Udaku Specially

966 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Jul 15, 2015, 4:53:12 PM7/15/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


ROSE MHANDO Amkimbia Meneja Wake

Posted: 15 Jul 2015 01:37 PM PDT

NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kumkimbia meneja wake, Alex Msama licha ya kuwepo kwa makubaliano kati yao yaliyohusu kulipiwa deni la kiasi cha shilingi milioni sita alizokuwa akidaiwa msanii huyo mwenye jina kubwa.

Alex Msama ambaye ni meneja wa Rose muhando.

“Meneja wake alikubali kumlipia pesa zote (6,500,000) ambazo Rose alikuwa anadaiwa baada ya kushindwa kuhudhuria tamasha moja huko mikoani, alitakiwa baada ya siku chache aingie studio kufanya kazi, lakini ametoweka na haifahamiki yupo wapi,” kilisema chanzo chetu.

Msama alipotafutwa alikiri kutokea kwa tukio hilo, akisema haeleweki Rose ana matatizo gani kwani walikubaliana baada ya siku chache aingie studio na kurekodi, lakini mpaka hivi sasa haijulikani alipo na hata simu yake ya mkononi haipatikani.
GPL

Gazeti hili lilimtafuta Rose bila mafanikio kwani simu yake haikuwa hewani.

Wema Sepetu na Aunty Ezekiel Beef Upya...Chanzo Nimekuwekea Hapa

Posted: 15 Jul 2015 01:22 PM PDT


URAFIKI wa mashaka! Mastaa wawili wa filamu Bongo, ambao walikuwa mashosti  kwa muda mrefu kabla ya kidudumtu kuingilia kati hivi karibuni na kusuluhishwa, hivi sasa bifu kati yao limeanza upya, Risasi Mchanganyiko linakujuza.

Chanzo chetu ambacho hakipepesi macho kinasema tangu Aunt ajifungue mtoto, Wema hakuwahi kukanyaga nyumbani kwake kwa ajili ya kumuona, kutoa hongera au hata pole kwa rafiki yake huyo, isipokuwa wamekuwa wakichati kupitia simu za mikononi, kitu ambacho si sahihi.

Lakini kali zaidi, ni kitendo cha Wema kushindwa kuhudhuria sherehe ya kutimiza siku 40 tangu azaliwe mtoto huyo, Cookie, kitu kilichomfanya mwenzake kumuondoa kabisa katika orodha ya marafiki zake.

“Yaani Aunt kipindi chote alimvumilia akijua huenda yuko ‘bize’, lakini kwa kutofika kwenye siku hiyo muhimu, amemtoa kabisa akilini mwake,” kilisema.

Baada ya kupata habari hizo, gazeti hili lilimtafuta kwa njia ya simu Aunt ili kuthibitisha ubuyu huo, lakini akakubali tu juu ya kutohudhuria kwenye tukio hilo muhimu la mtoto wake, licha ya kuwa alimpa taarifa.

“Hakuja, lakini siwezi mlaumu sana, labda alikuwa na majukumu mengi, ukizingatia hivi sasa ana mambo ya ubunge,” alisema.

Wema hakuweza kupatikana baada ya simu yake kutopokelewa kwa muda wote alipopigiwa.

Kingunge Aendelea Kumlilia LOWASSA......Asema CCM ni Chama cha Watu wote na Lowassa si fisadi kama inavyodaiwa.

Posted: 15 Jul 2015 12:50 PM PDT

Mwanasiasa Mkongwe katika medani za siasa nchini Tanzania ameibuka na kuzungumza na Waandishi wa Habari leo  kuhusiana na  mchakato wa kumpata mgombea Urais CCM uliopelekea jina la Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kukatwa.

Akizungumza katika mkutano huo Kingunge amesema   Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo cha kuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu katika  kuwajadili wagombea  lakini safari hii Kamati ya Maadili imefanya kazi isiyowahusu kikatiba  ikiwemo  kukata majina ya wagombea.

Amesema  Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM)  yenyewe imekosa maadili ya kuheshimu katiba na taratibu za chama kwa kujipa madaraka ya kupeleka majina 5 kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.

“Kuna baadhi ya watu waliamua kuitumia Kamati ya Maadili kuandaa watu wao na kuwakata wengine kwa sababu zao.” Amesema Kingunge.

Kingunge  amedai kwamba  CCM ni chama cha wanachama wote, taratibu na kanuni zikipuuzwa na kufanya vitu kwa maamuzi ya kikundi fulani, amedai kuwa  kwenye vikao vya CCM Ulifanyika uhuni na dharau kwa wanachama wengine.

"Wakubwa waliopewa madaraka wanaona hakuna lolote tunaloweza kufanya."

Amesisitiza kuwa kilichofanyika Dodoma hakikuwa sawa, Kamati Kuu iliporwa kazi yake, hii ni dharau kwa wanachama na wagombea wote. Kamati Kuu ya Taifa CCM, ipo chini ya Halmshauri Kuu ya Taifa yenye madaraka ya kujadili mapendekezo yalioletwa na Kamati Kuu,  na Halmshauri Kuu ina madaraka ya kukataa au kukubali mapendekezo yalioletwa na Kamati Kuu, lakini utaratibu huo haukuwepo

Kingunge amesema  anawaheshimu sana Mzee  Benjamin  Mkapa, Mwinyi, na Karume, lakini amesikitika kuwa  ndio  waliotoa  michango  ya  kutotoa  haki kwenye Kamati Kuu.
 
"Waliogombea 1995 walikuwa 16, Kamati Kuu iliwasikiliza na kuandaa orodha ya watu 6,” alisema Kingunge.

Akizungumzia yaliyokea NEC Kingunge amesema wajumbe walihoji kwa nini  Jina La Lowassa halikuwemo, mjadala ulikuwa mgumu, watu walisema lazima aingie kwenye orodha. "......Kwa mara ya kwanza muundo wa Chama ulijaribiwa baada ya wajumbe kutaka jina la Lowassa kwenye orodha ya majina 5."

Kwa upande mwingine, amewapongeza wajumbe walijitokeza kukataa  maamuzi ya Kamati Kuu ikiwemo  Adam Kimbisa, Mbunge wa Songea Emmanuel  Nchimbi na Sophia Simba.

Akizungumzia kauli ya Mbunge huyo kuhusishwa na ufisadi Kingunge amesema,

"Hadithi ya Lowassa kuwa ni fisadi haina mashiko, ilianza kwa kashfa ya Richmond. Kamati teule ya Bunge iliundwa na kutoa taarifa za ovyo sana, na hatimaye kwa kulinda heshima ya serikali na chama akajiuzulu."

Kingunge  ameongeza kuwa  Lowassa sio wa kwanza kuwajibika kisiasa .Amesema katika  awamu ya kwanza ya Mwalimu –walikuwemo   viongozi wa kisiasa waliouzulu.
 
Amewataja waliowahi kujiuzulu  kuwa   ni Waziri wa Mambo ya Ndani,  Ali Hassani Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga na Mkurugenzi wa Usalama Taifa wote walijiuzulu kisiasa na Mwalimu aliwashukuru kwa kuwajibika.

“Lowassa alijiuzulu kuwajibika kisiasa, lakini ikabadilishwa kuonekana ni yeye ndiye aliyefanya makosa, ndio ukaanza wimbo wa ufisadi. Serikali yenyewe ilimsafisha kupitia TAKUKURU, lakini wimbo wa ufisadi ukaendelea, wakaja na wimbo mwingine wa Gamba.

“Yote haya yalipangwa na ‘Kitengo’ kilichoandaa kashfa ya Richmond. Edward ana historia ndefu ndani ya Chama.” amesema  mzee Kingunge.

Amesisitiza kuwa  Uongozi wa Chama na Nchi umetumia nguvu kubwa sana kupuuza wananchi wanataka nini na kuhakikisha wanayempenda hapati kitu

Ametumia mkutano huo pia kuwaomba viongozi ndani ya CCM warudi kusoma ahadi za mwanachama, warudi pia wasome utangulizi wa katiba ya CCM na kusisitiza kuwa  kilichotokea Dodoma hakikubaliki, si halali na si haki.

Mwigizaji Riyama Ally Alazwa..Aombe Mwenye Dawa ya Gonjwa Lake Linalomsumbua Ajitokeza na Kumtibu

Posted: 15 Jul 2015 12:35 PM PDT

Alhamdulilah sijambo kiasi na mshukuru MUNGU NINA MALARIA WADUDU WAWILI na tumbo la chango chamoto nimekiona kwa muda mfupi tu waungwana wangu mwenye dawa nzuri ya tumbo la chango tusaidiane dah nimebebwa wallah nguvu zote kwisha asante sana kwa familia yangu na kwa mume Wangu mtarajiwa @leomysteriotz pia shukran kwa Mikumihospital Mungu awajazekheri ishalah Amin duwa zenu vipenzi vyangu

Riyama Ally on instagram

Diamond Asema Zari Atajifungulia Tanzania, Ayataja Majina Mawili Ambayo Wamevutana Kumpa Binti yao

Posted: 15 Jul 2015 12:31 PM PDT

Diamond Platnumz ambaye ameonesha kuwa na shauku kubwa ya kuwa baba, amesema kuwa mpenzi wake Zari yupo Tanzania kwasababu zimebaki wiki chache kabla hajajifungua.

Akizungumza kwenye exclusive Interview ya Mambo Mseto na Willy M. Tuva wa Radio Citizen ya Kenya, Diamond amesema kuwa anataka mtoto wake azaliwe nyumbani Tanzania.

Diamond na Zari ambao wanatarajia mtoto wa kike, kila mmoja alikuwa ana jina ambalo angependa kumuita mtoto wake, Zari anataka wamuite mtoto wao Zara huku Diamond naye anataka amuite Candy, lakini mwisho wa siku Diamond amesema kuwa wamekubaliana watafute jina litakalokuwa katikati lakini lenye maadili ya dini ya Kiislam.

Katika hatua nyingine Diamond amedai kuwa awali alikuwa amepanga kumshirikisha rapper wa Marekani Ludacris kwenye wimbo wake Nana.

Akiongea kwenye kipindi hicho, muimbaji huyo amesema kutokana na aina ya mdundo uliotumika kwenye Nana, waliona rapper huyo wa ‘How Low’ asingeweza kufit na ndio maana aliamua kufanya na Flavour.

Amedai kuwa mwishoni mwa mwaka huu au mwanzoni kabisa mwa mwaka ujao, anaweza kuachia collabo inayosubiriwa na msanii wa Marekani.

Matokeo Kidato Cha Sita 2015 Yatangazwa....Nimekuwekea Hapa...Bofya Hapa Kuyaona

Posted: 15 Jul 2015 12:28 PM PDT

Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2015 yametangazwa leo. Kuyaona matokeo hayo angalia hapo  chini….
 

Msichana Anayempenda Diamond adai Akijinyonga na kufa Chanzo mjue ni Penzi la Diamond...

Posted: 15 Jul 2015 08:10 AM PDT

Dear @diamondplatnumz  Mimi kila sikuu nnakwambia nnakupendaa kila siku... its ok lamdaa haunipendii nisijakulazimishaa isitoshee una mama kijachoo upendii kumiuzii.....ivii  ataa kunioneshaa support tu .. kujibu DM zanguu maana inaonesha seen... ila unanifanyia dharau... au ujawahii kupenda? Nnajua taharifa zangu unazol maana kila sikuu nnakwambia sichoki nnawaambia na akina @kifesi akina @romyjons  inamaana na a woo wanapuuzia...its OK diamond unipendii... Basil ata kushow love... siku moja ukasema shabiki yanguu baby akee nakati ya msasani au vingunguti.. unashidwaa kweeeli?. D wewe ni bimadamuu ganii unakosa utuu... OK Mimi ni masikini sivaii designer sishonei Brazilian svai CL. But iyoo isiwe sababuu yakunikosesha utuu nkadharaulikaa... ivii... eeh?. Ivi D wewe ulizaliwa na Mali.?.. na ni watu wangapii walikua na mikampuni ila wakalata bankruptcy wakarudia umasikinii.... OK mimi mbayaa kama wanavo nitukana.. ivi ni wangapii walikua wazurii kupita kiasii wakapata ajali ya motoo mpaka leo uezii watzama Mara mbili.. ivii ni haki kumu underestimate mtuu.. ni vema kumtenga MTU. Kwakweli nnajisikia vibayanoo Kuwa ignored.. if i commit suicide chanzo ni you diamond

Wauzaji wa Bracelets na Charm Watch za Kijanja Hawa Hapa

Posted: 14 Jul 2015 11:59 PM PDT

Bracelets Tanzania wauzaji wa bracelets na charm watch  piga 0653765078 kupata huduma zao.....au tembelea instagram @bracelets tanzania ujionee aina mbali mbali za Bracelets

Nahitaji Mwanaume wa Kunioa Awe na Nia ya Dhati na Mapenzi ya Kweli

Posted: 14 Jul 2015 10:22 PM PDT

Umri wangu ni miaka 25,elimu yangu ni diploma ya biashara,nahitaji mwanaume wa kuishi naye na mwenye mapenzi ya kweli,umri wake uwe kuanzia miaka 25 hadi 40 mwisho,awe muelewa.

Asiwe mlevi,asivute sigara,asiwe mgomvi wala mkorofi,sichagui kabila,ila dini ningependa awe mkristo wa dhehebu lolote,tafadhali sihitaji masikhara wala kebehi, Acha email yako ama simu mwenyewe ntawasiliana nanyi....asiyehusika please naomba apite kimya kimya

N.B:kupima HIV ni muhimu sana.

By Irene Moshaeli

Kambi ya Lowassa Yameguka, Sophia Simba na Nchimbi Kumuunga Mkono Dr. Magufuli

Posted: 14 Jul 2015 10:15 PM PDT

Sophia Simba: Ameamua kumuunga mkono Dr Magufuli: Msimso huo umetolewa na Amina Makilagi

Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu

Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono.

Aliyegoma kumuunga mkono ni kimbisa ambaye alikuwa kwnye mashauriano na Mh Lowassa.

Kumbe wote hawa walikuwa wachumia

Lowassa: Harusi Yageuka Matanga Mbio za Urais

Posted: 14 Jul 2015 10:12 PM PDT

Tumeshuhudia mbuyu ukichinjwa kwa wembe na kuanguka chali. Hii ni tamthiliya ya 4U Movement iliyoratibu project ya kumuingiza Lowassa Ikulu ya Magogoni.

Wadadisi wa mambo wamekuwa na maswali yasiyojibiwa hasa kuhusu ULAZIMA wa kuhakikisha Lowassa anapitishwa na chama chake kwa gharama zozote. Swali lingine ni tija ya projekti nzima kwa Watanzania...

Je waliohusika na mradi huu wanarandana na haiba ya mtu wao? Hapa nazungumzia watu kama Apson, Kingunge, Rostam, Chenge, Nchimbi n.k.

Je chaguo la Watanzania ni chaguo lao? Au chaguo lao ndilo chaguo la Watanzania?

Udadisi hauishii hapo bali plan B ya Wezesha Lowassa na utiifu wa kundi lake kwake nk.

Tambo za Lowassa kuwa hakuna wa KUMKATA jina lake kwenye hatua zote za mchujo, ni wazi kuna egemeo thabiti la ndani ya chama alilokuwa amejiaminisha kwake. Inawezekana mtaji wa wajumbe wa NEC na hamasisho la wajumbe wa mkutano mkuu, inawezekana vilimpa imani kuwa ana kundi kubwa linalomuunga mkono.

Tangu mteule wa CCM kupatikana, Lowassa amekuwa kimya kumuunga mkono au kukosoa mfumo uliofikisha utimilifu wa mchakato mzima. Hivyo haiyumkiniki plan B inaweza kuleta kishindo ama maumivu zaidi.

Shamrashamra, majivuno na tambo za mashabiki wa Lowassa ambapo walithubutu kutumia CCM kama kichaka chao hata kukiuka taratibu, kanuni na maadili ya Chama kwa kigezo cha kupendwa vimegeuka simanzi na fadhaa nzito kwao.

Hakuna tofauti na msiba kugeuka matanga na historia haibadilishwi...

50 Cent atangaza kufilisika, ni baada ya kupigwa faini ya dola milioni 5 ya kuvujisha sex tape ya ex wa Rick Ross

Posted: 14 Jul 2015 10:07 PM PDT

Rapper 50 Cent amejisalimisha kwa kifungu cha 11 cha sheria ya kufilisika nchini Marekani ili iwe kinga ya kupokonywa mali zake.

Kifungu cha 11 kinayapa muda makampuni kujipanga katika mambo yake kifedha huku yakilinda dhidi ya matakwa ya wanaowadai. Msanii huyo ambaye pia ni mfanyabiashara amewasilisha nyalaka mahakamani zinazoonesha kuwa ana mali na madeni yanayoanzia dola milioni 10 hadi 50, kwa mujibu wa Wall Street Journal.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mahakama kuamuru alipe dola milioni 5 kutokana na kesi ya kuvujisha mkanda wa ngono wa ex wa adui yake, Rick Ross.

50 Cent alitoa tangazo hilo siku hiyo hiyo aliyotakiwa kupanda kizimbani kwenye mahakama ya Manhattan kuhusiana na adhabu ya faini aliyopewa.

Mwanamke huyo, Lestonia Leviston alitakiwa kulipwa kiasi hicho cha fedha kutokana na kuathiriwa kihisia baada ya 50 kupost online sex tape yake (Leviston) akiwa boyfriend wake wa zamani.

Staa huyo yeye mwenyewe anasikika akiwa kama msimulizi wa video hiyo ya dakika 13 kwa kujipa jina Pimpin’ Curley.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 36 kutoka Florida ambaye ana mtoto na Rick Ross alidai mahakamani kuwa video hiyo ilitaka kumfanya ajiue.

Hata hivyo mawakili wa Leviston wamedai kuwa wasilisho la 50 ni njia ya kutaka kukwepa kulipa faini hiyo. Wameomba kuongezwa kwa dola milioni 10 zingine kama ‘punitive damage’ ili kumuadhibu 50 kwa kusambaza mkanda huo.

Hatua hiyo imekuja kama surprise kwakuwa ni miezi miwili tu iliyopita Forbes walidai kuwa rapper huyo ana utajiri wa dola milioni 155.

Jaji wa masuala ya kufilisika anatarajiwa kutoa maamuzi Alhamis hii kama wasilisho la 50 linaweza kuchelewesha kesi hiyo. Hata hivyo rapper huyo anaonekana kutokuwa na stress zozote na kesi hiyo.

Ijumaa iliyopita aliangusha party ya nguvu ya birthday yake huko Las Vegas. Jumapili alitweet, “I can’t remember a year that I had this much fun. Just good energy every were I go.”

Kupitia Instagram, rapper huyo amepost picha hiyo chini na kuandika, “Times are hard out here, LMAO.”

11417491_881388911936507_930719482_n

Vyanzo: Pagesix, BBC News, Billb

Vanessa Mdee: BET Awards si za Waafrika, ni za Wamarekani

Posted: 14 Jul 2015 10:02 PM PDT

Vanessa Mdee amesema anawashangaa wasanii wa Tanzania na Afrika kwa ujumla wanaolalamika kuwaona wasanii wao wakipewa tuzo kabla ya show ya BET Awards.

Vanessa Mdee ambaye ni mmoja wa majaji wa tuzo hizo, amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa BET wanashindwa kuonesha jinsi wasanii wa Afrika wanavyokabidhiwa tuzo kutokana na sababu za kibiashara na wadhamini.

“Unajua watu wanasahau kama zile tuzo sio za waafrika, it’s for African American,” amesema Vanessa. “Halafu ujue wale sio kama Kili, labda Kili wanapewa three hours halafu wanaongezewa kama nusu saa au dakika 15 wakiwa wanaonyesha kwenye TV. Wale two hours it’s two hours, ikizidi inakatwa, so lazima wavute watu ambao wataongeza viewership nyingi,” ameongeza.

“Marekani network zinalipwa kwa viewership, ndio maana unaambiwa rate ya show fulani ni kubwa, wana-monitor watu wangapi wanatazama, wanaget more money kupitia watu wanaowatazama. Kwahiyo wanajaribu kuvuta Wamarekani zaidi. Sasa kitendo cha msanii wa Afrika, Marekani anawajua waafrika? Hawajui, so tukilalamika tunakosea, kwa sababu hiyo tuzo sio za kwetu. Ndio tunataka na sisi tuonekane but it’s not our show na huwaingizii hela na mpaka tufikie hapo tushukuru hata wametupa hicho kipengele.”

“Ukiaangalia hata Chris Brown tuzo yake haikugawiwa pale kwenye stage, ni kwamba alishinda viewerS choice award ndIO akaenda akapokea viewers na ile nyingine. Za Beyonce uliona hata mtu mmoja ameenda kupokea pale kwenye stage? No, hata za kwao ziligawiwa red carpet. Kuna tuzo nyingi ambazo zinagawiwa mwanzoni,” alisisitiza Vanessa.
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 1600 Amphitheatre Parkway, Mountain View, CA 94043, United States

Udaku Specially

unread,
Jul 16, 2015, 5:24:24 PM7/16/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


LINAH SANGA: Nimempata Mwanaume wa Ndoto zangu, Alinikuta Nikiwa kwenye Maumivu ya Mapenzi

Posted: 16 Jul 2015 02:13 PM PDT

Linah Sanga amedai kuwa amempata mwanaume aliyekuwa akimtafuta kwa muda mrefu na alikuja katika maisha yake muda aliokuwa ameumizwa kimapenzi.

Akizungumza na Bongo5 leo, Linah amesema mwanaume aliye naye kwa sasa ni mwanaume aliyekuja kumuokoa akiwa katika wakati mgumu wa kimapenzi.

“Kiukweli malengo yetu ni ndoa na wala haitachukua muda mrefu. Mungu akijalia mwakani,” amesema Linah. “Sasa hivi nataka ndoa mambo ya kuzini sitaki. Mimi sidhani kama ndoa ina ugumu wowote. Nataka sasa hivi kuwa wa halali kwa mtu mmoja na baadaye tupate watoto. Kwa jinsi tulivyoongea kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi, kwahiyo nafasi yangu ya kazi itakuwa pale pale. Na ninafikiri huyu ni mtu sahihi kwangu, ninafikiri ni mtu ambaye anaweza akawa mume wangu ndio maana nimekimbilia ndoa,” ameongeza.

“Amekuja kwangu kama mtu anayenipenda, ameona jinsi ninavyoumia kimapenzi. Kwahiyo huyu amekuja kama mtu mwenye nia, ni aina ya mwanaume ambaye nilikuwa namtafuta kwa muda mrefu na hatimaye amefika, sasa hivi nafurahi.”

Mwigizaji Vicent Kigosi ‘Ray’ Akana Kata Kata Kujichubua Ngozi yake...Asema Haya

Posted: 16 Jul 2015 02:03 PM PDT

Staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’ amekanusha madai kuwa anajichubua.

Ray ameiambia Bongo5 kuwa anasikitishwa na watu wanaodai kuwa anajichubua bila kujua kuwa mtu akiwa na maisha mazuri anaweza kubadilika.

“Kwanza sijichubui, tatizo unajua baadhi ya watanzania wengi, hawaelewi mimi sijichubui, ila maisha yamebadilika,” amesema.

“Unajua unapokuwa na maisha magumu ya kwanza, unaposhindwa kujikimu, kujinunulia nguo, yaani kufanya unachokitaka kwa muda unaoutaka, unakuwa mweusi kwa sababu huna hela ya kujikimu, sasa unapopata pesa kidogo ya kujikimu, unapokuwa na maisha mazuri , kwako kuna AC, kwenye gari yako kuna AC, hupati jua huwezi kuwa mweusi,” amesisitiza.

“Pia ukishakuwa star lazima muonekano wako uwe tofauti kidogo ili uwe tofauti kidogo. Hawa wanaoona mimi najichubua labla wanaona vibaya! Mimi sijichubui na waache waendelee kuzungumza kwa sababu mtanzania huwezi kumzuia kuzungumza.”

Bongo5

Shamsa Ford:Naomba USINITESE, USINIUMIZE NA USINILIZE, Kama Sina Thamani Yoyote Kwako Naomba Ukae Mbali na Mimi ....

Posted: 16 Jul 2015 01:56 PM PDT

Nina upendo kwa kila mtu bila ubaguzi, naishi maisha yangu halisi wala siigizi, nina huruma kwa kila mtu, sipendi ugomvi na mtu.

Nakuomba na wewe binadamu kabla hujafikilia kunibania riziki yangu kumbuka nina mtoto ambae anahitaji hiyo riziki.

Wewe binadamu kabla hujanifanyia ubaya wowote kumbuka nina mtoto ambaye kitamuumiza zaidi ya mimi coz furaha yake ni kumuona mama yake.

Wewe binadamu kabla ya kutaka kuniumiza na kutaka kunipa stress za kijinga naomba umfikilie mwanangu ambaye ananitegemea mimi.

Ukinipa stress nitashindwa kufanya kazi na mwanangu atakosa haki zake za msingi.

Naomba wewe binadamu USINITESE,USINIUMIZE,USINILIZE, kama sina thamani yoyote kwako naomba ukae mbali na mimi kuliko kuwa mnafiki kwangu au kwa ajili ya masilahi yako binafsi....

Shamsa Ford on instagram

Udaku Specially

unread,
Jul 17, 2015, 4:07:14 PM7/17/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Did you Send your Application to RAYC for marriage? She has Some Bad News For you

Posted: 17 Jul 2015 11:05 AM PDT

Two weeks ago, Ray C announced that she is looking for a husband and even went ahead to give 10 conditions that her future husband must meet.

Just when people thought that no man would be interested because of her conditions, over 500 men wrote to her expressing their desire to hook up with the Tanzanian artist.

But now, Ray C has bad news for all men because that was just a publicity stunt to help her dwindling fortunes.

According to Ray C, she will never marry a man she met online because she knows that God is the one who provides a suitable husband.

Mwanafunzi wa Feza Boys aliyeongoza Kitaifa Matokeo ya Kidato cha Sita Adai Matokeo Yame Msuprise Hakutegemea ...

Posted: 17 Jul 2015 11:00 AM PDT

Ramadhani Gembe mwanafunzi wa Feza boys aliyeongoza kitaifa matokeo ya kidato cha sita.

  • “Nilitegemea ningefaulu lakini siyo kwa kiwango hicho… hii ni ‘surprise’ (shtukizo),” alisema Gembe alipohojiwa na Mwananchi baada ya matokeo ya kidato cha sita kutangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa.
  • “Nawashukuru wazazi, walimu, ndugu na wanafunzi wenzangu kwa kunipa ushirikiano.Nilikuwa nafanya sana ibada hivyo haya matokeo ni juhudi binafsi na majibu ya Mungu,” alisema Ramadhani aliyesoma mchepuo wa fizikia, kemia na baiolojia (PCB).


Historia ya Ramadhani darasani si haba kwani mwaka 2008 alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyejiunga na shule ya vipaji maalumu ya Ilboru, Arusha akitokea shule ya Msingi Mombo na alipata daraja la kwanza akiwa na pointi 11 katika matokeo ya kidato cha nne.

  • “Siku zote kilichonifanya niongeze juhudi katika masomo yangu ni malengo ya baadaye... mimi nataka kuwa daktari wa binadamu hivyo sikutaka kulegalega kusoma.Pia, wazazi wangu pamoja na hali ngumu walijitahidi kunisaidia kimawazo, kirasilimali na kimaadili…naomba na wazazi wengine wawafanyie hivyo watoto wao,” alisema.

Baba Nurdin Gembe, ambaye ni mzazi wa Ramadhani, alisema familia imepokea kwa furaha matokeo hayo na kwamba alikuwa akiyategemea kuwa mazuri kutokana historia ya kijana wake katika madarasa ya nyuma.“Huyu mtoto namlea kawaida japo zamani alikuwa mtundu sana… ilibidi nimpe mafundisho mengi sana ya kidini bila kupoteza ratiba ya kusoma shuleni.Nashukuru kuwa alizingatia na amefika hapo alipofika,”alieleza Gembe ambaye ni bwana shamba kitaaluma.


Oh no! Woman's Menstrual Pad Falls Out During Live TV Show (pics

Posted: 17 Jul 2015 09:50 AM PDT

A singer named Patricia Navidad was performing on Live TV when her menstrual pad fell out during her live TV performance. And like a true professional, Patricia continue singing. What a nightmare! Watch the video after the cut...

Aliyesababisha WEMA SEPETU Kugombania Ubunge wa Viti Maalumu Singida Ajulikana

Posted: 17 Jul 2015 09:37 AM PDT

MADAM Wema Sepetu ameweka bayana kuwa mtu aliyemsukuma kujiingiza kwenye siasa ni marehemu baba yake, Abraham Sepetu.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Wema ambaye juzi alitarajiwa kuchukua fomu ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, alisema marehemu baba yake alimpa wazo hilo miaka mitano iliyopita.


  • “Marehemu baba aliniambia kwa nini usifanye siasa? Kwa nini usiwe kiongozi ambaye utawasaidia watu? Mwanzoni niliona ni vigumu lakini mwaka huu wa uchaguzi nimeona ni muafaka kwangu kuingia kwenye siasa,” alisema Wema.

Kwenye ubunge huo wa Viti Maalum mkoani Singida, Wema anatarajia kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) akiwania nafasi mbili ambazo kwa sasa zinatetewa na Martha Mlata na Diana Chilolo.
Wema ambaye amefanya mambo mengi ya kijamii mkoani humo kabla ya kupata wazo la kuwania kiti hicho, ametajwa kuwa miongoni mwa wagombea watarajiwa waliopania kutatua matatizo mbalimbali yanayowakabili wanawake wa Singida.

Picha Kutoka Msibani Nyumbani kwa Akina Banza Stone Sinza Dar…

Posted: 17 Jul 2015 09:30 AM PDT

Kulikuwa na stori ya uzushi mitandaoni na June 24 nikamfata nyumbani kwao Sinza na kwenye majibu yake kulikuwa na hiki ambacho nilimnukuu pia >>>> ‘Sio mara ya kwanza kuzushiwa kifo, nasikia mara watu oooh banza kafa, mara ooh kila mtu anaongea lake ila mimi niko poa ni mzima… naweza kufanya kazi ila kwa sasa siko tayari kufanya kazi kwani nitauchosha mwili wangu
Screen_Shot_2015-06-24_at_10.34.33_PM1
Marehemu Banza Stone
Hiyo haikuwa mara ya kwanza Banza Stone kuzushiwa kifo.. muda mfupi baadae ikaja taarifa nyingine kwamba mwimbaji huyo ambaye alikuwa ni legend wa Muziki wa dansi Tanzania amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala Dar baada ya hali yake kuwa mbaya.
unnamed iv
Leo imetufikia nyingine, ni majonzi kwa kila mtu iliyemfikia taarifa hii, Banza Stoneamefariki na hizi ni picha kutoka msibani, nyumbani kwa akina Banza Stone maeneo ya Sinza Kijiweni Dar es Salaam
unnamed v
unnamed vi
Mkurugenzi wa African Stars, Asha Baraka akiwa msibani. Banza aliwahi kuwa mwimbaji wa Bendi hiyo kwa kipindi kirefu sana.

unnamed

unnamedI

unnamedII

unnamedvi
unnamedvii
SOURCE:MILLARD AYO

Anayedai Kuwa ni Wifi wa Zari Kwa Diamond Azuiwa Getini Kwa Diamond....

Posted: 17 Jul 2015 07:57 AM PDT

Mrembo aliyedai ni dada wa hiyari wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ aliyejitambulisha kwa jina moja la Rose akijiita wifi wa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, hivi karibuni ameumia kupita maelezo baada ya kuzuiwa kuingia nyumbani kwa mastaa hao, Ijumaa lina mkanda mzima.
Rose ambaye ni ‘msichana wa mujini’ alijikuta akitiliwa ngumu na mlinzi nyumbani kwa Diamond maeneo ya Tegeta-Madale, Dar ambapo alikwenda kumuona Zari baada ya kusikia yupo Bongo.

Mlinzi akiwakatalia kuingia ndani.
Kwa mujibu wa Rose, kabla ya Diamond kuwa na uhusiano na Zari walikuwa wapo vizuri lakini baada ya kuwa na mama kijacho huyo, hajawahi kumuona na amekuwa akitamani waonane laivu bila mafanikio.

“Zari ni wifi yangu kwa Diamond (bila kufafanua uwifi kivipi). Pia napenda sana kazi za Diamond lakini tangu waanzishe uhusiano kila ninavyojitahidi niwaone inakuwa ngumu. Ningepata msaada wa kuwaona ningefurahi.
“Nilijaribu kuomba msaada kwa kaka mmoja ambaye ni rafiki wa Diamond lakini akaniambia Zari akiwepo pale nyumbani kwa Diamond hasa kipindi hiki ambacho ni mjamzito, ni ngumu mtu yeyote kuingia,” alisema mrembo huyo.
Ijumaa laamua kumpeleka

Baada ya kushindikana kumuona wifi yake amabaye ni ‘Zari’, Rose aliamua kurudi nyumbani.
Katika kuhakikisha kama alichokuwa akikisema kina ukweli, mmoja wa waandishi wa gazeti hili juzi Jumatano aliamua kumsindikiza Rose hadi nyumbani kwa staa huyo lakini katika hali ya kushangaza, mlinzi binafsi aliyekutwa aliweka ngumu kumfungulia mlango mdada huyo.
“Wewe kama unasema Diamond ni kaka yako na Zari ni wifi yako, ungewapigia simu kabla ya kuja, siwezi kuwafungulia geti,” alisema mlinzi huyo.
Rose: Lakini kaka ungenisaidia tu nikaingia ndani, Diamond akiniona hawezi kunizuia.
Mlinzi: Haiwezekani, tena naomba muondoke.
Kufuatia kuwekewa ngumu huko, mdada huyo aliondoka eneo hilo huku akiwa amenyong’onyea ambapo wakati hayo yote yakiendelea, mmoja wa mapaparazi wetu alikuwa akipiga picha kwa simu ya mkononi.

Kumbe ulinzi mkali
Baada ya dada huyo kutokubaliwa kuingia ndani ya nyumba ya Diamond licha ya kudai ni wifi wa Zari, Ijumaa lilizungumza na baadhi ya watu wanaoishi eneo hilo ambapo walisema ni ngumu sana kupenya kuingia ndani ya mjengo huo.
“Pale bwana wapo wengi wanakuja na kudai ni ndugu wa Diamond lakini wanaishia nje na kuondoka, bila taarifa mlinzi hawezi kukufungulia geti, kwa hiyo kuzuiwa kwa huyo anayedai ni wifi wa Zari siyo ishu,” alisema kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Shebe.

DIAMOND ANAMJUA?
Kama kawaida yake ya kutoa ujumbe upande mmoja na kupeleka upande wa pili ili kupata mzani, ‘kijumbe’ wa gazeti hili alimtafuta Diamond kwa mahewa akiwa kwenye ‘pipa’ kuelekea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ ambapo alijibu kwa kifupi: “Nimekwambia simjui huyo dada.”

SIYO ROSE PEKEE
Mbali na Queen Darleen na Esma ambao ni dada zake wa ukweli wanaofahamika, wapo wasichana wengine kibao mjini ambao nao hudai ni dada zake wa hiari ambapo ukimwacha Rose pia yumo Halima Haroun ‘Kimwana’ ambaye hata Zari anamuita wifi licha ya kwamba hana undugu na Diamond.
DIAMOND K
ULAMBA TUZO
Wakati hayo yakiendelea, wikiendi hii Diamond anatarajiwa kulamba tuzo zinazofanyika Sauzi za MTV Music (Mama) baada ya kuteuliwa kuwania Vipengele vya Msanii Bora wa Kiume Afrika, Mtumbuizaji Bora wa Kiume Afrika na Wimbo Bora wa Kushirikiana Afrika.

KILA LA HERI DIAMOND
Dawati la Ijumaa linamtakia Diamond kila la heri ili ailetee heshima Tanzania katika anga la muziki wa Bongo Fleva. -Mhariri.

Lowassa KUKATWA: Nape Amjibu Kingunge.......Amtaka Afanye Lolote Analotaka

Posted: 17 Jul 2015 07:52 AM PDT

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka mwanasiasa mkongwe, Kingunge-Ngombale Mwiru kufanya anachotaka kufanya.

Juzi Kingunge alijitokeza hadharani na kuzungumzia na waandishi wa habari huku akiwaambia kwamba kilichofanywa na CCM katika kumpata mgombea wa urais, Dk. John Magufuli ni haramu.

Dalili ya CCM kupasuka vipande zimeanza kuonekana dhahiri, baada ya Kingunge kujitokeza hadharani kupingana na maamuzi yote yaliyofanywa hususani kukata jina la Edward Lowassa katika hatua za mwanzo za kuteua mgombea urais.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (pichani), akizungumza na mtandao huu jana kuhusu tuhuma zilitolewa na Kingunge ambaye kadi yake ya uanachama ni namba nane, alijibu kwa kifupi kwamba afanye anachotaka kufanya na kwamba hana maoni zaidi.

“Sina Comment (maoni) wewe unataka niseme nini? kaandike hivyo nilivyosema kwa sababu na mimi ni mwandishi na nilishawahi kuwa mhariri kwa hiyo najua,” alisema na kukata simu.

Chama hicho tawala kilimteua Dk. John Magufuli na Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wake mwenza kupeperusha bendera yake katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwakani.

Jumla ya watia nia 38 majina yao yaliingia katika vikao vya awali, lakini waliovuta kuingia tano bora ni Magufuli, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Amina Salum Ali, Januari Makamba na Bernard Membe.

Hata hivyo, Halmashauri Kuu (NEC) iliwachuja Makamba na Membe na kuwabakiza Magufuli, Amina na Migiro kisha Magufuli kuibuka mshindi

Msanii Ester Kiama Amwaga Machozi baada ya Kudaiwa ana UKIMWI

Posted: 17 Jul 2015 07:49 AM PDT

Msanii anayekuja kwa kasi katika anga la filamu, Ester Kiama amejikuta akiangua kilio kufuatia madai yanayoenezwa kuwa ana ‘ngoma’.

Taarifa ya ‘kuungua’ kwa staa huyo zimekuwa zikisambaa kama moto wa kifuu kwenye mitandao ya kijamii huku mwenyewe akidai anasingiziwa na hivyo juzi kati akaamua kwenda kupima.

“Hizi habari kwamba nina ngoma zimekuwa zikienea sana na hakuna kitu kibaya kama kumnyooshea mwenzako kidole bila kuwa na uhakika na unachokisema. Nakumbuka mara ya kwanza kuna mwanamke aliandika mtandaoni kuwa nimeathirika hivyo Dude ajihadhari.

“Niliumia sana lakini ili kuwakomoa nikaenda kupima na majibu yakaonesha niko safi, nikajikuta nalia sana, si unajua inavyouma kusingizwa kitu? Sasa ili kuwakata kilimilimi hao wanaonizushia, majibu haya nitayabandika mtandaoni pia,” alisema Ester.

Baada ya Lowassa KUKATWA........Vijana 30 wa CCM-Vyuo Kikuu Wahama na Kujiunga na CHADEMA

Posted: 17 Jul 2015 07:46 AM PDT

VIJANA takribani 30 wa vyuo vikuu ambao ni wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), jana  wamesalimisha kadi zao za CCM katika tawi la Chadema lililopo Mwananyamala, jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa hawakuridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea wa urais wa CCM.

Vijana hao wa vyuo vikuu mbalimbali waliokuwa wakiimba wimbo wa tunaimani na Lowassa wamekabidhi kadi zao za CCM kwa Kaimu Mwenyekiti wa Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni ya Chadema, Bi. Esther Semaja na kukabidhiwa kadi za uanachama wa Chadema.

Picha: Wema Sepetu Akichukua Fomu za Ubunge Mkoani Singida

Posted: 17 Jul 2015 07:44 AM PDT

Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na team yake alipokuwa mkoani Singida akichukua fomu kwenye ofisi za chama cha mapinduzi (CCM).

Wema anawania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kupitia jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ya chama hicho.

Madiwani kwa Lowassa wasusa.....Kata zao zakosa Wagombea, Wasema Wanasubiri Tamko la Lowassa

Posted: 17 Jul 2015 07:37 AM PDT

Kasi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuomba nafasi za udiwani na ubunge katika Jimbo la Monduli, inasuasua na tayari chama hicho kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Siasa kitakachokutana leo kukuna vichwa kutafuta ufumbuzi wa hali hiyo.

Katibu wa CCM Wilaya ya Monduli, Elisante Kimaro, alisema jana kuwa kusuasua kwa wanachama kuchukua fomu za kuomba kugombea nafasi hizo kunatokana na kushuka kwa morali ya wanachama baada ya Mbunge wa zamani, Edward Lowassa, aliyekuwa akiwania kuteuliwa na chama chake kugombea urais, kukatwa jina lake.

“Zoezi la uchukuaji wa fomu za udiwani linasuasua, lilianza juzi na siku ya mwisho ni Julai 19, mwaka huu saa 10 jioni.

“Zoezi hili ni gumu sana, hata hivyo bado ni mapema sana kutoa taarifa, lakini morali ya wanachama kuchukua fomu za kuomba kugombea imepungua,” alisema.

Alisema ameitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Siasa chenye wajumbe 16 kuzungumzia suala hilo ili kwa pamoja wahamasishe wanachama kugombea.

“Tunawahimiza wanachama wajitokeze kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo,” alisema na kuongeza: “Hili jimbo ni ngome ya CCM na wala sina shaka na hilo.”

Alisema kusuasua huko kunatokana na baadhi ya madiwani waliomaliza muda wao kufanya propaganda ya kuwazuia wanachama kwenda kuchukua fomu kwa madai kwamba wasubiri kwanza kauli ya mbunge wao.

“Baadhi ya madiwani wa zamani wanatengeneza propaganda, hawa ni madiwani wale ambao hawakubaliki katika kata zao…wanawahamasisha watu wasichukue fomu kwa kigezo kwamba wasubiri kauli ya Mbunge Lowassa, jambo ambalo siyo kweli," alisema.

Aliongeza: “Lowassa hajawahi kufanya kitu kama hicho cha kuwaambia wanachama wasichukue fomu hadi atakapotoa kauli yake…jana (juzi), alikuja hapa Monduli kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, hakutamka lolote, alisema tu hana la kusema.”

Alisema watu hao wanatumia mgongo wa Lowassa kueneza propaganda.

Alisema kwa upande wa ubunge hadi sasa amejitokeza mwanachama mmoja tu, Mbayani Tayayi, aliyechukua fomu yake jana saa 4:00 asubuhi, wakati kwa upande wa udiwani waliochukua fomu ni mwanachama mmoja mmoja katika kata za Mswakini, Lepurko na Engutoto.

Pamoja na kusuasua huko, Kimaro alisema atahakikisha kata zote 20 zinapata wagombea wa udiwani na kumpata mgombea ubunge.

Alizitaja kata hizo kuwa Engaruka, Engutoto, Esilalei, Lepurko, Loksale, Majengo, Makuyuni, Meserani, Nalalani, Lemooti, Moita, Monduli Juu, Monduli Mjini, Mfereji, Mswakini, Mto wa Mbu, Migungani, Selela, Sepeko na Lashaini.

Alisema tangu kumalizika kwa mchakato kupata mgombea ndani ya chama hicho Julai 12, mwaka huu, mjini Dodoma ambapo jina la Lowassa lilikatwa katika mazingira ya kutatanisha, kumekuwa na maneno mengi yakisambaa kwenye mitandano ya kijamii kwamba Lowassa anakihama chama hicho.

“Hizi habari si za kweli, bado tuna imani na Lowassa,” alisema.

Alisema mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama hicho tayari umemalizika kwa kumpata mgombea wake, Dk. John Magufuli.

Hali ilivyo:
Baadhi ya wakazi mjini Monduli walisema kitendo cha kuenguliwa kwa mbunge wake katika kinyang’anyiro cha urais, kimewavunja moyo kwa maelezo kuwa utaratibu haukufanyika kwa haki.

Walisema wanahamasishana kuwapigia kura wagombea watakaosimamishwa na vyama vya upinzani wakidai CCM imefia mikononi mwa Mwenyekiti wao wa Taifa.

Katika kituo cha mabasi cha Monduli, wapiga debe walikuwa wakiwataka abiria ambao ni wanachama wa Chadema kuingia daladala za Arusha zilizopo kituoni hapo huku wakiwataka abiria ambao ni wanachama wa CCM kwenda kusubiri magari yao (mashangingi) yaliyopo eneo la CCM.

Wiki iliyopita, CCM walifanya vikao vya uteuzi wa mgombea wao.

Chama hicho kilimteua Dk. John Magufuli kwa asilimia 87.1 na Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mwenza ili kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Hatunae Tena Mwanamuziki Banza Stone, Afariki Dunia Leo Mchana

Posted: 17 Jul 2015 07:16 AM PDT

Muimbaji wa muziki wa dansi aliyewahi kutamba akiwa na bendi mbalimbali zikiwemo Twanga Pepeta na TOT Band, Ramadhan Masanja maarufu kama Banza Stone amefariki dunia mchana wa Ijumaa, July 17.

Banza alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Taarifa kuhusu kifo chake zimethibitishwa na kaka yake pamoja na mmiliki wa Twanga Pepeta, Asha Baraka. Kwa mujibu wa kaka yake, Jabir Masanja, msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na fangasi kichwani mwake na dawa alizokuwa anatumia zilikuwa kali kiasi cha kumpotezea hamu ya kula.

Hivi karibuni mama yake mzazi aliongea na kituo cha redio cha EFM na kukiambia kuwa afya ya mwanae ilizidi kuzorota na alianza kugoma kula chakula wala kunywa kunywa dawa. Mama huyo alisema hadi siku hiyo Banza alikuwa amegoma kula kwa siku tatu mfululizo. AliongeZa kuwa pamoja na kuugua hivyo bado wasanii wenzake walishindwa kwenda kumjulia hali.

“Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote aliyekuja kumshughulikia na kumwangalia, wamemwacha hivi hivi. Na mimi siwezi kuwalaumu kwanini hamjaja kumwangalia, kila mtu na moyo wake, mwenye kuja atakuja, mimi ntahangaika na mtoto wangu mpaka pale atakapoamua mwenyezi Mungu,” alisema Mama Banza.

Kabla ya hapo muimbaji huyo alizushiwa kufariki mara nyingi. Wiki chache zilizopita Banza alimongea na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM kukanusha.

“Ndio naumwa kichwa kina nisumbua sana lakini sasa hivi naendelea vizuri yaani hizo habari za kuzushiwa kifo naona sasa hivi kwangu sijui hata itakuwa mara ya ngapi, maana nimeshazushiwa sana. Mimi mzima na huyo anayeeneza azunguke na mikoa mingine aeneze vizuri,” alisema Banza.

“Lakini mimi nipo nyumbani hapa Sinza kwa Mama yangu sasa hivi hapa napata juice yaani marehumu anaongea,” aliongeza Banza kwa kicheko.

“Inshallah nikiwa vizuri mashabiki wangu wataniona tu lakini nipo mzima.”

Msiba upo nyumbani kwao Sinza, Dar es Salaam. Kwa wale wanaopenda kuchangia msiba wake wanaweza kumchangia kwa kutumia namba: 0715407088 au 0753786016.

Mungu ailaze mahali pema peponi. Amen.

KIM Kardashian Achafuka Tena, Video Nyingine Akifanya Ngono na Mwanaume yazangaa Mitandaoni

Posted: 16 Jul 2015 10:26 PM PDT

Los Angeles , Marekani
MTANGAZAJI maarufu wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian amezidi kuchafuka baada ya video yake nyingine aliyorekodi akifanya ngono kuzagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.

Video hiyo inamuonesha Kim akifanya ngono na mwanaume ambaye hakuweza kufahamika jina lake lakini kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari Marekani vinadai si mumewe, Kanye West.

Hiyo inakuwa video ya pili kwa mwanadada huyo ikimuonesha akifanya ngono baada ya ile ya awali ambayo alijirekodi akiwa na ‘Ex-boyfriend’ wake Ray J.

Mchezaji Mwingine wa Tanzania Ala Shavu Kubwa South Africa..Apewa Mshahara wa Dola 5000 kwa Mwezi

Posted: 16 Jul 2015 09:23 PM PDT

Tumetoka kushuhudia mchezaji Singano akisaidi mkataba na Azam F.C na kuanza kulipwa mshahara wa Tsh millioni mbili kwa mwezi. Huyu hapa ni mchezaji mwingine wa Tanzania ambae amesaini mkataba na club ya South Africa inaitwa Jomo Cosmos kwa mshahara wa $5000 kwa mwezi baada ya kukatwa kodi.

Taarifa hii exclusive imeinifikia kutoka kwenye vyanzo vya uhakika japokua signing fee imegomwa kutajwa. Mchezaji mwenyewe ni Uhuru Suleimani ambae amewai kucheza kwenye club za Mwadui F.C, Coastal Union, Mtibwa na Simba. Club hii imepanda ligi kuu maarufu kama PSL, so atacheza na wakina Ngassa.All the best na hizi ni picha ambazo nimezipata kwa ajili yako.

JOYCE KIRIA: Jamani Tumsaidieni MANGE KIMAMBI Mwanaharakati Aliyethubutu Kujitosa Mithili ya Swala Katikati ya Msitu Ulojaa Simba Wenye Njaa, Mpiganaji wa kweli Aliyejaaliwa Kipawa cha Kusema Bila Kumung'unya

Posted: 16 Jul 2015 09:11 PM PDT

‪#TAHADHARI‬! Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Jeshi la Polisi, Tanzania Human Rights Defenders, Tawla, Wlac, Legal Human Right Center, Wildaf, Tume ya Haki za Binadam, Tamwa, Tgnp, Wananzania wote wapenda Maendeleo ya Halali, msaidieni huyu Mwanaharakati aliyethubutu Kujitosa mithili ya Swala katikati ya msitu ulojaa Simba wenye njaa, Mpiganaji wa kweli aliyejaaliwa Kipawa cha kusema bila kumumunya, ambae amejitokeza kupigania Haki za Binadamu kwa kupiga vita Madawa ya kulevya nchini mwetu!!

Kiukweli @mangekimambi_ Amejitosa upande ambao wengi wetu tunaojiita "Wanaharakati" tumeufumbia macho na tunaogopaaaaa kuwanyooshea vidole wanaohusika kwenye mtandao huo 🙌 Ila huyu Bi @mangekimambi_ Ni mtanzania pekee alieamua kujitoa Sadaka kwa ajili ya Watanzania wenzake hususan vijana wanaoangamia kwa kubwia unga au madawa ya kulevya kila kukicha....
Huyu @mangekimambi_ naona ana uthubutu wa hali ya juu mno katika kukemea maswala mbalimbali kwa maslahi ya wengi hasa Taifa likiwepo la madawa ya Kulevya, na hivyo kuhatarisha uhai wake. Kwa sasa ametangaza kutishiwa Uhai kwenye accont yake ya Insta kwamba kashikiwa BASTOLA jambo ambalo halipaswi kufumbiwa macho kabisa...

Kama kweli tunaipenda nchi yetu basi ni wakati wa kuwalinda Wanaharakati wanaojitokeza kuokoa kizazi cha vijana na Taifa hasa pale wanapojaribu kukemea uovu na kukumbwa na changamoto kubwa kama hiyo ya kutishiwa kuondolewa Uhai wao... Tusisubiri mtu auliwe ndo tuanze kutoa salam za pole bali tuchukue Tahadhari mapema...

Binafsi Nikijaribu kuvaa viatu vya kina RayC, Banza, na wengine wengi nadata na nazidi kukuombea Bi @mangekimambi_ Mungu akulinde kwenye hayo Mapambano maana yeye pekee ndo Mtetezi na Mtenda Haki Milele...
Nimeumizwa sanaaaaaa ila ndo ivo nchi hii tunawatukuza wanaopata pesa kwa kuangamiza watu wengine

Habari Kuhusu Blogger Maarufu Mange Kimambi Kukamatwa na Kutiwa Rumande

Posted: 16 Jul 2015 02:47 PM PDT

Kutoka Instagram:

Mrekebishatabia: Habari nyingine, blogger maarufu Mange Kimambi amekamatwa na kupelekwa rumande. Watu walikua wakimfuatilia mpaka alipoenda kuchukua fomu ya kugombea viti maalumu jimbo la Ubungo ndipo akakamatwa, Anasubiri Kufikishwa Mahakamani Wakati Wowote. Tutajua zaidi kwanini amekamatwa! 2h

Lemutuz_nation: OK guys so far nimerpoti the TRUTH and FACTS on ishu ya Mange na mpaka sasa kuna Watu wengine maarufu 2 zaidi waliojitokeza kumfungulia mashitaka so sasa wanafikia 4......NOW BADO I AM TRYING TO DIGGEST ALL THESE nilienda Polisi mwenyewe kupata Ukweli na walinipa ruhusa ya kumuona ila sikujisikia kumuona BUT ANYTIME FROM KESHO NITASEMA NENO ON HER ISHU.....kama kawaida I AM THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK hii habari ni my territory so NI WAJIBU WANGU KUTIA NENO AND TRUST ME THAT KESHO I WILL U KNOW TENA ON MY TIME NITAWEKA NENOZZZ so stay tuned!

Lemutuz_nation: Hapa ulikuwa MCHANA Mange alipokwenda kuchukua fomu ya Ubunge WA Kinondoni akiwa na kaka yake kulia Tawi LA CCM Mkwajuni Kinondoni.kumbe Nje kulikuwa na Polisi Mmoja wa Kiume na mwingine wa Kike waliokuwa wakimsubiri na Mtu mwingine anayedhaniwa kuwa ni kutoka Usalama wa Taifa...baada ya kumaliza kuchukua fomu tu akakutana na hawa watu 3 wakamuamuru aongoze Makao Makuu ya Polisi ambako alikaa kwa muda na kuelekea Polisi Osterbay ambako anashikiliwa mpaka sasa...TAYARI WATU WAWILI MAARUFU WAMESHAMFUNGULIA KESI MPAKA SASA SAA TANO KAMILI YA USIKU MWANAMKE MMOJA NA MWANAUME MMOJA MUME WA MTU MAARUFU SANA HAPA MJINI...pia juhudi za kumtoa kwa dhamana zinaendelea kwa nguvu kubwa sana.....BINAFSI BADO SINA LA KUSEMA HOWEVER SOON NITASEMA SOMETHING ABOUT THIS ISHU.....stay tuned! - le Mutuz
Read more at http://websta.me/n/lemutuz_nation#vlitRaJRkJkKTdU5.99

Wakenya kumpokea Obama wakiwa uchi ?

Posted: 16 Jul 2015 02:39 PM PDT

Kundi la Wakenya, limejiapiza kumkaribisha rais wa Marekani, Barack Obama, nchini kwao wakiwa hawajavaa nguo ili kuonesha kuwa hawajakubaliana na kitendo cha kuruhusu mapenzi ya jinsia moja.

Obama anatarajiwa kutembelea Kenya kwa mara ya kwanza tangu kuwa rais na kutegemea kuwa na mkutano na wafanyabiashara kuanzia Julai 24-26 mwaka huu.

Kwa mujibu wa barua iliyosambazwa na kundi hilo la wakenya, imedai kuwa watafanya maandamano ya amani jijini Nairobi, Julai 22 na 23 mwaka huu kuanzia Uhuru kona.

Wamedai kuwa maandamano hayo yatafanywa na wanawake pia wanaume takriban 5,000 wakiwa watupu bila nguo yoyote kupinga Umoja wa nchi za Amerika kupitisha sheria ya mashoga kutambuliwa kisheria.

Wamesema lengo kuu la maandamano wakiwa uchi ni kumuonesha na kuelewesha rais Obama, utofauti uliopo kati ya wanawake na wanaume.

Wiki iliyopita, Wakenya hao walienda katika mitaa kuandamana wakimuonya rais Obama, kutothubutu kuzungumzia suala la haki za mashoga kwenye ziara yake ya kutembelea nchi hiyo.

Mbunge Charles Njagagua, pia aliwataka wabunge kumfukuza Obama, nje ya Bunge mara moja akigusia haki za mashoga.

Naye Makamu wa rais nchini Kenya, William Ruto, hivi karibuni alinukuliwa na vyombo vya habari akiwaambia wananchi wake kuwa wamesikia kuwa Marekani wameruhusu uhusiano wa mashoga na mambo mengine yasiyo na maadili na kuwataka viongozi wa dini kutetea nchi yao na kusimamia imani ya nchi yao.

Utendaji wa Magufuli na Mfano wa Msichana wa Kazi za Ndani...

Posted: 16 Jul 2015 02:38 PM PDT

Kuna wanaume wengi sana walio wahi kuoa wasichana wao wa kazi (house girl) sio kwamba wanaume hao wanaamua kuwaoa wafanyakazi wao wa ndani bila sababu, sababu kubwa kabisa huwa ni kuvutiwa kwa uchapa kazi wao, utiifu nidham na heshima ambazo huonyesha mbele ya mabosi wao.

Unakuta mfanyakazi huyo wa ndani anafanya mambo Makubwa hata kumzidi mke ambae hajui watoto wamekula au hawajala, wanaumwa ama la.

Kwa vile wanaume wengi huvutiwa na tabia hizi za kujituma wakati mwingine hupelekea mwanaume kuanza mahusiano ya kimapenzi na mfanyakazi wake ambae humjali kwa kila kitu hapo nyumbani, mapenzi yakikolea mwanaume wakati mwingine huchukua maamuzi ya kufunga ndoa na mfanyakazi wake.

Lakini bahati mbaya kabisa mwanamke huyu baada ya kuolewa huanza kuziacha zile tabia ambazo ndo zilizomvutia mwanaume mpaka akafikia maamuzi ya kumuoa, majuto makubwa hufuata kwa mwanaume kwakuwa huwa hana uwezo tena wa kuachana nae.

Ninavyo fikiri mimi, kila kiongozi wa ngazi ya juu huwa tunamchagua kwa kuvutiwa na sera zake lakini baada ya muda mfupi huwa tunajuta na kuanza kujilaumu kwa uchaguzi wetu.

Swali, je? Tukimpa nchi Magufuli ataendelea na uchapa kazi wake au atabweteka baada ya kuwa rais?

DIAMOND NA DAVIDO Wakutana Tena Laivu Huko South AFRICA...Hichi ndio Kilitokea Baada ya Kuonana

Posted: 16 Jul 2015 02:26 PM PDT

Imekuwa story ambayo kiukweli kwa mtu anayefuatilia muziki haitaji hata kusimuliwa kilichokuwa kinaendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja kati ya Davido na Diamond Platnumz ambao ilidaiwa kwamba wameingia kwenye beef au kutoelewana.

Ukaribu wa mastaa hao wawili ulizaliwa baada ya collabo ya My Number One Remix, baadae mambo yakageuka, kukawa na kama uhusiano mbaya na kila kitu kilikuwa kikibebwa na story za mitandaoni hasa Facebook na Instagram, mashabiki kwa upande mwingine huenda ndio waliohusika pia kuifanya ishu kuwa kubwa zaidi.

Davido aliwahi kupost picha ya Bendera ya TZ alafu akaweka alama ya love.. leo Meneja wa Diamond Platnumz, Hamis Taletale aka Babu Tale amepost picha inayowaonesha wakiwa pamoja, Diamond, Davido, na Mameneja wa Daimond, Salam na Babu Tale mwenyewe.

Pia Davido alipost picha akiwa na mastaa wengine pamoja na Diamond Platnumz kama inavyoonekana hapa chini na kuandika with my ni*** na akamention Diamond kwenye Instagram.

Udaku Specially

unread,
Jul 18, 2015, 4:40:39 PM7/18/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Tuzo ya BEST LIVE MTV Awards Yachukuliwa na Diamiond Toka Tanzania....

Posted: 18 Jul 2015 12:47 PM PDT

Mambo yameanza Vizuri Huko South Africa Kwenye Tuzo za MTV Base...Tuzo ya BEST LIVE MTV Awards Yachukuliwa na Diamiond Toka Tanzania....Hongera

Diamond Platnumz Akutana Na Mwanamuziki NE-YO..Wapiga Stori ...Navyomjua Diamond ni Mzee wa Fursa...Hapo Tegemea Kitu

Posted: 18 Jul 2015 11:46 AM PDT

Haya sasa! Ne-yo na Diamond washakutana huko... Na kama tunavyomjua Diamond ni mzee wa Fursa... tutegemee kitu kikubwa kuanzia sasa..

Natamani kila Mwanamuziki hapa Tz awe inspired na mafanikio ya Diamond tupate hata wasanii 20 watakaowakilisha Tz ili tuje tuidominate Africa kimuziki maana inawezekana, kama vile 2face na Psquare walivyotengeneza njia ya Muziki wa Nigeria kuiteka Africa basi hata Sisi tutafika huko na hii ni kama tu tutasupport wanamuziki wanaofanya Vizuri nyumbani.

SHAME! Pastor THOMAS WAHOME Accused of Sending Nud3s PHOTOs to Married Women.

Posted: 18 Jul 2015 10:22 AM PDT

Controversial city preacher, Thomas Wahome of Salvation Healing Ministries, has been accused of sending nUd3 photos to married women on  a  WhatsApp  Group meant for his church members only.

Apparently, the scandalous Pastor has been sending photos of his man-hood to married women in his church while bragging about how he is powerful in bed.

Some female members of his church also claim that he has been sending  them explicit text messages as he solicits for s3x.

Others say that Wahome has been demanding for money to perform miracles through the WhatsApp group dubbed, “Helicopter of Christ Ministries.”

“Pastor has been asking us to send him Ksh 10,000 so that he can tell us whether our names are in the Book of Life. He is even sending n()d3 photos to married women” A member of his church said.

When reached for a comment, the notorious pastor claimed that he had exited the group and those saying that he is sending nUd3 photos to women are just tarnishing his name.

In the past, Wahome has been caught in many scandals ranging from sleeping with prostitutes to performing fake miracles.

Makundi yanayomuunga mkono Lowassa yamiminika UKAWA.......Wadai wana kura milioni 10

Posted: 18 Jul 2015 10:13 AM PDT

MAKUNDI yanayomuunga mkono Waziri Mkuu Edward Lowassa yametangaza kutokiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kuhamishia kampeni zake kwa mgombea urais atakayesimamsihwa na vyama vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa).

Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam, viongozi wa makundi hayo ambayo ni pamoja na Four U Movement, Lowassa for Presidency, Shirikisho la Walimu, Madereva wa bodaboda na Temeke Jogging na Youth Movement walisema wamekasirishwa na ukiukwaji wa kanuni katika vikao vya CCM.

Akizungumzia hatua hiyo, kiongozi wa Four U, Hemed Ali alisema kwa kuwa wameshindwa kupata mabadiliko ndani ya CCM wanakwenda kuyatafuta Ukawa.


  • “Tunatangaza rasmi kama vijana tuliokuwa tunamuunga mkono Lowassa, sasa tunaunga mkono Umoja wa Katiba ya Wananchi yaani Ukawa,” alisema Hemed.


  Wakati mkutano huo ukiendelea vijana wa makundi hayo walikuwa wakishangilia na kuonyesha nembo za Chadema.

Mapema wiki hii vinaja wengine zaidi ya 40 wa kundi la Four U movement, walirudisha kadi za CCM na kuchukua kadi za Chadema katika ofisi za wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam

Mtangazaji Maimatha Kuwashitaki Timu Wema...Adai Amechoka na Sasa Anakula Nao Sahani Moja

Posted: 18 Jul 2015 10:11 AM PDT

Mtangazaji maarufu ambaye siku chache zilizopita amejiunga na Azam Tv, Maimartha Jesse amewafikisha wafuasi wa Wema Sepetu wanaojulikana kwa jina la ‘Team (Timu) Wema’  kwa mwanasheria wake kutokana na kuendelea na tabia yao ya kumtukana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
 
“Nimechoka na ninaapa kwamba nitakula nao sahani moja kwani mpaka sasa nimeshagundua kuwa kuna mmoja yupo Malaysia na mwingine India huku waliobaki wako hapahapa Dar hivyo mwanasheria wangu anaendelea kulifanyia kazi hilo kwani wanaendelea kunitukana kila kukicha,” amesema Maimartha.

WEMA SEPETU Yamshinda Amwangukia KAJALA na Kutaka Wayamalize

Posted: 18 Jul 2015 10:06 AM PDT

Msanii wa filamu nchini na Mkurugenzi wa Endless Fame Production, Wema Sepetu, amedai kuwa yupo tayari kumaliza bifu lake na msanii mwenzake Kajala Masanja, baada ya kutokuwa katika maelewano mazuri kwa muda mrefu.

Bifu hilo lilichukua sura mpya ambapo Wema, alikataa kabisa kumsamehe mwanadada Kajala, na kujiapiza kuwa kamwe hawezi kumsamehe licha ya Kajala kutaka kumaliza tofauti hizo.

Wema amesema kuwa hakuna mwanadamu asiye na mapungufu na kumtaka Kajala  kuonana naye na kumaliza tofauti zao kwani nafsi yake imeshamsamehe na imemuongoza kufanya hivyo.

Amedai kuwa kila jambo lina mwisho wake, hivyo amekaa chini na kufikia uamuzi huo ambao anaamini kabisa hapa duniani hakuna mtu asiyekuwa na moyo wa huruma na kusema kuwa hana budi kuyapuuza yaliyopita.
 

Amesema kuwa hana tatizo na Kajala, na kutaka watu kuamini kuwa amejitolea kumaliza tofauti hizo na kudai kuwa yupo radhi kukutana naye sehemu yoyote kuongea ili wale wasiomuamini wapate kuamini.

Kwa upande wa Kajala, amedai kuwa anashukuru kusikia hivyo na kudai kuwa hana tatizo na mtu na kumshukuru Wema, kwa uamuzi wake kwani alijitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kuwa wanamaliza tofauti zao kwa njia mbalimbali lakini alikataa.

“Nimekuwa nikipigania hilo kila kukicha, sasa naamini Mungu atakuwa amesikia kilio changu kwa mara nyingine, napenda kusema sina tatizo lolote katika hilo,” alisema Kajala.

Kamanda wa Al Shabaab Aliyeongoza Mauaji ya Wanafunzi 148 Garissa University Kenya Hajafa Kama Serekali ya Kenya ilivyotangaza

Posted: 18 Jul 2015 09:54 AM PDT

Ni siku moja tu imepita toka Serekali ya Kenya Kutangaza kuwa Gaidi Mohamed Kuno wa Al Shabaab  aliyeongoza mauaji ya wanafuzi 148 Garissa University Ameuwa katika Shambulio lililofanywa na US Drone Huko Somalia..Habari leo zimekuja zingine na kudai kamanda huyo Kamanda bado ni mzima na hajauwawa kama serekali ya Kenya ilivyodai..

Msemaji wa Ndani wa Serekali ya Kenya Mwanda Njoka Ametoa Taarifa kupitia mtandao wa Twitter kuwa shambulio lililofanywa na US huko Somalia Halijafanikiwa Kumuua Mohamed Kuno ambae ndio Gaidi Mkubwa Anayeongoza Katika list ya Magaidi wa Al shabaab Wanaotafutwa kwa udi na Uvumba...

Mwanda Njoka Amewataka wananchi wa Kenya Kuendelea kutoa Taarifa za Gaidi Huyo ili kufanikishwa kukamatwa kwake...

Shamulio lililofanywa na US Drone limeuwa Magaidi 30 huko Samalia.....



Video ya Diamond alivyowajibu Waandishi kwenye press ya MTV Awards 2015 hapa Durban South Africa

Posted: 18 Jul 2015 09:36 AM PDT

Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali wanaohusika kwenye tuzo hizi akiwemo Diamond Platnumz, Neyo, P Square na wengine ambapo Diamond alijibu maswali kwa kujiamini na kuelezea mambo mbalimbali kwenye hii video hapa chini.


CREDIT:AYO TV

Nimempata Diamond hapa South Africa, kaeleza ukweli wa beef na Davido na walivyokutana juzi, mtoto wiki ijayo na tuzo za MTV

Posted: 18 Jul 2015 09:30 AM PDT

Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz amekutana na camera ya AyoTV hapa Durban South Africa wakati tukisubiria tuzo za MTV 2015 kaongelea Beef yake na Davido ilivyokua na mpaka wakakutana, mtoto wake wiki ijayo, tuzo za MTV na mengine
Credit:AYO TV

Ukawa Wote Someni Hapa ni Ujumbe Wenu Muhimu Sana Mkitaka Kuishinda CCM Urais 2015

Posted: 18 Jul 2015 06:30 AM PDT

Kama kweli mnampango wa kuiangusha ccm naomba muunganishe nguvu na mh. Edward lowassa, hii ni kwa ajili ya kuiangusha ccm kwakuwa nawaambia ukweli hata ktk mitandao ya kijamii anaezungumzika ni Mgufuli na Ndugu Lowassa na sio Lipumba,Slaa wala mbowe na mbatia hii inaonyesha nguvu ya upinzani ipo kwa lowassa hivyo ni vzr kufuata ushauri huu kwa sababu mtaweza kukishinda chama cha ccm kupitia ccm wenyewe

Najua kuna wengi ambao watakuja kuchangia hapa kwa ubaya na matusi lkn huu ndio ukweli fanyeni hilo kama mnataka kuwatumikia wananchi sambamba na kuiondoa ccm madarakani LA SIVYO hamtafanikiwa na haswa mkitaka kufuata watu hapo chini wana comment nini, coz huwezi jua anaecomment ni kada wa ccm au lah hivyo huu ni ujumbe wangu kwenu Enyi mnaojiita UKAWA, mkidharau hili hamtafanikiwa.

homa iliyopo ccm ni kama lowassa atajiunga kwenu hivi sasa wanatafuta deffensive points za kuzungumza kuhusu lowassa kama akijiunga na ukawa maana tetesi zimefika lkn wamekosa deffensive points against lowassa coz kila watakacho jaribu watajisema wao.

Mfanyakazi wa Radio Clouds Mbaroni kwa Utapeli wa Viwanja.....

Posted: 18 Jul 2015 06:25 AM PDT

Aliyekuwa mfanyakazi wa Clouds Media, Cynthia Maximillan, amejikuta akitiwa mbaroni kwa madai ya kutapeli mamilioni ya shilingi ya wafanyakazi wenzake na marafiki aliosoma nao.
Inadaiwa kuwa mrembo huyo alitiwa rumande kituo cha polisi Oysterbay, baada ya kuwakusanya marafiki zake na kuwapa mchongo kuwa, kuna viwanja vinapatikana huko Bagamoyo kwa shilingi mil 1.5 kupitia Chama cha Mazingira Fukayosi.

Inasemekana kuwa baada ya kupewa fedha hizo mrembo huyo alianza kuwaletea habari ambazo walikuwa hawazielewi na ndipo wakachukua uamuzi wa kumshtaki kwa utapeli wake.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds, Ruge Mutahaba, amedai kuwa anaomba umma ujue kuwa mrembo huyo sio mfanyakazi tena wa kampuni hiyo kwani aliachishwa kazi na yeye pia ni mhanga wa utapeli huo.


CHANZO : MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII/JAMII FORUMS

JB Ashangazwa na Wanaowaponda Watangaza Nia Kutoka Bongo Movies

Posted: 18 Jul 2015 06:21 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ anawashaanga baadhi ya watu wanaowashambulia na kuwanaoponda kwa maneno wasanii wa bongo movies waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, JB aliandika; Nashangaa sana watu wanao toa matusi na maneno ya kejeli kwa wasanii waliotia nia.nasema mnatukosea.sio haki...kama unaona humkubali ni vyema ukanyamaza waachie wapiga kura wa jimbo husika..@stevenyerere2. @wastara84. @wemasepetu. @ireneuwoya8. msikate tamaa. mungu awabariki...

Nadhani JB ameleweka na ujumbe umefika.

Madiwani Wote Ishirini Monduli Wabwaga Manyanga CCM, Wahamia CHADEMA

Posted: 18 Jul 2015 06:14 AM PDT

Muda huu ninapoandika haya madiwani wote wa jimbo la Monduli waliokuwa wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga na CHADEMA...
Sio hao tu bali hata wenyeviti wa vijiji na vitongoji wote wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga chadema.

Je,hapa Tanzania kuna Yeyote Anayeweza Kukaa Hewani Kama Huyu Mnigeria?(angalia picha)

Posted: 18 Jul 2015 12:40 AM PDT


 Wapita njia walimwona huko Nigeria na kubaki mdomo wazi kwa kuduwaa. Inasemekana ni mazingaombwe hata hivyo ni jambo la kushangaza sana.


Guys Get in Here & Tell the Truth...Would you 'Hit' this Lady? (photos)

Posted: 18 Jul 2015 12:28 AM PDT


She's a bodybuilder and a fitness model. She looks great with her clothes on but when she takes it off, well... she looks different. Still sexy but different. See the photos after the cut...




Nay wa Mitego: Nina Maana Yangu Kutumia Damu Kwenye Video Zangu

Posted: 17 Jul 2015 11:54 PM PDT


Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, Nay amesema bado kuna video zinakuja zitakazokuwa na damu.

“Hii ni video ya pili naifanya hivi na kutakuwa na video nyingine ya tatu ambayo itakuwa na vitu kama hivyo,” alisema. “Hii ni kama sign yangu, kwahiyo nimepokea maoni mengi kuhusu kufanana kwa hii video lakini yote ni kwaajili ya damu na damu ni kama nilivyosema hii ni sign yangu,” aliongeza.

Pia Nay alieleza sababu iliyofanya wimbo wake na Diamond, Mapenzi au Pesa kufeli.

“Ndio haujafanya vizuri lakini tukumbuke wimbo Mapenzi au Pesa ni wimbo ambao umekosa video. Kwenye muziki wetu wa siku hizi watu wanataka video haraka, ukichelewa kufanya video wimbo unakuwa unapungua kasi siku hadi siku. Tumeshaona hili kwenye nyimbo nyingi sana za wasanii wetu, ukichelewa kutoa video, wimbo unakufa haraka sana, yaani unakuwa unapungua nguvu siku hadi siku.”

Vanessa Mdee na Diamond Watajwa Kuwania Tuzo za African Entertainment za Marekani

Posted: 17 Jul 2015 11:37 PM PDT


Diamond ametajwa kuwania vipengele viwili cha kwanza kikiwa ni Hottest Male Single of the Year ambapo wimbo wake ‘Ntampata Wapi’ unashindana na Aye wa Davido, Original wa Fally Ipupa, Get Low wa Dellon Francis na Lobi wa R2bees.

Tuzo nyingi anayowania ni ya
Best Male Artist of the Year anayoshindana na Fally Ipupa, Eddy Kenzo, Wizkid na Sarkodie.


Vanessa anawania tuzo ya Best Female Artists of the Year akishindana na Victoria Kimani, Yemi Alade na Bucie.

Mwisho wa kupiga kura ni August 30 na tuzo zitatolewa October 31.

Wakongwe Wenzangu Wengi Wamepigwa KO Kimuziki, Mimi Nadunda Bado – Dully Sykes

Posted: 17 Jul 2015 10:15 PM PDT


Kama ingekuwa masumbwi, Dully Sykes anadai wasanii wakongwe wenzake wengi wamepigwa kwa Knock Out, lakini yeye bado anadunda tu.

Dully ameiambia Bongo5 kuwa hiyo ndio tofauti kubwa aliyonayo dhidi ya wenzake.

“Mimi ni tofauti na wasanii wote, mimi ni msanii nisiyetabirika, mimi ni bondia ambaye napigwa lakini sipigwi kwa Knock Out, mimi sipigwi kwa KO hata siku moja, mimi nitapigwa tu kwa point,” amejinadi Dully.

“Kwahiyo point ni kitu cha kujifunza hapa nimekosea wapi na nijirekebishe vipi ambapo ni tofauti na wasanii wenzangu wa zamani ambao tayari wameshapigwa kwa KO. Sasa hivi siwaoni na siwasikii, lakini ukiuliza Dully Sykes bado nipo. Unajua kuna wasanii wengine wanakuwa wanachanganyikiwa wanaingia kwenye madawa kwa sababu wanakuwa hawakubali ile hali. Mimi nakubali na najua kabisa kuna mchana na usiku. Kama wako ulikuwa ni mchana unapoingia usiku pumzika subiria mchana wako. Mimi nawashukuru mashabiki wangu kwa kuendekea kunisupport na kuendelea kunipenda mpaka leo hii na kunipa nafasi ya kuonekana kama msanii mpya yaani upcoming,” ameongeza Dully.

Kwa upande mwingine Dully amekiri kuwa video ya wimbo wake Shuka imegoma. Amesema muziki wa sasa umejaa changamoto nyingi hivyo kila msanii anahitaji kuwa mvumilivu katika wakati kama huu na kukubali matokeo.

“Mpaka sasa hivi rotation ya video haina nguvu lakini audio inafanya vizuri. Unajua sio kila kitu unachotoa kinaweza kuwa bora. Kuna wasanii ambao sasa hivi ndo wanafanya vizuri na pia wanatoa ngoma zinagoma. Hii ni hali ya kila msanii, inafikia wakati sio kila kitu kinaweza kufanikisha. Kwa sababu kuna nyimbo nyingi za wasanii wazuri na zinagoma na pia ninaamini sio kila siku nitakuwa Dully Sykes, wakati kila siku kuna wasanii wapya wanakuja na wanafanya vizuri. Kwahiyo lazima tupeane nafasi. Hivi vitu vipo tangia zamani na kila kitu lazima kiwe na wakati.”

Davido ana Asilimia Nyingi Kwenye Mafanikio ya Diamond, kupatana Kwao ni Habari Njema

Posted: 17 Jul 2015 10:11 PM PDT

Davido na Diamond wakiwa pamoja mastaa wengine jijini Durban ambako kunafanyika tuzo za MTV MAMA

Hiyo ndio ilikuwa video ya kwanza ya Diamond kuifanya nchini Afrika Kusini ambapo aliwachukua Ogopa Videos kwa kazi hiyo. Kipindi hicho Diamond alikuwa ana uhusiano na Penny Mwingilwa. Miongoni mwa vitu alivyovifanya siku hiyo ni pamoja na kumfanyia surprise ya nguvu marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo kwa kumzawadia gari.

Ulikuwa ni uzinduzi wa aina yake, uliofana na kwa kila mtu aliyekuwepo ilikuwa rahisi kuona ishara ya mafanikio makubwa yaliyokuwa mbele ya mtoto huyu wa Tandale.

Mambo yalikuja kubadilika zaidi October 2013 baada ya Davido kuja Tanzania kwenye Fiesta ya Dar es Salaam. Mazungumzo yalifanyika na Davido kukubalika kuibariki remix ya Number One.

Wawili hao walifanya video ya remix hiyo nchini Nigeria chini ya muongozaji Clarence Peters. Baada ya video kutoka, mambo hayakuwa kama zamani tena. Kipindi hicho Davido alikuwa msanii hot sana Afrika na hivyo kwa Diamond kumpata kwenye remix yake kilikuwa ni kitu sahihi alichowahi kukifanya katika maisha yake.

Kabla ya hapo jina la Diamond lilikuwa ni kubwa tayari Afrika Mashariki, lakini si Magharibi. Remix hiyo ikapendwa, audio na video vikaanza kupata airtime kwenye redio za Nigeria, Ghana na Afrika Kusini. Davido akasaidia kumweka kwenye ramani Naseeb Abdul.



Haichukua muda, nominations zikaanza kumiminika. BET Awards, MTV MAMA hadi CHOAMVA. June 2014, Diamond akapata bahati kutumbuiza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa la tuzo hizo jijini Durban, SA akiwa na Davido.

Kadri muda ulivyokuwa ukienda, Diamond akaanza kuwa mpinzani wa Davido kwenye tuzo nyingi na ‘tension’ ikaanza kuzaliwa. November 29, Diamond akaibuka mshindi wa tuzo tatu kwenye CHOAMVA na kuwa mbele ya Davido ambaye wengi walihisi hakufurahia.

December 2014, kwenye fainali ya Big Brother Africa, ‘bifu’ ikazaliwa. Ushindi wa Idris Sultan ukamfanya Davido atweet ujumbe uliowakasirisha watanzania wengi. ‘And they cheat again.’

Usiku huo huo Diamond akashinda tuzo zingine zilizokuwa zikitolewa jijini Lagos na akajibu dongo la Davido. Kauli ya Davido ikamweka kwenye kitimoto na kuambulia matusi mengi hadi kutukaniwa mama yake. Bifu ikawa kubwa. Duru za chini ya kapeti zikadai kuwa kambi ya Davido ikatangaza vita kwa Diamond. ‘Speculations’ za bifu yao ziliendelea kwa muda mrefu licha ya mameneja wa Diamond, Babu Tale na Salaam kukanusha mara kadhaa kuwa hakuna bifu kati yao.

Nominations za MTV MAMA 2015 zikawarudisha tena wawili hao kwenye ‘tension.’ Katika muda ambao uadui wa Team Diamond vs Team Kiba ulikuwa umepamba moto, Diamond na Davido wakajikuta wakilazimishwa kutoolewana na hadi July 15, 2015 bado wengi tuliamini kuwa Diamond na Davido haziivi.

Picha zilizowekwa jana kwenye Instagram zinazowaonesha Diamond na Davido wakicheka kama vile hakuna kilichowahi kutokea, zimepokelewa kwa furaha kubwa na mashabiki wao.

Nilikuwa Natania tu Kutafuta Mume Instagram, Mume Mwema Hutoka kwa Mungu – Ray C

Posted: 17 Jul 2015 10:05 PM PDT

Ray C anaweza kuwa amezivunja roho za wanaume zaidi ya 500 waliojipanga mstari kujibu ofa yake aliyoitangaza kwenye Instagram kuwa anatafuta mume.

Ray C ameiambia Bongo5 kuwa mume mwema hatafutwi kwenye mitandao bali huletwa na mwenyezi Mungu.

“Huo ulikuwa utani tu,” amesema Ray C.

“Nilikuwa nataka kuwafurahisha kidogo watu wangu wa Insta. Watu wengi sana, nimepata simu nyingi kweli kweli. Nimepokea zaidi ya simu 500 mpaka saa sita usiku. Kwahiyo nimeona mashabiki wangu bado wapo, wananipenda sana,” amesema.

“Hapana sina mpango wa kuolewa. Mume mwema anatoka kwa Mungu, huwezi kusema unatangaza. Mume mwema anatoka kwa Mungu nikimpata mtasikia, sasa hivi sipo kwenye mahusiano, sina mtu yoyote.

Nimempata Mwanaume Wa Ndoto Zangu, Alinikuta Nikiwa Kwenye Maumivu ya Mapenzi – Linah

Posted: 17 Jul 2015 10:00 PM PDT


Linah akiwa na mpenzi wake Williams Bugeme


Akizungumza na Bongo5 leo, Linah amesema mwanaume aliye naye kwa sasa ni mwanaume aliyekuja kumuokoa akiwa katika wakati mgumu wa kimapenzi.

“Kiukweli malengo yetu ni ndoa na wala haitachukua muda mrefu. Mungu akijalia mwakani,” amesema Linah. “Sasa hivi nataka ndoa mambo ya kuzini sitaki. Mimi sidhani kama ndoa ina ugumu wowote. Nataka sasa hivi kuwa wa halali kwa mtu mmoja na baadaye tupate watoto. Kwa jinsi tulivyoongea kazi ni kazi na mapenzi ni mapenzi, kwahiyo nafasi yangu ya kazi itakuwa pale pale. Na ninafikiri huyu ni mtu sahihi kwangu, ninafikiri ni mtu ambaye anaweza akawa mume wangu ndio maana nimekimbilia ndoa,” ameongeza.

“Amekuja kwangu kama mtu anayenipenda, ameona jinsi ninavyoumia kimapenzi. Kwahiyo huyu amekuja kama mtu mwenye nia, ni aina ya mwanaume ambaye nilikuwa namtafuta kwa muda mrefu na hatimaye amefika, sasa hivi nafurahi.”

Shuhudia Mahojiano ya Mwisho ya BANZA STONE, Hali Ilivyo Katika Msiba Wake - Video

Posted: 17 Jul 2015 09:53 PM PDT



Mara kabla ya msiba wa Banza Stone Sinza jana mchana, haya ndio yalikuwa mahojiano ya mwisho na


Udaku Specially

unread,
Jul 19, 2015, 4:09:11 PM7/19/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Kwanini Diamond Alishinda: Tofauti za Wazi na za Msingi Kati ya KTMA na MTV Awards!

Posted: 19 Jul 2015 11:06 AM PDT


Maoni Huru Kutoka Kwa Ndau Anaitwa  Matumbo Huko Jamii Forums
Jisomee Mwenyewe Hapa Chini:



Toafauti ya kwanza kabisa, inayotofautisha kati ya KTMA na MTV Awards ni kwamba, kwa KTMA, msanii ana uwezo wa kutoka na kontena moja la tuzo peke yake na kwa wakati mmoja wakati kwa MTV ni ndoto kufanya hivyo! Hadi sasa, msaniii anayeongoza kutoka na kontena la tuzo za KTMA kwa wakati mmoja ni Diamond Plutnumz ambae aliibuka na tuzo 7 kisha wanafuatia Ali Kiba na 20% ambao kila mmoja amepata kuibuka na tuzo 5.

Ukweli huo hapo juu unatokana na tofauti za kimsingi zinazounda Tuzo za KTMA na MTV ambazo ni:
>>>Wakati MTV Awards inakutanisha wanamuziki MAHIRI kutoka majiji makubwa kabisa barani Afrika kama vile Dar es salaam, Nairobi, Lagos, Johannesburg, Cape Town, Accra, Kinshasa n.k, KTMA kwa kiasi kikubwa inakutanisha wasanii kutoka kaeneo kadogo tu duniani kanakoitwa Wilaya ya Kinondoni!
>>>Tofauti na MTV Awards, pia MC wa KTMA most likely atatoka wilaya ya Kinondoni, wakabidhi tuzo watatoka huko huko, venue, wilaya ya Kinondoni… tumeenda mbali sana, Wilaya ya Ilala! Majority ya watakaopita Red Carpet-- wilaya ya Kinondoni, watakaokuja kuburudisha, majority watatoka wilaya ya Kinondoni and, to cut story short, almost everything, for KTMA kitakuwa ni Wilaya ya Kinondoni!
>>>Wakati host mkubwa wa KTMA ni wilaya ya Kinondoni na kidogo Ilala na hivyo kuzifanya tuzo za KTMA kuwa ni tuzo za WA HAPA HAPA, hosts wa MTV Africa Awards wanakuwa nchi mbalimbali!! Hawa WA HAPA HAPA wasubirie host city awe Dar es salaam ndipo labda waje kuambua kama ambavyo Wakenya walipata kuzizoa mwaka 2009 baada ya Host City kuwa Nairobi!!!
>>>Wakati kwenda kwenye tuzo za MTV, majority ya wasanii watatakiwa kuchukua air flight, kwa KTMA, in fact, hata kupanda gari ni mbwembwe coz’ majority ya wasanii wana uwezo wa kufika kwenye venue hata kwa Bajaj simply because Tuzo zenyewe zinakutanisha WA HAPA HAPA!!!
>>>Wakati MTV Awards inakutanisha wasanii wanaofanya kazi zao kwa lugha mbalimbali za kimataifa kama vile Kiingereza, Kifaransa, Kireno n.k, KTMA, kwa kiasi kikubwa, inakutanisha Wamatumbi peke yao, kwa maana ya watumiaji wa Lugha ya Kiswahili kwa kuwa ni tuzo za WA HAPA HAPA!

Dah! Tofauti zipo nyingi sema wakati ukuta! Je, ewe mwenzangu unaweza kutaja tofauti zingine za WAZI (sio za KIUFUNDI) kati ya MTV Awards na Kinondoni Tanzania Music Awards?

Hata hivyo, kabla sijakusanya kila kilicho changu na kusepa wacha niseme jambo moja! Nimeona watu hapa eti wanaponda Tuzo ya Best Live ACT na kufananisha na suala la kukata mauno! Short and clear, ukitoa hiyo hoja mbele ya watu wanaoifahamu tasnia ya muziki moja kwa moja watakauona muziki huufahamu! Ingekuwa Live Act ni kukata mauno basi hizo tuzo kila mwaka, sio Afrika tu bali hata duaniani zingeenda DRC!!

Biashara ya muziki duniani imebadilika sana, mauzo ya CDs sio deal tena kwa wasanii! Africa ambako hata masuala ya hati miliki ni hovyo, ukiacha endorsement wasanii wanategemea zaidi performance jukwaani na kupitia hili eneo, ndipo pekee msanii kwa kiasi kikubwa anaweza kuwa na uwezo wa kuuza kazi au bidhaa zake zingine inculding hizo CD kwa kuwa fans wako wanakuwa wamekusanyika sehemu moja kuliko kuwataraji kwamba wataenda dukani kununua CDs zako au nguo zako!! Live Act ni eneo lenye faida na mzunguko mkubwa wa pesa pengine kuliko eneo lingine kwenye biashara ya muziki na ndio maana, leo hii tukiambiwa mathalani Lady Gaga anakuja Dar, basi Dar mzima itakuwa full vurugu; kuanzia promotions kwenye medias, maandalizi ya venue, deals za kuuza ticket, kampuni kubwa kutaka kudhamini na kadhalika bila kusahau mzunguko wa pesa utakaotokea kwa wauza vinywaji na chakula!! Huko kote, ni mzunguko wa pesa … watu watapanda magari kutoka hata Mwanza kuja Dar es salaam only for Live Act! Kwahiyo ni kichekesho mtu akisema this’s all about kukata mauno! Mauno yanakatwa kitandani, jukwaani is all about performance, nyie watu wa wapi!!!

In short, kwenye Best Live Act wanaangalia pamoja na mambo yafuatayo:
>>>ENERGY: Kuwa Mkata Mauno Bora kuliko wote duniani lakini kama hauna ENERGY, pisha wenye pumzi wafanye kazi yao!
>>>CROWD ENGAGEMENT: Kuwa na pumzi za kutosha lakini ikiwa hauna uwezo wa kushirikisha crowd na kuleta shangwe kwenye show, please, pack and go because you’re not BEST LIVE ACT
>>>BEST MUSIC: Huwezi kuwa na muziki wa hovyo halafu ukaota kuwa Best Live Act unless kama ni kwenye hizi tuzo za WA HAPA HAPA!! Huwezi kuwa na crowd engagement or crowd feedback wakati muziki wako ni mbovu unless kama ni kwenye hizi tuzo za WA HAPA HAPA! ​

Halafu mwambieni jamaa, haya mambo mi natembelea kwenye akaunti yake halafu ananiambia nisiue tembo wakati hata Mikumi sijawahi kufika isn't fair at all... huu ni uonezi wa wazi wazi! Yaani mie nimetulia zangu tuli na ka-Techno kangu halafu unaniambia nisiue tembo?

BIKIRA WA KISUKUMA Ampigia Magoti JOKATE na Kumuomba Msamaha Baada ya Video Aliyomrekodi Akicheza Wimbo wa Diamond Kuzua Utata leo...

Posted: 19 Jul 2015 11:07 AM PDT

Hata siku Haijaisha toka Diamond Platnumz Apate Tuzo ya MTV Mama, Mchana wa leo Ametibua Mashabiki wake Baada ya Kupost Video ya Mpenzi wake wa Zamani Joketi Akicheza Moja ya Nyimbo zake huku akiandika caption ya Maneno haya 'Mbona Bado, Mtanyooka tu"

Video Hiyo inasemekana ilirekodiwa na Bikira wa Kisukuma Aka Seth miezi sita iliyopita na leo Diamond kaipost kama Dongo kwa Jokate ambae siku za karibuni ameonyesha Kumsupport Ali Kiba...

Seth Ameingia Mtandaoni na Kuandika Haya:

Bikira_wa_kisukuma - IAM DEEPLY SORRY!Kama rafiki yako,sikujua yatakuja kuwa hivi...Tulirekodi Video hii tukiwa tunaenjoy NEWS CAFE zaidi ya MIEZI 6 iliyopita na haikuwa na madhara na nilipenda ulipopigwa wimbo huu na wewe ukaanza kuucheza and I liked it kwamba u still support ur Ex Music na sio maadui..A good thing!
Leo imeleta matatizo na kukusababishia maumivu ya moyo...Haikuwa dhamira yangu na Unajua na hata tulipoongea tulicheka na kufurahi na tulitaniana kuhusu Video ile.. I hope Diamond hakuwa na nia mbaya kiivyo kuiweka kwa sababu inaonyesha ulikuwa unacheza wimbo wake which means u love his music na unamsapoti...Pengine Diamond alipaswa kutumia maneno mazuri zaidi kuhusu Video ile instead of what he wrote kwa sababu imeonekana kama ni uchonganishi wakati bottom line haiko hivyo... Again JOKATE mpenzi,Iam sorry!

USHAURI WANGU KWA DIAMOND:
Jaribu kuepuka Misunderstanding zisizo za lazima,haikuwa na sababu kulikoroga kiasi hiki especially kwa muda huu ambao tulipaswa kama Watanzania kushangilia Ushindi wako..This was very Unnecessary especially kwa muda huu ambao Mashabiki waliokuwa wamegawanyika wameanza kurudi pamoja kama WATANZANIA...Ulipaswa kutumia moment hii kama GUNDI...From my heart IAM DEEPLY SORRY!

What If You Were UHURU And This “Secret Lover” From Tanzania Tells You This?

Posted: 19 Jul 2015 08:17 AM PDT


Aging Tanzanian singer, Rehema Chalamila, who is popularly known as, Ray C, has confessed that she has had a crush on President Uhuru Kenyatta for so long.

While laying her sentiments on social media, the mellow voiced singer claimed  that she has been holding her secret back for long but it’s high time she let the world know about it.

“Lemme tell you a lil secret about Uhuru!!! I love this guy to death! I have had a crush on him for soooo long!!! ” She said.

Ray C further confessed that everything about our President is awesome and no woman can resist him.

“I love everything about him. His accent, his attitude. Total package” the singer added.

Ray C’s confession comes just a few weeks after she listed crazy demands any man who wants to marry her must meet. Among those demands includes, sharing the shame phone and ability to cook for her when she is tired.

The aging singer is yet to find a husband despite her popularity.

Did You Know This About CORAZON KWAMBOKA? She Has Been Hiding it From Men

Posted: 19 Jul 2015 08:11 AM PDT


Corazon Kwamboka has finally revealed that she has been struggling with acne just like Avril. Corazon says that she has visited several dermatologists with no permanent solution but she is now using a new product which she hopes will work for her skin.

Here is what she wrote;



Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Posted: 19 Jul 2015 07:32 AM PDT

~~Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond:

Tuki-support mtu ndio kama hivi matokeo yake mtu anatumia baadae kukudhalilisha. Hii video aliyo-post kwanza ni TBT kama sijakosea mwaka jana mwishoni nilikuwa sehemu na my friends @bikira_wa_kisukumaakani-record na kumtumia@diamondplatnumz bila mimi kujua. Kiukweli sijui kwanini walifanya hivyo. Nikaja kujua baadae sana na nikaona sio big deal cause kila mtu anapenda mziki na sio dhambi kucheza mziki wowote uupendao.

Ila kitendo cha@diamondplatnumz kwenda kuitafuta huko ilikokuwa hii video clip na kui-post leo najiuliza maswali mengi
1, anataka ionekana kama nilikuwa nashangilia ushindi wake? Which is not bad hakuna ubaya hapo kama unaamini ushindi wake ni sifa kwa taifa ila
2, Kwanini a-post na caption ya Na Bado Mtanyooka? Ili amkomoe nani? Au kwasababu niko karibu saaana na @alikibaofficialanatafuta kutuchonganisha? Ili iweje? Mimi I believe life goes on na kila mtu ana uhuru wa kumpenda au kuwa karibu na yule apendaye na kum-support ndio maana hata mimi nimekuacha na your new life
3, Pengine ni kweli anaendeleza zile hulka zake za kudhalilisha wanaweke aliokuwa nao waonekane sio kitu just because hawako na diamond platnumz chibu dangote. Which to me is just dead wrong.

@diamondplatnumz hizi sio tabia tunazozitegemea kwa mtu anayejisema anakomboa mziki wa Tanzania sio kwa kuweka visasi na fitna zako wazi wazi hivi. Unatu fanya tukose imani nawewe zaidi na tunaogopa ku-support cause hukawi kutugeuka.

Kuwa tofauti basi, onyesha mfano kwamba kweli hupendi beef unapenda mziki wa Tanzania uendelee ila kwa ulichoki-post unaonyesha wazi UNA visirani na hutaki mema unatafuta drama, kiki, vurugu unataka kila siku uwe wewe tu ambazo kiukweli mimi binafsi siziwezi utaendelea kushinda wewe tu katika hilo na sitashindana nawewe katika hilo kwasababu siwezi nawewe unajua kama ulivyoniimba mimi mpole, sinaga maneno ( ila kwenye kazi ndio nakuwa mkali kama pilipili ). Ila ungetumia busara kidogo.

Just move ON kiroho safi. Naomba pia nitumie fursa hii kukupongeza kwa tuzo yako ya MTV ila@babutale hata wewe ndugu yangu? Is this how tunaendeleza so called uzalendo?

Inshallah Kheri lakini yote maisha wanyonge sisi iko siku Mungu atatunyanyua.

CHADEMA Kilichofanyika Monduli ni Unafiki Mkubwa Sana...Mlio Mwita Mwizi na Fisadi Sasa ni Dili Kwenu....

Posted: 19 Jul 2015 06:41 AM PDT

Mtume Mohammad (SAW) katika moja ya hadithi zake aliainisha tabia kuu tatu za mtu mnafiki.

Kwanza, mtu mnafiki akizungumza husema uongo.

Pili, mtu mnafiki akiahidi hatekelezi

Tatu, mtu mnafiki akiaminiwa hufanya hiyana.

Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetuonesha sifa hizi za mnafiki dhahiri kwenye sakata hili la kuwapokea kwa mbwembwe madiwani waliotoka CCM Monduli.

Madiwani hawa wametoka CCM kufuatia kukatwa jina kwa Waziri mkuu 'mstaafu' Edward Ngoyai Lowassa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kugombea nafasi ya urais kwa kupitia CCM.

Kitendo cha kuwapokea madiwani hawa kwa mbwembwe tena huku pakitumika maneno kama "safari ya matumaini bado inaendelea" ni kitendo cha fedheha sana kwa chama.

Wakati Zitto Kabwe akiondoka/ akiondolewa CHADEMA tuliona wale walioamua kuondoka nae walivyoitwa kila jina baya mitandaoni na hata baadhi ya viongozi walijitokeza kuwakandia waziwazi.

Tumeona namna gani Edward Ngoyai Lowassa alivyotukanwa kila tusi na viongozi wa CHADEMA. Ameitwa mwizi, fisadi, , mnyang'anyi na majina mengine mengi. Na hata wafuasi wake 4u movement tuliona walivyopewa maneno mabaya humu.

Tumeona viongozi wa CHADEMA wakiponda tabia ya kupokea wanachama waliokimbia vyama kwa sababu ya migogoro ya kimaslahi mara kwa mara.

Kwa hayo machache najiuliza hivi yale maneno ya kuponda watu yalijitokeza sababu walihama CHADEMA? Kumbe kuhama ni kosa lakini kuhamia ni sahihi? Kumbe hawa wafuasi wa Lowassa walikuwa wachafu walipokuwa CCM lakini wakiwa CHADEMA ni wasafi? Hivi mtu akija CHADEMA anasamehewa dhambi??

Tabia ya kuyarudi maneno yenu imekuwa ya kawaida sana lakini kwa hili sasa mmejifedhehesha sana. Miaka michache iliyopita mliwaita CUF kila jina baya mara CCM B, mara vibaraka, mara mas**ga nk lakini baada ya muda mkaungana nao na kuunda UKAWA. Mlimfukuza Kafulila kwa mbwembwe lakini leo mpo nae UKAWA huku mkimsifu.
Sitashangaa kesho mkiungana na ACT ili tu mtimize malengo yenu.

CHADEMA tambueni mlichokifanya ni kitendo cha hovyo mno, mmewaonesha watanzania mlivyo walaghai na opportunist wakubwa. Mmeonesha kila tabia za kinafiki na kizandiki na msivyo na msimamo.

Tabia kama hizi zitawafanya ikulu muisikie redioni tu na kuishia kulalamika kwamba mnaibiwa kura kumbe mnajihujumu wenyewe.

EdwardLowassa ni Adui Mbaya kwa CCM Kuliko Adui Yeyote Waliyewahi Kupambana Naye

Posted: 19 Jul 2015 06:29 AM PDT

Kwenye maswala ya kiusalama na kivita huwa tunajifunza dhana mhimu sana isemayo, kumjua adui ni nusu ya ushindi. Adui wa Lowasa ni ccm chini ya "kitengo" kilichochini ya Jakaya Kikwete. Na adui wa ccm ni Lowasa.

Chadema waliumizwa mda mrefu sana na Zitto kwakuwa walikuwa wanapambana na adui wasiyemjua, siku walipomjua walimtupa nje na sasa usalama wa chadema umeimarika maradufu.

Ni bora kupambana na Adui aliyejitangaza rasmi kuwa yeye ni adui kwako kuliko yule unaekula nae na kulala nae bila kujitangaza kwamba ni adui kwako.


Lowasa anaweza kuwa adui mbaya kwa ccm kuliko adui yeyote waliyewahi kupambana nae. Kwa habari njema nikuwa majemadari wa ukombozi wakiongozwa Ally Bananga diwani wa Sombetini wamevamia kwa mikutano Monduli ilipo Ngome ya Lowasa. Habari njema zilizopo ni kwamba amevuna madiwani wa ccm na huko pia.


Ccm watapata wakati mgumu sana endapo Lowasa ataendelea kuwa mwanachama wao kuliko endapo wangemfukuza. Madiwani kumi tayari wamerudisha kadi na wanachama wengine 30,kupitia mitandao ya kijamii imeoneshwa watu wakichana chana kadi za ccm.

Lowasa ataendeleza mapambano akiwa ndani ya jahazi. Hakika litazama. Huu ni mwaka wa UKAWA kuchanga karata zao vizuri.

Mh Lowasa, nakutahadharisha, epuka mpango wowote wakutaka maridhiano na ccm, kwani mpango huo ni hatari kwa uhai wako.


Mpango mkakati huu wa lowasa ni hatari kwa ccm kuliko yote iliyowahi kutokea.

By Yericko Nyerere/JF

Hivi Ndivyo Wanawake wa Mjini Wanavyoendesha Wanaume Hapa Mjini...Pesa Pesa Pesa

Posted: 19 Jul 2015 05:18 AM PDT

Hivi Ndivyo Wanawake wa Mjini Wanavyoendesha Wanaume Hapa Mjini...Pesa Pesa Pesa...Soma Hizo Baadhi ya Message Hapo chini : Bila Pesa Mjini hapa wewe Mwanaume si Kitu...Ukibahatika Kusoma Meseji kwenye Inbox ya Simu ya Mkaka wa Mjini Inbox nzima imejaa Meseji za Mizinga kutoka kwa Wadada wa Mujini...Uongo Kweli ?

Wadada: Wanaume Warefu Wanajisikia na Wana Dharau Sana Kwenye Swala la Mahusiano

Posted: 19 Jul 2015 04:02 AM PDT

Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti. Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.

Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu Tujadili Kama Kuna Ukweli wowote wa Jambo Hili.....

Je  Kuna Ukweli ?

Enyi Wanaume Ishini na Wake Zenu Kwa AKILI" La Sivyo Mwanamke Atakukoroga Maisha Yako Yote

Posted: 19 Jul 2015 04:06 AM PDT

BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema.Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"
Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'
Wanawake wanaweza kukwambia "Mi nataka Mwanaume anipende tu BHAASSS!!Ukidhani kwamba Upendo wako unatosha kwake UTAKUWA UMEFELI
Wanawake wanahitaji vitu 4 na vyote VIENDE KWA PAMOJA(Perpendicularly),vitu hivyo ni

1.HELA 2.GOOD SEX 3.CARING MAN 4.MUDA
Kuna Wanaume wanajua "Kukaza vizuri" mwanamke anatosheka,na wana hela ila WAKO BUSY...Hii factor ya wewe kuwa Busy tu itamfanya mtu mwingine mwenye Muda "Amkaze kiulaini kabisa" halafu wewe utashangaa..."Mke wangu nampa kila kitu,hela za kila kitu nampa..YES,Amekaa muda mrefu uko bize unasaka hela na adui namba 1 wa Mwanamke ni LONELINESS....
A lonely Woman can easily be trapped by anyone..hata Houseboy akimpa ATTENTION endlessly anakula mzigo
Unataka Mwanamke awe wako peke yako???Fuata kanuni ya KIBIBLIA, ishi nae kwa akili....Mpe MUDA..Mpe HELA...Mpe Kisago kitandani...Mpe CARE na ATTENTION
Sikiliza maneno ya Nabii Seth uyatendee kazi,maana TB JOSHUA hatakwambia haya KAMWE!Nimemaliza!

Source:Nabii Seth 

Rafiki wa Mume Wangu Ananitaka Kimapenzi....

Posted: 19 Jul 2015 03:26 AM PDT

Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yake ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahusiano yao, na vilevile naogopa siku mume wangu akijua kaam jamaa ananitokea alafu sijamwambia... Naombeni ushauri!

Mama Amefungwa Maisha Marekani Kwasababu ya Kuua Watoto Wake Wawili na Kuwaweka Kwenye Freezer kwa Miaka Kadhaa

Posted: 19 Jul 2015 01:34 AM PDT

Mama amefungwa maisha Marekani kwasababu ya kuua watoto wake wawili na kuwaweka kwenye freezer kwa miaka kadhaa.

Kisa cha kuwaua watoto wake ni kwamba watoto hao ambao ni wakubwa walikuwa wakiwabaka na kuwalawiti wadogo zao wawili. Kwa hasira akawaua na kuwaficha humo kwenye freezer. .

Ni mambo ya aibu sana hata kuyazungumzia tunaishi kwenye dunia iliyochanganyikiwa sasahivi...mama kuua watoto wake...watoto kuwabaka wadogo zao.... .

Hivi karibuni huyo mama aliulizwa je watoto wangekuwa hai leo je angefanya kitendo kama alichofanya? Akasema ndiyo bado angewaua... Inasikitisha!! 

Mwinyi Avunja Ukimya Kilichotokea Dodoma...... Asema Haikuwa Kazi Rahisi Kumpata Mgombea wa Chama

Posted: 19 Jul 2015 01:25 AM PDT

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa shughuli ya kupata mgombea urais kwa tiketi ya CCM haikuwa rahisi na akashukuru kwamba imemalizika kwa amani.

Mchakato huo ulihitimishwa Julai 12 mjini Dodoma wakati Mkutano Mkuu wa CCM ulipopitisha jina la Dk John Magufuli kugombea nafasi ya kuongoza Serikali ya Awamu ya Tano baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake mwishoni mwa mwaka.

Jumla ya makada 38 walijitokeza kuwania nafasi hiyo, na majina matano ndiyo yaliyopitishwa kwenda Halmashauri Kuu na baadaye matatu kwenda Mkutano Mkuu.

Mchakato wa urais ndani ya CCM ambao kwa kawaida hutawaliwa na msuguano kabla ya kumalizika kwa maridhiano, safari hii ulienda mbali zaidi baada ya wajumbe watatu wa Kamati Kuu kupinga nje ya kikao uamuzi wa chombo hicho na baadaye wajumbe wa Halmashauri Kuu kumwimbia mwenyekiti wao, Jakaya Kikwete wimbo wa kuonyesha wana imani na Edward Lowassa baada ya jina la mbunge huyo wa Monduli kuenguliwa na Kamati Kuu.

Jana, akitoa hotuba fupi baada ya kumalizika kwa sala ya Eid el Fitr kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mwinyi alizungumza kwa mara ya kwanza hadharani kuhusu mchakato huo, akidokeza hali ilivyokuwa.
 
“Haikuwa kazi rahisi kwenye mchakato huu wa kumtafuta mgombea mmoja atakaye peperusha bendera ya CCM,” alisema Mwinyi lakini akawahi kuipoza kauli hiyo kwa kuelezea amani ilivyotawala mwishoni.

“Kama ni jahazi basi sasa tunashukuru limefika pwani salama.”

“Uchaguzi huu ni kwa ajili ya kuwapata viongozi wetu, tunataka viongozi bora wa kutuletea maendeleo, mapatano na wenye mahaba na wananchi.”

Akizungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya mchakato huo wa kumtafuta mgombea wa urais kukamilika mjini Dodoma, Mzee Mwinyi alimshukuru Mungu kwa mchakato huo kuisha salama.

“Haikuwa kazi rahisi kwenye mchakato huu wa kumtafuta mgombea mmoja atakaye peperusha bendera ya CCM, kama ni jahazi basi sasa tunashukuru limefika pwani salama.

“Sasa, ninawaomba Watanzania kuwa watulivu katika kipindi hiki cha uchaguzi wa nchi tunaoufanyika kila baada ya miaka mitano,“ alisema Rais Mwinyi ambaye alikuwa mmoja ya wajumbe wa Baraza la Ushauri waliofanya kazi ya kutuliza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM hadi kuafikiana kuendelea na mchakato wa kumpata mgombea urais.

Aliwasisitizia Watanzania kuacha tabia ya kupenda mno na kuacha kubaguana, akisema hakuna aliye bora na kuwataka kuzidisha mapenzi miongoni mwao na kusherehekea vyema Sikukuu ya Eid el Fitr.
 
“Hakuna jambo lenye maana kama hili la kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye kutufikisha salama siku kama hii ya leo (jana) ambayo tunasherekea Sikukuu ya Eid,” alisema Mwinyi.

Awali Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum aliwasisitizia wananchi umuhimu wa kusherekea sikukuu hiyo katika hali ya amani na utulivu.

Pia, aliwashauri wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao sehemu zenye maadili ili washerehekee kama ambavyo Mwenyezi Mungu anapenda.

“Leo (jana) ni siku ya furaha, naomba tusherekee maeneo salama pia Waislamu msisahau kufunga sita kwani ina malipo makubwa,” alisema Alhad Salum.

Mkoani Geita ambako ilifanyika sala ya kitaifa ya Eid, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal alihutubia Baraza la Eid na kusema kipindi hiki kinahitaji utulivu, kuelewa na kuheshimiana pamoja na kudumisha uhusiano ili Taifa lipate viongozi bora.

“Tuwe watulivu ili Tanzania ibaki kuwa nchi ya kukimbiliwa na isiwe nchi ya kukimbiwa... sisi tusiwe wakimbizi, tuwe watu wa kupendana, kuvumiliana na kuthaminiana. Tusifikie hatua ya kuchukiana, kuuana na kufanyiana ukatili,” alisema Dk Bilal.

Alisema amani inaweza kuvunjwa na mtu yoyote kwa namna yoyote ile, akaharibu mazuri na heshima ya Taifa na akawaomba wananchi na waumini wote wasifikie hatua hiyo akisema ndiyo wenye uwezo wa kuifanya nchi yao kuwa ya amani.

“Tuishi kwa kuheshimiana, kupendana na kuvumiliana tushikamane katika, hali iliyopo sasa kwa nchi yetu siyo nzuri. Si ajabu hivi sasa tunavyoongea kuna sehemu mabomu yametokea, si ajabu kuna watu wameuawa kikatili. Hii yote ni sababu watu sasa wanapoteza misingi ya kuheshimiana, upendo na kuvumiliana,” alisema Bilal kwenye Viwanja vya Karangara.

Awali Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania, Bakwata, Sheikh Suleiman Lolela alisema waumini na wananchi wote waitumie vyema nafasi ya Uchaguzi Mkuu kuhakikisha wanachagua viongozi bora watakaoendeleza amani.

Kisiwani Unguja, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka viongozi wa vyama vya siasa, taasisi za kijamii na madhehebu ya dini kulinda na kuheshimu msingi na malengo ya kuanzishwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.

Akiuhutubia kwenye Baraza la Eid el Fitr lililofanyika Ukumbi wa Bwawani na kuhudhuriwa pia na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad jana, Dk Shein alisema viongozi wa kisiasa wanapaswa kufanya siasa kwa kuzingatia misingi ya Katiba na sheria kwa madhumuni ya kuendeleza na kulinda amani na umoja wa kitaifa kwa manufaa ya Zanzibar na wananchi wake.

“Tunaweza kushindana bila ya kulaumiana, kukejeliana na tunaweza kushindana bila ya kudharauliana au kuhasimiana,” alisema Dk Shein kwenye shughuli hiyo iliyotaliwa na hali ya utulivu.

Alieleza kuwa vyama vya siasa vimeanzishwa na vipo kwa ajili ya kushindana kwa sera kwa madhumuni ya kuchochea maendeleo ya Zanzibar na siyo kugombanisha watu na kuvuruga misingi ya amani na umoja wa kitaifa.

Kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma, sheikh wa mkoa, Ahmed Zuber aliwataka Watanzania kudumisha amani na umoja.

Zuber alisema dunia sasa imechafuka kutokana na uvunjifu wa amani unaochochewa na siasa chafu hivyo Watanzania bila kujali dini wala itikadi zao wanapaswa kuilinda amani iliyopo sasa.

“Tunahitaji utulivu. Nchi nyingi huharibikiwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, amani hupotea kipindi hiki cha uchaguzi. Ndugu zangu Waislamu na msio Waislamu tukiichezea amani hii iliyopo sasa, tujue hakika hatuna kwa kukimbilia,” alisema.Mkoani Tanga, imamu wa Msikiti wa Ibadhi, Sheikh Mohammed Said aliitaka jamii kudumisha amani na utulivu uliopo na kuacha kushabikia vyama vya siasa.

Sheikh huyo alisema ni wajibu wa kila mtu kutambua kuwa amani iliyopo ikitoweka ni vigumu kuirejesha na hivyo kila mmoja ahakikishe anatambua wajibu wake.

Alisema wakati wa uchaguzi, hutokea jamii kuhamasishana kwa mambo ya kisiasa, jambo ambalo alisema ni baya na halifai kutokea na hivyo kutaka kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake.Mkoani Lindi, Sheikh Salimu Nalinga akitoa salamu za Eid el Fitr aliwataka Waislamu kuchagua viongozi waadilifu ili kuifanya nchi kuendelea kuwa ya amani na utulivu.

Happy Birthday Mwanalibeneke wa Blogu Krantz Mwantepele

Posted: 19 Jul 2015 02:12 AM PDT

Leo tarehe 19 July ni siku ya kuzaliwa Mwanalibeneke la blogu  Krantz Mwantepele ambaye ni Mkurungezi Mtendaji wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA pia Mkurungezi Mtendaji wa KAJO ITECH kwa  niaba ya wasomaji  wetu tunapenda kukutakutakia maisha marefu na yenye baraka na fanaka tele.
Mungu akupe maisha marefu na kukupa mwongozo sahihi kwa ndoto zako za kuweza kutengeneza ajira kwa vijana wenye nia na ari ya kujiajiri .
Mnaweza kutembelea blog zinazomilikiwa na Mwanaharakati Mzalendo Media
Mwanaharakati Mzalendo Blog link www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com
Harakati360 link www.harakati360.blogspot.com
Mzalendo Times link www.mzalendotimes.blogspot.com
Na hivi karibuni kutazinduliwa MZALENDO ONLINE TV
Pia unaweza kumfuata Krantz katika mitandao ya kijamii kama
 Facebook kwa jina la Mwanaharakati mzalendo  https://www.facebook.com/MWANTEPELE 
Instagram/ twitter  @ mzalendo89
 "HAPPY BIRTHDAY KRANTZ "

Hii Dhambi Hata Shetani na Laana zake Sijawahi Kusikia Kaitenda

Posted: 19 Jul 2015 01:03 AM PDT

Jamani swala la ushoga na usagaji na mapenzi kinyume na maumbile limezidi kukua kwa kasi ya ajabu sana. Hata Mbuzi, Kuku, Mbwa na wanyama wengine sijawahi kushuhudia wakipandana wakiwa wote na jinsia moja au kinyume na maumbile.

Ila mwanadamu alie umbwa kwa utashi wa kujua baya na jema anatenda jambo hiloo. Mungu hakukosea kutupa utashi ila ule utashi baadhi ya binadamu wanautumia ovyo.Uwezo wa kufikiri na kujua baya na jema unatumiwa vibaya kwa watu kupenda yale yote maovu na kuyaacha yale mazuri.

Hakuna cha hormones za kike wala nini tatizo ni tamaa ya kujaribu kila jambo hasa yale yaliyopigwa marufuku katika jamii. HORMONES unashindwaje kujizuia ukalale wa mtu wa jinsia yako? Si kuna wanawake na kuna wanaume kwanini uchague wa jinsia yakoo usichague wa jinsia tofauti kukidhi haja zako.

Ina maana una hormones nyingi kushinda mwanamke enyi mashoga au enyi wasagaji mna hormones nyingi za kiume kushinda wanaume? Hizo ni tamaa za kujaribu kila kitu.Umesha ambiwa hilo jambo ni baya kwanini unashindwa kujizuia.

Ushoga na usagaji mtapataje watoto.? Watu wa jinsia moja kamwe hawawezi kuzaa.Ni kunyima haki za viumbe wengine. Hiyo ni laana na mtajua siku ya mwisho. Tatizo ni kuiga kila jambo mnaloliona na kutakakulijaribu. Hili jambo nilakulikemea kwa nguvu sana.

Hata shetani na usaliti na dhambi zake zote hajawahi kuwa shoga. Ila yule binadamu anadiriki ilo jambo. Sio kila la mzungu kujaribu. pia sio mila na desturi zetu hata kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile yake ni kosa nani laana pia.

KEMEA MAPENZI YA JINSIA MOJA NA WOTE WANAOPENDA KUTUMIA MLANGO WA MBOLEA NI LAANA

Nini Sababu ya Wanaume Wengi Kutamani Sana Wanawake Mwenye Makalio Makubwa?

Posted: 19 Jul 2015 12:58 AM PDT

Kwa wanaofahamu naomba watujunze; ni sababu ipi ya wanaume kutamani sana wanawake mwenye makalio makubwa? Maana mimi sijaona kitu cha ziada ambacho kinachopatikana kwa mwanamke mwenye makalio makubwa katika mechi zaidi ya kuwa na matatizo yakutokujua kuchekechua.

kwa upande wangu nimefanikiwa kugegeda wanawake wa aina zote; mwenye makalio ya kawaida na ambao wanayo makubwa, lakini sijaona tofauti yoyote au kitu cha ziada ambacho anacho mwanamke mwenye makalio makubwa.

Tofauti kubwa niliyoiona kwa wanawake mwenye makalio makubwa ni mangogo katika mechi yanatenga tu, wengi hawajui kucheka chekechua kama hawa flat screen ambao nimewatafuna vya kutosha!!

Nasema hivyo sababu kumekuwa desturi kwa mwanamke mwenye makalio makubwa akipita kama kuna kundi kubwa la wanaume lazima mutageuka na kuanza kumjadili mwanamke huyo kwamba kajaliwa na Allah.

Naombeni wanaume wenzangu munitoe tongotongo kuhusiana na hili swala; kwamba kipi cha ziada ambacho anacho mwenye makalio makubwa katika maswala ya kimechi.

Mange Kimambi 'Nagombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa Ticket ya CCM ..Sio Viti Maalum' Kinondoni Bila Madawa ya Kulevya Inawezekana

Posted: 19 Jul 2015 12:44 AM PDT

Nagombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa ticket ya CCM. Yes jimbo sio Viti Maalum, Kwanini Kinondoni, nitafanya nini Kinondoni ? Zama kwenye blog yangu kwa majibu yote. Misukosuko ni mingi naipata lakini tukumbuke hakuna zuri linalopatikana kirahisi. Kinondoni bila madawa ya kulevya inawezekana. Ukiwa kama rafiki, fan au mzalendo naomba unidhamini kwa mchango wako wa hali na mali, kupitia mpesa 0764 484700 imesajiliwa kwa jina la Mange Kimambi Kama uko nje ya nchi unaweza kutumia www.gofundme.com/ycwfdc . Pia unaweza kutumia pay pal: mybongo...@gmail.com .
Pia unaweza kutumia western union au money gram kwenda kwa Mange John Kimambi , Dar Es Salaam, Tz. Account ya bank crdb iko kwa blog. Please kasome profile yangu kwenye blog yangu uelewe kwanini nimeamua kugombea jimbo la Kinondoni.....Utanielewa zaidi. www.u-turn.co.tz .

Hali ni Mbaya: Madiwa 20 wa CCM, Wenyeviti 6 Wa Vijiji na Viongozi wa Jumuiya za CCM Monduli kwa Lowassa Wahamia CHADEMA

Posted: 19 Jul 2015 12:35 AM PDT

WAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.

Madiwani hao wameingia Chadema na kufuatwa na wenyeviti sita wa vijiji pamoja na viongozi wa jumuiya za CCM, huku wakimwomba Lowassa ambaye ni Mbunge wa jimbo hilo, kufanya kinachoitwa ni uamuzi mgumu wa kuwafuata, baada ya CCM kukata jina lake sambamba na wagombea urais wengine 33, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri wakuu kama yeye.

Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara, kabla ya kukabidhi kadi yake na za wenzake 19 wa CCM kwa viongozi wa Chadema, kiongozi wa Madiwani hao, Julius Kalanga kutoka Kata ya Lepurko, alisema wamefanya uamuzi aliouita mgumu, ambao Lowassa amekuwa akiuzungumza.

“Sisi tumeamua kujiunga Chadema kutafuta haki na kuondoka CCM ambako wanachakachua Katiba ya Chama kwa kumpitisha kiongozi wanayemtaka, badala ya kufuata Katiba na wananchi wanachotaka.

 “Tunamwomba Mheshimiwa wetu Lowassa, atufuate huku Chadema, afanye uamuzi mgumu aliokuwa akisema kila siku na asiogope kuhama… atakuwa amefanya uamuzi wenye tija kwa Taifa,” alisema Kalanga.

Diwani huyo pia aliwasihi wananchi kufuata madiwani wao wanakokwenda kwa sababu hata huko watachukua fomu na kugombea ili kuing’oa CCM madarakani.

Waliohama
Madiwani waliohama chama ni wa kata ya Engaruka, Engutoto, Esilalei, Loksale, Majengo, Makuyuni, Meserani, Nalalani, Lemooti, Moita, Monduli Juu, Monduli Mjini, Mferejini, Mswakini, Mto wa Mbu, Migungani, Selela, Sepeko na Lashaini.

Madiwani na viongozi hao ni Kalanga mwenyewe, Edward Lenanu, Bazir Siamini, Sigur Olekibinti, Loti Yamat, Goodluck Lerunya, Pashet Sengurumi, Yase Runja, Gidion Kimongishu, Dora Kipuyo, Mary Morindat, Sara Lomayan na Halima Lusinde.

Wengine ni Dotto Mlacha, Hawa Nyambiry, Alex Kamanda, Sion Kapela, Maria Lemta, Onesmo Naikoyo, Shaban Adam, Enditosidai Naikulo na Elifuraha Simon.

Pia yupo Dinna Solomon, Loti Naparana, Jocy Laizer, Edward Mathayo, Piniel Loning’o, Napir Mukare, Inot Leringa, Kalaine Lowassa, Maria Mepukori, Mary Stivin na Edward Kone.

Ushauri wa wakongwe
Mwito huo wa madiwani wa Monduli, unatofautiana na ushauri wa kada mkongwe wa CCM, Steven Mashishanga, aliyekaririwa akimtaka Lowassa atulie na aachane na ushawishi wa watu wanaomtaka ahame chama hicho.

Mashishanga katika mahojiano yake na gazeti moja la kila siku juzi, alimkumbusha Lowassa kuwa bado ni kiongozi anayeheshimiwa na jamii na kumuasa kuwa kama anahisi ameonewa, asamehe.

Akifafanua hoja zake, Mashishanga alisema wanaomshawishi Lowassa ahame CCM na wale wanaohama chama hicho kwa sababu ya kukatwa kwa jina la Lowassa katika kuwania urais, si wana CCM wa uhakika.

Kwa mujibu wa Mashishanga, ndani ya CCM mgombea akiteuliwa, wanachama huachana na yaliyopita na kuwa wamoja kwa ajili ya kukiendeleza chama.

Malaigwanani
Mbali na Mashishanga, pia wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimasai, maarufu malaigwanani kutoka Wilaya ya Monduli, nao wamemuomba Lowassa kuendelea kuwa kada wa CCM, kwa sababu ndicho chama kilichomlea na anakijua.

Mmoja wa malaigwanani, Mzee Joseph Mesopiro, kutoka Kata ya Sepeko, alikaririwa na vyombo vya habari kwa niaba ya malaigwanani akisema, wanakusudia kutuma ujumbe maalumu kwa Lowassa, utakaomshauri asihame CCM kama baadhi ya watu aliowaita wapambe wanavyomshauri.

Laigwanani mwingine, Julius Laizer kutoka Kata ya Moita, alisema bado anaamini kuwa CCM itaendelea kubaki imara, hata kama baadhi ya watu watakihama.

Lazier alisema viongozi waliolelewa na kukuzwa CCM, wanaamini chama hicho kitaendelea kuwa imara na hawako tayari kukubali ushawishi wowote wa kutaka wahamie upinzani.

Naye Mwenyekiti wa CCM Kata ya Lepurko wilayani Monduli, Njoput Alami, alikaririwa akibeza taarifa za kushawishi watu kuhama CCM kwa kisingizio cha Lowassa kukatwa katika majina ya wawania urais, akiziita ni kelele za wapambe wanaohofia kukosa fursa walizotarajia, iwapo Lowassa angeteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM.

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa aliwakaribisha na kusema Chadema watu wote wanapendana na hakuna ukubwa wala uongozi, hivyo wanapokuja huko ni kazi moja ya ukamanda kuwatumikia wananchi.

Washindi wa MTV Mama awards 2015, wako hapa wote 17 akiwemo na Diamond Platnumz

Posted: 18 Jul 2015 09:42 PM PDT

Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.

List ya Washindi wote hii hapa..

Best Female:

Yemi Alade (Nigeria) >>> Mshindi.

Bucie (South Africa)

Busiswa (South Africa)

Seyi Shay (Nigeria)

Vanessa Mdee (Tanzania)

Best Male:

Davido (Nigeria) >>> Mshindi

AKA (South Africa)

Diamond (Tanzania)

Sarkodie (Ghana)

Wizkid (Nigeria)

Best Group:

P Square (Nigeria) >>> Washindi.

B4 (Angola)

Beatenberg (South Africa)

Black Motion (South Africa)

Sauti Sol (Kenya)

Best New Act Transformed by Absolut:

Patoranking (Nigeria) >>> Mshindi.

Anna Joyce (Angola)

Cassper Nyovest (South Africa)

Duncan (South Africa)

Stonebwoy (Ghana)

Best Hip Hop: 

Cassper Nyovest (South Africa) >>> Mshindi.

K.O. (South Africa)

Phyno (Nigeria)

Olamide (Nigeria)

Youssoupha (DRC)

Best Collaboration:

AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (South Africa/ Nigeria) >>> Washindi.

Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA)

Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Kenya/Nigeria)

Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast)

Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)

Song of the Year:

Mavins: “Dorobucci” (Nigeria)>>> Washindi.

Cassper Nyovest: “Doc Shebeleza” (South Africa)

Euphonik featuring Mpumi: “Busa” (South Africa)

DJ Fisherman & NaakMusiQ featuring DJ Tira, Danger & Dream Team: “Call Out” (South Africa)

K.O featuring Kid X: “Caracara” (South Africa)

Lil Kesh Featuring Olamide & Davido: “Shoki Remix” (Nigeria)

Sauti Sol: “Sura Yako” (Kenya)

Toofan: “Gweta” (Togo)

Wizkid: “Show You The Money” (Nigeria)

Yemi Alade: “Johnny” (Nigeria)

Best Live:

Diamond Platnumz (Tanzania) >>> Mshindi.

Big Nuz (South Africa)

Flavour (Nigeria)

Mi Casa (South Africa)

Toofan (Togo)

Video of the Year:

“Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw >>> Mshindi.

“Crazy” – Seyi Shay Featuring Wizkid; Director: Meji Alabi

“Doors” – Prime Circle; Director: Ryan Kruger

“Love You Everyday” – Bebe Cool; Director: Clarence Peters

“The Sound” – Davido Featuring Uhuru & DJ Buckz; Director: Sesan

Best Pop & Alternative:

Jeremy Loops (South Africa) >>> Mshindi.

Fuse ODG (Ghana)

Jimmy Nevis (South Africa)

Nneka (Nigeria)

Prime Circle (South Africa)

Best Francophone:

DJ Arafat (Ivory Coast) >>> Mshindi.

Jovi (Cameroon)

Laurette Le Pearle (DRC)

Tour 2 Garde (Ivory Coast)

Toofan (Togo)

Best Lusophone:

Ary (Angola) >>> Mshindi

B4 (Angola)

Nelson Freitas (Cape Verde)

NGA (Angola)

Yuri Da Cunha (Angola)

Personality of the Year: 

Trevor Noah (South Africa) >>> Mshindi.

Basketmouth (Nigeria)

Bonang Matheba (South Africa)

OC Ukeje (Nigeria)

Yaya Toure (Ivory Coast)

MAMA Evolution (Category mpya): D’Banj (Nigeria) >>>> Mshindi.

Best International: Nicki Minaj (Mshindi)

Artist of the Decade: P Square (Washindi)

MTV Base Leadership Award: Saran Kaba Jones & S’Bu Mavundla (Washindi)

Nuhu Mziwanda Avurugwa na Ujumbe wa Shilole..Naye Ajibu Mapigo..Amwita Shilole Asha Ngedere

Posted: 18 Jul 2015 09:35 PM PDT

Baada ya Shilole Kusema Amechoka na Nuhu Mziwanda kwa Kuwa Haridhiki na Kuamua Kuwasha Gari ..Nuhu Mziwanda kaupata ujumbe wa Shilole naye akaamua Kujibu Hivi:

Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu 
#AsHaNgeDerE

Diamond Platnumz na Davido Ngoma Droo Tuzo za MTV Awards....

Posted: 18 Jul 2015 09:29 PM PDT

Wanamuziki Diamond Platnumz na Davido Wameibuka Videdea Baada ya Wote Kushinda Tuzo Moja Moja Katika Categories Tofauti ....Mashabiki wengi Africa Macho yalikuwa kwa hawa watu wawili kuona yupi atachukua tuzo nyingi zaidi..lakini wote wamepata tuzo moja moja ...Diamond Amepata ya Mtumbuizaji Bora Africa Wakati Davido Amepata ya Mwimbaji Bora wa Kiume Africa...

Hongera Sana Kwao....

Shilole na Nuhu Mziwanda Waachana Rasmi..Shilole Abwatuka Haya 'Mwanaume Hata Umfanye nini Haridhiki'

Posted: 18 Jul 2015 09:23 PM PDT

Upande wa Pili huko kwa Kina Shilole na Nuhu Mzwanda Mambo si Shwari Jana Usiku wakati wengine tuko busy na Tuzo za MTV ..Mwanana Shilole Alipost Ujumbe Huu Ukiashiria yeye na Nuhu Mziwanda Mapenzi Basi Tena.....

Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi

Udaku Specially

unread,
Jul 20, 2015, 4:55:05 PM7/20/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Diamond and Zari shares new photos on the swimming pool

Posted: 20 Jul 2015 10:53 AM PDT


Diamond and Zari shares new photos on the swimming pool

Hizi ndio silaha na vitu vilivyokamatwa na Polisi vikihusishwa na uvamizi wa Kituo cha Polisi Stakishari.. (Picha)

Posted: 20 Jul 2015 10:41 AM PDT

Imetufikia ripoti kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar kuhusu idadi ya watu waliokamatwa na wanahojiwa na Jeshi la Polisi wakihusishwa na tukio la uvamizi wa Kituo cha Polisi cha Stakishari, Dar.
DSCI0033
Helmet za pikipiki pamoja na bunduki.
Kingine ni kwamba watu hao wamekutwa na vitu mbalimbali… Vitu vyote vilivyopatikana vimekutwa na Polisi eneo la Mkuranga vikiwa vimefichwa ndani ya shimo.
Tayari nimepata picha kutoka Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam, silaha zilizopatikana zimeoneshwa hapa.. kulikokutwa hizo silaha kumekutwa na vitu vingine pia, ikiwemo pesa Milioni 170.
DSCI0042
Kamanda wa Polisi, Suleiman Kova.
DSCI0045
Kamanda Kova akionesha moja ya silaha zilizopatikana.
DSCI0052
DSCI0055
DSCI0059
DSCI0066
Hizi ni sehemu ya pesa zilizokamatwa ambazo jumla yake ni Milioni 170.
DSCI0080
Hapa kuna picha na majina ya watu ambao bado wanatafutwa na Polisi.
DSCI0085
Kati ya watu waliokamatwa wapo ambao walikutwa na hizi pikipiki ambazo zilitumika kwenye tukio la uvamizi.
DSCI0091
Kazi imeanza, sasahivi Vituo vya Polisi vitakuwa na CCTV camera kwa ajili ya Usalama.
DSCI0092
Camera tayari zimeanza kufungwa, hapa ni Makao Makuu ya Polisi Dar.
DSCI0095
Kamanda wa Polisi, Simon Silo ndio anayeongoza Oparesheni ya kusaka watuhumiwa wa tukio la uvamizi Kituo cha Polisi.
Source:Millard Ayo

Shamsa amsapoti Nay Wa Mitego kui’push’ ngoma yake mpya ya ‘Sina Muda’.

Posted: 20 Jul 2015 07:37 AM PDT

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Shamsa Ford ambaye amekuwa akidaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego amemsapoti msanii huyo kwa kuongozana naye kwenye vituo mbalimbali vya redio na tv ikiwemo Clouds TV na kufanya mahojiano pamoja na kuipush ngoma yake mpya iitwayo Sina Muda.

Akizungumza na Clouds FM,Nay alisema kuwa wamekuwa wakiongozana na Shamsa kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV ili kuipa nguvu zaidi na kuitangaza ngoma yake mpya kwa kuwa ni rafiki yake na amekuwa akimsapoti kwenye mambo mengi zaidi ya muziki wake.

‘’Shamsa ni rafiki yangu na amekuwa akinisapoti kwenye mambo mengi tu zaidi ya muziki wangu ndiyo maana nimekuwa nikiongozana naye kwenye vituo mbalimbali vya TV na redio kwa ajili ya mahojiano na kuitangaza zaidi ngoma yangu mpya ya Sina Muda,’’alisema Nay.

Hata hivyo Nay alisema kuwa ngoma yake hiyo mpya hakuitegemea kama itafanya vizuri kwa kuwa aliichukulia poa na hakuipa nguvu sana lakini ilivyopokewa vizuri na mashabiki ndiyo maana ameona aipe nguvu zaidi kwa kuitangaza kwenye vituo vya redio naTV.

‘’Unajua sikutegemea kama hii ngoma itapokelewa vizuri niichukulia poa tu lakini illivyopokelewa vizuri na mashabiki nimeona bora niipe haki yake nitumie nguvu zaidi kuitangaza nikiwa na binamu yangu Shamsa,’’alisema Nay.

Diamond Platnumz Adai Jokate ni Mnafiki Sana...Ananipongeza Leo Baada ya Kushinda Wakati wa Kupiga Kura Hakuwa na Habari Nami wala Kunipost...

Posted: 20 Jul 2015 07:38 AM PDT

Diamond Platnumz Akiojiwa na Clouds FM kuhusu Video aliyopost jana ikionyesha Jokate Akicheza Wimbo wake na Kuandika "Mbona Bado, Mtanyooka tu".Amesema kuwa yeye amempost kwa nia nzuri tu na si kumzalilisha amedai yeye mara nyingi huwa anawapost watu wakicheza nyimbo zake hivyo kumpost Jokate kwake ni Kawaida...
Pia ameulizwa kuhusu maneno aliyotumia kwenye video hiyo kuwa ni ya kichokozi Diamond akadai kuwa yeye ni Mswahili wa Tandele kuandika Maneno haya ni kawaida kwake kwani amekuwa akiyatumia katika post zake mbali mbali....lakini leo ametumia kwa Jokate basi watu wengine wamepanic.....

Mwisho Diamond Akafunguka ya Moyoni kuhusu Jokate na Kusema kuwa si mzalendo kwa vile anajidai kumpongeza leo baada ya kushinda wakati kabla ya kushinda yeye na wenzake walikuwa Bize wakishawishi watu wampigie kura Davido...Amedai hata siku moja hakuwahi kumposti  kwa page zake kumpa sapoti hivyo asijadai leo kulia lia....

‘’Nikasikia kuwa kasema kuwa ndiyo maana wanaogopa kusapoti wasanii wa Tanzania kwa sababu wakisapoti wanadhalilishwa yeye mpaka naenda kuchukua tuzo ya Mtumbuizaji Bora yeye amenisapoti nini hajawahi kunipost hata tuzo moja sasa hivi ndiyo anajishaua eti ananipa hongera kwa tuzo ningemuona wa maana angepost watu wapige kura na kuwahamasisha ili ushindi urudi nyumbani lakini kwa chuki alizojazwa pasipo na sababu na roho mbaya aliyowekwa na watu imemfanya ashindwe kunipost na kutengeneza chiki za chinichini wakidhani wakiwapigia kura Wanageria mimi nitakosa tuzo Mungu amewalaani mimi nimeshinda halafu anajifanya anatoa hongera eti wanasapoti muziki wa Tanzania au kwasababu wameona tuzo imekuja ndiyo wanajifanya wanatoa hongera tuache unafiki,’’alimalizia Diamond.

Nampa Kila Anachostahili Mke Wangu Lakini Sina Amani na Ndoa yangu....

Posted: 20 Jul 2015 07:05 AM PDT

Mke wangu nampenda sana kila anachotaka nampa. Yeye ni mwalimu wa msingi. Uwezo wangu wa kifedha si mkubwa lakini nimejitahidi hadi nimemnunulia walau kigari cha kuendea kazini katika jitihada za kumfanya nae ajisikie vizuri mbele za watu.

Mshahara wake ni chini ya laki 5 lakini huwa namwekea mafuta ya shilingi laki 3 kwa mwezi ili aende kazini. Nampa matunzo yote anayotaka kama mke wa ndoa anavyostahili.

Kinachonisikitisha ni dharau anazonionyesha ndani ya nyumba. Akiamua kunitukana inachukua siku tatu kumaliza matusi. Nyumba haina amani naishi kama mhamiaji haramu. Kuna wakati ananiangalia tu na kunisonya bila kumkosea chochote.

Anadai nikisafiri anaishi kwa amani nikirudi anakereka. Kwa kifupi mimi huwa ni mara chache huwa najibizana nae ninapozidiwa na hasira lakini mara nyingi hukaa kimya.

Nimejaribu kujiuliza ni wapi nakosea sipati jibu. Natunza familia vizuri, unyumba nampa, sina vimada na wala hajawahi kunihisi.

Tatizo ni nini? Nisaidieni wadau niishije na huyu mke? Akiugua anajitahidi kuonyesha jamii kuwa simjali anaamka mapemaa anawahi hospitali ili nionekane simjali.

Akiamua kunitukana anatumia matusi na kashfa nzito dhidi yangu. Bado sijamsimulia mtu yeyote kwa ajili ya kulinda heshima ya familia lakini naona kama nazidiwa.

Naombeni ushauri wenu.

Breaking News: Majambazi Walioua Polisi na Raia Kituo cha Polisi Stakishari Wakamatwa

Posted: 20 Jul 2015 07:01 AM PDT

Polisi Jijini Dar es Salaam wamesema wamewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, pia silaha kadhaa zimekamatwa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ameapa kwamba Jeshi hilo litawakamata wale waote waliohusika na tukio hilo, pia amesema kama wapo watu waliohusika na tukio hilo wajisalimishe.

Silaha zilizopatikana ni SMG 7, Sar, 7, Risasi 28 za SMG zote za Kituo cha Polisi Stakishari, Pia wamekamata sanduku lenye fedha za Kitanzania milioni 170.

Magufuli Anatumia Ndege ya Serikali Kufanya Kampeni...Vyama vya Upinzani Vyaja Juu.....

Posted: 20 Jul 2015 06:56 AM PDT

Wanasiasa wa upinzani nchini wamepinga kitendo cha
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kutumia
ndege ya Serikali kwenye shughuli za kichama za
kujitambulisha wakisema hatua hiyo ni matumizi mabaya
ya rasilimali za Taifa. Hata hivyo, Katibu wa Itikadi na
Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema walifuata taratibu
zote kuikodi ndege hiyo na kwamba chama chake ni
kikubwa na hakiwezi kushindwa kukodi usafiri huo.
Source: Mwananchi

TETESI:Lowassa Aandaa Waraka Kumchanachana Kikwete, Kisha Kutimkia Ng'ambo...

Posted: 20 Jul 2015 07:31 AM PDT

Hatimaye mbunge wa Monduli Edward Lowassa kesho atatoa waraka mzito utakaoelezea namna ambavyo alifanyiwa kile alichokiita 'hila' na rais Kikwete.

Waraka huo unatarajiwa kulitikisa taifa na huenda ukaigawa vibaya CCM.

Baada ya waraka huo pia Edward Lowassa anatarajiwa kutoa rasmi hatima yake kisiasa huku kila dalili ikionyesha kuwa ataisambaratisha vibaya CCM kutokana na maamuzi atakayochukua.

=======
UPDATES:

- Miongoni mwa mambo mazito yaliyo kwenye waraka huo ni hatua ya Edward Lowassa kumuunga mkono Dr. Willbrod Slaa kama mgombea urais anayekubalika na wengi baada ya yyeye kuenguliwa.

- Pia kuna dalili (ingawa siyo za wazi na zimetawaliwa na giza nene kwamba huenda Lowassa atatangaza rasmi kuhamia Chadema ingawa hatagombea urais).

- Taarifa nyingine zinabainisha kuwa EL baada ya kubwaga manyanga, atatimkia ng'ambo wakati CHADEMA wakimwandalia mapokezi "mazito"

By G Sam

CUF Yasema CCM Ilimuonea Edward Lowassa.......Yasema Ipo Tayari Kumpokea Kwa Kuwa Ni Mtu Safi, Asiye Na Doa lolote

Posted: 20 Jul 2015 05:20 AM PDT

Chama  cha Wananchi (CUF), kimeibuka na kumtetea aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (pichani juu), kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilimuonea kwa kukata jina katika ngazi ya Kamati ya Maadili na kushindwa kulifikisha  Kamati Kuu ya CCM (CC).

Lowassa alikatwa jina lake akiwa ni miongoni mwa wagombea 38 wa urais kupitia CCM, lakini inadaiwa kwamba aliondolewa katika hatua za awali kwenye Kamati ya Maadili.

Kadhalika, CUF kimesema kipo tayari kumpokea Lowassa ndani ya chama hicho kwa kuwa ni msafi na hajawahi kufikishwa hata mahakamani kwa ajili ya kushitakiwa kutokana na madai ya rushwa.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Abdul Kambaya, alipokuwa akizungumza katika kipindi cha Pilikapilika za uchaguzi nchini kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha Star Tv.

Kambaya alirejea ripoti ya Kamati teule ya Bunge iliyoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe mwaka 2008 kuchunguza kashfa ya Richmond ambayo ilimng'oa Lowassa katika nafasi ya Waziri Mkuu.

Alisema katika kamati hiyo, Dk. Mwakyembe aliweka bayana kwamba kila mtu aliyehusishwa ama kutajwa katika kashfa ya Richmond angefikishwa mahakamani kujibu mashtaka.

Kambaya alisema mpaka sasa Lowassa hajawahi kufikishwa mahali popote kushitakiwa na kwamba hatua hiyo inaoonyesha kwamba kiongozi huyo hakuwa na kashfa yoyote.

Alisema lengo la CUF ni kuing'oa CCM na kwamba ukiona kuna mtu mwenye uwezo mkubwa wa kuitikisa chama hicho na kukipasua wapo tayari kumkaribisha ili washirikiane naye.

Alifafanua kuwa mtu ambaye siyo msafi hawezi kukaribishwa CUF na kwamba Lowassa kama angekuwa mchafu angekuwa ameshitakiwa mahakamani tangu alipojiuzuru mwaka 2008. Katika mjadala huo washirki walijadili matumizi makubwa ya fedha yaliyojionyesha ndani ya CCM tangu mchakato wa kuelekea Uchaguzi Mkuu ulipoanza.

Watu wengine waliojitokeza kumtetea Lowassa ni pamoja mwanachama mwenye kadi namba nane ya CCM, Kingunge Ngombale Mwiru, ambaye alitamka wazi kwamba kanuni na sheria ndani ya chama zilikiukwa.

Kingunge alisema haki haikutendeka kwa sababu Kamati ya Maadili kwa mujibu wa kanuni na taratibu za CCM haina mamlaka ya kukata jina la mgombea kwa sababu siyo kikao cha maamuzi. Wakati hayo yakisemwa, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amewaonya watu wanaokisema vibaya chama hicho na kwamba kitawachukulia hatua.

Video: Baada ya ushindi wa Tuzo za MTV, Davido athibitisha ujio wa collabo mpya na Diamond mwezi ujao

Posted: 20 Jul 2015 05:18 AM PDT

Baada ya wote wawili kuibuka washindi kwenye tuzo za MTV MAMA 2015 zilizotolewa Jumamosi iliyopita Durban, Afrika Kusini, Davido na Diamond wameweka wazi ujio wa collabo yao mpya.

Wakiwa na furaha huku wakiwa wamebeba tuzo zao mikononi mara baada ya tukio la utolewaji tuzo hizo kuisha, staa wa Nigeria Davido akiwa na Diamond ametoa ahadi ya collabo yao mpya.

Katika kipande cha video (hapo chini) Davido ametamka kwa kinywa chake:

“New F*ckin Diamond and Davido we gonna dropin next month, we do this f*ckn East Africa West Africa biggest artist we do this…we are uniting…” Wakati Davido akiyaongea hayo, Diamond alikua akiitikia “I’m telling you”.

Diamond aliibuka mshindi wa tuzo ya ‘Best Live Act’ na Davido naye aliibuka mshindi wa tuzo kubwa ya Best male ambayo pia alishinda mwaka jana.

Lulu Michael Ni Demu FEKI na Tapeli

Posted: 20 Jul 2015 05:16 AM PDT

Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni.

Akizungumza na mtandao huu, Lulu amesema kuwa ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu wanataka kujua kwa nini yeye ni feki na ana tabia za kitapeli wasubiri kujua kwa nini ameamua kujiita hivyo.

“Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya kitathibitisha hilo,” alisema Lulu

Benard Membe Atangaza Kuachana Na Siasa.......Asema Hatagombea Wadhifa Wowote Mwaka Huu

Posted: 20 Jul 2015 05:15 AM PDT

Waziri wa Mambo ya Nje na  ushirikiano wa kimataifa, Bernard Membe, amesema hatogombea wadhifa wowote kwenye uchaguzi mkuu wa  mwaka huu na kwamba anapanga kujishughulisha na masuala yake ya kibinafsi.

Membe ambaye alikuwa akitafuta tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania urais mwezi Oktoba lakini akashindwa kufikia lengo hilo, amesema kuwa, hatotafuta nafasi ya ubunge katika jimbo lake la Mtama.

Hata hivyo amesema ataendelea kukiunga mkono chama chake cha CCM na atampigia debe mgombea urais aliyeteuliwa na chama hicho, Bw. John Magufuli.

Awali kulikuwa na tetesi kwamba Membe angegombea ubunge baada ya kukosa nafasi ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM.

Huku hayo yakijiri, chama cha Mapinduzi  (CCM) kinaendelea kupata pigo baada ya baadhi ya wabunge wake kutangaza kuwa hawatogombea tena nafasi zao kupitia chama hicho kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Tayari madiwani 20 wa CCM katika jimbo la Monduli wametangaza kuhamia Chadema na kumtaka mbunge wao, Edward Lowassa kufuata mkondo huo.

Udaku Specially

unread,
Jul 21, 2015, 4:42:21 PM7/21/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Rumours: This is Secret UKAWA’s Plan for the 2015 Elections

Posted: 21 Jul 2015 01:03 PM PDT


Rumours: This is Secret UKAWA’s Plan for the 2015 Elections


Baada ya Lembeli Kujilipua Leo, Soma Hii iliyotoka Huko CHADEMA Hivi Punde

Posted: 21 Jul 2015 12:47 PM PDT

Mbunge machachari wa Kahama James Lembeli ametangaza rasmi kujivua uanachama wa CCM na kujiunga na CHADEMA katika mkutano na waandishi wa habari unaoendelea hapa DSM.
Tukio hili pia limeshatangazwa live na Radio one stereo.Ikumbukwe mbunge huyu mpambanaji dhidi ya ufisadi ndiye aliyeongoza kamati teule ya bunge iliyoshughulikia suala la operesheni tokomeza na kusababisha mawaziri wanne kujiuzulu.
Mbunge Wa Kahama(CCM) ametangaza rasmi kwamba atagombea Ubunge Katika jimbo la Kahama kwa Tiketi ya CHADEMA,
Baada ya tukio hilo la mbunge LEMBELI tangaza kujiunga na CCM uongozi wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA kupitia kwa msema ji wa cha ahicho akaibuka na kauli nyingine ya kuwashtua watu juu ya hamisha hamisha hiyo inayoendelea.akaweka kauli hii kwenye mitandao

Tumemaliza event ya kwanza leo. Mhe. James Lembeli baada ya kuwa CCM kimwili kwa muda mrefu huku dhamira yake, uwezo wake, akili zake, zikiwa Kwenye mabadiliko ya kweli, leo kaamua kuuhamisha kabisa na mwili huo. Kuanzia Julai 21 amekamilisha kile ambacho akili yake kilikuwa kinahitaji. Amejiunga na wapiganaji wa CHADEMA.
Hiyo ya kwanza. Kesho tutawapiga kiaina tena. Keshokutwa pia. Halikadhalika mtondo bila kusahau mtondogoo! Mind you, it would be in different styles and different places.
Hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa kabla CCM haijaondoka madarakani mwaka huu. Ukiona Simba kanyeshewa usidhani paka. Ukiona Kobe kainama ujue anatunga Sheria.
Ukimya umeanza kuja na kishindo kikubwa. Tuko tayari. Tuonane kesho kwa masaa 3. Hitting them again.

Wametangulia na kufuli na dawa ya kufuli ni ufunguo.

Baaya ya kauli hiyo kumeibuka za chini chini kuwa aliyekuwa mbunge wa viti maalum wa CCM  Ester Bulaya atapokea  kadi rasmi ya CHADEMA hapo alhamisi wiki hii.mtandao huu unaendelea kufwatilia nini hasa kitajitokeza katika hili

Mbowe Amkaribisha Rasmi Lowassa CHADEMA

Posted: 21 Jul 2015 12:25 PM PDT

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi

TUZO ya MTV Yampa Kiwewe Kikubwa Diamond...

Posted: 21 Jul 2015 12:13 PM PDT

BAADA ya kuchukuwa Tuzo ya Mtumbuizaji Bora Afrika mwishoni mwa wiki iliyopita, staa anayetikisa kupitia Ngoma ya Nana, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonekana kama kupata kiwewe.
Katika kusheherekea usiku wa tuzo hizo zinazojulikana kama MTV Africa (MAMA), Diamond alitupia picha mbalimbali kwenye mitandao yake ya kijamii na mojawapo ilimuonesha akiwa amelala huku tuzo yake ikiwa pembeni ya kitanda na kufunguka; “Nawashukuru madensa wangu kwani wao ndiyo wamenipika nikapikika hadi leo hii.
Shukrani za kipekee zimfikie mama yangu kipenzi Sandra kwa mafunzo na malezi anayonipa kila siku juu ya dunia,” aliandika Diamond na kufanya mashabiki wengi wamuone kama amepata kiwewe kupata tuzo hiyo huku wengine wakihoji kulikoni mbona hajatoa shukrani kwa baba yake.
Kuonesha kiwewe cha kupata tuzo, Diamond alienda mbali zaidi kwa kuandika; “Shukrani za pekee ziende kwa kipenzi changu, Zari kwa raha na usingizi mwanana anipatiao na kunifanya nizidi kutunga zaidi na kuwa mbunifu.” Katika tuzo aliyochukua Diamond, alikuwa akichuana na wakali wengine kama Big Nuz, Mr. Flavour, Mi Casa pamoja na Toofan

CCM Mnakipasia Chama Bila Sindano ya NGAZI.....

Posted: 21 Jul 2015 12:07 PM PDT

Nimshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuamka nikiwa salama na kuandika haya nitakayoandika. Hakika ahimidiwe daima.

Wiki iliyopita nilisoma habari iliyomhusu Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ambaye alimtolea uvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, Kingunge Ngombale Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema bila kupindapinda kuwa anakivuruga chama.
Mzee Kingunge aliyejitoa kufa na kupona kumpigania Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa, amekuwa akitoa matamko mbalimbali kuhusiana na mchakato wa kumpata mgombea urais na zaidi akisema haukutenda haki hasa baada ya kuenguliwa jina la Lowassa.
Kamati ya Usalama na Maadili, Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa, ndizo zilizokuwa na kazi ya kuchuja majina hadi kupatikana mgombea mmoja, Dk. John Pombe Magufuli.Makamba alisema: “Mzee Kingunge ni mtu mzima, ninamheshimu sana, ni mkongwe katika siasa, lakini anakivuruga chama.”

Alisema hakubaliani na kauli za Kingunge kupinga uteuzi wa Dk. Magufuli kwa sababu makada wote wa chama waliokuwepo Dodoma, waliamua kumpitisha kwa kuwa walimuona anafaa na anaweza kukijenga chama.

Makamba akaongeza: “Ndani ya chama kuna wazee wenye busara ambao waliangalia vitu vingi hadi kumteua mgombea kwani unaweza kuwa mtendaji mzuri lakini ukawa na kasoro nyingi hivyo, unaweza vilevile kuonekana ukashindwa kukivusha chama kwenye ushindi.
Licha ya maneno hayo ya kijana Makamba, mimi pia namheshimu sana Mzee Kingunge, lakini siwezi kukubaliana naye anavyokandia mchakato na niseme ukweli tu kwamba naye anakipasua chama na kama chama kingekuwa ni binadamu basi upasuaji huo ungekuwa unafanyika bila ganzi.
Mimi ninaamini mchakato ulikuwa sahihi, kila mgombea aliridhika (labda Lowassa) na ndiyo maana kura zilipigwa ndani ya Mkutano Mkuu wa CCM, chombo chenye maamuzi ya mwisho wajumbe wakiamini kuwa Dk. Magufuli anaweza kuongoza.

Dk. Magufuli nina imani kwamba atafanya vizuri kiuongozi hivyo ni bora apewe ushirikiano kama walivyopewa viongozi waliopita ili kuinusuru CCM na watu waendelee kukiheshimu kama awali.
Baba yake January Makamba ambaye ni katibu mkuu mstaafu wa chama hicho, Yusuf Makamba alitia ‘moto’ maneno ya mtoto wake alipokakaririwa na vyombo vya habari wiki iliyopita akisema kwamba, watu wanaoendelea kulalamikia mchakato wa kumpata mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Magufuli wana masilahi binafsi na siyo kwa ajili ya kukiimarisha chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake wiki iliyopita Mzee Kingune ambaye aliwahi kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM alisema, Kamati ya Usalama na Maadili iliteka majukumu ya Kamati Kuu baada ya kuamua kuchuja majina ya makada waliojitokeza kuwania urais hadi kufikia watano, akisema jitihada hizo zilifanywa kwa kuvunja kanuni na zililenga kumuengua Lowassa kuwania kuingia ikulu.

Kingunge alisema kitendo cha kumuengua Lowassa kwa kuvunja kanuni kimeacha kasoro kubwa ndani ya chama hicho tawala kwa sababu taratibu zilikiukwa ili kupata viongozi.Alisema kosa hilo siyo la Dk. Magufuli aliyepitishwa kuwa mgombea urais wa CCM, na wala si la Lowassa, bali ni la waliopendekeza majina ya walioingia tano bora.
Jina la Lowassa, ambaye alijidhihirisha kukubalika ndani na nje ya CCM kutokana na harakati zake za kusaka wadhamini kujaa watu, halikupelekwa kwenye Kamati Kuu, kwa mujibu wa Kingunge na hivyo kutojadiliwa na chombo hicho ambacho kilimpitisha Dk. Magufuli, Dk. Asha-Rose Migiro, January Makamba, Bernard Membe na Balozi Amina Salum Ali.
Ninachoweza kusema ni kwamba Mzee Kingunge atafakari kama anachokifanya sasa ni cha kujenga chama? Je, semasema yake nje ya vikao vya chama, atasikilizwa na wenzake? Je, kwa nini vigogo hao wamuengue Lowassa?

Mimi naamini walikuwa na sababu nzito ambazo bila shaka kuzisema zingeweza kuvuruga chama, hivyo busara na hekima zilitangulizwa.
Jipu limepasuka, siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Battle: Kwa Mara Nyingine Tena Wale Mahasimu Wawili wa Bongofleva Nchini Wamekutana TUZO ZA AFRIMMA

Posted: 21 Jul 2015 12:02 PM PDT

Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za AFRIMMA AWARDS, Najua teamondi hawaamini na ni ngumu kwao kukubali ila ndo ivyo tena jamaa(KIBA) ndo kashavuka mipaka ya TANZANIA nayeye...hivyo muache kejeli na dharau,Najua mwaka huu AFRIMMA watashangazwa na mvua ya KURA zitakazopigwa ambayo haijawai kutokea kabla na hasa zikitokea TZ na kama kwenye hizi TUZO wao wanapiga pesa basi ni wazi hawatosita kuwarudisha hawa jamaa tena mwakani kwenye kinyanganyiro hicho.

Haya sasa kipenga kimeshalia "TEAMKIBA" na "TEAMMONDI"... Let's go!!!!!

Ingia Hapa Kupiga Kura: http://afrimma.com/nominees-2015/

Mbasha: Mimi na Flora ndiyo Basi Tena

Posted: 21 Jul 2015 11:44 AM PDT

Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo katika maisha yake. 

DIAMOND PLATNUMZ Alewa Sifa na Kutukana Hadharani...

Posted: 21 Jul 2015 11:34 AM PDT

 Baada tu ya Kuchukia Tuzo ya MTV Mama Katika Kipengele cha Mtumbuizaji Bora Africa Diamond  Platnumz Alipiga Picha hiyo hapo juu akiwa na Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana.......
Je wewe Una maoni gani juu ya Alama hiyo ya Kidole cha Kati ?

Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda...Wivu Wachangia......

Posted: 21 Jul 2015 11:29 AM PDT

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kuachana.

Nuh haniamini kabisa na ana wivu kupitiliza ndo chanzo cha kuachana”  Shilole  amenukuliwa na Eatv.tv akieleza.

Wawili hao wamekuwa wakijibizana kwa maneno ya shombo kwenye midandao ya kijamii mara baada ya kuachana.

Nay wa Mitego kamvalisha pete Shamsa?

Posted: 21 Jul 2015 07:57 AM PDT

Jana kupitia ukurasa wake wa @Instagram Shamsa Ford alimshukuru Nay wa Mitego kwa kumvalisha pete…

Nay amesema amempa tu pete kama zawadi na si kumvalisha.

Amesema anaona hiyo ni zawadi ambayo ataweza kumkumbuka nayo tofauti na zawadi nyingine…amesema kama itakuwa vinginevyo atakuwa tayari kuweka wazi.

Vijembe walivyorushiana Shilole na Nuh Mziwanda ni maandalizi ya wimbo mpya au kweli wameachana?

Posted: 20 Jul 2015 10:06 PM PDT

Swali ambalo wengi wamejiuliza baada ya kuona vita ya maneno baina ya Shilole na boyfriend wake Nuh Mziwanda katika mtandao wa Instagram , ni je wanaachia lini wimbo mpya?

Nuh  akiibusu pete ya uchumba aliyomvalisha Shilole

Ikimaanisha kuwa vita hiyo imetafsiriwa kama maandalizi ya kuachia ngoma mpya huku wengine wakiamini kuwa huenda ukawa ndio mwisho wa penzi lao.

Wakati wengine wakisheherekea sikukuu ya Eid weekend iliyoisha, Muimbaji wa ‘Nakomaa na Jiji’ Shilole alitumia akaunti yake ya Instagram kuandika vijembe kwa Nuh Mziwanda, alianza kwa kuandika:

Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika’ila sasa kama gari limewaka’aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu’Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi”


Baada ya siku moja Shishi aliongeza kijembe kingine:


“Kidume unataka raha tu ‘pesa hauna ‘na bado siunaleta ujanja kwa mtoto wa igunga ‘mjini hapa ‘halafu sina habari ‘wacha niwe busy na kazi zangu tu’mapenzi yashanishinda mie.nawapenda sana mashabiki wangu! Manopenda mitelemko kazi mnayo kupandisha vitonga hamtaki mtanyoookaa na kama ulikuwa unatembelea Kik yangu basi katafute snare”.



Upande wa Nuh Mziwanda naye alijibu kupitia akaunti yake:


“Mwanaume wa kweli ukaa kimya’sibishani na upumbavu’mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa’na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu’familia na’wasanii wenzangu na wadau’anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew’mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu ‘nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari ‘mimi nacheka tu #AsHaNgeDerE”

Kama ni ‘kiki’ ya wimbo wao mpya, unahisi hashtag walizotumia #GaNdALaNdiZi na #AsHaNgeDerE zikawa zinahusika na jina la wimbo? Ngoja tusubiri tuone!

Hivi ndivyo NTV walivyomkejeli Ray C baada ya kudai anamzimia Rais Uhuru Kenyatta (Video)

Posted: 20 Jul 2015 10:01 PM PDT

Kutoka kutangaza kutafuta mume Instagram hadi kukiri kumpenda Uhuru Kenyatta, Ray C anaendelea kutengeneza vichwa vya habari Afrika Mashariki.

Weekend hii muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameamua kufunguka hisia zake juu ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Lemme tell u a lil secret about Uhuru!!!!I love this guy to death!I have had a crush on him for soooooo long!!!huwa namuota sana sana!!!!I love everything about him!His Attitude, His accent!Total Package,” aliandika Ray C.

Ujumbe huo umepokelewa kama moja ya vituko vilivyotokea hivi karibuni hasa ukizingatia kuwa Uhuru ni mume wa mtu. Kituo cha runinga cha NTV kiliipa nafasi habari hiyo kwenye taarifa yake ya habari ya saa tatu usiku:

Unakumbuka ile story kuwa Hussein Machozi alifumaniwa na mke wa mtu Mombasa? Huu ni ukweli kutoka kwake (Audio)

Posted: 20 Jul 2015 09:59 PM PDT

Waingereza wanasema ‘bad news spreads fast and far’, yaani kwamba habari mbaya husambaa haraka na mbali. Pengine Hussein Machozi ni mmoja wa watu wanaoweza kuuelezea vyema usemi huu.


Unakumbuka ile habari kuwa muimbaji huyu alifumaniwa akiwa na mke wa mwanasiasa maarufu nchini Kenya ilivyosambaa? Ni kweli jamaa alifumaniwa? Machozi ameutoa uhondo wote kwenye Chill na Sky.

“Kuna dada mmoja wasanii watakuwa wanamjua sana, huwa anaandaa show, alinitafuta, alisikia nimeenda Mombasa, akaniambia njoo Sarova hapa, hoteli moja babkubwa sana. [Nimeenda], nimemkuta yeye yupo kwenye swimming, kwahiyo mimi nikawa nimechill out namsubiri atoke tuendelee kuzungumza,” amesimulia Hussein.

[Ghafla niliona zimeingia gari mbili nyeusi na watu fulani wameenda juu kama sita saba hivi. Mzee basi full kupigwa makofi ‘kaa chini, fanya hivi.’ Yule dada ananiambia ‘kimbia’ sasa nikimbie nimefanya nini? Sasa wakati mzozo huo umeendelea wamenikalisha chini, ile gari ya pili sasa akashuka jamaa ambaye mimi simjui, wanasema ni mwanasiasa mkubwa mimi nilikuwa sielewi,” ameongeza.

“Wakati anashuka jamaa sasa aje kuniface, kuna gari nyingine tu ya kawaida, Vitz ikamshusha mwanamke mmoja hivi mama ambaye ndio mke halisi wa huyo jamaa. Kwahiyo huyo mama akawa kama amekuja kunisaidia mimi kwasababu ilibidi amshike mashati jamaa ‘umekuja kufanya nini hapa.’ Ugomvi ukawa kati ya yule mwanamke aliyeniita mimi na yule mama, kwamba wenyewe ndio wamefumaniana. Yule jamaa alivyoona vile akaamuru watu wake wapande kwenye ndinga wasepe waepuke kizazaa kipya tena ambacho kimezaliwa. Wale wahudumu wakaniambia ‘bwana sepa, ruka kwenye fensi ya beach. Mimi nikaruka upande wa beach nikachepuka. Sasa walioanza kusambaza habari kwamba Hussein amefumaniwa ni wale wahudumu wa ile hoteli.”

Unaweza kusikiliza kipindi kizima cha Chill na Sky hapo chini.

Irene Uwoya Naye ajitosa kwenye Siasa......Achukua fomu ya Ubunge viti maalum Tabora

Posted: 20 Jul 2015 09:56 PM PDT

Msanii  wa  Bongo  movie, Irene  amechukua  fomu  ya  kugombea  ubunge  wa Viti  Maalum  kwa  tiketi  ya  CCM  huko  Tabora.
  
Hizi  ni  picha  alizotutumia  wakati  akikabidhiwa  fomu  hiyo.

Udaku Specially

unread,
Jul 22, 2015, 4:04:49 PM7/22/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Caught on Secret Camera! A boss and His Own Secretary in The Office (VIDEO).

Posted: 22 Jul 2015 11:18 AM PDT

If your wife or girlfriend is a secretary, you should be worried because some of the things secretaries do with their bosses are just shocking.

Majority of those secretaries you see dressed to kill engage in frequent s3x escapades with their bosses in offices and other places. Below is a video of a boss who was caught on a hidden camera s3ducing his secretary for two consecutive days.

Notice how he shamelessly touches her when she submits office documents.

Watch the video below and be worried if your wife or girlfriend is a secretary.

div align="center">

Master J Aeleza Kwanini Aliachana na Mke Wake ‘Watu Waelewe tu Kuwa ni Bonge la Mwanamke’

Posted: 22 Jul 2015 09:29 AM PDT

Master J ameamua kuweka wazi sababu za kuachana na mke wake aliyezaa naye watoto watatu wa kike.

Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi wiki hii, producer huyo mkongwe alidai kuwa pamoja na ndoa yao kufa, mke wake ni mwanamke wa pekee.

“Wewe unaweza kuwa mtu mzuri na yeye anaweza kuwa mtu mzuri lakini when it comes to the matters of the heart ikawa inashindikana,” alisema. “Lakini sio kwamba mtu mmoja yeye ni mbaya, mimi ni mzuri zaidi, hapana. Watu lazima waelewe I can’t take away from her – ni bonge la mwanamke. Anajiheshimu and she is a good mom. Ni basi tu kwamba we were different.”

Hata hivyo Master J amekiri kuwa mke wake na wanae hawajatoa baraka zao kwa uhusiano wake na Shaa.

“Hiyo issue ngumu sana mpaka sasa hivi,” alisema J. “Unajua hii issue inawatesa sana watoto, separation yoyote watoto ndio wanaoteseka, kwahiyo najitahidi sana kuwa nao karibu, tunawasiliana everyday whenever I get time, tunahang out, lakini haijafika stage kwamba tunahang out kihivyo.”
Master Jay Akiwa na Watoto Wake

Master anadai kuwa kipindi suala hilo limetokea na vyombo vya habari kutaka kujua kutoka kwake alipata shida kuzoea na ilimsumbua.

“Kwa utamaduni wetu sisi hapa Tanzania ni issue nzito sana. Watu kama ndoa imeshindikana wako tayari wakae tu kwenye hiyo ndoa mpaka siku Mungu akikuita but it’s not healthy.”

Nchimbi Afunguka baada ya CCM Kulikata Jina lake Kwenye Kinyang'anyiro cha Ubunge

Posted: 22 Jul 2015 08:27 AM PDT

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (pichani), amefunguka kuhusu mambo kadhaa na kueleza kuwa  Watanzania wanapaswa kuelewa kuwa kutofautiana katika vyama vya siasa ni jambo la kawaida katika nchi yenye demokrasia.

Dk. Nchimbi alisema hayo jana ikiwa ni siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Songea Mjini kuikataa fomu ya kuomba kuwania ubunge aliyochukuliwa na wananchi kwa madai haikuwa imekidhi vigezo.

“Ninachowambia Watanzania tuzoee kutofautiana, kutofautiana katika vyama vyetu ni jambo la kawaida katika demokrasia, tunaweza kutofautiana katika mapendekezo, lakini tukifika kwenye maamuzi tunakuwa kitu kimoja kuunga maamuzi tuliyoafikiana na huo ndio utaratibu mzuri wa kujenga demokrasia,” alisema.

Dk. Nchimbi ambaye alikuwa akihojiwa na kituo cha Radio One jana asubuhi, alisema demokrasia ya kutoelezana ukweli siyo demokrasia bali demokrasia ya kweli ni ya uhuru wa fikra.

Alisema mtu ambaye hapendi CCM iwe shwari ni mtu ambaye  haitakii mema nchi na kwamba hana mpango wa kuhama chama hicho kwa sababu amelelewa na CCM.

Aliongeza kuwa taarifa za kwamba yeye na makada kadhaa wamehojiwa na chama kuhusiana na kauli walizozitoa wakati wa vikao vya uteuzi wa mgombea urais kuwa hawakuridhishwa na mchakato huo hazina ukweli.

”Mimi nimekulia CCM na bado nitaendelea kuwa CCM kutokana na misingi ya kifikra na kisera, sasa kama kuna mtu anayewaza kuwa naweza kuhama CCM hiyo ni fikra ya kijinga sana,” alisema.

Kamati ya Siasa ya CCM wilaya ya Songea Jumapili iliyopita ilikataa kupokea fomu ya kugombea ubunge ya aliyojaziwa Dk. Nchimbi na baadhi ya wakazi kwa madai kuwa haikukidhi vigezo.

Hata hivyo, mwezi uliopita Dk. Nchimbi aliandaa mkutano wa wanachama wa CCM, viongozi na wananchi na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi chake cha uongozi kisha kuwatangazia kwamba hatagombea tena ubunge katika jimbo hilo mwaka huu.

Dk. Nchimbi alikuwa akitajwa kuwa huenda atagombea katika Jimbo la Mbinga Magharibi lililopo wilayani Nyasa ambalo lilikuwa likishikiliwa na marehemu Kapten John Komba, aliyefariki  dunia mapema mwaka huu.

Majambazi 27 Wenye Silaha Wakamatwa Mkoani Pwani

Posted: 22 Jul 2015 08:21 AM PDT

Jeshi la polisi Mkoa wa Pwani  limefanya msako mkali katika mapori mbali mbali  na  kufanikiwa kuwakamata   watuhumiwa  wa ujambazi  27 pamoja na   risasi 153,bunduki 2  mabomu 3  ambavyo  walikuwa wakivitumia katika matukio ya uharifu.

Kwa mujibu wa  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina mwandamizi Jafari Ibrahimu amesema kwamba watuhumiwa hao wamekamatwa baada ya kufanyika operesheni katika magenge yaliyopo vichakani na kuwakuta watuhumiwa hao wakiwa wamejificha pamoja na silaha walizokuwa wanazitumia kufanyia uhalifu

Ameongeza kuwa  wameamua kufanya  operesheni  hiyo  kutokana na kuongezeka kwa uharifu katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Pwani na kuwakamata watuhumiwa hao  ambao wengine walikutwa na vifaa mbali mbali ikiwemo visu mapanga,pamoja na nyaya tatu za milipuko ya mabomu.

Katika zoezi hilo pia waliweza  kukamata madawa ya kulevya aina aya bangi gunia 18 na mirungi kilo 124,lita 88 za pombe ya moshi pamoja na mitambo yake mitatu ya kutengenezea noti bandia 370 na meno ya tembo.

Beauty With Brains ….. CORAZON KWAMBOKA Ready to Start Her Journey As a Lawyer

Posted: 22 Jul 2015 08:17 AM PDT

After years as a socialite, Corazon Kwamboka has finally decided to continue with her career as a lawyer.

Corazon has started her pupilage and will soon be a fully qualified lawyer in Kenya. Here is what she wrote;

“Officially begun my pupilage today. Pursing my dreams of being the best intellectual property lawyer in kenya and be able to sit on the same table with the likes of Prof.Sihanya.

This is the last leg before being admitted to the bar, I have my degree and my law school certificate, now time to learn the practical bit. It took me a while lol, but I am finally doing it."


Mahusiano na Mume wa Mtu ni Shughuli Pevu...Ushahidi Huu Hapa.......

Posted: 22 Jul 2015 06:44 AM PDT

Ndio maana wanaowapatia wanawachuna mpaka ngozi. Ladies unapo mdeti mume wa mtu ukae ukijua haya mambo.

1. The only thing he wants from you is sex, After Cumming he will be gone. He will only sweet talk you again when he needs some sex.

2. He can spend a day with you touring beautiful places but at the end of the day he will go back to his wife and kids who will be missing him.

3. He is never going to leave his kids and wife because of you. He will only be fooling you all the time with words like “I will marry you, I will build for you a house, I will buy for you land, I will take you to the driving school, I will buy for you a posh car” and many more different lies.

4. Keep it in your minds that you’re not the only one he sleeps with apart from his wife. If he can cheat on his wife with you then can’t he cheat on you with some other lady? Seriously he does. He spends his time and money on other babes just like the way he does with you.

5. He really loves his wife that is why he married her, he can’t divorce her and he can’t marry you. You are just his side dish to take off his stress. So his loving you is for fun and temporary.

6. He will dump you after using you for some other fresh babe; he won’t fulfill what he promised you. Those will be lies that he told you just to soften your heart and to get what he wanted.

7. Getting pregnant won’t fully trap him; He has his real kids and wife at home that he can show to the friends and relatives. You and your kids will be hidden.

8. His property and money are his, children and his wife. It’s very hard to get a share on his property.

Itaendelea....

Lowassa Fanya Maamuzi Magumu CCM, CHADEMA Wamekudhihaki vya kutosha

Posted: 22 Jul 2015 06:39 AM PDT

"Watanzania nani aliyetuloga???"

Watanzania sisi tumekuwa watu wakulaumu na kujisahau,hivi ubongo wetu ni sawa na mnyama ngiri????ANAYE Jisahau kati kati ya mbio zakujiokoa na simba nakusimama eti kaona majani yaliyostawi anayoweza kuyatumia kama kitoweo??

Watanzania wengi tumeshuhudia dhihaka za chadema juu ya Lowasa,walimtuhumu fisadi tena kwenye majukwaa wakisema Lowasa ni fisadi mkubwa asiyestahili kufumbiwa macho,lema naye aliuwaminisha uma Lowasa ni fisadi papa anaye ujumu uchumi asiyestahili kuwapo katika dunia hii,kwa unafki na uzandiki mkubwaa leo hii wamerudi nyuma etii kumuomba ajiunge chadema hizi ni dharau na dhihaka kwa wananchi,hivi watanzania ni wasaaulifu kiwango hiki??NI Lini cdm walifuta kauli hizi chafu dhidi ya Lowasa??WAMETUDHALIIISHIA Mzee wetu tunasema imetosha wasimpake mafuta kwa mgongo wa chupa hawa ni wasaka tongee tu..

Wanamonduli,na ninyi nani aliyewaloga?CHADEMA Ndio iliyouaminisha umma Lowasa fisadi na tanzania yote ikaelewa hivyo, ikapelekea hata CCM kukata jina la lake kwa kuamini uzushi tulio aminishwa , ninyi tena mnarudi kujiunga na cdm???NI Nani aliyewaloga???HIVI Hamjui kukatwa kwa Lowaswa kumechangiwa na uzandiki wa chadema kwa asilimia (99.9)%?? Leo hii na ninyi mmegeuka kumsaliti mzee wetuu,narudia tena nani aliyewaloga??

Mh Lowasa tunaamini anaelewa chadema sio chama kisafi ndio kimechangia kukatwa kwa jina lake,atakuwa amefanya makosa sana kama atajiunga na chadema bado nitauliza Lowasa nani aliyekuloga???

CCM ni mbaya mbaya sana, chadema niwanafiki na wazandiki wasiostahili kufumbiwa macho hata kidogo,ningepata kukutana na mh Lowasa ningemshauri kwa kutunza heshima yake ni bora ajiunge na chama kisichokuwa na kashfa yeyote ile mfano act-wazalendo,kama itashindikana ni vema akabaki huko huko aliko kwa usalama wake na familia yake

By Kessy augustino
mwananch huru

Audio: D'banj- Diamond ni Justin bieber wa Afrika, namtafuta Muda mrefu nifanye nae Collabo

Posted: 22 Jul 2015 06:32 AM PDT

Mkali wa “Knocking on my door” D’Banj amefunguka kuwa anamtafuta Diamond kwa muda mrefu afanye nae Collabo lakini Diamond amekua akimzungusha, Dbanj amemfananisha  Diamond na Justin Bieber au Lil wayne kutoka na Mashabiki alionao.

D’banj amefunguka hayo alipokua akiongea na kipindi cha XXL cha Clouds fm, Mskilize hapo juu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya July 22

Posted: 22 Jul 2015 12:23 AM PDT




























Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  July 22

Wema Sepetu na Aunty Ezekiel Wakutana Wapigana Vikumbo!

Posted: 21 Jul 2015 10:09 PM PDT

Imelda Mtema
MAFAHARI wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wamezidi ‘kusherehesha’ bifu lao baada ya kupigana vikumbo kwenye mgahawa unaojulikana kama Snow Cream na kuchuniana kama vile hawajuani.

Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho kiliusoma ‘mchezo’ mwanzo mwisho, Wema ndiye aliyekuwa wa kwanza kuingia kwenye mgahawa huo na wapambe wake kisha baada ya muda kidogo kupita, Aunt pamoja na watu wengine nao walifika na kukaa meza nyingine.

Habari zinazidi kudai kuwa baada ya Aunt kukaa, walitupiana macho na Wema bila kupeana salamu ingawa Wema hakuwahi kumuona mtoto wa Aunt tangu ajifungue.
“Yaani kwa kweli hakuna hata mmoja aliyeamini kilichotokea pale kwa kuwa watu wengi wanajua ni marafiki wa damu lakini kiliwashangaza watu, hata kupeana salamu kweli? Kila mmoja aliendelea kufanya kilichompeleka,” kilisema chanzo chetu.

Mpashaji wetu huyo alizidi kumwaga ubuyu kuwa baada ya Aunt kumaliza kula Ice Cream na kundi lake, waliinuka na kuondoka zao na kumuacha Wema na marafiki zake.
Baada ya gazeti hili kupata habari hiyo lilimtafuta Aunt ili aweze kuzungumzia kitendo hicho na bifu lao ambapo alikiri kuonana na Wema lakini alisema kuwa kila mmoja alikuwa na shuguli zake eneo hilo.

“Jamani unajua kila mtu alienda kwa ajili ya kazi zake na ndiyo kama tulivyokutana kila mmoja alikuwa yupo na taratibu zake, sioni kama ni bifu, sina comment,” alisema Aunt.
Jitihada za kumpata Wema ambaye ametangaza nia ya kugombea ubunge mkoani Singida kupitia viti maalum ili aweze kuzungumzia tukio hilo ziligonga mwamba lakini hivi karibuni alizungumza na mwanahabari wetu na kukiri kuwa kuna tatizo kati yao lakini hakutaka kuliweka wazi

Lowassa Awaweka Ukawa Njia Panda! Chama Chagawanyika Wengine Wamtaka Lowassa Wengine Wamkataa....

Posted: 21 Jul 2015 10:05 PM PDT

Ojuku Abraham
SINTOFAHAMU! Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoundwa na vyama vinne vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD sasa upo njia panda kuhusu ujio wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anayesemwa kutaka kutimka kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
slaa

Habari kutoka ndani ya vyama hivyo zinasema, tangu kukatwa kwa Lowassa katika kuwania kwake kuteuliwa kuwa mgombea urais, kumekuwa na shinikizo kubwa kutoka kwa watu mbalimbali, wanaotaka kada huyo wa chama tawala anayetajwa kuwa na wafuasi wengi ajiunge na Chadema, ili awanie nafasi hiyo kwa tiketi ya Ukawa.


“Kuna vikao vingi ndani ya vyama hivyo kiasi kwamba wameshindwa kumtaja mgombea wao ili kusubiri kwanza wajue hatima ya Lowassa. Inadaiwa kuwa Chadema imegawanyika, kwani baadhi ya vigogo wanamtaka kada huyo wa CCM na wengine wanapinga, CUF wanamtaka hata sasa hivi. Ninachoweza kukuambia ni kwamba ndani ya Ukawa, hali ni tete, haieleweki,” kilisema chanzo chetu kilichopo ndani ya umoja huo.

Licha ya viongozi wakuu, chanzo hicho kilidai kuwa hata makada wa kawaida wa Chadema, chama kinachodaiwa kuwa ndiyo lengo la Lowassa, wamegawanyika, kwani wapo wanaomuona kama mwenye mtaji mkubwa kisiasa, huku wengine wakimuona ni doa litakalowapa tabu kuliondoa.

Shinikizo la Lowassa linatokana na ukweli kuwa kwa muda mfupi tangu jina lake liondolewe na Kamati ya Maadili ya CCM kiasi cha kutowasilishwa katika kikao cha Kamati Kuu, makundi mbalimbali ya makada wamejiengua kutoka chama tawala na kujiunga na Chadema, wakiwemo zaidi ya madiwani kumi na nne na wenye viti wa vijiji wilayani Monduli.
Akizungumzia kuhusu uwezekano wa Lowassa kujiunga na Chadema, mwanasheria mkuu wa Chadema, Tundu Lissu alisema kilichopo ni uvumi tu ambao hata wao wamekuwa wakiusikia hivyo hana cha kuzungumzia.

Sitti Mtemvu na Dada yake Hapatoshi Ubunge Viti Maalumu Morogoro

Posted: 21 Jul 2015 10:02 PM PDT

Dustan Shekidele, Morogoro
HAPATOSHI! Vita kali ya kugombea ubunge imezuka katika familia ya Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu kufuatia watoto wake wawili, Lulu na Sitti Abbasi Mtemvu ambao kwa pamoja wamechukua fomu ya kugombea ubunge viti maalum kupitia kundi la umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Morogoro.

Watoto hao wazaliwa wa mkoani Morogoro waliochangia baba, kwa nyakati tofauti wiki iliyopita walitinga ofisi za UVCCM Mkoa na kuchukua fomu hizo kimyakimya.
Mashuhuda wa tukio hilo walipenyeza ubuyu kuwa Lulu ndiye alikuwa wa kwanza kuchukua fomu hiyo na siku iliyofuata Sitti aliyeongozana na mama yake mzazi Mariam Mtemvu walitinga kwenye ofisi hizo na kuchukua fomu hiyo huku mama yake akibeba jukumu la kupiga picha za tukio hilo.
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Morogoro, lgnas Said Kinywa alithibitisha kuwepo kwa tukio hilo na kudai kuwa kigezo kikuu cha nafasi hiyo ni kwa mwanachama kuwa na kadi na kutozidi umri wa miaka 30.

Lulu anayeishi maeneo ya Kiwanja cha Ndege alithibitisha kuchukua fomu na mdogo wake, akidai ni demokrasia mpya katika familia yao, lakini Sitti aliyeachia ngazi ya umalkia wa urembo nchini (mwaka 2014) kwa kashfa ya kudanganya umri hakupatikana kupitia simu yake ya mkononi iliyokuwa ikiita bila kupokelewa.
GPL

Here's Kenya's Sexiest Female PASTOR Causing Men Sleepless Nights (PHOTOs)

Posted: 21 Jul 2015 09:58 PM PDT


Forget about JCC's Kathy Kiuna, there's a new female pastor in town named, Lucy Natasha, who has been creating a buzz on social media due to her s3xy look.

Pastor Natasha has a body to die for and one wonders how male members in her congregation  concentrate as she preaches the word of God. Check out the photos below.


Total MADNESS, see what this LADY did in Private (VIDEO)

Posted: 21 Jul 2015 09:48 PM PDT


Gone are the days when most ladies upheld good morals and men treated them with respect. Nowadays, majority of ladies have lost morals and some of the things they do are just disgusting.

Below is a video of a bootylicious lady doing the unthinkable in private just to show you how the modern generation is rotten.

DAVIDO Adai Tanzania ni Nyumbani Kwake Baada ya Nigeria...Ataja Msanii Mwingine wa Tanzania Anayefanya Nae Collabo Kwa Sasa...

Posted: 21 Jul 2015 09:44 PM PDT

Davido ni msanii wa Nigeria ambaye jina lake lilizidi kutajwa sana Tanzania baada ya kufanya kolabo ya ‘number one rmx’ na Diamond Platnumz.

Sasa July 18 2015 kwenye Exclusive interview na AyoTV Durban South Africa Davido kamtaja msanii mwingine wa Tanzania anaefanya nae kolabo hivi karibuni.

Sentensi Nyingine 22 za Faiza Ally Kuhusu Mavazi yake, Mtoto, Dini, Umaarufu.. Anajuta? (Audio & Pichaz)

Posted: 21 Jul 2015 09:39 PM PDT

Kama uko karibu na stori za TZ najua hautakuwa umesahau kuhusu ishu ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na mzazi mwenzake, Faiza Ally.. Mbunge huyo hakuridhishwa na mavazi ambayo mzazi mwenzake alionekana nayo sehemu mbalimbali akaipeleka ishu Mahakamani kwamba kutokana na mama wa mtoto anavyoonekana yeye haridhishwi mtoto kuendelea kulelewa na Faiza.
IMG_2363
Chanzo cha yote ilikuwa ni aina ya mavazi, leo kwenye show ya #Nirvana @EATV Faizaalikuwa kwenye Interview na ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake >>>>“Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa
IMG_2356
Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? >>> “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya mtoto wangu… namlea kwa mazingira ya heshima, heshima na nguo ni vitu tofauti… ninavaa mavazi ninayopenda na bado nina heshima kwa watu. Sio lazima kila mtu akubali ninachofanya, ninapofanya kitu kwa watu kukubali au kukataa ni matatizo yao” >>> Faiza Ally.
IMG_2354
Kuna kitu chochote anachojutia kutokana na mavazi yake? >>> “Sina ninachojuta, niko sawa… tukio ambalo sijafurahia ni moja la kupelekwa Mahakamani na kunyang’anywa mtoto wangu kitu ambacho ninakifanyia kazi  na kinaenda vizuri.. sioni tukio  baya zaidi ya watu kunitukana na ni kawaida… ninaenjoy na ninapenda mavazi yangu” >>>>
IMG_2366
Haya ndio maneno yake kuhusu nguo aliyoivaa kwenye KTMA 2015 >>> “Idea ilikuwa ni nzuri mpaka pale ambapo nguo iliachana… lengo lilikuwa sio kuacha makalio wazi, ile nguo baada ya kukaa kwenye gari ilishuka na sehemu ya makalio ikabaki wazi… Wakati natoka nyumbani ilikuwa imekaa tu vizuri, nilivyoshuka kwenye gari sikujiangalia, nilipofika red carpet nikapigwa picha” >>>>
IMG_2351
Anatoka kwenye familia inayofuata Dini? >>> “Baba yangu sijawahi kumwona anakwenda Msikitini, sio kwamba naikana dini lakini sijazaliwa kwenye familia ya kidini.. maisha yangu yako hivi miaka yote na hakuna kilichobadilika kwenye maisha yangu… nafurahia maisha yangu” >>>>
Huu ndio ushauri wake kwa wasichana kuhusu ishu ya fashion za mavazi >>>> “Wasichana wajue kwamba kilicholeta gumzo ilikuwa bahati mbaya, ila wawe huru wavae vitu wanavyovifurahia ila isitokee kama ile… kuna mavazi navaa na kuna mavazi siwezi kuvaa” >>>>
IMG_2352
Matukio ya mavazi yake yamempa umaarufu? Amepanga kufanya chochote? >>>> “Sijapanga chochote, sikujua kama itakuwa ni umaarufu… mimi ni mwigizaji na ninaandika kitabu, labda kwa kazi zangu hizo… kipande kilichoonekana sio maisha yangu yote, ni sehemu ya mwili… Faiza ni mwanamke mzuri, anayejielewa, mwenye akili timamu, mama bora, anayejipenda, mtu wa watu” >>>>  Faiza Ally.
IMG_2367
Kwenye Interview hiyo alikuwepo pia mwanamitindo Ally Rehmtullah, haya  ndio maneno yake kuhusu nguo ya Faiza >>>> “Ubunifu wake ulikuwa mzuri labda mawasiliano kati ya yeye na mbunifu wake hayakuwa mazuri, vazi kama lile kwa utamaduni wetu lazima watu watashtuka watakusema, ni muhimu kujua yeye mwenyewe Faiza alikuwa anataka nini… Naamini ilikuwa bahati mbaya, ingekuwa ni mimi ile gauni nisingevaa” >>>> Ally Rehmtullah.
Majibu ya Faiza Ally yako pia kwenye hii sauti niliyorekodi kipande cha Nirvana mtu wangu, unaweza kuplay kumsikiliza mwenyewe
SOURCE:Millard Ayo

What This Curvaceous Kenyan LADY Did to Her Boyfriend will Leave you Shocked (VIDEO)

Posted: 21 Jul 2015 09:33 PM PDT


To all those who claim that Kenyan ladies don’t know how to shake it, there’s this hot video of a Kenyan lady shaking her assets vigorously for her boyfriend in their  room.

The s3xy lady can give the likes of Vera Sidika and Huddah a run for their money with her s3ductive moves that are irresistible.

Just click play and watch her doing it.

Wabunge wa Chadema Wamkaribisha Edward Lowassa

Posted: 21 Jul 2015 09:24 PM PDT

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamezungumzia taarifa zinazosambaa zikieleza kuwapo mkakati wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhamia katika chama hicho, wengi wao wakimkaribisha.

Wakati wabunge hao wakikubali kumpokea, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa amesema wananchi wasubiri mambo yatakapokuwa tayari badala ya kutegemea mitandao ya kijamii.

“Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini… sasa hivi mambo mengi yanazungumzwa kwenye mitandao,” alisema Dk Slaa ambaye pia anatajwa kuwa mgombea wa chama hicho ndani ya Ukawa.

Msemaji wa Lowassa, Aboubakary Liongo alipoulizwa kuhusu kuwapo kwa mpango huo alisema hawezi kulizungumzia hilo kwa kuwa ni suala la mtu binafsi. Hata hivyo, jitihada za kumpata Lowassa jana hazikufanikiwa kwani simu yake iliita pasi na kupokewa.

Hivi karibuni, idadi kubwa ya madiwani wa CCM walirudisha kadi zao na kujiunga na Chadema wakisema sababu ni kutoridhishwa na kukatwa kwa jina Lowassa kati ya wagombea urais wa CCM.

Kadhalika, mtandao wa kijamii uliokuwa ukimuunga mkono mbunge huyo wa Monduli unajulikana kwa jina la 4U Movement ulitangaza kuhamia Chadema hali inayoashiria kuwa kuna dalili ya Lowassa pia kujiunga nao.

Wakiandika katika akaunti ya Twitter ya 4U Movement, wafuasi hao walisema: “Ukimya ni hekima na ukimya ni busara. Ukimya wa Edward Lowassa ni kutafakari Safari ya Matumaini... Tuungane kuyapata mabadiliko nje CCM.”

Chadema ni kanisa la wokovu

Akizungumzia taarifa hizo, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa alikifananisha chama hicho na kanisa ambalo kwa kawaida halikatai mtu, bali linawapokea wenye dhambi na kuwaongoza kufanya toba.

“Chadema ni kama kanisa, hakataliwi mtu, tunahubiri habari njema ya wokovu, ukija hapa unatubu unaendelea kufanya kazi,” alisema.

Kuhusu viongozi wa CCM kuhamia Chadema, Msigwa alisema inawezekana kasi hiyo inachagizwa na Lowassa kukosa nafasi aliyoitaka ndani ya chama hicho.

“Unapokuwa mwanasiasa unakuwa na wafuasi, inawezekana wengine wanaohamia Chadema ni watu wake ambao wameona mtu wao amekosa nafasi aliyoitaka ndiyo maana wanakihama chama,” alisema.

Msigwa alisema Chadema ilikuwa inakusanya wanachama wapya kwa muda mrefu hata kabla ya vuguvugu la Lowassa na chama chake kuibuka na ushindi na wanaohamia wanafanya hivyo kwa sababu wanakipenda chama na wameichoka CCM.

Huenda akatimiza safari ya matumaini

Akizungumzia ujio wa Lowassa kwenye chama hicho, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema alisema iwapo Lowassa atahamia Chadema anakaribishwa na huenda akaitimiza safari yake ya matumaini.

“Namkaribisha Lowassa Chadema, huenda safari yake ya matumaini ikaishia huku, akawa mwanachama au hata kiongozi,” alisema.

Alisema hakuna shaka kuwa mbunge huyo wa Monduli ana nguvu ndani ya CCM ndiyo maana viongozi wengi wa chama hicho wanakihama wakati huu.

“Hiyo ilijionyesha kuanzia kwenye Kamati Kuu ya CCM, Halmashauri Kuu, Lowasa amekamata wajumbe kwa asilimia 80 na hiyo ni ishara kuwa ameishika CCM,” alisema.

Lema aliongeza kuwa wanaoihama CCM hawaihami kwa bahati mbaya, bali wameona mtu wao waliyemtarajia ameondoka.

“Ni wengi wanaohamia Chadema, kwa sasa kadi zimetuishia na hiyo ni ishara kuwa CCM inakufa, ripoti za mikoa yote tunazo,” alisema.

Mbunge wa Viti Maalumu, Lucy Owenya alisema  wanaoihama CCM kwa sasa wamegundua kuwa chama pekee kinachoweza kutetea wananchi ni Chadema.

“Sisi tunawakaribisha kwa mikono miwili, waje tuchape kazi, ilimradi wanafuata kanuni na taratibu za chama, basi.  Wamejionea wenyewe kuwa CCM hakuna chochote,” alisema.

 Alisema CCM waliamua kupitisha katiba bila kuwapo kwa Ukawa, lakini sasa wameona kuwa walichokifanya ni makosa na wameanza kurudi Chadema ambako wanaamini kuna demokrasia ya kweli.

Mbunge wa Viti Maalumu, Cecilia Paresso alisema: “Tunamkaribisha kwa mikono miwili. Tumekinyooshea CCM vidole kwa muda mrefu kuwa kuna rushwa na makundi na hilo linajidhihirisha sasa. Lakini wale wote wanaokuja Chadema, tunawakaribisha ili mradi wafuate kanuni na taratibu zetu.”

Paresso alisema hana tathmini ya kina kuhusu wafuasi wa Lowassa wanaoihama CCM, bali wanaokihama chama hicho wameona kina matatizo.

Atakiwa akidhi vigezo na masharti

Licha ya kuonyesha kumkaribisha, katika chama hicho, baadhi ya wabunge walimtaka Lowassa afuate kanuni ili awe mwanachama mwenye sifa.

Mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde alisema anakaribishwa lakini hana budi kufuata sheria na kanuni za chama... “Anatakiwa afuate taratibu za chama, milango ipo huru, lakini afuate kanuni… asije akafikiri ataleta taratibu zake hapa, sitakubali.”

Silinde alisema wanaohamia Chadema hawajapendezwa na mwenendo mzima wa uteuzi wa mgombea wa urais na hivyo wameifuata demokrasia ya kweli ndani ya chama hicho.

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee hakutaka kuzungumzia kwa undani suala hilo lakini alisema endapo atajiunga, chama hicho kitampokea kulingana na vigezo na taratibu.

“Akihamia Chadema nitatoa maoni yangu lakini ninachoweza kusema ni kuwa kila mtu ana haki ya kwenda chama chochote ili mradi ana tija,” alisema.

Mdee alisema wanaCCM wanaohamia Chadema wamesoma alama za nyakati na kuona kuwa CCM haiendani na ahadi zake.

Mbunge wa Viti Maalumu, Susan Lyimo alisema, Lowassa ni binadamu wa kawaida kwa hiyo kuhamia kwake Chadema si kitu cha ajabu ilimradi afuate kanuni... “Cha muhimu afuate masharti ya chama, kanuni na  taratibu, kama watu wanahama vyama vingine yeye ni nani asihame CCM?”

Lyimo alisema wanaCCM wengine wanakaribishwa kujiunga kwa sababu kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.

Mbunge wa Viti Maalumu, Pauline Gekul, aliwataka wana CCM na Lowasa kuhamia zaidi  Chadema ili kuunganisha nguvu na kuichukua nchi.

 “Mfikishie salamu Lowassa mwambie karibu kwenye jeshi la ukombozi,” alisema.

Katibu wa CCM amuonya

Akizungumza na waandishi wa habari jana katika Ofisi za CCM Mkoa wa Dodoma, Katibu wa CCM mkoa huo, Albert Mgumba alisema ingawa kuhama chama ni hiari ya mtu, Lowassa hapaswi kuchukua uamuzi wa hasira kiasi hicho badala yake awe mstari wa mbele kuhamasisha umoja ndani ya chama.

Alimtaka kutothubutu kuihama CCM na endapo afanya uamuzi huo atambue kuwa hawezi kukisababishia pengo lolote zaidi ya kujipunguzia hadhi yake ya kisiasa.

“Mgombea tuliyempata sasa ni makini kuliko, anapendwa, utendaji wake unajulikana kila mahali,” alisema Mgumba.

Mgumba alisisitiza kuwa badala ya Lowassa kuwa na mawazo ya kuihama CCM, anapaswa kutuliza fikra na kuonyesha ukomavu wake kisiasa kwa kuwa mstari wa mbele kuwaonya na kuwatuliza wote waliokuwa wakimuunga mkono ili wabaki kwa utulivu ndani ya chama na si vinginevyo.

“CCM siyo Mgumba, ni taasisi iliyosimama. Lowassa anapaswa kutambua hilo, atulie na awe mstari wa kwanza kuwaonya wanachama wachanga kisiasa, wasiokuwa na uzalendo ndani ya chama kwa kumfikiria mtu badala ya chama na masilahi ya Taifa” alisema Mgumba.

ASKOFU GWAJIMA Akana Kumtusi Kardinali Pengo..

Posted: 21 Jul 2015 09:22 PM PDT

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amekana kumtolea lugha chafu Askofu wa Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo wakati akisomewa maelezo ya awali katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam jana.

Akisomewa maelezo na Wakili wa Serikali, Joseph Maugo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilfred Dyansobera, Gwajima alikana kutoa lugha chafu ila alikubali kuwa yeye ni askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, majina yake na kwamba aliitwa polisi Machi 27, 2015 kwa ajili ya kuhojiwa .

Maugo alidai upande wa mashtaka utawaita mashahidi saba kutoa ushahidi dhidi ya Gwajima pamoja na kuwasilisha vielelezo vitano.

Wakili wa Gwajima, Peter Kibatala aliomba kupewa maelezo ya mlalamikaji katika kesi hiyo.

Hakimu Dyansobera aliuagiza upande wa mashtaka kuwapatia maelezo ya mlalamikaji na kwamba kesi itaanza kusikilizwa kwa mashahidi upande wa mashtaka kutoa maelezo yao Agosti 10, mwaka huu.

Ilidaiwa kuwa kati ya Machi 16 na 25, mwaka huu kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe, Gwajima alitoa lugha chafu dhidi ya Pengo.

Akisoma maelezo ya awali, Maugo alidai kati ya Machi 16 na 25, Gwajima alitoa maneno machafu kwa Pengo.

Hata hivyo, Gwajima aliyakana maelezo hayo na kukubali maelezo yake binafsi ya kuitwa polisi.

Katika kesi inayomkabili Askofu  Gwajima na wenzake watatu, Maugo alisema nayo ilikuja kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali, lakini mshtakiwa mmoja hakuwapo mahakamani kutokana na kusumbuliwa na maradhi.

Alidai kwa mujibu wa sheria, mshtakiwa anatakiwa kuwapo mahakamani, hivyo aliomba ipangwe tarehe nyingine kwa ajili ya kuwasomea maelezo ya awali, ambapo itasikilizwa Oktoba 8, mwaka huu.

Katika kesi hiyo, Gwajima  anakabiliwa na shtaka la kushindwa kuhifadhi silaha na risasi anazomiliki kihalali.

Kwa upande wa washtakiwa wenzake, akiwamo mlinzi wake, George Mzava, Yekonia Bihagaze na Mchungaji Georgey Milulu, wao wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa wakimiliki bastola aina ya Berretta pamoja na risasi 20 kinyume cha sheria.

Wanadaiwa kuwa Machi 29, mwaka huu katika Hospitali ya TMJ, Mikocheni A walikutwa wakimiliki bastola hiyo yenye namba CAT 5802 bila ya kuwa na kibali kutoka mamlaka husika.

Pia wanadaiwa kuwa siku hiyo, washtakiwa hao pia walikutwa wakimiliki isivyo halali risasi tatu za bastola pamoja na risasi 17 za bunduki aina ya Shotgun. Washtakiwa wako nje kwa dhamana.

See Edward Lowassa’s Latest Facebook Post

Posted: 21 Jul 2015 09:18 PM PDT




Udaku Specially

unread,
Jul 23, 2015, 4:37:08 PM7/23/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Abiria Mmoja Ndani ya Daladala Jijini Dar, Ameshambulia Abiria Wengine kwa Kisu Bila Sababu Yoyote..Wananchi Wamuua

Posted: 23 Jul 2015 12:42 PM PDT

Mtu mmoja aliyekuwa abiria ndani ya daladala lililokuwa likitoka mjini kuelekea Makumbusho amewashambulia kwa kisu abiria kadhaa ndani ya gari maeneo ya Magomeni na kuwasababishia majeraha makubwa, majeruhi wote wamekimbizwa Mwananyamala. Mshambuliaji huyo ameuawa na wananchi wenye hasira. Hadi sasa haijafahamika nini lililkuwa lengo la mshambuliaji huyo.

Faiza Ally Afunguka Kuhusu Mavazi Yake, Mtoto, Dini, Umaarufu…..

Posted: 23 Jul 2015 11:49 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally  amefunguka mengi kuhusu yeye mwenyewe kwenye kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV usiku wa jana.

Ishu kubwa ilikuwa kuhusu mavazi yake “Napenda kuvaa vitu ninavyovaa, sina mavazi special naweza kuvaa vyovyote, niliipenda idea ya kuvaa nepi (diapers) na sina tatizo nayo kabisa”

Faiza ni mama wa mtoto mmoja wa kike, kwenye upande wa malezi ikoje? “Mimi ni mama mzuri sana, ninamtazama mtoto wangu saa 24… mavazi yangu hayaingiliani kabisa na malezi ya mtoto wangu… namlea kwa mazingira ya heshima, heshima na nguo ni vitu tofauti… ninavaa mavazi ninayopenda na bado nina heshima kwa watu. Sio lazima kila mtu akubali ninachofanya, ninapofanya kitu kwa watu kukubali au kukataa ni matatizo yao”   Faiza Ally alieleza.

Kuna kitu chochote anachojutia kutokana na mavazi yake?  “Sina ninachojuta, niko sawa… tukio ambalo sijafurahia ni moja la kupelekwa Mahakamani na kunyang’anywa mtoto wangu kitu ambacho ninakifanyia kazi  na kinaenda vizuri.. sioni tukio  baya zaidi ya watu kunitukana na ni kawaida… ninaenjoy na ninapenda mavazi yangu” Faiza Alieleza.


Haya ndio maneno yake kuhusu nguo aliyoivaa kwenye KTMA 2015  “Idea ilikuwa ni nzuri mpaka pale ambapo nguo iliachana… lengo lilikuwa sio kuacha makalio wazi, ile nguo baada ya kukaa kwenye gari ilishuka na sehemu ya makalio ikabaki wazi… Wakati natoka nyumbani ilikuwa imekaa tu vizuri, nilivyoshuka kwenye gari sikujiangalia, nilipofika red carpet nikapigwa picha”

Anatoka kwenye familia inayofuata Dini?  “Baba yangu sijawahi kumwona anakwenda Msikitini, sio kwamba naikana dini lakini sijazaliwa kwenye familia ya kidini.. maisha yangu yako hivi miaka yote na hakuna kilichobadilika kwenye maisha yangu… nafurahia maisha yangu”

Huu ndio ushauri wake kwa wasichana kuhusu ishu ya fashion za mavazi  “Wasichana wajue kwamba kilicholeta gumzo ilikuwa bahati mbaya, ila wawe huru wavae vitu wanavyovifurahia ila isitokee kama ile… kuna mavazi navaa na kuna mavazi siwezi kuvaa”

Matukio ya mavazi yake yamempa umaarufu? Amepanga kufanya chochote? “Sijapanga chochote, sikujua kama itakuwa ni umaarufu… mimi ni mwigizaji na ninaandika kitabu, labda kwa kazi zangu hizo… kipande kilichoonekana sio maisha yangu yote, ni sehemu ya mwili… Faiza ni mwanamke mzuri, anayejielewa, mwenye akili timamu, mama bora, anayejipenda, mtu wa watu”   Faiza Ally.

Kwenye Interview hiyo alikuwepo pia mwanamitindo Ally Rehmtullah, haya  ndio maneno yake kuhusu nguo ya Faiza “Ubunifu wake ulikuwa mzuri labda mawasiliano kati ya yeye na mbunifu wake hayakuwa mazuri, vazi kama lile kwa utamaduni wetu lazima watu watashtuka watakusema, ni muhimu kujua yeye mwenyewe Faiza alikuwa anataka nini… Naamini ilikuwa bahati mbaya, ingekuwa ni mimi ile gauni nisingevaa”  Ally Rehmtullah

Kajala Afungukia Kuingia Kwenye Siasa

Posted: 23 Jul 2015 11:47 AM PDT

Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefungukia kuingia kwenye siasa kuwa ni bora abaki kwenye upenzi na chama fulani kwani hawezi kugombea.

Akizungumza na Amani juzikati, Kajala alisema kuwa, japokuwa wasanii wengi wakiwemo wa tasnia ya filamu Bongo, wamekuwa wakichukua fomu za kutaka kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge lakini kwake hafikirii kitu kama hicho.

“Mimi siasa siiwezi kabisa, kifupi haipo kwenye damu ndiyo maana unaona wenzangu wote wamechukua fomu za kugombea mimi wala sijajitokeza kuchukua,” alisema Kajala.

Duh! Shilole na Mziwanda Wametudanganya Kumbe ni Kiki tu

Posted: 23 Jul 2015 11:45 AM PDT

BAADA mikasa na vituko kibao vya kidume kuchezea kichapo na kuvumilia kitambo huku thamani ya uume ikidhalilishwa front, kijana Nuhu Mziwanda kabwaga mazima, ni Couple iliyounganishwa na yeye na mwanadada mwenye kesi kwa Pilato Basata kwa kumwaga radhi Ughaibu Shilole.

FC baada ya kupata mtonyo iliwaibukia artist hao wenye uwezo wa kuact kila kunapokucha katika kupata data kama ni sinema na wanaendelea na Movie yao mpya ya maisha kama walivyozoeleka? Lakini hii ni real mtu kambwaga mtu naye kaipokea safi.

“Mwanaume umjali mpenzi wake na kumfanyia kile atakacho, lakini si kwa huyu ni mwanamke asiyejua kupendwa na chochote nilichofanya ilikuwa kwa ajili ya upendo tu, nimemwacha na aje mwanaume mwingine naye ajaribu,”Mziwanda

Pia msanii huyo wa muziki amekanusha kuwa kuwepo kwake na mwenye jina la Zuwena Mohamed jina linalofunikwa na hili la ugali la Shilole kuwa hakuwa anamtegemea sana kama ni kwenda Uropa ilikuwa ni mialiko ya kila mmoja kwa dili lake.

FC ilimtafuta mdada makeke awapo kwa stage hadi kusaula viwalo na kuingia matatizoni na wenye mamlaka ya sanaa simu zake zote zilikuwa hazina majibu once mambo yanaendelea, FC imebaini kuwa hakuna watu kubwagana wala nini bali ni mchongo wa machizi hao kutafuta kiki wamepata.

Ilikuwa ngumu kwa wanaomjua Mziwanda eti akijitoe kirahisi hivyo kwa Shilole? Bali wamejipa majina yao ambayo Shilole anaitwa Asha ngedere na Mziwanda jina la Ganda la Ndizi utelezi mwanzo mwisho afanye nini kijana wa watu, maisha ndio yalivyo.

Kumbe walikuwa wanataka Kiki tu, kama Ulaya au wapi hiyo hizi Kiki bhana kuna siku mtu anamua hata Mshua ili mambo yaende. Danganya toto hiyo imebainika baada ya wimbo wao walioshirikiana wasanii hao kuachiwa katika moja ya Redio hivyo hiyo ni movie tu.

Why Would A LADY do This in The Gym? A Must Watch VIDEO for men.

Posted: 23 Jul 2015 07:42 AM PDT


Some ladies have perfected the skill of tempting men but this bootylicious lady has decided to take things to another level.

One even wonders whether she had gone to the gym for a work-out or to s3duce men.
Just click play and see what she did.


This is What RAY C Did in Her House That Has left MEN Salivating (VIDEO)

Posted: 23 Jul 2015 07:35 AM PDT


After confessing that she has always had a crush on President Uhuru Kenyatta for long, Tanzanian singer, Ray C, has decided to tempt “team mafisi” with her s3ductive dancing skills.

The aging singer decided to twerk vigorously in her house while dancing to a catchy African tune. Her crazy dancing skills have left men salivating and few can get enough of the s3xy moves.

Watch the action in the video below.

Afande Sele Amchana Sugu, Adai Hajafanya lolote Bungeni Kutetea Muziki, Sugu Ajibu

Posted: 23 Jul 2015 04:12 AM PDT

Rapper Afande Sele amesema wasanii hawajanufaika na ubunge wa Joseph Mbilinyi aka Sugu licha ya kumsaidia kumpigia kampeni katika uchaguzi uliopita.

Akizungumza na Planet Bongo ya East Afrika Radio, Afande alisema Sugu ameshindwa kuwatumikia wasanii na kujinufaisha yeye mwenyewe.

“Sisi tuliamini akienda kule ndio mdomo wetu, kasahau kabisa wasanii wenzake,” alisema. “Kipindi ambacho wasanii wa antivirus wanalalamika kwamba kawatosa porini, akasema yeye sio mbunge wa wasanii ni mbunge wa Mbeya. Huyu ni msaliti kwa wenzake, sasa mtu msaliti namna hii jinsi kumuondoa ni sisi kuamua kuingia bungeni wenyewe kupigania maslahi yetu,” aliongeza.

Baada ya kauli hiyo, Sugu amemjibu kwa kusema kuwa yeye hakuwa mbunge wa wasanii bali alikuwa mbunge kwaajili ya watu wake wa Mbeya mjini.

“Nafikiri hafuatilii bunge, unajua uzuri wa vitu vya bunge vinaenda kwa rekodi, labda atakuwa hafuatili bunge. Lakini kwa wanaofuatilia bunge wanajua. Mimi sio mbunge wa wasanii, mimi ni mbunge wa Mbeya mjini,” alisema Sugu.

“Kwahiyo chochote ninachokifanya bungeni ninakifanya kwa mapenzi yangu na pia kama waziri kivuli. Kwa msanii anayefanya kazi sawa ila kwa mtu anayelala lala kama yeye lazima atakufa njaa. Lazima utakufa njaa lakini kwa msanii kama Professor Jay, msanii kama Shetta wana- appreciate kazi ambayo tunaifanya bungeni kwa kauli zao.”

D’Banj amlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya collabo, Platnumz atoa sababu za kumkwepa

Posted: 23 Jul 2015 04:04 AM PDT

Muimbaji mkubwa wa Nigeria, D’Banj amemlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya naye collabo.

Kokomaster amesema kuwa toka walipokutana na Diamond walizungumza na kukubaliana kufanya collabo lakini amekuwa akimpiga chenga mpaka sasa.

Star huyo ambaye aliibuka na tuzo ya ‘MAMA Evolution’ katika MTV MAMA 2015, ameongeza kuwa kabla mwaka huu haujaisha anaamini collabo hiyo itakuwa tayari imefanyika.

Diamond ametoa sababu za kuchelewa kufanya collabo na D’Banj.

“Tulikutana kule kwenye Do Agric tukafanya Cocoa na Chocolate, tukatakiwa kufanya nyimbo ya mimi na yeye lakini nikaogopa ukianza na msanii mkubwa sana itakuwa kurudi tena itakuwa tabu lazima uanze kwa ngazi kwa ngazi kwa ngazi ili kesho na kesho kutwa ukitoa nyimbo uonekane unazidi kupanda, sio unafanya nyimbo na mkubwa halafu kesho unashuka, nafikiri ndio ikawa sababu pia nyimbo yangu ya kwanza sikuweza kufanya na yeye ya kwanza.” alisema Diamond kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm.

CNN Yawachokoza Wakenya kwa Kuiita nchi yao ‘Kitovu cha Ugaidi’, inakiona cha Mtema Kuni Kwenye Twitter!

Posted: 23 Jul 2015 04:00 AM PDT

#SomeOneTellCNN ni mada inayotrend nchini Kenya kwa sasa na hiyo ni baada ya CNN kutangaza na kuandika habari iliyowakera.

CNN imedai kuwa taarifa yake ya habari kuwa wasiwasi wa usalama unazidi kuwa mkubwa wakati Rais Barack Obama akijiandaa kwenda nchini humo ambako imesema ni ‘kitovu cha ugaidi.’
OBAMA’S TRIP RAISES SECURITY CONCERNS

“President Barack Obama is not just heading to his father’s homeland, but to a region that’s a hotbed of terror,” wameripoti CNN.

Taarifa hiyo imewaudhi wakenya wengi ambao wanaiona CNN kama kituo kinachoichafua nchi hiyo.

Nyeti: Mbowe, Mdee na Lipumba Hawamtaki Slaa, ACT-Wazalendo Kutosimamisha Mgombea Lipumba Akisimama

Posted: 23 Jul 2015 02:14 AM PDT

Jana ilikuwa siku ya kwanza kati ya siku kumi za kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registry (BVR) katika jiji la Dar es Salaam.

Namshukuru Mungu tayari nina kadi yangu kwa ajili ya kuwapata viongozi wangu bora hapo 25 Oktoba mwaka huu.

Sikufaidi tu kupata hiyo hati, la hasha! Katika kubadilishana mawazo na wajiandikishaji wenzangu, nikabahatika kuongea na kiongozi wa chama cha Wananchi CUF ngazi ya kijiji.

Pamoja na mambo mengine nilivuna kutoka kwake msimamo wa CUF kwenye UKAWA,nani mgombea urais kupitia UKAWA na nani hakubaliki na kwanini.

Ambalo lilinivutia sana ni msimamo wa ACT kuhusu mgombea wa UKAWA atakayeteuliwa.

Kimsingi kiongozi huyo alinihakikishia kuwa CUF bado hawajajitoa kwenye UKAWA. Kuhusu mgombea ambaye viongozi wengi kutoka vyama vinavyounda UKAWA wanaona anafaa kupeperusha bendera ya UKAWA ni Prof. IBRAHIM HAROUNA LIPUMBA.

Lipumba anaungwa mkono na FREEMAN MBOWE na HALIMA MDEE kwa vigezo kuwa ana busara, ni mtu mwenye subira na staha na asiyekurupuka kufanya maamuzi.

Slaa anaelezwa kuwa mwenye jazba na visasi jambo ambalo kwenye kuunda serikali linaweza kuwagharimu.

Nilitaka kujua sababu za Mbowe kutomkubali Katibu wake Mkuu, Wilbroad Slaa kupeperusha bendera ya UKAWA.

Inasemekana kuna maandamano waliandaa yeye MBOWE na SLAA lakini mambo yalipoharibika, Slaa akamruka na akashtakiwa yeye jambo ambalo Mbowe aliona ni usaliti na anachokifanya sasa ni kulipiza kisasi. Kitendo cha Lowassa kutakiwa na Mbowe ndani ya CHADEMA huku SLAA hamtaki nayo ni sababu nyingine.

Chama cha Alliance for Change & Transparency ( ACT) kama chama cha Upinzani na ambacho bado ni kichanga kabisa kwa mujibu wa kiongozi huyo wa CUF kinasema endapo UKAWA watamsimamisha LIPUMBA kama mgombea urais wao ACT hawatamsimamisha mgombea na badala yake watamuunga mkono Lipumba vinginevyo watamsimamisha mgombea wao.

kwa mujibu wa kiongozi huyo, kuna uwezekano mkubwa wa CUF kujitoa UKAWA na kutengeneza muungano na ACT na kumuweka mgombea urais atakayepeperusha bendera ya vyana hivyo viwili.

Tusubiri tuone namna itakavyokuwa.

Profesa Anna Tibaijuka Azomewa Tena Kwa Mara ya Pili Jimboni Mwake.......

Posted: 23 Jul 2015 01:51 AM PDT

Aliyekuwa Mbunge wa Muleba Kusini, Prof Anna Tibaijuka anayewania jimbo hilo kwa mara ya pili, jana alishushwa jukwaani kwa kuzomewa na wananchi wake katika kata ya Nshamba wilayani Muleba. Prof Tibaijuka alishushwa jana wakati wa kampeni za kura za maoni kupitia CCM. Hali ya kuzomewa ilidumu kwa dakika kadhaa jambo lililofanya Wagombea hao kulazimika kuondoka. Kwa mara ya kwanza alizomewa juni 8, wakati wa ziara ya katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana katika kata hiyo hiyo. Akiwa na Kinana wananchi walimtuhumu ufisadi wa fedha za Escrow na kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwajengea barabara ya lami.
Source: Mwananchi
Nini maoni yako kuhusu hilo?

MBUNGE Sugu Awakana Wasanii..Adai yeye Hakuwa Mbunge wa Wasanii bali wa Mbeya Mjini

Posted: 23 Jul 2015 01:46 AM PDT

Mbunge wa Mbeya Mjini na msanii wa muziki Joseph Mbilinyi, maarufu kama Mr. Sugu ameelezea kujivunia kipindi chake cha miaka 5 bungeni.

Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi aka Sugu
Hii imekuja baada ya lawama na fikra za wengine kuwa amekuwa na mchango mdogo tu katika kuipigania sanaa kwa nafasi aliyopata.
Mr. Sugu ameeleza hayo na kusisitiza kuwa, hakuwa mbunge wa wasanii bali mbunge wa Mbeya, akieleza kuwa, kama msanii hakuwa anajituma na kazi yake, ni lazima abakie kuwa mtu wa lawama mara zote.

WEMA SEPETU Aingiwa na Hofu Baada ya Jina la Edward Lowassa Kukatwa....Ahofia na yeye Kukatwa...

Posted: 23 Jul 2015 01:00 AM PDT

DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya kugombea urais, Amani lina mkanda kamili.


ALIVYOENGULIWA LOWASSA

Lowassa alikuwa miongoni mwa makada 33 kati ya 38 walioenguliwa na Kamati ya Maadili ambayo ilipitisha majina matano pekee katika kikao cha Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na baadaye Mkutano Mkuu kupitisha Mbunge wa Chato, Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kwa Tiketi ya CCM.

TUJIUNGE NA CHANZO

Chanzo kilicho karibu na staa huyo kimepenyeza ‘ubuyu’ kuwa, Wema ambaye anashikilia Taji la Miss Tanzania 2006/07, ameingiwa na hofu hiyo baada ya kuona Lowassa ambaye ana sifa ya kukubalika kama alivyo yeye ameenguliwa na kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM.

“Bibie (Wema) anajiamini, anakubalika kweli lakini kitendo cha Lowassa ambaye alikuwa anaonekana kukubalika kimemtia hofu na kuona kumbe kukubalika pekee si silaha ya ‘kuwini’ kupitishwa na chama,” kilisema chanzo hicho.

CHANZO CHAZIDI KUTIRIRIKA

Chanzo hicho kilizidi kwenda mbali zaidi kwa kudai hofu hiyo iliongezeka kwa Madam hususan baada ya kusambaa kwa kuwepo kwa watu wasiompenda kupandikiza chuki kwamba baadhi ya skendo zilizomgusa zinaweza kumpotezea sifa ya jina lake kupitishwa na Halmashauri Kuu ya chama chake.

“Si unajua tena Madam kwenye maisha yake ya sanaa amepitia skendo za hapa na pale, hiyo inaweza kuchangia kumtia hofu maana wabaya wake wanaweza kuitumia kama silaha hivyo amekuwa akitoa chozi na kumuomba Mungu amfanikishe,” kilisema chanzo hicho.

SKENDO INACHANGIA KUMPOTEZEA SIFA?

Duru mbalimbali za habari zinaonesha kwamba kitu kikubwa kinachoangaliwa kwa kiongozi ni suala la uwajibikiaji na si tabia binafsi au skendo.

Wapo viongozi ambao walikuwa na skendo lakini wameweza kupitishwa na wananchi wao na kuwatumikia vizuri kuliko hata wale walionekana wasafi.

“Si kweli kwamba skendo ndiyo kigezo kikuu cha kumpitisha mgombea, mbona watu kama akina Mike Sonko (alikuwa Mbunge wa Kenya), marehemu Amina Chifupa (alikuwa Mbunge Viti Maalum, Vladimir Vladimirovic Putin (rais wa urusi) na wengine wengi, walikuwa au walipata skendo lakini walifanya vizuri katika uongozi wao,” alisema mwanaharakati mkubwa wa siasa nchini aliyeomba hifadhi ya jina.

NAPE ANENA

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alipoulizwa kama kuna uwezekano wa kumuengua mgombea yeyote kutokana na skendo au chuki zinazoezwa na baadhi ya wanachama wa chama hicho, alisema si kweli bali wao wanafUata taratibu na kanuni walizojiwekea na si vinginevyo.

“Sisi tuna kanuni na taratibu za chama, hiyo ndiyo misingi yetu. Hatumuengui mtu kwa chuki binafsi wala kitu kingine chochote zaidi ya kufuata kanuni zetu,” alisema Nape.

WEMA ANASEMAJE?

Akizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni, Wema alikiri kupata hofu hiyo kwa muda lakini ameshajiamini kutokana na kumuomba Mungu ambaye amekuwa akimtanguliza katika kila jambo analolifanya.

“Kusema kweli mtu unapotaka kufanya jambo unapaswa kujiamini, hata mimi mwanzo nilikuwa nimejipa matumaini ya hali ya juu kwamba Lowassa atapita, lakini bahati mbaya akakatwa, naamini Mungu yupo, mimi naswali usiku na mchana, Mungu atanisimamia katika hili,” alisema Wema.

Joshua Nasssari Achaguliwa tena Kupeperusha Bendela ya CHADEMA Jimbo la Arumeru Mashariki

Posted: 23 Jul 2015 12:47 AM PDT

Aliekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha,Joshua Nassari akizungumza namna alivyotekeleza ahadi zake katika kipindi kilichopita wakati wa mkutano Mkuu wa Jimbo uliofanyika kwenye Mji mdogo wa Usa River ambapo  alichaguliwa bila kupingwa ili kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.


Wanachama wa Chadema wakipiga kura za maoni kwaajili ya kumchagua mgombea ubunge jimbo la Arumeru Mashariki katika Mji Mdogo wa Usa River,Joshua Nassari alipata kura 387  na kura 2 za hapana.


Wanachama wa Chadema wakifurahia jambo katika mkutano huo


Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini ambaye alikua Mbunge wa Chadema jimbo la Karatu mkoa wa Arusha,Israel Natse(kulia)na Katibu wa Chadema mkoa wa Arusha,Kalist Lazaro wakimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari(kati)baada ya kutangazwa mshindi.

Wafuasi 10 wa CHADEMA na CCM Wakatana Mapanga Kisa ......

Posted: 23 Jul 2015 12:37 AM PDT

WATU zaidi ya 10 wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejeruhiwa katika mapigano, yaliyosababishwa na mabishano ya kisiasa wakati wakinywa pombe.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana mjini hapa, tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kegonga tarafa ya Ingwe wilayani Tarime mkoani Mara.

Imeelezwa kuwa miongoni mwa majeruhi ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Magamaga, Mohere Nyamhanga ( Chadema).

Kwa mujibu wa mtoa taarifa, ugomvi wa mapanga ulizuka baada ya mabishano ya kisiasa kuibuka wakati watu hao walipokuwa wakijipatia vinywaji katika grosari ya Mwalimu Mwita Mohere.

Imeelezwa kuwa baadhi ya majeruhi wamelazwa katika vituo vya afya vya Mriba na Masanga.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii huku akiwa na jeraha la mgongoni, la kupigwa na kitu kizito, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Magamaga kupitia Chadema, Mohere Nyamhanga alisema wakati wakijipatia kinywaji kulizuka mabishano ya kisiasa yaliyoibua hisia kali.

Alisema alipojaribu kuzuia mtafaruku, alipigwa jiwe mgongoni na kuumia. Mwenyekiti huyo wa Kitongoji aliwataja wafuasi wa Chadema waliojeruhiwa kuwa ni pamoja na yeye mwenyewe, Nyangi Chacha na Magasi Mwita.

Kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi alitaja walioumia kwa kukatwa mapanga kuwa ni pamoja na Marwa Mohere, Nyamaretio Mwita na Pius Nyarengwa.
 
Baadhi yao watu hao wamelazwa wakiwa na majeraha makubwa katika vituo vya afya vya Mriba na Masanga.

Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Lazaro Mambosasa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwaasa wanasiasa kuwa waangalifu na kuvumiliana.

“Jeshi letu linawaomba viongozi wa vyama vya siasa kutoa elimu kwa wafuasi wao kuendesha siasa kwa amani na bila kuingiliana na vyama vingine”, alisema Kamanda Mambosasa.

Mbowe:Tutapata Mgombea Urais wa Ukawa Karibuni Tunatumia Kila Mbinu Tuwe na Mgombea Mmoja Mazungumzo Bado Yanaendelea....

Posted: 22 Jul 2015 10:16 PM PDT

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe amesema pamoja na changamoto wanazokumbana nazo katika Ukawa, lakini wanajitahidi kumpata mgombea mmoja.

Mbowe alisema hayo jana katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika jijini Mwanza, ambapo pia aliwatambulisha wabunge waliohamia Chadema kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mbunge wa Kahama, James Lembeli na mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Mara, Ester Bulaya.

Mbowe alisema viongozi wanaounda Ukawa, wanaendelea kushirikiana ingawa kuna changamoto kadhaa. Lakini, watatumia kila mbinu kuhakikisha anapatikana mgombea mmoja kwa ajili ya kupeperusha bendera ya Ukawa katika uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

“Tunaendelea kushirikiana lakini kuna changamoto, kama viongozi tutatumia kila mbinu tuwe na mgombea mmoja wa Ukawa na mazungumzo yoyote yanahitaji uvumilivu, kuheshimiana na kushirikiana,” alisema Mbowe ambaye ni mbunge wa Hai.

Hata hivyo, Mbowe alisema umoja huo hautatangaza mgombea wao kwa haraka, kama ambavyo wananchi wanatarajia, kwa sababu tu CCM wamekwisha kumtangaza wao, ambaye ni Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.

“Tutamtangaza mgombea wetu kwa muda muafaka na watanzania wote watafurahi…hatuwezi kutangaza kwa sababu tu CCM wametangaza mgombea wao,” alisema Mbowe.

AJALI Mbaya ya Basi Mkoani Dodoma, Abiria zaidi ya 20 Wamefariki Dunia na 38 Wamejeruhiwa...

Posted: 22 Jul 2015 10:09 PM PDT

Taarifa kutoka mkoani Dodoma zinasema zaidi. Abiria zaidi ya 20 wamefariki dunia usiku huu, huku zaidi ya abiria 38 wakijeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya SIMIYU EXPRESS walilokua wakisafiria kutoka Mwanza kwenda DSM kupasuka tairi na kuacha njia na kugonga mbuyu na kisha kupinduka.

Taarifa zinasema ajali hiyo ni mbaya sana kuwahi kutokea mkoani Dodoma, hadi hivi sasa bado kuna miili haijatolewa kwenye mabaki ya basi hilo kutokana na kuharibika vibaya na kubaki mithili ya nyama.
MWENYEZI MUNGU AZILAZE MAHALA PEMA PEPONI ROHO ZA MAREHEMU NA KUWAPA NGUVU FAMILIA ZOTE ZA MAREHEMU AMEEN

LOWASSA Inatosha, MBOWE, LIPUMBA, MBATIA Wamwita UKAWA, Yuko Mbioni Kuachana na CCM Wakati Wowote....

Posted: 22 Jul 2015 10:04 PM PDT

Wakati Joto la Mbio la Urais Tanzania Linaendelea , Wakuu wa Vyama vya Upinzani Wanao unda kundi la Ukawa Wamemwambia Lowassa Huko alipo sasa inatosha amedhihakiwa vya kutosha na Kwamba wanamkaribisha Ukawa kwa mikono miwili kama walivyofanya wengine wakiwemo Mh Limbeli na Mh Ester Bulaya pamoja na Wale Madiwani wa Monduli....

Tetesi zinasema kuwa Muda wowote Lowassa anaweza Tangaza uamuzi wake wa Kujiunga na Upinzani ili apate nafasi ya kuwania Urais 2015.....

Una Maoni Gani ?

Kauli ya Askofu Gwajima Yamtokea Puani....Aulizwa Malimao Aliyosema Sasa yako Wapi ? Ni Kuhusu Kauli Aliyotoa Arusha Kwenye Mkutano wa LOWASSA

Posted: 22 Jul 2015 09:55 PM PDT

Katika Mkutano wa Lowassa Huku Arusha wa Kutangaza nia ya Urais Mchungaji Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo alikuwa mmoja wa Watu waliopewa nafasi ya kuongea..Askofu Gwajima Alipopewa Kipaza Sauti aliwabeza watu wanaomchukua Lowassa na Kudai Wanaokerwa Wakale Malimao Kwani Lowassa ndio Joshua wa Kuwavusha Watanzania Katika Nchi ya Ahadi ...

Sasa watu mbali mbali wanamuuliza YAKO WAPI MALIMAO ULIYOSEMA?

Angalia Video Hapa Akitoa Vijembe Vyake vya Kula Malimao.......

Udaku Specially

unread,
Jul 24, 2015, 4:12:57 PM7/24/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Wimbo Mpya wa Allykiba Uliovuja, Wageuka Kuwa Hit Song...Usikilize Hapa

Posted: 24 Jul 2015 08:38 AM PDT

Wakuu wimbo huu ambao upo in form of demo, umeendelea kupata downloaders wengi kwenye web na blogs mbalimbali East Africa, na blogs mbalimbali za Nigeria. Wimbo huu unakwenda kwa jina la "School baby" japokuwa hakuwa umekamilika hata balance ya sauti na beat kuwa haijakamilika lakin umegeuka kuwa hit song.

Hongera kingkiba.

http://www.jimmcarter.com/2015/07/usikilize-huu-wimbo-wa-alikiba.html

ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA

Posted: 24 Jul 2015 08:29 AM PDT

Baada ya vumbi la uchaguzi mkuu kuanza kumtika tumeona kura za maoni zinazoendelea kupigwa kutoka Chadema na CCM kwenye kila jimbo.

Chadema wanachagua wagombea ili baadae watakapokubaliana na wenzao CUF, NCCR Mageuzi, NLD, itabidi baadhi ya Majimbo wapewe vyama hivyo ambavyo vipo kwenye umoja huo UKAWA.

Na hapo ndiyo utazuka mgogoro mkubwa wa baadhi ya wagombea ambao majimbo yao watapewa UKAWA, hapo ndipo ACT-Wazalendo watakapojipatia wagombea wanaokubalika na kuwasimamisha kama wagombea wa ACT-Wazalendo.

Vile wagombea wa CCM ambao watakatwa pia kuna uwezekano mkubwa wakakimbilia ACT-Wazalendo.

Hapo ndiyo kauli ya Zitto kuwa wagombea hamsini watahamia ACT-Wazalendo itatimia.

Huu ndiyo ukweli ingawa unauma kuusoma hii hali kwenye siasa uwa inatumika sana.

Wale wote waliofanyiwa fitna watatumia mbinu hii ambayo imewahi kutumiwa na Dr.W.Slaa wakati yupo CCM kabla ya kutimkia Chadema na kushinda ubunge.

Wakenya Nao Wanadeki na Kusafisha Barabara Ujio wa Obama

Posted: 24 Jul 2015 08:25 AM PDT

Nimeona kwenye taarifa zao za Habari Barabara zinadekiwa, vibanda vinaondolewa omba omba wa mitaani nao marufuku kuonekani Mjini.

Nilidhani ni Sisi.

Ila jamaa zetu wanamuabudu sana Obama, rejea wanavyomzungumzia Ujio wake.

Mpenzi Wangu Amenitenda Aaada ya Kujiunga Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam

Posted: 24 Jul 2015 08:21 AM PDT

Nina mpenzi ambaye nilianza mahusiano naye wakati yeye yupo kidato cha Sita shule ya Kajumulo inayomilikiwa na Mama wa hela ya Mboga, Bukoba.

Binti ni Mnyarwanda kwa jina la Ishimimana, kiukweli ni mzuri sana kaenda hewani sekunde ukicheki nyoro inakuita.

Tulipendana sana na tulikuwa tukiongea kila siku jioni,pia nilikuwa nikiongea na marafiki zake sana,mimi nilikuwa Dar na yeye Bukoba.Nilifarijika nikajua ndoto ya kuoa mnyarwanda inatimia.Pesa ndogo ndogo za matumizi nilikuwa nampatia.Ilifika hatua hadi DP ya facebook akaweka picha yangu.

Alimaliza kidato cha sita na kujiunga chuo shahada ya sheria,

Miezi ya kwanza ya chuo mapenzi yalikuwa matamu na ndipo tukapata hata muda wa kula tunda la peponi.Mara ya kwanza sikutaka kumgegeda sababu alikuwa analindwa na sheria ya wanafunzi.

Hali ilibadilika baada ya kuzoea chuo na jiji,mtoto akawa hakamatiki,mapenzi akapunguza,mawasiliano akapunguza.Hostel aliyokuwa anaishi akahama bila kunitaarifu.

Facebook na Instagram akawa anaweka picha anakula bata na matozi na friends zake,picha wanazoweka ni za kuonesha makalio yalivyoumbika,ukweli kama kalio analo tena halisi la kinyarwanda.

Niliumia sana ukizingatia nilimpenda sana,nilipoteza muda wangu kwake lakini sasa hauthamini.

Kilichosababisha niandike uzi huu ni kuomba ushauri nifanye jambo gani niweze kumrudisha kwenye himaya yangu,ukweli nimemiss mapenzi yake,nakiri bado nampenda sana.

Basi hata nikishindwa kumrejesha basi nimshauri kuwa anapotea kwa mambo anayofanya, labda atanikumbuka kwa hilo.

Ushauri wenu ni muhimu

Lowassa kutangaza kuhamia CHADEMA Julai 26, Mwembe Yanga ambako Dr Slaa alimtangaza kuwa Fisadi Papa

Posted: 24 Jul 2015 08:15 AM PDT

Zipo tetesi kwamba Edward Lowasa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari Jumapili tarehe 26 Julai 2015 Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kueleza mambo mengi juu ya mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM uliopelekea jina lake kukatwa.

Pia katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kutangaza rasmi kujivua uanachama wake ndani ya CCM na kujiunga na CHADEMA ambapo baadaye jioni ataelekea viwanja vya Mwembeyanga ambako ataungana na viongozi wengine wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadharaza. Mtakumbuka kuwa uwanja huo wa Mwembeyanga uliopo Temeke Dar es Salaam ulitumika kutaja orodha ya mafisadi 11 na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa mwaka 2007 ambapo jina la Lowasa lilikuwa miongoni mwa majina yaliyopo kwenye orodha hiyo.

Uamuzi wa Lowasa kwenda CHADEMA umetokana na kutimiza makubaliano ya kupeleka shilingi bilioni 10 ambapo fedha hizo zimekabidhiwa Jana Alhamis Tarehe 23 Julai 2015. Aliyekabidhi fedha hizo kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ni Apson Mwang'onda na makabidhiano yamefanyika kwenye Hotel ya Sea Cliff huku tukio hilo likishuhudiwa na Kingunge Ngombale Mwiru na wengine ambao sitawataja kutokana na sababu maalum.

Taarifa zinasema kuwa kumekuwa na shinikizo kubwa kutoka kwa watu walioathirika na kukatwa kwa Lowasa hasa kutokana na fedha nyingi na muda kwa matumaini kuwa watakuwa "UPPER" baada ya Lowasa kushinda Urais. Miongoni mwao ni pamoja na Prof Juma Kapuya, Nazir Karamagi, Parseko Kone, Mgana Msindai, Kingunge Ngombale Mwiru, Mchungaji Gwajima, Andrew Chenge nk.

Hata hivyo, inadaiwa pia kuwa watu walio karibu na Lowasa akiwemo mfadhili wake mkuu Rostam Aziz ambaye amegoma kutoa fedha za kufadhili harakati za kwenda upinzani wanaendelea kumsihi kuwa asiende huko kwani atakuwa amejimaliza kabisa kisiasa. Pia inadaiwa kuwa mkewe Regina Lowasa amekuwa bitter sana na mpango wa mumewe kwenda upinzani na kwamba kwa siku kadhaa sasa amekuwa akiwafukuza wageni waliokuwa wanaenda nyumbani kwake hasa wale wa upinzani.

Hata hivyo, uamuzi wa Lowasa kwenda CHADEMA unatokana na msukumo wa maslahi binafsi baina ya Lowasa, Freeman Mbowe na wale waliomzunguka Lowasa na kwamba mpango huo ni hatari kubwa kwa ustawi wa CHADEMA. FREEMAN MBOWE anamtaka Lowasa kwa tamaa ya fedha ambapo matamanio yake yamekamilika baada ya kukabidhiwa shilingi bilioni 10 alizohitaji. Hata hivyo, upo uwezekano kuwa fedha hizo zikamtokea puani hasa pale atakaposhindwa kushawishi viongozi wa UKAWA kumteua Lowasa kupeperusha Bendera yao kwa mujibu wa makubaliano ya Lowasa na Mbowe.

Pia mtakumbuka kuwa Lowasa ameenguliwa CCM kutokana na kukiuka kanuni na taratibu za chama huku kashfa za ufisadi zikitumika kama kigezo kikuu cha kuenguliwa kwake. Lowasa huyu anayeenda CHADEMA ni Lowasa yule yule wa Kashfa za Richmond na kwamba CHADEMA wanapokea mtu ambaye taifa limemkataa.

Aidha, viongozi wa CHADEMA wamekuwa na kauli tofauti juu ya Lowasa huku Tundu Lissu na Wilbroad Slaa bila kumsahau Godbless Lema wakiongoza mashambulizi dhidi ya Lowasa. Mathalan, hotuba za viongozi hawa wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Arumeru Mashariki ambapo Nassari alikuwa anapambana na Sioi Sumari, Mkwe wa Lowasa zilitawala kashfa za Lowasa na kashfa hizo ndizo zilizopelekea Nassari kushinda. Pia, Dr Slaa amemtaja Lowasa kwenye list of shame na hajajitokeza kwenye vyombo vya habari na kutangaza kuwa amemuondoa kwenye Orodha hiyo.

Vilevile, shinikizo la Lowasa kwenda CHADEMA linafanywa na watu ambao image yao kwenye public ni mbaya. Watu kama Prof Kapuya, Nazir Karamagi, Andrew Chenge na wengineo hakika wanawakilisha kikundi cha watu ambao hawana taswira nzuri kwenye jamii.

CHADEMA wana wakati mgumu sana katika kumnadi Lowasa. Siku zote wamekuwa wakijipambanua kuwa chama chao kinapambana na ufisadi. Inashangaza kuwa wanaojinasibu kuwa wanapambana na ufisadi ndo wanapokea rushwa na wanakaribisha mafisadi kwenye chama chao.

Natambua kuwa CHADEMA wanataka kumtumia tu Lowasa katika uchaguzi Mkuu ujao na baada ya hapo watamtema. Hata hivyo watambue kuwa uamuzi huo si tu utakuwa na athari kwa Lowasa bali hata wao CHADEMA watakuwa wamejimaliza.

Nimalizie kwa kusema kuwa Lowasa huyu ambaye ameonekana mchafu ndani ya CCM hawezi kuwa msafi ndani ya CHADEMA.

CHADEMA Kutangaza Mgombea Urais Mwezi Ujao

Posted: 24 Jul 2015 08:12 AM PDT

Chama cha CHADEMA watatangaza mgombea Wa kiti cha urais mapema mwezi ujao.Hii imethibitishwa na katibu mkuu Wa chama.

Chanzo: DW - SWAHILI

Wanaume wa Dar es Salaam Katika Kashfa Nyingine Tena Baada ya ile ya Panya Road

Posted: 24 Jul 2015 08:10 AM PDT

Mmoja wa Abiria Aliyoshambuliwa Juzi na Mtu Huyo kwenye Daladala
Juzi nilireport hapa kuhusu Mtu mmoja aliyewachoma watu kwa kisu kwenye daladala jijini Dar es Salaam , Sasa leo nimesikiliza clip ya dada mmoja anaeelezea mtu alie choma watu kisu ndani ya Daladala. Eti wanaume watu wazima walikuwa wanakanyagana kukimbia.

Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.

Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!

Aibu iliyoje hii

Sijui kwanini watu wamepaniki baada ya kuona mjengo wangu – Linah

Posted: 24 Jul 2015 06:58 AM PDT

Linah Sanga amejikomboa kwa kukaribia kukamilisha mjengo wake japo anadai watu wengi wamekuwa wakijaribu kumkatisha tamaa.


Linah alifanya ukaguzi kwenye nyumba yake inayoendelea kujengwa

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa haikuwa rahisi kujenga nyumba hiyo kutokana na kipato chake kidogo na hivyo kuamua kuijenga taratibu.

“Yeah ile ni nyumba yangu, ipo Mbezi sehemu moja inaitwa Mpiji Magoe,” amesema. “Ile sio nyumba ambayo natarajia nitaishi mimi, nataka kuifanyia biashara halafu nijenge nyingine ambayo itakuwa maalum kwaajili ya kuishi. Naona watu wengi kama wamepaniki, ile nyumba nimejenga kidogo kidogo mpaka pale ilipofika na ikiisha tu ile naanza yangu,” ameongeza.

‘Nimekuwa nikiijenga taratibu, nikipata milioni mbili nanunua tofali mpaka inakamilika. Unajua watu wengi kwenye mitandao wapo kwaajili ya kuku-challenge, mimi ninaweza nikawa nimechukia na kukata tamaA lakini nagundua hawa watu wapo kwaajili ya kutukatisha tamaa. Lakini unaamka na nakusonga mbele nikihakikisha nakipata kile nilichokipanga.”

Kwa upande mwingine Linah amesema ataachia video yake mpya wiki ijayo.

Amini Aipuuzia imani Kuwa Msanii Akioa Hushuka Kimuziki

Posted: 24 Jul 2015 06:56 AM PDT

Msanii na mtunzi wa nyimbo za Bongo Flava, Amini amesema haamini kuwa msanii akioa hushuka kimuziki.

Amini ameiambia Clouds FM kuwa anashukuru kumpata mke ambaye wanaendana katika kazi zake.

Unajua kila mtu ana mtazamo wake, wengi wanasema hivyo kuwa msanii ukioa unashuka. Hapana kwangu nakataa na mimi sijaoa useme labda muuza duka au ana dili na mambo mengine, ila nimeoa msanii tena mke wangu ana kipaji kikubwa tu hasa cha kuandika,” amesema Amini.

Sasa kwa upande wangu mimi amekuwa akinisaidia sana na kunishauri hasa katika suala la uandishi. Nadhani hiyo ni mitazamo tu ya watu wengine. Unajua kutosikika kwangu mara kwa mara ni sababu muziki ni lazima kupeana nafasi. Hatuwezi wasanii wote kutoa nyimbo pamoja.”

Shilole na Nuh Mziwanda Kwenye HekaHeka ya Leo, Wana Ugomvi?…(Audio)

Posted: 24 Jul 2015 06:50 AM PDT

Shilole na Nuh Mziwanda wameachiaSingle yao inayojulikana kama ‘Ganda la Ndizi’ kabla ya kutoa wimbo huo walionekana kama kutofautiana kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram huku kila mmoja akiweka ujumbe wa kumkashifu mwenzake.

Hekaheka ya leo imefanya mahojiano na wawili hao na kuamua kuzungumzia utata wao ambao ulizua gumzo kwenye mtandao wa Instagram.

Shilole amesema hawakuwa wamegombana lakini wanashukuru kwa support ya mashabiki wao katika kukuza muziki wao.

Shilole anasema waliamua kufanya hivyo kama sehemu ya kuutangaza wimbo waohuo mpya unaoitwa.

Wasikilize hapa mtu wangu…

Kenyan socialite Vera Sidika buys herself 2015 Range Rover Sport as a birthday present

Posted: 24 Jul 2015 01:39 AM PDT


Popular Kenyan socialite Vera Sidika is making headlines again! She has acquired the 2015 Range Rover Sport as her own early birthday present.

The controversial socialite unveiled the new ride through her social network accounts with the caption:
“Bought myself an early Birthday present. From me to me. Single girl problems. #RangeRoverSport2015 #Grateful”

On another post she wrote:

“Expect more from yourself…not others! Because if you succeed, you will be happy! But if you fail, you will be wiser! Remember that the only people who never fail are the ones who never try to succeed! God will surely Bless those of us who take actions with Good intentions 🙏 👑QVB👑”

Mr Blue: Siwezi Kueleza Jinsi Ninavyompenda Mke Wangu

Posted: 24 Jul 2015 01:36 AM PDT

Diamond Platnumz hana maneno ya kuwaeleza walimwengu ili wajue ni kwa kiasi gani anampenda mchumba wake, Zari the Bosslady. Lakini inaonesha kuwa siku za hivi karibuni wanawake wamekuwa na mchango mkubwa zaidi katika ustawi wa maisha ya wapenzi wao. Mr Blue pia hana maneno ya kueleza ili watu waelewe anavyompenda mke wake Wahyda.

Blue amepost picha Instagram akiwa na mke wake huyo na kuandika,” Morning ig…@wahyda_bysers_heart …siwezi kuelezea jinsi gani nampenda mke wangu….##kumekucha#lifeisgud.

Hivi karibuni Mr Blue byser alitangaza hadharani kuwa sasa sio mfuasi tena wa vilevi vya aina yoyote, na ashukuriwe mke wake kwa kuwezesha hilo. Kupitia akaunti yake ya Instagram, hit maker huyo wa ‘Pesa’ alikiri kuwa sasa ana furaha zaidi baada ya kufanikiwa kuacha kuvuta bangi, sigara (fegi) mirungi na pombe. Alimshukuru mama mtoto wake kwa kumwezesha kuacha kutumia vilevi hivyo.

Hiki ndicho aliandika Blue:

Alhamdulilahi ..nimeamka salama nikiwa mwenye furaha ahsante mungu ..na nashukuru pia kwa kufaulu mtihani ahsante mke wangu@wahyda_bysers_heart kwa kunifanikisha kuacha vilevi vyote..(bangi, fegi, mirungi, pombe) na kuishi km binadamu wa kawaida..nawashauri ndugu zangu kuwa makini na marafiki wengine wapo kwa ajili ya kukuharibia maisha yako ..kuwa makini… “

This is What Zari Post On Her Instagram Account....

Posted: 24 Jul 2015 01:27 AM PDT


This is What Zari Post On Her Instagram Account....


Edward Lowassa Sasa Rasmi Ukawa

Posted: 24 Jul 2015 01:25 AM PDT

Na Neophitius Kyaruzi
BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo ili kuongeza nguvu ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa na tayari amejiunga rasmi Ukawa akiwa mwanachama halisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefahamika.

Taarifa rasmi kutoka Ukawa na kwa msemaji wa Lowassa ambaye hakutaka jina lake litajwe, imeeleza kuwa uamuzi huo ulifikiwa baada ya majadiliano ya kina katika Mkutano Mkuu wa Ukawa uliofanyika mapema wiki hii huku ajenda kubwa ikiwa ni kumpokea Lowassa ili kuimarisha kambi ya upinzani ikiwa ni pamoja na kumsimamisha kama mgombea urais wa umoja huo.
Taarifa rasmi zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa Lowassa anatarajiwa kutangazwa rasmi Jumapili hii hivyo maadalizi ya mkutano mkubwa wa aina yake yanaendelea. Chanzo chetu kutoka katika mkutano huo kilisema kwa moyo mmoja, wenyeviti wa vyama vyote vinavyounda umoja huo, yaani Freeman Mbowe (Chadema), Profesa

Ibrahim Lipumba (CUF), James Mbatia (NCCRMageuzi) na Emmanuel Makaidi (NLD), wameridhia kuungana na Lowassa katika safari yao ya kuking’oa CCM madarakani huku wakiamini kuwa wakimsimamisha kuwa mgombea wa Ukawa watafanikisha azma ya vyama vya upinzani kuingia ikulu.
“Katika kikao chetu tulijadili mikakati kadhaa ya kuchukua dola lakini kubwa zaidi lilikuwa ni jinsi ya kuungana na Lowassa ili kutimiza azma hiyo, ikizingatiwa kwamba hivi sasa anaungwa mkono na Watanzania wengi na hasa jinsi ambavyo hawakuridhishwa na mchakato wa kumuengua kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo tuna uhakika kwa mkakati huu lazima tuking’oe CCM madarakani,” alisema mjumbe mmoja wa Mkutano Mkuu (jina limehifadhiwa).

TUNDU LISSU AFUNGUKA
Akizungumzia suala hilo, Mnadhimu Mkuu wa Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, aliliambia gazeti hili kuwa majadiliano kuhusu Lowassa yalikuwa ya lazima kwa kuwa katika muungano wa vyama kila kiongozi ana mtazamo wake hivyo, kila jambo la muhimu lazima lifanyike kwa majadiliano ili kufikia mwafaka kwani lengo ni kuhakikisha kwamba kunakuwapo na mkakati wa pamoja kuhakikisha kuwa CCM kinag’olewa madarakani ili makada wa chama hicho waelewe kuwa sasa Watanzania wanahitaji mabadiliko na si maneno matupu ya majukwaani.
LIPUMBA NAYE ANENA
Kwa upande wake, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Profesa Ibrahim Lipumba alisema kwamba Ukawa hivi sasa wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanachukua dola na kuongeza kwamba waliokuwa wakieneza propaganda kuwa anawakwamisha wataendelea kuumbuka kwa kuwa vyama vyote vinavyounda Ukawa ni kitu kimoja.
Aliongeza kwamba, kamwe umoja huo hauwezi kusambaratika kwani ajenda kuu ni kuindoa CCM madarakani na kuongeza kwamba, mambo mengine kama mgawanyo wa ruzuku yatafuata baadaye kwani yanazungumzika katika ngazi ya uongozi.
MSIMAMO WA LOWASSA
Msemaji wa Lowassa ambaye kawa sasa ndiye gumzo la taifa ukiachana na Dk. John Magufuli aliyepitishwa na CCM kuwania kiti cha urais amelihakikishia gazeti hili kuwa Lowassa ameamua kuingia Ukawa ili kuendeleza siasa za kistaarabu kutimiza azma yake ya Safari ya Matumaini kama ambavyo amekuwa akiwaahidi Watanzania.
Alisema ameamua kuungana na Ukawa kwa kuwa anaamini kuwa lengo la vyama vyote vya siasa ni kuhakikisha vinatimiza malengo yao ya kuwahudumia wananchi, hivyo inapotokea katika chama kimojawapo, bado kuna nafasi ya kutumia vyama vingine kutimiza malengo ya kisiasa. Msemaji huyo aliongeza kwamba baada ya kuenguliwa alikuwa na kazi ngumu ya kubaini nini cha kufanya ili kutimiza azma yake ya kisiasa, ndiyo maana alikaa kimya ili kuepusha mivutano kati yake na CCM lakini hakuwa amekata tama kuhusu jinsi anavyoweza kuwakomboa Watanzania kutoka katika dimbwi la umaskini, jambo ambalo alikuwa akiwaeleza katika safari yake ya kusaka wadhamini nchi nzima.

MKAKATI WA KAMPENI
Msemaji huyo alisema kuwa akiwa katika Ukawa, Lowassa ameandaa mkakati kabambe wa uhamasishaji wananchi ili watambue kwamba azma ya kuwakomboa ipo palepale na kuongeza kuwa ana uhakika watamuunga mkono kwani anatambua kwamba wapo pamoja naye katika safari ya matumaini.
Alisema kwamba kazi iliyo mbele yake ni kuhakikisha kuwa anaisuka upya ‘Team Lowassa’ na atakuwa makini na baadhi ya watu waliomsaliti ili wasiharibu mkakati wake na kuongeza kwamba watazunguka nchi nzima kufanya kampeni za kistaarabu, zisizokashfu wanasiasa wengine ili wananchi wapime ni kiongozi gani anafaa kati ya yeye na wengine.

TATHMINI YA USHINDI
Chanzo chetu ndani ya Ukawa kilieleza kwamba, tathmini iliyofanywa hadi sasa inawapa uhakika wa kuchukua dola kwani katika maeneo mengi, Lowassa anaungwa mkono zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote yule. Kilisema kuwa katikamaeneo mengi CCM haikubaliki kutokana na kuendesha siasa za kibabe na mizengwe, jambo ambalo limekuwa likiwakera wananchi kwani kinachotokea ni kwamba wanachaguliwa viongozi badala ya wao kuchagua viongozi wanaowataka.
Kilisema Lowassa ana nguvu zaidi katika Mikoa ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa, Kusini, Nyanda za Juu Kusini na Zanzibar hivyo CCM kama inataka kushindana naye ijipange vyema.

ZITTO AJUMUISHWA
Katika mkakati huo wa ushindi, inaelezwa kwamba, umoja huo utamjumuisha kundini Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ambaye chama chake nacho kitaongeza nguvu ya ushindi.
Lowassa alikuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM kati ya wagombea 38 ambao walichukua fomu lakini jina lake lilikatwa katika kikao cha Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM, jambo ambalo lilizua sintofahamu miongoni mwa wanasiasa wengi waliokuwa wakimuunga mkono, hatua ambayo ilisababisha mtikisiko wa kisiasa nchini.

Wastara: Ulemavu Unanikosesha Hamu ya Kuolewa

Posted: 24 Jul 2015 01:18 AM PDT

Leo kwenye safu hii mwanadada Wastara Juma yupo hapa kujibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi Wetu Imelda Mtema. Unataka kujua kaulizwa nini na akajibu nini? Fuatilia hapa chini…
Ijumaa: Hivi ulipopata kilema cha kukosa mguu mmoja wakati ulishazoea kutembea na miguu miwili ulijisikiaje?
Wastara: Nakumbuka nilipoteza matumaini kabisa na kuona ndoto zangu zimefutika.
Ijumaa: Changamoto gani ulikutana nazo tangu ulipopata ulemavu?
Wastara: Ni nyingi sana, kwanza kubadili aina ya mwendo wakati watu walizoea kukuona ukidunda. Kifupi wengi walinishangaa kwa jinsi nilivyoanza kutembea, pilika za kimaisha kama utafutaji pia vilinifanya nipate changamoto kubwa kwani sikuwa nikisaidiwa.
Ijumaa: Uliwezaje kukabiliana na badiliko kubwa kama hilo katika mwili wako?
Wastara: Ilikuwa kazi kubwa sana kuzoea hali hii maana nilikuwa naanguka kila siku kwa kujisahau na kuona bado nina miguu yote. Kutokana na hali hiyo nilichelewa sana kupona mpaka daktari aliyekuwa ananitibu akaamua kunipa dawa ambazo zilinifanya nilale saa 24.
Ijumaa: Ulemavu wako haukupi mawazo hasa unapofikiria ishu ya kuolewa tena?
Wastara: Hili suala la kuolewa ndiyo gumu kabisa na naweza kusema ulemavu huu unanikosesha hamu ya kuolewa kwani kila mwanaume anayekuja naona hana mapenzi ya kweli na mimi, naamua kughairi.
Ijumaa: Uliwaza nini kuamua kugombea ubunge na hiyo hali yako?
Wastara:  Nimefikiria vitu vingi sana na lengo ni kuwasaidia walemavu kwa kila hali.
Ijumaa: Wewe ulishawahi kunyanyapaliwa kutokana na hivyo ulivyo?
Wastara: Nilishawahi kwani nakumbuka siku moja nilitembelea nchi fulani nikapewa chumba nilale na mwenyeji wangu lakini alipoona ni mlemavu alihama.
Ijumaa: Ni maumivu gani uliyoyapitia kwa kipindi chote hiki?
Wastara: Kubwa zaidi ni maumivu ya mwili kwani kuvaa mguu wa plastiki ni mateso makubwa asikwambie mtu.
Ijumaa: Ni yapi umepanga kuyafanya kwenye siasa?
Wastara: Kwanza nitahakikisha serikali inaweka huduma nzuri hospitalini, benki na kwenye mabasi kwa walemavu.
Ijumaa: Je, umejipangaje katika kuikabili mizengwe kwenye siasa?
Wastara: Siasa siiogopi, nimejipanga kwa kila kitu na watu wasubiri waone.
Ijumaa: Huogopi mchezo mchafu unaofanywa na wanasiasa?
Wastara: Hakika nimejipanga na niko tayari kukabiliana na changamoto zote.

SOURCE: GPL/Ijumaa

Nikiridhishwa Faragha Sharti Nimsifie Mume- Joyce Kiria

Posted: 24 Jul 2015 01:13 AM PDT

Hamida Hassan
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akishibishwa vilivyo na mume wake ‘chakula cha usiku’, haoni sababu ya kumsifia kupitia mitandao.
Joyce ambaye amekuwa na kusumba na kumpa sifa kemkemu mume wake kila atokapo kula ‘chakula’ hicho ameeleza kuwa, haoni tatizo kufanya hivyo kwa kuwa kila mtu anajua ukiolewa lazima upewe ‘chakula cha usiku’ na ushibe ndipo utaifurahia ndoa.
“Mi sioni ajabu jamani kwa sababu ni vitu vya kawaida kabisa, nani asiyejua tumetoka kwa wazazi wetu kwa ajili ya kufuata ‘chakula cha usiku?’ Kwa hiyo sioni hatari kwa kweli, nitaendelea kumsifia mume wangu atakaponipa furaha, ” alisema Joyce.

Mastaa Wamliza Kajala usiku, Kisa..!

Posted: 24 Jul 2015 01:11 AM PDT

Imelda mtema
Machozi ya furaha! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alijikuta akiangua kilio baada ya kufanyiwa ‘sapraizi’ na mastaa wenzake katika siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa Julai 22, mwaka huu nyumbani kwake Sinza Afrikasana jijini Dar ambapo akiwa hana hili wala lile, mastaa hao akiwemo Jacob Steven ‘JB’, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda, Leah Richard ‘Lamata’ na wengineo walifika nyumbani hapo mida ya saa 6 usiku kisha wakajibanza nje.

Baada ya muda, Lamata aliyekuwa kwenye msafara huo aligonga mlango wa nyumba ya Kajala na kufunguliwa huku wakiendelea na mazungumzo, Lamata alinyanyuka na kwenda kuzima taa kisha ghafla likaingia kundi la mastaa kila mmoja akiwa ameshika mshumaa unaowaka na keki.
Tukio hilo lilimfanya Kajala apate mshituko na kitendo bila kuchelewa taa iliwashwa kisha mastaa hao wakaanza kumuimbia huku wakimmwagia vimiminika kama vile maji na ‘wine’.
Hali hiyo ilimfanya Kajala alie sana na kuwapa kazi mashosti zake kumtuliza na baadaye walisherehekea hadi asubuhi.

Akizungumzia tukio hilo, Kajala alisema kuwa, furaha aliyokuwa nayo siku hiyo ndiyo iliyomfanya alie kwani amebaini ana watu wengi wanaompenda licha ya kuwepo wachache wenye chuki zao binafsi.
“Kwa kweli sikuamini kile kilichotokea usiku ule ndiyo maana nililia kwa furaha, wenzangu wameonesha upendo wa hali ya juu kwangu,” alisema Kajala huku akifuta machozi.

NEC yaombwa kuongeza muda uandikishaji BVR DSM

Posted: 24 Jul 2015 01:07 AM PDT

Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC),imetakiwa kuongeza muda wa Kujiandikisha katika Daftari la kudumu la Wapiga kura kwa jiji la Dar es Salaam kutokana na wingi wa watu lakini ibadilishe baadhi ya sheria ili kila mtu mwenye sifa apate haki ya kupiga kura

Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraji, akizungumza katika moja ya mikutano yao.

Akizungumza katika Mkutano maalum wa chama cha ADC leo jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama hicho Said Miraji Abdallah amesema kuwa kuna watu wenye sifa ambao wanakosa haki yao ya msingi wakiwemo wafungwa, wagonjwa, na watanzania walio nje ya nchi ambao wanashindwa kupata haki yako kutoka na mfumo wa sasa wa uandikishaji.
Bw. Miraji ameongeza kuwa kuna watu ambao wanaweza kuachiwa magerezani wakati zoezi la uandikishaji limeshapita hivyo litawafanya washindwe kushiriki katika uchaguzi mkuu hivyo tume haina budi kuziangalia sheria zake upya.

Wakati huo hou Aliyekuwa mbunge wa Wawi Zanzibar kupitia Chama cha WanancHi (CUF) Hamad Rashid amejiunga rasmi na chama chake kipya cha ADC leo na kukabidhiwa kadi namba moja.
Akiongea na waandishi wa habari Hamad Rashid ametumia fursa hiyo kutangaza nia ya kuwania urais wa Zanzibar ifikapo Oktoba 25 mwaka huu kwa tiketi ya chama hicho.

Kambi ya Halima Mdee yasambaratika..Wapambe Wake Wakimbilia Kwa Zitto Kabwe

Posted: 23 Jul 2015 10:01 PM PDT

KAMBI ya aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), imeanza kusambaratika baada ya wafuasi wake kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

 

Wafuasi wake hao wakiongozwa na diwani aliyemaliza muda wake katika Kata ya Kunduchi, Janeth Rithe, wamejiunga jana ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Msafiri Mtemelwa.

 

Wengine waliopewa kadi za ACT ni Mary Mongi aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Bawacha, Jimbo la Kawe, James Wambura (Katibu wa mbunge Kawe) na Manase Busa aliyefanikisha kwa kiasi kikubwa kuhakikisha Mdee anaingia bungeni katika uchaguzi wa 2010.

 

Wamo pia Katibu Bawacha Tawi la Wazo, Modesta Kalukula na Sizya Issa, Yamoyo Salehe, Sheilah Khamis, Tabia Mohamed, Ashura Salehe, Sophia Makoba na Fatuma Mikidadi.

 

Mbali na hao, chama hicho pia kimepokea wanachama wengine 198 kutoka CCM, Chadema na NCCR-Mageuzi waliojiunga kutoka jimbo hilo.

 

Akizungumza baada ya kuwapokea, Msafiri alisema wanachama hao wameungana ili kuendeleza uzalendo kwa Taifa, hivyo chama hicho kinawakaribisha na wengine.

Udaku Specially

unread,
Jul 25, 2015, 4:46:26 PM7/25/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Unamfahamu Dadake Rais Obama,Auma Obama?

Posted: 25 Jul 2015 01:23 PM PDT

Msemo wa kuwa damu ni nzito kuliko maji ulidhirika wazi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi Kenya ijumaa usiku.
Hiyo ni baada ya rais wa Marekani Barack Obama kuweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza wa taifa lenye nguvu zaidi duniani kukanyaga ardhi ya Kenya, picha zilizosambaa kote duniani zilikuwa za rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha nchini wakiongozwa na mwenyeji wake rais Uhuru Kenyatta.
Je Uliiona picha hiyo ?

Mwanamke aliyepigwa picha akimpiga pambaja rais Obama na hata wakaondoka naye katika gari lake maalum al maarufu ''The Beast'' si mwengine bali ni dadake wa kambo Daktari Auma Obama.
Rais Obama alimbusu bi Auma Obama na hata akazungumza naye kwa muda mrefu huku rais Uhuru Kenyatta akimsubiri.
Zaidi ya hayo, Auma aliruhusiwa na maafisa wa usalama kutoka Marekani kuingia ndani ya ''The Beast''.
Wakenya wengi na watu wengi waliachwa vinywa wazi wasimjue ni nani.

Auma humsifu nduguye ambaye humuita '' Barry''
Aidha ukuruba wake na rais Obama uliibua hisia mseto huku kila mmoja akitaka kujua zaidi kumhusu Auma Obama.
Auma Obama au Dakta Auma jinsi anavyofahamika zaidi, ana mwenye umri wa miaka 55,alipata umaarufu zaidi baada ya Rais Obama kumnukuu kwenye kitabu chake cha 'dreams of my father' kwa kuwa dadake wa kambo.
Baada ya kifo cha baba yao Senior Obama mwaka wa 1982, kila mmoja wao alianza safari ya kumtafuta nduguye.

Licha ya ndugu hao kulelewa katika mataifa tofauti na hata kutengana kwa muda mrefu, mwishowe walikutana mnamo mwaka wa 1984 kufuatia ualishi wa rais Obama. Walikutana jijini Chicago, Marekani.

Miaka 28 iliyopita wakati Rais Obama aliwasili nchini Kenya, Auma alienda kumpokea katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kwa gari la muundo wa Volkswagen.
Gari ambalo rais Obama mwenyewe alileza kuwa lilikuwa gari kuu kuu.
Auma humsifu nduguye ambaye humuita '' Barry'', kwa kuinua hadhi ya familia ya babayao.

Auma aliruhusiwa na maafisa wa usalama kutoka Marekani kuingia ndani ya ''The Beast''.
Auma alikuwa katika harusi ya Obama mnamo mwaka wa 1992 kama masaidizi wa Michelle Obama.
Auma anaendesha wakfu wa kuwashughulikia mayatima unaofahamika kama Sauti Kuu.
Kulinagana na Auma, kituo hicho, hutumika kuwakuza watoto mayatima na wengi wao wanaendelea na masomo.
Aidha amesomea nchini Ujerumani na kuishi Uingereza kwa muda mrefu.

Auma hushinda kwa kipindi kirefu akiwa na bibi yao, Bi Sarah Obama
Auma amesomea masuala ya sanaa na anapenda kuwasaidia watu wasiojiweza katika jamii.
Dkt Auma alilieza jarida la TIMES kuwa yeye anapenda maisha ya kawaida.
Licha ya kuwa na uhusiano na rais mwenye ushawishi mkubwa zaidi duniani, anapenda kuendesha shughuli zake za kibinafsi.
Auma hushinda kwa kipindi kirefu akiwa na bibi yao, Bi Sarah Obama katika kitongoji cha Nyangoma, Kogello ambapo babake Rais Obama Sr obama alizaliwa.

MASKINI: Ndoto ya Wema Sepetu kuwa Mbunge Yayeyuka!

Posted: 25 Jul 2015 01:17 PM PDT

Haikuwa bahati yake. Safari ya Wema Sepetu kuelekea bungeni imefikia tamati.

Hiyo ni baada ya kushindwa kuwashawishi wanachama wa CCM mkoani mkoani Singida kumpa dhamana ya kuwawakilisha kwenye viti maalum vya ubunge.

Wema ameshindwa kupita kwenye kura za maoni za ubunge huo kwa kupata kura 90 tu. Aliyeongoza kwenye kinyang’anyiro hicho ni Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata (235) na Diana Chilolo (182).

Wema amekubali kushindwa na kudai kuwa ushiriki wake umempa ujasiri zaidi.

“Nilivyoamua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka,” ameandika kwenye kwenye Instagram.

“Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo. Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya,” ameongeza.

“2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi…. Safari yangu ya Siasa ndo kwanza inaanza.”

Niaje Wasee? Hawayuni? Obama Afungua Mkutano wa GES jijini Nairobi kwa Salamu ya Sheng (Video)

Posted: 25 Jul 2015 01:09 PM PDT

Rais wa Marekani, Barack Obama yupo nchini Kenya kwa ziara ya kwanza ya rais wa Marekani aliyepo madarakani kuwahi kufanyika nchini humo.

Obama amefungua mkutano wa ujasiriamali wa dunia, GES asubuhi hii kwa salamu ya Sheng. “Niaje Wasee, Hawayuni,” aliwasamilia wajumbe wa mkutano huo waliomuangushia shangwe za kutosha.

Jana usiku Obama alishiriki chakula cha usiku na ndugu upande wa baba yake.

Waliokuwepo kwenye dinner hiyo iliyofanyika Villa Rosa kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi ni pamoja na bibi yake, Mama Sarah na dada yake Auma Obama.

Rushwa ya Ngono iliniondoa Kaole-Batuli

Posted: 25 Jul 2015 01:05 PM PDT

Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono, Batuli amefunguka hayo leo alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.

Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine jambo ambalo kwa upande wake hakuwa tayari kulifanya na kuamua kuondoka katika kundi hilo.

Batuli anasema kabla ya kuweza kutoka kupitia mkono wa Kanumba alishasota sana katika kundi hilo na alikuwa akibaniwa nafasi kutokana na kutokubaliana na watu ambao walikuwa wakimtaka kingono ili waweze kumpa kipaumbele zaidi, ndipo hapo alipoamua kuondoka na baadaye msanii Kanumba ndipo alipoamua kumpa nafasi na kuweza kumtoa kisanaa.

"Nilijiunga kaole lakini baadae Kanumba aliniona nafaa kwenye filamu chini ya kampuni ya Game 1st Quality ndivyo nilivyotoka ila kabla ya hapo nilisota sana kwa sababu ya changamoto mbalimbali ikiwepo kubaniwa kazi, na kutakwa kimapenzi au kuombwa rushwa ya ngono moja ya jambo lililofanya niondoke Kaole ni changamoto ya rushwa ya ngono, nilikutana na changamoto hiyo nilipojiunga na kikundi cha kaole nikaamua kuhama kikundi kabisaa"

"Nilijiunga kaole baadae Kanumba alinishika mkono" Aliongeza Batuli

Mbali na hilo Batuli alisema kuwa kwa sasa yeye ni mtalaka na ana watoto wawili na katika kipindi chake cha ndoa hakuwahi kuchepuka hata siku moja sababu huwa anapenda kutulia na mtu mmoja, na kuweka wazi kuwa katika maisha yake hajawahi kugombanisha wanaume sababu huwa anapenda kuwa na mtu mmoja anayempenda.

"Hapana haijawahi kutokea nimegombanisha wanaume au wanaume wamegombana kwa sababu yangu kwa kuwa huwa sina mahusiano mengi natulia na mmoja"

Tunatambua katika tasnia ya filamu na movie nchini wasanii wengi wamekuwa wakitumia kiki na skendo mbalimbali kama njia ya kujitangaza na kujiongezea umaarufu zaidi katika sanaa husika jambo ambalo kwa Batuli limekuwa kinyume chake yeye anaamini kuwa skendo na kiki zinamfanya msanii adharaulike kila na kushusha heshima ya msanii huyo jambo ambalo yeye ameweza lifananisha na vazi baya au chafu katika tasnia ya filamu na sanaa kiujumla.

"sio kweli huwezi kuheshimika na kuwa na scandal kuwa na scandals kuna mfanya msanii adharaulike kila aendapo naweza kusema scandals ni vazi baya na chafu kwenye tasnia yetu"

OBAMA Tells UHURU and Kenyans to Accept GAYs as the Latter Declares it a Non-Issue

Posted: 25 Jul 2015 12:58 PM PDT



President Uhuru Kenyatta has today let the cat out of the bag by telling US President Barrack Obama that Kenya is a nation that is focused on development and believes that homosexuality is a non-issue.

Responding to an AFP journalist in a joint press conference at State House, Nairobi, tough speaking Kenyatta said though Kenya and US share many values, there are some  that the two countries never shares.

“Kenya and the United States share so many values but there are others that we don't. The gay issue is a non issue,” Uhuru said.

The father of the nation said Kenyans have so many problems to tackle and homosexuality is not one of them.

On whether, Kenya is looking East or West, Uhuru said Kenya is neither looking East of West but looking for progress.

Obama on his part congratulated President Uhuru Kenyatta for his braveness towards fighting corruption which he said has derailed Kenya’s economic growth.

He said his Government will help Kenyatta’s administration in fighting corruption that has infiltrated Kenya’s public and private sectors.


Easta Bulaya ni Moto wa Kuoteka Mbali........Apata mapokezi ya kishindo Bunda, Amchamba na Kumlipua Wassira

Posted: 24 Jul 2015 10:56 PM PDT

ALIYEKUWA Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Mara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi.Esta Bulaya ambaye juzi alitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amepata mapokezi makubwa Mjini Bunda jana akitokea jijini Mwanza akiwa na viongozi wa CHADEMA mkoani humo na Kanda ya Ziwa.

 

Akiwahutubia wananchi katika Viwanja vya Stendi ya Zamani, Bi.Bulaya aliwapongeza wananchi kwa mapokezi makubwa waliyompa na kumlipua mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake, Bw. Stephen Wassira akisema muda wake wa kukaa serikalini unatosha.

 

Alisema katika Serikali ya Awamu ya Tano, viongozi kama Bw. Wassira hawafai kwani amekuwa Waziri muda mrefu lakini jimbo hilo bado halina maendeleo yaliyotarajiwa na wananchi.

 

"Wazazi wangu mimi ni mwanachama wa CCM na mimi nimekulia ndani ya chama hicho hivyo mkiona nimekimbia, mjue mambo yamenifika shingoni, katika mkoa huu kuna rasilimali nyingi ambazo hazijatumika vizuri ili ziwaondolee wananchi umaskini," alisema.

 

Akizungumzia uwazi na uwajibikaji, alisema viongozi wengi wa CCM hawataki kuwatetea wananchi na kushindwa kuwasimamia watendaji wa Serikali akitolea mfano mradi mkubwa wa maji mjini humo ambao umechukua miaka tisa bila Bw.Wassira kuukamilisha.

 

"Leo hii Wassira atakuja na sera gani kwa wananchi wakati ameshindwa kutekeleza wajibu wake kama mbunge na kiongozi wa Serikali, tuwakatae viongozi wa ngazi zote wanaotokana na CCM," alisema.

 

Aliongeza kuwa, umefika wakati wa majimbo yote mkoani humo kuchukuliwa na wagombea wa CHADEMA ambao watatimiza ahadi zao kwa wananchi na kutatua kero walizonazo.

 

Bi.Bulaya aliweka wazi dhamira yake ya kuwania ubunge wa Bunda Mjini kwa tiketi ya CHADEMA ambapo leo atashiriki kura ya maoni ya kumpata mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA.

 

Naye mbunge wa Kahama, Bw. James Lembeli, alidai kuchoshwa na ufisadi uliopo ndani ya CCM na kuwataka wananchi wakubali kuiunga mkono CHADEMA kwa kuwaweka madarakani na kushika dola katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.

 

Mbunge wa Musoma Mjini, Bw. Vicent Nyerere, alilitaka Jeshi la Polisi kutoa ushirikiano katika Uchaguzi Mkuu na kuacha kuitetea CCM huku akidai jeshi hilo ni sehemu ya Watanzania ambao wote wamepigika.

Shinikizo la Lowassa Kuhamia CHADEMA Lazidi Kupamba Moto......Mkewe Ampigia Magoti Akimsihi Asihame!!

Posted: 24 Jul 2015 10:32 PM PDT

Shinikizo dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, la kumtaka akihame Chama Cha Mapinduzi (CCM) linazidi kuongezeka na katika timu yake ya ndani ni watu wawili tu wanaonekana kumtaka abakie ndani ya chama hicho.

Habari za ndani ya vikao vya kujadili hatua za kuchukuliwa na Lowassa baada ya jina lake kukatwa kwenye mchakato wa kugombea urais kupitia CCM, zinasema kuwa wandani wake wanaamini kuwa hana atakachopata kama ataendelea kubaki kwenye chama hicho tawala.

"Kaka sikiliza, inavyoelekea shinikizo dhidi ya Lowassa ni kubwa sana. Watu wake wa ndani wanataka aondoke CCM. Wanaona kama amedhalilishwa mno,"kilisema chanzo chetu ndani ya vikao hivyo.

Chanzo hicho kilichoomba kutokutajwa jina kwa sasa, kilisema kuwa watu wake wa ndani wanaamini Lowassa akiendelea kubaki CCM atakuwa amewavunja moyo wale wote waliompigania, hasa vijana waliojaa matumaini ya kumuona akiongoza taifa hili.

Wandani wa Lowassa wanaamini kuwa kama akiamua kujiunga na chama chenye nguvu cha upinzani anaweza kutimiza ndoto yake ya kuwatumikia Watanzania kama rais wa awamu ya tano.

Chanzo chetu kinasema kuwa Lowassa mwenyewe amekwisha kuamua kufanya uamuzi mgumu, ila kuna msuguano juu ya namna ya kuondoka CCM.

Taarifa zaidi zinasema kuwa watu wawili katika timu ya ndani ya Lowassa ndio wanaelekea kuwa na mawazo tofauti. Hawa ni Rostam Aziz, mwanasiasa na mfanyabiashara mashuhuri nchini na mtu mwingine anayetofautiana na mkakati huu mpya wa kung'oka CCM ni mkewe, Mama Regina Lowassa.

Chanzo chetu kinasema kuwa wawili hao wanaamini mapigo ambayo Lowassa amekumbana nayo ni mengi na yanatosha, kwa maana hiyo ingefaa tu apumzike.

"Sijui ni kwa nini RA (Rostam Aziz) anakuwa skeptical (shaka). Si unakumbuka ndiye aliyesema amechoshwa na siasa uchwara... sasa sijui kwa nini anapunguza makali,"chanzo kilisema.

Hata hivyo, vyanzo vyetu vinaongeza kuwa pamoja na upinzani huo Lowassa anadaiwa kuwa amekwisha kuamua na kinachosubiriwa sasa ni muda tu wa kutamka anakokwenda.

Wakati hali ikiwa hivyo ndani ya kambi ya Lowassa, kuna taarifa za kuaminika kuwa kumekuwa na mashauriano baina ya watu wake na viongozi waandamizi wa kambi ya upinzani juu ya mwelekeo wake wa kisiasa.

Mwandani mwingine katika kambi ya Lowassa alisema kimsingi yeye (Lowassa) amekwisha kuamua, anachofanya ni kuona kwamba watu wake wa karibu hawadhuriki na uamuzi wake huo.

Chanzo hicho kilisema kuwa wenye msimamo mkali katika kambi ya Lowassa wanaamini utabiri wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa upinzani utatoka ndani ya CCM utatimia mwaka huu.

"Mnakumbuka ya Mrema (Augustino) alipoondoka CCM siasa za Tanzania zilibadilika mpaka leo? Sasa safari hii ni zaidi," alisema.

Takriban wiki mbili sasa, Lowassa amekuwa na jambo kubwa moyoni analitaka kuwaambia Watanzania.

Mara ya kwanza alikuwa afanye mkutano na waandishi wa habari Julai 13 mwaka huu mjini Dodoma majira ya asubuhi, lakini mkutano huo ukahamishiwa Dar es Salaam ambako pia ukaahirishwa kwa muda usiojulikana.

 

Tangu wakati huo kumekuwa na tetesi kuwa alikuwa atangaze kujiondoa CCM.

Lowassa ni miongoni mwa makada 38 waliojitosa kuwania kuteuliwa kuwa wagombea wa nafasi ya urais wa CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. 

 

Hata hivyo, jina lake halikuwamo katika orodha ya makada watano waliopitishwa kwenye vikao vya juu vya chama hicho ambavyo mwishowe vilimteua John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais atakayekabiliana na wagombea wa upinzani katika uchaguzi mkuu huo.

Mwigizaji Lulu Michael Amwambia Wema Sepetu Haya Baada ya Jina Lake Kukatwa Ubunge viti Maalum

Posted: 24 Jul 2015 10:29 PM PDT

Baada  ya  matokeo  ya Ubunge viti maalamu Singida kutoka na Wema Kupigwa chini, Lulu  Michael  amemtia  moyo  Wema  Sepetu  kwa  Kuandika  ujumbe  huu;
  
Kuna matokeo ya aina 3 
>>Kushinda
>>Kushindwa
>>Kudroo. 
  
Mpka hapa ulipofika Leo umethubutu kitu ambacho wanawake wengi ni waoga kujaribu wewe ni mshindi Dada yawezeka Kuna kingine zaidi Mungu amekuandalia 

Wema Sepetu Apigwa CHINI kwenye Kura za Maoni Ubunge wa viti Maalum Singida

Posted: 24 Jul 2015 10:24 PM PDT

Msanii  wa  Filamu  za  kibongo  anayeongoza  kwa  urembo  ndani  ya  tasnia hiyo, Wema Abraham Sepetu, aliyekuwa anagombea Ubunge wa Viti Maalum jimbo la Singida amebwagwa chini baada ya kupata kura 90 tu katika uchaguzi huo. 

Mgawanyo wa kura ulikuwa  hivi;
1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3. Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)
  

Udaku Specially

unread,
Jul 26, 2015, 4:24:28 PM7/26/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Ubunge Viti Maalum: Wakati Wema Sepetu Analia, Mwanamuzki Albino Keisha Anacheka

Posted: 26 Jul 2015 01:43 AM PDT

Msanii Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi ameshida kura za maoni ubunge viti maalum Dodoma, wakati Keisha akicheka msanii Wema Sepetu ameangukia pua uko Singida, kwa kukosa nafasi kama hiyo.

Uchawi Wa Naigeria Ndio Siri Ya Mafanikio ya Mwanamuziki Diamond...Lakini Sio Uwezo Wake

Posted: 26 Jul 2015 01:40 AM PDT

Nimekutana na hii Mahali nikaona sio mbaya kushare na ninyi Wadau wangu ..Nanyi mtoe Mtazamo ..

Katika Bara La Afrika.Nigeria Ndo Nje Inayoongoza Kwa Uchawi Na Vitendo Vya Kishirikina.
Wasanii Wakubwa, Wafanybiashara, Wacheza Filamu, Watumishi Wa Mungu, Wanasiasa, Watu Maarufu Nchini Nigeria Achilia Mbali Wananchi Wa Kawaida Wengi Wao Ni Waumini Wa Imani Za Kishetani Na Washirikina Wakubwa.

Mafanikio Ya Ghafla Ya Chibu Na Mlolongo Wa Tuzo.Zinatokana Na Kujihusisha Katika Imani Hizi Za Kinageria.Safari Nyingi Za Chibu Za Kwenda Naigeria Na Kurudi Zinahusisha Pia Kupata Nafasi Ya Kushiriki Katika Ibada Zao Na Kwa Ajili Ya Kutoa Sadaka Na Kufanya Matambiko.

Collabo Nyingi Za Domo Anazoforce Kufanya Na Wanigeria Ni Ktk Muendelezo Wake Wa Kua Karibu Na Wanamuziki Maarufu Ambao Nao Ni Waumini Wa Imani Hizi Za Kichawi.

Inasemekana Hata Utajiri Alionao Mkewe Mtarajiwa Zari(thebosslady) Chimbuko Lake Ni Uko Uko.Siri Ya Pete Ya Dhahabu Anayoivaa Domo Mkono Wake Wa Kushoto Ambayo Wengi Wanadhani Ni Pete Ya Uchumba.Lakini Ukweli Ni Kua Ni Pete Aliyoipata Nchini Nigeria.Na Inabeba Siri Kubwa Ya Mafanikio Yake.

Je kuna Ukweli wowote Juu ya Hii Habari?

Team Lowassa Wazidi Kupigwa Chini Ubunge CCM!

Posted: 26 Jul 2015 01:34 AM PDT

Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.

WanaCCM, na Wafuasi wa Lowassa, Mamilioni Kuhamia CHADEMA wiki ijayo

Posted: 26 Jul 2015 01:30 AM PDT

Sijui CCM itaponea wapi, yaani Nguvu ya CHADEMA, UKAWA + Lowassa ni hatari tupu kwa CCM, CCM inaenda kunyongwa wiki ijayo...

Hizi ni habari za uhakika, tukae kimya hadi mtakapoona Wana CCM mamilioni wafuasi wa Lowassa kwa makundi wakienda Chadema, na kisha wananchi wasio wana CCM mamilioni wakijiunga CHADEMA, na watapokelewa katika sehemu mbali mbali, na kurushwa rasmi na vituo kadhaa vya TV, yaani sijui..

Daah, hii sasa ni noma...Yetu macho..!!!

Tanzania Mpya naiona, ileeeee October 2015...!!!

Tukio Lisilo la Kawaida MALAIKA Aanguka Nchini UINGEREZA..Watu Wamiminika Kushuhudia

Posted: 26 Jul 2015 01:27 AM PDT

Tukio lisilo la kawaida limetoa huko Uingereza....
MALAIKA aanguka nchini UINGEREZA na kuifadhiwa sehemu maalum ambapo watu wameanza kumiminika kwenda kumshuhudia

Hii Ndio List ya Marais Wanaolipwa Mishahara Mikubwa zaidI, Je, Kikwete Ameshika Nafasi ya Ngapi?, Ingia Hapa

Posted: 26 Jul 2015 01:18 AM PDT

Rais wa Tanzania – Jakaya Mrisho Kikwete
Kwa mujibu wa mtandao wa “Africa Review ” wa Afrika kusini, umetoa orodha ya maraisi 10 wa Afrika ambao wanaingiza pesa ndefu zaidi, Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwete ameshika namba 4, utafiti huo umeonesha kuwa ni serikali chache zinazoweka wazi kiasi cha pesa zinazowalipa viongozi wa nchi zao, na orodha hiyo imetengenezwa kwa kuzingatia kiasi cha pesa ambacho nchi inaingiza.
Hii ndio orodha kamili

Paul Biya – Cameroon dola 601,000
King Mohammed VI – Morocco dola 480,000
Jacob Zuma – South Africa dola 272,000
Jakaya Kikwete – Tanzania dola 192,000
Abdel Aziz Bouteflika – Algeria dola 168,000
Teodoro Nguema – Equatorial Guinea dola 150,000 (makadirio)
Uhuru Kenyatta – Kenya dola 132,000
Hassan Sheikh Mohamoud – Somalia dola 120,000
Ikililou Dhoinine – Comoros dola 115,000
Denis Sassou Nguesso – Congo Republic dola 110,000

Raisi wa Cameroon Paul Biya, ameshika namba moja kwa kiasi cha dola 601,000 ambacho amemzidi raisi wa Afrika kusini ,Jacob Zuma mbali ya kuwa uchumi wa Afrika kusini umeuzidi mara 10 zaidi uchumi wa Camerron.

Kwa ujumla, utafiti unaonesha kwamba viongozi wa nchi masikini huwa wanalipwa pesa ndefu zaidi kuliko wale wa nchi zenye uchumi wa juu. Lakini kuna baadhi ya marais wanaaminika kuwa na utajiri mkubwa binafsi japo hawapo kwenye orodha hii.

Magufuli Awataka Wananchi Wachague Wabunge Wachapakazi wa CCM Ili Iwe Rahisi Kwake Kuunda Baraza Zuri la Mawaziri

Posted: 25 Jul 2015 10:09 PM PDT

MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amewaomba wananchi wa mkoa wa Morogoro na mingine nchini, kuchagua wabunge wachapakazi kama yeye wanaotokana na CCM.
 
Lengo la ombi hilo, ni ili yeye atakapochaguliwa na Watanzania kuwa Rais, ateue wabunge hao kwenye nafasi ya uwaziri watakaowatumikia kikamilifu.

Akielezea uzoefu wake, Dk Magufuli alisema ametumikia nafasi ya ubunge na uwaziri katika miaka 20 na anajivunia kuwa na rekodi nzuri ya utendaji, hivyo alisema anatumia fursa hiyo, kuwaomba wananchi wa mkoa wa Morogoro, wachague wabunge wanaofanana naye wanaotokana na CCM.

Dk Magufuli alisema hayo juzi kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Dumila na Dakawa wilayani Mvomero na Manispaa ya Morogoro katika viwanja vya Jengo la CCM Mkoa, wakati akisalimia na kujitambulisha kwa wananchi, wapenzi na wanachama wa CCM.

“Wananchi wa Morogoro nawaombeni muwachague wabunge wachapakazi wanaotokana na CCM kama nilivyokuwa mimi, ili nitakapopata ridhaa yenu ya kuchaguliwa kuwa Rais wenu, niwateue kuwa mawaziri ili wawatumikie kikamilifu hasa wananchi wa hali ya chini,” alisema mgombea huyo.

Alisema iwapo Watanzania watampa ridhaa kushika nafasi hiyo katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, atahakikisha anamaliza migogoro baina ya wafugaji na uwakulima hapa nchini.

Magufuli alipokewa na umati mkubwa wa wananchi katika maeneo ya Dumila na Dakawa huku wakimshangilia na kumpongeza wakimuita ‘jembe’, ambapo wakati akizungumza nao, alisema anasononeshwa na kero ya kuwepo kwa migogoro ya wakulima na wafugaji.

Aliahidi kuwa akipewa ridhaa ya kuwa Rais atakomesha jambo hilo. Alisema, migogoro hiyo imekuwa ikigharimu maisha ya watu na haipaswi kuendelea kuwepo hapa nchini, kwakuwa Watanzania wote wamekuwa wakiishi kama ndugu bila kujali dini wala kabila, hivyo ni lazima ikomeshwe ili amani iendelee kuwepo katika maeneo yote.

Magufuli alisema, kinachotakiwa kufanyika ni kukutanisha pande zote mbili za wafugaji na wakulima na kuzungumza pamoja ili kupatikana muafaka pasipo kuangalia itikadi ya vyama vya siasa, kabila wala rangi.

Awali, Mwenyekiti wa Wazee wa Mkoa wa Morogoro, Kanali mstaafu Isaac Mwisongo ambaye wakati wa mchakato wa kumtafuta mgombea wa urais kupitia chama hicho alitangaza hadharani yeye na wazee wenzake, kumuunga mkono Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, alisema kuanzia sasa wanaungana na Dk Magufuli.

Alisema yeye pamoja na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Morogoro, Stephen Mashishanga, na Waziri wa zamani aliyeshika nyadhifa mbalimbali katika serikali za awamu ya tatu na nne, Dk Juma Ngasongwa walipanda jukwaani na kumuunga mkono Lowassa, lakini kutokana na kumalizika kwa mchakato huo, sasa wameunganisha nguvu zao zote kwa Dk Magufuli, ambaye ni mgombea urais wa CCM.

Diamond Azidi Kuwaziba Watu Midomo...Ashinda Tuzo Nyingine Usiku wa Leo Huku Afrika Kusini '‘African Achievers Awards’

Posted: 25 Jul 2015 10:01 PM PDT

Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini, Tuzo aliyoshinda Diamond ni ya Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’

Rais OBAMA Kumbe Naye Yumo..Hapa Nimekuwekea Video Fupi Akicheza Mayenu Wimbo wa Sauti Sol ya Kenya

Posted: 25 Jul 2015 09:57 PM PDT

Sauti Sol ni kundi maarufu la muziki kutokea nchini Kenya ambalo limefanikiwa kuvuka hata mipaka na kuteka kwenye nchi jirani kama Tanzania, Rwanda, Burundi na nchi nyingine za Afrika mpaka kupelekea kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kama za MTV na BET 2015.

Kundi hili lilipata mwaliko maalum wa kwenda kuimba Ikulu ya Kenya kwenye party ya kumkaribisha Rais Barack Obama wa Marekani ambaye baba yake mzazi ni mzaliwa wa Kenya.

Tazama kwenye hii video fupi hapa chini jinsi Sauti Sol walivyokuwa wakiperfom na baadae Rais Obama na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kuungana nao kucheza.

DIAMOND Ampiga WEMA SEPETU Dongo Moja Kali Sana Baada ya Jina Lake Kukatwa Ubunge Viti Maalum

Posted: 25 Jul 2015 09:49 PM PDT

Kweli Mwanamuziki Diamond ni Mtoto wa Uswahili yaani akosi kitu kipite......
Hili ndio 'dongo' ambalo Diamond amtupia Wema Sepetu baada ya kushindwa uchaguzi wa viti maalum CCM.....

Hili ndogo ni la pili baada ya lile la kwanza alilompiga Jokate wakati alipopata tuzo ya MTV...
Je kuna ulazima Diamond Kufanya Hivyo ?
Toa Maoni yako Hapa chini:

Udaku Specially

unread,
Jul 27, 2015, 4:36:18 PM7/27/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


While Lowassa and Ukawa is Trending everywhere on Social Media… Here are Magufuli’s Recent Messages on Twitter to You

Posted: 27 Jul 2015 11:26 AM PDT

While everyone on the social Media is talking about Lowassa and his “Unexpected” decision to join UKAWA, here are the most recent tweets from Hon. John Pombe Magufuli


Lowassa Akaribishwa Rasmi UKAWA......Hapa kuna picha na kilichojiri Leo Katika mkutano wa UKAWA na Waandishi wa habari

Posted: 27 Jul 2015 11:00 AM PDT

“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje”. Hii ni moja ya kauli  ambayo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM.
CCM ilikuwa na Wagombea zaidi ya 40 ambao walitangaza nia na kuchukua fomu za Kugombea Urais 2015 lakini baadae Chama hicho kikampitisha Dk. John Pombe Magufuli kugombea nafasi hiyo, baada ya hapo kukawa na  taarifa nyingi sana kuhusu ishu ya Edward Lowassa na UKAWA.
Viongozi wa Umoja wa UKAWA wamekutana Dar  leo  na mmoja wa Viongozi hao, James Mbatia amesema wamekubaliana kumkaribisha Mbunge Edward Lowassa ndani ya UKAWA na wako tayari kumpa nafasi na kushirikiana nae.
Mbatia  ameongeza kuwa Lowassa ni mchapa kazi makini na mfuatiliaji wa karibu wa kiutendaji katika majukumu anayokabidhiwa.

Alipoulizwa kuwa Lowassa atakuwa mgombea Urais Mbatia amesema kila chama kina utaratibu wake  hivyo mchakato ukishakamilika  atatangazwa mgombea urais wa UKAWA mmoja  mwanzoni mwa mwezi agosti.

Have You Ever Salivated on a Pregnant Woman? Just Look at ZARI (PHOTOs)

Posted: 27 Jul 2015 10:57 AM PDT


Despite her pregnancy, aging Ugandan socialite, Zari Hassan, has managed to maintain her s3xiness. Unlike most pregnant women who dress in boring maternity dresses, Zari always kills it and most men can’t get enough of her gorgeous body.

Below are some of her pregnancy photos that will leave men salivating.




MEN Only! This Private VIDEO Of a Hot LADY Doing Bad Things is a Must Watch

Posted: 27 Jul 2015 10:48 AM PDT


Let’s put aside those twerking videos from local socialites like Vera Sidika and her fellow city socialites. There’s this bootylicious lady who was caught on camera doing “bad things” in her room.

The well endowed lady left little for imagination as she displayed her madness infront of the camera.  Just observe privacy and see what she did.

What This Curvaceous Kenyan LADY Did To Her Boyfriend Will Leave You Shocked (VIDEO)

Posted: 27 Jul 2015 10:39 AM PDT


To all those who claim that Kenyan ladies don’t know how to shake it, there’s this hot video of a Kenyan lady shaking her assets vigorously for her boyfriend in their  room.

The s3xy lady can give the likes of Vera Sidika and Huddah a run for their money with her s3ductive moves that are irresistible.

Just click play and watch her doing it.

Shuhuda KITUKO CHA Rais Obama Alichokifanya Alivyoondoka Nchini Kenya

Posted: 27 Jul 2015 10:34 AM PDT

RAIS wa Marekani, Barrack Obama leo jioni amekamilisha ziara yake ya siku tatu nchini Kenya ambapo alifungua kongamano la kibiashara, akawahutubia Wakenya katika Uwanja wa Kasarani na baadaye kuzungumza na viongozi wa mashirika ya kijamii katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. :

Hii ndio sababu iliyofanya Mbunge Andrew Chenge hajafika leo kuhojiwa na Kamati ya Maadili Dar…

Posted: 27 Jul 2015 10:32 AM PDT

Andrew Chenge
Ni zaidi ya miezi saba imepita toka Bunge litoe mapendekezo kwamba wahusika wote wa ishu ya ESCROW wawajibishwe, kazi ikaanza kwenye Kamati ya Maadili ambapo Viongozi mbalimbali walianza kuhojiwa ikiwemo Mbunge Anna Tibaijuka, Andrew Chenge na William Ngeleja.

Kwa upande wa Andrew Chenge Kamati hiyo ilisimamisha kumhoji kwa vile alikuwa amepeleka ombi Mahakama Kuu kuzuia kuhojiwa, baadae Mahakama hiyo ikatoa amri kwamba Kamati ya Maadili inaweza kuendelea na kumhoji.

July 27 2015 ilikuwa Mbunge huyo afike kwenye Kikao cha Kamati ya Maadili Dar kwa ajili ya kuhojiwa na kuhusika kwake kwenye ishu ya ESCROW, lakini ripota wa millardayo.com kafika kwenye Ofisi za Kamati hiyo.

Mbunge huyo hakufika na taarifa iliyotolewa ni kwamba Andrew Chenge ameomba Kamati ya Maadili ipeleke mbele tarehe ya kusikiliza shauri lake kwa vile ratiba hiyo inaingiliana na majukumu yake ambayo CCM imemkabidhi Jimboni kwake Bariadi Magharibi wakati huu wa maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.

LOWASSA Atua Rasmi CHADEMA.......Kutangazwa Muda Wowote Ndani ya Wiki Hii

Posted: 27 Jul 2015 11:02 AM PDT

Mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Wiki iliyopita, Mtandao huu uliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.

Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda kada huyo ambaye mustakabali wake ndani ya CCM uliingia dosari baada ya jina lake kuondolewa alipokuwa akisaka urais, sasa huenda akatangazwa rasmi wakati wowote wiki hii.

“Kwamba anakuja Chadema hiyo si siri tena, lakini ule mpango wa kumtangaza leo (jana) haukufanikiwa kutokana na kuwapo kwa vikao tofauti muhimu vya vyama viwili ndani ya Ukawa, Chadema na CUF,” alisema mtoa habari wetu ndani ya Chadema.

Jana, Chadema waliitisha mkutano wa dharura wa Kamati Kuu jijini Dar es Salaam wakati ambapo CUF nao walikuwa na mkutano wa Baraza Kuu huko Zanzibar, wote wakijadiliana suala moja tu; urais ndani ya Ukawa.

Vikao hivyo vilivyogubikwa na usiri mkubwa vilitarajiwa kumalizika jana mchana na kisha jioni wenyeviti wenza wa Ukawa walipanga kuzungumza na wahariri wa vyombo vya habari, lakini mkutano huo uliahirishwa kutokana na kushindwa kumalizika kwa wakati vikao hivyo nyeti.

Akizungumza na mtandao huu jana, Mkurugenzi wa Habari wa CUF, Abdul Kambaya, alisema kwa ufupi kuwa kilichokuwa kikijadiliwa na chama hicho kitawekwa hadharani leo, huku Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar, Said Issa Mohamed naye akisema: “Tutawafahamisha kinachozungumzwa baada ya kikao kumalizika.”

Watu wa karibu na CUF wanadai kuwa uongozi wa juu wa chama hicho, hasa Mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba, hadi jana hakuwa akiafiki ujio wa Lowassa Ukawa.

“Sijui itakuwaje lakini kama msimamo wa Profesa ukiendelea hivi, sioni namna gani CUF itaendelea kuwamo ndani ya Ukawa. Kwanza kura ambazo huwa anazipata kwenye urais nazo ni muhimu sana kwani husaidia chama kupata ruzuku.

“Sasa iwapo hatagombea na labda akagombea Lowassa kupitia Chadema ndani ya Ukawa, basi suala la ruzuku litaleta balaa kwani ndizo fedha zinazosaidia kuendesha ofisi za CUF Tanzania Bara,” alisema mwanachama mmoja wa CUF, akizungumzia utata uliokigubika chama hicho unaohatarisha maisha ya Ukawa kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Kwa upande wa Chadema, mtandao huu ulihakikishiwa jana kuwa wao hawana shaka na ujio wa Lowassa, wakiandaa mazingira ya kumsafisha mbele ya wananchi kwa madai kuwa kilichofanya aonekane mchafu ni mfumo ndani ya CCM na wala si yeye kama Lowassa.

Ingawa kumekuwapo madai kuwa wanafamilia ya Lowassa na marafiki zake wachache wamekuwa wakimshauri kutohama CCM, lakini Lowassa ndiye mwenye uamuzi wa mwisho na kwamba mmoja wa rafiki zake wakubwa na mfanyabiashara maarufu nchini amewahi kusikika akikiri kuwa ameshindwa kumshawishi rafiki yake huyo kubaki CCM.

Tetesi: Rais Kikwete Apigiwa Simu Ya Dharura Arejee Ofisini

Posted: 27 Jul 2015 10:24 AM PDT

CCM walipoambiwa hawawezi kuzuia mafuriko kwa mkono walidharau,Sasa manyunyu yameanza wanaanza kukimbia ovyo ovyo.

Ni vema kama ni watu majasiri wasubiri mafuriko kamili na ndipo tuone wanakabiliana nayo vipi.

Taarifa zilizopo kwa sasa ni kuwa Lumumba hapakaliki tena,Kila mtu anamtupia lawama mwenzake,JK nasikia kapigiwa simu ya dharura arejee kuokoa jahazi.

Upepo Umegeuka, Marafiki wa Lowassa Wapinga Swahiba wao kwenda CHADEMA, Apson Matatani

Posted: 27 Jul 2015 10:21 AM PDT

Kambi ya Lowasa kwa sasa tumbo joto kutokana na mgawanyiko mkubwa uliojitokeza. Kambii hiyo imegawanyika na kuzaa timu mbili. Timu ya kwanza inaundwa na wastaafu akiwemo Apson Mwang'onda na viongozi wa CCM wa Mikoa na wilaya. Wengi wa wanaounda kundi hili ni wachovu kifedha na wanaishi kwa kutegemea Marafiki wa Lowasa.

Timu ya Pili inaundwa na Marafiki wa Lowassa ambao ndio wenye fedha. Taarifa za uhakika kutoka kambi hiyo zinasema kuwa Marafiki wa Lowasa wakiongozwa na Rostam Aziz pamoja na Mke wa Lowasa Regina Lowasa hawataki rafiki yao aende upinzani. Hoja wanazotoa ni pamoja na hizi zifuatazo;

1. Marafiki wa Lowassa wanasisitiza kuwa Apson Mwang'onda ni mpotoshaji. Kwamba, ni Apson ndiye aliyetoa ushauri mbaya kwa Lowassa mpaka akapoteza muelekeo ndani ya CCM hali iliyosababisha jina lake kukatwa katika hatua za awali. Kwamba, Apson alikuwa anawahakikishia kuwa hakuna mwenye jeuri ya kukata jina la Lowassa na kwamba wakithubutu kufanya hivyo hapatakalika. Hata hivyo, kilichotokea ni kinyume chake.

2. Vyama vya upinzani havina dhamira ya dhati kwa Lowasa. Wao wanachokihitaji ni fedha zake na mashabiki wake ili waongeze idadi ya viti vya wabunge na kura za Rais. Kwamba, siku zote vyama hivyo vilikuwa vinamtukana Lowassa na kumtolea kila aina ya maneno machafu. Sasa wanashangaa vyama hivyo hususan CHADEMA wanamuona Lowassa kama malaika.

3. Marafiki wa Lowasa wametumia fedha nyingi wakati wa mchakato ndani ya CCM. Lowasa aliwahakikishia kuwa atabaki ndani ya chama na kwamba hata asipoteuliwa kupeperusha bendera hatahama chama na badala yake atatafuta haki ndani ya chama hicho. Hata hivyo, wanashangaa kuona rafiki yao akiendelea kukaa kimya badala ya kuchukua hatua ndani ya chama kama alivyoahidi. Kwamba, tangu jina lake likatwe, hajachukua hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kupeleka malalamiko kwenye vyombo husika. Kutokana na hali hiyo marafiki hao wanaona kuwa uamuzi uliochukuliwa na chama ulikuwa ni sahihi isipokuwa rafiki yao alikuwa na agenda ya siri kwa kushirikiana na Apson Mwang'onda.

4. Wafuasi wengi waliokuwa upande wa Lowassa wameridhika uteuzi uliofanywa na CCM ambapo wamemteua John Magufuli kuwa Mgombea Urais. Wanasema kuwa wao walichokuwa wanahitaji ni CCM kumteua mtu mwenye maamuzi na mwajibikaji. Magufuli ana sifa zote walizohitaji. Hivyo wanasema kuwa Lowasa asijidanganye kuwa wafuasi wake watamfuata upinzani.

Kutokana na hoja hizo, marafiki wa Lowassa wamesema kuwa hawapo tayari kuendelea kupoteza fedha kumgharamia mtu ambaye hana msimamo. Hata hivyo, wanasema kuwa wapo tayari kumsaidia Lowasa kwa namna atakayotaka ikiwa atafanya maamuzi ya kuachana na siasa.

Kundi la Apson Mwang'onda kwa upande wake linasisitiza kuwa ni lazima Lowassa aende upinzani ambako ameahidiwa kupata nafasi ya kuwa mgombea Urais. Kwamba, hata kama Lowasa hatachaguliwa kuwa Rais, atakuwa amewatuliza wafuasi wake ambao wamepoteza muda na fedha nyingi kumfikisha hapa alipo.

Mvutano huo umemuacha Lowassa njia panda. Afuate ushauri wa marafiki zake ambao wamemsaidia kwa kila hali na kwamba wameahidi kumsaidia katika maisha yake nje ya siasa au kuendelea kushikamana na Apson ambaye siku zote amekuwa akimponza kutokana na ushauri wake.

Kutokana na hali hiyo, Lowassa ameshindwa kukamilisha deal lake na CHADEMA kama alivyopanga na badala yake anaendelea kuwapiga danadana huku akiwaacha tumbo joto.

Ni dhahiri sasa kuwa Lowasa atafuata ushauri wa marafiki zake kuliko ushauri wa Apson. Katika hili, mchango wa Rostam unaonekana dhahiri na anaonekana kuwa ndiye rafiki wa dhati wa The White Hair. Wengine walikuwa kimaslahi zaidi.

Mwanamuziki Jennifer Lopez asherehekea bethidei yake na kinguo cha ajabu

Posted: 27 Jul 2015 10:16 AM PDT

MWANAMUZIKI na mwigizaji, Jennifer Lynn Lopez ‘JLO’ mwishoni mwa wikiendi alisherehekea miaka 46 ya kuzaliwa kwa kutupia kinguo kilichoacha sehemu ya maungo yake wazi na kumfanya aonekane binti wa miaka 20.
Sherehe hiyo ya miaka 46 ya staa huyo ilifanyika huko Hamptons nchini Marekani. Katika sherehe hizo, JLO aliambatana na mpenzi wake mwenye miaka 28 aitwaye Casper Smart sambamba na French Montana.

Nimevumilia Nimechoka Bora Niwe Mkweli...Mpenzi Kanikimbia na Mtoto Wangu

Posted: 27 Jul 2015 10:13 AM PDT

Kuna Vitu Ambavyo Unaweza Kukutana Navyo Katika Maisha Yako ya Kila Siku na Ukavihifadhi Katika Moyo Wako Na Kufanya Siri Kubwa Ambayo Kamwe Hutataka Kumwambia Mtu Yoyote Yule. Katika Maisha Ambayo Nimeishi Hapo Kabla ikiwa Bado Sijakutana na Huyu Mpenzi Niliyenae Sasa Nilibahatika Kuzaa Na Msichana Mmoja Aitwaye Sheila. Alikuwa Ni Msichana Ambaye Nilikutana nae Kibahati Mbaya Sana, Nasema Kibahati Mbaya Sana Kwa Kuwa Mazingira Tuliokutana Yalikuwa ni Mazingira Ya Msaada Zaidi Baada Ya Kumkuta Maeneo Ya Posta Mpya Saa Tano Za Usiku Akiwa Amejiinamia. Sikujua Nikitu Gani Ambacho Kilinisogeza Pale Lakini Nilijikuta Tayari Nikiwa Mbele Yake Huku Nikionyesha Roho Ya Ubinadamu Ikiwa ni Pamoja na Kuuliza ni lipi Tatizo Ambalo Linamsibu. Binti Yule Hakutaka Kunijibu Wala Kunisikiliza Alichokuwa Anakifanya Ilikuwa ni Kunitazama tu na Kunibinulia Mdomo Kwa Dharau Kubwa. Kusema Kweli binti Alikuwa ni Mrembo Sana na Alikuwa Anavutia Sana.. Kijana Nikaona nitangaze Msaada Huku Moyoni Nikiwa na Mipango Yangu Mingine. Kweli Baada Ya Vuta Nikuvute Binti Akakubali Kuondoka na Mimi Kuelekea Kigamboni Ninakoishi Huku Akiweka Angalizo La Kutokumsumbua Tukifika Huko. Mdomoni Nikakubali Lakini Moyoni Nilikuwa Mbali Sana.... Kifupi Siku Hiyo Hiyo Ndio Siku Ambayo tulifungua Ukurasa Wa Penzi Letu Na Tukawa Kama Kumbikumbi Kila Wakati tuko Wote Huku nikiwa Sijui Chochote Kuhusu Alikotoka na Kwa Wazazi Wa Huyu Mwenzangu.

Ndani Ya Kipindi Cha Uhusiano Wote mwenzangu Akapata Ujauzito Ambao Kila Mmoja Aliufurahia Sana Huku Mapenzi Yetu Yakiongezeka Maradufu. Sasa Kilichonifanya Kuja Hapa Kwenu Wanajamvi Wenzangu Ni Kwamba Licha Ya Kumhudumia Kwa Kila Kitu Kama Mwenza Wangu Lakini Baada Ya Kujifungua Binti Akanambia Alichokuwa Anakitaka Ameshakipata Hivyo Nisimjue na Nisimfuatilie Tena.... Mwanzo Niliona Ni Kama Utani Lakini Baada Ya Siku Chache Akatoroka na Mtoto Mimi Nikiwa Kazini na Hata Niliporudi na Kuwauliza Majirani Hawakuwa na Jibu La Maana. Na Hata Namba Zake Za Simu Kila Nikipiga Hazipatikani Tena Lakini kuna Siku NIlitumiwa Sms Kwa Namba Ngeni Akinipa Hongera Ya Kumpatia Mtoto... Lakini Nilipoipiga Haikupatikana na Mpaka Leo Haipatikani..... Ombi langu Kwenu Wanajamvi Wenzangu Nifanyeje Niweze Kuipata Damu Yangu? Imefikia Kipindi Nahitaji Kumuona Mwanangu Lakini Sijui Wapi Nitampata Huyu Mwanamke.

Msaada Wanajamvi Wenzangu

Kusambaa Kwa Kauli Hii Ya Eddo Kumwembe Kuhusu Lowassa Ni Pigo Kubwa Kwa CCM

Posted: 27 Jul 2015 09:59 AM PDT

".....CCM kuongelea ubaya wa Lowassa kwa sasa ni sawa na mtu kujichungulia nyeti zake...Chadema kuongelea uzuri wa Lowassa kwa sasa ni sawa na mtu kujitekenya na kucheka mwenyewe....Vyote vinahitaji uso usio na soni"-Edo kumwembe.

Diamond Amliza Amliza Wema Sepetu Kwa Maneno ya Kejeli

Posted: 27 Jul 2015 05:34 AM PDT

Wema Sepetu
Musa Mateja
Inasikitisha! Mrembo Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akiangua kilio baada ya kupewa maneno ya kejeli na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia kupigwa chini kwenye kura za kuwania Ubunge wa Viti Maalum mkoani Singida kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
wemasepetuMrembo kunako Bongo movie aliyekuwa akiwania ubunge wa viti maalum Ikungi Singida, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.

TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini kililiambia Ijumaa Wikienda kwamba, Julai 24, mwaka huu Wema alijikuta akiangua kilio cha aina yake kufuatia maneno ya kumshambulia kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo Diamond muda mfupi baada ya kuangushwa katika kinyang’anyiro hicho cha ubunge kilichofanyika katika Wilaya ya Ikugi, Singida.

Kiliendelea kunyetisha kwa sauti ya upole kwamba, miongoni mwa vitu vilivyosababisha Wema kudondosha chozi ni pamoja na maneno ya Diamond aliyoandika muda mfupi tu katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram huku akijua wazi kwamba mwanadada huyo alishapoteza fedha nyingi ili apate nafasi ya kuingia mjengoni, Dodoma.

“Ujue watu wengi hawakujua kilichomuuma zaidi Wema ila mimi kaniambia kwamba, kilichomuuma si kukosa nafasi hiyo ila ni maneno ya Diamond aliyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram maana yamemchoma na hakutarajia kama ‘ex’ wake huyo angefikia hatua ya kuonesha chuki zake wazi kiasi hicho.

“Wema alikuwa na matumaini makubwa ya kuibuka mshindi kwenye mchakato huo kutokana na kujulikana kwake na namna wajumbe walivyokuwa wanampa matumaini ila hali imekuwa ndivyo sivyo.
“Baada ya matokeo, sisi tulimuona akiwa kawaida tu lakini baadaye alibadilika na kuwa mnyonge hali iliyonifanya nimuulize kisa cha kuwa vile ndipo akaniambia maneno ya kwenye mitandao yanamchoma.

KUMBE ALITUMIA FEDHA NYINGI
“Unajua amekuwa wa mwisho kwa kupata kura 90 hivyo ni wazi kuwa hana chake tena katika kuwania nafasi hiyo na alitumia fedha nyingi kwenye kuomba kura kwa wanachama (haikufafanuliwa kivipi kwa madai kwamba alitoa hongo), hawezi tena kuingia mjengoni kwani nafasi tatu zimechukuliwa na wenzake hao, hivyo anachotakiwa kuanzia sasa ni kujipanga ili kama itawezekana baada ya miaka mitano ijayo agombee tena,” kilisema chanzo hicho.
WEMA ANASEMAJE?
Ijumaa Wikienda, kama kawaida yake, baada ya kupata ‘unyunyuzi’ huo lilimtafuta Wema ili aweze kuanika hisia zake baada ya matumaini yake kuishia njiani ambapo alisema kwamba  anaamini kila jambo limepangwa na Mungu hivyo haikuwa bahati yake zaidi ataendelea kujipanga kwa kipindi kingine.
“Namuachia Mungu maana kila jambo hupangwa na yeye, hakuna mtu anayeshindana akashindwa halafu awe ‘happy’ tu, nimeumia isipokuwa Mungu ndiye jibu la kila kitu,” alisema Wema na kuongeza:
“Nilipoamua kugombea nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa lakini dunia inazunguka.
“Nawashukuru wote walionipinga kwa sababu waliniongezea ujasiri.”
Kwa upande wa Meneja wa Wema, Martin Kadinda aliweka ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter: “Haikuwa vile tulivyotarajia….hongera Aysharose Mattembe.”
Maneno ambayo aliyaposti Diamond yaliyomchoma Wema hadi kufikia hatua ya kumwaga chozi yalisomeka: “Sitaacha kuwashukuru Wanasinginda kwa mapenzi yenu ya dhati mliyonioneshea, Moshi tukutane Kili Home.”
Wema alikuwa ni miongoni mwa wagombea wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Wilaya ya Ikungi, Singida ambapo mchakato wa kura za maoni ulifanyika Julai 24, ambapo aliambulia kura 90 akishika nafasi ya nne huku mtu wa kwanza Aysharose Mattembe alikipata kura 311, nafasi ya pili ikichukuliwa na Martha Mlata aliyezoa kura 235 na ya tatu akichukua Diana Chilolo kwa kura 182.

SABABU ZA KUSHINDWA
Wikiendi iliyopita mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii ilikuwa ni ishu ya Wema kukosa ubunge ambapo miongoni mwa sababu hizo ni skendo mfululizo na picha zisizokuwa na maadili zilizojaa mitandaoni na kwamba CCM kwa sasa ipo kwenye mkakati mkali wa kusimamia maadili ya chama.

Edward Lowassa ni Msafi, Lakini Kwanini Aliitwa Fisadi?

Posted: 27 Jul 2015 04:02 AM PDT

Kwa nini lowasa aliitwa fisadi, hii ni kwa sababu yeye kama waziri mkuu, msimamizi mkuu wa serikali alitakiwa akemee inshu zote za richmond, lakini, yeye alipata shinikizo kutoka kwa Mkulu. Ndiyo maana Kuepuka Mkulu asianguke ilibidi Lowasa ajiuzuru. Vinginevyo Mkulu angetawala Miaka mitatu tu, Na serikari yake ingehanguka. Sasa leo Loawasa ataongea Ukweli kuhusu Richmond,ataongea Vitu vyote ambavyo Mwakyembe aliviacha Kuongea katika Riport yake ,Kwa kuilinda Ikulu.Hata Ongea hayo tu, Pia ataongea kuhusu wamiliki Halisi wa IPTL, pia atagusia Mambo ya Escrow ni nani aliyeengeer Mchakato wote wa Escrow, Ataelezea ni nani Anamiliki Kampuni ya Simba Trust, iliyochukua Bilion 75 kwenye Kashifa ya Escrow. Riport yote ya Takukuru ipo hewani kuhusu Esrow. Ndugu yetu Lowasa anatubu na anarudi kundini, Kundi la makamanda, kundi la Kutetea nchi. The same apply hata Pinda angejiuzuru kwenye kashifa ya Escrow naye angeitwa Fisadi. (Tatizo la lowasa ni Kukubali kujiuzuru kwa manufaa ya Serikali ya CCM)

Lowasa atatuambia Fisadi mkuu wa Hii nchi ni nani? Kaeni Mkao wa kura , watu wameshaanza kukimbilia nje ya nchi kuangalia pesa zao kama zipo Salama. Na ninawambia Kuwa SIKU LOWASA ANAAPISHWA RASMI kama RAISI wa nchi hii.

kuna Watu watakimbia hii nchi, kwa sababu Uozo wote utawekwa Wazi ,hatutangalia Mtu,wa cheo chake Sijui alikuwa nani, Wote ni MAHAKANI.

Tutaendelea kuijenga hii nchi, kila mtanzania afaidike na Rasilimali za nchi yake.
Karibu Lowasa, karibu Ukawa.

Ahsanten.
Bintiwangara.

Ushahidi wa Lowassa Kujiunga Chadema:Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Posted: 27 Jul 2015 04:02 AM PDT

Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA

Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 27

Posted: 27 Jul 2015 02:05 AM PDT















Picha ya Diamond na Zari Wakiwa Nusu UCHI Yawavuruga Mashabiki...

Posted: 27 Jul 2015 02:05 AM PDT

Stori zilizo zagaa mtaani ni  kuwa wawili hawa( Diamond  na  Zari ) wanatarajia kupata mtoto wao hivi karibuni, lakini  picha  hii  imeibua  hisia  tofauti  miongoni  mwa  mashabiki  wa  mastaa  hawa.

Kundi  kubwa  kubwa  linawalaumu  wasanii  hawa  kwa  kupiga  picha  kama  hii  huku  likidai  ni  kumdhalilisha  mtoto  aliyeko  tumboni.

Aunt  Ezekiel  aliwahi  piga  picha  kama  hii  nakujikuta  akioga  mvua  ya  matusi  toka  kwa  mashabiki  wake.

Hizi  ni  baadhi  ya  comment  za  mashabiki  wao.

Nani zaidi? Kati ya Irene Uwoya na Jacqueline Wolper

Posted: 27 Jul 2015 01:48 AM PDT


Wadau hawa warembo wetu wa Bongo Movie, Irene Uwoya na Jaqueline, nani mrembo zaidi ya mwenzake? Ki mvuto, thamani katika jamii. Tunguke hapa nani anamzidi mwenzake katika nyanja tofauti?

My take; Irene Uwoya ni mrembo zaidi kimuonekano lakini Wolper she's more expensive than Uwoya. Wewe unaonaje mdau?

Mrembo Shamsa Ford Ajitetea Skendo ya Kuhongwa Simu

Posted: 26 Jul 2015 10:42 PM PDT

STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa ameeleweka vibaya alipoandika mitandaoni kuwa hajawahi kununua simu za bei mbaya zaidi ya kupewa na watu.
Baada ya kuweka maneno hayo na watu kumnanga kuwa amezoea kuhongwa na hajawahi kununua simu za ‘maana’, alizungumza na mwanahabari wetu na kufafanua:

Kiukweli simu nyingi za kisasa nimekuwa nikipewa na ndugu, jamaa na marafiki na si kuhongwa na mabwana kama wengi walivyomsema,” alisema Shamsa.

Eti Lowassa Akijitoa CCM, Atafilisiwa na Kufanyiwa Hujuma, Nani Kasema?

Posted: 26 Jul 2015 10:28 PM PDT

Uamuzi wa Mhe Edward Lowassa kuhama kutoka kwenye chama chake cha enzi (CCM) na kujiunga na chama kingine cha siasa, ni uamuzi mgumu lakini sahihi kwa kadri itakavyompendeza.

Leo, watu wanabashiri endapo atafanya uamuzi huo, basi huo utakuwa ndio mwisho wake wa kisiasa na hata kiuchumi, kwa madai kwamba 'madudu' yake yote yatatumiwa kumbananisha kwenye kona na kummaliza kabisa ili asifurukute. Mmmmh!!!

Wengine wanafafanua kwamba, TAKUKURU na mamlaka nyinginezo kama TRA wataanza kumsakama kuhusu mali zake ambazo 'zinasemekana' zimechumwa kifisadi, na Mahakama itagongelea msumari wa mwisho kumsweka gerezani au kuruhusu afilisiwe kwa mamlaka iliyonayo...

Hizi ni hoja dhaifu sana. Ni mawazo mufilisi kuamini kwamba Lowassa atasita kufanya maamuzi ya aina hiyo akitaka kwa kuhofia hayo yasemwayo. What a great underestimation!!!

Tuseme hayo yote yatafanyika, lakini will he really give up the defeat?! Muache kumfananisha Lowassa na Martha Mlata bandugu. Lowassa is too BIG!

Amevaa sura ya upole usoni lakini ana nguvu kubwa sana kwa ndani. Naweza kuhisi moto unaomuwaka nyoyoni na hasira aliyonayo kwa sasa. CCM isijefanya mistake kabisa.

Natoa ushauri; Aachwe awe huru na maamuzi yake. Aangaliwe moves zake, Aangaliwe kama ataropoka, pengine atakuwa ameamua kuondoka kwa wema, sasa kama ni hivyo, uamuzi wa 'kumzuia' ni uamuzi hatari sana.

Wanayoyajua CCM kuhusu Lowassa, Lowassa anayajua pia kuhusu wao; WAKIMWAGA MBOGA.............???

Nimesema!

Japo Wema Sepetu Kaukosa Ubunge, kapokelewa hivi Dar es salaam

Posted: 26 Jul 2015 10:05 PM PDT

Wema Sepetu alikuwa miongoni mwa watu wanaogombea Ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini matokeo yalivyotoka hakupata ushindi kutokana na uchache wa kura lakini pamoja na hayo mashabiki wake walimuunga mkono kwa kuthubutu kwake na kumfanyia mapokezi haya Dar es salaam.
Staa huyo aliibuka na kupata kura za maoni za ubunge 90 huku wagombea wenza wakiongoza kwa kura za maoni, Asharose Mattembe (311), Martha Mlata ( 235) na Diana Chilolo (182).
.
.
.
Wema Sepetu akizungumza na mashabiki baada ya kutoka safarini.
.
.
.
.
.
Mashabiki wa Wema Sepetu .
3X6A7369
Ni miongoni mwa michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 mchana kwenye mapokezi hayo .
.
.
3X6A7554
.
.
.
.
.
.
.
3X6A7652
.
3X6A7584
Mtu wangu hii ni michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 katika mapokezi hayo.
3X6A7662
Wema Sepetu akipiga picha aina ya selfie na mashabiki zake.
3X6A7665
.
3X6A7676
.
3X6A7679
.
3X6A7683
.
3X6A7701
.
3X6A7703
.
3X6A7710
.
3X6A7714
Wema akipiga picha na shabiki.
3X6A7742
.
3X6A7756
.
3X6A7761
.
3X6A7768
Mashabiki.
3X6A7280
.
.
Petiman akipiga picha aina ya selfie na mashabiki.
.

Maamuzi Rasmi ya ACT Wazalendo Kupitia Kwa Zitto Kabwe Kuhusu Kujiunga na UKAWA

Posted: 26 Jul 2015 09:58 PM PDT

Headlines zimeendelea kwenye mwaka huu wa Uchaguzi 2015 ambapo UKAWA sio jina geni kwa Watanzania, vyama mbalimbali vya upinzani vikiwemo CHADEMA na C.U.F vilijiunga na vinataka kumtangaza mgombea mmoja atakaewawakilisha.

Zitto Kabwe ambaye aliondolewa kwenye chama cha CHADEMA, alijiunga na chama cha A.C.T Wazalendo March 2015 ambapo siku kadhaa baadae chama hicho kilitaka kujiunga na UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA) lakini imeshindikana, haya hapa chini ndio maneno ya Zitto Kabwe July 26 2015.

Leo siku nzima nilikua nina kikao cha mashauriano na viongozi wa chama wa kata zote za mkoa wa Dar es salaam ( mikutano mikuu ya majimbo 10 ya Dar) jumla ya wajumbe 1023 walihudhuriam, tumesisitiza kuwa hatutajiunga UKAWA… ikumbukwe kuwa tuliomba utaratibu wa kujiunga UKAWA mwezi Aprili mwaka 2015 na hatujajibiwa rasmi lakini moja ya chama ndani ya UKAWA kilitangaza kuwa hawatutaki‘ – Zitto Kabwe

Hata juzi kwenye gazeti la Mawio waliandika kuwa tumefukuzwa UKAWA, sisi tumeamua kuingia kwenye uchaguzi wenyewe.. tarehe 10 Agosti 2015 tutatangaza mgombea Urais tutakayemuunga mkono baada ya mkutano mkuu wa kidemokrasia wa ACT Wazalendo.
Tutanadi ‪#‎AzimioLaTabora‬ kama zana ya kuleta mapinduzi katika nchi yetu‘- Zitto

Kwenye sentensi nyingine ya Facebook aliyoandika Zitto Kabwe saa kadhaa kabla ya hiyo ya juu aliandika:

 '‎ACTWazalendo‬ Tutaingia kwenye uchaguzi wenyewe. We will go it alone as a party to defend our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika tarehe 10 Agosti 2015′

Bobbi Kristina Mwanawe Whitney afariki Baada ya Kukaa Kwenye Koma Kwa Miezi Kadhaa

Posted: 26 Jul 2015 09:51 PM PDT

Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.

Msemaji wa familia Kristen Foster amesema Bobbi amefariki akiwa amezungukwa na familia yake ,''hatimaye yuko salama sasa kwenye mikono ya Mwenyezi Mungu,tunawashukuru wote walioungana nasi katika maombi na kuonesha upendo kwa miezi michache iliyopita''.
Bobbi ambaye alikuwa amepoteza fahamu tangu akutwe ameanguka kwenye bafu lake panapo tarehe 31 januari mwaka huu na kuwekwa kwenye matibabu huku akiwa amekosa ufahamu na mpaka kifo chake kumkuta alikuwa hajapata fahamu bado.Inakumbukwa kuwa miaka mitatu iliyopita mama yake Bobbi,alikutwa pia kwenye bafu lake amepoteza fahamu baada ya kupitliza kiwango cha dawa za kulevya na pombe mwishowe kufa.

Bobbi alikuwa mtoto pekee wa Whitney Houston na Bobby Brown,magwiji wa muziki wa miondoko ya R &B.

Udaku Specially

unread,
Jul 28, 2015, 4:18:48 PM7/28/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


WANA CCM NISIKILIZENI..!! Kama Mlimkata LOWASSA Kwa Maslahi ya Watu Wachache Kwa Kutumia Akili Ndogo Basi Mnalo na Kazi Mnayo

Posted: 28 Jul 2015 11:45 AM PDT

WANA CCM NISIKILIZENI..!!
Nina ushauri kwa wana CCM wenzangu; Lowasa kuhamia CHADEMA msipaniki. Kama kweli tulimaanisha kuwa hafai, ana uchu wa madaraka, alikiuka kanuni na maadili ya chama, ni mwizi na tena ni fisadi basi inabidi tushangilie kuondoka kwake, kwani kuvuja kwa pakacha sio ndio nafuu ya mchukuzi? Ila kama tulimkata kwa maslahi ya watu wachache na ikiwa tulitumia akili ndogo kulikata jina lake basi itabidi tujilaumu wenyewe kwa lolote tusilolitarajia litakalotokea. Na tukiendelea kutumia akili ndogo za kudhani tutashinda kwa "magoli ya mikono", basi tunakwenda na maji mchana kweupe! Tukijidanganya kuwa matusi, kejeli, mipasho, maneno ya kwenye kanga na nyimbo za Komba kwamba zitabadilisha huu upepo, pia tutajikuta tunakuwa chama cha upinzani bila hata kujiandaa kisaikolojia. Mwana CCM utakuwa unajichanganya kuushambulia uamuzi wa Lowasa kuhamia CHADEMA kwa sababu kimsingi CCM yetu ilishabariki vijana kadhaa wamshambulie majukwaani ili aonekane hafai na hao vijana wakazawadiwa vyeo. Mtu tuliemuona hafai kwetu inatuuma nini akiondoka kwetu? Ukioa mke kisha ukamtuhumu mbele za watu kuwa ni mzinzi na mshirikina; kisha mkaachana na akaolewa na mume mwingine, unaanzaje kuhangaika nae tena huko alikoenda? Tuwaache wapiga kura waamue kama ni sisi CCM ama UKAWA. Hata Mh. Mwenyekiti JK alishasema kila mtu ana haki kuongoza hii nchi; tunategemea kushinda lakini haitakuwa ajabu UKAWA wakitwaa madaraka kutokana na makosa yetu kimkakati. Wana CCM tusipaniki, kukomaa kisiasa ni pamoja na kuhimili na kukubali usichotarajia!
Wenu,
Mfurukutwa wa Shina.

Hapa Kuna Picha 5 Za Lowassa Na Mkewe Wakikabidhiwa Rasmi Kadi Za CHADEMA

Posted: 28 Jul 2015 11:17 AM PDT


Mhe. Freeman Mbowe (katikati) kulia kwake ni Regina Lowassa (mke wa Lowassa) na kushoto kwake ni Edward Lowassa baada ya kukabidhiwa kadi cha Chadema.
4
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,  James Mbatia akimpongeza Edward Lowassa punde baada ya kujiunga na CHADEMA chama kimojawapo kinachounda umoja wa UKAWA.
6
Mke wa Edward Lowassa, Regina Lowassa akikabidhiwa kadi ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe.
5
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba akimpongeza Mhe. Edward Lowassa baada ya kujiunga na CHADEMA chama kimojawapo kinachounda umoja wa UKAWA.
3


Sentesnsi 50 Alizosisema Edward Lowassa Leo Wakati Akikabidhiwa Rasmi Kadi ya CHADEMA.......Yapo pia maneno ya Mbowe,Lipumba, Makaidi na Mbatia

Posted: 28 Jul 2015 11:16 AM PDT

1.Nimetumia wiki mbili kutafakari hatma yangu ktk Siasa, najua wengi wamesubiri kwa hamu.

2.Watu wangu wamesema fanya maamuzi magumu.. Namshukuru Mke wangu na familia wamekuwa na mimi ktk kipindi kigumu-

3.Nawashukuru watu wengi waliojitokeza kuniunga mkono wakati natafuta wadhamini-

4.Uchaguzi wa Mgombea CCM ulijaa chuki dhidi yangu, Kamati ya Maadili haikutakiwa kuchagua Mgombea-

5.Kilichotokea Dodoma kinaitwa 'kubaka Demokrasia'

6.CCM iliwatumia vijana wachache kunikashifu na baadae wakapewa Madaraka makubwa

7.Kibaya zaidi kilikuwa kuwanyima Wagombea 38 wa CCM haki ya kujieleza mbele ya Kamati Kuu

8.Nilinyimwa haki ya Msingi ya kusikilizwa na kujieleza CCM, nitakuwa mnafki kusema nina imani na CCM

9.CCM niliyoiona Dodoma sio CCM iliyonilea Kisiasa, mimi km Mtanzania mwenye Uhuru nasema sasa basi

10.Mwalimu NYERERE alisema CCM sio baba yangu wala mama yangu,nimeamua kuanzia leo naondoka CCM na kujiunga CHADEMA

11.Namshukuru sana James MBATIA na Viongozi wa UKAWA kwa kuniamini na kunipokea

 12.Naamini UKAWA tutaondoa mfumo wa Utawala wa Chama kimoja, naomba Watz wajiunge nasi ktk SAFARI YA MATUMAINI

13.Naomba Watz wajiandikishe ktk Daftari la Kupiga Kura,watunze Shahada za kupigia Kura ili tuiondoe CCM Madarakani

14.Mimi nauchukia UMASKINI, Kiongozi kujionesha maskini ni upuuzi. Natamani Watz wawe Matajiri km MENGI na AZAM

15.Kulipa kisasi ni upuuzi, umefanya nini mpaka useme nitalipa kisasi? Waulizeni wamefanya nini nilipe kisasi?

16.Kulipa kisasi ni upuuzi, umefanya nini mpaka useme nitalipa kisasi? Waulizeni wamefanya nini nilipe kisasi?

17.Msiwatishe, kama wamefanya madhambi yao waambieni nimewasamehe mimi sitalipa kisasi

18.LIPUMBA- 'UKAWA tumekubaliana maliasili na Rasilimali zitumike kwa manufaa ya Watz wote'

19.MBOWE- 'CCM imekuwa na Wabunge wengi ndani ya Bunge, imefanya waangalie maslahi yao zaidi kuliko Taifa

20.MBOWE- 'Tumekubaliana Wabunge wa UKAWA wakiingia Bungeni November 2015 waangalie zaidi maslahi wa Watz'

21.MBATIA- 'Tunawakikishia Watz kwamba nguvu kubwa ya Serikali ya UKAWA itaangalia maslahi ya Watz'

22.Nilisema mtu ambaye ana ushahidi wowote kuhusu mimi kuhusika na RICHMOND peleka Mahakamani, kama huna kaa kimya

23.Tulikuwa na tatizo la Umeme, tukahangaika kuleta Mitambo ya kuzalisha umeme.

24.Tulipata taarifa kuwa mtu ambaye tunampa kazi ya kuzalisha umeme hakuwa na uwezo

25.Niliondoka Madarakani lakini tatizo limeongezeka, mikono yangu ni misafi mwenye Ushahidi peleka Mahakamani

26.MAKAIDI- 'Nashukuru mmetuletea kifaa LOWASSA, nilimfahamu LOWASSA kupitia mtoto wangu

27.MAKAIDI- 'LOWASSA amekuja UKAWA afuate na Sisi tunavyotaka asahau kidogo mambo ya CCM'

28.MAKAIDI- 'Watanzania wamekwama, najua LOWASSA amekuja UKAWA kutukwamua.. Karibu sana LOWASSA'

29.Salum MWALIMU- 'Kuna taarifa kuwa sehemu kubwa ya Mikoa ya Mbeya, Singida na Arusha umeme umekatwa'

30.MBATIA-'Siku ya leo nina amani kutoka sakafu ya moyo wangu, ninawahakikishia Watz kuwa TZ bila CCM inawezekana'

31.MBATIA- 'UKAWA hatutamwaga damu lakini walio Madarakani wasituchokoze, uwezo wa kupambana kwa hoja tunao'

32.MBOWE- 'Tunapenda kumkaribisha LOWASSA pamoja na familia, marafiki zako na kundi la Watz wapenda haki'

33.MBOWE- 'Ujio wako CHADEMA umezua hofu nyingi kwa sababu hii ni nchi ya hofu'

34.MBOWE- 'Watu wengi wa CCM wamenipigia simu wakasema kumkaribisha LOWASSA ni kuharibu Chama'

35.MBOWE- 'Niliwajibu ni kweli ataharibu Chama, lakini nikajiuliza lini CCM ikawatakia mema CHADEMA?'

36.MBOWE- 'Kumleta LOWASSA kwenye meza hii haikuwa kitu chepesi, tumekaa Vikao viingi usiku na mchana'

37.MBOWE- 'Naongea kwa ujasiri,hatuwezi kufikiri mambo mema mapya kama tutaendelea kufikiri mambo mabaya ya zamani'

38.MBOWE- 'Chama cha Siasa ni watu, mimi niletewe watu Milioni niwakatae mimi ni mwendawazimu?'

39.MBOWE- 'Mimi na Viongozi wa UKAWA hatufikirii kulipiza kisasi'

40.MBOWE- 'Tumeshuhudia Vita ya makundi ndani ya CCM na wengine wakaadhibiwa. Wengi wanalalamika, wanaona ukweli lakini hawana uhuru kuongea'

41.MBOWE- 'Tumeshuhudia Vita ya makundi ndani ya CCM na wengine wakaadhibiwa. Wengi wanalalamika, wanaona ukweli lakini hawana uhuru kuongea'

42.MBOWE- 'Hatujamkaribisha LOWASSA pekeyake, tumemkaribisha na Mamilioni ya Watanzania

43.MBOWE- 'Chama cha Siasa ni watu, mimi niletewe watu Milioni niwakatae mimi ni mwendawazimu?'

44. MBOWE- 'Mimi na Viongozi wa UKAWA hatufikirii kulipiza kisasi'

45.MBOWE- 'Umesaidia kumfungua kifungoni Mbunge Ole MEDEYE na Wabunge wengi ambao tutaendelea kuwakaribisha'

46.MBOWE- 'CHADEMA haiongozwi kwa kauli za MBOWE, inaongozwa kwa Katiba na Kanuni za Chama

47. MBOWE- 'Namshukuru sana Rais JK, umesaidia kutujenga Upinzani kuelekea Uchaguzi wa mwaka huu'

48.MBOWE- 'LOWASSA ujitahidi sana Mazoezi kwa sababu huku kuna mabomu'

49.MBOWE- 'LOWASSA alipokuwa analalamika Dodoma sisi tulikuwa tunafurahi'

50. MBOWE- 'Umesaidia kumfungua kifungoni Mbunge Ole MEDEYE na Wabunge wengi ambao tutaendelea kuwakaribisha

CCM’s Post after Lowassa joining UKAWA

Posted: 28 Jul 2015 11:18 AM PDT

CCM’s Post after Lowassa joining UKAWA


VIDEO Lowassa Akijibu kuhusu RICHMOND baada ya Kujiunga na UKAWA

Posted: 28 Jul 2015 11:01 AM PDT

Dakika chache baada ya kutangaza kutangaza kujiunga rasmi na UKAWA kupitia Chadema, waandishi wakamuuliza kuhusu Sakata la RICHMOND.... Sikia alivyojibu hapa kwenye hii Video:

Basi la Sabuni Express limegongana na gari la Kanisa Katoliki. Ajali imetokea Bugorora Kyaka Wilayani Misenyi.

Posted: 28 Jul 2015 10:41 AM PDT

Ajali mbaya imetokea eneo la Bugorora Kyaka leo, inahusisha Basi la kampuni ya Sabuni lililokuwa likitokea Karagwe na Land Cruiser ya Kanisa.

Taarifa za hawali zinasema watu si chini ya watano wamepoteza maisha kwenye eneo la tukio.

Basi la Kampuni ya Sabuni linalofanya safari kati ya Kagera na Mwanza limegongana na gari ndogo aina ya Land Cruiser iliyokuwa na mapadre na masista katika eneo la Bugorora nje kidogo ya Kyaka wilayani Misenyi mkoani Kagera.

Basi hilo nambari za usajiri T650 BFI na Cruiser T166 AGU ambapo waliotajwa kupoteza maisha kwa taarifa za awali ni Padre Onesmo Kahabwa na Michael Mwelinde pamoja Sista Magret Tadebe ambao ni wa Parokia ya Katoke waliokuwa wakitokea Rulenge wilayani Ngara.

Kiwete’s Latest tweet… Does it Have Anything To do With Lowassa

Posted: 28 Jul 2015 07:43 AM PDT


While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.


LOWASSA Adai Anachukia Sana Umaskini...Ndio Maana Marafiki zake ni Matajiri.....Ataka Watanzania Wote wawe Matajari Kama Kina Mengi na Bakhresa

Posted: 28 Jul 2015 06:53 AM PDT

Wakati akitangaza Kujiunga na Chama cha Chedema leo hii mmoja wa waandishi ameuliza swali kwanini yupo karibu sana na matajiri ..Lowassa amejibu swali hilo kwa kusema kuwa anachukia sana umaskini ndio maana yupo karibu nao na nia yake ni kufanya watanzania wote wawe matajiri kama kina Mengi na Bhakresa......

Toa Maoni yako.....

Breaking News : LOWASSA Kwa Mdomo wake Atangaza Kuamia Chama cha Chadema...Adai CCM Sio Mama Wala Baba Yake

Posted: 28 Jul 2015 06:45 AM PDT

Wakati Huu Lowassa yupo Hewani ITV akiongea na Kusema CCM sio Baba Yake wala Mama Yake na Amehamia Chadema Kwani nia yake ya Kugombea Urais ipo paleplae Japo jina lake lilikatwa CCM, Adai Safari yake ya Matumaini Bado inaendelea....


VIDEO IMEVUJA: Hivi Ndivyo Wema Sepetu Alivyomwaga Machozi Baada ya Jina Kukatwa Singida Ubunge Viti Maalumu

Posted: 28 Jul 2015 06:39 AM PDT

VIDEO IMEVUJA: Hivi Ndivyo Wema Sepetu Alivyomwaga Machozi Baada ya Jina Kukatwa Singida Ubunge Viti Maalumu

Mrembo Akuhumiwa Jela Kwa Video Tata Mtandaoni

Posted: 28 Jul 2015 04:01 AM PDT

Mnenguaji wa kike nchini Misri, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuonekana kwenye video yenye utata mtandaoni.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama moja nchini humo kwa kosa la kuchochea ngono baada ya kuonekana katika video yenye utata katika mtandao.

Mrembo huyo aliyetambulika kwa jina la Reda al – Fouly alitiwa mbaroni, mara baada ya video hiyo ya miondoko ya Pop kuoneshwa hadharani na baadaye kudhihakiwa kuwa imeenda kinyume na tamaduni za kiarabu.

Muimbaji huyo wa kike alitakiwa kufafanua mavazi -aliyoyava kwenye wimbo unaoitwa Sib Eddi au let it go of my hand.

Hata hivyo inadaiwa kuwa mkurugenzi wa video hiyo, Wael Seddiki , aliondoka nchini Misri wakati wimbo huo ulipoanza kupondwa kwenye mitandao ya kijamii ili kukwepa lolote ambalo lingeweza kutokea..

Video  Yenyewe  Iko  Hapo  Chini


Msaada: Ninafika Kileleni Ndani ya Dakika 1....Nashindwa Kumridhisha Msichana

Posted: 28 Jul 2015 03:56 AM PDT

Wakuu poleni na majukumu!

Sina tatizo la uume kusimama (erection) kwani unasimama tena ngangari kweli kweli!

Tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani ndani ya dakika 1 na nusu tayari kwisha habari yangu baada ya dakika kama 10.

Unasimama tena lakini ndani ya dakika kama hizo tayari nimemwaga huku nikimwacha mke wangu anaugulia.

Je wataalamu nitumia mizizi ama dawa gani ili kunusuru ndoa yangu?

Natanguliza shukrani kwenu wataalamu.

safari Hii Nampa Kura Yangu Fisadi.............

Posted: 28 Jul 2015 03:54 AM PDT

Jamani nimechoka, mwaka 1995 nilitapeliwa, niliuziwa mbuzi kwenye gunia baada ya kuletewa mmachinga mmoja nikaambiwa ni mr. clean na bila hiana nikatoa kura yangu. Matokeo, amekaa ikulu miaka 10 akaua viwanda vyangu, akauza benki yangu ya taifa na akafungua ya kwake, akaua shirika langu la bima ili afungue la kwake, akafungua kampuni kwa anuani ya ikulu na kujimilikisha migodi yangu mimi mpiga kura, akawa na kiburi cha ajabu na kuanza kuniita mchwara, akauza nyumba zangu zote akishirikiana na ma-padlocks. Siku hizi anatembelea magari ya tinted ili asizomewe kwa jinsi alivyochafuka, sasa eti amesafiri hadi Chato kumuibua another mr clean kama yeye! Sikubali.

Ok hayo yakapita ikaja 2005, nikaletewa malaika mwenye sura nzuri kutoka Msoga hana kitu chochote zaidi ya sura yenye mvuto. Akaja na ahadi kemkem za maisha bora kwa kila mtanzania lakini baada ya miaka mingine 10, amefanikiwa kutimiza hiyo ahadi kwa familia yake tu, taifa zima bado tunasubiria hizo ahadi. Tumeshuhudia mambo ya ajabu kama escrow, utapeli kwenye bomba la gesi na mikataba ya kuchimba madini, gesi, nk.

Safari hii sifanganyiki, hawa ninaoletewa wanaoitwa wasafi halafu nikishawapa kura yangu wananiliza, wanasema kwamba kwa miaka yote 10 waliwasahau wazazi wangu wakulima, wanachomoka na mali zangu mimi mpiga kura, halafu hawataki hata niwaulize chochote.

Safari hii nimebadilisha mawazo. NAMCHAGUA FISADI maana yeye sitamshangaa akiniibia maana mmeshasema kwamba ni fisadi. Naumia sana ninaposhawishiwa kumchagua "msafi" halafu ananiibia. SAFARI HII SIDANGANYIKI, NAMCHAGUA FISADI.

By Mwananchit/JF

Jamaa Aliachiwa Mtoto Mchanga Akaamua Kumnywesha Maziwa Aliyochanganya na Pombe..

Posted: 28 Jul 2015 03:45 AM PDT

Dunia ina vituko vyake mtu wangu, na kwa wenzetu wa Marekani wakati mwengine vituko huzua madhara makubwa.

Nimekutana na hii moja inayomhusu Dontavian Eagle McCree mwenye miaka 19 aliyeachiwa jukumu la kukaa na mtoto wa dada yake wakati yeye akiwa kazini.

Siku moja wakati akiwa nyumbani na mtoto wa dada yake, Dontavian aliamua kumpatia mtoto huyo wa miezi 10 pombe, akachanganya pombe kwenye maziwa ya mtoto na kumnywesha.
Dontavian Eagle McCree,19.

Siku chache baadae mtoto alianza kuumwa na baada ya mama yake kugundua aliamua kumpeleka mtoto hospitali na ndipo alipogundua kuwa mtoto alinyweshwa pombe.

Dontavian amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi na thamani ya dhamana yake ni dola 15,000 ambayo ni sawa na Mil.30 za Kitanzania. Hali ya mtoto sio nzuri kabisa.

Hali ngumu ya uchumi ikamfanya Mbunge aoneshe nguo za ndani Bungeni!!

Posted: 28 Jul 2015 03:42 AM PDT

Unamkumbuka yule Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliyeingia Bungeni na bidhaa za kichina huku akiilaumu Serikali kushindwa kutumia rasilimali zake na kutegemea bidhaa za nje?.

Hii nyingine imetokea Zimbabwe na kuzua kizaazaa baada ya Mbunge wa upinzani Priscilla Misihairabwi kutinga Bungeni akiwa na nguo za ndani za wanawake huku akisisitiza hatma ya raia wake maskini kutokuwa na uwezo wa kununua nguo hizo.

Katika kikao chicho cha bunge kilichokuwa kikirushwa live na Televisheni ya Taifa, mbunge huyo wa Chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change ‘MDC‘ alitoa mfuko wa plastiki uliokuwa na nguo hizo.

Baada ya kutoa akamuuliza Waziri wa Fedha na sera za serikali kuhusiana na uingizwaji wa nguo hizo za mtumba  ambazo bei yake ni ndogo na husababisha madhara kwa akina mama.

Akijibu swali hilo Waziri wa Fedha Patrick Chinamasa alimtania Mbunge huyo kutokana na uamuzi wake wa kubeba nguo za ndani za akina mama lakini akasema Wizara yake  inachunguza suala hilo.

Kufuatia kitendo hicho Mbuge huyo alitolewa ndani ya ukumbi wa Bunge na wabunge wa chama tawala cha ZANU PF  kwa madai ya kutumia matamshi ya kibaguzi.

Uchumi wa Zimbabwe umedorora miaka ya hivi karibuni hali iliyosababisha viwango vya umaskini kuongezeka kutokana na kuwepo idadi kubwa ya watu wasio na ajira.

Hivi Kwanini Baadhi ya Wanawake Wanajichubua Wawe Kama Wazungu?

Posted: 28 Jul 2015 02:17 AM PDT

Kuna jambo linanishangaza sana, ni hivi kwanini wanawake wa kibongo wanapenda kujichubua ngozi na kutumia mikorogo,makalorite, hili wawe weupe na wafanane na wazungu.

Lakini sijawahi kumuona mwanamke wa mzungu akijichubua eti awe mweusi kama msichana wa Kiafrika.

Hivi kuna shida gani hapa wakuu?

Fedha alizochangiwa Lowassa na kundi la Marafiki wa Edward Lowassa zatafunwa....

Posted: 28 Jul 2015 02:07 AM PDT

Na Makongoro Oging’
WANACHAMA wa kundi la Marafiki wa Edward Lowassa waliochanga fedha za kumwezesha waziri mkuu huyo wa zamani kuchukua fomu ya kugombea urais, wamemtuhumu aliyekuwa naibu katibu wao, George Kivuyo  kutafuna fedha hizo.
Taarifa zilizopatikana kutoka kwa baadhi ya wanachama hao wanaojulikana kama Team Lowassa 4 President, zinadai naibu katibu mkuu huyo ambaye pia ni mweka hazina wao, alitafuna kiasi cha shilingi laki saba zilizochangwa.
Walidai fedha hizo ziligunduliwa kutotumika ilivyopaswa baada ya kutojulikana zilipo na alipoulizwa hakuwa na majibu ya kueleweka.
Baadhi ya wanachama hao, Fauzia Ally, Hassan Mollel na Yussuf Hamis walisema kutokana na kitendo hicho, wanachama hao wameanza kufarakana kutokana na mgogoro.
“Hizi fedha zilitumiwa tofauti na ilivyokusudiwa, zinatakiwa zirudishwe, akabidhiwe mzee Lowassa,” alisema Hassan Mollel.
Naibu katibu mkuu huyo alipopigiwa simu na mwandishi wetu juzi Jumapili alisema kwamba madai hayo ni ya uongo na fedha hizo hazikuwa laki saba bali zilikuwa Sh. 526,000.
“Mimi ni mweka hazina msaidizi na tatizo limekuja baada ya kuhoji kuhusu fedha hizo alizokabidhiwa bosi wangu.”
Katibu mkuu wa chama hicho, Mohamed Mkindi alipoulizwa alikiri kusikia malalamiko hayo lakini alidai yupo mikoani na akirudi jijini Dar es Salaam atazifuatilia.

Warembo wachanjana viwembe kisa, Wema kukatwa ubunge Singida

Posted: 28 Jul 2015 01:52 AM PDT

KAMA kawaida ni Ijumaa nyingine ambayo Mapaparazi Wetu, Musa Mateja ‘Mtanashati’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba’ na Mpigapicha Wetu Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana moja kwa moja na mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya gazeti hili, Bamaga-Mwenge, jijini Dar es Salaam.
Saa 3:56 usiku
SHAROBARO MVAA MLEGEZO AUNGUZWA MAKALIO
Mkuu akiwa ofisini anampigia  simu  Dustan Shekidele ‘Mkude Simba’ na kumtaka amjulishe kiwanja alichopo.
Makao Makuu: Shekidele nijalie hali yako kwanza.
Shekidele: Naam Mkuu wangu huku Moro hatujambo sijui huko Dar!
Makao Makuu: Dar nako ni salama, enhe haya nipe ripoti ya huko una tukio gani?
Shekidele: Mkuu niko maeneo ya Kichangani kuna sharobaro mmoja, hawa wanyoa ‘viduku’ na kuteremsha suruali alikuwa akiendesha bodaboda kisharobaro si imemshinda wakati akikata kona ya Mbuyuni na kulivaa banda la chipsi la mama Abdul.
Makao Makuu: Duh! Hali ilikuwaje hapo sasa?
Shekidele: Mkuu huyu sharobaro kaungua vibaya na mafuta ya chipsi hasa sehemu za makalio yaani ni balaa!
Makao Makuu: Huo msala, vipi mama Abdul anasemaje?
Shekidele: Kachachamaa anataka kulipwa vitu vyake ndipo jamaa mmoja kaenda kumuita diwani wa hili eneo, John Waziri aje kuwasuluhisha.
Makao Makuu: Sawa Shekidele piga kazi ngoja nimcheki Musa Mateja.
Shekidele: Sawa Mkuu.
Saa 4:56 usiku
WAREMBO WACHANJANA VIWEMBE KISA, WEMA KUKATWA UBUNGE SINGIDA
Makao Makuu: Halooo, halooo Mateja uko wapi kijana wangu?
Mateja: Mkuu nilikuwa Maisha Basement lakini nimepigiwa simu niende Ukumbi wa Mashujaa Grill and Lounge kuna mtu kaniambia kuna tukio la wadada kuchanjana na viwembe.
Makao Makuu: Enhe natumai umefika eneo la tukio nini kinaendelea?
Mateja: Mkuu ni kweli nimekutana na hilo tukio warembo wamechanjana viwembe eti kisa Wema Sepetu jina lake kukatwa kwenye harakati za kuwania ubunge wa viti maalum huko Singida.
Makao Makuu: Sasa ikawaje mpaka wachanjane?
Mateja: Leo si ndiyo majibu ya wagombea viti maalum yametoka na jina la Wema limekatwa, sasa wadada wa Timu Wema na wale wa Timu Diamond wakaanza kunangana ndipo dada mmoja wa Timu Wema alikuwa na kiwembe kwenye pochi yake akaanza kumchanja nacho mwilini dada wa Timu Diamond ambaye kumbe naye alikuwa na kiwembe pia, akajibu mashambulizi ndipo mabaunsa wamewaamulia lakini kila mmoja anatokwa damu.
Makao Makuu: Kweli hilo bonge la tukio, muhimu sana upate picha, sawa Mateja?
Mateja: Ondoa shaka Mkuu wangu.
 Saa 6:12 usiku
WALIOJIFANYA KWENDA KUKESHA KWENYE FOLENI YA BVR WANASWA WAKIFANYA UFUSKA
Makao Makuu: Haya Bukos natumai uko vizuri na unanipata, uko pande zipi?
Bukos: Mkuu nimeamua kupitia kwenye vituo vya kujiandikisha kupiga kura ‘BVR’ ambapo wapiga kura wanajifanya kukesha kwenye foleni na sasa niko Shule ya Msingi Makongo Juu naona wake na waume za watu wamejiachia kwa raha zao wakijifanya kulinda foleni zao huku wengine wakiwa kwenye vichaka usiku huu. Yaani wale walio vichakani wanafanya ufuska mtupu Mkuu.
Makao Makuu: Wapige picha tuwarushe hewani ili kuanika mambo ya aibu wanayofanya kisha wapigie simu wenzako mkapumzike.
Bukos: Sawa Mkuu nitafanya hivyo.

Sikubaliani na Hoja ya LOWASSA Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

Posted: 27 Jul 2015 11:59 PM PDT

Dr.Slaa pengine ndiye mwanasiasa wa upinzani anaeheshimika na kusikilizwa zaidi Tanzania.

Yote hii ni sababu ya misimamo yake kupinga ufisadi, kusimamia na kutetea maslai ya Taifa bila kuogopa.

Amewahi kutaja hadharani listi ya mafisadi 11 Lowasa akiwa namba tisa na Kikwete akiwa namba kumi na moja.

Alienda kule Arumeru alimtuhumu Lowasa waziwazi kwa ufisadi na kukwepesha miradi ya Arumeru na kuipeleka Monduli.

Lakini leo tunaambiwa kuwa Lowasa anakaribishwa ndani ya Chadema na kuungama dhambi na atasamehewa.

Sina tatizo na ujio wa Lowassa ndani ya chama tatizo langu ni heshima na taswira ya Dr. Slaa aliyojijengea kwa muda mrefu kwa kuukemea ufisadi.

Je leo yupo tayari kutangaza hadharani kuwa Lowasa amekuwa msafi sio fisadi tena, yupo tayari kupunguza ile list of shame ya Mwembeyanga kutoka kumi na moja na kubaki kumi.?

Japo siasa hazina adui wa kudumu wala urafiki wa kudumu, kwa hili naona heshima ya Dr.Slaa na Chadema kwa ujumla ikiporomoka.

Maana heshima ya Dr Slaa na Chadema imejengwa kwa kuukemea ufisadi, lakini tunakoelea Hali itabadilika na kuwa Chadema ni chama cha kuwasafisha Mafisadi.

Nb.Ni mtazamo tu wadau msijenge chuki.

Mtangaza nia ya Kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Ramesh Patel Amekamatwa na TAKUKURU Akitoa Rushwa

Posted: 27 Jul 2015 11:43 PM PDT

Ramesh Patel Mgombea Ubunge Ukonga Dar, akamatwa na Takukuru akitoa Rushwa Check Point Pugu

Je kwa mfumo huu wa kutoa rushwa katika Hatua ya Kura za maoni na hata kampeni kubwa,wananchi wataweza kuwachagua viongozi bila ushawishi wa Fedha?na Kiongozi kama Ramesh Anatufundisha nini?

Kwa Nini UKAWA Wameamua LOWASSA Awe Mgombea wao wa Urais??..... Tundu Lissu Amelijibu Swahi hili kwa Ufasaha Kabisa

Posted: 27 Jul 2015 11:40 PM PDT

Kwa  Nini  UKAWA  Wameamua  LOWASSA  Awe  Mgombea  wao  wa  Urais??..... Tundu  Lissu  Amelijibu  Swahi  hili  kwa  Ufasaha  Kabisa  hapo  chni:

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now.

Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007.

Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande.

Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

 Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana.

Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach.

Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote. Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake:Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi.??

Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala.

Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.

IKULU Yaukana Mshahara Wa Rais Kikwete........Yasema Gazeti La Mwananchi Limepotosha

Posted: 27 Jul 2015 11:38 PM PDT

Gazeti la Mwananchi la Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.

Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, anashilikia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa nchi za Afrika wanaolipwa mshahara mnono zaidi.

Gazeti hilo linadai kuwa Rais Kikwete analipwa Dola za Marekani 192,000 kwa mwaka, ikiwa ni malipo ya Dola za Marekani 16,000 kwa mwezi.

Habari hizi siyo za kweli. Ni uongo na uzandiki. Ni uzushi mtupu na ni uzushi wa hatari.

Mshahara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwezi ama kwa mwaka haufikii na hata wala kukaribia kabisa kiwango kinachotajwa na Gazeti la Mwananchi.

Tangu Uhuru, mwaka 1961, Rais wa Tanganyika na baadaye tangu mwaka 1964 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekuwa miongoni mwa viongozi wanaolipwa mishahara ya chini kabisa duniani.

Mshahara wa Rais wa Tanzania kwa mwezi ni wa chini kiasi cha kwamba mshahara wake unazidiwa, tena kwa mbali, na mishahara wanayolipwa baadhi ya watendaji wakuu wa baadhi ya taasisi za umma nchini.

Aidha, ni jambo la kushangaza kwamba Gazeti la Mwananchi, linalochapishwa hapa nchini, linaweza kupata kiasi cha uongo anacholipwa Rais wa Tanzania katika mitandao ya nje badala ya kuuliza rasmi na kupewa majibu sahihi.

Kwa kujiingiza katika uzushi wa kupindua kiasi hiki, Gazeti la Mwananchi haliwezi kuwa na nia nyingine yoyote isipokuwa nia ya kuwachochea wananchi na kuwajengea chuki dhidi ya Serikali yao na Kiongozi wao Mkuu.

Ni matarajio yetu, kuwa Gazeti la Mwananchi litafanya jitihada za makusudi, kama taaluma ya uandishi wa habari inavyoelekeza, kutafuta usahihi wa jambo hili na kuwaambia Watanzania ukweli.

Imetolewa na;

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
27 Julai, 2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 28

Posted: 27 Jul 2015 11:37 PM PDT
























Hapa nimekuwekea Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  July  28 kwa Ufupi kwa Kupitia kurasa za mbele za magazeti hayo...
Tembelea kila siku website yetu uweze kupata habari zinazo make headlines kila siku bila kukosa

Picha: Zari the Bosslady Aonesha Ujauzito Wake Ulivyokua Kwa Mipasho ya Haja!

Posted: 27 Jul 2015 11:32 PM PDT

Zari The Bosslady ameshakuwa mswahili na huenda Taarab ikawa ni muziki anaousikiliza sana kwa sasa. Hiyo imeonekana kwenye picha nne alizopost (moja akiwa na mchumba wake, Diamond Platnumz) kwenye mtandao wa Instagram kuonesha jinsi ujauzito wake ulivyokuwa mkubwa. Tazama picha hizo na kile alichoandika.
11260430_123341838006995_1936020447_n
Alichoandika: Namaumivu yakizidi………. Wishing you all blessed week ahead, Good nyt
11373653_943084819082779_1562587470_n
Alichoandika: They say when you have it, flaunt it. Kwani kuna mtu kaibiwa??? Keeping it sexy and classy. #BabyBumpPhotoShoot
11351999_104770406541206_1765468179_n
Alichoandika: Kwa raha zetu…… vaeni madera, fungeni mikanda mpite kimya kimya Keeping it sexy and classy
11352117_525804417568038_2127135778_n
Alichoandika: Keeping it sexy and classy. #BabyBumpPhotoShoot


Shindano la Big Brother Africa kutofanyika mwaka huu?

Posted: 27 Jul 2015 11:30 PM PDT

Kuna uvumi uliosambaa kuwa reality Tv show ya Big Brother Africa (BBA) ambayo huziunganisha nchi mbalimbali za Africa haitafanyika mwaka huu.

Meneja wa Multichoice Ghana, Anne Sackey amethibitisha uvumi huo na kusema kuwa ni kweli Multi Choice Ghana wamepokea ujumbe kutoka MNET kuwa shindano hilo halitafanyika mwaka huu.

Sackey ameongeza kuwa MNET hawakutoa sababu za kusitisha msimu mpya lakini yeye binafsi anahisi ni kutokana na ukosefu wa wadhamini.

Hata hivyo, watu wengi wanaamini kuwa hii inaweza kuwa ni ‘public stunt’ ya kuwaandaa watu na msimu mpya.

Udaku Specially

unread,
Jul 29, 2015, 4:06:12 PM7/29/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Tundu Lissu, Dk. Slaa hawakuwepo Lowassa alivyopokelewa CHADEMA.. Sababu ni hii hapa (Audio)

Posted: 29 Jul 2015 11:42 AM PDT

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa alitambulishwa rasmi kuhamia CHADEMA July 28 2015 Dar es Salaam akiwa ameongozana na mke wake, Regina Lowassa pamoja na watoto wao.

Kwenye list ya Viongozi wa UKAWA ambao walikuwepo kumpokea na kumkabidhi kadi ya CHADEMA, alikuwepo James Mbatia, Prof. Lipumba, Dk. Emmanuel Makaidi, Salum Mwalimu na Freeman Mbowe.

Salum Mwalimu ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, amesema haya kuhusu mapokezi hayo >>> ‘Tunashukuru sana Watanzania, sidhani kama kuna kiongozi wa CHADEMA simu yake iliwahi kuzidiwa kama jana, simu zilizidiwa kwa pongezi… Kila mtu amezungumza kwa sababu ya Historia ya tendo lenyewe‘>>>>


‘Kesho Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa atachukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA… pengine kutakuwa na shamrashamra nyingi itategemeana na Mgombea mwenyewe, akiamua kuja na mdundiko haya… lakini tunaamini kutakuwa na shamrashamra nyingi‘ >>>> Salum Mwalimu.

Stori zikaanza kuzushwa kuhusu sababu ya Viongozi wengine wa UKAWA kutokuwepo, majibu kayatoa pia Salum Mwalimu>>> ‘Tuna mambo mengi tuna mikakati mingi, tumegawanyika… sio kila tukio wote tuwe pamoja, jana mliuliza Tundu Lissu yuko wapi na leo huyu hapa hata hamumuulizi… Tuko kwenye kipindi cha Uchaguzi tuna mambo mengi hatuwezi wote kuwa sehemu moja, tunagawanyika kutokana na ratiba tuliyonayo

Tafadhali: MWANAUME Anayeuliza Maswali Haya Mawili ni wa Kumuepuka Kama Ukoma

Posted: 29 Jul 2015 11:02 AM PDT

Kama we mwanamke umekuwa na mwanaume ambaye hamjawahi kusex hata mara moja lakini ndio mnaanza uhusiano then katika chatting za hapa na pale mwanaume akakuuliza haya maswali mawili ujue mbovu wa wabovu, hajui kugegeda na anakibamia. Mkimbie kabisa

MASWALI YENYEWE HAYA HAPA:

1. Huwa unatumia muda gani kufika kileleni?
Ukiona mwanaume kakuuliza swali hilo, ujue yeye ni ''ONE MINUTE MAN'' yaani akiingiza tu kamwaga na mgegedo wake hausimami tena. Sasa anawaza huyu mwanamke kama muziki wake ni wa nusu saa mpaka saa zima nitauweza kweli hivyo anakuuliza mapema ajijue. Ukimtajia dakika nyingi, utaona hana hata nguvu ya kukulazimisha mkagegedane.

2. Huwa unapenda mgegedo wa aina gani?
Hili pia ni moja ya swali ambalo wanaume vibonde huwauliza mademu ambao hawajawahi kusex nao. Mwanaume anayeuliza swali hilo mara nyingi huwa anakuwa ana kibamia hahahaha.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

CCM Wataja Sababu Kadhaa Kwanini Jina la Lowassa Lilikatwa Mchakato wa Mgombea Urais CCM..Nimekuweka Hapa Sababu Hizo

Posted: 29 Jul 2015 10:43 AM PDT

Ndugu wananchama wa Chama cha Mapinduzi-CCM ni wiki mbili tangu tulipo maliza mchakato ndani ya chamakumpata mgombea wa Urais hapo octoba 25,2015. Kwa mara ya kwanza wananchama 41 waliomba kuteuliwa na chama. Hii inaonyesha kwamba demokrasia imekuwa ndani ya chama. Kati ya wanachama wa CCM waliochukua fomu alikuwa ni mheshimiwa waziri mkuu mstaafu Ndugu Edward Lowasa. Utaratibu wa chama ulifuatwa ili kumpata mgombea ikiwa ni pamoja kamati ya maadili, kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa na mkutano mkuu. Katika mchakato pia chama kilitumia idara mbalimbali kama usalama wa taifa, takukuru na tume ya maadili ya umma kupata taarifa mbalimbali kuhusu wagombea hasa za uadirifu, usalama wan nchi na kadhalika.

Baada ya mchakato kumalizika baadhi ya wagombea na wanachama hawakuridhika na matokea, katika chama kikubwa kama CCM haiwezekani wanachama wote wakaridhika na maamzi. Ndugu wanachama na watanzania tunaomba kuelewa kuwa kumpata kiongozi mkubwa wa nchi kama Rais siyo kazi rahisi. Baadhi ya wanachama ambao hawakuridhika na maamzi ya chama ni Ndugu Edward Lowasa, amekuwa akizungumza nje ya chama kuhusu kutotendewa haki na baade kuhama chama na kujiunga na chamacha demokrasia na maendeleo-CHADEMA.

Kwa nini Ndugu Lowasa hakuteuliwa kuwa mgombea wa CCM?
Ndugu wanachama na watanzania, Mheshimiwa Lowasa alijenga hisia na kuamini kuwa ndani ya CCM wagombea wote walistahili kuenguliwa isipokuwa yeye. Hii siyo demokrasia, baada ya kupitia repoti mbalimbali Ndugu LOWASA alienguliwa kwa sababu zifuatazo:-

1.Kukiuka taratibu za chama kwaani alionekana kufanya kampeni badala ya kutafuta wadhamini

2.Kutoa rushwa kwa wanachama mbalimbali hivyo kukigawa chama na kama angepishwa kuwa mgombea CCM ilikuwa katika hatari ya kuwekewa pingamizi mahakamani lakini pia angeweka watu wake kwenye utawala kuwalipa fadhira.

3.Edward Lowasa aliwahonga wajumbe katika uchaguzi wa wajumbe NEC uliofanyika miaka iliyopita ili kupata watu wake ndani ya NEC.

4.Kuanza kampeni kabla ya wakati, alikuwa akisafirisha watu mbalimbali na kuwalipa fedha nyingi kisha kutoa taarifa kuwa walikuwa wakimtaka kugombea Urais, hii ni hadaa na hatari kwa chama

5.Kuwa na kashfa nyingi za ufisadi

VIDEO:Mheshimiwa Ndugai Amechimbia Kaburi la Kisiasa Baada ya Kumshambulia Mgombea Mwenzake Kwa Gongo Mpaka Kuzimia...

Posted: 29 Jul 2015 11:31 AM PDT

Hatimaye Mheshimiwa Ndugai amechimbia kaburi la kisiasa baada ya kumshambulia Mgombea mwenzake aitwae Dr Joseph Elieza Chilongani kwa gongo katika mkutano wa kuomba kupigiwa kura za maoni CCM Hayo yametokea leo mnamo saa saa 10 jioni katika kitongoji cha ugogoni mjini Kongwa. Katika kile kinachoonekana ni kuishiwa sera na kutumia ubabe na ukorofi ili kutetea nafasi yake ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kongwa, Mheshimiwa Naibu Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa alipiga kwa gongo ambalo amekuwa akitembea nalo huku wasimamizi wa uchaguzi wakifumbua macho kitendo cha mgombea kutembea na silaha hiyo kwenye kampeni.

 Inadaiwa na mtu aliyefuatilia kwa karibu tukio hilo mkutanoni kuwa Kuna mgombea mmojawapo (mkazi wa Kongwa aitwaye Ngatunga) Alisimama kuuza sera zake na kudai kuwa Kongwa kuna madini jimbo halijafaidika na chochote kutoka kwa wachimbaji wa madini... Mara moja Ndugai alimtishia kuwa anyamaze la sivyo angemuonesha kazi kwa kile anachodai kuwa ni kuongea upuuzi.. Wakati wagombea hao wakiendelea kujibizana suala hilo ndipo ghafla mheshimiwa alipomuona Mmojawapo wa wagombea aitwaye Dr Joseph Chilongani ameshika simu na kutahamaki kuwa alikuwa akimrekodi kwa kuvunja taratibu. Ndipo Job Ndugai alipoamka na kumwambia
"Tena wewe nilikuwa nakutafuta siku nyingi sana, unanirekodi na makamera yako na leo utanitambua mimi ni nani."

 Mara Ndugai akakusanya nguvu na kumpiga Dr Chilongani kwa fimbo hiyo. aidha hata baada ya kuanguka chini Ndugai alimfuata na kumrukia kumkanyaga tumboni akiwa na hasira na nia ovu ya kutaka kumdhuru zaidi.. Baadae wananchi walipata hasira na kutaka kumshughukilia kwa kichapo Mbunge huyo na ndipo alipopanda haraka gari lake haraka na kukimbi Eneo la Tukio...

Inasadikiwa yule mgombea mwingine alijaribu kumnyanyua Dr. Pale chini, jambo ambalo baadhi ya wananchi walilichukulia ni kama kutaka kumdhuru zaidi hivyo walianza kumpa kichapo huyo mgombea mwengine kiasi hadi watu wengine walipoamulia.. Baada ya tukio hilo ovu mkutano ulivurugika. Ndugu zake Dr. Chilongani kwa kusaidiana na watu walimbeba akiwa amezimia na kumkimbiz hospital baada ya kupata PF 3 toka polis

VIDEO HII HAPA:

WEMA SEPETU Kahamia Chadema ? Hapa Nimekuwekea Ukweli Mzima Kuhusu Habari Hii ya Wema Kuhama Chama na Kumfuata Lowassa

Posted: 29 Jul 2015 09:50 AM PDT

Meneja wa Wema Sepetu Amekanusha taarifa na picha zinazosambaa kwamba Wema Amejiunga na Chama cha Chadema Kumfuata Lowassa.....Hakuna Ukweli wowote.....Mkiona Habari hizo mzipuuzie....

Hatimaye Ngoma Sasa ni Lowassa vs Magufuli....Kura yako Utampa Nani?

Posted: 29 Jul 2015 09:42 AM PDT

Hii ndio nafasi ya kipekee UKAWA kuchukua uongozi Tanzania, inanikumbusha msisimko tuliokua nao mnamo mwaka wa 2002, tulivyoangusha KANU na kuanza kujenga nchi upya. Yaani CCM wakikwepa hii na kuponea, basi ndio kabisa watabaki uongozini. Lazima walijua Lowassa atahamia upinzani na wapo wamejipanga pia. Yetu macho, tujionee siasa ya Bongo.

LOWASSA Vs MAGUFILI......NANI ZAIDI?

Edward Lowassa Kesho Anatarajiwa Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais Katika Ofisi za Makao Makuu ya Chadema Jijini Dar es Salaam.

Posted: 29 Jul 2015 09:32 AM PDT

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kesho anatarajiwa kuchukua fomu ya kuwania urais katika ofisi za Makao Makuu ya Chadema Jijini Dar es Salaam.

Wanaume Wananichukulia Tofauti na Nilivyo...Siko Hivyo Jamani

Posted: 29 Jul 2015 09:27 AM PDT

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Mwigizaji Wastara Afurahia Kupigwa Chini Ubunge

Posted: 29 Jul 2015 12:09 AM PDT

Gladness Mallya
BAADA ya kupigwa chini katika kinyang’anyiro cha kuwania Ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya CCM Morogoro Vijijini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma ametoa kituko cha mwaka baada ya kusema amejisikia vizuri kwa madai kuwa atapata muda wa kujipanga zaidi.
Akipiga stori na gazeti hili, Wastara ambaye alishika nafasi ya pili katika kinyang’anyiro hicho, alisema amefurahi kwa nafasi hiyo kwani amethubutu na hakuitegemea, hivyo anajipanga kuwa karibu na walengwa wake ambao ni walemavu ili kujua matatizo na malalamiko yao.
“Ukweli nimejitahidi sana maana nimeshindana na mtu aliyekaa madarakani kwa miaka 20 na ni mara yangu ya kwanza kugombea ubunge, nimethubutu, nimepata kura 254 siyo mchezo japo anayetakiwa ni mmoja lakini jina langu litaenda kujadiliwa na nitafikiriwa,” alisema Wastara ambaye alibwagwa na Magreth Mkanga.

Wasafi Records yaonesha nia ya kumsaidia Hawa wa 'Nitarejea'

Posted: 29 Jul 2015 12:02 AM PDT

Hayaaa sasa hawa ndo vijana tunaowataka katika kukuza mziki wetu hongera sana Diamond Platnumz kwa hatua uliyofikia kukuza mziki wa vijana na hongera kwa kuonesha nia ya kumsaidia tena msanii HAWA WA NITAREJEA Kwa kusema upo teari kufanya nae kazi wale walokuwa wanasema we sio mzalendo now sijui wataficha wapi sura zao!

Hubagui huchagui yeyote aje a record bure miaka 6 tu lakini umefanya makubwa kuliko wenye miaka 30 katika game.

Lowassa na Majibu ya Hasira kwa Swali la Msingi

Posted: 28 Jul 2015 11:59 PM PDT

Wadau Habari; jana ilikuwa siku ya kipekee sana kwa historia ya Tanzania ambayo tuliahidiwa na tuliisikia minong'ono mingi na tetesi za kila leo juu ya kuhama chama kwa aliyekuwa mgombea urais kwa tiket ya CCM ndugu, EL.

Binafsi nampongeza kwa kuitumia haki yake ya kidemocrasia na kufanya maamuzi magumu; kama mtanzania nisiyefungamana na upande wowote nimestaajabishwa sana na mambo mawili makubwa.

Mosi ni juu ya umiliki wake wa card ya CCM, EL inasemekana ana miliki card namba 15 ya Uwanachama ndani ya CCM, lakini siku ya jana alijivua uwanachama na kupewa rasmi card ya CDM, sasa bado najiuliza imekuaje kamanda huyu amejiondoa CCM na kwenda CDM lkn bado anamiliki card ya chama hicho? Maana jana sikuona akiirudisha card ya CCM ili ichanwe chanwe pale mbele ya macho yetu.

Lakini kama hiyo haitoshi bado najiuliza inawezekanaje Kiongozi mkubwa kama yeye anathubutu kutoa majibu ya hasira mbele ya Taifa hili juu ya swali la msingi ambalo lilimchafua yeye na baadhi ya Viongozi wa wizara husika.

Kwa kusema kwamba NANUKUU; "Nilipoitisha kikao cha "Government negotiation team" nikawauliza mbona nasikia huu mkataba una matatizo?

mimi nina uzoefu wa kuvunja mikataba na huu tuuvunje! wakaomba ruhusa watoke nje kwa saa moja, baada ya hapo waliporudi wakasema wamepigiwa simu toka mamlaka ya juu mkataba usivunjwe "what else could I have done?"

Mwisho wa KUNUKUU, Sasa najiuliza hapa inawezekanaje PM umeitisha kikao cha subordinates wako alafu anatokea wa kukuambia kuwa et nimewasiliana na wakuu wamekataa hilo, nani basi mwenye kupaswa kufanya consultation na Wakuu wenzake kati ya watu hawa wawili EL kama PM au Subordinates?

Lakini pia napata shaka pale namna ambavyo swali la msingi lilivyojibiwa kwa kusema kwamba, NANUKUU; "Am sick of Richmond, mtu yoyote mwenye ushahidi wa mimi kuhusika na Richmond aende mahakamani, kama huna just shut up. Nilichukua uamuzi kwa niaba ya serikali.

Nimeondoka madarakani miaka nane iliopita, mambo haya yameongezeka yamepungua, mikono yangu ni misafi na mtu mwenye ushahidi acha kupigapiga kelele, peleka mahakamani" mwisho wa KUNUKUU; Kwa uelewa wangu wa kawaida kabisa unyeti wa jambo hili haukutaka jibu la namna hii bali watanzania tungeridhishwa zaidi endapo tungepata majibu mazuri kwa kina na yenye kujitosheleza badala ya kuwa mkali kiasi ambacho inatuacha na maswali mengi kwamba ile ni namna ya kututisha na kutuziba midomo kama ambavyo ilitokea pale kwa wana habari wenzangu au ni nini hasa?

Kama hii haitoshi bado najiuliza, Je na ile hoja ya Dr.Slaa kwamba ushahidi wa jambo hili anao na yupo tayari kwenda kuthibitisha mahakamani leo hii sisi watanzania tunaibebaje hii statement kuwa naye alikuwa anabwabwaja tu au namna gani?

Lakini nathubutu kwenda mbali zaidi kwa kujiuliza Dr.Slaa na wenzake wanasimama vipi Jukwaani kumnadi kwa kumtakasa mtu huyu ambaye wao walikuwa wanachangia kumchafua?

Mambo haya yananipa shida kuyapatia majibu basi nabaki kujiuliza bila mafanikio naombeni wadau mnisaidie kung'amua.
"Majibu ya hasira kwa swali la Msingi"

CHADEMA wamsahau Dk.wilbroad Slaa..Kisa LOWASSA

Posted: 28 Jul 2015 11:42 PM PDT

Hili limejitokeza mara baada ya Lowassa kutangaza kuingia UKAWA kupitia CDM, Kufuatia jambo hili upepo wa Dk.Slaa kupendwa na kuaminiwa na wana CHADEMA unaelekea ukingoni kufuatia ingizo jipya, na huenda asisikike tena katika mbio za uchaguzi mkuu akiwa mgombea wa urais wa chama hicho kufuatia wengi kumsahau kuanzia viongozi na wanachama wa chama hicho na sasa ni historia tu!

Dk. Slaa Kwa takribani miaka 10 ya uongozi wake amekuwa muhimili wa CHADEMA na amekua kipenzi cha Wafuasi wa chama hicho hasa vijana kwa ahadi zake na utumishi wake!

Mwigulu Ahojiwa Masaa Matatu na TAKUKURU..Kisa Hichi Hapa

Posted: 28 Jul 2015 11:38 PM PDT

Wanajamvi, kale kamchezo ka Mwigulu kujiona yupo juu ya sheria na kutoa rushwa kila kona ya Iramba imemtokea puani baada ya kukamatwa na kuhojiwa na Takukuru kwa muda wa zaidi ya masaa matatu.

Wagombea wenzake walijitoa katika kinyang'anyiro tangu tarehe 25 kwa madai ya kufanyiwa rafu hizo na kutoa malalamiko yao huku wakisubiri suala hilo kushughulikiwa ndipo warejee kwenye kampeni.

===========================

Ofisi ya Takukuru mkoani Singida imemuhoji kwa masaa kadhaa naibu waziri wa fedha na aliye kuwa mbunge wa Iramba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba, kwa tuhuma za kukiuka sheria ya garama ya uchaguzi na sheria ya kuzui na kupambana na rushwa.

Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa Takukuru mkoani Singida Bwana Joshua Msuya amesema Mheshimiwa Mwigulu Nchemba amekiuka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007 katika zoezi linalo ndelea la kura za maoni ndini ya vyama vya siasa.

Katika hatua nyingine Bwana Msuya amewatahadharisha wagombea wote wa ngaza mbalimbali watakae jihushisha na kutoa rushwa iwe ya fedha au vitu,vifaa vya michezo, madawati watakuwa wamekiuka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007 na sheria ya uchaguzi cap.343 r.e 2002 na pia sheria ya garama za uchaguzi namba 6/2010.

Katika jimbo la Singida kaskazini wa tia nia saba ambao wanagombea ubunge kwa tiketi ya CCM, wametishia kujitoa katika kinyanganyiri hicho kufuatia msimamizi wa uchaguzi kumwachia mgombea mwenzao ambaye ndiye mbunge wa jimbo hilo kuto kufuata masharati ya sheria za uchaguzi jambo ambalo limekuwa kero hadi kutumia vijana wa shule kuonyesha vipeperushi vyake wakati wa mkutano wa kujinadi.

ITV haikuishi hapa ilifanya juhudi za kumwona kaimu katibu wa CCM mkoa wa Singida ambaye ndiye msimamizi mkuu wa mkoa Bwana Aluu Segamba, amekiri kuwepo kwa matatizo hayo na kuchukuwa jukumu la kumbadilisha msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo na kumweka mwingine.

Baadhi ya majimbo ya uchaguzi yenye wabunge ambao wameamua kutia nia ya kugombea tena wamekuwa wakioneka wao ni chanzo kimoja wapo kikubwa cha kuvunja mashariti ya uchaguzi na kuwasababishia wenzao kuwa na malalamiko mengi,hadi kufikia hatua ya kuiomba serekali kupeleka maafisa wa takukuru na polisi kwenye mikutano ya kujinadi kugombea ubunge.

Chanzo:ITV

Lowassa Ajibu Tuhuma ya Richmond Rasmi, Amtaja Muhusika Hapa

Posted: 28 Jul 2015 11:35 PM PDT

Muda huu katika kukakiribishwa na kukabidhiwa kadi MH.LOWASSA ndani ya CHADEMA ,ameulizwa swali moja kuwa


Swali: Mh. Edward Lowassa unazungumiaje kuhusu kashfa ya Richmond?

Majibu Lowassa: Nipende tu kusema mimi kama waziri mkuu kwa kawaida ya sheria huwa ninaletewa mkataba muda wa mwisho kuupitia na kuupitisha huwa sihusiki na kuandaa mikataba,mwenye mamlaka ni waziri husika,hivyo baada ya kuletewa mkataba husika wa Richmond niliupitia na kiukweli niliuwekea shaka kwa sababu nilishawahi kuwa waziri wizara ya maji nina uzoefu na kuandaa mikataba,nilishauri mkataba huo uvunjwe lakini waziri wa nishati akawasiliana na "NGAZI YA JUU"na kulazimishwa kuupitisha mkataba huo.

Baada ya kugundulika kuwa mkataba huo ulikuwa na mapungufu mengi, "NILICHUKUA MAAMUZI MAGUMU KWA AJILI YA SERIKALI,na kubeba mzigo wote ndio maana hadi leo wanasema mimi ni FISADI WA RICHMOND,nipende kumaliza kwa kusema kwamba MWENYE USHAHIDI WA RICHMOND AENDE MAHAKAMANI AKANISHTAKI.

Hii Nimeiotoa Kwa Godbless Lema: Kwa nini UKAWA Wamemchukua Lowasa?

Posted: 28 Jul 2015 11:30 PM PDT

KWANINI CHADEMA WAMEMCHUKUA LOWASSA??
(Kama una akili ndogo usisome)
Mnamo mwezi February mwaka huu Umoja wa
Katiba ya Wananchi (UKAWA) waliingia ubia na
kampuni maarufu duniani inayojihusisha na tafiti
za siasa (Political Research) ijulikanayo kama
Greenberg Quinlan Rosner. (
).
UKAWA walitaka kujua kama wana nafasi ya
kushinda kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.
Kampuni hiyo ilimaliza utafiti wake mwezi May
mwaka huu na haya ndio yalikua majibu;
1. Ikiwa CCM itamsimamisha Lowassa kugombea
Urais, na UKAWA wakamsimamisha Dr.Slaa, CCM
watashinda kwa 58% dhidi ya 42% za UKAWA.
2. Ikiwa CCM itamsimamisha mgombea mwingine
asiye Lowassa kushindana na Dr.Slaa, CCM
itashinda kwa 54% dhidi ya 46% za UKAWA.
3. Ikiwa UKAWA itamsimamisha mgombea
mwingine ambaye si Dr.Slaa na CCM
ikamsimamisha Lowassa, CCM itashinda kwa
68% dhidi ya 32% za UKAWA.
4. Ikiwa UKAWA itamsimamisha mtu mwingine
ambaye sio Dr.Slaa na CCM ikamsimamisha mtu
mwingine ambaye sio Lowassa CCM itashinda
kwa 57% dhidi ya 43% UKAWA.
5. Ikiwa watu wote wa CCM wanaotaka Urais
wakiwekwa Pamoja na wa UKAWA wakawekwa
pamoja kisha wapigiwe kura za Urais kama
wagombea huru, Lowassa ataongoza kwa 14%
kisha Dr.Slaa atafuata kwa 09%, Membe 04% na
wengine chini ya hapo.
6. Ikiwa Lowassa atagombea kupitia UKAWA
atapunguza kura za UKAWA kwa 06% lakini
ataziongeza kwa 24%. Hii ina maana kuwa katika
watu 100 wa CHADEMA watu 6 hawataipigia kura
CHADEMA kwa sababu hawamtaki Lowassa.
Lakini Lowassa ataleta watu wapya 24. Yani
CHADEMA itapoteza kura 6 za wanachama wake
lakini itapata kura mpya 24 mpya.
DATA ANALYSIS
Ukisoma vzr huo utafiti hapo juu utagundua kuwa
Lowassa anaongeza umaarufu wa CCM kwa 18%.
Kwa hiyo kuondoka kwa Lowassa kutaipunguzia
nguvu CCM kwa 18%.
Sasa ikiwa CCM yenye Lowassa ina nguvu 58%
na UKAWA yenye Dr.Slaa ina nguvu 42%, maana
yake ni kwamba kumuondoa Lowassa CCM ni
kupunguza nguvu yao kwa 18% yani (58-18) =
40%.
Na kumleta Lowassa UKAWA ni kupunguza nguvu
ya UKAWA kwa 6% lakini kuongeza kwa 24%. Kwa
hiyo chukua 42 toa 06 kisha jumlisha 24 utapata
60%.
Sasa jumlisha 40% za CCM na 60% za UKAWA
kama haiji 100%??
Kwa hiyo UKAWA yenye Lowassa inashinda
uchaguzi kwa nguvu kubwa zaidi kuliko ambavyo
CCM ingeshinda ikiwa na Lowassa. Na hii ni kwa
sababu ujio wa Lowassa utaivunja CCM vipande
vipande.
Na ili uweze kuishinda CCM lazima uivunje
vipande kwanza. Huwezi kuishinda CCM ikiwa
imesimama imara.
Nchini Kenya KANU ilishindwa kirahisi baada ya
kuvunjwa vipande, Zambia UNIP ilishindwa baada
ya kuvunjwa vipande, na nchi nyingine za Afrika
vivyo hivyo.
Na njia rahisi ya kukivunja chama tawala ni kwa
kuondoa watu wenye ushawishi ktk chama hicho.
Fredrick Chiluba alikua mtu mwenye ushawishi
mkubwa akiwa UNIP lakini alipoondoka kwenda
MMD huo ndio ukawa mwisho wa UNIP maana
alikua na ushawishi na aliondoka na kundi kubwa
la watu.
Nchini Kenya akina Najib Balala, George Saitoti,
Musalia Mudavadi, Raila Odinga, Mwai Kibaki etc
walikua watu wenye ushawishi sana ndani ya
KANU. Lakini walipoondoka kwenda NARC hiyo
ndio ikawa mauti ya KANU.
Hii ni kwa sababu watu hawa walipoondoka,
waliondoka na kundi kubwa la wafuasi. Hivyo
basi hata Lowassa atasaidia kuivunja CCM na
hatimaye kuiwezesha UKAWA kushinda kirahisi.
Ikumbukwe Nyerere aliwahi kusema huwezi
kuishinda CCM imara yenye umoja. Kwa hiyo njia
rahisi ya kuishinda CCM ni kuivunja vunja
vipande. Na tayari kazi hiyo imeanza rasmi.
BAADA YA UTAFITI.
Baada ya ripoti ya utafiti huo wa GNR mnamo
mwezi May, UKAWA walikaa na kutafuta njia ya
kufanya. Walijua wazi CCM ikimpitisha Lowassa
UKAWA itaangushwa hata imsimamishe nani. Na
laiti CCM wangeona ripoti ya utafiti huo
wasingefanya kosa la kumkata Lowassa.
Wangempitisha ili waishinde UKAWA kirahisi.
Kwa hiyo UKAWA walikua wanafuatilia sana
mchakato wa CCM huku wakiomba usiku na
mchana wasimpitishe Lowassa. Na kweli Mungu
akajibu maombi yao.
Lakini UKAWA wakatafakari ikiwa
watamsimamisha Dr.Slaa kushindana na Magufuli
bado UKAWA itashindwa kwa kupata 46% dhidi ya
54% za CCM kama utafiti unavyoonesha.
Kwa hiyo ili kuishinda CCM ni kufanya nini? Ili
kuishinda CCM ni kumshawishi Lowassa ajiunge
na chama kimojawapo kinachounda UKAWA ili
apewe nafasi ya kugombea na kuiwezesha
UKAWA kushinda. Na ndivyo ilivyotokea.
Kwa hiyo kwa mujibu wa utafiti huo UKAWA
itashinda kwa 60% na CCM 40% kwenye uchaguzi
mkuu wa mwaka huu. Sasa nani asiyetaka
ushindi?
Siasa ni hesabu, siasa ni namba, siasa ni sayansi.
Kama hujui hesabu usifanye siasa.
Wavivu wa kufikiri wanaibua hoja uchwara za
ufisadi. Hivi fisadi ndani ya CCM alikua Lowassa
tu? Mbona baada ya kuondoka Lowassa bado
ufisadi umeendelea kushika kasi? Escrow,
Symbion, Meremeta, EPA etc, hivi vyote mbona
vimefanyika bila kuwepo Lowassa?
Acheni akili ndogo, tatizo sio mtu, tatizo ni
mfumo. Tukibadilisha mfumo tumebadilisha kila
kitu. Lowassa hata kama alikua fisadi kitendo cha
kujiunga UKAWA ni rahisi kuacha ufisadi wake
maana amejiondoa kwenye mfumo wa ufisadi.
Lakini kumuweka Magufuli kwny kundi la mafisadi
hata kama yeye sio fisadi lazima alinde mfumo
wa mafisadi uliomuweka.
Ni rahisi kumuokoa mwizi mmoja aliyeingia
kwenye kundi la Watakatifu, kuliko kumuokoa
mtakatifu mmoja aliyeingia kwenye kundi la
makahaba. Mwenye masikio na asikie."
ANGALIZO; Andiko hili nimelicopy na kupaste
kutoka JamiiForums, kwa hiyo unapocomment
hakikisha unazingatia kuwa haya si mawazo
yangu wala msimamo wangu.!
Malisa GJ

Star wa Empire Trai Byers (Andre Lyon) amvisha pete ya uchumba muigizaji mwenzie Grace Gealey (Anika)

Posted: 28 Jul 2015 11:13 PM PDT

Mastaa wa tamthilia ya Empire, Trai Byers na Grace Gealey sasa ni wachumba.

Chanzo kimeiambia US Weekly kuwa, Trai (32) alim-surprise mchumba wake Grace kwa kumvisha pete ya uchumba kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa akiwa amefikisha miaka 31, iliyofanyika Jumapili iliyopita, July 26.


Birthday ya Grace ambayo Trai alimvisha pete

Anika aliyecheza kama mchumba wa Lucious na Andre Lyon aliyecheza kama mtoto wa kwanza wa Lucious, walianza uhusiano wao baada ya kukutana kwenye series hiyo iliyojizolea umaarufu mkubwa ulimwenguni mwaka huu.

Video: Tazama jinsi Kanye West alivyokutana kwa mara ya kwanza na baba mkwe wake tangu ajigeuze kuwa mwanamke

Posted: 28 Jul 2015 10:45 PM PDT

Kanye West amepelekwa na mke wake Kim Kardashian kwa mara ya kwanza kwenda kuonana na baba mkwe wake tangu ajigeuze kuwa mwanamke.


Yote hayo yameonekana kwenye reality show I Am Cait ya Caitlyn Jenner.

“I think this is one of the strongest things that have happened in our existence as human beings, that are so controlled by perception,” anasema Kanye kwenye clip hiyo.

“You couldn’t have been up against more.”

CCM Kumjibu LOWASSA Leo

Posted: 28 Jul 2015 10:38 PM PDT

Baada ya Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kutangaza kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM)  na kuhamia Chadema jana katika ukumbi wa Bahari Beachi jijini Dar es salaam, chama cha Mapinduzi kimetoa taarifa ya kuzungumza na Vyombo vya Habari  leo.

Taarifa hiyo ya chama cha Mapinduzi haijafafanua kuwa ajenda itakuwa nini katika kikao hicho lakini kwa mujibu wa watafiti wa masuala ya kisiasa wanasema kuwa kikao hicho kitakuwa maalumu kwa ajili ya kujibu shutuma zilizotolewa na Lowassa kuhusiana na madai ya kuwepo uonevu wakati akiomba ridhaa ya kupeperusha Bendera ya CCM.

Mtandao huu utakujulisha kitakachojiri katika mkutano huo

BREAKING: Hapa Ndipo Utaipenda Siasa ya Bongo... Unaambiwa Dr. Slaa, Tundu Lissu na John Mnyika hawamtaki Lowassa...Wasusia Mkutano Jana

Posted: 28 Jul 2015 10:21 PM PDT

The fact that Dr. Wilbord Slaa, John Mnyika and Tundu Lissu did not show up on yesterday Lowassa-Ukawa press conference is very crucial… I mean there must be something going on behind the curtains, let’s just wait and see!

KUMEKUCHA: Siasa ni tamuu! Nasikia Dr Wilbroad Slaa amekataa katakata kukubaliana na maamuzi ya kumleta Lowassa Sijui ni kweli Au?!

Anasema bora akae bila Chama kuliko kukaa chama kimoja na Lowassa. Na inaonesha anaungwa Mkono na Lissu, Mnyika na wengine wengi. Utakuwa mchezo wa kupishana huyu anatoka huyo anaingia! Ngoja tusubirie tuone mwisho wake

Udaku Specially

unread,
Jul 30, 2015, 4:20:10 PM7/30/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Wadada Tubadilike Tabia ya Kuomba omba Kwa Wanaume si Nzuri inatuzalilisha

Posted: 30 Jul 2015 12:21 PM PDT

Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako, Hii tabia ndio inafanya mnamegwa ovyo ovyo

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela. Ombaomba Siku Hizi Hawapo Barabarani tu Hata Kwenye Simu zetu Wapo Jamani ..

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako.

Nimempata Tundu Lissu, kaongelea kwanini hakuwepo wakati Lowassa anapokelewa CHADEMA

Posted: 30 Jul 2015 12:25 PM PDT

Mbunge Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa CHADEMA alikutana na ripota Fredy Mwakikato wa TZA (millardayo.com & AyoTV) na kuzungumzia ishu kadhaa ikiwemo ya Lowassa kujiunga na CHADEMA.

Tazama hii video hapa chini uone yote aliyoyasema Tundu Lissu.

Edward Lowassa Aitikisa Dar...Makomandoo Wamiminika Kuhakikisha Lowassa Anachukua Fomu ya kuwania Urais Katika hali ya Usalama

Posted: 30 Jul 2015 12:19 PM PDT



Edward Lowassa akionesha fomu ya kuwania urais aliyokabidhiwa leo Makao makuu ya Chadema,D ar.
CLJ5hSGWoAACCU3
Umati wa watu waliojitokeza kumpokea Lowassa wakati akichukua fomu ya urais kupitia Chadema.
CLJ8fhkW8AA6IKB
…Akisaini katika kitabu cha wageni.
CLJ9y4iWEAAZWy7
Mnadhimu Mkuu kambi rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu akitoa yake machache.CLJ52JsWwAA--Yc
CLKRw2sWcAAzeL9
Lowassa akiwasiri kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Dar leo.
mbowe na lowassa
Baada ya kuchukua fomu.
Mwenyekiti wa Chadema (kushoto) Mhe. Freeman Mbowe Mhe. Edward Lowassa (katikati) wakati wa zoezi la kuchukua fomu lililofanyika leo Makao Makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar .
LOWASA (1)
LOWASA (2)
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.
 **
WAZIRI MKUU wa zamani, Mhe. Edward Lowassa hivi punde amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
 
Lowassa amekabidhiwa fomu hiyo na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kwenye ofisi za Makao Makuu ya chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
 
Lowassa alijiunga rasmi na Chadema juzi akitokea CCM baada ya kuondolewa kwenye mchakato wa kuwa mgombea urais wa chama hicho akidai kuwa jina lake liliondolewa kwa mizengwe.

Tundu Lissu Azungumzia Wanaotaka Kuihama CHADEMA Baada ya Lowassa Kupokelewa na Chama Hicho

Posted: 30 Jul 2015 02:40 AM PDT

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu, amesema chama chao kinatarajia kupata wanachama wengi baada Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa kujiunga na chama hicho.

Lissu ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo taarifa kwamba wapo wanachama wa CHADEMA ambao watakihama chama hicho kutokana na kutokubaliana na ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA.

Akizungumza jana na waandishi wa habari Lissu alisema,

“Kama wapo watakao jiondoa CHADEMA, wengi zaidi watakuja. Tupo katika kipindi ambacho hatujawahi kuwepo tangu mfumo wa vyama vingi uanze. Mfumo tawala unabomoka vipande vipande. Unapobomoka, dalili zake ni watu ambao wamekuwa katika mfumo huo kuondoka kama alivyofanya Lowassa.”

“Mabadiliko katika nchi yanatokea pale mfumo tawala unapo pasuka. Lowassa ni mfano mzuri.

"Tunamkaribisha kwetu siyo kwa sababu ni mwanasiasa msafi. Tumempokea kwa sababu tunaongeza nguvu kubwa kwa wale wanaotaka mabadiliko. Imetokea Zambia Mawawi, Nigeria na Kenya”

Akizungumza kuhusu CHADEMA kumtuhumu Lowassa kwamba “ni fisadi” kabla ya kujiunga na chama hicho Lissu alisema;

“…hatukuwa na makosa hata kido kumweka Lowassa katika kundi la watuhumiwa wa Richmond. Mambo yalizungumzwa bungeni. Aliwajibika na amesema mwenyewe aliwajibika.”

“Alijiuzulu Uwaziri Mkuu kwa sababu ya Richmond. Tulimweka katika orodha ya mafisadi kwa sababu ya Richmond. Na jana alisema alimwambia rais “tuvunje mkataba” rais akaataa. Angefanyeje? Hilo ni vumbi, litakapotulia Chama Cha Mapinduzi na mfumo tawala utakuwa umeanguka, tutajenga nchini. Bila kuvunja mfumo tawala hakuna kusonga mbele,”

Mume wa Mtu Mbona Haniachi Jamani Miaka Sita Sasa Ameniganda Kama Ruba....

Posted: 29 Jul 2015 09:57 PM PDT

Habar ndugu zangu, Nashindwa kuelewa mpaka sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano cjawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single, amekuwa akinisaidia sana katka maendelea yangu mume wa mtu huyu ndie mshaur wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwez kufika naye mbali tayar yy ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yang tutaishi maisha haya mpk lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpk leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpk lini?
Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye

Akina Dada huu utaalamu utawacost sana: hivi inakuwajue unaweka viungo sehemu za siri kama pilau?

Posted: 29 Jul 2015 09:54 PM PDT


Nimekutana na huyu dada anaomba ushauri kwa Joyce Kiria

Miaka 3 ilopita nimekuwa katika matatizo makubwa sana.....nawashwa sana sehemu za siri (uken). nilienda baadhi ya hospitali wanasema ni fungus nikatumia dawa baada ya wiki tatizo likajirudia. Nimekuwa mtu wa kujikuna wakati wote. Ukeni panawaka moto kwa kujikuna, nimeendelea na tiba mpaka likaibuka tatizo jingine . kila ninapofanya tendo la ndoa napata maumivu ambayo hayaelezeki wakati mwingine mpaka naanza kubleed.

Kurudi tena hospitali wakasema nipime vipimo vya kansa lakini tatizo likazidi kuongezeka na sasa siwezi hata kufanya tendo la ndoa. madaktari ktk vipimo wakagundua kwenye uk-e kuna wekundu mwingi sana badala ya rangi ya pink. 
Kumbe ile rangi nyekundu ni sehemu ambayo imeshambuliwa na bacteria wasiosikia dawa. Wakajaribu kupeleka dawa sehemu iliyoathirika bado ikashindikana kuwaua!

Baadae madaktari wa Muhimbili wakaniuliza ninavyofanya usafi katika sehemu zangu za siri na nikawambia ukweli kwamba, "NASAFISHA KWA KUINGIZA VIDOLE NDANI, NAJIINGIZA ASALI NA PAMBA NDANIILI UKKE UWE UMEBANA NA VINGINE VINGI tu tunavyoshauriana na wasichana (VIUNGA SEHEMU ZA SIRI).

Madaktari wakasema sababuya tatizo langu nimeua bakteria wote walinzi ndani ya ukke ndo maana nimmeshambuliwa na bacteria ambao hawaskii dawa

Ndugu zangu nilikuwa nikiunga sehemu za siri (ukke) kwa VIUNGO na naingiza kucha pamoja na sabuni ili uwe ubane na upendeze. Sasa nimeshauriwa nitoe kizazi katika umri wa miaka 29 kwani nikiacha itakuwa kansa. Najua mna ndugu zenu wa kike au wake zenu. Wape tahadhari juu ya hili.

My take: Hivi hadi uweke asali, vidole, pamba nk ndani ya ukkke ili ubane unatafuta nini? Kuna mashindano ya zinazobana, na wanawapa tuzo gani hadi utake risk kias hiki?

Prof.Mwandosya: Magufuli Hajawahi Hata Kuwa Mjumbe wa Tawi la CCM...Iweje Apewe Urais Leo...

Posted: 29 Jul 2015 10:01 PM PDT

Prof. Mwandosya amenukuliwa akisema kuwa Magufuli haifahamu na haijui CCM kwa kuwa hajawai kuwa hata mjumbe wa tawi la CCM.

Aidha ameweka wazi kutoridhishwa na mchakato uliofanywa na Kamati Kuu kuipata tano bora na hatimae Magufuli.

Anasema kamati kuu haikuwa na mvuto kiasi kwamba Mwenyekiti J.Kikwete hakuwa anajiamini,alifika wakati ana-adress kwa mwenyekiti na kujishtukia "kumbe mwenyekiti ni mimi mwenyewe".

Profesa amesisitiza kuwa watu walikuja na majina mifukoni kwani majina yalivuja kabla hata vikao.

Prof Mwandosya Afunguka: Jakaya Kikwete Alikuwa na Wagombea Wake Mfukoni Wakati wa Mchakato wa Kutafuta Mgombea CCM

Posted: 29 Jul 2015 09:52 PM PDT

Waziri mwandamizi katika serikali J.K amemtuhumu bosi wake kuwa alikuwa na majina ya wagombea tano bora mfukoni mwake.Rais Kikwete,ndiye aliyeongoza kikao cha maadili cha CCM,kilichowakata akina EL,Mwanndosya,Pinda,Dr Bilal.
Chanzo:RFA,Habari magazetini

Jacqueline Wolper… Amfuata Edward Lowassa Ukawa!

Posted: 29 Jul 2015 09:49 PM PDT

Liwalo na liwe! Kinara wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameahidi kuambatana na waziri mkuu wa zamani ambaye ni Mbunge wa Monduli kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Ngoyai Lowassa kwenye safari yake ya kuhamia kwenye muungano wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wolper alisema kwa mapenzi aliyonayo kwa Lowassa yupo tayari kwenda kokote hata kama siyo Ukawa.

Mimi ni ‘Team Lowassa’, atakapohamia nami niko nyuma yake hata kama siyo Ukawa, nitamfuata, mimi na Lowassa ni damdam, hilo halina ubishi,” alisema Wolper

Picha: Ubora na Viwango Vyangu, TBS Nimeshindikana-Lulu

Posted: 29 Jul 2015 09:44 PM PDT

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amejifangilia kwa kusema kuwa viwango vyake katkaia maswala mazima za kijipodoa ni ya kiwango cha juu.

Lulu ameandika haya kwenye ukurasa wake wa instagram mara baada ya kuweka picha hizo hapo juu.

Diana Elizabeth Michael...! Miss Balozi katika Ubora na Viwango vyangu (TBS nimeshindikana)
Unaweza kuniita Mkali Wa Hizi Kazi pia.Pale Make up Artist wako anapotaka Kukugeuza Mzungu na Nusu…"

Akaandika tena

"Ubora na Viwango vilivyoshindikana na TBS..Kuna mtu atapanic tu".

Video: Tazama alichokifanya Kanye West huko Canada Baada ya Mic Kupata Hitilafu Akiwa Jukwaani

Posted: 29 Jul 2015 09:43 PM PDT

Hakuna kitu kinachokera kwa msanii awapo jukwaani , kama mitambo kuleta hitilafu ambazo zitasababisha ashindwe kutoa burudani nzuri , au wakati mwingine kufanya aonekane amefanya show mbaya.

Jumapili iliyopita Kanye West aliacha gumzo huko Toronto, Canada baada ya kukatisha onesho lake ghafla na kuondoka jukwani.

Baada ya kupanda jukwaani mbele ya watazamaji elfu 40 kwenye onesho la Pan Am Games, Kanye aliamua kukatiza onesho lake ghafla dakika ya 13 tu toka aanze kutumbuiza, na kuondoka jukwaani huku akiacha watu wamepigwa butwaa.

Uamuzi huo wa Kanye ulifuatia hitilafu ya kiufundi iliyojitokeza na kusababisha kipaza sauti alichokua akitumia kisifanye kazi ipasavyo.

Akiwa anaendelea kuwapa burudani mashabiki ghafla alirusha mic hiyo juu na kuondoka jukwaani hapo ‘like a boss’, na kuwaacha watu wakishangaa sababu hawakutarajia kuona kilichotokea.

Tazama alichokifanya Kanye:

Ne-Yo Aeleza Kwanini Alikuwa na Hamu ya Kuonana na Diamond Platnumz Alipoenda Afrika Kusini

Posted: 29 Jul 2015 09:39 PM PDT

Muimbaji wa Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kama Ne-Yo ameitaja sababu iliyomfanya atake sana kukutana na Diamond Platnumz.

Baada ya watu kusikia kuwa nilikuwa nakuja kwenye MAMAs jina pekee ambalo walikuwa wakilitaja kwangu ni Diamond Platnumz,” Ne-Yo alimwambia Vanessa Mdee kwenye interview ya MTV Base.

Nikasema ni lazima nikutane na huyu jamaa, nahitaji kumuona,” aliongeza.

Siku moja kabla ya tuzo hizo pia, Diamond alielezea jinsi Ne-Yo alivyomtafuta. “Wakati nazungumza na D’banj @salaam_sk alinifata na kuniambia @neyo anakutafuta anataka kukuona…” Ungependa kujua kilichofata??? Kaa karibu na TV, Radio yaani Kiufupi Media zako Soon utayaskia,” aliandika Diamond kwenye Instagram.

Ne-Yo na Diamond ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye MTV MAMA 2015.

Mwigulu Nchemba Atoa Ufafanuzi Baada ya Kuhojiwa na TAKUKURU

Posted: 29 Jul 2015 09:36 PM PDT

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Mashariki ameipongeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Singida kwa kumwita yeye na kumhoji kwa kuwa hilo ndilo jukumu lao la msingi.

Mwigulu aliyasema hayo wakati akitoa ufafanuzi juu ya kuhojiwa kwake na taasisi hiyo kuhusu tuhuma za kukiuka Sheria ya gharama za Uchaguzi na Sheria za Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini.

Alisema yeye kama kiongozi wa serikali hana budi kuwapongeza Takukuru kwa kutimiza wajibu wao ipasavyo, kwani kisheria taasisi hiyo ikipokea tuhuma au malalamiko yoyote, inapaswa kumhoji, kumchunguza na hatimaye kumchukulia hatua stahiki mtuhumiwa anayehusika.

Hata hivyo, alisema hajawahi kutoa rushwa ya aina yoyote tangu mchakato huo wa uchaguzi uanze jimboni Iramba na kudai kuwa anakubalika kwa wananchi.
 
“Hata kama nisingekwenda kufanya kampeni, nina uhakika ningepata robo tatu ya kura kwa kila kata kwa kuwa nakubalika jimboni kwangu”.

Alisema yeye ni mmoja wa watu ambao wamekuwa mstari wa mbele katika kupambana na rushwa nchini; hivyo haoni sababu ya kutoa rushwa.
 
 “Hata sababu ya kutoa rushwa sina. Nimefanya kazi yangu vizuri jimboni na kila mtu ananikubali,” alisema Mwigulu na kuongeza:
 
“Hiki walichofanya Takukuru ni jambo jema. Isiwe kwa Iramba tu bali pia lifanyike maeneo mengine ambako wana mashaka kuna vitendo vya rushwa. Hii ndiyo kazi ya serikali katika kuhakikisha wale wote wanaokiuka kanuni na taratibu za uchaguzi wanashughulikiwa ipasavyo.”

Alisema kuwa katika uchaguzi wowote ni lazima kuwepo na changamoto mbalimbali, lakini kwa masuala anayolalamikiwa na wagombea wenzake, kimsingi walishakubaliana kwenye vikao vya kamati ya siasa ya chama hata kabla ya kuanza mchakato; hivyo yeye anashangaa wenzake walivyomgeuka.

“Kwa mfano, tulikubaliana tuwe na gari moja kila mgombea kwa ajili ya matangazo, mimi la kwangu ni Fuso wao wanatumia Canter na zina spika. Sasa kama spika zangu zimezidi nguvu za kwao hiyo siyo hoja… ni mambo tuliyokubaliana wenyewe tuendelee na mchakato,” alisema na kuongeza kwa lugha ya utani:
 
"Wasilete mambo ya mpira wa kizamani ambapo timu isiyo na viatu hugomea mchezo hadi wenzao nao wavue viatu ndipo wacheze (yaani: ‘hatuchezi mpaka na ninyi mvue viatu’)”.

LOWASSA Kuchukua Fomu ya Kugombea Urais LEO kwa Mbwembwe na Shamrashamra!!

Posted: 29 Jul 2015 09:33 PM PDT

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa alitambulishwa rasmi kuhamia CHADEMA July 28 2015 Dar es Salaam akiwa ameongozana na mke wake, Regina Lowassa pamoja na watoto wao.

Kwenye Orodha ya Viongozi wa UKAWA ambao walikuwepo kumpokea na kumkabidhi kadi ya CHADEMA, alikuwepo James Mbatia, Prof. Lipumba, Dk. Emmanuel Makaidi, Salum Mwalimu na Freeman Mbowe.

Salum Mwalimu ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, jana  alisema haya kuhusu mapokezi hayo;
 
"Tunashukuru sana Watanzania, sidhani kama kuna kiongozi wa CHADEMA simu yake iliwahi kuzidiwa kama jana, simu zilizidiwa kwa pongezi… Kila mtu amezungumza kwa sababu ya Historia ya tendo lenyewe.

"Kesho(LEO) Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa atachukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA… pengine kutakuwa na shamrashamra nyingi itategemeana na Mgombea mwenyewe, akiamua kuja na mdundiko haya… lakini tunaamini kutakuwa na shamrashamra nyingi."

Salum Mwalimu pia  alizungumzia  sababu  za  viongozi  wengine  wa  UKAWA  kutokuwepo(  Tundu Lissu  na  Dr. Slaa)   ambapo  alisema;

"Tuna mambo mengi tuna mikakati mingi, tumegawanyika… sio kila tukio wote tuwe pamoja.
 
"Jana mliuliza Tundu Lissu yuko wapi na leo huyu hapa hata hamumuulizi… Tuko kwenye kipindi cha Uchaguzi,tuna mambo mengi hatuwezi wote kuwa sehemu moja, tunagawanyika kutokana na ratiba tuliyonayo."

CCM Wamjibu LOWASSA........Wasema Kuhama kwake Hakuna madhara na kwamba Watapata ushindi wa kishindo

Posted: 29 Jul 2015 09:31 PM PDT

Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Dar, Juma Simba Gaddafi  jana  aliongoza  mkutano  wa  CCM  na  waandishi  wa  habari  uliofanyika  Peacock Hotel Dar, na  haya  ndo  mambo  aliyoyasema;


"CCM inatoa shukrani kwa ushirikiano mlioutoa katika Mkutano wetu Mkuu wa Kumtambulisha Mgombea Urais Dk. Magufuli pale Mbagala, CCM ni Chama chenye busara tumeona tuwashukuru

"Tume ya Uchaguzi tunawaomba wawe makini kuongeza Mashine na Watendaji ili watu wapate nafasi kujiandikisha na watumie fursa yao Kupiga Kura… CCM tuna uhakika tutashinda.

"Kingine tunawashukuru waliojitokeza Kugombea nafasi mbalimbali za Ubunge na wajitokeze kwa wingi pia kupiga kura…

"Tumemaliza Uchaguzi Dodoma na kumpata Mgombea wetu Dk. Magufuli, tunajivunia kwa sababu ana rekodi nzuri…

 "Tuna imani CCM itaendelea kuongoza 2015 mpaka 2020, tumefanya mengi yanayokubalika."

Akiongelea  sakata  la  Lowassa  kuhamia  CHADEMA, Gaddaf  alisema;

"Yeye aliingia CCM kwa ridhaa yake hakuna mtu alimlazimisha, ametoka kwa ridhaa yake na CCM itabaki kuwa CCM… Wafuasi walikuwa ndani ya CCM, kuondoka kwake ameondoka yeye na sio wa kwanza kuondoka.

"Mtu akitoka huwezi kujibu kwa nini ametoka, nawathibitishia mtu yoyote akitoka CCM itabaki imara… Tutashinda asubuhi kweupe…

"Kama Lowassa angekuwa anaondoka na watu wengi ungewaona jana, lakini alikwenda yeye akarudisha kadi… watu wengi wanatoka kwenye Chama na CCM bado iko imara."

Akiongelea  kuhusu Uteuzi wa Mgombea wa Urais CCM Dodoma, Gaddaf  alisema;

"Mkutano Dodoma tuliumaliza, lakini tumekwenda kwenye NEC Wajumbe wako 360, walipiga kura majina matano na Wagombea wote wa Halmashauri Kuu akiwepo Rais, Waziri Mkuu na Lowassa walikuwepo… kama asingekuwepo hayo yangesemwa, lakini alishiriki na alipiga Kura"

Udaku Specially

unread,
Jul 31, 2015, 4:30:15 PM7/31/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Breaking News...Ester Bulaya Apeta Kura Ubunge na Chadema Kupitia Kura za Maoni...

Posted: 31 Jul 2015 02:14 AM PDT

ESTER BULAYA  Ameingia Tatu Bora ...KATIKA WILAYA YA BUNDA NA KUWA MTU WA TATU

MATOKEO YA BUNDA MJINI
PIUS KURA 61
MAGEMBE KURA 40
BULAYA KURA 37
FRANK KURA 35
MAGANJA KURA 5
JANE KURA 0
CHACHA KURA 0

Katika Ukurasa Wake wa Facebook Ameandika Hivi:

CHADEMA tunaendelea tulianza na mungu tunamaliza na mungu, nawashukuru sana wanachadema Bunda kwa kunipokea na kunipa heshima kubwa, mbali ya ugeni wangu ndani ya chama mmeonyesha mnaniamini. mmenipendekeza kwenye majina matatu ili kusubiri uteuzi wa vikao vya kamati kuu vitakavyoamua nani apeperushe bendera katika jimbo la Bunda. Lakini pia mkanipendekeza kuwa namba moja kwenye viti maalum kwa kura nyingi. Nawaahidi sitowaangusha, yeyote atakae pita kati yetu tutashinda Bunda Mjini. Mungu ibariki Chadema ibariki Tanzania.


Je, Ntakuwa Nimemuharibu Mtoto? Nimefanya Mapenzi na Mwanaume Ambaye si Baba wa Mtoto...

Posted: 31 Jul 2015 01:33 AM PDT

Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa mwaka 1 na miez 5.

Miezi mitatu iliyopita nilikutana na kaka mmoja akawa anataka kunioa, but juzi nikashiriki nae tendo kibinadamu, na mimi na hisia kweli.Nilisex nae mara 1 tu na nilienda kuoga kabla sijamnyonyesha mtoto.

Naomba kuuliza inaweza kumdhuru mtoto?

Je, nifanyeje?

Msinielewe vibaya ndugu yangu baba mtoto yuko mbali na ana mwanamke mwingine .

Hana muda na mimi kabisa, mimi ni binadamu hisia zilinizidi tu nikawa nimefanya hivyo.

Wema Sepetu Akubali Kushindwa Adai Siasa Bila Kujipanga Utoki... ‘Utakatwa’ tu!

Posted: 31 Jul 2015 12:28 AM PDT

Leo tunaye msanii wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu ambaye hivi karibuni alithubutu kugombea ubunge kupitia viti maalum mkoani Singida.

Kwa bahati mbaya kura za msanii huyu hazikutosha. Mwandishi wetu alionana na mwanadada huyo nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar na kumpiga maswali 10 mujarabu. Ungana nami…

Ijumaa: Hongera kwa kujitosa kwenye siasa, nini kilikusukuma kuingia huko?

Wema: Nilikuwa nashauku ya kuwa mheshimiwa, hata baba yangu aliwahi kuniambia naweza hivyo nikajaribu bahati yangu.

 wema (8)Ijumaa: Ukiacha marehemu baba yako, nani alikupa sapoti kubwa na ukajiona unaweza?
Wema: Namshukuru mama yangu, alinipa sapoti kubwa nikajiona naweza kwani alinitoa hofu niliyokuwa nayo.

Ijumaa: Unadhani kipi kimekuangusha kwenye uchaguzi ule?

Wema: Uchanga wangu kwenye siasa lakini naamini muda ulikuwa bado.

Ijumaa: Ingawa hukufanikiwa kupata nafasi ya ubunge umejifunza nini kupitia siasa?

Wema: Kwa kweli nimejifunza vitu vingi maana haviendani hata na umri wangu na nimepata ujasiri mkubwa. Kikubwa ukiingia kwenye siasa ujipange sana.

Ijumaa: Je, kwa hatua uliyoifikia unategemea kuendelea na siasa?

Wema: Niache? Siwezi kwani itakuwa kazi yangu, kama gari ndiyo limewaka sasa.

Ijumaa: Najua siasa ni hela hasa kipindi cha kampeni, uliwezaje kumudu gharama zote?

Wema: Ni rahisi sana ukiwa na watu wanaokupenda, walijitokeza watu kunichangia kwa ajili ya kuhakikisha nafanikiwa. Siwezi kuwataja lakini nawashukuru sana.

Ijumaa: Tulipata habari kwamba baada ya kushindwa uliangua kilio, kwa nini?

Wema: Unajua unapoenda kufanya kitu lazima una matumaini japo kuna kushindwa lakini kushinda ndiyo lengo sasa usipofanikisha lazima roho inauma.

Ijumaa: Ulijisikiaje ulipokuta nyomi la watu wakikusubiri kwa ajili ya kukupokea wakati hukuwa umeshinda?

Wema: Niliamini nina watu wengi ambao wananipenda na nilijifunza mengi kupitia ujio wao, pia walinitia moyo wa kuendelea na siasa.
Ijumaa: Kuna madai kuwa baada ya kushindwa una mpango wa kuhamia Ukawa, hilo unalizungumziaje?

Wema: Ninachojua watu wa Ukawa wamenitafuta na ilikuwa tukutane jana (Jumatatu) ila tutakutana Jumatano (juzi), nikijua wanachoniitia ndiyo nitafanya uamuzi.

Ijumaa: Baada ya kuingia kwenye mambo ya siasa tumtegemee Wema wa aina gani?

Wema: Mtarajieni Wema wa tofauti na yule mliyemzoea, mambo ya skendoskendo hayatakuwa na nafasi kwenye maisha yangu.

Mzazi Mwenziye Sugu Mahakamani Tena....Aamua Kudai Haki ya Mtoto wake yake Upya....

Posted: 31 Jul 2015 12:24 AM PDT

Imelda Mtema
FAIZA Ally, ambaye ni mzazi mwenzie na mbunge wa Mbeya mjini kwa ‘leseni’ ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Mr. Sugu’ anadaiwa kukata rufaa na kurudi mahakamani kudai upya haki yake juu ya malezi ya mtoto wake.

Mrembo huyo mwenye vituko kwenye suala la uvaaji ‘alitinga’ mahakamani hapo sanjari na mwanasheria wake, ndugu na baadhi ya watu wa karibu kwa lengo la kupinga hukumu iliyotolewa awali katika Mahakama ya Mwanzo ya Sinza jijini Dar, iliyoamua kuwa hana haki ya kuishi na mwanaye (Sasha).

Hata hivyo, Faiza alikataa kuzungumzia suala hilo, kwa kile alichokiita… “suala liko mahakamani, tuiachie uhuru wake”. Kesi hiyo itaanza kuunguruma upya mnamo Agosti 18, mwaka huu.

Mume Wa Zari Abambikiwa Mimba na Msichana Mtangazaji wa TV....Alitaka Kulipa Kisasi kwa Zari ....

Posted: 31 Jul 2015 12:20 AM PDT

Wakati staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akisubiri mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ajifungue mtoto wa kike ‘taimu’ yoyote kutoka sasa, aliyekuwa mume wa mwanamama huyo, tajiri Ivan Ssemwanga anadaiwa kubambikiwa mimba na mtangazaji wa runinga aitwaye Doreen Kumhangi, Ijumaa limeidaka.

TUJIUNGE JIJINI KAMPALA
Habari kutoka jijini Kampala, Mji Mkuu wa Uganda zilidai kwamba, Ivan na Doreen ambaye ni Mtangazaji wa Kipindi cha Morning Breeze cha Televisheni ya NBS ya Uganda, wamekuwa wakionekana wakiwa wamegandana kama ruba kwa miezi kadhaa sasa tangu mwaka jana.
dd“Muda wote Ivan akiwa Kampala anajirusha na Doreen. Mara kadhaa wameonekana viwanja tofauti wakila bata. Hata Doreen anapokwenda South Africa (Sauz) amekuwa akipokelewa na Ivan ambaye ana makazi mengine huko kisha kufanya yao,” kilidai chanzo ambacho ni mfuatiliaji wa masuala ya burudani nchini Uganda.

DOREEN ATOA SIRI NZITO
Ilidaiwa kwamba, baada ya bata zote hizo, hivi karibuni, Doreen alitoa siri nzito kuwa ana ujauzito uliosababishwa na Ivan, jambo lililomfanya jamaa huyo ‘kupaniki’.
Ilisemekana kwamba, kufuatia Ivan kukanusha kwa nguvu zote, kuna madai kwamba Doreen anambambikia mimba hiyo akiamini kwamba watu watakubaliana naye kwa kuwa ndiye amekuwa naye katika kipindi alichonasa mimba.

ALITAKA KULIPA KISASI KWA ZARI?
Katika mapenzi yao, ilielezwa kuwa, kuna kipindi Ivan alitaka kumhalalisha Doreen kuwa mkewe na haikujulikana ishu hiyo iliishia wapi huku nyuma kukiwa na madai kwamba alitaka kumrusha roho au kumlipiza Zari.
“Sijawahi kutembea na Doreen kwa hiyo mimi sihusiki na ujauzito alionao,” alisema Ivan juzikati alipobanwa na gazeti moja nchini humo.
“Anachokisema (Doreen) si kweli, anataka kunibambikia mimba,” alisema jamaa huyo aliyezaa na Zari watoto watatu wa kiume huku akiendelea kukanusha ishu hiyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook, Twitter na Instagram.

DOREEN NI NANI?
Habari zilieleza kwamba, Doreen ni mtangazaji anayesoma habari kwenye kipindi hicho cha asubuhi cha NBSTV.
Kabla ya kudaiwa kuwa na Ivan, Doreen alikuwa shosti wa karibu na Zari na kwamba walishafanya kazi pamoja ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakisema ndiye mbadala sahihi wa Zari kwa jamaa huyo.

FAMILIA YA DIAMOND CHEREKO
Wakati hayo yakiendelea kwa Ivan, jijini Dar chereko zinasubiriwa za kumpokea mgeni kwenye familia ya Diamond ikielezwa kwamba Zari atajifungua muda wowote kutoka sasa.

Mwanadada Mwingine Mtanzania Akamatwa na Madawa ya Kulevya Indonesia..Alikuwa Ameyaficha Tumboni Kama Pipi

Posted: 30 Jul 2015 09:41 PM PDT

Dada wa Kitanzania kakamatwa na madawa ya kulevya Indonesia.

Alikamatwa alipotua uwanja wa ndege Jakarta wa Soekarno-Hatta baada ya maofisa wa usalama kumshuku.

Alikamatwa tarehe 4, Julai na vidonge 32 tumboni vya heroine na meth venye uzito wa gramu 540.

Taarifa za maofisa hao wa uwanja wa ndege, zinasema kuwa alishukiwa tangu Tanzania kutokana na mwendo wake lakini karuhusiwa kuendelea na safari kuja Jakarta kupitia Doha, Qatar.

Hawajasema vipi walipata habari hizo za kuachwa huru Tanzania na Qatar.

Pengine alihonga Tanzania au Qatar hawakutaka kuhangaika nae kwa kuwa alikuwa Transit na kumchomea Indonesia.

Kinachojulukana ni kuwa amefunguliwa shitaka, chini ya kifungu 113 cha mwaka 2009, kinachotoa hukumu ya kifo kwa makosa ya kukamatwa na madawa ya kulevya nchini Indonesia.

Anajulikana tu kwa jina la MA.


Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies.....

Posted: 30 Jul 2015 09:34 PM PDT

Nora Bongo Movies
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu usichana wangu, nimeshafanya maisha yote hakuna cha ajabu kwangu nyi kinachowatoa roho sasahivi, tena nikiwa na mume wangu wa ndoa sio wakushobokea kwasababu nipate kitu na yeye anivuruge tu.

Sioni kipya na bado nawaumiza kichwa mkinitafari ni jinsi gani mnanipenda na mnanikubali moyoni. Asanteni kwa hilo mnazidi kunipa nguvu Mungu awabariki sana sijajua kabisa kama bado ninanguvu kiasi hichi, mbarikiwe sana tim matusi ila muombe sana muwe mnalipa mpaka age yangu mana sura zimeshawashuka watoto wadogo mwili ndo usiseme nikisimama na nyinyi mnaonekana vizee vya miaka 70 na mnavyotumika sipati picha sehem nyingine hata tukisimamishwa uc** bado i will look young puuuu natamani kuwatema mate niki imagin mlooooh mnataka nini mbona mambo ni yale yale

 Embu tulieni watoto wakike mjiheshim yani na Mungu anavyojua kuwadhalilisha mnalopokaje mitusi yenu wenyewe nadhani mnajiangalia mlivyo used halafu mnawambia wenzenu mana mngekua hamko hivyo mmgekua na haya kutamka vitu vya ajabu kama ujawai onamm na myinyi tofauti sanaaaana kama bado mlikua hamjaja mjini wakati na miaka 26'mi sikua kama nyinyi nivute nikuvute na wala umaarufu sijauvalia bukta ndo mana haunisumbui wala haunipeleki puta naishi maisha yangu an am happy siofii chochote zaidi ya akhera yangu nipo tofauti nyinyi mnaona kama dunia imeshushwa jana kila kitu kwenu kipya

Muwe na hekima kama adabu imewashinda mbarikiwe katika kheri na maovu Mungu awaondolee watoto wazuri najua sio kosa lenu poleeeeni eeeh ndo mliambiwa umaarufu huo ooooo poyeeeee vitotooooo chilieeee come to dadaaaaa.

Shamsa Ford:Mchawi wa Maisha Yako ni Wewe Mwenyewe

Posted: 30 Jul 2015 09:31 PM PDT

NIDHAMU ni silaha kubwa katika maisha.kuna ambao Mungu aliwabariki kwa nafasi zao lakini hawakuweza kutumia nafasi zao vizuri kwasababu ya kukosa nidhamu.walihisi wao ni bora kuliko wengine ndo maana walibarikiwa.

Mwisho wa siku wakishapotea au mambo kwenda tofauti na walivyokuwa wanadhania wanaanza kulaumu watu.Wengine wataingia hadi kwenye ushirikina kwa kusemwa wamerogwa..Mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe...MUWEKE MUNGU MBELE,KUWA MVUMILIVU,ACHA TAMAA,FANYA KAZI KWA BIDII, PENDA KUJIFUNZA NA KUBALI USHAURI

Shamsa Ford "@shamsaford" on instagram

Baba Haji Ashangilia Anguko La Wema Sepetu..Afurahia Wema Sepetu Kushika Nafasi ya Mwisho

Posted: 30 Jul 2015 09:29 PM PDT

STAA wa filamu Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ juzikati aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja vya Ngome Kongwe, Zanzibar baada ya kupata taarifa kuwa staa wa kike nchini aliyekuwa akiwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wema Isaac Sepetu ameangushwa.

Akionekana mwenye furaha huku akiserebuka muziki alisema kuwa mbunge wenu amekosa ubunge, jambo lililowafanya baadhi ya wasanii wenzake waangue kicheko kwa kuwa inafahamika kuwa ana bifu naye.

Jamani mmesikia majibu? Mbunge wenu kashika nafasi ya mwisho, ngoja mimi niendelee kucheza sebene langu,” alisikika Baba Haji huku akiangua kicheko.

Bifu la Baba Haji na Wema lilianza kitambo ambapo wawili hao walikutana kwenye Ukumbi wa Bilicanas, Posta jijini Dar ambapo Wema alimchana jamaa huyo kuwa ananuka jasho.

Chanzo: GPL

Mh. Lowassa Aongezewe Ulinzi Kumlinda na Kila uovu na Hila Ambao Utapelekea Asitimize Lengo Lake.....

Posted: 30 Jul 2015 09:26 PM PDT

Mh. Laigwanan Edward Ngoyai Moringe Lowassa anastahili ulinzi wa ziada ili kumlinda na wabaya wake kwani hawakawii kumfanyia kitendo cha kigaidi ili kutotimiza lengo lake la kuchukua nchi kutoka chama Tawala...

Ulinzi madhubuti na makini unatakiwa kutolewa na wana UKAWA na kila mtanzania mpenda maendeleo kwa kuwa Edo ndiye tumaini pekee kwa watanzania kujikomboa kutoka utumwa wa CCM.

Nitoe rai kwa uongozi wa UKAWA kumpa ulinzi wa ziada kiongozi huyu wa kitaifa na kimataifa ili kumlinda na kila uovu na hila
 Lowassa ndiye mboni pekee inayowapa nuru watanzania itakayowaangazia na hatimaye kuwawezesha kutoka msitu wa giza nene.

Tafakari, chukua hatua!

Majina ya Wabunge Walioshinda Kabla Hata ya Uchaguzi October.....

Posted: 30 Jul 2015 09:20 PM PDT

Kwenye ukweli tuweke mambo ya vyama pembeni kwa maslahi ya taifa.
Kuna baadhi ya wabunge lazima warudi bungeni kwa ushindi wa kishindo na wengine hata wakionga migodi hawawezi kurudi mfano ni Tibaijuka na Asumpta Mshana.
Baada ya kuzunguka nchi nzima nikifanya research nimepata haya majina ya wabunge walioshinda kabla hata ya uchaguzi
.Sugu, Wenje, Lissu, Mnyika, Mbatia, Mdee, Joseph haule, Msigwa, Mkosamali na Kafulila

Embu na wewe nipe majina ya wabunge ambao tayari wameshinda kwa AJILI ya bunge lijalo

Sio Dada yake ila Mdogo Wake Ndiye Chaguo Langu..Dada Kanitongoza Kabla Sijamtongoza Mdogo wake niliyekuwa Namnyatia.....

Posted: 30 Jul 2015 09:15 PM PDT

Upendo wangu na haupo kwake kiukweli upo kwa mdogo wake, lakini nilishindwa kuwa wake kabla ya dada yake kufanya mambo yake kweli nimeamini chelewa chelewa utakuta mwana si wako'.

Kwa jinsi nilivyompenda mdogo wake sijui ni nini kilichonifanya nisimwambie.

Nahisi ule usemi wa 'subira huvuta heri' ulinipumbaza, ona sasa kaniwahi dada yake na mdgo wake katambua.

Jamani nilimpenda na bado nampenda mdogo wake ila mazoea ya dada yake kwangu yamechukua sura nyingine.

Niliona njia rahisi ya kumpata mdogo wake ni kuzoeana na dada yake, lakini sasa dada yake kanizoea vibaya .

Hadi kufikia kuniomba namba yangu ya simu haikutosha akaamua kunitamkia kabisa eti anataka kuwa nami bila kujua kama mimi nina malengo na mdogo wake.

Nahisi ndoto zangu kupotea, nipo katika wakati mgumu sana sijui nimjibu vipi dada yake na sijui nitampata vipi nimpendae na wote wanakaa nyumba moja.

JAMANI EEH!

NIMETONGOZWA NA DADA YAKE MSICHANA NINAEMPENDA bado sijamjibu chochote nimekata mawasiliano kwa muda ili kutafakari.

Tafadhali anayeweza kunishauri.

By Alphaking mahena

Kwa Mara ya Kwanza no Mabomu Maandamano yasio Rasmi ya Chadema, Barabara zafungwa, Polis Watia Doria Kila Kona Kuhakikisha Kuna Amani

Posted: 30 Jul 2015 09:09 PM PDT

Imekua kama desturi maandamano ya wapinzani kumbana na mabomu ya polisisiemu lakini kwa mara ya kwanza jana maandamano yasio rasmi ya wapinzani hayakupigwa mabomu pale mmoja wa watia nia wa chama cha upinzani Edward lowassa alipoenda kwa maandamano ofisi za chadema kuchukua fomu na baadae kwenda mpaka ofisini kwake mikocheni bila mabomu huku baadhi ya barabara zikilazimika kufungwa..

Hatimaye kaka Yake Zari Amchumbia Mwanamuziki Linah Sanga....

Posted: 30 Jul 2015 08:59 PM PDT

Hatimaye staa wa Bongo Fleva ambaye ni zao la Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amechumbiwa rasmi na yule jamaa wake, Wiliam Bugene ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka kiukoo wa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady.’

Akizungumza na Amani kwenye mahojiano maalum alipotimba katika Tamasha la Filamu la Kimataifa (ZIFF), Zanzibar hivi karibuni, Linah alisema kuwa ana furaha maishani mwake kwa kumpata mtu mwenye mapenzi ya kweli ambaye atafunga naye ndoa ‘soon’.

Tayari ameshanichumbia, anajulikana kwetu na mimi najulikana kwao. Kifuatacho ni ndoa yangu,” alisema Linah ambaye hivi karibuni amesema ataachia wimbo mpya utakaokuwa gumzo.

Furaha ya Linah inakuja kufuatia kumpata mwanaume huyo ambaye amekuwa akionekana naye kila kiwanja wakiwa wamegandana kimahaba ikiwa ni miezi kadhaa tangu alipodai kuporwa bwana’ke, Nagari Kombo anayedaiwa kakwapuliwa na Wema Sepetu.

Kabla ya Boss Mtoto na Kombo, huko nyuma Linah aliwahi kuripotiwa kuwa kwenye uchumba ‘serious’ na msanii mwenzake, Amini Mwinyimkuu.

Breaking News: BASATA imemfungia Shilole Mwaka Mmoja, Hakuna Kufanya Muziki

Posted: 30 Jul 2015 08:55 PM PDT

Shilole Akiwa Jukwaani Huku Mali zake Zikiwa Nje Nje...
Breaking news zilizoifikia usiku wa July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) ni kwamba baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.

Barua iliyoifikia  imeandikwa kutoka BASATA imesema >>> ‘Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘

‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka pia October 2013 BASATA lilikuonya na ukakiri kwa kuomba msamaha tabia yako ya kucheza bila kuzingatia maadili uwapo jukwaani, BASATA ilikupa nafasi ya kutoa maelezo kwanini usichukuliwe hatua za kinidhamu kwa kitendo chako lakini umekaidi kutoa maelezo yako‘ – BASATA

‘Baraza limejiridhisha kwamba ulikiuka maadili ya kazi ya sanaa kwenye onyesho lako huko Ubelgiji makusudi na umekiuka sheria kwenye ibara ya 30 (2) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kwa kuvunja maadili ya jamii ya Mtanzania hivyo baraza linakusimamisha kujishughulisha na kazi za sanaa nchini na nje ya nchi kwa mwaka mmoja, kufanya kinyume na hayo kutapelekea kupewa adhabu zaidi pamoja na yeyote utakaeshirikiana nae ‘ – BASATA

Je ni Sawa Kwa Shishi Kufungiwa?

Udaku Specially

unread,
Aug 1, 2015, 4:29:58 PM8/1/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


LOWASSA Aahidi Kuishinda CCM Uchaguzi Mkuu 2015

Posted: 01 Aug 2015 08:19 AM PDT


Waziri mkuu wa Zamani Edward  Lowassa  amewaahidi wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema pamoja na wale wa umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA) ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika oktoba 25 mwaka 2015.

Lowassa alisema hayo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Demkorasia na Maendeleo ambayo itampa ridhaa ya kugombea urais kupitia umoja wa Katiba ya wananchi ukawa unaundwa na vyama vinne vya siasa nchini Tanzania ambavyo ni Chadema, NCCR-Mageuzi, Cuf na NLD.

Aidha, Lowassa aliyekabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe katika ofisi za Chadema makao makuu yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam jana,alichangiwa kiasi kadhaa cha pesa kitakachomsaidia katika yake ya matumaini iliyofufukia Ukawa. Katika hafla hiyo  Lowassa aliongozana na Mkewe pamoja na wana familia na ndugu wengine mbalimbali.

Mwanasheria mkuu wa Chadema Tundu Lissu alisema kwamba  ili mgombea ameweze kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni lazima awe mwanachama wa chama chochote cha Siasa nchini Tanzania, hivyo Lowassa ni mwanachama halali wa Chadema pia amechaguliwa na vikao mbalimbali vya kamati kuu ya chama hicho iliyoketi hadi usiku wa manane.

Uamuzi wa Lowassa kugombea Urais ulipokelewa kwa shangwe na umati wa wananchi uliohudhuria hafla hiyo makao makuu ya Chadema kinondoni jijini Dar es salaam.

Mwanasiasa huyo Mkongwe atapambana  na Mgombea kutoka chama cha Mapinduzi Dk.John Magufuli katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu utakaokuwa wa aina yake  mwaka huu wa 2015.

Batuli 'Amwaga Machozi' Baada ya Picha zake za Nusu Uchi Kusambazwa Mitandaoni

Posted: 01 Aug 2015 08:17 AM PDT

Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi  akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.

 

Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.

 

“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili timamu anapata jibu kamili. @mkudesimbaoriginal nikuulize hivi wakati unampa @matejamusa picha ulimwambia ni za nini!? hivi naweza kuwa faragha mbele ya camera!? 

 

"Hata kama unapromote movie hii sio kiivyo kama kupromote kitu ndio hivi basi fani yetu imejaa mazumbukuku, hii ni scene iliyopo kwenye movie sioni sababu ya kunichafua kijinga hivi, kizuri kinajiuza @mkudesimbaoriginal  kuandika shit sio njia sahihi ya kupromote kazi yako”- Batuli aliandika.


Mbunge wa CCM Awakimbia TAKUKURU.......Ni Baada Ya Kunaswa Akigawa RUSHWA Kwa Wapambe Wake

Posted: 01 Aug 2015 08:11 AM PDT

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Manyara, imemhusisha Mbunge wa Babati Mjini, Kisyeri Chambiri (pichani kulia), na tuhuma za kutoa hongo katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Takukuru inadai kuwa mbunge huyio alinusurika kukamatwa juzi usiku akiwa na wapambe wake waliokuwa wanagawa rushwa.

Kamanda wa Takukuru mkoani Manyara, Mogasa Mogasa, alisema Chambiri akiwa na wezake watatu ambao wanashikiliwa na taasisi hiyo, alinusurika kwa kutimua mbio usiku majira ya saa nne na kuacha kitita chaSh. 500, 000 alizokuwa nazo katika kijiji cha Kiongozi akitaka kuzigawa kwa baadhi ya watu wake.

Pia taarifa ya kamanda huyo ilieleza kuwa Chambiri alifanikiwa kukimbia akiwa na viongozi kadhaa wa kijiji hicho ambao kamanda huyo hakuta kuwataja majina, akisema kuwa wanaendelea kutafutwa na kumtaka Chambiri ajisalimishe.

Kamanda huyo aliwataja waliyokamatwa kuwa ni Samuel John Barani ambaye ni Katibu wa Uchumi na Fedha CCM wilaya; Thomas Cosmas Darabe na Ally Ayubu Ramadhani, ambao walikuwa na mgombea huyo katika harakati hizo.

Kamanda Mogasa aliongeza kuwa baada ya watuhumiwa hao kukutwa katika eneo hilo na Chambiri kutokomea, walifanikiwa pia kukamata makaratasi yenye majina ya watu waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya mgawo huo.

Hata hivyo, alisema wanaendelea na mahojiano watuhumiwa hao na kwamba baada ya taratibu kukamilika watafikishwa mahakamani na kuongeza kuwa wanalishikilia gari la mbunge huyo.

Chambiri alipoulizwa, alikana kuhusika na kudai kuwa ni mbinu zinazotumiwa na baadhi ya watu wasiyomtakia mema.

Aidha, alidai kuwa yeye kama mgombea na mtetezi wa jimbo hilo, amekuwa akipata taarifa mara kwa mara za kupangiwa njama kama hizo ili kudhoofisha juhuddi zake za kurejea madarakani.

“Hivi walishindwaje kunikamata wakati wanadai walitukuta tukiwa ndani kama siyo uzushi, mimi nafahamu kuna watu wamewekwa kunichunga hata kama naenda nyumbani kisa tu mimi nisichanguliwe, na hiyo ni baada ya kuona watu wameonyesha upendo kwangu,” alisema Chambiri

Udaku Specially

unread,
Aug 2, 2015, 4:15:27 PM8/2/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Bond: Jamani Nibembelezeeni Wastara Nimuoe!

Posted: 02 Aug 2015 12:55 PM PDT

KUTOKANA na ugumu wa masharti aliyopewa na mwigizaji Wastara Juma juu ya kumuoa, msanii Bond Suleiman ‘Bond’ ameomba msaada kwa watu wa karibu hususan upande wa Wastara kumsaidia kumuweka sawa ili atimize lengo lake la kumuoa.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Bond alisema Wastara ni mwanamke mwenye kila sifa ya kuwa mke, hivyo endapo atamkosa litakuwa ni pigo kubwa maishani mwake.

Jamani, amenipa masharti magumu sana, ni mwanamke thabiti ambaye nisingependa kumkosa, najaribu kuwatumia watu wetu wa karibu kumuweka sawa, maana ana kila sifa za kuitwa mke, nimekaa naye muda mrefu kama meneja wake, nimegundua mambo mengi sana, nahitaji msaada jamani,” alisema Bond.

Chanzo: GPL

MWIGIZAJI Ray Afichua Siri ya MREMBO Chuchu Hans!

Posted: 02 Aug 2015 12:50 PM PDT

Muigizaji mahiri wa kiume hapa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’amefichua siri iliyomfanya kunasa kwa staa mwenzake Chuchu Hans, na hata kupata msukumo wa kumuweka hadharani tofauti na tabia yake ya nyuma ya kutopenda kumuanika mpenzi wake.

Akizungumza na gazeti la Risasi akiwa kwenye tamasha la kimataifa la Filamu ‘ZIFF’ lililofanyika visiwani Zanzibar, Ray alisema kilichomsukuma kumuanika Chuchu ni mambo yake adimu ambayo huwezi kupata kwa mwanamke mwingine.

Alisema anamuona kuwa na tabia zote za mke, ndiyo maana aliweza kumtambulisha kwa jamii kwa kuwa ana imani naye kwa kila kitu hivyo yuko huru watu kumfahamu.

“Bwana huyu mwanamke ana vitu vyake adimu sana, na kwa kweli nampenda na ana chembechembe zote za kuwa mke ndiyo maana nilikuwa huru kumuweka wazi bila wasiwasi wowote,” alisema Ray ambaye pia aliwahi kutoka kimapenzi na Johari.

Chano:GPL

Wastara: Yusuph Mlela Anafanana Vitu Vingi na Sajuki

Posted: 02 Aug 2015 12:48 PM PDT

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunguka na kumwagia sifa muigizaji mwenzake, Yusuph Mlela kuwa ni mtu ambaye anafanana vitu vingi na aliyekuwa mume wake, marehemu Sajuki  na kusisitiza kuwa huwa hachoki kufanya naye kazi.

Kupitia ukurasa wakekwenye mtandao wa instagram, Wastara aliweka picah hiyo hapo juu na kuandika;

Mama na mwana mama na baba nimeipenda kma ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dakika 2 tu anarudi kuwa normal sichoki kufanya naye kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni Yusuph Mlela au Mlelandro

AZAM FC Waleta Heshima Kwa Tanzania, Wawatuliza Wakenya Kwa Bao Mbili..Wachukua kombe la Kagame

Posted: 02 Aug 2015 12:40 PM PDT

Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na kati Kagame Cup 2015 imemalizika August 2 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kwa kupigwa michezo miwili wa mshindi wa tatu na mchezo wa fainali.

Mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu ulipigwa kuanzia saa 7:30 mchana kwa kuzikutanisha timu za KCCA ya Uganda dhidi ya Al Khartoum ya Sudan, mchezo ambao umemalizika kwa KCCA kushinda kwa jumla ya goli 2-1.

Baada ya hapo ulipigwa mchezo wa fainali uliozikutanisha timu za Azam FC kutokea Tanzania na Gor Mahia kutokea Kenya huo ni mchezo wa sita kwa Azam FC kucheza bila kufungwa katika michuano ya Kagame.

Azam FC imeifunga Gor Mahia ya Kenya goli 2-0 huku magoli ya Azam FC yakifungwa na nahodha wa timu hiyo John Bocco dakika ya 16 kipindi cha kwanza huku goli la pili likifungwa na Kipre Tchetche dakika 65, kwa matokeo hayo Azam FC ni bingwa wa Kagame Cup 2015.

Je Wajua Kuwa Diamond Anapendwa Kenya Kuliko Tanzania ? Ona Jinsi Alivyopokelewa Nchini Kenyaaa

Posted: 01 Aug 2015 08:38 PM PDT

Nimekuwekea picha hapa jinsi Dimond alivyopokelewa kwa shangwe la nguvu huko Nairobi...

Wanachama CCM Zanzibar wakataa kumuunga mkono Lowassa

Posted: 01 Aug 2015 08:27 PM PDT


Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, wamesema hawapo tayari kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kwa kitendo cha kukihama chama hicho na kujiunga na Chadema.
 

Wametoa tamko hilo jana mbele ya waandishi wa habari katika ofisi kuu za CCM Kisiwandui.

Akitoa taarifa hiyo kwa niaba ya wanachama wezake, Katibu wa mkoa wa mjini CCM, Muhammed Nyawenga, alisema Lowassa asidhani kuwa wanachama wengi wa CCM walimuunga mkono wakati alipotangaza nia ya kugombea urais wa Muungano kupitia chama hicho, akadhani kuwa na sasa watakuwa pamoja naye.

Alisema wanachama wa CCM hususan kutoka Zanzibar wanachoangalia kwanza ni chama na mtu baadae hivyo kama kaamua kujiunga Chadema hawako pamoja naye.

“Tunamwambia Lowassa kama mvuvi wa pweza basi tutakutana mwambani,”alisema kupitia tamko hilo.

Walisema wanashangazwa na baadhi ya vyama vya upinzani hasa vile vinavyouunda Ukawa namna wanavyoendelea kuendesha siasa za ubabaishaji na ulaghai kwa Watanzania.

Alisema ni jambo la aibu na la kufedhehesha kuona kwamba hata baada kufikisha umri wa miaka 23 tangu kuanzishwa rasmi kwa vyama vya upinzani bado vyama hivyo vimeshindwa kuandaa wagombea wenye uwezo wa kuwaongoza Watanzania na kuishia kudaka mapumba yanayotoka CCM.

Alisema uamuzi wa Lowassa kutoka CCM sio jambo la kukishtua chama, wanachama wala viongozi wa chama hicho na kamwe CCM haiwezi kudhoofika wala kupasuka kwani sio mara ya kwanza kwa CCM kuondokewa na kiongozi muandamizi na kujiunga na upinzani.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa mjini Magharibi ambae alikuwa kinara katika kumuunga mkono Lowassa wakati akiomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais kupitia CCM, Borafya Silima Juma, alisema kiongozi huyo anapenda madaraka na ukubwa na ndio maana baada ya jina lake kutopita ameamua kujiunga na Chadema.

Wagombea Ubunge Tarime Wakamatwa Kwa Kutengeneza Kura FEKI

Posted: 01 Aug 2015 08:17 PM PDT

Uchaguzi wa kura za maoni kupitia CCM katika jimbo la Tarime Mjini na Vijijini umeahirishwa hadi kesho baada ya kukamatwa makaratasi maalum ya kupigia kura (kura feki ) zaidi ya elfu 20 zikiwa na majina ya wagombea, Nyambare Nyangwine na Gaudencia Kabaka yakiwa tayari yameshawekewa alama ya NDIO kuonesha kura zimekubaliwa

Lowassa arudisha fomu za kuwania urais Chadema

Posted: 02 Aug 2015 12:41 PM PDT

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa  Abdallah Safari (kushoto)  akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Zamani,  Edward Lowassa.

Udaku Specially

unread,
Aug 3, 2015, 4:39:34 PM8/3/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Diamond anyakua tuzo mbili za NAFCA 2015 nchini Nigeria

Posted: 03 Aug 2015 09:48 AM PDT

Staa wa Bongo fleva nchini anayetamba kwa sasa na wimbo wa ‘Nana’ huku akiitambulisha Tanzania Kimataifa zaidi katika tasnia muziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wikiendi hii staa huyo wa ‘Nana’ ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za Nollywood and African People’ Choice Awards
Diamondss (1)Vipengele alivyoshinda Diamond kwenye NAFCA ni Msanii bora wa mwaka na Wimbo bora wa mwaka.

Tuzo hiyo ni mafanakio zaidi kwa Diamond na tasnia nzima ya muziki nchini ikiwa ni siku chache tangu staa huyo anyakue tuzo za MTV MAMA 2015 katika kipengele cha Mtumbuizaji bora.

CHADEMA Wadai wamempa Likizo DR Slaa kwa muda..Ni Kweli ? Wapi Alipo ?

Posted: 03 Aug 2015 09:50 AM PDT

CHADEMA wampa likizo dk Slaa kwa muda....Mbowe aweka wazi kwamba wamekubaliana nae awe likizo nafasi yake katika chama iko pale pale... Kuna mwenye swali mpaka hapo.

Kunani?

Maneno ya Mbowe Haya:

Mbowe-Tumekubaliana na Katibu Mkuu apumzike kwa muda, kwamba sis tuendelee na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari.

Mbowe-Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.

Mbowe-Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.

Mbowe-Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.

Mbowe-Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.

Mbowe-Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko

Mbowe-Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho

Mbowe- Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi

Mbowe-Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua

Mbowe-Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.

Mbowe-CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.

Mbowe: Tumuombee Dr. Slaa kwa Mungu ampe moyo wa ujasiri!

Posted: 03 Aug 2015 09:42 AM PDT

Mwenyekiti wa CHADEMA amewataka wanachama kumuombea kwa Mungu Dr. Slaa ampe moyo wa ujasiri katika kipindi hiki kigumu ambacho chama kinafanya mkutano wa kumpitisha mgombea wake wa urais!

Mbowe amesema Dr.Slaa hatashiriki katika mkutano huo kwa kuwa atakuwa kwenye mapumziko!

Hata hivyo Dr. Slaa bado ndiye Katibu Mkuu wa CHADEMA na ataendelea na kazi zake baada ya likizo yake!

Source:EA Radio

Whattttttt........Martin Kadinda Kuoa Soon....Huamini? Soma Hapa....

Posted: 03 Aug 2015 09:23 AM PDT

Mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda, amesema kuwa baada ya kuishi bachela kwa miaka mingi amepanga kuoa ‘ soon’ mwanamke ambaye ni mpenzi wake wa siku nyingi ili kumaliza maneno ya watu kuwa hajiwezi.

Akizungumza na Amani, Kadinda alisema kuwa mwanamke anayemuoa si aliyezaa naye mtoto bali ni mwanamke aliyekuwa naye kwenye uhusiano kwa muda mrefu na tayari anatambua tabia zake hivyo hana shaka juu ya kuishi kwao pamoja.

Wazazi wako tayari juu ya hilo nadhani na sitaki kumweka hadharani sasa hivi maana watu hawakawii kuharibu kwa maneno yao machafu, lakini wale ambao walidhani sitaweza kufanya hivyo watambue kuwa mwakani naoa,” alisema Kadinda.

Zari Awapiga ‘Stop’ Ndugu wa Mwanamuziki Diamond Platnumz

Posted: 03 Aug 2015 03:44 AM PDT

Imelda Mtema
Stop! Wakati akisubiriwa kujifungua muda wowote, mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anadaiwa kuwazuia baadhi ya ndugu wa jamaa huyo kuingia kwenye chumba maalum kilichoandaliwa ili kuepuka kisiingie vumbi na kiwe safi wakati wote.

Chanzo chetu ambacho ni mmoja wa ‘memba’ wa familia hiyo kilipenyeza kuwa, kwa sasa nyumbani kwa mwanamuziki huyo maeneo ya Madale-Tegeta, Dar, wana bashasha wakimsubiria mtoto huku chumba hicho kikiwekewa uangalizi mkubwa.
“Yaani Zari hataki mchezo kabisa na haruhusu mtu kuingia chumbani humo hovyo kwa sababu ya kuepuka vumbi kwa mtoto kwa maana chumba hicho hakihitaji msongamano wa watu wengi,” kilisema chanzo hicho.

Mpashaji huyo aliweka wazi kuwa, Zari alitia ngumu na kusema ni sheria aliyoiweka mwanamama huyo na haitakiwi kukiukwa na mtu yeyote kwa kuwa wanafahamu fika kuwa chumba cha mtoto hakihitaji msongamano wa watu hivyo ndugu hao imebidi wawe wapole.
Kilidai kwamba, kwa sasa kila mtu anayefika nyumbani hapo anahojiwa na kwamba kama siyo ndugu wa ndani zaidi kwenye familia haruhusiwi hata kuingia getini.Akizungumza na Ijumaa Wikienda kuhusu maandalizi hayo, Diamond alisema kila kitu kipo sawa na kwamba, anamuomba Mungu mambo yaende kama alivyopanga.

Kampeni ya Tusker Fanya Kweli Kiwanjani Sasa Kutimua Vumbi Mikoani....

Posted: 03 Aug 2015 03:42 AM PDT

Kampeni maarufu ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inatarajia kutimua vumbi wiki hii kwa wakazi wa jiji la Dar huku ikitanua wigo wake mikoani baada ya kufanya vizuri kwenye kipindi chake cha kwanza.

Kampeni hii inayoletwa kwenu na Kampuni ya bia ya Serengeti imejipanga kusaidia baa mbalimbali za mitaa tunayoishi na kuzipigia promo ya huduma zake kwa wapenzi mbalimbali wa kinywaji cha Tusker.

Akizungumza kuhusiana na mchakato mzima  wa Kampeni hiyo Meneja chapa bia ya Tusker Bi. Sialouise Shayo alisema SBL kupitia chapa yake ya Tusker imejipanga kutembelea baa zaidi ya 1000 kwenye miji yote mikuu nchini ikiwemo Dar es salaam, Arusha, Morogoro, Moshi, Mbeya na Mwanza.

“Uamuzi wa kuongeza muda wa promosheni hii ya Fanyakweli Kiwanjani ni kutokana na maombi mbalimbali hasa toka baa za mikoani kufanyiwa promo/shindano kama hili kwenye baa zao”…alisema Sialouise.



Akifafanua zaidi kuhusu ratiba ya promosheni hiyo kwa wakazi wa Dar na mikoani, Sialouise alisema taarifa rasmi ya maandalizi ya promosheni hii itatangazwa kwenye vyombo vya habari vya mikoa husika ili kuwajulisha wapenzi wote wa kinywaji cha Tusker kuhusiana na nini kinaendelea.

Aliongeza kuwa utaratibu wa kuchagua na kuorodhesha baa mbalimbali ili zipite kwenye kampeni hii haujabadilika ambapo wapenzi wa Kinywaji cha Tusker wanatakiwa kuzipigia kura baa wazipendazo ambapo anachotakiwa mtu kufanya ni kutembelea baa ya mtaani kwake na kunywa bia ya Tusker, kupiga picha na kisha kuweka picha hizo kwenye kurasa za mitandao ya kijamii (Facebook na Twitter) za Tusker au kusikiliza redio E-fm kwa wakazi wa Dar es salaam na wa mikoani wasikilize redio zifuatazo kwa maelezo zaidi. Redio 5 (Arusha), Kili fm (Kilimanjaro), Metro fm (Mwanza), Planet fm (Morogoro) na Bomba fm (Mbeya).
***MWISHO***

Msikilize Nuhu Mziwanda Akimtongoza Wema Sepetu..Nimekuwekea Audio Hapa....Usipitwe na Hili...

Posted: 03 Aug 2015 03:46 AM PDT

YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie

Nuh kajipambanua ileile. Kaimbisha mistari yote ya kimahaba, utafikiri alikaririshwa. Alijitahidi kushusha vesi tamu ili  kumuingiza Wema kwenye himaya yake. Huwezi amini jamaa alizidisha mbwembwe kiasi cha kumwambia amkubalie kwani hamtaki Shilole tena.

WEMA AMTOSA
“Wema amesikika akikataa, akamwambia hawezi kuwa naye kwani ni shemeji yake na anamheshimu Shishi,” kilisema chanzo hicho.

SHILOLE AMFUATA NUH
Chanzo hicho kilieleza kuwa, baada ya kuusikiliza ujumbe huo, Shilole alimfuata Nuh kwa ajili ya kumsikilizisha lakini Nuh alijibu ‘mbovu’ ndipo Shilole alipomuomba ufunguo wa gari waliyokwenda nayo, akarudi alipokuwa amekaa awali.

APOTEZA ‘NETIWEKI’
“Aliporudi alipokuwa amekaa, Shilole alijikuta akiishiwa nguvu na kuzimia ambapo Aunt Ezekiel na kina JB (Jacob Stephen) walipofanya kazi ya ziada kumpepea, huku wengine wakihangaika kummwagia maji kunusuru afya yake.
“Walifanikiwa kumpandisha kwenye gari lake. Joto lilikuwa kubwa kufuatia hali hiyo maana kila mtu alishindwa kuelewa kilichotokea, hivyo Shilole, baada ya kuzinduka aliulizwa kilichomfanya azime ambapo aliwasikilizisha sauti hiyo kila mmoja akabaki ameduwaa,” kilieleza chanzo.

AUNT AOKOA JAHAZI
Ilielezwa kuwa, mwigizaji Aunt Ezekiel ndiye aliyeokoa jahazi kwa kulazimika kuendesha gari la Shilole na kumpeleka nyumbani huku Nuh akipandishwa kwenye gari la JB kumpeleka kwa ndugu zake.
MSIKIE SHILOLE
Paparazi wetu, baada ya kupenyezewa ubuyu huo, alimtafuta Shilole ili kupata habari kamili ambapo alikiri kupokea ujumbe huo wa sauti huku akiainisha kuwa umemkera kwani kuna maneno yanasikika akimponda yeye.
“Inaniuma sana, Nuh kuendelea kunidhalilisha kiasi hicho wakati ni mwanaume ambaye ninamheshimu, tunakoelekea uzalendo utanishinda.
“Nilipousikiliza ujumbe ule kwa mara ya kwanza sikuamini nilichokisikia. Pamoja na Wema kuonesha wazi msimamo wa kumkataa Nuh ila mimi naona kama fedheha kubwa kwangu kwani ninamheshimu sana.
“Watu wananiona mimi mkorofi lakini kama ningekuwa napenda kuweka kila jambo wazi, hakuna mtu angeendelea kunifikiria vibaya.“Siwezi tena kuendelea kuumiza moyo wangu kila kukicha,” alisema Shilole ambaye anatumikia kifungo cha Basata kwa kutojishughulisha na sanaa kwa takriban mwaka mmoja kwa kosa la kucheza nusu utupu jukwaani.

Nimekuwekea hii Audio Hapa:


DJ Fetty Awachana BASATA Kuhusu Kumfungia Shilole...Akumbushia Mixtape za Matusi za ANTI VIRUS

Posted: 03 Aug 2015 03:32 AM PDT

@Thebestfetty;
"Zilitoka mixtape za matusi za ANTI VIRUS vol 1 na 2, BASATA ilikaa kimya na ilitoa kibali cha uzinduzi wa anti virus volume 2, Viwanja vya posta, licha ya kuwepo kwa malaamiko. SWALI ni, kifungu kilichotumika kumhukumu ni kuwa UCHI au ni UVUNJAJI WA MAADILI????".

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya August 3

Posted: 02 Aug 2015 10:23 PM PDT





















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  August   3

Huwezi Amini Watanzania Tuna Maamuzi Magumu Sana...Embu Jisomee Hapa Uone.....

Posted: 02 Aug 2015 10:21 PM PDT


1. Huna uhakika wa kula na elfu moja pekee uliyonayo unaamua kuinywa Kiroba - Ni maamuzi magumu.

2. Huna kitanda na unaamua kuoa - Hayo pia ni maamuzi magumu.

3. Huna uwezo wa kumlisha mkeo kazi yako ni kumjaza ujauzito - Ni maamuzi magumu.

4. Shule haina waalimu unampeleka mwanao - Pia ni maamuzi magumu....

5. Daladala imejaa mpaka mlangoni na unaamua kupanda - Ni maamuzi magumu.

6. Unalipwa laki mbili unamhonga binti laki moja - Hayo ni maamuzi magumu.

7. Kama utasoma hapa na kushindwa kuweka maamuzi magumu unayoyajua - Utakuwa unamaamuzi magumu mnoo...!

8. Mdada unaweka brazillian ya laki saba mshahara laki 2- Hayo ni maamuzi magumu

Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla.......Aden Rage Pia Kaanguka!!

Posted: 02 Aug 2015 10:15 PM PDT

Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.


Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.
 
 Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa anatetea kiti chake, hazikutosha mbele ya Hassan Masalla, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero aliyepata kura 6,444. Chikawe amepata kura 5,128.
 
Wakati Chikawe, mmoja wa wanasiasa mahiri na mwanasheria aliyepata kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora na pia Waziri wa Katiba na Sheria akikwama katika mchakato wa kurejea bungeni, naibu wake katika Wizara wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima naye ameanguka katika kura za maoni huko jimbo la Bumbwini, Unguja.

Mwanasiasa mwingine aliyekwama katika kura za maoni ni Mahadhi Juma Mahadhi ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
 
Mahadhi ameanguka katika kura za maoni katika Jimbo la Paje, Unguja huku mshindi akiibuka kuwa Jaffar Sanya Jussa.
 
Mambo yamekuwa mabaya pia kwa Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima ambaye ameripotiwa kuanguka katika kura za maoni katija Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani.

Hali kama hiyo imemkuta Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Makongoro Mahanga ambaye ndani ya saa 24 tangu ashindwe kura za maoni katika jimbo alilokuwa analitumikia la Segerea katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, jana alitangaza kuihama CCM na kujiunga na Chadema.

Katika Jimbo la Mvomero mkoani Morogoro, habari zinasema aliyewahi kuwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo, Suleiman Saddiq `Murad’ amefanikiwa kumwangusha mshindani wake wa siku nyingi, Amos Makalla ambaye alilitwaa jimbo hilo mwaka 2010 na baadaye kuteuliwa kuwa Naibu Waziri, akianzia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kabla ya kuhamishiwa Wizara ya Maji ambako yupo mpaka sasa.

Ingawa Katibu wa CCM wa wilaya ya Mvomero, Amos Shimba hakuthibitisha hilo, akisema kwa kiasi kikubwa matokeo yamepatikana, isipokuwa katika baadhi ya maeneo, hivyo matokeo rasmi yatatangazwa leo, tayari kambi za Murad na Makalla zilithibitisha matokeo ya kura za maoni katika jimbo hilo, kwamba hali ya Makalla haikuwa nzuri katika kura hizo.
 
Mshtuko mwingine wa kisiasa umesikika katika Jimbo la Uzini ambako mwanasiasa nguli aliyepata kuwa waziri katika wizara mbalimbali za Serikali ya Muungano, Muhammed Seif Khatib ameshindwa katika kura za maoni.
 
Khatib ambaye kwa sasa ni Katibu wa Oganaizesheni ya CCM, amepata kura 1,333 dhidi ya mpinzani wake, Salum Mwinyi Rehani aliyepata kura 1,521.

Khatib amekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa miaka 20 na katika kipindi hicho alikuwa waziri wa wizara mbalimbali zikiwemo Habari na ile ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 
Rage `out’, Adadi, Nape safi
Ukiachilia mbali mawaziri hao, baadhi ya wabunge wamekuwa na wakati mgumu majimboni kwao, akiwemo Ismail Aden Rage wa Tabora Mjini. Aidha, Zainabu Kawawa, binti wa Waziri Mkuu wa zamani, Rashid Mfaume Kawawa hakufua dafu mbele ya Mbunge wa Jimbo la Liwale, Faith Mitambo.

Awali, Zainabu alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu kwa tiketi ya CCM.
 
Mbunge mwingine aliyeshindwa katika kura za maoni ni Mtutura Abdalla wa Tunduru Kusini, kama ilivyokuwa kwa wabunge watatu wa mkoa wa Tanga, Herbert Mntanga wa Jimbo la Muheza aliyeangushwa na Balozi wa zamani wa Tanzania nchini Zimbabwe, Adadi Rajab ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI).

Saleh Pamba, Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya Maliasili ambaye anamalizia ubunge wake katika Jimbo la Pangani, amethibitika kukwama mbele ya Jumaa Awesso, kwa mujibu wa Katibu wa CCM mkoa wa Tanga, Shija Othman.

Mbunge wa Korogwe Mjini, Yussuf Nasri naye kura zake hazikutosha, baada ya wanachama wa CCM kumpa kura nyingi Mary Chatanda kuwa ndiye chaguo lao katika kura za maoni ya ubunge.
 
Naye Gregory Teu, Mbunge wa Mpwapwa aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha, ameripotiwa kuanguka na mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, George Malima Lubeleje.

Katia Jimbo la Kilombero, Abdul Mteketa amegota mbele ya Abubakar Asenga, wakati katika Jimbo la Igalula mkoani Tabora, Naibu Waziri wa zamani wa Uchukuzi, Athuman Mfutakamba anaburuzana na Mussa Ntimizi, ambapo kufikia jana Ntimizi alikuwa na zaidi ya kura 75,000 dhidi ya 3,400 za Mfutakamba.

Kibamba ni Dk Mukangara
Kwa upande wa baadhi ya majimbo ya Dar es Salaam, walioshinda kwa upande wa CCM ni pamoja na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara aliyeshinda kura za maoni katika jimbo jipya la Kibamba lililogawanywa kutoka jimbo la Ubungo, huku Ramesh Patel aking’ara Jimbo la Ukonga alikowabwaga washindani kadhaa, akiwemo Meya wa Manispaa wa Ilala, Jerry Silaa.

Katika jimbo la Ubungo, kura zimempa nafasi Meya wa Jiji la Dar es Salaam, wakati Abbas Mtemvu ameshinda katika jimbo la Temeke analoliongoza tangu mwaka 2005.
 
Nape apeta Mtama
Nako katika Jimbo la Mtama lililoongozwa kwa miaka 15 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kabla ya mwaka huu kujitosa katika mbio za urais, kijiti kinaelekea kumwangukia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye aliyewabwaga washindani wake kadhaa, akiwemo Suleiman Mathew aliyekuwa Diwani wa Kata ya Vijibweni, Kigamboni

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira , Dk. Makongoro Mahanga Atangaza Kuihama CCM......Asema Atahamia CHADEMA

Posted: 02 Aug 2015 10:13 PM PDT

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake,Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ametangaza kuihama CCM na  kuhamia  CHADEMA kutokana na kutokuwepo Demokrasia ya Kweli ndani ya CCM.

Dr. Mahanga ambaye ni Mbunge anayemaliza muda wake  kwenye Jimbo la Segerea  kwa  tiketi  ya  CCM  ametangaZA azma hiyo leo mchana baada ya  rufaa yake ya kupinga ushindi wa aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kipawa mama Kivela kutupiliwa mbali na Ofisi ya CCM mkoa wa Ilala.

Duru za Kisiasa zinasema kilichomponza Dr. Mahanga ni kitendo chake cha yeye kuhusika katika mpango wa kumnadi Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kwenye nafasi ya Urais wa CCM, ambaye kwa  sasa ametangaza kugombea urais kupitia Chadema.

Wasomi waelezea tetesi za Dk. Slaa kujiuzulu siasa......Yadaiwa ni Shinikizo la mkewe

Posted: 02 Aug 2015 10:05 PM PDT

Wakati uvumi wa kujiuzulu cheo na kujivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Dk. Wilbroad Slaa, ukiwa umetawala kupitia mitandao ya kijamii na magazeti, taarifa zinadai kuwa sababu ya kuchukua hatua hiyo ni shinikizo kutoka kwa mkewe.

Taarifa zilizochapishwa na gazeti moja likimnukuu Dk. Slaa mwenyewe, zilisema ameachana na siasa na kujivua wadhifa wake na atabaki kufanya shughuli zingine.

Dk. Slaa  amedaiwa hakubaliani na namna chama chake kilivyompokea Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa.

Lowassa aliyekuwa Mbunge wa Monduli alitangaza kuhamia Chadema, Julai 28, mwaka huu  baada ya kutoridhishwa na mchakato wa CCM wa kumpata mgombea wa urais.

Habari za uhakika kutoka vyanzo vyetu vya habari ndani ya Chadema zinadai, Dk. Slaa alishiriki katika mchakato mzima wa kumpokea na kuridhia Lowassa, kusimamishwa kuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Hata hivyo, chanzo kingine cha habari kinadai kuwa mke wa Dk. Slaa, Josephine Mashumbusi, alitoa shinikizo kwa mumewe la kujiuzulu baada ya kuruhusu kusimamishwa mgombea mwingine (Lowassa).

"Josephine alikuwa na uhakika mume wake ndiye atakayesimama ugombea urais kwa upande wa Ukawa, hali ilivyobadilika, akakasirika na kumwambia mumewe ama yeye au Chadema," chanzo kilidokeza.

Kupitia ujumbe uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii, unaoonyesha kutoka kwa Mashumbusi, aliandika "Ni kweli Frida na kwa hili Dk. Slaa amejivua wadhifa wake wa ukatibu mkuu na kuachana na siasa. Hamtamsikia tena kwani hawezi kupinga anachokiamini".

Hata hivyo, Dk. Slaa alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi kuthibitisha madai hayo, iliita mara moja na kuzimwa. Juhudi za kumpata ziligonga mwamba baada ya simu yake kutopatikana hali kadhalika simu ya Mashumbusi.

Wakizungumza na mtandao huu, baadhi ya wasomi walisema kama Dk. Slaa amejiuzulu nafasi yake  na kujivua unachama atakuwa amejijengea heshima na uaminifu na kwamba Chadema kitapata pigo.

Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana, alisema  kwa upande wake aliamini kitu kama hicho kitatokea kutokana na tukio hilo kuwa la haraka na kulifananisha sawa na mapinduzi ya ghafla ndani ya chama.

“Nafikiri kama kweli Dk. Slaa amejivua uanachama itakuwa ni jambo zito na pigo kwa Chadema, lakini ni uamuzi wa busara na kumjengea heshima kwa jamii,” alisema Dk. Bana.

Alisema kitendo cha Lowassa kuhamia chama hicho kwa haraka kilileta mashaka na mijadala kwa baadhi ya viongozi.

“Ninavyojua mimi ndani ya Chadema kuna watu wenye misimamo na wapo tayari kuilinda kwa nguvu zote, kujitoa kwake sawa na kutaka kusimamia kile anachokiamini na kukaa kwake kimya katika jambo hili lazima kutakuwa na mshindo mkuu,” alisisitiza.

Mhadhiri huyo alisema anaamini Slaa aliweza kukifufua chama hicho mwaka 2010 kwa kuweka misingi yake ya kukemea ufisadi, hivyo hawezi kurudi nyuma kwa kuivunja.

Dk. Kitlya Mkumbo kwa upande wake alisema anaheshimu maamuzi ya pande zote mbili kwani zinaonyesha demokrasia na ukomavu wa kisisa.

Alisema Dk. Slaa amechukua uamuzi sahihi wa kujiuzulu kwa sababu ni haki yake kikatiba na Chadema wamechukua hatua ya kumkaribisha Lowassa walikuwa na njia njema kukuza upinzani na kuiondoa CCM madarakani.

Kauli  za  Slaa  Dhidi  ya  Lowassa
Septemba 15 mwaka 2007 katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam, Dk. Slaa alimtaja Lowassa kuwa miongoni mwa mafisadi 11 waliochota fedha Benki kuu katika akaunti ya Epa.

Kauli hiyo alikuwa akiitamka kila mahali alipokwenda na  kusisitiza kwamba Lowassa na viongozi wenzake wa CCM wamechafuka kwa ufisadi.

Akiwa katika kampeni ya urais mwaka 2010, Wilayani Monduli Dk. Slaa alimshambulia Lowassa, kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya kifisadi vilivyotokea jimboni na serikalini.

Akizungumza katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Bomani, alisema binafsi hana ugomvi  na Lowassa kwani ni mmoja  wa viongozi aliofanya nao kazi kwa karibu na ni rafiki yake, lakini wanatofautiana katika masuala ya msingi yanayohusu maslahi ya Taifa.

Kampuni ya Bia ya Serengeti Kudhamini Uzinduzi wa Video Mpya ya Msanii Linah Sanga

Posted: 02 Aug 2015 09:56 PM PDT

1.    Meneja wa Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga maarufu kwa jina la “Linah”, Doreen Noni toka Kampuni ya Panamusiq inayosimamia kazi za msanii huyo (wa kwanza kulia) akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kuhusu udhamini wa video ya msanii wake walioupata toka Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Jebel na kufafanua zaidi juu ya uzinduzi wa video hiyo mpya itakayotambulika kwa jina la “No Stress” anayotarajia kuzindua hivi karibuni. Wa pili kulia ni msanii Linah na wa tatu ni Meneja chapa wa pombe kali SBL, Shomari Shija  na kushoto ni Meneja uvumbuzi SBL , Attu Mynah. Hafla hiyo imefanyika makao makuu ya kampuni hiyo Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

2.    Msanii maarufu wa Muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga maarufu kama “Linah” (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Video yake mpya ijulikanayo kama” No Stress” inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni chini ya udhamini wa Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Jebel Coconut, katikati ni Meneja chapa pombe kali toka SBL, Shomari Shija na Meneja uvumbuzi SBL, Attu Mynah. Tukio hilo limefanyika makao makuu ya kampuni hiyo Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

3.     Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga maarufu kama “Linah” (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani juu ya ujio wa video yake mpya itakayokwenda kwa jina la “No Strees” ambayo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni kwa udhamini wa Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Jebel Coconut ambapo yeye ni balozi wa Kinywaji hicho. (Wa pili) ni Meneja chapa wa pombe kali SBL, Shomari Shija, Mkutano huo ulifanyika makao makuu ya Kampuni hiyo, Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
4.    Meneja chapa wa pombe kali SBL, Shomari Shija (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya udhamini wa uzinduzi wa video mpya ya msanii Estelina Sanga “Linah” itakayokwenda kwa jina la “No Stress” kupitia kinywaji chake cha Jebel Coconut. Kushoto ni Meneja uvumbuzi SBL, Attu Mynah, na kulia ni msanii Linah. Tukio hilo lilifanyika makao makuu ya SBL Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

5. Meneja chapa pombe kali toka SBL, Shomari Shija (kushoto) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani juu ya udhamini wa uzinduzi wa video mpya ya msanii maarufu Estelina Sanga a.k.a” Linah”(katikati) wimbo ukijulikana kama “No Stress”. Wimbo huo umedhaminiwa na Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Jebel Coconut ambapo msanii huyo ni balozi. (wa kwanza kulia) ni Doreen Noni Meneja wa msanii huyo toka Kampuni ya Panamusiq inayosimamia kazi za Linah. Tukio hilo lilifanyika makao makuu ya SBL Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

6.    Meneja uvumbuzi SBL, Attu Mynah, (kushoto) akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu udhamini wa video mpya ya msanii “Linah” kupitia chapa ya Jebel coconut toka SBL chapa ambayo msanii huyo ni balozi. Video hiyo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni na itakwenda kwa jina la “No Stress” (Wa pili) ni msanii Linah na wa kwanza kulia ni Meneja wa msanii huyo Doreen Noni toka kampuni ya Panamusiq inayosimamia kazi za msanii huyo. (Wa pili) kushoto ni Meneja chapa pombe kali toka SBL, Shomari Shija.

7.    Meneja chapa pombe kali toka SBL, Shomari Shija (kushoto) akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya udhamini wa uzinduzi wa video mpya ya msanii maarufu Estelina Sanga a.k.a Linah” (katikati) itakayojulikana kwa jina la “No Stress”. Udhamnini wa msanii huyo unafuatia ahadi ya Kampuni ya bia ya Serengeti kusapoti kazi zake baada ya msanii huyo kupata mkataba wa ubalozi wa kinywaji cha Jebel Coconut toka SBL. (Kushoto) ni Meneja wa msanii huyo Doreen Noni toka Kampuni ya Panamusiq inayosimamia kazi za msanii huyo. Tukio hilo lilifanyika makao makuu ya SBL Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake cha Jebel Coconut imetangaza rasmi siku ya leo dhamira yake ya kudhamini uzinduzi wa video mpya ya msanii Estelinah Sanga maarufu kwa jina la kisanii “Linah” itakayo kwenda kwa jina la “No Stress”.
Video ya wimbo huo imefanyika nchini Kenya na Afrika ya kusini ambapo kwa kushirikiana na menejimenti ya msanii huyo, SBL imeweza kudhamini utengenezaji wa video hiyo ambayo hadi sasa imeshakamilika huku Kampuni hiyo ikisubiria kuizindua rasmi kwa wananchi.
Hatua ya SBL kudhamini video ya wimbo huo ni njia mojawapo ya Kampuni hiyo kutambua sanaa ya muziki hapa nchini ambapo pia hapo awali Kampuni hiyo iliahidi kumsapoti msanii huyo mara baada ya kupata mkataba wa mwaka mmoja wa kuwa balozi wa kinywaji cha Kampuni hiyo cha Jebel coconut.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utoaji wa taarifa hiyo kwa umma, Meneja Uvumbuzi wa kampuni hiyo Attu Mynah alisema “Kampuni ya bia ya Serengeti inatambua umuhimu wa Sanaa ya muziki hapa nchini na siku zote inalenga kumuwezesha msanii aweze kufikia malengo ya ndoto zake. Tumeamua kudhamini utengenezaji na uzinduzi wa video ya wimbo wa msanii Linah kwa kuwa tunatambua uwezo wake na tungependa afike mbali zaidi kimuziki”.
, alisema “Tunafuraha kwa kuwa Kinywaji chetu cha Jebel coconut kinaendelea kujizolea mashabiki wengi kupitia ubalozi wake ambapo ameendelea kuitangaza chapa hii sehemu mbalimbali za Tanzania. Kama SBL tunajivunia kudhamini baadhi ya kazi zake na ni matumaini yetu kuwa kupitia udhamini huu ataendelea kufanya vizuri zaidi katika ngazi za kimataifa”.

Jebel coconut ni aina ya pombe kali yenye ujazo wa 250ml inayotengenezwa nchini Tanzania na Kampuni ya bia ya Serengeti ambayo imebuniwa na kutengenezwa kwa ladha ya nazi ambazo zinapatikana kwa wingi hapa nchini. Jebel pia ni kati ya pombe kali zaidi ya 10 za kimataifa zinazosambazwa na kampuni ya bia ya Serengeti huku walengwa wa kinywaji hiki wakiwa ni watu wazima na wenye umri wa kati.
**MWISHO**

Udaku Specially

unread,
Aug 4, 2015, 4:10:13 PM8/4/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


To all MEN, this is how you spot a Chips Funga in the Club.

Posted: 04 Aug 2015 11:57 AM PDT

They come, in different shapes and sizes. They pamper you with love (or is it lust) in a club and the next moment she is snoring beside you in your apartment.

If you are lucky, the ‘chips funga’ disappears before cock crow and if your stars are not right, she hangs around for the better part of the day. And when you are completely unlucky, you wake up to an empty house, drugged and robbed. Then you sit on the floor wondering how all this started.

And because it’s my responsibility to be my brothers’ keeper, I chose to enlighten you on how to spot a ‘chips funga’ and run, as fast as your legs can carry you. Unless waking up to a total stranger or getting robbed sits well with you.

1. Offers to buy you drinks – Nothing is for free in this world my friend. I also think that no man worth his salt should accept a free drink from a lady he has met for the first time 15 minutes ago.


Not that ‘chips fungas’ have lots of money to go buying people drinks. They are luring you with it, their eyes on the price. They know everybody likes free stuffs.
Gents, when a stranger woman offers you a drink, laugh it off and offer her one yourself.

2. Talks about herself – If you strike a conversation with a stranger and she starts to talk about her six digits pay slip job or business, how she hangs out with who is who, how she lives in a leafy suburb, buddy be warned.

We all know it is the nature of women to talk (much) but there is a difference between talking and bragging. She is trying to win your confidence and do away with any doubts you could be having on her.

3. Is all over you – No woman falls in true love that quickly, even the Kalenjins who are the marathon legends. Dude, if you give in to this kind of woman who is caressing you 10 minutes after meeting her, you are dead meat.

She is holding your hand as if her life depends on it. She only wants to use you for a night and steal your new flat screen TV. Want to be safe?

Who Is The Star Now? Here How ERIC OMONDI Landed in Tanzania And Left Tongues Wagging

Posted: 04 Aug 2015 11:49 AM PDT

Over the weekend, Eric Omondi flew to neighboring Tanzania for a show dubbed #EricOmondiLiveInDar. Here is how he landed in style;

“TANZANIA! Aliye na macho haambiwi Tizama! Let me introduce thisBeautiful, Gorgeous Kenyan women…They are Kenya’s finest dancers… The show began at the
Airport…TANZANIA! TANZANIA!”





Sauti ya Nuh Mziwanda akiongea na Wema Sepetu imetengenezwa? mwenyewe kazungumza..#UHeard (Audio)

Posted: 04 Aug 2015 11:44 AM PDT

Baada ya ile sauti ya Nuh Mziwanda akidaiwa kuzungumza na Wema Sepetu kuvuja sana kwenye mitandao ya kijamii,  leo Nuh amezungumza na kusema ni uvumi.

Nuh amezungumza na Soudy Brown na kusema iyo sauti ni watu wanatafuta wameamua kuitengenzea kwa masilahi yao wenyewe na si yeye kama inayodaiwa, amesema hakuna kitu kama hicho, na hataki kuongelea sana mambo hayo.

Amesema imemuharibia sana na hata simu yake kuvunjwa na Shilole pia, nguvu ya kufanya kazi kwake imepungua..na anaamini watu waliofanya hivyo ni anaokutana nao na kuchekea nao kila siku.

Msikilize mwenyewe akizungumza na Soudy Brown hapa…

Aunt Ezekiel Anaimani na Lowassa au Magufuli?, Jibu Liko Hapa

Posted: 04 Aug 2015 11:30 AM PDT

Tunafahamu kuwa kuna baadhi ya wasanii kwenye tasnia ya Bongo Movie wao walishatangaza hivi karibuni kuwa imani yao katika uchaguzi mwaka 2015 wanaamini CCM kitashinda kupitia mgombe wake Dk. John Pombe Magufuli.

Agosti 4, 2015 kupitia kwenye mtandao wa instagram mwigizaji Aunt Ezekiel ameamua kuyatoa ya moyoni na kumtaja mgombea wa urais  ambaye anaimani naye kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kuyaandika haya :

Tunaimani na Lowassa..Mungu bariki Tanzania, Mungu bariki Africa

Kinana Asema CCM Inashindana Na MAKAPI Yake

Posted: 04 Aug 2015 11:05 AM PDT

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amesema kwamba chama Chama Mapinduzi kinatarajia kupata ushindi mnono katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika mwezi oktoba mwaka 2015.

Akizungumza na Wanachama wa CCM leo katika ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es salaam mara baada ya mgombea wake wa Urais Dk.John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya kugombea urais tume ya Taifa ya Uchaguzi  amesema kwamba chama hicho kwa bahati nzuri mwaka huu kinashindana na makapi yake ambayo kamwe hayawezi kuishinda CCM.

“Nchi yetu inakwenda kwenye uchaguzi ikiwa na wagombea na makapi, sasa kati ya mgombea na makapi nani mshindi?” Amehoji  Kinana

Ameongeza kuwa kila mwanachama akitengwa na CCM mahala pake ni wapi? Huku mamia ya wananchi wakijibu ‘Chadema’ kwa sauti ya juu.

Naye Mwenyekiti wa CCM Dk. Jakaya Kikwete amesema kwamba  serikali ya CCM imefanya mambo mengi ya Maendeleo na mwaka huu wana waahidi watanzania ushindi wa kishindo.

Kwa upande wa Mgombea Urais wa CCM Dk. John Magufuli amesema kwamba ikiwa atachaguliwa kuwa rais  anakwenda kufanya wananchi walicho mtuma kwa kuwa shida za watanzania anazifahamu huku akirejea kauli yake Maendeleo hayana chama.

Hivi karibuni chama cha Mapinduzi kimepata mtikisiko mkubwa kufuatia  wanachama wake kuhama chama hicho na kutimkia Upinzani hususani Chama cha Chadema akiwemo Waziri mkuu wa Zamani Edward Lowassa, Makongoro Mahanga, James Lembeli  pamoja na Ester Bulaya

Urais 2015: Lowassa, Haji Duni Wapitishwa Rasmi Kupeperusha Bendera ya Ukawa

Posted: 04 Aug 2015 11:03 AM PDT

Mkutano Mkuu wa Chadema kwa pamoja umempitisha Mwanasiasa Edward Lowassa kama mgombea Urais na Juma Haji Duni kuwa mgombea Mwenza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 25 oktoba 2015.

Katika upigaji kura  Kanda zote zimepiga  kura ya NDIYO kwa Mh. Edward Lowassa  na hakuna kanda iliyosema HAPANA, huku wakishangilia kwa nguvu.

Kanda ya Kaskazini, Kanda ya kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kusini na nyingine zote pia zimepiga kura ya NDIYO kwa Juma Haji Duni kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi nkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Kufuatia matokeo hayo Mwanasiasa Edward Lowassa  atapambana na Mgombea kutoka chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli pamoja na wagombea wengine akiwemo Mchungaji Christopher  Mtikila wa chama cha DP aliyechukua fomu ya urais makao makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) jijini Dar es salaam wiki iliyopita.

Unamkumbuka Mwanamuziki Defao ? Aonekana Akiwa 'Mchovu' Kenya Huku Sura yake Ikiporomoka kwa Sababu ya Mkorogo

Posted: 04 Aug 2015 03:16 AM PDT

Defao Kulia
Staa mkongwe wa muziki kutoka DR Congo, Jenerali Defao baada ya kutosikika kwa muda mrefu ameonekana huko Kenya, akiwa na muonekano tofauti na alivyozoeleka kutokana na kupungua mwili kwa kiasi kikubwa, na weupe wa ngozi yake ukitia mashaka.

Defao ambaye hata hivyo haijajulikana rasmi ni shughuli gani imempeleka huko Kenya, kutokana na muonekano huo, hisia za wengi zimetafsiri kuyumba kisanaa na kiafya kwa msanii huyo aliyewahi kuwa gumzo kwa sanaa yake katika bara la Afrika na Ulaya.
Hata hivyo, kuyumba kwa msanii huyo pia kunahusisha na kupungua kwa mvuto wa aina ya muziki wa dansi kutoka DR Congo ambao ulifanya vizuri sana katika miaka ya nyuma.

Angalizo Kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

Posted: 04 Aug 2015 03:11 AM PDT

Kabla sijaanza kuelezea lolote napenda kumukumbusha Slaa ambaye ana taaluma ya upadri.
Katika kitabu cha matendo ya Mitume kuna ushahidi kwa Sauli alikuwa muuaji na tena alikuwa anauwa mitume lakini alipata badiliko la kweli na kujiunga na mitume wengine.

Wakati Sauli anafanya hivyo Mitume wengine walianza kumunyanyapaa na kumuogopa lakini katika bibilia , imethibitishwa kwamba hadi leo Paulo (aliyekuwa Sauli) ndiye aliyefanya kazi kuliko Mitume wote.

Bila shaka kuna watu ndani ya CHADEMA na hata nje ya CHADEMA wanataka kujenga hoja ya kumunyanyapa LOWASSA ati ni Fisadi , hata mimi niliingia mtego huu lakini napenda kuhojhi yafuatayo:

(1)Lowassa amehama CCM na kwa hatua hiyo ameingamiza nafsi yake kwa kiwango Kikubwa.

(2)Lowassa yupo tayari kutumia Pesa yake na mali yake kubomoa CCM

(3)LOWASSA ana hasira kali na CCM na miungu watu ndani ya CCM

(4)LOWASSA kama waziri Mkuu mstaafu ametake risk ya Kifo kiasi kwamba anataka kupiga CCM kwa Nyaraka zito za Siri ambazo Slaa hawezi kuzielezea

(5) Lowassa anajua mikakati ya Wizi wa Kura ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 40

(6) Ndani ya CCM hawakutarajia wala hawakuwahi kupanga kuwa mtu kama Lowassa ambaye ameshika nafasi nyeti kama waziri mkuu anaweza kuasi serikali kiasi hiki.Huu uasi unatisha na haujawahi kutokea, na hata pale ulipojaribu kutokea wahusika hawakubaki hai

(7)Kwa sasa CCM wanahaha sana juu ya Lowassa kuchukua form. Mikakati ya CCM iliielekeza Nguvu kumshambulia Slaa lakini Mungu amebadili Plan ghafla na kumuleta Lowassa ambaye hawajajipanga na ni Pigo kubwa

(8)Kwa sasa Uasi uliojitokeza CCM ni vigumu kujua nani yupo kwa nani.Angalia mtandao wa Lowasa ndani ya CCM unatisha na umetulia Kimia.Mtandao huu jumlisha nguvu ya Umma ni lazima CCM ibaki kama KANU

MAONI KWA SLAA.
(1)Wakati unagombea urais ulikuwa na Rozi Kamili ukamwacha na kumuoa Josephine,
Rozi Kamili alikubali ujio wa Josephine lakini leo Josephine huyo amekuwa kikwazo kwa maamuzi yako.

(2)Mambo ya Chama huwezi kumuhusisha Mwanamke, huo ni udhaifu mkubwa na kama kweli unamsikiliza mwanamke basi ujue hutapata nafsi ya kurudi kwenye jamii na wakakuamini na kukupa heshima kama walivyokupa.
Mke ni mshauri wake kwa mambo yote lakini kikao kama kamati kuu kinapopitisha maamuzi harafu mkeo anapinga maana yake mke huyo hafai kuwa First Lady na hata wewe hufai kuwa Kiongozi

(3)Slaa aliwahi kusema kuwa anapata Nyaraka kwa watu wa Tiss , sasa angalia Mkurungezi wa zamani Tiss Apson ameonekana kwa Lowassa, Kingunge ambaye hajawahi kukaa na Slaa amejitokeza kwa Lowassa , akina Emmanuel Nchimbi na Sophia Simba ambao ni watu wa ndani serikalini na wameshiriki kukuibia wewe Slaa kura wamejitokeza Nyuma ya Lowassa na wala hawawezi kujitokeza kwako. Je, wewe huna akili ya kuona haya?

(4) Lowassa hadi leo ana ulinzi wa Ikulu ambao hauwezi kuhujumiwa , wewe Slaa juzi tu mlinzi wako amenunuliwa.
Lowassa hawezi kupewa nyaraka feki toka ikulu kwa kuwa kuna akina Apson , je wewe una nani zaidi ya Mkeo ambaye umempora kutoka kwa watu wa CCM?

Nina hasira na wewe Slaa pamoja na mkeo toka haraka huko uje huku Mungu anakuita kwa mara ya mwisho umuunge Lowassa katika urais vinginevyo utapotea Kisiasa bado wiki moja tu utapoteza mwelekeo

MAONI KWA LOWASSA

(1)Umeitwa Mwizi kwa siku nyingi sana na hata mimi nimekuita hivyo , sasa huu ni wakati wa wewe kutuambia mwizi halisi ni nani na utoe Ushahidi

(2) Zipo taarifa kwamba CCM wanapanga kukata jina lako kwenye tume ya uchaguzi hivyo nakusihii usikate tama.Muombe Mungu .Hii ni safari ya ushindi na si matumaini tena

(3)Usiogope kushambulia Ikulu kwa kuwa Mussa alikaa Ikulu ya Farao na kulelewa hapo lakini Mungu alimpa kazi ya kumuangamiza Farao.
Hivyo Lowassa umepewa kazi ya Kuingamiza CCM hivyo fanya kweli ujue kwamba Slaa hajui haya.

(4)Kama Lowassa ni mwizi na dhaifu kisiasa kwanini CCM wanahangaika baada ya Lowassa kuchukua form??

(5)Kama Lowassa ni mgonjwa , Kwanini CCM wananahaha baada ya Lowassa kuchukua form? Je, wanamuogopa mgonjwa??

HOJA DHAIFU KWA CCM

(1)CCM walisema Lowassa ni Mwizi na anatakiwa kujivua Gamba sasa Lowassa ameondoka kwanini munahofu???

(2)Kama Lowassa ni mwizi Kama wanavyoamini CCM basi nawashauri CCM wasihangaike na jina la Lowassa kwenye tume ya Uchaguzi , waliache harafu wapime nguvu ya Lowassa na Mangufili!!
Kikwete alisema Chama si mtu sasa uje umnadi Magufuli wakati anapambana na Lowassa!!

(3)Nawaomba CCM waje na ushahidi kwenye majukwaa ya Siasa kuonesha kuwa Lowassa ni fisadi, wasikimbilie kwenye kamati ya maadili na NEC.Wakifanya hivyo basi wananchi watachambua pumba na mchele.

By King Cobra/JF

Dr. Magufuli Afutika Ghafla Kwenye Vyombo vya Habari......

Posted: 04 Aug 2015 03:00 AM PDT

Wadau mtakubaliana na mimi kwamba ni jambo kubwa na la ajabu sana kuona kwa hali ilivyokua mwanzoni mwa mwezi huu kule Dodoma media zote silihamia kule lakini hivi sasa ni UKAWA,CHADEMA,DR SLAA na LOWASSA basi.

Nauliza mbona kwa sasa Magufuli hasemwi kama alivyotoka Dodoma? Kwani na yeye si anafaa pia kua Rais jamani? Tusimsahau na yeye maana ana mazuri yake pia katika ujenzi wa Taifa hili.

Nape Anasema Lowassa Amejivua Nguo...Najiuliza Alitegemea Aendelee Kuvaa Nguo Chafu?

Posted: 04 Aug 2015 02:57 AM PDT

Nape anasema Lowassa amejivua nguo...najiuliza alitegemea aendelee kuvaa nguo chafu? vazi la kijani alionyeshi uchafu na ndiyo maana upendelewa na Mafisadi. Ilikuwa ni jambo muhimu kwa Lowassa kuueleza umma juu ya Richmond na sasa tumejua. CCM na menejiment yake inawajibika kutoa maelezo ni wapi fedha za umma zilipelekwa. Tunamshukuru Mh. Lowassa kwani aliwajibika kwa mujibu wa sheria kuinusuru serikali na sasa ni wazi kabisa ni mtu safi haswa anapoendelea kuchukua maamuzi magumu ya kujiunga vema upinzani kuyakataa makabaila ndani ya CCM.

By Philip Mlay

Uwezi Amini Kuwa Lowassa Sio Sababu ya Dk. Willibroad Slaa Kutoonekana Hadharani na Kwenye Vikao vya Chama..Sababu Hii Hapa

Posted: 04 Aug 2015 02:44 AM PDT

Wakati maelfu ya watu nchini wakiamini kutoonekana hadharani kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibroad Slaa kunatokana na kuchukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa , ukweli wa jambo hilo umeibuliwa.

Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya chama hicho amesema, madai yanayotolewa na watu mitaani na katika mitandao ya kijamii yakisema Dk. Slaa amekasirishwa na kitendo hicho ni ya uongo.

“Kwa taarifa yako, Dk. Slaa ndiye aliyemtaka Lowassa ajiunge Chadema. Mbowe (Freeman, Mwenyekiti wa Taifa Chadema) hakumtaka kabisa huyu jamaa aje kwetu. Kwa sababu hakuona jinsi gani wangewaeleza wananchi juu yake, lakini mzee ndiye aliyeshawishi na vikao vya kumjadili vikaanza mfululizo. Ukiangalia picha za awali, Dk. Slaa yupo.

Kinachotokea kwa Dk. Slaa ni shinikizo kutoka familia yake. Kuna watu walikuwa na matumaini makubwa ya kufaidika endapo yeye angegombea tena na kushinda urais mwaka huu, hivyo wameamua kununa kwa sababu kilichotokea hakina masilahi kwa familia." alisema mjumbe huyo wa kamati kuu

Utafanya Nini Ukimfumania Mpenzi Wako Katika Hali Kama Hii?

Posted: 04 Aug 2015 12:05 AM PDT

Kila Mtu anajua Kutendwa katika Mapenzi ni Jambo Linalouma Sana kupita maelezo yahitaji moyo wa ziada kuvumilia ..Je endapo ikakutokea ukamfumania mke ama mume akiwa katika hali hiyo hapo juu nini cha kwanza utafanya?

When your heart is broken it is the saddest thing in the world. All your energy leaves you and everything in your life seems to lose all meaning. You gave your heart and soul to this love, and now it is no more. How can your heart ever be whole again?

Ang'atwa na Nyoka Akizini na Mke wa Mtu Kichakani

Posted: 04 Aug 2015 12:02 AM PDT

Kijana mmoja shija kasamwa mwenye umri wa miaka 28,leo mchana amejikuta akipata masahibu ambayo iwapo atapona kamwe hatayasahau kabisa ktk maisha yake.

Kijana huyo mkazi wa mkoa wa Shinyanga ktk kijiji cha Chela ameng'atwa na nyoka mwenye sumu kali akiwa msituni akivunja amri ya sita na mke wa mtu.

Inasemekana ndio ilikuwa tabia yake kufanya uchafu huo na mwanamke huyo asiye mwaminifu ktk ndoa yake.

Sasa leo kama kawaida yao walijirusha msituni,wakiwa huko kabla hawajaanza kufanya mapenzi walisikia sauti za watu wakija upande waliokuwepo ndipo wakaamua kuingia kichakani kwa hofu ya kuonekana,ndani ya kile kichaka kikubwa kilichokuwa kimefungasha miti mingi kiasi kwamba haikuwa rahisi kuonekana kwao,ndipo wakaamua kufanya uchafu wao eneo hilo ndipo wakiwa bado wanaendelea na starehe ilihali yule kijana akiwa kashusha suruali yake na makalio yake kubaki wazi alishtuka ghafla kang'atwa na nyoka huyo anayesadikiwa kuwa ni aina ya cobra,kelele za maumivu zikakusanya wanakijiji na mke wa mtu akakimbia kwa hofu.

Nape Asema Wanaohama CCM ni sawa na Mafuta Machafu.......Amtakia Kila la Heri Edward Lowassa

Posted: 03 Aug 2015 11:55 PM PDT

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanachama waliokihama chama hicho wamejivua nguo mbele za watu na kwamba wapinzani wanaowachukua wanahangaika na mafuta machafu.

Aidha, amesema aliyekuwa Mbunge wa Segerea na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Mahanga, alikuwa anatafuta sababu za kuihama CCM na anamtakia kila la heri, yeye na rafiki yake, Edward Lowassa.

Nape aliyasema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba, Dar es Salaam, alipotakiwa kueleza kuhusu kuhama kwa Lowassa na Dk Mahanga ambao wote kwa nyakati tofauti wamekimbilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Lowassa alijitoa CCM wiki moja iliyopita baada ya kukwama uteuzi wa CCM wa kuwa mgombea wake wa urais na kukimbilia Chadema ambako anatarajiwa kuwa mgombea wake wa urais na kuungwa mkono na Umoja wa Vyama vinne vya Upinzani (Ukawa).

Dk Mahanga naye alijitoa juzi baada ya kukwama katika kura za maoni jimboni Segerea. “Wanahangaika na oil chafu. Hawa ni wale wale kama ilivyokuwa Mrema (Augustino) mwaka 1995, akabebwa kiasi cha Mwalimu Nyerere kusema mwacheni abebwa.

"Hebu jiulizeni wanaona ubaya wanapotoka, lakini mambo yakiwanyookea hawasemi, wakitoka ndio maneno mengi,” alisema Nape.
 
Alisema kuondoka kwa Lowassa na wengine wachache, si jambo la kwanza kutokea CCM, na pia si la ajabu wala haliwezi kuwa la mwisho huku akimtuhumu Dk Mahanga kuwa alikuwa akitafuta sababu ya kuondoka CCM.

Akizungumzia mchakato wake Mtama, Nape alisema kulifanyika juhudi kubwa za mafisadi kuhakikisha anashindwa, lakini anashukuru ameshinda na kwamba endapo atapitishwa na chama hicho kugombea ubunge, ana hakika atashinda kwani ni mwadilifu na anayezingatia ya chama hicho ikiwamo kupiga vita rushwa.

Mwenyekiti wa Wenyeviti CCM Taifa, Mgana Msindai Ahamia CHADEMA

Posted: 03 Aug 2015 11:53 PM PDT

Mhe Mgana Msinda  akiwasalimia  wajumbe  wa  Baraza  Kuu CHADEMA
****
Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai jana alijiunga na Chadema na kutambulishwa katika mkutano wa Baraza Kuu la Chadema.

Mgana, ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Iramba Mashariki (2000-2010) alitambulishwa pamoja na Mbunge wa Arumeru Magharibi (CCM), Goodluck Ole Medeye na ofisa mwandamizi wa chama hicho, Matson Chizii.

Makada hao wa CCM jana usiku waliambatana katika kikao hicho na aliyewahi kuwa waziri mkuu Edward Lowassa.
 
Habari zinasema kuna makada zaidi wa CCM watakaotambulishwa katika mkutano mkuu wa Chadema leo.

Bi Harusi Apandisha Mashetani Kanisani!

Posted: 03 Aug 2015 11:16 PM PDT

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Mshtuko! Bi harusi Agnes Omari (26) amezua kizaazaa baada ya kudaiwa kupandisha mashetani kanisani wakati akivishwa pete ya ndoa, hali iliyosababisha tendo la kufungishwa ndoa kusimama kwa muda kwa ajili ya kutafuta msaada wa maombi.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, bwana harusi, Arnold Martin alisema sakata hilo lilijiri hivi karibuni kwenye Kanisa Katoliki la Parokia ya Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Alisema kwamba, alipata taarifa usiku wa kuamkia siku ya ndoa kutoka kwa msimamizi wa bi harusi kuwa mchumba’ke amepandisha mashetani, tatizo ambalo hakuwa nalo katika kipindi chote walichoishi pamoja.
Kutokana na tatizo hilo, Arnold alisema alivunja utaratibu na kwenda kumuona mchumba’ke huyo na kumkuta akijigaragaza huku akipiga makelele na kuzungumza lugha za ajabu.

“Kulipokucha, hali yake ilionekana kuwa nzuri kiasi kwamba majira ya saa 3:00 asubuhi, aliondoka na msimamizi wake kwa ajili ya kubadilisha gauni la harusi maeneo ya Mbagala-Kizuiani baada ya lile la awali kuonekana kumbana huku na mimi nikijiandaa kwenda saluni,” alisema Arnold.
Baada ya kutoka na msimamizi wake huyo, haukupita muda mrefu akapigiwa simu kuwa hali hiyo imejirudia, akamfuata na kumbeba kwenye gari lake kisha kumkimbiza katika Parokia ya Mbagala-Zakhem kwa ajili ya msaada wa maombi na kutoa taarifa kwa paroko kuhusu hali  ya mchumba’ke huyo.

Bi harusi huyo aliombewa lakini wakati akimvisha pete ya ndoa kanisani hapo hali hiyo ilijirudia ndipo alipohamishiwa katika Kanisa la Nabii Yaspi lililopo Buza-Kipera jijini Dar ambapo wakiwa huko, walikutana na wachungaji ambao waliwaombea na hali ikatulia.

“Hali hiyo ilijirudia tena wakati tukipiga picha palepale kanisani akaanza tena kupandisha mashetani, akaombewa lakini hali ilizidi kuwa mbaya, wakaja watu wa Karismatiki nao ikashindikana ikabidi tufunge safari tena kuelekea kulekule kwa Nabii Yaspi ambako aliombewa, akapona.
“Wakati tukiingia ukumbini, hali hiyo ilijirudia tena ambapo sherehe nzima iliharibika na kuwa majonzi hivyo kila mtu akaondoka kimyakimya.

“Bi harusi aliondoka na ndugu zake usiku ule hadi kesho yake nilipoambiwa amerudia hali yake ya kawaida ila kinachonishangaza nilipoenda pale nyumbani kwao alikuwa akionesha kama vile hanifahamu kabisa pamoja na kwamba nilifunga naye ndoa,” alisema Arnold ambaye alidai kuwa anatarajia kurudi tena kwa Nabii Yaspi ili kumaliza tatizo hilo.

Diamond Platnumz named Highest Royalty Earner by Copyright Society of Kenya

Posted: 03 Aug 2015 11:09 PM PDT

Tanzania Superstar Diamond Platnumz has been named the Highest Royalty Earner by Music Copyright Society of Kenya popularly known as MSCK.

Here is part of the Press Statement from MCSK.


The MCSK has declared the delayed June 2015 SCIENTIFIC PPP distribution of kshs 30.3 million . The declaration relates to the revenue collected between April to June 2015 and has been apportioned using log sheets obtained from the new monitoring system ” VERICAST ” as adopted by MCSK .

Secular music has regained the top position which had previously been dominated by Gospel music with SAUTI SOL emerging as the highest earners and most popular group during the period April to June 2015 . Closely following SAUTI Sol was BAHATI who emerged as number two and reaffirmed the presence of Gospel music with WILLY PAUL at number 4 . At number three was vernacular singer LADY WANJA who is a sister to the LATE QUEEN JANE with another vernacular singer MUM CHEROP rounding up the top five highest earners and most popular artistes based on air play logs in Kenya for the period APRIL to JUNE 2015 .

The full list of the top ten LOCAL ARTISTS is as follows;

1) Sauti Sol
2) Bahati
3) Lady Wanja
4) Willy Paul
5) Mum CHEROP
6) H-Art The Band
7) Gloria Muliro
8) Rabbit ” King Kaka ”
9) John De Mathew
10) Hellena Ken

In the INTERNATIONAL CATEGORY, DIAMOND dislodged ANGELA CHIBALONZA as the highest earner and most popular Non – Kenyan artist .

COMBINED LOCAL AND FOREIGN TOP TEN LIST

1) DIAMOND (Tanzanian)
2) SAUTI SOL ( Kenyan )
3) CHRISTINA SUSHO (Tanzanian)
4) ALI KIBA (Tanzanian)
5) BAHATI ( Kenyan )
6) LADY WANJA ( Kenyan )
7) JOSE CHAMELEON (Ugandan)
8) ROSE MUHANDO (Tanzanian)
9) WILLY PAUL ( Kenyan )
10) KOFFI OLOMIDE (D.R.C).

Source: Msetoea

Steve Nyerere Aongea Maneno Haya Baada ya Kupigwa Chini Ubunge Jimbo la Kinondoni.....

Posted: 03 Aug 2015 11:04 PM PDT

‘Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu lakini niwashukuru Wananchi wa wiliaya ya  Kinondoni wamenionesha upendo ambao sikutarajia kwao, la pili sikubahatika kulishika gurumo hili la kuwa kiongozi na sitaweza kukata tamaa kwasababu hivi vitu vinahitajika uvumilivu kidogo,  siasa inahitaji kuwa mvumilivu na kila kitu kinachofanywa kama mwanadamu kinachotaka kupigiwa kura au kutafuta maisha ni uvumilivu unaohitajika kusonga mbele’ – Steve Nyerere

Kwasasa nipo kidogo mapumziko nikitafakari kuna yale niliyoyafanya na changamoto nilizozipata katika uchanguzi huo nimejifunza mambo mengi mengi ambayo kwangu yanatija kwa hiiyo kwangu ni changamoto kubwa sana’ – Steve Nyerere

Adam Juma ataja sababu za kwanini video zake hazioneshwi MTV na Trace

Posted: 03 Aug 2015 11:00 PM PDT

Director Adam Juma amejibu lawama ambazo amekuwa akizipata kwa muda mrefu kuhusu video zake kutochezwa na vituo vya kimataifa kama MTV na Trace licha ya kuwa na ubora mkubwa.

Adam amesema kuwa sababu kubwa ya video nyingi anazofanya kushindwa kuchezwa zinaanzia kwa wasanii wenyewe.

Hiki ndicho amekisema kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm:

“Mi mtaendelea kunilaumu mpaka mtafika sehemu mtakuja kugundua, hata akija kufanya mtu mwingine mwisho wa siku hamuwezi mka solve, lazima mjue source ya matatizo…mnaweza mkafikiri labda mimi sitaki hizo video ziende huko, lakini swala sio hilo video zisiende huko, wasanii wenyewe pia sio wavumilivu…Alikiba kafanya video akaja akaitoa, kachelewa sana kuitoa, Trace wanatumia wiki tatu kui review video…hawakubali kupiga video baada ya watu wengine kupiga wanataka wao waanze kupiga wao, kwahiyo kuna wasanii wengine wajanja, wanaipeleka kule video miezi miwili mitatu mpaka ije kupita wakishapewa hiyo exclusive baada ya siku mbili tatu ndio wanaaachia bongo…Sasa mtu anataka ashut leo leo ipigwe Tanzania halafu iende ikapigwe na Trace…sasa mtu mwingine anakua ananilalamikia mimi bila sababu utafikiri mimi nafanya kazi bure tu. “– AJ

Nisha Awekwa Chini ya Ulinzi Chin...Kisa Madawa ya Kulevya...

Posted: 03 Aug 2015 10:30 PM PDT

Yamemkuta! Staa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ ameonja joto ya jiwe baada ya kuwekwa chini ya ulinzi mkali huko Hong Kong, China ambapo alidhaniwa kuwa amebeba madawa ya kulevya ‘unga’.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Nisha alisema kuwa alijikuta akiichukia nchi ya China baada ya kupata wakati mgumu alipowekwa chini ya ulinzi kwa muda wa saa nne.

“Yaani China si mchezo, ukienda uwe na sababu, bila sababu unaweza kujikuta unaishia jela, kwa sasa Watanzania hatuaminiki kabisa, mwenzenu nilikamatwa na kupekuliwa mpaka walipojiridhisha ndipo wakaniachia,” alisema Nisha.

Ray Awashangaa Wanaobeza Ushindi wa Uwoya Ubunge Huko Tabora

Posted: 03 Aug 2015 10:04 PM PDT

Nimekaa Hapa Ofisini Kwangu Nikitafakari Mengi Sana kuhusu Baadhi Ya Watanzaia Kuwakatisha Tamaa Wasanii Wao Sasa Cjui Ni Roho Mbaya Ama Nini Maaana Leo Irene Uwoya Kashinda Kwenye Viti Maalum Tabora Lkn Coments Zimekuwa Nyingi Sana Kuwa Heti Baba Wa Taifa Nyanyuka Maana Chama Chako Kinaangamia. Hapana Hakuna Sehemu Yotote Inayopinga Mtu Kugombania Ubunge Maaana Ni Haki Ya Kila Mtanzania Mwenye Kukidhi VigezoYa Katiba Ya Nchi Ye2 .

Tuache Roho Mbaya Na Kuwadharau Wasanii Nakuwaona Kama Wa2 Wasiostahili Kuingia Kwenye Siasa Hivi Niulize Swali? Kuna Shule Yoyote Inayofundisha Siasa? Nadhani Kila m2 Atakuwa Na Jibu Lake Kichwani Tumeona Mifano Mingi 2 Kwa Wasanii Waliongia Kwenye Siasa Na wakafanikiwa Ndani Ya Africa Na Nje Ya Africa Marekani. ARNOLD SCHWARZENEGGER GAVANA , DESMOND ELIOT MUIGIZAJI TOKA NIGERIA ALISHIDA PIA UGAVANA, PIA YUPO RICHARD MOFE DAMIJO WENGI WANAMJUA KWA JINA LA PASTOR OKEMY TOKA NIGERIA Pia Ni Gavana Nk. Why Sisi Tusithubutu Wapeni Nguvu Wasanii Wenu Na Kuwatia Moyo Pale Wanapothubutu Kufanya Jambo Lolote. Waswahili Wanasemaje Kulegalega C Kufa Kufa Ni Kuoza Utumbo. Utabaki Kuwa Mtazamo Wangu Over...

Vicent Kigosi ‘Ray’ ‘@raythegreatest’ on instagram

Hongera sana Irene Uwoya, na kila la kheri  kwenye harakati zako.

Hapa na Pale: Hii ndiyo Mistari ya Nuh Mziwanda Alipokuwa Anamtongoza Wema Sepetu, Utavunja Mbavu

Posted: 03 Aug 2015 10:02 PM PDT

Kwa jinsi teknolojia ilivyokua watu wanapaswa kuwa makini sana kwa simu wanazopiga na maneno wanayoongea

Nuh Mziwanda amejikuta akiumbuka vibaya baada ya Wema Sepetu kuvujisha sauti anayosikika akimtongoza mrembo huyo. Mazungumzo hayo yanachekesha sana hasa kutokana na mistari anayompa Miss Tanzania huyo wa zamani. Haya ni maongezi yaliyofanyika mwezi June (siku moja kabla ya KTMA 2015). Tunafahamu wapo wasioweza kusikiliza clip yote hivyo tumekuandikia mazungumzo hayo.

Nuh Mziwanda: Kuna ua moja lilikuwa limefuatwa sana na vipepeo pamoja na nyuki kwaajili ya kutengeneza asali, unanielewa?

Wema Sepetu: Yeah

Nuh: Kwahiyo lile ua yule mama alikuwa anapenda sana kulitunza na kulifanya special kuliko maua yote. Mama yupo radhi maua yote yakauke lakini lile ua alimwagilie maji ili likue.

Wema: Hilo ua lilikuwa nyumbani kwenu?

Nuh Mziwanda: Yeah nyumbani kwetu Ilala Posta, alipokulia Shetta kwa akina Shetta pale kwetu hapa. Ua hilo hadi leo hii lipo. Ua ambalo mama analipenda na kulithamini kwakuwa lililikuwa linavutia. Kwahiyo katika kuvutia kwake, vipepeo walikuwa wanalipenda lile ua. Ni mfano wako wewe, you’re so beautiful!

Wema: Thank you lakini unanitafutia matatizo, wewe unataka mimi Shilole anifanye nini? Nuh mbona hivyo?

Nuh Mziwanda: Sijamalizia kuongea! Kwanza wewe ni mwanamke mzuri sana na wa kuvutia na mwanaume akikuona, anatamani aje kwenye ua kwakuwa wewe ni mfano wa ua. Na sisi ni mfano wa vipepeo na mfano wa nyuki.

Wema: Sasa hizo tattoo unazifanya nini?

Nuh: Eeeh!!

Wema: Hizo tattoo zako za Shishi Beibe unazifanya nini?

Nuh: Unajua kila kitu kinatokea kwa sababu kwenye hii dunia. Wema ulikuwa haujui mimi ni nani? Lakini hatujui Mungu alipanga nini kwenye muziki wangu na maisha yangu. Baada ya mimi kuchora tattoo nimejulika mimi ni nani. Kwahiyo namshukuru Mungu sasa hivi mashabiki wangu wanajua kwamba mimi naitwa Nuh! Nina mashabiki wachache lakini hao hao ndo wananifanya mimi niwe Nuh. Naamini nilichora tattoo kwa sababu ya Mungu na kila kitu kinatokeaga kwa sababu. Mimi naishi kama binadamu haya mambo yanatokeaga kwa binadamu yoyote. Vitu vingapi ulikuwa navyo leo hauna? Sisi tunaishi kama binadamu, haya mambo yalikuja na yanaweza kutokea kwa binadamu yoyote. Huwezi kujua mambo mangapi ya kipuuzi umeyafanya katika maisha yako. Lakini unaangalia unafanya nini ili uendelee na maisha, natamani niwe na wewe, natamani uwe mpenzi wangu serious!

Wema: Utanituliza akili yangu na wewe na Shilole itakuwaje mbona unataka kunifanyia vitu vya ajabu vya kunigombanisha mimi na rafiki yangu? Shilole is not my best friend lakini ni mshkaji sawa. Ni msichana ambaye namjua na ni rafiki yangu yaani. Itakuwa vibaya halafu mimi sipendi maneno sawa. Mimi napenda tunakutana mambo poa vipi, everybody is happy. Sasa hapo sasa hivi tunataka kuanza kubadilishana dunia tena. Mimi sipendi Nuh, mimi sipendi maneno na Shilole alishanitamkia na tena alisema mbele yako na umemsikia, kwamba hataki, mimi sitaki tuishi kama washkaji, Nuh unakosea kwa sababu kuna kesho kesho kutwa.

Nuh: Nikwambie kitu Wema?

Wema: Uniambie nini Nuh? Uniambie kitu gani sasa hivi it’s not possible yaAni ni kitu ambacho kipo very impossible. Sio nakuvunja moyo nakwambia kweli, nakwambia ukweli unajua in love sio kila kitu unachokitaka unakipata si unajua hivyo?

Nuh: I know!

Wema: Kwamba katika maisha sio kila kitu unachokitaka utakipata. Basi mimi namheshimu sana Shilole na ninakuheshimu wewe pia. Nimekubali umenipigia simu na umeniambia lakini it’s something ambacho hakiwezekani tokea. Yaani haiwezekani kutokea. Najua sio rahisi ku-accept lakini jitahidi kuikubali kwa sababu ndio hali halisi, haiwezekani icho kitu.

Nuh: Nikwambie kitu?

Wema: Utaniambia kitu gani Nuh na nimeshakwambia kwamba haiwezekani!

Nuh: Kama unanikatisha tamaa kihivyo, unadhani nitakwambia kitu gani?

Wema: Haya kitu gani? Niambie nakusikiliza kitu gani?

Nuh: Kitu ninachotaka nikwambie ndio hicho tu, nothing new, kila siku unatongozwa lakini mimi naongea kwa mapenzi na kama mwanaume na kwa kujiamini pia. Lakini inawezekana pia nikawa nimekukwaza.

Wema: Hamna haujanikwaza kwa sababu kumwambia mtu hisia zako sio kitu kibaya. Kusema hisia zako it’s not very bad. Tena it’s a very good thing kwa sababu umeshow kitu umekuwa jasiri. Halafu mpaka umenipigia simu na umeniambia yaani umetumia ujasiri sana, unaona so I appreciate it, and thank you. Kupendwa raha lakini unapopenda hapawezekani kwa sababu mimi siwezi siko kwenye nafasi ya kukukubalia what you are talking me. Ushanielewa kwamba nafasi yangu hairuhusu kukubali, kwa sababu moja nakuheshimu wewe kama shemeji yangu, wewe ni shemeji yangu, wewe ni boyfriend wa rafiki yangu. Mimi siko hivyo, mimi sio mtu wa kumchukulia rafiki yangu mwanaume, yaAni siko hivyo!

Nuh: Mimi najua kila kitu, najua nimejichora matatoo, najua ya mwanamke usinijudge kwa yale, ila nijudge kwa akili yako.

Wema: Sikia nikwambie Nuh, apart from everything mimi siwezi kukudanganya. Mimi siwezi kukukataa sijui, yaani kitu itanishusha. Kuingia mabifu na Shilole, unaanza kusikia Wema sasa hivi yupo na bifu na Shilole.

Nuh: Au wewe utatangaza kwa watu?

Wema: Akaa, no hakuna kitu kama hicho. Hakuna kitu ambacho kinafichika kama kuna mapenzi, mapenzi kitu kizito sana.

Nuh: Nikwambie kitu?

Wema: No, Nuh niache nilale, naomba niache nilale naomba niache nilale. Kesho naamka asubuhi sana natakiwa nijiandae na Kilimanjaro, si unaenda kwenye KTMA? .

Nuh: Unajua mimi nafikiria pia akilini mwangu na nina mawazo yangu kama binadamu na kila kitu kinatokea kwenye maisha kama vile nilivyokwambia, kuna vitu vingi vilitokea kwenye maisha yako,lakini inafika wakati unasahau. Na mimi nilifiwa na ndugu zangu lakini nikasahau, kwahiyo vyote vinaweza kutokea.

Wema: No! tutaongea kesho.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya August 4

Posted: 03 Aug 2015 09:47 PM PDT
















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  August  4

Udaku Specially

unread,
Aug 5, 2015, 4:22:46 PM8/5/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Hatimaye Dr. Slaa Aonekana Baada ya Takribani Wiki Mbili Mafichoni

Posted: 05 Aug 2015 11:38 AM PDT

Mbunge mstaafu wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo, maarufu kama "Ndesa Pesa", amekutana jijini Dar es Salaam leo na Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ilielezwa hapo awali na chama chake kuwa kwa sasa yuko mapumzikoni, Dkt. Wilbrod Slaa, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

Ndesamburo alifuatana na makada wenzake wa chama hicho, baadhi yao ni Meya wa Manispaa ya Moshi ambaye pia ni mgombea ubunge (mtarajiwa), wa jimbo hilo, Japhary Michael.

Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa ya nini wamezungumza, ingawa makada hao wa CHADEMA walikuwa jijini kuhudhuria mkutano mkuu maalum wa chama hicho uliomteua Waziri Mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa, kuwa mgombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya mwavuli wa muungano wa vuguvugu la Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA. Mgombea mwenza aliyeteuliwa ni Mhe. Juma Duni Haji.

Makapi Aliyosema Mh. Kinana Haya Hapa

Posted: 05 Aug 2015 11:24 AM PDT

“Nchi yetu inakwenda kwenye uchaguzi ikiwa na wagombea na makapi, sasa kati ya mgombea na makapi nani mshindi? - Kinana 04/08/2015

Wadau kutokana na kauli ya Mh Kinana aliyoitoa wakati akihutubia wanaCCM waliofika Lumumba kumsindikiza Mh Dr John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya uraisi wa JMT, alimaanisha kwamba kila aliyetia nia ya uongozi CCM na hakupata fursa hiyo ni makapi. Nijuavyo makapi ni mabaki yeyote baada ya mchujo/mchakato.

Katika mchakato ule kulikuwa na watia nia 42 na baadae 38 walifanikiwa kurudisha fomu. Katika mchujo ule ni Magufuli pekee aliibuka kidedea baada ya michujo kadhaa. Kwa mantiki hiyo aliyepita kwenye chujio ni Magufuli na wengine waliobaki ndiyo MAKAPI. Kama nilivyomwelewa Mh Kinana ina maana hao MAKAPI hata wakishindana na mgombea wao sehemu yeyote ile hawatashinda.
Kwa mujibu wa Mh Kinana alimaanisha hivi:

A. Mgombea
1. John Pombe Magufuli

B: MAKAPI ( Waliobaki baada ya mchujo)Kwa kuwa hakuna mgombea yeyote aliyefukuzwa CCM baada ya mchakato wa kumtafuta mgombea uraisi kwa Chama Cha Mapinduzi kukamilika, neno MAKAPI linabaki kuwahusu wale wote waliochujwa kwenye mchakato na yeyote (makapi) akishindana na mgombea popote pale watashindwa.
Ifuatayo ndiyo listi ya MAKAPI kulingana na kauli ya Mh Kinana:

Bilal
Lowasa
Pinda
Mwakyembe
Sitta
Nyalandu
Mwigulu
Makamba
Kigwangwala
Chikawe
Ali Karume
Mwandosya
Amina Salum Ally
Asha Rose
Membe
Wassira
Makongoro
Ngeleja
Mpina
Sumaye
Muhongo
Sanoko
Mahiga
Jaji Ramadhani
Dr Mwele
Murenda
Boniface Ndembo
Bw Bilohe (Mkulima)
Peter Nyalali
Helen Elinewinga
Anthony Chalamila
Dk Muzamil Kalokola nk.

Pembe za ndovu 50 kutokea Tanzania, zanaswa zikielekea China

Posted: 05 Aug 2015 11:13 AM PDT


Customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania, contraband that may have come from up to 50 elephants, Swiss authorities said Tuesday.
The ivory was found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases, Switzerland's customs authority said. It put the estimated black market value at about 400,000 francs ($413,000).

The elephant tusks had been sawed into 172 pieces to fit into the luggage, which was being transported from Tanzania's capital, Dar es Salaam, to Beijing via Zurich. The head of the customs operation at the airport, Heinz Widmer, said officials estimate that the pieces came from 40 to 50 elephants.

Demand from China's rising middle class has been fueling elephant poaching in Africa and illegal trade in ivory, which is turned into jewelry and other decorative items.

The Chinese men were temporarily detained in Zurich and questioned, Widmer said. They could face large fines for violating customs and animal protection rules.

The suitcases also contained 1 kilogram (2.2 pounds) of lion fangs and claws — 21 fangs and 35 claws. They could be used as jewelry or talismans, or as a symbol for strength in Chinese traditional medicine, Widmer said.
The ivory haul, while sizeable, is below the 500-kilogram (1,100-pound) threshold considered to be a large-scale seizure that indicates the likely involvement of organized crime, according to TRAFFIC, a wildlife trade monitoring organization.

The group, which said that it doesn't speculate on the black-market value of ivory as a matter of policy, said the frequency of large-scale seizures has increased greatly since 2000, with 18 such hauls reported in 2013.
In May, a senior Chinese official made an unexpected pledge to halt the ivory trade inside the country, though it isn't clear how and when that ban might take effect.
Copyright 2015 The Associated Press. All rights reserved. This material may not be published, broadcast, rewritten or redistributed.
Swiss customs seize 578 pounds of ivory en route to China - US News

Ripoti iliyomng’oa Dk. Slaa Chadema yavuja....Ipo Hapa

Posted: 05 Aug 2015 11:10 AM PDT

Ripoti ya utafiti iliyokabidhiwa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayomtaja Dk. Willibrod Slaa, kama mwanasiasa mwenye mvuto miongoni mwa wapinzani anayestahili kuwania urais kupitia Ukawa, hatimaye imepatikana; JAMHURI linathibitisha.

Kutupwa kwa ripoti hiyo kunatajwa kuwa ndiyo chachu iliyomfanya Dk. Slaa aachane na shughuli zote za kisiasa ndani ya Chadema. RIPOTI YOTE IMECHAPISHWA UK. 15-20 katika toleo hili la JAMHURI.

Utafiti huo uliofanywa na taasisi ya Tanzania Development Initiative Programme (TADIP) ambayo ni mali ya Chadema, unaonyesha kuwa Dk. Slaa anaongoza dhidi ya Edward Lowassa.

Ilikabidhiwa kwa uongozi wa juu wa Chadema Julai 26, mwaka huu, lakini chama hicho hakitaki kuitoa hadharani.

TADIP ni taasisi ya Chadema ambayo kazi yake kubwa ni kufanya utafiti na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa chama hicho. Ripoti iliyokabidhiwa wiki mbili zilizopita, ni matokeo ya utafiti uliofanywa Mei na Juni, mwaka huu.

Kumekuwapo sintofahamu kati ya Dk. Slaa na viongozi wenzake ndani ya Chadema na Ukawa kwa jumla, lakini habari za uhakika zinasema mwanasiasa huyo amejiondoa Chadema kama njia ya kuonyesha kutokubaliana na wenzake kwa kumruhusu Lowassa kukaribishwa na hatimaye kupata ridhaa ya kukiwakilisha chama hicho na Ukawa kwenye uchaguzi wa rais.

Uongozi ndani ya Chadema unajitahidi kukanusha taarifa hizo, lakini uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na vyombo vingine vya habari umethibitisha pasi na shaka kuwa Dk. Slaa amejiondoa Chadema.

Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya TADIP, George Shumbusho, amekabidhi ripoti ya utafiti kwa Chadema baada ya kufanya utafiti/kura ya maoni katika mikoa minane ya Tanzania Bara, kata 113 na kuwafikia wapigakura 1,727.

“Utafiti huu ulilenga kujua utayari wa wananchi kushiriki uchaguzi wakati wa kupiga kura, wagombea urais na vyama vya siasa vinavyokubalika pamoja na vipaumbele vya wananchi,” amesema Shumbusho kwenye barua yake ya kukabidhi ripoti ya utafiti huo.

Nafasi ya Urais 2015

Kwa mujibu wa utafiti, Dk. Slaa anaongoza kwa asilimia 24.6 huku akifuatiwa kwa ukaribu na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa ambaye alipata asilimia 22.9. Wanasiasa wengine walionekana kukubalika katika nafasi ya urais ni Profesa Ibrahim Lipumba kwa asilimia 9.6, Benard Membe aliyepata asilimia 7.6 na Dk. John Magufuli ambaye anakubalika kwa asilimia 4.3 kwa mujibu wa utafiti huo.

Wanasiasa wengine waliobaki wakiwamo wengi wa waliokuwa wametangaza nia kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Kiongozi Mkuu wa chama kipya cha ACT walionekana kukubalika katika nafasi hiyo chini ya asilimia 3. Hata hivyo, kuna kundi la wananchi (asilimia 17) ambao hawakuwa wameonyesha kuwa tayari kumchagua kiongozi yeyote atakayewafaa.

“Pia, hali hii ya kukubalika inaweza ikaendelea kubadilika haswa ikizingatiwa kuwa utafiti huu ulifanyika kabla vyama havijafanya uteuzi rasmi wa wagombea. Kukubalika kwa wanasiasa katika nafasi ya urais kunaonyesha kutofautiana baina ya mikoa iliyohusishwa. Dk. Slaa na Lowasa ambao ndio wanasiasa wanaonekana kukubalika zaidi katika utafiti huu walikaribiana katika mikoa yote iliyohusishwa; isipokuwa walitoafutiana kidogo,” inasema ripoti hiyo.

Dk. Slaa analionekana kukubalika zaidi katika mikoa ya Mbeya na Kigoma; huku Lowassa akikubalika zaidi katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam na Singida. Profesa Ibrahim Lipumba na Membe walionekana kukubalika zaidi katika Mkoa wa Mtwara (mikoa ya Kusini) huku Profesa Mark Mwandosya akiwa anakubalika zaidi mkoani Mbeya. Dk. Magufuli anakubalika zaidi katika mkoa wa Mwanza ikilinganishwa na mikao mingine.

Matokeo haya yanaashiria kwamba mgombea wa urais atapata kura kwa kuzingatia eneo anakotoka na nguvu ya chama katika baadhi ya maeneo (mikoa).
“Utafiti huu pia umegundua kuwa watu rika tofauti tofuati wana mitizamo tofuati kuhusu nani anakubalika nafasi ya urais. Dk. Slaa na Lowassa wanaonekana kukubalika miongoni mwa Watanzania wenye umri tofauti tofauti,” inasema ripoti.

Hata hivyo, Dk. Slaa anaonekana kukubalika zaidi miongoni mwa vijana wenye umri kati ya miaka 27 mpaka 33 na watu wenye umri wa kati (miaka 38 mpaka 45) pamoja na watu wazima wenye umri wa miaka 51 mpaka 56.

Vijana wadogo, kati ya umri wa miaka 15 mpaka 26 wanaonekana kumkubali zaidi Lowassa wakifuatiwa na wazee zaidi ya miaka 56 ambao hata hivyo si wengi. Mbali na wanasiasa hao wawili, Profesa Lipumba, Membe na Dk. Magufuli walionyesha kukubalika zaidi kwa watu wazima wenye umri wa miaka 50 na kuendelea.

“Kutokana na matokeo haya, Dk. Slaa na Lowassa ndio wanasiasa wanaokubalika na makundi ya kiumri yenye asilimia kubwa zaidi ya wapiga kura,” inasema ripoti.

Ufuasi/uanachama wa Siasa

Vyama vyenye uwakilishi mkubwa bungeni vya CCM, CHADEMA na CUF vilionekana kuwa na wafuasi/wanachama wengi ikilinganishwa na vyama vingine. CCM ikiongoza kwa kuwa na asilimia 31.3 ikifuatiwa kwa karibu na CHADEMA kikiwa na asilimia 28.2 na CUF ilikuwa na asilimia 6.6 ya wafuasi/wanachama.

Vyama vingine vina asilimia chini ya 5 ya wafuasi/wanachama kwa mujibu wa utafiti huu.
Hata hivyo, kuna kundi kubwa la wananchi- sawa na asilimia 30 ambao walikiri kutokuwa na ufuasi/uanachama wa chama chochote.
“Hii inamaanisha kuwa vyama vyote vinahitaji kura za wafuasi/wanachama wao na za Watanzania ambao hawana chama chochote ili wapate viongozi bora. Sambamba na hilo, matokeo haya yanaashiria kwamba vyama vya upinzani vitakuwa na nguvu zaidi ama sawa na chama tawala endapo vitaunganisha nguvu zake,” umesema utafiti huo.

Chama gani kinakubalika 2015?
Matokeo yanaonyesha kuwa asilimia 42 ya wananchi wangechagua CCM; huku asilimia 37.8 wangechagua CHADEMA; na asilimia 10.1 wangepigia kura CUF.

Chama cha ACT kingepigiwa kura na asilimia 2.9 ya wananchi kikifuatiwa na NCCR-Mageuzi kwa asilimia 1.3; huku TLP na UDP vikiwa vya mwisho kwa asilimia 0.2 na 0.1.

“Kwa haya matokeo ni dhahiri kuwa umoja wa vyama vya upinzani (UKAWA) unaweza kupata ushindi ama kuleta upinzani mkubwa kwa chama tawala tofauti vile ambavyo kila chama kingeshiriki uchaguzi kwa kujitegemea.

Sambamba na hilo, wananchi wengi walioonyesha kutokuwa na ufuasi wa chama chochote wana uwezekano wa kupigia kura vyama vitatu ambavyo ni CCM, CHADEMA na CUF,” imesema sehemu ya utafiti huo.

Chama kitakachochaguliwa 2015
Wanachi walioshiriki katika utafiti wametoa sababu mbalimbali juu ya nini kitawasukuma kuchagua chama cha siasa.

Asilimia 27.7 wamesema wangechagua chama cha siasi kutokana na uongozi bora na sera makini, aslimia

18 walisema wangechagua chama kutokana na uwezo wake wa kuboresha maendeleo ya nchi. Wengine asilimia 14.3 walionyesha kuwa tayari kuchagua chama kutokana na uwezo wake wa kuleta mabadiliko kiuongozi na kiuchumi huku asilimia 10.8 wakioonekana kuchagua chama kutokana na kwamba kimekuwa madarakani tangu ukoloni, hawa ni wale ambao wangechagua chama tawala. Wanachi wengine walitoa sababu mbalimbali ambazo zinahusiana na uongozi bora, maendeleo na amani ya nchi.

“Matokeo haya yanadhihirisha kuwa wananchi watachagua chama kutokana namna kitakavyojinadi kushughulikia masuala ya maendeleo na uongozi bora. Hata hivyo, wapo wananchi ambao huenda wakapiga kura kutokana na mazoea ya chama tawala,” umesema utafiti.

Sababu za kuchagua chama
Kukubalika kwa vyama kunaonekana kuwa na tofauti mikoa mbalimbali. CCM iliongoza kwa kukubalika katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mwanza na Singida. CHADEMA inakubalika zaidi katika mkoa wa Mbeya na kukaribiana na CCM katika mikoa mingine saba iliyohusika katika utafiti huo. Chama cha CUF kinaonekana kukubalika zaidi katika mkoa wa Mtwara huku ACT wakionekana kukubalika japo kwa kiasi kidogo katika mikoa ya Singida na Kigoma.

Kukubalika kwa chama kimikoa
“Kwa upande wa makundi rika, CCM inaoneka kukubalika zaidi kwa watu wenye umri wa utu uzima kuanzia miaka 45 na kuendelea huku CHADEMA kikionekana kukubalika zaidi miongoni mwa vijana na watu wenye umri wa kati. Kwa maneno meingine, CHADEMA itapigiwa kura zaidi na watu wenye umri chini ya miaka 45. CUF pia inakubalika zaidi kwa wazee wenye umri zaidi ya miaka 50. Hata hivyo, watu wenye mkubwa kwa mujibu wa sensa na kwa kujibu wa utafiti huu ni wachache chini ya asilimia 5,” utafiti umebaini.

Matokeo yanaonyesha kuwa CCM inakubalika zaidi kwa watu ambao hawana kiwango chochote cha elimu, na watu wenye elimu stashahada huku ikiwa imekabana koo na CHADEMA kwa kukubalika na watu wenye elimu ya msingi, sekondari na shahada ya kwanza. Vyama vya upinzani- CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi vinaonekana kukubalika zaidi kwa watu wenye elimu ya juu, hasa shahada ya uzamili na shahada ya kwanza na kukubalika kwa kiasi kidogo miongoni mwa watu ambao hawana kiwango chochote cha elimu.

Utafiti unaonyesha kuwa makundi ya watu ambao hawajasoma na kundi la watu wenye elimu ya juu zaidi (shahada ya uzamili) yalikuwa na uwakilishi mdogo katika utafiti huo. Wengi wa wapigakura mwaka 2015 watakuwa na elimu ya msingi, sekondari na shahada ya kwanza.
Elimu na kukubalika kwa vyama

Mbali na makundi ya kielimu, utafiti huu pia umegundua kuwapo kwa tofuti juu ya kukubalika kwa vyama baina ya wanawake na wanaume. CCM ilionekana kukubalika zaidi kwa wanawake kuliko wanaume; huku chama wa CHADEMA kikionekana kukubalika zaidi wa wanaume. Vyama vya CUF na NCCR-Mageuzi viilikuwa na takribani asilimia sawa za kukubalika baina ya wanaume na wanawake.

Hitimisho na Mapendekezo
“Utafiti huu unaonyesha kuwa wananchi watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wengi wao watakuwa na umri wa ujana na umri wa kati (miaka 18 mpaka 40). Wengi wa wapigakura watakuwa na elimu ya msingi na sekondari na pia wengi watakuwa ni watu wanaojihusisha na kilimo, biashara na ujasiriamali. Kuna uwezekano pia wanaume wakawa na ushiriki mkubwa katika uchaguzi huu ikilinganishwa na wanawake.

“Asilimia kubwa ya wanachi wana utayari wa kupiga kura na asilimia ndogo wanaonekana kutokuwa tayari. Hata hivyo, ushiriki wa wapiga kura unaweza ukaathiriwa na sheria, kanuni, taratibu na taasisi zenye jukumu la usimamizi wa uchaguzi.

“Wanasiasa wakongwe watatu yaani Dk. Wilbroad Slaa, Edward Lowassa na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF ndio wanasiasa ambao wanakubalika zaidi katika nafasi ya urais. Hata hivyo, kuna uwezekanao kwa mitizamo ya wananchi juu ya nani anakubalika urais kwa kuwa utafiti huu ulifanywa kabla uteuzi rasmi wa wagombea haujafanywa na vyama vya siasa.

“CCM inaonekana kukubalika zaidi ya vyama vingine ikifuatiwa karibu na CHADEMA ambacho kinafuatiwa kwa mbali na vyama vingine vya upinzani vya CUF, ACT na NCCR-Mageuzi. Kwa mantiki hiyo, muugano wa vyama vya siasa vya upinzani ndio njia kuu kwa kuimarisha nguvu ya vyama hivyo na kuviwezesha kupata ushindi mwembamba ama kuleta upinzani mkubwa.

“Mbali na mambo ya wagombea na vyama vya siasa, wapigakura wangependa serikali ijayo iboreshe hali ya huduma za kijamii ikiwamo elimu, afya, na maji. Kujenga uchumi imara utakaoboresha sekta za kilimo na viwanda ili kuleta tija katika utoaji wa ajira. Wapigakura wangependa kuona serikali itakayosimamia rasilimali za umma na kuwekeza katika mapambano dhidi ya rushwa,” utafiti umebaini.

Mapendekezo kwa Vyama vya UKAWA
Taasisi ya TADEP imetoa mapendekezo yafuatayo kwa Chadema na Ukawa kama kweli wanataka kuishinda CCM. Mapendekezo hayo ni:
• Vyama viendelee kuwahamasisha wananchi kuendelea kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura. Elimu juu ya sheria na kanuni za uchaguzi iendelee kutolewa ili kuwafanya wananchi wawe na ufahamu wa kutosha wasije wakanyimwa kupiga kura kutokana na wasimamizi wenye maslahi na chama tawala.

• Dk. Slaa ni mwanasiasa ambaye anakubalika zaidi kusimamishwa na UKAWA katika kiti cha urais ikizingatiwa kuwa Lowassa amekoswa kuteuliwa CCM katika kinyang’anyiro hicho. Pamoja na Mgombea Mweza kutoka CUF, viongozi wa CUF na NCCR- Mageuzi watamwongezea hamasa Dk. Slaa kwakushiriki katika kampeni za kumnadi.

•Ikiwa vyama vya UKAWA vitaendelea na ushirikiano wake wakati wote wa uchaguzi, kuna uwezekano kwa wapinzani kushinda uchaguzi mkuu japo kwa asilimia ndogo.

•Kwa kuwa bado kuna wananchi wanaonekana kutokuwa na ufuasi wa chama, kwa kuwa utafiti huu unadhihirisha kuwa watu watapiga kura kwa itikadi za kisiasa, ni muhimu vyama vya UKAWA vikaendelea na jitihada za kuingiza wananchama wengi zaidi katika vyama vyao.

•Mikakati UKAWA ni muhimu ikalenga kuwafikia watu wenye elimu ndogo/uelewa wa kawaida, watu wazima na wazee, pamoja na akina mama.
Vipaumbele vya wagombea na ilani za vyama vinavyounda UKAWA zinapaswa zizingatie vipaumbele vya wananchi ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kuboresha huduma za kijamii za elimu, afya, upatikanaji wa maji safi na salama. Ilani zizungumzie mipango ya kujenga uchumi imara utakaojikita katika sekta za kilimo na viwanda. Mbali na hayo, wananchi wangependa kuona serikali itakayosimamia vyema rasilimali za taifa kwa kupambana na rushwa, hivyo ni muhimu ilani za vyama washirika wa UKAWA kuzunguzia mambo haya.

Licha ya Kupata Bwana Mpya; Johari: Siachani na Ray!

Posted: 05 Aug 2015 11:02 AM PDT

Ray na Johari Katika Pozi
SIKU chache baada ya kupenyezwa kwa madai ya kupata bwana mpya, staa wa filamu Bongo, Blandina William Chagula ‘Johari’ ameibuka na kuweka wazi kuwa kamwe hafikirii wala hana mpango wa kuachana na msanii mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ katika masuala ya kazi.

Akianika mwanya’ na Risasi Jumamosi hivi karibuni ndani ya ofisi zake, Sinza-Mori jijini Dar, Johari alisema hawezi kuruhusu mapenzi yatawale maisha yake na kusahau kazi.

“Siondoki RJ, kama kuna mtu anatarajia nitoke hapa eti kisa mambo ya mapenzi, anajidanganya kabisa, sifikirii kuachana na Ray kikazi, ni mtu muhimu sana, mapenzi hayawezi kutawala maisha yangu, yeye atabaki na mpenzi wake na mimi nitaendelea na mpenzi wangu,” alisema Johari.

Ray kwa sasa ameshaonesha upande na kukiri kukolea kwenye penzi la mwigizaji  Chuchu Hans na tayari ameshajipambanua kuwa wana mipango endelevu maishani mwao.

Chanzo: GPL

Baada Sauti ya Mziwanda Akimtongoza Wema Sepetu Kuvuja, Shilole Kayaandika Haya mtandaoni

Posted: 05 Aug 2015 10:55 AM PDT

Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shilole ambaye aliingia kwenye headlines baada ya boyfriend wake msanii Nuh Mziwanda kunaswa kwa sauti akimtongoza mwigizaji Wema Sepetu.

 Ilionekana kama baada ya kusambaa hadharani kwa sauti hiyo kungefanya mapenzi yao yayumbe au waachane lakini imekua tofauti na matarajio kwani Shilole alithibitisha kuendelea kwao pamoja kwa kupost hiyo picha hapo juu na kuandika ‘Mi siachani nawe na ntakupenda zaidi

UKAWA ipo Imara Sana Kuliko Kawauda Lazima itachukua Nchi- Ester Bulaya

Posted: 05 Aug 2015 10:48 AM PDT

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa CCM aliyehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ester Bulaya amefunguka na kusema kuwa

Umoja ya Katiba ya Wananchi (UKAWA) upo imara na utachukua dola japo amekiri kunachangamoto mbalimbali kutoka kwa chama tawala kutaka kuvuruga umoja huo.
Ester Bulaya ameyasema haya leo alipokuwa aki-chat live katika ukurasa wa facebook wa EATV katika Kipengele cha Kikaangoni ambacho huwa kinawakutanisha wananchi na watu mashughuri kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi alasiri.

Katika zoezi hilo watu wengi walitaka kujua iwapo UKAWA unaweza kuchukua nchi na kukishinda Chama cha Mapinduzi (CCM) ndipo Ester Bulaya alipotoa mtazamo wake juu ya umoja huo ambao anadai ni tishio kubwa kwa CCM hivi sasa.
"Ukawa upo imara na utachukua nchi, ingawa changamoto hazikosekani pale ambapo mafanikio yapo karibu, kwani dola imejitahidi kuhakikisha Ukawa unasambaratika lakini kwa nguvu za Mungu bado umoja huo umesimama imara," alisema Ester Bulaya

Licha ya hayo Ester Bulaya aliweza kuweka wazi kilichomsukuma kukihama CCM na kwenda Chadema na kudai aliamua kufanya maamuzi hayo magumu kwa kuwa anachokiamini yeye na kukisimamia ni sawa na misingi na itikadi za Chadema, hivyo kutokana na maamuzi yake hayo anaamini yupo sehemu sahihi na yupo huru. Bulaya pia amedai misimamo yake pamoja na anachokiamini kilikuwa kinawakwaza CCM.

"Niliziona kasoro baada ya kuwa mbunge wa viti Maalum (CCM), kwani nikiwa umoja wa vijana ndani ya CCM moja ya mambo mnayofundishwa kwamba vijana ni watetezi wa taifa hili na sauti ya chama na kukemea maovu, nilipo anza kufanya vile nilivyofundishwa ikaonekana ni tatizo, hivyo nikagundua CCM inahubiri vitu tofauti na inavyoviamini, mdomoni unapaswa kusema vingine moyoni uamini vingine," alifafanua Ester Bulaya.
Katika hataua nyingine Ester Bulaya amedai kujifunza mambo mengi ndani ya muda mfupi alipohamia Chadema, kwani amegundua wazi kuwa viongozi na wananchama wake wapo tayari kujitolea kujenga na kuleta mabadiliko kwa watanzania.

"Kila chama kina utaratibu wake, lakini nilichojifunza Chadema viongozi na wanachama wake wapo tayari kujitolea kujenga chama na kuleta ukombozi wa kweli kwa watanzania na pia Chadema wanachokiubiri na kukiamini ndicho wanachokisimamia," alisema Ester Bulaya.

Amesema malengo yake ndani ya chadema ni kuungana na jeshi la ukombozi kuleta mageuzi ya kweli, siasa safi za demokrasia ya kweli na kuwakomboa watanzania kwa kuwaletea maendeleo ya kweli kutokana na rasilimali zao ambazo kwa miaka 50 ya utawala wa CCM wameshindwa kuyapata.
Ester Bulaya alikuwa mbunge wa kwanza kutoka katika Chama Cha Mapinduzi na kuhamia Chadema pamoja na aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kahama James Lembeli ambao walitambulishwa na kukabidhiwa kadi za Chadema katika mkutano wa Chadema uliofanyika Jijini Mwanza.

Isabela Achekelea Adhabu Aliyopewa Mwanamuziki Shilole na Basata

Posted: 05 Aug 2015 10:39 AM PDT

BAADA ya msanii na muigizaji Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kufungiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kitendo chake cha kucheza nusu utupu jukwaani, msanii mwenzake Isabela Mpanda amechekelea adhabu hiyo na kusema liwe fundisho kwa wengine.

Akipiga stori na gazeti hili, Isabela alisema pamoja na kumhurumia juu ya maisha atakayoishi bila kufanya kazi kwa mwaka mzima wa kutumikia adhabu yake, lakini hatua hiyo ni nzuri kwani wapo wengi wenye tabia ya kucheza na kuacha matiti nje.

Mimi huwa sivai nguo inayoniacha matiti wazi, kwa nini wasanii hawafanyii majaribio kwanza ya nguo kabla hawajavaa na kutoka? Ninamhurumia na nampa pole maana sijui atawaleaje watoto wake watatu, maana anautegemea muziki katika kuendesha familia yake,” alisema Isabela.

Kigogo Ikulu Aokoa Jahazi...Azuia Nyumba ya Mwanamuziki Lady Jide Dee Kuuzwa

Posted: 05 Aug 2015 10:33 AM PDT

KISMATI! Ile nyumba ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyopo Mivumoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam, iliyowekwa mnadani zaidi ya mwezi mmoja uliopita, imezuiwa kupigwa bei na kigogo mmoja wa ikulu, Risasi Mchanganyiko lina full data.

Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema kigogo huyo ambaye kutokana na hadhi yake hawezi kutajwa jina, mara baada ya kupata taarifa za mnada huo, alimuagiza mmoja wa wasaidizi wake kutafuta namba ya msanii huyo, ambaye wakati huo alikuwa China kwa shughuli zake binafsi.
Mzee alisikia kama nyumba ya Jide inauzwa, akawa anatafuta namba yake ili azungumze naye ajue tatizo nini, anaonekana anataka kumsaidia ili jambo hilo limalizike, bado sijajua kama atamsaidia hela au kumuombea muda zaidi wa kulipa deni hilo,” kilisema chanzo chetu.

Baada ya kupata ‘ubuyu’ huo, gazeti hili lilitaka kujiridhisha na ukweli wa habari hizo na lilipowasiliana na mmoja wa maofisa wa kampuni ya udalali ya Mem Auctioneers And General Brokers Ltd, waliotangaza mnada huo, alikiri kusitishwa kwa zoezi hilo.

Ni kweli zoezi limesitishwa, tulitaarifiwa na wateja wetu, taasisi ya fedha ya EFC TANZANIA LTD kwa kuambiwa kuwa wameshamalizana na msanii huyo, hatujui kama alilipa au kulikuwa na makubaliano mengine, lakini hilo suala la mkubwa kuzuia sisi hatulifahamu,” alisema ofisa huyo, aliyejitambulisha kwa jina la Mushi Dalali.
GPL

Upaja Wangu Ndio Silaha Yangu, Nikivaa Nguo Ndefu Sijiamini Kabisa Nakosa Confidence

Posted: 05 Aug 2015 02:06 AM PDT

Admin
Nimeona Nikuandikie e-mail Udaku Special Watu Wanipe Ushauri , Mimi ni Msichana Bado Mbichi Sana ila Tatizo langu ni Mavazi yaani Sijui inakuwaje kila nikitoka out ama Kwenda kazini nikivaa nguo ndefu sijiamini hata kidogo nakosa amani na hata furaha , ila siku nikiwa nimevaa nguo fupi basi najiamini si mchezo naweza kumface mtu yoyote , alafu napenda vile Kila mtu anavyoniangalia nikitembea with my High Heels..

Je Nitakuwa nimeathirika kisaikologia kimavazi ama ni Kawaida hata wadada wengine inawakuta hivyo?

LOWASSA: Tutachukua Nchi Asubuhi Asubuhi 'Hatuko Tayari Kuibiwa Kura'

Posted: 05 Aug 2015 02:03 AM PDT

EDWARD Lowassa ambaye ni mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema chama hicho kwa ushirikiano na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) watashika dola Oktoba 25 mwaka huu saa 2:30 asubuhi. Anaandika Jimmy Mfuru … (endelea).

Akizungumza na wajumbe wa chama hicho kwenye Mkutano Mkuu leo jijini Dar es Salaam Lowassa amesema, hakuna sababu ya kutoa lugha za matusi huku akiwasihi kuimarishwa kwa amani wakati wa uchaguzi huo.

“Muungano huu una nguvu kubwa ya kwenda kuchukua dola saa 2:30 asubuhi, na tutachukua dola asubuhi,” amesema Lowassa na kuongeza; “hatuko tayari kuibiwa kura na hatutafanya fujo lakini wasiibe kura zetu.”

Amesema kuwa, katika maisha yake hana msamiati wa kushindwa isipokuwa ana msamiati wa kushinda huku akiwataka wana Chadema na UKAWA kuwa wamoja katika kukidondosha Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani.
Lowassa amesema, wakati akiwa CCM safari yake ya kwenda Ikulu ilikuwa ‘Safari ya Matumaini’ na sasa ndani ya Chadema kwa usaidizi wa UKAWA safari hiyo inaitwa ‘Safari ya Mabadiliko nje ya CCM.’

Akiwa mwenye kujiamini amesema, changamoto kubwa ipo katika UKAWA kutokana na walio nje ya umoja huo kwa maana ya CCM kufikiria kuuvuruga.
Hata hivyo ameabainisha kuwa, hatua ya Chadema na UKAWA kumwamini na kumkabidhi bendera ya kupeperusha kwenye Uchaguzi Mkuu ujao ni nzito.

“Kazi miliyonipa ni nzito, nasisitiza kuwa sitawaangusha, nitawajibika kwa vitendo,” amesema Lowassa huku akiwahakikishia wajumbe hao kuwa chama hicho na UKAWA watashika dola.Lowasa ambaye ni Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli amesema, hakukurupuka kufikia uamuzi wa kuhamia Chadema na kwamba, alifanya mashauriano na mkewe pamoja watu wanaomzunguka.
Amesema, “sikujiunga Chadema kwa bahati mbaya, nilikaa na mke wangu, familia yangu pamoja na watu wanaonizunguka na kufikia uamuzi huu. Nasema kuwa, kazi ya chama ni kushika dola na tumejiandaa kushika dola. Nitapita kila jimbo la nchi hii kuhakikisha tunachukua majimbo yote, kajiandaeni huko, nakuja.”

Matokeo CCM yazidi Kuwa Mwimba kwa Wabunge...Waziri Mwingine, wabunge 4 Waanguka Kura za Maoni CCM

Posted: 05 Aug 2015 01:41 AM PDT

SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.

Kabaka, kabla ya kujitosa katika siasa za majimbo, alikuwa mbunge wa muda mrefu wa viti maalumu. Aidha, katika kura hizo zilizofanyika kote nchini, zimewaacha katika hali mbaya wabunge wanne, baada ya kushindwa katika kura za maoni majimboni mwao.

Hao ni Nyambari Nyangwine, Gaudence Kayombo, John Lwanji na Salome Mwambu.

Matokeo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini ambako Nyangwine ameanguka, yamethibitishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Katibu Wazazi Wilaya ya Tarime, Mathias Lugola aliyetangaza rasmi matokeo ya majimbo hayo.

Awali, matokeo hayo ya kura za maoni yaliahirishwa kutangazwa kutokana na kuwepo kwa tuhuma za kuwapo kwa wizi wa kura. Kwa jimbo la Tarime Mjini, Lugola alifafanua kuwa Michael Kembaki ndiye aliyeibuka mshindi kwa kura 3,908 akifuatiwa na Kabaka aliyepata kura 2,411.

Katika Jimbo la Tarime Vijijini, Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Christopher Kangoye ambaye amejaribu zaidi ya mara tatu kuusaka ubunge, lakini bila mafanikio aliibuka mshindi akivuna kura 15,928 dhidi ya 12,205 za John Gimunta ambaye ni Mweka Hazina wa CCM wilayani Tarime.

Nyangwine na Gimunta, baadaye walilalamikia matokeo hayo wakisema mchakato wa kura za maoni ulitawaliwa na hujuma.

Kayombo azidiwa Mbinga
Katika Jimbo la Mbinga Vijijini, matokeo yaliyotangazwa saa 5:45 usiku baada ya mvutano wa kutangaza matokeo unaodaiwa kudumu kwa takribani saa 12, yameonesha kuwa mbunge wa jimbo hilo aliyekuwa amejitokeza kutetea kiti chake, Gaudence Kayombo ameshindwa katika kura za maoni ndani ya CCM.

Aliyeibuka mshindi ni Martin Msuha, aliyepata kura 13,354 dhidi ya 12,068 za Kayombo, ambaye pia kwa mwaka mmoja na nusu kati ya Januari 12, 2007 na Agosti 2, 2008 alikuwa Naibu Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji.

Wengine walioshiriki katika mchakato wa ubunge jimboni humo na kura zao kwenye mabano ni Humphrey Kisika (545), Dk Silverius Komba (1,289), Edesius Kinunda (2,355), Deodatus Mapunda (2,532), Benaya Kapinga (3,941) na Deodatus Ndunguru.

Wabunge Singida hoi
MCHUANO wa makada mbalimbali wa CCM kuwania nafasi za ubunge katika mkoa wa Singida umekamilika, huku wabunge waliokuwa wakitetea nafasi zao na baadhi ya vigogo kwenye chama hicho wakiwa wamebwaga vibaya.

Kwa mujibu wa Kaimu Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, wabunge wawili waliokuwa wakitetea nafasi zao hawakuweza kupata kura za kutosha kwenye kura za maoni. Nao ni Salome Mwambu wa Jimbo la Mkalama na John Lwanji wa Manyoni Magharibi.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Mgana Msindai ambaye aligombea jimbo la Mkalama alifanikiwa kushika nafasi ya pili kwenye kinyang’anyiro hicho kwa kupata kura 3,908 nyuma ya Allan Kiula aliyezoa kura 5,823. Jimbo hilo lilikuwa na wagombea 16.

Napata shida sana kujua dhamira ya Mh Lowassa kwa Taifa la Tanzania na katika Siasa za Tanzania

Posted: 05 Aug 2015 01:40 AM PDT

1: Aliangaika sana kwa hali na mali kwa kutumia Pesa nyingi sana ndani ya CCM ili siku moja aweze kuwa Rais.

2: Kama angefanikiwa ndani ya CCM angetawala nchi kwa kufuata Sera za CCM na kudumisha Muungano wa Tanzania.

3: Leo hii amewakana CCM kwa kusema 'CCM si baba yangu wala mama yangu' kwa kutumia Pesa nyingi saana na kuhamia CHADEMA. Kama leo hii CCM imekanwa basi na wewe ukiwa kama mwanachama wa CHADEMA/UKAWA au Mwananchi wa kawaida wa Tanzania basi na wewe jiandae kukanwa wakati wowote.

4: Ametumia Pesa nyingi sana kuwashawishi CHADEMA na wengine (kuwanunua) ili awe mgombea pekee wa Urais kupitia UKAWA. Hii inaonesha wazi wazi ni jinsi gani Mh Lowassa hasivyopenda Demokrasia ya kweli na kupenda Uditekta kwa chochote atakacho.

5: Hivi Sasa amehamia CHADEMA kwa matumaini kwamba atashinda Urais na kama akifanikiwa basi atakuja kutawala nchi kwa kutumia sera za CHADEMA/UKAWA na kuvunja Muungano wa Tanzania na kuweka Serikali tatu.

Nikiwa kama Mwananchi nisiye na Chama chochote cha Siasa hapa Tanzania, napata shida saana kujua dhamira ya Mh Lowassa katika Siasa za Tanzania, napata shida sana kujua dhamira yake ndani ya Tanzania kitu ambacho kinanifanya KAMWE siwezi kumuamini chochote asemacho kuhusu swala lolote ndani ya Tanzania, kitu ambacho kinanifanya kutoamini chochote wasemacho CHADEMA/UKAWA maana kama wanaweza kununuliwa kwa mabilioni machache basi ata rasilimali za nchi na Serikali yao siku wakishika madaraka inaweza kununuliwa na Mataifa ya nje kwa pesa ndogo sana.

Kwa kutumia uzoefu wangu wa kutambua watu, Vitu vyote afanyavyo na matendo yake nayaona ni kama mchezo wa kuigiza and its too Good to be true haswa haswa sura yake ukiiangalia kwa makini sana you will see theres something fishy going on.

Kama kweli anauchukia Umasikini na anauchukia umasikini wa Watanzania basi katika mabilioni aliyoyapoteza kwenye Kampeni za kutaka kuwa Rais kupitia tiketi ya CCM na mpaka sasa CHADEMA/UKAWA basi kwanini asingetoa kiasi kidogo kwa Wananchi wa Tanzania na kuwasaidia??!

Je Mh Lowassa una dhamira gani ndani ya Tanzania, Je ni nani anayekutumia kuusaka Urais kwa namna hiyo?? Kwa malengo gani haswa??!

Watanzania, CHADEMA/UKAWA na vyama vyote vingine vya Siasa nchini muogopeni Mh Lowassa zaidi ya Ukoma, CCM wameona basi nanyi kuweni makini sana.

Asanteni.

Maoni Binafsi Toka Kwa Infinite wa JF

Kikwete: CCM Si Chama Cha Mchezo.......Wapinzani Watakiona cha Mtema Kuni Mwaka Huu

Posted: 05 Aug 2015 01:38 AM PDT

MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho sio chama cha mchezo na kuvionya vyama vya upinzani kuwa watakiona cha mtema kuni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Amesema CCM itapata ushindi katika uchaguzi huo kwa kuwa imejipanga kwa hoja na imeleta maendeleo nchini, huku akieleza kuwa wapo watu wenye tamaa ya uongozi ambayo imekithiri.

Aliungwa mkono na Mgombea Urais wa CCM, Dk John Magufuli aliyesema chama hicho kitashinda na haoni wa kuwashinda, huku akiahidi kuwa atakuwa mtumishi wa Watanzania kwani anazijua shida zao.

Rais Kikwete aliyasema hayo jana katika Ofisi Ndogo za CCM, Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam ambako alikuwapo kumpokea Dk Magufuli na Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan baada ya kutoka kuchukua fomu katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katikati ya Jiji ili kuomba kuidhinishwa kuwa wagombea.

“Sasa kazi ndio imeanza rasmi. Dodoma zile zilikuwa rasharasha. CCM sio chama cha mchezo. Watakiona cha mtema kuni. Kama ni mpira wa miguu, basi tumefunga bao wakiwa wamesimama. Tumejiandaa vya kutosha na kushinda tutashinda. Uzoefu, maarifa na uwezo wa kushinda tunao,” alisema Rais Kikwete na kuongeza:

 “Nawataka wanaCCM kujipanga, msimdharau yeyote hata mpinzani akiwa mdogo shughulikeni naye. Tumejipanga kwa hoja, tunazo hoja za kuzungumza. Nchi tulivu na maendeleo yanaonekana na duniani kote wanajua kuwa Tanzania inafanya vizuri. Tunao utawala bora, demokrasia na uhuru wa habari.

“Hata duniani wanajua hilo na wanaona fahari kushirikiana na Tanzania. Lakini wapo watakaokuwa na tamaa tu, duniani wapo watu wameumbwa hivyo, wengine wanayo tamaa hadi imekithiri, imevuka mipaka,” alieleza Rais Kikwete mbele ya maelfu ya viongozi, wanachama na mashabiki wa chama hicho tawala.

Rais Kikwete aliyefuatana na mkewe Mama Salma, alikatiza hotuba yake na kuliomba kundi la Tanzania One Theatre (TOT) kuimba wimbo wa “Waache waseme CCM ina wenyewe,” ambao alishiriki kucheza na mwisho wa wimbo huo, alisema: “Ni ushindi wa uhakika, hauna hatihati. CCM shangilia ushindi unakuja.”

Kabla ya kumkaribisha Dk Magufuli na Samia, Mwenyekiti huyo wa CCM alisema uzinduzi wa kampeni za urais kwa chama hicho utafanyika Agosti 22, mwaka huu na watatangaza wapi uzinduzi huo utafanyika kwani Viwanja vya Jangwani kwa sasa havina fursa hiyo kwa kujengwa miradi ya mabasi ya haraka na wafanyabiashara wadogo.

Alishuka jukwaani saa saba kamili mchana baada ya kuwatambulisha wagombea hao wawili, ambapo Samia kwa upande wake alisema haoni sababu ya CCM kushindwa kutokana na jinsi kazi ya jana ya kwenda kuchukua fomu ilivyokusanya maelfu ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa chama hicho tawala.

Lakini, Dk Magufuli ambaye aliwasili Lumumba saa 4.47 asubuhi ili kwenda kuchukua fomu hizo, alisisitiza kauli ya Rais Kikwete kuwa CCM itashinda kwani chini ya uongozi wa rais huyo anayemaliza muda wake kikatiba, mambo mengi mazuri yamefanywa ambayo yanawafanya watembee kifua mbele.

“Kujitokeza kwenu kwa wingi leo ni ushahidi mwingine kuwa CCM itaendelea kutawala. Niwathibitishie kuwa shida za Watanzania nazijua, mategemeo ya Watanzania ninayo, na ipo misingi mizuri imewekwa chini ya Rais Kikwete.

“Nawaahidi nitakuwa mtumishi wenu sababu ninazijua shida za Watanzania. Watanzania wana tatizo la ajira, hawataki kero za ovyo kama kukimbizana na mama ntilie na bodaboda. Wanataka uchumi wao uwe mzuri, wanataka maisha mazuri zaidi. Nitayasimamia, nawahakikishia sababu kero hizo nazijua,” alisema Dk Magufuli.

“Nimekuwa mbunge kwa miaka ishirini na nimekuwa Waziri. Nimepata uzoefu kwa Rais Kikwete, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa, Mzee Nyerere, na viongozi wengine. Niko tayari kukipokea kijiti kwa mikono miwili. Nataka Mwenyekiti kukuhakikishia kuwa tutashinda, sioni wa kutushinda,” alisema Dk Magufuli huku akirudia maneno ya “sioni wa kutushinda” mara tatu.

Alisema atakuwa mtumishi wa Watanzania wote bila kujali dini, kabila, itikadi kwa sababu maendeleo ni ya wote, lakini akawataka wadumishe umoja na amani, na kuwaahidi kuwa hatawaangusha.

Nuh Mziwanda Ajibu Tuhuma za Kumtongoza Wema Sepetu

Posted: 05 Aug 2015 01:36 AM PDT

Baada ya kusambaa sauti ya Nuh Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, muimbaji huyo ameibuka na kukanusha kuwa sauti hiyo sio yake na kumtuhumu Wema kuitengeneza sauti hiyo.

Akizungumza na mtandao  wa  Bongo5  akiwa na mpenzi wake Shilole, Nuh amesema kitendo kilichofanywa na Wema pamoja na timu yake sio cha kistaarabu.

“Mimi nimetake easy, ni mambo ya dunia kwa sababu ni mambo ya dunia ambayo yapo duniani. So wameamua tu kufanya vile sio suala ambalo lipo na sio suala sahihi,” amesema Nuh.

“Ile sio sauti yangu watu tu wameamua kufanya ili kunichafulia mimi labda na mpenzi wangu. Kwa sababu ukisikiliza mwishoni kuna mtu amejitaja jina lake. Ni kitu ambacho kimepelekwa studio wakaiweka sawa ili wapate kitu kibaya kije kwangu na Shishi. Hiki kitu sikukitegemea kwa sababu watu waliofanya kitu kama hicho ni watu ambao kwenye vitu vingi, kwenye mambo ya kampeni yaani mimi sijategemea,” ameongeza.

“Mimi hili suala nalichukulia kawaida na naona ni ushamba na upu*vu na hawana akili hata kidogo. Kama ni kweli, angemfuata Shishi akamwambia kwamba ‘mpenzi wako kafanya kitu fulani fulani kwangu’ sio kutangaza.

"Na kama kweli, kwanini asingesema wengine wanaomtongoza na akawaweka mtandaoni? Ni Wema pamoja na watu wake wote ndio wamefanya hivi! Siku ya kwanza Shishi alilipokea vibaya lakini baada ya kumuelewesha kanielewa,” amesisitiza.

Kwa upande wa Shilole amekiri kulipokea jambo hilo kwa mshtuko lakini tayari ameshamsamehe Nuh na maisha yanaendelea.

“Mimi sina ugomvi na mtu katika maisha yangu,” amesema Shilole.

“Kama wametengeneza ili wafanye hayo yote mimi sijali, watajua wenyewe, of course limeathiri mapenzi yetu. Sasa hivi tupo fresh, kwasababu mwenyewe ameshaniomba ‘mpenzi wangu samahani kwa kilichotokea lakini sio kweli.’ Nimeshamsamehe, mimi nimemuelewa alichosema Nuh basi.”

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

Posted: 05 Aug 2015 02:00 AM PDT



Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

Kumbe Askari Magereza Ndiye Aliyetoa Mafunzo Mauaji ya Polisi Stakishari

Posted: 05 Aug 2015 01:29 AM PDT

Na Makongoro  Oging’
Kuna taarifa kwamba kumbe askari magereza mstaafu wa Gereza la Dondwe,Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani (jina linahifadhiwa) anadaiwa kuhusika katika zoezi nzima la utoaji wa mafunzo ya kijeshi kwa watu waliovamia Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam Julai 12,mwaka huu.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba askari huyo anatajwa kuhusika kutoa mafunzo ya kijeshi na mbinu za medani kwa watu walioshiriki kitendo cha kinyama cha kuvamia kituo, kuiba silaha na kuua raia na askari.

Mwandishi wetu alielezwa na vyanzo makini vya habari kwamba askari huyo alikuwa akitoka kijijini kwao ambacho kipo mbali na makazi ya wanaodaiwa wahalifu wa tukio hilo na kuja kwenye ngome hiyo kwa ajili ya kutoa mafunzo.

“Alikuwa akijidai kuja kwenye ibada lakini alikuwa akipita   nyumba nyingi za ibada, kitu kilitotushangaza wengi kwani hata kama mvua ikinyesha, hakukosa kwenda kwenye ngome ya wahalifu wale.
Imeelezwa kwamba askari huyo alikuwa akiwatembelea watuhumiwa hao huko porini kwenye ngome yao bila vikwazo lakini  raia wa kawaida hawakuruhusiwa kwenda au kupita maeneo hayo jambo liliokuwa likileta maswali mengi juu ya uhusiano wa askari huyo na watuhumiwa hao.
Hivi karibuni wananchi wa Kijiji cha Mandikongo, Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani walipokuwa wakiishi watuhumiwa hao wa mauaji wa Polisi wa Kituo cha Stakishari walikaa katika mkutano kujadili  kuhusu suala la ulinzi na usalama, wakakubaliana kwa pamoja kushirikiana na polisi na vyombo vyote vya usalama kuwasaka waliohusika na tukio hilo waliokuwa wakiishi katika pori la kijiji hicho.

Hata hivyo,  wananchi hao walisema askari huyo mstaafu wa magereza lazima asakwe na kukamatwa ili ahojiwe na vyombo vya serikali kuhusu urafiki wake na watuhumiwa hao ambao kwa sasa wamekimbia na familia zao na hawajulikani walipo.

“Unajua huyu askari tuna wasiwasi naye maana angekuwa mtu mzuri angeweza kutoa taarifa kwa vyombo vya dola kuhusu kikundi hicho hatari,” alisema mwanakijiji mmoja wa kijij hicho ambaye hakupenda kuandikwa jina gazetini.
Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Mandikongo, Issa Said Mchalaganga alisema kwamba kamati ya ulinzi na usalam  kijijini hapo wamedhamiria
 watuhumiwa wote wanapatikana pamoja na silaha nzito za kivita walizokimbia nazo.
Watuhumiwa saba wanaosadikiwa kuhusika katika uhalifu mbalimbali likiwemo tukio la Stakishari hawajapatikana na vyombo vya dola vinaendelea kuwasaka.

Polisi hivi karibuni walisambaratisha kambi ya kikundi hicho na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja, bunduki 15 na fedha shilingi milioni 170 zilizochimbiwa chini katika kambi ya watuhumiwa hao.
Polisi wanne na raia watatu waliuawa katika uvamizi wa Kituo Kikuu cha Polisi Stakishari cha Wilaya ya Kipolisi Ukonga, Julai 12, mwaka huu na watuhumiwa hao wanadaiwa kuhusika na uvamizi huo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Lucas Mkondya alipohojiwa alisema anaendelea kuwasaka watuhumiwa.

“Nawaomba wananchi kutoa taarifa kituo chochote cha polisi, vyombo vya usalama au kwa wenyeviti wa serikali ya mitaa wakiwaona watu wanaowatilia shaka,” alisema.

PICHA: Magufuli Alitikisa Jiji la Dar es Salaam Wakati Akichukua Fomu ya Kugombea Urais

Posted: 04 Aug 2015 09:45 PM PDT


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt  John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.

Udaku Specially

unread,
Aug 6, 2015, 4:14:09 PM8/6/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Jacqueline Wolper ana mimba ya miezi mitatu? ‘Mine is on the way 5 months to go’

Posted: 06 Aug 2015 07:39 AM PDT

Jacqueline Wolper ni mama kijacho – at least kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika Instagram wakati akiwapongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto wao wa kwanza, Latiffah.

Congratulations dad and mom MTV, God is always great, Congrats Wasafi President for the little princes. Mine is on the way 5 months to go!!,” ameandika Wolper.

“Sema mtoto wa kwanza bwana unaweza kujikuta unataka kum’beba wewe tuu na kazini usiendee, utunyime mashabk haki yetu ukaacha kututungia viburudisho ukawa unalea. Hongera mtani wangu one love @diamondplatnumz,” ameongeza.

Tusubiri kama taarifa yake ina ukweli!

Wema Sepetu Amtangazia Kiama Tundu Lissu......Asema Siku Zake za Ubunge Zinahesabika

Posted: 06 Aug 2015 04:49 AM PDT

MSANII maarufu wa filamu nchini,Wema  Sepetu, amemtangazia kiama mbunge wa jimbo la Singida mashariki Tundu Lissu wa CHADEMA,kwamba siku zake za ubunge zinahesabika.

Wema miss Tanzania 2006, aliyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya safari yake ya kisiasa ambayo ameianzisha baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ubunge viti maalum (CCM) mkoa wa Singida uliofanyika hivi karibuni.

Alisema matunda ya safari yake ya kisiasa yataanza kuonekana kuanzi oktoba mwaka huu baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, kwani jimbo la Singida mashariki,litakuwa mikononi mwa CCM  chama tawala.

“Mimi nimerudi Singida kwa kazi maalum, nimekuja kushiriki upigaji kura za maoni CCM.Tumemchagua mgombea wetu Jonathan Njau…..tutahakikisha Njau anamgaragara Tundu Lissu”,alisema Wema kwa kujiamini.

Akifafanua,alisema hivi sasa maandalizi ya kuing’oa CHADEMA jimbo la Singida mashariki,yameanza na yanaendelea vizuri.

Wema alisema kazi ya kuing’oa CHADEMA mwaka huu, itafanywa kwa ushirikiano wa karibu na wana CCM wote na kuungwa mkono na kundi la wasanii maarufu kutoka jijini Dar-es-salaam.

Kwa upande wake katibu wa CCM wilaya ya Ikungi, Aluu Segamba,amesema Wema ameonyesha amekomaa kisiasa kwa kitendo chake cha kurudi Singida mapema,licha ya kuangushwa kwenye uchaguzi wa ubunge viti maalum CCM hivi karibuni.

“Tunaendeleaa kushuhudia wana CCM wengi wanaoangushwa kwenye chaguzi mbalimbali,huwa na chuki na chama na wangine wamefikia uamuzi wa kukihama chama. Lakini Wema ndio kwanza mapenzi yake kwa chama yameimarika na sasa anaelekeza nguvu zake kulikomboa jimbo la Singida mashariki kutoka CHADEMA na kulirudisha CCM”, alisema Segamba.

Hatimaye Diamond Na Mpenzi Wake Zari Wapata Mtoto Wa Kike.

Posted: 06 Aug 2015 04:44 AM PDT

Staa wa Bongo Fleva ambaye jina lake limebeba uzito mkubwa Afrika, Diamond Platnumz amepata  mtoto  wa  kike  toka  kwa  mpenzi  wake  Zari  Hassani.

Mtoto huyo ameingia duniani saa 10 na dakika 40 Alfajir, Alhamis hii.

Haijaweza kufahamika kwa mara moja ni hospitali gani mtoto huyo amezaliwa kwa kile meneja alichosema ‘usalama wa mama na mtoto’ kwakuwa bado wapo hospitali.

Sura ya mama yangu inatosha kueleza ni kiasi gani najiskia ndani ya Moyo wangu, karibu kwenye ulimwengu @princess_tiffah,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo juu aliyoiweka Instagram.

Awali Diamond alisema kuwa Zari angejifungulia Tanzania.

Breaking News:Profesa Lipumba Kashindwa Kuvumilia, Haya Ndio Maamuzi yake Magumu

Posted: 06 Aug 2015 01:29 AM PDT

Kumekuwa na stori nyingi ambazo zimeandikwa sana Magazetini kuhusu Umoja wa Vyama vya UKAWA, baada ya Mbunge wa Monduli kukaribishwa CHADEMA na UKAWA stori nyingine zikaanza kuchukua headlines kuhusu baadhi ya Viongozi waliopo Vyama vya UKAWA.

August 06 2015 nimeipata taarifa rasmi kutoka kwenye Kikao ambacho Prof. Lipumba amekifanya Dar, ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama hicho.

Kunani?

Zari Ateseka saa 48, Siku Zimeshafika na Kupitiliza...

Posted: 05 Aug 2015 11:36 PM PDT

Zari
HALI ni tete! Nyota wa Muziki wa Kizazi Kipya wa Uganda, Zarina Hassan ‘Zari’ (pichani) ambaye ni mpenzi wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anasemekana kuteseka kwa saa arobaini na nane (siku mbili) akisubiri kujifungua kutoka katika ujauzito wake, Amani lina mchapo wote.
zariKwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka katika familia ya Diamond, Jumatatu na Jumanne zilikuwa siku mbaya kwa Zari baada ya hali yake kuwa tete kwa maumivu makali hali iliyoashiria kwamba, sekunde za kupata uchungu wa kuzaa zilishafika.

SIKU ZA MATARAJIO
Taarifa za awali zilidai kuwa, Jumamosi ya Agosti Mosi, mwaka huu ndiyo ilikuwa siku ya makadirio ya Zari kujifungua lakini siku hiyo jua likachomoza mpaka likazama, kukakucha. Siku ya pili ikaingia, Jumapili, ikafika Jumatatu, Zari akiwa bado hajajaliwa kupata mtoto ndipo hali ilipobadilika.

DIAMOND AMKIMBIZA HOSPITALI
“Hali ilikuwa mbaya sana. Ikabidi Diamond amkimbize kliniki anayotumia Zari iliyopo Masaki (Amani linaijua ni Hospitali ya Ami, Masaki, Dar),” kilisema chanzo hicho huku kikiomba hifadhi ya jina lake.

DAKTARI ATIA NENO
Habari zaidi zinadai kuwa, daktari wa Zari alimwambia Diamond kuwa, itabidi mjamzito huyo akomalie mazoezi, hasa yale ya kujaza pumzi kifuani ili aweze kujifungua kirahisi na ndivyo alivyofanya Zari.

HALI YAKE
“Ilibidi Zari arudishwe nyumbani lakini hali yake kiafya ikiwa ya kusuasua kwani hayuko kawaida. Si unajua wajawazito. Wakianza maumivu ya tumbo (uchungu) wanakuwa kwenye mateso makubwa. Hali yake ni ya kumtazamia sana.” Chanzo.

MAMA WA ZARI ATUA DAR
Habari zilizolifikia gazeti hili Jumanne iliyopita zilisema kuwa, mama wa Zari, Halima Hassan tayari yupo Dar nyumbani kwa Diamond baada ya hali ya Zari kuwa tete.
“Mama Zari ametua Dar tayari kwa dharura. Kaja tayari kwa kumsaidia mama Diamond (Sanura Kasim) katika harakati za kuhakikisha mzazi huyo (Zari) anahudumiwa sawasawa,” kiliongeza chanzo.

HOFU YA KUFICHA HABARI
Wakati hayo yakiendelea, tayari kuna hofu kwamba, habari za Zari kujifungua zinadaiwa haziwezi kuwafikia mashabiki moja kwa moja ili kumuepusha mtoto na watu wabaya.

DIAMOND AZUNGUMZA
Amani lilipata nafasi ya kuzungumza na Diamond juzi ambapo aliulizwa kuhusu Zari kujifungua.
“Teh! Teh! Nyie watu kwa kutafuta habari bwana…Teh! Teh!”

KUHUSU USIRI
Diamond alisema hakuna usiri wowote wa Zari kujifungua kwani ni jambo la heri kabisa.
“Usiri wa nini sasa? Kwani kujifungua ni jambo baya? Mbona ni tukio jema tu. Hakuna usiri wowote ule,” alisema Diamond.

Welcome Inside Diamond Platnumz’s Daughter’s Room – VIDEO

Posted: 05 Aug 2015 11:33 PM PDT

Being born into a rich family is one of the best privileges any child can get in this life, and such is the case of Diamond and Zari’s unborn child whom they have been busy preparing to welcome into the world.

Apart from shopping for her from the best baby shops in the world, the East African power couple has now designed and decorated a room in one of their mega mansion to be hers. From their social media, below  is a short video clip of the princess about to be born to Platnumz’s family.


Creepy! – These Kenyan Ladies Followed Diamond to His Hotel Room – VIDEO - See

Posted: 05 Aug 2015 11:28 PM PDT


On Saturday night, a group of Kenyan ladies who could not stomach the absence of Diamond Platnumz  after the MAMA’s After Party performances, decided to pursue him inside the hotel room where he was sleeping all in the name of taking selfies with the high flying Bongo sensation.

Raining knocks on his door, Diamond had to oblige and come out to meet, greet and take pictures with his diehard Kenyan female fans. His stripping incidence while on stage must have rippled the ladies’ interest to see him in person.

Well, below are video clips of the chics having their time with the nana hit-maker.

Dr Slaa: Niko Salama, Wakati Ukifika Ntazungumza Kila Kitu

Posted: 05 Aug 2015 11:12 PM PDT

Siku tatu baada ya Baraza Kuu la Chadema kuridhia kumpumzisha kwa muda Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kumkaribisha waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kiongozi huyo amesema yupo salama na wakati mwafaka ukifika atazungumza ya moyoni.

Akizungumza kwa mara ya kwanza na gazeti la Mwananchi tangu Chadema imkaribishe Lowassa na hatimaye kumpitisha kuwania urais kupitia muungano wa Ukawa, Dk Slaa amesema amekuwa akisikia mengi yakisemwa juu yake lakini yote yamekuwa yakimchekesha tu.

Hakuhudhuria vikao muhimu vya chama hicho na vile vya Ukawa, vikiwamo; wakati Lowassa akitambulishwa rasmi, akichukua fomu, kikao cha Baraza Kuu na juzi Mkutano Mkuu na hakuwa akipatikana kwa simu yake ya mkononi.

Wakati kimya kikitawala juu ya hatima yake, baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikiandika kuwa amejivua uanachama Chadema.

Lakini jana alisema: “Naangalia mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao halafu ninacheka tu, usifikiri sifuatilii, nafuatilia kinachoendelea na ninabaki nikicheka.”

Kuhusu hatima yake kisiasa na madai ya kujiuzulu uanachama ndani ya Chadema, alisema hawezi kuzungumza lolote kwa sasa na atafanya hivyo wakati mwafaka ukifika.
 
“Usijali wakati wangu wa kuzungumza ukifika nitasema tu, sasa hivi nawaachia mzungumze, lakini nitazungumza,” alisema.

Kadhalika, alipoulizwa kuhusu taarifa zilizozagaa kuwa maisha yake yapo hatarini kwa kuwa anatishwa, Dk Slaa alisema hata hilo pia atalizungumzia wakati mwafaka ukifika.

“Ndiyo hayohayo ninayosema, wala msijali nitazungumza wakati ukifika,” alisema na kusisitiza: “Nipo salama.”

Dk Slaa alisema kwa sasa yupo mapumzikoni nje ya jiji la Dar es Salaam ingawa hakutaka kueleza ni eneo gani.

Juzi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alifafanua tofauti iliyojitokeza kati ya Kamati Kuu ya Chadema na Dk Slaa wakati wa mchakato wa kumpokea Lowassa.

Katika mkutano huo wa Baraza Kuu la Chadema, Mbowe alisema wamekubaliana katibu mkuu huyo apumzike kwa muda... “Nina hakika kwa tabia na hulka za Dk Slaa… kwa sababu anajua tunampenda na yeye anakipenda chama hiki, tunamwombea kwa Mungu ampe nguvu na ujasiri wa kuona kwamba kauli ya wengi ni kauli ya Mungu.”

Ndesamburo na siri nzito
Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo na makada wengine wa Chadema, jana walikwenda kuonana na Dk Slaa nyumbani kwake na kufanya naye kikao cha faragha.

Picha zilizomuonyesha Ndesamburo akiwa na Dk Slaa na makada wengine akiwamo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Jaffar Michael, zilisambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii jana na kuibua mijadala.

Baadhi ya waliochangia mijadala hiyo walidokeza kuwa huenda Ndesamburo anayeheshimika ndani ya chama hicho alikwenda kujaribu kusawazisha hali ya mambo.

Mkuu wa Idara ya Habari wa Chadema, Tumaini Makene alikiri kuwa picha hizo ni halisi, baadhi zilipigwa juzi na nyingine jana mchana, lakini hakutaka kuingia undani wa mkutano wa wanasiasa hao.

Ndesamburo alithibitisha kukutana na Dk Slaa: “Ni kweli tulikwenda, kwani kuna tatizo gani? Si mzee mwenzangu? Halafu bado ni mwanachama wetu, hajatoka Chadema, hivyo tuna kila haki ya kwenda kumsalimia.”

Alipoulizwa kama alikwenda kumsihi Dk Slaa arejee kuendesha mapambano ya kuing’oa CCM, Ndesamburo alisisitiza kuwa walikwenda kumsalimia.

Michael alipoulizwa nia ya safari hiyo alijibu kwa kuuliza; “Dk Slaa ni katibu mkuu wetu kwani tunazuiwa kwenda kumsalimia?”

Dk Slaa aligombea urais mwaka 2010 na kushika nafasi ya pili baada ya Rais Jakaya Kikwete na ndiye aliyekuwa akitajwa kuwania tena nafasi hiyo kupitia Chadema na Ukawa kabla ya “kubadili gia angani” na kumteua Lowassa.

Funny: Jionee Wakenya walivyomshambulia Huddah baada ya kugundua shamba alilopost sio lake!

Posted: 05 Aug 2015 11:19 PM PDT

Socialite Huddah Monroe was not a lucky lass after a claim she had made on her instagram turned out to be fake according to KOT. It all started after the socialite posted pictures of a vegetable farm she claimed to be hers and went ahead to say that it is from it that she gets all the money to foot her bills as well as finance her international flights.

Keen Kenyans quickly revealed that she had just picked pictures from the internet and then created a photo-collage to make the farm appear to be hers. Below is a compilation of how KOT bashed Huddah for lying about her source of income.


LMFAO usicheze na KOT, Huddah has been busted pic.twitter.com/ey9MT34qwv

— Masaku (@masaku_) August 4, 2015

Ukinunua vegetables za Huddah pic.twitter.com/3zV4tXh85i http://t.co/3zV4tXh85i

— TRENDING KENYA (@TRENDINGKENYA) August 4, 2015

I've been trying to spot the difference between Huddah and the Hoe pic.twitter.com/iqn5i2fYLb

— Tony™ (@thejokker7) August 4, 2015

Portion of Huddah's Piece of Land pic.twitter.com/jI7VSvJaSm

— Njaci (@nick_JASSY) August 4, 2015

Yall got it wrong..... Huddah ni farmer pic.twitter.com/5b9Hr0IyVy

— Scumbag_Nicko (@TygaNgugi) August 4, 2015

Huddah just needs some mental guidance! she has just confused herself with this Hoe! I am sure you are not this Hoe! pic.twitter.com/HVOnPIMwYo

— Alex The Blogger™ (@Moseax) August 4, 2015

Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba Akana Kujiuzulu Uenyekiti CUF

Posted: 05 Aug 2015 10:58 PM PDT

Kufuatia kutokea sintofahamu iliyopelekea mkutano wa Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na Waandishi wa  Habari  kuahirishwa jana  asubuhi hatimaye, mida  ya  saa  nane  mchana  Prof. Lipumba alijitokeza na kukana kujiulu.

Katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuanzia juzi zilienea taarifa kuwa Prof. Lipumba amejiuzulu, suala lililopelekea jana kuitishwa mkutano na Waandishi wa Habari katika ofisi zao zilizopo Buguruni jijini Dar es salaam lakini  ghafla mkutano huo uliahirishwa.

Sababu ya kuahirishwa mkutano huo inadaiwa kuwa  ni wazee wa  chama  hicho kumtaka Prof. Lipumba kuwaeleza kile alichopanga kuzungumza na waandishi .

Wazee kadhaa walichaguana na kwenda kuonana naye kujua alichokuwa amekusudia kuzungumza na waandishi wa habari hasa baada ya kuwapo kwa tetesi za kutaka kujiuzulu.

Akizungumza mara baada ya kufanya kikao na wazee hao Prof. Lipumba alisema kuwa hajajiuzulu  na kuwataka wanachama   kuhakikisha   kuwa  wanakijenga  chama  cha CUF.

“Mwaka 1995 nilikuwa mwanachama wa kawaida nilipogombea urais kwa tiketi ya CUF na mwaka 1999 nilikuwa mwanachama wa kawaida nilipoongoza kampeni za Jimbo la Temeke na Ubungo ambapo tulishinda lakini wakatuibia kura.

“Chama ni taasisi na tukijenge kama taasisi, ni wajibu wa kila mwanachama bila kujali nafasi aliyonayo kukijenga,” alisema na kuhitimisha kwa salamu ya; “hakiii” na kujibiwa “kwa wote,”

Nipo njia panda kuchukua uraia wa Tanzania – Christian Bella

Posted: 05 Aug 2015 10:55 PM PDT

Christian Bella aka ‘King of Best Melodies’ amesema bado yupo njia panda kuchukua uraia wa Tanzania huku akiimarisha zaidi makazi ya nyumbani kwao.


Bella anayetamba kwa sasa na video ya Nashindwa, ameiambia Bongo5 leo kuwa ingawa amekuwa akipokea ushauri kutoka kwa watu wa karibu lakini bado anaona kwa sasa sio muda sahihi.

Kupata uraia sio kitu rahisi,” amesema. “Naichukulia Tanzania kama nyumbani kwangu, tena najisikia furaha zaidi kwa sababu ni sehemu ambayo imenipa nafasi ya kufanya kile ninachokipenda maishani mwangu. Umaarufu nilionao Tanzania sio umaarufu nilionao Kongo. Wengi wamekuwa wakinishauri nichukue uraia lakini naogopa nisije nikajuta baadaye. Acha niendelee kutafakari kwanza, ikifika wakati basi hakuna kinachoshindikana,” ameongeza.

Pia Bella amesema kitu kingine kinachomuumzia ni kukaa mbali na mke wake pamoja na mtoto wake wanaoishi nchini Sweden.

Hii inanicost sana ninavyotaka kuonana nao. Sipendi niache familia yangu huko Ulaya na mimi nipo Bongo, yaani mtoto na mama yake wananimiss sana na mimi nawamiss sana. Lakini kikwazo ni mtoto anasoma na serikali ya kule inafuatilia sana watoto, huwezi kumtoa mtoto wako akae nje ya shule kwa miezi mitatu. Mtoto wanachukulia kama wa kwao hivi na mimi najua sio kitu kizuri kuacha familia yangu mbali na mimi nipo huku lakini ndo maisha,” amesema.

“Mimi muziki wangu unapendwa huku na sio kule. Hata nikienda kule na rangi hii nyeusi wataleta dharau,.”

Edward Lowassa Aendelea Kugawa DOZI!! Nguli Mwingine wa CCM Atua CHADEMA.

Posted: 05 Aug 2015 10:37 PM PDT

Edward Lowassa aendelea kugawa DOZI!!
Nguli mwingine wa CCM atua CHADEMA.
Aliyekuwa Mbunge wa KYELA na Mkuu wa Mkoa Mbeya - Ndugu John Mwakipesile ametangaza rasmi kuihama CCM leo na kujiunga na CHADEMA.

Udaku Specially

unread,
Aug 7, 2015, 4:27:35 PM8/7/15
to mbara...@googlegroups.com

UVCCM Yamvaa Lowassa, Wasema Watamnyosha

Posted: 07 Aug 2015 08:48 AM PDT

Ndugu waandshi wa habari 
Assalama Alaykum 
Ndugu waandishi wa habari, 

Nchi yetu hivi sasa inapita katika hekaheka za kuelekea uchaguzi Mkuu. UVCCM tumewaita hii leo ili kuwapa taarifa yetu juu ya mwenendo wa kisiasa, suala la vijana na uchaguzi mkuu, mkakati wa UVCCM kuhakikisha wagombea wa Urais kupitia CCM kuhakikisha wanashinda kwa kishindo kikubwa na kuwapa idhari viongozi wa CHADEMA wajiandae kuwahakikishia watanzania kama Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa alihusika na vitendo vya ufisadi kama walivyodai au laa.

Aidha UVCCM tunampongeza kwa dhati mgombea wa CCM Dk John P. Magufuli kwa kuchukua fomu ya urais wa Jamhuri ya Muungano kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi (NEC) akiambatana na mgombea mwenza wake Mhe, Samia Suluhu Hassan, 4 August 2015.

Pia Furaha yetu haijifichi na tunapenda kumhakikishia Dk Magufuli na Dk Shein tutabaki nao bega kwa bega ambapo pia hatutasita wala kurudi nyuma kufanya kila linalowezekana kuhakikisha wanapata ushindi wa kishindo cha ajabu kitakachowashangaza na kuwashtua wasaka vyeo na madaraka na wanaotumia gharama za fedha ili kupata uongozi.

UVCCM tunapenda kuwasihi vijana wenzetu wajiweke kando na wanasiasa wachovu waliochoka kifikra na kimwili ambao hawahimili mikiki ya siasa za kileo wanaopania kuwachochea vijana washiriki vurugu na fujo.

UVCCM tunawataka vijana wenzetu kutokubali kughilibiwa, kutumiwa na wanasiasa wachovu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Badala yake sote kwa pamoja tutenge muda na wakati wetu kulinda amani, utulivu na umoja kitaifa kama sera ya CCM inavyosisitiza siku zote..
UVCCM tunachukua nafasi hii kuwakumbusha viongozi wa upinzani husasan CHADEMA kuyakumbuka matamshi walioyatoa na kuyasambaza nchi nzima miaka kadhaa iliopita sasa ni wakati wao kutoa majibu sahihi mbele ya wananchi.

Viongozi wa chama hicho kwa nyakati tofauti walitoa madai mazito dhidi ya mwanachama wao mpya Edward Lowasa na wengine kwa kuwatuhumu kuhusika na ufisadi wakati viongozi wa chama hicho wakihutubia kwenye majukwaa ya kisiasa.
Tunafikiri watatenda ungwana kuwathibitishia watanzania kama wao ni wakweli na si wanafiki wa kisiasa, wababaishaji na wazushi wasiofaa kusikilizwa.

Yale walioyasema, kuyaamini na kuyaeneza sasa ni wakati wao muafaka kuyafafanua, kusema ukweli na kama waliongopa kwa kutafuta umaarufu wa kisiasa wawatake radhi wananchi na wakiri wao ni wataalam wa kuzua na watamke kwa kukiri CCM si chama chenye makandokando ya ufisadi.

Wakati wakijiandaa kumkosha kila waliyemtuhumu katika kina kikubwa cha maji wajue kuwa bila ya kutoa ufafanuzi tope za madai ya ufisadi zitawachafua viongozi wa CHADEMA na kiongozi wanaembeba wakati huu wanapojaribu kutaka kuwashaulisha watanzania. Ni vyema viongozi hao wakatambua kuwa neno likishatamkwa ni vigumu kulirudisha mdomoni.

Ndugu waandishi wa habari.

Tokea kupitishwa na kutangazwa jina la Dk. John Magufuli, kuwa mgombea wa Urais, zama mpya imepambazuka mbele ya upeo wa macho ya watu . Ngurumo za kusafisha mafisadi zimeanza wa kasi kwenye vyama vya upinzani .Kasi hiyo na kusafishana ni hofu walionayo wapizani baada ya kuona ni vipi vyama hivyo vitashindana na mgombea urais wa CCM asiyekabiliwa na tuhuma,
asiyetiliwa shaka huku akiamainiwa na makundi ya vijana, wanawake, wazee, wasomii, wakulima na wafanyakazi kwa utendaji na uchapakazi wake mahiri.

UVCCM chini ya Chama Cha Mapinduzi tunaipongeza Kamati ya Madili, Kamati kuu, NEC na Mkutano Mkuu wa Taifa kwa kushiriki mchakato wa kuyapitisha majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar.

Tunaona fahari kupata wagombea waadilifu, waaminifu, wachapakazi na waaminifu kwa CCM na Taifa letu wakipeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao Oktoba mwaka huu.

Tunavipongeza vikao hivyo kwa kupitisha wagombea ambao CCM haitapata kazi na gharama ya kuwanadi kwa wananchi wakati wa kuomba kura. Wagombea waliochaguliwa mikono yao ni misafi, hawatiliwi shaka na hawana uchovu zaidi ya kuwa na weledi, uzalendo na kuheshimu kwao misingi ya utawala bora.
Ndugu waandishi wa habari,

Tunampongeza na kuunga mkono kauli ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa katika viwanja wa Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar Es Salam kuwa "tumejiandaa kushinda na tutashinda, tuna uzoefu wa kutosha tunayo maarifa mwaka huu tutatapata ushindi mkubwa." Kauli hiyo imetupa nguvu na ari vijana wa CCM tukiamini CCM ni chama kikubwa kilichosheni hekma na mikakati mizito ya kulivusha taifa wakati wowote wa misukosuko ya pepo za kisiasa. Vijana wa CCM imetulazima kukumbuka historia ya pepo za misukosuko kabla na baada ya uhuru 1961 na Mapinduzi ya 1964.
Historia inaonyesha mwaka 1958 kiongozi wa juu katika TANU Zubeir Mtemvu alijitoa na kuanzisha chama cha ANC na TANU hikugawanyika, mwaka 1967 Waziri muandamizi katika serikali ya TANU Osca Kambona alijiondoa na TANU ilikuwa imara, Mwaka 1959 ASP iliwatimua kina Mohamed Shamte Hamad na kuenda kuanzisha chama cha ZPPP na ASP ilizidi kuwa imara na kujipanga hatmae 1964 ikafanya Mapinduzi.

Mwaka 1984 CCM inayotokana na TANU na ASP ilimvua madaraka aliyekuwa Rais wa Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi CCM haikutetereka, mwaka 1984 ilimfukuza Seif Shariff Hamad na wenziwe 6 CCM haikugawanyika, mwaka 2014 CCM ilimfukuza unachama waziri wake muandamizi (MNEC) Mansour Himid Yussuf CCM haikubabaika, 2015 CCM ilimfukuza unachama mkongwe wa siasa Hassan Nasoro Moyo bado hatujahamanika wala hatukujutia.

Hatuna la kupoteza wala kujutia kwa sababu ya kuondoka Lowasa ndani ya CCM, sisi vijana tunamini kuwa sasa LOWASA si agenda tena ndani ya CCM inayoweza kutusumbua CCM imefunga mjadala.
Vijana tunaendelea kujifunza na kuamini kuwa CCM iliyotokana na TANU na ASP imepita katika misukosuko mingi na imeweza kuhimili vishindo bila kugawanyika na harakati za ukombozi ziliendelea hadi wazee wetu wakitimiza malengo waliyoyakusudia.

Tunarejea tena hatuna cha kupoteza wala kujutia Lowasa kaondoka CCM aende tu na mjadala huo umefungwa tunaimani kubwa na umakini wa viongozi wetu CCM ndio ile ile, wembe ni ule ule, kinyozi ndio Yule Yule hakuna jipya Oktoba 25 kitaeleweka baada ya kumaliza kazi ya safari ya Magufuli na Shein Kuipatia ushindi CCM.
Kubwa tunawakumbusha wapizani wetu hatudharau adui UVCCM tumejipanga kulinda heshima ya Chama, tunasema mwaka huu Mlingoti Chuma, Bendera Chuma na upepo Chuma tunasonga mbele kwa uwezo wa MwenyeziMungu.

waandishi wa habari,
UVCCM tukiwa ni jeshi la msitari wa mbele la CCM tunataingaza rasmi vita ya mapambano ya hoja kwa hoja katika siasa na sasa tunasema Aluta kontinua. Mapambano yanaendelea dhidi ya mawakala wa ubeberu na ukabaila waliojipenyeza katika siasa za nchi yetu, Sisi UVCCM tunawaambia kamwe Ikulu ya Magogoni kule Dar es Salaam na ile ya Mnazi Mmoja hapa Zanzibar katu haitakuwa mahamia au machaka ya kujificha Mafisadi.

Asanteni kwa kunisikiliza.

Shaka Hamdu Shaka (MNEC)
Naibu Katibu Mkuu UVCCM (Tz) Zanzibar
6. Agost 2015

Kwa yaliyonikuta Sifikilii kupenda Tena.

Posted: 07 Aug 2015 08:45 AM PDT

Kwa yalionikuta sifikili kwamba ipo siku1 nitatamani kuwa na girl frend, Nakumbuka nikiwa kidato cha 4 kuna bint nilimpenda xana tena sana ila sikuwai kumwambia nampenda. Nafikili sababu zinajulikana kwanza nilikua muoga, hofu ya kukataliwa isitoshe nilikuanae darasa mmoja na sababu zinginezo ikapelekea nishindwe kuongea kwake! Maisha ya shule yaliendelea na hatimae tukamaliza kidato cha nne, tukiwa mtaani namaanisha baada ya kumaliza shule sikumoja nilimpigia sim nikamueleza juu ya upendo wangu kwake! Hakua na tatizo xana katk hilo alizingu zingua siku kadhaa but but akaja akakubali na mahusiano yakaanzia hapo. Siku zilipita matokeo ya kidato cha 4 yakatoka kwamimi sikufaulu xana but nikapata nafasi ya kwenda kidato cha 5 (PCM) Upande wa bint matokeo hayakua mabaya xana lakini alipoteza mwaka mmoja nyumbani na mwaka uliofuata akajiunga na chuo cha ualimu (level ya certificate)

Japokua alikubali kua na mim ila mda huo wote tulikua wapenzi jina tu kwan hatukuwai kukutana kimwili na kila nilipo mwambia kuhusu hilo alikua hanipi jubu la kueleweka ananizungusha tu siku zote hizo. Binafsi kwakua nilimpenda kwa dhat na niliamini ipo cku1 tutakua mke na mume xo sikuona kuwa ni tatizo saana kutonipa penzi lake.
Hali iliendelea hvyo yeye akiwa chuoni kwao (certificate ya Education) Namimi nikiwa advance na kipndi chote hicho tunawasiliana tu swala la kitandani hatujawai kukutana. Ilifika kipindi nikamaliza kidato cha sita yeye akiwa bado anamalizia mwaka wake wamwishochuoni kwao.

Masaa yalienda sikuzilipita na matokeo ya fom6 yalitoka, nashukulu mungu sikufanya vibaya xana nilia apply chuo na kam unavyojua TCU ndo kilskitu kwenye selection za vyuo wakanipangia facult fln hv BACHEROL OF EDUCATION SPECIAL NEED kwenye chuo flan hapa bongo. Kipnd hicho mawasiliano na yule bint bado yapo japokua yalipungua baada ya yeye kwenda chuo lakini sikujali hilo niliendelea kumpenda na hii ni kwakua2 upendo wangu kwa huyu bint ni zaid ya ujuavyo wewe kupenda ( Siwez kuelezea kwan nilimpenda sana huyu bint).

Nikiwa chuo mwaka wakwanza nilikua na msaidia vitu ving xana huyu bint japo hajanipa penzi lake hata cku mmoja, nilikua kam ----- mbele yake kila alichotaka nilimpa na hii ni kwakua tu nilimpenda xana na niliamin nitamuoa, Sikumoja kabla hajamaliza chuo nilikuja hom kipindi nayeye akiwa likizo tukapanga tukutane mahali na hapo ndo akanipa penzi lake kwa mara yakwanza ( Binafsi nili enjoy xana ila nahisi yeye hakufurahia game) Hii ni kwakua sikuwaifanya mapenzi katka maisha yangu xo nilikua fast kumaliz na sikuludia game But bint alinambia nisijali kuhusu hilo kuwa akimaliza chuo atakujakunitembelea chuoni kwetu.

Oky sikumoja baada ya yeye kumaliza chuo alinambia nimtumie nauli aje chuoni kwetu (mie chuon naish geto sikai hostel) nikamtumia akaja. Nakumbuka alikaa geto kwangu cku2 tulipeana mapenzi motomoto ila aligundua weaknes kwangu xo akaniuliza ujawai kua na mtu, Nikamwambia NO uar the first girl in my life. Nahisi alikua hafurahii ninavyomtia NILILIA SANA USIKU NILIPOGUNDUA HAFURAHII GAME NA MIMI alikuja kunibembeleza na kuniahidi haweze kuniacha kwani nimemsaidia vitu ving, Na nikweli nimemsaidia vitu ving mno hasa kipesa sitak kusema sana juu ya hilo ila alinichuna na ni kutokana tu NILIMPENDA SANA,

Alivyoludi kwao mawasiliano na mimi yakapungua nikimpigia cm mara ananambia yupo busy, xaiv nipo nyumbani wik ya pili sasa FIELD nikimuomba tuonane anasema atanistua akiwa na nafasi huku cku zinaenda na kunamda ananikatiaga sim yani kifupi AMENIBWAGA mara yamwisho nikam2mia TEXT nikamwambia IPO SIKU UTANIKUMBUKA ndo ukawa mwisho wa mawasiliano na yeye Ila bado namuhitaji sema hainajinsi kwan kulazimisha PENZ nako ni UTUMWA.

Je tatizo Langu Hapo ni Nini Jamani?

Dr. Slaa Akubali Kurejea Ofisini

Posted: 07 Aug 2015 08:40 AM PDT

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anatarajiwa kuwasili ofisini kwake leo, baada ya kutoweka tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, alipojiunga na chama hicho hivi karibuni.

Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Baraza Kuu la chama hicho kuridhia apumzike kwa muda, baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kile kilichoelezwa kumkaribisha Lowassa.

Vyanzo vya uhakika ndani ya Chadema vimesema  kuwa Dk. Slaa huenda akarejea ofisini leo kutokana na mazungumzo yaliyofanyika kwa nyakati tofauti na viongozi waandamizi wa chama hicho.

“Jana (juzi) mzee Philemon Ndesamburo na makada wengine wa chama walikwenda nyumbani kwa Dk. Slaa kwa ajili ya mazungumzo, na kwamba amekubali, amesema atarejea ofisini kesho (leo),” alisema mtoa habari huyo.

Vyanzo hivyo vilisema Dk. Slaa amekubali kurudi ofisini na kuendelea na shughuli za chama baada ya Ndesamburo na makada wengine wanaoheshimika ndani ya chama hicho kuzungumza naye.

Mazungumzo hayo yanadhihirishwa pasipo shaka na picha zilizosambaa mitandaoni juzi, zilizomwonyesha Ndesamburo akiwa na Dk. Slaa na makada wengine wa chama hicho.

Mmoja wa makada wa chama hicho aliyeshiriki mazungumzo hayo juzi, ambaye hakutaka jina lake litajwe, alilidokeza gazeti hili kuwa walielewana na Dk. Slaa na akaahidi kuwa atarejea ofisini muda wowote.

“Ni kweli tumezungumza na Dk. Slaa, na amekubali atarejea ofisini muda wowote, mengine tuliyozungumza siwezi kukwambia,” alisema kada huyo.

Akihutubia wajumbe wa Baraza Kuu wiki iliyopita, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alisema amekutana na Dk. Slaa kwa mazungumzo na kwamba wameelewana apumzike.

“Nilichukua uamuzi wa kukutana na Dk. Slaa kwa sababu ni kiongozi anayeheshimika na kupendwa, na ameshiriki katika hatua zote na vikao vya ujio wa Lowassa kikiwamo cha Kamati Kuu.

“Tulikubaliana kwa pamoja baada ya kupitia mawasiliano ya kitakwimu, kisayansi na tafiti mbalimbali, kwamba kiongozi huyo (Lowassa) ni mpango wa Mungu, na atatusaidia kuwaunganisha wenzetu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

“Wakati nimezungumza naye aliomba muda wa kupumzika huku akitoa ruhusa ya chama kuendelea na mipango yake ya kuelekea uchaguzi mkuu, tukatumia usemi unaosema maji yakikupwa na kujaa hayamsubiri mtu, hivyo hatuwezi kumsubiri mtu ili tuendelee.

“Tumekubaliana na Katibu Mkuu, apumzike kwa muda na sisi tuendelee, na pindi atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari. Sisi hatuwezi kuzuia mabadiliko kwa sababu ya Mbowe au Slaa,” alisema Mbowe

Profesa Lipumba Aondoka Nchini Akiwa Chini ya Ulinzi

Posted: 07 Aug 2015 08:36 AM PDT

Saa chache baada ya Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoweka nchini.

Hata hivyo, haikufahamika mara moja amekwenda nchi gani na atakaa kwa muda gani.

Profesa Lipumba aliondoka nchini baada ya kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacok jijini Dar es Salaam, ambako alitangaza kujiondoa katika chama chake na katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Taarifa zilizopatikana, baada ya kumaliza mkutano na waandishi, alielekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), na aliondoka nchini kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Rwanda (Rwanda Air).

Awali kiongozi huyo ambaye alivaa suti ya ‘dark blue’ na shati jeupe alikuwa apande ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) 485, lakini alibadili mwelekeo baada ya kufika uwanjani na kuamua kupanda Rwanda Air kuelekea Kigali saa 9 alasiri.

Chanzo cha uhakika kutoka uwanjani hapo, kilieleza  kuwa Profesa Lipumba, alifika saa 7:00 mchana akiwa na vijana wawili wa kiume ambao walionekana kama walinzi wake.

Katika muda huo ambao Profesa Lipumba alikuwa katika taratibu za kuondoka, palikuwapo na ndege nne tu za kwenda nje ya nchi.

Vijana hao ambao hawakujulikana majina yao, walikuwa wakifuatilia kila hatua ya kile alichokuwa akikifanya Profesa Lipumba, huku yeye akionekana mwenye wasiwasi na msongo mkubwa wa mawazo.

“Profesa Lipumba anaonekana hayuko katika hali ya kawaida, anaonekana ni mtu mwenye msongo wa mawazo, na pia ana wasiwasi kama vile kuna jambo linamsumbua.

“Macho yake yalionekana ni mekundu mithili ya mtu aliyekuwa akilia kwa muda mrefu, huku uso wake ukionekana hauna furaha,” kilisema chanzo chetu.

Wakati hayo yakiendelea, Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amelazimika kukatisha shughuli za kiserikali alizokuwa nazo Zanzibar na kwenda jijini Dar es Salaam kunusuru hali ya sintofahamu ndani ya chama hicho.

“Ndiyo hivyo imeshatokea, lakini tayari katibu mkuu amekuja bara kuhakikisha mambo yanakaa sawa na chama hakiyumbi,” alisema kiongozi wa CUF ambaye hakupenda kutajwa jina.

Sijifananishi na Drake, nina muonekano mzuri kuliko yeye – Hemedy PHD

Posted: 07 Aug 2015 02:42 AM PDT

Kama unamfollow msanii wa filamu na muziki Tanzania, Hemedy PHD katika akaunti yake ya Instagram, utakuwa umekutana na post zake nyingi kuhusu rapper/muimbaji wa Canada, Drake.

Hemedy amesema kuwa yeye ni shabiki mkubwa sana wa Drake, na ndiye msanii wa nje anayemu-inspire kwa kiasi kikubwa ndio sababu huwa anampost sana kwenye akaunti zake lakini sio kwasababu anajifananisha naye.

Ninamkubali sana drake lakini sijifananishi na Drake” alisema Hemedy kupitia Clouds’E’ ya Clouds TV.

Lakini kama kawaida yake hakuacha kujifagilia kidogo, kwa kusema kuwa licha ya kumpenda Drake lakini bado yeye (Hemedy) anamzidi Drake mambo mengi ikiwemo muonekano wake na kuvaa.

Nina muonekano mzuri kuliko Drake, navaa vizuri kuliko drake” – Hemedy PHD

Hemedy ambaye hivi karibuni ameachia video mpya ‘Imebaki Story’, pia amezungumzia maana ya ‘Papi Nation’ kuwa ni jina la kampuni yake anayotarajia kuisajili hivi karibuni.

BONGO 5

Hii Ndio Picha ya Kwanza ya Diamond Akiwa na Mtoto wake Latiffah

Posted: 07 Aug 2015 02:36 AM PDT

Latiffah Naseeb Abdul a.k.a Tiffah Dangote au kama wazazi wake Diamond na Zari wanavyomuita ‘The African Royal Princess’, anaendelea kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii akiwa na umri wa siku moja tu.

Kupitia akaunti yake ya Instagram @princess_tiffah iliyofunguliwa jana baada ya kuzaliwa, imepostiwa picha ya kwanza ya baba na mwana, Diamond akiwa na mtoto wake kitandani. Hata hivyo mtoto anaonekana mkono tu.

Hii ndio caption iliyoandikwa katika post hiyo:

My Dad Couldn’t seep last night, he was staring at me the whole night #MyFirstDayInTheStateHouse”.

Mpaka sasa akaunti ya @princess_tiffah imefikisha followers 44,357 ikiwa ni siku moja toka ifunguliwe.

Diamond Ajivunia Deal la Milioni 50 Alilopewa Bintiye Tiffah, ni Pamoja na Kuvalishwa Bure na Duka Kubwa la Nguo za Watoto

Posted: 07 Aug 2015 02:31 AM PDT

Mtoto wa Diamond Platnumz, Latiffah amepewa endorsement ya shilingi milioni 50 na duka la nguo za watoto ambalo kumvalisha nguo bure ni sehemu ya mkataba huo.


Akiongea jana kwenye hafla iliyoandaliwa na wasanii kumuaga Rais Jakaya Kikwete, Diamond alidai kuwa hayo ni sehemu ya maendeleo kwenye muziki yaliyotokea katika mihula miwili ya uongozi wake.

“Katika miaka hii 10 na mtoto nimepata. Mheshimiwa mtoto amezaliwa leo (jana) lakini amepata endorsement leo leo karibuni milioni 50 katika duka tu la kuwa anadhaminiwa kama mtoto anavalishwa na hilo duka, sio maendeleo hayo jamani,?” alihoji Platnumz.

Diamond hakusita pia kuzungumzia rekodi ilivyovunjwa na akaunti ya Instagram ya mwanae, ambayo hadi sasa ina followers zaidi ya elfu 45 siku moja tu baada ya kuzaliwa.

“Katika Afrika ndio mtoto wa kwanza huyo aliyepata followers wengi Afrika nzima, anatokea Tanzania sio maendeleo hayo?

Posted: 07 Aug 2015 02:21 AM PDT


Mtoto wa Diamond Platnumz Amburuza Mtoto wa Ali kiba Ndani ya Siku Moja Mtandaoni

Posted: 06 Aug 2015 11:56 PM PDT

Mtoto wa Diamond Priness Tiffah amabaye Ana siku moja toka aje duniani ame mburuza na kumgaragaza mtoto wa pili wa Kiba, Kiba Jr kwa idadi ya followers Instagram ikumbukwe Princess Tiffah account yake ya Insta gram siku moja wakati ya kiba Jr ina 76 weeks.

Angalia Hapa Chini:


Rais JAKAYA KIKWETE, Ametangazwa Kuwa SHUJAA na Umoja wa Wasanii Nchini

Posted: 06 Aug 2015 11:48 PM PDT

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa muziki pamoja na Bongomovie na pia alikubali kuwa mlezi wa tasnia hizo na kuhakikisha mambo yanakwenda sawa ndani ya tasnia hizo mbili adhimu kwa sasa hapa nchini.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete katikati pichani akiserebuka na wadau wa muziki na huku akipiga nao picha,ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli.

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akipiga ngoma huku akishirikiana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga gitaa ndani ya ukumbi wa mlimani City jijini Dar.
Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu wa NEC Itikadi na Uuenezi Nape Nnauye na pamoja na Januari Makamba wakifurahia jambo kwa pamoja na wageni waalikwa mbalimbali waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamojoa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  (mwisho kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh.Paul Makonda wakiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo  na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli, Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pia akishiriki tukio hilo.Hafla hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali  wakiwemo waigizaji wa filamu, wachezaji na wanamuziki wakishiriki kwa pamoja kumshukuru Dk.Jakaya Kikwete.
 Baadhi ya Wadau wa muziki wakifurahia jambo wakati Rais Dkt Jakaya Kikwete alipokuwa akiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City.
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wadau wa muziki nchini ndani ya ukumbi wa mlimani City usiku huu.
 Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom,Kelvin Twisa.
 Dkt Kikwete akisalimiana na baadhi ya Wasanii wa muziki wa bongofleva.
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh Said Meck Sadick ndani ya ukumbi wa mlimani city usiku huu.
Wanauziki wakongwe pia walikuwepo kumshukuru Rais Kikwete kwa mambo mengi aliyoyafanya katika uongozi wake wa miaka kumi ndani ya tasnia ya muziki. 

Madiwani 18 wa CCM Wahamia CHADEMA

Posted: 06 Aug 2015 11:45 PM PDT

Madiwani 18 wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametangaza kuhama chama hicho jana jijini Arusha.

Madiwani hao waliotangaza kuihama CCM walikuwa katika ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilayani Arumeru.

Huku aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Elias Ngorisa aliyefuatana na Diwani wa Kata ya Engusero Sambu, Kagil Mashati Ngukwo, ambaye pia alikuwa Katibu wa Fedha na Uchumi wa CCM Wilaya ya Ngorongoro naye pia amejiunga na Chadema.

Walikuwepo wazee wa mila wa Kabila la Wamasai (malaigwanani) Laurence Ngorisa na Lekakui Oleiti, wote kutoka Engusero Sambu. Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ndiye aliyewapokea makada hao na kuwapatia kadi za Chadema.

Akizungumza baada ya kupokea kadi, Elias Ngorisa, alisema wapo madiwani 18 kati ya 28 ambao tayari wamechukua kadi za Chadema na kuondoka CCM na watatetea nafasi zao kupitia Chadema katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu.

Alisema yapo mabadiliko makubwa na Watanzania hawana budi kuyakubali na ameshawishika kubadilisha mwelekeo toka CCM kwenda Chadema.

Kwa upande wake, Diwani Ngukwo, alisema, amekihama chama hicho kwa sababu anahitaji mabadiliko na anaamini wengi watawafuata ili waweze kuondokana na manyanyaso mengi ya Loliondo wanayopata.

CUF Wamjibu Lipumba.....Wasema Chama Chao Kiko Imara Na Kamwe Hakiwezi Kuyumba, Pia Wameapa Kuilinda UKAWA Kwa Nguvu Zote

Posted: 06 Aug 2015 11:43 PM PDT

TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI

Leo tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es Salaam na kutangaza kwamba amejizulu nafasi yake kama Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF).

Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu maamuzi yake. Ni haki yake ya kikatiba na haki ya kidemokrasia kufanya maamuzi anayoyaona yana maslahi kwake.

Bila shaka, Profesa Ibrahim Lipumba amekifanyia kazi kubwa Chama chetu katika miaka 16 ambayo alikuwa Mwenyekiti wetu, nafasi iliyomfanya awe kiongozi wetu mkuu. Kwa nafasi yake hiyo, pia ametoa mchango mkubwa katika ujenzi wa demokrasia katika nchi yetu. Tunaithamini kazi hiyo na tutaendelea kumheshimu kwa utumishi wake mkubwa kwa Chama chetu na nchi yetu. Tunamtakia kila la kheri katika mipango yake ya baadaye.

Chama Cha Wananchi (CUF) ni taasisi na kinaendeshwa kitaasisi. Ndiyo maana maamuzi yake yote yamekuwa yakifanywa kitaasisi kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Chama. Kwa msingi huo, pamoja na ukweli kwamba kuondoka kwa Profesa Lipumba katika safu ya uongozi kutaacha pengo hasa katika kipindi hichi ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, tunawahakikishia wanachama na wapenzi wa CUF na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kwamba Chama hichi hakitayumba.

Katika historia yake, CUF imepita katika dhoruba na misukosuko mingi lakini mara zote kimeonesha uwezo mkubwa wa kuhimili dhoruba na misukosuko hiyo na kukabiliana na athari zake. Hatuna chembe ya wasiwasi kwamba hata mtihani huu tutauvuka na tunaamini tutaibuka tukiwa Chama imara zaidi.

Katibu Mkuu ameagiza kuitishwa kwa vikao vya dharura vya Kamati ya Utendaji ya Taifa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa siku ya Jumapili, tarehe 9 Agosti, 2015 ili kujadili hatua hiyo na kufanya maamuzi juu ya hatua muafaka zinazopaswa kuchukuliwa katika kipindi hiki hadi hapo Chama kitakapomchagua mwanachama mwengine kujaza nafasi hiyo ya Mwenyekiti.

Katika kipindi hiki, Chama kinawataka wanachama na wapenzi wake wote kuwa watulivu na wavumilivu na kusubiri maelekezo ya vikao vya juu vya kitaifa vya Chama.

Mwisho kabisa, tunawahakikishia wanachama wetu na Watanzania wote kwa ujumla kwamba CUF itaendelea na shughuli zake kama Chama na pia kama mshirika katika UKAWA ambayo CUF ilikuwa ni katika waasisi wake. 
  
Tunawahakikishia wanachama wetu na Watanzania wote kwa ujumla kwamba CUF itatumia nguvu, uwezo, juhudi na maarifa yake yote kuhakikisha kwamba inaulinda UKAWA ambao unaonekana kuwa mwiba kwa CCM.
  
Tunatambua kwamba kuna njama na mbinu kubwa na nyingi zinazofanywa na watawala kutaka kuuvuruga na kuuhujumu UKAWA wakidhani kwamba watapata manusura.
  
Tumesema na tunaendelea kusema CCM mwaka huu hawana manusura. 
  
Watanzania wameamua kuwan’goa, na watan’goka Tanzania Bara na Zanzibar kupitia sanduku la kura tarehe 25 Oktoba, 2015. Wimbi hili kubwa la mabadiliko halizuiliki tena.

HAKI SAWA KWA WOTE

ISMAIL JUSSA
KAIMU MKURUGENZI WA HABARI, UENEZI NA MAWASILIANO NA UMMA
06 AGOSTI, 2015

Audio: Chadema yatoa kauli juu ya kuondoka Prof. Ibrahim Lipumba kwenye uwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF)

Posted: 06 Aug 2015 11:39 PM PDT

Hapo  chini  kuna  sauti  ya  Tundu  Lissu  akizungumzia  sakata  la  Lipumba  kujiuzulu  uenyekiti  CUF

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya August 7

Posted: 06 Aug 2015 11:32 PM PDT




















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  August 7

Nuh Mziwanda: Wengi Walimshauri Shilole Aniache

Posted: 06 Aug 2015 10:49 PM PDT

Msanii wa Bongofleva ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa 'Ganda la Ndizi' Nuh Mziwanda akiwa na mchumba wake Shilole amefunguka na kusema watu wengi walimshauri mpenzi wake huyo amuache.

Nuh amesema watu walimpatia ushauri huo Shilole, baada ya hivi karibuni kusambazwa sauti yake katika mitandao ya jamii akisikika kumtaka kimapenzi msanii wa Bongo Movie Wema Sepetu, mazungumzo yao yalikuwa yamerekodiwa kwa njia ya simu na kusambazwa na mtu asiyejulikana.

Nuh Mziwanda amesema baada ya sauti hiyo kusambazwa watu wengi walikuwa wakimpigia simu Shilole na kumshauri aachane naye lakini anamshukuru Mungu, Shilole hajaweza kuwasikiliza na wanaendelea poa na maisha yao kama wapenzi na kudai Mungu ana kusudio lake kufanya waendelee kuwa pamoja.

"Wengi mlishauri aachane na mimi, ila Mungu ana kusudio lake kufanya tuendelee kuwa pamoja na nampenda sana Shishi wangu na sifikirii kumuacha," alisema Nuh Mziwanda.

Baada ya kauli hiyo ya Nuh Mziwanda mashabiki wake katika mitandao ya jamii walimbadilikia na kusema kuwa anapenda sana mteremko na kutafutiwa ndiyo maana anahangaika na watu ambao wamemzidi umri, huku wengine wakionyesha kutopenda mambo yake ya ndani anavyoanika katika mitandao ya kijamii hususani kuhusu mapenzi yake na mchumba wake.

Mtoto wa Diamond Latiffah Naseeb Abdul Aanza Maisha ya Ustaa Akiwa Hajamaliza Hata Siku Tangu Azaliwe

Posted: 06 Aug 2015 10:42 PM PDT

Latiffah aka Tiffah hajamaliza hata siku moja lakini tayari ni staa si tu kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari bali hata kwenye midomo ya watu wanaofuatilia burudani barani Afrika.

Wazazi wake mwenyewe wanamuita ‘The Next Most Famous Daughter in Africa.’ Kwa ukubwa wa Diamond Platnumz na mama yake Zari Ttale, hakuna ubishi kuwa Tiffah ana kila sifa ya kuja kuwa ‘binti maarufu zaidi barani Afrika.

Ikiwa ni saa chache tu tangu kuzaliwa kwake, akaunti yake ya Instagram iliyofunguliwa imefikisha followers zaidi ya 16,000.

Picha yake ya kwanza kuwekwa kwenye akaunti hiyo ina zaidi ya comments 860.

“Welcome to the next most famous daughter in Africa… my dad and mom decided to call me Latiffah but I wanna be called Latty or Tiffah #princesstiffa #lattyplatnumz,” yanasomeka maelezo kwenye picha hiyo.

Makadirio ni kuwa akaunti hiyo inaweza kuvuka followers laki moja ndani ya siku mbili au zaidi ya followers 200k hadi wiki inaisha. Hiyo ni speed kubwa sana kwa akaunti ya Instagram kupata followers kiasi hicho.

Mashabiki wa Diamond na Zari na wana shauku kubwa ya kuiona sura ya malaika huyo. Hakuna uwezekano wa wawili hao kuiweka sura yake mapema. Hamu ya watu kutaka kumuona mtoto huyo inaweza kutumiwa kama fursa ya kibiashara na wazazi wake.

Na pengine Diamond na Zari wanaweza kuwa miongoni mwa mastaa wachache wa Afrika (kama wapo) waliowahi kuingiza fedha kupitia picha za mtoto wao. Kipaji cha Diamond na Zari cha kutengeneza fursa za kibiashara kinaweza kuwasaidia kumfanya mtoto wao kuanza kutengeneza fedha akiwa na umri mdogo.

Kufunguliwa akaunti ya Instagram ni hatua ya kwanza katika kumbrand mtoto huyo na kwakuwa mtandao huo umekuwa ukitumika kuwaingiza fedha wasanii duniani, usishangae siku za usoni, makampuni makubwa hasa yanayojihusisha na bidhaa za watoto, yakaichukua akaunti hiyo (retain) ili waitumie kwenye promotion za bidhaa zao. Na isitoshe deals zimeshaanza kuingia.


Umaarufu wa mtoto wa kwanza wa Diamond si kitu ambacho hakikutarajiwa. Habari kuhusu wapenzi hao kumkaribisha duniani mtoto wao kwa siku kadhaa itatengenezwa vichwa vya habari katika bara zima la Afrika.

Kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram kwa siku mbili hizi Tiffah atakuwa haepukiki.

Udaku Specially

unread,
Aug 8, 2015, 4:22:20 PM8/8/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Kwa Maoni yako, Hili Ndio Penzi la Kweli au Uzoba?

Posted: 08 Aug 2015 10:34 AM PDT

Unasemaje kuhusu Mwanaume Kupiga magoti mbele za watu kama kwenye hiyo picha nakuomba msamaha kwa mpenzi wake? 
Je ni Uzoba ama Mapenzi ya Kweli ?

Is this Right or insanity? Couple Making Lov3 In Front of Their Daughter

Posted: 08 Aug 2015 10:33 AM PDT

This is absolutely WRONG! Nothing can justify this abuse, When this lady went to visit her boyfriend she took her daughter with her, she couldn’t simply leave the child with someone knowing very well the guy live’s in a single room

Not only did they make lóv3 in front of the child, the guy also recórded the whole thing and later on sent it to his friends. This cóuple needs to be sued for child abuse… the world has finally lost it!

Mtoto wa Zari Amliza Mwanamuziki Diamond Platnumz

Posted: 08 Aug 2015 10:18 AM PDT

HII ni kali! Muda mchache baada ya mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kujifungua salama, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amejifungia chemba kisha kuangua kilio akisema Mungu ni mwema huku akiwataja waliowahi kuwa wapenzi wake, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Jokate Mwegelo kwa maneno yao ya shombo.

TUJIUNGE AGA KHAN
Tukio la kujifungua mchumba wa Diamond, Zari lilijiri Agosti 6, mwaka huu mishale ya saa 10:40 alfajiri katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar  ambapo alipelekwa usiku huo baada ya kujisikia uchungu ambapo alijifungua mtoto huyo wa kike.
Chanzo cha habari kilieleza kwamba, siku hiyo, wakiwa hospitalini hapo, muda mfupi tu baada ya Diamond kuambiwa kuwa tayari Zari amejifungua, jamaa huyo alilipuka kwa shangwe na baadaye akajifungia chemba na kuanza kulia.

Kilipenyeza kuwa baadhi ya watu walioshuhudia walijiuliza kisa cha kulia ambapo baadaye alisema kuwa watu walikuwa wamemsema mengi juu yake na ishu kupata mtoto.
AANGUA KILIO
“Diamond alijikuta akiangua kilio, suala ambalo mwenyewe lilianza kunitia hofu maana kabla hajaanza kulia alikuwa akichekelea na hatukujua aliingiwa na nini hadi akaanza kulia huku akimshukuru Mungu kwa kumletea mtoto.
“Ila nilipomuuliza zaidi kinachomliza alisema kuwa amejikuta akifurahia hadi kulia kwani kabla Zari hajajifungua, alikuwa akiwaza sana kutokana na maneno ya watu ambao wengine walikuwa wakimwandikia meseji na kumtishia kuwa hawezi kuzaa salama,” kilitiririka chanzo hicho na kuongeza:

“Eti alisema kwamba, kuna siku alikuwa hapati kabisa usingizi kufuatia ishu ya kutopata mtoto hasa anapowaza maneno ya watu na mara nyingine alipokuwa akikumbuka maneno ya Penny na Jokate ambao walikuwa wakisema hana kizazi hivyo Mungu alikuwa amewajibu bila kinyongo yote waliyokuwa wakimuombea mabaya.

HUYU HAPA DIAMOND
Baada ya kupenyezewa ‘ubuyu’ huo, gazeti hili lilimtafuta Diamond ili kumdadisi zaidi juu ya kilio hicho ambapo alipopatikana alisema kuwa anamshukuru sana Mungu kwa kutimiza ndoto yake na kwamba sasa milango ya heri imefunguliwa hivyo hana sababu ya kueleza machungu yote aliyokuwa nayo zaidi ya kumshukuru  Mungu kwa kuwa yeye ndiye mweza wa yote.
“Siwezi kuweka wazi hilo ila kikubwa ninachoweza kusema kwa sasa namshukuru Mungu kwa kunianzishia historia mpya hivyo namuomba aendelee kumlinda mke wangu na familia yangu,” alisema Diamond.

Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni, bado Zari alikuwa hospitalini huku mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akimhudumia mtori huku mtoto huyo akipewa jina la Latifah a.k.a Princes Tifah au Queen Latifah.
GPL

MAONI: Nani Anaandikaga ‘Subtitles’ za Movies za Bongo?

Posted: 08 Aug 2015 10:15 AM PDT

Mwenzenu sikuwahi kuwa na mazoea ya kuangalia movie zetu za hapa nyumbani kwa maana mara nyingi huwa actors wana overdo hadi nikawa naboreka. sasa last weekend kwa kufuata ushabiki wa watoto nikakaa kuangalia, kwa kweli nilikuwa shocked na nikawa nashindwa kuelewa. Kwani ni nani anayewaandikia zile subtitles za kiingereza, halafu it seems ni myu mmoja ndiye huwa anapelekewa kwa jinsi zilivyo.

Ni aibu jamani, kama bado hamjafikia level hiyo ya lugha, acheni tu, wekezeni zaidi kwenye kiswahili basi ieleweke tu kwamba movie ni ya kiswahili. Au kama mnataka mpate soko la kimataifa, hebu mu-invest sana mpate professionals wanaoweza kuwaandikia lugha ya kueleweka, otherwise mnajiabisha na kuiabisha nchi hii, can you imagine unaeangalia movie ndo unaona aibu kwa niaba yao. Maana ile lugha inayoandikwa pale si english, bali direct translation from kiswahili inaishia kuwa pigini, au mnajaribu kutengeneza lugha ingine? Mi sijaelewa jamani.

Kama vipi muwe mnaniletea japo nina uelewa mdogo wa hii lugha naamini i can do better than that. Ni ushauri tu, najua kina Kanumba sijui Ray huwa mnapita humu, next time kwenye baraza lenu la wasanii hebu wekeni hii kama agenda, naamini wapo watu kibao ambao hata kwa kuvolunteer wanaweza ku edit na kusaidia kutoa lugha inayoeleweka.

By Carmel on Jamiiforums

Lowassa Kuchukua Fomu za Urais Katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jumatatu Saa tatu Kamili Asubuhi.

Posted: 08 Aug 2015 10:12 AM PDT

Chama  cha  Demokrasia  na  Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuhusu utaratibu wa Mgombea wa UKAWA, Edward Lowassa kuchukua Fomu za  Urais  katika  ofisi  za  Tume  ya  Taifa ya  Uchaguzi.

Akitoa  taarifa  hizo  mbele  ya  waandishi  wa  habari  leo  mchana, Naibu Katibu  Mkuu  wa  Chadema, ndg  Salum  Mwalimu  ambaye  kwa  sasa  anakaimu  nafasi  ya  Katibu  Mkuu  wa  Chadema  amesema  Mh. Lowassa  atachukua  fomu  hizo  Jumatatu  ya  tarehe 10, Agosti  2015, saa  tatu  kamili  asubuhi.

Mwalimu  amesema  msafara  wa  Lowassa  utaanzia  katika  ofisi  za  CUF  zilizopo  Buguruni  ambapo  utaelekea  ofisi  za  Tume  ya  Uchaguzi  kwa  ajili  ya  Kuchukua  fomu.

Baada  ya  zoezi  la  kuchukua  fomu, msafara  huo  utaelekea  makao  makuu  ya  CHADEMA  Yaliyoko  Kinondoni  ambapo  kutakuwa  na  shamrashamra  kidogo.

Hapa  kuna  sentensi 14  ambazo  mwalimu  amezitamka  wakati  akiongea  na  waandishi  wa  habari.

1.Tupo ktk Kipindi cha Uchaguzi na Wagombea Urais wa Z'bar na TZ Bara tayari tumewatangaza'-

2.Tarehe 10 Mgombea Urais wa TZ ataongozana na Mgombea mwenza wake kwenda kuchukua Fomu NEC.

3.Mh. LOWASSA atasindikizwa na Viongozi Mbalimbali wakubwa wa Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA.

4.Zoezi la Uchukuaji wa Fomu msafara utaanzia Ofisi za CUF Buguruni kuelekea Tume ya Uchaguzi.

5.Msafara utaishia Ofisi za CHADEMA K'ndoni ambapo kutakuwa na shamrashamra kidogo.

6.Mh. LOWASSA atazunguka Mikoani kutafuta wadhamini, Watz wana hamu kumuona LOWASSA akiwa na combat ya CDM.

7.Mtaniwia radhi kwamba hatoweza kuzunguka nchi nzima, tutatangaza maeneo ambayo atapita.

8.Baada ya Uzinduzi wa Kampeni Dar, LOWASSA atapita Majimbo yote kama alivyoahidi.

9.LOWASSA Tarehe 13 atashiriki na Viongozi wengine kwenye Mazishi ya Mzee KISUMO Mkoa wa K'njaro.

10.Hatuwezi kuwazuia watu wanaotaka kumsindikiza LOWASSA kuchukua Fomu Ofisi za NEC.

11.Kazi ya kugawanya Majimbo ya Ubunge imekamilika, kazi imekamilika salama na kwa amani.

12.Kuna jambo linaendelea watu wanaambiwa wakusanye Kadi zao za Kupigia Kura.

13.Yoyote anayeambiwa atoe kadi au atoe namba ya Kadi yake ya Kupigia Kura akatae.

14.UKAWA haijayumba kwa namna yoyote kwa kuondoka kwa Prof. LIPUMBA, tunasonga mbele.

Video: Tazama Trailer Mpya ya Empire Season 2

Posted: 08 Aug 2015 10:02 AM PDT

Msimu wa pili wa tamthilia ya Empire unatarajiwa kuanza kuoneshwa Jumatano ya September 13. Tofauti na msimu wa kwanza uliokuwa na episode 12, msimu mpya utakuwa nazo 18. Tazama trailer yake hapo chini.

Hatuwezi Kuiondoa CCM Madarakani kwa wimbo wa Ufisadi, Tunahitaji watu Wenye Ushawishi

Posted: 08 Aug 2015 04:06 AM PDT

Ingekuwa ufisadi ni jambo linalowakera sana watanzania,upinzani usingekuwa na hata haja ya kufanya campaign kuiondoa CCM madarakani bali ufisadi uliofanyika katika awamu hii ya Kikwete, ulikuwa unatosha kabisa kuiondoa CCM madarakani mwaka huu.

Watanzania wangekuwa wanakerwa na ufisadi wa viongozi mithili ya wizi unaofanywa na kibaka wa kuku au simu,CCM wengeshaondoka madarakani tangu mwaka 2010.

Watanzania wako radhi waongozwe na mafisadi kuliko kuwapa nchi wapinzani kwa kwa imani potufu kuwa;

1.Upinzani hauna watu wa kutosha kuongoza hii nchi

2.Viongozi wa upinzani hawajawahi kushika dola(kuwa mawaziri n.k) hivyo hawana uzoefu wa kuongoza nchi

3.Watanzania wengi wana imani ya kijinga kuwa ni bora hawa mafisdi wa leo wakaendekea kubaki madarakani kuliko kuwapa uongozi wa nchi watu ambao wakiingia madarakani ndio kwaanza watakuwa wanaanza kujijenga hivyo wataiba zaidi kuliko hata hawa mafisadi wa CCM.

4.Bado kuna wajinga wachache wanaamini CCM ikitoka madarakani,basi amani(ukweli ni utulivu na wala si amani) itatoweka.

Hizo ndio fikra,japo ya kijinga,lakini dio zinawaongoza watanzania wengi wakiwamo wasomi wenye shahada na mashahada-kubali au ukatae huu ndio ukweli ingawa ni wa kusikitisha.

Hivyo basi,hata angesimama Dr.Slaa au Lipumba kupitia UKAWA, bado tungekuwa na wakati mgumu wa kuiondoa CCM madarakani licha ya ukweli kuwa CCM imechoka na haistahili kuendelea kuwepo madarakani.

Kwasababu hizo nne nilizotaja hapa juu, ndio maana binafsi naunga mkono ujio wa Lowassa na wana-CCM wengine ndani ya UKAWA kwani kuwepo kwao kuna punguza hofu au kwa maneno mengine kunasaidia kutoa suluhisho kwa maswala hayo manne hasa ikizingatiwa kuwa Lowassa alishawahi kuwa wazi mkuu.

Matumaini pekee ni kuwa hizo sababu nne zinaenda zikitokomea au kukosa nguvu kadri mika inavyosonga mbele ila bado tuhahitaji miaka mingine 10 kuondokana na hizi fikra potufu miongoni mwa watanzania hasa kwenye nafasi ya uraisi na kwa mawaziri wa kuongoza wizara.

Tukitaka mabadiliko ya haraka kabla ya muda huo wa hiyo miaka 10 na kuendelea kwa nafasi ya uraisi,hatuna budi kuwa-accomodate wana CCM wenye ushawishi wanaojitoa katika chama chao na zaidi tuwape nafasi katika vyama vyetu hivi vya upinzani.


Ushahidi mdogo tu kuwa kwa watanzania ufisadi kwa sio "big deal",ni kupeta katika kura za maoni za hivi karibuni kwa watuhumiwa wa Escrow na mtakuja kushangaa watu kama Chenge,Karamagi,Ngeleja wanarudi Bungeni tena kwa kura nyingi tu.

Tusijidanganye tukambeza Lowassa kuwa ni fisadi na hatoweza kutuletea ushindi kisa tu anatuhumiwa kwa ufisadi wakati watanzania ufisadi kwao sio big deal unless tunataka kuwa wapinzani wa kudumu.

Thruogh Lowassa I believe we can make those politics that seem impossible in our country to be possible at least for the first in our countrty political history.

Maalim Seif Amlipua Profesa Lipumba........Asema Wanachama Waliojiunga CUF Kwa Sababu ya Lipumba Wanaweza KUONDOKA Pia

Posted: 08 Aug 2015 03:23 AM PDT

Wafuasi  wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na pia mwenyekiti mwenza wa muungano wa wapinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, wameanza kushughulikiwa na kutakiwa kuchagua moja; kuendelea kuwa ndani ya chama hicho au kutoka.

Ingawa Profesa Lipumba alipojiuzulu uenyekiti, alisema ataendelea kuwa mwanachama wa CUF, lakini Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama waliokuwa wakimuunga mkono, kuamua moja, kubaki ndani ya chama hicho kama alivyoamua mchumi huyo mashuhuri duniani, au kutoka.

“Profesa Lipumba kajiuzulu CUF, wale waliojiunga CUF kwa sababu ya Profesa, wanayo fursa ya kuamua kubaki CUF au kutoka,” alisema Hamad juzi usiku.

Mbali na kuwataka wanaomuunga mkono Profesa Lipumba kuamua kutoka ndani ya chama hicho au kubaki, wakati kiongozi wao akiwa ameweka wazi kuwa hana nia ya kutoka katika chama hicho, Maalim Seif alitoa kauli zingine kuashiria kutohitaji hata uanachama wa Lipumba ndani ya CUF.

“Kama ni treni inayokwenda Mwanza, ikifika Morogoro abiria watashuka, lakini wengine watapanda, ikifika Kaliua watashuka abiria lakini wengine watapanda,” alisema Maalim Seif alipofanya ziara ya ghafla katika Makao Makuu ya CUF, Buguruni jijini Dar es Salaam juzi usiku.

Hamad amewahakikishia wanachama wa chama hicho waliokuwa wamezingira ofisi hiyo, kuwa uamuzi wa Profesa Lipumba kujiuzulu wadhifa wake hautausambaratisha Ukawa na CUF, ambayo kwa sasa haina Mwenyekiti wala Makamu Mwenyekiti, lakini akasema imeendelea kubaki katika mikono salama.

Alisema akiwa Katibu Mkuu na viongozi wenzake waliobaki, watahakikisha kwamba chama hicho kinafikia malengo ya kuanzishwa kwake, ambayo ni kuhakikisha kinakamata dola.

Alisema mwishoni mwa wiki hii, chama hicho kitaanza vikao vyake kuzingatia hatua iliyotokea, ili wachukue uamuzi thabiti wa kukiongoza chama hicho na kuhakikisha kinabaki katika mikono salama, hadi hapo uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti utakapofanyika.

Akizungumzia Ukawa, Hamad alisema baada ya hatua hiyo ya Profesa Lipumba, alizungumza na viongozi wakuu wa umoja huo, akiwemo Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa Chadema), James Mbatia (Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi) na Emmanuel Makaidi (Mwenyekiti wa NLD) pamoja na mgombea urais wa umoja huo, Edward Lowassa na wamehakikishiana kuwa hawatarudi nyuma.

“Tumehakikishiana kwamba Ukawa upo na umeimarika zaidi na hatutarudi nyuma… Tumeona kwa namna unavyoungwa mkono na wananchi walio wengi, Magufuli (mgombea urais wa CCM) Ikulu ya Magogoni hataiona,” alidai Maalim Seif.

Zitto Kabwe Asema Magufuli ni FISADI.......Awaponda UKAWA Kumteua Lowassa Kuwa Mgombea Urais Kwa Kuwa naye ni FISADI

Posted: 08 Aug 2015 03:18 AM PDT

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli  si msafi katika utendaji kazi wake kama inavyoelezwa kwa Watanzania.

Moja ya kigezo kinachotumiwa na Zitto ni madai ya ‘kukwapuliwa’ kwa Sh. bilioni 87 za Wizara ya Ujenzi anayoongoza.

Alisema fedha hizo ni sehemu ya Sh. bilioni 252 za miradi ya umeme, barabara na miradi maalumu zilizokosa maelezo yake kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali aliyowahi kuiongoza akiwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema).

Zitto alisema kukosekana kwa fedha hizo ni kiashiria cha kuwapo matumizi mabaya katika wizara iliyoongozwa na Magufuli.

Awaponda  UKAWA.
Zitto alivibeza vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuwa vimepoteza dira baada ya kumpokea Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kutoka CCM na kumteua kuwa mgombea urais wao.

Alisema Zitto alipinga hoja iliyowahi kutolewa na baadhi ya viongozi wa Ukawa kuhusu ufisadi kuwa ni mfumo na si mtu binafsi.

Zitto alisema ACT-Wazalendo inalenga kujenga siasa mpya nchini zinazojielekeza katika utii wa maadili na kiongozi wa umma kutangaza mali zake hadharani.

Alitoa wito kwa wapiga kura kuwachagua wagombea wa chama hicho kwa madai kuwa vyama vinavyounda Ukawa vina taswira isiyotofautiana na CCM.

Naye Mweyekiti wa chama hicho, Anna Mughwira, alisema chama chake kitakapompitisha rasmi kuwa mgombea ubunge katika jimbo la Singida Mjini, ataelezea namna atakavyofanikisha kuleta mabadiliko na kuharakisha maendeleo.

“Singida iliachwa nyuma kwa maendeleo tangu enzi ya mkoloni…sasa ni lazima tubadilike ili tupate maendeleo,” alisema.

Mamia ya Wanachama Wamiminika Ofisi za Chadema ‘KUMLAKI’ Dk Slaa

Posted: 08 Aug 2015 03:02 AM PDT

Mamia  ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada ya kuenea  habari kuwa angeingia ofisini.

Hata  hivyo,wanachama hao waliokuwa na shauku ya kumwona kiongozi huyo, hawakufanikiwa baada ya kuambiwa kuwa Dk Slaa asingefika katika ofisi hizo kinyume na taarifa zilizokuwa zimetolewa kuhusu kurejea kwake.

Juzi mzee Philemon Ndesamburo na makada wengine wa chama walikwenda nyumbani kwa Dk. Slaa kwa ajili ya mazungumzo, na kwamba alikubali akasema angerejea ofisini jana

Kwa muda mrefu Dk Slaa hakuonekana kwenye matukio muhimu ya Chadema na yale ya Ukawa, kama wakati wa kumkaribisha Edward Lowassa ndani ya chama hicho, wakati Lowassa alipochukua kadi na alipochukua fomu ya kuwania urais.

Kadhalika kiongozi huyo hakuonekana katika Baraza Kuu la Chadema, mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu uliompitisha kwa kauli moja kuwa Lowassa aipeperushe bendera ya urais chini ya mwamvuli wa Ukawa.

Akihutubia Baraza Kuu la chama hicho wiki iliyopita, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema kuwa chama kiliridhia Dk Slaa apumzike wakati mchakato wa kuelekea Uchaguzi Mkuu ukiendelea baada ya Katibu Mkuu huyo kutofautiana katika uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Baraza Kuu lilipiga kura ya wazi na kushauri kuwa endapo atafikiria kubadili uamuzi wake, anaweza kuendelea na harakati za chama hicho kuelekea Ikulu chini ya muungano wa Ukawa.

Mwandishi wetu aliyefika katika ofisi za Chadema zilizopo katika Mtaa wa Ufipa, Wilaya ya Kinondoni, alishuhudia idadi kubwa ya wanachama wakiwa wamekusanyika katika vikundi wakijadili masuala mbalimbali huku wakimsubiri Dk Slaa.

“Nimesikia taarifa kuwa kuna watu hapa wanamsubiri Dk Slaa nikaja kushuhudia, watu wanaongea mambo mengi kama vile Ukawa imevunjika wakati kila kitu kinakwenda sawa hapa,” alisema Ali Mundu mmoja wa wananchama hao.

Wema Sepetu Awavua Nguo Nuh Na Shilole..Baada ya Wao Kudai Sauti ya Nuhu Akimtongoza Wema si ya Nuhu Bali Wema Ametengeneza Kuwagombanisha

Posted: 08 Aug 2015 02:58 AM PDT

Lile sakata la mrembo Wema Sepetu kutakwa kimapenzi na mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda limeendelea kushika kasi ambapo Wema ameibuka na kuwavua nguo kwa kuwatolea maneno ya shombo.

Wema alitoa maneno hayo hivi karibuni baada ya Shilole na Nuh kumgeuka na kusema kwamba aliwachezea mchezo mchafu ili kuwagombanisha kwa sababu anawaona wanapendana hivyo alimtafuta mtu ambaye anaendana na sauti ya Nuh ili tu amharibie.

“Sijui kwa nini Wema kanifanyia hivi najua anataka tu kunigombanisha na mpenzi wangu kwa sababu hata ukisikiliza hiyo rekodi utasikia sauti ya Mirror akizungumza, hapo ndiyo ujue kuna mchezo mchafu sana na kwa hilo amefanikiwa lakini sisi huku mapenzi yetu yanaendelea,” alisema Nuh.

Kutokana na maneno hayo Wema alicharuka na kusema kwamba hawezi kutoa rekodi ya uongo na kumsingizia Nuh kwani ni mpuuzi na hawezi kujilinganisha naye kutokana na kwamba ni staa mkubwa.

“Nuh alinipigia na kunitaka kimapenzi ndipo nikaamua kumrekodi na hiyo ni sauti yake haijatengenezwa kama wao wanavyodai, kwanza nawashangaa hivi ningetengeneza sauti feki ili iweje, Nuh na Shilole siyo levo yangu ni wasanii wachanga sana, mimi ni staa mkubwa Tanzania na hakuna wa kulinganishwa na mimi labda nje ya Bongo.

"Nitafute kiki kwa kina Shilole  na Nuh kweli? Si bora nitengeneze kiki kwa kina Davido na wasanii wengine wakubwa duniani, hao si levo yangu jamani,” alisema Wema kwa sauti ya hasira.

Kabla ya kupatana, Nuh na Shilole waligombana hivi karibuni katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni baada ya mrembo huyo kupokea sauti hiyo iliyosikika Nuh akimtongoza Wema.

Wema Sepetu Hadharani na Rafiki wa Diamond Platnumz

Posted: 07 Aug 2015 10:57 PM PDT

KABAANG! Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amenaswa kimalovee na rafiki wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku ikidaiwa ni ‘mtu’ wake.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba jamaa huyo ambaye anajiita Dangote Kifyagio ni rafiki wa Diamond ambaye alikuwa akimsaidia mambo yake kimuziki ili awe juu.
wema (3)“Wema yuko karibu sana na huyu jamaa (Dangote), hata Singida alikuwa akizunguka naye sehemu mbalimbali.

Ndiyo maana kuna picha kibao ambazo zinawaonesha wakiwa romantic kiasi kwamba wapo wanaokwenda mbali na kusema ni wapenzi, watu bwana,” kilidai chanzo hicho na kuongeza:

Unajua yule Kifyagio alikuwa rafiki wa Diomond sana huko nyuma, sasa isije ikawa kaamua kujiweka kwa shemeji yake maana si unawajua tena hawa mastaa wetu, nyie fuatilieni mtaujua ukweli.”

Baada ya gazeti hili kunasa ‘ubuyu’ huo pamoja na picha za Wema na jamaa huyo wakiwa kimahaba sehemu tofautitofauti, lilimvutia waya mrembo huyo na kumbana kuhusu uhusiano =wake na Dangote Kifyagio ambapo simu yake haikupokelewa.

Alipotumiwa ujumbe juu ya madai kuwa anatembea na jamaa huyo alijibu kwa hasira kama ifuatavyo:
“Halafu sikia nikwambie, vitu vingine ni upuuzi tu hivyo vitu vinaniharibia deal zangu na mipango yangu yote, sipendi hata kidogo, yaani sipendi kwanza kufuatiliwa, amekuwa mtu wangu?

 Nishawahi kumposti na kusema ni bwana’angu zaidi ya mimi na yeye kuheshimiana? Nina bwana wangu ambaye ndiye kila kitu kwangu jamani sipendi wallah…sipendi.”

Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….

Posted: 07 Aug 2015 10:48 PM PDT

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani  amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.

Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa  na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ...  sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...

Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor anipe kila nnachotaka Ila kulala kwa mkewe,au kaserengeti boy nimpe kila anachotaka nikifulia atoke nduki??".

CHENGE Akanusha Kuhusika na Tuhuma za Escrow na Wala Hajawahi Kuwa na Mgongano wa Maslahi Kati ya IPTL na VIP.

Posted: 07 Aug 2015 10:46 PM PDT

TUME ya Maadili chini ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, leo katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar imezidi kumhoji, Mwanasheria Mkuu wa zamani, Andrew Chenge ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi anayemaliza muda wake anayetuhumiwa kupata mgawo wa fedha za Tegeta Escrow anazodaiwa kupata kutoka kwa mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineerung, James Rugemalira.

Awali Mwanasheria huyo alifikishwa mbele ya baraza hilo akidaiwa kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma kwa kupata mgawo wa fedha kutoka kwenye akaunti hiyo ambazo zinakadiriwa kuwa ni sh. bilioni 1.6.

Akizungumza mbele ya Mwenyekiti wa Baraza la Maadili, Jaji Hamis Msumi, Chenge alikanusha kuwa hahusiki na tuhuma za fedha za Escrow na wala hajawahi kuwa na mgongano wa maslahi kati ya IPTL na VIP.

Chenge alisema kuwa aliingia mkataba na Kampuni ya VIP katika kutoa ushauri wa kisheria dhidi ya kampuni binafsi zilizowekeza IPL na kwamba hakuiingia mkataba wa makubaliano na kampuni hiyo ambayo iliingia mkataba na serikali.

Mambo yaliyoainishwa na shahidi wa upande wa serikali ni pamoja na kutumia wadhifa wake kama mtumishi wa umma kupata maslahi binafsi ambayo ni kinyume cha kifungu cha sheria, huku akidai kuwa Chenge amejihusisha na mngongano wa maslahi kutokana na uchunguzi uliofanyika katika vipindi mbalimbali akiwa mwanasheria mkuu wa serikali.

Change akipangua hoja za mwanasheria wa serikali alisema kuwa serikali iliingia mktaba wa makubaliano ya kuzalisha umeme na Kampuni ya IPL wakati akiwa mwanasheria na baada ya kustaafu aliingia makubaliano ya mdomo na mmiliki wa VIP ya kutoa ushauri kuhusu masuala ya kitaalamu kwa IPL tu.

Mwenyekiti wa baraza hilo Jaji Mstaafu, Hamis Msumi aliahirisha kusikilizwa kwa shauri hilo kwa madai ya kuwa upande wa wanasheria wa serikali uende kuandaa taarifa iliyosahihi ili kumpelekea Chenge Agosti 11 kwa ajili ya kupitia na baadaye taarifa hizo kupelekwa kwa mwenyekiti wa tume Agosti 14 kwa ajili ya kutoa uamuzi sahihi

Shamsa Ford na Nay wa Mitego Waweka Mambo Hadharani.. Wadai Wao ni Wapenzi

Posted: 07 Aug 2015 10:43 PM PDT



Hatimae Mwanamuziki Ney wa Mitego na Mrembo Shamsa Ford Wamekubali live Bila chenga kwamba wao ni Wapenzi na wanapika na Kupakuwa...Hiii imekuja baada ya Muda Mrefu Kukataa kuwa wao ni wapenzi...Nay na Shamsa Wameongea Hayo Kwenye Global Online TV ya Global Publishers......

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya August 8

Posted: 07 Aug 2015 10:25 PM PDT
















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  August  8

Udaku Specially

unread,
Aug 9, 2015, 4:06:03 PM8/9/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


TANZIA: Mbunge wa Viti maalumu CUF, Mama Clara Diana Mwatuka Afariki Dunia kwa Ajali

Posted: 09 Aug 2015 12:20 PM PDT

Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF mama Mwatuka amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuja Ndanda.

Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa, Ndanda Regional Referral hospital.

Mama Mwatuka

Wanawake Mnavuruga Ndoa Sababu ya Kujilinganisha na Wanaume

Posted: 09 Aug 2015 12:11 PM PDT

Zamani enzi za wazazi wetu wanawake walikuwa wakiona kuwa mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi na walikuwa wakiheshimu waume wao sana kwakuwa waliwasikiliza waume wao.

Hili lilipelekea wazee wetu kudumu katika ndoa kwakuwa hawakutaka usawa yani kujilinganisha na wanaume.

Kizazi cha sasa baadhi ya wanawake wengi wamekuwa wakitaka usawa wa kuongoza familia yani kujilinganisha na wanaume hawawasikili wanataka wao wasikilizwe tu.

Mfano kuongoza familia, utakuta mwanamke anampelekesha mumewe kwa kila kazi za nyumbani yeye kajikalisha.

Utakuta maelewano ndani ya ndoa hamna kwakuwa yale anayotakiwa kufanya baba mama nae anataka afanye.

Mwananamke usitake kujilinganisha na mwanaume kwa chochote kumbuka Biblia inasema ulitoka kwenye ubavu wa mwanaume.

Nawasihi wanawake heshimuni waume zenu acheni kujilinganisha na wao, mnapaswa kujua kuwa mwanaume ni kichwa cha familia ni kiongozi hivyo aheshimiwe.

NB: Mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe. Pia tujifunze kumtumia MUNGU awe kiongozi wa ndoa zetu.

MUNGU awabariki,Jumapili njema

CCM Wamwandaa Magufuli kwa Midahalo ya Wazi...

Posted: 09 Aug 2015 12:08 PM PDT

Hii ni CCM nyingine. Safari hii wamebanwa kila kona,hasa baada ya Edo kwenda nyumba ya jirani. Kati ya mikakati yao kushinda uchaguzi wa Rais ni kumpiga msasa mgombea wao kwa midahalo ya wazi. J.K alizuiwa kushiriki mdahalo wowote kwa awamu zote mbili. Mr. Ben Mkapa ndiye mgombea pekee wa CCM aliyeshiriki mdahalo wa kupambanishwa na wenzake 1995, na alifanya vizuri Sana. Mwalimu Magufuli anapewa tuition kwenye maeneo mbalimbali,hasa masuala ya kimataifa,pia utimamu wa mwili.
UKAWA wamemwandaaje mgombea wao kwenye mpambano huo.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha na Katibu Mwenezi Wahamia CHADEMA...........Diwani wa CCM Mwanza na Wanachama 100 Wahamia CUF

Posted: 09 Aug 2015 11:54 AM PDT

Hali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza si shwali baada ya aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mkuyuni, Charles Lugo (Fashion), na wanachama zaidi ya 100 kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).

Tukio hilo linakuja ikiwa ni mwendelezo wa wimbi la wanachama wa CCM kuhamia upinzani hususani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Diwani na wanachama hao kutoka matawi mbalimbali ya CCM, walieleza chanzo na sababu za kutimkia CUF, kuwa chama hicho kimetawaliwa na vitendo vya rushwa, chuki na undugu kitendo kinachosababisha kukosekana kwa demokrasia ya kweli.

Wamesema viongozi wa CCM kuanzia ngazi ya chini hadi Taifa, wamekuwa wakitumia rushwa kushika madaraka na kusababisha watu ambao ni wazalendo wenye nia dhabiti ya kuwatumikia wananchi kukosa haki hiyo.

Wanachama hao wakiongozwa na diwani huyo, wamepokelewa  na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF, Karume Jeremiah, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Chakechake, Nyamagana.

Akizungumzia tamko la wao kujiengua CCM na kujiunga CUF, Fashion amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na kuchoshwa na vitendo alivyodai vya rushwa kwenye uchaguzi, uonevu na hila na kukosekana kwa demokrasia.

“Tumetoka CCM kwa sababu ya wizi wa waziwazi katika uchaguzi, wanafunga magori ya mkono watu wakiwa wanaona, sasa tumekuja huku upinzani. Lazima tuwashughulikea mpaka waachane na wizi wao."  Amesema  Fashion.

Arusha  Hali  ni  Mbaya  Zaidi
Habari  kutoka  jijini  Arusha  zinaarifu  kuwa  Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Mh Onesmo Nangole na Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha,Mh. Isack  Joseph  wamejiuzulu nafasi zao zote leo na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

Wakiongea  na  waandishi  wa  habari  leo, viongozi  hao  wamemtaka  Katibu  Mkuu  wa  CCM, Mh Kinana  kuacha  mara  moja siasa  za  matusi za  kuwaita  Makapi  wanachama  ambao  wamekuwa  wakijiunga  na  vyama  vya  upinzani.

Ikumbukwe  kuwa,zaidi ya wanachama mia 300 waliokuwa chama cha CCM kutoka jamii ya kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli juzi  walizichoma kadi zao za CCM na kujiunga na CHADEMA .

Hizi ni Salamu za Bond kwa Dada Doris wa COSOTA

Posted: 09 Aug 2015 11:46 AM PDT

Jamani naombeni mnifikishie salam zangu kwa dada Doris wa Cosota

Jana usiku wa tar 6/08/2015 kwa mara ya kwanza nadhani alijikuta anasimama pembeni ya rais wa jamhuli ya muungano Mh. JK na kujibu maswali magumu kwa njia nyepesi tu.

Amepewa muda wa wiki mbili kukamilisha ripoti ya masuala yetu wasanii yakiwemo ya mirabaha na mengineyo ya wazi wa kazi na masuala ya haki.

Kwanza nimpongeze sana kwa anavyojitahidi lakini kikubwa zaidi nisisi kama wasanii tunaomba awe muwazi kabisaa katika ripoti yake kuwa

COSOTA haina ofisi ya kudumu,

COSOTA haina ghala la kuhifadhia mali zinazokamatwa baada ya misako na hii inasababisha wasifanye misako ya kukamata,

COSOTA haina sheria ya kutoza mirabaha kwa wadau bali inawaomba wachangie tu na unapomuomba mtu basi ujue ana hiari ya kutoa anacho jisikia au asitoe kabisa,

COSOTA haina ofisi mikoani

COSOTA haina wafanyakazi wa kutosha,

COSOTA ina gari moja tu je linaweza kuzunguka nchi nzima?

COSOTA inatakiwa ipate asilimia katika pesa za stika za kwenye CD ili iweze kufanya misako ya kazi feki na wizi la sivyo haina haja ya kuweka stamp za TRA na tuweke Stamp za Cosota

Pia COSOTA isimamie haki ya kazi za wanachama wake kikamilifu



Haina haja ya kumuomba mkaguzi wa hesabu wa serikali ili akaikague kosota kuwzia mwaka 1991 mpaka sasa na kujua imeingiza kiasi gani kupitia mirabaha ya sanaa ya mziki na filamu kuanzia Mabar, Mahotel, Mabasi, vituo vya Tv, vituo vya redio, kwenye mameli, ndege, libraly, cable netwok, vibanda vya video shows na sehem nyinginezo na imetoa kiasi gani kwa wahusika bali hivi sasa tunaomba tuanze mwanzo mpya kabisa

Huu ni wakati wa kusema ukweli ili nasi tule halali yetu ukificha ficha tena hali mbaya sana inakuja na mungu ndio atakae tusaidia kuyaweka bayana na yakiwa bayana itakuwa aibu kubwa sana kwa Cosota

Hizi ni salamu zangu nifikishieni jamani

Naitwa Bond

Wastara Juma on instagram

Ray Chunga Sana Hiyo Bastola Yako Broo!

Posted: 09 Aug 2015 11:43 AM PDT

WAKATI mwingine kazi yetu hii ni ya lawama, kwa sababu kuna wakati unalazimika kuandika kitu cha kweli kuhusu rafiki, ndugu au jamaa yako, lakini ukijua fika hatakipenda na huenda, ikaweza hata kuharibu uhusiano wenu.

Vicent Kigosi maarufu kama Ray, ni mmoja wa watu ambao nimewahi kuwa naye karibu kikazi, kiasi kwamba tulijenga aina flani ya ushkaji, ingawa ukaribu wetu kwa miaka ya karibuni umedorora kutokana na wakati, kwani majukumu ya kila mmoja yameongezeka na aina ya maisha pia imebadilika.

Nilimfahamu kutokana na kazi yake, kwani ukiniambia kuhusu waigizaji waliofanya kazi kubwa kuifikisha sanaa hii ilipo, Ray ni miongoni mwao. Kazi yake kubwa katika filamu Bongo haiwezi kudharaulika hata kama siyo muigizaji mahiri kuliko yule unayempenda.

Alianzia maigizo katika vikundi kwenye televisheni hadi sinema ziliporejea rasmi, zikiasisiwa na Filamu ya Girl Friend mwanzoni mwa miaka ya 2000. Leo hii, Ray ni mmoja wa waigizaji wakubwa wanaoweza kutamba pasipo shaka juu ya mchango wao uliotukuka katika ‘game’.

Lakini kuna jambo moja ambalo nilishawahi kulizungumzia kuhusu huyu jamaa, ambalo kwa maoni yangu, halipendezi, hasa kwa kijana kama yeye mwenye nyendo nyakati za usiku, katika sehemu za burudani na mikusanyiko ya watu wengi.

Ray anamiliki bastola, bila shaka kihalali. Lakini ana tatizo la kutembea nayo bila kuipa hifadhi vile sheria inataka. Katika kumbi za starehe na mijumuiko mbalimbali, bastola ya Ray huonekana akiwa ameichomeka kiunoni.

Kama mara moja au mbili, magazeti ya Global yaliwahi kuandika juu ya jinsi anavyohifadhi bastola yake katika mikusanyiko ya watu wengi. Lakini tukio la Jumapili usiku wiki hii katika Hoteli ya Regency, kulikokuwa na sherehe ya wasanii wenzake, linazidisha hofu juu ya umakini wa muigizaji huyu katika uhifadhi wa silaha hiyo ya moto.

Katika hali ya kawaida, mtu anaweza kumzungumzia kwa namna anavyopenda. Wapo wanaoweza kumwita mshamba, mwenye kutaka kuwaonesha watu kuwa yeye anamiliki bastola, lakini inawezekana kabisa pia kuwa kinachotokea ni bahati mbaya.

Sipo katika makundi ya watu hao, lakini nina ujumbe wangu kwake na pengine jeshi la polisi nchini, ambalo ndilo hutoa kibali kwa watu wanaostahili kumiliki bastola. Ninavyojua, silaha hiyo aliichukua ili imsaidie kujilinda dhidi ya maadui tusiowafahamu.

Katika hali ya kawaida, mwenye hofu na usalama wake, huficha silaha anayoitegemea kumlinda, maana busara haitoi nafasi kwa mtu mwerevu kuwaonesha. Maadui wakijua zana unazotumia kujilinda, si ni rahisi kutafuta njia nzuri ya kukuangamiza?

Na adui siyo yule tu mwenye kutaka kukudhuru mwili, mwingine angependa tu kukuona ukipatwa na misukosuko, maana wapo baadhi ya wenzetu mafanikio yao ni kuwaona wenzao wakitaabika. Katika sehemu za starehe, watu wanapiga mitungi na ikishapanda, busara kidogo hupotea.

Ni rahisi mtu kumuudhi Ray na yeye, katika kumkanya kwamba asiingie anga zake kirahisi, akaamua kumuonesha bastola, hata kama lengo lake siyo kumtishia maisha. Kama hafahamu, kisheria kumuonesha mtu silaha ni kosa linaloweza kumtia hatiani.

Nina uhakika, katika ‘viwanja’ ambavyo Ray anakwenda na kuonesha bastola yake kiunoni, wako makumi ya watu pia wenye silaha kama hiyo, nyingine zikiwa za kisasa na bora zaidi kuliko anayoionesha, lakini wamezihifadhi kwa namna isiyoweza kuonekana kirahisi.

Na kwa jeshi la polisi, nadhani huu ni wakati muafaka wa kumwita na kumwelekeza namna ya kuishi na bastola yake. Huenda kanuni na maadili ya mwanzo ya jinsi ya kuishi na silaha ya moto hakuyaelewa vyema.

Chanzo: GPL

Rafiki Yangu wa Kike Ananishawishi Niingie Katika Mapenzi ya Jinsi Moja (Usagaji)

Posted: 09 Aug 2015 05:59 AM PDT

Mimi ni Msichana wa makamo tu nimeolewa miaka miwili sasa na nina watoto wawili , nafanya kazi kwenye kampuni moja kubwa tu hapa Dar es salaam , hivi karibuni nimekuwa na rafikia ambae tuna fanya nae kazi hapa ofisini ambae nimekuwa nikimwelezea matatizo yangu na mme wangu kuwa aniridhishi kitandani....cha ajabu aliniambia kama ninataka kuridhika bora niingie katika usagaji ..cha ajabu aliniweka wazi kabisa kuwa yeye huwa anasagwa na huwa anasikia raha sana kiasi wanaume si deal kwake ..Toka aniambie hivyo kila akija ofisini kwangu ananibusu na kunikumbatia kwa nguvu...Juzi alitaka kunivua chupi nikakataaa kabisa kwani bado hainiingiii akilini kufanya mchezo huo na msichana mwenzangu ....japo kwa upande mwingine natamani kujaribu ....Naomba ushauri nifanyaje....No matusi pliz

Nape Nnauye Awatuhumu UKAWA Kwa Kutengeneza Kadi Bandia za CCM

Posted: 08 Aug 2015 11:57 PM PDT

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amedai kuwa chama hicho kimebaini mchezo mchafu unaotaka kufanywa na Ukawa wa kutengeneza kadi bandia za chama hicho na kuzigawa kwa watu wao, ili baadaye asipopita mgombea wao, ionekane wana CCM wanakihama chama kwa kurudisha kadi zao.

Akizungumza katika Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana, Nape alisema kuna taarifa za uhakika kuwa kuna baadhi ya makundi ya Ukawa yamepanga mchezo huo wa kutengeza kadi bandia.

“Wameanza kuratibu mchezo huo ili wazigawe kadi hizo kwa watu wao, ili baadaye asipopita mgombea wao, ionekane wana CCM wanakihama chama chao kwa kurudisha kadi hizo kwenye shughuli mbalimbali za vyama hivyo vinavyounda Ukawa.

“Wakati tunachunguza kwa kina suala hilo, Ukawa waache mchezo huo wa ovyo na Watanzania wakwepe mchezo huo na wawe makini,” alisema

DIVA Loveness Atuhumiwa Kutoka na Mume wa ESMA Platnumz Anayejulikana Kama Petit Man..Meseji zao Zasambaa Mtandaoni..Mwenyewe Akana Adai ni Marafiki Tu

Posted: 09 Aug 2015 12:01 AM PDT

Dada Mmoja Rafiki wa Esma Platnumz Anayejulikana kama Ladynaaaa huko Instagram Amemshushia Tuhuma nzima Mtangazi wa Redio Diva Loveness Kwa Kudai anatembea na Mume wa Petit man...Tuhuma hizo zimesababisha majibishano kati ya hao wawili huko kwenye Mtandao wa Instagram, Hapa nimekuwekea Baadhi ya Majibishano yao:
Ladynaaaa

Ladynaaaa: Dah inasikitisha saana wewe diva mtangazaji wa clouds unajizalilisha saana yani unaingilia ndoa ya esma na petit yani wewe diva niwakumzunguka esma utoke na mumewake huoni hata aibu nawakati na wewe uko na gk au hakutoshi ? Yani umekuja kwenye 40 ya mtoto wa esma na mtandio akakupa naona hapo umejifunika lakini ulikua kutwa uko na mume wa mwenzio nimesikitishwa saana sio vizuri wewe Nimeamini kweli ni kidudu mtu mimi siongei uongo soon ntakuekea msg ulizokua unachat nae usipende kujizalilisha respect ur self and everybody will respect u .mwache esma na ndoa yake tafuta bwana wako peke yako and that's a warning @esmaplatnum @divathebawse



ladynaaaa :Duuu diva umenisikitishaa nilikua sinania ya kuanika izi msg sema kwasababu unasema nimekuonea nataka haki itendeke ulitaka msg izo hapo na number iyo hapo nambie kama sio yako umesema una airtel na hiyo ni number gani mimi sijatukana ila nimesema sijaenda unavofanya stop being a snake haisaidii @esmaplatnum @rahdh_one @divathebawse bora weka wazi esma ajue wewe ni mke mwenzake kuliko kujificha kua mpole mama msg ndo izo


Baada ya Shutuma hizo Diva Amejibu hivi:

Divathebawse:hizi sms zangu ndio na huyo kanijibu petit ndio hamna hata uongo .. sasa hapo Mapenzi yako wapi? au ndo ushamba? au wee dada chizi hujawahi kuitwa babes au? mshkaji wako hajawahi sema i love you so much ?! maana that's just normal kumuita mtu darling or baby .. kwa taarifa yako huyo GK pia huwa anaona ninavyoongea na petit natumia lugha hiohio hata akiwepo na nampa petit simu aongee nae pia .. Muulize petit Mambo yangu anamjua muhusika .. yeye mmemuonea tu .. hamna mapenzi hapo hayo mambo ya uzungu  sasa hivyo ndo Mapenzi? heee?  kweli wee chizi ' wema pia namuita baby wangu and i love her so much nae nasagana nae?  ntolee upumbavu wako... mxiuuuu hio kawaida mbona wewe dada heee ... kwani mpaka mapenzi? tena maskin wakati nimetoka katika operesheni hivyo ndo ilivyokuwa .. huyo esma mbona anajua hayo mambo ya uzungu au ?! maana huwa namwambia I miss Petit man soo much jaman .. sasa wewe ukajaa voooom dah kiranga komooo..na hapo sort of najipendekeza kwako nilitaka nimpe story ya umbea i guess sasa la ajabu lipi? maana after there alipiga nikaongea nae .. sasa umeweka number yangu public pia hilo kosa kisheria wewe lady naa ila ngoja soon utaona sheria inavyochukua mkondo wake. privacy is the key umekurupuka in this. yaan me huwa nadeka na ndio niko hivyo wee dada lool  yaan nimecheka mpaka nimeanguka katika sakafu hihihi. nimekupa airtime leo hulali Diva kaku mention! what yo name again? lady what?


Diva Akaongeza Haya Tena:

divathebawse: Mmeweka Number yangu public na sitabadili. hivi mkiolewa hamfundwi? ndoa iko instagram huh? Sometimes wachawi wa ndoa zenu ni nyie wenyewe ' ulee mtoto , ufue , umfungulie mlango mie vinanihusu? maisha ya chumbani kuyaleta hadharani wewe mwanamke kweli una nyakanga? lool .. yaan nilale na huyo mwanaume ambae ni rafiki yangu not to mention sio level yangu kwanza sijawahiii and sitawahiiiii .. am not that cheap and huwa silali na washkaji zangu .. afu he is not what i really need in a man ... sio type yangu ' seeking sympathy instagram kwa ndoa iliokushinda hata mwaka huna kwa kunipakazia dada unahisi ntanyamaza .. ?! lol .. over my dead body .. kwa sms gani za Mapenzi hasa mxiuuuu.. Ukigombana na mumeo insta? drama queen or baby mama drama? utandale ndo hamuitani baby na darling? mbona kawaida my dear njoo nikufundishe how to act Pure Muzungu .... uzungu ndo huo Pure Uzungu.. already taken .. i have My Man ' kwan humjui muhusika anaekuibia mumeo? loool acha kunichekesha to the sakafuz goddamit. and sitanyamaza in this .. i dare you . for your information dada i only Fuck with Exclusive . Muulize Mumeo atakwambia who z the ride or die lool... Exclusivity only.. Your hubby Bawse was The Main Man .. I am The Diva You know .. ?! you kno that dontchu? status matter darling .. go find the Dictionary ... Adios

Ukitaka zaidi Nenda kwenye page zao.

Mwana FA Apendekeza Njia ya Kutengeneza soko imara la Muziki Kuwazidi Wanaijeria

Posted: 08 Aug 2015 11:35 PM PDT

Mwana FA anaamini kuwa nchi zinazotumia lugha ya Kiswahili zikiweza kutengeneza soko moja la muziki wa wasanii wanaoimba kwa Kiswahili, zitatengeneza himaya yenye nguvu kuwazidi Wanaijeria.

Akiongea na Global TV, FA amesema wingi wa watu nchini Nigeria ni sababu kubwa ya kuwa na kiwanda kikubwa cha muziki barani Afrika.

“Wanajeria population yao ni watu milioni 180,” amesema FA. “Hata wakiamua kuimbia watu wao peke yao bado wana uwezo mkubwa wa kutengeneza pesa kuliko sisi ambao tuko milioni 48. Ndio maana nikasema kama tungeconcentrate kuwafanya swahili speakers wakawa soko letu, Kenya tukalifanya soko letu, Uganda soko letu, Burundi soko letu, sehemu ya Congo wanakozungumza Kiswahili, Rwanda, Burundi sehemu hiyo yote, tukafanya soko moja, tungekuwa na population kubwa kuliko Wanijeria, pengine tungeweza kuanzia hapo,” ameongeza rapper huyo.

“Sarkodie ni bonge la rapper, lakini anachanganya lugha, wakati mwingine namsikiliza lakini simuelewi hata anasema nini, lakini mimi naona raha tu kumsikiliza. Lakini kuna Kiingereza ndani yake na lugha za kwao. Hapa ukitaka ugombane na Watanzania, anza kuimba Kiingereza, hamna mtu atasikiliza wimbo wako.”

Zaidi ya Wafugaji 300 wa CCM Wazichoma Kadi zao na Kuhamia CHADEMA

Posted: 08 Aug 2015 11:32 PM PDT

Zaidi ya wanachama mia 300 waliokuwa chama cha CCM kutoka jamii ya kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli wamezichoma kadi zao za CCM na kujiunga na CHADEMA huku wakidai maamuzi yao yametokana na utashi wao binafsi kwa kuzingatia hali halisi ya kisiasa ilivyo hivi sasa

Mamia ya wanachama walikusanyika katika mkutano wa hadhara kukusanya kadi za CCM kuzichoma moto na kuchukua kadi za CHADEMA.

MREMBO wa Bongo Movies Alitamani Penzi la Mwanamuziki Diamond Platnumz Mtoto wa Tandale

Posted: 08 Aug 2015 11:29 PM PDT

Hamida HassanStaa wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ hivi karibuni amefunguka siri iliyokuwa kwenye uvungu wa moyo wake kwamba analitamani sana penzi la mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ila anaumia kwa kuwa anajua amechelewa.

Akichonga na Ijumaa hivi karibuni, Sabby aliyewahi pia kuwa mpenzi wa Mwanamuziki Bob Junior alisema anajuta kwa nini alichelewa kuzianika hisia zake kwani Diamond ana sifa zote ambazo angependa mpenzi wake awe nazo.

Yaani nimeficha hisia zangu siku nyingi lakini bora niseme ukweli kwamba natamani kuwa na Diamond kimapenzi, nahisi ni mwanaume anayejua kuishi na mwanawake,” alisema Sabby.

Udaku Specially

unread,
Aug 10, 2015, 4:11:52 PM8/10/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Hofu ya Lowassa, CCM Wakutana Ghafla Dodoma

Posted: 10 Aug 2015 08:07 AM PDT

Katika kile kinachoonekana hali mbaya ndani ya Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu hapo Oktoba, Kamati Kuu ya CCM inakutana Mjini Dodoma chini ya Uongozi wa Mwenyekiti Jakaya Kikwete.

Ripoti za ndani zinadai ajenda kuu ni Kuzuia Kasi ya Edward Lowassa ambae anaonekana kuwatesa kila uchao.

Tutaendelea kujuzana yanayojiri huko, Usicheze mbali.

CCM Tutulize Vichwa, Lowassa ni Tatizo Tulilojitengenezea Wenyewe, Hakujitengeneza-LEMUTUZ

Posted: 10 Aug 2015 08:05 AM PDT

Wamarekani wana Kanuni moja muhimu sana kwenye Rehab zao za kusaidia Wanaotumia Madawa ya Kulevya kwamba kabla ya kuwachukua kwenye Makazi yao ya msaada ni lazima waathirika wajitokeze wenyewe kwenye ofisi za hayo makazi kuomba msaada baada ya kukubali kwa maandishi chini kwamba wana MATATIZO, ndipo wanaweza kupokelewa na kupewa msaada sio vinginevyo. Now wakati umefika CCM tunatakiwa kukubali katika nafsi zetu kwanza kwamba tuna TATIZO na hili tatizo tumejitengenezea wenyewe I mean tatizo la Lowasa kugombea Urais kupitia Upinzani, kuacha mengine yote ya muhimu tuna tatizo moja kubwa sana nalo ni Wananchi wa Tanzania wamekosa kuona Upinzani wa kweli toka Mrema aliposhindwa ku-fit the hype aliyo create mwenyewe ambayo sababu yake kubwa ilikuwa hakuwa na elimu kubwa na uzoefu wa siasa kama Lowasa kwa hiyo ndio maana this time around ninasema CCM tuna TATIZO KUBWA kuliko la Mrema. MWalimu Baba wa Taifa hayupo tena kumzima Lowasa kama alivyomzima Mrema, this time tunatakiwa tuungane na kuwa kitu kimoja tupigane kushika Dola. Hapa mjini kuna bendi moja inaitwa FM Academia Wazee wa Ngwasuma ni bendi inayomilikiwa na mtu mwenye akili sana anawajua vizuri sana Wa-Congo kuwa wakipata sifa kidogo ni watu wa kuhama hama so yeye hajawaruhusu kwa Mwanamuziki mmoja kupata sifa individually bila ya bendi nzima na ameajiri wapigaji wengi sana kiasi kwamba hata mmoja asipokuwepo huwezi kujua kuwa kuna dosari ndio maana ni moja ya bendi chache sana hapa Tanzania yenye Wa-congo wengi lakini imeweza kudumu kwa muda mrefu wakiwa pamoja. CCM tulifanya kosa hili kubwa sana la kuruhusu Kiongozi mmoja wa chama chetu akawa almost bigger than chama tukashituka very late now we are about to pay the price ya makosa yetu wenyewe, ndipo ninaposema cha muhimu sio kulaumiana au kuwalaumu wanaotoka hapana ni kukubali kwanza kwamba kuna makosa tumefanya ila kwa sababu CCM ni kubwa kuliko wanaojitoa tutafute majibu mazuri na mazito yenye busara ndani yake bila ya ku panic tuweze kushika tena Dola!!

- LOWASA:-
Kuingia kwake UKAWA kunabadilisha Completely the picture ya siasa zetu kwa sababu kwenye haya maisha hakuna kitu perfect kila kitu kina mapungufu yake so are our politics na hasa our fragile Democracy now Lowasa offers a sweet package kwa wale wote walioumizwa na mapungufu ya Demokrasia yetu hasa ya ndani ya CCM. UKAWA na Lowasa wana matatizo mengi sana Politically kuelekea Avenue ya kutafuta Urais kwa sababu mpaka sasa hawajaweza kuwachukua kutoka CCM Viongozi wenye Credibility na Public, so far wamechukua Viongozi wengi waliokuwa none effective ndani ya CCM hilo ni la kushukuru sana kwa sababu so far linawasumbua sana na pia kutoka kwa Lipumba na kitendo cha Dr. Slaa kukaa pembeni na ujio wa Lowasa ni pigo kubwa sana kwa UKAWA. Lakini bado Lowasa ni a big threat kwa sababu moja ya pungufu kubwa la CCM madarakani ni Ajira kwa Vijana wengi walioko mijini, ina maana kwamba hawa Vijana wote mjini wasiokuwa na Ajira Lowasa ni jawabu lao sio kwa sababu ana ajira hapana ni kwa sababu ana present a political threat kwa establishment kwa hiyo kwa sababu Vijana hawa hawana anything to lose kwa kumfuata Lowasa aslimia kubwa kati yao watamfuata ingawa wengi wao sio wapiga kura kwa kawaida lakini kwa vile Waziri Mkuu wa zamani wa CCM atakuwa majukwaani anaishambulia CCM it offers excitement kwa Vijana wanaokaa bure bila kazi na huku wameenda Shule. Sio siri kwamba Lowasa atakusanya watu wengi sana kwenye majukwaa yake, ambao watajaa kujionea wenyewe kwa macho yao the history being unfold, pia Wastaafu wa Serikali wengi watamfuata now hawa ni hatari sana kwa sababu ni wapiga kura na wana hasira sana na Serikali ya CCM ambayo kwa mawazo yao haiwajali kwa sababu inawapa penshioni ambayo haikidhi matakwa yao ya maisha the good newz ni kwamba sio wengi isipokuwa kwa kuwa wana tabia ya kuishi sehemu moja kama Kimara sehemu kama hizo ni ngumu sana kwa CCM kukubalika. Viongozi mbali mbali watakaoumizwa kwenye process ya uchaguzi wa sasa wa Kura za maoni watamfuata 20% yao watatuumiza CCM hasa kwenye Serikali za Mitaa na Udiwani na hata kwenye Ubunge, kwenye Urais Lowasa does not present a big threat kwa sababu most of the times of this Campaign atakuwa kwenye ropes kujitetea zaidi kuliko kushambulia on that CCM tunatakiwa kumpa kamba ya kujinyongea yeye mwenyewe ingawa hili linahitaji serious brains behind it. But all and all bado Lowasa anatuletea CCM the best changamoto ever infact this is the fisrt serious challenge CCM we are going to face since our existance 1977, hatuwezi kumchukulia Lowasa kuwa ni poa hapana he is a threat lakini managerable only kama tutatuliza akili chini na kupigana back kistaarabu.

- CCM:-
Ni Chama kikubwa sana na kumekuwepo kabla hata Lowasa hajafikiria kuwa Mwanasiasa, Mwalimu the greatest Leaders ever in the history of our Nation alikuwa ni Binadam mwenye mapungufu pia kwa maoni yangu ni FACT kwamba mapungufu makubwa 2 ya Mwalimu yalikuwa ni SHERIA na UCHUMI na ni matatizo yanayotutesa sana hili Taifa mpaka leo. Mwalimu alikuwa na Tabia ya kuyepeleka mambo ya Kisheria kwenye Kamati Kuu ya CCM badala ya mahakamani, Kiongozi wa Taifa anaharibu Mwanza anahamishiwa Mtwara haya ni mapungufu yaliyoishia kumtengeneza Lowasa our CCM's problem now. Simlaumu Mwalimu kwa sababu Miaka karibu 30 toka Mwalimu apumzike Urais CCM tulikuwa na muda mwingi wa kulirekebisha hili la kulindana ndani ya CCM, lakini tukalipuuzia na kuendelea kushi nalo sasa linataka kutuumiza wenyewe. Pamoja na ukubwa wa political threat ya Lowasa bado sio kubwa sana mpaka akiweza kuwachukua some serious Leaders ndani ya CCM ambao so far ameshindwa ingawa pia kubaki kwa ndani ya CCM wale wote ambao wanajulikana ni wafuasi wake nako kunatuletea tatizo kubwa sana ndani ya CCM.

HOWEVER:- Lowasa na UKAWA, wanapigika tena bila tatizo kwenye uchaguzi only kama CCM ikituliza vichwa chini na kupigana na hili tatizo kwa kutumia akili kubwa na maarifa pamoja na busara kubwa, kwa mfano CCM ni lazima i avoid kupigazana makelele hewa na Lowasa pamoja na UKAWA we should stick to the POLITICAL FACTS. Kwa mara ya kwanza Upinzani watatumia muda mwingi kujitetea kama CCM tukiweza kutengeneza a serious Political Package ya mapungufu ya Lowasa kwa kutumia lugha yao wenyewe Wapinzani ambao wamekuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu sana kumshambulia Lowasa akiwa ndani ya CCM. Zipo Video za Viongozi wakuu wa Chadema na UKAWA wakimshambulia Lowasa bila huruma kwamba anatakiwa kunyongwa kutokana na mapungufu yake akiwa Waziri mpaka Waziri Mkuu, now Mwananchi mwenye akili timamu akionyeshwa hizo video bila kuombwa kuangalia kwa matusi na makelele halafu akaonyeshwa tena video za sasa za Viongozi wale wale wa Upinzani wakipigana kumsafisha Lowasa ninaamini mwananchi hatakuwa na tatizo kuamua kati ya CCM na UKAWA nani ni waigizaji wa Sinema na nani ni Chama cha Siasa. CCM tutathimini seriously nani wametoka na effect yao kwenye maeneo waliyotoka na kufanyia kazi matokeo ya tathmini hizo, pia tuwa identify wale wote ambao hawajatoka lakini ni wafuasi wake Lowasa maana hawa ni hatari sana kuliko waliotoka kabisa, tujue wapo wapi, wanafanya nini na namna ya kuwathibiti bila kuanzisha misuguano ambayo ni unnessesary kisiasa. Na kubwa kuliko yote CCM tukatae kata kata kuchukuwa Hostage na hawa wanasiasa mamluki watakao tokea kutaka kujifanya kutaka kutoka ili wabembelezwe kubaki ni muhimu tukajiwekea policy mapema kwamba anayetaka kutoka aende now na hatutambembeleza mtu.

- Wamarekani walilitengeneza tatizo la Binladen alipokuwa tatizo wakaishia kulimaliza wenyewe, halafu wakatengeneza tatizo la General Abacha Nigeria na wakaishia kulimaliza wenyewe, and then wakalitengeneza tatizo la Chief Abiola na wakalimaliza wenyewe, Panama walitengeneza tatizo la Noriega and then wakaishia kulimaliza wenyewe, sisemi tutumia njia zao kumaliza tatizo la Lowasa tulilolitengeneza wenyewe CCM HAPANA, infact uwepo wa Lowasa unatusaidia sana CCM kujibu tuhuma na majungu ya muda mrefu sana kwenye our political arena kwamba kuna Viongozi wa CCM waliokufa kutokana na kutaka kwao kuingia Upinzani. Sababu kubwa ni kwamba kati yao wote hakuna aliyekuwa Mkubwa na mwenye Nguvu kama Lowasa sasa kama CCM huwa ina tabia ya kuwaondoa mbona yupo mpaka leo na anagombea urais kupitia Upinzani? CCM tutulize akili, tujiepushe kujibu jibu makelele ya Lowasa na watu wake kila wakati mengine hayahitaji kujibiwa kabisa kama vile juzi Wasanii walipomuaga Rais JK, Lowasa amepiga kelele hakuna aliyemjibu ila FACTS zilizosemwa na Wasanii wenyewe kwa kusomwa na Msanii Niki wa pili, ile risala imejibu maswali yote ya Lowasa kuhusu Hatimiliki za Wasanii yote Rais JK aliyowafanyia Wasanii toka ashike madaraka mpaka leo anajitayarisha kuyaacha.

- Pia CCM, tukumbuke kwamba kutoka kwa Lowasa na kuingia Upinzani ni good for our Nation Democracy so hata tunaposema sema tuwe tunaweka na akiba ya maneno for the interest of our Nation's Democracy, this is just a test kwa CCM je ni chama kweli cha Mapinduzi na kinachokubalika na wengi kuliko Upinzani? Majibu yake ni rahisi sana lakini only kama CCM itatuliza akili chini na infact CCM bado tunahitaji sana ku explore na kuitumia our biggest political asset yaani Wakinamama, Siasa za Chadema na Upinzani kwa ujumla kwa kawaida hapa Tanzania bado hazijawahi kuwashawishi sana kina mama ambao bado wanaiamini CCM ni wengi na ni wapiga kura. Tumewapoteza Vijana wengi sana kutokana na ukosefu wa ajira lakini the good news ni kwamba Vijana wasio na ajira kwa kwaida sio wapiga kura huwa ni wapiga kelele tu mtaani na kujaa kwenye majukwaa ya Wapinzani.

- Social Media ni muhimu sana kuna wakati Chadema walikuwa wametupiga bao kabisa kwenye hizi area, lakini not now sasa hivi CCM tunawapita kwa at least 10%, kwa sababu converting Lowasa into Chadema bado inawasambua sana operators wao wa Social Media maana it sounds very backwards kulinganisha na jinsi walivyokuwa wanamshambulia sana Lowasa now kwa mara ya kwanza wanajikuta wapo kwenye kamba I mean kwenye kumtetea Lowasa it is a shock itakayowasumbua sana kwa muda huu wa mwanzoni. Now you know kwamba kwenye siasa Kujitetea ni Dalili za kushindwa tayari so CCM tukiwashambulia hawa mapema sana na kuwaweka kwenye kamba kama ilivyo sasa, itawachukua muda sana kurudi kwenye nafasi yao ya zamani ya kushambulia tu huenda wakiamka usingizini Vita itakuwa imekwisha tayari, lakini otherwise bado na wao ni a threat kwa sababu wanasomeka sana mijini ila kama kawaida tunatakiwa kuwajibu with FACTS na safari hii tumepata a golden chance ya kuwashambulia constantly hahahahaha I love it!!

- MUHIMU KULIKO YOTE NI TATIZO LA LOWASA LINATUPA CCM NAFASI YA KUJIKUSANYA KWA PAMOJA TUKIJUA KWAMBA NI TISHIO KWENYE KUSHIKA KWETU DOLA SO NI LAZIMA TUPIGANE PAMOJA KUMSHINDA NA TUTAMSHINDA TU!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Nation

Selfie imefanya Wanaume Tushindwe Kuona Makalio ya Wanawake Kama Zamani

Posted: 10 Aug 2015 03:35 AM PDT


Mtakumbuka kipindi cha hapo nyuma kidogo ilikuwa kila mwanamke anayepiga picha basi lazima ajibinue nyuma atuonyeshe alilozawadiwa na Mungu.

Lakini hivi sasa habari ya mjini ni selfie tu, yaani wakipiga picha tunaishia kuona tu sura lakini nyuma hatukuoni.

Kusema ukweli, tangu selfie iwe habari ya mjini sisi wanaume tunaopenda makalio tumekuwa tukinyanyasika sana. Yaani ukiingia Instagram tunaishia kuona style za nywele na lips tu.

Tafadhali kina dada acheni selfie, rudini enzi zenu za kutuonyesha makalio ili nasisi wapenda makalio nafsi zetu zisuuzike.


Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Jiji la Dar Lasimama: Hapa Kuna Picha 5 za LOWASSA Akisindikizwa Ofisi za NEC na Maelfu ya Wananchi Kuchukua Fomu ya Urais

Posted: 10 Aug 2015 03:20 AM PDT

Picha  5  za  LOWASSA  Akisindikizwa  Ofisi  za  NEC  na  Maelfu  ya  Wananchi  Kuchukua  Fomu  ya  Urais




Tetesi za Wakongwe wa CCM Kuhama Chama na Kujiunga na UPINZANI Zaanza Kunukia..Hali ni Tete CCM

Posted: 10 Aug 2015 03:09 AM PDT

Hali ni "TETE" CCM !
Tetesi za wakongwe wa CCM kuhama chama na kujiunga na UPINZANI zaanza kunukia!
Mafuriko ya Lowassa hayazuiliki.
Sumaye na Bilali wanategemewa kufanya maamuzi magumu wakati ukifika.
Tusubiri tuone!

Baada ya Clouds FM Kumzengua Mtangazaji Maarufu Dina Marios, Sasa Ajiunga na Redio Pinzani EFM...

Posted: 10 Aug 2015 03:02 AM PDT

Dina Marios Aliyekiwa Mtangazaji wa Kipindi cha Leo Tena Clouds FM Amepost Picha Akiwa Redio za EFM ikiwa na Maana tayari Ameshahama Redio Clouds Ambayo kwa sababu wanazozijua wao walimweka Bench kwa Muda Mrefu Kiasi cha Mwenyewe Kulalamika Kitendo hicho...

Dina Marios Ameandika Haya Katika Ukurasa wake wa Facebook na Kuambatanisha na Hiyo Picha Hapo Juu:

"I believe if you keep your faith, you keep your trust, you keep the right attitude, if you’re grateful, you’ll see God open up new doors.”
– Joel Osteen

King Lawrenc Arudi Tena na Kudai Mtoto wa Diamond si Wake Bali ni wa Ivan Aliyekuwa Mume wa Zari....

Posted: 10 Aug 2015 12:15 AM PDT


Wakati jina la Latifah mtoto wa Diamond na Zari likizidi kukuwa, rafiki wa karibu wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga, Kinglawrence amemtupia dongo Diamond akisema hakuhitajiki kipimo chochote cha vinasaba DNA ili kujua kuwa, Latifah si mtoto wa Diamond kwani mambo yamejionesha yenyewe baada ya miezi tisa.
Kwenye mtandao wa Instagram, jamaa huyo aliweka picha ya Ivan aliyoiunganisha na picha ya Latifah ili wadau waone walivyofanana. Hapa ana maana kuwa, mtoto huyo ni wa Ivan.

Diamond alipotafutwa aseme neno kuhusiana na madai hayo yote, alipuuza kuhusu mtoto ni wake au si wake, akasema ana furaha iliyopitiliza ya kupata mtoto na kuhusu jina haoni kama kuna tatizo.

WEMA SEPETU Kufanyiwa Njama Akutwe na Madawa ya Kulevya..Apewa Onyo Kali..

Posted: 09 Aug 2015 11:56 PM PDT

Msanii wa filamu nchini na mwanasiasa chipukizi ametahadharishwa kuwa makini na marafiki wabaya wenye nia ya kuua ndoto zake za kuwa mwanasiasa na msanii anayetarajia kuiwakilisha Tanzania kimataifa.

Haya yameongelewa baada ya kuonekana Mara Kwa Mara kwenye kumbi za starehe na binti aliyejulikana Kwa jina moja la Badra. Marafiki wa karibu na Badra wamesema hali ya Badra ni mbaya Sana Kwa kile kinachojulikana anajihusisha na madawa ya kulevya na kulewa pombe za kienyeji. .
.
Mpaka sasa marafiki wa Badra wana wasiwasi kwamba Wema atakutwa na madawa hayo hali itapelekea kuua ndoto zake hivyo wanatarajia kufikisha madai hayo polisi Badra achunguzwe pia kumnusuru Wema kwenye njama hizo. .
.
Mmoja wa Rafiki yake Badra ambaye pia ni Rafiki wa Wema alisema " kipindi Diamond yuko na Peny Badra alikua akimtukana Wema live na kumdhalilisha hata Diamond aliporudi kwa Wema aliendelea kumtukana mitandaoni na Zari alipopata mimba Badra alianzisha kampeni kumsema Wema ni tasa hivyo siamini kama ana nia nzuri na Wema au ametumwa na wanaomchukia Wema " Alisema Rafiki huyo

Hata hivyo watu wa karibu na Wema wamepinga vikali kwamba Wema yuko makini Sana anajua anachokifanya ila wanasema baadhi ya ndugu wa Badra ambapo imebainika anahusiana na msanii Diamond, wako kwenye vikao vya siri kuhakikisha Wema na Diamond wanarudiana.

Mpaka kumaliza habari hii tunaomba @wemasepetu Kwa usalama wako achana na Badra pia kama kuna watu wana mpango urudiane na Diamond ni maisha yako lkn Mpaka sasa Diamond ni baba na anampenda mama mtoto wake. Ikuingie akilin...so mfukuzie mbali Badrah kabisa
Read more at http://websta.me/n/mrekebishatabia#IEryXaiHkCPBYklf.99

Breaking News: Jeshi la Polisi Lakanusha Kupiga Marufuku Maandamano ya Kumsindikiza Kuchukua fomu Mgombea urais Chadema,Edward Lowassa

Posted: 09 Aug 2015 11:50 PM PDT

Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar  es  Salaam Suleiman Kova amekanusha  kupiga marufuku  maandamano  ya  kumsindikiza  Lowassa  Kuchukua  fomu ya  kugombea  urais  ofisi  za  tume  ya  taifa  ya  uchaguzi.

Kova amesema kuwa maandamano wanayo yatambua ni yale yanayo anzia ofisi  za  CHADEMA kwenda NEC,lakini ya kutoka Nec kwenda makao makuu ya CUF Buguruni hawayatambui.

Katika  Hatua  nyingine, Mwenyekiti  wa  CHADEMA,Freeman  Mbowe  amesema  hawana  taarifa  yoyote  ya  zuio  la  maandamano  toka  jeshi  la  polisi.

Mbowe  amesisitiza  kuwa  maandamano  ya  kumsindikiza  Lowassa  NEC  yako  palepale  na  amewataka  wapenzi  na  wafuasi  wa  UKAWA  wasiogope.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 10 August

Posted: 09 Aug 2015 11:47 PM PDT

Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe  10  August 

Siri ya Dk. Slaa Kususa Chadema Anayo Mkewe

Posted: 09 Aug 2015 11:43 PM PDT

IMEVUJA! Siri ya kitu kilicho kichwani mwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Wilbroad Slaa kuhusu mustakabali wake wa kisiasa umedaiwa upo kwa mkewe, Josephine Mushumbushi, Ijumaa Wikienda imevujishiwa.
Chanzo cha kuaminika kilicho karibu na mwanasiasa huyo, kimeliambia gazeti hili kuwa mke wa kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania, anafahamu uamuzi uliochukuliwa na mumewe, isipokuwa kinachosubiriwa ni siku ya kutoboa kwa Watanzania.
“Dk. Slaa ameshachukua uamuzi wake na mtu pekee anayefahamu alichokifikia ni mkewe, kinachosubiriwa hapa ni siku tu ya kuwahabarisha Watanzania, lakini kama kuna mtu zaidi mwenye kujua kwa kina mwisho wa suala hili kwa sasa ni mkewe,” alisema mtoa habari huyo bila kutoa ufafanuzi zaidi.
Alipotafutwa Dk. Slaa ili aweze kuzungumzia suala hilo, simu yake haikupatikana. Jitihada zinaendelea.
Sakata la Dk. Slaa na chama chake lilijitokeza baada ya Chadema kumkaribisha waziri mkuu aliyejihuzulu, Edward Lowassa aliyejiunga na chama hicho na kuteuliwa kuwania urais kupitia muungano wa Ukawa.
GPL

MTOTO wa Diamond Na Zari Azua Jambo..Ni Kuhusu Jina Lake...

Posted: 09 Aug 2015 11:38 PM PDT

Shani Ramadhani
VISA vimeanza! Siku chache baada ya nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata ‘baby girl’ aliyempa jina la Latifah kupitia kwa mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari’ kuna madai kwamba, jina la Latifah limezua mambo, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baadhi ya wanafamilia wa Diamond hawakubaliani na jina hilo wakitaka kichanga huyo aitwe Sanura, jina la mama Diamond wakiamini kuwa, ndiyo historia ya enzi na enzi, kwamba mtoto wa kwanza hurithi jina la mzazi wa baba ili pia ‘kukopi’ tabia. Latifah ni mtoto wa kwanza kwa Diamond.

MAMA-DIAMOND-NA-MTOTOTUJIUNGE NA CHANZO
“Jamani mmesikia huko! Baadhi ya ndugu wa Diamond, wameanza kusemea chinichini, hawakubaliani na mtoto wa Diamond kuitwa Latifah. Wao wanataka aitwe Sanura, jina la bibi yake (mama Diamond). Wanaamini akirithi jina hilo atarithi hata tabia kwani mama Diamond ni mkarimu, mpole na mnyenyekevu kwa watu, lakini msimamo wa Diamond ni uleule, anataka mtoto wake aitwe Latifah,” kilisema chanzo hicho.

WENGINE WAGOMA…
Wakati baadhi ya wanafamilia wakitaka hivyo, wengine wasiofika idadi ya ‘wengi wape’ wamemuunga mkono Diamond kwa kumwita mtoto huyo Latifah.
“Lakini ndugu wengine wamesema Diamond hajakosea, mtoto aitwe Latifah kwa sababu hakuna tatizo wala si dhambi mtoto kuitwa kwa jina lingine mbali na la kurithi kwa bibi au babu kama ilivyokuwa zamani.

ZARI ASHANGAZWA
“Hata Zari naye ameshangazwa na mvutano huo wa jina kwani yeye anaamini mtoto anapewa jina lolote tu kulingana na wazazi watakavyoamua,” kilisema chanzo.
MADAI YA MSINGI
Habari zaidi zinasema kuwa, wanafamilia wanaotetea jina la mama Diamond, wamekuwa wakihoji lilikotokea jina la Latifah ambapo wanadai haliko kwa akina Zari wala kwao Diamond.
“Wao wanasema kama jina la Sanura waliliona halina mvuto, basi Diamond angemwita mtoto wake Sandra ambalo pia ni jina la mama Diamond.
“Unajua ndugu siku zote hawakosi la kuongea kukiwa na jambo hasa kama hili la mtoto maana mengi yataibuka lakini wazazi ndiyo wenye uamuzi wa mwisho,” kilisema chanzo.

KUMBE KUNA MAMA ZARI NAYE
Chanzo kiliendelea kuweka bayana kwamba, mbali na baadhi ya wanafamilia kutaka mtoto huyo kuitwa kwa jina la Sanura lakini pia kuna madai kwamba, mama wa Zari, Halima Hassan alipenda mtoto huyo aitwe kwa jina lake hilo kwa vile ndiye mjukuu pekee wa kike wa bintiye. Watoto wengine wa Zari ni Pinto, Didy na Quincy.

MAJINA YA KURITHI YANAVYOKUFA
Kutokana na utandawazi uliopo, watoto wanaozaliwa miaka ya karibuni hawapewi majina ya kurithi kama zamani kwa madai kuwa hilo lilishapitwa na wakati na kama mtu atarithishwa jina basi huenda akarithi na tabia na ni heri akute anayemrithi ana tabia njema.
“Unajua majina haya ya kurithi sijui kutoka kwa bibi au babu huwa yanazua balaa kwa maana wengi wanasema mtu akirithi jina basi huchukua hata tabia kitu ambacho inawezekana Diamond na Zari hawajapenda binti yao arithi jina kutoka kwa mtu yeyote,” kilieleza chanzo kingine.

JINA LA LATIFAH
Jina la Latifah a.k.a Princess Tiffah lilipatikana siku chache kabla ya kuzaliwa baada Diamond mwenyewe kuomba kwa wafuasi wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram wamsaidie jina ambalo litakuwa linatokana na imani ya Dini ya Kiislam.

WEMA SEPETU Aeleza ‘Mahaba’ Yake Kwa January Makamba!

Posted: 09 Aug 2015 11:33 PM PDT

Brighton Masalu
MTOTO ‘laini’ kunako tasnia ya urembo na filamu Bongo, Wema Sepetu ameeleza kwa hisia kali jinsi anavyompenda Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba katika utendaji kazi wake.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, mbele ya naibu waziri huyo, Wema alisema miongoni mwa viongozi ambao humyima usingizi katika kuliongoza taifa hili kwa weredi mkubwa ni pamoja na Makamba.“Yeah, kusema ukweli nampenda sana Makamba, hakika ananivutia kwa mengi, hususan utendaji kazi wake,” alisema Wema.

SBL Yazindua Rasmi Tuzo ya Ubora wa Thamani ya Monde Selection Kwa Wateja Wake..

Posted: 09 Aug 2015 11:26 PM PDT


Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi (Kushoto) pamoja na Meneja Mauzo wa bia ya Serengeti kanda ya Dar es salaam Bw. Godson Tezura wakizindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja ambapo bia ya Serengeti Premium Lager toka SBL imetuzwa medali tatu za dhahabu mwaka huu kutoka viwanda vyake vyote vitatu; cha Dar es salaam, Mwanza na Moshi kwa 2015. Sherehe ya kuzinduaushindihuoilifanyikakatika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.


Wafanyakazi wa Kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa kusherekea uzinduzi rasmi wa tuzo ya uborawathamaniya Monde Selection kwa wateja ambapo bia ya Serengeti Premium Lager imetuzwa medali ya dhahabu tatu kila moja kutoka katika viwanda vyake mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.


Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium imetuzwa medali ya dhahabu tatu kutoka katika viwanda vyake kwa mwaka huu wa 2015 pamoja na kufafanua zaidi kuhusu shindano jipya la Serengeti Masta lilioanza kutimua vumbi katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar.


Meneja Mauzo wa bia ya Serengeti Premium kanda ya Dar es salaam Bw. Godson Tezura akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ubora wa bia hiyo ambao ana amini ndio uliopelekea ushindi wa tuzo ya kimataifa ya Monde Selection ambapo kwa mwaka huu bia hiyo imetuzwa medali  tatu za dhahabu katika viwanda vyake vyote vitatu. Bw. Tezura alisisitiza jinsi gani wateja wa wakubwa na wadogo watafaidika na kampeni hii ya Serengeti Masta.


Msimamizi wa Mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Ubungo Bw. Victor Mhindi akikabidhi zawadi ya polo shirt pamoja na fedha taslim Tsh 50,000/= kwa mkazi wa Kimara mwisho Bi. Sharifa Shaaban mara baada ya mkazi huyo kuibuka mshindi wa shindano la “Serengeti Masta wa baa ya Toroka Uje” linaloendeshwa na SBL kupitia kinywaji chake cha Serengeti Premium wakati wa kusherekea uzinduzi wa tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection ambapo bia ya hiyo imetuzwa medali tatu za dhahabu kwa mwaka huu wa 2015. Sherehe hiyo ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar essalaam.  Shindano hili litafanyika Tanzania nzima na kuibua Serengeti Masta wa kanda na mwisho wa taifa. Kauli mbiu ya kampeni ni TUNAIJUA BIA NA SERENGETI PREMIUMLAGER  NDIO YENYEWE

Udaku Specially

unread,
Aug 11, 2015, 4:31:45 PM8/11/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Haya ndio majibu ya Petit Man kwa Soudy Brown kuhusu tetesi ndoa yake na Esma kuvunjika

Posted: 11 Aug 2015 11:53 AM PDT

Kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram kulikuwepo na uvumi kuwa ndoa ya dada wa Diamond, aitwaye Esma na Petit ipo kwenye ugomvi baina ya wawili hao.

Leo Soudy Brown kaamua kupiga Stori na Petit kutaka kujua ukweli wa taarifa hizo lakini mwenyewe hakuonesha utayari wa kuzungumzia undani wa ishu hiyo.

Ukibonyeza play hapa utamsikia Soudy na Petit Man ilivyokuwa kwenye U Heard.


WEMA SEPETU Amjibu Nuhu Mziwanda..Amtaka Ajishughulishe na Aache Umarioo

Posted: 11 Aug 2015 02:10 AM PDT

'Naitwa Wema Sepetu na ntabaki kuwa Wema Sepetu... Iam Number One... Sina muda wa kubishana na watoto...Nina muda wa kufanya kazi na kwa sasa jicho langu limeelekea kwa Wanyaturu wangu Singida na kwenye siasa yangu pamoja na kazi zangu za maana bila kusahau entertainment niliokuwa ninayo from 2006 ... Kumbe wakati mi nimelala nyie mnaandika Instagram... Ntapata dhambi kugombana na watoto wadogo-ambao nimewazidi sio pesa tu hadi dhambi pia nimewazidi.... Mstafute kick kupitia jina la Wema jamani... Jitume, amka, usibweteke, fanya kazi.... Umarioo mwisho Chalinze maana Dar wote tuna Hustle... Ama nene....' Wema Sepetu

Nuhu Mziwanda Amshutuma WEMA SEPETU Kwa Kuvuruga Uhusiano Wake na Shilole Kwa Makusudi...Aandika Haya Kwa Uchungu

Posted: 11 Aug 2015 01:01 AM PDT

Nuhu Mziwanda Ameshindwa Kuvumilia na Kuamua kumfungukia Wema Sepetu Ambaye alihusika kusambaza Audio ambayo Nuhu Mziwanda anasikika akimtongoza Wema....

Kaandika Haya Hapa:

'Nakupa hongera kwa kufanikiwa kutoa amani katika mapenzi yangu mimi Na zuwena'maana hukua na nia njema wewe pamoja na team yako'na hata kama ingekua kweli ungemfata pembeni zuwena na kumweleza kua bwana ako anantongoza na sauti zake hizi hapa'lakini ukaona sio ishu na kuachia mitandaoni'mradi kuniaibisha mimi pamoja na na huyo unaesema unampenda sana na ni shoga yako'kingine Wema umetongozwa na wangapi hapa duniani kwann usiweke Voic note zao?yani moja kwa moja umetaka kusambalatisha mapenzi yetu na now naona mnaanza kutumana kumtongoza shishi'well madam nakupa salute zako'najua unaishi kwa amani na raha 'ila huku umekiwasha mpka mtu unakua hauna amani ya moyo na ukizingatia sijawahi hata kukaa na ww tukapga stor wala kuona undani wa mwili wangu'kipindi una kampeni uling'ang'ania sana niingie kwenye group yako ya whatsup for supporting you'kumbe unanichekea kinafiki na ulikua na mabomu yako umeyapanga kuyalipua 'sawa mama angu ila mimi nimetoa ya moyoni mwangu kwako na naamini ujumbe utakufikia mana nimeshindwa kukaa na duku duku'sisi wote binadam na hatuna garantee ya kuishi'salute kwako kwa ulichofanya'  Mziwanda

Rais Kikwete Atua mjini Dodoma Kuendesha Vikao vya Chama cha Mapinduzi

Posted: 11 Aug 2015 12:53 AM PDT

Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo ataongoza vikao vya Kamati ya Maadili na Kamati kuu ya CCM vitakavyofanyika katika ukumbi wa White House Makao Makuu Dodoma.
 
Alhaj Kimbisa amekanusha uvumi uliosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa ameihama CCM. Kushoto ni Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana

Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na KAtibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahmana Kinana baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo ataongoza vikao vya Kamati ya Maadili na Kamati kuu ya CCM vitakavyofanyika katika ukumbi wa White House Makao Makuu Dodoma.

Alikiba Athibitisha Ujio wa Collabo yake na Davido, Aelezea Ngoma itakuwaje

Posted: 11 Aug 2015 12:29 AM PDT

Habari kuhusu ujio wa collabo kati ya superstar wa Nigeria, Davido na superstar wa Tanzania Alikiba tuliisikia kutoka kwa Davido mwenyewe wakati wa tuzo za 2015 MTV MAMA zilizotolewa huko Durban, Afrika Kusini.

Hatimaye Alikiba naye amezungumzia collabo hiyo kwa mara ya kwanza, kwa kuthibitisha kuwa alichokisema Davido ni kweli hivyo watu wajiandae kupokea kazi hiyo hivi karibuni.

“Davido ameongea na Millardayo kwamba anataka kuja kufanya featuring na Alikiba, which is tayari tulikuwa tumeshaongea muda mrefu, kwahiyo watu wasubirie tu ngoma inakuja kutoka lini.” Alisema King Kiba kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm.

Alikiba pia ameelezea kile ambacho wanatarajia kukiimba katika wimbo huo ambao bado haujarekodiwa.

“Track iko vizuri, lakini idea bado haijakamilika, lakini kiukweli mi hua nafanya ngoma nikiwa studio, tutazungumzia kuhusu goodtime, party, mapenzi flani you know, yaani nyimbo flani ya kuhamaishisha watu katika raha.”

Magufuli Aahidi Ushindi wa Tsunami CCM......Asema Wapinzani Wataishia Kupiga Kelele Tu, Mwigulu Nchemba Naye Apigilia Msumari wa 'Moto'

Posted: 11 Aug 2015 12:23 AM PDT

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.

Dk Magufuli alisema hayo nje ya ofisi ya chama hicho mkoani Mtwara juzi alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama hicho ambapo alisisitiza kuwa wapinzani watapiga kelele sana, wataongea sana lakini ushindi kwa CCM ni lazima na upo pale pale.

Alisema ushindi huo unatokana na matawi yaliyoanguka ndani ya chama na kuhama na kwamba watu hao wameiacha CCM ikiwa safi na salama zaidi.

Alisema watu hao walikuwa wakitumia fedha nyingi kurubuni watu wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM ambapo chama kiliwakata na kukimbilia vyama vingine vya upinzani.

Aliwataka wana-CCM wasikatishwe tamaa na watu wa aina hiyo na badala yake washikamane, wawe kitu kimoja na kwamba mwaka huu, chama kitafanya kampeni za kisayansi.

Aidha, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba alisema ni kazi rahisi kumnadi Dk Magufuli kutokana na vigezo na sifa alizonazo.

Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, alisema walioshindwa kwenye mchakato wa kura za maoni na kuhama ndani ya chama, hivi sasa wanahaha kutafuta urais wenyewe ambapo wanatoa mpaka hela ili kutafuta uongozi, lakini wataumbuka mapema.

Akizungumza na mamia ya wana-CCM waliojitokeza kumpokea katika hiyo ofisi ya chama ambapo alifika kwa ajili ya kuwasalimia na kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mgombea na kumdhamini, Dk Magufuli aliwataka makada hao na Wtanzania kwa ujumla kutoyumba kwa kuwa Watanzania walio wengi bado wanakipenda Chama.

“Ushindi wa mwaka huu wala si wa kimbunga ni wa Tsunami, watapiga kelele sana, watakuja na propaganda nyingi sana, lakini ushindi wa CCM ni lazima. Ni lazima tupate ushindi wa rais, wabunge, wawakilishi na madiwani,” alisema.

Alisema walikuwa watu 42, wakati wakiomba kuteuliwa na chama hivi sasa, CCM ina kundi moja tu la ushindi.

“Hako ka tawi kamoja ndio kakameguka kwenda uko mbali, mti ambao unataka upate mbao zake nzuri matawi kudondoka chini ni vizuri ili upate mbao safi.

 “Lakini baada ya kudondoka hilo ni jambo la kawaida kwa chama kikubwa kama CCM.

"Hata ukiangalia tangu enzi za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere wapo waliotoka wako akina Kambona walitoka na wengine walifukuzwa na wengine walijua watafukuzwa wakakimbia wenyewe kabla ya kufukuzwa kama hao,” alisema.

Alisema iwapo atachaguliwa kuongoza dola atapenda awe mtumishi wa watu, asiyekuwa na majivuno ili aweze kuwatumikia wananchi na atimize matarajio yao.

 Dk Magufuli alisema wakati wa kampeni ukifika zitafanyika za kistaarabu na kisayansi na kwamba zitakuwa za shina kwa shina, tawi kwa tawi, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo, wilaya, mkoa na taifa.

Aliwataka wana-CCM wasimame imara kwani wananchi wengi wanakipenda Chama.

 Dk Magufuli akizungumzia uzoefu wake ndani ya CCM, alisema alikuwa mbunge katika kipindi chake cha miaka 20, ambapo vipindi viwli alipita bila kupingwa na alikuwa waziri kwa miaka 20 katika wizara mbalimbali.

Alisema anaifahamu vizuri Mtwara, Tanzania, CCM na kero za Watanzania anazifahamu vya kutosha hivyo akipewa nafasi watashudia wenyewe kasi ya utendaji kwa maendeleo ya taifa.

 “Nilichaguliwa na mkutano mkuu kutoka kila kona ya nchi kwa asilimia 87, wale walionichagua waliwakishia Watanzania wote. Niwahakikishie kuwa mwaka huu, tutashinda zaidi,” alisema.

Aliwataka wana-CCM katika umoja wao kutulia na kutoyumbishwa na maneno ya porojo kwa kuwa chama kinajiuliza kwa kile walichofanya kwa wananchi na si maneno matamu bila vitendo.

“Chama nakifahamu, shida za wana-CCM nazifahamu, matarajio yao nayafahamu, shida za wananchi nazifahamu hivyo kama nitachaguliwa nitawatumikia kwa uadilifu mkubwa ili kuwaletea maendeleo,” alisema.

Lowassa Amtuhumu Rais Jakaya Kikwete Kwa Kuuharibu Uchumi wa Tanzania...... Asema Vitu vimepandishwa na Tembo Wanauawa Hovyo

Posted: 11 Aug 2015 12:16 AM PDT

EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.

Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa  alisema;

“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”

“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”

Aidha Lowassa alisema, katika kipindi cha utawala wa Rais Kikwete ndipo Tembo na kila aina ya wanyama wameuwawa kuliko kipindi chochote katika historia ya Tanzania.

“Katika utawala wa Rais Kikwete, Tembo wameuwawa kuliko kipindi chochote katika historia duniani kote.

“Kila aina ya mnyama ameuwawa kuliko kipindi chochote katika historia ya nchi yetu. Nitaijenga serikali yenye uchumi kwa speed (kasi), ambaye hawezi akae pembeni,” alisema Lowassa.

 Angalia video hii hapo chini  umsikie  Lowassa  akitoa  tuhuma  hizi.:-

WEMA SEPETU Awapiga Mkwara TEAM WEMA Kuto Weka Habari yoyote ya LOWASSA kwenye page zao za Instagram...

Posted: 10 Aug 2015 11:50 PM PDT

Wakati wagombea mbalimbali wa vyama vya Siasa nchini Tanzania wakiwa na wafuasi wao wakiendelea kuingia kwenye headlines mbalimbali Aug 10 nakukutanisha na hii post ya Mrembo Wema Sepetu.

 Kama unamfatilia Wema Sepetu kwenye mitandao yake ya kijamii leo kupitia mtandao wa Instagram kapost picha inayomuonyesha Waziri wa ujenzi John Magufuli akisalimiana na Steve Nyerere pamoja na Rais Jakaya Kikwete.

Kwenye post yake ameipa maneno haya  “Wamoja havai Mbili…. Alafu nina msg to Team Wema … Please my darlings… kama kuna mtu anatumia account yenye jina langu naomba msimpost Lowassa tafadhal… Kama unashindwa then badili tu jina… Dont use my name kumpost Lowassa …. Jamani Iam Not Team Lowassa…. Thank u… CCM tu hapa… TeamMagufuli to death … Nilishasema mi ni CCM Damu Kabisa… Sidanganyiki…

UKAWA mtaenda msojielewa…”

Nuh Mziwanda Afunguka Makubwa Amtuhumu Idris wa Big Brother Kumsumbua Demu wake Shilole

Posted: 10 Aug 2015 11:46 PM PDT

Picha limeanzia kwenye post ya Instagram ya mshindi wa Big Brother Africa Hotshots, Idris Sultan ambayo aliweka picha ya girlfriend wake Samantha wa Afrika Kusini.

Miongoni mwa watu walio comment kwenye picha hiyo ni pamoja na mmiliki wa ‘moyo’ wa Shishi Baby, Nuh Mziwanda ambaye alimchimba ‘biti’ Idris, akidai kuwa amekuwa akimsumbua mpenzi wake Shilole kwa kumtumia ujumbe ambao hapendezwi nao.

“Nikianza kumsumbua demu wako, kaam unavyomsumbua wangu utafurahi, nimekuvumilia sana bro, sasa imekuwa too much, tuheshimiane @idrissultan msg zako sijazipenda.”


Udaku Specially

unread,
Aug 12, 2015, 4:33:24 PM8/12/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Gazeti la Uhuru: Vijana waliomsindikiza Lowasa kuchukua fomu jana ni VIBAKA

Posted: 11 Aug 2015 11:08 PM PDT

Ni kitambo sana gazeti dada la chama Cha Mapinduzi limekua likinanga Harakati za vyama pinzani. Yote tisa kumi ni ripoti zilizomo kwa gazeti hili tar 11/08/2015 siku moja baada ya MTETEMO WA UKAWA JIJINI DAR.

"Ati Kundi la vibaka latikisa Ukawa. " hao vibaka mliwaona wapi, hizo fedha walizolipwa mliziona kwa nani, na hizo Pombe walizokunywa mliwanywesha?

Mmeanza kukata mauno hata ngoma bado haijaanza kudunda? Mtachoka mapemaaa. Kama Gazeti ni la kimapinduzi wapeni watu habari zenuu, msiwapotoshe watu kwa vitu walivyovishuhudia.

Niwaulize kidogo.

Hiviii Wizi wa kura katika michakato ya majimboni si habari? Semeni hayo.

Na je Rushwa iliyoota mizizi katika Harakati za uteuzi si habari? Andikeni hiyo.

Majimbo Matano Kurudia Kupiga Kura za Maoni CCM

Posted: 11 Aug 2015 10:59 PM PDT

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) imeagiza kurudiwa kwa uchaguzi katika majimbo matano yaliyopo Tanzania Bara kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza katika mchakato wa kura ya maoni.

Majimbo yanayotakiwa kurudia uchaguzi wa kura ya maoni ni pamoja na Makete, Busega, Ukonga, Rufiji na jimbo la Kilolo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amesema mchakato huo utarudiwa siku ya Alhamisi Agosti 13 mwaka huu.
Amesema baada ya uchaguzi huo matokeo yatapelekwa katika vikao vinavyoendelea kwa ajili ya uamuzi.

Akizungumzia kuhusu vikao vinavyoendelea katika ukumbi wa NEC mjini Dodoma amesema vikao hivyo vinaendelea vizuri ambapo jana kikao cha kamati ya maadili kiliendelea mpaka usiku.
Amesema leo wanatarajia kumaliza kikao cha Kamati Kuu ambapo kesho na kesho kutwa watamaliza na kikao cha halmashauri kuu ya chama hicho (NEC) kama ilivyopangwa.

Tofauti Kati ya Mrema na Lowasa Kwenye Ugombea Uraisi

Posted: 11 Aug 2015 10:55 PM PDT

Tofauti kati ya Mrema na Lowasa wote wakiwa wametokea CCM na wote wakiwa wagombea uraisi kupitia upinzani walikoingia bila kujua sera za vyama walivyoingia kwa kuwa waliingia chap chap ni kama ifuatavyo

1.Mrema alikuwa akiungwa na makundi ya wasomi waliobobea wakiwemo maprofesa walikuwa tayari kumbeba na kusukuma gari lake kuonyesha upendo wao kwake.Lowasa wasomi wamekaa naye mbali wengi hata kumsikia hawataki kuanzia wasomi wakubwa hadi wadogo.Slaa alikuwa kipenzi cha wasomi

2.Mrema aliungwa na watu wengi wa hali ya chini (walalahoi) ambao walimpenda bure bila gharama yeyote kwa kuwa alijitambulisha kama mlalahoi mwenzao wakawa wanamwunga mkono na kumsindikiza kwa makundi makubwa ya kutisha wakihemka kwa mihemko ya dhati ya kumwunga mkono mgombea wao.Lowasa haungwi mkono na walalahi wengi kwa kuwa kajitanabaisha kama mtu mwenye pesa anayetaka kumkomboa mlalahoi!! Walalahoi wazo la kukubali kuwa tajiri aweza kuwakomboa wengi wanalikataa hivyo Lowasa kumfanya akose waunga mkono kutoka kundi la walalahoi.Walalahoi wengine ambao wako tayari kumfuata ni wale ambao wanaamini kuwa Lowasa ana hela na wanataka pesa zake kwanza ili waandamane naye ana WAFUASI MASLAHI WENGI MNO ambao hawamwungi mkono kwa dhati kama ilivyokuwa kwa mrema.

3.Mrema alipoondoka CCM aliondoka na wafanyabiashara wengi wazawa kibao ambao walikuwa wakinyionyesha wazi na kumchangia hasa kwa ajili ya mbio za uraisi bila woga na kwa mapenzi ya dhati kwa mrema.Lowasa anaoondoka nao CCM ni watu maslahi si watu wenye hela wanaotaka kumsaidia bali wengi ni wale omba omba wavizia pesa za Lowasa wanaosubiri Lowasa atafute pesa awagawie!! Ziwasaidie ubunge,udiwani au katika mishe mishe za maisha yao.Ni watu wenye tamaa ambao wangependa wapenye waingie ndani ya Team lowasa kule kwenye fuko la hela hasa walibomoe.
Makundi ya wengi wanaohama CCM kumshabikia Lowasa ni wachovu kipesa na kimaisha wamepigika.Wanavizia LOWASA

4.Mrema alibebwa na vyombo vya habari bure hakutoa hata thumuni na misafara ya wasindikizaji ilikuwa ni ya bure hakuwapa chochote.Lowasa kuanzia vyombo vya habari visivyokuwa na haya kutwa vinawinda hela yake na wasindikizaji kuanzia bodaboda wanasema HAPENDWI MTU NI POCHI TU alete pochi tuingie barabarani.

5.Mrema alijipambanua kama mpiganaji wa wazi wa ufisadi Lowasa kauli mbio yake ni ya kuondoa CCM ,ufisadi ulimi wake unashindwa hata kutamka

Kwa ujumla Mrema alikuwa na nguvu kubwa kuliko Lowasa ya uungwaji mkono wa dhati.Kwa kuangalia aina ya waunga mkono Lowasa sisiti kusema uwezo wake wa kushinda Uraisi ni mdogo mno.Angekuwa na Sifa za mrema angalau angefurukuta.

Maoni Binafsi Kutoka Kwa YEHODAYA -JF

Habari Mpya Kutoka MUHIMBILI Ambako Freeman Mbowe Amelazwa Baada ya Kuugua Ghafla

Posted: 11 Aug 2015 10:48 PM PDT

Hali ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai anayemaliza muda wake, mh Freeman Aikae Mbowe, imeendelea kuimarika.

Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, anakopatiwa matibabu, mh Mbowe, amesema anaendelea vizuri na kwamba bado anaendelea kupumzika hospitalini hapo, kama alivyopangiwa na madaktari wanaoangalia hali yake.

''Hali yangu imeendelea kuimarika na kilichonipata jana kwa mujibu wa uchunguzi wa madaktari ni uchovu wa muda mrefu, uliobainishwa kutokana na shughuli za muda mrefu bila kupumzika katika shughuli zangu za kisiasa'' amesema Mbowe.

Mh Mbowe ameongeza kwamba, madaktari wamemtaka kuendelea kuwa chini ya uangalizi wao mpaka hapo watakapo mruhusu kuendelea na shughuli zake za kwawaida.

Mmoja kati ya madaktari wanaoangalia afya ya mh Mbowe, Dr Tulizo Sanga(daktari bingwa wa magonjwa ya moyo) ,amewaambia waandishi wa habari hospitalini hapo kwamba, mh Mbowe alipokelewa jana akitokea Hospitali ya Doctors Plaza ya Kinondoni,jijini Dar Es Salaam, kwa ajili ya uangalizi na uchunguzi zaidi kutokana na kuugua ghafla wakati akiwa katika msafara wa mgombea urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

Mh Mbowe amelazwa katika hospitali ya Muhimbili, kitengo cha moyo, baada ya kuugua ghafla jana na kukimbizwa hospitalini hapo.
 
Nae James Mbatia mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa UKAWA, amefika hospitalini hapo kumjulia hali mh Mbowe, na amesema pamoja na hali ya kuumwa ya mh Mbowe, wao bado wanaendelea kufanya kazi na kwamba ratiba mbalimbali za vikao vya UKAWA ziko palepale, na amewaomba watanzania kuwa watulivu na kuendelea kumuombea mh Mbowe, apone haraka.

BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa

Posted: 11 Aug 2015 10:44 PM PDT

 BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa...Hapa Chini unaweza Kusoma Mambo yote aliyosema kuhusu Lowassa na Chadema...






BREAKING: Dr. Slaa aibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema Mambo Mazito kuhusu Lowassa

Udaku Specially

unread,
Aug 13, 2015, 4:41:10 PM8/13/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Majina Rasmi ya Wagombea Ubunge CCM 2015 Yatajwa-Anna Tibaijuka na Job Ndugai Ndani

Posted: 13 Aug 2015 11:51 AM PDT

Majina ya walioteuliwa kugombea ubunge wa majimbo na uwakilishi wa viti maalum kupitia CCM katika majimbo yote Tanzania yametoka rasmi , yupo Iddi Azzan anagombea Jimbo la Kinondoni, Prof. Anna Tibaijuka anagombea jimbo la Muleba Kusini.
Nape Nnauye anagombea jimbo la Mtama., Nimrod Mkono anagombea jimbo la Butiama, Ndugu Ridhiwani Kikwete anagombea Chalinze na Job Ndugai ameteuliwa kugombea Kongwa.

Kujua wote walioteuliwa kuwakilisha majimbo na viti maalum Bonyeza Link Hii Hapa chini:





Attachment: 

Siwezi Kumsamehe Mke Wangu, Ametembea na Mkurugenzi wa Ofisini Kwake

Posted: 13 Aug 2015 11:40 AM PDT

Baada ya kupoteza kazi yangu niliyumba sana, niliwaza nitaishije bila kazi hapa mjini, hata hivyo nilijipa moyo kwamba kwa kuwa wife ana kazi Basi mambo madogo madogo hayatasumbua wakati huo nami nitakua nakazana kutafuta kazi nyingine.

Kumbe nilikua nimekosea kuwaza hivyo, ilianza taratibu kama mzaha wife kuchelewa kurudi na kuja kuanzia saa tano usiku na kuendelea kwamba wamelazimika kufanya overtime.

Baada ya wiki kadhaa visingizio vikaisha akawa hana cha kusingizia tena, anakuja usiku ule ule mwingi bila kunisemesha chochote na kupitiliza chumbani kulala moja kwa moja bila kula wala kuoga.

Nikajiuliza, kwa biologia ya wanawake ilivyo na joto la Dar inawezekana wife akarudi na kulala tu bila kuoga? Na chakula je ina maana analala na njaa? Nikasema nitapata tu majibu ya maswali Haya, only time will tell.

Hadi napoteza kazi yangu sikua namiliki Gari wala wife hakua nalo, baada ya hizi harakati za kurudi usiku mwingi na kutoshinda home weekend nzima hatimaye wife """"" akanunua Gari""""" Toyota IST.

Nilikua naumia rohoni kwa suspicion but sikujua where and how to start investigation on that particular matter hadi siku moja tulienda pamoja na wife kwenye Gari lake na mdogo wake wa kike aliyekuja toka Jana yake.

Mimi niliomba nikae nyuma wao mbele, kabla hatujaondoka nashangaa kuiona chupi ya wife bikini pembeni ya miguu yangu ndani ya Gari, kwa kifupi ile safari ilikufa.

Nilimtoa ndani ya Gari kwa kipigo kikali sana nikitaka kujua kulikoni hiyo chupi kuwepo humo, hakawa hana cha kujitetea, nikamfungua chumbani na nikachukua simu zake zote nikawa nazo sebuleni, tangu kufunga ndoa sikuwahi kumpiga zaidi ya siku hiyo.

Hapo sebuleni nilipitia meseji zote kwenye simu zake, baada ya zoezi hilo nililidhika beyond reasonable doubt my wife was seeing someone else.

Na mtu huyo alikua ni mkurugenzi wake kazini, na hiyo kampuni anayofanya wife ni ya huyo bosi, nikamfungulia saa tatu usiku na kumpa simu zake nikaendelea na mambo mengine.

Sikupata usingizi siku hiyo, nilikaa kwenye TV nikibadilisha Chanel mbali mbali, saa nane usiku alinifuata sebuleni na kupiga magoti akaniomba msamaha kwa machozi kwamba hatorudia, haelewi kwa nini alifanya vile, sikumjibu nikamwambia arudi alale.

Nika conclude kwamba sina mke, nikaazimia kwamba nisilete fujo, kwa hali niliyonayo nijifanye ---- tu huku moyoni nikijua sina mke, halaf niendelee ku fight nikifanikiwa niachane nae niendelee na maisha yangu.

Wife ali pretend kwamba ametubu na ameachana na yule jamaa, lakini kwa siri aliendelea nae, hakujua kama mimi najua yule mpenzi wake ndie bosi wake kazini, alikua amenidanganya kwamba ni mteja wa kampuni yao na kwamba hawaonani tena.

Kunipumbaza, kwa mara ya kwanza, ilikua ni Ijumaa, akaja na bahasha akanipa ilikua na million mbili za elfu kumi kumi, kaniambia amepata kazini baada ya kufanya deal, nikazipokea nikaziweka benki, Ili kuni fool kila siku mbili tatu au wiki alikua ananiletea pesa, laki tano na kuendelea nami nikawa natunza pesa nikikusanya mtaji.

Nikaanza kufanya shughuli zangu za kibiashara, kidogo kidogo mambo yangu yamekua mazuri kwa pesa hizo hizo za uzinzi wa wife, yeye kwa kipindi chote anaamini kwamba amenifanya ----, akienda kulala kwa hotels na huyo jama, wakati mwingine akiaga anakwenda safari kikazi kumbe yupo humu humu Dar, nami nikajifanya mjinga nikajiimarisha.

Kila jambo lina mwanzo na mwisho, mkurugenzi kapata msichana mpya kazini inaonekana mke wangu katemwa, yupo tu nyumbani namuacha hapo asubuhi naenda kwa business zangu narudi jioni, nikimuuliza kulikoni analia tu, yupo frustrated, ndipo nikapata chanzo kikanieleza yaliyotokea huko kazini kwao, mapenzi na bosi yamefikia mwisho.

Nimeishi kwa mateso rohoni kwa miaka 4, huku nikificha hasira yangu, nikishiriki tendo la ndoa, ili kumhadaa huyu mzinzi bila yeye kujua, sikuwahi kupata wazo la kufumania kwa kua nilikua nitaharibu mpango wangu.

Wiki hii najiandaa kuhamia kwangu ingawa ni vyumba viwili na sitting room but it is my home, naenda kuanza upya
Nasamehe mtoto pia, nitapata mwingine, kwanza sina imani kama ni wangu, nitaondoka na begi tu.

Yote Tisa, kumi nimepona rohoni, nasikia amani sana.

Kusamehe ni msamiati kwangu kwa sasa, hatua hii niliipanga miaka minne nyuma.

Ama kweli poteza kazi ndo utajua sura halisi ya mkeo

  By Jean pierre oberoi

Mabalozi Mia Moja wa CCM Monduli, Wahamia CHADEMA

Posted: 13 Aug 2015 11:36 AM PDT

Mabalozi wa mashina miamoja na kumi wa CCM mwenyekiti katibu kata wajumbe wa kamati ya siasa ya kata pamoja na wenyeviti wa mitaa minne katika kata ya Monduli mjini mkoa Arusha wamehama CCM na kuhamia Chadema.

Tukio ilo limetokea Monduli mjini leo majira ya saa sita mchana wakati viongozi hao walipo kusanyika na kutoa kauli ya kuhama CCM na kuhamia Chadema huku wakieleza sababu zinazo wafanya kufikia maamuzi hayo.

Kwa upande wao wenyeviti wa serikali za mitaa wajumbe wa nyumba kumi na katibu wa CCM kata ya Monduli Anna Erinest wameitaka jamii itambue kuwa hayo ni maamuzi yao binafsi na hayahusiki na shinikizo la mtu yoyote kama inavyo daiwa na baadhi ya watu kila wanaohama udaiwa wameshinikizwa.

Polisi Wazuia Msafara wa LOWASSA Kushiriki Mazishi ya Mzee Kisumo

Posted: 13 Aug 2015 11:53 AM PDT

Polisi  wakiwa  tayari  kwa  lolote  baada  ya  kuzuia  msafara  wa  LOWASSA
Polisi mjini Mwanga, mkoani Kilimanjaro umezuia msafara wa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa uliokuwa unaelekea Usangi kuhudhuria mazishi ya kada wa CCM, Peter Kisumo.

Vyanzo vya kuaminika toka mjini Mwanga vinasema, polisi walizuia msafara huo kutokana na kujumuisha idadi kubwa ya magari ya viongozi waandamizi wa Ukawa na wabunge wanaounda umoja huo jambo ambalo polisi hawakuafiki.

Taarifa zinasema, tukio hilo lililotokea katikati ya Mwanga na Usangi lilizusha mjadala wa zaidi ya dakika 30, polisi wakitaka Lowassa aende mazishini peke yake huku magari mengine yaliyoambatana naye yarejee yalikotoka jambo ambalo halikuafikiwa na mwanasiasa huyo.

Baada ya polisi kusisitiza kutoruhusu msafara mzima uende mazishini mgombea huyo aliamua yeye na maofisa wengine alioambatana nao kurudi Mwanga akisisitiza asingeweza kwenda peke yake akiwaacha watu aliambatana nao.


XXL ya Clouds FM yawapatanisha Q Chillah na TID, ‘no beef’ tena… Full interview iko hapa.. (Audio)

Posted: 13 Aug 2015 11:24 AM PDT

Inawezekana hukua unaamini kuwa kuna siku  jamaa hawa wawili ambao walikua wakiwakilisha ‘Top Band‘, Q Chief na TID wasingeweza kukaa pamoja na kumaliza tofauti zao na hii imetokana na kuingia kwenye headlines sehemu mbalimbali kuwa hawako sawa, taarifa ikufikie kuwa TID na Q Chief kwa sasa wako fresh na wanarudi pamoja kimuziki tena.

chiiiKwenye interview ya kukumbuka album zilizopita kwenye XXL ya Clouds FM August 13 waliwaita Q Chief na TID, yamezungumzwa mengi sana kwenye interview hii ikiwemo album nyingine itakayotoka itakayowaunganisha Q Chief na TID, Nimekurekodia interview yote mtu wangu.

Bonyeza play kusikiliza interview yote.

Mgombea Urais John Magufuli Amesema Akishinda Urais Atagawa Kompyuta kwa Kila Mwalimu Nchi Nzima

Posted: 12 Aug 2015 10:23 PM PDT

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli amesema akishinda Urais atagawa Kompyuta mpakato(Laptop) kwa kila mwalimu nchi nzima. Amesema atachukua hatua hiyo ili kuinua kiwango cha Elimu Nchini. Pia ahaidi Mil. 50 kila Kijiji kukuza Uchumi akishinda Urais. Source: Raia mwema

Nini maoni yako hapo

Zari: Ujauzito Ujao na Mimi Nitapiga Picha za Utupu Kama Kim Kardashian

Posted: 12 Aug 2015 10:17 PM PDT

Selfie ya utupu aliyoshare Kim Kardashian kwenye akaunti yake ya Instagram ili kuwajibu waliodhani anafake ujauzito (Ingia hapa), imempa ‘wazo’ Zari The Boss Lady a.k.a mama Tiffah la kufanya hako kamchezo atakapopata ujauzito mwingine na Diamond.

Kupitia Instagram Zari alishare picha ya utupu aliyopost Kim Kardashian na kuandika “mlisema nilikuwa mtupu kwenye photoshoot ya tumbo la ujauzito???? Hivi ndivyo picha ya utupu inavyokuwa”. Aliongeza “wakati ujao na mimi nitapiga za utupu”. Aliongeza kuwa Diamond ameanza kufikiria kupata naye mtoto wa pili.

Wooooooiiiii did I hear that I was naked in my baby bump photoshoot???? Well well well, this is what naked looks like. Smh!!!! Way to go Kimmy next time am stripping too….. Baba T is thinking about a lil brother already”– Aliandika Zari.

Kwa Mara ya Kwanza Serekali Yasifia Maandamano ya Chadema, Yadai Maandamono ya LOWASSA Yalikuwa ya Amani

Posted: 12 Aug 2015 10:10 PM PDT

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema wamefurahishwa na amani iliyotawala wakati wa maandamano ya kumsindikiza mgombea wa urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu juzi.

Waziri Chikawe alisema jana kuwa alishuhudia umati mkubwa wa watu wakiimba na kucheza katika hali ya amani na hilo ni jambo zuri linalopasa kuendelea wakati wote.

Alisema anatarajia hali hiyo itaendelea hata mikoani mgombea huyo akienda.

“Tumefurahi, kulikuwa na amani ya kutosha, watu walikuwa wengi zaidi ya ilivyokuwa kwa CCM,” alisema Waziri Chikawe.

Waziri Chikawe alikiri maandamano hayo kusimamisha shughuli katika baadhi ya maeneo ikiwamo ofisi yake ambayo haikupokea wageni kwa saa kadhaa.

Wakati huohuo, Chikawe alionya: “Tunaomba wanasiasa na mashabiki wao wasitembee na silaha kwenye mikutano yao, waziache mahali salama nyumbani na pia wawaache polisi wafanye kazi yao ya kuwalinda wote.”

Waziri Chikawe alisema mabomu ya machozi yanayotumika kazi yake siyo kuua au kuumiza watu bali kuzuia wasifanye vurugu.

Hata hivyo, Waziri Chikawe alisisistiza ushiriki wa viongozi wa vyama vya siasa ni muhimu katika kufanikisha hilo.

Alisema wanasiasa wanapaswa kujiheshimu kwa kukwepa kampeni za uchochezi na kauli zinazoweza kusababisha fujo.

Diamond Asema Alilipwa Shilingi Milioni 100 ili Kutumbuiza Jukwaa Moja na Alikiba Katika Show ya ‘Kiboko Yao’

Posted: 12 Aug 2015 10:06 PM PDT

Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo wanatamani siku moja kuwaona Diamond na Alikiba wanafanya kazi pamoja, kama ambavyo Wizkid na Davido ambao wameahidi kuachia joint yao siku si nyingi baada ya kuthibitisha kuwa hakuna beef kati yao.

Upande wa Diamond amesema kuwa yupo tayari kufanya chochote katika muziki endapo kina maslahi kwake. Kuthibitisha hilo ametoa mfano kuwa alikubali kushiriki tamasha la ‘Kiboko Yao’ lililofanyika Leaders Club mapema mwaka huu ambalo na Alikiba pia alitumbuiza, kwasababu lilikuwa na maslahi mazuri kwake.

“Unajua mi nafanya biashara, na kitu chochote ambacho kwangu mi kinakuwa kina maslahi mi siwezi kukataa kukifanya.” Diamond ameaimbia 255 ya XXL ya Clouds Fm.

Baba Tiffah ameongeza kuwa alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza kwenye tamasha hilo.

Nakupa mfano hapa katikati kulikuwa na show ilivyokuja mi nikawaambia hii show ni biashara kwangu mi sikatai lakini you have to pay me, show mi nimelipwa milioni 100 ndo nimetumbuiza, siamini kama kuna msanii wa kiTanzania alishawahi kulipwa milioni 100, hili swala si umetengeneza kama beef, tuifanye kibiashara, nikalipwa milioni 100, nisiwe mnafiki milioni 100 sababu show hizo natozaga nikiwa na show nje labda Kenya , Rwanda naweza nikapiga show milioni 120, 130 lakini ilikuwa mara ya kwanza Tanzania milioni 100, lakini kwasababu ilikuwa beef na sio kwamba show haikulipa, ililipa kwasababu ilikuwa imeshatengeneza tension yaani flani na flani kwahiyo tuzitumie hizi vitu kimaslahi zaidi.

Dk Slaa Aikana Account ya Twitter Inayomzushia mazito Kuhusu yeye na Chadema Kumkubali Lowassa

Posted: 12 Aug 2015 10:00 PM PDT

Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter.

Dk Slaa, aliyekuwa anatajwa kuwa mgombea urais wa Chadema, hajaonekana hadharani katika matukio makubwa ya kichama tangu Chadema na Ukawa walipomkaribisha waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kumteua kuwa mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda umoja huo.

Mara ya mwisho kuonekana kwenye shughuli za chama hicho ni katika kikao cha Kamati Kuu wakati Lowassa alikaribishwa kufanya majadiliano na kujibu hoja za wajumbe.

Lakini baada ya hapo Dk Slaa hakuonekana wakati wa kutambulishwa kwa Lowassa kwa waandishi wa habari, tukio la kuchukua na kurudisha fomu za urais ndani ya chama na tukio la juzi la kuchukua fomu za urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Wakati hayo yakiendelea, kuna akaunti ya twitter yenye jina la “Dr Willibrord Slaa” ambayo imekuwa ikitoa kauli mfululizo zikiwa na ujumbe mbalimbali unaoendana na mazingira aliyomo sasa mwanasiasa huyo.

 Agosti 10, kulitumwa ujumbe zaidi mara 10, mmojawapo ukijaribu kuwaaminisha watu kuwa hiyo ni akaunti halisi ya Dk Slaa.

“Ndugu zangu Watanzania, hii ni akaunti yangu rasmi, bila shaka yoyote na naomba ninachoandika hapa kifikishwe kwa Watanzania popote walipo,” unasema ujumbe huo.

Taarifa nyingine zilizotumwa kwenye akaunti hiyo ya twitter ni pamoja na ile iliyoeleza kuwa   Dk Slaa ameomba ulinzi kutoka nchi na mashirika ya kimataifa na atazungumza kupitia runinga na redio pindi atakapopata ulinzi.

Akizungumzia sakata  hili jana, Dk Slaa alisema hajawahi kutuma taarifa yoyote kwenye mitandao ya kijamii.

“Sijawahi ku-operate (kuendesha) kitu chochote kwenye akaunti ya twitter, sina akaunti kama hiyo,” alisema Dk Slaa.

Mbali na kukanusha kumiliki na kuendesha akaunti hiyo, Dk Slaa alirudia kauli yake ya wiki iliyopita kuwa atatoa msimamo wake muda muafaka utakapofika, baada ya kuulizwa swali kuhusu hatma yake ndani ya Chadema na kisiasa kwa ujumla.

“Subira yavuta heri, sasa ili uipate hiyo heri unatakiwa kuvumilia. Kwa hiyo wakati ukifika nitazungumza tu na Watanzania,” alisema.

Alipoulizwa ni wapi alipo kwa sasa, alisema yupo Dar es Salaam anapumzika, lakini akasisitiza kuwa ipo siku ataweka wazi mustakabali wake kisiasa.

Dk Slaa alisema yeye na mke wake Josephine Mushumbusi wanatarajia kusafiri kwenda nje ya nchi katika siku chache zijazo, ingawa hakuweka wazi nchi anayotarajia kuitembelea, lakini akasema atarejea baada ya wiki moja.

Nisha Akana Kukamatwa na Madawa ya Kulevya

Posted: 12 Aug 2015 09:57 PM PDT

Msanii wa tasnia ya Bongo movie nchini Salama Jabu alimaarufu kama Nisha ameibuka na kuwatoa hofu watanzania pamoja na mashabiki wake kuwa hajakamatwa na madawa ya kulevya kama ambavyo taarifa zinavyosambaza katika mitandano ya kijamii.

Nisha kwa sasa yupo nchini China amekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram baaada ya kuona akiulizwa sana na kupewa pole na watu wake wa karibu. Nisha amesema huwa si kawaida yake kujibu au kutolea ufafanuzi mambo ambayo huwa ni uzushi lakini kutokana na uzito wa uzushi huu wa kukamatwa na madawa ya kulevya ilibidi atoe ufafanuzi huu.


"Naomba leo niweke wazi hili suala lililoandikwa na kusambaa kuwa nimekamatwa China na madawa, huwa napenda kupuuzia vitu ila wacha niongee leo ili nisiwape watu presha na maswali mengi na kuwaweka njia panda, mimi sijakamatwa, sijawahi kukamatwa na wala sitaweza kukamatwa kwa ajili ya ujinga kama huo wa madawa ya kulevya kwanza siyapendi lakini pili hata niwe masikini vipi siwezi kujiingiza kwenye janga hilo," alisema Nisha.


Mbali na hilo Nisha ameeleza jambo ambalo limemtokea alipofika nchini China katika uwanja wa ndege na kusema kuwa kutokana na nchini za Afrika hususani Nigeria na Tanzania kuhusishwa sana na biashara za madawa ya kulevya hivyo kumekuwa na ulinzi mkali jambo ambalo lilimfanya akagulie kwa zaidi ya saa tatu.

"Kilichotokea ni hiki kutokana na Watanzania kuharibu sana na scandals za kukamatwa na madawa ya kulevya, (wengi mnalijua hilo) ukiwa unavuka border ukionekana tu passport yako ni ya Tanzania basi unasachiwa sana. Ni kweli walinisachi kwa zaidi ya masaa matatu. Hilo kwa Watanzania wanaovuka kwenda Hong Kong nadhani mmenielewa, si mimi tu yoyote Mtanzania au Wanigeria au taifa lolote lenye historia ya nchi yao kukamatwa na unga lazima shughuli ikupate lakini hawajanikuta na kitu I'm ok," aliongeza Nisha.

Nisha amewataka baadhi ya waandishi wa mitandao ya kijamii zikiwepo website pamoja na blogs mbalimbali kuwa na uhakika na taarifa mbalimbali wanazoziweka ili kuepusha kusambaza uzushi ambao unaweza kuleta mshtuko kwa watu wengine na kusababisha matatizo.

EATV.TV

Picha: Wema Sepetu na Steve Nyerere Wakiwa Ikulu ya Dodoma na Rais Kikwete

Posted: 12 Aug 2015 09:55 PM PDT

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wabongo movies, Wema Sepetu na Steve Nyerere zilizo trend siku ya leo kwenye mtandao wa instagram wakiwa na Rais Kitwete Ikulu ndogo, Dodoma.

“Wakati nyie mnaongea upuuzi… Yangu yaninyookea….. Alhamdulillah… Wa moja havai mbili… Abadan asilan…. Earlier today… Ikulu… Dodoma… Thank u Mr.President”-Wema aliandika hayo kwenye moja ya picha hizo.

Kwa maneno hayo, inawezekana mastaa hawa wakawa wamepata shavu kutoka kwa Rais.

Florah Mvungi Amkataza H:Baba Kucheza Mpira...Adai Atakosa Haki yake ya Msingi Kama Mke

Posted: 12 Aug 2015 09:52 PM PDT

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amemkataza mume wake,msanii wa Bongo Fleva,H: Baba kucheza mpira.

H: Baba amesajiliwa na klabu ya Toto African ya jijini Mwanza hali inayomfanya kuwa mbali na familia yake ambayo ipo jijini Dar,na ndiyo sababu kubwa iliyotajwa kukatazwa na mkewe kuichezea timu hiyo.

Kwa mujibu wa msanii huyo alisema kuwa mkewe alikaa kikao na ndugu zake waliopo jijini Mwanza kuzungumzia suala hilo kama atakubali abaki kucheza mpira atacheza lakini akibaki na msimamo wake basi ataacha kucheza na kurudi Dar.

‘’Unajua wife anacholalamika kuwa nitakuwa mbali na familia kwahiyo atakosa haki yake ya msingi kama mke,’alisema H: Baba.

Udaku Specially

unread,
Aug 14, 2015, 4:30:17 PM8/14/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Nape Afunguka: Wanao Hama CCM Sasa ni Sawa na OlL Chafu ya Gari..

Posted: 14 Aug 2015 11:09 AM PDT

Katibu Mwenezi wa CCM Nape Amekaririwa Akisema kuwa CCM ina Wanachama Wengi sana, Hao wawili watatu mnaosikia wanahama chama kila siku ni sawa na Oili chafu ya Gari ....Hawana Tena Thamani.....


Diamond: Nipo tayari kwa kifo! Ndoto Yangu Imetimia

Posted: 14 Aug 2015 10:59 AM PDT

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mtoto wake Latifah ‘Princess Tiffah’.
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.

KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Diamond alisema anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumtimizia ndoto yake ambayo amekuwa akiiota usiku na mchana na kwa miaka mingi tangu kuingia ‘ukubwani’ hivyo, bahati mbaya yoyote ikitokea akapoteza uhai itakuwa poa tu kwake.

NDICHO KITU ALICHOBAKIZA
Chanzo kilikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa kuhusu mafanikio ya kimuziki na kimaisha, nyota huyo anaamini alishafikia malengo, alibakiza kimoja tu, mtoto.
“Unajua katika maisha, ukipata mali au mafanikio mengine ujue tatizo kubwa litabaki kwenye familia na familia yenyewe si kupata mke au mume bali kupata mtoto.
“Sasa jamaa siku zote alikuwa akisema, pesa kwake si tatizo, nyumba ya kuishi nzuri anayo, gari la kutembelea pia. Kilichokuwa kikiuchakaza moyo wake ni kutopata mtoto ili awe kama wengine. Hicho ndicho kitu alichokuwa amebakiza hapa duniani,” kilisema chanzo.

ZARI NAYE HANA FURAHA YA MTOTO
Chanzo kikazidi kudai kuwa, wakati Diamond akifurika machozi ya furaha kwa kupata mtoto, mzazi mwenziye, Zari yeye hana furaha kufuatia baba wa watoto wake watatu au aliyekuwa mumewe, Ivan Ssemwanga kumpiga madongo kupitia mtandao wake wa Instagram.
Mfano, juzi kwenye mtandao wake, jamaa huyo ametupia picha akiwa na mtu anayedaiwa kuwa eti, ndiye baba wa mtoto Tiffah.
“Zari anaujua ukweli kwamba mtoto ni wa Diamond. Sasa wale jamaa kuendelea kutangaza si wa Diamond wao wanajuaje wakati siri ya mtoto ni wa nani anaijua mama? Hayo ndiyo maneno ya Zari kila kukicha.

“Yeye ni mtu mzima, ana akili timamu. Hawezi mtoto wa huyu akampa yule. Nadhani maneno ya aliyekuwa mumewe ndiyo yanamkosesha raha. Lakini Diamond mwenyewe ni peace tu.” Chanzo.
Baada ya kujazwa ubuyu huo, paparazi wetu alifanikiwa kukutana uso kwa macho na Diamond mwenyewe ambaye kweli alionekana mwenye furaha muda wote na hata alipogusiwa hilo alimshukuru Mungu akisema maombi yake yamekubaliwa.

STUDIO YA DIAMOND HAIKALIKI
Habari zaidi zinasema kuwa, nyota huyo kupata mtoto imekuwa ‘nongwa, watu hawali wala hawanywi’. Hapatikani kwenye studio yake ya Wasafi Record iliyopo Sinza Mapambano.
Amani lilifika juzi na kumkosa lakini mmoja wa wafanyakazi wake alisema: “Weee! Chezea kichanga wewe. Baba Tiffah anakuja lakini si kama zamani. Unajua kwa sasa muda mwingi yupo na mwanaye.”

MSIKILIZE
Baadaye Amani lilimpata Diamond kwa njia ya simu na kumuuliza kuhusu madai hayo ambapo alisema: “Kusema kweli namshukuru Mungu kwa kila jambo ila zaidi kunipatia huyu Princess Tiffah. Kwani uwepo wake ni furaha kwangu na ni historia kubwa katika maisha yangu.
“Leo hii ikitokea nikafa basi watu watanikumbuka zaidi wakimuona mwanangu, maana huyo ndiye mrithi wa kila kitu kwangu.“Nilikuwa najiuliza nikifa sina mtoto itakuaje? Ina maana sitaacha kumbukumbu. Lakini kwa sasa nipo tayari kwa kifo kama Mungu amenia-ndikia.
GPL

CCM Wakanusha Habari Iliyoenea Kuwa Mgombea Wake, Dr John Magufuli Ameahidi Kugawa Laptop Kwa Walimu Wote Nchini

Posted: 14 Aug 2015 10:56 AM PDT

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha uvumi ulioenea sehemu mbalimbali kuwa Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama hicho,Dkt.John Pombe Magufuli amewaahidi Walimu kuwapa Kompyuta kama CCM itapita madarakani.

Akizungumza na Waandishi wa Habari katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Chama hicho,Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye amesema kauli hiyo siyo ya kweli na haikutolewa na Mgombea huyo wa Urais,Dkt.Magufuli.

Hatahivyo,Nape amesema kauli hiyo imetolewa kwa nia mbaya kuonyesha Chama cha Mapinduzi kimeanza ziara ya kampeni mapema.

Amesema watu walioinukuu kauli hiyo wamesema imetoka katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama hicho.
 
" Ilani ya Uchaguzi ya CCM imetoka jana Agosti 13,2015 katika Mkutano wa Chama uliofanyika jana mjini Dodoma na inatarajiwa kuzinduliwa Agosti 23 mwaka huu katika uzinduzi wa Kampeni,hivyo kauli yoyote iliyotoka kwa chama hicho ikidaiwa imetoka katika Ilani yetu ya Uchaguzihiyo siyo ya kweli,kwani Ilani hiyo itazinduliwa wakati wa uzinduzi wa kampeni Agosti 23" alisema na Nape kwa msisitizo.

Kuhusu msimamo wa Chama cha Mapinduzi kwa wanachama wanaohama chama hicho,Nape amesema wanachama hao wanahama kwa mapenzi yao binafsi wengine wamehama kwa sababu ya kushindwa katika kura za maoni za chama.


JWTZ Wakanusha Kunyang'anywa Kadi Zao za Kupigia Kura

Posted: 14 Aug 2015 10:53 AM PDT

Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Ngemela Lubinga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo.

JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ), limekanusha kuwanyang'anya kadi za kupigia kura maofisa na askari wake kama ilivyodaiwa na mmoja wa viongozi wa chama kimoja cha siasa na kutolewa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Ngemela Lubinga alisema madai hayo siyo ya kweli na  kuwa jeshi hilo halijafanya hivyo na wala haliwezi kufanya hivyo.

"Wanajeshi hawaruhusiwi kuwa wanachama wa chama chochote cha kisiasa na kuwa mwanajeshi haruhusiwi kuwa shabiki wa chama chochote cha kisiasa."

Lubinga alisema Jeshi la Wananchi Tanzania linafanya kazi zake kama 'professional state organ duniani na kuwa mwanajeshi anayekiuka huchukuliwa hatua za kinidhamu za kijeshi wala si za kiraia.

Alisema Jeshi la Wananchi Tanzania limesikitishwa na kauli hiyo iliyotolewa na kiongozi huyo.

"Wananchi na viongozi wa kisiasa mnaombwa mfanye kazi zenu za kisiasa na zisianzishwe hoja nje ya maeneo hayo ya kisiasa kwani lugha hizo za upotoshaji zinaweza kuleta hofu, ukakasi na wasiwasi kwa wananchi" alisema Kanali Lubinga.

Kanali Lubinga alisema jeshi hilo linaendelea na shughuli zake kama kawaida halipendi litolewe kauli za upotoshaji, kusikoeleweka ufuatwe utaratibu wa kuuliza kupata majibu ya uhakika kwani wananchi wanaimani na jeshi lao.

Lowassa Avunja REKODI Jijini Mbeya..Ni Mafuriko ya Watu Haijawahi Tokea

Posted: 14 Aug 2015 10:51 AM PDT


Hii Ni Zaidi ya mafuriko Angalia Jinsi Watu walivyojazana Uwanjani Kumshuhudia Mgombea wa Chadema Edward Lowassa Mbeya...

Utoaji wa Mimba Wakithiri Dar....Wasichana 400 Dar Waripotiwa Kwa Utoaji wa Mimba

Posted: 14 Aug 2015 10:48 AM PDT

Zaidi ya wasichana 400 wenye umri kati ya miaka 19-30 wametajwa kufika katika vituo vya afya katika kipindi cha mwezi July hadi Augost mwaka huu kwa ajili ya matatizo ya utoaji mimba

Jambo linalosabisha ongezeko la tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.
Takwimu hizo zimezotolewa hii leo katika hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kinamama na Afya ya Uzazi Dkt. Luzango Maembe, ambapo zinaonyesha asilimia kubwa ya wanawake hutoa mimba mitaani kwa kutumia njia za kienyeji pia wataalamu wasio na ujuzi hali inayopelekea wapate matatizo ya kudumu.

Dkt. Maembe amesema kila siku wanapokea wagonjwa wawili wenye tatizo la kuharibika kwa mimba licha ya kuwepo wengine ambao huwa hawaripoti hospitalini na kuitaka jamii kuzingatia elimu ya afya ya uzazi pamoja na kuondokana na tabia ya kutumia njia zisizo salama.
"kati ya wagonjwa 200 wanaoletwa katika wodi ya wakinamama zaidi ya sitini au sabini wanakutwa na tatizo la mimba kuharibika au kutoa mimba kwa njia za kienyeji" alisema Maembe
Akizitaja baadhi ya njia zisizo salama zinazotumika kuwa ni pamoja na spoku za baiskeli utomvu wa mti wa muhogo, vyuma vyenye ncha kaali na vidonge, na kuwa utaratibu huo hufanyika bila kufuata maelekezo ya madaktari.
Aidha Dkt. Maembe amesema takribani kila siku wanapokewa wagonjwa wawili ambao wanamatatizo ya kuharibika kwa mimba na kuwa kati ya wasichana 25 kati yao watano wanatajwa kutoa mimba kwa njia rasmi na zisizo rasmi.

Katika zahanati na hospital kuwa za wilaya jijini Dar es salaam zinaonyesha asilimia kubwa ya wanawake hutoa mimba mitaani kwa kutumia njia za kienyeji pia wataalamu wasio na ujuzi.
Kulingana na utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha afya Muhimbili mwaka 2012 kuhusu utoaji wa mimba uliofanyika katika kata za wilaya ya Temeke ulionyesha asilimia 33 ya wasichana walipata mimba zisizotarajiwa . Kati yao asilimia 26 walizitoa, asilimia 87 zilitolewa kwa njia zisizo salama.
Wasichana zaidi ya 400 wenye umri kati ya miaka 19 na 25 waliohojiwa na kukiri kutoa mimba kwa msaada wa marafiki wa kiume, ndugu au wahudumu wa afya.

Kitaifa takwim zinaonyesha asilimia 18 ya mimba 2, 430,000 zilitolewa kiholela zilisababisha vifo.
Katika hospitali ya Amana na Temeke wanawake 444 walifikishwa kutokana na kesi za utoaji mimbavichochoroni tangu Januari hadi Juni mwaka huu.huku miongoni mwa wanaotoa mimba hizo ni wasichana wadogo na wanafunzi.

Uchunguzi unaonesha idadi kubwa ya wanaotoa mimba kiholela, hupata madhara mbalimbali ikiwamo kutoboka utumbo, kuchanika kwa kizazi, kuoza na wengine kuharibu figo.
Dkt. Chande Makaranga kwa uponde wake yeye analeza vitendo hivyo kuwa ni hatari kwa wanawake wanaotegemewa kuchangia kiasi kikubwa cha ukuaji wa uchumi wa taifa kwani wakipatwa na madhara hayo ni vigumu kuchangia katika uchumi hata kujenga familia kwa kupata watoto.

Mrema asema UKAWA umepoteza mwelekeo

Posted: 14 Aug 2015 10:44 AM PDT

Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema
Mrema ametoa tahadhari katika eneo la njiapanda baada ya kurejea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Vunjo huku akisindikizwa na wafuasi wake.
Amesema, kitendo cha ukawa kumkashifu hadharani waziri aliyestaafu Mh
Edward Lowasa kuwa ni fisadi na baadaye kumpokea na kumteua kuwa mgombea wa urais ukawa imeonyesha udhaifu mkubwa na kwamba watanzania wa sasa si wakuburuzwa.
Mh. Mrema amesema kuwa haiwezekani mtu alieachwa na chama na kuonekana hafai kutokana na tuhuma za ufisadi kicha CHADEMA ndio wakaona anafaa kuwa mgombea huko ni kuonyesha kutokuwa na msimamo ndani ya hivyo ni vigumu kuwapa uongozi wa nchi.

TCRA Watoa ADHABU Kwa Kituo cha Televisheni cha ITV

Posted: 13 Aug 2015 11:53 PM PDT

Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetoa  adhabu ya onyo  kali  na  kukitaka  kituo cha  ITV kuomba radhi mara mbili mfululizo kwenye taariifa zake za habari baada ya kukiuka sheria ya utangazaji nchini ya Mwaka 2005.

Hukumu hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na kamati ya maudhui ya utangazaji, katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Margaret Munyagi (pichani) wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari ambapo  Muyangi  alisema kamati hiyo imebaini kituo cha  ITV kulikiuka sheria hiyo ya utangazaji nchini kwa kurusha taarifa ambayo ingeweza kuleta machafuko nchini.

Alidai katika kipindi cha Habari zilizotufikia muda huu kilichorushwa siku ya Jumatatu ya tarehe 10 mwezi huu majira ya saa 2.22 asubuhi , ITV  Walitangaza  “Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wakati wa kumsindikiza Lowassa kwenda kuchukua fomu ya Urais."

Alisema katika kipindi hicho Mtangazaji wake alisikika akisema Jeshi hilo limezuia maandamano hayo baada ya kubaini yanauvunjifu wa amani huku Mtangazaji huyo akimnukuu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova akidai ndo amesema hivyo,Wakati taarifa hiyo ilikuwa ya upotoshaji kwani jeshi hilo halikuwa limetoa taarifa hizo..

Bi Muyangi  alisema baada ya ITV kurusha taarifa hiyo ya kwanza juu kuzuiliwa  huko kwa maandamano, ndipo siku hiyo hiyo  tena katika kipindi hicho cha Habari zilizotufikia mda huu majira ya saa tatu asubuhi kilirushwa taarifa inayosema Jeshi la Polisi limeruhushu maandamo ya Chadema kutoka Makao makuu wa Chama cha Wananchi CUF Buguruni Jijini Dar es Salaam kwenda Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC.

Muyangi alidai katika taarifa hiyo ilisikika sauti ya Kamanda Kova juu ya kuruhusu maandamono hayo,tofauti na taarifa ya kwanza ambayo haikuweka uthibitisho wa Kamanda Kova.

Alisema baada ya Mamlaka hiyo kubaini makosa hayo,Kamati hiyo iliwasiliana na Mkurugenzi wa ITV Bi Mhavile na mkurugenzi wa Redio one Deogratus Rweyunga pamoja na Mhariri wa ITV Steven Chuwa ili kutaka  ufafanuzi ambapo wote kwa pamoja walikiri kosa hilo huku wakisema Mtangazaji huyu alitoa taarifa kwenye Mitandao ya Kijamii ambayo ilikuwa inakataza maandamano hayo ambapo alishindwa  kuithibitisha kama taarifa hiyo  ni ya kweli au la.

Aidha, Bi Muyangi alisema baada ya Kamati hiyo kusikiliza pande zote,ndipo wakatoa hukumu kwa kupitia sheria ya Utangazaji ya mwaka 2005 ambayo inakataza kituo chohote cha Utangazaji kurusha taarifa zinazoleta mchanganyiko katika jamii,

NORA Ananga Wasanii Wanaotumika Kisiasa! Adai Hawaitambui Thamani yao...Kila Mwaka Wanatumika na Kuachwa Solemba

Posted: 13 Aug 2015 11:51 PM PDT

Nora wa Bongo Movies
Msanii wa ‘long time’ kwenye ulimwengu wa filamu, Nuru Nassoro ‘Nora’ amewananga wasanii ambao wanakubali kutumika kisiasa katika kipindi hiki bila kujua madhara watakayopata baada ya uchaguzi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Nora alisema kuwa, anawashangaa baadhi ya wasanii kukubali kununulika wakati wakijua kuwa, baada ya uchaguzi watamwagwa.
“Jamani mimi nashangaa kuona wasanii tunatumika kwa kiasi hiki, thamani yetu hatuitambui kabisa, kila baada ya miaka mitano tunatumika kisha tunaachwa solemba, yaani dah!” alisema Nora.

Profesa Lipumba Awasili Nchini Akitokea Rwanda

Posted: 13 Aug 2015 11:49 PM PDT

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Rwanda jana. Picha na Said Khamis

Steve Nyerere Afungukia Madai Kuhamia Ukawa!

Posted: 13 Aug 2015 11:46 PM PDT

STAA wa uchekeshaji na filamu Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kujiondoa Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na umoja wa UKAWA akisema kushindwa kwake katika kura za maoni hakuwezi kuondoa heshima yake kwa Mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete.

Akizungumza na gazeti hili juzi, Steve alisema Rais Kikwete amefanya mambo mengi sana kwa wasanii, kiasi kwamba ni mtu asiye na hisani pekee anaweza kuhama CCM kwa sababu ya kushindwa katika kura za maoni au ushawishi wa namna yoyote.

“Kikwete na CCM wamefanya mambo makubwa sana kwa wasanii, leo unaniambia mimi nihamie Ukawa, hivi wakati Lowassa (Edward, mgombea wa Ukawa) alipokuwa waziri mkuu aliwafanyia nini wasanii? Mimi kushika nafasi ya tano kwenye kura za maoni ni ushindi kwangu, kama ilivyo kwa Wema (Sepetu) kushika nafasi ya tano ni ushindi, kwa nini tuhame?” alisema msanii huyo.

Steve alitoa kauli hiyo kufuatia swali aliloulizwa kutokana na uvumi kuwa yeye na wenzake walikuwa mbioni kujiunga na Ukawa baada ya kushindwa kwenye kura za maoni za CCM hivi karibuni.

Chanzo: GPL

Irene Uwoya Apitishwa na CCM Kuwa Mbunge Viti Maalum Kupitia Tabora

Posted: 13 Aug 2015 11:44 PM PDT

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya apitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC )kuwa mbunge viti maalum vijana mkoa wa Tabora.

Wengine waliopitishwa ni namba 1. Halima Bulembo 2. Zainab Katimba 3. Mariam Ditopile 4. Mary Kangoye 5. Kizigo 6. Irene Uwoya.

Hongera sana Uwoya.

Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM

Posted: 13 Aug 2015 11:43 PM PDT

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza  na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.

Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya, ambao kwa nyakati tofauti walieleza sababu mbalimbali zilizosababisha kushindwa kwao.

Membe akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika kongamano la pili la Watanzania waishio ughaibuni (Diaspora), alisema mchakato huo ulikuwa ni sawa na timu mbili za mpira wa miguu zilizokuwa zinapambana uwanjani.

Alisema unaweza ukapata timu nzuri sana ya mpira kwenye ligi na ikashinda michezo yote bila kufungwa goli hata moja.

Aliongeza kuwa lakini mwishoni timu hiyo inapotoka sare na timu nyingine ambayo ni dhaifu kwenye fainali, timu hizo zinakwenda kwenye penalti kwa kuwa mshindi lazima apatikane.

Membe alieleza kuwa wakati wa upigaji penalti timu hiyo ambayo ilitarajiwa kuibuka na ushindi kwa kuwa ilicheza mpira safi ikafungwa penalti zote tano na hiyo timu ambayo haikutegemewa ikashinda mabao yote.

Alisema kuwa kwenye ‘football jargon’ kitendo hicho cha timu iliyocheza mpira vizuri na kudhaniwa ingeibuka na ushindi, lakini ikashindwa kwenye penalti, timu hiyo imekufa kifo cha ghafla.

Membe aliendelea kueleza kuwa timu hiyo itakuwa imepigwa kifo cha ghafla na kueleza kuwa inapopigwa kifo cha namna hiyo timu hiyo haiwezi kutegemewa isimame na ielezee kilichotokea.

“Naomba leo nitumie nafasi hii kwa mara ya kwanza kuelezea kilichotokea mjini Dodoma katika uchaguzi wa nafasi ya urais kwa Chama Cha Mapinduzi na nadhani sitaulizwa tena,” alisema Membe.

Mfano huo huenda ukahusishwa na wanachama wa CCM waliokuwa wanamuunga mkono Membe kama timu iliyokuwa inatumainiwa ingeshinda mchakato huo, huku Dk. Magufuli akielezwa kama timu ambayo haikudhaniwa kushinda kinyang’anyiro hicho kutokana na kutokuwa na makundi yaliyokuwa yanamuunga mkono.

Membe alikuwa na kundi kubwa la wafuasi akimfuatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Lowassa na Membe walikuwa miongoni mwa makada sita ambao walipewa adhabu ya kufungiwa mwaka mmoja kuanzia Februari, mwaka jana hadi Mei, mwaka huu, baada ya kubainika kuwa walianza kampeni mapema kabla ya wakati kinyume cha kanuni za chama hicho

Udaku Specially

unread,
Aug 15, 2015, 4:22:24 PM8/15/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Ushauri: Mumewe ana Maumbile Makubwa, Mkewe Anaumia Wakati wa Tendo la Ndoa

Posted: 15 Aug 2015 12:10 PM PDT

Habarini wadau,

Nitakuwa wazi sana na kwa anayeweza kunisaidia anisaidie ila kama mtu hajui/ hawezi kutoa msaada basi ni bora akaacha kuchangia kuliko kutusi/ kudhihaki.

Nina kaka yangu kabisa ambaye kiukweli alizaliwa na uume mkubwa kupita kiasi, namaanisha sote tuna maumbile makubwa lakini wa kwake umekuwa na matokeo mabaya kwa mkewe.

-Mke wake (shemeji yangu) amekuwa akilalamika mara kwa mara wakati wa tendo la ndoa, na kiasi kwamba kaka anasema huwa haridhiki afanyapo tendo hilo na mkewe kwani hamalizi hamu na anaishia njiani.

Ilifikia mahali kama kaka akirudi kutoka safari naye mkewe anaondoka kwenda kwao kwa sababu isiyo ya msingi, ila kuna siku alimtumia bro meseji kuwa "sina kizazi cha kuharibiwa hapo kitandani" ila sasa wana mtoto mmoja.

Mkewe anasema alikuwa anapata nafuu akifanya wakati akiwa mjamzito ila baada ya kujifungua akifanya anaumia sana kama zamani. Mwaka 2010 kaka alienda hospitali akapewa vi rubberband vya kuvalisha kwenye uume na alivileta home

Ila anasema akivaa na uume ukasimama haswa anaumia sana. Hata hivyo kuna daktari mwingine alimwambia asiivae kwani inazuia flowing ya damu vizuri katika uume.

Huyu shemeji siku hizi hata akienda harusini au katika shughuli yoyote basi ataunganisha mpaka kwao na anamkwepa mumewe mara kwa mara ila kwa bahati nzuri hasemi kwa watu wa nje.

Ila sasa nafikiri mama yake pamoja na dada zake wanajua,na kiukweli ni kama hana hata wivu akisikia mumewe ana mwanamke wa nje.

Naombeni mtusaidie katika hili wadau

Natanguliza shukrani

By Awsom-JF

Shamsa Ford: Natamani Kuolewa na Mtu Ambaye Si Maarufu

Posted: 15 Aug 2015 12:06 PM PDT

Muigizaji wa filamu za Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi hisia zake za kutaka kuingia kwenye ndoa.

Shamsa ambaye kwa miezi kadhaa iliyopita amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano na Nay Wa Mitego licha ya kuwepo kwa dalili nyingi zinazoashiria kuwa ni wapenzi, amesema sasa umefika muda anatamani kuolewa.

Muigizaji huyo wa ‘Chausiku’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja, ameongeza kuwa licha ya kutamani kuwa mke wa mtu lakini nafasi hiyo hawezi kumpa mtu maarufu, kwa lugha nyingine hawezi kuolewa na Nay Wa mitego.

“Sijui hizi hisia zimetoka wapi…kwa sasa natamani kuolewa na nipo tayari kuolewa ila na mtu ambae si maarufu. Maisha ya usingle nimeshayachoka,” aliandika kupitia akaunti yake ya Instagram.

Wiki mbili zilizopita wawili hao walionekana wakibadilishana mate kwenye birthday ya Shamsa kama inavyoonekana picha hapo juu.

Busu la Wema Sepetu na Makamba Lazua Jambo..Wadau Wasema Wamependezeana

Posted: 15 Aug 2015 12:00 PM PDT

Musa Mateja
BUSU walilopigana mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba lilizua gumzo la aina yake huku wambea wakisema; “wamependezana.”

‘Katukio’ hako ka’aina yake kalitokea wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar kulipokuwa na hafla ya umoja wa wasanii waliokuwa wakimuaga Rais Jakaya Kikwete, anayemaliza madaraka yake, Oktoba 25, mwaka huu.

Wakati shamrashamra zikiendelea, muda wa kucheza muziki, Madam alikutana uso kwa uso na Makamba ambaye anapenda kucheka na kila mtu, wakakumbatiana na kubusiana ‘kiaina’ hali ambayo iliwafurahisha watu wengi.
“Wamependezana. Makamba mtu poa, imenishtua kidogo walipochelewa kuachiana lakini najua ni salamu ya kumisiana tu,” alisikika shuhuda mmoja.
Wawili hao kila mmoja ana mtu wake, kukumbatiana huko na kubusiana kulikuwa ni kwa Kawaida tu

LOWASSA Ahamishia Mafuriko Jijini Arusha..Hapa Nimekuwekea Picha Kadhaa Uone Jinsi Mambo yalivyokuwa

Posted: 15 Aug 2015 11:56 AM PDT


LOWASSA Ahamishia Mafuriko Jijini Arusha..Hapa Nimekuwekea Picha Kadhaa Uone Jinsi Mambo yalivyokuwa

Mtabiri: Kifo cha Mgombea Urais Mwaka Huu Kipo Palepale

Posted: 15 Aug 2015 11:48 AM PDT

MTABIRI maarufu Bongo, Maalim Hassan Yahya ameibuka na kusema kwamba utabiri aliowahi kuutoa kwamba kuna mgombea urais atafariki, bado upo palepale.

Maalim Hassan alisema kuugua ghafla kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ni dalili tu za ukamilifu wa utabiri wake lakini suala la mgombea urais kudondoka na kufa akiwa jukwaani akifanya kampeni linakuja.

“Kuugua kwa Mbowe hakujatimiza utabiri kama ulivyosema ila hizo ni dalili tu lakini kuna mgombea atadondoka jukwaani akifanya kampeni na atakufa lakini haioneshi ni wa chama gani na hii ni kutokana tu na mwaka huu ulivyoanza kinyota,” alisema mtabiri huyo.

Mwaka huu mwanzoni mtabiri huyo alitoa utabiri uliyoonyesha kwamba kutakuwa na kifo cha mgombea urais pamoja na mambo mengine ikiwemo kuibuka kwa magonjwa ya kushangaza

LOWASSA Aahidi Kuunda Serikali Makini Itakayofanya Kazi Masaa 24 Kuwahudumia Wananchi

Posted: 15 Aug 2015 11:41 AM PDT

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana alipokewa na maelfu ya watu mjini Mbeya ambao kwenye uwanja wa Ruanda, Nzovwe, aliwaambia wananchi kuwa hatataka mchezo katika serikali atakayoiongoza.

Pamoja na Jeshi la Polisi kutangaza kuzuia msafara wakati wa ziara ya waziri huyo mkuu wa zamani, hali ilikuwa tofauti jana wakati zaidi ya magari 20 yalimsindikiza kutoka Uwanja wa Ndege wa Songwe huku wananchi wakijitokeza barabarani kumshangilia hadi kwenye uwanja huo, ulio nje kidogo ya mji wa Mbeya ambako alihutubia.

Polisi walinda msafara
Msafara wa Lowassa uliwasili mjini hapa kwa kutumia ndege mbili, ya kwanza ikiwa imebeba waandishi wa habari wapatao 10 na nyingine iliyombeba mbunge huyo wa Monduli ambayo iliwasili saa  8:20.

Umati wa watu ulikuwa ukimsubiri nje ya uwanja huo na alipotoka ilianza safari ya kuelekea katikati ya jiji na msafara wa zaidi ya magari 20 pamoja na pikipiki.

Polisi walitanda barabarani, huku vijana wa Red Brigedi waliovalia sare nyeusi na miwani wakiwa wamesambazwa barabara yote.

Maeneo ambayo msafara ulipita kwa shida kutokana na umati wa watu kufurika ni Mbalizi, Mafiati Mwanjelwa, lakini polisi walifanya kazi ya ziada kuwaondoa watu waliokuwa wakitaka kuandamana kuusindika msafara huo.

Lowassa aliambatana na mgombea mwenza, Juma Haji Duni, mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia na kulakiwa na viongozi wa mkoa pamoja na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kwa jina la Sugu.

Akizungumza baada ya kukaribishwa kuhutubia na Duni Haji,  Lowassa alianza kwa kibwagizo cha “mchakamchaka  chinja” na kabla ya kuwashukuru wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kwa kufurika hadi pomoni kwenye uwanja huo.

“Sitaki mchezo,” alisema Lowassa ambaye amekuwa akizungumzia uendeshaji wa Serikali kwa mtindo wa mchaka mchaka.

“Nataka maendeleo. Nataka Jiji la Mbeya liwe la kimataifa wakati wa Serikali yangu na litakuwa kama nchi ya Swaziland,’’ alisema akilifananisha jiji hilo na nchi hiyo ndogo iliyozungukwa pande zote na Afrika Kusini.

“Nitahakikisha Uwanja wa Ndege wa Songwe unakuwa wa kimataifa.”

Lowassa, ambaye alipata zaidi ya watu 50,000 mjini hapa wakati alipokuwa akisaka wadhamini wa urais kwa tiketi ya CCM, alisema Serikali yake pia itawajali walimu na wakulima, huku akisisitiza kwamba watakaochelewesha pembejeo watakiona cha moto.

Akizungumza polepole, Lowassa alisema katika Serikali yake hatataka mchezo katika kazi  na kwamba mawaziri wake watachapa kazi saa 24  kuwahudumia wananchi.

Kuhusu kiu ya wananchi waliotaka kujua kauli yake kwa polisi, alisema polisi wanatenda kazi huku wakitaka mabadiliko ya kupata mshahara mnono na kwamba ataboresha mahitaji ya wafanyakazi kwa ujumla.

Awali akiwakaribisha wageni, Sugu aliwashukuru wakazi wa Mbeya kwa kile alichokieleza kuwa ni kuleta mizuka kwenye uwanja huo kutokana na kufurika watu wengi. “Karibu Mbeya wageni, hapa siyo mafuriko ni gharika... kilichobaki ni kupiga kura ya kukuchagua wewe Rais Lowassa,’’ alisema.

Sugu alisema goli la mkono la CCM litazuiwa na beki makini Lowassa  na kutoa onyo kwamba CCM wasidiriki kutumia kadi bandia za wapiga kura.

Naye Mbatia  alisisitiza suala la Watanzania kulinda amani na upendo na kuwasihi wakazi wa Mbeya wasikubali kufanya vurugu katika kipindi chote cha kampeni na uchaguzi.

Wabunge wawili wajiunga Chadema.
Wakati Lowassa akipata wadhamini, Chadema ilipata neema tena wakati wabunge wawili wa CCM,  Dickson Kilufi  wa Mbarali na Luckson Mwanjale wa Mbeya Vijijini walipotangazwa kujiunga na chama hicho kikuu cha upinzani.

Hata hivyo, Mbowe alimkabidhi kadi Kilufi pekee baada ya Mwanjale kutofika eneo hilo licha ya kuonekana uwanja wa ndege.

Ben Paul & Belle 9 amkeni usingizini , Mmelala Sana Aise....

Posted: 15 Aug 2015 01:42 AM PDT

Toka wimbo wa NIKIKUPATA mpaka SOPHIA.Ben paul ameendelea kuthibitisha ubora wa kipaji chake maridhawa.Belle 9 ni kipaji kingine adhimu katika ardhi ya nchi yetu.Wasanii hawa wawili mpaka leo hawapati thamani na hadhi zao sahihi.

Napenda kuwaamsha usingizi kuwa wanatakiwa kuwekeza katika kazi zao ili watoke kimataifa.Katika dunia ya sasa hivi ili uwafanikiwe unahitaji kuwa na kipaji na management nzuri, vijana hawa ni kama wameridhika hivi,lakini ukweli ni kuwa lazima waamke ili kufika juu zaidi.

Nakaribisha hoja zaid,

Irene Uwoya Yupo Hatarini Sana Kupoteza Ubunge Viti Maalum

Posted: 15 Aug 2015 01:35 AM PDT

Muigizaji wa bongo movies Irene Uwoya aliyejiunga na ccm na kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum tabora yupo hatarini kupoteza cheo chake cha ubunge wa viti maalum na huenda wabunge viti maalum wengi sana wa ccm nao wataachia ngazi.

Mbunge viti maalum aliechaguliwa kwa sasa ataingia mjengoni mpaka ifikapo oktoba baad ya kampeni na uchaguzi ambapo kila
jimbo litapata mbunge(sio wa viti maalum) wake ambapo hawa wabunge wa viti maalum waliochaguliwa saizi italazimu idadi yao ilingane sawa na idadi ya wabunge wawakilishi wa majimbo wa vyama vyao, mfano kwa ccm mwaka 2010 kabla ya kampeni walikuwa na wabunge viti maalum 92 ila baada ya kampeni na uchaguzi ilipata wabunge 60, kutokana na kupoteza majimbo mengi hivyo ikabidi idadi ya wabunge wa ccm wa viti maalum ipungue toka 92 hadi 60, na wakati wao ccm waliandaa wabunge 92 wa viti maalum wakijua watapata majimbo mengi , matokeo yake ikabidi chama kiwapunguze hadi 60 na baada ya hapo nafas zilizobsaki 22 za wabunge viti maalum wakapewa chadema.

Kwa sasa ni wazi kabisa tembo yupo shambani ambayeaneyejifanya hamuoni aende mahututi, kwa upepo huu wa siasa
ni wazi kabisa ukawa, act na vyama vingine watachukua majimbo mengi sana kwenye nafasi za ubunge(sio ule wa viti maalum), hivy basi endapo CCM itapata wabunge kwenye majimbo machache asilimia hiyo ya wabunge itabidi ilingane na wabungewataopitishwa kwenda kuwakilisha majimbo kwa nafasi za viti maalum na kukilazimu chama kukata wabunge viti maalum wawe wachache

Wema Sepetu akijitetea Skendo ya kujiuza kwa Mkongo kisha kukimbiwa bila malipo

Posted: 15 Aug 2015 01:31 AM PDT

Chanzo chetu ambacho ni makini kilipenyeza kuwa, katika tukio hilo la hivi karibuni, staa huyo alikuwa hafahamiani na mwanaume huyo, lakini kuna kijana mmoja ambaye mara nyingi anawakuwadia mastaa wa Bongo kwa matajiri, alidaiwa kumtonya Wema kuwa kuna ‘mchati’ anataka kutoka naye.

Kilifunguka kwamba, baada ya Wema kung’atwa sikio juu ya Mkongomani ambaye ana ‘hela chafu’, alidaiwa kuonekana kuchachawa hivyo eti alikubali kupelekwa kwake akajazwe ‘mihela’.

Baada ya Wema kufika hotelini hapo, alitambulishwa kwa Mkongo huyo ambapo baada ya kusalimiana tu, walikaa pamoja na kuanza ‘kufanya yao’.

Baada ya Wema na Mkongo huyo kukutana na kumaliza ‘shida’ zao, kila mtu alichukua hamsini zake huku jamaa huyo ‘akim-block’ Wema kwenye simu.

Pamoja na Wema mwenyewe Kukanusha kupitia instagram kwamba hizo picha ni za 2011, ushahidi wa simu za mezani umemuumbua kwani simu inayoonekana ikimpiga picha ni samsung galaxy s6 edge na simu inayoonekana ipo mezani ni iphone 6 ambazo ni simu zilizotoka juzi juzi tuu.

Haya.....

Udaku Specially

unread,
Aug 16, 2015, 4:22:32 PM8/16/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Lowassa Avunja Rekodi ya Mapokezi Jijini Mwanza....CCM Mpo ?

Posted: 16 Aug 2015 11:06 AM PDT

 
Siku ya leo Mwanza ilikuwa ni noma zaidi ya noma yaani nimekuwekea picha Hapo juu ujionee mwenyewe mafuriko,,,,,,,,Hivi CCM mpo ? mbona simsikii magufunguo tena?
Lowassa Avunja Rekodi ya Mapokezi Jijini Mwanza....CCM Mpo ?

Breaking News! YUSUF MANJI Akatwa UDIWANI MBAGALA!!!

Posted: 16 Aug 2015 04:57 AM PDT


YUSUF MANJI akatwa UDIWANI MBAGALA!!!
VURUGU kubwa zimetokea katika ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam baada ya Wanachama wa chama hicho, kupinga hatua ya uongozi wa CCM mkoani hapa kutengua ushindi wa kura ya maoni kwenye ngazi ya Udiwani kata ya Mbagala kuu aliopata Yusuf Manji, ushindi huo kupatiwa na aliyeshika nafasi ya pili katika ngazi hiyo Abubakari Athumani.Anaandika KAROLI VINSENT

Je Kuna Ukweli Kuwa Wafuasi wa Lowassa na CHADEMA, Hawajui Wanafuata Nini

Posted: 16 Aug 2015 04:30 AM PDT

Nimekutana na Hii Mahali eti ...Naomba niwaulize Kama kuna ukweli juu ya hii kauli hapa chini"

"Nimefikiria akili za hawa wafuasi wa huyu mtu aliekatwa nimegundua ni kama nyumbu tu wale wa serengeti ambao hufuata mkumbo tu bila hata kujua wanakwenda wapi na kwa nini wavuke mto sehemu ya hatari wakati sehemu salama ya kuvuka ipo"

Breaking News:Sumaye Ang'atuka CCM Kuanzia Leo

Posted: 16 Aug 2015 03:27 AM PDT

Waziri mkuu wa zamani amejitioa CCM rasmi kuanzia Leo. Akizungumza na wanahabari kwenye
ukumbi wa Court yard jijini hapa anasema amechoshwa na democrasia uchwara ndani ya CCM.

Jack Wolper Amkubali Lowassa, Ajiita Jaquline Wolper Lowassa.

Posted: 16 Aug 2015 03:14 AM PDT

Katika kile kinachoonekana kwamba ameridhika na mgombea Urais Tanzania, kupitia CHADEMA/UKAWA actress na mrembo kiwango Bongo Jaquline Massawe Wolper, amejinadi kura yake ya Urais Oktoba anaipeleka kwa mgombea huyo Edward Lowassa.

Kupitia Instagram Jack, anashare picha kadhaa za matukio yanayoendelea kwenye kambi ya UKAWA.

Katika ‘line’ nyingine, Wolper amewaacha midomo wazi followers wake zaidi ya laki 6 Instagram baada ya kutangaza kuanzia kipindi hiki ataitwa Jaquline Wolper Lowassa.

Miaka 130 Jela Kwa Kosa la Kumuambukiza Mtoto wa Miaka 9 Ukimwi

Posted: 16 Aug 2015 03:03 AM PDT

Mahakama moja nchini Kenya imemhukumu mwanaume mmoja kifungo cha miaka 130 jela kwa kumbaka na kumuambukiza mtoto mwenye umri wa miaka 9 ukimwi.
Katika kikao hicho Mahakama kuu ya Kenya mjini Kisumu imempata na hatia bwana John Okewo mwenye umri wa miaka 25 na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 9 ambaye jina lake limebanwa.

Hakimu mwandamizi Aswani Opande alimpata na hatia bwana Okewo kwa kumabaka mtoto huyo na akamhukumu kifungo cha miaka 100 jela.
Katika shtaka la pili hakimu huyo mkuu wa eneo la Tamu lililoko Muhoroni alimhukumu mstakiwa kifungo cha miaka mingine 30 kwa kumuambukiza msichana huyo mwenye umri wa miaka 9 ugonjwa wa Ukimwi.

Hakimu alimpata na hatia bwana Okewo kutokana na kukiri makosa yake mwenyewe.
Upande wa mashtaka unasema kuwa bwana Okewo alimpa mtoto huyo pipi na biskuti mnamo tarehe 27 mwezi Machi kabla ya kumdanganya hadi akaingia chumbani mwake.
Yamkini Okewo aliwaambia wachunguzi kuwa alimdhulumu mtoto huyo mara kadha.

Mtoto huyo alimtambua mshtakiwa kuwa mtu aliyemnunulia pipi biskuti na ''kumlalia''
Mtoto huyo alimtambua mshtakiwa kuwa mtu aliyemnunulia pipi na ''kumlalia''
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 9 anaendelea na matibabu maalum ya wanawake baada ya kujeruhiwa katika tukio hilo.

Alipopewa fursa ajitetee, mshtakiwa aliomba asamehewe kwani ni ''shetani aliyemdanganya'' kutenda maovu hayo.

Hata hivyo Hakimu akakataa kabisa kumuonea huruma na akamhukumu kifungo cha miaka 130 jela ili iwe funzo kwake na kwa wengine wenye mawazo potofu kama yake.
Alipewa siku 14 kukata rufaa.

Breaking News..Kingunge Ngombale Mwiru Avuliwa Ukamanda wa UVCCM Taifa..Atoa Mazito

Posted: 16 Aug 2015 02:33 AM PDT

Kikao cha baraza kuu uvccm kinachoendelea hivi sasa katika ukumbi wa mwalimu J. Nyerere dar es saalamu chini ya mwenyekiti wake Sadifa J. khamis.
kimemuenguwa na kumfukuza KAMANDA wao wa taifa nd KINGUNGE NGOMBALU MWILU.
Maamuzi hayo yamekuja baada ya baraza kuu kujadili na kutathimini mwenendo wa kamanda huyo hasa kipindi hichi cha mapambano.

kikao hicho cha baraza kimefikia maamuzi hayo baada ya kuamini kuwa kamanda huyo kwa sasa hataweza kuivusha jumuiya hiyo katika kupata ushindi wa kishindo oct 2015


Breaking News: Polisi Watumia Mabomu ya Machoz Mwanza Kuwatawanya wafuasi wa Lowassa

Posted: 16 Aug 2015 02:32 AM PDT

Muda  huu  polisi  wanapiga mabomu  uwanja  wa  ndege   jijini  Mwanza kuwatawanya  wananchi  waliokusanyika  kumpokea  Lowassa.

Mabomu  yamepigwa  muda  mfupi  baada  ya  ndege  inayosadikiwa  kuwa  ni  ya  Lowassa  kutua  uwanjan, hali  iliyowafanya  wananchi  walipuke  kwa  furaha  huku  wakiimba  nyimbo  za  Chadema.

Kadhia  hiyo  iliwafanya  Polisi  watumie nguvu  ya  ziada  kuwatawanya  wananchi hao  waliokuwa  wametanda  barabarani.

Msafara wa Lowassa Ulivyopigwa MABOMU Na Polisi Jana jijini Arusha

Posted: 16 Aug 2015 01:45 AM PDT

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.

Tukio hilo, ambalo lilifanyika mbele ya msafara wa Lowassa, lilitokea jana eneo la Daraja la Nduruma katika Jiji la Arusha na kusababisha umati wa watu kutawanyika na wengine kutelekeza magari yao.

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akimkaribisha kwenye chama hicho wakati wa mkutano mkuu alimwambia; “Mzee huku inabidi uwe unafanya mazoezi kidogo, kuna mabomu huku.”

Lowassa alikumbwa na kadhia hiyo, akiwa njiani na mgombea mwenza, Juma Duni Haji na viongozi wengine wa Ukawa, wakitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), huku wakiwa wamesindikizwa na umati wa watu na magari.

Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema kuwa polisi walilazimika kupiga mabomu ya machozi ili kutawanya watu waliokuwa wakiwarushia mawe polisi na wengine kufunga barabara.

“Kwa hali ile, tungefanya nini? Wanatupa mawe kwa polisi na wamefunga barabara na kuzuia magari mengine yasipite…ikumbukwe kulikuwa hakuna kibali cha maandamano na hata kingekuja, matamko ya kuzuia maandamano yameshatolewa,” alisema Sabas.

Katika tukio hilo, idadi kubwa ya polisi walikuwa kwenye magari na silaha mbalimbali ambao baadaye walianza kurusha mabomu kutawanya watu na magari kwa eneo la daraja hilo.

Hata hivyo, katika tukio hilo, lililotokea saa nane mchana hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa na kutokana na nguvu hiyo ya polisi watu walitawanyika, na barabara hiyo ya Arusha- Moshi ilifunguka baada ya kutopitika kwa saa tano kuanzia saa nne asubuhi.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Tindigani, Mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema alisema wamesikitishwa na kitendo cha polisi kumpiga mabomu Lowassa na msafara wake.

“Tunajua polisi wamepata maelekezo na sasa wanataka kuwatisha wananchi, lakini tunasema leo ndiyo mwisho hatutakubali tena kunyanyaswa,” alisema Lema.

Akihutubia mkutano huo Lowassa alitahadharisha viongozi wa polisi, kuacha kutumia nguvu kupita kiasi, kwani anaweza kuwafikisha Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iliyopo The Hague nchini Uholanzi.

Lowassa alisema alikuwa akiiamini polisi, lakini alichokiona jana cha kupigwa mabomu ni jambo baya.

Kuhusu suala la Babu Seya aliyefungwa kifungo cha maisha gerezani alisema atafuatiliwa kwa kutumia suala la utawala bora kwa kuangalia vyombo vya sheria na hatua zingine zitafuatwa.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema wanachama wanaojiunga sasa wana haki sawa na mwasisi wa chama hiki Edwin Mtei mwenye kadi namba moja.

Alisema mara baada ya wanachama wapya kujiunga, kwa kipindi cha wiki moja nilipokea matusi mengi kuliko niliyowahi kutukanwa baada ya kupokea wanachama wapya.

Kaimu Mwenyekiti wa CUF, Taslima alisema kuna watu ambao wamejenga desturi ya kuwabeza watu wanapohama vyama kwa hiari kwa kuwaita oili chafu au makapi anavunja Katiba.

Alisema Ibara ya 20 ya Katiba ya mwaka 1977 inasema kila mtu yeyote ambaye ni Mtanzania, yuko huru kujiunga na mtu yeyote, chombo chochote, taasisi yoyote atakayopenda na hatazuiliwa.

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema; “Mabomu yamepigwa katika mkutano wa Chadema, watu wakafa Arusha, Arusha tunayoitegemea kwa uchumi leo hii zaidi ya asilimia 19 ya pato ya taifa linatokana na utalii, lakini leo (jana) tunaingia Arusha alipozaliwa Lowassa tunapigwa mabomu, ukweli utatuweka huru.

Mbowe na Lowassa Yawezekana Wakawa Tatizo CHADEMA

Posted: 16 Aug 2015 01:43 AM PDT

Watanzania huenda wakijua biashara ya Mbowe na Lowassa watajiona wanavyo fanywa wajinga. Na zaidi wanachama wa CHADEMA, Mbowe sasa ni Mungu mtu ndani ya chama kiasi cha kuwanyima haki ya kuwachaguwa wabunge wanao wahitaji katika majimbo yao. Wakati majimbo ya Kaskazini akigawana na marafiki zake. Nchi inaingia matatani akifikiri nchi inaongozwa na mashairi yake jukwaani.

Maoni Binafsi Kutoka Kwa Bwana Haki

Rais J.Kikwete Kumjibu Lowassa Kwenye Shughuli za Kiserekali ni Sahihi..Au Amepaniki?

Posted: 16 Aug 2015 01:36 AM PDT

Ipi mipaka yake anapokuwa kwenye shughuli za kiserikali? Ni sawa kuitupia madongo upinzani wakati akiwa kwenye shughuli za kiserikali? Kwa nini asisubiri ajibu akiwa kwenye shughuli za chama?Je,huku ni kupaniki?

Ilikuwa ni siku ya jana, katika viwanja vya mnazi mmoja katika tukio la Wizara ya Ujenzi na wakandarasi wakimuaga Kikwete kwa kumaliza muda wake wa miaka kumi wa kuongoza nchi. Na hapo Kikwete akaanza kumsifia Magufuli kiCCM kiCCM na kwa woga, aibu na kujihami kabisa akasema kimafumbo kuwa MAFURIKO YA LOWASSA yanayoendelea kuitikisa nchi kwa sasa ni MOTO WA MABUA TU, hautadumu hata kidogo.

Nilipoona Picha Sikuyaelewa Vizuri Mafuriko ya Mbeya... Lakini Baada ya Kuona Hii Video ndo Nimekubali Kweli Yalivunja Rekodi

Posted: 16 Aug 2015 12:46 AM PDT

Nilipoona Picha sikuyaelewa Vizuri Mafuriko ya Mbeya... Lakini baada ya kuona hii Video ndo nimekubali kweli yalivunja rekodi

Tazama Mwenyewe Video:

Mtoto wa OSAMA BIN LADEN Aibuka..Atoa Ujumbe Mzito Kwa Marekani...Aagiza Mashambulizi

Posted: 15 Aug 2015 11:22 PM PDT

Kundi la kigaidi la A Qaeda limetoa ujumbe wa sauti ambao unadai kwamba umetoka kwa Hamza Bin Laden ,mwana wa Osama Bin Laden.

Ujumbe huo unaaminika kuwa wa kwanza wa propaganda za Al Qaeda kumshirikisha Hamza Bin Laden kama mwanachama wa kundi hilo.

Katika ujumbe huo uliosambazwa na Al Qaeda katika mtandao wa twitter,Hamza Bin Laden anaagiza mashambulizi dhidi ya Marekani na washirika wake.

Osama bin Laden aliuawa na vikosi maalum vya Marekani mnamo mwaka 2011 katika uvamizi nyumbani kwake huko Abbotabad,Pakistan.

Mafuriko ya LOWASSA Yatanda Kila Kona ya Nchi.....Wanachama Maarufu wa CCM Wahamia UKAWA

Posted: 15 Aug 2015 11:13 PM PDT

KAMBI kuu ya upinzani katika siasa za Tanzania, imezidi kuimarika. Matukio mawili, moja la jana, jingine leo hii, yametokea na kuongeza nguvu ya kampeni ya kuitoa CCM madarakani chini ya kaulimbiu ya “Toroka uje.”

Katika tukio la kwanza jana jioni, kambi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ilimpokea Omari Ayubu Kimbau, kada machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akihamia Chama cha Wananchi (CUF) anakotarajia kupewa dhamana ya kugombea ubunge jimboni Mafia, Mkoa wa Pwani.

Kimbau ni mmoja wa watoto wa Kanali Ayubu Shomari Mohamed Kimbau, mwanasiasa mstaafu aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wilayani Mafia.

Uamuzi wa Kimbau kuhama CCM umefanikishwa mara tu alipobaini kudhulumiwa kisiasa kulikotimia juzi kwa kutupwa nje ya mbio za uteuzi ka mara ya pili mfululizo, ili kugombea ubunge.

Tayari mipango ya kumkabidhisha bendera ya kugombea kiti hicho kupitia CUF, inakamilishwa na taarifa za ndani ya CUF zinasema atatambulishwa rasmi jimboni Jumatano wiki ijayo.

Kimbau amekosa uteuzi katika vikao vya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC-CCM) vilivyomalizika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma, ambako ugombeaji alipewa Mbaraka Dau, ndugu wa damu wa Dk. Ramadhan Dau, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Katika kura za maoni zilizohusisha matawi ya CCM jimboni, Kimbau alipata kura 1,480 huku Dau anayeishi Dubai, kwa shughuli za biashara, akipata kura 2,620. Injinia Omari Kipanga alipata kura 1,156; Shah 568 na Njalale 23.

Jimbo la Mafia ambalo Abdulkarim Shah (Bulji) ameliwakilisha vipindi viwili, kwa makubaliano ya UKAWA, limeachwa ligombewe na mwakilishi atokaye CUF, chama chenye historia ya kuwa ngome kwa CCM wilayani Mafia.

Wachambuzi wa siasa za Mafia, wanasema Kimbau ameingia kambi ya UKAWA akiwa na mtaji wa zaidi ya wanachama 6,900 waliohakikiwa kujiunga Chadema kufikia sasa; CUF zaidi ya 6,000; watu 1,480 waliompigia kura za maoni CCM.

Tukio la pili ni la jijini Arusha ambako mgombea urais anayewakilisha UKAWA, Edward Lowassa, amefanya mkutano mkubwa wa hadhara wa kutambulishwa na kupata wadhamini, ametinga kambini Lawrance Masha.

Masha, waziri wa mambo ya ndani kwa awamu ya kwanza ya serikali ya Rais Jakaya Kikwete (Novemba 2005/2010), alipigwa kumbo katika uchaguzi mkuu uliopita, jimbo la Nyamagana, jijini Mwanza analowakilisha Ezekiel Wenje.

“Maamuzi magumu yamefanyika hivi leo, lakini ni maamuzi muhimu sitaongea leo. Nitangaze tu kwamba nimejiunga rasmi Chadema,” amewaambia wana-UKAWA waliojazana viwanja vya Tindigani.

 Masha ni mtoto wa Dk. Fortunatus Masha, aliyestaafu siasa akiwa Chama cha United Democratic Party (UDP) alikofikia ngazi ya makamu mwenyekiti.

Amehama CCM siku chache baada ya kuthibitisha kutupwa na CCM katika uteuzi kutokana na kushindwa kura za maoni safari hii akiwinda jimbo la Sengerema.

Baada ya mkutano wa Arusha, Lowassa, ambaye alihama CCM tarehe 28 Julai akijibu pigo la kukatwa jina katika walioomba uteuzi wa kugombea urais, akiwa miongoni mwa waombaji 38, atakuwa jijini Mwanza kesho Jumapili.

Huu Ndio Mpango wa Ex wa Zari na Mpambe Wake wa Kutaka Kuharibu Furaha ya Ujio wa Tiffah Kwa Diamond na Zari

Posted: 15 Aug 2015 11:10 PM PDT

Ulimwengu una maajabu mengi na mitandao ya kijamii inatusaidia kuyafahamu. Uhusiano wa Diamond na Zari the Bosslady haujawahi kupokelewa vizuri na ex wake Ivan aliyezaa naye watoto watatu wa kiume.

Watoto hao wameendelea kuwa karibu na wazazi wote wawili. Uhusiano wa ulipoanza tu, Ivan kupitia mpambe na rafiki yake wa karibu, King Lawrenc walianzisha vita kwenye mitandao ya kijamii kuwashambulia Diamond na Zari. Hakuna shaka kuwa Ivan amekuwa akionesha hisia zake za kutoupenda uhusiano wao kupitia Lawrenc ambaye amekuwa akiwashambulia mfululizo.

Katika kipindi ambacho tension kati ya Diamond na Alikiba zimefika kileleni hususan kipindi cha kuelekea tuzo za KTMA 2015, Ivan mwenyewe pia alishiriki katika kampeni za kumuombea kura Alikiba. Ni wazi kuwa Ivan bado hajakubali yaishe, na kumuona mke wake wa zamani akiwa na furaha na Diamond ni kitu kinachomkera zaidi.

Na sasa wakati uhusiano wa Diamond na Zari upo katika kilele cha furaha baada ya kujaaliwa mtoto wa kike, Latiffah, kambi ya Ivan kupitia mpambe wake Lawrenc imedhamiria kuitilia doa furaha hiyo.

King Lawrenc ameanza kutupa mashambulizi kwa Diamond na kueleza kile anachoamini kuwa Tiffah ni mtoto wa Ivan! Kwa historia ya kile Lawrenc amekuwa akikisema tangu mastaa hao waanzishe uhusiano, ni wachache wanaoweza kuamini ‘upuuzi’ huu lakini kiukweli hiki ni kitu kinachoweza kuwakosesha raha Diamond na Zari, kama wakiamua kumjali.

Lawrenc alianza kupost picha ya mtoto mchanga na picha ya Ivan na kuandika, “No DNA Needed. The best revenge has shown itself after 9months. Anamaanisha kuwa mtoto huyo ni Tiffah na kwamba Ivan ndio baba yake.

Hadi sasa hakuna picha iliyotolewa inayoonesha sura halisi ya Tiffah hivyo ni ujinga kuamini kuwa aliyoweka Lawrenc ni yake. Na katika yote yanayoondolea, Zari na Diamond hawawezi kuruhusu picha ya mtoto wao ifike kwenye mikono ya adui yao labda kama wao wenyewe wakiamua kuipost kwenye mitandao ya kijamii, kitu ambacho bado hawajakifanya hadi sasa.

Na pengine mambo kama haya ndio yanamfanya mama mzazi asite kuionesha sura ya binti yake huyo. “I swear I wanted to show you her face but she turned away saying, nope i want no drama. She knows y’all can be dramatic. She’d rather stay safe for now… too many judges, advisors, teachers you name it you’ll find it on IG. I bet she can’t deal,” aliandika Zari.

Rais Kikwete Ammwagia Sifa MAGUFULI.........Awafananisha Wapinzani na Moto wa Mabua ambao Hauwaki Ukadumu

Posted: 15 Aug 2015 11:05 PM PDT

RAIS Jakaya Kikwete amesema ukiona Waziri anajisifia kafanya mambo kadhaa kwa uwezo wake, huyo ana matatizo ya ufahamu na ni mpenda sifa, kwa sababu mambo anayoyafanya anatekeleza majukumu aliyopewa na Rais na kwa mujibu wa muongozo aliopewa.

Alisema hayo jana wakati akiagwa jijini Dar es Salaam na taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Ujenzi, huku akiongeza kuwa vuguvugu za kisiasa zinazoendelea, ni moto wa mabua ambao hauwaki ukadumu.

Kwa mujibu wa Rais Kikwete, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli ambaye pia ndiye mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), angekuwa kama mawaziri hao, angejisifia kwa mafanikio yote yaliyopatikana katika Wizara alizoziongoza, ikiwemo Wizara hiyo ya Ujenzi.

Katika hotuba hiyo amesema sifa moja ya Dk Magufuli ni kutambua kuwa akiwa Waziri, anafanya kazi kwa niaba ya Rais kwa mujibu wa muongozo na rasilimali alizopewa, ambavyo vimeeleza nini anatakiwa kufanya kama waziri.

“Sijawahi kukusikia ukijisifia binafsi maana na wewe ungeweza kabisa kufanya hivyo kwa sababu barabara zote hizi ungeweza kusema ni mimi nimejenga na sio Rais… Sasa bila Rais kukuteua na kukupa muongozo na rasilimali ungepata nafasi ya kujenga hizo barabara?”Alihoji Rais Kikwete.

 Alisema baadhi ya watu wamediriki kusema waliyoyafanya ni wao na sio Rais aliyewapa muongozo huo kufanya yoliyofanyika na kuongeza:

“Unadhani Rais atakuja kujenga nyumba? Amekwambia nimekupa hivi hapa na kila mtu niliyemteua nafanya hivyo na inatangazwa kwenye gazeti la Serikali.”

Rais Kikwete alisema Rais hana ushindani na Waziri wake na pia Waziri hana mashindano na Rais kwa sababu Waziri anafanya kazi kwa niaba yake maana ndiye aliyemteua.

Moto wa mabua
Alisema CCM imemteua Dk Magufuli kugombea nafasi ya Urais kupitia chama hicho na ana imani atapita salama kwa sababu ni mtendaji kazi mzuri na kwamba vurugu zinazoendelea za kisiasa ni moto wa mabua tu

. “Nina imani chama chetu kimekuteua kuwa mgombea wa urais kwa sababu ni mtendaji… Taifa litanufaika likipata kiongozi kama wewe, hao wengine ni moto wa mabua tu hauwaki ukadumu,” alisema Rais Kikwete.

Rais Kikwete alisema ana imani Mungu akijalia Magufuli kuwa Rais basi yale mambo mazuri aliyoyafanya katika Wizara ya Ujenzi na sekta ulizopata kuongoza, atatumia maarifa na uzoefu huo kusukuma mbele gurudumu la taifa mbele.

Alisema Dk Magufuli kila wizara aliyopelekwa alifanya vizuri, ikiwa ni pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Miundombinu na Ardhi ambapo alisaidia kuondoa ujanja ujanja na kuimarisha nidhamu lakini hakuwahi kusema ni yeye binafsi ameleta manufaa hayo.

“Kuna wakati sehemu fulani ina matatizo watu wanasema jamani kwa nini msimlete Magufuli, tunasema hawezi kuwa kila mahali… Na sekta hii ya ujenzi ni sekta muhimu na kubwa, nashukuru chini ya uongozi wako tumeifikisha mahali pazuri,” alisema Rais Kikwete.

 Aidha Rais Kikwete alisema anajivunia kuunganishwa kwa barabara zote za mikoa na Wilaya nchini katika kipindi cha uongozi wake na hiyo ni kwa jitihada na usimamizi uliofanywa na Waziri Dk Magufuli.

“Katika uongozi wangu tumefanikiwa kuunganisha karibu mikoa yote nchini kwa kiwango cha lami. Jambo hili limewezekana kwa ushirikiano na wafanyakazi wote pamoja na wataalam wa wizara hii ya ujenzi.”

 Kikwete alisema alipoingia madarakani, bandari ya Dar es Salaam ilikuwa inasafirisha jumla ya tani milioni 6.7 za mizigo kwa mwaka, lakini hivi sasa bandari hiyo inasafirisha mizigo zaidi ya tani milioni 15 hadi mwishoni mwa mwaka huu, bandari ya Dar es Salaam itakuwa na uwezo wa kusafirisha zaidi ya tani milioni 18, kitu ambacho kitaongeza ukuaji wa uchumi na kuongezeka kwa pato la taifa.

Aidha alisema kukamilika kwa barabara zote nchini kwa kiwango cha lami kutawezesha uchumi kukua kwa haraka zaidi na kuifanya nchi kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa siku za usoni.

Rais Kikwete pia alisema katika kipindi chote cha uongozi wake ameweza kupambana na changamoto zilizokuwa zikiikabili wizara ya ujenzi na ndio maana mafanikio haya yamepatikana.

Hata hivyo, Rais Kikwete alisema mara baada ya kumaliza muda wake na kukabidhi madaraka kwa rais ajaye, ataondoka na kurejea kijijini kwao Msoga na kuendesha shughuli za kilimo, ikiwemo kilimo cha mananasi, mahindi na mazao mengine.

 “Nikimaliza muda wangu wa uongozi na kukabidhi madaraka, nitarudi kijijini na kwenda kuendesha shughuli za kilimo, na wala sitaki nikiwa kule mnifuatefuate. Niacheni nikawe mkulima hodari,” alisema Kikwete.

Alisema sasa taifa linahitaji kiongozi bora zaidi yake ili aweze kuendeleza pale alipofikia yeye kwani likipata kiongozi dhaifu hata haya mafanikio yaliyopo yatarudi nyuma.

 Kwa upande wake, Waziri Dk Magufuli alisema katika kipindi chote cha uongozi wake katika wizara ya ujenzi, ameweza kuyatekeleza vyema majukumu aliyopewa na rais kwa kushirikiana na wafanyakazi wenzake ndio maana wamepata mafanikio.

Alisema japokuwa wizara yake bado inakabiliwa na changamoto kadhaa, lakini imeweza kupambana nazo na kufanikisha ujenzi wa miundombinu yote muhimu iliyokuwa ikihitajika, Magufuli alisema anatumaini atakapokuwa Rais atatatua changamoto hizo zaidi kwa sababu anazifahamu vizuri.

 Awali wakiwasilisha mafanikio yaliyofikiwa na taasisi zao zilizopo chini ya wizara ya ujenzi, watendaji wa taasisi hizo walisema awamu ya nne imeweza kufanya mambo mengi na ya kuingwa.

Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Patrick Mfugale alisema barabara zenye urefu wa kilomita 5,568 zimejengwa kwa kiwango cha lami katika serikali ya awamu ya nne na kugharimu Sh trilioni 4.9.

Mfugale alisema barabara zinazoendelea kujengwa hadi hivi sasa zina urefu wa kilomita 3,875 ambazo pia zitagharimu Sh trilioni 4 na bilioni 535 na kwamba jumla ya barabara zenye urefu wa kilomita 8,600 zimejengwa kwa kiwango cha lami nchini nzima ambazo ni sawa na asilimia 86 na nyingine ziko katika hatua mbalimbali za ujenzi. Imeandikwa na Regina Kumba na Emmanuel Ghula.

NAPE Unapotuambia Hii ni OIL Chafu, Haifai, Tunaweza Kukupa Utitiri wa Matumizi Yake...na Utashangaa

Posted: 15 Aug 2015 11:00 PM PDT

Wakati wa utoto kule Moshi tulikuwa tunatumia maguta (magari ya miti), kilainishi cha beringi (bearing) zake tulikuwa tunatumia OIL CHAFU, pia ili mbao ama nguzo isiliwe na MCHWA tulikuwa tunaipaka OIL CHAFU. Siku hizi hata kinyesi cha Ng'ombe kule Moshi wanatengenezea gesi (bio gas), nacho ni dili pia. Wajerumani maji ya kuflashia chooni yanachujwa yanarudi tena mtaani kwa matumizi mengine. Unapotuambia hii ni OIL chafu, haifai, tunaweza kukupa utitiri wa matumizi yake.

By Bwana Mushi

GHARIKA KUU ARUSHA!!!! EDWARD LOWASSA Aiteka kaskazini Mamilion ya Watu Wamlaki, Viongozi wa CCM Kilimanjaro na Arusha Waitosa CCM na Kujiunga CHADEMA.

Posted: 15 Aug 2015 10:58 PM PDT

GHARIKA KUU ARUSHA!!!!
EDWARD LOWASSA aiteka kaskazini
Mamilion ya watu wamlaki, viongozi wa CCM Kilimanjaro na Arusha waitosa CCM na kujiunga CHADEMA.
Aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani Laurence Masha ajisalimisha CHADEMA kabla ya ujio wa LOWASSA huko MWANZA.
UKAWA KIMEELEWEKA!!


NEC Yapiga Marufuku Maandamano Urudishaji Fomu za Urais, Watu Saba tu Kuruhusiwa Kumsindikiza Mgombea

Posted: 15 Aug 2015 10:50 PM PDT

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetangaza siku ya urejeshaji fomu za Urais na Makamu wa rais kuwa ni Alhamis ijayo.

Aidha, imepiga marufuku maandamano na badala yake watu saba tu ndio wataruhusiwa kusindikiza wagombea.

Taarifa ya Nec kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima, ilisema urejeshaji fomu utaanza saa 1:30 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.

Alisema wagombea wote wanatakiwa kufika kwenye ofisi za Tume wakisindikizwa na watu hao na majina yao yawasilishwe Tume kabla ya Agosti 20, ili kuratibu kazi hiyo.

“Wagombea hawaruhusiwi kuja Tume kwa maandamano, shamrashamra, nderemo wala vifijo. Hii ni kwa sababu siku hiyo vyama vya siasa vitakavyowasilisha fomu za kuomba uteuzi vitakuwa vingi hivyo kila chama kikija Tume kwa maandamano na shamrashamra kunaweza kutokea uvujifu wa amani,” alisema.

Alisema sababu nyingine ni kuwawezesha wananchi wengine kuendelea na shughuli zao na sababu ya tatu ni kuimarisha amani na utulivu na kwamba ni vyem vyama vikafuata maelekezo hayo.

Mwanamitindo Fraviana Matata Afunga Ndoa...Nimekuwekea Picha Kadhaa Hapa

Posted: 15 Aug 2015 10:46 PM PDT

Mwanamitindo Fraviana Matata amefunga ndoa katika kanisa la St.Joseph na mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Deogratius Massawe.
11363943_614978965271610_490778977_n[1]
11849047_1031723616852156_1648758899_n[1]
11910322_1687559864807151_1741215753_n[1]

Udaku Specially

unread,
Aug 17, 2015, 4:06:53 PM8/17/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Chat ya Instagram kati ya Diamond na Wema ni ‘Feki’ – Meneja

Posted: 17 Aug 2015 12:04 PM PDT

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam Sharaff amedai kuwa screen shots ya kile kinachoonekana kuwa ni mazungumzo kati ya Wema na Diamond kupitia DM za Instagram ni feki.

Katika mazungumzo hayo, Wema anamueleza Diamond kuwa apuuzie kile mashabiki wake wanachokisema kuhusiana na Zari na mtoto wao Tiffah na kwamba bado anampenda staa huyo wa ‘Nana.’

Diamond naye anaonekana kupagawa na ujumbe huo na kumuomba waonane.

Hata hivyo Sallam Ambae ni Meneja wa Diamond kupitia Twitter amepuuzia screenshot hiyo kwa kudai kuwa ni feki.

Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari Anataka DNA ya mtoto wa Diamond, Anadai yeye ni Baba, Juzi Alidai Ivan Ndio Baba!

Posted: 17 Aug 2015 11:43 AM PDT

Guys kuna mambo mengi sana feki yanaendelea kwenye mitandao ya kijamii. Tena zaidi ni kuwa mengi yanakuja na picha zinazoashiria ukweli lakini katika maisha ya chuki na visasi, kila kitu kinawezekana.

Bahati mbaya tunaishi kwenye dunia ambayo watu huamini haraka mambo hasi ambayo kwa kawaida husambaa haraka zaidi kuliko yale chanya. Na kwakuwa mitandao ya kijamii katika miaka ya hivi karibuni imekuwa chanzo kikubwa cha habari, blogs zimekuwa zikiwahiana kuandika habari na wakati mwingine bila kuzitafakari na kuzichuja vyema kupata uhalali wake.

Habari ya mpambe wa ex wa Zari, King Lawrenc, imetawala magazeti na blogs nyingi za Afrika Mashariki leo.


Lawrenc alipost kwenye akaunti ya Instagram kile kinachoonekana kuwa ni barua ya kutaka kufanyika vipimo vya DNA ili kujulikana ukweli wa nani ni baba wa Latiffah, ambaye ni binti wa Diamond Platnumz.

Lawrenc ametumia kampuni maarufu ya wanasheria ya nchini Uganda iitwayo WEB Advocates & Solicitors kumtaka Zari achukue vipimo vya DNA vya Tiffah katika nchi tatu tofauti ili kubaini nani ni baba wa mtoto huyu!

The funny part of this story is; Katika barua hii Lawrenc anadai kuwa yeye ndio baba wa mtoto huyu wakati katika post mbili zilizopita amekuwa akipost vijembe kuwa Tiffah ni mtoto wa Ivan, ex wa Zari. Ivan na Lawrenc ni marafiki!

Katika post ya kwanza, King aliweka picha ya Ivan na mtoto mchanga na kuandika, “No DNA Needed. The best revenge has shown itself after 9months.” Katika picha nyingine ambayo anaonekana akifurahia Cigar na Ivan, jamaa aliandika, “Chilling with @princess_tiffah’s father.”

Habari ya kuwa Ivan ndio baba wa Tiffah imebadilika, na sasa yeye ndiye anayelalamika kuwa ‘amenyimwa haki ya kumuona mtoto’ ambaye anaamini kuwa ni wake!

King Lawrenc ni mtu anayejulikana kwa njaa ya umaarufu na yupo radhi kufanya lolote ili aupate hata ikiwa ni kusema kuwa amewahi kulala na mke wa zamani wa rafiki yake, Ivan! Kinachowashangaza zaidi watu wengi ni kuwa Ivan anaruhusu yote haya.

Ivan yuko sawa kumuona mpambe wake akitangaza hadharani kuwa naye amewahi kutembea na Zari! Urafiki gani huu? Uhusiano wa Ivan na Lawrenc unatia mashaka sana!

Inavyoonekana Ivan na Lawrenc wamedhamiria kuhakikisha kuwa Zari na Diamond hawaipati ile furaha ya kupata mtoto. Hata hivyo hakuna chochote kati ya haya yanayoendelea kinachoonesha kuwaumiza Zari na Diamond.


Hatujui kinachoendelea ‘behind closed doors’ lakini picha za kwenye Instagram zinaonesha kuwa familia ipo katika kilele cha furaha. Diamond anaonekana kuwa baba anayejivunia kwa binti yake Tiffah.

Mungu akiepushe kichanga hiki na drama za watu wasiokuwa na mshipa wa aibu! Ama kweli umaarufu ni mzigo wa miiba!

Jamani Zari Hajawahi Kuolewa – Diamond Platnumz

Posted: 17 Aug 2015 11:39 AM PDT

Diamond Platnumz amesema Zari hajawahi kuolewa na kwamba hadi sasa hajapokea barua yoyote kutoka mahakamani ikimtaka kuchukua vipimo vya DNA vya mtoto wake, Tiffah.

Kwa mujibu wa Diamond, barua iliyowekwa kwenye akaunti ya King Lawrenc ni moja ya njia ya swahiba hiyo wa ex wa Zari, Ivan ya kujipatia umaarufu.

“Sijapokea barua yoyote,” Diamond ameiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM leo.

“Unajua lazima tujue kila mtu anatumia mitandao kwa njia zake. Wengine wanatumia kutafutia umaarufu kama hivyo which is not bad but kupata umaarufu ni kazi sio, mtu anatafuta njia yoyote kutafuta umaarufu na watu wakamsikiliza na kupata pongezi kwa sababu amekaa amebuni kitu mpaka watu wakamsikiliza,” amesema Diamond.

“Zari hajawahi kuolewa kwanza, ni story tu hizo, lakini hajawahi kuolewa, ukimuuliza mwenyewe anasema hajawahi kuolewa kabisa,” amesisitiza staa huyo.

“Unapokuwa na mahusiano na mtu huwezi kufuatilia vitu vyake vya nyuma. Tumeanza maisha yangu mimi na yeye sidhani kama umeshaona post yangu yoyote ya kumzungumzia vibaya ndio maana nikiona vitu ambavyo navisikia naona ni uongo, mimi sifuatilii maisha ya mtu.”

Shamsa Ford Na Nay wa Mitego Wakiri Uhusiano Wao wa Kimapenzi

Posted: 17 Aug 2015 11:34 AM PDT

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford amekiri kuwahi kutoka kimapenzi na Nay wa Mitego na baadaye wakaachana.

Shamsha na Nay wa Mitego walikuwa wakizungumza kwa pamoja ndani ya Global TV hivi karibuni. “Ukweli ni kwamba finally nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Emanuel (Nay) lakini tumeachana,” alisema Shamsa.

Kwa upande wake Nay alisema uhusiano ulikuja baada ya kuwa marafiki.

“Tulikuwa washkaji, mahusiano yetu yalianza hivyo,” alisema rapper huyo.

“Tulienda Masaki baada ya kukaa mida fulani wakati wa kuondoka kusema kweli, kidogo nikaanza kuvutiwa na Shamsa Ford, katika kuagana nikaomba mimi nikamwambia mimi mwenzako matatizo yangu ni haya.

Bahati nzuri yeye pia hakuwa mzito, nahisi na yeye alikuwa amesoma kitu kwangu labda ambacho kilimvutia. Tuli-kiss na for the first time tulikuwa tumeonana siku hiyo na kwamba kila mtu alikuwa tayari kwa lolote litakalotokea. So tukaanza hivyo, kilichotufanya tuendelee kuwa connected ni lile kiss la siku ya kwanza,” aliongeza Nay.

Chanzo: Bongo5

Jokate Amtambulisha Ali Kiba Apigwa Chini Kwao

Posted: 17 Aug 2015 11:10 AM PDT

Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.


MINONG’ONO

 Habari kutoka chanzo cha kuaminika ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wawili hao walihudhuria kwenye harusi ya dada wa Jokate hivyo kuibua minong’ono kwamba huenda harusi inayofuata itakuwa yao.

 Chanzo hicho kiliendelea kudai kwamba, habari mbaya ni kuwa baada ya Jokate kumtambulisha Kiba kwa ndugu, jamaa na marafiki baadaye kumpeleka kwao, wazazi wa mwanadada huyo walikuja juu wakidai jambo hilo haliwezekani huku sababu nne zikianikwa.

KIGEZO CHA DINI

Madai yalishushwa kuwa, sababu ya kwanza ni kwamba, familia ya Jokate hasa wazazi wake ni watu walioshika sana Dini ya Kikristo (Kanisa Katoliki) huku Kiba akiwa ni Muislam kama ilivyokuwa kwa Diamond aliyeshindwa kumuoa Jokate kwa kigezo hichohicho.

NDOA ZA MASTAA NI TATIZO?
Ilidaiwa kuwa, sababu ya pili iliyotolewa na wazazi hao ni kwamba, hawataki binti yao kuolewa na msanii mwenzake kwa kuwa wanajua ndoa za mastaa zinavyokuwa na ‘drama’.

KIGEZO CHA KABILA

Kigezo kingine kilichotajwa ni kabila ambapo wazazi hao wanataka Jokate aolewe na mtu wa kabila lake la Wangoni tofauti na Kiba ambaye ni Muha.

KIGEZO CHA BONGO FLEVA
Chanzo kilikwenda mbali zaidi na kudai kuwa, wazazi hao wanaamini kwamba baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva ni wahuni hivyo kuwawia vigumu kukubali binti yao kuolewa na Mbongo-Fleva.Pia habari za ndani zilidai kwamba, Jokate na Kiba walikuwa kwenye harakati za kuoana kabla ya mwaka huu kumalizika ila zengwe limekuwa kubwa upande wa familia hasa kwenye suala la dini ambapo kila mmoja amekuwa akitaka mwanaye abadili dini.

KAMA DIAMOND

“Unajua kilichompata Kiba ni kama kile kilichomfika Diamond kipindi kile alipotaka kumuoa Jokate.
“Ilikuwa ni ishu hiyohiyo ya dini maana wazazi wa Jokate walikuwa wakimwambia kila siku kama kweli anampenda mtoto wao basi abadili dini lakini Diamond hakuweza kufanya hivyo na kujikuta wakishindwa kufikia lengo la kufunga ndoa,” kilitambaa chanzo hicho.

KIBA KAMA KAWA

Kama kawaida yake, Kiba alipoulizwa juu ya ishu hiyo alikanusha vikali akidai kwamba hajawahi kuwa na mipango hiyo na mrembo huyo.“Ulishawahi kunisikia nikizungumzia ishu hiyo? Siyo kweli bwana…hakuna kitu kama hicho,” alisema Kiba akionekana ‘kumaindi’ kwa kuulizwa juu ya jambo hilo.Kwa upande wake Jokate hakupatikana hewani na hata alipotumiwa ujumbe mfupi hakujibu hivyo jitihada za kumpata zinaendelea.

TUJIKUMBUSHE

Kwa muda mrefu, Jokate na Kiba wamekuwa wakiripotiwa kuwa ni wapenzi lakini Kiba amekuwa mstari wa mbele kukanusha huku Jokate akikiri kuwa jamaa huyo ni mtu wake.

Chanzo: GPL

Picha ya Mtoto wa Diamond Akiwa Amefungwa Kitu Cheusi Mkononi yazua Mabishano Instagram...Wengine Wadai ni Hirizi

Posted: 17 Aug 2015 11:12 AM PDT


Kwenye Page ya Instagram @udaku_Special Tulipost picha hiyo na kuuliza hili jambo ?

Eti jamani hicho hapo mkononi kwa mtoto Tiffah ni nini?
Kuna mabishano eti wengine wanadai ni hirizi? Mie nimebisha aisee kwa udhungu alio nao mama ake sidhani kama anaamini hayo mambo!! Embu nijuze basi...

Majibu ya Wadau yalikuwa Haya:

mossyfimbo
Hiyo sio hirizi ni kitu kina itwa MVUJE unaufunga kwenye kitambaa cheusi kisha wamfunga mtoto mkononi ni imani tu kuwa mtoto asisumbuliwe na mapepo machafu kwa kuwa unanuka vibaya unaharufu mbaya sana kwa hiyo pepo chafu au baya haliwezi kumkaribia mtoto ni imani za miaka nenda rudi sasa kaka bibi kamfunga Dai au Zari hawezi sema chochote lakini ukifunga kwenye kitambaa ile harufu huwezi isikia kabisa. Hata mimi nilisikia kwa wazazi wangu nami na copy kuandika hapa labda kuna mwingine anajua kwa maana tofauti.

mbucheche
 mwambie mlinzi ni mungu tu na si vya kutengenezwa na wanadam yeye ndio mwenye nguvu zote na kila goti linapigwa mbele zake .

yohanampenzume
mwenyewe iliiona nkajiuliza kumbe bado watu wako kwenye digital huku wakiishi kianalogia??? @udaku_special km wanaamin uchawi na wa wana ela si waajiri waganga wa sumbawanga na tanga wakae kumlinda mtoto?? NI WAZO TU MAZEE MXJENGE CHUKI

mbucheche
mbona wengine hawavalishwi na wamekua jaman tuachage haya mambo ya kumsubstute mungu na kizizi huezi ukasema unamtegemea mungu huku unavaa vitu vingine sasa hapo imani si inakua hapo kwenye icho kidude badala ya mungu.tunahitaji tuwe wa kwel kama tunajiita tunamwamin mungu tusimfananishe na kitu.kama unamwamini amini kama unaamin kizizi basi kiamini.

mabuttocks
Jamani sio hirizi, watoto wengi wanasomewa sura tul yaasin afu anafungiwa mkononi iwe ina mlinda. Wanaosema hirizi ndo wenye imani potovu

mbucheche
 hao wanavitoa wapi mnajua au mnavalisha watoto tu bila kujua kwa iyo icho ndo kinamlinda badala ya mungu ambae tunasema tunamwamini kumbe tuna yetu mengine.watoto wanakua bila kuvalishwa icho kidude mbona?


mbucheche
 waambie yani badala ya kuwapeleka watoto wakaombewe kwenye nyumba za ibada mnarelax na uo upupu kwel tunapotea kwa kukosa maarifa hee.

datimaa
Mungu pekee ndie anaetulinda hvo vitu vingine ni ziada@mbucheche


saidastambul
 Wasenge wte mnaojifanya hamjui mvuje halafu watu hawa ni wanafiki ajabu eti ushirikina?umejua je?kama ni shirikina?kama ww sio kiongozi mungu awauwe nyote wanafikii

 nasriyathabit_alkhanan
ata watoto wa mashekhe wanavaa mivuje
Watu wengne wanataka 2 umbea wkt hiko kwa tz makabila meng umfunga mtoto akiwa mchanga nais ata wao wenyewe walfungwa now wanajfanya wamekua wanashangaa fyuu

amonizabroni
 Maana kila mnachokiona mnadis ..kwetu kigoma mkitaka kujuwa maana yake njooni kigoma

Je wewe Una Maoni Gani?

Maajabu Niliyoyaona Mwanza Kwenye Mkutano wa LOWASSA Hayajapata Kutokea.....Watu Walipigwa Mabomu bila Kukoma, Wengine Walizimia

Posted: 17 Aug 2015 07:01 AM PDT


Haijawahi kutokea. Siyo mabomu ya machozi wala polisi wenye silaha walioweza kuzuia halaiki ya wananchi kufika kwenye viwanja vya Furahisha kuhudhuria mkutano wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.

Hii ni kwa sababu umati uliojitokeza kuanzia Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambako polisi walilazimika kupiga mabomu yasiyohesabika kuwatawanya wananchi ambao walifunga barabara inayoingia uwanjani hapo, kutozaa matunda.

Msafara wa Lowassa anayeungwa na mkono na vyama vinavyounda Ukawa vya Chadema, NCCR-Mageuzi, NLD na Cuf, ulilisimamisha Jiji la Mwanza kwa takriban saa tatu kutokana na msafara kutembea kilomita sifuri kwa saa.

Pamoja na polisi kupiga mabomu mita chache kutoka uwanjani hapo, Lowassa alipotoka tu uwanjani, umati mkubwa wa wafuasi wake na wa Ukawa, waliokuwa wamejificha waliibuka wakiwa na chupa za maji; mbele ya askari waliokuwa kwenye magari wakiwa na silaha za moto na mabomu ya machozi.
Kilichochangia msafara kutembea mwendo mdogo ni baadhi yao kumwaga maji barabarani kama ishara ya kupiga deki ili Lowassa apite huku wengine waliokuwa na fagio za chelewa, wakifagia.

Wananchi wengine walikuwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali ikiwamo ‘Richmond ilikuwa ni maagizo ya juu’; ‘pombe mwisho kaunta, Ikulu ni Lowassa’‘kufuli mwisho mlangoni’; na ‘Tanzania bila Lowassa haiwezekani.’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo, akizungumza na waandishi wa habari uwanjani hapo, alisema polisi hawajawazuia wananchi kushiriki mkutano bali wamepiga mabomu kuzuia wale ambao wamekwenda uwanja wa ndege ambako siyo eneo la mkutano.

“Hatuna nia ya kuzuia mkutano, wananchi tumewaambia kwamba waende Furahisha kwa sababu wakija huku watasababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa uwanja,” alisema.

Ikiwa uwanjani hapo, Mpekuzi ilisikia milipuko ya mabomu zaidi ya 30 yaliyopigwa kwa takriban saa moja kabla msafara wa Lowassa haujaondoka kuelekea Furahisha.

Tofauti na mikoa mingine, maandamano ya Mwanza hayakuwa na pikipiki, bajaj wala magari zaidi ya yale ya viongozi wa Ukawa taifa na wabunge wa Chadema kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa, bali ni wananchi wasiohesabika ambao walilazimisha mkutano kutembea kilomita sifuri kwa saa.

Idadi ya watu waliojitokeza kwenye uwanja wa Furahisha, nusura usababishe mkutano kuahirishwa baada ya watu kuanza kuzimia na kupoteza fahamu, jambo ambalo lilisababisha kikosi cha Msalaba Mwekundu uwanjani kuzidiwa nguvu.

Kutokana na hali hiyo,  Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliwaambia wananchi warudi nyuma na wengine wakae chini ili kutoa nafasi kwa viongozi, waandishi na wapigapicha wafanya kazi yao.

Hata hivyo, tangazo hilo halikufua dafu kwani baadhi ya wananchi waliokuwa mbele, walikaa chini lakini halaiki hiyo iliendelea kusababisha usumbufu mkubwa kutokana na idadi ya watu walioendelea kupoteza fahamu.

Baada ya kuanza kusukumana, wananchi wengine walianza kulia na kusema kuwa walilala uwanjani kumsubiri Lowassa na viongozi wa Ukawa, lakini wanasikitika kusukumwa na kukanyagwa.
By Mpekuzi blog

Msamaha Umetolewa Kwa Shindano la Miss Tanzania, Maelezo Kuhusu Msamaha Huo Nimekuwekea Hapa

Posted: 17 Aug 2015 06:58 AM PDT

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka miwili baada ya kujiridhisha kwamba limekiuka taratibu lakini leo August 17 2015 Miss Tanzania imeingia tena kwenye headlines baada ya Basata kutoa msamaha.

Hii hapa chini ndio taarifa iliyotolewa na BASATA.

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya mwandaaji wake Kampuni ya LINO International Agency Limited kufuata taratibu, kuomba radhi na kuyafanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza na kutekeleza masharti aliyopewa.

Itakumbukwa kuwa mnano tarehe 22/12/2014 BASATA liliwaandikia barua LINO International Agency Limited ya kulisimamisha shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili (Mwaka 2015 na 2016) na kuwaagiza kujipanga upya na kurekebisha kasoro ambazo zimekuwa zikijitokeza mara kwa mara.

Mapungufu yaliyobainishwa ni pamoja na; mosi, kutokufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za uendeshaji matukio ya Sanaa nchini, pili kutokuwasilisha nyaraka mbalimbali za shindano lake hususan mikataba ya washiriki. Tatu kutumia mawakala wasiosajiliwa na kupewa vibali vya BASATA.

Miongoni mjwa mapungufu ambayo Kampuni ya LINO imeyafanyia kazi ni kuanza mchakato wa usajili wa mawakala – BASATA na kufanyia marekebisho kanuni na taratibu za uendeshaji wa Mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania. Aidha, LINO imewasilisha muundo wa kamati ya uendeshaji wa shindano yenye muelekeo wa kuzingatia jinsia.

Katika kuboresha na kurudisha hadhi ya shindano la Miss Tanzania, LINO International Agency Limited imepewa kibali cha muda kisichozidi miezi minne (4) kwa ajili ya maandalizi ya awali ikiwemo kukamilisha usajili wa mawakala katika ngazi zote husika.

BASATA linapenda kuwafahamisha wadau wote wa Sanaa hususan wale wa shindano la urembo la Miss Tanzania kwamba Kampuni ya LINO imetekeleza maagizo ya msingi iliyopewa kama masharti ya kufunguliwa. Na kwamba baada ya kufanyia kazi changamoto zilizokuwa zimejitokeza BASATA limeyafungulia mashindano ya Miss Tanzania kwa masharti ya kukamilisha changamoto zilizobakia.

Ni matarajio ya BASATA kwamba kampuni ya LINO itazingatia taratibu zote za uendeshaji wa matukio ya Sanaa nchini na kwamba haitarudia tena makosa yatakayopelekea kuliweka shindano hili katika hali ya kushuka hadhi na kuzua sintofahamu katika jamii.

Sanaa ni kazi, tuipende na kuithamini

Godfrey Mngereza

KATIBU MTENDAJI

NEC Yawatoa Hofu Watanzania......Yasema Hakuna Wizi wala Uchakachuaji wa Kura Mwaka huu

Posted: 17 Aug 2015 06:53 AM PDT

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imesema kuwa imeunda timu ya ushindi ya kuhakikisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu yanatangazwa kwa wakati, ya kweli na haki kwa pande zote.

Akizungumza na gazeti  la Nipashe jana lililotaka kujua mipango ya Tume ili kuondoa malalamiko ya wananchi, vyama vya siasa, wagombea na wadau kuhusu kucheleweshwa matokeo na kuzua hofu ya uchakachuaji, Mkurugenzi wa Nec, Ramadhani Kailima, alisema timu hiyo itakuwa na wajibu mkubwa na hakuna kulala hadi matokeo yote yawe wazi.

“Tutakuwa na timu ya ushindi kutangaza matokeo yote mapema, hakuna kulala hadi tutoe matokeo kwa wakati, ya haki na kweli na yanayoaminika kwa wapigakura,” alisema.

Alisema malalamiko ya kupendelewa kwa chama chochote hayana msingi wowote kwa kuwa Tume haina chama na haitapendelea chama zaidi ya kuweka wazi matokeo yote itakayoyapata kwa wakati kwa kuwa watakuwa wanafanya kazi kisasa zaidi.

Alipoulizwa juu ya uzoefu wa Tume miaka ya nyuma kuhusiana na kuchelewesha matokeo hata ya maeneo ya mijini kunakofikika kirahisi, Kailima alisema kama kutakuwa na ucheleweshaji sababu zitawekwa wazi na wapigakura watatangaziwa bila kificho.

“Ya 2010, yasizungumziwe sasa kwa kuwa tunafanya kazi kisasa kuhakikisha matokeo yanakuwa wazi na kila hatua wananchi watatangaziwa,” alisema na kuongeza:

“Tunawaomba wananchi mara baada ya kupiga kura wakae mbali na ikiwezekana waende nyumbani kwa kuwa kila kituo cha kupigia kura kutakuwa na mawakala kama kuna tatizo lolote la kufanya matokeo yasitangazwe kwa wakati, watajulishwa mapema.”

Kailima alisema Nec iko huru na inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni na haiingiliwi kokote kwani katika kugawa majimbo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinadaiwa kubebwa na Tume, kimelalamika na kama wangekuwa wanapendelewa, ni wazi kuwa malalamiko yao yangesikilizwa, lakini Tume imeamua kufanya kazi zake kwa uhuru.

“Uhuru wetu siyo jina, bali ni kutekeleza majukumu ya kikatiba na sheria bila kuingiliwa, kiwe chama au mtu hawaruhusiwi kutangaza matokeo ya uchaguzi, bali msimamizi wa uchaguzi wa kata atatangaza ya kata, ubunge yatatangazwa na Mkurugenzi wa Manispaa, mji au halmashauri na Tume itatangaza matokeo ya urais,” alisema.

Alisema watumishi wote wa Tume kabla ya kufanya kazi huapishwa kujiondoa au kukana itikadi ya chama chake na kuanza kutekeleza majukumu yake ili kusiwe na upendeleo kutokana na itikadi.

Alipoulizwa kuhusu matukio kadhaa yaliyotokea katika uchanguzi mkuu wa mwaka 2010 ikiwamo wasimamizi wa baadhi ya majimbo mfano, Shinyanga mjini kutoroka baada ya kutangaza matokeo yenye utata yaliyompa ushindi mgombea wa CCM na kuzua vurugu, Kailima alisema:

“Tuko 2015, tumejipanga kikamilifu, ndiyo maana tuna timu ya ushindi kuhakikisha hakuna ucheleweshwaji wa matokeo. Itakuwa Tume tofauti na ya miaka mingine.”

Nchimbi Avunja Ukimya CCM........Sadifa Ampa Makavu Lowassa

Posted: 17 Aug 2015 06:49 AM PDT

Mmoja wa makada wa CCM aliyekuwa rafiki  wa  karibu na Edward Lowassa  wakati  wa  mchakato  wa  urais  ndani  ya  CCM, Dk Emmanuel  Nchimbi, ameibuka na kudai kuwa, hana kinyongo na yaliyotokea Dodoma huku akionesha kuwashangaa wanaoendelea kunung’unika, akisema watu wa aina hiyo hawakuwa pamoja na chama.

Aidha, Nchimbi, mmoja wa makada vijana waliokulia katika mfumo wa kisiasa ndani ya CCM alikoshika nyadhifa mbalimbali zikiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Mkuu wa Wilaya, Mbunge na Waziri, amesema sasa si wakati wa kuendelea kuwa na makundi, bali kujenga umoja kwa lengo la kukipa chama ushindi.

Aliyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa mkutano wa Baraza Kuu la UVCCM jijini Dar es Salaam.

Nchimbi ambaye tangu baada ya uteuzi wa mgombea wa urais wa CCM amekuwa kimya, ikiwa pamoja na kutojitokeza kuwania ubunge katika jimbo lake la Songea Mjini na hata kuhusishwa na mpango wa kukihama chama, amesisitiza hana kinyongo, bali anaunganisha nguvu zake na WanaCCM wengine kuhakikisha ushindi wa Dk John Magufuli, Waziri wa Ujenzi aliyepewa jukumu la kupeperusha bendera ya CCM katika urais.

Alisema ndani ya UVCCM, umoja huo umekubaliana kumaliza makundi na kwamba hivi sasa wapo kitu kimoja kwa ajili ya ushindi wa CCM.

Sadifa  Amvaa  Lowassa
Kwa upande wa Mwenyekiti wa Taifa wa UVCCM, Sadifa Juma Hamisi, ameendelea kutetea uamuzi wa CCM wa kutompitisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, akidai alipoteza sifa ya kuwa Rais tangu enzi za Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Akifungua Baraza Kuu la UVCCM, Dar es Salaam juzi, Sadifa alisema makada wanaohama chama na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walipoteza sifa za uongozi tangu enzi za Mwalimu Nyerere.

Sadifa alisema Lowassa ambaye ni mgombea urais wa Chadema, alipoteza sifa ya kuwa rais tangu enzi za Mwalimu Nyerere na kwamba dhamira yake hiyo haitafanikiwa milele.

Aliongeza kuwa, umoja huo haushtushwi na wimbi la wanasiasa maslahi wanaohama chama. Sadifa alisema vijana wa CCM wamejipanga kuueleza umma udhaifu wa wanasiasa hao.

“Hatutatishwa na watu wanaotumia fedha zao kusaka madaraka. Tumeamua kuvunja makundi yetu na tutaeleza uchafu wote…,” alisema Sadifa ambaye inaaminika alikuwa akimuunga mkono Lowassa kuwania urais ndani ya CCM.

Alisema umoja huo utashirikiana na chama, kuhakikisha Mgombea Urais wa CCM, Dk John Magufuli anapata ushindi mkubwa.

Alisema mwaka huu, umoja huo utawadhihirishia wote wanaodhani chama ni uso wa mtu wakisahau kuwa ni taasisi kwa kukipa ushindi wa kishindo kwenye nafasi zote za uongozi.

Alisema CCM imepata mgombea makini na kwamba hana dosari wala hakuna sababu ya kutafuta sabuni ya kumsafisha.

Sadifa alisema Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM aliendesha vikao vya Chama kwa umahiri mkubwa.

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete Atoa Tamko Baada ya Mafuriko ya Lowassa Kumfunika Vibaya Mgombea wa CC Magufuli

Posted: 17 Aug 2015 06:41 AM PDT

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete amesema uamuzi wa nani agombee urais kupitia chama hicho ulifanyika kwa pamoja kwa kufuata taratibu, hivyo anayetoka katika chama hicho kwa sasa ni hiari yake na mapenzi yake.

Aliyasema hayo jana wakati wa mazungumzo na wajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Dar es Salaam na kuongeza kuwa uamuzi huo ulifanyika kwa mujibu wa Katiba ya CCM na ulipigiwa kura ndani ya Halmashauri Kuu ya Taifa baada ya mjadala mrefu na uamuzi ulichukuliwa kwa pamoja. 6
Read more at http://websta.me/n/cloudsfmtz#6Q3vB75cS6Midxpu.99

LOWASSA:Mkiendelea na Mchezo wa Kupiga Watu Mabomu Tukimaliza Uchaguzi Tutawapeleka The Hague Mkakipate cha Moto na Huko Hamtarudi

Posted: 17 Aug 2015 06:46 AM PDT


Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema anawatakia kila la heri wanaobeza nguvu ya umma.

Kutokana na umati wa watu waliojitokeza jana kumlaki kuanzia Uwanja wa Ndege wa Mwanza alikowasili saa saba mchana, iliuchukua zaidi ya saa mbili msafara wake kuingia Viwanja vya Furahisha saa tisa alasiri, ambako ni takriban kilomita nane.

Katika hotuba yake iliyochukua dakika 14 kuanzia saa 11.53 hadi 12.07 jioni, Lowassa alisema anawasikitikia wanaobeza nguvu hiyo ya umma.

“Haya siyo mapenzi, haya ni mahaba. Wanaobeza nguvu hii ya umma nawatakia kila la heri,” alisema Lowassa huku akishangiliwa na umati huo.

Akizungumzia idadi hiyo ya wananchi, mke wa mgombea huyo, Regina Lowassa alisema haijawahi kutokea maeneo yote waliyotembelea Dar es Salaam, Mbeya na Arusha.

“Mwanza nimewapenda, nafikiri baba (Lowassa) akitoka hapa atalala usingizi mzuri mzito,” alisema Regina.

Lowassa aliwataka polisi kutoingilia mchakato wa uchaguzi na kutumiwa na CCM kupambana na wapinzani na kwamba, wakiendelea watakuwa wanajitafutia tiketi ya kupelekwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), mjini The Hegue.

“Nimesikitishwa sana kuwa watu wamepigwa mabomu asubuhi. Mkiendelea na mchezo huu tukimaliza uchaguzi tutawapeleka The Hague mkakipate cha mtoto na huko hamtarudi tena,” alisema.

Polisi mkoani hapa jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi, kuwatawanya wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa ambao walifurika Uwanja vya Ndege wa Mwanza kumpokea Lowassa.

Lowassa aliwasili akiwa ameambatana na mgombea mwenza, Juma Duni Haji, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia, Kaimu Mwenyekiti wa CUF, Twaha Taslima na Mwenyekiti wa NLD, Dk Emmanuel Makaidi.

Mabomu ya machozi yalianza kurindima saa tano asubuhi, baada ya baadhi ya wafuasi wa Ukawa kutaka kuingia kwenye lango la uwanja wa ndege, huku wengine wakijaribu kuwatunishia misuli polisi kwa kuwatupia mawe.

Hekaheka za mapokezi ya Lowassa zilianza saa mbili asubuhi, baada ya maelfu ya wafuasi wa Ukawa wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali ikiwamo: “Oil chafu ni kiboko ya mchwa” kutanda kwenye barabara inayoelekea uwanja wa ndege.



Msafara wa Lowassa kutoka uwanja vya ndege uliongozwa na pikipiki ambazo zilikuwa zinapeperusha bendera za vyama vya CUF, Chadema ,NCCR Mageuzi na NLD, huku viongozi hao wakiwa kwenye magari ya wazi.

Lowassa alisema ziara yake hiyo inahusu kujitambulisha na asingependa kuwapa nafasi wapinzani wake kumtafsiri kuwa hajui sheria, lakini kero za Mwanza anazifahamu hivyo akaahidi kurejea na mikakati ya kuzitatua.

NAPE-Lowassa Amepewa Hiyo Nafasi ya Kugombea Urais Baada ya Kuinunua Kwa Viongozi wa Ukawa

Posted: 17 Aug 2015 06:28 AM PDT

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye amesema Lowassa hapendwi na wafuasi wa vyama vya upinzani, isipokuwa alipewa nafasi hiyo baada ya kuinunua kwa viongozi wa Ukawa, ambao wana tamaa ya fedha.
"Kila mtu anajua kuwa huyu bwana ameinunua hii nafasi kwa viongozi wa Ukawa, ndiyo maana watu wenye akili zao, wameamua kujiweka pembeni wamewaachia wenyewe na mzigo wao usiobebeka, inashangaza kuwa sisi tunawafukuza mafisadi wao wanawapokea, sasa wakipewa nchi si itakuwa hatari zaidi. Hivi umeshawasikia tangu ajiunge nao wanazungumza kuhusu ufisadi? Wanaona aibu kwa sababu katika nchi hii, ukitaja fisadi na mafisadi huwezi kumweka kando. Unafikiri Watanzania ni wajinga kiasi kwamba hawaoni huu usanii??” alihoji Nape.

Source GPL

Nini maoni yako?

Mpenzi Wangu Alikuwa Anafanya Sana Musterbation, Sasa Jogoo Hapandi, Nimsaidiaje?

Posted: 16 Aug 2015 11:26 PM PDT

Nilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24) ni kijana mtanashati mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha

Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la erectile dysfunction(jogoo hawiki) yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak nikamuuliza nini tatizo hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically. Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani so i understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just bcz of the pressure ya kupona haraka

Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.

Na pia tatizo jingine ni kuwa ame loose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake kwahiyo muda wote he questions my true feelings jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.

Sasa wadau swali langu ni je hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida??na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??

(This is serious question) thanks in advance

Penny Agoma Kuulizwa Kuhusu Mtoto wa Diamond Platnumz na Zari ..Kisa Hichi Hapa

Posted: 16 Aug 2015 11:16 PM PDT

Yamekuwa hayo? Aliyewahi kuwa mwandani wa staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Penniel Mwingilwa `DVJ Penny’ amegoma kuulizwa chochote kuhusu kitendo cha zilipendwa wake huyo kupata mtoto wakati yeye alidaiwa kukataa kumzalia.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Penny alifunguka kwamba, haoni kama kuna sababu ya kumzungumzia Diamond na mtoto wake (Tiffah) kwani walishaachana zaidi ya miaka miwili sasa.

Jamani, huyo mtu kwa sasa hanihusu na sioni kama kuna sababu ya kumuongelea mtoto wake, anayepaswa kuulizwa mambo ya Diamond ni Zari, kwa hilo mnisamehe (no comments), nikiulizwa niulizwe mambo yangu tu,” alisema Penny.
GPL

Mtoto Tiffah wa Diamond Platnumz Apewa Zawadi ya Benz la Mil. 200

Posted: 16 Aug 2015 11:14 PM PDT

Musa mateja
Kazi ipo mwaka huu! Ndugu wa mzazi mwenzake na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wamempa zawadi mtoto wa mastaa hao, Latiffah Nasibu ‘Princess Tiffah’ ndinga aina ya Mercedes Benz MSL Benz lenye thamani ya dola 100,000 (zaidi Sh. milioni 200).

Habari za uhakika kutoka ndani ya familia ya Diamond zilieleza kwamba, ishu hiyo ilijiri juzikati mara tu baada ya Zari ambapo baadhi ya ndugu wa mwanamama huyo walichanga na kumletea Tiffah gari hilo ili Zari alitumie katika mishemishe zake anapotoka na mwanaye Tiffah ikiwa ni pamoja na kumpeleka kliniki.

Kikisherehesha kwa kina stori hiyo, chanzo hicho kiliweka bayana kuwa ndugu wa Tiffah wameamua kumletea gari hilo ikiwa ni moja ya zawadi ambazo waliahidi kipindi akiwa majamzito, lakini pia wameamua kufanya hivyo kwa kuwa hawataki mtu achangie gari na Tiffah.
“Ni kweli ndugu wa Zari wameamua kumnunulia Tiffah gari aina ya Benz na tayari limewasili Bongo na Ijumaa iliyopita lilitumika kumpeleka Tiffah kliniki,” kilisema Chanzo hicho cha ndani.
GPL

Nanyimwa Haki Yangu ya Tendo la Ndoa Kisa Mimi ni Mwana UKAWA

Posted: 16 Aug 2015 11:10 PM PDT

Imepita takribani week tatu tokea mheshimiwa waziri mstaafu ENL ajiunge na UKAWA na kusema ukweli mimi ni mmoja wa watu niliyekuwa natamani na naendelea kutamani mheshimiwa Mamvi ashike hatamu ya urais wa nchi hii tokea akiwa CCM.

Sasa alivyohama CCM na mimi nilihama nae na kuwa Mwana Umoja Wa Katiba ya Wananchi. Tokea hapo shemeji na wifi yenu ameninunia kwa kuwa yeye ni mwana ccm na ni mgombea wa viti maalum mkoa fulani. Sipewi unyumba na ndani hatuongeleshani. Ila majukumu mengine anayatekeleza kama kawaida. Nimejaribu kukaa nae kuongea nae kwa kituo lakini hataki kabisa kuweka maelewano baina yetu.

Na mimi kama mwanaume nahitaji huduma ya mke wangu mpenzi. Hivyo basi wanabodi naombeni ushauri wenu nifanyeje na mimi siwezi kuitema UKAWA.

Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?

Posted: 16 Aug 2015 11:03 PM PDT

" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4....

Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti"....

FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz 

Waziri wa CCM arusha Ngumi wakati wa Kutangaza Mshindi wa Kura za Maoni-VIDEO

Posted: 16 Aug 2015 10:46 PM PDT

Ona Waziri wa CCM wa Mifugo Dr. Kamani baada ya kukatwa kwenye kura za Maoni hahahahah jamani hizi kura ni nomazzzz U know....I mean mtumzima Waziri halafu PhD ona alivyofanywa na kura AMEKATWA hahaha me I love it CHEZEYA WANANCHI hahahah U know this is Funny bana! YAANI MI NGACHOKA KABISA NA HIZI gademu mazafantazz KURA

Angalia Video Hapa Chini:

Ridhiwani Kikwete Kaiweka hii Video ya Lowassa na Kuandika Haya Maneno.

Posted: 16 Aug 2015 10:38 PM PDT

Hii ni post ya Ridhiwani Kikwete kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, aliiweka hii video ya Edward Lowassa na kuandika ‘Raha ya mja kunena, kwa muungwana ni vitendo ushahidi tosha kuwa mgombea wa CCM anakubalika na ni bora kwa kazi’

Kwenye page yake ya Instagram aliweka video hiihii akaandika ‘Ni thawabu pia kutoa sifa na ni dhambi kutokubali mema yanapofanyika, hongera sana mgombea kwa kuyaona mazuri yatendekayo na mtendaji wa hayo, ‪#‎Magufuli2015 #‎MzikiwaMagufuliUtauweza?

Lowassa 1Hii ni post ya Ridhiwani Kikwete kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, aliiweka hii video ya Edward Lowassa na kuandika ‘Raha ya mja kunena, kwa muungwana ni vitendo ushahidi tosha kuwa mgombea wa CCM anakubalika na ni bora kwa kazi’

Raha ya Mja kunena, Kwa Muungwana ni vitendo.ushahidi tosha kuwa Mgombea wa CCM anakubalika na Ni Mbora kwa Kazi pic.twitter.com/Zrr6lrZD45
— Ridhiwani Kikwete (@ridhiwankikwete) August 13, 2015
Kwenye page yake ya Instagram aliweka video hiihii akaandika ‘Ni thawabu pia kutoa sifa na ni dhambi kutokubali mema yanapofanyika, hongera sana mgombea kwa kuyaona mazuri yatendekayo na mtendaji wa hayo, ‪#‎Magufuli2015 #‎MzikiwaMagufuliUtauweza?


Kwenye hii video Lowassa anasema >>> ‘Namsifu sana Dr. Magufuli kwa kazi nzuri aliyofanya, kazi nzuri sana ya barabara, nzuri sana‘

LOWASSA Alitofautiana na Misimamo ya CCM Hata Kabla Hajaenguliwa Kugombea Uraisi Kwanini?

Posted: 16 Aug 2015 10:29 PM PDT

Mgogoro au tofauti kati ya Lowassa na chama cha awali ulionekana mapema hata kabla ya kufanyiwa mizengwe katika uchaguzi wa mgombea uraisi wa chama hicho kutokana na misimamo yake.

1. Alikubali kuwajibika kisiasa jambo ambalo ni nadra kwa kiongonzi wa CCM

2. Alitamka hadharani kutofautiana na kipaumbele cha "kilimo kwanza" yeye alitaka "elimu kwanza" .

3. Alidai ajira ya vijana ni "bomu linalosubiri kulipuka" muda wowote, wakubwa wake wakamnunia wakidai mambo yako shwari.

 4. Anachukizwa na umasikini watanzania wenzake walidai hali ya uchumi ni nzuri labda kwa wenye kuvaa miwani ya mbao.

5. Anaamini katika mabadiliko sasa (Time 4 Change now) wenziwe BRN . Toa maoni yako na kama yapo niliyoyasahau ongeza tafadhali.

Bongo Star Search ni Janga la kitaifa...Mchakato Umejaa Dharau, Kejeli na Kukatishana Tamaa

Posted: 16 Aug 2015 10:15 PM PDT

Kwa mtu yeyote intellectual ambaye huwa anatazama Bongo Star Search atakubaliana nami kuwa mchakato huo wa kusaka mwanamuziki bora mwenye kipaji umejaa dharau,kejeli na kukatisha tamaa,hawa Master Jay na Salama Jabir ni majaji feki kabisa wanaowakatisha tamaa vijana wenye vipaji,namsifu sana Madam Rita, dada huyu hajawahi kumkatisha tamaa mshiriki yoyote,hata anapoonekana kushindwa yeye humtia moyo ama kukaa kimya,lakini salama na master jay huwatolea maneno ya kejeli,vijana wangu wa Tanzania wenye vipaji mbalimbali msikatishwe tamaa na hizi taasisi za kihuni zinazojifanya zina uwezo wa kubaini vipaji vyenu,leo hii Diamond, Lady Jay Dee, Prof Jay, Dully sykes na wengineo wangeenda kutafuta vipaji vyao Bongo Star Search wangerudi wakiwa wamekata tamaa kwa kukutana na kina Master jay na Salama, simameni wenyewe achaneni na hawa wahuni, mtapoteza vipaji vyenu bure, historia inaonyesha kuwa, hakuna mtu aliyefanikiwa maishani kwa kuwekwa katika mizani ya ushindani bali alifanikiwa kwa kujituma mwenyewe akiamini atafanikiwa

By  Dilemma.

Good News..Mabasi ya Mwendo Kasi Dar es Salaam Kuanza Kazi Leo...Hizi Hapa Njia na Vituo yatakapo Pita....

Posted: 16 Aug 2015 10:02 PM PDT

Ninayo Good News imenifikia mtu wangu ambayo Watanzania wengi na wakazi wa Dar es salaam tulikua tukiisubiri kwa muda mrefu ni kuhusu kukamilika kwa mradi wa Mabasi yaendayo haraka ambayo zaidi ya mwaka na nusu yaliingia kwenye headlines za kuwa yatatoa huduma hizo.

Habari ikufikie kuwa Mabasi hayo rasmi yanaanza kazi leo Jumatatu kuanzia  saa 3 asubuhi nje ya kituo cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo ambako kutafanyika uzinduzi wa kuanza huduma ya mpito kisha Wananchi wataruhusiwa kupanda mabasi hayo kutoka Ubungo kwenda Kimara na kutoka Kimara hadi Kivukoni Bure.

Kwa bara la Afrika,jiji la Dar es salaam litakua la pili kutekeleza mradi huu mtu wangu baada ya Afrika Kusini na litakua jiji la kwanza kwa nchi za Afrika Mashariki,Kaskazini na Kati.

DeusiDedith Mutasingwa ambaye ni Afisa wa masuala ya fidia katika mradi wa mabasi haya yaendayo haraka yaliyo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na serikali za mitaa,amesema yapo mabasi ya aina mbili kuna yale ya mita 18 ambayo yana uwezo wa kubeba abiria 140 na yapo yenye uwezo wa kubeba watu 80.

Amesema mabasi hayo pia yamezingatia watu wenye mahitaji maalum kama Walemavu na Wajawazito,pia Wafanyabiashara wanaopanga vitu vyao pembeni ya Barabara na kwenye vituo wameombwa kuviondoa na kwa wale watakaonekana kukaidi amri hiyo faini yake si chini 250,000.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages