperson wa kwanza wa hii saccos, na pia awe wa kutuambia tuanzie wapi.. aukama kuna mtu ana ujuzi, basi asaidie..
na sio lazima kila mtu aliomo humu aingie. tunaweza kuanza kama financing group/investment group. (collect money for like 6 to 10 months prior to deciding on anything.

asiewea akaa pembeni... akitaka kuinga mwaka mmoja ujao awe na kiingilio kingine tofauti na wale waanzilishi. BUT IT IS DOABLE!!!! if everyone is serious.

rose mugashe. tutafutie mtu wa kutupa copy ya group formation. na rules and regulations.

kumbe mashinji unaakili kweli kweli... nod maana huko kwenye hili kundi.. hili kundi la wenye akili.. akili zilizosimama...


 
"The Greatest Impediment to Genius is Self Doubt"
 
PAMELA LWAKABARE, P.O. Box 72580, Dar Es Salaam,Tanzania, East Africa. 
Tel: +255 784 73 01 01 /+255 715 73 01 01
   
P Please consider the environment before printing this e-mail


From: Vincent Mashinji <vmas...@gmail.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, June 11, 2013 4:16 PM

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

vmashinji

unread,
Jun 11, 2013, 11:32:22 AM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Minimum 20 folks


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: jacqueline mosha <leos...@hotmail.com>
Date: 11/06/2013 16:56 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP



 Nafikiri wengi hatuko serious nikianza na mimi mwenyewe hili jambo limezungumziwa karibu miaka mitatu iliyopita namkumbuka Ngemera alijitahidi sana bila kumsahau Comoro na Rose Mugashe aliyejaribu kushare katiba za vikundi vingine .
Labda Mashinji na wengineo tusaidiane hapo kutoa miongozo ambayo haitofanyiwa mizaha kama iliyopita na kuwe na kiongozi atayesimamia hilo .Je ni watu wote ambao ni member wa mkungu wanahitaji hiyo SACCOS  na wale ambao hawana mpango watatolewa mkungu ??PENYE WENGI HAKUKOSEKANI NENO NAWASILISHA.
 
Jacqui....

Date: Tue, 11 Jun 2013 16:16:31 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Mavere Tukai

unread,
Jun 11, 2013, 12:18:57 PM6/11/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Ok Ngemera,

Tumeshafanya any risk assessment ya move hii, jje ilikuaje tukashindwa pale mwanzo tulipokua waxhache.... Vp athari za kuwa na objectives tofauti ndani ya kundi, how legal are we intending to be with our business strategies? Any leadership thoughts? Who has the time and drive? How much do we need kwa kuanza and for what purpose?


Much as we want development, a fault start is as good as a failure
+1-703-953-0268
Arlington, VA

Pamela Lwakabare

unread,
Jun 12, 2013, 12:47:06 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
sorry, i replied to the previous email prior to reading this one..

Approved. 
 
will this be registered as a company? as an association? as a saccos?

please elaborate and clarify. please note that  by me commenting i am implicitly saying to the moderator, i am interested.

kuna kundi walianza kupeana USD 150 kila mwezi... a small group of less than 10 people. i will not go further than that.. they are way ahead... haba haba hujaza kibaba(or something like that)..

mimi naomba nisikilize na nisome maoni. but i am interested!.

good morning you all.


"The Greatest Impediment to Genius is Self Doubt"
 PAMELA LWAKABARE, P.O. Box 72580, Dar Es Salaam,Tanzania, East Africa. 
Tel: +255 784 73 01 01 /+255 715 73 01 01
P Please consider the environment before printing this e-mail


From: Mwemezi Nathan Ngemera <nge...@gmail.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, June 11, 2013 4:10 PM

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 3:01:34 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wakuu, Ijumaa nilitoka mapema hii topic ilinipta; cha msingi hapa ni kuanza na SACCOS!!; Msingi wa Jumuiya yoyote ile huwa ni uchakavu  kwanza (finance), Lets say tukiwa 20 then  tutakubaliana tuanze wa kuchangishana ngapi ngapi kwa muda ili kupate nguvu ki-uchumi then mambo mengine ya uwekezaji, mikopo kwa wanachama, hisa nayo yatafuata.
 
Tunajua kila mmoja wetu ana kitu anafanya individually, kifamilia, wengine  wapo kwenye vikundi vyao, nk hiyo sasa itakuwa advantage kwetu kupata uzoefu wao huko nyuma walifanyaje fanyaje.
 
Mi naona wazo la Mashinji ni zuri tupate wananchama serious 20; ambao tukipata 2m kwa kila mmoja hadi Dec 2013; tutakuwa tumetengeneza 40mil. Hii pesa inaweza kutosha kuanza activities za chama kama mikopo, uwekezaji nk; wale wengine wataanza kujiunga baadaye kwa kununua hisa kama Lwaka alvyogagadua.
 
Dokezo: Hii si ndoto - ni wazo tu wakuu nawakilisha.
 
LK
 

Date: Tue, 11 Jun 2013 16:16:31 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Pamela Lwakabare

unread,
Jun 12, 2013, 3:29:52 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
LUCAS akiwa mdau namba moja.

naomba niwe mdau namba mbili..

fantastic ideas and thoughts..

a dream is only a start. if you can dream it, you can do it!!!

 
"The Greatest Impediment to Genius is Self Doubt"
 
PAMELA LWAKABARE, P.O. Box 72580, Dar Es Salaam,Tanzania, East Africa. 
Tel: +255 784 73 01 01 /+255 715 73 01 01
P Please consider the environment before printing this e-mail


From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
To: "mkungu-...@googlegroups.com" <mkungu-...@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, June 12, 2013 10:01 AM
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 12, 2013, 3:39:08 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Lucas... Nimekupenda sana ghafla!!


------Original Message------
From: LUCAS KILYAPEKA
Sender: mkungu-...@googlegroups.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
ReplyTo: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Sent: 12 Jun 2013 10:01

Wakuu, Ijumaa nilitoka mapema hii topic ilinipta; cha msingi hapa ni kuanza na SACCOS!!; Msingi wa Jumuiya yoyote ile huwa ni uchakavu  kwanza (finance), Lets say tukiwa 20 then  tutakubaliana tuanze wa kuchangishana ngapi ngapi kwa muda ili kupate nguvu ki-uchumi then mambo mengine ya uwekezaji, mikopo kwa wanachama, hisa nayo yatafuata.
 
Tunajua kila mmoja wetu ana kitu anafanya individually, kifamilia, wengine  wapo kwenye vikundi vyao, nk hiyo sasa itakuwa advantage kwetu kupata uzoefu wao huko nyuma walifanyaje fanyaje.
 
Mi naona wazo la Mashinji ni zuri tupate wananchama serious 20; ambao tukipata 2m kwa kila mmoja hadi Dec 2013; tutakuwa tumetengeneza 40mil. Hii pesa inaweza kutosha kuanza activities za chama kama mikopo, uwekezaji nk; wale wengine wataanza kujiunga baadaye kwa kununua hisa kama Lwaka alvyogagadua.
 
Dokezo: Hii si ndoto - ni wazo tu wakuu nawakilisha.
 
LK
 

Date: Tue, 11 Jun 2013 16:16:31 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Tuanzisheni SACCOS!
On Jun 11, 2013 4:10 PM, "Mwemezi Nathan Ngemera" <nge...@gmail.com> wrote:
kwa kuanzia naomba kuwakumbusha email toka kwa ndugu Lucas, kuhusu umoja wa mkungu na kufikiria maendeleo. kila mmoja aisome tena. alipotuma mara ya kwanza hakuna aliyejibu. sasa tujibu.

2013/5/20 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Wanamkungu,
 
Kwanza poleni sana na majukumu ya hapa na pale; pia natoa pole za dhati  kwa wanamkungu wenzangu ambao waliopata matatizo hasa ya kuondokewa na wapendwa wao, na mengine ambayo walipata matitizo mengine yaliwafanya wawe na majonzi.
 
Leo nakuja na kitu kipya, ila kwa wakongwe kitakuwa ni cha kukumbushana tu juu ya kusudi hasa la kuanzishwaji wa mkungu huu.
 
Kusudi kuu la kuanzisha mkungu ilikuwa ni kuwa na kikundi cha watu ambao watabadilishana mawazo juu ya kuzikabili changamoto za kimaisha; ni kweli tumekuwa tukibadilsihana mawazo lakini bila kuwa na uwezo kiuchumi nafikiri bado tunakuwa hatujakidhi lengo kuu la uan

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

Vincent Mashinji

unread,
Jun 12, 2013, 3:59:11 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Great start Mr Luke.
Two millions is an acceptable deal.
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. ...

Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

Its me

vbm

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 4:25:16 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Lwaka yaani umenidondokea ghafla aisee!! sasa kuhusu ile ndoto yangu sijui itakuwaje? it can be retrievable?
 cc Rose Mugashe!
 
ha ha ha

 
> Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
> To: mkungu-...@googlegroups.com
> From: plw...@yahoo.com
> Date: Wed, 12 Jun 2013 07:39:08 +0000

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 4:31:32 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
I' the 2nd to the list...
 

 

The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji

2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare

.

.

.

.

.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 

Date: Wed, 12 Jun 2013 10:59:11 +0300

lucy massawe

unread,
Jun 12, 2013, 7:19:06 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
add Lucy Massawe also.
 
Habari zenu wadau...

Sent: Wednesday, 12 June 2013, 11:31
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
I' the 2nd to the list...
 
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
.
.
.
.
.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!
 

 
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Rose Emanuel Mugashe

unread,
Jun 12, 2013, 7:36:00 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Please add Rose Kokusima aka Kokuutamu Mugashe.

 

Ila wadau, hiyo 2m, nahizi kuna watu ambao watakuw ana interest ya kujiunga ila huo uwezo wa kufikisha hizo 2m by Dec, ni ndoto.

Nawakilisha mswaada ufikiriwe kwa undani zaidi.

Rose

vmashinji

unread,
Jun 12, 2013, 8:09:56 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Two million is between now and December 31


Sent from Samsung Mobile

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 8:30:49 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Updated list so far:

 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare

4. Lucy Massawe

5. Rose Kokusima Mugashe

6. ...

7. ....

.

.

.

.

.

.

.

Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 


To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Wed, 12 Jun 2013 14:36:00 +0300

Godliving Alfred Nnyari

unread,
Jun 12, 2013, 8:35:36 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Ni wazo zuri na mwanzo mzuri pia ila sio wote wenye nia wataweza kufika dau hilo ningeshauri dau lifikiriwe ili kila mwenye nia aweze kujiunga. Na vilevile jambo serious kama hili sio vizuri kuliongelea kwa email tu kuna umuhimu wa kuonana pia.

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 8:35:54 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Mashinji, members wakifika Nusu (10)  tunaweza kufanya kikao cha kwanza kuchagua viongozi pamoja na mchakato kuisajiri hii SACCOS!! as soon as possible ili pesa za michango ziende moja kwa moja kwenye mfuko huo.
 
Tunapendekekeza uwe mwenyekiti wa muda wakati mchakato huu ukiendlea kabla ya kikao cha kwanza cha kuchagua viongoi kufanyika
 
Wazo!!
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 15:09:56 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Rose Emanuel Mugashe

unread,
Jun 12, 2013, 8:37:33 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Mhhhhhh kaka hiyo ni ngumu

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 12, 2013, 9:04:16 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wadau
 
Sio kwamba wazo la Mashinji la 2m linamtenga mtu hapana; ni kwamba huwezi kufanya investment yoyote ukiwa una kiwango less than 50m kwa hali ya sasa. hebu tuangalie mawazo haya ya Pamela kwenye email yake ..
 
Email hii inaonekana inawababuga wengine, lakini si kweli -- Baada ya muda tu tutakuwa na shares ambazo member wengine watauza  na wengine watanunua. kuingia na kutoka ni nguvu au hiari  ya mtu mwenyewe.
 
Ki ukweli if we want to do something tangible we have to start with atlest 40 - 50m. vinginevyo may be tukusanye hela za uchakavu wa kulipia bill pale mkungu. ( ha ha ha ha)
 
hebu somani mawazo ya Pamela akitiririka.....

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 12, 2013, 9:21:50 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Jamani hii lilikua wazo langu. Nadhani lengo nikujikuza kwa kusaidiana. Basi tue na shares, na share moja, inaweza ikawa na 50 thou or less. So atakaye chukua share 2 achukue, na atakae chukua 500 achukue. Pia tunaweza kuweka maximum. Ili mtu mmoja asiwe na uwezo mkubwa sana.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: Wed, 12 Jun 2013 13:04:16 +0000
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Julius Mazoya

unread,
Jun 12, 2013, 9:47:05 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
     Perfect idea, nadhani nitapata shares too.                                                                                                                                                                                                                                                 
 

Peter Makundi

unread,
Jun 12, 2013, 9:51:09 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
TUNAPENDA KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA LAKINI KWA DAU HILO NI KUWEKA MIPAKA AMBAYO KWA SAA HIVI IPO TZ KATI YA MASKINI NA MATAJIRI JE SISI AKINA YAHE AMBAO TUNAPENDA KUJICHANGANYA KILA MAHALI JE TUTAFIKA KAMA MNATUFIKIRIA NA SISI BASI FIKIRINI TENA,,,,,,NAWAKILISHA

From: LUCAS KILYAPEKA
Sent: 12 June 2013 16:04
To: mkungu-...@googlegroups.com

Julius Mazoya

unread,
Jun 12, 2013, 9:55:52 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
One addition

From: lucy massawe <jnma...@yahoo.co.uk>
To: "mkungu-...@googlegroups.com" <mkungu-...@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, June 12, 2013 2:19 PM
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
add Lucy Massawe also.
 
Habari zenu wadau...

From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
To: "mkungu-...@googlegroups.com" <mkungu-...@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, 12 June 2013, 11:31
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
I' the 2nd to the list...
 
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
.   Julius Mazoya

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 10:15:08 AM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Haya mambo ya kuongelea humu siyaafiki tupange siku na mahali pa kukutana tujadili kwa mapana  awepo mtu atayechukua madokezo nakuja kushare na wale waliohuzuria 

NB:MALENGO YETU NINI KWENYE HILI SACCOS NDIO NANI ANAKUSANYA PESA ANAZIHIFADHI WAPI MPAKA TUFIKIE KIWANGO GANI NDIO TUNAANZA MICHAKATO MINGINE EMBU TUACHE BLAH TUFANYE VITENDO WAUNGWANA.

Nafikiri pia Mavere aliuliza maswali mazuri tu ambayo hayajajibiwa alipomjibu Ngemera.

Jacqui....

Date: Wed, 12 Jun 2013 06:55:52 -0700
From: maz...@yahoo.com

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

vmashinji

unread,
Jun 12, 2013, 12:02:05 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Utaenda kukutana na nani sasa we Jack!
Orodhesha jina tupate column ndo tuitane kwenye kikao.
Huwezi kuitisha business meeting bila commitments. 

Put your name down, madame Jacque...


Sent from Samsung Mobile

vmashinji

unread,
Jun 12, 2013, 12:05:40 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Suggest amount!


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: Peter Makundi <peter...@yahoo.com>
Date: 12/06/2013 16:51 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


TUNAPENDA KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA LAKINI KWA DAU HILO NI KUWEKA MIPAKA AMBAYO KWA SAA HIVI IPO TZ KATI YA MASKINI NA MATAJIRI JE SISI AKINA YAHE AMBAO TUNAPENDA KUJICHANGANYA KILA MAHALI JE TUTAFIKA KAMA MNATUFIKIRIA NA SISI BASI FIKIRINI TENA,,,,,,NAWAKILISHA

From: LUCAS KILYAPEKA
Sent: 12 June 2013 16:04
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Wadau
 
Sio kwamba wazo la Mashinji la 2m linamtenga mtu hapana; ni kwamba huwezi kufanya investment yoyote ukiwa una kiwango less than 50m kwa hali ya sasa. hebu tuangalie mawazo haya ya Pamela kwenye email yake ..
 
Email hii inaonekana inawababuga wengine, lakini si kweli -- Baada ya muda tu tutakuwa na shares ambazo member wengine watauza  na wengine watanunua. kuingia na kutoka ni nguvu au hiari  ya mtu mwenyewe.
 
Ki ukweli if we want to do something tangible we have to start with atlest 40 - 50m. vinginevyo may be tukusanye hela za uchakavu wa kulipia bill pale mkungu. ( ha ha ha ha)
 
hebu somani mawazo ya Pamela akitiririka.....


now we are talking.

kama saccos ya gairo...

napendekeza robert mgeni awe chairperson wa kwanza wa hii saccos, na pia awe wa kutuambia tuanzie wapi.. aukama kuna mtu ana ujuzi, basi asaidie..
na sio lazima kila mtu aliomo humu aingie. tunaweza kuanza kama financing group/investment group. (collect money for like 6 to 10 months prior to deciding on anything.

asiewea akaa pembeni... akitaka kuinga mwaka mmoja ujao awe na kiingilio kingine tofauti na wale waanzilishi. BUT IT IS DOABLE!!!! if everyone is serious.

rose mugashe. tutafutie mtu wa kutupa copy ya group formation. na rules and regulations.

kumbe mashinji unaakili kweli kweli... nod maana huko kwenye hili kundi.. hili kundi la wenye akili.. akili zilizosimama...

vmashinji

unread,
Jun 12, 2013, 12:11:53 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Sidhani kama kuna kikao kilichofanyika kuamua amount. The best thing ni kuonyesha commitment kisha details za SACCOS zitafanyiwa kazi.
Kama tunakunywa bia kila tukutanapo, lazima pia tujifunze kudunduliza.
If you are interested put your name down...


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: plw...@yahoo.com
Date: 12/06/2013 16:21 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


Jamani hii lilikua wazo langu. Nadhani lengo nikujikuza kwa kusaidiana. Basi tue na shares, na share moja, inaweza ikawa na 50 thou or less. So atakaye chukua share 2 achukue, na atakae chukua 500 achukue. Pia tunaweza kuweka maximum. Ili mtu mmoja asiwe na uwezo mkubwa sana.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: Wed, 12 Jun 2013 13:04:16 +0000

Vincent Mashinji

unread,
Jun 12, 2013, 12:13:03 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Bado watu 15 tu...

Keep going!

Peter Makundi

unread,
Jun 12, 2013, 12:32:59 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
PETER MAKUNDI

From: Vincent Mashinji
Sent: 12 June 2013 19:13

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 12:41:10 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Aisee Mashinji hii style tunayotumia ni ya umangisuna kwa mtizamo wangu wote hapa ni watu wazima na nafikiri kwa kuandika huku sidhani kama tutafika mahali bila kukutana na  zaidi  baadhi ya watu kuona wamekuwa isolated.
 
Mtizamo wangu hoja vuguvugu ishatolewa na ili kupata muendelezo wa haya lazima kuwe na face to face meeting obviously watakaojitokeza naamini ndio watakuwa na interest na hiki kitu lakini haya mambo ya kusema  moja ,mbili,tatu huku na hiyo amount kwangu sio sahihi.
 
1.Itisheni mkutano wa wanamkungu wote nia na malengo ni kuanzisha SACCOSS tupeane mawazo kama haiwezekani kila mmoja kupata iyo 2m by december kuwe na mfuko wa kawaida wa kikundi ambao kila mmoja ataweza kushiriki kwa atakayependa.
2.Ndani ya huo mkutano hao sasa wenye uwezo wa kuchangia hizo 2m sio mbaya wakaendelea na utaratibu wao .
3.Tumeshawafikiria wanamkungu wanaoishi mkoani maana naamini huku kulikuwa na watu wa crs Mwanza na Arusha.
 
Tunapotoa hoja hasa inayohusu kikundi ama chama kinachojumuisha watu wa rika mbali mbali,kipato tofauti pamoja na mitizamo tusianze kwa hoja za kuwafanya wachache au waliowengi kuvunjika moyo mapema waeza kuta hao ndio watakaokuja kuwa wanachama watiifu na hai baadae.
 
LABDA GOD NA MAVERE WATUAMBIE MKUNGU UNA WANACHAMA WANGAPI MAANA SURA ZINAZOONEKANA KILA SIKU HUMU NI ZILE ZILE AU KUNA CHEPEO LILIPITA.
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 19:13:03 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 12:47:19 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Hela yenyewe nadunduliza kwa manati embu acheni maneno yenu hapa mie nilishatoka kwenye payroll hata Pamela anajua(hahaaaaa)shit haturuhusiwi kucheka humu.
 
Mashinji kweli kweli kabisaa 2 Million embu shusheni kidogo na wengine wafaidi halafu mie na vyama kama vitano kote mwisho wa mwezi nadunduliza au ndio style ya kunitenga.
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 19:02:05 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 12:51:32 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Hela yenyewe nadunduliza kwa manati embu acheni maneno yenu hapa mie nilishatoka kwenye payroll hata Pamela anajua(hahaaaaa)shit haturuhusiwi kucheka humu.
 
Mashinji kweli kweli kabisaa 2 Million embu shusheni kidogo na wengine wafaidi halafu mie na vyama kama vitano kote mwisho wa mwezi nadunduliza au ndio style ya kunitenga.
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 19:02:05 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

vmashinji

unread,
Jun 12, 2013, 1:55:17 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Acha maneno Jacque andika jina.....


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: jacqueline mosha <leos...@hotmail.com>
Date: 12/06/2013 19:41 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


Aisee Mashinji hii style tunayotumia ni ya umangisuna kwa mtizamo wangu wote hapa ni watu wazima na nafikiri kwa kuandika huku sidhani kama tutafika mahali bila kukutana na  zaidi  baadhi ya watu kuona wamekuwa isolated.
 
Mtizamo wangu hoja vuguvugu ishatolewa na ili kupata muendelezo wa haya lazima kuwe na face to face meeting obviously watakaojitokeza naamini ndio watakuwa na interest na hiki kitu lakini haya mambo ya kusema  moja ,mbili,tatu huku na hiyo amount kwangu sio sahihi.
 
1.Itisheni mkutano wa wanamkungu wote nia na malengo ni kuanzisha SACCOSS tupeane mawazo kama haiwezekani kila mmoja kupata iyo 2m by december kuwe na mfuko wa kawaida wa kikundi ambao kila mmoja ataweza kushiriki kwa atakayependa.
2.Ndani ya huo mkutano hao sasa wenye uwezo wa kuchangia hizo 2m sio mbaya wakaendelea na utaratibu wao .
3.Tumeshawafikiria wanamkungu wanaoishi mkoani maana naamini huku kulikuwa na watu wa crs Mwanza na Arusha.
 
Tunapotoa hoja hasa inayohusu kikundi ama chama kinachojumuisha watu wa rika mbali mbali,kipato tofauti pamoja na mitizamo tusianze kwa hoja za kuwafanya wachache au waliowengi kuvunjika moyo mapema waeza kuta hao ndio watakaokuja kuwa wanachama watiifu na hai baadae.
 
LABDA GOD NA MAVERE WATUAMBIE MKUNGU UNA WANACHAMA WANGAPI MAANA SURA ZINAZOONEKANA KILA SIKU HUMU NI ZILE ZILE AU KUNA CHEPEO LILIPITA.
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 19:13:03 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Bado watu 15 tu...

Keep going!

On Jun 12, 2013 3:30 PM, "LUCAS KILYAPEKA" <kily...@hotmail.com> wrote:
Updated list so far:
 

The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. ...
7. ....
.
.
.
.
.
.
.
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 

To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Wed, 12 Jun 2013 14:36:00 +0300

Please add Rose Kokusima aka Kokuutamu Mugashe.
 
Ila wadau, hiyo 2m, nahizi kuna watu ambao watakuw ana interest ya kujiunga ila huo uwezo wa kufikisha hizo 2m by Dec, ni ndoto.
Nawakilisha mswaada ufikiriwe kwa undani zaidi.
Rose
 
From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of LUCAS KILYAPEKA
Sent: Wednesday, June 12, 2013 11:32 AM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

 
I' the 2nd to the list...
 

 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare
.

.
.
.
.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 2:00:43 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Sina pesa iyo hela ndefu sanaEmoji

Date: Wed, 12 Jun 2013 20:55:17 +0300

Vincent Mashinji

unread,
Jun 12, 2013, 2:13:39 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Mwombe engineer!

jacqueline mosha

unread,
Jun 12, 2013, 3:04:11 PM6/12/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wote majanga ona majangaa
 
Kazini niende mie,kufanya nifanye mie,
Mshahara achukue yeye.....majanga mbona majangaaaEmoji
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 21:13:39 +0300

Mavere Tukai

unread,
Jun 13, 2013, 4:54:36 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Hi from Dar

I am just concerned kama kweli tunaweza kuweka business venture on equal shares

we do have different commitments, different talents, different abilities, different financial muscles, different visions etc.

hii ya flat rate inaumiza baadhi

pia kuna wenye muda na committment bila pesa

lets think critically on this

M
+1-703-953-0268
Arlington, VA

Peter Makundi

unread,
Jun 13, 2013, 5:27:30 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Mavere yupo sahihi kabisa

From: Mavere Tukai
Sent: 13 June 2013 11:54
To: mkungu-...@googlegroups.com
[The entire original message is not included.]

Godliving Alfred Nnyari

unread,
Jun 13, 2013, 5:55:06 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Jack

Ulitaka kujua tuna member wangapi kwa mkungu. So far tuna members 61.

wema kamuzora

unread,
Jun 13, 2013, 7:37:29 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
i totally agree with Mavere.

--- On Thu, 6/13/13, Peter Makundi <peter...@yahoo.com> wrote:

Laurencia Kiringo

unread,
Jun 13, 2013, 7:46:29 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Bla Bla nyingi  mno, watu tuwe serious basi jamani, mbona mnakuwa serious na mambo mengine tuu, hili kwa nini lishindikane? Kikao cha kwanza lini?

2013/6/11 Mwemezi Nathan Ngemera <nge...@gmail.com>
kwa kuanzia naomba kuwakumbusha email toka kwa ndugu Lucas, kuhusu umoja wa mkungu na kufikiria maendeleo. kila mmoja aisome tena. alipotuma mara ya kwanza hakuna aliyejibu. sasa tujibu.


2013/5/20 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Wanamkungu,
 
Kwanza poleni sana na majukumu ya hapa na pale; pia natoa pole za dhati  kwa wanamkungu wenzangu ambao waliopata matatizo hasa ya kuondokewa na wapendwa wao, na mengine ambayo walipata matitizo mengine yaliwafanya wawe na majonzi.
 
Leo nakuja na kitu kipya, ila kwa wakongwe kitakuwa ni cha kukumbushana tu juu ya kusudi hasa la kuanzishwaji wa mkungu huu.
 
Kusudi kuu la kuanzisha mkungu ilikuwa ni kuwa na kikundi cha watu ambao watabadilishana mawazo juu ya kuzikabili changamoto za kimaisha; ni kweli tumekuwa tukibadilsihana mawazo lakini bila kuwa na uwezo kiuchumi nafikiri bado tunakuwa hatujakidhi lengo kuu la uanzishwaji wa Mkungu familly, kwa maneno mengine hatuutendei haki mkungu familly. 
 
Kuna kipindi tulienda vizuri na ikafikia hadi mwanamkungu mmoja akatoa draft ya katiba ambayo wengi tunayo kwenye inbox za email zetu, sina uhakika kama kuna feed back yoyote ilipatikana.
 
Ombi kwa wanamkungu:
 
Kikundi kimekuwa kikubwa mno, na sasa tunaweza kabisa ku-retrive yale yote tuliyokuwa tumekubalina kuyatimiza muda ule na tuyafanye sasa.; kwa mfano
a) Tulikubaliana tuwe na katiba na ndani ya katiba kuwe na ufafanuzi wa muundo wa jumuiya yetu - Wengine  wakapendekeza iwe mkungu saccos na wengine wakafika mbali na kusema kwa sababu kikundi kimesheheni wataalamu wa fani mbalimbali basi baadaye tunaweza kukaifanya ikawa taasisi.
 
b) Tukubaliana kila kwezi kuanza kutoka michango kidogo kidogo ili kujiwekea uwezo wa kiuchumi, nakumbuka hata viongozi wa ukisanyaji michango hii walipatikana na  kiasi cha mchango kwa mwenzi kilikubalika
 
c) Pia tulikubaliana tuwe na  vitengo vya ujasilimali katika nyanja za Ufugaji, Kilimo, na tukawaomba baadhi ya wanamkungu wanaofanya mambo haya waweze kutoa elimu ya sekta hizi baadhi ya wanamkungu walijitolea kufanya hivyo (consultations)
 
 
Nilibahatika kukutana na wanamkungu wawili pamoja na mambo mengine tulijadili mfumo wa mkungu na tukapendekeza yafuatayo;
Modelator atuandikie email fupi wanamkungu wote ili tupate wote walio active na wenye nia ya kurudi kwenye root ya mkungu. (Back to mkungu root) Wale watakaokubaliana basi tuanze mara moja kuunda mkungu imara hii ni pamoja na kumwomba wana mkungu aliyekuwa  tayari kuandika  katiba - aendelee na kazi hiyo;
 
Ni hayo tu ndugu zangu,  nawatakia wiki njema, kazi njema, Tukumbuke tu Umoja ni nguvu na umoja, na nguvu hiyo inapatikana tu kama kuna uchakavu - mungu awape nguvu.
 
nawakilisha 
 
Mwana - Mkungu.
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
.....................................................................................
Mwemezi Elnathan Ngemera, BPharm, MAHMPP
Director - Maternal, Sexual and Reproductive Health
Care International in Tanzania
P. O. Box 10242 Dar es salaam, Tanzania
Phone:+2552666755; Mob +255713134030

Pamela Lwakabare

unread,
Jun 13, 2013, 7:54:03 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
shares...
 



From: wema kamuzora <wkam...@yahoo.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Thursday, June 13, 2013 2:37 PM

Godliving Alfred Nnyari

unread,
Jun 13, 2013, 8:03:16 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Point

JUSTINE JOVIN

unread,
Jun 13, 2013, 8:47:56 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Habari Wa-dugu

Mawazo ni mazuri...nachoona hapo ni kuanza na MALENGO ya SACCOS, then tutafikia viingine vyote, kama malengo ni kufanya biashara, hapo ijulikane ni biashara ipi, kama ni mikopo kwa wanachama hapo pia ijulikane..from there linakuja suala la namna faida itakavyogawanya, mishahara na vikorombwezo vingine...na ndipo tutakapojua ni namna gani ya kuchangia katika mfuko.
Nam pia nijumuishwe kwenye list, tafadhari....

Asanteni

Justine



From: Godliving Alfred Nnyari <livang...@hotmail.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Thursday, June 13, 2013 3:03 PM

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 13, 2013, 11:03:50 AM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com
wanandugu kwanza nishukuru kwamba kwa sasa tumeanza kubadili uelekeo wa kujadili masuala badala ya kupiga story za kuchekeshana sasa tumeanza kuongea vitu serious.
 
Kimsingi lazima pawepo na pa kuanzia.
 
La kwanza kushinda vyote vyote hasa kwa sisi watanzania ni committment committment committment; cha pili ni right attitude, i repeat right positive attitude na cha tatu ni vision.
 
kwa kuzingatia hilo, mimi ninaamini la kwanza ni committment ambapo ni kupata orodha ya watu walio tayari kujiunga. Kama utakuwa na mtazamo chanya unaweza ukakopa na hela ukapata ya kujiunga so long unaona kuna mafanikio mbeleni.
 
tatu ni vema kuwa ni vision (kwa kuzingatia maswali ya msingi aliyouliza mavere katika email yake ya kwanza ya mjadala huu).
 
mwisho ni vema tukusanye orodha ya watu walio committed then tukutane. nakubaliana na mashinji kuwa tuwe na orodha, hatuwezi kuitisha mkutano kama ile mikutano ya kijiji; ni vema tupate orodha ya watu committed na wenye mtazamo chanya ambao wanaamini kuwa what it takes anaweza kujikusanya kupata kiasi (si lazima 2m lakini lazima aonyeshe nia).
 
aidha, kwa kutumia uzoefu ambao nimeanza kupata ni vema tutengeneze kitu chenye mfumo wa Savings and Internal Lending (SILC) au hapa kwetu CARE international kinaitwa VIllage Savings and Loan Association (VSLA). Ila cha kwetu tutakifanyia modification. Kama tutakubaliana mfumo wa SACCO/SILC/VSLA basi napendekeza tufanye modified version kama ifuatavyo (note: thamani ya Share inaaweza kubadilika kutegemea na makubaliano tutakayoweka):
  1. Tuorodheshe Majina na tupange mmkutano wa kwanza wa kuchangua uongozi na kupeana majukumu ikiwa ni pamoja kuchangua timu ya kutengeneza roadmap
  2. Tutakubaliana thamani ya share mfano kila share inakuwa 100,000/= na kila mwezi  mtu anunue share 2 na hivyo kufika December kila mtu anaweza kuwa amenunua share 14 na so inakuwa 1.4m
  3. tutaweza maximum share ambazo mtu anaweza kununua mfano tunaweza kusema maximum. mtu anaweza kununua share hadi 5 kila mwezi. mwanachama huyu atakuwa na share 35 hadi December zenye thamani ya 3.5m
  4. kila mwezi lazima lazima lazima tukutane mara moja ambapo lazima member anunune share. narudi kusema lazima kila mwezi lazima tukutane
  5. Kwa mfumo wa VSLA, wanachama wanakuwa wanakopeshana kwa riba na mwisho wa cycle (hapa naamanisha mwisho wa mwaka) wanagawana walichochanga na faida itokanayo na mikopo.. ila kwa upande wetu tufanye mofidication hii; badala ya kugawana tuzitumie kuziwekeza (hapa watalaamu watatusaidia kubainisha some of the investiment opportunities). then kila tunachozidi kuchanga kinaenda kwenye hiyo investiment...  ila hii point itategemea utayari wa members (kama wanataka style ya kukopeshana au wanataka kufanya kitu cha pamoja)... NOTE: tukitaka kufanya kitu cha pamoja lazima kuwe na very high level committment ila ni kitu kizuri
  6. tukiamua tunaweza kuweka mfuko wa social fund ambapo mtu unachangia like 5000-10,000 kwa mwezi kwa ajili ya kusaidia wakati wa matatizo (ingawa si lazima sana).
  7. kama tutamaanisha basi ikibidi kila mjumbe abainishe fursa za kufanya pamoja. kwa mfano ukiniuliza mimi nitawaambia tununue mtambo wa kutengeneza sabuni tuanze kufyatua sabuni - mtambo ni kama 25milioni (CARE tumewapelekekea kina mama wajasiliamali wa Pemba na kwa sasa wanazalisha sabuni na kuziuza hadi Burundi na Rwanda). Au tunaweza kununua mtambo wa kutengeneza Toilet Paper china utagharimu kama 20,000 USD. etc etc
baada ya kusema hayo naomba niongezwe jina langu kwenye orodha.
 


2013/6/13 JUSTINE JOVIN <justine...@yahoo.com>



--

Athanas Ntaganyamba

unread,
Jun 13, 2013, 3:24:50 PM6/13/13
to mkungu-...@googlegroups.com, mkungu-...@googlegroups.com
Athanas Ntaganyamba. 

Sent from my iPhone

Mavere Tukai

unread,
Jun 14, 2013, 12:24:22 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Thanks Ngemera

Maybe if we talk on the phone itasaidia

Its a good motivation and we surely needed, and i hope that you have put accountability into the perspective


2013/6/13 Athanas Ntaganyamba <atha...@gmail.com>



--
+1-703-953-0268
Arlington, VA

Dr Anthony Leonard

unread,
Jun 14, 2013, 12:45:36 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Baada ya mchanganuo wa Ngemera, nafikiri watu sasa wanaanza kupata mwanga. Nashauri mkutano wa haraka, tubrainstorm, tukubaliane na tuanze. Huu mjadala ukizimika kama ilivyokuwa inazimika yote ilikwisha wahi kuanzishwa nothing will happen.
 
I propose we meet on Monday 5pm- Venue???
 
Naomba niongezwe kwenye list
 

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 14, 2013, 12:48:49 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Nimempenda ngemera.

I will assist kupeleka kwa mtaalam kuedit hiyo document yetu ambayo itakua na mfumo wa Silc au Vsla.. I agree with all you are saying. Do we continue discussing on email for a week then we meet next weekend? Nadhani mavere pia atakua amerudi.

Good stuff!
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mavere Tukai <maver...@gmail.com>
Date: Fri, 14 Jun 2013 07:24:22 +0300

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 14, 2013, 12:52:29 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Oh so option imetolewa. Monday 5pm. Okay!
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Dr Anthony Leonard <drt...@gmail.com>
Date: Fri, 14 Jun 2013 07:45:36 +0300

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 14, 2013, 1:18:40 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
thanks nashauri watu watakaokuwepo wakutane waanze kikao cha kwanza.

binafsi nasafiri over this weekend na nitarudi Weekend ijayo.

So let us meet on monday. Lucas, Mashinji na Pamela mnaweza kuhamasisha kikao hicho kikafanyika

Mavere, thanks, naomba namba yako ya USA nitakutafuta kwa simu angalau.


Mwemezi Ngemera 


2013/6/14 <plw...@yahoo.com>

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 14, 2013, 5:42:46 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
mambo ya ndoto kwa ndoto..... ha ha ha
 

Date: Thu, 13 Jun 2013 14:46:29 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Godliving Alfred Nnyari

unread,
Jun 14, 2013, 5:49:23 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Kwa maelezo haya hat mwenye kichwa kigumu atakuwa amefunguka na nina imani wenye nia wote wataorodhesha majina yao tayari kwa kikao cha kwanza. Mimi sitakuwepo nitakuwa moshi kwa msiba ila nina imani watakaokuwepo watasababisha kitu kizuri. Naunga mkono hoja

 

Godliving Alfred Nnyari

 

2013/6/13 JUSTINE JOVIN <justine...@yahoo.com>

Date: Wed, 12 Jun 2013 21:13:39 +0300


Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Mwombe engineer!

On Jun 12, 2013 9:00 PM, "jacqueline mosha" <leos...@hotmail.com> wrote:

Sina pesa iyo hela ndefu sana




--
+1-703-953-0268
Arlington, VA

Mtebe Majigo

unread,
Jun 14, 2013, 6:43:21 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Ongeza Mtebe Majigo


2013/6/14 Godliving Alfred Nnyari <livang...@hotmail.com>

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 14, 2013, 7:37:19 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Updated List so for.... ( Pamoja na mchakato wa kukutana ni vizuri pia tukajua  ni wangapi wapo committed, please confirm ili niweke jina lako: 
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba

.
 
.
.
.
.
.
.
.
20............
 

Date: Fri, 14 Jun 2013 08:18:40 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Vincent Mashinji

unread,
Jun 14, 2013, 7:45:25 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Here we go.
Majigo added so 11 guys to go!

Dr Anthony Leonard

unread,
Jun 14, 2013, 7:48:16 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Add my name in the list p'se


2013/6/14 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>

Vincent Mashinji

unread,
Jun 14, 2013, 7:52:28 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

You see...10 to go...come on! Protas sijakuona!

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 14, 2013, 8:01:17 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
update list.....  
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

.
.
.
.
.
.
.
.
20
 
 
 

 

Date: Fri, 14 Jun 2013 14:52:28 +0300

vmashinji

unread,
Jun 14, 2013, 8:05:39 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
We go we go we goooo!


Sent from Samsung Mobile

Peter Makundi

unread,
Jun 14, 2013, 8:13:50 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
WEKA JINA LANGU PETER MAKUNDI

From: Vincent Mashinji
Sent: 14 June 2013 14:52

Vincent Mashinji

unread,
Jun 14, 2013, 8:15:34 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Lucas umeona jina la Peter! Ongeza...

--

Godliving Alfred Nnyari

unread,
Jun 14, 2013, 8:40:05 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Lucas mbona kama umeruka majina mengi tu angalia post za watu vizuri nashangaa mimi mwenyewe sijioni hapo, nitaweka mgomo hahahahah

 

From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of LUCAS KILYAPEKA
Sent: Friday, June 14, 2013 3:01 PM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

 

update list.....  
 

 

2013/6/14 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>

 

2013/6/14 <plw...@yahoo.com>

 

2013/6/13 Athanas Ntaganyamba <atha...@gmail.com>

 

2013/6/13 JUSTINE JOVIN <justine...@yahoo.com>

Date: Wed, 12 Jun 2013 21:13:39 +0300


Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Mwombe engineer!

On Jun 12, 2013 9:00 PM, "jacqueline mosha" <leos...@hotmail.com> wrote:

Sina pesa iyo hela ndefu sana




--
+1-703-953-0268
Arlington, VA




--
+1-703-953-0268
Arlington, VA

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 14, 2013, 8:49:57 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com

 God Naomba unirushie please ili ifanye editing asa hii
 
1. Godliving Alfred
2. Jack Mosha
3. ......
 
Confirm ili niyaweke kwenye master list please
 
 
 
 
 
 

To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Fri, 14 Jun 2013 15:40:05 +0300

jacqueline mosha

unread,
Jun 14, 2013, 11:24:38 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
count me  in broda.....


From: kily...@hotmail.com

To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Fri, 14 Jun 2013 12:49:57 +0000

vmashinji

unread,
Jun 14, 2013, 11:33:57 AM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Good we go..!


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: jacqueline mosha <leos...@hotmail.com>
Date: 14/06/2013 18:24 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


benjamin chikira

unread,
Jun 14, 2013, 11:35:37 PM6/14/13
to mkungu-...@googlegroups.com, <mkungu-familly@googlegroups.com>

Jamani niko sehem hata mail kusoma nishida... Mimi kama member wa mkungu naunga mkono wazo la saccos tafadhali sana weka jina langu nitakuwa Dar next two week to come!!! Benjamin Mroki Chikira.. all the best
Sent from my iPhone

On Jun 13, 2013, at 12:27 PM, Peter Makundi <peter...@yahoo.com> wrote:

Mavere yupo sahihi kabisa

From: Mavere Tukai
Sent: 13 June 2013 11:54
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Hi from Dar

I am just concerned kama kweli tunaweza kuweka business venture on equal shares

we do have different commitments, different talents, different abilities, different financial muscles, different visions etc.

hii ya flat rate inaumiza baadhi

pia kuna wenye muda na committment bila pesa

lets think critically on this

M
On Wed, Jun 12, 2013 at 10:04 PM, jacqueline mosha <leos...@hotmail.com> wrote:
Wote majanga ona majangaa
 
Kazini niende mie,kufanya nifanye mie,
Mshahara achukue yeye.....majanga mbona majangaaaEmoji
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 21:13:39 +0300
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
On Jun 12, 2013 9:00 PM, "jacqueline mosha" <leos...@hotmail.com> wrote:
Sina pesa iyo hela ndefu sanaEmoji

Date: Wed, 12 Jun 2013 20:55:17 +0300
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Acha maneno Jacque andika jina.....


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: jacqueline mosha <leos...@hotmail.com>
Date: 12/06/2013 19:41 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


Aisee Mashinji hii style tunayotumia ni ya umangisuna kwa mtizamo wangu wote hapa ni watu wazima na nafikiri kwa kuandika huku sidhani kama tutafika mahali bila kukutana na  zaidi  baadhi ya watu kuona wamekuwa isolated.
 
Mtizamo wangu hoja vuguvugu ishatolewa na ili kupata muendelezo wa haya lazima kuwe na face to face meeting obviously watakaojitokeza naamini ndio watakuwa na interest na hiki kitu lakini haya mambo ya kusema  moja ,mbili,tatu huku na hiyo amount kwangu sio sahihi.
 
1.Itisheni mkutano wa wanamkungu wote nia na malengo ni kuanzisha SACCOSS tupeane mawazo kama haiwezekani kila mmoja kupata iyo 2m by december kuwe na mfuko wa kawaida wa kikundi ambao kila mmoja ataweza kushiriki kwa atakayependa.
2.Ndani ya huo mkutano hao sasa wenye uwezo wa kuchangia hizo 2m sio mbaya wakaendelea na utaratibu wao .
3.Tumeshawafikiria wanamkungu wanaoishi mkoani maana naamini huku kulikuwa na watu wa crs Mwanza na Arusha.
 
Tunapotoa hoja hasa inayohusu kikundi ama chama kinachojumuisha watu wa rika mbali mbali,kipato tofauti pamoja na mitizamo tusianze kwa hoja za kuwafanya wachache au waliowengi kuvunjika moyo mapema waeza kuta hao ndio watakaokuja kuwa wanachama watiifu na hai baadae.
 
LABDA GOD NA MAVERE WATUAMBIE MKUNGU UNA WANACHAMA WANGAPI MAANA SURA ZINAZOONEKANA KILA SIKU HUMU NI ZILE ZILE AU KUNA CHEPEO LILIPITA.
 

Date: Wed, 12 Jun 2013 19:13:03 +0300
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

Bado watu 15 tu...

Keep going!

On Jun 12, 2013 3:30 PM, "LUCAS KILYAPEKA" <kily...@hotmail.com> wrote:
Updated list so far:
 

The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. ...
7. ....

.
.
.
.
.
.
.
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 

To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Wed, 12 Jun 2013 14:36:00 +0300

Please add Rose Kokusima aka Kokuutamu Mugashe.
 
Ila wadau, hiyo 2m, nahizi kuna watu ambao watakuw ana interest ya kujiunga ila huo uwezo wa kufikisha hizo 2m by Dec, ni ndoto.
Nawakilisha mswaada ufikiriwe kwa undani zaidi.
Rose
 
From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of LUCAS KILYAPEKA

Sent: Wednesday, June 12, 2013 11:32 AM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
I' the 2nd to the list...
 

 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare
.
.
.
.
.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 


Date: Wed, 12 Jun 2013 10:59:11 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
Great start Mr Luke.
Two millions is an acceptable deal.
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. ...

Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

Its me
vbm
On Jun 12, 2013 10:39 AM, <plw...@yahoo.com> wrote:
Lucas... Nimekupenda sana ghafla!!


------Original Message------
From: LUCAS KILYAPEKA
Sender: mkungu-...@googlegroups.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
ReplyTo: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Sent: 12 Jun 2013 10:01

Wakuu, Ijumaa nilitoka mapema hii topic ilinipta; cha msingi hapa ni kuanza na SACCOS!!; Msingi wa Jumuiya yoyote ile huwa ni uchakavu  kwanza (finance), Lets say tukiwa 20 then  tutakubaliana tuanze wa kuchangishana ngapi ngapi kwa muda ili kupate nguvu ki-uchumi then mambo mengine ya uwekezaji, mikopo kwa wanachama, hisa nayo yatafuata.
 
Tunajua kila mmoja wetu ana kitu anafanya individually, kifamilia, wengine  wapo kwenye vikundi vyao, nk hiyo sasa itakuwa advantage kwetu kupata uzoefu wao huko nyuma walifanyaje fanyaje.
 
Mi naona wazo la Mashinji ni zuri tupate wananchama serious 20; ambao tukipata 2m kwa kila mmoja hadi Dec 2013; tutakuwa tumetengeneza 40mil. Hii pesa inaweza kutosha kuanza activities za chama kama mikopo, uwekezaji nk; wale wengine wataanza kujiunga baadaye kwa kununua hisa kama Lwaka alvyogagadua.
 
Dokezo: Hii si ndoto - ni wazo tu wakuu nawakilisha.
 
LK
 
Date: Tue, 11 Jun 2013 16:16:31 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

mkami kyanyari

unread,
Jun 15, 2013, 6:13:29 AM6/15/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Jamani wapendwa,natumaini wote ni wazima,mimi mzima pia,naunga hoja kwa asilimia 100.
Nimeongeza jina langu hapo, AM IN......mpango mzima ni kununua shares basi,kama alivyosema kama yangu mavere vipato vinatofautiana,otherwise mtuambie hyo SACCOS itakua ni kwa group ya watu wachache tu wenye kipato flani,nawasilisha hoja.
 
MUNGU WABARIKI,LOVE U ALL.

From: Godliving Alfred Nnyari <livang...@hotmail.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Friday, June 14, 2013 3:40 PM
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Lucas mbona kama umeruka majina mengi tu angalia post za watu vizuri nashangaa mimi mwenyewe sijioni hapo, nitaweka mgomo hahahahah
 
From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of LUCAS KILYAPEKA
Sent: Friday, June 14, 2013 3:01 PM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
 
update list.....  
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Mkami Kyanyari
.
.
.
.
.
.
.
20
 
 
 

 
 
2013/6/14 LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: Fri, 14 Jun 2013 08:18:40 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: nge...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
thanks nashauri watu watakaokuwepo wakutane waanze kikao cha kwanza.
 
binafsi nasafiri over this weekend na nitarudi Weekend ijayo.
 
So let us meet on monday. Lucas, Mashinji na Pamela mnaweza kuhamasisha kikao hicho kikafanyika
 
Mavere, thanks, naomba namba yako ya USA nitakutafuta kwa simu angalau.
 
 
Mwemezi Ngemera 
 
2013/6/14 <plw...@yahoo.com>
Oh so option imetolewa. Monday 5pm. Okay!
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
 
2013/6/13 Athanas Ntaganyamba <atha...@gmail.com>
 
2013/6/13 JUSTINE JOVIN <justine...@yahoo.com>
From: Godliving Alfred Nnyari <livang...@hotmail.com>
To: mkungu-...@googlegroups.com
Sent: Thursday, June 13, 2013 3:03 PM

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Point
 
From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of Mavere Tukai
Sent: Thursday, June 13, 2013 11:55 AM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
 
Hi from Dar
I am just concerned kama kweli tunaweza kuweka business venture on equal shares
we do have different commitments, different talents, different abilities, different financial muscles, different visions etc.
hii ya flat rate inaumiza baadhi
pia kuna wenye muda na committment bila pesa
lets think critically on this
M
On Wed, Jun 12, 2013 at 10:04 PM, jacqueline mosha <leos...@hotmail.com> wrote:
Wote majanga ona majangaa
 
Kazini niende mie,kufanya nifanye mie,
Mshahara achukue yeye.....majanga mbona majangaaa
 
Date: Wed, 12 Jun 2013 21:13:39 +0300

Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
Mwombe engineer!
On Jun 12, 2013 9:00 PM, "jacqueline mosha" <leos...@hotmail.com> wrote:
Sina pesa iyo hela ndefu sana
Date: Wed, 12 Jun 2013 20:55:17 +0300
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: vmas...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
Acha maneno Jacque andika jina.....
 
 
Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: jacqueline mosha <leos...@hotmail.com>
Date: 12/06/2013 19:41 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Aisee Mashinji hii style tunayotumia ni ya umangisuna kwa mtizamo wangu wote hapa ni watu wazima na nafikiri kwa kuandika huku sidhani kama tutafika mahali bila kukutana na  zaidi  baadhi ya watu kuona wamekuwa isolated.
 
Mtizamo wangu hoja vuguvugu ishatolewa na ili kupata muendelezo wa haya lazima kuwe na face to face meeting obviously watakaojitokeza naamini ndio watakuwa na interest na hiki kitu lakini haya mambo ya kusema  moja ,mbili,tatu huku na hiyo amount kwangu sio sahihi.
 
1.Itisheni mkutano wa wanamkungu wote nia na malengo ni kuanzisha SACCOSS tupeane mawazo kama haiwezekani kila mmoja kupata iyo 2m by december kuwe na mfuko wa kawaida wa kikundi ambao kila mmoja ataweza kushiriki kwa atakayependa.
2.Ndani ya huo mkutano hao sasa wenye uwezo wa kuchangia hizo 2m sio mbaya wakaendelea na utaratibu wao .
3.Tumeshawafikiria wanamkungu wanaoishi mkoani maana naamini huku kulikuwa na watu wa crs Mwanza na Arusha.
 
Tunapotoa hoja hasa inayohusu kikundi ama chama kinachojumuisha watu wa rika mbali mbali,kipato tofauti pamoja na mitizamo tusianze kwa hoja za kuwafanya wachache au waliowengi kuvunjika moyo mapema waeza kuta hao ndio watakaokuja kuwa wanachama watiifu na hai baadae.
 
LABDA GOD NA MAVERE WATUAMBIE MKUNGU UNA WANACHAMA WANGAPI MAANA SURA ZINAZOONEKANA KILA SIKU HUMU NI ZILE ZILE AU KUNA CHEPEO LILIPITA.
 
From: rose_e...@hotmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Wed, 12 Jun 2013 14:36:00 +0300
Please add Rose Kokusima aka Kokuutamu Mugashe.
 
Ila wadau, hiyo 2m, nahizi kuna watu ambao watakuw ana interest ya kujiunga ila huo uwezo wa kufikisha hizo 2m by Dec, ni ndoto.
Nawakilisha mswaada ufikiriwe kwa undani zaidi.
Rose
 
From: mkungu-...@googlegroups.com [mailto:mkungu-...@googlegroups.com] On Behalf Of LUCAS KILYAPEKA
Sent: Wednesday, June 12, 2013 11:32 AM
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
 
I' the 2nd to the list...
 

 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka

3. Pamela Lwakabare
.
.
.
.
.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Guys keep filling your names and June 30, 2013 is the suggested closure date for registration.
Lets keep going!

 

 
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
  

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
+1-703-953-0268
Arlington, VA
--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
.....................................................................................
Mwemezi Elnathan Ngemera, BPharm, MAHMPP
Director - Maternal, Sexual and Reproductive Health
Care International in Tanzania
P. O. Box 10242 Dar es salaam, Tanzania
Phone:+2552666755; Mob +255713134030

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
+1-703-953-0268
Arlington, VA

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


 
--
.....................................................................................
Mwemezi Elnathan Ngemera, BPharm, MAHMPP
Director - Maternal, Sexual and Reproductive Health
Care International in Tanzania
P. O. Box 10242 Dar es salaam, Tanzania
Phone:+2552666755; Mob +255713134030

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:mkungu-familly%2Bunsu...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Vincent Mashinji

unread,
Jun 15, 2013, 7:55:29 AM6/15/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Watanzania tuacheni kuogopa vivuli vyetu. Andikeni majina kwanza kisha kikao halafu mengine ni mbele kwa mbele...huwezi kuwa na biashara isiyo na mtaji.

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 15, 2013, 3:40:00 PM6/15/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Mashinji nimependa neno lako  huwezi kuwa na biashara  bila mtaji. Ni vema tukazingatia hilo.
Mimi naomba kuongezea 'huwezi kuwa na.biashara bila ya kuwwa na vision" ...

Binafsi nimeshiriki katika makundi mengi na niilochogundua  ni.hiki inabbidi wanakikundi.kuwa na ndoto inayofanana na kukubali kuhangaika na wakati mwingine kupoteza au.kupAta hasara mwanzoni ilikupata mafanikio baadae.

Nawashukuru wote walionyesha nia. Sasa naapendeeekeza tuingie hatua ya pili ya kikao ambapo napendekeza iwe next week au.a week after. Kukutana iwe kujadili agenda hizi 1, vision yetu ni nini 2, roadmap yetu iweje na 3,kupata viongozi.wa kutuonyesha njia ya kufikia ndoto.

Mimi bahati mbaya next week sipo ila.tupeane.mrejesho..

Dr. Anthony alipendekeza jumatatu, je.wote tunaiafiki? If yes pendekeza.venue.

Mwisho ni vema kuweka malengo mfano.kuna wamependekeza tuchange tuffikie 40m ...hayo ni.mawazo.mazuri. Mimi naamini tunaweza kabisa. Kinachotakiwa tuanze kufikiria mioyoni mwetu ni kitu gani tuttafanya tukishakusanya hizohela.

Mbarikiwe.

Mwemezi

Prosper Roman

unread,
Jun 15, 2013, 4:12:44 PM6/15/13
to mkungu-...@googlegroups.com


2013/6/15 Mwemezi Nathan Ngemera <nge...@gmail.com>
12. Prosper Moshi

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 16, 2013, 10:57:05 AM6/16/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Haya tunaendelea....
 
1. Huwezi kufanya biashara bila Mtaji (Mashinji)
2. Lazima uwe na Vision (Ngemela) 
3. Zijue Risk za biashara lakini usiziogope (Lucas)
 
Kuhusu Kikao wajumbe walipendekeza kifanyike Jtatu kesho; mapendekezo yangu
 
VENUE: SIMBA KAPAKATWA PUB
LOCATION: MAKUMBUSHO  Opp. na kijiji cha makumbusho ya taifa
TIME: 5:30PM.
DATE: 17th June 2013
 
 
Update list as of today Sunday 16th June 17:43
 
 
update list.....  (kama hujaliona jina lako please remind)

  
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Mkami Kyanyari
12. Godliving Alfred
13. Jack Mosha
14. Benjamini Chikira
.
.
.
.
.
.
.
20
 

 

Date: Sat, 15 Jun 2013 22:40:00 +0300

Rose Mbiku

unread,
Jun 17, 2013, 1:45:51 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Na mimi nimeongeza jina langu.

14. Benjamini Chikira
15. Rose Mbiku

JUSTINE JOVIN

unread,
Jun 17, 2013, 3:38:16 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Please again naomba niwekwe kwenye list....JUSTINE JOVIN TENGA, nimejiweka namba kumi na moja

The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Justine Jovin

.
.
.
.
.
.
.
20
Sent: Friday, June 14, 2013 3:01 PM

Rose Emanuel Mugashe

unread,
Jun 17, 2013, 3:58:00 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Hivi wewe Prosper, mbona email ipo blank.

Sema unajiunga/upo kwenye list au ………………….

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 17, 2013, 4:34:31 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Yes kuna hawa wakongwe sijawasikia bado:
 
Yefta Emmanuel (huyu ndiye muasisi wa Mikonoooossss....)
Chrstopher Lucas ( Tunahitaji watu wenye busara katika kikundi, so please)
Laurencia Kiringo ( Usiogope bei ya Hisa --- andika jina)
Prosper Moshi  ( Pamoja na Mbiku lakini Mkuu tunakuhitaji utuwekee mahesabu sawa pia unaweza kuwa ktk kitengo cha Risk Assessments)

Kikao vipi kipo au hakipo leo?

 

 

From: rose_e...@hotmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Mon, 17 Jun 2013 10:58:00 +0300

christopher lucas

unread,
Jun 17, 2013, 5:46:00 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Count me in

Sent: Monday, June 17, 2013 11:34 AM
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Yes kuna hawa wakongwe sijawasikia bado:
 
Yefta Emmanuel (huyu ndiye muasisi wa Mikonoooossss....)
Chrstopher Lucas ( Tunahitaji watu wenye busara katika kikundi, so please)
Laurencia Kiringo ( Usiogope bei ya Hisa --- andika jina)
Prosper Moshi  ( Pamoja na Mbiku lakini Mkuu tunakuhitaji utuwekee mahesabu sawa pia unaweza kuwa ktk kitengo cha Risk Assessments)

Kikao vipi kipo au hakipo leo?
 

 

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 17, 2013, 5:52:46 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Salamu.
Ushauri wangu fanyeni kikao this week.
Mm nipo nje ya dar

Vincent Mashinji

unread,
Jun 17, 2013, 5:56:10 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Mi pia nipo nje ya Dar. Lakini! Kama tulisema kujiandikisha mwisho ni Juni 30, 2013...nadhani tusubiri hiyo deadline tujue column ni kiasi gani kisha mambo yaanza.
Napendekeza kikao kiwe wiki ya kwanza ya July.
Nawasilisha

--

Laurencia Kiringo

unread,
Jun 17, 2013, 6:58:38 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
NO. 11. LAURENCIA MICHAEL KIRINGO

2013/6/14 vmashinji <vmas...@gmail.com>
--

Laurencia Kiringo

unread,
Jun 17, 2013, 7:05:20 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
NO.

2013/6/14 vmashinji <vmas...@gmail.com>
We go we go we goooo!


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: 14/06/2013 15:01 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP


update list.....  
 
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11. Laurencia Michael Kiringo

--

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 17, 2013, 7:45:59 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
update list.....17th June 2013 : 2:45pm  (Kama hujaliona jina lako please remind)

  
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Mkami Kyanyari
12. Godliving Alfred
13. Jack Mosha
14. Benjamini Chikira
15. Rose Mbiku
16. Prosper Moshi
17. Laurencia Kiringo
18. Christopher Lucas
19.
20.

 

Date: Mon, 17 Jun 2013 14:05:20 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

vmashinji

unread,
Jun 17, 2013, 8:11:29 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wow good work guys, keep going!


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: 17/06/2013 14:45 (GMT+03:00)
To: mkungu-...@googlegroups.com

Dennis Mutayoba

unread,
Jun 17, 2013, 8:16:47 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Without forgetting OMULANGIRA MUTAYOBA
 
 
Sent from my desktop

--- On Mon, 6/17/13, LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com> wrote:

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 17, 2013, 9:04:18 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com


update list.....17th June 2013 : 4:03pm  (one more member to reach the target)

  
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Mkami Kyanyari
12. Godliving Alfred
13. Jack Mosha
14. Benjamini Chikira
15. Rose Mbiku
16. Prosper Moshi
17. Laurencia Kiringo
18. Christopher Lucas
19. Denis Omulangira Mutayoba
20.

 

Date: Mon, 17 Jun 2013 14:05:20 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: lkir...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

NO.

2013/6/14 vmashinji <vmas...@gmail.com>
We go we go we goooo!


Sent from Samsung Mobile


Yefta Emmanuel

unread,
Jun 17, 2013, 9:06:17 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com, mkungu-...@googlegroups.com
Count me in
Nipo nje ya mji ila tupo pamoja

Sent from my iPhone

JUSTINE JOVIN

unread,
Jun 17, 2013, 9:19:07 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Jamani nimeomba muniweke..ila sijioni...nakosa vigezo????



Sent: Monday, June 17, 2013 4:04 PM
Subject: FW: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

Athanas Ntaganyamba

unread,
Jun 17, 2013, 9:26:52 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com, mkungu-...@googlegroups.com
Waoh.....safi sana ......kisanga sijamuona...God hivi ulimuweka huyu jamaa kwenye mkungu family?
Sent from my iPhone

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 17, 2013, 10:02:26 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com

 
update list.....17th June 2013 : 5:03pm  (DONE!!!!! )

  
The list of founding members goes like:
1. Dr. Vincent Biyegela Mashinji
2. Lucas Martin Kilyapeka
3. Pamela Lwakabare
4. Lucy Massawe
5. Rose Kokusima Mugashe
6. Mwemezi Ngemela
7. Mavere Tukai
8. Athanas Ntaganyamba
9. Mtebe Majigo
10.Dr Antony Leonard

11.Mkami Kyanyari
12. Godliving Alfred
13. Jack Mosha
14. Benjamini Chikira
15. Rose Mbiku
16. Prosper Moshi
17. Laurencia Kiringo
18. Christopher Lucas
19. Denis Omulangira Mutayoba
20. Robert Kisanga
21. Yefta Emmanuel
22. Justine Jovin


 

Date: Mon, 17 Jun 2013 14:05:20 +0300
Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
From: lkir...@gmail.com
To: mkungu-...@googlegroups.com

NO.

2013/6/14 vmashinji <vmas...@gmail.com>
We go we go we goooo!


Sent from Samsung Mobile



--
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mkungu Family" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mkungu-famill...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 17, 2013, 10:04:52 AM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Nilitaka kushangaa mzee wa Soksi umesusa? ingawa soksi hadi leo hazijaonekana!!!!
 

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP
Date: Mon, 17 Jun 2013 16:06:17 +0300
To: mkungu-...@googlegroups.com

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 17, 2013, 1:34:05 PM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Jamani justine alisema anataka. Na huyu dakitarrrrriiii awekwe
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

Mwemezi Nathan Ngemera

unread,
Jun 17, 2013, 3:01:36 PM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com

Lucas ratibu kikao cha kwanza na agenda zile hizi:
1. Kuunda kikosi kazi/uongozi
2,. Kukusanya  mawazo ya awali juu ya ndoto za wanakikundi
3, kutoa mawazo juu ya roadmap- haya ni mawazo yatakayofanyiwa kazi na kikosikazi

Mavere Tukai

unread,
Jun 17, 2013, 10:07:25 PM6/17/13
to mkungu-...@googlegroups.com
wakuu ntakua dar june 23-26 na july 3-7


--
+1-703-953-0268
Arlington, VA

Dr Anthony Leonard

unread,
Jun 18, 2013, 12:34:24 AM6/18/13
to mkungu-...@googlegroups.com
OMULANGIRA
Hili jina ni feki...... angalieni msiingize akina Bijampola

LUCAS KILYAPEKA

unread,
Jun 18, 2013, 1:48:23 AM6/18/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wana Mkungu;
 
With reference to Ngemela's comments; Tunaomba kwa muda huu tunaosubiri kikao cha kwanza kila mwana mkungu aliyejiandikisha aje na mchanganuo wa biashara ambayo anaona unaweza kutufaa -  itakabidhiwa kwa kikozi kazi kitakachoundwa na kufanyiwa kazi ili kupata tatu ambazo zitaletwa kwenye vikao vyetu kwa kupigiwa  kura ili kupata moja ambayo ndiyo tutaanza nayo mwakani 2014.
 
1. Mtaji wa mchanganuo uwe btw 40 - 50m
2. Jitahidi kuleta mradi ambao una minimal supervision with low risk
 
Ni vizuri kupata michangauo toka kwa kila mmoja wetu kwani nina uhakika kila binadamu huwa ana  ndoto ila kuna mambo yaliyomkwamisha kuitimiza, so we can borrow your ideas and implement as Mkungu Fammilly
 
Nawashukuru sana mlioonyesha moyo wa ujasiliamali; nina hakika kila mmoja wetu atafaidika na umoja huu kwa njia moja ama nyingine;
 
Cheers!!!
 

 

Date: Mon, 17 Jun 2013 22:01:36 +0300

Subject: Re: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

JUSTINE JOVIN

unread,
Jun 18, 2013, 2:41:42 AM6/18/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Wandugu...nitoe shukrani zangu za dhati kwa kuwekwa katika list.....ni nafasi muhimu sana hii...
Asante Lucas kwa kutukumbusha kuleta business ideas...napenda kutoa angalizo kwa business ideas zote zitakazoletwa..kuwa ni exclusive mkungu propert, unless said otherwise....

Kwa kuwa nipo pande za Mwanza Mwanza..naanza fikiria ni namna gani tutaamishia ziwa Victoria na sato wake mkoani Dar....tutafungua bonge la fish complex ndani ya Dar.....



Sent: Tuesday, June 18, 2013 8:48 AM
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 18, 2013, 2:52:42 AM6/18/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Hello people,

Idea ya kwanza, low risk and low supervision, get a plot build a multipurpose hall (tungekua na uwezo zaidi, it would have been one that has room to lease a gym, a curio/gift shop, a swimming pool, a restaurant and a hall- something like azura pale kawe. And all this has to be in mbezi, kawe coming towars town for return on investment!

Additionally- to buy share, medium risk hence necessity to do a thourough risk analysis. Buy in industry such as Cigarettes and beer- oxygen!! good shares to have.

3rd, buy land, get title deed, or divide it up, get deedsn and sell them and put back money into fund

Buy a house, renovate it and sell it, buy another house get contractor to renovate, sell it.. Manager wa kwanza wa steer does that, yule mzungu ananunua nyumba that are not in so good shape, pimp them up and resell them.

Just some idea kukuza our basket fund so that in a few years tununua a mall center where it can be knight frank-ly managed.

Real estate is good investment and good as collateral. My two cents!!

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: LUCAS KILYAPEKA <kily...@hotmail.com>
Date: Tue, 18 Jun 2013 05:48:23 +0000
Subject: RE: {Mkungu Familly} Going back to the root..ORGANIZED MKUNGU GROUP

plw...@yahoo.com

unread,
Jun 18, 2013, 2:53:32 AM6/18/13
to mkungu-...@googlegroups.com
Na hao samaki waje na ndizi toka BK! Lol..

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: JUSTINE JOVIN <justine...@yahoo.com>
Date: Mon, 17 Jun 2013 23:41:42 -0700 (PDT)
It is loading more messages.
0 new messages