Udaku Specially

1,673 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
May 27, 2015, 4:39:35 PM5/27/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Nyota Ya Lowassa Bado Inang'aa: Utafiti Mpya Waonyesha Anaongoza Kwa Kupendwa na Wapiga Kura Wengi......Wafuatia Slaa, Magufuli na Membe

Posted: 27 May 2015 09:28 AM PDT

Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.

Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi  ya wagombea 31.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mtafiti Mkuu wa SSSRC, George Nyaronga, alisema utafiti huo waliufanya kwa kutumia madodoso pamoja na mahojiano kwenye mikoa 18.

Utafiti huo na asilimia walizopata wanasiasa wengine kwenye mabano ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema, Dk. Willbrod Slaa asilimia 11.7; Waziri wa Ujenzi, John Magufuli (7.6); Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (7); Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (4.8); Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (4.2)  na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe 3.4 sawa na Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (2.4) na Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia (1.2).

Alisema pia utafiti huo ulionyesha kuwa Lowassa pekee ndiye anayekubalika na wapiga kura wengi, karibia idadi sawa ya jinsia zote mbili, wanaume 50 na wanawake 49.

Kwa ujumla, Lowassa na vinara wengine 10 wanaotajwa kuwania urais walipata asilimia 67.2, huku asilimia zilizobaki (32.8) zikitwaliwa na wagombea wengine 10 kati ya 20 waliohusishwa katika utafiti huo.

Aidha, Nyaronga alisema hawakuwa na dodoso  linaloorodhesha majina ya wanaopendekezwa kuwa Rais ila majina yalitajwa na wajaza madodoso wenyewe kisha wao wakajaza majina kwenye SSSRC.

Kwa mujibu wa dodoso lenye kichwa cha habari cha katika tafiti kuhusu uchaguzi wa mwaka 2015, takwimu zinaonyesha kuwa Watanzania wanamtaka mtu mwenye kufanya maamuzi magumu.

Alisema kwa maoni ya wengi waliohojiwa na kujaza dodoso, wanaonyesha kuwa Lowassa anakubalika zaidi na kwamba ulifanywa katika mikoa 18 ya Bara na Visiwani, watu 1,000 walijaza dodoso na 6,000 walifanyawa mahojiano.

Alisema utafiti huo uliofanywa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Morogoro, Singida, Shinyanga, Mwanza, Mara, Mbeya, Katavi, Kigoma, Tabora, Arusha, Moshi, Iringa, Njombe, Songea, Lindi na Mtwara .

Nyaronga alisema baadhi ya mambo ambayo tafiti hiyo ilikuwa ikitafuta majibu ni masuala yanayohusu changamoto kwa Tanzania kwa sasa, sifa za kiongozi anayehitajika kukabiliana na changamoto hizo, mapendekezo ya jina la Rais atakayesimamia vizuri changamoto hizo, chama chenye uwezo wa kutupatia rais ajaye kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 na kama Watanzania watapiga kura.

Vyama  vya  Siasa
Alisema utafiti huo umebaini CCM ina asilimia 53.5 ya kutoa Rais , Chadema yenye asilimia 34.2.

Alisema  vijana wa miaka kati ya 18-25 ambao ni sawa na asilimia 46 wanamtaka Lowassa kuwa Rais, ikifuatiwa na vijana wa miaka 26-30, na  vijana wa kati ya miaka 30-35.

Aliongeza kuwa CCM kina wanachama wengi wenye umri mdogo ikilinganishwa na vyama vingine vya siasa Tanzania na Chadema ndicho kinachofuatia kwa kupendwa na umri wa miaka kati ya 18 -25.

Mtafiti huyo alisema CCM inapendwa zaidi na watu wenye aina mbalimbali za elimu kuanzia shahada ina watu 144, sekondari ina watu 84  na hata katika elimu ya msingi ina watu 18, ikifuatiwa na Chadema.

Alizitaja changamoto kuu 16 zilizopo Tanzania kwa sasa kama zilivyoorodheshwa na wananchi ambapo wanamtaka Rais ajaye azishugulikie ni elimu, afya, viwanda, ajira, kilimo, miundombinu hafifu, kukosekana kwa utawala bora, uchumi hafifu, nishati, migogoro ya ardhi, mikataba mibovu.

Nyingine ni ukwepaji kodi, rushwa, ufisadi, ubinafsi na kutokuwa na uzalendo.

“Katika tafiti hii tumegundua kuwa Lowassa anaongoza katika kila nyanja kama Rais pendekezwa kuwa Rais wa Tanzania 2015, ukiangalia jinsia zote wa kiume na wa kike wanamtaka Lowassa kuwa Rais,” alifafanua na kuongeza:

“Tafiti hii inaipa chama dira na mwelekeo wa kujua kwamba ni Mtanzania gani ndani ya chama anayehitajika na Watanzania, chama kikishajua hilo hakifanyi kosa kumwacha mtu huyo anayehitajika na Watanzania ili kwanza kukiokoa chama kupoteza dola lakini pia kukilinda kiweze kubaki madarakani.”

Aliasema chama mbadala wa CCM ni Chadema, takwimu zinaonyesha kuwa, iwapo Lowassa hatapeperusha bendera ya CCM 2015, basi anayetakwa na wananchi kuwa Rais mbadala ni Dk. Willibrod Slaa.

Alisema Machi 2015, taasisi isiyo ya kiserikali ya Positive Thinkers Tanzania ripoti yake ya utafiti  ilioji watu 3,298 na Lowassa alipata watu 752 katika mikoa 13 Tanzania Bara na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo,Tibatizibwa Yabutinga, alielezea kuwa Lowassa ni mwanasiasa anayekubalika sana kuwa rais ajaye 2015.

 Alisema katika ripoti hiyo ili orodhesha matokeo yake kuwa Lowassa alipata asilimia 22.8, Slaa  19.5 asilimia ,  Nchemba 10.6, Profesa Lipumba 8.9, John Magufuli 6.8 , Kabwe 6.7, Membe 5.9, Pinda 3.2 ,  makamba 1.6,  Mwandosya 1.2.

Alisema Twaweza sauti za Wananchi, Nov.2014 Imegundua kuwa katika watu 1,445 walioshiriki utafiti ni kuwa wengi wao walisema kuwa changamoto kuu ni Uchumi, elimu na afya na wanasiasa wengi hawatimizi ahadi zao.

Twaweza pia wametoa tafiti kuwa CCM bado kinapendwa na Watanzania kwa asilimia 51 kwa nafasi ya urais, asilimia 46 kwa nafasi ya ubunge na kwa asilimia 47 kwa nafasi za udiwani ikifuatiwa na Chadema.

Alisema ripoti hiyo  ya Twaweza pia inatoa ripoti kuwa vijana chini ya miaka 34, watu chini ya miaka 50 na wazee zaidi ya miaka 50 kwa pamoja wengi wana sapoti kubwa kwa chama cha mapinduzi, na katika nafasi ya urais 2015, ripoti ya Twaweza inasema kuwa ndani ya CCM, kura za wagombea urais kwa tiketi ya CCM ni  Lowassa anaongoza kwa asilimia 17, Pinda asilimia 14, Magufuli asilimia tano, Samuel Sitta asilimia tano, Membe asilimia saba.

Alisema ripoti hiyo ya Twaweza pia iliweka wazi kuwa iwapo uchaguzi utafanywa , basi CCM itaongoza kwa asilimia 47, Ukawa kwa asilimia 28 na kama mtu atasimama binafsi, basi atapata asilimia 19.

Riyama Ajivunia Maneno ya Kiswazi

Posted: 27 May 2015 09:26 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally, ameibuka  na kusema anajivunia  kuwa na manenona misemo ya kiswazi  ambayo huzungumzwa na wanawake wanaishi sehemu  za uswahilini ndiyo maana amekuwa akishirikishwa kwenye Filamu nyingi.

Akizungumza  na  Tanuru la Filamu jana, Rayama  alisema  kuwa filamu mpya iitwayo WOGA  ambayo ipo madukani sasa imesababisha watu wengi wahisi kama ndivyo alivyo hata akiwa nyumbani kwake kwa sababu uhusika alioubeba  huku unaonekana ndivyo tabia yake.

Nine kila sababu ya kujivunia maneno  machafu  ya uswahilini kwani hayo ndivyo  yananifanya nipate mialiko  mingi ya kuigiza  kama  nilivyoshirikishwa  kwenye filamu  hii ya WOGA ambayo ni mejitahidi  kuuvaa uhusika  na kitendo hiki ndicho kinanipa heshima badala ya kuwa na skendo kama wafanyavyo wasanii wengine" alisema Riyama.

Mbali na Riyama wasanii wengine waliocheza kwenye filamu hiyo inayosambazwa na Freshas Campany Ltd ni David Justine, Hashim Kambi, Abdalla Hamis na Mohamed Fungafunga.

Dada wa Diamond Esma Platnumz Aitetea Ndoa yake..Hataki Tena Kuona Urafiki wa Kajala na Mumewe Petit Man..Asema haya

Posted: 27 May 2015 04:49 AM PDT

Baada ya Kajala Kufunguka na Kusema kuwa Anawashukuru Wema na Petit Man kwa Kumsaidia na kumfikisha hapo alipo na kutaka urafiki wao urudi kama zamani , Mke wa Petit man ambae ni Dada wa Mwanamuziki Diamond ameshtuka na Kuandika hayo hapo chini kwenye ukurasa wake wa Instagram..


  • "Umeongea Point my luv ..hauwezi kuwa kama zamani Pettty na Kajala nooooo...lazima sehemu kutaharibika kwa upande wa Pettty" Esma Platnumz


Kitendo cha kuandika maneno hayo ni kile kinachoonekana kuitetea ndoa yake kwani inasemekana kwa Petit man alishawahi kuwa na uhusiano wa Kimapenzi na Kajala..

Je unamshauri nini Esma?

Kuna Watu Wengi Hawatafurahi Wema na Kajala Wakipatana..Kazi yao Sasa ni Kuchochea Chuki ili Wafaidike

Posted: 27 May 2015 04:36 AM PDT

Naona haya mambo yanazidi bhana kwenye page yangu nafunga huu mjadala wa wema na kajala.... nambieni kati yetu nani msafi? Yaan yuko perfect hana hata doa? Kila mmoja wetu ana madhaifu yake. Kajala awe mnafki, muongo, attention seeker na yote kwani leo ndo mmeyaona haya yote? Hapana!! naye ni binadamu labda huo ndo udhaifu wake na sidhan kama sisi tunamjua vyema namna hiyo.... Kama anadanganya kivyake, mtu hawezi kuficha tabia litatokea jingine kwa mwingine huenda likawa kubwa zaidi siombei nachotaka kusema tuyaache yapite! Wanajuana, Kama bado anahisi Wema ana chuki naye amtafute wayamalize, khs kukiri kosa lake hadharani Labda atakiri kwa Wema mwenyewe maana Wema anasema walishamalizana lkn binafsi naona kama vile bado kuna kitu kilibaki hakikusawazishwa baina yao!

Hata mimi nahisi hawa wawili wakipatana kuna rundo la watu hawatafurahia kinachofanyika ni kuzidi kuchochea chuki ili wao wafaidike. Kwani wakiyamaliza na Kajala akawa na amani yake na kila mtu akawa kivyake shida iko wapi? Hii Ni kwa faida yao binafsi..... tusimnyooshee vidole na kumhesabia madhambi yake..ambayo ameonesha nia kutaka mabadiliko....mengineyo hayo ni yeye kama vile kila mmoja wetu naye ana ya kwake. Siko upande wa yeyote khs hili suala.....amani tu!!

By Mrekebisha Tabia

'Wema Sepetu Msamehe Kajala' Mashabiki Wampigia Wema Magoti na Kuomba

Posted: 27 May 2015 04:27 AM PDT

Ni Siku  moja  tu   imepita  toka msanii wa filamu nchini Kajala Masanja kufunguka ya moyoni juu ya Wema Sepetu na Petit Man na kueleza kuwa kamwe katika maisha yake ya hapa Duniani hawezi kusahau fadhila na moyo wa upendo ambao  ulioneshwa na watu wao kipindi ambacho alikuwa na matatizo na jinsi walivyoweza kujitolea mpaka kufikia hatua ya kuweza kumsaidia katika matatizo ambayo alikuwa anakabiliana nayo kwa kipindi kile.

Kajala alifunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na ndipo hapo alipoamsha hisia za mashabiki ambao wameanza kumuomba Wema Sepetu kumsamehe Kajala ili waweze kumaliza tofauti zao ambazo wanazo sasa.
 
"Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo na mboni kubwa katika kuokoa maisha yangu..
 
"Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu yangu..nakumbuka sana mlipojitoa kwa ajili yangu mlipojinyima kwa ajili yangu mlipopigana kwa ajili yangu, mlivyofedheheka kwa ajili yangu yote hayo nayakumbuka na namshukuruu mungu kwani naona kabisa mliletwa duniani kwa sababu nyingi na moja ya sababu ilikuwa kuniokoa katika kipindi kigumu katika maisha yangu.
 
"Leo hii tarehe 25.5.2015 napenda kusema kwa Umma na zaidi kwa mungu wangu kuwa nawathamini nawapenda na nashukuruuu sana kwa yote mliyofanya juu yangu.. nawaombea kwa mungu muendelee na moyo huo huo kwani naamini kuna wengi bado wanawategemea ili kukomboa maisha yao kwa wakati aliyopanga Mungu. hata kitabu cha dini kilisema kuwa "huwezi kumpenda mungu usiyemuona wakati unamchukia ndugu yako unayemuona" najua siku moja tutaishi kama zamani.." Aliandika Kajala
 
Baadhi ya mashabiki wameonesha kupenda jambo ambalo limefanywa na Kajala na kuona kuwa amefanya jambo la kiungwana sana na anastahili pongezi au msamaha kama kweli kuna jambo alitenda ambalo ndilo limeleta utofauti wao ndiyo maana mashabiki hao wamemtaka Wema Sepetu na Martin Kadinda kuweza kumsamehe ili waweze kuishi kama ambavyo walikuwa wakiishi mwanzo.
 
"Mwantumum Kilindi: Good sana my Kajala nimeipenda Allah atawasaidia mtaishi kama zamani mwenyezi Mungu kasema mara saba sabini na inapendeza binadam kushirikiana si unafiki binadamu haipendezi kununiana maana kila binadamu ataoza leo hii usimchukie binadamu mwenzako kwa kosa gani haswa lisilo sameheka minatafurahi endapo mtapatana wote na Aunt Wema na wewe Kajala ila marafiki sikuzote si wakumueleza undani wako namkishakua marafiki wa tatu ni unafiki utaendelea nawapenda wote, sote tutafukiwa hujui nani atatangulia leo hata kesho allah atawaongoza."
 
"Irene.Kimenye: Binadamu wote ndugu mlisahau kabisa kwamba ninyi ni kioo cha jamii nakumbuka kwenye kipindi cha mkasi ulichohojiwa ulikiri Wema ndiye aliyekufundisha biashara na mambo ya mtandao. Urafiki wenu watu wengi nikiwemo mimi niliupenda lakini haukufika popote mlichogombana mnakijua ninyi.Kama umekaa na ukafikiria na ukaona haya uliyoyaandika hakika Mungu atawaongoza na mtarudi kama zamani ingawa sio kwa ukaribu ule.
 
"Emelinaswebe: Wema msamehe mwezio jamani,haya ni maisha tu yanapita, mnabidi mmalizane"
 
"Jasleeee_ safi sana Kajala Mungu ni mwema siku zote amini kila jambo linasababu kwa Mungu. amini utayaweza yote katika yeye akupae uzima. hivyo iko siku wema atakusamehe na mtaendelea kama zamani kwani hizo nitofauti tu za kawaida mpendwa."
 
"Ajumysalum: Jamani huu ndiyo ungwana Kajala hongera sanaa @wemasepetu @new_kajala samehaneni bhana asante @ my shoga @pendojerry for the tag imenifunza kitu hii

Wizi TTCL Unatisha......Kambi Ya Upinzani Yaibua Tuhuma Nzito, Serikali Yabanwa Itoe Majibu

Posted: 27 May 2015 03:55 AM PDT

KAMBI Rasmi ya Upinzani bungeni, jana imeibua tuhuma nzito bungeni Mjini Dodoma dhidi ya Kampuni ya Simu nchini (TTCL), ikidai aliyekuwa Meneja Biashara wa kampuni hiyo (bila kutajwa jina), amefungua akaunti nchini yenye kiasi cha sh. bilioni moja.

Waziri Kivuli wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bw. Habib Mnyaa (CUF), aliyasema hayo wakati akisoma hotuba ya kambi ya upinzani kuhusu makadirio, matumizi ya fedha kwa Wizara hiyo na kusisitiza kuwa, tuhuma hizo ni kwa mujibu wa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Alisema ubadhirifu wa fedha kwenye taasisi mbalimbali za Serikali imeota mizizi ambapo baadhi ya watumishi wameamua kujilipa mafao ya kustaafu na kujiongezea mikataba ya ajira.

Aliongeza kuwa, vitendo vya aina hiyo ndio vinavyoendelea katika kampuni ya TTCL vikipata baraka za Wizara husika ambapo baadhi ya watumishi wake wanajinufaisha.

"Mbali ya ufisadi huu, iweje hisa asilimia 35 za Serikali zilizopo ndani ya TTCL zikodishwe kwa Kampuni ya Mobile System International (MSI) kwa kulipiwa sh. bilioni 111 sawa na hisa asilimia 17 lakini Serikali imewapa kuongoza kampuni na hawakulipa pesa yoyote," alihoji.

Bw. Mnyaa alisema hisa zinauzwa na kununuliwa lakini cha ajabu, zimekodishwa kwa anayedaiwa kuwa mwekezaji jambo ambalo ni maajabu kwa tasnia nzima ya uchumi na uhasibu.

Aliongeza kuwa, Kamati ya Wafanyakazi wa TTCL iliandika barua kwa CAG aweze kwenda kufanya ukaguzi maalumu na kuandika barua nyingine kwa Ofisi ya Bunge kuelezea hujuma zinavyofanywa na watendaji waandamizi wa kampuni.

"Ndani ya TTCL kuna umiliki wa SEACOM lakini licha ya Serikali kulijua hilo, bado wanailipa MSI sh. bilioni 14.9, tunamtaka Waziri mwenye dhamana atoe majibu na maelezo ya kutosha  juu ya suala hili," alisema Bw. Mnyaa.

Katika hatua nyingine, baadhi ya wabunge wameitaka Serikali kuhakikisha kampuni za simu za mkononi haziwaibii wananchi.

Wakichangia bajeti ya Wizara hiyo, wabunge hao walitaka kujua kama sheria za mitandao ya simu zinabadilika kila mwaka wakidai baadhi ya kampuni za simu zinawaibia wateja wao ambao wengi wao ni maskini jambo ambalo halikubaliki.

Akichangia hotuba hiyo, Mbunge wa Viti Maalumu, mkoani Mara, Ester Midimu (CCM), alisema inashangaza kuona baadhi ya kampuni hizo zinawakata fedha wateja wao hata kama hawajajiunga na huduma wanazotoa.

"Tulikuwa tunanunua baadhi ya vifurushi kwa sh. 2,800 na kupata dakika zaidi ya 100 lakini hivi sasa tunapata dakika 80, swali langu kila mwaka sheria zinabadilika au la?" Alihoji.

Mbunge wa Chalinze, mkoani Pwani, Bw. Ridhiwani Kikwete (CCM), alisema hivi sasa baadhi ya kampuni hizo zinawaibia wananchi na kusisitiza kuwa, wizi huo ni mkubwa.

"Tunataka ufafanuzi mzuri juu ya hili kwani ukiweka fedha katika simu inaisha haraka, huu ni wizi mkubwa," alisema.

Kwa upande wake, akiwasilisha makadirio ya bajeti yake, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, aliliomba Bunge lipitishe sh. bilioni 66.9 kwa mwaka wa fedha 2015/16.

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

Posted: 27 May 2015 04:28 AM PDT



Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 1600 Amphitheatre Parkway, Mountain View, CA 94043, United States

Udaku Specially

unread,
May 28, 2015, 5:12:26 PM5/28/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Diamond Platnumz Kuachia Ngoma Mpya Ya Kimataifa Kesho

Posted: 28 May 2015 12:44 PM PDT

Nyota wa muziki wa Bongo flabva nchini Tanzania, Diamond Platnumz anatarajia kuachia ngoma mpya ya kimataifa ambayo mpaka sasa haijajulikana kwani tayari ameshafanya collabo na wasanii watatu wa kimataifa akiwepo Flavour, P-Square na nyota wa Kimarekani.

Diamond ameshare picha ya fomu yakeya kutuma videoya wimbo wake ‘Nana’ ambayo ni collabo yake na Mr Flavour kwenda BET International, video iliyoongozwa na Godfather wa Afrika Kusini inayotarajiwa kutoka May 29, 2015.

Aidha meneja wa Diamond, Babu Tale amesema kuwa watanzania na mashabiki wa muziki wa Diamond wasubiri Ijumaaa ifike watajua kuwa ni collabo gani wataachia kwani tayari wamefanya collabo nyingi za kimataifa.

Safari Ya Matumaini ya Edward Lowassa Itaanza Rasmi Jumamosi Hii Jijini Arusha......Watanzania Wote Mnakaribishwa

Posted: 28 May 2015 10:22 AM PDT

Safari  Ya  Matumaini  ya  Edward  Lowassa  Itaanza  Rasmi   Jumamosi    Hii  Jijini  Arusha......Watanzania  Wote  Mnakaribishwa.

Tarehe: 30.05.2015
Mahali:  Uwanja  wa  Sheikh  Amri  Abeid- Arusha
Muda:   Kuanzia  Saa 8 Mchana  hadi  saa 11 Jion

Wenye "Homa Ya Lowassa" Wanayapuuza Ya CAG Wanang'ang'ania Ya Richmond Wakiamini Ndo Njia Pekee Ya Kumharibia

Posted: 28 May 2015 10:20 AM PDT

Kwa  nini  sakata  la  Ufujaji  umeme  wa  dharura  la  kampuni  ya  Richmond  liliolazimu  kupangwa  upya  baraza  la  mawaziri  linazungumzwa  kwa  nafasi  kubwa  na  wanasiasa  hadi  sasa, huku  ripoti  ya  mdhibiti  na  mkaguzi  mkuu  wa  hesabu  za  Serikali-CAG  zinazoibua  ubadhirifu  mkubwa  kila  mwaka  zikisahaulika  kirahisi?


Kama  waziri  mkuu  mstaafu  Edward  Lowassa  asingehusishwa  na  sakata  la  Richmond  kwa  namna  washindani  wake  kisiasa  wanavyolazimisha, sakata  lingeendelea  kuzungumzwa?

Maswali  haya  mawili  yana majibu  yake  sahihi  kwa  wanaojua  undani  wake, akiwemo  Lowassa  aliyejiuzulu  ili  kulinda  heshima  na  mustabali  wa  nchi, serikali  na  chama  cha  mapinduzi-CCM, kama  anavyonukuliwa  akisema. Yawezekana  amelinda  maslahi  ya  nchi  kwa  vile  wahisani  hawakusitisha  misaada  yao  muhimu  kwa  bajeti  ya  nchi.

Kwa  muktadha  wa  makala  na  ulinganifu  wenye  mantiki,  hakuna  manufaa  makubwa  kwa  umma  kupigia  kelele  Richmond  iliyopitia  Dowans  na  kubaki  Symbion Power  na  kujisahalisha  huu  ubadhirifu  na  upotevu  mkubwa  wa  fedha  za  umma  unaobainishwa  kila  mwaka  na  CAG  bila  kufanyiwa  kazi  ipasavyo  kwa  hatua  stahiki  dhidi  ya  wahusika.

Hizi  mbinu  za  kisiasa  za  kukumbuka  Richmond  ili  kutimiza  malengo  ya  baadhi  ya  wanasiasa  ya  kulazimisha  na  kuwaaminisha  watu  mambo  yawe  watakavyo  yanazidi  kufifia  na  kushindwa  kadri  siku  zinavyozidi  kubadilika.

Eti  wanakumbuka  sana  Richmond  kwa  vile  imehusishwa  na Lowassa!!!

Sina  nia  ya  kumsafisha  mchafu  yeyote  wala  kumchafua  msafi  bali  nauzungumzia  uhalisia  tu.Unawezaje  kukumbuka  Richmond  na  kukataa  kuona  ubadhirifu  unaoibuliwa  na  CAG  anapoonyesha  zaidi  ya  sh. trion moja  zimeyeyuka  serikalini?!

Kama  ilivyokuwa  Richmond  na waliouaminisha  umma  iwe  watakavyo  katika  bunge  la  kasi  na  viwango  la  Spika  Smweli Sitta  ndivyo  ilivyotokea  kwa  sakata  la  Tegeta  Escrow  ambapo  wanasiasa  wamethubutu  kutoa  hukumu  wanayolazimisha  iwe  dhidi  ya  wale  walioitwa  mafisadi, na  kuimiminisha  dhana  husika  kwa  wananchi.

Baadhi  ya  wahusika waliojiuzulu  kutokana  na  sakata  la  Esrow  kama  njia  ya  kuonyesha  uwajibikaji  kisiasa  wamethibitika  kutohusika. Kati  yao  ni aliyekuwa  waziri  wa  nishati  na  madini Profesa  Sospeter  Muhongo  na  katibu  mkuu  wake  Eliakim Maswi, ambao  kamati  maalumu  iliyoundwa  kuchunguza  uhusika  wao  haikuona  hatia  yoyote  dhidi  yao.

Bahati  mbaya, enzi  za  Richmond  hakukuwa  na  kamati  maalumu  ambayo  ingethibitisha, kwa  mfano, usafi  wa  wanasiasa  waliohusishwa  na  Richmond  baada  ya  kujiuzulu  kwao.

Sijui  wanasiasa  wanaoshupalia  Richmond  wakidhani  kuikumbuka  kwa  kutaathiri  safari  ya  kisiasa  ya Lowassa  wakiambiwa  ukweli  tofauti  watatumia  kete  gani  mpya  kujipandisha  kisiasa.

Wanasiasa  wenye  "homa  ya  Lowassa"  wanaamini  kete  pekee  ya  kufifisha  umaarufu, kukubalika  na  safari  ya  matumaini  ya  Lowassa  ni  kutumia  sakata  la  Richmond.

Bahati  mbaya  ya  makusudi  kwao  ni  kutowaambia  wananchi  ile  Richmond  wanayojikumbusha  hasa  kipindi  hiki  cha  kuelekea  uchaguzi  mkuu  octoba  mwaka  huu, ndiyo  hii Symbion  ambayo  Rais  wa  Marekani  Barack  Obama  anaijua  na  anaamini  kazi  inayofanywa  nayo  ndani  ya  Tanzania  katika  sekta  ya  Nishati.

Sasa  wewe  mwanasiasa  ukiikumbuka  Richmond, unganisha  Dowans  ili  uiseme  Symbion  kwa  sauti  ya  juu  itakayowafikia  wananchi  ili  waweze  kukuuliza  umefanya  nini  au  unakumbuka  yapi  angalau  kimya kimya  kuhusu  EPA,Kagoda,Meremeta,Deep Green Finance,Tegeta  Escrow; unachukuliaje  ripoti  mpya  ya  CAG  na  uamuzi  wa  wahisani  kusitisha  misaada  muhimu  ya  kibajeti  kwa  nchi.

Hadi  sasa  kunawatu  hawako  tayari  kusikia  tofauti  na  walivyoaminisha  au  kuaminishwa  juu  ya  Richmond.

Pengine  ule  msemo  apendao  kuutumia  Rais  Kikwete  kwamba  "Akili  za  kuambiwa  changanya  na  za  kwako"  ni  muafaka  kuwagutusha  watu  ili  wapambanue  dhamira  za  wanasiasa  kabla, wakati  na  baada  ya  kusikia  wanenacho  na  watendacho.

Endapo  wanasiasa  watadhani siasa  za  kuchafua  wagombea  wanaotakiwa  na  wananchi  walio  wengi  ili  wao  wasiotakiwa  wabahatike  kuteuliwa  na  vyama, yaliyomtokea  Goodluck  Jonathan  na  kilichokuwa  chama  tawala  Nigeria  si  ajabu  kujirudia  kwa  CCM.

Kesi ya Ubakaji inayomkabili Mume wa Flora Mbasha Yakwama Tena

Posted: 28 May 2015 10:18 AM PDT

Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele  kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo.

Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.

Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa  ni Dr. Migole Mtuka wa hospitali ya Amana ambaye alisema kwenye uchunguzi uliofanyika kwa muathirika Mei 26, 2014 ulionyesha   yule  binti  hakubakwa.

Awali ilidaiwa mahakamani hapo kuwa kati ya tarehe Mei 23 na 25, mwaka 2014 Bw Mbasha alimbaka binti mwenye umri wa miaka 17, ambaye ni shemeji yake huku akijua ni kosa.

Waziri Magufuli 'Akaangwa' Bungeni......Wabunge Washangazwa Na Deni La Bil 800, Yadaiwa Kivuko cha Bagamoyo ni Kibovu na Chakavu

Posted: 28 May 2015 10:16 AM PDT

WABUNGE wameishauri serikali kulipa deni la makandarasi wanaoidai Wizara ya Ujenzi linalozidi Sh. bilioni 850 kuwezesha bajeti iliyotengwa kufanya kazi za maendeleo.

Hayo yalitokea jana bungeni mjini Dodoma wakati wabunge hao wakichangia bajeti ya wizara hiyo ya takriban Sh. bilioni 900.

Akisoma hatuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), alisema fedha iliyotengwa kwa ajili ya maendeleo katika wizara hiyo ni ndogo.

Alisema ujenzi ni sekta ambayo kibajeti inachukua asilimia kubwa, lakini kiuhalisia ina madeni makubwa kutoka kwa makandarasi na washauri.

“Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema kipo kikosi kazi cha kuhakiki madeni ya wazabuni kwa wizara mbalimbali. Moja ya wizara hizo ni hii ya ujenzi.

“Kambi Rasmi ya Upinzani inamtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, kueleza kikosi kazi kilichoundwa kuhakiki uhalali wa madeni ya wizara kimebaini ni kiasi gani kinachodaiwa,” alisema Mkosamali.

Alisema wizara hiyo hadi sasa inadaiwa Sh. biloni 800 na hakuna majibu ya namna yatakavyolipwa pamoja na mbwembwe za uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

“Pamoja na kelele na mbwembwe nyingi, ukweli ni kwamba madeni ya wizara yanazidi fedha za maendeleo tunazopitisha bungeni,” alisema.

Alisema mwaka 2014/2015, madeni ya wizara hiyo yalikuwa Sh. bilioni 760 huku bajeti ya maendeleo ikiwa ni Sh. bilioni 762.

“Ni dhahiri kuwa wizara haikuwa na fedha za maendeleo kwa mwaka huo wa fedha. Hivyo waziri alieleze ukweli Bunge kwenye Bajeti hiyo ni fedha kiasi gani zimelipa madeni?” alihoji.

Mkosamali alisema zipo taarifa kwamba makandarasi watatu wamekufa kutokana na msongo wa mawazo baada ya serikali kutowalipa madeni yao walipomaliza kazi.

Akizungumzia ununuzi wa kivuko cha Bagamoyo, Mkosamali alisema kilinunuliwa kwa shilingi bilioni nane, kinabeba abiria 300 huku kikitumia saa tatu kutoka Dar es Salaam hadi Bagamoyo.

“Ni jambo la ajabu kununua kivuko cha kizamani, chakavu chenye spidi ndogo. Bakhresa ana meli inayotoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kwa dakika 90 tu ikiwa na abiria 500 na taarifa tulizonazo, bei yake ni kati ya Sh. bilioni 4 na 5 tu.

“Tunaomba Bunge kuunda Tume itakayochunguza ununuzi wa kivuko hiki kibovu na cha kizamani kilichonunuliwa kwa bei kubwa huku kikienda mara moja tu Bagamoyo kwa siku,” alisema Mkosamali.

Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), alisema serikali imeshindwa kutatua kero ya foleni jijini Dar es Salaam pamoja na majiji mengine makubwa na kwamba juhudi za makusudi zinapaswa kufanyika kunusuru wananchi wa miji hiyo.

Awali akiwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo, Dk. Magufuli alisema fedha walizoomba ni zaidi ya Sh. bilioni 900 zitakazosaidia maendeleo ya kuboresha barabara, madaraja na vivuko katika maeneo mbalimbali.

Serekali Yatoa Kauli Yake Juu ya Uvaaji Mbaya wa Shilole..Yasema Atachukuliwa Hatua Baada ya Kujieleza

Posted: 28 May 2015 10:06 AM PDT

Serikali imeahidi kumchukulia Shilole kufuatia kusambaa kwa picha zake chafu zilizopigwa wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji.

Akizungumza bungeni Dodoma leo, Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Juma Mkamia, wakati akijibu hoja za wabunge baada ya kusoma makadirio na matumizi wa wizara hiyo, alisema tayari serikali imeliagiza baraza la sanaa taifa BASATA kufanya naye mahojiano.

Tumemtaka ajieleze kupitia BASATA, akishajieleza serikali itachukua hatua na niombe mheshimiwa spika kupitia bunge lako tufuku, kuliomba radhi kwa upande wa serikali kwa kitendo kilichofanywa na mwanamuziki yule. Sio maadili yetu na nimesema akishajieleza serikali itachukua hatua yake,” alisema Juma Mkamia.

Mwanasheria Alberto Msando aeleza jinsi sheria ya makosa ya mtandaoni itakavyowapeleka jela wanaopenda kutukana Instagram

Posted: 28 May 2015 03:11 AM PDT

Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando amesema sheria mpya ya makosa ya mtandaoni itakula kwa wengi.

Msando ameiambia Bongo5 kuwa utekelezaji wa sheria hiyo si mgumu kama wengi wanavyodhani na infact wengi wataenda jela. “Ili sheria itekelezeke huhitaji kushtaki watu wote,” amesema Msando. “

“Huwezi ukakamatwa wewe umemtukana Albert ukasema na Abdalah alimtukana naye akamatwe. Ukikamatwa wewe tunaanza na wewe. Kwahiyo ukimuona mwenzio amefungwa miezi sita, miaka saba, miaka mitano, amelipishwa faini, definitely utaacha.”

“Kwasababu kazi ya sheria ni kwanza kumrekebisha mtu kwa njia ya adhabu na pili kumsababisha mtu aepuke kufanya jambo kitu fulani. Inapopitishwa ukiona watu wa kwanza wa pili kweli imetekelezeka, kuna watu wataacha zile tabia maake watajua sasa hapa ni tatizo. Na umeangalia kabla hata haijatumika watu wanakuambiwa ‘tutukane ya mwisho mwisho kabla ya hiyo sheria haijaanza kupitia. Tayari watu wameshajua ni makosa kufanya mbili tatu.”

Msando amewataka watumiaji wa mitandao ya kijamii kuheshimiana na kuitumia kwaajili ya maendeleo na kupata taarifa sahihi.

“Mimi nimeitumia vizuri, nimepata wateja zaidi ya watano wa kazi kubwa tu kwa kupitia mitandao ya kijamii.”

Msikilize hapo chini. Source:Bongo5

VIDEO:Angalia Jinsi Pombe na Ilivyoondoa Maisha ya Vijana Hawa Kwa Kuendesha Gari Huku Wamelewa..SO SAD

Posted: 28 May 2015 02:38 AM PDT

Inasikitisha sana ..Vijana hawa walitoka out na kunywa huku wakifanya mizaa barabarani wakidhani ndio wanafurahi maisha ..Tazama kilichowakuta vijana hawa kwenye hii video hapa chini:


Wait before you go out must watch. ........
Posted by Glam Glam on Friday, April 24, 2015

Walimu Waingiliwa Kimwili Usiku Kichawi huko Kibondo Kigoma Huku Waume zao Wakijikuta Wamelala Chini

Posted: 28 May 2015 02:17 AM PDT

Picha si ya Tukio
Waalimu wa kike wawili wamejikuta wakiingiliwa kimwili usiku na watu wasiojulikana huku waume zao wakijikuta wamelala chini.

Tukio hili linalohusishwa na imani za kishirikina limetokea miaka miwili baada ya matukio kama hayo kutokea na kisha kukemewa vikali na wana kijiji na kisha kupungua.

Chanzo : RFA

Mbowe: Lowassa ni Dhaifu, Na ni Bubu wa Kukemea Ufisadi

Posted: 28 May 2015 01:11 AM PDT


Mbowe
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.

Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.

Source:Tanzania Daima

Wabunge Wenye Miaka 15 na Zaidi Bungeni na Bado Wanataka Kugombea Ubunge 2015

Posted: 28 May 2015 01:00 AM PDT

Naomba tuwatambue wabunge ambao wamekuwepo bungeni kwa muda wa miaka 15 na kuendelea na bado wanataka kugombea tena, wa vyama vyote.

Hii itasaidia kuwakumbusha waheshimiwa hawa kujitathmini kwa muda waliowakilisha wananchi na kile kilichopatikana kwa kipindi chake na wajitathmini kwanini waendelee kugombea. Na pia kuepuka miungu watu katika baadhi ya majimbo ambao wamekuwa chanzo cha kuzorota kwa maendeleo majimboni kwao.

Watia nia wengi wa uraisi ni wale waliokaa kipindi kirefu katika nafasi ya ubunge na namna ya kuachana na ubunge ni kugombea urais. Wapo waliokwisha kutangaza kuachia majimbo kama:

Edward Lowassa 20yrs, John Magufuli 20yrs, Samwel Sitta 20yrs, Steven Wassira 20yrs, n.k

Wapo ambao wamekuwa wabunge zaidi ya miaka 15 na hawajasema chochote mfano: Lekule Laizer 20yrs, Hendrew Chenge 20yrs, Wilium Ngeleja 15yrs, Marry Nagu 15yrs, n.k.

Naomba tuwabaini wengine ambao wana muda mrefu kama huo na bado wanautaka ubunge. Taja jina la mbunge, jimbo, muda na kama ameshasema chochote.

Ahsante nawasilisha.

HALI YA JOTO iliyopita Kiwango Cha Kawaida Imesababisha Vifo vya Watu 1,100 Nchini India

Posted: 28 May 2015 12:38 AM PDT

An extreme heat wave with temperatures reaching 48 degrees Celsius (118 degrees Fahrenheit) has killed at least 1,118 people over the past week in India, where hot air, molten asphalt, dust storms are making life almost unbearable.

The homeless, construction workers, newborns, young children and elderly people are most at risk in this weather. In the state of Andhra Pradesh alone, where temperatures climbed to 47 degrees Celsius or 116 Fahrenheit on Monday, 852 people have died. In the neighboring Telangana state, 266 people have died in the last week as temperatures hit 48 degrees Celsius or 118 Fahrenheit, the BBC reports.
Joto Limesababisha Lami kuyeyuka

Hospitals are struggling to treat victims of dehydration, heat cramps, heat exhaustion and heat stroke, and tens of thousands are suffering through power cuts from the overloaded electrical grid. The National Disaster Management Authority (NDMA) advises people to stay indoors, wear loose clothing, and drink water—even if they’re not thirsty.

Heat waves are not unusual in between March and June in South Asia, but experts point to climate change to explain more and more extreme weather conditions in this part of the year, predicting longer and more intense heat waves in the region. Lack of rain combined with dry, hot winds from the desert state of Rajasthan are responsible for the recent heatwave say meteorologists, who don’t expect conditions to get better until the arrival of monsoon in June.

Until then, top temperatures in New Delhi, home to 23 million people, could remain around 45 degrees Celsius (113 Fahrenheit), according to Brahma Prakash Yadav, director of the Indian Meteorological Department. The following images depict these shocking conditions.

Video: Kajala Denies Dating CK, Talks About Wema Sepetu And Her Present Relationship

Posted: 28 May 2015 12:28 AM PDT

Kajala's new interview with Sporah aired this week, in the interview the actress and mother of one talks about many things including her differences with former best friend Wema Sepetu, denial of dating Clement and her present relationship...

Nimeshatoa Mimba Nyingi Sana-Irene Paul

Posted: 28 May 2015 12:22 AM PDT

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa
ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa uhusika ili kufikisha ujumbe kwa jamii kama ambavyo Scene inamtaka kufanya hivyo, lakini katika uhalisia hajawahi kufanya jambo hilo.

"Irene Bahati Paul, katika movie nimetoa mimba nyingi sana maana ndivyo uhusika umenipasa kufanya hivyo ili kuwasilisha ujumbe katika jamii ila kiuhalisia sijawahi kufanya hivyo."
Lakini pia Irene Paul alizidi kuwachanganya mashabiki alipoulizwa juu ya kuwa ana watoto wa ngapi na kusema kuwa ana watoto wengi sana hali ambayo ilifanya mashabiki kutaka kujua watoto wengi kiaje na ni wanani na hapo ndipo aliposema kuwa, yeye hata watoto ambao amewasaidia kuwalea anawahesabu kama ni watoto wake, maana wamepata malezi yake na wao wanamchukulia kama Mama yao.

" Watoto nilionao wengi sana mpenzi, kuanzia niko shule nilikuwa na adopt watoto kishuleshule, na wale wote ninaowasaidia kwa njia moja au nyingine wananichukulia kama Mama maana mimi ni mlezi wao."

Irene Paul ambaye kwa sasa anaonekana kukubalika kutokana na ufanisi wake katika kazi yake ya sanaa alisema kuwa katika maisha ya mahusiano na mapenzi amekutana na changamoto mbalimbali hususani kama kutendwa sababu na yeye ni binadamu kama walivyo binadamu wengine, kwa sasa adai hajaolewa na kuongeza kuwa kwa wakati huu wa sasa hafikiri kutafuta Mume wala mchumba ila anajipanga tu kusambaza kazi zake tofauti na sanaa.

" Mimi ni kama binadamu wengine napitia yote kama mwanadamu mwingine wa kawaida katika maisha, kwa sasa jibu langu ni sitafuti mume wala mchumba najitayarisha kusambaza kazi yangu tofauti na sanaa, kisanaa najipanga kutoka katika ubora zaidi maana baada ya kuona mapokezi na apreciation za watanzznia nadhani wananidai zaidi ya ninavyowapa".
Ukiachia mbali juu ya sanaa yake Iren Paul amesema kuwa anatamani kuona yeye amekuja daraja ambapo watu watamkumbuka kwa mchango wake wa mawazo, maneno au vitendo hata kimali ili mradi tu atumike katika kufanya jambo hilo.
"Katika maisha yangu yajayo natamani kuwa daraja ambalo siku moja mtu atalikumbuka na kusema ni kwa sababu ya lile au yule nimefika nitakako yaani iwe kwa mawazo maneno au vitendo, kihali au kimali ili mradi tu nitumike"

Lakini pia muigizaji huyo wa bongo movie alimaliza kwa kutoa darasa kwa baaadhi ya watu wanaohitaji kujiunga katika tasnia ya filamu Tanzania na kuwaambia kuwa kila jambo linahitaji malengo na mipango huku ukitambua unafanya nini lakini akadai atatoa darasa kupitia semina mbalimbali atakazoandaa ili kuwasaidia watu wanaohitaji kuingia katika tasnia hiyo.
"Nitawapa semina mbalimbali kupitia mikutano midogomidogo nItakayoiandaa hivi karibuni na kutembelea shule mbalimbali kuwatia moyo wale wenye nia ya kufika mbali lakini kwa wale ambao wanahitaji kujiunga katika tasnia kwanza jua unataka uigizaji kwa sababu gani,halafu weka malengo yako na uyaamini kwa kuyatekeleza,njia ni kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha unaifanya kwa ubora pale upatapo nafasi ,thamini kidogo ulichonacho maana kupitia hicho utapata kikubwa utakacho"

I Met this S3xy Girl at The Club and I Want to Marry Her..Please Advice

Posted: 27 May 2015 10:44 PM PDT

I met this chic last night and and damn she can twerk lap dance and do all sorts of dirty wines, am in love, i want to marry her, she says she loves me too.

Please ADVICE

ALI KIBA NA JOKATE Penzi ni Kikohozi Uwezi Kulificha, Wathibitisha Uhusiano wao kwa Picha Hizi

Posted: 27 May 2015 10:40 PM PDT

Fresh Jumbe aliwahi kusema penzi ni kikohozi kulificha huwezi.
Na sasa penzi la Jokate Mwegelo na Alikiba limefikia hatua ambayo haliwezi kuwa siri tena. Wawili hao wamekuwa wakidaiwa kuwa wapenzi kwa miezi kadhaa sasa lakini bado binafsi hawajeza kukubali wala kukataa.

Lakini sasa huenda hatua za awali za kuelekea kuuweka hadharani uhusiano huo zimeanza kufanyika. Alianza Jokate aliyepost selfie kwenye Instagram akiwa na msanii huyo aliyejipa jina la King Kiba na kutoandika chochote. Picha hiyo imepata likes 13,215 na comments 824.

Naye Kiba jana alipost selfie nyingi kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika: Pop It In @jokatemwegelo #KingKiba.” Picha hiyo imevutia likes 8108 na comments 680.

Huenda picha hizo zikawa ni tangazo rasmi la uhusiano wao. Kuna tatizo moja lakini – Jokate aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz!

JE JOKATE NAFANYA HIVYO KUMUUMIZA DIAMOND?

MIZENGWE Mtoto wa Aunty Ezekiel, Wadai Afanani Hata Kidogo na Moses Iyobo, Aunty Abanwa, Alichokisema Hichi Hapa

Posted: 27 May 2015 10:26 PM PDT

Aunty Ezekiel Akiwa na Mwanaye Cookie Ambae Amezaa na Moses Iyobo Mcheza Dansi wa Diamond
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’.

Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt, washakunaku wa mambo ya watu waliozungumza na Amani  baada ya kumuona Cookie walidai kwamba mtoto ni mweupe wakati Moze ni mweusi ‘tiii’.Zengwe hilo lilianza kusambaa miongoni mwa mashosti waliokwenda kumpa hongera Aunt nyumbani kwake, Kinondoni, Dar, saa chache baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini.

Unajua tangu akiwa mjamzito kuna watu walikuwa na shauku ya kumuona mtoto kujua kama kweli ni wa Moze maana mwanzoni hakuna aliyeamini kama mimba ni ya Moze ‘so’ hao ndiyo wameanza chokochoko,” kilisema chanzo chetu kwa sharti la kutochorwa gazetini.

Baada ya kunasa zengwe hilo, Amani lilimtafuta Aunt ili azungumzie ishu hiyo ambapo alifunguka;
Amani: Kuna zengwe juu ya baba wa mtoto wako, kwani mwanao anaitwa nani?
Aunt: Anaitwa Cookie Lapri-Center.

Amani: Yaani Lapri-Center ndiyo jina la ukoo?
Aunt: Mambo mengine hayawahusu. Mnataka jina la ukoo la nini?
Amani: Watu wanauliza, wanataka kujua maana tayari kuna zengwe juu ya baba wa mtoto.
Aunt: Acheni mambo yenu (kisha akakata simu).

Aidha, madai kutoka kwa chanzo chetu ni kwamba baada ya kuibuka kwa zengwe hilo, Aunt ameamua kumficha mtoto wake.

Source:Gazeti la Amani

Tuhuma Za Sitti Mtemvu Kudanganya Umri, Kuitwa "Bibi Bomba" na Kutembea na Lundenga Zamuathiri Kisaikolojia Mdogo Wake

Posted: 27 May 2015 10:39 PM PDT

Sitti Mtemvu Akiwa na Mdogo wake Ambae Watu walizusha ni Mtoto wake
Aliyekuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amekiri kuumizwa na kashfa mbalimbali zilizoandikwa kwenye vyombo vya habari ambazo zilipelekea familia yake kutawaliwa na huzuni jambo ambalo lilisababisha kuvua taji hilo.

Amesema tuhuma hizo zilimuumiza sana hasa baada ya mdogo wake wa mwisho kutaniwa na wanafunzi wenzake wakidai kuwa amekuwa akiwadanganya Sitti, ni dada yake kumbe ni mama yake mzazi.

Amesema kuwa ilifika wakati akiwa anaenda kumchukua mdogo wake shuleni marafiki wa mdogo wake walikuwa wanamtania wakidai mdogo wake ni mtoto wa ‘bibi bomba’ wakimaanisha yeye jambo ambalo mdogo wake lilikuwa linamuumiza sana.

Ameongeza kuwa kuna kipindi mdogo wake alikataa kwenda shule kutokana na utani kuzidi pia magazeti kuandika kuwa Sitti, ana uhusiano na baba yake mzazi jambo ambalo lilimuathiri sana mtoto huyo.

Katika hatua nyingine Sitti alisema hausiki na hajasababisha kufungiwa kwa shindano la Miss Tanzania.

“Sijui kama nahusika na sijui kama sihusiki, sijaona sehemu ambayo wameandika imefungwa Miss Tanzania sababu ya Sitti, kwamba nahusika? Hapana, kama nilivyokwambia sidhani kama nahusika vitu vingi vinaweza kutokea kwa wakati mmoja.” alisema Sitti.

Pia Sitti aliyegoma kuzungumzia umri wake, alizikanusha tetesi za kutoa rushwa ya ngono kwa mwaandaji wa shindano la Miss Tanzania, Hashim Lundenga.

“Hakuna uhusiano wowote kati yangu na Hashim Lundenga na hayo maneno yaliandikwa mengi kusema mimi na mtoto, ni maneno ya watu ambao walijisikia kama kunichafua.”

Sitti amewataka wadau na mashabiki wake kukitafuta kitabu chake cha ‘Chozi la Sitti’ ambacho ndani kimezungumzia mambo mbalimbali kuhusu maisha yake pamoja na changamoto alizopitia

Mtoto wa Johari Anaeyesemekana Aliyejifungua Kwa Siri Azua Maswali Mengi

Posted: 27 May 2015 10:25 PM PDT

Johari
BRIGHTON MASALU
KUFUATIA kuibuka kwa habari ya msanii nguli, Blandina Chagula ‘Johari’ kubeba mimba na kujifungua kwa siri hadi mtoto kufikisha umri wa miezi 7 na kuripotiwa kwa mara ya kwanza na gazeti ‘tumbo moja’ la hili la Risasi Jumamosi, mambo mengi mapya ikiwemo maswali yameibuka na kuzua ‘sintofahamu’ juu ya uhalisia wa jambo hilo, Amani linakupa mchapo kamili.

Saa chache baada ya habari hiyo kusomwa na mamilioni ya Watanzania wakiwemo wadau wa sanaa na burudani wiki iliyopita, minong’ono na mishangao ilianza kutambaa ambapo wengi walidadisi kwa kina ili kujua ‘lipi ni tui la nazi na yapi ni maziwa’ juu ya habari hiyo.

MASWALI YALIYOIBULIWA
Miongoni mwa maswali yaliyoibuliwa ni pamoja na mimba aliibeba akiwa wapi? Alitoka Dar kwenda Shinyanga anakodai kujifungulia mimba ikiwa na muda gani? Anaweza kuianika kadi ya kliniki? Nini sababu ya kuficha mimba hadi mtoto anafikisha miezi 7 na nini kimemsukuma kumwanika mtoto?

“Jamani, mbona hatuelewi haya mambo? Hivi inawezekana kweli kwa mtu maarufu kama Johari kubeba mimba na hadi kujifungua na mtoto kufikisha miezi yote hiyo (7) bila kujulikana?” alihoji Latifa Lusengi wa Sinza- Makaburini.
“Hiyo mimba aliibebea wapi? Mbona alikuwa akionekana hana tumbo?” alihoji mama Jane wa Mwananyamala.

MASTAA SASA
Kuashiria kuwa mjadala ulikuwa mzito, hoja na maswali hayakuishia kwa wadau tu kwani hata baadhi ya mastaa waliozungumza na mwandishi wetu ama ana kwa ana au kwa njia ya simu kwa nyakati tofauti, walionesha wasiwasi mkubwa juu ya habari ya utata huo huku wengine wakiomba hifadhi za nomino zao kwa kile walichokiita ni “kujitunzia heshima kwa Johari.”


MAINDA
Ruth Suka ‘Mainda’ ndiye alifungua pazia la majadala huu kwa upande wa mastaa, baada ya mwandishi wetu kumpigia simu na kumtaka atoe maoni yake juu ya kujifungua kwa ‘mbia’ wake huyo.“Mmh! Kama kweli Johari amejifungua, basi mimi nampongeza kwani kuzaa ni baraka, lakini sasa afikirie na suala la kufunga ndoa na huyo aliyezaa naye kwani hata umri unamruhusu, asikomee tu mtoto.”

“Nyie acheni utani bwana, sisi tunashinda naye kila siku iwe baa au sehemu tofauti, mbona hatukuona hata hizo dalili na ishara za mimba na sisi wanawake tunajuana sana kwa mambo kama hayo? Sijui lakini,” alihoji  msanii mwingine wa kike ambaye amekuwa akionekana mara kwa mara na Johari na kuomba hifadhi ya jina.
“Kama ni kweli kulikoni afiche mimba?” aliuliza kwa kifupi msanii wa kiume.

JOHARI AZIDI KUPIGILIA MSUMARI
Baada ya mwanahabari wetu kusikia maswali hayo kutoka kwa wadau na baadhi ya wasanii, alimtafuta Johari kupitia simu yake ya kiganjani ambapo alifunguka, kisha kukata simu.

“Mimba niliibebea tumboni, kwani kwa mwanamke kuzaa ni tatizo? Au walitaka niutangazie ulimwengu kuwa nimebeba mimba na nitajifungua siku fulani? Siko hivyo bwana.“Wanaotangaza hadi siku za kubeba mimba ni wao na umaarufu wao, mimi ni mtu mzima, naomba nilale kwanza, nina usingizi sana nitakutafuta baadaye,” alisema Johari na kukata simu na kuizima kabisa.

KUTOKA AMANI
Kuzaa ni jambo la heri, tunamuomba Johari kukata kiu ya maswali yote ya wadau na mashabiki wake ili kuondoa mkanganyiko, ikiwezekana aanike cheti cha mtoto ili kuwakata ‘vilimi’ wale ambao hawataki kuamini kile anachokizungumza. Hakuna sababu ya kufanya jambo lenye baraka na neema kama hili kuwa siri na kuficha wakati yeye ni mtu maarufu–Mhariri.

Mwana FA: Diamond yuko Sahihi Kutoa Malalamiko yake Kuhusu Tuzo za Killi

Posted: 27 May 2015 10:25 PM PDT

Diamond Platnumz
Staa wa Hip Hop Bongo,Hamis Mwinjuma amesema kuwa Staa wa Bongo,Diamond ana haki ya kutoa maoni na malalamiko yake kuhusu tuzo za muziki za Kilimanjaro(KTMA) za mwaka huu.


Akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena,alisema kilichomtokea Diamond hata yeye kilimtokea wakati alipotoa wimbo wake wa ‘Bado Nipo Nipo Kwanza’ ulifanya vizuri wakati huo lakini jina lake halikuwepo kwenye tuzo hizo.
Mwana FA

‘’Hata mimi nililalamika kama anavyolalamika Diamond lakini niliwaandikia barua Killi wakaniita wakanielewesha kuwa ilikuwa ni makosa ya kibinadamu nikaelewa,’alisema Mwana FA.

Pamoja na hayo amesikitishwa na wasanii Mo Music na Ommy Dimpoz kutokuwepo kwenye tuzo hizo hasa video ya ngoma ya Ndagushima ambayo ilifanya vizuri mwaka jana.

Diamond amelalamikia kutokuwepo kwenye kipengele cha msanii bora wa mwaka,na bendi ya Yamoto kufanya vyema mwaka jana lakini imepata nafasi finyu kwenye tuzo hizo.

Mtoto wa Frolah Mvungi,Tanzanite acheza filamu kama ‘Albino’

Posted: 27 May 2015 09:54 PM PDT

Flora Mvungi na Mtoto wake Tanzanite
Mtoto wa msanii wa Bongo Fleva,H: Baba na mwigizaji wa Bongo Movie,Frolah Mvungi,Tanzanite amecheza filamu kama mhusika mkuu.

Akizungumza na Clouds FM,H:Baba alisema kuwa katika filamu hiyo ambayo hajaitaja jina Tanzanite amecheza kama mtoto aliyetekwa na watu waliodhania kuwa mtoto huyo ni mlemavu wa ngozi ‘Albino’.

‘’Mimi na Frolah tumecheza kwenye filamu hiyo na Tanzanite kama mtoto wetu amecheza nafasi nne kwenye filamu hiyo kuna watu wanamteka mtoto wangu wakidhani kuwa ni albino ndiyo maana tulimpaka hina kichwani ili afanane lakini baadaye wanagundua kuwa mtoto huyo siyo albino,’alisema H:Baba.

Hiyo ni filamu ya tatu wasanii hao kumshirikisha mtoto wao chini ya kampuni yao ya Double H Film

Shirikisho la Mpira Duniani Fifa Lachafuka Tena..Maafisa Sita Wakamatwa Kwa Rushwa

Posted: 27 May 2015 10:25 PM PDT

Maofisa sita wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) wamekamatwa jijini Zurich kwa tuhuma za rushwa.

Maofisa hao akiwemo Makamu wa Rais wa Fifa, Jeffrey Webb wametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi la Uswis, leo saa 12 alfajiri.

Maofisa hao walikamatwa katika hoteli moja ya kifahari na kutolewa huku wakiwa wamefunikwa kwa shuka na wafanyakazi wa hoteli hiyo ili wasipigwe picha.

Inaelezwa wanatuhumiwa kupokea rushwa ili kutoa nafasi kwa mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi na 2022 yatakayofanyika nchini Qatar kufanyika katika nchi hizo.

Pia imeelezwa memba wengine 10 wa kamati ya utendaji ya Fifa watahojiwa.

Madai hayo yameongeza kwamba maofisa hao wanaaminika kuchota rushwa hadi ya dola milioni 100 kwa ajili ya kuizipa nchi hizo nafasi.

Msemaji wa Fifa, Walter de Gregorio amesema licha ya maofisa hao kutiwa mbaroni, komgamano la kesho Ijumaa kuhusiana na uchaguzi wa Rais wa Fifa litaendelea kama kawaida.

Rais wa sasa wa Fifa, Sepp Blatter ndiye anayepewa nafasi kubwa kushinda kwa muhula wa tano mfululizo.

Huyu ndiye mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo anaitwa Cookie

Posted: 27 May 2015 09:47 PM PDT

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Aunty Ezekiel alijifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis May 21. Mtoto huyo wa Aunty Ezekiel ambaye baba yake ni dansa wa Diamond aitwaye Mose Iyobo, amepewa jina la Cookie.

Ndikumana: Sijaachana na Irine Uwoya Ingawa Hatuishi Pamoja

Posted: 27 May 2015 09:42 PM PDT

Mume wa Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Katauti’amesema kuwa hajaachana na msanii huyo kama ambavyo baadhi ya watu wanavyodhani.

Ndukumana ambaye ni mwanasoka kwenye klabu moja ya soka nchini Rwanda ameyazungumza hayo hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano na mtangazaji wa Clouds TV,Zamaradi Mketema alisema kuwa ingawa hawaishi pamoja na Irene Uwoya lakini hawajaachana.

Sijaachana na Irene Uwoya ingawa hatuishi pamoja yeye anaishi Dar mie naishi Rwanda na bado nacheza soka ila nategemea kusomea ukocha baada ya kustaafu soka,’alisema Ndikumana.

Irene na Ndikumana walifunga ndoa mwaka 2008 na kubahatika kupata mtoto mmoja aitwaye Krish.

Cloudsfm.com

Udaku Specially

unread,
May 29, 2015, 4:24:08 PM5/29/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Exclusive:Umaarufu wa Ramadhani Singano na Mahali Anapoishi Havifanani Kabisa

Posted: 29 May 2015 11:39 AM PDT

Chumba anacholala Singano na Kaka yake Hais Ramadhani
UMAARUFU ni kama utumwa! huwezi kuwa huru kama una jina kubwa, halafu maisha yako ni ya kawaida tu.
Kuna idadi kubwa ya wachezaji maarufu wa mpira wa mguu nchini, pia wapo wanamuziki n.k, lakini maisha wanayoishi ni tofauti na majina yao. Ni maisha ya kiwango cha chini.
Katika soka la Bongo, huwezi kutaja wachezaji wenye majina makubwa kwasasa ukaliacha jina la Ramadhani Singano ‘Messi’.
sing 10
Singano akiwa na majirani zake
Uwezo wa kupiga chenga, pasi, kasi na staili yake ya uchezaji ya kutumia mguu wa kushoto akitokea winga ya kulia ni vitu vinavyofanya Singano aonekana mahiri kusakata kabumbu.
Kila mtu kwasasa anajua kwamba Singano ana matatizo ya kimkataba na klabu yake ya Simba na tulieleza kwa undani siku ya jana.(Rejea habari za jana).
Katika stori yetu ‘exclusive’ na Singano jana, tuliahidi kuendelea na sinema ya suala lake na leo tunakuletea sehemu ya pili ya maisha yake binafsi.
Singano anaishi  kwa ndugu yake eneo la Keko, Machungwa jijini Dar es salaam.
Kiukweli; maisha anayoishi Singano yanasikitisha mno, hana nyumba, badala yake ameomba hifadhi kwa kaka yake, Hamis Ramadhani ambaye pia anamsimamia mambo yake (Meneja).
Hamis na Singano ni ndugu wa damu, wamezaliwa na mama mmoja baba tofauti.
sing13
Baadhi ya picha za ukutani chumbani kwa Singano
Moja ya vipengele katika mkataba wa Singano ni kupatiwa kodi ya nyumba, lakini katika maisha yake yote toka asaini mkataba huo Mei 1, 2013 hajawahi kupewa hata shilingi kama anavyothibitisha mwenyewe; 
“Kipengele cha kulipiwa kodi ya nyumba hakijatekelezwa, niliuandikia barua uongozi wa Aden Rage toka mwaka jana, lakini mpaka sasa naona kimya. Nashangaa kitu kimoja; uongozi huu wa Rais Aveva (Evans) baada ya kuingia madarakani unasema ulipokea nyaraka zote, sasa vipi barua yangu ya kudai stahiki zangu hawakupewa au hawajaiona?”
sing 11
SWALI: Singano, mtandao wetu umefika unapoishi hapa Keko -Machungwa na kushuhudia maisha yako halisi, dhahiri mazingira haya hayafanani na umaarufu wako, unaishi chumba kimoja na kaka yako wakati kuna kipengele cha kupewa kodi ya nyumba na hukijatimizwa, una lipi la kuwaambia Wachezaji wa Kitanzania na Watanzania wote?.
Singano: “Mimi kidogo nipo tofauti na wengine, kwanza kabisa wanichukulie mtu wa kawaida, wasiamini kile wanachokiona kwenye magazeti au media. 
Kwa jina langu mimi Ramadhani Singano Messi watu wanaweza kutegemea naishi vizuri, maisha ya hali juu, hapana! siwezi kuigiza, maisha yangu ni ya  chini sana.
Naishi kawaida sana, nikiamka asubuhi naenda kuswali, nikirudi nakaa nyumbani tu. Chumba tunalala chumba kimoja na kaka yangu, wakati kwenye mkataba wamesemanitalipiwa nyumba. Nimeomba hifadhi kwa kaka yangu. Labda watu watahisi kuna watu wananitumia, hapana!, ninadai haki zangu, tuweke sawa mambo ya kimkataba ili niwe huru na kuendelea kuongea na klabu yeyote”.
Kwa mazingira anayoishi Singano na wengine wengi, ni wazi kwamba wachezaji kibao wanajikuta wanashuka kiwango bila sababu. 
Mchezaji hawezi kuwa  huru, hawezi kuwa sawa kisaikolojia , muda wote anawaza namna ya kuikabili presha ya watu.
Kila mtu anamjua na wengine wanahitaji kumtembelea nyumbani kwasababu ni marafiki wa kimpira, wanamheshimu sana, lakini anapoishi hapana hadhi kabisa, hivyo anaogopa kuwakaribisha moja kwa moja. Utacheza vizuri kwa wakati wote?
Mazingira anayoishi Singano
sing5sing4sing 1sing3sing2
Source:Shaffihdauda

Breaking News:Sepp Blatter Ametangazwa Mshindi wa Kiti cha Urais wa Shirikisho la Soka Duniaani FIFA kwa Mara ya 5 Mfululizo

Posted: 29 May 2015 11:04 AM PDT

Sepp Blatter ametangazwa mshindi wa kiti cha urais wa Shirikisho la Soka Duniaani FIFA kwa mara ya 5 mfululizo baada ya kupata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake Prince Ali bin Al-Hussein.
Katika hotuba yake baada ya kutangazwa msindi, Blatter amesema anajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha uongozi wake, ikiwemo kuanzishwa kwa mchezo wa soka la ufukweni (Beach Soccer).

“Tumefanikiwa kuanzisha Beach Soccer na sasa mchezo huo unachezwa kote duniani”
Akizungumzia umri wake, Blatter mwenye umri wa miaka 79 amesema kuwa umri mkubwa hauwezi kumzuia mtu kutimiza majukumu yake, na hivyo kwake umri siyo tatizo.
Tanzania imewakilishwa na Rais wa TFF Jamal Malinzi ambaye tayari alikwisha tangaza msimamo wa Tanzania kuwa ina muunga mkono Sepp Blatter, kwa maana hiyo bila shaka kura yake ni miongoni mwa kura 133 alizopata Blatter.

Kwa upande wa mpinzani wake Prince Ali bin Al-Hussein amekubali matokeo na kutangaza kujitoa baada ya awamu ya kwanza ya upigaji kura

Je, uonavyo wewe, Blatter anastahili kuendelea kuongoza shirikisho hilo ?

Mbuta Nanga Atoa Mpya 'I love my breasts, I think they are FANTASTIC ,I wish ninge weza kuyanyonya nyonya mwenyewe maana nasikiaga wivu mwingine kuyachezea'

Posted: 29 May 2015 10:44 AM PDT

HOW DO YOU FEEL ABOUT YOUR BREASTS? MATITI YAKO? Ya kwangu they are my assets ."" GET IT ..HANDBOOK IT...
I love my breasts, I think they are FANTASTIC ,I wish ninge weza kuyanyonya nyonya mwenyewe maana nasikiaga wivu mwingine kuyachezea au kuyanyonya..hiyo ndiyo sababu I have to show them off tuuuu and you cant have them nyonya nyonya them or chezea chezea them..ONLY THAT special person will..and only if I let Him..or her THE DOCTORS...😭😭😭😭.. They part of me and I wouldn't want them any other way. My Mama in Marangu Kilema Kilimanjaro Moshi Tanzania. Encouraged me to be positive and confident. I cant hide. I THANKS GOD FOR THEM AND MY LIFE.RUWA AIKA MBEE..JE WEWE ? tiririkeni wala
msiogopee...

Source:Flora Lyimo/Facebook

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?

Posted: 29 May 2015 10:13 AM PDT

Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheik Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

Je wewe upo Team Gani?

Dullah wa PLANET BONGO Kuwaaga Watazamaji wake..Hapata kuwa na Kipindi cha Planet Bongo Tena

Posted: 29 May 2015 10:04 AM PDT

Kile kipindi bora kabisaa cha burudani ambacho kilikuwa kikiruka kila siku ya Jumamosi kuanzia saa Nne kamili asubuhi mpka saa sita mchana, Jumamosi hii kinafikia tamati na hakitosikika tena Jumamosi, akipiga stori na Power Jams ya East Africa Radio

wa kipindi hicho Dullah alimaarufu kama Mjukuu amesema kuwa yeye amekua mtangazaji wa kipindi hicho huu mwaka wa saba lakini anasikitika kuachana na kipindi hicho, sababu anatambua kuwa vijana wengi walikuwa wakikifuatilia na kukisikiliza ila hana namna zaidi ya kuwaaga.

"Jumamosi hii Planet Bongo itakuwa ndiyo show ya mwisho kabisaa, Mjukuu wa Ambua ni mwaka wa saba sasa nimekuwa nikiishi nayo hiyo show naamini kabisaa ni stori mbaya hizi sababu mashabiki waliipenda na kila Jumamosi ni show iliyokuwa ikisikilizwa sana asubuhi. Nachoomba mashabiki wangu wasikilize Show ya mwisho wa Planet bongo ili tuagane vizuri hivyo kuna vitu fulani vizuri kama Suprise ambavyo vitakuwepo siku hiyo."

EATV

Henry kilewo :Nasikia Zitto Anataka Kugombea Ubunge Dar es Salaam, Nipo Tayari Kupambana Naye Jimbo lolote na Kumshinda, Nataka Kuuzirishia Umma Kuwa Alikuwa Anabebwa

Posted: 29 May 2015 09:59 AM PDT

'Nilisikia kipindi fulani kuwa kuna mtu mmoja aitwaye zitto anataka kugombea jimbo moja wapo la Dar es salaam...Nataka niuambie umma ya kuwa nitopayari kupambana na huyo mtu anayeitwa zitto kwenye jimbo lolote atakalo tangaza hapa Dar es salaam na kuachana na Mwanga niliyoijenga tokea mwaka 2011na kumuachua kijana makini salimu simbano marijani (Chadema) na kupambana na mtu huyo... Sina hofu nipo vizuri kama huyo mtu anayeitwa zitto anao huwo uwezo tuandaliwe mdahalo wa live mimi na yeye watu wajimbo husika na wasiyokuwa wajimbo watupime kuanzia hapo.
Nataka tuonyeshe umma kuwa mtu huyu alikuwa anabebwa na taasisi na hana uwezo kama yeye binafsi...
Henry kilewo
2015 mwanga we shall overcome.. '

Nimeishi Naye Ndani ya Ndoa Miaka Mitano, Jogoo Langu Halipandi Mtungi, mke Anataka Kunitosa

Posted: 29 May 2015 08:23 AM PDT

Habari wapendwa katika bwana,

Nimeishi na mke wangu kwa miaka mitano tukiwa na amani na furaha, lakini upendo ulianza kulegalega kuanzia mwaka jana mwezi wa kumi na mbili pale ambapo uume wangu ulipoanza kushindwa kusimama hivyo kutokidhi mahitaji ya kindoa kwa mke wangu, nimejaribu tiba za kila aina lakini sijapata tiba.

Mke wangu ananitishia kuniacha kwani anadai haoni thamani ya mimi kuwa naye na mbaya zaidi siku hizi akienda kwa kazi anachelewa kurudi, nikimuuliza anadai mara nilikuwa semina, mara tulikuwa na kikao na bosi, kwakweli jambo hili linaniumiza sana, imefikia kipindi natamani tuachane kwani imekuwa kero kwangu, moja ugongwa nilo nao unanivuruga na pili mke wangu amekuwa mbogo, haoni tena thamani yangu kwake.

Naomba msaada wenu

Ndoa ya Wema Sepetu imeishia WAPI?

Posted: 29 May 2015 05:57 AM PDT

Sielewi jamani ndoa ya boss wetu iliyofungwa kwa mbwe mbwe zote, ambayo ata hivyo kanisa walilofungia na Huyo mume wake mpaka kesho imebaki kuwa tamthilia ya Isidingo.

Au bado wapo honey moon?

Zari Ajitetea 'Mimi Sio Msagaji ilitokea tu Nikakisi na Msichana Mwenzangu kwa katika Hali ya Furaha'

Posted: 29 May 2015 05:54 AM PDT

Super star kiwango anayetikisa East Africa kwa sasa , zarinah hassan aka bossy lady, amefunguka kuhusu scandal ya usagaji iliyomtafuna miezi michache iliyopita, akizungumza kupitia kipindi cha sporah show, mrembo huyo mwenye mvuto wa aina yake alifunguka kuhusu kashfa hyo, ambapo picha yake akiwa kwenye mahaba na mrembo mwenzie zilisambazwa mitandaoni na kuzua gumzo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

Mwenyewe alijitetea kuwa walikuwa kwenye starehe zao yeye pamoja rafiki zake, ambapo kila mtu alikuwa na mpenzi wake, so ilitokea tu wakajikuta wamekisi na rafiki yake huyo wa kike katika hali ya furaha kama marafiki wengine tu, na hakufikiria kuwa lile tukio lingekuwa ishu sana kwenye mitandao. aliendelea kutiririka kuwa yeye sio msagaji na anapenda wanaume kama wasichana wengine

Wamarekani weusi wamuita Jay Z mnafiki, wamshambulia kwenye Twitter!

Posted: 29 May 2015 05:38 AM PDT

Wamarekani weusi wamemshambulia Jay Z na kumuita mnafiki baada ya picha ya wafanyakazi wa kampuni yake ya Tidal yenye makao yake makuu nchini Norway kuonekana mtandaoni.

Tatizo la picha hiyo ni kuwa wafanyakazi wote ni wazungu licha ya hivi karibuni kuwashambulia wamarekani weusi kuwa hawaiungi mkono kampuni yake kama wafanyavyo kwa Apple, Nike na Google.

Matokeo yake kibao kimemgeukia kwa kauli kama:

“Jay tried to guilt trip us … but his staff are all white”

– “Jay does a ‘Pro-Black’ freestyle but then releases a picture of #Tidal’s all White staff.”

– “Those who complain of no blacks in white owned institutions. Well here u go Jay Z OWNS TIDAL. U going to protest?”

-“Jay ain’t hiring u n***as”

Hata hivyo Jay Z anaweza kuwa anaonewa tu kwakuwa ofisi za Tidal zipo Norway ambako watu weusi wanaweza kuwa karibu asilimia 2 tu.

Lemutuz Awapa Makavu Laivu Wabongo wa Hapa na wale Waishio Nchi za Nje Wenye CHUKI, WIVU, FITINA, NA HUSDA

Posted: 29 May 2015 05:32 AM PDT

Ok I love talking reality kwa mfano niliamua kwenda Ulaya mwenyewe nikapigana mpaka nikaenda mipango yangu ya kwenda kwa kuogopa isiharibike nikaifanya kwa siri sana sikumuambia hata Baba yangu mzazi na siku moja nikaondoka na Sabena Airways enzi hizo mpaka Belgium ndio nikawashitua Washikaji kuwa nipo MBELEZZ hahahha....wiki iliyofuata nikaanza kusikia maneno ya kutisha na kunichafua from my very close friends wakasema na wakaapa sitaweza kuishi Majuu hahaha nikaishia kuishi miaka 30 na Degree 3 juu ya gademu kichwa changu walichokuwa wanakiponda sana....ok one day baada miaka 30 majuu nikaamua kurudi home sweet.home bongo kule majuu sikumuaga mtu walahi washikaji wangu kabisa wabongo kule majuu walipojua nimekirudisha wakaanza matusi mazito na mpaka my ex wife wakaapa kwamba siwezi kuishi bongo nitageuza tu majuu..hahahah guess what nipo hapa Mwaka wa.4 sasa na wanaisoma at Social Media kila.siku habari yangu hahahaj na thanks God nipo vizuri.....now seriously naomba kuuliza Wabongo tuna nini hasa kinachotusumbua mioyoni mwetu mpaka tunakuwa na CHUKI, WIVU, FITINA NA HUSDA hivi I mean hata walioko majuu ungetegemea wamebadilika.lakini wapi WHY TUKO HIVI na TULIFIKAJE HUKO KWENYE ROHO NYEUSI.HIVI? - le Mutuz

Lowassa Acharuka 'Pekua Unapoweza, Niletee Sehemu Moja tu yenye Ushahidi wa Sauti ya Mwalimu Nyerere Kunikataa..Zawadi Sh Milion 20'

Posted: 29 May 2015 05:17 AM PDT

Watu wabaya jamani...mzee wa watu watu wanamzushia kinoma ili tu asiwe rais...yaani mpaka kuna wanao sema Nyerere alimkataaa..sasa yeye kasema hayo zawadi hiyo changamkia ...


Dk. John Magufuli Nae Atangaza Nia yake ya Kuwania Tonge la Urais wa Tanzania 2015, Adai Anazo Sifa Zote

Posted: 29 May 2015 05:08 AM PDT

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Amesema kwa kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kwa wanachama wake wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo kubwa ya uongozi nchini, ameona hana budi kutangaza rasmi azma yake.

Dk. Magufuli, mmoja wa mawaziri ambao kwa muda mrefu wamehusishwa kwenye kinyang’anyiro cha nafasi hiyo, alisema anaingia kwenye mchuano huo akiwa na sifa zote stahiki za kupiga na kupigiwa kura.

Alitangaza azma yake nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kumalizika kipindi cha maswali na majibu bungeni, jana asubuhi.
Baada ya kuulizwa kama ana mpango huo, mara moja alisema: “Swali hili nimeulizwa mara nyingi. Mara zote nimekataa kulijibu kwa sababu chama chetu (CCM) kuna utaratibu wake wa namna ya kuomba nafasi ya uongozi. Muda ulikuwa haujawadia.

“Lakini utakumbuka wiki hii hapa hapa Dodoma, vikao vya juu vya chama chetu vimetoa ratiba kwa wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali kujitokeza.

Kwa maana hiyo sasa niko huru kujibu swali lako kwa kusema rasmi ‘nitagombea urais’. Nafanya hivyo kwa sababu naamini ninazo sifa za kuchagua na kuchaguliwa kama mwanachama wa CCM kwa nafasi yoyote inayojitokeza kulingana na Katiba ya chama chetu na pia Katiba ya nchi,” alisema Dk. Magufuli.

Alisema siku ya kuchukua fomu ataitangaza baadaye pindi akishakamilisha taratibu za namna ya kuanika hadharani mambo anayokusudia kuyatekeleza endapo wana CCM watampa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho.

Check Out Sexy Hamisa Mobeto Right After Giving Birth!!

Posted: 28 May 2015 11:09 PM PDT

She gave birth to her first child recently but model and actress Hamisa Mobeto still looks hot......

Mainda Afunguka:Nimetumika Sana Kwa Ngono na Pombe

Posted: 28 May 2015 10:57 PM PDT

Brighton Masalu
STAA mkongwe wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ametoa ushuhuda mzito (confession) baada ya kukiri kuishi maisha ya starehe ikiwemo unywaji pombe na kukosea mwanaume sahihi wa maisha kwa kuingia kwenye uhusiano tofauti jambo aliloliita ni ‘kumtumikia shetani kwa pombe na ngono’.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni katika mahojiano maalum, Mainda ambaye kwa sasa ni mlokole wa ‘tuimbe na kusifu’ aliweka wazi kuwa kipindi cha nyuma, shetani alimzidi nguvu kwa kujichanganya maeneo ya baa na kunywa pombe jambo ambalo kwa sasa kila akikumbuka huishia kusikitika.

Alisema, kwa sasa hana mpenzi na kwamba hatafuti lakini anamngojea yule ambaye anaamini atatoka kwa Mungu kwa wakati muafaka.Mainda aliweka wazi kuwa anamshukuru Mungu kwa kumuongoza katika njia nyoofu huku akiainisha kuwa maisha bila ya kuwa na Mungu ni ya ajabu sana.

Kwa kweli maisha ya zamani yalikuwa ya ajabu, ulevi wa pombe, kutoka na wanaume tofauti nikidhani ndiye mwanaume sahihi, zilikuwa ni nguvu za shetani, namshukuru Mungu kwa kunibadilisha kwa kiwango hiki kwani nilimtumikia sana ibilisi kwa mambo machafu, viongozi wangu wa dini wananipa mwanga mkubwa mno juu ya Neno la Mungu na kila nikikumbuka maisha ya nyuma, huwa siyatamani kabisa,” alisema Mainda.

Jokate Mwegelo: Yaani Watu Wangu Mjue Mwanamziki Ali Kiba Ndio Kila Kitu Kwangu...ila....

Posted: 28 May 2015 10:51 PM PDT

Mrembo Jokate Katika Pozi
Na Musa Mateja
MREMBO mchakarikaji Bongo,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, juzikati aliamua kuvunja ukimya na kusema kuwa mwanamuziki Ali Kiba kwa sasa ndiye kila kitu katika mambo yake mengi ya kimaisha.

Akizungumza na Ijumaa Jokate alisema, watu wanaongea sana kuhusiana na ukaribu wao bila kujua kuwa Kiba ni mtu wake kitambo na sasa ndiye kila kitu kwake kwani ana projekti naye kibao ambazo zinakuja na wasioelewa, ipo siku wataelewa.
Mwanamuziki Ali Kiba

Yaani watu wangu wajue Kiba ni kila kitu kwangu ila siyo ishu ya mapenzi, tuna projekti kibao, nawaomba watu wavute subi--ra watajionea kila kinachoendelea kati yetu.Kuanzia sasa Kiba atakuwa akipeperusha ‘brand’ za Kidoti kwa kila atakachofanya ikiwa ni pamoja na mavazi,” alisema Jokate.

KENYA:RUTO’s Lawyer in Trouble From Americans for Saying He's in Love With OBAMA’s Daughter, MALIA

Posted: 28 May 2015 10:37 PM PDT

Last week, there were reports that one of Deputy President William Ruto’s lawyers, Felix Kiprono, is preparing to propose to US President Barrack Obama’s daughter, Malia, when the Obamas visit Kenya in July.

In this world of the digital era, news spreads like bushfire and this may have reached CNN and probably White House where Obama’s family lives.

CNN reported Kiprono’s love for Malia and this is how it was covered “A lawyer in Kenya has his eye on someone special: Barrack Obama’s daughter Malia. His offer to win her hand? 50 cows, 70 sheep and 30 goats.”

Immediately after CNN tweeted this, Americans stormed social media abusing Kiprono badly.

Many were irked by Kiprono’s comment that he fell in love for Malia in 2008 when she was just 10 years old.

These are some of the comments from Americans.


Bela Cowell# Stalker status. He needs to be watched closely. Any adult that has an obsession with a kid, locals should be on high alert.

Rean allyon# What a pig, she was a young child in 2008…I hope he is arrested and hung for being a pedophile.

Nadege Barthlemy# I’m sorry, we no longer accept 30 goats and a pig for a women’s hand in marriage.

Makenda Hill# I am about to unfollow CNN, this is the most ridiculous news ever. Why would you give a paedophile a platform?

Joe Wendy Porter# I find it distasteful that CNN would run a story about a man in Kenya who fell in love with a 9 year old girl humorous enough to print. I’d expect this from the National Inquirer or something, not CNN. The man should be evaluated and considered a suspect in any sexual assaults on children within 50 miles of his residence. Not used as satire for a slow news day.

Kebande Junior# I got interested in her in 2008″ probably when she was 9 years old. What a Moronic comment

Posted: 28 May 2015 10:42 PM PDT

Ujumbe wa Leo: Chukua Hili Kutoka kwa Wastara-MUST READ

Posted: 28 May 2015 10:27 PM PDT

Wastara Juma katika Pozi
Natamani Nijitanue Mdomo Nicheke Kidgo Hhhh Hii Picha Sijui Nimenuna au Nawaza.

Lakini Muhimu Pokea Hilo Ninalokupa Nakuhusia Sana, Usihuzunishwe na Hali ya Maisha Yako..Tazama na Jifunze kwa Viumbe Wengine,Tambua Siku Zote Ng'ombe wa Mbele Ndiye Anayechelewesha Msafara, lakini wa Nyuma Ndiye Anayechapwa Bakora, Jiamini, Usikate Tamaa, Mpite wa Mbele Ujinusuru na Bakora.MUNGU Hamtupi mja Wake, Pengine kesho ni Zamu yako. JITUME Mungu yu Pamoja Nawe.

Siku Njema!.

Wastara on Instagram

Odama Afunguka 'Siwapenda Marafiki wa Kiume Kwani Ukitaka Kitu Kwao wakusaidie lazima Nao Watake Kitu Kutoka Kwako...Nipe Nikupe'

Posted: 28 May 2015 10:24 PM PDT

Odama Katika Pozi
Staa wa Bongo Movies,  mwenye mvuto  wa aina yake, Jennifer Kyaka ‘Odama’, amesema anaogopa marafiki wa kiume kwa kuwa huwa na masharti magumu pindi wanapotoa msaada.

Wasanii wa kiume kwangu sipendi kwa kuwa huwa na masharti kuliko marafiki wa kike ambao husaidia bila masharti ya ajabu,” alisema.

Odama Bongo Movies

Aliongeza kwamba, marafiki wa kike anakuwa huru kuwaeleza shida na matatizo yake kuliko wa kiume ndiyo maana hiyo ni sababu yake nyingine ya kutopenda marafiki wa kiume kama anavyopenda marafiki wa kike.

Linex:Sijui Nani Gundu Gani Kila Nikiachana na Mwanamke Anakuwa Adui Yangu

Posted: 28 May 2015 10:17 PM PDT

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Sunday Mangu ‘Linex’, amesema tangu ameanza kujihusisha katika mapenzi hajawahi kuachana na mwanamke yeyote bila ya kuwa maadui.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Linex alisema haoni sababu ya kuwa hivyo kwasababu hakuzaliwa pamoja na mwanamke huyo lakini anashangaa imekuwa ikimtokea hivyo.

Alisema ni vizuri kumfanya mpenzi wako wa zamani awe rafiki yako wa karibu ili kuweza kubadilishana mawazo na sio kununiana kuwa kama paka na panya.

Ukweli toka nimejua kumpenda mtoto wa kike au kuwa kwenye uhusiano sijawahi kuachana na mtu alafu mahusiano yanapokwisha yule mtu asiwe adui yangu,” alisema.

Sijawahi kujua uzuri wa kumfanya mpenzi wangu wa zamani awe rafiki yangu wa karibu ninachomaanisha ni kuwa hatukuzaliwa pamoja na leo hatuko pamoja basi sitaki kuwa na uadui na wadada ambao nishawahi kuwa na uhusiano nao tuwe marafiki ,” alisema Linex.

Mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere Atangaza Kugombea Urais 2015, Adai Yupo fiti Kiakili na Afya Kwa Ajili ya Kazi Hiyo Nzito

Posted: 28 May 2015 10:14 PM PDT

SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.

Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.
Makongoro ambaye mwaka 1995, alihamia upinzani kwa kujiunga na NCCR-Mageuzi na kufanikiwa kushinda Ubunge wa Jimbo la Arusha, alisema dhamira hiyo ataiweka wazi kwa kuzungumza na waandishi wa habari siku mbili au tatu kabla ya tarehe iliyopangwa na CCM kuanza kuchukua fomu.
Tayari makada kadhaa wa CCM wametangaza kuwania nafasi hiyo na wengine wakitajwa kuutaka urais.

Baadhi ya makada wanaotajwa kuutaka urais kupitia chama hicho ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, ambaye kwa sasa ni mbunge wa Monduli.
Wengine ni Bernard Membe, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Steven Wasira (Waziri wa Kilimo na Chakula), January Makamba (Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia), na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.
Wengine ni Dk. Hamis Kigwangalla, Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi, Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha Rose Migiro, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
CCM, ambayo imeshika nchi tangu kurejeshwa kwa siasa za vyama vingi, hujikuta katika wakati mgumu kila wakati inapotakiwa kutoa mgombea wa kurithi nafasi ya rais aliye madarakani baada ya kuongoza vipindi viwili vya miaka mitano kila kimoja.

Makongoro aliweka bayana nia yake hiyo wakati akipokea kwa niaba ya familia ya Baba wa Taifa, tuzo ya uongozi uliotukuka na uzalendo ambayo ilitolewa na Jukwaa la Wakristo Mkoa wa Mbeya kwa lengo la kutambua mchango wake kwa taifa.
Makongoro ambaye ni Kapteni msataafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) alisema; “Kwa kuwa kuna maneno yanapita na mimi nimeyasikia, na kwa kuwa nanyi mmenitaka niseme ninachoweza kuwaeleza hata mimi najisikia na niko tayari kulitumikia taifa katika nafasi hiyo (urais).

“Nimesikia CCM wametangaza ratiba ya kuchukua fomu, hivyo ninachoweza kuwathibitishia ni kwamba siku mbili au tatu kabla ya tarehe iliyopangwa na CCM kuanza kuchukua fomu nitazungumza na waandishi wa habari kuelezea uamuzi wangu kuhusu suala hilo,” alisema.
Kama Makongoro atagombea na kuibuka mshindi wa urais basi atakuwa ni mtoto wa pili wa mwasisi wa taifa kuongoza nchi, baada ya Amani Karume kuingoza Zanzibar.
Amani Karume ni motto wa mwasisi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Aman Karume.

Updates:

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo  kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka  huu  yaani  siku  ya  jumatatu.

Sugu Akomalia Uhuru wa Habari, Alaani Kitendo cha Kumtishia Maisha Reginald Mengi

Posted: 28 May 2015 10:07 PM PDT

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu
KUMINYWA kwa uhuru wa habari na maslahi duni ya wanahabari ni mjadala ambao umetawala Bunge wakati wa kujadaili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Anaandika Pendo Omary … (endelea).
Akiwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, msemaji mkuu kwa wizara hiyo, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema “taswira nzuri ya Tanzania kimataifa kama nchi inayofuata utawala bora na demokrasia inazidi kupotea kutokana na ubabe wa Serikali ya CCM katika kuminya uhuru wa habari nchini”.

Sugu amesema kushindwa kwa hila za serikali ya CCM mbali na kufungia magazeti na hata kuwateka, kuwatesa na kuwaua wanahabari wanaotimiza wajibu wao sasa kumehamia katika kutunga sheria kandamizi ambazo zina malengo ya kuwafunga midomo wanahabari.
“Ni hivi karibuni, vyombo vya kimataifa ikiwemo gazeti kongwe la Washington Post la Marekani, vilianika ubabe wa serikali ya CCM na kushinikiza wafadhili na wahisani hasa Serikali ya Marekani na Benki ya Dunia kusitisha kuipa Tanzania misaada ili kuishinikiza kuzirekebisha sheria hizo kandamizi ambazo zilisainiwa na Rais Kikwete hivi karibuni kwa kuwa zinaminya uhuru wa habari,”amesema.

Sugu amezitaja sheria hizo kuwa ni pamoja na Sheria ya Makosa ya Mitandao ambayo inalenga kuua uhuru wa habari hata baina ya mtu na mtu ambapo mtu anaweza kwenda jela kwa kosa la kufowadi ujumbe, taarifa ama picha ambayo ameipokea kutoka kwa mtu mwengine.
“Lakini pia, vyombo vya kimataifa vinaeleza kuwa kupitishwa kwa Sheria ya Takwimu kutatia hatiani watu hasa wanahabari kwa kigezo kuwa wametoa takwimu ambazo serikali itaona si za kweli na bila kupata kibali cha Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS),”amesema.
Amesema inashangaza kuona kuwa Taifa linapelekwa gizani kwa sheria hizi za kibabe zisizozingatia dhana ya uwazi ambayo serikali inajidai kuitekeleza.

Sugu ameongeza “Sote ni mashahidi kuwa mara nyingi serikali imekua haitoi takwimu sahihi za mambo mbalimbali na kwa nyakati tofauti serikali pia imekiri kuwa haina takwimu kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo taarifa za ajira na ukosefu wa ajira.”

Amehoji kuwa, leo hii unapowanyima watu uhuru wa kutoa taarifa zinazoambatana na takwimu za masuala husika mpaka kupata kibali cha Ofisi ya Takwimu, serikali inalenga kuficha ukweli gani?
“Muendelezo wa malalamiko dhidi ya sheria hizo kandamizi pamoja na muswada wa habari ambao unaelezwa kuwa katika mkakati wa kuletwa ndani ya Bunge hili, umepingwa vikali pia na wadau wengi nchini ikiwemo Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT),” amesema.
Kambi pia imelaani taarifa za kutishiwa maisha kwa mmiliki wa kituo cha televisheni cha ITV, Reginald Mengi kwa madai kwamba kituo chake kimekua kikitoa habari za kiuchochezi zinazosababisha kuyumba kwa serikali ya Rais Kikwete ikiwemo ya kashfa ya ufisadi wa mabilioni ya Escrow.

Hata hivyo, katika kujibu hoja za wabunge Waziri Fenella Mkangara na naibu wake Juma Nkamia, walikanusha taarifa hizo wakisema kama suala hilo lingekuwa na mashiko, Mengi angekwenda kulalamika kwenye vyombo husika.
Kuhusu wadau wa habari na wamiliki kupinga muswada mpya wa habari wakiwemo MOAT, Nkamia amesema serikali itajitahidi kuzingatia maslahi ya waandishi walioajiliwa katika vyombo vya habari vya serikali.

Hata hivyo amewataka wabunge kuunga mkono muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari utakaosomwa bungeni mara ya pili kwamba ndio utasimamia maslahi ya waandishi wa habari.
“Serikali imeleta bungeni muswada wa habari. MOAT wanaupinga. Labda niwambie jambo moja kuwa hawa wanatetea maslahi yao na sio maslahi ya waandishi wa habari,”amesema Nkamia.
Mapema, mbunge wa Viti Maalum, Faida Bakari (CCM), imeitaka serikali kujenga ofsi ya waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam ili kuwaondolea adha wanaporipoti habari za Bunge.

Faida amesema “waandishi wa habari wanafanya kazi yao kwa shida. Hapa mjini Dodoma serikali imewajengea ofisi nzuri. Lakini katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam hakuna ofisi ya waandishi wa habari.

“Wakati wa vikao vya kamati za Bunge pale jijini Dar es Saam waandishi wa habari wanasimama koridoni kuanzia asubuhi hadi jioni, hawana hata sehemu ya kukaa. Serikali iwajengee ofisi kama ilivyofanya hapa Dodoma,” ameeleza.

Aidha, imeitaka serikali kuzingatia maslahi ya waandishi wa habari na ihakikishe wanakuwa na sare za Taifa za kufanyia kazi zao hasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu ili waweze kutambulika.

Faida pai ameitaka serikali kuweka utaratibu mzuri ambao utawabana waajiri kuwawezesha wanahabari kupata mikopo ya vyombo vya usafiri kama magari au pikipiki ili kuwarahisishia utendaji kazi.

Udaku Specially

unread,
May 30, 2015, 5:02:39 PM5/30/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Wolper Ampongeza Aunty kwa Kuwaacha Matajiri na Kufuata Kiuno cha Moses Iyobo

Posted: 30 May 2015 10:32 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper amefunguka na kumpogeza staa mwenzake Aunt Ezekiel ambaye amezaa na mcheza dansi, Moses Iyobo kwa kuamua kuwaacha matariji na kuamua kuzaa na mcheza dansi huyo.

Penzi la Aunt Ezekiel na Moses Iyobo limekuwa likitazamwa kwamitazamo tofauti tofauti hasa miongoni mwa mashabiki huko mitandaoni, Wolper amevunja ukimya na kuanddika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Kiukweli na hamu yakulishwa keki kama kwenye hii picha hapo huduma hzii zinapatikana wapi?? au paka upendwe kama huyu dada lol.. kikubwa ni mapenzi ya kweli sasa mkiwa mnapiga porojo ooh viuni sijui kunengua hayo ni maneno tuu ata kwenye khanga yapo sasa ukiwa gwijii wamaneno kamaa kina sisi hapa ndo kwanza zile kelele zinakua kma instrument huku blues inaendelea kma hvii Maneno yote nimeongea kwa sababu ya kina  baba insta, mamainsta, paroko insta, masheeh insta  wachungaji insta, washauri inatsta na wazazi wainsta .

Wolper akaendelea;

Huyu dada now yupo happy na ana amani ya moyo nayo ni hii hapa ukiona mtu kaacha matajiri wote kafwata kiuno basi hcho ndo kinachomfaa .hongera sana mama coukie na baba coukie shem langu mose iyogo kwa kupata bint Mungu awasimamia kwakila jambo asikwambie mtu akuna asiyependa kuwa na chake vyauwizi navyo vinachosha mtu chake sokoni anakua ndo pochi outing anakuwa ndo kiatu kitandani ndo usiseme anakua shuka kabisa  hlw fans i love uu & Tanzani iz country, jumamosi njema.

Mzee wa Ubuyu

Hotuba Ya Mh. Edward Lowassa Aliyoitoa LEO jijini Arusha Wakati Akitangaza Nia Ya Kuomba Kuteuliwa na CCM Kuwa Mgombea Urais Wa Tanzania

Posted: 30 May 2015 08:49 AM PDT

UTANGULIZI:

Ndugu zangu wana-CCM na Watanzania wenzangu,

Hii ni siku muhimu kwangu na kwa nchi yetu. Leo nimeamua kuwaita ili kuwatangazia rasmi Watanzania wenzangu azma yangu ya kutaka kuomba ridhaa ya chama chetu, Chama Cha Mapinduzi (CCM), niweze kuteuliwa kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nasema hii ni siku muhimu kwangu kwa sababu naamini historia yangu itainakili kama ni siku ambayo kwa mara ya pili katika maisha yangu nimejitokeza kuwania kuiongoza nchi yetu kupitia chama chetu. Mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi hapa nchini nilipojitokeza nikiwa pamoja na Rais Jakaya Kikwete; wakati ule sote tulikuwa wanasiasa vijana. Tulikwenda pamoja kuchukua fomu ndani ya Chama na baadaye tukafanya mazungumzo ya pamoja na waandishi wa habari. Tulileta hamasa kubwa pale tulipofanya jambo ambalo halikuzoeleka kwa Watanzania kwa kutangaza kwamba yeyote atakayepita kati ya wawili sisi basi mwenzake ambaye hatafanikiwa angemuunga mkono.

Ningeweza kujitokeza tena mwaka 2005 lakini nikaamua kwa dhati kabisa kumuunga mkono moja kwa moja Rais Jakaya Kikwete.
 
 Nikiwa Mwenyekiti wa Kampeni niliwaongoza wenzangu kufanikisha ushindi mkubwa wa mgombea tuliyemuunga mkono na baadaye ushindi mkubwa wa asilimia 80 wa Chama Cha Mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.

Nitaeleza kwa nini nimeamua kujitokeza tena mwaka huu na kwa nini naamini mimi ndiye mtu sahihi wa kuiongoza nchi yetu wakati huu. Mpaka hapa itoshe tu kuwaeleza ni kwa kwa nini naamini leo ni siku muhimu kwangu.

Lakini nasema ni siku muhimu kwa nchi yetu pia. Nasema hivyokwa sababu naamini inajibu wito wa mahitaji ya sasa ya uongozi wa Taifa letu wa kumpata kiongozi imara atakayewaongoza Watanzania kujenga taifa imara. Na hili pia nitalieleza kwa kina.

Hali  ya  Nchi  na  Matarajio  ya  Watu:
Miaka 48 iliyopita katika jiji hili la Arusha, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage alianzisha mchakato wa kujenga taifa huru kiuchumi na kupiga vita maadui umaskini, ujinga na maradhi kwakutumia silaha ya kujitegemea. 
 
Leo hii, wakati taifa likijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu ujao, hatuna budi kutafakari tulikotoka, tulipo na tunapotaka kwenda ili tuweze kubuni upya mikakati ya kuhitimisha azma aliyo kuwa nayo Mwalimu, ili tujenge taifa huru, lenye utulivu, mshikamano, amani na maendeleo.

Nchi yetu hivi sasa inapita katika kipindi kigumu cha mpito katika maeneo yote makuu ya maisha yetu – katika siasa, katika uchumi na katika maisha ya kijamii.

Kisiasa, tumeshuhudia kuongezeka kwa vuguvugu la mfumo wa vyama vingi ambapo ushindani kati ya vyama vya siasa unazidi kuwa mkali na kwa bahati mbaya kufikia sura ya kuonekana kama vile ni mapambano ya watu binafsi badala ya mapambano ya sera na dira ya kuongoza nchi. 
 
Tunashuhudia kuongezeka uhasama binafsi kati ya wanasiasa ndani ya chama kimoja kimoja na pia kati ya wanasiasa wa chama kimoja dhidi ya kingine. Kadiri siku zinavyokwenda, hali inazidi kuzorota na ikiachiwa kuendelea nchi yetu inaweza kujikuta mahali pabaya. 
 
Kukua kwa ushindani ni jambo jema linalokomaza na kurutubisha demokrasia yetu na tukiwa na ushindani wenye afya unaweza kuwa chachu ya kuleta mabadiliko mema kwa wananchi na kupelekea kuongezeka kwa kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika nchi yetu. 
 
Kinyume chake ushindani unaochukua sura ya chuki binafsi au kukomoana na hata kulipizana visasi si ushindani wenye tija na tunapaswa kuutafutia tiba. 
 
Tunahitaji uongozi imara kusimamia kipindi cha mpito kutoka siasa muflisi za aina hii na kuelekea kwenye siasa mpya zinazoimarisha ushindani wenye tija unaojikita katika kushindana katika kuwapatia huduma bora Watanzania.

Kiuchumi, tumeshuhudia ukuaji mzuri na kuongezeka kwa mapato ya ndani ya Serikali na uimarishaji wa mfumo wa uwajibikaji na ulipaji kodi.
 
 Kwa upande mwengine, Serikali ya Rais BenjaminiMkapa na Rais Jakaya Kikwete imefanya kazi kubwa katika uendelezaji wa sekta ya mafuta na gesi asilia ambapo kiwango kikubwa cha gesi asilia kimegunduliwa.
 
 Tanzania sasa imekuwa ni miongoni mwa nchi zinazovutia uwekezaji mkubwa katika sekta hiyo ambayo inatajwa kwamba inaweza kuja kubadilisha kabisa maisha ya Watanzania. 
 
Hata hivyo, kipindi hiki cha mpito kuelekea ujenzi wa uchumi wa kisasa kimeshuhudia kuongezeka kwa hofu na wasiwasi miongoni mwa wananchi kwamba hawatonufaika naukuaji huu wa uchumi na ugunduzi wa utajiri mkubwa wa gesi asilia.
 
 Kwa upande mwingine, vijana wanataka kuona ukuaji wa uchumi na ugunduzi wa utajiri huo unakwenda sambamba na uzalishaji wa ajira zenye maana ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha yao.
 
 Niliwahi kusema kwamba tatizo la ukosefu wa ajira likiachiwa bila ya kutafutiwa ufumbuzi imara ni bomu linalosubiri kulipuka. 
 
Vijana wasio na ajira hupoteza matumaini na ni rahisi kughilibiwa kuingiza nchi katika machafuko.Tunahitaji uongozi imara kuweza kuikabili hali hiyo na kuitafutia suluhisho maridhawa.

Kijamii, kipindi cha karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya tabia miongoni mwa raia katika hali ambayo haijawahi kuwa sehemu ya utamaduni wa Watanzania.
 
 Kumekuwa na ongezeko la kutisha la matukio ya uhalifu linalokwenda sambamba na wananchi kuonyesha wanapoteza imani na taasisi zinazosimamia sheria na usalama na kuamua kujichukulia sheria mikononi mwao. 
 
Kumeripotiwa matukio mengi yakiwemo ya kuvamiwa vituo vya polisi, askari kupigwa na kuporwa silaha, matumizi makubwa ya nguvu katika utatuzi wa migogoro mbalimbali hasa ile ya kijamii, mathalani migogoro ya wakulima na wafugaji, mivutano ya kidini na pia mivutano baina ya viongozi wa dini wenyewe kwa wenyewe na baina ya viongozi wa dini na wale wa Serikali.
 
 Matokeo yakemshikamano wa taifa nao unaingia majaribuni. Mara nyingine wananchi wanatuuliza viongozi iwapo hii ndiyo nchi tuliyoachiwa na waasisi wetu. Tunahitaji uongozi imara wa kukabiliana na changamoto hizi na kurudisha mshikamano wa taifa letu na watu wake.


Watanzania  Wanataka  Mabadiliko;
Ndugu zangu, mnaweza kujiuliza kwa nini nimeyaeleza yote hayo na yana mahusiano gani na dhamira yangu ya kutangaza nia ya kutaka kuiongoza nchi yetu kupitia CCM?

Nimeyaeleza haya kwa sababu haya na matukio mengine yanayoendelea nchini yamepelekea Watanzania kutaka mabadiliko. 
 
Watanzania wanataka mabadiliko yatakayowawezesha kuzishinda changamoto hizi na kuwaongoza kujenga Taifa imara ambalo kila mwananchi wake anaishi akiwa na uhakika wa mahitaji yake muhimu na papo hapo akijiridhisha kwamba leo yake ni bora kuliko jana yake, na kesho yake itakuwa bora zaidi kuliko leo yake.
 
 Kwa maneno mengine, Watanzania wanahitaji mabadiliko yatakayowapa uongozi imara unaoweza kuwaongoza kujenga taifaimara. Hii ndio Safari ya Matumaini.

Chama chetu, Chama Cha Mapinduzi (CCM), na watangulizi wake, TANU na ASP, kimepata bahati ya kuungwa mkono na Watanzania tokea enzi za kupigania uhuru, wakati wa Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi ya Zanzibar, na pia miaka yote tokea Uhuru, Mapinduzi na hatimaye Muungano wetu. Watanzania hawajawahi kushuhudia chama kingine kikiongoza Serikali zetu zaidi ya CCM. Wamekiamini na wanaendelea kukiamini.
 
 Hata katika yale majimbo machache ya nchi yetu ambayo hatukufanya vizuri katika uchaguzi, ukiangalia kwa undani utaona si kwamba watu wa maeneo hayo wana matatizo na CCM kama Chama bali wana matatizo na baadhi ya viongozi ambao walishindwa kukiwakilisha vyema Chama na kutambua matakwa ya wananchi hao.

Mimi naamini kwamba hata katika kipindi hiki ambapo Watanzania wanaonekana kutaka mabadiliko bado wanaendelea kuamini kwamba watayapata mabadiliko hayo ndani ya CCM. 
 
Lakini kama alivyotupa wasia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, mwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi hapa nchini, Watanzania wasipoyapata mabadiliko hayo ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. 
 
Mimi naamini kwamba CCM tunao uwezo wa kuwapa Watanzania mabadiliko wanayoyataka. Tuwape imani na imani hiyo iwe ni ya dhati na ya ukweli kwamba CCM inao uwezo wa kuwapa uongozi imara wanaouhitaji kwa ajili ya kujenga taifa imara.

Vyama vya siasa vinajumuisha watu na vinaongozwa na watu. Moja ya hulka ya binadamu ni kubadilika kulingana na mahitaji ya mazingira anayoishi.
 
 Kwa maneno mengine, binadamu ni ‘dynamic’. Kwa sababu hiyo basi, hata vyama vya siasa vinapaswa kuwa ‘dynamic’.
 
 CCM haijapata kuwa na upungufu wa sifa ya ‘dynamism’. Kwa zaidi ya miongo mitano sasa, CCM (na kabla yake TANU na ASP) iliweza kubadili dira na mwelekeo wake ili kwenda sambamba na mahitaji ya Watanzania ya wakati husika. 
 
Ndiyo maana tumepita katika vipindi tofauti vya mpito kwa mafanikio makubwa licha ya changamoto nyingi zilizotukabili. 
 
Tanzania imeendelea kuwa nchi ya amani licha ya kubadili mfumo wetu wa siasa kutoka ule wa chama kimoja kuja vyama vingi; licha ya kubadili mwelekeo wa uchumi wetu kutoka ule wa dola kumiliki njia zote kuu za uchumi kuja katika uchumi wa soko unaozingatia ushiriki mpana wa Watanzania wa matabaka yote; na hata karibuni kabisa katika mchakato wa kuipatia nchi yetu Katiba mpya.
 
Tanzania tumeweza kufanya mabadiliko ya uongozi mara nne katika hali ya amani na maelewano, jambo ambalo nchi nyingi za Afrika zimeshindwa.
 
 Ni imani yangu kwamba tukijikubalisha tunaweza tena kuwapa Watanzania wanachokitaka katika zama hizi za sasa.
 
 Lakini ni lazima tuoneshe dhamira hiyo kwa dhati ili, kama alivyotuasa Mwalimu Nyerere, Watanzania wasiyatafute mabadiliko hayo nje ya CCM. 
 
Nasisitiza tena kwamba CCM inao uwezo wa kuwapa Watanzania mabadiliko wanayoyataka, lakini pia wananchi wana hiali kuchagua mabadiliko wanayoyataka.

Uongozi  unaohitajika  kuleta  mabadiliko  yanayotakiwa:
Rais Jakaya Kikwete amefanya kazi kubwa katika kipindi chake na kama ambavyo amekuwa akisisitiza mara kwa mara katika hotuba zake za karibuni ni kwamba yeye ametekeleza wajibu wake kwa kuweka misingi imara ya ujenzi wa Taifa la kisasa lenye uchumi madhubuti na unaoweza kukua kwa kasi.
 
 Amesema anamwachia atakayemkabidhi uongozi wa nchi yetu baada ya yeye kumaliza muda wake kuendeleza pale atakapoachia.

Kwa maoni yangu ili kuifanya kazi hiyo na kuzikabili changamoto nilizozieleza, nchi yetu inahitaji uongozi wenye sifa zifuatazo:

-  Uongozi wenye uthubutu, usioogopa kufanya kufanya maamuzi magumu;
-    Uongozi thabiti na usioyumba;
-    Uongozi makini na mahiri;
-    Uongozi wenye ubunifu na wenye upeo mkubwa;
-   Uongozi utakaozikabili changamoto kifua mbele na siyo kuzikimbia;
-    Uongozi unaoamini katika mfumo shirikishi katika ujenzi wa Taifa;
-    Uongozi unaozingatia muda katika kutekeleza majukumu yake.

Naamini pia kwamba wananchi wanataka Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awe na sifa kuu zifuatazo:

-    Aweze kuwaunganisha Watanzania (kukabiliana na viashiria vya migawanyiko ya aina mbali mbali inayoinyemelea Tanzania);

-    Aweze kuja na sera na mikakati ya kuinua uchumi wa Tanzania na kukuza pato la Mtanzania;ikiwemo kupunguza tofauti ya kipato kati ya aliyekuwanacho na wasiokuwanacho;

-     Aweze kuja na sera na mikakati ya kuzalisha ajira kwa vijana wetu;

-     Aweze kutokomeza mianya ya rushwa kwa vitendo;
-    Aweze kuwa mfano wa kuchapa kazi na kuwajibika;
-     Asimamie nidhamu ya matumizi ndani ya Serikali;
-     Aweze kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Serikali;
-     Aweze kutumia fursa yetu ya kijiografia kibiashara

Uongozi  Imara,Taifa  Imara
Naamini kwamba uongozi wa juu wa nchi katika nafasi ya Urais si kazi ya lelemama na unahitaji utashi. Kabla hata ya kutakiwa na wenzako ni lazima kwanza wewe mwenyewe uamini na uwaaminishe wenzio kwamba unao uwezo wa kuwaongoza wananchi wenzako. Na katika hilo, rekodi yako ni lazima izungumze na kulithibitisha hilo.

Binafsi nina hazina ya uzoefu na rekodi njema ya matokeo ya kazi nilizozifanya katika uongozi na utumishi wa umma ndani ya CCM na ndani ya Serikali. Nilianza kazi nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM katika mikoa ya Shinyanga, Arusha na Moshi.
 
 Nimekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Kamati Kuu ya CCM. Niliingia Bungeni mwaka 1985 na baadae mzee wangu, Rais Ali Hassan Mwinyi, akaniamini kwa kuniteua kuwa Waziri. 
 
Nimekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Ardhi, Makaazi na Maendeleo ya Miji, Waziri wa Mazingira, Waziri wa Maji na hatimaye Waziri Mkuu.

Miongoni mwa mafanikio ninayojivunia katika uongozi na utumishi wangu, na ambayo Watanzania wanayatambua na naamini wanayathamini, ni pamoja na:

-    Nikiwa Waziri wa Maji chini ya uongozi mahiri wa Rais Mkapa,tulithubutu kushawishi na kuongoza hatua za kukataa kufungika na makubaliano yaliyowekwa na wakoloni ambayo yalikuwa yanazizuia nchi zilizopakana na Ziwa Victoria zisiweze kufaidika ipasavyo na maji ya Ziwa hilo. Leo hii ndugu zangu wa Kanda ya Ziwa wanafaidika na ujasiri wetu katika kukabiliana na suala hilo zito.

-    Nikiwa Waziri wa Mazingira, tulipanda miti mingi zaidi kuliko wakati mwingine wowote tokea Uhuru na pia kuwakabili kikamilifu na kuwachukulia hatua waliochafua na kuharibu mazingira.

-    Nikiwa Waziri Mkuu, tulisimamia agizo la Rais Kikwete na kufanikisha utekelezaji wake ndani ya miaka miwili kwa kujenga shule nyingi za sekondari kuliko wakati mwingine wowote tokea Uhuru.

-    Kipindi hicho hicho, tulisimamia agizo la Rais Kikwete la kuanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma na kuhakikisha kinakamilishwa kwa wakati. Leo hii Chuo Kikuu hicho ni fahari ya Tanzania.

Tunapomtafuta Rais wa Jamhuri ya Muungano ni lazima tukumbuke kwamba tunamtafuta mtu ambaye atakuwa pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika nchi yetu. Na kwa Chama Cha Mapinduzi tunamtafuta mtu ambaye atakuwa pia Mwenyekiti wa Chama chetu.

Naamini kwa vigezo vyote, nina kila sifa ya kubeba dhamana hizo nzito. Katika mambo ambayo najivunia na sitoyasahau katika historia yangu ni kushiriki kwangu kuilinda nchi yangu pale ilipohitajika. 
 
Nilishiriki kikamilifu katika Vita vya Kagera nikiwa miongoni askari wa mstari wa mbele wa mapambano. Nikiwa Mbunge nilipata heshima ya kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama. Naamini Watanzania hawatakuwa na wasiwasi wa usalama wao nikiwa Amiri Jeshi Mkuu.

Nimeeleza uzoefu wangu kwenye Chama na huo hauhitaji maelezo zaidi. Ninakijua vyema Chama Cha Mapinduzi kiasi cha kutosha kabisa kukiongoza kama Mwenyekiti wake pale wakati utakapofika.
 
 Wana-CCM wanajua nikikabidhiwa uongozi, Chama chetu kitakuwa chini ya nahodha madhubuti, mzoefu na asiyeyumba.

Kutokana na rekodi yangu hii, naamini ninazo sifa za kuwaongoza Watanzania wenzangu katika zama mpya za ujenzi wa Taifa la kisasa lenye watu wazalendo walioshikamana na lenye uchumi imara unaomnufaisha kila Mtanzania. Naamini ninao uwezo wa kuwapa Watanzania Uongozi imara kwa ajili ya ujenzi wa Taifa Imara.

Dira  yangu  na  Matarajio  ya  Watanzania
Mfumo tuliojiwekea hapa nchini unaelekeza kila chama cha siasa kinachosimamisha mgombea Urais na kinachowania kuongoza nchi yetu kuja na Ilani ya Uchaguzi ambayo ndiyo inayoweka misingi ya sera zitakazofuatwa na Serikali itakayoongozwa na chama hicho pale kinapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.
 
 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa ni cha kupigiwa mfano katika kutayarisha Ilani bora na ndiyo maana mara zote kimepewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu. Tumefanya hivyo tokea enzi za mfumo wa chama kimoja na tumeendelea kufanya vizuri katika mfumo wa kushindanisha sera kupitia vyama vingi. 
 
Najua kwamba Ilani ya CCM ya mwaka 2015 imo katika hatua za mwisho za kukamilishwa na itakapopata baraka za vikao vya Chama itakuwa ndiyo msingi wa utendaji wa Serikali ya Awamu ya Tano itakayochaguliwa Oktoba mwaka huu. 
 
Hata hivyo, naamini pia kwamba mgombea mwenyewe anayetaka ridhaa ya Chama na ya Watanzania kuongoza nchi naye anapaswa kueleza dira yake.

Mimi, baada ya kutafakari kwa kina changamoto tulizo nazo na matarajio na matumaini waliyo nayo Watanzania, naamini kwambaUongozi imara unaolenga kujenga Taifa imara unapaswa kuwa na dira yenye malengo yafuatayo:

-    Kuimarisha Muungano wetu kwa kuyashughulikia yanayotutenganisha na kuyafanyia kazi ili yasivuruge yale yanayotuunganisha ambayo ni mengi zaidi na makubwa zaidi.

-    Kushughulikia matumizi mabaya ya siasa za udini na ukabila kwa kuimarisha siasa zilizoshiba uzalendo na zenye kutuelekeza kwenye Utanzania wetu.

-    Kujenga uchumi imara na wa kisasa, na ambao ni shirikishi unaomnufaisha kila Mtanzania aliyeko mjini au kijijini. Tunapaswa kubadili hali tuliyo nayo sasa ambapo Kilimo kinaonekana kama kimesahauliwa na wakulima wetu wanaonekana wanakata tamaa.
 
Wafugaji na wavuvi nao wanahisi sekta zao hazijapewa umuhimu unaostahiki. Tunahitaji kuondokana na hali iliyopo sasa ya kuwa Taifa linalouza malighafi na badala yake kuwa Taifa linalosindika na kusarifu mazao na kutengeneza wenyewe bidhaa zitokanazo na malighafi yake. 
 
Ndani ya miaka mitano ijayo tutahakikishatunaiondolea Tanzania sifa ya kusafirisha malighafi na badala yake kusindika mazao yanayozalishwa hapa nchini kama pamba, kahawa, chai na korosho na kuyaongezea thamani (value addition).Mkakati huu utazalisha ajira nyingi na kuongeza mapato ya fedha za kigeni nchini.
 
 Tunahitaji kujielekeza kwenye kujenga viwanda na kuleta ajira. Tuna vivutio vingi sana vya utalii lakini bado Tanzania inapitwa na nchi kama Afrika Kusini katika kuingiza idadi kubwa ya watalii.
 
 Kwa nini nchi kama Dubai iweze kuvutia watalii kwa mamilioni na Tanzania tushindwe? Tunapaswa kukabiliana kikamilifu na hisia zilizopo miongoni mwa wananchi kwamba Tanzania hainufaiki ipasavyo na utajiri wa rasilimali zake nyingi ilizo nazo. 
 
Tutajipanga zaidi kuhakikisha tunanufaika kama nchi na rasilimali zetu kama madini na gesi asilia. Hii ndio Safari ya Matumaini

-    Kukuza kipato cha wananchi na kunyanyua hali za maisha ya watu wetu. Tunapaswa kuhakikisha kuwa ukuaji wa uchumi tunaouzungumzia unamnufaisha Mtanzania aliyeko mjini au kijijini na kwamba hali za Watanzania wa matabaka yote zinanyanyuka na kwamba wanaridhika na kuuona uhalisi wa ukuaji wa maendeleo tunayoyazungumzia.

-    Kuondokana na sifa mbaya ya kuwa Taifa ombaomba. Kwa wingi wa rasilimali tulizo nazo na neema ya ardhi, maziwa, mito na bahari Tanzania tuna kila sababu ya kuacha kuwa ‘bakuli la ombaomba’ na badala yake kuwa ‘mkoba wa neema’ katika Afrika.We can transform our nation from being the begging bowl to become the bread basket of Africa.

- Kujenga mfumo mpya wa elimu unaojielekeza kuwatayarisha vijana wetu waweze kuajirika, kujiajiri na kushindana katika soko la ajira. 
 
Tumepiga hatua kadhaa katika elimu lakini kiwango cha elimu bado ni hafifu. Pamoja na kuwa na shahada (degrees), bado wahitimu wetu hawawezi kushindana kwenye soko la ajira. 
 
Wakati tunazungumzia kuunganisha soko la ajira katika Afrika Mashariki,hatuna budi kujikita kubadili mfumo wetu wa elimu na kuuelekeza kwenye mafunzo ya ufundi na stadi yanayowajenga wahitimu wetu kuwa wabunifu na wenye kujiamini katika kukabiliana na changamoto za maendeleo duniani.

-    Kuhakikisha tunakabiliana ipasavyo na kulipunguza kwa kiasi kikubwa kama si kulimaliza kabisa tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama. Ni jambo la kusikitisha kwamba tumezungukwa na mito na maziwa lakini bado watu wetu hawana maji ya kunywa hata ndani ya Dar es Salaam.

-    Kujenga na kusimamia mfumo imara wa kutekeleza sera na sheria tunazozitunga na kuzipitisha kwa lengo la kumtumikia Mtanzania na kumjengea uwezo wa kubadili maisha yake ili tuweze kwenda sambamba na viwango vya kimataifa. Tanzania imepata sera na sheria nzuri sana lakini utekelezaji wake umekuwa hafifu. 
 
Tumekuwa wepesi wa kutunga sera na sheria lakini wazito mno wa kuzitekeleza na kuzisimamia. Uongozi imara wenye kulenga ujenzi wa Taifa imara utahakikisha tunakuwa mfano wa utekelezaji wa sera na sheria tulizo nazo na mpya zitakazotungwa kukabiliana na malengo tuliyojiwekea.

Mambo haya niliyoyaeleza hapa ndiyo yatakayokuwa msingi mkuu wa utendaji wa Serikali nitakayoiongoza pale nitakapopewa ridhaa ya kubeba bendera ya CCM katika nafasi ya Urais na pia nitakapopewa ridhaa ya kuliongoza Taifa letu kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ramani  ya  Uongozi  Imara  Ninaouamini 9 Leadership Roadmap)
Kama nilivyotangulia kusema, kazi ya kuongoza nchi si lelemama na hasa unapoongozwa na dhamira ya dhati na msukumo wa ndani ya nafsi unaojielekeza kubadilisha maisha ya wananchi wenzako waliokuamini uwaongoze. Kwa vyovyote vile, hiyo haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja. Ni kazi ya pamoja.
 
 Lakini ili muweze kufanya kazi kama timu moja iliyojipanga kisawasawa kuleta mabadiliko yanayohitajika na ili muweze kweli kutoa Uongozi imara unaojikita kujenga Taifa imara hapana budi kiongozi mkuu anayeongoza timu hiyo aweke ramani anayokusudia kuifuata katika kutoa uongoziimara anaoukusudia yaani ‘Leadership Roadmap’.

Pamoja na kuwa sehemu ya uongozi huko nyuma, kutakuwa na maamuzi na matumaini mapya. Ramani ya uongozi imaraninayokusudia kuutoa kwa wenzangu na ambayo nitaitumia kuiongoza timu yangu katika kuwatumikia Watanzania wenzangu itajikita katika maeneo yafuatayo:

1. Kurejea kwenye Katiba katika kuainisha nia, dhamira na malengo yetu ya kujenga jamii inayozingatia misingi ya demokrasia, udugu na amani. Muhimu katika hili ni kukemea tabia mbaya zinazochochea mfarakano katika jamii kama vile matumizi mabaya ya siasa za udini na ukabila.
 
Aidha moja ya misingi muhimu ya Katiba ni Muungano wetu. Itakuwa dhamira yangu kuimarisha misingi ya Muungano pamoja na udugu wa damu nahistoria ya ushirikiano iliyojengwa na waasisi wetu, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Sheikh Amri Abeid Karume na kuyaenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.

2. Kujenga fikra mpya za kurejesha kujiamini na kufufua azma ya kujitegemea kama Taifa. Ni dhahiri kuwa pamoja na rasilimali zetu, bado Tanzania ni taifa tegemezi. Bado tunajidanganya kuwa wafadhili watatujengea nchi. Tukumbuke, nchi zinajengwa nawananchi wake. 
 
Nasi pia lazima tujikomboe kifkra na tuondokane na utamaduni wa kuwa tegemezi. Tuanze kwa kujipiga kifua kwa kujiamini kuwa tunaweza kujitegemea na kuijenga Tanzania sisi wenyewe.Kujiamini na kujitegemea ndio uhuru wa kweli.

3. Kujenga uzalendo, uadilifu ikiwa ni pamoja na kuimarisha uwazi katika shughuli zote za serikali na kupambana na rushwa.Watanzania tumepoteza uzalendo kwa kiasi kikubwa. Kuna vitendo vinavyoashiria kuwa hatuipendi tena nchi yetu. 
 
Tunashabikia wizi na rushwa. Inabidi turejee kwenye misingi ya taifa letu misingi ya uadilifu na uzalendo. Tukumbuke kuwa hatuwezi kujenga uchumi wa kisasa kama tutaruhusu rushwa ishamiri.
 
 Wawekezaji hawataleta mitaji yao kwa wingi kama rushwa itaendelea kutawala katika huduma serikali na wananchi hawawezi kupata huduma bora kama rushwa itaendelea kutawala. Ni lazima tuipinge rushwa kwa vitendo sio maneno.

4. Kujenga Serikali madhubuti, makini na yenye nidhamu inayoendeshwa kwa misingi ya sheria, uwazi na uwajibikaji.Maendeleo ya watu hayawezekani bila serikali kusimamiautekelezaji sera na miradi na kuleta ufanisi katika kutoa huduma na kusimamia maendeleo. Tumekuwa wepesi wa kutunga sera lakini wazito wa kuzitekeleza na kuzisimamia.


5. Kuleta msukumo mpya wa ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi katika ujenzi wa uchumi wa kisasa na unaojitegemea. Sekta binafsi ndiyo nyenzo ya uchumi imara. Inazalisha mali, ajira na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika pato la taifa kwa kulipa kodi.
 
 Ilisekta hii itoe mchango unaotakiwa katika maendeleo ni lazima ifanye kazi na serikali kwa karibu. Tukumbuke, bila uchumi imarahakuna huduma bora!


6. Uwekezaji katika huduma za jamii. Elimu na afya bora, mazingira, makazi safi na maji salama ndiyo mihimili ya maendeleo ya watu.
 
 Hii inawezekana tu iwapo serikali itakuwa na sera na utashi wa kuutambua uboreshaji wa huduma za jamii kama ndiyo lengo kuu la maendeleo ya nchi. Serikali nitayoiongoza itahakikisha kuwa kila Mtanzania anapata elimu bora na inayogharamiwa na serikali kama mimi na wenzangu tulivyopata. 
 
Wakatitunazungumzia kuunganisha soko la ajira katika Afrika Mashariki, hatuna budi kurekebisha mfumo wetu wa elimu na kuuelekeza kwenye mafunzo ya ufundi na ustadi yanayowajenga wahitimu wetu kuwa wabunifu, wenye kujiamini, wenye uwezo kushindana katika soko la ajira na wa kujiajiri. Napenda kusisitiza kuwa elimu ndiyo muhimili wa maendeleo, ndiyo mkombozi wa kweli wa binadamu. Mimi ni mfano hai wa ukombozi wa elimu. 
 
Elimu ndiyoimenivusha kutoka kijijini kwetu Ngarash na kunipa upeo wa kitaifa. Mama akiwa na elimu atajua umuhimu wa kumpeleka mwanae shule, anapata lishe bora na chanjo stahili na kuwa anaishi katika mazingira safi. Elimu ndilo jibu la umaskini, maradhi na ujinga.Taifa lililo elimika ni taifa lenye maendeleo.
 
7. Kujenga uchumi shirikishi unaolenga kuondoa umaskini.Mkakati wa kuondoa umaskini Tanzania lazima ujikite kwenye nguzo za ushiriki wa kila Mtanzania katika uchumi wa taifa. 
 
Kwa misingi hii, tukiweza kupunguza umaskini, tutaweza pia kupunguzatofauti za kipato ambazo tukiziacha ziendelee kukua kwa kiasi cha sasa, zinaweza kuhatarisha utulivu na amani katika jamii yetu.Uchumi shirikishi ndio silaha dhidi ya umaskini.

8. Kuimarisha ulinzi wa nchi na usalama wa raia na ujirani mwema.Itakuwa nia yangu kuimarisha misingi iliyojengwa kulinda na kudumisha umoja na amani nchini. 
 
Kadhalika, nitahakikisha kuwa usalama wa mipaka ya Tanzania unaimarishwa kwa misingi ya ujirani mwema na kutanzua migogoro na matatatizo yoyote na nchi jirani, kwa njia ya diplomasia na mazungumzo.

Hitimisho:
Hii ndiyo misingi na dira ya uongozi wangu. Nachelea kusema kuwa haitakuwa kazi rahisi. Lakini kwa ushirikiano wa kila mmoja na maamuzi magumu, yote yanawezekana.
 
 Tumeona nchi nyingi zilizosimamiwa na utawala thabiti wa serikali za kimaendeleo zikikabili na kupunguza umaskini katika kizazi kimoja. Kama mataifa mengine yamefanikiwa, tena bila raslimali kama zetu, kwa nini sisi tushindwe? 
 
Tuna kila sababu ya kufanya maamuzi magumu sasa ili kuwajengea Watanzania matumaini mapya ya maendeleo. Naomba nisisitize kuwa katika uongozi wangu hakutakuwa na nafasi ya majungu, na visasi. Hatutaangalia nyuma bali tutasonga mbele kwani ndicho Watanzania wanakitarajiakutoka kwa uongozi uliojengwa kwenye misingi bora.

Ndugu Watanzania:-
Ni maono yangu kuwa siku si nyingi nchi yetu itaanza safari yenye uelekeo wa matumaini na neema tele kwa wananchi.

Ni maono yangu kuwa siku si nyingi sisi kama Watanzania kwa umoja wetu tutajivunia kuishi katika nchi tunayoipenda na inayoendeshwa kwa misingi ya utawala bora, chini ya serikali ya kimaendeleo iliyojengwa kwenye fikra mpya za uzalendo, uadilifu, utendaji na uwajibikaji.

Ni maono yangu kuwa Peke yangu sitaweza, lakini kwa maamuzi magumu na ushirikiano wa kila mmoja wetu ikiwa ni pamoja na wagombea wenzangu ndani ya CCM, inawezekana kuanza safari hii ya Matumaini Mapya.

Kabla ya kumaliza hotuba yangu hii fupi, kuna mambo matatu ningependa kuyaweka wazi hapa.

La kwanza, linahusu msingi wa uongozi ninaouamini na ambao nimeusema mara kadhaa hapa. Msingi huo ni UWAJIBIKAJI.Watanzania wananifahamu mimi si mtu wa maneno, ni mtu wa vitendo. Naamini kwa dhati kabisa kwamba huwezi kuwa na Uongozi imara utakaoweza kusimamia ujenzi wa Taifa imara iwapo huna ujasiri wa kuwajibika. Mimi nimeongoza kwa mfano, na pale ilipobidi, nilikubali kuwajibika na kubeba dhamana ya uongozinilipojiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu.

La pili, mimi si mtu wa visasi. Siamini katika kuangalia ya nyuma. Yaliyopita si ndwele, tugange yajayo. Na kwa nini tuangalie nyuma wakati kama taifa tuna kazi kubwa sana mbele yetu inayohitaji kufanywa? Mimi ni Mkristo; najifunza kutoka kwa Bwana Yesu ambaye alipoulizwa: “Nisamehe mara ngapi?” Alijibu, “Samehe mara sabini mara saba”. Nitaenzi na kudumisha utamaduni huu wenye sura ya utu na heshima.

La Tatu, natambua kwamba dhamana ya Urais ni shughuli nzito hasa kwa taifa ambalo lina changamoto nyingi. Nataka niwahakikishie Watanzania wenzangu kwamba afya yangu ni njema kuweza kuwatumikia katika jukumu hili zito. Pamoja na vijineno vinavyosemwa pembeni, mimi mwenyewe ndiye ninayejijua zaidi. Nawahakikishia kuwa nisingekuja hapa leo na kueleza nia yangu hii ingekuwa sina uhakika na afya yangu.

Natoa RAI kwa Chama changu cha CCM, nadhani umefika wakati kwamba tutende tofauti na mazoea, watu wote walionyesha nia ya kutaka kuongoza, liundwe jopo la madaktari wa ndani na nje ya nchi tupimwe afya zetu, kwa hili najitolea kuwa wa KWANZA KUPIMWA afya yangu

Safari tuianze leo, hatuna kesho nyingine.
Ahsanteni sana kwa kunisikiliza

Mashabiki Wamvaa IRENE PAUL Baada ya Kutoa Kauli ya Kuudhi ..Wasusia Movie zake

Posted: 30 May 2015 06:19 AM PDT

Baada ya siku kadhaa muigizaji irene paul, kupokea Tuzo ya muigizaji bora wa kike mwaka 2015 (TAF) , Msanii huyo amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya ivi karibuni kufanyiwa mahojiano na kituo kimoja cha television ,ambapo aliulizwa swali na mwandishi, ni movie ipi ya kibongo anayoikubali?, ndipo msanii huyo alipofunguka bila kumung'unya maneno kuwa sio muangaliaji wa bongo movie, hivyo hajui chochote. kauli hiyo ilizua tafrani kwa baadhi ya mashabiki zake ambao walimjia juu muigizaji huyo mwenye makeke ya aina yake awapo mbele ya camera.

Baadhi ya Comments 

# 1: Huyu dada anajisikia sana, hajui kuwa sisi ndio tuliomfanya awe mtu, bila kuigiza nani angemjua apa mjini? Sijapenda kauli yake ata kidogo.

# 2: Najuta kabisa kwa nini nilimpigia kura, kama yeye msanii haangalii bongo movie, sasa sisi tuangalie ili iweje? Atakula jeuri yake mwaka huu, hiyo tuzo ndio ya mwisho.

# 3: Kwanza mie sionagi uigizaji wake zaidi ya kupiga kelele ovyo na kujitutumua kama anataka kukata roho, mimi simkubali huyo dada anajisikia sana.

# 4: Kuna siku nilikutana nae mlimani nikamuomba kupiga nae picha akaniambia yeye sio irene Paul nimemfananisha, ata hivyo niliomba tu kupiga nae picha kwa kuwa nilimpenda, jibu alilonipa eti mi msumbufu sana ,yeye yupo busy na mambo yake, kweli anatujibu hivyo mashabiki zake? Nilisikia aibu sana kwa kweli aliniaibisha mbele za watu,sitakaa nimpende.

# 5: Kama haangalii kazi wanazofanya wenzie atajuaje changamoto zilizopo kwenye filamu na kuzifanyia kazi? Kauli yake sio nzuri, kwa hiyo anatuona tunaoangalia kazi zao hatuna akili?

# 6: MUongo mkubwa anajishaua tu, anajifanya anafanana na angelina jolie na mishavu yake kama panya, simpendi huyo dada.

# 7: Mi namkubali sana irene paul, ila hiyo kauli sio nzuri, ata kama ni kweli aangalii ni bora anfefikiria kabla ya kuongea, by the way mi namkubali tu.

#8 : Kwanza hiyo tuzo kapewa kwa uigizaji upi? Mi sijaona anachoigiza zaidi ya kutumia nguvu kuliko akili, kama haangalii bongo movie anaigiza ili iweje? Basi akaigize ulaya

# 9: Huyu dada anajiona mzuri wakati kakomaa kama nazi, kwanza kuigiza hajui, kanichefua sana, tutakua hatuangalii movie zao tuone hizo jeuri watapatia wapi

# 10: KWa hiyo kapata tuzo ndo anajidai kuropoka? Sasa akipata oscar si ndio ataikana kabisa Kuwa yeye sio muigizaji wa Tanzania?

Kundi la UHURU la Sauzi Afrika Lamuomba Diamond Platnumz Kufanya Remix ya Wimbo wa Nana Uliotoka Jana na Kuwa Gumzo Afrika.

Posted: 30 May 2015 06:02 AM PDT

Diamond ni Star Africa kuliko watanzania tunavyomchukulia wakati Kundi la Uhuru Kutoka Sauzi Afrika wakiomba kufanya Remix ya Wimbo wake Mpya wa Nanaa, Usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria video ya nana ilikuwa gumzo kwenye mitandao. Wabongo sijui kwanin hatupendi vya kwetu siku Diamond Platnumz mungu amemchukua hawa wanao mbeza na kumtukana ndo wanafiki wa kwanza kujifanya kulia hadi kuzimia huku wakimsifia......

Diamond ni kiboko..Hakunaga.......

ARUSHA KWALIPUKA, Hakuna pa Kukanyaga... Na Wazungu pia Wamo..

Posted: 30 May 2015 03:53 AM PDT

ARUSHA KWALIPUKA, HAKUNA PA KUKANYAGA... Na wazungu pia wamo.......leo ni Mh. Edward Lowassa ndani ya Arusha ataongea leo mchana kwenye uwanja wa Shekh Amri Abeid.
Read more at http://websta.me/n/mrekebishatabia#7fObsFL71sKRgPjO.99

Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson

Posted: 30 May 2015 03:41 AM PDT

Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji  Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu  afunguaka mazuto kupitia ukurasa wake mtandaoni.

Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;

Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa

Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu sana kwetu.Ulipoondoka mengi huku nyuma yamesemwa kama unavyowajua wabongo kwa kuongea,wengine waliniporomoshea matusi eti najishaua nalia nini?mmh!wabongo bana.wanaojifanya ndugu zako eti nao wakaanza kukimbilia mali,bila hata kujua zilitoka wapi,umezipataje..kweli nilikuwa naonaga hivi vitu kwenye muvi ila bwana yametokea baada ya ww kuondoka.Ila nakushukuru sana sehemu ulizoandika mwenyewe ulimkumbuka sana Sonia na Eugene,watoto ambao mm nawafahamu.Mali zingine hadi leo watu wamesepa nazo ila tumeamua kuwaachia maana ni mali tu zinapita.Sonia is doing good shuleni japo mwanzoni alikuwa anatoka nje na kulia peke yake,ss hv amemove on na bado pia anasoma shule ya music na siku ya kuagwa kwako alikuahidi she ll never stop singing for you...nitarudi kukupa story zingine maana najua mwaka mmoja ni mwingi na umepitwa na mengi japo naamini kwamba Umepumzika kwa Amani...George

Monalisa akaadika tena

Eti leo nasikia kuna ibada ya kukuombea.Duh!hii kali nimeisikia kwenye social media tu.walivyoona wameharibu naanza kutumiwa sms kwa fujo.Mmh!tunashukuru wanakukumbuka hata kukuombea lakini isiwe tu ni namna nyengine ya kujipatia ela.Maana siku ya kuagwa kwako pale Leaders Club watu waliombwa kutoa sadaka kwa ajili ya watoto ila ziliishia tumboni mwa wanaojua kula ela..wengine waliahidi kwa jinsi ulivyowasaidia wangemsaidia Sonia..loh!ilikuwa ni gia ya kuondokea hakuna mtu aliyemsaidia narudia HAKUNA.si ndugu zako,si rafiki nasema HAKUNA.
Nitarudi tena George..nina mambo mengi ya kukueleza..Pumzika kwa amani

Amber Rose Shares Half Nude sultry Photo in the Pool...

Posted: 30 May 2015 03:39 AM PDT

Ms. Amber Rose shared this sultry photo of her chilling in the Pool half nude.

Check out VERA’s well curved ‘money maker’! Every man needs these PHOTOs in his room

Posted: 30 May 2015 03:32 AM PDT





Check out VERA’s well curved ‘money maker’! Every man needs these PHOTOs in his room

DIAMOND Getting All Cozy with Pregnant ZARI’s bo0ty in Public

Posted: 30 May 2015 03:29 AM PDT

DIAMOND getting all cozy with pregnant ZARI’s b@@ty in public

Mimba ya Zari yawa LULU Yamwingizia Diamond Mamilion

Posted: 30 May 2015 03:05 AM PDT

Musa Mateja
Imebainika kuwa mimba ya mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ inamwingizia jamaa huyo mamilioni ya fedha, Ijumaa limebaini mchezo mzima.
KUMBE!

Imeelezwa kwamba, katika kila shoo anayokwenda na mama kijacho huyo amekuwa akilamba dau kubwa kwani wengi wanahudhuria burudani inayotolewa na Diamond ili kumuona Zari akiwa na kibendi.Uchunguzi wetu ulibaini kwamba, ujauzito wa Zari kwa sasa unamuingizia mkwanja mrefu Diamond kufuatia kila shoo anayohitaji kwenda kufanya, mapromota wengi wamekuwa wakimtaka aende na Zari ili tu mashabiki wamshuhudie.

TUJIUNGE NA CHANZO
Katika uchunguzi wake, Ijumaa lilizungumza na vyanzo mbalimbali akiwemo mtu wa ndani ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye alithibitisha kuwa ni kweli uwepo wa mimba ya Zari kwa sasa umeongeza mamilioni ya fedha kwa Diamond kupitia shoo ambazo amekuwa akihitajika na mapromota kwenda na Zari.

DIAMOND ASHTUKIA 
Chanzo hicho kilimwaga ‘ubuyu’ kuwa, Diamond ameshalishtukia jambo hilo kiasi kwamba kuna sehemu sasa analazimika kwenda na Zari kwa siri.

ZARI AFICHWA MWANZA
Ilifahamika kwamba, kwenye Shoo ya Jembeka iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Mwanza, Diamond alikwenda na Zari kwa kificho kikubwa kiasi kwamba hata umati uliyojitokeza kumpokea uwanja wa ndege jijini humo hawakuweza kumuona kwa kuwa makubaliano yake na waandaaji hayakumhusu Zari.

“Alichokifanya Diamond ni kumficha hotelini kwa kuwa katika shoo hiyo mapromota walikuwa hawakuelewana naye kwenda na Zari kama ilivyo kwenye shoo nyingine anazofanya kwa sasa,” kilisema chanzo hicho cha kuaminika na kuongeza:

“Ni kitu ambacho Watanzania wengi hawakijui lakini ukweli uko hivyo kwamba, Diamond kwa sasa anavunja mkwanja mara mbili anapokuwa na Zari.”

BEI MARA MBILI?
Ilidaiwa kwamba kama Diamond alikuwa anachukua Sh. milioni 25 kwa shoo za ndani, kwa sasa akiwa na Zari ni mara mbili yake kwa hiyo inakuwa si chini ya Sh. milioni 50.

SHOO ZA KUMWAGA ZA NJE
Chanzo hicho kilieleza kwamba kwa shoo za nje ndiyo usiseme na tayari ameshaingia mikataba ya fedha ndefu kwenye nchi mbalimbali akiwa na Zari zikiwemo, Afrika Kusini ‘Sauzi’, Nigeria, Ghana, Cameroon, Togo, Angola na nyingine kibao.

DIAMOND ABANWA, AFUNGUKA
Baada ya kunyetishiwa ubuyu huo, mwanahabari wetu alimtafuta Diamond na kumbana ili afunguke juu ya hilo ambapo alipopatikana alikiri kwamba ni kweli kwa sasa mapromota wengi wamekuwa wakimhitaji kwenye shoo akiwa na Zari.
Diamond alisema kuwa, jambo hilo ni zuri ila kila mmoja ana malipo yake kwa maana wakitaka aende naye bei inakuwa tofauti ukilinganisha anapokwenda mwenyewe au na timu yake ya Wasafi.

Diamond: Nikiwa naenda kwenye events (matukio) namuuliza kwanza promota kama atahitaji niende na Zari? Akinijibu ndiyo, gharama inaongezeka.Ijumaa: Kwa hiyo unamaanisha kwa sasa ukienda kwenye shoo bila Zari kuna bei yake na ukienda naye unatakiwa ulipwe bei tofauti?

Diamond: Naam, namaanisha kwamba nikienda na Zari, lazima kuwepo na gharama za uwepo wake.
Ijumaa: Ni jambo gani lililokufanya kushtukia hilo hadi unasema hivyo?
Diamond: Ujue sasa hivi imefikia hatua nikiposti kwenye peji yangu kwamba kuna shoo nitaenda na Zari, idadi ya watu inaongezeka hata kama sitaingia naye ukumbini.

Ijumaa: Zari anajisikiaje mimba yake kufanywa ya maonesho?
Diamond: Zari ni mtu wa hekaheka hivyo hana tatizo kwani usalama wake upo wa kutosha.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda Afunguka Kutembea na Mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja

Posted: 30 May 2015 02:55 AM PDT

BAADA ya kuzagaa kwa habari kwamba Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ‘kutembea’ na mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja, mheshimiwa huyo ameibuka na kuzungumzia tuhuma hizo kuwa hazina ukweli wowote zaidi ya kutaka kumchafua katika uongozi wake.

Mapema wiki hii, mitandao mbalimbali ya kijamii ilimtuhumu mheshimiwa huyo kwamba ana uhusiano na muigizaji huyo kwa kudai amekuwa akionekana naye mara kwa mara.Makonda ambaye ameonesha uchapakazi uliotukuka baada ya kuteuliwa na rais Jakaya Kikwete kuwa mkuu wa wilaya hiyo mapema mwaka huu, ameweka bayana kuwa kwa muda mrefu kuna watu wenye nia mbaya ambao wanaendesha kampeni ya kumchafua.

“Ni muda mrefu tu, walianza kipindi kile wakati wa Bunge la Katiba nilipokwenda Bungeni na mwigizaji Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, wakasema natembea naye, wakanyamaza. Sasa wamehamia kwa Kajala baada ya kufanya naye kazi.

Hakuna ukweli wowote wanatungatunga tu mambo, watakuwa na sababu zao kwa sababu mtu kama Kajala, maneno yameibuka baada ya kufanya naye project ya kutafuta vipaji vya wasanii.“Nimeshirikiana na wasanii wengi wa kiume katika project hiyo lakini kwa kuwa wameona mwanamke ni Kajala peke yake, wanasema vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Najua kuna wengine wanaoeneza haya mambo wanatumika kisiasa lakini mimi sijali.

Waniache nifanye kazi, najitoa kwa wasanii kwa nia njema ya kutafuta wasanii ambao baadaye wataweza kujitegemea kwani sanaa ni ajira, kamwe hawawezi kurudisha nyuma juhudi zangu,” alisema Makonda ambaye amejiwekea utaratibu wa kukutana na wakazi wake kila Ijumaa kutatua migogoro ya ardhi.
GPL

Lemutuz 'siwezi kuoa Mbebezz wa Instagram NEVER cause Maisha yetu Yatakuwa ni Instagram tu Mkigombana Kidogo Instagram Nzima Wanajua'

Posted: 30 May 2015 01:37 AM PDT

EXTRA LIVE TALK:- People unajua unakuwa mjinga kama una AKILI KUBWAZZ halafu hujijui no mimi ni AKILI KUBWAZZ na ninajijua ninafanya mambo yangu kwa strategies zamani nilikuwa naandika sana ujinga cause nilishajua ndicho Wananchi wa Tanzania wnachopenda na ili kuwaonyesha ni AKILI KUBWAZZ kwanza lazima nitafute their100% FULL ATTENTION now nimeshaipata ndio maana siku hizi naandika 90% serious ishuz na bado 10% naandika pumba cause nisipochanganya AKILI KUBWAZZ na PUMBA nitakosa watu hapa...ndio maana nashindwa.kuoa tena unatakiwa kuoa mpenzi mnayefanana akili japo hata 75% cause siwezi kurudia makosa n almost kila mbebebzz anafikiria PESA na WATU WATAMUONAJE KWENYE JAMII sio moyo wake unamwamabia nini ukikuta Mbebez ana akili na.pesa ni MSAGAJI au HATAKI MAPENZI KABISA siwezi kuoa Mbebezz wa Instagram NEVER cause maisha yetu yatakuwa ni Instagram tu mkigombana kidogo Instagram nzima wanajua hahha so I am stuck....zamani wabongo tulikuwa na akili sana sijui kilitutokea nini yaani mbongo akienda majuu watu kama FREDDY MACHA au ATHUMANI MAGOMA walikuwa wanaishi majuu wanandika AKILI KUBWA kwenye Social Media jamani tazama siku hizi wale wote maarufu I mean wabongo wanaoandika Social Media ni mabingwa wa matusi tu kama.nasema uongo hebu mtaje mbongo mmoja.tu aliye majuu anayesifika kwa kuandika Sense? wote wanaofahamika ni MABINGWA wa matusi I mean huwa inanishangaza mbongo yupo majuu anatukana watu wanaoishi Tanzania mpaka.na.details zao za.jana walikuwa wapi na juzi walikuwa wapi Mungu wangu mtu unaishi First World badala ya kusaidia wenzio waliobaki wewe ni kuwatumia MATUSI.TU halafu watu wanalalamikia Viongozi kwa.nini Taifa haliendelei hahahahah tutakufwa wote hapa hamna maendeleo.mpaka.tutakapobadilika sometimes huwa nafikiria kuiomba Serikali inipe.ruhusa niwapitishe waya wa umeme vichwani Wananchi wote mtaani labda wataamuka mazafantazzz I mean dead people walking tumetoka kuadhibiwa na mvua majuzi kisa miaka 53 ya uhuru.hatuna serious Miundo Mbinu leo watu wamesafiri kwenda kuunga mkono wagombea Urais waliowahi kuwa Serikalini for the last 40 years ungetegemea wananchi wenye akili wapige kelele kwamba wagombea wote hawafai mazafantazzz! CHANGE! - le Mutuz

Hawa Ndio wasanii wa Bongo Fleva Wenye Sauti Mbaya

Posted: 30 May 2015 01:35 AM PDT

Kabla sijamwagika, ieleweke tu kuwa mimi nipo kwenye hii industry pia, na ninakaribisha walio kwenye hii game wachallenge hoja, simaanishi mashabiki au wasikilizaji wa muziki, bali producers na waimbaji.

Kwanza nitoe somo kuhusu sauti:
Kuna aina 2 za sauti kwenye uimbaji - 1) Long Wave na 2)Vibrating Wave. Waimbaji wote wenye sauti nzuri wanaangukia kwenye hizi category 2 na wale wenye sauti mbaya wanaangukia kwenye category ya kwanza (Long wave) ila wakiwa na kasoro hasa za kibailojia upande wa makoo, pua na sauti zao kwa ujumla.


Long wave: Hii ni sauti iliyonyooka bila mawimbi. Mfano wa wasanii wenye sauti ya hivi hapa bongo ni Vanessa Mdee, Lady Jay Dee, Ommy Dimpoz, Bob Junior na Ulaya ni Chris Brown, Justine Bieber, Taylor Swift n.k.

Vibrating Wave: Hii ni sauti yenye mawimbi hasa mwishoni mwa maneno/sentesi na ndio sauti tamu zaidi duniani. Kibongongo tunao Ali Kiba, Diamond, Ben Pal, Linah, Vumi na Ulaya ni kv; Rihanna, Beyonce, Adele, Bruno Mars n.k.

Sauti mbaya ya muimbaji husababishwa na vifuatavyo:
Haimbi kwa sauti inayotoka tumboni, anaimbia kwa kutumia koo la sauti ambalo matumizi yake ni sauti ya kuongea katika hali ya kawaida...na mwingine huharibu zaidi kwa kuipitishia hiyo sauti puani, na kwa ujumla wako kwenye category ya Long wave. Wengi nyimbo zao zimejaa Autotune (ubadilishaji wa uhalisia wa sauti unaofanywa na Producer) na Voice-overs nyingi (unaskia ni kama kwaya wakati anayeimba ni mmoja), yote hii ni kuficha ubaya wa sauti. So sauti zingine huenda ziliumbwa kwaajili ya fani ya kutangaza mpira au kuongoza jeshi la mgambo, sema ndio hivyo...riziki popote.

Sasa kwa hapa bongo wafuatao ndio wenye sauti mbaya:
Shetta
Aika (huyu namjua kwa ukaribu zaidi maana few months back nilikuwa "friends with benefit" na dada yake mkubwa pale Arusha)
Shilole
Mina
Snura
Joh Makini (huyu ni ngumu kufocus kwenye ubaya wa sauti yake kwasababu ana art kwenye uimbaji wake, anacheza maneno, illa ubaya wa sauti yake ni kuitolea puani. Na hili swala liko nje ya uwezo wa mtu kiujumla maana ndio maumbile ya sauti yake)


Karibuni kwa mchango/kuongezea wengine.

Wema Sepetu na Idris Nusura Wazichape

Posted: 30 May 2015 01:30 AM PDT

Malkia anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production, Wema Isaac Sepetu na Mshindi wa Big Brother Africa 2014/15, Idris Sultan ambao wamekuwa marafiki wakubwa katika siku za hivi karibuni, nusu wazichape kavukavu baada ya kupishana kauli huku wivu wa kimapenzi ukitajwa.

Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita nje ya Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro iliyopo Posta jijini Dar ambapo kwa pamoja walikuwa wamehudhuria sherehe ya utoaji Tuzo za Watu.

Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tafrani ya wawili hao kutaka kukunjana ilitokea baada ya kumalizika kwa shuguli hiyo ambapo Idris alimpora Wema tuzo yake aliyoshinda na kwenda nayo kwenye gari lake.

Ugomvi huo ulipamba moto na kusababisha watu waliokuwa wakiwashuhudia kutaharuki ambapo Wema alikwenda kwenye gari lake lililokuwa likiendeshwa na Petit Man lakini Idris alimfuata akionekana kumuonea wivu na kumtaka apande gari lake waondoka jambo ambalo Wema alilitolea nje na kumfungia kioo.

Baada ya kuona Wema amemtolea nje, Idris alikwenda kwenye gari lake na kuliegesha mbele ya gari la Wema ‘kum-block’ ili asiondoke ambapo alishuka na kumwambia Petit Man ahakikishe anamfuata kwa nyuma jambo ambalo Petit Man alishindwa kulitekeleza baada ya Wema kukataa.

Baada ya kushuhudia vurugu hizo, mwanahabari wetu alimfuata Wema ili kujua kilichotokea ambapo mwanadada huyo alisema kuwa haelewi ni kitu gani ambacho kilimkuta Idris siku hiyo maana kama angekuwa anakunywa pombe, angesema labda alizidiwa lakini kwa kilichotokea hadi leo hajui ni kipi kilimkuta.

“Yaani hata sielewi Idris alifikwa na nini maana amefanya mambo ya ajabu sana na mara ya kwanza nilijua utani lakini nilimshangaa zaidi baada ya kukomaa hadi kufikia hatua ya kuni-block na gari lake huku akitaka niondoke naye wakati kila mtu alikwenda pale kimpango wake.

“Mimi nadhani kuna utoto fulani bado anao na unamsumbua,” alisema Wema lakini Idris hakupatikana kusema chochote.

Credit: Gpl

Video mpya ya Diamond Ft. Mr. Flavour-Nana

Posted: 30 May 2015 01:26 AM PDT


Video mpya ya Diamond Ft. Mr. Flavour-Nana

Hili Ndo Jukwaa Ambalo Edward Lowassa Atalitumia Kutangaza Nia LEO Ya Kugombea Urais 2015........Hapa kuna picha 5

Posted: 30 May 2015 01:25 AM PDT

Leo Mbunge wa Monduli Edward Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha.Maandalizi mbalimbali yanaendelea huku ilinzi ukiimarishwa kila kona.

Mamia ya wananchi wanaendelea kuingia katika uwanja huu kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo Dares salaam,Arusha,Dodoma,Kagera,Mwanza na Mbeya

Kila mtu katika uwanja pamoja na Watanzania wana shauku ya kutaka kufahamu Edward Lowassa atasema nini kuelekea katika uchaguzi wa Rais utakaofanyika wiki ya mwisho ya mwezi oktoba mwaka huu 2015.

Makabila ya Pwani Wanawezana Wenyewe Ndoa zao, ni Shidaaa!

Posted: 29 May 2015 11:28 PM PDT

Wadada wakicheza Ngoma Maarufu Pwani ijulikanayo kama Kigodoro
Watu wa Pwani wanawezana wenyewe kwa wenyewe ndoa zao,mtu wa bara utachemka tu.Ukanda wa pwani kuanzia Tanga, Pwani, Dar, Lindi, Mtwara, Ruvuma na hata Morogoro pia ni walewale tu tabia, mila na desturi zao.

Vigodoro kwa sana, kushinda ngomani, shule kwao ni kama adhabu, vitabia vya ajabuajabu tu,ni shida...Yaani imefikia hata maendeleo katika Sehemu zao yapo duni sana ..Kama ukiangalia Bagamoyo kwa sasa Wahamiaji ndio wanaoleta maendeleo kwa kununua mashamba na viwanja vya wazaramo na kuwaacha wenyeji hawana kitu ..

Lowassa aitikisa Arusha......Watu wafurika, Wakosa vyumba Walala katika Magari, wengine wajiapiza Kulala Uwanjani....... Mkuu wa Majeshi mstaafu naye Atinga, fulana zenye Picha yake Zapanda Bei

Posted: 29 May 2015 11:21 PM PDT

NYUMBA za kulala wageni katika Jiji la Arusha na viunga vyake zimeanza kufurika kutokana na makundi ya watu yanayowasili jijini hapa kushuhudia mwanzo wa ‘Safari ya Matumaini’ ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa  Monduli Edward Lowasa, anayoianza rasmi leo.
 
Mwanasiasa huyo mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa makada wa CCM walioonyesha nia ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama hicho anatarajiwa kutangaza nia leo kuanzia saa 8 mchana katika Uwanja wa Sheikh Amri Abed Kaluta Jijini hapa. 
 
Mpekuzi imeshuhudia pilikapilika katikati ya Jiji, Mitaa ya Kaloleni, Makao mapya, Levolosi na maeneo ya pembezoni ambako kuna nyumba za kulala wageni, baadhi ya watu wakiulizia vyumba ambapo katika nyumba nyingi kuna kibao kinachosomeka ‘vyumba vimejaa’.
 
Baadhi ya wageni hao ambao walizungumza na Mpekuzi kwa sharti la kutotaja majina yao walisema pamoja na kukosa vyumba wako tayari kulala nje hadi watakapoianza ‘safari ya matumaini’ pamoja na Lowassa.

“Kukosa vyumba si tatizo kwetu, tutalala hata uwanjani,tumesubiri sana siku hii ambayo Mzee (Lowassa) alianza kuitaja tangu Mwaka 2013, tunamshukuru Mungu imefika na tutaanza safari ya matumaini pamoja naye,” alisema mmoja wa wageni hao.
 
Kujaa huko kwa nyumba za kulala wageni, hoteli baadhi ya watu usiku wa kuamkia jana na leo walilazimika kulala kwenye magari.
 
Taarifa kutoka kambi ya Lowassa zinaeleza kuwa, watu wengi kutoka kada mbalimbali, wanatarajia kushiriki mkutano huo ambao Waziri Mkuu huyo wa zamani pamoja na mambo mengine atautumia kueleza matarajio yake endapo chama chake kitamteua kugombea urais.
 
Kwa mujibu wa taarifa hizo miongoni mwa waliokwisha wasili jijini humo ni pamoja na Wajumbe wa NEC wa chama hicho wapatao 187 huku wengine 93 wakitarajia kuwasili usiku wa kuamkia leo.
 


Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na wajumbe hao pia wenyeviti wa mikoa 23 nchini nao watakuwepo leo katika uwanja huo wa Amri Abeid Kaluta.
 
Zaidi wazee maarufu akiwemo Kingunge Ngombale Mwiru, Pancras Ndejembi, Kanali Mwisongo, na Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Mirisho Sarakikya nao pia wanatajwa kushiriki tukio la leo.
 
Mbali na kufurika kwa wageni katika Jiji la Arusha wanaosubiri kwa hamu hotuba itakayotolewa na Lowassa hii leo, pia mavazi ikiwamo sare za CCM  zenye utambulisho maalumu kwa ajili ya siku hiyo nazo zimepanda bei mara dufu.
 
Wajasiriamali wanaouza fulana zenye picha na maandishi yanayomtaja Lowassa ambazo zilikuwa zikiuzwa kati ya sh.10,000 na 15,000 sasa zinauzwa kwa kati ya Sh.20,000 na 25,000 hata hivyo pamoja na kupandishwa bei bado zimekuwa adimu.
 
 “Fulana hii shingo ya mduara ni Sh. 20,000 na hii ya shingo ya v (form six) nauza Sh.25,000 kaka karibu na zimebaki chache sana mpaka tuagize zingine shughuli itakuwa imeshafanyika bora uchukue hii,”alisema mmoja wa wajasiriamali aliyekuwa ametandaza nguo hizo na sare za Chama katika moja ya mitaa jijini hapa.

Mbali na kukamilika kwa maandalizi yote ya hotuba muhimu inayosubiriwa kwa hamu na Watanzania ya ‘Safari ya matumaini’ kumekuwa na shamra shamra kila kona ambapo kila mtaa watu wamekaa vikundi wakijadili kwa heri na wengine kwa shari ‘Safari hiyo ya Matumini’.

Hali  ya  Uwanja
 Maandalizi  katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa yalianza  tangu juzi mapema asubuhi.

Tofauti na miaka yote pengine tangu uwanja huo ujengwe unaweza kuwa haujawahi kupambwa kama ambavyo ulianza kupambwa jana ambapo kazi hiyo ilitarajiwa kukamilika saa 8. mchana jana.
 
Baadhi ya mapambo yaliyokuwa na rangi za Chama cha Mapinduzi (CCM), yalionekana kutawala zaidi katika viwanja hivyo huku mahema kwa ajili ya tahadhari ya mvua na jua yakiwa yamefungwa.
 
Mbali na mahema hayo pia magari makubwa ya mizigo yalikuwa yakipishana kuingiza vifaa mbalimbali kwa ajili ya kazi hiyo ya upambaji lakini pia tayari kwa shughuli nzima ya kesho.
 
Vyombo  vya  Habari
Mkutano huo wa kutangaza nia wa Lowassa kama ambavyo umekuwa ukitangazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari unatarajiwa kurushwa moja kwa moja pia na vyombo vya habari kutoka ndani na nje ya nchi.
 
Baadhi ya vyombo vya habari kutoka ndani ambavyo vitarusha moja kwa moja mkutano huo ni pamoja na  Televisheni ya ITV,Channel Ten, Clouds TV, EATV, ambapo kwa upande wa redio ni Clouds FM, Magic FM,na East Africa Redio.
 
Lakini pia vyombo vya habari kutoka nchini Kenya navyo vipo Mkoani Arusha tayari kwa kufuatilia mkutano huo.
 
Vyombo hivyo ni pamoja na Televicheni ya Citizen, Nation na gazeti la The Standard.
 
Kuanza kwa Safari hiyo ya Matumaini ya Lowassa, kumekuja baada ya kukamilika kwa adhabu aliyopewa sambamba na makada wenzake ndani ya chama baada ya kudaiwa kuanza kampeni na ushashawishi kabla ya wakati.
 
Makada waliokuwa wamepewa adhabu na CCM mbali na Lowassa alikuwemo pia, Benard Membe, Steven Wassira, William Ngeleja, January Makamba na Frederick Sumaye.

Tayari vikao vya juu vya CCM vimekwisha toa ratiba kamili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, Mwaka huu ambapo kwa upande wa urais zoezi la uchukuaji fomu kwa ngazi ya urais litaanza Juni 2 mwaka huu.

Updates toka Arusha: Mkutano wa Lowassa wa Kutangaza nia ya Kugombea Urais leo

Posted: 29 May 2015 11:18 PM PDT

Leo ndio ile siku tuliyokuwa tukiisubiria kwa hamu, Siku ya maajabu, Siku ya mazingaumbwe, Siku ya kuzuiya mafuriko kwa mikono, Siku ya kufanya bishara bila mahesabu, Siku ya kutuza Fedha bila Daftari.

Kwa heshima na taadhima mwanahabari wenu toka chombo cha habari cha kwaminika, chombo kinachofanya kazi bila kupokea bahasha, chombo kilichobaguliwa na mafisadi, Chombo kinachotoa ruhusa kwa kila members kukusanya na kurusha habari, Chombo chenye herufi mbili "JF" kambanda wa ukweli nipo hapa stadium nikishuhudia mazingaumbwe.

Tokea jana nilikuwa nikirandaranda kwenye mitaa na chocho zote za jiji la harusha lakini sikukutana na pikipiki, baisikeli, ng'ombe, mbuzi au gari la matangazo ya mkutano wa leo.

Leo pia nimeamka saa 10 alfajiri/usiku kuendelea kutafuta ata fisi au nguchiro akitangaza mkutano wa Ngoyai lakini nimeambulia patupu.

Muda huu nimeamua nijikite hapa Shekhi Amri Abeidi Karume na kamera zangu ili nipate picha za mazingaumbwe ya leo. Kiukweli uwanja umependeza sana majukwaa yapo matatu sijui ni tamasha la Fiesta? na sound system iliyofungwa hapa siyo ya kitoto na sijui huyu jamaa kaitoa wapi?

Mandugu kaeni mkaowa kula...............

Nimemtoa Out Kaja na Marafiki zake Watatu...Kilichofuta Baada ya Hapo ilinibidi ni Escape From Sobibo

Posted: 29 May 2015 11:15 PM PDT

Jana jioni nilipotoka kazini nilipitia recreation place moja hivi nipate moja moto moja baridi wakati nikisubiri foleni iishe Ingawa sina Gari ila kwa kawaida ikifika saa mbili usiku kidogo fujo za dala dala posta -makumbusho zinakua zimepungua..

Basi nikiwa hapo recreation nikampigia simu mrembo mmoja hivi staff mwenzangu kazini ambae nimekua nikimfuatilia sasa kwa wiki kadhaa nikamwomba apite nilipo tupate japo bia mbili Mbili huku tukizungumza

Cha kushangaza kaja na mashoga zake watatu na yeye Wa nne baada ya kuona nimeshtuka akajibalaguza kwa kusema eti amekutana nao hapo nje tu
Wakaagiza Windhoek lager mmoja akaagiza savana dry
Nikasema moyoni kwa kijita lelo ni lelo
Walipofika bia ya tatu kila mmoja huku wakiongea stori zao za kina diamond na Ali kiba zisizo na kichwa wala miguu wawili wakainuka kwenda jikoni kutazama nyama choma nilisikia kama ganzi miguuni na ndipo hapo nilipoanza kufikiria escape from sobibo

Wakati nimeanza kupanga escape plan warembo hao walikua bia ya sita kila mmoja wadada wananyonya bia sijawahi ona, mm nipo bia ya tatu tena safari nikinywa kwa kuichungulia
Yote tisa, kumi wakaagiza kongoro la kukatia pombe wakati wakisubiri nyama choma iive ambayo sikutaka hata kujua ni kiasi gani

Ilikua ni Saa mbili na nusu usiku nilipojifanya nakwenda kuongea na simu nje nilipofika nje ya bar hiyo iliyokaribu na billicanas club nilipiga hatua ndefu kuelekea posta Mpya huku nikitazama nyuma kwa hofu kama kuna mtu ananifuata, nikatokea nmb phonex house na mungu si Athuman hili hapa dala dala la makumbusho posta likiwa na abiria wachache nikadandia hill hilo na kupiga ishara ya msalaba kwa kufanikiwa kutoroka salama
Nikazima simu hadi saa sita usiku ndo nikaiwasha na kukutana sms kama 30 hivi za matusi kutoka kwa yule binti Wa kazini, akiniita majina yote mabaya kuanzia firauni na mengine mengi
Kwamba wakiitwa wanaume nawe utatoka?
Kwamba janaume suruali tu
Kwamba Aliniona Wa maana kymbe sina lolote

Leo asubuhi amenikuta nimeshakaa kwa meza yangu amefika akasimama mbele yangu akaniangalia kwa macho makali sana na akavuta msonyo mrefu sana na kwenda kwenye idara yake
Nahisi ndo ntakua nimekataliwa hivyo

Wakuu msichana anakuja kunikomoa hivyo huku anaujua kabisa mshahara wangu tupo ofisi moja anajua mm ni karani tu Wa kawaida
Wote mm na yy net yetu inalingana
Mabinti mjirekebishe sio vizuri kwa kweli

Udaku Specially

unread,
May 31, 2015, 4:54:29 PM5/31/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Huyu MBUTA NANGA Unaweza Kumuona Fyatu na Kichaa..Lakini ni Mzima na Anajua Anachokifanya kwa Uchizi Wake

Posted: 31 May 2015 10:57 AM PDT

Ebhana eeeh! Huyu mdada unaweza kumuona fyatu, kichaa, kichwa ngumu na yote unayotaka. Lkn ni mzima kabisa ana akili timamu na anajua anachokifanya. Na anawapata wengi sana....mtamtukana, mtampost na pia mtaangalia kazi zake halafu yeye ndo furaha yake!!! Mi huwa namchukulia kama comedian simchukulii serious sana!

Hizo videos zake na ukichaa wake kila kitu kinaishia kumuingizia pesa....yaan very ceative. Na anapata wateja ni balaa anauza dozens and dozens...hizo chupi akishusha mzigo bongo watu watakimbilia kununua na kuuzia watu kama sio yeye aliyetengeneza.

Kila mmoja wetu kuna mahali ni dhaifu na mahali ana nguvu fulani.....dada @mbutanangablog ukiweza kujitahidi kujizuia hasira zako kwa wanaokuudhi. Utakuwa ni dada ambaye wengi wataiga mfano na kujivunia unatoka Tanzania...bila hivo wengi tutaendelea kukichukulia kimzaha tu...kumbe kuna kitu kikubwa cha thaman ndani yako.

By Mrekebishatabia Instagram

LULU MICHAEL Afyatuka Aamua Kumtolea Uvivu HUSNA MAULID...'Acha Kutafuta Kiki za Kisen** Kupitia Mimi'

Posted: 31 May 2015 10:48 AM PDT

Haya haya...mwenzenu uswahili niliacha Sema Naomba leo niuridie kdgo ️na Tafadhali kwa ndugu,jamaa,Marafiki ️na yyte. Mwenye uwezo ww kumfikia Mtu anaitwa HUSNA MAULIDI mtanisaidia ku munch ️na kumfikishia huu ujumbe....

ANGALIZO:Post hii itakaa kwa dk5tu....sihiitaji Post Virus in my New n fresh Page...!
Mwambieni na YEYE nilishamwambia ANIACHE mana inaonekana hawezi kukaa muda bila kunitaja au kuniongelea..!

️Ni hivi huu ni mwaka wa pili probably umekuwa UNAONGEA SANA on social media Lkn mm Nakaa kimya...Sio mjinga mwenzio...nakuepuka usijekuwa unatafuta pa kufia bureee...2nd stop competing wth me shooo tuko tofaaaaaaaaaautiiiiii my friend😭😭😂
Hivi ushangai mtu hana Muda ️na ww LKN we hakukauki mdomoni..!
Me sikutukani ila naomba ujumbe ukifie tu....ungefanya kama hujawahi kuniona wala kunijua tokea umezaliwa mana me nishafanikiwa kwa hilo..hakuna kipengele ulichobaki kwenye akili yangu hata kwa bahati mbaya..!

I thnk ukiacha kutafuta Kiki za kisen** kupitia mm bdo utakuwa wewe tu n nothing will change...!Oky bi dada
Angalizo:sio kama sijui matusi,na maneno ya shombo ninayo pia ila nimeamua kutumia Busara tu...!

Written By Lulu Michael

Hawa walisherekea kifo cha Mwalimu Nyerere, leo wanamtumia kuutaka urais!

Posted: 31 May 2015 06:25 AM PDT

Tuachane na Josephat Gwajima anayejiita ni mchungaji japo sijui nani alimtunuku uchungaji na kwavigezo vipi, yeye hana tofauti na sigara kali

Aliyekuwa anaamini Kingunge ni kiongozi wa kitaifa atafakari upya,Jiulizeni kwa nini hakupata nafasi ya juu kama Mzee Kawawa enzi ya mwalimu?

Ni Kingunge huyuhuyu alifukuzwa ukuu wa mkoa singida na Mwalimu Nyerere, leo anajivika chanda cha Mwalimu.

Lowa alifukuzwa uanachama wa TANU kwakosa la kuiba pesa ya ujenzi wa ofisi za umoja wa vijana wa Tanu jijini Arusha yeye akiwa ni katibu wa vijana mkoa,

Ni Moringe na baadhi ya wazee waliopiga magoti kumuombea punguzo la adhabu na hivyo akapewa adhabu ya kuwepo Lumumba tu bila kazi yoyote kwa mda wa mwaka mzima.

Katibu wa vijana TANU Taifa ndugu Elly Anangisye alifukuzwa moja kwa moja na ubunge wa Rungwe akavuliwa.

Alipofariki tu Mzee Nyeree, Lowasa na kundi lake walifanya party na kupongezana, wengine walipigiana simu hata kabla hajafa kuwa kikwazo kimeondoka,

Leo kutangaza nia ya urais wanamtaja Mwalimu kama mbeleko.

Rip J.K Nyerere

BY Yericko Nyerere/JF

Mwigulu Nchemba Kutangaza Nia ya Kugommbea Urais Leo Saa 9 Alasiri Chuo cha Mipango, Dodoma

Posted: 31 May 2015 06:20 AM PDT

Mwigulu  Nchemba  Kutangaza  Nia  ya  Kugommbea  Urais  Leo  Saa  9  Alasiri.

Kama  kawaida, Mpekuzi  itakuwa  hewani  kukupatia  dondoo  muhimu za  sera  yake.

Itarushwa Live na Star TV

Lucy Komba: Shida Kuubwa Tuliyonayo Wasanii...'Ukiwa na Kijana Utaambiwa Hufanani Nae Ukiwa na Mbabu Utaambiwa wa Nini'

Posted: 31 May 2015 06:15 AM PDT

SHIDA KUUBWA TULIYONAYO WASANII ukiwa na mwanaume kijana utaambiwa hufanani nae, ukiwa na mbabu utaambiwa vijana wote waliojaa mjini mbabu wa nini, ukiwa na kijana ambaye hana hela utaambiwa na umaarufu wote huo umekosa mwanaume mwenye hela, ukiwa na tajiri utasikia anasura mbaya lakini pesa sabuni ya roho, ukiwa na mzungu mzee utaambiwa huna lolote usubiri madakesi tu, ukiwa na mzungu kijana utaambiwa mzungu gani hana hela.

Sasa je tufanyaje? Tuchagulieni nyie basi wa kufanana na sie. Lakini mimi naangalia moyo wangu unavyoniambia siangalii ya binadamu hasa sisi weusi maneno hayakauki.

By Lucy Komba on Instagram

Nancy Sumary na Dada Yako Nakaya Kunani ? Je ni Kweli Kuna Beef Kati ya Hawa Ndugu Wawili?

Posted: 31 May 2015 03:13 AM PDT

Nasikia Habari ya Mjini ni kuwa Hawa Ndugu wawili wa Damu Nancy Sumary na Dada yake Nakaya Kwa sasa Haziivi Hata Kidogo...Je Kunani Ama ni Uzushi tu ...Embu kwa Anaye jua A-Z atujuze....Maana Sitaki Kuamini Jinsi walivyokuwa wanapendana..eti sasa kila mtu kivyake....

Sentensi 18 za Edward Lowassa akitangaza kugombea Urais Arusha

Posted: 31 May 2015 03:01 AM PDT

May 30 2015 inakuwa siku ambayo inaingia kwenye Historia kubwa kwenye ishu za siasa Tanzania.. bado miezi michache ufanyike uchaguzi mkuu, mmoja ya watu ambao walitajwa sana na kuwa kwenye headlines kubwa kwenye vyombo  vya habari ni Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa.

Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid katikati ya Jiji la Arusha ulishuhudia kwa mara nyingine kujaa kwa watu ambao walikuja kushuhudia Mbunge huyo akitangaza nia ya kugombea Urais mwaka huu.


  • “Watanzania wanahitaji mabadiliko, nina uwezo wa kusimamia mabadiliko hayo.. Mwalimu Nyerere alisema Watanzania wasipoyapata mabadiliko hayo ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. sina shaka tukijipanga vizuri ndani ya CCM tunaweza kuwapa Watanzania mabadiliko wanayoyataka”  Edward Lowassa.
  • “Nchi yetu inahitaji viongozi wenye sifa hizi.. uongozi wenye uthubutu usioogopa kufanya maamuzi magumu, uongozi usioyumba.. aweze kuwaunganisha Watanzania na kutoa utofauti kati ya walionacho na wasionacho“ Edward Lowassa.
  • “Nina hamu, nina shauku na nina uwezo wa kuiongoza Tanzania… ninaamini nina kila kigezo cha kuibeba dhamana ya nchi yetu.. Katika vitu ninavyojivunia ni pale nilipoenda kupigana vita ya Kagera, nilishiriki kikamilifu nikiwa miongoni mwa askari wa mbele kuikomboa nchi yetu, muwaulize wengine waliwahi hata kufika Kagera?” Edward Lowassa.
  • “Kwa wingi wa rasilimali tulizonazo tuna kila sababu ya kutokuwa ombaomba… Haya ninayoyaeleza ndio msingi wa utendaji wa serikali nitakayoiongoza nikichaguliwa.. nimeamua kugombea Urais ili kupambana na umaskini.. Uongozi wangu utaleta mchakamchaka wa maendeleo” Edward Lowassa.
  • “Najua Watanzania wangapi wanaishi kwa bodaboda, mama ntilie.. hawa ni rafiki zangu hawatafukuzwa barabarani.. ni raia wa Tanzania wanaostahili kula kama wewe“
  • “Kwenye michezo tumechoka kuwa kichwa cha mwendawazimu, tutaibadili hali hii kwa kasi sana“  Edward Lowassa.

Baada ya Jana Lowassa Kutangaza nia Urais 2015..January Makamba Nae Aja na Mpya...

Posted: 31 May 2015 02:53 AM PDT

Tume ya taifa ya uchaguzi imeshatangaza kwamba uchaguzi mkuu utafanyika October 2015 ambapo sasa ni headlines zake zinachukua nafasi kwa watu mbalimbali kutangaza nia za kugombea nafasi ya juu ya Urais.
Post hii inamilikiwa na January Makamba ambae ni Mbunge wa Bumbuli Tanga na anautaka Urais pia ambapo May 30 2015 aliandika :

  •  ‘Wiki ijayo tutataarifu ni lini na kwa namna gani tutazungumza na Watanzania, kuchukua fomu, kuanza safari za mikoani kukutana na Watanzania

Waziri Nyalandu na mkewe Faraja kwenye jarida la bang time hii !

Posted: 31 May 2015 02:46 AM PDT


Bang ni miongoni mwa Majarida ya Tanzania ambayo yamekuwepo kwenye headlines kwa muda mrefu ambapo time hii kuna toleo jipya ambalo Waziri wa mali asili Lazaro Nyalandu na mke wake ndio wamecover.

Humo ndani wanazungumzia maisha yao, pia Waziri anazungumzia ishu yake ya kuutaka Urais wa Tanzania, amewazungumzia vijana wa Tanzania na mengine mengi hivyo ukiipata nakala yako utakutana pia na wengine akiwemo mtangazaji Sporah

AJABU:Mwanaume Apandikiziwa Uso wa Mtu Mwingine Baada ya Uso wake Kuaribika na Kuwekewa Sura ya Mtu aliyekufa

Posted: 31 May 2015 02:41 AM PDT

Picha ikimwonyesha Norris kabla hajapata ajali, alivyopata ajali na baada ya kuwekewa uso mwingine wa marehemu
Ajali nyingi duniani zimekua zikisababisha vifo vya watu wengi huku zikiacha wengine wakiwa na ulemavu wa maisha ambao huwasababishia kupoteza mwelekeo wa maisha yao na kukata tamaa kabisa.
Pamoja na wengi kubaki na ulemavu, lakini pia madaktari wamekuwa kijitahidi kadri wawezavyo kuwarudisha watu hao katika hali zao lakini moja ya tukio la kushangaza ni la kijana Richard Norris ambaye alipata ajali mbaya na kumpelekea kuharibika vibaya sura yake.

Unaambiwa baada ya ajali hiyo kijana huyo alishindwa kutoka nyumbani kwa takribani miaka 15 na amini usiamini kijana huyo alifanyiwa upasuaji wa kihistoria uliochukua masaa 36 na kupandikizwa uso mpya wa mtu ambaye alishafariki baada ya kupata ajali.

Upasuaji huo ulifanyika katika hospitali ya University of Maryland Medical Center na ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa na sasa kijana huyo anaendelea vyema akiwa mwenye furaha.

Kwa kawaida kwa sababu ya maadili ya utabibu watu waliopewa mabaki ya viungo vya wafu hawaruhusiwi kukutana na jamaa au ndugu wa marehemu, lakini Norris hakuweza kujizuia kukutana na Aversano, kutoka Maryland ambaye ni dada wa marehemu.

Dudu Baya kurudi rasmi kwenye muziki kwa jina jipya, ‘Dudu Mamba’

Posted: 31 May 2015 02:34 AM PDT

Msanii wa Hip Hop wa muda mrefu, Godfrey Tumaini aka Dudu Baya amedai kujipanga kurejea rasmi kwenye muziki wa Hip Hop na kuahidi kuweka ushindani mkubwa na wasanii wenzake wakiwemo Fid Q na Young Killer Msodoki.

Dudu Baya ameimbia Bongo5 kuwa si kwamba anarudi na muziki mpya tu bali pia akiwa na jina jipya – Dudu Mamba.

“Ushindani nitauweza najua kuna wasanii kama Fid Q, Young Killer na wengine wanafanya vizuri lakini mimi sasa hivi nimekuja kushindana,” amesema Dudu Mamba.

“Unajua hii miaka miwili nilionekana kutokuwa serious na muziki lakini sasa hivi tayari nimeshaingia studio za Mona Gangster. Mona ndo kamtoa Young Killer ngoma zote na wasanii wengine, kwahiyo tayari silaha ya kwanza katika kurudi kwangu ni kufanya kazi katika studio bora chini ya producer bora Mona Gangstar.

Silaha ya pili ni mpangilio wa promotion ya ngoma yangu mpya. Nimeshazungumza na wadau mbalimbali wa media kuangalia jinsi gani tunawezafanya kazi kwa kushirikiana, kwahiyo matumani ya kurudi katika level zangu yapo. Ngoma yangu inaitwa ‘Kuwachora kwa Jicho’ ngoma ambayo natumani itakuwa poa sana kwa sababu ngoma ni ya kuchezeka.”

Afungwa miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka tisa

Posted: 31 May 2015 02:33 AM PDT

Mkazi wa Malampaka mkoani Simiyu, Benedictor Bulobo (30) , ametupwa gerezani atakakotumikia kifungo kwa miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka binti wa miaka tisa.

 Alihukumiwa  na Mahakama ya Wilaya ya Maswa juzi na Hakimu Mwandamizi Mfawidhi  Agatha Chigulu, baada ya kuridhishwa  na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka.

Akitoa hukumu hiyo hakimu huyo alisema kuwa anatoa adhabu hiyo ili kukomesha vitendo hivyo na kuwaonya wenye nia  mbaya ya kutaka kutenda kosa kama hilo wajifunze na kuacha mwenendo huo.

Chigulu alieleza kuwa kosa hilo ni kinyume na kifungu cha 131 cha sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2012.

 Awali mahakama iliambiwa na  Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Nassibu Swedy kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Februari 23 mwaka jana  saa 5:00 asubuhi.

Alimnajisi mtoto huyo  maeneo ya nyumbani kwake baada ya kumkamata  kwa nguvu binti huyo mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Malampaka na kumwingiza chumbani kwake alipombaka.

Alisema mtoto huyo  alipata maumivu makali  baada ya kuumizwa  sehemu za siri,  alipiga kelele kuomba msaada na watu walifika katika eneo la tukio,  kumkamata  na kumfikisha Bulobo katika kituo cha polisi Malampaka.

Aunty Ezekiel Responds To Her Haters Who Say Moze Iyobo Isn't The Daddy of Her Daughter Cookie

Posted: 30 May 2015 11:05 PM PDT

Few days ago some of Aunty Ezekiel's friends  went to media to say that Aunty's daughter Cookie doesn't look like Moze Iyobo who is Aunty's boyfriend. Her friends whose names were withheld think the father of her daughter is someone else and not Moze Iyobo claiming the baby is white while both Moze and Aunty are black.
But through instagram Aunty posted the photo above sharing hot kiss with Moze and insisted Moze is the daddy of her child...

Udaku Specially

unread,
Jun 1, 2015, 5:31:36 PM6/1/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mshiriki wa BBA Kutoka Namibia Amwagia Sifa Wema Sepetu

Posted: 01 Jun 2015 01:19 PM PDT

Mshiriki wa Big Brother Afrika ‘BBA’ Hot Shot 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Munana, amemwagia sifa aliyekuwa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu kuwa ni mwenye mvuto wa kipekee.

Lakini licha ya kutoa sifa hizo, mshiriki mwenzao ambaye ndiye mwenyeji wao, Idris Sultan, hakutokea katika sherehe hiyo jambo lililozua minong’ono kwa watu baada ya tetesi kwamba ana ugomvi na Wema Sepetu.

Wema alimwagiwa sifa hizo alipokuwa katika sherehe za Instagram Party katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

“Wasanii ninaowakubali kutoka Tanzania ni Wema Sepetu, ni mrembo sana nampenda, wasanii wengine ambao nawakubali ni Shilole, Ommy Dimpoz pamoja na wimbo wake wa Wanjera,” alisema.
Washiriki wengine wa BBA waliohudhuria sherehe hizo ni Nhalanhla na Samantha wote kutoka nchini Afrika Kusini.

Wasanii wa Tanzania waliohudhuria sherehe hiyo ni Ben Paul, Izzo Bizness, Shelta, King Majuto, Stan Bakora, JJ Band, huku mshereheshaji akiwa Adam Mchomvu, B Dozen na DJ Ommy.
Hata hivyo, Wema alishukuru kupendwa na Luis. “Jamanii sina hata la kusema jinsi ulivyonisifia, nashukuru sana sana,” alijinadi Wema akishukuru.

Mtanzania

Shamsa Ford anamlea mtoto wa Nay Wa Mitego?

Posted: 01 Jun 2015 01:05 PM PDT

Picha iliyosambaa mtandaoni ikimuonyesha staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford akiwa amembeba mtoto wa staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego, Curtis imezua maswali kwa mashabiki wao kuwa huenda mwigizaji huyo kwa sasa anamlea mtoto huyo.

Miezi ya hivi karibuni Nay Wa Mitego aliamua kumchukua mtoto wake kutoka kwa mama yake Siwema aliyekuwa akiishi jijini Mwanza baada ya kutoelewana kati yao na minong’ono ilisambaa kuwa msanii huyo anatoka kimapenzi na Shamsa Ford.

Hata hivyo wote wawili walikana kutoka kimapenzi na kwamba ni marafiki wa kawaida,Clouds Fm imezungumza na Nay kuhusu picha hiyo alisema kuwa mwigizaji huyo ni rafiki wa dada yake alienda kumtembelea na kumbeba mtoto huyo na kupiga naye picha.

‘’Siyo kweli kwamba mtoto wangu analelewa na Shamsa namlea mwenyewe na mama yangu alienda kumtembelea dada yangu akapiga picha na Curtis,’alisema Nay.

Cloudsfm.com

Kisa Lowassa,Mzee Mengi alalamika kutukanwa, Aweka hadharani namba ya mbaya wake na Kuandika Ujumbe Huu

Posted: 01 Jun 2015 12:54 PM PDT

Baada ya ITV kurusha matangazo ya moja kwa moja siku ndugu Lowassa alipotangaza nia, Mzee Mengi amelalamika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa wapo watu walimtukana sana, haswa mtu mmoja ambaye namba yake kaiweka hadharani.

Kwanini Mengi atukanwe? Mbona ni vituo vingi vilikuwa Live? Mbona hata watangaza nia kama Wassira na Mwigulu ITV walirusha Live?


Destined To Musically Conquer Africa; the Amazing Tale of Diamond Platnumz

Posted: 01 Jun 2015 12:45 PM PDT

Whether you cognize Swahili or not, you sure have fallen in love with one of his songs or one of his exquisitely crafted videos. I’m talking about Diamond Platnumz, East Africa’s most selling artist and one of Africa’s most progressive musicians.

From Afro-pop to Afro folk, Diamond Platnumz has set himself apart as talented, versatile, unique, focused and destined to musically conquer Africa; a journey that is rather deliberate not fortuitous.

Before I excavate deep into the startling journey of East Africa’s hottest music export to the world, let’s take a brief look at who he is. Born Nasibu Abdul Juma on the 2nd of October 1989 in Tanzania, Diamond is a Bongo Flava recording artist and singer who has won numerous awards world over including Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards.

He has performed in different parts of the world, with some of his hottest songs including Kamwambie, Nalia na mengi, Mbagala, Nitarejea, Binadamu, Kizaizai, Lala Salama, Moyo Wangu, Mawazo, Kipofu, Kisa, Nimpende nani, Chanda Chema, Ukimwona, Nkifa Kesho, Nataka Kulewa, Kesho, Mapenzi Basi, Number One, Number One Remix (Ft.Davido), Mdogo mdogo, Bum Bum (Ft. Iyanya), Lala Ukisinzia, Ntampata Wapi, Nasema Nawee and Nana (Ft. Flavor).

One of the things that have elevated Diamond is his deliberate choice to craft stunning music videos. Whether you like his music or not, you’ll agree that his videos speak volumes of effort and creativity.

His Nana video (Ft. Flavor), for example, is such a beauty! Nana was shot in Cape Town, South Africa by God Father and it sure is well thought out, right from concept, story, casting and costuming to choreography! It feels like a movie and that’s what I mean when I say that Diamond’s rise to the top is well thought out.

In addition to his talent and uniqueness, it is such videos that have endeared him to music fans all over the continent. He doesn’t craft music videos just for the sake of having a music video out there, but rather to deliver masterpiece products; products that would appeal to a music fan in any part of the world!

His eye for the right collaborations has also helped him spread across the continent at such an amazing speed. Projects like Number One Remix (Ft. Davido), Bum Bum (Ft. Iyanya) and Nana (Ft. Flavor) have helped him spread beyond his East African market.

At this rate, Diamond Platnumz is obviously destined to musically conquer the African continent.

Mtoto afa baada ya mama yake kumnywesha sumu ya mende badala ya dawa ya minyoo

Posted: 01 Jun 2015 12:37 PM PDT

Tukio la kusikitisha sana limetokea eneo la Mbezi kwa Musuguli eneo la Bwaloni ambapo mama kwa bahati mbaya amemnywesha mwanae wa kike wa umri wa mika 3 sumu ya mende badala ya dawa ya minyoo hivyo kusababisha kifo chake. Hii ni kwasababu mama aliweka dawa ya minyoo pamoja na sumu akaamka saa 11 alfajiri ili awahi kumpa mtoto dawa ya minyoo. Kwa bahati mbaya badala ya kuchukua ile ya minyoo akachukua ile ya mende na kumpa mtoto kisha mtoto akaenda kulala.

Kulipokucha vizuri wakashangaa mtoto haamki ndipo walipoenda na kumkuta katika hali mbaya. Wakamkimbiza katika hospitali ya Bochi iliyopo Mbezi kwa Msuguli barabarani lakini walipofika waliambiwa wamechelewa sana hivyo mtoto akafariki. Amesafirishwa Jumamosi kwenda Moshi kwa mazishi. Wazazi wa mtoto ni watu waliookoka wakisali katika kanisa la KKKT Mtaa wa Bwaloni. Inasikitisha sana.

Ili kuzuia tukio kama hili kujitokeza nashauri wazazi na watu wote kuweka mbali kabisa dawa za binadamu na dawa za wanyama na wadudu iwe za kutibu au kuua wadudu. Pembeni ya hapo nimewaza sana kuwa kama tukio hili lingekuwa limefanywa na House girl kwa bahati mbaya vile vile sijui ingekuwaje?

Angeeleweka na ingeeleweka kuwa ni bahati mbaya? Katika tukio hilo mama naye alitikiswa kidogo kwani alikuwa ameilamba kidogo kabla ya kumpa mwanae.

Mungu ailaze roho ya mtoto mahali pema peponi, Ameni.

Pole Sana Edward Lowassa Maadui Wako ni Wana CCM Wenzako

Posted: 01 Jun 2015 12:26 PM PDT

Ni mmoja wa vijana ninayemkubali sana Lowassa tangu akiwa waziri wa maji na baadae waziri mkuu. Maskini Pamoja kuugwa mkono na kila rika lakini kwa hotuba za makada wawili wanaoitaka hii nafasi ya uraisi ni dhahiri maadui wako wako ndani ya CCM na si UPINZANI kama nilivyokuwa najidaganya hapo awali!! pamoja na hotuba ya kistaarabu uliyoitoa juzi wenzako hawana hilo. Lakini mungu ni mwema tutashinda.

MSHTUKO!!!Mwakyembe Nitapambana Kufa na Kupona LOWASSA asiingie Ikulu

Posted: 01 Jun 2015 12:23 PM PDT

WAZIRI wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameapa kupambana kufa au kupona, kumzuia Edward Lowassa, kuingia Ikulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika andishi lake alilolituma kwenye mitandao ya kijamii, Dk. Mwakyembe anasema, Lowassa hana sifa ya kuwa Rais wa Jamhuri. Amesema, “…namuona Lowassa kama mtu ambaye anatapatapa huku akiujua ukweli kwamba hana nafasi hata kiduchu ndani ya CCM.

lisema hili bila kukemea jicho wala kuwa na wasiwasi wowote na maisha yangu kwani najiamini na mwenyezi mungu ananilinda na watanzania wananiombea daima na najisikia furaha kuwa miongoni mwa wabunge wa CCM ambao hatukuufumbia macho ufisadi wa kampuni feki la kuzalisha umeme iliyomuhusisha waziri mkuu ambaye mimi namuita aliyejiuzulu na sio kustaafu.
Nakushauri ujitafakari vizuri kwani CCM haitoweza kumkabidhi nduli nchi hii.
Unahaha kutumia mabilioni kuhonga na kusafirisha watu kwenye tendo la kutangaza nia tu, hivi unafijiri kamati zote za CCM zina njaa ya pesa zako za kifisadi?

Hivi hujui watanzania wakushangaa unasema safari ya matumaini wakati safari hiyo ni ndani ya bahari iliyojaa majoka na mizimu ambayo imejivika ngozi ya kondoo ili iwameze katikati ya bahari?
Nitakuwa wa kwanza kujitafakari na kuitafakari CCM na kuchukua hatua ambayo najua watanzania wasiouza utu wao kwa dhamana ya fedha.
Ninakusubiri kwa hamu ili nikusikie utakavyokuwa unabadili jihanam kuwa peponi, kwa manufaa ya watanzania nitaanika hadharani uozo wako wote kwa ujasiri na bila hata chembe ya woga ili watanzania wasipotoshwe tena kwa njia ya nbwembwe za fedha. Eh mwenyezi mungu nipe uthabiti kwa hilo.

Rai yangu kwa wana CCM na watanzania tuchague viongozi bora na sio kwa nguvu ya fedha, wapambe na kutembelea nyota ya mtu.
Utauficha wapi uso wako wakati ambapo CCM itakapokuangusha kwa kishindo na kuchagua wawakilishi walio safi? Utapata kiharusi na shock bure kwa kupoteza fedha za madili uliyopiga RICHMOND na ufisadi mwingine.

Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb) Waziri wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

Diamond ndiyo Habari ya Nigeria!! Ali Kiba Upo Wapi? Diamond ameachia Video nyingine na IYANYA Itazame Hapa

Posted: 01 Jun 2015 12:16 PM PDT

Diamond ndiyo Habari ya Nigeria!! Ali Kiba Upo Wapi? Diamond ameachia Video nyingine na IYANYA Itazame Hapa

Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo

Posted: 01 Jun 2015 12:10 PM PDT

Kwa  mara  ya  kwanza  Waziri  Mkuu  wa  Zamani, Edward  Lowassa  amefunguka  na  kueleza  ukweli  halisi  wa  sakata  zima  la  Richmond  lililomfanya  achukue  uamuzi  wa  kujiuzulu  wadhifa  wake  wa  uwaziri  mwaka  2008.

Katika  maojiano  maalumu  na  Mpekuzi,Lowassa  amewaka  wazi  kuwa  anapata  shida  kujua  kama  tupo  makini  kusimamia  ipasavyo  mambo  yanayohusu  maisha  yetu,kwani  masihara  ya  kisiasa  yaliyoratibiwa  na  baadhi  ya  wabunge  ndiyo  yaliyosababisha  serikali  kupitia  Tanesco kushindwa  katika  kesi  ya  kuvunjwa  kwa  mkataba  wa  Richmond/Dowans  katika  mahakama  ya  kimataifa  ya  usuluhishi  wa  mizozo  ya  kiuwekezaji (ICC)  iliyopo  Paris  nchini  Ufaransa  na  kutakiwa  kulipa  mabilioni  ya pesa.

Pamoja  na  mambo  mengine, Lowassa  ambaye  ametangaza  nia  ya  kuwania  nafasi  ya  Urais  amezungumzia  kwa  kina  urafiki  wake  na  Rais  Jakaya  Mrisho Kikwete  pamoja  na  utajiri  wake.

Ukweli  juu  ya  Sakata  la  Richmond

Swali: Utakumbuka  kwamba  ulijiuzulu  uwaziri  mkuu  kutokana  na  sakata  la  Richmond. Leo  hii  ni  miaka  saba imepita, unaweza  kutueleza  uhusika  wako  katika  sakata  hili?

Jibu: Waswahili  wanasema  ukweli  unajitetea  wenyewe.Lakini  nianze  kulijibu  hili  kwa  kueleza  maana  halisi  ya  dhana  ya  kuwajibika.  Si  kosa  hata  kidogo  kujiuzulu  wadhifa  wa  kisiasa  kunapotokea  mkanganyiko  wa  mambo  kwa  namna  ile  ilivyotokea. Uongozi  ni  dhamana.

Mimi  sio  kiongozi  wa  kwanza  hapa  nchini  na  nje  ya  nchi  kuwajibika  yanapotokea  mambo  ya  namna  hiyo. Rais  wetu  mstaafu  mzee  Ali  Hassan  Mwinyi  alipata  kuwajibika  kwa  njia  ya  kujiuzulu  uwaziri  wa  mambo  ya  ndani  baada  ya  Raia  kuuawa  na  polisi  mkoani  Shinyanga  miaka  ya  70.

Naamini  kwa  dhati  kabisa  kwamba  watanzania  walio wengi  sasa  wanajua  zaidi  ukweli  kuhusu  sakata  la  Richmond  ambalo  lilisababisha  nijiuzulu  uwaziri  mkuu.

Pengine  niseme  tena  leo, kwamba  niliwajibika  kisiasa  kwa  sababu  kuu  mbili:

1:Kulinda  heshima  ya  chama  changu  na  serikali  kama  nilivyosema  wakati  ule.

2: Nilijiuzulu  ili  ku 'register'  masikitiko  yangu  kwa  namna  kamati  teule  ya  bunge  ilivyolitaja  jina  langu  sana  na  tena  kwa  namna  ya  kunituhumu  kwa  mambo  ambayo  sikuyafanya, wakifanya  hivyo  pasipo  kunipa  haki  ya  msingi  ya  kusikilizwa (Natural  Justice).

Sakata  la  Richmond  ni  kielelezo  kizuri  au  mfano  mzuri  wa  kihistoria  wa  namna  magomvi  ya  kisiasa  yanavyoweza  kuliingiza  taifa  katika  gharama  au  hasara  kubwa

Ni  jambo  la  bahati  mbaya, kwamba  kasoro  za  kimaamuzi  na  kiutendaji  zilizotokea  wakati  wa  mchakato  wa  kutafuta  suluhu  ya  dharura  iliyokuwa  ikikusudiwa  kulinusuru  taifa  katika  madhila  kubwa  iliyokuwa  ikitokana  na  ukame  mkali  ulioikumba  nchi  yetu  katika  kipindi  cha  kati  ya  mwaka 2005  na  2007, yaligeuzwa  kwa  sababu  tu  ya  kuendekeza  ugomvi  wa  kisiasa  na  kuwa  kile  kilichopewa  jina  la  "Kashfa  kubwa  ya  Ufisadi".

Ni  lini  na  wapi  kulipata  kuwa  na  rushwa  katika  mkataba  ambao  serikali  ambayo  mimi  nilikuwa  waziri  mkuu  wake, ilifikia uamuzi  wa mkusudi  kabisa  wa  kukataa  kuilipa  hata  senti  moja  kampuni  ambayo  ilionyesha mwelekeo  wa  kusuasua  baada  ya  kushinda  zabuni  ya  kuleta  mitambo  ya  kuzalisha  umeme  wa  dharura  wa  megawati 120. Nasema  hakuna  hata  senti  moja  ya  serikali  ilitumika  kuilipa  Richmond.

Ikumbukwe  kwamba  uamuzi  wa  kukataa  kuilipa  Richmond  hata  senti  moja  ulifikiwa  serikalini  baada  ya  jambo  hilo  kujadiliwa  katika  ngazi mbalimbali  serikalini  kabla  ya  bunge  kuunda  kamati  teule.

Si  hivyo  tu, ukweli kwamba  mkataba  uliopipa  Richmond  kuzalisha  na  kuiuzia Tanesco  Umeme  ulifuata  taratibu  zote  za  kiserikali  na  kwa  kuzingatia  misingi  wa  mikataba  mingine  ya  mikataba  ya  dharura  ya  namna  ile  ambayo  ishakuwepo,ni  kielelezo  kingine  cha  namna  jambo  hilo  lilivyoshughulikwa  kwa  ushabiki mkubwa  wa  kisiasa.

Leo  hii  ninapolazimika, tena  kwa  uchungu  na  masikitiko  makubwa  kulijibu  swali  hilo, huku  nikitambua  kwamba  ugomvi  wa  kisiasa  ulioratibiwa  na  baadhi  ya  wabunge  ndio  uliosababisha  serikali  kushindwa  katika  kesi  ya  kuvunjwa  kwa  mkataba  wa  Richmond/Dowans  hata  kutakiwa  kulipa  mabilioni  ya  pesa, napata  shida  kujua  iwapo  kweli  tupo  makini  katika  kusimamia  ipasavyo  mambo  yanayohusu  taifa  letu.

Nina  imani  watanzania  ambao  wamekuwa  wakifuatilia  mwenendo  wa  bunge  tangu  wakati wa sakata  la  Escrow  ni  mashahidi  kwamba  wabunge  kadhaa  kutoka  CCM na  upinzani  kwa  nyakati  tofauti  wameonekana  kuanza  kupata  picha  na kutambua  kuwa  kulikuwa  na  njama  za  makusudi  za  kutafutana  na  kuumizana  kisiasa  wakati  wa  sakata  la  Richmond.

Kauli  ambazo  zimetolewa  kwa  nyakati  tofauti  na  hivi  majuzi  na  kiongozi  wa  kambi  ya  upinzani  bungeni, Freeman Mbowe  kuhusu  kile  ambacho  kilitokea  wakati  wa  mzozo  wa  Richmond  ni  ushahidi  wa  hicho  ninachokisema.

Kwamba  leo  hii  mh. Mbowe  anaposema,acha  nimnukuu;
"Kuendekeza  makundi  na  vita  vya  kisiasa  ndani  ya  CCM  na  serikali  yake  kwa  gharama  ya  taifa  hili  sasa  linadaiwa  sh. bilioni 120  baada  ya  kushindwa  kwenye  kesi  ya  Richmond/Dowans  katika  mahakama  ya  kimataifa  ya  usuluhishi (ICC)  huko  Paris"

Mh. Mbowe  haishii  hapo  bali  anakwenda  bali  zaidi  na  kusema  iwapo  ukweli  hautawekwa  bayana,"huko  mbeleni  jambo  hilo  litaligharimu  taifa  mabilioni  haya  ya  fedha  ambayo  yangeweza  kuepukika  kama  ukweli, uwazi  na  haki  vingetawala  mchakato  mzima  wa  kashfa  ya  Richmond."

Ni  wazi  kwamba  anachokisema  Mbowe  hapa  ni  kwamba  swala  hili  lilishughulikuwa  katika  misingi  isiyo  bayana  na kwamba  haki  haikutendeka.

Ukweli  mchungu, leo  hii  mitambo  ileile  iliyoletwa  na  Richmond  na  Dowans  ambayo  ingeweza  kununuliwa  na  Tanesco  kama  baadhi  ya  wataalamu  walivyoshauri, badala  yake  inamilikiwa  na  kampuni  ya  kimarekani  ya Symbion  baada  ya  mkataba  kuvunjwa  kinyume  cha  sheria.

Wakati  tukiugulia  maumivu  ya  makosa  yetu,Rais  wa  Marekani  Barack  Obama  na  aliyekuwa  Waziri  wa  mambo  ya  nje  wa  taifa  hilo  kuwa, Hillary Clinton,kwa  nyakati  tofauti  wakati  wa  ziara  zao  hapa  nchini  walisifia  ubora  wa  mitambo  hiyo  kuwa  ni  ya  kisasa  kabisa  tofauti  na  kile  kilichoelezwa wa  wale  wanaoendekeza  siasa  za  makundi  ambao  walidai  kuwa  mitambo  hiyo  haiwezi  kuwasha  hata  hata  kibatari.

Lakini  kubwa  na  muhimu  katika  yote  hayo  ni  hukumu  ya  Mahakama  ya  ICC  ambayo  ilisomwa  na  majaji  watatu  ambao  weledi  na  uzoefu  wao  mkubwa  kisheria  si  wa  kutiliwa  shaka, mmoja  akitokea  katika  Supreme  Court  ya  Marekani, mwingine  wa  mahakama  ya  Rufani  ya  Uingereza  na  watatu  kutoka  Mahakama  ya  Rufani  ya  Uganda.

Majaji  hao  watatu  katika  hukumu  yao  walitamka  bayana  kuhusu  kufuatwa  kwa  taratibu  zote  za  kisheria  katika  kuipa  ushindi  Richmond/Dowans  katika  zabuni yake  na  kutokuwepo  kwa  wingu  lolote  la  shaka  juu  ya  vitendo  vya  Rushwa  katika  mchakato  mzima  wa  zabuni  hiyo. Vinginevyo  tusingeshindwa  kesi  hii  na  kuligharimu  taifa  mabilioni  haya.

Ukisoma  Ripoti  ya  kamati  ya  Dr  Harrison  Mwakyembe, kuna  sehemu  inaeleza  bayana  kwamba  mwaka 2004,zaidi  ya mwaka  mmoja  kabla  serikali  ya  awamu  ya  nne  ambayo  mimi  nilikuwa  waziri  mkuu  wake  haijaingia  madarakani,kampuni  hiyo  hiyo  ya  Richmond  ilishinda  zabuni  kubwa  ya  kujenga  bomba  la mafuta  kutoka  Dar  es  Salaam  hadi  Mwanza.

Huu  ni  ushahidi  wa  kwanza  muhimu  kwamba  hii  kampuni  ilishakuwa  miongoni  mwa  kampuni  za  kiukezaji  miaka  kadhaa  kabla  ya  mimi  sijawa  waziri  mkuu.

Ukweli  huu  uliothibitishwa  hadi  katika  kamati  teule  ya  Mwakyembe  ni  ushahidi wa  kwanza  wa  wazi  kwamba  eti  mimi  Lowassa  ndiye  niliyekuwa  mmiliki  wa  kampuni  hiyo  ambayo  hata  wawekezaji  wake  sijapata  kuwajua  au  hata  kukutana  nao  hazikuwa  sahihi.

Lakini  tukumbuke  kwamba  madai  haya  yalithibitika  kuwa  siyo  sahihi  baada  ya  mahakama  ya  kimataifa  ya  usuluhishi  kutamka  kwamba  Richmond  ilikuwa  kampuni  iliyosajiliwa  Marekani  kwa  miaka  mingi  na  kwamba  ilishinda  zabuni  ya  kuzalisha  umeme  wa  dharura kihalali.

Kwangu  mimi  jambo  muhimu  katika  sakata  hili  lilikuwa  ni  uamuzi  wa  bodi  ya  tenda  ya  Tanesco  na  wizara  ya  Nishati  ambayo  katika  rekodi  zake  ilikuwa  ikiifahamu  vizuri  Richmond  kutochukua  tahadhari  mapema, yaani  kufanya  due deligence  ipasavyo, kwa  kuangalia  uwezo  wa  kifedha  wa  kampuni  husika  kabla  ya  kuipa  ushindi. 

Sasa  naingiaje  Lowassa  hapo  au  familia  yangu?  Hakika  haya  ni  masihara, Mungu  anajua.

Uhusiano  Wake  na  Rais  Kikwete

Swali:Jina  lako  limetajwa  kwa  muda  mrefu  pengine  kuliko  ilivyo  kwa  mwanasiasa  mwingine  yeyote  ndani  na  nje  ya  CCM  juu  ya  kuwa  mgomea  Urais  katika  uchaguzi  mkuu  wa Oktoba  mwaka  huu.
  1. Je,unafikiri  ni  kwa  nini  imekuwa  hivyo?
  2. Je,umejiandaa  kukabiliana  na  mikiki ya  Urais?
  3. Iwapo  jibu  lako  ni  ndiyo,nini  hasa  ambacho  wewe  unadhani  unastahili  zaidi  pengine  kuliko  kwa  mgombea  mwingine  yeyote  kubebeshwa  dhamana  hiyo  kubwa  na  nzito?
  4. Unaweza  kutuambia  ni mambo  gani  hasa  umepanga kulifanyia  taifa  hili  iwapo  CCM itakuteua  kuwa  mgombea  wake  wa  Urais  na  watanzania  wakakuchagua  kuwa  kiongozi  wao  mkuu?
  5. Kwa  miaka  mingi  sasa  jina  lako  limekuwa  likitajwa  sambamba  na  Rais  Kikwete.Unaweza  ukawaeleza  watanzania  wewe  na  Kikwete  mlikutana  lini  na  wapi?

Jibu: Ni  kweli  kwamba  jina  langu  limehusishwa  sana  na  Rais  Kikwete  kwa  wema  na  kwa  ubaya. Kwa  wema  kwamba  tumefanya  naye  kazi  ndani  ya  CCM,kabla  sote  wawili  hatujapata  fursa  ya  kuitumikia  serikali

Katika  hadhira  na  hususani  nje  ya  CCM, uhusiano  wangu  na  mh.Rais  Kikwete  ulianza  kuonekana  mwaka 1995,wakati  yeye  na  mimi  tulipokubaliana  pamoja  na  tena  baada  ya  kushauriana  kwa  kina  na  hatimaye  tukafikia  uamuzi  wa  kutangaza  nia  pamoja  ya  kuchukua  fomu  na  kukiomba  chama  chetu,chama  cha  mapinduzi  kiteue  mmoja  wetu  kubeba  bendera  ya  chama  ya  kugombea  urais.

Tulipotangaza  uamuzi  wetu  huo, tuliwaahidi  watanzania  mbele  ya  vyombo  vya  habari  kwamba, yeyote  ambaye  angeshinda, yule  mwenzake  aliyeshindwa  angemuunga  mkono  kwa  nguvu  zake  zote.

Kimsingi  kile  ambacho  siku  zote  nimekuwa  nikiita  safari  ya  matumaini  kilianza  na  ndoto  hiyo  ambayo  sote  wawili   tuliijenga  katika  misingi  ya  kutambua  kuwa"Uongozi  ni  wajibu  na  kuwa  kiongozi  ni  kuwa  mtumishi  wa  watu",.

Tangu  wakati  huo, tumeendelea  kuwa  karibu  kirafiki,kisiasa  na  kikazi  na  Rais  Kikwete,tukishirikiana  vyema  katika  kujadili, kuanisha  na  kutafuta  majibu  ya  changamoto  mbalimbali  za  kiungozi  katika  taifa  letu.

Uamuzi  huo  ndiyo  ambao  ulisababisha  wakati  fulani  nilipokuwa nikiongea  na  wanahabari  miaka  kadhaa  baada  ya  kujiuzulu  uwaziri  mkuu  nitoe  kauli  ambayo  ilipewa  tafsiri  tofauti  na  wanasiasa  na  wachambuzi  mbalimbali  wa  masuala  ya  kisiasa  pale  niliposema;" Mimi  na  Rais  Kikwete  hatukukutana  barabarani".

Ni  imani  hiyo  niliyoijenga  katika  misingi  mama  ya  kufahamiana  na  kuaminiana  ndiyo  ambayo  wakati  wa  mchakato  wa  kumtafuta  Rais  wa  Nne  wa  Tanzania  kwa  moyo  wa  dhati  kabisa  nilimuunga  mkono  mwenzangu  katika  harakati  hizo  na  wenzangu  tuliokuwa  na  mawazo  hayo  wakaniteua  mimi  kuwa  mwenyekiti  wa  kamati  ya  ushindi  ambayo  ilikuwa  na  kazi  kubwa  na  ngumu  ya  kuratibu  harakati  za  kumhakikishia  mgomea  wetu  huyo ( Rais  Kikwete)  anateuliwa  kubeba  bendera  ya  kugombea  kwa  tiketi  ya  CCM. Jambo  jema  katika  hili  tulifanikiwa  na  tukashinda.

Kilichofuata  baada  ya  hapo  wengi  wanakifahamu,mheshimiwa  Rais  alinipa  heshima  kwa  ridhaa  yake  mwenyewe  Disemba  2005  kuwa  Waziri  mkuu  wake  wa  kwanza  katika  Serikali  yake.

Hili  la  kwamba  ni  rafiki  yangu, ni  swala  ambalo  hata  yeye  mwenyewe  mheshimiwa  Rais  amepata  kulielezea  hadharani mara  kadhaa  tangu  mwaka  1995  na  baadaye  akafanya  hivyo  mwaka  2005  alipokuwa  akirejesha  fomu  yake  ya  kuomba  ridhaa  ya  CCM  alipotutaja  mimi  na  Rostam Aziz  kuwa  ni  marafiki  zake.

Waliosoma  maandiko  yake  watakuwa  wanakumbuka  kwamba  yeye  mwenyewe  amepata  kuandika  kwa  mkono  wake  kwamba, aliniteua  kuwa  waziri  mkuu  si  kwa  sababu ya  urafiki  wetu  bali  kwa  kutambua  uwezo  na  uchapakazi  wangu.

Kwangu  hilo  ni  jambo  la  faraja  na  kutia  moyo  sana.Naamini  maelezo  hayo  yanajibu  kwa  sehemu  kubwa kile  ambacho  kila  mara  kimekuwa  kikirejewa  kuhusu  urafiki  wangu  na  Rais  Kikwete.

Mwanamuziki AY Ayapa Kisogo Mapenzi, Aamua Kuwa Single Boy..'Sasa ni Mwaka Mzima Umepita Bila.....'

Posted: 01 Jun 2015 03:59 AM PDT

AY ameamua kujipa mapumziko marefu ya kutokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Rapper huyo alikiambia kipindi cha Mlimanidotcom cha Mlimani TV kuwa ana mwaka mmoja na nusu sasa bila kuwa kwenye uhusiano wowote.

Sasa hivi nimeingia kwenye break karibia mwaka mmoja na nusu,” alisema AY.

Kila mtu ana uamuzi wake na kila mtu ana mipango yake katika maisha so kwa upande wangu nimeona nifocus sana kwenye kazi na ndio maana mnaona matokeo ya kazi inavyofanyika. Sometimes vitu kama hivyo vinakusogeza mbele, sometimes inaweza ikakudiscourage uwaka slow katika kazi zako. Ikitokea imetokea ila sasa hivi nipo kama baiskeli.

Mashabiki Wamshauri Mwigizaji LULU MICHAEL Haya Kutokana na Bifu Alilonalo na HUSNA MAULID Lililosababishwa na Kuchukuliana Mabwana

Posted: 01 Jun 2015 04:00 AM PDT

Mwigizaji Lulu Michael Jana alishindwa kuvumilia na Kumtolea Uvivu Mrembo Husna Maulid Akitaka Amkome na Kuacha Kumuongelea, Lulu Alitoa Meneno Makali ambayo yamefanya baadhi ya Mashabiki wake Kumshauri ...

Hawa ni Baadhi ya Mashabiki waliomshauri kupitia Instagram:

mrekebishatabia @elizabethmichaelofficial mumy! We sasahivi focus kwa unayoyafanya...kama ni shule, kazi nk.....Haujaanza kusemwa leo na ulinyamaza kimya maisha yakaendelea, naona unaanza kuzua majadiliano kwenye social networks.... hapa ndo sasa unachokonoa watu kuongea mengi na media kuandika. Fanya yako kwa bidii itasaidia kuziba yale mengine. 12

cjthefqueen @elizabethmichaelofficial ningekushauri siku nyingine kabla hujaruhusu hasira zikucontrol mamii kaa chumbani ufikirie mangapi mazito umepitia then pima maumivu ya yale ulopitia na maumivu ya kusemwa na mtu mmoja halafu ukipata jibu piga goti sali na useme Asante Mungu. ...... Chukua cm yako n listen to the song u lv the most basi utakuwa umeepusha shirki hapo.


good_belle Huyo lulu mnamuonea buree husna ndo kaanza au hamjaona kuna smtimes mtu unachoka inabid tu hana moyo wa chuma huyuu 3

joyjovlyne_movingshop_tz Love u bby n fanya yako dear n by da way best wishes Roho wa Mungu akutangulie n kil dem wd success mamiii@elizabethmichaelofficial 4h

liliousbyt  la mjinga au mpumbv ni kukaa kimya, kujibishn ny ni kuonkn wote ni matahira tuuu aliponymz tk kipnd kile we all see how class she is but nau haya jan husna kajibu vile na leo yeye atajibu hivi and then wat next? Na we all know for other side who is guilty n not guilty inspite of all this bull shit!! So mi naona @mrekebishatabia ameongea point kwanza ana mitihn focus na kusoma na mitihn uvune mavuno mazr hp bdye na si kujibishn mtandaoni 7


staystrong_lizymichael Wataongea tu ila watanyamaza coz watz tumeumbiwa hivyo, as she said ni miaka kama miwili kavumilia matusi na maneno yote, sometimes kusema au kuongea chochote katika yanayoendelea kunafanya utoe dukuduku lako moyoni na maisha yanaendeleaa, kasema kamaliza I hope hata nafsi yake iko safiiiiiiiii @mrekebishatabia @elizabethmichaelofficial  13h
Read more at http://websta.me/n/mrekebishatabia#SwFViPkMc1U4vz6s.99

Haya Ndio Madhara ya Wapenzi Kunyonyana Sehemu za Siri kwa Kutumia Midomo Wafanyapo Mapenzi

Posted: 01 Jun 2015 02:59 AM PDT

ZAIDI ya nusu ya vijana Duniani wanakumbwa na magonjwa mbalimbali yanayotokana na maambukizi ya virusi vinavyotokana na ngono zembe.

Kwa muujibu wa utafii uliofanywa na jopo la Madaktari nchini Marekeni umebaini kwamba, vijana wengi hususan Barani Afrika wanakumbwa na magonjwa ya kuambukiza kutokana na tabia ya kufanya ngono zembe na kunyonyana sehemu mbalimbali za miili yao.

Utafiti huo umebaini kwamba, vijana wengi wanapenda kuiga tabia  zinazofanywa na baadhi ya watu mbalimbali wanaoigiza muvi mbalimbali duniani zikiwemo muvi za ngono.

Madaktari hao katika utafiti wao wamebaini kwamba, vijana wengi hupenda kunyonyana ndimi zao,sehemu za siri,makwapani sehemu za makalio kwenye matiti bila kujali kwamba, mwili wa binadamu unazalisha bakteria nyingi kila kukicha na kwamba bakteria hizo, huwa sumu pale zinapoingia kwa binadammu mwingine.

Katika hatua nyingine utafiti huo pia umebaini kwamba, kuna baadhi ya wanawake wanapenda kunyonya ndimi za watoto wao wakati wa kuwalisha vyakula, ama kuwabiga mabusu kila wakati bila kujali usafi wa vinywa vyao, kiasi cha kusababishi maambukizi ya magonjwa ya ngozi kwa watoto wao.

Kuhusu filamu hizo madakati hao walisema kwamba, watu wanaoigiza katika picha mbalimbali wanakuwa chini uchunguzi wa watalaam wa afya, kabla na baada ya kurekodi filamu, tofauti na watu wanavyo dhani kwamba wale kweli ndiyo tabia yao na pengine ni watu waliokutana na kuanza kunyonyana ovyo.

Mwanamuziki SHETTA Aibua Tena Vita ya Maneno Kati ya BIKIRA wa KISUKUMA na Mwaandaji wa Instagram Partyz Freeconic Ideas

Posted: 01 Jun 2015 02:57 AM PDT

Hawa ni marafiki wawili waliowahi kufanya kazi pamoja lkn kwasababu ya kutoelewana kibiashara wakatengana kila mmoja akaenda njia yake. Seth yeye now yuko EFM radio na Fred yuko na Freeconic Ideas kampuni yake.

Jana radio ya EFM waliandaa event ya miaka 16 ya msanii Juma Nature ambapo Bikira wa Kisukuma akaipigia kampeni kwa maneno hayo juu kuhusu kuwepo kwa msanii Shetta ukumbi Dar Live....ilionekana ni maneno ya kuudhi kwa mwenzake ambaye pia alikuwa na event ya Instagram Party na Shetta naye alikuwepo sehemu hiyo pia.

Nimechunguza pande zote mbili kuona tatizo nilichogundua hapa ni lugha ya biashara kila mmoja amvutie msikilizaji au anayehudhuria, kila mmoja kwa namna yake kufanya matangazo kuhamasisha watu kuhudhuria events zao.

Seth na Fred nyie bhana hamjakutana barabarani isifike hatua mkaanza kuwapa watu faida mtandaoni, kama kuna mtu bado ana wivu na kinyongo na mwenzake muonane muweke peace na ikibidi mshirikiane kwa mambo mengine yanayohusu events.

Mmeanza kazi kwa kuijenga IG party pamoja wakati hamna kitu mpaka hatua nyingine Seth kuweka bond gari yake ili mpewe pesa, kwa kile cheo cha afisa Masoko aliweka nguvu kubwa kutafuta masponsors ambao ndio hao hao mko nao pamoja mpaka hivi sasa na mengine mengi khs kampuni ya @freconic_ideaz Leo hii nadhan si busara kuitana kwenye mitandao nyie ni ndugu mnaweza kuonana na kuyazungumza kama kuna kitu kilibaki.

By Mrekebishatabia

Mchezaji Mrisho Khalfan Ngassa Atoa Rasmi Sauzi Afrika Akiwa na Mkewe 'Nimekuja huku kuhamia rasmi sasa, tunakwenda kuangalia nyumba'

Posted: 01 Jun 2015 01:03 AM PDT

Ngassa na Mkewe Radhia
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amewasili nchini Afrika Kusini leo tayari kwa maisha mapya katika klabu mpya, Free State Stars ya Bethlehem.
Mchezaji huyo wa zamani wa Kagera Sugar, Azam FC na Simba SC, Ngassa ametua Johannesburg leo asubuhi na kuunganisha safari kwa gari la dogo la Free State kwenda Bethlehem.
Ngassa ametua na mkewe, Radhia Enea Mngazija na watakwenda kukagua nyumba aliyopewa na mwajiri wake, tayari kuanza maisha mapya.

Nimekuja huku kuhamia rasmi sasa, tunakwenda kuangalia nyumba mimi na bibie (Radhia). Unajua mambo ya nyumba ni ya akina mama. Sasa yeye akisema ameipenda nyumba, nawaambia safi, tunaingia,”amesema.

Hata hivyo, Ngassa atarejea Dar es Salaam wiki ijayo kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachokwenda kucheza na Misri mechi ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika katikati ya mwezi.

Nadhani sitakuwa na muda mrefu, viongozi niliwaambia kabisa natakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa. Kwa hivyo wanajua. Natarajia kurudi wiki ijayo tu kujiunga na timu ya taifa,”amesema.
Ngassa amejiunga na FS mwanzoni mwa mwezi huu kwa Mkataba wa miaka minne, kama mchezaji huru baada ya kumaliza Mkataba wake Yanga SC.

Miss Tanzania Amchokoza Zari, Yadaiwa Ana Mahusiano ya Kimapenzi na Mwanamuziki Diamond Platnumz

Posted: 01 Jun 2015 12:06 AM PDT

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa katika pozi na miss huyo.
Musa mateja
Madai mazito! Mshiriki wa Kinyang’anyiro cha Miss Tanzania 2011/12 ambaye alianza harakati za kunyakua taji hilo akitokea Mkoa wa Shinyanga na baadaye kutwaa Taji la Miss Kanda ya Ziwa, Glory Samwel anadaiwa kumchokonoa Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile kinachodaiwa kuwa ana ukaribu wa ‘kimalovee’ na mpenzi wa Zari, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Chanzo cha ‘unyunyuzi’ huo kilitonya kwamba, mlimbwende huyo amekuwa akionekana mara kwa mara akijivinjari na Diamond jambo ambalo wadau wamelishtukia na kubaini kuwa ana mpango wa kuingilia penzi la Zari na kusambaratishia uchumba wa wawili hao.

Ijumaa Wikienda lilinyetishiwa habari hizo hivi karibuni na kuamua kuzifanyia kazi hatua kwa hatua, ambapo liliweza kujiridhisha kwa baadhi ya matukio ya picha ambazo mrembo huyo amekuwa akipiga na Diamond.

Mbali na picha pia kuna matukio ya sherehe za ‘bethidei’ ambazo Diamond alionekana akiwa karibu na mrembo huyo.

Ukiachilia mbali uchunguzi huo, mwanahabari wetu alimtafuta mrembo huyo kwa lengo la kutaka kujiridhisha juu ya madai hayo ambapo alikiri kuwa na ukaribu na Diamond huku akifafanua kwamba uhusiano wake na jamaa huyo si wa kimapenzi kama wengi wanavyomchukulia.

Hizo picha za karibu zaidi ni zile ambazo tulipiga kwenye bethidei ya meneja wa Diamond aitwaye Salaam, ambayo ilifanyika pale nyumbani kwake (Salaam) Kijitonyama (Dar) hivi karibuni.

Ni kweli watu wengi wananituhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond lakini si kweli maana ninajuana naye kawaida tu,” alisema Glory.

Kwa upande wa Diamond aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa ni kweli anamfahamu Glory ila si mpenzi wake na anachokijua ni shabiki wake kama ilivyo kwa wengine.

Alisema hata picha alizopiga naye hakuna picha za hovyo maana zilipigwa hadharani.

Glory ni shabiki wangu wa kawaida tu kama ilivyo kwa mashabiki wangu wengine, suala la kupiga naye picha halimaanishi ni demu wangu,” alisema Diamond.

Makalio Makubwa ya Agness Masogange Lasababisha Ajali

Posted: 31 May 2015 11:47 PM PDT

Agness Masogange
Imelda mtema
Makubwa! Lile kalio la haja la muuza nyago maarufu kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ limesababisha ajali kati ya bodaboda na Bajaj maeneo ya Sinza-Mori baada ya mrembo huyo kushuka kwenye gari akielekea saluni.

Shuhuda wa tukio hilo alisema kuwa bodaboda ilikuwa ikitokea upande wa Baa ya Meeda na Bajaj ilikuwa ikitokea upande mwingine ambapo muendesha bodaboda alitumia muda mwingi akimtazama Masogange aliyekuwa akikatiza huku akilitingisha wowowo ndipo jamaa huyo akasababisha ajali.


Yaani aliposhuka Masogange tu kwenye gari yule mwendesha bodaboda hakuwa anaangalia mbele kabisa wakati Bajaj ilikuwa ikija kwa kasi hivyo akashindwa kuikwepa akaivaa na kumrusha dereva wa bodaboda upande mwingine kwa kishindo,” alisema shuhuda.
Agness Masogange Akionyesha Makalio yake

Mpashaji wetu alizidi kuweka wazi kuwa baada ya ajali hiyo kutokea, watu walikusanyika kitendo ambacho hata Masogange kilimshtua na kumfanya asimame kuangali tukio hilo.

Hata hivyo, shuhuda huyo alisema madereva hao walielewana na kuyamaliza palepale.

Baada ya gazeti hili kupata ‘ubuyu’ huo, lilimtafuta Masogange ambapo alikiri kutokea kwa ajali hiyo lakini mwanzo hakujua kama yeye alikuwa chanzo cha ajali hiyo.

Unajua mimi nilivyosikia kishindo na watu wakipiga makelele sikujua kama  nilikuwa chanzo hadi niliposikia watu wanaanza kunong’ona maana hata mimi nilikuwa nashangaa na kujikuta nikicheka tu kwani sikujua wowowo langu lilisababisha shida,alisema.ge.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 1, 2015

Posted: 31 May 2015 11:39 PM PDT


January Makamba: Taifa liko njia panda, Wananchi Chagueni Kiongozi Atakayeleta Maendeleo

















January Makamba: Taifa liko njia panda, Wananchi Chagueni Kiongozi Atakayeleta Maendeleo

Gwajima: Asiyempenda Lowassa Akale Limao!!!

Posted: 31 May 2015 11:11 PM PDT

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Askofu Josephati Gwajima amesema kwamba mwananchi  au mwanasiasa  yeyote asiyempenda Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akale limao

Askofu Gwajima alisema hayo juzi  mara baada ya Edward Lowassa kumaliza hatuba yake wakati akitangaza  nia ya kutaka kugombea  urais katika uchaguzi mkuukwa  tiketi  ya  Chama cha Mapinduzi, CCM.

Kabla ya kumaliza hotuba yake wananchi walimshinikiza Edward Lowassa amsimamishe Askofu Gwajima  ndipo Lowassa alimuita na kumpa maiki aongee na wananchi waliofurika katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha.

Askofu Gwajima  alianza kwa kuomba mwenyezi Mungu aibariki safari ya Matumaini ya Mbunge wa Monduli Edward Lowassa na mwisho kabisa kuwapa mjumbe mzito wananchi kuwa mwenye Chuki na Lowassa akale limao.

Udaku Specially

unread,
Jun 2, 2015, 4:44:11 PM6/2/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mwanamuziki Diamond Atoboa SIRI ya Wapi Alipoiga Staili ya Kucheza ya Sonkoro Aliyoitumia Kwenye Wimbo Mpya wa Nana

Posted: 02 Jun 2015 11:19 AM PDT

Mwanamuziki Diamond Atoboa SIRI ya Wapi Alipoiga Staili ya Kucheza ya Sonkoro Aliyoitumia Kwenye Wimbo Mpya wa Nana.......Ametoboa Siri hiyo Katika Ukurasa wake wa Instagram kwa Kusema Haya Hapa:


  • Diamondplatnumz 'If you Don't know Yet...we Got this #Sankoro Moves from our Legend Brother @fallyipupa01 #NetNaFilm #Nana Watch the Video of that Nana Song by Clicking the Link on my BIO OYa! #Sankoro ABi! KAMA Ronaldo...!!'

Rihanna goes on date with football player Karim Benzema (photos)

Posted: 02 Jun 2015 10:46 AM PDT

Badgal Riri was spotted on a date with Real Madrid and French national team striker, Karim Mostafa Benzema, 27, at the Griffin night club in New York City and then later at the 24-hour Coppelia Diner. Is this a budding romance?


Breaking News:FIFA President Sepp Blatter Announces Resignation

Posted: 02 Jun 2015 10:18 AM PDT

Sepp Blatter has resigned as Fifa president amid growing pressure following widespread allegations of corruption at football's world governing body.

Blatter - who won a fifth term on Friday - had been under intense pressure to step down since senior Fifa officials were arrested on a string of corruption charges last week.

Blatter confirmed: "An extraordinary congress is to be called to elect my successor as soon as possible."

Mchumba wa Chilole, Nuh Mziwanda Amkana Msichana Aliyedai Kuwa na Mimba Yake

Posted: 02 Jun 2015 09:48 AM PDT

Mchumba wa Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva Zuwena Mohammed ‘Shilole’,  Nuh Mziwanda amefunguka baada ya msichana Rose John kudai kuwa ana ujauzito wa miezi miwili wa msanii huyo.

Msichana huyo alizungumza jana kupitia Uheard na Soud Brown ambapo alisema kuwa amekuwa na uhusiano na Nuh kwa miaka miwili lakini walitengana baada ya kusikia ana uhusiano na msanii Shilole na kwamba amechora tatuu ya jina lake.

Niliachana naye baada ya kusikia na uhusiano na Shilole na pia amechora tatuu ya jina lake lakini tulianza tena uhusiano miezi miwili iliyopita niliamua kupima ndiyo nikagundua nina mimba ya miezi miwili,’’alisema Rose.

Rose aliongeza kuwa hana mpango wa kutoa mimba hiyo kwa sababu anapenda msanii huyo ndiyo maana ameamua kumzalia.

Kwa mujibu wa msichana huyo alisema kuwa Shilole na marafiki zake walimfanyia vurugu na kumdhalilisha kwa kumpiga kumchania nguo hadi kupoteza simu na vitu vyake vingine.

Hata hivyo kupitia akaunti yake ya Instagram Nuh Mziwanda alifunguka na kumjibu msichana huyo… Ndiyo mimba ni Jambo la Kheri’ila ni special na Maalumu kwa nimpendae’na sio Huyo dada anaetangaza Ana mimba yangu’na anazidi kutangaza kwenye vituo vya habari tofauti’mbona hakutangaza kama Mimi bwana wake aje kusema Ana mimba yangu’Naomba mwambie ajipange tena upyaaaa aje na nyingi be’…

Mambo 9 Aliyoyasema Fredrick Sumaye LEO Wakati Akitangaza nia yake ya Kuwania Urais Kupitia CCM

Posted: 02 Jun 2015 09:45 AM PDT

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro jijini Dar leo.

Sumaye amesema kuwa ameamua kutangaza nia akiwa Dar es Salaam maana anataka kuwatumikia Watanzania wote siyo wa nyumbani kwake pekee.

Kauli mbiu yake ni ‘Uongozi Bora, Komesha Rushwa, Jenga Uchumi’.

Haya  ni  Baadhi  ya  Mambo  aliyoyasema;

1.Anaongelea mafanikio katika katika kipindi yuko madarakani ikiwemo televisheni ya taifa, uboreshaji elimu ya msingi. Anasema leo badala ya sekondari nayo kupanda ndio hio imeshuka.

2.Anaongelea sera ya ubinafsishaji, anasema sera hio ilikuwepo kabla ya uongozi wa Mkapa. Hivyo wao walikuwa watekelezaji na hawawezi kulaumiwa. Ubinafsishaji kama sera ni kitu muhimu na ni vizuri ilifanyika. Mashirika zaidi ya asilimia 45 yamenunuliwa na watanzania, mengine kwa ubia na wageni na asilimia ishirini pekee yalinunuliwa na wageni kwa asilimia 100.

3.Nimekumbana na mambo magumu katika miaka hio kumi ikiwemo ajali ya MV Bukoba na ajali ya treni, ukame wa mwaka 1997. Niliunda kamati ya kushughulikia jambo hilo na kuchimba visima zaidi ya 300 Dar es Salaam. Mambo magumu yalinikomaza katika uongozi. Mvua za El nino zilifata baada ya ukame, ilikuwa hali ya hatari lakini tulijikwamua na tuliendelea na kazi wa kujenga taifa letu. Kifo cha baba wa taifa, mimi sikulala siku tatu nzima hata kwa nusu saa, sijawahi kuona kipindi cha amani kama kili, polisi waliripoti hata uhalifu haukuwepo.

4.Wakati waziri mkuu, sikuweza kusikia watu wanapigana, asubuhi nisiwepo pale, leo wakulima na wafugaji wanapigana miezi sita sasa. Mfano mgogoro wa waancholi na wahadzabe.

5.Huwezi kuzungumzia amani wakati watu wana njaa, tatizo la uchumi, watu wanaangalia takwimu badala ya uhalisia. Tunatakiwa tuendeleze kilimo, hata wakati wa Nyerere tulileta matrekta lakini tuliendelea? Kuleta matrekta ni jambo jema sasa nitalima heka 50, lakini uwezo wa mbegu heka 3 na kupalilia heka 3.

6.Eneo lingine muhimu ni masoko, lazima kiendelezwe katika ukubwa wake. Wakulima watauza kwa bei ya hasara na bei ikiwa vizuri hawana tena mazao. Leo viwanda vya sukari, hatuwezi kuingiza sukari kutoka nje bila kodi, lazima tulinde viwanda vyetu vya ndani. Mazao yetu yote, kama tutakua na juhudi za kusindika mazao, hili tatizo la ajira ambalo tunapiga nalo kelele sana, litapungua. Pia pengo kati ya walionacho na wasio nacho litapungua.

7.Nimeona shule binafsi wanafanya vizuri, wanataka wazipunguze nguvu, ongeza juhudi nawe umfikie. Katika miaka miwili au mitatu tutapunguza kwa kiasi kikubwa wanaoenda nje.

8.Rushwa na ufisadi, hili jambo sina utani nalo. Ukituhumiwa kwa rushwa ndani ya wiki moja unachunguzwa na wiki mbili mahakama imekuhukumu na kama ni viboko unapokea kabisa.

9.Nawashukuru ndugu zangu waandishi wa habari, nimezungumzia Dar es Salaam na naamini mtafikisha nchi nzima ili tumpokee rais Kikwete kijiti ambae amefanya vizuri. Kama kuna maswali pia niko tayari.

PIGO Jingine CCM, Mbunge Mwingine Afariki Usiku Akiwa Usingizini

Posted: 02 Jun 2015 09:41 AM PDT

Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es Salaam kupitia tiketi ya (CCM) Eugen Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa usingizini nyumbani kwake Dodoma.

Kwa mujibu wa Naibu Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai ambaye amelitangazia bunge leo majira ya saa 7 mchana, marehemu Mwaiposa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu.

Ndugai amesema kuwa kwa sasa msiba upo nyumbani kwake eneo la Chadulu Dodoma ambapo pia familia yake inasubiria hapo kwa ajili ya kuaga mwili wake shughuli ambayo itafanyika kesho (Jumatano).

Bunge limeahirishwa hadi keshokutwa saa 3 Asubuhi.

Mungu ametoa Mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P ‪

Alichokiongea Profesa Muhongo LEO Wakati Akitangaza Nia Yake ya Kugombea Urais Kwa Tiketi ya CCM

Posted: 02 Jun 2015 09:37 AM PDT

1.Niko mbele yenu sio kufanya kampeni ya urais, niko mbele yenu kuomba ridhaa ya yenu kugombea nafasi ya urais muda ukifika.
 
2. Siko hapa kumlaumu mtu au ukimshambulia kwa sababu ukimlaumu mtu umAsikini bado uko palepale. Nikisema historia yangu yote muda hautatosha, kisomo nimesoma mpaka mwisho wa kusoma, kama ni taalumu nimefikia mwisho.
 
3.Nimepata bahati ya kusoma vyuo vikubwa sana duniani na sehemu kubwa nimepatia Ujerumani ndio maana wengine wanasema nafanya kazi kijerumani.

4. Nimefanya utafiti kwa miaka 30,chama cha majiologia wamerekani kilichoanza mwaka 1988, mimi niko ngazi ya juu pia kwa waingereza na wachina niko ngazi ya juu kabisa.

5.Kwenye uasisi mwaka 1976, CCM inaanza 77 sisi ndo waasisi, kadi hii hapa. Kama nimeweza kutunza kadi ya CCM tangu 75 basi mimi ndio naweza kutunza rasilimali zenu.

6.Toka tunapata uhuru tuna vikwazo, ujinga, maradhi na umasikini Mwl alitueleza. Nil lazima matatizo yatakuwepo kwenye jamii.

7.Rushwa kubwa na ndogo, ukosefu wa ajira, siasa imekwenda kila mahala, taifa linanyemelewa na uvuvu na utegemezi, dhulma, upungufu wa upatikanaji wa takwimu sahihi, tumepungukiwa ushindani kama taifa, tumeshindwa kujiamini.
 
8. Haya ndio nataka kuyashughulikia mimi. Upungufu wa mshikamano wa taifa letu. Kwetu asilimia 51 waislamu na 49 wakristo hivyo matatizo ya madhehebu hapa ndipo mahala pake. Afrika ina nchi 54, mimi nimeeenda 52 kasoro Mauritania na Chad. Ningekua sio muaminifu nisingepokelewa huko, ulaya nimezunguka.

9.Lazima Tujue hali halisi ya uchumi wetu, chukueni kalamu na karatasi. Lazima useme unatoka wapi unaenda wapi! India asilimia 74 wanajua kusoma na kuandika. Nchi inayoongoza kwa watafiti ni Finland.(Anataja takwimu za nchi ambazo tulikuwa tunafanana uchumi baada ya vita ya pili ya dunia ikiwemo India, Brazil, China na Kenya.) Sipendi sana kujilinganisha na Kenya kwa sababu sote ni maskini.

10.Dira ya maendeleo inasema miaka kumi kutoka sasa Tanzania isiwe nchi masikini, tusikae pembeni, tusogee juu kidogo. Hakuna mwenye uwezo huo ni mimi tu ili tufikie pato la dola bilioni 200 kutoka dila bilioni 40. Mwaka 2025 tutakuwa milioni 60, nataka tule miogo na viazi kwa hamu na sio kwa shida.

11.Siwezi kukupa ahadi ya mishahara wakati sijakuza uchumi, siwezi kukupa ahadi ya kukujengea shule wakati sijakuza uchumi, tukuze kwanza uchumi.

12.Naombeni ridhaa yenu nisimamishe deni la taifa lisiongezeke, mwenye dawa ya umaskini ndani ya CCM, CHADEMA, NCCR ni profesa Muhongo tu. Elimu kuiboresha lazima tuongeze bajeti, haiwezekani darasa limerundikana ukafundisha. Anaeweza ni mimi tu sababu wengine utafiti wanausoma kwenye magazeti tu.

13.Wana CCM mnae mwanasayansi wa dunia, si mnipe tu! Tutatumia rasimali, madini yetu tumeyachimba kwa asilimia 10 kitu, mimi ndio nimetengeneza ramani ya madini ya Tanzania, Africa na duniani nikiwa vice president. Nilizunguka hii nchi kuchora ramani ya madini kwa uzalendo, ningiweza kuja na ramani na kuuzia serikali.

14. Mimi mtu anidanganyi, unakuja tunajadiliana, hii sio dunia ya kuandikiwa tu, inabidi na wewe ujiandikie. Niliweka mipango ya kuwapunguzia bei ya umeme. Ilibidi nitoke kidogo mpate machungu mnichague.
 
15. Nawaomba ifike mahala ifike mahala tuachane na matumizi ya kuni na mkaa, ni aibu sana. Tutajenga mabomba nchi nzima gesi itumike majumbani. Kila nyumba iwe na mabomba mawili, la maji na la gesi.

16.Wengine mnaweza kuwadanganya, mimi hamuwezi kunidanganya, gesi yenu ipo kwenye mikono ya uhakika kwa professa Muhongo tangu nimeanza kusoma wakati niko chuo kikuu cha Dar es Salaam na nimefanya maisha yangu yote.

17.Mapato ya gesi yasiende hazina, tutafungua mfuko maalumu na bunge litakua linaizinisha asilimia ngapi iende kwenye bajeti. Mtanzania yoyote asiwe na maamuzi ya kutumia hizo fedha bila idhini ya watanzania.

18.Mimi sipendi wawekezaji wababaishaji na si kwamba sipendi wawekezaji wa ndani, haya yote ya ujenzi wa uchumi lazima tuwe na umeme. Na umeme wa bei nafuu ndio kazi niliyokuwa naianza. Umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara, muda umefika tusijidharau, lazima tushinde.

19.Lazima watanzania zaidi ya asilimia zaidi ya 75 wawe wanatumia umeme, tutatumia vyanzo vyote vya umeme. Lazima mtembee kifua mbele professa Muhongo amitimiza ahadi ya CCM, hata ilani mpya inayokuja mtekelezaji atakaetekeleza kwa uhakika ni professa.

20.Ni lazima tupambane na rushwa, na sio maneno kupambana nazo na nyie wananchi muwe na uelewa na haki zetu. Mnaombwa rushwa kwa sababu hamjui haki zenu. Naomba ridhaa yenu mniteue niwe mgombea wenu. Wakulima na wafugani ni mwisho wa kuuana chini ya prof Muhongo, tatizo sio ardhi, ni technologia.

21.Uwezo ninao, maarifa ninayo, jinsi ya kutafuta fedha ndani na nje, ambacho sina ni nyinyi kuniteua tu.

Breaking News:Lori la Mafuta Langonga Treni Jioni Hii Maeneo ya Buguruni..Njia zafungwa

Posted: 02 Jun 2015 09:05 AM PDT

Jinsi hali ilivyo katika maeneo kati ya Buguruni na Tazara mara baada ya Lori la mafuta kugonga Treni la mizigo na kuburuza nje ya Reli....hivyo njia imezibwa hakuna mawasiliano kati ya magari yatokayo Temeke kuja Buguruni wala kutoka Ubungo kuelekea Temeke au Buguruni kwa kupitia Mandela Road jioni hii

DIVA Loveness Atangaza Kuitaji Mwanaume wa Kuzaa Nae..Masharti Haya Hapa Bila Kusahau Kuwa Uwe Unaiweza Shughuli Kitandani

Posted: 02 Jun 2015 08:50 AM PDT

Nahitaji Mwanaume wa Kuzaa Nae Mtoto Mzuri Kama Huyu Maana Nina Baby Fever n sina Bwana chuChuchu ' tototoo .. ajiginjiginjiiii ...  dem eyes tho . damn It! There Goes My baby' what a Diva ... dah anyways Ntafanya Audition Tho at escape1 soon. terms and Conditions muhimu .. nataka .5 Moja Look alike ya @chrisbrownofficial afu shughuli awe ana iweza afu awe na Cheda. i dnt need some broke ass , dumb ass Mofo! i jus need A real Man.. Shababi afu Mashaallah .. Sio Some Pretty Boy anivunje moyo wangu Coz he is annoying Mofo who thinks Money runs his Own D! yaan inshort sio Some Lito boy wit lots of love n pretty face but thirsty ass .. sitaki' sitaki some cute Man like ... (mute) maana nshalia sana kisa some .... cute baby boo sitaki tena afu good looking basi awe msafi kama Chris Breezy. nataka handsome mmoja ajabu ' a goon with some Mullah lalaa - so i can floss na yeye .. By Diva

Bongo Movies Fan Claims That Kajala Has Bigger and More Beautiful Goodies Than Wema....

Posted: 02 Jun 2015 06:09 AM PDT

There's a debate here about who has bigger and better goodies between Wema and Kajala?
What do you think??

Mwanamuziki NAKAAYA Sumari Amjibu MANGE Kimambi Baada ya Kuandika Kuwa Nakaaya na Nancy Sumari Wana Ugomvi Mkubwa

Posted: 02 Jun 2015 05:23 AM PDT

Nakaaya Sumari Katika Pozi
Baada ya Mange Kimambi kuandika Kwenye Blog kuwa Nakaaya na Mdogo wake Nancy Sumari Hawapatani na Wana Ugomvi Mkubwa... Nakaaya Ameamua Kuandika Haya Kama Jibu la Post aliyoandika Mange:

Nakaayasumari Dear Mange. I trust all is well. It is important that I address post uliyoweka kwenye blog yako. If you trully know me like you said you do, utajua kuwa nawapenda sana wadogo zangu wote. Sio tu Nancy. I think what you have planted on peoples minds is a bit too much. The comments are unbeliavable and I dont think you fully understand the impact of your post. LET ME SAY- MY SISTER HAS NEVER HAD AN AFFAIR WITH ANY OF MY PARTNERS. NEVER. We were not raised that way. I do not appreciate the pictures you have painted of me and my sister. Kuwa she is the devil and i am the poor victim. You should do a little more research before stressing families and harming people's reputations. Yeye sio ulivyomuandika.
Na mimi sio victim ulivyosema. We are mothers living in different parts of the country with different paths and interests. It doesnt mean we hate each other! On the contrary!!! You forget kuwa we are blood. Ni familia ipi haina issues? Yes we fight. But we make up. Like other sisters. We are both stubborn and strong heads. We are bound to kwaruzana. Ni kitu cha kawaida sana.

You have let derrogatory comments loose, and make it seem kuwa success yake ni mbaya. Kuwa hatupendi. Naomba nikuambie anatupenda sana. She does so much na sijui kama alihitajika kutangaza. Mange, you were right about one thing. Nawapenda sana wadogo zangu. I will not stand and let you tarnish her like that. I am not where I want to be, but I am certainly not where I used to be. Jamani is that a crime? You made me out to be a sad victim!! You have hurt the family sana. Kama kuna shida, ambayo haipo basi wazazi wetu watamaliza. Asante.


Mtoto Wa Nyerere Avuruga Urais CCM.....Adai Lowassa, Pinda, Wassira na Mwigulu ni WEZI na Wanahonga.....Atangaza Nia ya Urais Butiama

Posted: 02 Jun 2015 01:38 AM PDT

Mbio za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.

 

Makongoro

Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini Butiama jana, Makongoro aliwashambulia makada wenzake ndani ya CCM ambao wanaongoza makundi ya kuwania urais kwa kuwaita ni ‘vibaka’ wanaokivuruga chama hicho kwa maslahi yao binafsi.

 

Akitoa mfano kwa baadhi ya makada wanaoongoza makundi ndani ya chama hicho, Makongoro aliwataja kwa majina kuwa ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Naibu Waziri wa Fedha,Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira.

 

Alisema makada hao kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia fedha nyingi kuendesha makundi ya urais na akahoji sababu za kutafuta cheo hicho cha juu kwa fedha.

 

"CCM irudishwe kwa wazalendo kwa sababu vibaka wamekuwa na mlengo mbaya wa kukiendeleza chama hicho,"alisema.

 

Alisema ndani ya chama hicho kumekuwa maradhi ya rushwa ambayo yameiambukiza nchi nzima.

 

Makongoro alisema yeye ni mzalendo wa kweli na anataka kuirudisha nchi katika misingi ya uadilifu endapo CCM itampa ridhaa ya kupeperusha bendera katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

Alisema ndani ya chama hicho kumekuibuka genge la watu wachache ambao utajiri wao ni wa shaka na umejijenga kwa fedha chafu.

 

“Ndani ya chama tawala wamekuwapo ‘vibaka’ wachache… unajua kibaka ni kibaka tu hata kama kapewa gari la Serikali lina bendera ya taifa mbele atabaki kuwa kibaka tu.

 

“Wananijua vizuri huwa siwaonei haya kuwaambia ukweli, hawa ndiyo wanaotuvurugia chama na hawamheshimu Mwenyekiti wa chama, Rais Jakaya Kikwete,” alisema Makongoro.

 

Katika hotuba yake ambayo alitumia saa mbili, Makongoro alijikita kuzungumzia madhara yanayotokana na rushwa ndani ya CCM.

 

Alisema baadhi ya makada wanaotumia rushwa wamezalisha makundi na mipasuko isiyo ya lazima huku akisisitiza kuwa anachukia kuwapo makundi ndani ya chama hicho.

 

Kwa mujibu wa Makongoro, hali hiyo imechochea badhi ya viongozi wa CCM katika ngazi mbalimbali wakiwamo wenyeviti wa mikoa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho kuishi kama mifugo.

 

Alisema hali hiyo imesababisha baadhi ya viongozi hao kuishi maisha ya kusukumwa kwa upepo wa makundi yanayomilikiwa na watoa fedha.

 

“Vibaka waturudishie CCM yetu, watambue wao ni wachache na sisi wazalendo ni wengi, hawatushindi na fedha zao na kitaeleweka tu.

 

“Leo hii viongozi wetu wa CCM wamekuwa ni watu wa kuendeshwa na vibaka hawa wanahongwa fedha ovyo…wao wana mifugo yao ndani ya NEC basi mimi sijafuga hata kuku, nasema kitaweleweka,” alisema Makongoro.

 

Alisema yeye hawezi kufanya hivyo kwa sababu rasimu ya ilani ya chama hicho bado haijapitishwa na chama, hofu yake ni kwamba anaweza kutoa ahadi na zikawa kinyuume na ilani ya chama chake.

 

“Nimewasikia wanajinadi,nawashangaa sana, najiuliza kwani wao ni akina nani watoe ahadi kabla ya ilani ya chama? Ikitokea ahadi yako ikaenda kinyume na ilani si ndiyo mwanzo wa kuwa na rais muongo…sitaki kuwa rais muongo nitaheshimu chama changu kwa kila mchakato na maelekezo,” alisema Makongoro.

 

Aliwaasa Watanzania wawaogope watu wanaoonekana kuwa na haraka ya kukimbilia kutawala nchi.

  

“Ukiona watu kazi inatangazwa ifanywe kwa utaratibu wake na mtu aliyeiomba kazi hiyo anakiuka taratibu, muogopeni sana huyo hafai kukukuongoza maana hata akikuongoza ataendelea kukiuka taratibu ili ajinufaishe,” alisema Makongoro.

 

Wanawake wananipenda

Makongoro alisema anakerwa na siasa chafu dhidi yake zinazoenezwa na baadhi ya wanasiasa wenzake ndani ya CCM.

 

Alizitaja siasa hizo kuwa ni tuhuma za kulaaniwa na baba yake, ulevi na mtu anayependa wanawake.

 

Akijibu tuhuma hizo, Makongoro alihoji umati uliomiminika kumsikiliza kwamba,“jamani naonekana nimelaaniwa? Naelekea kuokota makopo? Jamani mnanionaje, naonekana mlevi? na umati ulikataa kwa kusema, “hapana”.

 

“Eti wanasema Makongoro anapenda wanawake sasa wanataka nipende wanaume? Wanawake wananipenda na mimi nawapenda, hizi siasa chafu wanazonituhumu hazinisumbuilangu ni moja tu vibaka rudisheni nchi yetu,”alisema. 

 

Nimrod Mkono

Naye Mbunge wa Musoma Vijijini , Nimrode Mkono alisema atakuwa bega kwa bega na Makongoro kuanzia sasa katika safari yake ya kuwania urais mpaka hatua ya mwisho.

 

“Wapo wengi walionifuata niwe nao katika harakati zao za kuwania urais, sasa nawaambia ‘bye bye’ nipo na Makongoro na wasijihangaishe kunitafuta,” alisema Mkono.

 

Shyrose

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashari, Shyrose Banji na mwanamuziki wa kizazi kipya, Judith Wambura ‘Lady J Dee’ nao walihudhuria kikao hicho.

 

Makongoro afananishwa na Daudi

Awali kabla ya Makongoro kutangaza nia ya kugombea urais,baadhi ya viongozi wa dini walimuombea ambako Mchungaji wa Kanisa la Anglikana, Jackob Ngagani alimfananisha na Daudi.

 

Alisema anaamini Mungu atamuongoza Makongoro kushinda ushindani wa kupata mgombea urais kupitia CCM.

Kabla ya dua ya viongozi wa dini, wazee wa kabila la Wazanaki, walimvisha vazi la asili la kabila hilo na kumkabidhi fimbo kwa ajili ya kuwaongoza Watanzania.

 

Naye Chifu wa Kabila la Wazanaki, Japhet Wanzagi alisema Makongoro ni simba na kusisitiza kuwa kabila lao huwa halibahatishi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 2 Juni 2015

Posted: 01 Jun 2015 11:13 PM PDT

Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 2 Juni 2015

Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake

Posted: 01 Jun 2015 11:01 PM PDT

Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .

Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, ambaye ni mume wa aliyekuwa miss Tanzania, Jackline Ntuyabaliwe maarufu kama K-Lyn.

Akielezea chanzo cha kushtakiwa, mwenyewe anadai ni kuvujishwa kwa picha za mfanyabiashara huyo akiwa na familia yake, kitendo ambacho mfanyabiashara huyo hakukipenda hivyo aliamua kumshtaki mwanamama huyo kama adhabu na fundisho.

Akielezea kwa masikitiko mwanamama huyo alielezea jinsi ya picha hizo zilivyosambaa mitandaoni, ambazo zilipigwa mahsusi kwa ajili ya kupambwa kwenye jarida maarufu la mwanamama huyo, hata hivyo inasemekana baadhi ya wahariri wa jarida hilo walizivujisha picha za Mengi huyo kwenye mitandao ya kijamii either kwa bahati mbaya au kwa kukusudia , kitendo kilichomkera Mengi na kuamua kumshtaki.

Nisha awaumbua Ommy Dimpoz na Martin Kadinda Kwa Kuonyesha Maumbile ya KIUME fake Kwenye Suruali zao ili Wasifiwe

Posted: 01 Jun 2015 10:53 PM PDT

Baada ya wiki chache kupita toka msanii wa bongo fleva, ommy dimpozi, kupost picha kwenye ukurusa wake wa instagram, ikimuonyesha staa huyo akiwa amevaa suruali inayoonyesha kitu chenye muonekano kama maumbile ya kiume , picha iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii, uku wengi wakimsifia staa huyo kwa kujaliwa na maumbile. Ata hivyo haikujulikana ni kwa nin staa huyo wa hit song ya wanjera aliamua kufanya kioja hicho.

Hivi karibuni tena , mwanamitindo na manager wa muigizaji Wema Sepetu aitwaye Martin Kadinda, alifanya kioja cha aina yake ambapo kama ilivyokuwa kwa Ommy Dimpozi, na yeye aliamua kupiga picha huku akiwa amevaa suruali iliyoonyesha kitu mfano wa maumbile ya kiume, hali iliyozua maswali ya sintofahamu.

Leo hasubuhi kupitia ukurasa wake wa Instagram, muigizaji na mchekeshaji maarufu bongo, Salma Jabu, maarufu kama Nisha , naye amepost picha ikimuonyesha amevaa surual inayoonyesha maumbile ya kiume wakati yeye ni mwanamke, hali iliyozua mijadala uku wengi wakidai mastaa hao(martin na ommy ) wanafanya mchezo huo mchafu wa kuweka vitu vinavyofanana na viungo vya kiume na kuwadanganya watu, kuwa ni maumbile yao, either kwa kutaka KICK au njia mojawapo ya kujitafutia wanawake kama ilivyo kwa mastaa wengi wa kike, wanavyo post picha instagram, ikiwaonyesha wana makalio makubwa ili wawavutie wanaume wakati sivyo walivyo, wengi wao wamekuwa wakitumia application maalumu ya kubadili maumbile yao.

Baadhi ya wadau mbali mbali wamewataka mastaa hao kuacha huo mchezo mara moja, licha ya kujishushia heshima zao, mastaa hao wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea matendo yaliyo kinyume na maadili yetu na sio kuchochea maadili mabovu.

Profesa Muhongo Nae Kutangaza Nia Ya Kuwania Urais LEO

Posted: 01 Jun 2015 10:47 PM PDT

WAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.

Kwa mujibu wa kambi ya mwanajiolojia huyo maarufu duniani, atatangaza dhamira yake hiyo akiwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) Tawi la Musoma mkoani Mara.

Muhongo aliyejipatia umaarufu mkubwa wa uchapaji kazi akiwa waziri, anatajwa kujielekeza zaidi katika kuiweka Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati, hasa kwa kutumia rasilimali ya nishati ya gesi iliyogunduliwa nchini.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa amebaki na kofia yake ya mbunge wa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliachia ngazi hivi karibuni kutokana na sakata la Escrow.

Hata hivyo, tume zilizoundwa kuchunguza sakata hilo, zilimsafisha yeye na Katibu Mkuu wake, Eliakim Maswi.

Muhongo anatarajiwa kuungana na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula la Ushirika, Stephen Wassira, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu) Profesa Mark Mwandosya na Mbunge wa Afrika Mashariki, Charles Makongoro Nyerere waliotangaza nia.

Kesho itakuwa zamu ya Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja. Ngeleja anatarajiwa kutangaza nia jijini Mwanza.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani anatarajiwa kutangaza nia wakati wowote wiki hii. Aidha, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe anatarajiwa kutangaza nia kijijini kwake Rondo mkoani Lindi Jumamosi wiki hii.

Akizungumza wakati wa Tamasha la Kaswida jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Membe aliyekuwa mgeni rasmi siku hiyo alithibitisha kutaka kutangaza nia hiyo na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo, kwa kuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo na kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.

Aliyetaka Kumuua Mwanamuziki Lil Wayne Kwa Risasi Akamatwa na Polisi

Posted: 01 Jun 2015 10:45 PM PDT

Polisi kutoka Mji wa Atlanta waperipoti kumkamata mtu aliyejaribu kumuua Mkali wa Hipohop Lil Wayne kwa kupiga risasi basi lake la safari.

Kwa mujibu wa ripoti ya Polisi wamemtaja mtu huyo anayejulikana kwa jina la Jimmy Carlton Winfrey na ni mtu wa karubu wa Young Thug.

Kwa Mujibu wa maelezo aliyoyatoa kwenye kituo cha polisi baada ya kufanyiwa mahojiano, Jimmy Carlton Winfrey alisema aliamua kupiga basi hilo ili pate heshima ndani ya kundi lake la Bloods Gang.

Bado hukumu yoyote haijatolewa na polisi wamesema wanaendelea na uchunguzi ambapo kesi hiyo itapandishwa mahakani kwa ajili ya kutoa hukumu.

Wiki kadhaa zilizopita iliripotiwa kupigwa risasi basi la Lil Wayne lillokuwa likipita kwenye mji wa Atlanta huko Marekani, mji ambao anaishi hasimu wake mkubwa kwa sasa Young Thug.

Kumekuwa na taarifa za kupeana vitisho vya kutoana uhai kwa wasanii Lil Wayne na Young Thug ambao wanaonekana kuingiliana kwenye biashara za muziki wanao ufanya.

Mchezaji Yaya Toure Afanya Maamuzi Magumu

Posted: 01 Jun 2015 10:42 PM PDT

Uongozi wa klabu ya Man city umefanikiwa katika suala la kumshawishi kiungo kutoka nchini Ivory Coast, Yaya Toure aliyekua mbioni kutimka klabuni hapo mara baada ya msimu wa 2014-15 kufikia kikomo.

Juma lililopita uongozi wa Man City ulitangaza kupingana na hatua za kiungo huyo kuwa katika mipango ya kutaka kuondoka klabuni hapo na kwenda kusaka mahala pengine pa kucheza soka lake.

Toure amethibitisha kuendelea kubaki Etihad Stadium, baada ya kuandika katika mitandao ya kijamii, na kupokelea vyema na mashabiki wake waliouona ujumbe huo.

Naye wakala wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 32, Dimitry Seluk amethibitisha taarifa hizo, baada ya kuulizwa na vyombo vya habari ambavyo vilihitaji kujua ukweli wa taarifa zilizotolewa na Toure.

Seluk alitangaza kuanza mchakato wa kumtafutia klabu nyingine mchezaji wake majuma matatu yaliyopita, huku akitoa sababu za hali ya kutoelewana baina ya Toure na baadhi ya viongozi wa Man City ambao walimuonyesha dharau mwaishoni mwa msimu uliopita kwa kushindwa kumtakia kheri kwenye siku yake ya kuzaliwa.

Tayari klabu ya Inter Milan ya nchini Italia pamoja na Chelsea ya England zilikua zinahusishwa na mipango ya kutaka kumsajili kiungo huyo.

Udaku Specially

unread,
Jun 3, 2015, 5:21:21 PM6/3/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Kajala Atangaza Kumsamehe Mbaya Wake

Posted: 03 Jun 2015 10:18 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni pombe zilimtuma vibaya, amesema licha ya shauri hilo kuwepo bado polisi, binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa


  • Kajala aliyasema hayo kwenye eNewz ya EATV  na pia alitumia nafasi hiyo kukanusha dhahiri kuwa mbaya wake huyo hahusiani kwa namna yoyote na pande mbili za mashabiki wenye mivutano mikubwa ambao ni  TeamWema wanaomsapoti mwanadada Wema Sepetu, dhidi ya Teamkajala ambao wanamsapoti yeye binafsi.


Picha:  Kajala alipokuwa na jeraha

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Lowassa Aahirisha Kuchukua Fomu ya Kugombea Urais

Posted: 03 Jun 2015 08:06 AM PDT

Mbunge wa Monduli ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa amaeahirisha kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi hadi siku ya kesho ambayo ni alhamisi.

Hadi sasa mwanasiasa  aliyefungua dimba la kuchukua fomu ya urais  ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen Wassira.

Mwanasiasa anayefuata  mchana huu ni Amina Salum Ali.

WEMA SEPETU Awashukia na Kuwapa Vidonge vyao Waandaji wa Instagram Kwa Kutokumlipa Mzee Majuto

Posted: 03 Jun 2015 04:40 AM PDT

Wema Sepetu Amefunguka kwenye Ukurasa wake wa Instagram akiwachana waandaji wa Instagram Parties Kwa Kutokumlipa Mzee Majuto Pesa zake baaada ya Wema Kuwaunganishia Mzee Huyo ili Aje kwenye Party yao iliyofanyika week end iliyopita Hapa Dar es Salaaam.....Ameandika Hivi:


  • Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli... Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza... Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel kajilipia mwenyewe.... Mimi sipendi lawama jamani... Sana sana ikiwa ni kwa wasanii wenzangu... Sasa hivi naonekana mbaya mimi maana mimi ndo niliewaunganisha na huyu Baba wa watu... Hawawajui nyie ananijua mimi..... Na kaja kwa heshima yangu.... Hizo ni dhulma na sio vizuri kumfanyia hivyo Mzee wa watu... Namuheshimu sana na siwezi kumkosea heshima kiasi hicho... Ila hakuna neno tumwachie Mungu sio..... @instagrampartytz @instagrampartytz ... Kiukweli siwezi kuja kufanya kazi na watu kama nyie at all.... You are nat Loyal..... Plz repost it.....

Nini Sababu ya Wanaume Wengi Kutamani Sana Wanawake Wenye Makalio Makubwa?

Posted: 03 Jun 2015 04:23 AM PDT

Kwa wanaofahamu naomba watujunze; ni sababu ipi ya wanaume kutamani sana wanawake mwenye makalio makubwa? Maana mimi sijaona kitu cha ziada ambacho kinachopatikana kwa mwanamke mwenye makalio makubwa katika mechi zaidi ya kuwa na matatizo yakutokujua kuchekechua.

kwa upande wangu nimefanikiwa kugegeda wanawake wa aina zote; mwenye makalio ya kawaida na ambao wanayo makubwa, lakini sijaona tofauti yoyote au kitu cha ziada ambacho anacho mwanamke mwenye makalio makubwa.

Tofauti kubwa niliyoiona kwa wanawake mwenye makalio makubwa ni mangogo katika mechi yanatenga tu, wengi hawajui kucheka chekechua kama hawa flat screen ambao nimewatafuna vya kutosha!!

Nasema hivyo sababu kumekuwa desturi kwa mwanamke mwenye makalio makubwa akipita kama kuna kundi kubwa la wanaume lazima mutageuka na kuanza kumjadili mwanamke huyo kwamba kajaliwa na Allah.

Naombeni wanaume wenzangu munitoe tongotongo kuhusiana na hili swala; kwamba kipi cha ziada ambacho anacho mwenye makalio makubwa katika maswala ya kimechi.

Mwanamuziki ALI KIBA Adaiwa Kuiba Maudhui ya Wimbo wa Chekecha Kwa Msanii Chipukizi

Posted: 03 Jun 2015 04:11 AM PDT

ALI KIBA
Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Bongo kutoka Mbeya aliyefahamika kwa jina la Ahmad A.K.A AD amelalamikia kuibiwa kwa maudhui ya wimbo wa Chekecha na Ally Kiba.

Akifunguka jana kupitia kipindi cha “The Jump off” cha Times fm, AD anadai alikutana na Ally kwenye show Mbeya akimtaka wafanye “collabo”, AD alidai alimpa vionjo Ally lakini baada ya miezi kadhaa akashangazwa kuisikia chekecha redioni.


  • “Tulikutana Mbeya nikamwambia bro nina Idea kali, sijamtafuta bado ila next week nakuja dar nitamtafuta then taratibu zingine zitafuata” alisema Ahmad


Katika hatua nyingine “The jump off”, ilimtafuta meneja wa kundi linalowajumuisha Ally Kiba na Abdu Kiba( kiba square) Kapasta 4 real, ambaye amedai kwamba huo ni uzushi na jamaa ana lengo la kutafuta umaarufu kupitia mgongo wa Ally Kiba.


  • “Ile nyimbo Ally kaandika studio, melody pamoja na kila kitu so huyo jamaa aache ujinga wake,asizingue tutampeleka kwenye viombo vya sharia asichezee kazi za watu” alimaliza Kapasta.

Msanii wa Bongo Flava NICK WA PILI Ajipanga Kuwa Rais wa Tanzania, Ataja Vipaumbele Vyake Pindi Atakapo Kuwa Rais

Posted: 03 Jun 2015 04:06 AM PDT

Nick wa Pili
Mkali wa Hip Hop Bongo,Niki Wa Pili amesema kuwa ana ndoto ya kuwa raisi wa Tanzania hapo baadaye na kwamba amebainisha vipaumbele vyake atakavyovifanya atakapokuwa madarakani.

Akizungumza na Clouds FM, alisema kuwa viongozi wa sasa wameshindwa kutekeleza sera zao kutokana na sababu mbalimbali hasa za binafsi,kitaifa na kimataifa na sera hizo hubadilika kila wakati.

Akimzungumzia rais ajaye kama anaweza kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa Tanzania hivi sasa alisema kuwa anaweza kama akija na sera nzuri na pia mabadiliko ya kimaendelea duniani kote huja taratibu.

‘’Naamini rais ajaye atafanya mabadiliko ya kimaendeleo kama akija na sera nzuri lakini naamini maendeleo duniani kote huja taratibu,’alisema Niki.

Pia akizungumzia uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambao utafanyika mwezi Oktoba alisema kuwa utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na wagombea wengi kujitokeza kuwania kugombea uraisi kupitia chama cha CCM,na pia upande wa upinzani kuna ushindani mkubwa wa kumteua mgombea wa uraisi.

Niki Wa Pili ametaja vipaumbele vyake pindi atakapokuwa raisi wa Tanzania

1.serikali lazima irudi kuwekeza kwenye uchumi

Wawekezaji nawapa sector zilizo dumaa hamna uwekezaji wa kuvuna bali wa kuzalisha
Lectures za vyuo zitarekodiwa na kutakuwa na you tube chanells za accounts, marketi, sociology nakadhalika…….so kwa waliokosa vyuo na mikopo, unaweza ukawa unazitazama….then chuo unakuja kufanya mitihani….vitabu navyo on line
Shule za vipaji maalumu narudisha, divion one ya kwanza haulipi ada, masomo ya sayansi 60% kwa vitendo

2.Mbunge lazima uwe na masters
3.Kipimo cha maendeleo ni watu

4.Kipimo cha miradi, sera, wizara ni matokeo yake kwa watu

5.Ukipatikana na rushwa unafutiwa kazi na vyeti vyako.

Msanii Salma Jabu ‘Nisha’ Abadili Jinsia Yake........Asema Aliamka Asubuhi na kujikuta Kawa Mwanaume!

Posted: 03 Jun 2015 03:06 AM PDT

Staa wa kike wa bongo Movies mwenye visa na vituko, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA  amewaaacha hoi mashabiki wake baada ya  kuwaeleza  kuwa  viongo  vyake  vimebadilika  na  sasa  sio  mwanamke  tena.

Nisha  aliuanika  ukweli  huo  kupitia  ukurasa  wake  wa  Instagram  ambapo  alitupia  picha  hii na  kuandika;  “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.

Shamsa Ford Aonyesha Jeuri Kumlea Mtoto Wake Bila Msaada wa Baba Yake..Adai Mtoto Hajawahi Kuuliza Baba yake Yupo Wapi

Posted: 03 Jun 2015 03:03 AM PDT

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha jeuri kwa kueleza kwamba anamlea mwanaye Terry kwa mapenzi tele ili asimkumbuke baba yake, Dickson ambaye wamemwagana.

Amesema tangu wamwagane na mzazi mwenzake, mtoto wake hajawahi kumuuliza baba yuko wapi kitendo kinachomfanya azidishe mapenzi kwake kwani hata yeye alilelewa na mama yake bila baba.

  • “Kama baba yake alikuwa akinipiga mbele yake au kuja akiwa amelewa tilalila unafikiri mtoto atamkumbuka? 
  •   
  • Nimelelewa na mama yangu na sikuwahi kumkumbuka baba mpaka hivi nimekuwa mtu mzima, kwa hiyo sioni shida kumlea mwanangu peke yangu, kila kukicha naongeza upendo kwake,” alisema Shamsa.

MADNESS! Which dance style is this now? Some people are Crazy (LOOK)

Posted: 03 Jun 2015 02:57 AM PDT


This is Madness Now, hey dancers please explain which dance style this is!

This is Why Zari will be a s3xy Mama Forever....Gym grind....Photos

Posted: 03 Jun 2015 02:54 AM PDT


Sometimes God's silence is the most loving and beautiful gift He gives to us, becoz it causes us to grow, stretch, trust & believe....Yeeeeeaaassss she still about that life Gym Grind- Zari




Photos: Jay Z and Beyonce Travel with Lots of Cash in Bag

Posted: 03 Jun 2015 02:46 AM PDT


The power couple boarded a helicopter while their handlers carried a backpack with lots of cash as they headed for The Hamptons



Mashabiki wa Ali Kiba Waanza Kuukubali Ukweli..Diamond si wa Kushindana Naye yupo Level zingine

Posted: 02 Jun 2015 10:07 PM PDT

Nimesoma comments kwenye picha aliyoweka Alikiba leo kwenye Instagram na kuandika tu #Kingkiba (kama kawaida yake). Mashabiki wake wanalalamika kuwa anawaangusha sana kwa ukimya wake hasa kutwapa video ya Chekecha hadi leo.

Kuna kitu watu wanashindwa kukikubali hapa. Alikiba anakabiliwa na pressure hii sababu ya kushindanishwa na Diamond. Mimi si muumini wa hizi team, lakini kama mchambuzi wa muziki na mtu ninayefuatilia sana muziki wa Tanzania, napenda watu watambue na kukubali kuwa Diamond na Alikiba hawako sawa tena. Mnamuonea tu Kiba kumfananisha na Diamond.

Katika maisha kutangulia sio kufika. Mwenzake yuko mbali mno na ili kuondoa pressure hii inayomkabili Kiba, ni kuacha kulazimisha kuwafananisha watu hawa wawili.
Maisha yatakuwa rahisi sana wakikubali ukweli huu. Wote ni wanamuziki wazuri na wote wana vipaji lakini bahati mbaya ni kuwa hawako level moja.

Just imagine mwenzie baada ya kutoa video ya ‘Nasema Nao’, ameachia video zingine mbili tena akiwa na wasanii wakubwa Afrika, Nana f/ Flavour na Nakupenda aliyofanya na Iyanya, lakini Kiba bado anadaiwa kavideo kamoja tu ka Chekecha! Ni kweli anaawangusha sana mashabiki wake lakini pengine huo ndio uwezo wake hivyo kwa kumtegemea afanye kama Diamond mnamuonea tu! Peace! (Mjumbe hauwawi)

COMMENTS ZA MASHABIKI HIZI HAPA:

sadickmwalongo7
Nimewambia watu mara nyingi diamondi anajua anacho kifanya anafaa kuigwa si mtu wa kujali sana maneno ya kukatish tamaa.kiba nae yuko vizur san tena san tu ila ni kweli kama alivyo sema wa mwanzo levo ya diamond ni nyingine ukilinganish umr wake so unagundua ni mtu tofaut sana ni mbunifu.kiba ulisem vumbi bila shak we ni vumbi sa2 au utafta tena maan hueleweki.unajaribu shindan na upepo wapo wa levo yako wengi si lazima diamondi mwisho wa siku unatafta aibu kaz zipi nyingi.huyu dogo achan nae tuanze upya tukague wapi tumekosea naamin tutashnda mzee mzima huo ndio ukweli.

moureenjo
Mi nadeclare interest napenda kiba anavyoimba pia ni shabiki wake sonce then ila alipoa muda mrefu sana toka ametoa wimbo na r kelly one eight, dai ni mjanja na anafanya juu chini asishuke hata kwa kutengeneza scandal kitu ambacho kiba hana hiyo

derique05 
Penye ukweli huongo hujitenga.... well said aisee

 queenmaggiexuan_one_n_only 
ni kwel kiba kajisahau mno na kusema amkimbize chibu ni bdo sna


 anethndosi
 @udaku_special kunywa chochote kwabill yangu dah!!! Umeandika kitu chenye akili sana alaf mashabki ss ndowabaya tunajuwa kulingansha bla kuangalia unae mlinfansha nae yupo wap nampenda sana kiba napenda mzki wake saut yake ila aachane namambo yadai yatampa stress atashindwa kufanya ata icho kidogo alichonacho kwajili yamqshindano



Mpenzi wa Facebook Anayedaiwa Kumnyonga Mke wa Mtu Gesti Huyu Hapa..Siri yafichuka Vidonge vya ARV ndio Chanzo

Posted: 02 Jun 2015 09:38 PM PDT

Charles Raphael anayedaiwa kumnyonga mke wa mtu gesti.
Stori: Makongoro Oging’ na Mayasa Mariwata
MAPYA tena! Yale mauaji ya mke wa mtu, Ashura Maulid yaliyotokea kwa kunyongwa gesti na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa kwenye mtandao wa kijamii Facebook, Charles Raphael (pichani), sasa Uwazi limepata picha yake na mengine yameibuka.


MTUHUMIWA WA MAUAJI
Taarifa kutoka chanzo makini zimeeleza kuwa, mwanaume huyo mpaka anafikwa na tukio hilo la kudaiwa kumuua mwanamke huyo kwa kumnyonga alikuwa akijihusisha na kazi ya ubaharia  kwa safari za ndani na nje ya nchi hasa Yemen ambapo alikuja nchini kuchukua vyeti vyake ili akaajiriwe rasmi nchini huko.

VYANZO VYA POLISI
Kwa mujibu wa vyanzo vya polisi katika maelezo ya mtuhumiwa huyo, inadaiwa siku ya tukio, wawili hao walikubaliana wakutane kwenye gesti hiyo na kufanya mapenzi.

“Walifanya mapenzi kweli tena bila kinga. Walipomaliza, mwanaume alipekua mkoba wa mwanamke, akakuta vidonge ambavyo yeye alivitafsiri kwamba ni vya kupunguza makali ya ugonjwa wa Ukimwi (ARV).

MZOZO WAIBUKA
“Mzozo ulianza kuibuka. Mwanaume alimjia juu mwanamke kwamba huenda amemwambukiza virusi vya Ukimwi ingawa mwanamke alijitetea kuwa vidonge vile siyo ARV. “Kwa hasira mwanaume akamshika shingoni na kumkaba, kisha akamwachia na yeye akaondoka,” kilisema chanzo.

Kikaongeza: “Wakati mwanaume anaondoka kwa hasira, mwanamke alikuwa ameanguka chini lakini alikuwa hajafariki dunia. “Ndipo nyuma, wahudumu wa gesti walibaini kuwa, ndani ya chumba hicho kuna mwili wa mwanamke ukiwa chini na kutoa taarifa polisi.”

MTUHUMIWA ALIKAMATWAJE?
Habari zaidi zinadai kuwa, baadhi ya wafanyakazi wenzake marehemu walijua wawili hao walikuwa pamoja kwa hiyo kifo cha mwenzao walikihusisha na mwanaume huyo.

“Ili kumpata mtuhumiwa, polisi walimtumia mfanyakazi mmoja wa marehemu ambaye aliwahi kutongozwa na mwanaume huyo siku za nyuma. Yeye alimpigia simu mwanaume na kumwambia yuko tayari kwa sasa kumpa penzi. Jamaa akafurahi, wakapanga kukutana maeneo ya Jeti, Dar ambapo mtuhumiwa huyo alipofika, polisi walimkamata.

Habari zinasema kuwa, mtuhumiwa huyo alikamatwa huku akiwa hajui chochote, akiwa ndani ya gari la kukodi aina ya Toyota Carina (namba zinahifadhiwa) na kufikishwa katika Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar (anakoshikiliwa hadi sasa).

Marehemu Ashura Maulid enzi za uhai wake.

NDANI YA KITUO CHA POLISI
“Alipofikishwa kituoni aliambiwa kuwa ameua mwanamke kwa kumnyonga, akashtuka sana. Akasimuliwa mkasa wote na yeye akajieleza,” kiliongeza chanzo.

POLISI WAVIFANYIA KAZI VIDONGE
Habari zaidi zinawekwa wazi kwamba, polisi walivichukua vidonge hivyo na kuvipeleka kwa wafamasia kwa ukaguzi kama kweli ni ARV lakini vikabainika ni vya minyoo.

MUME WA MAREHEMU
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, siku ya tukio mume wa marehemu, Suleiman Othman alimpigia mkewe simu ili kujua alipo akamwambia anatoka kazini lakini kutokana na foleni za barabarani atachelewa kufika nyumbani.
Taarifa zaidi zinadai kwamba mume alipoona usiku unazidi kuingia, mkewe hajarudi alimpigia simu  ambapo iliita bila kupokelewa baadaye ikawa haipatikani hewani.

TAHADHARI KWA WATUMIA FACEBOOK
Polisi mmoja aliyezungumza na Uwazi kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini kwa vile siyo msemaji, alisema kumekuwa na kesi nyingi kwenye vituo vya polisi ambapo chanzo chake ni Facebook.“Mimi nawaambia watumiaji wa Facebook kujihadhari na mawasiliano na watu wasiowafahamu, hasa kwenye suala la uhusiano wa mapenzi,” alisema afande huyo.


TUJIKUMBUSHE
Katika gazeti hili toleo lililopita, tuliandika ukurasa wake wa mbele habari yenye kichwa; MPENZI WA FACEBOOK AMNNYONGA MKE WA MTU GESTI!
Tukio hilo lilijiri Mei 19, mwaka huu kwenye nyumba ya kulala wageni (guest house) iliyopo maeneo ya Afrikasana, Dar pembezoni mwa barabara ya kwenda Kijitonyama kupitia Polisi Mabatini.

Katika habari hiyo, mume wa marehemu alisema haamini kama mkewe alishawishika kukutana na mwanaume huyo kwa ajili ya kufanya mapenzi tu bali alikuwa na nia ya kumwibia pesa za mauzo ya siku hiyo.Alisema mkewe alikuwa akifanya kazi ya kuuza mafriji kwenye duka moja lililopo maeneo ya Afrikasana, Dar.

Picha: Nimeamka Nimejikuta Nina Mabadiliko Mwilini-Nisha

Posted: 02 Jun 2015 09:32 PM PDT

Staa wa bongo Movies mwenye visa na vituko vyakufurahisha, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA  amewaaacha hoi mashabiki wake baada yakutupia picha hii mtandaoni na kuandika “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.

Picha hii imekuwa ikisambaa kwa kasi zaidi mtandaoni  huku kila mtu akiichombeza kwa maneno yake ukizingatia siku za hivi karibuni kuna baadhi ya mastaa wa kiume wa hapa Bongo wamekuwa wakipiga picha za namna hiyo na kuzua  ‘stories’ mitandaoni wakati huu huo huko nchini  Marekani stori za baba mlezi wa mwanamintindo Kim Kardashian, Bruce Jenner  kijibadili jinsia zimeshika kasi.

Hivi ni vijimambo tu jamani.

Mzee wa Ubuyu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 3 Juni 2015

Posted: 02 Jun 2015 09:20 PM PDT













Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  3 Juni 2015

Udaku Specially

unread,
Jun 4, 2015, 4:46:45 PM6/4/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Wema Sepetu na Mpenzi wa Linah Kunani?? Picha yao ya Kimahaba yanaswa Mtandaoni

Posted: 04 Jun 2015 12:45 PM PDT

Wema na Mpenzi wa Linah
Nadhani hatuna haja ya kueleza zaidi ni maeneo gani hiyo picha itakuwa imepigwa. Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi wetu. Pichani ni mwanadada wetu Wema Sepetu na kijana aliyetajwa kuwa ni mpenzi wa mwanamuziki linah sana.  Hatujui kinachoendelea mpaka sasa, yawezejana ni video mpya inafanyiwa promo, yawezekana ni tangazo la TV au bidhaa mpya mtaani na wala haituhusu,  Ila tumeona si vyema tusipowaletea kinachojiri hivi sasa kati ya hao wawili.

Sisi yetu macho.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Kenyans on Social Media can announce your funeral while you are still alive - RUTO says

Posted: 04 Jun 2015 11:47 AM PDT

Deputy President William Ruto on Tuesday asked Kenyans to avoid taking social media seriously because bloggers can announce your funeral when you are still alive.

In an interview with Citizen TV, Ruto said he  has been closely following what is happening  on social media and some things bloggers post are just baseless and as such, Kenyans should  not to take what is written there as the gospel truth.

When asked whether he was aware of the ridicule he has previously been subjected to on social media over corruption allegations, Ruto answered,

"Don't take social media seriously my friend, they can even announce your funeral when you are still alive.

Among scandals Ruto has been involved in is the Sh 17 billion Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret, the land grabbing case at Lang'ata Primary School in Nairobi and a case involving land on Ngong Forest.

Ruto denied all these scandals and said his political detractors have taken it upon themselves to drag his name into every scandal even when it was clear he has nothing to do with them.
~Kenyan Daily Post

LOST generation! See what this LADY from Nairobi Aviation College did in-front of MEN. +18 ONLY

Posted: 04 Jun 2015 11:40 AM PDT

Nowadays, majority of ladies have lost morals and some of the things they do in public are just shocking and disgusting.

Instead of studying, they engage in useless activities that add no value to their life.

Below is a crazy video of a middle aged lady from Nairobi Aviation College,  who decided to unleash her madness in-front of men as she jammed down to Jamaican dancehall tunes.

Looking closely, this crazy lady is br@less and her big “nyonyos” are popping out as men cheer her on.

Click play and watch the madness.

Aslay: Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu

Posted: 04 Jun 2015 09:09 AM PDT

Tetesi zilizopo mtaani ni kwamba Aslay Isihaka alikuwa akifukuziwa na Wema Sepetu kimapenzi na watu wengi walipouliza swali walitaka kufahamu ukweli juu ya suala hilo na ndipo hapo Aslay alipofunguka na kuweka wazi juu ya suala hilo na kusema kuwa hakuna ukweli wowote na wimbo wa Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu.

"Watu wanakuwa wanaongea mambo mengi juu ya maisha yangu hususani katika mahusiano na kusambaza taarifa zisizo na ukweli, mfano watu wanasema natoka kimapenzi na Wema huo siyo ukweli kabisaa bali Wema ni kama dada yangu, ila kutokana na mambo haya ndipo niliamua kuweka mahusiano yangu wazi ili kila mtu ajue kuwa nipo kwenye mahusiano na mtu fulani na waache kusambaza taarifa zisizo na ukweli."

Kwa kifupi hizo taarifa wanazosema mashabiki hazina ukweli wowote,kwa sasa nimemtangaza mpenzi wangu na ndiye niko nae, sitaki usumbufu tena kwa sasa.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais

Posted: 04 Jun 2015 09:10 AM PDT

Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.

1. Jakaya Mrisho Kikwete

2. Dr. Ally Mohamed Shein

3. Phillip Japhet Mangula

4. Abdulrahman Kinana

6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal

7. Mizengo Kayanza PeterPinda

8. Balozi Seif Ali Iddi

9. Anna Semamba Makinda

10. Pandu Amir Kificho

11. Rajab Luhwavi

12. Vuai Ali Vuai

13. Nape Moses Nnauye

14. Mohammed Seif Khatibu

15. Zakhia Hamdan Meghji

16. Asha Rose Migiro

17. Sophia Simba

18. Sadifa Juma Khamis

19. Abdallah Majura Bulembo

20 Jenister Mhagama

21. William Lukuvi

22. Steven Masato Wasira

23. Emmanuel John Nchimbi

24. Pindi Chana

25. Jerry William Slaa

26. Adam Kimbisa

27. Shamsi Vuai Nahodha

28. Hussein Ally Mwinyi

29. Maua Daftari

30. Samia Suluhu

31. Salim Ahmed Salim

32. Makame Mbarawa

33. Hadija Abood

Nafasi zilizo wazi:

34. Anna Kajumulo Tibaijuka (ametolewa kutokana na kashfa ya Escrow)

35. Salmin Awadhi (amefariki)

Kabla ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012 wenyeviti wastaafu (taifa) na makamu wenyeviti wastaafu (taifa) walikuwa wajumbe wa kamati kuu.

Kwa sasa wana nafasi yao kama Baraza la Ushauri ambalo wajumbe wake ni hawa wafuatao:

1. Ally Hassan Mwinyi - Mwenyekiti

2. Pius Msekwa - Katibu

3. Benjamin William Mkapa - Mjumbe

4. Aman Abeid Karume - Mjumbe

5. Dr. Salmin Amour - Mjumbe

Hawa wazee wa Baraza la Ushauri wana nafasi yao katika ushauri kwa kamati kuu kuhusu wagombea urais. Vikao vyao havina kalenda hukutana tu pale linapokuwa jambo muhimu na mahususi linalohitaji mawazo yao.

Maamuzi ya Kamati Kuu ni kwa consensus (busara/common sense), sio kura.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Edward Lowassa achukua fomu kugombea Urais mjini Dodoma

Posted: 04 Jun 2015 09:02 AM PDT


Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Mh. Edward Lowassa akiwa Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma akichukua fomu ya kugombea Urais 2015

The Real Truth Behind Ali Kiba And Diamond Platinumz Beef!

Posted: 04 Jun 2015 06:31 AM PDT

ALI KIBA VS DIAMOND
It’s Long Been Rumoured That Ali Kiba And Diamond Platinums Have Beef With Each Other But Now Ali Kiba Has Decided To Clear The Air On The The Sporah Show. During This Interview With Sporah, Ali Kiba Stated That He Has No Issue With Diamond Platinums At All. He Went On To Say, “I Have A Lot Of Respect For, Yes He Represent Our Country, I Seriously Don't Know Why People Always Raise The Issue And Ask Me If I'm Cool With Him. I Thought By Now They Would Be Tired Of It.

Ali Kiba Admits Not Being A Fan On Diamond Platinumz!
There have been many rumors flying around that Ali Kiba is suffering from financial issues recently, given the fact that his music career hasn't been as productive in recent years as his fans would've hoped. He addressed these rumors during this interview with Sporah, as he pretty much laughed off the claims. He also spoke in depth about how the Media Industry in Tanzania is playing a major role killing Music Industry (Bongo Flava).

Read what Meninah La Diva wrote to the someone she loves....it sounds real sweet

Posted: 04 Jun 2015 06:34 AM PDT

One + one makes 2 that's the only reason why I love you because me and you are the reason why were two to conquer all the hard time we are passing through I heart you ...........Meninah on Instagram

Nasumbuliwa Sana na Mademu Japo Nimemtangaza Mpenzi Wangu Hadharani -Aslay

Posted: 04 Jun 2015 06:24 AM PDT

Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka mahusiano yake wazi, Aslay alifunguka hayo alipokuwa

akichat Live katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano, kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Aslay alisema kuwa moja ya sababu iliyomfanya kumuweka wazi mpenzi wake huyo ni kutaka kutoa ujumbe kwa wale ambao wanamsumbua kuwa waache kufanya hivyo kwani tayari ana mtu ambae yeye anampenda.
"Nimeamua kuweka mahusiano yangu ya mapenzi wazi sababu nasumbuliwa sana, nahisi kufanya hivyo wataelewa na kuacha, yaani kama nimewapunguzia speed ya usumbufu"
Mbali na hilo Aslay aliweza kuzungumzia juu ya elimu yake na kusema hakuacha shule kwa sababu ya muziki ila ataendelea na shule pale alipoishia, ilaa anaamini atafanya hivyo siku za usoni.
YAMOTO BAND
Mkali huyo ambaye amejipa jina la dingi mtoto amesema kuwa hafikiri kuondoka Yamoto band wala hawazi suala hilo, ila amesema kuwa kwa sasa yeye na wenzake wanajipanga kufanya kazi za kimataifa hivyo wanasubiri majibu kutoka kwa Yemi Alade, kwa kazi ambayo wamemtumia hivyo pia ameeleza kuwa kuna kazi ambayo wamefanya na Sauti Soul wa nchini Kenya ambao waliwaomba kufanya nao kazi.
MAHUSIANO YAKE NA WEMA
Tetesi zilizopo mtaani ni kwamba Aslay Isihaka alikuwa akifukuziwa na Wema Sepetu kimapenzi na watu wengi walipouliza swali walitaka kufahamu ukweli juu ya suala hilo na ndipo hapo Aslay alipofunguka na kuweka wazi juu ya suala hilo na kusema kuwa hakuna ukweli wowote na wimbo wa Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu.
"Watu wanakuwa wanaongea mambo mengi juu ya maisha yangu hususani katika mahusiano na kusambaza taarifa zisizo na ukweli, mfano watu wanasema natoka kimapenzi na Wema huo siyo ukweli kabisaa bali Wema ni kama dada yangu, ila kutokana na mambo haya ndipo niliamua kuweka mahusiano yangu wazi ili kila mtu ajue kuwa nipo kwenye mahusiano na mtu fulani na waache kusambaza taarifa zisizo na ukweli."
Kwa kifupi hizo taarifa wanazosema mashabiki hazina ukweli wowote,kwa sasa nimemtangaza mpenzi wangu na ndiye niko nae, sitaki usumbufu tena kwa sasa.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua

Posted: 04 Jun 2015 03:18 AM PDT

WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.

Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.

Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM, alisema kutokana na kusambazwa kwa waraka ambao umeandikwa nyadhifa zake za ubunge na uwaziri, hivi sasa ameshaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu waliokuwa wakiusambaza.

Waziri Mwakyembe ambaye kitaaluma ni mwanasheria na mwanahabari, alisema anapata shaka hata na baadhi ya vyombo vya habari pamoja na mitandao hiyo na kudai kuwa anamshambulia Lowassa.

“Ninashangazwa sana na hii mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari (magazeti), vimekuwa vikiandika vitu vibaya ikiwa ni pamoja na kumshambulia Lowassa wakati hata siku moja sijazungumza nao.


  • “Kitendo cha baadhi ya watu wa aina hii kuwaandika vibaya wanasiasa katika mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya watu wengine ni ishara ya woga wa kisiasa na kushindwa kujiamini katika misimamo yao.



  • “…Kinachonikera kupindukia ni kuwa taarifa hizo sijawai kuziandika ila kuna mtu ama kundi maalumu la watu limeziandika na kuweka jina langu na nafasi zangu za uongozi kama mbunge na waziri, huu si uungwana na wala si siasa kwa kuchezea majina ya watu. Kama siasa zimefika huku basi ni za hatari,” alisema.


Dk. Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela mkoani Mbeya, alisema katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, watu wanapaswa kuacha woga na kutojiamini.


  • “Kitendo cha kutumia majina ya watu na kuelezea hisia zao ni kukosa ujasiri na hata yanayosambazwa kwenye mitandao hayaendani na hadhi yangu kiongozi, sina tabia ya woga na uongo,” alisema.


Alisema baada ya kupata taarifa zilizopo mitandaoni alilazimika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ili kulalalimikia mchezo huo mchafu.

Dk. Mwakyembe alisema vyombo hivyo vimeshaanza uchunguzi mkali ili kuwabaini watu walioandika na kutuma taarifa hizo.


  • “Hizo porojo zilianza tu polepole, zilienda mitandao ya kijamii na magazeti kuwa nimesema Lowassa hana sifa ya kuwa rais, wengine walisema niliwaambia nitapambana kufa na kupona Lowassa asiingie Ikulu wakati sijaongea nao na sijawahi kusema, huu ni mchezo wa kitoto uliopitiliza, lakini una madhara makubwa,” alisema Dk. Mwakyembe.


Alisema kutokana na hali hiyo, amedhamiria na kuhakikisha kesi ya kwanza ya matumizi mabaya ya mitandao inaanzia kwake kwa kuwa hana utamaduni wa woga, na watu wanapaswa kuwa wazi endapo wanakuwa na vitu na si kutumia majina ya watu.

Dk. Mwakyembe alisema anashangazwa na watu kutumia jina lake kumchafua kwa kuwa hana tatizo na mtu yeyote na kama chanzo ni suala la Richmond, ilikuwa ni kazi aliyopewa na Bunge.

Alisisitiza kuwa alifanya kazi hiyo vizuri kwa kumuweka Mungu mbele, lakini si kuongea uongo jambo ambalo si utamaduni wake.


  • “Wananchi wanapaswa kutambua kuwa nchi inaendeshwa kisheria na ninaamini wahusika wote waliofanya tukio hilo watachukuliwa hatua za kisheria,” alisema.


Umoja  wa  Ulaya  Nao  Wakanusha;
Jana Umoja wa Ulaya (EU) ulikanusha vikali kwamba balozi wake nchini alifanya mkutano na waandishi wa habari na kumtahadharisha Rais Jakaya Kikwete kwamba nchi yake inaweza kuingia matatani na EU kama Lowassa atateuliwa kuwa mgombea urais kupitia CCM.

Ofisa Habari wa EU, Susanne Mbise  jana  alikanusha  taarifa  izo  na kusema kuwa  hata  wao wamesikia taarifa hizo, lakini ukweli wa jambo hilo upo kwenye taarifa waliyoweka kwenye mtandao wa Face Book ya Umoja huo.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyosainiwa na Ofisa anayeshughulikia Siasa na Habari, Luana Reale wa kitengo cha habari, Balozi huyo hajafanya mkutano wowote na mwandishi yeyote na kwa maana hiyo hajatoa taarifa yoyote kwa vyombo vya habari.

Reale alisema kuwa tangu Juni mosi mwaka huu Balozi huyo hayuko nchini kwani alisafiri kwenda makao makuu ya Umoja huo na hajarejea nchini.

Alisema kuwa EU ina uhusiano mzuri wa muda mrefu na Tanzania ambao umejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana na kuaminiana.

EU inatoa taarifa hizo baada ya watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uzushi na uongo kwenye mitando ya kijamii wakidai kuwa Rais Kikwete ameonywa kwamba Lowassa akipitishwa kuwania urais uhusiano wa Tanzania na EU utaingia shakani na kwamba hawataisaidia katika miradi ya maendeleo.

Wazushi hao walidai kuwa Lowassa ni mtuhumiwa namba moja wa rushwa nchini na kutaja kuwa anahusika katika kadhia ya Richmond na NIC.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

KIMENUKA...Mwanamuziki Linah Sanga Amshutumu Wema Sepetu Kutoka Kimapenzi na Bwana wake

Posted: 04 Jun 2015 02:58 AM PDT

Unamkumbuka yule jamaa wakati timu ya taifa ya brazil imekuja Tanzania kecheza na taifa stars aliingia katikati ya uwanja na kumkumbatia mchezaji KAKA wakati mechi ikiendelea?

Yule ndo boyfriend wa msanii wa music Lina Sanga, jana kupitia kipindi cha ala za roho cha clouds fm msanii Lina Sanga alifunga na kumlalamikia msanii Wema Sepetu kwa kutoka na jamaa yake wakati akijua kabisa alikuwa ni boyfriend kabla hakujatokea mtafaruku baina yao. Lina anasema ameshtuka na kuumia kusikia Wema anatoka na jamaa.


  • Lina  'Unajua wakati tuna mahusiano na jamaa mimi nilikuwa nawachukulia kama watu wanaofahamiana na ni marafiki wa kawaida tu hata wakiwa wametoka out lakini baada ya mimi na jamaa kutokea kutoelewana na ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano yoyote na nimedumu na jamaa kwenye uhusiano kwa miaka 4, sasa nimeshuka na kuumia nisidanganye kusikia jamaa anatoka na Wema, hata hivyo nawatakia kila la kheri kwenye uhusiano wao'


Hata hivo Lina aligoma kuthibitisha kama ana ujaozito wa jamaa au hana.

Wema Sepetu nae amehadi kuja kutoa lake la moyoni



Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Christian Bella: Hakuna Msanii Asiyependa Kufika Alipofika Diamond Platnumz

Posted: 04 Jun 2015 02:43 AM PDT

Mwanamuziki Christian Bella
Christian Bella anaamini kuwa kikwazo cha wasanii wengi kukua kutokuwa na management. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kila msanii ana lengo la kwenda mbali zaidi lakini tatizo lipo kwenye management.
“Muziki wetu bado una matatizo mengi ndo maana unaona kuna wakati unahitaji kufanya kitu lakini unashindwa. Hakuna msanii asiyependa kufika alipofika Diamond, kila mtu anataka, tatizo ni management,” amesema msanii huyo.

“Kila msanii huwezi kutumia pesa yako ya mfukoni kutengeneza video, hautaweza kufika popote. Management ndIo inaweza kukusimaMia kila kitu, lakini sisi hapa kila kitu anafanya msanii huyo huyo, hatuwezi.”

Chanzo: Bongo5

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Nani Huyu Anayemtibulia Irene Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?, Soma Alichokieleza

Posted: 04 Jun 2015 02:45 AM PDT

UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
  • Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja ya kukutaja jina unajijua...OVER


Hili ni jiwe gizani.

Mzee wa Ubuyu

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Rais wa Burundi Nkurunzinza Asalimu Amri...Aamua Kuhairisha Uchaguzi Mkuu

Posted: 04 Jun 2015 02:47 AM PDT

Serikali ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa rais na wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa hii umehairishwa mpaka tarehe nyingine itakapopangwa.

Msemaji wa rais Nkurunzinza,Wily Nyamitwe amesema  kuwa tarehe itapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo.

Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere Nkurunzinza kutangaza nia ya kuongoza kwa awamu ya tatu baada ya kuwa rais kwa miaka 10.

Umoja wa Mataifa imeelezea jinsi mgogoro huo ulivyoongeza idadi ya wakimbizi wanaoikimbia Burundi na kukimbilia nchini Tanzania.

Hata hivyo umoja wa Afrika mashariki unadaiwa kushindwa  kutoa amri dhidi ya Rais Nurunziza kutokana na kutaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kinyume  na katiba ya nchi hiyo suala linalopingwa vikali na wananchi wa nchi hiyo.


Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Mimba ya Mrembo LULU MICHAEL Yatoweka Ghafla

Posted: 04 Jun 2015 02:48 AM PDT

LULU MICHAEL
Brighton Masalu
Miezi miwili iliyopita kuliibuka madai mazito kwamba staa bei mbaya wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameongezeka tumbo hivyo mashabiki wake wakapiga vigelegele kwamba huenda ana mimba lakini sasa tumbo hilo limeyeyuka na yupo ‘flati skriini’.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Lulu kwa sasa anakatiza viunga vya chuo anachosoma cha Magogoni jijini Dar akichukua masomo ya Uhusiano wa Umma, akiwa hana lile tumbo la Aprili.Gazeti hili lilizungumza na baadhi ya wanafunzi wenzake ambao walidai msanii huyo alikuwa hafiki chuoni hapo kwa muda mrefu lakini sasa amejaa tele ‘mwepesii’.


  • “Hakuwa akija chuoni kwa muda, baadaye akawa anahudhuria kwa ‘kupibu’ kisha kuacha tena ila ameanza juzi tu kutokana na kuwepo kwa mitihani,” alisema mmoja wa wanachuo hao.Kama taaluma inavyoelekeza, mwandishi wetu alimtafuta Lulu kupitia simu yake ya mkononi huku ikiita bila majibu.


Baadaye alitumiwa ujumbe wa kwanza uliosomeka: “Tafadhali naomba upokee simu, nahitaji kuzungumza na wewe jambo muhimu.” Hata hivyo, hakujibu.Baada ya kuona kimya, mwandishi wetu alimtumia ujumbe ulioonesha madai hayo: “Kuna tetesi kuwa ulinasa mimba na kuficha na sasa inadaiwa kutoka na kwamba hata chuoni haukuwa ukihudhuria, hili likoje?”
Baada ya kimya cha saa kadhaa, Lulu alijibu:


  • “Hao wanaodai nina mimba walinipa wao? Sina nafasi ya kufafanua.” 

Hivi karibuni Lulu aliripotiwa na mitandao ya kijamii kuwa huenda ana mimba.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Aunt Ezekiel Alimwa Talaka Tatu..Baada ya Mumewe Kusikia Ana Mimba ya Moses Iyobo

Posted: 04 Jun 2015 02:48 AM PDT

Kuna madai kwamba, Aunt Ezekiel alishaandikiwa talaka na ipo nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mumewe, Sunday Demonte, Temeke Mwisho jijini Dar.

Kwa mujibu wa chanzo, talaka hiyo iliandikwa na mumewe huyo baada ya kupata taarifa kwamba, mkewe huyo ana ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa Mnenguaji wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo.


  • Hivi mnajua kwamba, Aunt alishaandikiwa talaka? Kama hamjui mjue sasa. Ipo Temeke kwa wakwe zake. Jamaa si yupo Uarabuni mahabusu, alisikia mkewe ana mimba ya Iyobo.  Nadhani wanashindwa kumpa hiyo talaka kwa sababu walishakata mawasiliano naye tangu kitambo,” kilisema chanzo.


Aunt mwenyewe alipotafutwa juzi  na kuulizwa kuhusu madai hayo,  alisema:


  • Sijui lolote kuhusiana na hilo, aliyesema kuwa nimeandikiwa talaka ipo ukweni kwangu ndiye angesema kila kitu yeye kwa vile anajua, mimi sijui.”


Credit:Gpl

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Pombe Zitamtoa Roho Mwigizaji Johari ..Adaiwa Kuwa na Msongo wa Mawazo

Posted: 04 Jun 2015 02:49 AM PDT

Johari Chagula
Brighton Masalu
Pombe zitamtoa roho! Unywaji wa pombe kupita kiasi anaoufanya staa wa sinema za Kibongo, Blandina William Chagula ‘Johari’ umetafsiriwa kama kujihatarisha kiafya baada ya hivi karibuni kunaswa mchana wa jua la utosini akifakamia ulabu huku akionekana kuzidiwa, jambo lililozua minong’ono kwa baadhi ya watu, Risasi Mchanganyiko lilimnyatia.

Tukio hilo lililopigwa chabo na mwanahabari wetu lilijiri juzikati maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar ndani ya baa moja (jina tunachikichia) akiwa peke yake na mwenye kuonekana kughubikwa na lindi zito la mawazo.Awali, mwandishi wetu aliyekuwa ‘akineng’eneka’ kwenye baa hiyo kwa kazi maalum, alimshuhudia Johari akiingia na kukaa huku akionesha tahadhari kwa kuangaza macho huku na kule mara kwa mara kama aliyekuwa akimtafuta mtu na kumuita mhudumu kisha kumnong’oneza jambo ambapo mhudumu huyo alionekana akielekea kaunta.

Akiwa ‘ametumbua’ macho, mwandishi wetu alimfuatilia mhudumu huyo na kubaini kinywaji kilichoagizwa na Johari ni pombe ndipo akaweka sawa kamera yake kwa ajili ya lolote. Kwa kasi, paparazi wetu alimfotoa picha za mbali na kwa tahadhari ya kutoshtukiwa kabla ya kuondoka eneo la tukio.

Hata hivyo, baadhi ya watu waliomshuhudia Johari kabla na baada ya kuagiza ‘masanga’, walisikika wakionesha mshangao wa wazi.“Mmh, unajua huyu msanii pombe zitamtoa roho, lakini si kawaida yake, kutakuwa na jambo kwani anaonekana ana msongo,” alisikika mmoja wa wateja waliokuwa wamekaa karibu na mwandishi wetu.

Mwandishi wetu hakuweza kumfuata Johari mahali alipoketi na badala yake aliondoka kisha kumpigia simu ambapo awali alikataa kutokuwepo kwenye baa hiyo lakini baada ya kubanwa kwa hoja nzito, alijikuta akikiri na kufunguka jambo jipya.
Dah! Ulikuwa umekaa wapi? Lakini siyo mawazo nimeamua tu kupumzika na kazi kwa leo hivyo nikaona si vibaya kama nitajiburudisha kwa kinywaji hiki,” alisema Johari.
GPL

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Huku Akidai Kuwa Ndio Mpenzi Wake Baada ya Diamond, Wema Sepetu Aonyesha Mahaba Niuwe Laivu..Awapa Watu Mshtuko

Posted: 04 Jun 2015 02:50 AM PDT

Musa Mateja
LIVE! The Big Boss wa Kampuni ya Endless Fame Productions, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akionesha mahaba niue kwa ‘kujibebisha’ kwa Mshiriki wa Big Brother Africa ‘Hotshots’ 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Manana huku akimmwagia sifa nyingi na kudai ndiye laazizi wa moyo wake kwa sasa baada ya kuachana na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’.

TUJIUNGE VIWANJA VYA POSTA
Tukio hilo lililoshuhudiwa na gazeti hili lilijiri ndani ya Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita kwenye Shoo ya Instagram Party ambapo Wema alikuwa mmoja wa washiriki wa tamasha hilo lililohudhuriwa na mamia ya mashabiki hivyo walipata mshtuko waliposikia habari hizo njema kutoka kwa Madam.

AMMWAGIA SIFA KEDEKEDE
Akiwa kwenye pati hiyo, Wema alipanda stejini kwa ajili ya kuongea na mashabiki wake na baadaye alipanda Luis ndipo Madam akaanza kummwagia sifa kedekede na kabla ya kumtambulisha rasmi kuwa ndiye ubavu wake.
Kwa kinywa chake bila kumung’unya maneno, Wema alidai kwamba Luis ndiye mwanaume ampendaye kwa sasa hasa akivua shati lake kwani ana vitu adimu ambavyo vinamfanya asimruhusu kuwa mbali naye.

LUIS NAYE
Baada ya sifa hizo, Luis naye alisema kuwa alipanda ndege kutoka Namibia hadi Dar kwa ajili ya kuja kujumuika na mwanamke ampendaye ambaye ni Wema.

TEAM WEMA FULL SHANGWE
Utambulisho huo ulizua shangwe nyingi kutoka kwa mashabiki hasa Team Wema ambao kwa pamoja walionesha kusapoti uhusiano huo na hata baada ya kushuka walionekana kuwazonga huku wakipigana vikumbo kwa ajili ya kutaka kila mmoja kupiga nao picha. “Sisi Team Wema tumepitisha ile Team Haters (timu ya wenye chuki) wakale malimao kama alivyosema Gwajima (Askofu Josephat) kwamba kama kuna watu hawampendi Lowassa (Edward) basi wakale malimao,” alisikika mmoja wa Team Wema.

NI KWA MARA YA KWANZA BAADA YA DIAMOND
Usiku huo ulikuwa wa kwanza kwa mwaka huu kumuona Wema akimtambulisha mwanaume kwa mara ya kwanza kwenye tamasha kubwa kama hilo tangu alipoachana na Diamond ambaye kwa sasa anajivinjari na mwanamama Zarinah Hassani ‘Zari The Boss Lady’.Kuna madai kwamba baada ya wawili hao kuwa beneti tangu waliposhuka jukwaani walikwenda kulala hoteli moja kwa mujibu wa wafuatiliaji.

WALILALA WOTE HOTELINI
Chanzo chetu cha habari kilichokuwa ndani ya hoteli hiyo (jina linahifadhiwa) kilidai kwamba siku hiyo Wema na Luis waliingia hotelini hapo na kulala hadi kesho yake, jambo ambalo lilikuwa siyo kificho tena hasa kwa wahudumu na watu wote walioongozana na msafara wa wawili hao. “Kweli kabisa Luis anatoka kimapenzi na dada yetu Wema maana nimeshuhudia tangu jana, Wema alikuja hotelini na baadaye wakaondoka wote.


“Hata usiku wakati wanatoka Viwanja vya Posta pale Kitonyama walirudi na kulala pamoja, achilia mbali hiyo, Wema na Luis ni watu ambao wanaonekana kuwa katika mapenzi kwa muda sema tu Luis alikuwa hajapata nafasi ya kuja Dar,” kilisema chanzo hicho.

KUMBE LUIS ANAJUA KISWAHILI!
Baada ya kujiridhisha na uwepo wa uhusiano wa wawili hao, mwanahabari wetu alifuatilia kwa makini baadhi ya akaunti zinazotumiwa na Luis kwenye mitandao ya kijamii ambapo aligundua kuwa jamaa huyo amekuwa akimuweka Wema kwenye peji zake huku akimmwagia sifa na maneno ya kimahaba tena kwa Lugha ya Kiswahili.

Baadhi ya maneno aliyokuwa ameandika Luis katika peji yake ya Instagram akiambatanisha na picha zao yalisomeka: “Najaribu kumtuliza... Mtoto mzuri.“Huyu msichana anaweka tabasamu usoni mwangu.”

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Ukimya Wa Zitto Kabwe Na ACT yake Kunani?

Posted: 04 Jun 2015 12:43 AM PDT

Simsikii tena zzk na zile harakati zake za kuitangaza ACT kulikoni?

Au ndio "safari ya kukata tamaa imeanza"? 

Au ndio kusema kimya kingi kina mshindo?


Rudi Bwana Zitto Kabwe tuna kuhitaji sana katika tasnia hii ya siasa za kibongo!

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Jinsi mbinu za kusafirisha ‘unga’ zinavyofichuliwa

Posted: 04 Jun 2015 12:43 AM PDT

Wakati vyombo vya usalama duniani vikitumia kila njia kuhakikisha kuwa biashara ya dawa za kulevya inakomeshwa, wasafirishaji nao wamekuwa wakibuni mbinu mpya kila siku.

Hata hivyo, mbinu za wafanyabiashara hao zimekuwa zikifichuliwa kwa kutumia vifaa maalum, kama kamera na mbwa wanaokuwapo kwenye viwanja vya ndege na mipakani. Vifaa hivyo huweza kuona au kunusa vitu vilivyofichwa ndani ya mabegi, makopo  hata tumboni.

Gazeti la The Telegraph la Uingereza limekusanya baadhi ya picha zinazoonyesha mbinu mbalimbali zinazotumiwa na wahalifu kusafirisha ‘unga’. Baadhi ya picha zinaonyesha dawa za kulevya zikiwa ndani ya maparachichi, mananasi, tumboni mwa watoto wa mbwa waliokuwa wakisafirishwa.

Pia, baadhi ya wasafirishaji hao waliibuka na mbinu mpya za kujifunga tumbo la ujauzito wa bandia lililosheheni cocaine, huku wengine wakijifunga mwili mzima mifuko ya dawa hizo.

Ritchie Tabatha Leah, raia wa Canada, alinaswa kwenye Uwanja wa ndege wa Bogota Septemba mwaka 2013 akiwa amejifunga tumbo la bandia ili aonekane mjamzito, lakini alipopekuliwa muda mfupa kabla hajaingia kwenye ndege alikutwa na kilo2 za dawa aina ya cocaine.

Genge la wauza dawa za kulevya waliwafanyia upasuaji watoto wa mbwa kisha kuwabebesha dawa za kulevya aina ya heroine. Hata hivyo, mpango huo ulivurugika baada ya polisi kuubaini kupitia kamera maalumu.

Picha za X-ray zilionyesha mifuko iliyowekwa dawa za kulevya tumboni mwa mmoja wa abiria aliyenaswa katika mmoja ya mipaka ya Uingereza wakati akijaribu kuingiza ‘mzigo’ huo.

Askari wa Colombia waliokamata nyambizi kwenye mji wa Timbiqui baada ya kuihisi imebeba dawa hizo, walibaini ilikuwa imebeba tani 8 mwaka 2011. ‘Unga’ huo ulikuwa ukipelekwa Mexico.

Mtu mwingine alikamatwa na maafisa wa forodha kwenye Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanstan akiwa amejiviringisha mwilini dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 7 Juni 2007.

Polisi nchini Hispania walifanikiwa kukamata kilo 200 za cocaine zikiwa zimefichwa ndani ya nanasi ambalo lilikuwa limesafirishwa kutoka kutoka Marekani. Nanasi hilo lilipatikana ndani ya moja ya makontena 10 yaliyokuwa yamewasili kutoka bandari ya Algeciras.

Raia wa Chile mwenye umri wa miaka 66 aliyekuwa amevaa bandeji ngumu inayotumika kufunga mtu aliyevunjika, alikamatwa kwemye Uwanja Ndege wa Barcelona mwaka 2009 baada ya kubainika kuwa hakuwa mgonjwa bali alikuwa amebebwa dawa za kulevya.

Parachichi lililosheheni dawa za kulevya aina ya cocaine likiwa limepasuliwa baada ya polisi kulitilia shaka.

Wakati mwingine huonekana kama mayai, lakini ukweli ni kwamba hayana ladha ya mayai. Mtu aliyebeba mzigo huo alikamatwa na maofisa uhamiaji wa Marekani. Mtu huyo, Esteban Galtes alikamatwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles akiwa na cocaine.

Mwanasesere aliyekuwa ametumwa kupeleka kitu kama zawadi nchini Australia kutoka Sydney mwaka 2007, alinaswa na maofisa wa kupambana na dawa za kulevya baada ya kubainika dawa za kulevya zilikuwa zimefichwa ndani yake.

Mfuko wa James Bettridge uliokuwa na cocaine ulikamatwa na maofisa wa polisi Agosti mwaka jana nchini Uholanzi muda mfupi baada ya kuwasili kutoka Ufaransa.

Tani 15 za dawa za kulevya aina ya bangi zilikamatwa baada ya polisi kuzing’amua ndani ya kontena.


Tanzania Hottest Celebrity Gossip News
Dawa nyingine zilikamatwa zikiwa ndani ya boksi la maji ya kunywa.

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

Posted: 03 Jun 2015 09:55 PM PDT



MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

 

Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


Udaku Specially

unread,
Jun 5, 2015, 4:06:31 PM6/5/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Urafiki wa Wema na Aunt Ezekiel Warejea Kwa Kishindo

Posted: 05 Jun 2015 12:35 PM PDT

Baada ya urafiki wao kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wameonyesha kumaliza tofauti zao na kurudisha urafiki wao kama ilivyo kuwa awali.

Urafiki wa Wema na Aunt ulionekana kuyumba na kufikia hatua ya Wema kutohudhuria baby shower party ya Aunt ambapo Aunt alidai kumualika Wema na hata havi karibuni aunt alipojifungua mtoto Wema hakusema chochote kwenye ukurasa wake mtandaoni ukizingatia kuwa wakati wa ushosti wao alikuwa na kawaidia ya kuweka picha kadhaa za Aunt wakati wa ujauzito na vile vile Wema amakuwa na kawaida ya kuwapongeza mastaa wenzake wakijifungua kupitia ukurasa wake huo.

Kwa kipindi cha miezi hiyo yote, wawili hawa amabo walikua mashosti wa nguvu  hawakuwahi ‘kupostiana’ kwenye kurasa zao kwenye mtandao picha wa Instagram  tofauti na awali. Lakini jana alianza Wema kwa kuweka picha ya Aunt kwenye ukurasa wake na kuandika mistari hii “Ka baby haka....!!!" kisha "Mama Cookie wangu....”

Muda kidogo Aunt naye aliibuka  na kuweka picha ya Wema  na kuandika “Wa kwangu mm Peke yang Mtag bac Mwambie Nampenda mm apa....” Kisha akaweka picha hiyo hapo juu wakiwa wanasukana Aunt aliandika   “My One an Only....Msusi wang mm no saloon “

Kwa mara nyingine wale wapambe nuksi wa Wema na Aunty ambao walikuwa wakisigana kwenye kipindi chote hicho ambacho wawili hao walikuwa hawapo sawa wameumbuka na kuamua kuungana na wadau na mashabiki wengi ambacho wameonyesha kufurahia kitendo cha mashosti hao kuwa karibu kama zamani kwa kumwaga COMMENTS na LIKES za kutosha.

Wapambe ndiyomana mnaitwa NUKSI.

IMEBAINIKA Timu ya Simba Imedanganya Kumsomesha Mchezaji Ramadhani Singano

Posted: 05 Jun 2015 11:38 AM PDT

SIKU mbili baada ya Simba kudai imemsomesha mshambuliaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’, walimu wa shule aliyosoma ya Al-Farouq Islamic Seminary wameibuka na kukanusha madai hayo.
Mtandao huu umefika shuleni hapo na kukutana na mwalimu wa Singano, Abuu Rashid Laizer anayefundisha masomo ya Historia na Geografia pamoja na mlezi wake Hashimu Omary Poli.
zai1
Shule aliyosoma Singano
Mwalimu Laizer katika maelezo yake amesema: “Ramadhan Singano amelelewa hapa kuanzia darasa la pili mpaka anamaliza kidato cha nne mwaka 2010”.
“Hapa alikuwa analelewa katika idara zote, tukiwa na maana katika malezi yake kama kijana, kielimu na mambo mengine yanayomuhusu. kwanza ni mtoto yatima, hana baba wala mama”.
“Shirika la Africa Muslim Agency lilichukua jukumu kutoka kwa ndugu zake kwa lengo la kumuwezesha kupata elimu. kama mnavyojua, unapomsaidia yatima kuna mafanikio ambayo mwenyezi Mungu atakuwezesha mbele ya safari. Moja ya sera ya shirika ni kusaidia yatima, Ramadhan ni miongoni mwao”
“Kuna vitu vingine watu wanazungumza labda kutokana na maslahi yao na wanajaribu kupotosha umma, lakini kiuhalisia huyu bwana (Singano) alikuwa hapa na patroni wake yupo”.
“Alikuwa anatokaje hapa mpaka alipoonana na Simba? Wengi wanadhani alitoka Simba B, lakini Simba walimuona akicheza shuleni kupitia kwa kocha wake aliyekuwa akiitwa kibonge na aliondoka mwaka 2007 wakati sisi tunaingia. Licha ya kuondoka,  kibonge bado alikuwa na ushirikiano na kijana wetu pamoja na kaka yake Ramadhan Hamis”.
“Kuna vitu vingine inabidi tuseme ili tusionekane kumbeba mtu fulani. Mwaka 2007 nikiwa mwalimu wa michezo nikimsaidia mwalimu anayeitwa Saleh Haruna, nilikuwa nahusika kutoa vibali kwa Singano kwenda kukutana na wachezaji wenzake wa Simba B”
“Ni muda mrefu, lakini imekuja kuonekana hivi juzi kuwa Singano ni moja ya wachezaji wanaoweza kuisaidia Simba.  Kuanzia 2009 mpaka 2011 timu kubwa iliona anaweza kufaa, lakini yeye ni yatima na wakati anasoma kila kitu kuanzia kula, kulala mpaka madaftari viligharamiwa na shirika”
“Vitu vyote walikuwa wanapewa na shirika pindi wakifungua shule. Hakuna mtu aliyekuwa akimlipia ada, mimi sijaona, labda kama mtu anazo risiti alizokuwa anamlipia alete tuzione na kuthibitisha”.
“ Utaratibu wetu wa ada ya watoto yatima huwa inakatwa moja kwa moja Damam, Quwait, ambako ni makao makuu ya Idara ya elimu ya ‘Africa Muslim Agency’ duniani, lakini kwa Tanzania kuna tawi  lake hapa Dar es salaam na Sheikh Kassim Mzee ndiye aliwatafuta akina Singano na wenzake”.
zai22
Baada ya kuzungumza na mwalimu, tukapata fursa ya kuonana na mlezi wa watoto yatima shuleni hapo, Hashimu Omary Poli ambaye amefanya kazi toka mwaka 1997 mpaka leo.
Katika malezo yake Poli amefafanuwa kuwa:
“Ramadhan Singano nilimpokea toka mwaka 2001 akiwa darasa la nne. Amesoma hapa mpaka alipomaliza kidato cha nne chini ya udhamini wa shirika la Africa Muslim Agency”.
“Kijana huyu toka alipokuwa mdogo kipaji chake kilidhihirika kwenye suala la michezo, alionesha uwezo mkubwa na kwa bahati nzuri kulikuwa na mwalimu Kibonge aliyekuwa karibu nao sana.  Mwalimu huyu alipewa fursa kubwa sana ya kuwa nao na kukuza vipaji vyao”.
“Nashukuru Mwenyezi Mungu mpaka anafika ‘fomu foo’ alikuwa kijana anayependa sana mpira na akapata bahati ya kujiunga na Simba. Tukawa tunamsikia Ramadhani Yahya Singano ni mchezaji na alikuwa anakuja kuwasalimia wenzake na wakati mwingine anawaletea misaada”.
“Tunashukuru kwamba anakumbuka fadhila za Maustadh wake, anakumbuka jinsi alivyolelewa, aliishi na wenzake vizuri,  tunamuombea kila la kheri”.
“Ninachokifahamu mimi kama mlezi nilimpokea akiwa mdogo. Suala zima la kimalezi, udhamini wa kusomeshwa shule ilikuwa chini ya Shirika la Africa Muslim Agency. Wao ndio waliomdhamini na walimpokea akiwa mdogo kama wanavyowapokea watoto wengine yatima”. Amesema Poli.
zai5zai4
Baadhi ya nyaraka za Singano katika shule aliyosoma
Mwanzoni mwa wiki hii Msemaji wa Simba, Hajji Sunday Manara alisema klabu hiyo imegharamia masomo ya Singano na wanashangaa kijana wao kukosa fadhila.
Manara alisema:  “Hivi mnajua Messi tumemtoa wapi Simba? Unajua Ramadhan Singano amesomeshwa na klabu ya Simba? Mnafahamu hilo? Kasomeshwa  IT na klabu ya Simba,  Mnajua fadhila ambayo klabu ya Simba imemfanyia?”
“Hao wanaosema wazazi wake walikuwa wapi wakati klabu ya Simba inamsomesha? Nauliza, walikuwa wapi? Klabu ya Simba imegharimia haya. Ninyi waandishi ndio mnaandika vilabu havithamini wachezaji chipukizi. Sisi ndio klabu pekee yenye wachezaji zaidi ya asilimia 75 tuliowatoa kwenye mpango wetu wa soka la vijana. Hawa tunawakuza na bado tunawapa ofa ya usajili”
Singano ameingia kwenye mgogoro na klabu yake akidai imeghushi mkataba wake.
Simba ina mkataba wa miaka mitatu uliosainiwa mei 1, 2013 na unatakiwa kumalizika julai 1, 2016, wakati Singano ana nakala ya mkataba wa miaka miwili aliosaini mei 1, 2013 na unamalizika julai 1, 2015.
Nakala ya mkataba wa miaka mitatu waliyonayo Simba pia ipo TFF, lakini Singano anadai hakusaini mkataba huo na anautambua wa miaka miwili.
Licha ya suala hilo la mkataba, bado Singano hajatimiziwa baadhi ya stahiki zake katika mkataba wake miaka miwili ikiwemo suala la kodi ya nyumba.
Muonekano wa shule aliyosoma Messi

I Feel Sad for All Men I Broke up With……HUDDAH MONROE to Her ex-LOVERS

Posted: 05 Jun 2015 06:07 AM PDT


Huddah Monroe posted the message below directed at all the men she has ever dated.

“Sometimes I feel sad forthe men I broke up with . I mean look at me ?”


Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Nitaanzaje Kumwambia Kuwa Ananuka PAPUCHI? Msaada Wenu Unahitajika Tafadhali!

Posted: 05 Jun 2015 06:07 AM PDT

Ni Binti Mwenye Kila Sifa Ya Urembo Na Mvuto Wa Aina Yake Na Tokea Nizaliwe Sijawahi KUBANDUA Demu Mtamu Kama Huyu ILA Ana Tatizo Moja Kubwa Nalo Ni Kunuka PAPUCHI / VULVA / KOKWA Na Nashindwa Kumwambia Kwani Nahisi Anaweza Labda Kuhisi NAMDHARAU au NIMEMCHOKA. Wadau Humu Nahitaji Ushauri Wenu Wa Nini Nifanye Ili Niweze Kumwambia Na ASIJISIKIE Vibaya? Karibuni Kwa Ushauri Na Nitawashukuruni Kwani Kiukweli Sitaki KUMUACHA Japo HARUFU Yake INANITESA.

Nawasilisha.


Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Huu Wimbo Mpya Usimpo Mtoa Q Chief Tena Basi Kuna Walakini..Embu na Wewe Angalia Hii Video

Posted: 05 Jun 2015 06:08 AM PDT

Hapa Nakuletea Video ya Wimbo mpya wa Mkongwe wa Music Q Chief ..Ki ukweli nimeangalia hii Video na Wimbo wenyewe mimi naona ni Mkali sana na usimpo mtoa tena basi kuna walakini sikio la dawa alisikii Dawa ...

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Siwezi Kumwacha Moses Iyobo....Labda Kama Kuna Mwanamke Mwenye Cheti cha Ndoa nae

Posted: 05 Jun 2015 06:08 AM PDT

Chande Abdallah
Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye hivi karibuni alipata mtoto aitwaye ‘Cookie’ amesema kama kuna mwanamke ambaye ana cheti cha ndoa na Moses Iyobo ajitokeze la sivyo hawezi kumuacha.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunt alisema alipokuwa mjamzito amekuwa akipewa vitisho vingi ikiwa ni pamoja na mwanamke kudai ameporwa mumewe huyo.


  • “Kuna watu wanapenda sana kuongea, sasa mimi nasema kama kuna mtu ambaye ana cheti cha ndoa aliyofunga na Iyobo aje tu kisha mimi nitamuachia, la sivyo siwezi kumuacha,” alisema Aunt

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Tamaa ya Kuwa na MAKALIO Makubwa Yamsababishia Kifo Msichana Huyu Mrembo

Posted: 05 Jun 2015 06:12 AM PDT

Ishu ya wasichana na wanawake kupenda kuongeza maumbile ya miili yao limekua kama ishu ambayo imechukua sana nafasi sehemu mbalimbali duniani.
Tunashuhudia watu wengi wakiongeza makalio kwa kusudi la kuwa wenye mvuto zaidi, na kumekuwepo na vidonge na sasa kuna sindano za kuongeza makalio.

Leo nimekutana na stori iliyotokea Los Angeles Marekani, ambako msichana Kelly Mayhew mwenye miaka 34 amefariki baada ya kufikishwa St.John’s Espiscopal Hospital, muda mfupi baada ya kuchomwa sindano ya kuongeza makalio.

Kelly Mayhew na mama yake walisafiri kutoka Maryland kwenda Rockaway, walikokua wameelekezwa na rafiki yake Kelly ili kwenda kuchoma sindano hiyo ambayo ilikua inatolewa kinyume na utaratibu… mtoaji wa huduma hiyo alijiita daktari lakini hakuwa amesajiliwa na alikuwa hatambuliki kisheria.

Baada ya kuchomwa sindano hiyo, Kelly alianza kupumua kwa shida, akawa anajitupa ovyo chini huku akiishiwa pumzi… baada ya kuhangaika kwa kama dakika ishirini hivi, Kelly alifariki akiwa kwenye mikono ya mama yake.. mpaka Polisi wanafika eneo hilo Daktari alikuwa tayari kashakimbia.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa, Mimi sio Fisadi.....Mwenye Ushahidi Anitaje maana Siasa za Fitina na Matusi Zimenichosha

Posted: 05 Jun 2015 03:10 AM PDT

Lowassa Akichukua Form ya Urais Dodoma
Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.

Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma  jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua fomu, Lowassa alisema hawezi kuzungumzia upande wa kushindwa katika safari yake.


  • “Swali rahisi sana, sina mpango wa kushindwa,” alisema Lowassa alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na waandishi wa habari kama atashindwa katika kinyang’anyoro hicho.


Alipoulizwa kuhusu hali ya nchi kuwa na watu wanaoshambuliwa, Lowassa alisema atajenga Serikali itakayojali utu na uhuru wa vyombo vya habari.


  • “Kwanza nimpe pole yule mwandishi  aliyeteswa. Sikubaliani na mambo ya kuingilia uhuru wa watu kuteswa. Serikali yangu itaheshimu uhuru wa vyombo vya habari,” alisema Lowassa huku akishangiliwa na wanachama wa CCM waliokuwa wamefurika ndani na nje ya ukumbi huo.


Alipoulizwa kwanini anahusishwa na vitendo vya ufisadi, Lowassa aliyekuwa akijibu maswali kwa ufupi, alisema kama kuna mtu ana ushahidi na tuhuma hizo amtaje jina.


  • “Kama hawakunitaja hawakunihusisha… Mtu anayejiamini aseme, na anitaje. Nachoka na siasa za tuhuma, hatupimi viongozi kwa rekodi za matusi ila tutawapima kwa matendo yao,” alisema.


Kada huyo wa CCM alivitaka vyombo vya habari kutoshabikia tuhuma zisizo na ushahidi, huku akisisitiza kuwa kila mtu apimwe kwa rekodi yake.

Kuhusu uteuzi wa mawaziri, Lowassa hakutaka kulizungumzia akisema bado hajavuka daraja.
“Nitavuka daraja nitakapolifikia,” alisema.

Kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa, alisema ni sera ya CCM iliyotekelezwa baada ya kutokea mgogoro kati ya vyama vya CCM na CUF.


  • “Angalieni kule Marekani, vyama vya Democrat na Republican, vinashindana kwa kura chache sana. Hata sisi tunapishana kwa kura chache, mimi nadhani kama hatupishani sana hivyo hilo ndilo suluhisho,” alisema.


Awali Lowassa aliwashukuru wana CCM waliofurika katika ukumbi huo akisema anajua kero za chama hicho na atakapokuwa rais atazishughulikia.


  • “Nawashukuru kwa kunileta nyumbani, nimeitumikia CCM kwa muda mrefu. Nilieleza Dodoma na Arusha nia yangu. Naelewa matatizo wanayopata watumishi wa CCM, nayaelewa. Mishahara midogo, hawakopesheki, hawana fedha za likizo na hawana uchumi mzuri. Wakati wengine wanajengewa nyumba na mikopo wenyewe hawapati,” alisema Lowassa.


Hata hivyo, alimsifu Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha uchumi ndani ya chama hicho, lakini akasema akiwa rais atafanya zaidi.


  • “Tunaweza kufanya zaidi, tusiwe ombaomba. Nilipokuwa mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini tumejenga jengo la ghorofa 22 Dar es Salaam. Tuna viwanja na maeneo mengi. Nikichaguliwa kuwa rais na mwenyekiti nitaangalia hilo…Bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba,” alisema.


Baada ya mkutano huo, Lowassa alikwenda kwenye ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma kupata udhamini wa chama hicho ambapo Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mkoa wa Dodoma, Pancras Ndejembi alikuwa miongoni mwa wanachama waliomdhamini, akiwamo mlemavu wa miguu, Idd Omari.

Baadhi ya vigogo waliokuwa ukumbini ni pamoja na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba na Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah.

Akizungumza na wakazi wa Wilaya ya Dodoma Mjini baada ya kuchukua fomu, Lowassa alisema vigelele na makofi anavyopigiwa sasa haviwezi kumpeleka Ikulu isipokuwa wananchi wanapaswa kujiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura ili iwe njia rahisi ya yeye kuwa mkuu wa nchi.


  • “Naomba watu wajiandikishe, hakikisheni watoto wenu, wajomba na hata washikaji zetu wanajiandikisha katika Daftari la Wapigakura na nitarudi tena kwenu kuomba kura,” alisema.


Huku akishangiliwa na mamia ya wakazi wa Dodoma, Lowassa aliwaambia amekwenda kuomba wadhamini na si kuomba kura, kwani amebanwa na sheria na utaratibu wa chama chao.

Alisema ameguswa na mapokezi waliyompa na kuwashukuru wadhamini wake kwa kumwamini na kusisitiza kuwa atarudi tena kuomba kura.


  • “Leo siombi kura, naweka akiba ya maneno hata wakihesabu nina kampeni potelea mbali, lakini nilipokuwa waziri mkuu nilianza kuijenga Ikulu mnayoiona mpaka leo haijakamilika, nitakuja kuikamilisha, maana yake nini, nahamia Ikulu Dodoma,” alisema mbunge huyo wa Monduli huku akishangiliwa na mamia ya wananchi hao.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Habari Njema..Wanachama wa DECI Waliotapeliwa Kulipwa Fedha zao

Posted: 05 Jun 2015 03:10 AM PDT

Wanachama wa Deci 
Serikali imesema kuwa inafanya utaratibu wa kuwalipa fedha takribani Sh. bilioni 19 za waliokuwa wanachama wa Taasisi ya Development Entrepreneurship Community Initiative (Deci).
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema fedha hizo zimehifadhiwa katika akaunti ya Benki Kuu (BoT) na kwamba kinachofanyika sasa ni uangalizi wa kiasi cha michango iliyochangwa na wanachama ili waweze kulipwa kwa usahihi.


  • “Bado fedha zinashikiliwa BoT uchambuzi unaendelea kufanywa kwa umakini wa hali ya juu, utakapokamilika wanachama wote waliochanga fedha watalipwa,” Mkuya.

Aidha, Waziri Mkuya alisema siyo jambo litakaloweza kuchukua muda mfupi kukamilisha mchakato wa malipo ya wanachama hao, kwani linahitaji muda wa kutosha kufanyiwa kazi kikamilifu, ingawa hakutaja kiasi kilichopo.

Mwaka 2009 serikali ilisitisha shughuli za Deci na kuwafungulia mashtaka wakurugenzi watano wa taasisi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na Agosti 19, mwaka 2013, walihukumiwa.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Mwigizaji Ray Ateswa na Picha za Utupu

Posted: 05 Jun 2015 03:10 AM PDT

Supastaa kunako Bongo Muvi, Vincent Kigosi, ‘Ray’.
Chande Abdallah
Supastaa kunako Bongo Muvi, Vincent Kigosi, ‘Ray’ anateswa na tuhuma anazopata kutokana na mtu asiyejulikana kufungua akaunti feki ya Facebook yenye jina la Ray kisha kuposti picha za utupu.

Akizungumza na paparazi wetu, Ray alisema kuwa japokuwa ametoa ufafanuzi kupitia mtandao wake wa Instagram kuhusu picha hizo na akaunti hiyo feki, anashangaa kuona watu wanamuandama na kukomalia kwamba yeye anahusika.


  • “Yaani hii ishu inaniumiza na nimetoa ufafanuzi lakini sieleweki, naomba niseme kwamba mimi ni mtu ambaye najiheshimu sana, siwezi kufanya kitu kama kile mashabiki zangu waelewe hivyo tu,” alisema Ray.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Mrembo Amwibia Simu Bob Junior Jukwaani...Picha zaonyesha A to Z

Posted: 04 Jun 2015 11:32 PM PDT

Mrembo huyo akimpiga simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.
Musa Mateja
Msichana mmoja mrembo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja hivi karibuni alifanya kitendo cha aibu baada ya kunaswa akimchomolea simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.Tukio hilo la kushangaza lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bills Posta jijini Dar, ambapo Bob Junior alikuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa wakipafomu.

Awali, paparazi wetu alimuona mrembo huyo akipanda jukwaani na kuonekana kama aliyekuwa na lake jambo lakini alipofeli alishuka. Mara ya pili demu huyo alipanda tena, safari hii alifanikiwa kumkumbatia msanii huyo lakini katika hali ya kushangaza alionekana akihangaika kuzama mfukoni mwa Bob Junior na kuichomoa simu kiulainiii.

Tukio hilo liliwafanya watu waliokuwa wakimkodolea macho kupiga kelele za; Unaibiwa simuuu…unaibiwa simuuu…, kitendo kilichomfanya msichana huyo kuirudisha mfukoni simu hiyo fasta kisha kushuka.

Haikuweza kufahamika mara moja kama alikuwa akitania au alidhamiria kuiba kilongalonga hicho
 Baada ya tukio hilo mwandishi wetu alijaribu kuongea na Bob Junior ambapo alisema. “Mimi awali sikujua kama naibiwa lakini yale makelele ndiyo nikashituka, yaani yule demu bwana angeondoka na ile simu ingekuwa balaa.”
Source:GPL

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 5 Juni 2015

Posted: 04 Jun 2015 10:37 PM PDT

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 5 Juni 2015


























Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo  Ijumaa  Ya  Tarehe  5  Juni 2015

Jini Kabula:Naendeleza Rekodi yangu ya Kutolala Gesti na Wanaume, Mwanaume Akinitaka Anipeleke Kwake la Sivyo Big No.....

Posted: 04 Jun 2015 10:19 PM PDT

STAA wa Bongo movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, ametoa kali kwamba katika maisha yake ya mapenzi hajawahi kulala na mwanaume kwenye nyumba za wageni.

Kabula alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi walipotaka kumpeleka katika nyumba hizo aligoma na badala yake aliwataka wampeleke wanapoishi kama hataki hapati kitu.

“Siwezi kuficha, ukweli ndio huo kama huamini basi, mwanaume akinitaka huwa ananipeleka kwake sio gesti kama hataki aniache tu, naendeleza rekodi yangu ya kutolala na wanaume gesti,’’ alieleza Kabula.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News
ALI KIBA NA JOKATE
Alikiba na Jokate Mwegelo wanaendelea kukusogeza karibu katika muungano wao wa hivi karibuni. Wawili hao wanaonesha kuelemewa na uzito wa penzi lao kiasi cha kuanza kujiachia na kuualika ulimwengu kwenye dunia yao mpya.

Jokate amepost picha Instagram akiwa na hitmaker huyo wa Chekecha na kuandika:All The Best Chèr.

Mashabiki wanaonekana kuufurahia uhusiano huo na wengine wanasema wanapenda kuwa pamoja.


  • “Oooh wowww nina vyo wapenda hadi raha , yani couple yenu ina vutia sana , maana nyiote wazuri alafu mna jitambuwa , na atakae kuwa kinyume na hili ata kuwa hawatakii wema , maana wana damu tuliumbiwa tuwe wawili ili kusaidiana mambo mengi katika maisha, so nawapendeni sana @jokatemwegelo ,@officialalikiba , nawaombea sana Mungu azidi kuwa lindia mausiano yenu , mufike kwenye malengo mazuri zaidi, msisikilizi ya walimwengu hawana mema hawana mema,” ameandika alinezinta.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Shilole Achekelea..Awashukuru BASATA kwa Kumsamehe Sakata Lake la Picha Chafu Akiwa Jukwaani

Posted: 04 Jun 2015 10:09 PM PDT

Shilole
Shilole a.k.a Shishi bybee sasa anaweza kupata usingizi mnono bila mawazo, sababu lile sakata la kusambaa kwa picha zake chafu zilizopigwa wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji mwezi uliopita hatimaye limemalizika vizuri.

Sakata hilo ambalo lilifika hadi bungeni ambapo Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia alisema serikali ililiagiza Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA kufanya naye mahojiano ili serikali iweze kuchukua hatua.

Muimabji huyo wa ‘Nakomaa na JIji’ ameelezea furaha yake baada ya kusamehewa na BASATA alipoenda kutoa maelezo.


  • “Leo nimeenda BASATA kwasababu waliniita juzi, kwahiyo nimeenda kusikiliza wito wao, tumeongea nashukuru wamenielewa tumeongea tumeelewana basi hakuna tena ambacho kitu kina tatizo tena hapo kwasababu wale ni wazazi wanatakiwa kumkanya mtu kama mtoto labda” Alisema Shishi bybee



  • “Tumeelezana pale nini kifanyike nini kisifanyike na kila kitu ambacho kinahusiana na tasnia ya sanaa. Nimewaelezea situation ilivyotokea wamenielewa wameniambia pia niwe mwangalifu katika mavazi, of-course ni kweli kitu kama hicho kinaweza kutokea kwahiyo sisi ni binadamu, nimeshukuru sana kwasababu wameweza kunielewa, basi ni hivyo tu nina furaha kwaajili ya hiyo kitu.” Alimaliza Shilole.


Source: EATV.TV

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Udaku Specially

unread,
Jun 6, 2015, 4:26:38 PM6/6/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam UDSM Champa Tuzo Mwanamuziki Diamond Platnumz

Posted: 06 Jun 2015 10:59 AM PDT

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kimempatia Mwanamuziki  Diamond Platinumz Tuzo ya  the most inspiring Young Man as a music icon..Tuzo Hiyo ilipokelewa na Mwanamuziki Nick wa Pili kwa Niaba yake kwani yeye alishindwa kufika katika Hafla ya utoaji wa Tuzo hizo kutokana na Ratiba zake kumbana....Hongera Kijana unazidi kutupiga gap tu.......

Niki wa Pili Ameandika Hivi Kupitia Ukurasa wake wa Instagram:


  • nikkwapili Kwaniaba ya @diamondplatnumz @diamondplatnumz mzawa wa tandale katika hii fani yetu tuliyokuwa tunaitwa wahuni....leo yeye ndio the most inspiring (kijana) as a music icon....TUZO IMETOLEWA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SAALAM , KITIVO CHA MASOKO 4h



Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Lowassa Akodishiwa Ndege Maalum na Wafadhili wake, Yagharimu Mamilioni

Posted: 06 Jun 2015 09:15 AM PDT

Wakati watu kama Sitta wakikodi magari maalum kwa ajili ya zoezi la utafutaji wadhamini na watu kama Makongoro wakijikongoja na magari ya marafiki zao; hali imekuwa tofauti kabisa kwa Lowassa kwani yeye amepatiwa ndege maalum kwa ajili ya shughuli hiyo ya kutafuta wadhamini!

Ndege hiyo 'private jet' ambayo Lowassa amepatiwa na wafadhili wake katika safari yake hii ya matumaini imetolewa mahususi kwa ajili ya kuhakikisha Lowassa anazunguka mikoa yote nchini bara na visiwani kabla ya julai 12 na 13 ili akamilishe zoezi la kuwapata wadhamini 435 nchi nzima ili kufanikisha sharti la chama kwa wagombea nafasi ya urais.

Habari Njema Kwa Wafanyakazi wa ndani ( House Girl/ House Boy ) Sasa kulipwa kima cha laki moja

Posted: 06 Jun 2015 09:04 AM PDT

Serikali ya Tanzania imeweka mkakati wa kuandaa muswaada utakaosaidia sekta ya huduma ya wafanyakazi wa majumbani ili kuweza kupatiwa mishahara stahiki ikiwemo kutoa muongozo na usimamizi na haki za wafanyakazi hao.

Hayo yamesemwa bungeni katika kipindi cha maswali na majibu na naibu spika wa wizara ya ajira na kazi Mh. Makongoro Mahanga ambapo amesema serikali imechukua hatua mbalimbali ikiwemo kujenga uelewa wa wadau kuhusu usimamizi wa haki za wafanyakazi hao na kuwataka waajiri kuachana na tabia ya unyanyasaji na wanaofanyiwa vitendo vya kikatili kutoa taarifa kwa taasis husika.
 
Mahanga ametaja baadhi mkataba huo ambao unasubiri kupitishwa na baraza la mawaziri ili uweze kujadiliwa bungeni kuwa ni pamoja na kujenga uelewa wa wadau kuhusu haki za wafanyakazi wa nyumbani na kufanya tafiti linganifu kuhusu sheria za kazi dhidi ya matakwa ya mkataba huo.
 
Ameongeza kuwa serikali inasikitishwa na tabia za unyanyasaji zinazofanywa na waajiri na kuwa mpaka sasa wamefanya jitihada za kukagua katika maeneo mengi ya majumbani ili kubaini unyanyasaji huo.
 
Akizungumza kuhusu kima cha chini cha mfanyakazi wa ndani Mahanga amesema mpaka sasa mfanyakazi wa ndani anatakiwa kulipwa mshahara usiopungua kiasi cha laki moja kwa mwezi.
 
Mpaka sasa wafanyakazi wa majumbani kama walivyo wafanyakazi wengine wanaendelea kulindwa na sheria ya ajira na mahusiano kazini namba 6 ya mwaka 2004.

Wastara Asikitishwa na Wanao Sema Anatembea na Wanaume Wengi..Atangaza na Kusema Mwanaume Aliye Mwonja Ajitokeze

Posted: 06 Jun 2015 08:36 AM PDT

Brighton masalu
VUNJA ukimya! Baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu na fununu za kutembea na wanaume kadhaa tangu kufariki kwa aliyekuwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma hatimaye amefunguka na kujiapiza kwa kulamba kidole, kuchovya mchanga na kukipitisha shingoni akidai tangu kuondoka kwa Sajuki hajawahi ‘kuchangia shuka’ na mwanaume yeyote na kama yupo, ajitokeze hadharani!

‘Akibadilishana sentensi’ na ‘kiruka’ njia wetu kwa njia ya simu hivi karibuni, Wastara ambaye bado anafanya vyema kwenye sanaa, alishutumu na kuonekana kuchukizwa vikali na tetesi juu yake akihusishwa na wanaume kadhaa akiwemo msanii mwenzake, Bond Bin  Suleiman.


  • “Nashangazwa sana na wanaoeneza uvumi wa mimi kutembea na wanaume wengi baada ya kifo cha mume wangu, kwani mimi sina haki kama mwanamke jamani? Kama kuna mwanaume mwenye uthibitisho wa kutembea na mimi si ajitokeze!” alisema Wastara huku akiashiria jazba.

Wimbo Mpya wa Diamond Platnumz Wavuja Mitandaoni Kabla Hajautoa Rasmi..Usikilize Hapa Nimekuwekea

Posted: 06 Jun 2015 08:28 AM PDT


Wimbo Mpya wa Diamond Platnumz Wavuja Mitandaoni Kabla Hajautoa Rasmi..Usikilize Hapa Chini Nimekuwekea

Nay wa Mitego Adai Watoto Watatu Alionao Kutoka Kwa Mama Tofauti Hawamtoshi, Kuongeza Mwingine Wanne

Posted: 06 Jun 2015 08:15 AM PDT

Nay wa Mitego bado ana hamu ya kuiongeza zaidi familia yake.

Rapper huyo mwenye watoto watatu amesema ana hamu ya kupata mtoto wa nne.


  • “Suala la uzazi wa mpango nalizingatia sana. Sasa hivi nina watoto watatu bado mmoja tu. Unajua hutakiwi uzae watoto wengi halafu waje kushangaa tu bila msaada,” amesema Nay.



  • “Mimi hawa wa nne watasoma vizuri kwa sababu tayari toka naanza maisha nilipanga kuja kuwa na watoto wanne.”

Mzee Majuto Aeleza A-Z Sakata la Instagram Party Mpaka Wema Sepetu Kuingilia Kati na Kufunguka Instagram

Posted: 06 Jun 2015 12:09 AM PDT

Kuna watu ambao walimuita Mzee Majuto kwenye show wakamuahidi kumlipa mil.2, baada ya show wahusika hawakumlipa… Mzee Majuto ikabidi amtafute Wema Sepetu ambae alimuunganisha na watu hao.

Mzee Majuto amesema Wema aliwatafuta watu hao na wakamlipa hela hiyo jana.. lakini hii sio mara ya kwanza kwa Mzee Majuto kutapeliwa, kumbe aliwahi kusainishwa mpaka Mkataba kwenda kwenye show Mwanza yeye pamoja na akina JB na Steve Nyerere, mwishowe wakatapeliwa hivyohivyo.

U Heard iko kwenye hii sauti mtu wangu, Mzee Majuto kasimulia ishu nzima ilivyokuwa pamoja na huo utapeli wa Mwanza.



Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Maskini:Padre na Wanafunzi sita Wateteketea Kwa Moto

Posted: 06 Jun 2015 12:09 AM PDT

WANAFUNZI sita wa Sekondari ya CTC Kigonsera inayomilikiwa na Misheni ya Mbinga mkoani Ruvuma na Mkuu wa Shule hiyo, Padre Yazint Kawonga, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutumbukia bondeni kisha kuwaka moto na kuiteketeza miili yao.

Akizungumza na Mpekuzi jana shuhuda wa ajali hiyo, Makarius Nchimbi, alisema ilitokea juzi saa tisa alasiri katika mlima uliopo karibu na shule hiyo huku likiwa limewabeba wanafunzi waliokuwa wakitokea shambani kuvuna mahindi ya shule hiyo.

Nchimbi ambaye ni mfanyakazi wa kitengo cha udereva katika misheni hiyo alidai yeye ndiye aliyekuwa dereva wa gari hilo kabla ya kupokelewa na Padre Kawonga aliyemtaka amsaidie kuliendesha kwa kuwarudisha shuleni wanafunzi waliokuwa shamba lililopo Kijiji cha Mkulumus kilichopo Kigonsera.

Alisema gari hilo aina ya Land Rover 110 Station Wagon lenye namba T 306 AYM  lilipofika katika mlima huo lilimshinda Padre Kawonga wakati akitumia gia namba mbili na kuanza kurudi nyuma huku wanafunzi wengine waliokaa juu walifanikiwa kuruka kabla halijatumbukia na baadhi yao 24 waliumia.

Alisema baada ya gari hilo kutumbukia bondeni wao walijitahidi kuingia kwenda kuvunja milango ili waweze kuwaokoa baadhi yao lakini ilishindikana kutokana na nyaya za umeme wa gari kulipuka na kuliunguza huku miili yao ikiwemo ndani  na kusababisha ishindwe kutambulika.

Alisema kutokana na moto kuwaka iliwalazimu watafute mbinu za kuuzima na walitumia maji lakini haikuwezekana na walifanya jitihada ya kuipata winchi iliyoweza kwenda kuliinua gari hilo likiwa limeteketea.

Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Kigonsera, Dk. Patrik Mhagama, alisema kituo hicho kilipokea maiti saba na majeruhi wakiwa 24 na kati ya hao wawili wamepekwa Hospitali ya Mbinga kutokana na hali zao kuwa mbaya huku 17 walitibiwa na kuruhusiwa na watano bado wapo kituoni hapo.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Msikihela, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na alisema taratibu za kuyapata majina halisi ya marehemu bado zinaendelea na zikikamilika zitatolewa taarifa.

Aliwataja majeruhi hao kuwa ni Japheth Komba (16), Regobert Mahai (16), Edgar Maseko (16), Luiza Mbunda, Afa Kifaru (15), Nelalfred Nchimbi (16), Teodora Wolfa (16).

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Wadau Waupokea Wimbo Mpya wa Q Chief Vizuri ..Wengi Wauisifia..Nimekuwekea Comments za Wadau Hapa Kuhusu Huo Wimbo

Posted: 06 Jun 2015 12:10 AM PDT

Jana nilikuwekea Video katika blog hii ya Mwanamuziki Q Chief na Kuandika 'Huu Wimbo Mpya Usimpo Mtoa Q Chief Tena Basi Kuna Walakini..Embu na Wewe Angalia Hii Video'
Sasa hapa nimekuwekea Comments za Wadau kutoka Instagram Jinsi walivyoukubali Wimbo huo:

Mrekebishatabia:
@qchief wewe ni msanii bora, hujawahi kukosea...hongera sana! #Maria #MdogoMdogo

melisasymon
Duuh yaan nimejikuta nalike mara mbili haahaa kila la heri kwako kaka

lucaselias908 
Uo wimbo unaitwaje nautaka jamani

kanyinya1
Endiwoooo, yani am happy karudi huyu jamaa ni noma!! Tunataka vitu kama hizi buana, nyimbo ukiiskiza mpaka mtu unasisimka mwili, raha ya mziki usikike buana

confidence_gal
Katika ubora wake nakupendaga chila

Kama Jana ulimis Video Hiyo Basi Nakuwekea Hapa Chini Tena:




Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Jingine Laibuka Kuhusu Rais wa FIFA..Kumbe Pia Alikuwa Anakula Demu wa Mchezaji Cristiano Ronaldo

Posted: 06 Jun 2015 12:10 AM PDT

Hali bado sio shwari kwa upande wa Rais wa FIFA, Sepp Blatter… Zimepita siku chache tu tangu atangaze kwamba ataachia ngazi kwenye uongozi wa taasisi hiyo kubwa ya soka duniani kutokana tuhuma za rushwa kuiandama taasisi hiyo.

Leo hii zimetoka taarifa nyingine ambazo zimeibua tetesi za siku nyingi kwamba Rais huyo wa FIFA alikuwa hana uhusiano mzuri na mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo.

Gazeti lenye heshima ndani ya Spain, El Mundo limeripoti kwamba aliyekuwa mchumba wa Ronaldo, Irina Shayk alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Sepp Blatter katika vipindi viwili tofauti.
El Mundo linaripoti kwamba Blatter alikuwa na uhusiano muda mrefu na Mrembo huyo wa kirusi baada ya kuachana na mcheza tennis Ilona Boguska lakini hiyo ilikuwa ni kabla ya kukutana na mwanamama  Linda Barras.

Habari hiyo ya Irina na Blatter imeandikwa kwenye na mwandishi wa gazeti la El Mundo, Rosalia Sanchez amesema kwamba taarifa hiyo ya siri ya mahusiano ya Irina na Mzee Blatter ilipata kutoka kwa chanzo chake cha kuaminika wakati anafanya uchunguzi wa taarifa za rushwa na mahusiano zinamhusu boss huyo wa FIFA.

Uhusiano wao inasemekana ulianza mwaka 2002, wakatengana na kuja kuendelea tena mwaka 2014, wakati Irina akiwa bado na uhusiano na Cristiano Ronaldo ambaye walianza mwaka 2010 mpaka mwanzoni mwa mwaka huu walipotangaza kuachana.

Taarifa ya uhusiano ya Blatter na Irina pia imeripotiwa katika vyombo vya habari vya nchi za Peru, Portugal, Mexico na Vietnam pamoja na kuvuta wmijadala ya watu wengi kwenye mitandao ya kijamii.
Msemaji wa Irina Shayk kaulizwa juu ya tuhuma hizi ila hakujibu chochote..

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Udaku Specially

unread,
Jun 7, 2015, 4:14:15 PM6/7/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


KTN’s MOHAMMED ALI reveals why terrorism will not end any-time soon in Kenya

Posted: 07 Jun 2015 11:33 AM PDT


KTN’s investigative reporter, Mohammed Ali, has revealed why terrorism will not end any-time soon in Kenya.

While quoting one of the world’s great novelists, the fearless investigative reporter said that terrorism cannot end in a country where the so called leaders are criminals and terrorists in disguise.

“Terrorism will never cease in a country where the so-called leaders are criminals and terrorists in disguise.” - Moha posted on social media while quoting renowned novelist Michael Bassey Johson.

Just recently, Majority Leader Adan Duale was accused of supporting terrorism after he refused to release a list of sympathizers of Somali based terror group, Al Shabaab.

Apparently, he had promised to release the list within 30 days after the infamous Garissa terror attack.

But after the deadline he set himself lapsed, he started playing cat and mouse games.
Meanwhile, Here’s how Kenyans reacted to Moha’s claim that terrorism may not end any-time soon in Kenya.

What is terrorism?
Our nation is run by family/society with secrets. These secret societies controls and share resources but sometimes they steal or disagree on control and therefore fight or set traps to hurt competition. For us to understand terrorism we must know the two families that are fighting for control of our nation. Think carefully how to vote otherwise you might blow yourself

With The Terrorist Disguised As Journalists In a Country, Fighting Terrorism Is Very Difficult.

And so called journalists are terrorrists on hire to the highest bidder

And who have hired aliens in the name of journalism!!! We are watching you and Duale, fake kiherere na kwenu is just a boarder away! Tukome kabixa!

Kenyan Daily Post

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Nimetumbukia Kwenye Majaribu Mazito na mke Wa Rafiki yangu

Posted: 07 Jun 2015 11:24 AM PDT

Kuna Rafiki yangu ambae tulikua tumeshibana sana miaka kadhaa iliyopita lakini bahati mbaya urafiki wetu ulitumbukia nyongo na tumechuniana zaidi ya miaka minne Kwa sababu ambazo sijazielewa hadi leo,
Jamaa alikataza hadi mkewe kujihusisha na familia yangu

Kumbe jamaa hana kazi mwaka Wa nne sasa yupo benchi alifukuzwa kazi
Kama miezi miwili iliyopita nilikutana na mkewe accidentally, tukapeana contact upya na alikua mjamzito Wa miezi kama mitano hivi kuelekea sita, Akawa ananipigia simu kuomba hela kila baada ya siku mbili tatu, jambo ambalo lilinishangaza sana maana kwa maisha yao yalivyokua mazuri haikua rahisi kuamini

Baada ya kumpa kama laki na hamsini hivi jumla nikaanza kumkwepa, haikusaidia akawa ananipigia kwa namba zingine,
Siku moja akaniomba tuonane
Katika kuonana akanieleza kwa urefu sana matatizo yao ifuatavyo

Moja ni kuwa mumewe hajishugulishi na chochote amekaa tu home tangu afukuzwe kazi miaka minne iliyopita
Pili anategemea wazazi ndo wamtumie hela Mara kwa Mara

Tatu hata ikitokea mtu ameumwa ndani inabidi waombe ombe pesa kwa watu mbali mbali

Nne, anadai hali ni mbaya kuzidi Maelezo

Amekua akimsisitiza aje anione ili nimsaidie maana nipo hr department na jamaa anajua hilo lakini mwanamke akimgusia jambo hilo Jamaa ananzisha hadi ugomvi mkubwa hivyo amemuacha tu

Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni wiki kama tatu zilizopita aliniomba tuonane kinondoni machi machi guest house nikashtuka sana, nikamuuliza kulikoni guest akaniambia ww njoo hapo tukionana bar huwez jua nan atatuona so tuongee kwa dakika chache then nasepa

Nilipofika alikua jiran na hapo akaja tukaingia ndani, kwa hali ya ujauzito alionao niliamin wazi hatuwez kufanya chochote, surprisingly alianza kunivua nguo kama wale watu Wa wrestling, nilijikuta nimeshindwa kuhimili mhemko na bahati mbaya tukajuana
Sikujua kama jamaa ameoa mwanamke mpenda pesa kiasi kile maana pale pale akaniomba laki moja nikampa elfu hamsini cha ajabu jioni akaanza kunisumbua hamsini iliyobaki

Nimejiingiza kwenye jambo ambalo limekua mzigo mkubwa kwangu, natoa hela kila siku mbili tatu
Ingawa akiniomba twende guest nakua mdhaifu nashindwa kukataa, kwa kawaida mke wangu akiwa mjamzito huwa hapendi tendo kabisa na style yetu huwa ni moja tu miezi yote ya wote kutazama upande mmoja

Ila huyu shemeji huwezi amini mtu ana mimba ya miezi saba kwenda nane anajibinua anakaa doggie hadi mi naogopa

Nahitaji kuachana nae lakin amekua all over me, anasema anakaribia kipindi cha kujifungua hivyo anahitaji msaada wangu, anaona kuwa tukiachana siwezi kumsaidia kama tulivyo wapenzi

Hivi sasa ananisumbua ada ya mtoto wao Wa kwanza ambae kafunga shule, na mm sina hiyo hela kwa kweli maana mm binafsi Nina watoto watatu, mmoja nilizaa kabla sijaoa ivo namhudumia mm
Hili jambo linanishinda kwenye gharama tu

Kuna mwenye suluhisho hapa nilitatue vipi hili tatizo?

Ukioa Mwanamke Ambaye Hana Bikira Umeoa Mke wa Mtu

Posted: 07 Jun 2015 11:11 AM PDT

Wanajanvi, kiukweli bila kupepesa macho, ukioa mwanamke ambaye hana bikira hakika umeoa mke wa mtu. Mambo haya yamewakumba wengi,mwanamke hatakaa akutii kabisa viumbe hawa huwa na shauku ya kupenda akiwa na hiyo siri na wakati anaitunza mara nyingi huwa anawaza ni jinsi gani itakavyokuwa siku anatoa hiyo zawadi, anapopata mtu hummwagia furaha yake na maumivu pia, hapo ndipo hutunza kumbukumbu ya milele ya mfungua siri huyo, wanawake wengi huwa hawaachi watu hao. Akikutana naye wanajikumbusha sana, usiombe mkeo awe anaenda mapunziko likizo ya desemba peke yake, ukiona analazimisha jua kamkumbuka huyo mume na akienda ataliwa tu. Jamani wasichana tunzeni zawadi hii muhimu

Dina Marious wa Clouds FM Aamua Kufunguka..Kumbe Amewekwa Benchi Kutangaza..Adai Anaonewa Sana Katika Kipindi Kibaya Kwake

Posted: 07 Jun 2015 04:57 AM PDT

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Mtangazaji Dina Marious Amefunga Mengi kuhusa hali yake na nini kinaendelea kwenye Ajira yake baada ya muda mrefu kuwa kimya:

Ameandika Haya:

'Katika haya maisha hamna kitu kibaya kama kumuonea na kumnyanyasa mtu ambaye hana hatia.Kwa kutumia cheo,madaraka,nguvu na nafasi uliyonayo ukiamini huyo mtu hana uwezo wa kukufanya lolote

Tunaishi katika dunia ambayo binadamu wamekosa utu na imani.Binadamu wamekuwa wanyama na makatili kuliko wanyama wenyewe.Unaweza ukakutana na simba na chui porini mkakaa mkatia story lakini sio binadamu.

Unafanyiwa unyama eti kisa wanataka revenge kwa mtu wako wa karibu.Ambae revenge hiyo wala haimuathiri lolote zaidi ni kukutesa wewe kisaikolojia siku hadi siku.
Mbaya zaidi sikustahili miaka yote nimejituma,nimejitoa,sijawahi kumvunjia heshima alokuwa juu yangu kwa ngazi zoote.

Ndugu zangu nimeishi kwa muda mrefu katika huzuni,msongo wa mawazo.Na hapa niliponimedevelop na vidonda vya tumbo.Nimekuwa na kitu kifuani kimenikaaa kila siku nahisi nisiposema nitakufa.Ningekuwa nimetendewa haki isingeniuma wala kunisumbua ni kwa sababu nimeonewa sanaa tena katika kipindi kibaya sana.

All this time nimekuwa mnyenyekevu na najichekesha nakujitabasamisha machoni pa watesi wangu.Na wao wakiendelea kunikanyagia chini bila huruma huku wakinichekea.

Leo nimeamka nina huzuni sana sana na ninahuzunika hasa ninapokutana na msg za kuniuliza niko wapi?mbona sisikiki??
Mimi bado ni muajiriwa na ninalipwa mshahara ila nimewekwa benchi tu.

Kuna kitu naomba nikiweke clear kumekuwa na maneno mengiiiiii yanazunguka kuwa nina ugomvi na Zamaradi.Mimi sina ugomvi na Zamaradi sijui ndio amechangia mimi kutolewa kwenye leo tena.Thats not true wala nguvu hiyo hana.Sijajua why watu husema hivyo ila sina ugomvi nae.Hata yeye anajua hatuna ugomvi wowote.Nilipotoka pale niliamua kubadili mfumo wangu wa maisha hivyo hatuna ukaribu kama zamani.Ila haimaainishi tuna ugomvi.

Na malizia kwa kusema sipo radio wala sipo tv kwa sasa.Maswali mnaniuliza kila siku na nina wajibu kila mara na leo nimewajibu tena.
ila nitakuwa kwa radio na tv hapo baadae acha niuze mafuta ya nazi.Maelezo ya mwanzo yamejitosheleza sanaa na sitaenda mbalii sanaa labda nikiandike kitabu ndio yatatimia.

Nimeandika haya kwa ufupi mjue hata sisi pamoja na majina tuliyonayo changamoto zipo na tunakabiliana nazo.Na ipo siku tutashinda maana mtetezi wetu yu hai ' Dina Marious




Meseji ya Mapenzi Kutoka Wrong Number Imenivurugia Ndoa Yangu

Posted: 07 Jun 2015 04:14 AM PDT

Jamani, mwenzenu nimevurugwa mpaka nimevurugika,

Jana nilirudi kutoka job nimechoka sana. Na ninapolala huwa sipendi kukaa na simu kitandani kwa kujua ina madhara kiafya. Ila niliweka mlio wa vibration kwa sababu sipendi makelele ya simu ninapokuwa nimelala. Ilipofika mida ya saa nne na nusu au tano kasoro, simu ikavibrate. Mke wangu akanishtua kuwa simu yangu inaita. Basi kwa sababu ya uchovu sikutaka kuamka, nikamwambia aniletee. Aliponiletea akawa amefungua na kuona kuna sms imeingia. Akaisoma. Sikuona tabu maana siku zote huwa anachukuaga tuu simu yangu na anaweza kukaa nayo kadiri aonavyo yeye, na akipenda anapitia whattsapp au sms inbox au kucheza games kwa uhuru bila tatizo lolote.

Sasa jana Message iliyoingia ni ya kimapenzi kutoka kwa new number sms yenyewe inasema,

"Nimelala mpenzi wangu, naamini na wewe pia umelala, uniote umenikumbatia, si unaona baridi hii? I wish ungekuwa hapa jamani leo nina hamu ile mbaya..." Ghafla mke wangu anabadilika sura na maongezi. Nikarushiwa maswali yaliyojaa ghadhabu kama mvua ya mawe. Nikaiomba nione kucheki namba mpya, daaah nikapigwa butwaa. Nikasema isiwe tabu, ngoja tuende tigopesa tujaribu kama tunatuma pesa ili tujue jina. Kweli tulipata jina, wala hata silijui la wapi, nikaona isiwe tabu, ngoja nimpigie nimwulize. Mara wife akanyang'anya simu apige yeye mwenyewe. Ilivyopokelewa tuu yaani hata mtu upande wa pili hajajitambulisha vizuri kashushiwa mvua ya matusi, vijembe na vitisho kibao. Honestly nilipanic sana. Heri ingekuwa ni mtu ninayemfahamu au ni mchepuko wangu ningejisikia guilty. Lakini ukweli simfahamu huyi mtu.

Baada ya kukata simu, nikageuziwa mashitaka, kuwa namfahamu ila nimefanya makusudi kutokusev namba, na huyo mwanamke anajifanya kakosea ili kuepuka zali. Daah nikajieleza nijitetee lakini wapi, hapakukalika wala kulalika. Tumeamka asubuhi vurugu mechi, sasa nikipiga ile namba hapokei tena sijui ni woga wa kutukanwa. Jamani hebu vaeni kiatu changu alafu mnishauri nifanyeje mwenzangu anielewe? Mpaka sasa sijajua huyo aliyetuma sms yuko wapi? ila nimechukua tuu namba na jina lililosajiliwa nalo kwenye tigo pesa.

Sijawahi kupata zali kama hili

TETESI za Kutoweka Kwa Jack Cliff Gerezani Huko China..Serekali yapaswa Kulitolea Ufafanuzi Hii Habari

Posted: 07 Jun 2015 03:13 AM PDT

Jana Katika Mitandao Mbali mbali zimeenea taarifa ambazo bado hazijafahamika kama ni za kweli ama la kuwa Mtanzania Mwenzetu Jack Cliff Aliyekamatwa kwa Madawa ya kulevya Nchini China ametoweka Gerezani na kupelekwa kusikojulikana....

Habari inayozunguka mitandaoni ni hii hapa:


  • Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya China vimeriport kuwa Mtanzania aliekuwa anazuiliwa katika gereza moja huko China ametoweka na kuperekwa kusikojulikana. Habari zinasema mtanzania huyo alikuwa anasubiri hukumu ya kifo kufuatia kukamatwa na madawa kulevya.


Tunaomba serikali itolee ufafanuzi Habari hii au kama kashatekelezewa hukumu yake, pia tujue! Lazima government yetu ithamini raia wake hata kama wana makosa

Fight Between Wema VS Linnah : Here is Where All things began….

Posted: 07 Jun 2015 02:55 AM PDT


Wema shared this photo with Linnah’s boyfriend two weeks ago as her throwback photo and captioned “TBT flani amazing with Nagar akeee”

These Two photos Below raised many questions among her followers and now they are getting back at her saying she is responsible for damaging her imagine online.




Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Kenyans should not celebrate LUPITA! She is ungrateful and she forgot where she came from

Posted: 07 Jun 2015 02:00 AM PDT


A Kenyan has attacked Lupita Nyong’o for being arrogant and forgetting where she came from.

Here is what he posted;

“So I’m perusing today’s Nation and I find that Lupita Nyongo is in Kenya. Okay, I know I’m a pessimist as some of you may say; but tell me, What exactly Has Lupita done for Kenya – her mother & fatherland?

She has opted to donate her good talent of acting to the White-man. She’d rather have taken the 14m she used to buy one of her dresses that had been stolen to pay bursaries to some students in her County.

I mean, it’s totally nonsensical to praise people who have no regard for their country; people who have the ability to make a difference to a good number of Kenyans, but opt to use hundreds of millions for publicity (read showoff).

I know her father is a Politician which makes me understand her daughter very well. I know she’s the most beautiful Lady in the world as the White’s magazines suggested but in Kenya she’s the ugliest – otherwise what has that beauty done forus? Just attending a wedding for her sister yesterday?

I chose to be open-minded. I vowed never to worship good for nothing celebrities. Take that to the bank and it’ll surely earn you interest.

My opinion my choice!"

Source:Kenyan Daily Post

UHURU and RUTO accuse UK, US of funding AL SHABAAB through local NGOs like HAKI

Posted: 07 Jun 2015 01:56 AM PDT


The Jubilee Government is now accusing the United States and several European countries of funding organizations linked to Al Shabaab terrorists.

On Monday, the Ministry of Foreign Affairs sent a protest note verbale to the United States, the United Kingdom, Norway, Germany and Finland.

The Government requested the above named countries to stop funding local NGOs like Haki Africa and Muslims for Human Rights (Muhuri). So far UK and US have denied funding terror linked organizations such as Muhuri and Haki Africa.

The Government has since de-registered the two organizations saying they were working with terror groups, accusations denied by the two groups.

The National Intelligence Service (NIS) has said Haki Africa and Muhuri have been raising money that the terror organization uses to bail out terror suspects.

Haki Africa is particularly accused of paying a bail of Sh 5 million to redeem  a land title  deed that had been given by the wife of late  Sheikh Abubakar  Sharif Ahmed also known as Sheik Makaburi.

Source:Kenyan Daily Post

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

UNYAMA MWINGINE..Mama Amchoma Mikono Mwanae kwa Madai ya Kuiba Ugali

Posted: 07 Jun 2015 01:49 AM PDT

Stamili Mponzi mkazi wa kijiji cha Ikule wilayani Kilombero,  mkoani Morogoro anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchoma mwanae na kumjeruhi mikono kwa madai ya kuiba ugali.

Mama huyo alimuunguza mwanaye  Joseph Chawala, akimtuhumu Kuiba Ugali, kwa mujibu wa watendaji  mbalimbali wa kata ya Mng’eta.

Wakizungumzia tukio hilo Jerome Chulu na Jeneth Hetela,  walisema unyanyasaji huo  ulishuhudiwa na majirani wa mwanamke huyo baada ya kusikia kelele za watoto ambao walimchukua mtoto huyo kumpeleka ofisi  ya mtendaji wa kata,polisi na baadaye hospitali.

Walibainisha baadaye kuwa polisi  walikwenda kumkamata mwanamke huyo na mumewe Halidi Kiwenji ambaye  inadaiwa alikuwa karibu wakati wa tukio hilo ingawa baadaye baba huyo aliachiwa ili akawaangalie watoto wengine nyumbani.

Polisi  walithibitisha tukio hilo ambalo uchuguzi wake unaendelea ili kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo.

Wananchi mbalimbali waliohojiwa wametaka hatua kuchukuliwà kwa watu wanaoendekeza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.

ALI KIBA Awaonyesha Mashabiki wake Picha za video yake Mpya (Picha)

Posted: 07 Jun 2015 01:06 AM PDT

Alikiba anatarajia kuwapa mashabiki wake zawadi waliyoisubiri kwa muda mrefu – video.
Muimbaji huyo ameshoot video nchini Afrika Kusini na muongozaji Meji Alabi.

Kupitia ukurasa wa Facebook, Alikiba amepost na utengenezaji wa video hiyo na kuandika:

  •  Music video shoot in South Africa at 3 degrees celsius… We keep rolling!
Muongozaji Meji Alabi akiwa kazini Hivi karibuni mashabiki wa Alikiba walilalamika kuchelewa kwenye video ya Chekecha na kudai kuwa anawaangusha
Alikiba akiwa na Meji Alabi


Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

WEMA SEPETU Awachefua Mashabiki Wake..Baadhi Waamua Kumtolea Uvivu kwa Udhalilishaji Anaojitakia Mwenyewe

Posted: 07 Jun 2015 12:44 AM PDT



Wema Sepetu unawaumiza mashabiki wako.....najua hutapenda kuona maoni ya namna hii ila ni muhimu sana uone upande huu maana huo ndo ukweli halisi wa mashabiki wako hivi sasa. Hali si nzuri watu wako njia panda, umewachanganya...kama kweli unajali, wasaidie kwa kufanya mema. Ni wewe tu ndo unaweza kuondoa udhalilishaji unaoendelea si yeyote mwingine. @martinkadinda samahan naomba umzabe kofi moja la nguvu akili irudi ajue yeye ni nani anapaswa kufanya nini na watu wake wategemee nini kutoka kwake. How can we be Wema wkt yeye hayafanyi hayo mema??? We want to see more pics of #BeWemaFanyaWema not those stupid pictures zinazozunguka.... u

Wema Sepetu...Si unajua kuna kundi la watu wengi nyuma yako??? Najua picha nyingi unazushiwa kuwa kimahusiano na hao watu mwisho wa siku inakuwa ni kwa ajili ya kazi. Iwe ni kweli au uongo....UNAPITILIZA... ni kama vile unatuambia niangalieni au semeni msemayo niko busy natengeneza pesa....ni sawa kimtazamo wako na jinsi ulivyo.

Lakini kuna siku ulisema unachukia matusi au umechoka watu kukuongelea na yote mpaka watu wanaitukana familia yako....huwezi kufikiria why?? Why unakasirika??? Na matusi yale yote...Ni kwa kuruhusu hasa picha kama hizi either kwa makusudi au bahati mbaya wale wenye nia mbaya na wewe wanatumia kama chambo kukudhalilisha wewe na familia yako..... Ukisearch kwenye internet za aina hiyo zinatokea nyingi mpaka watu huamini ni kweli wewe ni mchafu kitu ambacho si kweli, hali hii Unaweza kukosa opportunity kubwa sana kwenye nchi nyingine sababu ya yale ambayo unaona ni sawa kwako!

Ukikasirika ni poa tu lkn nakwambia picha zako kama ni za kibiashara usichukue muda mrefu kabla biashara haijawekwa wazi la sivyo hata sisi tumechoka kukataza watu waache kutukana wakati wewe mwenyewe unaona poa tu, wengine hutumia hayo kuanzisha teams za kukutukana!! .
.
Ukweli ni kwamba wale wanaokupenda kwa dhati wanazidiwa nguvu na wale wenye lengo la kukuharibia....na hao wenye nia ya kweli na wewe hukaa pemben hawana ujasiri wa kusema lolote sababu wanaogopa.....Naomba Useme kitu kwa wanaokupenda, ili ijulikane atakayekiuka basi ni wale wengine waharibifu ambao ni wengi kwa sasa. Tunakupenda lkn kuna mambo mengine si ya kufumbia macho wkt wewe mwenyewe unaweza kufanya kitu, fikiria cha kufanya au kama huwezi potezea!!!

By Mrekebishatabia

Shilole Acharuka! Avipiga Mkwara Videmu Vinavyomshobokea Nuhu Mziwanda, Aweka Picha Kuonyesha Alipomtoa Mziwanda

Posted: 07 Jun 2015 12:36 AM PDT

Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Shilole ameandika mkwara huo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram mara baada ya kuweka picha hizo mbili  hapo juu za mchumba wake Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni alidaiwa kumpa mimba masichana anaefahamika kwa jina la hata hivyo mziwanda alikanisha taarifa hizo.


  • Kutoka pic ya kwanza mpaka ya pili sio kaz ndogo aiseee haraf nashangaaa videm from no where vinaanza shobo mamaeeeee zenu kama mnatumwa kufitinisha mapenz yetu mmefeli mimi ndo ashangedere na mim ndo shishi mtoto wa Tabora nimezoea kula ugali sio wa chipsi mayai sasa mtu ajifanye anshobo na baby wangu aje nimuoneshe jinsi majengo ya serikali yanavyogawanywa watu! nampenda mpenz wangu ndo maana namsapot"-Shishi alimaliza


Nadhani Shilole umeeleweka.

Udaku Specially

unread,
Jun 8, 2015, 4:26:36 PM6/8/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Msaada: Jinsi ya Kumtegua Mume Toka Mapenzi ya Kichawi (Limbwata) Aliyotupiwa na Mkewe Awe Chini yake

Posted: 08 Jun 2015 11:47 AM PDT

Mke anamdharau Mumewe Na Anakuwa na mamlaka ndani Ya Nyumba, Mume Kawa kama zezeta ..........hajali Ndugu Zake !! Anamfulia mkewe mpaka nguo za Ndani..
TumeGundua Kamuendea Kwa Mganga na Kuroga Ili Awe Na Mamlaka Juu Ya mumewe na mali Zake na limbwata limemuingia Sawa sawa...
Msaada wakuu Kwani Mume anashindwa fanya kitu Cha Maana Zaidi Ya kuendeshwa na huyo Mke!
Tufanyaje Kumtoa Huko Alipo?

Wawania Urais Waukacha Mdahalo...Pole Mafuruki, Hiyo Ndiyo CCM Bana

Posted: 08 Jun 2015 11:35 AM PDT

Si jambo geni lililotokea leo. Si jambo la kustaajabisha wagombea watarajiwa wa CCM kukimbia midahalo. Mafuruki pole,hujaijua CCM. CCM haina watu wenye hoja za haja za moja kwa moja-live arguments. CCM haina wajibu maswali ya moja kwa moja-live response.

CCM imejaa watumia fedha kushinda uchaguzini. Kuwaweka kwenye mdahalo wanachama wa CCM ni kutaka kuwadhalilisha na kuwaaibisha. Ni kutaka kuwavua nguo mbele ya halaiki. Pole Mafuruki. CCM is not reachable,try again later.

Labda kungekuwa na vyombo vya dola pembeni,wanaCCM wangetoa pointi. Wangetema cheche. Kiufupi,sisi ni waeupe na watupu kwenye midahalo. Hata Katibu Mkuu wa zamani wa CCM,Yusuf Makamba aliona hilo. Akapiga marufuku kushiriki midahalo. Mafuruki ulikuwa hujui? Pole.

CCM inabebwa na ujinga na umaskini wa watanzania. Ushindi kwanza,hoja baadaye.Aibu kukimbia,heshima imelindwa lakini. Hiyo ndiyo CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Chriss Brown Amwomba Msamaha Karrueche Walipokutana Klabu...Karrueche Amlia Bati na Kumpita Kama Hamjui

Posted: 08 Jun 2015 10:02 AM PDT

Chriss Akiomba Msamaha huku Karrueche Akiwa Busy na Simu
MAPENZI yanaumiza! Hii ni baada ya staa wa muziki wa RnB, Chris Brown, mwishoni mwa wiki iliyopita kunaswa akiomba kumrudia ex-girlfriend ambaye ni modo na mtangazaji, Karrueche Tran.

Chriss na Karrueche waliachana hivi karibuni kufuatia staa huyo wa Kibao cha Royal kutomjulisha mpenzi wake huyo kuwa ana mtoto aitwaye, Royalty, mwenye umri wa miezi tisa.Karrueche alionekana kuumizwa na tukio hilo na kufikia hatua ya kusema hataki kutumiwa ‘sms’ wala kupigiwa simu na Chris.

Staa huyo alifanya jaribio la kutaka kurudiana na Karrueche usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita, lakini ilishindikana. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa kwenye mitandao mbalimbali ya burudani, Chris alianza kumfuatilia ex wake huyo usiku kwenye Klabu ya Playboy huko Chicago ambapo alichukua siti ya VIP iliyo jirani na Karrueche ili iwe rahisi kuonana naye.

Lakini hata hivyo mbinu yake hiyo iligonga mwamba baada ya Karrueche kuamua kuondoka na kushuhudia Chris akimfuatilia kwa nyuma hadi nje ya klabu kabla ya kuonekana akikunja mikono mithili ya mtu anayeomba msamaha mbele ya ex wake huyo.

Mara baada ya Karrueche kuingia kwenye gari yake, Chris alijaribu kutaka kumfuata lakini alizuiwa na marafiki wa modo huyo, ndipo baba Royalty akaamua kulifuata gari lake na kuanza kumfuata kwa nyuma hadi nyumbani.Alipofika akakuta mlango umefungwa ndipo akaanza kupiga kelele sambamba na rafiki zake aliokuwa nao akitaka afunguliwe, hapo tayari ilikuwa usiku mkubwa.

Kuona hivyo Karrueche aliamua kuondoka na kwenda mgahawani ili kuondokana na kero ya kelele lakini Chris alimfuata na huko kabla ya kusikika majibizano baina yao, muda kidogo modo huyo akaonekana akiondoka eneo hilo akiwa peke yake na kuelekea nyumbani kwake.

AL SHABAAB strike again and kill 5 Kenyans just hours after UHURU/ RUTO’s warning

Posted: 08 Jun 2015 07:48 AM PDT

Suspected Al Shabaab terrorists struck Wajir County and killed five innocent Kenyans on Sunday.

The heavily armed militants attacked three Villages in Wajir County on Sunday morning and killed five victims.

They shot two men dead in the initial attack and wounded another who later succumbed to gunshot injuries on his way to hospital.

The Al Shabaab then proceeded to the home of Godade Chief, Mr. Yahya Abdi, but their nefarious plot to kill him was thwarted after a neighbor sounded the alarm drawing the attention of the police who shot in the air to scare them.

However, the militants killed the wife of the former Chief, Mrs. Alasa Osman, and another before they vanished.

Wajir County Police Commandant, Samuel Mukindia, said the attack had been well planned by the militants but their motive is yet to be known.

Surprisingly, the attack came only hours after the security coordinator for North Eastern region issued a stern warning against Al Shabaab on behalf of President Uhuru Kenyatta and his Deputy, William Ruto.

The Al Shabaab menace in North Eastern has made the region inhabitable with non-locals fleeing to safer regions.


The Kenya DAILY POST

Lemutuz 'Kambi ya Urais ya LOWASSA Hamko Vizuri au Mgombea Wenu ni Bogas..Jipangeni Tena Upya'

Posted: 08 Jun 2015 06:53 AM PDT

LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- morning guys kuna wanaotafsiri kwamba namchukia mgombea wao kumbe Mimi ninakata FACTS mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe
so wafuasi wake jifunzeni hoja the FACT is a leading Candidate supposedly hawezi kuogopa Debate infact yeye ndiye aliyetakiwa kupigania Debate ziwe nyingi kusudi Taifa tumuelewe vizuri kwamba Hakuiba Richmond kulikuwa na njama za kutaka cheo chake ndio maana aliwaachia good now asimame kwenye debate atuhakikishie kwamba akipata Uraisi akishambuliwa tena na wanaotaka cheo chake hatajiuzulu kama alivyofanya kwenye Uwaziri Mkuu! hahahah....

Mgombea wenu aidha ana washauri wabovu au yeye mwenyewe ni mburulazzzz maana imagine Rais mtarajiwa anasimama mbele ya wananchi anaotaka kuwaongoza anasema "kama kuna mtu ndani ya CCM hanitaki aondoke" really? huyu akishika Urais kwa kauli shallow kama hii wasiomuunga Mkono watafanya nini si itabidi waondoke Tanzania?...halafu a leading candidate anamsimamisha Mchungaji ambaye ana kashfa za ajabu katika Jamii halafu Mchungaji naye anarudia kauli za Taarabu kwamba "asiyemtaka mgombea yule akale malimao"

Ingekuwa Majuu hii kampeni ingeisha pale pale maana media ingemzika mgombea mzima mzima....now watu wenye AKILI KUBWAZZ tunapojaribu kuwafahamisha hiyo kambi kwamba haya ni makosa makubwa sana kisiasa na ni dalili tosha kuwa mgombea wenu HAFWAI wanaanza kulia lia na personal attacks Mimi ninachambua tu FACTS at the table...narudia tena hiyo kambi aidha INA washauri wabovu au mgombea mwenyewe ni BOGUS cause siku ya kwanza ya kampeni unawaweka mbele Viongozi kama Mama Tibaijuka? So hii ni kambi inayokumbatia mediocres guys kuna wakati Mama Clinton kwenye kampeni ya urais ilibidi amfiche Mumewe baada ya kuropoka South Carolina kuwa Obama alitakiwa kumpikia kahawa na ikaishia kum cost kura za weusi...hiyo kambi mnanisikitisha sana mnaponilalamikia kwa ajili ya umburulazzz wenu wenyewe JIPANGENI mazafantazzz hahaha! - le Mutuz

Ommy Dimpoz Amwanika Mpenzi wake Hadharani...Aweka Picha Mtandaoni na Kuitoa muda Huo Huo...ila Tumeidaka

Posted: 08 Jun 2015 06:45 AM PDT

Ommy dimpoz hatimae amemweka ubavu wake hadharani kupitia mtandao wa twitter.nakuta mka maneno yafuatayo.Am in lov with Coco.Nakuondoa haraka hiyo post

Zari za Boss Lady Anaishi Nyumba Moja na Ivan Aliyekuwa Mmewe Huko South Africa..Ushahidi Huu Hapa

Posted: 08 Jun 2015 06:37 AM PDT

Zarina Hassan A.K.A Zari the boss lady mama kijacho wa Diamond Platnum hajawahi kumpeleka mpenzi wake huyo nchini South Africa anakoishi.Sababu Zari anaishi nyumba moja na mme wake Ivan aliyezaa nae watoto wa tatu.Ushahidi wa kuishi pamoja ni hizi picha ambazo hata mahakamani ushahidi wa picha unakubalika.Swimming pool tiles zake za pembeni hapo juu ni zilele zile za hapo chini alipokaa mme huyo wa Zari.Pili rangi ya ukuta alio chuchumaa Zari hapo juu ni ya creem sawa sawa na ukuta wa chini aliokaa mme mwenza wa Diamond Platnum.Tatu picha ya chini Zari akiwa parking rangi za ukuta ni sawa na nyumba aliyokaa kibopa huyo.

Waziri Adai Waganda Wanapenda Ngono Sana Kuliko Chakula..Ngono zinafanyika Mchana Badala ya Kula Chakula cha Mchana

Posted: 08 Jun 2015 05:44 AM PDT

Waziri wa maadili nchini Uganda Simon Lokodo amedai kuwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi yanazidi kuongezeka zaidi kutokana na waganda wengi kufanya ngono mchana badala ya kula chakula cha mchana.

Pia waziri huyo aliendelea kwa kusema kuwa inabidi wapenzi waaminiane zaidi na kuelekeza macho yao kwenye kupunguza ngono zembe,na kuiambia kamisheni ya kuzuia maambukizi ya Ukimwi kuelekeza nguvu zao kwenye vyombo ovya habari ili kuwakumbusha wananchi waliosahau.

Kwa sasa nchini Uganda, kuna zaidi ya watumiaji wa dawa za kuongeza maisha 600,000 huku asilimia 90 ya dawa hizo zinafadhiliwa na mataifa ya nje.



Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Membe: Nikiwa Rais Wasanii Wataenda Kujifunza Nje.....

Posted: 08 Jun 2015 05:45 AM PDT

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kama atachaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha anasimamia haki za wasanii ipasavyo.
Membe alitoa kauli hiyo mkoani Lindi wakati akitangaza nia ya kuwania urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.

  • “Nitahakikisha naweka mipango imara katika kusimamia kazi za wasanii wote kunufaika na hakimiliki zao,” alisema.

Pia alisema atahakikisha wasanii wanakwenda kujifunza nje ya nchi masuala ya sanaa ili sekta hiyo ipate mabadiliko ya kimaendeleo kwa wasanii na Serikali kwa ujumla.

  • “Nikichaguliwa kuwa rais, nimejiwekea mikakati mingi kuhakikisha sekta ya sanaa inapiga hatua kutoka hapa tulipo sasa,” alisema Membe.

Katika mkutano huo, waliohudhuria ni baadhi ya wasanii akiwemo mchekeshaji, Adam Melele ‘Swebe’, Hemed Malyaga ‘Mkwere Orijino’ na Kulwa Kikumba ‘Dude’.

Gazeti la Mtanzania



Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Photos: Lulu Looking Lovely In New Pics.

Posted: 07 Jun 2015 11:20 PM PDT


Actress and fashion icon Lulu Elizabeth Michael simply looking stunning it this denim shirt, black mini skirt, and black shoes.


SIWEMA wa NAY wa Mitego Yamemshuka..Ajirudi na Kumpigia Goti Nay wa Mitego ili Warudiane Kumlea Mtoto Pamoja..Nay Asema Haya

Posted: 08 Jun 2015 06:19 AM PDT


PAMOJA NA MAJIGAMBO LUKUKI KUTOKA KWA SIWEMA HATIMAYE KETE IMEGEUKA NA KUJIKUTA AKIMWANGUKIA NAY WA MITEGO ILI WARUDIA TAYARI KWA KULEA PAMOJA MTOTO WAO!! Habari kutoka chanzo cha kuaminika ambacho ni ndugu wa Siwema kilieleza kuwa, pamoja na  maneno ya shombo aliyommwagia Nay wakati wanaachana, mrembo huyo kwa sasa ameweka nyodo kando na kuomba asamehewe..... Kilidai kwamba hivi karibuni, mmoja wa dada wa Siwema (jina linahifadhiwa) amekuwa akimpigia simu Nay akimuomba arudishe moyo wake kwa Siwema, kwani tangu aachane naye mambo yamekuwa yakienda kombo ikiwemo ule msala wa kesi inayoendelea mahakamani ya kujipatia mali isivyo kihalali.

Baada ya kumwagiwa ubuyu huo,  lilituma kijumbe kumfikishia Nay ombi hilo la Siwema ambapo alikuwa na haya ya kusema:

  • Kweli nimepokea simu za msamaha. Nimemsamehe lakini siwezi kurudiana naye.

Kwa upande wake mama Nay alisema yeye ndiye alikuwa mtetezi wake lakini kwa sasa hataki kusikia ishu hiyo.
GPL Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

MREMBO Jokate Mwegelo Ataka Kujiua Kisa Penzi la Mwanaume Aliyempenda Kupindukia

Posted: 07 Jun 2015 11:18 PM PDT

MMMH...JOKATE NAYE HAVUMI LAKINI YUMOOO....ANGALIA HAPA ALIVYOPOZI NA HASHEEM THABIT WAKATI PENZI LIKIWA BADO MOTOMOTO!!!......... IMEFICHUKA: JOKATE ATAKA KUJIUA!  Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.

Akizungumza katika spesho intavyu na gazeti namba moja la mastaa Bongo, , wikiendi iliyopita, Jokate au Jojo alifunguka kwamba, japokuwa haikujulikana kwa watu wa nje kutokana na usiri mkubwa uliofanywa na ndugu zake, akiwemo mama mzazi, lakini ameona ni vyema akaweka wazi ili watu wajifunze namna ambavyo mapenzi yanaweza kuharibu mustakabali mzima wa maisha ya mtu.

Jokate ambaye amewahi kutajwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mastaa mbalimbali Bongo wakiwemo staa wa mpira wa kikapu ambaye ni Mbongo anayekipiga nchini Marekani, Hasheem Thabeet Manka, wanamuziki, Ali Saleh Kiba, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM, alisema hakuona sababu ya kuendelea kuishi bila mwanaume huyo..

By Mateja

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Mtoto Wa John Malecela Ajitosa Kugombea Urais wa Tanzania Kupitia CCM

Posted: 07 Jun 2015 10:40 PM PDT

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.

Dk Mwele kesho amepangiwa na CCM kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Ratiba ya CCM iliyotolewa jana Makao Makuu ya chama hicho mjini hapa inaonesha kuwa licha ya Dk Mwele, mwingine ambaye atachukua fomu hiyo kesho ni Nicholaus Mtenda ambaye pia amejitokeza kuomba kugombea urais kupitia CCM.

Dk Mwele katika maisha yake mengi kwa zaidi ya miaka 20 amekuwa mtumishi katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) ambako alianza kazi akiwa kijana na akapanda hadi kuwa mtafiti mkuu na baadaye akateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu.

Licha ya kukulia katika familia ya mwanasiasa maarufu nchini, lakini Dk Mwele hajawahi kujitokeza hadharani kushiriki kwenye masuala ya siasa. Kama akichukua fomu hiyo kesho, atakuwa ni mwanamke wa pili kuomba kuteuliwa na CCM kugombea urais kumrithi Rais Jakaya Kikwete.

Mwanamke mwingine ni Balozi Amina Salum Ali wa Zanzibar. Jana Waziri wa Malisili na Utalii, Lazaro Nyalandu na wanachama wengine wawili wa CCM walichukua fomu za kuwania urais. Nyalandu alikuwa wa kwanza kufika katika ofisi za CCM kuchukua fomu akiwa amefuatana na familia yake na wafuasi wake kadhaa.

Baadaye alifuatiwa na mwanachama mwingine wa CCM, Peter Nyalali, ambaye ni Ofisa mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na kufuatiwa na mwanachama wa chama hicho kutoka wilaya ya Muleba, Leonce Mulenda.

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu, Nyalandu alisema hatua hiyo ni ishara ya yeye kuanza safari ya ndoto yake ya kuchukua majukumu ya urais kwa lengo la maendeleo ya nchi hii chini ya misingi aliyoianzisha Baba wa Taifa, hayati, Mwalimu Julius Nyerere.

Kwa upande wa Nyalali, alisema atalenga katika kuimarisha uchumi kwa kuzingatia Katiba ya nchi na ya chama na kuleta mabadiliko chanya ndani ya CCM na kwa Watanzania ambao wamekuwa hawanufaiki na fursa zilizopo nchini.

Kwa upande wa Leonce Mulenda, alisema atahakikisha Katiba ya Chama na maamuzi yanatekelezwa kama inavyotakiwa na kuwa chama imara kitakachosaidia serikali isiwe legelege.

Video ya Mwigizaji Lulu Michael Akicheza Wimbo wa Diamond yazua Gumzo Mitandaoni..Lulu Adai Diamond Ampe Kazi

Posted: 07 Jun 2015 10:37 PM PDT

Video ya muigizaji maarufu nchini, Elizabeth michael , aka lulu, imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo hasubuhi,ambapo msanii huyo alipo ipost kwenye ukurusa wake wa instagram. Video hiyo ikimuonyesha msanii huyo akicheza wimbo wa mwanamuziki maarufu nchini, diamond platnums, unaojulikana kama nana /sankoro, imewashangaza watu, haswa kwa uchezaji mzuri:thumbup: na style ya msanii huyo.

Wadau mbali mbali walimpongeza staa huyo, kwa uwezo wake wa kukizungusha kiuno na uchezaji wa aina yake, uliowafanya watu wengi wavutiwe na video hiyo, ambayo imezagaa kwenye mtandao maarufu wa instagram.

Lulu Aliandika Hivi:
Imenifika Hapaaaaaaaaaaaaaa
ANGALIZO:Video hii itadumu kwa muda wa dakika 1 ️na Nusu tuIna HADI part 10alafu Hapa nimecheza kwa Aibu Dai Nipe kazi kama vp" Lol! kazi umepata Mama  #Sankoro #NaNa

ANGALIA VIDEO HAPA:

Dina Marious Afunguka Bifu Lake na Zamaradi Mketema

Posted: 07 Jun 2015 10:24 PM PDT

Aliyekuwa mtangazaji wa clouds fm, Dina Marios, leo kupitia ukurasa wake wa instagram, amefunguka kuhusu tetesi zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii, kuhusu bifu lake na mtangazaji mwenzie, Zamaradi Mketema pamoja na kufukuzwa kazi kwenye kituo hicho.

" Kuna kitu naomba nikiweke clear kumekuwa na maneno mengi yanazunguka kuwa nina ugomvi na Zamaradi. Mimi sina ugomvi na Zamaradi sijui ndio amechangia mimi kutolewa kwenye leo tena.

Thats not true wala nguvu hiyo hana. Sijajua why watu husema hivyo ila sina ugomvi nae.Hata yeye anajua hatuna ugomvi wowote.Nilipotoka pale niliamua kubadili mfumo wangu wa maisha hivyo hatuna ukaribu kama zamani.Ila haimaainishi tuna ugomvi.

January Makamba Kaharibu Utamu wa Hotuba kwa Kusema Uongo

Posted: 07 Jun 2015 10:21 PM PDT

Nimemsikiliza Januari Makamba wakati akitangaza nia, amezungumza mambo mengi lakini ameharibu utamu wa hotuba hiyo kwa kusema uongo.

Makamba katika hotuba yake amesema itachukua miaka mingi hata kumi kwa Tanzania kuanza kuvuna gesi na rais ajaye anaweza akaondoka madarakani bado gesi haijaanza kutumika.

Huu ni uongo wa wazi ana pengine inaweza kuwa ni kutojua kwamba tayari gesi imeanza kutumika kwenye maeneo mengi ikiwemo kweye viwanda mbalimbali hususani kwenye jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo mengine kwenye majumba inatumika.

Namshangaa Januari anaposema gesi haitotumika kwa miaka ya karibu, anataka kutuambia hata mioundo mbinu ya gesi iliyojengwa itaanza kufanya kazi baada ya miaka kumi?

Namshauri aache kuzungumzia mambo ambayo hayajui na kama anatamani kuyazungumzia basi angeuliza kwa wataalamu wa masuala ya gesi kabla ya kufungua mdomo kuongea asiyoyajua.

Kwa mujibu wa wizara ya nishati na madini gesi itaanza kutumika miezi michache ijayo na tayari mabomba ya gesi yamekamilika kwa asilimia 90 na hata kiwanda cha DANGOTE kinachojengwa kitatumia gesi hiyo ambapo kiwanda hicho kitaanza uzalishaji mwezi wa nane kwa maana hiyo gesi itaanza kutumika kabla ya kiwanda hicho kuanza uzalishaji,

Auawa Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu

Posted: 07 Jun 2015 10:16 PM PDT

Mwanaume mmoja aliyekadiliwa kuwa na umri wa miaka 40, mkazi wa kijiji cha Soy kaunti ya Uasini Gishu nchini Kenya ameuawa baada ya kupigwa vibaya na jirani yake baada ya kumfumania na mke wake.

Kwa mujibu wa mtandao wa Citizen, mume wa mwanamke huyo alikuwa msibani wakati jirani yake akivunja amri ya sita na mkewe, na baada ya kurudi nyumbani majira ya usiku alimkuta live jirani yake na ndipo alipoanza kumshushia kipigo.

Mwili wa marehemu umeifadhiwa katika hospitaly na mtuhumiwa anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Matunda.

Mafuriko ya Ghana yaliyoua watu 175,yamkumba Van Vicker akiwa njiani kuelekea kwake

Posted: 07 Jun 2015 10:12 PM PDT

Mafuriko makubwa yaliyoikumba jiji la Accra nchini Ghana usiku wa kuamkia juzi na kuleta maafa ya kuua watu 175 wakiwa wamejihifadhi kwenye kituo cha mafuta baada ya kituo hicho kulipuka moto,yamemkumba pia Staa wa filamu nchini humo Van Vicker akiwa barabarani akielekea nyumbani kwake.

Kupitia akaunti yake Instagram Van Vicker aliandika kuwa ameshuhudia mafuriko kwa macho yake (live),huku taa za barabarani zikiwa haziwaki,kuna mashimo,matakataka,umeme ukiwa umekatika na barabara zilikuwa zimefurika maji, na magari yalikuwa yameharibika.

Pia aliongeza kuwa waliokuwa wakitembea barabarani walikuwa wakitafuta pa kujihifadhi,madereva walipaniki na bado wakati huo mvua ilikuwa ikinyeesha na pia foleni ilikuwa kubwa na barabara ni ndogo.
Ambapo alisema kuwa kawaida huwa inamchukua dakika 45 kwenda nyumbani kwake lakini siku hiyo ilimchukua masaa sita kufika nyumbani kwake.

Udaku Specially

unread,
Jun 9, 2015, 4:41:06 PM6/9/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


WEMA SEPETU na Mume wa ZARI Damu Damu Wafungua Duka Kubwa la Vipodozi South Africa..Vipodozi Vinaitwa Wema Sepetu

Posted: 09 Jun 2015 10:47 AM PDT

Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu nchini humo, Wema Sepetu aliongozana na dada yake baada ya kuwa kwenye mazungumzo ya muda mrefu na kampuni inayotaka kufanya kazi na Wema Sepetu pamoja kusambaza filamu yake ya D.A.D aliyocheza Na msanii maarufu kutoka Ghana Van Vicker, filamu hiyo inayotarajiwa kuoneshwa kwenye kumbi mbali mbali za sinema pamoja na kusambazwa Afrika Kusini. Pamoja na wao kusambaza pia kampuni ya Endless Fame Production kutoka Tanzania pamoja na kampuni ya Sky and Orange production ya Ghana wamejiandaa vilivyo kuhakikisha filamu hiyo inapenya kimataifa tayari USA, UK, Canada na nchi nyinginezo karibuni wataachia website watu kufanya pre-order ya filamu ya D.A.D.

Mmoja wa wenyeji wa Wema Sepetu nchini Afrika Kusini ambaye wamepiga picha nyingi za matangazo ya biashara hiyo ya vipodozi vyenye jina la Wema Sepetu, ameonekana pia nchini wakifanya vikao na wadau mbali mbali jinsi gani ya kufanya biashara kimataifa ambapo tayari mbali na Nigeria, kituo kingine kitakuwa Zimbabwe. Katika hali iliyopokelewa vyema nalo kundi maarufu Uganda na Afrika Kusini Rich Gang la Mume wa ZARI wako tayari kumsapoti na kutangaza duka jipya la Wema Sepetu litakaloanzishwa Afrika Kusini litakalouza vipodozi mbali mbali, pia litakua ni moja ya kituo cha kusambaza na kununua filamu za EndlessFame ambazo zitaachiliwa.

Nagar alisema Wema ni binti mwenye kipaji cha kuigiza pia ni mrembo haitoshi kujulikana Tanzania pekee bali na nje ya Tanzania ambapo tayari Wema na baadhi ya watu wa karibu yake wamekua wakienda Afrika Kusini mara kwa mara kuangalia mahali sahihi kuwekeza nchini humo.

Kwasasa Wema Sepetu amekuwa busy kufanya filamu mbali mbali nchini lakini pia kwenye maandalizi ya kuzindua movie yake ya DAD mwaka huu. Amewataka mashabiki wake kuvumilia maana anafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha hawaangushi na watafurahia. Baada ya mwezi Ramadan tutaona suprise nyingine ambazo uongozi wake wanasubiri kutoa tamko kuhusu mwonekano mpya wa Wema Sepetu. Mpaka sasa haijajulikana ni aina gani ya vipodozi vitakavyokua na jina la msanii Wema Sepetu. #BeWemaFanyaWema

DAVIDO Amjibu Diamond Kwa Kutoa Video Mpya Akimshirikisha Mwanamuziki Mmarekani Meek Mill Ambae ni Boyfriend wa Nick Minaj

Posted: 09 Jun 2015 08:10 AM PDT

DAVIDO Amjibu Diamond Kwa Kutoa Video Mpya Akimshirikisha Mwanamuziki Mmarekani Meek Mill Ambae ni Boyfriend wa Nick Minaj Angalia Video Hapa Chini:

Breaking News:Ule Mkataba Wenye Utata Kati ya Mchezaji Ramadhani Singano na Team ya Simba Wavunjwa na TFF

Posted: 09 Jun 2015 07:54 AM PDT

LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo  mbili zilikutana chini ya TFF.

Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF  kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.

Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.

Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka akubaliane na Simba tena. Lakini kwa mujibu wake ni kwamba anatakiwa kuwa huru kama mkataba umevunjwa na sio kukubaliana upya na Simba. Singano anataka kuwa mchezaji huru ndipo aamue mwenyewe kama kuongea na Simba au klabu nyingine.

PHOTO!! Meet HUDDAH MONROE’s Fiancé…… She is Taken

Posted: 09 Jun 2015 07:55 AM PDT


PHOTO!! Meet HUDDAH MONROE’s Fiancé…… She is Taken

Is AL SHABAAB Winning war Against Kenya? Christians are Converting in Case of Attack

Posted: 09 Jun 2015 06:40 AM PDT



Somalia based militants – Al Shabaab - seem to be gaining ground within Kenya’s territory and gaining followers within the country, especially from the Christian community.

This was revealed by Kiambu Governor William Kabogo who raised a red flag over the growing number of Muslims in the country thanks to Al Shabaab’s terror attacks.

Speaking yesterday at a function organized by the National Council of Churches of Kenya (NCCK), Kabogo noted that Christians are now converting to Islam in large numbers just to be safe in case Al-Shabaab strike, while those who have not converted fully are attending madrasas to learn the Quran and Muslim prayers just in case; something he said poses a great danger to national security.

The Kiambu Governor attributed the move by Christians to convert to Islam to the technique the Al Shabaab are using where they spare Muslims and those who recite the Quran and kill Christians like insects, just like it happened in Garissa University and Westgate Shopping Mall.

“If students in Garissa University knew the Quran and how to pray in Arabic, they would be alive today. That is the fear the Al Shabaab has instilled in Christians who are now becoming Muslims as a matter of necessity,” said Kabogo.

At the same time, Kabogo asked President Uhuru Kenyatta and his Deputy, William Ruto, to deal decisively with Aden Duale and North Eastern leaders for trivializing the issue of Al Shabaab and joking with the lives of Kenyans.

Ray C Awafungukia Mastaa Wanaomponda Shoga Aliyejibadilisha na Kuwa Mwanamke Caitlyn (Bruce Jenner)

Posted: 09 Jun 2015 05:53 AM PDT

Baada ya hivi karibuni, staa na mwanamuziki mkongwe nchini, Ray C, kupitia ukurasa wake wa instagram, kupost picha ya baba mlezi wa mwanamitindo maarufu Kim Kardashian, Bruce Jenner (Caitlyn ), ambaye amejibadil jinsia yake na kuwa mwanamke. Staa huyo alianza kumsifia shoga huyo kuwa ni mzuri kuliko ata mke wake, kauli iliyozua utata kwa baadhi ya mastaa na mashabiki wake, wakimlaani staa huyo aliyejinadi kuokoka ivi karibuni kusapoti ushoga wakati anajua ni dhambi.

Ata hivyo staa huyo amewajia juu baadhi ya mashabiki zake na mastaa wenzie na kuwataka kuacha unafki wakati ata apa bongo kuna mashoga ambao ni marafiki wa mastaa wengi apa nchini, msikie Ray C..

"Wabongo bwana!!!! Mnajifanya mnamponda Huyu wakati mashoga mnaishi nao mitaani,tena mnawalipa kabisa waje wasasambue kwenye vibao kata!tena haohao mashoga ndio wanaowataftia mabwana!mashoga ndio makuwadi wakubwa wa Dada zetu mitaani tena kuwapa maxi zaidi mashoga ndio marafiki wakubwa wa mastaa hapa mjini!

Mastaa kibao wanazunguka na mashoga kwenye kumbi za starehe bila hata aibu!humuhumu insta kuna mashoga kibao na wanajulikana na mnawafollow na kuwasifia Niwataje?

Afu mnajifanya mnamponda huyo chakla hapo juu wakati lango la jiji wamejaa tele kwenye taarab ndo usisema!acheni fitna!kama mnapinga hili jambo anzeni kuwapinga wa nyumbani kwanza sio mnamponda MTU aliekuwa dunia nyingine !!!".

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

WAKENYA Wapagawa na Mwigizaji Rihama Ally..Wampa Kitita Kinono cha Pesa Kucheza Filamu na Tamthilia Nchini Humo

Posted: 09 Jun 2015 05:31 AM PDT

Rihama Ally na Mwigizaji Mwenzake
Msanii mahiri wa filamu nchini Riyama ally amesaini mkataba mkubwa wa kucheza filamu nchini Kenya...kampuni maarufu na wasambazi wa filamu nchini Kenya wamefanya mazungumzo nae mji wa Mombasa na tayari ameshaanza kufanya kazi huku akipewa kitita kinono kwa kushirikiana nao.

Kama hiyo haitoshi wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.

Hii itakua ni habari njema kwa watanzania sasa wasanii wetu tutaweza kuwaona nchi nyingine pia wataweza kuwania tuzo mbali mbali za wasanii kutoja Afrika. Kila la heri Rihama Ally

Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

Afya ya Mke wa Mwanamuziki Mabeste, Lisa yaanza Kuimarika

Posted: 09 Jun 2015 02:56 AM PDT

Afya ya mke wa rapper Mabesste, Lisa Karl Fickenscher imeanza kuimarika kutokana na hivi karibuni kuwa mbaya.

Lisa anasumbuliwa na tatizo la moyo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mabeste ameamua kutoa taarifa za maendeleo ya mke wake: Aje u good? Hey Maendeleo ya Lisa Lisa Karl Fickenscher OR My Wife kiafya Anaendelea vizuri Namshukuru saaana MUNGU pili na kushukuru wewe pia thanks saana Weekend njema.”

Pia Mabeste aliweka picha nyingine akitoka shamba na mke wake na kuandika: Ndio twatoka shamban sahii Mungu endelea kubariki My family.”

Mabeste aliamua kuomba msaada kutoka kwa watu mbalimbali ili kumsaidia kupata fedha za matibabu ya mke wake huyo.

Jokate Mwegelo afunguka kwa mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na Alikiba

Posted: 09 Jun 2015 02:54 AM PDT

Kila mtu anaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi licha ya kupost tu picha zao kwenye Instagram na hivyo kukuza zaidi tetesi hizo.

Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV.


  • “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali. Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be around with the best,” alisema Jokate kujibu swali la uhusiano alionao na King Kiba.



  • “Mimi kwanza ni mchanga, kwahiyo nakaa naye karibu ili niweza kujijenga kimuziki, that is it.”


Sounds kama si jibu tunalohitaji kulisikia!

Profesa Tibaijuka Azomewa kwao na Wananchi Mbele ya Kinana

Posted: 09 Jun 2015 02:15 AM PDT

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka jana alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wananchi wa jimbo lake mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.

Hali hiyo ilijitokeza jana asubuhi katika Kata ya Nshamba wilayani hapa wakati msafara wa Kinana ulipofika kuzindua mradi wa maji. Kadhia hiyo ilianza baada ya Katibu wa CCM Mkoa wa Kagera, Ally Idd Ame kumkaribisha mbunge huyo ili awasalimie wananchi.
 
Hata hivyo, wananchi hao walianza kuzomea kwa zaidi ya sekunde 40 wakipinga Profesa Tibaijuka kupanda jukwaani, hali iliyomlazimu Mkuu wa Wilaya, Francis Isack kupanda jukwaani na kutoa kauli ya kiutawala ili kuwanyamazisha wananchi hao.


  • “Anayetaka kusikiliza abaki na asiyetaka aondoke,” alisema Isack na kuwanyamazisha mamia ya wananchi hao. Baada ya kauli hiyo wananchi walitulia na kuruhusu Profesa Tibaijuka kupanda na kuhutubia kwa muda.



  • “Kama hamnitaki siyo lazima niwe mbunge wenu, mnaruhusiwa kubadili. Huyo aliyewapa viroba asubuhi hii ili mje mnitie aibu mbele ya katibu mkuu wa chama nawaambia hiyo dhambi itawatafuna,” alisema.


Aliwaambia wananchi hao kuwa anachokifanya ni kuwatumikia na kuwaletea maendeleo, hasa wanawake...


  • “Mimi sitafuti kazi na wala sina njaa... na kama hela ya kula ninayo. Mimi sigangi njaa na kama mnataka kuwa na kiongozi mganga njaa muwekeni muone atawasaidia vipi,” alisema.


Akihitimisha salamu zake kwa wananchi hao alisema kama wana jambo lao la ziada walifanye lakini wamuache aendelee na jitihada za kuwaletea wanawake maji... “Sina kinyongo na yeyote kwa sababu “I am too sophisticated (mstaarabu). Nipo juu ya mambo madogomadogo yanayowasumbua.”

Mbunge huyo ambaye hivi karibuni aliondolewa uwaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kutokana na kashfa ya Tegeta Escrow, alimweleza Kinana kuwa eneo hilo limekumbwa na upinzani kutoka kwa mtu anayehitaji kulichukua ambaye ni kutoka ndani ya CCM.

Profesa Tibaijuka alisema katika ubunge wake amefufua mradi huo wa maji utakaogharimu Sh200 milioni kupitia shirika moja ambalo mkandarasi wake ni wa Umoja wa Mataifa na utekelezaji umeanza miezi minne iliyopita lakini unahujumiwa.


  • “Mradi huu wa Nshamba unahujumiwa na wapinzani wangu kutoka ndani ya CCM na vyama rafiki vya kisiasa, lakini lengo lao ni kunidhoofisha kisiasa, jambo ambalo linadidimiza maendeleo,” alisema Profesa Tibaijuka ambaye aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN – Habitat).


Kinana na kahawa
Katika ziara hiyo, Kinana aliitaka Serikali mkoani Kagera kusimamia wakulima kuuza kahawa ndani na nje ya nchi ili wanufaike badala ya kuwahusisha na magendo.
 
Kinana alisema wakulima wanahitaji kunufaika na kahawa yao kwa kuwa Serikali haitoi pembejeo kwa zao hilo, hivyo wauze kahawa yao hata kama ni nje ya nchi ilimradi wasivunje sheria

Alisema Serikali haina budi kurekebisha sheria za uzalishaji wa zao la kahawa zilizotungwa enzi za ukoloni inayotaja kuwa mkulima akizalisha zao la biashara linakuwa ni mali ya Serikali, jambo ambalo ni kumnyanyasa.

Alivitaka vyama vya ushirika kuepuka ukiritimba wa kutoa bei ndogo ya mazao ya wakulima na kutaka wanapowachagua viongozi wa ushirika, waangalie walio na uadilifu katika matumizi ya fedha.

Fedha za Mwenge
Akiwa katika visiwa vya Bumbire na Mazinga, Kinana aliitaka Serikali kusitisha uchangishaji wa fedha za Mwenge ambao hautawafikia wananchi, akisema kitendo hicho ni kuwanyanyasa na kuwadhulumu.


  • “Uchangiaji wa mafuta ya Mwenge ni wa hiari, si  kuwalazimisha wananchi na kusababisha Serikali kutoaminiwa na mkichangisha fedha hakikisha Mwenge huo unafika kwa wananchi wa eneo husika,” alisema Kinana.


Aliitaka Serikali ihakikishe inawalipa posho askari wake wanaoimarisha ulinzi na usalama majini na nchi kavu badala ya kuwatoza fedha wananchi kuchangia vyombo hivyo vinapokuwa vikitimiza majukumu ya kiserikali visiwani.

Mangula Ataja Vigezo 13 Vya Mgombea Urais wa CCM

Posted: 08 Jun 2015 10:55 PM PDT

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.

Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya CCM mjini Dodoma.

Aliwakumbusha watangaza nia kuwa hawaruhusiwi kutoa rushwa, kushawishi au kushawishika kuwapa rushwa wale wanaowadhamini.

Vigezo vyenyewe
Alitaja vigezo 13 vitakavyotumika kuwachuja wagombea kuwa ni uwezo mkubwa na uzoefu katika uongozi, uadilifu, unyenyekevu na busara.

Pia, kuwa na elimu ya chuo kikuu au inayolingana na hiyo, mtu mwenye upeo mkubwa wa kuimarisha na kuendeleza Muungano, umoja na amani.

“Anatakiwa kuwa na upeo mkubwa usiotiliwa mashaka kuhusu masuala ya kimataifa, asiye na hulka ya kidikteta au mfashisti, awe tayari kulinda kanuni, sheria na utawala bora,” alisema Mangula.

Alitaja vigezo vingine ni kuwa mtetezi wa wanyonge na haki za binadamu na asiwe na tamaa ya kujipatia umaarufu, kuzifahamu, kuzitetea, kutekeleza sera na Ilani ya CCM, mpenda haki na ajue kupambana na dhuluma, asiwe mtu anayetumia nafasi ya uongozi kujilimbikizia mali.

“Awe ni mtu makini anayezingatia masuala ya uongozi,” alisema.

Alisema katika kipindi hiki cha mchakato wa uteuzi, kanuni zitakazotumika ni zile Kanuni za Uteuzi wa Wagombea katika Vyombo vya Dola, zilizotolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM ya mwaka 2010.

Pia, katika kipindi hiki cha mchakato wa uteuzi wa wagombea wa CCM katika vyombo vya dola, ni sehemu ya kazi za chama ndani ya chama. Alisema vikao vya uchujaji, vitazingatia pia Kanuni za Uongozi na Maadili Toleo la mwaka 2012.

Alisema kipindi ambacho CCM hudhihirisha dhana ya kazi ya msingi na muhimu katika kujenga uongozi mmoja katika chama, kazi ya kutekeleza kwa dhati kanuni na demokrasia na nidhamu ndani ya chama.

Alisema kanuni hiyo, ndiyo inakiwezesha chama hicho kuwa cha demokrasia na papo hapo kuwa chombo cha kuongoza mapinduzi kutokana na nidhamu yake inayokipa uongozi moja katika vitendo.

Alisema miiko ya shughuli za uchujaji na uteuzi wa wagombea, itazingatiwa. maadili na nidhamu ya chama katika kusimamia na kutekeleza shughuli za uteuzi wa wagombea wa CCM katika vyombo vya dola, lazima vizingate na wale wote wanaohusika.

“Ni mwiko kwa kiongozi yeyote kwa maneno au vitendo kumpendelea au kumsaidia kupata kura nyingi mwombaji mmoja dhidi ya mwingine.”

Alisema Chama kinakataza mgombea kutumia au kuhusisha ukabila, dini, rushwa, rangi, hila na eneo analotoka katika shughuli yoyote ya uchaguzi.

Alisema ni mwiko kwa mgombea kufanya kampeni ya kupakana matope na ya aina nyingine yoyote ile dhidi ya mgombea mwingine.

Aidha, alisema ni mwiko kwa kiongozi yeyote au mwombaji yeyote wa nafasi ya uongozi, aliyekabidhiwa dhamana ya usimamizi, uangalizi, uchujaji na uteuzi, kufanya vitendo vya ukiukaji wa kanuni ambazo ni Katiba ya CCM, sheria, ratiba na taratibu za uteuzi.

Mangula alisema kwa mujibu wa kanuni za uteuzi wa wagombea wa CCM katika vyombo vya dola, kutangaza nia kunaruhusiwa kwa masharti, ikiwemo bila kuathiri haki ya mwanachama ya kutangaza nia wakati wowote nia yake ya kutaka kugombea nafasi fulani ya uongozi katika vyombo vya dola, lakini kwa kuwa nafasi hizo zimewekwa muda maalumu wa miaka mitano.

Alisema wakati wa kutafuta wadhamini 450, kila anachokifanya mwana CCM anayetafuta wadhamini, kitaingia katika kumbukumbu za tathmini ya mgombea mtarajiwa.

Pia, alisema kamati za maadili za wilaya, zikutane mara baada ya wagombea watarajiwa kujaza majina ya wadhamini wilayani. Alisema mpaka sasa wagombea urais waliojiandikisha wamefikia 22 na wengine bado wanakwenda.

Habari Njema, Askari wa JWTZ Watakaowapiga raia Kukiona..Soma Hapa

Posted: 08 Jun 2015 10:42 PM PDT

Uongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umesema utawafukuza kazi askari wote watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu ikiwamo  kuwapiga raia wanaokosana nao mitaani.

Mkuu wa Utumishi jeshini, Meja Jenerali Vicent Mritaba alitoa onyo hilo mjibi hapa juzi alipokuwa akifunga mafunzo ya awali ya askari wapya katika kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa la Oljoro.

“Jeshi halitawavumilia askari wanaovunja sheria kwa kushiriki vitendo vinavyokiuka maadili ikiwamo kujichukulia sheria mkononi,” alisema Meja Jenerali Mritaba.

 Alisema jukumu la JWTZ ni kulinda mipaka ya nchi, raia na mali zao na kushiriki kazi za kijamii kulingana na mahitaji ya wakati huo.

Pia aliwaonya askari kutoshiriki wala kujihusisha na makundi maovu kwa sababu itawaondolea sifa ya kuendelea kutumikia jeshi hilo lililoundwa rasmi mwaka 1964, baada ya kuvunjwa jeshi lililorithiwa kutoka kwa wakoloni.

Katika hatua nyingine, Meja Jenerali Mritaba aliwataka wanajeshi wajiepushe na vitendo vinavyoweza kuwasababishia maambuziki ya virusi vya Ukimwi.

“Mlipojiunga jeshini wote mlipimwa afya zenu na kugundulika kuwa mpo salama. Epukeni ngono kwa sababu mkipata maambukizi hayo ndoto zenu za kulitumikia taifa zitakatika lakini pia malengo yenu ya kimaisha yatafifia,” alisema.

Awali, Mkuu wa Mafunzo ya Awali ya kijeshi katika Chuo cha Kihangaiko mkoani Pwani, Kanali Ramadhani Churi alisema licha ya changamoto kadhaa kiutawala, wahitimu hao wamefaulu katika hatua zote mbili za mafunzo kuanzia ya wiki sita ya kuwaondoa kwenye hali ya kawaida kuwa wanajeshi.

Kanali Churi alisema askari hao walifundishwa uvumilivu na kuishi katika mazingira magumu ikiwamo kutolala kwa wiki sita mfululizo, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo kisaikolojia wa kuhimili jambo lolote gumu kwenye uwanja wa vita na mapambano.

Kaimu Kamanda wa Kikosi cha 833KJ Oljoro, Luteni Kanali Sijaona Myala alitaja baadhi ya mambo yaliyofanikisha mafunzo hayo kuwa ni kila mtu kuzingatia taaluma na kutekeleza wajibu wake kuanzia kwa wakufunzi, madaktari na viongozi.

Sentensi tisa za Ali MUFURUKI baada ya Wagombea Urais wa CCM kutofika kwenye Mdahalo leo June 08 Dar

Posted: 08 Jun 2015 10:28 PM PDT

Jana June 08 2015 kulikuwa na mdahalo wa Wagombea wa Urais TZ ambao wanawakilisha CCM.. Mdahalo ulianza saa moja jioni Hyatt Regency Dar lakini Wagombea wengi hawakufika aliyefika ni Mgombea mmoja tu, Balozi Amina Salum Ali, wapo waliotoa sababu za kutofika lakini wengine hakukuwa na taarifa yoyote.

Ali Mufuruki ni mwenyekiti wa Waandaaji wa Mdahalo huo, hiki ndio alichokisema baada ya kutokea kwa hali hiyo

Tumesikitika kwamba wamejitoa.. Hiki ni kitu ambacho kimetuchukua muda mrefu sana kukiandaa. Sijui na sijapata  nafasi kuzungumza nao nini kimewakuta

Tarehe 18 kutakuwa na mdahalo wa watu wa UKAWA… Hatuwezi kuwalazimisha kuja, wakiamua kutokuja hatuwezi kufanya chochote

Mzee Sumaye anauguliwa kwa hiyo hakuwepo hapa mjini… Mheshimiwa Nyalandu alithibitisha kushiriki leo asubuhi lakini ameenda Mbeya kikazi na leo usiku atasafiri kwenda nje ya nchi

Kinana alifafanua kuhusu hili jambo kwamba kila mtu ana hiari ya kuhudhuria ama kutokuhudhuria. Sidhani kama kuna tatizo kwenye chama… Sijapewa sababu ya hawa ambao hawajahudhuria”–Ali Mufuruki.
Sauti yake nimeirekodi pia na unaweza kuisikiliza hapa: Source:Millard AYO

Membe Akanusha kuwa na Undugu wa Damu na Kikwete

Posted: 08 Jun 2015 10:23 PM PDT

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe amekanusha uvumi ambao umekuwa ukienezwa kuwa yeye na  Rais Jakaya Kikwete ni ndugu wa damu.

Membe amesema kuwa japo wanafanana kwa sura lakini hawana uhusiano wowote wa kibaiolojia.

Mhe. Membe alikanusha uvumi huo  jana Mjini Dodoma wakati akichukua fomu za kuwania urais kwa tiketi ya CCM, ambapo pamoja na mambo mengine alisema ataimarisha viwanda vidogo na vya kati.

Kada mwingine wa CCM aliyechukua fomu za kuwania urais hii jana ni Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina ambaye amesema vipaumbele vyake vitakuwa ni kuboresha ukusanyaji wa kodi pamoja na usimamizi thabiti wa mapato ya kodi ili taifa liondokane na utegemezi

Habari Zilizopo katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Juni 9, 2015

Posted: 08 Jun 2015 10:20 PM PDT



















Habari  Zilizopo  katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Juni 9, 2015

Baada ya Kuruka Kiunzi cha Kumpachika Binti Mimba...Nuhu Mziwanda Asema yeye na Shilole Wameamua Hili

Posted: 08 Jun 2015 10:18 PM PDT

Shilole na Nuhu mziwanda
Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kihunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti, na kupelekea msukosuko katika penzi lake na Shilole, hatimaye ameongea na eNewz na kueleza mipango yake ya kuzaa mtoto na Shilole.

Nuh ameileza eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.

Eatv.tv










Waziri Lukuvi Azidi Kuwakosha Wananchi..Ashusha kodi ya Ardhi

Posted: 08 Jun 2015 10:15 PM PDT

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema wizara yake imehuisha viwango vya kodi, ada na tozo mbalimbali za ardhi kwa lengo la kupata viwango vinavyopangika.

Lukuvi alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma jana, wakati akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2015/16.

Alisema kodi ya pango la ardhi imepungua kwa wastani wa asilimia 30 na viwango vingine vinavyomgusa mwananchi wa kawaida vimepungua kwa asilimia 50 au zaidi.

“Kwa mfano kodi ya kupima mashamba imepungua kwa asilimia 60, kutoka Sh 1,000 hadi Sh 400, na mashamba ya biashara imepungua kwa asilimia 50 kutoka Sh 10,000 hadi Sh 5,000 kwa ekari.

“Ada ya upimaji ardhi imepunguzwa kwa asilimia 62.5 kutoka Sh 800,000 hadi Sh 300,000 kwa hekta, nyaraka za tahadhari na vizuizi vimepunguzwa kwa asilimia 66.7 kutoka Sh 120,000 hadi Sh 40,000, nyaraka za ubadilishaji wa majina zimepunguzwa kwa asilimia 62.5 kutoka Sh 80,000 hadi Sh 30,000.

“Vilevile gharama za kupata nakala ya hukumu kwenye mabaraza ya ardhi zimepungua kwa asilimia 62.5 kutoka Sh 16,000 hadi Sh 6,000, ada ya kuomba umiliki wa ardhi imepungua kwa asilimia 75 kutoka Sh 80,000 hadi Sh 20,000,” alisema.

Aidha Lukuvi alisema pia ada za maandalizi ya hati imepunguzwa kwa asilimia 68.8 kutoka Sh 160,000 hadi Sh 50,000 ambapo viwango vyote hivyo vitaanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.

Kwa upande wa tozo la mbele, kwa mwaka wa fedha 2015/16 itapungua kwa asilimia 50 kutoka asilimia 15 ya kiwango cha sasa hadi asilimia 7.5 ya thamani ya ardhi na kiwango hicho ndicho kitakacholipwa kwa mashamba na viwanja wakati wa kumilikishwa.

Kuhusu uendelezaji wa mji mpya wa Kigamboni, alisema Serikali imefanya mapitio na kurekebisha matangazo yake ambapo eneo la mpango limepunguzwa kwa kuondoa kata tatu za Pembamnazi, Kisarawe II na Kimbiji zenye ukubwa wa hekta 44,440 ambazo hazitakuwapo kwenye mpango, hivyo kubakia na kata sita zenye ukubwa wa hekta 6,494.

Udaku Specially

unread,
Jun 10, 2015, 5:19:19 PM6/10/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


    VIDEO: Ali Kiba performance in Washington DC…..Just guess how many people attended this show.

    Posted: 10 Jun 2015 12:55 PM PDT

    VIDEO: Ali Kiba performance in Washington DC…..Just guess how many people attended this show. Watch Video Below

    Wauaji Waliokuwa Wanatumikia Kifungo Kwenye Gereza Lenye Ulinzi Mkali Marekani, Wametoroka Kwa Njia Ambayo Imewashtua Wengi

    Posted: 10 Jun 2015 10:51 AM PDT

    Two inmates made a daring and cinematic escape over the weekend from Clinton Correctional Facility, the upstate prison known as “Little Siberia,” somehow obtaining the power tools necessary to carve their way out of their steel cells and into a large pipe leading to a street outside. The account below is based on statements from the New York State governor’s office and police officials.

    First, the inmates cut neat rectangular holes in the steel at the backs of their cells. They fashioned dummies from sweatshirts and stuffed their beds to thwart discovery during regular cell checks by guards.

    The inmates, both serving long terms for vicious murders, had adjoining cells. The rectangular holes can be seen in both walls from the catwalk behind the cells.
    Once inside the mechanical corridors of the prison, the men broke through a brick wall, made their way to a 24-inch drain pipe and cut a hole in it.
    They left a taunting note for the authorities that included a racist caricature …

     and crawled through pipes and tunnels to a manhole about 400 feet outside the walls of the prison, cutting through a steel lock and chain to open it.

    The two killers have disappeared. It was the first escape in the 150-year history of the maximum-security prison in Dannemora, N.Y., the state’s largest. One side of it, which has 30-foot-high walls, faces Cook Street, part of a state highway between Plattsburgh and the Canadian border. The authorities said on Sunday the men could be “anywhere.”

    Jose Mourinho Ajisifia Kwanini Huwa Anapaki Bus Uwanjani

    Posted: 10 Jun 2015 10:13 AM PDT

    Sifa kubwa ya Mourinho na wachezaji wake pale wanapozidiwa uwanjani ni kuweka defence ya wachezaji wengi hadi kupewa sifa ya kupaki bus uwanjani.

    Sasa kwenye mkutano na waandishi wa habari Jose aliulizwa kuhusu hiyo sifa mbaya lakini jamaa aliijibu kwa kujisifia kama hivi.

    “Kwanza kabisa nina heshima kubwa kwa wandesha mabasi wote, inabidi uwe na skill nzuri sana ili uwe dereva wa bus. Kupaki bus unaitaji kuwa usaidizi lakini kama hauna utaligonga bus lako.”

    “Kwenye mpita kuna nyakati tofauti, ni vigumu kuwa na aina moja ya mchezo kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho. Kuna wakati unatawala mchezo kuna wakati unatawaliwa na mpinzani wako. Mpinzani wako akiwa juu yako kwenye mchezo itabidi ubadilishe mchezo kitu ambacho ni kigumu sana kubadilisha mchezo wakati upo uwanjani.”

    “Inaitaji muda mrefu sana kuelewa hiki kitu kwenye mpira, kuna wakati naona vijana wangu wanacheza mpira sana kuliko wachezaji wengine wanaenda uwanjani kujifurahisha au kufurahia mchezo badala ya kucheza. Wakati mwingine ishu sio hiyo, ishu siyo kufurahia mchezo tu bali inabidi ucheze mpira utakaoleta matokeo kwenye timu”

    Alimaliza hivyo akisisitiza kwamba wanacheza vile kutokana na mabadiliko yanayotokea mchezoni na lengo lao ni kupata matokeo na sio kucheza tu mpira.

    Messi:Siwezi Kwenda Yanga, Bado Naipenda Simba Japo Waliniingiza Mjini kwa Mkataba Fake

    Posted: 10 Jun 2015 10:05 AM PDT

    Mashabiki wa Yanga jana walifurika uwanja wa Karume kushuhudia mazoezi ya timu yao, lakini walipomuona Ramadhan Singano ‘Messi’ akiingia kwenye Ofsi za a kwa ajili ya kikao cha kujadili utata wa mkataba wake na klabu ya Simba, walimshangalia na baadaye kuchangishana pesa walizompatia wakijigamba kuwa Simba haina hela za kumpa, hivyo ajiunge na Yanga.

    Ulikuwa utani wa jadi, lakini kitendo hicho kimetafsiriwa tofauti na wadau wengi na kumezuka tetesi kuwa kiungo huyo mshambaliaji amejiunga na mabingwa wa Tanzania bara, Young Africans.

    Kutokana na taarifa hizo, Singano amekiri kupokea simu nyingi zikimuuliza kama kweli kajiunga na Yanga, lakini amekanusha uvumi huo.

    Kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook unaokwenda kwa jina la Ramadhan Singano Messi amekanusha taarifa hizo na ameandika hivi;

    Ramadhan Singano Messi


    • Nimepokea cm nying sana wakiwa wananiuliza km ni kweli nimejiunga yanga,ila mm nasema siyo kweli na sina mpango huo mm bado naipenda simba

    Mwigizaji Rose Ndauka Achafukwa ..Apost Maneno Kuntu Kumchamba Fulani Anae Mchokonoa

    Posted: 10 Jun 2015 08:38 AM PDT

    Rose Ndauka Amefunguka Haya Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:


    • Nyie mliozoea kila siku kugombana msidhan kila mtu ana silka hiyo nimelelewa nikaleleka sasa msitake kuwajua watu undan wao kila siku unatafuta nani ugombane nae wengine mna nuksi,sasa basi wew unajifanya umewekewa pilipil kila saa unawashwa kutafuta wa kugombana nae bonyeza ikufungukie msione watu wametulia mkadhan ni maboya hatupendagi tu kuongea sana mnaacha kuwaza maisha yenu na kujali familia zenu kila siku new bifu......sasa hapa umepotea njia hili ni onyo la mwisho....siishi maisha ya insta na kinachofata ntakuanika live mtu mzima ovyooooooooooo na NTAKUFURAHISHAAAAA 
    • By Rose Ndauka

    Wema Sepetu Hapendi Unafiki, Kajala Jua Kuwa watu Kama yeye Huwezi Kumalizana Nao Kwenye Simu au Interviews za Radio....!

    Posted: 10 Jun 2015 08:32 AM PDT

    Ninataman kuona hawa watu wanaelewana tena. Japo upande mmoja unapenda wawe kama walivyo sasa na upande mwingine unatamani zaidi.

    Wanapoendelea kujibizana kwenye mitandao na kuongea kwenye media ndio wanazidi kuharibu maana upande mwingine unapata hasira na huenda hali itakua mbaya zaidi!

    Naona mashabiki wengi wanazidisha kuchochea mambo, muwaache watakuja kupatana na mtaongea nini wakati huo? Kwa taarifa za uhakika sio khs mwanaume ni mambo ambayo hata hivyo yanaweza kusawazishwa!! @new_kajala unamjua Wema vizuri sana kuliko hata sisi, unajua madhaifu yake na nguvu zake kama una nia ya kweli malizana nae iwe kwa amani au shari sio kila siku story ni ile ile.... ungemfuata Wema uhakikishe kama kweli hawezi kukusamehe!

    Kuna kitu khs Wema hapendi unafki au hakai na kitu moyoni, aina ya watu kama yeye huwezi kumalizana nao kwenye simu au interviews....Wema ana huruma sana ukionana nae ana kwa ana mkazungumza ni mwepesi kuachilia, kuna nguvu ya upendo iko ndani yake ndo husababisha hasira kusikia upande wako....ukimpenda mtu sana si unajua inakuwaje akikuudhi?
    Basi Wema upendo wake kwa Kajala sio fake ndo maana linapokuja suala la Kajala huonesha hisia zake za wazi...na upendo wa namna hii wakisuluhisha...bado kuna nafasi ya kuwaona tena pamoja kama kweli walipendana kwa dhati.

    So haters....habari ndo hiyo, watapatana!!

    By Mrekebishatabia

    Kama Hukujua wa nini Diamond Platnumz anaziita headphones zake #ChibuBeats, majibu haya hapa kwa Babu Tale

    Posted: 10 Jun 2015 06:45 AM PDT

    Kuna story mitandaoni kwamba Diamond nae anakuja na earphones na headphone ambazo zitaitwa Chibu Beats, ishu ya jina watu wanasemaje?

    Wapo waliosema hilo jina halina maana yoyote kwa TZ, Soudy Brown kamcheki Babu Tale ambae ni Meneja wa Diamond Platnumz.. amesema Diamond jina lake halisi ni Naseeb lakini jina la Chibu alikuwa anaitwa wakati akiwa mdogo.

    Kingine Babu Tale amesema wameamua kuikuza biashara ya Diamond kwa kutoa brands hizo ili kwa sababu tayari Diamond Platnumz ametengeneza jina kubwa kupitia muziki.

    Sauti ya Babu Tale niliyomrekodi kwenye U Heard iko hapa mtu wa nguvu.


    millardayo.com/

    Video ya ‘Nana’ ya Diamond f/Flavour yavuka Views Milioni 1 Ndani ya Siku 12!

    Posted: 10 Jun 2015 06:16 AM PDT

    Diamond Platnumz anazidi kuthibitisha nguvu aliyonayo. Ni siku 12 tu tangu aachie video ya wimbo wake ‘Nana’ aliomshirikisha Flavour, lakini tayari imepata views zaidi ya milioni kwenye Youtube.


    Hadi Jumatano hii, Nana imefikisha views 1,013,350 (views zinaongezeka kwa kasi).


    • “One million Plus Views on Youtube! In just 10 days…kwakweli nawashkuru sana kwa Mapenzi yenu emoji.. OyA! #Sankoro Kama Ronaldo,” ameandika Diamond kwenye Instagram kusherehekea mafanikio hayo.
    Bongo5

    Mr Nice amwandikia barua ya wazi rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza

    Posted: 10 Jun 2015 06:08 AM PDT

    Mr Nice amechukizwa na hatua za rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ya kutangaza nia ya kuombea urais kwa awamu ya tatu kinyume na katiba hali ambayo imesababisha machafuko.

    Kupitia ukurasa wa Facebook, Mr Nice ameandika:

    NI MAONI BINAFSI TU WALA SIJASHAURIWA NA YOYOTE…Pierre wewe ni kaka yangu ki -umri,,,,,ki -elimu huenda na kii -,,,,tejilinsia pia …. ukiwa kama mzaliwa na damu ya mburundi toka ktk kabila lolote lile ama dini ama jinsia yoyote pale burundi nakuomba sana hebu jaribu kuona uchungu na masononeko ya watu wako walioamini kuwa wewe ndiye mkombozi wao toka ktk lindi la machafuko na umwagaji damu uliotukuka duniani…usiwakumbushie tena kule ulikowatoa na sasa unataka kuwarejesha tena huko ..kama nchi yako umeiweka vizuri hadi hapo ilipo kaka kwanini usipewe sifa za uliyoyafanya baada ya machafuko ya damu za watu muda mrefu na nchi yako kuwa na amani..ningeoenda nikuone ukiishi kwa amani na heshma iliyotukuka kama waliotangulia……nchi c yako ni ya watu wote na hakuna aliyemilikishwa ardhi ya dunia hii sii muhammad wala yesu …hii ni mali ya mwenyezi mungu tu sisi tunafanya peana na kuachiana madaraka ya ardhi hii ….mbona hakupewa yesu ama muhammad s.a iwe yakeee ? ..walichopewa ni kuisemea na kuiwakilisha kwa uaminifu waliopewa na alllah…cc wote tunamuomba mungu ….je unataka kuniambia kuwa wewe nkurunzinza haumuombi mungu ?????…uongozi ni vitu vya kupita tu na wala havina mamlaka kwa muumbaa….mimi ni mtanzania lakini sioni utanzania wenye amani bila east africa iliyo salama…(1) je unadhani kwa yanayoyokea east frican community unakuelewa na kukupa supporty au kuwa upande wako..???….(2)hivi unajua kama umeanzisha ukimbizi ambao tulikuwa tumeusahau na tukiwa ktk hatua za mwisho wa kutokomeza makovu yakeeee..?….(3) je umejaribu kujipima na kuona kama unafaa kuendelea kuwa kiongozi ktk kipindi hikiii…?(4) huoni kama unawatesa ndugu zako ambao ni damu yakooooooo…(5) je huguswi na misitisho ya misaada ambayo imekatwa mpaka sasa kutoka nchi wahisani ambao ndio lisho la taifa lako kwa ajili ya wewe mtu mmoja tuuuu kungangania madaraka ambayo wananchi hawataki tena….?????.(6) je unafurahia ICC kuanza kutoa matamko yake juu yako kama waliotanguliaaa?(7) je unataka kina MR NICE tuogope kuja bujaa(bujumbura na viunga vyake)) …. ………niitangazie duni kwa haya niliyosema kuwa nimeyatoa moyoni mwangu na nimeandika haya kwa mkono wangu.naumizwa na yanayotokea kwa wenzetu saaana maana ni ndugu zetu, NKURUNZINZA PIMA IMANI YAKO KWA WATU WAKO …mambo ya kijeshi yalishapitwa na wakati katika tawala zetu za kiafrica… kama mlielewana kugawana madaraka gawana sasaaaaaaaaa usinganganie ..iga mfano wa wenzio .kila chenye mwanzo hakikosi mwisho bro .. BURUNDI PEACE FOREVER …mungu tusaidie africa tunaisha kila dakika atabakia naniii…??????????

    Bongo5

    Irene Uwoya Apangua Tuhuma za Kuwa Amefulia Mbaya...Asema Haya

    Posted: 10 Jun 2015 05:31 AM PDT

    Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya, amedai hajafulia kama baadhi ya mastaa wenzake wanavyodai.
    Aliliambia gazeti hili kwamba hivi punde atathibitisha kauli yake hiyo kwa vitendo kwa kuwa alikuwa kimya kwa kuwa alikuwa anajiandaa kurudi upya kwa ladha tofauti na zilizozoeleka katika filamu.


    • “Watasema watanyamaza, ukweli ni kwamba sijafulia, kukaa kimya nina mambo yangu binafsi nafanya, hivyo nikimaliza nitarudi kwenye uigizaji,” alisema Uwoya.

    Preparations of Zari's Baby Shower Starts, Millions To Be Used.

    Posted: 09 Jun 2015 11:27 PM PDT



    Zari is expected to give birth either in July or August this year but according to our sources her baby shower is expected to be one of it's kind since it will use millions of shillings and top celebs are expected to be invited. Diamond Platnumz is too making sure everything will be on point since they are big celebs so everyone and the media will pay great attention.

    " Zari's baby shower will be in the platinum level, preparations have started but I can't tell you the official date, millions will be used to make sure everything go as planned" an insider told Swahiliworldplanet 

    Kajala Fires Back At Wema Sepetu, Says She Kept a Low Profile But Now She Is Fed Up By Wema !

    Posted: 09 Jun 2015 11:23 PM PDT


    This night Wema Sepetu had interview on Takeone of Clouds TV and she threw sheds to Kajala Masaja following their issue of Kajala allegedly dated CK who is Wema's ex. And we all know Kajala has kept a low profile and asking Wema to end their differences but it has been in vain so when today Wema talked badly about her, Kajala took to instagram to write message which many translated as a reply to Wema. Kajala wrote...

    "Always when you are chasing with a mad person you will be mad too, I have kept a low profile but now I'm fed up"



    Je, Unataka Kutengeneza Shepu, Kuondoa Chunusi, Mvi na Makovu?? Unataka Kuongeza Makalio na Nguvu za Kiume?? Bofya Hapa

    Posted: 09 Jun 2015 11:20 PM PDT


    Pendeza na James Cosmetics 
    Ni dawa zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa Kiwandani kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka.



    1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=

    2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=.

    3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=.

    4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=.

    5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=

    6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.

    7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=

    8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=

    9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=

    10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=

    11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=    
                            
    12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=


    Wasiliana nasi kwa namba za Simu Hizi Hapa 
     0653074067,  0659404750 au 0752923461

    NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa James Cosmetics na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.

    Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 10 Juni 2015

    Posted: 09 Jun 2015 10:42 PM PDT




















    Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe 10 Juni 2015

    Marafiki wamuingiza chaka Chris Brown kwa kumwambia Karrueche yupo tayari kumrudia, kilichotokea hakukiamini

    Posted: 09 Jun 2015 10:37 PM PDT

    Chris Brown aliingizwa chaka na marafiki zake waliomwambia kuwa Karrueche Tran alikuwa na hamu kubwa ya kurudiana naye – hali ambayo ilisababisha seke seke kwenye club ya usiku waliyokutana na kumfanya Chris aonekane kama mtu anayelilia penzi la Karrueche, TMZ wameripoti.

    Vyanzo vilivyo karibu na wapenzi hao wa zamani vimeiambia TMZ kuwa Chris alichukua meza kwenye club ya Playhouse, iliyokuwa karibu na meza ya Karrueche kwasababu marafiki zao walimwambia afanye hivyo.

    Marafiki hao walikuwa wakimjaza Chris kuwa KT yupo tayari kuyamaliza.

    Hata hivyo Chris alibaki na butwaa baada ya kumshuhudia Karrueche akiondoka kwenye club hiyo kwa hasira utadhani aliona jini.

    Kuna kila dalili kuwa Chris na Karrueche hawatarudiana tena!

    Angalia Video Hapa chini:

    Lowassa Apata Wakati Mgumu Mkoani Mara Ambako ni Nyumbani kwa Wassira........ Maelfu ya Wananchi Wazuia Msafara Wake Wakitaka Wamuone

    Posted: 09 Jun 2015 10:29 PM PDT

    Waziri mkuu wa zamani Mh.Edward Lowasa aliyeko kanda ya ziwa kutafuta wadhamini amepata wakati  mgumu alipowasili mkoani Mara baada ya makundi ya wananchi wakiwemo vijana,wanawake na watoto   kumfuata kila alikokwenda wakitaka wapewe nafasi ya kumueleza kero zao jambo lililosababisha  zoezi la kumdhamini kuwa gumu licha ya kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.

    Heka heka za wananchi kutaka kuzuia msafara wa Mh.Lowasa zilianza mapema asubuhi wakati  anawasili kwenye uwanja wa ndege wa musoma ambapo vijana walizuia msafara wake kutoka kwenye  uwanja huo wakitaka wapewe nafasi ya kuonana naye.

    Baada ya waratibu wa msafara huo kufanya kazi ya ziada ya kufanikiwa kutatua changamoto hiyo Mh.Lowasa aliekea katika wilaya ya Bunda na licha ya kusimamishwa na wananchi njiani hali  ilikuwa ngumu zaidi katika ofisi ya CCM wilaya ya  hiyo kutokana na watu kujitokeza kwa wingi.

    Hata hivyo pamoja na maelfu ya wananchi hao wanaounga mkono safari ya matumaiani kuwa na shauku ya kumueleza Mh.Lowasa shida zao alishindwa kuwasikiliza  kutokana na kubanwa na kanuni   na aliwaomba kuwa watulivu na kuendelea kuiombea kheri safari ya matumaini.

    Mh.Lowasa akiwa katika mkoa wa Mara  amepata idadi kubwa ya wadhaamini pia amefika  nyumbani kwa hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere na kupewa  baraka,  kisha kuweka shada la maua kwenye kaburi na pia  ametembelea wilaya ya Tarime na Musoma.

    Mh.Lowassa ambaye ameshatembelea mikoa ya Mwanza Geita,Zanzibar na Pemba anaendelea na ziara yake ya kutafuta wadhamini katika mkoa wa Simiyu.

     Maelfu  ya  Wananchi  wakiwa  wameuzuia  Msafara  wa  Lowassa  wakishinikiza  kumuona, hali  iliyowalazimu Polisi  na waratibu  wa  msafara  ya  kutumia  njia  mbadala  kutatua  changamoto  hiyo

    Mh. Lowassa  alipotembelea  Kaburi  la  Baba  wa  Taifa, Hayati Mwl. J.K. Nyerere

    Wema Sepetu Amkejeli Linah Sanga..Amtaka Asiwe na Wasi wasi Kuhusu Picha za Kitandani na Mchumba Wake

    Posted: 09 Jun 2015 10:21 PM PDT

    Imelda Mtema
    NI shiida! Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ kulalamika juu ya kitendo cha Wema Sepetu ‘Madame’ kumchukua aliyekuwa bwana’ake Nangari Kombo, muigizaji huyo ameibuka na kutoa maneno yanayoashiria kejeli, kuwa aache presha, kwani zile ni picha tu!

    Katika gazeti la Risasi Jumamosi, toleo lililopita, iliripotiwa na kuchapishwa habari na picha zilizomuonyesha Madame akiwa amepozi kitandani na kijana huyo, aliyepata umaarufu baada ya kuingia ndani ya eneo la kuchezea katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam mwaka 2010, wakati wa mechi kati ya Brazil na Taifa Stars na kumkumbatia kiungo nyota wa mabingwa hao wa zamani wa dunia, Kaka.

    Lakini Risasi Mchanganyiko lilipotaka kujua maoni yake juu ya shutuma hizo, Wema alisema kupiga picha na Nangari hakumaanishi mapenzi, kwani yeye ni mtu wa watu na picha kama hizo hupiga na marafiki zake wengi tu, hivyo Linah asiwe na shaka naye hata kidogo.


    • “Nilipiga naye kama ninavyoweza kupiga na marafiki wengine kama akina Martin Kadinda, Petit Man na wengineo. Sina uhusiano naye wa kimapenzi, naomba aamini kuwa ni rafiki tu wa kawaida,” alisema Wema na kuibua maswali juu ya aina ya uswahiba wa kawaida wa kupiga picha kitandani na mpenzi wa mtu!
    GPL

    Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Mzazi Mwenzie Mcheza Show Moses Iyobo

    Posted: 09 Jun 2015 10:16 PM PDT

    Aunty na Moses Iyobo
    Staa wa Bongo Movies, aunt Ezekiel amaeamua kuatoboa kuhusu baba mtoto wake Moses Iyobo  kwa kudai kuwa ndiye baba halisi wa mwanae na anampenda kwa dhati  todauti na baadhi ya watu  wanavyomtafsiri kuwa yeye ni mpenda hela!

    Aunt aliyaongea hayo katika mahojianao maalumu na kusema kuwa kama kuna watu wanaomtafsiri kama yeye ni mpenda hela na hawezi kujkaa na Iyobo  kiatendo  ambacho sio cha kweli katika moyo wake kwani anachohitaji kutoka kwa Iyobo ni mapenzi tu.

    “Nataka ni weke wazi kuwa nimejianda na nimejipanga kuishi na Iyobo au baba cookie  kwa sababu ambazo najizua mimi na sikushawishiwa na mtu mataka watu waanze kunifuatilia  kuhusu mapenzi haya naamini mapenzi  yangu yako  kwake  kama ilivyo kwa mtu mwingine,” alisema  Aunt

    Aliendelea kuongeza kuwa unaweza kuwa  na mpenzi mwenye pesa  lakinI maudhi ya kila siku katika maisha yakawa mengi jambo ambalo linaondoa raha kabisa

    ‘ Ili mradi mpenzi wangu anahele  ya kukidhi shida zetu haijalishi  watu wanasema nini, ninachotaka ni mapenzi ya dhati tu kutoka kwetu  hayo mengine waache watu waongee mpaka wachoke,”  alisema Aunt.

    Hata  hivyo Aunt aliesema kuwa  hata mimba yake  haikuingia kwa bahati mbaya  bali iliingia  kwa makusudi ndio maana hakuwa na presha  katika makuzi ya mimba hiyo.

    Kama hiyo haitoshi  Aunt aliongeza kuwa  anajua kuwa Iyobo alikuwa na mwanamke aliezaa naye  lakini sio mkeo sasa kama kuna mtu anadai amechukua mume wa mtu ajue kuwa nay eye ni mke wa mtu vilevile.

    “Sijaiba mume wa mtu Iyobo hajaoa jamani tuacheni tufanye yetu naamini  kila kitu kinaendelea maisha  nalea mwanangu  bila ya matatizo  na sihitaji  bifu na mtu,” aliweka wazi Aunt

    Gazeti la KIU

    Kupitia Video ya Nyimbo Mpya ya Davido..Diamond Platnumz Unachakujifunza...

    Posted: 09 Jun 2015 10:12 PM PDT

    Nimemuelew kwanz Davido kufanya collabo na msanii mwenye jina kubwa ulimwenguni Meek Mill hii ndo hatua inayotakiwa hii inaonysha ni mafanikio makubwa na davido anazidi kukuza jina..Tukiangalia kwa hapa Bongo wasanii wamekua wanshindana nan katoa video kali tu isiishe hivyo inabidi tujipange kufanya colabo na wasanii wakubw na wenye majina kwan hyo inasaidia kupata mashaki wake na kukuongza mashabiki hivyo ina kuza muziki na mauzo kwa ujumla ya kaz zao..

    Diamond kuzindua ‘headphones na earphones’ zake ‘Chibu Beats’ mwishoni mwa mwaka huu

    Posted: 09 Jun 2015 10:10 PM PDT

    Diamond Platnumz anafuata nyazo za Dr. Dre, Ludacris, DJ Khaled, 50
    Cent na mastaa wengine walioingia kwenye biashara ya headphones.

    Mabibi na mabwana, Diamond anawaletea ‘Chibu Beats.’ Staa huyo ametangaza hatua hiyo kubwa wakati akimpongeza Flaviana Matata katika birthday yake. “Kama hauna taarifa bado huyu ndio aliyefanya Account yangu ya Facebook kuwa Verified,” ameandika Diamond. “Na huyu huyu pia ndiYe aliyefanya kabla ya mwaka huu kuisha nitambulishe #HeadPhones & #Earphones zangu! #ChibuBeats .”

    Posted: 09 Jun 2015 10:14 PM PDT



    MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
    Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

    1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
    2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
    3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
    4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
    5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
    6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
    7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
    8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
    9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
    10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
    11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
    12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

     

    Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


    NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


    Udaku Specially

    unread,
    Jun 11, 2015, 4:43:48 PM6/11/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Aliyekuwa Mke wa Mwanamuziki BOB JUNIOR Apata Tulizo la Moyo kwa Rafiki wa Bob Junior ..Bob Adai Haoni Wivu

    Posted: 11 Jun 2015 12:50 PM PDT

    Mwamanuziki wa Bongo Flava ajulikanae kwa jina la Imbella Amejitokeza na kudai kuwa Aliyekuwa Mke wa Bob Junior kwa sasa ni Mpenzi wake na wana pika na kupakuwa kama kawa, Msanii huyo amedai kuwa yeye na Bob Junior walikuwa Marafiki sana kabla ya Bob Kumuacha Mkewe huyo...

    Kuna story kwamba walianza uhusiano wao tangu mwezi February baada ya ndoa ya Bob Junior kuvunjika.
    Hata hivyo Bob Junior alipoulizwa kuhusu hilo alisema hana mpango wa kuoa kwa sasa, na hajisikii wivu kuona mpenzi wake wa zamani akiendelea na mtu mwingine.

    Mtangazaji wa Clouds Adai Aliwahi Kujipatia Fedha Akijidai yeye ni Mwanamuzi MB DOG

    Posted: 11 Jun 2015 12:29 PM PDT

    James Tupa Tupa
    Mtangazaji Chipukizi wa Michezo wa Cloudz FM/TV ajulikanae kama James Tupa Tupa Amedai enzi zake amewahi kujipatia Fedha kwa kuwadanganya watu yeye ni Mwanamuziki MB Dog..

    Akiongea leo asubuhi kwenye kipindi cha Clouds 360 amedai kwa mara ya kwanza kushika pesa kiasi kikubwa ilikuwa ni laki mbili na aliipata baada ya Kupiga Bonge la Show Ajidai yeye ni MB Dog..Amedai enzi hizo hapakuwa na mitandao ya kijamii hivyo ilikuwa ni ngumu watu kujua sura za wasanii so ilikuwa rahisi kudanganya watu tofauti na sasa ambapo mitandao ya kijamii inafanya watu kuwajua wasanii kirahisi....

    MB Dog Kadai chako Bana...

    Picha za Uchi Zamponza Miss na Kusababisha Kuvuliwa Taji la Umiss

    Posted: 11 Jun 2015 12:08 PM PDT

    Kama ilivyokuwa kwa Miss wa Tanzania Sitti Mtemvu Kujivua Taji la Umiss Baada ya watu kushikilia amedanganya umma kuhusu umri wake..Miss Zambabwe kwa Jina Emily Kachote limemtoa la kutokea baada ya Kuvuliwa Taji la Ummiss wa nchi hiyo mwaka huu baada ya Picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni..Watu wengi wamefurahi kitendo hicho cha kuvuliwa Taji Miss Huyo kwani Toka mwanzo wengi walikuwa wanasema hakustahili ushindi huo.

    Diamond Platnumz Kuperform Nana for the first time in South Africa Mtv MAMA nominees Announcement

    Posted: 11 Jun 2015 11:34 AM PDT

    Diamond Platnumz Kuperform Nana for the first time in South Africa Mtv MAMA nominees Announcement....Diamond Ameweka picha na Kuambatanisha Maneno Haya Hapa chini kwenye Ukurasa wake wa Instagram:

    Mwana FA aliokoa Maisha yangu Kipindi Nimekata Tamaa na Kutaka Kujiua – Diva

    Posted: 11 Jun 2015 11:17 AM PDT

    Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse ana mengi ya kusimulia kuhusu maisha yake.

    Diva amedai kuwa kama asingekuwa Mwana FA, leo hii angekuwa ‘marehemu.’

    “Wakati naanza kazi ya utangazaji mwaka wa pili tu toka nianze kazi hio, niliumia sana na maneno ya uzushi and nilianza kazi kwenye age ndogo. A one point in my life, I wanted to commit suicide, mapenzi hata hayakuwa sababu,” ameandika Diva kwenye mtandao wa Instagram.


    • “Umaarufu wa ghafla ulikuja na side 1 nzuri na side ya pili ya negativity za watu wenye wivu. Now I know ‘envy is the new hate ryt?! What would happen if I just didn’t wake up? Felt like that, it was like ‘ maybe I should just take my life and then a single status on facebook maana I was all alone and msongo wa mawazo ulizidi. Nikawa nishalia sana, nilikuwa msafi sana, too polite and nafsi ikaumia na maneno ya watu. It was like maybe I should just take my life,” ameongeza.



    • “Then simu ikaita, a call from @mwanafa akiwa yuko Uingereza anasoma, ikaita’ then sikupokea coz nilijua Hamisi man, atanipa maneno yake ambayo sitaki kuyasikia. Sikupokea’ sikuwa nime log out Facebook, then akanicheck with Plsssss I need to talk to you… akapigaaaa… then nikapokea. Sauti yenyewe ilishakauka na kilio na nilichoka sana.



    • Moyo ulikuwa hauna raha and mambo yalikuwa ni mengi mno. Tthen he said, ‘I know how you feel.’



    • Then for hours and hours alifanya kila njia kubadili mawazo yangu hasi kuwa chanya, sababu ananijua vizuri alijua jinsi ya kuongea na mimi hadi mawazo hasi yakarudi kuwa chanya na tabasamu. My heart ilikuwa at peace ghafla, sababu aliongea vitu ambavyo hamna aliyewahi kuongea na mimi in life. Hakuna alienielewa but @mwanafa wangu saved My life. Am this strong in life. He made me .. created this person anayendika this status saa hizi.”



    • “Kama sio yeye, ningekuwa dead and gone right about now, amma strong mfs, now you guys know why I love him so much. My cousin’ my binamu wa pekee … my hamisi .. my brother .. my everything … the love I have for you is too deep. Hamna mwanaume naweza mpenda like that. Hawa wote huwa wananikimbia but you always there for better for worse. So proud to have you in my life, you saved me ‘ it was one dead end after another”

    Msichana wa Kazi 'House Girl' Ameniweka Pabaya Sana

    Posted: 11 Jun 2015 11:13 AM PDT

    Mwezi uliopita, mke wangu alisafiri kikazi mkoani. Nikawa nimebaki mimi, msichana wa kazi na watoto wetu 3. Kati ya hizo siku ambazo mke wangu alikuwa safarini nilifanya tendo la mdoa na msichana wa kazi takribani mara 4, sikutaka kufanya naye zaidi ya mara moja ila ukweli mambo aliyonifanyia sikuamini macho yangu, machine full intackt. Siwezi kusema nilifanya nae kimakusudi au bahati mbaya bali muhemko ulinipelekea kufanya hivyo hasa uhuru ulio kuwepo na mavazi ya msichana wa kazi yalichangia.

    Kwa bahati mbaya msichana wa kazi anavitu vingi ninavyo vipenda ikiwemo makalio mazuri pamoja na rangi ya mwili wake. Sasa shida katika familia yangu imeanza baada ya mke wangu kurudi. Heshima ile ambayo msichana aliyekuwa nayo kwa mke wangu haipo tena. Kila kukicha mke ni kumpigia makele kutokana na uzembe wa utendaji wake wa kazi. Ikafikia siku msichana wa kazi alimwambia wife kwamba leo upo utanisaidia kufanya kazi. Mbaya zaidi kuna siku mke alikosea alipo mpa nguo zangu afue akawa ameichanganya nguo yangu ya ndani katika hizo nguo.

    Msichana akaifua huku akifahamu kwamba ajawahi pewa nguo kama hiyo aifue. Kila siku nimekuwa ni msuluhishi wa matatizo ya mke wangu na msichana wa kazi. Siku moja katika usululishi mke alitamka kwamba huyu siku hizi ananiona tupo sawa. Akili ikanizunguka. Sasa kibembe kilikuwa jana. Mke aliondoka mapema kwenda kazini, nikaamua kumkalisha msichana wa kazi chini kumuhoji mabadiliko yake pamoja na ugomvi wa kila siku kati yake na wife. Sasa wakati namuhoji alibanwa na kitu kooni ikamlazimu akimbilie wash room. Nikabaini msichana ana dalili za ujauzito.

    Nikaanza kumtyte kama ana mimba na jee hiyo mimba ni ya nani ili anieleze nijue wapi pa kuanzia. Ukweli mimi nilitembea naye kavu kavu ila nilikuwa makini sana wakati wa kufika mshindo. Nilihakikisha sperm nazimwaga njee. Nikamwambia si anafahamu fika kwamba wakati nilifanya naye mbegu zangu nilizimwaga njee, akanijibu hafahamu. Nilijitahidi sana kumbana ili aniambie ni kijana yupi pale mtaani ana mahusiano naye, lakini alikataa kata kata. Ikanilazimu kwenda pharmacy kununua kifaa cha kumpimia ujauzito. Nikamwomba anipatie mkojo wake nikampima.

    Ukweli mistari mwekundu ikatokea miwili ikimaanisha tayari anayo. Nikamjibu kwamba hana mimba ili hali mimi nampeleleza kijana ambaye anamahusiano naye nimfahamu. Binafsi naamini kabisa siyo muhusika wa hiyo hali. Sasa kinachonichanganya mpaka dunia naiona chungu ni hili. Je, ikija kubainika kwamba mimi nilikwisha wahi kushare na msichana wa kazi itakuwaje kwa mke wangu na ndugu jamaa na marafiki? Je ndoa yetu tukufu itakuwaje? Je msichana akisema hiyo mimba ni ya kwangu itakuwaje?

    Ndugu zangu hili jambo linaweza mtokea mtu yeyote kati yetu kwa sababu tuna mioyo ya nyama na si ya chuma. Naombeni mnipe option yeyote ambayo aitafanya mke wangu aifahamu hili swala ambayo naweza ifanya within 4 days ahead. Nimechanganyikiwa wandugu, biashara zangu zimeyumba sana na kila nikilifikiria tena hili nachanganyikiwa zaidi, najuta.

    Mwigulu Nchemba Achefukwa 'Sichafuki Kwa Uongo, na Uzushi Kama Huu ni wa Kupuuza'

    Posted: 11 Jun 2015 10:55 AM PDT

    Ndugu zangu, uongo wa aina hii tena unapotolewa hadharani ni aibu kwa Taifa. Kwanza mimi nimeanzia mizunguko Pemba na Unguja na nimekwenda kwa ndege na niliondoka kwa ndege Dodoma.

    Wewe unasema natumia gari la Serilikali, yaani uvushe gari la serikali mpaka Pemba na Unguja?

    Pili vijana wote uliowataja na kuwaita masalia wapo Dar na Dodoma halafu mpaka sasa hakuna eneo nimetoa hela yoyote ile kwenye hili suala.

    Uongo wa aina hii ni ukosefu wa maadili, ukosefu wa uungwana na ukosefu wa hofu ya Mungu.

    Mbali na hapo hakuna Mkoa uliopo bara nilioanza kutafuta wadhamini. Hivyo basi, tuhuma hizi ni Uongo, Uzushi na unatakiwa kupuuzwa.

    Mwanamuziki LINAH SANGA Aja na Mpya Baada ya Kuporwa Bwana na Wema, Sasa Kumtangaza Bwana Ake Mpya Mnigeria..Atoa Onyo

    Posted: 11 Jun 2015 10:41 AM PDT

    LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...
    Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmi
    mpenzi wake mpya ambaye amedai ni msanii
    mkubwa wa nchini Nigeria.
    Linah
    Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha
    East Africa Radio, Linah alisema anampenda
    mpenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,
    ataamua kumweka wazi ili mashabiki
    wamtambue.
    Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwa
    sana, yaani huyo nampenda na hii sio project ipo
    real, mtamuona tu bado wakati,a hizi ni dondoo,
    wa Nigeria,” alisema Linah.
    Kweli? Itajulikana tu. ila wale wezi wa mabwana za watu wajipange upya...
    JE, UNADHANI LINAH KWANINI KAFUNGUKA KWA UZITO NAMNA HYO? 

    Kama Ulimisi Kudownload Wimbo Mpya wa Diamond 'Nana' Nimekuwekea Hapa

    Posted: 10 Jun 2015 11:39 PM PDT


    Kama Ulimisi Kudownload Wimbo Mpya wa Diamond 'Nana' Nimekuwekea Hapa chini ...

    MIMBA ya Zari si ya Diamond..Pedeshee Katunzi Hausishwa..DNA Kumaliza Ubishi

    Posted: 10 Jun 2015 11:09 PM PDT

    Zari na Katunzi
    OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.

    Mwandani wa mbongo fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

    TUJIUNGE NA CHANZO
    Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.

    “Hatukuamini sababu kwanza muda ambao Diamond alikutana na Zari ulikuwa mchache ukilinganisha na miezi mitatu ambayo mimba ilibainika. Watu wa karibu tulikuwa tunajua lakini tulikuwa tunashindwa pa kuanzia kusema.

    MITANDAO YAWASAIDIA
    “Sijui bwana nani alivujisha hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii ndiyo maana hata sisi sasa tukawa radhi kufunguka. Tena imeeleza mambo ya ukweli tupu ambayo sisi tulikuwa tunayajua,” kilisema chanzo chetu.

    IMESEMAJE MITANDAO?
    Watumiaji mbalimbali wa mitandao ya kijamii wametoa maoni kuwa, kwa asilimia 90 mimba ya Zari si ya Diamond na kuna uwezekano ana tatizo la uzazi kwani hata mpenzi wake wa zamani, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ aliwahi kukaririwa akisema Diamond hajampa ujauzito kama yeye alivyokuwa akijisifia kuwa amempa halafu ukatoka.

    Diamond akibusu tumbo la Zari.

    ANA TATIZO?
    “Yawezekana ana matatizo. Haiwezekani aseme amempa mimba Jokate akaitoa halafu mwenyewe akatae. Kama mnakumbuka hata alipomwagana na Penny (Penniel Mungilwa), alisema ametoa mimba yake kitu ambacho mrembo huyo alikikanusha na kumtaka kama kweli ana ushahidi wa hospitali aliyoitumia kutoa mimba ampe,” alieleza mdau mtandaoni.

    MWINGINE AKUMBUSHIA YA MUME WA ZARI
    Kama hiyo haitoshi, mchangiaji mwingine katika mitandao hiyo ya kijamii alishibisha hoja ya mimba ya Zari si ya Diamond kwa kukumbushia suala la aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Semwaga kufunguka kuwa kamwe Zari hawezi kumzalia Diamond.

    “Mume wa Zari alikuwa anaujua ukweli wa mimba ya Zari (huenda ni yake) ndiyo maana alinukuliwa katika vyombo mbalimbali vya habari pasipokuwa na shaka yoyote, kama hamuamini, akijifungua kipimo cha DNA kitamaliza ubishi,” alichangia mtu huyo.


    KATUNZI ATAJWA
    Ushahidi wa mimba hiyo kuwa si ya Diamond ulizidi kumwagwa mtandaoni kuwa Diamond hakuwa mtu wa kwanza kuonana Zari kwani alitanguliwa na mfanyabishara maarufu Bongo, Mzamili Katunzi ambaye inasemekana ndiye aliyemfata Bongo kisha baadaye akakutana na Diamond.

    “Mtu akiniambia hiyo mimba ni ya Katunzi naweza nikakubali sababu ndiyo mtu wa kwanza kukutana na Zari lakini Diamond hana chake pale, si unakumbuka Global (Kampuni ya Global Publishers) waliwahi kutoa picha ya zamani ya Katunzi akiwa na Zari? Tujiongeze,” alichangia mchangiaji mwingine mtandaoni.

    KATUNZI ANASEMAJE?
    Mwanahabari wetu alimtafuta Katunzi kujua anazungumziaje kutajwa kwenye ujauzito huo ambapo alijibu kwa kifupi:
    “Nani kawaambia? Hivi si mnajua mimi nina familia yangu? Kwa nini msimuulize mama kijacho mwenyewe (Zari). Mama mtoto ndiye anayejua ukweli wote.”

    DIAMOND SASA
    Kwa upande wake Diamond alipotafutwa na mwanahabari wetu juu ya habari hiyo, alisema maneno kwamba mimba si yake si mageni lakini hayatilii maanani sababu hayana ukweli wowote.“Watu tu wenye roho mbaya ndiyo wanaongea maneno hayo, ninavyojua mimi tumbo lile linanihusu kwa asilimia mia moja,” alisema Diamond.

    Johari:Lazima Niseme Kweli Mwigizaji Ray Ndio Kila Kitu Kwangu..Nipo Hapa Nilipo leo Sababu za Jitihada zake

    Posted: 10 Jun 2015 10:58 PM PDT

    Ray na Johari
    Brighton masalu
    PATAMU hapo! Diva wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema msanii mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ ndiye kila kitu maishani mwake kutokana na msaada aliompa wa kumtoa kisanii na kumsapoti kwa mambo mengi kikazi.


    • ‘Akianika mwanya’ katika mazungumzo na Amani juzikati, Johari alisema haoni sababu ya kuficha ukweli kuwa bila Ray isingekuwa rahisi yeye kufika alipo kisanii hivyo lazima akumbuke kurudisha shukrani.



    • “Lazima niwe mkweli kuwa, Ray ni kila kitu kwangu, nipo hapa nilipo leo kwa sababu ya jitihada zake. Alikuwa mwalimu wangu wa sanaa tangu Kaole (kundi la sanaa), siyo mimi tu hata marehemu Kanumba (Steven) na wengine, hivyo siwezi kuacha kumrudishia shukrani zangu,” aliweka nukta Johari.

    Kumbe Gari la WEMA SEPETU Kimeo..Ni Lile Alilozawadiwa Kwenye Siku ya Kuzaliwa..Sasa ni Spana Mkononi

    Posted: 10 Jun 2015 11:11 PM PDT

    Musa mateja
    NInoma! Kumbe lile gari la kifahari aina ya BMW ambalo muigizaji nyota wa filamu Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ alizawadiwa wakati wa bethidei yake na kuwa miongoni mwa sababu za kumwagana na mpenzi wake wa awali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ mwaka jana, linadaiwa kuwa kimeo kwa vile limekuwa likiharibika mara kwa mara, Amani lina stori kamili.

    Mapema wiki hii, paparazi wetu alikuta gari hilo likiwa limebuma mitaa ya Victoria, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku mshindi huyo wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2006 akiwa ndani, lakini ili kukwepa aibu, aligoma kutoka nje kuomba msaada, badala yake akabakia ndani huku akijaribu kuwasiliana na watu wake wa karibu.

    Mmoja wa wasaidizi wake wa karibu, Petit Man baadaye akitumia gari jingine alifika eneo hilo akiwa ameambatana na fundi, ambao walilisukuma hadi eneo salama na kuliegesha. Wema alibakia ndani ya gari hilo wakati fundi akijaribu kurekebisha dosari ambayo haikuweza kufahamika mara moja.


    Hadi gazeti hili linaondoka eneo hilo baada ya juhudi za kumpata ili azungumze kugonga mwamba, hakukuwa na dalili za kupatikana kwa ufumbuzi.Mtu wa karibu na Madam aliliambia gazeti hili kuwa gari hilo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu kiasi kwamba wakati mwingine hulikumbuka gari aina ya Nissan Murano, ambalo alipewa na Diamond siku hiyohiyo ya bethidei yake, lakini akaliuza baada ya wawili hao kutofautiana.

    Baadaye Wema alitafutwa kupitia simu yake ya mkononi, lakini haikuweza kupatikana ili azungumzie juu ya gari hilo, ingawa siku za nyuma wakati gari hilo lilipokutwa likiwa limetolewa matairi eneo la Komakoma, alimwambia mwandishi wa habari hizi kuwa anahisi BMW hilo lilikuwa limetumika sana kabla ya kupewa kwa vile limekuwa likimsumbua mara kwa mara.
    GPL

    Lowassa Apokelewa Kwa Kishindo Mkoani Simiyu, Apata Wadhamini 5,000

    Posted: 10 Jun 2015 10:40 PM PDT

    Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mpinduzi(CCM) na wananchi baada ya kupokea majina ya wanachama zaidi ya 5000 waliomdhani kugombea Urais mkoani Simiyu jana.
     
    Wanachama wa Chama cha Mapinduzi(CCM) wakicheza baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kukabidhiwa majina ya wanachama wa chama hicho zaidi ya 5000 waliomdhani kugombea Urais mkoani Simiyu. Leo  Lowassa  atakuwa  mkoani  Shinyanga  Kusaka  wadhamini.

    Watu 6 Mbaroni kwa Kukutwa na Mifupa 6 ya Binadamu

    Posted: 10 Jun 2015 10:36 PM PDT

    JESHI la Polisi mkoani Tabora, limewakamata na kuwafikisha mahakamani watu sita, kwa tuhuma za kukutwa na mifupa sita ya binadamu, inayodhaniwa kuwa ni ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).

    Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Suzan Kaganda alisema watuhumiwa hao walikamatwa asubuhi ya Mei 22, mwaka huu wilayani Igunga.

    Kaganda aliwataja watuhumiwa hao wanaodaiwa kukiri kujihusisha na matukio ya kudhuru albino kuchukua viungo kuwa ni Mussa Njile (30), mkazi wa Mnale, Elizabet Masanja (42), mkazi wa Bungwa.

    Wengine ni Bahati Kilungu (56), ambaye ni mwalimu na mkazi wa Mbutu Kahama, Bilia Masanja (38), mkazi wa Bukene wilayani Nzega, Muhoja John (28), mkazi wa Nyasa na Rejina Kashidye (40), mkazi wa Isegenhe.

    Kamanda Kaganda alikumbushia tukio la Agosti 16, mwaka jana, katika kitongoji cha Mikese kijiji cha Buhelela wilayani Igunga mkoani hapa la kuuawa kwa Mapambo Mashiri aliyekuwa amelala nyumbani kwake na mkewe, Mungu Masanja, mwenye ulemavu wa ngozi, aliyekatwa mkono wa kushoto na watu wasiojulikana, kisha kutokomea nao.

    Alisema, kuwa watuhumiwa hao walipohojiwa na Polisi walikiri kuhusika katika tukio hilo pia.

    “Kufuatia kuendelea kwa matukio hayo, Jeshi la Polisi mkoani hapa linaendelea kuwasaka wanaojihusisha na vitendo vya kudhuru albino. Msako utaendelea tuwatie nguvuni na kuwachukulia hatua za kisheria".

    Katika hatua nyingine, Kamanda huyo alisema kuwa, watu hao walifikishwa mahakamani Juni 3, mwaka huu kwa kuhusika na matukio mawili, likiwemo la kujaribu kuua kwa kumkata mkono, mtoto Nkamba Ezekiel kwenye kijiji cha Mwisole, Kata ya Lutende, Julai mwaka jana

    Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 11 Juni 2015

    Posted: 10 Jun 2015 10:31 PM PDT




















    Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe 11  Juni 2015

    Posted: 10 Jun 2015 11:57 PM PDT

    Kingine alichokisema Chris Brown kuhusu mapenzi yake na Karrueche..

    Posted: 10 Jun 2015 11:56 PM PDT

    Story kubwa nyingine ikachukua headlines, washkaji wa Chris Brown walipanga mchezo marafiki wa kuwakutanisha pamoja wakijifanya eti Karrueche alitaka kukutana na Chris Brown ili kumaliza tofauti zao na kuendelea na uhusiano.

    Karrueche Tran
    Chris Brown akapata airtime ya interview iHeart Radio, moja ya maswali yaliyoulizwa ni kama anampenda Karrueche?


    • “Siwezi kuahidi chochote kwa sasa kwani sitaki kukurupuka, ndio bado nampenda sana siwezi kudanganya.. ila katika maisha inafika wakati inabidi tusimame tuangalie mapungufu.
    • “tusonge mbele na tutafute namna ya kutatua matatizo hayo… nakubali kuwa nilikosea na inabidi sasa nisimame kutazama nilipokosea kipindi cha nyuma …mimi ni baba sasa … kuhusu mimi na yeye, tuipe muda.”


    Ameongelea pia kuhusu mtoto wake wa mwaka mmoja Royalty na maisha ya kuwa baba pamoja na magari na anayotembelea.

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 12, 2015, 5:24:25 PM6/12/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Picha za Aliyekuwa Mke wa Bob Junior Akiwa na Mpenzi wake Mpya Nimekuwekea Hapa

    Posted: 12 Jun 2015 12:57 PM PDT

     Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka studio ya Sharobaro Records,Bob Junior ambaye alimpa talaka mkewe,aitwaye Halima Ally miaka kadhaa iliyopita baada ya kushindana tabia,hatimaye ‘mkewe’ amepata mpenzi mpya aitwaye Immu Bella.

    Picha kadhaa ambazo Clouds.com imezipata zikimuonyesha Immu Bella ambaye ni msanii wa Bongo Fleva akiwa na aliyekuwa mke wa Bob Junio huku amembeba mtoto wa msanii huyo.

    Mwanaume huyo akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa ni kweli Halima ni mpenzi wake na wana mipango endelevu ya penzi lao na yuko tayari kumlea mtoto wa Bob Junior kwa kuwa hana hatia yoyote.


    Mr. blue Thanks His Baby Mama Waheeda Sylvester For Helping Him To Quit Drugs.

    Posted: 12 Jun 2015 12:07 PM PDT


    Singer Mr. Blue has revealed he was using drugs and alcohol but is now free from those stuffs after he got close help from his baby mama and former beauty queen and video vixen Waheeda Sylvester. Through Instagram Blue had this to say.......

    Oh My Goodness: Wema Looks Hooot in These New Photos!!

    Posted: 12 Jun 2015 11:41 AM PDT


    Wow we should give credit where its due, Wema realy looks great i wish she had stood for us to see her in a better view....


    Maoni Yangu Kwenye Media Juu ya Utitiri wa Watia Nia Ndani ya CCM, Kuwa ni Demokrasia au Nikuishusha Hadhi Ikulu-Henry Kilewo

    Posted: 12 Jun 2015 10:25 AM PDT

    Maoni yangu kwenye Media juu ya utitiri wa watia nia ndani ya ccm, kuwa ni Demokrasia au nikuishusha hadhi Ikulu.

    Kinachoendelea kwenye utitiri wa watiania wa Urais CCM IKO sehemu tatu.
    1. Failure ya urais KWA maana ya Kikwete hivyo ameufanya urais kuwa rahisi Kwa sababu hao wenzake wakiwemo waliomsaidia kufika hapo wanaona Kama huyu hadi anaingia madarakani alisema hajui chanzo cha umaskini wa Watz kisha alipomaliza term ya kwanza akasema alikuwa anajifunza sasa sisi tunashindwaje kuwa marais.

    2. Failure ya CCM kuandaa viongozi Pia kutoheshimu taasisi hiyo.
    Kwa chama makini kilipaswa kuwa na mkakati wa kuhakikisha kuna utaratibu wa transitional ya uongozi Kwa maana watu makini wanakuwa wameandaliwa Kwa miaka hiyo 10.
    Sasa CCM Kwa sababu ya kuchoka na kuzidiwa mapigo ya upinzani ambao unazidi kujipanga na kuwa imara kuiondoa CCM na kushika dola kuongoza serikali, wameshindwa kabisa kuwa na mpango wa kutafuta mrithi wa Kikwete Kwa hiyo kila mtu anajichukulia fomu hivyo inatuonyesha kabisa kuwa ccm imeschoka na inatakiwa kupumzishwa sasa na nchi kuwa kwenye utawala wa mikono ya mungu mikono ya UKAWA.

    3. Wamedharau nafasi ya urais...wanafikia mahali watu ambao waliwafukuza Kwa tuhuma za ufisadi leo wanachukua fomu Kama mbinu ya kutafuta forum ya kujisafisha lakini pia wamefikia mahali wanaruhusu na kuchukua hela za watu wanaojua kabisa hawana Sifa mfano huyo mkulima wa Jana wakijua ni darasa la Saba Huo ni utapeli, Mambo yote haya yanaonesha CCM inapaswa kuondoka Kwa sababu imeshindwa na imechoka. Utitiri wote huu unahalalisha kabisa pasipo mashaka yeyote yale hamna jipya ndani ya chama hicho isipokuwa imefika wakati wa UKAWA Kutupeleka
    SAFARI YA UHAKIKA...
    HENRY KILEWO
    CHADEMA 2015 MWANGA

    Maskini Ray C Alia kwa Uchungu Baada ya Kunyimwa Tiba ya Methadone (Video)

    Posted: 12 Jun 2015 10:25 AM PDT

    Rehema Chalamila aka Ray C amejikuta akishindwa kujizuia kulia baada ya kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka miwili sasa ili kumsaidia kuondokana na addiction ya madawa ya kulevya.


    Ray C amepost video kwenye Instagram ambazo kwa zinaendelea kusambaa kwenye mtandao huo akilia kwa uchungu.

    “Nashindwa kuvumilia,” anasikika akisema. “Mpaka sasa nipo hapa kitengo cha madawa na sijapewa dawa, kwa sababu nilipost ile post nyingine wamenifanyia makusudi. Sasa mimi nikikosa madawa wanataka nirudi kwenye kuvuta unga,” amehoji muimbaji huyo.

    Ray C aliendelea kudai kuwa mwili unamuuma pamoja na mifupa huku akishindwa kujua afanye nini ili kukabiliana na hali hiyo ambayo amedai inamtesa.

    Bongo5

    Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima

    Posted: 12 Jun 2015 10:03 AM PDT

    Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.

    Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha  Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.

    ‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize kwenye shindano la kutafuta vipaji vya uigizaji na pia shule nayo ilinibana kwahiyo sikuwa na muda wa kufanya filamu,’alisema Lulu.

    Aidha alisema kuwa kwa sasa ameingia mzigoni kufanya filamu yake mpya ambayo hajaipa jina bado chini ya kampuni yake ya Proin Promotion ambayo itakuwa na wasanii mbalimbali kama Dude na wengineo.

    ‘Filamu hii inahusu maisha,mapenzi na komedi kidogo na kwa sasa hivi nitakuwa natoa filamu mbili kwa mwaka ndiyo utaratibu niliojiwekea,’aliongeza Lulu.

    Cloudsfm.com

    Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies

    Posted: 12 Jun 2015 10:00 AM PDT

    Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa  na baadhi ya  wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana  na uvumilivu wake

    Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.

    “ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu  tu  hao watu hawana la kufanya katika maisha yao wao ni kuwaza tu sherehe itafanyika lini ili wafike mapema  na kuwafunika hata  wanakamati “alisema Steve Nyerere.

    Alizidi kuhoji Steve Nyerere kuwa kila kukicha  anazidi kuchafuliwa bila kuelewa ni nini kinaendelea na kama kuna tatizo kubwa aulizwe kuliko kusimangwa  bila mpango.

    Mungu atanilipia kwa kweli  kwa yote wanaonnipangia hayatanifika ila nataka kusema  hivi majunguhayana maana yoyote kusingiziana mamba ambayo hayana maana na kuchafuliana  majina bila ya mpangilio” aliongeza Steve.

    Kama hiyo haitoshi  Steve Nyerere alidai katika mipangilio yote  ambayo anashutumiwa yeye anatafutwa na kupewa kazi kwa maana hiyo anaaminikana ndio maana anapata nafasi kama hizo.

    KIU

    Mwalimu Mkuu Amnyonga Mtoto wake na Kisha na yeye Kujinyonga

    Posted: 12 Jun 2015 04:59 AM PDT

    Picha ya Tukio jingine
    Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mnaida, ndugu Lucas iliyoko Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara amejinyonga hadi kufa.

    Inasemekana kabla ya kujinyonga yeye alimnyonga kwanza mwanae wa kiume anaesoma darasa la tano halafu akajimaliza yeye.

    Chanzo cha kufanya hivyo ni wivu wa mapenzi.

    Miaka ya nyuma kidogo mwalimu huyo alimpa mimba binti aliyekuwa mwanafunzi ambae alimzalia mtoto huyo, baada ya kitendo hicho alimrudisha binti huyo shule akamsomesha yeye kuanzia form one hadi chuo, baadae mke wake huyo alipata kazi kama askari upelelezi, hapo ndo matatizo yalipoanzia.

    Mwanamke alianza visa vya kumjengea mazingira ya kuachana nae, ikafika mahali kwa wenzake anamtambulisha kama kaka yake ili asijulikane kama ni mke wa mtu mbaya zaidi mke wake huyo alianza kumdai jamaa aseme ni kiasi gani cha fedha alizitumia kwa ajili yake ili amlipe.

    Ndipo mwalimu huyo alipofikia uamuzi wa kujinyonga

    Sababu za kumnyonga na mtoto kwa taarifa za watu wa pembeni ni kujenga mazingira ya kumuumiza mke wake huyo kwani kifo chake kisingeweza kumgusa kabisa huyo mke wake.

    Inauma sana ila there is no way, kila dada kwa nini mnakuwa vyanzo vya matatizo? hapa simaanishi wote ila asilimia kubwa yenu huwa mkiwa na maisha duni mnakuwa wanyonge ila wanaume zenu wakijitolea mkafikishwa mlipokuwa mnapataka mnakuwa miiba.

    Serious imeniuma but SINA MAANA KUWA WANAUME NI WAZURI AU WANAOFANYA HIVI NI WANAWAKE WOTE.

    BUT MOST OF WOMEN MNABADILIKA SANA.

    Jokate Mkana Ali Kiba Adai sio Mpenzi Wake..'Mimi na Ali Kiba ni Washikaji Wakubwa Tena sana ila.....'

    Posted: 12 Jun 2015 03:38 AM PDT

    Mrembo na Mwanamuziki Jokate Amejibu Swali ambalo wengi walikuwa wanapenda kusikia kama kweli yeye na Ali Kiba ni Wapenzi ama ni Project tu....Katika Mohojiano na Gazeti la Champion jokate amejibu hivi:

    Wewe na Ali Kiba mna uhusiano gani?

    • Tuna uhusiano mzuri sana kwenye kazi kiasi kwamba anaweza kunishauri mahali ambapo ninakwenda ndivyo sivyo, mimi pia hufanya hivyo pindi anapohitaji ushauri, kwenye maisha binafsi mimi na Ali Kiba ni washikaji wakubwa tena sana na siyo kimapenzi kama watu wengi ambavyo wamekuwa wakizungumza vitu ambavyo havina ukweli wowote. 

    Urais 2015: Kambi Ya Lowassa Yazidi Kutanuka........Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Edward Lowassa

    Posted: 12 Jun 2015 02:53 AM PDT

    NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Steven Masele, ametangaza kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika harakati zake za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

    Masele aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini kabla ya Baraza la Mawaziri kuvunjwa, jana aliibukia katika mkutano wa kutafuta wadhamini wa Lowassa uliofanyika mjini Shinyanga na kusema sasa kada huyo wa CCM anasubiri kupitishwa na vikao vya chama.

    Akizungumza katika mkutano huo, Masele ambaye pia ni mbunge wa Shinyanga Mjini, alisema yeye pamoja na wana CCM wenzake wanasubiri Kamati Kuu ya CCM ifanye kazi yake kisha wamalizie kumpitisha Lowassa.

    “Tanzania yote inajua,” alisema Masele na kuuliza “inajua haijui…?” huku akijibiwa na wana CCM, “Inajuaaa…”

    “Tanzania inajua na dunia nzima inajua kwamba Lowassa yuko hapa. Mimi ni mjumbe wa Mkutano Mkuu, wa NEC wetu wamesema hapa, sisi tumekaa mkao wa kula tunasubiri wafanye kazi yao na sisi tunamalizia kupiga bao tu,” alisema Masele.

    Mbali na Masele, mawaziri wengine walioonyesha kumuunga mkono Lowassa kwa nyakati tofauti ni pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto, Sophia Simba na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Nyerere aliyemsindikiza kuchukua fomu mjini Dodoma.

    Katika mkutano huo, alikuwapo pia Mbunge wa Msalala ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige ambaye alimsifia Lowassa kwa utendaji bora alipokuwa Waziri Mkuu na hasa kuwaletea maji wakazi wa Mkoa wa Shinyanga.

    “Sisi wananchi wa Mkoa wa Shinyanga tuna imani na wewe kwa jambo moja ulilotufanyia. Ulileta maji kutoka Ziwa Victoria. Shinyanga ilikuwa jangwa, lakini ulileta maji, sisi watu wazima tuliona kwa macho,” alisema Maige.

    Naye Mwenyekiti mstaafu wa Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, alisema Lowassa ni miongoni mwa viongozi walioandaliwa tangu enzi za Mwalimu Nyerere.

    “Kuna wakati chama kiliwaandaa vijana wake kwa kuwapeleka chuo kikuu ili wawe viongozi wa baadaye, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, Lowassa na wengineo nawahifadhi. Sasa umefika wakati wa Lowassa…,” alisema Guninita.

    Katika mkutano huo, Lowassa alivunja rekodi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kupata wanachama 7,114 waliojitokeza kumdhamini.

    Katibu wa CCM Wilaya ya Shinyanga, Charles Sangula, alisema kati ya wanachama hao, 3,221 walitoka katika wilaya yake, 2,610 Kishapu na 1,283 Kahama.

    Naye Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Kanali Maulid aliwataka makada wa chama hicho kutochafuana kwa kashfa wakati huu wa uchaguzi, na kuchagua mtu anayekubalika ndani na nje ya chama.

    “Tumchague mtu anayekubalika ndani na nje ya chama chetu. Lowassa anakubalika. Lakini wako baadhi ya makada wanaochukua fomu na kuanza kuwachafua wenzao. Nashukuru Lowassa hakufanya hivyo,” alisema.

    Kwa upande wake, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja, alisema kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na asasi yake ya Tanzana Mzalendo Foundation, Lowassa amekidhi vigezo vyote 10 vya uongozi bora.

    “Tuna taasisi yetu ya Tanzania Mzalendo Foundation, tumeweka vigezo 10 na vyote Lowassa amepata asilimia 100. Baadhi ya vigezo hivyo ni uzalendo, uvumilivu na kuwa na uamuzi mgumu,” alisema Mgeja.

    Akizungumza na wana CCM waliokusanyika katika ukumbi huo, Lowassa aliwashukuru na kurudia sababu yake ya kugombea urais.

    “Nimerudi nyumbani kuwaambia kuwa nimeanza safari ya matumaini. Nilikuwa hapa mwaka 1977 hadi 78, mlinilea vizuri.

    “Nimegombea kwa sababu nimechoshwa na umasikini. Mwaka 1962, Mwalimu Nyerere alitaja maadui watatu wa Tanzania kuwa ni ujinga, umasikini na maradhi. Lakini hadi leo kuna viongozi wa Tanzania wanajivunia umasikini. Kazi ya kiongozi ni kuwatoa watu kwenye umasikini na kuwapeleka kwenye utajiri,” alisema Lowassa.

    Aliwataka pia wana CCM kujiandikisha ili wawe na sifa ya kupiga kura.

    Lowassa aliingia Shinyanga saa sita mchana kwa ndege akiwa na msafara wake kisha wakaelekea kwenye ofisi ya CCM mkoa na baadaye ofisi ya wilaya.

    Urais 2015: Benard Membe Anusurika Kufa Baada ya Ndege yake Kutaka Kugongana "Uso kwa Uso" na Ndege Nyingine

    Posted: 12 Jun 2015 02:24 AM PDT

    Mio  za kuwania kumrithi Rais Jakaya Kikwete miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi, safari hii Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akinusurika kifo baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kuwapo katika hatari ya kugongwa na ndege nyingine angani alipokuwa akielekea Zanzibar.
     
    Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu nane walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precision Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki ambaye ameonesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za Mungu tumepona ajali hii.”

    Akizungumza na mwandishi wetu, rubani Mathew Mhahiki alisema, “…lazima kuna tatizo katika control center hata hivyo tayari nimeongea nao na wameniomba samahani na kudai walipitiwa maana kwa hali ilivyokuwa ni kwamba tungegongana wakati wa kutua, nimeshangaa tu kuona ndege hii hapa ndio maana nikaamua kumkwepa mwenzangu nikapanda juu.”

    Aidha, Waziri Membe aliyeonekana kushitushwa na hali hiyo alisema, “…nina uzoefu mkubwa wa kusafiri na ndege mahali pengi duniani, hali hii ilikuwa ni ajali na labda sasa tungekuwa dead bodies lakini ninajua Mungu yuko upande wetu katika safari hii ya uhakika, lakini pia izingatiwe nimekuja kufanya kazi ya Mungu.”

    “Katika safari hii tutashuhudia mambo mengi sana lakini kwa kuwa kila ninapotaka kuondoka nyumbani ama hotelini mara nyingi nimekuwa nikimtanguliza Mungu maana bila Mungu, hii ilikuwa ni mwisho wa maisha yetu tuliokuwa kwenye ndege hii,” alisema Membe

    Naye mwanasiasa anayenyemelea Ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki, Richard Kasesela, aliyeongozana na Waziri Membe alionesha wasiwasi wa hali hiyo kuwa inaweza kuwa ni hujuma dhidi ya Membe.

    “Katika hali ya kawaida watu wa control center hawawezi kuruhusu ndege mbili kutua kwa wakati mmoja maana tafsiri yake ni kuwa mtagongana na ndio maana kuna haja ya kujua ni kwa nini hali hii imetokea katika kipindi hiki cha Waziri Membe na wanasiasa wengine wanapotafuta kuungwa mkono kugombea nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi,” alisema Kasesela

    Taarifa nyingine kuhusu tukio hilo zinabainisha kuwapo kwa uzembe katika chumba cha kuongozea ndege ambapo mmoja wa wafanyakazi katika chumba hicho alithibitisha uzembe huo.

    “Mimi si msemaji wa ofisi yetu lakini hata sisi tumeshangazwa na hali hiyo maana si jambo la kawaida kutokea kama hakuna tatizo. Wengine tayari tulishika vichwa maana uzoefu unaonesha kuwa ukiruhusu ndege mbili kutua kwa wakati mmoja ni wazi unataka kusababisha ajali,” alisema kwa sharti la hifadhi ya jina.

    Waziri Membe alikuwa amealikwa mjini Zanzibar na Umoja wa Kinamama wa Kikristu (UMAKI) wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar, waliokuwa wakifanya mkutano wao mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano akitokea Iringa ambako alikwenda kutafuta wadhamini ili kumwezesha kugombea urais kupitia CCM.

    Akiwa uwanjani hapa Waziri Membe alikutana na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba aliyekuja  Zanzibar kutafuta wadhamini ambapo makada hao walipata nafasi ya kuzungumza na kujadiliana masuala ya siasa ndani ya chama chao.

    Akiwa katika mkutano wa kinamama hao, Membe alisema; “Miongoni mwa mambo yanayonikera ndani ya nafsi yangu ni kuona mwanamke bado anaachwa nyuma, hili halipendezi ni lazima tuhakikishe wanawake wanapata elimu ya ufundi stadi maana mwanamke akiwezeshwa hasa katika eneo hili la ujuzi, wanaweza hata kushinda wanaume wengi.”

    “Ni lazima kina mama wawezeshwe kujiajiri ili msiwategemee kina baba kwa kila jambo lakini pia ili kufikia malengo hayo ni lazima tuwape elimu kina mama.”

    Kina mama hao pamoja na mambo mengine wameonesha miradi mbalimbali wanayoifanya ikiwa ni pamoja na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama mishumaa, asali iliyosindikwa, vitenge, siagi na bidhaa mbalimbali za nyumbani.

    Membe ameahidi kuwasaidia kumpata mfadhili wa kujenga kituo cha umoja huo na hasa jengo la utawala huku akisisitiza umoja huo pamoja na mambo mengine, kujenga kituo cha watoto yatima pamoja na mradi wa maji.

    Awali, akiwa mkoani Iringa Membe alisema; “Hebu wapimeni hao wanaokuja kwenu kwa fedha kutaka kuwanunua ili kuwaunga mkono, ni hatari maana kama kiongozi utajisikiaje kumtumikia mtu ambaye tayari ulimnunua kwa fedha”

    Aliwataka wananchi kupokea fedha wanazopewa na baadhi ya wanasiasa wanaowania urais lakini akisisitiza wawe na msimamo.

    “Hizo ni fedha zenu zichukueni mle lakini muwe na msimamo wa kutomchagua mtu wa namna hiyo maana hatoweza kuwatumikia maana atakuwa na haya,” alisema Membe

    Akizungumzia vipaumbele vyake endapo atachaguliwa kuwa mgombea urais na hatimaye Rais wa Tano wa Tanzania, Waziri Membe alisema atahakikisha nchi inapiga hatua za maendeleo kwa haraka kupitia uchumi wa viwanda vinavyotegemea kilimo.

    “Badala ya kuuza pamba sasa tuuze nguo, badala ya kuuza ngozi sasa tuuze viatu na kadhalika, uchumi wa namna hii unaweza kutoa ajira kubwa sana na hasa baada ya kugundulika kwa gesi asilia itakayotusaidia kuondokana na tatizo la nishati ya umeme,” alisema

    Akiwa Iringa, alikabidhiwa fomu zenye orodha ya majina ya wanaCCM 317 na Katibu wa CCM Wilaya ya Iringa Mjini, Zongo Zongo.

    Mashabiki wa Ali Kiba wajazana page ya MTVAfrica

    Posted: 12 Jun 2015 02:22 AM PDT

    Wakati utajaji wa majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTV Africa ukiendelea, katika hali isiyo ya kawaida mashabiki wa Ali Kiba wameonekana kuzagaa kwa wingi kwenye ukurasa wa Television hiyo pendwa kupendekeza wimbo wa Mwana.

    Hata hivyo juhudi zao hazikuzaa matunda kwani msanii huyo hajaambulia hata category moja kutokana na kile kinachosemekana kutotambuliwa na MTV. Msanii Diamond Platnumz ametajwa kuwania category 3 hadi sasa.
    Tazama hapa walivyokuwa wanaandika kwenye page ya MTV:

    Msichana wa Zenji Awajia Juu Zantel, Adai ni Wezi na Wanawaibia Wateja.. Atishia Kufichua Siri zao

    Posted: 12 Jun 2015 02:11 AM PDT

    Msichana mmoja kutoka Zanzibar Anaeitwa Mariam Mohamed, Amecharuka na kuamua kujirekodi video na Kupost Facebook Akiwachamba vibaya mtandao wa Simu wa Zantel...\
    Angalia Video Hii Jinsi Binti Anavyotiririka:

    Wastara: Wanasiasa Wanatutumia Kama Big G tu

    Posted: 12 Jun 2015 01:53 AM PDT

    Wastara
    Staa wa filamu za Kibongo Wastara Juma, ameibuka na kusema kuwa wanasiasa wanawatumia wasanii wakiwa na shida zao lakini wakishapata uongozi huwasahau na kuwaona ni wasumbufu pale wanapohitaji msaada.

    Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Wastara alisema kuwa kwa sasa wao watakuwa lulu kwa wanasiasa na kutumiwa ipasavyo lakini baada ya mchakato wa uchaguzi kuisha wataonwa hawafai, kitendo ambacho si kizuri kwani wanatakiwa kukumbukwa wakati wote.


    • “Yaani kuna wakati sipendi kabisa siasa na wala sipendi kufungamana na mtu kwa sababu nilichojifunza sisi wasanii tunatumiwa kama Big G tu kwa sasa kwa sababu wana shida, baada ya hapo tutaachwa solemba na hata tutakapohitaji kusaidiwa jambo lenye masilahi kwetu tutaonekana wasumbufu,” alisema Wastara.


    Chanzo: GPL

    DAKTARI:Kajala Hawezi Kuzaa Tena..Kansa Yatajwa..Mwenyewe Amwaga Chozi Akimwangalia Paula

    Posted: 11 Jun 2015 11:08 PM PDT

    Imelda mtema
    MAJANGA juu ya majanga! Siku chache kufuatia kufanyiwa kipimo na kubainika kuna tatizo kwenye ubongo baada ya kupigwa chupa kichwani kwenye Klabu ya New Maisha, Masaki jijini Dar, mkali wa sinema za Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepata pigo lingine la daktari kumwambia hawezi kuzaa tena!

    Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala alipewa maelezo hayo mapema wiki hii baada ya kufanyiwa kipimo na daktari bingwa wa hospitali moja iliyopo maeneo ya Morocco jijini Dar.

    HISTORIA YA TATIZO
    Kwa mujibu wa chanzo hicho, awali staa huyo alikuwa akisumbuliwa na tatizo la maumivu makali ya tumbo kwa kipindi kirefu na mara kwa mara hali iliyomlazimu kwenda kwenye hospitali mbalimbali za jijini Dar na kutibiwa lakini bila mafanikio.

    “Unajua awali, aliamini amepata vidonda vya vitumbo (Ulcers).
    “Pamoja na kupewa dawa mbalimbali kama ‘antibiotic’ kama Amoxicillin, Tetracycline, Clarithromycin na Metronidazole, dawa zenye uwezo wa kupunguza uzalishaji wa tindikali tumboni lakini wapi.

    HALI YAZIDI KUWA MBAYA
    “Kutokana na hali yake kuzidi kuwa mbaya ndipo mwanzoni mwa wiki hii alipojisikia maumivu ya kupindukia hivyo alikwenda kwenye hospitali ile iliyopo Morocco na majibu ya vipimo yakaonesha kuwa ana uvimbe mkubwa kwenye kizazi!” Kilisema chanzo hicho.

    Mnyetishaji wetu alidai kuwa, daktari huyo alimshauri kufanyiwa upasuaji wa haraka ili kuondoa uvimbe huo kwa sababu anaweza pia kunyemelewa na tatizo la kansa achilia mbali ishu ya kutozaa tena.

    KAJALA AISHIWA NGUVU
    “Yaani Kajala aliishiwa nguvu kabisa alipoambiwa maneno hayo na kujikuta akimwaga machozi,” kilisema chanzo hicho.

    KAJALA ASAKWA KUTHIBITISHA
    Baada ya gazeti hili kupata habari hiyo, lilimtafuta Kajala ambapo alikiri kukutwa na tatizo hilo na ni kitu ambacho kimemchanganya sana hasa akimwangalia binti yake Paula (aliyezaa na Prodyuza wa Bongo Records, Paul Matthyasse ‘P Funk’), bado mdogo hivyo kujikuta akidondosha chozi.

    “Yaani mtu akikuambia una ugonjwa kama huo, lazima uumie kwa kweli na mara nyingi namfikiria mtoto wangu bado mdogo. Kwa sasa najitahidi kufanya matibabu ya haraka ili kuondoa tatizo hilo,” alisema Kajala.

    KITAALAM
    Kwa mujibu wa daktari mmoja wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambaye aliomba jina kusitiriwa, mwanamke akiwa na uvimbe mkubwa kwenye mfuko wa uzazi na kwa muda mrefu, matibabu yake salama ni kukiondoa kizazi.
    “Lakini kuna wanawake wanapatwa na  vimbe mbalimbali kwenye mfuko wa kizazi lakini si kubwa, ni rahisi kuondoa kwa kuchubua kitaalam na kizazi kikabaki salama,” alisema daktari huyo.

    WEMA BILA KUJALI
    Wakati huohuo, Kajala amekumbwa na janga baada ya aliyekuwa shosti wake wa kufichiana siri kama siyo kutunziana mambo yao ya ndani, Wema Sepetu kumpaka runingani!

    Baada ya Kajala kujishusha akisema yupo tayari kupatana na mwenzake, Wema, mwanadada huyo amemshukia Kajala akimwita ‘bogasi’ yaani mjinga na kwamba ni mtu mzima lakini hana akili.

    Akizungumza kupitia Clouds TV Jumanne iliyopita, Wema alifunguka kwamba hivi karibuni alishangazwa na kitendo cha Kajala kuandika vitu vya ajabu kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram akisema amejishusha kumuomba msamaha ili aonewe huruma kwa watu na yeye (Wema) aonekane kuwa hafai.Mkali wa sinema za Bongo Wema Sepetu.

    “Kabla ya kuandika vile nilikuwa nipo tayari hata akija kwangu nimkaribishe nimsikilize lakini kwa sasa sitaki kuambatana na Kajala.“Kajala ni mtu mzima lakini hana akili. Kuwa na Kajala ulikuwa ni upepo tu unapita. Alichokifanya mimi namuona bogus,” alisema Wema.

    Kwa upande wake, Kajala alimjibu kwa kifupi bila kutaka kubebanisha maneno kwa kusema: “Siku zote duniani ukikimbizana na chizi na wewe utaonekana chizi, nimejishusha, nimechoka.”
    GPL

    Nigerian KCEE Collaborates With Diamond Platnumz In a New Single

    Posted: 11 Jun 2015 11:00 PM PDT


    On 16 this June Nigerian music star KCEE will drop his new single Love Boat which features in Tanzanian superstar Diamond Platnumz.

    Simon Msuva Akimbiza Tuzo za Lig ya Mpirai, Anyakua Mbili..Wazazi Wake Wapewa Bonge la Ofa na TFF

    Posted: 11 Jun 2015 10:47 PM PDT

    Simon Msuva ameibuka kidedea baada ya kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa 2014-2015 zilizotolewa na wadhamini wa ligi hiyo kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom na kukabidhiwa na mgeni rasmi Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Juma Nkamia kwenye hafla iliyofanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF) jijini Dar es Salaam.

    Msuva ambaye amechukua tuzo mbili usiku wa leo, mbali na kuwa mchezaji bora Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora baada ya kutupia kambani jumla ya magoli 17 kwenye msimu uliomalizika Mei 9 mwaka huu na magoli hayo yaliisaidia Yanga kuibuka mabingwa wa ligi hiyo.

    Lakikini kutokana na Msuva kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, zawadi zake zilichukuliwa na wawakilishi wake ambaye ni baba yake mzee Msuva aliye ambana na mkewe mama yake Simon Msuva.

    Msuva amewabwaga Mrisho Ngassa na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kwenye kinyang’anyiro hicho cha mchezaji bora wa ligi.

    Nafasi nyingine ambazo zilikuwa zikiwaniwa ni pamoja na mlinda mlango bora ambapo tuzo hiyo imenyakuliwa na Shaban Kado (Coastal union) ambaye kwa sasa amesaini kuitumikia klabu ya Mwadui FC ya Shinyanga akiwabwaga Mohamed Yusuph (Tanzania Prisons) na Said Mohamed (Mtibwa Sugar).

    Shabani Kado akipokea tuzo yake
    Shabani Kado akipokea tuzo yake

    Tuzo ya kocha bora imekwenda kwa Mbwana Makata aliyekinusuru kikosi cha Tanzania Prisons kisishuke daraja. Nafasi hiyo ilikuwa ikiwaniwa na Goran Kopunovic (Simba SC) pamoja na Hans Van Der Pluijm (Young Africans).

    Israel Mjuni Nkongo amenyakua tuzo ya mwamuzi bora akiwabwaga Jonesia Rukyaa na Samwel Mpenzu kwenye nafasi hiyo.

    Mtibwa Sugar nao wamechukua tuzo ya timu yenye nidhamu iliyokuwa ikiwaniwa na Mgambo JKT pamoja na Wekundu wa Msimbazi Simba.

    Wakati Huo huo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia kwa Rais wake Jamal Malinzi, jana usiku lilitoa ofa kwa wazazi (baba na mama) wa Simon Msuva kuhudhuria mechi mbili za timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ itakapokuwa ikicheza dhidi ya Uganda kwenye michezo ya awali kuwania kufuzu kushiriki michuano ya Afrika inayoshirikisha wachezaji wa ligi za ndani (CHAN).

    Malinzi ametoa ofa hiyo kwa wazazi wa Msuva ambaye jana alitangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya soka Tanzania bara iliyomalizika Mei 9 mwaka huu ikiwa kama zawadi na shukrani kwa wazazi hao mara baada ya wazazi wa Msuva kueleza njia ndefu aliyopita mtoto wao kufikia mafanikio anayoyapata hivisasa na wao kusimama nyuma yake kwa kila jambo gumu na rahisi alilopitia kijana wao.

    Umefika Wakati wa Babu Tale na Salim Kumsaidia Mdogo Wenu ALI KIBA..Haijalishi Aliwakosea Kiasi Gani..Huu Sio wakati wa Kuvimbishiana Misuli

    Posted: 11 Jun 2015 10:31 PM PDT

    Tafadhali naomba mnisikilize saaana #

    @babutale @salaam_sk @officialalikiba
    Umefika wakati wa babutale na salim kumsaidia mdogo wenu ali # haijalishi aliwakosea kwa kiasi gani au mnasahau maneno ya wahenga kua mtoto akinyea mavi mkono wako hauukati bali unausafisha tu.

    Sasa huu ni wakati wa kuhamisha nguvu mlizo kua mnaziweka kwa dai mziweke na kwa ali kiba kwani kwa sasa kila kitu kiko wazi kua mipango na management yenye maana ndio nguzo pekee ya kufika mbali kwa mziki wa watanzania.

    Huu sio wakati wa kuvimbishiana misuli na kuanza kujinadi wakati ukweli wa mambo uko wazii#

    Mimi naongea kama mtamzania hapa #hebu fikiria kwenye tuzo hizi za MTV tungekua na @diamondplatnumz ma pembeni @officialalikiba unadhania tungekua tunajiskiaje hapoo kama sio raha iliojaa na faraja ya kutosha.

    @babutale @salaam_sk nyie sasa ni wazazi na sio watoto ambao wanataka kumkomesha mtu au kutaka sifa ya upande mmoja #kikubwa ninachota ni kimuita alikiba kwa njia yoyote na atake asitake lazima akubaliane na ukweli kua nyie mumpe muongozo aweze kufika hapo alipo dai.

    Katika maisha haitakiwi kua na tegemeo moja au haitakiwi kua na nguzo moja kwa bahati mbaya ikianguka tutafanyaje sisi au mnataka yatukute kama kwenye bongo movie? Kanumba kaindoka na ujuzi wake woote leo hakuna kitu labisaaaa.

    Mpaka mm nimeamua kuchukua maamuzi magumu kuingia kwenye bongo movie ilia kujaribu kuinusuri lakini wapiiiii .ila kama tungeweza kuwaandaa watu kama kina kanumba kabla hajafa leo tusinge kua tunalalamika kuhusu bongo movie .

    Sasa hii hali hatutaki itokee kwenye muziki wetu ,nasema kwa njia yoyote @salaam_sk na @babutale mtawajinika katika hiliii

    Na mungu awahukumu kama mtaendelea kumuacha mdogo wenu ali akijikongoja wakati uwezo wa kumshika mkono mnao na mnapaswa kufanya hivyoooo .kikunwa ni kumsamehe yeye bado mdogo kwenu na mnajua sifa kubwa ya watoto hua hawakubali kama wamekose ila baadae ataona tu ukweli.

    @officialalikiba tafadhali ndugu yangu wewe ni wa nyumbani na dai ni wa nyumbani .hebu acheni huo mvutano usio na maana #tazama leo MTV kama ungekuawepo wewe na dai yaaani wangetuheshimu jamani .mimi ninacho kitaka haraka. Masaidieni ali kiba HARAKA
    view all 57 comments
    chegu_evara@mwinjaku kaka umeongea point sana kwani dai tumeshajua ni mkali hapa TZ na hata AFRICA je nani atakayefuata kama cyo ally plz watz tuamke na tuwape support kwn mziiki wetu ndo kwanza tunaanza kuupeperusha.

    By Mwinjaku

    Diamond Platnumz Noma Sana..Aingia Vipengele Vitatu Katika Tuzo za MTV MAMA..Vanessa Mdee Nae Aingia Kwenye Kimoja

    Posted: 11 Jun 2015 10:21 PM PDT

    Diamond anawania vipengele vitatu ambavyo ni Best Male Act, Best Collaboration kupitia wimbo wake ‘Bum Bum’ aliomshirikisha Iyanya, na Best Live. Katika vipengele hivyo anachuana na Davido, Wizkid, Mr Flavour (Nigeria), AKA (Afrika Kusini) pamoja na Sarkodie (Ghana).

    Vanessa anawania kipengele kimoja cha Best Female ambacho atatoana jasho na Yemi Alade (Nigeria).

    Kenya imewakilishwa na kundi la Sauti Sol wanaowania vipengele viwili vya Best Group na Song of The Year kupitia wimbo wao ‘Sura Yako’.

    Tuzo za hizo zitatolewa Jumamosi ya July 18, 2015 huko Durban, Afrika Kusini na tukio hilo kuoneshwa moja kwa moja kupitia MTV Base (DStv channel 322), MTV (DStv channel 130) na BET (DStv channel 129) kuanzia saa 22:00 EAT.

    Hii ni orodha kamili:

    Best Male
    AKA (South Africa)
    Davido (Nigeria)
    Diamond (Tanzania)
    Sarkodie (Ghana)
    Wizkid (Nigeria)

    Best Female 
    Bucie (South Africa)
    Busiswa (South Africa)
    Seyi Shay (Nigeria)
    Vanessa Mdee (Tanzania)
    Yemi Alade (Nigeria)

    Best Group 
    B4 (Angola)
    Beatenberg (South Africa)
    Black Motion (South Africa)
    P-Square (Nigeria)
    Sauti Sol (Kenya)

    Best New Act Transformed by Absolut
    Anna Joyce (Angola)
    Cassper Nyovest (South Africa)
    Duncan (South Africa)
    Patoranking (Nigeria)
    Stonebwoy (Ghana)

    Best Hip Hop 
    Cassper Nyovest (South Africa)
    K.O. (South Africa)
    Phyno (Nigeria)
    Olamide (Nigeria)
    Youssoupha (DRC)

    Best Collaboration
    AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (SA/Nigeria)
    Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA)
    Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Tanzania/Nigeria)
    Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast)
    Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)

    Song of the Year 
    Cassper Nyovest: “Doc Shebeleza” (South Africa)
    Euphonik featuring Mpumi: “Busa” (South Africa)
    DJ Fisherman & NaakMusiQ featuring DJ Tira, Danger & Dream Team: “Call Out” (South Africa)
    K.O featuring Kid X: “Caracara” (South Africa)
    Lil Kesh Featuring Olamide & Davido: “Shoki Remix” (Nigeria)
    Mavins: “Dorobucci” (Nigeria)
    Sauti Sol: “Sura Yako” (Kenya)
    Toofan: “Gweta” (Togo)
    Wizkid: “Show You The Money” (Nigeria)
    Yemi Alade: “Johnny” (Nigeria)

    Best Live 
    Big Nuz (South Africa)
    Diamond (Tanzania)
    Flavour (Nigeria)
    Mi Casa (South Africa)
    Toofan (Togo)

    Video of the Year 
    “Crazy” – Seyi Shay Featuring Wizkid; Director: Meji Alabi
    “Doors” – Prime Circle; Director: Ryan Kruger
    “Love You Everyday” – Bebe Cool; Director: Clarence Peters
    “Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw
    “The Sound” – Davido Featuring Uhuru & DJ Buckz; Director: Sesan

    Best Pop & Alternative 
    Fuse ODG (Ghana)
    Jeremy Loops (South Africa)
    Jimmy Nevis (South Africa)
    Nneka (Nigeria)
    Prime Circle (South Africa)

    Best Francophone 
    DJ Arafat (Ivory Coast)
    Jovi (Cameroon)
    Laurette Le Pearle (DRC)
    Tour 2 Garde (Ivory Coast)
    Toofan (Togo)

    Best Lusophone 
    Ary (Angola)
    B4 (Angola)
    Nelson Freitas (Cape Verde)
    NGA (Angola)
    Yuri Da Cunha (Angola)

    Personality of the Year
    Basketmouth (Nigeria)
    Bonang Matheba (South Africa)
    OC Ukeje (Nigeria)
    Trevor Noah (South Africa)
    Yaya Toure (Ivory Coast)

    Lowassa Avunja Rekodi Mkoani Shinyanga.......Wananchi Waumizana Wakigombea Kumuona, Avuna Wadhamini 7,114

    Posted: 11 Jun 2015 10:16 PM PDT

    Mh. Lowassa, akipokea fomu zilizojazwa na wana CCM waliomdhamini mkoani Shinyanga, kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Shin yanga mjini Charles Sangula, Juni 11, 2015.

    Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akipungia mkono wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga, alipokuwa akiondoka ofisi za chama hicho wilaya ya Shinyanga mjini mara baada ya kupata wana CCM wa kumdhamini .

    Mh. Lowassa amabaye yuko kanda ya ziwa kutafuta wadhamini, jana  amevunja rekodi ya kupata wadhamini 7,114, idadi  ambayo  ni kubwa kuliko  mgombea  mwingine  yeyete  ndani  ya  CCM hadi sasa.

    Furaha ya kumuona Mh. Lowassa, ilitawala ukumbi mzima

    Wana CCM waliofika kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, wakishangilia wakati akiingia ukumbi wa CCM wilaya ya Shinyanga mjini Juni 11, 2015.

    Wananchi wa mkoa wa Shinyanga, wakisukumana ili wapate kumuona Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, alipokuwa akiwasili kwenye ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga mjini Juni 11, 2015, ili kuomba wanachama wenzake wa chama hicho wamdhamini.

    Diamond Platnumz Suffers Wardrobe Malfunction and Exposes His Bum (VIDEO)

    Posted: 11 Jun 2015 10:10 PM PDT

    I never thought I would see the day that I have to write about a guy’s buttocks..but the bills are not going to pay themselves so let’s get to it. Furthermore, I heard that the ladies love checking out a guy’s bum and Diamond’s must be a must-see, I suppose.

    The Bongo star suffered a wardrobe malfunction in public recently that left his butt exposed for everyone to see. The star who is notorious for sagging was also spotting pink briefs on the red carpet event.

    It was caught on camera and here is the video:

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 13, 2015, 4:16:08 PM6/13/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!

    Posted: 13 Jun 2015 12:46 PM PDT

    Rehema Chalamila aka Ray C aliyesifika kwa sauti tamu ya kuimba na kiuno chake bila mfupa, bado anakabiliwa na vikwazo vingi katika vita yake ya kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya kuwa mwathirika wa madawa ya kulevya.

    Kwa wengi ukiangalia na mahala alipokuwa amefika kabla ya kuanza kupewa tiba, Ray C alipata ‘second chance’ ya kuyarejesha maisha yake kama zamani. Baada ya kuzunguka kwenye hospitali kibao na vituo kadhaa vya rehab hapa nchini, hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete aliamua kumsaidia.

    Baada ya muda, Ray C akaanza kurejea kwenye hali yake. Alianza kupata matibabu ya dawa maarufu ya Methadone, inayowasaidia watumiaji wa madawa ya kulevya kuachana na uraibu na kurejea katika hali ya kawaida.

    Baada ya kutumia dawa hiyo, Ray C alianza kurejea kwenye afya yake ya zamani japo alinenepa sana. Kwa wengi tuliamini kuwa muimbaji huyo amepona na tayari kurejea kwenye muziki. Ni kweli aliingia studio na kurekodi nyimbo kadhaa na kutoa mmoja uitwao ‘Mshum Mshum’ ambao hata hivyo haujafanya vyema – pengine mashabiki walishindwa kumpata yule Ray C waliyekuwa wamemzoea!

    Lakini ikiwa imepita takriban miaka miwili tangu Ray C aanze kutumia Methadone na huku wote tukiamini kuwa huenda akawa amepona kabisa, muimbaji huyo amekuja kutushtua kwa video zake zinazomuonesha akilia kwa uchungu baada ya kunyimwa dawa hizo kwenye hospitali anayotibiwa.

    Video hizo ameziweka kwenye akaunti yake ya Instagram.


    Ray C anasema kwenye video hizo kuwa kitendo cha yeye kukosa dawa hizo, hugeuka kuwa adhabu kubwa anayoshindwa kuistahimili.

    “Nashindwa kuvumilia,” anasikika Ray C akisema. “Mpaka sasa nipo hapa kitengo cha madawa na sijapewa dawa, kwa sababu nilipost ile post nyingine wamenifanyia makusudi. Sasa mimi nikikosa madawa wanataka nirudi kwenye kuvuta unga,” amehoji muimbaji huyo.

    Video hiyo imewahuzunisha wengi na pengine kuwashtua zaidi kuwa pamoja na miaka miwili kupita bado muimbaji huyo anaitegemea dawa hiyo. Na hivyo ni muhimu kuhoji iwapo Methadone ni tiba sahihi kwake!

    Ni ngumu sana kujua ni maumivu gani anayopitia, lakini nahisi dawa hiyo ilipaswa iwe imemsaidia kiasi cha kumrejesha kwenye hali yake ya kawaida na kutotogemea dawa aina yoyote ile na aishi kama watu wengine. Bila Methadone aliyoitumia kwa miaka miwili sasa, Ray C anaishi maisha magumu yenye maumivu makali.

    Kuna njia nyingine mbadala ya kumsaidia? Je! Ataendelea kutumia Methadone katika maisha yake yote? Dawa hiyo ina madhara gani kwenye afya yake hasa akiitumia kwa muda mrefu? Hayo ni baadhi ya maswali ambayo wengi wanajiuliza.

    Lakini Methadone kwa mujibu wa Ray C, ni dawa anayoiheshimu sana.

    “Namshukuru Mungu kwamba chozi langu limesikika na jioni hii nimepewa dawa,” aliandika Ray C kwenye video nyingine aliyoiweka kwenye akaunti yake ambayo anaonekana akinywa dawa hiyo.
    “Naiheshimu hii dawa kuliko kitu kingine chochote katika dunia hii,” ameongeza.

    “Dawa hii imeniokoa kutoka kule nilikotoka,dawa hii imenifanya nirudi katika hali yangu ya kawaida. Nitafanya lolote niwezalo kuipata dawa hii kwani ndio mwokozi wangu. Bila dawa hii leo nisingekuwa hapa nilipo! Dawa hii ni haki yangu. Namuomba Mungu anilindie hii dawa kila ninapoiweka mdomoni isinidhuru. Nawashukuru wote kwa sapoti na upendo mlionionyesha leo.”

    Kauli yake inaonesha wazi kuwa ataendelea kuitegemea Methadone kwa muda mrefu. Vipi kama akiendelea kuitegemea katika maisha yake yote?
    Dawa hiyo si maji. Ukinywa hali kama ya kizunguzungu, usingizi, kichefuchefu, kutapika au kuvuja jasho kwa wingi humtokea mtumiaji. Hali hizi Ray C hukabiliana nazo kila anywapo dawa hii.

    Japo si rahisi kama wengi wanavyodhani, ushauri umetolewa kwa muimbaji huyo kujaribu kutumia njia zingine badala ya kutumia dawa hiyo kwa kipindi kirefu.

    “Mbona ni yale yale tu, hiyo dawa inakufanya unakuwa mtumwa u can do shit without it…tofauti ni kwamba it has a positive outcome but ur still a slave to drugs. I will be more happy if u stood on ur own,” ameandika director_fiddz.

    Naye Dida Mumu ameshauri: Achana na methadone njoo Kigamboni kwa Pilly Misana kuna suluhisho la kudumu vingine mateso hayatakuisha, pls pls ww mwenyewe uliwahi kuja ukajionea jinsi vijana wanavyopambana kuacha na wanafanikiwa wengi tunao mtaani tunawaona hizo methadone zinakudanganya coz zina side effect kubwa pale unapozikosa.Jaribu kuwa muelewa na baadaye usije kurudia kuvuta unga kwa kisingizio cha kukosa hizo dawa wakati suluhisho la kudumu lipo.”
    Je anaweza kuacha kutumia dawa hiyo na kuvumilia maumivu hayo kama nicshawz anavyoshauri: Fanya kukubali maumivu, ndokana na methodone, achana na hii dawa pia. Siku ukikosa kabisa utavuta unga @rayc1982 try to live bila hii dawa, am telling u dis koz kuna mtu namfahamu aliweza kuacha kabisa kwa kuvimilia maumiv then nau hatumii kabisa drugs.”

    Lakini Amour Mabrouk ana ushahidi kuwa Methadone haina madhara.

    “Hizo methadone zinatumika kwa kipindi fulani hadi mtu anapokuwa mbali na hatari ya kutumia madawa,” ameandika. “Msimislead watu waache professional clinic waende mitaani, hiyo ni dose na ina mwisho.Tafadhali ni jambo lililothibitishwa kitaalamu na haina hizo side effects mnazosema, nimeshuhudia ikimponya mama yangu mdogo.”

    Blessing Annettee naye ana mawazo kama hayo.

    “Stop misleading her,hiyo dawa imethibitishwa na haina side effect na anatumia kwa muda kipimo kikipungua hadi atakapoweza kuishi bila dawa kabisa. Msiwadanganye watu waache clinic maana hawataweza kuhandle arosto watarudi kwenye dawa,methadone ndo suluhisho let them use it,kama hujui kitu dont mislead wengine.”

    Swali ni kama Methadone haina madhara na kwamba inaweza kutumika kwa muda na mgonjwa akaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida, ni muda upi huo mtu huyu ataendelea kuitegemea?

    Orega ameyahoji maelezo ya Blessing Annettee na Amour Mabrouk,” tuambieni hii dosage ya methadone inachukuwa muda gani? Ili mtu awe huru (methadone-free) we need to be real here. This is neither joke nor a game of chasing a wild goose. Maelfu ya watu wanaumia huko mitaani. Ikiwezekana mtuhabarishe kwanini nchi nyingi zimeipiga marufuku hii Methadone?”

    Mange Kimambi naye anashauri kuwa ni muda wa Ray C kuachana na dawa hiyo. “Ray C bado ni mtumwa wa madawa ya kulevya. She has to be strong sasa aachane na hii methadone,” ameandika.

    “Ukiona mtu mzima analia hivi ndo ujue hiyo methadone na yenyewe ni majanga. Na serikali inajua ila ni mambo ya budget. Nimesoma sehemu kuwa inaicost serikali ya UK pound 3,000 kumtibia teja kwa kutumia methadone na inawacost more than pound 10,000 kuwatibia kwa kuweka rehab. So wanaona bora wawape tu hiyo dawa wa save pesa. Kwa nchi maskini kama Tanzania ndo kabisaaaaaa. Hakuna pesa waanze kujenga marehab centre etc si bora wawatulize na hiyo methadone.”

    Ni kweli kumekuwepo na mijadala mingi kuhusiana na kama methadone ni dawa sahihi kwa watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya. Katika baadhi ya nchi kwa mfano Urusi, methadone ilipigwa marufuku.

    Ray C ni mmoja tu ya watu wengi wanaokumbana na mateso haya. Ni muhimu kuwepo mjadala wa kuangalia namna gani nyingine inaweza kuwasaidia waathirika wa madawa ya kulevya kuachana kabisa na kuishi maisha ya kawaida bila kutegemea dawa nyingine. Pia vita dhidi ya madawa ya kulevya inapaswa kuongezewa nguvu zaidi.

    Source:Bongo5

    Diva Loveness Awachana Mbaya Trace TV na MTV Africa..Ukiona Video Zimechezwa Huku Ujue Ushikaji Au Umefanya Ngoma na Mnigeria Or Msouth Africa

    Posted: 13 Jun 2015 11:45 AM PDT


    Mtangazaji wa Clouds FM Radio Amefunguka Haya Kuhusu Channel za Kubwa Mbili Africa za Music..Amendika Haya kwenye Ukurasa wake wa Instagram:

    Yaan Trace is full Of Bullshit ... kiufupi it sucks.. Nyimbo Za Tanzania Ukiona Zimepigwa. Ujue Ushkaji labda either umefanya kazi nao or mshkaji wako anajuana nao , nomination zenu pia za awards same trend .. Mpaka Mtu awe featured na wasanii wenu ndio atakuwa nominated for MTV africa or hizo awards zingine .. Bongo mbona wasanii wetu wakali kuliko nyie ... wabinafsi nyie sana ... yaan ili uwe kwao with the trend ni Uwe Umefanya track na M south Africa or Mnigeria .. you guys praise all of this Bs yaan.. wonder if Nyimbo zetu Kwao zinapigwa katika clubs yaan itakuwa hivyohivyo.. umeshirikiana nao or ushkaji or mshkaji wao mshkaji wako .. hamna zaidi.

    Sioni Ajabu hata wimbo wa Mtu ukichezwa huko naona kawaida tu. not even Proud kusema ukweli... ukiangalia Trace Siku Nzima List ya wanamuziki wa Nigeria ndio usiseme .. na wanarudi hatari same playlist .. hizo mnazorudia kama kweli mnakuza muziki wa africa mngeweka za amataifa mengine esp Tanzania ambao Muziki wetu una viwango hasa .. well Improved kwa video hata zetu wenyewe
    .... video zao zenyewe ubora wao siooo hivyooo.. zinafanana maudhui ndo usiseme labda wizkid wangu ndo he is too local for days .... ila Mbona Bongo kuna Kazi Nzuri tu nyie trace .. tena video kali kweli ...

    hamna msichana mwaka huu kafanya video kali kama Ruby na Yule ila sababu hana ushkaji wimbo wake hautaonekana ... or sababu hajashirikisha brand zenu za nigeria mixer south africa basi video haitachezwa hata kama imetumwa kwenu.. wabinafsi sana nyie .. mtu akiwa katika playlist yenu ni lazima awe kafanya kazi na nyinyi or else you want them to Kiss yo ass or something.
    Annoying Channel.

    Mbona sisi Creative sana tu .. au ndo mpaka tuje ku shoot video South Africa or nigeria na directors wenu ?! mbona video Director'z Bongo wakali zaidi yenu? location mbona tunazo nyie trace?! Yo Music Video Playlist is on the same trend Mwezi mzima like what the heck . badilikeni bwana
    Mbona shilole mkali kuliko Yemi alade video zake hamchezi? hata kama katuma mtabana? sometimes am always like .. what am i even watching? same playlist .. creativity on za same spot .. Quality ka zetu tu .. and I'm like Oi. sucks

    Johari: Nina Mtoto Sawa, Mnataka Kumjua Baba yake ili iweje?

    Posted: 13 Jun 2015 11:37 AM PDT

    Johari
    Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula  ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.


    ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
    “Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.


    “Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu nashangaa watu wanaingilia vitu vyangu private. Katika maisha yangu mimi sio mtu wa matangazo, nianze kutangaza nina mimba! Nimejifungua sina hizo, mimi ninachotaka watu waache kufuatilia privacy yangu, yaani waendelee kufuatia kazi zangu na sio vitu vinavyoandikwa na magazeti ya udaku. Mimi ninachoshukuru Mungu nipo happy pamoja na mwanangu,” ameongeza.


    Katika hatua nyingine Johari amesema filamu yake ijayo inaitwa ‘Mapenzi ya kweli hayafi.


    “Kuna movie mpya ambayo natarajia kutoa hivi karibuni inaitwa Mapenzi ya kweli hayafi, yaani ‘True love never die’ ambayo nimecheza mimi Irene Uwoya na Single Mtambalike Rich. Hii ni idea ambayo nilipata mimi mwenyewe kichwani kwangu na nikaamua kuifanyia kazi.”

    Bongo5

    Habari zinavuma Mayai ya Kwale yanatibu Magonjwa yote Sugu Kama Kisukari, Moyo, Nguvu za Kiume, Kiarusi, Magonjwa ya Uzee na UKIMWI

    Posted: 13 Jun 2015 06:44 AM PDT

    Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na gumzo kubwa hapa nchini na hata nje ya nchi juu ya tiba ya kimaajabu maarufu kama ‘kikombe cha babu.’

    Tiba hiyo ya kikombe ilikuwa ikitolewa na Mchungaji Ambilikile Mwasapile kijijini Samunge Wilaya ya Loliondo. Taarifa za tiba hii zilienea kwa haraka nchi nzima hali iliyowafanya wananchi wengi kila kona kuelekeza macho, masikio na mioyo yao kwenye tiba hii.

    Kutokana na uvumi wa maajabu ya kikombe cha Babu, baadhi ya watu walidiriki hata kuwatorosha wagonjwa wao hospitalini.

    Wengine wakaacha matibabu na dozi walizopangiwa hospitali kwa magonjwa mbalimbali, yakiwemo yale sugu na kuamua kukimbilia kikombe cha babu kwa imani, kina uwezo zaidi.

    Pia, ikumbukwe kwamba kikombe hakikuwa na tiba sahihi kwani hata Serikali kupitia Wizara ya Afya na taasisi zake zilishindwa kutoa uthibitisho wa kisayansi juu ya ukweli wa tiba ile. Hivi sasa kumeibuka tiba ya ‘mayai ya kwale’ ambayo inavuma kila kona na imekuwa gumzo kila mahali. Tiba hii ni ya kimaajabu kwani uvumi uliopo ni kwamba mayai ya kwale yana uwezo wa kutibu magonjwa yote sugu.

    Kasi ya kushauri wagonjwa na hata wasio wagonjwa kutumia mayai haya badala ya kwenda hospitali kwa uchunguzi wa afya zao inaongezeka na maelekezo yanayopatikana mitaani juu ya kutumia tiba hii ni ya ajabu na yanatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Nilishuhudia mtu mmoja akimwelekeza mgonjwa kuwa alipaswa kuyapasua mayai na kuyapondaponda pamoja na magamba yake na kisha ayanywe katika hali ya ubichi. Mwingine aliambiwa ayapasue na kisha ayakoroge pamoja na asali au maziwa kisha anywe, wengine wanaelekezwa kuyachemsha kama mayai ya kawaida na kisha kula kiini cha ndani. Uvumi huu unaenea kwa kasi mitaani.

    Kutokana na kuvuma kwa tiba hii, mayai haya hivi sasa yanaonekana kusakwa kila mahali na yanauzwa kati ya Sh15,000 hadi 20,000 kwa trei.

    Uvumi wa tiba hii hauna tofauti na ule uliozuka nchini juu tiba maarufu kama ‘kikombe cha Babu’. Watu wengi walikatisha matibabu kwenye hospitali mbalimbali na kuamua kwenda Kijiji cha Samunge kwenda kupata kikombe cha babu na kufanya kuwe na misururu mirefu ya watu waliokesha usiku na mchana. Hii ilizusha adha kubwa hasa kutokana na kutokuwepo na maandalizi ya vyoo hivyo watu kujisaidia ovyo vichakani.

    Adha ya safari ndefu na kukaa kwenye foleni kwa zaidi ya siku tatu, kulifanya wenye afya mbaya kushindwa kuhimili na hata kupoteza maisha.

    Katika mazingira haya ya kuibuka tiba za ajabuajabu ambazo hazijathibitishwa kitaalamu, ni vyema Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ikatoa ufafanuzi.

    Isisubiri hadi watu wapoteze maisha halafu ndiyo ianze kuja na maelekezo tena yanayopingana na yale ambayo jamii inaamini. Kuchelewa kunafanya wengi wapoteze fedha na hata kuacha tiba sahihi na kukimbilia kitu ambacho kinavumishwa tu.

    Serikali haipaswi kukaa kimya wakati watu wakiendelea kutibiana kwa vitu ambavyo havijathibitishwa kitaalamu.

    Kama Serikali ingechukua hatua mapema, watu wasingepoteza maisha kupitia kikombe cha babu.

    Uvumi huu wa tiba ya mayai ya kwale hauna tofauti na Kikombe cha Babu.

    Katika ulimwengu huu wa utandawazi na soko huria, ni kawaida kusikia mambo mapya yakiibuka kila kukicha, lakini kama mambo hayo yanagusa afya zetu, hatuna budi kuwa makini na waangalifu zaidi.


    Nimemtafutia Kazi Mdogo Wangu Sasa Anakataa Kutoa Penzi kwa Bosi, Mimi Nimfanyeje?

    Posted: 13 Jun 2015 06:17 AM PDT

    Nina mdogo wangu wa kike, ni wa mwisho kwetu kuzaliwa, amemaliza chuo miaka 2 iliyopita hakua amepata kazi, amekua nyumbani tu muda wote huo. Kwa kweli for the past two years nimetembea sana kwenye mashirika mbali mbali kumtafutia kazi bila mafanikio. Hadi ilipofika December mwaka Jana nilipomlilia hali bosi mmoja ambae tuna muingiliano wa kikazi katika mashirika yetu.

    Mimi huenda kwenye shirika hilo kila mwisho wa mwezi kwa mambo yahusuyo hesabu za shirika za mzee huyu mwenye roho nzuri, akaongea na HR manager wa hapo na hatimae mdogo wangu akaingia kazini baada ya mchujo wa karibu watu 1500 katika mtihani wewe kuandika baadae oral kwa kweli ilikua muujiza.

    Sasa amebakiza wiki moja amalize probation, miezi miwili iliyopita bosi wake alimwomba uhusiano na mdogo wangu akamkataa akamwambia yeye ana mtu wake, yule bwana hajakata tamaa ameendelea kumkumbushia jambo hilo binti hadi sasa yule bwana kuona hali imeshindikana akamuita na kumwambia wazi kwamba kama unakataa ombi langu basi sitalipeleka jina lako kwa ajili ya confirmation, akasema anayo sababu nyingine ya kisheria ya kutom confirm.

    Hivyo kazi yake ipo hatarini, sasa amelileta rasmi kwangu kuona tunafanyaje kuokoa hii hali, mimi nikamwambia akubali tu kuwa nae haitampunguzia chochote, nikamshauri wazi tu kwamba maisha wakati mwingine ni lazima ujitoe sadaka mwenyewe, watu wote waliofanikiwa wamepita njia ngumu sana na hata wakikueleza huwezi amini ni siri ya mtu moyoni.

    Nimejaribu kumpa mifano mingi ya wanawake waliofanikiwa na anaowaona wamekalia viti vikubwa asilimia tisini ni pichu
    Lakini binti kasema yeye hawezi kufanya hivyo acha akose tu kazi kwamba ana mtu wake. Kwa kweli nimekasirika sana kwa kitendo hicho, yule mzee alienisaidia pia anaungana nami kwa hili, sasa basi nimemwambia binti kama akipoteza hiyo kazi kwa ujinga wake sitaki kumuona hata kwangu, arudi kijijini kabisa kwa wazazi, maana amewapigia simu kama vile kunisemea vibaya kwa ndugu mbali mbali.

    Huyu mtu wake mwenyewe ni fake balaa, huwa tunakutana sana mjini humu akiwa na magumashi kibao sema tu namna gani vipi mambo ya kiume, ana faulo kibao tu. Yaani kwa kweli nimekasirika sana, mimi mwenyewe kazini kwangu nakimbilia hadi begi la bosi wangu kwenye gari asubuhi akifika kama mtoto, yote hiyo ni kujipendekeza ili mambo yaende. Mwaka juzi kuna bosi wangu mwanamke mbaya wa sura kama nini, mumewe alikua na kisukari, kila watu wakiondoka tunajifungia ofisini, lakini nilivumilia hadi alipohamishwa na sasa hivi naishi poa kazini, yote ni kulinda kazi.

    Sasa najua wazi huyo bosi wake atatekeleza hicho kitisho anachotoa, hr siku zote wanapokea mapendekezo kutoka kwa line manager, akisema staff huyu ameshindwa probation HR hawezi kufosi, na hii mbinu inatumika sana hasa kwa new comers, huwezi kuruka, labda Mungu akusaidie usitongozwe na bosi yoyote.

    Source:JF

    Wanaume Kenya Waamua Kuuza wake zao kwa Wazungu ili Kupata pesa za Kukidhi Maisha

    Posted: 13 Jun 2015 05:36 AM PDT

    Nchini Kenya, kumetokea kioja ambapo wanaume wengi wameamua kuanza kujihusisha na shughuli ya kuuza WAKE zao kwa watalii wanaotoka mataifa mbalimbali ili kujipatia PESA za kukidhi haja za Kimaisha.

    Ikiripotiwa kupitia Luninga ya Citizen TV.

    Imesemekana kwamba wanaume hao hulazimisha wake zao kuchukuliwa na watalii ambao wengi wao ni jamii ya wazungu, wachina na wahindi ili tu kuingizia familia kipato.

    Watalii hao hupenda sana kuulizia wanawake ambao ni rahisi kudanganyika kwamba wataolewa.

    From The Source:
    Diani being a tourist hub receives numerous foreign tourists from Western countries who visit the beach that was recently voted the best beach in Africa.

    However, some of the male tourists who visit the place do not want to go back home empty handed but also with African women.

    This is where money and wives change hands between the male tourists and the local beach attendants.

    The tourist would request a beach trader to find him a Kenyan woman whom he would wish to marry.

    Greed for money compels the beach trader to ask his wife to be married by the tourist but connives with her that they would later divorce after getting rich then they would be a couple again.

    Mwinyi Almasi, who now does the house chores after selling his wife, met a German tourist who wanted a Kenyan wife and after agreeing on searching for one for him, he returned home and made a deal with his wife.

    The wife now became his ‘sister’ and they concurred that she gets married to the German tourist and after flying abroad and getting the German citizenship, she would find a German woman for him who would marry him and after a while divorce and get back together with her in Germany.
    Bad morals affecting tourism sector

    Mwinyi was given Ksh 60,000 as payment for his services. This perhaps being the price he sold his wife at.

    Mwinyi mentioned that he thought his wife would honor their agreement but his efforts proved futile.

    A few meters, we meet Sande Peti who also ‘sold’ his wife at 350 sterling pounds (Ksh 53,000).

    He also plotted with his wife with the hope of getting back together.

    The business of wife selling is due to unemployment, poverty and high levels of illiteracy.

    The Kwale County CEC in charge of Tourism Mr Adan sheikh stated that parents and religious leaders have failed to tame the youth resulting in bad morals in the Tourism sector in the area.

    He added that the government has set aside a trade revolving fund to help the beach traders flourish in their businesses.

    Kenya Muslims National Advisory Council (KEMNAC) Secretary General Hamisi Mwachirumu says that those who sell their wives should reveal their religions so that the leaders can know how they can be assisted.

    Source: Citizen Tv

    Ne-Yo: Caityln Jenne Gave me the Strength to Admit I am Gay

    Posted: 13 Jun 2015 05:37 AM PDT

    'Bruce Jenner really gave me the inner strength to admit to my kids, my family, my friends, my fans and ultimately to myself that I am gay.I’ve known I was gay since I was a young boy that I was attracted to the other boys. As a black man, we fear gayness instead of embracing it.

    Watching Bruce, well Caitlyn, sit down with Dianne Sawyer on ABC really inspired me. Bruce [sic] is very brave and beautiful. As soon as he came outas transgendered . she freed herself and thats the freedom I want.;' Neyo

    Meek Mill Accused of Setting Safaree up to be Dumped by Nicki Minaj

    Posted: 13 Jun 2015 05:37 AM PDT

    Earlier this week, Nicki Minaj fired back at her ex Safaree, accusing him of cheating on her when they were together. Well, now sources are claiming Nicki's new boyfriend Meek Mill who has been obsessed with Nicki for years, set Safaree up to bedumped by Nicki so he could claim  the prize.

    A source told Fameolous that Meek and Safaree (pictured above) used to be friends and it was Meek who introduced Safaree to the woman he cheated on Nicki with...and supposedly, it was Meek who indirectly snitched to Nicki about Safaree's affair with the woman setting the stage for her and Safaree's break-up. Who believes this story?

    Mr. Blue: Mke Wangu Kanifanya Niache Kuvuta Bangi, Sigara, Pombe na Mirungi

    Posted: 13 Jun 2015 05:00 AM PDT

    Mkali wa Bongo Hip Hop,Mr Blue amefunguka kuwa mke wake aitwaye Wahyda amemfanya aache kuvuta vilevi vyote vikali ikiwemo bangi,pombe,sigara,mirungi,n.k.

    Mr Blue amendika leo kupitia akaunti yake ya Instagram kuwa.. Alhamdulilahi ..nimeamka salama nikiwa mwenye furaha ahsante mungu ..na nashukuru pia kwa kufaulu mtihani ahsante mke wangu @wahyda_bysers_heart kwa kunifanikisha kuacha vilevi vyote..(bangi, fegi, mirungi, pombe) na kuishi km binadamu wa kawaida..nawashauri ndugu zangu kuwa makini na marafiki wengine wapo kwa ajili ya kukuharibia maisha yako ..kuwa makini

    Jinsi Sitti Mtemvu alivyoyabadilisha maumivu ya siku 30 kuwa biashara!

    Posted: 12 Jun 2015 11:53 PM PDT

    Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Uingereza kuanzia mwaka 1940 hadi 1945 na kisha kurejea tena mwaka 1951 hadi 1955, Winston Churchill aliwahi kusema, “a pessimist sees the difficulty in every opportunity; an optimist sees the opportunity in every difficulty.”

    Alimaanisha kuwa “mtu muoga huona ugumu kwenye kila fursa na mtu jasiri huona fursa kwenye kila ugumu.”

    2014 ulikuwa ni mwaka wenye majaribu na mitihani mingi kwa Sitti Mtemvu. Mara tu baada ya kushinda taji la Miss Tanzania 2014, skendo moja baada ya nyingine zikaanza kuibuka. Kubwa lilikuwa ni kitendo chake cha kudaiwa kudanganya umri na kuwasilisha cheti cha kuzaliwa ‘feki.’

    Pia watu wakazusha kuwa mrembo huyo ana mtoto, kitu ambacho ni kinyume cha vigezo vya shindano hilo lililofungiwa mwaka jana.

    Sitti alijikuta kwenye kitimoto. Jina lake likavuma mitaani, kwenye vyombo vya habari na zaidi kwenye mitandao ya kijamii. Habari yake ya kudanganya umri ikawa kubwa kuliko ushindi wenyewe wa taji hilo.

    Watu wakamwita kila majina yakiwemo ‘Bibi Bomba’ na mengine ya dhihaka pamoja na kutukanwa matusi ya kila aina.

    Ushindi wake wa taji la Miss Tanzania haukuja na furaha. Ulikuja na dhihaka, matusi na huzuni kubwa si kwake tu bali hata kwa familia yake. Kwakuwa wahenga walisema mchuma janga hula na wa kwao, familia ya Mzee Mtemvu ikawa ni ‘centre’ ya habari mbaya za binti yao Sitti kwa siku 30 mfulululizo.

    “Hali ile ilikuwa inani-affect mimi pamoja na familia yangu,” alisema Sitti kwenye mahojiano na kipindi cha Nirvana, EATV hivi karibuni. Hayo yalikuwa mahojiano ya kwanza tangu ajivue taji hilo mwaka jana.

    “Sawa nilikuwa na dream ya kuwa miss lakini ikawa inaathiri familia yangu. Ndio maana nikaamua ‘OK acha nirudishe maneno yamekuwa mengi hata nikikaa nayo siwezi kuwa happy.”

    Familia nzima iliathirika akiwemo mdogo wake asiye na hatia ambaye alilazimika kuacha kwenda shule kutokana na wanafunzi wenzake kumtania kuwa ni mtoto wa Sitti Mtemvu na sio mdogo wake kama ilivyokuwa ikifahamika shuleni hapo.

    “Mdogo wangu aliumia sana,” alisema Sitti kwenye mahojiano hayo.

    “Ilifikia hatua alikuwa anaenda shule marafiki zake wanamtania kwa sababu sometimes naendaga kumchukua shule so wananijua. So ikafikia hatua marafiki zake wanamwambia ‘umetudanganya kumbe yule ni mama yako, wewe ni mtoto wa ‘Bibi Bomba.’ Kwahiyo ilimuathiri ikafika wakati akawa hataki kwenda shule analia kwamba ‘sitaki kwenda shule wenzangu wananitania! Kuna siku moja nakumbuka alikuja nyumbani na mimi nilisimuliwa na mama, niliumia sana, kwamba ameona kitu kibaya wameandika kuhusu Sitti, baada ya kumbembeleza ndio akasema ‘nimeona kuna sehemu wameandika Sitti ni girlfriend wa baba!”

    Zilikuwa ni siku 30 za majonzi kwa Sitti Mtemvu. Kwa mwingine mwenye roho nyepesi matusi na unyanyasaji kama huo wa mtandaoni ulikuwa na nguvu ya kumkatisha kabisa hamu ya kuishi na pengine kufikiria kujitoa uhai. Ama kwa mwingine uamuzi wa haraka ulikuwa ni kukimbia nchi.

    Haikuwa hivyo kwa Sitti. Baada ya kuvua taji lake, alikaa kimya kwa muda kuweza kurudisha tena ujasiri wa maisha. Kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Sitti alisema haikuwa rahisi kuyafuta majonzi hayo.

    Amesema alichofanya, ni kutembelea vituo mbalimbali vya watoto yatima na watu wasiojiweza ili kujionea kwa macho yake kuwa kuna watu katika dunia hii wanaoteseka zaidi. Pamoja na kuishi katika maisha yanayotegemea neema ya Mungu tu, watu hao bado wanaishi kwa matumaini. Hiyo ilimsaidia kuuona mzigo aliubeba kuwa rahisi tu na unaoweza kukabilika.

    Siku 30 za manyanyaso mtandaoni zilimpa wazo mrembo huyo la kuanzisha taasisi yake ya ‘Sitti Mtemvu Foundation,’ kitabu chake ‘Chozi la Sitti’ na kipindi cha TV kitakachoanza kkuonekana hivi karibuni.


    Kwenye kitabu chake, Sitti amezungumzia maumivu na machozi yaliyomtoka katika kipindi hicho kigumu. Ametumia pia kitabu hicho kuelezea jinsi unyanyasaji mtandaoni ulivyo na athari kubwa kisaikolojia.

    Nachelea kusema kuwa Sitti Mtemvu ni msichana jasiri. Na nampongeza sana kwa kuamua kutumia tukio hilo kwa kuanzisha miradi chanya ambayo kwa namna moja inaweza kumuingiza fedha pia.

    Diamond atajwa kuwania tuzo nyingine ‘Nigeria Entertainment Awards 2015′ (NEA)

    Posted: 12 Jun 2015 11:49 PM PDT

    Nasib Abdul Juma a.k.a Diamond ametajwa kuwania tuzo nyingine za Nigeria, ziitwazo Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA).
    Majina ya wanaowania tuzo hizo yametangazwa jana, June 11 siku ambayo pia yalitangazwa majina ya wanaowania tuzo za MTV (MAMA) 2015 ambapo Diamond anashindania vipengele vitatu kwenye tuzo hizo.

    Katika tuzo za NEA muimbaji wa ‘Nana’ Diamond anashindania kipengele kimoja cha African Artist of the Year ambacho ni maalum kwa wasanii wasio Wanigeria.

    Wasanii wengine wanaoshindania kipengele hicho ni Eddie Kenzo (Uganda) SAUTI SOL (Kenya) Sarkodie (Ghana) na Stoneboy AKA Mzvee.

    Tuzo za NEA ambazo zinafanyika kwa mara ya kumi, zinatarajiwa kutolewa September 6, 2015 New York, Marekani.

    Hii ni orodha kamili ya wanaoshindania tuzo hizo:

    HOTTEST SINGLE:
    Kiss Daniel – Woju
    Lil Kesh – Shoki Remix Ft Olamide & Davido
    Mavins – Dorobucci
    Wizkid – Ojuelegba
    Skales – Shake Body

    BEST NEW ACT:
    Kiss Daniel
    Lil Kesh
    Di’ja
    CDQ
    Ayo Jay
    Falz
    Korede Bello

    INDIGENOUS ARTIST:
    Olamide
    Pasuma
    Phyno
    Flavour
    Mc Galaxy

    MUSIC PRODUCER:
    Pheelz
    Shizzi
    Legendary Beatz
    Young John
    DJ Coublon
    Tspize

    BEST RAP ACT:
    Olamide
    Reminisce
    Ice Prince
    Phyno
    Falz
    MI Abaga

    MALE ARTIST:
    Olamide
    Skales
    Flavour
    Davido
    Wizkid
    Patoranking

    FEMALE ARTIST:
    Yemi Alade
    Aramide
    Seyi Shay
    Cynthia Morgan
    Dija
    Eva Alordiah

    BEST POP:
    Sean Tizzle
    Davido
    Wizkid
    Runtown
    Burna Boy

    BEST R&B:
    Banky W
    Seyi Shay
    Chidinma
    Timi Dakolo
    Praiz
    Shaydee

    FEMALE DISC JOCKEY:
    Dj Frizzie
    DJ Cuppy
    Dj Soupamodel
    Dj Lambo
    Dj Nana

    MALE DJ:
    DJ Spinall
    DJ Xclusive
    DJ Kaywise
    DJ Kenny
    DJ Tunez
    DJ Magicflowz

    AFRICAN ARTIST:
    Eddie kenzo
    Sauti Sol
    Diamond Platnumz
    Sarkodie
    Stonebwoy
    AKA
    Mzvee

    MOST PROMISING ACT
    Danagog
    Niniola
    Tjan
    Tonye
    Pere Carter
    Simi
    Sunkanmi
    Teegee

    BEST MUSIC VIDEO:
    Shuga (Eva) –WOLTRK ENT
    HG2 Films – Ibadan ( Qdot ft Olamide)
    Clarence Peter – Condo ( Ycee ft Patoranking)
    JM Films – Crazy ( Seyi Shay ft. Wizkid)
    Kemi Adetiba – Onye ( Waje ft. Tiwa Savage)
    Unlimited LA – Aww ( Di’Ja)

    ALBUM OF THE YEAR:
    Reminisce – Baba Hafusa
    Flavour – Thankful
    Olamide- Street OT
    Yemi Alade – King of Queens
    Wizkid – Ayo
    Praiz – Rich & Famous

    AFROBEAT ARTIST:
    Lagbaja
    Femi Kuti
    Seun Kuti
    2baba
    Tony Oladipo Allen
    Ara

    BEST DANCE/LIVE PERFORMER
    MC Galazy
    Olamide
    Yemi Alade
    P-Square
    Omawumi
    Wizkid

    BEST COLLABORATION
    Marry Me – Falz ft. Yemi Alade & Pose
    Condo – Ycee ft. Patoranking
    Shoki (Remix) – Lil Kesh ft. Olamide & Davido
    Indomie – Masterkraft ft. Olamide & CDQ
    Collabo – P-Square ft. Don Jazzy
    Bad Girl Special – Mr 2kay ft. Seyi Shay & Cynthia Morgan

    BEST GOSPEL ACT
    Onos Ariyo
    Eben
    Tope Alabi
    Obiora Obiwon
    Nathaniel Bassey
    Florocka
    Psalm Ebube

    Skendo ya Freemanson Yazidi Kumganda Jack Wolper, Nyumbani Kwake Kwasheeni Vitu vyao, Abanwa na Kufunguka Haya

    Posted: 12 Jun 2015 11:37 PM PDT

    Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
    BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’.


    Akizungumza na gazeti hili, ‘dada’ wa kazi wa Wolper ambaye kwa sasa ameacha kufanya kazi kwake huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema mbali na vitu hivyo, staa huyo anaishi kwa masharti makali kwani kila siku anaamka saa kumi alfajiri na wakati huo anamzuia dada huyo asiamke.

    “Akiamka (Wolper) saa kumi hiyo alikuwa akinikataza nisiamke, sikuwahi kujua huwa anafanya kitu gani akiamka na kwa nini alikuwa akinikataza, ukweli maisha yake anaishi kwa masharti ya ajabuajabu nahisi ni Freemason,” alisema dada huyo.

    Dada huyo alitaja kuwa nyumbani kwa mwigizaji huyo, Mbezi Beach jijini Dar, kumesheheni mapambo kibao ya Kifreemason ambayo huyatunza na kuyalinda kama binadamu hali ambayo ilikuwa ikimpa wakati mgumu kwani hakuwahi kuona mambo kama hayo maishani mwake.

    Dada huyo alitoa picha za vifaa vya ndani kama saa, picha za ukutani vyenye alama zinazodaiwa kuwa za Freemason pamoja na picha ya mwili wa Wolper ambayo imechorwa alama zinazodhaniwa kuwa ni za jamii hiyo ya siri.

    Baada ya kupata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Wolper ambaye alijibu kwa kifupi;
    “Ni kweli huwa naamka saa kumi lakini ni kwa ajili tu ya kufanya mazoezi, kuhusu hayo mengine napenda tu picha na vitu vyenye nembonembo sasa mimi sijui kama ndizo za Freemason.”
    GPL

    Licha ya Kujifungua Hivi Karibu Aunty Ezekiel Uzuri wake Pale Pale..Chuma za Reli

    Posted: 12 Jun 2015 11:38 PM PDT

    KIWANGO! Tofauti na watu wengine ambao maumbile yao hubadilika mara baada ya kujifungua, kwa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel hali imekuwa tofauti, uzuri na umbo lake limebaki vilevile.

    Akizungumza na wahariri sambamba na waandishi wa Global Publishers nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar, Aunt alisema kilichomfanya asinenepe kupita kiasi na kuharibika mwili ni mazoezi sambamba na kufuata ushauri wa vyakula anaopewa hivyo mwili wake kubaki vilevile.


    • “Nachukia ubonge nyanya, namshukuru Mungu pia kwani wengi wakijifungua huwa wananenepa hovyo lakini kwangu mambo yamekuwa tofauti. Niko vilevile, nafikiri pia ni kutokana na kufuata ushauri mzuri wa kula chakula niliopewa,” alisema Aunt.



    Mbali na kutobadilika, Aunt alisema kwa sasa muda mwingi anautumia kuwa nyumbani na ubavu wake, Moze Iyobo wakimlea mtoto wao tofauti na zamani alipokuwa na misele ya usiku katika viwanja tofauti vya starehe.
    GPL

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 14, 2015, 4:57:39 PM6/14/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Kilimanjaro Music Awards watoa tamko tuzo za mwaka 2015

    Posted: 14 Jun 2015 10:03 AM PDT

    Hii Message Inazunguka leo Mitandaoni:

    Kilimanjaro Music Awards/Tour 2015
    Tunashukuru Kwa Kuweza Kufanikisha Zoezi La Jana
    Tunapenda Kuwashukuru Wasanii Wote Walioweza Kuhudhuria,
    Kushiriki Na Kujinyakulia Tuzo Mbalimbali!
    Tumepata Malalamiko Kuhusu Tuzo Ya Mtumbuizaji Bora Wa Mwaka
    Wa Kiume.......
    Kwa Maoni Ya Watu Na Mijadala Bado Ni Kuhusiana Na Tuzo Hiyo... Dah Inakuwa Ni Vigumu Kufanya Au Kubadili Maamuzi Kwani Hata
    Meneja Wa TBL Amesema Ilikuwa Na Makosa...
    Kwenda Imeshaenda Sasa Tuujenge Mziki Wetu Kwa Kuwapa Sapoti
    Wasanii Wetu Daimond Platnumz Na Vanesa Mdee Katika Tuzo Za Mtv
    Ili Kuleta Heshima Nyumbani
    Tunaomba Radhi Kwa Yote Yaliyojitokeza.

    Wema Sepetu On The Red Carpet Of Kili Music Awards 2015

    Posted: 14 Jun 2015 12:16 AM PDT


    Here is superstar Wema Sepetu's look on the red carpet of Kili Music Awards 2015. clear photos will come later on...........

    Mwanamuziki MABESTE Aomba Radhi Baada ya Mkewe Kumshambulia Mtandaoni Mwanamuziki JUMA JUX Alipopata Tuzo ya Kill Music

    Posted: 13 Jun 2015 11:30 PM PDT

    Baada ya Mkewe Kumshutuma Mwanamuziki JUMA JUX kwa Kutokutoa Shukrani kwa Mabeste ambae alitunga wimbo wa sisikii uliyochukua Tuzo ya Kill Music ...Mabeste Naye Aliingia Mtandaoni na kuandika Haya Hapa chini:

    'Wandugu wote mnajua mke wangu ana tatizo la kisaikolojia...hayupo katika hali yake ya kawaida kama vile zamani bado anaendelea na matibabu ya kisaikolojia....alichokiandika naeza sema ni moja psychological disease aliyo nayo....na awali nilishasema akipata habari mbaya ndivyo anavyokua ana over react na hata kupelekea kuzimia au kukakamaa mwili....habari za KTMA alikua hazijui Leo tu kaangalia Tv kaona...then akawa disappointed akachange ghafla hata time hii ka change ka kakamaa na ikimtokea hiyo hali anakua kama MTU mwenye kifafa so hapa nilipo bado Nina deal na hii situation maana inamchukua mda sana Ku recover! Naomba msimuhukum wala msicomment chochote kibaya kwa page yake we all know hayuko sawa! Hii ndio sababu uwa sikai mbali nae nahakikisha mda wote Niko nae hakuna anaye eza mhandle zaidi yangu! Bahati mbaya sikua karibu nae nilisindikiza wageni!! Normally hana tabia hiyo ila anashindwa control temper coz tayari yuko affected ... Sikatai kakosea ila pia muelewe hayuko sawa kisaikolojia na nilishasema haya before! Nimepata wakati mgum pia maana anacho Ki face nakijua Mimi tu.pia nawaomba msamaha kwa niaba yake na yeyote aliye ghadhafika juu ya hili...na mimi ndio niliyefuta ile post kwa page yake @juma_jux'

    TUZO ya JUX Kill Music Yazua Jambo..Kumbe Mabeste Hakulipwa Mil 2 Kutunga Wimbo wa Sisikii..Mke wa Mabeste Aropokwa Baada ya JUX Kuchukua TUZO

    Posted: 13 Jun 2015 11:16 PM PDT

    Baada tu ya Mwanamuziki JUX Kupata Tuzo ya Kili Music aliyopata Kutokana na Wimbo wake wa Sikiii ambao alitungiwa na Mwanamuziki Mabeste mke wa Mabeste aliingia Mtandaoni na Kuandika Haya Hapa Chini akimshutuma JUX kutokutoa Shout out kwa Mtunzi wa Nyimbo hiyo:

    'Juma_jux meeen I am so dissapointed wit yah! @mabeste_tanzania aliniacha ndani naumwa akaja studio kukesha na wewe three days kukuandikia SISIKII na Ukweli ni kwamba hukumpa mabeste 2million alikuambia use me tuu kua umemlipa two million coz alitaka ajitangaze kibiashara akija MTU mwingine kulala aandikiwe amlipe coz he needed money by that time as I was sick.... I was your no.1 fan ndio maana @mabeste_tanzania aliponiambia nijikaze aje studio nilukubali na apart from that I am @mabeste_tanzania Manager! Kwanza kabisa Leo ndo nimeona kua sisikii imeingia kwenye utunzi bora na Ukweli ni si wewe uliye andika hiyo ngoma na cover ya ngoma ilikua mabeste ndo mwandish lakini umeshindwa kumpa haki yake uwaambie kili hiyo ni haki ya mabeste....the bad thing ingine is SISIKII imechukua tuzo umewapa watu S/O umeshindwa kumpa mabeste??? Kama mmezoea mabeste mpole I am sorry Manager Niko serious na kazi na naendelea vizuri narudi mzigoni very soon!!! @juma_jux @juma_jux'

    Je Una maoni Gani ?

    Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2015........Ali Kiba Kashinda Tuzo 5, Diamond 2

    Posted: 13 Jun 2015 11:02 PM PDT

    Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za muziki Tanzania Kilimanjaro Music Awards 2015 zilizofanyika 13 June 2015 Mlinani City jijini Dar es salaam.

    1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND

    2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB

    3. BENDI BORA YA MWAKA - FM ACADEMIA

    4. MSANII BORA CHIPUKIZI - BARAKA DA PRINCE

    5. WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA (WAITE) -MRISHO MPOTO FT. FELLY KANO

    6. WIMBO BORA WA ZOUK/RHUMBA - NITAMPATA WAPI - DIAMOND PLATINUMZ

    7. WIMBO BORA WA AFRO POP - MWANA ALI KIBA

    8. VIDEO BORA YA MWANAMUZIKI YA MWAKA - MDOGOMDOGO - DIAMOND PLATINUMZ

    9. MTAYARISHAJI BORA WA MWAKA BENDI - ENRICO

    10. MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA BONGO FLEVA - NAHREEL

    11. MTUNZI BORA WA MWAKA- HIP HOP - JOH MAKINI

    12. MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI - JOSE MARA

    13. MTUNZI BORA WA MWAKA BONGO FLEVA - ALI KIBA

    14. MTUNZI BORA WA MWAKA TAARAB- MZEE YUSSUF

    15. MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA WA KIUME - ALI KIBA

    16. MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA WA KIKE - VENESSA MDEE

    17. MWIMBAJI BORA WA KIUME TAARAB - MZEE YUSSUF

    18. MWIMBAJI BORA WA KIUME BONGO FLEVA - ALI KIBA

    19. MWIMBAJI BORA WA KIKE TAARAB - ISHA MASHAUZI

    20. MWIMBAJI BORA WA KIKE BONGO FLEVA - VANESSA MDEE

    21. WIMBO BORA WA TAARAB (MAPENZI HAYANA DHAMANA)- ISHA MASHAUZI

    22. WIMBO BORA WA MWAKA (MWANA)- ALI KIBA

    23. WIMBO BORA WA KISWAHILI BENDI (WALEWALE) -VIJANA WA NGWASUMA

    24. WIMBO BORA WA R&B (SIKSIKII)- JUX

    25. RAPA BORA WA HIP HOP - KIPI SIJASIKIA ( PROF J FT. DIAMOND PLATINUMZ)

    26. MSANII BORA WA HIP HOP - JOH MAKINI

    27. WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI (SURA YAKO) - SAUTI SOL

    ALI KIBA Azoa Tuzo Tano Kwa Mpigo Tuzo za Kilimanjaro Music 2015

    Posted: 13 Jun 2015 10:59 PM PDT

    Tuzo za muziki Kilimanjaro, KTMA 2015, zimefanyika Jumamosi hii katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambapo Alikiba ameongoza kwa kuchukua tuzo tano.

    Joh Makini akiwa mwenye furaha baada ya kukwaa tuzo
    Joh Makini ni mmoja wa washindi usiku wa Jumamosi

    Tuzo alizoshinda Alikiba ni pamoja na mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume, Wimbo bora wa mwaka, mtunzi bora wa mwaka muziki wa bongo fleva, msanii bora wa mwaka pamoja na mwimbaji bora wa kiume wa Bongo Flava.

    “Nawashukuru media zote na wote kwa kweli pongezi nyingi zinaenda kwa my strongest #Teamkiba yourthe best #kingkiba_for_life,” ameandika Kiba kwenye Instagram. Msanii huyo kwa sasa yupo Dallas nchini Marekani.

    Diamond, Vanessa Mdee, Mzee Yusufu,Isha Mashauzi pamoja na Joh Makini wote wameibuka na tuzo mbili kila mmoja.

    “#GODENGINEERING #TEAMWEUSI WE DID IT AGAIN !!! WE WON TWO!! KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS!! THANK Y’ALL FOR VOTE,” ameandika Joh Makini.

    Hii ni orodha nzima ya washindi wa KTMA 2015:

    Mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume wa mwaka – Alikiba

    Mwimbaji bora wa kike Bongo Flava ameshinda – Vanessa Mdee

    Msanii bora wa kiume Taarab – Mzee Yusuph

    Mwimbaji bora wa kike Taarab – Isha Mashauz

    Mwimbaji bora wa kiume bendi – Jose Mara

    Wimbo bora wa mwaka wa muziki wa Taarab – Mapenzi Hayana Dhamana – Isha Mashauzi

    Wimbo bora wa mwaka – Mwana (Alikiba))

    Wimbo bora wa Kiswahili bendi – Walewale (FM Academia)

    Wimbo bora wa muziki wa R&B – Sisikii (Jux)

    Wimbo bora wa Hip Hop – Kipi Sijasikia (Professor Jay)

    Wimbo bora wa Reggae & Dance Hall – Let Them Know (Maua Sama)

    Rapper bora wa mwaka, bendi – Ferguson

    Msanii bora wa Hip Hop – Joh Makini

    Wimbo bora wa Afrika Mashariki – Sura Yako (Sauti Sol)

    Mtunzi bora wa mwaka, Taarab – Mzee Yusuph

    Mtunzi bora wa mwaka, Bongo Flava – Alikiba

    Mtunzi bora wa mwaka, bendi – Jose Mara

    Msanii bora chipukizi – Baraka Da Prince

    Mtunzi bora wa mwaka Hip Hop – Joh Makini

    Bendi bora ya mwaka – FM Academia

    Mtayarishaji bora wa nyimbo, Bongo Flava – Nahreel

    Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, Taarab – Enrico

    Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, bendi – Amoroso

    Wwimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania – Mrisho Mpoto

    Kikundi bora cha mwaka muziki wa Taarab – Jahazi Modern Taarab

    Kikundi bora cha mwaka muziki wa Bongo Flava – Yamoto Band

    Posted: 13 Jun 2015 11:45 PM PDT

    Faiza Ally Atoa Mpya Usiku Huu wa KTMA...Vazi lake Latia Aibu ..Wengi Hawajalipenda Wampa Vidonge Laivu

    Posted: 13 Jun 2015 01:47 PM PDT

    Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...

    Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:

    Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo

    Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma hapana, hapana!!!

    Mwakipesilejeremiah Kwakweli mheshimiwa Mbilinyi alikosea njia.

    Pendomackay_mobileshop Iko kimstar cha matakon angekiweka sawa km vilivokaa vnge angalau ingevumilika,asa nako kakabinulia kwa chini ili tako lionekane mweeh alitegemea kusifiwa ila kwa coment hz unaweza jiona takataka

    RathhawaPumbavu kabisa mwanamke hana haya huyu. Mara avae pempers,mara avae shati tupo. Bora aende uchi tu


    Missbutter_beiby Yaani hata wakati anahojiwa hakuwa na amani kabisa anahemea juu juu tu 😂😂😂akakataa kugeuka lol aibu hata km ni umaarufu sio kihvy angefunika tu hilo tako na am sure hata huko alipokaa hayupo confotable kabisa

    sophy_soffy Sifa za kjinga hizo! Mtu mwenyew ana umarufu gani! Eboo...' hata filamu 5 hajaact! Kisa tu kazaa na mweshimiwa na kaonekana ktk interview ya take one! Bas tabu tupuu' ovyoooo! Yan kaharibu..'mtto wake cjui anamfunza nn!@zamaradimketema@mrekebishatabia


    gwantwamwangoka Mmmh too much aiseee....huyu akapimwe akili lol...duu mnaweza kuona mwenzenu mzima kumbe anautindio Wa ubongo .kichaa sio lazima aokote makopo .hata havutii


    Je wewe una Maoni Gani Kwa Vazi Hilo la Faiza Ally?

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 15, 2015, 4:57:42 PM6/15/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Wema Sepetu na Jokate Mwegelo Waongea Lugha Moja Kusherehekea Ushindi wa Alikiba!

    Posted: 15 Jun 2015 06:25 AM PDT

    Alikiba na Jokate wanadaiwa kuwa na uhusiano. Wema amekuwa upande wa Kiba tangu kuachana na Diamond na wengi wamekuwa wakikichukulia kama ni kisasi.
    Baada ya ushindi huo warembo hao walitumia Instagram kutoa pongezi zao.
    “Hongera sana cherie @officialalikiba kwa kujishindia tuzo sita jana usiku kwenye kiba Tanzania music awards (KTMA) sorry Kilimanjaro Tanzania music awards 2015. Teh teh the,” aliandika Jokate.
    “Ni kitu cha kumshukuru Mungu ulikaa kimya miaka 3 ila ukarudi na wimbo mmoja ukatuteka tena. Kusema ukweli tukiachilia mbali ushabiki ‘mwana’ ulituliza akili na ukafanya vizuri sana nchini. Mashabiki wanakupenda. Sana. Mpole hivi, mcheshi, mstaarabu. Na unajua mziki. Tunakuombea sasa hii iwe motisha ya wewe kufika mbali zaidi. Ndio kwanza safari imeanza. Uzuri unaomba mungu so najua hata kutupa. Ila kaza mwana we kazaaa!!! We are behind you,” aliongeza.
    Naye Wema aliandika: Nilitaka zote saba ila hata 6 pia sio mbaya…. #KingKiba…. Umetisha.”
    Jokate pia amepost picha akiwa na Wema na kuandika: It’s a beautiful and powerful thing when strong girls come together. emojiemojiemoji️. With The Sweetheart @wemasepetu.”

    TANZIA: Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba amefariki asubuhi ya leo.

    Posted: 15 Jun 2015 01:22 AM PDT

    Muda mfupi uliopita nimepata taarifa kuwa kiongozi mkuu wa waislamu nchini Tanzania Mufti Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia.

    Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla.

    Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,
    Innalilah wainailah Rajiun.

    Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.
    The Grand Muft of Tanzania has passed away.

    Chanzo: Abdul Mohamed

    Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida

    Posted: 15 Jun 2015 01:20 AM PDT

    WATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.

    Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka alisema mjini hapa jana kuwa ajali ya kwanza ilitokea Juni 11 mwaka huu saa 1.30 usiku eneo la Manga nje kidogo ya mji huu kwenye Barabara Kuu ya Singida – Mwanza.

    Alisema ajali hiyo ililihusisha basi lenye usajili wa namba T174 CAV Scania la Kampuni ya Nice Line linalomilikiwa na Enock Mwita wa jijini Mwanza ambalo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza.

    Dereva wa basi hilo aliligonga kwa nyuma gari la mizigo lenye namba za usajili RAT 317N/ RL 0754 aina ya Benz lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa barabara hiyo na kusababisha vifo vya abiria watatu papo hapo. Wengine wawili walifia hospitalini na kusababisha majeruhi 37.

    Kwa mujibu wa Kamanda Sedoyeka, dereva huyo ambaye alikimbilia kusikojulikana baada ya ajali kutokea, alikuwa kwenye mwendo kasi. Katika ajali nyingine iliyotokea Juni 12 saa 12.15 asubuhi katika eneo la Kindai kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma nje kidogo ya mji huu, gari aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T 998 CWG liliacha njia na kupinduka kisha kusababisha kifo cha abiria mmoja na majeruhi wanane.

    Alisema abiria wa gari hilo walikuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya kuhudhuria mazikoi ya ndugu yao na gari lao lilipofika eneo la ajali kwenye kona kali dereva wake, Paul Bundala alishindwa kulimudu kutokana mwendo kasi.

    Baadhi ya waliokufa katika ajali hiyo ni Shija Masanja,Yohana Chimole na Febronia Kway. Miili ya waliotajwa na wengine watatu ambao majina yao hayajatambuliwa imehifadhiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida ambapo pia wamelazwa majeruhi.

    Maneno Aliyoyasema Mwanamuziki Barnaba Baada ya Kukosa TUZO ya Mtunzi Bora wa Mwaka iliyoenda kwa ALI KIBA

    Posted: 15 Jun 2015 01:12 AM PDT

    Hatimae Aliyekuwa Akitegemewa Kupata Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka Kill Awards Mwanamuziki Barnaba Ametoa ya Moyoni Baada ya Kuikosa Tuzo Hiyo:

    Barnaba - Nawashukuru watu wangu wote na mashabiki Zangu mlionipiga Kura naamini kila kilichotokea Kimestahiri Kutokana Mimi nampenda mungu na naamini kuna Kitu kinaitwa Wakati au muda na napenda Changamoto mana hii Itafanya Nifanye Vyema mara mbili ya pale ninapofanyaga Yes Of coz mimi sinaga Team Bali Team yangu ni wale wote wanaopenda Muziki Mzuri nawapenda wote na nawapa Ongera wenzangu wote mlioshinda Bila kusahau kipenzi Changu #bestfemaleperformer and #bestfemaleartist @Vanessamdee Kushinda kwako ni wazi inaonesha wazi kazi nzuri Aya Tunaendelea na kazi Ya kuangusha Vyuma Juu Ya Vyuma na mwaka Huu natoa #Album Ambayo itafanya Yule asiyemwelewa Barnaba ajue na aelewe mwisho nawakumbusha Umoja ni nguvu utengano............. Tusijenge Matabaka Nndugu zangu

    Una Maoni Gani ?

    Chriss Brown Amjibu Karrueche...Akubali Kulikosa PENZI la Mrembo Huyu ..Amtakia Furaha na Amani Huko Alipo ..Soma Hapa

    Posted: 15 Jun 2015 12:35 AM PDT

    From @chrisbrownofficial - I'm eternally thankful for you being in a part of my life. I've learned so much from you. I wish u nothing but happiness and the best. ️ @karrueche all I was doing was trying to fight for the woman I love. ThanxI learned a lot

    Aliye Kuwa Mchumba wa Chriss Brown Karrueche Amchinjilia Mbali Chriss Brown Ataki Tena Kuwa Naye....Amemchoka na Visa Vyake

    Posted: 15 Jun 2015 12:28 AM PDT

    @karrueche - First off @chrisbrownofficial you just did an interview w Ryan Seacrest in which you spoke about me. My interview w Access Hollywood was not entirely about you.. they asked a question and as a mature adult I answered. I'm not gonna shy away from something that I lived through. I'm talking about my life and experiences. I'm not speaking on you or bashing you (like I easily could). Don't be mad at me because our relationship is over due to your lack of loyalty. You know what's weak?? You forcing yourself into my car.. my broken window.. blowing up my phone.. trying to shower me w gifts.. Man the fuck up and change the bs in your life like I've told you several times. Since you want to hear about my career - check out @vanityseries every Thursday on StyleHaul.com.. Emmy winning @thebaytheseries this Sept and 3 Headed Shark Attack on SyFy next month. Best of luck to you and beautiful Royalty ️

    Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo

    Posted: 14 Jun 2015 11:05 PM PDT

    WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

    Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.

    Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo ya juu ya kuiongoza nchi kwa miaka mitano ijayo.

    Akiwa ametanguliwa na wanawake wengine Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani, Amina Salum Ally, aliyekuwa Mbunge wa Iringa na pia alishakuwa Naibu Waziri wa Fedha, Monica Mbega, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele Malecela.

    Migiro aliyewahi kushika wadhifa wa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), atatanguliwa na kada wa CCM, Salum Marupu ambaye anatarajia kuchukuwa fomu za kuwania nafasi ya urais saa nne asubuhi.

    Aidha, katika siku ya leo, Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki, Samuel Sitta anatarajia kurudisha fomu yake baada ya kupata wadhamini katika mikoa 15 ya Bara na Zanzibar.

    LADIES! Meet Diamond in the Kitchen Cooking Ugali for Zari – VIDEO

    Posted: 14 Jun 2015 11:14 PM PDT


    Whenever he breaks off from his tight performace schedules, Diamond Platnumz loves spending most of his time around his lovely wife, Zari Hassan. Time and again, the Bongo heartthrob has shared videos of himself assisting his pregnant wife to do some of the household chores.

    Well, the nasema nawe hit-maker really knows how to treat his woman right. Ladies, meet ‘cheff Diamond’ cooking Ugali for Zari.


    Diamond Platnumz Nominated For African Achievers Awards 2015, Recognized By Forbes

    Posted: 14 Jun 2015 10:53 PM PDT

    Keep flying Tanzanian flag higher Diamond Platnumz as hard work always pays and gets recognition. Read the later below to know more about African achievers awards.


    Yamoto Band Baada ya Kupata Tuzo ya Kill Music Wameamua Kufuata Njia Alizopitia Diamond PLATNUMZ..Wameamua Kufanya Hili

    Posted: 14 Jun 2015 10:44 PM PDT

    Kundi la muziki wa bongo flava nchini, Yamoto Band wanatarajia kukwea pipa kwenda Afrika Kusini kwa ajili yakufanya video ya wimbo wao ‘Cheza kwa Madoido’ na muongozaji mahili barani Afrika, Godfather.

    Yamoto Band ambao usiku wa kuamkia jana walitwaa tuzo ya Kili katika kipengele cha ‘Kikundi bora cha muziki (Bongo Flava) wameamua kwenda Afrika Kusini kufanya video ikiwa ni hatua za awali za kuingia katika soko la kimataifa.

    Aidha Yamoto Band wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa ‘Nisambazie Raha’ unaofanya vizuri sana katika vituo vya radio iliyofanyika chini ya uongozaji wake Isangi Mental.

    Maskini Timu yatu ya Taifa Yachapwa Bao Tatu Bila na Misri..Kocha Azidi Kujifungulia Milango ya Kutimuliwa

    Posted: 14 Jun 2015 10:40 PM PDT

    TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria.

    Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.

    Imebainika Kuwa Idadi Kubwa ya Watangaza nia ya URAIS 2015 Yaipunguzia Kazi CCM

    Posted: 14 Jun 2015 10:34 PM PDT

    IDADI kubwa ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kutoa ahueni kubwa kwa vikao vya uamuzi na hasa Kamati Kuu, katika kufanya mchujo wake.

    Wakizungumza na gazeti hili kuhusu kuibuka kwa zaidi ya wanachama 30 wa CCM kuwania nafasi hiyo kubwa nchini, wasomi wa fani ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameelezea namna ambavyo hatua hiyo itakavyorahisisha kazi ya kumpata mgombea.

    Mmoja wa wahadhiri wa fani ya siasa chuoni hapo, Dk Jingu John, amesema kujitokeza kwa wagombea wengi, kunatoa fursa nzuri kwa kuwa wangejitokeza wachache, Kamati ya Maadili na Usalama na Kamati Kuu ya CCM ingekuwa katika wakati mgumu kufanya mchujo.

    “Katika mazingira ya sasa tunaweza kusema kwa kufuata vigezo na kanuni zao, wanaweza kupata wagombea wazuri kuliko wangejitokeza wagombea kama wawili au watatu, ni kama wamepunguziwa kazi,” alisema Dk Jingu.

    Msimamo wa JK Mhadhiri mwingine, Dk Benson Bana, alisema msimamo wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete wa kutokuwa na mgombea, umetoa matumaini zaidi ya kutoonesha upendeleo wakati wa kufanya mchujo.

    “Chama sasa kinapaswa kudhihirisha kuwa kina uongozi imara, Mwenyekiti anatakiwa ahakikishe kanuni na taratibu zinazingatiwa… kama alivyowahi kusema urais hauna ubia, tunatarajia hata uenyekiti wake hauna ubia,” alisema Dk Bana.

    Dk Bana alisema hatua ya Kikwete kutokuwa na upande wowote, imeonesha namna alivyokomaa kisiasa ndio maana mpaka sasa hajaonesha upande alioko na hata wagombea wanatarajia haki itatendeka.

    Mwanzoni mwa wiki hii Rais Kikwete alipozungumza na Watanzania wanaoishi nchini Uholanzi, alikiri kuwa baadhi ya watangaza nia wamekuwa wakiomba ridhaa yake, ambapo yeye hakuna aliyemkatisha tamaa badala yake amemtakia kila la heri aliyejiona ana ubavu wa kutaka kumrithi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

    Rais Kikwete katika hilo, alisema ana imani na chama anachokiongoza, kuwa kitafanya chaguo sahihi la mgombea wa urais atakayepeperusha vyema bendera ya CCM katika mchakato wa kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania baadaye mwaka huu.

    ” Huu ni mwaka wa uchaguzi, kuna mengi yanayoendelea, hasa mchakato wa kuwania urais… huko CCM mpaka leo (Jumatatu iliyopita) watu 15 walishachukua fomu, na wengine zaidi ya 15 ama wametangaza nia au wanakusudia kufanya hivyo.

    “Ndiyo demokrasia ndani ya CCM, lakini niwahakikishie acheni waumane, lakini mimi binafsi sina chaguo langu. Chama ndicho kitakachoamua na ninaamini kitatupatia kiongozi sahihi kwa saizi na hadhi ya CCM na huyu atatuvusha mpaka Ikulu. “Jana (Jumapili iliyopita), kuna mtu alinitumia ujumbe akisema anakusudia kutia nia hivyo nimpe baraka zangu…nikamwambia `Good luck’ (Kila la heri), sasa kama alitafsiri ndiyo tayari mambo safi, aah…sijui bwana, ila mimi sina mgombea.

    “Nasisitiza chama chetu ni makini na kitatupatia mgombea makini. Mwenyezi Mungu atuepushie mbali ili tusipate kiongozi atakayeipeleka nchi pabaya,” alisema na kuwataka Watanzania wanaoishi nchini Uholanzi kutokuwa na hofu juu ya mchakato huo ndani ya CCM. CCM kumeguka?

    Akizungumzia hofu ya watu kuwa huenda baadhi ya wagombea watakaokatwa wangeweza kutoka katika chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani, Dk Bana alisema haoni mgombea hata mmoja aliyejitayarisha kuhamia upinzani na ikitokea, haoni namna mgombea huyo atakavyojijenga kisiasa.

    Vikao vya mchujo Mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba ridhaa ya CCM kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ule wa Zanzibar ulioanza Juni 3 mwaka huu, unatarajiwa kukamilika Julai 2 mwaka huu.

    Baada ya kuchukua fomu, kila mgombea ametakiwa kuzunguka mikoa 15 nchi nzima, mitatu lazima iwe ya Zanzibar kusaka wadhamini 450, wastani wa wadhamini wasiopungua 30 kila mkoa, hatua ambayo imekuwa ikiendelea na kugonganisha wagombea katika mikoa mbalimbali nchini.

    Kwa upande wa nafasi ya urais wa Zanzibar, ambayo mpaka jana hakukuwa na mgombea hata mmoja aliyejitokeza kuwania nafasi hiyo, mwanachama atakayechukua fomu, atatakiwa kutafuta wadhamini 250 kutoka mikoa mitatu ya Unguja na Pemba.

    Baada ya kazi ya kupata wadhamini kukamilika, vikao mbalimbali vya uchujaji wa majina ya wagombea vinatarajiwa kuanza, vikitanguliwa na kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili, kitakachokutana Julai 8, mwaka huu.

    Kikao hicho kinatarajiwa kuandaa mapendekezo, yatakayosomwa na kujadiliwa na kikao cha Kamati Kuu kitakachokutana Julai 9, ambacho ndicho kinachoelezewa na wasomi kuwa kitakuwa na kazi nyepesi ya kuchuja majina ya wagombea, ili wapatikane wasiozidi watano watakaopelekwa kwa mchujo zaidi katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM.

    Kikao cha Nec kinachotarajiwa kukutana Julai 10 mwaka huu, kitachuja majina hayo zaidi na kutoka na majina matatu, yatakayopelekwa katika Mkutano Mkuu utakaofanyika kwa siku mbili za Julai 12 na Julai 13 mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine, mkutano huo ndio utakayemtoa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa CCM na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho.

    Wagombea Wanachama na vigogo waliokwisha kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo kubwa kitaifa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba, Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja, mkazi wa Musoma mkoani Mara, Boniface Ndengo, mkulima kutoka kijiji cha Mjimtala wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Eldefonce Bilohe na kada wa siku nyingi wa chama hicho, Dk Hassy Kitine.

    Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (Nimri), Dk Mwele Malecela na Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kingwangalla.

    Pia yupo Balozi Amina Salum Ally, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Kilimo na Chakula, Steven Wassira, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal na Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.

    Wengine ni Balozi Ally Karume, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, Mtumishi wa CCM Idara ya Siasa na Uhusiano wa Tanzania, Amos Siyantemi na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta.

    Pia yupo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Wakili Mwandamizi Mahakama Kuu Tanzania, Godwin Mwapango, na makada wengine wa CCM, Peter Nyalile na Leonce Mulenda.

    Wengine aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere, Balozi Agustino Mahiga, Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Monica Mbega na kada wa CCM kutoka mkoani Tanga, Dk Mzamini Kalokola.

    Revealed: This is why Diamond missed the KTMA show

    Posted: 14 Jun 2015 10:29 PM PDT

    Well, I think Diamond decided to miss the show because he knew that Ali Kiba was not going to be there too, so he did not want to get embarrassed seeing most of the Awards taken by #KingKiba who was not around.

    What’s Wrong with this Jux and Vanessa’s Photo at the KTMA last Night

    Posted: 14 Jun 2015 10:29 PM PDT

    To me this Photo says something must have been going on between Jux and his chick Vanessa and their Neighbors…
    What do you think? Feel free to drop your comments  below…

    Kilicho Mponza DIAMOND PLATNUMZ Tuzo za Kill Music Hichi Hapa, Wema na Jokate Watambiana Mabwana, Vanessa na Jux Wapakatana

    Posted: 14 Jun 2015 10:21 PM PDT

    Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu.

    Mpango mzima ulianza, mishale ya saa tatu za usiku ambapo wasanii pamoja na wadau mbalimbali walijumuika kwenye zulia jekundu na kupiga ‘mapichapicha’ ya ukumbusho kabla ya mchakato wa kutoa tuzo haujaanza.

    Baada ya hapo, pazia la burudani lilifunguliwa na msanii chipukizi, Ruby anayetamba na ngoma yake ya Na Yule, akafuatiwa na Ommy Dimpoz, baadaye akapanda jukwaani Barnaba Elias sambamba na Vanessa Mdee, akapanda Christian Bella kisha Weusi wakiongozwa na Joh Makini na Nikki II wakafunga pazia la burudani kwa kukamua ile mbaya.

     ALI KIBA ANG’ARA

    Ali Kiba.

    Baadaye ulifuatia mchakato wa kutoa tuzo ambapo msanii Ali Kiba, alizoa tuzo tano; Mtumbuizaji Bora wa Mwaka, Wimbo Bora wa Mwaka (Mwana), Mtunzi Bora wa Mwaka (Bongo Fleva), Wimbo Bora wa Afro (Mwana) na Mwimbaji Bora wa Kiume (Bongo Fleva) huku hasimu wake Diamond Platinumz akiambulia tuzo mbili tu; Wimbo Bora wa Zouk/ Rhumba (Nitampata Wapi) na Video Bora ya Muziki ya Mwaka (MdogoMdogo).

     KILICHOMPONZA DIAMOND NI HIKI

    Kutokana na matokeo hayo, inaelezwa kuwa kilichomponza msanii Diamond Platinumz ni ujumbe wake aliowahi kuutuma kwenye mitandao ya kijamii, akiziponda Tuzo za Kili kwamba hazizingatii vigezo, kwa kuwaacha wasanii wanaofanya vyema kwenye tasnia ya muziki na badala yake, ‘kuwapendelea’ baadhi ya wasanii kutokana na sababu binafsi za waandaaji.

    “Unajua Diamond alikosea sana kuziponda Tuzo za Kili kwa sababu ndizo zilizompaisha mwaka jana, matokeo yake amempa nafasi mpinzani wake, Ali Kiba kung’ara kwa kunyakua tuzo kibao, nafikiri atakuwa amejifunza jambo,” alisema Bruno Sanga, mmoja kati ya wadau waliohudhuria utoaji wa tuzo hizo.

     WASHINDI WENGINE

    Ukiachilia mbali Ali Kiba na Diamond, wengine walioziteka tuzo hizo ni mwanadada Vanesssa Mdee aliyenyakua tuzo mbili; Mtumbuizaji Bora wa Mwaka (Kike) na Mwimbaji Bora wa Kike (Bongo Fleva), Mzee Yusuph; Mwimbaji Bora wa Kiume Taarab, Mtunzi Bora wa Mwaka (Taarab) na Kundi Bora la Taarab (Jahazi).

    Wengine ni Jose Mara aliyenyakua tuzo mbili, Isha Mashauzi, Joh Makini, Baraka Da Prince (Msanii Bora Chipukizi), Nahreel (Mtayarishaji Bora wa Mwaka) na Mrisho Mpoto aliyeondoka na Tuzo ya Wimbo Bora Wenye Vionjo vya Asili (Waite).

    Sauti Sol walinyakua Tuzo ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki (Sura Yako), Profesa Jay (Wimbo Bora wa Hip Hop - Kipi Sijasikia), Jux (Wimbo Bora wa R&B- Sisikii) na Wimbo Bora wa Bendi wa Kiswahili iliyokwenda kwa FM Academia (Vijana wa Ngwasuma) na Bendi Bora ya Mwaka (FM Academia) huku Yamoto Band wakinyakua tuzo ya Kikundi Bora cha Mwaka (Bongo Fleva).
    GPL

    Shule ya Msingi Yafungwa kwa Hofu ya Simba Mla Watu

    Posted: 14 Jun 2015 10:13 PM PDT

    SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.

    Shule hiyo ambayo iko jirani na hifadhi hiyo ilifungwa mwishoni mwa mwaka jana kutokana na matukio hayo hali ambayo ilisababisha wazazi kuogopa watoto wao kudhuriwa na wanyama hao hivyo kuwahamishia watoto wao kwenye shule ya Msingi ya Saadani.

    Akizungumza jana, Mtendaji wa Kijiji cha Saadani, Hussein Msilu alisema mara baada ya matukio hayo wazazi wa watoto hao waliingia hofu na kuwaondoa watoto wao wapatao 67 na kuwahamishia kwenye shule hiyo ya Saadani ambayo iko umbali wa kilomita kati ya sita na saba.

    Msilu alisema kutokana na hali hiyo uongozi wa kata na kamati ya shule kwa pamoja walikubaliana wanafunzi hao kuhamishiwa kwenye Shule ya Msingi Saadani kutokana na hofu iliyotanda kuwa wanafunzi wanaweza kuliwa na simba hao.

    Alisema wanaushukuru uongozi wa kiwanda cha chumvi kwa kutoa usafiri kwa ajili ya kuwasafirisha wanafunzi kwenda na kurudi kutoka kwenye Kitongoji hicho cha Saadani Chumvi hadi shuleni Saadani, kwani umbali ulikuwa mrefu sana pia ni hatari kwani wanapita ndani ya hifadhi hiyo ambayo ina wanyama mbalimbali.

    Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete alisema alipata taarifa hiyo na kuwasiliana na mamlaka husika na kwamba tayari zilichukuliwa za kuwaondoa simba hao, lakini kilichobaki kwa sasa ni hofu ya wananchi.

    Aidha, aliwatoa hofu wazazi na kuwaambia wawarejeshe watoto hao shuleni hapo ili waendelee kusoma hapo kwani ni karibu na makazi yao tofauti na Saadani ambako ni mbali pia ni usumbufu mkubwa kwao, kwani hali hiyo imedhibitiwa.

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 16, 2015, 4:51:53 PM6/16/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Team Diamond vs Team Alikiba: Kinachoendelea Instagram Kinatutia Aibu Watanzania!

    Posted: 16 Jun 2015 10:52 AM PDT


    Upinzani kati ya Diamond Platnumz na Alikiba sasa unaelekea kubaya. Kiukweli nimesikitishwa sana na kile ambacho ninakiona kikiendelea kwenye Instagram kati ya kambi hizi mbili.


    Infact nahisi ushabiki huu una hasara nyingi kuliko faida kwenye industry yetu. Kwa leo sitaongelea jinsi ushabiki wa wasanii hawa wawili wenye nguvu unavyofanya wasanii wengine wanaofanya vizuri nchini kutoangaliwa, bali nitazungumzia kusikitishwa na kile kinachofanyika Instagram ambapo mashabiki wa Alikiba wameanzisha kampeni ya kuhakikisha kuwa Diamond anakosa tuzo kwenye MTV MAMA pamoja na mashabiki wa Diamond kumtukana Davido bila hatia!

    Kwanini lakini tunafanya hivi? Hivi kweli tunaamua kujidhalilisha kiasi hiki? Majirani zetu wanatucheka, wanatubeza, wanatushangaa kweli kweli! Ushindani huu wa ndani kati ya wasanii hawa wawili kwanini uondoe utaifa wetu? Ushabiki gani huu?

    Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania vipengele vitatu kwenye tuzo za mwaka huu za MTV MAMA, iwapo akishinda, ushindi wake si wa familia yake na mashabiki wake peke yake, ni ushindi wa nchi nzima.
    Kitendo kinachofanywa na maadui zake ambao infact ni mashabiki wa Alikiba na Wema Sepetu cha kuhamasishana kuwapigia kura Davido na Wizkid ili washinde na kumkomoa Diamond si kizuri.

    Ni vyema linapokuja suala la kimataifa, tuweke tofauti zetu pembeni na tuwe kimoja. Kama hili haliwezekani, ni vyema kukaa tu kimya kuliko kuhamasishana kuwapigia kura wapinzani ili msanii wa Tanzania akose.

    Haya, jana nimeshuhudia kitu kingine cha ajabu kabisa kwenye Instagram. Davido aliweka post kuonesha nominations nne alizopata.

    From nowhere, comments nyingi zikawa ni kati ya Diamond vs Davido! Kwanini? Hii ni page ya msanii wa Nigeria ambaye anawataarifu mashabiki wake kuhusiana na nominations zake sasa huu ushabiki wa Diamond na yeye unatoka wapi tena?

    Mbona tunatiana aibu kiasi hiki? Mbona tunaonekana malimbukeni na wageni wa mitandao? Hatuna kazi za kufanya ama nini hiki? Ndio, hadi wanaijeria wanatushangaa na kutuona kama wageni wa hivi vitu? Ugomvi wa Diamond na Davido ulishaisha siku nyingi sasa kwanini mashabiki wanalazimisha uendelee kuwepo?

    Kama unampenda Diamond si unajua jinsi ya kumpigia kura, sasa kwanini uende kwenye page ya mtu ambaye wala hana time na masuala hayo na kuanza kumchafulia tu post yake?

    Kiukweli tunatiana aibu. Tubadilike!

    Bongo5

    Baba Haji, Lemutuz Watifuana, Kisa Mchango wa Harusi

    Posted: 16 Jun 2015 10:55 AM PDT


    Staa wa Bongo Movies, Adam Haji ‘Baba Haji’ amemtolea uvivu ‘The King Of All Bongo Social Media Network’ Lemutuz kutokana na tukio la udhalilishaji  alilolifanya dhidi yake!

    Lemutuz ambaye amezoeleka kwa kutoa hisia na mtazamo wake juu ya mambo mbali mbali mtandaoni, mapema wiki iliyopita alimnanga Baba Haji kupitia ukurasa wke kwenye mtandao wa instagram akidai kuwa  amekuwa akisumbua kuhusu michango ya harusikiasi cha kubadili staili ya kudai michango hiyo.

    Kutokana na kitendo hicho Baba Haji alishindwa kuvumilia  na kuamua kuandika waraka wa kumjibu kumjibu Lemutuz kupitia mtandao huo huo wa instagram ambapo wasomaji wengi walimuunga mkono na kumshambulia Le Mutuz

    Waraka wa Baba Haji ulisema hivi;

    Harusi ni jambo la kheri sana kwa wenye kujua, yaani kwa wale ambao Mwenyezi Mungu aliowapa hali ya kulijua hilo! Kiukweli hatuwezi kubisha kwamba ktk Africa watu sote hushauriana na kuchangiana kufanikisha fanction (shughuli) na sio Mahari au maulidi ambayo nimefanya ili kubariki ndoa yangu, na imekuwa kawaida sana kwa miaka ya zamani kabla kuzaliwa kwangu 1980 na hadi sasa.

    Wajinga (Kina Lemutuz) wasiojua wenye hila na gilba na inda hupotosha sana watu kwakua tu wao wazazi wao walituibia pesa za mlipa kodi na kwenda kusoma USA au Ulaya na eti wakachukua mila za huko ambazo ni za kiyunani kwa udhalilishaji dhidi yangu eti nilikusumbua kwa simu kukuomba mchango na kisha nikabadili style ya kukufuatilia unichangie mtu mzima ovyo muongo sana wewe huna utu kabisa umejaa nafsi ya kizembe na ujinga uliopitiliza.

    Sidhani kama una akili timamu na sidhani kama unalilinda jina la mlezi wako abilisi wa mguu mmoja chago mtembea upande upande.

    Baada ya Baba Haji kuweka waraka huu, maoni ya wasomaji wengi yalimshambulia Lemutuzi kwa kile alichokifanya na kumtuliza Baba Haji kwa udhalilishaji aliofanyiwa na mtanzania mwenzake anayejifanya kakulia Marekani.

    Picha: Baba Haji akiwa na mkewake siku ya harusi yao.

    KIU

    This is new Car of Diamond Platnumz Given By his Baby Zari

    Posted: 16 Jun 2015 09:55 AM PDT

    Gift from Zari to Diamond Platnumz...
    Diamondplatnumz Captioned The Above Pic as Follows:
    Thanks alot baby it's Finaly Here ���� @zarithebosslady

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    Posted: 16 Jun 2015 02:52 AM PDT

    Hivi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa Wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na Diamond.

    Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia Wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake Diamond.

    Ila tu nisisitize; Jokate, Wema na Mange, nyie na washabiki wenu mpigien Davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie Diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.

    Na naona Vanesa nae ashaanza kuingia team Wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha Diamond, badilika dada.

    Vote for Diamond ana Vanesa, MTV Awards.

    By Mdau

    Watanzania tumwombee na tujitokeze kumsaidia mwanamuziki Banza Stone kwani yupo katika hali mbaya

    Posted: 16 Jun 2015 02:41 AM PDT

    Akizungumza katika kipindi cha jioni cha E-FM kinachoongozwa na Gadner G. Habash mama mzazi na kaka wa damu wa mwanamuziki fundi na bora wa kizazi cha kati cha watanzania Ramadhani Masanja a.k.a mwalimu wa walimu / Banza stone wamesema kuwa mwanamuziki huyo sasa ni siku ya tatu " hatoi kauli " na " hataki tena kunywa dawa " na " hali yake sasa inazidi kudhoofika " hali inayopelekea wao kukata tamaa na kumwachia mwenyezi mungu. 

    Hata hivyo mama mzazi wa banza stone aliwashukuru sana wafanyakazi wa kituo cha redio cha e fm na msanii mwenziye muumini mwinjuma kwa kuwa wamekuwa bega kwa bega kujitokeza mara kwa mara kumtembelea na kumsadia mwanamuziki huyo mahiri ambaye binafsi nakiri kuwa huyu jamaa hakika ni " fundi " ktk medani za uimbaji na utunzi na hili halina ubishi.

    Kinachonisikitisha sana ni kwamba hata wanamuziki wenzake tu ni kama vile wamemsusa mwenzao ukiachilia mbali huyo muumini mwinjuma na inasemekana kuwa hata wakipigiwa simu hawapokei na wengi wao wanajifanya wapo busy kwenye ma concert yao wakati ukweli ni kwamba wengi wao tunao humu humu mjini.

    Hasira yangu kubwa ipo kwa wale mapedeshee wa mjini ambao nakumbuka walikuwa wakimfuata banza stone na kumpigia magoti kuwa awataje katika nyimbo zake kwa mfano " papa antibiotique muzee wa jamii forum mutu ya fedha mingi " ( wakati ukweli hata hizo hela sina ) lakini sasa hata kumsikia tu huyu jamaa aliyekuwa akiwafagilia hawataki na wanamkwepa.

    Uchungu wangu mwingine naupeleka kwa marafiki zake ambao wakati ameugua mara ya kwanza na kupata nafuu ndiyo walikuwa wa kwanza kwenda kumchukua na kumpeleka kula nae bata huku wakimpa mipombesigarana powder huku wao wakidhani kuwa wanamsaidia kumbe ndiyo wamemfikisha hapa alipo sasa.

    Jazba zangu za mwisho nazielekeza kwa wanahabari wa tanzania ambao nina uhakika wengi wao wameweza sana kutengeneza majina yao kupitia mgongo wa banza stone haswa kwa kupata habari zenye mvuto kutoka kwake na nakumbuka kuna tv nyingi sana zilikuwa zinamtumia banza stone kama chambo chao ktk kuvutia watazamaji wao lakini sijaona mwandishi yoyote aliyediriki hata kumpa coverage banza stone juu ya hii hali yake mbaya ya kiafya.

    Hitimisho:
    Najua wengi sasa tunasubiria tu kwa hamu labda Israeli afanye yake kwa Banza stone ili sasa tuanze kushindana kuvaa sutimadela,miwani huku tukienda na magari yetu ya kifahari msibani, kujifanya ku pledge mahela mengi huku tukitafuta coverage ya kutosha ktk media kwa kujifanya tunamjua sana banza stone na kutoa machozi ya kinafiki nakizandiki.

    Chonde chonde watanzania wenzangu hali yaBanza stone ni mbaya....narudia nimbaya......na namalizia kusema kuwa nimbaya na naomba uzi wangu huu umguse kila mtu na tujitokezeni kwenda kumjulia tu hali na tuache ushamba kuwa kwenda kumwona mgonjwa ni mpaka uende na kitu ila kwenda kwako tu na maneno yako ya hekima,utu na busara kwa Banza stone kunaweza kumsaidia na akarudi katika hali yake ya kawaida.

    Ewe Mwenyezi Mungu mpe nafuu na mjalie afya njema mwanamuziki wetu kipenzi Ramadhani Masanja (Banza stone ) kwani bado tunamujhitaji katika tasnia hii ya muziki wa dansi. 

    Amina / Amen.

    Nawasilisha..

    Source: Jamii forums

    Wema Sepetu Atoa Sababu kwanini HATOMSAMEHE Kajala Masanja

    Posted: 16 Jun 2015 09:50 AM PDT

    Kwa muda mrefu sasa hivi watu wanaofatilia habari za mastaa wa bongo wanafahamu kwamba Waigizaji Wema Sepetu pamoja na Kajala ambao walikua marafiki mpaka Wema akamuokoa Kajala kwenda Jela kwa kumlipia faini ya MILIONI 13, hawapatani sasa hivi hata wakikutana hawasalimiani.

    Wema Sepetu alikutana na Zamaradi Mketema kwenye show ya CloudsTV (TAKE ONE) na kuongea mengi kuhusu Kajala na kwanini hatomsamehe, kwenye hizi video mbili hapa chini kuna Part I na Part II Wema akiongea yote.
    PARTY 2

    Linah Kutoa 'Tamko Kali' kwa mahasimu na Kumuhusu WEMA SEPETU Kumchukulia Bwana Ake

    Posted: 15 Jun 2015 11:04 PM PDT

    Star wa muziki Linah Sanga amesema kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao.


    Linah
    Baada ya kupitia kipindi kigumu cha misukosuko ya kusemwa na vilevile kutukanwa mitandaoni na kulalamika sana, star wa muziki Linah Sanga amesema kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao.
    Kwa mujibu wa Linah kupitia mahojiano exlusive tuliyofanya naye, amesema kuwa tamko hilo kwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi, na kuumia roho.
    Linah amesema kuwa, kwa sasa anajipanga kuandaa waraka huu na kuanzia siku yoyote kutoka sasa, mambo yote kutoka moyoni mwa mrembo huyu anayetikisa chati za muziki ndani na nje ya Tanzania, yatakuwa hadharani.

    Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 16 Juni 2015

    Posted: 15 Jun 2015 10:57 PM PDT























    Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 16 Juni 2015

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 17, 2015, 4:25:40 PM6/17/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    Chama tawala nchini Rwanda, RPF kimebariki Rais Kagame kugombea Urais kwa Muhula wa tatu, kinyume na Katiba ya Rwanda inayotoa mihula miwili tu

    Posted: 17 Jun 2015 10:59 AM PDT

    Rwanda President Paul Kagame's bid to run for a third term has been endorsed by senior members of the country's ruling party, paving the way for a constitutional amendment.

    The ruling Rwanda Patriotic Front (RPF) approved the bid even though the country's constitution provides for two presidential term limits.

    RPF issued a statement on Monday backing a constitutional change after about 600 high-ranking members held a two-day retreat in the capital Kigali.

    "Based on the wishes of Rwandans and party members that have been recently expressed, we support that the [constitution]... should be amended," the RPF statement read.


    Kagame is coming to the end of his second seven-year term and has argued that the constitution had been drawn up by the people and they can determine any changes to the charter.

    Instead of an opposition, over 3.6 million people signed a petition urging parliament to change the constitution to allow Kagame to run.

    In early April, he said he disagreed with initiatives to amend the constitution but was "open" to being convinced otherwise.

    However, observers say most of the people who signed the petition did so under duress.

    Kagame has since addressed the claims.

    "If the allegations that some people have been forced are true, that's a concern and you should also have that concern," Kagame told RPF members.
    Kagame's criicis say he tramples on media and political freedoms, and does not deserve a third term.

    But supporters argue Rwanda has made significant progress since the 1994 genocide and Kagame would transform the country into a middle-income country by 2020.

    While Rwanda has remained relatively peaceful under Kagame's leadership and the RPF's plan for a third term, neighbouring Burundi under similar circumstances has declined into civic unrest.

    Burundi President Pierre Nkurunziza expressed interest in a third term bid on April 25 and the announcement triggered weeks of violent protests by opponents who said the move violated the constitution.

    But analysts do not anticipate a similar eruption in Rwanda if Kagame runs again.


    Source: Theafricareport.com

    Jaji Mkuu Mstaafu na sasa Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu, Augustino Ramadhani amechukua Fomu kuwania Urais kupitia CCM

    Posted: 17 Jun 2015 10:41 AM PDT

    Hatimaye aliyekuwa Jaji mkuu wa Tanzania,Jaji Augustino Ramadhan amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM ili apitishwe kuwania nafasi ya urais hapo mwezi wa kumi.

    Nahisi kama Jaji Ramdhani ndiye atakuwa mgombea kupitia CCM, na mgombea mwenza wake atakuwa Dr Asha Rose Migiro, turufu hii ikishindwa basi CCM watampitisha Dr Augustino Mahiga na mgombea mweza wake atakuwa mama Amina Salum Ally.

    Wema Sepetu kathibitisha anagombea Ubunge !! kayazungumza hapa na ya boyfriend wa Linah.

    Posted: 17 Jun 2015 09:59 AM PDT

    Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.

    Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze kujiandikisha kwenye daktari la kupigia kura, nimekuja kujiandikisha huku kwa sababu mama yangu ni mtu wa singida so nimejiandikisha tayari tukutane 15 tena kuja kuchukua fomu, kwasababu fomu zinatoka tena tarehe 14 mwezi wa saba so inshallah tuombe uzima, kampeni zimeshaanza zile ndogo ndogo nashukuru Mungu naendelea vizuri nahitaji support kwa jamii

    Diva:“…I Know about kampeni za chini chini ambazo ulikuwa unafanya kwa muda mrefu kwaajili ya kugombea Ubunge na umepiga picha kwa Raqay tayari ukiwa na mavazi ya CCM si ndio kampeni pale iko pale pale au??…”

    Wema:“…. Yes nimefanya so ama nilikuwa nazungumza na mangement yangu ambayo yupo Martin kadinda na pia yuko Petiman  ambaye yupo katika suala zima la kampeni yangu so watanzania wajue tu yes  nitachukua fomu ya kugombea Ubunge wa viti maalumu ya mkoani Singida and tutaona uko mbele itakavyokuwa kwasababu hiki ni kinyang’anyiro naingia katika ni kama vile naingia kwenye mapambano yaani vitaani so kuna kupata na  kukosa lakini si fikiri kukosa kwasababu mtu ukifikiri kukosa unajiweka kwenye negative side sana lakini najua kwa nguvu za watanzania na kwa nguvu za wananchi wa Singida wataweza kuniamini na kunipa kura zao.

    Katika mahojiano hayo Diva alimuuliza Wema Sepetu kuhusu ishu ya kuwa na mahusiano na boyfriend wa Lina alisema”...Huwezi amini hizo habari si za kweli kwasababu tulikuwa tunafanya project  zinakuja ila nimeshangashwa kuona kwanini Lina ameenda on air kwenye kipindi na kuzungumza hizo habari kuwa natembea na boyfriend wake naomba watu waelewe kwamba sikweli…”

    Millardayo.com

    Huddah Monroe Shows Off The Love of Her Life (PHOTO)

    Posted: 17 Jun 2015 09:24 AM PDT


    Popular socialite Huddah Monroe is in love. Or at least that’s what she wants us to think..you can never trust these socialites especially Huddah, who was recently caught in a lie after she posted photos she stole from another profile and purported to be hers.

    The lucky man or unlucky man, whichever way you deem fit, in Huddah’s life is apparently a self made millionaire. The socialite lifted the lid on the identity of the lad but only for a while before she took down his photos.

    Contrary to popular belief, the lad is not an aging sponsor.

    She posted: ‘The Love of My Life..’
    Everything about this screams fake!

    Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'

    Posted: 17 Jun 2015 08:29 AM PDT

    Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

    Kweli ama si Kweli?

    Alie Msafi Kuliko WEMA SEPETU Awe wa Kwanza Kuokota JIWE na Kumpiga..Tunahitaji Mwakilisha wa Kutusemea Bungeni..WEMA Uwezo Huo Unao Sina Shaka

    Posted: 17 Jun 2015 08:21 AM PDT

    Marehemu AMINA CHIFUPA(Mungu mrehemu)
    Alipoonyesha nia ya kutaka kuwawakilisha vijana bungeni wengi wambeza sn,walimtukana sn na majina yote akaitwa lkn mwisho wa cku kila mtu aliona umuhimu wake...
    Mh JOSEPH MBILINYI(mr sugu)

    Alitangaza nia ya kuwawakilisha watu wa mbeya walimbeza sn,walimtukana sn na majina yote aliitwa lkn leo anaitwa rais wa mbeya...

    MH VICKY KAMATA alitangaza nia ya kuwawakilisha wanawake weng walimbeza,walimtukana sn na majina yote mabaya wakamwita lkn leo wamama wanajivunia uwepo wake...
    Marehemu JOHN KOMBA(Mungu mrehemu) alipotangaza nia ya kuwawakilisha watu wa kwao,weng walibeza,walimtukana na majina mabaya yote walimwita lkn mwisho wa cku watu wake walifurahi kwa uwakilishi wake..

    Mh mama yetu Mch GERTRUDE RWAKATALE alitangaza nia pamoja na kuwa na kofia ya utumishi wa Mungu lkn hakuna jina mbaya hajawahi kuitwa lkn leo wana moro huwaambii kitu kwa mama huyu....

    NISEME NINI BASI UNIELEWE KILICHOMO NDANI YANGU...MUNGU AKUFUNULIE UELEWE NINI NATAKA KUMAANISHA @wemasepetu.
    Bungeni sio nyumba ya ibada kuwa mwakilishi wake lzm asiwe na dhambi.Watz hatuhitaji asie na dhambi kutuwakilisha bungeni.....tunayo tayari makanisa/misikiti ya kuhitaji viongozi wasio na dhambi,Hatuhitaji Wema utuonyeshe njia ya kwenda mbinguni,tunahitaji mwakilishi wa kutusemea matatizo yetu.

    HAKUNA ALIE MSAFI CHINI YA JUA,SIO KWASABABU DHAMBI ZAKO UFANYAZO HAZIJAJULIKA WAZI UKAJIHESABIA WEWE NI MWENY HAKI KIASI CHA UTHUBUTU WA KUHUKUMU WENGINE.

    Hivi leo Mungu aweke screen ya matendo yetu ni nani miongoni mwetu ATASIMAMA!!!??? Je waliopo bungeni ni wasafi????je hawana dhambi ?je hiyo imewaondolea sifa ya uwakilishi???? @wemasepetu tunahitaji mwakilishi wa kutusemea wanawake,wewe uwezo huo UNAO sina shaka hata chembe ktk hilo.Tuko nyuma yko mama,begakwabega nawe hadi kuapishwa @wemasepetu

    ALIE MSAFI KULIKO WEMA NA AWE WA KWANZA KUOKOTA JIWE KUMPIGA

    Basi la Timu ya Taifa, Taifa Stars Lapigwa Mawe na Mashabiki Wenye Hasira

    Posted: 17 Jun 2015 03:36 AM PDT

    Watu wasiojulikana wamelishambulia kwa mawe basi la timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars maeneo ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam.

    Basi hilo lililokuwa limebeba baadhi ya wachezaji wa timu hiyo waliokuwa wakitoka mazoezini uwanja wa Karume, lilishambuliwa kwa mawe na watu wanaosadikiwa kuwa mashabiki wenye hasira.
     
    Taifa Stars juzi ilifungwa mabao 3-0 na Misri katika mechi yake ya kwanza ya Kundi G kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 mjini Alexandria.

    Mwanamuziki Fid Q Chukua Tahadhari, Umeshuka Sana Kimuziki

    Posted: 17 Jun 2015 03:20 AM PDT

    Fid Q uwezo wako unashuka sana, Fid Q wasasa si Fid Q wa miaka michache iliyopita
    Fid Q naheshimu sana uwezo wako wa kuandika japo flow yako si nzuri sana.

    Kuhusu kuandika Joh Makini hakwambii kitu lakini flow yako si mbaya sana.

    Rudi nyuma angalia ni wapi umekwamba Fid Q, mpaka leo hii umepiga show za fiesta
    zisizozidi hata tatu, show kubwa ya Dar hujatia mguu kabisa.

    Kidogo watu tumeanza kukusahau, unahitaji kufanya kazi ya ziada ili urudi pale ulipokuwa.

    Fid Q rudi zako, enzi zile unaandika mwanza mwanza. Kinyume na hapo tuzo za Kili za 2015 utazisikia bombani.

    By MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

    DAVIDO Atoa Mpya Kwa Vimbele mbele wa Tanzania Wanaomvotia Yeye MTV Awards, Awaomba Wamvutie Diamond Platnumz yeye Hana Shinda na Vote za Tanzania

    Posted: 17 Jun 2015 04:47 AM PDT

    Hii kali soma ka screenshot chini....
    Imeandika "Tanzania Thanx 4 voting but i don want distabance in my acc plz vote Diamond not me Plz"


    Davido msanii wa Nigeria, baada ya kuchoshwa na kufatiliwa na Tanzanians ambao hawataki mTanzania mwenzetu Diamond Platnumz ashinde kura kisa kumsaidia wema anayelilia maoenzi na kiba anayetaka kupaa.

    Watanzania hawa wamefikia kutia aibu nchi yetu kwa kuandika maneno ya ajabu na hata kutukanana humo humo. Wanamuomba pia mengi wakijua ni single man...aibuuuuuuuu

    Amewajibu na kwa mie hata sishangai alichoandika, watu wanadhani wananchi wa nchi zingine ni wajinga kama wao.

    Uwiiiiiii mmetia aibu ujumbe huo

    WEMA SEPETU Atakwa Kujifunza Kuweka Breki Mdomoni Anapoongea

    Posted: 17 Jun 2015 02:51 AM PDT

    SALAMU nyingi zikufikie mrembo usiyechuja umaarufu tangu mwaka 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ vipi uko poa? Mishemishe zinakwendaje?
    Ukitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu kwani ni mzima, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Kitambo kidogo kimepita sijakuona lakini naamini u-mzima wa afya.
    Mbali na kukusalimia, dhumuni la barua hii ni kutaka kukumbusha juu ya umuhimu wa mdomo wako kuwa na staha. Kuna vitu vya kuzungumza lakini kuna ambavyo vinapaswa kuwekwa ‘spea’.

    Binafsi sikufurahishwa na namna ambavyo ulimpa maneno makali aliyekuwa rafiki yako, Kajala Masanja kupitia kipindi cha televisheni wiki iliyopita.Si busara kumtusi mwenzako hadharani kiasi kile. Hata kama amekukosea kiasi gani, wewe ni mtu maarufu unapaswa kuhakikisha kile unachokizungumza kitakuwa na matokeo gani mbele ya jamii inayokuzunguka.
    Ugomvi wenu wewe na Kajala una historia ndefu, kibusara hakukuwa na sababu ya kuendeleza mjadala ambao hata watu tayari walishaanza kuusahau. Vitabu vya dini vinatufundisha, kusamehe na kusahau.

    Nilishawahi kukuandikia barua huko nyuma, nilikusihi usamehe hili suala liishe. Nilisema hivyo kwa sababu mara kadhaa Kajala ameshaonesha nia ya kutaka yaishe lakini wewe ukaendeleza vita. Kwa nini usimsamehe? Mbaya zaidi hata huyo mwanaume ambaye inasemekana alikuibia naye nimetonywa kuwa ameshaachana naye.

    Nyinyi mlishibana kama marafiki wa kuambiana kila kitu, la kwako la Kajala na la Kajala la kwako watu wanashindwa kuwaelewa kama kweli mlishibana kwa nini msikae na kuanza ukurasa mpya?
    Sijawahi kumsikia Kajala anakuzungumzia vibaya lakini wewe kila siku unamsema. Unafikiri yeye hana mabaya yako? Akiyaanika hadharani utafurahi? Haiwezi kuwa sawa.Nakulaumu wewe zaidi katika hili maana historia inaonesha haudumu na marafiki. Uliwahi kuwa na urafiki na kina Jack wa Chuz, Rose Ndauka, Jamila na wengine kibao lakini wote uliwaacha njiani.
    Kama hiyo haitoshi, Aunt naye mmedumu kwenye ushosti kwa muda mrefu lakini naye pia miezi kadhaa iliyopita mlitofautiana na sina hakika kama hadi sasa mpo sawa kama zamani japo mlipatanishwa.
    Nikusihi, badilika. Kuwa na staha, chunga sana kauli zako kwani wewe unaheshimika katika jamii.

    Nikushukuru kwa kunisoma!
    Mimi ni kaka yako,
    -
    Erick Evarist

    Audio: Wema Akiongelea Uamuzi wa Kuwania Ubunge wa Viti Maalum: Msikilize Hapa

    Posted: 17 Jun 2015 02:34 AM PDT



    Wema Sepetu anaingia kwenye siasa rasmi mwaka huu kwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa viti maalum mkoani Singida kwa tiketi ya CCM. Msikilize akizungumza kwa kina kwenye mahojiano aliyofanya na Diva kwenye kipindi ch Ala za Roho, Clouds FM


    Shehe Amuonya Shilole Kuhusu Swala La Mavazi..Soma Hapa

    Posted: 17 Jun 2015 01:57 AM PDT



    Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim, amemjia juu staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby baada ya kutangaza kuwa anasali swala tano, kauli ambayo inalenga kudhalilisha Uislam kutokana na skendo zake hasa kukaa mtupu, jambo ambalo ni kukiuka maadili ya binti wa Kiislam.

    Hivi karibuni, huku akiwa na skendo ya kutia aibu Ulaya, Shilole alidai yeye ni Muislam safi na kwamba ni swala tano, jambo lililoibua mjadala mzito kwa mashabiki wake kwa kuwa alichokisema hakiendani na muonekano wake.
    Akizungumza na gazeti hili baada ya kuibuka kwa ishu hiyo, shehe huyo aliamua kuingilia akieleza kwamba sifa za Muislam anayesali swala tano haziendani kabisa na yeye na anapaswa kujitazama upya.

    “Kwa kuwa yeye mwenyewe ndiye kasema, hatuwezi kumbishia, isipokuwa kwa jinsi alivyo ukianzia suala la mavazi ni wazi anaidhalilisha dini ya Kiislam kwa sababu Muislam ambaye ni mcha Mungu kwa kiasi hicho, anatakiwa ajisitiri kimavazi.


    “Kama haitoshi ukitazama hata matendo yake mfano ile shoo aliyoenda kufanya kule Ubelgiji (Ulaya) na kuonekana sehemu ya matiti haikustahiki kabisa kwani ameenda kinyume na matakwa ya dini yake, inawezekana tukawa tunamlaumu lakini huenda akawa hana mafunzo ya kutosha ya kidini na kujua anapaswa awe vipi ili kuendana na sheria za Dini ya Kiislamu hususan kwa mtu ambaye ameamua kujitakasa na maovu na kumsujudia Mungu,” alisema shehe huyo anayeheshimika.

    Alisema hapendi ‘kumjaji’ mtu aliyeamua kubadilika kwa kuacha mambo ya dunia na kumfuata Mungu, hivyo alimpa mwaliko maalum Jumapili afike kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar ambako kulikuwa na mafunzo maalum yaliyotolewa kwa Waislam wote kwa ajili ya kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (haikujulikana kama Shilole alikwenda).

    Source : Global Publisher

    WEMA SEPETU Kugombea Ubunge Mwaka Huu..Tuliwaambiwa Vitu Vizuri Vyaja Kutoka kwa Wema Mtulie

    Posted: 16 Jun 2015 09:23 PM PDT

    Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu jana June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM alifunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.

    Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho, Wema Sepetu alisema:

    ”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuhamasisha vijana wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la kupigia kura.
     
    "Nimekuja kujiandikisha huku kwa sababu mama yangu ni mtu wa singida so nimejiandikisha tayari tukutane 15 tena kuja kuchukua fomu kwasababu fomu zinatoka  tarehe 14 mwezi wa saba so inshallah tuombe uzima, kampeni zimeshaanza zile ndogo ndogo nashukuru Mungu naendelea vizuri nahitaji support kwa jamii"

    Baada  ya  Maelezo  hayo Diva  alimuuliza  Wema  swali:
     
    “…I Know about kampeni za chini chini ambazo ulikuwa unafanya kwa muda mrefu kwaajili ya kugombea Ubunge na umepiga picha kwa Raqay tayari ukiwa na mavazi ya CCM si ndio kampeni pale iko pale pale au??…”

    Majibu  Ya Wema  Sepetu:
    “…. Yes nimefanya so ama nilikuwa nazungumza na mangement yangu ambayo yupo Martin kadinda na pia yuko Petiman  ambaye yupo katika suala zima la kampeni yangu.
     
    "Watanzania wajue tu yes  nitachukua fomu ya kugombea Ubunge wa viti maalumu ya mkoani Singida and tutaona uko mbele itakavyokuwa kwasababu hiki ni kinyang’anyiro naingia, ni kama vile naingia kwenye mapambano yaani vitaani so kuna kupata na  kukosa .
     
    "Sifikiri kukosa kwasababu mtu ukifikiri kukosa unajiweka kwenye negative side sana lakini najua kwa nguvu za watanzania na kwa nguvu za wananchi wa Singida wataweza kuniamini na kunipa kura zao."

    Katika mahojiano hayo Diva alimuuliza tena  Wema Sepetu kuhusu ishu ya kuwa na mahusiano na boyfriend wa Lina ambapo  Wema  alijibu:

    "Huwezi amini hizo habari si za kweli kwasababu tulikuwa tunafanya project  zinakuja ila nimeshangaa kuona kwanini Linah ameenda on air kwenye kipindi na kuzungumza hizo habari kuwa natembea na boyfriend wake naomba watu waelewe kwamba sikweli…”

    Mwanamuziki Linah Sanga Bado Ana Dukuduku na Wema Sepetu

    Posted: 16 Jun 2015 09:17 PM PDT

    Siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na Wema Sepetu, staa wa Bongo Fleva Esterlinah Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianaika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao

    Kwa mujibu wa linah ,amesema kuwa tamko hilokwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa  bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi na kuumia roho.

    Linah amesema kuwa kwa sasa anajipanga kuaandaa waraka huo na siku yoyote kuanzia sasa mambo kutoka moyoni mwa staa huyo yatakuwa hadharani.

    Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmi mpenzi wake mpya kutoka nchini Nigeria “ Nampenda sana  mpenzi wangu  nitaamua kumuweka wazi ili mashabiki wangu watanbue uhusiano wangu  mpya ni  wa msanii mkubwa sana  nampenda  hii sio project  ni kitu ambacho ni kweli  nimechoka na masimango ya Watanzania’.

    Tanuru la Filamu

    Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 17 Juni 2015

    Posted: 16 Jun 2015 09:12 PM PDT










    Habari  Katika Magazeti ya  Leo

    Udaku Specially

    unread,
    Jun 18, 2015, 4:49:44 PM6/18/15
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


      Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe AHUKUMIWA Jela Mwaka Mmoja.

      Posted: 18 Jun 2015 11:07 AM PDT

      MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.

      Akisoma hukumu hiyo iliyohudhuriwa na wabunge wengi wa Chadema, Hakimu Mkazi Mfawidhi, Denis Mpelembwa, alisema mahakama imemkuta Mbowe na hatia, hivyo kutakiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini kiasi cha Sh milioni moja.

      Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Hai, katika kesi hiyo ya jinai namba 73 ya mwaka 2011, alidaiwa kumshambulia Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, kata ya Machame Kaskazini, Wilaya ya Hai, katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

      Mpelembwa alisema mahakamani hapo kuwa hukumu iliyotolewa mahakamani hapo imezingatia ushahidi uliotolewa kwa upande wa mlalamikaji Nassir Yamini.

      Kwa upande wake, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizungumza mahakamani hapo, alisema hukumu iliyosomwa mahakamani hapo haijamtendea haki.

      Alisema kesi yake hiyo haikustahili kuchukua muda mrefu kama mahakama ilivyofanya kwa kuchukua zaidi ya miaka mitano bila kusomewa hukumu.

      Hata hivyo, Mbowe amelipa kiasi cha fedha Sh milioni moja alichotakiwa kulipa kama hukumu ilivyoeleza, kwa kumtaka kulipa kiasi hicho cha fedha au kwenda jela mwaka mmoja.

      Baada ya Kuyaanika Makalio yake, Faiza Ally Aporomosha Matusi Mazito Kwa Wanaomponda

      Posted: 18 Jun 2015 11:05 AM PDT

      Faiza Ally amewajia juu Watu wanao mpiga majungu kuhusu kivazi chake alichovaa katika KTMA 2015 .
       
      Faiza ambaye aliwahi kuwa mke wa mbunge  wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu', jana alipost ujumbe katika ukurasa wake wa Instagram na  kutoa ya moyoni jinsi anavyo keleka na watu wanavyo mfikilia tofauti .
       


      ==>Huu  ndo  ujumbe  Aliouandika Instagram
      Nyie watu wapya humu ndani wengi wap**mbavu mmenijua kupitia hiyo nguo ambayo nimeshasema kamba zilishuka ilikua sio lengo kukaa uchi.

      Nawaambia wote mnao nijaji wap**mbavu tena sana ! huwezi ukajifanya unanijua sana kwa kukosea mara moja ! we na yule na wengine wajinga! tako limekaa wazi ni sehemu ya mwili tu ! sio kila kitu kwenye maisha yangu zaidi kumuingiza mwanangu na baba mtoto wangu- muwakome!!!!!!!!

      Nyinyi na nguo zenu ndefu mmefanya nm kwenye jamiii- nasaidia yatima, nasomesha watoto watatu,nasafisha mahospitalini kwa kujitolea,natoa misaada kwenye odi za watoto wa kansa,nimeshiriki kupinga mauaji ya albino,juzi nimetoa vyoo kwenye shule.

      Mbona hamna hata hizo blog ushuzi zilizotangaza mema ! mmmeona tako tu ndio muhimu p**mbavu zenu nyie ????? nauliza ? wewe umefanya nn ktk jamii yako punda we!

      Koma shika adamu yako! kama unaona mm chizi mwenda uchi unafanya nini hapa , pita �� nipishe ...... muonekano sio muhimu p**mbavu we! utu na ubinaadamu kwanza ! tako kitu gani ??? si tako tu ! ....

      Real thirst! Kenyan Lady begs for S3X on phone but hear the man’s reaction (AUDIO)

      Posted: 18 Jun 2015 10:49 AM PDT

      Imagine a lady begging you for s3x at night! Well, many men will do everything possible to ensure that they honour her request but not this one.

      A Kenyan guy decided to play diva tricks after a lady begged him for s3x via phone. The s3x hungry lady was even willing to pay a taxi for him back home after they were done with their “business”.

      But the guy kept on playing diva tricks instead of doing what many men would do.

       Listen to the conversation below:

      Man who claims to be Jay Z's son speaks out

      Posted: 18 Jun 2015 10:44 AM PDT

      For years, this man and his mum have been claiming that Jay Z is his father. 21-year-old Rymir Satterthwaite even went to court asking that Jay be forced to take a DNA test. Well, now that the case is stalling in court, Rymir is speaking out about his plight.

      Rymir tells Radar Online
      "There was a whole lot of running around. We didn’t have enough information to push the case, to keep the case going. I try not to get frustrated. I really try not to think about it and go on with my life — anything could happen but I still got to live for myself. At the end of the day I still gotta work and bring income in for me. I just take one day at time and plan my life.”

      Mwanamuziki AY Alikana Penzi la Siti Mtemvu, Azungumzia Beef ya Diamond na Ali Kiba na Mipango ya Ndoa

      Posted: 18 Jun 2015 10:39 AM PDT

      Msanii Ambwene Yesaya alimaarufu kama AY amekana kutoka kimapenzi na mrembo aliyevua taji la Miss Tanzania mwaka 2014 Siti Mtemvu, Ay amekana hayo leo alipokuwa katika kipengele cha KIKAANGONI ambacho huwa kinafanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka saa Kumi alasiri.


      Msanii Ambwene Yesaya alimaarufu kama AY amekana kutoka kimapenzi na mrembo aliyevua taji la Miss Tanzania mwaka 2014 Siti Mtemvu, Ay amekana hayo leo alipokuwa katika kipengele cha KIKAANGONI ambacho huwa kinafanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka saa Kumi alasiri.

      Mtaanii kulikuwa na tetesi kuwa msanii huyo alishawahi kufaidi penzi la mlimbwende huyo ambae mwaka jana alilivua taji la Miss Tanzania kutokana na kashfa ya kudanganya umri jambo ambalo lilipelekea kuvuliwa taji hilo, moja ya shabiki wa ukurasa wa facebook wa EATV alitaka kujua kama ni kweli AY alikuwa akifaidi penzi la mlimbwende huyo na ndipo hapo aliposema kuwa suala hilo halina ukweli wowote.

      Mbali na kukana kufaidi penzi la Siti Mtemvu mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Zigo amefunguka na kuweka wazi utata juu ya Tuzo mbalimbali zilizotolewa wiki iliyopita na kusema kuwa kama msanii unashindanishwa unapaswa kukubaliaina na ukweli.
      "Tunzo naziona zina ubora na upungufu wake,ila kama ukikubali kushindanishwa unatakiwa ukubali matokeo, cha msingi nachoona kura za majaji iwe 70% na watu 30% unajua kwenye tunzo watu hawawezi kukubaliana matokeo asilimia mia, ila nachoona mimi iwe kama tunzo zingine kuwa 70% majaji na 30% watu kuepusha kuchakachua kura na kuchagua kilicho bora maana kuna wakati nguvu ya ushabiki inaharibu ukweli wa matokeo"

      Inafahamika wazi kuwa AY alikuwa katika kundi la muziki la EAST COAST TEAM ambalo masikani yake upanga hivyo watu walitaka kujua kama anatofauti yoyote na kiongozi wa kundi hilo King Crazy GK na ndipo hapo AY alipofunguka na kusema kuwa hawana tofauti yoyote ile na sasa wanaishi kama brothers na kusema kuwa wanampango wa kufanya kazi na kundi hilo.
      "ECT bado ipo na kina GK na mpango wa kufanya nao kazi upo pale pale ila tunafanya kazi pamoja kama brothers, GK tuko nae sana tu, collabo nitawastukiza mwaka huu ila jua kuwa nitafanya kazi na artist mkubwa sana"
      "
      Lakini pia AY aliweza kutoa sababu kadhaa ambazo zimemfanya mpaka leo kuendelea kufanya poa kunako soko la muziki wa Tanzania na kusema kuwa moja sababu kubwa ni kutokana na kipaji chake na kujituma pia aelezea umuhimu wa kazi zake za kushirikiana na wasanii wa nje na kusema kuwa kazi hizo ndizo zimefungua njia kwa wasanii mbalimbali sasa kuweza kufanikiwa na hata kwa muziki wetu kupiga hatua zaidi.
      "Kukaa muda mrefu kwenye muziki kunatokana na kipaji changu/Utendaji kazi tukija kwenye Collaco na artists wa nje zina matokeo mazuri kwangu na kwa game letu zima la kibongo na napata faraja kwani ndio niliyeanzisha kufanya hivyo kwa wasanii wengine kwa hapa nyumbani."
      Swahiba wa AY ambae ni Mwana FA alinukuliwa siku za karibuni na kusema kuwa haoni faida ya yeye kufanya collabo na wasanii kutoka nje labda itokee wasanii hao wahitaji kufanya nao wao kazi lakini si yeye kuhitaji kufanya nao kazi kutokana na aina ya muziki anaofanya lakini AY leo amesema hata kama swahiba wake hataki kufanya collabo hizo ila atafanya tu kwa lazima.
      TEAM DIAMOND VS TEAM KIBA USHABIKI USIO NA FAIDA
      Ay amefunguka na kusema kuwa ushabiki unaoendelea sasa hivi kati ya wasanii wakubwa wa bongo fleva kati ya mashabiki wa Diamond na Ali Kiba ni jambo lisilo na faida kwani amefananisha ushabiki huo na kutoa kuwa na faida, adai kuwa ushindani unaopaswa kuwepo ni ule wa kusaidiana kuinuana na siyo ushindani wa kushushana chini hauna faida kabisa katika muziki wetu wa bongo.
      "Ushindani wa kusaidiana kuinuana ndio mzuri zaidi kuliko wa kushushana"
      Mbali na hilo AY amewataka wasanii mbalimbali ambao wanakuwa wakikimbilia katika siasa na kutaka kuingia bungeni kama sehemu ya kutokea bali wanapaswa kuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi.
      "A.Y wasione ubunge ni sehemu ya kutokea kimaisha, wawe na nia ya dhati kusaidia wananchi"
      MAHUSIANO YAKE NA MIPANGO YA NDOA
      Mashabiki wamekuwa wakitaka kujua ni kwanini Ay aliachana na Amani na kutaka kujua ni lini haswa mkali huyo atakuja kuoa ndipo0 hapo aliposema kuwa alichana na Amani sababu ya umbali na kusema kuwa suala la ndoa ni mipango ya Mungu.
      "Amani bado ni dada na rafiki yangu sana na tuliacha kwa wema kabisa si ubaya,umbali ulitushinda, Kuoa ni Majaaliwa ndugu yangu so akitokea anayestahili nitaoa ,ZIGO ni mwanamke mwenye mvuto ambaye huwezi kumuangallia mara moja"

      Nairobi LADIES can be heartless….. Read this man’s SUICIDE NOTE in detail

      Posted: 18 Jun 2015 10:33 AM PDT

      Hello everyone,

      My name is Alex and I have never been suicidal but these last 3 weeks have changed me. I have gone from being engaged to being suicidal. I have NEVER had anything in my life depress me, I mean, I have two pending court cases lots of other stuff that really stresses me but not to the point of being suicidal. Why you ask? Not love. Lies, betrayal, more lies and lastly regret. Here’s my story.

      I have been in a serious relationship for 6 years now. Doing everything together … shopping … finances…etc until March 2015 just after we got engaged. After that weekend, I got cheated on the next week Tue. I believe in dialogue. I asked why. Quite frankly she said she doesn’t know why. And since she’s slept with 4 other guys, I said enough is enough. I ended that. Moved on.

      Now what really got me is that since our engagement was in Mombasa Southern Palms, we bought some gifts for friends and all that. So she said, “Swirie, I want you to buy a hand beaded bracelet for my friend Martin” which I did. It’s like the one attached.

      Now after I have come to learn that Martin is this guy, I have never been able to let that slide. Walai nimejaribu but f*ck! I bought a present for the same guy who WAS/IS f*ucking her! That really messed me up. It crushed me. It’s one thing to sleep with her but it’s another for me to fund it and buy a gift for him. Think about it. That has broken me up psychologically.

      Now while still trying to deal with that, this is what happened today. When we broke up, we were mature. No need for the tantrums and all that. And since we used to live together [We were supposed to get married this year], she had to move out so I said okay fine, I will help you move out. Buy new house stuff and all. So she looked for a house, I paid the rent [12,500] and today was the moving in. So I bought a bed, mattress, cooker, gas etc… All that stuff. Rem, I am doing this to help her.

      So there is me and some hired guys with Mkokotenis and running up and doing TRM. By 7 pm, she had everything. Now here is the part that has just landed the last blow. She had forgotten her one handbag at my place so we agreed I bring it as the last item. I drove to Roysambu and when I got back, here is Martin at the gate!

      I mean after doing everything for her, and when the house is ready, that f*cker appears! Man I just felt like crap! Up to now I still do feel that. I know the love is not there but I felt so disrespected. Couldn’t even wait I drop the hand bag and go. It felt to me like the ni madharau. After everything I just did.

      What has really driven me down…

      That guy is not like Usher Raymond/CB/…etc. I mean I know for sure I am more handsome. Doesn’t the general rule say that we only f*ck upwards not downwards?! That has really perplexed me. Makes me wonder nina shida gani!

       I have done everything for this girl…paid her school fees…applied jobs for her [even did the aptitude tests] till she got one…bought her a car…gave her money [In tunes of millions] but yet she isn’t satisfied. I have even asked her and she has no answer!

      Yea cheating I can live with that. But all this? Disrespect afterwards…even after all my sacrifice? No.

      Lessons to everyone else. Don’t end up like me.

      A whore is a whore…No matter what.

      Never invest in a relationship – Moneywise.

      Family first, always.

      To my family,

      I love you guys. I will always do. I’m sorry. Hope you understand. And please try to forgive me. Delvine murdered me. Not by her cheating. That I could live with [I have lived with it]. It’s what she did after that I can’t bear. I wish I had lessons on how to handle this. Maybe it would be different. My will is on the table.


      Alex

      Wema Sepetu Akiri Kutoa Mimba, Sheria za Nchi Zinasemaje?

      Posted: 18 Jun 2015 10:18 AM PDT

      Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Take One hapo jana amekiri kuwa alitoa mimba maana hakuwa tayari kwa wakati ule.Ilikuwa mwaka 2008 na mimba ilikuwa ya marehemu Steven Kanumba

      Kanumba alikuwa akimwambia kuwa nitakudai watoto wangu, kauli hii inamaanisha kuwa alitoa mimba zaidi ya moja.

      Akizungumzia kuhusu kupata mtoto amesema anatamani sana kuwa na mtoto lakini ndio hivyo tena kahangaika sana lakini hajafanikiwa.Anadai labda wakati anatoa kuna vitu viliguswa ndio maana hafanikiwi kupata mtoto.

      Anasema anajuta/hajuti kukosa mtoto.

      Pia amekiri alihongwa BMW,kuhusu MURANO anasema lilikuwa na matatizo ya shockup na halikuwa katika hali nzuri.

      Sheria za Tanzania haziruhusu suala la Utoaji wa mimba katika Criminal Procdure Act ,1985 .
      Katika sheria hio hio suala hili limejumuishwa katika makosa ya "Murder" ambayo makosa yake yanaweza kwenda kifungo cha maisha au kifo

      Katika jedwali la Adhabu inaonesha adhabu zifuatazo kwa watu wanaotoa au kushiriki kutoa Mimba


      150.Attempt to procure abortion. -Imprisonment for fourteen years.
      151.Woman attempting to procure her own abortion. -Imprisonment for seven years.
      152.Supplying drugs or instruments to procure abortion. -Imprisonment for three years
      Katika jamii yetu kuna watu ambao aidha kwa mazuri au mabaya yao wamekuwa wakiangaliwa na watu wengi.Vyombo vya habari pia vimekuwa vikiuza kwa kuwataja kutokana na scandals zao.

      Hapa namwongelea Wema Sepetu ambaye yeye pia anaandikwa sana hasa na Magazeti ya "Udaku"

      Magazeti haya yanasomwa sana na jamii kubwa ya watanzania hasa kutokana na hali zetu za elimu na "mazingira"

      Huyu Binti amefikia hatua ya Kusema "Proudly" kuwa alitoa mimba kwa sababu hakuwa tayari,hili amelisema wakati akihojiwa na mtangazaji Zamaradi mketema wa Clouds TV;

      Implication yake ni nini?


      Kwa wale wasio na uelewa mpana wataona kwamba ni sawa tu kutoa mimba kwa sababu wema ameongea proudly NA hakuna kilichofanyika
      Serikali inadhalilishwa wazi kuwa watu wanapigia kampeni suala la utoaji wa mimba kuwa ni halali tu
      Taasisi za Haki za binadamu hazifanyi kazi ipasavyo kiasi cha watu kama hawa kuachwa bila kukemewa.Huyu binti ameua na amekiri kwa mdomo wake kuua.
      Vyombo vya haki ya mama na Mtoto vinashindwa kuchukua hatua stahiki hata katika mazingira yaliyo wazi


      Wito wangu;

      Wahusika niliowataja hapo juu wachukue hatua ili kuiepusha jamii yetu na mambo kama haya.

      By Chachu Ombara and Gracious on JF

      IMEFICHUKA: ‪Team AliKiba‬ wataipenda hii... Huu ndio ukweli kuhusu ile Gari ya Mil. 700 ilayodaiwa Zari amemnunulia Diamond Platnumz

      Posted: 18 Jun 2015 10:06 AM PDT

      Zari: Many thanks to ma bro Katsha the king of rides, for making it happen, Ma boo couldn’t stop thanking me I guess it’s always good to have a gal who’s got ya back…. thanks once again. Watch the space # NewVideoTingz!!!!!

      Kama hujaelewa ni kwamba hii Gari ni ya Shemeji yake Diamond na aliiazima kwa ajili ya kushuti Video

      FAIZA ALLY Ajibu Mapigo Baada ya Kukerwa na Kauli ya SINTAH..Adai Sintah ni Mshenzi Mpaka Anaficha Mtoto Aliye Mzaa

      Posted: 18 Jun 2015 10:00 AM PDT

      Faiza Ally yamemfika mwisho na kuamua kufunguka haya hapa chini kuhusu Sintah...


      Sintah Amchana Mbaya FAIZA ALLY Amwita Mcharuko Kuliko Dagaa Kwenye Chungu

      Posted: 17 Jun 2015 11:44 PM PDT

      Lile vazi la Faiza Ally KTMA lamfanya Sintah kuropokwa haya kuhusu Faiza:

      'Wakati mwingine lazima ujiulize hivi sie binaadam zimo kichwani ama, mtoto mwenye heshima aliyezaliwa na wazazi wake no matter what hawezi kufanya huu ujinga, huyu ndio maana sugu alimpiga chini maana aliona mbali, mtu anawakilisha jimbo anakuwa na demu mcharuko zaidi ya dagaaa katika  chungu? uvaaaji gani huu yarabi but somehow i blame kwa waliotoa kadi maana utapelekaje watu kama hawa katika awards? mnaacha kuwapa watu wa maana na shughuli zao mnawapa watu wanaokuja kutega mingo, maana kama sio kutega mingo hiki ni nini?? anyway Mh Sugu kaa na mzazi mwenzio umwambie maana tangu aachane na wewe naona zimemruka kichwani , hata kama hupo naye ila ana mtoto wako unakubalije mama wa mtoto wako akafanya haya maajabu ya kishetani  bora ajiuze kimya kimya kuliko kama hivi watu wanasema demu wa Sugu mptuuuu kwakweli Faiza unatia aibu  unajaribu so hard lakini wapi?? tatizoooo nyota ipo siku utakunya stand wewe kwa mwenendo huu wa kutaka umaarufu kiulazima

      kwani hujawahi kuona watu wakienda sehemu kama zile wanatakiwa wavae nini?? halafu siku hizi wanaume wamejanjaruka hawataki cheap products kajipange upya

      ila marafiki wabayaaa na ma snitch sasa mnamuachaje anatoka hivi ama ndio hasikii kupitiliza yaaani mie ndiye ningekuwa but haiwezi kutokea nikawa rafiki yake ningemchapa kwanza its so disgusting, nasty ptuuuuuuu' By Sintah

      Wema Sepetu afunguka sababu ya kutompigia ‘debe’ Diamond kwenye tuzo za Killi

      Posted: 17 Jun 2015 09:22 PM PDT

      Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu ametajwa kuwa ndiye aliyechangia kwa kikubwa  ushindi wa tuzo tano za Killi za msanii wa Bongo Fleva,Ali Kiba kutokana na kumpigia debe mara nyingi kupitia akaunti yake ya Instagram.

      Akifunguka kupitia 255 ya XXL,Wema alisema kuwa Ali Kiba alimuomba ampigie debe kwenye akaunti yake ya Instagram,kwani hata msanii huyo aliwahi kumpigia debe alipowania tuzo za Watu ndiyo maana alifanya hivyo.

      Hata hivyo alipoulizwa mbona hakumpigia debe aliyekuwa mpenzi wake,Diamond Platinum ambaye ni hasimu wa msanii Ali Kiba,alisema kuwa Diamond hakuwahi kumuomba ampigie debe kama angemuomba angefanya hivyo kwani hana tatizo na msanii huyo.


      • ‘’Sina tatizo na Diamond kama angeniomba nimpigie debe Instagram ningefanya hivyo,’alisema Wema.

      Ray 'Chuchu Hans si Mpita Njia ..Ana Sifa zote za Kuwa Mke Wangu..Hapo Alipo Anasubiri Ndoa tu'

      Posted: 17 Jun 2015 09:19 PM PDT

      Imelda Mtema
      NYOTA mkubwa katika Bongo Movies,Vincet Kigosi ‘Ray’ ameweka wazi kuwa Chuchu Hans, ambaye ni mpenzi wake wa muda mrefu, si mpita njia, bali ni mwanamke anayesubiri ndoa kwa kuwa ana sifa zote za kuwa mke.

      Kwa sababu hiyo, alisema siyo jambo zuri kufikiri kila anapotoka katika mitoko yake ya usiku awe naye kwa kuwa mke hafai kuwa mtu wa kuzunguka naye usiku kama hakuna ulazima wa kufanya naye hivyo.

      Kama hivi, mimi nimekuja hapa kwenye shughuli ya ZIFF, kitu hiki kinanihusu peke yangu, hakuna haja ya kumsumbua kuja naye, yule ni mke, siwezi kumtembeza pasipo ulazima wa kutufanya kuwa pamoja,” alisema.

      Ben Pol asimulia alivyonusurika kifo kwenye ajali ya boti kisiwani Mbudya

      Posted: 17 Jun 2015 09:09 PM PDT

      Ben Pol asimulia alivyonusurika kifo kwenye ajali ya boti kisiwani Mbudya
      Msanii wa Bongo Fleva,Ben Pol amesimulia alivyonusurika kifo baada ya boti waliokuwa wakisafiria wakitokea visiwani Mbudya,jijini Dar kuzima ghafla katika ya bahari na kukaa kwa muda wa saa nzima bila kupata msaada.

      Ben Pol alisema kuwa baada boti kuzima maji yalianza kuingia ndani  na engine ya boti ikazimika na boti hiyo ikaanza kuzama kilichowaokoa walikuwa wamevaa makoti ya kuogelea ‘life jackets’.

      ‘’Baada ya kukaa kwa saa nzima baharini kwa bahati nzuri ilipita boti ya wavuvi ikatuona ikatuokoa ila mmoja wetu hakuwepo kati ya tuliokolewa na hatujamuona ambao ni wanawake watatu, watoto hao walikuwa watatu, wanaume tulikuwa nane, lakini mmoja ndiye hatujui alipo.’alisema Ben Pol.

      Jerry Muro Afukuzwa Yanga !!! Ukweli Huu Hapa ..Mwenyewe Atoa Tamko Kuhusu Habari Hizo za Kufukuzwa

      Posted: 17 Jun 2015 09:07 PM PDT


      Mkuu wa Kitengo cha habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga,Jerry Muro amekanusha kutimuliwa kwenye klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.

      Taarifa zilizoandikwa na gazeti la Uhuru zinasema kuwa habari kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo,ambaye hakutaka kutajwa jina lake kwa kuwa si msemaji alisema kuwa Muro ametimuliwa baada ya kufanya kazi kinyume na maagizo ya uongozi wa klabu hiyo.

      Kiongozi huyo alisema kikao cha dharura cha kumfuta kazi kilifanya juzi jioni kabla ya maazimio kupelekwa kwa mwenyekiti wa klabu hiyo.Yusuf Manji.

      Baada ya taarifa hizo Jerry Muro alijibu tuhuma kwa kusema hivi… Ndugu zangu nimepigiwa Simu nyingi Sana na asubuhi hii nimeona Kwenye gazeti ka uhuru kuhusiana na taarifa zangu za kuondoka Yanga wakati natafakari hatua za kuchukua dhidi Ya upotoshaji huu wa Habari naomba niseme Jambo moja Muhimu mimi Bado Niko Yanga Kama Mkuu wa idara Ya Habari na Mawasiliano na mimi Bado mwanachama hai wa Yanga Mwenye kadi No 028508 Niko Yanga na nitaendelea kuwa Yanga Miaka mia,wasalamu jerry muro….

      Hali si shwari ndani ya FIFA, kashfa zazidi kufichuliwa !!

      Posted: 17 Jun 2015 09:03 PM PDT

      Wapelelezi wanaofatilia kashfa ya rushwa inayohusu shirikisho la soka ulimwenguni FIFA wameahidi kufichua makubwa zaidi baada ya kugundua siri nzito zilizojificha kwenye mchakato wa kuchagua mwenyeji wa kombe la dunia.

      Wapepelezi hao wakiongozwa na Mwanasheria mkuu wa Uswisi, Michael Lauber wamesema kuwa kuna matukio karibu 53 ya uchakachuzi na utakatishaji haramu wa fedha ambayo yamegundulika kwenye michakato tofauti ya kumpata mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia na matukio haya yamehusishaa watu wazito ambao kama yatagundulika undani wake yatazua hofu na utata mkubwa.

      Mwanasheria huyo ameonya kuwa hatajali kama upelelezi wake utasababisha hasara ya fedha  au kupokonywa uwenyeji kwa nchi za Urusi na Qatar na anachojali ni ufanisi wa kazi yake na si kitu kingine.

      Imedaiwa kuwa upelelezi huu unahusisha kuhojiwa kwa viongozi wa juu wa FIFA akiwemo rais wa zamani Sepp Blatter ambaye hivi karibuni alitangaza kujiuzulu siku chache baada ya kuchaguliwa kwa kipindi cha tano.

      Rais wa Fifa wakati akitangaza mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia mwaka 2018 .
      Rais wa FIFA wakati akitangaza mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia mwaka 2018 .

      Viongozi kadhaa wa zamani wa FIFA wakiwemo Mmarekani, Chuck Blazer na rais wa zamani wa chama cha soka cha Trinidad and Tobago, Jack Warner wameahidi kutoa ushirikiano kwa wapelelezi huku wakiahidi kuwa watazungumza bila kuficha.

      Ni kweli Irene Uwoya ana mimba? Msami kazungumza hapa na Soudy Brown…#Uheard (Audio)

      Posted: 17 Jun 2015 08:57 PM PDT

      Soudy Brown leo kasika akizungumza na msanii wa Bongo Fleva Msami baada ya kuwepo na uvumi kuwa msanii huyo amempa ujauzito msanii wa bongo movie Irene Uwoya.

      Awali alikanusha taarifa lakini baadaye akadai kuwa hana uhakika na endapo ni kweli  basi ni ya kwake huku akimtaka Soudy amtafute mwenyewe ali ajue ukweli.

      Isikilize hapa mtu wangu..

      Post Nyingine ya Wema Sepetu… Marehemu Baba yake Alimsogeza Kwenye Siasa?

      Posted: 17 Jun 2015 08:55 PM PDT

      Jana Miss Tanzania 2006 na mwigizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu aliingia kwenye Headlines baada ya kutangaza kwamba anahitaji kuingia kwenye siasa rasmi kabisa.

      Post nyingine ni hii aliyoweka saa chache tu kwenye ukurasa wake @Instagram, haya ni mengine kuhusu yeye na Ubunge>>>

      Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri… Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa katika uamuzi wowote niliokuwa nimeufanya… Kwanzia kushiriki Miss Tanzania mpaka pale nilipoamua kujiingiza katika maswala ya sanaa… Vitabu vya dini vimeandika inapaswa tumshukuru Mungu kwa kila jambo, liwe zuri au baya… Pale Mungu alipoamua kumchukua Daddy Sepetu wangu niliumia sana na nikawa nimeona kama maisha yangu yalirudi nyuma kidogo, maana ilinibidi nianze kuishi maisha ya No More Daddy Sepetu…. Maana nilikuwaga ni kipenzi cha Daddy wangu cuz I happen to be da last born, mwenyewe alikuwa akiniita Miss World wake…. Nakumbukaga My Late Daddy Sepetu alishawahi kuniambia kuwa nijaribu kujiingiza katika politics since yeye na siasa ilikuwa ni kama uji na mgonjwa… And I remember nilimwambia ,”Daddy Sepetu NO sitoweza” … Alikuwa heart broken sana maana alihisi nikijaribu ntaweza na kilichokuja kumvunja moyo ni nilipochukua uamuzi wa kufanya International Business na sio hata Political science au chochote kilichohusu Siasa nilipoenda Chuo… But hakukata tamaa… Akazidi kuniambia naweza na nilizidi kukataa… Daddy Sepetu wangu This is for u…. Leo hii nimejikuta mwenyewe nimefanya uamuzi mzito wa kujiingiza kwenye Siasa na kuona wat it has in store for me… Najua you are looking down on me smiling… Ila tu jua kuwa Your wife ambaye ni my Darling Mother nae pia amechangia kiasi kikubwa sana… Nawapenda sana wazazi wangu maana wanajua Whats Best for me… Haya sasa naingia vitani… Na sitokubali Defeat… Tho kuna mengi yanaweza tokea… Namkabidhi Allah yote…. Na niko tayari kwa chochote… Penye nia siku zote njia haiwezi kukosekana

      Posted: 17 Jun 2015 09:10 PM PDT

      Udaku Specially

      unread,
      Jun 19, 2015, 4:05:47 PM6/19/15
      to mbara...@googlegroups.com

        DID You Miss Agness Masogange Killer and Hot Photos? These are The New Ones for Men Only...

        Posted: 19 Jun 2015 12:52 PM PDT


         DID You Miss Agness Masogange Killer and Hot Photos? These are The New Ones for Men Only...


        DIAMOND is lucky to have ZARI as his baby mama…. look at how she treats her sons

        Posted: 19 Jun 2015 12:35 PM PDT

        "God thank You for all our blessings and favor today..... movie.... night in Raphaels' room. Nyt africa"

        Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako

        Posted: 19 Jun 2015 11:58 AM PDT

        "Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
        Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri

        Monalisa on Instagram

        Wanamuziki wa P-SQUARE Peter and Paul..Wajitetea Kwanini Hawahudhurii Ibada za Kanisani Toka Mwaka 2007

        Posted: 19 Jun 2015 05:02 AM PDT

        P-SQUARE
        Imebainika ya kwamba Mastaa wa wa Music Toka Nigeria Peter and Paul Toka mwaka 2007 walipoanza kuwa maarufu hawahudhurii ibada za kanisani jumapili...Wakijitetea Baada ya Kuulizwa Swali hilo P-square wamesema :

        Kila walivyokuwa wakienda kanisani watu huwatazama na kuwafatilia kuliko kufatilia ibada na sala kitu ambacho kinatufanya tujisikie kama tunaharibu ibada za watu ...watu wote tuko sawa mbele ya Mungu ndio maana sio sahihi kufanya watu waache sala sababu yetu

        Mrembo JOKETI MWEGELO Akiri Kumkosesha Diamond Tuzo za Kill Music

        Posted: 19 Jun 2015 04:49 AM PDT

        Jokate
        Ikiwa ni Siku chache zimepita toka Diamond Platnumz Kugalagazwa vibaya na hasimu wake mkubwa katika muziki Ali Kiba kwenye  Tuzo za Kill Music Awards 2015, Tayari mchawi wa kwanza wa msanii huyo amejitangaza hadharani...
        Akiongea na Redio Clouds kwenye red carpet, Joketi Mwegelo Kidoti alikiri kumpigia kura Ali Kiba na Kushawisha wetu wengine wampigia kupitia Instagram na kumtosa mpenzi wake wa Zamani Diamond Platnumz..

        Kitendo cha Jokate Kutangaza Hadharani kuwa yeye alikuwa miongoni mwa waliompigia kura Ali Kiba kimedhihirisha kuwa sio kwamba hapendwi na Team Kiba tu bali hata wepenzi wake wa zamani hawapendi kuona Diamond Akiendelea Kisaniiii....

        Posted: 19 Jun 2015 08:28 AM PDT



        MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
        Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

        1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
        2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
        3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
        4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
        5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
        6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
        7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
        8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
        9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
        10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
        11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
        12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

         

        Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


        NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


        +18 Only Video, Nairobi LADY does bad things in a Club’s toilet

        Posted: 19 Jun 2015 01:57 AM PDT

        Some ladies in Nairobi are really crazy and they have decided to take ratchetness to another level.  If some of the things they do in privacy are documented, they can make one shocking movie.

        Below is a video of a lady in Nairobi misbehaving in a club’s toilet; is this the business that took her there? SMH.....

        Sumaye: Upinzani wataingia Ikulu CCM Wakipitisha mtoa Rushwa

        Posted: 19 Jun 2015 01:54 AM PDT

        WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutopitisha mgombea  urais   kwa njia ya rushwa kwa vile  kufanya hiyo kutawaingiza wapinzani Ikulu.

        Sumaye ambaye ni miongoni wa makada wanaowania   kuteuliwa  na CCM kugombea nafasi  hiyo,  aliyasema hayo juzi  mjini Bariadi  alipowashukuru  wana CCM  45 waliomdhamini mkoani hapa .

        Akizungumza  na baadhi ya viongozi wa chama hicho  na wadhamini hao, aliwashukuru waliomdhamini na kueleza kuwa ikiwa CCM itapitisha wagombea kwa njia za rushwa utakuwa mwanzo wa vyama vya upinzani kuchukua nchi.

        “Nyinyi  kama wajumbe wa NEC  mtambue kuwa Tanzania kwa sasa tunahitaji kiongozi atakayetuvusha,  tukichagua kwa rushwa tunawapatia wapinzani nafasi kuingia Ikulu  hivyo chama changu kinapaswa kisipitishe mtu kwa rushwa,”alisema.

        Alisema sababu kubwa itakayofanya wapinzani kuongoza nchi ni rushwa ndani ya CCM aliyoeleza kuwa imekithiri kwa kiwango kikubwa hasa kwa sasa kuelekea  kipindi cha Uchaguzi Mkuu.

        “Sijatoa rushwa tangu nianze kutafuta wadhamini , watu wanajitolea tu kwa mapenzi yao kunidhamini sina haja ya kuwanunua watu ninaowapata nawashukuru kwa maana mapenzi yametoka kwao kunidhamini siyo kwa sababu fulani, ”alisema.

        Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Tarehe 19 Juni 2015

        Posted: 19 Jun 2015 01:48 AM PDT























        Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  Tarehe 19  Juni 2015

        JACK PATRICK Aendeleza Mitindo Gerezani China

        Posted: 19 Jun 2015 01:10 AM PDT

        Mwanamitindo wa Kibongo, Jacqueline Patrick ameendeleza fani yake ya mitindo akiwa gerezani huko Macau nchini China na kuwa kivutio kikubwa kwa wafungwa wenzake.


        Chanzo chetu ambacho kinadili na masuala ya urembo na mitindo kilisema kuwa, licha ya Jack kuwa gerezani amekuwa akifuatilia mitindo mipya iliyoingia mjini kisha kuwafanyia wenzake.

        Chanzo hicho kilisema kazi hiyo imeufanya uongozi wa gereza hilo kummwagia sifa.
        Jack anatumikia kifungo cha miaka sita baada ya kukutwa na hatia kutokana na kujihusisha na biashara haramu ya madawa za kulevya

        Source: Global Publishers

        Batuli Achezea Sharubu za Kajala Masanja......

        Posted: 18 Jun 2015 09:36 PM PDT

        Imelda Mtema
        STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ameonekana kuchezea ‘sharubu’ za Kajala baada kuweka picha ya kiazi kwenye mtandao wake wa kijamii wa Instagram kitu ambacho kimeonekana ni kumkejeli staa mwenzake huyo kutokana na Wema Sepetu kumuita kiazi.


        Akichezesha taya na Amani baada ya kubanwa kwa nini aliweka picha hiyo kwenye Instagram yake, alisema kuwa yeye ana maamuzi ya kuweka kitu chochote kwenye ukurasa wake huo hivyo kama kuna mtu anajishtukia shauri yake.

        Kwa upande wa Kajala alipoulizwa kama kuna tatizo lolote kati yake na Batuli alifunguka;
        “Sijui kama mtu ana bifu na mimi basi ni yeye tu na kama mtu anaposti kitu kwa  ajili ya kuniumiza naona ni kazi bure tu kwa kuwa vitu hivyo vinapita na maisha yanaendelea siku zote.”

        Mimi nikipata management kama ya Diamond nitakuwa mbali sana – Christian Bella

        Posted: 18 Jun 2015 09:34 PM PDT

        Christian Bella ni muimbaji anayeamini kuwa ili msanii afanikiwe zaidi anahitaji kuwa na management nzuri.

        Muimbaji huyo wa ‘Nashindwa’ ameisifia management ya Diamond na kuongeza kuwa endapo angeweza kuwa na watu imara wa kumsimamia angekuwa mbali zaidi ya hapo alipo.


        • “Mi napenda kusema ukweli, Diamond yuko vizuri na management yake wanajitahidi vizuri, yeye msanii akiwa na management nzuri yaani Babu Tale na Fella nawapa bigup sana.”Alisema Bella kupitia 255 ya Clouds Fm. “Ndo tunataka watu kama wale wawepo, mimi nikipata watu kama wale wee! itakuwa mbali sana kwasababu mimi najua kwamba mimi ninauwezo wa kuimba nina vocal najua melody za kuimba, ila nakosa tu watu wa kukunyanyua, kwamba lala usingizi tunaenda kuongea na Fally Ipupa, we lala yaani zima simu wanakwambia we studio kesho, aah yaani naenda nauwa, ndo wasanii wa mbele wanaishi hivyo.” alimaliza.


        Kuhusu wasanii ambao anatamani kuja kufanya nao collabo akipata nafasi, Bella amesema kwa Marekani anatamani kuja kufanya kazi na Chris Brown, na kwa Afrika anatamani kuja kufanya kazi na Fally Ipupa, P-Square na Wizkid.

        Pata Bracelets za Kijanja na za Kisasa Kutoka Nje na Ndani ya Tanzania Kwa Kuwasiliana na Hawa Jamaa..Bracelets Tanzania

        Posted: 18 Jun 2015 09:31 PM PDT

        Bracelets tanzania ni wa uzaji wa bracelets za kisasa kutoka nje na ndani ya nchi pia ndio watengenezaji wa highlife bracelets vitu vyao ni original wanapatika kupitia
        Contact 0653765078
        instagram bracelets_stanbull
        facebook page bracelets tanzania karbu

        Changamoto aliyonayo Wema katika siasa ni kuwabadilisha watu jinsi wanavyomfikiria -Meneja

        Posted: 18 Jun 2015 09:27 PM PDT

        Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amesema anaamini kuwa muigizaji huyo anaweza kuwa kiongozi mzuri japo changamoto inayomkabili ni kubadilisha mawazo ya watu juu yake hasa kutokana na maisha yake ya ustaa na mapenzi.

        Martin ameiambia Bongo5 kuwa kinachotakiwa sasa ni kuwabadili watu waanze kumchukulia kama mwanamke anayeweza kuwa kiongozi.


        • “Watu wengi wametokea kumsupport kwa sababu walikuwa wanamsikia baba yake akimtaka aingie kwenye siasa, na wengine walikuwa wanamtaka Wema aingie kwenye siasa,”amesema Martin.



        • “Lakini ana kazi kubwa ya kuweza kubadilisha watu jinsi wanavyomchukulia. Kwahiyo anachukulia positive kwa sababu watu aliokuwa nao wameweza kumsupport. Lakini kabla hatujafika huko sasa tutamuona kama kiongozi sioo kama msichana wa bongo movie. Tumuamini Wema kama anaweza kuonyesha tu nia hata asipopata tukumbuke kuonyesha nia tu ni kupata, kwa sababu ana ndoto kubwa sana anataka kuzifanya,” ameongeza.


        Hivi karibuni Wema alitangaza nia ya kuwania ubunge wa viti maalum kwa tiketi cha chama cha mapinduzi mkoani Singida.

        Kupitia Instagram aliandika:

        Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri… Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa katika uamuzi wowote niliokuwa nimeufanya… Kwanzia kushiriki Miss Tanzania mpaka pale nilipoamua kujiingiza katika maswala ya sanaa.


        Vitabu vya dini vimeandika inapaswa tumshukuru Mungu kwa kila jambo, liwe zuri au baya… Pale Mungu alipoamua kumchukua Daddy Sepetu wangu niliumia sana na nikawa nimeona kama maisha yangu yalirudi nyuma kidogo, maana ilinibidi nianze kuishi maisha ya No More Daddy Sepetu…. Maana nilikuwaga ni kipenzi cha Daddy wangu cuz I happen to be da last born, mwenyewe alikuwa akiniita Miss World wake…. Nakumbukaga My Late Daddy Sepetu alishawahi kuniambia kuwa nijaribu kujiingiza katika politics since yeye na siasa ilikuwa ni kama uji na mgonjwa… And I remember nilimwambia ,”Daddy Sepetu NO sitoweza” … Alikuwa heart broken sana maana alihisi nikijaribu ntaweza na kilichokuja kumvunja moyo ni nilipochukua uamuzi wa kufanya International Business na sio hata Political science au chochote kilichohusu Siasa nilipoenda Chuo

        But hakukata tamaa… Akazidi kuniambia naweza na nilizidi kukataa… Daddy Sepetu wangu This is for u…. Leo hii nimejikuta mwenyewe nimefanya uamuzi mzito wa kujiingiza kwenye Siasa na kuona wat it has in store for me… Najua you are looking down on me smiling… Ila tu jua kuwa Your wife ambaye ni my Darling Mother nae pia amechangia kiasi kikubwa sana… Nawapenda sana wazazi wangu maana wanajua Whats Best for me… Haya sasa naingia vitani… Na sitokubali Defeat… Tho kuna mengi yanaweza tokea… Namkabidhi Allah yote…. Na niko tayari kwa chochote… Penye nia siku zote njia haiwezi kukosekana.

        Pete ya UCHUMBA ya Mrembo LULU MICHAEL Yawa Gumzo

        Posted: 18 Jun 2015 09:23 PM PDT

        MSHTUKO! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amezua gumzo ukumbini baada ya kuonekana akiwa amevaa pete iliyoaminika kuwa ni ya uchumba na kusababisha minong’ono miongoni mwa mashabiki wake.

        Mpango mzima ulijiri wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Sinema wa Mlimani City (Cinemax) kulipokuwa na uzinduzi wa sinema ya 10 Bora ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talent, mwaka jana ijulikanayo kama Mpango Mbaya.

        Punde tu baada ya Lulu kuwasili ukumbini hapo mishale ya saa mbili usiku akiwa na mashosti zake, minong’ono iliibukia kwenye zulia jekundu wakati mrembo huyo alipokuwa akifotolewa picha na mapaparazi ndipo wapenda ubuyu walipoanza kusambaziana habari hali iliyosababisha watu wengi kutaka kumuona Lulu.


        • “Ile ni ya uchumba aise atakuwa amechumbiwa, afadhali Lulu achumbiwe na aolewe sasa japo bado anasoma lakini kwa kuwa ni chuo ni vyema na haki akaendelea na uchumba wake huku akimalizia masomo na kisha ndoa ikafuata,” alisikika mmoja wa mashabiki akiwaambia marafiki zake.


        Baada ya watu kuanza kumzingira eneo hilo kutaka kuishuhudia pete hiyo, haraka sana Lulu aliondoka eneo hilo na kwenda kujibanza ukumbini kufuatilia sinema hiyo iliyokuwa imeshaanza kuoneshwa.

        Paparazi wetu alifanya jitihada za kuzungumza na Lulu ili aweze kumsikia anazungumziaje pete hiyo iliyopamba kidole chake lakini hakutaka kuzungumzia lolote akidai hayupo tayari kufunguka lolote ukumbini hapo.

        Hata baada ya muvi kuisha, paparazi wetu aliendelea kumfuatilia Lulu wakati anatoka ukumbini lakini pia hakutoa ushirikiano ambapo alionekana kukataa kupigwa picha pamoja na kujibu maswali ya waandishi wa habari.

        Mrembo FAIZA ALLY Awaomba Radhi Watanzania......

        Posted: 18 Jun 2015 09:13 PM PDT

        Imelda Mtema
        MZAZI mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally, hivi karibuni katika tuzo za KTMA aliwaacha watu midomo wazi baada ya kutinga na kivazi kilichoacha sehemu kubwa ya makalio yake nje na kuzua minong’ono katika mitandao ya kijamii.

        Akizungumza na Amani kwa kuonekana kujutia kitendo kilichotokea, Faiza alisema kuwa ile nguo aliishona ikiwa imeziba sehemu yote ya nyuma japokuwa ilikuwa imechanwachanwa lakini hakuwa na nia ya kuacha sehemu ya makalio yake nje.

        Akiendelea kuzungumza alisema kuwa, siku alipokuwa akienda kwenye tuzo alikuwa peke yake kwenye gari hivyo alivyoinuka ndiyo ile nguo ikapanda bila kufahamu.“Jamani siwezi hata siku moja kujiachia hivyo naomba Watanzania wanisamehe,” alisema.

        Posted: 18 Jun 2015 09:09 PM PDT



        Pendeza na James Cosmetics 
        Ni dawa zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa Kiwandani kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka.


        1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=

        2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=.

        3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=.

        4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=.

        5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=

        6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.

        7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=

        8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=

        9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=

        10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=

        11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=    
                                
        12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=


        Wasiliana nasi kwa namba za Simu Hizi Hapa 
         0653074067,  0659404750 au 0752923461

        NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa James Cosmetics na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 20, 2015, 5:07:50 PM6/20/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        Taarifa za Mwigizaji JB Kugombea UBUNGE Jimbo la Kinondoni....JB Aongea na Kusema Haya Hapa

        Posted: 20 Jun 2015 11:21 AM PDT

        Staa mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amekanausha taarifa za kutaka kugombea ubunge jimbo la kinondoni ambazo zimekuwa zikienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.

        JB ameeleza kuwa japo watu mbali mbali wamekuwa wakimfuata na kumtaka agombee yeye amekuwa akiwashukuru na kuwaeleza kuwa anaipenda sana kazi yake ya uigizaji.

        Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram aliyaeleza hayo akiwa anatolea ufafanuzi kile ‘mrekebishatabia’ alichokiandika kwenye mtandao huo.

        @mrekebishatabia,  Na mimi nimezisikia habari hizo eti nataka kugombea k,ndoni. si za kweli ingawa kuna kundi kubwa lilinifata na kunishawishi nigombee lakini niliwajibu nashukuru kwa kunifikiria lakini nafurahia kazi ya uigizaji kuliko kazi nyingine...

        Awali ‘mrekebishatabia’ alitoa orodha ya wasanii wanasemekana kuwania ubunge ambapo aliandika;

        Kwa mujibu wa jamiiforums hawa ndo wasanii wanaowania kugombea Ubunge 2015
        1. Prof Jay- Mikumi
        2. Dude- Tabora Mjini
        3. JB- Kinondoni
        4. Soggy doggy- Segerea
        5. Steve Nyerere - Kinondoni
        6. Afande Sele- Morogoro Mjini
        7. Dokii- Kilosa Morogoro
        8. King majuto- Tanga Mjini
        9. Shilole- Igunga
        10. Kalapina- Kinondoni
        11. Baba Levo (haijawekwa wazi)
        12. Juma chikoka-Ilala
        13. Kingwendu- hajaweka wazi jimbo
        14. Wema sepetu- Singida
        Mwingine nani??? Mambo yanaelekea yatachanganya hapo baadae. Kila la heri wasanii wote.

        Green Guard Wampa Kichapo Kizito Mgombea Urais wa CCM Aliyetaka Kutibua Mkutano wa Lowassa

        Posted: 20 Jun 2015 11:06 AM PDT

        Harakati za makada wa CCM wanaowania urais kusaka wadhamini mkoani zinaendelea kukumbwa na vituko baada ya wanamgambo wa chama hicho, maarufu kama Green Guards, kumshushia mkong’oto Dk Mussa Muzamill Kalokola aliyeingilia mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya mgombea mwingine.

        Tukio hilo lililotokea juzi, ni mwendelezo wa matukio kadhaa ambayo yamekuwa yakitokea kwenye mchakato huo, yakiwamo ya wanachama kutaka kuchana fomu za mgombea baada ya kunyimwa ‘posho’ na kada mwingine kukosa wadhamini na kulazimika kuomba chakula cha mchana kutoka kwa mkuu wa wilaya.

        Katika tukio la Tanga, Dk Kalokola, ambaye pia anadaiwa kushawishi wanachama wasimdhamini mgombea mwingine wa urais, Bernard Membe, alidaiwa kuvamia mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kutaka kulazimisha apewe kipaza sauti kwa ajili ya kuomba wanachama wamdhamini, kitu ambacho viongozi wa CCM wa wilaya hawakukubaliana nacho na alipoendelea kung’ang’ania ndipo Green Guards walipoamriwa wamuondoe eneo hilo.

        Picha za video za tukio hilo ambazo zimesambazwa mitandaoni zinawaonyesha vijana hao wa Green Guards wakimsomba mzobemzobe mgombea huyo, kumuangusha kwa kumpiga ngwala na mkoba wake wenye stika ya fomu za mgombea urais, ukionekana kuzagaa chini.

        Alipoulizwa  kuhusu mkasa huo, Dk Kalokola alikiri kupigwa katika tukio hilo lilitokea mchana Jumatano ya Juni 17, 2015 alipofika kwenye ofisi za CCM za Wilaya ya Tanga Mjini, siku ambayo mgombea huyo anadai alipangiwa na katibu wa wilaya.

        Dk Kalokola alisema baada ya kukabidhiwa fomu za kuomba kuteuliwa na CCM Julai 15 mwaka huu mkoni Dodoma, alikwenda mkoani Tanga ili kupata wadhamini.

        “Tulielekezwa kuwa makatibu wa CCM wa mikoa ndiyo watakaotutafutia wadhamini siyo sisi tutafute hivyo mimi tarehe 16 nilikwenda ofisi za CCM kuripoti kwa katibu wa Mkoa,” alisema.

        Hata hivyo, alisema hakuweza kuonana na Katibu huyo baada ya kuambiwa kuwa hayupo na amemwachia majukumu hayo katibu wa CCM wa Wilaya ya Tanga Mjini.

        Alisema siku hiyo alikuta wagombea wawili waliofika ofisi hizo wakitaka kupewa wadhamini ambao ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Balozi Amina Salum Ali.

        “Hawakutaka hata kunisikiliza shida yangu. Mimi nikaamua kutoa taarifa makao makuu ya CCM,” alisema.

        Hata hivyo, baadaye saa 12:00 jioni alipigiwa simu na katibu wa CCM wilaya hiyo ya Tanga, akielezwa kuwa aende siku inayofuata asubuhi yaani Alhamisi.

        “Nilienda pale nikasaini kitabu nikawaeleza kuwa mimi jana (juzi) nilikuwa na kesi ya kupinga Katiba jijini Dar es Salaam kwa hiyo ningeomba nipate wadhamini siku hiyo hiyo ili nisafiri,”alisema Dk Kalokola ambaye amefungua kesi akitaka Mahakama Kuu itangaze kuufuta mchakato wa kupata Katiba mpya kinyume cha utashi wa chama hicho tawala ambacho kinajisifu kwa kufanikisha mchakato huo.

        Dk Kalokola, ambaye wakati anachukua fomu pia aliiponda CCM akidai inaiba sera za wapinzani, alisema siku iliyofuata alikubaliwa na kutakiwa kurejea saa 6:00 mchana.

        “Nilipofika nikakutana na vijana wa Green Gurd wakiwa mlangoni, wakanipiga ngwala wakiniambia huu ni mkutano wa Lowasa, nikawaambia kuwa mimi nakwenda kumuona Katibu nina ahadi naye,” alisema.

        “Wakaendelea kunipiga lakini kinachonisikitisha vijana hawa wamekuwa wakija nyumbani kwangu kuniomba msaada, hata sare walizovaa niliwanunulia mimi… sasa cha kushangaza wagombea wako 37 kama kila mgombea mmoja siku moja katika kila mkoa tutamaliza lini zoezi hili?” alihoji.

        Alisema kutokana na kipigo hicho, hajaweza kupata wadhamini kwenye mkoa huo ambao alipanga kuanzia kutafuta wadhamini.

        “Kesho (leo) ndiyo nitaanza tena baada ya kutoka mahakamani juzi (Alhamisi). Hadi sasa sijapata wadhamini hata kwenye mkoa mmoja,”alisema.

        Dk Kalokola alisema tukio hilo mbali ya kulitolea taarifa makao makuu ya CCM, pia ameliripoti kituo cha Polisi cha Chumbageni.

        Lakini katibu mwenezi wa CCM wa Wilaya ya Tanga, Lupakishyo Kapange alisema kuwa alilazimika kuwaamuru Green Guard wamuondoe kwa sababu mtangazania huyo alikuwa aking’ang’ania kupewa kipaza sauti ili azungumze katika mkutano uliokuwa umeandaliwa kwa ajili ya Lowassa.

        “Alikuja hadi nilipokuwa nikitangaza, akataka kuninyang’anya kipaza sauti, nilipomuomba afuate taratibu za kuandaliwa mkutano wake kwa sababu huu ulikuwa wa mtangazania mwingine, hakutaka kunielewa akang’ang’ania nikaamua kuwaita Green Guards wa CCM hapa Tanga wamuondoe,” alisema Kapange.

        Katibu wa CCM wa wilaya, Lucia Mwilu alisema Dk Kaloloka, ambaye ni mkazi wa Tanga, alifika ofisini kwa mara ya kwanza Juni 15 wakati wa mapokezi ya Membe na alikuwa akiwazuia wanachama waliokuwa wakitaka kumdhamini mgombea huyo.

        “Nilimwita na kumuomba afuate taratibu zilizopo kwenye fomu za wagombea urais, lakini nikakubaliana naye tukutane Juni 16 mchana ili anipe fomu zake hatimaye niweze kumuandalia taratibu za kudhaminiwa. Hakufanya hivyo badala yake akamvamia katibu mwenezi,” alisema Mwilu.

        Alifafanua  kuwa tukio la kumondoa Dk Kalokola lilitokea saa 7:50 mchana wakati wanachama wa CCM wakimsubiri Lowassa nje ya jengo la chama hicho la mkoa wa Tanga, lakini waziri huyo mkuu wa zamani na timu yake aliwasili Tanga saa 12:00 jioni.

        Alipoulizwa kuhusu tukio hilo, kamanda wa polisi wa mkoa, Zubery Mwombeji alisema Dk Kalokola alitaka kutumia jukwaa la Lowassa kuwapata wadhamni, wakati ni kinyume na taratibu za CCM.

        Alisema baada ya hapo alikwenda kituo cha polisi kuomba aruhusiwe kutumia jukwaa hilo, lakini ofisa upelelezi alimtaka aende kuonana na viongozi wa CCM Kwa sababu suala hilo haliko chini ya polisi.

        Watu walioshuhudia tukio hilo wameeleza kusitikishwa kwao na kitendo cha kada huyo kushambuliwa, lakini wamesema baadhi yao walimsihi Dk Kalokola afuate taratibu lakini hakutaka kuwasikiliza.

        Baada ya Kushambuliwa kwa Kumpa Break Nuh Mziwanda, Shilole Ajibu Mapigo

        Posted: 20 Jun 2015 11:02 AM PDT

        Baada ya Shilole kutangaza kumpa break mwenzi wake Nuh Mziwanda kwa muda wa mwezi huu mzima, wakitarajia kuendeleza malavi davi yao baada ya kipindi hiki kitakatifu kupita, baadhi ya  mashabiki ambao wanajinasibu kuijua dini  wamekuwa wakimshambulia Shilole kwa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuwa kitendo cha kutaka kumrudia tena Miziwanda  bila ndoa sio sawa kwa upande wa dini na wengine kwenda mabli zaidi na kudai hata kazi yake ya sanaa ambayo humfanya kukata maouno pia haifai, kitendo ambacho kimepelekea Shilole kujibu mapigo kwa kuandika jina lake kamili na kusema ni Mungu pekee ndio anamjua na sio binadamu.

        “Zuwena Mohamed bint Yusuph anaeyenijua ni Mungu pekee na si binaadam” –Shilole ambaye jina lake ni Zuwena Mohammed alindika hayo mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

        Jamaniu tuacheni kuwanyooshea kidole watu wakati vingiune vinakusonta wewe.

        Mzee wa Ubuyu

        Wamembaka Mke Wangu, Nimeona Niachane Nae tu'.....Soma Stori hii Utajifunza Kitu

        Posted: 20 Jun 2015 05:06 AM PDT


        Ndoa yangu sasa ina miaka 8, tuna watoto 3 na tumejenga nyumba mbili, wiki mbili zilizopita mke wangu alibakwa na watu wawili waliokua wamejenga nae ukaribu kwa lengo la kumhadaa. Siku ya tukio alipigiwa simu na hao jamaa kwamba kuna shamba limepatikana Bagamoyo hivyo wakaliangalie sikuwahi kujua kama anahitaji shamba.Ilikuwa ni Jumapili asubuhi akaniacha home nimepumzika akaenda ili alione hilo shamba.

        Hatukuwasiliana tena hadi saa nne usiku nilipotaka kujua mwenzangu yuko wapi simu iliita tu bila kupokelewa, nilishtuka kwa kweli maana hana tabia ya kutonipokelea simu, baada ya muda ikawa haipatikani, nikaanza kumpigia kwa namba yake ya Tigo ambayo iliita tu bila kupokelewa, ilipofika saa sita usiku nikampigia mama yake mzazi nae anasema kwa siku hiyo hajafika pale nyumbani.

        Tukapeana jukumu la kuendelea kumtafuta hewani ingawa sio mara ya kwanza kurudi home mida hiyo, wakati mwingine anakuja mida hiyo anadai anatoka Kitchen Party na kadi anakuwa nayo kweli, nikimuuliza kwanini hakuomba ruhusa anajibu ""ningekuomba ungenikatalia"."

        Hivyo nikajipa moyo kuwa huenda ameenda kwenye Kitchen Party kama siku zingine nikaendelea kusubiri, hadi saa nane usiku wapi hajaonekana, na bahati mbaya hakwenda na Gari lake siku hiyo lilikuwa na matatizo kwenye injini lilikuwa likisumbua wiki yote hiyo, nikaamua kwenda kwao usiku huo huo, nikamwambia housegirl kuwa mama akija sipo mnipigie ila mkae macho yenu yakiwa getini maana Leo hana Gari.

        Tukiwa kwao tayari ilikuwa saa Tisa usiku tukashauriana kwenda Muhimbili baada ya kushauriwa na binamu wa wife aliepigiwa simu na mama mkwe usiku huo. Kwa upande wa majeruhi hakuwepo, nikapelekwa walipozipanga maiti zilizoingia usiku huo na ambazo hazijaenda mochwari sikufanikiwa, mama mkwe aliogopa kuzitazama.

        Saa kumi na mbili asubuhi nikamrudisha mama mkwe kwake nami nikaa hapo hadi saa tatu nilipoona simu ya wife ya Tigo ikiita nikapokea, ni sauti ya kike ya mtu mwingine mwanamke. Kumbe wale jamaa wawili walimwekea dawa za kulevya wife kwenye soda hivyo akazimika na kuchukua chumba Gesti na kumwingiza humo, asubuhi tukaenda na ndugu kwa wife na mama mkwe baada ya kupokea hiyo simu ya binti wa mapokezi ambae alitumia simu ya wife ya kitochi waliyomwachia kitandani na kunipigia baada ya kukuta jina la hubby.

        Tulipofika tulienda kwenye Chumba hicho tulikuta wife anakoroma na kutoa udenda wenye damu kwa mbali, pembeni yake kulikuwa na kondomu zilizotumika na kinyesi kiasi, mama yake alianza kulia kwa sauti.Kaka yake akampa kibano kikali receptionist aseme ukweli lakini binti wa watu akasema hajui chochote kuna watu wawili waliingia wamembeba na kulipia, na wakatoka asubuhi na mapema.

        Anyway, kwa kifupi ni kwamba alitibiwa, alikaa hospital siku tano akipewa dripu na dawa za kuondoa sumu mwilini, hadi hali yake ikawa sawa, kwa ushirikiano alioutoa kwa polisi, na kwa kutumia TCRA ambao wana wapelelezi wao wanaoshirikiana na CID madalali wale walikamatwa wote wawili, mhudumu Wa gesti akaunganishwa kwenye kesi hiyo ya ubakaji ingawa yeye mashtaka yake yanasomeka tofauti na wenzie.

        Wamepandishwa kizimbani mara moja na kesi yao kutajwa na imeahirishwa, wapo Segerea, sijajua walishindwa masharti ya dhamana au nini kilitokea maana mimi nilijitoa kwenye kesi hiyo nimewaacha ndugu waendelee nayo, nina sababu.

        Tulikotoka na mwanamke huyu:-

        Kiukweli Haya yaliyompata ni matokeo ya kunidharau na kutoniheshimu kama mumewe, amekuwa mtu wa ratiba masaa 24/7 per week, anachoamua anakifanya bila consultation na Mimi, mfano:-Aliamua kujiunga na masomo ya jioni baada ya kazi kama ifuatavyo. Alijiunga na diploma ya IT ucc inayoanza saa 11 jioni hadi saa moja jioni, hapo hapo akajiunga na masters ya MBA inayoanza saa moja na kuisha saa nane usiku usiku hadi kufika home ni saa tano na kitu nikamuuliza familia yako nani atai attend? Majukumu yako nani atayafanya? Akanijibu ndio hivyo nimeshajiunga, hakuwa na sababu ya kujiunga na IT angeanza na masters (prioritizing)

        Wakuu, mambo yake yote ni siri hasemi mipango yake, anajifanya mtu wa madili anadili na wanaume kuhusu biashara mbali mbali bila kunishirikisha ingawa ni muajiriwa. Mama yake ndio msiri wake mkubwa.

        Akienda kokote atoi taarifa hadi akifika huko ndio anasema "" hny nipo kwenye send off"".Nikajaribu kutafuta huenda ana mwanaume nje lakini kiukweli upepelezi na intelligence iliyotukuka ilithibitisha pasipo na shaka kuwa hajawahi Ku cheat.

        Simu zake zote niliwahi kuziweka under 24 hrs surveillance kupitia watu wangu wanaofanya kwenye mitando ya simu lakini mawasiliaño yote na wanaume ni ya kikazi na madili mbalimbali. Pia niliwahi ku hack namba za simu na account za kijamii zote pia nilitoka bila bila. Lakini hata bedroom life ni nzuri tu, maana ukishindwa kumshika mke kwingineko basi utamshika kwenye haki ya ndoa, mwanamke hawezi kutumikia wanaume wawili kusionekane kasoro,lakini hata upande huo kwa kweli hakuna tatizo.

        Sababu niliyoigundua ni mali alizoachiwa na marehemu baba yake ambazo wamepewa mirathi kama miaka minne iliyopita, wapo watatu, baba yao aliacha plot na nyumba nyingi kwenye prime areas hivyo mke wangu amepewa sehemu nyingi anazochukua kodi kubwa sana achilia mbali sehemu alizouza. Hivyo ni mkakati wake na mama yake anifiche vitu vingi ili nisije kumdhulumu anaona ni bora ashirikiane na mama yake kwenye mambo yake.

        Hati zangu anajua zilipo in case nimeanguka ghafla ila za kwake zote alizopewa plot zaidi ya 6 ambazo tayari amebadilisha tayari majina kuja ya kwake kazificha nisipopajua nimeshachoka, nashukuru Mungu hili tatizo la kubakwa na kulawitiwa limetokea nimepata pa kumwachia, nasubiri awe vizuri psychologically nianze mchakato wa talaka. Naomba muelewe sikuja hapa kuomba ushauri bali kuwapa funzo wa akina dada na wengine.

        Maana nilimwambia hivi. """ hizi mbio zote unazokwenda resi ipo siku watanipigia simu nikufuate Mochwari au Muhimbili"". Na kweli imetokea. Sina haja na pesa zake nina zangu nazopata kazini nilizofanyia maendeleo makubwa tu na miradi kadhaa.Wanashangaa kwanini sijihusishi na hiyo kesi, ni kwa sababu nilimuonya mtoto kwao hakusikia na akanidharau, tried to be a man and more than a man lakini ndo tunazidi kuvurugana. Maana kuna watakaokimbilia kudai "" act like a man"" humu Jf as walikuwa wanaona I am not acting like one.

        Mungu akikupa mke wa ovyo hata uki act like Tyson haitasaidia kitu. Sasahivi wamerundikana hapo nyumbani mara leo wamletee pastor, kesho wamletee counselor, mimi jioni naenda zangu kwenye bia narudi nipo vizuri nalala.Juzi alikuja mshauri nasaha kuniambia ameniletea habari njema vipimo vimeonesha wife hana HIV so natakiwa nifurahi.

        Nikamjibu mwambie afurahi mwenye matokeo mwenyewe mimi sitaendelea nae, sasa sijui amewaambia, maana mama mkwe ananiangalia jicho kama vile anamwangalia shetani.

        Anyway nadhani nimepona rohoni kwa kuwaambia habari hii , sihitaji ushauri, nina maamuzi tayari. Huenda victim mwenyewe akipata mme mwingine atabadilika.

        By Nevile pablo-JF

        Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida

        Posted: 20 Jun 2015 04:51 AM PDT

        Embu hli suala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.

        Mimi: Mambo vipi!
        Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.

        Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.

        Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.

        Mfano:
        Mimi: Mambo vipi!
        Mchepuko: Poa tu we kizibo, uko poa.
        Mimi: We bweg*e nini, niko poa. Umekula
        Mchepuko: Nile umenipa hela , f*la nini?

        Namna hiyo tuendelee dumisha ndoa. Tunawajali sana michepuko.

        Asanteni

        Nape Amshambulia Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.

        Posted: 19 Jun 2015 11:24 PM PDT

        KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kujiuzulu uenyekiti kwa kile alichosema amekiaibisha chama kwa hukumu aliyopewa hivi karibuni.

        Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.

        Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Karumwa, wilayani Nyang’hwale mkoani Geita, Nape alisema miongoni mwa sifa za kiongozi, ni kuzuia hasira na kuwa na kifua kigumu.

        Alisema kwa kulinda heshima yake na ya chama chake, Mbowe anapaswa kujiuzulu.

        “Jana (juzi) Mahakama ya Hai mkoani Kilimanjaro ilitoa hukumu ya kumfunga jela mwaka mmoja Mbowe au alipe faini ya Sh milioni moja. Yeye na chama chake waliamua kulipa faini ili asiende jela,” alisema Nape.

        Akisisitiza kuwa alichofanya Mbowe ni aibu, Nape alisema, “mtu mzima ukiwa umejifunga taulo na mtoto akaja kuichukua hutakiwi kumkimbiza mtoto badala yake unatakiwa kuchutama.

        “Ukiamua kumkimbiza mtoto na wewe unaonekana akili yako kama mtoto. Yeye ni kiongozi wa chama, alitakiwa kuonesha uwezo wake kama kiongozi, kutumia hekima na busara dhidi ya msimamizi huyo wa uchaguzi badala ya kumpiga hadharani.”

        Nape alishutumu siasa za vurugu sanjari na kutumia vijana kwa maslahi ya viongozi wa juu. Alitaja Chadema kwamba kimejijenga kwenye misingi ya ubabe jambo alilotakavijana kuwa macho na kujihadhari na maandamano.

        Kifo cha Tajiri Mtoto Jimmy Chazuo Gumzo Mjini

        Posted: 19 Jun 2015 11:06 PM PDT

        Kifo cha huyu kijana mdogo (21) aliyekuwa milionare ,kimezua gumzo ya aina yake uko instagram siku ya leo. Hakika msiba wake umewateka watu wengi mno ikiwemo mastaa wa bongo movie na bongo fleva, baadhi ya mastaa walioguswa na msiba huo ni jokate, diva, ommy dimpoz,wema sepetu, martin kadinda, young dee, bob junior na mastaa wengine kibao bila kumsahau baba angu mdogo LEMUTUZ nae aliguswa kama kawaida yake.

        Chanzo cha kifo chake inasemekana ni ajali ya gari aliyoipata uko maeneo ya mbezi beach akiwa ndani ya gari lake la kifahar aina Mercedes benz , R.I.P JIMMY japokuwa sikujui

        MWENYE KUJUA WASIFU WA MAREHEMU PLEASEEEE ,maana sio kwa kuvunja rekodi kiasi kile, alikuwa anafanya ishu gani mpaka awe maarufu sana especially baada ya kifo chake? maana mbea mie apa nimefeli, matajir wenzie akina lemutuz mje mtupe wasifu wa marehemu. R.IP aiseh, umeenda ukiwa mdogo sana...

        Wema Sepetu, Sabuni Utakayoogea ndio Utakayonukia

        Posted: 19 Jun 2015 10:39 PM PDT

        Kwako Wema I. Sepetu ninakuandikia maneno haya, uyashike, uyakumbuke siku zote za maisha yako na kuyasimamia ili uweze kufika katika kilele cha mafanikio ambacho weengi hutamani kufika lakini wanaishia kupiga mbizi kwenye Kokoto.

        Dunia nzima kwa sasa kumekuwa na mlolongo mkuubwa sana wa wasanii na hata watu wanaoishi kiujanja ujanja ili kufanikisha malengo yao kimaisha.

        Kumekuwa na mlolongo mkuubwa sana wa vijana ambao wanaingia kwenye tasnia ya sanaa pasipo kuwa na Elimu wala weredi wa Sanaa hio, lakini goal lao kuu lipo katika kuusaka umaarufu na kuwa na majina makubwa.

        Ukichungulia kwenye boti ya wasanii wa filamu utakutana na lundo la vijana kwa wazee ambao wamechumpa huko ili wapate shavu na siku moja wawe miongoni mwa nyota katika medani hio.

        Ukija kwenye sanaa ya uimbaji, utakutana na lundo la Vijana kwa wazee, na wote hawa wanatamani siku 1 magazeti yapambwe na habari zao.

        Kundi kuubwa la vijana wa kike kwa kiume wamekunja madaftari na kuachana nayo pia kuipa elimu Kisogo na kujikita katika sanaa. Imefika hatua kijana anatiririka mistari ya wimbo katika mtihani wake wa mwisho wa kidato cha 4... Hii yote ni katika kuusaka umaarufu ambao ndio lengo kuubwa kwa mlio wengi wenu.

        Mifano ipo mingi. Ila kwa leo nataka nikupe shubiri na ujikaze umeze tu maana ndio itakayokuponya.
        na kama ukikaidi basi ukae ukijuwa ipo siku utakwenda ogelea baharini na kopo.

        Rekodi zinaonesha Wema ulipata kuwa Miss Tanzania mnamo mwaka 2006 na kufanikiwa kukwea pipa mpaka Warsaw Poland kwenda kuliwakilisha Taifa la Tanzania katika kinyang'anyiro cha Miss World.

        Ushindi wako haukuwa msafi kama Sanda kwani kuna utata ulijitokeza kati yako na mwanadada Jokate ambae kuna kundi la watu mpaka sasa hawataki kuamini kuwa ulimgaragaza kihalali Mrembo huyo.

        Nikitafakari zaidi naona kuwa Wema si Miss Tanzania wa kwanza au wa mwisho ktk Taifa hili. Ni dhahiri shahiri kuwa kuna Mamiss walitangulia kabla yako na kuna wengine walifuata baada yako lakini wanaishi maisha ya heshima na taadhima. Wanaitumikia jamii na kufanya kazi zao halali na zenye kuwapatia mapato halali.

        Mifano miwili tu kwanza nianze na Mama ya Mama HOYCE TEMU na pia nimtaje ANGELA DAMAS ambao wamesimama imara na kufanya mambo makubwa katika jamii na pia wamekuwa wakikusanya na kujiingizia mapato halal.

        wanasema starehe ya Mbwa ni kuukalia mkia wake lakini Wema wewe tangu ulipokuwa Miss mwaka 2006 mpaka hivi sasa umekuwa ni mtu wa kuusaka umaarufu kupitia kila njia ambayo unaona itasaidia kukubakiza midomoni mwa watu. Umekuwa ni mtu wa kucheza na vyombo vya habari ili uweze kulibakiza jina lako on top...

        Kwa hili umefanikiwa mno, umefanikiwa jina lako kudumu katika midomo ya watu, umefanikiwa jina lako kudumu kwenye baadhi ya vipindi vya Redio na Runinga, na kama hio haitoshi Mama nakupongeza kwa kufanikiwa kulidumisha jina lako kwenye vichwa vya habari vya Magazeti, japo kwa akili ya kikubwa ni wazi kuwa hapa unamaliza kuni kwa kuchemsha mawe.

        Lakini je watu uliowalenga walijadili jina lako wana tija yoyote ama wana faida yoyote wanakupatia?
        Au hivyo vipindi vya redio na runinga vinavyotumia jina lako kusukuma siku je vinawalenga watu wenye tija katika jamii ambao wanaweza wakakuunganisha na taasisi fulani au NGO ili uweze kuanza kufanya makusanyo halali ya pesa?

        Hebu tafakari kwa mapana je hayo magazeti ya marangi rangi ambayo kila Alfajiri yanaibuka na habari kukuhusu wewe je yanasomwa na watu makini au je yamewekwa kwenye kundi gani katika jamii?

        Sitaki kuchuma dhambi kwa kujiaminisha kuwa eti wewe ni msichana mreembo sana so utabakia on top for the rest of your life.

        Macho yangu yalipata kumuona Aminata Juma mwishoni mwa miaka ya 90 akisoma Sekondari ya Jangwani na kisha Zanaki.

        Aminata alikuwa Mashalaah alieumbika katika kila Idara na akili ya Darasani pia, aliposimama Aminata basi Kajala hakuthubutu kusogea na mara zote aliishia kulekule jeshini Jitegemee.

        Alipofungua kinywa chake Aminata na kuongea Lugha yoyote ile iwe Lugha mama ya Taifa ama iwe Lugha ile ya kigeni basi Amina Chifupa hakuthubutu hata kupiga chafya...

        Sitaki na sintoruhusu kuaminishwa kuwa wewe Wema ni mzuri zaidi ya aliepata kuwa Msomi wa Chuo Kikuu kitivo cha Sheria Sylvia Bahame ambae alipata pia kuwa Miss Tanzania mwaka 2003, huko ni sawa na kumfunika Nyuki kwa tenga.

        Sifa unazozisaka sasa na umaarufu unaoufurahia sio kitu cha msingi kwa mtu makini. Kumbuka umesha jidharirisha saana ili mradi tu jina lako libaki midomoni mwa watu. Familia yako imeshajadiliwa saana na wewe umelifurahia hilo ili mradi tu ubaki on top.

        Wenzio wakaenda mbaali zaidi na kumdhalilisha mpaka Mama yako kwa kubandika picha kwenye mitandao akiwa mtupu.

        Najuwa huu ni mfumo mlionao wasanii wa leo kwa kupenda kutokelezea kwenye headlines katika Media tofauti ati mkiamini kuwa ndio mnauza na mtadumu milele...lakini mwamuzi wa kweli anaeweza kukudumisha juu milele ni bidii katika kazi yako halal.

        Wema wewe tangu umejikita kwenye tasnia ya maigizo huna movie hata 1 ambayo unaweza kuitaja kuwa ni bora na ipo kwenye viwango vya ubora kwa baadhi tu ya sinema za hapa Afrika ya Mashariki.

        Wema wewe huwezi kujifananisha na wasanii wa Luninga kutoka hapo Kenya, lets say wasanii walioshiriki katika tamthiria ya Sumu la Penzi.

        Kama hio haitoshi Wema wewe huna kipaji cha kuigiza kumzidi msanii yeyote wa kike katika tamthiria ya Siri ya Mtungi.
        Hivyo ni wazi kuwa huna

        Tofauti na mkia wa Mbuzi...haustiri uchi na wala haufukuzi Nzi.

        Jipange sasa;

        Hakuna binadamu vigeugeu katika hii Dunia kama wabongo. Na kuna harufu ya wabongo kukuchoka Mama kwa skendo zako za kujitengenezea ili ubaki ukijadiliwa bila faida.

        Alikuwepo MR NICE;
        Nadhani unakumbuka ni jinsi gani alishika na kubamba jamii.
        Lakini leo hii anakesha Corner Bar akiomba (200) mia mbili ili acheze pool table.

        Alikuwepo SINTA;
        Eskimo huyu alitamba katika maigizo ya Runinga, lakini zake zilipopita zilikwenda na hazikurudi na hazitorudi ng'o.

        Pakawepo na JUMA KASIMU maarufu kama JUMA NATURE;
        Yaani aliishika Bongo kiasi kwamba chochote alichokiimba kilibamba.

        INSPEKTA HAROUN na RAY C;
        Hakika walitamba mno, lakini leo hii wabongo wamewachoka na kuwaona kama kopo la chooni. Kwa kifupi wamepotea kama harufu ya ushuzzi.

        Sasa Mama jitathmini upya, maana painukapo leo basi patainama Kesho, je kwa miaka takriban 10 ambapo umedumu midomoni mwa watu kwa series yenye episode nyiingi za kujitengenezea wewe mwenyewe je umepata faida ipi? Au ndio yaleyale ukipenda vitamu basi utahalalisha vya haramu.

        Alinena Gang Chomba "If you don't change your self, changes will change you".

        THINK BIG!

        Shifta/JF

        Nora: Bongo Movie Wamesharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania...Huwezi Kaa na Wazazi Wako Ukaangalia Movie Wataharibu Hali ya Hewa tu

        Posted: 19 Jun 2015 10:10 PM PDT

        MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya  uigizaji hapa Tanzania. Nora amefunguka hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa lokesheni wakishuti movie.

        "Naipenda kazi yangu na ninaiheshim sanaaaaa hii ndo sanaa ilionikuza mpaka leo na bado nakua nayo Mungu afungue heri zake lol tunajua kukomaaa ila nais Mungu ndo ameandika.

        Nitatumia kipaji changu akili yangu kuwatumikia Watanzania pale palipokua apajaenda sawa nawaakikishia hiii kitu imewabeba wooooootee kiasi kwamba utatamani kumwita mama yako mnakaa mnajifunza kitu unakaa na baba yako mnaangalia sio kama movie nyingi zilizopo hukai na wazazi wako mkaangalia mana unajua wataharibu tuuuuu ila hii sio movie manaa bongo movie wamesharibu sanaa ya uigizaji tanzania," Nora ameandika.

        Una maoni gani juu ya mtazamo huu wa Nora?

        Nuh Mziwanda Atimkia Kuishi Kwao..Hakai Tena Kwa Shilole...Shilole Afunguka Sababu ...

        Posted: 19 Jun 2015 09:52 PM PDT

        Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa.

        Shilole ameyazungumza hayo wakati akizungumza na Clouds Fm,ratiba yake nzima ya mapishi kwenye mwezi Mtukufu na kusema kuwa mwezi huu wa Ramadhani ameacha kufanya vitu vyote vya starehe na ndiyo maana hata mpenzi wake Nuh ameondoka nyumbani kwake ili asiharibu funga yake.

        ‘’Nuh ameondoka nyumbani kwangu amerudi kwao ili asiharibu funga yangu,’’alisema Shilole

        PHOTOs!! Who was calling ZARI ‘Cucu’? She is still the s*xiest pregnant woman in East Africa

        Posted: 19 Jun 2015 01:10 PM PDT




        PHOTOs!! Who was calling ZARI ‘Cucu’? She is still the s*xiest pregnant woman in EA

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 21, 2015, 4:07:59 PM6/21/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        For those who love VERA SIDIKA, she's back & this is what she wants you to see

        Posted: 21 Jun 2015 11:35 AM PDT

        Well endowed socialite, Vera Sidika who has of late been keeping a low profile of herself is now back.
        The lass, who is never afraid when it comes to flaunting what her mama gave her, recently took to social media to give “team mizigo” the best view of her giant bo0ty

        Mwanamuziki Diamond Ampa Makavu Live WEMA SEPETU..Adai Anaitaji Kubadilika..'Jana Katangaza Kuwania Ubunge Lakini Bado Anashadadia Ugomvi wa Diamond na Davido'

        Posted: 21 Jun 2015 11:31 AM PDT

        Dimond: Wema and Her Team Must change- Wema for MP...
        This is Diamond comment on Wema regarding her motives to MJENGONI

        Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge

        Posted: 21 Jun 2015 10:00 AM PDT

        Mzee Majuto  kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;

        Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na kuleta mabadiliko.Kapeleke mabadiliko Singida na Tanzania nzima.

        Muhimu ni kuwa na juhudi uwezo imani pamoja na uzalendo. Ujumbe huu pia ni kwa kila kijana na mwanamke mwenye lengo na nia ya udhubutu. Inshallah. Ramadhan Maqbul Waislam wote. Mzee Majuto alimaliza na kumtag Wema.

        Moja kati ya waliochangia kwenye andiko hili la Mzee Majuto, ni Diamond Platnumz ambaye alimtaka Wema abadilike kama kweli anautaka ubunge.


        • “Swala siyo watu kumvunja moyo ,..ila yeye abadilishe akili ya mambo ya kushabiki migogoro ya watu wengine mitandaoni aache..katia aibu sana jana ,katangaza ubunge na bado ana shadadia ugomvi wa Diamond na Davido ,...mbunge ndo wakuwa na akili hii kweli,...watu wanahasira na upuuzi unaofanya na team yake na bado yeye mwenyewe anachochea ...watu watamuachaje....abadilike kama kweli anataka kugombea ubunge”


        Wewe mdau unakipi cha kusema hapa.

        Le Mutuz Amfagilia Tena Wema...Ataka Watu Waache Chuki na Wivu Juu ya Wema Sepetu.....'Matatizo yako ya maisha ni yako mwenyewe pigana nayo'

        Posted: 21 Jun 2015 09:26 AM PDT

        PEACE JAMANI AMANI PEOPLE hata kama humpendi yeye lakini HESHIMU NYOTA YAKE cause tatizo sio yeye ila NYOTA and guys lets support her MBUNGE MTARAJIWA and yes I said it STOP HATING I mean guys TUPENDANE LIIFE IS TOO SHORT narudia huwezi KUMCHUKIA MTU USIYEMJUA NA ASIYEKUHUSU KAMA WEWE BINAFSI SIO A DEAD MAN WALKING mazafantazz ndio maana unataka na WENGINE WAFWE KAMA WEWE ...and wacha hizo CHUKI NA.WIVU WAKO matatizo yako ya maisha ni yako mwenyewe pigana nayo mwenyewe kila mtu ana yake na usieme mambo ya Chuki kayaleta fulani ina maana utaenda mbele ya Mungu useme niliambiwa KUCHUKIA WENGINE NA FULANI? people STOP HATING NOW...IT IS WRONG AND IT IS A SIN! Now Imagine unajaza.bundle kwa hela nyingi ili UKANUNUE DHAMBI hahahaha that is LE MBURULAZZZZ STOP IT NOW! - le Mutuz

        @lemutuz_nation on Instagram

        Jamani Housegirl wangu Huyu, Ananitafuta ubaya! (STRICTLY KWA WANAUME TU)

        Posted: 21 Jun 2015 03:49 AM PDT

        Jamani naomba ushauri kuhusu hili.

        Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto wanne. Hivi karibuni tumepata housegirl mpya kutoka Singida, amemaliza form four hakubahatika kuendelea na masomo kwa sababu ya kukosa sifa za shule za serikali. Ni mzuri wa kawaida, yaani hana muonekano ule wa mahousegirl-naamaanisha muonekano choka mbaya kweli anafaa hata kuwa mke wa mtu. Katika historia yangu sijawahi hata siku moja kutembea na housegirl na mpaka sasa nishaajiri hao h/girl si chini ya 6, huwa niko very serious na sitaki mazoea nao hata kidogo.

        Huyu amekuja naona anataka kuniangusha katika msimamo wangu huu. siku ya kwanza kutambulishwa kwake alionekana kushituka sana ingawa na mimi kwa ndani nilimkubali kuwa mzuri. Maisha yakaendelea na siku zikafunguka. Sasa toka siku hiyo amekuwa anakosa sana sana tu confidence ninapokuwa nyumbani, mara atajikwaa, mara ataogopa kuja mbele yangu n.k mbaya zaidi ninapokuwa peke yangu lets say wengine wapo mbali ananichangamkia sana na kutabasamu muda wote kila nitakalooongee yeye anatabasamu hata kama si la kufurahisha, nikimtuma kitu ataniletea wakati napokea anainua kichwa kuniangalia kiuchokozi halafu anatabasamu, basi na mimi nikawa natabasamu. Ikitokea labda nimerudi nyumbani na nahitaji chakula mapema atanipikia vizuri sana wakati mwingine anongeza kitu ambacho hakikupangwa kwenye ratiba ya chakula cha siku hiyo, anaweza kunkaangia mayai au akachemsha chai ya maziwa akaweka na viuongo haraka haraka na kunipatia chakula.

        Tatizo, wife keshamshitukia hizo nyendo zake, amekuwa kila mara ananiuliza kuhusu mtu huyu, anasema mbona fulani ukiwepo anakuwa hana confidence nikamwambia mi sijui embu muulize alipomuuliza akamjibu wife kuwa eti ananiogopa kwa sababu aliambiwa na mlinzi mi ni mkali sana achunge asinikorofishe. Lakini ukiangalia mapozi yake kwangu si ya mtu anayemuogopa. Si hizi ameongeza zaidi, kunisalimia/kuniamkia kwake imekuwa ngumu sana ni mara mojax2 sana. Mi kwa ujumla ni mtu nisiyejali vitu vidogo vidogo na nilichojaribu kufanya ni kuwa mbali nae, nimeongeza kuwa serious, na wakatui mwingine nakuwa mkali ninapoongea nae ili awe mbali nami au afute hicho anachofikiri au kukitafuta, Lakini nahisi ananitafuta ubayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

        Nimfanyeje? au nifenye lakini nahisi kujidhalilisha kwa mah/girl!

        Kocha Mkwasa na Julio kocha msaidiz sasa ndani ya Taifa Star! Wazungu Hatutaki Tena......

        Posted: 21 Jun 2015 03:34 AM PDT

        Habari! naandika hivi kwasababu zifatazo.

        1. Mkwasa ni kocha mzuri sanaa, anajua kufundisha mpira wa kibongo na wakimataifa (yanga) anaufahamu sanaa.

        2. Julio ni kocha msomi, ana beji za kimataifa, ni mtaalamu wa mpira wa fitina nje ya uwanja, na mpira wa bongo anaujua sanaaaa.

        SASA.
        Namba moja anatasaidia sanaa kufundisha mpira ndani ya uwanja kimataifa na ndani. na namba mbili atasidia kusaka vipaji kila kona ya nchi na kumpa mkwasa na kuweka sawa plus vitina zake nje ya uwanja

        Tiafa star hapo itakuwa bora, kuliko sasa bora taifa star.

        Tukiweza kwa style hii, baadaye ndio tutaleta mzungu kufundisha mpira wa darasani.

        Lowassa: Mimi Ndiyo Nitaleta Mabadiliko CCM

        Posted: 21 Jun 2015 03:29 AM PDT

        Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alisema kuwa muda wa mabadiliko aliyotabiri Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ni sasa na kwamba yeye ndiye anayeweza kuyaongoza.

        Wakati Lowassa akisema hayo mjini Iringa, kada mwingine anayewania urais kwa kupitia chama hicho, William Ngeleja alikuwa mkoani Mwanza ambako alisema kuwa ana dhamira ya dhati na nia ya kuleta mabadiliko kwa maisha ya Watanzania.

        Mjini Iringa, Lowassa alisema kuwa kwa sasa CCM inahitaji mabadiliko makubwa na akanukuu kauli ya Mwalimu Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 alipozungumzia haja ya chama hicho kujisahihisha.

        “Baba wa Taifa alisema kuwa Watanzania wanahitaji mabadiliko na wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM,” alisema mbunge huyo wa Monduli kwenye hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Samora mjini Iringa.

        “Huu ni wakati wa mabadiliko. CCM ikijipanga inaweza kuleta mabadiliko na mtu wa kuleta mabadiliko hayo ni mimi,” alisema.

        Lowassa alisema aliamua kuingia kwenye mbio za urais kwa sababu tatu, ambazo ni kufanya mabadiliko ndani ya CCM, kufanyia kazi tatizo la umaskini na kushughulikia tatizo la ajira kwa vijana.

        Trending Photo on INSTAGRAM, This Kajala and Chuchu Hans's Photo received more than 1000 likes just in 20mins on INSTA

        Posted: 21 Jun 2015 01:53 AM PDT

        Trending Photo on INSTAGRAM, This Kajala and Chuchu Hans's Photo received more than 1000 likes just in 20mins on INSTA

        Ally Kiba will faints after seeing these photos.....Just read what Jokate wrote on this photo

        Posted: 21 Jun 2015 01:50 AM PDT

        This is what Jokate captioned this photo; Business Meeting In Nairobi With Fareed Khimani At His Restaurant Monikos at Valley Arcade. Check It Out Once In Nairobi-Kenya. Usengwile.

        Only God will save Kenya, This was captured in a city Club, Sodom & Gomorrah (VIDEO)

        Posted: 21 Jun 2015 01:39 AM PDT

        The city of Nairobi has been turned into another Las Vegas thanks to the hundreds of clubs that are spread all over the town.

        What happens in most of city clubs can be compared to Sodom and Gomorrah.

        Ladies do the unthinkable and it’s clear that most of the city residents are only surviving under the Lord’s mercy.

        After watching the video below that was captured in one of the city clubs, you will just go down to your knees and pray for our nation.

        Click play and watch the action.

        Winger mpya wa Man United ajiweka karibu na ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

        Posted: 21 Jun 2015 01:34 AM PDT

        Memphis Depay si jina geni hasa kwa mashabiki wa klabu ya Manchester United. Ni mchezaji mpya aliyesajiliwa majira haya ya joto hivi.

        Mchezaji huyo ameonekana akiwa karibu na aliyekuwa mpenzi wake na Chris Brown, Karrueche Tran. Wameonekana kwenye picha waliyopiga pamoja walipokutana huko Miami.

        Depay anatarajiwa kujiunga rasmi na timu yake mpya mapema mwezi ujao.

        Kupitia Instagram, mchezaji huyo alipost picha hiyo na Karruache na hakuandika caption yoyote. Mashabiki wengi wameonekana kuipenda japo wamemuonya juu ya Chris Brown.

        Davido Achezea Akili za Watanzania.kwa Kuwatubeep Kwa Bendera..Ugomvi wa WEMA SEPETU na Diamond Platnumz ni Faida Kwake TUZO za MTV 2015

        Posted: 21 Jun 2015 01:23 AM PDT

        Ukitaka kujua kuna watu hawana kazi ya kufanya utaangalia tofauti ya comment za kwenye post ya Davido kwenye instagram. Kawaida huwa anapata comment 100 hadi 200. Lakini post hii ambayo aliyoweka picha ya bendera ya Tanzania imepata zaidi ya comment 2600 ndani ya masaa 4.

        Ukiangalia comment zimejaa za wa Tanzania waki-comment ujinga kumpa support na wachache wakiongea vitu vya msingi. Hapa ni hivi, kuna kundi la watu wanaongoza kampeni za kumpigia kura Davido kwenye vipengele vya MTV Awards ambapo Davido yupo na Diamond...Kisa cha Watu kumpigia Kura Davido Kinatokana na Ugomvi wa Diamond na Wema Sepetu Ambao walikuwa ni Wapenzi zamani...Wema Sepetu na Team yake ndio vinara wa kuwashawishi watu wampigie kura Davido Badala ya Diamond..

        Sasa inavyoonekana Davido alipata hizo taarifa na kutumia advantage kwa ku-post bendera ya Tanzania na kuweka alama ya love. Basi kawateka wote wasio na kazi wanaanza kupoteza muda wao. Wengine wanasema Davido ka-show love tu kwa Tanzania. Anaanzaje kutoa love bila sababu ya msingi.

        Ishu za kitaifa tuache team zisizokuwa na msingi na tutumie bundle zetu vizuri kama sio kujifunza mambo ya msingi basi kuwa support ndugu zetu wanaotuwakilisha sio strangers. Hizi ni baadhi ya comments na nyingine ni nzuri ila nyingine utashangaa kama kweli hawa ni watanzania au wahamiaji tu.




        Mkwasa Apawe Mikoba ya Nooij Kuiokoa Timu ya Taifa Stars iliyochoka Kama Mbwa Koko

        Posted: 21 Jun 2015 01:13 AM PDT

        Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfukuza kazi kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Mart Nooij pamoja na benchi zima la ufundi la Stars baada ya kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Uganda kwenye mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (CHAN) mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar.

        Kufuatia kutimuliwa kwa kocha na benchi zima la ufundi la Stars, kitu pekee kinachotakiwa kufanyika ni kumkabidhi kocha mzawa majukumu ya kukinoa kikosi hicho ambacho kwa sasa kimepoteza mwelekeo kutokana na vipigo vya mfululizo

        Charles Boniface Mkwasa ni kocha ambaye anauwezo wa kuichukua timu ya Taifa kwa kipindi hiki cha mpito ambacho tunafikiri nini cha kufanya juu ya haya yote ambayo yametokea. Licha ya makocha wengi hapa nchini kuwa na leseni za ukocha za daraja A, Mkwasa ni kocha ambaye yupo kwenye kazi hiyo kwa muda mrefu akifanya kazi tofauti na makocha wengine ambao wana leseni kama yake lakini wameziweka ndani bila ya kuzifanyia kazi.

        Mkwasa ambye kwasasa ni kocha msaidizi wa Yanga chini ya Mholanzi Hans van Pluijm, anauelewa mkubwa wa wachezaji wa Tanzania kuanzia namna ya uchezaji wao na mazingira halisi ya soka la bongo kwa mapana yake. Amesha kutana nao kwenye timu mbalimbali wakati timu yake ilipocheza dhidi ya timu hizo kwenye mechi za ligi akiwa kama kocha.

        Lakini tunatakiwa tuelewe kwamba, Mkwasa siyo nabii hivyo hawezi kuyabadili haya yanayotokea hii leo kwa siku moja. Anahitaji muda wa kutosha na ushirikiano mkubwa kutoka TFF na wadau wengine wa soka ili kuweza kupata kile ambacho watu wengi wamekuwa wakikitamani lakini mwisho wa yote wamekuwa wakiishia kwenye maumivu.

        Tumekuwa na makocha wengi wa kigeni ‘wazungu’ lakini bado hatujafika popote wala hata nusu ya pale tunapopataka, nikisema hivyo sina maana nawabeza makocha wa kigeni waliowahi kuinoa Stars. Ila naangalia kama walifikia malengo ambayo tumekuwa tukitaka kuyaona kwenye soka letu la Tanzania, kama nao wamekuwa wanakuja wanalipwa mamilioni ya fedha lakini bado wameshindwa kutupeleka pale tunapopataka basi sioni ulazima wa wao kuja.

        Kumwamini kocha mzawa na kumpa timu sio dhambi wala si ujinga, kama atapata ushirikiano wa kutosha kama wanaopewa makocha wa kizungu naamini mzawa anaweza akatusaidia kuliko hata hawa makocha wa kigeni ambao kila kukicha wanaichukua timu hakuna wanachokifanya mwisho wa siku tunaishia kuwatimu na kuwalipa pesa nyingi wanatokomea na kuiacha timu ikiwa kwenye hali mbaya.

        Mwarobaini wa taizo letu sio makocha wa kigeni hapo naomba tuelewane, hata kama tutamchukua Sir Alex Ferguson, Jose Mourinho, au Pep Guadiola bado tatizo litabaki palepale kwasababu tatizo letu sisi sio kocha. Tatizo linalolitafuna soka la Tanzania ni mfumo wazungu wao wanaita ‘system’, hapa ndipo imelala mizizi ya matatizo yote yanayolitafuna soka la bongo.

        Sasa inabidi kuichimbua mizizi hiyo ili siku moja na sisi tufurahie matunda ya soka kama nchi nyingine ndogo za Afrika ambazo zimethubutu lakini sisi kila kukicha bado tunapiga mark time palepale. Mfano mzuri ni Botswana hawa jamaa waliopata umaarufu kwa ngoma ya ‘makhirikhiri’ walishiriki michuano ya AFCON sisi tukiwa watazamaji kwenye TV zetu. Nchi nyingine ni Burkina Faso wale ambao Erasto Nyoni aliwafunga goli wakiwa kwao baada ya kutoka sare ya 1-1 jijini Dar es Salaam, nao pia walifuzu kucheza AFCON sisi tukawa watazamaji tu.

        Sasa ifike wakati tujifunze kukubali vyetu, hebu tumpe huyu mzalendo hii timu wakati sisi tukiangalia tunaanzia wapi kuichimba hii mizizi yetu ya mfumo mbovu ambao unalitesa na kuligaragza soka letu kila kukicha. Ninaposema timu apewe Mkwasa sio kwamba nampigia debe la hasha, ila ukiangalia kwa makocha wazalendo waliopo hapa Tanzania wenye leseni kama ya Mkwasa na wanafanya kazi basi utaungana na mimi kuomba timu hii apewe Mkwasa mbali ya kuwa na leseni ya daraja la juu.

        Mfano mzuri ni yule kocha wa timu ya wanawake ‘Twiga Stars’ Rogasian Kaijage, ameweza kuivusha na kuipeleka kwenye michuano ya All Africa Game itakayopigwa Congo Brazzaville. Angalia mazingira anayofanyia kazi, wachezaji alionao na ushirikiano anaopewa kwenye ile timu hapo utajua kuwa hata hawa wazalendo wanajua ila basi sisi tuna kasumba ya kuwadharau na kutukuza hao makocha tunaowaamini kuwa watatufikisha tunapotaka.

        Kwasasa Stars ipo kwenye wakati mgumu sana hasa wachezaji wake wanaokipiga kwenye timu hiyo, wameshapoteza mechi tano mfululizo na hiyo inawaondolea hali ya kujiamini pindi wawapo uwanjani. Wakishatanguliwa kufungwa wanakata tamaa wakijua yaliyowakuta kwenye mchezo uliopita yanajiudia tena kwenye mchezo ambao wanacheza kwa wakati huo. Ukijumlisha na mashabiki wao kuwazomea hapo ndio mambo yanakuwa magumu kwao kwani wanakuwa wanacheza kwa presha ya kutaka kuwaridhisha mashabiki.

        Endapo tutampa timu Mkwasa, basi tumuache afanye kile ambacho anaona ni sawa kwa yeye kukifanya kwa wakati huo. Tusimpe presha kubwa bali tumuamini, tumpe ushirikiano na kuheshimu yale yote atakayokuwa akiyafanya kwenye kikosi hicho akiamini yataleta mafanikio. Kweli tupo kwenye wakati mgumu lakini tunatakiwa kuwa wavumilivu kwenye hili hasa kwa kipindi hiki cha mpito tulichopo wakati huu

        Mwanamuziki Davido Aipeperusha Bendera ya Tanzania Kwenye Mtandao..Unajua ni Kwanini ? Soma Hapa

        Posted: 21 Jun 2015 01:09 AM PDT

        Kuna vitu vimeendelea mitandaoni kwa muda mrefu, labda wakati mwingine mitandao ya kijamii huwa haina taarifa za ukweli kuhusu ukweli wa ishu zenyewe.

        Staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliwahi kuingia kwenye headlines baada ya kuweka post ambazo watu walihisi kwamba jamaa hakuwa na furaha na ushindi wa Diamond Platnumz kupata Tuzo tatu South Africa na pia Idris kuibuka na Ushindi wa BBAHotshots mwaka 2014.

        Davido kaweka post hii dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wake @Instagram, ameweka bendera ya Tanzania alafu hajaandika chochote zaidi ya kuweka alama ya love !!

        Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Juni 2015

        Posted: 21 Jun 2015 01:07 AM PDT

















        Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe 21 Juni  2015

        Kocha wa Taifa Stars Maart Nooij na Benchi Lake Lote La Ufundi Watimuliwa Kazi

        Posted: 21 Jun 2015 12:28 AM PDT

        Kocha Mkuu wa Taifa Stars Maart Nooij akisindikizwa na ulinzi mkali usiku wa kuamkia leo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Tanzania na Uganda wa kuwania kufuzu fainali za CHAN katika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar ambapo Taifa Stars ilichapwa 3-0.

        Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.

        Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;
        1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.

        2. Benchi lote la ufundi la Taifa Stars limevunjwa kuanzia Juni 21, 2015.

        3. Uongozi wa TFF utatangaza punde benchi jipya la ufundi la timu ya Taifa.

        IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA 
        MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
        Juni 20, 2015

        Lowassa Avunja Record Tena, Elfu 58 Wamdhamini Iringa....

        Posted: 21 Jun 2015 12:15 AM PDT



        Ni katika Safari ya matumaini...!!!

        Tulidhania Singida record yake ya wadhamini elfu 22, isingevunjwa, ila Moshi wakavunja kwa wadhamini 33 elfu, siku moja baadae, rekodi ya Moshi ikavunjwa na Mbeya kwa kupata wadhamini 53 elfu...!!!

        Jana Iringa, wameweka rekodi mpya ya kutisha, wadhamini 58 elfu...!!!!

        Kama hujui kusoma, picha huoni...!? Kama kipofu, huwezi kusoma pia, SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU, si unasikia CCM ikichanja mbuga na Lowassa...!!! Chagua Lowassa 2015...!!!

        Tuhuma zote dhidi yake zimegonga mwamba kwani ni propaganda na uzushi, kwani Vyombo vyote halali vya Dola....👇👇👇👇👇👇

        PCCB, COURTS, DPP, POLICE, TUME YA MAADILI YA VIONGOZI YA UMMA na KAMATI YA MAADILI YA CCM.... hajawahi kutuhumiwa achia mbali kushtakiwa ktk maisha yake ya utumishi...!!!

        Pia anapendwa na makundi yoooooote....Waalimu na wafanyakazi, wafugaji, wakulima, wavuvi, masheikh, maaskofu, wakristo, waislam, bodaboda, machinga, UVCCM, BAVICHA, UWT, Umoja wa Wanawake CCM, CCM NEC, Wafanyabiashara wakubwa, wasio na dini, Albinos etc etc...!!

        So we made our hearts and minds, we go with Lowassa 2015...!!!

        Walioiba mali ya umma jiandaeni...!! Mnajua shughuli ya Lowassa...!!!

        CCM thru LOWASSA 2015 ndio chaguo sahihi...!!!

        Maskin Timu yetu ya Taifa Wenyewe Tunaipenda lakini....Yatuabisha Tena Nyumbani Mbele ya Waganda...God Help us

        Posted: 21 Jun 2015 12:06 AM PDT

        Maskin timu yetu ya Taifa wenyewe tunaipenda lakini mpira unatutosa hivhivi yan! Juzi tu mashabiki wamewafata mazoezini nakuwazomea na kuwapiga mawe kwa ajili ya wiki iliyopita ilipigwa 3-0 na Misri. Sasa Usiku wa jana mechi imeisha  imepigwa tena na Uganda the cranes bao 3-0. dah lkn tutafanyaje sasa ndio timu yetu tuendelee kuonyesha uzalendo wa kuipenda tuuuu maana ndio cha kwetu.
        Japo inauma si eti jaman sijui tatzo nini maskini!

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 22, 2015, 4:36:01 PM6/22/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        Shilole:Sasa Namzalia Nuhu Mziwanda Mtoto

        Posted: 21 Jun 2015 11:41 PM PDT

        Chande Abdallah
        Kutoka kwenye mtima! Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungukia ishu ya kumbebea mimba mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ili kuwafunga midomo wanawake wa mjini ambao wanamzengea jamaa huyo.

        Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa katika pozi na mpenzi wake Nuhu Mziwanda.

        Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shilole alitiriria kuwa, kwa muda mrefu amekuwa akibanwa na kazi zake za muziki ambazo anafanya na mpenzi wake huyo kiasi kwamba hawakufikiria kuhusu kupata mtoto mapema.

        “Kwa sasa nimepanga kumbebea mimba na kumzalia Nuh,” alisema Shilole au Shishi Baby.
        GPL

        Sugu Amfikisha Mkewe Kortini..Kisa Kuvaa Nusu Utupu na Kupiga Picha za AIBU

        Posted: 21 Jun 2015 11:43 PM PDT

        KINDUMBWENDUMBWE! Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’ amemfikisha kortini aliyekuwa mkewe,  Faiza Ally akitaka apewe mtoto wao, Shaa (2) ili amlee kwa vile mama yake huyo si mwadilifu.

        Aliyekuwa mkewe na mbunge wa mbeya mjini Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’,  Faiza Ally akiwa katika pozi.

        Ijumaa iliyopita, saa 2:00 asubuhi, Faiza alipanda kwenye kizimba cha Mahakama ya Mwanzo, Manzese/ Sinza iliyopo Sinza-Makaburini jijini Dar kwa ajili ya kukabiliana na madai hayo.

         Alieyekuwa mke wa mbunge wa mbeya mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" akiingia mahakamani.

        ZILIPO HASIRA ZA SUGU

        Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichomwaga ‘ubuyu’ huo, Mheshimiwa Sugu alifikia hatua hiyo baada ya kuchukizwa na tabia mbaya za mwanamke huyo hasa ya kuvaa nguo zinazomuacha nusu utupu na kupiga picha za aibu, akiamini kuwa, tabia hizo zinaweza kuathiri makuzi ya mtoto huyo.

        Mnyetishaji huyo aliendelea kusema kuwa, kwa kipindi kirefu, Sugu amekuwa akimvumilia Faiza, lakini hivi karibuni uzalendo ulimshinda baada ya picha zake akiwa amevaa kigauni kifupi na makalio nje kusambaa mitandaoni.

        PALIPOKOLEZEA HASIRA

        Faiza alivaa kivazi hicho hivi karibuni kwenye hafla ya ugawaji wa Tuzo za Kili Music iliyofanyika Ukumbi wa Mlimani City, Dar.

         SUGU MBELE YA HAKIMU

        Akizungumza mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo, Patrick Vaginga, Mheshimiwa Sugu alidai kuwa mbali na mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kuvaa nusu utupu pia ana mtindo wa kupiga picha zisizo na maadili na kuziweka mtandaoni yeye mwenyewe.

         Joseph Mbilinyi akionekana kwa mbali katika maeneo ya mahakama.

        KUHUSU MTOTO

        Sugu alikwenda mbele zaidi kwa kudai kwamba, pia mwanamke huyo amekuwa na tabia ya kumpiga picha mbaya mtoto wao na kuzimimina humohumo mitandaoni jambo ambalo alisema linamharibu mtoto huyo.

         FAIZA HANA PESA

        Mbali na sababu hizo, pia Sugu aliongeza kuwa, Faiza hana kipato kizuri cha kuweza kumlea mtoto na mara kwa mara amekuwa akisafiri jambo ambalo husababisha mtoto huyo kutopata malezi ya mama kwa muda mrefu hivyo kuiomba mahakama impe haki yeye ya kuishi na mwanaye.

         FAIZA AJIBU MAPIGO

        Naye Faiza akijibu mapigo katika utetezi wake alisema kuwa, Sugu hafai kumlea mtoto huyo kwa sababu naye ana tabia ya kusafiri kwa muda mrefu hivyo kuishi mbali na mtoto ambapo aliiomba mahakama hiyo isimruhusu baba mzazi huyo kuishi na mtoto kwa kuwa atamharibu.

        KESI YAPIGWA KALENDA

        Mheshimiwa Hakimu Vaginga akasema kwa vile kesi hiyo ndiyo imeanza kusikilizwa kwa mara ya kwanza aliiahirisha hadi baadaye mwezi huu ambapo hukumu itatolewa.

         SUGU NJIA YAKE, FAIZA NJIA YAKE

        Ijumaa Wikienda lililokuwa mahakamani hapo, liliwashuhudia wazazi hao, kila mmoja akiondoka na njia yake.

        KWA NINI FAIZA NI MKE WA SUGU?

        Kwa sheria za Kitanzania, mwanamke na mwanaume wakiishi pamoja kwa zaidi ya miezi sita, hao tayari ni mke na mume kama ilivyokuwa kwa Faiza na Sugu ambao waliishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili.
        GPL

        Makongoro Nyerere Ametumwa na Nani Urais 2015?

        Posted: 21 Jun 2015 11:24 PM PDT

        Hakuna kipindi ambacho CCM imeingia katika Uchaguzi Mkuu ikiwa na makundi hatarishi na pia matatizo ya kiutawala kama uchaguzi Mkuu ujao.

        Ujio wa Abdulrahman Kinana kama Katibu Mkuu kwa kiasi kikubwa umekichelewesha chama kumeguka vipande vipande kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.

        Wataalam wa kisiasa wanaendelea kujiuliza maswali mengi kuhusu hatima ya makundi na uhasama unaorutubika kila siku ndani ya CCM.

        Udhaifu wa viongozi wakuu wa chama umesababisha baadhi ya wanachama kufanya watakacho kwa kukiuka kanuni, maadili na taratibu za chama mpaka kufikia hatua ya kutaka kumuondolea Rais Kikwete kofia ya Mwenyekiti wa CCM-Taifa.

        Kuibuka kwa Makongoro Nyerere katika kundi la wanachama ambao wanaomba kuteuliwa kuwa wagombea Urais wa Tanzania kumeufanya uwanja wa siasa ndani ya CCM kubadilika hasa ikichukuliwa kuwa, hakuna mwanaCCM ambaye alikuwa akiongea na kusikilizwa kwa makini na wanachama wa CCM kuhusu kile kilichokua kinaendelea ndani ya CCM.

        Makongoro amewashambulia vikali baadhi ya watia nia kama Edward Lowassa, Mwigulu Nchemba na Stephen Wasira kama ndiyo baadhi ya wale wanaleta maradhi ndani ya CCM pamoja na kwamba CCM bado ni chama bora nchini.

        Pamoja na mambo mengine, Makongoro aliwatuhumu kwa kuja na Ilani yao ya uchaguzi badala ya kusubiri Ilani ya CCM itakayopitishwa na Mkutano Mkuu wa CCM-Taifa.

        Alisema ndani ya chama hicho kumekuibuka pia genge la watu wachache ambao utajiri wao ni wa shaka na umejijenga kwa fedha chafu.

        “Ndani ya chama tawala wamekuwapo ‘vibaka’ wachache… unajua kibaka ni kibaka tu hata kama kapewa gari la Serikali lina bendera ya taifa mbele atabaki kuwa kibaka tu. Hawa ndiyo wanaotuvurugia chama na hawamheshimu Mwenyekiti wa chama, Rais Jakaya Kikwete’’, Makongoro alisema.

        Makongoro ameamua kuchukua jukumu la viongozi wakuu wa CCM ili kupambana na makundi yanayohatarisha uwepo wa CCM katika uwanja wa siasa.

        Sauti ya Makongoro ukiichunguza kwa makini ni kama sauti ya mtu aliaye nyikani!

        Kwa sauti hii, ni nani amemtuma Makongoro ili kupambana na wanachama anaowaita ni vibaka wanaosababisha baadhi ya viongozi wa CCM kuishi maisha ya kusukumwa kwa upepo wa makundi yanayomilikiwa na watoa fedha.

        Je, inawezekana sauti ya Makongoro ni sauti ya viongozi wakuu wa CCM?


        Makongoro atauweza mfupa uliowashinda viongozi wakuu wa CCM?.

        ALI KIBA Atangaza Vita na Mwanamuziki Diamond Platnumz

        Posted: 21 Jun 2015 11:17 PM PDT


        Brighton Masalu
        VITA! Saa chache tu baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar akitokea nchini Marekani kwa shughuli za kimuziki, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametangaza kile kinachotafsirika kuwa ni vita dhidi ya hasimu wake kwenye anga la muziki huo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori.
         cdeaw3
        TUJIUNGE ENEO LA TUKIO

        Ali Kiba alitema cheche Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Hoteli ya Sea Cliff, Masaki jijini Dar, kulikokuwa na uzinduzi wa kampeni ya kupinga vita ujangili, iliyoratibiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, huku akiwa ni mmoja wa mabalozi sanjari na mlimbwende wa zamani, Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi ‘K-Lyin’.


        USO KWA USO NA PAPARAZI

        Baada ya shamrashamra za ‘event’ hiyo, haraka sana kama mshale wa Mmakonde, mwandishi wetu alimfuata Ali Kiba, lengo kuu likiwa ni kusikia chochote juu ya ushindi wa Tuzo za Kili ambapo alizoa tano binafsi na moja ya kushirikishwa.

        Kiba alisema anaamini alistahili kushinda tuzo zote kwani vigezo na sifa anazo na amejiandaa kikamilifu kupambana na yeyote anayedhani kuwa ni mfalme wa muziki huo.

        JINA LA DIAMOND LAMCHEFUA!

        Katika mahojiano hayo, mwandishi wetu alimkumbusha Ali Kiba uwepo wa Diamond ambapo kwa haraka sana alimkata kauli mwandishi kwa kusonya na kuweka wazi kuwa miongoni mwa mambo ambayo humpa kichefuchefu, ni pamoja na kusikia jina la Diamond likitajwa mahali popote penye uwepo wake!

        “Kaka, sitaki kabisa kulisikia jina hilo, linanipa kichefuchefu, unajua kwa kipindi ambacho nilikaa kimya, nilikuwa nausoma mchezo lakini hakuna aliyeweza kuchukua kiti changu na kuamua kurejea ulingoni kwa kishindo na kuanzia sasa hivi ni mapambano mwendo mdundo,” alisema  Kiba na kuongeza:

        “Simaanishi kuwa hakuna msanii mzuri kama mimi, naomba nisieleweke vibaya, wapo lakini siyo huyo dogo (Diamond), muziki ni zaidi ya mbwembwe, niko kikazi na sasa nimedhamiria kweli, kama anaamini yuko fiti, kazi zitaweka wazi ukweli na si drama za kitoto.”

         VIPI KUHUSU YEYE NA WEMA?

        Mwandishi wetu alitaka kujua kulikoni msanii huyo alimuweka Wema Sepetu kwenye ukurasa wake wa Instagram akimmwagia shukrani lukuki na si mtu mwingine?

        “Wema amekuwa ni shabiki wangu wa siku nyingi mno, alianza kunipenda kupitia wimbo wangu wa Hands Across the World (kwenye Project ya One-Eight) na kuanzia hapo amekuwa akinipa sapoti kubwa sana, siwezi kukaa naye mbali eti kisa huyo jamaa (Diamond).

        “Naamini kwa asilimia nyingi sana hata huu ushindi wangu wa tuzo, umechangiwa na sapoti yake pamoja na wadau wangu wengine,” alisema Kiba.

         AFUNGUKA KUHUSU VIDEO YA MWANA!

        Pia, mwandishi wetu alimtaka staa huyo kufafanua madai ya kutoitendea haki video ya Wimbo wa Mwana, ambapo alisema, watu wengi walitarajia aifanye kulingana na mawazo yao ndiyo maana akaamua afanye vile anavyoaamini ingekuwa bora.

        “Kila mtu alikuwa ameshatengeneza picha ya jinsi video ya wimbo itakavyokuwa, halafu sifanyi kazi kwa kushindana na mtu, ndiyo maana ilionekana tofauti na mawazo ya wengi, namalizia kwa kusema salamu zimfikie jamaa (Diamond) kuwa mapambano ndiyo kwanza yameanza,” alisema Kiba.

         DIAMOND ANASEMAJE?

        Hadi tunakwenda mitamboni, jitihada za kumpata Diamond aweze kuzungumzia vita hiyo iliyofufuka upya hazikuzaa matunda kufuatia simu ya staa huyo aliyekuwa nchini Afrika Kusini kikazi, kuita bila majibu.

         TUJIKUMBUSHE

        Kwa muda mrefu sasa, Kiba na Diamond wamekuwa wakiripotiwa kuwa na bifu la chini kwa chini linalotokana kugombania ufalme wa muziki Bongo.

        Zitto Awapiga Dongo CCM ..Adai Hawaaminiani wala Kuthaminiana Wenyewe kwa Wenyewe

        Posted: 21 Jun 2015 11:11 PM PDT

        Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, amesema utitiri wa wagombea urais kupitia CCM kunaonyesha dalili ya wao wenyewe kutoaminiana, kutothaminiana na kimepoteza hazina ya viongozi.

        Aidha, alisema kazi ya urais ingekuwa inachukuliwa kwa uzito wagombea wa CCM wasingefikia 10 badala yake imeonekana nikazi nyepesi na imerahisishwa na CCM.

        Kabwe alisema sifa 13 pekee za wagombeawa CCM ni nyepesi ndio maana kila mmoja anajiona anaweza kuwa kiongozi wa nchi.

        Akizungumza jana mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, Kabwe alisema moja ya sifa ya chama cha ACT-Wazalendo ni wagombea kufuata masharti kwa kutangaza mali na madeni ikiwamo kufuata miiko ya viongozi iliyotangazwa na Azimio la Tabora.

        Kabwe aliwataja viongozi hao kuwa ni wa kitaifa wa chama, rais, mawaziri, wabunge na madiwani watakaotokana na chama hicho.

        Aliongeza kuwa ili kubomoa mfumo wa kinyonyaji na kifisadi miongoni mwa viongozi, chama hicho kimeamua kurejesha miiko ya uongozi na kuishia ambayo imehusishwa kutokana na Azimio la Arusha.“Chama kinamtaka kiongozi katika uongozi wa umma asiwe mkurugenzi katika kampuni au shirika la umma, awe wazi na vyanzo vyake vya mapato, mali alizonazo kwa kuzingatia utaratibu wa sheria ya nchi na kanuni za mwenendo na maadili ya viongozi,” alisema Kabwe.

        Pia, alisema kiongozi anatakiwa asiwe mfanyabiashara wa aina yoyote katika chama na serikali anapokuwa kwenye nafasi ya uongozi.

        Alisema tangu wagombea hao waanze kutangaza nia hakuna mgombea urais aliyetamka neno miiko isipokuwa Samuel Sitta pekee, licha ya kuahidi kupambana narushwa pamoja na ufisadi.“Nitolee mfano nchi ya Canada, Uingereza, Marekani wana miiko lakini Tanzania tunageuza uongozi kuwa kichaka cha wezi kwa kutupa miiko pembeni,” alisema Kabwe.

        Chanzo: NIPASHE

        Mwandosya Atoa Mpya..Amtaka Lowassa Amuunge MKONO yeye Mbio za Urais ili Mambo yaishe Mapema

        Posted: 21 Jun 2015 10:04 PM PDT


        WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amemuomba mgombea mwenzake katika kinyang’anyiro cha kutafuta ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea kupitia CCM, Edward Lowassa asisite kumuunga mkono kama walivyofanya watangaza nia wengine ili mambo yaishe mapema.

        Aidha, amewaonya wanaotishia kukihama chama endapo hawatapitishwa, akisema huo ni upuuzi na pia vitisho kwa Mwenyekiti wa Chama na wanaCCM kwa ujumla, hivyo wanaojiona wao ni maarufu kuliko chama wanajidanganya.

        Mwandosya alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki wilayani Mbozi alipokuwa akizungumza na wanaCCM waliomdhamini katika mbio zake za urais, pamoja na wanachama wengine waliojitokeza katika Ofisi za CCM Wilaya.

        Mgombea huyo alisema amefarijika kusikia anaungwa mkono na wagombea wenzake, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe pamoja na kupata taarifa za Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira naye kusema anamuunga mkono.

        Alisema pamoja na kuungwa mkono na wenzake hao watatu, anamuomba pia Lowassa naye kumuunga mkono ili kuipunguzia kazi Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM).
         
        “Nimesikia Membe amesema hapa Mbeya asipopitishwa yeye basi atamuunga mkono Profesa Mwandosya, nikasikia tena na Waziri Mkuu akisema hata kama asipopitishwa yeye atafarijika kama Profesa Mwandosya atakuwa mgombea, nikasikia tena na Wassira naye kupitia kwa mtu wake wa karibu ataniunga mkono, sasa namuomba mwenzangu naye Edward au maarufu kama Edo naye aseme Profesa ndiyo wangu, ili kazi iishe na tuipunguzie kazi Halmashauri Kuu,” alisema Profesa na kushangiliwa.

        Awali Profesa Mwandosya aliwaeleza wanachama hao kuwa mwaka huu wa uchaguzi ni mwaka mgumu sana kwa CCM na kuwataka wanachama kutofanya mchezo katika kujibu mapigo ya wapinzani.

        “Watatuuliza kuhusu EPA, wataendelea kutuuliza kuhusu Richmond, watatuuliza kuhusu Escrow, kubwa zaidi watatuuliza kuhusu Vodacom ingawa hili halizungumzwi lakini linakuja, lazima tujitayarishe.

        “Sasa nani huyo ataweza kutusafisha, wananchi wakimtazama watasema huyu atatusaidia na atajibu, kila ninakopita naambiwa na wananchi kuhusu ufisadi na rushwa vinatuumiza."

        "Kama chama lazima tukabiliane na hilo na hapa hatumzungumzii mtu lazima kama chama tuyaeleze kwa wananchi. Nani atafanya hivyo wakubwa wanajua,” alisema Profesa.

        Akizungumzia wanaotishia kuhama chama, alisema wanajidanganya kwani CCM ni maarufu zaidi ya mtu mmoja mmoja, akisema mtu pekee aliyewahi kuhama na kukitikisa chama alikuwa Augustine Mrema, Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani.

        Risasi Zarindima Vituo Vya BVR Arusha, Godbless Lema Atiwa Mbaroni

        Posted: 21 Jun 2015 09:59 PM PDT

        MILIO ya risasi ilisikika katika vituo vya uandikishaji kura katika kata ya Sokoni One jijini hapa, baada ya kuibuka kwa vurugu zilizohusisha vijana wa Chadema na wenzao wa CCM, chanzo kikitajwa madai ya kuwepo kwa watu ambao sio wakazi wa eneo hilo kutaka kujiandikisha.

        Vurugu hizo zilisababisha takribani watu 15 kukamatwa akiwemo Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) ambaye hata hivyo baadaye aliachiwa huru. Alishikiliwa kuanzia saa 1:30 usiku hadi saa 4:00 usiku juzi.

        Patashika hiyo ilichukua zaidi ya saa moja, kwani baadhi ya polisi waliokuwa na silaha za moto aina ya bastola walifyatua risasi hewani kwa lengo la kutawanya vurugu hizo, lakini hali ilikuwa mbaya zaidi hadi polisi walipoongezwa na kufanikiwa kutuliza ghasia hizo.

        Wakati hayo yanatokea Lema alisisitiza kuwa kamwe hawezi kukubali kutohamasisha wananchi kwenda kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura licha ya kudai kuwa, kundi la vijana wanaosadikiwa kuwa wa CCM wamempiga mawe sambamba na watu wengine waliojitokeza kujiandikisha katika kata mbalimbali.

        Hata hivyo, upande wa vijana wa CCM, umedai wenzao wa Chadema ndio chanzo cha vurugu, kwani wameonekana wakisambaza makundi ya vijana wasiostahili kuandikisha katika vituo mbalimbali.

        Lema ajitetea
        Akizungumzia kukamatwa kwake na polisi wa kata ya Osunyai kutokana na vurugu zilioibuka, alidai alikuwa akitoa taarifa za uongezwaji wa mashine za BVR kwa wananchi na kuwapa moyo kuwa watulivu wakati wa uandikishwaji sambamba na kutunza vitambulisho hivyo kwa ajili ya kupiga kura mwaka huu katika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani.

        Alisema wakati akiendelea kuwapa moyo wananchi na kusema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza mashine za BVR, ghafla aliona vijana anaodai wamekodishwa kufanya vurugu kwenye vituo mbalimbali vya kujindikisha na ndipo alitoa taarifa Polisi, lakini badala ya kukamata vijana hao alikamatwa yeye na vijana wengine na kuwekwa mahabusu.

        NEC iliruhusu uandikishaji kuendelea hadi saa mbili usiku kutokana na wingi wa watu wanaostahili kuandikishwa.

        Hata hivyo mmoja wa wafuasi wa CCM aliyejitambulisha kwa jina la Abdi Marijani maarufu kwa jina la ‘`Mutu’ alisema Chadema wamekuwa wakileta watu ambao sio wakazi wa Jiji la Arusha kutaka kujiandikisha hali iliyopingwa na vijana hao.

        Mutu alisema CCM ilikuwa imepewa taarifa juu ya njama za Chadema za uchomekeaji watu katika kila kata na chama kikaweka vijana imara katika kila kituo wakiwa na mabalozi ambao ndio wenye jukumu la kujua mkazi wa eneo husika.

        Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Lema alisema juzi akiwa kata ya Osunyai alishangaa kuona kundi la vijana wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za usajili T 122 ATR ambalo alidai wakati mwingine gari hilo lilibadilishwa namba na kusomeka T 122 ABR wakishuka ghafla na kuanza kumpiga mawe na kuwapiga vijana wengine 25 ambao walikuwa katika kituo hicho.

        Alisema wakati tukio hilo likitokea alitoa taarifa kwa Mkuu wa Upelelezi wa wilaya OC/CID, Faustine Mwafele ili kuwaelezea tukio hilo, lakini polisi walifika eneo la tukio badala ya kuwakamata vijana hao walimkamata yeye na vijana waliokuwepo kisha kuwaweka chini ya ulinzi.

        Alisema inaonekana kundi hilo linaonekana lipo juu ya sheria watu wanafanya fujo za waziwazi, huku mbunge akigeuziwa `na kusulubiwa.

        Alisema kwa kuwa yeye ni mbunge, hawezi kuacha kuhamasisha wananchi wake kujiandikisha badala yake chama chao na viongozi wa chama wataendelea kuhamasisha watu kujitokeza kujiandikisha sambamba na kuhamasisha watu wasikate tamaa katika kujiandikisha kwa sababu ni wajibu wao wa kisheria, kisiasa na kidemokrasia.

        Aliongeza kuwa udhalilishwaji sasa umefika mwisho, hivyo alitoa rai kwa vijana wa chama hicho kuchukua hatua ya kuwalinda viongozi wao, kulinda demokrasia na mali zao.

        Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana kuzungumzia tukio hilo, licha ya kutafutwa kupitia simu yake ya mkono ikiwa ni pamoja na kutumiwa ujumbe mfupi wa maandishi.

        Wasemavyo CCM
        Akizungumzia hilo, Katibu wa CCM wa Wilaya ya Arusha, Feruz Banno alisema vurugu zilianzishwa na vijana wa Chadema kwa kuwapiga vijana wa CCM na kupiga risasi hewani hovyo bila ya sababu za msingi.

        Banno alisema dola Arusha inapaswa kuwa makini, kwani hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo hilo halitadhibitiwa na kuwafanya watu wengine kushindwa kwenda kujiandikisha kwa kuogopa vurugu.

        Alisema kutokana na vurugu zinazofanywa kwenye baadhi ya vituo vya kujiandisha na baadhi ya viongozi wa Chadema ili kudhibiti wazee na akinamama wanaokwenda kujiandikisha kwenye vituo hivyo.

        Alisema kwa sasa uandikishaji unafanyika katika kata za Terati, Murieti, Olusunyai, Moshono, Sinoni na Sokoni One, lakini baadhi ya vijana wa chama hicho wamekuwa wakisafirishwa kwa magari kutoka kata tofauti na hizo na kupelekwa eneo hilo kwa ajili ya kujiandikisha .

        Ulinzi
        Kwa upande wake Marijani, alisema kutokana na udhibiti uliowekwa na makamanda wa CCM vituo vya kupigia kura wamebaini kuwa viongozi wa Chadema na vijana wao wamekuwa wakileta vurugu katika kila kituo ili zoezi hilo lisiweze kufanikiwa.

        “Tumeweka ulinzi kila kituo na hiyo itakuwa ikifanyika katika kata zote za Jiji la Arusha kwani hiyo itasaidia kupata wakazi halisi wa eneo husika na sio mamluki,” alisema Mutu

        Lowassa Azidi Kupata Mapokezi Makubwa Kila Anakoenda.......Songea Alazimika Kukaa Juu ya Paa la Nyumba, Asema Jina Lake Haliwezi Kukatwa

        Posted: 21 Jun 2015 09:57 PM PDT

        WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.

        Lowassa aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM zaidi ya elfu 52.

        "Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu, sijawahi kufanya kazi nje ya CCM hivyo nakijua chama na hakuna mgombea atakayeweza kuvunja rekodi ya utendaji wangu katika chama, sasa leo anayetaka kukata jina langu anatoka wapi? anakata kwa sababu gani? Sioni kosa la kukatwa jina na Watanzania hawaoni, kwa hiyo msiwe na wasiwasi jina litarudi tu". alisema Lowassa.

        Lowassa aliwasili Mkoani Ruvuma mapema  jana mchana akitokea Mkoani Iringa kwaajili ya kusaka wadhamini katika mbio zake za kusaka urais kwa tiketi ya chama hicho, ambapo umati wa watu ulifurika kumlaki na kupelekea kufunga barabara kuu ya mjini, hali iliyompelekea Lowassa kupanda juu ya paa la  jengo la ofisi ya CCM Mkoa ili aweze kuzungumza nao.

        Habari Njema Kwa Waathiriwa wa picha za ngono katika mtandao wa Google......Google sasa yakubali kuondoa picha za uchi

        Posted: 21 Jun 2015 09:42 PM PDT

        Waathiriwa wa picha za ngono katika mtandao wa Google wataruhusiwa kutuma ombi kwa kampuni hiyo la kuziondoa picha hizo.
        Picha hizo zitaendelea kuwa katika mtandao huo lakini hazitaorodheshwa katika picha wakati wateja watakapozitafuta.
        Makamu wa rais wa kampuni hiyo Amit Singhal amesema kuwa mpango huo utashirikisha picha za uchi na zile zenye uchafu mkubwa.
        Google hapo awali ilikataa jaribio la kuitaka kuondoa picha kama hizo katika picha zilizoorodheshwa katika mashine yake ya utafutaji.
        Mpango huo mpya unatarajiwa kuanza kufanya kazi katika kipindi cha wiki chache zijazo.

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 23, 2015, 4:26:42 PM6/23/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        "I Get Kichefuchefu When I Hear Diamond Platnumz' Name."...Ali Kiba

        Posted: 23 Jun 2015 01:39 AM PDT

        Ali Kiba says he deserved all awards he scooped at the recently concluded Kili Music Awards 2015 contrary to what some people say that he didn't deserve all 5 awards including entertainer of the year.

         Kiba said he had all criteria to win and he is now well prepared to fight with anyone who thinks he is the real King of Bongofleva

        And when the paparazzi mentioned Diamond Platnumz name Kiba didn't look impressed at all and quickly he said he gets nausea(kichefuchefu) whenever and wherever he hears Diamond's name

        "Bro. I don't want to hear that name(Diamond), I get nausea(kichefuchefu), you know when I quit the game for a sometime I was just reviewing it but no one managed to be on my chair, and I decided to have a great comeback and from now there is no looking back" said Ali Kiba

        He added by saying "I don't mean there isn't best artist like me, don't understand me badly, there are best artists but not that young man(Diamond), music is more than fanfare(mbwembwe), I'm working and I mean it now. If he believes he is fit, works  will give the truth but not childish dramas "

        Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

        Posted: 23 Jun 2015 01:35 AM PDT

        CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25.

        Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Nyehunge wilayani hapa.

        Neno “bao la mkono” hutumiwa kama goli lililofungwa kwa kuupiga mpira kwa mkono kinyume cha taratibu za mpira, lakini hukubaliwa kwa kuwa mwamuzi anakuwa hajaona kitendo hicho.

        “Rangi inayoenda Ikulu ni hii (anaonyesha shati lake la kijani ambayo hutumiwa na chama hicho). Tuna uhakika na ushindi wa Rais. Kwa namna yoyote ile, CCM itarudi Ikulu hata kama ni kwa bao la mkono... bao ni bao tu ili mradi refa hajaona,” alisema Nape.

        Nape, aliye kwenye ziara ya katibu mkuu wa CCM, aliwataka wananchi wa Sengerema kusubiri ushindi wa chama hicho na kuwakumbusha kuwa wanapaswa kuiweka CCM kuanzia udiwani mpaka ubunge kwa nafasi ya urais tayari kuna uhakika.

        Katika mkutano huo, Nape alisema ana uhakika CCM itashinda baada ya kushuhudia mwitikio wa Watanzania tangu alipoanza kuongozana na Kinana katika ziara zake za kuizunguka nchi na kuzungumza na wananchi pamoja na kusikiliza kero zao.

        Amebainisha kuwa amejifunza na kujiridhisha kuwa chama chake bado kinapendwa miongoni mwa wapigakura waliofikiwa tofauti na vyama vya upinzani.

        “Tumefika maeneo mengi ambayo upinzani haujafika. Huko tuna hazina kubwa ya wanachama. Hakuna namna Ukawa wanaweza kuingia Ikulu mwaka huu,” alisisitiza.

        Wapinzani waja juu
        Kauli hiyo ya Nape ilipingwa na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani waliosema kuwa mtendaji huyo anamaanisha kuwa CCM itaiba kura.

        Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa hakutaka kabisa kuzungumzia kauli ya Nape zaidi ya kusema watakutana Oktoba.

        “Kwa bahati mbaya kauli za Nape siwezi kuzijibu. Kauli za Nape zichukue kama zilivyo, ingekuwa ni (katibu mkuu wa CCM, Abdulraham) Kinana, ningemjibu lakini ajue kuwa tutakutana Oktoba,” alisema Dk Slaa alipoulizwa na Mwananchi kuhusu suala hilo.

        Naibu mkurugenzi wa habari wa CUF, Abdul Kambaya alisema kauli ya Nape inamaanisha kuwa CCM itaiba kura kwani kwa kawaida bao la mkono ni bao haramu.

        “Kauli hiyo inaonyesha dhahiri kuwa wataiba kura na kwa sababu katiba yetu ni mbovu matokeo yake yatatangazwa kama yalivyo… hiyo ndiyo maana ya bao la mkono,” alisema.

        Kambaya alisema hata hivyo CCM isijiaminishe kwa lolote kwani hivi sasa wananchi wamebadilika kimtazamo kutokana na matatizo mengi yanayoiandama nchi kama vile afya, elimu duni na migogoro ya ardhi.

        “Lakini CCM wajue kuwa kutatokea machafuko makubwa iwapo wamejipanga kuingia Ikulu kwa njia hiyo ya bao la mkono. Kauli ya Nape ni ya kidikteta na inaonyesha dhahiri kuwa wamejikita kwenye utawala wa mabavu,” alisema.

        Kadhalika Kambaya alisema CUF imeshajipanga na kuhakikisha inaziba mianya yoyote ya wizi wa kura kuanzia kwenye Daftari la Wapigakura hadi katika ujanja wa kuwapigisha kura marehemu, askari na wanajeshi kama inavyodaiwa kufanyika Zanzibar.

        Katibu mkuu wa NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe alisema Nape anatoa maneno ya kuvutia kwake kama njia ya kuwakatisha tamaa wapinzani na wanachama, hata hivyo alimuonya kuwa siasa za sasa hazitabiriki kwa njia hiyo.

        “Lakini ajue kuwa mambo yanabadilika. Anaweza kushangaa mambo yakawa mengine, sasa hivi wananchi wana mwamko mkubwa na wanabadilika,” alisema.

        Alisema CCM haina haja ya kujitapa kwa sasa wakati bado haijapata mgombea kwani huenda wakapata ambaye wananchi hawatamuunga mkono hata kidogo.

        “Bado CCM wana makundi jambo ambalo kwao ni udhaifu. Lakini pia lazima wajue kuwa wakati wa mchujo utakapofika, wale watakaokatwa hawatafurahia kuachwa na hapo kuna sababu za wapinzani kushinda,”alisema.

        Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema wakati Nape anabishana kwenye majukwaa, NCCR inaendelea kupiga kazi.

        “Badala ya kujadili hoja za msingi zenye manufaa kwa wananchi yeye anajadili CCM kupiga bao?” alihoji Mbatia.

        Akijibu hoja ya Nape, Naibu Katibu Mkuu wa TLP, Nancy Mrikaria alisema kauli ya kada huyo imekaa kisiasa na si kiuhalisia kwani ni kawaida kwa chama cha siasa kujiaminisha kuwa kitashika dola.

        “Unajua chama chochote hata kiwe kidogo lazima kikiri kuwa kitashika dola ili mradi ilani yao inakubalika na unakubaliwa na wananchi kwa sababu chama chochote nia yake ni kuingia ikulu,” alisema.

        Alisema hata vyama vidogo kama TLP hukiri ushindi kwa kusema kuwa vinataka kuingia ikulu kwa sababu chama hakiwezi kukiri mbele ya wananchi kuwa hakitashinda.

        Steve Nyerere: Kero za Kinondoni zimenifanya nigombee Ubunge

        Posted: 23 Jun 2015 12:08 AM PDT

        Msanii wa filamu za Kibongo,Steve Mengere’Nyerere’ hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Kinondoni.

        Aidha Steve alisema kuwa Kinondoni ndipo alipozaliwa na kukulia na anajua changamoto zinazowakabili wakazi wa jimbo hilo ambazo ni wakati wa mvua wananchi hukubwa na mafuriko lakini hakuna kiongozi aliyeweza kutatua tatizo hilo.

        Pia aliongeza kuwa mikopo midogo midogo kwa kina mama na ajira kwa vijana,ongezeko la ada mashuleni ,kero ya uchafu ,tiba kwa akina mama wajamzito ambapo kwa sasa hivi mama mjamazito mzazi anapoenda kujifungua anaambiwa aende na pamba, mkasi n.k, vitanda kuwa vichache kwenye wodi zote. Gari la wagonjwa ni mmoja tu.

        Diamond Asitisha Kupokea Maombi ya collabo za Wasanii wa Nigeria

        Posted: 22 Jun 2015 11:42 PM PDT

        Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo.

        Platnumz ambaye Jumamosi iliyopita pamoja na msanii wa Afrika Kusini, Donald wameshoot video ya collabo yao mpya, amesema kwa sasa amefunga milango ya kupokea collabo za wasanii wa Nigeria. Hii inamaanisha zile collabo za wasanii wanaomuomba yeye afanye nao.


        • “Sababu ya kusimamisha kwa sasa isiwe too much too much “ amesema Diamond kupitia 255 ya Clouds Fm. “ kwasababu mwanzo tulikuwa tunafanya collabo na watu kwasababu ya kutafuta tobo la kuingia Nigeria, tumeishaingia vizuri Nigeria tunakubalika tunafahamika na nyimbo zetu zinafanya vizuri hata tukitoa nyimbo ambazo tunatoa wenyewe tu zinahit, mfano kama Nasema Nawe navyokwambia sasa hivi inafanya vizuri Nigeria, so inakuwa haina maana kila mtu akushirikishe shirikishe unakuwa hauna umuhimu, zimebaki tu baadhi ya collabo za ambazo za wasanii wanaofanya vizuri zitatoka baadae lakini sio kwasasa hivi kwani tumezisimamisha, kwani tumekuwa tukiombwa sana sana sana na wasanii wa Kinigeria kufanya collabo tumesimamisha.”


        Diamond ameongeza kuwa collabo ya mwisho kutoka Nigeria ni ile ya Kcee na yeye iliyotoka hivi karibuni, ambayo wanatarajia kuifanyia video nchini Afrika Kusini.


        • “katika nyimbo ambazo tumeshirikishwa itakuwa ya mwisho hii tumefanya na Kcee kwa sasa ambayo kuanzia kesho tunaanza kushoot video yake ambayo inafanyika hapa hapa South Africa, ilitakiwa tushoot Mozambique lakini kwasababu nina issue za kifamilia hapa South Africa imeshindikana kwenda Mozambique imebidi nimwambie inabidi tushoot hapa hapa.”


        Hata hivyo Diamond amesema miongoni mwa wasanii wengine wa Afrika ambao wametuma maombi ya kufanya naye collabo ni pamoja na Ferré Gola pamoja na kundi la Too Fan la Togo.

        Aunty Ezekiel: Sipendi Mwanangu Awe Mwigizaji Nataka Asome Sana

        Posted: 22 Jun 2015 10:23 PM PDT

        Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amefunguka kuwa hapendi mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni aitwaye Cookie,awe mwigizaji wa filamu kama yeye.

        Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa atakachofanya kama mzazi anataka mtoto wake asome na kama akiwa mwigizaji basi iwe kama kazi yake ya ziada siyo anayoitegemea kwenye maisha yake.


        • ‘’Binafsi sipendi mwanangu awe mwigizaji kama mimi,na siyo lazima kama mimi mama yake niwe mwigizaji na yeye awe hivyo kuna kazi nyingi ila ninachotaka asome sana na kama atataka kuwa msanii basi iwe kazi yake ya pili siyo aitegeeme katika maisha yake,’alisema Aunty.



        • ‘’Hata mimi pamoja na kwamba ni mwigizaji lakini siitegemei sana kazi hiyo nina kazi zingine nafanya,’’aliongezea Aunty.

        Wema:Jamani Nikiwa Bungeni Sitaongea Hivyo na Kuropoka Kama Wengi Wanavyodai

        Posted: 22 Jun 2015 10:19 PM PDT

        Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia ya kugombea nafasi ya ubunge wa viti maalumu Singida,amesema anafurahishwa na kitendo cha mashabiki wake kumwigiza sauti akiwa bungeni kwa  kuwa wameonyesha kumkubali kabla hajafika ‘Mjengoni’.

        Alisema sauti hiyo inayomuigiza alitumiwa kupitia simu yake na haikumkwaza zaidi ya kufurahia  kwamba watu wengi wanakubali awe bungeni.


        • “Nafurahi kwa kuwa wengi wameshanipeleka bungeni wakati mimi ndiyo kwanza nipo katika harakati  za kuomba kuchaguliwa kupitia umoja wa wanawake Singida , lakini nafurahia kwa kuwa inaonyesha wengi wananikubali,  ila nikipitishwa kuwawakilisha wana Singida bungeni sitaongea kama walivyonirekodi katika sauti hiyo,” alisema Wema kwa furaha.


        Baraza kuu la waislamu Tanzania (BAKWATA) lamteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti mpya

        Posted: 22 Jun 2015 10:08 PM PDT

        Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limemteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti Mpya wa muda.

        Sheikh Zuber atashikilia nafasi hiyo kwa muda wa miezi mitatu (siku 90) kuelekea katika uchaguzi wa kumpata atakayerithi nafasi hiyo kwa mamlaka kamili.

        Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne Ya Tarehe 23 Juni 2015

        Posted: 22 Jun 2015 10:01 PM PDT






















        Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  Ya  Tarehe  23  Juni 2015

        Video ya Interview ya Wema Sepetu Kuhusu Mtoto na Diamond, Mimba ya Zari na Alivyotoa Mimba

        Posted: 22 Jun 2015 09:59 PM PDT

        'Kukosa mtoto wakwangu inaniuma naishia kupenda watoto wa watu'- Wema

        Hii  ni Part iv  ya Wema Sepetu aliyofanya katika kipindi cha Take One na Zamaradi , kafunguka mambo mengi na kumuongelea Zari .

        Jack Patrick Akirudi, Vanessa Atakuwa na Nafasi Kwa Jux?

        Posted: 22 Jun 2015 09:50 PM PDT

        Super model ambaye yupo gerezani kwa sasa kutokana na ishu ya kukamatwa na madawa ya kulevyia nchini China Jack Patric .

        Awali mwana dada huyo aliwahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na mwanamuziki wa bongo fleva Juma Jux ,lakini baada ya mwanadada huyo kutupwa garezani kwa miaka kumi ,Jux ameamua kunzisha mahusiano na Vanessa Mdee  huku wakiwa wanaponda raha za  kufa  mtu. .

        Awali jux alinukuliwa na kituo kimoja cha redio kuwa hatakama mpenzi wake Jack yupo jela ila bado atalilinda penzi lao mpaka akaamua kumtungia nyimbo ‘’Nitasubiri’’

        Je, Jux ameamua kumsaliti Jack nakuwa na Vanessa au kaona soo kuwa na Jack kisa kapatwa na skendo hiyo??? Jack akitoka jela atakuwa ana nanafasi gani kwa jux au Vanessa atapigwa chini ???

        Jack awalii aliwahi kuolewa na  mwanume afahamikaye kwa jina la  Fundikila lakini ndoa yao  ilivunjika kutokana na  mwana dada huyo kumsaliti mumewe kwa Jux hadi kupelekea kila mtu kushika time yake .

        Je kwa hali ya kawaida Jux ameonyesha kutokuwa mvumilivu nakuvunja ahadi au yupo na Vanessa kwa short time ???

        Funguka

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 24, 2015, 5:01:45 PM6/24/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        Faiza Ally...Mwenye Nguvu ya Kukukurudishia Mtoto wako ni wewe Mwenyewe, si media...Ukizungumza Sana Hapo ndo Unampa Nguvu Sugu

        Posted: 24 Jun 2015 01:10 PM PDT

        Faiza Ally...mwenye nguvu ya kukurudishia mtoto wako ni wewe mwenyewe, si media... ukizungumza sana hapo ndo unampa nguvu Sugu kutengeneza au kutafuta ushahidi dhidi yako. .
        .
        Linapokuja suala la mtoto nakuwa makini sana kuzungumza na kusimama na mzazi mmoja...hasa kwa wazazi kama nyie ambao wote mnampenda mtoto au mmekuwa pamoja na mtoto tangu amezaliwa! chuki zenu na ugomvi mviweke pembeni haijalishi wewe una makosa au Sugu ana makosa...suala kubwa hapa ni mtoto! .
        .
        Angalia njia sahihi za kupata haki yako ikiwemo na kujishusha pia kutaka mazungumzo ya amani na baba mtoto wako kama huwezi kuonana nae tafuta lawyer mzuri kimya kimya akusimamie upate haki yako... Hii itamsaidia sana mtoto ili akue akiwapenda wazazi wake wote wawili...Sasha anakuhitaji sana pia anamuhitaji na baba yake.

        Sugu Kama kuna mambo yametokea baina yenu yawezekana nawe una point ya maana sisi hatujui....sijali khs ubunge wako au uwezo wako kifedha angalia maslahi ya mtoto kwanza.....weka amani na mama mtoto wako ikibidi fanyeni vikao vya familia mmalize tofauti yenu....kutumia media haitamsaidia mtoto itamwathiri na kujenga chuki hapo baadae.

        Mtoto si wa mzazi mmoja, anawahitaji wazazi wake wote wawili. Wekeni kando tofauti zenu, mumwangalie mtoto, hii vita yoote nyie mnajifurahisha ila anayeumia ni mtoto!

        Makalio Makubwa Yageuka Bunduki Kwa Mademu Wa Mujini....

        Posted: 24 Jun 2015 12:27 PM PDT


        Ebu tujiulize swala moja vitukuu wa MMU.Nimefanya kajiutafiti nikagundua wanawake wengi wa Kitanzania au kiafrica wamekuwa tegemezi sana kwenye silaha moja tu.

        MAKALIO YAO",Asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa wakitumia makalio yao"Wowowo"Kuwanasa wanaume haswa maofisini n.k.
        Nimejiuliza bila makalio mbinuko hawa watu wangetumia nini kutunasa?

        We wafuatilie watembeapo huzungusha makalio,wapigapo picha hubinuwa makalio,walalapo kwa Bed huyaweka makalio yao juu juu.

        Hivi ina maana makalio yenu yamegeka silaha yenu?
        Na hii imewachangia baadhi ya wanaumme wawaze kuwatafuna utumbo mdogo a.k.a"Tigo"
        Unakuta mwanamke kwa sura mzuuriii..Lakini kama ni flat screen anapoteza confidence kabisa.
        At the same time unaweza kumkuta demu sura nguumuu..Imekunjamana kama kalamba ndimu.Lakini kwa sababu kajaaliwa Makalio mbinuko anajiamini plus kiburi juu.
        Makalio a.k.a Wowowo ni SMG kwenu?Kujeni mjitolee tafsiri wenyewe mabibi na wazee wa Mikia.

        Papaa Msoffe Apata Dhamana Baada ya Kufutiwa Mashitaka ya Mauaji, Sasa Kushtakiwa la Kugushi

        Posted: 24 Jun 2015 10:34 AM PDT

        Taarifa zinaeleza kuwa Papaa Msoffe Chuma cha reli hatimae amerudi uraiani baada ya mashtaka ya mauaji kubadilishwa na kuwa shtaka la kugushi hivyo anaweza kupata dhamana.

        Ni kweli sarafu ya shilingi mia tano ina madini? Majibu yako kwenye hii video

        Posted: 24 Jun 2015 08:29 AM PDT

        Ilianza kama ishu ya kawaida hivi lakini muda ulivyozidi kwenda ikazidi kuchukua headlines kwenye mitandao ya kijamii kwamba eti kuna watu wananunua sarafu za shilingi mia tano za Tanzania alafu wanatumia madini ya sarafu hiyo kutengeneza vito kama mikufu hivi !

        Nimepitia kwenye channel ya Youtube ya blogger mkubwa Tanzania, Issa Michuzi >>>Michuzi TV na nimekutana na hii stori nikaona niisogeze hapa kushare na wewe pia.

        Anayehojiwa ni Abdul M. Dollah ambaye ni Meneja Msaidizi wa Huduma za Kibenki Benki Kuu TZ… Majibu yake ni haya kuhusu hiyo ishu; “Huu uvumi tumeusikia wananchi wengi wanakuja na kuulizia habari hiyo, huo ni uvumi tu na sio kweli kwamba kuna madini yoyote katika hii sarafu ya mia tano ambayo yanaweza kutengeneza vito vya thamani” >>> Abdul M. Dollah

        “Wakati tunaizindua hii sarafu mwaka jana tuliwaambia kwamba humu ndani kuna madini ya chuma kwa asilimia 94 na madini ya Nikel asilimia sita tu… Benki Kuu inaamini kwamba Wananchi wanadanganywa” >>> Abdul M. Dollah

        Video ya Interview hiyo nimekuwekea hapa pia, ukiplay utayapata majibu yote kutoka BoT.

        Rose Mhando Katika Skendo ya Utapeli Tena.. Atuhumiwa kwa Kutoweka na Pesa Show

        Posted: 24 Jun 2015 08:20 AM PDT

        Msanii maarufu wa nyimbo za injili Rose Mhando ametuhumiwa kutapeli zaidi ya shilingi milioni 3 pesa alizoziomba kwa ajili ya tamasha la burudani ya injili kwa wakazi wa mkoa wa Njombe lilikokuwa lifanyike Jumapili iliyopita na kufunguliwa kesi.

        Akizunguimza na waandishi wa habari baada ya msanii huyo kutoonekana katika tamasha la injili alilotakiwa kutumbwiza, Mkurugenzi wa The Comfort Gospel Promotion na mratibu wa tamasha hilo, Gerald Sedekia amesema kuwa Mhando alitakiwa kutumbwiza katika tamasha ambaloliliandaliwa kwa ajili ya kuchangisha pesa kwa ajili ya mfuko wa kuchangia watoto yatima.
        Gerald amesema kuwa walipo kutana mjiji Dodoma na kujaza mkataba alihitaji kupewa pesa zote ili wasiwe wanadaiana ana walimlipa pesa zote za tamasha ambazo ni shilingi milioni tatu.
        Gerald ameongeza kuwa katika mkataba wao ulikuwa unasema kuwa asipofika katika tamasha atatakiwa kuirudisha pesa za gharama na asilimia 10.
        Jitihada za kumsaka Rose Mhando ili kusikia naye kwa upande wake anazungumza nini juu ya tukio hili bado zinaendelea.

        Kondomu Inayotambua Maambukizi ya Zinaa Kama Gonorea na Kasendwe Yazinduliwa

        Posted: 24 Jun 2015 08:14 AM PDT

        Wanafunzi katika shule moja nchini Uingereza wameunda mipira ya kondomu inayowaonya watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya zinaa.

        Kondomu hiyo inabadili rangi pindi inapokutana na majimaji ya mtu anayeugua maradhi ya zinaa.
        Kondomu hiyo S.T.EYE inaweza kutambua maambukizi ya Chlamydia Kaswende na Kisonono.
        Kulingana na wanafunzi hao kondomu hiyo inabadili rangi tofauti kulingana na bakteria iliyopo.
        Uvumbuzi huu ni wa Daanyaal Ali, 14, Muaz Nawaz, 13 na Chirag Shah, 14, ambao ni wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Essex, nchini Uingereza.

        Kondomu hiyo S.T.EYE inaweza kutambua maambukizi ya Chlamydia Kaswende na Kisonono.
        ''tuliazimia kumpa onyo mtumiaji wa mipira hii kuwa mpenzi wake yuko salama ama ni mgonjwa bila ya wasiwasi wa kupimwa hospitalini''.

        Wanafunzi hao tayari wametunukiwa, tuzo la ubunifu la ''the TeenTech'' .
        Daanyall alisema kuwa "Walizindua kondomu hiyo ilikuifaidi kizazi kijacho''
        ''Kwa hakika swala la usalama wa mpenzi wako ni swala la kibinafsi kwa hivyo ni swala linalopaswa kupewa kipaombele haswa ikifahamika kuwa tunawajibu wa kuchochea ngono salama bila ya kuwashurutisha wapenzi wetu kufika hospitalini bila wao wenyewe kukusudia''
        null

        Wavumbuzi hao wanasema kuwa hiyo ni mojawepo ya njia salama ya kubaini usalama penzi lenyu
        Wanafunzi hao waliwalitunukiwa pauni elfu moja pamoja na fursa ya kuzuru Kasri la Malkia wa Uingereza Buckingham Palace.
        Muasisi wa kampuni ya ubunifu wa kiteknolojia, TeenTech, Bwana Maggie Philbin, alisema kuwa
        "Ni wajibu wetu kama jamii kuchochea ubunifu unaopatikana madarasani kuchochewa na kupigwa msasa kwa minajili ya kuboresha maisha ya mwanadamu''

        Banza Stone aibuka kuufuta uzushi kuwa ameaga dunia

        Posted: 24 Jun 2015 04:52 AM PDT

        Muimbaji mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja maarufu kama Banza Stone, ameibuka na kuufuta uzushi unaoenea kuwa amefariki dunia.

        BANZA STONE YUKO HOI, HAZUNGUMZI, AMEGOMA KULA CHAKULA NA KUNYWA DAWA, WASANII WENGI WAMEMTENGA – MAMA MZAZI

        Banza Stone ameongea na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Jumatano hii.


        • “Ndio naumwa kichwa kina nisumbua sana lakini sasa hivi naendelea vizuri yaani hizo habari za kuzushiwa kifo naona sasa hivi kwangu sijui hata itakuwa mara ya ngapi, maana nimeshazushiwa sana. Mimi mzima na huyo anayeeneza azunguke na mikoa mingine aeneze vizuri,” alisema Banza.



        • “Lakini mimi nipo nyumbani hapa Sinza kwa Mama yangu sasa hivi hapa napata juice yaani marehumu anaongea,” aliongeza Banza kwa kicheko.


        “Inshallah nikiwa vizuri mashabiki wangu wataniona tu lakini nipo mzima.”

        Tuhuma za kuuza nyimbo za Diamond mtandaoni: Rockstar4000 waongea

        Posted: 24 Jun 2015 04:37 AM PDT

        Kampuni ya usimamazi wa muziki inayofanya kazi na Alikiba, Rockstar4000 imeomba ipewe muda ili kuzungumzia tuhuma dhidi yake zilizotolewa na uongozi wa Diamond Platnumz kuwa inauza nyimbo zake na za wasanii wengine mtandaoni bila ridhaa yake.

        Malalamiko hayo yalitolewa na meneja wa Diamond, Salam kupitia mtandao wa Instagram:

        “iTunes the company below as #Rockstar4000 who act as they have license to sell the songs of my artist @diamondplatnumz on @iTunes they are THIEVES. They don’t have any contract or any relationship with us this is Unacceptable to let companies sell contents of the Artists without any agreement both sides,” aliandika.

        “Wizi kwa Wasanii wetu HAUKUBALIKI. Naomba hii Kampuni ya Rockstar4000 iachane na Wizi wake wa kuuza kazi za @diamondplatnumz hatuna makubaliano yoyote na kampuni yako kuuza Nyimbo za @diamondplatnumz Tutakutana Mahakamani. Uvumilivu umetushinda.”

        Bongo5 ilimtafuta mkurugenzi wa vipaji na muziki wa Rockstar 4000, Seven Mosha ili kujibu malalamiko ambaye hata hivyo alisema hawezi kulizungumzia hilo na kututaka tumtafute afisa uhusiano wa kampuni hiyo, Lucy Ngongoteke.



        • “Hizi taarifa ndo nazisikia naomba tupewe muda wa kulifuatilia, na mimi ndo nalisikia kutoka kwako,” Lucy ameiambia Bongo5. “Ninaomba nifuatilie then nitarudi kwako. Siwezi kuongelea kitu ambacho sina taarifa nacho.
        Bongo5

        Godbless Lema Adai Kuonewa na Polisi Kuwekwa Lupango Ovyo Wakati yeye si Mwalifu..Polisi wa Arusha Watoa Tamko na Kusema Haya

        Posted: 24 Jun 2015 01:19 AM PDT

        Kamanda wa polisi Mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amesema tuhuma alizotoa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, kuwa jeshi lake linamwonea kwa kumkamata na kumweka ndani hovyo, wakati yeye siyo mwahalifu.
        ?

        Kamanda wa polisi Mkoani Arusha, Liberatus Sabasi.
        Akizungumza leo kwa njia ya simu ya kiganjani, amesema kuwa Lema anasababisha vurugu kwa kutembelea maeneo ambayo watu wamejitokeza na kujiandikisha na kuanza kupiga hotuba kitu ambacho kinyume cha sheria.
        Amesema Mh. Lema amekuwa chanzo cha vurugu katika uandikishwaji wa daftari la wapiga kura kwenye BVR.

        Sabas amesema kuwa jeshi la polisi haliwezi kuonea mtu wala yeye Mbunge, isipokuwa likipata taarifa kama siku ya tukio ya Juni 20 alipokamatwa kuwa analeta vurugu na wananchi hawataki kumwona katika maeneo ya uandikishaji ndipo walipokwenda kumkamata.
        Amesema siku ya tukio walipata taarifa toka kwa askari walioko doria kwenye kituo cha olsunyai kuwa kuna vurugu toka kwa Mbunge na kuomba ulinzi uongezwe na askari wakapelekwa zaidi na kumtia mbaroni na wenzake 24 na kuwa jumla ya watuhumiwa 25 walikamatwa na siyo yeye aliyetoa taarifa polisi kuomba ulinzi.

        Pia amemtuhumu Lema kuongozana na kundi la watu toka maeneo tofauti na uandikishwaji, kitu ambacho siyo sahihi pia na ambacho kinakera baadhi ya watu.
        Hata hivyo uchunguzi dhidi ya tuhuma zake zinaendelea na upelelezi ukikamilika atachukuliwa hatua stahiki.

        Awali Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, aliyekamatwa amelilalamikia jeshi la Polisi, kwa kumkamata na kumuweka mahabusu masaa mawili na nusu jana, wakati akiwa kwenye kata ya Olsunyai Manispaa ya Arusha,

        akizungukia waandikishwaji wa daftari la wapiga kura, ili kujionea hali halisi.
        Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Lema amesema kuwa ameshangazwa na kitendo hicho kwani yeye ndiye aliyewaita polisi ili kumsaidizi ulinzi katika kituo cha olsunyai, baada ya kuvamiwa kwa kupigwa mawe na kundi la vijana wanaosadikiwa kuwa wa kundi la mgombea ubunge wa chama cha CCM.

        Amesema walikaa ndani Juni 20 mwaka huu, kuanzia saa 1:30 usiku hadi saa 4:00 usiku na kuwataka wajidhamini wenyewe, kisha kuwaachia.
        Lema amesema yeye ni kiongozi na sheria inamtaka ahamasishe watu kujitokeza na kujiandikisha na inapobidi kutoa elimu, lakini, hapaswi kudhalilishwa kwa kuwekwa mahabausu kwa kejeli na dharau.

        Mange Kimambi Aonyesha Uzalendo..Ampigia Kura Diamond Platnumz MTV Awards na Kisha Kusema Haya

        Posted: 24 Jun 2015 12:43 AM PDT

        Guys, acheni haya mambo jamani…. Mnaenda too far with this jamani… Tunajiaibisha sana watanzania… Busy kwenye ma insta page ya wanaigeria. English zeneyewe hamjui mnaishia kuchambwa na wanaigeria…

        Yani tunazidi onekana mabolizozo….. Jamani kweli mnaenda kujipendekeza kwa wanaigeria hivyo..AIBUUUU

        Kuweni wazalendo jamani. Diamond hayuko huko kama Diamond ,He is there carrying our flag. Yuko hapo kama Diamond from Tanzania.

        Jamani naomba msome hapo pameandikwaje chini ya jina la Diamond? TANZANIA…

        Hivi Diamond kaua mtoto wa nani mpaka tuko tayari kuididmiza nchi yetu sababu yake??? Yani huwezi kudharau maujinga yake ukampigia kura sababu ya Tanzania.AIBUUU

        You know what, naipenda Tanzania kwanza so no matter Diamond kafanya nini nimemvotia Diamond mpaka vidole vimeumaaaa….

        Na kesho nikiamika namvotiaaa…Bado sijamvotia Davido aiseeeeee…..Sio kwamba simkubali ila sio mbele ya mtanzania mwenzangu…

        Hivi Diamond kuna alofanya kubwa sana mpaka tumchukie hivi jamani??? Its true dogo anazingua kishenzi ila sio kiasi cha kumchukia hivi….

        Mie naomba tumvotie then awards zikiisha turudi kumchukia……hahahaha. Tena na swaumu itakuwa imekwisha na posti zake na Zari zinaanza tena…hahahahahhahaa.. I enjoy hating on those 2….hahhahahhahahahhahahaah ah……

        Ila kusema ukweli sina chuki serious hivyo na Diamond kha!!! Mpaka nikamvotie mnaigeria jamani….Na kwenye best collabo nimepiga kura pia mpaka vidole vimeota suguuuuuuuu…..Hahahaha…

        Haya twende na wewe kampigie kura Diamond…… Akishachukua hizo awards ndo turudi kwenye team zetu for now tuungane plsssss….

        Yani jamani ni ujingaaaaa, hivi unajua siamini hii kitu ya Diamond, Zari na Wema imekuwa bonge la issue hivi…Dah…..

        Im sure management yake watamrekebisha baada ya haya majanga yaliyotokea lately…Ila pls mvotieni..

        Source: U-Turn

        NUHU MZIWANDA Awaka Elimu yake na Matokea yake ya Form 4 Hadharani..'Ninavyokosea Kiingereza sio Kwamba Napenda, ni Shule Hamna’

        Posted: 24 Jun 2015 12:19 AM PDT

        Huwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha.

        Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii Shilole.

        Nuhu ameongea ukweli wa moyoni kwenye exclusive interview na millardayo.com na kusema >>> ‘Kwenye maisha yangu ninachojutia ni nilivyofeli mtihani wangu wa form IV nilipata Zero kabisa na sikufanya mitihani kama mitatu, yote hiyo ilitokea sababu ya muziki’

        ‘Nilikua mtoto mwenye akili sana na Mama yangu alikua anategemea nitakuja kuwa mtu flani mwenye elimu yake kwenye familia yetu na sio Mwanamuziki, nyumbani kwetu tuko watano na mimi ndio wa mwisho na nilikua nina akili sana kuliko wote na kuanzia la kwanza mpaka la saba nilikua sishuki kwenye Wanafunzi kumi bora‘ – Nuh



        Kwenye sentensi nyingine Nuh anamalizia.... ‘Kupata Zero Form IV ni jambo ambalo linanifanya nijute sana mpaka sasa, ningekaza ningekua nafanya muziki huku nikisoma lakini nilivyojua maswala ya muziki tu nikaachana na Masomo, najutia…. nilikuja nikarudia tena mitihani na nikafeli, inaniuma sana… kama ninavyokosea kiingereza sio kwamba napenda, ni shule hamna

        Nuh amesema kuna uwezekano wa kurudi shule >>> ‘shule ni kitu muhimu haikataliwi, ni kitu poa unakuwa Mwanamuziki alafu una elimu yako… na muziki naudai sana ndio maana naukazania sababu ulinifanya nifeli shule.

        Menejiment ya Ali Kiba, yaiba Nyimbo za Diamond na kuziuza iTunes..Meneja wa Diamond Platnumz Awachoma iTunes

        Posted: 24 Jun 2015 12:14 AM PDT

        Wakuu nimeona instagram meneja wa Diamond anaeitwa Salaam akilalamika wizi unaofanywa na menejiment ya King Kiba kuuza nyimbo za Diamond kwenye mtandao wa iTunes bila makubaliano yoyote.

        Rockstar ndio kampuni inayomsimamia Kiba na ndio inauza nyimbo za Diamond kwa wizi.



        @iTunes the company below as #Rockstar4000 
        who act as they have license to sell the songs
        of my artist diamond platnumz on @iTunes they
        are THIEVES. They don't have any contract or
        any relationship with us this is Unacceptable to
        let companies sell
        contents of the Artists without any agreement
        both sides. PLEASE
        REPOST Wizi kwa Wasanii wetu HAUKUBALIKI.
        Naomba hii Kampuni
        ya Rockstar4000 iachane na Wizi wake wa kuuza
        kazi za @ diamondplatnumz hatuna makubaliano
        yoyote na kampuni yako kuuza Nyimbo za
        diamondplatnumz Tutakutana Mahakamani.
        Uvumilivu umetushinda.

        Sugu ashinda kesi dhidi ya mama mtoto wake Faiza, mahakama yaamua apewe mtoto

        Posted: 23 Jun 2015 11:15 PM PDT

        Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) ameshinda kesi aliyomfungulia aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally ambaye pia ni mama wa mtoto wake wa kike aitwaye Sasha.

        Kwa mujibu wa maelezo ya Faiza kupitia akaunti yake ya Instagram, mahakama imetoa hukumu ambayo ni mtoto achukuliwe na kulelewa na baba yake mzazi.

        Sugu alimshitaki Faiza kwa madai kuwa hana maadili na ana hofia kuwa atamharibu mtoto wao, hivyo alitaka kumchukua mtoto kutoka kwa mama yake aishi naye.


        Hiki ndicho amekiandika Faiza baada ya hukumu kutolewa:
        “Sielewi Joseph ameshindaje kesi- ushahidi wa picha peke yake sioni kama unatosha mimi kupokonywa mtoto wangu,mtoto wangu ni mdogo sana ananihitaji sana, na sita rudi hata ikibidi kuuza kila nilicho nacho kwa ajili ya kusimamia hili.

        "Sijapewa nafasi nimepelekwa mahakamani ijumaa na leo jumanne nimepewa hukumu/ mwanangu achukuliwe….. hapana ! sitarudi nyuma na haitakua rahisi ninakata rufaa na kutafuta wakili wa kunisimamia hili.

        "Mwanangu anasoma vizuri anaishi vizuri na naamini kwenye mikono yangu yuko salama zaidi ya kokote/ yaani kuhusu kukosa kukaa na mwanangu ni bora kufa kuliko kuishi nikimuona sasha ana lelewa na mama mwingine ikiwa mimi mama yake niko hai na makini katika malezi ya mtoto wangu.
         
        "Nina ndoto na mwanangu nyingi sana , nahitaji kuishi nae yeye ndio kila kitu kwenye maisha yangu/ nampenda sana mwanangu na sijashindwa kumlea.

        "Naona uchungu sana kupelekwa mahakamani na kupokonywa mtoto wangu bila sababu za msingi .
         
        "Sitaogopa cheo chake cha ubunge kamwe ntasimama kama mama mwenye haki kwa mtoto wake …mungu naomba nielekeze.nisimamie na unihukumie huu ukatili ninao fanyiwa na baba sasha …..”

        Sauti Sol waonesha mfano kwa kum-support Diamond kwenye tuzo za MTV MAMA 2015

        Posted: 23 Jun 2015 10:47 PM PDT

        Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya ambalo linaiwakilisha Afrika Mashariki kwenye BET Awards 2015 zinazotarajiwa kutolewa Jumapili hii June 28 nchini Marekani, wameonesha mfano unaopaswa kuigwa na wasanii pamoja na mashabiki wa muziki wa Tanzania kuwaunga mkono wasanii wetu wanaowania tuzo za kimataifa.

        Kupitia akaunti yao ya Instagram Sauti Sol wameutambua uwakilishi wa Diamond katika tuzo za BET za mwaka jana, na kumpigia kampeni ya kupigiwa kura kwenye tuzo za MTV MAMA 2015 ambapo anawania tuzo tatu.

        “Mwaka jana ni @diamondplatnumz ndiye aliyetuwakilisha nchini Marekani kwenye #BETAwards2014 This year we’re so humbled to be the ones representing African music at @bet_intl @bet_africa #Betawards2015 on 28th June at the Nokia Theatre, LA. Shukran sana kwa sapoti aliyetuonyesha. Je, wamkubali? Haiya basi, check link kwenye bio ya @wcb_wasafi kisha umpigie kura #BestMale As many times as you possibly can, ni wakati wa Afrika mashariki”

        Endelea kuwapigia kura Diamond na Vanessa wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za MTV MAMA mwaka huu. Diamond anashindania vipengele vitatu, Best Male, Best Collaboration na Best Live. Vee Money anawania kipengele kimoja cha Best Female.

        Ingia hapa uweze kuwapigia kura mara nyingi uwezevyo.

        Watanzania tuungane kuwapigia kura wasanii wote wanaotajwa kuwania tuzo za kimataifa ili kusaidia kuukuza muziki wa nyumbani.

        Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) limemteua Charles Boniface Mkwassa, kuwa kocha mpya wa Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania(Taifa Stars)

        Posted: 23 Jun 2015 10:33 PM PDT

        Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania - TFF, Jamal Malinzi leo ameagana rasmi na aliyekua kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, mholanzi Mart Nooij.

        Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.

        “Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika mafanikio ndio maana TFF imeanza kuwekeza katika soka la vijana, sababu ndio msingi wa kuwa na timu bora ya Taifa” alisema Malinzi.

        Duniani kote chimbuko la timu bora ni soka la vijana na watoto, tukiwa na vijana wengi walioanza kucheza mpira katika umri mdogo wanapofikia umri wa kuchezea timu ya Taifa tutakua na kikosi bora.

        Nchi za wenzetu inapofikia kocha kuita wachezaji wa timu ya Taifa anakuwa na wigo mpana, kwetu sisi wachezaji wanocheza soka nje ya nchi wanahesabika, hivyo ni lazima tuanze kuwekeza kwenye soka la vijana.

        TFF ilishaanza mkakati huo ndio maana kuna timu za U13, U15 ambazo zitakua zikiingia kambini na kucheza michezo ya kirafiki ndani ya nje kwa lengo la kupata uzoefu kabla ya kushiriki kuwania kufuzu kwa fainali za vijana mwaka 2016.

        Kikosi cha U15 kinatarajiwa kufanya ziara mwezi Disemba mwaka huu katika nchi za Malawi, Zambia, Zimbambwe, Botswana na Afrika Kusini, kisha mwakani mwezi April 2016 kitaenda Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya kucheza michezo ya kirafiki.

        Naye Mart Nooij aliyekua kocha wa Taifa Stars, akiongea na waaandishi wa habari alisema anawashukuru watanzania wote, serikali, wadau wa mpira wa miguu nchini na TFF kwa sapoti waliyompatia wakati akiwa kocha mkuu wa timu ya Taifa.

        Nooij alisema alifurahia maisha yake akiwa Tanzania kwa kipindi chote alichokua akifundisha timu ya Taifa, lakini kwa sababu imefikia mwisho wa ajira yake hana jinsi anaondoka, lakini ataendelea kuikumbuka Tanzania na watanzania wote kila siku kwa ukarimu wao.

        Wakati huo huo Rais wa TFF. Jamal Malinzi amemtangaza Charles Mkwasa kuwa kocha mpya wa Taifa Stars akisaidiwa na kocha Hemed Morocco, Mkwasa ambaye ni kocha wa Yanga na Morocco kocha wa Mafunzo watafanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu ambayo timu ya taifa itakua na michezo ya kuwania kufuzu kwa CHAN na AFCON.

        Malinzi amesema uteuzi wa makocha hao wazawa umezingatia vigezo vya makocha wa timu ya Taifa kuwa na leseni A ya ukocha kutoka CAF au zinazofanana kutoka mashiriksho mengine duniani wanaozifanyia kazi, jambo ambalo makocha hao wazawa wamekizi.

        Kocha Mkwasa atakua akipewa hudumu zote na masilahi (zikiwemo posho) alizokuwa anapewa kocha aliyeondoka, pia amepewa nafasi ya kuchagua benchi lake la ufundi la kufanya nalo kazi, hivyo nawaomba wadau wa mpira wa miguu na watanzania kwa ujumla tuwape sapoti makocha hao wazawa” aliongeza Malinzi”

        Aidha Kamati ya utendaji ya TFF Iimemteua Alhaj Ahmed Mgoyi kuwa mratibu wa timu ya Taifa, lengo la uteuzi huo wa Mgoyi ni kuwa kiunganishi kati ya kamati ya Utendaji na timu ya Taifa.

        U15 Yaingia  Kambini
        Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 15 ya Tanzania, imeingia kambini jana na kuanza mazoezi leo katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya kombaini U15 ya mkoa wa Mbeya siku ya jumapili.

        Kikosi hicho kilicho chini ya makocha Bakari Shime na Peter Manyika kitacheza mchezo huo kwa lengo la waalimu kupatawa fursa ya kuwaona vijana hao na kuwaongeza wengine watakaoneka katika kikosi hicho.

        U15 ni mpango wa TFF kuandaa kikosi kizuri chenye ubora kuelekea kuwania kufuzu ka fainali za vijana Afrika mwaka 2017 zitakazofanyika nchini Madagascar, ambapo vijana hao watakua na umri wa miaka 16 kufikia mwakani wakati michezo ya kuwania kufuzu itakaponza mwezi Julai, 2016.

        NB: Kesho siku ya jumatano kocha mpya wa Taifa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake Hemed Moroco wataongea na waandishi wa habari saa 5:30 asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa TFF uliopo Karume.

        Waandishi wote wa habari mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.

        Imetolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania

        Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 24 Juni 2015

        Posted: 23 Jun 2015 10:17 PM PDT




















        Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  24  Juni  2015

        Mjamzito Afanyiwa Ukatili wa Kutisha: Alifika Hospitali Akiwa na Uchungu, Wauguzi Wakamfukuza.......Dakika Chache Baadae Akajifungulia Bafuni

        Posted: 23 Jun 2015 10:07 PM PDT

        MJAMZITO aliyefahamika kwa jina la Rotha Bujiku, amejifungulia bafuni karibu na zahanati ya kijiji baada ya kudaiwa kufukuzwa na wauguzi waliokuwa zamu siku hiyo, kwa maelezo kuwa anajifungua kila mwaka.

        Tukio hilo lilitokea wilaya ya Maswa katika mkoa wa Simiyu majira ya saa 2 asubuhi baada ya mjamzito huyo kufika katika zahanati hiyo kwa lengo la kupata huduma ya kujifungulia kwa wataalamu.

        Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililovuta umati wa watu, mjamzito huyo alikataliwa kupokewa na muuguzi wa zamu aliyetajwa kwa jina la Constansia John.

        Ilielezwa kuwa muuguzi huyo alikataa kumpokea kwa madai kuwa mjamzito huyo alishapewa maelekezo tangu awali kuwa anatakiwa akajifungue katika hospitali ya wilaya ya Maswa kwani amekuwa akizaa watoto kwa mfululizo.

        Inaelezwa kwamba, wakati Rotha akiugulia maumivu ya uchungu, muuguzi huyo alimpigia simu ya mkononi Muuguzi Mkunga wa zahanati hiyo, Leticia Kachumi kumjulisha hali hiyo na alipofika alitaka mjamzito huyo aondoke katika eneo hilo na atafute usafiri ili aweze kufika katika hospitali ya wilaya kama alivyoelekezwa katika siku za nyuma.

        “Leticia alipofika hapo zahanati baada ya kupigiwa simu na Constansia, licha ya kumuona anaendelea kulalamika kutokana na uchungu alimwamuru aondoke eneo hilo mara moja na atafute usafiri wa kumfikisha hospitali ya wilaya iliyoko umbali wa kilomita 36, kwani walishamweleza kuwa amekuwa akizaa mfululizo na hiyo ni mimba ya kumi na moja,” alisema shuhuda, Kundi Mageni.

        Kutokana na hali hiyo, mjamzito huyo alilazimika kuondoka zahanati hapo bila msaada wowote na baada kufika karibu na nyumba iliyoko na zahanati hiyo, alikwenda katika bafu la nyumba ya jirani ambalo halina sakafu na kujifungulia humo na baadaye kusaidiwa na wasamaria wema waliosikia sauti ya mtoto.

        “Kwa kweli huyu mama amejifungulia katika mazingira machafu na hatarishi kwa afya yake na mtoto aliyemzaa. Kwa kweli hili ni tukio la kusikitisha. Huwezi kuamini wauuguzi hao ambao ni wanawake kumtendea mwenzao ukatili wa kiasi hiki,” alisema Pili Kidesela, Diwani wa kata ya Shishiyu (CCM).

        Mganga Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Jonathan Budenu aliyefika katika eneo la tukio muda mfupi baada ya kupata taarifa hizo, alisema kitendo kilichofanywa na wauguzi hao ni kinyume cha maadili ya kazi yao na hivyo ni lazima hatua kali za kinidhamu zichukuliwe kwa wote waliohusika.

        Mwingine ajifungulia kichakani
        Wakati hayo yakitokea Maswa, mkoani Arusha binti mwenye umri wa miaka 17 alijikuta akijifungulia kichakani baada ya kuzidiwa uchungu wakati akisubiri kuombewa kwenye mkutano wa dini uliofanyika Viwanja vya Magereza, Kisongo nje kidogo na Jiji la Arusha.

        Anna Ngitoria, mkazi wa Endurimeti, wilayani Arumeru, alikuwa miongoni mwa mamia ya wakazi wa Arusha, Kilimanjaro na vitongoji vyake waliokuwa wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja huo wa magereza kwa ajili ya kile kilichodaiwa kuwa ni maombi yaliyoandaliwa na kituo kimoja cha redio cha jijini Arusha, Radio Safina.

        Kwa kawaida uongozi wa kituo hicho huandaa makongamano ya kila mwezi kwenye uwanja huo wa Kisongo na kujumuisha mamia ya watu, wengi wao wakiwa ni wanawake na wasichana ambao hupendelea kuhudhuria maombezi hayo kwa matarajio tofauti.

        Mikusanyiko ya maombi ya ‘Radio Safina’ imekuwa ikikusanya watu wengi mithili ya ‘Kikombe cha Babu,’ ambacho nacho kilivuma sana miaka mitatu iliyopita na tukio la msichana huyo kujifungua katika moja ya matukio hayo kimezua hisia tofauti mjini hapa.

        Akizungumza katika hospitali ya Mount Meru ambapo amelazwa kwa sasa, binti huyo, Anna amekiri kuwa alijifungua kabla ya wakati kwa sababu alikuwa na ujauzito wa miezi saba tu.

        Mtoto wake njiti sasa anahudumiwa katika wodi maalumu iliyopo hospitalini hapo na wauguzi wanasema anaendelea vizuri.

        Sifurahishwi na uadui wa team za mitandaoni lakini sina nguvu ya kuzuia – Alikiba

        Posted: 23 Jun 2015 10:00 PM PDT

        Alikiba amekiri kutofurahishwa na uhasama unaondelea kati ya mashabiki wake na mashabiki wa Diamond Platnumz kwenye mitandao ya kijamii japo amesema hana uwezo wa kuzuia hali hiyo.


        • “Unajua sisi ni vioo vya jamii na tunapendwa na watu wengi sasa unapoona mambo yanatokea kama hivyo huwezi kufanya chochote na mimi siwezi kuingilia suala lolote la mashabiki,” Alikiba amekiambia kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.



        • “Lakini kiukweli sifurahishwi nalo kama kuna uwezekano wangeacha tu. Kiukweli tusupport vya kwetu ili tuwende kwenda mbele.”

        Baada ya Sugu Kushinda Kesi,Faiza Asema Bora Kufa Kuliko Kumuona Sasha Akilelewa na Mama Mwingine

        Posted: 23 Jun 2015 09:52 PM PDT

        Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’ kushinda kesi mahakamani ya kutaka apewe amlee mtoto wake aitwaye Sasha,aliyekuwa mzazi mwanzake,Faiza Ally amefunguka kuwa ni bora kufa kuliko kumuona mtoto wake akilelewa na mama mwingine wakati yeye yupo hai.

        Sugu alimfikisha mahamakani mzazi mwenziye kwa madai kuwa ameshindwa kumlea mtoto wao kwa kuwa mama huyo si mwadilifu.

        Faiza ameandika hivi kupitia Akaunti ya Instagram:

        Sielewi joseph ameshindaje kesi- ushahidi wa picha peke yake sioni kama unatosha mimi kupokonya mtoto wangu- mtoto wangu ni mdogo sana ananihitaji sana – na sita rudi hata ikibidi kuuza kila nilicho nacho kwa ajili ya kusimamia hili- sijapewa nafasi nimepelekwa mahakamani ijumaa na leo jumanne nimepewa hukumu/ mwanangu achukuliwe….. hapana !

        Sitarudi nyuma na haitakua rahisi ninakata rufaa na kutafuta wakili wa kunisimamia hili- mwanangu anasoma vizuri anaishi vizuri na naamini kwenye mikono yangu yuko salama zaidi ya kokote/ yaani kuhusu kukosa kukaa na mwanangu ni bora kufa kuliko kuishi nikimuona sasha ana lelewa na mama mwingine ikiwa mimi mama yake niko hai na makini katika malezi ya mtoto wangu- nina ndoto na mwanangu nyingi sana – nahitaji kuishi nae yeye ndio kila kitu kwenye maisha yangu/ nampenda sana mwanangu na sijashindwa kumlea- naona uchungu sana kupelekea mahakani na kupokonywa mtoto wangu bila sababu za msingi .

        Sitaogopa cheo chake cha ubunge kamwe- ntasimama kama mama mwenye haki kwa mtoto wake …mungu naomba nielekeze.nisimamia na unihukumie huu ukatili ninao fanyiwa na baba Sasha.

        Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi aliyoifungua Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ dhidi ya mkewe wa zamani

        Posted: 23 Jun 2015 09:48 PM PDT

        Maamuzi ya Mahakama kuhusu kesi aliyoifungua Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ dhidi ya mkewe wa zamani ikitokea Mahakamani Manzese Dar es salaam kuhusu mke wake wa zamani.

        Taarifa inasema Mahakama ya Manzese imeamuru Mbunge Joseph Mbilinyi akabidhiwe mtoto wao kutokana na kesi aliyoifungua dhidi ya mke wake huyu akidai anamuharibu mtoto.

        Hii habari imekuja siku kadhaa tu baada ya TUZO ZA KILI 2015 ambapo mke huyu wa zamani aliingia kwenye headlines kutokana na vazi alilokuwa amevaa.

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 25, 2015, 4:04:38 PM6/25/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


        Millard Ayo Abanwa Kuhusu Uhusiano wake na Jokate, Lulu Michael na Wolper

        Posted: 25 Jun 2015 04:15 AM PDT

        Mtangazaji mwenye sauti nzito Bongo kupitia Clouds FM, Millard Ayo, Jumatatu iliyopita alibanwa azungumzie uhusiano wake na warembo wenye majina makubwa nchini, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’,  Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo alimfungukia mmojammoja.

        Katika mahojiano maalum na Kipindi cha Sporah Show, mtangazaji alimbana Millard akimtaka aseme ukweli kuhusu warembo hao ambapo  alianza kwa kumzungumzia Lulu kuwa hajawahi kuwa mpenzi wake zaidi ya kumfahamu katika sanaa.

        “Kuhusu Lulu! Hapana sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye. Yaani hata kuwaza sijawahi. Namfahamu kuwa ni mwigizaji na ni mtu ambaye nimekuwa nikimfuatilia kupitia kazi zangu za utangazaji,” alisema mtangazaji huyo staa.

        Millard aliendelea kupangua, ikafika zamu ya Wolper. Alikana vikali kuwa naye hata kujuana kwao si kwa ukaribu. Alisema:


        “Haa! Wolper ndiyo kabisa, nimekuwa nikimuona na kumsikia tu, wala sikuwahi kumuwazia kwa lolote lile isipokuwa ninamjua kama msanii wa Bongo Muvi na huwa nakutana naye kama ninavyoweza kukutana na mtu mwingine yeyote ambaye hatujuani.”

        Kwa upande wa Jokate, hapo alipiga kituo kidogo na kuanza kumzungumzia kwamba, amemfahamu miaka mingi na alikuwa akimpenda kama ‘girl friend’ wake kwani wakati anasoma alishawahi kupanda naye daladala na wakapiga stori.

        “Nampenda Jokate kwa sababu mpole, anatoka katika familia ya wachakarikaji, hivyo nimekuwa nikimshirikisha katika mambo yangu. Nampenda kwa sababu hiyo ila huwezi kuamini, nilipotezana naye na baadaye tumekuja kukutana tayari yeye ni maarufu na sikuwahi kumwambia chochote juu ya kumpenda kwangu kwa kuwa tayari ana ‘boy friend’ wake.

        “Jokate naye anamjua mchumba wangu ingawa hajawahi kumuona. Kwa sasa namchukulia kama dada yangu tu kwa kuwa hakuna popote ambapo nimewahi kutoka naye kimapenzi hata kwa dakika moja zaidi ya kuwasiliana naye kikazi. Mara kadhaa nimekuwa nikimtafuta hata kama ni usiku wa manane nikiwa na jambo na huwa sisiti kumshirikisha,” alisema Millard.

        Kwa upande wa Jokate baada ya kufikishiwa taarifa ya maneno ya Millard alishangaa, akasema yeye hajui chochote. Kwanza aliwekewa mtego kama angeuingia kwa kuambiwa Millard amemtaja yeye kuwa ni mchumba wake, akashtuka na kusema:

        “Huh! Kasema hivyo lini? Maana mimi sijasikia lolote na siyo kweli kama ni mpenzi wangu na sijui kwa nini kaongea hivyo. Kwa kweli sijasikia wala kuongea naye.”

        Wolper yeye alipoulizwa juu ya maneno ya Millard kwamba hawajahi kuwa karibu kwa jambo lolote zaidi ya kuonana barabarani alishtuka:

        “He! Ni kweli lakini. Hata mimi namwonaga tu. Hivi yupo kwani hapa Bongo? Sina koneksheni ya kitu chochote na yeye.”

        Lulu alipotafutwa juzi, simu yake iliita kwa muda mrefu lakini hakupokea.

        Kuhusu Millard na Jokate, baadhi ya vyombo vya habari vimewahi kuripoti kuwa wako karibu kiasi kwamba, maswali ni mengi kuliko majibu.

        Kwenye ‘bethidei’ ya Millard iliyofanyika Januari 26, mwaka huu nyumbani kwake, Ubungo Msewe jijini Dar, Jokate alishiriki kwa kumpelekea keki ya ‘kumuwishi’ ambayo ilizua utata.

        Shamsa Ford Aja na Hizi Mbili Mpya Adai Aliyekuwa Mume Wake Alitaka Kumuua yeye na Mtoto Pia Akana Kuwa na Mahusiano na Nay wa Mitego

        Posted: 25 Jun 2015 02:48 AM PDT

        Muigizaji wa filamu, Shamsa Ford amesema tangu aachane na aliyekuwa mume wake Dickson Matoke, amewahi kuwatishia kuwaua yeye na mwanae zaidi ya mara 10.

        Shamsa alikiambia kipindi cha Take One cha Clouds TV kuwa ex wake huyo alikuwa na matatizo mengi ambayo alishindwa kuyavumilia.


        • “Namshukuru baada ya kuwa gizani sasa hivi nipo kwenye mwanga. Dickson kanifanya nijifunze vitu vingi sana, vitu vingi vya kifamilia nilikuwa nafanya mimi kama mimi, yeye kazi yake ni kukesha baa anakunywa pombe na marafiki zake.Nimeshagombana na marafiki zake wote,” Shamsa alimwambia mtangazaji wa kipindi hicho Zamaradi Mketema.



        • “Kuhusu kumtaka mtoto huo ndo ugomvi wetu huwa tunagombana kila siku. Sababu ya kwanza kwanini namnyima mtoto wangu Dickson alishaonyesha roho mbaya kwa mtoto wangu na mwanamke yoyote ambaye una uchungu na mtoto wake huwezi kumuachia mtoto. Dickson alitamka sio mara moja, siyo chini ya mara kumi, katamka kwangu, mbele ya ndugu zake , katamka kwa marafiki zangu kwamba ‘ipo siku nitakuja kumuua Shamsa na mtoto wake.’ Hilo neno zito sana, yule mtu yupo desperate, hana kitu chochote cha kupoteza. Leo hii ninaweza nikampa mtoto akaona ‘huyu Shamsa huyu anaringa acha nimkomoe,’ akimuua mtoto wangu halafu yeye akaenda Segerea hana cha kupoteza, lakini mimi nitaumia sana.” aliongeza kwa uchungu.


        Katika hatua nyingine Shamsa amekanusha kutoka kimapenzi na Nay wa Mitego na kudai kuwa bado hajafikiria kurudi kwenye uhusiano.

        Zitto Akataa Posho ya Mil. 238 Kama Kiinua Mgongo cha Ubunge

        Posted: 25 Jun 2015 02:16 AM PDT

        By Zitto,
        Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.

        Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.

        Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.

        Source: His facebook page.

        Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.

        Faiza Ally Atoa Kauli Nyingine 'Nimekata Rufaa na Nawahakikishia Nitashinda Kesi na Nitamlea Mwanangu na Nitavaa Mavazi Yangu na Kuenjoy Maisha'

        Posted: 25 Jun 2015 02:11 AM PDT

        Leo Mrembo Faiza Ally Ameibuka tena na Kuongelea issue ya Kunyang'anywa mtoto na Mh Sugu Kupitia Mahakama...

        Ameandika hivi katika Page yake ya Instagram:

        NASITIKISHWA SANA NA MANENO YENU MAKALI HASA NYINYI MNAO SAMBAZA KASHFA JUU YANGU KUHUSU MAVAZI YANGU- HAKUNA HIYO SHERIA TANZANIA INAYOSEMA NIPOKONYWE MTOTO KUHUSU MAVAZI YANGU- NIMEKATA RUFAA NA NAWAHAKIKISHIA NITASHINDA KESI NA NITAMLEA MWANANGU NA NITAVAA MAVAZI YANGU NA NITA ENJOY MAISHA YANGU/ NINA MWANASHERIA MAKINI ALIESOMEA SHERIA NA SISI NYINYI MNAO NIPA HUKUMU HUMU NDANI NA KWINGINE! PAMOJA NA MAVAZI YANGU MIMI NI MAMA BORA! MNAJUA UPANDE WANGU LKN HAMJUI UPANDE WA SUGU NA HAKIKA MENGI MTAYAJUA KUPITIA KESI HII/ MAVAZI YANGU NAYAPENDA NA KWA MUJIBU WA SHERIA SI KITU KINACHO NIFANYE NI POKONYE MTOTO WANGU- MANENO YENU MACHAFU DHIDI YANGU YANANIUMA SANA LAKINI KAMWE HAYATA NIRUDISHA NYUMA KATIKA KUTETEA HAKI YANGU! NAMJUA SUGU NA NA NINAJIUA MM KTK UBORA WANGU KATIKA MALEZI YA MWANANGU/ MM NI MAMA NA SI MAMA TU NI MAMA BORA KWA SASHA NA ANANIHITAJI NA SITAMUACHA NA NYINYI WAJINGA WACHACHE ENDELEENI KUNIPONDA NA KUONA NA STAHILI KUPATA PIGO HILI NA SI WOTE- KUNA WENGINE WEMA KWA UPANDE WANGU NA WASHUKURU NA NINA WAAHIDI SITAWARUDISHA NYUMA NITASIMAMA MPAKA KIELEWEKE- SASA HIVI NI JASIRI KUPITA MAELEZO 💪.....IN GOD WE TRUST INSHAALLAH....Faiza Ally

        Aging socialite VERA SIDIKA is back, See what she did for men, +18 VIDEO

        Posted: 24 Jun 2015 11:10 PM PDT

        After taking a break from social media, aging socialite, Vera Sidika, is back with her usual madness.

        This time round, she decided to leave little to men’s imagination after releasing her best twerk video ever. She did it in her house and few men can get enough of her crazy moves.

        Just relax and watch her s3xy moves in the video below.

        See Forbes World's Highest Paid Athletes of 2015

        Posted: 24 Jun 2015 11:04 PM PDT

        According to Forbes, these are the 10 highest paid Athletes of 2015 (From June 2014 - to June 2015)
        1. Floyd Mayweather - $300m
        2. Manny Pacquiao - $160m
        3. Cristiano Ronaldo - $79.6m
        4. Lionel Messi - $73.8m
        5. Roger Federer - $67m
        6. LeBron James - $64.8 million
        7. Kevin Durant - $54.1 million
        8. Phil Mickelson - $50.8 million
        9. Tiger Woods - $50.6 million
        10. Kobe Bryant - $49.5 million

        Bobbi Kristina's condition deteriorates, moved to a hospice

        Posted: 24 Jun 2015 11:02 PM PDT

        Bobbi Kristina is being moved to a hospice as her condition continues to deteriorate.

        • "Despite the great medical care at numerous facilities, Bobbi Kristina Brown's condition has continued to deteriorate. As of today, she has been moved into hospice care. We thank everyone for their support and prayers. She is in God's hands now." Bobbi Kristina's aunt Pat Houston told E! News in a statement today

        Whitney Houston's only child was found unresponsive in her bathtub on Jan. 31 The 22-year-old has been in a medically induced coma ever since.

        Photo: Davido shows off inside his home in Atlanta

        Posted: 24 Jun 2015 11:00 PM PDT

        He shared the photo on instagram and wrote "ATL Waddup! 1st day at my new crib. Prayed for days like this...now it's here!

        Kauli ya Banza Stone Baada ya Kuzushiwa Kifo

        Posted: 24 Jun 2015 10:32 PM PDT

        Baada ya kuzushiwa kifo ,muimbaji mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Banza Stone amesema si jambo la busara la kuzushiana kifo

        Akizungumza kwenye AMPLIFAYA   ya  Clouds  Fm jana june 24 alisema: "Mimi nilikuwa nasumbuliwa na kichwa sana na ki homa homa fulani kama miezi miwili lakini saaa hivi niko vizuri, naelendele poa na leo nilienda hospitali daktari kufanya sound check akaniambia kuwa malaria"

        Mtangazaji:…Jana ilikua ni mara ngapi kuzushiwa kifo ?

        Banza Stone:.."Mimi hata sijui ila nasikia mara watu oooh banza kafa, mara ooh kila mtu anaongea lake ila mimi niko poa ni mzima naweza kufanya kazi ila kwasasa siko tayari kufanya kazi kwani nitauchosha mwili mwangu"

        Mtangazaji: Vipi kuhusu kazi zako za muziki bado unaendelea nazo ama au ??

        Banza Stone:….."Naweza kusema ninaendelea na muziki kama kawaida kwasababu sasa hivi nina kama nyimbo sita  mpya ziko ndani kesho, kesho kutwa naweza nikaamua niachie moja mpaka video ziko tayari sio za bendi bali ni  zangu binafsi…"

        See Official Photos of Wema Sepetu As a Politician

        Posted: 24 Jun 2015 10:22 PM PDT

        Last week officially actress and former Miss Tanzania Wema Sepetu announced she will run for special seat(women) of member of parliament to represent Singida during the 2015 general election in October. And her photos as a politician rocking CCM headwrap are out, she looks gorgeous really.

        CCM Yabariki Ubunge wa Wema Sepetu

        Posted: 24 Jun 2015 10:17 PM PDT

        Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo huyo kwa uamuzi wake huo.

        Akizungumza na mtandao huu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kila mwanachama ana haki ya kugombea uongozi wowote ule ilimradi awe mwanachama hai, hivyo kwa Wema kugombea ubunge wa viti maalum ni haki yake na amefanya uamuzi sahihi.

        “Kugombea uongozi ni haki ya kila mwanachama, Wema ana haki, kwanza ni mwanachama hai na baba yake alikuwa mwanachama mzuri sana wa CCM mpaka anafariki dunia, hivyo chama chetu huwa hakikutani na watu barabarani tu, bali wanakuwa ni halali kabisa mpaka wanatangaza kugombea,” alisema Nape.

        Hata hivyo, alisema wasanii wote waliotangaza kugombea kupitia chama hicho hawajakurupuka bali ni wanachama hai na wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli mbalimbali za kichama, tangu kwenye kampeni za mwaka 2010.

        Wasanii wengine waliotangaza nia ya kugombea ubunge kupitia CCM licha ya Wema ni Ndumbagwe Misayo "Thea" (Viti Maalum, Kinondoni) na Wastara Juma (Viti Maalum Morogoro Vijijini).

        Ali Kiba Atimuliwa Kwenye Nyumba Aliyokuwa Akiishi.......Nyumba Ilikuwa ya Mwanamke Ambaye Amechukia baada ya Kusikia Ali Kiba na Jokate ni Wapenzi

        Posted: 24 Jun 2015 10:14 PM PDT

        Licha ya mwenyewe kukanusha vikali lakini madai mazito yanasema kuwa, nyota wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi iliyopo Kunduchi-Beach jijini Dar baada ya kukosana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake ambaye pia ndiye mmiliki wa mjengo huo.

        Kwa  mujibu  wa gazeti  la Risasi, pamoja na Kiba kuendelea kusisitiza kwamba si kweli, mwanamke huyo anayeishi nchini Singapore, aliamua kuchukua uamuzi huo baada ya kusoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari kuwa, kwa sasa Kiba anatoka na Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo "Kidoti" huku Kiba mwenyewe akikataa madai hayo.

        "Ali (Kiba) ametimuliwa kule Kunduchi-Beach kwenye ile nyumba aliyowekwa na yule demu mwenye fedha zake na ndiye aliyekuwa akimgharamia kila kitu.

        "Aliyemponza ni yule Kidoti, Jokate Mwegelo. Jokate amekuwa akimposti Kiba kwenye mitandao ya kijamii, ndipo mwanadada huyo alipoona akachukia na kumuona Kiba ameshindwa kuthamini fadhila zake," kilidai chanzo cha  gazeti  hilo.

        Sasa hivi amerudi kwa mama yake, Kariakoo (Dar) kutokana na yeye mwenyewe kulikoroga kwa kuupiga teke mgodi wa fedha.

        "Japokuwa mara kwa mara Kiba mwenyewe amekuwa akikanusha kujihusisha kimapenzi na Jokate, lakini ukweli ni kwamba ameshaharibu kwa mwanadada aliyekuwa anamuwezesha," kiliongeza chanzo hicho.

        Katika kuweka sawa mzani wa madai hayo, mwandishi  alimtafuta staa huyo wa Ngoma ya Chekecha Cheketua kwa njia ya simu na kumuuliza kuhusu madai hayo na kutaka kujua anakoishi hivi sasa, ambapo alifunguka hivi:

        "Unataka kujua naishi wapi ili iweje? Wakati unajua kabisa kuna matatizo yalinipata (kuvamiwa). Sasa nikisema si naweza kujitafutia matatizo mengine?

        "Siwezi kusema ninapoishi kwa usalama wa maisha yangu na kuhusu huyo mwanamke ni maneno ya watu wenye lengo la kunichafua.

        "Jokate ni mwanamke ambaye nipo naye karibu katika vitu vingine ambavyo ni vya msingi zaidi na si hivyo ambavyo watu wanahisi. Lakini kama kuna mtu atahisi tofauti itakuwa juu yake. Mimi na Jokate ni washkaji ‘long time’ (muda mrefu) katika mambo kibao.

        "Kuhusu nyumba nilishawahi kufafanua kwamba siyo yangu. Kuna mtu aliniweka kwa makubaliano maalum, lakini ninashangaa kusikia taarifa ambazo zipo tofauti juu ya ukweli ambao mimi ninaufahamu."

        Chanzo: Gazeti  la  Risasi/Gpl

        Udaku Specially

        unread,
        Jun 26, 2015, 4:09:55 PM6/26/15
        to mbara...@googlegroups.com

        Udaku Specially


          WEMA SEPETU: Siwezi Kumsapoti Diamond Platnumz Kwenye Mtv Awards Kwasababu Nitaonekana Ninajipendekeza,,,

          Posted: 26 Jun 2015 12:03 PM PDT

          Katika Kipindi cha TV cha Wema Sepetu Kiitwacho In My Shoes Wema Usiku huu wa Leo Amedai kuwa hawezi Kumsapoti Mwanamuziki Diamond kwenye Tuzo za Mtv Awards  kwa vile Kufanya Hivyo ataonekana anajipendekeza kwa vile Diamond hajawahi kumuomba kufanya hivyo...
          Pia amedai kuwa yeye na Diamond walishayamaliza hivyo hataki kujihusisha na Diamond kwa njia yoyote ile kama ni kosa alishalifanya kipindi cha nyuma na hawezi rudia kosa..

          Katika hatua nyingine Wema Sepetu amedai kuwa Kitendo cha yeye kumsapoti Ali Kiba katika tuzo za Kill Music kilikuja baada ya Ali Kiba yeye Mwenyewe Kumuomba Wema Kufanya Hivyo na kumtumia picha ambazo alizipost kwenye Account yake ya Instagram....

          AIBU Nyingine Kenya, Mzee wa Miaka 80 Akutwa Akifanya Mapenzi na KUKU

          Posted: 26 Jun 2015 11:50 AM PDT


          Sasa hii Imezidi nchini Kenya ..Yaani unaambiwa haipiti wiki bila kusikia tukio la Mtu kufanya mapenzi na wanyama wa kufungwa...
          Siku ya Terehe 19 mzee mmoja wa miaka 80 amejikuta katika aibu ya mwaka baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Kuku laivu bila chenga , tukio hili limekuja baada ya siku kadhaa zilizopita mtu mwingine kukutwa akifanya mapenzi na Mbuzi ...

          Babu huyo alipelekwa mahakamani na kukubali kosa na baadae kupata dhamani kwa Ksh 50,000 ..


          Beach Life...Wolper shows off her goodies while having good time.....

          Posted: 26 Jun 2015 06:17 AM PDT



          Beach Life...Wolper shows off her goodies while having good time.....

          Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi Mkuranga, Mkoani Pwani wamevamia tawi la Benki ya NMB na kuua Askari mmoja kisha kutokomea na fedha zote.

          Posted: 26 Jun 2015 06:13 AM PDT

          Majambazi wamevamia NMB Mkuranga, Wameua askari na kutokomea na fedha.

          Update

          Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani, Jafary Mohamed, ameithibitishia JamiiForums kutokea kwa tukio hilo na kwamba sasa anajiandaa kwenda katika eneo la tukio.

          "Ni kweli nimepata taarifa zenye maelezo machache kama hayo unayonieleza lakini niko kwenye ziara (Hakutaja ni ziara gani), ninajiandaa kwenda katika eneo la tukio, nikifika au kupata taarifa zaidi muda wowote kuanzia sasa nitawajulisha kwa kina" alieleza Kamanda Mohamed.

          Ni kweli wadada wanaoonyesha makalio yao ndo wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile?

          Posted: 26 Jun 2015 05:57 AM PDT

          Kuna tetesi huku mitaani kuwa msichana akiwa anapenda kuvaa nguo za kuonesha makalio yake, na kupenda kuyatingisha ovyo, kuyakuza kwa kutumia dawa za Mchina etc, ina maana kwa asilimia kubwa anafanya mapenzi kinyume na maumbile, au anatamani kuja kufanya hivyo.

          Kwa mfano niliangalia reality show ya Christina Milian (Christina Milian Turned Up) kwenye channel E! akiwa anajaribu kukuza makalio yake kwa kuvaa booty pants, ili yaonekane makubwa, Je kuna ukweli wowote juu ya hili?

          Wadada wa humu na Wadau naomba mnijibu...

          Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ alivyosimama na maneno yake Bungeni baada ya ishu ya mtoto wake kuzungumzwa.

          Posted: 26 Jun 2015 05:48 AM PDT

          Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

          Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa Mbunge Joseph Mbilinyi kwa hiyo namruhusu” >>> Naibu Spika Job Ndugai.

          “Asante sana Naibu Spika, naomba nitoe maelezo binafsi jana tarehe 25 June 2015, Mbunge Martha Mlata alidai kuwa kuna Mbunge wa CHADEMA amempora mwanamke mmoja mtoto mdogo wa miaka miwili na amempora wakati Mbunge huyo amekuwa hatoi matunzo kwa mama yake… Mlata aliwataka Wabunge wote wanawake kuungana kukemea kitendo alichodai kimefanywa na Mbunge huyo”



          “Hakutaja jina la Mbunge aliyemhusisha na madai yake ila alidai kuwa ni msanii mwenzake… hata hivyo alitaja jina la mwanamke anayedaiwa kunyang’anywa mtoto kuwa ni Faiza. Mbunge aliyelengwa na mashambulizi ni mimi Joseph Osmond Mbilinyi, mimi ndiye baba wa mtoto Sasha Desderia Mbilinyi anaedaiwa kuporwa kwa mama yake, na Faiza aliyetajwa ni Faiza Abdallah Ally ambaye ni mzazi mwenzangu na mama mzazi wa Sasha Desderia“

          “Watu wazima hawapendelei kuzungumzia mambo binafsi hadharani… Nadhani sitakosea kusema hata Mheshimiwa Martha mwenyewe asingependa kuzungumzia matatizo yaliyopelekea ndoa yake kuvunjika“


          “Mimi ni mmoja wa watu wazima wenye akili timamu ndio maana sijazungumzia hadharani kuhusu uhusiano wangu na mzazi mwenzangu Faiza Ally na mtoto wetu Sasha… Sasha ameishi na mama yake tangu alipozaliwa mwaka 2012, katika kipindi chote nimempelekea mama yake laki tano kila mwezi, nimemlipia ada ya shule Milioni 3 kila mwaka.. Mlata kama angekuwa anataka kujua angeniuliza ningempatia taarifa hizi kabla hajarusha tuhuma nzito“

          Sugu 10“Mwanamke anayedaiwa kuwa mnyonge anajulikana katika kumbi za starehe nchi nzima, picha zake zilisambazwa katika Mitandao ya Kijamii na kuleta fedheha kubwa kwa watu wanaojali maadili ya mavazi, picha zake nyingine akiwa amevaa diapers zilisambaa mitandaoni na Martha Mlata angeweza kupata ukweli wa mambo haya kabla hajarusha tuhuma mbele ya Bunge“

          Sugu 7“Nilienda Mahakama ya Mwanzo Manzese, niliwasilisha ushahidi kwamba mzazi mwenzangu asingeweza kumlea mtoto.. Mahakama ilimwita akajitetea, June 23 Mahakama iliridhika na ushahidi wangu, ikaamua mtoto akabidhiwe kwangu ili nimlee. Kilichodaiwa kuwa ni uporaji wa mtoto kiukweli ni amri ya Mahakama, Mlata hakuwahi kuonekana Mahakamani, nina mashaka hata kama anamfahamu mtoto mwenyewe au mama anayemwita mwanamke mnyonge“

          “Mashauri haya hayakupaswa kuwekwa hadharani kama alivyofanya Martha Mlata… Nimesikitishwa na Martha Mlata kuzungumza mambo binafsi. Pamoja na Mahakama kunipa haki, mtoto bado yuko kwa mama yake kwa sababu mimi ni mstaarabu… nimetoa nafasi ili Majadiliano ya kifamilia yafanyike… Naomba mjadala huu usiendelee zaidi ya hapa” >>> Mbunge Joseph Mbilinyi.

          Dume Kabisa...Tena Jirani yenu au Mnaishi nalo Nyumba Moja. Ulione Linavaa Gauni, Kujipaka Makeup na Kuvaa Viatu vya Mchuchumio....Utajisikiaje?

          Posted: 26 Jun 2015 05:39 AM PDT

          Dume kabisa...tena jirani yenu au mnaishi nalo nyumba moja. Ulione linavaa gauni, Kujipaka makeup na kuvaa viatu vya mchuchumio....utajisikiaje?

          Hatupaswi kuwahukumu mashoga lkn pia hatupaswi kukaa kimya na kuwafurahia, ikibidi tuomboleze kabisa huku tukiwaombea....kama huyo mkaka wengi mnamjua! Yaani huyu ni makusudi kabisaaaa.....watu kama hawa Mh. Stephen Wassira akipata urais wangesombwa awamu ya kwanza wapelekwe kulima vijijini..tena kabla ya kupatiwa matrekta wapewe majembe ya mkono....walime na wakomae kama wanaume hawatarudi kwenye laana hizi....hizo zote njaa!!! Mxiiiiuh...

          Ukweli Kuhusu Mgombea Edward Lowassa Kupendelewa na Vyombo vya Habari Mbio za Urais 2015

          Posted: 26 Jun 2015 05:33 AM PDT

          Nimekuwa Nikifuatilia kwa Makini sana hizi Mbio za Urais 2015 Kile ninachokiona na Kama Vile mgombea Huyu Edward Lowassa Anependelewa na Vyombo vya Habari Kila Kona iwe Magazeti, Blogs na TVs...Habari zake zinapewa Airtime sana na kuandikwa sana ...
          Je kuna nini Kinaendelea ?

          Mbunge Sugu Atoa Chozi Bungeni..Adai Suala la Mtoto wake na Faiza Ally ni la Kifamilia..Adai Bado Hajamchukua Mtoto Kutoka Kwa Faiza

          Posted: 26 Jun 2015 04:26 AM PDT

          Jana Katika Bunge Huko Dodoma Mheshimiwa Mbunge Mlata Alisemama Haya:

          "Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake"

          Sugu leo amesimama Bungeni na kulitokea Ufafanuzi swala hilo na Mahakama kumpa haki ya kumlea mtoto kutoka kwa Mama yake Mzazi Faiza Ally..

          “Mheshimiwa naibu spika, kwa vile masuala haya binafsi mimi na mzazi mwenzangu na binti yetu, yameletwa hadharani mbele ya bunge tukufu, kwa vile masuala haya ni binafsi na ya kiunyumba yamevishwa joho la haki za wanawake na watoto na tuhuma nzito kutolewa juu yangu, mimi nalazimika kwa masikitiko makubwa na moyo mmzito kabisa kuyazungumzia hadharani mbele ya bunge lako tukufu,” alisema Sugu.

          “Mheshimiwa naibu spika binti yangu Sasha Desteria anaishi Dar es Salaam na mama yake tangu alivyozaliwa tarehe 26 September 2012 na katika kipindi chote hicho mimi nimempelekea mama yake takriban shilingi 500,000 kwa mwezi kwaajili ya matunzo ya binti yetu kila mwezi. Aidha tangu awe na umri wa miaka miwili mimi nimemlipia Sasha ada yake ya shule takribani milioni 3 kila mwaka ambayo ni shilingi 750,000 kwa semester. Malipo haya ni nje ya fedha za nguo, chakula, vifaa vya kuchezea watoto pamoja na kulipia gharama za television za watoto ya cartoon katika kipindi chote tangu binti yangu alipozaliwa.

          10852938_800529123337629_414595070_n
          Faiza na Sasha

          Mheshimiwa naibu spika, mzazi mwenzangu anayedaiwa kuwa mwanamke mnyonge na mheshimiwa Mlata, ni mwanamke anayejulikana katika kumbi za starehe karibu nchi nzima kwa kutokuwa na haya mbele ya hadhara wala mbele ya jamii. Ni mwanamke katika sherehe za tuzo za Kilimanjaro Music Awards zilizofanyika jijini Dar es salaam mwezi mmoja uliopita, alivalia nguo ambazo ziliacha sehemu zake za siri hadharani ili mpita njia azione. Picha zake katika mavazi hayo zilisambaa katika mitandao ya kijamii ya kuleta fedheha kubwa kwangu binafsi na bila shaka kwa watanzania wote wanaojali maadili katika masuala ya mavazi ya hadharani.

          Kabla ya hapo picha zake nyingine wakati amevalia nepi ya mtoto yaani Diapers na kisha kusambaza katika mitandao ya kijamii. Kama angetaka mheshimiwa Mlata angeweza kupata taarifa hizi kabla ya kurusha tuhuma nzito ndani ya bunge tukufu,” alisisitiza Sugu.

          Pia Sugu alizungumzia jinsi alivyolipeleka suala lake mahakamani mpaka mahakama kutoa uamuzi wa kutaka Faiza amkabidhi mtoto kwa Sugu.

          “Mahakama ya mwanzo Manzese iliridhika na ushahidi wangu kwamba mzazi mwenzangu hakuwa na maadili yoyote ya kuweza kumlea mtoto wetu. Mahakama hiyo iliamuru kwamba binti yetu Sasha Desteria akabidhiwe kwangu ili niweze kumlea katika mazingira ya maadili ya usawa kwa mtoto na kwa umri wake. Hivyo mheshimiwa naibu spika kile ambacho kimedaiwa na mheshimiwa Mlata cha uporaji wa mtoto kiukweli ni amri halali ya mahakama ya Manzese iliyotolewa baada ya kusikiliza pande zote kuzingatia ushahidi uliotolewa.”

          Hata hivyo Sugu alisema bado hajamchukua mtoto huyo kutoka kwa Faiza, na kwamba kuna uwezekano wa kufanyika mazungumzo ya kifamilia kulimaliza suala hilo kwa amani.

          Mwisho Sugu alipomaliza Kuongea Alionekana Akitokwa na Machozi Usoni Mwake...

          Je una Ushauri Gani kwa Sugu ?

          Issue ya Faiza Ally Kunyang'anywa Mtoto na Mbunge Sugu Yatinga Bungeni..Mbunge Adai Faiza Ally Ameonewa Kwa Sugu Kutumia Siku Moja Mahakamani na Kushinda

          Posted: 26 Jun 2015 12:25 AM PDT

          MR II SUGU NA MTOTO WAKE
          Imeendelea kuwa ishu ambayo kila mtu anaiongelea kwenye kona yake anachokiona sahihi, wapo wanaokosoa Mahakama kuamisha Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kupatiwa mtoto wake na Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenzake.

          Wa kwanza kuwasha kipaza sauti alikuwa Mbunge Martha Mlata >>> “Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake”>>>

          Ikaja time ya Mbunge David Kafulila >>> “Hii nchi ina mihimili mitatu, Bunge, Mahakama na Serikali… Tuheshimu maamuzi ya Mahakama”>>>

          Waziri Saada Mkuya alikuwa wa mwisho kuongelea ishu hiyo hiyo >>> “Kama mama na mimi nilipoisikia ile taarifa nilipata uchungu, kila binadamu ana mapungufu yake lakini mtotto alelewe na mama yake”>>>

          ‘My Girlfriend Sléeping With My Dad’ – Boy Seeks Advise

          Posted: 26 Jun 2015 12:35 AM PDT


          I caught my 18 years old girlfriend making love with my Dad. My name is Peter, am 23 years old. I have been in love with my girl who is 18 years old. We have been datingfor 2 years now. She was caring and loving. She told me she’s a vírgin and we had agreed to have s*x after marriage.
          We were only concentrating on our studies. She could come home at any time. I stay with just my dad and two little sisters. Early this week I had taken my little sisters to my auntie’s place. When I returned home, I found my girlfriend in bed with my dad.

          This was terrible and shocking but that’s not all.

          That very day my dad chased me away from home. My GF never bothered to call me to say anything about it since then. But today she called me, crying that I should forgive her for what she did.

          Friends I am confused cos I truly loved her but I don’t know what to do.

          Is right for her to be sleeping with my father? Should I forgive her or I move on? Since the incident I’ve been staying with my auntie. Please I need helpful advise.



          Binti wa Advanced Level Sec Ananikosesha Raha Ndani ya Ndoa Yangu

          Posted: 26 Jun 2015 04:19 AM PDT

          Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
          Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

          Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

          Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

          Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

          Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

          Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

          Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

          Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

          Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

          Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

          Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
          1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
          2. Kwenda Jera (ukizingatia huyu ni Mwanafunzi)

          Naomba mchango wenu

          Tattoo ya Wema Sepetu Mgongoni Mwa Kajala..Is it Still There??

          Posted: 26 Jun 2015 12:29 AM PDT

          Wema Sepetu na Kajala Masanja Walikuwa Marafiki wa kufa mtu , baada ya Wema Kumlipia Kajala Mil 13 ili aachiwe kutoka Gerezani Kajala alijichora Tattoo mgongoni mwake yenye jina la Wema , Sasa am just wondering kama hiyo tattoo bado anayo baada ya urafiki wao kuvunjika kwa muda mrefu?

          Hii hapa ndio ilikuwa habari ya Kajala kujiweka Tattoo ..bonyeza Hapa:

          Kajala Aamua Kujichora Tattoo ya Wema Sepetu Kumuenzi

          Jokate Yamkuta Makubwa...Ashushiwa Mvua ya Matusi Kutoka Kwa Mashabiki Wake Baada ya Kufanya Hili

          Posted: 26 Jun 2015 12:26 AM PDT

          Mwanamitindo  na Msanii wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo, maarufu kama ‘Kidoti’ amejikuta akiambulia matusi ya nguoni kwa kosa la kumpongeza msanii mwenzake wa Bongo Fleva, Ali Kiba baada ya kutwaa tuzo tano za Kili Music Awards zilizotolewa mwezi huu jijini Dar.

          Mwanadada huyo ameioga mvua hiyo ya matusi katika akaunti yake ya Mtandao wa Kijamii wa Intagram kwa watu tofauti kwa kile kilichodaiwa kuwa anahaha baada kuachwa na Mbongo Fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’ ambapo ameamua kufanya hivyo ili kuupoza mtima wake na kwa sasa kuna taarifa kwamba Ali Kiba ndiye anayemmiliki mtoto huyo.

          Baada ya kutokea ishu hiyo, Mwandishi alimtafuta Jokate ili kusikia anazungumziaje hilo ambapo alisema: “Nashindwa kuielewa jamii inataka mtu aishi vipi, lakini yote kwa yote siwezi nikamkandia mtu kwenye muziki wake, kwa upande wangu mimi ni shabiki wa Ali Kiba kwa sababu ninapenda kazi zake na hakuna wa kunizuia kufanya chochote juu yake.”

          Just Like Jaguar, Diamond Platnumz is Done Collaborating With Nigerian Stars

          Posted: 26 Jun 2015 12:15 AM PDT

          Bongo’s finest, Diamond Platnumz has called it a day in collaborating with Nigerian artists.

          Unlike Jaguar however, the Tanzanian has made the decision for different reasons.

          According to reports, including Tanzania’s Bongo5, Diamond revealed the news in an interview with Cloud FM. He disclosed that his ‘last collabo would be KCEE’s and after that no more (working with) Nigerians.’

          The reason for the move ‘is to avoid any monotony in his music and that he has achieved the goal of penetrating his music into Nigeria.’

          He also revealed that his music might be taking a new direction as DRC’s Ferre Gola and Togo’s Toofan have expressed their interest in collaborating with him.

          - See more at: http://nairobiwire.com/2015/06/just-like-jaguar-diamond-platnumz-is-done-collaborating-with-nigerian-stars.html#sthash.g74hT5SV.dpuf

          LUPITA NYONG’O to charge Ksh 10,000 to any Kenyan who wants to dine with her.

          Posted: 26 Jun 2015 12:10 AM PDT

          Next week, Oscar award winner, Lupita Nyongo, will jet into the country in her first official visit to Kenya after she won the Oscar in 2014.

          According to sources, the celebrated actress will arrive on Monday for the home-coming tour that will include art mentorship activities as well as an awareness campaign on wildlife conservancy efforts in the country.

          However, not many Kenyans will have the opportunity to dine with the internationally recognized actress.

          Apparently, Lupita will be charging Ksh 10,000 per head at a gala dinner she will be hosting at the Villa Rosa Kempinski hotel on Thursday, next week.

          The invite does not state whether the Sh10, 000 will cater for food and drinks, but one clear statement reads, “Limited tickets on sale.”

          A corporate table for 10 that will cost Sh100, 000 is also available.

          See the banner below.


          Nicki Minaj Displays Her Sizzling Hot body For you to See

          Posted: 25 Jun 2015 11:41 PM PDT

          Nicki Minaj who is currently shooting a music video 'All Eyes On You shared these hot photos on her page.

          Wolper: Mimi ni Freemason Kitambo tu

          Posted: 25 Jun 2015 11:28 PM PDT

          Mtoto mzuri katika tasnia ya uigizaji Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ amesema haoni sababu ya kuukana uanachama wa taasisi ya Wajenzi Huru (Freemason) kwani ni dini kama zilivyo zingine na kama katiba inavyoelekeza, kila mtu anayo haki ya kujiunga na dini au taasisi yoyote ya kuabudu kulingana na matakwa ya imani yake.

          Akiongea na mwandishi wetu, Wolper alisema ni kweli yuko katika kundi hilo huku akishangaa watu kustaajabu kuona mtu yuko Freemason wakati walioanzisha dini hiyo ni binadamu kama wengine.

          “Freemason si ni taasisi au dini kama zingine? Kuna ajabu gani mimi kuwa mwanachama? Tena nataka nikuhahakikishie kuwa, nimekuwa muumini halisi wa Freemason kwa muda mrefu sasa,” alisema Wolper.

          Kituko Sakata la Mama Mjamzito Aliyejifungulia Bafuni baada Ya Wauguzi Kumfukuza

          Posted: 25 Jun 2015 11:21 PM PDT

          SIKU mbili baada ya tukio la wauguzi wawili wa zahanati iliyopo Kijiji cha Shishiyu, Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu kudaiwa kumfukuza mama mjamzito aliyejifungulia bafuni katika nyumba iliyopo jirani na zahanati hiyo, uongozi wa halmashauri hiyo umewahamisha kituo cha kazi wauguzi hao badala ya kuwachukulia hatua.

          Wauguzi hao (majina yanahifadhiwa), wanadaiwa kumfukuza mama aliyekuwa mjamzito Rotha Bujiku baada ya kufika katika zahanati hiyo ili aweze kupatiwa huduma ya kujifungua.

          Akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua ambazo zimechukuliwa kwa wauguzi hao, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Trasiasi Kagenzi, alisema wauguzi hao wamehamishwa kituo cha kazi na kupelekwa katika kituo kingine.

          Alisema uongozi wa halmashauri umeona kabla ya kuwachukulia hatua za kinidhamu, uwahamishe kituo ili kuokoa maisha yao kwa kuwa wakazi wa kijiji hicho walikuwa wanataka kuwadhuru.

          Aliongeza kuwa, hawakuona haja ya kuanza kuwachukulia hatua za kisheria wakati maisha yao yapo hatarini hivyo wamewanusuru kwanza na baadaye watachukuliwa hatua za kinidhamu.

          "Suala la kuwahamisha na kuwachukulia hatua za kinidhamu ni vitu viwili tofauti...tukumbuke kuwa, kumchukulia mtumishi wa umma hatua za kinidhamu kuna taratibu zake.

          "Kutokana na hali hiyo, tumeona hatua ya awali ni kuwatoa katika zahanati hii kwa sababu wananchi walitaka kuwadhuru kwa kitendo walichokifanya," alisema Kagenzi.

          Alisema uongozi ulikaa na kutafakari kwa kina wakaona kuna haja ya kunusuru maisha ya wauguzi hao wakati utaratibu wa kuwachukulia hatua za kinidhamu ukiendelea na kuwahamisha kituo cha kazi hakizuii wasichukuliwe hatua.

          Kagenzi alisema watumishi hao watachukuliwa hatua za kisheria baada ya uchunguzi kufanyika na kusisitiza kuwa, afya ya mama huyo na mtoto wake zinaendelea vizuri, huduma katika zanahati hiyo pia zinaendelea baada ya kupelekwa wauguzi wengine.

          Aliongeza kuwa, wauguzi hao wamepelekwa katika vituo viwili tofauti ambapo mmoja kapelekwa Kituo cha Mwasayi kilichopo Kata ya Masanmwa, mwingine kapelekwa Zahanati ya Magereza Malya iliyopo Kata ya Buzinza na Mganga Mfawidhi amepelekwa Zahanati ya Bugalama ambazo zote zipo wilayani humo.

          Wauguzi hao walifanya tukio hilo juzi kwa kile kilichodaiwa mama huyo walishampa maelezo ya kwenda kujifungulia katika Hospitali ya Wilaya hiyo kutokana na kujifungua mfululizo ambapo alikuwa amekwenda kujifungua mtoto wa 11.

          Urais 2015: Profesa Muhongo Aumbuka CCM Makao Makuu

          Posted: 25 Jun 2015 11:20 PM PDT

          Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Profesa Sospeter Muhongo, jana aliumbuka  baada ya Chama chake kukataa kupokea lundo la makasha ya CD (santuri) zenye picha za wadhamini wake 675.

          Badala yake, alielezwa kwamba, hakuna kipengele kinachoruhusu kuwa na kumbukumbu hiyo.

          Profesa Muhongo, alirejesha fomu yake ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, saa 9:57 asubuhi na kumkabidhi Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) na Oganaizesheni, Mohamed Seif Khatibu kwenye makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma.

          Baada ya kukabidhi fomu za wadhamini wake katika mikoa 15 aliyopita, Profesa Muhongo alitoa pia makasha 15 yenye CD za picha ambazo alidai amefanya hivyo ili kuonyesha hajapita njia ya mkato akidai anaamini mtu sahihi atakayeweza kuwavusha watanzania kwa sasa, ni yeye na si mgombea mwingine kati ya makada wote waliojitokeza kutaka kumrithi Rais Jakaya Kikwete.

          Alipomaliza kuzungumza na kisha kukabidhi CD hizo, Khatibu alisema:”Bahati mbaya katika Daftari la kurejesha fomu za CCM za kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwaka 2015 hakuna mahala panapoonyesha kwamba utapaswa kukabidhi CD ulizonipa…wanaangua (vicheko).”

          Baada ya kuelezwa hivyo, aliondoka na kuziacha CD hizo kwa Khatibu.

          Profesa Muhongo alijiuzulu uwaziri wa Nishati na Madini, baada ya kuhusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na baadaye kutangaza nia ya kugombea urais.

          Linah Alinasa Penzi la Kaka Yake Zari ( Mpenzi wa Diamond)

          Posted: 25 Jun 2015 11:17 PM PDT

          Mrembo anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa ‘kujiegesha’ kimahaba kwa shemeji yake Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo.

          Ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe jijini Dar hivi karibuni, mwandishi wetu aliwaona wakiingia sambamba na kukaa beneti kama mtu na mpenzi wake jambo lililozua maswali kibao kutoka kwa wateja waliokuwepo ukumbini hapo.

          Mbali na kunaswa siku hiyo, pia mwandishi wetu amekuwa akiwashuhudia mara kadhaa wawili hao wakiwa pamoja katika kumbi mbalimbali za starehe jijini Dar.

          Mara ya mwisho, Linah na Boss Mtoto walikuwa pamoja kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Kili Music zilizofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mapema mwezi huu.

          Wapatikana Hai Siku 5 Baada ya Ajali ya Ndege

          Posted: 25 Jun 2015 10:33 PM PDT

          Mama mmoja amepatikana hai pamoja na mwanawe siku tano baada ya ndege walimokuwa wakisafiria kuanguka mwituni huko Colombia.
          Mkuu wa jeshi la wanahewa la Colombian amesema tukio hilo ni la maajabu.
          ''Kwa hakika hatujawahi kuona mtu ameishi baada ya ajali mbaya kama hii''alisema Kanali Hector Carrascal.

          Bi Murillo alikuwa na majeraha madogo huku mwanawe akionekana kuwa na afya nzuri.
          Bi Maria Nelly Murillo, 18, na mwanawe wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja walipatikana siku 5 baada ya ndege ya Cessna waliokuwa wakisafiria kuanguka katika msitu mkubwa ulioko katika jimbo la Choco.

          Bi Murillo alikuwa na majeraha madogo huku mwanawe akionekana kuwa na afya nzuri.
          Ndege hiyo yenye injini mbili ilikuwa ikisafiri kutoka Quibdo, hadi mji wa Nuqui iliyoko kwenye pwani ya Pacific kabla ya kuanguka siku ya jumamosi.
          Hadi kufikia sasa haijulikani nini kilichosababisha ajali hiyo.

          Hadi kufikia sasa haijulikani nini kilichosababisha ajali hiyo.
          Kundi la waokoaji waliofika katika eneo la ajali walimpata rubani wa ndege hiyo akiwa ameaga katika chumba cha rubani.
          Hata hivyo milango ya ndege hiyo ilikuwa wazi na abiria waliokuwemo hawakuwepo.
          Kundi la waokoaji lilianza shughuli ya kuwatafuta na baada ya siku tatu wakawapata bi Murillo na mwanawe.


          Walipelekwa Hospitalini
          Kwa hakika ni Muujiza mkubwa kuwapata wakiwa hai''alisema Kanali Hector Carrascal.
          Walipelekwa hospitalini kwa matibabu mjini Quibdo.

          Wema Sepetu Anahita Msaada Wako wa Hali na Mali

          Posted: 25 Jun 2015 10:28 PM PDT

          Uongozi ni utumishi. Naamini kama kijana nina uwezo wa kutumikia vijana wenzangu, mama zangu na nchi yangu kwa ujumla. Hili jukumu langu na letu sote.

          Nimeamua kwa dhati kuwatumikia wananchi wa Singida na nchi yangu kwa ujumla endapo nitachaguliwa na chama changu.

          Ili nifanikiwe katika hili nahitaji mchango wenu wa mawazo, hali na mali. Najua kila mmoja ana mchango wake katika kulifanikisha hili.

          Naomba nitumie nafasi hii kuwaombeni wote michango yenu bila kujali itikadi, jinsia, umri au kigezo chochote. Mchango wako wowote utatusogeza karibu kufikia lengo letu.

          Tafadhali kwa anayependa kuchangia anaweza kutuma mchango kupitia namba +255655106538 ambayo imesajiliwa kwa Jina la Ahmed Hashim Ngahemela... Asanteni sana...

          Wemasepetu on instagram

          Posted: 25 Jun 2015 10:57 PM PDT



          MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
          Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

          1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
          2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
          3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
          4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
          5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
          6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
          7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
          8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
          9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
          10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
          11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
          12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

           

          Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


          NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


          Udaku Specially

          unread,
          Jun 27, 2015, 4:15:24 PM6/27/15
          to mbara...@googlegroups.com

          Udaku Specially


          NEC yaahirisha uandikishaji kwa BVR Dar es salaam

          Posted: 27 Jun 2015 08:38 AM PDT

          Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji jijini Dar es salaa pamoja na mkoa wa Pwani kwa kutumia mashine za BVR lililokuwa linategemewa kuanza rasmi tarehe 4.7.2015 jijini Dar es salaam na  25.06.205 kwa mkoa wa Pwani.

          Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo Habari, NEC imesema imeahirisha zoezi hilo kutokana na kuchelewa vifa vya uboreshaji kutoka mikoani ambako zoezi  hilo linaendelea pamoja na vifaa  vilivyokuwa vinakusudiwa kuanza kutumia Dar es salaam kupelekwa katika mikoa ambayo wananchi wamejitokeza kwa idadi kubwa kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

          Hata hivyo tume hiyo imewataka wananchi kuwa watulivu wakati vifaa vikisubiriwa kutoka mikoani.

          Morogoro: Watu watatu wafariki katika mapambano na Polisi, wawili wanasadikiwa kuwa Al Shabaab..Wengine 50 wanasakwa

          Posted: 27 Jun 2015 08:21 AM PDT

          Watu watatu wamefariki wawili kati yao wanasadikiwa kuwa ni wafuasi wa Al Shabaab katika mapigano baina yao na jeshi la Polisi.

          Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro amesema tukio hilo limetokea eneo la mpakani mwa mkoa wa Morogoro wilaya ya Mvomero na mkoa wa Tanga ambapo watu hao walikuwa wamejificha msituni.

          Amesema jeshi hilo linawashikilia watu sita kwa kuhusika na tukio hilo, na kwamba uchunguzi zaidi unafanyika ikiwa ni pamoja na msako mkali katika eneo hilo.

          Taarifa kutoka katika hospitali ya mission ya Turian mkoani Morogoro zinasema kuwa maiti tatu zimehifadhiwa hapo ambapo kati ya hizo,maiti mbili zinaonekana kuwa ni za watu wasio raia wa Tanzania huku moja ikiwa ni ya mtu ambaye alijeruhiwa vibaya na badaye kufariki akiwa hospitalini hapo.

          MYTAKE: Hivi hawa ni alshabab kweli au kutishana tu au jeshi letu linataka sifa?

          Tazama Video Mpya Kutoka Kwa Bayo..Wimbo Unaitwa NIELEWE..Video Imefanywa na Nick Dizzo

          Posted: 27 Jun 2015 06:41 AM PDT

          Tazama Video Mpya Kutoka Kwa Bayo..Wimbo Unaitwa NIELEWE..Video Imefanywa na Director Nick Dizzo wa Focus Film..

          Vodacom Katika Skendo ‘Millionaire’ Whose Dream Ended at Vodacom...

          Posted: 27 Jun 2015 08:26 AM PDT


          GBT Director General Tarimba Abbas 
          Dar es Salaam. In what appears to mirror the biblical David and Goliath clash, a Dar es Salaam resident is readying to sue Vodacom Tanzania over an SMS that would have made him a millionaire overnight.

          Mr Daniel Njau, 47, is accusing the telecommunication giant of taking him and his family for a ride over the recently concluded “Jay Millionaire” lottery promotion.

          He says he participated in the promotion that Vodacom ran for several months and struck the jackpot. He reportedly won Sh100 million, the highest prize.

          “It was one of the happiest days of our lives as a family,” he says. “It was in January when, through a Vodacom SMS, the number of my son Innocent was announced the day’s winner of the Sh100 million.”

          The younger Njau is a student in Moshi and had left the telephone number to his father as he went to school. “The number was enrolled in the Jay Millionaire promotion and I continued to play, receiving the daily short messages as the days progressed,” the senior Njau explains.

          As he went about his daily routine, Mr Njau received the SMS that would have turned the Njau family’s lives around. The younger Njau’s number had won the promotion of the day’s top prize of Sh100 million.

          He told The Citizen in an interview: “My heart skipped as I read the message. I could not believe our luck. I slept over the news, not having the guts to tell anyone. I decided to wait for a call from Vodacom, as promised, before breaking the news to other members of the family.”

          The call did not come within the 48 hours Vodacom had reportedly said. As the clock ticked without any communication, Mr Njau became apprehensive. “Anxiety grew with each passing day and all I could do was hope the call that would make me a millionaire was a few seconds away.

          That SMS remained permanently on display,” he said of the message that read: “Hongera! Wewe ni mshindi wa leo was TZS MILIONI 100. Utapigiwa simu na wafanyakazi wa Vodacom kwa maelezo zaidi ndani ya masaa 48.”

          The message announces that the subscriber’s number was the winner of Sh100 million for a particular day’s draw. It says the lottery winner would be contacted by Vodacom employees within 48 hours. But that all-important call did not come and Mr Njau, a Dar es Salaam-based businessman, took it upon himself to visit Vodacom offices and those of the Betting Control Board to find out what was happening.

          It has been five months of criss-crossing between the company and the board, according to Mr Njau. Vodacom now says that message was wrongly sent to his son’s registered number and reportedly appears reluctant to pay up. But Mr Njau is staying on the case. “I am shocked and disappointed but I have not given up on the matter,” he says. “We have decided to pursue justice in court and have already instructed our lawyer to file a case against Vodacom and the Betting Board.”

          He has written several letters to the Board and details numerous meetings between himself, the board and Vodacom to no avail. The older Njau is acting on behalf of his son through the power of attorney.

          Najuta Kuvaa Nguo iliyoonesha Makalio Yangu – Faiza

          Posted: 27 Jun 2015 08:26 AM PDT


          Nguo aliyoivaa usiku wa June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro kwa nia ya kutoka kitofauti, imegeuka kuwa zimwi linalomtesa kiasi cha kumfanya apokonywe mtoto wake kwa amri ya mahakama na mzazi mwenzake, mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu. Faiza Ally anajuta!

          “Siwezi kurudia kosa, nitakuwa makini zaidi katika mavazi yangu,” Faiza aliliambia gazeti la Mwananchi ambalo alienda kwenye ofisi zake kuelezea anavyojutia uamuzi huo uliomgharimu.

          “Wasanii wengi ni wabunifu na hufanya mambo kwa nia ya kufurahisha mashabiki kama ambavyo amekuwa akifanya Joti kuvaa nguo za kike na kupaka rangi ya mdomo, hivyo mavazi yangu yalikuwa na lengo la kutoka tofauti mbele za mashabiki wangu, lakini kwa yaliyonikuta hasa kwenye vazi la Kili niliomba msamaha kwa jamii na bado naomba wanisamehe,” alisema Faiza huku akidaiwa kububujikwa na machozi.

          “Hakika nimejikuta kwenye wakati mgumu na sivyo ambavyo baadhi ya watu wanafikiri. Hali hiyo ilinitokea nikiwa kule kule kwenye Kilimanjaro Music Award tena baada ya kubaini picha zinazoonyesha makalio yangu zimewekwa kwenye mitandao. Niliamua kuondoka haraka katika eneo hilo, kabla ya muda niliyokusudia,” aliliambia Mwananchi.

          “Ingawa nimezoea kuvaa nguo fupi lakini sikupanga kuonyesha makalio, bahati mbaya ni kwamba ile nguo nilipoivaa awali kabla ya kuondoka nyumbani ilikuwa imekaa vyema. Nafikiri baada ya kukaa kwenye gari ilifumuka bila mimi kujua, hadi nafika ukumbini na kuingia pale kwenye zulia jekundu natembea kumbe huko nyuma mapaparazi wanapiga picha. Hakuna hata aliyenishtua. Napenda kuweka wazi naumizwa na watu ambao wanaendelea kusambaza hizo picha za makalio, watambue tu leo imenifika mimi lakini siku nyingine itawafika na wao maana sisi sote ni binadamu, tunafanya makosa kwa nyakati tofauti.”

          “Namshukuru Mungu nimeweza kuhimili hali hii kwa kiasi fulani, maana naamini mtu mwingine angeweza hata kuamua kuwa mlevi au kuwa mbaya lakini nashukuru nina uamuzi wa kubadilika, nampenda mwanangu sitaki kuwa mbali naye.”

          Photos: Ashanti Puts Her hot Bikini Body on Display

          Posted: 27 Jun 2015 02:49 AM PDT

          The singer is currently on holiday in Costa Rica and showed off her amazing bikini during a beach visit.

          Graphic Photos From The Suicide Bombing which Killed 27 in Kuwait Mosque

          Posted: 27 Jun 2015 08:27 AM PDT


           There were 3 terrorist attacks today. One in France, one in Tunisia and another in Kuwait. A suicide bomber attacked and killed at least 27 people at a Shiite mosque in Kuwait City today. Above are haunting images of the terrorist walking into the prayer room before blowing himself up. He killed them while they were praying. He is reportedly a Saudi man with ISIS Wahabi Takfiri ideology.

          Lol..Serena Williams Touches Kim K's Tummy..to Make Sure She's Really Pregnant

          Posted: 27 Jun 2015 02:18 AM PDT

          Kim K met her friend Serena Williams in front of Harrods, they said hi to each other, both hugged and Serena asked for permission to touch Kim K's tummy. Kim allowed Serena to touch her tummy while she had her hands on her hips. Two bootylicious women!

          Chadema yaibwaga CCM Kesi za Uchaguzi

          Posted: 27 Jun 2015 02:01 AM PDT

          MAHAKAMA ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora juzi ilitupilia mbali kesi tano zilizokuwa zimefunguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi  ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)  katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika  Desemba 14, mwaka jana.

          Kesi hizo zilifunguliwa na CCM katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga Aprili, mwaka huu, ambapo chama hicho kilikuwa kikipinga ushindi walioupata wenyeviti watano wa Serikali za Mtaa, ukiwemo wa Stoo, Kamando, Mwayunge, Nkokoto na Kijiji cha Simbo wilayani humo.

          Akisoma hukumu hiyo, Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Igunga,  Leonadi Nkola, alisema madai yalitengenezwa na mtayarishaji  mmoja, hivyo kila neno na sentesi zilifanana na tofauti yake ni katika majina na katika makosa yaliyofanywa baada ya uchaguzi, mawakala wao waliweza kusaini na kukubaliana na matokeo kwa msimamizi mkuu wa Uchaguzi wa Wilaya na kwenda kinyume cha sheria.

          Aidha Hakimu Nkolo alibainisha kuwa katika madai yao pia hawakuweza kuonyesha barua yoyote ambayo walimwandikia msimamizi wa uchaguzi wa wilaya inayopinga matokeo ya ushindi.

          Akiendelea kusoma hukumu hiyo, Nkola alisema katika hati hiyo ya madai iliyoandaliwa haikuweza kutoa nukuu ya kifungu cha sheria kinachothibitisha ukiukwaji wa uchaguzi huru na haki kwa kuvunja sheria na kanuni za uchaguzi na kufanya madai yao kutokuwa ya msingi na sheria.

          Kutokana  na kukosekana uthibitisho wa madai hayo, Mahakama ilitupilia mbali madai hayo na kusema kuwa hao ni viongozi haramu wa Serikali za Mitaa.

          Viongozi wa CCM walioshindwa ni pamoja na Julius Mpuya Mtaa wa Kamando, Abeid Issa wa Mtaa wa Nkokoto, Majenga Mashauri Mtaa wa Stoo, Ally Isike Mtaa wa Mwayunge na Athuman Mohamed wa Kijiji cha Simbo,

          Aidha viongozi walioshinda upande wa Chadema ni Joseph Njile wa Mtaa wa Stoo, Abel Shampinga Mtaa wa Mwayunge, Gerad Ndezi Mtaa wa Nkokoto, Julius Kitundu Mtaa wa Kamando na Yusuph Finyongolo  wa Kijiji cha Simbo.

          Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba

          Posted: 27 Jun 2015 01:54 AM PDT

          Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti.

          Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.

          Wema ambaye alifunguka hayo hivi karibuni, anadai kuwa yawezekana marehemu Steven Kanumba anahusika kwenye suala hilo.

          Mizimu ya Kanumba
          “Unajua hili suala la mtoto linanisumbua sana yaani na linaniuma kwa sababu napenda watoto sana na pia napenda kuitwa mama, nimehangaika sana katika kuhakikisha nafanikiwa katika hili lakini ndiyo hivyo imeshindikana.

          “Serious! Ilifika kipindi yaani nilikuwa nachukia nilipokuwa nikiziona siku zangu, nilikuwa sipendi kukutana na hiyo hali kwa sababu naumia sana lakini ndiyo hivyo baada ya kuhangaika sana inabidi nimwachie Mungu tu. Nahisi kukata tamaa lakini bado sijakata tamaa.

          “Watu wananiambia mimi bado mdogo kwa hiyo sitakiwi kuwa na wasiwasi sana ila muda unakwenda, sasa nina miaka 27. Niliwahi kupata mimba mwaka 2008, aliyenipa alikuwa marehemu Kanumba, lakini baadaye ilitoka na aliposikia hivyo (Kanumba) alikasirika kwa kweli.

          “Lakini baadaye ikawa kawaida, hata nilipokuja kuachana naye, bado alikuwa rafiki yangu na tulikuwa tunaongea vizuri na kupigiana simu kama kawaida ila alikuwa ananiambia ‘unajua una deni, nakudai watoto wangu na nitafanya juu chini ili unilipe’.

          “Basi ikawa kawaida yake kuniambia hivyo, wiki chache kabla ya kufariki aliniomba tuonane lakini haikuwezekana kutokana na ratiba zetu kutofautiana.

          “Kuna muda huwa nafikiri au mizimu yake inahusika katika hii ishu! (anacheka sana).

          “Unajua ile mimba ya Kanumba hata mimi sikuwa tayari kupata mtoto wakati ule, niliona ndiyo kwanza naingia kwenye mapenzi halafu ndiyo nimetoka kuwa miss tu, sasa itakuwaje, lakini huwezi jua labda pengine kwenye ‘abortion’ walivuruga baadhi ya vitu ndiyo maana mpaka leo imekuwa hivi.”

          Ujauzito wa Zari
          Wema ambaye pia aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi wa ‘on-off’ na msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anafunguka juu ya ujauzito wa mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

          “Unajua hiyo mimi hainisumbui, sababu nilishakubali kwamba sasa nimeachana na Nasibu kwa hiyo ishu nyingine zote ziko poa. Najua jinsi gani alivyokuwa anatafuta mtoto, namtakia kila la kheri.”

          Gari alilopewa na Diamond
          “Ile Murano niliiuza kwa kuwa ilikuwa mbovu na sikuwa naipenda kwa sababu ilikuwa inanisumbua, niliamua hivyo kwa kuwa lilikuwa langu.”

          Shangazi Yangu Ananibaka na Kunisaga Kila Mara toka Nikiwa Mdogo, Nifanye?

          Posted: 27 Jun 2015 12:55 AM PDT

          Mimi naitwa Nasra na nina mika 24, hilo nalileta kwenu jambo lango wana-jf naomba mnisaidie ushauri ili niwe kutatua tazizo hili linalonikabili hapa chini.

          Baada ya mama yangu kufariki 2001 kuna shangazi yangu (ambaye ni mke wa mjomba wangu) alinichukua kwa minajil ya kunilea na kunisomesha ila amekuwa akinisaga tokea niko mdogo mpaka sasa! ambapo nikiwa mdogo wakati nimelala nilikuwa nashtuka yupo juu yangu na mimi nipo uchi huku ananinyonya matiti na sehemu nyingine za mwili na baadae alikuwa anapanda juu yangu na kunilalia huku akifanya vitu fulani mpaka ananimwagia vitu fulani katika sehemu zangu za siri na kuniambia ninyamaze nisimwambie mjomba "eti atanipa pesa ya kutumia shule na kunipeleka na gari, alipokuwa akimaliza baadae alikuwa akiniogesha na kuninunulia vitu vitamu vitamu. Nilinyamaza maana sikujua jambo lile ila aliendelea kila mara mchezo wake huo.


          Baadae niliamua kumuomba mjomba wangu anipeleke Unguja nikaishi na mama yangu mdogo maana nilikuwa nachukia kitendo kile na niliogopa kumwambia mtu teyote maana shangazi yangu ndiye alikuwa kila kitu, pesa zote za shule na mahitaji muhimu alinipatia yeye maana mjomba alikuwa kasimamishwa kazi kwa kipindi kile. Shangazi alikataa mimi kwenda Zanzibar ila nililia sana mpaka akakubali, nikaenda unguja na kuendelea na masomo yangu tena kama kawaida tena kwa amani.

          Nilimaliza elimu ya sekondari na baadae shangazi akaja kunifata tena na kusema anaomba akakae na mimi maana kuna mama yake ambaye ni mgonjwa yupo nae so ningemsaidia kumuudumia!

          Nilikubali ila nikajua kwa mara hii hatajaribu ule mchezo wake maana nimeshakuwa sasa, ila amekuwa akiendelea mpaka sasa kunifanyia hivyo na kuniambia nisimwambie mtu.

          Sasa ndugu zangu naomba mnisaidie ushauri nifanyaje? Na tabia hiyo mimi siipendi na yeye ndiye ananiwezesha kwa kila kitu kuanzia ada, mavazi, chakula, hata mara nyingi ananipeleka beach mbalimbali ili niweze kuvumilia mchezo wake, ILA KIUKWELI SIPENDI MCHEZO WAKE NA TABIA ZAKE PIA ZISHANICHOSHA


          Tanzania Hottest Celebrity Gossip New

          Mchepuko Umeninyoa ikulu, Umenipiga Picha na Kumtumia Mke Wangu

          Posted: 27 Jun 2015 12:23 AM PDT

          Wiki iliyopita ilikuwa mbaya sana kwangu, nina mchepuko mpya niliempata kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzangu. Ni mazuri sana kwa sura na shepu.Tulikubaliana Jumamosi ndio tukapige mechi ya mchangani. Jumamosi niliona ni siku nzuri kwa kuwa wife angekuwa kazini night shift.

          Nikakutana na mchepuko muda wa saa sita mchana kwa ajili ya lunch na bia kidogo.Tukala na kunywa hadi muda wa saa moja usiku ndipo tukachukua chuma kwa hali ya ulevi na hamu ya kitu kipya nikapiga non stop mabao mawili ndipo nikalala kama mfu mchepuko ulininyoa nywele za ikulu kisha ukanipiga picha kwa simu yake.

          Akachukua simu yangu na kuisaka namba ya mke angu, kisha akaisevu kwake na kumtumia pia aliyonipiga kwa simu yake. Ujumbe ulitumwa kwa Whatsapp ukiwa na picha yangu nikiwa uchi kitandani na nimenyolewa nywele za chini. Ujumbe wa maneno ulikuwa unasomeka ndio ujue huyu wetu wote tuheshimiane. Akiwa kwako ni wako akiwa kwangu ni wangu tusiumbuane

          Vijimambo: Baba na Mama Cookie Wanauliza Swali Hili Kwako....

          Posted: 27 Jun 2015 12:08 AM PDT

          Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ kupitia ukurasa wake mtandaoni, liweka picha hiyo hapo juu akiwa  Moses Iyobo  ambaye ni mzazi mwezie na kuwauliza hivi mashabiki zake

          Dady na Mom wa 'Kabinti Spesho'Hebu Nambie unahisi Cookie atakuwa kafanana na Nani???kati ya hawa!”

          Akaendelea

          Je Wapenz Eti Mnataman Kabint Spesho kapate Rangi kama ya Nani Mama au Baba?

          Hata humu wapo mashabiki wa Aunt, Tafadhari mpeni majibu…

          Mzee wa Ubuyu

          After VANESSA, here’s another young lady having S£X with rich wazees for money (PHOTOs)

          Posted: 26 Jun 2015 11:49 PM PDT


          Forget about popular socialite, Vanessa, who is known for sleeping with married men for money and other favours. There’s a new s3xy lady in town known as, Scarlet Salvator, who is sleeping with men old enough to be her grand-fathers for money.

          Surprisingly, the 17 year old lady was one of Vanessa’s close friends and she is the one who snatched her 80 yr old mzungu. Scarlet is also a model but her strong appetite for s3x and money is messing up her modeling career.

          She is dishing out her flesh to every Tom, Dick and Harry provided you have mullah.

          See her photos below.


          PHOTOs!! Nyeri Residents left in Shock After a Goat Bears a Kid with a Human Face

          Posted: 26 Jun 2015 11:40 PM PDT


          Residents of Mathira in Nyeri County are streaming to Hellen Wanjiku’s home after one of her goats bore a kid with a human face.

          Udaku Specially

          unread,
          Jun 28, 2015, 4:04:19 PM6/28/15
          to mbara...@googlegroups.com

          Udaku Specially


            ZITTO KABWE na Prof MARK MWANDOSYA Wapeana za Uso laivu Bila Chenga...Zitto Aanza na Mwondosya Akajibu..Soma Hapa

            Posted: 28 Jun 2015 12:09 PM PDT

            Majibu ya Prof. Mwandosya kwa Mhe. Zitto Kabwe kwenye post yake Instagram

            ZITTOKABWE: Prof. Mark Mwandosya aliwahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wakati wa uongozi wa Rais Benjamin Mkapa. Mashirika yote ya Umma , takribani, katika Wizara hii yaliyobinafsishwa zoezi la ubinafsishaji liligubikwa na tuhuma za ufisadi na hata kuchukuliwa upya na Serikali. Shirika la Ndege la Taifa lilibinafsishwa chini ya Mwandosya na likafa. Kitengo cha makontena katika Bandari ya Dar Es Salaam kilibinafsishwa kipindi hiki na kuleta maneno mengi sana. Mchakato wa kubinafsisha Shirika la Reli pia ulianza kipindi hiki. Ubinafsishaji ulioleta maneno mengi zaidi ulikuwa ni wa Kampuni ya simu (TTCL) kwa MSI detecon na Celtel International. Prof. Mwandosya binafsi alipata tuhuma na mtoto wake kusomeshwa na watu waliouziwa kampuni hii kwa bei ya chee. Masuala haya yaliandikwa na vyombo vya habari miaka ya kati ya 2001 na 2005. Prof. Hana budi kufafanua haya mbele ya umma ili kujiridhisha na uwezo wake wa kupambana na rushwa na ufisadi.

            MARKMWANDOSYA: Zitto, salaam. Hongera pia kwa kuwa kiongozi wa ACT na hongera kwa kazi kubwa unayoifanya kueneza itikadi ya chama chako. Ni jambo zuri katika kukuza demokrasia ya nchi yetu na hasa kukuza uzalendo. Siku zote nimekuelezea kama kijana ambaye hakika utakuwa tegemeo la Taifa letu, na hili nimekuambia mara nyingi. Nimeona vema nifafanue yale ambayo umeyataja katika post yako. Niliyatolea maelezo ya kina miaka mingi iliyopita lakini nadhani utafiti sio moja ya maeneo tuliyo na nguvu nayo kwa hiyo umeyafufua bila kuyafanyia utafiti au kutaka upate ufafanuzi kutoka kwa mhusika. Nianze na hili suala la ubinafsishaji kwa ujumla wake. Inawezekana wakati huo ulikuwa bado shule ukiwa mwanafunzi. Pamoja na nia njema ya kuanzisha mashirika ya umma, hatimaye yalikuja kuwa mzigo mkubwa kwa hazina yetu, maana yake kwa wananchi.

            Asilimia kubwa yalitegemea ruzuku ya serikali na baadhi yalikuwa mufilisi. Teknolojia ilikuwa imebadilika sana na ili kuyafufua ingeigharimu serikali na umma wa Tanzania kiasi kikubwa sana. Uchumi wa nchi wakati ule usingeweza kubeba mzigo huo. Ndipo Chama, wakati ule kiliporidhia serikali ibakie na shughuli zake za msingi za Utawala, Ulinzi na Usalama, na Usimamizi wa ujumla wa uchumi. Maamuzi yafuatayo yakachukuliwa: Kwa upande wa shughuli za serikali zenye sura ya kibiashara, idara husika zikageuzwa kuwa wakala wa serikali, zikifanya kazi kwa uhuru zaidi chini ya Bodi zao. Kuhusu mashirika na kampuni za umma zenye mwelekeo wa kiniashara, ilikubalika zirekebishwe na hatimaye zibinafsishwe. Ndipo kilipoundwa chombo maalum kisheria kilichokuwa na mamlaka kamili ya kubinafsisha mashirika ya umma. Chombo hiki, Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma(Parastatal Sector Reform Commission, PSRC), kilikuwa chombo huru kikiwa chini ya Ofisi ya Rais, Mipango. Kiliwekwa hapo kwa sababu mamlaka yake yalikuwa Mtambuka, na vyombo husika vilikuwa kwenye sekta mbalimbali. Kwa hiyo sekta husika na Wizara husika, pamoja na kuitwa PSRC wakatii wa majadiliano yaliyohusu mashirika yake, hazikuwa na mamlaka ya kisheria kuhusu ubinafsishaji. Kwa mujibu wa Sheria ya Kurekebishaashirika ya Umma,mara shiriks lilipoorodheshwa na PSRC, liliwekwa chini ya PSRC ili kurekebishwa na hatimaye kubinafsishwa. Ni vema suala uuuhili likaeleweka.

            Pamoja na hayo, nirudie ufafanuzi kuhusu ubinafsishaji wa TTCL, nafanya hivyo kutokana na dhana ya uwajibikaji wa pamoja, ikumbukwe kwamba maamuzi ya ubinafsishaji wa TTCL yalifikiwa na PSRC mwaka mmoja kabla Waziri Mwandosya hajaingia siasa! Hata hivyo suala kubwa ni mabadiliko ya teknolojia tu. TTCL ilikuwa imejikita zaidi kimfumo na kiteknolojia katika teknolojia ya analogue na land lines na simu za mezani ambazo zilikuwa na hata sasa zimepitwa na wakati. Mfumo wake, kiutawala na kiteknolojia ulikuwa katika msingi huo. Teknolojia ya simu za mkononi, na ushindani uliojitokeza ndio hasa umekuwa changamoto kubwa ya TTCL. Hata hivyo mabadiliko makubwa na maendeleo makubwa katika TEHAMA na mfumo mpya wa utoaji leseni katika huduma za mawasiliano umepelekea Tanzania kuwa mbali na kuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingi za Afrika.

            Katika mawasiliano, Tanzania imekuwa 'Mecca' na wengi wamekuja kujifunza tumewezaje kufanikiwa. Namshukuru Rabuka kwa kuniwezesha kutoa mchango wangu katika maendeleo ya sekta hii. Na ili kuhakikisha kwamba mlaji au mtumiaji wa huduma za kiuchumi hahujumiwi na wakati huo huo mtoa huduma au mwekezaji ana uhakika wa kufaidika na kuweza kutoa huduma endelevu, ndipo vilipoanzishwa vyombo vya udhibiti wa huduma za kiuchumi, (Regulatory Bodies). Nimebahatika kuwa Waziri pekee mwanzilishi na msimamizi wa TCRA, SUMATRA, TCAA, na EWURA. Nimeelezea kuhusu mfumo wa ubinafsishaji hivyo basi ninachoweza kufafanua ni kwamba nilipomaliza muda wangu kama Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, niliacha Shirika la Reli likisafirisha tani laki tisa za shehena kwa mwaka, safari za abiria kwenda Tabora kutoka Dar zilikuwa kila siku, na ATC ilikuwa na ndege mbili aina ya Boeing 737 na mbili aina ya Fokker Friendship.

            Tuhuma za mtoto wa Profesa kulipiwa na kampuni moja ya simu hazina chembe yoyote ya ukweli Bwana Zitto. Mtoto ambaye alifuzu uhandisi wa mawasiliano ya simu aliomba kazi ya muda na akapewa.

            MARKMWANDOSYA: Kampuni husika ilikanusha tuhuma hizo ambazo zilitolewa wakati wa mchakato wa kugombea uteuzi katika CCM kwa nafasi ya kuwa mgombea wa Urais mwaka 2005. Sasa zinafufuliwa tena na Bwana Zitto wakati wa mchakato huo huo mwaka 2015! Inaeleweka.

            MARKMWANDOSYA: Na kwa taarifa kwako Bwana Zitto, kwa kuwa bandari ni kitovu cha mapato ya serikali, ubinafsishaji wa Container Terminal ya Bandari ya Dar es Salaam ulifanywa na PSRC kwa kushirikiana na Wizara ya Fedha, na siyo Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi.

            Namalizia kama nilivyoanza, Zitto ni mwanasiasa ninayemheshimu sana. Mara nyingi naye amenitambua na kunielezea mimi kama mwanasiasa wa kuigwa (role model). Lakini katika siasa tunasema saa 24 ni kipindi kirefu sana, na huwa tunabadilika! Ushauri wangu kwake ni kwamba siku zote kabla hujahukumu sikiliza upande wa pili, kwa kilatini hii ni dhana muhimu inayojulikana kama AUDI ALTERAM PARTEM. Pili ni vema ukazingatia zaidi mambo chanya ya mipango, mkakati, msimamo na itikadi ya ACT. Siasa za majitaka hazimuachi mtu bila doa! Lakini katika kushauri hivyo natambua kwamba "akili ni nywele, kila mtu ana zake" Ramadhan Kareem. Wakatabahu, Mwandosya.

            UWOYA: Aonya Wauza Sura Bongo Movie

            Posted: 28 Jun 2015 11:25 AM PDT

            Baada ya  kuwa  mrembo asiye  kifani  aliyefanikiwa  Zaidi kwenye  fani , Irene  Uwoya  ameonya  wasanii wa kike  wa  Filamu wanaochipukia  kutonaswa  na mtego wa kutumia uzuri wa Sura na Maumbo yao kujimaliza  kisanii.
            Akizungumza na  gazeti la Nipashe Uwoya   alisema  wasanii  wengi  wa  sasa  wanashindwa kufanya  kazi  kwa  sababu  wanaona  kazi  hiyo  ni  sehemu  ya  kupatia  wapenzi  wa  kiume.


            Alisema  wacheza  Filamu wa  kike  huwa  wanapenda  kujirahisisha  kwa  Wanaume  na  matokeo  yake  kushindwa  kutoka  kama ilivyo kwa  wengi  wa  waanzilishi wa  sanaaa ya  uigizaji  Filamu  nchini.
            Hivyo  amewataka  wasanii wa  aina  hiyo  kuacha  tabia  ya  kujilengesha  kwa  Wanaume  na  badala  yake  wajione  wapo  kazini  muda  wote.

            Things That You Must Do on a First Date

            Posted: 28 Jun 2015 09:32 AM PDT

             We all want our first dates to be perfect. But do you really how to impress a girl on a date without overdoing it?
            When you hook up on a first date with a gorgeous girl, it is understandable that you want to go all out and please her, maybe by showing her that you’re manly and in command, or by behaving like a doormat.
            But there may be a few things that could be overdone and you might just blow any opportunity of getting to the next date.
            The Huggable Understanding Guy tells you where to draw the line between doing the right things, and overdoing them. Here are 8 tips for first dates that every man should know to have a successful first date

            #1 ARE YOU IN CONTROL?
            It’ss important to be in control and make those tough decisions, like calling the waiter, deciding where to go, etc. when you’re with your date.
            It’s not easy when you get all groggy and drool while staring at this beautiful woman beside you.
            But there may be times when your behavior borders rudeness and arrogance. Swearing, snapping your fingers to call waiters and bad behavior is just unacceptable. So if you want to hold on to the hope of getting a second date, then learn to be courteous and gentle, not just with her, but with everyone around.

            #2 TRYING TOO HARD
            You may have waited since you were in first grade before the both of you got together for this date. You may have marked this moment in your secret diary and stored it as one of the best moments of your life. But you know what? She doesn’t have to know that!
            She’ss still contemplating and figuring is she’s having a good date. Don’t ruin the moment by droning on about how happy you are.
            She knows that you’re happy, but don’t blow it all out, all through the date. Make her wonder if you’re having a great time. Don’t give in to the chase even before it begins!

            #3 DON’T SHOW OFF YOUR INDEPENDENCE
            You love hanging out and bonding with your guy friends, and every Friday in your calendar might be allotted for hanging out with the boys. But saying that out aloud on your first date could actually turn out bad for you.
            You might think that it shows your independence and confidence, and that you also respect her space and are not going to be a clingy boyfriend, but it actually works otherwise. She might think that your life is just too rigid.
            Or worse, it may seem like you’re trying to set boundary rules even before both of you get steady.It’ss almost like you’re already imposing a rule on her. What did you think, that she would like it?!

            #4 ANSWERING PHONE CALLS
            Now no one’s telling you not to pick up calls or that you have to leave your cell phone at home, but you should know how to use it well.
            Make sure your calls are short, even if you have to answer them. Don’t cut her in mid sentence to answer the call. Wait until she’s done with her sentence, and then excuse yourself, if only for a moment.
            Another way you can actually make her feel more special is by answering the call, only to tell the person that you’re with someone who’s very important to you, and whatever it is, you could talk about it the next day! You could also add a cheeky grin to stop you from appearing pompous.
            Now why wouldn’t that make just about anyone beam with happiness?
            To top that, you could hang up, and then say, ‘Sorry, that was Bill Gates and he’s just so annoying.’ You could just laugh off that little joke of yours, and show her that you can be humorous at the same time!

            #5 BE TOO CONCERNED
            Remember, you’re out with someone who’s matured enough to think and take care of herself. You can ask her occasionally ifshe’ss comfortable, or if she requires something.
            But don’t keep popping the same question to her again and again. It can get really annoying. Just enjoy the conversation and relax. Don’t push your protective and concerned act too far.
            And if you find yourself running out of things to talk about, stop asking her ifshe’ss having fun. Instead, be comfortable and speak about something else. Usually the four magic words – music, work, movies, and shopping, will take the conversation really far and you can also have a great time getting to know each other.
            You could also use the awesome six conversation starters on a date to start great conversations. And another thing, if you both have something in common in these four words, then you can go ahead and book your next date’s dinner reservation.

            #6 REVEAL TOO MUCH
            It’s fun to be with this girl who’s so much fun to hang out with. And you want to prove that you’re a great guy to hang out with to her. So what do you do? You tell her about all your brave, silly and hilarious encounters.
            You start off right from the first time you ripped your pants in first grade, and go on all the way to the latest incident. Stop! First of all, she doesn’t want to know all of that, even if she seems like she loves hearing all of that. And secondly, spare some loving and exploring for later.
            You don’t want her to know everything about you on the first date itself, do you? Give her a chance to learn more about you by herself. Let there by mystery in your togetherness, and let her wonder what else you have in store for her, the next time you meet up.

            #7 YOUR VIEW AND HERS
            This is a very touchy situation to handle.It’ss obvious that both of you have different views about different things. Arguing about anything is a big turn off for a girl.
            Anything about religion, politics, or moral issues should be avoided at any cost. And even if this does crop up, don’t tell her outright that you don’t want to talk about it, instead try sweeping the topic under the carpet without a big fuss.
            Just answer the question in a vague and abrupt manner, and bring up something more exciting to talk about.
            Do not be dominating about any of your views, or be very boisterous about voicing your opinions.
            Even if she supports something you’re firmly against, just give a small laugh, and tell her ‘Well, that’s one thing that i’m not too sure of, because I’ve always felt the other way about that’ and complete the sentence saying, ‘but I obviously respect your view, and our difference in opinions.’ Anyways tell me about the last time you’ And change the topic as subtly as you can.

            #8 GETTING DISTRACTED!
            Well, this is really easy to fall for, and one of the things you have to pay the most attention to. When you’re out with a lady, she expects to be treated like one.
            Don’t sit across the table and dream or doze off. Worse, don’t squint your eyes so that you can focus one eye on her, while the other eye ogles that girl with those never ending legs walking past you in short skirts. Pay a lot attention to her, and listen to what she has to say.
            And for crying out loud, is she’s wearing something with a deep neckline, stop staring at her bosoms and trying to judge how much more cleavage is concealed! This is not the time, and definitely not the place either.

            Concentrate on her face, and have a great conversation. Be attentive to her needs. If you see her glass of water half empty, have a waiter refill it. If she wonders what ‘a-la-carte’ means and if you can’t figure it out, then let the waiter help you with that. Basically don’t distract yourself with things that can be put on hold, and pay a lot of attention to her needs.
            Staring at a girl’s cleavage is a big no-no too, unless, of course, you know the art of staring at a girl’s cleavage like a gentleman.

            If you can pay attention to these little details, it’s more than definite that your first date would only take you further into the next, and then the next.
            Every date has a potential to be a great one just as long as you remember the things you need to avoid on a first date, and remember the things you need to do. So go on, enjoy yourself. Have a perfect first date!

            Unaikumbuka Hii.....Barua ya Mfungwa Papii Kocha kwa Rais JK.

            Posted: 28 Jun 2015 09:26 AM PDT

            BARUA YA PAPII KOCHA
            KWA RAIS
            JAKAYA KIKWETE... KWA
            WALE
            AMBAO HAMJAISOMA HÍI
            HAPA.
            MF/NA: 836'04
            Johnson Nguza
            (Papii Kocha)
            Gereza Kuu Ukonga
            S.L.P 9091
            Dar es Salaam
            Mh. Rais Jamuhuri ya
            Muungano
            Tanzania
            YAH: MAOMBI YA
            KUPEWA MSAADA
            (MSAMAHA) WA
            KUFUTIWA ADHABU
            YA KIFUNGO NILIYOPEWA
            NA
            MAHAKAMA YA HAKIMU
            MKAZI
            KISUTU.
            Husika na somo hilo hapo
            juu.
            Mimi ni mfungwa katika
            gereza
            kuu Ukonga. Kwa heshma
            na
            taadhima na kwa
            kutambua utu
            na huruma yako ya
            kiMUNGU
            ulionayo dhidi ya
            binadamu
            wenzako pamoja na
            mamlaka
            uliokabidhiwa na Jamuhuri
            ya
            Muungano wa Tanzania.
            Naanguka na kushika
            miguu yako
            mitukufu muheshimiwa
            rais.
            Nakuomba msaada
            (msamaha)
            kwako muheshimiwa
            rais, kwa
            njia hii ya maandishi
            kusudi
            niweze kuondolewa
            adhabu ya
            kifungo cha maisha
            gerezani,niliyohukumiwa
            na
            mahakama tajwa hapo
            juu.
            Mh.Rais mimi
            nimefungwa nikiwa
            bado kijana mwenye umri
            mdogo,
            na ukweli kutoka moyoni
            sikufanya kosa hilo. Si
            mimi, baba
            yangu Nguza wala ndugu
            yangu
            yeyote aliyefanya
            kitendo kile.
            Lakini wenye mamlaka
            wakatuona tuna hatia na
            kuamua
            kuteketeza kizazi chetu
            gerezani.
            Natamani kiama ifike ili
            mwenyezi
            Mungu aweke wazi
            ukweli wote
            uliojificha nyuma ya pazia.
            Mpaka
            sasa natambua wazi
            hatima
            pamoja na dhamana ya
            maisha
            yangu ipo katika mikono
            yako
            mitukufu Mh. Rais
            Naomba huruma yako
            muheshimiwa Rais
            maana mimi ni
            mtoto wako ninaehitaji
            huruma
            yako wewe mzazi. Lakini
            pia sisi
            ni binadamu wenye nafsi
            na miili
            kama wengine.
            Waliotumia mamlaka yao
            kutuweka gerezani nao ni
            binadamu pia, wenye miili
            na
            nafsi. Ipo siku nafsi zetu
            zitapaswa kutoa hesabu
            ya
            tuliyoyafanya hapa
            duniani.
            wakati huo miili yetu
            tunayoitumia
            kunyanyasa
            wanyonge itakuwa
            imeoza
            mavumbini.
            Natumaini kauli yako ya
            mwisho
            ndio itakayoleta pumzi ya
            uhai
            nafsini mwangu.
            Nakutakia kazi
            njema, afya njema na
            maisha
            marefu.
            Mungu akubariki.
            Wako mtiifu
            Mfungwa NO:836'04
            JOHNSON
            NGUZA (PAPII KOCHA)

            Mkeo/Girlfriend Katuma Picha zake za Uchi kwa Mwanaume

            Posted: 28 Jun 2015 08:44 AM PDT

            Wakuu naombeni ushauri... nimeishi na mke wangu wa ndoa kwa miaka kama 10 hivi sasa. Ila ndani ya muda huo ndani kumekuwa na migogoro ya hapa na pale ya kutoaminiana. Ila katika hali hiyo yeye ndiyo alikuwa ananishutumu mimi kuwa nina michepuko na yeye kujiona yupo innocent kama malaika. Lakini juzi kati hivi, katika pita pita yangu nikgundakuna mwanaume yupo nae busy ofisi kwake.

            Nilipomuuliza akaribu kutoa utetezi ambao sikuridhika nao, nikaanza kumfutilia kimyakimya kenye simu zake n email zake. Siku ya siku nikkutana na chats kwenye whatsap baina yake na uyo mwanaume.. na mke wangu kimtumia huyo mwanume picha zake akiwa mtupu kigia kwenye kitanda chetu...

            Hebu nipeni ushauri, maana hatua ya kwanza niliyoichukua ni kumrudisha kwa wakati natafakari maamuzi ya kudumu. Mpaka sasa yupo kwa mjomba wake..

            Advice please guys!!!

            Kingunge: Hatutakubali Jina la Lowassa likatwe CCM ‪Urais2015‬ - Adai Likikatwa "Patachimbika"

            Posted: 28 Jun 2015 08:41 AM PDT

            Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

            -Atahadharisha uteuzi wagombea Urais CCM

            -Si mchezo wa kuchezwa na kila mtu

            -Lowassa atikisa Dar na kusema: Nikiteuliwa nitaunda serikali rafiki kwa masikini na matajiri

            Mwanasiasa Mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza machache na WanaCCM wa Wilaya ya Kinondoni.

            Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikielekea katika hatua ya kuteua mgombea urais wa chama hicho, mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amefyatuka na kusema urais ni hatima ya Watanzania hivyo lisifanywe mchezo kuwa mtu yeyote anaweza kuucheza.

            Amesema si vizuri watu waliopewa vyeo ndani ya CCM kuendelea kukitumia chama kwa mambo yao binafsi.

            "Kama wana mashaka chama hiki kina historia, vyema wakatutafuta watu ambao tupo, watu tunaojua mambo ya chama," alisema.

            Alisema wanaofanya jitihada za kuunda mazingira ya kukitafutia chama kushindwa, wanataka historia ya CCM iishie katika awamu ya nne.

            Kingunge ambaye alikuwa miongoni mwa wanachama waliomdhamini Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, katika Wilaya ya Kinondoni, alisema yupo ndani ya chama hicho kwa miaka 60 sasa, ameona mengi ya mkoloni na Tanzania.

            "Asilimia kubwa ya Watanzania ni maskini na chama chetu tangu mwanzo tulisema tutapambana na umasikini...Pamoja na mambo mazuri yaliyofanywa lakini sio mwisho, tunahitaji uongozi utakaotutoa katika umaskini na linawezekana hilo," alisema Kingunge.

            Alisema ni mwiko kumhukumu mtu kabla ya vikao kwani haijawahi kufanywa hivyo mwaka 1995 na 2005, na hawatafanya hivyo mwaka huu
            "Wakifanya hivyo tutakataa, tunataka mchakato ufuate taratibu zilizowekwa, nimemsikia kiongozi wetu mmoja alizungumzia katika Tv kuwa mtu hawezi kwenda kujinadi yeye binafsi bali chama ndio kinamnadi...Mimi nataka niseme kuna ngazi mbili; mwanachama anatakiwa kujinadi ndani ya chama na ndiyo tumefanya hivyo miaka yote kwa mujibu wa taratibu na ndivyo wanavyofanya kina Lowassa, anajinadi kwa wanachama," alisema.

            Alisema baada ya mkutano mkuu wa kumpata mgombea, atanadiwa na chama hivyo si vizuri watu waliopewa vyeo kutumia chama kwa mambo yao binafsi.

            "Katika utaratibu wetu tuna misingi ya kuamua na mwenyekiti wa chama chetu, Jakaya Kikwete, alitangaza yeye mwenyewe kwamba tutafute mgombea anayekubalika ndani na nje ya chama na ndio msimamo wa chama...CCM inamtafuta mtu anayekubalika ili kuleta ushindi ndani ya chama, wale wanaojitahidi kufanya hivyo kukitafutia chama kushindwa wanataka historia ya Chama Cha Mapinduzi iishie katika awamu ya nne," alitahadharisha.

            Alisema suala la urais lisifanyiwe mizengwe, watu waulizwe wanamtaka nani na nani atakayewatatulia changamoto zao.

            "Watu wenye busara wanafuatilia mambo yanavyoenda na wameona, wagombea wapo wengi, wenye macho wapo wengi na wanaona, hivyo watu watulize vichwa na kuamua ni nani watamchagua," alisema Kingunge.

            Naye Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa huo, Hemed Mkali, alisema Lowassa ndiyo Rais kwani anakubalika na wananchi wengi hivyo ni vyema viongozi wakaliangalia hilo.

            "Kama wakipeleka kiatu cha polisi hawatakichagua hivyo CCM ikipeleka kiongozi ambaye hakubaliki watambue wananchi watamkataa,"alisema Mkali.

            LOWASSA: NITAUNDA SERIKALI RAFIKI
            Akizungumza baada ya kudhaminiwa na wanaCCM 212,150, jijini Dar es Salaam, Lowassa alisema endapo atateuliwa kuwa rais ataunda serikali ambayo ni rafiki kwa masikini na matajiri.

            Alisema yeye ni rafiki wa wanyonge na anachukizwa na vitendo vya wamachinga na mama ntilie kufukuzwa ovyo.

            "Siruhusiwi kusema maneno mengi lakini nawashukuru sana kwa kunidhamini hapa Dar es Salaam, udhamini wenu nyie ndio mnaoongoza katika nchi nzima kwa kunipatia wadhamini wengi, heshima mlionipa nitaitunza na kuienzi katika maisha yangu," alisema Lowassa.

            "Tunaheshimu kazi zilizofanywa na waliotutangulia sisi tunachukua kijiti tu cha kuboresha nina uwezo na nia ya kubadilisha nchi hii...mwaka 1995 Mwalimu aliwaambia Watanzania wananchi wanayataka mabadiliko wakiyakosa ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM, mimi naamini ndani ya CCM tunaweza kuleta mabadiliko haya na mimi ndio nitakayeyaleta," alisema.

            Alisema endapo atafanikiwa katika safari yake ya kusaka urais, moja ya ajenda itakuwa ni kuboresha miundombinu ya jiji hilo ndani ya miezi sita.

            Alisema wakati akiwa Waziri Mkuu alijaribu kutafuta ufumbuzi wa suala hilo na kuongeza kuwa miundombinu hiyo itaenda sambamba na ujenzi wa nyumba milioni moja kila mwaka ili Dar es Salaam iwe ya kisasa.

            Aidha, alisema akifanikiwa atahakikisha inatungwa sera kwa ajili ya ujenzi wa nyumba hizo ili jiji liwe na hadhi ya kipekee.

            Alisema kutakuwapo na Waziri wa Dar es Salaam atakayeshughulikia matatizo ya jiji hilo ambapo akilala akiamka anawashughuliki bila kusubiri maamuzi yakatolewe Dodoma.

            Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Asaa Simba, alisema kudhaminiwa kwa Lowassa na wanachama wengi kunatokana na kukubalika kwa matendo na utendaji wake.

            " WanaCCM Ilala wamefurahia sana kitendo cha wewe kutangaza kugombea na wamejitokeza wengi kukudhamini mpaka sasa wamekudhamini 44,799 hapa Ilala," alisema Simba.

            Aidha alisema ishara ya wananchi ni kwamba CCM na wananchi wanamtaka Lowassa na tayari viongozi walishasema achaguliwe mtu anayekubalika na kwa sasa yeye ndiyo anayeonekana.

            Naye Mbunge wa jimbo la Ilala, Mussa Zungu alisema Lowassa ndio mwarobaini wa matatizo ya wamachinga, mama ntilie na Bodaboda.

            Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam alhaji Ramadhani Madabida, alisema ameonesha dhamira ya kutaka kuwatumikia Watanzania na moja ya sifa za kiongozi ni kuwa mstahimilivu na kuhilimili mikikimikiki.

            Aidha alimfananisha Lowassa na Mtume Muhammad kwamba ni kiongozi mvumilivu.

            Alipowasili Dar es Salaam, baadhi ya barabara zilifungwa ikiwamo barabara ya Nyerere kutokana na msafara mkubwa.

            Kumbe Zari Anajua Kiswahili ..Mambo Yamfika Shingoni Soma Alivyoamua Kuwapa VIDONGE Wanaomsema Vibaya.....

            Posted: 28 Jun 2015 08:06 AM PDT

            Shemeji yetu Zari ambaye ni mrembo kutoka Uganda ambaye toka amekua mapenzini na Mtanzania staa wa bongofleva Diamond amekua akipokea comments tofautitofauti kwenye page yake ya Instagram, June 28 2015 ameamua kuyaandika haya tena mengine kwa kutumia lugha ya kiswahili baada ya kushindwa kuvumilia.

            Waliomkasirisha ni wale wanaokosoa uvaaji wake na kuendelea kumfatilia ambapo alianza kwa kuandika >>>’Mnikome, maisha yangu yanakuhusu nini wewe, nayako hayanihusu mimi kabisa ata kidogo….oh sijui high heels, mara nguo imembana, sijui anapikia heels,pili pili hujakula wewe inaakuwashia nini? Mvae madera zenu mfunge mkanda mpite kimya kimya. Kwanini unastress????‘


            Ameendelea kwa kuandika mengine kwa kiingereza na nitatafsiri kwa wino mwekundu>>> ‘HAYA NI MAISHA YANGU na sasa your all Gods’ judges now…. how many people do we know that wear hijab but have very dirty ugly hearts? (ni watu wangapi tunawajua wanavaa Hijab lakini mioyo yao sio misafi? ni wangapi wenu mnaigiza kuwa wasafi kwenye hizi siku 30 lakini miezi 11 iliyobaki ni waovu? )How many of you act so straight for these 30 days but the last 11 months your the worst monsters this world has ever seen’


            Kwenye sentensi nyingine kaandika >>> ‘Now u wana come here and judge my faith by the dress???? (sasa mnakuja kujudge imani yangu kutokana na nguo? Allah bless all of you….atleast I ain’t acting snitchy, am being ME. And oh🙋, if you happen not to like what you see in ur news feed (my page) U always have 3 options, Block yourself, unfollow ama fast forward coz if your still following na you exercise your fingers kuwakya matusi page yangu, babe your just an obsessed fan if not a confused admirer dah majirani Habari nakazi mnayo……like I always say, no bad vibes from me. So stay blessed

            TB Joshua reacts to gay law in USA

            Posted: 28 Jun 2015 01:28 AM PDT

            Various reactions have come in the wake of America formally legalising gay marriage across the entirety of its borders but one of the most unusual has sprung from a popular Nigerian cleric.

            After the historic announcement, T.B. Joshua tweeted a YouTube video showing a young man allegedly receiving ‘deliverance’ from a ‘homosexual demon’.


            The clip titled, ‘Deliverance From Homosexual Demon’ shows a Nigerian from Imo State who identified himself as ‘Tedus’ receiving prayer at the church of T.B. Joshua in Lagos, Nigeria.
            “I made him gay; I made him love men,” the young man says after being questioned by one of Joshua’s ministers, the clip clarifying that it was an ‘evil spirit’ speaking, which was allegedly behind his homosexual tendencies. Tedus is subsequently ‘delivered’ and later shares his experiences about how the ‘devil’ of homosexuality had possessed him.

            He narrated how, upon his return from a business trip in Asia, he had lodged in a hotel in Kenya where he met some male friends who suggested they go for a swim in the hotel pool. “After swimming, I went back to my room and had a dream,” Tedus recounted. “I dreamt where I saw myself swimming in the same pool with naked men.

            When I woke up, I felt as if something entered into me. I started having passion for men.” Upon returning to Cameroon where he was based, Tedus ‘sacked’ his fiancé without any explanation. “I had no passion for her anymore – no more affection. She was astonished and asked so many questions which I couldn’t abswered. On the internet, I discovered so many things on gay websites and began downloading gay pornography. That’s how it started.”

            According to Tedus, he saw his newfound homosexual lifestyle as ‘normal’ until his pastor in the church where he worked as a translator called him aside privately. “He told me that I had to go to Nigeria to The SCOAN and that I needed deliverance.” Tedus reluctantly agreed. After making the journey in December 2013, when the time arrived for people to receive prayer in the church service, he described a sense of anger welling within him as one of Joshua’s pastors approached. “When he prayed for me, I lost control,” he described.

            “I knew I was talking but I never knew what I was saying.” Since receiving prayer, Tedus testified that all homosexual feelings have left him. “Those feelings for men are no longer there; I have real passion for the opposite sex. I couldn’t control the former passion.” The clip then jumps to almost one year later where Tedus returns, this time with a young lady whom he introduced as his fiancé. “The Bible says that a man ought to be with a woman.

            After my deliverance, I travelled to Imo State and there I met this wonderful lady and proposed to her,” he said, with a large smile, testifying that is life has changed ‘tremendously’ since receiving prayer. “My advice is that if you come across somebody that may be having the same problem, you shouldn’t criticise them but rather pray for them,” he said. “People just believe it’s a normal thing; it’s not just ordinary. There is a force or spirit behind it. The only way out of this is deliverance. It is like a virus. Once it gets into you, it is only deliverance from Jesus Christ that can get you out of it.” In his comments, T.B. Joshua quoted Matthew 7:1, stating that Christians should ‘talk salvation, not condemnation’. “God hates sin, not sinners,” he insisted.

            “When I say, 'Do not judge so that you will not be judged', I mean we should hate sin, not the sinner because sinners can change. If you have killed a sinner by judging him, there will be no opportunity for change. Sinners can be delivered. We should hate the act, not the people because our battle is not against flesh and blood but against the 'spirit beings' that cause all these acts.”

            He then went further to clarify his stance: “The Bible is my standard. If my parents were one, I would not have been given birth to.”

            Article by Ihechukwu Njoku

            Faiza Ally: Mimi ni wa Nusu Uchi Toka Nizaliwe

            Posted: 28 Jun 2015 01:03 AM PDT

            Imelda Mtema
            MREMBO aliyewahi kuwa na uhusiano na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally, mwanzoni mwa wiki hii aliamriwa na Mahakama ya Manzese/Sinza, amkabidhi mtoto kwa baba yake (Sugu) ambaye aliiomba mahakama hiyo imruhusu apewe mtoto huyo kwa madai kuwa mama yake huyo anamlea kinyume na maadili.



            Sugu aliileza mahakama kuwa mrembo huyo hana maadili kwani amekuwa akijipiga na kumpiga picha za nusu utupu mtoto na kuziweka mitandaoni kitu ambacho aliamini kitamsababishia akose maadili.

            Mara baada ya hukumu hiyo kutolewa, Mikito Nusunusu ilimtafuta Faiza na kutaka kujua ameipokeaje pamoja na historia nzima ya yeye kukutana na mzazi mwenzake huyo, shuka na mtiririko wa maswali na majibu:

            Alianza lini kuvaa mavazi ya nusu utupu?

            “Jamani haya mavazi wanayosema navaa uchi sijaanza kuvaa leo ni tangu utotoni, hakuna ambaye hajui kitu hicho kwa kuwa hata mama yangu alikuwa akinishonea sketi ya shule ndefu mimi naenda kwa fundi kuikata.”

            Alikutana vipi na Sugu?

            “Nilikutana naye kwenye Mtandao wa Facebook na alikuwa akiniona nikiwa katika mavazi hayohayo ambayo yeye anadai ni ya kuvunja maadili na alinitongoza nakumbuka nilikuwa Zanzibar kwenye hoteli moja inaitwa Lagema, ambapo nilitupia picha zangu zilezile ndipo alipovutiwa nazo akarusha nyavu.”


            Hakumpa masharti ya nguo anazopenda?

            “Yeye aliniambia kuwa kama ‘package’ amepata iliyokamilika kuanzia mavazi yangu ninayovaa mpaka ‘tatoo’ nilizochora hivyo alinikubali kwa jinsi nilivyo.”

            Anazungumziaje kuvaa nguo fupi?

            “Jamani ninachoamini mimi nguo siyo kila kitu katika maisha ya mtu, mimi ni mama wa tofauti kwa mtoto wangu hilo hata Sugu mwenyewe analijua kabisa, nimeanza kumfundisha mtoto wangu kusoma kabla hata hajaanza shule na si mtu wa kujirusha kama wanavyofikiria.”


            Kumbe vimini vilianzia kwenye filamu

            “Kabla sijawa na Sugu, nilikuwa na filamu yangu inaitwa Jesca, nafikiri ndiyo muigizaji wa kwanza kuvaa bikini na kutembea hadharani lakini yote hiyo ni kutokana na mazoea, hata Sugu aliiona filamu hiyo, hakuona kama ni ukosefu wa maadili.”

            Alitinga ‘swimming’ akiwa na mama mkwe

            “Nakumbuka mimi na mama yake Sugu tulishawahi kwenda ufukweni nikiwa na mtoto wangu na nilikuwa nimevaa nguo za kuogelea na wala haikuwa tatizo na siyo mama hata nikiwa naye mara nyingi navaa hivyo, nashangaa sasa anasema navunja maadili.”

            Sugu alimkuta akiwa na maisha mazuri?


            “Wakati nimeanza kuwa na Sugu hakuwa hata na kibanda alikuwa amepanga na nilimuambia kuwa hadhi yake hapaswi kuwa hivyo, tulinunua kiwanja na tukajenga nyumba Mbeya tena kwa kuisimamia huku akikiri kuwa alimshukuru Mungu kunikutanisha naye.”

            Unawaambia nini Watanzania?

            “Nawaomba sana Watanzania wasitumie nguo niliyovaa siku ile (kwenye Tuzo za Kili 2015) iliyoniacha wazi kwa bahati mbaya kuwa fimbo ya kunichapia, nina vitu vingi sana nimefanya kwa jamii yangu, kama kuwatembelea wagonjwa, kufanya usafi mahospitalini na hata kutembelea watoto yatima mbona hivyo havionekani?”

            Vipi maisha yake bila Sasha?


            “Bila Sasha kwangu hakuna maisha kabisa ni bora kufa kuliko kukaa mbali na mtoto wangu kwa kuwa ndiye kila kitu kwangu na wala siwezi kupata usingizi mpaka mtoto wangu atakaporudi mikononi mwangu, nimeshaanza process za kukata rufaa.”

            Kumbe sugu alimtambulisha Bilicanas

            “Sugu alinitambulisha katika Ukumbi wa Bilicanas tena mbele ya kadamnasi kuwa mimi ni mchumba wake tena nikiwa nimevaa nguo fupi kabisa, hapo pia hakuniona?”

            Nini chanzo cha kugombana?

            “Wala hakuna ugomvi mkubwa, nafikiri tu upendo ulianza kupungua kwa kuwa niliondoka Mbeya kwenda kumsaidia mama yangu kuhama, yeye alikuwa hataki niondoke hiyo ndiyo sababu kubwa.”

            Wema Sepetu Kubadili Wanaume Kila Mara Chanzo ni Hichi Hapa

            Posted: 28 Jun 2015 12:41 AM PDT

            IMEBAINIKA! Kufuatia tabia yake ya kubadili wanaume, mrembo asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Isaac Sepetu imefahamika kuwa chanzo cha yote ni kusumbuliwa na ugonjwa ujulikanao kitaalamu kwa jina la Sex Maniac.

            Wema Sepetu na Diamond.

            Akizungumza na gazeti hili, mtaalam wa masuala ya utabiri na nyota, Maalim Hassan Yahya alisema kwamba suala la Wema kubadili wanaume kila mara si kulogwa bali anasumbuliwa na ugonjwa huo ambao mtu akiwa nao kila wakati anawaza mapenzi na raha yake ni kufanya tendo la ndoa.

            Wema Sepetu na Chaz Baba.

            Maalim alidadavua kwamba, ugonjwa huo hautibiwa na dawa za hospitali kama magonjwa mengine ila kama mtu anahitaji kuondokana na tatizo hilo anatakiwa kumtafuta mwanasaikolojia ambaye mara kwa mara atakuwa anamjenga kwa ushauri hadi atakapoona amekuwa sawa kwa kuacha kuwaza mambo hayo.

            KanumbaWema Sepetu na Steven Kanumba.

            “Watu wanashindwa kuelewa, unakuta mtu anakuwa na wanaume wengi, anabadili kila mara alafu watu wanamsema bila kujua kwamba ni ugonjwa ambao mtu anajikuta akipenda ngono kila wakati na kwenye mawazo yake anatawaliwa na kutamani tendo la ndoa tu.

            Wema Sepetu  na Bob Juniour.

            “Lakini wapo wengine wanabadili mabwana maarufu ili nao wawe maarufu,” alisema Maalim.

            Wema Sepetu na Jumbe.

            Wema aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume tofauti akiwemo, Herry Samir ‘Mr. Blue’, Khaleed Mohamed ‘TID’, marehemu Steven Kanumba, Yusuf Jumbe, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, CK na Nagari Kombo.

            Jitihada za kumpata Wema ili kuzungumzia hali hiyo ziligonga mwamba baada ya simu yake kutokuwa hewani na kukosekana nyumbani kwake hivyo jitihada zinaendelea.

            Source:GPL

            Matokeo ya Mechi ya YANGA na Timu ya SPORTS CLUB VILLA Haya Hapa ....

            Posted: 28 Jun 2015 12:29 AM PDT

            Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga wameshindwa kutamba mbele mabingwa wa kombe la FA nchini Uganda timu ya Sports Club Villa baada ya mabingwa hao kulazimishwa sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa hisani ulioandaliwa na taasisi ya Numbani Kwanza kwa ajili ya kuchangia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi uliomalizika muda mfupi kwenye uwanja wa Taifa.

            Winga wa Yanga na timu ya Taifa Simon Msuva alikosa penati baada ya yeye mwenyewe Msuva kufanyiwa madhambi na golikipa wa Sports Club Villa wakati alipopata nafasi ya kwenda kufunga na mwamuzi wa mchezo huo kuamuru ipigwe penati lakini penati hiyo iliota mbawa baada ya Msuva kuipaisha juu.

            Mchezo huo kwa upande wa Yanga ulikuwa ni sehehemu ya maandalizi kwa ajili ya michuano ya Kagame ambayo inatarajia kuanza kutimua umbi mapema mwa mwezi Julai ikishirikisha vilabu bingwa vya Afrika Mashariki na Kati.

            Kipindi cha kwanza kilishuhudiwa kikiwa na upinzani mkali kwa timu zote mbili kufanya mashambulizi kadhaa kwa kupokezana lakini hakuna timu iliyoweza kuweka mpira wavuni kutokana na washambuliaji wa timu zote mbili kushindwa kuzitumia vyema nafasi chache zilizopatikana.

            Kipindi cha pili Yanga walifanya mabadiliko kwa kumtoa Malimi Busungu na nafai yake kuchukuliwa na Kpah Sherman wakati Pato Ngonyani aliingia kuchukua nafasi ya Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Msuva akaingia kumpokea Amis Tambwe lakini mabadiliko hayo hayakuisaidia Yanga kuweza kupata bao.

            Wachezaji wapya waliosajiliwa na Yanga Deus Kaseke akitokea Mbeya City, Geofrey Mwashiuya aliyekuwa akikipiga Kimondo, na Malimi Busungu kutoka timu ya Mgambo JKT walipata nafasi ya kucheza kwenye mchezo huo na kuonesha viwango vizuri lakini Geofrey Mwashiuya alionekana kukonga nyoyo za mashabiki wengi Yanga waliojitokeza kushuhudia pambano hilo.

            Mafuriko Ya Lowassa Yatua Jijini Dar......Kingunge Amwaga Wino Hadharani Kumdhamini, WanaCCM 212,150 Wajitokeza Kumdhamini

            Posted: 28 Jun 2015 12:24 AM PDT

            WAZIRI  Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amepata udhamini wa kishindo katika mkutano uliofanyika jana  katika ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni.

            Lowassa alipata udhamini huo baada ya wanachama kujitokeza katika ofisi za Makao Makuu ya CCM ya Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni, Dar, ambapo alipata zaidi ya wadhamini  212,150 huku akisema Dar  imevunja  rekodi  ya mikoa yote ya Tanzania.

            Akizungumza na maelfu ya wananchi waliofika katika mkutano huo Lowassa alisema kuwa amefurahishwa na watu waliojitokeza kumdhamini kwa kishindo kikubwa na hivyo hatavunjwa moyo  na maneno ya watu yanayovumishwa  kuwa anawapatia fedha ili wafike kwenye mkutano wake .

            Lowassa aliongeza kuwa anawaomba Watanzania wampe ridhaa ya kuwa rais wao kwani atahakikisha mianya yote ya rushwa na utendaji mbovu  wa kusuasua anausimamia kwa haki na weredi na ndani ya miezi sita tayari matokeo yatakuwa yameonekana.

            “Nawaombeni wananchi mnipeni ridhaa ya kuingia ikulu yaani nitahakikisha mianya yote ya rushwa na ufisadi nautokomeza, muyapuuze maneno na minong’ono ya watu kutaka kunichafua,” alisema.

            Mwanasiasa Mkongwe hapa nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisani fomu ya udhamini mbele ya Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono mgombea huyo.

            Zoezi hili lilifanyika jana jioni ya Juni 27, 2015 kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni Jijini Dar ambapo Lowassa  alipata  jumla  ya  Wadhamni 212, 150 na kuifanya Dar es salaam kuwa Mkoa wa kwanza kuwa na idadi kubwa ya WanaCCM waliomdhamini .

            Hii Hapa Taarifa Kamili ya ‘Magaidi’ Morogoro na Picha za Vitu Walivyokamatwa Navyo

            Posted: 27 Jun 2015 11:58 PM PDT

            Ripoti hii ni ya ITV June 27 2015 kutoka Morogoro inahusu watu watatu kufariki katika mapambano na Polisi, huku wawili kati yao wakihisiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Al Shabaab.

            Breaking News nyingine kuhusu tukio hilihili iliyoripotiwa na Gazeti la Mwananchi inahusu watu sita kukamatwa na wengine 50 wanatafutwa, walikutwa wakiwa na sare za majeshi pamoja na silaha kama majambia kwenye msitu Mvomero.

            Kwenye taarifa iliyofatia kutoka Mwananchi, imesema Mkulima Cassian Peter amefariki mchana wa June 27 2015 kwenye Hospitali ya Bwagala ambapo Polisi mmoja amelazwa na hii ni baada ya kujeruhiwa na hao watuhumiwa wa Ugaidi kabla hawajakamatwa


            Mtangazaji na Mwandishi wa habari wa Radio One Maulid Kambaya kwenye page yake ya Facebook alipost picha za walivyokamatwa navyo ‘Magaidi’ hawa



            Kauli ya Mwigizaji Steve Nyerere Baada ya Wadau Kudai Amekurupuka Kufuata Mkumbo Kutangaza Kugombea UBUNGE Kinondoni

            Posted: 27 Jun 2015 11:48 PM PDT

            Staa wa Bongo Movies na aliyekuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Unit, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ ambaye wiki iliyopita alitangaza niua yake ya kugombe ubunge mwaka huu wa uchaguzi amedai kua hajakurupuka kuutaka ubunge kupitia jimbo la Kinondoni na kuwa ataendeleza sanaa hata akiwa mbunge.

            Steve Nyerere Amesema Haya.’Kwanza ninataka kuwahakikishia watanzania sijakurupuka, nimekuwa  mwanachama wa chama cha Mapinduzi  umoja wa vijana almost miaka 25 na sasa hivi nina miaka 29 naelekea 30 lakini vilevile nimekuwa kamanda wa vijana miaka 10 tawi la bwani kinondoni, nimekuwa mwamasishaji  wa chama cha mapinduzi kitaifa kwa muda wa miaka 10

            Kwa hiyo nataka kusema sijakurupuka na wala sijatamkia sifa kwasababu labda nimeona mtu Fulani amegombea na mimi basi tu  nigombee hapana  nimeona  katika wilaya yangu ya  kinondoni kuna matatizo kadhaa  nani anaweza kuyatetea hayo matatiizo  basi mimi ndio nitakuwa mtetezi wa wilaya wa Kinondoni pamoja na matatizo ya wasanii wetu, kuhusu kazi zangu za filamu nitakuwa nafanya kama kawaida huku nikiwa natumikia kazi za Bungeni’alisema

            Mchezaji Lionel Messi Amulikwa na Kitu cha Hatari Akiwa Uwanjani..Check Picha za Tukio zima Hapa

            Posted: 27 Jun 2015 11:44 PM PDT

            Messi na timu yake ya taifa wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya Copa America hayo tuliyajua baada ya mechi kuisha, tuliyoyajua leo ni kuhusu Messi kumulikwa na kitu cha kijani ambacho kitajwa kama “green laser” ambapo miale hiyo ilipiga sehemu ya mbele ya kichwa chake.

            Wachambuzi wanasema hiyo miale inaweza kutoka kwenye kitu kinaitwa laser pen ambapo lengo lao ni kumulika usoni Messi na kumtoa kwenye mchezo au kumzozoa tu usoni. Kwenye historia inasemekana sio mara ya kwanza kwa Messi kufanyiwa hivyo, hata Ulaya kuna wahuni wanaofanyaga hivyo.

            Umbo la laser pen ni kama peni ya kawaida kwa hiyo hata sehemu ya kusachiwa sio rahisi kujua ukubwa wa matumizi zaidi ya pen hiyo. Ushahidi wa miale hiyo umeonekana kwenye picha zilitoka mtandao hivi sasa

            Posted: 28 Jun 2015 01:54 AM PDT



            MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
            Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

            1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
            2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
            3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
            4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
            5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
            6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
            7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
            8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
            9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
            10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
            11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
            12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

             

            Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


            NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


            Udaku Specially

            unread,
            Jun 29, 2015, 4:31:44 PM6/29/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Huyu kijana wa Jirani nimfanyeje? Kila House Girl wangu anampa mimba

            Posted: 29 Jun 2015 10:25 AM PDT

            Kuna kijana hapa anaangalia si te ya Jirani na anachunga ngombe za huyo Jirani

            Huyu kijana ameshawapa mimba ma hg wetu watatu

            Wawili aliwakana na hatukua na ushahidi Wa kumkamata moja kwa moja, hivyo tukalazimika kuwatimua hao mabinti kurudi makwao kwa nyakati tofauti

            Muda ulivyopita tukasahau yakapita hayo, mwaka umepita sasa, tukaleta hg mmoja hivi ambae tulimtoa Mwanza, mm nilishasahau masuala ya huyo kijana Muda hadi juzi niliporudi home ghafla baada ya kushikwa na vidonda vya koo vilivyoniletea homa Kali

            Nilipofika home nilipiga honi sana bila majibu, nikashuka nikafungua Geti dogo kwa ufunguo wangu na nilipoingia nikajifungulia Geti kubwa, cha ajabu binti Wa kazi hakutoka, nikadhan ameenda dukan, nilipoingia ndani nikasikia sauti Kali ya mahaba ikitokea chumbani kwa hg, nikasukuma mlango ahamadi dogo kamgeuza hg doggie, pamoja na kwamba nilikua naumwa nilimpa kipigo kikali yule kijana, akaniponyoka na kukimbia uchi akaenda akaruka ukuta hadi kwao, nikamwamuru hg kuvaa, kwa jinsi nilivyomwona uchi kaumbika mno Basi tu

            Usiku tulishauriana sana na wife, akashauri twende police tukapewe ushauri Wa kisheria kuhusu huyu kijana maana ametusumbua kwa Muda mrefu sana
            Ijumaa ya Jana tukaenda kumuona mkuu Wa kituo, akatuambia huyo dawa ni kumpa kesi ya ujambazi au madawa ya kulevya ili akakae segerea Muda mrefu hivyo nimpe laki mbili kwa kazi hiyo na hukumu ikitoka nimuongezee zingine

            Hivi navyowaeleza amelala ndani tangu jana, Jumatatu karandinga litakuja kumchukua kumpeleka mahakamani kwa kesi ya ujambazi Wa silaha, kuna silaha moja ipo pale kituoni watampeleka nayo ilikosaga mtuhumiwa

            Kwa kweli huyu kijana ametusumbua kwa Muda mrefu sana, mwenzie wanae kaa pamoja hapo kwao katuambia mwenzie hupewa juice, hukaangiwa mayai na kupelekewa, vyakula mbalimbali na hata wine zetu humpa
            Na ndio maana tunashangaa matumizi ya ndani yamekua makubwa sana, sasa hiyo si dharau wakuu

            Huyu binti tunajiandaa kumsafirisha wakati wowote, huu ni ukosefu Wa adabu kuleta jitu ndani?

            Mabosi Wa huyu kijana wamekua wakinipigia simu tangu Jana wakiniomba nimuachie safari wanamfukuza, kila tukishtaki huwa wanasema hivi hivi watamfukuza

            Safari hii lazima nihakikishe ananyea debe next time anaweza kulamba.....

            Lowassa Awaburuza Wenzake Urais CCM...... Ni matokeo ya utafiti kwenye wilaya 20

            Posted: 29 Jun 2015 10:02 AM PDT

            Waziri Mkuu mstaafu, Monduli, Edward Lowassa ametajwa kuongoza katika kutaja vipaumbele vya maendeleo ikiwamo kupunguza tatizo la Ajira nchini na kuinua Elimu, miongoni mwa kundi la wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

             Kadhalika, Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ametajwa kuwa ndiye kiongozi wa siasa aliyeshuhudiwa na wananchi wengi katika hotuba zake kuliko wanasiasa wengine waliokwisha kutangaza nia.

            Hayo yamo katika ripoti ya utafiti uliofanywa na Shirika la Maendeleo la Utafiti la Elimu (Tedro), iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam jana.

            Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Jacob Katerri, alisema ripoti hiyo ilijumuisha Wilaya 20 na kuwahoji watu 2,000 kutoka vijijini na mijini.

             Alisema katika ripoti hiyo kipengele cha watangaza nia walioshuhudiwa na watu wengi katika hotuba, Lowassa anaongoza kwa kushuhudiwa kwa asilimia 54, akifuatiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (46), Naibu Waziri wa Fedha ,  Mwigulu Nchemba (44), Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira (40) na Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani(39).

             Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, January Makamba(34), Waziri Nchi Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya (31), Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki,  Makongoro Nyerere (27), Waziri wa Ujenzi, John Magufuli (23), na Mbunge wa Sengerema, Willium Ngeleja (19) na wengine wakifuata.

            Katika Kipengele cha kupunguza tatizo la ajira, ripoti hiyo ilieleza kuwa wananchi walipohojiwa walieleza kuwa wana imani na Lowassa kwa asilimia 19,  Nchemba (14), Magufuli (13).

             Makamba (13), Membe (12), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (10), Mwandosya (7), Dk. Harrison Mwakyembe (7), Wassira (2) na wengine (3).

            “Utafiti huu umebaini kuwa watangaza nia wengi pamoja na mambo mengine walijikita sana katika kusema watatatua tatizo la ajira kwa vijana,” alisema  Kaserri.

            Kadhalika ripoti hiyo ilizungumzia kipengele cha kuinua elimu nchini, ambacho wananchi waliohojiwa walitoa nafasi kubwa ya uwezekano wa kutekelezewa kwa kipaumbele hiki kwa Lowassa kwa asilimia 25.

            Nchemba (18), Membe (16),  Makamba (13), Magufuli (12), Mizengo Pinda (12), Wasira (3) na wengine (9).

             Pia ripoti hiyo ilizungumzia kipengele cha Tanzania kuwa nchi ya kipato cha kati ifikapo waka 2025, na wananchi walikuwa na imani na Nchemba kwa asilimia 13.4 kuwa ataweza kulipeleka taifa kufikia kipato cha kati.

            Lowassa (11), Wasira (9), Membe (9.20),   Magufuli (9.0), Makamba (5.3), Mwandosya (4.60),  Pinda (3.5) na Dk.  Mwakyembe (1.40).

            Hata hivyo, utafiti huo ulielezea kipengele cha kuinua sekta ya Kilimo na Mifugo nchini ambacho kwa watangaza nia hao, wananchi walikuwa na imani kwa Pinda kwa asilimia 23.

            Lowassa (17), Nchemba (16), Membe (11) Wasira (9),  Makamba (7), Magufuli (5), Waziri wa Maliasili na Utalii,  Lazaro Nyalandu (3.3), Mbunge wa Nzega, Hamisi Kigwangala(3.2) na Mwakyembe (2.6).

            Katerri alisema utafiti huo pia ulihusu kipengele cha Utawala bora na vita dhidi ya ufisadi ambapo ulionyesha kuwa Mwigulu Nchemba amepata asilimia 17.4 ya uwezo wa kupambana na tatizo hilo.

            Wengine waliomfuata ni Magufuli (14.2), Membe (11), Lowassa (6.10), Jaji Ramadhani (6) na Mwandosya (5).

            Wengine ni Mizengo Pinda (8),  Mwakyembe (8),  Makamba (7), Samuel Sitta (6), Dk. Kigwangala (3).

            Katika kipengele za Uadilifu usiotiliwa shaka katika utumishi Nchemba alipata asilimia 15, Membe (13), Mwandosya (13), Pinda (8), Makamba (8) Jaji Ramadhani (7),  Lowassa (10%).

            Katika kipengele cha hotuba iliyo bora, Katerri alisema Nchemba alipata alama (A), Wasira( B+), Membe (B+),  Mwandosya (B+) Lowassa (B) na Membe (B). Katerri Alisema lengo la utafiti huo ni  kutathmini Elimu katika Nyanja ya uraia kwa watanzania kupitia vipaumbele katika hotuba za waliokwisha kutangaza nia kupitia CCM.

            Alizitaja wilaya ambako utafiti huo ulifanyika kuwa ni  Kinondoni, Kibaha Vijijini, Kilombero, Rombo, Arumeru, Mbulu na Babati, Lindi, Mtwara, Njombe mjini, Njombe Vijijini, Mbeya Mjini, Nyamagana, Biharamulo, Tabora, Nzega, Bahi, Chamwino na Kasulu.

            Faiza:Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia

            Posted: 29 Jun 2015 09:44 AM PDT

            Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.

            Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.

            Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo alivyoeleza bungeni juzi.

            Akizungumza katika chumba cha habari cha Nipashe jijini jana, Faiza alisema 'Sugu', mwanamuziki wa hip hop pia, hutoa sh.500,000 za matumizi ya mtoto lakini si kila mwezi.

            "Bahati nzuri fedha hizi huwa anazituma kwa njia ya simu, kuna rekodi ya miamala (itathibitisha)... hatumi kila tarehe moja kwa mfano," alisema.
            "Katika miezi sita iliyopita? Katika miezi sita iliyopita ametuma si zaidi ya mara nne."

            Faiza alisema Mbunge wa Mbeya Mjini huyo alianza kulipa ada ya shule hivi karibuni, lakini mtoto huyo wa miaka miwili na miezi nane alianza kusoma akiwa na mwaka mmoja na miezi saba.

            Kuhusu nia ya Sugu ya maridhino, Faiza alisema "haya mambo hayataisha kifamilia.

            "Kama angekuwa anataka suluhu ya kifamilia kama alivyodai bungeni, wazazi wangu anawajua. Wazazi wake na ndugu zake wote nawajua, hakuwahusisha akakimbilia mahakamani.

            "Siwezi. Acha haya mambo tukaamuliwe na mahakama (ili) haki itendeke."
            Faiza anakusudia kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Mwanzo Manzese kumpa 'Sugu' haki ya kuishi na mtoto.

            Mahakama ilimpa 'Sugu' haki hiyo baada ya Mbunge huyo kuonyesha hofu ya mtoto kukosa malezi mema kutoka kwa mama yake kutokana na mapenzi ya Faiza katika mavazi mafupi, ikiwemo pedi za wagonjwa au wazee, na nguo ziachazo wazi sehemu kubwa ya mwili.

            Faiza amesema ingawa Sugu anamtuhumu kukosa maadili kwa sababu ya mavazi mbunge huyo amewahi kutolewa kwa nguvu bungeni na kurekodi CD zenye matusi za 'Anti Virus', vitendo ambavyo ni picha mbaya kwa mtoto siku za usoni.

            Faiza alikutana na Sugu kupitia mtandao wa kijamii wa 'facebook' 2011 na aliondoka nyumbani kwa Mbunge huyo "baada ya kushindwa"; Januari mwaka jana, alisema.

            Nipashe,28/06/2015

            Polisi wampiga vibaya Mwandishi wa Habari Zanzibar

            Posted: 29 Jun 2015 09:39 AM PDT

            Mwandishi wa Habari kwa jina Omar Ali mzaliwa wa Mkoani Kangani kisiwani Pemba, jana mida ya asubuhi ameshambuliwa na kupigwa vibaya sana na jeshi la Polisi Zanzibar na kutupwa maeneo ya Maisara mjini Zanzibar.

            Mwandishi huyu alikuwa anachukua habari kutoka kituo cha uandikishaji dafatari la kudumu maeneo ya Migombani Zanzibar na polisi hao inasadikiwa walisema ni mwandishi wa Chama cha Wananchi CUF na ndipo walipomshika na kuanza kumpiga vibaya sana na kumvunja miguu kama anavyoonekana kwenye picha akiwa hospital mahutui miguu ikiwa imevujika.

            Ikumbukwe:
            Matukio haya yanakuja baada ya wananchi wa Zanzibar kuhakikisha kila kituo hawezi kuandikishwa mtu ambaye hahusiki kama ambavyo tumeona na kuskia kupitia vyanzo mbali mbali mpango wa CCM kupeleka mamluki visiwani Zanzibar kujiandikisha kwaajili ya kukiokoa Chama cha Mapinduzi hasa Zanzibar ambako kuna kila dalili kungoka madarakani Oktoba mwaka huu.

            Chanzo: Nilikuwepo eneo la tukio.

            HUDDAH MONROE scared to death ….. You Will Never Believe What Safaricom Did to Her

            Posted: 29 Jun 2015 07:03 AM PDT

            Huddah claims that she is scared to death after a she bought a Safaricom line and it turned up to be a dead Indian’s phone number.

            Huddah could not understand why callers kept asking her how she got that line. Here is what she wrote on social media;

            Dear @safaricomltd , Today I bought a new line and my phone can’t stop ringing . The callers keep asking me where I got my number from. The callers of Indian decent claim my newly acquired number belongs to their DEAD brother!!!!!!!!!!What is really going on ? Do you people repeat numbers? Or make them twice? What if you repeat numbers aftera while and maybe it belongs to someone who got murdered? Please help me with answers!!!! I’m scared to death!!!

            Mwanaume Akishakupata Baada ya Muda Mfupi Upendo Wote wa Awali Huisha

            Posted: 29 Jun 2015 05:21 AM PDT

            Hiyo ni kauli kutoka kwa baadhi ya wanawake.

            Je kauli hiyo ina ukweli kiasi gani?

            Kuna bahati mbaya moja, ambayo baadhi ya wanawake hawaijui. Hii ni ile yakudhani kwamba, mwanaume akishaanzisha uhusiano na mwanamke au wakioana, kiwango cha kupendana kitakuwa ni kile kile milele. 

            Lakini ukweli ambao hawaujui ni kwamba, binadamu ana hisia na hisia hizi huweza kuchoka. watu wanapokaa pamoja au wanapokuwa pamoja katika uhusiano kwa muda mrefu, hufikia mahali ambapo kiwango cha hisia za upendo hushuka kwa maana kwamba, zimechoka.

            Hebu fikiria inakuwaje ndugu au jamaa yako ambaye umekuwa ukitamani aje kukutembelea kutoka mbali anapokaa kwa muda fulani kwako, zile cheche za hamu zinapungua, wala bila kukosana au tatizo lolote? 

            Ni hisia zimechoka, hata unaponunua nguo au kiatu kizuri sana, baada ya kuda fulani, ule 'mchecheto' wa awali kukihusu,hupungua au kwisha. Ni suala la hisia pia, si kwamba, hiyo nguo au kiatu hukipendi tena. Kama mwanamke halijui jambo hili, linapotokea, hudhani kwamba, mwenzake sasa hampendi, na ndipo hapo kauli kama:

            ''Mwanaume akishakupata baada ya muda mfupi upendo wote wa awali huisha''

            Haya ni malalamiko ya wanawake katika kujaribu kuonyesha ushahidi wa hali hii. wanashindwa kujua kwamba, kabla ya kuanzisha uhusiano au kuoana, hisia zilikuwa bado ziko juu, kwa sababu bado watu hawa walikuwa hawajaanza kuwa pamoja kwa muda mwingi

            Ni mwongo anayeweza kusema kwamba, katika mahusiano yake au ndoa yake hajawahi kuhisi hisia za upendo kwa mwenzake kushuka angalau kidogo. kuna kutofautiana tu katika viwango vya kushuka kwa hisia hizo. lakini kila binadamu hisia zake za upendo hushuka.

            Kuna sababu nyingi zenye kufanya kiwango cha hisia za upendo kushuka lakini kubwa huenda ni maumbile, sababu nyingine ni uwezo wa kila mmoja kubadilika kufuatana na mazingira, uwezo wa kutenda na kutoa kauli nzuri kwa mpenzi wake katika mahusino. lakini pia utayari kwa kila mmoja kuondoa zile tabia ambazo mwenzake anasema zinamkera.

            Kushuka kwa hisia za upendo hakuna maana ya kuondoka kwa upendo. Upendo unapoondoka umeondoka, lakini hisia za upendo zinaposhuka zinaweza kurudishwa na hali ikarejea kama zamani tu. wakati mwingine hurudi zenyewe kama zilivyopotea.

            Lakini wapo baadhi ya wanawake hisia za upendo za wenzi wao zinapopotea,hubabaika na kuharibu mambo

            Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

            Posted: 29 Jun 2015 05:24 AM PDT

            Akiongea leo jijini Mwanza, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa kamati kuu ya CCM ndugu Nape Nnauye amesema kuwa hana msalie mtume na wanaotumia fedha kununua uongozi.

            Aidha Nape Nnauye ameweka wazi kuwa endapo CCM itampitisha fisadi kuwania uongozi wa juu kwa tiketi ya chama hicho basi ataongoza kundi la vijana kumpinga.

            Nape ametahadharisha kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi ili kuwaaminisha wana-CCM kuwa anakubalika hana nafasi kamwe. Nape ameonya kuwa anayetumia fedha kusaka uongozi akishaupata ataanza kurudisha gharama alizotumia kwanza.

            Tazama Hapa VIDEO Mpya Iliyosubiriwa Kwa Hamu ya Navio Feat. Mr. Blue- AYAYA

            Posted: 29 Jun 2015 04:30 AM PDT

            Mwezi February 2015 Rapper kutoka Uganda, Navio alitua TZ kwa ajili ya show ambayo ilifanyika Club Billz, Dar es Salaam ilimshuhudia star huyo alipofanya uzinduzi wa Video ya Hit song ya ‘Kigozi‘.

            Uwepo wa Navio ndani ya TZ ulikuwa na kingine kizuri, walikutana na Mr. Blue na kupiga collabo ambayo tayari imefanyiwa video… kama hujakutana na video hiyo basi unaweza kuchukua kama dakika nne hivi kuicheki hapa.

            Wema Sepetu will make a great member of parliament – Colonel Mustafa

            Posted: 29 Jun 2015 04:23 AM PDT

            Rapper wa nchini Kenya, Colonel Mustafa amemmwagia sifa kibao Wema Sepetu kuwa atakuwa mbunge mzuri kama akishinda nafasi ya ubunge wa viti maalum anaouwania mkoani Singida mwaka huu.

            Kupitia Instagram, rapper huyo ameandika:

            “It is my distinct honor and pleasure to give my unqualified support to my long-time friend Wema Sepetu in her race for the Tanzanian parliamentary bid,” ameandika Mustafa.

            “Wema has distinguished herself over the years as a staunch conservative on fiscal and social issues, who stands resolutely on principle. I know she will support President partys as she seeks to let the people of SINGIDA keep more of their money via tax cuts, give them more freedom through fewer government regulations, and stand for Pro-Life and Pro-Family values. Wema will make a great member of parliament , because she has great courage, integrity, honesty, and character. Go wema Sepetu.”

            Kumekuwepo na mitazamo tofauti kuhusiana na kama Wema anafaa kushika nafasi hiyo.

            You Won’t Believe What will Happen when OBAMA Visits Kenya. Just Read This.

            Posted: 29 Jun 2015 02:27 AM PDT

            It’s official that US President Barrack Obama will be on his first official visit to Kenya this July and many Kenyans are excited about this but even as most of us celebrate the good news that the world’s most powerful leader is coming to Kenya, his 8 hour visit will bring business to a stand-still in our beautiful country.

            Below is what will happen during his short stay in Kenya.

            -The US Navy will be in charge of Kenya’s water bodies.

            -The USA Secret Service, CIA, FBI will take over the role of Kenya’s VIP protection unit (RECCE Coy).

            -Jomo Kenyatta International Airport will be closed for almost 2 hours to only accommodate Air-force One. No Kenyan Airport Staff will be allowed to get inside or near the airport’s VIP lounge. The USA aviation authority and pentagon will take charge of that section.

            - Our airspace will be directly controlled and monitored from Washington DC and with US radars based in North Africa and in Indian Ocean.

            -The USA Abraham Lincoln Naval War Ship and Naval Carrier will dock at the Mombasa Coast of Indian Ocean and it’s expected to be a launch pad for the USA B52 Bombers. The US War Ship manufactured for instant electricity supply will be stationed in Indian Ocean to add to electricity supply to the US installments and CIA operations command centers in Kenya.

            -All the major in roads between JKIA, State House and Gigiri will be closed and controlled by satellite from Texas, US, and their operations will be controlled by the USA security apparatus in Nairobi.

            -No commercial ship will be allowed to dock in Mombasa for 8 hours.

            - President Obama’s motorcade will consist of over 100 Hi-Tech Armored vehicles which can repulse and control a B10 or any other bomb device.

            - The Presidential guard of Kenya will not be allowed near Uhuru Kenyatta apart from his ADC and a secretary.

            -The US NASA will ensure that the world above the earth which is controlled by USA will control Kenya’s space and the entire E. Africa space using NASA satellites.

            -The NATO (North Atlantic Treaty Organization) will take charge of Radars and flight control in all African countries for 8 hours.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Tarehe 29 Juni 2015

            Posted: 29 Jun 2015 02:15 AM PDT






















            Habari Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo  Jumatatu  Ya  Tarehe  29  Juni 2015

            TID Afunguka: Natumia Dawa ya Kulevya Aina ya Bangi ila si 'UNGA' Cocaine Kama Watu Wanavyonishutumu

            Posted: 29 Jun 2015 02:14 AM PDT

            Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya ‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa vidole na baadhi ya watu.

            Akizungumza na Gazeti  la  Ijumaa katika mahojiano maalum wikiendi iliyopita, TID ambaye ni mmiliki wa Top Band alifunguka kuwa miongoni mwa mambo yanayomkosesha raha na amani ya moyo, ni pamoja na kuhukumiwa kujihusisha na matumizi ya unga na wengine kwenda mbele kwa kusema hata kushuka kwake kisanii kumechangiwa na ishu hiyo.

            Staa huyo wa Ngoma ya Kiuno alisema kuwa, wakati mwingine watu wanamsakama hadi mama yake mzazi wakimtaka amkanye mwanaye kujiepusha na maisha ya ‘kubwia unga’ jambo ambalo linampa wakati mgumu na kujiona kuonewa katika jamii.

            Kuhusu kushuka kimuziki, TID alisema miongoni mwa sababu zilizosababisha kuporomoka katika anga la muziki ni kile alichokiita ‘hujuma’ kutoka kwa baadhi ya wadau wakubwa wa muziki (majina yapo), kwa kushindwa kumpa fursa za kimuziki zikiwemo promosheni na mialiko ya shoo kwa kuwa wana vinyongo na fitina dhidi yake.

            Kaka, naonewa kabisa nikihusishwa natumia madawa ya kulevya, wanamsumbua mama eti akae na mimi anionye.

            “Jamani situmii madawa ya kulevya kama cocaine, ila kwa upande wa bangi ni sawa nakubali kuwa navuta.

            “Lakini pia, kuvuta kwangu bangi siyo sababu ya mimi kushuka kisanii, zipo sababu zingine kabisa kama kuhujumiwa na wadau wakubwa wa soko la muziki kutokana na mabifu yanayotokana na sababu binafsi.

            “Hivi kweli mtu anayetumia madawa ya kulevya kama cocaine, anaweza kumudu maisha kama kununua nyumba? Kununua magari? Hata kuendelea kuimba kweli? Siyo sawa jamani,” alisema TID.

            Picha 4 za ajali ya gari waliyoipata Wachezaji Nizar Khalfan na Shaban Kado

            Posted: 29 Jun 2015 01:59 AM PDT

            Ajali imetokea Bahi Dodoma na kwenye gari miongoni mwa waliokuwemo ni pamoja na golikipa Shaban Kado na mchezaji Nizar Khalfan wa Mwadui FC na chanzo ni airi la nyuma kuchomoka.

             Kado amesema hakuna yeyote aliyepoteza maisha kaisipokuwa majeraha waliyoyapata akiwemo Shaban Kado ambaye ameumia pia mkono wake wa kulia ambapo walikua watu wanne ndani ya gari.

            Msanii wa Afrika aliyegoma kwenda kwenye tuzo za BET kwa makusudi Awachana Laivu BET Kwa Kuwabagua Wasanii wa Africa kwa Kuwapa Tuzo Backstage

            Posted: 29 Jun 2015 12:39 AM PDT

            Kitendo cha BET ambayo ni Television kubwa ya Marekani kwenye ulimwengu wa burudani kuwapa Wasanii wa Afrika tuzo zao kwa time tofauti na tuzo wanazoshinda wasanii wakubwa wa Marekani kama Beyonce na Chris Brown kiliwahi kulalamikiwa na wengi akiwemo Ommy Dimpoz.

            Hata Davido aliposhinda mwaka jana kwenye sehemu ya Interview Diamond alieleza kwamba tuzo za wasanii wa Afrika huwa hazitolewi pamoja na zile za kina Beyonce, wasanii kwenye kipengele cha Afrika waliitwa asubuhi na mapema wakati ukumbi ukiwa mtupu bila watu ndio mshindi akakabidhiwa tuzo alafu badae jioni ndio kina Beyonce wakakabidhiwa kwenye event yenyewe lakini ukitazama kwenye TV huwezi kugundua sababu wanaunganisha kijanja.

            fuse 20Baada ya hayo yote, mwimbaji staa Mwafrika ambaye makazi yake ni Uingereza FUSE ODG ametangaza wazi kwamba sababu za yeye kutokwenda kwenye tuzo hizo mwaka huu ni kwa sababu tuzo hizo hazitolewi sawa na za kina Beyonce.

            Fuse ambaye alikua anawania tuzo kwenye tuzo hizi za BET mwaka huu amesema mambo ya kupeana tuzo backstage inaonyesha kabisa BET hawawaheshimu wasanii wa Afrika wanavyojituma kwenye kazi zao.

            Ommy Dimpoz Aambulia Matusi Kutoka Kwa Mashabiki Wake Baada ya Kupost Picha ya Ali Kiba Kwenye Page yake ya Instagram

            Posted: 29 Jun 2015 12:31 AM PDT

            Mwimbaji Ommy Dimpoz wa bongofleva yamemfika hapaaa na ikapelekea aamue tu kutoa ya moyoni mwake baada ya kupost picha ya tangazo la video mpya ya Ali Kiba kuonyeshwa TRACE TV June 28 2015 ambapo aliambulia Kutukanwa na Mashabik kwa kile kinachoonekana amemsaliti Rafiki yake Diamond ambae ana ugomvi wa chini chini na Ali Kiba...

            Ali Kiba Aliifuta hiyo post na Kuandika Haya:

            Sasa ndugu zangu tukipost kuhusu Wasanii wenzetu mnatukana, tukikaa kimya tuna roho mbaya…. tufanyeje?? matusi tu hamjali kama watu wana wazazi unamtukania mzazi mwingine kafa, lakini kwa taarifa yenu hainiumi ng’o‘ – Ommy Dimpoz

            Mpambano wa Mengi na Manji Wapamba Moto...Manji Atangaza Kuwa Atajiuzulu yanga iwapo Aliyosema Mengi yatakuwa ni Kweli..Ataka Mdahalo wa Yeye na Mengi

            Posted: 29 Jun 2015 12:14 AM PDT

            Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amesema atajiuzulu wadhifa wa uenyekiti iwapo itabainika kuwa kweli yeye ni fisadi, mwizi na muongo kama ambavyo Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amekuwa akisukuma mashambulizi dhidi yake.

            Manji amezungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga, jana na kueleza hayo huku akisisitiza kumtaka Mengi ajitokeze na wakutane kwa ajili ya kufanya mdahalo wa wazi ambao utadhibitisha kuhusiana na tuhuma hizo.

            Alisema kuendelea kuiongoza Yanga wakati imethibitika ni fisadi na mwizi, ni utovu wa nidhamu na wanachama wa klabu hiyo watamtilia shaka.

            Bilionea huyo aliyasema hayo jana Jumapili, mbele ya wanachama wa klabu hiyo kwenye mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Yanga, makutano ya Mitaa ya Jangwani na Twiga jijini Dar.

            Manji alifunguka kuwa Mengi amekuwa akimsakama kwa muda mrefu na sasa amesema amechoka.

            Manji anadai kilichomchefua zaidi ni habari iliyotoka kwenye Gazeti la Nipashe kuwa kampuni yake ya Farm Equip Tanzania and Quality Garage, ijulikanayo kama QG Engineering ilishindwa kulipa kiasi cha bilioni 9.055 serikalini.

            Manji amekanusha taarifa hiyo na kuomba Julai 3, mwaka huu kukutana na mmiliki wa gazeti hilo, Mengi kwenye mdahalo ‘live’ na kila upande uje na ushahidi wa kutosha kisha Watanzania wapige kura ili muongo na mkweli ajulikane kuliko kuchafuliwa jina.

            “Iwapo itabainika kweli mimi ni fisadi, muongo na mwizi, niko tayari kuachi ngazi ya uenyekiti wa Yanga na sitagombea cheo chochote hapa, maana klabu itakuwa inaongozwa na mtu asiye na vigezo sitahiki vya kuwa kiongozi,” alisema Manji.

            "Watu wanapaswa kujiuliza, mimi ni fisadi ninayejulikana na vyombo vya habari vya IPP tu? Wengine hawaoni hilo? Je, kwa nini IPP pekee ndiyo waone mimi ni fisadi? hapo watu wajiulize," alisema Manji.

            Mgombea Urais 2015 Edward Lowassa Amweka Kikwete Kitanzini

            Posted: 28 Jun 2015 11:26 PM PDT

            Ndivyo alivyosema na bila shaka ndivyo anavyoamini Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, lakini kauli ambazo amekuwa akizitoa tangu kuanza kwa mbio za urais zinamuweka katika hali ngumu Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete.

            Lowassa alirudia moja ya kauli hizo juzi alipokuwa Dar es Salaam kuendelea na kazi ya kutafuta wadhamini aliposisitiza kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kuwa “Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje,” akisisitiza kuwa yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko hayo.

            Mbunge huyo wa Monduli ametoa kauli hizo kabla ya vikao vya juu vya kufanya uamuzi wa mgombea urais wa CCM vitakavyoongozwa na Rais Kikwete. Vikao hivyo vitaanza Julai 8.

            Tayari makada 42 wamejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho kikongwe kugombea urais na kutoa ahadi mbalimbali, lakini Lowassa, ambaye amekuwa akipata wadhamini wengi kuliko makada wengine, ndiye ambaye ametoa kauli zinazomuweka Kikwete kwenye hali ngumu.

            Tangu alipoanza kuzungumzia urais kwenye kikao cha kwanza na wahariri Mei 25 mjini Dodoma, Lowassa amekuwa akitoa kauli kadhaa katika mikoa mbalimbali nchini, akianzia Arusha ambako alitangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM na baadaye kwenye harakati za kusaka wadhamini.

            Asiyenipenda ahame CCM

            Akijibu swali kwamba anaweza kuhama chama iwapo jina lake litakatwa kwenye mchakato wa ndani ya CCM, Lowassa alieleza jinsi alivyokitumikia chama na imani yake.

            “Sina mpango wa kuhama chama changu, sina Plan B. Mimi ni Plan A tu. Tangu nimalize chuo kikuu mwaka 1977, nimekuwa mwana-CCM. Sijafanya kazi nje ya CCM ukiondoa miaka ambayo nilikuwa vitani Uganda na nilipohamishiwa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha. Maisha yangu yote ni CCM,” alisema Lowassa.

            “Kama kuna mtu ambaye hanitaki ndani ya CCM, yeye ndiyo ahame, siyo mimi.”

            Safari hii JK ataniunga mkono

            Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mei 30 wakati akitiania, Lowassa alielezea tukio la kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya CCM kuwania urais mwaka 1995 wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na Kikwete, ambaye pia alichukua fomu hizo.

            “Wakati ule sote tulikuwa wanasiasa vijana. Pamoja tulikwenda kuchukua fomu na baadaye kwa pamoja tukazungumza na waandishi wa habari. Tulileta hamasa kubwa pale tulipofanya jambo ambalo halikuzoeleka kwa Watanzania kwa kutangaza kwamba yeyote atakayepita kati yetu, mwenzake ambaye hangefanikiwa angemuunga mkono mwingine,” alisema Lowassa na kuongeza kuwa wakati ule alimuunga mkono Kikwete...“Natarajia safari hii, Kikwete ataniunga mkono.”

            Mwaka huo, Kikwete alishindwa na Benjamin Mkapa ambaye baadaye akawa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tatu. Mwaka 2005, Lowassa hakuchukua fomu na badala yake alimuunga mkono Kikwete aliyeshinda na mbunge huyo wa Monduli kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Nne.

            Pengine kauli hiyo ya Lowassa kutaka amuunge mkono ndiyo iliyosababisha Rais Kikwete kutupiwa swali na mwanadiplomasia wa Marekani Juni 9 wakati akizungumza na Jumuiya ya Watanzania waishio Uholanzi katika hoteli ya Chawnie Plaza. Rais Kikwete alijibu kuwa hana mtu wake na kwamba wote ni wagombea wake, na kama ni suala la kuchagua, ana kura moja tu kama wajumbe wengine.

            Mabadiliko aliyotabiri Nyerere

            Akiwa mjini Iringa Juni 20, Lowassa alitumia kauli hiyo ya Nyerere kuhusu mabadiliko ndani na nje ya CCM.

            “Baba wa Taifa alisema kuwa Watanzania wanahitaji mabadiliko na wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM,” alisema Lowassa.

            “Huu ni wakati wa mabadiliko. CCM ikijipanga inaweza kuleta mabadiliko na mtu wa kuleta mabadiliko hayo ni mimi,” alisema Lowassa kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa.

            Pia aliwaambia wahariri mjini Dodoma kuwa hawezi kuondoka CCM na kama kuna watu wanadhani hivyo, waondoke wao. Alikuwa akijibu swali kama atakuwa tayari kuondoka CCM iwapo ataenguliwa kwenye mchujo wa wagombea urais.

            Hakuna wa kumkata jina

            Juni 22, akizungumza mara baada ya kuwasili mkoani Ruvuma alisema hatarajii jina lake kukatwa katika vikao vya CCM vitakavyoketi kumteua mwanasiasa atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha urais.

            “Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu, sijawahi kufanya kazi nje ya CCM hivyo nakijua chama na hakuna mgombea atakayeweza kuvunja rekodi ya utendaji wangu katika chama, sasa leo anayetaka kukata jina langu anatoka wapi? Anakata kwa sababu gani? Sioni kosa la kukatwa jina na Watanzania hawaoni, kwa hiyo msiwe na wasiwasi jina litarudi tu,” alisema Lowassa.

            Anayemtuhumu kwa ufisadi amtaje

            Siku ya kuchukua fomu Juni 5, Lowassa alijibu kwa kifupi maswali ya wanahabari na kusema kama kuna mtu ana ushahidi wa tuhuma za ufisadi dhidi yake amtaje jina.

            Millem Magese atunukiwa tuzo ya heshima ya Global Good ya BET Awards 2015

            Posted: 28 Jun 2015 11:10 PM PDT

            Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese, hatimaye ametunukiwa tuzo ya kwanza ya heshima ya Global Good ya BET Awards 2015.

            Millen amepewa tuzo hiyo kutokana na jitihada zake za kampeni ya ugonjwa wa endometriosis ambao pia amekuwa nao katika maisha yake yote tangu awe msichana. Tatizo hilo limempelekea kuwa mgumba.

            Pamoja na hivyo Millen amekuwa mstari wa mbele kutoa misaada mbalimbali kwa wasiojiweza.

            Trace TV kuionesha video ya Chekecha ya Alikiba mara ya kwanza leo

            Posted: 28 Jun 2015 10:52 PM PDT

            Video ya wimbo wa Alikiba ‘Chekecha Cheketua’, itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kituo cha runinga cha Ufaransa, Trace TV Jumatatu hii.

            Video hiyo imeongezwa na muongozaji wa video za muziki wa Nigeria, Meji Alabi. Itaoneshwa saa tatu na dakika 32 asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki.


            Jiunge na Bongo5.com sasa

            Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

            Walimu Wabakwa na Kunyolewa Sehemu za Siri Usiku Kishirikina

            Posted: 28 Jun 2015 10:21 PM PDT

            WALIMU katika shule ya msingi  Nambaza Kata ya Nansimo wilayani Bunda,    wamesema watahama shule hiyo endapo serikali ya wilaya hiyo haitachukua hatua madhubuti kukomesha ushirikina shuleni hapo.

            Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Sospiter Mafuru,  alisema walimu wake wanafanyiwa vitendo vya ushirikina ikiwa  ni pamoja na kusumbuliwa   usiku  na kunyolewa  nywele   sehemu za siri.

            Alitaja vitendo vingine kuwa ni kuvuruga vyombo vya ndani wakati wa usiku, kumwaga michuzi na damu kwenye mashuka na nguo za walimu hao.

            “ Vitendo hivi vimetishia usalama wa walimu hadi sasa walimu watatu wa kike wamehama shule hii kwa hiyo tunaomba jamii ya Nambaza wachukue hatua,”alisema.

            Alisema awali   ushirikiana huo ulianza kwa wanafunzi  kuugua na kuanguka ovyo na baadaye kwa walimu na aliomba Serikali   kuchukua hatua na kukaa na wananchi wao.

            Mafuru alisema hadi sasa ana    walimu tisa,wa kike watano na wa kiume wanne.

             Mkuu wa wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, alisema  tayari ameviagiza vyombo vya dola kwenda kijijini hapo kufanya utafiti kuwabaini watuhumiwa hao.

            Majibu ya Zari kwa wanaomshutumu kutoheshimu Mwezi wa Ramadhan yanashtua

            Posted: 28 Jun 2015 10:08 PM PDT

            Zari the Bosslady amejikuta kwenye kitimoto kutokana na mashabiki kumshambulia mtandaoni kwa mavazi yake katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.

            Mama huyo mtarajiwa wa mtoto wa Diamond amelazimika kutumia Kiswahili kuwajibu wale wanaomshambulia kwa mavazi yake katika kipindi hiki ambacho waislamu duniani kote wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

            Mnikome, maisha yangu yanakuhusu nini wewe, na yako hayanihusu mimi kabisa ata kidogo,” ameandika Zari kwenye Instagram.

            “Oh sijui high heels, mara nguo imembana, sijui anapikia heels,pili pili hujakula wewe inaakuwashia nini? Mvae madera zenu mfunge mkanda mpite kimya kimya. Kwanini unastress???? HAYA NI MAISHA YANGU,”ameongeza.

            “Na sasa your all Gods’ judges now…. how many people do we know that wear hijab but have very dirty ugly hearts? Huh? How many of you act so straight for these 30 days but the last 11 months you’re the worst monsters this world has ever seen. Now u wana come here and judge my faith by the dress?”


            “Allah bless all of you….atleast I ain’t acting snitchy, am being ME. And oh, if you happen not to like what you see in ur news feed (my page) U always have 3 options, Block yourself, unfollow ama fast forward coz if your still following na you exercise your fingers kuwakya matusi page yangu, babe your just an obsessed fan if not a confused admirer dah majirani. Habari nakazi mnayo……like I always say, no bad vibes from me. So stay blessed.

            Udaku Specially

            unread,
            Jun 30, 2015, 4:18:39 PM6/30/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Maneno Mengine ya OMMY DIMPOZ Kuhusu Waliomtukana Instagram Baada ya Kumposti ALI KIBA Kwenye Page yake ya Instagram

            Posted: 30 Jun 2015 07:30 AM PDT

            Ommy Dimpoz alipost tangazo la Video mpya ya Ali Kiba lakini baada ya kupost wapo waliopita kwenye post yake @Instagram na kuanza kuandika comments za matusi.

            Mwenyewe amesema hakupenda kuona watu wanaandika comments za matusi kila kitu ambacho anapost… Ommy amesema kwenye kurasa za mastaa kama yeye wanaotembelea ni watu wengi kwa hiyo sio kitu kizuri watu kuandika lugha za matusi.

            Mitandao huwa inakuwa na story nyingi sana kuhusu mastaa, wakati mwingine utasikia staa huyu na huyu hawapatani, Ommy amesema wakati mwingine watu huwa wanakuza hata beef kati ya mastaa lakini beef nyingine sio za kweli.

            Msikilize Gossip Cop na Ommy Dimpoz hapa kwenye U Heard ya leo JUNE 29 2015

            Zari: My Life Isn't Perfect, But am Thankful For Every Thing I Have

            Posted: 30 Jun 2015 07:26 AM PDT


            Spent the public holiday literally doing nothing. Happy youth day South Africa. My life isn't perfect, but am thankful for every thing I have 

            Dotnata Aingilia Ugomvi wa WEMA SEPETU na KAJALA...Amuomba Mungu Haya Yatokee

            Posted: 30 Jun 2015 07:12 AM PDT

            Mwigizaji mkongwe, Husna Posh ‘Dotnata’ ameengilia kati ugomvi kati ya mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Kajala Masanja kuwataka waachane na hali hiyo kwani bifu lao halina faida kwao na katika jamii.

            Akizungumza na Tanuru la Filama hapo jana, Dotnata alisema kuwa  kwa akili ya kibinadamu ugongvi huo hauwezi kuisha  kutokana na kila mmoja kumuona mwenzake ndiyo mbaya.

            Namuomba Mungu kila siku ili Wema amsamehe Kajala na Kajala amsamehe Wema ili maisha yaendelee kwani kwa akili za kibinadamu imeshindikana hivyo na nitaonana nao baada ya maombi yaha kwani natambua hakuna jamabo kubwa lisilo na mwisho, hasira zaozina mwisho” alisema Dotnata.

            Dotnata pia alimtaka Wema ambaye ni sawa na mwanaye kuwa wa kwanza kumsamehe  Kajala kwani kwenye ugomvi ni vizuri mmoja wapo ajishushe na kujona ni mkosaji kinyume na hapo  hakuna ambacho kinaweza kufanyika.

            Nimezaa na Mose Iyobo lakini ndoa yangu ipo pale pale – Aunty Ezekiel

            Posted: 30 Jun 2015 06:50 AM PDT

            Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.

            Akizungumza na Bongo5 leo, Aunty aka Mama Cookie, amesema aliamua kuzaa na Moses Iyobo, dancer wa Diamond Platnumz kwakuwa muda wa kuwa mama ulikuwa umefika.

            Mimi niliamua kupata mtoto baada ya kuona wakati umefika,” amesema.

            Kwasababu siku zinaenda pamoja na umri inabidi maisha yaendelee mbele. Ndoa yangu ipo kama ilivyokuwa mwanzo, haijavunjika, sijawahi kuongea kama nimezaa nje ya ndoa au ndani ya ndoa lakini mwisho wa siku ndoa yangu bado ipo,” ameongeza.

            Haya ni maisha na vitu vinavyozungumzwa vipo kama vilivyo, lakini familia yangu na watu wa karibu wanaelewa nini kinaendelea ndani yake na watu niliokuwa nao wanaelewa na sidhani kama itakuwa right kuongea kwenye media. Lakini watu wajue baba yake ni Mose,” amesisitiza muigizaji huyo.

            Pia Aunty amewatoa hofu mashabiki wa kazi zake kwa kusema kuzaa kwake sio mwisho wa kuigiza.

            Kupata mtoto kwenye maisha yangu ni kitu kizuri kwa sababu kuna vitu vingi ambavyo nimepunguza na nimekuwa mama mwenye majukumu, ninapofanya vitu vyangu najua kesho na kesho kutwa kuna mtu ananitegemea. Pia kuzaa kwangu sioo kwamba kutaua sanaa yangu, sanaa yangu ipo pale pale na hata nitakapomaliza kulea nitakuwa na vitu vingi zaidi kwa sababu natumia muda mwingi kulea Kwahiyo nikirudi wategemee vitu vikubwa zaidi ingawa kuna kazi ambazo niliziandaa zitatoka wakati ninalea.


            Davido’s New Video Breaks A Record

            Posted: 30 Jun 2015 05:01 AM PDT


            On June 9th205, Nigerian artist Davido released his much-anticipated music video called “Fans Mi”, featuring American rapper Meek Mill.

            A RECORD BREAKER
            15 days after it was released, the video has hit more than a million views on YouTube.  Davido shared his joy on his Instagram account by saying: “RECORD BREAKER!!! 1,000,000 views in days!!!!!!” A few weeks back, Davido did tell his fans that this would be the “biggest video of his career.” 2015 has been a great year for the afrobeats musician: he is in the process of releasing a new album, he recently graduated from university, he had a daughter, he bought a house in Atlanta, and he received three nominations for the 2015 MTV Africa Music Awards. Life is good!

            Taharuki ya Marehemu Kufufuka Bagamoyo ipo Kwenye Hekaheka ya leo…(Audio)

            Posted: 30 Jun 2015 04:53 AM PDT

            Jana mji wa Bagamoyo uliingia katika taharuki kubwa baada ya habari kuenea kuwa kuna marehemu kafufuka baada ya kuthibitishwa na madaktari kuwa amefariki.

            Timu ya Hekaheka ilifunga safari hadi Bagamoyo na kukuta umati wa watu katika nyumba ambayo marehemu alikua akiishi ikiwa ni muda mchache baada ya mwili wake kurejea kutoka hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ambapo ndipo alipofariki.

            Majirani walidai baada ya mwili wa marehemu huyo kurudishwa nyumbani ili kuanza taratibu za mazishi walishangaa kuona bado mwili wa moto na alikua akijitingisha wakati waoshaji wakimuandaa kwa ajili ya kumzika.

            Shangazi wa marehemu alisema ni kweli baada ya kumleta walishangaa mwili ukiwa wa moto na mapigo ya moyo yakifanya kazi kama kawaida licha ya madaktari kuthibitisha kuwa amefariki, na wakaamu kusimamisha shughuli za mazishi hadi kesho yake walipoona  amekuwa wa baridi na tayari alishafariki.

            Daktari aliyethibitisha kama marehemu amefariki alisema baada ya kumpima marehemu alikua amefariki na kuruhusu taratibu ziendelee, na alisema kuwa mwili wa marehemu kuwa wa moto inategemee na mazingira ya sehemu alipohifadhiwa.

            Isikilize stori kamili hapa mtu wangu… Source:Millard Ayo

            MWANAMUZIKI Diamond Platnumz Ashikiliwa Airport kwa Saa Mbili Kisa Madawa ya Kulevya..

            Posted: 30 Jun 2015 04:30 AM PDT

            Musa Mateja

            KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili.


            Tukio hilo lililoshuhudiwa hatua kwa hatua na gazeti hili, lilijiri Juni 26, mwaka huu kwenye eneo la kukagulia mizigo ya abiria uwanjani hapo kitendo kilichosababisha Diamond kutokwa na kijasho chembamba.


            TAFSIRI YA MABEGI MAKUBWA

            Chanzo chetu kilichokuwa ndani ya jengo la kutokea abiria kililiambia Ijumaa Wikienda kuwa, maafisa ukaguzi wa uwanja huo walimtilia shaka Diamond hivyo ikawalazimu wayakague mabegi hayo hadi ndani lakini pia walimkuta ana upungufu wa stakabadhi za mizigo hiyo.

            KUHUSU STAKABADHI

            Kuhusu stakabadhi zisizokuwepo, ilibidi Diamond ampigie simu ‘mdogo wake’ (si wa tumbo moja) aliyejulikana kwa jina la Q-Boy ampelekee kwani alitua nazo Bongo siku moja kabla, yaani Juni 25.

            NDANI YA MABEGI

            Ndani ya mabegi hayo, kulikutwa kamera, maiki na vifaa vya studio.

            IMANI YA WAPEKUAJI

            Shuhuda mmoja ambaye Ijumaa Wikienda lilimkuta nje ya chumba ambacho Diamond alikuwa akipekuliwa, alisema maafisa hao waliamini msanii huyo alikuwa ameshuka na madawa ya kulevya ‘unga’.“Unajua mastaa siku hizi wanaongoza kwa kubeba unga. Sasa serikali iko makini nao sana. Ndiyo maana wengi wao wakipita hapa wanakaguliwa kuliko abiria wengine,” alisema mtu huyo aliyejitambulisha kuwa ni dereva wa teksi uwanjani hapo.

            DIAMOND APIGWA PICHA, AONGEA NA WIKIENDA

            Paparazi wetu aliendelea kuganda mlangoni hapo hadi Diamond alipotoka na kumfotoa picha mbalimbali na baadaye alimfuata hadi kwenye gari aina ya Toyota Lexus na kumuuliza kama anajua kisa cha kupekuliwa kwa muda mrefu vile.

            “Nilikuwa na mizigo naishughulikia ili itoke hivyo kuna mambo pia tulikuwa tunapishanapishana pale maana walihitaji nilipie ushuru wakati vifaa vya studio tulishaambiwa ni ‘free’ (bure). Pia kulikuwa na risiti za mizigo ambazo zilikuwa hazionekani, kumbe Q-Boy alitangulia nazo jana mimi nikawa nimesahau.

            “Ila wao walikuwa wakijiridhisha kwenye mizigo yangu. Walifikiri nimebeba unga,” alisema Diamond.

            HALI YA SASA UWANJANI

            Mbali na Diamond kupekuliwa kwa muda mrefu, kwa sasa abiria wanaoingia na kutoka kwenye uwanja huo wamekuwa wakikaguliwa kwa umakini ili kubaini uhalali wa mizigo yao lengo kubwa ni kudhibiti uingiaji au utokaji wa madawa ya kulevya ambapo serikali imeweka umakini katika kupambana na biashara hiyo haramu.

            CHRISTIAN BELLA

            Ukiachana na Diamond, mastaa wengine waliowahi kukumbana na pekuapekua kama hiyo ni Mkurugenzi wa Bendi ya Malaika, Christian Bella na mtangazaji wa Radio Time FM, Hadija Shaibu ‘Dida’.

            Bella yeye alikumbwa na adha hiyo, mwaka juzi, usiku wa saa nane akiwa anatokea nchini Uturuki na Ndege ya Shirika la Turkish Airways.

            Dida naye ilikuwa mwaka 2012 ambapo alikumbwa na pekuapekua hiyo alipoingia uwanjani hapo kuelekea nchini Thailand kwa shughuli za kibiashara.

            Kumekucha: Mwinyi, Mkapa, Aman Abeid Karume Wakutana Rasmi Kuwajadili Wagombea Urais Wa CCM

            Posted: 30 Jun 2015 04:25 AM PDT

            Hatimaye marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wameungana na wajumbe wenzao wa Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanza kuwajadili makada waliojitokeza kuwania urais na kutoa ushauri utakaowezesha kupatikana kwa njia bora za kumpata mgombea wa chama hicho.

            Tayari vikao vya baraza hilo vilivyokuwa vikisubiriwa kwa hamu vimeshaanza na leo vinaingia katika siku yake ya tatu, kwenye ofisi moja nyeti jijini Dar es Salaam.

            Taarifa za uhakika kutoka ndani ya baraza la wazee hao zinaarifu kuwa vikao hivyo vina umuhimu wa pekee katika mchakato huo na kwamba vimepewa eneo tulivu na lenye usalama wa hali ya juu.

            "Kikao kimeanza hapa (anataja ofisi) tangu juzi (Jumamosi) na hivi sasa bado tunaendelea,” kilieleza chanzo  kimoja  toka  ndani  ya  kikao  hicho.

            Katika hali inayoonyesha umuhimu wa ushauri wa baraza hilo, chanzo hicho kinasema, “tuombe Mungu ili yanayoazimiwa na wazee wetu yakamilike na kuweza kukipa sura mpya chama chetu (CCM).”

            Hata hivyo, taarifa nyingine kutoka ndani ya CCM zinaeleza kuwa hivi sasa baraza hilo linapewa umuhimu mkubwa kutokana na hali ya ‘mnyukano’ unaowahusisha wanasiasa wakongwe wakiwamo waliotegemewa kutoa ushauri ili kivuke salama katika mchakato unaohusu Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 ili hatimaye apatikane mrithi wa Rais Jakaya Kikwete kwa nafasi ya urais na uenyekiti wa CCM.

            Awali, kikao cha wazee hao kilikuwa kifanyike Jumatano iliyopita lakini kiliahirishwa na katibu wake, Pius Msekwa, kutokana na kile alichokieleza kuwa ni baadhi ya wajumbe kuwa safarini.

            Wazee hao, pamoja na mambo mengine kuhusiana na uchaguzi, wanakutana kujadili mwenendo wa mbio za urais ndani ya CCM ikiwa ni siku chache kabla ya kufikia Julai 2, mwaka huu, ikiwa ni siku ya mwisho ya kurejesha fomu kwa wanaowania urais kupitia chama hicho.

            Hadi kufikia jana, makada 42 wa chama hicho walijitokeza na kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa kuwa wagombea urais wa CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

            Mbali na marais wastaafu Mwinyi na Mkapa, wengine wanaounda Baraza la Ushauri la Wazee kwa mujibu wa mabadiliko yaliyofanywa na CCM mwaka 2012 katika katiba yake ni marais wastaafu Mwinyi (Mwenyekiti), Mkapa (Mjumbe), Amani Abeid Karume (Mjumbe) na Dk. Salmin Amour (Mjumbe).

            Wengine ni Waziri Mkuu mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais, John Malecela (mjumbe) na Pius Msekwa (Katibu).

            Credit: Nipashe

            US Gay Marriage: Robert Mugabe Asks Obama to Marry Him

            Posted: 30 Jun 2015 05:02 AM PDT


            Zimbabwean president Robert Mugabe has challenged US President Barack Obama by asking his hand in marriage. His comment comes at the back of the legalization of gay marriage in the US by the Supreme Court.

            During Mugabe's weekly radio interview with Zimbabwe’s national radio last Saturday, he said:
            “I’ve just concluded since President Obama endorses the same-sex marriage, advocates homosexual people and enjoys an attractive countenance thus if it becomes necessary , I shall travel to Washington, D.C. , get down on my knee and ask Obama’s hand. I can’t understand how these people dare to defy Christ’s explicit orders as our Lord prohibited mankind from sodomy.''
            Mugabe said the American Government is run by pervert, Satan-worshipers who insult the Great American nation.
            He reportedly added
            "That the American tradition and heritage was based on lofty Christian principles, but to the detriment of this great nation, America’s corrupt political elite is acting according to their diabolic whims.
            Obama’s endorsement of gay marriage, the first ever from a sitting president, came amid growing pressure for the president to clarify his previously muddled opinion.
            Obama’s endorsement of gay marriage, the first ever from a sitting president, came amid growing pressure for the president to clarify his previously muddled opinion, as two senior members of his administration announced personal support for gay marriage and a day after voters in North Carolina approved a state constitutional amendment defining marriage as a union between a man and a woman.

            Source: awdnews.com

            Enough of VERA’s fake assets, BRIDGIT is the real deal, Rate Her (1-10)s

            Posted: 30 Jun 2015 05:02 AM PDT





            Enough of VERA’s fake assets, BRIDGIT is the real deal, Rate her (1-10)s

            To all Men, This lady needs your attention, See what she posted

            Posted: 30 Jun 2015 05:03 AM PDT


            To all Men, This lady needs your attention, See what she posted.

            'Acheni UONGO, Nyerere Hakuwahi Kumkataa Edward Lowassa'

            Posted: 30 Jun 2015 01:04 AM PDT

            Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amehitimisha ziara yake ya kutafuta wadhamini katika Mkoa wa Morogoro huku kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali mstaafu Issack Mwisongo, akisema Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere, hakuwahi kutamka kumkataa mbunge huyo wa Monduli kama ambavyo baadhi ya viongozi wanasema.

            Katika Mkoa huo ambao ni wa 31, Lowassa alipata wanachama 104,038 waliomdhamini.

            Kanali Mwisongo alisema tangu alipojiunga na Tanu mwaka 1967 ambayo sasa ni CCM, hajawahi kumsikia hayati Mwalimu Nyerere akitamka neno la namna hiyo na amekuwa akihudhuria vikao vyote kuanzia Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), Kamati Kuu na Mkutano Mkuu.

            “Mimi nimekuwa katika vikao hivyo vyote na kama Nyerere ukikosea au hakutaki, alikuwa anakukataa waziwazi na pia unatangazwa kwenye vyombo vya habari. Lowassa ni mtu anayewapenda Watanzania tangu zamani,” alisema Kanali Mwisongo.

            Alitolea mfano wa mwekezaji aliyedai kuwa aliletwa na mmoja wa `wakubwa ' ili ajenge hoteli katika chanzo cha gesi, lakini Lowassa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa wakati huo, alikataa.

            “Alikataza hoteli kujengwa katika chanzo cha gesi kwa manufaa ya Watanzania na kila alichoamua aliamua kwa manufaa ya Watanzania,” alisema Kanali Mwisongo.

            Aidha, aliwaonya viongozi wa chama hicho kuacha kutoa matamshi kabla ya vikao havijakaa kwani ni makosa makubwa na wanasababisha CCM kuyumba kama hakina mwenyewe.

            “CCM kimeyumba kupita kiasi kutokana na hawajui msemaji mkuu ni nani na vikao vikuu vinakaa saa ngapi vya kuamua hayo yanayosemwa ovyo. Viongozi wasifanye makosa katika Kamati Kuu, Kamati ya Maadili ambako kutakuwa na mizengwe, lakini watambue Nec ina nguvu,” alisema Kanali Mwisongo.

            Naye Kada mwingine mkongwe, Dk. Juma Ngasongwa, ambaye amewahi kuwa Waziri katika awamu mbalimbali, alisema viongozi wa CCM wameyumba siku za karibuni kutokana na kusemana hadharani wenyewe kwa wenyewe  na Lowassa ndiye dawa ya kuondoa maneno hayo.

            “Kuna wanachama wengi wamehamia vyama vingine kutokana na kushindwa kuongoza CCM. Sasa huko katika vyama vingine watawezaje kuviongoza? CCM irudishe wana-CCM imara madarakani ambaye ni Lowassa,” alisema Dk. Ngasongwa.

            Kwa upande wake, aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Steven Mashishanga, alisema vikao vinavyotarajiwa kukaa hivi karibuni vihakikishe vinatenda haki kwa kuangalia ni nani aliye na alama nyingi za vyema mgongoni na anayehitajika na wengi.

            Alisema Lowassa ni kiongozi pekee mwenye uwezo na sifa za kuwa Rais kwani amekitumikia chama kwa miaka mingi.

            Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Fikiri Juma, alimtaka Nape Nnauye, kuacha kutoa kauli kuwa wananchi wengi wamepewa fedha kwa ajili ya kumdhamini Lowassa wakati wapo wagombea wengi wamefika kuomba udhamini na kutoa rushwa.

            Alisema hakuna mtu aliyepewa fedha kwa ajili ya kumdhamini Lowassa, bali ni wananchi wenyewe ndiyo wana maamuzi ya mwisho ya kumchagua kiongozi wanayemtaka na si Nape.

            “Haki isipotendeka katika vikao vya maamuzi sisi bado tupo pamoja na wewe, katika semina ya wenyeviti tuliyopewa tuliambiwa tuchague viongozi wanaokubalika ndani na nje ya Chama ambaye ni wewe,” alisema Juma.

            Akizungumza na wanachama CCM, Lowassa aliwashukuru kwa kumdhamini na kwamba Mkoa wa Morogoro amepata watu wengi.

            Hata hivyo, alisema licha ya kupata wadhamini wengi, atapeleka wanaotakiwa CCM na wengine atawahifadhi nyumbani kwake kama kumbukumbu yake.

            Lowassa amepata jumla ya wadhamini 863,479 katika mikoa 31 aliyoitembelea.

            Aidha, alitaja sababu za kugombea urais kuwa ni pamoja na kuchoshwa na hali ya umaskini na pia Rais Jakaya Kikwete, anamaliza muda wake wa uongozi hivyo anatakiwa kukabidhi kijiti kwa mtu mwingine.

            "Na anayeweza kukipokea kijiti hicho na kuyaendeleza yale aliyoyaacha Rais Kikwete, ni mimi. Kazi hii haipatikani hivi hivi, naomba dua zenu Waislamu na Wakristo ni muhimu sana,” alisema Lowassa.

            Alisema endapo atafanikiwa kupata nafasi anayoiomba, kwanza atahakikisha anafufua viwanda katika mji wa Morogoro.

            Aidha, alisema anasononeshwa mno na migogoro ya wakulima na wafugaji kwa hiyo atakapoingia madarakani, ataunda tume ya kusuluhisha migogoro hiyo.

            Aliwataka Watanzania wajiandae kuwa na `spidi' ya kuchapa kazi kwani anataka mchakamchaka wa Maendeleo na  atakayeshindwa atalazimika kukaa pembeni.

            Haya Sasa Hapa Nimekuwekea Video Mpya ya Ali Kiba 'Chekecha' Ambayo Ndio Gumzo Mjini Kwa Sasa

            Posted: 30 Jun 2015 12:37 AM PDT

            Zilipita pichaz na vipisi tu lakini hii ndio video kamili ya Ali Kiba ‘chekecha‘ ambayo imefanywa South Africa wiki kadhaa zilizopita… ukishaitazama uache maoni yako kwenye comment Ali Kiba na team yake watapita kuona nini mashabiki wanasema.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 30 Juni 2015

            Posted: 30 Jun 2015 12:27 AM PDT























            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 30  Juni 2015

            JACK WOLPER Alia na Soud Brown wa U-Heard..Adai Udaku Wake Usio na Usibitisho Unawakosesha Pesa za Matumizi

            Posted: 30 Jun 2015 12:13 AM PDT

            Pozi hili limuendee soudbrown popote alipo pale unaposikiliza udaku wake alafu peke yako naunatafakari kwanini kafanya mambo meusi kama haya haha Soud acha mambo meusi uwaga unatupa mtihani tukichepuka kidogo tu habari radion natalaka za week zinatuhusu no busu na call no matumizi sasa bora vyote vifanyike ila swala lamatumizi liwepo lakini vyote vinapotea kwa udaku wako usio nausibitisho soud acha mambo meusi ..maana ukinipgia cm sku hzii na hvi namba zako zote nimezisave ata kma una deal yako unataka msaada wangu sitowaza hvyo nitawaza tuu mambo yako meusi jirekebishe kidogo kua nasubra Soud unatuponza Mimi ajanifanya ktu lkn nameambia tuu mapozi tunayokaaga tena mimi ananistrigi kweli kweli ndo nachompendea

            Wizkid naye asusia tuzo za BET kutokana na ubaguzi kwa wasanii wa Afrika

            Posted: 29 Jun 2015 11:45 PM PDT

            Staa wa Nigeria, Wizkid ambaye alikuwa akiwania kipengele cha Best International Act:Africa katika BET Awards 2015, ni msanii wa pili aliyesusia tuzo hizo zilizotolewa Jumalipi iliyopita huko L.A, Marekani.

            Baada ya Fuse ODG kutweet akisema sababu zilizomfanya asihudhurie utolewaji wa tuzo hizo, Wizkid naye amesema hatakuwa akihudhuria pre-shows na nominee parties kama utaratibu wa kuwapa tuzo wasanii wa Africa mapema kabla ya show yenyewe (saa 4 asubuhi) backstage utaendelea.

            Alianza kwa kutweet:

            Lol, nasikia BET wamemaind kwa sababu sikuhudhuria pre-shows na Interviews! LOl


            Wizkid ameongeza kuwa utaratibu wa kuwabagua wasanii wa Afrika katika tuzo hizo ndio ilikuwa sababu ya kutohudhuria hata aliposhinda tuzo ya BET kwa mara ya kwanza.

            Ameongeza kuwa hiyo ndio sababu kubwa pia ya kutopost kitu katika mitandao ya kijamii kuhusu nominations au tuzo hizo kwa ujumla sababu yeye hajali.

            Hizi ndio tweet zake:






            NAY WA MITEGO: Sitaki Watoto Wangu Wasome kwa Shida Ndiyo Maana Nimewanunulia Gari la Kuwapeleka Shule.

            Posted: 29 Jun 2015 11:39 PM PDT

            Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake,Curtis na Munie wasome kwa shida kama yeye alivyosoma kwa tabu,ndiyo maana amewanunulia gari la kuwapeleka shule.

            Akipiga stori na Clouds FM,alisema kuwa gari hilo lina vitu muhimu ndani kama meza ya kulia chakula,sinki la kunawia mikono,kitanda cha kulalia,TV na huduma nyingine ambalo wataanza kulitumia mwakani.

            ‘’Unajua mimi nilisoma kwa shida sana,sasa sitaki watoto wangu wapate shida ndiyo maana nimewanunulia gari la kuwapeleka shule wataanza kulitumia mwakani,na nitaajiri dereva wa kuwapeleka shule,’alisema Nay.

            STEVE NYERERE Atikisa Jimbo la Kinondoni Mbio za Ubunge 2015..Nimekuwekea Picha Hapa

            Posted: 29 Jun 2015 11:32 PM PDT


             Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Nyerere’ amewaomba wanawake wasihadaike na kanga na vitenge wakipewa na baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongoziili wawachague.
            Steve aliitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) nakuwahimiza vijana wa Kinondoni wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la kudumu ili waweze kuchagua viongozi watakaoweza kuifikisha Kinondoni sehemu wanayotaka.

            Katika mkutano huo, Steve alisindikizwa na wasanii mbalimbali akiwemo JB, Wasta, Bi Mwenda, Chuchu Hans, Johari,Ray Nyamayao, Esha Buheti, Thea na Bi Star

            “Kinondoni tunaweza kuondokana na mafuriko kama tutachagua kiongozi atakayeweza kurekebisha miundombinu ya wilaya yetu”alieleza Steve huku akishangiliwa.

            Mtanzania

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 1, 2015, 4:16:43 PM7/1/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Mwanamke Aliyefanya Kazi ya Umalaya Kwa Miaka 25 Aelezea Masaibu Aliyoyapitia Kwenye Kazi Hiyo

            Posted: 01 Jul 2015 12:08 PM PDT

            Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee.
            Hapo ilimlazimu kusalia na bibi yake. Aligundua baadaye kwamba mamake alikufa kutokana na ulevi wa kupindukia.Kwa sababu bibi yake alikua mfanyikazi wa ndani ilimlazimu Brenda kujipeleka shule na kurejea nyumbani wenyewe licha ya kwamba alikua kwenye chekechea.

            Baadhi ya watu walimdhulumu kingono mtoto huyo wakati alipokua akitoka chekechea.
            Mwanamama huyu alifanya ukahaba kwa miaka 15, wakati huu wote hakuwahi kujiingiza katika mihadarati. Lakini kutokana na mazingira magumu kwenye madanguro ya ukahaba, hakuwa na budi kuanza kutumia mihadarati ili kusahau maisha aliyokua akiishi.
            Baadaya ya miaka 25 kama kahaba, siku moja alikutana na mteja ambaye alikua katili.Alimtupa nje ya gari lake huku likienda kwa muendo wa kasi. Brenda alipata majeraha mabaya kiasi cha kupelekwa hospitalini akiwa mahututi.

            Lakini madaktari waliokua wakimhudumia walimdhihaki kwamba alipata alichotaka na kumsuta kwamba alikua kahadaa mteja ndiposa akapata adhabu. Hapo wakawaita polisi kumkamata.

            Wateja wakaribia kahaba barabarani
            Lakini kwa bahati nzuri daktari mmoja alizungumza na Brenda na kumshauri afike katika kituo cha huduma ya jamii maarufu kama Genesis House. Msimamizi wa kituo hiki alikua Bi Edwina Gateley raia wa Uingereza.

            Ni katika kituo cha Genesis Brenda alipata maisha mapya na kuanza safari ya kupona machungu, adhabu na kero za ukahaba. Hakupata shinikizo za kuondoka hadi pale alipohakikisha maisha yake yalikua shwari.
            Kwa sasa Brenda anawasaidia wanawake na wasichana wanaokimbia ukahaba. Aidha alijaaliwa kuwa na familia, mume na wanawe wawili wa kike. Ana pia wajukuu. Maisha yake ni kuwafundisha soka watoto na kuhakikisha wanaishi kwa maadili mema.

            Video ya Alikiba ‘Chekecha Cheketua’ yafikisha views zaidi ya laki 1 ndani ya saa 24

            Posted: 01 Jul 2015 11:12 AM PDT

            Video ya Alikiba ‘Chekecha Cheketua’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa muziki ndani na nje ya Tanzania imepata mapokezi mazuri toka ilipooneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban.

            Baada ya video hiyo iliyoongozwa na director Mnigeria, Meji Alabi na JM Films kuwekwa mtandao wa Youtube kwenye channel ya Alikiba, imepata views zaidi ya laki moja ndani ya saa 24.

            Haya ni mafanikio kwa Alikiba ambaye kwa sasa yuko jijini Nairobi, Kenya akishiriki kwenye msimu mpya wa CokeStudio.

            ‘Chekecha Cheketua’ ni wimbo wa pili baada ya ‘Mwana’ kutoka kwa Alikiba akiwa chini ya ROCKSTAR4000.

            LEMUTUZ Aelezea Sababu ya Kutosomeshwa na Baba yake Ambae Alishawahi Kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mzee Malecela

            Posted: 01 Jul 2015 11:09 AM PDT

            William Malecela, maarufu kama Lemutuz Nation au "King of All Bongo Social Networks" kama anavyofahamika katika mitandao mbalimbali ya kijamii ameeleza sababu za yeye kutosomeshwa na baba yake mzazi.

            Le Mutuz Nation ambaye ametumia muda mwingi kusoma na kuishi nchini Marekani na Belgium, ameweka bayana katika kipindi cha Mlimanidotcom cha Mlimani TV kuwa alijisomesha kwa kupitia fedha ambazo zilitokana na kazi mbalimbali ambazo alikuwa akifanya kama vile udereva wa mabasi makubwa huko jijini New York pamoja na kukaanga kuku.

            Alipoulizwa kuhusu taarifa za yeye kujisomesha kupitia kuendesha malori na kukaanga kuku, Le Mutuz alisema “Liko sawasawa, unajua ni la ajabu Tanzania lakini si la ajabu nchi nyingine kwasababu mimi wakati nakua, tulikuwa kwenye siasa ya ujamaa kwa hiyo mambo mengi yalikuwa yamebana na mimi nilikuwa nataka ubaharia”

            Alieleza kuwa sababu kuu ni kuwa yeye alitaka ubaharia lakini baba yake hakutaka yeye asome masomo hayo katika ngazi ya chuo kikuu, Lakini pia ameeleza kuwa baba yake ambaye ni Waziri mkuu wa zamani wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakumsomesha kwasababu kipindi yeye anakua ilikuwa ni kipindi cha ujamaa na mambo mengi yalikuwa yamebana hivyo baba yake asingeweza kumlipia kusoma nje ya nchi.

            Pamoja na kueleza hayo, Lemutuz alizungumzia sababu za yeye kuliburuza gazeti la Kiu mahakamani na pia kwanini anapenda kupiga picha na wanawake na kuweka Instagram


            Just incase you forgot! Pregnant Kim K shares sexy throwback bikini photos

            Posted: 01 Jul 2015 10:34 AM PDT


            Sometimes, pregnant women love to reminisce about their perfect pre-baby bump bodies .Kim is no different.The reality star has been sharing sexy bikini pics taken in the Dominican Republic in 2012..

            Fine woman!


            Beyonce Shares Sexy Bikini Photos

            Posted: 01 Jul 2015 10:34 AM PDT


            Beyonce is on a roll as she just shared stunning photos rocking a sexy one-piece on her website..Ejoy


            Mchungaji Mwingira wa Kanisa EFATHA Atakiwa Kupima DNA ni Baada ya Madai ya Kumpa Mke wa Mtu Mimba

            Posted: 01 Jul 2015 10:20 AM PDT

            Mahakama Kuu ya Tanzania imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha Ministry, apimwe DNA kufuatia madai ya kumpa mimba mke wa mtu. 

            -Alimpa mimba mwanamke aitwaye Philiss Nyimbi na kuzaa mtoto aliyeitwa Daudi Mwingira.

            Nilipewa Hirizi Nikaimeza, Nilitaka Nikitongoza Wanawake Nisikataliwe. Hali imekuwa Mbaya Sasa, Dada Yangu wa Damu Ananitaka Sasa

            Posted: 01 Jul 2015 10:17 AM PDT


            Natumaini mko poa,nilipokuwa kijana na balehe nilikuwa napenda sana wasichana, yaani nilikuwa natamani sana wanawake wazuri wote wawe wangu, siku mmoja niliposafiri kwenda kijijini kwetu, nikakutana na vijana wa kule kijijini tulikuwa tunapiga story kuhusu mambo ya wasichana, ndipo tukafikia hizo story za kutumia madawa kuwavutia wanawake ndipo kijana mmoja akaniambia babu yake ana dawa nzuri sana ya hizo mambo.

            Kwa vile kipindi kile nilikuwa napenda sana wasichana nilimwambia anipeleke kwa babu yake nikachukue hiyo dawa, nilipofika kule nikamwambia yule babu shida yangu ya kupata dawa ya mvuto kwa wasichana, yule babu akaniambia ana dawa mbili ya kuoga na ya hirizi nichague ipi, nikachagua ya hirizi, akaniambia natakiwa nimeze hiyo hirizi ndogo na akanipa na dawa ya maji ninywe ikiwa imechanganywa na damu sijui ni ya mnyama gani.

            Baada ya kumeza hirizi na kunywa ile dawa ya maji, yule babu akaniambia kuanzia siku hiyo hakuna mwanamke atakaye nikataa nikimtongoza. Sasa imepita miaka kumi na moja, sijawahi kukataliwa na mwanamke yoyote niliyemtongoza na nimeshakula pesa za wanawake wengi.

            Sijawahi kumuomba hela mwanamke akaninyima labda asiwe nayo. Sasa hivi juzi kati, dada yangu nae ameanza kunitongoza anadai anavutiwa na mimi kimapenzi, anasema amevumilia sana ameshindwa imebidi aniambie, najaribu kumuepuka lakini wapi.

            Jamani hii dawa inanitesa sana, najuta kuitumia. Imenifikisha pabaya.

            Naombeni ushauri wenu.

            Sipo na Shilole Hivi Sasa - Nuhu Mziwanda

            Posted: 01 Jul 2015 10:02 AM PDT

            Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo leo alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
            Tweet

            Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole amepanga.
            "Hapana sipo na Shilole kwa sasa mimi nipo kwangu"
            Lakini kauli ya Nuhu haina maana kuwa mapenzi yao yamekufa lahasha bali amempisha mwenzake katika kipindi cha mfungo wa ramadhan kutokana na misingi ya imani ya mpenzi wake na kudai kuwa licha ya hilo hivi sasa yeye mwenyewe anakwake na anamaisha yake mwenyewe.
            Maswali mengi ambayo mashabiki wa ukurasa wa EATV walikuwa wakiyauliza yalikuwa ni kuhusu maisha ya mapenzi kati yake na Shilole hivyo walikuwa wakihitaji kufahamu mambo mbalimbali ambayo huenda wanaona kama yanazushwa na jamii hivyo ilikuwa ni sehemu ya wao kupata ukweli, mashabiki wengi walikuwa wakiiuliza inakuaje anakubali kupigwa pigwa na mwanamke kama mtoto na hapo ndio Nuhu Mziwanda alipoweka wazi suala hilo la yeye kupewa kichapo na Shilole.
            "Hamna mapenz bila kugombana na siku zote ukitaka kudumu na mwanamke usimuonyeshe ubabe sababu mwanaume wa kweli hapigi na hata kama ukipigwa kibao na mwanamke hauwezi kufa hivyo ni vema kua kama mwanaume na kusamehe"
            Mbali ni hilo Hit maker huyo wa Bilima alikana suala la yeye kulelewa na Shilole na kusema kuwa yeye ana maisha yake na mpenzi wake huyo ana maisha yake pia hivyo halelewi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyosema mitaani kuwa analelewa na kutunzwa na Shilole.
            "si kweli mimi silelewi maana nina maisha yangu na shishi ana maisha yake so tumekutana tu kimapenzi ila watu wanajudge tofauti ila wanapaswa kutambua kuwa mimi na maisha yangu na Shishi pia ana maisha yake binafsi,ni mapenzi tu yanafanya kuwa kitu kimoja"

            MATUMIZI YA LUGHA
            Msanii huyo amekiri wazi kuwa yeye lugha ya kiingereza si lugha yake hivyo makosa ambayo anakuwa anayafanya katika matumizi ya lugha hiyo ni ya kawaida sababu tu si lugha yake ila anazidi kujifunza zaidi ili aje kuwa na matokeo mazuri katika kutumia lugha hiyo ya kiingereza, hivyo anakubali wazi kuwa kile alichokuwa amepost katika mitandao yake ya jamii haikuwa makusudi bali ni bahati mbaya na yote ni sababu ya kutofahamu lugha hiyo kwa undani zaidi
            "kingereza si lugha yangu nilikosea kweli ila bahati mbaya ila nazidi kujifunza, hivyo tegemeeni matokea mazuri kwenye hiyo lugha toka kwangu"

            IMANI ZA KISHIRIKINA
            Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakisema kuwa msanii huyo anajihusisha na imani za kishetani kwa kutumia alama ya 666 katika mitandoa yake ya kijamii,lakini yeye amekuja kuweka wasa na kusema kuwa yeye anamuamini Mungu hivyo hana imani hizo lakini pia amesisitiza kuwa haamini kama namba hizo zinatumika na watu wanao amani ushetani,
            "Sina imani hizo na siamini kama hiyo namba ni illuminat na kingine ukiamini hiyo namba ni illuminat basi itakudhuru ila mimi na muamini Mungu tu"
            Katika safari yake ya Maisha Nuhu Mziwanda anasema hataweza kusahau kamwe siku aliyosafiri na kwenda nje ya nchi halafu akaachwa kwenye treni na wenyeji wake anadai hiyo siku katika maisha yake haitakuja kusaulika kirahisi,na kwa kumalizia aliweza kuweka wazi kuwa anatarajia kuja kufunga ndoa na Shilole na kuoana naye kama Mume na Mke kwa sababu anamiini kuwa wanapenda na ndiyo maana bado wapo pamoja sasa kwa mwaka wa pili katika mahusiano yake.

            Davido anatafutwa na askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria,sababu iko hapa

            Posted: 01 Jul 2015 05:24 AM PDT

            Staa wa Nigeria Davido anatafutwa na [Askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria ] National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA).

            Chanzo cha habari kimesema video yake ya ‘Fans Mi’ aliyofanya na Meek Mil iliyotazamwa na watu zaidai ya milioni moja kwa sasa Youtube imeonyesha matendo ya ununuaji wa dawa za kulevya yasiyotakiwa kuonekana kwenye tv.

            Ofisa wa NDLEA, Mitchell Ofoyeju amesema  “The agency considers the musical video, ‘Fans Mi’ inappropriate and indecent. It has the tendency to negatively influence and induce drug use and trafficking. Besides, it is counter-productive on the campaign against drug production, trafficking and abuse. The agency is also investigating the matter and will take necessary action,” .

            Girls! Girls! Sell your own body in peace and stop stealing HUDDAH’s identity

            Posted: 01 Jul 2015 10:35 AM PDT



            Huddah Monroe is dealing with an identity thief from Congo who has been using her photos to swindle men off their money. Now, Huddah is watermarking her photos to bring this to an end.

            Here is what she said;

            Kisses….. I really hate to water mark my pictures but there’s a person who is making guys think I’m from Congo , the name on FB is Yvonne Bongongo , she/he has been using my pics on FB asking men for money , You are not lucky anymore! I got this….. Identity Thief!”

            A Man Who Lived Close To LUPITA NYONG’O For 3 yrs Reveals Her Ugly Side.

            Posted: 01 Jul 2015 10:37 AM PDT


            After word got out that celebrated actress Lupita Nyong’o was charging Kenyans Ksh 10,000 to dine with her at Villa Rosa Kempinski, many people took it to social media and criticized her for that move.

            They felt that the Hollywood based actress had let fame get into her head and she was now feeling like a small god.

            Otuma Ongalo, who is a former Senior Editor at the Standard Newspaper, has come out to reveal how the once humble Lupita has become too proud after gaining international fame.
            Otuma claims that he once shared a tiny office with Lupita’s mum for three years and she was a humble lady. However, the internationally recognized actress now feels too big and she can no longer shake the hands with “raiyaa” (common mwananchi).

            Here’s what the former Standard Newspaper Senior Editor had to say on Lupita’s current behaviour.

            Is it true that Lupita Nyong'o is now asking people to cough out 10k just to dine with her? I can't believe that this humble girl is now so overpriced. For almost three years I shared a tiny office with her mum and she was always there doing one or two errands for us though those were the days she was Miss Malaika. I have watched her grow as a high school leaver but she was also a good actor with local outfit. What I can't believe is that she is now too big to even shake my hand.

            Kimenuka: Zitto to Disclose Names Behind ‘Swiss Billions’

            Posted: 01 Jul 2015 03:27 AM PDT

            After years of dilly-dallying and secrecy by the government on who owns much cash in offshore accounts, the Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) party will finally reveal the names of those involved on July 4.

            But Attorney General George Masaju who revealed in February that the report on the same matter was ready and that it would be tabled in Parliament chose to keep mum when The Citizen demanded to know when it would be presented as the House’s life comes to an end on July 9.

            President Jakaya Kikwete is expected to address the National Assembly on July 9 and later dissolve Parliament to pave the way for the country’s General Election slated for October 25.

            Yesterday, ACT-Wazalendo party leader Zitto Kabwe told a news conference, barely a day after he completed his tour of different regions, that he would provide a list of 99 bigwigs behind the Swiss Billions at a public rally.

            Mr Kabwe and other party leaders had for the last three weeks been traversing various regions to popularize the party and the newly launched Tabora Declaration which seeks to revive the now defunct Arusha Declaration.

            Addressing a news conference, Mr Kabwe said on July 4, the party will hold a huge political rally at Mwembeyanga grounds in Dar es Salaam where he would reveal the names of people with ofshore accounts in the and the amount of cash they had stashed.

            The ACT-Wazalendo party’s move comes at a time when a big cloud still hangs over the ‘Swiss Billions’ even as Mr Masaju made a revelation that the report of a taskforce led by the Prevention and combating of Corruption Bureau (PCCB) director general Edward Hosea was ready.

            Mr Hosea revealed in February, just few days after he was appointed AG, to succeed former AG, Judge Fredrick Werema, who resigned following the Tegeta escrow account scandal.

            Addressing editors in Dar es Salaam at his maiden press conference, Mr Masaju said the final report would be tabled in Parliament any time. He stressed that Parliament would then debate the document and decide on the next course of action.

            However, almost five months down the line, the report has been shelved and the government is still silent. At Parliament grounds in Dodoma, the AG appeared to run away from questions on the controversy surrounding the matter. When asked by The Citizen to give any statement on the promise he made before editors in February, the AG said: “I cannot comment on that issue because everything here depends on Parliament’s schedule.

            The Citizen further sought comment from Deputy Speaker of the National Assembly Job Ndugai concerning the ‘Swiss Billions’ report, but MrNdugai said his office was yet to receive it.

            “We understand this matter was being pushed by the former Kigoma North MP, but as of today the government is yet to bring the report to the office of the Speaker and I think you should contact the AG,’’ he said.

            Mwigizaji JOHARI Ajuta Kuachana na Aliyekuwa Mpenzi wake wa Kwanza McDonald...Mpenzi wangu wa Sasa Ananichanganya na Wanawake Wengine

            Posted: 01 Jul 2015 03:23 AM PDT

            Brighton Masalu
            BLANDINA Chagula ‘Johari’ ambaye ni mwigizaji mkongwe Bongo, amejuta kuachana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Donald Mwakamele ‘McDonald’ kwa kusema kuwa angeendelea naye, angekuwa mwanamke mwenye heshima.

            Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, staa huyo alisema vurugu za kimapenzi anazokutana nazo kila mara, zimekuwa zikimfanya arudishe mawazo nyuma ya kwamba, angeendelea na uhusiano na McDonald, angekuwa na maisha yasiyokuwa na mateso ya kihisia.

            Hata hivyo, bila kumtaja, Johari alisema mpenzi aliyenaye kwa sasa anampa ‘stresi’ nyingi kwa kumchanganya na wanawake tofauti, jambo ambalo hakuwahi kukutana nalo katika maisha yake ya kimapenzi na McDonald.

            Alisema kuwa, licha ya kuwa ni muda mrefu tangu kutengana kwao, bado wana uhusiano wa kawaida, ikiwemo kusalimiana na kubadilishana mawazo ya kimaisha na kwamba kama mwanamke anayehitaji faraja ya kweli, huingiwa na maumivu ya kuukosa uwepo wa mwanaume huyo na haiwezekani kurudiana kwani McDonald ana familia.

            “Unajua stresi za mapenzi ninazokutana nazo zinanifanya nikumbuke mbali sana, uhusiano wangu na McDonald ulikuwa wa furaha sana, mpenzi wangu wa sasa ananiumiza kwa mengi, lakini kubwa ni kunichanganya na wanawake wengi,” alisema Johari.

            Licha ya kukataa kumtaja mpenzi wake wa sasa, huko nyuma Johari aliwahi kudaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mwigizaji Chuchu Hans.
            GP

            Treni imegongana na gari aina ya Costa iliyokuwa imezidisha abiria. Watu 4 wamefariki na 30 wamejeruhiwa.

            Posted: 01 Jul 2015 02:58 AM PDT

            Watu wanne wamekufa na wengine 30 kujeruhiwa leo Kilosa baada ya basi dogo aina ya coaster kugongana na treni.
            Maiti na majeruhi wamepelekwa hospitali ya wilaya Kilosa

            Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya

            Posted: 01 Jul 2015 02:52 AM PDT

            SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.

            Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.

            Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho kilimshirikisha Mbunge wa jimbo hilo, Kangi Lugola, viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nambaza na Kata ya Nansimo.

            Alisema vitendo vya kishirikina wanavyofanyiwa walimu hao ni udhalilishaji mkubwa ambao hauwezi kuvumiliwa na kumlalamikia Ofisa Tarafa ya Nansimo, Bw. Jonas Nyeoja kwa kuzembea na kutochukua hatua za haraka.

            Alisema Bw. Nyeoja alipaswa kuwakamata watuhumiwa 15 ambao wanalalamikiwa kuwatesa walimu kwa kuwafanyia vitendo vya kishirikina na kuwafikisha katika vyombo vya dola.

            "Nimemuagiza Ofisa Tarafa (Nyeoja), akawakamate watuhumiwa ambao orodha ya majina yao ninayo na wafikishwe kwenye vyombo vya dola wakati tukiandaa maeneo ya kuwahamisha kwani wamekosa sifa za kuishi kijijini hapo na wenzao hawawataki," alisema.

            Aliongeza kuwa, kuendelea kuwakumbatia watu hao ni kusababisha machafuko kijijini kwani upo uwezekano wa wananchi kuchukua sheria mkononi na kuwaweka walimu katika hofu, kukosa molari wa kazi.

            Kwa upande wake, Bw. Lugola ambaye alilazimika kusitisha vikao vya bunge na kwenda jimboni kwake kushughulikia tatizo hilo, akiwa katika mkutano wa hadhara alioufanya kijijini hapo, alitokwa na machozi baada ya kuelezwa jinsi walimu hao walivyofanyiwa vitendo vya kinyama kwa kuwadhalilisha na kuwaondolea utu wao.

            Katika mkutano huo, wananchi mbali na kuwataja wahusika wa vitendo hivyo hadharani, walimtaka Bw. Lugola ahakikishe watu hao wanahama haraka jimboni humo kabla hawajachukua sheria mkononi hatua ambayo itakuwa na madhara, umwagaji damu.

            Bw. Lugola aliwaeleza wananchi hao kuwa yuko pamoja nao ili kuhakikisha watu hao wanahama jimboni kwake, lakini kwa kuwa hana mamlaka ya kufanya hivyo kesheria, atalifikisha suala hilo kwa Mkuu wa Wilaya mwenye uwezo wa kufanya hivyo kisheria.

            Katika mkutano huo, pia alikuwepo Diwani wa Kata ya Nansimo, Sabato Mafwimbo, Ofisa Tarafa (Nyeoja), Ofisa Mtendaji Kata ya Nansimo, Bryceson Mashauri, Mratibu Elimu Kata, Pius Kijoriga na Mwenyekiti wa Kijiji cha Nambaza, Leonard Mtelalilwa.

            Jana Bw. Lugola aliongozana na viongozi hao pamoja na polisi kwenda kijijini Nambaza kuwakamata watuhumiwa hao kutokana na agizo la Mkuu wa Wilaya na kusema kama polisi watasita kuwakamata watuhumiwa kwa lengo la kuwalinda, yeye atamkamata hadi mtu wa mwisho.

            Watu hao wanadaiwa kuwaingilia kimwili na kuwafanyia walimu vitendo hivyo usiku wakiwa wamelala pamoja na kuchukua nyaraka zao mbalimbali zikiwemo vitambulisho na kadi za benki (ATM) kwa njia za kishirikina.

            Pia wachawi hao wamekuwa wakijisaidia haja kubwa na ndogo katika vitanda vya walimu hao, kuweka vyakula, unga na mboga na wakati mwingine walimu hujikuta wamelazwa chini wakiwa utupu na chakula hubadilishwa kishirikina ambapo kama walikuwa wakila wali na nyama ya kuku, ghafla unakuwa ugali na maharage.

            Vitu Nilivyopenda Kwenye Video Mpya ya ALI KIBA iliyotoka Jana na Kuacha Gumzo Mitandaoni..

            Posted: 01 Jul 2015 01:53 AM PDT

            Nimependa jinsi furaha ilivyo tawala kwenye video hii. Nimependa jinsi stylist alivyochagua rangi za nguo za wahusika ambazo zimeendana vyema kabisa na rangi za kuvutia zilizowatala kwenye location. Rangi za nyumba, magari ziko on point balaa – kila kitu kinaonekana kiliweka kwa hesabu kali sana hapa. Navutiwa mno na yule dancer wa kike aliyekuwa anaangalia gari lake lililoharibika na Alikiba aliposogea kutaka kumsaidia wakaanza kucheza, connection na chemistry hatari sana hapo inaonekana – kama wanafahamiana kitambo.

            Wale dancers wanaocheza mbele ya kiduka chenye spika mbele yake wako on point. Yule demu point 5 aliyevaa kofia kama ya Michael Jackson yuko on point na kapendeza sana – Alikiba pia anaonekana kummudu vyema. Quality nzuri kabisa inayovutia machoni. Picha hazijapikwa wala nini – natural kabisa! Kimsingi hii ni video kali na niamini kuwa itaufanya wimbo huu kuwa mkubwa zaidi Afrika. I love it. Watch it, Enjoy and stop comparing!
            Shout Outs kwa @officialalikiba na director @mejialabi ‪#‎TeamTanzania‬

            By Fredrick Bundala

            Mke: Asha Buheti wa Bongo Movies Amezaa na Mume Wangu wa Ndoa

            Posted: 01 Jul 2015 01:48 AM PDT

            Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
            MAJANGA! Mwanamke aliyejitambulisha kuwa ni mke wa ndoa wa jamaa aliyemtaja kwa jina la Ally Msangi, Rosita Yashira ameibuka na madai mazito kuwa staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui eti amezaa na mumewe huyo.

            Akizungumza kwa njia ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp akiwa nchini Peru barani Asia, mwanamke huyo alisema kwamba Aisha amemwibia mumewe huyo ambaye amemtelekeza na watoto wawili na hatoi matumizi.

            Alidai kwamba, alifunga ndoa na Msangi, mwenye uraia wa nchi mbili, Tanzania na Peru, mwaka 2007 ambapo wamejaliwa watoto wawili lakini mumewe alibadilika na kuwa na uhusiano na Aisha hadi akaamua kuhamia Tanzania na kuzaa naye.

            “Mbaya zaidi Aisha amekuwa akinitumia picha akiwa na mume wangu, akinidhihaki kwamba niwaache wale bata.
            “Inauma sana kwa sababu ni miezi saba sasa mume wangu hajui tunaishije na watoto na uwezo anao lakini hatumi matumizi yoyote, ukweli nateseka mno, kwa sasa mtoto mmoja anaumwa, sina fedha za kumtibu.

            “Nchi yangu iko kwenye hatari kila siku milio ya bunduki inasikika, hatuwezi kwenda nje kutafuta mahitaji na hata watoto wanacheza ndani, Aisha kaniharibia maisha,” alisema mwanamke huyo.

            AISHA ANASEMAJE?
            Ili kupata mzani wa habari hiyo, mapaparazi wetu walimtafuta Aisha na kumsomea mashitaka hayo ambapo alisema:
            “Ninachojua huyo alikuwa mke wa Msangi lakini wameshaachana na watoto anawahudumia kama kawaida lakini zaidi muulize mhusika baba Paloma (baba mtoto wake, Msangi)  mwenyewe atakueleza ukweli ila najua mapenzi ni kama kiti cha daladala, ukisimama mwenzio anakaa.”

            MWANAUME AFUNGUKA
            “Hizo habari siyo za kweli, huyo mwanamke alikuwa mke wangu kweli lakini mwenyewe ndiye aliyezingua tukaachana na hivi sasa anashughulikia talaka lakini huwa namtumia fedha za matumizi, hata wiki hii nimeongea naye na nimemtumia fedha.

            “Aisha nimekuwa naye baada ya yeye kunizingua kuhusu kumtumia picha za kumdhihaki hilo suala siyo la kweli kabisa,” alisema Msangi.
            GPL

            Kigogo wa Bandari Afumaniwa Ndani ya Mwezi Mtukufu...Ajipiga Faini ya Mil 30..Kisa Kizima Nimekuwekea Hapa

            Posted: 01 Jul 2015 01:43 AM PDT

            GPL
            WE acha tu! Hii ni habari ya kushangaza sana ambayo ilinaswa na paparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers juzikati ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ally Mwamwanza ambaye ni afisa katika kitengo cha ‘makontena’ bandarini Dar, kudaiwa kunaswa na mke wa jirani yake, Gibson Mtinge aliyetajwa kwa jina moja la Khadija.


            Licha ya wote wawili kuishi Mbezi ya Kimara, lakini kisanga hicho kilichojiri mwishoni mwa wiki iliyopita saa 12 asubuhi kilichukua nafasi maeneo ya Tegeta-Kibaoni jijini Dar es Salaam.

            OFM YAKATIZA
            OFM ilikuwa katika pilikapilika ya kusaka matukio ya usiku katika viwanja mbalimbali vya Jiji la Dar. Wakati inapita nje ya nyumba hiyo, kelele za ‘hoya! Hoya’ ziliifanya OFM kupiga kambi hapo kusikiliza.

            OFM NDANI YA GETI
            Hoya! Hoya zilipokomaa, ndipo OFM ilipoamua kusukuma geti na kuzama ndani ya mjengo huo wa maana na kukutana na kasheshe ya mwaka, wanaume wawili wakitwangana.Mwanaume aliyejitaja kuwa ni mfanyabiashara wa kusafirisafiri ambaye ndiye Gibson alidai amemfumania Ally akiwa na mkewe kitandani kwenye chumba kimoja ndani ya nyumba hiyo.


            “Huyu jamaa nimemkuta na mke wangu. Huwezi kunifanyia hivi bwana Ally. Halafu wewe ni jirani yangu kabisa,” alifunguka Gibson kwa sauti yenye kuweza kufanya lolote kwa wakati huo kama si Mungu kumdhibiti shetani.

            MTUHUMIWA ALITOKA KWAKE MUDA WA DAKU
            Habari zaidi kutoka kwenye kinywa cha Gibson zilisema kuwa, Ally alikuwa akimtongoza mkewe kwa siku nyingi. Ikafika mahali, mke huyo akachoka na kumweleza mumewe ambapo waliweka mtego.

            Siku hiyo, inadaiwa Ally alichati na mwanamke huyo akitaka waonane, mke akamwambia hayupo Mbezi wanapoishi, amelala Tegeta kwenye nyumba ya dada yake kwa vile dada huyo amekwenda Mbeya. Kwa hiyo kama  anataka yeye aende Tegeta.


            “Jamaa katoka kwake Mbezi saa 10 alfajiri,  muda ambao watu wanakula daku kwa ajili ya mfungo. Alimuaga mkewe anakwenda kazini,” alisema Gibson huku akivuja jasho maana Ally naye ni bonge.
            Ina maana taarifa hizo, Gibson alipewa na mke wake ambaye alikuwa akichati na Ally!

            MAJIRANI WAINGILIA KATI
            Majirani wa eneo hilo, baada ya kusikia sekeseke walizama ndani na kufanya kazi ya ziada kuwatuliza na kumtaka Gibson amwache Ally avae nguo.


            MTUHUMIWA AJIPIGA FAINI
            Baada ya vuta nikuvute iliyochukua muda wa saa 3, Ally alikiri kutenda kosa hilo na hivyo kuamua kujipiga faini mwenyewe kwa kusema atampa jamaa huyo mwenye mke kiasi cha shilingi milioni 30 kama fidia ya ugoni.
            OFM ilimshuhudia Ally akiyaweka maelezo yake hayo kwenye karatasi na kuanguka ‘signecha’ huku  akitazamwa na mashahidi wawili ambao nao walimwaga wino.

            Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano, 2015/ 2016

            Posted: 01 Jul 2015 01:44 AM PDT

            OWM-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2015.Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali.

            Jumla ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana31,700 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.

              
            Kati ya wanafunzi waliochaguliwa 29,744 wakiwemo wasichana 11,450 nawavulana 18,294 sawa na asilimia 54.08 watajiunga na masomo ya Sayansina Hisabati; na wanafunzi 25,259 wakiwemo wasichana 11,853 nawavulana 13,406 sawa na asilimia 45.92 wamechaguliwa kusoma masomoya Sanaa na Biashara.

            Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2015 wataanza muhula wa kwanza tarehe 18 Julai, 2015 na hakutakuwa nafursa ya mabadiliko yoyote ya shule. 

              
            Wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti kwa zaidi ya siku 14 kuanzia tarehe ya mwisho yakuripoti, nafasi yake itachukuliwa na mwanafunzi mwingine aliyekosa nafasi.

            Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano naVyuo vya Ufundi mwaka 2015 inapatikana kwenye tovuti ya OWMTAMISEMI
            ya www.pmoralg.go.tz

            Imetolewa na Katibu Mkuu,



            MAELEKEZO: Matokeo yanatoka kwa kituo kizima ulichofanyia mtihani.

            Jinsi  Ya  Kupata kituo  chako: 
            Kwenye kisanduku anza kuandika jina la kituo ulichofanyia mtihani na usubiri, jina lililokamilika la kituo litajimalizia lenyewe ikiwemo namba ya kituo. 

            Mfano: Iyunga, Halafu  Subiri  kidogo  ili  ijimalizie  yenyewe 

            Ukishachagua utabofya neno 'retrive' na utapata majina ya shule yako yote uliyotoka. 

            << BOFYA  HAPA  KUONA  MAJINA>>

            Huu ni Mwezi mgumu kwa Mwanamuziki Diamond Platnumz..Angalia hii Ratiba Hapa

            Posted: 01 Jul 2015 12:08 AM PDT

            King of Afro pop anazidi kupata tatizo la kutokupumzika kutokana na kuwa hot cake ambapo kila sehemu wanamuhitaji akatoe show licha ya kuwa na gharama kubwa sana anayotoza kuperform kila show

            Sasa >> Nana media tour Nigeria ambapo amesafiri na team yake watu 5, na gharama zote zimelipwa na cocacola mpaka watakapo rudi Tanzania kupitia campaign ya #Iamareason

            3, July >> Nigeria road to mama

            4, July >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya Yanga, jangwani

            8, July >> Singida, with Mohammed Dewji

            18, July >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo atatumbuiza na NEYO

            24, July >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa nje ya dares salaam
            30,000/=, mpaka 300,000/=

            25, July >> South Africa, African achievers awards ambapo amekuwa nominated kama Most inspiring icon

            EWURA yapandisha Mafuta kwa Ongezeko la Wastani wa Shilingi 200 Kwa Lita

            Posted: 30 Jun 2015 11:52 PM PDT

            Kumekucha watanzania na wapiga kura wa nchi hii.Wakuu wa EWURA huku wakiwa na nyuso za bashasha kana kwamba wanatangaza jambo jema,wametangaza Bei mpya ya nishati ya mafuta.

            Mafuta yamepanda kwa wastani wa TShs 200 kwa lita.Sababu kubwa ikiwa na kupanda kwa dola.Wachumi mtuambie hii italeta madhara makubwa kiasi gani kwa mtanzania wa kawaida.

            --------------------------

            TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 JULAI 2015

            Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini.

            Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 1 Julai 2015. Pamoja na kutambua bei kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

            (a) Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 3 Juni 2015.

            Kwa Mwezi Julai 2015, bei za rejareja kwa Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimeongezeka kama ifuatavyo: TZS 232/lita sawa na asilimia 11.82 TZS 261/Lita sawa na asilimia14.65 na TZS 369 /lita sawa na asilimia 22.75 sawia.

            Kwa kulinganisha na toleo la mwezi uliopita, bei za jumla kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa nazo zimeongezeka kama ifuatavyo: TZS 232.35/lita sawa na asilimia 12.49 TZS 261.15/lita sawa na asilimia 15.57 na TZS 369.41/lita sawa na asilimia 24.32.

            Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia, kuendelea kudhoofu kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani pamoja na mabadiliko ya tozo za Serikali katika mafuta kuanzia mwezi wa Julai 2015.

            Kwa kulinganisha thamani ya Shilingi dhidi ya dola ya Marekani kwa machapisho ya bei za mwezi Juni na Julai 2015, Shilingi ya Tanzania imepungua thamani kwa TZS 175.11 kwa dola ya Marekani sawa na asilimia 8.65.

            (b) Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za bidhaa za mafuta.

            Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu manunuzi ya bidhaa za mafuta.

            (c) Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula iliyopitishwa na EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 7 la tarehe 4 Machi 2015.

            (d) Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa kituo husika.

            (e) Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo, tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 1 July 2015

            Posted: 30 Jun 2015 11:45 PM PDT


























            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe 1 July 2015

            Wazazi wa Mke Wangu Wamehamia Kwangu Kabisa, Nyumba imegeuka Bujumbura

            Posted: 30 Jun 2015 11:36 PM PDT

            Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijini
            lakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January

            Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikua na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua pagala.Ndugu wengine wapo mjini ila mikoa tofauti.

            Madhara yatokanayo na wakwe kukaa kwetu:-

            (1) Kila tukigombana namke wangu au kutofautiana hata kwa jambo dogo sana, kesho yake atawaeleza wazazi wake, jioni yake wataniita kulizungumza, hadi nakereka, kila siku nawekwa chini hata kwa Yale ambayo zamani tulimaliza chumbani

            (2) Kwa muda waliokwisha kaa baba mkwe amefanya nyumba yangu kama kwake, anatoa amri kana kwamba yeye ndo mwenye mji, anawa amrisha familia yangu chakula cha kupika ambacho ni kinyume na nitakavyo mm, na taratibu zingine za kikoloni

            (3) Kabla hawajaja 2011, tulikua na Chumba special cha wageni wetu maalum self contained, ambacho sasa tumewapa wao hivyo wageni wetu tunawalaza kwa watoto, watoto tunawahamishia kwa house girl, kama wageni ni wengi house girl hulala sebuleni, jambao ambalo huwa linaniudhi sana sana

            (4) Gharama za maisha zimekua kubwa, kuishi kwao, afya zao, mahitaji yao ni juu yangu, ukijumlisha na familia yetu mzigo unakua mkubwa sana

            Wakuu, kwa hali hii nimeshindwa kuendelea hivi najitaji way out, niliamua kukaa na wife tuweze kujadiliana kuhusu wazazi kurudi kijijini lakini kinyume na matarajio yangu uligeuka ugomvi mkubwa sana, akasema kama siwataki wazazi wake niseme wazi badala ya kujifanya namshauri,

            Tangu siku hiyo ni visa tupu, kadai kwamba wazazi wake hawaendi kokote, kama nimemchoka anadai nimwambie aondoke yeye na wazazi wake, baada ya kuona diplomacy imeshindikana ikanibidi niwe mkali, ingawa sikufika hatua ya kumtamkia kwamba nawafukuza wazazi wake

            Nimekua nikimuuliza "" hivi kule kijijini wazee wako walifanya kosa gani hadi kufikia hatua hawataki tena kurudi pamoja na misaada yote tuliokua tukiwatumia? Anakaa kimya

            Mbona mimi wazazi wangu wapo kijijini wanaishi vizuri tu na wanayapenda maisha ya kule? Na tunawatumia misaada na wameridhika?

            Ingawa sote mimi na wife tunafanya kazi ila kama mwanaume mimi ndo nabeba karibu robo tatu ya gharama za uendeshaji familia i .e ada za watoto na bill mbali mbali na kadhalika

            Juzi nimekutana na a primary school friend, tulipotezana miaka mingi sana, she was so bright in school, she is successful, anafanya kazi katika health sector, tulikutana katika function flan tukabadilishana business cards, tumetoka out kwa maongezi ya kawaida kama mara tano hivi, tumekumbushana vitu vingi sana vya enzi hizo, tuli enjoy sana kuongea pamoja

            Hivi karibuni alini invite kwa ajili ya lunch Jumamosi moja nyumba ni kwake, aliniuliza napenda nn nikamwambia Biriani,
            So akaniambia niende kwake ameaandaa Biriani.Tulikula pamoja, na tuka watch movie, although hakuna kibaya kilichotokea kati yetu ila nilimueleza matatizo yaliyopo Kwangu, akaniambia kama vipi tunaweza kuwa pamoja ila nichague sehemu moja yeye hawezi ku share.

            Anyway, sijajua kwa nn hajaolewa hadi Leo ingawa yupo kwenye mid 30s . Ila aliniambia kwamba kwenye health sector shule inachukua Muda mrefu kumaliza kuliko sector zingine ukichukulia kwamba alifanya na masters pia.Waheshimiwa kwa kweli nilikua suffocated kwa Muda mrefu nyumbani kwangu walau sasa nimepumua kidogo

            Nalileta hili tatizo mikononi mwenu kwa ufumbuzi zaidi, mke wangu nampenda ila kwa sasa hatuelewani kabisa, chanzo ikiwa ni wazee wake ingawa na mengine mengi yameingia hapo hapo

            Nilimuomba rafiki yake kipenzi azungumze nae kiutu uzima amweleweshe kuhusu wazazi kutuachia nafasi ya kupumua lakini hivi navyozungumza nanyi urafiki ulikufa, aliambiwa anathubutu vipi kuingilia ndoa yetu! Ukawa ndio mwisho Wa urafiki wao, na hadi sasa naambiwa natembea nae wakati si kweli

            Au nikubali pendekezo la moreen? Mengine yatajijua huko mbele?

            Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?

            Posted: 30 Jun 2015 11:29 PM PDT

            Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.

            Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.

            Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson Nguza (Papii Kocha), walitumbuiza wakiwa na Bendi ya Wafungwa. Walimwomba Waziri Chikawe kufikisha ombi lao kwa Rais Kikwete.

            TAARIFA HII NI YA TEREHE 21/JUNI/2014. Mhe. Rais anamaliza muda na juzi alikuwa kule magereza akitunuku nishani. Alisema akisamehe baada ya muda wanaorudi kifungoni ni zaidi ya aliowasamehe.

            Banza Stone alivyoita Waandishi wa habari kukanusha kifo, kusema anachoumwa na mengine. (video)

            Posted: 30 Jun 2015 10:50 PM PDT

            Mwimbaji wa longtime kwenye muziki wa dance Tanzania Banza Stone alikutana na Waandishi wa habari wachache kwa ajili ya kukanusha taarifa za kuzushiwa kifo, maisha yake kwa sasa na kilichokua kinamsumbua kiafya.

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 2, 2015, 4:04:17 PM7/2/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Davido atoa uthibitisho mwingine kuwa hakuna ‘beef’ kati yake na Diamond

            Posted: 02 Jul 2015 10:56 AM PDT

            Bado una wasiwasi juu ya maelewano kati ya muimbaji wa Nigeria, Davido na Diamond? Pamoja na Diamond kujibu kwenye Interview mbalimbali kuwa hawana tatizo, Davido naye ametoa uthibitisho mwingine kuwa hakuna ‘beef’ kati yao.

            Ni jambo gumu kupost kitu kinachomhusu mtu ambaye hamna maelewano, ndio maana kwa post hii ya Davido watu wanapaswa kufahamu kuwa jamaa hawa wawili wanaiva chungu kimoja, na tutarajie kuwaona wakitumbuiza tena pamoja kwenye tuzo za MTV mwezi huu.

            Baada ya MTV kutaja majina ya wasanii wa Afrika watakaotumbuiza wakati wa utolewaji wa tuzo za MAMA akiwemo Davido na Diamond, Davido alipost picha ya performance aliyofanya na Diamond mwaka jana kwenye tuzo hizo.

            Katika picha hiyo ameandika:

            “PERFORMING AGAIN LIKE THIS AT ‪#‎MTVMAMA2015‬ !! TOO MUCH BLESSINGS…”

            Rais Bora Africa Apatikana...Huwezi Amani Anatoka Afrika Mashariki.....

            Posted: 02 Jul 2015 10:33 AM PDT

            Muungano wa Wanavyuo Barani Africa AASU umemchagua Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Kuwa Rais Bora wa Bara la Afrika 2014/2015 ...
            Kabla yake alikuwa Rais Paul Kagame wa Rwanda...

            Angalia Video Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015

            Posted: 02 Jul 2015 10:07 AM PDT

            Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo.

            “Tumekabidhiwa orodha ya shughuli za leo.. kimsingi imekiuka kanuni, uamuzi wa kuileta hii miswada mitatu kwa pamoja kama hati ya dharura umekiuka kabisa msingi wa makubaliano ya kwenye Semina ambapo Wabunge kwa kauli moja tulikataa Miswada hii isiletwe kwa hati ya dharura“


            “Naomba Mwongozo, hili jambo linahitaji majibu sasa” >>> Mbunge John Mnyika.

            Spika Makinda akaanza kutoa ufafanuzi kuhusu hiyo ishu >>> “Toa kwanza maneno ya kuniamrisha mimi cha kufanya… Hakuna mtu anayeweza kuniamrisha” >>> Anne Makinda.

            Spika akaendelea >>> “Tumefanya mara nyingi sana wala sio leo tu, hakuna kanuni iliyovunjwa na sio mara ya kwanza kujadili kitu kinachofanana kwa pamoja”>>> Spika Anne Makinda.

            Hakukuwa na suluhu ya hilo, Wabunge wa Upinzani wakagomea Mjadala huo kuendelea ikabidi Kikao cha Bunge kiahirishwe saa nne asubuhi. Angalia Video Hapa:

            Aunt Ezekiel: Nitamuunga Mkono Wema Sepetu Katika Safari Yake ya Kugombea Ubunge

            Posted: 02 Jul 2015 08:58 AM PDT

            Diva  wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja anayetambulika kwa jina la Cookie, Aunt Ezekiel, amefungukia kuhakikisha anampa sapoti ya nguvu shosti wake, Wema Sepetu katika harakati zake za kuwania ubunge.

            unt amesema kuwa pamoja na kwamba yeye hafahamu siasa hata kidogo na hatarajii kujiingiza huko, lakini anatambua Wema ameamua kutangaza nia ya kugombea, hivyo kama rafiki yake mkubwa atahakikisha anazunguka naye kila sehemu ili kumsaidia atimize ndoto zake za kuingia mjengoni na kuwatumikia wananchi wa Singida.

            “Kama rafiki wa Wema nitahakikisha nampa sapoti ya nguvu rafiki yangu hadi aingie mjengoni, japo kuwa mimi binafsi sipendi siasa na sitaki kujiingiza huko,” amesema Aunt Ezekiel.

            Wema ni mmoja kati ya wasanii waliojitokeza katika kinyang’anyiro cha kutangaza nia ya kugombea ubunge wa viti maalumu jimbo la Singida Mjini kwa tiketi ya CCM.

            Wema: Nachukizwa na ‘Artwork’ Ambazo Sina Taarifa Nazo

            Posted: 02 Jul 2015 07:41 AM PDT

            Nachukizwa sana pale napoona mtu kaenda kutengeneza Artwork ambayo mimi binafsi sina taarifa nayo... Nimeona Artwork yenye picha yangu niliovaa bazee la njano ikisema Wema Sepetu Vyiti maalum 2015 -2020... Kwanza kakosea neno Viti maana sio Vyiti... Naomba aliopost hio artwork aitoe kwa heshima na taadhima... Pale zitakapokuwa tayari za kwangu basi nadhani mtaanza kuiona kupitia ukurasa wangu ambao ni huu hapa... Ile picha kwanza ni picha ya zamani sana na pale ambapo wameweka rangi ya Green palikuwa Royal Blue... Watanzania muda utakapofika basi naamini nitatoa posters zenye kueleweka na sio hizi zinazosambazwa... Ahsanteni sana...

            Wema Sepetu on Instagram

            Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye

            Posted: 02 Jul 2015 07:38 AM PDT

            Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.


            Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:

            “Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!

            Ila naomba niwambie kabisa masharti

            1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
            2.Awe anapenda muvi za kihindi ili nikiwa na stress aniwekee nyimbo za kihindi maana ndio raha ya moyo wangu.
            3.Asiwe muongeaji sana sababu huwa sipendi makelele.
            4 Anipende na ubonge wangu huu asije akaanza kunambia baby anza mazoezi au dah baby zamani ulikuwa bomba au rudisha kiuno hapo hatutaelewana.
            5.Awe ananipikia nikichoka maana navutiwa nikimuona mwanaume anapika.
            6.Awe na Mimi muda wote maana na wivu sana ikiwezekana tufanye kazi ofisi moja au awe ofisi ijengwe hapo hapo nyumbani.
            7.Awe mvumilivu maana nikiwa na hasira huwa naongea kwa sauti ya juu sana.
            8.Asiwe na rafiki wengi,na akitaka kuonana nae na mi niwepo maana si mnajua wanaume tena wakikutana huwa wanashaurina mabaya.
            9.Awe anajua nyimbo zangu zote ndio ntaamini kweli ananipenda.
            10.Sharti la mwisho kabisa ambalo ni muhimu sana kwangu ni hili tuwe tunatumia simu moja na Namba moja, maana kanisani tunafundishwa kuwa ndoa maana yake tumeungana na kuwa kitu kimoja kwahiyo kama mume na mke tunalala pamoja kitanda kimoja na kuishi pamoja kwanini tusitumie simu moja!Sioni tatizo!

            Kama una ndugu,jamaa.kaka,rafiki yuko single basi mjulishe tangazo hili huezi jua unaeza ukashangaa nimekuwa shemeji yako au wifi yako”.

            Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi

            Posted: 02 Jul 2015 07:32 AM PDT

            CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea

            -RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?

            MAKONGORO: Mimi si mwizi, wala mla rushwa. Nina uzoefu wa kutosha na nakijua chama changu. Pia ni mtu ambaye napenda kufuata utaratibu. CCM sasa inahitaji mtu wa namna hiyo.

            -RAIA MWEMA: Kwanini unadhani uadilifu ndiyo sifa kuu ya Rais ajaye wa Tanzania?

            MAKONGORO: Naamini kuwa ni mtu mwadilifu pekee ndiye ambaye ataisaidia nchi yetu kuondokana na matatizo tuliyonayo. Ufisadi, wizi wa mali ya umma na matatizo yote tuliyonayo yataondoka endapo tutampata kiongozi ambaye ni muadilifu.
            Kinachotakiwa ni kwa chama kujisafisha chenyewe kwanza. CCM ikiwa safi, serikali itakuwa safi tu. Lakini serikali haiwezi kuacha kuwa ya kifisadi wakati chama chetu kina mafisadi na tunawavumilia.

            -RAIA MWEMA: Ina maana kama utafanikiwa kuwa Rais na hatimaye Mwenyekiti wa CCM unaweza kuwafukuza wanachama wote wenye tuhuma za ufisadi?

            MAKONGORO: Hapana, siwezi kumfukuza mwanachama kutoka CCM. Tunachoweza kufanya ni kuwatoa kutoka katika nafasi zao za uongozi. Nitakupa mifano miwili kueleza hili.

            Kwa mfano wewe ni Mwislamu. Dini yako inataka uwe unaswali swala tano kwa siku. Sasa pale msikitini kwako una Imamu ambaye kwa siku anahudhuria swala moja au asihudhurie kabisa. Lakini kila siku unaambiwa anaonekana klabu ya pombe akinywa.
            Sasa huyu imamu dawa yake si kumvua Uislamu wake. Unachofanya ni kumtoa kwenye uimamu na kumpa mtu mwingine ambaye hatawakwaza.

            Kama wewe ni Mkristo na una Paroko ambaye kila kukicha ana kashfa za ngono na wake za watu ingawa hajawahi kukutwa huyo si paroko. Sasa ikitokea siku akanusurika kufumaniwa hadi akaacha mavazi yake ya uparoko kule Guest House lakini akachoropoka bila kukamatwa; huyo humvui Ukristo wake. Unachofanya ni kumtoa kwenye Uparoko wake.

            Chama ni imani kama zilivyo dini. Huwezi kumwondoa mtu kwenye chama lakini unaweza kumwondoa kwenye nafasi za uongozi. Kwa kifupi, kuna maparoko na maimamu wa aina hiyo ndani ya CCM ambao ni lazima kuwaondoa kwenye nafasi zao kama kweli tunaitakia mema nchi yetu.

            -RAIA MWEMA: Unasema chama ni imani lakini wewe uliondoka CCM na kuhamia NCCR Mageuzi kwenye miaka ya 1990. Ilikuaje ukahama chama chako?

            MAKONGORO: Mojawapo ya matatizo ya chama chetu ambayo ni lazima Rais ajaye apambane nayo ni ukweli kwamba kuna majimbo ya uchaguzi hapa Tanzania ambayo kama mtu hutoi rushwa huwezi kupita.

            Arusha ni mojawapo ya maeneo hayo. Yaani kama hula hela sahau kuhusu kuchaguliwa. Utafanyiwa mizengwe na viongozi wala rushwa hadi mwenyewe utachoka na kukata tamaa.

            Mimi mwaka ule wa 1995 nilikumbwa na tatizo hilo. Nilitaka ubunge pale Arusha lakini mtandao wa rushwa ulikuwa ukiniwekea vikwazo. Sasa wazee wawili wa pale; mmoja amefariki dunia na mwingine yuko hai, wakanishauri kuwa kwa vile wananchi wananitaka na shida yao ni kiongozi mzuri, nihamie kwenye chama kingine. Ndiyo nikaenda NCCR Mageuzi na nikapata ubunge.

            Haya ndiyo mambo ambayo yamenifanya niingie kwenye kinyang’anyiro kwa sababu hali inazidi kuwa mbaya. Kama hali ikiachwa hivi basi hata kwenye urais atakayeshinda atakuwa ni mla rushwa tu na nchi itakwenda vibaya sana.

            -RAIA MWEMA: Kuna taarifa kwamba Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, aliwahi kutaka kukuteua kuwa mbunge wakati akiwa Rais lakini wewe ulikataa. Kuna ukweli gani katika hili?

            MAKONGORO: Katika watu ambao nawaheshimu sana kama viongozi hapa nchini, Mzee Mkapa ni mmoja wao. Aliikuta nchi ikiwa na hali mbaya sana lakini akaicha pazuri. Aliikuta inanuka madeni lakini akaondoka akiiacha na akiba kubwa ya fedha za kigeni.

            Sasa miezi 18 kabla hajamaliza urais wake, aliniambia anataka kuniteua kuwa mbunge. Ni kweli kuwa nilikataa nafasi hiyo. Nilikataa kwa sababu ingeonekana anampendelea mtoto wa Nyerere. Ingeonekana kama anatoa zawadi. Na pengine ingeweza kujenga picha kuwa nimebebwa.

            Nilikataa kwa sababu sikutaka mtu ambaye ninamuheshimu sana anyooshewe vidole kwa ajili yangu. Nilimueleza sababu zangu na nashukuru mzee yule alinielewa vizuri.

            -RAIA MWEMA: Ni kweli kwamba baba yako, Mwalimu Julius Nyerere, hakujua kwamba uko vitani Uganda wakati wa Vita ya Kagera hadi baada ya vita kumalizika?

            MAKONGORO: Ni kweli. Unajua mimi nilikwenda vitani nikiwa na umri wa miaka 18 tu ambao ndiyo ulikuwa umri mdogo zaidi kuruhusiwa kwenda vitani wakati huo.

            Wakati vita inaanza mimi nilikuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwenye Operesheni iliyojulikana kama Chakaza. Wale waliokuwa JKT walipatiwa mafunzo kidogo na kisha kupelekwa vitani.

            Mimi pia nikaenda lakini sikumwambia baba. Ulikuwa ni uamuzi wangu binafsi. Kuna kaka zangu walikuwa jeshini tayari wakati huo lakini mimi nilikuwa mdogo sana.

            Baba alikuwa na mambo mengi ya kufanya wakati wa vita na nadhani alijua naendelea na JKT. Kwa bahati nzuri pale nyumbani Msasani kulikuwa na simu na baada ya vita askari tulikuwa tukirusiwa kupiga simu nyumbani.

            Sasa nikaanza utaratibu wa kupiga simu nyumbani mara kwa mara kila ilipofika saa kumi jioni. Baba alikuwa na utaratibu wa kurudi nyumbani saa tisa na akirudi moja kwa moja anakwenda mezani ale chakula.

            Baada ya muda akabaini kuwa kila saa kumi wadogo zangu wakisikia tu simu wanakimbilia ilipo kwenda kusikiliza. Siku moja akawauliza, mbona mnakimbilia simu kila inapofika saa kumi na saa nyingine hamkimbilii?

            Ndiyo wakamwambia tunaongea na kaka Mako (Makongoro). Akashangaa, akawaambia mnaongea naye kutoka wapi? Wakamwambia yuko Uganda. Nalisikia alishtuka sana na moja kwa moja akaja kwenye simu.

            Mara nikasikia sauti ya Mwalimu ikiuliza Uko wapi Makongoro? Nikamwambia niko vitani Uganda? Akaniuliza uliendajeendaje? Nikamuuliza kwani vijana wenzangu kama mimi waliendajeendaje?

            Basi, nikasikia anapumua na akaanza kuniuliza kuhusu habari za Uganda na mambo mengine. Nilikuwa sijawasiliana na baba yangu kwa muda wa miaka miwili tangu kuanza kwa vita.

            -RAIA MWEMA: Mmoja wa washindani wako kwenye kinyang’anyiro hiki cha kuwania urais, Edward Lowassa, amewahi kuhadithia namna alivyoshuhudia watu wakifa vitani wakati wa vita hiyo. Je, mliwahi kukutana mkiwa Uganda?

            MAKONGORO: Sikumbuki kukutana na Lowassa wakati wa Vita ya Uganda. Lakini kulikuwa na askari wengi na inawezekana nilipokuwa mimi yeye hakuwepo. Siwezi kujua askari wote waliopigana vita ile.

            Baada ya vita kumalizika, wasanii wengi kama vile Zahir Ally Zorro walikuja Uganda kututumbuiza lakini Lowassa pia sikumuona. Nasikia yeye alisomea sanaa Chuo Kikuu labda alikuja wakati huo lakini pia sikumuona.

            Zorro na marehemu Kapteni John Komba niliwaona wakati ule. Lakini Lowassa sikumbuki kumuona. Labda alipigana mji mwingine au alikuja na wasanii kutumbuiza baada ya vita, lakini mimi sikumbuki kumuona.

            -RAIA MWEMA: Washindani wako wanadai kuwa wewe hufai kupewa urais kwa sababu ni mlevi na unapenda kunywa pombe. Unazungumziaje shutuma hizi?

            MAKONGORO: Mimi pombe nakunywa lakini hilo la kusema kwamba mimi ni mlevi halipo. Mimi si mlevi. Wapo wapinzani wangu ambao ni walevi kiasi kwamba pombe zimeharibu afya zao na sasa wanaumwa.

            Wanaumwa kwa sababu ya kunywa pombe. Mimi kama unavyoniona niko fiti na sina tatizo lolote la kiafya. Sasa wale ambao ulevi umewasababishia matatizo hawasemwi na kibao kinageuzwa kwangu. Hiki ni kichekesho kwelikweli.

            -RAIA MWEMA: Kwa hiyo uko tayari kwenda kupimwa afya ili uthibitishe utimamu wa afya yako kama alivyopendekeza mgombea mmoja kwamba wagombea wote mpimwe afya zenu?

            MAKONGORO: Tupimwe afya kwani tunataka kwenda kuchezea Real Madrid au Manchester United? Wachezaji wanaotaka kwenda kucheza mpira ndiyo wanapimwa afya zao lakini sijasikia popote watu wanaotaka urais wanaenda kupima afya.

            Kwani Watanzania hawawezi kuangalia tu wenyewe na wakajua huyu ana afya njema na yule hana?

            -RAIA MWEMA: Una wito gani kwa wana CCM wenzako kuelekea kuchagua mgombea urais kupitia chama chenu kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu?

            MAKONGORO: Mimi nasema wana CCM wanatakiwa watutendee haki wagombea, chama chao na taifa lao. Kwenye uchaguzi huu, CCM inaweza kuamua kufanya mabadiliko chanya au hasi.

            Wakichagua mtu ambaye dunia nzima inajua ni mwizi, wajue kwamba Watanzania watawaona na dunia pia itawaona pia.

            Wana CCM wasibabaike na kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya wagombea kwamba wasipopitishwa wao, basi patachimbika.

            Sasa nauliza, patachimbika kwani kuna madini gani yanayotafutwa? CCM imekuwa Mererani ambako wachimba madini wanachimba kutafuta Tanzanite?

            Kama wana CCM watafanya makosa safari hii, wajue kwamba hawakuwa na wa kumlilia isipokuwa wao wenyewe.

            Chanzo: Raia Mwema

            Chris Brown Akimbilia Mahakamani, Mama wa Mtoto wake Anataka zaidi ya Milion 30 Kwa Mwezi ya Matunzo ya Mtoto wao

            Posted: 02 Jul 2015 02:41 AM PDT

            Chris Brown who has been spending so much time with his daughter Royalty, says he has had it with his baby mama Nia Guzman's child support and custody demands, so he's asking a judge to intervene.

            Chris and Nia have been at war over 1-year-old Royalty for a long time now. She's demanding $15,000 a month in child support, but Chris Brown doesn't think it is a fair amount.

            Due to this reason, he has filed legal documents in Houston to establish paternity of baby Royalty. That will give him the right to fight Nia over support and custody.

            Chis who has been paying Nia $2,500  per month, believes it is a fair amount. If he ascertains that he is Royalty's father, he will then go to court to file for custody and a fair amount for child support to Nia.
            He says Nia has been denying him the right to see his daughter, so he wants a judge to get involved and set guidelines for both of them

            Lowassa: "Nimechoka Kuitwa Fisadi .......Mwenye Ushahidi wa Rushwa dhidi Yangu Ajitokeze Ili Aeleze nilitoa lini, wapi na kwa nani."

            Posted: 02 Jul 2015 02:13 AM PDT

            Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.


            Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa hisia, alisema hayo jana mara baada ya kurejesha fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

            Mbunge huyo wa Monduli alikuwa mmoja kati ya makada tisa waliorudisha fomu jana, ikiwa ni siku moja kabla ya kuisha kwa muda uliowekwa na chama hicho.

            Wengine waliorejesha fomu jana ni Elidephonce Bilohe, Mwigulu Nchemba, Luhaga Mpina, Dk Hamisi Kigwangalla, Hassy Kitine, Mariki Marupu, Dk Asha Rose Migiro na Lazaro Nyalandu.

            Hadi sasa, tayari wanachama 32 kati ya 42 wa CCM walioomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wamerudisha fomu na kazi hiyo itahitimishwa leo.

            Hakuna mtu ambaye amejitokeza hadharani kumtuhumu Lowassa kwa ufisadi, lakini tuhuma hizo zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, hasa kutokana na mbunge huyo wa Monduli kujiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu mwaka 2008 baada ya kuibuka sakata la mkataba wa ufuaji umeme wa dharura baina ya Serikali na Kampuni ya Richmond RDC ya Marekani ambayo ilionekana haina uwezo.

            Wakati huo, Lowassa alisema kwenye hotuba yake ya kujiuzulu kuwa amefanya uamuzi huo “ili kuonyesha dhana ya uwajibikaji, lakini kutokubaliana na utaratibu uliotumika wa kusema uongo ndani ya Bunge kwa kumsingizia mtu.”

            Akizungumza jana kwenye ofisi za makao makuu ya CCM, Lowassa alirudia wito wake wa kutaka wenye ushahidi wa tuhuma hizo wajitokeze hadharani.

            “Nataka nitumie fursa hii kuwataka wale wote ambao wamekuwa wakinituhumu kwa miaka kadhaa sasa na kunihusisha na suala zima la rushwa, nawaambia waache mara moja, kwani hakuna chembe hata ya ukweli wa maneno hayo,” alisema.

            “Natoa changamoto kwa yeyote mwenye ushahidi wa tuhuma hizo za kipuuzi, autoe na aeleze kwa ushahidi rushwa yoyote inayonihusu, aseme nimechukua lini, kwa nani, kwa lipi na kiasi gani?”

            Alisema yeye ni mwadilifu na anaposema atasimamia vita dhidi ya rushwa atafanya hivyo kwa vitendo bila kumuonea mtu na bila kumuonea haya yeyote.

            “Ndugu wanachama wenzangu na wananchi kwa jumla, ni lazima sasa tufike mahali tuseme imetosha. Majungu yametosha, upotoshwaji umetosha, rushwa imetosha na kwa pamoja tunaweza kukomesha haya. Tutayakomesha kwa kusimamia ukweli, uadilifu, uaminifu na kutenda kwa haki,” alisema.

            Alisema tuhuma hizo zimeendelea hata wakati wa kutafuta wadhamini kwa baadhi ya watu kuzieneza.

            “Tumefanya kazi ya kutafuta na kuomba udhamini kwa uadilifu na umakini mkubwa. Na hapa nitumie nafasi hii pia kuwashukuru makatibu na viongozi wote wa Chama katika mikoa na wilaya kwa maandalizi mazuri katika kuifanikisha zoezi hili,” alisisitiza.

            Alisema kuwa walifanya kazi yao vizuri kinyume kabisa cha vijimaneno vilivyoenezwa kwamba kulikuwa na matumizi ya fedha katika kuwatafuta wadhamni.

            “Hivi kweli, unahongaje watu zaidi ya laki nane?” alihoji.

            Lowassa ambaye pia ni mbunge wa Monduli, alisema tuhuma hizo zimekuwa zikitolewa na watu ambao wamekosa hoja na zinatolewa bila ushahidi wowote.

            Alisema akifanikiwa kushika wadhifa wa urais, ataendesha nchi kwa kufuata katiba na sheria.

            Kuhusu safari ya kusaka wadhamini, Lowassa aliwashukuru wana-CCM waliomdhamini na kwamba walijitokeza kwa wingi jambo ambalo limempa picha ya kuungwa mkono na kukubalika.

            Alisema wanachama waliojitokeza kumdhamini walifanya hivyo kwa utashi wao na bila kishawishi chochote cha fedha au fadhila nyingine yoyote.

            Alisema kuwa udhamini alioupata ni kielelezo cha vitendo kwamba wapo naye katika Safari ya Matumaini.

            “Nina matumaini na imani kubwa kwamba mtaendelea kuniunga mkono ndani ya Chamna chetu ili kwa pamoja na mshikamano ndani ya Chama niweze kuteuliwa kugombea kiti cha urais,” alisema.

            Lowassa alisema: “Kwa mafanikio haya ya hatua ya awali nina imani kwamba ni ishara njema kueleke hatua zilizobakia na uweza wake Mwenyezi Mungu Mungu, na kwa ushirikiano wenu kwa pamoja tutalivuka daraja ili hatimaye niwatumikie kwa utumishi uliotukuka nikiwa Rais wa Awamu ya Tano.”

            Aliongeza kuwa: “Nina shauku kubwa ya kuunganisha nguvu na uwezo ya kila Mtanzania katika kupambana na umasikini wa nchi hii. Umasikini wa watu wetu siyo amri ya Mwenyenzi Mungu. Nina imani kabisa kwa pamoja tunaweza kutumia rasilimali tulizo nazo kwa bidii, maarifa na ufanisi zaidi ili kutokomeza umasikini huu.”

            Ukumbi wa Whitehouse, jana ulijaa wana-CCM ambao walifika kushuhudia Lowassa akirudisha fomu tofauti na idadi iliyowahi kutokea kwa wagombea wengine kadhaa waliomtangulia.

            Hali hiyo ilisababisha foleni kwenye Barabara ya Mtaa wa Kuu unaopita mbele ya ofisi za CCM, na kusababisha usumbufu kwa wapita njia.

            Lowassa alifika akiwa ameongozana na mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru na wenyeviti wa chama hicho wa mikoa kadhaa pamoja na wabunge.

            Wabunge hao ni Andrew Chenge (Bariadi Magharibi), Peter Serukamba (Kigoma Mjini), Diana Chilolo (Viti Maalumu), Profesa Juma Kapuya (Urambo Magharibi), Mary Chitanda (Viti Maalumu), Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga na Mary Mwanjelwa (Viti Maalumu).

            Baadhi ya wenyeviti wa CCM wa mikoa waliomsindikiza ni Jesca Sambatavangu kutoka Iringa, Ramadhan Madabida (Dar es Salaam), Khamis Mgeja (Shinyanga), Mgana Msindai (Singida) na Joseph Msukuma (Geita).

            Hofu ya Mtoto wa Zari the Lady Boss Kufia Tumboni yatanda

            Posted: 02 Jul 2015 02:06 AM PDT

            HABARI ya mjini kwa sasa ni mjadala mzito mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mpenzi wa sasa wa Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anaweza kumuua motto aliye tumboni kutokana na tabia yake ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu (high hills) katika kipindi hiki cha ujauzito.

            WALICHOKISEMA MASHABIKI

            Baadhi ya mashabiki, hasa watoto wa mjini wanaosadikiwa kuwa na mapenzi makubwa na Miss Tanzania 2006 aliye pia nyota wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu (Team Wema), ambaye aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond, wamemnanga Zari wakisema kuvaa kwake high hills ‘kokoko’ kunaweza kumminya tumbo wakati wa kutembea hivyo kukifanya kitoto hicho kufia tumboni.

            DOKTA AZUNGUMZA, AFAFANUA

            Kufuatia madai hayo mazito, juzi Amani lilizungumza na daktari maarufu jijini Dar, Godfrey Chale ‘Dokta Chale’ ambaye alilazimika kueleza kuhusu madai hayo.

            Amani: “Samahani dokta, tumelazimika kukutafuta kutokana na maneno yaliyosambaa kwa sasa hapa mjini. Diamond ana mpenzi wake ni mjamzito. Sasa pamoja na ujauzito wake, anavaa viatu virefu.

            “Kwa hiyo wanamnanga kwamba anaweza kukiua kitoto kilichopo tumboni kwa sababu anapovaa viatu hivyo, misuli ya

            miguu inakaza na anabana tumbo. Kuna ukweli?”

            Dokta: “Kwanza kabisa siyo kweli. Mwanamke anapovaa viatu virefu wakati wa ujauzito hakusababishi mtoto tumboni kufa.

            “Ila, inashauriwa wajawazito

            wasiwe wanavaa viatu virefu kwa sababu, wanapovaa, wanatanua misuli na kujiongezea uzito. Kwa hiyo inakuwa kama mtu aliyebeba mzigo kichwani huku akiwa na mimba.”

            ATAJA MAGONJWA YANAYOMKABILI ZARI

            Dokta Chale aliendelea kuweka wazi kuwa, mjamzito anapopendelea kuvaa viatu virefu, akishajifungua na mwili ukapoa, atakabiliwa na magonjwa manne.

            “Kwanza ataugua miguu. Pili, atasumbuliwa na matatizo kwenye visigino. Tatu atapata matatizo ya magoti na nne ataugua mgongo. Ndiyo maana unaweza kukuta mwanamke anakuwa mrembo, miguu mizuri lakini kama alikuwa akibeba mizigo au kuvaa viatu virefu wakati wa mimba, miguu inaota nyama kwa nyuma ‘kiazi’.”

            AONDOA HOFU

            “Kwa hiyo, kama jamii ina hofu kwamba huyo mjamzito atamuua mtoto aliye tumboni kwa sababu ya kuvaa viatu virefu, hofu hiyo iondoke bali yazingatiwe hayo matatizo manne niliyoyasema,” alisema daktari huyo.

            KWA WANAWAKE WOTE

            “Lakini madhara haya si kwa wajawazito tu. Utafiti wa kitaalam umegundua kuwa, mwanamke ana uwezo wa kutembea wastani wa hatua 10,000 kwa siku. Kwa hiyo kuvaa viatu vyenye visigino virefu hufanya nguvu inayotumika kutembea hatua moja kuwa kubwa zaidi. Sasa utaona madhara ya kutembea hatua 10,000. Hii haijalishi anayetumia gari.

            “Matokeo yake husababisha misuli na mishipa ya kwenye miguu, kiuno, mgongo na shingoni kufanya kazi kubwa ya kujaribu kusawazisha uzito. Kazi ambayo kwa kawaida hufanywa na visigino,” alimalizia dokta huyo.

            DIAMOND ALIVYOSEMA

            Amani, juzi lilimtafuta Diamond kwa njia ya mtandao wake wa WhatsApp na kumuuliza anachukuliaje madai ya ‘wabaya’ wa Zari:

            “Hao wapo tu. Unajua dunia hii ukishakuwa maarufu kila jambo litakuandama. Lakini mimi naangalia mbele zaidi, nini nafanya na nini nitafanya. Kama maneno hata kwenye kanga yapo.”
            GPL

            Zitto Kabwe Atamba 'ACT Lazima Tushinde Majimbo yote 8 ya Kigoma'

            Posted: 02 Jul 2015 01:35 AM PDT

            Akizungumza na clouds TV, bwana Zito amesema Kigoma ndio base ya ACT hivyo ni lazima washinde majimbo yote ya Kigoma na kwamba yeyote anayetaka kushinda jimbo Kigoma lazima apitie ACT. Yeye binafsi anagombea Kigoma mjini kumtoa Serukamba. Amesema Lowasa hawezi kujiunga na ACT anaipenda sana CCM na pia ACT haitaki mtu anayechanganya biashara na siasa.

            Source: Clouds Tv

            Askofu: Serikali ya CCM ilikabidhiwa kwa mizimu wakati wa Uhuru na Nyerere

            Posted: 02 Jul 2015 01:26 AM PDT

            Katika kipindi cha Asubuhi cha cha jana ITV alialikwa Askofu wa kanisa Katoliki ambaye alinishangaza kwa jambo jipya.

            Alisema wala tusishangae yanayo fanywa na serikali ya CCM ni matokeo ya Mwalimu Nyerere kwenda kwa mashehe fulani wa Bagamoyo ambao walifanya tambiko ili Nchi ipate uhuru chini ya mwalimu Nyerere kwa kibali cha mizimu.

            Kusema ukweli hata mimi niliwahi kumsikia Mwalimu akisema hao wazee walimwambia aruke shimo moja lililo fanyizwa dawa kisha akaambiwa mkoloni hakuwezi.

            Sasa kwa mjibu wa mtumishi huyo wa Mungu anasema hata Uhuru ulipo patikana nchi ili kuwa chini ya laana kubwa kiasi kila jitihada zilikuwa zikienda mrama daima.

            Yeye ansema ameoteshwa juzi tu kuhusu mkasa huo na kuambiwa Watanzania wasipotubu tuta kuwa tuna shuhudia viongozi wetu wakifanya vituko.

            Aliongeza kuwa tabia ya mtu aliye laaniwa inajulikana anakuwa haelewi anafanya nini.Mkimlaumu atakuwa ana washangaa ninyi.

            Anasema madudu yote ya CCM mathalani kutoa nguzo za umeme toka mafinga kupelekaKenya na kisha kurudisha Nchini kwa kununua kwa fedha za kigeni ni jambo linalo weza kufanywa na waliolaaniwa tu.

            Chanzo: ITV

            “I miss ugali a lot but I can’t cook it” admits Lupita Nyong’o

            Posted: 02 Jul 2015 12:15 AM PDT

            Oscar Award winning actress Lupita Nyong’o admitted that one of the things she misses most while away from Kenya is ugali, she also confessed that even though she owns a mwiko (wooden stirring spoon) she doesn’t know how to cook the popular dish.

            Here is the excerpt from the interview with NTV’s Larry Madowo:
            LARRY MADOWO: Do you miss living here? Is there anything you miss about Kenya?
            LUPITA: I miss ugali a lot, because I also don’t know how to cook ugali.
            LARRY: What do you mean you don’t know how to cook Ugali?
            LUPITA: Yeah, I don’t know how to cook Ugali.
            LARRY: That’s terrible.
            LUPITA: I know it’s really, really bad. I have a mwiko but I don’t know how to cook ugali.

            The actress is currently on a homecoming tour that will include art mentorship activities, as well as an awareness campaign on wildlife conservancy efforts in the Kenya.

            Despite her love for ugali and the fact that Lupita can’t cook it, she does have more than enough money to hire the best cooks available!

            Watano wanashikiliwa na Polisi kutokana na wizi wa Milioni 200, uliotokea katika Benki ya NMB Mkuranga, Mmoja ni Polis Aliyokuwa Akilinda Bank Hiyo

            Posted: 01 Jul 2015 11:37 PM PDT

            Five people, including a National Microfinance Bank (NMB) employee, have been arrested following a recent bank robbery of more than TZS 200 million at the bank’s branch in Mkuranga district, Coast Region.

            According to Coast Regional Police Commander (CP), Jafari Ibrahim, four of the arrested people are workers of a private security company that was responsible for transporting the money from NMB Bank House in Dar es Salaam to Mkuranga.

            The police commander further said one of the apprehended persons, who is the NMB employee (names and position withheld), is still being interrogated by the police officers, as investigation continues.

            Three bandits equipped with a Short Machine Gun (SMG) are said to have killed one police officer and left two injured on June 26, before taking off with more than TZS 200 million at NMB Bank Mkuranga branch.

            The robbery took place a few minutes after the arrival of the cash delivery van from Dar es Salaam.

            The murdered police officer was not on duty on the day of the event, but was on his way to the bank for a night shift before he met his death.

            Two other people were injured in the scuffle and were rushed to the hospital. However, they have since been released from the hospital after getting better.

            Wastara: Nimeamua Kumpa Bond Nafasi ya Kunioa, Mimi Bado Damu Changa Nikisema Siwezi Kuolewa Tena Najidanganya..Nimempa Bond Sharti Hili...

            Posted: 01 Jul 2015 11:08 PM PDT

            Wastara na Bond Mapenzini
            Brighton Masalu

            WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.

            Akifungulia ‘koki’ ya maneno mbele ya paparazi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Wastara ambaye kwa sasa yuko bize kusaka ubunge nyumbani kwao Morogoro Vijijini, alisema hawezi kudanganya kwamba ataishi bila kuwa na mume kwa kuwa amekamilika kimaumbile.
            Wastara na Bond Katika Pozi

            “Mimi ni mwanamke, nimekamilika tena nakula na ninashiba. Damu bado changa. Nikisema siwezi kuolewa, nitakuwa nadanganya. Nimekaa muda mrefu kwa sababu kila mwanaume anayenihitaji ananitamani tu.

            “Bond namuona ni mwelewa. Lakini nimempa sharti la kutonigusa hadi siku ya ndoa. Kama atakidhi na hayo mengine ambayo ni siri yetu, niko tayari kuolewa naye,” alisema Wastara.
            GPL

            Ofa Ofa Kutoka James Cosmetics..Je Unahitaji Kuwa na Umbo Zuri la Kuvutia, Nywele Ndefu, Makalio Makubwa ya Mviringo na Ngozi ya Kuvutia?

            Posted: 01 Jul 2015 11:01 PM PDT

            OFA! OFA! OFA JAMES COSMETIC CO.LTD inawatangazia ofa ya punguzo la bei kwa mwezi huu mtukufu kwa kila bidhaa
            pia usisahau hizi ni bidhaa za mimea na matunda kutoka viwandani na zimedhibitishwa hazina kemikal zenye madhara 1) kutoa chunusi na madoa = 50,000

            2)kushep hips na figure = 60,000

            3) kuongeza unene na uzito wa mwili = 60,000

            4) kupunguza unene na uzito wa mwili = 70,000


            5) kuondoa kitambi na nyama za kiunoni kwa (1) mkanda wa kawaida = 70,000 (2) dawa ya kupaka = 60,000 (3) micro kumputer belt = 150,000

            6) kuondoa mvi zisirudi tena = 80,000

            7) kuongeza nguvu za kiume na maumbile kwa (1) jeli ya kupaka = 60,000 (2) kwa vidonge maalum = 70,000 (3) kwa hand some up (pump og) = 170,000

            8) kusoftisha ngozi na kuifanya laini mwili mzima = 70,000
            9) kuondoa michirizi na mipasuko mwilini = 60,000

            10) kubana uke na kuleta ham ya tendo la ndoa = 60,000

            11) kushep miguu kuwa chupa ya bia = 60,000

            12) kuondoa makunyanzi yani ngozi ya uzee = 60,000

            13) kurefusha nyele na kuzuia kukatika ovyo = 60,000
            TUPO KARIAKOO MSIMBAZI POLICE PIA TUNATUMA MIZIGO MIKOA YOTE NA NJE PIA NA KWA DAR DELIVER WAPO NI BURE CALL 0653 074067. 0659 404750. 0752 923461.
            NB hakikisha unapata bidhaa bora na njema kwa afya yako.

            Diamond Kuwasha Moto Miss Kilimanjaro

            Posted: 01 Jul 2015 10:58 PM PDT

            Tareheh 24 julai 2015 miss Kilimanjaro inatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa ”KILI HOME MOSHI”ambapo Daimond atawaburuudisha wageni watakao fika katika ukumbi huo .

            Hii Nayo Mpya ..Watuhumiwa wa EPA Waachiwa Huru

            Posted: 01 Jul 2015 10:55 PM PDT

            MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru Kada wa CCM Rajabu Maranda na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi wizi wa Sh milioni 207 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

            Jopo la mahakimu watatu likiongozwa na Hakimu John Utamwa, Ignas Kitusi na Eva Nkya liliwaachia washitakiwa hao baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashitaka dhidi ya washitakiwa hao.

            Mbali na Maranda washitakiwa wengine walioachiwa huru ni Farijala Hussein na waliokuwa wafanyakazi wa BoT, Ester Komu, Bosco Kimera na Imani Mwakosya.

            Akisoma hukumu hiyo Hakimu Utamwa alisema washitakiwa waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka manne kula njama, kughushi, kuwasilisha nyaraka za uongo BoT na wiziwa Sh milioni 207.2 wako huru kutokana na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashitaka hayo bila kuacha shaka kama inavyotakiwa kisheria.

            Alisema upande wa Jamhuri umeshindwa kuithibitishia mahakama jinsi Maranda na Farijala walighushi makubaliano ya kukusanya deni kati ya Kampuni ya General Marketing ya India kwenda Kampuni ya Rashas (T) ya Tanzania.

            Katika hukumu hiyo iliyosomwa bila Mwakosya kuwepo mahakamani, Hakimu Utamwa alisema upande wa Jamhuri wameshindwa kumleta mpelelezi wa kesi hiyo ili aweze kuithibitishia Mahakama saini ambazo zinadaiwa kuwepo katika makubaliano hayo hivyo udhaifu huo hauwezi kuwatia washitakiwa hatiani.

            Aliongeza kuwa, upande wa Jamhuri ulishindwa kuthibitisha shitaka la kughushi, kwa hiyo shitaka la kuwasilisha nyaraka za uongo litakuwa limekufa,kwa sababu wameshindwa kuonesha kweli nyaraka ni za kughushi.

            Aidha alisemwa wameshindwa kuonesha ni jinsi gani fedha hizo zilihamishwa kama wanavyodai kuwa mchakato huo ulifanikiwa kwa sababu Maranda na Farijala walitumia nyaraka za kughushi.

            “Hakuna shahidi aliyeweza kutoa ushahidi ukaenda sawa na hati ya mashitaka iliyofunguliwa mahakamani hapo dhidi ya washitakiwa,” alisema Hakimu Utamwa.

            Nyaraka zinazodaiwa kughushiwa ni hati za makubaliano ya kuhamishiwa deni kutoka Kampuni ya General Marketing ya India kwenda Kampuni ya Rashas (T) ya nchini Tanzania, ambazo walizutumia na kuiba fedha hizo.

            Baada ya Hukumu hiyo, Farijala alirudishwa rumande kwa sababu anatumikia kifungo cha miaka miwili jela alichohukumiwa katika kesi nyingine na Maranda aliachiwa lakini bado ataendelea kwenda mahakamani kwa kuwa anakabiliwa na kesi nyingine.

            Ndugu na marafiki waliokuwepo katika eneo hilo la mahakama walishukuru mahakama kutoa uamuzi wa haki na kusema kweli Mungu ametenda miujiza.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 2 July 2015

            Posted: 01 Jul 2015 10:51 PM PDT

            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo  Alhamisi  Ya  Tarehe  2 July  2015

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 3, 2015, 4:03:06 PM7/3/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Kazi anayotaka kufanya mtoto wa kwanza wa Obama yajulikana yawashangaza wengi

            Posted: 03 Jul 2015 10:50 AM PDT

            Mtoto wa kwanza wa rais wa Marekani Malia Obama ’17’ ameanza harakati zake za kutaka kuwa mwigizaji na muongozaji a filamu.

            Malia ameonekana huko Brooklyn na kundi la watayarishaji na waigizaji wa “Girls” hivi karibuni huku mashabiki wakifahamishwa kuwa hatacheza kwenye filamu hii ila ndio anajifunza mambo hayo.

            Malia alionyesha kupenda kuwa mwigizaji na hata kuonekana kwenye tamthilia ya Halle Berry “Extant.”

            Picture of the day-Cute or Not?

            Posted: 03 Jul 2015 10:36 AM PDT

            Picture of the day-Cute or Not?

            Linnah Kama Shilole,Achorwa ‘Tattoo’ na Mpenzi wake Mpya.

            Posted: 03 Jul 2015 10:26 AM PDT

            Baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye,Nagari,Staa wa Bongo Fleva,Linnah Sanga amepata mpenzi mpya aitwaye Williams Bugeme’Boss Mutoto’raia wa Uganda,ambaye hivi karibuni amechora ‘tattoo’ kwenye mwili wake yenye jina la msanii huyo.

            Akizungumza na Clouds FM,Linnah alisema ilikuwa ni kit cha kushtukiza sana kwani mpenzi wake alimtumia sms kuwa anataka kumfanyia ‘surprise’ na afikirie ni kitu gani anataka kumfanyia alimjibu kuwa hajui ila amwambie tu.

            ‘’Alinitumia sms akaniambia ni ‘guess’ ni kitu gani anataka kunifanyia ‘surprise’ nikwambia mimi sijui basi akaniambia amechora tattoo yenye jina langu daah! Nilishtuka sana na pia nilikuwa na furaha sana,’’alisema Linnah.

            ‘’Unajua ni maamuzi magumu sana mtu kukuchora tattoo na mpaka anakuchora ujue basi ana mapenzi ya kweli na kama ni shabiki basi ni shabiki kwelikweli amezama kabisa,’’aliongeza Linnah.

            Msanii mwingine aliyeweka rekodi ya kuchora tattoo ya jina la mpenzi wake na sura yake ni msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda aliyechora tattoo ya mpenzi wake Shilole.

            Kama Msichana Ushavuka Miaka 30 Bado Hujaolewa Jua Una Hali Mbaya

            Posted: 03 Jul 2015 09:53 AM PDT

            Kama wewe ni msichana na umeshavuka miaka 30 bado hujaolewa na wala huna mtu wa kueleweka ambaye amejitambulisha kwenu tambua kwamba una hali mbaya.

            Wasichana wengi siku hizi wamekua na tabia ya kupenda vitu vya anasa hali inayopelekea sisi wanaume kuwaogopa kama ukoma.Mfano kutaka kufanyiwa shopping za bei mbaya,kumiliki simu za gharama zinazoanzia milioni moja na kuendelea,kupenda kuwa na mwanaume mwenye mshahara unaoanzia milioni tatu kwa mwezi na kuendelea n.k

            Hali hii inasababisha hata sisi wenye kipata cha laki saba kushuka chini tuwaogope kwa kuamimini kwamba hatuna uwezo wa kukidhi mahitaji yenu hatimaye mnajikuta mnazeekea nyumbani kutaamakitaamaki miaka 45 hii hapa ambapo ndo kipindi cha menopause kwa mwanamke yeyote.

            Msipende mteremko sababu hata huyo mwenye magari,majumba na kipato kikubwa hujui ametumia njia gani mpaka kupata hivyo vitu.Starehe hazina mwisho hivyo unapobweteka na starehe fahamu kwamba fainali uzeeni muda ndio refa.

            Aliesikia na asikie na alieamua kupuuzia na apuuzie

            Hapa Ndio Chumbani Kwa Diamond Platnumz..Zari Anaonekana Amepozi Pale Kati Akimsubiri Diamond..Video

            Posted: 03 Jul 2015 08:03 AM PDT

            Nimekuwekea Video Hapa Ikionyesha chumba cha Gharama Kubwa cha Mwanamuziki  Diamond Platnumz katika Nyumba yake mpya iliyokotegetea...
            Video Hii Hapa:

            Duuh huyu Mrembo ni sheedah..Mapozi yake yanaweza Mtoa Nyoka Pangoni

            Posted: 03 Jul 2015 07:55 AM PDT

            Duuh huyu Mrembo ni sheedah

            Je Unajua nini Kinaendelea Kuhusu ile Kesi ya Mchungaji Gwajima Kumtukana Askofu Pengo? Nimekuwekea Hapa Kinachoendelea

            Posted: 03 Jul 2015 07:41 AM PDT

            Askofu Gwajima
            MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.

            Kesi hiyo ilitajwa jana kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya awali lakini iliahirishwa kwa kuwa Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera anayesikiliza kesi hiyo hakuwepo mahakamani.

            Hakimu Mkazi, Thomas Simba aliahirisha kesi hiyo hiyo Julai 20, mwaka huu kwa ajili ya washitakiwa hao kusomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Dyansobera.

            Mbali na Gwajima washitakiwa wengine, ni Mlinzi wake, George Mzava, Msaidizi wake, Yekonia Bihagaze (39) na Mchungaji Georgey Milulu (31) wanakabiliwa na shitaka la kukutwa na silaha pamoja na risasi kinyume cha sheria.

             Katika kesi ya kwanza namba 85, Gwajima anadaiwa kati ya Machi16 na 25, mwaka huu katika Viwanja vya Tanganyika Packers Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam alitoa lugha ya matusi dhidi ya Askofu wa Kanisa Katoliki Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akimueleza Askofu kwamba ni mtoto, mpuuzi asiye na akili katika namna ya kwamba ingeleta uvunjifu wa amani.

            Katika kesi nyingine namba 84 , Gwajima anakabiliwa na mashitaka ya kushindwa kuhifadhi silaha na risasi jambo ambalo ni kinyume cha sheria ya uhifadhi wa silaha za moto.

            Anadaiwa kati ya Machi 27 na 29, mwaka huu, ndani ya Jiji na Mkoa wa Dar es Salaam, alishindwa kuhifadhi silaha aina ya Beretta namba CAT 5802, risasi 3 za pisto na risasi 17 za shotgun.

            Katika mashitaka mengine yanayowakabili washitakiwa wengine, inadaiwa Machi 29, mwaka huu katika Hospitali ya TMJ Mikocheni ‘A’ walikutwa wakimiliki silaha na risasi hizo bila ruhusa kutoka mamlaka husika.

            Diamond Platnumz Akiri Kumpenda Omotola wa Nigeria

            Posted: 03 Jul 2015 07:33 AM PDT

            Omotola
            KING wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametengeneza kichwa cha habari nchini Nigeria baada ya kufunguka kuwa anampenda ‘vibaya’ staa wa filamu nchini humo, Omotola Jalade Ekeinde

            Kwa mujibu wa chanzo kilichoambatana na Diamond katika ziara ya kimuziki iitwayo ‘Nana Tour’ nchini humo, staa huyo ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mjasiamali maarufu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amekuwa akiumizwa na penzi la Omotola kitambo sana lakini hakuwahi kuzungumza katika vyombo vya habari.

            Diamond Platnumz

            • “Diamond ana maumbo yake flani hivi amazing ambayo huwa anayapenda, siku nyingi sana kabla hata hajakutana na Zari, alikuwa akituambia watu wake wa karibu kwamba miongoni mwa wanawake mastaa ambao anawatamani awaweke kwenye himaya ya penzi lake ni Omotola.



            • “Alisema anampenda kwa kila kitu kuanzia ufanyaji kazi wake, umbo lake na hata umaarufu mkubwa alionao ndani na nje ya Bara la Afrika,” kilisema chanzo hicho.


            Baada ya chanzo hicho kueleza habari hiyo, mapema wiki hii, mtandao wa nigeriafilms.com ulithibitisha maneno hayo kwa kuposti habari iliyobainisha Diamond anampenda Omotola sanjari na mastaa wengine wawili wa Nigeria anaovutiwa nao kimapenzi.

            Akiwa hewani alipokuwa akihojiwa na redio moja jijini Lagos, Diamond aliweka bayana kuwa anateswa na penzi la mastaa watatu Nigeria, Omotola, Tonto Dikeh na Genevieve Nnaji.


            • “Jamaa kitambo sana anateswa na penzi la Omotola sasa leo kaongeza na wengine wawili na ninavyomjua hashindwi kufanya kweli ingawa nina wasiwasi kwa Omotola na Tonto maana wana waume zao labda ajiweke kwa Genevieve ambaye hajaolewa,” kilikazia chanzo chetu.


            Diamond hakupatikana ili kusikia kauli yake juu ya ishu hiyo.

            Chanzo: GPL

            Ali Kiba Kataja Sababu za Kwanini Hamfollow mtu Hata Mmoja Instagram

            Posted: 03 Jul 2015 07:21 AM PDT

            Ali Kiba 
            Ali Kiba ni staa kwenye muziki wa Bongo Fleva.. kama wewe ni mtumiaji wa Instagram utakuwa umeona kwamba Ali Kiba haja-follow mtu yoyote ukitembelea mitandao ya kijamii ya Ali Kiba utaona ya kuwa ana mashabiki wengi wanaomfuatilia kupitia mitandao hiyo.

            Katika post ya Instagram kwenye page ya Mseto East Africa ambao walikaa na kuongea na Ali Kiba na kumuuliza swali hilo, majibu yake ni haya hapa


            • “Yea si follow mtu kwasababu, kwanza kabisa nafanya kazi na watu wengi kuna akina TUVA kuna watu kibao lakini watu wa Media ndio tuko nao karibu,sasa wengine walikua waki complain nikawa naogopa zile lawama nilichoshauriwa na hao wenyewe kwamba ni heri ni si follow mtu na vile vile nilipenda ivyo kutokana na promotion ya ujio wangu ambao ulikuwa unakuja ili niweze ku concetrate na account yangu nijue mafans wangu wanataka kitu gani wanani advice kitu gani na pia imesaidia naona jinsi gani wako serious namimi kwasababu naongea nao,kuna wengine wananipa challenge kuna matusi uhmm ni vitu vya kawaida na vile vile wanapokuwa wananisema wananijenga wananitengeneza kiasi fulani,wananibadilisha ni wapi nimekosea naweza kubadilisha”

            Muziki wa Tanzania umepenya vipi wakati tunawakilishwa na msanii mmoja tu? – Dudu Baya

            Posted: 03 Jul 2015 07:18 AM PDT

            Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika.

            Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa anayeiwakilisha Tanzania ni mmoja tu – Diamond.

            Amesema ili muziki wa Tanzania uweze kusemwa umepenya kimataifa ni lazima kuwepo na wasanii wengi wanaofanya vizuri kama ukubwa wa Diamond kwa sasa.

            Amedai kuwa muziki wa Nigeria ndio uliopenya zaidi kwakuwa kuna wasanii wengi wanaofanya vizuri na wenye ukubwa sawa tofauti na Tanzania.

            Rapper huyo amezitaja chuki, wivu na kubaniana ndio sababu kubwa za muziki wa Tanzania kushindwa kupenya.

            Mwanaume Aliyezaa na SHILOLE Ajitokeza na Kudai Hakuwa Kumbaka Shilole Kama Habari zilivyoenea, Adai Shilole ni Muongo

            Posted: 03 Jul 2015 07:13 AM PDT

            Baba wa mtoto aliyezaa na Shilole amejitokeza na kulalamika kusingiziwa na msanii huyo kuhusu kumbaka..na kusisitiza alikua na uhusiano naye na amekana kumbaka.

            Shilole amezungumza na Soudy Brown na kusema mwanaume huyo hajui mtoto anakula nini wala ana miaka mingapi hivyo hataki hata kumsikia kwa kuwa hilo jambo bado linamuumiza na hataki mtoto wake ajue nini kinaendelea kati yake na baba wa mtoto wake.

            Pia amesema amepanga kutoa elimu kwa wanawake na wasichana ambao hufanyiwa vitendo vya unyanyasaji kutoka kwa wanaume zao.

            Msikilize hapa mtu wangu…


            Bunge Laahirishwa Ghafla Tena leo, baada ya Wapinzani kugomea Muswada wa Mafuta na Gesi Asilia

            Posted: 03 Jul 2015 05:50 AM PDT

            Waziri wa Nishati na madini George Simbachawene alipoanza kusoma kwa mara ya pili Muswada wa mafuta na gesi asilia(Muswada juu ya Petroli, 2015 The Petroleum Act, 2015), Tundu Lissu alisimama na kuomba Kuhusu utaratibu, Spika hakumpa nafasi, ndipo wabunge wote wa UKAWA Waliposimama na kuanza kupiga kelele wakisema Muongozo muongozo..!!.

            Spika Kamuomba Waziri aliyekuwa anasoma Hotuba akakae kisha akawataja baadhi ya wabunge kwamba ndio wanaoleta fujo bungeni kwa kosa kutokana na kanuni ya kuleta fujo bungeni ambao ni:

            1.John Mnyika Mbunge wa CHADEMA jimbo la Ubungo

            2.Tundu Lissu Mbunge wa CHADEMA jimbo la Singida Mashariki

            3.Ernest Silinde Mbunge wa CHAEMA jimbo la Mbozi Magharibi

            4.Rashid Ali Abdalla mbunge wa CUF jimbo la Tumbe Zanzibar

            5.Paulina Gekul Mbunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA wa Mkoa wa Manyara

            6.Moses Joseph Machali Mbunge wa NCCR-Mageuzi Jimbo la Kasulu Mjini

            7.Rajab Mbarouk Mbunge wa CUF Jimbo la Ole Zanzibar

            8.Felix Francis Mkosamali Mbunge wa NCCR Mageuzi jimbo la Muhambwe

            9.Rev. Simon Peter Msigwa Mbunge wa CHADEMA jimbo la Iringa Mjini

            10.Joseph Roman Selasini Mbunge wa CHADEMA jimbo la Rombo

            11.Khalifa Suleiman Khalifa Mbunge wa CUF Jimbo la Gando Zanzibar

            Bunge limesitishwa hadi watakapoitwa tena na Spika, vilevile kamati ya Maadili imeitwa kujadili hili Swala.

            Wanne Wajishindia Mamilioni ya Bayport Katika Bahati Nasibu iliyochezeshwa Leo..Jionee Hapa Nimekuwekea Picha za Washindi

            Posted: 03 Jul 2015 08:12 AM PDT

            Zoezi la kuchezesha droo hiyo ya Kopa na Bayport likiendelea. Washindi wanne walijishindia Sh Milioni 1,000,000 kila mmoja.
            Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Ngula Cheyo kushoto, akizungumza jambo kwenye heka heka ya droo ya kutafutwa washindi wanne wa shindano la Kopa na Bayport linaloendeshwa na Taasisi hiyo. Aliyefungwa kitambaa usoni ni Meneja wa Bayport Financial Services, Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Kulia ni Msimamizi wa Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Jehud Ngolo. Washindi hao wanne kila mmoja amejishindia Sh Milioni 1,000,000 baada ya kukopa kwenye taasisi hiyo ya kifedha nchini.

            Wateja walioshinda katika bahati nasibu yetu na maeneo watokayo kwenye mabano ni pamoja na Simion Ngassa (Iringa), Sisco Haule, (Kigoma), Said M Mkinda (Dar es Salaam) na Phelis Nziku ambapo wote kila mmoja watakabidhiwa kiasi hicho cha pesa kutoka Bayport Financial Services. Naye Msimamizi wa Michezo ya Kubahatisha kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Jehud Ngolo aliipongeza Bayport Financial Services kwa kuendelea kubuni mambo yanayoweza kuwapatia mwanga wateja na Watanzania kwa ujumla.

            “Hii ni bahati nasibu nzuri na rahisi kuchezwa na kila mtu, maana haina vigezo zaidi ya mtu kuingia kwenye droo kama atakuwa amekopa tu, iwe kwenye mtandao wao au kufika katika tawi la ofisi yao yaliyoenea sehemu mbalimbali za Tanzania Bara,” alisema Ngolo, huku akiwataka Watanzania kuendelea kunufaika na huduma mbalimbali za Bayport. Huduma zinazotolewa na Bayport ni pamoja na mikopo ya fedha, mikopo ya bidhaa mbalimbali kama vile vifaa vya ujenzi, bodaboda, injini ya boti, pembejeo za kilimo, zikiwa ni miongoni mwa huduma zinazorahisisha maisha kwa Watanzania wote.

            DIAMOND Katika Ubora Wake Tena..Video Nyingine Mpya Hii Hapa Ameshirikishwa na Mnigeria Kcee Wimbo Unaitwa Love Boat

            Posted: 03 Jul 2015 05:33 AM PDT

            Msanii Kcee kutoka Nigeria ameachia video mpya ya wimbo “Love Boat” aliomshirikisha Diamond Platnumz kutoka Tanzania

            Rafiki wa Mke Wangu Alitaka Kunifitinisha na Mke wangu, ila Nimemuweza

            Posted: 03 Jul 2015 01:48 AM PDT

            Salam zenu wakuu,

            Siku mbili kabla ya ramadhan kuanza nilikua na mihadi na binti mmoja ili tuvunje jungu kupisha mwezi mtukufu wa Ramadhan ili mwenzangu aweze kufunga kwa amani, yeye ni muslim mimi ni christian tukasema tuonane Sugar ray bar and guest house Temeke, mimi nilitokea kazini kwenda hapo, yeye alitokea Keko Magurumbasi.

            Siku hizi nimeamua nitoke na watoto wa kiswahili maana hawana gharama ukimpa elfu tano tu anaenda kuhadithia ukoo mzima, na atayarudi mayenu hadi utakimbia na boxer kichwani. Tukiwa hapo sugar ray, tukiwa tumechangamka mno, na mziki mzito ukiporomoshwa na bendi ya nyimbo za copy huku yule binti akinibusu na kunikumbatia, akiwa ameniwekea miguu juu ya mapaja yangu huku akideka kike, ahamadi nageuza shingo kwa nyuma ilibaki kidogo nianguke nakutana uso kwa usona rafiki kipenzi wa mke wangu akiwa na kampani ya wanawake wenzie wakionekana kunisonta kwa vidole.

            Nikamwambia yule mwanamke wangu disco limeingiliwa na mmasai tuondoke haraka.Tukaenda kuvunjia jungu Lelo guest house unubini, baadae saa tano usiku nikarudi kwangu.Nimepiga honi zaidi ya dakika ishirini hakuna aliefungua, nastukia sauti ya wife kwa ndani ya Geti ikisema Rudi huko huko sugar ray ukalale.Nikajua tu Rafiki mtu alipiga simu zamani kusema umbea.Hivi mtu unapotoa taarifa kama hiyo unategemea nini? Ndoa ya watu ife au? Nashukuru mungu wife alinielewa, maana nilisema rafiki ananihitaji siku nyingi mimi ndo namchenga, nashangaa unasikiliza taarifa zake wakati ananitaka.

            Vita niliyowaachia huko ile ya Idd Amin haifai

            Mwanaume: OA Mwanamke Anayekupenda, Sio Uliyemtengenezea Mazingira Akupende..Utajuta Mbeleni...

            Posted: 03 Jul 2015 01:48 AM PDT

            Habari za wakati huu, Muwazima?..

            Baada ya salamu, mimi mwaka huu nimedhamiria kuwakomboa wanaume wenzangu kwenye majanga ya mapenzi, maana wengi katika wao, wanasumbuka mno! Naomba nianze kuifafanua hiyo heading hapo juu. Juzi kati hapa nilileta tofauti kati ya kupendwa na kuonyeshwa mapenzi, wengi walielewa, lakini wengine bado wanaendelea kuwang'ang'ania waonyeshaji mapenzi, but that'z none of my business! Cha msingi mimi nimewazindua.

            Leo, tuje hapa, kwa mara nyingine tena! Ewe ndugu yangu, mwanaume mwenzangu, kwanini uoe mtu asiyekupenda? Mtu uliyemtengenezea mazingira akupende kwanini? Unaoaje mwanamke uliyemtongoza miezi sita? Mwaka mmoja? Miaka miwili? Mwanamke mwenye mapenzi na anayejua haswa thamani ya mapenzi hatongozwi miezi 6 au mwaka mzima banaa. Mimi hata mwezi kwanza siwezi naanzaje kukuchombeza mwezi mzima? Unataka usome nini kutoka kwangu?

            Hawa wanawake wa kutongozwa muda mrefu hawajatoa majibu ni wanawake wanaokuchunguza na kukulinganisha na watongozaji wengine na wewe bado unang'ang'ania tu kutongoza.

            Hapa kuna matokeo mawili muhimu sana:
            1. Kuna uwezekano mkubwa akakukubalia baadae kwa moyo mmoja tu, tena kwa nia njema. Hii ni kwa sababu umemtengenezea mazingira, amekuona unafaa, na katika kipindi hicho kirefu cha kumbembeleza na kumuomba majibu kuna mengi umemtendea.

            Ameyakubali, umenunua sana vocha, out sana umemtoa, umejali na kuzitambua sana baadhi (kama si zote) ya shida zake, sasa asikupende kwanini?! Na principle ni kuwa Moyo umeumbwa kumpenda anayeufanyia wema na kumchukia anayeutendea mabaya.Sasa unataka ufanye mazuri halafu moyo usikupende?! Utakupenda tu. Lakini Je, unadhani wewe ndo mfanyaji mazuri peke yako? Mazuri uyafanyayo wewe unahisi ndo yanayomtosheleza?! Be careful!

            2. Kwa kipindi chote hicho unachong'ang'ana kutongoza, labda miezi 6 yako au mwaka, atakuelewa na kuusoma udhaifu wako wootee.Halafu atakukubalia! Ataishi na wewe kimjinimjini na kukufanya zoba huku akiendelea na vidume vingine kimyakimya bila wewe kushtukia! Utashtukia vipi sasa wakati ulipokuwa unabembeleza ukubaliwe ulijisahau na kuanza kujionyesha jinsi ulivyo na udhaifu wako wote! Umshtukie? Wapi.

            Hivi hujui kuwa wakati wa kutongoza ndo mwanaume anaposema vingi vya ukweli kumuhusu yeye? Hata kama wewe ni mdanganyaji mzuri, jichunguze ukiwa unatongoza, unavyofunguka. Sasa unaanzaje kutongoza miezi sita? Ili ufunguke vyote kuhusu wewe na ukoo wako? Au unataka ugundue nini. Hayo 1 & 2 hapo juu yote hayapo upande wako mwanaume mwenzangu, kwahyo jiongeze baba.

            Nahitimisha sasa;

            Dalili kuu ya kwanza ya mwanamke wa maslahi/asiye na mapenzi ya kweli ni kutongozwa muda mrefu! Chunguza vizuri utajijibu.Yaani ukiona unabembeleza wee ujue utkubaliwa, maana wakibembelezwa sana hawakatai hao, anaweza akakukubalia kwa sababu ya kukuonea huruma tu ili uridhike, au kwa ushauri tu wa mashoga zake baada ya kuwaelezea jinsi unavyopata tabu kuwa makini sana.

            Hii statement ya kizungu niliiokota sehemu, nadhani inaweza kukufungua akili kidogo:
            Decision Making is easier when there is no Contradictions into your value system .
            Kwahiyo ukiona decision making yake ni ngumu, ujue hapo kuna kinyume na hiyo statement hapo, Contradictions zimetawala. Angalia sana kijana mimi ushauri wangu, please.

            Usijiendekeze bana, tongoza, bembeleza, onyesha nia ya dhati. Kama kweli maneno yanatoka moyoni, yataingia tu kwenye moyo wake tena kirahisi.Kama atashawishika atarespond mapema tu na kama hataki na anajitambua atakwambia "Mi nina mpenzi/occupied" usilazimishee. Utakua unamtengenezea mazingira tutarudi kulekule! Kwani wewe ukiwa na msichana ungependa atoke na msela mwingine? Sasa kwanini wewe unataka kutoka na mademu wa wenzio?

            Akikwambia haiwezekani au nina mpenzi, geuka kulia na kushoto vuka barabara hamia upande wa pili huko, wapo kibao. Wanaume sisi ni wachache kuliko wanawake, sasa unaanzaje kubembeleza mtu miezi au miaka, ili? Akutangaze au?! Wengine wanabembeleza sana eti wanaogopa kuonekana wamekataliwa!

            Wee ni bora ukataliwe kuliko kujifanya kidume halafu ukaanza kutengeneza mazingira upendwe usipopendwa madhara yake ni makubwa. Nimeeleza hapo juu!.Kwanza ukweli ni kuwa watoto wa mjini ndo wanaogongwa na magari, wale wa kijijini wanachukua tahadhari sana kwenye kuvuka, lazima waangalie kushoto, mara kulia ndo avuke. Sasa wewe wa mjini gani unaogopa kutoswa bana?! Ngoja nkale daku nilale, nikimaliza UE nitarudi hapa kuwapa trick jinsi ya kutokea siku ya kwanza ya kutongoza.

            Wagombea Urais Wanne (4) CCM washindwa kurejesha Fomu Dodoma...

            Posted: 03 Jul 2015 12:38 AM PDT

            Wagombea 38 kati ya 42 wanaoomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais,wamerejesha fomu hadi saa 10:30 jioni julai 2,2015.Kati ya hao Wagombea wanne waeshindwa kurejesha fomu.

            Hapa chini ni majina ya wagombea urais ambao wameshindwa kurejesha fomu hizi.

            Wagombea ambao hawajarejesha fomu ni pamoja na Dr Kalokola, Hellena Dina Elinawinga, Anthony Chalamila na Peter Nyalali

            Baada ya kukamilika kwa kazi ya urejeshaji wa fomu, makada hao 38 watasubiri kufanyika kwa vikao vya juu vya maamuzi.

            Vikao hivyo ni pamoja na Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa itakayokutana Julai 7 na Kamati Kuu (CC) itakayokutana Julai 8, chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete, ikifuatiwa na kikao cha Nec Julai 9, mwaka huu.

            Mchakato wa kumpata mgombea urais atakayepeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, utahitimishwa Julai 11, mwaka huu na Mkutano Mkuu wa Taifa CCM ambao ni maalum kwa ajili kulipigia kura jina la mgombea mmoja kati ya watatu.

            Huku Akidaiwa Siku Hizi ni Tajiri..LULU MICHAEL Amwaga Minoti Ukumbini Kwenye Pati..Noti zatolewa Kwenye Maboksi..Ushahidi wa Picha Upo Hapa

            Posted: 03 Jul 2015 12:31 AM PDT

            Lulu Akijiandaa kumwaga minoti iliyopo kwenye box
            ULE msemo wa ‘pata pesa tuone tabia yako’ huenda ni kweli, kufuatia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ambaye siku hizi anaitwa ‘tajiri mtoto’ kutokana na kuwa na fedha na kumwaga ‘minoti’ (pesa) kwenye pati, Ijumaa ‘Kubwa’ lilikuwepo.

            Kwa mujibu wa shushushu wetu, ishu nzima ilijiri usiku wa Ijumaa iliyopita kwenye pati ya ‘bethidei’ ya mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Kalala Hamza ‘Kalala Junior’ iliyofanyika ndani ya ukumbi wa hoteli moja yenye hadhi ya nyota tano iliyopo Masaki jijini Dar ambapo mastaa na mapedeshee kibao wa ‘mujini’ walihudhuria.

            LULU AMWAGA MINOTI
            Ilielezwa kwamba, Lulu alifanya ‘kufuru’ hiyo baada ya waalikwa wa pati hiyo kumaliza kula na kunywa ambapo ikafika wakati ratiba ikaelekeza watu kutoa zawadi kwa kadiri watakavyojisikia au kujaliwa nacho.

            Ndipo Lulu ambaye siku hizi amekuwa hapendi kujitokeza kwenye shughuli, alipita mbele na kuanza kumpa noti nyekundu ‘Msimbazi’ aliyekuwa akizikusanya kwa niaba ya Kalala Junior kwa staili ya moja-moja.


            Shuhuda wetu alidadavua kuwa, kila aliponyoosha mkono kutoa Msimbazi mmoja, watu walimkodolea macho wakiamini hawezi kufika ‘kilo moja’ (Sh. 100,000).

            MANENO YA WATU
            “Lulu bwana, anajitutumua tu. Hawezi kumpa laki moja Kalala Junior. Kwanza sidhani kama siku hizi ana pesa za kufanyia fujo,” alisema mwalikwa mmoja, mwenzake akampinga.“Wee! Lulu siku hizi ana pesa. Wenzake wanamuita tajiri mtoto. Ndiyo maana ana jeuri ile,” alisema mwingine miongoni mwa waalikwa hao.

            Hata hivyo, Ijumaa halikuweza kufuatilia noti hizo katika mtiririko wa kutoka ili kujua ni shilingi ngapi bali baada ya kumaliza, lilimfuata Lulu ili kumuuliza ambapo hakuwa tayari kutoa ushirikiano.

            Mtu wa karibu na Lulu ambaye aliomba jina lihifadhiwe, aliliambia Ijumaa kuwa, Lulu siku hiyo alitenga shilingi milioni moja na laki nne (1,400,000) kwa ajili ya kumtuza Kalala Junior tu.“Hawezi kusema, lakini mimi ninavyojua alitenga milioni moja na laki nne. Lulu kwa sasa yuko vizuri kipesa,” alisema mtu huyo na kuachana na Ijumaa.

            KWA NINI LULU ALITOA KIASI HICHO CHA PESA KWA KALALA JUNIOR?
            Habari za ndani zinasema kuwa, Lulu aliamua kumwaga mkwanja huo kwa vile, mwanamuziki huyo kwa sasa ni mpenzi wa shoga kipenzi wa Lulu, Rose Alphonce ‘Muna’.

            Wakati wa matatizo ya Lulu kuswekwa Magereza ya Segerea, Dar kwa madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Muna ndiye aliyebeba jukumu la kumpelekea chakula mahabusu huyo kila siku.

            Lakini pia, Lulu alipotoka gerezani kwa dhamana, alikwenda kuishi kwa muda nyumbani kwa Muna, Mwananyamala jijini Dar.

            MAPEDESHEE NAO
            Baada ya Lulu kumaliza kutuza minoti yake, mapedeshee waliokuwa ukumbini humo nao walicharuka ambapo walichomoa minoti yao na kuimwaga kwenye maboksi mawili na kutolewa ukumbini hapo na wapambe.

            KUMBE KALALA ALIFANYIWA SAPRAIZI
            Kwa mujibu wa chanzo chetu ndani ya ukumbi huo, Kalala Junior akiwa hajui chochote, mpenzi wake huyo ambaye pia ni msanii wa filamu, alimtaka watoke kwa ajili ya kupata chakula cha jioni ambapo walikwenda kwenye hoteli hiyo.


            Baada ya kufika, Kalala alipokelewa na watu waliokuwa ukumbini hapo huku wakimmwagia maji, bia na soda hadi akawa chapachapa huku wakimwimbia nyimbo za ‘hepi bethidei tu yuuu…’ jambo ambalo hakulitegemea.
            Kutokana na kulowa chapachapa, Muna  alimchukua hadi kwenye chumba alichochukua mapema ndani ya hoteli hiyo ambapo alimbadilisha nguo.

            Muna alimvalisha Kalala suti yenye gharama ya shilingi 2,800,000, viatu vya shilingi 800,000 (inadaiwa ni vya kutoka Italia), vyote hivyo alivinunua mwanadada huyo ikiwa ni zawadi kwa mpenzi wake.
            Wawili hao walirudi ukumbini ambako walipokelewa kwa shangwe huku mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ akiwa ni mshehereshaji (MC) wa shughuli hiyo ambayo kwa kuangalia tu iligharimu mamilioni ya shilingi.

            KALALA AMFUNGUKIA MUNA
            Kufuatia mbwembwe hizo za Muna, Kalala alitumia nafasi hiyo kumtambulisha rasmi kwamba ndiye mchumba’ke wa sasa na kumshukuru kwa kumwandalia sherehe kubwa na ya gharama kwani hakuwahi kufanyiwa hapo awali.

            MAIMARTHA ATIA NENO
            Naye mshereheshaji wa shughuli hiyo, Maimatha aliliambia gazeti hili kwamba, sherehe hiyo ilikuwa ya aina yake na yeye alilipwa zaidi ya shilingi milioni moja.

            Source:GPL

            Vibinti vyakosa Haya...Mzee MAJUTO Atoa Shutuma Kali..Adai Vibinti Vinamtongoza Bila Aibu

            Posted: 02 Jul 2015 11:56 PM PDT

            Staa mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe.

            Mzee Majuto ambaye kifani ni bingwa wa komedi amesema, kutokana na kazi yake ya uigizaji imemfanya kuzimikiwa haswa na mabinti.

            “Sijawahi kumshobokea binti yoyote ila wenyewe ndiyo huwa wananishobokea kutokana na uigizaji wangu,” amesema Mzee Majuto.

            Hivi karibuni, Mzee Majuto alidaiwa kuoa binti mdogo ambaye ni sawa na mjukuu wake mwenye umri wa miaka 18 akidai kuwa sheria ya dini inamruhusu kufunga ndoa na wake wanne.

            Mwanamuziki AFANDE SELE Ajigamba..Adai yeye Akiingia Bungeni Atakuwa Tofauti Sana...Atafanya Haya Mambo Kujitofautisha na Wengine

            Posted: 02 Jul 2015 11:34 PM PDT

            Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia mjengoni.

            Rapper huyo  atawania kiti cha ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha ya chama cha ACT na amesemakuwa akiingia bungeni wasanii watarajie mambo makubwa kutoka kwake.

            “Lengo langu kubwa kwa wasanii ni kupigania haki za wasanii,” Amesema  Afande Sele

            “Nimegundua tukizungumzia haki za wasanii kwenye muziki kwa kuimba tu, hakuna kitachofanyika. Viongozi hawana shinikizo la kutekeleza, wanazungumzia tu kidogo halafu wanaacha.

             "Lakini nimeona ukiingia bungeni wasanii tutashiriki moja kwa moja kwenye utungaji sheria za nchi.

             "Suala la haki za wasanii nitakuwa niko nalo karibu sana na nitalipigania kwa namna yoyote kwa sababu nipo kwenye chombo cha maamuzi na nina rungu mkononi,” ameongeza msanii huyo.

            “Lakini leo hii hata nikiwa nazungumza sina silaha yoyote, lakini tukiingia bungeni tunaweza kupaza sauti na zikasikika kwa sababu tupo kwenye chombo cha sheria na kina mamlaka na uwezo.

            "Unajua kila anayeingia bungeni unakuta baadaye anabadilika, mimi nina upeo mkubwa tofauti na wabunge wanaomaliza muda wao. Inaonyesha waliingia kwenye siasa kwaajili ya kutafuta maslahi. Kwahiyo wasanii watarajie kuona sheria za haki miliki zikipatikana au zile zilizopo zikifanyiwa marekebisho,” amesisitiza.

            “Kwa sasa hivi bungeni hakuna mtu mwenye uchungu na sanaa, wasanii ambao walibahatika kuwa wabunge wameingia bungeni nao wamegeuka mafisadi vilevile.

            "Wamekuwa wawekezaji wa biashara, wamedharau shida za wasanii. KwaHiyo mimi nafikiri bungeni kulikuwa hakuna wasanii ambao wanatuwakilisha, wasanii tunaotaka kuingia bungeni sasa hivi tuna wito. Kwahiyo watu wategemee kuona mabadiliko makubwa sana kwenye sanaa.”

            Katika hatua nyingine, Afande amesema kwa sasa hatoweza kutoa wimbo wowote mpaka uchaguzi utakapopita.

            “Ningependa sana mashabiki wa muziki wangu wasubiri uchaguzi upite ndio wasikie kazi mpya kwa sababu tayari akili na mawazo na malengo yangu yapo kwenye uchaguzi. Mimi nimeona nisiwa-disturb kwa kitu chochote mpaka uchaguzi upite.
             
            "Kwa sababu hili ni jambo muhimu sana linatokea kwenye taifa na ni maisha yao. Kwahiyo watu wajitokeze kujiandikisha pamoja na kupiga kura ili kuwachagua viongozi wanaowataka.”

            Wazazi wa Mwigizaji ROSE NDAUKA Wacharuka....Hawamwelewi Mtoto Wao Kuhusu Wanaume..Wampa Onyo

            Posted: 02 Jul 2015 11:30 PM PDT

            Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amewekwa chini na familia yake na kupewa onyo kuhusu wanaume pamoja na maadili.

            Kwa mujibu wa chanzo, Rose aliambiwa maneno mengi na familia yake ikimtaka ajirekebishe na haswa ajitume zaidi katika kazi zake anazofanya.

            “Familia yake imeamua kumuweka chini na kumwambia mengi kuhusu maisha haswa ikimtaka ajirekebishe tabia yake kwa ujumla,” kilisema chanzo.

            Rose alipotafutwa kuweka wazi juu ya hili, alifunguka;
            “Kila familia ina utaratibu wake, kwahiyo mimi kuwekwa na familia na kupewa onyo wala siyo suala la ajabu.”

            MAUAJI ya Kusikitisha Mwanaume Amuuwa Mwenzake Kwa Kutumia KISU Wakigombea Mwanamke

            Posted: 02 Jul 2015 11:24 PM PDT

            WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti katika Wilaya za Tarime na Rorya akiwemo mtu aliyeuawa wakati wanagombania mwanamke.

            Waliokufa ni Chacha Mwita (24) aliyechomwa kisu kifuani na mwenzake wakigombea mwanamke wa baa huko Sirari.

            Wengine ni Juma Nguka (25) aliyeuawa na watu wenye hasira baada ya kutuhumiwa kupora pikipiki yenye namba za usajili MC 936 ACA, mali ya Erick Jumanne mkazi wa Kijiji cha Mkoma.

            Tukio lingine ni kufa maji kwa mvuvi aliyefahamika kwa jina la Wambura Maregeri (30) mkazi wa kijiji cha Muhundwe aliyekufa maji baada ya Boya kutoboka.

            Kaimu Kamanda wa Polisi Tarime Rorya ACP Swetbert Njewike alisema kuwa matukio hayo matatu ya vifo yalitokea Julai mosi mwaka huu katika Wilaya za Rorya na Tarime.

            Akielezea tukio la baa ambalo Mwita aliuawa, alisema siku hiyo marehemu akiwa baa moja katika mji wa Sirari, Tarime, nyakati za saa moja jioni kulitokea ugomvi kati ya marehemu na mtu mwingine ambaye hajafahamika jina lake wakigombania mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Dina.

            Alisema wakati wa ugomvi huo, Mwita alichomwa kisu kifuani na aliyefanya kitendo hicho alitoroka ambapo majeruhi huyo alitokwa damu nyingi na alipofikishwa Hospitali ya Wilaya Tarime alifariki dunia.

            Alisema Nguka yeye alipoteza maisha baada ya kushambuliwa na wananchi wenye hasira baada ya kudaiwa kuiba pikipiki.
             
            Akasema Maregesi alikufa maji baada ya boya lililotengenezwa kienyeji alilokuwa anatumia katika uvuvi kutoboka na kuzama majini hali iliyopelekea kifo chake.

            “Jeshi la Polisi linafanya msako wa watuhumiwa wa mauaji Chacha Mwita na watuhumiwa waliohusika katika mauaji ya Nguka ili waweze kufikishwa katika vyombo vya Sheria,” alisema.

            Aliwaonya wananchi kutojichukulia sheria mikononi ya kuwauawa watu wengine badala yake wawafikishe katika vyombo husika vikiwemo vya Dola.
             
             Aliwaomba raia wema kutoa taarifa mara watakapowaona watuhumiwa hao wa mauaji hayo ii wakamatwe.

            Eti Wachezaji wa Taifa Stars Walikuwa Hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro Atoboa Siri

            Posted: 02 Jul 2015 11:15 PM PDT

            Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’  kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  Mart Nooi.


            Sasa leo July 2, 2015 Nadir Haroub a.k.a  Cannavaro amefunguka na kuelezea hujuma hizo…‘Sisi wachezaji tunaumia zaidi kuliko mashabiki kwasababu maisha yetu tunategemea mpira tunapopata matokeo mabaya familia zetu zinakaa na njaa, kwanza tunakosa fedha tunazoahidiwa, tunakosa pia kuthaminiwa na watu nje unajua unapofanya vibaya watu hawawezi kukusapoti sisi tunaumia zaidi.

            Kwa suala la mwalimu kusema kuwa watu hawajui kingereza sio kweli, kwani suala la mpira ni vitendo mwalimu anakuambia fanya hivi hivi na mchezaji unaelewa nini cha kufanya, matokeo yanatokea kwenye mpira unaweza ukashindwa au ukafungwa, sisi tunaumia sana na tunataka matokea mazuri ili tupate kuheshimika kwenye vilabu vyetu. Tutajitaidi na nitawaambia wenzangu to force kila game ambayo itakuwa mbele yetu tuweze kupata matokeo mazuri, sisi kwanza tunatarajia kuanzia mechi na Uganda tukishinda moja tukishinda mbili ilimradi turudishe imani kwa watanzania…’alisema.

            Diamond Azidi Kumpa Machungu ALI KIBA Amevunja record kashika No.1 kwenye Top 10 ya Afrika

            Posted: 02 Jul 2015 11:11 PM PDT


            Kwenye Top 10 ya muziki mkali wa Afrika ambayo hufanyika kila Alhamisi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho kina mamilioni ya Watazamaji Afrika (TRACE TV Urban) July 2, 2015 single ya ‘Nana’ Diamond ft Mr Flavour imeshika nafasi ya kwanza

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 4, 2015, 4:56:34 PM7/4/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Akina Dada Msijidanganye la Sivyo Mtaishiwa Kufunuliwa tu Mpaka Akili ziwakae Sawa

            Posted: 04 Jul 2015 09:39 AM PDT

            Leo nimeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka masharti lukuki tena magumu Kinoma

            Mara nataka Mwanaume Handsome, Mcha Mungu, mwenye elimu ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.

            Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je wewe ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumbani?

            Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumbani na huna mume wala mchumba inabidi ujiulize mara mbili ulikosea nini huko nyuma Kwasababu Kupata Mume umri huo kwa sasa ni Bahati , Wengine Kabisa wanakataa wachumba wakiwa kwenye early 20's Wakijua watastay young Forever...

            Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake eti nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu wewe umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?

            Mimi nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.

            KWAHERINI

            Hivi Unamchukuliaje Mpenzi Wako Mwenye Majibu Kama Haya Ukichat Nae

            Posted: 04 Jul 2015 09:37 AM PDT

            Eti ukiwa unachat mpenzi wako anakupa majibu kama haya unamchukuliajeee
            mfano

            1.ukimwambia kila ukimwambia bby i love you much au nakupenda sana mpenzi wangu
            yeye hujibu asante au thanks badala ya kusema i love you too mpenzi wangu

            2.ukimtumia vocha hukaa kimya ukimpigia hujibu asante nimeipataa.

            3.ukimwambia nimekumic mpenzi wangu hujibu asante au thanks au k thanks

            4.ukimwambia kuhusu sex huandika k au sawa au bila kujibu

            jee unamuongeleajee mpenzi kama huyu kwa wale wataalamu saikolojia

            Listen And Download New Audio | NAY WA MITEGO | SINA MUDA

            Posted: 04 Jul 2015 07:58 AM PDT

            Listen And Download New Audio | NAY WA MITEGO | SINA MUDA

            Snura:Sitaki Unafiki na Makundi ya Kuwadiss Wengine

            Posted: 04 Jul 2015 07:42 AM PDT

            MWIGIZAJI wa filamu na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amesema kuwa anakerwa sana na unafiki unaofanywa na baadhi ya wasanii kwa kushirikiana na wapenzi wa kazi zao kwa kufanya kampeni za kuangushana katika medani za kimataifa.

            “Naepukana na unafiki tena naweza kusema roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yantumia muda mwingi kuwadisi wengine, mfano hivi sasa wakati Diamond anagombea Tuzo kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu wa nje kumfanya kampeni ashindwe,”anasema Snura.

            Snura anadai kuwa siku hizi makundi ambayo yanaundwa na wasanii au wapenzi wenyewe ambayo yanatumika vibaya katika kutengeneza ugomvi, au kushabikia wasanii wakigombana kwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi au kukatisha tamaa hata kama wanafanya kazi zinazotangaza Taifa.

            Wabunge wengine 35 nao wamepigwa stop kuingia Bungeni kwa siku tano kuanzia leo July 4 2015

            Posted: 04 Jul 2015 07:18 AM PDT

            Kumekuwa na story nyingi tofauti toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma, kwa muda wa siku tatu mfululizo zimetokea vurugu, Kikao kikaahirishwa kwa siku mbili mfululizo.

            Alhamisi July 02 2015 Mbunge John Mnyika aliomba mwongozo kuomba Bunge lisiendelee kwa vile ishu ya kujadili Miswada mitatu kwa siku moja ilikuwa inakiuka Kanuni za Bunge, ukatokea mvutano na baadae Spika AnneMakinda akaahirisha Bunge.


            Ijumaa July 03 2015 hali ikawa hivyohivyo tena, wakati Waziri George Simbachawene anasoma Muswada, ikatokea mvutano mwingine, zikaanzishwa kelele Bunge likaahirisha tena.. Kikao cha Jioni Spika Anne Makinda akarudi na list ya majina ya Wabunge ambao wamesimamishwa Bungeni kutokana na maamuzi ya Kamati ya Maadili ya Bunge.


            Leo July 04 2015 Kikao kimeanza tena saa tatu asubuhi, Mbunge Ezekiel Wenje akaomba Spika atoe ufafanuzi wa kwanini Mbunge Silinde hayuko kwenye list ya waliotajwa kusimamishwa lakini Askari wa Bunge wamemzuia asiingie kwenye Kikao?

            Majibu ya Spika hayakuwaridhisha baadhi ya Wabunge, zikaanza tena kelele… Spika akataja list ya Wabunge wengine ambao wanasimamishwa kuhudhuria Vikao vya Bunge kwa siku tano kila mmoja.

            List ya Wabunge wote iko hapa.

            Ezekiel Wenje

            Mussa Kombo

            Masoud Abdallah Salim

            Rebecca Ngodo

            Sabrina Sungura

            Khatib Said Haji

            Dr. Anthony Mbassa

            Maulidah Anna Valerian Komu

            Kulikoyela Kahigi

            Cecilia Pareso

            Joyce Mukya

            Mariam Msabaha

            Grace Kiwelu

            Israel Natse

             Mustapha Akonaay

            Konchesta Rwamlaza

            Suleiman Bungura

            Rashid Ali Abdallah

            Ali Hamad

            Riziki Juma

            Rukia Kassim Ahmed

            Azza Hamad

            Khatibu Said Haji

            Kombo Khamis Kombo

            Ali Khamis Seif

            Haroub Mohammed Shamisi

            Kuruthum Jumanne

            Mchuchuli

            Amina Mwidau

            Mkiwa Kimwanga

            Salum Baruhani

            Marry Stellah Malaki

            Rashid Ally Omary

            Mwanamrisho Abama

            Lucy Owenya

            'Bao la Mkono' latua Tume ya Uchunguzi.....Mdomo wa Mponza NAPE na Kusababisha Vikao vya NEC kusimamishwa

            Posted: 04 Jul 2015 07:15 AM PDT

            Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano huo usitishwe hadi pale CCM itakapomuonya Nape Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano huo usitishwe hadi pale CCM itakapomuonya Nape

            Dar es Salaam. Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’ Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano huo usitishwe hadi pale CCM itakapomuonya Nape.

            Wa kwanza kuibua mada kuhusu Nape, ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NLD, Dk Emmanuel Makaidi ambaye alisema hakuna haja ya kuendelea na mkutano huo hadi NEC, Msajili wa Vyama vya Siasa na IGP wakemee kauli hiyo. “Hivi tutayazungumziaje maadili, mbona CCM kimeshaonyesha kuwa hakitafuata maadili, kuna haja gani ya kuzungumzia wakati wameshasema watafunga hata kwa goli la mkono?” alisema Dk Makaidi. Awali akiwa katika ziara ya Kinana wilayani ya Sengerema, Nape alikaririwa akisema kuwa ana uhakika CCM itashinda baada ya kuona mwitikio mkubwa wa Watanzania katika ziara hizo. “Rangi inayoenda Ikulu ni hii (anaonyesha shati lake la kijani ambayo hutumiwa na chama hicho).

            Tuna uhakika na ushindi wa Rais. Kwa namna yoyote ile, CCM itarudi Ikulu hata kama ni kwa bao la mkono… bao ni bao tu ili mradi refa hajaona,” alisema Nape. Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva aliwatoa wasiwasi wanasiasa hao akiwaambia kuwa Nec itafanya uchaguzi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu na hivyo kauli ya Nape haiwahusu. “Maadili tunayoyatengeneza yataanza kutumika kuanzia Agosti 22, wakati wa kampeni, lakini iwapo kuna vurugu zinatokea baina ya vyama sisi wala Nec hatuhusiki,” alisema. Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa akichangia kipengele cha wahusika wa maadili aliitaka Nec kuliweka Jeshi la Polisi kupitia IGP kusaini na kuwa mhusika katika masuala ya maadili ya uchaguzi.

             Hiki kipengele cha 1.3 kinawataja wahusika wa maadili kuwa ni vyama vya siasa, wagombea, Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Nec pekee. “Kutokana na uzoefu tulionao katka chaguzi zilizopita, Jeshi la polisi ni washiriki wakubwa katika masuala ya uchaguzi, kama jeshi hilo halitasaini maadili hayo basi kutakuwa na matatizo makubwa katika uchaguzi huo,” alisema. Awali akifungua mkutano huo Jaji Lubuva alivitaka vyama vya siasa kufuata maadili, sheria na kanuni za uchaguzi, na katika kipindi chote cha kuanza kwa kampeni hadi siku ya uchaguzi. Chanzo:
             Mwananchi

            Vurugu zimetokea leo Zanzibar baada ya Wanachama wawili wa CUF kupigwa risasi na watu waliofunika Nyuso zao

            Posted: 04 Jul 2015 07:11 AM PDT

            Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar mchana huu kufuatia Wanachama wawili wa CUF (majina yao bado hayajafahamika) kupigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura Makunduchi.

            Waathirika wamewahishwa hospitali ya Arahma kuwahi matibabu ya haraka.

            Taarifa zaidi zaja...

            Siri ya Mbuzi wa Kinondoni Makaburini...Je ni Kweli ni wa Kichawi ?

            Posted: 04 Jul 2015 05:12 AM PDT

            Kumekuwa na "story" nyingi juu ya mbuzi wanaolala maeneo ya Kinondoni makaburini,na wakati wa mchana kuzunguka huku na kule kuanzia Kinondoni muslim,studio,mpaka maeneo ya Biafra na Morrocco(?),hawa ni mbuzi wasio na mchungaji wala "mmiliki",huzunguka hapa na pale ktk kujitafutia malisho ktk majalala na maeneo ya makazi ya watu.

            Wenyeji wengi wa Kinondoni wanasema mbuzi hao walianza kuonekana mmoja mmoja lkn sasa wamekuwa wengi na kuzunguka wakiwa ktk kundi.Hawachinjiki wala kukamatika,wengine huwahusisha na "masalia" ya mbuzi wa "kafara" ambapo watu wengi wanaoamini juu ya kafara huja nyakati za usiku ktk maeneo ya makaburi na kutoa kafara au kuwaacha kama njia ya kutawanya "mikosi" na "mabalaa".

            Zipo habari za kikundi cha mateja kujikusanya na kuwakamata hao mbuzi na kuwauza kwa wapika supu,kitu kilichopelekea mateja wengi kupukutika kwa kifo na magonjwa ya hatari,na wale wanunuzi kupata mauzauza ya ajabu..kiasi mpaka sasa,licha ya njaa za mateja,lkn huwezi kukuta teja anawakamata na kuwauza.

            Mbuzi Hawa Wanaitwa gusa unate...Je kwa wajuzi na wajanja wa Kinondoni,kuna ukweli gani juu ya mbuzi hawa??ni nani kweli mmliki wa hii mifugo?

            Kama Lowassa ni Fisadi, Rais Kikwete tamka Hadharani

            Posted: 04 Jul 2015 05:01 AM PDT

            Kama Lowassa ni fisadi na mwizi wa mali za watanzania.

            Mwenyekiti wa CCM JK simama hadharani na utamke wazi wazi la sivyo tunaposema CCM ni chama cha mafisadi kwa miaka yote msipingane na Sisi.

            Au La na mwenyekiti wa CCM utakuwa upo kwenye cheni moja na EL
            Mnaogopa nini kumtaja kama ni fisadi?

            Na kwanini mtumie vijana wa ngazi za chini kama Makonda na Nape kwenye chama chenu kumwandama na nyie mkiwa kimya?

            Tunaitaji matamko ya
            1.Mwenyekiti wa CCM
            2.Makamu mwenyekiti CCM
            3.Katibu Mkuu CCM

            Sio Mavuvuzela wa chama,la sivyo nyote ni mafisadi na wezi tu mnaooneana aibu kwa kuzidiana ufisidi.

            Wife Kaniroga Nikienda nje Haisimami, Ndani inasimama, Help Pls

            Posted: 04 Jul 2015 04:57 AM PDT

            Nimekua na mgogoro mkubwa na wife wangu kwa Muda flani sasa, nisingependa kuutaja maana nilishautaja mgogoro huo hapa na tulishaufunga mjadala huo

            Kutokana na huo mgogoro nikalazimika kutafuta farijiko pembeni, farijiko hilo ni staff mwenzangu kazini ambae alikua alikua historia ya mgogoro wangu

            Mwanzo nilienda kujipumzisha tu kwa Muda ili kupata Muda Wa kupumua kuondoa stress lakini baadae nikanogewa nikawa nalala huko siku mbili hadi tatu ndo narudi home

            Sijajua wife alitumia mbinu gani kumbaini mbaya wake, maana nilishangaa tu katia team kazini na kuanzisha varangati
            Hata nyumbani kwa huo mchepuko sijui kapajuaje, nilistukia tu siku moja tumejipumzisha ndani akatia Tim pale na kuanzisha fujo akinitaka turudi nyumbani la sivyo pale pangegeuka Syria, ilikua ni aibu kubwa nikalazimika kutii na kuondoka nae

            Tulipofika home nilikua na hasira sana nikamwambia hata afanyeje mm nitaendelea tu na yule mwanamke wangu apende asipende nae akanijibu kwamba tutaona nani mshindi, kwamba nikiendelea na huyo mwanamke nitaona kitachonipata

            Kweli bana, nilikaa siku kadhaa bila kwenda, siku nilipoenda kwa mchepuko nikashangaa uume hausimami, tulijaribu kila namba lakini wapi
            Kila siku tukawa tunajaribu bila mafanikio

            Tulikua na siku nyingi hatujafanya mapenzi na wife kwa sababu ya ugomvi, cha kushangaza ghafla tu usiku akaanza kunitomasa na kunifanyia romance ya nguvu, huku akinibembeleza tudumishe ndoa yetu Mara tusimpe shetani nafasi sijui na blah blah nyingi hadi tukajuana bila shida

            Kesho yake niliporudi kwa mchepuko haisimami tena, ndipo nikakumbuka ile kauli kwamba "" tutaona""
            Tumejaribu na kujaribu na mchepuko wangu lakini wapi
            Hadi umeenda sehem na kuambiwa ni wife wangu ndo amefanya vile so mtaalam kamwambia ni lazima niende nikatibiwe la sivyo nitakua sitembei na mwanamke mwingine yoyote yule zaidi ya wife na ikitokea tumeachana ndo balaa kabisa
            Yaani ametengeneza dawa nisimamishe kwake tu

            Lakini cha ajabu huyu mke wangu hujidai mtu Wa dini kwa kuimba mimba vijinyimbo vya kina rose mhando Muda wote

            Wakuu mnanishaurije? Niende kwa huyo daktari Wa mchepuko wangu nikatibiwe?

            Nimethibitisha kwamba ni mke wangu maana kawa mtu mwema sana kwangu tangu shida hii inipate, akifanya vyote tulivyokua tukifanya zamani mwanzo Wa ndoa

            Nimetafuta binti mwingine kabisa ili nijaribishe ikawa vile vile niliporudi home mambo safi

            Wakuu nahitaji msaada Wa haraka pls

            Ugomvi wangu na wife uliotufikisha hapa hatukawahi kuumaliza na nilimtimua kurudi kwao ndipo akarudi kwa kufosi ndipo nikatafuta demu pembeni

            Help pls

            Jerry Muro, Kwa Kiingereza chako hiki, hakika umejidhalilisha na kuwatia aibu mno Walimu wako wote

            Posted: 04 Jul 2015 04:39 AM PDT

            Akiwa Anazungumza Kwa Madaha Katika Kituo Cha Magic FM Kipindi Katika Kipindi Chao Cha MICHEZO Huku Muda Mwingi Akitumia Kuiponda Simba Na Haswa Viongozi Wake Na Haswa Akimlenga Msemaji Mwenzie Haji Manara Kuwa Hajui Kuongea Kiingereza Na Ndiyo Maana Simba Haiendi Mbali Kusajili Wachezaji Anaowaita Yeye " Wa Kimataifa " Na Wanaishia Tu Kusajili Wachezaji Wa Nchi Za Karibu Wanaoongea Kiswahili ( Hapa Akimaanisha Wa Uganda, Kenya Na Burundi ).

            Baada Ya Hapo Jerry Muro Nae Tena Mbele Ya Waandishi Wa Habari Akazungumza Kiingereza Hiki Nitakachokiandika Hapa Na Alichokuwa Anataka Kumaanisha Kisha Tutajua Je Ni Kweli Anajua Kiingereza au Ni Wale Wale? Halafu Hapo Hapo Anasema Kuwa Ana MASTER'S DEGREE Ya Public Administration Lakini Hatuambii Kasoma Lini, Wapi Na Kamaliza Lini Na Huku Akiwa Amesahau Kuwa Wapo Watu Wanaomjua A To Z au KINDAKINDAKI Kuliko Hata Anavyojijua Yeye ILA Tumeamua Tu Kumfichia Siri Kwa Kumuheshimu Kwakuwa Tu Ni Mwana Tasnia Mwenzetu.

            Kiingereza Chake Ni Hiki kifuatacho Na Nitaomba Sana Kama Huna Background Nzuri Ya Kiingereza SANIFU Tusipotezeane Muda Kwa Kubishana Bali Nataka Watakaochangia Basi Wawe Kweli Ni Wazuri Ktk Communication Skills Na Matumizi Ya Lugha Yenyewe Ambayo Msemaji Wa Yanga Jerry Muro Anasema Anaijua Huku Akidai Viongozi Wa Simba Hawakijui.

            Yanga Tuko Vizuri............Yeye Akasema............Yanga We Are Much Okey.
            Yanga Tuko Tayari..........Yeye Akasema............Yanga We Are Arleady.

            Wataalam Wa Lugha, Wajuvi Wa Kiingereza Cha Kuzungumza Na Kuandika Na Hata Wale Mliosoma Vizuri Sana Communication Skills Naombeni Mnisaidie Je Kusema " Yanga We Are Much Okey " Na " Yanga We Are Already " Ni Kiingereza Sahihi Na Ambacho Mtu Wa Caliber Ya POPOMA Jerry Murro Anaweza Kujivunia Nacho?

            Na Namalizia Tu Kwa Kumkumbusha Jerry Muro Kuwa Msemaji Mwenzie Wa Simba Sports Club Haji Manara Ni Msomi ALIYETUKUKA Vizuri Tu Na Haishii Tu Kuongea Kiingereza Kizuri Lakini Kwa Faida Yake Na Wengine Msiojua Haji Manara Pia Ni Linguist Tena ALIYETUKUKA.
            JF

            Nyumba ya Jay Dee Kupigwa Mnada Baada ya Kushindwa Kulipa Deni la Mkopo

            Posted: 04 Jul 2015 04:35 AM PDT

            Baada ya Judith Wambura Habash kushindwa kulipa mkopo aliokopa,nyumba yake iliyopo Mivumoni,Kinondoni imewekwa sokoni kwa ajili ya kupigwa mnada.

            Mtakumbuka kuwa sasa hata Bar yake ya M.O.G imefungwa muda sasa.

            Tumuombee Anaconda maana anapita kwenye wakati mgumu sana sasa hivi

            Chachu Ombara/ Jamii Forums

            Pipi Adai yeye na Mume wake Hutumia Simu Moja

            Posted: 04 Jul 2015 04:20 AM PDT

            Muimbaji wa Bongo Flava, Pipi amedai kuwa yeye na mume wake hutumia simu moja.

            Pipi alikuwa akiongea na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.

            “Unajua kama mtu sio mwaminifu katika ndoa yako hiyo ndio itakuwa tabu na mtu akiamua kucheat anaweza hata bila simu japo watu wengine wanaona ni wivu lakini hiyo ni misingi ambayo tumejiwekea tokea tulivyoana,” alisema.

            “Mimi na mume wangu tuna miaka kumi sasa hivi maana tokea tulivyokuwa hatujafunga ndoa hadi sasa hivi ni miaka kumi inafika. Mimi na mume wangu tuna misingi mizuri ya uaminifu, na wala hatuna mambo mengi kwa hiyo hatuna sababu ya kufichana, kwangu mimi naona ni kawaida tu hata yeye,” aliongeza.

            Hatuoni Sababu ya Kutokuchukua Ubingwa - SIMBA

            Posted: 03 Jul 2015 11:51 PM PDT

            Klabu ya Simba imesema hakuna sababu ya wao kushindwa kuchukua kombe la Ligi kuu Soka Tanzania Bara kutokana na kujiimarisha katika nafasi mbalimbali kwa kusajili wachezaji wenye viwango vya juu.

            Akizungumza jijini Dar es salaam, Afisa habari wa Simba Sc, Haji Manara amesema, wanavijana ambao msimu uliopita hawakuweza kufanya vizuri ambapo kwa msimu ujao watafanya vizuri kwasababu wameshajiandaa vya kutosha na wamekomaa ambao wataungana na wachezaji wazoefu ili kukiimarisha zaidi kikosi hicho.

            Manara amesema, usajili wa safari hii umeiweka timu sawa kwa ajili ya kujiweka tayari kuchukua Ubingwa kwani wamejipanga kila eneo kwa ndani na nje ya Uwanja.
            Kwa upande wa Usajili, Klabu hiyo imefanikiwa kumsajili Mganda Hamis Kiiza Diego mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia katika mechi za msimu ujao wa Ligi kuu Soka Tanzania Bara.

            Diamond Platnumz Asalimu Amri Kwa Baba Yake....Baada ya Kumchunia Kwa Muda Mrefu

            Posted: 03 Jul 2015 11:43 PM PDT

            ULE msemo usemao ‘wagombanao ndiyo wapatanao’ umetimia kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya kuwa na mgogoro kwa muda mrefu na baba yake, Abdul Jumaa ‘Baba D’ ambapo anadaiwa kusalimu amri na sasa wanaelewana, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukunyetishia.

            TUJIUNGEA NA CHANZO

            Chanzo makini ambacho ni rafiki wa karibu wa Baba D, mapema wiki hii kililieleza gazeti hili kwamba, kwa sasa Diamond amesalimu amri kwa baba yake kwani amekuwa akimsikiliza na kumsaidia pale anapokuwa na shida tofauti na ilivyokuwa awali.

            “Angalau sasa Diamond anamsaidia baba yake kwani hata akimpigia simu anamsikiliza na anampa fedha ndogondogo za matumizi tofauti na zamani,” kilinyetisha chanzo hicho kwa sharti kuu moja tu la kutochorwa jina gazetini.


            NYUMBANI KWA BABA D

            Baada ya kupata ‘news’ hizo, gazeti hili lilimfungia safari baba Diamond hadi nyumbani kwake, Magomeni jijini Dar ambapo alikiri kwamba mwanaye Diamond kwa sasa anamsikiliza na hata akiwa na shida anamsaidia japokuwa bado anasumbuliwa na mguu na anahitaji matibabu ya kina zaidi kwani inatoa maji na kuvimba.

            SHUKRANI KWA GLOBAL

            “Nawashukuru hata ninyi Magazeti ya Global kwani mmechangia kwa kiasi kikubwa mabadiliko ya mwanangu. Kwa sasa ananisadia hata nikimpigia simu ananisikiliza tofauti na zamani,” alisema baba Diamond.

            BABA D ATOA NENO

            Mzazi huyo wa staa wa Ngoma ya Nana alikwenda mbele zaidi na kumtaka mwanaye Diamond alete heshima kwa familia kwa kuoa kama ameamua kuwa na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye kwa sasa ana ujauzito wake.

            Baba D alimtaka mwanaye huyo afunge ndoa na Zari kihalali kwani kila kunapokucha wanawake wazuri wanazaliwa, asije akaishia kuvishavisha wanawake pete za uchumba tu bila kuoa.

            “Diamond amepata fedha akiwa kijana, ni bahati iliyoje hiyo! Anatakiwa sasa atulie na mwanamke mmoja kama amemchagua Zari basi wafunge ndoa halali maana baadhi ya wanaume huwa tuna tabia moja, kwamba, mwanamke akishazaa tunamuona mvuto wake umeisha.

            “Hivyo, hata kwa Diamond inaweza kutokea baada ya Zari kujifungua, akamuona hivyo na akakutana na mwanamke mwingine mzuri ambaye hajazaa, akaamua kuwa naye tena na kumsahau huyo (Zari) lakini akiwa kwenye ndoa ni afadhali,” alisema baba Diamond.


            AMKUMBUKA WEMA

            Hata hivyo, katika mazungumzo hayo maalum, baba Diamond alimkumbuka aliyekuwa mpenzi wa mwanaye, Wema Sepetu kwamba ni mwanamke mzuri na anayefaa japokuwa mwanaye ameamua kuwa na Zari ambaye pia ni mzuri ila anamkumbuka sana Wema kwani ndiye aliyewahi kutambulishwa na akawa anamjali.

            DIAMOND AENDELEA KUTISHA NIGERIA

            Baada ya kusikia upande wa baba, gazeti hili lilimtafuta Diamond ili kuthibitisha ishu hiyo ambapo alijibu kwa kifupi kuwa yupo Nigeria akiendelea na kampeni ya kuomba kupigiwa kura kwenye Tuzo za MTV-Mama’s.

            HUKO NYUMA

            Diamond na baba yake walikuwa kwenye mgogoro wa muda mrefu ambapo mzazi huyo alikuwa akilalamika kwamba mwanaye huyo hakuwa akimjali na hata alipokuwa akijaribu kumpigia simu alikuwa hampi ushirikiano.
            GPL

            Mwigizaji wa Bongo Movies Esha Buheti Akiri Kuchepuka Nje ya Ndoa

            Posted: 03 Jul 2015 11:37 PM PDT

            Mwigizaji Bongo, Esha Buheti, licha ya kuwa ndani ya ndoa, amekiri kuchepuka na mcheza mpira mmoja ambaye hakutaka kuweka wazi jina lake.

            Akizungumza na na gazeti la Ijumaa, Esha aliweka wazi hisia zake kuwa kwa sasa ana kifaa kipya chenye hadhi na amekuwa akitupia picha zake mitandaoni kisha anazitoa.

            “Najua wambeya watataka kumchunguza mpenzi wangu wa sasa ndiyo maana namuweka mtandaoni kisha nafuta harakaharaka,” alisema Esha.

            Esha alifunguka kuwa, pamoja na ‘kidumu’ alichonacho bado yuko kwenye ndoa yake na anamheshimu mumewe aliyezaa naye mtoto mmoja.

            Jose Chameleone Aahidi Kumpiga Jeki Wema Kwenye Safari yake ya Kuwania Ubunge

            Posted: 03 Jul 2015 11:34 PM PDT

            Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.

            Petit ambaye ni mmoja wa watu walio karibu na Wema amepost screeshot kwenye Instagram ya mazungumzo na Chameleone kwenye WhatsApp.

            “S/O to my bro Jchameleone kwa kuonesha support pale inshallah atakapochukua mama form ya kugombea Ubunge Viti maalum.. Tutakuwa nae kwenye campaign mwanzo mwisho.. Thank u so much bro.. Lets support Wema Sepetu,” aliandika Petit kwenye picha hiyo chini:

            Ray C: Sitanii Niliposema natafuta Mwanaume wa Kunioa

            Posted: 03 Jul 2015 11:28 PM PDT

            Ray C amedai kuwa hafanyi utani kufuatia tangazo lake la kutafuta mume wa kumuoa.


            • “Hahaaha yaani leo nimeipata fresh, simu na msg ni nyingi sana wengi wanadhani natania!Niko serious jamani!endeleeni na maombi huwezi jua u could be the lucky one,” ameandika kwenye Instagram.



            • “Ila ishu ya kutumia simu moja kidogo imeleta tafrani so inaonyesha michepuko ni mingi kwenye ndoa ila najua nikimpata wangu tutarekebibishana kuhusu hilo najua tutaenda sawa tu.”
            • “Mpaka nimeshapata [maombi] mia tano leo tu kwahiyo naona muda si mrefu ntatangaza harusi ingawa wako kwenye mchujo,” amefafanua.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 4

            Posted: 03 Jul 2015 11:25 PM PDT

            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  July 4

            This is Zari Before Dating Diamond Paltnumz.. See Phtotos Here

            Posted: 03 Jul 2015 11:24 PM PDT


            Zari Hassan, a Ugandan socialite has never dissapointed the socialites’ family, if she needs the D, she goes for it. Here is the list of men who are alleged to have slept with socialite Zari according to evibe.ug in Pictures:


            Chuchu nje nje: Huddah Apost Picha za Aibu Kwenye Instagram!

            Posted: 03 Jul 2015 11:17 PM PDT

            Huddah Monroe anafahamika kwa maisha yake controversial hivyo si jambo la ajabu kwa followers wake wa Instagram kumuona akila bata kwenye beach za Ulaya huku akiwa na nguo inayoonesha nipples zake! Jionee mwenyewe!


            David Silinde ATOA Siri ya Miswada ya Gesi na Mafuta Kuharakishwa Kupitishwa BUNGENI....Kumbe ni Shinikizo

            Posted: 03 Jul 2015 10:40 PM PDT

            Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali amesema kuwa yeye na wenzake wanawaachia kazi ya mapambano bungeni wabunge wa UKAWA waliobaki bungeni kuhahakikisha miswada mitatu ya gesi na mafuta haijadiliwi.

            Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali amesema kuwa yeye na wenzake wanawaachia kazi ya mapambano bungeni wabunge wa UKAWA waliobaki bungeni kuhahakikisha miswada mitatu ya gesi na mafuta haijadiliwi.

            Machali ametoa kauli hiyo katika mahojiano na EATV kufuatia adhabu aliyopewa yeye na wenzake watano ya kutohudhuria vikao vitano vya bunge kutokana na madai ya kuvunja kanuni kwa kumzuia spika kufanya kazi yake.

            “Sisi tuliopewa adhabu ndiyo hatutakiwi zaidi, kwahiyo tunawaachia wenzetu wapigane”
            Machali amesema hakubaliani na adhabu waliyopewa kwa kuwa utaratibu na kanuni hazikufuatwa wakati wa kusikilizwa

            “Kanuni zinasema mtu anapoitwa kuhojiwa anatakiwa kuwa na wakili wake lakini sisi hatujapewa fursa ya kwenda na mawakili……. Mpaka muda huu (saa 3 usiku) hatujaamua nini cha kufanya”
            Machali amesema haijawahi kutokea duniani kote miswada mitatu muhimu kama hiyo ikawasilishwa kwa wakati mmoja.
            wabunge waliosimamishwa pamoja na Machali ni Pauline Gekul, Tundu Lissu, John Mnyika na Felix Mkosamali.

            Ikumbukwe pia Waziri wa Nishati na madini alisema kuwa ni muhimu miswada hiyo ikapitishwa sasa ili kuwahi soko la gesi la dunia.
            Katika hatua nyingine mbunge wa Mbozi Magharibi Davidi Silinde amesema seikali ina mpango wa kuwaburuza wabunge kwa kupitisha miswada muhimu kwa taifa kwa muda mfupi bila kuwapa fursa wabunge wausome.

            Amesema mapendekezo ya kambi rasmi ya upinzani ni kwamba miswada hiyo iachwe hadi katika bunge la mwezi wa nne ili wananchi na wabunge wapate nafasi ya kuelewa kilichomo.
            Silinde amesema kuwa kulazimishwa kwa miswada hiyo ni shinikizo kutoka nchini Marekani kupitia miradi ya MCC.

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 5, 2015, 4:25:53 PM7/5/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            AY ndiye aliyefanikisha collabo yangu na Davido na kuniunganisha na Godfather – Diamond

            Posted: 05 Jul 2015 11:43 AM PDT

            AY amefungua njia ya mafanikio kwa wasanii wengi wa Tanzania. Miongoni mwa watu walionufaika na mashavu yake ni Diamond.

            Katika ujumbe wake wa kumpongeza AY kwenye siku yake ya kuzaliwa Jumapili hii, Diamond amedai kuwa AY ndiye aliyemuunganisha na Davido hadi wakafanya remix ya wimbo wake ‘Number One’ uliobadilisha maisha yake.

            “Misingi na Daraja Imara la kimataifa ulio tujengea na unayozidi kutujengea ndio leo inatusaidia vijana wako nasi kuweza kupenyeza na kutangaza kazi zetu kimataifa,” ameandika Diamond kwenye Instagram.

            “Pengine watu hawajui kuwa wewe ndio uliyeniwezeshea kufanikisha Collabo langu na Davido, Kuniunga na Godfather na vingi ambavyo naamini ndio Mwanzo wa safari yangu ya Kimataifa… Nakuheshim sana Brother, na daima nitahakikisha sikuangushiemoji…Happy birthday Bro.”

            Kupitia ukurasa wake wa Facebook, AY ameandika:

            July 5, 1982 Ambwene Yessayah alizaliwa. Namshukuru Mungu kwa kuiona siku hii ya leo. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunileta duniani. Mungu awalaze mahali pema peponi. Natamani mama yangu angekuwa hai aone jinsi kijana wake alivyokuwa mkubwa na pengine afurahie jasho lake la kunizaa, kunilea na kunitunza.

            Nawashukuru wote walio na mchango mkubwa kwenye maisha yangu, ni wengi siwezi kuwamaliza kuwataja. Navikushukuru vyombo vya habari vyote kwa support kubwa inayoendelea kunipa. Nakushukuru pia wewe shabiki yangu kwa kuendelea kuniunga mkono. Thank You!!

            Ruge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana

            Posted: 05 Jul 2015 05:33 AM PDT

            Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.

            Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).

            Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo mbalimbali kwenye sanaa na kutaja migogoro mitatu ambayo hataisahau tangu aanze kujihusisha na shughuli za burudani.

            Endelea…

            Swali: Baadhi ya wasanii ambao waliwahi kufanya kazi na wewe wamekuwa akilalamika mara baada ya kutoka katika uongozi wako, kwamba uliwanyonya, walidhulumiwa na mengine mengi kuna ukweli kuhusu haya?

            Ruge: Sidhani kama kuna mtu ambaye anaweza kusema jambo hivihivi. Mfano THT haina tofauti na chuo kingine.

            Inatakiwa uhitimu na uende. Ukiamua kuendelea kufanya mambo yako pale hukatazwi na wala hakuna anayekufukuza, lakini lazima uondoke na wengine wapate nafasi.

            Sasa ukiona mtu ameondoka na kisha anashuka kimuziki ni yeye mwenyewe ameshindwa kujisimamia.Nimefanya kazi na wengine wengi kama kina Patricia Hilary ambao walifanikiwa kujenga nyumba zao. Iweje starehe zako unilalamikie mimi?

            Swali: Unadhani ni kwanini wanakutusi?

            Ruge: Nilichokigundua ni kwamba hawa wasanii wanaopita kulalamika huko pembeni wanashindwa kujisimamia kutokana na mambo wanayoyafanya. Wengi wao ni kama watoto wanatafuta pa kulilia hawapapati, wanatafuta mtu wa kuongea naye lakini hawana.

            Mwingine alisema anapata Sh40 milioni kwa mwezi aliviambia vyombo vya habari kwamba kila wiki anatengeneza Sh10 milioni, wewe mtu wa kupata hizo kwa mwezi ni wa kunilalamikia mimi?

            Sasa kama alipata milioni 40 kwa mwezi, kwa mwaka mzima hukuwekeza usinilaumu. Jilaumu kwa sababu kwa mwaka ni Sh480 milioni, mimi mwenyewe siwezi kupata faida hiyo kwenye biashara zangu.

            Ninavyoona waandishi wengi hawafanyi tathmini kuhusu hawa watu wanaolalamika, kuna watu wakubwa ambao nilishawahi kufanya nao kazi, leo hii nikiwaitia kazi wanakataa nisiwalipe fedha. Kuna kina Issa Matona, Bi Shakira, Mwanahela, Patricia Hilarry mnawaangalia hawa au hao wengine?

            Juma Nature amemtukana Fella mara ngapi? Kina Keisha, MB Dogg wamemtukana Tale mara ngapi? Mb Dogg alikuja na malapa hapa na wimbo wake wa “Latifa”, Tale akaniambia tumsimamie huyu kijana.

            Swali: Ni kweli kwamba wasanii wakiondoka katika usimamizi wanabaniwa katika vituo vyenu vya redio na sehemu nyingine?

            Ruge: Ninarudi palepale hawawezi kujisimamia. Wengine wanachosahau ni kwamba walikosea hawakupata baraka.

            Mwishowe wanarudi na kusema kwamba walionewa, wanabaniwa kwa sababu ya mtu fulani, si sahihi. Mimi mwenyewe napoona mtu anamtukana mwingine, naangalia mpaka nakasirika.

            Hii kitu ipo kila mahali sema ni habari zaidi ikitokea kwenye muziki wa bongo fleva. Kwanini Clouds? Mbona Mengi aliwapiga stop Ali Kiba na Ray C kwa sababu hakwenda kwenye hafla ya walemavu, mbona haikuwa dili? Magic FM walimpiga stop Diamond kwa miaka miwili?

            Kwanini sisi tukiamua kwamba hatupigi wimbo wa msanii fulani inakuwa ni ishu kubwa na ndiyo habari ya mjini? Kama ni sera ya ndani ya Clouds, kwa nini Ruge Mutahaba anakuwa wa kwanza kulaumiwa?

            Swali: Ni bifu ngapi tano za wasanii ambazo zilikusumbua zaidi?

            Ruge: Mimi nimekuwa nikichukulia kama kunisumbua kwa sababu sijawahi kuwa na bifu na msanii, lakini wao wanakuwa nazo kwangu. Nawashangaa watu wenye mabifu. Mfano kwangu bifu lililonishangaza au kunisumbua ni lile la ANTI VIRUS.

            Si kwa sababu ya Sugu, bali wale waliomfuata. Kwa sababu kuna watu ambao waliingia kiasi kwamba nikawa nashangaa hata walitokea wapi. Kwa sababu nusu yao sikuwa nawajua ni kina nani.

            Nilishangaa ni kina nani ambao wanaweza kuingia kwenye ugomvi na mtu wasiyemjua? Wapo katika maisha gani ya kuambiwa tu ‘gombana na mtu fulani’, na wewe ukagombana na tena unatukana? Kilichokuwa kinanitatiza ni chanzo ambacho (hao watu) hawakukijua na wala hawakutaka kukijua.

            Na kwa sababu nilikuwa najua tatizo la Sugu, haikunisumbua. Tatizo ni hao wengine ambao sikujua wametoka wapi.

            Kwangu mimi sikuwa na ugomvi na mtu. Bifu ni kitu ambacho kipo pande zote mbili. Kama kwako hauna bifu kunakuwa hakuna, labda kama upande wa pili umeamua kuwe na bifu.

            Ugomvi wa pili ni dhidi ya Lady Jaydee. Ilikuwa ya ajabu sana kwa sababu maneno mengi yalianzia mitandaoni hadi tukaamua kufungua kesi, ambayo hadi leo haijaisha mahakamania. Kinachotakiwa sasa ni yeye kuomba radhi, lakini mahakamani hatokei.

            Haya mambo ni bahati mbaya yalishatokea, kwa hiyo mtu yeyote akitaka kusema jambo lolote lenye malalamiko lazima amtaje Ruge ili kitu chake kijulikane zaidi.

            Pia Q Chief aliwahi kunitukana sana kipindi cha msiba wa Mangwea, nikamfuata na kumwambia unanitukana, nitukane basi mpaka hamu yako iishe nikiwa hapa hapa. Niliwahi kuambiwa kwamba nimezuia kibali cha (mwimbaji kutoka Nigeria) Davido Basata, siyo kweli. Kwa bahati mbaya najua vitu vingi.

            Mtu anaweza kufanya jambo akakataliwa Basata mimi nikaenda nikafanikiwa akadhani kwamba nimembania, kumbe hajui sheria na mipaka ya Basata ni ipi. na kwingine ni kupi.

            Sisi tulitaka kunyimwa kibali, tukawaambia Basata kwamba wakitunyima tunakwenda mbele kwa waziri ndiyo utaratibu. Sasa mwingine akinyimwa anadhani tumewabania.

            LEMUTUZ 'Jikombe na Jipendekeza kwa Watu Wenye Akili Kubwa na Wewe Uwe na Akili Kubwa...Achana na Mburalazzz Wanaompigia Kura Davido'

            Posted: 05 Jul 2015 04:52 AM PDT

            LEMUTUZ  STRAIGHT TALK:- Coffee time live at the Office of my Super Friend Le Mpiganaji Bilionea Davis Mosha...sasa hivi yupo Downtown Moshi but all the plans comes from here hahah halafu hapa nasafisha nyota pia U know....a hahaha it is also my SUPER DREAM one day kuwa na BIG MONEY ya kuwa na SUPER OFFICE LIKE THIS..now akili ndogo ni kwamba NINAJIDAI NA KUJIPENDEKEZA ila AKILI KUBWAZZ like mine ni UKIWA KARIBU NA WARIDI UTANUKIA WARIDI TU hahaha na UKIWA KARIBU NA super gademu mburulazzz with no gademu brain guess what? na wewe utakuwa tu kama sio tayari....na kama huamini pitia hapa Instagram utakuta mburulazzz Mkubwa anafuatwa na followers kibao mburulazzz kama yeye hahaha yaani hamna mwenye nafuu kiongozi ni empty brain so are followers . wanachopigania hakieleweki na wanachosimamia hakieleweki in fact hata wanachofanya hakieleweki una mfollow mtu hata Ofisi hana hahaha unakuwa na rafiki kazi yake kukunulia mapombe tu huwezi kushituka kuwa akili yake imeoza so anataka na yako ioze kama yeye...people wachana na marafiki wajinga kama it takes KUJIKOMBA kuwa na MARAFIKI wenye AKILI KUBWAZZ do that cha muhimu ni MATOKEO sio PROCESS watu watakuheshimu ukionyesha matokeo like me nimerudi Majuu na AKILI KUBWAZZ hapa bongo imekubalika na Matajiri wengi wenye makampuni makubwa na sasa in just 4 years na Mimi Nina Kampuni yangu hata kama ndogo lakini Mimi na Hawa Matajiri wakubwa wote tunajisajili BRELA na TRA ganda la Certificates ni lile lile na wakiitwa wenye kampuni na Mimi nachechemea naenda hahahaha....wakiitwa watu wanaoajiri wafanyakazi na Mimi nachechemea naenda hahahaha ndio maana ya AKILI KUBWAZZ unajkomba kwa wenye makampuni na wewe unafungua yako ...jikombe kwa mburulazzz wakufundishe namna ya kumpigia kura Davido hahahaha gademu mburulazzz dead brain wamekufwa mazafantazzz akili ndogo NDIO MAANA NEVER IN MY LIFE KUJIHUSISHA NA akili ndogo nasema NEVER! hata kuwa follow siwezi cause NITAKUFWAZZ HAHA KAMA gademu WAO! - le Mutuz

            Picha za Mrembo na Mwigizaji JACK WOLPER Akipiga Mbizi Baharini Hizi Hapa

            Posted: 05 Jul 2015 04:21 AM PDT


             I can feel love all over me

             Pain is inevitable, suffering is optional... #Ciroc life .... Good morning fans.


            Hotuba ya Zitto Kabwe - Julai 04, 2015 na Orodha ya walioweka fedha Uswisi

            Posted: 05 Jul 2015 04:02 AM PDT

            Dar Es Salaam 04.07.2015

            Ndugu Wanadar es salaam

            Kwanza nianze kwa kutoa shukran kwa kuitikia wito wetu wa kujitokeza kwa wingi kuja kutusikiliza leo hii katika Viwanja hivi vya Mwembeyanga, TUNAWASHUKURU SANA.

            Kwetu nyie mna umuhimu wa kipekee, maana mnatokea katika Jiji ambalo misingi ya ujenzi wa Taifa hili ilianzia, kuanzia kuasisiwa kwa Chama cha Tanganyika African Association mpaka harakati za Chama hicho cha Kijamii kurithiwa na Chama cha Siasa za TANU.

            Siku zote historia inawaonyesha watu wa Dar es salaam kuwa ndio waasisi wa harakati hizi za siasa za kizalendo nchini. Kutokea nyakati zile za kina Mwalimu Nyerere, Bibi Titi Mohammed, kina Sykes, Dossa Aziz Ally, John Rupia na Zuberi Mtemvu mpaka leo bado wanadar es salaam mnao umuhimu wa kipekee katika siasa za nchi hii. Kwa kutambua umuhimu wenu huo, tumeona leo tufanye Mkutano huu Maalum viwanjani hapa ili kukitambulisha tena chama hiki kwenu, na pia kukikabidhi mikononi mwenu ili harakati hizi za kurudisha misingi ya Uzalendo wa Taifa hili mzishike nyie wenyewe waasisi wa harakati husika.

            Na hili tunalolifanya leo si jambo geni kwenu, labda niwakumbushe tu, ni kwa huo umuhimu wenu Rais wetu wa kwanza na baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alijenga Utamaduni wa kuzungumza na Taifa juu ya mambo yote mazito ya nchi hii kupitia wazee wetu wa Jiji hili, utamaduni ambao umeendelea kurithiwa, nasi tunaona ni utamaduni mwema wa kuuendeleza. Japo sisi tunakwenda mbele zaidi, kwamba tumekuja kwenu Vijana, Wanawake na Wazee wetu wa Dar es salaam kuzungumza nanyi juu ya jambo hili zito, kukikabidhi kwenu chama chetu cha ACT Wazalendo.

            Ndugu Wanadar es salaam

            Tumewaiteni leo tukiwa na mambo Machache Muhimu kwa chama chetu na Taifa kwa ujumla ambayo tungependa kuyaeleza kwenu na kwa Umma wa Watanzania wenzetu kwa ujumla.

            Kama mnakumbuka Machi 29 mwaka huu tulizindua chama chetu hapa jijini Dar es salaam na baada ya uzinduzi huo tulifanya ziara katika mikoa 22 na baadhi ya majimbo nchini, pia tokea wakati huo operesheni mbali mbali za chama zimekuwa zikifanyika wakati wote huo, ikiwa ni pamoja na kuzindua Azimio la Tabora – Tamko la Kimuongozo, Kiitikadi, Kisera na Kimaadli la Chama chetu ambalo limehuisha Azimio la Arusha. Tunawashuku sana wananchi wa Mikoa mbalimbali kwa mapokezi yao makubwa waliyotupa pamoja na kulipokea kwao kwa mikono miwili Azimio la Tabora.

            Ndugu Wana-Dar es salaam

            Tuna uchumi unaojenga Matabaka. Hivi sasa uchumi wetu umeshikwa na watu wachache hususan wafanyabiashara ambao pia wameshika siasa au kwa wao kushiriki kwenye siasa moja kwa moja au kufadhili wanasiasa wa kutetea maslahi yao.

            Tuna kansa ya ufisadi ambapo watu hutumia nafasi zao za uongozi kujilimbikizia mali. Ufisadi ni tatizo zaidi la viongozi walioshika madaraka ya umma. Tunahuisha Azimio kwa lengo la kusimika miiko ya Uongozi wa Umma ambayo itakuwa msingi mkuu wa mapambano dhidi ya ufisadi.

            Azimio la Tabora kwa kiasi kikubwa linakuja kuleta Mwarobaini wa Kimaadili juu ya suala husika, kwa kuwa linahuisha Azimio la Arusha kwa kurudisha miiko ya Uongozi na Utumishi wa Umma, na pia kujenga misingi ya uchumi wa Ujamaa wa kisasa utakaojikita katika kuongeza uzalishaji mali na ugawaji sawa wa keki ya Taifa na hivyo kupunguza matabaka nchini kwetu.

            Ndugu Wanadar es salaam

            Mtakumbuka kuwa Mwezi Novemba mwaka 2012 Bunge lilipitisha Azimio namba Tisa la Mwaka 2012 ambalo lilielekeza Serikali kufanya uchunguzi kuhusu Watanzania na makampuni ya kitanzania waliotorosha na kuficha fedha kwenye mabenki ughaibuni. Uchunguzi pia ulikuwa uhusike na Mali za Watanzania zilizopo nje ya nchi katika juhudi za kuhakikisha kuwa fedha chafu na ufichwaji wake vinakomeshwa. Bunge lilitoa muda wa miezi sita kwa Serikali kufanya uchunguzi huo. Mwaka mzima ulipita Serikali haikutoa maelezo yeyote na baada ya kubanwa ndani ya Bunge Serikali ikaomba miezi sita zaidi. Hata hivyo mpaka leo Serikali haijatoa kauli yeyote kuhusu taarifa hiyo ya uchunguzi.

            Takwimu zinazohusu fedha za Watanzania nje ya nchi bado sio za uhakika sana. Kwa mfano, Taarifa ya Serikali ya kisiwa cha Jersey kilicho chini ya himaya ya Uingereza inaonyesha kuwa Fedha na Mali za Watanzania katika mabenki kisiwani humo ni paundi za Uingereza 440 milioni ambazo kwa bei ya sasa ni sawa na shilingi za kitanzania 1.4 trilioni. Vile vile taarifa rasmi ya Benki Kuu ya Uswiss inaonesha kuwa Watanzania wenye akaunti katika mabenki ya nchi hizo imefikia dola za kimarekani 304 milioni kutoka dola 213 milioni mwaka 2012. Hatuna takwimu kwa nchi nyingine duniani.

            Fedha hizi zaweza kuwa halali ama haramu. Kuna watu ama ni Watanzania wanaishi ughaibuni na kufanya kazi huko ni lazima wawe na akaunti za benki. Pia kuna Watanzania ambao ni wafanyabiashara na masharti ya biashara zao ni lazima wawe na akaunti katika mabenki ya nje. Hata hivyo mfumo mzima wa ufunguaji na ufungaji wa akaunti katika mabenki ya nje umewekewa masharti ya kisheria na kibali cha Benki Kuu kinahitajika. Kuna Watanzania wenye kuficha fedha ambazo zimepatikana kwa rushwa na biashara haramu mbalimbali kama vile madawa ya kulevya na biashara ya nje ambayo haingii kwenye rekodi za Benki Kuu. Iwapo Serikali ingefanya uchunguzi na kuukamilisha tungeweza kujua kwa hakika katika orodha ya watu wenye akaunti nje ni wepi wana fedha zao halali na wepi wana fedha haramu. Serikali imetunyima haki hiyo kwa zaidi ya miaka miwili na nusu sasa. Bunge la Kumi linavunjwa mnamo tarehe 9 Julai mwaka huu na hakuna dalili yeyote ya Serikali kutoa taarifa ya uchunguzi ndani ya bunge kama ilivyoagizwa na Bunge.

            Ndugu Wanadar es salaam

            Mara baada ya Azimio la Bunge kutolewa mwaka 2012 nilipata mialiko kutoka sehemu mbalimbali za dunia kwenda kushirikiana nao katika jambo hili. Jambo hili sio changamoto ya Tanzania peke yake. Nchi mbalimbali duniani kama Marekani, India, Nigeria, Ujerumani nk zinahangaika na jambo hili. Kila nchi ilichukua hatua inavyoona yenyewe inafaa ili kukabiliana na suala hili. Hatua ya Tanzania kufanya uchunguzi kufuatia agizo la Bunge ilikuwa ni ya kipekee na wachunguzi wengi wa kimataifa wakashawishika kuwa Tanzania itakuwa nchi ya mfano katika kupambana na tatizo la utoroshwaji wa fedha na ukwepaji wa kodi.

            Katika safari hizo mbalimbali nilizofanya duniani nilipata taarifa ambazo niliziwasilisha Serikalini kwa ajili ya kusaidia uchunguzi wetu. Jaji mmoja wa Mahakama ya Ufaransa ambaye anafanya uchunguzi dhidi ya Benki ya HSBC alinipa ushirikiano wa kutosha na taarifa muhimu ambazo niliziwasilisha Serikalini ili waweze kuchukua hatua. Serikali haijafanya kitu. Miongoni mwa taarifa hizo ni orodha ya Watanzania 99 wenye akaunti 288 katika tawi moja la Benki ya HSBC nchini Switzerland. Orodha hiyo niliiwasilisha kwa Gavana wa Benki Kuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa ajili ya uchunguzi. Serikali mpaka sasa ninapozungumza nanyi haijatoa Taarifa licha ya kupewa kila aina ya ushirikiano.

            Nimeamua leo kuiweka orodha hii wazi kama shinikizo kwa Serikali kutoa taarifa ya uchunguzi kabla ya Bunge kuvunjwa wiki ijayo. Kila mwandishi wa habari aliyepo kwenye mkutano huu nimempatia bahasha yenye majina 99 ya Watanzania au watu wenye mahusiano na Tanzania ambao wana akaunti HSBC ya Uswiss. Jumla ya akiba katika akaunti Benki hii pekee ni dola za kimarekani 114 milioni.

            Narejea kusema kuwa sisi hatuna uhakika kama fedha hizi ni halali au haramu. Kuna ambazo zinahusiana na washirika 2 wa kashfa ya rada ambao ni Sailesh Vithlani aliyetuhumiwa kumhonga Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi na mmiliki wa kampuni ya Shivacom. Hizi zaweza kuhusishwa na ufisadi wa rada. Hata hivyo nyingine ni ngumu sana kusema zinatokana na nini kama vyombo vyetu vya uchunguzi vikiendelea kukalia kimya taarifa ya uchunguzi. Wito wangu ni kwa Serikali kuwasilisha taarifa ile Bungeni ili wenye fedha halali watofautishwe na wenye fedha haramu na wale wenye haramu wachukuliwe hatua kali za kisheria ikiwemo fedha hizo kurejeshwa nchini.

            Ndugu Wanadar es salaam

            Suala hili ni tone tu ya namna tatizo la kimaadili lilivyo kubwa nchini, na pia namna lilivyo na athari kisiasa na kiuchumi, ni suala ambalo kama Taifa tunapaswa kulitafutia dawa, Chama cha ACT Wazalendo tumewaletea dawa ya tatizo – Miiko ya Uongozi kama ilivyoainishwa katika katika Azimio la Tabora.

            Ahsanteni sana.

            Majina ya wenye mahela Uswisi.



            ZITTO KABWE Awaacha Wananchi Njia Panda Viwanja vya Mwembeyanga...Ashindwa Kutaja Laivu Majina ya Walioficha Mabilioni Nje ya Nchi

            Posted: 05 Jul 2015 04:00 AM PDT

            KIONGOZI Mkuu wa Chama Cha ACT – Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe jana amewaacha njia panda wananchi waliokuwa wakisubiria kutaja orodha ya majina ya watu wanaotuhumiwa kuwa na akaunti zenye mabilioni ya fedha nje ya nchi, baada ya kusita kuyataja kutokana na sababu za kisheria.

            Akizungumza na umati mkubwa uliofurika katika viwanja hivyo jana jijini Dar es Salaam, kusikiliza azima ya kiongozi huyo huku wakiwa na shauku kubwa ya kufahamu orodha ya majina hayo, Zitto alisema kuwa atawapatia karatasi waandishi wa habari yenye orodha ya majina hayo ili waende kuifanyia kazi kwa kuwahoji wahusika kulingana na taaluma yao.

            Alisema kuwa mwisho wa hotuba yake angegawa karatasi kwa wanahabari yenye majina hayo, ambapo wananchi walionekana kuwa na shauku ya kupata karatasi hiyo yenye majina 99 ya wafanya biashara maarufu ndani na nje ya nchi, lakini Zitto akasema hakuwa tayari kuwapatia nakala hiyo wananchi, hivyo akawataka wafuatilie katika mitandao ya kijamii pamoja na kwenye vyombo vya habari kwani wao kwa kutumia taaluma yao wanao uhuru wa kuyaanika hadharani.
            Aidha, aliongeza kuwa kati ya majina hayo ya watu wenye mabilioni ya fedha nchini Uswisi, kuna wengine wanamiliki kihalali lakini wengine wamejilimbikizia kinyume cha sheria.

            “Nimeweka leo orodha ya majina hayo wazi ili kuiwezesha serikali kutoa taarifa ya uchunguzi kabla ya Bunge kuvunjwa wiki ijayo, majina 99 mtayapata kupitia kwa wanahabari niliowapatia nakala yenye orodha ya vigogo hao ama Watanzania walio na akaunti kwenye HSBC ya Uswisi ikiwa na akiba ya Dola 114 milioni za Marekani,” alisema Zitto.
            Baada ya kuhitimisha mkutano hao, kiongozi huyo wa ACT aligawa karatasi hiyo kwa baadhi ya waandishi wa habari.

            Wakaka na Uongo Uongo na Maisha Feki Wanapomtaka Msichana..Mnaboa Sana....Hamjui tu

            Posted: 05 Jul 2015 01:21 AM PDT

            Wakaka wengine wana haraka sana kuanzisha mahusiano ya kimapenzi mpaka ku fake maisha. Hata muondoko na kuzungumza atabadilisha, ataazima gari na kudanganya ni lake, nguo ataazima, au hata kazi hana lkn atadanganya eti nina degree au nafanya kazi mahali fulani kumbe muongo...atasema ana kiwanja mahali fulani, ana hiki na kile kumbe anataka ampate msichana msichana fulani....tena ukute msichana mwenyewe atampenda kwa dhati si sababu ya maneno matamu na mali alizotajiwa.... Msichana ukikutana na mkaka wa hivyo anaanza kujinadi nina hiki, kampuni, baba yangu bosi mama yangu vile...kaka yangu anaishi ulaya...huyo kaka ni muongooo hata kama kuna ukweli ni asilimia 5/100

            Jaman wakaka msijaribu kufanya hivyo. Sawaa utampata msichana kwa njia hizo...lkn hamtadumu na mwisho utakua mbaya sana maana umejenga mahusiano yako kwenye uongo. Uwe wewe, huna pesa, huna gari huna lolote mtu atakupenda jinsi ulivyo si ulivyonavyo.

            ~Mrekebishatabia

            Stori ya Msichana Anayejiita WEMA DAILY Kwenye Instagram na Jinsi Instagram Inavyompa Pesa Mpaka Kuacha Kazi ya Kuajiriwa-Must Read Story

            Posted: 05 Jul 2015 01:14 AM PDT

            Kuna Watu Hii Mitandao ya Kijamii Kama Instagram na Mingine mingi wanaichukulia poa tu na kuona sehemu ya Kufanya mzaha na kutukana watu wakati kama ikitumika vizuri ni Ajira tosha ya kujipatia kipato bila shida..Hapa chini nimekuweka Stori ya Msichana anayejiita Wema Daily huko Instagram....Jisomee Mwenyewe Hapo chini si ya Kukosa itakufungua Macho:

            'MWANZO......As a young girl binafsi sikuwai kua na ndoto za kuajiriwa japo kua Mungu alinsaidia sjawai kufeli wala kukwama Darasa lolote mpaka namaliza chuo kikuu.Nilisoma kwasababu everyone else was studyng and My mother put every single sent for us ili tupate elim. Elim inasaidia sana especially ukikaa na watu mnakua mnaongea lugha moja , but still skuwai kujiona kama muajiriwa HONESTLY. .
            .
            Nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu nlijaribu kujiunga na wenzangu kikund kimoja and we opened an NGO tulikua wanafunz wa vyuo tofaut kama kum na nne tulifight sana but tulikosa grants coz tulikua wanafunz they figured tutakua busy na masomo. Baadae watu nguvu ziliwaisha kila mtu akaendelea na shule walio maliza wakawa madaktari ikaishia ivo...
            Mwaka ulio fata since kila mtu alikua busy nkaanza kufanya kazi za tempo mwaka wa kwanza mpaka wa pili nkiwa chuo ... Pesa nliyo ipata ilinsaidia hata nkiwa likizo nisiombe pesa kwa mzazi..... Ukichanganya na boom la chuo tena mambo yanaenda fresh. But mazingira ya kazi za Tempo nlizo kua nkifanya nlitaman sana nije kua na kampun inayo fanana na ile. So ndoto zangu zote Ikawa ( bado zipo) kuwaza kufungua kitu kinacho fanana na ile.

            Badae walikuaja watu wakasema wanasaidia vijana kufungua makampun na kuwapa muongozo. Ada ni laki moja. Sikua na hela ( ki chuo chuo) nlipiga sim kwa kaka angu akantumia hiyo ela nkajiunga. Tulifunguliwa kweli makampun tukaanza kupewa seminars. Na project za kufanya na kutu ahid kutusaidia kutupmbea mikopo. I must say ilinipa hope sana na ikaonyesha mwanga wa maisha yangu Baada ya Chuo.

            Ila baadae it turn out vikao na seminar haziiahi ahad ahadi mwisho wa siku tena watu wakakata tamaa. Nguv zikaisha Watu wakaendelea na mambo yao . Wenye kazi zao na wenye biashara na wanao soma masters. Hakukua na watu tena kwenye iyo kampuni, Sasa kwasababu option ziliisha nikarud kwenye wazo langu la kufungua Kampun nlo kua nkiitaka .... Nliomba ushauri wa watu waliopo kwenye iyo fieild they told me how Good my idea was. Coz ilikua kidogo tofaut . And they liked it

            Tatizo ikawa pesa ya kufungulia kampun sasa natoa wap? Nika stak na idea yangu mpaka nikamaliza chuo sina foundation yoyote now where do i start? Sina kazi ( sitaman kuajiriwa ) na ndo nimemaliza nikawa kula kulala nyumban. Ila uzur nkawa siomb hela sana since nlikua na tempo works nazo fanya now and then

            With the boredom ya kukaa nyumban kutuma ma cv kila kona .. Am a social person and i love pics and edits more over nlikua nampenda sana rihanna to kill time na ili nsiboreke na maisha nliyo nayo nkafungu account ya instagram FAN PAGE  ya rihanna. I met cool people Navies are the best . I got friends walontumia hadi nguo za rihanna river island .. I had friends from all over the place na kusema ukweli nlikua siborek. Napika na sim yangu i hated kulala usiku hehe.

            So pressure za kutafuta kazi nkawa sina sana coz nlikua najichanganya na watu na hali yangu yakutokua na kazi ikawa hainisumbui.

            But one day nkakaa chini and thought ivi why am i having rihs fan page? Atakuja lin Tanzania ? Why nsifanye kwa mtu nnaempenda hapa hapa TZ?
            Nkifungua fan page ya kibongo kwasabu na mpenda sana wema ... Then i decided kufungua inayo muhusu wema .... Wanna tell u one thing wakat niko na Navy account kama fan page u do it for love. Without expectation za kua utamuona hiyo msanii wala yeye siku kulike pocha yake utakayo weka .

            Nlipo fungua fanpage turned out to be the first fanpage hapa bongo and in my mind skua hata na wazo kama wema atanotice na alivo famous hehe i was just busy showing love.

            Ila ajabu nkashangaa @wemasepetu kuona amenifollow and all her crew and a was like ok hahaha now this is new thing.

            The worse side of it ilikua watanzania walikua tofaut kidogo maybe ni tabia tuliyo nayo ya kudiss vya nyumban na kupenda vya wenzetu. Nlinza kusemwa sana kua nataka sijui lunch some lame stuffs. Some of my friends kwasabu account ilianza kukua walianza kunisema that am being lame nakua kama sijasoma naanzishaje fanpage msomi mzima. Thy got toe kiukweli nlikua najiskia vibaya sana. Ila napenda sana so i didn care

            Baadae when the page grew i started helping watoto wa shule za msingi ... Kupitia same page. Watu walikua wanasaidia sana tena sana walikua wanajitoa and at somepoint nkasema nifungua foundation Same song coz sipend kuajiriwa bora nifungue foundation nsaidie watu and use the page for something positive

            I tried jaman and it was a success untill some people start kunisema instagram na kuniwekea vikao kua am using hela za watu kuish while all the cash zilikua zinaenda direct kwa watoto.

            Or else i used some for transport to their schools. Sasa na mzazi akaanza kunjia juu kua ntafute kazi coz nlikua nsha move out nimepanga chumba expensie ka nna hela vile af naomba nyumban kulipiwa kodi.

            Kila mtu akanijia juu. Thats when i decided to drop the charity thing and focus kutafuta kazi ambayo nlifanikiwa kupata. Nlitishiwa kwamba nsipo pata kazi kodi inayo kuja ntalipa mwenyewe or else njue pakwenda

            Na nkiona pesa yenyewe ndefu nkasema isiwe tabu ngoja niende mzigon. Kazin sasa.. I was smart hard working ... My table would tell but nlikua nachelewa sana kazin. Nimewahi ni saa tatu. Kuamka wala stressful works wasn hard for me.

            Tatizo lilikua mshahara. I wont tell kiasi nlichokua napata but it was awful. Hapo nimeamia nyumba nalipa laki mbili . Mshahara na kod ya mwez vinakaribia kulingana.

            Lakin nlivumilia coz they wanted me to work was waiting prob iishe niongezwe mshahara. But maisha yaliongezeka kua magim zaid kila kukicha. Nkienda hospita naambia BP iko juu hapo hata miaka 25 sijafikisha. Na mtoto sina.  I had to work for 6 months ilikua kama mwaka.

            I remember kuna hela nlitakiwa kulipa ya kodi mshahara umechelewa.. Nkaenda kwa boss ansaidie mshahara ukitoka nimpatia akanambia THEY CANT HELP ME. Naomba niwambie in mylife sjawai hongwa. Halaf kama nlivyo jikiza sipend kuomba msaada kwa mzazi. Worse enough nna fanya kazi. The frustrations were on PEAK. Hapo bado nna account yangu ya instagram. Sasa nika mtext Wema this day and asked her kama its ok nkitumia the page kuweka matangazo kwa kulipia.. And she told me its ok baby haha. .
            .
            Since my page ilikua na watu wengi nkaanza kuweka matangazo ya watu coz they wanted to and i have many followers and wema gave me go ahead nkaanza kufanya matangazo ya Instagram. Which helped me sana and at the end of the day nkaacha kazi yangu ya kuajiriwa and stayed home and kufanya account yangu ya instagram inilipe.

            Saiz i have the coolest place am living the best life and nkaacha kazi ya kuajiriwa. So ikawa kinda kama kazi ya kujiajir though not much.. Ambayo kwa mwez i get more million moja na laki tano toughly hapo ni kwa zile nazo save nimetoa nazo timia. My passion turned out to be my working place. And toka nimeanza kufanya kazi za kutangaza ig.. Av been reading alot about Internet marketing Saiz i have opened my company special for INTERNET MARKETING , SOCIAL MEDIA MANAGEMENT AND DIGITAL PR. Which am going to launch soon. Hiyo ni only one project ukiacha the next big thing coming around the corner.

            THATS MY STORY'
            .
            .Wemadaily story yako pia imebadili mtizamo wangu. Kila la heri katika yote

            Faiza Ally Afunguka Tena 'Katika Sheria ya Tanzania na Duniani Hakuna Kipengele Kinacho Mfanya Mama Apokonywe Mtoto Kupitia Mavazi Alitumia Rushwa Au Cheo Chake'

            Posted: 05 Jul 2015 12:46 AM PDT

            Repost from @faiza_ally
            Poleni marafiki mlio sikitishwa na tukiwa langu la kupokonywa mtoto- nimeona mnahitaji kujua ili muache masikitiko na tufurahie wakati uliopo- ni Kweli baba yake alishinda KESI lkn sheria hairuhusu nazani alitumia rushwa au labda cheo chake maana haijulikani alishindaje - any way nataka tu mjue mtoto wangu ninae na mimi si mwanamke regerege wa kupokonywa haki zangu za kumlea mwanangu ! Nimekwenda kwenye vyombo vya sheria na vinafanya kazi na. Niwahikikishie tu ntashinda kwa kuwa nina haki na ni mama bora- nitasimama mpaka kieleweke bila kujali cheo wala pesa - sheria zimewekwa na haki zinatendeka- mpaka sasa niko vizuri tu- niko na sasha na ntaendelea kuwa nae mpaka umri utakapo ruhusu lkn si leo wala kesho hayo ya mbele mungu ndio anayajua.....na niwaambie tu wale watoa hukumu wa humu ndani- KATIKA SHERIA YA TANZANIA NA DUNIANI HAKUNA KIPENGELE KINACHO MFANYA MAMA APOKONYWE MTOTO KUPITIA MAVAZI- KUNA VITU VYA KUZINGATIA VYA MUHIMU LKN SI MAVAZI! Aacheni ujinga wa kupeana hukumu - kuna watu wana mamlaka yao waliosomea kazi zao sio nyie wajinga mnaojivisha joho la ujaji hahahahahahaaaa..... Na msisahau hakimu mkuu ni MUNGU - ANAONA ANASIKIA NA ANATENDA 🙏🙏🙏 Alhamdulillah - feeling bless

            AZAM TV Waja na Mpya Sasa Kuonyesha Ligi ya Uingereza Kwa Kiswahili.....

            Posted: 04 Jul 2015 11:53 PM PDT

            Mambo yakienda vizuri, Azam TV itakuwa kituo cha kwanza cha runinga nchini kurusha ‘live’ mechi za Ligi Kuu England kwa Lugha ya Kiswahili.

            Hadi sasa uongozi wa Azam TV upo kwenye mipango ya kuhakikisha unarusha ligi hiyo live kutoka England katika msimu ujao unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao.

            Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media, Tido Mhando, alisema wamejipanga kuhakikisha wanalikamilisha hilo mapema.


            • “Tunafanya juhudi kubwa ili tulifanikishe hilo mapema, ila wahusika ndiyo wenye uamuzi wa mwisho katika kutupa haki ya matangazo hayo, tumedhamiria pia kuonyesha Ligi ya Hispania.



            • “Wakati tukipanga haya, tuna nia ya kuboresha muonekano wa ligi yetu ya Tanzania (Ligi Kuu Bara) msimu ujao ambapo tunataka ionekane katika ubora wa hali ya juu zaidi,” alisema Tido.


            Katika hatua nyingine, Tido alisema katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi hadi utakapofanyika, watakuwa wakiwaletea watazamaji wao matangazo ya matukio mengi kuhusu uchaguzi huo.

            Nyota ya Diamond Platnumz Inazidi Kung'ara.......Katajwa Kuwania Tuzo za Uganda (Uganda Entertainment Awards 2015 )

            Posted: 04 Jul 2015 11:49 PM PDT

            Diamond Platnumz ameendelea kutajwa kuwania tuzo mbalimbali barani Afrika.

            Akiwa ni miongoni mwa wanaowania tuzo za MAMA zitakazotolewa mwezi huu, muimbaji huyo wa ‘Nana’ ametajwa kuwania tuzo zingine za Uganda zijulikanazo kama Uganda Entertainment Awards 2015 (UEA)

            Platnumz anawania kipengele cha Best African Act akichuana na Wizkid (Nigeria), Patoranking (Nigeria), Tiwa Savage (Nigeria) na Active

            Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Septemba 4, 2015 katika hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort (Speke Ball) jijini Kampala, Uganda.

            Wabunge 35 wa UKAWA Wafukuzwa Bungeni

            Posted: 04 Jul 2015 11:47 PM PDT

            Wabunge  35 wa kambi ya upinzani bungeni jana walitolewa nje ya ukumbi wa bunge na spika wa bunge  Anne Makinda na kupewa adhabu ya  kutokuhudhuria vikao vitano kwa madai ya kukiuka kanuni za bunge .

            Mara baada ya kikao cha bunge kuanza spika wa bunge alinza kwa kuwakumbusha wabunge namna ya kufuata kanuni hasa pale wanapotaka kuondoa muswada wowote.

            Hali ilibadilika ghafla Bungeni baada ya Mbunge Ezekiel Wenje kuomba Spika atoe ufafanuzi wa kwanini Mbunge Silinde hayuko kwenye list ya waliotajwa kusimamishwa lakini Askari wa Bunge wamemzuia asiingie kwenye Kikao?

            Majibu ya Spika hayakuwaridhisha baadhi ya Wabunge, zikaanza tena kelele… ndipo spika aliamua  kuwatoa nje.

            Hata hivyo baada ya vurugu zote kuisha miswada yote mitatu ambayo ni  ya sheria ya petroli, sheria ya usimamizi wa mapato ya mafuta na gesi pamoja na sheria ya uwazi na uwajibikaji katika tasnia ya uchimbaji Tanzania iliwasilishwa Bungeni.

            Majina ya Wabunge waliotimuliwa  ni,

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 6, 2015, 4:32:25 PM7/6/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Majibu ya Diamond Platnumz kuhusu beef, uchawi, kulipia collabo, Team za mitandaoni.. (Audio)

            Posted: 06 Jul 2015 09:52 AM PDT

            Diamond Platnumz alikuwa live kwenye XXL @CloudsFM, kuna vingi kaviongea Exclusive, nilipata nafasi kumsikiliza na hivi ni baadhi ya vitu alivyoviongelea leo June 6 2015.

            Unadhani Diamond anaamini uchawi >>> “Japokuwa vitabu vya dini vinasema ‘ndele’ zipo lakini  haupaswi kuamini… Kuamini ni sawa na kumkiuka Mwenyezi MUNGU”>>>

            Kuna beef kati yake na Ali Kiba? Na vipi zile Team kwenye Mitandao ya Kijamii >>> “Sijawahi kuwa na beef nae hata siku moja… Sioni kama kuna ubaya wowote, kila mtu ana maamuzi kumchagua mtu anayemtaka yeye kumshabikia, huwezi kumlazimisha mtu” >>>

            Wawachukue msanii fulani na msanii fulani wawashindanishe na wasanii wa nje, ukiwashindanisha wasanii wa Tanzania haiwezi kusaidia Industry yetu.

            Kuna malipo ya collabo >>> “Sijawahi kufanya malipo kufanya nyimbo na mtu yoyote.. Mwanzoni ilikuwa tabu, sasahivi wanafahamu kwamba kufanya nyimbo na Diamond inakuwa rahisi nyimbo kufahamika East Africa… nimefanya collabo na karibuni wasanii wote wakubwa Africa.” >>>

            Show ya MTV Road to MAMA Nigeria aliipataje? >>> “Ni mwaliko wa MTV, wa kwanza nilipewa South Africa nikafanya vizuri, wakaona wanipe na sehemu nyingine”>>> Diamond.

            Hiki ndio alichojibu kuhusu kupigiwa kura za MTV Awards 2015 >>> “Wanaoona kuna umuhimu hizi Tuzo zije Tanzania waendelee kupiga kura, anayeona ni sawa kumpigia mwingine ni sawa… Uzalendo haununuliwi, huwezi kumlazimisha mtu”

            “Muziki wetu umekuwa na nafasi nzuri sana Africa, ni kazi kubwa sana imefanywa… Kuna utaratibu unaandaliwa kuona kama tutaweza kuwabeba watu kama mashabiki na Watangazaji..

            Tupige kura kwa siku hata mara moja sio mbaya, kama tulichukua ‘Channel O’ sasa hivi tutashindwaje”


            Millard Ayo

            Siwema Hajamjulia Hali Mwanae Kwa Miezi 4 Sasa – Nay wa Mitego

            Posted: 06 Jul 2015 09:19 AM PDT

            Nay wa Mitego amedai kuwa ni miezi minne sasa mzazi mwenzie Siwema hajamjulia hali mtoto wao, Curtis.

            Nay ameiambia E-News ya EATV kuwa Siwema alimpigia simu kumjulia hali mwanae alipokuwa na miezi mitatu. Curtis ana miezi saba sasa.

            “Kwa upande wangu mimi na mzazi mwenzangu unajua hatujawekeana masharti yeyote lakini inabidi niwe muwazi, Siwema hajawahi hata siku moja kumjulia hali mtoto, kama walikuwa hajui hilo,” alisema.

            “Unajua mimi tayari muonekano wangu naonekana mkorofi hata kama sio mkorofi kwahiyo mtu akiongea mimi namwacha maana najua mimi moyoni mwangu nikoje na yeye akiongea anajua kabisa moyo wangu ukoje. Sijawahi kupata simu yake hata siku moja tokea mtoto ana miezi mitatu hadi sasa hivi ana miezi saba hata kupiga simu kwa mama yangu au wadogo zangu ambao anawajua kumjulia hali mtoto! Kwahiyo mimi ndio kila kitu kwa mtoto wangu Curtis hata akija baadayee nitamuona ni mnafiki tu,” aliongeza.

            The Uganda Entertainment Awards 2015 Nominations List...Diamond Platnum From TZ in the List

            Posted: 06 Jul 2015 09:17 AM PDT

            Nominees for The Uganda Entertainment Awards (UEA) 2015 have been revealed during Nominees party held last Friday at Club Cyclone in Kampala, Uganda.

            The UEA are not only aimed at rewarding musicians but also sportsmen, deejays, actors, comedians and emcees that have always been neglected on several occasions.

            The awards are being organized and produced by Cents Events Limited, an all round production, development, promotion and Management Company in Uganda that seeks to promote and utilize to exhaustion, all the talent that lies untapped in Uganda’s entertainment industry.

            The grand awarding ceremony will take place on September 4th, 2015.

            Here is the list


            BEST DANCEHALL ARTIST
            1.Ziza Bafana
            2.Sheeba Karungi
            3.A Pass
            4.Pallaso
            5.Sanyu Cindy


            BEST ACTRESS
            1.Hellen Lukoma
            2.Mariam Ndagire
            3.Sarah Kisawuzi
            4.Annet Nandujja


            BEST ACTOR
            1.Andrew Benob Kibuuka
            2.Sam Bagenda
            3.Abby Mukiibi
            4.Ashraf Semwogerere


            BEST FEMALE ENTERTAINMENT TV PRESENTER
            1.Robbin Kisti
            2.Anita Fabiola
            3.Kirabo Fiona
            4.Mary Luswata


            BEST MALE ENTERTAINMENT TV PRESENTER
            1.Douglas Lwanga
            2.Mc Kats
            3.Calvin
            4.Denzel


            BEST TV STATION
            1.UBC
            2.NTV
            3.URBAN
            4.BUKEDDE TV


            BEST MALE ARTIST
            1.Jose Chameleone
            2.David Lutalo
            3.Eddy Kenzo
            4.Bebe Cool
            5.Bobi Wine
            6.Radio & Weasel


            BEST VIDEO PRODUCER
            1.Jahlive
            2. Grate Make
            3.Savy Films
            4.Hasz Media


            BEST MUSIC VIDEO
            1.Love You Everyday
            2.Wale wale
            3.Kuzaala
            4.Sitya loss
            5.Gundeeze


            BEST EAST AFRICAN ACT
            1.DIAMOND PLATNUMZ
            2.WIZKID
            3.PATORANKING
            4.ACTIVE
            5.TIWA SAVAGE


            BEST ARTISTE IN THE DIASPORA
            1.VJ OJ
            2.Angellina
            3.Fyonna Nsubuga
            4.Paddy Dee



            1.Dj Slick Stuart
            2.Dj Roger
            3.Dj Shiru
            4.Dj Nimrod
            5.Dj Apeman

            Source: Uganda Entertainment Awards

            This Is The Biggest Joke Of My Lifetime Hili Taifa Tumerogwa na Nani Jamani..Wamelipa Taifa Hasara ya Billion 11 na Kwenda Jela Miaka 3...????

            Posted: 06 Jul 2015 08:46 AM PDT

            FACTS & EVIDENCE:- THE BANANA REPUBLIC AND ONLY IN TANZANIA ...Mawaziri 2 wa zamani Mramba na Yona walishitakiwa na Serikali kwa kusababisha hasara ya Tsh. 11 BILLION leo Mahakama imewakuta na Makosa ya mashitaka yote waliyoshitakiwa nayo na imewahukumu KWENDA JELA 3 YEARS au KULIPA FAINI YA TSH. 5 MILLION tu....now this is the biggest joke of my lifetime hili Taifa tumerogwa na nani jamani? THIS CAN ONLY HAPPEN IN TANZANIA!

            Changamoto za Walemavu Ndiyo Sababu Kubwa ya Wastara Kuingia Kwenye Siasa

            Posted: 06 Jul 2015 08:28 AM PDT

            Naitwa Wastara Juma kama watanzania wenzengu mnavyonifahamu mimi ni muigizaji wa filamu na kazi nyingine zinazohusiana na kiwanda cha filamu. leo niongee kitu ili watanzania wenzangu muelewe kwanini nimeamua kujiingiza kwenye siasa, kikubwa kilichonisukuma kuingia kwenye siasa ni jambo moja kubwa sana kwangu ambalo ni (WALEMAVU) .

            Huwezi kusimulia uchungu wa mwana wakati haujawahi kuzaa huwezi kumzunguzia au kumtetea mlemavu hali ya kuwa hujui uchungu, matatizo na maumivu yake,, Mpaka sasa nimeishi katika hali ya ulemavu kwa zaidi ya miaka 6 japo kuna wengine wamezaliwa wakiwa walemavu lakini kwa mda mchache tu miaka 6 nimepata mateso makubwa sana kuanzia kimaisha, kisaikolojia na hata kimiundombinu ya nchi yetu. Pamoja na umaarufu wangu wote lakini hakuna shirika wala taasisi yoyote iliyowahi kunishika mkono japo jambo hili halikuwa muhimu sana kwangu kwani naweza kujihudumia mimi na familia yangu.

            Jambo la muhimu kwa sasa na linaloniumiza sana ni kuona ndani ya nchi yetu walemavu hawana thamani wala haki yoyote si Mahosptalini, Maofisi ya Kiserikali, ndani ya vyombo vya Usafiri, makazini na hata majumbani. Labda moja tu ndio nimeona walemavu wamepewa nafasi angalau ya kupita kuelekea sehemu au kuingia na kukaa ni ndani ya jengo la Bunge tu hapo Dodoma.
            Ndani ya nchi yangu walemavu wote tunachukuliwa kama ombaomba na hali hii imewakatisha tamaa walio wengi mpaka kuamua kuingia mitaani na kuzunguka wakiomba shilingi mia mia za kujikimu kimaisha.
            Naumia sana napojitizama mimi na kufikiria je leo hii nisingekuwa maarufu ningeishi maisha gani? Napata jibu kuwa huenda na mimi ningetafuta kijana akanikokota na baiskeli na kuanza kuzunguka mitaani kuomba omba.

            Siamini kabisa kama kweli ukiwa mlemavu na akili yako pia inalemaa la hasha bali naamini kuwa serikali yetu haitutazami walemavu kama na sisi tuna haki sawa na wengine na tunastahili kujumulishwa na kila kitu wanachipata wasio na ulemavu. Kuanzia kielimu, kiafya, miundombinu na sehemu nyinginezo.
            Leo hii ni aibu kubwa kuwa hata television ya taifa inayotoa taarifa ya habari kwa nchi haina mtangazaji anae wahabarisha walemavu viziwi ambao nao wanahaki ya kujua nchi yetu na yaliyojiri.

            Leo hii ni aibu zinajengwa barabara lakini hazima sehemu ya kupita walemavu
            Leo hii ni aibu kuona shule nyingi za ulemavu kwanza ni za zamani halafu hakuna hata vifaa vinavyoendana na dunia ya kisasa ya sayansi na teknolojia
            Ni aibu kuona hatuna viwanja vya michezo kwa walemavu wakati na sisi tunahaki ya kushiriki hata mashindano ya Paralimpic.

            Nimejaribu kuonyesha na kuwapigania walemavu wenzangu kupitia sanaa lakini nimeona sauti yangu ni ndogo na haisikiki kokote sasa nimeamua kuingia kwenye siasa ili nisamame na kuwapigania Walemavu wenzangu wasio na sauti nao sawa na kuona machozi, maumivu na mateso yao nayafuta vipi na pia ili niweze kufuta kiapo nilichoweka kwenye nafsi yangu baada ya kuona tunapokelewa vibaya ndani ya nchi yetu wenyewe kwamba lazima siku moja nitawapa furaha walemavu wenzangu kabla sijafa nitapigania haki zao za msingi ili nao au tujione tuna haki sawa na wengine nimekaa na dukuduku hili ndani ya miaka 5 sasa huu ni wakati wa kulitoa na kujitoa kwa nguvu zangu zote kuhakikisha walemavu wanawekwa katika mazingira mazuri kama nchi za wenzetu waishi vizuri na kufikia hata nusu yake tu basi nitakuwa nimefikia lengo la kutetea haki za msingi kwa walemavu wenzangu sababu hata mim ni muhanga nimetumia lugha nyepesi ili nieleweke sina tamaa ya chchote ila sitakuwa sawa kufa bila kuwaweka wenzangu kwenye maisha ya haki na sehemu sahihi kwa sasa kuonyesha nilichohahidi moyo wangu ni bungeni najua kma si wew uliyelamaa basi ndugu rafiki jirani yako lazima atakuwa kwenye hali hii hivyo watanzania kutumia nguvu zetu kunisuport amtapoteza kitu bali mtaongeza msaada kwa wale wasijioweza asante kwa kusoma ujumbe huu

            Wastara Juma on Instagram

            Snura Ampiga Vijembe Wema Sepetu

            Posted: 06 Jul 2015 08:23 AM PDT

            Aliyewahi kuwa swahiba  wa mbunge  mtarajiwa  Wema Sepetu, Snura Mushi ametoa kauli zenye mlengo  wa kumpiga vijembe Wema.

            “ Naepukana na unafiki  tena naweza kusema ni  roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yanatumia muda  mwingi  kuwadis wengine, mfano hivi sasa wakata Diamond anawania  tuzo za kimataifa  eti kuna watu wanaungana na watu wan je kufanya kampeni ashindwe,” alisema Snura.

            Snura anadai kuwa  siku hizi makundi  ambayo  yanaundwa na wasanii au wapenzi wenyewe ambayo yanatumika vibaya  katika kutengeneza ugomvi au kushabikia wasanii wakigombana kwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi na kuwakatisha tamaa hata kama wanafanya kazi zinazotangaza Taifa.

            Wema Sepetu ni miongozni mwawasanii ambao wanadaiwa kuhamasisha kundi lake “team Wema” kumpigia chepuo msanii wa Nigeria Davido ambaye anachuana na Diamond wa hapa nyumbani katika tuzo za MTV Africa MAMA.

            Mapenzi Sikuhizi Nipe, Nikupe..Money On The Table, Funguo ya Chumba Mkononi..Kinachofuata....

            Posted: 06 Jul 2015 08:21 AM PDT

            Wasichana wengi wa kizazi cha leo hutoa mahaba ikiwa tu kuna bingo. Vijana wa kiume nao siku hizi wameshtuka, hawatoi mkwanja mpaka wamekula mzigo kwanza. Njia panda ni pale, ambapo nani aanze kutoa chake. Kufanya mapenzi siku hizi ni kama unaingia mkataba wa kibiashara. Money on the table, funguo ya chumba mkononi ndio papuchi iliwe.

            Yako wapi mapenzi?

            Tunaenda wapi kizazi hiki?

            Karibuni kwa mjadala

            Breaking news: Mramba, Yona Kwenda Jela Miaka Mitatu

            Posted: 06 Jul 2015 05:22 AM PDT

            Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa zamani wa fedha Basil Mramba,na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Nishati na Madini,Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
            Chanzo:ITV

            Baada ya Ngassa Huyu Ndiye Nyota Mwingine wa Tanzania Aliye saini Free States Kwa Dau la Mil160

            Posted: 06 Jul 2015 05:19 AM PDT

            AZAM FC imekubali kumuuza mshambuliaji wake John Raphael Bocco ‘Adebayor’ kwa dola za Kimarekani 80,000 zaidi ya Sh. Milioni 160,000 za Tanzania kwa klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.
            Na sasa kinachosubiriwa na FS ni kumalizana na mchezaji juu ya maslahi binafsi- ili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Tanzania ahamie Ligi Kuu ya ABSA.

            Mrisho Khalfan Ngassa aliyesajiliwa na Free State Mei mwaka huu kutoka Yanga SC, ndiye aliyemuunganishia Bocco dili la kujiunga na timu hiyo na akawapa viongozi wa timu hiyo namba za Bocco.
            Mazungumzo ya awali baina ya FS na Bocco yamefanyika, lakini hawajakubaliana kwenye baadhi ya vipengele, ingawa inatarajiwa klabu hiyo itamrudia tena mchezaji huyo baada ya kufikia makubaliano na Azam.

            FS imempa mshahara mzuri Bocco, mara mbili ya ule anaopata Azam FC kwa sasa, lakini mchezaji huyo anataka apewe na nyumba pia na baadhi ya vipengele virekebishwe.

            Azam FC sasa iko radhi kabisa kumuacha Bocco aende kupata changamoto nyingine baada ya kuitumikia timu kwa zaidi ya miaka saba tangu haijapanda Ligi Kuu.
            Awali, Azam FC ilikataa kumuuza Bocco Israel, Afrika Kusini na Algeria licha ya kufuzu majaribio huko- lakini sasa amepata zali la kuchukuliwa bila majaribio.
            Bocco aliyezaliwa Agosti 5, mwaka 1989

            alifanya majaribio kwa wiki kadhaa katika klabu ya Ligi Kuu Israel mwaka 2010 na baadaye Afrika Kusini katika klabu ya Supersport United.
            John Bocco amewahi kufuzu Super Sport United ya Afrika Kusini, Azam FC ikakataa kumuuza

            Bocco alifuzu Supersport baada ya wiki mbili, lakini Azam FC ikagoma kumuuza kwa sababu ya dau dogo.
            Mapema mwaka huu, klabu ya CRB Ain Fakroun ilitaka pia kumnunua Bocco ahamie Ligi Kuu ya Algeria ijulikanayo kama Professionnelle, lakini Azam FC wakakataa.

            Juhudi za kumpata Bocco mwenyewe kuzungumzia ofa hiyo ya Afrika Kusini hazikufanikiwa kwa sababu yuko Uganda na timu ya taifa, Taifa Stars, ambayo inarejea leo.

            Breaking News:UKAWA Wajitoa Rasmi Bungeni, Waondoka Dodoma Leo..Taarifa Kamili Ipo Hapa

            Posted: 06 Jul 2015 03:54 AM PDT

            Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.

            Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.
            Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa.
            Umoja huo pia umemtaka Rais Kikwete kutotia saini muswada hiyo kwa kuwa imepitishwa kinyume cha taratibu.

            Mbowe amesema kuwa endapo Rais Kikwete atalazimisha kuisaini miswada hiyo, umoja huo utaishitaki serikali kwa wananchi.
            Wabunge wote kutoka UKAWA wameazimia kuondoka kabisa leo kutoka mjini Dodoma, na wanataraji kukutana jijini Dar es salaam siku ya Jumatano kwa hatua zaidi.
            Wakati huo huo bunge limepitisha muswada wa usimamizi wa mapato yatokanayo na mafuta na gesi, na muswada mwingine wa uwazi na uwajibikaji katika uchimbaji wa madini, gesi na mafuta, hiyo ikiwa ni miswada miwli kati ya mitatu ambayo imekuwa ikipingwa na wabunge kutoka UKAWA.
            Muswada mwingine ni ule wa sheria ya Petroli ambao ulipitishwa jana bila ya ushiriki wa wabunge hao.

            Offer Kutoka BEAUTY KESSY PRODUCTS-Je Unataka Kuwa Mrembo Mwenye Makalio Makubwa na Ngozi Nyororo Bila Kusahau Nywele Ndefu? Soma Hapa

            Posted: 06 Jul 2015 03:21 AM PDT

            OFFER/ PUNGUZO LA BEI KWA MWEZI HUU...PENDEZA NA KESSY PRODUCTS (BEFORE & AFTER) KWANZA NIDAWA ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA WALA KEMIKALI, NAMATOKEO BAADA YA WEEK 2 HADI 4.

            1.Kutoa Mvi sugu 70000/
            2.Refusha nywele nakuzuiy kukatika 50000/
            3.Tengeneza Shepu (hips NA Kalio)kwa
            @kupaka 50000/
            @daw yamaj 80000/
            @vidonge 1,00,000/
            4.Punguza kitambi kwa
            @kupaka 55000/
            @mkanda was Daw 80000/
            @daw ya kunywaa 80000/
            5.Engeza Nguvu zakiume NA kukurudisha kama zaman kwa,
            @jeli yakupak 50000/
            @vidonge 70000/
            6.Engeza Mguu nakuutengeneza Kuwa kama chupa ya bia 50000/
            7.Toa makov,madoa,makonyanz,chunusi 45000/=
            8.Toa michirizi yoyote(srechmak)45000/=
            Engeza maumbile yakiume kwa
            @kupaka 1,00,000/
            @kifaa(tends up)1,70000/=
            9.Tengeza mwili mzima na hamu ya kula 80000/=
            10.Punguza mwili NA manyama uzembe na kilo
            80000/=
            11.Rudisha usichana na Kutoa fangasi sehemu za siri 60,000/=
            12.Rudisha hamu LA tendo landoa kwa mume NA make 55,000/=
            13.Punguza maziwa (matiti)nakuyasimamisha 45,000/=
            14.Ongeza maziwa(Matti)saizi unayoitaka 50,000/=
            15.Kuwa Mweupe NA softi mwili mzima bila kuchubuliwa 70,000/=
            16.Toa ngiri zaaina zote 60,000/=
            17.Toa michubuko kweny kikwapa,sehemu ya sir,kwenye mapaja 55,000/= NA HUDUMA NYINGINE NYINGI.

            TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM NA WATU WAMIKOWAN TUNAWATUMA KWA NJIA YA MABASI BILA MZIGO KUPOTEA, KWA WATU WA ZANZIBAR TUNAWATUMIA KWANJIA YA BOTI ZA AZAM, KWAHAPA DAR TUPO K KOO POSTA, NA SINZA MAPAMBANO, NA UTALETEWA POPOTE ULIPO. TUPIGIE KWA HIZI NAMBA ZETU - 0719955528/ 0756259180/ 0785371237
            Read more at http://websta.me/n/udaku_special#smDZVl0VgqeRtMtW.99

            ALI KIBA Akana Vibaya Kuwa Ana Bifu na Diamond..Adai Alistahili Kushinda Tuzo Alizoshinda KILL Awards na Kumbwaga Diamond

            Posted: 06 Jul 2015 03:04 AM PDT

            Msanii kutoka Tanzania Ali Kiba ambaye amejitokeza tena katika ulingo wa muziki baada ya kupumzika kwa miaka mitatu amepuuzilia mbali madai kwamba alipendelewa katika tamasha la tuzo za Kilimanjaro.
            Ali kiba ambaye alipata tuzo sita na kumshinda msanii wa kimataifa Diamond Platinum amesema kamwe hakupendelewa na kwamba ni muziki wake unaopendwa na wengi.
            Akizungumza katika mahojiano na runinga ya Citizen siku ya ijumaa usiku nchini Kenya,Kiba amesema kuwa anahisi yeye ndio bora na kwamba ilikuwa haki yake kushinda tuzo hizo.
            ''Nahisi kwamba mimi ndio bora na nilifaa kushinda tuzo hizi.''Mashabiki wangu waliukosa mziki wangu na ndio maana walinipigia kura na ndio maana nilishinda tuzo sita kati ya saba nilizoteuliwa'',alisema.
            Na alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond,Kiba alikana madai kwamba wawili hao hawana uhusiano mwema.
            ''Sina uadui wowote kati yangu na Diamond na haujakuwa''. Naweza kukuhakikishia kuwa mimi na Diamond hatujapigania kuhusu chochote''.
            Hatahivyo amesema kuwa inamkera wakati watu wanapomlinganisha na mwimbaji huyo wa Mbagala.
            Alisema:Mimi ni mimi na Diamond ni Diamond

            Mwanamuziki JIDE Ala Bata China Huku Nyumba Yake Akipigwa Mnada Bongo

            Posted: 06 Jul 2015 02:34 AM PDT

            Deogratius Mongela na Chande Abdallah
            GOOD time! Ndivyo unavyoweza kusema ambapo wakati habari ya mjini ikiwa ni kuhusiana na nyumba yake kupigwa mnada, staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ yupo bize jijini Hong Kong, China akila bata, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo.

            Mwishoni mwa wiki iliyopita, Kampuni ya Udalali ya MEM Auctioneers and General Brokers ilipewa jukumu la kupiga mnada nyumba ya mwanamuziki huyo iliyopo Mivumoni, Kinondoni jijini Dar baada ya Jide kushindwa kulipa deni alilokopa kutoka taasisi ya fedha ya EFC Tanzania Limited.

            Wanahabari wetu waliokuwa na kibarua cha kumtafuta Jide ili kujua anazungumziaje kuhusu nyumba hiyo kupigwa mnada, walizunguka kwenye viunga lukuki vya Dar ambavyo mwanamuziki huyo huwa anapatikana lakini jitihada hazikuzaa matunda, achilia mbali simu yake ya mkononi kutopatikana.

            Wakati gazeti hili likielekea mitamboni, chanzo kimoja kilipenyeza habari kuwa staa huyo wa Wimbo wa Yahaya yupo nchini China ‘anakula ujana’.“Kwa taarifa yenu Jide hayupo Bongo, ametimka zake China kula raha kama vipi fuatilieni kwa mbinu zenu mtabaini hiki ninachowaeleza,” kilinyetisha chanzo chetu, Jumamosi iliyopita.

            Kabla ya kuwadadisi wadau wengine wa karibu wa Jide, Ijumaa Wikienda liliingia kwenye ‘peji’ ya Instagram ya mwanamuziki huyo na kukutana na posti iliyoonesha kuwa yupo Dubai akielekea nchini China kuinjoi maisha.
            “Dubai-Hong Kong leo nimetoa ushamba sikujua mpaka ndege ikipaa kuna WiFi (huduma ya intaneti) tembea ujionee,” aliandika Jide.

            Alipotafutwa Gardner G. Habash ambaye alikuwa mume wa Jide alisema kwa kifupi kuwa hana taarifa zozote kuhusiana na nyumba hiyo kupigwa mnada.
            GPL

            Ustaa na Umaarufu wa Ghafla Wamfanya Mwanamuziki Ruby Kubadili Mpenzi...wa Mwanzo Amwagwa

            Posted: 06 Jul 2015 02:24 AM PDT


            Ruby star wa muziki ambaye ujio wake umekuwa ni wa kishindo kikubwa katika tasnia ya muziki wa Bongo Flava, ametufungulia moyo wake na kuweka wazi namna ambavyo safari yake katika usupa star imebadilisha kabisa mahusiano yake ya kimapenzi.

            Kwa taarifa ambayo eNewz inakupa wewe kwa mara ya kwanza kabisa, The Beautiful Ruby ambaye offcourse maisha yake yamebadilika na yanaendelea kubadilika kwa kasi, amelazimika pia kubadili mahusiano yake ya kimapenzi ambapo kwa sasa anatoka na mtu mpya na wanaelewana na kwenda sawa bila kumuweka wazi hasa ni nani huyo.
            Ruby ameeleza kuwa, mahusiano yake haya mapya yamemfunza kujishusha na kuwa mfano bora kama kioo cha jamii, huku akifurahia zaidi umaarufu wake kutia nakshi zaidi mahaba katika mahusiano hayo mapya.

            JAKAYA Amweka Pabaya Lowassa...Awakemea Wanaotumia Fedha ili Kupata Madaraka

            Posted: 06 Jul 2015 02:16 AM PDT

            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi wa dini kuwaelimisha na kuwakemea waumini wao juu ya maadili mabovu yaliyoanza kujitokeza hivi karibuni katika jamii zetu na Nchi kwa ujumla.

            Rais Kikwete ameyasema hayo wakati wa jubilee ya miaka 125 ya Dayosisi ya kaskazini Mashariki yaliyofanyika jijini Tanga ambapo amesema viongozi wa dini wana jukumu zito la kuwaelimisha, kuwakemea na kuwarudisha kwenye maadili mema wanakondoo wao waliopewa kuwachunga.
            Aidha ameongeza kuwa kwa upande wa serikali huwa iko tayari kutekeleza ipasavyo wajibu wa kisheria katika makosa mbalimbali ambayo wananchi wanaweza kuyafanya tofauti na upande wa madhehebu ya dini hutumia lugha ya kuwaelimisha kwa kuwataka waumini watii amri za Mungu.
            Sambamba na hayo pia amewaomba viongozi wa dini kuiombea nchi katika mwaka huu wa uchaguzi pamoja na kuwakemea wagombea watakaotumia pesa ili kununua ushindi wa madaraka na kufanya ubaguzi wa rangi, kabila na dini ili kuwajenga kisiasa.

            Kwa upande wake Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Steven Munga amesema kuwa eneo hilo lilitumika kipindi hicho tangu wamisionari walipofika kwa mara ya kwanza kwaajili ya kueneza dini na kukomboa maisha ya watu waliokuwa watumwa ambao walichukuliwa na kutunzwa.

            How I Infected 200 Men with AIDS ”, Girl Confesses!

            Posted: 06 Jul 2015 02:14 AM PDT

            I know many will condemn me, i would have easily do it remain silent about it but i feel like confessing. During Last years tournament in MASAKU7s u came with my girls by then was still in campus. We had fun and in the mix ended up being raped by a group of 4 men.

            In the month of September, 2 months after the fateful night i tested positive to HIV, my heart sunk, i died several deaths in my heart, u knew where i got it from since i know myself. I contemplated suicide but something told me not to. I vowed to hit back and spread it the same way, same place i was Infected.

            I planned myself to revenge back by infecting as many as u wanted, this was the only way my heart would be at peace and get closure. Non of my friends know of my status, I’m on medication so my body is amazingly perfect. I’m going public partially to let those who were there go for test.i arrived there on Friday, that’s when the fun began i booked into an hotel can’t mention for direct linking. I stayed through to Sunday. Everyday slept with about 6 different men daily. Since most of the times they were drunk i agreed to raw i mean all men love doing it raw so it was easy mission though i remember only 2 men insisted on condoms and just like that is how i managed to infect the idiots.
            oh dear i have no single regret I’m actually happy and relieved i accomplished my mission and if anything i regret not having Infected many, i wanted to reach 50 in that day but all is not lost i will continue haunting and make sure i attend all the rugby tournament and infect 200+ by end of the year, they also have to go the same agony i have been going through the past one year .As long as rugby tournaments are filled with hyenas and my devils are still alive i will continue dying with people I’ll deal with God’s wrath later. If you were in MASAKU7s and slept with a random light skin lady then i propose you go for test and do necessary.

            Shock as Drunk Girl is Raped and Dumped in a Ditch.. Alcohol Abuse is Now Out of Hand in Kenya

            Posted: 06 Jul 2015 02:12 AM PDT

            Not only Men even ladies are abusing alcohol in Kenya....Shock as Drunk Girl is Raped and Dumped in a Ditch.. Alcohol Abuse  is Now Out of Hand in Kenya..God Help Them

            These Are The Finest A$SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One

            Posted: 06 Jul 2015 02:10 AM PDT

             Huddah Monroe

             Risper Faith
             Miss Mselema

             Judy Onyango
            Corazon Kwamboka
            Vera Sidika

            These Are The Finest A$SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One

            Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais.........Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili

            Posted: 06 Jul 2015 12:41 AM PDT

            Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho.
            Wakati Lowassa akiwafunika watia nia wenzake ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa, anawafunika wenzake kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akiwa changuo la wengi kwa asilimia 23.1.

            REDET wamesema kuwa matokeo ya utafiti huo yanaweza kuchukuliwa kwa ujumla wake kama maoni ya Watanzania endapo masuala yaliyoulizwa uchaguzi ungefanyika katika kipindi cha utafiti.
            “Sampuli iliyotumika katika utafiti huu kwa kiwango cha kutosha ni wakilishi na ina akisi hali halisi ya Watanzania,”  imesisitiza ripoti hiyo iliyojatwa kuwa ni maoni ya wananchi kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba 2015, mwaka huu.
            Katika utitiri wa watia nia ndani ya CCM, kati ya wahojiwa 1,250 waliohojiwa, Lowassa alipigiwa kura na watu 338, wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akipata asilimia 8.2 akichaguliwa na watu 103.
            Utafiti wa REDET ulifanyika katika wilaya moja moja kwenye mikoa 25 ya Tanzania Bara baada ya wahojaji kukataliwa ruhusa ya kufanya utafiti wao katika mikoa mitano ya Zanzibar.
            Utafiti huo uliokuwa umedhaminiwa na kampuni ya Business Times Limited, ulifanyika kati ya Juni 23-26, mwaka huu na kila wilaya ilikuwa na wahojiwa 50.
            Kwa upande wa CCM watia nia wengine ni Mizengo Pinda nafasi ya tatu akiwa na asilimia 7.2 akichaguliwa na watu 90; John Magufuli nafasi ya nne akipata asilimia 6.6 akipigiwa kura na watu 83 na Charles Makongoro Nyerere nafasi ya tano akipigiwa kura na watu 54.
            Wengine ni Mark Mwandosya nafasi ya sita akipata asilimia 3.1 akichaguliwa na watu 39; Dk. Harrison Mwakyembe nafasi ya saba akiwa na asilimia 1.4 akichanguliwa na watu 18; Frederick Sumaye nafasi ya nane akipata asilimia 1.4 akichaguliwa na watu 17; nafasi ya tisa imekamatwa na Jaji Augustino Ramadhani akiwa na asilimia 1.2 akichaguliwa na watu 15 na nafasi ya 10 amekamata Mwigulu Nchemba akiwa na asilimia 1.0 akichaguliwa na watu 13.
            Wengine na idadi ya waliowachagua na asilimia zao kwenye mabano ni January Makamba nafasi ya 11 (asilimia 0.8, watu 10); Dk. Asha-Rose Migiro nafasi ya 12 (asilimia 0.7, watu tisa); Samuel Sitta nafasi 13 (asilimia 0.6. watu wanane); Lazaro Nyalandu nafasi ya 14 (asilimia 0.4, watu watano).
            Pia wamo Prof. Sospeter Muhongo nafasi ya 15 (asilimia 0.4, watu watano); Balozi Amina Salum Ali nafasi ya 16 (asilimia 0.2, watu wawili); Dk. Mohammed Gharib Bilal nafasi ya 17 (asilimia 0.2, watu watatu); Stephen Wasira nafasi ya 18 (asilimia 0.2, watu 3) na William Ngeleja nafasi ya 19 (asilimia 0.2, watu wawili).
            Wengine ni Balozi Ally Karume nafasi ya 20 (asilimia 0.1, mtu mmoja); Amos Siyantemi nafasi ya 21 (asilimia 0.1, mtu mmoja); Joseph Chagama nafasi ya 22 (asilimia 0.1, mtu mmoja); na Mwele Malecela nafasi ya 23 (asilimia 0.1, mtu mmoja).
            Katika kura hiyo, watia nia 14 ambao wamejitosa kwenye urais kupitia CCM hawakutajwa kabisa na watoa maoni ambao ni Balozi Augustine Mahiga; Boniphace Ndengo; Eldophonce Bihelo; Godwin Mwaipopo; Dk. Hamis Kigwangalla; Dk. Hans Kitine; Joseph Chagana; Leons Mulenda; Luaga Mpina; Maliki Marupu; Mathias Chikawe; Monica Mbega; Titus Kamani na Balozi Patrick Chokala.
            Kwenye kundi la Ukawa, namba mbili amechukua Prof. Ibrahim Lipumba akiwa na asilimia 13.6 akichaguliwa na watu 170; Freeman Mbowe ameshika nafasi ya tatu akiwa na asilimia 7.2 akichaguliwa na watu 90; James Mbatia amekamata nafasi ya nne akiwa na asilimia 3.2 akichaguliwa na watu 40; Emmanuel Makaidi akishikilia nafasi ya tano kwa asilimia 0.6 akichaguliwa na watu 8, huku George Kahangwa akishika nafasi ya sita kwa asilimia 0.2 akichaguliwa na watu wawili.
            SWALI LA MSINGI
            Swali la msingi lililokuwa linaulizwa lilisema: “Kama wewe leo ungeshirikishwa katika mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, kati ya wanachama wake 37 waliokwishajitokeza, ungemchagua nani apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 2015?”
            Pia swali kwa Ukawa lilikuwa: “Kama wewe leo ungeshirikishwa katika mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kati ya wanachama wake waliokwishakutangaza nia na wanaotarajia kutangaza nia ungemchagua nani apeperushe bendera ya Ukawa katika uchaguzi mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 2015?”
            Ripoti ya REDET imesema kuwa kwa maswali yote, mhoji alitakiwa kutomtajia majina mhojiwa, bali mhojiwa aliombwa ataje jina alilonalo kichwani mwake.
            REDET imesema kuwa katika utafiti wake ilikusudia kupata maoni ya wananchi katika maeneo matatu; mosi, kupata maoni ya wahojiwa kuhusu wanachama wa CCM wanaoomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho; mbili, kupata maoni ya wananchi kuhusu wanachama wa vyama vinavyounda Ukawa ambao wamejitokeza au wanafikiriwa kuwania nafasi ya urais chini ya mwavuli wa Ukawa na tatu, kupata maoni ya wahojiwa kuhusu wanachama wa vyama vingine vya upinzani vilivyo nje ya Ukawa wanaofikiriwa kwania nafasi ya urais.
            Katika kundi la vyama ambavyo havipo Ukawa, Zitto Kabwe ameongoza kwa asilimia 8.5 akichaguliwa na watu 106, Chama cha Demokrasia Makini kimepata asilimia moja kilichaguliwa na watu 13, John Cheyo ameibuka nafasi ya tatu akiwa na asilimia 0.9 akichaguliwa na watu 12 na Augustine Mrema nafasi ya nne akiwa na asilimia 0.7 akichaguliwa na watu wanane.
            Wengine ni Chama cha ADC nafasi ya tano kikiwa na asilimia 0.5 kikichaguliwa na watu sita na nafasi ya sita yupo Christopher Mtikila akiwa na asilimia 0.5 akichaguliwa na watu sita pia.
            WILAYA ZA KURA YA MAONI
            Wilaya ambazo kura ya maoni iliendeshwa ni Longido, Temeke, Dodoma Manispaa, Mbogwe, Kilolo, Muleba, Mlele, Ujiji Kigoma, Moshi Manispaa, Lindi, Hanang, Bunda, Rungwe, Morogoro Manispaa, na Msasi.
            Nyingine ni Ilemela Manispaa, Ludewa, Kisarawe, Kalambo, Namtumbo, Kahama, Itilima, Singida, Tabora Manispaa na Muheza.
            Ambako ruhusa haikupatikana ni Micheweni, Kaskazini B, Mkoani, Kusini na Mjini A.
            VIJANA ZAIDI WAJITOKEZA
            Katika utafiti huo ambao ulitumia mfumo wa sampuli nasibu (random sampling), vijana wengi zaidi walitoa maoni yao. Wahojiwa 334 sawa na asilimia 26.7 walikuwa kati ya umri wa miaka 36 – 45 na wengine 201 kati ya miaka 18 – 25 wakiwa ni asilimia 16.1. Wahojiwa wachache yaani zaidi miaka 66 walikuwa ni 70 sawa na asilimia 5.6.
            Wanawake katika wahojiwa walikuwa 626 sawa na asilimia 501, huku wanaume wakiwa ni 624 sawa na asilimia 49.9.
            Asilimia 30 ya wahojiwa wote walitoka mijini, huku asilimia 70 wakitoka maeneo ya vijijini.
            VIPAUMBE SERIKALI AWAMU YA TANO
            REDET wanasema kuwa wahojiwa walitakiwa kutaja kipaumbele kimoja tu na mlolongo uliopatikana ni elimu asilimia 23.8 iliyotajwa na watu 298; kilimo asilimia 14 watu 175, ajira asilimia 12 watu 150, afya asilimia 9.9 watu 124, kupambana na rushwa asilimia 6.4 watu 80 na maji asilimia 5.4 watu 68.
            Nyingine ni barabara iliyoshika nafasi ya saba iliyopata asilimia 3.4 ikitajwa na watu 43, viwanda asilimia 3.3 ikitajwa na watu 41 na mikopo na mitaji asilimia 2.6 ikitajwa na watu 33.
            Vipaumbelea vingine na asilimia na idadi ya waliotaja kwenye mabano ni umeme (asilimia 2.2, watu 28), kukomesha migogoro ya ardhi (asilimia 1.5, watu 19), ujenzi wa makazi/ nyumba bora (asilimia 0.6, watu 7), demokrasia (asilimia 0.6, watu 8), katiba inayopendekezwa (asilimia 0.3, watu watu 4) na muungano (asilimia 0.1, mtu mmoja).

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 6

            Posted: 06 Jul 2015 12:32 AM PDT

























            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  July 6

            Kimenuka Tena Kwa ROSE MHANDO..Akamatwa Dodoma na Kupigwa Pingu Kusafirishwa Kwenda Dar es Salaam

            Posted: 06 Jul 2015 12:28 AM PDT

            Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa.


            Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose alilipwa Sh. milioni 3 kwa ajili ya shoo huko Makambako mkoani Njombe na matangazo yakafanyika lakini hakutokea.


            Ikadaiwa kuwa, wakati matangazo ya shoo yakiendelea, mtu mwingine aliyekuwa akimdai Sh. milioni 3.5 (pia alichukua fedha kwa shoo siku za nyuma) alikwenda Makambako kwa lengo la kumsubiri Rose ili amnase, lakini hakutokea.


            Chanzo hicho kiliendelea kumwaga ‘unyunyuzi’ kuwa, wawili hao waliripoti ishu ya Rose, Kituo cha Polisi Makambako ambapo polisi walifunga safari kumfuata Dodoma.


            Sosi huyo alisema kuwa, Rose alikamatwa Juni 27, mwaka huu na kuswekwa rumande Kituo Kikuu cha Polisi, Dodoma tayari kwa kupelekwa mahakamani.
             
            Imedaiwa kuwa, kigogo mmoja wa serikali mkoani humo (jina lipo) aliwaambia polisi wampigie simu Msama na kumweleza kisanga hicho ili ikibidi yeye amlipie deni hilo kwa sababu anamsimamia kazi zake.


            “Msama alikubali kwa sharti kwamba, kwa sababu ana kazi ya kufanya na Rose hivyo asafirishwe hadi Dar amlimpie, yeye na Rose watakatana kwenye kazi.


            “Rose alisafirishwa Juni 29, mwaka huu akiwa chini ya ulinzi wa askari wawili. Mmoja wa kike ambaye alilala naye chumba kimoja hotelini. Kesho yake wakaenda ofisini kwa Msama, Block 41, Kinondoni, akalipa milioni sita na laki tano keshi,” kilisema chanzo.

            Diamond Afanyiwa Kufuru na Msanii wa Nigeria..

            Posted: 06 Jul 2015 12:24 AM PDT

            Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’.

            Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye yupo nchini humo kwa ziara yake inayofahamika kama ‘Nana Tour’, tangu Diamond alipofika siku ya kwanza akiwa na mameneja wake, Salam, Babu Tale, DJ wake aitwaye Romy Jones na wengine, mastaa kibao wakubwa walikuwa wakihitaji kuwa wenyeji wake.


            • “Jamaa ana uhusiano mzuri sana na mastaa wa Nigeria. Kuna ambao ameshafanya nao kazi kama Yemi Alade, Tiwa Savage, Bracket, Iyanya, KCEE na P Square (bado haijatoka).

             

            •  “Pia wapo wengine kibao wanaotaka kufanya naye kazi hivyo wanamuwinda.Waliposikia anakuja kufanya ziara ya wimbo wake mpya kila mmoja alitaka kuwa mwenyeji wake.


            “Simu zilikuwa nyingi lakini mwisho wa siku KCEE alikuwa ameshafika uwanja wa ndege kutupokea na hiyo ilikuwa rahisi kwake kwa kuwa naye hivi karibuni alimshirikisha katika wimbo wake wa Love Boat,” kilisema chanzo hicho.

            Chanzo kinaendelea kumwaga ubuyu kuwa baada ya kufika nyumbani kwa KCEE, staa huyo mwenye mikoko na majumba ya kutosha nchini humo kupitia muziki, aliwafanyia bonge la ‘sapraiz’ kwa kufungua makabati yake ya rangi ya dhahabu na kuwaonesha tuzo kibao alizozipata kisha wakajimwaga sebuleni ambapo waliandaliwa pati ya madikodiko ya Kinigeria.


            • “KCEE ni kati ya wasanii wenye mafanikio na mali kibao. Jumba tu aliokaribishwa ndani yake lilijengwa kwa kuchanganya nakshinakshi za dhahabu.”


            Diamond alitafutwa na  mwandishi kupitia Mtandao wa WhatsApp kuhusiana na mapokezi yake ambapo alifunguka:


            • “Nashukuru kwa Nigeria kunipokea vizuri najihisi kama niko nyumbani, nasema asante sana kwa watu hawa kwani wameonesha sapoti ya nguvu hata katika kunipigia kura katika Tuzo za MTV MAMA,” alisema Diamond na kuongeza.


            “Kwa sasa akili yangu yote nimeielekeza kimataifa zaidi baada ya kufanya kolabo za kutosha Afrika.”

            Hivi karibuni Meneja wa Diamond, Babu Tale alikaririwa akisema kuwa mashabiki wategemee kolabo ya kimataifa na msanii mkubwa na kudokeza kuwa msanii huyo anaweza kuwa Usher Rymond, Chris Brown, Ne-YO au yeyote mkubwa kutoka Marekani.

            Meek Mill na Nicki Minaj wamshambulia Joe Budden baada ya kukosoa uhusiano wao

            Posted: 06 Jul 2015 12:16 AM PDT

            Meek Mill na Joe Budden wameingia kwenye ugomvi wa maneno baada la Budden kukosoa uhusiano wa rapper huyo na Nicki Minaj.

            Kwenye podcast yake “I’ll Name This Podcast Later,” Joe Budden amemchana Meek kwa kubadilika kuwa rapper mlaini baada ya kuanzisha uhusiano na Nicki.

            “Meek’s music is too hard for me to look at him with this fucking sappy fuck-shit,” alisema. “Be the hardcore guy that I’m sure she was attracted to at some point. It’s nasty. I hate everything about it.”

            Meek alijibu madongo hayo kwa mfululizo wa tweets:

            “And I brung joe buddens out on my sold out show in NYC….. It was a funeral when you got the mic! Stop it old hating noodle,” alitweet Meek.

            I just get money…Remain trill…Stay fly & b puttin my day 1’s on … You’s type of guys can’t deal with me on no levels! Lol I’m out. Yall guys talk about other men too much..Don’t let my album do good..Ima change all dat and that and expose how lame yall dudes really are! joking but it ain’t dat boy level to b commenting on they way I handle my lady! Yall gotta have a chill button when you speaking on da trill.”

            Joe alijibu tweets hizo: @MeekMill #1. I think you’ve taken some things outta context. I didn’t diss u. #2. U don’t rap well enough to go this route w me.”

            Nicki naye aliamua kujibu: Why would you be bothered by another man showing love to his girl? Let’s celebrate black love. All the best w/ur podcast. All jokes aside.”

            KIM Kardashian Amuaibsha Mumewe Kanye West..Atoka Out Bila Kuvaa Sidiria..Paparazi Wamchungulia na Kufanya yao

            Posted: 05 Jul 2015 11:28 PM PDT

            Papararazi walimpiga picha Kim akionekana kutovaa sidiria huku mtaani wakijiuliza kulikoni mume wake hamuoni au ni mtu asiyejali na kumpachika jina la ‘Mastermind’.

            “Kivazi hiki kimekuwa kikiwatega watu kwani sehemu kubwa ya kifua chake kiko wazi, si vizuri kwa mama mwenye mtoto kuvaa nguo kama hii, kweli anamhaibisha mumewe”, alisema Shabiki mmoja

            Marando: Tuna Mengi ya Lowassa Lakini Kwa Sasa Tunakaa Kimya

            Posted: 05 Jul 2015 10:34 PM PDT

            Lowassa
            Mjumbe wa kamati kuu ya chadema na mwanasheria guli nchini tanzania mabere nyaucho marandu ,amesema ukawa wana mambo mengi sana ya kuzunguza kuhusu lowasa lkn kwa sasa wameamua kukaa kimya kwa kuwa wamekaa kimya kimkakati.

            Pili amesema wao wameamua kukaa kimya kuhusu lowasa kwa kuwa nape,po makonda,na makokongora nyerere kwa sasa wao wanafanya kazi ambazo zilitakiwa kufanya na Ukawa

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 7, 2015, 4:24:14 PM7/7/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa

            Posted: 07 Jul 2015 12:47 PM PDT

            Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake  wote  ambao  wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.

            Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka  picha za kuonyesha  jinsi  Mungu alivyolia kumuumba  na kumpa  mapaja yenye ushawishi  kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama wakiume.

            “ Mungu amenijalia akuwa  na hips nzuri , makalio makubwa na muonekano mzuri  kwa  watu sasa kwa nini wananitukana  kana kwamba ninawabebea mabwana zao  na  endapo wataendelea nitafanya hivyo ili waseme vizuri  kwani  nimechoka kusemwa kwani nina uhuru  wa kuweka picha yoyote ilimradi haivunji maadili ya Kitanzania,” alisema Aunty Lulu.

            Alisema kamwe hataacha  kufanya  hivyo kwani  yupo huru  na  anajua nini anakifanya  na si kuongozwa na  watu tena wanawake wenzake  ambao kwa kiasi kikubwa  wamejaa wivu kuliko wanaume.

            Tanuru la Filamu

            Mbunge wa CHADEMA kanusurika kwenye ajali ya hii Helicopter leo July 07 2015.

            Posted: 07 Jul 2015 12:25 PM PDT

            Taarifa ilianza kuenea jioni ya July 07 2015 kwenye kuhusu ajali ya Helicopter iliyokua imebeba Wanachadema mbalimbali akiwemo mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari.

            Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimewekwa post kwamba Mbunge Joshua Nassari ndiye aliyepata ajali hiyo ya Helicopter, amepelekwa Hospitali kwa ajili ya matibabu pamoja na rubani na watu wengine ambao hawajatajwa, ni baada ya kunusurika.

            Ali Kiba Aendelea Kulikana PENZI La Jokate

            Posted: 07 Jul 2015 11:20 AM PDT

            Tanzanian superstar Ali Kiba has denied ever dating Jokate Mwegelo who used to date the popular Diamond Platnumz.

            Ali Kiba who has been in Kenya for his Coke Studio Africa season 3 recording,said that he and Jokate are not dating but they are just friends.

            “Jokate is just one of my best friends. We have nothing going on between us,” -Ali Kiba.

            According to the Chekecha Cheketua crooner Jokate is one of his ......

            Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza Ashitakiwa Mahakamani Jijini Arusha Kwa Kukiuka Katiba Ya Nchi Hiyo

            Posted: 07 Jul 2015 11:17 AM PDT

            Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameshitakiwa katika Mahakama ya Afrika Mashariki iliyopo jijini Arusha kutokana na hatua yake inayotajwa kukiuka Katiba ya nchi hiyo kwa kuwania kipindi cha tatu cha Urais.

            Kesi hiyo pia inamjumuisha Mwanasheria Mkuu wa Burundi, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi kwa nchi ya Burundi pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mujibu wa taarifa maalum kutoka kwenye taasisi ya mawakili wa Kanda ya Afrika (PALU) inayosimamia shauri hilo.

            Hii sasa inamaanisha kuwa kiongozi huyo wa Burundi atahitajika wakati wowote kwenda Arusha mahakamani, kuhudhuria kesi yake.

            Ripoti hiyo iliyoidhinishwa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano cha PALU, Jancelline Amsi, imeeleza kuwa shauri hilo namba RCCB 303 la 2015 dhidi ya Nkurunziza liliwasilishwa katika Mahakama ya Jumuiya na Umoja wa mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka nchi za Kenya, Rwanda, Uganda, Burundi na Tanzania chini ya mwamvuli wa taasisi yao ya ‘East African Civil Society Organizations’ Forum (EACSOF).’

            Mashirika hayo yanamtuhumu Rais Nkurunziza kwa kukiuka katiba ya nchi yake pamoja na kuvunja makubaliano ya Amani ya Arusha katika dhamira yake ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu, hatua ambayo imesababisha machafuko nchini Burundi yaliyopelekea vifo vya wananchi wapatao 70 huku wengine zaidi ya 140,000 wakiikimbia nchi yao.

            Hatua hiyo inakuja wakati Rais Nkurunziza akiwa amejikita katika kampeni za urais, hivyo kushindwa kujumuika na wakuu wa nchi za EAC wanaokutana Dar es Salaam kujaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kisiasa la Burundi.

            Msemaji wa Rais Nkurunziza, Gervais Abahiro alieleza kutoka Bujumbura alisema kuwa bosi wake huyo angewasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Alain Aime Nyamitwe kwani Rais wake alikuwa anaendelea na kampeni zake za urais.

            ‘You Are so Pretty’, ni Kauli ya Jay Z Alipomuona Vanessa Mdee

            Posted: 07 Jul 2015 11:14 AM PDT

            Vanessa Mdee anaweza kumfanya Beyonce anune au apate wivu kwakuwa muimbaji huyo wa ‘Nobody But Me’ aliwahi kulivutia jicho la rapper mwenye nguvu zaidi duniani, Sean Carter aka Jay Z.

            Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Vanessa alisema yeye mwenyewe alipokuna na rapper huyo wa ‘Run This Town’, mdomo wake ulipigwa ganzi kwa muda na maneno kushindwa kumtoka.

            “Ooh my God! I was so nervous,” alikumbushia Vanessa.

            “Lakini bahati nzuri nilikuwa sim-interview. Halafu mimi nina ugonjwa fulani hivi, kama nampenda mtu au nam-admire mtu nanayamazaga kimyaa,” aliongeza Vanessa.

            “I was just like…. And he was so nice, he was like ‘ooh my God you’re so pretty’, like ‘they had to put your face on MTV’. I was like ooh my God ataniua…sasa sijui hata jinsi ya kujibu ni kama lugha inanipotea.”

            Vanessa alidai kuwa Baba Blue Ivy ni mtu poa tofauti kabisa na watu wanavyomchukulia.

            “He was so nice, very calm. Nikamkumbusha kwamba walikuja Tanzania… and he was like ‘yeah Tanzania is a beautiful country’. Yaani very nice guy, very diplomatic. Halafu hana majidai ya ajabu, labda kwa sababu mimi nilikuwa back stage and there was nobody in backstage,” alieleza Vee Money.

            Unaweza kusikiliza kipindi chote hapo chini:

            Diamond na Alikiba: Sisi Hatuna Beef Jamani, Get A Life Guys (Video & Audio)

            Posted: 07 Jul 2015 11:00 AM PDT

            Get a life guys, Diamond na Alikiba hawana beef yoyote… at least kutoka kwa kauli zao wenyewe.

            Superstars hawa wa Tanzania weekend na wiki hii walikuwa na interview kwenye vyombo tofauti vya habari na kuulizwa swali linalofanana,” mna beef?”

            “Beef hakuna, mimi sidhani kama kuna hiyo kitu,” Alikiba aliambia One on One ya Citizen TV Ijumaa iliyopita.

            “Sisi ni wasanii kuna watu wanatuangalia, then tuko na fans, Diamond ana fans wake, mimi nipo na fans wangu. Sometimes they do it for fun you know that’s what I know from my opinion. Mimi na Diamond hatujawahi kukutana sehemu tukagombana tukasemeana hivi,” alisema Kiba.

            “Vile vile kitu ambacho sipendi ni mimi kufananishwa na Diamond. Mimi nafanya muziki wangu ambapo hakuna mtu anaweza kufanya muziki wangu sababu kila mtu ana talent yake and I believe I am versatile, nin hicho kipaji cha kubadilika kila wakati. So kama Diamond yuko interested kufanya featuring na watu wengine mimi nafanya muziki ninaotaka mimi na yeye anafanya wa kwake kila mtu ana style yake ya ufanyaji muziki,” aliongeza.


            Kwa upande wa Diamond jana alihojiwa kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM alikokutana na swali hilo hilo.

            “Sijawahi kuwa na beef nae hata siku moja, “ alijibu wa ufupi.
            Kwa upande wa mtazamo wake kuhusiana na timu zao, staa huyo alisema, “ Sioni kama kuna ubaya wowote, kila mtu ana maamuzi kumchagua mtu anayemtaka yeye kumshabikia, huwezi kumlazimisha mtu.”

            Lucy Komba Awashukia Walioiponda Picha Hii

            Posted: 07 Jul 2015 10:52 AM PDT

            Staa wa Bongo Movies alieamishia makazi ughaibuni, Lucy Komba ambaye ameolewa na  ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu walioishambulia picha yake hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye ukurasa wake mtandaoni.

            Lucy alianza kwa kuweka picha hiyo ya kuchora ambayo ndiyo ilileta utata na kuibua majibizano ya maneno kati ya watu ambao waliona kuwa picha hiyo haina shida na wengine wengi wakisema picha hiyo haina maadili na ukizingatia yeye ni mke wa mtu.

            “Mshamba anataka attention mke wa mtu huwez jichetua hvo hata kama umeolewa na mzungu” mchangiaje mmoja aliandika.

            Baada ya vita kubwa ya maneno ndipo Lucy aliweka picha halisi ya mchoro huo na kuandika haya.

            Picha asilia hii hapa wale wenye midomo mipana wanaosema mimi nimeshika u*** hapo nimeshika u***? Pelekeni umbeya wenu na upashikuna huko, mke wa mtu nimeolewa na baba zenu mpaka awaume mwenye mke katulia tulii nyie ndo mate yanawatoka, ndio nataka atenshen kwa baba ako kuku wewe, kama unaona vipi njoo uolewe wewe uvae mabaibui, naweka picha ninayotaka natoa ninavyotaka sijakuita hutaki jitoe sina muda tena wa kuanza kuchagua nimuache nani nimtoe nani jitoe mwenyewe kwa mshamba mimi.

            Mzee wa Ubuyu

            Davina : Natamani Kuchepuka Ila Nashindwa

            Posted: 07 Jul 2015 10:51 AM PDT

            Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amekiri kuwa makundi huwa yanaharibu  watu walio kwenye ndoa kwa kuwalaghai kwamba wakaonje  nje kwa lengo  la kuangalia radha nyingine hali amabayo wakati  mwingine  mawazo hayo humjia lakini ghafla huhisi kaama mumewe atamuona na kuhatarisha ndoa yake.

            Akizungimza na Tanuru la Filamu , Davina alisema  kwamba alipata wakati  mgumu wakati wakuigiza  filamu ya SHANTA inayotarajiwa kuingia sokoni  wiki hii ambayo alicheza kama mke wa mtu  ambaye  alichepiuka na mwanaume  na wakati anatoka gesti  akafumaniwa na mumewe.

            “ Kweli wakati mwingine  mawazo kama haya huwa yanakuja  unaposikiliza  stori za wanawake  wachepukaji lakini huwa nafikiri nifanye hivyo kwa kukosa nini kwa mume wangu? Kutokana na msimamo huo nilipata tabu kuigiza filamu ya SHANTA ambapo  niliigiza kama  nimemsaliti mume  wangu  na kweli kwenye filamu hiyo nilifumaniwa , inakera sana wanandoa kusalitiana,” alisema staa huyo.

            Davina alisema filamu hoyo itasambazwa na kampuni ya 5 Effects Movies Ltd na anaamini itawafundisha watu wengi ambao wamekuwa wakishindwa kutulia  kwenye ndoa zao ambapo  mwisho wa siku  huambulia kuambukizana magonjwa

            Lowassa Asukiwa Zengwe Ili Jina Lake LIKATWE Urais 2015

            Posted: 07 Jul 2015 01:26 AM PDT


            Wakati joto la uchujaji wa majina ya wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likizidi kuongezeka, taarifa zimezidi kuzagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mikakati ya kumuondoa Edward Lowassakwenye orodha ya watia nia nayo imezidi kupamba moto.
             

            Ofisa mmoja wa CCM makao makuu mjini hapa, alisema kuwa wanachofanya wao kama watendaji ni kuandaa majina ya wagombea wote na fomu zao za udhamini na kisha kukabidhi kwa sekretarieti itakayopanga ajenda za vikao vya Kamati Kuu na baadaye Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya taifa.
             

            Ofisa huyo alipoulizwa kama ana taarifa za kuwako kwa mizengwe dhidi ya Lowassa alisema kwa ujumla kwa sasa kuna maneno mengi sana yanazungumzwa juu ya mchakato wa uteuzi wa mgombea, ila akasisitiza kuwa la msingi ni kusubiri vikao vya maamuzi.
             

            “Ndugu yangu ukiyatazama haya makundi (ya urais) ni vigumu kuamini kama wanatoka chama kimoja. Yaani kuna kukamiana kweli kweli…Kila mmoja anataka kumwangusha mwenzake ili yeye apite,” alisema na kuongeza kuwa:
             

            “Hata kama kuna mizengwe, si unajua uchaguzi huu ni wa vyama vingi. CCM haishindani pekee yake, kwa hiyo mgombea anayekubalika ndiye anatakiwa.”
             

            Hata hivyo, kwa muda sasa kumekuwa na mfululizo wa habari za kupikwa kwamba jina la Lowassa litaishia Kamati Kuu kwa madai kwamba kuna ushahidi wa matumizi ya fedha kwa timu yake, tuhuma ambazo binafsi (Lowassa) amezikanusha mara kadhaa.
             

            Julai mosi mwaka huu siku anarejesha fomu za kuwania urais kupitia CCM alitoa changamoto kwa yeyote mwenye ushahidi wa kuhusika kwake na rushwa ajitokeza na kusema alitoa lini, wapi na kwa nani.
             

            Lowassa alisema amechoka kwa tuhuma za kipuuzi za kuhusishwa na rushwa na kusisitiza kuwa hakuna mwanachama yeyote miongoni mwa zaidi ya nane waliomdhamini aliyefanya hivyo kwa kishawishi cha fedha au fadhila yoyote.
             

            Mgombea anayetajwa kutumiwa zaidi na kundi linalompinga Lowassa ni pamoja na Makongoro Nyerere, ambaye alifanya mkutano na waandishi wa habari hivi karibuni na kuporomosha kauli kali za ukakasi dhidi ya Lowassa.
             

            Wakati mizengwe ikizidi kusukwa dhidi ya Lowassa, ripoti ya kura zote za maoni ambazo zimekuwa zikitolewa katika miezi ya hivi karibuni zimeonyesha kuwa Lowassa anaongoza kwa mbali kama chaguo la wananchi wengi kwenye nafasi hiyo.
             

            Miongoni mwa tafiti hizo ni ule wa Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, uliofanywa mwezi uliopita na matokeo yake kutolewa mwishoni mwa wiki unaonyesha kuwa Lowassa ni changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho, huku Bernard Membe akishikilia nafasi ya pili kwa kupata asilimia 8.2.
             

            Katika utafiti huo ambao REDET walisema kuwa unaweza kuchukuliwa kwa ujumla wake kama maoni ya Watanzania endapo masuala yaliyoulizwa uchaguzi ungefanyika katika kipindi cha utafiti, wahojiwa walikuwa 1,250 kutoka wilaya moja moja katika mikoa 25 ya Tanzania Bara.
             

            Wakati mkakati wa mizengwe ukiendelea kupamba moto, wajumbe wa sekretarieti ya Kamati Kuu ya chama hicho wanaanza vikao mjini Dodoma leo kundaa pamoja na mambo mengine ajenda na taarifa kwenye vikao vya Kamati Kuu itakayokaa Alhamisi mjini hapa.
             

            Kikao cha Kamati Kuu kinatarajiwa kuchuka majina ya watia nia 38 waliojitokeza kutafuta ridhaa ya chama hicho na kubakisha majina matano tu yatakayopelekwa NEC kwa kupigiwa kura.
             

            NEC inayotarajiwa kukutana Ijumaa wiki hii, itatoa majina matatu kwenda Mkutano Mkuu unaotarajiwa kukutana Jumamosi kwa ajili ya kupata jina moja la mgombea urais wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

            Unyama: Mtoto wa Miaka Mitano Atekwa na Kubwa Mpaka Kufariki Dunia

            Posted: 06 Jul 2015 11:21 PM PDT

            Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
            NIkweli dunia imekwisha! Ni vigumu kuamini mtoto mdogo ambaye anahitaji uangalizi na ulinzi kutoka kwa jamii anageuzwa mwanamke na kuingiliwa kwa nguvu hadi mauti. Huu ni unyama na ukatili wa hali ya juu.

            Tukio hilo la kutisha lilitokea katikati ya wiki iliyopita, Tabata Msimbazi jijini Dar ambapo mtoto Ester Banzi ,5, (pichani) alikutwa na mauti baada ya kuingiliwa kimwili na mwanaume ambaye inadaiwa alimteka kwanza.
            Akizungumza na Gazeti la Uwazi kwenye msiba huo, mama mdogo wa marehemu Ester aliyejitambulisha kwa jina la Watende Hamis huku akitokwa machozi mfululizo, alisema:

            “Siku ya tukio, ilikuwa saa 5:30 asubuhi tukiwa nyumbani, dada (mama wa marehemu aitwaye Rebeka) alikuwa ameinjika sufuria ya ugali jikoni kwa ajili ya chakula cha mchana.
            “Akamtuma Ester dukani akanunue unga. Alimpa shilingi 1,200. Si mara ya kwanza Ester kutumwa dukani kwa vile ni jirani tu.

            “Tulimsubiri Ester arudi na unga lakini alichukua muda mrefu. Ikabidi tumfuate dukani, hatukumuona. Tuliwauliza watoto wenzake ambao anapenda kucheza nao, wakasema walimuona amebeba mfuko cha Rambo huku akiongozana na baba mmoja.


            “Basi, tuliendelea kumtafuta bila mafanikio. Ikabidi tutoe taarifa kwa baba yake ambaye akaingiwa na wasiwasi, akaenda kutoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi Tabata Shule.“Ndani ya masaa matatu baba yake akatupigia simu kwamba mwili wa Ester umeokotwa huku ukionekana alibakwa na kuharibiwa vibaya.”

            Naye kijana anayeuza duka ambalo marehemu alitumwa kununua unga, bila kutaja jina lake alikiri Ester kufika dukani hapo na kupimiwa unga kisha akaondoka.

            Baadhi ya wananchi majirani na maeneo hayo waliohojiwa na waandishi wetu kuhusiana na tukio hilo walisema kwamba wao walimuona mtoto huyo akifuatana na mwanamume mmoja, lakini hawakumtilia mashaka kutokana kwamba walifikiri ni ndugu yao.

            Mtu mmoja ambaye mwili wa marehemu ulikutwa jirani na nyumba yake, naye alizungumzia tukio hilo:
            “Sisi tulisikia sauti ya mtoto akiomba msaada. Tulipata hofu ikabidi tukaangalie eneo lile ndipo tulipouona mwili wa mtoto huyo. Tulipomchunguza tukagundua alibakwa kwani nguo yake ya ndani ilikuwa pembeni.

            “Inaonekana huyo mtu hakuchukua muda mrefu kufanya kitendo hicho. Tulimpigia simu Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabata Shule, Afande Kobelo akaja na timu yake. Hili tukio nahisi lina ushirikina ndani yake.”

            Mmoja wa askari aliyefika katika eneo la tukio ambaye hakutaka kutaja jina lake kwa vile siyo msemaji mkuu wa jeshi hilo alisema mwili wa mtoto huyo ulionekana kuingiliwa kimwili, marehemu alivunjwa shingo na kutobolewa upande wa kushoto kichwani.Marehemu Ester alizikwa wiki iliyopita mkoani Morogoro. Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu. Amina.

            Ali Kiba: Huwa Nasikiliza Nyimbo za Mwanamuziki Diamond Platnumz

            Posted: 06 Jul 2015 10:16 PM PDT

            Ali Kiba received a king’s welcome when he arrived in Kenya for the third cycle of the Coke Studio Africa Recording earlier this week, but that was nothing compared to the love that Kenyans on social media showed him as he was interviewed by Lillian Muli for #OneonOne .

            His name shot to the top of the trends as Kenyans on social media reminisced on his golden oldies like Cinderella and Mac Muga. Requests also came streaming in for his new hits Mwana and Chekecha Chekechea.

            Kiba, who recently came back to the music scene after a three year hiatus, walked away with six prestigious trophies at the 2015 Kilimanjaro Awards beating internationally acclaimed artist Diamond Platinumz.



            Speaking candidly during the Citizen TV interview on Friday night, Kiba rubbished claims that he won the Kilimajaro awards unfairly.

            “I feel like I am the best and I deserved the awards that I won. My fans missed my music and they voted for me. That is why I won six out of the seven categories that I was nominated for,” he said.

            When asked about his relationship with Diamond, Kiba refuted rumors that they two are on bad terms.

            “Don’t believe what you hear out there. There’s no beef between me and Diamond, and there has never been. I can assure you that Diamond and I have never fought over anything,” he said emphatically.

            He however intimated that he gets irritated when people compare him to the Mbagala singer.

            “I am me and Diamond is Diamond. We each have our own musical styles. I do my music in a way that only I can. So, I will not feel that because Diamond is out there doing collabos with others that I must do the same,” he said.

            He was also quick to refute claims that he dedicated his new hit single Mwana to Diamond, but he admitted that he does listen to his Diamond’s songs.

            In addition to his music, Ali Kiba is campaigning for conservation of Africa’s wildlife alongside Oscar Award Winning Actress Lupita Nyongo. SOURCE: CITIZENS TV

            Spika wa Bunge Kutengua Adhabu ili Wabunge Wahudhurie Hotuba ya Rais

            Posted: 06 Jul 2015 10:09 PM PDT

            Habari nilizopata sasa hivi ni kuwa kuna mpango wa haraka unaandaliwa ili kutengua adhabu iliyotolewa kwa wabunge zaidi ya 35 kutohudhuria vikao vya Bunge.

            Sababu hasa ni kuwa inavyoonyesha ni kuwa hata wale ambao hawana hiyo adhabu nao wameamua kususia ili kuwaunga mkono wenzao na jambo hilo litakuwa la aibu sana kwa Bunge na Rais kuhutubia wabunge wa CCM Pekee ilihali nchi inajinadi katika jumuia ya kimataifa kama ya demokrasia ya vyama vingi.

            Ikumbukwe pia hotuba ya kuvunja bunge kwa JK itakuwa kama ya kuhitimisha uongozi wake na mahusiano yake na mhimili huu unaowakilisha wananchi.

            Kinachoogopwa ni picha gani itajengeka kwa mataifa mengine wahisani ukizingatia kutakuwa na mwaliko wa mabalozi na wawakilishi wa mashirika wahisani.

            Nikipata updates au yeyote basi tuziweke ili tuone huu mtanange unaishaje ili kuokoa aibu kwa kiongozi wa nchi.

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 8, 2015, 4:22:39 PM7/8/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            CCM Kumtangaza Mgombea wake Tarehe Hii.......Tukio Hilo Litarushwa Na Vituo Mbalimbali ya TV Live kwa masaa Sita

            Posted: 08 Jul 2015 11:42 AM PDT

            Juzi  tarehe 7 mwezi wa saba tumeanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20.
             
            Pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho kitateua jina la mgombea wa urais kwa chama cha mapinduzi kwa upande wa Zanzibar.
             
            Ratiba ya vikao
            Leo tarehe 8 tunategemea kufanya kikao cha kamati ya usalama na maadili cha chama, ambacho kitakuwa chini ya mwenyekiti wa Taifa  Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.

            Tarehe 9 kichama kutakuwa na shughuli kuu mbili ya kwanza asubuhi, kutafanyika uzinduzi au ufunguzi wa ukumbi mpya wa chama cha mapinduzi na ofisi zake ambao upo njia ya kwenda chuo kikuu cha Dodoma bila shaka baadhi yenu mtakuwa mmeona, mwenyekiti wa chama Rais Kikwete alipokwenda kutembelea.

            Kwahiyo ufunguzi wake utafanyika tarehe 9, majira ya asubuhi kabla mheshimiwa rais hajaenda kuvunja bunge, kama ratiba itabadilika tutawaambia lakini tarehe 9 tunahiyo shughuli ya kwanza baadaye mchana kutakuwa na kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi ambayo nayo ni muendelezo wa vikao vya awali kuelekea mkutano mkuu.

            Tarehe 10 tunategemea kuwa na kikao cha Halmashauri kuu ya chama cha Mapinduzi ambacho kikao hichi kitafanya mambo makubwa matatu ambacho kitafanya.
             
            Kwanza kitateuwa jina la mgombea urais kwa upande wa Tanzania zanzibar, halmashauri kuu ya taifa kwa mujibu wa katiba ndio inayoteua jina la mgombea urais wa Zanzibar kwahiyo hiyo itakuwa ni kazi mojawapo itakayofanywa na Halmashauri kuu ya Taifa
             
            Pili, watapitia pia ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi ambayo ndiyo itakayotumika kuombea kura na ndio itakayotumika kwa kipindi cha 2015-2020, na kutoka kwao hiyo ilani itapelekwa katika mkutano mkuu kwaajili ya kuhitimishwa.

            Tatu, halmashauri kuu hii itapokea majina matano kutoka kamati kuu ambayo yatakuwa yameteuliwa na kamati kuu, tarehe 9 na hapo watafanya kazi ya kupiga kura kupata majina matatu ya wanachama wa CCM walioomba kupitishwa na chama cha mapinduzi kuwa wagombea wa nafasi ya urais kwa upande wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

            Majina matano haya yatapigiwa kura kupata matatu na tarehe 11 ndio siku ya mkutano mkuu wa Taifa wa chama cha mapinduzi ambao una kazi kubwa mbili.
             
            Moja ni kupitisha hiyo ilani ambayo itakuwa imepitishwa na halmashauri kuu ya Taifa na maandalizi ya ilani hiyo yamekamilika.
             
            Tuliunda timu kama mnakumbuka tumewahi kuitangaza ipo chini ya Wasira imefanya kazi nzuri ya kutengeneza ilani nadhani safari hii tutakuwa na ilani nzuri sana ambayo itaendeleza mafanikio yaliyopatikana katika awamu zote zilizopita lakini pia itatupeleka sasa kwenye hatua kubwa zaidi ya maendeleo ya nchi yetu.

            Pili, ni kupiga kura katika majina matatu yatakayowasilishwa katika mkutano mkuu ili kupata jina moja la mwanachama wa CCM ambaye ndiye atakuwa mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi.
             
            Tarehe 11 itakuwa ni siku ya mkutano mkuu na mkutano mkuu huu utakuwa wa siku moja,lakini mkutano mkuu huu utaoneshwa moja kwa moja kupitia vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.
             
            Tv zote zitaonesha kuanzia ufunguzi ratiba ile mpaka wakati fulani halafu baadaye wakati wa matokeo na ufungaji wa mkutano karibia masaa sita au saba hivi tutauonesha moja kwa moja.

            Ninachotaka tu ni kuwathibitishia watanzania tumejipanga vizuri,chama chetu tupo wamoja tunaamini tutamaliza vikao hivi salama, na tutatoka tukiwa na ushindi, tutatoka tukiwa na nguvu, tutatoka tukiwa wamoja na bila shaka vikao hivi vitajenga msingi wa kushinda uchaguzi kwa kishindo sana mwaka huu.

            -Nape Nnauye,
            Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM.

            Diamond Asema Yuko Tayari Kufanya Collabo na Msanii Yeyote Tanzania Lakini Mwenye Vigezo Hivi

            Posted: 08 Jul 2015 11:38 AM PDT

            Diamond Platnumz amesema kuwa yuko tayari kufanya collabo na msanii yeyote wa Tanzania, ambaye atakuwa anakidhi vigezo vyake.

            Muimbaji huyo wa ‘Nana’ ameyasema hayo baada ya kuulizwa kwanini hafanyi collabo nyingi na wasanii wa Tanzania.


            • “Mimi sina tatizo as long as nijue hiyo kazi unayotaka kufanya na mimi itafika wapi,” alisema Diamond kupitia Clouds E.



            • “umejipanga vipi project yako na umeiandaa vipi, kwasababu sitaki nifanye tu nyimbo mwisho wa siku halafu iishie tu ndani unaiskiliza wakati natumia muda kukaa kuandika kupoteza muda studio.“


            Aliendelea kwa kujitolea mfano yeye anapofanya collabo na msanii wa nje, lengo kubwa huwa ni kujitangaza zaidi kule anakotoka msanii anayemshirikisha.


            • “Na ukiangalia kwa mfano kama nje nakuwa nafanya collabo na wasanii tofauti tofauti kwasababu inasaidia pia muziki wetu kutanua kiurahisi[…] Lakini haimaanishi kwamba sitaki kufanya collabo na wasanii wa Tanzania […] yaani unavyokuja kufanya collabo lazima ufanye kuonesha qualification za kufanya tufanye collabo.”

            Mzazi Mwenza wa Nay wa Mitego SIWEMA Anaswa na Kidume Kingine Uganda..Walala Hotel Moja..Hana Habari na Mtoto wake Mchanga

            Posted: 08 Jul 2015 11:28 AM PDT

            Gladness Mallya
            KABAANG! Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amezua gumzo la aina yake baada ya kunaswa na ‘kidume’ kingine nchini Uganda.

            Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson.

            Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichowafuatilia wawili hao hatua kwa hatua, mpango mzima ulianzia jijini Mwanza ambapo Siwema alionekana akiwa na mwanaume huyo (jina halikupatikana mara moja) wakipeana kampani utadhani ni wapenzi.

            Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, wawili hao walipanda basi la Friends jijini Mwanza ambapo Siwema na mwanaume huyo walikuwa beneti nje na ndani ya gari.

            Kilieleza kuwa, wakiwa mpakani Mtukula wawili hao walikuwa wakipiga stori, kula chakula na vinywaji pamoja ambapo walipofika Kampala, Uganda walikatiza mitaani na kufikia kwenye Hoteli ya HBT.

            “Nimesafiri na Siwema na mwanaume wake huyo kutoka Mwanza hadi Kampala yaani ni mahaba niue, kwani hata pochi alikuwa amebebewa na huyo mwanaume na kule walifikia hoteli ya HBT, nami nilikuwepo hapo kama siku nne hivi nikaondoka na kuwaacha, naona waliamua kwenda kupumzika huko,” kilisema chanzo hicho ambacho hata hivyo, kilishindwa kuthibitisha kama wawili hao walilala chumba kimoja.


            Baada ya kuzinyaka habari hizi paparazi wetu alimtafuta Nay wa Mitego ambaye ni mzazi mwenzake na kumweleza kuhusu hilo ambapo alisema mwanamke huyo siyo mkewe hivyo anao uhuru wa kuishi vile anavyojisikia.

            “Nimesikia hizo habari, mimi sidhani kama kuna tatizo kwa sababu kitu muhimu kwangu ilikuwa ni mtoto ambaye tayari ninaye, kwake imebaki stori, mawazo yangu hivi sasa ni jinsi ya kumlea mwanangu na si vinginevyo,” alisema.

            Alipotafutwa Siwema ili kusikia anazungumziaje picha hizo zilizonyetishwa na chanzo chetu, simu yake haikuwa hewani. Jitihada zinaendelea.

            Siwema na Nay wa Mitego walikuwa ni wapenzi wa muda mrefu na walijaaliwa kupata mtoto mmoja ambapo miezi kadhaa iliyopita walimwagana baada ya Nay wa Mitego kumfumania mwanadada huyo na mwanaume mwingine.

            SIRI IMEFICHUKA: Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya..Soma Hapa

            Posted: 08 Jul 2015 11:20 AM PDT

            Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.

            Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.

            Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi kuficha kufunga ndoa?

            ‘’Jamani sijafunga ndoa kama nimefunga muulize mpenzi wangu Hunter au meneja wangu HK,’alisema Snura.

            Hata hivyo Hunter alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kwa ufupi kuwa hajafunga ndoa na Snura.

            Cloudsfm.com

            WEMA SEPETU Agundulika na Gonjwa la Ajabu..Mwenye Adai Lamkosesha Raha

            Posted: 08 Jul 2015 01:07 AM PDT

            Musa Mateja
            Habari mbaya ikufikie kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame Films Productions ambaye yupo kwenye harakati za kuwania Ubunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, Wema Isaac Sepetu amegundulika kuwa na gonjwa la ajabu linalomsababishia kukosa raha ambalo linakua kadiri siku zinavyosonga.

            Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu.

            Gonjwa hilo limegundulika hivi karibuni machoni mwa paparazi wetu baada ya kumuona mlimbwende huyo wa Tanzania mwaka 2006 akiwa na bonge la nundu nyuma ya shingo, jambo lililomfanya paparazi ashindwe kujizuia na kuamua kumuuliza Wema.

            MIAKA 26 MWILINI
            Bila kupepesa macho Wema alisema kuwa ‘uvimbe’ huo upo mwilini mwake kwa zaidi ya miaka 26 sasa na umekuwa ukiongezeka siku hadi siku.

            Wema alilazimika kufunguka zaidi baada ya paparazi wetu kumuona sehemu hiyo ikiwa imemvimba bila kujua kama ni tatizo lake la miaka yote.

            Sehemu ya shingo iliyoonekana kuvimba.

            HATA MAMA YAKE?
            Wema alitolea ufafanuzi jambo hilo kwa kusema kuwa huo si uvimbe bali ni nundu ambayo amekuwa nayo tangu mwaka mmoja baada ya kuzaliwa na hata mama yake mzazi, Miriam Sepetu pia yuko hivyo.“Huu siyo uvimbe mpya, ujue mimi niko hivi na hii nundu ipo siku nyingi, sema imekuwa ikiongezeka kadiri siku zinavyosonga.

            LAMKOSESHA RAHA
            “Kweli tatizo hili linanikosesha raha. Nimekuwa nikisuka nywele ndefu na mara nyingine mawigi yangu ni marefu hivyo watu huwa hawanigundui.“Nadhani hili ni tatizo la kifamilia maana mama yangu pia yuko hivihivi isipokuwa mimi linaonekana kuwa kubwa sana,” alisema Wema.

            MTU WA KARIBU
            Paparazi wetu aliendelea kuchimba kwa watu wa karibu wa Wema ili kujua kama ni kweli hiyo nundu ipo siku zote au alipata ajali, jambo ambalo lilikuwa hivyo kutokana na majibu ya Petit Man ambaye alisema kuwa wao hata hawamshangai tena Wema maana hiyo nundu ipo kitambo na kuna muda huwa wanamtania kwa kumuita jina la Kinundu.

            “Haaa! Wewe ulikuwa hujui kama Wema ana nundu, mbona ipo siku nyingi tu, sema huwa anaifunika na nywele na ndiyo maana haionekani sana, muda mwingi watu wamekuwa hawaigundui kwa kuwa ipo nyuma ya shingo, labda ingekuwa mbele au pembeni nadhani kila mtu angekuwa anaiona,” alisema Petit Man.

            DAKTARI AFAFANUA
            Akizungumza na gazeti hili, daktari maarufu jijini Dar, Godfrey Chale ‘Dokta Chale’ alifafanua kwamba ugonjwa huo kitaalam unajulikana kwa jina la Lipoma na huwa ni mkusanyiko wa nyama ya mafuta kwa ndani hivyo ukubwa wake ukizidi huwa ni gumu.

            “Uvimbe huo ukishakuwa na ugumu huo unaotokana na kuwa kubwa husababisha mishipa ya damu kugandamizwa, hali inayomsababisha mgonjwa kuumwa na kichwa kwa upande wa nyuma.
            “Pia huaribu muonekano wa kawaida wa mtu,” alisema Dk. Chale na kuongeza:
            “Inabidi Wema amuone daktari kwa vipimo na upasuaji ili kuondoa uvimbe huo.”

            Msichana Anayemzimikia Diamond Platnumz Kimapenzi Awaomba Watanzania Wamuuonge Mkono..Adai yeye ni Natural Kuliko Zari

            Posted: 07 Jul 2015 10:27 PM PDT

            Watanzania munisuport Mimi Tanzania mwenzenu...... uyo Mgandaa ni 360 watanzania wotee ni nduguu mali za watanzinia zitumiwee na wataniaa iwejee MTU from no where atuchukulie kijana wetuu mnajua Tanzania hairuhuruu urai wa nchi mbili what if diamond akiamua kufunga ndoa na zari Diamond akachukua Uraia wa South ili wamlee mtoto hamuoni atakua tumepoteza icon... muni support nimpate dai tuoanee atabakia kwetu..... nipigieni kura Mumtagg Diamond najua akiniona niko natural atanitongoza....By Baby_ake

            Pia amepost picha hii na kuandika haya:
            Mrs and mr D..... Msinitukanee eti mnasema nimechanganyikiwa.. yes nimechanganyikiwa kimapenzi you cant tell me nothing.. yaani MTU akinivunja moyo now ntamtukama matusii yanguoni sijawahi mtukana MTU but mnanilazimisha
            Basi mwenzenuu Leo nimeota niko Kitanda kimoja na Diamond ..... haha nimeonja muogo wake wa jangombe  ni mtamu . .... yaani tume last 45 kiu yoote kaikata. . .. kushtuka ni ndoto but i hope. Itakua kweli. I LOVE you D
            Team baby ake mpooooooooooooo?


            Diamond: Hakuna Msanii Ambaye Nimewahi Kumlipa Wala yeye Kunilipa Kufanya Collabo

            Posted: 07 Jul 2015 10:18 PM PDT

            Diamond Platnumz amesema kuwa ameshafanya collabo na wasanii A-list karibu wote wanaofanya vizuri Afrika, lakini hakuna hata mmoja ambaye amewahi kumlipa wala wao kumlipa kwaajili ya collabo hizo.

            “Nimefanya collabo na wasanii tofauti tofauti, karibuni A-list wote ya wanaofanya vizuri Afrika nimeshafanya nao.” Alisema kupitia XXL ya Clouds Fm.

            Ameongeza kuwa mwanzoni haikuwa rahisi kufanya nao kutokana na kwamba wengi walikuwa hawamfahamu tofauti na ilivyo sasa.

            “Kiukweli sijawahi kufanya malipo ya mtu yoyote kufanya naye nyimbo. Mwanzoni wakati naanza kufanya ilikuwa kidogo tabu kwasababu mtu alikuwa hajafahamu anafanya nyimbo na nani, lakini sasa hivi wanafahamu kwamba…nikifanya nyimbo na Diamond, East Afrika mimi kwangu inakuwa kiurahisi nyimbo yangu, na upande wangu mimi inakuwa ni rahisi kwa West, kwahiyo tukichanganya inakuwa rahisi zaidi.

            "Kwahiyo hakuna mtu ambaye nimeshawahi kumlipa wala yeye mimi kunilipa hii ni uongo sijawahi kufanya hivyo.”

            JUSTIN BIEBER Atupia Picha ya Uchi Mtandaoni, Yapata Likes 719,000 Ndani ya Lisaa Limoja

            Posted: 07 Jul 2015 10:09 PM PDT

            MWANAMUZIKI raia wa Canada asiyeishiwa vituko, Justin Bieber kwa mara nyingine ametengebeza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kutupia picha yake ya utupu katika akaunti yake ya Instagram.

            Staa huyo ameachia pia hiyo ikionyesha sehemu za makalio yake wakati akijiachia katika Kisiwa cha Bora Bora kilichopo nchini Ufaransa.

            Ndani ya saa moja baada ya kutupia picha hiyo, tayari ilikuwa na 'likes' zaidi ya 719,000.

            Mchezaji Ramadhani Singano Ashinda Kesi Dhidi ya Simba Kuhusu Mkataba Feki..Sasa Nimchezaji Huru

            Posted: 07 Jul 2015 10:05 PM PDT

            SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), leo limeamua kuwa, mchezaji Ramadhani Yahya Singano 'Messi' ni huru na sasa anaweza kujiunga na timu yoyote.

            Taarifa kutoka kwenye kikao cha Kamati ya Sheria Maadili na Hadhi za Wachezaji ya TFF kilichofanyika leo, imesema kwamba Simba SC walishindwa kutekeleza baadhi ya vipengele vya Mkataba, hivyo wanapoteza haki za kummiliki mchezaji huyo.

            Chini ya Mwenyekiti wake, Richard Sinamtwa, Kamati hiyo imejiridhisha Messi hakuwahi kupewa nyuma ya kuishi na Simba SC jambo ambalo ni kinyume cha Mkataba baina yake na klabu hiyo.
            Simba SC iliwakilishwa na Mwenyekiti wake wa Kamati yake ya Usajili, Zacharia Hans Poppe na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Collins Frisch wakati Messi alifika na Mwenyekiti wa Chama cha Wachezaji Tanzania (SPUTANZA), Mussa Kisoky.

            Maamuzi haya ni faraja kwa Messi ambaye anahusishwa kwa kiasi kikubwa na kuhamia Azam FC. Messi aliyeibukia timu ya vijana ya Simba SC miaka minne iliyopita, hivi karibuni ameibua shutuma dhidi ya klabu yake hiyo kwamba imeghushi Mkataba wake. Messi anadai Mkataba wake halali ulikuwa unamalizika mwaka huu, na si huu wa sasa ambao inaelezwa utamalizika mwakani.

            Lakini Simba SC imeendelea kusistiza mchezaji huyo alikuwa ana Mkataba wa miaka mitatu. Awali, Sekretarieti ya TFF, chini ya Katibu wake, Selestine Mwesigwa ilizikutanisha pande zote mbili, mchezaji na Simba SC na kuamuru waketi chini na kutayarisha Mkataba mpya baada ya kuona huu wa sasa una mushkeli. Hata hivyo, Messi akakataa na kuamua kulihamishaia suala hilo Kamati ya Sheria ambayo leo imempa kile alichotaka ‘kuwa mchezaji huru’.

            Safari FIFA?; Hans Poppe amesema kwamba watakwenda mbele kusaka haki zao

            Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Hans Poppe amesema kuwa, baada ya matokeo hayo, wanakwenda kukutana ili kujua hatua zaidi za kuchukua, lakini dhahiri hawataishia hapo.
            “Tuliwasilisha ushahidi wote mbele ya Kamati, tumeonyesha mshahara wake ulikuwa kiasi gani na tumeonyesha kwa nini alikuwa anapewa laki moja (100,000) zaidi.

            Ili akalipie kodi ya nyumba, lakini bado hatukueleweka. Tunaamini hapa si mwisho, vipo vyombo vingine ambavyo vitatupa haki yetu, tunakwenda kukutana kuangalia uwezekano wa kulipeleka suala hili huko,”amesema Kapteni huyo wa zamani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

            Wanaume: Hivi Kwanini Hatuwasifii Wake Zetu Huku Vijiweni Kama Tunavyosifia Michepuko?

            Posted: 07 Jul 2015 10:02 PM PDT

            Wanaume tumezoea kuwasifia wake zetu kwa namna mbalimbali, mfano; mchapa kazi, mpole, mrembo, ana huruma, roho nzuri, anajua kupika, ni dreva mzuri, n.k. Tukiwa vijiweni tunawasifia mademu wengine kuwa yule ni mtamu, ana manjonjo, analiaga vizuri, mashine mnato,mapaja yake n.k.

            Lakini sijawahi kusikia mtu akimsifia mkewe kuwa ana mashine tamu, ana manjonjo katika mechi, anajua kweli mchezo, anajua kukata mauno, n.k. why hatuwasifii kwa haya mambo?Wazee wenzangu ebu tujadili kwanini hatuwasifii wake zetu kuwa ni watamu?

            Vijiweni: sehemu za kazi, bar, club, mikutanoni (mida ya break), vibarazani, kunywa kahawa,n.k.

            Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora

            Posted: 07 Jul 2015 09:53 PM PDT

            KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA

            Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!

            Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama cha
            CCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,
            kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa

            kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeni
            ya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.



            1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa na
            wenzake walianza kampeni ya urais ndani ya chama chao kabla ya
            wakati, na kwamba chama chao kiliwapa adhabu ya kutofanya siasa

            kwa miezi 12. Lakini safari hii Lowasa ameanza kampeni ya urais
            Arusha kwa mkutano mkubwa sana wa hadhara wa kampeni haramu
            na kumwaga rushwa ya kutisha!



            2 Kama ni wadhamini alipaswa kuwapata katika ofisi za chama chake,
            katika mikoa nane (8) tu Tanganyika na mikoa miwili tu Unguja na
            Pemba, wadhamini 45 tu katika kila mkoa. Lakini Edward Lowasa
            amefanya mikutano nchi nzima, ya kuwaahidi maelfu ya wananchi
            katika kila mkutano wa hadhara, mambo atakayofanya kama wakimpa
            kura zao awe Rais! Hii ndiyo kampeni halisi, ambayo ni ukiukaji wa
            Katiba na Sheria za Nchi! Uchaguzi Mkuu unaendeshwa na Sheria, hivyo
            ni lazima Sheria ichukue mkondo wake dhidi yake kwa kuivunja.

            3 Edward Lowasa amevunja Katiba ya Nchi na Sheria ya kiwango cha
            fedha kinachoruhusiwa kutumika katika shughuli halali za Uchaguzi,
            kiasi kwamba CCM na Taasisi zote za uchunguzi wa kifedha nchini,
            upelelezi wa Jinai na Usalama wa Taifa ni mlazima wanayo kazi muhimu
            sana ya kupata ukweli kuhusu haya mabilioni ya fedha yanayomwagwa
            nchini na fisadi Edward Lowasa, ameyapata wapi na kwa namna gani,
            kumehusika ‘’Money laundering’ au la, kama mapato ya mapesa hayo
            yote ni halali, na kama mapato hayo yote yalilipiwa kodi inayopasa kwa
            ajili ya Taifa.
            Ni marufuku kabisa tena ni makufuru Edward Lowasa kuruhusiwa
            kugombea urais, kwa sababu amevunja Katiba ya Nchi na Sheria na
            Kanuni za Uchaguzi. Sifa mojawapo ya kustahili kugombea uongozi wa
            nchi yoyote ni maadili mema na uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na
            taratibu za Utawala wa Sheria

            4 Edward Lowasa, kwa kujimilikisha maeneo nchi nzima kwa kutumia
            kifisadi Uwaziri wake wa Ardhi, ameliweka Taifa katika hatari kubwa ya
            mmwagiko wa damu baina ya wakulima na wafugaji, baada ya kueneza
            nchi nzima makundi ya ng’ombe wake, na kusababisha mapigano
            makali ya mara kwa mara kila mahali nchini kati ya wafugaji wake na
            wakulima. Kwa sababu ya uovu huu hata katika kampeni yake haramu
            Lowasa ameshindwa kusema lolote juu ya kilimo, ingawa ndio uti wa
            mgongo wa uchumi wa nchi yetu na ndiyo shughuli inayotunza uhai wa
            asilimia 95 ya wananchi!
            Kwa kuwaingilia wakulima katika ardhi yao, kuwaua ovyo, kuwaonea
            kiasi cha kufisha matumaini yao katika kilimo, kumeifanya kauli mbiu
            ya “Kilimo kwanza” kuwa porojo tu ya kisanii!

            5 Edward Lowasa ni mwiko kabisa kupewa kugombea urais, kwa
            sababu siyo tu aliutumia kifisadi Uwaziri wa Ardhi akajitajirisha na
            kujipatia maeneo makubwa ya ardhi nchini kote, bali alitumia kifisadi
            zaidi uwaziri wa nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu, katika uagizaji wa
            mashangingi ya Wabunge, mawaziri, wakuu wa Mikoa na Wilaya.

            6 Edward Lowasa alikemewa mnamo mwaka 1995 na Mwalimu Nyerere
            anayeenziwa na CCM lama “Baba” yao, alipotaka kugombea urais, kwa
            sababu alikuwa fisadi papa, wala hakuweza kujitetea kwavile utapeli
            wote aliojitajirishia ulikuwa mezani. Leo baada ya mabiashara haramu
            mengi na kulipora sana Taifa kukiwa ni pamoja na utapeli wa “kununua
            mvua Thailand” na kuliibia Taifa mabilioni ya fedha kwa kutumia
            kampuni hewa ya RICHMOND, huyu ni fisadi-nyangumi. Ni mlemavu
            wa rushwa tu wa kununuliwa na mapesa machafu anayomwaga Lowasa,
            anayeweza kumruhusu fisadi Edweard Lowasa agombee urais.
            Sifa za mtu wa kukugombea Urais zimeelezwa bayana na Mwenyezi
            Mungu katika Kumbukumbu la Torati 17:15-20, ambazo Edward
            Lowasa hana hata mojawapo! Lowasa awali alikemewa na Mwalimu
            Nyerere ambaye CCM wanamuenzi kama “Baba” yao, kuwa hafai kabisa
            kuwania urais, kwa sababu alikuwa fisadi papa, kama alivyomtangaza
            hata Reginald Mengi pale alipolazimika kujiuzulu Uwaziri Mkuu kwa ajili
            ya wizi kwa kampuni hewa ya Richmond, lakini leo akiwa fisadi la
            kutisha zaidi kuliko papa eti anataka urais!
            Si ajabu kwamba magabacholi yalioipora vibaya sana Nchi hii kama Sigh
            Setti na hata Nazir Karamagi wote wamo katika genge la Edward
            Lowasa! Si ajabu hata fisadi Reginald Mengi leo kuungana na fisadi
            Lowasa yakizingatiwa machafu yake yeye mwenyewe, na kuhusika kwa
            Mengi na mauaji ya Chacha Wangwe, pamoja na mpango wa Chadema
            wa kumwua Mchungaji Mtikila, waraka feki wa kujaribu kuupotosha
            ukweli ukatangazwa kwa ITV yake.
            Katika uwaziri wake katika ofisi ya Waziri Mkuu, na katika Uwaziri wake
            wa Ardhi na Uwaziri Mkuu, Lowasa alifanya ufisadi ambao katika nchi
            kama China zenye uchungu na maslahi ya mataifa yao angekuwa wa
            kupigwa risasi hadharani, lakini katika nchi yetu anatafuta urais!

            7. Edward Lowasa AFYA yake imempiga marufuku kugombea Urais!
            Kwa ajili ya kila ajira duniasni kote, moja ya mashart makuu ni lazima
            mwombaji awe na afya iliyo bora, ndiyo sababu ni lazima ajira ya kila
            mwombaji itegemee taarifa ya kitaalamu ya madaktari, inayothibitisha
            kwamba hana dosari kiafya. Sharti hili ni la lazima kwa sababu:
            a. Majukumu yote atakayopewa mwajiriwa atayatekeleza kikamilifu
            kwa kutumia viungo vya mwili wake, kwahiyo viungo vyake vyote
            ni lazima viwe katika hali iliyo imara kwa ajili ya kazi.
            b. Hata kama kwa uthibitisho wa kitaalamu wa madaktari mwajiriwa
            anazo akili nzuri kichwani mwake, akiwa na hitilafu katika viungo
            vingine vya mwili wake huathiri afya ya akili zake na uwezo wa
            utendaji wa akili zake.
            c. Kazi ya Rais ni ngumu sana, kwa sababu ni pamoja na kusimamia
            shughuli zote za maendeleo ya nchi nzima, na matatizo yote
            yanayowatokea wananchi wote kila walipo, na kusimamia
            utekelezaji wa majukumu yote ya watendaji wote katika Taifa,
            hivyo kwamba maamuzi sahihi yanatokana na afya bora yenye
            kuhakikisha uwezo unaopasa wa kiakili wakati wote
            d. Hitilafu katika afya hudhoofisha uwezo wa kifikira na kusababisha
            maamuzi mabovu, ambayo huleta athari mbaya sana kwa Taifa. Na
            udhaifu huo huathiri mpaka maadili na hata uzalendo wa huyo
            kiongozi mdhaifu. Kwa mfano akipatikana Rais anayeishi kwa
            matumaini, kwa hofu ya kupoteza uhai kabla hajaweka sawa
            mambo yake na ya familia na jamii yake atatumikia maslahi yake
            zaidi kuliko Taifa, tatizo hilo la afya likawa limelikosesha Taifa
            kipaumbele, na kuliangamiza kimaendeleo!
            e. Wanaowania kugombea urais ni lazima wachunguzwe kwa makini
            sana afya zao, kwa sababu kukifanyika makosa akatawazwa
            mwenye hitilafu za kiafya, atakwenda kuwa mzigo mzito sana kwa
            Taifa, hususan ugharamiaji wa utunzaji wa uhai wake ndani na nje
            ya nchi, kukosekana na umakini anaopasa kuwa nao kwa ajili ya
            dhamana kubwa aliyopewa n.k.
            Kutokana na AFYA yake kuwa dhaifu sana hata kwa kumwona kwa
            macho tu, kabla ya uchunguzi wa kitaalamu ni kwamba Edward Lowasa
            hawezi kabisa kugombea Urais. Kwani amekosa sifa muhimu sana ya
            afya bora, ambayo ni ya lazima kwa mtu yeyote anayestahili kupewa
            dhamana kubwa sana ya kuliongoza Taifa. Pengine hata kugombea urais
            kwenyewe anatafuta kutokana na hitilafu ya kiafya, iliyosababisha
            udhaifu katika kufanya maamuzi, hivyo amejikuta kwa bahati mbaya
            anagombea asichokiweza kabisa.
            Ni lazima wagombea wote wa Urais, wa Ubunge na hata wa Udiwani
            wachunguzwe kwa makini afya zao kabla ya kupewa kugombea, na hata
            kuchunguzwa tena katikati ya muhula wa utumishi wao, kama kweli
            tunalithamini na kuliheshimu Taifa.
            Sifa za urais ni wito au uhanga kwa ajili ya Nchi ambao ni zaidi ya
            maadili ya kizalendo, maono, vipawa na AFYA BORA. Ni dhana potofu
            sana kwamba sifa ya urais ni kushabikiwa na umati wa watu! Kwa
            sababu wengi hufuata mapesa na husombwa hata na magari ili umati
            wa kishabiki tu upatikane. Lakini kumpenda mtu huwa lazima kuwe na
            sababu, wakati ushabiki ni pepo mchafu au ‘psychological deficiency’.

            LOWASA NI MOJAWAPO WA WAGONJWA WA MAGONJWA SUGU WA;IOKUWA WANATIBIWA NA BABU WA LOLIONDO NA TANGIA PALE HAJAPONA NA ZAIDI SANA ANA ANZA KUTETEMEKA

            Source :Mtikila Mwenyewe :0766 053081

            Mambo Yameanza Kupendeza Dodoma.......Tazama Picha za Ukumbi Mpya Wa CCM Utakaotumika Kumtangaza Mgombea Atakayeteuliwa na CCM

            Posted: 07 Jul 2015 09:09 PM PDT

             Muonekano wa nje wa Jengo jipya la Ukumbi wa Mikutano wa kisasa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Dodoma.

            Ukumbi huu utaanza kutumika rasmi Julai 10 - 12, 2015 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa kupitisha jina la Mgombea Urais atakayeipeperusha bendera ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu. Ukumbi huu unauwezo wa kuchukua Watu zaidi ya 3000.






            Udaku Specially

            unread,
            Jul 9, 2015, 4:20:21 PM7/9/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Maneno ya Diamond Platnumz Kuhusu Beef, Timu za Insta na Facebook, Uchawi na Wanaompigia Kura Davido Mengine.

            Posted: 09 Jul 2015 12:25 PM PDT

            Diamond Platnumz alikaa kwenye Exclusive Interview na XXL ya CloudsFM na kuzungumzia ishu mbalimbali ikiwemo beef na Ali Kiba, team za Instagram ambazo nyingine zimekua zikihamasisha Davido apigiwe kura na mengine.

            Majibu ya Wema Sepetu Kwa Waliosema Siasa Imeingiliwa Baada ya Yeye Kutangaza Nia, Pia Aliyeigiza Sauti Yake

            Posted: 09 Jul 2015 12:13 PM PDT

            Mwigizaji Wema Sepetu alifanya Interview na mtangazaji Millard Ayo kuhusu ishu kadhaa zinazohusu kutangaza kwake kuingia kwenye siasa ambako anagombea viti maalum ambapo amejibu comments za watu waliombeza kwa kusema siasa imevamiwa, nafasi ya juu ya Uongozi aliyowahi kuitamani, aliyeigilizia sauti yake na mengine bonyeza play hapa chini.

            Source:Millard Ayo

            Picha Sita za Mrembo Anayekimbiza Kenya Corazon Ambazo Zimebuma na Kutoka Vibaya ambazo Hujawahi Kuziona Hizi Hapa

            Posted: 09 Jul 2015 12:04 PM PDT







            6 Ugliest Photos of Corazon Kwamboka You Have Never Seen Before

            Baada ya Mchezaji Ramadhani Singano Kushinda Kesi Dhidi ya Simba na Kuwa Huru...Hii Ndio Team Iliyomchukua na Kumsajili...Simba Wacharuka na Kusema Haya

            Posted: 09 Jul 2015 11:44 AM PDT

            Baada ya TFF kuvunja Mkataba wenye Utata wa Mchezaji Ramadhani Singano na Timu ya Simba , Ramadhani Singano amesajiliwa na Team ya Azam kwa Mkataba wa Miaka Miwili ..Hii imekuja baada ya Siku moja tu kwa mkataba wa Simba Kuvunjwa kitu ambacho kimewauma sana simba ..leo jione msemaji wa Simba Amesikika Akiongea Redioni Akisema kuwa ishu hii ya Singano imepikwa na Azam toka mwanzo ili wamchukue Ramadhani.....

            Je wewe Unamaoni Gani kwa hili ?

            By Udaku Specially

            Mwanamuziki Mwingine wa Bongo Flava Ambae ni Albino Atangaza Nia ya Kuingia Kwenye Siasa..Adai Anajipenda na Kujiamini..

            Posted: 09 Jul 2015 11:33 AM PDT

            Msanii wa Bongo Fleva  ambaye ameshawahi kuigiza kwenye filamu kadha ya kupinga mauwaji ya Albino, Keisha  amefunguka kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa  Instgram sababu na nia yake ya kuingia bungeni mwaka huu,na kwamba wao kama walemavu wa ngozi (Albino) lazima wawe na wawakilishi wa kutosha bungeni ili sauti zetu zisikike ili sheria itungwe na kutekelezwa pia.
            Kesha ameandika;

            Habari za asubuhi ndugu zangu rafiki zangu mashabiki zangu na media zote nchini.najua wengi mnajiuliza maswali mengi sana juu yangu kwanini nimeamua kuingia kwenye siasa lakini leo naomba nifunguke na kuwaambia kitu.

            Mimi kama mlemavu wa ngozi najikubali najipenda na ninajiamini lakini yote tisa napigana kwa uhuru na amani ambayo tunastahili kuipata kutoka nchini kwetu.

            Nilipoanza kupost picha zangu za siasa kuna ambao walinipongeza na kuna ambao walinisema kwamba sina uchungu na wenzangu kwakuwa wanahisi nimeingia huku kwa ajili ya kujinufaisha mwenyewe mimi ni mpiganaji na ndomana siku zote nimekuwa nikiwaza kuhusu amani yetu.fimbo ya mbali haiui nyoka na kidole kimoja hakivunji chawa nikimaanisha kwamba lazima tusimamie sheria ambazo zitatusaidia kuendeleza amani hivyo basi lazima tuwe na wawakilishi wa kutosha ndani ya bunge ili sauti zetu zisikike ili sheria kutungwa na kutekelezwa pia.hivyo mimi kama mtanzania mwenzenu nahitaji support yenu ili niweze kufikia malengo yetu kwa yeyote ambaye anaupendo nasi na mimi na harakati zangu anisaidie kwa chochote ambacho kitanifikisha nnapoataka.

            this is my tigo no 0718785045 na hii ni account number yangu ya crdb 011 2022295800 jina ni hadija shabani Taya unaweza kuchangia humo na kwa upendo kabisa naomba u repost hii post kadri muwezavyo ahsanteni shukrani.

            Tumuunge mkono jamani.

            Tano Bora ya Urais CCM Itatoka Ndani ya Kundi Hili.......Majina yao Kuanikwa leo, wengine 33 Kufyekwa

            Posted: 09 Jul 2015 05:58 AM PDT

            WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya RaisKamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inakutana kuchuja majina ya makada wake 38 waliorejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia chama hicho na majina 33 ni lazima yapigwe panga ili kupeleka majina matano kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kupigiwa kura.

            Kwa mujibu wa habari kutoka mitandao ya kijamii, kwenye vijiwe na mijadala sehemu mbalimbali, majina hayo matano yanaaminika kwamba yatatoka miongoni mwa watiania 10 ambao wametajwa zaidi katika mijadala hiyo.

            Sababu kuu mbili ambazo zimekuwa zikitolewa kwenye mijadala hiyo na hata na baadhi ya wachambuzi wa mambo ya siasa Tanzania ni mbili. Mosi, uzoefu wao ndani ya ungozi wa serikali na pili, nafasi yao ndani ya chama, ama kama wajumbe wa NEC au Kamati Kuu.

            Majina ambayo yanatazamiwa kwamba yanaweza kupenya Kamati Kuu ni pamoja na Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal; Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa; Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira; Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe; Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Asha-Rose Migiro; Waziri Mkuu Mizengo Pinda; Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya; Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani; Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli;.

            Kwa ujumla kundi la makada hao (hapo juu) kila mmoja ana nafasi ya kupenya kwenye mchujo wa Kamati Kuu, lakini pia anakabiliwa na changamoto kadhaa.
             

            Bilal

            Dk. Bilal ni Makamu wa Rais, katika hali ya kawaida ni vigumu msaidizi namba moja wa rais aliyeko madarakani kukosa nafasi ya kupenya ngazi hiyo hata kama ni kwa sababu tu za kiprotokali .

            Mbali na wadhifa wake, Bilal anayetoka Zanzibar amepata kuwa Waziri Kiongozi na ana uzoefu wa kuendesha serikali, kwa maana hiyo anawakilisha kundi la upande mmoja wa Muungano na hivyo siyo rahisi jina lake kutokuzingatiwa.
              
            Hata hivyo, Bilal ana changamoto ya umri kwani kwa umri wa miaka 70 alio nao sasa inakuwa ni kazi kubwa kukimbizana na changamoto za sasa katika nafasi hiyo.

            Lowassa

            Lowassa ni mbunge wa Monduli, lakini pia alipata kuwa Waziri Mkuu hadi alipojiuzulu Februari 2008 kutokana na kadhia ya Richmond juu ya mkataba wa kufua umeme. 
              
            Hata hivyo, kadri muda ulivyosonga hadi sasa kadhia hiyo ilikuja kujidhihirisha kusukumwa zaidi na misuguano ya ndani ya CCM hasa juu ya chuki za nafasi ya uwaziri mkuu.

            Kama walivyo watia nia wengi, ni mjumbe wa NEC, amekuwa waziri katika serikali ya Mzee Ali Hassan Mwinyi na ya Rais Benjamin Mkapa, anaijua serikali vizuri.

            Lowassa amekuwa gumzo kubwa miongoni mwa watia nia wote kiasi cha kuandamwa hata na wapinzani wake ndani ya chama kwa kuwa tu kila wakati kura za maoni zimeonyesha kuwa ni chaguo la kwanza la wananchi katika kundi la wawania urais wote, ndani ya CCM na hata ndani ya upinzani.

            Mwanasiasa huyo ambaye wengi waliamini kwamba kadhia ya Richmond ilikuwa imemmaliza, aliigeuza hali hiyo kiasi cha kuonekana kuwa mtu anayestahili kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
              
            Mvuto wake kwa wananchi wengi, umefanya wapinzani wake wajipange kumwandamana kwa tuhuma mbalimbali, ambazo amezipuuza.

            Wakati wa mchakato wa kutafuta wadhamini ndani ya CCM, Lowassa alionyesha kwa vitendo halisi jinsi anavyoungwa mkono na wanaCCM wenzake, kwani mikutano yake iligeuka kuwa ‘mafuriko’ kila mkoa alikokwenda. Alidhaminiwa na wanachama zaidi ya laki nane.

            Lowassa anaungwa mkono na wananchi wengi kwa sababu ni miongoni mwa viongozi wa serikali wachache ambao wanatenda kwa vitendo halisi kuliko kupiga kelele kwenye majukwaa ya kisiasa.

            Anakumbukwa kwa ufuatiliaji wa karibu kwenye kila wizara aliyokuwa, anakumbukwa kwa kusaidia Tanzania kunufaika na maji ya ziwa Victoria na wakati akiwa Waziri Mkuu alianza kubadili mfumo wa utendaji serikalini kutoka ‘business as usual’ na kuibua ari ya kufanya kazi kwa bidii zaidi miongoni mwa watumishi wa umma.

            Wassira

            Wasira ni miongoni mwa makada wa siku nyingi wa CCM, amehudumu kama waziri katika serikali za awamu tatu, ya Mwalimu Nyerere; ya Mzee Mwinyi na ya awamu ya nne, inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

            Ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe, akiwa amejizolea umaarufu ndani ya CCM na hata kwenye upinzani kwani mwaka 1995 alihamia NCCR-Mageuzi na kugombea ubunge jimbo la Bunda na kumshinda, Jaji Joseph Warioba.
              
            Hata hivyo, baadaye mahakama kuu ilitengua ubunge wake na kumtia hatiani kwa kuhusika na vitendo vya rushwa katika uchaguzi.

            Ingawa kiutendaji Wasira anaonekana kama mmoja wa watu wanaojituma, kitendo chake cha kuhama CCM na kurejea tena kinaweza kuwa moja ya sababu za kutumika dhidi yake.

            Membe

            Amekuwa Waziri wa Mambo ya Nje tangu mwaka 2007 alipoondoka Dk. Migiro kwenda kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN).
              
            Membe aliingia bungeni mara ya kwanza mwaka 2000 wakati wa utawala wa Mkapa, lakini ni chini ya Kikwete alipata nafasi ya kuwa Naibu Waziri, akianzia Mambo ya Ndani na baadaye Nishati na Madini kabla ya kuibukia Mambo ya Nje kama waziri kamili.

            Ni mjumbe wa NEC kama walivyo makada wenzake. Kwa miaka mingi ya utumishi wake Membe ambaye pia ni ofisa wa usalama wa taifa, alifanya kazi nje ya nchi.

            Duru za kisiasa nchini zinasema kuwa ingawa hana mizizi mirefu ndani ya chama, kukaa kwake wizara ya Mambo ya Nje kwa muda huo kumempa uzoefu wa uendeshaji wa serikali. 
              
            Hata hivyo kumekuwa na maoni kuwa Membe anabebwa na wakuu serikalini.

            Migiro

            Huyu ni mwanamke pekee anayepewa nafasi ya kufika mbali miongoni mwa watia nia wote kwa sababu ya nafasi yake, kwanza ndani ya nchi na nje alipokuwa UN. Anaelezwa kuwa na uzoefu wa ndani na wa kimataifa.

            Katika kipindi hiki ambacho Rais Kikwete amekuwa anatoa fursa nyingi zaidi kwa wanawake katika vyombo vya maamuzi, Dk. Migiro anaweza kupenya kwenye kundi la tano bora hivyo kusaka kura za NEC kama anataka kufika kwenye tatu bora kwenye mkutano mkuu.

            Pinda

            Huyu ni waziri mkuu tanu Februari 2008 alipojiuzulu Lowassa. Pinda amekuwa mbunge tangu awamu ya pili ya Rais Mkapa na kuwa waziri wa Tamisemi.

            Muda wake mwingi wa utumishi alikuwa ndani ya Ikulu kama ofisa wa serikali. Ni mwanasiasa ambaye kimsingi hajawa na kishindo sana licha ya nafasi yake kubwa ya uwaziri mkuu.

            Pinda amekuwa miongoni mwa mawaziri wakuu wapole ambao hawajaacha kishindo kama alivyokuwa Waziri Mkuu pekee wa Rais Mkapa, Sumaye ambaye alikaa kwenye nafasi hiyo kwa miaka 10, lakini hakuacha kishindo chochote pia.

            Hata hivyo, kwa sababu za itifaki kama ilivyokwa Dk. Bilal, itakuwa ni vigumu kumpiga panga jina lake katika ngazi ya Kamati Kuu, ingawa wote umri nao umesogea, Bilal miaka 70 na Pinda miaka 67.

            Mwandosya

            Mwandosya ni mwanasiasa aliyeweka rekodi mwaka 2005 kwa kuingia tatu bora katika kinyang’anyiro cha urais, akiachwa nyuma na Kikwete na Dk. Salim Ahmed Salim.

            Amekuwa moja ya nguzo ya siasa ya CCM kwa miaka mingi na ndiye alianzisha mkakati wa harambee ya kuchangia chama kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005.

            Amehudumu katika awamu mbili kama waziri, awamu ya tatu na ya nne. Kwa kitambo alikuwa ndiye nguzo ya wanaCCM mkoani Mbeya, lakini kuibuka kwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, kama mmoja wa watia nia, kumeibua maswali mengi kama Profesa Mwandosya bado anashikilia nafasi hiyo Mbeya na kanda yote ya nyanda za juu kusini. 
              
            Hata hivyo, umri wa miaka 66 wa Mwandosya siyo haba katika dunia ya leo inayohitaji mchakamchaka.

            Sumaye

            Sumaye aliweka rekodi ya waziri mkuu aliyekalia kiti hicho mfululizo kwa muda mrefu zaidi ya mawaziri wakuu tisa kuwahi kuteuliwa tangu uhuru.

            Hakuna ubishi kwamba Sumaye ana uzoefu wa kuendesha serikali, amekuwa naibu waziri, waziri na waziri mkuu kwa miaka 10. Alishikilia ubunge wa jimbo la Hanang hadi alipoamua kustaafu mwaka 2005 baada ya kuliwakilisha kwa miaka 20.

            Ingawa Sumaye hana kikwazo chochote cha kisiasa kupenya hatua ya Kamati Kuu, nguvu zake za kisiasa jimboni kwake zimepungua ndiyo maana mwaka 2012 alibwagwa katika nafasi ya UNEC na Mary Nagu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahisiano na Uratibu).

            Magufuli

            Dk. Magufuli amekuwa ni miongoni mwa mawaziri wachache wachapakazi tangu awamu ya Rais Mkapa na hata sasa.
              
             Amekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na kisha Waziri wa Ujenzi wakati wa Mkapa na chini ya Kikwete amekuwa Waziri wa Uvuvi na Mifugo, kisha wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Kila alikopelekwa amejitahidi kuchapa kazi.
             

            Ni kati ya mawaziri wanaozijua wizara na majukumu yao sawasawa, ni mfuatiliaji. Kwa utendaji huo, Magufuli amejijengea sifa ya kuwajibika kama kiongozi.

            Hata hivyo, kuna jambo kubwa ambalo limekuwa likiibuka kila wakati juu ya kuhusika kwake na uuzaji wa nyumba za serikali.
              
            Ingawa inadaiwa kuwa ulikuwa uamuzi wa baraza la mawaziri, bado wananchi wengi wamekuwa wakihoji uamuzi wa kuuza nyumba hizo.

            Mbali ya kuwa mbunge wa Chato tangu mwaka 1995, Magufuli hajawahi kugombea nafasi nyingine ya kuchaguliwa ndani ya CCM. 
              
            Siyo mjumbe wa NEC na hakuna kumbukumbu zozote kwamba alipata kuomba nafasi hiyo.

            Mrembo Ester wa Bongo Movies Adai Marafiki zake ni Wavulana tu..Asema Wanawake ni Masnichi Wakubwa

            Posted: 08 Jul 2015 11:57 PM PDT

            Deogratius Mongela 
            MUIGIZAJI mwenye mvuto anayekuja kasi katika tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama ameweka bayana kuwa hapendi kuwa na marafiki wa kike na hana.

            Muigizaji mwenye mvuto anayekuja kasi katika tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama.

            Akifunguka kiunagaubaga, Ester alisema kutokana na malezi na maisha yalivyo sasa inabidi aepuke marafiki ambao wengi wao ni wanafiki.

            “Wengi wanajua naringa sana lakini ukweli sipo hivyo ndiyo maana muda mwingi nautumia katika kufanya shughuli zangu na kujiepusha na makundi kwani najua madhara yake, washikaji zangu ni wanaume kwani najifunza mengi kupitia kwao,” alisema Ester. 

            Biashara ya NGONO Yashamiri Mkoani Dodoma.........Makahaba Wazagaa Kila Kona

            Posted: 08 Jul 2015 11:50 PM PDT

            BIASHARA ya ngono imeshamiri mkoani Dodoma wakati huu ambao vikao vya kumpata mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) vimekwisha kuanza.

             

            Uchunguzi uliofanywa  katika baadhi ya kumbi kama  Club Maisha, Club Laazizi na Matei Lounge, Chako ni Chako, umebaini kuwapo idadi kubwa ya kina dada wakiwa wamevaa nusu uchi.

             

            Katika maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma zilikuwapo hekaheka za wasichana wanaojiuza ambao walionekana wakitafuta wateja bila ya wasiwasi wowote na wengine walisikika wakisema  wako kibiashara na siyo kuuza sura.

             

            Eneo maarufu la Chako ni Chako kuanzia jioni mpaka usiku kucha  akina dada hao wamekuwa wakijazana hadi kwenye taa za kuongozea magari huku wakitafuta wateja wenye magari.

             

            Baadhi yao ambao hawakutaka kutaja majina yao halisi mmoja wao alisema,‘’Kaka sema una shilingi ngapi habari ya majina unataka kutupeleka wapi…?

             

            ‘’……wewe unaona shimo limetema hapa kila nikigeuka mwanaume na wanatoa ‘mpunga’ nadhani huyu rais ajaye atakuwa na neema.’’

             

            Dada mwingine ambaye aliyekuwa   Dodoma Carnival karibu na Kituo Kikuu cha Mabasi, alisema ametoka Arusha akiwa na marafiki zake kwa lengo la kuwafuata wateja wa msimu walioko Dodoma.

             

            Alisema hadi sasa ana   siku tatu akiwa  Dodoma na tayari amekusanya zaidi ya Sh 700,000 huku akiwatumia madalali  ambao huwaunganisha kwa wateja 

            Nassari Afunguka.......Asema Ajali ya Helikopta Aliyopata ni ya Kishirikina, Ndesamburo Asema Atanunua Nyingine

            Posted: 08 Jul 2015 11:48 PM PDT

            Wakati Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akisema anashindwa kuamini kilichotokea na kunusurika katika ajali ya helikopta juzi, mmiliki wa chopa hiyo, Philemon Ndesamburo amesema atanunua nyingine haraka kabla ya kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu. 

             

            Kauli hizo zilitolewa jana ikiwa ni siku moja baada ya helikopta hiyo inayomilikiwa na Ndesamburo kupitia kampuni yake ya Keys Aviation kupata ajali wakati ikitumiwa na Nassari na baadhi ya viongozi wa Chadema.
             

            Wakati ikipata ajali, ilikuwa imekodishwa na Kampuni ya General Aviation Services (T) Ltd inayomilikiwa na Kapteni William Slaa.
             

            Katibu wa Ndesamburo, Basil Lema alisema ilipata ajali baada ya kupigwa na kimbunga wakati anga likiwa limefunikiwa na wingu zito.
             

            “Mheshimiwa Ndesamburo amemshukuru Mungu kwa kuwanusuru watu waliokuwa kwenye ndege hiyo ambao ni pamoja na Mbunge Joshua Nassari.
             

            “Ameweka wazi kwamba atalazimika kununua nyingine mapema kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu,” alisema Lema akimnukuu Ndesamburo.
             

            Lema alisema rubani aliyekuwa akiendesha helikopta hiyo alifanikiwa kuielekeza juu ya miti alioutumia kupunguza kasi ya kushuka chini na kusaidia abiria kutoka salama.
             

            “Imeharibika lakini abiria wote ni wazima. Walikuwamo wanne,” alisema na kuongeza kuwa helikopta hiyo ndiyo iliyotumiwa na Chadema katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana na chama hicho kilitegemea kuitumia katika Uchaguzi Mkuu ujao.
             

            Pia, imewahi kutumiwa na makada mbalimbali wa CCM akiwamo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba na kada maarufu wa Moshi mjini, Buni Ramole.
             

            Kauli ya Nassari

            Akizungumza na waandishi wa habari katika wodi alikolazwa kwenye Hospitali ya Seliani – Arusha, Nassari alisema waliporuka kutoka Leguruki, hakukuwa na dalili zozote za kuchafuka kwa hali ya hewa, lakini dakika chache baada ya kuruka angani wingu zito lililoambatana na upepo mkali liliwafunika ghafla.
             

            “Wingu lile na upepo ule sijawahi kuona katika maisha yangu yote zaidi ya kusoma kwenye vitabu vya simulizi vya mambo ya ushirikina. Namshukuru Mungu wote tuko salama kwani hatukuwa na matumaini ya kupona ajali ile,” alisema Nassari.

            Mbunge huyo aliyekuwa katika ziara ya kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura, alimwagia sifa rubani Slaa kwa uwezo na ustadi aliouonyesha hadi wakanusurika.
             

            “Kama siyo ustadi wake, naamini watu wangeokota vipande vya nyama tu kwenye eneo la ajali, ila Mungu ni mkuu leo tuko hai wote licha ya madhara madogo,” alisema.
             

            Nassari alisema muda mfupi kabla ya kuruka saa kumi na moja jioni, wakati akihutubia mkutano huko Leguruki, alipokea simu kutoka kwa mchungaji mmoja akimtaarifu kupata maono kuwa anakabiliwa na hatari ya kukutwa na jambo kubwa na baya akimtaka adumu katika sala.
             

            “Dakika 15 baadaye nikaruka na kupata ajali. Naamini kilichotuokoa ni nguvu ya sala niliyosali baada ya kupokea ujumbe wa mchungaji na maombi ya wachungaji wangu wanaoniombea kila siku,” alidai Nassari.
             

            Rubani Slaa alisema alishangaa lilipotokea wingu na upepo uliosababisha ndege kuanguka ikiwa njiani kuelekea Ndoombo na Ngureserosambu.
             

            “Kabla ya kurusha ndege nilijiridhisha na hali ya hewa. Hakukuwa na kiashiria chochote cha hali ya hatari kama maeneo mengine ambako tulishindwa kutua kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha."
             

            Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Seliani, Dk Paul Kisanga alisema hali za majeruhi si mbaya, isipokuwa Eva Kayaha aliyevunjika mbavu mbili.

            Msichana Anayempenda Diamond Platnumz Aja Tena Na Mpya Leo ..Adai Zari ni Mzee na Ajiamini pia ni Gogo Kitandani....

            Posted: 08 Jul 2015 09:36 PM PDT

            Msichana anayejiita Baby ake huku instagram anazidi rusha hisia zake kwa Diamond Platnumz..Sasa leo amekuja na mpya na kusema haya hapa chini kuhusu Zari ambae ndio mchumba wa Diamond Kwa sasa:

            Nimeaminii kwelii uyu mwanamkee ni mzeee ajiamini.... etii kaona nimetangaza nia ya u Mrs Diamond kani block.... we demu ujiaminii live ni Rambo nini?... sasa ata ukiniblock bwanakoo ntampata tuu... namimi ntapikiwa na kubebewa mapochi... khaa kizuri kula na wenzio we kwanza sio mtz iweje ujimilikishe..... embu jiangalie unifikii ata nusuu uwoo weupe tuu.... kwanza mademu weupe sio ata watamu.... au waringia miguu... kwa mange alisema ni ugojwa.... au iyoo mimbaa..... sasa kama umembebea D mimba mie ntampa nyumaa tuone atamchagua nani.. unifii we we.... mie black beauty mi hasilia siweki mokope na situmii 360 siweki miywele.... bandia wala mikope kama wewe.... kwanza diamond upenda vitu asili.... mie mwepesi kitanda sioo wewe gogoo

            Sijali mabaya mnayoyaonga kwangu Hata kama yatakuwa machungu na mazito kiasi gani,kumpenda mtu sio dhambi na wala sio kosa la jinai ila tu najua nachukiwa sababu nampenda mtu ambaye anapendwa na wengi sababu na jua miongoni kwa watu wanaonichukia na kunktusi kwa sababu ya D ndo hao hao ambao nafsi zao zinawauma na Kukereka pale ninapoeleza hisia zangu ila mimi hayo yote hayanitishi sababu haja ya moyo wangu naijua,na nyie mnaosema mimi natafuta followers kazaneni kusema lakini hakuna niliyemfata nikamwambia njoo kwangu ni kwa hiari zenu na bado mkiamua mnayo nafasi ya kuniufollow ili nisizidi kuwakera,sitaacha kumpenda D nampenda nampenda nampenda Hata kama sitakuwa nae ila kitendo tu cha yeye kujua kama nampenda basi kwangu ni faraja na inatosha,mchana mwema kwenu

            Msanii H baba Kuichezea Toto African?, Maneno yake Nimekuwekea Hapa

            Posted: 08 Jul 2015 09:29 PM PDT

            Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii wa Bongo Fleva, H Baba ambaye ametangaza rasmi sasa hivi kurudi kwenye soka na kujiunga na timu ya Toto African.

            ‘Kupitia kwenye kipindi cha AMPLIFAYA cha Clouds FM july 7, 2015 alifunguka na kusema’Ni kweli kwamba mimi nina vipaji vingi sasa ubora wa vipaji ni kuvionesha kwasababu nilishawahi kucheza soka na hii ni timu ya nyumbani timu nyingi zilishawahi kunihitaji sema muda mwingi sana nilikua kwenye kazi zangu za muziki kwa hiyo kwasasa hivi najipanga kwa mambo mengi wasishangae nikafanya vitu tofauti’– H Baba

            ‘Hapana siwezi kuacha muziki siwezi kuacha mpira siwezi kuacha filamu ni vitu vyote ambayo ninavyovipenda na siwezi kuja kuviacha mimi umri wangu bado mdogo unaniruhusu kuingia kwenye soka kwasasa hivi mimi niko Toto African watu wajiandae tu wafahamu kuwa niko Toto ila bado tupo katika harakati kwamba tutakapokaa sawa kuzungumza yakifikia sasa maafikiano ila Yanga na Sima wajiandae’ – H baba

            Producer Manecky na Diamond Platnumz Wamaliza Tofauti zao, Waamua Kufanya Kitu Hichi Pamoja

            Posted: 08 Jul 2015 09:24 PM PDT

            Mtayarishaji wa muziki wa AM records, Manecky na Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao.

            Manecky ameiambia Bongo5 kuwa ameanza kurekodi tena na Diamond baada ya miaka takriban miwili ya kutofanya kazi pamoja.

            “Unajua kuna mzingira fulani yalijitokeza kati yangu mimi na Diamond tukawa muda mrefu sana hatujaongea na kuonana na kufanya kitu,” mtayarishaji huyo ameiambia Bongo5.

            “Unajua kuna time inafika kila mtu anagundua ana mapungufu yake, sasa mnapoamua kuachana na mambo hayo mnaachana nayo. Sasa mimi sioni kama kuna sababu ya kukaa tena chini na kumuangalia nani alikosea. Sasa hivi tunasonga kwenda mbele, sasa hivi tupo fresh ndio maana tumeshaanza kurekodi ngoma mpya na Nay wa Mitego ili kutengeneza kitu kizuri,” ameongeza Manecky.

            Hata hivyo Manecky amesema bado anapata wakati mgumu kuitafuta chemistry yake na Diamond kwakuwa ni kipindi kirefu hawajafanya kazi pamoja.

            “Sasa hivi napata wakati fulani mgumu, unajua tumekaa muda mrefu hatujaonana wala kuongea/ Utajikuta unafanya kazi kwa mazingira fulani ili upate kitu kizuri ili kazi iwe nzuri.”

            Baba yangu alinipa pesa ya kusokota dreads na kutoboa masikio – Sheria Ngowi

            Posted: 08 Jul 2015 09:22 PM PDT

            Mbunifu wa mavazi nchini, Sheria Ngowi amesema mafanikio aliyoyapata yametokana baba yake mzazi aliyemuunga mkono kwenye kila japo analolifanya.

            “Baba yangu alikuwa ananipa uhuru wa kufanya kila kitu nilichokuwa nataka kufanya,” Ngowi ameuambia mtandao wa Dar City Center.

            “Hata nilipotaka kuwa mbunifu wa mavazi alinipa support, pesa ya kusokota dreads na kutoboa masikio alinipa yeye.”

            Jibu la Linah Baada ya Shabiki Kuuliza Uhusiano wake na Kaka yake Zari (Bosi Mutoto).

            Posted: 08 Jul 2015 09:18 PM PDT

            Kama wewe ni mtu wa stori za mastaa kutoka kwenye mitandao ya kijamii inawezekana ikawa imekufikia hii ya Linah kutajwa kuwa mapenzini na kaka yake Zari The Boss lady ambaye ni girlfriend wa Diamond.

            Kwenye Exclusive Interview Linah ameongea na Millard Ayo alipotembelea studio za TZA na hilo swali kuulizwa na shabiki, tazama hii video hapa chini…

            CCM Ina Kashfa ya Escrow Tu, asema Msekwa...Atakaye Katwa Jina Anaruhusiwa Kuhama Chama

            Posted: 08 Jul 2015 09:16 PM PDT


            Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

            Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa urais wa CCM, alisema hayo kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa kila Jumatatu na Kituo cha Televisheni cha ITV.

            CCM imeshaanza mchakato wa mwisho wa kumpata mgombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa ajili ya kuwania kuongoza Serikali ya Awamu ya Tano na pia mrithi wa Jakaya Kikwete kwenye nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho. Mchakato huo utakamilika Jumapili wiki hii wakati Mkutano Mkuu utakapochagua mgombea wa nafasi hiyo ya juu ya kisiasa nchini.

            Akizungumza kwenye kipindi hicho, Msekwa alisema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ushindi wa mgombea urais wa CCM, Rais Kikwete, uliporomoka kutoka asilimia 82 hadi 61 kwa sababu kulikuwa na matukio mengi yaliyowafanya wananchi wajenge chuki dhidi ya chama hicho.

            “Lakini uchaguzi wa mwaka huu, kuna jambo moja tu la escrow,” alisema Msekwa.

            Msekwa, ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Nane, alisema sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limejenga chuki na hasira mpya kwa wananchi, hivyo CCM lazima iwe na wagombea wanaokubalika katika jamii.

            Msekwa alitoa ufafanuzi huo baada ya kuulizwa kama matukio ya aina mbalimbali yaliyotokea miaka ya nyuma yanaweza kuwa sababu ya wananchi kuwa na chuki na CCM, kukifanya chama hicho kuwa na wakati mgumu katika chaguzi mbalimbali.

            “Hayo ni maamuzi ya wananchi. Mimi siwezi kutabiri chuki hiyo ni kubwa kiasi gani. Wakati ule chuki ilikuwa kubwa sana na tuliiona hata viongozi wa dini walikasirishwa sana. Hiyo ndiyo ilifanya CCM ipate ushindi wa asilimia 61,” alisema.

            “Sasa hivi suala lililopo mbele yetu ni escrow tu, hivyo siwezi kupima ukubwa wake ukoje na itatupa ushindi kwa asilimia gani. Ila nina imani kuwa tutashinda lakini sijui ni asilimia ngapi maana inategemea ukubwa wa chuki dhidi ya CCM.”

            Katika sakata hilo, zaidi ya Sh306 bilioni zilichotwa kutoka kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na fedha hizo zilionekana zikiingia kwenye akaunti za baadhi ya mawaziri, wabunge, majaji na watendaji waandamizi serikalini.

            Sakata hilo lilimlazimu Rais Kikwete kumwengua Profesa Anna Tibaijuka katika wadhifa wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi huku Profesa Sospeter Muhongo, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini sambamba na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wakilazimika kuachia ngazi.

            Wizi wa mabilioni hayo uliwekwa wazi katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambayo iliibua mjadala mkubwa bungeni.


            Kuhusu mchujo wa kumpata mgombea urais wa CCM mwaka huu, Msekwa alisema hauwezi kukigawa chama licha ya kuwapo kwa makundi mengi yanayowaunga mkono makada tofauti.

            “Huwezi kuepuka makundi katika uchaguzi kwa sababu hakuna anayetoka nyumbani kwake peke yake na kwenda kutafuta uongozi. Lazima atakuwa na wanaomuunga mkono na muungaji mkono wa kwanza atakuwa mke wake,” alisema Msekwa.

            Alisema kila mwanachama wa CCM anakula kiapo cha kuwa mwaminifu kwa chama, hivyo anayetafuta uongozi lazima atii uamuzi wa chama na kusisitiza huo ndiyo uaminifu. “Tunategemea wanachama wetu watatii kiapo chao. Hatuwafungi kamba shingoni. Ambaye ataona hakubaliani na uamuzi atatoka na wamewahi kutoka na waliobaki tukabaki,” alisema Msekwa.

            Alisema uchaguzi wa mwaka 2010 wapo baadhi ya makada wa chama hicho walijiunga na vyama vya upinzani baada ya kutoswa katika kura za maoni za ubunge CCM.

            Alisema CCM ni kama maji ya Mto Rufiji, akisisitiza kuwa huwezi kuchota maji yake katika ndoo na kujisifu kuwa umeyamaliza yote... “Maji yatabaki mengi tu. CCM kina mamilioni ya wanachama, wataondoka 10 au 20 lakini wengi watabaki.”

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 10, 2015, 4:25:19 PM7/10/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Aunty Ezekiel Kayathibitisha Tena Mapenzi yake kwa Mose Iyobo na Mtoto Wao

            Posted: 10 Jul 2015 11:27 AM PDT

            Wengi sasa hivi tunafahamu ya kuwa Aunt Ezekiel ni mama wa mtoto mzuri wa kike aliempa jina la Cookie, baba wa mtoto huyo ni moja ya dancers wa Diamond Platnumz, ambaye anaitwa Mose Iyobo.

            Muda mfupi uliopita staa huyu wa Bongo Movie ameweka picha @Instagram, amejichora tattoo ya jina la mwanae na mpenzi wake.


            •  “Sababu ya kuishi, kupumua, kupambana na mafanikio, kupenda na kuumia, kusahau na kusamehe. Sababu ya mimi kuwepo ni wao. Eeehh Mungu! nibariki mimi na wapendwa wangu wawili. Na kwa haya nashukuru. HAPPY 40 DAYS MY WORLD…….@cookie_la_princessa_iyobo”<<<Baada ya maneno hayo ameweka picha hii.

            Kikwete: Wasanii wa Bongo Fleva wanatuliwaza kwa kuitangaza Tanzania pale tunapofanya madudu kwenye soka

            Posted: 10 Jul 2015 11:20 AM PDT

            Rais Jakaya Kikwete amesema wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wameipeleka Tanzania mbali kwa kazi nzuri wanayoifanya na hivyo kuwaliwaza watanzania kwakuwa nchi bado inaendelea kufanya ‘madudu’ kwenye soka la kimataifa.

            Akihutubia bunge mjini Dodoma jioni hii, Kikwete amesema wasanii wanaliletea taifa heshima kubwa hivyo ni lazima wawezeshwe zaidi.

            Rais Kikwete amedai kuwa kwa kutambua umuhimu wa sanaa nchini, aliamua kuwaleta watu mashuhuri katika muziki nchini Marekani akiwemo mtangazaji wa E! News, Terrence J, meneja wa Ludacris, Shaka Zulu na producer David Banner ili kuja kuwapa elimu wasanii wa nyumbani.

            Ameahidi kuwa atafanya mpango wa kuwaleta tena kwaajili hiyo na pia kutumia muda aliosalia madarakani kufanya awezalo kuwasaidia zaidi.

            Wasanii mbalimbali akiwemo Diamond Platnumz wametoa maoni yao kuhusiana na kauli huyo.


            • “Hakika Mh Rais @jmkikwete alitukuta kuleee…sasa anatuacha hapa palipo juu zaidi…Dah! Daima tutakukumbuka kwa mengi mema uliyotufanyia,” ameandika Diamond kwenye Twitter.


            Naye Shilole ameandika kwenye Instagram: Wasanii wanatupa heshima! Wanatupunguzia hasira za soka! Nimekupenda bureee mh rais tishaaaaaaaaaaaa.”

            Dully Sykes Achukua Maamuzi Magumu Kama Alivyofanya Ali Kiba...Aamua Kuwa Unfollow Watu Wote Kwenye Page yake ya Instagram..Sababu Hizi Hapa

            Posted: 10 Jul 2015 10:04 AM PDT

            Mwimbaji mkongwe Dully Sykes ameamua kufuata nyayo za Mwanamuziki Ali Kiba Kwa kuamua kutomfollow mtu yoyote kwenye page yake ya Instagram, Baada ya kuulizwa Sababu kwanini amefanya hivyo Dully Sykes Amesema amefanya hivyo kuepuka pressha za watu ambao wana tabia za kuwasema watu wengine na kushawisha watu wengine wamchukie fulani au kupost vitu asivyopenda ..Dully Amedai ni bora afollow page za kutoa Habari kuliko kumfollow mtu mmoja mmoja ambao wamekuwa ndio vyanzo vya Beef za mitandaoni....

            Una maoni Gani?

            Huu Ndio Mshahara Mchezaji Ramadhani Singano Anaopewa na AZAM FC Baada ya Simba Kumzengua kwa Mkataba Feki

            Posted: 10 Jul 2015 08:38 AM PDT

            Stori kubwa leo hii  ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
            Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
            Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5, lakini alikataa.

            Hata Yesu Alipingwa Pia, Usijali Edward Lowassa Kitaeleweka Tu

            Posted: 10 Jul 2015 07:10 AM PDT

            Yule Mwalimu Mkuu wa Walimu na Mtakatifu wa Watakatifu kuliko wote waliowahi kuishi Dunia hii na Mwanzilishi wa Dini ya Kikristo, Yesu Kristo pia alipingwa sana kuanzia alivyozaliwa tu watu hasa maelite, Wafalme wenye madaraka makubwa walimpinga, wakamdhihaki na hata kumkamata na kumweka ndani, sasa ni kwa nini walifanya hivyo? ni kwa sababu ya Woga wa mabadiliko, walijua sasa Utawala wao wa dhuluma uko hatarini hivyo haya yanayotokea na anayofanyiwa Bw.Lowasa ni ishara tosha kwangu mimi kama Muumini na mfuasi mkubwa wa Mafundisho ya Mwalimu Yesu Kristo naamini kabisa ya kwamba Bw.Lowasa ndiyo anyefaa klk wote kuiongoza TanZania!

            Hapo mwanzo sikumkubali lkn hizi chuki na kampeni chafu anazofanyiwa zimenifanya nijiulize maswali mengi na magumu, ni kwa nini haswa? Kama ni Ufisadi mbona kila anayegombea ana wake, ni kwa nini yeye tu? Hapo ndipo nikajua kuna kitu na siyo Bure!

            Dunia nzima haya yanayotokea siyo mageni watu ambao huwa wanakuja kuleta mabadilko huwa wanapingwa kwanza, kuanzia Martini Luther (orijino na siyo mchumia tumbo wa USA) kama vile Mlm.Yesu Kristo pia alipingwa na Kanisa Katoliki na Mapapa wa wakati huo lkn mapendekzo yake Kanisa Katoliki liliyachukuwa na kuyatumia, Mandela alipingwa mpaka na kuwekwa jela leo hii waliompinga, kumkebehi na kumuita Gaidi wameweka sanamu yake kwa kumkumbuka kwenye Miji yao (London)...

            Dedicated to Bw. Lowassa!

            UPDATES:Ajali ya Gari Bunju iliyouwa Mwanafunzi wa Shule Yasababisha Wananchi Wachoma Kituo cha Polisi..Picha hizi Hapa

            Posted: 10 Jul 2015 07:03 AM PDT

            Wananchi wamechoma moto Kituo cha Polisi Bunju 'A' na kusababisha Askari Kukimbia Kituo hicho cha Polisi, kwa ujumla hali haikuwa shwari  kwa Masaa manne hadi kusababisha Bara bara kufungwa kwa Muda....

            Mahabusu waliokuwa ndani wametoka salama baada ya kufunguliwa na msamaria mwema





            Vikao Vyote vya CCM Kufanyika Leo Na Majina ya 5 Bora na 3 Bora Yatajulikana leo

            Posted: 10 Jul 2015 06:53 AM PDT

            KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.

            Nape amesema vikao vyote vinaanza leo saa nne, na hakuna kikao chochote kilichokwisha fanyika ikiwa ni pamoja na kile kinachozungumzwa sana na vyombo vya habari yaani kikao cha kamati ya maadili ya chama hicho ambacho ndicho kinachokata majina na kutoa mapendekezo Kamati Kuu.

            Alipoulizwa ucheleweshwaji huo umetokana na nini, Nape alisema "Nyote mmeshuhudia, Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amekuwa na kazi nyingi katika kipindi cha siku mbili hizi na hivyo asingeweza kusimamia vikao hivyo kama ilivyotarajiwa ingawa amedokeza kuwa "wakubwa" hao walikuwa wakikutana kwa majadiliano na wadau ingawa hakueleza ni wadau gani. Video:

            Ushauri: Mume Hataki Kufanya Mapenzi na Mimi, Anamtaka Mtoto Niliyezaa Kabla ya Kunioa

            Posted: 10 Jul 2015 12:05 AM PDT

            Naombeni ushauri wenu,

            Mawazo ya wengi ndio nitakayoyafanyia kazi. Nimefunga ndoa na mwanaume mwenye watoto 4 wawili wakike wawali wa kiume. Mama yao alifariki kwa ajali ya gari aliwaacha wadogo wakiwa primary.

            Na mimi niliolewa nikiwa na mtoto mmoja wa kike ambae kiumri analongana na mtoto wake watatu. Kusema ukweli mwanzoni iliniwia ngumu sana kukubali ombi lake hasa nikifikiria kulea watoto wa mama mwingine wanikubali, je, vipi kuhusu huyu nilienae?

            Baada ya muda kupita na kukolea kimapenzi nilijubaliana nae tukafunga ndoa tukaunganisha familia wote wakawa kitu kimoja. Mungu akabariki tujaliwa kupata mtoto mmoja. Kiukweli niliwapenda sana hawa watoto, niliwalea kama wangu.

            Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuwafanya wasijione wakiwa. Kama zawadi nk nilitowa mezani bila kubagua sikupenda kuweka makundi na hili shahidi ni Mungu pekee. Watoto watatu wapo chuo kikuu na mmoja wa kwake yupo form six.

            Katika ndoa yangu kulikua na migongano upande wa tendo la ndoa, kabla ya ndoa tukiwa kwenye stori za mapenzi niliwahi kumweleza mwenzangu kuwa mimi sio mtundu sana upande wa sex ivyo ningependa yeye awe mwalimu kwangu kwani tangu mwanaume wa kwanza anidanganye na kunipa ujauzito sikuwa tena kuwa na byfriend.

            Akiniambia sawa. Tulipoingia kwenye ndoa mwenzangu alianza kubadilika wakati mwingine alikaa hata miez 8-10 bila kutaka sex.Nikimuuliza husema amechoka au hajisikii.

            Hata huo muda anaokaa mpaka mimi nimchokoze na hii nikutakana na kushindwa kuvumilia. Kuna wakat aliamua kuniambia ukweli kuwa sijui mapenzi, niliumia ila nilikubali kuwa ni kweli sijui ila anisaidie kujua.

            Hakufanya ivo. Ilifikiwa wakati nikaona ngoja nikae nisimsumbue ila nilijiuliza nitaishi hivi mpaka lini na kusaliti ndoa siwezi. Nilimwomba Mungu sana anipe uvumilivu ila pia Mungu aseme na mimi juu ya hii ndoa.

            Mungu ni mwaminifu. Baada baada ya maombi ya zaidi ya mwaka mke wa shemeji yangu alileta malalamiko kuwa mume wangu amekua akimsubua sana kimapenzi ikiwa ni pamoja nakumtumia picha za ex.

            Niliziona hakuishia hapo akasema hata hawa wadada wa kazi huwa anatembea nao. Nilipowabana waliopo na walioondoka walikubali na kunipa ushahidi. Mbaya zaidi hata huyu mwanangu alishamtaka kimapenzi sina uhakika kama alifanikiwa au la.

            Ninaumia sana sana. Mtaani ndoa yangu imekua mfano wa kuigwa hio ni kutokana na jinsi tunavoonekana kwa watu. Lakini hii yote onatokana na jinsi nisivopenda watu wajue mambo ya ndani. Ninampenda, ninamheshim, ninamjali.Siruhusu nguo au chakula cha mume wangu afanye mwingine nikiwepo.

            Hata kama tumegombana nisingependa yoyote ajue, nilijitahidi sana, kuwa mtiifu na mnyenyekevu kwake. Hii nikutokana na malezi niliyolelewa. Hata kama amesafiri watoto watajua baba anarudi kwakua wataniona jinsi ninavokua busy jikoni na kuandaa juisi na matunda.

            Ushauri wenu muhimu sana kwangu

            Asanteni

            Rose Muhando: Nafikiria Kurudi Kwenye Uislamu

            Posted: 10 Jul 2015 12:00 AM PDT

            NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando amesema hakuna jambo jema alilojifunza tangu abadili dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo zaidi ya ‘ugaidi’ wa kiroho mbaya na sasa anaangalia namna ya kurudi katika imani yake ya kwanza.

            Akizungumza na Amani hivi karibuni, Rose alisema hana furaha katika maisha ya Ukristo tofauti na alivyokuwa akielezwa wakati akihubiriwa kuokoka.

            Pia Rose alikwenda mbali zaidi kwa kuwarushia madongo baadhi ya wachungaji kwa kumhukumu kwa maneno ya walimwengu bila kutumia hekima za kidini.

            “Wakati nahubiriwa kuokoka, niliambiwa nitakutana na upendo lakini matokeo yake nimekuwa mtu wa ‘kupigwa mashuti’ tu.

            “Mfano, mtu anakualika kwenye tamasha, kwa bahati mbaya unashindwa kufika na unampa taarifa lakini kesho yake unasikia umetapeli, wameshindwa kuona hata jema moja kwangu? Nafikiria kurudi kwenye dini yangu, naamini nitapata faraja,” alisema Rose.

            Mwimbaji huyo amekuwa akikumbwa na skendo ya utapeli ambapo hudaiwa kupokea fedha kwa ajili ya kutumbuiza kwenye matamasha ya dini halafu kuingia mitini.

            Chanzo: GPL

            CCM wakanusha taarifa inayosambazwa kwa kasi kuhusu Kamati ya Usalama na Maadili

            Posted: 09 Jul 2015 11:55 PM PDT


            TAARIFA KWA UMMA

            Chama Cha Mapinduzi kimesikitishwa na juhudi za uzushi na upotoshaji zinazofanywa na baadhi ya watu kwa malengo binafsi.

            CCM inasisitiza kuwa hakuna taarifa yoyote ya Usalama na Maadili iliyoandaliwa na kuchapwa na kwamba kinachosambazwa mtaani ni uzushi wenye lengo la kuwachafua baadhi ya wanaoomba ridhaa ya CCM kuwania nafasi ya Urais kwa malengo mabaya.

            CCM haitasita kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote watakaobainika kuendesha harakati za kuandaa na kusambaza uzushi wa aina yoyote dhidi ya shughuli za Chama.

            Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Umma - CCM HQ

            Bagamoyo Road Haipiti Kuanzia Bunju A, Baada Ya Ajali iliyoua Mtoto wa Shule..Wanafunzi Walala Barabarani

            Posted: 09 Jul 2015 11:52 PM PDT

            Kama ulikua na ratiba ya kwenda bagamoyo acha kabisa.

            Watoto wa shule ya msingi wamelala barabarani baada ya mwenzao mmoja kugongwa na gari na inasemekana amefariki dunia, hvyo kuanzia Bunju A Bunju B kuendelea ni balaa hata baiskeli hakuna wameshika mifagio na magongo na raia wako makini kuangalia kinacho endea.

            Stay tune for update.

            Jaji Mutungi Atumika Katika Jaribio la Kumuengua Lowassa Katika Uteuzi CCM

            Posted: 09 Jul 2015 11:43 PM PDT

            JAJI MUTUNGI ATUMIKA KATIKA JARIBIO LA KUMUENGUA LOWASSA

            MIKAKATI YATENGENEZWA KUONESHA LOWASSA ALIANZA KAMPENI MAPEMA

            SIRI NYETI ZAVUJA


            Wakati Chama Cha Mapinduzi(CCM) kikiendelea na hekaheka za vikao vya uteuzi wa wagombea ili kumpata mgombea atakaye peperusha chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, jaribio jipya lakutaka kumzuia kada wa chama hicho ndugu Edward Lowassa imefahamika.

            Habari kutoka vikao vya ndani vya siri vilivyo kaa kuanzia juzi, jana, na leo vimeripoti kuwa mkakati huo mahususi na wa siri uliowakutanisha vigogo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) umeazimia kumshinikiza msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi kuandaa taarifa itakayo mtia hatiani ndugu Edward Lowassa kwa kuonesha kuwa alianza kampeni kabla ya wakati.

            Mkakati huo wenye Baraka za vigogo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) umeratibiwa kwa umakini mkubwa kwa msukumo wa wagombea wanatajwa kwa majina ya Bernard Membe, Mizengo Pinda, Januari Makamba na John Pombe Magufuli, ambao pia wamepata Baraka kutoka kwa baadhi ya vigogo wa Chama Cha Mapinduzi.
            Mkakati huo wa kumtumia Jaji Francis Mutungi unakwenda sambamba na matamko ya hivi karibuni yaliyo ratibiwa na Mchungaji Christopher Mtikila kwa kuwataja makada wa Chama Cha Mapinduzi kuwa wamekiuka kanuni na kuvunja sheria ya uchaguzi lakini mhusika mkuu akiwa ni ndugu Edward Lowassa.

            Katika mkakati huu Jaji Francis Mutungi ameshinikizwa kueleza kisheria kuwa Edward lowassa amevunja kanuni wakati wa kukusanya wadhamini pia mtoa taarifa wetu alieleza kuwa Jaji Francis Mutungi ameahidiwa nafasi nyeti serikalini endapo atafanikiwa kujenga hoja zenye mashiko ya kumtia Edward Lowassa hatiani. Alipotafutwa kwa simu, Jaji Francis Mutungi simu yake iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno pia hakujibu.

            Ripoti ya mkakati huu inatarajiwa kuwasilishwa kesho mapema na Jaji Francis Mutungi kwa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi na baadae Kamati Kuu lakini kwa masharti kwamba Jaji Francis Mutungi awahakikishie kwa hoja za kisheria vigogo hao namna ya kumtia hatiani Edward Lowassa ili apoteze sifa za kuteuliwa na hatimaye kuwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi.

            Wakati hayo yakiendelea, imeelezwa kuwa Mwenyekiti wa chama amekuwa akipata shinikizo kubwa kutoka kwa watu wasio kitakia mema Chama Cha Mapinduzi na hata shinikizo kutoka kwa familia yake kuwa Edward Lowassa akiteuliwa kuwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi na hatimaye kushinda kiti cha urais kwamba anampango wa kulipa kisasi kwa vigogo wa serikali ya sasa.

            Mwandishi wetu alipo fanya mahojiano na wajumbe wa Nec wa mikoa ya Morogoro na Mwanza juu ya mikakati hii haramu dhidi ya mdugu Edward lowassa mmoja wa waNec hao alisema “ndugu yangu sikia nikuambie unajua ni kwa nini Nape alitoa tamko kuwa muda wa kukata rufaa hautoshi, na kwa nini vikao vya maadili na kamati kuu vimesogezwa mbele hii yote ni kuanda mikakati ya kumtosa Edward Lowassa lakini nikuhakikishie ndugu yangu mwisho wa hiki chama utakuwa kesho kwenye vikao vya Nec kwa sababu mambo yote wanayo yafanya tunapata taarifa, ndugu mwandishi kama hauamini subiri kesho kwenye vikao vya Nec” alisikika mmoja wa wajumbe wa Nec kutoka mkoa wa Morogoro.

            Mnyetishaji wetu huyo alitaja majina ya vigogo wanao pigiwa chepuo kuwa ni Bernard Membe, John Magufuli, Garib Bilal, January Makamba na Dr. Asha Rose Migiro huku mikakati ikiwa kumfanya Bernard Membe awe Mgombea wa CCM kwa kumwekea wagombea dhaifu.

            Wakati huohuo Ndugu Sendeka aliitwa na mh Benard Membe nakutaka kumpatia kitita cha shilingi za kitanzania milioni kumi ili amsemee vizuri katika vikao vya Nec na ndugu Sendeka kukataa mradi huo.

            Ni Mimi Mwalimu Julius/Jamii Forums

            TETESI: Mwigulu Nchemba Apeta Urais 2015

            Posted: 09 Jul 2015 11:41 PM PDT

            Breaking news kutoka Dodoma....

            Katika hali ya kushangaza,mwigulu nchemba ameibuka kuwa kinara kati ya watangaza nia wote wa urais...

            Ubora wake umechochewa na uadilifu wake ndani ya chama na serikali,ambapo hkn mazingira yyt yanayomzungumzia mwigulu nchemba juu ya ubadhirifu ama utendaji mbovu ktk ngazi alizowahi shikilia.
            Mwigulu nchemba amekua bora na wa mfano ktk kujenga hoja makini zenye kujenga taifa na chama kwa ujumla,ni mtu mwenye uthubutu,jasiri anayesimamia maamuzi yake yaliyo makini,ni mkweli,mpenda haki na mtulivu pia mwenye hekima na busara.....

            Amejaribu kulinganishwa na wagombea wengine ktk nyanja mbalimbali kama
            Uchapakazi,
            Uzoefu ktk chama na serikali....hapo ameonekana mwiba haswaa kutokana na nyadhifa kubwa alizotumikia ndn ya chama tena kwa mda mfupi ktk hilo amejikuta akiwapiku mbali wagombea wote...

            Uadilifu....bado kete ilionekana ikimwangukia yeye akipambana vikali na jaji ramadhan pmj na mama migiro...

            Lingine pia uwezo binafsi wa kisiasa....bado mwigulu alizidi kukimbiza wenzake kutokana na historia yake ya ushiriki wa aina zote za siasa.....

            Zaidi ya yote ajenda aliyoibeba imegusa matumaini ya wana ccm wengi kuelekea kwa wananchi ambapo imeonekanika mwigulu nchemba ameeleweka kwa watanzania wengi kwa ajenda yake hivyo ni rahisi kuuzika pasipo na shaka...

            Mwigulu nchemba anatafsiriwa kama mtu pekee asiye na makundi ndani ya CCM kiasi ambapo ana uwezo wa kuwaunganisha wana ccm wote kutoka ktk makundi yao...

            Kwa ufupi amevishinda vigezo vyote 13 tena kwa kishindo haswaa...

            Uhakika wa jambo ulichagizwa na kijembe cha mh rais jana wkt wa hotuba yake bungeni ambapo aliwashukuru viongozi wote aliofanya nao kazi akiwemo Edward lowasa,
            Mara tu baada ya kutaja jina la lowasa JK akamalizia kwa kwa kusema mpo wengi sana na wengine ni vigogo.....tusinuniane kwa watakaokatwa....

            Hapa Dodoma watu hawaamini kiasi ilianza kusikika jana baadhi ya wagombea wameanza kukata tamaa kutaka kujitoa...

            Moshi Mweusi Watanda CCM.......Rais Kikwete Apangua Ratiba ya Vikao vya Kamati ya Maadili na Kamati Kuu, Kingunge Amvaa Kinana

            Posted: 09 Jul 2015 11:38 PM PDT

            WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, akipangua ratiba ya vikao muhimu vya Kamati ya Usalama na Maadili pamoja na Kamati Kuu vilivyotarajiwa kufavyika juzi na jana, Mwanasiasa maarufu, Kingunge Kombale-mwiru  jana alikuwa uso kwa uso na Katibu Mkuu wa chama hicho katika jitihada za kumuokoa Edward Lowassa.

            Katika siku ya jana kulikuwe na minong’ono ya hapa na pale iliyokuwa imeenea katika korido za Makao Makuu ya CCM na viunga vya mji wa Dodoma, ikidai kuwa jina la mwanasiasa huyo halitakuwemo katika orodha ya majina ya tano bora itakayopelekwa ndani ya NEC kutoka Kamati Kuu.

            Minong’ono hiyo ya kuwepo uwezekano wa jina la Lowassa kutotoka Kamati Kuu, iliongeza hofu zaidi miongoni mwa wapambe wa mwanasiasa huyo, baada ya mwanasiasa mkongwe nchini anayejulikana wazi kuwa katika kambi ya mgombea huyo, Kingunge Ngombale-Mwiru kutinga katika Ofisi za Makao Makuu ya chama hicho mchana wa kati ya saa 8:00 na saa 9:00.

            Baada ya kushuka kwenye gari lake na kuelekea moja kwa moja katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM, Kingunge alisikika akisema “Nina miadi ya kuonana na Katibu Mkuu saa 8.30 mchana huu, ameniita.”

            Mwanasiasa huyo ilimchukua takriban saa nzima akiwa katika ofisi ya Kinana. Alipotoka tu nje, kada mwingine wa CCM, Hamis Mgeja, ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Shinyanga aliingia katika ofisi ya Kinana akidaiwa kuitwa pia.

            Mgeja, kama ilivyo kwa Kingunge, ni miongoni mwa makada wa CCM ambao wamekuwa wakijipambanua wazi wazi kuwa katika kambi ya Lowassa kiasi cha makada hao kushiriki kikamilifu katika mchakato wa mgombea huyo wa kutafuta wadhamini 450 katika mikoa 15 ya Tanzania, kati ya hiyo mitatu ikiwa ni ya Zanzibar.

            Haikuweza kufahamika kwa undani ni kwanini makada hao wa CCM waliitwa na Kinana ofisini kwake, lakini baadhi ya wadadisi wa mambo walielezea tukio hilo kama sehemu ya juhudi za kambi hiyo ya Lowassa kuokoa jahazi la mgombea wao huyo jina lake kuondolewa mapema na Kamati Kuu.
             
            Hata hivyo, kwa mujibu wa ratiba ya awali ya mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, vikao hivyo muhimu katika mchakato huo vilitarajiwa kufanyika juzi na jana, lakini vikao vyote viwili hivyo havikuweza kufanyika kama vilivyopangwa, huku kukiwa hakuna taarifa yoyote rasmi kwanini havikufanyika.

            Kwa kawaida kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili ambacho huongozwa na Rais Kikwete mwenyewe akisaidiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahiman Kinana, ndicho kinachotoa dira ya mwelekeo kwa wajumbe wa Kamati Kuu, kikao ambacho kina mamlaka ya kuteua majina matano kutoka miongoni mwa wote waliojitokeza kuomba nafasi hiyo.

            Kikao hicho cha Kamati ya Usalama na Maadili ndicho kinachopokea majina ya wote waliojitokeza kuomba nafasi hiyo, kabla ya kujadili mienendo ya kimaisha ya kila mmoja wa wagombea, hasa katika suala zima la kimaadili na uzingatiaji wa miiko na viapo vya utii kwa chama hicho.

            Baada ya Kamati hiyo kukamilisha kazi hiyo, majina yote ya walioomba uteuzi huo huwasilishwa ndani ya kikao cha Kamati Kuu, kila jina likiwa limetendewa haki kwa kubeba maelezo ya sifa za miendendo hiyo ya kiamaadili na uzingatiaji huo wa miiko na viapo vya utii kwa Chama, kabla ya kikao hicho kuteua majina matano yanayopelekwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) kwa hatua zaidi.

            Kutofanyika kwa vikao hivyo muhimu katika mchakato huo wa uteuzi ndani ya CCM hadi jana kama ilivyokuwa imepangwa awali, kwa kiasi fulani kumeongeza hofu na kukoroga vichwa vya baadhi ya wapambe wa wagombea wa urais kutokana na kutofahamu sababu na malengo ya kuahirishwa huko kwa vikao hivyo.

            Hadi jana jioni ya Julai 9, 2015, vikao hivyo muhimu viwili vinavyoongozwa na Rais Kikwete mwenyewe, havikuwa vimefanyika kutokana na kile kilichoelezwa na watu wa karibu na kiongozi huyo mkuu wa nchi na chama chake hicho kwamba ni kukabiliwa na majukumu mengine mazito ya kitaifa.

            Kwa siku ya jana Alhamisi pekee, Rais Kikwete alikuwa na jukumu la kuzindua ukumbi wa kisasa wa Mkutano Mkuu wa CCM uliojengwa kwa gharama za chama hicho katika eneo lililopo karibu na majengo ya Ofisi za Hazina Ndogo mjini Dodoma, hafla iliyofanyika kuanzia asubuhi hadi mchana kabla ya alasiri kiongozi huyo kwenda kulihutubia Bunge na kufunga shughuli za Bunge la Bajeti.

            Katika korido na viunga vya Ofisi za Makao Makuu ya CCM pamoja na maeneo ya Dodoma Hotel na NAM Hotel ambako wengi wa wapambe hao wa Lowassa wamechukua vyumba kwa ajili ya malazi, wengi wao walikuwa wakionyesha nyuso za huzuni, huku wakionekana kuchanganyikiwa bila kufahamu ni nini hasa kilichokuwa kikiendelea ndani ya chama hicho.

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 10

            Posted: 09 Jul 2015 11:37 PM PDT


























            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  July  10

            Simba Wamesema Haya Baada ya Ramadhani Singano Kusajiliwa na AZAM Siku Moja Baada ya Kusinda Kesi

            Posted: 09 Jul 2015 11:32 PM PDT

            Baada ya aliyekuwa winga wa Simba Ramadhani Singano ‘Messi’ kumwaga wino wa kukitumikia kikosi cha ‘wanalambalamba’ Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili, klabu yake ya zamani (Simba) imesema dili hilo lilipangwa na Azam ili mkataba wa mchezaji huyo na klabu ya Simba uvunjwe na wao wamnase kirahisi.

            Afisa habari wa Simba Hajji Manara amesema Azam walipanga jambo hilo kwasababu Singano alishasema kwenye kikao cha kwanza kuwa Azam ni miongoni mwa klabu ambazo zilikuwa zikimuhitaji wakati bado akiwa na mkataba na Simba.

            “Hili jambo limepangwa, na mkiuliza nani amelipanga mnamajawabu. Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji juzi imemtangaza Messi ni mchezaji huru wamevunja mkataba wetu, leo amesaini Azam. TFF hawajatuletea barua, huyu mchezaji mpaka juzi sisi tunatambua ni mchezaji wa Simba mpaka hivi sasa barua ‘official’ haijaja ndio maana nasema hili jambo lilipangwa sikunyingi na TFF wanalijua hili”, amesema Manara.

            “Itawezekana vipi mchezaji ambaye sisi barua hatujapata ya kuvunjwa kwa mkataba wake asaini kwenye klabu nyingine? Kwakutopewa barua mpaka leo maana yake nini? Sisi tunashindwa kutoa ‘official statement’ ya klabu na tunashindwa kuchukua hatua zozote wakati hawajatuletea barua tayari mchezaji kaenda Azam”, Manara alihoji  

            “Na kwenye kikao aliwataja Azam kuwa ni miongoni mwa klabu ambazo zilikuwa zinamsumbua”, alimaliza.

            Leo mchana Singano amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu ya Azam FC baada ya mkataba wake na Simba kuvunjwa na kamati ya sheria, maadili na hadhi za wachezaji kufuatia Simba kushindwa kutekeleza baadhi ya vipengele vya mkataba kati ya mchezaji na klabu.

            Licha ya Kujitosa Kugombea Ubunge, Wema Sepetu Ashtakiwa Kwa KOVA..Maimartha Amfungia Kazi, Diamond Naye Atajwa

            Posted: 09 Jul 2015 09:56 PM PDT

            Waandishi wetu
            KIMENUKA! Mtangazaji na MC (master of ceremony) maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameivalia njuga tabia ya mastaa kuhusika na matusi ya mtandaoni na kupiga picha za utupu ambapo kwa kuanza amemshitaki mwanadada Wema Isaac Sepetu kwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova akimtuhumu kuwa kati yao.

            Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum huku akirekodiwa ili kuweka kumbukumbu vizuri, Mai alisema yeye ni mmoja wa wahanga wa matusi ya mtandaoni na amegundua wanaomtukana ni kundi linalojiita Team Wema.

            Msikie Mai
            “Kuna watu kwenye hii mitandao ya kijamii wamejipa majina bandia lakini ukiwafuatilia sana utagundua ni watu wa Wema, ni watu ambao ukimtibua Wema watakuvaa kwa kukutukana sana.

            “Hao hao ndiyo wanaoongoza kwa kumsifia sana Wema kwenye mitandao. Ili ujue kwamba Wema anawajua, huwa wanampelekea hadi zawadi na juzijuzi hapa walihamasishana kuchanga fedha ili wampelekee Wema.

            “Sasa kama ni watu anaowajua, kwa nini asiwazuie kutukana ovyo watu? Tutakuwa tunakosea kusema anawatuma?
            “Hebu fikiria Wema anataka kugombea ubunge, hilo ni jambo jema na sisi wenzake tunamuunga mkono lakini nafasi hiyo ataimudu kweli kama anashindwa ‘kuwakontroo’ watu walio nyuma yake ambao wanawakosesha amani wenzao?
            “Kitu ambacho nakiamini ni kwamba, usimuone Wema kakaa kimya kwenye akaunti yake lakini hawa mastaa unaowaona wanatukanwa, baadhi ya watukanaji wanatumwa na Wema, wanaambiwa fulani tukana, fulani tukana,” alidai Mai.

            Wema anahusikaje?
            Kwa madai yake, Wema anahusika kwenye kushamiri kwa tabia hii kwa kuwa, watu wake ndiyo wamekuwa wakisumbua na dalili za wazi zinaonesha ‘anawa-push’ kiaina kufanya hivyo.

            Awagusa Diamond, Kajala, Aunt
            “Mara kadhaa tumekuwa tukiona Wema akiwaambia Team Wema wasimtukane Diamond (Nasibu Abdul), tunaona mastaa wakitofautiana na Wema kidogo wanashambuliwa kwa matusi, mfano Kajala (Masanja) na Aunt (Ezekiel).

            “Wanaofanya hivyo siyo mashabiki wa Wema, ni marafiki wake damdam na ni jambo ambalo Wema analijua, ndiyo maana anaweza kuwaambia wasimtukane f’lani.
            “Kwa nini asiwazuie waache tabia ya matusi mtandaoni ambayo ni kinyume na sheria?” alihoji Mai.

            Agusia picha chafu
            Katika kufunguka kwake, Mai alienda mbele zaidi kwa kumtaka Wema kujiangalia upya ikiwa ni pamoja na kuwakontroo marafiki zake wasitukane watu lakini pia aache kupiga picha za utupu, alizopiga huko nyuma zinatosha, ajitahidi kuwa msafi.

            Ashitakiwa kwa Kova
            Huku akionekana kuwa makini sana na kutaka taarifa anazotoa zilifikie jeshi la polisi na kuzifanyia kazi, Maimartha aliamua kumshitaki Wema moja kwa moja kwa Kamanda Kova akimtaka achukue hatua stahili ili kukomesha tabia hiyo.

            “Sasa naomba leo niseme kwamba, mtandaoni hatutaki matusi na doria zipo, wapo wana usalama, mimi nakuambia Kamanda Kova, hili nalifikisha kwako nikijua jeshi lako linahusika.

            “Mitandaoni watu wamechoka kutukanwa, naomba hizo doria zifanye kazi na kama utataka ushirikiano, mimi nipo na nitatoa ushahidi ukitaka.
            Wema anasemaje?

            Waandishi wetu walifanya jitihada za kumtafuta Wema ili kuzungumzia tuhuma hizo lakini simu yake iliita bila majibu na hata alipotumiwa meseji hakujibu.
            Aidha, wanahabari wetu walifunga safari hadi nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar lakini waliishia getini baada ya kuambiwa hayupo. Jitihada za kumtafuta zinaendelea ili naye afunguke.

            Ofisini kwa Kova
            Kutokana na mashitaka hayo ambayo Mai alitaka yamfikie Kamanda Kova, waandishi wetu walimtafuta ‘afande’ huyo lakini jitihada hazikuzaa matunda kutokana na simu yake kuita kwa muda mrefu bila kupokelewa.


            Hata hivyo, mmoja wa maafisa wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar aliyeomba hifadhi ya jina alisema, kama Mai ana madai yake hayo anatakiwa ayawasilishe kwa Kova ‘fizikale’ na kama ataridhika naye, atayachukua na kuyapeleka kwa ofisa upelelezi wa kanda ‘Zonal Crime Officer’ ambaye atayafanyia kazi bila kujali majina ya wahusika.
            GPL

            Watoto Watano Familia Moja Wateketea Kwa Moto

            Posted: 09 Jul 2015 09:49 PM PDT

            Watoto watano wa familia moja wamefariki dunia na mama yao mzazi kujeruhiwa, baada ya nyumba walimokuwa wamelala kuteketea kwa moto katika kitongoji cha Muleba kijiji cha Muleba kata ya Rwabwere wilayani Kyerwa mkoani Kagera.

            Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Henry Mwaibambe.
            Tukio hilo lilitokea Julai 6 mwaka huu ambapo chanzo chake ni kibatari kilichokuwa kimewashwa kuanguka na moto kushika nyumba hiyo ambayo ilikuwa imejengwa kwa makuti ya migomba.
            Watoto waliopoteza maisha ni Zaituni Mohamed mwaka mmoja na miezi 3, Atwaibu Mohamed (4) Sajira Mohamed (3) na Shine Mohamed (7), ambao walifariki papo hapo na Khadija Mohamed (5) alifariki baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nyakahanga
            Katika tukio hilo mama mzazi wa watoto hao Sania Mohamed akizungumza katika hospitali ya wilaya Nyakahanga ameleza amepatwa na ajali hiyo wakati akiwa katika harakati za kuwaokoa watoto wake lakini hakufanikiwa kutokana na moto kumzidi nguvu.

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 11, 2015, 4:21:15 PM7/11/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            God Help Our LADIES! See What This LADY Did in Private, +18 VIDEO Please!

            Posted: 11 Jul 2015 01:08 PM PDT


            If parents saw some of the things their daughters do in private, they can just collapse.

            Just to give you a clear picture of how the world has become rotten, there’s this crazy video of a Ugandan misbehaving in her room.

            The shameless lady went ahead and posted the video for all to see. Just watch her do all the madness in the video below.

            ROSE MUHANDO claims she is tired of being a Christian as some link her to Devil Worshiping

            Posted: 11 Jul 2015 01:04 PM PDT


            Popular Tanzanian singer, Rose Muhando, has shocked her ardent fans after claiming that she is tired of being a Christian.

            While speaking during a radio interview, the mellow voiced singer said that ever since she converted to Christianity, problems have been following her from right, left and centre.

            Apparently, she was a Muslim before converting to Christianity. Rose claims that when she converted to Christianity, a preacher promised her alot of good things but her life has been full of pain and misery.

            She has been involved in many scandals ranging from ab()rt!on to money laundering claims.
            This is exactly what she said during the interview;


            Wakati nahubiriwa kuokoka, niliambiwa nitakutana na upendo lakini matokeo yake nimekuwa mtu wa ‘kupigwa mashuti’ tu.

            Mfano, mtu anakualika kwenye tamasha, kwa bahati mbaya unashindwa kufika na unampa taarifa lakini kesho yake unasikia umetapeli, wameshindwa kuona hata jema moja kwangu? Nafikiria kurudi kwenye dini yangu, naamini nitapata faraja

            In the past, the top rated Tanzanian singer has been linked to devil worshipping but has always refuted these claims.


            Dr Slaa Kathibitisha Kuteuliwa na UKAWA

            Posted: 11 Jul 2015 12:52 PM PDT

            Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.

            Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa  wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.


            “Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi“ –  @willibrordslaa

            Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi.

            Breaking News: Tatu Bora ya CCM Hii Hapa.....Membe Kaenguliwa

            Posted: 11 Jul 2015 12:58 PM PDT


            Kikao cha HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni… 
            1) John Magufuli 
            2) Asharose Migoro
            3) Amina Salum Ali

            Kingunge Atabiri Anguko la CCM Iwapo Chama Hicho Hakitapitisha Mgombea Anayekubalika Kwa Wananchi Wengi

            Posted: 11 Jul 2015 12:59 PM PDT


            Kingunge Ngombare Mwiru, ambaye ni kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametabiri anguko na mpasuko mkubwa ndani   chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, endapo chama hicho  kitaacha kumpitisha mgombea urais anayekubalika kwa wananchi wengi.

            Kauli hiyo imekuja mara baada ya jina la Edward Lowasa kuenguliwa kutoka majina matano  yaliyopendekezwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC- NEC).

            Kutajwa kwa majina ya Bernard Membe, Dk. John Magufuli, Amina Salum Ali, January Makamba na Dk. Asha-Rose Migiro na Kamati kuu kwamba ndio watajadiliwa na Halmashauri Kuu (NEC), kumemfedhehesha Kingunge hata kusema, “…hatua ya kwanza itakuwa kumweka mgombea ambaye hakubaliki ndani ya chama na hakubaliki nje ya chama. Itakuwa ni kura ya hasira.”

            Kingunge ametoa kauli hiyo kwa kusitasita huku akionekana kuwa na huzuni wakati akifanya mahojiano na kituo cha Azam Tv  leo mchana.

             

            Japo Kingunge hakutaja jina la Lowassa lakini ni muungwa mkono katika mbio zake za kuusaka urais  hata wakati wa mkutano wa kutangaza nia mjini Arusha Kingunge alisema, “…Lowassa ndiye pekee anasifa za kuwa rais wa Tanzania.”

             

            “Utaratibu wa mwaka huu una matatizo. Kilichotokea ni mazingira yanayotia shaka. Kwa sababu ya muda hakuna atakae kata rufaa. Inaonesha kwamba uongozi umeshakuwa na msimamo juu ya mgombea wanaemtaka,” amesema Kingunge.

             

            Amesema kazi ya CC-NEC ni kuyapitia, kuangalia sifa, kuwapima, kuyalinganisha na kisha kutoa mapendekezo. "Hawana madaraka ya kuamua."

             

            Kuhusu kukubalika kwa majina hayo na NEC, Kingunge amesema, “…wajumbe wa NEC wanaweza kukubaliana nayo, wanaweza kusema hapana, wanaweza kusema wote waliopendekezwa hawafai na wanaweza kutoa mapendekezo waletewe majina mengine.”

             

            Amesema kuwa yanayotokea sasa na yatakayotokea baadae ni mazingira ambayo yamekuwa yakijengwa kwa muda mrefu na viongozi wakuu  wa  chama.

             

            Kuhusu sifa za mgombea anayemtaka, Kingunge amesema ni lazima: Aweze kupambana na nguvu ya upinzani; anayekijua chama; awe na uzoefu wa masuala ya ulinzi na usalama na mtu atakae watoa watanzani  kwenye umasikini.


            Live Dodoma: Polisi Watumia Mabomu Kuwatawanya Wafuasi wa Lowassa Waliokuwa Wakiandamana

            Posted: 11 Jul 2015 09:33 AM PDT

            Wapambe wa Mbunge  wa Monduli Edward Lowassa  hivisasa wanafanya maandamano makubwa nje ya ofisi za CCM hapa makao makuu ya CCM wakipinga Mbunge huyo kuchujwa katika tano bora.

            Wapambe hao wanaimba nyimbo mbalimbali za kukiponda chama cha Mapinduzi kwa madai kuwa chama hichosio cha kindugu na  pia sio cha kifalme.

            Kwa namna nyingine  hali si shwari hapa mkoani Dodoma ambapo sintofahamu imetawala kuhusiana na Edward Lowassa kukatwa.

            Bado haijulikana nini hatma ya kikao kinachoendelea hivisasa kwa kuwa wa wajumbe wengi wa napinga Lowassa kuchujwa.

            Baishara zasimama,makao makuu Dodoma.

            Baadhi ya wapambe wa Lowassa wakipinga Kamati kuu kumchuja Lowassa.

            Barabara zafungwa Polisi watanda kila kona kudhibiti usalama dhidi ya waandamanaji.

            Wapambe wa Loawssa wakipinga kukatwa tano bora.

            Polisi Wenye Mbwa Waongezwa Dodoma Kudhibiti Waandamanaji........Wafuasi wa Lowasa Waamua KUTAMBAA Kupinga Jina Lake Kukatwa

            Posted: 11 Jul 2015 09:33 AM PDT


            Wapambe wa Lowassa wakitambaa kupinga Edward Lowassa jinalake kukwatwa kamati kuu.
              

            Gari linalotoa maji ya washawasha nje ya jengo la makao makuu CCM.
              

            Polisi pamoja na mbwa wake wakilinda usalama nje ya jengo la Makao makuu CCM.
              

            Baadhi ya waaandamaji wakipinga Edward Lowassa kukatwa.

            Polisi watumia mbwa kuwafukuza waandamanaji nje ya majengo ya makao makuu CCM.

            Mpasuko CCM: Wajumbe Waanzisha Varangati........Rais Kikwete Apokelewa Kwa Wimbo Wa Tuna Imani Na Lowassa.....!!!!.....Tuna Imani na Lowassa

            Posted: 11 Jul 2015 12:59 PM PDT

            Mambo yamezua jambo ambapo wajumbe wa mkutano wa Halmashauri kuu inayokutana hivisasa chini Rais Dkt Jakaya Kikwete wameonesha wazi kupinga uamuzi wa mbunge wa Monduli Edward Lowassa jina lake kukatwa.

            Hayo yamedhihirika hivisasa wakati Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt Jakaya Kikwete akiingia kufungua mkutano huo ambapo imezoeleka wajumbe huimba kuwa na imani na Mwenyekiti ambaye ni Rais Dkt Jakaya Kikwete lakini leo hali imekuwa tofauti.  Wajumbe walipaza sauti zao wakiimba wimbo wa kuwa na imani na Edward Lowassa.(  Tuna  Imani  na  Lowassa...!!!  Tuna  Imani  na  Lowassa!!)

            Mkutano huo  wenye wajumbe  324 kati ya 374 umehudhuriwa na wajumbe mbalimbali wakiwemo baadhi ya wanasiasa walio omba ridhaa ya kuteuliwa kugombea urais ndani ya chama hicho.

            Kwa upande  mwingine  mtia nia aliyechujwa Prof. Mark Mwandosya yeye kwa upande wake amewashukuru wananchi kwa ushirikiano walio mpa na kusisitiza kuwa hatogombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao.

            Maneno 36 ya Waziri Membe Kuhusu Mtu Aliyekamatwa na Mabilioni ya Wajumbe Dodoma..

            Posted: 11 Jul 2015 12:59 PM PDT

            Kuna stori zimeenea mitandaoni kwamba kuna mtu ambae amekamatwa na mabilioni ya pesa Dodoma, kingine ni kwamba amekamatwa na simu ikiwa na maelekezo kwamba pesa hizo ni za kuwapatia Wajumbe.

            Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika ujumbe @Twitter kukanusha kuhusika na mtu huyo

            • “Kuna taarifa za uongo zinazoenezwa kwamba kuna “Mtu wa Membe” amekamatwa na pesa Dodoma“


            Kwenye Tweet nyingine Waziri Membe ameandika hivi

            • ”siasa hizi ni za hovyo kwani hazitajenga Taifa letu. Naomba msihadaike na watu wanaotaka kututia doa baada ya kukosa uchafu dhidi yetu”  @BernardMembe

            Kukatwa kwa Lowassa, ni Mwisho wa ile Safari, Au ni Mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?

            Posted: 11 Jul 2015 04:10 AM PDT

            Wanabodi,

            CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.

            Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?

            Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?

            Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?

            Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?

            Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?

            Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?

            Pasco!

            ZITTO KABWE Kayasema Haya Kuhusu Chama Chake Kuteua Mgombea au Kuunga Mkono Mgombea wa Chama Kingine

            Posted: 11 Jul 2015 04:09 AM PDT

            Baada ya chama cha Mapinduzi kupitisha majina matano kwenye tano bora ya Wagombea CCM nafasi ya Urais 2015 kupitia chama hicho.

            Sasa kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Mh Zitto Kabwe leo amefunguka kuhusu chama chake kumteua mgombea au kuunga mkono mgombea cha chama kingine.

            Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter amewahabarisha wananchi kwa kusema…’Chama chetu kitateua mgombea au kuunga mkono mgombea wa chama kingine kwa maamuzi ya VIKAO vya chama. Kama Kiongozi wa chama sina mamlaka yeyote yale kutangaza mtu kuwa mgombea wetu’ – @zittokabwe

            Hivi sasa Uongozi mzima wa Chama upo kwenye retreat ili kujipanga na uchaguzi. Hatuna mazungumzo wala makubaliano na mtu yeyote kutoka chama kingine kuhusu nafasi ya Urais. Mgombea wetu atapatikana kwa kupitia vikao vya chama chetu…’  -@zittokabwe

            Akamatwa na Mamilioni Akitaka kuwa Onga Wajumbe wa Halmashauru Kuu Dodoma

            Posted: 11 Jul 2015 04:01 AM PDT

            Mtu mmoja amekamatwa mkoani dodoma na maburungutu ya fedha hotelini, inasemekana alikuwa na lengo la kuwahonga wajumbe wampitishe mmoja wa gombea uteuzi..nani kamtuma???
            Updates Kutoka Jamii Forums:

            Hapa St. Gasper Hotel ambapo ilikuwa ni kambi ya Edward Lowassa sasa hivi zimekamatwa fedha zinazodaiwa kuandaliwa kugawiwa kwa wajumbe wa NEC.

            Aliyekamatwa kageuka, anasema katumwa na Membe

            This is what exactly happens to MPESA money when one dies - SAFARICOM explains

            Posted: 10 Jul 2015 11:42 PM PDT


            Many Kenyans have been asking what happens to somebody’s MPesa balance when he dies without revealing his pin to his/ her spouse or close family members.

            Safaricom now says the funds held in an M-Pesa account can be passed on to a customer’s next of kin once claims from the beneficiary are validated.

            “We require that the next of kin should visit any Safaricom Shop and provide certain documents for inspection and approval before any funds can be released,” the Safaricom website directs.

            The documents to be presented include copies of the death certificate, ID of the next of kin and grant of probate.

            The above conditions are mandatory for accounts with more than Sh30, 000.

            For accounts with less than Sh 30,000, you will need an affidavit administered by a Commissioner of Oaths and sworn by the claimant, a death certificate (not burial permit), a letter from the provincial administration of the deceased’s area of residence or letters of administration and the next of kin’s ID and copy to be retained.

            To avoid this time consuming process, it is good to share your pin with your spouse or a family member to avoid your money being taken by strangers while your children are suffering.

            Hili Ndilo KOSA Kubwa Alilofanya LOWASSA Mpaka Jina Lake KUKATWA Tano Bora...

            Posted: 10 Jul 2015 11:35 PM PDT

            Kwa Mtazamo wangu Lowassa amefanya kosa kubwa sana kutowekeza Mtaji wake kwa Wakataji wa Majina ndani ya CCM , Lowassa Aliwekeza sana kwa Watu wa Nje na mashabiki wake kiasi cha kupendwa kila kona na kusahau kuwa Wakataji wa Majina si Hao Wananchi wanaomshangilia kwa nguvu huko nje kila anapopita....Kwangu hilo ndio kosa kubwa kwa Lowassa...JE wewe Unaona ?

            Rais Kikwete Kathibitisha haya Majina Matano ya Wagombea Urais Waliopitishwa CCM

            Posted: 10 Jul 2015 11:14 PM PDT

            Pichaz zilianza kusambaa mitandaoni, baadae ikaja stori kuhusu Wagombea walioteuliwa kwenye Urais kupitia CCM.

            Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais JK kathibitisha majina haya matano kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM Dodoma.

            “Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @jmkikwete


            Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali
            — Jakaya Kikwete (@jmkikwete) July 11, 2015

            UNCONFIRMED: Lowasa Kuondoka na Kundi Lake na Kugombea Uraisi Kupitia ACT

            Posted: 10 Jul 2015 11:00 PM PDT

            Habari katika kambi ya Lowasa wakishirikiana na Zitto wanamshawishi ndugu Edward Lowasa kuhamia ACT na kundi lake na kugombea urais kupitia chama hicho.

            wanaamini kuwa anawafuasi wengi na akikosa mwaka huu hatopata nafasi nyingine tena maiashani mwake kwa ushawishi alionao ndani ya jamii

            More updates will follow

            Caught on Camera! What This WOMAN Did in Her Bedroom Will Blow Your Mind (VIDEO)

            Posted: 10 Jul 2015 10:17 PM PDT


            They say that an idle mind is the devil’s workshop and some of the things ladies do in their bedrooms are just crazy.

            There’s this s3xy lady who was caught on camera getting n@ughty in her bed-room.
            She was probably perfecting her skills before hitting the club and to all “team mafisi” out there, this hot video will blow up your mind. Click play and enjoy.

            Magoli ya Mkono Yameanzia Robo Fainali, Shikamoo NAPE

            Posted: 10 Jul 2015 09:58 PM PDT


            Niliposikia Nape anazungumzia ushindi lazima hata kwa goli la mkono, binafsi niliona kama ucheshi/comedy,lakini kwa yaliyotokea Dodoma tokea mwanzo wa mchakato wa kuteua 5 bora, tayar wao kwa wao wameanza kulalamikiana juu ya faulo wanazochezeana.Tayari Bw. Kimbisa,Nchimbi, Mama Simba washamfunga paka kengere.Watoto wa mijini wanasema WAMEKINUKISHA.Kutokana na kuendekeza dhambi ya ubaguzi kwa wenzao(Wananchi & Vyama pinzani),sasa CCM imegeuka MBWA MWITU wanatafunana wao kwa wao.Narudia tena Shikamoo NAPE..

            Baada ya JINA Kukatwa..LOWASSA Sasa Tunasuburi Maamuzi Yako Magumu

            Posted: 10 Jul 2015 09:55 PM PDT


            Sasa ni wazi kabisa Edward Lowassa hayumo tena kwenye mbio za urais ndani ya CCM baada ya jina lake kukatwa ndani ya kamati kuu kwa Zengwe kubwa na zito kutoka kwa mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete.

            Wagombea watano waliopitishwa ni Membe, Makamba, Magufuli, Migiro na Amina Salum.
            Sote tunaamini hiyo ni njia ya kuhakikisha Membe anakuwa mshindi.

            Ni wazi kabisa kwa sasa Lowassa huna cha kuficha wala kupoteza, kama ni vita ya kwenda Ikulu sasa kwako ndio imeanza au imekufa.

            Jaribio lako la kwanza ni kwenda kwenye Halmashauri kuu na kupinga maamuzi hayo, unayo hoja na pia unao wajumbe wa kutosha ndani ya Halmashauri Kuu, uzoefu unaonyesha kuwa ni maajabu pekee ndio yanayoweza kukurudisha tena kwenye kinyang'anyiro hicho ndani ya CCM.

            Kwa sasa wafuasi wa Lowassa hawataki tena kusikia kulalamika kuwa unaonewa wala porojo za kudai hamkukutana barabarani, kwa kuwa tayari Ugali umemwagwa na Mwenyekiti kupitia kamati kuu na wewe jipange kumwaga Mboga Halmashauri kuu na ikibidi vunja kabisa na Chungu.

            Fallout Within Tanzania’s Ruling Party as Former Prime Minister is Eliminated From Nomination Race

            Posted: 10 Jul 2015 09:45 PM PDT

            The central committee of the ruling party, CCM, finished its meeting at midnight and came up with five names that would be seconded to the national executive committee for voting today, Saturday.

            Ideology and Publicity secretary Nape Nnauye told reporters soon after the meeting that the names of the five aspirants approved by the party would not be made public but will be taken directly to the NEC meeting scheduled to start at 10am today, Saturday.

            “Because the nomination process is ongoing we will not disclose the names of five aspirants, which will be taken directly to the NEC meeting for voting to get three names. The three names will then be taken to the national congress later in the afternoon,” Mr Nnauye noted.

            However sources privy to proceedings of the meeting said the names of five approved presidential aspirants include January Makamba, Asha Rose Migiro, Amina Salum Ali, John Magufuli and Bernard Membe.


            This was later confirmed when CCM tweeted the five names in its official twitter handle (@ccm_tanzania ). The twitter was also reflected in the party’s website ww.ccm.org.tz.

            The fallout

            Immediately after Mr Nnauye’s media briefing three members of the central committee who attended the meeting- Dr Emmanuel Nchimbi, Adam Kimbisa and Sophia Simba- told journalists that they opposed the nomination procedures that were used to come up with the five names because the procedures were in violation of the party’s constitution.

            The visibly agitated Nchimbi said the CCM constitution demands that the names of all aspirants who returned nomination forms be tabled in the central committee meeting, which then vets them and comes up with five names.

            But it seems the Ethics and Security committee meeting which met in the afternoon on Friday did the vetting and came up with few names.

            “We hereby declare that we do not agree on the decisions of the meetings because the party’s regulations and constitution, which say that the central committee is the first meeting to start vetting aspirants in the nomination process, have been violated,” Mr Nchimbi noted.

            He added; “We informed the meeting that we do not agree with the decision reached because it also violates a section of the constitution that says the central committee would give special consideration to the front-runner or front runners in the nomination contest.”

            The three central committee members are believed to be supporters of former Prime Minister Edward Lowassa, who has been the clear front runner from the beginning of the process. Mr Lowassa who resigned as Prime Minister in the wake of the Richmond scandal in February 2008 attracted huge crowds in his campaign events and collected hundreds of thousands of endorsements from party members instead of the 400 required to qualify for nomination.

            However, he faced allegations of spending too much money in his campaigns and of bribing party members to support him. He has defended himself saying the money he spent on his bid for nomination is from his friends and that he has conducted a clean campaign.

            “Anyone who has evidence that I bribed CCM members to support me let him come forward. I have conducted a clean campaign and I am innocent,” he told reporters on July 1 here in Dodoma after he had submitted nomination forms.

            His seeming involvement in the Richmond, which led to his resignation from office, has continued to haunt him. It has given ammunition to his opponents who have portrayed him as a corrupt politician.

            The Richmond scandal involved serious irregularities in the tendering process of emergence power supply following biting power shortages of 2006.

            The company that was given the tender to supply the emergence electricity was the the US-based Richmond Development Company. But it soon proved to be unable to meet deadlines and was later found, after an investigation by a Parliamentary Select Committee, to be a briefcase company.

            Though not directly implicated, Mr Lowassa resigned out of political responsibility.

            What next for CCM

            Opposing decisions taken by the powerful but secretive central committee is unprecedented and shows how stiff competition in this year’s nomination process is.

            It also indicates that things are set to become worse and the the rift created by eliminating Mr Lowassa from the nomination process could intensify. Unconfirmed reports say members of NEC who support the former Premier plan to move a motion of no confidence with the chairman of CCM President Jakaya Kikwete and his central committee during the NEC meeting today Saturday. The CCM constitution gives NEC members powers to dismiss the chairman of the party and some members of NEC want to attempt to dissolve the central committee and appoint new members.

            Today Saturday is perhaps going to be the most crucial day in the history of CCM as the party and the camp of the most powerful member battle it out.

            It is left to Mr Kikwete to employ all his politician capital to manage the fallout and save the party.

            The national executive committee (NEC) is the highest decision making organ which, according to Article 107(13)(f) selects 14 members of the central committee.  The rest of the members of the central committee qualify for the membership because of their positions in the party.

            Mpasuko Mkubwa CCM: Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa Wapinga Jina la Edwarad Lowassa Kukatwa

            Posted: 10 Jul 2015 09:41 PM PDT

            Habari za Hivi punde kutoka makao makuu ya CCM mkoani Dodoma  ni kwamba wajumbe wa kamati kuu  watatu ambao ni  Dkt. Emmanuel Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa  wamepinga maamuzi ya kamati ya kumkata mmoja wa wagombea maarufu   na kumweka mgombea asiyekuwa maarufu.

            Akizungumza usiku huu majira ya saa saba za usiku Dkt. Nchimbi amesema kwamba wao watatu hawajakubaliana na maamuzi ya kamati kuu iliyoketi usiku huu chini ya Mwenyekiti Dkt Jakaya Kikwete kumkata mgombea maarufu kwa manufaa ya mgombea asiye maarufu.

            “Katika kikao cha leo kamati haikupoea majina yote yaliyojadiliwa na maadili, suala ambalo ni kinyume na kanuni, pili katiba ya CCM inataka mtu anayekubalika  ndiye apewe nafasi ya kwanza, lakini kikao cha leo kimeonyesha kuminya wanaokubalika  kwa manufaa ya wachache wasiokubalika” Amesema Dkt. Nchimbi.

            Hivyo basi kwa sababu hiyo wao watatu ambao ni wajumbe wa kamati kuu wamewataarifu wenzao  kwamba wamejitenga na maamuzi ya kikao hicho na kutangaza kuto kuyaunga mkono.

            Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kisiasa nchini Tanzania zinaonesha kuwa mgombea anayekubalisa sana CCM ni Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akifuatiwa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa  Bernad Membe.

            Hapo  chini  nimekuwekea  Video  ya  Emmanuel  Nchimbi  akiyapinga  maamuzi  hayo.

            Breaking News: Hatimaye 5 Bora ya CCM Imejulikana....Lowassa Kaenguliwa

            Posted: 10 Jul 2015 09:37 PM PDT

            Kikao cha Kamati Kuu ya chama cha mapinduzi (CC) kimemalizika hivi punde(saa saba usiku)  mjini Dodoma.

            Tovuti ya CCM imeyatangaza majina matano yaliyopitishwa na Kamati ya CCM (CC) kuwa ni ;

            1) Bernard Membe
            2) John Magufuli
            3) Asha Rose Migiro
            4) January Makamba
            5) Amina S. Ali

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 12, 2015, 4:08:03 PM7/12/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Mgombea Mwenza wa CCM Huyu Hapa…Ni Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba

            Posted: 12 Jul 2015 12:36 PM PDT

            Leo safari ya Tanzania kumpata Rais atakayewaongoza Watanzania kwa miaka 10 ijayo imeanza rasmi na CCM kupitia kwa Halmashauri kuu ya CCM imemchagua DK. John Magufuli kuwania nafasi hiyo.

            Baada ya ushindi huo, Magufuli alitoa shukrani zake kwa wote waliofanikisha ushindi wake na kisha akamteua aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba lililomalizika hivi karibuni Samia Salumu Suluhu kuwa mgombea mwenza.

            Urais CCM........Magufuli Apata Ushindi wa Kishindo

            Posted: 12 Jul 2015 02:36 AM PDT

            Chama  cha  mapinduzi, CCM kimemteua  Dr .Magufuli  kuwa  mgombea  wa  Urais  2015.

            Uteuzi wa  Dr. Magufuli  umetokana na  ushindi  wa  kishindo  alioupata  baada  ya  mkutano  mkuu  kukutana jana   usiku  kwa  ajili  ya  kupiga  kura  ili  kupata  jina moja  kati  ya  matatu  yaliyokuwa  yamependekezwa  na  Halmashauri  kuu  ya  CCM.

             Matokeo  ni  kama  ifuatavyo

            1.Magufuli.....87%

            2. Amina.......10%

            3.Migiro......3%

            Binamu Yangu Anapenda Kukaa Utupu Kila Akiniona Sijui Kwanini?

            Posted: 11 Jul 2015 10:38 PM PDT

            Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi desemba nilienda kumtembelea binamu yangu alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya ukonga.

            Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza,sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakat naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

            Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake,nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed.

            Sijui nifanye nini wadau,msaada tafadhali

            Machangudoa wa Sinza Mori Wezi, Wameniliza na Kunibakiza na Boxer Pekeee...Chukua Tahadhari

            Posted: 11 Jul 2015 10:18 PM PDT

            Wasalam wadaujapo ni mwezi mtukufu bado kina dada poa wa pale Sinza Mori opposite na Big Bon Petrol station wanapiga kazi ya maana. Lakini shida yao ni wezi kwa wateja wao nimekuja hapa kuwataahadharisha wale wenzangu mnaowachukua kujitahadhari maana wanapaka dawa Fulani kwenye chuchu sasa unapoenda nae Chemba anajidai ana hamu ya kunyonywa chuchu ile kumnyonya tu unalewa na kuishiwa usingizini na anakukomba vitu vyote. Mimi Jumamosi nimemchukua demu Fulani bonge hapo nikaenda nae pale UNIVERSAL GUEST HOUSE nimejishtukia asb nimebaki na bukta kuwauliza watu wa hotel wanadai hawamjui na aliondoka saa 1 asubuhi hiyo. CHUKUA TAHADHARI

            By Mdau

            Moshi Washindwa Kufuka Usiku wa Jana Kumpata Mgombea Urais CCM, Zoezi Lahairishwa Ghafla, Kisingizio Hichi Hapa

            Posted: 11 Jul 2015 10:06 PM PDT

            Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete alitangaza kuahirishwa kwa mkutano  mkuu  wa  CCM  hadi  kesho  saa  nne  asubuhi  ambapo  mgombea  rasmi  wa  chama  cha  mapinduzi  atatangazwa  baada  ya  kura  za  wajumbe  kuhesabiwa. Baada ya zoezo la kupiga kura kumalizika Jakaya Alisimama na Kudai kuwa Zoezi la Kuhusabu kura litachukua Usiku mzima hivyo majibu mpaka leo asubuhi saa nne..Hili limewashitua watu kidogo kwani wakati anafungua mkutano alisema kwamba majibu lazima yatoke usiku huu huuu......

            Waliopigiwa  kura  na  mkutano  mkuu  usiku  huu ni  wale  waliofanikiwa  kuingia  3  bora  ambao  ni  Magufuli, Amina  Salum  na  Asharose  Migiro...

            Nani  ataibuka  kidedea??.....Majibu  yote ni  kesho  saa  nne  asubuhi

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 13, 2015, 4:54:59 PM7/13/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            Tujiulize Maswali Haya Juu ya Uporaji wa SILAHA na Mauji ya Askari Vituo vya Polisi..

            Posted: 13 Jul 2015 10:44 AM PDT

            Hii hali ya polisi kuporwa silaha vituoni inatisha sana kwa sasa.

            Hapa kuna maswali machache nimejiuliza bila majibu

            1.Ni kwanini waporaji hupendelea vituo vya mjini tu?Hususani Dar na Pwani

            2.Kwa nini waporaji hawajishughulishi na vituo vya wilayani huko mkoani,Ingali kwao inakuwa rahisi kutoroka?

            3.Kwa nini wanatumia riski kubwa kupora hizo silaha ukizingatia tetesi zilizopo zipo silaha haramu zinauzwaga kwa bei rahisi?

            Hili ni jambo la kufanyia utafiti na uchunguzi wa kina,Inawezekana nyuma ya huu uharamia lipo jambo kubwa limejificha.

            Picha Hii Inatufundisha Nini Kuhusu Watawala Wetu Wanao Omba Kupewa Mamlaka kwa Muhula wa Pili au zaidi?

            Posted: 13 Jul 2015 10:40 AM PDT

            Monduli Wakati shule nyingi nchini zinafunguliwa baada kumalizika kwa likizo Wanakijiji wa kijiji cha Donyonaado kilichopo wilaya ya Monduli mkoani Arusha wameeleza wasi wasi juu ya uchakavu wa jengo la shule ya Msingi Idonyonaado huenda linaweza kuanguka na kusababisha maafa kwa wanafunzi.

            Shule hiyo iliyoko umbali wa kilomita 64 kutoka Monduli mjini iliyojengwa kwa udongo na mawe na wanakijiji waliojitoa haina milango na madirisha hivyo wanafunzi kupata adha ya vumbi na baridi kali hasa kipindi cha mvua. Wanakijiji hao wamesema kuwa hali mbaya ya miundombinu ya shule hiyo imewafanya wazazi wengi kusita kuwapeleka watoto mashuleni hivyo ameiomba serikali na mashirika binafsi yajitokeze kusaidia kutatua changamoto hizo.

            Mwenyekiti wa kijiji cha Donyonaado ,Malulu Kutetei amesema kuwa licha ya changamoto za shule hiyo bado wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa nyumba bora za walimu pamoja na uhaba wa maji jambo linalokwamisha maendeleo ya taaluma shuni hapo.

            Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la Wafugaji la Monduli Pastodalist Development Initiative (MPDI) ,Erasto Sanare ameeleza kusikitishwa na changamoto zinazoikabili shule hiyo hivyo kushiriki katika ujenzi wa shule ya kudumu ,ameieomba serikali isaidia shule hiyo ambayo ni tegemeo kwa wafugaji.

            Licha ya Jamii ya Wafugaji kuamka katika masuala ya elimu tofauti na miaka iliyopita bado kuna mazingira duni ya elimu ikiwemo kukosekana kwa shule za kutosha,miundombinu mibovu,uhaba wa maji na vifaa vya kufundishia na nyumba za walimu

            My take
            Swali: Kweli Kabisa tunaamini watu hawa wanaweza saaaana kuongoza? Kabisa wapo wanaosema tuwape miaka mingine mitano tena kwa macho makavu kabisa....

            Tundu Lissu: I don’t See Lowassa Crossing Over From CCM to Join With UKAWA

            Posted: 13 Jul 2015 10:35 AM PDT


            A Tanzanian opposition lawmaker says tension within the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party will boost the chances of the opposition coalition to win the presidential vote.

            The CCM has ruled the country since the country gained independence in 1961.

            Tundu Lissu of the Chadema party says the opposition parties' Ukawa coalition will take advantage of the apparent split among supporters of the ruling party to win.

            His comments came after senior officials of the CCM Central Committee excluded former Prime Minister Edward Lowassa, from the list of aspiring candidates to lead the party in the October 25 general election.

            Lowassa was seen as a front-runner in the presidential race because of the crowds that welcomed his campaign across the country. His opponents however accuse him of being divisive and tainted with corruption. Lowassa denies the accusations.

            The ruling party’s central committee led by outgoing President Jakaya Kikwete excluded Lowassa from a five-member list of candidates ahead of the October vote.

            Opposition Hopeful

            Analysts say Lowassa’s exclusion could split the ruling party, and give the opposition coalition a chance to win the presidential vote. Lissu agrees with the assessment.

            “This is the end game for CCM and it has been this way for quite a while,” said Lissu. “The fact that Edward Lowassa has been taken out of the race will definitely cause even bigger tension and divisions within the CCM. It will surely put us in a much better position to win power in October.

            “Our chances are very good,” said Lissu. “They were very good with Lowassa and they are very good with whoever comes… [Lowassa] has not been able to win the people within his party. We know the reasons why he was drawing huge crowds [because] his campaign has been very well financed. He spent billions to get people on the streets to get people to show support to him.”

            Some supporters of the former prime minister say Mr. Lowassa should consider joining an opposition party to challenge the ruling party due to what they said is his popularity. Lissu disagreed.

            “I don’t see Lowassa crossing over from CCM to join with Ukawa. Firstly, because he is not the type of politician who has the boldness required to cross over. It is also a fact that if he crosses over to the opposition, there is no way he can be our flagbearer in the coming election in October. So, I don’t see any incentive for him to cross over except for the maybe retaliation,” said Lissu.

            He said the reaction of supporters from the opposition coalition has been quiet. Lissu however says the group has been focused on intensifying its nationwide campaign ahead of the vote.

            “We have been preparing ourselves so whoever comes from CCM... we are being prepared. So the fact that it is not Lowassa does not in any way lower our level of preparation,” said Lissu.

            Lulu atolea ufafanuzi wa ‘Kijembe’ Alichoandika Twitter kuhusu ‘viti maalum’ Ambacho Wengi Wanadai Amemlenga Wema Sepetu

            Posted: 13 Jul 2015 10:14 AM PDT

            Baada ya muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Elizabeth “Lulu” Michael kuandika tweet iliyotafsiriwa kuwa huenda ni kijembe kwa mrembo fulani, amefafanua alichokimaanisha.

            Lulu amesema kuwa alichokiandika kwenye post hiyo ilikuwa ni utani, na wakati huo huo kukubali kuwa inaweza kuwa na ukweli ndani yake.


            • “It was a joke, but sort of ukweli pia kwa sababu mara nyingi kumekuwa na dhana watu wa nje wanachukulia kama vile viti maalum ni vya kupeana” alisema kupitia The Playlist ya Times Fm.


            Hiki ndicho alipost:


            Lulu aliendelea kwa kusema:


            • “…probably watu wameichukulia kama nimemsnitch mtu, mimi siko hivyo na sinaga hayo mambo kabisa. Ni kwamba nimefanya kama utani, lakini watu wasichukulie poa kwamba kila anaewekwa pale kwamba ana sura nzuri, kila anaewekwa pale ana umbo zuri.”

            LULU MICHAEL Amchokoza Wema Sepetu, Ampiga Dongo la Wazi wazi Kuhusu Ubunge Viti Maalum, Soma Hapa Vijembe Alivyotoa kwa Wema

            Posted: 13 Jul 2015 04:13 AM PDT

            Kupitia Account yake ya Tweeter Mrembo na Mwigizaji wa Bongo Movies Lulu Michael Amerusha Kijembe kikali kwa Wanaowania Ubunge kupitia Viti Maalum, Kijembe hicho kimetafsiriwa na Wadau kuwa ni Special kwenda kwa Wema Sepetu ambae nae yumo katika wagombea kupitia Singida...
            Soma Hapa alichoandika:

            Taarifa zaidi za kuvamiwa kwa kituo cha polisi Stakishari-Ukonga,polisi wanne kuuawa na kuporwa silaha

            Posted: 13 Jul 2015 04:00 AM PDT

            WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam, jana usiku na kuua askari na raia kisha kupora silaha.

            Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio zinasema kuwa watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza kuwashambulia kwa risasi.

            Inadaiwa kuwa askari wanne wamepoteza maisha katika tukio hilo, wananchi wawili na mmoja wa magaidi hao.

            Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema atakuwa na mkutano na wanahabari kati ya saa 5 au 6 leo kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi juu ya tukio hilo la kigaidi.

            Diamond na Penny Uso Kwa Uso...Ni Kwenye 40 ya Mtoto wa Aunt Ezekiel, Wakumbushia Enzi zao...

            Posted: 13 Jul 2015 03:28 AM PDT

            Musa Mateja na Imelda Mtema
            Ule usemi wa kwamba milima haikutani, binadamu hukutana umejidhihirisha baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, kukutana uso kwa uso na aliyekuwa mchumba’ke, Penniel Mwigilwa ‘Penny’ kwenye shughuli ya 40 ya mtoto wa mwigizaji, Aunt Ezekiel hivyo kupata fursa ya kukumbushia enzi zao.


            Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita nyumbani kwa Aunt, Mwananyamala, Dar ambapo pati hiyo ilihudhuriwa na mastaa kibao.

            Katika tukio hilo, Diamond ndiye aliyeanza kumuona Penny akamwita kwa lengo la kumsalimia ambapo naye alitii akionekana mwenye furaha kisha walikumbatiana huku baadhi ya waalikwa wakiwataka kukumbushia enzi za mapenzi yao.

            Baada ya salamu, waliendelea kuzungumza ‘mambo yao’ huku muda wote wakicheka.
            Baadaye, Penny aliwasalimia baadhi ya watu waliokuwa wamekaa na Diamond na kwenda kukaa pembeni yao huku akitazamana na Diamond kwa shauku kubwa.

            Ijumaa Wikienda liliendelea kufuatilia kila jambo juu ya wawili hao ambapo muda mwingi walikuwa wakitaniana huku Romy Jones akichagiza utani huo.Hata hivyo, baadaye Romy alinyanyuka alipokuwa ameketi na kwenda kwa Penny kama mtu aliyeagizwa jambo na Diamond ambapo walizungumza kwa kirefu.

            Alipoulizwa Penny kulikoni yeye na Diamond kuwa gumzo mahali hapo, alisema kuwa hana sababu ya kununa maana hakuna kibaya ambacho kipo kati yake na jamaa huyo kwani wamekuwa wakiwasiliana na kuongea vizuri ingawa kila mtu ana mambo yake.

            “Hapa tumealikwa na kila mtu amekuja kivyake, sasa si rahisi ukawaona watu usiwasalimie au uchukie maana hakuna sababu ya kufanya hivyo, sina ugomvi na Diamond na sina mipaka yoyote ya kusalimiana au kuongea naye,” alisema Penny.

            Kwa upande wa Diamond alisema kuwa alikuwa pale kwa ajili ya kufuturu na kumfurahia kila mtu hivyo hakuna dhambi yoyote kwake kusalimiana na Penny.

            Minong'ono Kuhusu Shilole Kuwa Mjamzito Hizi Hapa..Mwenyewe Aibuka na Kusema Haya

            Posted: 13 Jul 2015 03:16 AM PDT

            Mussa Mateja
            Minong’ono! Tumbo la staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ limezua maswali kwa wadau kibao kama ni la kawaida au tayari mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Muziwanda’ ameshampachika ujauzito.

            Shilole au Shishi Baby alizua minong’ono hiyo wikiendi iliyopita nyumbani kwa mwigizaji, Aunt Ezekiel Grayson maeneo ya Mwananyamala jijini Dar ambapo kulikuwa na shughuli ya 40 ya mtoto wa Aunt, Cookie iliyokwenda sambamba na futari huku mastaa kibao wakijumuika katika tukio hilo.

            Akiwa kwenye tukio hilo, Shilole alizua maswali baada ya tumbo lake kuonekana limejaa kama mjamzito.
            “Dah nipo kitambo sasa lakini sijapata picha kama tumbo la Shilole ni mimba au kashiba tu, maana kwa uzoefu wangu jinsi anavyoonekana atakuwa na mimba,” alisema mmoja wa mashuhuda.

            Baada ya kuona hali hiyo, mwanahabari wetu alimfuata Shilole kwa lengo la kumtaka azungumzie ishu hiyo kama ni tumbo tu au ameshanasa ujauzito, ambapo alisema:

            “Ni kweli nina mwanaume rijali lakini sijabahatika kupata mimba, nadhani muonekano wa tumbo ni kwa sababu ya nguo niliyovaa ila natamani kupata mtoto,” alisema Shilole.

            Picha za Mauji ya Polisi na Raia yaliyofanywa na Majambazi Usiku wa Kuamkia leo Jijini Dar

            Posted: 13 Jul 2015 12:03 AM PDT




            Picha zanatisha :Picha za Mauji ya Polisi na Raia yaliyofanywa na Majambazi Usiku wa Kuamkia leo Jijini Dar

            Hii Inakuhusu...Edward Lowassa Anaomba Ushauri Kutoka Kwako ni Kitu Gani Afanye Baada ya Jina Lake Kukatwa Katika Kinyang'anyiro cha Urais

            Posted: 12 Jul 2015 11:11 PM PDT

            Edwardlowassa - Niambie, ushauri wako kwangu ni upi?
            Nakusikiliza.... .
            .
            Si nimewaambia??? Safari ya matumaini haijaisha. ....so toa ushauri wako tafadhali Mh. Edward Lowassa anakusikiliza........

            Breaking News;Kituo cha Police Ukonga Staki Shari Chavamiwa na Majambazi..Wauwa Tena

            Posted: 12 Jul 2015 11:09 PM PDT

            Kituo cha polisi Staki Shari Ukonga kimevamia na majambazi sasa hivi.
            Kuna askari na waliouawa.
            .........................
            wakuu,niko hospitali ya Muhimbili sasa hivi imeletwa miili ya askari police watano wa kituo cha staki shari wamepigwa risasi na kuporwa silaha.
            ...............................
            So far idadi ya waliopoteza maisha ni 6 bila kujali ni askari au majambazi. Ila kuna hali ya taharuki sana maeneo ya ukonga hadi FFU wameamshwa kuja kutia nguvu

            Mange Kimambi Adai Roho yake Imerudi CCM, Kumchagua Magufuli Urais 2015 Wamecheza Kama Ronaldo

            Posted: 12 Jul 2015 10:56 PM PDT

            'Kusema ukweli, mimi kama mimi nilikuwa nimeshagive up on CCM. Kilichonirudisha 100% ni Magufuli. Huyu baba ni mkali hana mchezo na mtu just what Tanzania needed. Kusema ukweli mimi nilikuwa ndio mtoa kasoro wa kwanza wa chama changu naomba kutangaza rasmi kuwa nayameza maneno yangu sababu ya Magufuli. Sasa CCM itarudi kwenye mstari. Sasa Nchi itasonga mbeleeeez. Namuaminia. Wananchi ambao mlikuwa mmeshagive on CCM kama mimi naomba turudi full fulll. No more ujinga ndani ya CCM  or ndani ya nchi hii, mambo yatabadilikaaaaaa. Naamini… Yes women supporting women ila pale top 3 sikumuona wa kuwapigisha watu gwaride zaidi yake na nchi iko kwenye hali mbaya mnoooooo anahitajika mtu mkali sana. Dada yenu avyojua kutoa viongozi kasoro ila hapa nimeshindwaaaaa naomba nitoe salute…..Mamae CCM wamecheza kama Ronaldo!!!! Au walimfufua Nyerere for day akawapa ushauri??? Maana dah, wameweza kurudisha confidence ya wananchi mie mwenyewe nimeufyataaaaaa….hahahhahaha' Says Mange

            PHOTOS!! Meet The Skinny Kenyan Man Who Has Changed His S*x to Female …. Pure Insanity

            Posted: 12 Jul 2015 10:52 PM PDT


            His name is Jaffar Jackson and he has decided to change his s*x to female after being trapped in the wrong body for years.

            Jaffar claims that he was inspired by Kaitylyn Jenner, 65 (The Kardashian's step father).

            Here are some photos of Jaffar as a woman;

            "Feeling like I have been living in the wrong body for as long as I can remember. Finally decided to open up to the word! ‪#‎Transitioning#" Following the world shattering piece of news about Kaitylyn Jenner who finally become a woman after living entombed in the wrong body for 65 years.


            This Tanzanian LADY Can Make Kenyan Men Divorce Their Wives, See What She Did (VIDEO)

            Posted: 12 Jul 2015 10:44 PM PDT


            Forget about twerking, there’s a Tanzanian dance known as Baikoko that involves ladies shaking their body in a s3ductive manner. A s3xy lady from Tanzania has decided to show men how things are done and the way she did is just out of this world.

            To all Kenyan men who want to see the real s3xy dance, just click the video below

            Urais 2015: Membe, Kigwangalla Wakubali Yaishe

            Posted: 12 Jul 2015 10:38 PM PDT

            Waziri wa Mambo ya nje na  Ushirikiano wa  Kimataifa Mh. Bernard Membe  pamoja na  Mbunge wa Nzega  Dkt. Hamisi Kigwangalla wamekubali kushindwa katika kinyang’iro cha kuomba ridhaa ya kuteuliwa ndani ya chama cha Mapinduzi CCM zoezi lililohitimishwa leo.

            Akizungumza na Mwandishi wetu mara baada ya Magufuli kutangazwa mshindi  , Mh. Bernad Membe amesema angechaguliwa mtu mwingine pasinge tosha leo katika ukumbi mpya wa chama cha Mapinduzi CCM, lakini kuteuliwa kwa Dkt Magufuri ameridhika kabisa kutoka ndani ya moyo wake huku akimmwagia  sifa Magufuli na kusisitiza kuwa  watanzania wamepata mtendaji shupavu.

            Naye Kigwangalla amesema  hakika Magufuli ni chaguo la Mungu kwa  kuwa ni mmoja kati ya wanasiasa ambao hawajatoa hata shilingi kumi kuwapa wadhamini ili adhaminiwe kama ilivyo kwa wanasiasa wengine.

            Kwa mujibu wa Nape Nnauye katibu wa Itikadi na Uenezi CCM  mara baada ya kumpata mwanasiasa atakaye peperusha bendera ya chama cha Mapinduzi amesema wanatarajia kufanya mkutano jijini Dar es salaam siku ya jumanne.

            Video: Magufuli Aahidi Kupambana na Wezi,Wala Rushwa, Wabadhilifu na Wazembe Katika Serikali Yake

            Posted: 12 Jul 2015 10:36 PM PDT

            Magufuli  Aahidi  Kupambana  na  Wezi,Wala  Rushwa, Wabadhilifu  na  Wazembe  Katika  Serikali  Yake VIDEO:

            UKAWA Isubiri 2025, Hawawezi Shindana na Magufuli.

            Posted: 12 Jul 2015 10:27 PM PDT

            Wakuu, Habari.
            Kwa tafiti yangu ndogo, sii oni nafasi ya ukawa kwenda ikulu.... Maana nguvu ya Magufuli ni kubwa.

            1 . Kanda ya ziwa ambako Kuna mikoa ya Mwanza, Musoma, Kagera, Simiyu, Geita na Shinyanga. Na ikumbukwe hii Kanda ina wapiga kura wengi kuliko sehemu yeyote Tanzania. Na ikumbukwe Magufuli ana asili ya huku na pia huku hawaangali chama Bali mtu..... Ndio maana, Wasira alishakuwa mbunge kupita CUF na CCM. Na huku usukumani wao magufuli kupeperusha bendera ya CCM..... kwao ni heshima kubwa sanaaa.... Ataondoka na kura zote.

            2. kanda ya kati Dodoma na Singida.... Magufuli atapitishwa kirahisi.... Maana tatizo kubwa la huku ni bara bara hasa.... Kitendo cha magufuli kupitishwa wanaamini wamepata mkombozi.

            3. Kanda za kusini, mashariki na magharibi.... Na kwenye we bado ni kurahisi sana.

            Ni hayo tu wakuu.

            Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

            Posted: 12 Jul 2015 10:24 PM PDT

            Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

            Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

            Vicent Kigosi “Ray” on instagram

            BET Awards Representative Has Finally Spoken About the Discrimination Claims on African Artists

            Posted: 12 Jul 2015 10:18 PM PDT

            A representative of Black Entertainment Television (BET) has finally spoken about the purported disrespect and discrimination on African artistes at the station’s annual awards in LA, the BET Awards.


            According series of tweets by the Rights & Research Administrator for BET’s Business & Legal Affairs, Lilian Blankson, things may get better if African artistes concentrates on pushing their music on international platforms and pushing to get their music played on American radio stations rather than criticizing organisers of the awards who have nothing to lose if they decide to drop the “Best International Act-Africa” category.

            She also corrected that the “Best International Act-Africa” category winner is pre-recorded and not presented back stage as reported in the media.

            Ms. Blackson also blamed past African winners of that category including Sarkodie, Wizkid, Davido, TuFace, D’Banj among others for keeping quit and not telling Africa the true story of what really happens at the awards. She urged honorees of BET awards particularly from Africa to speak up and paint the right picture to Africa.

            Lilian N. Blankson is a reliable authority at BET and their events. She was in charge of producing special productions such as BET’s 25th Anniversary, The BET Awards Show, Celebration of Gospel, Rip The Runway, Comedy Awards, Walk of Fame, Spring Bling, and the Hip Hop Awards for the BET network.

            Lilian also produced and directed the first African Cypher on BET that featured Sarkodie and also helped in the execution of the BET International act category.


            Shilole: Nuh Mziwanda Amenifanya Niwe Msichana Mwema

            Posted: 12 Jul 2015 10:15 PM PDT

            Shilole amesema yeye ni ‘bad girl gone good’ thanks kwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

            Shilole anadai Nuh amembadilisha na kumfanya kuwa msichana mtulivu Muimbaji huyo amesema kabla ya kukutana na Nuh Mziwanda alikuwa ‘walu walu.’

            Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Shilole amesema Nuh amembadilisha kwa kiasi kikubwa na kwamba hajawahi kusaliti penzi lao. Shilole akiwa kwenye kipindi cha Mkasi “Kabla sijawa na Nuh ndio nilikuwa walu walu, yeye ndio amenibadilisha.

            Baada ya kukutana naye tukazungumza na kupanga mambo mbalimbali kuhusu maisha yetu, sijawahi kumcheat Nuh.”

            Bongo5

            Udaku Specially

            unread,
            Jul 14, 2015, 4:26:05 PM7/14/15
            to mbara...@googlegroups.com

            Udaku Specially


            YUCK! See How Tanzanian Singer RAY C Looks Without Make-Up

            Posted: 14 Jul 2015 11:22 AM PDT

            YUCK! See how Tanzanian singer RAY C looks without make-up

            OBAMA Visit to Kenya : Prostitutes To Offer Free S£X in Kisumu on July 24-26 - Here Are Conditions

            Posted: 14 Jul 2015 11:18 AM PDT

            US President Barrack Obama’s visit to Kenya this month has been welcomed with a lot of madness in Kisumu City with city prostitutes now planning to offer free services to clients to celebrate Obama’s visit to his fatherland.

            Addressing journalists on Monday night, the head of commercial s£x workers in Kisumu, Faith Onyango, said the city wants to attract tourists by offering free s£x to their clients for the three days Obama will be in Kenya.

            Obama, whose father’s was born near the city, is expected to visit Kenya on July 24 -26 to attend the Global Entrepreneurship Summit (GES) in Nairobi.

            “We will offer visitors free services to celebrate Obama’s homecoming,” Faith said adding that the city has over 1,800 prostitutes who are ready to unleash their "goodies" for free in those three days.

            However, Faith gave some conditions that men should meet in order to romp with beauties from the lakeside town.

            “Every man must have a condom in order to get rid of STDs. Those who are addicted to having sex Nyama kwa Nyama (without a condom) should keep off Kisumu City,” Faith warned.


            HUDDAH MONROE Was Doing This With MZEE OJWANG When She Was 16 Years Old

            Posted: 14 Jul 2015 11:25 AM PDT

            Did you know that Huddah Monroe was once an actress and took the role of Kayai in Vioja Mahakamani some years ago? Huddah revealed this while paying tribute to the late Mzee Ojwang;

            RIP Mzee Ojwang…… I remember days when I acted as Kayai on Vitimbi , stuff only a few people know. He was the most funniest, humble guy I’ve ever met …….RIP legend, we will miss you . #16WasAGoodYear #TheHustleWasReal

            Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 14

            Posted: 14 Jul 2015 07:01 AM PDT
























            Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  July  14

            Pesa Aliyolipwa Diamond Platnumz Baada ya Video yake Kuchezwa kwenye TV ya Marekani.

            Posted: 14 Jul 2015 07:00 AM PDT

            Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada ya wimbo wake kuchezwa kwenye TV maarufu kwa burudani, BET ya Marekani.

            Tazama hii video hapa chini ujue hizo milioni alizozichukua Diamond.

            Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula

            Posted: 13 Jul 2015 10:51 PM PDT


            Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda ukipita atasahaulika na yale aliyopanga kuyatekeleza hayatatimia. Wapo waliomshauri kwamba aende kwao Monduli akatulie japo kwa wimbi mbili na asiruhusu watu wamtembelee ili mawazo yake yapungue. Wapo pia wanaomshauri kuwa aende kwenye vyombo vya habari na kueleza kwa nini amekatwa. Wanaomshauri hivyo wanaona kuwa hiyo ndo njia sahihi kwani kukaa kwake kimya kunaacha sintofahamu kwa wapenzi wake.

            Hata hivyo, nimetafakari sana juu ya hatma ya Lowasa na nimebaini kuwa anasumbuliwa na mambo yafuatayo;

            1. JINSI YA KUREJESHA FEDHA ZA WAFADHILI WAKE
            Lowasa ametumia kiasi kikubwa cha fedha tangu aanze mchakato wa kwenda Ikulu, vyanzo vyangu vimebaini kuwa Lowasa ametumia zaidi ya shilingi bilioni 50 hasa kuanzia mwaka 2012 alipojitokeza hadharani kuchangia huduma za kijamii, mashirika ya kidini, watu binafsi na taasisi mbalimbali. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 30 zimetumika kwa kipindi cha 2014 hadi alipokatwa rasmi Julai 9. Inaelezwa kuwa kiasi kingine cha fedha kipo mikononi mwa watu na kingine hakijulikani kimeenda wapi ijapokuwa bill imeenda kwa Lowasa. Hiki ni kiasi kikubwa cha fedha. Ni fedha ambazo alipewa kwa wafadhili wake kwa mategemeo kuwa zitarejeshwa baada ya yeye kwenda Ikulu ambapo walikubaliana kuwa watapewa miradi ya serikali. Hata hivyo, baada ya kukatwa, Lowasa hana namna tena ya kurejesha fedha hizo. Baadhi ya wafadhili wake kama akina Karamagi, Rostam, Manji na Reginald Mengi wameanza kumnunia na kwamba tangu juzi, baadhi yao hawajapiga hata simu kumsalimia tofauti na hapo awali ambapo kila mara walikuwa wanapiga simu kujuliana hali na kubadilishana mawazo. Jambo hili linamtatiza sana Lowasa.

            2. HATMA YA MAISHA YAKE BAADA YA KUKATWA.
            Lowasa alikuwa na uhakika wa asilimia 100 kuwa ndiye Rais ajaye. Ubongo wake aliutune usipokee aina nyingine ya maisha tofauti na majukumu ya mkuu wa nchi. Kitendo cha kukatwa hata kabla ya kuingia tano bora, hakika kinamnyima raha sana.

            3. KUKIMBIWA NA WATU WALIOKUWA KARIBU NAYE.
            Baadhi ya watu ambao mara zote walikuwa karibu naye inasemekana kuwa wamemkimbia. Miongoni wa watu hao ni pamoja na Emmanuel Nchimbi, Hamisi Mgeja, Jerry Slaa, Sophia Simba, Adam Kimbisa, Apson Mwang'onda, Mohamed Abdulaziz, Kingunge Ngombale Mwiru, Msukuma na wengineo wengi. Eneo ambalo amepoteza watu wengi ni kanda ya ziwa ambako aliwekeza fedha nyingi. Hakika kitendo cha watu hao kumkimbia ni pigo kubwa sana kwake. Sasa anakumbuka msemo wa kiswahili kwamba mgaa gaa namupwa hali wali mkavu. Kumbe waru wale hawakuwa na mapenzi mema kwake na kilichokuwa kinawapeleka ni fedha zake tu. sasa bahari imekauka wameamua kuikimbia lwani na kwenda kuishi bara.

            4. MATAMSHI YA BAADHI YA WAFUASI WAKE KUMUUNGA MKONO MAGUFULI.
            Baadhi ya wafuasi wake wamenukuliwa wakitoa matamshi ya kumuunga Mkono Mgombea wa CCM, JOHN POMBE MAGUFULI. Miongoni mwao ni Emmanuel Nchimbi ambaye ndiye alimuandaa kuwa Waziri Mkuu wake. Watu hao wamesikika wakisema kuwa hawana budi kumuunga Mkono Magufuli kwa vile anauzika kuliko wagombea wengine waliochukua fomu. Maneno hayo yamemkasirisha sana Lowasa na yanaendelea kumtesa kila akisoma kwenye mitandao ya kijamii. Ina mana yeye Lowasa hauziki?

            5. WANACHAMA WALIOMDHAMINI WAKATI WA KUOMBA RIDHAA YA CHAMA
            Lowasa alipata wadhamini zaidi ya laki nane na hivyo kuwa kinara kuliko wagombea wengine. Mgombea aliyepata wadhamini wachache, Magufuli ndiye kaibuka kuwa mshindi. Hilo linamtesa sana Lowasa. Kinachomsumbua zaidi ni zile pesa alizotumia kuwapa wadhamini hao. Lowasa anajua kuwa wadhamini hao wanajua siri hiyo na wakati wowote wataiweka hadharani. Ikiwa siri hiyo itawekwa hadharani, ni wazi kuwa ataendelea kuumbuka na hata kama atahama chama, huko atakakoelekea hatakuwa wa maana tena.

            Kuna orodha ya mambo mengi sana yanayomtesa Lowasa. Hata hivyo, kukaa kimya anaona kuwa siyo suluhisho kamili. Njia anayoona muafaka ni ile aliyotumia awali. Yaani kuitisha press conference na kutoa ya moyoni. Yaani kati ya wagombea wote 38 waliorejesha fomu, huyu pekee ndiye anayeteseka baada ya kukatwa. Wengine wametulia tulii na wamekubaliana na matokeo. Hata hasimu wake kisiasa Benard Membe na hata Sammuel Sitta wameamua kukaa kimya na kutokuwa waropokaji. Wameheshimu maamuzi ya vyombo halali vya chama vilivyoundwa kwa kazi hiyo. Kazi ya KUKATA waliochukua fomu kwa vile masharti ni kwamba kuwe na wagombea watano tu wanaoenda NEC.

            Kwa kumalizia, nawakumbusha Msemo wa JK kwamba UKITAKA KULA KUBALI NA WEWE KULIWA. Ndicho kinachomtesa hasa Lowasa. Kala sana vya watu na sasa anahofia kuliwa. Anajua kuwa watu kama akina Karamagi, Manji, Rostam hawatakubali kuona fedha zao zimeteketea. Lazima zirudi kwa njia yoyote ile.

            JF...

            Lowassa: Je, Alikosea Wapi? Akiamua Kuendelea, Arekebishe Wapi?

            Posted: 13 Jul 2015 10:39 PM PDT

            Mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya CCM umeshakamilika, na mgombea aliyepatikana ni John Pombe Magufuli. Pamoja na hayo, ukweli unabakia kwamba katika mchakato wa kutafuta wadhamini, ni Edward Lowassa ndiye aliyeungwa mkono na wanachama na makada wengi wa CCM kuliko mgombea mwingine yoyote.

            Edward Lowassa aliungwa mkono na wanachama karibia milioni moja wa Chama Cha Mapinduzi. Pamoja na jina la Edward Lowassa kutorudishwa na vikao vya ngazi za juu ya CCM, kuelekea uchaguzi mkuu, suala la Lowassa kupata wadhamini karibia milioni moja ni suala ambalo halitakiwi kuchukuliwa kimasihara au kubezwa, kote - ndani na nje ya CCM. Kwanini tunasema hivyo:

            1. Wadhamini hawa karibia milioni moja ni mchanganyiko wa wanachama na viongozi wa ngazi mbali mbali wa CCM. Wanatoka katika kona mbalimbali za Tanzania. Ni hawa ambao kwa kawaida, ndio wanaochukuaga jukumu la kumbeba na kumnadi mgombea urais (CCM) baada ya jina la mgombea kupatikana.

            2. Kwa kuzingatia historia inavyotueleza, upinzani umeweza kunyakua makada wengi wa CCM baada ya makada hao kuenguliwa majina yao na vikao vya juu vya chama, licha ya makada husika kukubalika na kuwa chaguo la wanachama na makada wengi wa ngazi za chini. Kilichofuatia ni kwamba, CCM ilikuja kupoteza majimbo kadhaa kwa upinzani.

            Kama ilivyotokea huko nyuma kwa makada kadhaa kuenguliwa katika vinyang’anyiro cha ubunge hivyo safari yao ya matumaini kuzimishwa na vikao vya juu vya CCM licha ya kukubalika na makada wengi wa ngazi za chini za CCM, hali hii imejitokeza kwa mara ya kwanza katika kinyang’anyiro cha kutafuta mgombea urais (CCM) ambapo, Safari ya matumaini ya Edward Lowassa kubeba bendera ya CCM (urais) 2015, Safari hiyo imezimwa rasmi na vikao vya juu vya chama cha mapinduzi. Je:

            · Edward Lowassa alikosea wapi katika safari yake ya matumaini ndani ya CCM?

            Na iwapo itatokea akashawishika kuendelea na safari yake ya matumaini kupitia chama kingine cha siasa kama ilivyotokea kwa makada wengine walioenguliwa kwenye vinyang’anyiro vya ubunge (CCM), ili kutimiza safari yake ya matumaini nje ya CCM, je:

            · Edward Lowassa arekebishe wapi ili kufika safari yake ya matumaini nje ya CCM?

            Dr Slaa: Nikiwa Rais Nitamtia Magufuri ndani kwa Kuuza nyumba za Serikali

            Posted: 13 Jul 2015 10:34 PM PDT

            Dr Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha Jana jioni nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuri kuwania Urais.

            Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.

            Source: Radio five, Arusha

            Tukio la Kituo cha Polisi Kutekwa: Viongozi Wa Dini Wacharuka.......Wamtaka Rais Kikwete Afanye Mabadiliko ya Jeshi la Polisi

            Posted: 13 Jul 2015 10:05 PM PDT

            VIONGOZI mbalimbali wa dini nchini wameandaa maandamano  kwa lengo la kumuona Rais jakaya kikwete ili kumuomba alifanyie mabadiliko makubwa Jeshi Polisi.

            Mabadiliko hayo ni pamoja  na kubadili mawaziri  wote wa mambo ya ndani,  mkuu wa jeshi hilo (IGP)  na  MA-CP wawili ambao wametajwa  kuendesha jeshi hilo  kimtandao  kinyume  na taratibu za kijeshi.

            Maandamano hayo yamefikiwa na Maaskofu na Mashekhe 160 wa mjini Dodoma jana chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya  Maadili, amani na haki za binadamu ya Madhehebu ya Dini Nchini Askofu William Mwamalanga.

            Mwamalanga alisema  viongozi hao wamepokea taarifa ya kuuwa  kwa  askari polisi  wanne wa kituo cha stakishari cha jijini Dar es Salaam  kwa masitikito.

            “Tumepokea taarifa ya vifo vya askari hawa kwa masikitiko, hali hii haikubaliki kila mara vituo vimekuwa vikivamiwa na hadi sasa takriban Askari 47 wameuwawa,” alisema Mwamalanga.

            Huku akibubujikwa na machozi ya Uchungu Askofu Mwamalanga amehoji ukimya wa  Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe na IGP Erinest Mangu kwa vifo vyote ambavyo vimekuwa vikitokea tangu mwaka huu uanze.

            “Uvamizi huu na mauaji ya askari wa chini unatisha   na hatuoni hatua yoyote ya maana  iweje wahalifu wawe na nguvu kuliko jeshi hasa kipindi hiki ambacho dunia inakabiliana  na makundi ya wahalifu hatari wakiwemo al shabab,” alihoji.

            Kufuatia hali hiyo, ASkofu  Mwamalanga  amemuomba  Rais kikwete  kuwaongeza askari  wangazi ya  chini  mishahara   kwa kiwango cha Millioni moja ili  walingane na wenzao wa  nchi za afrika mashariki na kusini.

            Alisema hatua hiyo itawawezesha askari hao kukabiliana na changamoto za maisha kama  ilivyofanya kwa wafanyakazi Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ambapo ilisema hiyo itawaondolea tamaa za Rushwa.

            “Kwa Polisi ni zaidi kwani kitendo cha kuuwawa kama tembo porini bila mshahara mzuri kunawakatisha tamaa na ari ya kufanya kazi,” alisema.

            Askofu  Mwamalanga  ambaye ni Mwanaharakati  Mtafiti wa haki  za jamii  alisema idadi kubwa ya Maaskofu na Maashekhe nchini wamelaani Mauaji  hayo yanayoendelea dhidi ya polisi.

            “Tayari zaidi ya askari 47 wameuwawa na wengine wamebaki vilema, silaha  lukuki zimechukuliwa vituoni na kutokomea kusikojulikana, hili lina dhihirisha kuwa Taifa letu lipo pabaya. Ndiyo maana tunaona ipo haja tena muhimu kwa rais kwachukilia hatua za haraka  wanaosababisha uzembe huo ikiwa ni pamoja na kulifanyia ukarabati jeshi hili,” alisema.

            Aliwakumbusha watanzania kuliona jeshi hilo kuwa ni chombo chao cha kuwalinda  wao wawe salama dhidi magenge ya uhalifu  duniani hivyo wana wajibu kama  raia wema  kuhakikisha wanawalinda askari  hao kwa hali na mali ikiwa ni pamoja na kuwapa taarifa muhimu ili kuwakamata  wauaji wote pamoja  na silaha zote zilizoporwa.

            Aidha  viongozi hao  walihoji kuondolewa kwa vizuizi [ berial] barabarani kulikuwa na maslahi gani kwa usalama wa nchi kwani hivi sasa  wahalifu  wametumia nafasi kutoroka kirahisi pale wanakuwa wamefanya uhalifu.

            “Tunataka vizuizi hivyo virudishwe mara moja kwa barabara zote nchini,” alisema.

            Kwa upande wake shekhe  Athumani Mukambaku   ambaye ni  Mwenyekiti mwenza wa Kamati  hiyo  na mjumbe wa BAKWATA halmashauri ya mkoa wa dar es Salaam alishauri serikali itunge sera mahususi ya  raia  wote kuwalinda  polisi  baadala  ya dhana iliyojengeka kuwa ni polisi pekee ndiyo wenye wajibu wa kulinda  raia, jambo linalojenga chuki pale ambapo  polisi wanaposhindwa  kusimamia haki za raia sawasawa.

            “Katika kipindi hiki cha kulelekea uchaguzi mkuu jeshi linapaswa kuimarisha vituo vyake vyote ikiwa ni pamoja na kufunga kamera maalumu za cctv ili kuweka rekodi ya watu wote wanaotembelea vituo hivyo pamoja kuvunja kanda maalumu za kipolisi ambazo hazionesha juhudi ya kupambana na uhalifu na baadala yake zimeongeza gharama  kwa jeshi  hilo,” alisema Shekhe Mukambaku.

            Alisema rais anapaswa ateue makamanda wabunifu wanaokwenda na wakati na kwamba  kila mkoa uwe maalumu kwa kuimarisha vitendea kazi vya askari ikiwa ni pamoja kuwapatia  motisha wale walio ngazi ya chini ambao hukesha  vituo kuimarisha ulinzi.

            Mkuu wa Jeshi la Polisi Azungumzia Tukio La Majambazi Kuvamia Kituo Cha Polisi Jana.......Asema Waliouawa ni Polisi 4 na Wananchi 3

            Posted: 13 Jul 2015 10:03 PM PDT

            Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu akizungumza na waandishi wa habari leo katika kituo cha Stakishari Ukonga jijini Dar es Salaam, kutokana na Askari wa Jeshi la Polisi  na raia wa eneo hilo kuuwawa na majambazi waliovamia katika kituo hicho usiku wa kuamkia leo.

            Viongozi wa Jeshi la Polisi nchini wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu, wakitembelea maeneo mbalimbali ambayo majambazi walidhuru, katika kituo cha Stakishari Ukonga jijini Dar es Salaam leo.

            *****
            ASKARI wa nne wa Jeshi la Polisi na raia watatu wamefariki dunia  katika tukio la ujambazi lililotokea katika kituo cha Polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es Salaam.

            Katika tukio hilo watu wapatao nane wamesadikika kuingia katika kituo hicho cha Polisi eneo la Stakishari majira ya saa 4 usiku wa kuamkia leo.

            Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Ernest Mangu amesema lengo la la watu hao ni kutaka kuiba silaha zilizokuwa katika kituo hicho cha Stakishari.

            Aidha, amesema wananchi wanapaswa kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa zinazohusu uharifu kwa Jeshi la Polisi.

            Pia, kuhusu uvamizi wa Majambazi, Mangu amesema watajitahidi kuanza kuimarisha ulinzi kwa upande wao hususani katika vituo vya Polisi ndiyo baadae kwenda kuimarisha usalama wa  wananchi.

            Natamani mngeelewa jinsi ninavyompenda Zari – Diamond

            Posted: 13 Jul 2015 10:00 PM PDT

            Diamond Platnumz anatamani watu waelewe jinsi anavyompenda mpenzi wake Zari Tlale aka The Bosslady.

            Wawili hao wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza mwezi ujao.

            Hitmaker huyo wa ‘Nana’ amepost picha kwenye Instagram inayomuonesha akilibusu tumbo la mpenzi wake huyo na kuandika, “I wish you can understand how Much i Love this Woman… Thanks God for the life have always prayed for."

            Msanii huyo amemaanisha, “Natamani mngeelewa jinsi ninavyompenda huyu mwanamke. Asante Mungu kwa maisha niliyokuwa nikiyaomba siku zote.”

            UKAWA Wasema Magufuli Hawatishi na Hawamuogopi...Wadai Hawezi Kuleta Mabadiliko yoyote ni Wale wale

            Posted: 13 Jul 2015 09:58 PM PDT

            Dakika chache baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, viongozi wa vyama vya upinzani wamesema hawatishwi na Dk Magufuli na wanamuona kama kada wa kawaida miongoni mwa wengi waliopo CCM na kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote.

            Wamesema vita yao ni kuondoa mfumo wa uongozi uliopo na si ya mtu mmojammoja.

            Wakizungumza jana viongozi hao, hasa wanaounda Ukawa, walisema wanajipanga kumtambulisha mgombea wao kesho na kila Mtanzania atapata fursa ya kumfahamu.

            Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe alisema CCM inakabiliwa na tatizo la mfumo mbovu, hivyo vita iliyopo inaelekezwa katika kukiondoa madarakani ili kuruhusu kitu kipya kuchukua nafasi na kuwapa Watanzania uzoefu mwingine.

            Alisema Ukawa haimhofii mgombea huyo kwa kuwa hata sifa zilizotumika kumpata ni za chama chake na kwamba suala linalozingatiwa ni hoja zenye mashiko mbele ya wananchi ambao wamechoshwa na taratibu za siku zote kushughulikia kero zao.

            “Ajenda na hoja tulizonazo ndizo zitakazotubeba mbele ya wananchi… tutawapelekea ili waamue wakiwa na taarifa sahihi. Kama ni kutowajibika au ufisadi ndani ya CCM, suala hilo linaanzia ngazi ya juu mpaka kwa mwanachama wa kawaida,” alisema na kuongeza:

            “Hatutegemei kashfa kama kigezo kikuu cha kumshinda mgombea wa CCM kwa kuwa hilo ni tatizo la mfumo wa chama kizima,” alisema.

            Mwenyekiti mwenza wa Ukawa, Dk Emmanuel Makaidi alisema endapo wananchi wataachana na dhana ya kufuata itikadi na wakaelekeza fikra na akili zao katika hoja za kampeni, watakuwa kwenye nafasi nzuri ya kumchagua kiongozi bora.

            “Hatustushwi na (Dk John) Magufuli kwa lolote na mashambulizi yetu yatakuwa makubwa. Lengo letu la kuiondoa CCM madarakani liko palepale,” alisema Dk Makaidi ambaye pia ni Mwenyekiti wa NLD.

            Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika alisema mabadiliko ya mfumo mbovu wa utawala hayawezi kufanywa na mteule yeyote wa CCM kwa kuwa chama hicho kimeahidi kufanya mambo yaleyale.

            Alisema baada ya chama hicho kumaliza harakati zake za kumpata mgombea urais, kazi yake ya kwanza ilikuwa ni kumteua Samia Suluhu Hassan aliyeshiriki uongozi wa kuichakachua Katiba Mpya.

            “Hii inadhihirisha kuwa nchi itaongozwa na watu walio nyuma ya pazia kuendeleza uchakachuaji badala ya kuheshimu matakwa ya wananchi. Ufisadi utaendelea iwapo CCM itaendelea kutawala,” alisema Mnyika.


            Mwenyekiti wa Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema alimpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete pamoja na kamati ya maadili ya chama hicho kwa kuwaondoa watu wenye kashfa za rushwa na ufisadi na kutaka wembe huo uendelee hata kwa ngazi za ubunge na udiwani.

            “Chama kimejivua gamba na wafanye hivyo kwa ngazi zote zilizosalia,” alisema Mrema na kuongeza kuwa:
             
             “Nitafanya kazi kwa ushirikiano mzuri na Dk Magufuli kwani ameshafanya kazi kubwa hapa Vunjo. Namtakia mafanikio katika safari yake.”

            Emmanuel Mbasha Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji

            Posted: 13 Jul 2015 09:55 PM PDT

            MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.
             
            Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.
             
            Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.
             
            Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa injili Flora Mbasha anadaiwa kumbaka shemeji yake huyo kati ya Mei 23 na 25 mwaka huu eneo la Tabata ambako alikuwa akiishi naye.
             
            Kesi hiyo ilianza kusikilizwa mahakamani hapo Septemba 5, 2013 ambapo binti huyo aliieleza Mahakama kuwa alibakwa na shemeji yake (Mbasha) kwa awamu mbili tofauti kabla ya kufanikiwa kukimbia.
             
            Kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2003 sura ya 20 kifungu cha 186, kifungu kidogo cha tatu, kesi hiyo inasikilizwa na Mahakama ya siri ili kulinda haki ya binti huyo.
             
            Kesi hiyo itatajwa tena mahakamani hapo Julai 23, mwaka huu ambapo Mbasha anatakiwa kufika na mawakili wake ili kujitetea dhidi ya shtaka hilo
            Reply all
            Reply to author
            Forward
            0 new messages