Udaku Specially

347 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Nov 13, 2013, 4:16:49 PM11/13/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


DIAMOND"NDANI YA STUDIO YA DAVIDO TUKIMALIZIA AUDIO YA NUMBER 1 REMIX"

Posted: 13 Nov 2013 05:28 AM PST

 Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua
ninayopiga katika safari yangu ya Music,na sitokutendea 
haki nisiporudisha shukrani za dhati 

kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae 
endele kunipa sapoti inayonifanya nizdi kukaza 
kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa ni ziara
 yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile
 unachkisubilia kwa hamu,my number one remix na
 mwanangu Davido,hii ilikuwa ni jana usiku
 tukiwa studio,hii ni studio ya Davido iliyopo nyumbani
kwake na kkubwa tulichokuwa tunakifanya ni kumalizia kabisa 
audio kabla ya kuingia mzigoni kushoot kideo.......
Davido nyuma ya screen akifanya mambo yake kwa umakini kabisa.....!!!


 Team yote hii ni kuhakikisha kila kitu 
kinaenda sawa kabisa..Babu tale kwa mbali mwenyewe kamechishaa.....!!!

When Skelewu meet Ngololo..stay tuned..we coming baby..WCB for life huny

ALIYEMUUWA DR SENGONDO MVUNGI AKAMATWA DAR

Posted: 13 Nov 2013 05:26 AM PST

Kamanda wa Kanda Maalum Dsm, Kamishina wa Jeshi la Polisi (ACP) Suleiman Kova.
.Mtuhumiwa huyo ni  wa kumi kukamatwa kuhusiana na tukio hilo
Siku moja baada ya nguli ya sheria za katiba nchini, Dakta Sengodo Mvungi kuaga dunia nchini Afrika Kusini, Jeshi la Polis Kanda Maalum Ds, linamshikilia mtuhumiwa mmoja John Ikondia Mayunga (56) kwa kosa la kushiriki kikamilifu kwenye mauaji ya mwanasheria huyo na mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
 Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Kanda Maalum Dsm, Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP) Suleiman Kova amesema mtuhumiwa huyo ni mkazi wa kiwalani walipata taarifa kwa raia wema kwamba alishiriki kikamilifu kwenye tukio hilo lilosababisha kifo cha Dakta Sengodo Elibariki Mvungi.

“mnamo tarehe 12/11/2013 Polisi walipata taarifa kutoka kwa raia mwema kwamba kuna mtu ambaye amehusika na tukio la mauaji ya Dakta Mvungi na kwamba kipindi hicho mnamo saa 12 jioni mtuhumiwa alikuwa maeneo ya mtaa wa Twiga Jangwani akiwa anaangalia Televisheni,” amesema Kamishina Kova.
1454628_650916231627891_1324435004_n
Marehemu Dakta. Sengodo Mvungi.
Kova amesema kwamba mtuhumiwa alitambuliwa na kukamatwa kisha kuhojiwa na Polisi na alikubali kwamba alihusika na akwaongoza Askari hadi nyumbani kwake Kiwalani Migombani.
Alifafanua kwamba taratibu za upekuzi zilifanyika na katika upekuzi vilipatikana silaha ambayo ni Bastola aina ya REVOLVER N0. BDN 6111 pamoja na risasi ishirini na moja.
Kova amesema kuwa mtuhumiwa alikiri kwamba katika vitu vitu vilivyoibwa nyumbani kwa Dakta Mvungi ni pamoja na bastola hiyo aidha siku ya tukio hilo walitumia milipuko kutishia ili kufanikisha uporaji huo.
Kamanda Kova alisisitiza kwamba mtuhumiwa huyo ni wa kumi kukamatwa kuhusiana na tukio hilo na bado operesheni kali inaendelea ili kuhakikisha kuwa yeyote aliyehusika na tukio hilo anakamatwa kwa nguvu za dola.

BARUA YA POLISI WA UINGEREZA KWA TANZANIA KUMTAFUTA GODBLESS LEMA

Posted: 13 Nov 2013 04:22 AM PST

Hii ni barua ya polisi wa uingereza waliyoandikia polisi ya tanzania wakimtafuta lema akamatwe kwa kosa la ubakaji.



maelezo ya ziada ambayo uingereza walihitaji kutoka polisi ya Tanzania, ni haya hapa chini.

Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika


Taarifa za kweli kuhusu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kumbaka mwanadada Flora Lyimo tarehe 8.8.2012 nchini Uingereza wakati wa ufunguzi wa tawi la chadema nchini humo umezidi kubainika.

Tarehe 2 -3, january 2013 akiwa tanzania, Flora aliwasilisha barua ya polisi wa uingereza kwa polisi kituo cha Moshi mkoani kilimanjaro na kufunguliwa jalada no.MOS/RB/17127/12.

Aidha tarehe 13/12/2012 Afisa upelelezi DC William Hughes wa kitengo cha uhalifu jeshi la polisi la uingereza kituo cha 4-6 shepherdess walk N17LF alifika ubalozi wa Tanzania nchini uingereza ili kujua pamoja na mambo mengine, 
-Taarifa sahihi za GODBLESS LEMA 
-Anuani yake 
-Barua pepe 

Ushauri kutoka mamlaka za Tanzania juu ya mikakati mizuri ya kushughulikia kesi hiyo ambayo inamuhusisha kiongozi wa chama kikubwa cha siasa na 
-Wasifu wake. 

Mbali na tukio hilo kuripotiwa ubalozini, vyanzo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Gazeti la changamoto la tanzania toleo namba 348 la tarehe 18- 24 desemba 2012 lilichapisha taarifa ya tukio hilo kwenye ukurasa wake wa mbele.kwa kichwa cha habari "POLISI UINGEREZA WAMSAKA LEMA", Pia blog ya global publishers ya nchini tanzania katika report zake za tarehe 14 mei 2013 iliandika habari hiyo kwa kichwa cha habari "MREMBO;MBUNGE AMENIBAKA" Ambapo mrembo huyo (flora) alieleza alivyochaniwa na kufanyiwa kitendo hicho. alieleza kuwa lema alikuwa amemsindikiza mpaka nyumbani na walipofika LEMA aliomba aonyeshwe sehemu ya kujisaidia haja ndogo ndipo alipomvamia Flora na kumchania nguo na kutekeleza azma yake hiyo ovu.

Flora amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za kijamii lakini ana wasiwasi kuwa anaweza kufanyiwa unyama na LEMA wakati akiwa Tanzania kwa sababu anasema anamfahamu lema pia kuwa ana asili ya ujambazi.

kiambatisho ni barua ya polisi wa kimataifa interpol kumweleza kuwa uchunguzi wa kesi yake unaendelea.

Chanzo:Jamii Forums

G-NAKO ATOA SABABU ZA NGOMA ZA HIP-HOP KUTOKA KU-HIT HARAKA

Posted: 13 Nov 2013 03:25 AM PST

Msanii wa Hip Hop kutoka katika kampuni ya Weusi G.Nako, amesema nyimbo nyingi za Hip Hop zinashindwa kuhit mapema kutokana na mashairi yake kuhitaji watu wafikiri zaidi ili waelewe pamoja na lugha ya picha ambazo hutumika.

Akizungumza na Bongo5 leo G.Nako alisema kuwa nyimbo nyingi za wasanii wa Hip Hop zinachukuwa zaidi ya mwezi mmoja hadi miwili,ili kufanya vizuri katika radio na vyombo vingine vya habari kutokana mapokeo na utunzi wake ambao watu wanahitaji kufuatilia na kuisikiliza kwa makini.

“Nyimbo nyingi za Hip Hip zinachukuwa muda mrefu sana kufanya poa kutokana nyimbo nyingi za Hip Hop zinaeleza ukweli na maisha halisi, kwahiyo inahitaji mtu atumie muda mwingi kufakari tungo. Nyimbo hizi zinaendaga kiundani zaidi ,unahitaji usikilize sana ufuatilie ili uewelewe nini anakizungumzia msanii,” amesema rapper huyo.

“Nyimbo zangu nyingi au za Weusi zinachukuwa muda mrefu watu mpaka kizielewa lakini nyingi zimekuwa zikifanya poa kutoka na mashairi ambayo yanazifanya nyimbo zetu zidumu muda mrefu.”

-Bongo5.com

MASOUD MASOUD "DIAMOND HAWEZI KUMFIKIA ALI KIBA KATIKA UIMBAJI HATA KIDOGO"

Posted: 13 Nov 2013 03:05 AM PST

Wiki iliyopita katika kipindi cha Mkasi ambacho hurushwa kupitia EATV na kuendeshwa na mtangazaji Salama Jabir, mgeni alikuwa Masoud Masoud, mtangazaji mahiri wa muda mrefu ambaye ni miongoni mwa watangazaji wa Radio wanaoheshimika sana Tanzania kutokana na upeo mkubwa alionao na kufahamu mambo mengi.

Moja ya swali aliloulizwa ni “Labda kuna tamasha wewe ndio muandaaji au wamekwambia uchague mwanamuziki ambaye ataenda kuburudisha kwenye hilo tamasha Tanzania utamchagua mwanamuziki gani?”

Masoud ambaye anasifa ya kuongea kwa uwazi bila kupindisha maneno alimtaja Alikiba kuwa ndiye msanii pekee wa bongo fleva anayemkubali kuliko mwingine yeyote.

“Mimi wa kwanza nitakayempendekeza aaah nani huyu, nampenda sana katika wasanii wote wa bongo fleva, Alikiba, Alikiba nampenda sana. Alikiba kama umemsikiliza, Rhyme zake zile katikati ya zile bars anavyoimba ni mwanamuziki kama angekuwa nje ya nchi asingekamatika. Angepata producer mzuri wa kumfahamisha nini cha kuimba beat gani atumie, Alikiba yuko juu sana.” Alijibu Masoud

Aliendelea na kuongeza kuwa Diamond anaweza kuwa anafanya vizuri sokoni lakini hawezi kumfikia hata kidogo Kiba katika uimbaji.

“Nyota imeng’aa kwa Diamond Platnumz lakini Diamond Platnumz siwezi kumlinganisha hata kidogo na Alikiba, kwenye kuuza huwezi kumlaumu anaweza kuwa Diamond akauza sana au akampandisha na si Tanzania tu, hata Hollywood wanafanya hivyo hata CBS wanafanya hivyo, hata US music industry wanfanya hivyo. Sasa mpaka wakiwepo watu wataalam wanaoweza kusema huyu anaimba sawa huyu haimbi sawa lakini kwenye mauzo hakuna mtu anajali hilo.”

Masoud kwa sasa ni mtangazaji wa TBC Taifa.

Mtazame hapa kupitia Mkasi (sogeza hadi dakika 17:45 alipozungumzia kuhusu Alikiba na Diamond)

Imeandikwa na Bongo5.com


MKE WANGU AME-LOCK SIMU YAKE KWA PASSWORD..NAHISI KUIBIWA

Posted: 13 Nov 2013 12:05 AM PST

''Nampenda sana mke wangu, ni miezi sita tu toka tufunge ndoa!!!

sitaki kumuudhi wala kumkera kwa lolote, namtimizia kila kitu ili mradi tu asipate vishawishi vya kutoka nje ya ndoa!

toka tuanze mahusiano yetu ya kindoa, mke wangu alikuwa msikivu sana kwangu, kila ninalo mwambia amekuwa 

akinisikiliza! ilifikia kipindi ikawa ni utamaduni wetu kuwa tuna share mpaka simu zetu! yeye akiwa anatumia yangu mi 

natumia yake! wiki chache hivi zilizopita, nimeshangazwa sana na hiki kitendo nilichokuta kwenye simu ya mke wangu, simu yake imefungwa kwa namba maalum anazozijua yeye mwenyewe!! nilipojaribu kuhoji juu ya hilo, akanijibu kwa ukali, ''kwani wewe unataka nini, simu si yangu, na wewe una yako.. funga na wewe yako''!

niliamua kukaa kimya ili nisizue mengine! mke wangu amekuwa ni mtu wa kupokea simu za ajabu ajabu na kutumiwa meseji kila mara, kila ninapohoji, yeye anasema kwa ukali kwamba wivu, namwaibisha kwa mashoga zake... eti tuko mjini hapa!!!

mwenzenu nimechanganyikiwa!!! nahisi kunyang'anywa tunda langu''......

LAANA:WAZIRI ABAKA, ATISHIA KUUA MWANAFUNZI DAR ILI UCHAFU WAKE USIFICHUKE!!!! SOMA ZAIDI

Posted: 12 Nov 2013 11:29 PM PST

MMOJA wa mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tatu na mbunge anayetoka Mkoa wa Tabora, anatuhumiwa kumbaka na kisha kutishia kumuua msichana yatima mwenye umri wa miaka 16 (jina limehifadhiwa) anayesoma Shule ya Sekondari Turiani iliyoko Magomeni jijini Dar es Salaam.

Waziri huyo (jina lake linahifadhiwa kwa sasa), ametoa tishio hilo la mauaji kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba iliyosajiliwa kwa jina lake kwa kile alichodai kukaidi amri ya kutaka wasifichue uchafu wake kwa waandishi wa habari.

Akizungumza kwa uchungu na mwanafunzi huyo alisema kuwa waziri huyo  alimbaka kwenye hoteli moja ya kitalii iliyoko jijini Dar es Salaam mwaka 2011, na kurudia tena kitendo hicho katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012.

Mwanafunzi huyo alisema alifikwa na ukatili huo alipoitwa na kiongozi huyo kwenda kuchukua fedha za ada na matumizi mengine, ambapo mara ya kwanza alimpa sh 700,000 na mara ya pili sh 350,000.

Yatima huyo anayeishi na dada yake, alikutanishwa na waziri huyo wa zamani na baba wa mwanafunzi mwenzake, kutokana na msaada mkubwa aliompa akiwa mgonjwa, ili aweze kumsaidia fedha za ada  kama ishara ya shukurani.

Mwanafunzi huyo alisema baada ya kutambulishwa, aliitwa katika hoteli hiyo ambako baada ya kufika mapokezi wafanyakazi walimkataza kuingia chumbani kutokana na umri wake kuwa mdogo (mwaka 2011 alikuwa na miaka 14), lakini waziri huyo wa zamani aliamrisha aruhusiwe.

Akiwa chumbani, mwanafunzi huyo alilazimishwa kulala naye kisha kumpa sh 700,000, badala ya shilingi 67,000 alizohitaji kwa ajili ya ada.

Mwanafunzi huyo alisema baada ya muhula mmoja aliitwa tena na kiongozi huyo katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012, ambapo pia alimlazimisha kulala naye kwenye zulia la ofisi yake, kisha kumpa sh 350,000.

Mwanafunzi huyo alisimulia kwamba wakati anatoka kwa huzuni ofisini kwa mbunge huyo, mmoja wa wahudumu alimuuliza sababu ya huzuni yake na akalazimika kumweleza kisa hicho, ndipo  mhudumu alitokwa machozi huku akimwambia kwamba, atakufa kwa sababu “baba huyo ni muathirika wa ukimwi”.

Aliongeza kuwa baada ya kuambiwa vile alilia na kufanya fujo hapo mapokezi, hadi alipokamatwa na walinzi, kisha kupelekwa kituo cha polisi kufunguliwa mashitaka.
Hata hivyo, alisema polisi waliposimuliwa kisa chote, walilazimika kumwita waziri huyo wa zamani na alipofika alikiri na kuomba mambo yaishie hapo.

“Alikubali na akaahidi kunilipia ada na pesa za matumizi kiasi cha sh 300,000 kila mwezi, jambo ambalo amekuwa akilitekeleza kupitia simu yake ya mkononi (namba za simu tunazo),” alisema.

Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, Januari 24, mwaka huu walitishiwa maisha na kiongozi huyo, lakini mwezi uliofuata, mtu asiyefahamika alienda nyumbani kwao na kuacha gari (namba tunazo) aina ya Mercedes Benz yenye rangi ya bluu wakati akiwa shuleni, kisha kuacha ufunguo kwa jirani yao kwa maelekezo kuwa akifika apewe.

Wamesema baadaye kiongozi huyo aliwapigia simu kuwaarifu kuwa amempa zawadi ya gari kwa ajili ya matumizi, na wanaruhusiwa kuliuza ili wapate pesa za mahitaji yake siku zilizosalia, kwani baada ya uchaguzi mkuu 2015, atakuwa Waziri Mkuu, hivyo itakuwa ngumu yeye kumtumia huyo binti pesa kama alivyoelekezwa na Jeshi la Polisi kituo cha Oysterbay.

Hata hivyo, wasichana hao walishindwa kulitumia gari hilo hivyo kutoa taarifa polisi ili kesi ipelekwe mahakamani.

Wamedai kuwa polisi walikubali kulipeleka tatizo hilo kwa katibu wa Bunge, ambaye alimwita mwanafunzi huyo na nduguye Dodoma kukutana na Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge.

Hata hivyo, walipofika Dodoma hawakuweza kupata ufumbuzi kwa maelezo kuwa waziri huyo wa zamani hakuwepo hadi Bunge lilipoisha. Kwa muda wote, wasichana hao walisema waligharimiwa kila kitu na Ofisi ya Bunge.

Kabla ya kurudi Dar es Salaam, mabinti hao walisema waliitwa na kiongozi mmoja wa juu wa CCM aliyewalekeza kwenda kumwona Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula.

Kwa mujibu wa mawasiliano, kiongozi mwingine (jina tunalo)  alimpigia binti huyo simu majira ya asubuhi, akimtaka aende ofisi za CCM, lakini hakupata msaada wowote zaidi ya kuombwa asubiri hadi wakati wa kipindi cha Bunge ili apate msaada kwa kuwa ni suala binafsi.

Hata hivyo, wakati akiwa njiani kuelekea katika kituo kimoja cha runinga kwa ajili ya kutoa kilio chake, mwanafunzi huyo na dada yake walifuatiliwa na watu wasiowajua, jambo lililowalazimisha kuomba msaada wa wapita njia.

Hata alipofika katika ofisi za kituo hicho cha runinga, watu watatu akiwemo mwanamke mmoja walifika wakidai kuwa ndugu wa wasichana hao na kuwakataza waandishi wasikubali kusikiliza neno lolote, wakati sio kweli.

Aidha, walitumiwa ujumbe kutoka katika namba ya mmoja wa wafanyakazi wa makao makuu ya CCM, akiwasihi kufumba mdomo kwa kuwa anawapenda na hataki wadhurike.

Baada ya jitihada za kuwanyamazisha wasichana hao kushindikana, ndipo mwathirika alipoanza kupokea ujumbe wa kutishia maisha kupitia katika namba ya simu ya 078499…. 

Ikisema: “Waandishi hawatakusaidia kamwe, Bunge la Katiba likianza watu watakusahau kama uliuawa. Mtasahaulika kabisa, subirini mje mzikwe leo usiku kwenu, sitanii, hakuna wa kunifanya lolote, serikali ndio sisi, salini kabisa.”

Jitihada za kumpata waziri huyo wa zamani na mbunge wa CCM, ziligonga mwamba. Mara ya kwanza simu yake moja ilipokelewa na mtu aliyejitambulisha kama dereva wake, na akataka aambiwe sababu za kumuhitaji kiongozi huyo.

Hata aliposisitizwa kuwa anayehitajika ni mkubwa wake, alitoa namba nyingine ya kumpata, lakini ilikuwa ikikatwa mara zote ilipokuwa ikiita.

Mbali ya ujumbe huo wa vitisho, binti huyo alikuwa akitumiwa ujumbe mbalimbali na watu asiowafahamu, na wengine kumpigia simu wakimwambia wanajua amejificha wapi na kwamba hawezi kutoka.

Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alipoulizwa kuhusiana na tuhuma hizi nzito, alionyesha kushangaa na kuhoji; “na wewe umeanza kuandika mambo kama haya?”

“Hilo ni jimbo binafsi zaidi na mimi siwezi kuongea lolote,” alisema na akakata simu.
Tanzania Daima Jumatano, liliwasiliana na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo, ambaye anadaiwa kulielewa vema suala hilo.

Shelukindo, hata hivyo, licha ya kukubali kuwa alikuwa anajua tatizo hilo, aliomba asiongee kwa kirefu kwa madai kuwa alikuwa kwenye kikao.

Kamanda wa zamani wa polisi Mkoa wa kipolisi wa Kinondoni, Charles Kenyela alipulizwa namna alivyoshughulikia jambo hilo, alikana kujua chochote kwa madai kwamba, mambo kama hayo yanashughulikiwa na dawati maalumu.
CHANZO NI TANZANIA DAIMA

MBUNGE CHADEMA AENDELEA KUSOTA LUPANGO....FUATILIA ZAIDI HAPA

Posted: 12 Nov 2013 11:20 PM PST

JUHUDI za kumdhamini Mbunge wa Ukerewe, Salvatory Machemli (Chadema), aliyewekwa mahabusu kwa siku ya nane sasa, zimekwama. Kaimu Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Mrisho Abed, alisema jana kuwa amri ya kumweka Machemli rumande kwa siku 14 ilitolewa baada ya mshitakiwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.


Alisema Sheria ya Makosa ya Jinai namba 20 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 imeipa Mahakama mamlaka ya kufuta dhamana ya mshitakiwa.

Hakimu Abed ambaye ni Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Bukindo, alisema amri hiyo ilitolewa chini ya sheria hiyo na chombo pekee chenye mamlaka ya kuitengua ni Mahakama Kuu.

Akifafanua zaidi, hakimu huyo alikwenda mbali zaidi na kueleza kuwa kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Faustine Kishenyi, ingekuwa chini yake asingetoa dhamana kwa mshitakiwa hadi kesi hiyo iishe.

Alisema Machemli anayekabiliwa kesi ya uchochezi namba 19 ya mwaka huu alifutiwa dhamana Novemba 6 mwaka huu, baada ya kushindwa kufika mahakamani zaidi ya mara tano bila taarifa wakati kesi yake ikitajwa.

Hakimu Abed alisema mbali ya kuruka dhamana mara tano, pia kitendo cha kushindwa kutoa taarifa ni uthibitisho tosha wa kudharau Mahakama na kuongeza kuwa Sheria hiyo inatoa mamlaka ya kufuta kabisa dhamana yake, hadi kesi yake isikilizwe na kukamilika.

Katika utetezi wake, Machemli (39) ambaye kesi yake imepangwa kuendelea kusikilizwa hapo Novemba 20 mwaka huu, alidai alishindwa kufika mahakamani kama ilivyopangwa, kutokana na siku za kesi kuingiliana na vikao vya bunge.

Maelezo hayo yaliwafanya watu waliofika kumdhamini na baadhi ya washabiki wake waliofika mahakamani hapo, kuondoka huku wakitishia kutumia nguvu ya umma kushinikiza dhamana.

-habarileo

"NIMEPOTEZA MTU MUHIMU SANA MAISHANI".....WEMA SEPETU

Posted: 12 Nov 2013 09:29 PM PST

MWIGIZAJI wa kike wa filamu mwenye jina kubwa Bongo Wema Sepetu ‘Madam’ hivi karibuni alimpoteza baba yake mzazi aliyefariki katika Hospitali ya TMJ kufuatia msiba huo Wema alifunguka kwa kudai kuwa baba yake kilikuwa ni kiungo muhimu sana katika harakati zake za urembo na sanaa kwa ujumla kwani baba yake alimuunga mkono katika kufanikisha ndoto zake.

Nimepoteza mtu muhimu sana katika maisha yangu baba alikuwa akinisupport katika sanaa kwani hata awali nilipotaka kuingia katika mambo ya ulimbwende baba yangu aliniunga mkono, kulingana na nafasi yake kwa mzazi mwingine isingekuwa rahisi kunikubalia kuingia katika mashindano ya umiss,”anasema Wema.

Wema anasema hadi dakika za mwisho kabla ya baba yake kufariki alikuwa akimwita Miss world, hata alipoingia katika sanaa ya uigizaji wa filamu bado mzazi wake huyo alimuunga mkono jambo ambalo kwake lilikuwa ni faraja na kujivua kuwa na mzazi anayetambua umuhimu wa kipaji cha mwanaye.

MAINDA: NIMETOA MIMBA YA RAY

Posted: 12 Nov 2013 09:24 PM PST

Stori:  Jelard Lucas
HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo.



Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameeleza kwa machungu jinsi Ray alivyomtesa kwa kumchanganya na wasanii wenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambaye ni mke wa mtu.

Risasi Mchanganyiko lilipata wasaa wa kufanya naye mahojiano ‘exculusive’ kwa saa moja na dakika tano, wikiendi iliyopita, makao makuu ya gazeti hili, Mwenge – Bamaga, jijini Dar.

Hata hivyo, alisema uhusiano wao kwa sasa umevunjika rasmi huku akibainisha jinsi alivyonyooshewa vidole na watu wakiamini kwamba aliambukizwa Ukimwi na aliyekuwa mpenzi wake kabla ya Ray, marehemu Said Maulid Banda  ‘Maxi’.
Soma mwenyewe mahojiano yalivyokuwa mstari kwa mstari, neno kwa neno:

Risasi: Baada ya kifo cha Maxi, Ray alijitokeza na kukutongoza au siyo?
Mainda: Hapana, nakumbuka ilikuwa Siku ya Valentine’s Day mwaka 2004...sikumbuki kama tulitongozana ama vipi lakini ilitokea tukajikuta kwenye uhusiano.

Risasi: Umedumu kwa muda gani katika uhusiano wako na Ray?
Mainda: Miaka tisa, nilimpenda sana hata yeye alikuwa akinipenda na kuniheshimu sana.
Risasi: Kwa nini mmeachana?
Mainda: Hajaniacha wala hatujaachana. Miye ndiye nimemwacha.


Risasi: Jeuri ya kumuacha Ray umeitoa wapi?
Mainda: Siyo jeuri, ni kujiamini na kujitambua tu.
Risasi: Chanzo cha kumuacha nini labda?
Mainda: Nilipojihakikishia kwamba anatoka na Chuchu Hans na Johari, nikafanya uamuzi.

Risasi: Lini ulipata uhakika huo?
Mainda: Ni hivi karibuni. Niliumia sana (analia).
Risasi: Pole sana, jikaze tafadhali. Siku zote ulikuwa hujui?
Mainda: Nilikuwa nasikia tu maneno, lakini nilipothibitisha nikaamua kukaa pembeni.
Risasi: Uhusiano wako na Ray ulifikia hatua gani?

Blandina Chagula ‘Johari’.

Mainda: Mwaka 2009 miye na Ray tulienda kanisani kwa ajili ya kutaka kufunga ndoa. Kwa sababu  mwenzangu ni Mkatoliki ilibidi aokoke na kunifuata kwenye wokovu ili tuweze kufunga ndoa yetu, nashangaa amebadilika tena.
Risasi: Ulibadili dini kwa ajili yake?
Mainda: Big no! (Hapana kabisa) ulikuwa ni uamuzi wangu binafsi.

Risasi: Mipango yenu ya ndoa ilikuwaje?
Mainda: Tulipanga kufanya private wedding (ndoa ya siri).
Risasi: Unauzungumziaje uhusiano wako na Ray? Namaanisha ni nini hasa ambacho hakitaweza kufutika kirahisi katika kumbukumbu zako?

Mainda: Daah! (anavuta pumzi ndefu kisha anazishusha) Nilimpenda sana Ray. Ilifikia hatua nikapata mimba yake. Mapenzi yetu yakaongezeka lakini kwa bahati mbaya ilitunga nje ya kizazi na ilinitesa sana, tena kwa kuwa ilikuwa ni mimba ya kwanza sikuwa nimejitambua mapema. Madaktari wakashauri niitoe, nikakubaliana nao.
Risasi: Ilikuwa ni mwaka gani?

Mainda: Sikumbuki, ila ni kipindi tulipokuwa tukirekodi filamu iitwayo Johari (kwa kumbukumbu za Risasi ni mwaka 2005).
Risasi: Kuna madai kwamba wewe hukubaliki kwa mama yake Ray, ambaye anadaiwa anamkubali zaidi Johari, ni kweli?
Mainda: Siwezi kumsema vibaya yule mama, namheshimu sana lakini inawezekana kuna maneno ya uongo ambayo ameambiwa na watu.

Risasi: Kama yapi?
Mainda: Kuhusu miye kuwa na Ukimwi. Ngoja nikuambie kitu kaka’ngu, baada ya kifo cha Maxi, watu wengi walininyooshea vidole kwa kuamini kuwa Maxi amekufa kwa ugonjwa huo jambo ambalo siyo la kweli. Nakumbuka mwaka 2003, nilienda na Maxi Mwananyamala (Hospitali), alitolewa vipimo vingi (kikiwemo cha VVU), akabainika kuwa na kansa ya damu.

Akatakiwa kwenda Ocean Road (Hospitali) ambako walipendekeza akatwe mguu uliokuwa umeathirika na ugonjwa huo lakini alikataa. Alisema ni heri afe kwa ugonjwa huo kuliko kuzikwa akiwa na upungufu wa viungo mwilini mwake.
Risasi: Kuna tiba alishaanza kuitumia Ocean Road kabla ya kifo chake?
Mainda: Yeah! Alikuwa akichomwa mionzi, hadi kifo kilipomfika.

Risasi: Pole sana.
Mainda: Ahsante... ila baada ya kifo chake, watu wengi walihisi amekufa kwa Ukimwi na wakaamini nami pia ni mwathirika... hiyo hali ilinitesa sana (anaangua kilio).
Risasi: Pole sana, usilie...jikaze tafadhali.
Mainda: Kama kweli Maxi angekuwa amekufa kwa Ukimwi, Ray asingekubali kuwa na mimi kwa sababu  alikuwa rafiki yake na alishiriki kumuuguza kwa kiasi kikubwa.

Risasi: Kwa hiyo unaamini kwamba mama Ray alipandikizwa sumu hiyo?
Mainda: Binafsi nilikuwa simfuatilii ila mwanaye alijitahidi kuniweka karibu na mama yake.
Risasi: Kivipi?
Mainda: Mara kadhaa Ray alikuwa akinipigia simu na kunitaka niongee na mama yake au ndugu zake, aliniweka karibu sana na familia yake.

Risasi: Umewahi kupima Ukimwi?
Mainda: Siyo mara moja, baada ya maneno hayo,  mwanzo nilipima kwa hofu kwa kuhisi labda wale madaktari wa Mwananyamala walinidanganya kwa vile nilikuwa mdogo.
Risasi: Majibu yako yanasomekaje?

Mainda: Namshukuru Mungu, nipo negative (hana uambukizo).
Risasi: Ulijisikiaje ulipogundua kuwa Ray anatembea na Johari na Chuchu?
Mainda: Awali sikujua na kila nilipomuuliza Ray alinikatalia.
Risasi: Kwa hiyo ulimwamini Ray?
Mainda: Sana, tena nilipokuwa naye alikuwa akiwapigia na kuweka loud speaker kisha kuwauliza kama walikuwa wapenzi, walikataa.

Risasi: Unawachukuliaje Johari na Chuchu?
Mainda: Kwangu nawaona wapumbavu na wasiojiamini katika mapenzi. Mfano kama Ray angenipigia simu na kuniuliza kama natembea naye, ningekubali bila ya wasiwasi. Walikuwa wakijua kama miye natembea na Ray lakini kwa nini wao walifanya mapenzi yao na Ray kuwa ya siri? Mfano Chuchu alikuwa akiniita first lady na aliniambia kuwa Ray ananipenda sana, kumbe kuna kitu alikuwa akinificha.

Risasi: Chuchu alikuwa rafiki yako?
Mainda: Hapana ila alikuwa akipenda kunipigia simu na kujiaminisha kwangu kwamba alikuwa na Ray na hakuna kibaya kitakachotokea.
Risasi: Ulijuaje kama Ray anatambea na Chuchu?

Mainda: Inasikitisha kwa kweli, kwanza Chuchu ni mke wa mtu, (jina la mume kapuni) kisha amezaa na mumewe mtoto mmoja lakini anatangaza mtoto huyo ni wa Ray. Anamuweka kwenye mitandao, unadhani baba yake wa kweli anajisikiaje?
Halafu inasemekana walipokwenda Mbeya na Bongo Muvi, Chuchu alilala chumba kimoja na Ray.
Risasi: Uliambiwa na nani?

Mainda: Kuna msanii mmoja anaitwa (jina kapuni) ambaye naye alikuwa akitembea na Chuchu, ndiye aliyeshuhudia Chuchu akiingia chumbani kwa Ray. Pia ndiye aliyemfumania Chuchu na Ray Msasani hivi karibuni.
Risasi: Inadaiwa siku Ray na Chuchu walipofumaniwa, ulikuwepo na ukapandisha mashetani, ni kweli?
Mainda: Siyo kweli, sikuwepo ila siku hiyo (anamtaja jina huyo jamaa) aliniletea simu za Chuchu ambazo zilikuwa na meseji alizokuwa akichati na Ray. Halafu Chuchu ndiye mwenye tabia ya kupandisha mashetani.

Risasi: Meseji za Ray kwa Chuchu zilikuwa zinasemaje?
Mainda: Mambo ya mapenzi tu, tangu hapo niliamini kwamba Ray alikuwa akitembea na Chuchu. Nikaamua rasmi kumuacha Ray aendelee na Chura wake!
Risasi: Kwa nini unamwita Chuchu Chura?

Mainda: Wenyewe ndivyo wanavyojiita yaani ni kifupi cha Chuchu (Chu) na Ray (Ra) badala ya RJ (Ray na Johari).
Risasi: Ray alijiteteaje kwako?
Mainda: Alidai kwamba simu yake ilikuwa ikitumika na rafiki yake mwingine ambaye ni mume wa mtu (jina tunalo) akidai kwamba ndiye aliyekuwa akitembea na Chuchu lakini si kweli.
Risasi: Kama leo hii Ray akikufuata na kukuomba radhi utakubali kurudiana naye?

Mainda: Ameshaomba radhi sana, hata Chuchu alishaniomba radhi na kudai kutorudia lakini mambo ni yaleyale.
Risasi: Hebu fafanua?
Mainda: Ninaujua msururu mrefu wa wanawake wa Ray, (akaanza kuwataja majina - wamo wanenguaji na wasanii wa filamu na wengine), mmoja kwa sasa ni mke wa mtu huyo sitakutajia jina lake.
Risasi: Jambo jingine?

Mainda: Sijui kama ulisikia, Ray alipata ajali na Chura wake hivi karibuni?
Risasi: Nilisikia!
Mainda: Hiyo nayo inatosha kuthibitisha ninachokisema. Hizi zote ni laana, tukio lingine ni lile la Johari kumfumania Ray akiwa na Chura.
Risasi: Hata hilo nililisikia na liliripotiwa, vipi kuhusu Johari?

Mainda: Johari naye alikuwa akinifuatilia nyendo zangu, kuna wakati nilivaa pete ya uchumba, alihaha kutaka kujua nimevalishwa na nani?
Risasi: Alijua Ray amekuvisha?
Mainda: Nadhani!
Risasi: Ni kweli?

Mainda: Tuyaache hayo.
Risasi: Kwa nini?
Mainda: (Akionesha msisitizo) tafadhali hilo tuliache kaka.
Risasi: Uliwahi kumsaliti Ray?

Mainda: Katika maisha yangu miye ndiye huumizwa kila siku. Baada ya kuwa na Maxi mwanaume mwingine ni Ray, sikuwahi kuwa na mwingine kabla na baada ya kuwa na uhusiano naye.
Risasi: Mwanaume gani alikuingiza katika dunia ya mapenzi?
Mainda: Aaah! Sitapenda kumtaja ilikuwa kabla sijakutana na Maxi.

Risasi: Unazungumza vizuri na Johari na Chuchu?
Mainda: Sina ugomvi nao, ila sikupenda kitendo cha kuchanganywa nao kwa mwanaume mmoja. Imeniuma sana, kwa kweli sipendi kuishi mitala.
Risasi: Unaionaje Bongo Muvi baada ya miaka mitano?

Mainda: Kwanza naomba Mungu aiangamize... unafiki mwingi sana. Kuna siku nilimuuliza Ray kama yeye ndiye mwenyekiti anafanya uchafu kama huu, anaweza kumkemea msanii mwingine? Hakunijibu kitu. Mengi mabaya yanayosemwa kuhusu Bongo Muvi  ni ya kweli, tena uongozi umeoza kuanzia juu mpaka chini.
Risasi: Baada ya kuachana na Ray una mwanaume mwingine?

Mainda: Wengi wamenipigia simu kunitongoza nikawachomolea wakiwemo wasanii waliokuwa wakijua uhusiano wangu na Ray.
Risasi: Kwa nini?
Mainda: Miye huwa sitongozwi kwenye simu.
Risasi: Unatongozwaje?
Mainda: (kicheko), sikia ninaye mtu wangu lakini hatujafikia hatua ya kufanya mapenzi, tunachunguzana ili kujuana tabia kwanza.

Risasi: Ni msanii wa filamu au?
Mainda: Siyo msanii, ni mtu anayejiheshimu.
Risasi: Mara yako ya mwisho kufanya mapenzi ilikuwa lini?
Mainda: Siku chache baada ya msiba wa Albert Mangweah (msanii wa Bongo Fleva).
Risasi: Unaamini iko siku utaolewa?
Mainda: Yeah! Tena nitajifungua watoto.

Risasi: Kitu gani ambacho huwezi kukisahau maishani mwako?
Mainda: Kifo cha Kanumba na marehemu Maxi  (anaangua kilio…) vifo vyao viliniuma sana na vimeshindwa kuondoka akilini mwangu kirahisi.
Risasi: Ahsante sana kwa ushirikiano wako Mainda. Karibu tena Global Publishers.

Mainda: Nashukuru sana lakini nasema hivi; kama  Ray, Johari na Chuchu watakanusha haya niliyoyasema, nipo tayari nikutanishwe nao tena hapahapa ofisini kwenu nitazungumza mbele yao. Naahidi nitaongea mengi zaidi.
Risasi: Sawa, nashukuru sana Mainda.

Mainda: Nanyi pia… ndiyo maana nayapenda magazeti yenu.
Risasi: Kwa nini unasema hivyo?
Mainda: (Kicheko).
Chanzo:Global Publishers
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 20 West Kinzie, Chicago IL USA 60610

Udaku Specially

unread,
Nov 14, 2013, 4:37:10 PM11/14/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


HUDDAH MONROE ATUNDIKA PICHA ZINGINE AKIWA NUSU UCHI

Posted: 14 Nov 2013 11:05 AM PST





Huyu dada Kiboko Ajali mtu na si kwamba hizi picha zimevuja ama la ...Bi dada kajipiga mwenyewe kwa raha zake na kuziweka mtandaoni ...hapo akiwa mjini Bangkok kwa mapumziko......

TRA,TPA WAKUMBWA NA KASHFA NZITO

Posted: 14 Nov 2013 11:06 AM PST

Zanzibar na Tanga,Tanzania
SIMU moja baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamisi Kagasheki, kutangaza kwamba Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) inahusika katika ujangili, Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe pia ameibuka leo na kutangaza kwamba TRA pamoja na Mamlaka ya Bandari (TPA) kwa pamoja zinahusika katika biashara ya magendo nchini.
Balozi Kagasheki akiwa visiwani Zanzibar katika zoezi la kupakuwa shehena kubwa ya pembe za Tembo ikiwa na vipande 1,021 na uzito wa kilo 2,915  ambayo haijawahi kukamatwa nchini, alisema kwamba TRA wanahusika katika ujangili huo kwa sababu wao ndiyo wenye mamlaka ya kuhakikisha kwamba mizigo yote haramu haipiti katika bandari hiyo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheki (wa pili kushoto), akiwa ameshika pembe za ndovu zilizokatwa jana jijini Dar es Salaam toka kwa raia watatu wa China katika operesheni aliyoiongoza.PICHA NA MAKTABA
"Katika hili siwezi kumumunya maneno, lazima tu nisema ukweli hata kama wenzetu hawa watakasirika, lakini ukweli ni kwamba hawana pa kukwepea kwani wanahusika kwa asilimia 100 katika ujangili huu, kwa sababu kama watu wasingekuwa na maslahi katika hili kontena lisingekamatiwa hapa Zanzibar, hii ni ishara kwamba TRA wanahusika na kusaidia kulipitisha hadi huku"alisema Balozi Kagasheki.
Balozi alisema kwamba, shehena hiyo iliyokuwa tayari kusafirishwa kuelekea Philiphine ilikuwa katika magunia 98 yaliyochanganywa na magunia mengine ambayo yalikuwa yamefungwa pamoja na baadhi ya vitu vya baharini yalikuwa tayari yameshawekwa ndani ya kontena la futi 40 tayari kwa kusafirishwa kwenda Philiphne yakiwa katika hatua za mwisho za mamlaka husika za bandarini.
Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe akizungumza na Waandishi wa Habari
Katika hatua nyingine, Waziri wa Uchukuzi Dk Mwakyembe akiwa jijini  Tanga ametangaza vita rasmi na wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa za magendo kupitia Bandari bubu Mkoani Tanga huku akidai kwamba maofisa wa vyombo vya Serikali waliopo kwenye mtandao huo watakiona cha moto. Dk Mwakyembe aliwataka watambue kuwa, kiama chao kimefika kwa sababu tayari Serikali inayo majina ya wafanyabiashara na baadhi ya maofisa wa Polisi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotumika kufanikisha upitishaji magendo.
Dk Mwakyembe ambaye aliwasili Tanga juzi na kufanya ziara ya ghafla kutembelea bandari bubu zilizoko mkoani hapa, alitangaza vita hiyo alipozungumza na maofisa wa TRA, Polisi, TPA na wafanyabiashara. Alisema baada ya Serikali kudhibiti Bandari ya Dar es Salaam, wafanyabiashara magwiji wa upitishaji bidhaa za magendo wamehamishia nguvu zao Tanga. “Natangaza rasmi vita dhidi ya walio katika mtandao huo, watambue hatuwezi kuruhusu Bandari ya Tanga, bandari bubu na mpaka wa Horohoro kuwa gulio la walanguzi, wapitishaji dawa za kulavya na wahamiaji haramu,” alisema.

LINA:HUMWAMBII KITU, VIATU VINAMTIA WAZIMU ILE MBAYA

Posted: 14 Nov 2013 06:27 AM PST

MWANAMUZIKI, Lina Sanga, ameweka wazi kitu anachokipenda kwenye maisha yake ukiachilia muziki anaoupiga. Unakijua kitu hicho ni nini? Ni viatu.

Akizungumza na Mwanaspoti, Lina anasema kuwa anapenda viatu kuliko kitu kingine chochote kiasi kwamba anaweza kushuka kwenye gari sehemu yoyote kama ameona kiatu kizuri dukani.

Anasema kuwa hata kama akivaa nguo ya siku nyingi kiasi gani, lakini kama miguuni amevaa kiatu kipya hujisikai huru na mwenye furaha, kuliko akikosa kiatu anachokipenda.

Anasema chumbani kwake ana jozi 50 ya viatu anavyovivaa, lakini pia anazo jozi nyingine 30 za viatu ambavyo bado hajavivaa kabisa kwani bado anatafuta nguo za kuvalia viatu hivyo.

“Yaani hapa naona bado kabisa. Ninaongeza viatu karibu kila siku maana ninavyoviona madukani vipo vya kila aina nami napenda sana viatu, ” anasema.

Aliongeza kuwa hajawahi kuishi bila kutamani kununua kiatu ambacho amekiona mahali na kila akinunua anakutana na kingine, hivyo siku zote ameishi akinunua viatu bila kujali idadi ya alivyo navyo.

Kwa upande mwingine, Lina anasema kuwa kama akiambiwa achague kati ya kusafiri, kuangalia luninga na kusoma vitabu, atachagua kusafiri kwa kuwa akiwa safarini anajifunza vitu vingi kwa kuona na si kuhadithiwa. Aidha anasema kuwa awapo safarini, husinzia kwa bahati mbaya tu lakini ingekuwa ni uwezo wake asingekuwa akisinzia hata kidogo ili aweze kuona kila kilichopo njiani.

“Kama nimelala safarini ujue ni kwa bahati mbaya, lakini mimi mwenyewe huwa sitaki kabisa. Huwa ninataka nione kila kitu cha njiani, ni raha yangu pia,” anasema.

Anaendelea kueleza baadhi ya vitu anavyovipenda katika maisha yake kuwa ni pamoja na kuvaa magauni ya mtindo wowote, iwe mafupi au marefu.

Anasema kwa kuwa ana umbo la kuvutia, haoni haja ya kujibana kwa kupenda kuvaa suruali kama wasichana wengi wa siku hizi.

“Huwa navaa suruali sikatai, lakini sipendi sana kwa kuwa sipendi kujibana na ndiyo maana napenda kuvaa magauni ambayo kama una shepu nzuri hayana shida. Kwa jinsi nilivyo, kila nguo nikivaa naiona sawa kwa kuwa nipo poa,” anasema.

Anafafanuwa kuwa siyo kwamba havai nguo nyingine, anavaa kwa kuwa hawezi kuvaa nguzo za aina moja kila siku, lakini ili awe huru na kuona amependeza, huvaa gauni.

WEMA AWAJIBU WAIGIZAJI WA BONGO MOVIES WALIO SUSIA MSIBA WA BABA AKE

Posted: 14 Nov 2013 03:47 AM PST

Kupitia kipindi chake cha ‘In My Shoes’ cha jana, Wema Sepetu alieleza jinsi alivyojisikia baada ya baadhi ya waigizaji wenzie wa Bongo Movie kugoma kuhudhuria msiba wa baba yake, Balozi Isaac Abraham Sepetu, mwishoni mwa mwezi uliopita kwa madai kuwa yeye hakuwa akifanya hivyo kwenye misiba mingine.


“Imeshatokea, wameacha kuja kwenye msiba, ni wao,” alisema Wema. Sio Bongo movie nzima, ni baadhi tu ya watu ambao wanauelewa na upeo mdogo ambao waliamua kutokuja. Lakini niliona Bongo movie wengi, walikuwepo marafiki zangu wengi, akina Batulli, akina Esha, Wolper alikuja, Lulu, JB alikuja, Jokate alikuja, Adam Kuambiana alikuja. Ambaye napenda nimpe my special thanks and appreciation, ambaye alijitolea from the beginning wa msiba mpaka to the end ni Dokta Cheni kwakweli. Dr Cheni, I thank na ntazidi kumshukuru,” alisema.

“Marafiki zangu kama akina Kajala, akina Zamaradi, wale sio marafiki, wale tayari ni ndugu, kwahiyo siwezi kuwaweka kwenye appreciation wala kwenye thanks.”

Katika kipindi hicho pia, Wema alisema yeye na ndugu zake walijua kuwa baba yako ni muumini wa dhehebu la Roman Catholic siku chache kabla ya kufariki dunia.

Balozi Issac Abraham Sepetu (71), alizikwa kikristo katika kijiji cha Mbuzini,mkoa wa Kusini Unguja October 30 ambapo mazishi yake yalihudhuriwa pia na Rais wa Zanzibar,Dk Ali Mohammed Shein pamoja na viongozi wengine.

Bongo5.com

TABIA YA WASANII KUPIGA PICHA NA VITITA VYA PESA NA KUWEKA KWENYE MITANDAO

Posted: 14 Nov 2013 03:43 AM PST

Bila shaka umeshakutana na picha za msanii umpendaye inayomuonesha akiwa ameshika burungutu kubwa la fedha, ameziweka pembeni ya kitanda ama kuzipiga picha zenyewe na kupost kwenye Instagram. Tumewauliza baadhi ya wasomaji wetu kuhusiana na namna wanavyojisikia wakiona hivyo na hivi ndivyo wanavyosema:

Man Asotziona Utd

Mi naona poa tuu,,mbona wengine wanaweka naked pic.. Hao wanaocomment angalia pic zao..sio ishu kuanza kufatilia personality za watu… Kwani inawaumiza nn.. Tumekaa kimbea tuuuuuuuu

Missie Sheila

I dnt find it wise kabisa!!mbona matajiri wapo wengi lakini hawakai wakapiga picha hela zao na kudisplay kwa media!!lol

Costa Nehemia Munisi

Mweeeh. wenye pesa nyingi wanaweka bank ili zisiibiwe au zipo kwenye investment. wanazo ambazo huwez kuiba. hv bakhressa au mengi c wangeonyesha nyumba iliyojengwa kwa pesa

Dorah Charles

Mi naona kawaida tu,kwani inamkera mtu nn?ni kila mtu na uhuru wake ili mradi si dhambi.

Hassan Kuku

Wap**avu tu siku mbili ooo mziki haulipi mala filamu hazilipi wakati umetuonyesha jinsi gani unavyomiliki pesa unaweza kosa dili watu wakikuogopa kukupa dili wakijua unapesa kuliko dili analotaka kukupa

Nasrah Shaaban

Tatizo la sisi kuiga tuu hatufikirii ubaya wa kuiga yote hayo wanaigwa macelebrity wa marekani usije ukashangaa lil wayne kapost picha matako nje na huku msanii wetu wa kiume akapromote matako yake,nonsense.

Protus Lucas

Dah yan ukitaka kujua uwezo wa watanzania wengi wa kufikiri na kutoa maamuz na kujibu maswal yan kwenye maswali kama haya. .teh teg watanzania wengi bdo IQ zetu zko chni xna . .NB. .kabla hujacoment jambo fikili mara 2 kabla hujanena . .kila mtu ana uhuru wa kufanya anachopenda as long as hajavnja sheria ya nchi. .

Walter G Finest

HUU UJInga….inaonesha bado bongo lala…..Watt I know HELA inahitaji discipline..KWA stLY hii??2TAziona hizi hizi za madafu

Isaac John

Sio kitu kizuri kuonyesha ulichonacho sio zao ndiyo maana wanazionyesha wenye nazo wamepiga kimya

Begwell Mbiza

Bora wanao weka PICHA ZA MKWANJA kuliko wanao weka PICHA ZA UCHI

Clank Swaggz Babie Stunner

Nikujishaua tu wala hakuna kitu wenye pesa wametulia lakin maskin ndo wanajishau kuwa wanazo wakat ni zero

Mamuu Omary

Kwa mm naona ni ushamba wa hali ya juu, hata usipoonesha mahela km n tajiri watu watajua tu, sasa ukionesha watu itasaidia nn sanasana munaita majambazi waavamie tu ulinzi wenyewe nyumbani kwenu wa hovyo, ushamba tu huo jamani

Gara B Kubwa

Ikopoa2..Mbona wakiweka Mastaa wa Nje inaitwa Swag..ila sisi Upumbavu..Badaway kila m2 yuko Huru kufanya akifanyacho kwa Net mlad2 avunji Sheria ya Nchi..Hana tofauti na ww unaepost Picha ukiwa na Gari lako Jipya,,Wengne wanaonyesha Nyumba zao,Wengine WanaKula bata Chupa za Bia kibaao mixer Minyama nk.. Yote ayo nikuonyesha ufahari wa Pesa.. Sasa anaeonyesha Fedha Kavu kama hvyo ndo mzuka zaid .Binafsi ananipa Mzuka waKuzisaka zaid

-Bongo5.com

DIAMOND AZUA BALAA INSTAGRAM. FANS WA WEMA SEPETU WAMCHAURKIA BAADA YA KUTANGAZA HATAMUOA.

Posted: 14 Nov 2013 01:03 AM PST

Mwanamuziki Diamond Platnumz aka Rais wa Wasafi anaetamba kwa wimbo wake No. 1 haishi drama na warembo wa mujini.

Baada ya hivi  karibui kuonekana na Wema na kuwapa fans wake na wa Wema matumaini kwamba wamerudiana ghafla ameibuka kupitia Global Publishers na kusema “Najua wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema Diamond na kuendelea kusema “Watu wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.”
 Maneno hayo yamewakera fans wa Wema aka #teamwema kupita kiasi wakiwemo [dougiemasta12, matikibokoyao na wengine wengi] ambao wametiririkia kupitia Instagram na kuonyesha hasira zao kwa kile wanacho dai kwamba Diamond hana adabu na anadhalilisha wanawake especially Wema wao. 

Yaani hi #teamweam wako tayari na standby kumtetea Wema wao katika hali yeyote ile. Na ni kwamba wamejitolea muhanga kumsupport Wema 100%. 

Haya ndo mambo yanayoendelea huko Instagram jamani eee Diamond atajutajee kumkataa Madam Wema... hebu jisomeeee


 Yaani comment ni nyingi sana unaweza ingia instagram ukajisomea. Wadau wana hasira sana na Rais ama kweli Wema yuko juu na hawa ni 100% ride or die loyal fans wa Wema. 

Majangaaaaaaaaaaaa

WEMA,ROSE NDAUKA WAINGIA VITANI

Posted: 13 Nov 2013 11:42 PM PST

Na Shakoor Jongo
MASTAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka na Wema Sepetu wanadaiwa kuingia vitani, mpambe mmoja wa Wema akitumia mtandao wa kijamii wa Instagram alimtuhumu Rose kwamba aliwahi kushiriki kikao kimoja kilichokuwa kikimjadili ‘madam’ huyo sanjari na kumtukana.

Mpambe huyo aliyetumia picha ya Wema (huenda akawa Wema mwenyewe), alisema kuwa siku moja isiyokuwa na jina hivi karibuni, Rose alishiriki kikao hicho kilichofanyika kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam ambapo sehemu kubwa ya mazungumzo ilikuwa ikimchambua Wema.

Akizungumza na Amani kwa njia ya simu juzi kuhusiana na tuhuma hizo, Rose alisema anashangaa matusi anayotukanwa na mtu huyo kwani ana mwaka mmoja hajawahi kukanyaga katikia viwanja hivyo vilivyopo Kinondoni, Dar.

“Kiukweli huyo mtu amenitukana bure, hajakaa na kufanyia uchunguzi hizo taarifa alizopewa, mimi sikumbuki kama kuna siku niliwahi kukaa Leaders na kuanza kumsema vibaya Wema kwani nina mwaka sijawahi kufika Leaders.

“Binafsi sina muda huo wa kumzungumzia mtu au kukaa na mtu ambaye hana faida kwangu. Mimi rafiki yangu ni mchumba wangu (Malick Bandawe), mama yangu na ndugu zangu zaidi ya hapo tunakutana shutingi tukimaliza narudi kwangu, namsihi huyo mpambe wa Wema afanye tena uchunguzi,” alisema Rose.

Juzi, Amani lilimsaka Wema kwa njia ya simu ya mkononi ili azungumzie madai hao lakini hakupatikana. Hata hivyo, habari zinasema kuwa mtu aliyemtukana Rose kwenye mtandao alitumwa na Wema au Wema mwenyewe.

Tangu Diamond kurudiana na Wema na kusambaza picha zao katika mitandao ya kijamii, hivi karibuni Wema kufiwa na baba yake mzazi (Isaac Sepetu) na baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi kususia msiba huo, kumeibuka makundi ya watu kazi yao kubwa ni kutukana watu ambao wako tofauti na Wema.

SIRI IMEFICHUKA..DIAMOND NA PENNY NI KUMBE NDUGU

Posted: 13 Nov 2013 10:42 PM PST

Na Shakoor Jongo
MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’ ni ndugu, AMANI limepekua na kupata mkanda kamili.

Diamond kwa sasa ndiye mwanamuziki aliye matawi ya juu zaidi kuliko yeyote kwenye Bongo Fleva, akisumbua vibaya na kibao chake cha Number One wakati Penny akiingiza mkwanja kupitia utangazaji katika kituo cha Runinga ya Dar es Salaam ‘DTV’.

ISHU YABUMBURUKA!
Sosi wa karibu, ndani ya familia ya Diamond alinyetisha kwamba, Diamond na Penny ni ndugu wa damu lakini jambo hilo limefahamika hivi karibuni na hivyo wanahaha namna ya kuzima aibu hiyo.

Kwa sharti la kutochorwa jina gazetini, sosi huyo alisema: “Ndugu kwenye familia wanagongana. Wanajaribu kufichaficha hili jambo, lakini inashindikana. Unajua kinacholeta shida zaidi ni kwamba Diamond na Penny watakavyokuwa baada ya uamuzi kupitishwa.”

Alisema, pamoja na ukweli huo kugundulika bila shaka kuwa ni ndugu, bado kuna ugumu wa wapenzi hao waliozama kwenye dimbwi la mahaba kisha kuvunja amri ya sita, kuachana na kubaki wakiheshimiana kama kaka na dada.
“Tatizo ni je, Diamond atakubali kumchukulia Penny kama ndugu yake? Kama atakubali na Penny naye atakuwa tayari? Wote kwa pamoja wanaonekana kama wanapingana na jambo hilo,” alisema.

UNDUGU WENYEWE UKOJE?
Akieleza aina ya unasaba wa Diamond na Penny, sosi wetu huyo alisema, bibi mzaa mama wa Diamond na bibi mzaa mama wa Penny, wamezaliwa na mama mmoja.

Hapa anafafanua: “Kwa sababu hiyo sasa, unaweza kuona kuwa, wale ni sawa tu na mtu na kaka yake. Tena wako ndani ya ukoo kabisa, sema hao mabibi, kila mmoja alikuwa na baba yake, walichangia mama tu.

“Familia imejiridhisha kabisa, halafu isitoshe imeonekana kuwa, undugu wa kuchangia mama ndiyo wa uhakika zaidi kuliko wa baba ambao mtu anaweza kubambikwa hata mtoto asiye wake. Kifupi Penny na Diamond ni ndugu. Sema ndiyo hivyo historia za wazazi wao zinashangaza mpaka basi.”

Kwa mujibu wa sosi wetu, majina ya bibi hao wanaounganisha undugu ni Khadija Said Abas (bibi yake Penny) na Tatu Omar (bibi yake Diamond), wote kwa sasa wametangulia mbele ya haki.

MAMA DIAMOND ACHEKELEA
Wakati jambo hilo likileta msuguano wa kimyakimya ndani ya familia huku wengi wakitaka undugu huo uheshimiwe na uhusiano uvunjwe kabisa, imeelezwa kuwa mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ anafurahia undugu huo

“Kinachoshangaza sasa, mama Diamond amefurahi sana na amezidisha mapenzi yake kwa Penny, ndiyo maana hataki kusikia mwanaye anakuwa na mwanamke mwingine zaidi ya Penny.

“Mwenyewe anasema, kwanza undugu siyo wa karibu sana hivyo haina madhara lakini pia anajua Diamond atampenda, kumheshimu na hatamnyanyasa kwa sababu ni sehemu ya damu ya familia yao,” sosi aliendelea kutiririka.

HAPA AMANI, KULE DIAMOND
Amani lilifanya juhudi za kumsaka Diamond katika simu zake zote za mkononi bila mafanikio, likahamia kwenye mitandao ya kijamii, likamnasa ambapo awali mahojiano yalikuwa na kigugumizi lakini baadaye mambo yalikuwa hivi;
AMANI: Mzee vipi, mbona hupatikani kwenye simu zako zote? Kuna jambo nataka kukuuliza bwana mkubwa.

DIAMOND: Niko Nigeria. Vipi, kuna nini tena?
AMANI: Kuna stori fulani... eti ni kweli bibi yake Penny mzaa mama na bibi yako wewe ni ndugu wa damu kwa maana wamezaliwa na mama mmoja?
DIAMOND: Yeah but wamechangia mama, kila mmoja na baba yake.

AMANI: Kwa hiyo Penny ni dada yako kiasili si ndiyo?
DIAMOND: Yap!
AMANI: Duh! Majanga... kwa hiyo unatembea na dada yako wa damu?
DIAMOND: Nilikuwa najua basi kaka?!

AMANI: Kwa hiyo sasa baada ya kugundua hivyo, unaachana naye au?
DIAMOND: Kama nilivyokuambia, niko Nigeria... halafu niko gym sasa hivi, nitakutafuta nikitoka.
AMANI: Sawa, naomba ujibu hili swali la mwisho. Tumesikia kuwa, mama yako anampenda sana Penny, ni kwa sababu amegundua kuwa una undugu naye?

DIAMOND: Ha! Ha! Ha! Nikitoka gym nitakupigia simu tuzungumze vizuri.
Diamond hakufanya hivyo. Hata alivyotafutwa baadaye kwenye mtandao huo, pia hakuonekana kuwa hewani.

PENNY MIKONONI MWA AMANI
Penny alipopatikana juzi Jumanne, kwa njia ya simu alielezwa ilivyo ambapo alisema: “Ni kweli Diamond ni ndugu yangu wa damu. Tumegundua tukiwa tayari tumeshakuwa wapenzi.

“Hakuna jinsi tena, sanasana naona kama mapenzi yetu ndiyo yamezidi kuimarika. Nampenda sana Diamond wangu na sababu hiyo haitoshi kututenganisha maana kama ni makosa tayari yameshatokea.”

MAMA DIAMOND
Kwa upande wake mama Diamond, baada ya kusimuliwa kila kilichofika mezani mwa Amani na kutakiwa kueleza msimamo wake alijibu kwa kifupi: “Ndiyo ni kweli unayosema, lakini kwa sasa nipo huku Kariakoo (Dar), sipo kwenye nafasi nzuri ya kuzungumza. Njoo nyumbani jioni, tuzungumze vizuri.”

Diamond na Penny wamekuwa kwenye penzi lenye kasheshe nyingi kufuatia mwanamuziki huyo kuhusishwa na wanawake wengine akiwemo aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Wema Isaac Sepetu.
Chanzo:Global Publishers

KILICHOMUUA DR MVUNGI UTATA MTUPU-SABABU ZATOFAUTIANA

Posted: 13 Nov 2013 10:27 PM PST

Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi), Profesa Lawrence Museru alisema anachofahamu ni kuwa Dk Mvungi alipelekwa Afrika Kusini kwa kuwa alipata madhara makubwa kwenye ubongo na wala si kwa sababu ya kumwagika kwa maji kama ilivyoelezwa Afrika Kusini.


Hospitali ya Millpark ya Johannesburg, Afrika Kusini, imesema madaktari waliokuwa wakimtibu aliyekuwa Kamishna wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi walibaini kuharibika kwa ubongo wake kutokana na kumwagika kwa maji yanayoutunza ambayo kitaalamu yanaitwa ‘cerebrospinal fluids’ au CCF.

Msemaji wa Hospitali hiyo, Tebogo Nyembezi alisema Dk Mvungi alicheleweshewa tiba baada ya kupata tatizo la maji hayo yanayotunza ubongo kumwagika mara baada ya kujeruhiwa.

Dk Mvungi (61), alipata majeraha makubwa baada ya kujeruhiwa na watu waliovamia nyumbani kwake Kibamba, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Novemba 3 mwaka huu. Alifariki dunia jana mchana.

“Maji hayo ambayo ni miligramu 50 tu katika ubongo wa mwanadamu ambayo huufanya ubongo uelee yakimwagika nusu tu, basi mgonjwa yupo hatarini, lakini akiwahishwa na kupata tiba sahihi anaweza kupona,” alisema Nyembezi.

Alisema iwapo mgonjwa atapewa tiba sahihi ndani ya saa 48, ubongo wake unaweza kurudi katika hali ya kawaida, lakini saa hizo zikizidi hawezi kupona kabisa kwa sababu maji hayo yanapomwagika ubongo hujigonga kwenye mifupa ya sakafu yake na kuharibika kabisa.

Mtaalamu wa mishipa na neva za fahamu (neurosurgeon) katika Hospitali ya Regency, Dar es Salaam, Dk Hariff Najin alisema kazi kubwa ya maji hayo ni kuulinda ubongo pindi inapotokea ajali ili usidhurike lakini endapo maji hayo yatamwagika nao huharibika.

“Haya maji yanaufanya ubongo uelee na usielemee kichwa. Hivyo inapotokea maji haya yakaisha au kupungua, ubongo hujigonga na kukosa ukinzani na kuharibika,” alisema.

Alisema maji hayo ambayo hufika hadi kwenye uti wa mgongo yakikosekana katika ubongo, husababisha damu isitembee kwenye eneo hilo jambo ambalo pia linaweza kusababisha mishipa katika sehemu ya nyuma ya ubongo kuharibiwa.

Akizungumzia suala hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi), Profesa Lawrence Museru alisema anachofahamu ni kuwa Dk Mvungi alipelekwa Afrika Kusini kwa kuwa alipata madhara makubwa kwenye ubongo na wala si kwa sababu ya kumwagika kwa maji kama ilivyoelezwa Afrika Kusini.

“Majeraha hayo yalisababisha damu kuvilia katika ubongo na kusababisha uvimbe ambao kwa kitaalamu unaitwa ‘traumatic brain injury’ na sisi tulithibitisha vipimo hivyo vya awali na kumsindikiza mpaka huko,” alisema Profesa Maseru.

Profesa Museru alisema Dk Mvungi alipata majeraha makubwa kichwani na sehemu nyingine mwilini ambayo yanaonekana yalisababishwa na kupigwa kwa vitu vyenye ncha kali au magongo na hivyo kuleta madhara katika ubongo.

Alisema hawezi kuthibitisha chanzo hasa cha kifo hicho kwani kinaweza kuwa ni kuharibika kwa ubongo au sababu nyingine zilizotokana na tatizo hilo (secondary causes).

Naye Dk Mugisha Clement ambaye alimuhudumia Dk Mvungi alipofikishwa Moi na baadaye kumsindikiza hadi Afrika Kusini, alisema kitaalamu kumwagika kwa maji yanayolinda ubongo hakuwezi kuleta madhara kama aliyoyapata mwanasheria huyo, bali tatizo lilikuwa ni kuvimba na kuvilia damu katika ubongo.

“Maji ya CSF hayakuwa sababu ya kifo cha Dk Mvungi, sisi tulitambua tatizo la awali kuwa majeraha yalisababisha kuvimba na kuvilia damu. Kitaalamu haiwezekani maji hayo yakasababisha madhara makubwa,” alisema.

Kucheleweshwa kwa matibabu

Kuhusu kutokuwapo kwa opereta wa mashine ya CT Scan inayotumika kupima ubongo siku ambayo Dk Mvungi alipelekwa Moi, Profesa Museru alisema hatua za kinidhamu zitachukuliwa.

Hata hivyo, alisema kukosekana kwake hakukusababisha au kuchochea madhara kwa Dk Mvungi.

“Ni kweli kutokuwapo kwa opereta ni kosa lakini halikuwa na madhara kwa Dk Mvungi kwa sababu hakuwa akihitaji upasuaji wa haraka. Lakini ni kosa limefanyika,” alisema Profesa Maseru.

Alisema matumizi ya CT Scan ni ya muhimu lakini, hata kipindi cha nyuma ambacho wagonjwa walipata matatizo katika ubongo bado walitibiwa bila ya kuwapo ulazima wa kupata huduma ya mashine hiyo.
Source-Mwananchi

ZITTO AFICHUA KASHFA NZITO TUME YA UCHAGUZI TANZANIA

Posted: 13 Nov 2013 10:13 PM PST

TUME ya Uchaguzi nchini (NEC) inadaiwa kuingia katika mchakato wa mwisho wa kuzipa zabuni ya kuandaa vifaa vya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kampuni za M/S Jazzmatrix Cooperation na M/S Invu IT Solution zinazodaiwa kuwa na rekodi mbaya ya utendaji.

Tanzania Daima limedokezwa kuwa mkakati huo unahusishwa na  njama za kutaka kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi huo kwa kuchakachua matokeo ya kukibakiza madarakani.

 Kampuni hizo ambazo katika zabuni ya Tume ya Uchaguzi zimetajwa kushirikiana na Kampuni ya Kitanzania ya M/S SCI Tanzania Limited, mbali ya kutojulikana zinapotoka, pia ndizo zimekuwa na gharama kubwa kuliko kampuni nyingine zilizoomba kazi hiyo.

Kiwango ambacho kampuni hizo zilitaja na kukubaliwa na NEC kwa ajili ya kuandaa vifaa vya kielektroniki vya kusajili wapiga kura (Biometric Voters Registration) ni zaidi ya euro milioni 60, sawa na sh bilioni 126.3, wakati kampuni zinazofuata zikihitaji kuanzia euro milioni 40.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, ni mmoja wa viongozi waliofichua mkakati huo, akidai unafanywa na serikali ya CCM ili kuhakikisha wanajiandaa kudhibiti kila eneo ili waweze kubaki madarakani.

Alisema lengo ni kuhakikisha mchakato wa vitambulisho vya kupigia kura vya kielektroniki vina kuwa na faida kwa CCM na kukiingizia fedha chama hicho za kutumia kwenye uchaguzi huo kupitia mfumo huo dhaifu wa vitambulisho hivyo.

Zitto alisema kutokana na hali hiyo, amemwandikia Mdhibiti na Mkaguzi  Mkuu wa Serikali (CAG) barua ya kutaka ukaguzi wa zabuni hiyo ufanyike kwa kushirikisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na vyombo vingine vya usalama kwa ajili ya kujiridhisha.

“Wenzetu CCM wanafanya mikakati ya kujiandaa na Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kuhakikisha wanapata fedha za kutosha na hata mazingira mabaya ya vifaa vitakavyotumika katika upigaji kura na sasa wameshaingia hata katika Tume ya Uchaguzi kwa ajili ya kutengeneza mazingira,” alisema Zitto.

Aliongeza kuwa kiasi kilichotolewa ni kodi ya Watanzania na kwamba ni vema taifa likajiridhisha kuwa matatizo yaliyotokea Kenya na Ghana hayatajirudia Tanzania, hasa wakati wa upigaji kura.

 Gazeti hili limeona barua hiyo ya Zitto kwenda kwa CAG, ya Novemba 7, 2013, yenye kichwa cha habari; ‘Zabuni ya  Biometric Voters Registration (BRV KITS) No. IE/018/2012-13/HQ/G/19 yenye thamani ya sh bilioni 126.3.’

Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema kuwa  NEC imekuwa katika mchakato wa zabuni tajwa hapo juu.

“Zabuni hiyo sasa imeanza kuleta malalamiko miongoni mwa wananchi kutokana na kinachosemekana kuwa kampuni iliyopewa zabuni hiyo haina uwezo kiteknolojia, pia bei zao ni kubwa.

“Katika mafunzo ya hivi karibuni ya SADCOPAC jijini Nairobi tuliazimia kuwa ni vema kwenye zabuni nyeti kama za namna hii, SAIs wawe na uwezo wa kufanya ukaguzi kabla ya zabuni kutolewa na kuanza kutekelezwa,” alisema.

Kwa mujibu wa nyaraka za NEC ambazo Tanzania Daima linazo, kampuni zilizopewa tenda ya pamoja yenye kugharimu kiasi cha dola 78, 987,636.00, sawa na sh 126,291,375,455 ni M/S Jazzmatrix Cooperation na M/S Invu IT Solution ambazo hazijulikani nchi zinapotoka zikiwa zinashirikiana na M/S SCI Tanzania Limited.

 Katika nyaraka hizo kampuni zilizokosa tenda na ambazo zimelalamika kwa Mkurugenzi wa NEC namna mchakato wa kutoa zabuni hiyo ulivyoendeshwa zimeainishwa kuwa ni M/S Zetes SA ya nchini Ubalgiji, M/S IRIS Corporation Technology ya Malaysia, M/S Lithotech Exports ya Afrika Kusini, M/S Safran Morpho ya Ufaransa na  M/S Avante International Technology, Inc ya Marerkani.

 Kampuni hizo zinahoji njia na sababu zilizowafanya wakose tenda hiyo licha ya kuwa na uzoefu, vifaa bora pamoja na kuwa na kiwango kidogo cha gharama tofauti na kampuni iliyopewa kazi.

 Katika moja ya malalamiko yao, Kampuni ya M/S Morpho, inalalamika kutofahamishwa namna walivyokosa vigezo vya kupata kazi hiyo licha ya kuwa na sifa za kimataifa za kufanya kazi huku ikiwa imetoa bei nafuu kuliko kampuni iliyopata kazi.

 “Tulikuwa miongoni mwa washindani muhimu kwa kuwa kiwango chetu kilikuwa ni sh bilioni 97.8 ambazo ni sawa na euro 44,939,912 + sh 3,843,736,140.

“Ujuzi, vigezo na uzoefu wetu havilingani, duniani kote tumefanya kazi katika maeneo mengine kwa ufanisi na tunashindwa kuelewa kivipi walishinda hao ambao wamepata kazi kwa kiwango cha zaidi ya sh bilioni 27.8 ikilinganishwa na yetu,” ilisomeka sehemu ya barua.

 Alipotafutwa Mkurugenzi wa NEC, Julius Mallaba, alisema hawezi kuliongelea suala hilo katika simu na kuomba mwandishi awasiliane na Kaimu Mkurugenzi wa NEC, Dk. Sist Cariah, ambaye alisema mchakato wa kupata kampuni ulifuatwa kisheria.

Dk. Cariah alisema si kweli kwamba kampuni iliyopewa kazi haina uwezo bali malalamiko yanatoka kwa watu walioshindwa kupata kazi hiyo.

Alipoulizwa juu ya uzoefu wa kampuni hiyo na wapi ilifanya kazi, Dk. Cariah alisema kwa maelezo waliyonayo ni kwamba kampuni hiyo ina uzoefu wa miaka 35 wa kufanya kazi, huku akishindwa kuainisha sehemu ilizowahi kufanya kazi.

Kuhusu wapi zimetoka kampuni hizo, Dk. Cariah alisema suala la kutoainishwa kimaandishi ni makosa ya kawaida, huku akitaja kuwa zinatoka katika nchi ya India na Australia.

Kuhusu gharama, Dk. Cariah alisema licha ya makampuni mengine kutaja gharama za chini, zingeweza kuwa na gharama kubwa zaidi wakati wa kukamilisha kazi hiyo kutokana na kuwa na gharama zilizojificha.

Chanzo :Tanzania Daima

KAPUYA MATATANI:ADHIBITIWA NA KITOTO KINACHODAI ALIKIBAKA, AKAKIAMBUKIZA VIRUSI

Posted: 13 Nov 2013 10:10 PM PST

MBUNGE wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), ameingia katika matata. Katika kujaribu kudhibiti mtoto wa shule ambaye anadai alibakwa naye na kuambukiwa virusi vya ukimwi, mbunge huyo ametoa vitisho vya kuua mtoto huyo na kujiua kama njia ya kuepuka dhahama inayoelekea kumkabili.

Siku moja baada ya gazeti  la  Tanzania Daima  kuripoti habari za mbunge mmoja (bila kumtaja jina), jana asubuhi Profesa Kapuya ameibuka na kumtisha mwanafunzi huyo mwenye miaka 16 anayesoma Shule ya Sekondari Turiani iliyoko Magomeni jijini Dar es Salaam.

Baada ya kujua kuwa mtoto huyo ndiye alitoa habari za masahibu hayo, ambayo mbunge hakutaka yajulikane, alimpigia simu mtoto huyo, na baadaye kutuma meseji kadhaa za vitisho.

Jana Tanzania Daima ilishuhudia baadhi ya meseji za simu zilizotumwa na Profesa Kapuya kwenda kwa mtoto huyo.

Alfajiri saa 11:21 kupitia simu yake ya mkononi yenye namba 0784993***, Profesa Kapuya alituma ujumbe ufuatao kwa mtoto huyo: “chagueni kunisubiri tuje tuongee au mnataka kufa?”

Baadaye saa 1:07 asubuhi, alituma ujumbe mwingine kutoka simu hiyo hiyo kwenda kwa mtoto huyo, ukisema: “Mkiuawa, itakuwa nzuri, itawapunguzia gharama za kuishi. Usitake kugombana na serikali, mtoto mdogo kama wewe. Sisi ndo wenye nchi yetu.

“Mwambieni Mbowe mwenye hilo gazeti awape nyumba ya kuishi. Si mmemuingizia hela leo? Mnatumika bure watu wanaingiza hela nyingi, mmenitibua lazima niwauwe wiki hiii haitaisha, nitapanga kambi popote.

“Jana si wamekuficha? Tuone kama utalindwa milele. Kazi ya kulindwa imeisha, maana wameshatengeneza hela. Lazima mvae sanda. Hilo sio ombi, ni wajibu wenu. Mnajitia mafia watoto sio? Watoto wetu wanauza unga, nani anawakamata? Nani atapigana nasi?”

Hata hivyo, baada ya kuhisi kuwa watoto hao wamedhamiria kumchukulia hatua, na wamewasiliana na taasisi mbalimbali za kiraia na serikali zenye uwezo wa kumtia adabu, mbunge huyo alimtumia mtoto huyo ujumbe wa kuonyesha alikuwa anafikiria kunywa sumu..

Ujumbe huo uliotumwa kwa mtoto huyo saa 11:2 3 ulisema: “nimewakosea sana, acha nife mie nakunywa sumu nijiue, na nyie mje mnizike.”

Hasira za Profesa Kapuya dhidi ya mtoto hao zilitokana na hatua ya mtoto huyo na dada yake kufichua unyama wanaodai kutendewa na mbunge huyo, ambaye amewahi kushika nyadhifa kadhaa za uwaziri katika Serikali ya Awamu ya Nne.

Tangu alipogundua kuwa mtoto huyo alizungumza na gazeti hili juzi, saa 5:17 usiku wa kuamkia jana alituma ujumbe usemao: “Si mpo Bilz? Sasa tupo pamoja na nyie mpaka usiku.”

Baadaye saa 5:31 alituma ujumbe  huu: “Hivi hamkubali kushindwa? Leo ulifuata nini ofisi ya CCM?”

Ujumbe huo ulitokana na ukweli kwamba dada wa mtoto anayedaiwa kubakwa alifika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) juzi asubuhi kuonana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, ili kuomba chama kimsaidie kumbana Profesa Kapuya, ambaye alikuwa ameanza kuwatisha yeye na mdogo wake.

Hata hivyo, kwa mujibu wa mtoto huyo, Kinana alisema suala hilo si la chama bali la Profesa Kapuya binafsi.

Mtoto huyo alikataa ushauri wa kupeleka shauri hilo mbele ya vyombo vya sheria, akidai kuwa jitihada zake zimekuwa zinazimwa na mbunge huyo anayedai serikali haiwezi kumfanya lolote.

Alisisitiza kuwa hana imani na serikali, lakini akasema yupo tayari kuchukua hatua kali dhidi ya Profesa Kapuya iwapo atasimamiwa na watetezi wa haki za binadamu.

Baadhi ya mashirika yanayotetea makundi kadhaa yakiwamo Kituo cha Sheria na Haki za BInadamu (LHRC) na Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) yalijitokeza kumsaidia watoto hao, ambao ni yatima.

Mtoto huyo na dada yake, wakizungumza na gazeti hili kwa hofu mafichoni, walisema kwa sasa hawana imani tena kama kuna serikali nchini Tanzania kwa kuwa wamedhalilishwa, wametembezwa hadi Bungeni na wabunge bila hatua kuchukuliwa, licha ya kutoa taarifa katika kituo cha polisi Oysterbay tangu mwaka jana.

Hata hivyo, kabla ya tukio la watoto hao kuripoti, ofisi za gazeti hili juzi usiku kulikuwa na watu waliokuja wakiwatafuta watoto hao, huku wakiwatisha kwa simu na kuwatolea maneno ya kejeli, wakidai watawamwagia tindikali.

Mmoja wa watoto hao, alidai kuwa miongoni mwa vijana waliokuwa wanawatisha juzi walikuwa katika gari T170 BGY, Benz, Cream Metalic, ambayo inamilikiwa na mbaya wao.

Jana gazeti  hili lilichapisha habari kuwa  mwanafunzi huyo aliyesema kuwa waziri huyo  alimbaka kwenye hoteli moja ya kitalii iliyoko jijini Dar es Salaam mwaka 2011, na kurudia tena kitendo hicho katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012 alipoitwa kwenda kuchua ada kwa mara ya pili. 

Akizungumza kwa uchungu, alisema mbunge huyo alifanya kitendo hicho kwenye Hoteli ya Giraffe, Jijini Dar es Salaam mwaka 2011.

Alisema kuwa yeye alikuwa na urafiki na mwanafunzi mwenzake Zuhura Mwaking’inda. Mwaking’inda amewahi kuwa Diwani wa Kata ya Sinza Jimbo la Ubungo, Jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, rafiki yake (mtoto wa Mwaking’ida) alikuwa amepooza hivyo alikuwa analazimika kumhudumia hali iliyowaunganisha hadi huyo mtoto alipochukua jukumu la kumtambulisha kwa baba yake ambaye naye alimtambulisha kwa Kapuya ili aweze kumsaidia fedha kwa jili ada.

Mwanafunzi huyo alisema baada ya kutambulishwa aliitwa katika hoteli moja jijini Dar ambapo baada ya kufika mapokezi wafanyakazi wa  hoteli hiyo walimkataza kuingia chumbani katika maana kwamba umri wake alikuwa mdogo (mwaka 2011 alikuwa na miaka 14), lakini Kapuya aliamrisha aje chumbani pamoja na dereva na kumwingiza kwa nguvu.

Akiwa chumbani alimlazimisha kulala naye kisha kumpa sh laki saba, badala ya sh elfu sitini na saba kiasi ambacho kilikuwa ndio mahitaji halisi ya ada.

Mwanafunzi huyo amesema baada ya muhula mmoja aliitwa tena na mbunge huyo katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala tarehe 3 June 2012, ambapo pia alimlazimisha kulala naye kwenye zulia la ofisi yake, kisha kumpa sh 350,000/.

Alisimulia kwamba wakati anatoka kwa huzuni ofisini kwa mbunge huyo, mmoja wa wahudumu wa hapo alimuuliza kwanini anatoka kwa huzuni, alimweleza kisa hicho, na huyo mama aliangua kilio kwa kumwambia “mwanangu umekufa pole tu, huyu baba ni muathirika wa ukimwi”.

Aliongeza kuwa baada ya kuambiwa vile alilia na kufanya fujo hapo mapokezi hadi alipokamatwa na walinzi wa kisha kupelekwa kituo cha polisi kufunguliwa mashtaka, lakini akiwa polisi alipoeleza mkasa wote, Polisi walilazimika kumwita Kapuya na wakawasuluhisha kwa makubaliano kwamba Kapuya atakuwa anamlipia ada, na kumpa pesa za matumizi sh. laki tatu kila mwezi, jambo ambalo amekuwa akilitekeleza kupitia simu yake ya mkononi 0755993***.

Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, 24 Januari 2013, alifika mtu nyumbani kwao mtu mmoja (jina tunalihifadhi) na kujitambulisha kuwa yeye ni jambazi na kuwa alitumwa kwenda kuwaua kwa malipo ya sh. milioni 50, lakini alipokuta ni watoto wadogo aliwasamehe, na kusema yeye ni jambazi sugu hawezi kupoteza nguvu zake kuua vitoto.

Alienda akiwa na bastola, maji kwenye chupa yanayodhaniwa kuwa ni tindikali na bomba la sindano. Kwa mujibu wa mtoto huyo, jambazi huyo anasema kuwa tayari alilipwa milioni 15 za awali.

Mtoto huyo alisema jambazi huyo aliwambia kuwa yeye ni rafiki wa mtoto wa Kapuya na wanamfahamu vizuri, lakini hataweza kuaua baada ya kubaini kuwa wao ni yatima tu.

Hata hivyo kufikia mwezi Februari mwaka huu, mtu asiyefahamika alienda nyumbani na kutelekeza gari aina ya T.199 BGY Mercedes Benzi ya Blue wakati wanafunzi hao wakiwa shuleni, kisha kuacha ufunguo kwa jirani yao kwa maelekezo kuwa wakifika awapatie.

Na Kapuya aliwapigia simu kuwaarifu kuwa amempa zawadi ya gari kwa ajili ya matumizi ila yeye na dada yake wanaruhusiwa kuuza ili wapate pesa kwa ajili ya mahitaji yake siku zilizosalia, kwani muda sio mrefu baada ya uchguzi mkuu 2015, Kapuya atakuwa Waziri Mkuu, hivyo itakuwa ngumu yeye kumtumia huyo binti pesa kama alivyoelekezwa na jeshi la polisi kituo cha Oysterbay.

Baada ya mwanafunzi huyo na dada yake ambaye ana umri wa miaka 20, kupewa gari walishindwa kulitumia hivyo kutoa taarifa polisi kwani kwa kupokea gari hilo  ilikuwa ni kuwatelekeza kwani yeye hana hata hela ya kuweka mafuta ya gari, hivyo walienda polisi ili kesi ipelekwe mahakamani kumshtaki kapuya.

Polisi wa Oysterbay walikubali kulipeleka tatizo hilo kwa Katibu wa Bunge, ambaye alimwita mwanafunzi huyo na mdogo wake waende Dodoma kukutana na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ingawa walipofika Dodoma walikaa na kamati ya hiyo kwa maelezo kuwa Kapuya hakuwepo hadi Bunge lilipoisha walirejeshwa Dar es Salaam.

Mtoto huyo na dada yake alitoka ofisi za CCM lakini akiwa anaelekea kituo cha basi alithadharishwa na mwanafunzi mwingine kwa haraka kuwa akimbie kwa kuwa atamwagiwa tindikali na watu waliokuwa wanamfuata nyuma, alikimbilia katika mtaa wa Hoteli ya Star light kisha aliomba msaada baada ya kupotea njia na hivyo alisaidiwa na mama mmoja kufikishwa chumba cha habari cha Channel Ten.

Ni katika chumba hicho ndio mwandishi wa habari hizi alienda na kuwakuta watu wawili hao waliokuwa wanamhitaji binti huyo lakini walikatazwa kumchukua.

Chanzo:  Gazeti  la  Tanzania  Daima

UVCCM WAZIKANA PICHA ZA UCHI ZA GODBLESS LEMA....WADAI KUWA MWENYEKITI WAO HAJAHUSIKA KUZITENGENEZA NA KUZISAMBAZA

Posted: 13 Nov 2013 11:10 AM PST

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umepokea kwa masikitiko makubwa  taarifa ya kifo cha mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba Dr Sengoondo Mvungi ambacho kimetokea katika hospitali ya Millpark nchini Afrika kusini.

Uongozi wa UVCCM Taifa unatoa pole kwa familia na ndugu wa marehemu, pia UVCCM inatoa pole kwa uongozi wa NCCR- Mageuzi na kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Warioba pamoja na Vijana nchini kote ambao wamenufaika na Utaalamu na mafunzo.
  
Kama vijana tulihitaji sana mchango wa mawazo, hekima na utaalamu kutoka kwake, hakika tumepoteza kiongozi shupavu, muadilifu na mzalendo ambao  ni mfano wa kuigwa kwa Vijana wa Taifa hili.

Kadhalika, UVCCM inatoa pongezi za dhati kwa hotuba makini iliyojaa hekima, busara na ushupavu wa Uongozi iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Pia, Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesikitishwa na tuhuma ambazo zimeripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari kutoka kwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Mheshimiwa Godbless Lema ambazo amezielekeza kwa baadhi ya Viongozi wa Jumuiya akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa UVCCM Ndugu Sadifah Juma kuwa amehusika na usambazaji wa Picha chafu za  uchi mitandaoni. 

Pamoja na kusikitishwa, UVCCM inazo taarifa juu ya mgogoro unaoendelea katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kwamba inamtaka Lema kutoelekeza tuhuma kwa UVCCM na viongozi wake bali waangalie namna bora ya kushughulikia na kutatua migogoro yao ya ndani ambayo imesababisha kuzushiana, kuchafuana na kuvujishiana siri katika mitandao ya kijamii. 

UVCCM na Viongozi wake inakana kwa namna yeyote ile kuhusika na usambazaji huo na kwamba Jumuiya hii ni ya Vijana makini na wanaojitambua na inajielekeza katika kufanikisha malengo ya kuundwa kwake ya kukisaidia Chama kushika dola mwaka 2015.

Na kwamba UVCCM inalaani tabia ambayo imeasisiwa na Vijana wa CHADEMA ya kukashifu, kuzomea na hata kutukana Viongozi wa CCM na Serikali yake na kwamba yaliyomkuta Mhe Lema ni matunda ya kazi waliyoiasisi wenyewe.

Imetolewa na:

PAUL MAKONDA

KATIBU WA IDARA YA HAMASA NA CHIPUKIZI

UVCCM

13/11/2013

JOHARI NA MPENZI WAKE MZUNGU KUFUNGA NDOA KATIKA NCHI MBILI

Posted: 13 Nov 2013 11:02 AM PST

Jana tuliweka habari hapa  kuwa actress maarufu Bongo Movies Blandina Chagula(Johari) amekwenda Canada kumfuata mpenzi wake raia wa nchi hiyo na pia kutambulishwa ukweni. Habari mpya ni kuwa baada ya kutambulishwa mipango ya ndoa kati ya johari na mzungu huyo itafanyika ili wawili hao waishi kama mke na mume baada ya mzungu huyo kuwa hoi bin taabani kwa penzi la Johari aliyejaaliwa kipaji cha kuigiza. Habari za mipango hiyo ya ndoa zimetolewa na Irene Uwoya alipozungumza na Bongo5 kwa kusema "akitambulishwa kitakachofuata ni ndoa, na kwa jinsi tulivyojadiliana watafanya ndoa mbili moja hapa(Tanzania) na nyingine Canada ili na sisi tulio Dar es salaam tusherehekee ndoa yake kwasababu kama unavyojua ndugu zake, marafiki na watanzania kwa ujumla wanahitaji kuhudhuria ndoa hiyo" 
Uwoya ambaye nae aliolewa na raia wa Rwanda Hamad Ndikumana kwa ndoa ya gharama na mwishowe ndoa hiyo kuwa chali aliendelea kwa kusema "Juzi niliandika kauli ya kumtaka atulie akiwa Canada, sio kwamba Johari hajatulia unajua Johari ni mtu wangu wa karibu kwa hiyo nilikuwa namwambia asipeleke uswahili Canada sio kwa nia mbaya"

WANAWAKE WA SINZA NA KIJITONYAMA NA MAISHA YA KUIGIZA

Posted: 13 Nov 2013 10:59 AM PST

Umealikwa jioni na Mvulana(New Lover) Kwani ni lazima mje wanne na mbaya zaidi wote wanakunywa Savana na mmoja mwenye dozi yeye anakunywa Red Bull kwani lazima unywe Savana au Red Bull wakati kwa muonekano tu ni mtu wa Castle tena Lager au Maji ya Uhai.Unajuaje huyu Lover ametembea na Shs ngapi mfukoni kumletea migumegume yote hiyo kumchuna? Matokeo yake ukishamegwa mwanaume hata cimu hapokei tena kwa Mis behaviuor zenu.Hii nimeishuhudia kwa macho yangu jana Maeneo ya Pub moja Sinza Kumekucha mkaka wa watu ikabidi aangaike sana tu kupiga simu kwa wenzake wammtumie M PESA nadhani alifanikiwa coz after round ya tatu aliitisha bill akalipa wakatokomea.Madada wa Sinza/Kijitonyama muwe na staha kidogo mtaishiwa kumegwa tu kwa tamaa zenu za fisi.BADILIKENI
-JF

Udaku Specially

unread,
Nov 15, 2013, 4:07:50 PM11/15/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


ALICHOANDIKA ZITTO KABWE KUHUSU KAULI YA DR. SLAA DHIDI YAKE, MABERE MARANDO NA MENGINE

Posted: 15 Nov 2013 11:45 AM PST

Hii inatoka kwenye page ya facebook ya Mbunge huyu wa Kigoma Kaskazini na pia Naibu katibu mkuu wa Chadema…

IRENE UWOYA APIMA UKIMWI NA KUWEKA MAJIBU YAKE HADHARANI MTANDAONI

Posted: 15 Nov 2013 11:37 AM PST

Sio tu watu maarufu bali binadamu wengi huingiwa na uoga kila wanapofikiria swala la kwenda kupima kama wana maambukizi ya virusi vya ukimwi au la na hata akifanikiwa kupima pia ugumu huja pale mtu anapofikiria kwenda kuchukua majibu.
Mama Krish “Irene Uwoya” best actress wa bongomovie awards 2013 ameweka wazi majibu yake ya vipimo vya VVU na kuhamasisha watu wengine wafanye maamuzi ya kwenda kupima afya zao, cheti na maneno ya kuhamasisha watu wengine kupima vyote ndio hivi hapa chini…. 

DIAMOND "WAMENIULIZA KWANINI NAUZA MIITO YA SIMU KULIKO WANAMUZIKI WOTE EAST AFRICA..NIKAWAJIBU HIVI"

Posted: 15 Nov 2013 10:33 AM PST

 Akiwa Katika Interview ya TV huko Nigeria Diamond aliulizwa kwanini yeye ndio Msanii anayeuza Nyimbo za Miito ya Simu Kuliko Wanamuziki Wote East Africa ..Na hivi ndivyo Alivyojibu...

"Sijui Mungu Ndio Anajua Siri iliyoko"

ZITTO ATINGA POLIS..AANDIKA STATEMENT YA KUHUSU KUTISHIWA MAISHA

Posted: 15 Nov 2013 09:09 AM PST

Nimetoka makao makuu ya polisi, upelelezi, kuandika statement kuhusu vitisho dhidi yangu kufuatia hekaya inayoitwa "Ripoti ya Siri ya Zitto Kabwe". 

Chanzo cha hekaya sasa kinabadilishwa kutoka makao makuu ya CHADEMA na kuwa ni usalama wa Taifa au CCM.

Wahusika waendelee kuhamisha chanzo lakini wajue watasakwa na kukamatwa na kuburuzwa mahakamani. Nimewashitaki kwa kunitishia maisha. Ninawashitaki kwa kunichafua kwa tuhuma za uongo. 

Ninafanya haya kwa lengo la kuhakikisha kuwa siasa za kuzushiana na kusambaza uongo zinakuwa na gharama kubwa.

KWANINI UPIGE PICHA ZA UTUPU UKIWA NA MPENZI WAKO..UMEFIKIRIA MADAHARA YAKE?

Posted: 15 Nov 2013 08:50 AM PST


Nilikuwa naperuz na kudadis mtandaonii, nikatutana na huyu kaka anaitwa Manaiki Sanga..! eti ni msanii na mwanamuziki sijui! nways..
Ametiwa mbaroni kwa kosa la kupiga picha chafu ZAIDI YA 400 na picha zake kuvuja!khaaa!nimejisikia vibaya kuona mmoja wa mdogo wangu kishuleshule wa primary kapozi kajibinua hana habari! na kalikuwa kapoleee..heshima tele kwa dada zake!kanashape na ni kazuri ila kamekomazwa na maisha ya ngono(ukiwa mfanyaji sana ujue esp mdada unachoka!haunawiri! lol) tuache hayo..
KWANINI MTU UJIWEKE CHEAP KIHIVYO? WHY?MKAKA MWENYEWE KIMEO...MVUTO 0!hatakama ni kitandani hiyo sio sababu ya kujidhalilisha!

Hata kama ni
kitandani..come on babes...why msimalizane bila picha jamani! at the end unaolewa na mwingine! Ona sasa at the end anaonekana kidume we unaonekana malaya tuu!
na huyu kaka hivi ndo kusema ibilisi hajakuachia hata akili moja ya utu?
Nadhani hii habari ya muda mtanisamehe,me nmeiona leo.

Kwanini upige picha uchi?tena na Boyfriend sijuw girlfried! why?kama mmeshindwa mapepo yenu yanakazania mpige...ok do it then BUT dont show ur face for crying out loud..just show ur ugly b>>>ts and let people guess!
Mdau Swts Kutoka JF

PREZZO "HUDDAH NI MALI YA SEREKALI" AMELALA NA KARIBIA DUNIA NZIMA

Posted: 15 Nov 2013 05:21 AM PST

Baada ya kupondwa na Huddah Monroe kuwa ‘amepigika’ mfalme wa bling, Rapcellency Prezzo ameamua kujibu mashambulizi na kusema uhusiano wake na Huddah ulikuwa wa kufanya mapenzi tu, basi.

Kwenye interview na Heads Up, Prezzo aliweka wazi kuwa ni kweli aliwahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na aliyekuwa mwakilishi huyo wa Kenya kwenye Big Brother Africa mwaka huu.

“Tuliwahi kukutana kama mara tatu hivi nadhani alipenda alichokipata. Alinogewa,” Prezzo aliimbia Heads Up.

Anadai kuwa Huddah amechukia kwasababu hakutaka kuendelea naye.

“Huddah ni kama mali ya serikali. Amelala na karibu dunia nzima. Unadhani rais anaweza kutulia na mwanamke kama huyo,”alihoji Prezzo. Alidai pia kuwa Huddah amekuwa akiwasumbua wanawake wote wengine aliowahi kuwa na uhusiano nao.

“Sijawahi kumjibu, lakini utagundua kuwa alimshambulia Goldie na Diva wa Tanzania.”

Wakati huo huo, Huddah amekuwa akitweet majibu ya kile alichokisema Prezzo.
-Bongo5.com

BAADA YA BIASHARA KUWA NGUMU WACHINA SASA NAO WAINGIA BONGO MOVIES

Posted: 15 Nov 2013 05:06 AM PST

Baada ya kumuingiza shabiki maarufu wa yanga football club “Steven” sasa Dr Cheni afanya mabadiliko makubwa ya bongo movie baada ya kumuweka mchina kwenye movie yake mpya.

Moja ya scenes ambazo mchina huyo amecheza ni sehemu ambayo amefumaniwa akiwa Guest. 

Tuliamua kumtafuta Mchina huyo Mr. Chaoxiang Deming ( 朝翔 德明  ) kujua kwanini kwanini amemua kujiingiza kwenye tasnia ya filamu nchini na alidai kuwa kwa sasa biashara imekuwa ngumu kidogo hivyo sio mbaya akajaribu kufanya mambo mawili matatu kuongeza kipato

Tazama scene hiyo alizoigiza mchina huyo  AKIWA AMEFUMANIWA GESTI

-Bongomovies.com

SNURA AFUNGUKA BAADA YA PICHA ZAKE ZA KIMAHABA AKIWA NA MRISHO NGASA KUSAMBAA MTANDAONI

Posted: 15 Nov 2013 05:01 AM PST

Baaada ya Staa wa sinema na muziki Bongo, Snura Anton Mushi na Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa kunaswa kimahaba hapo jana, leo Mwanadada Snura Mushi amfunguka na kudai kuwa Ngassa ni rafiki yake tuu na si vinginevyo

“Nimeshtuka sana kusikia hizo picha zimewafikia kwa sababu mimi na Ngassa ni marafiki na yeye (Ngassa) ni shabiki mkubwa wa nyimbo zangu.Ngassa alinitembelea kama marafiki wengine wanaokuja nyumbani kwangu. Simu yangu ilipotea ndiyo maana picha zikavuja lakini ukweli ndiyo huo.”

Kwa upande wake Ngassa ambaye yupo mapumzikoni baada ya kumalizika kwa msimu wa kwanza wa Ligi Kuu Bara hakuweza kusema chochote kufuatia simu yake ya kiganjani kuita bila kupokelewa.

Hapo awali ilidaiwa kuwa wawili hao walibambwa wakiwa wamejiachia ‘wakifanya yao’.
Mnyetishaji huyo alidai kuwa wawili hao walikuwa wakiminyana bila kujali macho ya watu waliokuwa wakifika nyumbani kwa Snura hasa marafiki na majirani zake.“Yaani walikuwa wakioneshana mahaba kama njiwa bila kificho chochote.

“Kuna ‘taimu’ Snura alikuwa akimpakata Ngassa utadhani mtoto mdogo.  “Baadaye hata Ngassa naye alifanya hivyohivyo huku akicheza na nywele za Snura anavyotaka,” alidai shuhuda wetu.

Ili kujiridhisha, Tulisaka picha za wawili hao ambazo walikuwa ‘wakijifotoa’ kwa simu zikiwaonesha wakiwa katika mahaba jambo lililozua utata na maswali kwa walioziona.
Uchunguzi ulibainisha kuwa siyo mara ya kwanza kwa Snura na Ngassa kunaswa wakiwa beneti kwani wiki mbili zilizopita walibambwa kwenye ukumbi mmoja wa starehe jijini Dar wakila bata ndefu.

MWIMBAJI MKONGWE SQUEEZER AZILAUMU REDIO KUDIDIMIZA WASANII WAKONGWE

Posted: 14 Nov 2013 10:15 PM PST

Squeezer ametoa wimbo mpya unaoitwa ‘Mtemi Pesa’ aliomshirikisha Belle 9, kama jina linavyojieleza wimbo huo unazungumzia jinsi pesa inavyotawala kila kitu.

Akizungumza na kipindi cha Planet Base cha Planet FM Morogoro, Squeezer ambaye pia ni kaka wa rapper wa kike Dataz amesema baadhi ya vyombo vya habari vinachangia katika kuwadidimiza wasanii wakongwe kutokana na baadhi yao kuwabeba wasanii wapya kutokana na kuwa na masilahi nao.

“Mi nafikiri kuna baadhi ya media zinadidimiza wakongwe kwa makusudi kwa sababu wanajua wana nguvu hiyo na wanaweza, na hiyo yote ni kwasababu ya kuweza kuwamiliki ambao wanaweza kuwalipa kile kidogo walichonacho”.

Rapper huyo wa ameongeza kuwa wasanii wapya hawajui thamani yao tofauti na wasanii wakongwe kama yeye wanaojitambua.
-Bongo5.com

AUNT, WOLPER, SNURA WAFUNGA MTAA KWA MAUNO

Posted: 14 Nov 2013 09:59 PM PST


Stori: Hamida Hassan
Mastaa wa filamu za Kibongo wenye jina kubwa mjini, Aunt Ezekiel, Jacgueline Wolper na Snura Mushi hivi karibuni walitisha kwa kufunga mtaa kutokana na mauno waliyokuwa wakikata mbele za wapiga ngoma wa Kundi la Baikoko, tukio lililojiri Mwananyamala, Dar nyumbani kwa msanii mwenzao Vanitha Omary.

Wasanii hao waliwashangaza watu jinsi walivyokuwa wakijituma kukata mauno huku Wolper akimtunza mpiga ngoma na kumkatikia kwa staili mbalimbali zikiwemo za chumbani.

“Yaani wewe ulikosa mambo,  Snura alitoa shoo na mapacha wake utadhani alikuwa amelipwa, yaani walinogesha ngoma ya kumuaga mdogo wake Vanitha ambaye anakwenda kufunga ndoa Dodoma,” alisema sosi aliyekuwa akimsimulia mwandishi wetu.

Aidha, wageni waliokuwa wamealikwa eneo hilo hawakudhani kama Wolper na Aunt wangeweza kujituma vile kama walivyokuwa wakikata mauno hayo kwa sababu ustaa wote waliuweka pembeni na kujiachia kwa raha zao.
-Global Publishers

MASTAA WASHIKANA UCHAWI...WANYOOSHEANA VIDOLE WAO KWA WAO

Posted: 14 Nov 2013 09:40 PM PST

Stori: Musa Mateja
Tuhuma ya mastaa Bongo kujihusisha na mambo ya ulozi au uchawi imeibuliwa upya na safari hii bundi kajikita zaidi kwenye kiwanda cha sinema za Kibongo, Ijumaa lina ripoti kamili.

UCHUNGUZI
Uchunguzi wa gazeti hili ndani ya ulimwengu wa mastaa hao ulibaini kwamba, ukiwaacha wale wa Bongo Fleva ambao wamekuwa wakishikana uchawi kila kukicha, kwenye filamu ndiko hakufai.

Ilibumburuka kwamba masuala ya kurogana ndiyo yamesababisha filamu za baadhi yao kudoda na kukosa soko.
Inaelezwa kwamba mbali na sinema  zao kubuma sokoni pia wamekuwa wakizibiana riziki za tenda kama ilivyokuwa zamani.

KIVIPI?
Kwa mujibu wa ‘mtaalam’ wao mwenye kituo cha kazi huko Yombo-Buza, Dar, wanachokifanya ni kufifisha na kuzimana nyota hivyo kumpotezea mhusika mvuto kwenye jamii.
“Unajua kuna mastaa ambao walikuwa na majina makubwa sana lakini siku hizi siyo kama zamani.

“Baadhi wanawaroga wenzao kwa kuwasababishia matatizo ya magonjwa au kwenye familia,” alisema mmoja wa wasanii waliokuwa waking’ara zamani lakini siku hizi kafifia huku akimtolea mfano mwigizaji mmoja wa kiume ambaye mkewe aliwahi kumkuta na hirizi.

Katika uchunguzi huo, baadhi ya mastaa walikuwa wakinyoosheana vidole wao kwa wao huku listi ndefu ya mastaa wanaokesha kwa waganga kuwamaliza wenzao ikianikwa (majina tunayo).
Ili kupata uthibitisho wa uchunguzi huo, gazeti hili lilizungumza na baadhi ya vinara wa filamu za Kibongo ambapo wengi walikiri kukithiri kwa ushirikina kwenye tasnia hiyo.

JACOB STEVEN ‘JB’: Sanaa yoyote ili idumu muda mrefu inahitaji baraka na neema ya Mungu. Sisi tulianza enzi za Nyota Ensemble ‘Mambo Hayo’, baadaye ilikuja Kaole Sanaa Group ndipo kukaibuka mapinduzi sisi tukashuka.
Mimi siamini mambo ya uchawi ila naamini katika kazi tu, wasanii waache kufanya kazi kimazoea.

Masuala ya kurogana mimi spendi kuyapa nafasi maana hayo kila sehemu yapo, ninachoweza kusema ni kwamba wasanii wengi wa Bongo hawapo ‘siriasi’.
JACQUELINE WOLPER: Mimi naamini sana katika kazi lakini kwa kuwa Mungu ndiye kanipa jina hili, sina budi kumshukuru yeye ila kama nimelipata kwa njia ya uganga basi nikose kabisa.

ROSE NDAUKA: Uchawi ni ishu inayonisikitisha sana na ukweli wapo mastaa wanafanya mambo hayo ili wapande. Mimi najua Mungu hawezi kuwasaidia so nawashauri wafanye kazi, wasihangaike na uchawi kwa sababu hauwezi kuwapandisha.

KAJALA MASANJA: Kusema kweli uchawi unatajwa sana kwenye tasnia ya filamu Bongo hadi inanifanya kuamini hivyo kwa sababu kuna watu kweli wakikuona unang’ara kwenye muvi watafanya kila wawezavyo ili wakushushe tu na hasa kwa njia ya ushirikina.

SINGLE MTAMBALIKE ‘RICHIE’: Mimi asili yangu ni Mwanza so kama ujuavyo watu wa Mwanza ni wachapa kazi, so nipo makini sana na kazi yangu ya filamu na nipo kwenye tasnia kwa miaka 17 na maisha yangu nayafanya ya kawaida tu wala sipendi kujikweza sana.

Kwa staili hiyo ningetumia nguvu za giza ningekuwa tajiri namba moja  hapa nchini maana siri ya kazi yoyote ni kuiheshimu na kujibidiisha.
ELIZABETH MICHAEL ‘LULU’: Tasnia yetu ya filamu naona kama hatuangalii mbali maana kwa wenzetu wanashindana kikazi na si uchawi kama huku wanaofikiria kuwashusha wenzao kisa wanaona wanafanya vyema, mimi ninachoweza kusema watu wafanye kazi na wasibaki kuangalia nani anafanya nini na kumfanyia mambo kama hayo yasiojenga maisha.

RUTH SUKA ‘MAINDA’: Mimi sijui sana kama kuna watu wanafanya ushirikina. Ninachowaomba wamtegemee sana Mungu kwani ninachoamini mimi kila kitu kipo kwa makusudi ya Mungu. Kama ukimroga mwenzio ili ashuke basi hata wewe huwezi kufika mbali.

JACQUELINE PENTZEL ‘JACK CHUZ’: Kweli mimi ninaumizwa sana na watu wanaotumia uchawi kuzima nyota yangu kwa sababu kweli wapo wanaofanya hivyo tunawaona hata huko lokesheni wanakamatwa na hirizi.

Wengine wanakutwa na matunguri ila mwisho wa siku naomba wajue kuwa nyota na mafanikio ya mtu huletwa na Mungu na kujibidisha katika kazi hivyo ninachoweza kuwashauri watu kama hao waachane na imani za kishirikina.

SALUM HAJI ‘MBOTO’: Mimi ninachojua watu wanatengeneza muvi kupitia migongo ya wenzao, unakuta mtu anatengeneza sinema lakini anajua kabisa bila kumchezesha fulani hawezi kuuza hivyo anatumia nyota ya mwenzake kuuza filamu yake.

AUNT EZEKIEL: Siamini sana katika kurogana ila wanotumia njia hizo siamini kama wanafanikiwa kiasi hicho maana uigizaji ni kipaji kutoka kwa Mungu na hakuna awezae kushusha kipaji hicho ila najua uchawi upo na watu wanatumia uchawi kwenye mambo yao.

STEVE NYERERE: Uchawi haupo kwenye filamu tu hayo yapo hata kwenye siasa. Watu kibao wanatembelea nyota za watu. Wapo wanaoshinda kwa waganga, tunawajua ila cha msingi wafahamu kuwa hata ukimfanyia mtu kitu gani huwezi kuwa staa.

SALOME NDUMBAGWE MISAYO ‘THEA’: Mimi ninaona kama chalenji tu na kinyongo, maana wengi wanaotumia nguvu za giza hawachukui muda mrefu wanashuka wao. Ninachoona mimi waachane na nguvu za giza wamtegemee Mungu.

Baadhi ya waigizaji wengine waliowahi kurogwa na wenzao ni pamoja na Wema Sepetu, Blandina Chagula ‘Johari’, Nuru Nassor ‘Nora’ na wengineo.

-Global Publishers

KOVA:MHE.KAPUYA HANA KOSA LA KUHOJIWA NI MAMBO YAKE BINAFSI

Posted: 14 Nov 2013 12:26 PM PST

Akiongea na wanahabari leo mchana kamanda kova kasema hawawezi kumuita Mhe. Kapuya kasababu haya ni mambo yake binafsi na hakuna mtu yeyote ambaye amakuja hapa polisi kulalamika kutendewa vibaya na Mhe. Kapuya.

"hata hivyo kamanda kova kasema kama kuna ushahidi wowote wa kueleweka sio kusingizia mtu vituo vya polisi viko wazi masaa 24"

Udaku Specially

unread,
Nov 16, 2013, 4:30:32 PM11/16/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


JAMAA ASHINDWA KUVUMILIA AMWANDIKIA BARUA DEMU ANAE MPAGA LIFT KILA SIKU NA KUITUNDIKA JAMII FORUMS

Posted: 16 Nov 2013 12:32 PM PST

Huu ni waraka wangu kwako wewe mdada ninaekupaga lifti asubuhi. Nimevumilia sana mpaka nimechoka aisee maana imekua ni kero sana. Toka tuanze biashara ya kupeana lift imekua tatizo sana mpaka najuta kukufahamu. Sina uhakika sana kama wewe ni member humu Jf,
But hata kama sio member, najua hukosi kufanya kazi na Member wa humu ambae sina shaka atakufikishia ujumbe.

1) Kwanza kabisa mimi ni mume wa mtu. Biashara ya wewe mke wa mtu kunipigiaga simu asubuhi asubuhi na kuniamsha siitaki. Mimi ninaamka kwa ratiba zangu, simu unazinipigiaga kuniamsha hua zinanipa wakati mgumu sana kujitetea kwa my wife wangu.

2) Sipendi kabisa tabia ya mimi kukusubiri wewe getini kwako. Mimi sio dereva wako, hujaniajiri wala kwa lifti ninayokupa sifaidiki chochote zaidi ya kua tu wewe ni jirani yangu, nakuonea huruma ukigombea daladala asubuhi. Wewe unatakiwa uwe umeshajiandaa asubuhi na nikukute getini. Cha ajabu siku hizi nikishafika getini mpaka nikupigie simu ndio utoke. Jana umeniuzi sana eti ulishajiandaa ila ukawa unasubiri nikupigie simu.


3) Kunichagulia nyimbo za kusikiliza kwenye gari sipendi. Mimi ni mpenzi mkubwa wa Bongo Flava, hizo R&B zako kama unazipenda sana basi ka-dowload ukasikilize nyumbani kwako/kwenu.

4) Inaendana na namba (3) pale juu. Hua napenda sana kusikiliza Magazeti redioni asubuhi. Sipendi kabisa tabia ya wewe kujifanya ndio controller wa radio ya gari langu. Kupitia Magazeti radioni ndio najua mambo mbalimbali yahusuyo Siasa, Mchezo n.k. kabla sijafungua JF.

5) Mimi sio mpenzi sana wa AC kwenye gari, napendelea kitu Natural Air. Sijui kwanini hujalifahamu hili. Eti ukiingia tu unaanza kupandisha Vioo na kuwasha AC, huangalii kama kio changu pia kimepanda ama vipi. Wewe unatakiwa unifuatishe mimi na sio kujifanyia mambo utakavyo.

6) Kuna mafuta mengine unapaka yananikera kwelikweli harufu yake. Nafikiri hata huko kazini kwenu wanaipata fresh.

7) Unaongea mno aisee, yaani kama umemeza kanda. Yaani njia nzima unaongea wewe tu. Binadamu tumepewa mdomo mmoja na masikioo mawili ili tuongee kidogo lakini tusikilize sana, lakini kwa wewe mdada sio hivyo aisee. Unahdithia mastory ya kazini kwenu ambayo hayanihusu, mi ya nini?? 

8) Ukiwa na mimi ujue ni straight to Mjini. Mambo ya kuniambia eti tupitie sijui Steers au Jamaa fast Food kuchukua vitafunwa mi siiizimkii aisee. Pengine wewe umezoea kuchelewa kazini, basi tusicheleweshane. Sometimes nakua na viporo kibao kazini nahitaji kuwahi kuvimalizia, we unaanza kuzusha safari zako za asubuhi asubuhi, why we mwanamke??

9) Hivi gari umejifunzia wapi?? Sijawahi kukuona ukiendesha na wala hujawahi kunionyesha hata leseni yako, leo unaniambia siku moja moja niwe nakuachia uwe unaendesha wewe, ili iweje?? Unataka kujifunzia gari kwangu? 

10) Mimi ndio dereva, najua wapi ni-over take na wapi nipite wapi. Cha ajabu hata speed unanipangia wapi nikimbize na wapi niendeshe slow, wewe umeomba lifti tu, kaa subiri ufikishwe kazini kwako, biashara ya njiani naijua mimi. Mimi nimeanza kuendesha gari toka unasoma shule ya msingi so sipendi ujifanye mwalimu wangu wakati naeendesha.

11) Gari yangu sio saluni kwenu. Eti unaweka miguu juu, mara sijui unakata kucha, halafu hizo kucha zinaporukia wala hujishughulishi kuzitafuta. Matokeo yake tunataka kuvunjiana ndoa. Halafu ukifungua kioo cha kujiangalia cha "kizuia jua" uwe unakirudishia baada ya kukitumia. Pia sipendi ukae kwa kulaza siti kwa nyuma. We asubuhi asubuhi umeamka bado una energy za kutosha halafu unakaa kwa kulaza siti, hizo kazi zitafanyika kweli??

12) Tena sipendi uwe unaongea kwa kunipiga piga begani au mkononi, hua naumia na pia naweza kupoteza control ya sterling. 

Haya ni baadhi tu ya ambayo unayafanyaga wewe abiria wangu naekupaga lifti ambayo yananikera sana asubuhi. Nashindwa tu kujua nianzie wapi kukuambia ukweli navyokereka.

Chanzo:Jamii Forums

RAPA WA AKUDO ADAIWA KUNASWA KWA UNGA CHINA

Posted: 16 Nov 2013 11:48 AM PST


Meneja wa Bendi ya Akudo Impact, Ramadhan Pesambili, Novemba 14, mwaka huu ameliambia Risasi Jumamosi kwamba wamepata taarifa za kushikiliwa kwa Kanal Top nchini China kwa tuhuma hizo.

“Taarifa hizo tumezisikia, tunazifuatialia kwa umakini mkubwa na kuweza kujua kama ni kweli ama la, maana zinachanganya sana,” alisema Pesambili.

Aidha,  meneja huyo ameonesha kusikitishwa na habari hizo na kudai kwamba zinaichafua bendi yao kutokana na watu mbalimbali kumpigia simu kumuulizia juu ya taarifa hizo na wengine  kumfafanulia zaidi jinsi Kanal Top alivyonaswa.

“Kama meneja wa Akudo nasikitishwa na taarifa hizo, kwa kuwa Kanal Top hatuko naye zaidi ya miezi minne sasa, mwanzo aliaga anakwenda Kongo kuoa na  aliporudi aliomba ruhusa ya kwenda Dubai kufanya shoo ya wimbo wake wa Mama Vanesa nasi tukamruhusu kwa moyo wote.

“Wiki tatu zilizopita tulisikia habari za uvumi huo na tulipofuatilia tukagundua si kweli,” alisema meneja huyo.
Pesambili alisema kuwa hata Mzee  Kapuya (Juma, mmiliki wa Akudo) alisikia uvumi huo na akasema kama kweli Kanal Top anajihusisha na biashara hiyo basi asirudi kwenye bendi yake na ikiwezekana akamatwe kabla hajachafua hali ya hewa.
“Lakini  kabla hatujachukua hatua zozote ndiyo juzi tukasikia tena kuwa amekamatwa nchini China.

“Viongozi wa Akudo tumesikitishwa sana na taarifa hizo ingawa bado tunaendelea kuzifuatilia ili tuweze kujua zaidi, maana tunasikia amekamatwa akiwa na wanamuziki wa FM Academia, wengine wanasema alikuwa na mkewe,” alisema Pesambili huku akikiri simu ya China ya Kanal Top haipatikani.

-Chanzo: Global Publishers

KOLETHA "SIPIGI PICHA ZA UTUPU KUSAKA USTAA"

Posted: 16 Nov 2013 11:26 AM PST

Stori: Chande Abdallah
MWIGIZAJI Koletha Raymond ‘Koletha’ amefunguka kuwa hapendi umaarufu kwa kupiga picha za utupu kama wasichana wengi walio katika tasnia ya filamu wafanyavyo.

Koletha aliyasema hayo ikiwa ni siku chache tu baada ya mitandao kadhaa kusambaza picha ya utupu inayoonesha sehemu ya kiuno, ikidaiwa kuwa ni ya msanii huyo ambapo paparazi wetu alipomhoji kuhusiana na picha hiyo, alitiririka:

Hiyo picha siyo yangu. Mimi siwezi hata siku moja kusaka usupastaa kwa kupiga picha za uchi, kwanza sipendi na sitaki kufanya hivyo sababu ninajiheshimu tofauti na wenzangu wanaoendekeza mambo hayo wakati hawana kazi hata moja sokoni,” alisema Koletha.
http://www.globalpublishers.info

NATAFUTA RAFIKI AMBAE ATAKUWA MCHUMBA NA BAADAE NIOLEWE NAE

Posted: 16 Nov 2013 04:58 AM PST

Mimi ni Msichana wa Miaka 28 , Niko Dar kwa Sasa ila Nimeishi Nje ya Nchi kwa Muda mrefu kwa sasa Nimeamua kurudi Tanzania Kutafuta Maisha na Kuolewa Huku Kama Mungu Akijalia ..Nipo Series Natafuta rafiki ambae atakuja kuwa mchumba na mume wa ndoa ....


SIFA ZA MTU NIMTAKAYE:
1.KABILA:lolote lile
2.DINI:awe mkristo na mcha mungu dhehebu lolote kasolo wasabato wasiombe.
3.ELIMU:awe na advance diploma na kuendelea
4.KAZI:Awe ameajiriwa selikalini au private organazation yeyote
5.Asiwe anakunywa pombe wala kuvuta sigara
6.Urefu at least sentmita 158 hadi 167 (ikizidi au kupungua kidogo hapo siyo tatizo)
7.Awe maji ya kunde au mweusi,mweupe kidogo haina shida
8.Awe mcheshi,mtaratibu,smart na presentable
9.Awe tayari kupima na lengo la kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja tu ikizidi basi mwaka na miezi 3
10.Awe anaishi mikoa ifuatayo ili iwe rahisi kuonana kwa ajili ya kufahamiana tu MOROGORO,DODOMA,PWANI NA DAR ES SALAM.
KWA ALIYE SERIOUS NA MWENYE VIGEZO TAJWA HAPO JUU  ATUMIE EMAIL HII 
saiyae...@gmail.com or weka number ya simu na maelezo yako kidogo

UWEZI AMINI KUMBE SIKU HIZI WASICHANA/MWANAUME BIKIRA SI DEAL KABISA..SOMA HAPA

Posted: 16 Nov 2013 04:49 AM PST

Leo wakati nakuja hapa nilipo muda huu nilikuwa nimeongozana na wadada kama wa-4 hivi inaonekana wanaishi jirani na wanakofanyia kazi au kuishi ni kumoja

Wadada hawa walikua na story iliyovuta masikio yangu na kunifanya nipunguze spidi ili niendelee kuwasikiliza kwa kuwa tulipokuwa pana ka umbali kidogo hadi ufikie kituo cha usafiri wetu wa umma[Hiace/daladala/vifordi]

Wadada hawa walikuwa wanamzungumzia mwenzao ambae inaonekana siku za karibuni ataolewa

Tatizo halikuwa kuolewa bali anaemuoa
Inasemekana kuwa huyo mume mtarajiwa wa rafiki wa hao akina dada hajawahi kufanya ngono,yaani ni bikra wa kiume
Wadada wale walikuwa wanamlaumu mwenzao kwa kutokusikiliza maelekezo yao kwa kukataa kuolewa na huyo jamaa kwakuwa ni "mshamba" yaani hayajui mapenzi kitendo kitakachomfanya rafiki yao aanze kutembeza shule kwa huyo mume namna ya kugegeda kitendo ambacho wale wadada hawakukubaliana nacho

Walionekana kukerwa sana na walikuwa wanasema wao hawawezi kuja kuolewa au kuwa na mahusiano na mwanaume wa aina hiyo

Story hiyo ikanikumbusha miezi kadhaa iliyopita nilikuwa nazungumza na jamaa zangu kuhusiana na suala hili ambapo kuna jamaa alikuja kutulalamikia kuhusiana na mkewe kutokujua mapenzi kwa sababu alimkuta bikra

Jamaa yetu yule alionekana kukereka sana na alifikia kusema kama angejua asingemuoa
Kati ya vijana tuliokuwa pale watatu walikubaliana na yule jamaa
Nilishangaa!

Nilidhani kuwa kama ukimkuta mwanamke sio used basi unafurahi kumbe sio

Sasa nikiunganisha na hili tukio la leo naona hili jambo kama linakua flani hivi,yaani huenda hili suala hapo siku za nyuma lilikuwepo lakini inaonekana linachukua kasi mbaya

Nimeamua kulileta hapa ili nijue Wanaume wa hapa wanalichukuliaje suala hili
Pia wanawake nao wanalichukuliaje hili

Yaani kama kuna watu wawili ambao unatakiwa uchague kati ya huyo mmoja awe mwenzi wako na mmoja ni used na mwingine sio,ungependa yupi awe mwenzi wako na kwanini?

Watu wa siku hizi inaonekana hawapendi masuala ya kuanza kufundishana,wanataka watu ambao ni waalimu tayari

Inaonekana sisi mabikra tutaipata mwaka huu....lol!

Naomba mchango wako tafadhali!
Mdau-

YALE MAJIBU YA UKIMWI YA IRENE UWOYA YALETA BALAA MTANDAONI

Posted: 15 Nov 2013 11:36 PM PST

Majibu ya ukimwi ya mwanadada Irene Uwoya yamezusha vuta nikuvute huko kwenye mtandao maarufu wa kijamii   wa picha na video nchini baada ya shabiki mmoja wa Irene uwoya ‘kum-diss’ mwanadada huyo kuwa hayo majibu si kweli labda kama ni majibu  ya vipimo vya ugonjwa wa Malaria kwa maana kuwa hakubali na haamini kama Irene uwoya anweza kuwa HANA ugonjwa huu wa kisasa kutokana na sababu zake binafsi anazozijua shabiki huyo ambazo sisi tumeshindwa kuzifahamu mpaka sasa.

Ilikuaje?
Mwanadada Irene Uwoya aliamua kuweka majibu ya vipimo vyake hivyo vya gonjwa hili hatari sana kama njia ya kuwashauri watu waende kupima kwa kufuata mfano wake yeye kama kioo cha jamii

Maoni ya mashabiki yakaanza…
Muda mfupi tuu baada ya mwanadada huyo kuweka majibu ya vipimo vyake hivyo yanayoonesha kuwa mrembo wetu huyu yupo NEGATIVE ama hana maambukizi ya ugonjwa huu ndipo watu mbalimbali walipoanza kutoa maoni hayo kuhusu majibu hayo.

Mtafaruku…
Baada ya muda kidogo ndipo baadhi ya mashabiki walipoanza kuhoji uhalisia wa majibu hayo kwa kuanza kuuliza maswali kama:
Asina : “Mbona haijaoneshwa km ni HIV?”
Salm: “Hhhhhmm Mamaa tarehee iko wapi?”
Na ndipo huku wa tatu alipogusa mtima wa Irene kwa kauli yake la utata kuhusu majibu hayo na kulianzisha sakata hilo;
Lulu: “Hongera kwa kua huna malaria bt ngoma ustake tuumbuane”

Irene amjibu….
“Inawezekana nilitembea na…… (Manaeno ya hapa yamefutwa kutokana na sababu za kimaadili)”  huku akimlenga huyo mwanadada anayeitwa lulu aliyetoa hoja yake hapo juu

Udakuzi waanza….
Jacq:  “Asante kwa jibu zuri ulilompatia huyo kiumbe coz kuna watu hawanaga vya kucoment yan ilimradi tuu na yy kacoment!!#watanzania tubadilike khaaa...big up kipenz…”
Mbalumimi??: “Jibu limejitosheleza kuna watu wamezaliwa na vijiba kha”
Glyn:  “lulu umelipata likufaalo buhaha”
Makii: “Jibu kwa mtu kama wewe tena kioo cha jamii... ukweli hapana. Wasanii ijueni nafasi yenu kwenye jamii…”
Salmin: “Mamaa usifanye tena hivyo, ww ni SomeHoney kwa Tanzania na wengine ni Some1,jaribu kuplay part yako Usijibu jibu 2, Unashusha dat ID n CV of yars 2nakuchallenge hw far cn u go....”

Aliyelianzisha naye aongea tena….
Lulu: Sikumaanisha vibaya kusema hivyo...irene na huna sababu ya ku?panick hivyo anyway asante kwa kunikumbusha kuwa baba yangu ni marehemu... majibu mnayoyatoa yanaweza yakakufanya watu wajue ukoje... nimekujibu kistaarab coz sina ubaya na wewe but the next time kabla hujanijibu pumba zako tafakari comment n ujibu.

Irene uwoya ampa jibu zito tena….
Irene Uwoya: “Tena ukome kama uwez ku comment vizuri acha pia....minimeweka chet changu unaongea pumba wakat napima ulikuwepo?maana unaongea kama vile umewah kunipima....kumbe vinauma...poleeee” Sina mda na mwezi mchanga

Naye Irene apewa jibu zito safari hii…
Lulu: Siumii kabisaa ndo maana niko relaxed ninavyo kujibu.... wee ndo una pressure relax mamaa siumii hata kidogo maskini pole sana jifunze kutafakari vitu u big time(Tusi) ungeelewa comment ya kwanza haya yasinge tokeaaa!

Irene Uwoya atumia busara zake kuomba radhi.
Irene Uwoya: Yan wapenz wangu polen kama nimewauz...mi nimeweka chet nakuwashauri tuuu...lakin naona kuna watu wanataka kufanya wananijua sana

Huyu aamua kuwatuliza  yaishe….
Jose: Basiii!!!inatosha usiku sasa jamani,@PIPOOO,kwani nyie madokta? Ok kesho ntamchukua cc Irene na gari la PA tumpime hadhari muache kuongea,,MSIPENDE BISHANA BANA,,#life ni fupi joooooo,so baaabaabaaa banjuka tu,co kutupiana maneno# NANYI MKAPIMEEEEEEE!!!
Mmmh! Kweli ustaa kazi...

PROF.MUHONGO "WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI, WAVIVU KUSOMA NA WASHAMBA WA UWEKEZAJI"

Posted: 15 Nov 2013 09:20 PM PST

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameingia katika mgogoro mwingine wa uzembe wa matumizi ya ulimi. Hilo lilitokea juzi katika ukumbi wa Classic Ubungo Plaza mbele ya viongozi wa dini kutoka kote nchini ambapo waziri huyo alikuwa akiwahutubia viongozi hao kuhusiana na sekta nzima ya madini na rasilimali za nchi. Kongamano hilo liliandaliwa na Kamati ya Kudumu ya viongozi wa dini inayojishughulisha na utetezi wa rasilimali za nchi na haki za wananchi.

Viongozi waliohudhuria walitoka Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Tume ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) pamoja na asasi za kiraia za haki madini, Policy Furum, Norwegian Church Aid, Ongea na wawakilishi wa taasisi za elimu ya juu hapa nchini.


Kauli ya Askofu Benson mwenyekiti wa mkutano

Mwenyekiti wa mkutano huo, Askofu Benson Bagonza wa Dayosisi ya Karagwe, katika ufunguzi, alimweleza Muhongo kuwa licha ya uwekezaji mkubwa katika uvunaji wa rasilimali za madini, wananchi wanaoishi katika maeneo ya migodi ni maskini wa kutupwa. Alisema kuwa haki zao za kibinadamu haziheshimiwi na mazingira yameharibiwa sana huku akirudia wito wa kamati yake kuitaka serikali kuweka wazi mikataba ya madini na kuondokana na usiri unaoghubika sekta hiyo.


Majibu na matusi toka kwa Waziri Muhongo kwa maaskofu na watanzania

Akijibu hotuba hiyo waziri huyo alikanusha vikali akisema mikataba yote ya madini iko wazi na kwamba ilipelekwa kwenye ofisi ya Spika ili wabunge waweze kuisoma lakini cha ajabu wabunge hao wameshindwa kuisoma huku wakiendelea kulalamika kama ilivyo kwa Watanzania wengi.


Akionekana kutamba na kujigamba mbele ya viongozi hao, Prof. Muhongo alisema Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji. Aliwalaumu watu mbalimbali mara kadhaa bila kuwataja majina kuwa wanapenda kutumia ‘vihela’ vya familia zao kudai wapendelewe kupewa vitalu vya gesi huko Mtwara lakini akasema chini ya uongozi wake hilo halitatokea.


“Hawa wanaodai wapendelewe kwa kuwa ni wazawa, wakiishatajirika watasababisha vita kwa sababu watu maskini hawatavumilia kuona matajiri wakineemeka wakati wao ni maskini wa kutupwa,” alisema.

Katika hotuba yake iliyochukua masaa mawili, Prof. Muhogo aliendelea kutumia maneno kama ‘kukurupuka’, ‘upuuzi’, ‘ushamba’, ‘uzushi’, “non performers” na mara kadhaa alionekana kuwaponda Watanzania kuwa hawasomi ndio maana wanaishia kulalamika kila kukicha.

Askofu Oscar wa Newala/Mtwara ampa wakati mgumu Muhongo

Ndipo katika kipindi cha maswali na majibu alipokumbana na hasira ya wanakongamano ambapo wa kwanza alikuwa ni Askofu Oscar Mn’unga wa Dayosisi ya Newala na Mtwara. Askofu huyo alimwambia Waziri Muhongo kuwa ana lugha za kibabe na dharau kwa Watanzania.

“Umekuja umejihami na ubabe wako lakini ujue wananchi wa Mtwara si wajinga tena hata kama wako kimya,” alisema askofu huku akishangiliwa kwa vigelegele.


Mwenyekiti wa mkutano ampa Muhongo ushauri wa busara

Mwenyekiti wa mkutano, Askofu Bagonza, kwa kutumia hekima kubwa alimshauri Muhogo kuazima hekima na uzoefu wa viongozi wa dini.

“Ukiona mtu anakuja kwako akiwa peke yake ujue mtu huyo ana matatizo; lakini ukiona kundi la wawili au watatu wanakuja kwako kiongozi, uwe na uhakika kuwa una matatizo na uwasikilize,” alisisitiza Askofu Bagonza.

Askofu huyo aliendelea kumshauri waziri kuelewa kuwa viongozi wa dini wana wajibu wa zaidi ya kulinda kundi lisishambuliwe na mbwa mwitu na kwamba ni wajibu wao pia kuwaonyesha watawala vichaka vyenye mbwa mwitu katika sekta ya madini.

Profesa Muhongo alipopwaya kuendekeza ubabe

Kilele cha malumbano kati ya Waziri Muhogo na Askofu Oscar kilifika pale askofu huyo alipoituhumu serikali kwa kushusha mabomba ya gesi katika bandari ya Dar es Salaam badala ya Mtwara.

Alisema hatua hiyo ilisababisha yasombwe na malori yanayoharibu barabara zao, kauli iliyomwinua Waziri Muhogo na kumwita askofu huyo kuwa ni mwongo.

“Huo ni uwongo na aibu kwa askofu kusema uwongo,” alisema waziri kisha akaongeza:

“Mimi siendi kanisani mara kwa mara lakini sisemi uongo kama watu wanaoenda kanisani kila siku.”

MAREKANI YAIWEKA PABAYA TANZANIA..YAIITA KITOVU CHA BIASHARA YA BINADAMU

Posted: 15 Nov 2013 08:54 PM PST

Dar es Salaam. Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana, kuwatumikisha katika ngono na usafirishaji wa binadamu.

Ripoti hiyo iliyotolewa na idara ya nchi hiyo inayohusika na diplomasia (US Department of State, Diplomacy in Action), pia inaitaja Tanzania kuwa ni kitovu cha njia ya kusafirisha wanawake, watoto na wanaume ambao hutumikishwa kwenye kazi za mashambani na biashara ya ngono.

Ripoti hiyo iliyozinduliwa Julai  mwaka huu   na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Seneta John Kerry inaweka bayana kwamba biashara ya usafirishaji wa binadamu hufanywa na baadhi ya ndugu na marafiki ambao hutoa ahadi kwa wahusika kwamba wanakwenda kuwasomesha au kuwatafutia ajira nzuri mijini.

“Unyonyaji wa wasichana wadogo na utumikishaji majumbani ndilo tatizo linaloongoza, ingawa kesi za watoto kusafirishwa kwa ajili ya biashara ya ngono katika mpaka wa Tanzania na Kenya zinaongezeka. Pia, wasichana wananyonywa kwenye maeneo ya utalii,” inasema sehemu ya ripoti hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, watoto kutoka Burundi na Kenya, watu wazima kutoka Bangladesh, Nepal, Yemen na India wanatumikishwa kufanya kazi kwenye sekta za kilimo, madini na majumbani nchini Tanzania.

“Baadhi ya raia kutoka nchi  jirani huingia Tanzania kwa hiari yao, lakini hulazimishwa kufanya kazi majumbani kabla ya kupelekwa kutumikishwa kwenye biashara ya ngono Afrika Kusini, Ulaya na Mashariki ya Kati,” inaeleza.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki alimtaka mwandishi kumtumia ripoti hiyo kwa njia ya baruapepe ili aweze kuisoma na kuitolea maelezo.

Alipotafutwa siku ya pili, alisema kuwa ameipokea na kuikabidhi ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP) ili ifanyiwe kazi na baadaye kutoa majibu.

“Ripoti niliipata nikaikabidhi ofisi ya DPP kwa kuwa wao ndio wanaoweza kuitolea maelezo baada ya kuisoma. Maoni yangu lazima yawe ya kitaalamu siwezi kusema bila kupata taarifa kutoka kwao,” alisema.

Lawama kwa Serikali

Ripoti hiyo inaitupia lawama Tanzania kwa kutokuwa na sheria thabiti za kupambana na biashara haramu ya kusafirisha binadamu, huku ikitolea mfano namna ilivyoshindwa kuwasaidia raia wake waliokuwa wakinyanyaswa nje ya nchi.

“Kamati ya Serikali ya kupambana na usafirishaji binadamu, haijachukua hatua za kutosha katika kutekeleza mpango mkakati wa kupambana na vitendo hivyo,” inaeleza na kuongeza:

“Serikali imeshindwa kutenga fedha kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa usafirishaji wa binadamu kama ambavyo inaelekezwa kwenye sheria ya kudhibiti biashara hiyo ya 2008.”

Taarifa hiyo inaitaka Tanzania kuongeza nguvu katika kutekeleza sheria ya kudhibiti biashara ya kusafirisha binadamu ya 2008 kwa kuwakamata na kuwashtaki wahusika wote, lakini ikaikosoa kwa kusema inatoa adhabu ndogo kwa mtu anayebainika kufanya makosa, ikiwa ni pamoja na kumhukumu kwenda jela miaka 10, kulipa faini au vyote viwili kwa pamoja.

“Sheria hiyo haifanani na nyingine kama za mtu anayepatikana na kosa la kubaka au kufanya kosa jingine la jinai. Mamlaka imesema ina kesi nne inazozichunguza, saba zipo mahakamani toka mwaka jana, zikiwepo mbili mpya,” inasema ripoti.

Pia, Serikali ya Tanzania imelaumiwa kwa kushindwa kuripoti maendeleo ya uchunguzi wa maofisa wake waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya usafirishaji binadamu.

LHRC na TGNP

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba alisema tatizo la usafirishaji wa binadamu pia linachangiwa na wasichana kuwa na tamaa ya maisha mazuri, hivyo kukubali ahadi ambazo hupewa kwamba wanapelekwa kusoma, wasifahamu  wanarubuniwa.

“Wengi wanatamani kwenda ‘majuu’ wakidhani watapata elimu, lakini baadaye wanaingizwa kwenye vitendo vinavyowafedhehesha na kuwafanya wakate tamaa kabisa,” alisema.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Usu Mallya alisema katika siku za karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wasichana waliochukuliwa vijijini kwenda mijini kufanya kazi.

Alisema pamoja na tatizo hilo kuongezeka hapa nchini, hakuna tafiti za kutosha ambazo zimefanywa na wadau mbalimbali kuonyesha madhara yaliyopatikana hadi sasa.

“Katika siku za usoni kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya kunyimwa chakula, kupigwa na kufukuzwa kazi huku wasichana wengine wakitumika kwenye biashara ya ngono,” alisema na kuongeza:

“Ripoti hii isiishie kwenye makabrasha bali  ifanyiwe kazi ili jamii yote ijue kuwa hili ni tatizo.”

Ripoti hiyo inabainisha kuwa watu 47,000 pekee ndio walioweza kuokolewa mwaka jana kutoka kwenye mazingira ya utumikishwaji kati ya milioni 27 waliopo katika hali hiyo duniani.

Tanzania imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 44 ambazo zinajaribu kupambana na biashara hiyo, lakini hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
-Mwananchi

Udaku Specially

unread,
Nov 17, 2013, 4:03:03 PM11/17/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME 'WEEK YA NANE 'NA JEMBE NI LILE LILE'MBUTA NANGA!!

Posted: 17 Nov 2013 12:11 PM PST

SAY WHATTTTTTTTTTTTTTTT''ANY NEW MATUSI YET'''?CHEZEA TOP IN TOWN ' HAWAOGOPIIIIIII''NA KAWAUWA HATERS WAKE WOTEEEEE'''


 HABARI NDIYO HIYOOOO'''YANI THE TALK OF MUJINI''

 HOT  XMAS MAANDALIZI YA WINTER KOFIA BY:FL DESIGNS &TRADES'

 CHAGUO LAKO KWA RANGI ZAKO''ZIPO RANGI SABA''




 KIATU JAMANI KIATU 'YANI SIJAWAHI KUVAA VIATU NIKARIDHIKA KAMA HIVI''VYEPESI NA HAVIUMIZI VIDOLE VYA MIGUU KABISA'' 









 HOT THAN EVER 'SI MWINGINE NI YULE YULE TOP IN TOWN 'FLORA LYIMO 'JAMANI KUJIPENDA NA KUJIAMINI RAHA EEEEEEE' 
'
MAMBO YA FL DESIGNS &TRADES'' YANI KIATU KINAVALIWA HASWAAA'JAMANI KWA WALE WOTE MLIO NIPENI ODA ZENU 'MSIJALI VIATU VYENU VIPO ANGANI ''WALE WAJUMLA NA REJA REJA PIA KARIBUNI '' NA WALE WAUZAJI WA MKOPO EXPRESS  KAZI KWENU KUHAKIKISHA MMEFIKISHA UJUMBE KWA WATEJA WENU NA VILE VILE KUNIJULISHA NI KUPE KIPI NA RANGI GANI PLEASE'


KUSOMA ZAIDI CLICK HAPA: FLORA LYMO BLOG

BAADA YA MINONG'ONO MINGI SASA AFANDE SELE AJIUNGA RASMI CHADEMA

Posted: 17 Nov 2013 11:53 AM PST

It was a long time rumor that Afande Sele, a Morogoro based artist and a reigning Lyrical King [ the competition took place only once] was going to join a political party; Chama Cha Demokrasia na Maendeleo[ CHADEMA]. The rumor are now worthless. We have facts and confirmation from Afande Sele himself that he has officially joined the leading opposition party.
Afande, who is known for his well thought lyrics but also to have acted silly on stage at times [ he once almost took off all his clothing on stage] confirmed the news through his Facebook account where he wrote;
“Hakuna kusanda,hakuna kumbwanda,mbele kwa mbele makamanda,vua gamba vaa gwanda kisha kaza mkanda, wanashuka sisi tunapandaaa,,,,Leo tunaanza kuandika historia mpya ktk mkoa wetu wa morogoro na tz kwa ujumla kwa sababu nikiwa kama msanii wa muda mrefu na mfalme pekee wa mzk wa kizazi kipya ninaetunga nyimbo zangu kwa kuzingatia ujumbe muhimu ktk jamii kwa mambo ya kisiasa,kiuchumi,elimu,amani na upendo nk,Sasa leo nimeamua kwa ridhaa yangu iliyosukumwa na uzalendo na mapenz makubwa kwa taifa langu kuchukua kadi ya kujiunga rasmi uanachama wa CHADEMA,tukio hilo kubwa litafanyika leo jioni ktk mkutano wa hadhara utakaofanyika kata yetu ya mafiga/misufini na utahudhuriwa na viongoz mbalimbali wa chama kutoka makao makuu ya chama Dsm pamoja na mbunge wa nyamagana mh Ezekiel Wenje,kwa wakaz wa Moro wazalendo nyote mnakaribishwa saaana, ahsanteni wana’ndugu, siasa si uadui, tupingane/tusipigane, Pendo moja!,,,,”
Some other known and popular artists in CHADEMA are the likes of Professor Jay[ he joined earlier this year], Mkoloni and of course an MP already, Joseph Mbilinyi. There are well established rumors that Lady JayDee will also join CHADEMA soon.
-Bongocelebrity

DIAMOND AMEPOST PICHA KUTUONJESHA KIDOGO JINSI REMIX YA NUMBER 1 ITAKAVYOKUWA...

Posted: 17 Nov 2013 10:22 AM PST

Diamond anaweza kuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya video na director mkubwa wa Nigeria Clarence Peter ambaye ameshafanya video nyingi za wasanii wakubwa nchini Nigeria na Africa kwa ujumla.
 

Diamond ame-post picha moja ya behind the scene wakiwa wanatengeneza hiyo video na aliandika hii caption , “Naamini ipo siku nasi Tanzania tutasimama vyema katika ramani hii ya muziki worldwide na kuipa sifa na heshima zaidi East Africa yetu. Eeeh Mwenyezi Mungu ibariki Tanzani, ibariki East Africa na Africa yetu kwa ujumla. #LastNight #Onset #NumberOneRemix#DiamondFtDavido #ClarencePeterBehindTheCamera”



HATIMAYE PETER OKEYO WA P-SQUARE AFUNGA NDOA-HII NDIO PICHA YA KWANZA KUTOKA KATIKA HARUSI HIYO

Posted: 17 Nov 2013 10:43 AM PST

Baada ya mahusiano yao kuongelewa sana Kwenye Mitandao hatimaye Peter Okoye wa P-Square Amefunga ndoa na mchumba wake wa muda Mrefu anayejulikana  kwa jina la Lola....Congrats Bro.....

WILLIAM MALECELA AJITOKEZA NA KUMUOMBA MUHESHIMIWA KAPUYA MSAMAHA KWA KUAMINI ALIBAKA NA KUMUAMBUKIZA UKIMWI MSICHANA

Posted: 17 Nov 2013 07:12 AM PST

- Mimi nikiwa Mwana CCM na Kiongozi pia wa CCM ngazi ya Taifa na Blogger, naomba kusimama mbele ya Mheshimiwa Mbunge Kapuya na Taifa zima la Tanzania pamoja na wasomaji wangu wote wa Blog na meble ya Mungu, kukubali makosa na kuomba radhi, kwake na kwa Mungu wangu zaidi. Mimi ni mmoja wa watu wa kwanza kuamini hadithi iliyojitokeza hivi karibuni kwamba Mheshimiwa Kapuya amembaka na kumuambukiza Ukimwi na kutishia kumuua msichana wa miaka 14. 

- Leo ninaomba kusimama hapa na kusema kwamba hii habari ni uongo na ni uzushi wa hali ya juu sana uliotengeenzwa na msichana mzoefu wa uzushi ambaye kwanza si kweli kwamba ni Mwanafunzi, pili ni Mtumzima mwenye mtoto tayari hata kabla hajakutana na Mh. Kapuya, pia ni muongo na mzushi mzoefu aliyewahi kuwadanganya pamoja na Mkurugenzi wa CRDB Bank, pamoja na kuidanganya TAMWA ambayo iliishia kumuripoti polisi na kuishia kwake kukaa rumande Segerea kwa muda mrefu sana. 

- Kwa nini niliaiamini hii hadithi ni kwamba kuna siku mimi binafsi tulikuwa tumekaa faragha na Viongozi wengine Watatu wakubwa wa Taifa ambapo mbunge mmoja aliyedai kuijua kwa undani hii hadithi na kuhusiaka nayo, alianza kutuelezea hii hadithi kwa kutmia details kubwa kubwa sana, binafsi nilikuwa ninamuamini sana yule mbunge mpaka leo nilipothibitisha kwa 100% kwamba hii hadithi haiko sawa either na yeye ni muongo wa makusudi mwenye nia mbaya na Mh. Kapuya au na yeye alidanganywa na huyu msichana, ambaye jina lake kamili ni Hamida as opposed na majina mengi ya uongo ambayo amekuwa akiyatumia kudanganyia watu.

- Ninaomba kuwa wa kwanza kubeba huu msalaba, najua kwamba sio rahisi kueleweka na wengi ambao tulishamuhukumu Mh. Kapuya, lakini ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga iliyoutngwa na msichana mmoja aliyebobea katika uzushi na uongo wa hali ya juu sana. Majuzi Waziri mmoja ninayemuamini sana katika Serikali ya sasa alinishitua kwamba hii hadithi ni ya uongo niiifuatilie tena, lakini sikuamuamini mpaka leo asubuhi sana nilipopigia sim na gazeti moja maarufu sana la Udaku, walioniambia kwamba hii habari si ya kweli na kwamba wanaye huyu msichana pale ofisini kwao, toka asubuhi mpaka sasa nimekuwa kwenye uhakiki wa hii ishu, na sasa ninasema wazi na tena kwamba:-

NINAMUOMBA RADHI SANA MH. KAPUYA NA NI MATUMAINI YANGU MAKUBWA SANA KWAMBA WALE WOTE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU TUTAKUBALI MAPUNGUFU YETU KAMA WANADAMU NA KUMUUNGAMIA CHINI MUNGU WETU, NI KWELI MH. KAPUYA ALIKUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA HUYU BINTI LAKINI YA HIARI SIO KAMA ILIYOELEZWA NA SI KWELI KWAMBA HUYU BINTI NI MWANAFUNZI, HAPANA ANA MTOTO TAYARI NA PIA ALISHAWAHI KULIDANGANYA JESHI LA POLISI HUKO NYUMA.

- Wale wote tunahusika na media tujifunze tena na hili fundisho, tujitahidi kuwa waadilifu na kufanya utafiti wa kina kabla ya kuruka na hadithi nzito kama hii ambayo inaweza kummaliza mwananchi mwenzetu, au kiongozi bila sababu za msingi wala ukweli.

- AGAIN NI MATUMAINI YANGU KWAMBA WALE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU MHESHIMIWA KAPUYA, TUTAJITOKEZA TENA IN THE PUBLIC NA KUMUOMBA RADHI NA MSAMAHA.

- MUNGU IBARIKI TANZANIA NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

WILLIAM MALECELA

PICHA: UKATILI! MWANAMKE AKATWA MGUU NA MUMEWE

Posted: 17 Nov 2013 06:53 AM PST

 



Hali ya wanawake inazidi kuwa mbaya ndani ya nchi yao TANZANIA inayosifiwa kuwa ni Kisiwa cha Amani (Amani kwa wanaume) Tukio hili lilitokea mapema mwezi wa nane mwaka huu Kijiji cha Nyantira Tarime Mara. Katika mazungumzo yake huyu binti alisema kwamba anatamani sana kurudi nyumbani kwa wazazi wake, tatizo ni kwamba kwa kuwa alilipiwa MAHARI na mume wake (aliyemkata panga mguu na kuutoa) hawezi kurudi kwao , wala mama yake hawezi kumkubalia arudi kwao ni mpaka baba yake aje atoe ruhusa ya yeye kurudi nyumbani au abaki kwa mume muuaji avumilie-MFUMO DUME UMEKAMATA MIZIZI (mbayaaaaa, sanaaaa. anajisemeaga Mch Rwakatare)






Samahani kwa picha mbaya, lakini hatuna budi kuonyesha unyama uliopita kipimo ambao wanawake wanaupitia. Na huu ni mfano halisi kwa mwanamke huyu wa Tarime Musoma. picha ya juu ni kipande cha mguu wa huyo binti ambao mume alipitisha panga mithili anakata muwa, picha inaonyesha mguu uliobaki na mguu wa kushoto pia ulikatwa lakini haukutoka, pamoja na mkono wake wa kushoto ulikatwa lakini haukutoka. ( Kumbuka tupo kwenye maandalizi mazito ya kuandimisha siku 16 za kupinga ukatili dhili ya Wanawake)



Mama mzazi wa binti aliyekatwa mguu na mkwe wake akilia kwa uchungu mkubwa alipokuwa anaelezea kisa kilichomkumba binti yake. Ni huzuni kubwa sana ukivaa viatu vya familia hii. Mama anasema kwa utamaduni wao baba wa mtoto aliyekatwa yaani mume wake ndiye mwenye dhamana ya kuamua mtoto arudi nyumbani au aendelee kubaki kwa mume fedhuli aliyemgeuza mwenzake ni pingili la muwa au kitoweo Bucher.


Juu ni mama na chini ni binti akiwa na mawazo juu ya kupoteza mguu wake kwa sababu tu mume kaamua kuukata. Huyu binti ameathirika sana kisaikolojia kutokana na tatizo hilo la kukatwa mguu wake na mume wake. hivyo anaomba asaidiwe arudi nyumbani kwa wazazi wake, au popote pa kuishi ilimradi aondolewe kwenye mazingira yale aliyopatia mkasa huo. Mbaya zaidi baba mkwe wake anamwambia "wewe unaona raha kulala kitandani wakati mtoto wangu analala chini jela) kwa kauli hiyo huyu binti yupo hatarini zaidi. wanaweza kumuua wapoteze ushaidi. hata hivyo binti aligusia sababu ya kufanyiwa unyama huo ni mwanaume kuwa na mwanamke mwingine na kwamba alishahamishia mapenzi huko, na kumuona yeye kama dudu mtu. (Wakati tunaendelea na maadhalizi ya siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya Wanawake, bado hali ni tete)


Hawa ndio Washika dau wetu wakubwa serikalini. wanasimamia Wizara ya Jinsia Maendeleo ya Jamii na Watoto. jamani waheshimiwa sana mko wapi? huku wanawake twafaaa, mnatusaidia vipi? viti vya bunge vinakalika vipi kwa hali hii? ni lini wanawake tutapaza sauti zetu ili dunia ijue unyama huu unaoendelea dhidi ya wanawake wa Tanzania? Wanawake Hatuna AMANI kabisa ndani ya nchi yetu. Wizara na Taasis mbalimbali, Wadau wa kutokomeza ukatili dhidi ya Wanawake, kuna jinsi ya kumsaidia huyu mama kwa kumuondoa pale kwenye ile nyumba alimofanyiwa UNYAMA huu na akapewa makao salama? Usikose kufuatilia Joyce Kiria Wanawakelive EATV na hapa kwenye ukurasa wetu, ili upate mkasa huu wakati tunajipanga kuendelea na mapambano ya Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake. 
-Credit Wanawake Live

PICHA ZA MISS BOOTY KENYA (VERA SIDIKA) KABLA NA BAADA YA KUWA NA MAKALIO NA HIPS KUBWA-UWEZI AMINI

Posted: 17 Nov 2013 06:44 AM PST

Baada

Uwezi Amani Huyu ndio Mdada Vera Sidika Kabla hajawa Maarufu na kujulikana kwa ajili ya umbo laki la makalio makubwa na Hipsi za kufa mtu ...Angalia picha zingine hapa chini alafu uniambie alipata wapi hiyo Shape?



RIHANNA NA DRAKE SASA NI ZAIDI YA KAKA NA DADA...MASHABIKI WASEMA KUNA JAMBO

Posted: 17 Nov 2013 01:00 AM PST


Inavyoonekana Rihanna ni ‘team drake’ na Drake ni ‘team Riri’ na hilo tu linatosha kuwafanya wawe zaidi ya marafiki, kwasababu inavyoonekana ‘urafiki’ wa wawili hao unazidi kuimarika kadri siku zinavyozidi kwenda.

Ikiwa ni siku chache toka Drake aonekane katika tour ya Rihanna huko Dallas, alamisi wiki hii Rihanna naye amerudisha fadhila kwa kuhudhuria show ya Drake huko Houston, Marekani.

Baada ya show hiyo wawili hao ambao walikana kuwa na uhusiano wa kimapenzi japo zipo dalili nyingi zinazoashiria kuna kitu kikubwa kinaendelea kati yao, walielekea katika club moja ya strippers ambako kwa mujibu wa TMZ walimwaga mvua ya pesa $12,000 kwa ujumla kwa kinadada wanaocheza nusu uchi (strippers), na chanzo kimoja kiliiambia TMZ kuwa baadae Drake na Rihanna waliondoka pamoja mishale ya saa 11 alfajiri.
Bongo5

BAADA YA KIMYA KIREFU WEMA AWAPA UJUMBE MZITO TEAM WEMA"I KNOW U GUYS MISS ME"

Posted: 17 Nov 2013 12:44 AM PST


Leo hii mwanadada wema sepetu ameoneka akipost kitu kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii baada ya muda mrefu toka msiba wa baba yake ulipotokea hivi karibuni
Katika post hiyo Wema amewataka “Teamwema” wapunguze jazba juu yanayotokea juu yake na kuwasihi kuwa wapunguze kutumia lugha ya matusi kwenye mitandao hiyo maana wanamuumiza ‘madame’
Ujumbe wake unasomeka kama ifuatavyo….
"...my darlings... im still grieving... i know you guys miss me... nd i miss you more... im jus still nat okay... but im right here... nipo pamoja na nyinyi... muda tu kidogo... dats all im asking for... nawapenda... saana kupita maelezo... im gone be baq... very soon... i promise... its jus dat sipo sawa. .. but inshallah... ntakuwa sawa... inshallah... its hard... i hope mnanielewa... i repeat nawapenda mno... mno... more dan u think... u kip me goin... u make me who iam... sema tu msifanye vile basi... msitukane... me mwenzenu bado im nat okay... alafu mnaniongezea matatizo... mi spendi... all in all i still love you guys... basi msinikere... sawa... sometimes its best to jus keep quiet... okay.... much love... P.S: Iam a father's daughter...♡♡♡

AFANDE SELE ATOA YA MOYONI KUHUSU BABU SEYA NA PAPI KOCHA

Posted: 17 Nov 2013 12:36 AM PST

Huwa nawakumbuka naamini kabisa kitambo si kirefu watakua huru.. wakati nafanya album yangu ya kwanza (mkuki moyoni) zaidi ya miaka kumi iliyopita kuna ile track MAYOWE REMIX imepigwa live band ingawa MAJANI alipiga kick, lakini BASE & SOLO GUITAR alicharaza MZEE NGUZA (babu seya) mwenyewe, ukisikiliza vyema ile kazi utasikia kila chombo kwa wakati wake hiyo imechangiwa na ustadi wa Mzee Nguza zaidi, mtoto wake ambae ni PAPII KOCHA alifanya chorus ilikua vibe sana nakumbuka siku ile pale BONGO RECORDS. wakati huu ambao nakaribia kutimiza miako kumi ya KING OF RHYMES i wish mungekuepo tufanye kitu, MFUNGWA, MFUNGWA NI NANI? IMAM, RAISI. ASKOFU, MWALIMU, HAKIMU, JAJI, MASIKIN, TAJIRI, MCHUNGAJI anaweza kuwa mfungwa... .. MUNGU ni muweza wa yote na hashindwi na chochote naamini kabisa tutakua pamoja uraiani .. nawapenda, nawaombea na maelfu ya Watanzania wako pamoja nanyi

HAWA NDIO WAIMBAJI WAKALI WA NYIMBO ZA INJILI WANAO TAMBA AFRIKA MASHARIKI

Posted: 16 Nov 2013 11:07 PM PST

KAMA utahitajika kuwataja wasanii kumi wanaofanya vizuri katika muziki wa Injili Bongo na hata Afrika Mashariki, haitakuwa rahisi kuyaacha majina ya Rose Mhando, Bahati Bukuku, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Christina Shusho, Siana Ulomi, Martha Mwaipaja, Jeni Miso na Jennifer Mgendi.

Ni kwasababu hao ni waimbaji ambao katika kila duka linalouza kazi za muziki huo, ni vugumu kupita saa mbili kabla mmoja wao hajauza kazi yake.

Katika wakati ambao wanamuziki wa Bongo Flava na dansi wanalilia kupata soko la kazi zao, waimbaji wa Injili wanaendelea kula kuku kwa mrija kwani kazi zao sokoni zinanunuliwa kama njugu.

Kwa baadhi ya nchi, nyimbo zao hupigwa hata katika kumbi za starehe kwa kuamini ni nyimbo za kujirusha kutokana na mvuto wake.

Rose Mhando

Huyu ndiye kiboko yao, wanamuziki wa Bongo Flava wanamfahamu kwa jinsi anavyowapiga bao katika uuzaji wa kazi zake, si tu katika CD na video, Rose Mhando pia ni kinara wa mauzo katika miito ya simu.

Diamond ambaye anasifika kwa kuuza miito ya simu, akikutana na Rose Mhando anakaa chini kwani mapema mwaka huu alimwacha mbali kwa kuingiza Sh29 milioni ndani ya miezi mitatu huku Diamond akiingiza Sh21 milioni.

Albamu zake za ‘Mteule Uwe Macho’, ‘Kitimutimu’, ‘Jipange Sawasawa’ na ‘Utamu wa Yesu’ bado zinaendelea kufanya vizuri pamoja na kuwa wasanii wengine wanaingiza albamu mpya kila kukicha.

Bahati Bukuku

Huyu anatajwa kushikilia nafasi ya pili ya mauzo ya CD na video katika maduka mbalimbali ya kazi za sanaa Bongo. Pamoja na kutotoa kazi mpya mara kwa mara, albamu yake moja ilimfanya kuwa mwimbaji namba mbili katika mauzo na matamasha nchini.

Tamasha lolote la Injili haliwezi kukamilika bila kupigwa nyimbo kama ‘Waraka wa Amani’, ‘Nimesamehewa Dhambi’, ‘Nyakati za Mwisho’ na ‘Mapito’.

Mwanamuziki huyu kwa sasa anatamba na albamu mpya aliyoizindua mwezi uliopita iitwayo ‘Dunia Haina Huruma’.


Upendo Kilahiro

Inavyoonekana muziki wa Injili unamlipa sana kwani ameweza kuanzisha Chuo cha Ushonaji kiitwacho, New Day Africa Foundation, ambacho wanafunzi wake hawalipi hata shilingi moja kwa muda wanaochukua ujuzi chuoni hapo.

Kilahiro anayetamba na nyimbo za ‘Unajibu Maombi’ na ‘Usinipite’, ni msanii namba tatu kwa mauzo ya nyimbo za Injili Bongo.

Upendo Nkone

‘Niacheni Niimbe’, ‘Nimebaki na Yesu’, ‘Uniongoze Yesu’ na ‘Nakaza Mwendo’, ni baadhi ya nyimbo zinazofanya kazi zake ziendelee kununuliwa kwa wingi. Kila anapoachia wimbo mpya, huendelea kuzifanya zile za zamani ziwe nzuri zaidi.

Mbali na kuuza kazi zake, pia ni mwanamuziki anayeongoza kwa kufanya matamasha ndani na nje ya Bongo. Mara kwa mara hufanya ziara nchini Kenya ambako anakubalika na kuheshimika.

Christina Shusho

Huyu anazo sababu zaidi ya mia moja za kuwa mwanamuziki anayeuza sana katika muziki wa Injili. Kwanza sura yake inapokaa kwenye ‘kava’ inampa mteja hamu ya kutoa pesa yake kununua CD, pili unapopata bahati ya kuisikia sauti yake kwa mara ya kwanza, hakika utataka kuisikia tena na tena na tatu tungo zake zinazogusa maisha ya kawaida na kiroho zimekuwa kivutio kikubwa.

Flora Mbasha, Jeni Misso, Jennifer Mgendi, Martha Mwaipaja na Siana Olomi nao wanaingia kwenye kundi hilo, lakini wanapishana kidogo kutokana na sababu mbalimbali zilizotolewa na wafanyabiashara wa kazi hizi.

Waimbaji Jeni Misso, Martha Mwaipaja na Siana Olomi ni kama wanachipukia kwenye soko kuu la kazi hizi, lakini wamekuwa wakichuana na wakongwe akina Flora Mbasha na Jennifer Mgendi ambao wamekuwa katika muziki huu kwa muda mrefu.

Wafanyabiashara wa kazi hizi wanasema, Jennifer Mgendi na Flora Mbasha, waliwahi kuwa vinara wa mauzo lakini walipoanza kujichanganya na biashara nyingine iliwapunguzia mashabiki ambao walianza kununua kazi za waimbaji wengine.

Flora Mbasha kujihusisha na kampeni mbalimbali zikiwamo za  vyama vya siasa na Jennifer Mgendi kujiingiza katika uigizaji wa filamu, zinatajwa kuwa ni sababu zilizowarudisha nyuma.

Yote kwa yote hii ndiyo ‘krimu’ ya wasanii wanaoongoza sokoni kwa muziki huo, tamasha lolote la muziki wa Injili Bongo au Afrika Mashariki, haliwezi kukamilika bila uwepo wa waimbaji hawa.

YANGA YAPEWA MASHARTI KUMSAJILI MCHEZAJI OKWI

Posted: 16 Nov 2013 10:55 PM PST

YANGA na Azam kama zinamtaka straika wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi ni fedha yao tu, lakini kuna sharti lazima walifanye.

Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) limetoa masharti na muongozo wa klabu zinazomtamani mchezaji huyo aliyesitisha mkataba na Etoile du Sahel ya Tunisia.

Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Saad Kawemba aliiambia Mwanaspoti kuwa: “Hakuna kinachoizuia klabu kutaka kumsajili Okwi, cha muhimu wanatakiwa kuongea na Etoile du Sahel ya Tunisia, wakimalizana nao basi watamchukua, hivyo ni ruksa cha muhimu ni kufuata sheria na haki.”

Okwi ameidhinishwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kuichezea SC Villa ya Uganda kwa muda wa miezi sita huku sakata lake la Etoile likifanyiwa ufumbuzi.

Mchezaji huyo anaidai Etoile malimbikizo ya mishahara pamoja na dau lake la usajili huku Simba iliyomuuza kwa Waarabu hao nayo ikidai dau lake Sh 480 milioni.

Suala hilo lipo Fifa na Kawemba amewahakikishia Simba kwamba wasiwe na wasiwasi watapata haki yao.

Udaku Specially

unread,
Nov 18, 2013, 4:33:51 PM11/18/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


UDAKU HOT GIRL OF THE DAY

Posted: 18 Nov 2013 11:02 AM PST


Bonyeza Like Hapo chini Kama Unadhani Amependeza..Tuona atapata Likes ngapi Mpaka Kesho.

MPENZI MTENGENEZE MWENYEWE NA ATAKUWA KAMA UNAVYOTAKA-ACHA KULALAMIKA

Posted: 18 Nov 2013 09:04 AM PST

Katika vitu naona kuna makosa makubwa yanafanyika ni hili kawaida naona Baadhi ya wanaume hupata shida sana ya kuishi na wapenzi wao kwa mda mrefu na pengine kuona anamchoka mpenzi wake mapema mpaka anakuwa na mahusiano ya kukusudiwa na wala siya bahati mbaya!Lakini Wanaume wenzangu nawakumbusha hili huwa tunapotea kwakushindwa kuzingatia haya!
Mpenzi wako unatakiwa umthamini umuone kuwa niyule yule wawakati unamtongoza!!Siyo umeisha mkula unamtema hapana!
Pili ukiona mwanamke anaumbozuri mwone wakawaida!
Ukimuona wamwenziyo anapendeza na wewe wakwako mpendezeshe kwa value ile ile!
Hakikisha safari zako zakutoka unakuwa naye hata kama anasafari zingine mwambie mama hairisha twende huku nahitaji kampani yako!
Umwambie kitu gani unahitaji na usichokihitaji nasikuzote akikukosea jaribu kuongea naye taratibu na kama yamekuzidi jitahidi ukifika nyumbani kula,oga ukiingia kitandani mwulize "Mpenzi leo umenikosea sijapenda je wewe hili ukuliona??"
Usipende kumtegemea katika Budget zako atakuchoka!


Sasa kwa akina Dada..

Dada inatakiwa kujua Mpenzi wako ni waina gani!
Unatakiwa kujua yeye kipato chake kikoje!
Unatakiwa umjue mpenzi wako kampani yake ni yawatu wa aina gani!
Unatakiwa kumuona mpenzi wako ni Someone very special na hafanani na mpenzi wa Clara!
Napale anapokugombeza pale ulipo mkosea jaribu kujishusha na kumsikiliza kwa makini na kumuomba je na mimi naweza kuongea??Umsikie ansemaje!
Kamwe usije ukamwambia hivi wewe ukoje uoni Mpenzi wa fulani yuko msikivu!hivyo basi utakuwa umemkwaza kwani inaonyesha unakuwa unampenda yule wamwenziyo kuliko uliyenaye!
Mpenzi wako upende kujivunia naye mbele ya marafiki zako wawe wamtaani wawe wamaofisin hata vyuoni!
Usije ukamwambia kwanini uvai kama fulani!kama uridhishwi na kuvaa kwake na unajua anapesa basi tafuta mda mwende shopingi mchagulie wewe uone akivaa chaguo lako anaonekana vipi!

Katika haya niliyoyasea haya ni baadhi ya mambo unayoweza kuyafanya na kumfanya mpenzi wako akawa kama unavyotaka!Wewe ndiye mwenye kumbadili mpenzi wako!

SHOW YA RAPPER WA KENYA CANNIBAL YABUMA DUBAI, ATUMBUIZA MBELE YA VITI

Posted: 18 Nov 2013 08:48 AM PST

Show iliyokuwa ikiongelewa sana ya rapper wa Mombasa, Kenya, Cannibal Shattah mjini Dubai imebuma vibaya.

Mahudhurio yalikuwa hafifu kiasi cha waandaji kula hasara na kushindwa kurudisha gharama walizotumia.

Cannibal alidaiwa kushikiliwa kwenye hoteli aliyokuwa amefikia kwa kushindwa kulipa gharama na meneja wake aitwaye Waziri aliambulia kichapo kutoka kwa Wakenya waiishio Dubai na kujeruhiwa usoni.

Cannibal alitumbuiza kwenye ukumbi wa at RockCity Club uliopo kwenye hoteli ya  Howard Johnson, mjini Dubai, November 8.

UFOO SARO "NILIOKOKA KUFA KUTOKANA NA MIUJIZA YA MUNGU"

Posted: 18 Nov 2013 08:12 AM PST

Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro ambaye alijeruhiwa kwa kupigwa risasi na mzazi mwenzake, Anthery Mushi, amefanya ibada na kusema: “Namshukuru Mungu kwa kumponya.”

Ni mara ya kwanza Saro kuzungumza tukio hilo tangu aliporuhusiwa kutoka Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu, MOI ya Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa.

Katika ibada hiyo iliyofanyika katika Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibamba, Jimbo la Magharibi, Ufoo huku akitokwa na machozi na wakati mwingine kushindwa kuzungumza alisema: “Ni miujiza tu ya Mungu yeye kunifanya mimi kuwa hai leo.”

Mtangazaji huyo ambaye alilazwa kwa zaidi ya wiki mbili, aliwashukuru watu wote waliomtia moyo, kumsaidia kipindi chote alichokuwa mgonjwa.

“Sina cha kuwalipa, ninawashukuru sana kwa wema wenu, pia kwa kuniombea. Mungu ni mkubwa na amenipigania, naendelea vizuri kwa sasa,” alisema na kuongeza:

“Mungu alinisimamia na nyinyi pia mliniombea, hakika sina budi kushukuru kwa kila jambo. Nitasoma zaburi ya 146 katika Biblia Takatifu ili kumshukuru Mungu kwa kunisaidia.”

Ufoo alisema kuwa ameamua kumshukuru Mungu kwa sababu siyo watu wote wanaopata matatizo kama yake wanapona.

Mchungaji aliyeongoza misa hiyo iliyoanza saa 4 asubuhi hadi saa 7 mchana, Joseph Maseghe alisema Mungu hakupanga Ufoo afariki dunia kwa kupigwa risasi.

“Mungu bado anakuhitaji, hakupanga ndiyo maana upo nasi leo. Hautakiwi kulia huu ni mwanzo wa maisha yako mengine, usilie unachotakiwa ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo,” alisema.

Misa hiyo ilihudhuliwa na watu mbalimbali wakiwamo wafanyakazi wa ITV pamoja na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Grace Kihwelu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche.

Baada ya kumalizika kwa misa hiyo, ndugu na marafiki wa karibu wa Ufoo walialikwa na mtangazaji huyo katika hafla fupi ya chakula cha mchana.

Akizungumza wakati akiwakaribisha wageni katika chakula cha mchana, alisema: “Nimepata pigo kubwa katika maisha yangu, familia yetu sasa haina baba wala mama, kweli namshukuru Mungu na nawaombea kwa Mungu wote walioniombea na kunitakia mema, sijui nimpe nini Mungu, sijui kwa kweli.”
-Mwananchi

AZAM FC YAIONYESHA JEURI YA FEDHA TP MAZEMBE-WAMTAKA KOCHA WAO

Posted: 18 Nov 2013 08:33 AM PST

HII sasa ni jeuri ya fedha. Azam FC ina orodha ya makocha watano inayofanya nao mazungumzo, kati yao Kocha Mfaransa wa klabu tajiri Afrika, TP Mazembe, Patrice Carteron ndiye anayesakwa kwa nguvu zote.

Hadi sasa Azam inafanya mazungumzo ya karibu na Carteron ambaye pia anainoa timu ya Taifa ya Mali.

Wengine ni makocha waliowahi kuinoa Zambia, Dario Bonetti na Herve Renard ambaye ndiye aliyeipa Zambia ubingwa wa Afrika mwaka 2012 na kwa sasa anaionoa FC Sochaux ya Ufaransa.

Wengine ni Diego Gazito aliyeifikisha Mazembe fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia mwaka 2010 na mkurugenzi wa ufundi wa sasa wa Mazembe, Lamine Ndiaye.

Makocha hao wote ni wa viwango vya juu na yeyote atakayetua nchini ataweka rekodi ya mshahara.

Habari za uhakika kutoka Azam ni kwamba viongozi wa Azam sasa wapo katika hatua za mwisho za kukubaliana na Carteron ili ainoe timu hiyo katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika mwakani.

Kocha huyo ndiye anayewafundisha Watanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu katika kikosi cha Mazembe.

Azam inajipa matumaini kumnasa Carteron mwenye umri wa miaka 43 kutokana na mafanikio anayoyapata akiwa na Mazembe msimu huu katika Kombe la Shirikisho Afrika na kuifikisha timu hiyo katika fainali ya michuano hiyo.

Carteron aliyewahi kuichezea kwa mkopo Sunderland ya England mwaka 2001 akitokea AS Saint-Etienne ya Ufaransa ameifikisha Mazembe fainali Novemba 23 mwaka huu itacheza na CS Sfaxien ya Tunisia jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika mchezo wa kwanza na kurudiana wiki mbili baadaye.

Azam inajipanga kuvunja mkataba wa kocha huyo ambaye alijiunga na Mazembe Mei 22 mwaka huu.

Mawasiliano ya Azam na Bonetti, Renard na Gazito kwa sasa yamesimama baada ya nguvu kubwa kuelekezwa kwa Carteron na Ndiaye.

Makocha wengine Dorian Marin wa Romania, Zdravko Logarusic wa Croatia aliyewahi kuinoa Gor Mahia ya Kenya, Fabio Lopez wa Italia na Patrick Liewig wameiomba Azam iwape kazi waonyeshe mambo mzunguko ujao.

SIMBA YAJIBU MAPIGO YANGA-WASAJILI WAWILI FASTA FASTA

Posted: 18 Nov 2013 07:55 AM PST

YANGA walicheka baada ya kumsainisha kiungo, Hassan Dilunga wa Ruvu Shooting aliyekuwa akinyatiwa pia na timu za Simba na Azam FC.

Mpaka sasa Yanga imewasajili wachezaji wawili katika dirisha dogo akiwamo kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja.

Lakini kama kawaida, Simba imesawazisha na kusajili wachezaji wawili wa haraka haraka.

Jana Jumapili, Simba ilianza usajili kwa kishindo cha aina yake baada ya kuiliza Mtibwa Sugar na kumuacha kocha, Mecky Maxime, akitokwa jasho na kufura hasira.

Simba ililipa tiketi ya ndege kutoka Zanzibar ili kuileta Dar es Salaam ‘injini’ na kiungo wa Mtibwa, Awadh Juma na kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Kama hiyo haitoshi mchezaji huyo amesaini sambamba na straika Badru Ally aliyekuwa akiichezea Canal Suez ya Cairo, Misri.

Wachezaji hao wote wako kwenye timu ya Taifa ya Zanzibar iliyopiga kambi kwenye hoteli ya Bwawani mjini Unguja ikijiandaa kwa Kombe la Chalenji.

Awali, Badru ambaye yuko Dar es Salaam kwa miezi sita sasa, alikuwa akifanya mazoezi binafsi. Alifanya mazungumzo ya kujiunga na Azam FC lakini wakashindwana kwa kile kilichodaiwa kuwa mchezaji huyo alitaka dau kubwa.

Usajili wa Badru unamaanisha kwamba Zahoro Pazi na Sino Agustino ambao walishindwa kupata namba kwenye kikosi cha kwanza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, sasa wana hali tete zaidi na watalazimika kukesha mazoezini ili kupata namba. Awadh ambaye ni kiungo mshambuliaji aliyeacha majonzi Mtibwa,  huenda akaingia kirahisi kwenye kikosi cha kwanza kwa vile kocha Abdallah Kibadeni ana shida ya mchezaji wa aina yake.

Badru alisema: “Nimesaini Simba kwa mkataba wa miaka miwili, nikiwa straika, lengo langu ni kuipigia Simba mabao hadi klabu ifurahi.

“Nimesajili Simba kwa sababu ni klabu ambayo nina mapenzi nayo kwa muda mrefu, hilo nitaridhihirisha kwa vitendo wenyewe wataona na hawatajutia kunisajili.”

Kuhusu Azam alisema: “Nilifanya mazungumzo nao, lakini tulishindwa kufikia makubaliano.”

KAPUYA AMCHAMBUA DENTI ALIYE DAI KABAKWA"SI MWANAFUNZI NI TAPELI WA KUTUPWA"

Posted: 18 Nov 2013 04:55 AM PST

The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda, lilimsakanya Kapuya mpaka kijijini kwake Kaliua, Urambo, Tabora na kwa juhudi hizo, sasa linakuwa la kwanza kuzungumza na kiongozi huyo ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu.
Akifunguka kikamilifu kuhusiana na ‘saga’ hilo, kwa sauti imara bila wasiwasi, Kapuya alisema kuwa anamjua mwanafunzi husika, kisha akasema:
“Kuna watu wanamtumia. Hili suala limetengenezwa ili kuniharibia malengo yangu.”
ACHAMBUA UTAPELI WA MWANAFUNZI
KESI A; Mwanafunzi aliyedai kubakwa, alinukuliwa mitandaoni akisema kuwa yeye ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Turiani, Magomeni, Dar es Salaam.
Kapuya anapangua: “Huyo muongo, alinifuata kuniomba ada ya chuo. Aliniambia anasoma Chuo Kikuu cha Tumaini.”
KESI B; Mwanafunzi huyo alisema anasoma kidato cha tatu na alibakwa mara mbili na mheshimiwa huyo.
Kapuya anajibu: “Achilia mbali yeye, mimi sijawahi kubaka katika maisha yangu yote. Kuhusu kidato cha tatu, yeye mwenyewe aliniambia anasoma Tumaini University na aliomba nimlipie ada ya miaka miwili ambayo ni shilingi 3,000,000.
“Kwa mara ya kwanza nilimpa shilingi 2,300,000 na baadaye nilimpa shilingi 700,000. Kipindi hicho nilikuwa sijagundua kama ni tapeli, ila baadaye nilipogundua utapeli wake, nilihakikisha hanisogelei. Hapa nawajua watu wengi aliowatapeli.”
Kuthibitisha anachokisema, Kapuya alitaja jina la mkurugenzi wa benki moja nchini (jina tunalihifadhi) kuwa alishalizwa na mwanafunzi huyo.
KESI C; Denti huyo alidai ana umri wa miaka 16.
Hilo nalo Kapuya analipangua hivi: “Hata mimi mwanzoni aliponifuata nilijua ni binti mdogo, yatima anayehitaji msaada lakini ukweli ni kwamba yule ni mama mzima na ana mtoto. Ameshazaa yule.
“Hasomi popote, Mungu amemsaidia kuwa na umbile dogo ambalo analitumia kuwatapeli watu kwamba ana umri wa miaka 16, ni tapeli mkubwa, tena wa kuogopwa kabisa.”
KESI D; Mwanafunzi mwenyewe alidai kuambukizwa Ukimwi na kiongozi huyo aliyewahi kuongoza wizara mbalimbali nchini.
Kuhusu hilo, Kapuya alicheka kidogo halafu akajibu: “Sina Ukimwi, afya yangu ipo imara sana. Kama yeye ana Ukimwi, basi aseme mahali alipoutoa, siyo kusema uongo na kutaka kunichafua mbele ya jamii ambayo inaniheshimu.”
KESI E; Denti amedai kutumiwa SMS za vitisho kwamba mheshimiwa huyo amedai atamuua.
Hivi ndivyo Kapuya anavyojibu: “Sijawahi kutuma SMS za vitisho. Unajua haya mambo nashangaa sana, nipo huku kijijini Kaliua, kwa hiyo mambo mengi nafanya kuambiwa kwa sababu sipati magazeti kwa wakati.
“Nina laini tatu, Tigo, Airtel na Vodacom, hata siku moja sijawahi kutuma SMS ya kumtishia mtu kumuua. Hao wanaomuamini, waendelee kumuamini huyo tapeli lakini lazima nimfikishe kwenye vyombo vya sheria.”
KESI F; Yapo madai kuwa Kapuya alitishia kujiua baada ya kugundua ameshikwa pabaya na denti huyo.
Hilo nalo Kapuya alilijibu hivi: “Nimesema sijatuma SMS yoyote, wala siwezi kutishia kujiua. Nitishie kujiua kwa lipi?”
KESI H; Miongoni mwa madai yaliyotajwa ni kwamba Kapuya anajindaa kuwa waziri mkuu baada ya Uchaguzi Mkuu 2015.
Kuhusu hili, Kapuya alicheka akasema: “Nilimwalika Lowassa (Edward) jimboni kwangu. Akiwa huku na maeneo mengine ya Mkoa wa Tabora, wananchi walisema mimi ndiye nitakuwa waziri mkuu wake.
“Yalikuwa ni maneno tu na mimi nilianza kuyasikia kipindi hicho. Kwa hiyo sijawahi kutamka popote kuwa mimi najiandaa kuwa waziri mkuu.”
MTAZAMO WAKE
Pamoja na kupangua madai yote hayo, Kapuya aliongeza kuwa yapo makundi mawili ambayo anayahisi kuwa ndiyo yapo nyuma ya denti huyo ambaye yeye amemwita ni mama mtu mzima.
Alisema: “Kuna majambazi fulani alikuwa anawatumia kunishawishi niwape pesa, baadaye waligombana. Wale majambazi walimwambia watamuua ikiwa yeye ataniendekeza.
“Nahisi hao ndiyo yupo nao kundi moja kuhakikisha wananichafua baada ya mimi kugundua uhuni wao ambao walikuwa wananifanyia. Nitakapoanza kuwashughulikia kisheria, itajulikana tu nani na nani anahusika nyuma yake.”
Aidha, Kapuya alimtaja mwanasiasa mmoja mwandamizi nchini (jina tunalo), mwenye asili ya Mkoa wa Tabora, mwanachama wa CCM kuwa anamhisi yupo ndani ya mkakati huo wa kumchafua.
“Ni hivi, … (anataja jina la mwanasiasa huyo), ameshapandikiza vijana wawili ili waniangushe kwenye Uchaguzi Mkuu 2015. Hao vijana wametengeneza tovuti ambayo imekuwa ikinichafua sana.”
MADAI YA MSINGI
Mwanafunzi huyo ambaye Kapuya amemwita ni mama mwenye mtoto, aliripotiwa na mitandao mbalimbali ya kijamii akidai kubakwa kisha kuambukizwa Ukimwi na kiongozi huyo.
Katika madai yake, mwanafunzi huyo alisema kwamba zahama hiyo ilimpata baada ya kwenda kwa Kapuya kuomba msaada wa ada ya shule ndipo kiongozi huyo alimgeuzia kibao.

chanzo:globalpublishers

MENGI"KAMA TUNALITAKIA AMANI TAIFA HILI LAZIMA BAADHI YA WATU WAPELEKWE MILEMBE KWA NGUVU"

Posted: 18 Nov 2013 04:23 AM PST

Bilionea reginald mengi ameandika twitter jana kuwa kama tunalitakia amani hili taifa basi ni lazima watu flani wapelekwe milembe kwa nguvu na sio kwa hiari yao.
Je,unadhani mengi anataka watu gani wapelekwe milembe na kwa sababu gani?? Karibuni

WANAIGERIA WAMWEKA KITI MOTO DIAMOND KWA KUVAA VIBAYA KWENYE ARUSI YA PETER WA P-SQUARE

Posted: 18 Nov 2013 03:57 AM PST

So Diamond Platnumz jana alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria harusi ya kimila ya Peter Okoye wa kundi la P-Square na mchumba wake, Lola Omotayo iliyofanyika jijini Lagos, Nigeria.

Kwenye harusi hiyo, Diamond alipata nafasi ya si tu kushuhudia Peter na Lola wakisema ‘Yes I do’ bali pia aliweza kuchill na cream ya mastaa wa Afrika wakiwemo Iyanya na mchezaji wa timu ya Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor.

Alipata pia fursa ya kuwaonesha Adebayor na Iyanya style yake ya kucheza ya Ngololo

Hata hivyo, kitu kimoja hakikwenda sawa. Ni nguo aliyokuwa ameivaa, ambayo iligeuka gumzo kwa mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria waliosema kachemka.

Issue ilikuwa hivi, Iyanya alipost picha akiwa na Diamond pamoja na jamaa mwingine na kuandika: With @ubifranklintriplemg @diamondplatnumz after @peterpsquare trad.”

Polisi jamii wa masuala ya mitindo, wakamweka kitimoto:

[ @ ] chickchuky d dude in d middle…wat d hell,,,see men standing beside u…abeg shuuuuuuuuuu I love @iyanya

[ @ ] oakis2000 Whats with the micheal jackson style pant in the middle lol 13h
[ @ ] iamzarajays The object in the middle though…. Dear father forgive me for I have sinned.. Sighs

[ @ ] iheart_swk Sorry no hating but it doesnt suites ur muscular bodi well well darling
[ @ ] genovan @dimondplatinumz u shud get personal designer…..that outfit…i kno u copy t 4m ur role model…..she was looking gud tho in those pictures she took when she landed 4m China..unlike u…….u absolutely looks like joker.

[ @ ] agathonyjohn He is east africa michael jackson @chickchuky ..from Tanzania ain’t he dope?
[ @ ] zinwaogb Wow he can sing, just watched his number one video on YouTube, I can’t hate on talent nice one diamond
[ @ ] nikkipollo139 Iyanya u look gorgeous n ubifranklintriplemg but diamond please go change ur cloths for pits sake
[ @ ] kagebby Daimond ulivyovaaaa utafikiria clown……Sasa daimond unatuangusha ndungu….Iyany……sio mbaya ila Daimond anakuj kukufunikaaaaa balassaaa 7h

[ @ ] clarahcut3 @dhahabu87 please stop defending whats not right, the clothes are nice but not good for him, so he should know that not every good cloth will look good with him, and those are among the clothes that dont look good on him, even if he is my fellow Tanzanian but he dont look good and he bored me for real he could atleast ask before getting out @genovan @mwatumu37 looking great brother @iyanya

[ @ ] ngozi80 4 God sake they should have a fashion adviser someone who can give them sone fashion skills b4 going out or 4 red carpet 2

BREAKING NEWS: WAFANYABIASHARA WENYE MADUKA KARIAKOO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA

Posted: 18 Nov 2013 02:02 AM PST

Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.

Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.

Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka lakini nane.

POMBE SI MAJI-DADA WA WATU ZIMEMZIDI NA KUAMUA KUONESHA CHUCHU ZAKE HADHARANI

Posted: 18 Nov 2013 01:47 AM PST

 Mrembo wa haja ambaye jina halikupatikana mara moja, amenaswa akiwa matiti  nje baada ya kulewa mchana kweupe na kulizwa mkoba wake kisha kuzua varangati zito,
Varangati hilo lililonaswa na kachero wetu lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Sinza- Afrika Sana jijini Dar.
 
Katika sinema hiyo ya bure, mrembo huyo alishuhudiwa akipigana na kila mtu aliyekutana naye mbele yake huku akivua nguo kuashiria kuwa ‘pombe si chai’.

Kuna wakati mwanadada huyo alikatiza barabarani bila kujali magari na nusura agongwe jambo lililosababisha mtafaruku wa foleni huku mwenyewe akidondoka kama ‘embe dodo’ lililoiva.


Baada ya timbwili hilo kuchukua takriban dakika 35, ilibidi wasamaria wema kuingilia kati na kumshika huku akiwapiga baada ya kuona huenda angeumizwa.
Baadaye watu hao walifanikiwa kumtoa eneo la barabara huku wakimsitiri kwa kupandisha nguo kufunika nido kisha kumpeleka pembeni na kumtuliza.
 
“Kweli pombe siyo chai. Yaani msichana mzuri lakini ona alivyojidhalilisha,” alisema mmoja wa mashuhuda hao.

 

Source: Global publisher

"NIMEAMUA KUACHA KUJICHUBUA"...MAINDA

Posted: 18 Nov 2013 01:43 AM PST

STAA mwenye umbo la kipekee katika soko la filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa ameamua kuukacha mkorogo aliokuwa akiutumia kwa muda mrefu. 

 Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema ameamua kuacha kutumia mkorogo kutokana na matakwa ya dini yake, amegundua anamkosea Mungu wake kwa kujichubua
.

 “Nimeamua tu kuacha kujichubua, mkorogo siyo kitu kizuri hata Mungu hapendi vitu hivi ndiyo maana nikaamua kuuacha japo nimetumia kwa muda mrefu,” alisema Mainda ambaye kabla ya kuokoka alikuwa Muislamu.

CREDIT: GPL

MANAIKI APIMA UKIMWI BAADA YA PICHA ZAKE AKIWA NA WASICHANA MBALI MBALI KUVUJA MTANDAONI..MAJIBU HAYA HAPA

Posted: 18 Nov 2013 01:40 AM PST

Ama kweli acheni mungu aitwe Mungu Msanii aliyeshika ustaa namba moja Tanzania kwa skendo za picha za utupu Manaiki Sanga " The Don" amepima gonjwa hatari la UKIMWI na vipimo vimeosha hana kabisa dalili zozote za ugonjwa huo huku wanawake kadhaa wakifanya sherehe kwa tukio hilo.
XDEEJAYZ ambayo imenasa cheti cha Manaiki ambacho kinaonesha alipima tarehe 13/9/2013 kwenye Hosptali ya Magomeni huku akishuhudiwa na jamaa na marafiki.

Hata hivyo katika hatua nyingine inadaiwa kuna staa mmoja ndiye aliyemlazimisha Manaiki kwenda kupima UKIMWI ka makubaliano kama ataonekana mzima basi atampa penzi hivyo ilimlazimu Manaiki kufanya hivyo bila hiyana.

Taarifa za Manaiki kugundulika hana Ngoma zilianza kusambaa mji mzima baada ya kuvuja hali iliyowafanya mabinti mbalimbali walipitiwa na msanii huyo kufanya sherehe " Unaambiwa bmara baada ya taarifa kuvuja kuwa Manaiki hana Ukiwmi wasichana walifurahi sana huku wengine wakiangua vilio kwa furaha kutokana na uvumi wa awali kuwa huenda Manaiki alikuwa sio mzima ndioa maana aliamua kutembea na wanawake wote hao.

Manaiki hadi sasa anaendelea kushikiria vichwa vya habari kwenye mitandao ya kijamii na magazaeti pendwa kwa kashfa ya kutembea na wanawake zaidi ya mia nane bila kinga na kupiga nao picha za utupu kisha kusambazwa mitandaoni.
XDEEJAYZ ilimtafuta Manaiki Sanga kupitia simu yake ya mkono na kwa bahati nzuri alipatikana na kutoa kauri " Ndiyo nimepima kwa hiari yangu si unajua kujua afya yako ni kitu cha msingi katika maisha hivyo haikuwa shindikizo la mtu mimi mwenyewe niliamua tu kufanya hivyo" Alisema Manaiki ambae yuko Jijini Arusha kimaigizo

JOHARI, MAINDA MATUSI MAZITO..MAINDA AMWITA MWENZAKE JINI LA SHINYANGA

Posted: 17 Nov 2013 10:56 PM PST

KIMENUKA! Kambi mbili za wasanii wanaotamba katika tasnia ya filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ na Blandina Chagula ‘Johari’, zimetupiana matusi mazito, Ijumaa Wikienda limeyanyaka.

Chanzo cha yote ni Mainda kufunguka juu ya uhusiano wake na ‘kaka mkubwa’ katika tasnia ya filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na kufichua jinsi Johari na msanii mwingine, Chuchu Hans walivyomuingilia katika penzi hilo.

Mainda alimwaga ‘upupu’ huo katika Gazeti la Risasi Mchanganyiko Jumatano iliyopita na kumfanya kila shabiki wao awashwe na habari hiyo.

SIKIA KEJELI ZA JOHARI
Mara baada ya kutoka kwa habari hiyo, Johari alinukuliwa na gazeti moja (siyo la Global Publishers) akisema kwamba Mainda amembipu, atampigia akiashiria kwamba atajibu mashambulizi hayo.

Hata kabla ya kufanya hivyo, Johari aliwaambia waandishi wetu kwamba Mainda amewavua nguo na kuwaweka hadharani.

TIMU JOHARI
Kwa upande mwingine, baadhi ya wasanii wakubwa wanaoitumikia Kampuni ya Ray na Johari (RJ), kurekodi kazi zao, (Team Johari) wakamshambulia Mainda kwa matusi mazito kupitia mitandao ya kijamii kama vile Instagram na BBM.

MATUSI MAZITO
Mbali na kutumia njia ya mitandao, baadhi ya wasanii hao walidiriki hata kumpigia simu Mainda na kumnanga ‘laivu’.

MAINDA AJIBU MAPIGO
Akiwa bado hajapoa moto wa kile alichokidhamiria kukiweka hadharani, Mainda au Smallbaby kama anavyojiita, alijibu mapigo hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiungwa mkono na timu yake (Team Mainda).

Kwanza Mainda aliandika katika mtandao huo kuwaonya wale wanaunda makundi kumtukana kisha akasema kuwa haogopi kutukanwa kwani ameshatukanwa tangu akiwa tumboni kwa mama yake.

Mainda aliandika kwamba yeye hajawavua nguo akina Johari na Chuchu bali wamejivua nguo wenyewe kwa kufikia hatua ya kugombea ‘shingo’ (Ray).

Kama vile haitoshi, Mainda alidiriki kumwita Johari kwa jina la Jini la Shinyanga na kumwambia kuwa yeye siye mpinzani wake, kwani hawezi kugombea mwanaume ndiyo maana amemtupilia mbali.

Ray naye alijibu mapigo hayo kwa kuandika: “Siri ya mchezo naijua mimi…” Jambo hilo lilizua maswali mengi kwa watu waliomtaka heri afunge ndoa
kuliko kuendelea kuwagonganisha wasanii wa kike.

Kali ya mwaka ni msanii mmoja aliyeshuka kiwango ambaye ni mke wa mtu (tunamsitiri kwa sasa), alipoandika kwamba naye anataka kuonja utamu wa Ray ili ajue kwa nini anagombewa.
-Global Publishers

BUNGE LA KATAA KUBARIKI DIVISION 5 KATIKA ALAMA MPYA ZA UFAULU

Posted: 17 Nov 2013 11:05 PM PST

Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, imevikataa viwango vipya vya alama za ufaulu kwa elimu ya sekondari vilivyotarajiwa kuanza kutumika mwaka huu na kutaka utaratibu na alama zilizotumika mwaka jana, zitumike kupanga matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa mwaka huu.

Serikali ilitangaza utaratibu mpya wa alama za Mitihani ya Kidato cha Nne na Sita kwa kufuta Daraja la Sifuri na kuleta Daraja la Tano.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Stephen Ngonyani  alisema jana kuwa kamati hiyo ilichukua uamuzi huo kwa kuwa pamoja na udhaifu ulio kwenye alama hizo, kamati yao haikuhusishwa katika mchakato wa kuandaa alama hizo. 

“Mwenyekiti wangu (Margaret Sitta) alisema kile hakiwezekani, kuna viwango ambavyo wameleta havipo kwenye nchi nyingine duniani, tumewaambia wakavifanyie kazi walete tena,” alisema mbunge huyo wa Korogwe Vijijini, ambaye ni maarufu zaidi kwa jina la Profesa Maji Marefu.

Ngonyani alisema waliagiza watendaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhakikisha wanaishirikisha kamati yao kwani imejaa walimu wanaoweza kushauri vizuri.

“Hatutaki watuletee mambo ambayo yamewashinda baada ya kuyapeleka kwa wananchi,” alisema Ngonyani.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome akitangaza uamuzi huo mapema mwezi huu, alisema uamuzi wa kubadilisha mfumo huo umechukuliwa kutokana na changamoto zilizojitokeza mwaka 2012.

Alama zilizokuwa zikitumiwa awali na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), katika kupanga matokeo hayo, kwa Kidato cha Nne ni A=80-100, B=65-79, C=50-64, D=35-49, F 0-34 kwa upande wa Kidato cha Sita, A=80-100, B=75-79, C=65-74, D=55-64, E=45-54, S=40-44 na F= 0-39.

Alama mpya zilizotangazwa ni A=75-100, B+=60-74, B=50-59, C=40-49, D=30-39, E=20-29 na F=0-19. Alama hizo ni kwa kidato cha nne na sita.

Kwa utaratibu huo, A ilitafsiriwa kuwa ni ufaulu uliojipambanua, B+ ni ufaulu bora sana, B ufaulu mzuri sana, C ufaulu mzuri, D ufaulu hafifu, E ufaulu hafifu sana na F ufaulu usioridhisha.

Katika utaratibu huo, mtihani wa mwisho ulitarajiwa kuwa na alama 60 na alama 40 zitokane na alama za Maendeleo ya Mwanafunzi Shuleni (Continuous Assessment-CA).

Mwaka jana baada ya Serikali kufuta matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne, Necta ilitumia CA ya 30 huku mtihani wa mwisho ukiwa na alama 70.

Wadau wa elimu na wabunge walipinga vikali utaratibu mpya wa alama za mitihani hali iliyofanya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuamuru wizara husika kupeleka bungeni taarifa yenye maelezo juu ya uamuzi huo.

Kabla ya Serikali kutoa kauli yake, watendaji na viongozi wa Wizara ya Elimu walikutana na Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii Mjini Dodoma mwezi huu ambapo wajumbe wa kamati hiyo walikataa viwango hivyo vipya na kuitaka wizara kuendelea kuvifanyia kazi viwango hivyo kwa kuishirikisha Bodi ya Necta.

Mjumbe mmoja aliyekuwa ndani ya kikao hicho alisema hoja kuu zilizosababisha kukataliwa kwa alama hizo ni ile iliyosemwa kuwa ni kushusha sana viwango vya ufaulu, pia kutaka shughuli hiyo ifanywe kwa kushirikisha Bodi ya Necta ambayo kisheria ndiyo yenye jukumu la kutunga sera za mitihani.

“Tulichosema ni kuwa viwango vya ufaulu pamoja na utaratibu uliotumika mwaka jana, viendelee kutumika kwa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea kwa sababu viwango vipya vimekosa uhalisia,” alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo.

Wajumbe hao walisema haiwezekani ufaulu wa A ukaanzia 75 wakati hakuna nchi duniani yenye A ya namna hiyo, pia haiwezekani 20 ikahesabika pia kama ufaulu.

“Pia ukiangalia, Kifungu cha Nne cha Sura ya 10 ya Sheria ya Necta kinasema kuwa taasisi hiyo ndiyo yenye jukumu la kutengeneza sera ya mitihani,” alisema mjumbe huyo.

Hata hivyo, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alisema bungeni kuwa daraja sifuri litaendelea kuwapo lakini hakuzungumzia chochote kuhusu alama ambazo kamati ilishauri wizara hiyo izifanyie kazi.

Mulugo ambaye ndiye aliyehudhuria kikao hicho hakupatikana jana kuzungumzia suala hilo. Hata alipopigiwa simu yake ya mkononi, iliita bila kupokewa.

Ofisa Habari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Ntambi Bunyanzu alisema kwamba hana taarifa za maagizo hayo ya kamati hiyo.

Ufaulu wa chini

Kwa mujibu wa kitabu kinachoonyesha viwango vya ufaulu duniani kila mwaka cha International Qualification, baada ya Tanzania kutangaza alama hizo mpya, sasa inaongoza duniani kwa kuwa na alama za chini za ufaulu.

Nchi zinazofuatia kwa viwango vya chini baada ya Tanzania ni Kenya, Rwanda, Uganda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) ambazo hata hivyo, viwango vyake vipo juu kwa kiwango kikubwa vikilinganishwa na vile vya Tanzania.

PHOTOS:DIAMOND NDIO MTANZANIA PEKEE ALIYE ALIKWA NA P-SQUARE KUSHUHUDIA ARUSI YA PETER OKEYO

Posted: 17 Nov 2013 10:23 PM PST

  Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter. Diamond yupo nchini Naija kwaajili ya utengenezaji wa video yake mpya ya wimbo Number One remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko Naija anaitwa Davido. Nadhani tutegemee mambo mazuri sana kutoka kwa Diamond
Akiwa na Mwanamuzi Iyana


Akiwa na Adebayo wa Man City

Udaku Specially

unread,
Nov 19, 2013, 4:39:39 PM11/19/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


UDAKU HOT GIRL OF THE NIGHT-RAYUU

Posted: 19 Nov 2013 10:07 AM PST

Click Like if you Think she is Hot...Tuone atapata Likes Ngapi?

MAKOCHA WA SIMBA ABDALLAH KIBADENI NA MSAIDIZI WAKE JAMHURI KIHWELU WATIMULIWA

Posted: 19 Nov 2013 09:08 AM PST

Kocha mkuu wa Simba Abdala Kibadeni pamoja na Msaidizi wake Julio Wametimuliwa kazi katika timu ya Simba kwa Kile kinachosemekana ni utendaji wa kazi Mbovu...Simba inatarajia kumleta kocha mpya Mzungu Anaitwa Bobby Williamson...Ambaye alikuwa kocha wa Gori Mahia ya kenya...

"NIPO RADHI KUBADILI DINI ILI NIOLEWE NA HUYU MKAKA".....DIVA WA CLOUDS FM "

Posted: 19 Nov 2013 09:00 AM PST

Mwanadada mtangazaji Diva aka the Bawse, yupo tayari kubadili dini ili aweze kuolewa na mwanaume aitwaye Omar Borkan, na wala mtangazaji huyo hatojali hata akiwa mke wa ngapi, ilimradi aolewe na mwanaume huyo. Kupitia mtandao wa instagram mtangazaji huyo alipost picha ya mwanaume huyo na kuandika manano haya ” Hata dini ntabadili wallah… Anioe tu huyu kaka … Hata mke wa ngapi poa @omarborkan isn’t he just a cute man on earth guys?

Omar Borkan ni mwanaume mwenye asili ya kiarabu na anafanya shughuli za Photographining, mwandishi wa mashahiri na pia ni Actor kutoka Dubai, mwanaume huyu anamvuto kiasi cha kuwachanganya wakina dada wengi.
Kutokana na mvuto wake huo, Omar Borkan alishawahi kuponzwa na umvuto wake alionao kiasi cha kufikia kufukuzwa katika moja ya sherehe Riyadh na polisi wa kidini ya kiislam. Na pia kaka huyu alipewa amri ya kuondoka kabisa nchini Saudi Arabia kwa kuwa atakuwa akiwachanganya wanawake kwa mvuto wake.

ADEN RAGE ASIMAMISHWA NA KAMATI YA UTENDAJI YA SIMBA

Posted: 19 Nov 2013 08:46 AM PST

Kamati ya utendaji ya klabu ya Simba iliyokutana jana usiku, imemsimamisha kazi Mwenyekiti Ismail Aden Rage.
Rage amesimamishwa kazi kutokana na masuala kadhaa ya kiutendaji , lakini kubwa imeelezwa ni suala la mauzo ya mchezaji Emmanuel Okwi.

DIAMONDA AMBULIA TENA MATUSI BAADA YA KUPOST PICHA HII ALIPOTAKA KUWAUMBUA WALIOMPONDA ALIVYO VAA NJIWA

Posted: 19 Nov 2013 08:41 AM PST

uwezekano watu walikuwa wameshaanza kuganga yajayo na kusahau kuhusu kile alichovaa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye harusi ya kimila ya Peter Okoye wa P-Square huko Lagos, Nigeria Jumapili iliyopita.

Lakini leo Platnumz ameamsha upya mashambulizi mengine ambayo safari hii yanatokea kwa wabongo, baada ya kupost picha yake akiwa na vazi ambalo limekuwa gumzo kuanzia kwa wanaijeria waliomponda kwa kusema amechemka. Lakini picha ya leo imechanganywa na picha mbili za mastaa wa Marekani, kushoto Wiz Khalifa na kulia mchezaji wa Basketball wa timu ya Miami Heat Dwyane Wade, na sio kwamba ameweka picha zao tu bali picha zao wakiwa na mavazi ya suruali fupi ‘njiwa’ kama aliyovaa yeye.
Huenda alitarajia kuwa ‘prove wrong’ wote waliomsulubu kwa kumwambia amechemka, kwa kuwaonesha kuwa hata mastaa wakubwa huvaa hivyo, lakini hiki ndicho alichoambulia kutoka kwa followers wake wa Instagram:
[ @ ] kagebby: Hahahahahahahahaha……….daimond am sorryyy dear..bt smtyms u have to accept that u a wrong….what ever u do to justfy the situation makes it worse…..tunakubali talent yako bt….sorry dear UMECHEMKA MBAYAA….SO FANYA KAMA UNASAHAU HIVI HYO SURUALI YAKO KAMA YA JOKER AU CLOWN…..THEN TO MOVE FORWARD AU SIO..MKALI.
[ @ ] mwatumu37: Diamond yani bora ungekaa kimya sasa hapo ndio umetibua kabisa! yani Huyu @realsarahcrystal amekudanganya hatujasema sio fashion kwanza kabisa sio kila stely enaendana na mwili wa mtu pili inatengemea ni wapi wewe ulienda culture wedding ungepaswa uvae kitamaduni zaidi nadhani uliona wanainger walivyo vaa acheni kumtia diamond kichwa nguo aliyovaa haiendani na shuguli soma comment kwa iyanya wanainger wamesemaje.tukubali kukosolewa
[ @ ] wildromann: Wiz n wade wote waliekwa fashion police tht hawajapendeza so usijipe moyo that u look like them NO
[ @ ] university_tz: now i can see how blind yu are @diamondplatnumz ! how stupid yu are bwana mdogo!…toa izo goggles zako feki aungalie the difference btn yu and’em….tunajua hiyo outfit ina exist ktk real world…bt not the way yu did…hao majamaa wamepiga suti za bei hatar hatar, yaan iyo style imeendana na uzur na bei ya suti zao! nw look at urself! angalia iyo shati ya tetroni uliyovaa! surual last time nimemuona nayo wema sepetu iyo! cheki na izo ngwasuma zako za manzese! shame on yu! swallow ur pride bitch and accept apo umebumaaa star wa tandaleee!! 
[ @ ] zushali: @diamondplatnumz fashion police. U need a stylist for real to dress u according to the occasion sio kutuvalia Michael jackson style wakati una masculine body 
[ @ ] sazaf: @diamondplatnumz naona ndugu yangu unakoenda kubaya inapnesha hujui tofauti alichovaa #wizkhalifa na alichovaa #waynewade kijana ni tofauti na huo mcharuko uliovaa wewe hebu angalia tofauti kijana usiwe msanii wa kucopy style za watu ww ni msaani wa tz wakilisha tz dah wao wamevaa suit bora na ww hio dnt touch ungevaa na suit kijana jiangalie sana ok
[ @ ] mwatumu37: Sikiliza mkasi @iamsheriangowi alivyosema omba ushauri kwake wa mavazi namkubali sana huyu jamaa wewe ni msani mkubwa uwe unakubali kukosolewa sisi Hatukuchukii wanao kumchukia ndio hao wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
[ @ ] kipereto unajuwa @diamondplatnumz tatizo sio nguo hiyo fashion yako ungesubiri siku nyingine sio harusi ya mtu ndio uvae hiyo then sio watanzania peke yao hata uko naija wamekusema vile vile angalia blog za naija.sisi wabongo tuna tabia hata kama myu amekosea hatuwezi kumwambia ukweli sijuwi kwanini mwambieni mtu ukweli ili abadilike na sio kumpa sifa za kijinga juzi kavaa hivyoo je akipata bahati ya kwenda obama si atavaa chupi.nakwanini mtu akisema ukweli mnasema chuki ,wivu sijui fitina halafu kumbe unasemanga comment za watu ok basi sawaaaaaa 
[ @ ] 55_star: Nimeipenda fashion yako@diamondplatnumz lkn msema kweli ni mpnz wa mungu kwakweli hujapendezaa kabisaaa c lzm kila kitu tuige jipange tena bro next time vaa kinachoendana na mwili wako.ila big up kwa kazi zako.
[ @ ] evaristnyororo: Bora umewaonyesha wabongo maana nchi mzima ilipinga ulivovaa kwenye wedding,halllaaa wasaf 
[ @ ] jaka_reynolds: Ile it was traditional wedding,so alitakiwa kuvaa accordingly,sio kuvaa iyo skin tyt ya wema.
[ @ ] 1989naa: @teddykaegele i dnt knw more abt fashion ila mmmmmh ,,,not hate …4 me , big No,,,hata fashion inaenda na sehemu husika,,yes ts fashion ila cna uhakika na uvaaji huu…katika tukio km hilo pia co kila fashion inampendeza mtu..nyingine ukiona hazikutoi sexy una acha,,sina uhakika kama D alipendeza,cmchukii jus maoni yng tu
[ @ ] bongosuper: I dont care abt that fashion ni hukupendeza afu haikuendana na diamond 
[ @ ] classychristianline :Hapana@diamondplatnums style hiyo ungevaa koti nawe ndo hapo sawa!
[ @ ] michanolive: Unekuwa kama katuni wa masudi kipanya @bongosuper wenzie wapo katika culture wedding et yy kaenda kavaa old school hahahahah mbutaaaaa @diamondplatnumz 
[ @ ] anniepeter : Xo lazima kuvaa kama wao kwani kazaliwa kwao? angevaa kama wao mngexema pia. 2badilike jaman hating null lol! 
[ @ ] najjimnadir: Hile ilikua traditional wedding, anatakiwa ajue nyakati na matukio sio fashion 
[ @ ] cierarockss: Sasa ungevaa Na suit afu hiyo siyo sehemu yake. Kama kwenye ile msiba ndo vazi kidogo LA harusi. Ila sio mbaya uzuri unajiamini kwahiyo ilionekana sawa
[ @ ] melbamesha: Ok Hun I am not going to criticise you because your trying but one thing I know you need to fire️ your stylist and hire a new one ASAP @diamondplatnumz … And the rest of you break a leg.. He is human
[ @ ] saidkitamo: cyo kila fashion itampendeza mtu kiukwel kwa hapa ulichemka vibaya pia ulishindwa kutofautisha nyakat myb kwenye birthday waweza kwenda na hko kivazi lakin kwenye wedding apana hlo ndo tatizo kubwa lilokuangusha kijana next tym kuwa makin coz nilitembelea ata kwA iyanya alipost pic hyo most of zem wamekudiss ww de way ulivyo vaa 

source: Bongo5

PICTURE OF THE DAY-AY AKIWA NA MCHUMBA WAKE ANAETARAJIA KUFANGA NAE NDOA HIVI KARIBUNI

Posted: 19 Nov 2013 07:50 AM PST

Tupia Like yako Hapo Chini Kama Unaona Wamependeza kuwa Pamoja.....

IRENE UWOYA AONESHA TATTO YAKE MPYA ILIYOKO KIUNONI..MMMH

Posted: 19 Nov 2013 08:24 AM PST

 Sina usemi Picha zenyewe zinaongea hapo chini


PICHA ZA JAMAA ALIYEUWA NA KISHA KUJIUA MWENYEWE KWA RISASI JIJINI DAR LEO ASUBUHI

Posted: 19 Nov 2013 03:17 AM PST

Mapema leo asubuhi milio ya risasi zaidi ya kumi ilisikika eneo la Ilala Bungoni karibu na baa maarufu ya Wazee (Club ya Wazee), watu watatu wakiripotiwa kufariki kutokana na tukio hilo linaloelezwa kuwa limetokana na wivu wa kimapenzi.

Dereva mmoja wa tax kituo cha Bungoni ambaye alikuwa shuhuda wa kwanza, alisema mapema leo asubuhi alipata mteja aliyehitaji kupelekwa sehemu, ila kabla hawajafika huko walipokuwa wanataka kwenda jamaa ambaye ndiye alikuwa ni muuwaji alimuomba akatishe safari na kumtaka ampeleke sehemu nyingine.

Kwa mujibu wake dereva huyo aliendelea kusimulia, alimpeleka jamaa mpaka aneo la tukio hilo kwenye nyumba iliyopo pembeni mwa Hotel mpya iitwayo MM.

Mara baada ya kufika hapo, jamaa alitoa sh. 5,000 na kumkabidhi dereva ila cha kushangaza ni kitendo cha jamaa huyo kutoa bastola wakati akiwa anaelekea kwenye geti la nyumba, aliendelea kusimulia dereva huyo.

Wakati jamaa anaelekea getini mlango ulifunguliwa na gari aina ya Toyota Surf ilitoka ikiwa na watu wanne ndani, mwanaume mmoja ambaye ndiye aliyekuwa akiendesha gari mama mmoja na wadada wawili.

Jamaa akiwa na bastola alianza kuwashambulia watu waliokuwa ndani ya gari hilo na kumpiga risasi dereva na mdada mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Carol, hii ni kwa mujibu wa dereva huyo na mara baada ya kuona hivyo hivyo ikabidi akimbie.

Vyanzo vingine vinaeleza kuwa katika tukio hilo jamaa pia limpiga risasi ya mgongoni mama wa mwanamke aliyemuua na pia alimpiga msichana mwingine risasi ya mguu.

Mtuhumiwa na dereva aliyekuwa akiendesha gari walifariki palepale huku msichana mmoja akielezwa kufariki akiwa njiani kuelekea hospitali.

Bado haijafahamika moja kwa moja chanzo cha mauwaji hayo licha ya watu wengi ambao nilipata bahati ya kuongea nao wakilihusisha tukio hilo na mambo ya kimapenzi.



Dereva Aliyekuwa Akiendesha Gari
Mwili Ukibebwa Kuingizwa Kwenye Gari

Jamaa Aliyeuwa Kisha Kujiua
Nitaendelea kukupa taarifa uu ya tuko hili kadiri ntakavyokuwa nazipata.....

WANAWAKE WA SIKU HIZI WANA TABIA SAWA SAWA NA WANAUME KASORO HAWAWEZI BADILI JINSIA

Posted: 19 Nov 2013 08:18 AM PST

Wanawake wa siku hizi wana tabia sawasawa na wanaume kasoro tu hawawezi kubadili jinsia ili wote tukojoe tumesimama...
Ukicheat na yeye anatafuta wa kwake anakomoa...Usipompa hela anatafuta danga linampa hela utashangaa tu wewe unafanya kazi una Nokia Asha,yeye anasoma Diploma ya Record Management pale Magogoni na babake ni Mchuuzi wa Samaki Feri lakini ana Samsung Galaxy Note3 mpya na kumuuliza huwezi...Ukidhani unamtumia kama Kipoozeo chake kumbe mwenzio na yeye anakutumia wewe kama Feni yake Joto likiwa kali..Ngoma Droo...We unalewa Bia ye anajidunga Shots za Tequila...Na mademu wa namna hii huwezi kusikia eti Baby nna mimba yako,hawapatagi mimba hawa hata ule rosti miaka 8,ukimwaga ugali wanamwaga mboga...wanaopata mimba hawa ujue wamekuja mjini na mbio za Mwenge...
Kuwa makini sana,Mapenzi ya siku hizi ni Timing za kumchinja Kobe,ukidhani umewahi kumbe umewahiwa,True Love ni ngumu sana kupata kama kusikia kolabo ya Suma Mnazaleti na Justin Bieber inapigwa chati za Billboard...
Kwa Hisani ya Mwanaume aliyeko dimbwini na Binti wa Kichaga
By Seth De Jesus

MSANII KEVOO HARD APIGIWA SIMU NA MGANGA WA KIENYEJI NA KUSEMA ANAWEZA KUMSAIDIA KISHIRIKINA AWE KAMA DIAMOND-SIKILIZA HAPA

Posted: 18 Nov 2013 11:47 PM PST

MIMI MSANII KEVOO HARD NIMEPIGIWA SIMU NA MGANGA TOKA SUMBAWANGA AMENITISHA SANA KWA KUSEMA ANAWEZA NISAIDIA KISHIRIKINA ILI NIPENDWE KATIKA SANAA NA HII NDO SAUTI YAKE NIMEMREKODI UKITAKA KUJUA UKWELI KUHUSU HII KITU NAOMBA NIPIGIENI NAMBA YANGU NI 0718084411 SIKILIZA HAPA MAZUNGUMZO HAYO YA SIMU:

JAMAA AUWA WAWILI NA KISHA KUJIUA YEYE MWENYEWE ILALA DAR LEO ASUBUHI

Posted: 18 Nov 2013 11:45 PM PST

Mtu mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake amewaua watu wawili kwa kuwapiga risasi ndani ya gari na kujeruhi mmoja kisha naye akajiua kwa risasi asubuhi hii jirani na Baa ya Wazee iliyopo Ilala, jijini Dar es Salaam!

Inadaiwa kuna gari ilikua inatoka ndani ya geti kutoka ikiwa na dereva mwanaume, abiria mwanamke mbele, na abiria wengine wawili wakiwa seat ya nyuma.

Pembeni hapo kulikua na jamaa kasimama. Inadaiwa alishushwa hapo dakika chache toka katika tax, walipotokeza abiria hao kupitia gari yao alitoa silaha yake na kupiga risasi gari akilenga zaidi abiria wa mbele pande zote kisha na nyuma. Baada ya kumaliza hapo muuaji huyo naye alijipiga risasi na kufariki hapo hapo.

Dereva na abiria wake wa mbele wamefariki dunia, huku abiria wa nyuma mmoja mama mtu mzima kajeruhiwa na risasi mgongoni na dada mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni.

Source: global publishers & Jamii Forums

NAPE AMWAGIZA MSAJILI WA VYAMA TANZANIA AIFUTE CHADEMA

Posted: 18 Nov 2013 11:10 PM PST

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye amemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kukifuta Chadema kwa madai kuwa, kimeshindwa kusimamia katiba yake kwa kutofanya uchaguzi wa ndani zaidi ya miaka zaidi ya kumi.
  
Nape alisema chama hicho kimejaa viongozi waongo, wapenda vurugu na wanaotaka kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Katiba Mpya na kwamba, wamesahau katiba iliyopo imedumu kwa miaka 50 na haijawahikuwagombanisha wananchi wala kuwavuruga.
Hata hivyo, jitihada za kumpata Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chadema, John Mnyika kuzungumzia tuhuma hizo jana jioni kwa simu yake haikufanikiwa.
Akihutubia wakazi wa Manispaa ya Songea jana, Nape alimtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kukiagiza chama hicho kufanya mkutano wa uchaguzi haraka kikigoma akifute na kwamba, asipofanya hivyo wao wataendelea kumsema na kumchukulia hatua.
SOU
Aliongeza CCM kilifanya uchaguzi wake 2012 na kupata viongozi wapya, lakini Chadema imeshindwa kusimamia katiba yake ambayo ilipeleka kwa msajili wa vyama na kuisajili kwa kuivunja wao wenyewe kwa kuendesha chama isivyo.
Nape alisema chama hicho hakifai kuongoza nchi, kwani kimeshindwa kusimamia katiba yake na kuifuata hakiwezi kuongoza wananchi.
“Kwa sababu Msajili wa Siasa ni mlezi wa vyama vyote vya siasa ikiwamo Chadema, namuomba akiagize chama hicho kifanye uchaguzi kwani wao wanajiita wanademokrasia wakati wanashindwa kufuata demokrasia kwa vitendo,” alisema Nape.
Kuhusu malalamiko ya wananchi, Nape alisema wananchi wamekuwa wakilalamikia utendaji mbovu wa viongozi wa Serikali na kwamba, yana msingi kwani inasikitisha licha ya Ruvuma kuwa ni mkoa unaolisha nchi, hakuna mawazili wa kilimo ambao wamefika mkoani hapa.

---MWANANCHI

KAGAME, MUSEVEN NA KENYATTA WASHITAKIWA EAC

Posted: 18 Nov 2013 10:59 PM PST

Serikali za Rwanda, Uganda, Kenya na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, zimefunguliwa kesi katika Mahakama ya Afrika ya Mashariki, zikidaiwa kukiuka mkataba wa kuanzishwa kwa jumuiya hiyo. 
Hatua hiyo inatokana na Serikali hizo kufanya vikao vitatu mfululizo na kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi.
Walalamikaji katika kesi hiyo, ni Ally Msangi, David Makata na , John Adam, ambao ni Watanzania, wanaotetewa na wakili Mwandamizi, Jimm Obedi wa jijini Dar es Salaam.
Pamoja na mambo mengine, walalamikaji wamewaomba majaji katika mahakama hiyo, kutoa tamko la kusitisha utekelezaji wa maazimio yote ya vikao vya wakuu wa nchi hizo tatu.
Pia wameomba majaji watoe tamko la kukomesha kurejewa kwa vikao kama hivyo kinyume cha mkataba wa jumuiya hiyo.
Kesi hiyo ya aina yake, ilifunguliwa jana katika Mahakama ya Afrika ya Mashariki na kupokewa na Ofisa Masijala i katika mahakama hiyo, Boniface Ogoti.
Kufunguliwa kwa kesi hiyo, kunakuja siku kadhaa baada ya Rais Jakaya Kikwete kuzilalamikia nchi hizo, kuhusu kuitenga Tanzania kwa kufanya mikutano mbalimbali ya maendeleo ya nchi zao. Nchi nyingine iliyotengwa ni Burundi.
Kikao cha kwanza cha pamoja kilifanyika Aprili mjini Arusha kabla viongozi hao kukutana Juni 25 na 26 jijini Entebbe nchini Uganda, walidai kuwa na nia moja ya kurahisha mawasiliano katika nchi hizo.
Mkutano mwilingine ulifanyika mjini Kigali Rwanda Oktoba 28 ukiwajumuisha Rais Yoweri Museven wa Uganda, Uhuru Kenyatta (Kenya), Salva Kiir (Sudan Kusini) na Paul Kagame.
Wakili wa walalamikaji Obedi, alisema katika kesi ya msingi, wanawashtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Rwanda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Uganda,Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Kenya na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo.


----MWANANCHI

WACHUNGAJI WAMKALIA KOONI MZEE WA UPAKO KUHUSU RAMBI RAMBI YA MAREHEMU MOSES KULOLA

Posted: 18 Nov 2013 09:38 PM PST

Stori: Global Publishers
WACHUNGAJI wa makanisa mbalimbali nchini wamemkalia kooni Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Antony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako, kwa kumtaka atoe rambirambi aliyoahidi mbele ya umati wa watu siku ya kuaga mwili wa marehemu Askofu Moses Kulola Temeke, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mtu wa kamati iliyoratibu mazishi ya kiongozi huyo wa kanisa, viongozi wote wa dini walioahidi kutoa rambirambi hizo wametoa isipokuwa Lusekelo aliyeahidi kwa mbwembwe kutoa shilingi milioni 15.
Katibu Mkuu wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, Mchungaji David Mwasota alisema anamheshimu Lusekelo kwani ni mtumishi wa Mungu, lakini ni bora angetimiza ahadi yake kama walivyofanya wenzake.

“Mzee wa Upako ni mtu mwenye jina kubwa kwenye jamii na kwa Mungu, hivyo anapaswa kuangalia kwa undani kile anachoahidi kwa muda unaotakiwa na amuache mke wa marehemu apumzike kwa kuwa ametokwa na mpendwa wake na bado hana nguvu,” alisema na kuongeza;

“Haijawahi kutokea popote, mke wa marehemu akaanza kuzunguka mikoani kukusanya rambirambi kwa walioahidi, huko ni kumsumbua, yeye atumie hekima kuipeleka rambirambi hiyo kwa mke wa marehemu,” alisema Mwasota.
Kwa upande wake, Mchungaji Josephat Gwajima ambaye ni mmoja kati ya walioahidi na kutoa, alisema alitekeleza ahadi yake ndani ya muda mfupi, kama alivyoahidi.

“Namshukuru Mungu kwani nimeweza kutimiza niliyoyatamka mbele ya watu siku ile ya kuaga, najua nisingetoa ingenichafua pia ningeweza kuwadhalilisha wachungaji wenzangu, nikiwa kiongozi lazima niwe mfano bora na nionyeshe njia na uaminifu mbele ya jamii,” alisema Gwajima aliyeahidi na kutoa kiasi cha shilingi milioni 10.
Alimtaka Mzee wa Upako kutimiza ahadi yake ili kuondoa minong’ono isiyo na tija mbele ya jamii.

Naye Mchungaji Getrude Rwakatare alisema yeye alitoa kiasi cha shilingi milioni moja aliyoahidi siku ile ya kuaga.
“Nisingependa kuzungumzia juu ya Mzee wa Upako, ila kinachotakiwa ni kutoa kile anachokiahidi, hivyo wote walioahidi watekeleze ahadi zao,” alisema.

Naye Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la TAG, Askofu Magnus Mhiche amesema hafurahishwi na malumbano juu ya rambirambi na alishauriwa kusiwepo mabishano kwa kitu kilichotamkwa wazi mbele ya jamii.
Na mke wa marehemu, Elizabeth Kulola alisema kwa sasa amekuwa mzee asiyeweza kutembea kutoka  Mwanza kwenda Dar kufuata rambirambi kwa Mzee wa Upako ama tu yeyote.

“Licha ya uzee lakini ni aibu kuanza kutembelea mikoa mbalimbali kukusanya rambirambi kwani walioahidi ni wengi na kutoa ni moyo na wala siyo deni,” alisema na kuongeza:

“Namuomba Mzee wa Upako awatume viongozi wa kanisa lake waniletee au atume mtu yeyote anayemwamini au nimpe namba ya akaunti yangu azitumbukize humo, sijapata taarifa yoyote toka kwake kunihitaji niende kwake na hata ningepata isingewezekana kutokana na uzee.”

Awali Mzee wa Upako alimtaka mama huyo kufuatilia rambirambi ofisini kwake Ubungo Kibangu jijini Dar na wala asimtume mtu yeyote hata kama ni mtoto wake.

Hata hivyo, kiongozi huyo wa kanisa mwenye wafuasi wengi, katika hali ya kushangaza, alikataa kutimiza ahadi yake kwa maelezo kuwa baadhi ya viongozi wa dini wamemdhalilisha, licha ya kushindwa kuainisha.
----------------
Bonyeza like hapa chini kama umeipenda habari

ANAYEDAI KUBAKWA NA KAPUYA HUYU HAPA-UWAZI LAMWEKEA MTEGO NA KUBAINI MAMBO MAZITO

Posted: 18 Nov 2013 09:39 PM PST

Stori: Imeandikwa na Global Publishers
MNYONGE mnyongeni haki yake mpeni, skandali ya kumbaka na kumwambukiza Ukimwi mwanafunzi, inamtafuna na kumuumiza Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Juma Athuman Kapuya.
Denti anayedai kubakwa na Prof Kapuya akiongea na GPL.
Kuhusu ukweli wa skendo hiyo, vyombo vya sheria vitazungumza lakini gazeti hili limejiridhisha pasipo shaka yoyote kuwa denti husika ni tapeli na anacheza rafu ili kumharibia Kapuya kwa maslahi yake.
Gazeti hili, liliamua kumchunguza denti husika ili kumjua kiundani katika kutimiza ahadi ambayo Global Publishers Ltd, ilishaitoa kwenye Gazeti la Risasi, nakala ya Jumamosi iliyopita kuwa waandishi wake watafuatilia kinagaubaga na kuanika kila kitu kupitia magazeti yake, utekelezaji unaendelea.
Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Profesa Juma Athuman Kapuya.
HUU NDIYO WASIFU WA DENTI MWENYEWE
Baada ya jana kupitia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuzungumza na Kapuya ambaye alifunguka kila kitu, gazeti hili linaendelea kwa kumchambua denti husika, wasifu wake na maisha yake yote ya kitapeli.
ANA MAJINA MENGI
Denti huyo amekuwa akijulikana kama Felista, ila anatambulika pia kama Halima Hamad, hivi karibuni aliamua kujiita Leylat na wakati mwingine Leila.
Jina ambalo alimuingia nalo Kapuya ili kumtapeli ni Halima Hamad, upande mwingine hujitambulisha kama Halima Humudi, yaani huchezea ubini.
Denti akiwa busy na simu yake wakati wa mahojiano na GPL.
MSHANGAO KUHUSU DENTI HUYO
Mwezi mmoja kabla ya sakata la Kapuya halijapamba moto, Felista alizungumza na waandishi wetu wawili kwa nyakati tofauti, akielezea uhusiano wake na mheshimiwa huyo ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Miundombinu.
Felista alimweleza mwandishi wa kwanza ambaye ni mwanamke: “Nina stori kuhusu Kapuya, yule ni mtu wangu, ila subiri kidogo nitakupa stori kamili.”
Siku mbili baadaye, Felista alimfuata mwandishi wa pili ambaye ni wa kiume, akamwambia: “Kapuya ananitongoza, ngoja mambo yakae sawa nitakwambia.”
Hata hivyo, waandishi wetu hawakuingia kwenye mtego huo kwa sababu mbili. Mosi; si kawaida ya Global Publishers kuandika habari zenye sura ya upande mmoja kwa maslahi ya mtu, isipokuwa husimamia zaidi weledi na mizani.
Pili; Felista siyo mgeni kwa waandishi wetu kwa sababu ana rekodi nyingi za matukio yenye sura ya utapeli, kwa hiyo hakuweza kufua dafu kuiingiza mkenge Global Publishers.
Denti akiwasikiliza wana GPL wakati wa mahojiano.
ENDELEA KUMSHANGAA DENTI HUYO
Baada ya sakata hilo kuibuka kwa nguvu, kasi na ari, waandishi wetu walimpigia simu Felista kumuuliza ilikuwaje akalifikisha suala mbali zaidi, huku akijisema yeye ni mwanafunzi wakati siyo kweli?
Felista alimjibu mwandishi wa kwanza: “Huyo aliyepeleka hizo habari ni Leylat. Mimi Kapuya nafahamiana naye kwa sababu nilishiriki vikao vya usuluhishi kati ya Leylat na Kapuya. Walimalizana vizuri. Mimi kama shahidi nilipata shilingi 3,000,000.
“Siku ya kwanza nilipewa shilingi 2,300,000, baadaye alinimalizia shilingi 700,000, tukawa tumemalizana.”
Mwandishi wa pili alipomuuliza, alijibu: “Jamani siyo mimi, yule ni Leila. Yule mtoto sijui kafikishaje hayo mambo huko, ila mimi najua kila kitu.”
Baadaye Felista alimpigia simu yule mwandishi wa kiume, akamwambia: “Kama utanihakikishia pesa ya usafiri nakuja, nitaeleza kila kitu kwa sababu mimi ndiye shahidi muhimu.”
Denti huyo akiondoka katika ofisi za GPL baada ya mahojiano.
Mwandishi wetu akambana Felista: “Mimi bado nahisi huyo Leylat unayemtaja ndiye wewe mwenyewe ila unaficha.”
Felista akajibu: “Siyo mimi, halafu sasa hivi sijui mahali alipo ila najua yote kuhusu Leylat na Kapuya.”
Mazungumzo hayo yalifika mwisho, huku Felista akiahidi kufika ofisi za Global Publishers Ltd, Bamaga, Mwenge lakini baada ya kukata simu, dakika tatu baadaye alimpigia simu mwandishi wetu, safari hii akiwa na maelezo haya:
“Nimeongea na Leylat. Amefichwa Maili Moja, Kibaha, Pwani, hakuna watu wanaoruhusiwa kumuona zaidi ya wanaharakati ambao wamejitolea kumsaidia kisheria.”
Felista alipotakiwa na mwandishi wetu atoe namba ya Leylat, alijibu: “Namba hapana ila mkitaka nitawapeleka mkamuone. Yule mtoto anasikitisha sana, unajua sasa hivi anatumia dawa.”
AKAZUA SEKESEKE OFISINI GLOBAL PUBLISHERS
Jumamosi iliyopita, Gazeti la Risasi likiwa lina uhakika wa asilimia zaidi ya 95 kwamba Felista ndiye anayecheza sinema yote ya Kapuya, akibadilisha majina na kujiita mwanafunzi, lilitoa picha yake kisha likaiziba ili kumtega kisha likamtambulisha kama shahidi muhimu kama alivyojiita.
...Akiwa nje ya ofisi za Global.
Asubuhi mapema siku hiyo, Felista alimpigia simu mwandishi wetu akilalamika: “Mmeniharibia, Kapuya amenipigia simu anatishia kuniua kwa sababu anasema mimi nimejifanya kiherehere kwamba najua kila kitu.”
MWANDISHI: Wewe ungekuja ofisini tuongee vizuri.
FELISTA: Sawa nakuja ila lazima muangalie jinsi ya kunilinda, maisha yangu yapo hatarini.
Baada ya takriban saa moja, Felista alifika Global Publishers na kusema: “Yaani hatari kweli, Kapuya amekuja nyumbani kwangu, akiwa ameongozana na Leylat. Amesema ataniua kwa sababu mimi ndiye kiherehere nataka kumharibia.”
MWANDISHI: Kapuya amekuja nyumbani kwako kivipi? Tena akiwa ameongozana na Leylat, mbona unatuchanganya.
FELISTA: Amekuja ndiyo, tena inavyoonekana Leylat mwenyewe sasa hivi yupo pamoja na Kapuya. Ugomvi wao umeisha.
Kapuya anafungua kesi kwa magazeti na mitandao iliyomchafua, Leylat yupo upande wake, mimi nikipingana na Kapuya si nitakufa?
MWANDISHI: Hebu Felista usiongee sana, wewe asubuhi uliniambia Kapuya alikupigia simu, sasa hivi unasema alikuja kwako, tukueleweje?
FELISTA: Kapuya hakupiga simu, alikuja na Leylat.
MWANDISHI: Inawezekana Kapuya akawa mtoto kiasi hicho? Na kwako alipajuaje?
FELISTA: Mimi sijui, ila pale nyumbani aliletwa na Leylat.
MWANDISHI: Haya tuambie wewe unatakaje?
FELISTA: Nataka pesa ya kodi, nikapange nyumba sehemu nyingine, pale hapanifai tena, nitauawa. Leoleo nataka kuhama.
UWAZI LIKAENDA MBELE ZAIDI
Gazeti hili, lilimuweka ‘pending’ Felista na madai yake kisha likaingia kazini kumtafuta Kapuya, aweze kueleza wasifu wa denti husika.
“Ni mfupi, mwembamba, mweusi, ana macho makubwa, pua kama ya Kitutsi, kichwa kirefu,” alisema Kapuya baada ya kukiri kumtambua msichana huyo anayejiita mwanafunzi.
Kwa kuchambua maelezo hayo, jawabu moja kwa moja lilikwenda kwa Felista kwa sababu sifa ambazo zimetajwa zinashabihiana naye kwa asilimia 100.
MWANDISHI: Anaitwa nani?
KAPUYA: Halima Hamad.
MWANDISHI: Mmejuana kwa muda gani?
KAPUYA: Tangu mwaka 2011.
MWANDISHI: Katika kipindi hicho, ulikutana naye mara ngapi?
KAPUYA: Kama mara nne, alikuja kuomba msaada akalipe ada Tumaini University. Nilimpa shilingi 3,000,000. Awamu ya kwanza nilimpa shilingi 2,300,000, mara ya pili shilingi 700,000. Nilimsaidia akasome, sikujua kama ni tapeli.
(Rejea maelezo ya Felista kwamba alipewa shilingi 3,000,000 kwa awamu mbili. Zilianza shilingi 2,300,000, baadaye zikafuata shilingi 700,000).
MWANDISHI: Ulijuaje kama ni tapeli?
KAPUYA: Kwanza niligundua hasomi na kuna watu alikuwa anashirikiana nao kunizunguka ili wanitapeli. Nikagundua pia kumbe hata Mkurugenzi wa CRDB, Dk. Charles Kimei, alimtapeli kwa njia hizohizo.
 MWANDISHI: Alikwambia anaishi wapi?
KAPUYA: Yule mtoto muongomuongo, kuna kipindi aliniambia anaishi Mbagala, baadaye akasema Gongo la Mboto, hapa juzujuzi, alisema amehamia jirani na Shoppers Plaza.
(Felista aliwaeleza waandishi wetu kuwa anaishi Gongo la Mboto).
MWANDISHI: Namba yake ya simu ni ipi?
KAPUYA: 0713 7...20…0 (tarakimu mbili zimefichwa).
Lengo la kuuliza namba ni kutaka kujua namba aliyonayo Kapuya ili kuifananisha na ile ya Felista ambayo ipo kwa waandishi wetu.
Namba hiyo ndiyo hasa ya Felista, hivyo kuzidi kujidhihirisha kuwa ndiye anayecheza sinema yote.
MWANDISHI: Pamoja na utapeli wake, vipi kuhusu tuhuma za kumbaka na kumuambukiza Ukimwi?
KAPUYA: Jamani sijawahi kubaka katika maisha yangu yote. Sina Ukimwi. Huyo mtoto anatumiwa na watu kunichafua, maana kuna SMS alinitumia akaniambia atahakikisha sipati cheo chochote.
TUKARUDI KWA FELISTA
MWANDISHI: Kapuya ameshatufungua na tunajua wewe ndiye mhusika,
FELISTA: Siyo kweli, Kapuya anataka tu kutengeneza mambo ili ajisafishe.
MWANDISHI: Kapuya ametaja namba yako kuwa wewe ndiye mhusika. Na kwa nini ataje namba yako?
FELISTA: Labda kapata namba yangu kupitia kwa Leylat.
MWANDISHI: Kapuya amesema wewe unaitwa Halima Hamad na ndivyo ulivyojitambulisha kwake.
FELISTA: Siyo kweli, mimi naitwa Felista. Hilo jina la Halima silitambui.
(Papo hapo, mwandishi wetu aliiangalia namba hiyo usajili wake wa laini na Tigopesa na kubaini kwamba jina lililosajiliwa ni Halima Hamad).
MWANDISHI: Mbona simu yako, laini na Tigopesa, imesajiliwa kwa jina la Halima Hamad ambalo limetajwa na mheshimiwa? Halima ni nani sasa?
FELISTA: Turudi kwenye madai ya msingi, msitake kunibadilishia mada?
MWANDISHI: Wewe ndiye Halima, ndiye Felista, ndiye Leylat na Leila. Wewe ndiye unamchezea Kapuya, siyo mwanafunzi, ni tapeli.
FELISTA: Najua mnataka kunichezea mchezo. Mimi siyo Halima.
MWANDISHI: Mbona namba yako umesajili Halima?
FELISTA: Nimesema mimi siyo Halima.
KAMA HUMJUI FELISTA
Felista wa Kapuya ndiye yule binti aliyewahi kumtapeli mke wa Rais Jakaya Kikwete, Mama Salma kupitia Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama).
Msichana huyo, alidai yeye ni yatima, akiishi kwa tabu sana, Mama Salma akaingia mkenge na kumpa kiwanja Mbagala. Baadaye ilipokuja kujulikana, alishtakiwa kwa utapeli, akapelekwa mahabusu kwenye Gereza la Segerea, Dar es Salaam.
Felista alikiri kuwekwa Segerea kisha akajitetea: “Kuna watu walitaka kunigombanisha na Mama Salma lakini mbona nilitoka?”
Felista, alishawahi kumuibia marehemu Steven Kanumba kamera, alipokwenda ofisini kwake, akijidai ni yatima na ana kipaji cha kuigiza, alipopata mwanya tu, alimliza supastaa huyo ambaye alifariki dunia, Aprili 7, mwaka jana.
Ukiachana na hilo la Kimei ambalo limetajwa na Kapuya, yapo matukio mengine ambayo Felista alishayafanya, ikiwemo kudanganya anasoma alipiwe ada, vitabu, madaftari na sare za shule, kumbe ni ‘gia’ yake ya kupata fedha kwa njia ya udanganyifu.
SIYO MTOTO KABISA
Uchunguzi wa gazeti hili unalo jawabu kuwa kama kuna uongo ambao jamii haipaswi kubisa kukubaliana nao ni huu kwamba Felista ana umri wa miaka 16 na anasoma sekondari.
Gazeti hili limebaini kuwa Felista ni mama wa mtoto mmoja na lilipombana alikiri: “Ni kweli nina mtoto mmoja, nina umri wa miaka 21.”
Waandishi wetu walifika mpaka Shule ya Sekondari Turiani, Magomeni ambako alidai anasoma, huko kila mwalimu aliyeulizwa alisema: “Hakuna mwanafunzi kama huyo anayesoma hapa labda kama mmechanganya shule.”
-------------
Bonyeza like hapa chini kama umeipenda habari

Udaku Specially

unread,
Nov 20, 2013, 4:24:37 PM11/20/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


TAZAMA PICHA YA ALIYEKUA MPENZI WA MHUSIKA WA MAUAJI YA ILALA BOMA

Posted: 20 Nov 2013 12:03 PM PST



Sababu za Mauaji hayo inasemekana ni Kisasi cha Mapenzi baada ya Muuaji Anayejulikana kwa Jina la Gabriel Munnis Kuachwa na Mchumba wake wa Muda mrefu (Christina) ambae pia alimsomesha.

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA NAY WA MITEGO "NAKULA UJANA"

Posted: 20 Nov 2013 09:39 AM PST

Kuwa wa kwanza kusiikiliza hapa ngoma mpya kutoka kwa Nay wa Mitego "Nakula Ujana". Ngoma imefanyika pale MJ Records bit ikinyongwa na Producer Marco Chal

MANGE KIMAMBI AWASHUKIA GLOBAL PUBLISHERS BAADA YA KUWEKA VIDEO YA DENTI ANAYEDAI KBAKWA NA KAPUYA

Posted: 20 Nov 2013 09:29 AM PST

Baada ya Mange kimambi Kuona hii Video hapo juu Alikuwa na haya ya Kusema:

"Global publishers shame on you........

This is harrassment and unfair treatment ya mlalamikaji....

Hatusemi kama anaongea ukweli au kama ni muongo ila kwa jinsi mnavyomfanyia aiseeeeee

ingekuwa ni mimi na kesi ningeachana nayo especially coz kesi yenyewe ni ya kubakwa.

Alafu mnamtishia na kumtoa picha yake bila kuziba sijui nini na hatowafanya chochote...

Kwa kweli nimejisikia vibaya sana, sijui kama huyu binti ni muongo au kama ni mkweli ila Global wanataka kummaliza confidence yooooote......

VERY UNFAIR............

Hivi hawawezi tu kumuhoji mlalamikaji wakamsikiliza kama jinsi walimvyomuhoji Kapuya wakaandika alichosema  Kapuya.

wao wana mjudge mlalamikaji kama nani? Unajua mtu muongo ukimpa chance ya kujieleza kiurefu na kiundani huwa anajifunga kitanzi mwenyewe.

Sasa kama lengo lao lilikuwa kumuonyesha huyu binti ni tapeli wameshindwa sana sana wametuonyesha kuwa binti anaonewa na kunyanyaswa.

Kweli hizi nchi zetu ni tofauti sana na nchi zilizoendelea

nchi zilizoendelea yani hata kama huyo binti angekuwa muongo magazeti yooote yangekuwa on Kapuya's case yani uongo wa huyo binti ungekuja kujulikana mahakamni

ila nchi zetu za kimaskini magazeti yanamkandamiza maskini  mwenye nazo anatetewa....

Nchi za wenzetu ni guilty till proven innocent...lol.......

Yani hii kitu ingeplay very differently nchi zilizoendelea......ila kwetu binti keshasulubiwa na kuaibishwa kuwa ni tapeli wanamtajia na watu aliowatapeli mwenyewe anasema hawajui bado wanamlazimisha.....

Sasa huu ndo ukandamizaji wa wanawake........." Mange
Source:Mange blog

SHIKAMOO MIRIAM ODEMBA........CHEKI MJENGO WAKE....

Posted: 20 Nov 2013 09:18 AM PST


Huu ndo mjengo wa Miriam Odemba, alioudondosha Bongo hivi karibuni

SAUTI SOUL WAJITOKEZA NA KUSEMA WAO SIO MASHOGA..WASEMA WATAZISHITAKI BLOGS ZILIZOSAMBAZA UONGO HUO

Posted: 20 Nov 2013 09:10 AM PST

Sauti Sol have broken their silence regarding allegations on social media and blogs that the "Money Lover' singers are gay. News broke out over the weekend about their sexual orientation and has gone viral since. 

Speaking to Vibeweekly on Monday afternoon, Anyiko Owoko, the group's publicist said the band's management had vowed to take legal action against the blogger who published an article which claimed that one member had said “We don’t do it for the money, we do it for the butt!”. 

A statement from the group's management reads 

"It is obviously a ridiculous rumour, even outrageous. Enough with the gossip and blogs. The band members are as gay as happy means, and would all like to keep their personal private lives including that of their family and friends private and respected. 

The band's first reaction was shock at how someone or some blog could write that they had interviewed them yet they hadn't, that's wrong, malicious and defamatory and we will be taking legal action against all these idle rumor mongers"

The band consisting of Bien Aime Baraza, Polycarp Otieno,Willis Austin Chimano and Delvin Mudigi are among the Kenyan groups nominated at the CHOMVA Awards, for the Most Gifted East African Video. Follow the links below to vote for them.

MASHUHUDA WAELEZEA JINSI MUUWAJI ALIVYOUA KWA RISASI NA YEYE KUJIUA NI KAMA MOVIE

Posted: 20 Nov 2013 05:50 AM PST

Mfanyabiashara wa magari, Gabriel Munisi (35), jana alijiua baada ya kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watatu jijini Dar es Salaam katika tukio linalohusishwa na wivu wa mapenzi.

Munisi, ambaye alikuwa mkazi wa Mwanza, aliwapiga risasi watu watatu akiwamo mchumba wake, Christina Alfred katika Mtaa wa Bungoni Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

Baada ya kumpiga risasi mchumba wake huyo na kudhania kwamba amemuua, inadaiwa kwamba Munisi aliendelea kuwamiminia risasi watu wengine na kumuua mdogo wake Christina, Alpha (22).

Katika tukio hilo, Christina na mtu anayedaiwa kuwa mchumba wake mpya, Francis Shumila wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kujeruhiwa. Mama yake Christina, Helen Alfred amelazwa katika Hospitali ya Amana baada ya kujeruhiwa pia.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marieta Minangi alisema Munisi alikutwa na bastola moja, magazini mbili na yalikutwa maganda 14 ya risasi zilizotumika na risasi mbili ambazo zilikuwa hazijatumika.

Tukio hili limetokea mwezi mmoja baada ya mwandishi wa habari wa ITV, Ufoo Saro kujeruhiwa kwa risasi na mzazi mwenzake, Anthery Mushi.

Katika tukio hilo, Mushi alijiua baada ya kumuua mama mzazi wa Ufoo na inaaminika pia tukio hilo lilisababishwa na masuala ya mapenzi.

Lilivyotokea

Mashuhuda waliokuwapo katika tukio hilo walisema mauaji hayo yalitokea saa 1.15 asubuhi baada ya Munisi kufika Ilala Bungoni na kwenda katika Klabu ya Wazee iliyo jirani na eneo yalipotokea mauaji na kunywa supu kabla ya kusogea karibu na lango la nyumba anakoishi mchumba wake.

Mmoja wa majirani, Noel Gerald alisema alimuona Munisi akiwa amesimama karibu na lango la nyumbani kwa kina Christina.

Alisema baadaye waliona gari aina ya Toyota Hilux, Surf, likitoka katika lango la nyumba hiyo na mara walimuona Munisi akimwamuru dereva ashushe kioo lakini alikataa na kudai kwamba ndipo alipoamua kuwapiga risasi waliokuwamo kwenye gari hilo.

Alidai kuwa Munisi alipiga risasi nane mfululizo huku akiwa analizunguka gari hilo na kwamba alimpiga dereva ambaye baadaye alifahamika kuwa ni Shimula. Imeelezwa kuwa majeruhi huyo ni raia wa Kenya na ni rubani wa ndege.

INGIA HAPA USOME KITU CHA MWISHO ALICHOANDIKA FACEBOOK KIJANA ALIE UWA WATU WAWILI KWA RISASI NA YEYE KUJIUA

Posted: 20 Nov 2013 04:04 AM PST



Anaitwa Gabriel Munissi mkazi wa Mwanza ambae Polisi Ilala Dar es salaam ilithibitisha kwamba ndio amehusika kufanya mauaji ya watu wengine wawili kabla ya yeye kujiua huku ikiaminika ni kutokana na wivu wa kimapenzi.
Kama hukuipata hii taarifa ni kwamba Gabriel alikwenda Ilala na kusimama nje ya nyumba moja iliyokua na fensi na geiti jeusi kusubiria atoke Mwanamke anaetajwa kuwahi kuwa mpenzi wake na kisha baada ya Mwanamke huyo kutoka huku akiendeshwa na mwanaume mmoja kwenye Toyota Surf na kukiwa na abiria wengine wawili kwenye gari, Gabriel ndio alianza kufyetua risasi ovyo.
Shahidi alieshuhudia hili tukio mwanzo mwisho anasema waliamini kabisa kwamba Gabriel hakuwa jambazi kwa jinsi alivyoshambulia na kuendelea kubaki eneo la tukio bila kuwadhuru watu wengine waliokuwemo karibu, vilevile kama angekua jambazi isingekua rahisi kwa yeye kujiua.
Shuhuda anasema Gabriel alipiga risasi mpaka zilizokuwa ndani zikaisha ikabidi aongeze nyingine na kuendelea kushambulia huku akiwa hana nia ya kuwaua wale abiria wengine kwenye gari baada ya kuwajeruhi isipokua Mwanaume aliekua anaendesha pamoja na Mwanamke anaetajwa kuwa mpenzi wake ambae alikua amekaa pembeni ya dereva.
Hiki hapa chini ndio kitu cha mwisho alichokiandika Gabriel kwenye ukurasa wake wa facebook.
Gabriel MunissiWaliouwawa kwenye tukio hilo wanatajwa na polisi kuwa ni mwanaume aliekua anaendesha gari pamoja na mdogo wa Mwanamke anaetajwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Gabriel.
Baadhi ya marafiki wa Gabriel Mwanza wanasema Gabriel ni miongoni mwa vijana wa mjini waliokua wanaishi vizuri kwa kuendesha magari ya kifahari na kuwa na pesa za kutosha hivyo pesa haikua tatizo kwake.
-Millardayo.com

IMEGUNDULIKA BAADHI NDUGU WA PETER OKEYO WA P-SQUARE WALISUSA HARUSI

Posted: 20 Nov 2013 02:19 AM PST

As it would be with stars of their stature, there is always a rumor to it. It is alleged that Peter Okoye's elder brother Jude Okoye who doubles up as manager and publicist for the twins missed his small brother's wedding.


While alternative report that Jude was stuck in Ghana where P Square had been for a performance a witness who was at the show said, "We didn’t see him, the twins were here with their band but we didn’t see Jude‘, our source who’d rather stay anonymous tells NET".

Naija's blogspehere however reports that Jude Okoye and other key relatives of the twins missed the wedding because they did not approve of Peter Okoye's wife to be, Lola Omotayo. An article on codewit.com reports that Peter's mother had disapproved of their relationship before she passed on and this could be the reason why Jude snubbed the wedding.

Some relatives of the Okoyes claimed that Omotola cheats on Peter and that he should order a DNA test to establish if the kids are really his. A friend of the newly weds however asserted that all these are ‘wicked rumors’. ‘Wicked, false rumors. Nothing can be more false and distasteful.

GARI MPYA INAUZWA TOYOTA IST 2004 PRICE 12.5 MILION IPO DAR KUTOKA JAPAN-CALL 0768570703

Posted: 20 Nov 2013 01:48 AM PST

Toyota ist 2004 model
Toka japan mpyaaa, Haijatumika Dar
CC 1490 mwaka 2004
Full duty paid and insured,
Color metallic black
Vvti engine
Airbag
Powerwindow
Ac
Radio

Whatsap or call 0768570703 kwa Maelezo Zaidi



Whatsap or call 0768570703 kwa Maelezo Zaidi

Udaku Specially Blog

CCM WAMTAKA KIKWETE AWATIMUE KAWAMBWA, CHIZA NA MALIMA

Posted: 20 Nov 2013 01:10 AM PST

MAWAZIRI watatu wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wapo katika wakati mgumu baada ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye, kutangaza rasmi kuwa atahakikisha wanachukuliwa hatua za kuwajibishwa kutokana na kushindwa kutekeleza majukumu yao.

Wakati Nape akitaka mawaziri hao watimuliwe, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulhaman Kinana, amesema kuwa mawaziri hao watawekwa kiti moto katika kikao kijacho cha Kamati
Kuu (CC), kwa lengo la kueleza ni hatua gani wanachukua katika
kushughulikia matatizo ya Watanzania.
Mawaziri hao ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi
Christopher Chiza,  Naibu wake, Adamu Malima  na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa ambaye ametajwa kuwa sehemu ya matatizo katika kila wizara anayopewa kuiongoza.

Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Nape alisema hakuna sababu ya kukaa kimya wakati mawaziri hao wameshindwa kazi, hivyo ni vema wakawajibishwa ili kukiokoa chama chao.
Kuhusu Chiza na Malima, Nape alisema mawaziri hao wameshindwa kutekeleza wajibu wao kwani tangu walipochaguliwa kuongoza wizara hiyo hakuna hata siku moja ambayo wamefika Ruvuma kushughulikia matatizo ya wakulima wakiwamo wa korosho, tumbaku, mahindi  na mpunga, ambapo katika mikoa mbalimbali nchini imekuwa ikilalamikia sekta ya kilimo lakini wenyewe wamekaa kimya bila kuchukua hatua zozote.

“Katibu Mkuu leo ni bora nikazungumza haya ya mawaziri ambao wamepewa dhamana ya kuwatumikia Watanzania. Nimeuliza hapa Ruvuma Waziri wa Kilimo na naibu wake walishawahi kufika mara ngapi kushughulikia matatizo ya wakulima. Jibu lake, hakuna hata siku moja wamefika.
“Hii inaleta tabu, wakati wakulima wanahangaika na pembejeo za kilimo, ukosefu wa soko na malipo ya fedha wanazodai serikalini mawaziri wenye dhamana wapo mjini wanafunga tai na suti. Hawafikiri kuhusu matatizo ya wakulima,” alisema.

Aliongeza kuwa yupo tayari kupoteza nafasi yake lakini hawezi kuvumilia hali hiyo ikaendelea na kutumia nafasi hiyo kumuoma Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ahakikishe wanachukuliwa hatua na ikiwezekana waitwe CC wahojiwe.
Alisema karibu Tanzania yote wakulima wamekuwa na matatizo mengi na wamekuwa wakilalamikia wizara hiyo na yeye ni shahidi wa hayo yanayoendelea kutokea na ili kukinusuru chama hicho mawaziri walioshindwa kazi wawajibishwe.

Alisema kuwa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imepewa dhamana ya kuwatumikia Watanzania asilimia 80, ambayo ni wakulima lakini waliopewa jukumu hilo hawataki kufanya kazi zao.
“Wananchi naomba mnilinde, lakini niseme ukweli. Niseme nisiseme…mawaziri ambao tumewapeleka jikoni wameshindwa kupika chakula, tunasubiri sebuleni lakini chakula hakiji. Wanatukwamisha, ni bora wakaondoka kama wameshindwa kazi.

“Katibu Mkuu mimi nikija, sipo tayari kuona CCM inakuwa chama cha upinzani bungeni kwa sababu tu ya hawa wenzetu wachache ambao wanafanya makusudi na uzembe katika kutekeleza wajibu wao,” alisema Nape.
Wakati kwa Dk. Kawambwa mbali ya kushindwa kuongoza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi naye anatakiwa kuchukuliwa hatua kutokana na mkataba aliouingia na makandarasi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Namtumbo hadi Tunduru mkoani Ruvuma.

Nape alisema anamshukuru  Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kwa kumfukuza mkandarasi huyo aliyemtaja kwa jina la Progressive ambaye ameshindwa kazi ya kujenga barabara hiyo.
Hata hivyo, kumfukuza mkandarasi huyo pekee haitoshi, hivyo aliyehusika kumpa mkataba anapaswa kuchukuliwa hatua kwani uchunguzi unaonesha kuwa alishashindwa kazi na wakati anapewa mkataba huo Waziri husika alikuwa Dk. Kawambwa.

“Dk. Kawambwa amekuwa akitukwamisha CCM katika kutimiza wajibu wake. Hii barabara ya Namtumbo hadi Tunduru kushindwa kukamilika imeleta aibu kubwa na kututia fedheha. Hivyo lazima waliotoa mkataba wawajibishwe.
“Dk. Kawambwa huyu huyu ameshindwa kushughulikia matatizo ya walimu nchini na atambue kuwa tulimpa muda wa miezi sita na sisi tunahesabu, ukimalizika hatutaacha kuchukua hatua.

“Chama kitatumia wabunge wake kumuwajibisha. Hatuwezi kukaa kimya. 
Iwapo ninaonekana kama kero kwa kupigania masilahi ya nchi na watu wake, nipo tayari kuondoka na kwenda kujihusisha na kilimo. Maana mimi ndiye mpiga debe wa chama, nitakwenda kueleza nini kwa umma kutokana na ahadi zetu kukwama kwa sababu tu ya uzembe wa wachache ndani ya serikali?” alihoji.
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa CCM, Kinana, alisema kuwa katika kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), kitakachofanyika Desemba mwaka huu chama kitamuandikia barua Rais Jakaya Kikwete ili mawaziri wake waje wajieleze mbele ya kikao kwa nini wasifukuzwe kwa  kushindwa kazi.

 CREDIT: TANZANIA DAIMA

UVCCM ZANZIBAR WASEMA "MAALIMU MAALIM SEIF NI DIKTETA "

Posted: 20 Nov 2013 01:07 AM PST

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar,  umemtuhumu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) kuwa  ni kiongozi mwenye viashiria vya udikteta. 
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM, Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alitoa kauli hiyo juzi katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Shaka alisema kitendo cha kiongozi huyo kukataa  kuachia  madaraka ya kisiasa na kulipisha kundi la vijana ni udikteta usio na mipaka ndani na nje ya Bara la Afrika.
Alibainisha kuwa inasikitisha kusikia kiongozi huyo akitangaza kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani ilhali alishindwa mara nne katika chaguzi zilizofanyika miaka iliyopita.
Tangu mwaka 1992 hadi leo Maalim Seif ameshikilia vyeo ndani ya CUF, amekuwa Makamu Mweyekiti wa CUF, mgombea urais  wa kudumu, sasa Katibu Mkuu na hataki kuachia ngazi ili kuwapa nafasi vijana, ndiyo maana nasema ni dikteta hatari,” alisema.
Shaka aliongeza kuwa laiti Maalim Seif angelikuwa anaheshimu misingi ya demokrasia na kutambua umri wake asingeendelea kushiriki siasa kama alivyoahidi hivi karibuni kuwa hataacha siasa hadi aishiwe nguvu.
Shaka aliwataka vijana wa CUF  kujiondoa katika chama hicho na kujiunga CCM ili waweze kupata nafasi ya kuonyesha uwezo  wa kushikilia nafasi za uongozi ambao sasa unahodhiwa na Maalim Seif.
Tazameni CCM ilivyo, vijana  tunapewa nafasi ili kuonyesha uwezo na vipaji vyetu kisiasa, mkibaki huko hadi mtazeeka hamtapata nafasi ili kuisaidia nchi yetu kimaendeleo,” alisema.
Aliongeza kuwa CCM inaonyesha kuheshimu misingi ya demokrasia tangu utawala wa TANU na ASP, ambapo kulikuwa na mabadiliko mbalimbali ya viongozi wa  ngazi za kisiasa na kiserikali, tofauti na vyama vingine ikiwamo CUF.
Alitolea mfano kuwa kwa upande wa Jamhuri ya Muungnano aliondoka madarakani Rais Julius Nyerere  akampisha Ali Hassan Mwinyi ambaye alimuachia  kijiti Benjamin Mkapa na sasa taifa linaongozwa na Rais Jakaya Kikwete.
Alisema kwa upande wa Zanzibar,  Rais wa Kwanza ni Abeid Aman Karume, akafuatia Aboud Jumbe Mwinyi aliyempisha Idris Abdul Wakil, baadaye  Dk. Salmin Amour, akafuatia Dk. Amani Karume na sasa nchi  inaongozwa na Dk. Ali Mohamed Shein.
Shaka alilaumu utendaji aliouita ni legelege, usio wa uwajibikaji  na  uadilifu  kwa wizara ambazo ziko  chini ya upinzani na kusema waliopewa dhamana za madaraka hayo wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo.
Aliitaja Wizara ya Afya chini ya Waziri Juma Duni Haji kwamba haiwatendei haki wananchi huku katika Hospitali ya Mnazi Mmoja mambo ya utawala na utoaji wa huduma  yakiendeshwa shaghalabaghala.
“Duni umepewa dhamana na Rais Shein ila hutimizi wajibu wako, hakuna huduma za kuridhisha Mnazi Mmoja, wafanyakazi, wauguzi na waganga wanalalamika, kutana nao, acha kuwakimbia,” alisema.

NINI TATIZO KATIKA HILI..MAUMBILE MADOGO YA KIUME AMA MAUMBILE MAKUBWA YA KIKE?

Posted: 20 Nov 2013 12:55 AM PST

Bandugu..kumekuwa na malalamiko mengi sana katika swala zima la mapenzi kwa siku hizi za karibuni na hii inasabanisha kuongezeka kwa waganga na matangazo mengi mara ya Kuongeza uume.Kutight uke.Kuleta hamu ya mapenzi.Kuongeza nguvu za kiume.Hii inanipa maswali kwamba tatizo ni nn.
1.Wengi wanataka kurefusha uume ili kumfikisha mwanamke kileleni.Je tatizo ni urefu au upana wa uume?
2.Wengi wanatumia dawa kuongeza nguvu ili kumridhisha mwanamke je tatizo ni lishe hazina nguvu au nguvu zinakwenda wapi?
3.Kwa wanawake kutwa kucha kwa waganga wa mitishamba kutafuta dawa za kubana mashine.mara tangawizi na limao,mara sabuni za ukwaju duuh.sasa nini kinafanya k kuwa kubwa?
4.Wengine ni kutafuta hamu ya kufanya mapenzi mwanamke kwa mwaka anafika kileleni mara moja au mbili.nn tatizo.

Kuna jamaa mmoja alisema wanawake wa siku hizi k zao kubwa sana coz ya mavidonge ya uzazi wa mpango.
Mwingine akasema hapana mbona hata mabinti wachanga tu k zao ni kama visima vya maji tatizo vyakula.
Duuh.mwingine akasema tatizo ni uume wako mdogo sio k kubwa.
KWELI HAPA KITENDAWILI LIPI JIBU SAHIHI NA NINI KIFANYIKE.STAREHE NI KWA WOTE.

PAMOJA NA WEMA KUMLIPIA MIL 13-KAJALA KESI UPYAAA

Posted: 20 Nov 2013 12:40 AM PST

Stori:  Global Publishers
AMA kweli hujafa hujaumbika! Bado bundi anamnyemelea staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja baada ya kurejeshwa kortini kwa mara nyingine huku kesi ikimjia upya, Risasi Mchanganyiko limesheheni.
Kajala Masanja.
MUME AKATA RUFAA
Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anatarajiwa kuhukumiwa tena Novemba 25, mwaka huu baada ya mumewe, Faraji Agustino Chambo kukata rufaa katika mahakama kuu.
Kwa mujibu wa jaji aliyezungumza na gazeti hili, kuna kila dalili wawili hao wakaachiwa huru au wakafungwa tena kwa adhabu kubwa zaidi ya ile ya awali, hivyo huu ni msala mpya kwa Kajala ambaye tayari alikuwa uraiani.
Kajala na mumewe, Faraja Chambo wakisubiri siku ya  hukumu yao.
Kesi iliyokuwa ikiwakabili wanandoa hao ilihusiana na utakatishaji wa fedha haramu uliofanywa na mume wa Kajala wakati akifanya kazi kwenye Benki ya NBC, Dar.
Mume wa staa huyo ndiye anadaiwa kukata rufaa wakati akitumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kukutwa na hatia.
Habari za ndani zilieleza kwamba, Kajala alisharidhika na hukumu iliyotolewa Machi 25, mwaka huu ambapo yeye  alitakiwa kufungwa mitatu au kulipa faini ya shilingi milioni 13.
Wema na Kajala.
Katika hukumu hiyo, mume wa Kajala alifungwa miaka saba na ndipo alipoamua  kukata rufaa na akamuingiza Kajala kwa maelezo kuwa wote hawakuridhishwa na hukumu iliyotolewa mwanzoni.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Kajala, staa huyo amekuwa katika wakati mgumu na mara nyingine na kujikuta akiangua kilio hasa anapokumbuka maisha ya gerezani.
Baba Kajala (kushoto) akishauriana jambo na wasanii wa filamu na maswahiba wa mwanaye siku ya hukumu ya mwanae.
KAJALA KORTINI
Ili kuthibitisha habari hizo, juzi (Jumatatu) Kajala akiwa na shosti wake, Wema anayehaha kumnasua, alipigwa chabo na mashushushu wetu wakitinga tena katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Habari zilieleza kuwa jaji ambaye alikuwa akipitia ya hukumu ya awali ya wanandoa hao, alidai kwamba  Jaji Temba aliyetakiwa kutoa hukumu ya kesi hiyo upya alikuwa anaumwa.
HUKUMU NOVEMBA 25
Kufuatia kuumwa kwa hakimu huyo, kesi hiyo iliahirishwa hadi Novemba 25, mwaka huu, ambayo itakuwa siku ya hukumu huku ikielezwa kuwa kila kitu kipo tayari.
Akiwa katika viunga vya mahakama hiyo, Kajala alionekana mwenye wasiwasi na woga kwa sababu hakuwa anajua kama anaweza kuburuzwa kortini kwa mara nyingine kuhusiana na suala hilo kwa kuwa aliamini alishamaliza kwa kulipa faini ya Sh. milioni 13 kisha kurejea uraiani huku mumewe akienda jela.
Kajala alisema anaomba Mungu ili kikombe hicho kimuepuke kwani alishasahau kama anaweza kurudi kortini.
“Sikudhani kwa kweli kama ninaweza kurudi mahakamani, Mungu anisaidie kwa kweli…” alisema Kajala.
Naye Wema alipigwa na mshangao baada  ya kuona kesi hiyo imeibuka tena.
“Siku ile niliuliza kilikuwa kinahitajika nini ili Kajala awe huru, nikaambiwa milioni 13, nikatoa, sasa iweje tena arudishwe mahakamani?” alihoji na kuonesha wasiwasi mkubwa baada ya kuambiwa  kuwa Kajala anaweza kufungwa kwa kuwa hukumu inapitiwa upya.
Wakili wa Kajala, Peter Kibatala alisema anapambana kunyoosha sheria kuhakikisha mteja wake anakuwa huru.

AY "SIMSIMAMII TENA FEZA KESSY KIMUZIKI TOKA ATOKE BIG BROTHER SIJAWAHI ONANA NAE"

Posted: 20 Nov 2013 12:33 AM PST

AY amesema kampuni yake ya Unity Entertainment haimsimamii tena aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa The Chase, Feza Kessy.

AY amekiambia kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen jana kuwa hajawahi kukutana na Feza tangu arejee kutoka kwenye shindano hilo.

“Tangu ameenda Big Brother na akarudi hatujawahi kukutana face to face,” alisema AY.

“Kulikuwa na vitu kidogo ambavyo viko nje ya kikawaida kama unafanya kazi na artist vinatakiwa vifanyike. Kwahiyo tukaona labda alikuwa anatafuta tu opportunity fulani ya kukamilisha mambo fulani. Katika policy zetu za kampuni ni kuwa hatufanyi kazi kwa njia hiyo, kwahiyo tuliamua kumweka pembeni.”

AY amesema tayari alishaongea na Feza na kumtakia kila lakheri kwenye kila jambo atakalolifanya.

“Hata yeye mwenyewe tu nilimwambia namtakia kila lakheri, cha msingi atumie hiyo opportunity aliyoipata sasa hivi ili kufanya mambo mengine kama washiriki wengine wanavyoenda katika Big Brother.”
-Bongo5.com

CHADEMA WAMJIBU NAPE, WAMTAKA MSAJILI WA VYAMA AMPUUZE

Posted: 20 Nov 2013 12:28 AM PST

Siku moja baada ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ya CCM, Nape Nnauye kumtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kukifuta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kushindwa kusimamia katiba yake na kutofanya uchaguzi wa ndani kwa zaidi ya miaka 10, chama hicho kimesema hakijawahi kwenda kinyume na katiba yake na kinachozungumzwa na Nnauye ni uzushi wa kisiasa unastahili kupuuzwa.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chadema, John Mnyika alisema jana kuwa katika miaka 10 iliyopita chama chao kimefanya uchaguzi mara mbili kila baada ya miaka mitano kama katiba inavyoelekeza.

Chadema tumefanya uchaguzi mkuu wa ndani 2004 na 2009, mara baada ya kipindi cha miaka mitano kupita ya muda wa kawaida wa uongozi. Madai kwamba hatujafanya uchaguzi kipindi hicho hayana msingi,” alisema Mnyika.

“Msajili wa vyama vya siasa anapaswa kupuuza kauli hiyo ya Nape na CCM na kurejea Katiba ya Chadema ambayo ofisi yake inayo nakala yake.”Ni vyema msajili akaikemea CCM kwa kufanya siasa chafu za uongo na uzushi,” alisema.

Aliongeza: “Kauli ya Nape na CCM ni ishara ya chama hicho kutishwa na namna ambavyo Chadema kinajipanga kuanzia ngazi ya chini kujenga uongozi bora, sera sahihi, mikakati makini na oganizesheni thabiti mijini na vijijini kuanzia ngazi za chini kupitia Programu ya Chadema ni Msingi.”

Mnyika alisema Nape na CCM wanajaribu kupotosha umma unaounga mkono vuguvugu la mabadiliko (M4C) kupitia Operesheni za Kanda na kazi nyingine zinazoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini.

Kamati Kuu ya Chadema itafanya mkutano wake wa kawaida kwa siku mbili jijini Dar es Salaam kuanzia Novemba 20 mpaka 21.

Ajenda za mkutano ni kupokea, kujadili na kufanya uamuzi mihutasari ya mikutano iliyopita na yatokanayo na mikutano hiyo, taarifa ya hali ya siasa na ripoti ya fedha.

Ajenda nyingine ni pamoja na taarifa kuhusu mchakato na maudhui ya mabadiliko ya katiba, taarifa ya utekelezaji wa Programu ya Chadema Msingi na shughuli za Kanda na taarifa ya utekelezaji wa Mpango Mkakati kuhusu maboresho.
-Mwananchi

MAWAZIRI WATATU WAZEMBE SERIKALI YA CCM KUWAJIBISHWA...

Posted: 20 Nov 2013 12:24 AM PST

Mawaziri watatu wanatakiwa kuwajibishwa kutokana na kushindwa kutatua kero za wananchi, imeelezwa.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye  kwenye mkutano wa hadhara mjini hapa.
Nape alisema ni lazima wawajibishwe na chama kwa mujibu wa sheria kutokana na kulalamikiwa na wabunge na wananchi kwa alichosema ni kushindwa kusimamia wizara zao.

Alisema mawaziri hao watawekwa ‘kitimoto’ katika kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC) ya CCM,   mwezi ujao ambapo watatakiwa kujieleza kwa nini wameshindwa kutatua kero za wananchi na muda mwingi wanautumia ofisini.
Nape alimtaja Waziri (jina linahifadhiwa)  ambaye kila wizara aliyopewa kusimamia ameshindwa kuonesha ufanisi katika kutatua kero za wananchi.
Nape alisema hakuna sababu ya kukaa kimya wakati mawaziri hao wanashindwa kufanya kazi ambayo wanastahili kuifanya, ikiwa ni pamoja na kutatua kero zinazohusu wananchi na ni lazima wawajibishwe ili kuokoa chama.
Alisema baadhi ya mawaziri tangu wateuliwe wameshindwa kutekeleza wajibu wao wa kuongoza wizara zao, kwani hakuna siku waliyofika mkoani Ruvuma kushughulikia matatizo ya wananchi.  Mawaziri hao wameshindwa kutembelea mkoa huo na kutatua kero mbalimbali zikiwamo za pembejeo za kilimo na mbolea ya ruzuku ambayo wananchi walilalamika kwamba hazifiki kwa wakati.  
Hivi sasa kuna kero zinahusu wakulima mkoani hapa na nyingi kati zinahusu sekta ya kilimo huku viongozi wenye dhamana wakishindwa kuchukua hatua za kuwasaidia.
“Katibu Mkuu leo naomba unisamehe mzee wangu, sasa umefika wakati wa kufika mwisho, ni bora niseme haya mchana kweupe kwa maslahi ya Watanzania,” alisema Nape na kuongeza kuwa wapo mawaziri wenye dhamana ya kutumikia Watanzania lakini hawafanyi hivyo. 
“Nimeuliza hapa walishawahi kufika mara ngapi kushughulikia matatizo ya wananchi hali ya kuwa hapa ndipo katika ghala la Taifa ambalo linalisha nchi nzima, lakini jibu lake hakuna hata siku moja wamefika,” alisema Nape. 
Viongozi hao wamekuwa hawafiki Ruvuma kutatua kero zinazowakabili wananchi zikiwamo za kukosa  pembejeo kwa wakati na wanapata kidogo wakati mahitaji yao ni makubwa.
Kutokana na hali hiyo, Nape alisema yuko tayari kupoteza nafasi yake lakini hawezi kuvumilia hali hiyo ikiendelea na alitumia nafasi hiyo kumwomba Kinana ahakikishe wanachukuliwa hatua na chama.
Alitoa mfano kuwa karibu Tanzania yote wakulima wana matatizo mengi na wamekuwa wakilalamikia wizara hiyo na yeye ni shahidi wa hayo yanayoendelea kutokea na ili kukinusuru chama ni lazima mawaziri walioshindwa kazi wawajibishwe.“Wananchi naomba mnilinde, lakini niseme ukweli…mawaziri ambao tumewapeleka jikoni wameshindwa kupika chakula, tunasubiri sebuleni lakini chakula hakiji sasa natamka wazi wanatukwamisha ni bora wakaondoka kama wameshindwa kazi.
“Katibu Mkuu siko tayari kuona CCM inakuwa chama cha upinzani bungeni kwa sababu ya hawa wenzetu wachache ambao wanafanya makusudi na uzembe katika kutekeleza wajibu wao,” alisema Nape.
Alisema mmoja wa mawaziri anatakiwa kuchukuliwa hatua kutokana na mkataba alioingia na wakandarasi wa ujenzi wa barabara ya Namtumbo-Tunduru mkoani Ruvuma yenye umbali wa kilometa 187.
Nape alisema Waziri huyo aliingia mkataba na kuipa kazi ya ujenzi kampuni ya Progressive ambayo imeshindwa kazi ya kujenga barabara hiyo.
Kutokana na hali hiyo alimshukuru  Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwa kumfukuza mkandarasi huyo ambaye alikimbilia mahakamani, lakini haki ilitendeka akashindwa kesi mara tatu.
Pamoja na kumfukuza mkandarasi huyo haitoshi, huku akitaka aliyehusika kumpa mkataba, naye anapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria.
Uchunguzi unaonesha kuwa mkandarasi huyo alishindwa kujenga barabara kwingine na alipewa mkataba mwingine na Waziri huyo.
“Amekuwa akitukwamisha CCM katika kutimiza wajibu wake. 
Hii barabara ya Namtumbo-Tunduru kushindwa kukamilika, imeleta aibu kubwa na kututia fedheha, hivyo lazima waliotoa mkataba huu akiwamo yeye wawajibishwe.
Alisema ikiwa mawaziri hao watashindwa kuwajibika kwa mujibu wa sheria, CCM itatumia wabunge wake kuandaa azimio la kuwafukuza kazi.
Akijibu hoja hizo Kinana, alisema katika kikao kijacho cha Kamati Kuu mwezi ujao chama kitamwandikia barua Rais Jakaya Kikwete ili mawaziri waje wajieleze kwa nini wasifukuzwe kwa kushindwa kazi.
“Hatuwezi kuwa na Serikali ya walalamikaji, Mkuu wa Wilaya analalamika, mbunge analalamika, hali hii imenishangaza sana sasa ni lazima tuchukue uamuzi mgumu wa kuwawajibishana,” alisema Kinana.

BAADA YA KUVUNGUKA MAINDA ATISHIWA KUUAWA

Posted: 20 Nov 2013 12:20 AM PST

Stori: Na Musa Mateja
SIKU chache baada ya staa wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ kufunguka  kuhusu mambo mazito yaliyomo ndani ya tasnia ya filamu, staa huyo ameanza kupokea vitisho vya kukatishwa uhai wake.

Kwa mujibu wa watu walio karibu na Mainda, staa huyo amekuwa akiandamwa na simu za vitisho zinazomtaka kuacha kuongelea habari zao la sivyo watamteka na kumfanyia kitu mbaya.
Baadhi ya wasanii wamekuwa wakimuoneshea vidole staa huyo kwa mambo mawili, wengine wakimuona kama ni jasiri na wengine wakiwa na chuki naye.
“Kuna baadhi ya watu wanamsifu Mainda na wengine wanamsema vibaya kiasi cha kumwambia kwamba siku zake za kuishi zinahesabika,” alisema mmoja wa watu hao.
Mbali na Mainda kutoboa uhusiano wake wa kimapenzi na Ray, pia aliweka wazi jinsi wasanii wenzake, Blandina Chagula ‘Johari na Chuchu Hans, walivyomuingilia kwenye penzi lake hilo.
Aidha, msanii huyo ambaye pia hupenda kujiita Small Baby aliliponda kundi la Bongo Movie Unit kwa kusema kuwa limejaa uchafu.
Risasi Mchanganyiko liliwasaka Ray, Johari na Chuhu ili kuweza kupata mzani wa habari kuhusiana na kile alichokiongea Mainda lakini wasanii hao wamekuwa wakiogopa kusema chochote.
Katika hali ya kuonesha kumhofia Mainda, Ray amekacha miadi na mwani wetu mara kadhaa.
Naye Johari amekuwa akisema kwamba Mainda amewavua nguo huku akikataa kufunguka zaidi.
Kwa upande wake, Chuchu amekuwa akigoma hata kupokea simu za waandishi wetu.
Gazeti hili lilipomtafuta Mainda alisema hakuna kitu anachokiogopa chini ya jua.
“Kwanza sioni kibaya nilichokiongea, bado nina mambo mengi zaidi ya hayo,” alisema staa huyo na kuongeza kwamba hakuna mtu wa kumziba mdomo.
“Ninachoweza kuwaambia ni kwamba niko tayari kufia kwenye mapambano, sitaogopa chochote,” alisema Mainda.
-GPL

Udaku Specially

unread,
Nov 21, 2013, 4:22:02 PM11/21/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


NIMECHOKA NA WAPENZI WA KUKUTANA MITANDAONI

Posted: 21 Nov 2013 10:34 AM PST

Mi nimechoshwa na wasichana wa humu mtandaoni mana wa kwanza alikuwa mwizi, wa pili alikuwa malaya wa kutupwa ,wa tatu mpenda hela ka amezaliwa kwenye ATM wa mwisho ana majini ...Daah Mechoka Mie

HABARI KAMILI KUHUSU BABU SEYA NA PAPII KUENDELEA NA KIFUNGO CHA MAISHA..SOMA WALICHOSEMA HAPA

Posted: 21 Nov 2013 10:23 AM PST


Ni dhahiri kwamba huu ndio mwisho wa harakati za Mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi Tanzania mwenye asili ya Congo DRC Nguza Viking na mtoto wake Johnson Nguza (Papii kocha) kujinasua kwenye kifungo cha maisha gerezani.
Kwa mara nyingine tena harakati zao za kujitoa kwenye adhabu hiyo zimegonga mwamba baada ya Mahakama ya Rufani kupigia msumari wa mwisho uliozima harakati zao kujinasua baada ya kutupilia mbali maombi yao ya marejeo ya hukumu ya rufaa yake.
hii ni mara ya tatu kwa wafungwa hawa kugonga mwamba baada ya Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam na Mahakama ya Rufani kutupilia mbali rufaa zao kupinga hukumu ya Mahakama ya hakimu mkazi  kisutu iliyowahukumu kifungo cha maisha.
Wafungwa hawa kupitia kwa Wakili Mabere Marando walikua wakiiomba Mahakama ya Rufani ifanye marejeo ya hukumu yake ya February 11 2010 iliyothibitisha adhabu hiyo waliyohukumiwa na Mahakama ya chini na badala yake iwaachie huru lakini Mahakama ya Rufani katika uamuzi wake uliotolewa na Majaji watatu, Nathalia Kimaro, Salum Massati na Mbarouk Mbarouk ilitupilia mbali maombi hayo hivyo waendelee kutumikia kifungo cha maisha gerezani.
Ni uamuzi ambao uliibua machungu sio tu kwa Wafungwa na ndugu zao lakini hata kwa Wakili wao mwingine Gabriel Mnyele aliesema ‘hakuna namna nyingine ya kuwachomoa kwenye adhabu hii isipokua miujiza’
Ndugu na watu wengine waliohudhuria Mahakamani waliendelea kutokwa na machozi ya huzuni pale Wafungwa hawa walipokua wakipandishwa kwenye gari la Magereza kurudishwa kuendelea kutumikia adhabu yao.
Kauli ya Mahakama baada ya kutupilia mbali maombi yao ni ‘Waomba Marejeo hao hawakuwa na hoja ya msingi kwa sababu hoja zilizotolewa sio tu hazikidhi kuifanya Mahakama irejee hukumu hiyo bali pia zilishatolewa wakati wa usikilizwaji wa rufaa na kutolewa uamuzi na kwamba waomba Marejeo hawakuweza kubainisha makosa waliyodai yalijitokeza kwenye hukumu iliyowatia hatiani na hawakuweza kueleza ni jinsi gani yalisababisha haki kutotendeka’
Mahakama hiyo imesema ‘kuhusu upande wa mashtaka kushindwa kuwaita Mahakamani mashahidi wanaoonekana kuwa muhimu kuunga mkono ushahidi wa Watoto, tunasema hoja hiyo haina msingi…. suala la shahidi gani aitwe Mahakamani kuthibitisha kesi ya upande wa mashtaka liko mikononi mwa upande wa mashtaka, zaidi ya yote idadi ya Mashahidi sio hoja ya msingi bali kuaminika kwao’
Wakili Mnyele amesema ‘huu ndio mwisho wa mchakato, kulinganisha na hukumu ilivyokua ni kwamba kunahitajika kuwepo na Mahakama ya juu zaidi ya hii, kungekuwepo na Supreme Court ingeweza kusikiliza na kufikia maamuzi ya haki’
Kwa upande wake, Babu Seya wakati akipelekwa na askari kwenye gari la Magereza alitoa kauli ambayo hakuipa ufafanuzi wowote baada ya kuisema kwamba ‘kwa binadamu ni makosa lakini kwa Mungu hakuna makosa’
Papii Kocha nae wakati anapelekwa kupanda gari arudishwe Magereza alisema ‘sasa tunamuachia tu Rais ndie anaweza kutoa uamuzi wa mwisho’
Babu Seya na wanawe watatu walihukumiwa adhabu ya maisha gerezani na Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu June 25 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwabaka na kuwalawiti watoto kumi wa kike wenye umri chini ya miaka 10.

SINTAH AJITOKEZA NA KUMTETEA DIAMOND "DIAMOND WAS ON POINT NA AMEONEKANA MBUNIFU SANA"

Posted: 21 Nov 2013 10:12 AM PST

"Tatizo watu mmezoa ku cram sana kwamba kila anaeenda katika harusi aende na suit, Nchi nyingine hawapo hivyo kama ukiona hao waliopo na Diamond hapo chini hakuna aliepigiliaa kihivyo yaani unatakiwa uwe simple but elegant,, besides ilikuwa ni ndoa ya kimila so kupigiliamo suit haihusu,,

daah mnavyokosoa as if mnajua sana fashion, to me Diamond was on point na ameonekana mbunifu, maana hajatuendea na suit pale, me nadhani alisoma kwanza mazingira ndio akatupiamo kitu chake,,, its all about fashion sio mna cram

wamaaa Diamond ulitokelezea na kuwa so different kwenye ukweli lazima nasimama na ukweli....." Sintah



DENTI WA KAPUYA AZUA JIPYA-GLOBAL PUBLISHERS WAZIDI KUMBANA

Posted: 21 Nov 2013 09:52 AM PST

Na Waandishi Wetu
Global Publishers Ltd ilipoamua kufuatilia sakata la denti anayedai kubakwa na Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Juma Athuman Kapuya, lilijua yapo mengi yatajitokeza, Amani lina jipya lingine.
Denti akiwasikiliza wana GPL wakati wa mahojiano
                                       Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Profesa Juma Athuman Kapuya.
Huu ni muendelezo wa utekelezaji wa ahadi ya Global, iliyotoa Jumamosi iliyopita kwenye Gazeti la Risasi kwamba waandishi wake watafuatilia kisha magazeti yake yataandika kila kitu. Katika Ijumaa Wikienda, Kapuya alifunguka, Uwazi liliandika utapeli mzima wa denti husika.
Amani linalo jipya la denti huyo tapeli, Halima Hamad au Felista, aliyeamua kufunguka mbele ya waandishi wetu kwamba ni kweli yeye ni mama wa mtoto mmoja.
Denti akiwasikiliza wana GPL wakati wa mahojiano.
Kuhusu kubakwa, Felista ambaye pia hutumia majina ya Leylat au Leila, alisema: “Kapuya hakunibaka ila nimezaa naye mtoto mmoja.”
                                                 Denti akiwa busy na simu yake wakati wa mahojiano na GPL..
ILIKUWAJE AKAFUNGUKA?
Timu ya waandishi wa habari wa Global Publishers hutekeleza majukumu yake kisayansi, baada ya kurukaruka sana, Felista akidai hahusiki na skandali hiyo na kwamba yeye ni shahidi tu wa mtu anayeitwa Leylat, hatimaye alibanwa kwa maswali magumu, akajikuta akisema ambayo hakuyapanga.
MWANDISHI:  Hizi namba 0753 7…7…28 na 0713 7...20…0 (tarakimu mbilimbili zimefichwa), ni za nani?
FELISTA: Ni namba zangu.
MWANDISHI: Hizi namba ndizo ambazo Kapuya ametutumia  kwamba ndiyo za mtu ambaye huwasiliana naye na humtumia pesa, na ndiye anayejidai ni denti aliyebakwa na kuambukizwa naye Ukimwi.
FELISTA: Siyo kweli, huyo Kapuya anatafuta njia za kujinasua kwenye hili tatizo lake. Anajua mimi namjua Leylat ambaye ndiye denti aliyebakwa.
MWANDISHI: Wewe unaitwa nani?
FELISTA: Naitwa Felista.
MWANDISHI: Unamjua Halima Hamad?
FELISTA: Halima Hamad simjui.
MWANDISHI: Kapuya kasema denti anayedai kubakwa anaitwa Halima Hamad na ndiye mwenye hizo namba ambazo wewe unakiri ni zako.
FELISTA: Nimesema simjui Halima, mimi naitwa Felista. Aliyebakwa ni Leylat, siyo mimi.
                                                              Denti akiwasikiliza wana GPL wakati wa mahojiano

AKUMBUSHWA ALIYOSAHAU
Miaka ya nyuma Felista akitumia mwavuli wa uyatima, aliwahi kuomba hifadhi kwa mmoja wa waandishi wetu wa kike, aliyeishi naye kwa muda mrefu kidogo nyumbani kwake kabla ya kumgundua kwamba ni tapeli, hivyo kuamua kuachana naye.
MWANDISHI: Wewe Felista umesahau kwamba umeshawahi kukaa nyumbani kwangu na kipindi hicho chote, ulikuwa ukiniletea ripoti za shule zenye jina la Halima Humudy. Vilevile ulishawahi kutolewa kwenye gazeti moja la kila siku (halizalishwi na Global), ukiomba msaada kwamba wewe ni yatima, jina ulilotumia ni hilohilo la Halima Humudy.
Hizohizo namba zako, usajili wake wa laini na katika Tigopesa zimesajiliwa kwa jina la Halima Hamad. Haya kataa mbele ya macho yangu!
FELISTA: …. (kimya).
MWANDISHI: Wewe siyo Halima, sema nikusikie.
FELISTA: Ni kweli, Halima Hamad ni mimi, ila hilo jina silitumii sana.
MWANDISHI: Haya sasa, baada ya kukiri Halima Hamad ni wewe, unaweza kutuambia ukweli kuwa wewe ndiye huyo Leylat au Leila unayemtaja.
FELISTA: (Kwa sauti ya chini iliyopoteza ujasiri), ni kweli mimi ndiye mhusika.
MWANDISHI: Sasa kwa nini ulikuwa unakataa?
FELISTA: Nilikuwa sipendi ninyi Global mjue.
MWANDISHI: Haya tuambie ukweli sasa kuhusu wewe na Kapuya.
FELISTA: Nimezaa naye mtoto mmoja.
MWANDISHI: Mbona unatubabaisha? Mara alikubaka, mara umezaa naye mtoto mmoja, ukweli ni upi?
FELISTA: Ukweli ni kwamba yeye ndiye baba wa mtoto wangu.
MWANDISHI: Wewe hujazaa na Kapuya, huu nao ni utapeli mwingine.
FELISTA: Kama hamtaki basi.
MWANDISHI: Kama ni kweli yule ni mzazi mwenzako, mbona unaamua kumchafua na unataka kumharibia maisha yake?
FELISTA: Amekataa kunihudumia ndiyo maana namchafua.
MWANDISHI: Unafikiri hii vita mwisho wake ni nini?
FELISTA: Atakapoanza tena kunihudumia.
MWANDISHI: Haya turudi kwenye pointi ya Ukimwi, kwa nini unamshushia madai mazito kiasi hicho?
FELISTA: Ni kweli nina Ukimwi.
MWANDISHI: Na mtoto wako naye ni mzima?
FELISTA: Mtoto naye ni mgonjwa.
MWANDISHI: Unatumia dawa?
FELISTA: Bado sijaanza kutumia dawa, CD4 zangu bado zipo vizuri.
MWANDISHI: Mbona ulisema mwanzoni kwamba unatumia dawa?
FELISTA: Ni kweli natumia dawa.
MWANDISHI: Mbona unatuchanganya? Mara hutumii dawa, mara unatumia dawa, sasa hivi umesema CD4 zako zipo vizuri.
FELISTA: Nimekwambia natumia dawa. Hata kama CD4 zangu zipo vizuri, natumia dawa hivyohivyo.
MWANDISHI:  Katika maisha yako yote umewahi kupata matatizo ya akili? Maana naona kama haupo sawa.
FELISTA: Mimi ni mzima kabisa. Mtaniona kama ni mzima siku nitakaposimama na Kapuya mahakamani.
MWANDISHI: Wewe Felista umewahi kudanganya unasoma Turiani Sekondari, Mugabe Sekondari na Jangwani Sekondari kumbe ni uongo mtupu.
FELISTA: Nimesoma Turiani tu, sijawahi kusoma Mugabe wala Jangwani.
MWANDISHI: Nimeshawahi kukuona umevaa sare za Jangwani, leo unabisha? Na uliniambia unasoma huko.
FELISTA: Siyo kweli.
MWANDISHI: Kwa nini uliwatapeli Dk. Kimei na Mama Salma Kikwete?
FELISTA: Kuhusu Kimei ni uongo, Mama Salma ni watu walitaka kuniharibia, nikapelekwa Segerea lakini nilitoka.
MWANDISHI: Ilikuwaje ukamtapeli Mama Salma kuwa wewe ni yatima?
FELISTA: Nilitaka nipate nafasi ya kusoma Mkuranga, sasa ili nipate nafasi kule ilibidi nionekane nasoma Jangwani, kwa hiyo nilitengeneza nyaraka zinazoonesha nasoma Jangwani ndiyo baadaye ikaonekana nimefanya utapeli.
MWANDISHI: Umeona sasa? Mwanzoni ulikataa kuhusu kujidai unasoma Jangwani, sasa hivi unakiri. Haya sasa twende tukapime Ukimwi.
FELISTA: Sipimi.
MWANDISHI: Sisi tunaamini hauna Ukimwi. Hata mwanzoni ulishatuthibitishia kuwa ulishapima na upo salama. Kama una uhakika wewe ni mwathirika basi twende tukapime.
FELISTA: Sipimi nimesema.

NI SKANDALI LA VIGOGO
Katika mahojiano hayo, Amani limeweza kubaini kuwa wapo wanasiasa kadhaa ambao wapo nyuma ya Felista na ndiyo wanaompa kampani kwenye harakati zake za kumchafua Kapuya.
Mmoja wa wabunge wa Mkoa wa Tabora (CCM), sauti yake imenaswa mara mbili kwenye simu ya Felista, ya kwanza akimuelekeza binti huyo: “Njoo Dodoma, nitakuitia waandishi wa habari, ufanye mkutano nao uwamwagie kila kitu.”
Sauti nyingine ya mbunge huyo, inasikika ikihoji: “Nimesikia Kapuya anatangaza wewe una watoto wawili, ni kweli?” Felista anasikika akipinga na kusema hana mtoto hata mmoja.
Wapo wanasiasa wengine ambao wamebainika kumuunga mkono Felista, hivyo kuzidi kulifanya ‘saga’ hilo lionekane la kisiasa zaidi.

ENDELEA KUKAA CHONJO
Magazeti ya Global Publishers, bado yapo kazini. Yanaendelea kuchimba na baadaye yataweka wazi majina ya wanasiasa hao ambao wanamsapoti Felista.
Source:Global Publishers

MWANAMUZI WA BENDI YA FM ACADEMIA AUWAWA CHINA BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Posted: 21 Nov 2013 09:34 AM PST

Mwanamziki aliyepata kutamba na Bendi ya FM Academia ya jijini Dar es Salaam, Rapa, Haristot Shungu ameuawa nchini China huku kifo chake kikitawaliwa na utata mkubwa. 

Kwa mujibu wa chanzo  makini kilichopo nchini China, rapa huyo alikamatwa uwanja wa ndege baada ya kugundulika kuwa amebeba madawa ya kulevya akiwa ameambatana na rapa mwingine wa Bendi ya Akudo Impact, Kanal Top na wote wawili kuhifadhiwa mahabusu.

“Tulijua kama Haristot alikamatwa pamoja na Kanal Top lakini ghafla juzi (Ijumaa) tukaambiwa kuwa amefariki dunia, hatujui kifo chake kimesababishwa na nini lakini mwili wake unaonekana kama vile aliungua na moto au mtu aliyechomwa sindano ya sumu,” kimesema chanzo hicho.

Baada ya kupata taarifa hizo mwandishi wetu aliwasiliana  na Kiongozi wa FM Academia, Nyoshi El Saadat na kumuuliza kama alikuwa na taarifa zaidi za Haristot.

Nyoshi alikiri kuwa marehemu alikuwa mwanamuziki wao na kudai kwamba kifo chake kimetawaliwa na utata mkubwa.

“Haristot alikuwa mwanamuziki wetu, mara ya mwisho aliaga kuwa anakwenda Ulaya kwa mchumba wake, nimeshangaa kusikia ameuawa nchini China kiukweli hakuna anayejua ukweli wa kifo chake,” alisema Nyoshi.

Credit: GPL

JACK WA MAISHA PLUS AINGIA KATIKA SKENDO YA USAGAJI WANAWAKE WENZAKE

Posted: 21 Nov 2013 09:28 AM PST

MREMBO aliyeshiriki Shindano la Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dunstan ‘Jack wa Maisha Plus’ amezua jambo katika mtandao baada ya kutundika picha akiwa anabusiana na mwanamke mwenzake.

Jack ambaye kwa sasa yupo nchini Dubai, aliweka picha hiyo katika mtandao wa Instagram hali ambayo iliwashangaza wadau wengi waliopo kwenye mtandao huo ambapo walimchana kuwa aache vitendo vya kisagaji lakini mwenyewe hakujibu.

Jack baada ya kuweka picha hiyo aliandika maneno haya; ‘mwaaah’ ndipo wadau walipoanza kumshambulia na kumtaka aondoe picha hiyo chafu.

INAUMA SANA JAMANI:BABU SEYA NA PAPII KOCHA KUENDELEA NA KIFUNGO CHA MAISHA

Posted: 21 Nov 2013 09:24 AM PST

Mwanamziki mkongwe nchini Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye Papii Kocha, wataendelea na kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufani nchini kuitupilia mbali rufaa yao iliyosikilizwa leo

Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.

TUKIO LA RISASI ILALA MTU WA TATU AFARIKI NI YULE KIJANA DEREVA AMBAYE NI RUBANI

Posted: 20 Nov 2013 11:27 PM PST

MAJERUHI Francis Shumira aliyejeruhiwa katika tukio la kushambuliwa kwa risasi Ilala Dar es salaam jana amefariki dunia jana asubuhi Hospitali ya Muhimbili alikolazwa MOI kwa matibabu.

Kufariki kwa Francis kunafanya idadi ya watu waliofariki katika tukio hilo kuwa watatu hadi hivi sasa huku ikiacha majeruhi wawili mmoja Christina Alfred Newa Mwanafunzi wa masuala ya
Mawasiliano visiwa vya Syprus na mama mzazi wa Christina, Hellen Elieza Newa.Aidha mipango ya mazishi ya mtumishi wa Benki ya Barclays ya jijini Dar es Salaam, Alfa Alfred Newa inafanyika nyumbani kwao Ilala karibu na Kablu ya wazee huku maziko

KAMPUNI YA MWANADADA WEMA SEPETU KUTOKA BONGOMOVIE YAINGIA MADOA.!!! GARI LAKE LAGEUKA NYUMBA YA UZINZI

Posted: 20 Nov 2013 11:20 PM PST

Taarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimulia mbali aliyekuwa director wake aliyefahamika kwa jina moja la Chid kuwa ni ufuska uliokubuhu kwa director wake huyo huku akitumia magari yake kama gest ya kumalizia haja zake.

Website hii inakupa mchongo mzima Habari za uhakika zilizotua mezani kwenye meza yetu ya habari zilisema kuwa Wema aliamua kuchukua maamuzi hayo magumu ili kunusuru kashfa kubwa ambayo ingeweza kuikumba kampuni yake"

 Kwa kweli Wema Sepetu alikuwa
anampenda sana Chid kutokana na ubunifu wake kazini na alimpa uhuru wa kufanya kila kitu ikiwemo kumuachia magari ambayo yeye alikuwa kama kiongozi hivyo alikuwa na uhuru nayo sana na alikwenda kila mahali "

 Kilisema chanzo hicho ambacho ni ndugu na Wema aidha habari zaidi ziliendelea kusema baada ya kupata taarifa hizo aliamua kumtimua Chid kwenye kampuni yake ili kulinda heshima ya kampuni hiyo ambapo Chid na vijana walikuwa wakitumia gari hiyo kung'olea watoto wakali"

 Unajuwa Wema ana mashabiki sana hata ile gari wakati mwingine alikuwa anavunja hata sheria za barabarani bila kufanywa chochote hii ilitokana na upendo wa mashabiki kwa Wema na wasichana wengi walikuwa wakiiona ile gari basi wanaingia wenyewe kwenye gari wakidhani ndani yuko Wema hivyo ilikuwa ni nafasi nzuri kwa Chid na wenzake kuwamaliza wasichana hao"

 Alisema dada huyo Aidha baada ya taarifa hizo tulivuta waya kwa kumcheki hewani Chid na Wema ili kuthibitisha madai hayo ama kuna jingine lililopelekea kutimuana kwa bahati mbaya watu hao hawakupatikana kuzungumzia hilo hadi habari hii inaruka hewani:
Source:XDEEJAYZ

HIVI NDIVYO MBUNGE WA KAWE ALIVYOMFYAGILIA MSANII DIAMOND PLATNUMZ

Posted: 20 Nov 2013 11:10 PM PST

Mbunge Wa Kawe “Kwa Wajanja” Ammwagia Sifa Msanii Diamond Platinumz Kwa Kazi Zake …
Mbunge wa kuchaguliwa jimbo la Kawe “Kwa Wajanja” katika bunge la Tanzania kupitia chama pinzani cha CHADEMA Halima James Mdee, leo amemmwagia sifa msanii mahiri wa
Bongo Flava nchini Tanzania, Diamond Platinumz kutokana na uwezo anaouonyesha katika sanaa ya muziki nchini Tanzania.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mheshimiwa Halima James Mdee amepost tweet za kumsifia Diamond kwa kusema, “Huyu dogo DIAMOND…..Mungu ambariki….ni mtoto wa kitaa…aliyeonyesha kwamba inawezekana..ktk sanaa yetu , kutoka 0-100%. BE BLESSED!”


HII NDIYO DIS- KUTOKA KWA "PETER MSECHU" KWENDA KWA "NEY WA MITEGO" KUHUSU WIMBO WAKE MPYA NAKULA UJANA.

Posted: 20 Nov 2013 10:57 PM PST

 Msanii wa bongo fleva aliyewakilisha Tanzania kwenye mashindano ya vipaji nchini Kenya 'Project Fame' amesema haya kuhusu kazi mpya ya Ney Wa Mitego Na Ney akamjibu.

ZITTO HAJAHUDHURIA KIKAO CHA KAMATI KUU CHADEMA ...KULIKONI??

Posted: 20 Nov 2013 10:51 PM PST

Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea na kikao chake jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, amekacha.

Zitto ambaye katika siku za hivi karibuni aliibua mjadala kwenye vyombo vya habari, hasa alipoingia kwenye malumbano na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amekacha kikao hicho na badala yake ametoa taarifa ya kusafiri nje ya nchi.

Kwa mujibu wa habari hizo, taarifa iliyotolewa kwa wajumbe wa mkutano huo na Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe, ilisema kuwa Zitto yuko safarini nchini Sudan, lakini anatarajia kuhudhuria mkutano huo wakati wowote.

Habari kutoka ndani ya kikao hicho kinachofanyika kwenye Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam zilieleza kuwa baadhi ya wajumbe wameonyesha dhahiri kukerwa na hatua ya naibu katibu mkuu huyo kutoshiriki.

Waliolalamikia hatua hiyo walisema kuwa limekuwa jambo la kawaida kwa Zitto kutohudhuria vikao muhimu vya chama huku akijua fika kwamba yeye ndiye msaidizi mkuu wa katibu mkuu wa chama taifa.

Mmoja wa wajumbe wa kikao hicho aliliambia gazeti hili kuwa moja ya ajenda zilizowasilishwa jana na Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi ni kuhusu mapato na matumizi ya chama ambayo alidai ingefaa Zitto awepo kuisikiliza.

Mjumbe huyo ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe, alisema ajenda hiyo ilikuwa muhimu kwa Zitto kuwepo kwani akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), amekuwa akidai kwamba CHADEMA na vyama vingine hawana hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku wanazopata kila mwezi. Mkutano huo unaendelea leo

IVO MAPUNDA : JUMA KASEJA BADO NI KIPA BORA TANZANIA

Posted: 20 Nov 2013 10:19 PM PST

Kipa wa Taifa Stars na Gor Mahia, Ivo Mapunda amemtoa wasiwasi mwenzake Juma Kaseja kwa kumwambia ‘wewe bado ni Tanzania one’.
Mapunda alisema uamuzi wa Kaseja kwenda Yanga ni sahihi na kumtaka atulize akili ikiwezekana atafute watu wa saikolojia kwa ajili ya kumpa ushauri.
“Kaseja ni kipa bora, wanaosema ameshuka kiwango nawashangaa watakuwa hawajui vizuri soka,”alisema Mapunda.
Alisema,”Yanga wamelamba dume, atawasaidia, mimi binafsi namkubali, yupo kwenye kiwango kizuri, ana uzoefu wa muda mrefu Simba watajutia kumuacha.”
“Mimi namuomba Kaseja atulize akili, mimi mbona walisema nimekwisha sina jipya, lakini mbona nipo kwenye fomu nina uwezo wa kucheza hata miaka 10 mbele, kikubwa ni nidhamu ya mazoezi na kujitunza,”alisema Mapunda.
Kauli ya Ivo imekuja baada ya Kaseja kumwaga wino wa kuichezea Yanga kwa kitita cha sh 40 milioni baada ya kukaa nje kwa muda. Kaseja alisajiliwa Simba mwaka 2003 akitoka Moro United na tangu wakati huo alikuwa kipa tegemeo wa Simba kwa misimu tisa ingawa kwa msimu mmoja wa 2008/2009 aliichezea Yanga kabla ya kurudi tena Simba.

MTOTO WA WILL SMITH (Jaden Smith) AZAMA KWENYE PENZI ZITO LA MDOGO WAKE KIM KARASHIAN

Posted: 20 Nov 2013 09:57 PM PST



Kylie Jenner (mdogo wa Kim Kardashian) na Jaden Smith mambo si mabaya.  Binti sasa anapata huduma zote anazostahili mtoto wa kike kupata kutoka kwa mpenzi wake wa kiume.  Ili linathibitika pale ambapo kidume kiliingia SONARA na kununua mkufu wa dhahabu na kumvalisha mpenzi wake.  Wapenzi hawa wote wanatoka 

MJADALA: SABABU ZA RAGE KUSIMAMISHWA SIMBA ZAFAHAMIKA, NINI MAONI YAKO WEWE MDAU

Posted: 20 Nov 2013 09:30 PM PST

Jana uongozi wa klabu ya Simba ulitangaza kumsimamisha mwenyekiti wake Ismail Aden Rage.
Maamuzi hayo yalitokana na kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika hapo juzi,
Hizi ni Miongoni mwa sababu zilizotolewa kwenye mkutano wa waandishi wa habari zilizopelekea kusimamishwa kwa Mheshimiwa Rage.

Mkataba na AZAM  TV

Rage alisaini mkataba na Azam TV kwa ajili ya kipindi ya cha Simba TV bila kuishirikisha kamati ya utendaji.
Wakati Rage anasaini mkataba na Azam TV tayari klabu ya Simba ilikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho mwisho kuingia mkataba na kampuni ya ZUKU kwa ajili kipindi cha Simba TV uliokuwa na thamani ya dola za kimarekani 300,000 kwa mwaka.

Kampuni ya ZUKU ilipokuwa kwenye majadiliano na viongozi wa vilabu vya Simba na Yanga jijini Nairobi, kwenye mkutano huo Simba iliwakilishwa na Mjumbe wa kamati ya utendaji Joseph Itang’are maarufu kama mzee Kinesi pamoja na mwanachama Evans Aveva wakati Yanga iliwakilishwa na Makamu mwenyekiti Clement Sanga na Francis Kifukwe,viongozi hao Simba Ghafla walisikia Rage kasaini mkataba na Azam TV kwa ajili ya Simba TV.

Sakata la uhamisho wa Emmaanuel Okwi.
Mheshimiwa Rage ndiye aliyesimamia uhamisho wa mchezaji Okwi on CREDIT bila kuishirikisha kamati ya utendaji,matokeo yake klabu hiyo mpaka leo imeshindwa kupata pesa ya uhamisho wa mchezaji huyo.

.
Kutoitisha vikao vya kamati ya utendaji.

Sababu nyingine iliyoelezwa ni kitendo chake cha kushindwa kuitisha vikao vya kamati ya utendaji, Kuendesha klabu na kufanya maamuzi binafsi bila ya kushirikisha kamati hiyo ya utendaji ambayo ilichaguliwa na wanachama

Strategic plan ( Mpango mkakati )
Hivi karibuni klabu ya Simba ilizindua mchakato wa kutengeneza mpango mkakati (Strategic Plan) lakini cha kushangaza mwenyekiti amekuwa hataki kuona mpango huo ukifanikiwa.

Mkutano mkuu wa katiba


Kushindwa kuitisha mkutano wa marekebisho ya katiba,kuchukua maamuzi binafsi ya kuhairisha mkutano maalumu wa katiba uliotakiwa kufanyika Novemba, mwaka huu.

BABU SEYA KUCHEKA AU KULIA LEO?

Posted: 20 Nov 2013 09:23 PM PST

MAHAKAMA ya Rufani leo inatarajia kutoa uamuzi wa ama kulikubali au kulikataa ombi la marejeo lililowasilishwa na mwanamuziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae, Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme’, ambao waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu ya kifungo cha maisha iliyoitoa Februari 2010, kwa kuwa ina dosari za kisheria na kuwaachia huru.

Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama iliyotolewa kwa mawakili wa pande zote mbili, mahakama imemtaka Babu Seya na mwanae pamoja na mawakili wa pande zote kufika leo mahakamani ili wapokee uamuzi wa maombi hayo.

Oktoba 30 mwaka huu, jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Nataria Kimaro, Salum Massati na Mbarouk Mbarouk, walisikiliza ombi hilo lililowasilishwa mahakamani hapo na wakili wa waomba rufani, Mabere Marando.

Wakili Marando alidai kwa mujibu wa kanuni ya 66 ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009  inatoa mamlaka kwa Mahakama ya Rufaa kufanya mapitio  ya hukumu inazozitoa,  hivyo wateja wake wamewasilisha ombi hilo kwa sababu wanaamini  mahakama ilikosea kisheria katika hukumu yake Februari 2010.

“Waheshimiwa majaji, kwa sababu jopo lenu katika hukumu yake lilikiri wazi wazi  kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi wa watoto waliodai walitendewa vibaya na waomba rufaa (Babu Seya na Papii) na sheria za nchi zinasema endapo mahakama itabaini kuwa mahakama ya chini ilikiuka taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto wadogo, basi ushahidi ule wa watoto wadogo uliotumika katika mahakama ya chini kuwatia hatiani washitakiwa unafutwa na waomba rufaa au washitakiwa wanaachiwa.

“Nafahamu ni kazi ngumu kuwashawishi nyie majaji kubadili uamuzi wenu mlioutoa katika hukumu ya Februari 2010, ambapo uliwatia hatiani wateja wangu, ila kwa utetezi huo wa kisheria niliouainisha unaonyesha katika hukumu yenu mlikubaliana na hoja yangu kuwa Mahakama ya Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi wa watoto wadogo, naamini mtatumia busara zenu na kufuata sheria na leo naiomba mahakama iwaachie huru wateja wangu,” alidai Marando.

Mawakili wa upande wa mjibu maombi (DPP), Angaza Mwipopo, Jackson Mlati, Imaculata Banzi na Joseph Pande, waliomba mahakama itupilie mbali ombi hilo, kwa kuwa sababu zote alizozitoa alizieleza wakati wa usikilizwaji wa rufaa na ziliamuliwa katika hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo Februari mwaka 2010.

Jackson alidai kama Marando anaona hukumu ya mwaka 2010 ilikuwa na dosari, angeomba mahakama hiyo impangie jopo la majaji watano wa kusikiliza ombi na si ombi lake kusikilizwa na jopo la maji watatu wale wale waliotoa hukumu hiyo ambayo anadai ina dosari.

CHANZO: TANZANIA DAIMA

Udaku Specially

unread,
Nov 22, 2013, 4:40:27 PM11/22/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


BAADA YA ZITTO KUVULIWA UONGOZI CHADEMA..MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA NAE AJIUZULU LEO

Posted: 22 Nov 2013 10:32 AM PST

Salaam,

Napenda kuwasilisha kwako taarifa ya kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara kuanzia Leo Ijumaa 22 Novemba 2013 kwa kuchoshwa na Unafiki unaoendelea ndani ya Chama. Napenda ifahamike pia kwangu maslahi ya Wapiga kura, Wakaazi na wananchi wa Mpanda Mjini na Wilaya ya Mpanda ni muhimu katika kuwatumikia, hivyo basi sipo tayari kuchaguliwa marafiki. 

Kwa kipindi kirefu zimekuwepo shutma dhidi yangu na kutiliwa mashaka mahusiano yangu na Mhe Pinda Waziri Mkuu pamoja na kulijadili katika vikao kadha Mpanda na Dar es Salaam bado yapo mashaka kwa nini alipita bila kupingwa hayo yalikua maamuzi ya Wanampanda kwenu imekua ni tatizo lakin hamsemi kwa nini Majimbo mengine 16 nchini yalipita bila kupingwa mlikua wapi na nani alaaumiwe huu ni Unafiki  wa kupindukia.

Aidha mmechukizwa sana kwa nini nilihoji kauli ya Muasisi wa Chama Mhe Mtei kutuchagulia viongozi naomba ifahamike wazi kwamba huu ni mtazamo wangu na utabakia hivyo siku zote kwa chama cha demokrasia kutoruhusu uongozi wa kiimla kwa kukidhi matakwa ya Waasisi ambao huvigeuza vyama kuwa Mali binafsi

Kwa kusema ukweli na kusimamia ukweli daima itabakia kuwa lengo langu katika maisha yangu siku zote hata kama itanigharimu maisha yangu

Nawasilisha.


Said A Arfi (mb)

WILLIAM MALECELA " CCM TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO-TUWASAIDIE WASISAMBARATIKE

Posted: 22 Nov 2013 08:38 AM PST

- Ni muda mrefu sasa kumekuwa na mtafaruku mzito ndani ya Chadema ambao umekuwa ukikitafuna sana chama hicho, na pia kuna utabiri mzito sana ulitolewa na Waziri Wassira kwamba Chadema ipo katika siku zake za mwisho. Ninasema hivi kufa kwa Chadema kama dalili zinavyoonyesha sasa hivi sio the best Interest ya chama chetu CCM. Tunahitaji kuwasaidia sana waendelee kuwepo kwa sababu they have proven time and time kwamba ni paper tiger tu, wazuri kwenye makaratasi lakini hawana nguvu yoyote kisiasa.

- Kupitishwa kwa musawada wa Katiba mpya juzi bungeni ni mfano mzito sana ulio hai wa jinsi wasivyo na nguvu kabisa za kisasa za opposed na makelele yao ya kila siku na lile gazeti lao lenye makao makuu yake kwenye Club ya Disco ya Mwenyekiti wao. Ninawaomba sana CCM tunahitaji kuwa makini sana na matatizo ya chama hicho sasa hivi, tutumie nafasi hii kuwasaidia wasiambaratike maana Chadema ikisambaratika tutaanza kufukuzana na adui tusiyemjua, ni bora kushindana na huyu huyu adui tunayemjua, anayelia posho za wabunge ni kubwa na huku anazipokea, anayelia lia kwamba magari ya wabunge ni ya gharama sana na huku anayapokea hayo hayo. Anayelia lia safari za Rais huku wabunge wake wanasafiri kila siku nje kwa visingizo vya kamati za bunge.

- AGAIN KWA WANA-CCM WOTE NI KWAMBA TUNAWAHITAJI SANA CHADEMA HII INAYOONGOZWA NA AKILI NDOGO, MAANA OTHERWISE TUTAKUTANA NA WAPINZANI WENYE AKILI KUBWA WATATUSUMBUA, TUWASAIDIE WASISMBATRATIKE!! ha! ha! ha!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


LE Mutuz Big Shoow!!

UFAFANUZI WA CHADEMA KUHUSU MAAZIMIO YA KAMATI KUU

Posted: 22 Nov 2013 07:24 AM PST

Live Updates: Ndugu Wanachama na Watanzania na wote muda si mrefu tutawaletea Mkutano na Waandishi wa Habari kuwajulisha Watanzania maazimio na maamuzi ya Kamati Kuu iliyokutana kwa siku mbili tarehe 20-21/11/2013 katika Hotel ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam

================
UPDATES

- M/Kiti Mh. Freeman Mbowe ameshawasili na ameanza kwa kusema kuwa Kamati Kuu imemteua Mh. Tundu Lissu kuwa Mwanasheria Mkuu wa Chama na pia Kamati Kuu imefikia maamuzi ya kinidhamu kwa baadhi ya viongozi.

Anamkaribisha Mh. Tundu Lissu kwa ajili ya kutoa taarifa ya maazimio ya Kamati Kuu kwa niaba ya M/Kiti

- Tundu Lissu anaanza kwa kusema kuwa Kamati Kuu imenasa waraka wa mkakati wa siri wa kukipasua Chama vipande vipande unaohusisha watu wanne ambao ni Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo, Samson Mwigamba na mtu mwingine ambaye hajajulikana.

- Anasema lugha iliyotumika katika waraka huo ni ya siri ambapo kuna mtu anaitwa MM ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe, M1 ni Dr. Kitila Mkumbo, M2. Hajajulikana na Dr. Mkumbo alikana kumfahamu kabisa M2, na M3 ni Mwigamba.

Lissu anasema Waraka huo uliojulikana kama Waraka wa Ushindi unavunja katiba ya Chama kwa sababu umepandikiza chuki za kidini, majungu na kukashifu viongozi wa Chama kinyume na katiba ya CHADEMA.

Lissu anasema tuhuma zote zilizoko katika waraka huo hazijawahi kuwasilishwa kwenye kikao chochote halali cha chama kinyume na matakwa na masharti ya katiba yetu

- Anasema Kamati Kuu imeamua kuwavua nyadhifa zao zote watu wote waliotajwa katika waraka huo ambao ni Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba.

Pia kamati kuu imeunda kamati ya kuchunguza na kufuatilia mhusika mwingine M2 ambaye anadaiwa ni Mtumishi wa Makao Makuu ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa dhidi yake

Kamati Kuu imeagiza wahusika wote waandikiwe barua za kujieleza ni kwanini wasivuliwe uanachama kwa makosa hayo makubwa waliyofanya.

- Pia Kamati Kuu imeagiza mchakato wa kumvua Zitto nafasi yake ya Unaibu wa Kambi ya Upinzani Bungeni.

- Lissu anasema Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe na Dr. Kitila Mkumbo waliomba kujiuzulu nyadhifa zao zote baada ya waraka wao kukamatwa lakini Kamati Kuu iliwakatilia baada ya kuona kuwa kukubaliana na maombi yao hayo ilikuwa ni kama kuwaacha wajiuzulu kwa heshima ambayo hawaistahili hata kidogo.

- Kamati Kuu pia imeazimia kuusambaza waraka huo kwenye vyombo mbalimbali vya habari ili watanzania waone na kujua ukweli.

Lissu anamalizia kwa kuwaomba watanzania na Wanachama wote wa CHADEMA nchi nzima wasife moyo na waendelee kukijenga Chama na nchi yao.

- Kamati Kuu pia imemteua Wakili Msomi Mh. Peter Kibatara kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama

- Mh. Mbowe anasema waraka wa siri za Zitto haukutengenezwa wala haukutoka Makao Makuu. Alikuwa akijibu swali la Mayage kuhusu zitakapopatikana fedha za kutekeleza mpango huo

Jamii Forums

TUNDU LISSU "ZITTO NA WENZAKE WATATU WAMEBAINIKA KUKIHUJUMU CHAMA"

Posted: 22 Nov 2013 08:10 AM PST

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemvua nyadhifa zote Naibu Katibu mkuu wake Zitto Kabwe ambae ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye makao makuu ya chama hicho, amesema Zitto na wenzake watatu wamebainika kukihujumu chama  kwa kuanzisha kitu kinaitwa Mkakati 2013 kinacholenga kukisambaratisha chama hicho ili kuwaondoa madarakani Mwenyekiti na Katibu mkuu wake.
Nyadhifa alizovuliwa ni Unaibu katibu mkuu pamoja na Naibu kiongozi wa upinzani bungeni ambapo yeye, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba na mwingine mmoja Makao makuu wamepewa siku kumi na nne wajieleze kimaandishi kabla ya kuchukuliwa hatua zaidi za kinidhamu ikiwemo kuvuliwa Uanachama.

Q-CHILLA "NIMESIKITISHWA NA JINSI WASANII WALIVYOKUWA KIMYA KWENYE RUFAA YA BABU SEYA NA PAPI"

Posted: 22 Nov 2013 01:48 AM PST

Muimbaji wa ‘Beautiful’ Q-Chilla amesema amesikitishwa na jinsi wasanii wenzake walivyokuwa kimya kwenye rufaa ya Babu Seya na Papii Kocha ambao rufaa yao imekataliwa leo na hivyo kuendelea na kifungo cha maisha jela.

Q-Chilla amesema kama kungekuwepo na kauli za wasanii kuhusiana na rufaa hiyo huenda mambo yangekuwa tofauti.

“Wameshindwa, wamekaa tu kufanya kazi zao za kujipromote wao, this is very stupid,” amesema Chilla.

“Kauli yao tu ni faraja kwa hawa jamaa. Wangeona kuna watu kule nje hata kama hawana uwezo wa kututoa au kuiambia serikali itutoe, kwamba kuna watu kweli wako touched na hii issue. Always wanasubiri mtu afe au jambo hili litokee, ndio wajitokeza wazungumze. Nahisi kila mtu anaishi sababu anafanya kazi zake na afulfill dreams zake, but we are not there for other people who need hata kauli zetu. Ukizungumza unaonekana una stress. Ila Mungu ana sheria zake na serikali ina sheria zake. Nimekubaliana na hilo.”

NIMEKUTA CHUPI YA KIKE NDANI YA CHUMBA CHA BOYFRIEND WANGU, YEYE ASEMA AJUI NI YA NANI...USHAURI PLIZ

Posted: 22 Nov 2013 01:40 AM PST

Wadau hapa nilipo nimechanganyikiwa na nisijue cha kufanya, naombeni ushauri wenu, nilikwenda field huko Tabora, nikamwacha mchumba wangu Tanga(ndiko kwetu) tulikuwa tukiwasiliana kama kawaida, na niliondoka nikiwa nimeshavishwa pete.

Nilipigiwa simu baba yangu ni mgonjwa sana, watoto wake wote tulio mbali, tunatakiwa kurudi Tanga, basi nami nilirudi, na kukuta kweli hali ya baba si nzuri, nikampigia simu mchumba wangu kumuuliza yuko wapi, ili tukutane nae hospitali, akasema kwamba amesafiri kikazi gafla kwa siku moja tu then kesho yake angegeuza, nikamuuliza inakuwaje huniambii, akasema nimesafiri gafla, hata hivyo nilitaka nikujulishe maana nimeondoka leo.

Niliumia sana kwa alichokifanya, sasa kuna rafiki yangu mmoja akaniambia, mbona mimi nimemuona jana super market? Akiwa na msichana? Nilijisikia huzuni sana ila nilijipa moyo

nilikwenda moja kwa moja hadi kwake, nikamkuta mtoto wa mwenye nyumba, nikamuuliza kama kweli mchumba wangu amesafiri,(nikajua labda alikwenda supermarket kununua vitu vya safari) akasema mbona yupo? Na asubuhi nimemuona?, nikampigia simu kuwa nipo pale kwake, akasema atachelewa sana kurudi, hivyo nirudi nyumbani kesho ndio nije, nikamwambia namsubiri, ilifika saa sita mimi niko mlangoni nimekaa namsubiri, aliponikuta nimesinzia mlangoni alishtuka sna, na kuanza kunifokea kwanini nisingesubiri hadi kesho.

Ile naingia tu! Ndani, nikakutana na sandols za kike, na kwenye mto kuna chupi ya kike, niliumia na kuanzisha ugomvi mkubwa,

Kinachonishangaza eti anasema yeye mwenyewe hajui ni vya nani, itakuwa mama mwenye nyumba mchawi, maana alikuwa anamtaka, na bado anasisitiza eti ananipenda na anataka nifunge nae ndoa mwezo wa tisa.

Sasa mimi hata sijui nifanyaje, naombeni ushauri wenu?

VENESSA MDEE, MABESTE NA GOSBY WATIMULIWA B'HITS

Posted: 22 Nov 2013 01:36 AM PST

Vanessa Mdee, Gosby na Mabeste hawapo tena B’Hits Music Group. Kwa mujibu wa B’Hits Mabeste aliondolewa tangu miezi minne iliyopita japo hawakutangaza rasmi na Mabeste alipewa muda wa kujitetea kutokana na kwenda kinyume na mkataba wake ikiwa ni pamoja na kufanya show bila kutoa taarifa kwa uongozi.
Akiongea na Bongo5, Mabeste ambaye leo ametangaza kutokuwa chini ya label hiyo kupitia Facebook, amesema pamoja na label hiyo na kutengeneza hits nyingi, muziki wake haukuwa ukimpa kipato anachostahili na kusema kuwa tatizo lake na B’Hits ni katika kuufanya muziki wake uingize fedha zaidi pamoja na kuufanyia promotion.

Amesema nyimbo zote alizowahi kutoa amekuwa akiachiwa yeye zaidi kuzifanyia promotion na kuzifikisha mahali kitu ambacho anaamini ilikuwa ni kazi ya label yake.

“Sitaki kuonekana mzigo kwao. Haiwezekani kila siku wao wawe wanarekodi halafu wao hawaoni faida. Baada ya kutoona faida, wanarekodi nyimbo nyingine tena wananipa inaenda,” amesema Mabeste.

Aliongeza kuwa anaumia kuona producer wake Pancho ambaye alimkutanisha na B’Hits miaka mitano iliyopita hapati faida ya muziki wake. Hata hivyo amekanusha madai ya kufanya show bila kutoa taarifa kwa uongozi na kudai kuwa katika dunia ya sasa si rahisi kufanya show kwa siri bila kujulikana.

“Sasa mabadiliko ambayo yanatokea ndani ya haya maisha, wanahisi maybe mimi ninapata show siwaambii. Hivi hii Tanzania sasa hivi social networks ilivyotawala, kuna mahali unaweza kupiga show mtu asijue? Na nani atakuita show yake na aachie kuifanyia promotion kwa social network,” amehoji Mabeste.

Mabeste amesema kutokana na maisha kubadilika na kwakuwa sasa amekuwa baba, kiasi alichokuwa anakipata akiwa B’Hits ni kidogo kuweza kukidhi mahitaji yake ya kila siku na hivyo kumfanya aishi na stress wakati ana uwezo mkubwa.

Hata hivyo CEO wa B’Hits Music Group, Hermy B amesema anashangaa kumsikia Mabeste akilalamika hivyo wakati wao walimtoa mbali ambako alikuwa akiishi maisha ya chini na kuingia gharama nyingi za kumtunza ikiwa ni pamoja na kumlipia kodi ya nyumba, kumnunulia nguo pamoja na kumpa fedha ya kujikimu pale alipokuwa akihitaji.

Hermy B amesema kama akiamua kujumlisha gharama alizotumia kwa Mabeste zinafika si chini ya shilingi milioni 30 na haoni kama Mabeste ana uwezo wa kuzirejesha.

Ameongeza kuwa wote Mabeste, Gosby na Vanessa hawana shukrani kwa kile B’Hits imewafanyia.

Ametoa mfano kuwa video ya Closer ya Vanessa Mdee aligharamikia fedha zake kutoka mfukoni ambazo ni takriban shilingi milioni 8 ambazo hazijawahi kurudi hadi sasa na pia alilipia kwa hela yake hata kazi alizofanya kwenye studio nje ya B’Hits.

Naye Amani Joachim, ambaye ni mwanasheria na mmoja wa viongozi wa B’Hits, alisema Vanessa Mdee na Gosby waliondolewa B’Hits kutokana na kuingia mkataba wa kufanya show ya Fiesta Dar bila kuutaarifu uongozi. Amesema wawili hao walifikia hatua ya kwenda kufanya fujo B’Hits wakidai nyimbo zao kwaajili ya kutumbuiza kwenye show hiyo hali iliyokiuka masharti ya mkataba wao.

Ameongeza kuwa ukimya wao umewafanya watu wengi waamini kuwa wasanii hao walijiondoa wenyewe wakati uongozi ndio ulifanya uamuzi wa kwanza wa kuwaondoa.

Pamoja na hivyo, Hermy B amesema B’Hits itaziachia nyimbo zote za wasanii hao zichezwe redioni kwakuwa kuzifungia kutakuwa na hasara kwao kutokana na kutumia nguvu na akili nyingi kuziandaa.

Hata hivyo amesema, wasanii hao hawatakuwa na haki ya kuzitumia popote kwakuwa ni mali halali ya kampuni. Hermy B amesema, uongozi wa B’Hits hauna ugomvi na wasanii hao na mwanzoni mwa mwaka ujao wanatarajia kutangaza wasanii wapya watakaokuwa chini ya label hiyo.
-Bongo5.com

UKWELI WA SABABU ZA MAUJI YA RISASI ILALA NDIO HUU CHRISTINE NEWA AONGEA

Posted: 22 Nov 2013 12:10 AM PST

Imebainika kwamba sababu ya shambulizi la risasi lililotokea Ilala Bungoni, Dar es Salaam Jumanne iliyopita na kusababisha vifo vya watu watatu, ni wivu wa mapenzi uliopindukia.

Akizungumza nyumbani kwao Ilala Bungoni jana, mmoja wa majeruhi ambaye ndiye aliyekuwa kiini cha shambulizi hilo, Christine Newa alisema si kweli kwamba sababu ya mchumba wake, Gabriel Munisi kuwashambulia na kuwajeruhi kwa risasi yeye na mama yake mzazi, Ellen Eliezer na kumuua mdogo wake wa kike, Alpha Newa ni kutokana na kusaliti uchumba wao.

Awali, ilidaiwa kwamba sababu ya shambulizi hilo ni Christine kumkataa Munisi, (ambaye pia alijiua baada ya kufanya mauaji hayo) na kuchumbiwa na rubani wa ndege, marehemu Francis Shumila ambaye pia alifariki katika tukio hilo... “Kwanza Shumila hakuwa mchumba wangu kama ilivyoelezwa. Alikuwa shemeji yangu, mume wa dada yangu Caroline Newa. Pia hakuwa rubani wa ndege, bali nahodha wa meli.”

Alisema amekuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Munisi katika kipindi kisichofikia mwaka mmoja lakini sehemu kubwa ya maisha yao ikitawaliwa na misuguano iliyowafikisha polisi mara kadhaa.

Alisema katika kipindi cha uhusiano wao marehemu Munisi alikuwa akimpiga, akimkataza kufanya kazi, kusoma na alikuwa na wivu uliopindukia.

Christine kuona hivyo, aliamua kufanya mipango ya kwenda kusoma katika Visiwa vya Cyprus kimyakimya pasi na kumuaga, jambo ambalo alisema lilimkera mchumba wake huyo na kuweka kisasi.

“Nikiwa huko, Munisi alitafuta mawasiliano hadi akayapata na tukawasiliana na siku niliporejea alikuja kunipokea uwanja wa ndege lakini cha ajabu, alinikataza kwenda nyumbani na badala yake akanipeleka moja kwa moja hadi Mwanza eneo la Kitangiri,” alisema na kuongeza: “Tukiwa njiani kuelekea Mwanza, katika maeneo ya Singida, alisimamisha gari akaniambia nishuke, akatoa bastola na kuniuliza kwa nini niliondoka bila ya kumuaga. Je, nataka kumuacha?”

Alisema alimwomba msamaha na kuendelea na safari yao. Anasimulia kwamba baada ya kufika Mwanza, alimpora simu zake zote na kumfungia ndani kwa zaidi ya wiki mbili hadi alipopanda kwenye dirisha na kuomba msaada kwa majirani na kuwapa namba za simu za ndugu zake ili wamsaidie kuwapa taarifa.

Ndugu zake walianza mchakato wa kuwasiliana na polisi hatua iliyofanikisha msichana huyo kurudishwa Dar es Salaam... “Hata hivyo niliondoka na khanga na fulana tu. Vitu vyote niliviacha huko.”

Baada ya kurudi Dar es Salaam, anasema Munisi naye aliamua kumfuata lakini safari hii alifikia katika Hoteli ya MM iliyotenganishwa na ukuta wa nyumba yao na akawa anafuatilia nyendo za familia hiyo.

“Alikuwa ananitumia meseji kwamba amemuona dada Caro, mama na Alpha na wakati mwingine anasema ameniona mimi mpaka nguo tulizovaa, tukaanza kupata na wasiwasi,” alisema.

Wasiwasi huo ulitokana na historia ya maisha yao ya Mwanza na pia tishio ambalo anadai kwamba Munisi aliwahi kulitoa kwamba atahakikisha anaiteketeza familia yote kuanzia Goba anakoishi mama yake (Ellen), Zanzibar anakoishi mdogo wake (marehemu Alpha) na hapo Ilala.

Anasema walikwenda polisi lakini walielezwa kwamba hayo ni masuala madogo ya mapenzi na kwamba yatamalizwa kifamilia.

Siku ya tukio Christine alikuwa akitoka kwenda uwanja wa ndege tayari kwa safari ya kurudi shuleni Cyprus ndipo Munisi alipotokea na kuanza kumrushia Shumila risasi na baadaye Alpha kisha mama na yeye kabla ya kujiua.

Akizungumzia tukio hilo, Caroline alisema mumewe alitabiri kifo chake kabla kwani baada ya kusikia vitisho vya Munisi, alimtoa shaka Christine akimwambia kwamba atamlinda hata ikibidi kupoteza maisha yake, jambo ambalo lilidhihiri.

Alisema mama yake amepata nafuu na ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa na mazishi ya mdogo wake, Alpha ambaye ameacha mtoto mwenye umri wa miezi minane, yamepangwa kufanyika Jumamosi Goba, Dar es Salaam.

Alisema mipango ya mazishi ya mumewe inafanywa huku akidokeza kwamba huenda akasafirishwa kwenda Mombasa.

PICHA ZA P-SQUARE WALIVYO TUA DAR KWA AJILI YA SHOW YA KESHO

Posted: 21 Nov 2013 11:21 PM PST

Wanamuziki wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East Africa Radio na EATV.
 
 Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea.
Vijana wakielekea kupumzika tayari kwa kazi ya kesho
(Picha na Mdimuz Blog)

JINAMIZI LA MADAWA YA KULEVYA LAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA, WENGINE WAKAMATWA INDIA

Posted: 21 Nov 2013 11:13 PM PST

Kuna taarifa kuwa Watanzania wawili wamekamatwa na dawa za kulevya nchini India na kwamba mmoja wao amefariki dunia. Taarifa zinadai kuwa Watanzania hao, ambao walikuwa watatu, waliwasili katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Chatrapati Shivaji juzi asubuhi na Ethiopian Airlines Flight 610.

Baada ya kutua uwanjani hapo, maafisa kutoka uwanjani hapo waliwakamata Watanzania wawili kati ya watatu kwa mahojiano zaidi baada ya kutonywa (tip-off) kuwa walikuwa wamebeba dawa za kulevya. Baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa matano, Watanzania hao walikataa katakata kuwa walikuwa "punda" wa dawa za kulevya. 

Taarifa zinadai kuwa maafisa hao waliamua kuwapa Watanzania hao chakula na maji kama trick ya kujua kama walikuwa wamebeba dawa za kulevya. Kwa kawaida, mtu aliyemeza vidonge vya dawa za kulevya hali wa kunywa ili kuepukana na kifo. Hivyo basi, kama mtuhumiwa akipewa chakula na kukataa kula inaweza kuwa ni dalili kuwa amemeza vidonge vya dawa za kulevya. 

Hivyo basi, baada ya kupewa chakula na maji, Mtanzania mmoja alikataa kula wala kunywa. Hata hivyo, Mtanzania wa pili alikubali kula chakula alichopewa. Baada ya hapo, Watanzania wote watatu walipelekwa mahakamani, lakini yule aliyekubali kula alikataa na kutaka kukukimbia. Baada ya purukushani katika eneo la mahakama, yule aliyekubali kula chakula alifariki baada ya kuzidiwa na vidonge vya cocaine kama 120 alivyokuwa amemeza. 

Hali ya Mtanzania wa pili ilizidi kuwa mbaya na alipelekwa katika hospitali ya JJ. Baada ya kufanyiwa X-ray na CT-scan alikutwa amebeba vidonge vya cocaine kama 100 hivi. Kwa mujibu wa maelezo ya mkuu wa hosipitali hiyo, hali yake ni mbaya lakini hajapelekwa ICU. 

Mtanzania wa tatu, ambaye ni mwanamke wa makamo, bado anahojiwa na vyombo husika. Mwanamke huyo hakukutwa na dawa zozote lakini alikuwa ameongozana na wanaume hao wawili. Upelelezi bado unaendelea kujua kama alikuwa mmiliki wa hizo dawa za kulevya.

Habari kwa mujibu wa India Today, The Times of India, Daily News India

MKE WANGU AOMBA PENZI KINYUME NA MAUMBILE..SIELEWI HAPA JE ANACHEZEWA NA WENGINE? USHAURI PLIZ

Posted: 21 Nov 2013 10:31 PM PST

Admin hide my name , mimi ni kijana wa kitanzania nina mke na mtoto mmoja kwa muda wa miaka miliwili sasa nimekuwa nikisoma UK Deree yangu ya pili , kwa sasa nimemaliza nimerudi Tanzania , sasa cha ajabu ambacho sikielewi ni kuwa kila nikikutana na mke wangu anataka nimwingilie kinyume na maumbile..yaani sometimes anaipeleka mwenyewe huko sehemu kwa siku kama mbili nimekuwa nafanya bila kujua imeingia huko...sasa nimejua nimemkalisha kikao lakini haeleweka hajanipa jibu la maana paka sasa...nahisi wakati mimi nipo uk kuna mtu alikuwa anamchezea sasa imekuwa hawezi sikia raha mpaka afanye hivyo ..mimi ninajua madhara ya huo mchezo siwezi kabisa kufanya kwa mke wangu ...swali linakuja hapa sasa nisipomfanyia ina maana ataendelea na hao jamaa zake wanao mfanyia ...sasa sijui nifanyaje ..naomba ushauri wa kina hapa 

TETESI:ZITTO KABWE NA DK. KITILA WAVULIWA VYEO VYAO VYOTE NDANI YA CHADEMA

Posted: 21 Nov 2013 10:10 PM PST

Kikao cha Kamati Kuu ndiyo kimeisha muda huu, na taarifa zilizopo ni kwamba kambi ya PM7 imevunjwa rasmi baada ya viongozi wake kuvuliwa vyeo vyote walivyo navyo ndani ya chama.

Waliovuliwa vyeo ni Zitto Kabwe, ambaye amevuliwa nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama pamoja na nafasi ya Naibu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Dr. Kitila Mkumbo yeye amevuliwa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu.
  Kamati Kuu imewaandikia barua Zitto na Kitila, wajieleze ndani ya siku 14 kwanini wasifukuzwe uanachama.

CHANZO: JAMII FORUM  

FUMANIZI LA JB UTATA MTUPU

Posted: 21 Nov 2013 10:06 PM PST

LILE sakata la madai kwamba, staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’ amenaswa akiwa na mke wa mtu mjini Dodoma limeingia katika sura tofauti baada ya habari yenyewe kujaa utata.

Staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’. 
Habari za awali zilidai kuwa, tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita katika hoteli moja (jina lipo) iliyopo mjini Dodoma ambapo JB alikutwa na mke huyo wa mtu aliyetambulika kwa jina moja la Sarah.
Kwa mujibu wa mwanaume aliyedai kuwa ni mume wa Sarah aitwaye Rama (jina moja), alifuatilia nyendo za mkewe huyo kwa saa kumi na mbili siku ya tukio na mawasiliano yake ambapo kwa muda mrefu alikuwa akiwasiliana na JB ambapo walipanga kukutana katika hoteli hiyo usiku.
Saa tatu usiku, Rama alifika ndani ya hoteli hiyo na kuingia kwenye chumba alichokuwa amelala JB na mwanamke huyo ambapo aligonga mlango kwa muda mrefu baadaye sana ndipo ukafunguliwa.
Baada ya mlango kufunguliwa, kwa mujibu wa mume wa Sarah,  JB alipokea  kipigo cha haja kutoka kwa mwanaume huyo ambapo wahudumu wa hoteli na polisi waliokuwa wanafanya doria katika shoo ya Jahazi iliyokuwa ikiendelea kwenye ukumbi wa hoteli hiyo  waliingilia kati kumuokoa JB na walipelekwa Kituo cha Polisi cha Area D ambapo maelezo yalichukuliwa na kutakiwa warudi kesho yake.
Mwanaume huyo alisema kuwa kesho yake waliporudi polisi walimshinikiza akubali yaishe ambapo walilazimishwa kuelewana.
Mume huyo akasema hakurudi nyumbani tangu siku hiyo mpaka juzi hata hivyo akasema:
 “Mimi simuhitaji tena japokuwa ana mimba ya miezi minne na sina uhakika kama ni ya kwangu kwani tabia zake sizielewi bora niachane  naye maana tulikuwa wachumba hatujafunga ndoa.”

HUYO ALIKUWA MUME, JB SASA

Mapaparazi wetu walifanikiwa kumuweka mtu kati JB ambapo baada ya kumuuliza kilichotokea, alisema:
“Mimi nifumaniwe! Hivi inawezekana kweli? Mna uthibitisho au ushahidi wowote? Yule msichana alikuwa klabu, akachukua namba yangu. Si yeye tu, mashabiki wengi waliniomba namba siku hiyo.
“Ulikuwa usiku akarudi klabu, mimi nilikuwa hotelini, akanipigia na kusema anataka kuniona ana shida ya kisanii.
“Hata alipokuja sikuwa nimefunga mlango, akaingia na bado mlango ulikuwa wazi. Muda mfupi baadaye akaingia huyo bwana akiwa peke yake na kusema amenifumania.
“Hivi jamani, kweli unakwenda kumfumania mkeo upo peke yako? Kwanza hatari! Nilipoona anachachamaa kwa madai hayo, nilitoka nje, huyo anayesema mkewe naye akaondoka lakini alikuwa akisema mbele yake kwamba hajaolewa.
“Kule nje niliwaambia wenye hoteli, wakaamua kuita polisi maana alikuja kunifanyia fujo. Sijui nini kiliendelea, lakini ukweli ni kwamba sikufumaniwa.”
Sarah alipopatikana hewani juzi  alisema hajafumaniwa na huyo anayedai ni mumewe ni mpenzi wake tu. Alidai kama kufumaniwa angekutwa akiwa hana nguo.

Credits: Global Publishers

HATIMAYE VIDEO YA DIAMOND YAANZA KURUSHWA KWENYE CHANNEL ZA KIMATAIFA

Posted: 21 Nov 2013 09:47 PM PST

d8
Lilikuwa swali kwamba inakuaje video iliyotumia ya gharama kubwa zaidi ya msanii wa bongoflava haipati airtime kwenye vituo vya kimataifa wakati video nyingine za wasanii wa muziki huu huu wanafanikiwa kupata airtime.
Jibu la swali hilo hatimaye limepatikana baada ya video ya My number one kuanza kuchezwa kwenye vituo maarufu duniani.
Diamond kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii aliwajulisha mashabiki wake kwamba wanaweza pia kuiona video ya My number one kwenye channel ya Trace na Sound City.
Kupitia Trace video hiyo imetambulishwa kama video mpya na kwenye Sound city imerushwa kwenye trending video request na hizi ni picha kutoka kwenye screen wakati video hiyo ikipata airtime kwa mara ya kwanza kwenye vituo hivi.
d1
d2
d3
d6
d7


Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages