Udaku Specially

396 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Mar 8, 2015, 5:27:25 PM3/8/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Diamond Platinumz Akaliwa Kooni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

Posted: 08 Mar 2015 05:19 AM PDT

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imemtaka meneja wake kutoa nyaraka zinazoonyesha Mikataba ya Diamond ndani ya siku saba (7).
Inaelekea kuna jambo haliko sawa!

LULU Michael na Madai ya Kulipwa Mil.15 Kwa Kucheza Movie Moja

Posted: 08 Mar 2015 04:59 AM PDT


Sidhani kama kuna producer apa bongo mwenye kifafa cha akili, ambaye ataweza kumlipa LULU mil 15 kwa movie moja tu. Ki Ukweli  hakuna movie yeyote aliyowahi kuigiza LULU na kuweza kuvunja rekodi ya mauzo kuliko filamu nyingine yoyote hapa nchini na kuweza kuwashawishi ma producer kuweza kumtumia kwenye movie zao ata kwa dau la mil 5 tu.

Nina uhakika LULU anaweza kuongoza kwa mauzo ya magazeti ya udaku apa nchini, ila sio kwenye filamu za kibongo, huo ndio ukweli.

Siwezi kumlipa Shamsa ford (CHAUSIKU) laki Mbili na nusu kwenye movie ya CHAUSIKU then nikamlipe LULU mil 10 akaigize FOOLISH AGE, that is foolish.

Ni upuuzi kumlipa RIYAMA ALLY laki tatu kucheza filamu ya FUNGU LA KUKOSA nikamlipe LULU mil 6 kucheza movie ya FAMILY CURSE.

Ni laana kumlipa ODAMA (Jennifer kyaka) laki tatu kucheza filamu ya ODAMA ukamlipe LULU mil 8 kucheza movie ya FAMILY DISASTER.

Hakuna awezaye kumlipa NISHA (salma jabu) laki moja na nusu kucheza filamu ya ZENA NA BETINA ukamlipe LULU mil 20 kucheza movie ya HOUSEBOY.

Simaanishi kuwa LULU sio muigizaji mzuri ila kiwango chake kwenye tasnia ya filamu bado sana , she has a long way to go, asifananishe umaarufu Wa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii na kiwango cha uigizaji wake kwenye tasnia ya filamu.

Amber Rose atikisa Instagram na picha ya nusu Utupu.

Posted: 08 Mar 2015 04:49 AM PDT

Alichokisema Baada ya Kupost Picha hiyo hichi Hapa chini:
U Guys Love Slut Shaming Huh? Good. I feed off that shit. # HowtobeAbadBitch 💋 (@amberrose)

Mkasa Mzima ilivyoanza Hadi Padri Feki wa Kikatoliki Kukamatwa Huko Morogoro Huu Hapa

Posted: 08 Mar 2015 04:39 AM PDT

Siri ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika.
Asenga aliyetumia vitambulisho feki, alipojitambulisha kwa uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko mkoani Morogoro, alipopewa fursa ya kuongoza Misa, alitekeleza wajibu huo wa kipadri bila kuacha shaka.

Akizungumza na mwandishi, kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki (jina limehifadhiwa), alithibitisha  kuwa Asenga alipofika Parokiani hapo kati ya Mei na Juni mwaka jana, hakutiliwa shaka hata kidogo kuwa si Padri.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, Asenga alifika kanisani hapo akiwa amevaa mavazi ya kipadri na kujitambulisha kuwa yupo nchini kwa mapumziko, akitokea nchini Marekani, alikodai ndipo anakofanyia shughuli zake za upadri katika Jimbo Kuu la New York.

Mbali na kuvalia mavazi ya kipadri, Asenga pia alionesha kitambulisho na kusababisha uongozi uamini kuwa ni Padri na kumpa makaribisho ya Padri mwenzao.

“Alipoonesha kitambulisho tulimwamini na jinsi alivyokuja na mavazi ya upadri na muonekano wake alionao, haikuwa rahisi kumtilia shaka,” alisema kiongozi huyo.

Baada ya kupata makaribisho ya kipadri, Asenga kwa mujibu wa kiongozi huyo, aliomba apangiwe zamu ya kuongoza misa ya Jumapili iliyofuata na kukubaliwa.

Kiongozi huyo alithibitisha kuwa Asenga aliongoza vyema misa hiyo, kwa kufuata taratibu zote za kanisa hilo kama zinavyofuatwa na mapadri wengine.

Kwa kawaida Misa katika Kanisa la Katoliki, huanzia  Sakestia, sehemu ambayo mapadri na waministranti, ambao ni wasaidizi wao, huvaa majoho na kusali kabla ya kuingia kanisani wakisindikizwa na nyimbo.

Baada ya kuingia madhabahuni, Padri hubusu madhabahu kabla ya kualika waumini katika Misa.

Mualiko huo hufuatiwa na maelezo kidogo na kuanza Ibada ya Kitubio, ambayo waumini hutubu dhambi zao na kujiweka tayari kusikiliza neno la Mungu.

Ibada ya kusomwa neno, kwa kawaida masomo matatu kutoka vitabu vya Agano la Kale na Jipya katika kitabu cha Bibilia Takatifu, Padri huanza kutoa mahubiri.

Mahubiri yakiisha, Misa huendelea kwa sadaka na baadaye, Padri huongoza waumini kuanza kukumbuka maelezo ya siku ambayo Yesu Kristo alitoa Sakramenti katika Chakula cha Mwisho kwa wanafunzi wake akitaka wamkumbuke.

Kwa kawaida, eneo hilo ndipo Padri kwa mamlaka aliyopewa, hufanya mageuzi ya sakramenti kuwa Hostia Takatifu, kwa maneno mengine hubariki mkate kuwa Mwili wa Kristo na divai kuwa Damu ya Kristo.

Kwa Wakatoliki, eneo la mageuzi ni eneo muhimu na ndio waumini hutuma maombi kimya kimya, wakiamini ndio Kristo anashuka mwenyewe.

Baada ya kutumikia Kanisa na kukubalika, Asenga aliaga kuwa anarudi nchini Marekani kwa kuwa muda wake wa mapumziko, umekwisha na kuagwa na Kanisa.

Wakati uongozi  wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko, ukiwa na imani kuwa Asenga ni Padri na amerejea New York, kuendelea na Utume, walipata taarifa za kushangaza kutoka kwa baadhi ya waumini, wakidai wamekutana na Asenga mitaani.

Mbali na taarifa hiyo ya kukutwa mitaani na waumini wake, taarifa zaidi zilieleza kuwa amekuwa akiishi na mwanamke katika eneo la Ujenzi, kinyume na desturi za mapadri wa Kanisa Katoliki duniani, ambao hawaruhusiwi kuoa.

Baada ya taarifa hizo, kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, Asenga aliwekewa mtego na  Paroko wa Parokia hiyo ya Mtakatifu Maria Madeko, Malt Dyfrig Joseph.

Paroko huyo inadaiwa aliwaomba waumini wamshawishi Asenga afike parokiani hapo na baada ya kufika, alihojiwa na Paroko huyo na kudai kuwa alipata upadirisho katika Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo, baada ya Paroko huyo kupata maelezo hayo, alifanya mawasiliano na Katibu wa Jimbo hilo la Dar es Salaam na kujibiwa kuwa hakuna jina la Padri huyo.

Mtego wa pili kwa mujibu wa Kamanda Paulo, ulifuata kwa Paroko huyo kutoa taarifa Polisi kuhusu uwepo wa Padri feki, ambaye aliaminiwa kwa kiwango cha kuruhusiwa kuongoza Misa.

Taarifa hizo zinasema Alhamisi ya wiki hii, saa 10:30 jioni, Asenga alimpigia simu Paroko huyo na kuomba ampangie kazi ya kuendesha Misa Jumapili ya leo parokiani hapo, na kukubaliwa ambapo Paroko huyo alimtaka afike kanisani.

Baada ya kufika, taratibu za kujulisha Polisi zilifanywa na askari walipofika kanisani hapo, walimkamata mtuhumiwa huyo.

Kwa mujibu wa Kamanda Paulo, baada ya kufanya mahojiano na Asenga, alikiri kuwa yeye si Padri na    walipokwenda nyumbani kwake kufanya upekuzi, walimkuta akiwa na majoho saba ya upadri.

Taarifa zaidi tulizozipata jana, zilibainisha kuwa Asenga huenda kwa kutumia mbinu hizo hizo, alishaaminiwa kuongoza Misa katika mkoa wa Kilimanjaro katika maeneo ya Uru na Moshi na mkoani Singida.

Mbali na kukubalika katika mikoa hiyo, lakini taarifa zaidi zilibainisha kuwa Asenga alifanikiwa kote huko kuongoza Misa na kuaminiwa, kutokana na mafunzo ambayo aliwahi kupata huko nyuma.

Inadaiwa Asenga alianza kupata mafunzo katika Seminari ya Kanisa Katoliki ya Uru, ambako alipata mafunzo ya elimu ya sekondari.

Baada ya kumaliza kwa mafanikio masomo yake katika seminari hiyo, alichaguliwa kujiunga na Seminari ya Kibosho, ambayo inatajwa kuwa maalumu kwa ajili ya kutoa elimu ya falsafa kwa wanafunzi na wengi ni wanaotarajiwa kuwa mapadri.

Mafanikio aliyoyapata katika masomo ya falsafa katika Seminari ya Kibosho, yalimwezesha kujiunga na  Seminari ya Kipalapala, ambako inaelezwa ndiko kunakotolewa mafunzo ya Liturgia, ambayo nayo ni sehemu ya mafunzo wapewayo wanafunzi wanaotarajiwa kuwa mapadri.

Ingawa taarifa za mafunzo aliyopata zinatiliwa shaka, lakini namna alivyoongoza Misa bila kutiliwa shaka, imesababisha baadhi ya waumini kuanza kumjadili, ili kufahamu hasa nia yake ilikuwa ipi.

Kutokana na taaluma nyingine aliyonayo ya uhasibu, amesababisha baadhi ya waumini kuunganisha matukio na uwezo wake na kuamini kuwa huenda hakuwa akitafuta  sadaka.

Mmoja wa waumini aliyezungumza nasi kwa sharti la kutotajwa jina, alidai kuwa huenda Asenga alikuwa na njama za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafadhili mbalimbali.

Kwa mujibu wa madai ya muumini huyo, watu wa aina ya Asenga, ambaye ana taaluma na uwezo wa kipadri, wana njia nyingi za kujipatia kipato, hivyo inawezekana alidanganya wafadhili wake kuwa yeye ni Padri ili apate ufadhili huo.

Muumini huyo alikwenda mbali na kudai huenda masharti ya ufadhili huo, ni kupata picha au sauti yake akiongoza Misa kanisani.

“Inawezekana kuna mahali aliomba ufadhili kwa ajili ya kitu fulani na aliwadanganya kuwa yeye ni Padri, ndio maana akaamua kuomba zamu ya kuongoza Misa.

“Utapeli umeingia mpaka kwenye nyumba za ibada kweli? Wanadamu tumekosa hofu ya Mungu!” Alihoji muumini huyo na kuasa jamii kuwa macho, kwa kuwa hivi sasa matapeli ni wengi na kila siku wanatoka na mbinu mpya.

These Photos Of Diamond Platnumz Grabbing His Girlfriends B*uttocks Will Make You Feel Like Crying

Posted: 08 Mar 2015 04:39 AM PDT

The 34 years old and mother of three has been having such a great time with Diamond, at least based on what she posts on Instagram every day.
They say age ‘don’t matter’ when it comes to love; Diamond who is only 25 seems to have swept Zari off her feet this time.

Diamond and Zari Hassan were recently in Zanzibar for the holidays and from the pictures she is posting, it was all about what lovers do best.
Zari Hassan posted these pictures;herbehind being grabbed firmly  

I am Still a V!RG!N and am Waiting for the Right Girl, ERIC OMONDI Reveals

Posted: 07 Mar 2015 10:45 PM PST

Eric Omondi has rubbished rumours on social media and said today that he is not a father to any child and that he has never had s*x in his lifetime.

Eric told a local daily that he is still a v!rg!n and he is waiting for the right girl to lose his v!rg!n!ty to. He said this when he was asked if he was the father of Citizen TV’s Jacque Maribe’s son.

Video: Msichana Apagawa na Wimbo mpya wa Ali Kiba Atuma Video Akikata Maono Kupita Kiasi

Posted: 07 Mar 2015 10:59 PM PST


Wimbo mpya wa Ali Kiba Chekecha ni Shida..Embu Angalia Hii Video Hapa Chini Jinsi Huyo Demu anavyozungusha Hicho Kiuno...
Angalia Hapa chini:

Amber Rose Shares Drop-Dead-Sexy Selfie

Posted: 07 Mar 2015 09:48 PM PST

Amber Rose shares drop-dead-sexy selfie you have never see before...Effortlessly sexy lady
Your Comment Pliz.....

Snura Afunguka Kuhusu Shilole Kumchapa Vibao Nuhu Mziwanda ' Tusimuonee Huruma'

Posted: 07 Mar 2015 09:44 PM PST

Mziwanda wala tusimuonee huruma. Inaonesha kweli anapenda kupigwa kama Snura anavyosema! mnafanya kazi bure kuwashauri. Hapo kitakochotokea Mziwanda anajiharibia kazi yake, lets be honest hivi anavyopigwa pigwa hovyo kuna mwanaume atasikiliza au kuangalia nyimbo zake? Noo make watasema "yule fala tu mwanaume gani anapigwa na mpenzi wake?" Halafu kwa wasichana watasikiliza nyimbo zake vile tu kana sura nzuri si unajua sie wadada tunavutiwa na vitu vidogo tu!! Halafu Mziwanda nahisi anadhani akimuacha Shilole ndo amekwisha kimuziki itabidi ang'ang'anie hapo hapo.... Mpaka atakapochukua maamuzi kama mwanaume akajitambua ndo watu wote wataikubali kazi yake..lkn sasa hapana! ..

Ni Maneno ya Mwanamuziki Snura wa Majanga....Je Unakubaliana nae ?

Dada Awafungukia Wasichana wa Mjini Wanaobabaikia Wenye Pesa na Wasanii na Mwisho Kutumika Kinyume na Maumbile

Posted: 07 Mar 2015 09:36 PM PST


Nimekutana na huu ushauri mzuri kutoka kwa Dada Aimal Ngonyani Huko Instagram kwenda kwa wadada wa Mjini Embu jisomee....

 " Wadada wenzangu tuache kuishi maisha ya kuigiza na kufuata mkumbo jamani kinachotuponza ni tamaa na ulimbukeni, baadhi yetu tunapenda kuonekana tuna mahusiano na mwanaume fulani kisa tu ana Pesa nyingi au pengine ndo hivyo msanii, sasa hebu jiulize kisa ana pesa ndo akutumie Kinyume na Maumbile na kukupa gari funguo ya kutambia mitaani na kutupia pic insta??

Maana hii mitandao ya kijamii ndio inaongeza chachu wa wafir..ji? Watu wanatamani maisha ya wengine pasipokujua undani wake, wanawake tujitahidi kufanya kazi kwa bidii ili tuishi maisha tunayoyahitaji na thamani yetu iendelee kuwepo, hivi una raha gani ukipewa range funguo umepangiwa nyumba masaki wakati huo unatumika kinyume na maumbile unahisi unamkomoa nani kwenye jamii??

Na wewe mwanamke limbukeni utakuta umesoma una kazi nzuri kifupi maisha yako mazuri lakini unapenda show off za kutembea na msanii unahisi ana mb...oo ya dhahabu labda au? Haya ukishakua nae na kupiga pic insta wakati anakutumia kinyume na maumbile ndo unakua umeongeza nini kwa jamii? Sisi ukituma pic tutalike na comment yanayobaki hayo ni maisha yako binafsi, naamini sio wasanii wote wenye tabia hizo ukiona wa kwako ni msanii na anataka akutumie hivyo achana nae mara moja wewe ni mwanamke amini nyuma yake wapo wanaume wengi wanaokuhitaji kataa unyanyasaji wa kijinsia kisa yeye msanii au yeye ana pesa.

 Ndugu zangu pesa ukiitafuta kwa jasho lako inapatikana na wasanii wamejaa chungu mzima walio na majina na wasio na majina kama shida yako msanii tafuta mwenye penzi la dhati na wewe na atakae linda heshima yako na utu wako sio bora uonekane unamegwa na msanii wakati mwenzetu malinda huna huo ni upumbavu jipende mwili waki jithamini mwili wako heshima yako itasimama milele"

Staili Mpya ya Nywele ya Wema Sepetu yawa Gumzo Mtandaoni..Wengi Wamsifia Wachache Wasema Haya

Posted: 07 Mar 2015 09:04 PM PST


 Picha za Wema Mpya Alizoweka Jana kwenye Mtandao wa Instagram Akiwa arusha na Mashabiki wake zimezua Mjadala huko Instagram Huku wengi wakimsifia kwa jinsi alivyopendeza na mkata huo wa nguvu baadhi ya wachache ambao inaaminika ni mashabiki wa Zari walitoa maoni yao na kusema kumbe hata wema hana nywele za mbele kama Zari ...ikumbukwe kipindi cha nyuma Team Wema Sepetu Walikuwa wakimkejeli Zari kuwa anakipara .....

Je Wewe Msomaji Una Maoni Gani ? Angalia Picha zingine Hapa Chini:




You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 1600 Amphitheatre Parkway, Mountain View, CA 94043, United States

Udaku Specially

unread,
Mar 9, 2015, 4:45:53 PM3/9/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Am 29 Years but Can't Seem To Get a Man.....Please Sample My Pics and Help Me Get One!!!!

Posted: 09 Mar 2015 09:03 AM PDT

A girl in Facebook went on to post her desperate hunt for a hubby before she pulled the post and profile off.. See the photos she posted …. Her profile name was “Mimi ni Mtamu”


What can you Advice Such A Girl?

Mzee wa Upako: (Wakristo)Wasioenda Kanisani Jumapili ni Mafala na Mabwege

Posted: 09 Mar 2015 08:54 AM PDT

Nimemfatilia channel ten wakati akiongoza ibada huku akishangiliwa na mamia ya waumini wake.. Kati ya mambo yaliyonistaajabisha ni lugha ya matusi.

Anasema habari ya mjini kwa sasa ni kusali.. Ila anamalizia kwa kuwaambia vijana wanaosema kila siku ni yale yale kanisani kwamba ''ibada haifanani acha ufala''.

Hili neno ufala ni tusi au mi ndo sijui kiswahili...?

WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND

Posted: 09 Mar 2015 08:47 AM PDT


STAA wa sinema asiyekaukiwa matukio Bongo, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.
“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia, hapa nataka kusikia mimi na maisha yangu na si maisha ya mtu mwingine,” alisikika Wema.

Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari..Wapelekana Hadi Polisi

Posted: 09 Mar 2015 08:42 AM PDT

Mama wa Staa wa Bongo Movies,Wema Sepetu  anadaiwa kumzaba vibao askari wa kampuni binafsi.

Kwa mujibu wa shuhuda watukio zima, tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi lilijiri kwenye Bandari ya Dar es Salaam, majira ya mchana Ijumaa iliyopita. Awali ya yote shuhuda huyo alihojiwa kama s kama anamjua vizuri mama Wema ambapo alithibitisha kuwa ni yeye huku akisapotiwa na wenzake waliokuwa wakisikika kwenye simu.

“Nani asiyemjua mama wa staa mkubwa kama Wema? Tena kafuatana na Wema mwenyewe. Kila mtu hapa anamjua ngoja tujaribu kupata picha zake nzuri,” alisema shuhuda huyo kwa kujiamini.
Shuhuda huyo alidai kwamba chanzo cha yote, mama Wema alidaiwa kutumia mlango usio sahihi na alipofuatwa kuelekezwa ndipo likaibuka timbwili zito.

“Kinachoonekana alikuwa ameshuka kwenye boti akitokea Zanzibar kwenye shughuli binafsi. Wakati anatoka kuchukua hamsini zake akiwa na Wema, wakapita mlango ambao siyo sahihi.
“Sasa askari wa kampuni binafsi akawafuata na kuwazuia ili kuwapa maelekezo lakini mama Wema alikasirika, akaanza kumpiga vibao.

“Hapo ndipo lilipoibuka timbwili zito kwani askari naye hakutaka kukubali kirahisi.
“Naye mama Wema kuonesha si mtu wa mchezo aligeuka mbogo na kusababisha watu kushindwa kuamini.

“Baadaye walipelekana kwenye kituo cha polisi cha pale bandarini wakamalizana lakini tayari ishu hiyo ilishageuka gumzo maeneo hayo.“Hatujui walikubaliana nini zaidi ya kuwaona wakitimua zao kwani hawakutaka kukusanya tena watu,” alidai shuhuda wetu huyo.

Baada ya kumwagiwa tukio hilo la moto, chanzo cha habari hii kilimtafuta mama Wema ambaye hakukanusha kutokea kwa tukio hilo badala yake aliomba aachwe kwanza apumzike nyumbani kwake, Sinza-Mori jijini Dar.
“Niache nipumzike kwanza nitakusimulia tukio,” alisema mama Wema.Alipotafutwa kwa mara nyingine hakuwa tayari kutoa ushirikiano hivyo jitihada za kusikia upande wake zinaendelea.

Chanzo: GPL

Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo

Posted: 09 Mar 2015 08:31 AM PDT

Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo.....

Jisomee Hapa Chini:

Ushauri Kwa Agness Masogange..Acha Kupost Makalio Insta Nafasi Uliyonayo Haija Mara Mbili na Umri Unazidi Kwenda

Posted: 09 Mar 2015 08:22 AM PDT

Kwa mtu ambaye ametokea kwenye maisha ya kawaida kama Aggy, bila shaka nafasi hiyo adimu aliyoipata angeitendea haki, either kwa kujiendeleza kielimu au kibiashara. Ni mda mrefu umepita toka binti huyo mrembo apate shavu la kuishi kwenye ardhi ya Madiba yenye kila aina ya starehe bila kufanya kitu chochote cha maendeleo.

Ki ukweli Dada yetu huyu kajibweteka mno, hata kama umepata mwanaume mwenye Pesa kama Bakhresa, kujituma muhimu. Umebahatika kupata Uraia uko na watu ambao wanakusaidia kusogeza maisha mbele lakini naona mwenzetu umekazana kupost picha za makalio mpaka tunaona kizunguzungu huko Insta.

Kuna watu wanatamani hizo nafasi usiku na mchana ila hawazipati. Mbaya zaidi ni lugha ambayo unatumia siku hizi huko Insta yani hadi aibu kuongea, mtu unakaa nchi za watu kwa miaka zaidi ya mitatu unashindwa kufanya juhudi za kujua lugha za wenzetu ambao wameendelea? Sio wote wanaoenda nchi za watu wanafanikiwa kimaisha ila pia kuna vitu tunajifunza tunapotembelea nchi za watu either viwe vizur au vibaya.

Kuna watanzania wengi tu ambao wamefanya mabadiliko kwa kuzitumia fursa za kutembelea nchi za watu na kuleta mabadiliko kwenye maisha yao na jamii kwa ujumla, mfano halisi Sporah Njau na Watanzania wengine ambao hawajulikani.

Tunajua wazi kuwa Elimu yako haitoshi na wala hauna kipato kikubwa cha kuweza kusababisha uishi maisha bila kumtegemea mtu. Ila ni vizur ukajikumbusha ulipotoka, umepata bahati jiongeze, maisha yanabadilika ipo siku watu unaowategemea hawatakuwepo tena. Soma hata vi short course vikusaidie kukabiliana na maisha au fungua hata biashara.

Bahati haiji Mara Mbili..

By Warumi

Taarifa Kuhusu Kifo cha Mama Maria Nyerere si za Kweli

Posted: 09 Mar 2015 08:15 AM PDT

TAARIFA RASMI: Ujumbe unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mama Maria Nyerere kafariki SI SAHIHI. Ukiupata ujumbe upuuze na Usiusambaze.....

Kingwendu Amsamehe Aliyembaka Mkewe

Posted: 09 Mar 2015 07:41 AM PDT


MSANII wa vichekesho Bongo, Rashidi Mwinshehe ‘Kingwendu’ amefunguka kwamba japokuwa alipata maumivu ya moyo baada ya jirani yake kumbaka mkewe, Mama Maua ameamua kumsamehe.

 Kingwendu alisema mara nyingi mkewe alikuwa Akimwambia kuhusu jirani huyo kumtongoza lakini akawa anamkatalia lakini siku hiyo alimvizia na kutimiza azma yake ambapo baada ya hapo alikimbia mpaka leo hajarudi ila amemsamehe kwa kuwa hata Mungu anasamehe mara nyingi.

“Mimi nasali sana hivyo nimeamua kumsamehe huyo jamaa kwa sababu hata Mungu huwa anatusamehe mara nyingi, alishawahi kumtuma dada yake aje kuniomba msamaha maana yeye alikimbilia huko Kilwa na mimi na mke wangu tuko vizuri ninampenda sana na najua halikuwa kusudi lake ila mwanaume huyo alimsumbua kwa muda mrefu,” alisema Kingwendu.

Wema Sepetu Aukana Wimbo Wa Diamond Platnumz

Posted: 09 Mar 2015 07:32 AM PDT


Wakati hit single ya Diamond Platnumz, Ntampata Wapi inatoka mwaka jana, watu wengi waliamini kuwa wimbo huo amemwandikia ex wake, Wema Sepetu.

Tetesi hizo zilienea baada ya kubainika kuwa wawili hao wameachana tena. Hata hivyo Wema amedai kuwa si kweli.

“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi,” Wema aliiambia Radio 5 ya jijini Arusha.

“Because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano alikuwa akiimba, akiind kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya nyimbo zake kama anavyoandika nyimbo zote lakini nadhani tu timing ya kutoka ndio kidogo imekuwa na utata because kaitoa timing ambayo watu wote wakadhani kamuimbia Wema but in real sense noo,” aliongeza Wema.

Uongozi wa Diamond waongea kuhusu barua ya TRA iliyosambaa mtandaoni

Posted: 09 Mar 2015 02:39 AM PDT


Kuna barua iliyosambaa mtandaoni weekend hii inayoonekana imetoka kwenye mamlaka ya mapato nchini, TRA ikiutaka uongozi/kampuni inayosimamia kazi zake kuwasilisha nakala za mkataba wa makubaliano kati yao kuhusiana na masuala ya promotion katika kipindi cha kuanzika mwaka 2010 – 2014.

Barua hiyo pia inaongeza kuwa:"Unatakiwa pia kuwasiliasha vielelezo vya ushahidi kuhusiana na huduma iliyofanyika na kiasi cha fedha kilicholipwa kulingana na ajira ya Abdulmalik Naseeb.”


Hata hivyo uongozi wa Diamond umedai kuwa barua hiyo nao wameiona kupitia mtandaoni lakini haijawafikia mkononi.

 

“Tunasikia tu kwenye mitandao hatuna taarifa nayo, maana hawajawasiliana na sisi,” amesema Salam, mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz.

 

“Inashangaza kuona kitu kwenye mitandao bila ya kuambiwa mhusika mkuu, tumechukulia kama changamoto zilizopo kwenye maisha,” ameongeza.

 

Diamond bado yupo nchini Nigeria alikoenda kutumbuiza kwenye ‘The Africa Magic Viewers’ Choice Awards 2015’.

Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

Posted: 08 Mar 2015 10:46 PM PDT

Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegundua

Asilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono

30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua

10 wao wameingia kwa njia ya kawaida

Hii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbili
Wanaume name
Wanawake

Nilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu inatokea chance ya mtu kukupa kazi au cheo ila tu kwa kigezo cha akuvue chip I kiukweli ni asilimia 1% tu watakataa ila wote waliobaki wanakubali

So hili tatizo haliwezi kwisha leo wala kesho na kwa jinsi hali ya ajira inavyozidi kwenda mambo yanazidi

Lupita Nyongo and Empire’s ‘Cookie’ Full of Praise for Each Other

Posted: 08 Mar 2015 10:37 PM PDT

Lupita Nyong’o and Taraji Penda Henson, the star of Fox’s hit drama ‘Empire’ were full of praise for each other on social media last week.

Taraji, who plays Cookie in the series which premiered in January this year, has a huge adoring fanbase especially here in Kenya. Kenyans will be delighted to know that Taraji rates our very own Lupita. Like they say, ‘real recognizes real.’

She took to Instagram to gush about the ’12 Years A Slave’ star. Sharing photos of Lupita she posted, “That #ANYwayYouSliceIt kinda beauty. I LOVE YOUR SPIRIT @lupitanyongo your inner beauty SHINES!!!! #InnerBeauty only enhances the outer! #YouROCK pretty lady!!!!!”

Lupita caught wind of the humbling praise and responded in kind. She posted,

Wow, thank you tarajiphenson for your instagram post. Your work has been a shining example for me. May our paths cross soon so that I might salute you! You, the epitome of your name Taraji: #confidence #desire #expectation #hope. #SwahiliTruths.”

How awesome would it be if Lupita made a cameo appearance on Empire? Dreams are valid after all.

Fellas, This is How Ladies at The Club Decide if They are Going Home with You

Posted: 08 Mar 2015 10:32 PM PDT

Picking up women at the club is an art that no longer requires one to be a smooth talker. The trick to having women swooning over you is a fat wallet that is synonymous with buying them lots of drinks.

The fatter the wallet the luckier you get and ladies have an interesting way of finding out if you are getting some later that night or you are just wasting their time.

Here is a photo of how they go about that:


Tukio lingine la Mtoto Albino Kukatwa Kiganja cha Mkono hili hapa, Mama yake Ajeruhiwa Vibaya

Posted: 08 Mar 2015 10:23 PM PDT

LICHA ya Serikali, jamii na jumuiya ya kimataifa kukemea ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), bado kuna wanaoendelea kung’ang’ania mila potofu za kuamini kwamba bila ya ushirikina unaohusishwa na matumizi ya viungo vya albino, hawawezi kufanikiwa kimaisha, iwe katika kisiasa au kibiashara.

Hayo yanathibitishwa na kuendelea kuripotiwa kwa matukio ya ukatili dhidi ya albino, ambapo usiku wa kuamkia jana, watu wasiojulikana walimshambulia na kumkata kiganja mtoto mwenye umri wa miaka sita, Baraka Cosmas na kisha kutokomea nacho kusikojulikana.

Tukio hilo lililotokea katika kijiji cha Kipeta Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, ambako mtoto huyo anaishi na wazazi wake, Cosmas Yoram (32) na Prisca Shaaban.

Tukio hilo limethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob Mwaruanda.

Alisema tukio hilo ni la saa 8 usiku wa kuamkia Jumapili wakati mtoto huyo akiwa amelala na mama yake. Baba wa mtoto huyo hakuwepo wakati huo.

Akielezea zaidi, Kamanda Mwaruanda alisema usiku huo kikundi cha watu wasiojulikana walivamia nyumba alimolala Baraka na mama yake mzazi, Prisca wakiwa na silaha za jadi, ikiwemo mapanga na fimbo na kuanza kumshambulia kwa kumcharaza viboko Prisca baada ya kukataa kuwapatia mtoto huyo, mwenye ulemavu wa ngozi.
  
“Baada ya kuingia ndani ya nyumba hiyo walimwamuru mama mzazi wa mtoto Baraka kuwakabidhi mtoto huyo, lakini alikaidi ndipo walipoanza kumshambulia kwa kumpiga kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kumjeruhi vibaya … 
  
“Waliingia ndani baada ya kuvunja mlango wa nyumba hiyo, ndipo katika patashika hiyo wavamizi hao walimkata mtoto Baraka kiganja cha mkono wake wa kulia na kuondoka nacho kusikojuliakana,” alibainisha.

Aliongeza kuwa wakati hayo yakitokea, baba mzazi wa mtoto huyo inadaiwa alikuwa amelala katika nyumba ya mkewe mdogo kijijini humo.

Kwa mujibu wa Mwaruanda, mtoto huyo amelazwa katika katika Kituo cha Afya cha Kamsamba wilayani Momba mkoani Mbeya kwa matibabu akiwa pamoja na mama yake mzazi.

“Watu watatu ambao majina yao yamehifadhiwa, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi kuhusu tukio hilo unaendelea ili kuwasaka wahusika na kiungo hicho cha kiganja cha mkono wa mtoto Baraka,” alisisitiza Kamanda.

Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini

Posted: 08 Mar 2015 09:49 PM PDT

Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi.

Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina kimedai kuwa, Penny na Swedi wanaishi pamoja maeneo ya Mwananyamala jijini Dar na wamekuwa wakioneshana mahaba nilegeze hata mbele za watu huku mara kadhaa wakitupia picha zao za pamoja kwenye mitandao ya kijamii.

“Hivi ninyi mnajua kuwa Penny kapata mrithi wa Diamond? Kama hamjui basi hiyo ndiyo habari ya mjini.
“Kwa taarifa yenu wanapika na kupakua na hakuna asiyejua hilo, kama vipi fuatilieni mtapata ukweli,” alidai mtoa habari huyo.

Katika kujiridhisha, waandishi wetu walianza kufuatilia kwa kufika kwenye nyumba anayoishi Penny na kukuta imefungwa ila baadhi ya majirani walidai kuwa, wanajua uhusiano wa Penny na Swedi kwani wanawaona kila siku wakiingia na kutoka.

Penny alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi ili afunguke juu ya hilo, iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa sms hakujibu hadi tunakwenda mtamboni hivyo jitihada za kumpata ili aweke mambo sawa zinaendelea.

Mwigizaji Dokii Ajipumzisha Kwa Kocha wa Yanga..Mwenyewe Asema Haya.....

Posted: 08 Mar 2015 09:46 PM PDT

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ ameanzisha urafiki wa karibu sana na Kocha wa Timu ya Yanga, Hans van der Pluijm, Raia wa Uholanzi.

Ukaribu wa Dokii na kocha huyo ulichipukia kwa kasi Januari, mwaka huu walipokutana katika Kombe la Mapinduzi, Zanzibar kisha kuzidi kuwasiliana kwa ukaribu hadi kuwafanya wapenda ‘ubuyu’ wautilie mashaka.

Alipotafutwa Dokii ili aweze kuufafanua zaidi ukaribu wao kama umejiongeza zaidi na kuwa wapenzi, alijibu kwa kifupi tu pasipo kufafanua zaidi.“Hakuna tatizo mimi kuwa naye karibu, namkubali na yeye ananikubali pia. Ni mshkaji sana jamaa.”
Kocha huyo hakupatikana hewani alipotafutwa lakini jitihada zinaendelea.
GPL

Mwanamuziki Hemed PHD Katika Skendo ya Utapeli..Achukuliwa RB Asakwa Usiku na Mchana

Posted: 08 Mar 2015 09:39 PM PDT

Kha! RB namba KTN|RB/11213/2014 –UTAPELI inamsaka msanii wa muziki na sinema za Kibongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ tangu mwaka jana, akidaiwa ‘kuchikichia’ nguo za shilingi laki saba, mali ya aliyekuwa Mtangazaji wa EATV,  Nasra Dattani ‘Lady Naa’ ambaye alimkabidhi begi lake la nguo baada ya kumaliza kurekodi filamu iitwayo Catherine.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Lady Naa alisema kuwa alimvumilia Hemed kwa muda mrefu kwani alimpa mzigo huo na kumuomba akaushushe dukani kwa rafiki yake maeneo ya Kinondoni lakini hakufanya hivyo na alipokuwa akimkumbusha alikuwa akimwambia kuwa atampelekea.

“Kila nikikutana naye nilikuwa namuomba anirudishie anasema nifanye lolote na kinachonishangaza amezipeleka wapi maana mle kulikuwa na nguo za kike ambazo nilizitoa Uingereza,” alisema Lady Naa.

Alidai kwamba baada ya kumzungusha kwa muda mrefu ndipo alipoamua kumfungulia kesi kwenye Kituo cha Polisi cha Kijitonyama, Dar ambapo hadi leo anasakwa. Baada ya habari hizo kulifikia gazeti hili, mwanahabari wetu alimwendea hewani Hemed lakini namba yake haikupatikana hivyo jitihada zinaendelea.

Udaku Specially

unread,
Mar 10, 2015, 4:32:31 PM3/10/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


East Africa’s Finest Socialites Huddah and Zari to Host Nairobi Party Together

Posted: 10 Mar 2015 11:05 AM PDT


Two of East Africa’s finest socialites, Kenya’s Huddah Monroe and Uganda’s Zari are all set to host an epic party together.

Zari will be jetting into the country this month for the one of a kind gig at Skyluxx lounge. Dubbed ‘Art of Luxury’, the party will go down on the 21st of March.

Entertainment will be catered for by Creme de la creme, DJ Pierra and DJ Incredible.

Zari had this to say,

“Nairobi are you ready? will be blazing ur town on the 21st March with the sexy huddahthebosschick”

Flora Mbasha Atoa Ushahidi wake Kwa Siri Kuhusu Kesi ya Ubakaji Inayomkabili Mumewe, Emmanuel Mbasha

Posted: 10 Mar 2015 10:53 AM PDT

Kesi ya kudaiwa kumbaka shemeji yake inayomkabili mfanyabiashara na mwimba Injili Bongo, Emmanuel Mbasha imeendelea kuunguruma leo katika Mahakama ya Ilala jijini Dar ambapo mkewe Flora alifika na kutoa ushahidi kwa siri.

Kesi hiyo ilianza kuunguruma kwenye ofisi ya hakimu (Chamber), mishale ya saa 5 hadi saa 8 mchana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama wa Wilaya ya Ilala, Flora Mjaya ambapo shahidi namba tatu, Flora aliitwa kutoa ushahidi wake. Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Nassoro Katuga na imeahirishwa hadi Aprili 16, mwaka huu.

Siku hiyo, shahidi namba nne ambaye ni daktari anatarajiwa kutoa ushahidi wake na mshitakiwa anaendelea kuwa nje kwa dhamana.
 
Mbasha anashtakiwa kwa makosa mawili ya ubakaji, la kwanza anadaiwa kulifanya Mei 23, mwaka jana, eneo la Tabata Kimanga, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam na Mei 25, mwaka jana akidaiwa kutenda kosa hilo kwa binti huyo kwa mara nyingine eneo hilohilo.

Mtangazaji Edzen Apata Aibu ya Mwaka..Mpenzi Wake Amrekodi Akiwa Uchi na Kupost Mitandaoni

Posted: 10 Mar 2015 10:49 AM PDT

Habari ya Mjini leo ni Hawa watu wawili Mtangazaji Edzen na Moza..Ambao inasemekana walikuja kuwa wapenzi baada ya Edzen kuachana na Dida..leo imesambaa video kwenye Insta na whats app ikionyesha Edzen akitoka kuoga na kuingia chumbani akiwa na taulo na kisha kulivua na kuweka mambo hadharani ..huku akivaa boxer.....Video inasemekana imechukuliwa na Moza , Mazingira yanaonyesha ni chumba cha msichana hivyo alikuwa kwa moza .....

Aibu sana hii kitu mpaka nimeshindwa kuweka video kwa ajili ya Maadili ..Embu Edzen badilika sasa we kila siku majanga tu na hawa wadada.....

Wabongo Wamponda Jack Wolper Kwa Kuvaa Kipini Puani...Mwenyewe Asema Haya Kujitetea

Posted: 10 Mar 2015 08:09 AM PDT

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameyasema hayo baada ya hapo jana baadhi ya mashabiki mtandaoni  kumshambulia mara baada ya kubandika picha akiwa na kipini puani.

“Ewe kipini....kipini kipuli kipuli...kiheren kihereni umenijazia inzi kwenye akauni yangu yangu lakini kipini nivumilie nimalize hii Movie na we utapumzika lakini kipini nilivyokuhusudu naunaendana na kabila la Mama yangu upande wa bibi mza mama Masai basi nitakufkria eidha uwe ndonya yangu yakudumu au nitakutoa lakini kwakua ni asili yangu namnyaki mimi nitakuwacha nakukuhusudu nakukupa kipaumbele kama hivyo vilips hapo

Jaman Am Solee muwe mnauliza kwanza kumbukeni sana ni kazi yangu nahicho kipini hapo kinaniingizia HELA nasijatoboa nimeweka tu kwahyo kipini hiki kiacheni kama kilivyo yani ata nikimaliza hii Movie kwa kuwa maongezi yamekuwa mengi mara ng'ombe mara ndonya basi acha nimfutaishe koko wangu mmasai kudumisha mila yake Am soleee gangoswee muachieni ngosweee ujatumwa kucoment wala kutoa ushauri nasaa hapa”.-Wolper ameandika mtandaoni.

Nadhani imeeleweka, yupo kwenye utengenezaji wa MOVIE ila pia anaweza kukiacha.

Mzee wa Ubuyu

Snura Akipa Promo Kiuno Chake..Asema Kinaitwa Kiuno Panya Road..Kiangalie Hapa Akikizungusha

Posted: 10 Mar 2015 07:56 AM PDT

Udaku Special
Baada ya Kujifungua Mtoto wa Kiume na Kuachia Single mpya inayoitwa Hawashi Snura wa Majanga Amejinadi na kusema kwa sasa kiuno chake hakina mfupa kinazunguka balaa , Snura amesema kwa sasa kiuno chake ni kiuno panya road...Shilole Unalo Hapo .....!!!

  Embu angalia hichi kipande cha Video Snura akifanya yake alipopewa nafasi na watangazaji wa Clouds FM kuonyesha kiuno Panya Road:

Je Kuna Kitu Hapo?

Kauli ya Zitto Kabwe baada ya Kushindwa Kesi Aliyoifungua Dhidi ya CHADEMA.

Posted: 10 Mar 2015 03:22 AM PDT

Mahakama  Kuu ya Tanzania, leo imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na Zitto Zubeir Kabwe mwaka jana, akipinga kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kumjadili, akikitaka chombo hicho cha sheria, kukielekeza chama chake, kusubiri kwanza rufaa yake aliyokuwa amekata katika Baraza Kuu.

Mahakama iliyoketi chini ya Jaji Mziray, ilikubaliana na hoja za mawakili wa Chadema, waliosema kuwa ufunguaji wa kesi hiyo ulikiuka baadhi ya vifungu vya sheria na hivyo kumtaka mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kulipa gharama zote za kesi hiyo.

Baada  ya  hukumu  hiyo, Zitto  Kabwe amesema  hakuwa  na wito wa mahakamani leo na  Jaji  aliyekuwa  akiisikiliza  kesi  hiyo amehamishiwa Tabora, hivyo  mwanasheria  wake  ameenda  kufuatilia  mazingira  ya  hukumu  hio.

"Hatuna taarifa ya Jaji Mpya. Mwanasheria wetu anafuatilia na atatoa statement", ameandika  Zitto  Kabwe  katika  ukurasa  wake  wa  twitter.

Kauli ya Mama Maria Nyerere Baada ya Kuzushiwa Kifo

Posted: 10 Mar 2015 03:18 AM PDT

Mama Maria Nyerere ambaye ni mjane wa mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania, hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jana  jioni  alizungumza na kituo cha runinga cha Taifa, TBC na kukanusha uvumi ulioenezwa katika mitandao ya kijamii kuwa ameaga dunia.

Akizungumza na mtangazaji, Mama Nyerere alimuuliza, "ukiniangalia unanionaje?" ambapo mtangazaji alimjibu, "nakuona mzima!" huku wakitabasamu.

Mama Maria alisema huu ni mwaka wa uchauguzi, hivyo mambo haya ya uzushi si ya ajabu.

Kabla ya uvumi wa kizushi kuhusu Mama Maria, juzi kupitia WhatsApp ulikuwa ukitumwa ujumbe mwingine wa kumzushia kifo Reginald Mengi, Mwenyekiti wa makampuni ya IPP.

Tundu Lissu Atangaza Rasmi Kuhusu Kuvuliwa Rasmi kwa Uanachama wa Zitto Kabwe CHADEMA

Posted: 10 Mar 2015 03:09 AM PDT

Mwanasheria mkuu wa chama cha upinzani nchini CHADEMA, Tundu Lissu leo ametangaza kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kasikani Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.

"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo natangaza rasmi rasmi Zitto Kabwe sio mwanachama tena wa Chadema."Amesema  Tundu  Lissu

Kwa upande wake Zitto Kabwe amesema hawakuwa na wito wa mahakamani leo na Jaji wa kesi kahamishiwa Tabora na hawana taarifa ya Jaji Mpya, pia kaongeza kuwa Mwanasheria anafuatilia na atatoa statement.

Wimbo Mpya wa Ali Kiba Wazidi Kuwapagawisha Wadada..Mwingine Naye Atuma Video Akayakata Mauno Balaa

Posted: 10 Mar 2015 02:43 AM PDT

Baada ya Kupokea Video ya Kwanza kutoka kwa Mdada mmoja akisakata Ngoma ya Ali Kiba inayoitwa Chekechua ,Dada mwingine naye ametuma video akiyazungusha mauno kuzidi feni ..Huyu ameonyesha kabisa na sura yake ....
Angalia Video Hapa Chini ujionee kiuno Kama Feni Kinavyozungushwa:

Pete ya Kuokota Yamtokea Puani Kijana Huyu..Sasa Kidole Kinaenda Kukatika Kabisa

Posted: 10 Mar 2015 12:53 AM PDT

MNAOPENDA KUOKOTA VITU NJIANI INAWAHUSU HII....HATA UKIONA KIBUNDA CHA MAMILIONI ACHA USIOKOTE
Kijana mmoja nchini Ghana huenda akakatwa kidole chake baada ya pete aliyoiokota na kuivaa kung’ang’ania kwenye kidole ambacho kimeshaanza kupuputika huku nyama zikianza kuliwa kimaajabu na kuanza kumtia hofu kijana huyo.

Kijana huyo aliyefahamika kama Eric Buageng, alisema iliiokota pete hiyo pembeni ya barabara wakati akirudi nyumbani akitokea Kanisani na kuivaa kwenye kidole cha shahada mkono wa kulia, lakini cha kushangaza baada ya kufika nyumbani alianza kusikia maumivu kutokana na pete hiyo kumbana kidole.

Eric amesema kilichomshangaza zaidi ni wakati alipokuwa anaiokota mkono wake ulikuwa ukitetemeka na alipojaribu kuitupa hakuweza na kusikia sauti ambayo hakujua ilipotokea ikimwambia aende nyumbani, alipofika alijaribu kuitoa lakini hakuweza na kuna wakati anakisikia sauti ikumuamuru atoke nje lakini haoni mtu yeyote.

Tangu wakati huo jitihada za kujaribu kuitoa pete hiyo zimeshindikana pamoja na kwenda kwenye Hospitali mbalimbali ikiwemo ya wataalam wa Jeshi ya 37’ Military na ile ya Korle Bu Teaching bila mafanikio, katika jitohada za kuhakikisha inatoka alikutana na wachungaji mbalimbali waliomuombea lakini hakufanikiwa kuitoa.
Hatari sanaaa!

Breaking News: Chadema Yambwaga Zitto Kabwe Mahakamani

Posted: 10 Mar 2015 12:30 AM PDT

BREAKING NEWS;
CHADEMA YAMBWAGA ZITTO MAHAKAMANI....
Hatimaye chama kimeshinda kesi dhidi ya aliyekuwa mwanachama wake Zitto Kabwe.
Mahakama imeamua katika hukumu yake leo kuwa Chama kinaweza kuendelea na taratibu zake. Aidha, Mahakama imeamuru Zitto alipe gharama zote za kesi.
Wanasheria wa chama, Peter Kibatala na John Mallya wataongea na Vyombo vya Habari punde.
Hongera Mwanasheria Peter Kibatala...Hongera Chadema
Haki imeshinda dhuluma

OMG! See How This Beautiful Young Girl Exposed and Disgraced Herself After Drinking Too Much Alcohol

Posted: 09 Mar 2015 11:36 PM PDT

Another set of pictures from an irresponsible girl just surfaced the net now after she got drunk from a friend’s birthday party.

According to reports reaching me here, i heard she got so loosed and she was screaming while the party was on that she wants to enjoy her life and that everyone should do same Cos you only live once (Y.O.L.O) and for that silly reason, see where she landed herself after consuming high quantity of Alcohol.

Mabinti Acheni Kuwakalia uchi waume za watu..Hawa Viumbe ni Wadhaifu Sana

Posted: 09 Mar 2015 11:33 PM PDT

Jamani inasikitisha sana, pale binti anapoamua kutafuta mazingira tu na kuamua kumkalia uchi kwa makusudi kabisa mume wa mtu kwa lengo la kumpata, mkasa huu umetokea nyumba ninayoishi, kuna wapangaji vyumba vyao vipo karibu karibu, huyu mmoja ana msichana wa kazi, mwingine hana.

Huyu binti katafuta mazingira na kumkalia yule jamaa uchi kilichotokea ni yule jamaa kujikuta anaanza kumfuatilia msichana, na hali ukizingatia hakua hata na wazo na huyo dada na ni muda mrefu wanaishi hapo, kumbe dada na namba ya simu alishatafuta si ndo kuanza kuchati nae oh mpenzi sijui nini na nini.

Kindumbwe ndumbwe juzi wife wa jamaa kaona message, hapajakalika ugomvi na nyumba nzima wamejua. Jamaa akajitetea, ''Yaani mke wangu wala siko hivyo, na wala sina wazo na huyu mjinga, ila juzi tu nipo hapo uwani nafua nguo zangu si ndo akanikalia uchi, then badae ananitumia message tukachati, na wala sijui namba zangu kapata wapi''.

Aibu ndo hivyo tena!

Jamani mabinti acheni sio vizuri kumbuka hata na wewe utakuja olewa, kama unaona mwanaume haonyeshi muda na wewe muache na sio kumfanyia visa. Hawa viumbe 98% ni wadhaifu sana, Paja tu hoi, na nyie wanaume ukiona binti anakukalia uchi kama umetazama kwa bahati mbaya basi usigeuke tena potezea, hata binti atakuona una msimamo.

Asante kwa kuelewa.

Prof. Tibaijuka: Nanyanyasika Peke Yangu Wanawake Wenzangu Hamnitetei

Posted: 09 Mar 2015 11:26 PM PDT

Prof. Anna Tibaijuka amekuwa akinyanyasika peke yake bila kusaidiwa kutetewa na wanawake wenzake. Ametolea mfano wa sakata la ESCROW ambalo anadai kuwa ameonewa tu!

Chanzo: Wapo Radio fm

Mkanganyiko Uliojitokeza Kuhusu Mchinjaji Watu wa ISIS Jihad John Kutaka Kuingia Tanzania na Kuzuiwa

Posted: 09 Mar 2015 11:20 PM PDT

Jihad John
Juzi nilikuja na uzi hapa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe aliliambia gazeti la The Times la Uingereza kuwa Mohammed Emwazi aka Jihadi John na marafiki zake wawili walizuiwa kuingia nchini mwaka 2009 kwa sababu y ulevi na kuwatukana maafisa wa uhamiaji. Kwa mujibu wa gazeti hilo pia Waziri Chikawe alikanusha madai kuwa Uingereza ndiyo iliyoitaarifu Tanzania kutowaruhusu Jihadi John na wenzake kuingia nchini.

BBC News imeripoti leo kuwa Waziri Chikawe amesema kuwa Johad John alitaka kufanya vitendo vya ugaidi nchini Tanzania. Akiongea na correspondent wa BBC Afrika Mashariki Ed Thomas, Waziri Chikawe amesema kuwa hakukuwa na tip-off yoyote kutoka kokote kumzua Jihad John kuingia nchini, lakini alitaka kutudhuru. Kwa maneno ya Kiingereza Waziri amesema:
Jihad John
"Because for us at that time he [Jihad John] was just like any other visitor trying to enter Tanzania, he wasn't special. They must have wanted to do some terrorist acts. I think maybe they wanted to harm us, definitely. We have been hit terrorists. The American embassy was blown up. We feel we are targets, and we don't want to be victims. We shall always defend ourselves."
Report ya Polis wa Airport Baada ya kumkamata Jihad John
Aidha Waziri Chikawe amesema ameziagiza mamlaka husika kufanya uchunguzi wakati Jihad John alipotaka kuingia nchini. Amesema amewaagiza waangalie footage ya CCTV kama ipo ili kuona nini hasa kilichotekea usiku ule wa usiku wa Mei 22, 2009.

My Take:

Maelezo ya Waziri yanaleta maswali mengi. Mojawapo ni kama Jihad John angekuwa hajalewa, kama alikuwa hajawatukana maasifa wa uhamiaji pale uwanjani kana inavyodaiwa, bado angeruhusiwa kuingia nchini pamoja na kuwa Waziri anaamini Emwazi alitaka kutudhuru aka "wanted to harm us"?

Pili, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Kamanda Ernest Mangu, ashaliambia gazeti la The Citizen kuwa jina la Mohammed Emwazi halikuwepo kwenye database ya watuhumiwa wa kigeni waliokamatwa na kuondolewa nchini mwaka 2009 (IGP: Jina la Mohammed Emwazi halikuwepo kwenye database ya polisi). Kanusho hilo liliripotowa pia na BBC News. Ina maana IGP alidanganya au alikuwa hajuia alichokuwa anakisema? Kwa nini serikali inajichanganya sana kwenye hili suala la Jihad John? Au ni vyombo vya habari vinawanukuhu vibaya?

Escrow: Stanbic Bank Kuchafua Hali ya Hewa..Kutaja Majina ya Waliobeba Mahela Kwa Lumbesa

Posted: 09 Mar 2015 11:09 PM PDT

Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.

Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Watoto 17 Wakutwa Wamefichwa Pasua Moshi Wakipatiwa Mafunzo ya Kiislam Kwa Siri

Posted: 09 Mar 2015 11:04 PM PDT

Watoto wapatao 17 wamepatikana wakiwa wamefichwa huko Kilimanjaro wakiwa wanapatiwa mafunzo ya siri ya maadili ya kiislamu kwa zaidi ya mwaka huko wazazi wao wakiwa hawafahamu wako wapi.

Kwa mujibu wa ITV watoto hao wengine waliletwa na wazazi ambao hawakuwaeleza ukweli wazazi wenza wenzao na wengine walikuwa wametoroshwa bila habari zao kufahamika.

Kisichofahamika mpaka sasa ni kwa nini mafunzo hayo yawe yawe ya siri? Jee hii inatofauti gani na yale ya Nijeria ya kuteka watoto inayofanywa na Boko Haramu?

"Kajala ni rafiki MBAYA KULIKO WOTE DUNIANI, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu

Posted: 09 Mar 2015 10:55 PM PDT

HATARI BALAA!, Wema finally kaamua kufunguka kuhusu Kajala.  Yani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho, ni hatari sana!

Amedai Kajala is the worst friend she has ever had. Na kasema ana regret kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.

Tusimalize uhondo. Msikilize mwenyewe akiongea HAPA

Lemutuz Awapa Vidonge Masista Duu wa Mjini Wenye Michepuko Ambao ni Waume za Watu

Posted: 09 Mar 2015 10:49 PM PDT

LEMUTUZ STRAIGHT TALK LIVE:- Kama kweli unanipenda usinichagulie cha kuandika nasema hivi hapa mjini Dar it is almost like Sheria kila mbebezz mzuri lazima awe anatembea na Mume wa mtu yes I find it hard to believe WHY?.....

Kwa nini unatembea na Mume wa mtu ni kwa sababu hutaki kazi au huna elimu so unampenda Mume wa mtu cause anakulipia Maisha ndio maana unatamba Instagram na mapicha ya Mahoteli mara kwenye Ndege mara umeenda Majuu lakini hata siku moja huweki picha na Baby wako cause ni Mume wa mtu.....shame on you your a second hand yaani gademu mtumba huna thamani valueless na hopeless mazafantazz huna akili cause ungekuwa nazo ungejua kwamba Mume wa Mtu akiwa na wewe lazima.ana na mwingine mko circle mduara anawazunguka....hutaki kumpenda Blaza kwa sababu ni handsome lakini hana gademu pesa anakaa chumba cha kupanga Koma Koma Chumbani kwake.huwezi kupigia picha za kulingishia Instagram hahaha......

siku ya Birthday yako hawezi kukulipia ufanyie Seacliff so upige gademu picha za kuja kulingishia Instagram hahah so bora Mume wa Mtu ambaye hawezi kuja kwenye Birthday yako cause anaogopa kuonekana so unakata keki mwenyewe na washikaji.zako dead people just like you hahah na wao karibu wote wanatembea na waume za watu.....wewe ni mtumwa wa ujinga wako mwenyewe sura nzuri lakini kichwani umejaza gademu majivu unaogopa maisha so unakubali kuwa second hand akimtoroka mkewe ndio na wewe unapatiapo hahaha jamani wabebezz mnajua nawapenda sana please wachana na waume za watu sio powa kazana mwenyewe na.maisha...kumbuka ukishaanza na mume wa mtu maisha yako yote itakuwa waume za watu tu... imagine angekuwa Mume wako inavyouma kwa nini unamfanyia mwingine?.... HAHAHH U KNOW SAA YA KULALA WABEBEZZ MLIO.MACHO.GIVE ME SOME KISS PLEASE! & NA ASIYEPENDA hahaha just KUFWA for me kanitukane kwenye wall yako uniongezee followers hhaha GOOD NITE! - le Mutuz

Udaku Specially

unread,
Mar 11, 2015, 4:24:31 PM3/11/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Masogange Shows off her goodies while doing physical exercises

Posted: 11 Mar 2015 11:39 AM PDT


Masogange Socialite From Tanzania Showing off her goodies while doing physical exercises in South Africa....

Mtoto wa ajabu azaliwa Hospitali ya Mkoa Shinyanga

Posted: 11 Mar 2015 10:18 AM PDT

Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Vingo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia

Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi....

Mashabiki Wamshabulia Aunty Ezekiel kwa Nguo Anazovaa!

Posted: 11 Mar 2015 10:10 AM PDT

Baadhi ya mashabiki  wa staa wa Bongo Movies, Aunty Ezekiel wameonyesha kuchukizwa na nguo anzaovaa staa huyo ukizingatia kwasasa ni mjamzito.

Kwa mara kadhaa Aunty amekuwa akibandika picha mtandaoni akiwa amevaa nguo ambazo "followers" na mashabiki wamekuwa wakisema hazifai kuvaliwa na mwanamke mjamzito, kitu ambacho aunty mwenyewe na baadhi ya mashabiki wamekuwa mara zote wakisema ni sawa kitu ambacho mara zote husababisha mabshano na hadi kutoleana lugha chafu.

Mbali na wengi kusema nguo anazovaa zinambana sana tumbo kitu ambacho sio kizuri wa ustawi wa kiumbe kilichopo tumboni,wapo wailosema mavazi hayo hayana heshma kwani kwa hali yake ya sasa inabidi ajistili  nasio kujiweka wazi wazi kama anavyofanya sasa.

Mimi sio mjuzi sana wa maswala ya nguzo za wamama wajawazito ndiomana nimezileata hapa baadhi ya picha hizo ili wenye uelewa wa maswala haya watujuze kam ni sawa au sio sawa...kwani kuna baadhi ya dada zetu wanapenda sana kuigaaaaaaa.

Maneno Haya ya Lulu ,Yachukulie Kama Changamoto

Posted: 11 Mar 2015 10:06 AM PDT

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram ameandika ujumbe  mzuri ambao  kiukweli unaweza kukupa nguvu zaidi kufikia malengo yako kama mtu unaejitambua.

 “The more they try to slow you down on the road of purpose, the faster you have to go..!
You only meet opposition when you're going the right way”

Kwa tafsiri isiyo rasmi anasema “kwa jinsi wanavyozidi kujaribu kukurudisha nyuma katika njia ya mafanikio ndio inakubidi uongeze mwendo…..na utapingigwa tu pale unapokwenda njia sahii”.

Kwa upande wangu, huu ni ujumbe mzuri sana ambao ningependa niulete hapa  kwenu wadau ili nanyinyi muuchukue kama changamoto ya kufanyikisha mambo yako.

Asante sana Lulu kwa maneno haya mazuri.

Mzee wa Ubuyu

Mlinzi Dr. Slaa, Akanusha Kutaka Kumuua, Adai CHADEMA Wana Chumba Cha Mateso, Aonyesha Alivyopigwa na Kuumizwa

Posted: 11 Mar 2015 10:01 AM PDT

Mlinzi wa DK Slaa
Aliyekuwa mlinzi binafsi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. WILBROAD SLAA kwa jina la Khalid Kangezi leo ameibuka na kukanusha taarifa zilizotolea na chama chake kuwa alikuwa anakula njama za kumuua katibu mkuu huyo na kusema kuwa amefanyiwa hujuma za wazi ndani ya chama hicho.

Akizungumza kwa uchungu ndani ya ukumbi wa habari maelezo jijini Dar es Salaam mbele ya wanahabari leo, amesema kuwa kilichotokea hakijui ila anashangaa kuwa chama kimeamua kumtenda na kumpiga sana wakimtuhumu kutaka kumuua kiongozi huyo jambo ambalo amesema kuwa ni la kushangaza na halina ukweli wowote ule.

Amesema kutokuelewana kwake na Katibu Mkuu wa chama hicho kulianza pale alipoanza kupishana kwa maneno kati yake na mke wa Dk. Slaa ambapo Slaa alimuamuru aende kwa mke wake akamalize ugomvi wake na mke wake ndipo aendelee na kazi jambo ambalo amesema kuwa alishangaa kuwa hakuwa na ugomvi na mke wa Dk. Slaa na hakuweza kufanya hivyo.

Amesema kuwa siku ya Jumamosi aliitwa Makao Makuu ya chama kwa mualiko kuwa kuna kikao maalum na mwenyekiti wa chama hicho na alipofika aliingizwa chumbani ambapo aliwakuta vijana watano wa chama hicho ambao amewataja kwa majina na bila kumjuza kitu chochote walianza kumpiga mateke, kumtesa, kumvua nguo, kumwagia maji huku wakimtuhumu kuwa amepewa sumu na viongozi wa chama cha CCM ili amuue katibu mkuu dk. Slaa.

“Jamani hivi inaingia akilini kweli mimi leo na maisha yangu haya niwe na uhusiano na watu wa usalama na CCM,huu ni uwongo wa hali ya juu na wanataka kunichafua kwa jamii, tena niseme ukweli chama hiki kinataka kuficha ukweli juu ya mambo waliyonitendea.”

“Ni kwamba mimi nimekuwa mlinzi wa Slaa kwa muda wa miaka mingi sana, tena mimi nilikuwa nampikia na kumtengea hadi chai ya kunywa eti leo niambiwe naandaa mipango ya kumuua huo ni unafiki” amesema Kagenzi

Katika Jambo la kushangaza Mlinzi huyo amefichua mipango ya kitesaji na kigaidi inayofanya na CHADEMA huku akisema wameandaa ofisi ya utesaji.

“Jamani hiki chama ambacho kina ndoto ya kuchukua nchi leo kinaandaa mipango ya mauaji na utesaji kama walivyonifanyia? Maana wameniteka na kunifungia kwenye chumba cha utesaji wanachomiliki wao wamechoma visu na kuweka kwenye Mashine ya umeme bila kosa lolote, eti wakinishinikiza mimi nitaje wanaonituma, jamani nawaambia mimi hanitumi mtu” ameedelea kusema Kagenzi.

Aidha, Kagenzi amekitupia lawama chama hicho huku akisema kwenye mateso waliyomtesa yamemfanya apoteze hata nguvu za kiume .

Alibanisha kuwa hata alivyokuwa mlinzi wa Dokta Slaa kwa miaka mitano zaidi alikuwa analipwa malipo madogo ya Laki tatu kwa mwezi lakini anasema kuwa hakuandaa mipango ya yoyote ya kumuua,lakini anashangaa kwanini leo wanamsingizia kiasi hicho kwani amedai kuwa kama angekuwa anataka kufanya vitendo vya kukisaliti chama angefanya huko nyuma.

Kuhusu kuingiziwa Milioni saba kwenye simu yake na watu wa Usalama wa Taifa

Kagenzi amesema hizo ni taarifa za uongo zinazosemwa kwani hata simu yake haina salio ya pesa na haijawahi kupokea pesa hizo.

Hatua atakazochukua

Kagenzi amesema hatua iliyobaki sasa hivi ni kwamba tayari ameshahojiwa na jeshi la Polisi na kilichobaki sahivi ni kusubiri kesi mahakamani ili kukishtaki chama hicho kwa Vitendo walivomfanyia navyodai ni vya kiuaji.

Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa

Posted: 11 Mar 2015 04:20 AM PDT

Viongozi wa Vilabu na mashabiki nchini wametakiwa kuachana na tabia za kutoa lawama kwa magoli kipa wanaofungwa magoli mbalimbali ikiwemo kuhama goli na hatimaye kuweza kufungwa.

Akizungumza na East Africa Radio, Kocha wa Kituo cha Magoli Kipa nchini TGC, Peter Manyika amesema, katika mazoezi kipa anafundishwa na kutahadharishwa mambo mbalimbali hususani kulinda goli inapotekea hatari ya kufungwa.
Manyika amesema, mashabiki na viongozi wanapoendelea na lawama watakuwa wanabadilisha magolikipa kila kukicha kwani kila Golikipa anakuja na tatizo lake na suala linalotakiwa ni kufundishwa zaidi ili kuweza kufanya vizuri na wapo magoli kipa wanaofundishwa lakini wanafungwa aina ya magoli ambayo huzuilika.
Manyika amesema, Golikipa anakuwa amebeba jukumu la watu wote hivyo suala la kufanya makusudi ili aweze kufungwa katika mechi mbalimbali linakuwa ni gumu kwania anaamini kila mtu anamtegemea yeye awapo langoni.
--------------
Note: 

Bob Junior: Sikupenda Ndoa Yangu Ivunjike

Posted: 11 Mar 2015 04:02 AM PDT

Msanii na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema hayakuwa mapenzi yake kuacha ndoa yake ivunjike.

Bob Junior ameiambia Bongo5 kuwa kilichotokea ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.

Nitaoa lakini sio miaka ya karibuni ni miaka ya mbele sana kwa sababu niliingia kwenye ndoa halafu mwisho wa siku ndo haikukaa muda mwingi ikanishinda,” amesema.

Yaani siwezi tena kusema niache halafu nione tena, simaanishi kwamba ndoa ya kwanza nilikurupuka, ilitokea kwa neema za Mungu na bahati mbaya kwa majaliwa ya Mungu ikavunjika. Watu wanauliza sana hili suala lakini mimi nipo single kabisa. Mimi nashangaa watu wanaendelea kuniuliza,” ameongeza.



Kuhusu Zitto Kabwe: CCM wamecheza game of mind kuelekea uchaguzi mkuu

Posted: 11 Mar 2015 02:48 AM PDT

Zitto Kabwe
Maoni Huru kutoka kwa Mdau:
'Hatujui kweli kinachofurukuta mdani ya CHADEMA na hatujui kama kosa lilikuwa linavumilika ama haivumiliki.

Ila kitendo cha mahakama kufuta kesi ya Zitto haraka haraka inaweza ikawa ni game mind ya kisiasa ya CCM kwa sababu wanajua kuwa wazee wa kukurupuka watamfukuza haraka haraka na lazima kuna damage itatokea.

Au mnadhani kwa nini kesi imefutwa kuelekea uchaguzi? 

Mimi sio mamluki hata huyo ZZK, sijawahi kumuona zaidi ya kwenye magazeti, ila kilichopo kwa sasa ni kuwa CCM imechokwa na CHADEMA haijajiandaa'

By Saint Ivuga

Mwanasheria Albert Msando Afunguka kuhusu Kufukuzwa Zitto Kabwe Chadema

Posted: 11 Mar 2015 02:44 AM PDT


Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;

1. Amehoji je, kama CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?

2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.

3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?

4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?

5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.

6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.

7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.

9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.

Chanzo: Clouds TV

Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi

Posted: 11 Mar 2015 02:32 AM PDT

Wema Sepetu
Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa dansi ndiye mwanaume wa pekee ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.


Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.

Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend pekee asiye na mambo ya Kiswahili,” amesema. “Tulizinguana tukafika pointi tukasaidiana, ameoa nikamtolea mchango, nimeenda kwenye harusi yake sioni tatizo.”

“Mimi na Chaz Baba tulikuwa tunapendana na baada ya kufikia point ya kuachana tukaachana, tukawa hatuongei for sometime mwisho wa siku baada ya kila mmoja kukaa kwake tukawa tunazungumza. Sio kama watu wengine tukigombanaga tunatafuta mabifu, hatusemeshani,” ameongeza mrembo huyo aliyesisitiza kuwa ‘sina bwana’.

Breaking News: Ajali Mbaya Iringa Kontena Laangukia Basi la Abiria

Posted: 11 Mar 2015 03:36 AM PDT

Hizi safar hizi...jaman ukipanda gar unashukuru na ukishuka salama pia husisahau kushukuru....  Amjali imetokea changalawe mafinga basi la Majinja limeangukiwa na kontena muda huu hali si nzuri.... Inasemekana watu Karibia wote Wamapoteza maisha.....MUNGU AZILAZE MAHAL PEMA PEPON ROHO ZA MAREHEM JAMAN.....DUH...

Updates 

Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi mkoani Iringa zinaeleza kuwa basi la kampuni Majinja lililolaliwa na lori lilikuwa limebeba jumla ya watu 49, idadi hiyo ni pamoja na dereva na kondakta wa basi hilo.wengi wa watu hao wamefariki dunia idadi ya majeruhi haijajulikana bado.

Taarifa hizo zinaeleza kuwa kwenye mizigo mingi ya abiria waliokuwa kwenye basi hilo kumepatikana madaftari mengi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam hivyo jeshi hilo linaendelea kufanya mawasoliano ma wamiliki wa gari hilo ili kujua kama lilikuwa limekodishwa kubeba wanafunzi wa chuo hicho ama ni mchanganyiko wa kawaida wa abiria.



Amber Rose shows us how she sleeps at night..

Posted: 11 Mar 2015 12:44 AM PDT

Lol this woman doesn't give a damn anymore...Call Her Whatever you Want...Last Night She shared the above picture showing how she sleeps at Night...Thats Amber Rose For You....

7 Signs She Will Be Great In Bed, No. 6 Is A Must Read

Posted: 11 Mar 2015 12:39 AM PDT

Signs She Will Be Great In Bed

One of the biggest turn off for a guy is to find out that the girl you have been chasing for the longest time is very poor in bed. When a man makes a move to a girl its because he sees you attractive enough, but many a times men fail to be keen enough of the most crucial early signs of perfection in bed. Men here are seven key factors to consider before you make that last move; 

1. She's a great kisser - The way a woman kisses is basically a preview to the way she will behave in bed. So, if the woman you're dating begins running her hands over your body as she kisses you while gently biting your lip, pressing herself into you and creating s3xu@l anticipation, chances are she's going to be a great lover.

2. She is confident and comfortable within herself - If the woman you're dating offers flirtatious or coy looks and has chosen to reveal some of her body by wearing a low cut dress, a tight skirt or is showing off her legs around you, she is happy about her appearance and has a healthy amount of self-worth. If a woman is confident about her body, chances are she'll be great in bed and will actually let you see her n@ked with the lights on.

3. She enjoys the taste of food - Another trait that can translate exceptionally well to the bedroom is how a woman eats. If she puts food in her mouth sensually, delights in her meals and takes the time to savor the flavors, she may have a deep appreciation for c@rn@l pleasures. If she lingers over a meal, she may just take her time in bed as well.

4. She openly talks about s*x - A woman who openly discusses what she likes/does in bed is probably good at s*x and has the confidence to do what she wants in the bedroom. If she makes too many s3xu@l references, however, she may be overcompensating, and could just be a tease. 

5. She initiates touching on a regular basis - A great lover is one who values sensuality both in and out of the bedroom. So if you're seeing a woman who is willing touch your hand, your face or your body without you making a similar movement first or initiates a game of footsie with you under the table on dates, she probably enjoys initiating physical contact. That's a great sign that she both enjoys s*x and is good at it because it shows that she will follow her instincts instead of repressing them. 

6. She's flexible and works out  - Physical conditioning is fundamental to good s*x and there are some aspects of s*x that are like athletic contests; therefore, a flexible woman who is in good shape and involves herself in things like yoga or ballet will likely be able to exhibit more endurance in lovemaking. Furthermore, the ability to move her body in a flexible fashion allows for more possibilities in bed and can provide great thrills for both of you. 

7. She's a great dancer - A woman's dancing prowess along with her rhythm can not only suggest her energy and creativity – it can give a hint to what she moves like in the bedroom. So, watch her moves on the dance floor and you'll get a good idea of her skills between the sheets. 

Wema Sepetu Katika Picha Ambazo Hujawahi Kuziona za Wakati Anaanza Kupata Umaarufu

Posted: 11 Mar 2015 12:18 AM PDT

Wema Sepetu
 Picha za Wema Sepetu Miaka Kadhaa nyuma kabla ya Kuwa na Umaarufu aliyonao kwa sasa , Picha hizi zinaonyesha mtoto alikuwa hana makuu Kabisa..Sura ya Upole na Ngozi Natural Kabisaaa..Hapo Alikuwa Toto Bikra...Bado Kina nani hawajaamza Kumrukia na Kumuumiza Mtoto wa Watu .....




Edzen Jumanne Tukio la Pili Sasa Unazalilika Mwanaume Mzima, Badilika Sasa

Posted: 10 Mar 2015 11:58 PM PDT

Edzen Jumanne
Barua ya Wazi Toka kwa Mdau Kwenda kwa Edzen
Mimi ni shabiki wako mzuri sana Kutoka Mwanza ila nimesikitishwa na Video yako ukiwa uchi na unachukuliwa Video na Mdada..Tumezoea kuona wadada ndo wanachukuliwa Video ..naomba Nikuabie haya Machache labda yatasaidia ...
Juzi Juzi tulikisia Umeachwa na Aliyekuwa Mke wako Dida wa Times FM na Kufungasha virago kutoka Kwake ulipokuwa ukiishi..Mara Tukasikia Unatoka na huyu Moza ila wewe ulikataa kabisa , sasa  Video ya jana imekuumbua tena kibaya zaidi imechukuliwa upo kwake kitu ambacho kinapigilia tetesi kwamba wewe ni Marioo unaependa kulelewa na wadada wa mjini ..Kwanini usiwe na Kwako ukajilia vitu vitamu  kwako ..hawa viumbe wanaakili sana ukiwaendelekeza watakupiga Danadana mpaka utalijua jiji vizuri ...Embu Badilika Mwanaume Mzima...

By Crispa, Mwanaza

Diamond Apata Mshituko Mkubwa Baada ya Kuambiwa Anadaiwa Shi Mil 800 na Serekali

Posted: 10 Mar 2015 11:42 PM PDT

Diamond Platnumz na Avril
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amepatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuwepo madai ya kudaiwa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 800 na serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili.

ILIKUWAJE?
Mwishoni mwa wiki iliyopita, barua inayodaiwa kuandikwa na mamlaka hiyo halali ya serikali, ilisambazwa mitandaoni, ikielezwa kuwa ilikuwa imetumwa kwa meneja wa msanii huyo ambaye kwa sasa ndiye yupo juu, ikimtaka kupeleka nakala za mikataba yote ya muziki aliyoingia kwa ajili ya kufanya shoo, kuanzia mwaka 2010 hadi sasa.

GUMZO MITANDAONI
Baada ya kuwekwa kwa barua hiyo mitandaoni, watu mbalimbali walitoa maoni yao walionyesha hisia tofauti, baadhi wakipinga kwa madai kuwa wanamuonea huku wengine wakisema siyo Diamond tu, bali wasanii wote wanastahili kulipa kodi kutokana na mapato wanayopata kupitia kazi zao.

KODI ZIPOJE KIBONGOBONGO?
Mtaalam mmoja wa mambo ya kodi aliyezungumza na Risasi Mchanganyiko, alisema kwa mujibu wa taratibu zao, msanii huyo anastahili kulipa kodi kiasi cha asilimia kumi ya fedha anazopata katika kila mkataba anaoingia.

“Kuna walipa kodi wengine kama wafanyabiashara, hawa wanalipa kile ambacho kitaalamu kinajulikana kama Capital Gain, yaani kulipa kadiri unavyopata. Mtu anakwenda TRA mwenyewe na kueleza mapato yake na mamlaka itampangia kiasi cha kulipa. Ila watu kama wasanii na wengine wanaolipwa, wanatakiwa kutoa asilimia kumi ya malipo,” alisema mtaalam huyo aliyekataa kutajwa jina gazetini.

DIAMOND ANADAIWA SH. NGAPI?
Kama suala hilo litafanyika kwa mujibu wa mtaalam huyo, Diamond ambaye malipo yake kwa shoo moja yanatajwa kuwa ni shilingi milioni 20 kwa sasa, atatakiwa kulipa kiasi kinachozidi milioni 800 kutokana na hesabu zilizofanywa na watu wanaofuatilia muziki wake.

“Jamaa anafanya wastani wa shoo kama tatu kwa mwezi hapa nyumbani (Tanzania) na tatu zingine nje. Zile za nje analipwa siyo chini ya dola 25,000 kwa shoo moja. Nadhani unajua kwa sasa huyu dogo ndiye anakimbiza sana katika soko, yupo juu na kila promota anahitaji huduma yake,” alisema mdau huyo wa Bongo Fleva.

MCHANGANUO ULIVYO
Kama hesabu za mdau huyo zitakuwa sawa, inamaanisha kuwa Diamond anaingiza wastani wa shilingi milioni sitini kwa mwezi hapa nyumbani, na milioni 127  kwa mikataba ya nje ya nchi (Dola moja ya Marekani ni sawa na shilingi 1700), ikimaanisha kuwa kwa mwezi mmoja, kijana huyo aliyekulia Tandale, anaingiza kiasi cha shilingi milioni 187.5.

JUMLA  YA MAPATO MIAKA MINNE
Kwa mahesabu hayo, Diamond Platnumz anaingiza wastani wa shilingi bilioni 2.2 kwa mwaka, fedha ambayo ukijumlisha kwa miaka minne, ameweka kibindoni shilingi za kitanzania bilioni 8.8, ambazo asilimia kumi yake ni shilingi milioni 880, ambazo ndizo zinazotakiwa kulipwa.

MENEJA AFUNGUKA
Mmoja wa mameneja wa Diamond, Babu Tale alipotafutwa na gazeti hili na kuulizwa kama ni kweli alipewa barua au kujua kuwa barua hiyo ipo, alikataa kulizungumzia suala hilo, akisema siyo jambo la kulielezea kwenye vyombo vya habari.“Hata mimi nimeiona hiyo barua (anautaja mtandao wa kijamii maarufu sana nchini), sina cha kuelezea kwenye media,” alisema meneja huyo huku akikataa katakata kusema kama ameipata au la.

DIAMOND MWENYEWE SASA
Baadaye Risasi Mchanganyiko liliwasiliana moja kwa moja na Diamond mwenyewe, ambaye alikuwa nchini Nigeria, alikoenda kwa ajili ya shoo iliyoandaliwa na Africa Magic Viewers Choice Awards jijini Lagos, alishtuka sana na kuomba asizungumzie suala hilo.“Daah! Milioni 800? Anyway naomba nisizungumzie suala hilo kwa sasa.”

TRA WAIKANA BARUA
Gazeti hili lilipomtafuta ofisa wa TRA, ambaye jina lake limeandikwa katika barua hiyo, aitwaye Tillya V.M. T, alikanusha kuandika barua hiyo na kusema ni mambo ya kugushi yanayofanywa mitandaoni.
“Hakuna kitu kama hicho, its something created,” alisema bosi huyo akimaanisha kuwa jambo hilo ni la kutengenezwa.

NYOTA YA WEMA YAHUSISHWA
Wakati hayo yakijiri, baadhi ya wadau wamesema suala hilo linahusishwa na mojawapo ya kauli iliyowahi kusemwa na aliyekuwa mpenzi wake, Wema Sepetu kuwa mwanaume yeyote anayekuwa naye kwenye uhusiano wa kimapenzi, nyota yake hung’aa, lakini anapoachana naye, hufifia.

WENGINE WAMHUSISHA ZARI
Aidha, wadau wengine walisema ishu hiyo huenda imeibuka kama mkosi uliochangiwa na kujiingiza katika mapenzi na mwanadada raia wa Uganda, Zarina Hassan ‘Zari’ ambaye mashabiki wanadai ni mtu mwenye mikosi, kwani Diamond ni mwanaume wake wa nne rasmi, wa tatu wa kwanza kila mmoja akiwa amezaa naye.

Wadada wa Mjini Akiwemo Jack Wolper Wajitosa Kumtafutia Nuhu Mziwanda Mchumba, Wamchoka Shilole

Posted: 10 Mar 2015 11:35 PM PDT

Shilole na Nuhu Mziwanda
Story ya kwenye U Heard ya leo March 10, inahusu tetesi zilizoenea kuwa wa dada wa mjini akiwemo muigizaji, Jacqueline Wolper wamemchoka msanii Shilole kwa madai kuwa amekuwa akimpiga mpenzi wake Nuh Mziwanda mara kwa mara na wanataka kumtafutia  mpenzi mwingine ambae hatampiga, mpango uliopangwa siku ambayo Shilole alimpiga Nuh na wasanii waliokuwepo kuingilia.
Soudy Brown amemtafuta Shilole na kumpa taarifa hizo na kusema sio kweli ila watu wanazusha ili kuwagombanisha jambo ambalo hawatafanikiwa kwa kuwa anajiamini sana, kwa upande wa  Nuh amesema kuwa ndio kwanza anasikia taarifa hizi ila mwanaume huwa hatafutiwi mwanamke na Shilole hampigi kama wanavyodai zaidi ya kuishi kwa raha.

Bifu la Lady Jaydee na Madam Ritha wa BSS

Posted: 10 Mar 2015 11:30 PM PDT

Katika kusheherekea sikuuu ya mwanamke Duniani, Mwanamuziki mwenye hadhi ya kipekee bongo, Judith wambura mbibo maarufu kama Lady jaydee ame share story yake fupi kuhusu bifu lililowahi kutokea miaka ya nyuma kati yake na Mkurugenzi wa Benchmark Production Madam Ritha.

Akitiririka kwenye ukurusa wake wa Instagram, staa huyo ambaye hana mpinzani ndani ya Bongo Fleva, alikiri kutofautiana na mwanamama huyo, baada ya madam ritha kumpaka make up lady Jaydee ambapo Jide alikuwa akiifuta hali iliyompelekea Madam kumgombeza hali iliyozua tafrani kwa mwanamuziki huyo, na kusababisha ugomvi ambapo bifu hilo lilidumu kwa mda Wa miaka mitano bila mastaa hao kuongeleshana wala kusalimiana.

Hata hivyo staa huyo amekiri kumaliza tofauti yake na mwanamama huyo kwa kudai ulikuwa ni utoto na sasa hivi bifu kati yao limeisha.

Source: Lady Jaydee

Albino Kukatwa Mkono: Waganga 10 Pamoja na Baba Mzazi Watiwa Mbaroni

Posted: 10 Mar 2015 11:18 PM PDT

Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu 17 wakiwemo waganga wa jadi 10 wakihusishwa na tukio la kikatili katika kijijini cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga ambako mtoto mlemavu wa ngozi (albino), Baraka Cosmas (6) mwishoni mwa wiki alishambuliwa na kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana.
 
Miongoni mwa watuhumiwa waliokamatwa ni watu saba ambao wanatuhumiwa kushiriki katika kumkata kiganja mtoto huyo mlemavu wa ngozi akiwemo baba yake mzazi, Cosmas Yoram (32).
 
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Ferdinand Rwegasira amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao kufuatia msako mkali uliofanyika katika vijiji vinne vya wilaya za Sumbawanga na Nkasi.
 
Aliwataja waliokamatwa pamoja na baba mzazi wa mtoto huyo kuwa ni pamoja na Mwendesha William (30), Masunga Bakari (50), na Ngolo Masingija (47) wote kutoka kijiji cha Kaoze .
 
Wengine ni Paschal Jason (40), David Kiyenze (45) na Mageta Shimba (46), wote wakazi wa kikiji cha Kipeta , Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga.
 
Kwa mujibu wa Rwegasira, katika msako huo pia walikamatwa waganga wapiga ramli chonganishi 10 akiwemo Sererino Kachingwe “Nakalango”(70), mkazi wa kijiji cha Miangalua wilayani humo ambaye pia alipatikana na bunduki aina ya Shot gun greener yenye namba G 73354 TZD,CAR 47478 ambayo anaimiliki isivyo halali .
 
“Mtuhumiwa huyu pia ni mganga wa kienyeji ambapo alikutwa na wanyama wawili aina ya Kalunguyeye wakiwa hai pamoja na dawa mbalimbali za miti shamba.
 
"Pia katika msako huo amekamatwa mganga mwingine wa kienyeji , Eliza Malongo mwenye umri wa miaka 36 mkazi wa kijiji cha Kamnyalila akiwa na nyara za Serikali, “ alieleza.
 
Aliongeza Eliza alikutwa na ngozi ya chui, wanyama wanne waliokaushwa aina ya Kalunguyeye na nywele zinazodhaniwa kuwa za binadamu pamoja na mfupa wa swala.
 
Waganga wengine waliokamatwa katika msako huo ni pamoja na Sodeli Malimbo ‘Chuchi” (69) mkazi wa kijiji cha Miangalua, Akobo Chinzwe (50), Leonard Samson (59) na Engelbert Kasinde (45) , wote wakazi wa kijiji cha Kamyalila.
 
Katika orodha hiyo wapo Boniface halya (49) na Julius Simbamwene (40) wote wakiwa wakazi wa kijiji cha Mpui .
 
“Watuhumiwa hawa walikutwa na vifaa mbalimbali vya kupigia ramli vikiwemo vioo viwili, pembe moja, ndege na wanyama ambao hawakuweza kutambulika mara moja, mizizi ya aina mbalimbali na dawa mbalimbali za kienyeji,“ alieleza Rwegasira.
 
Akifafanua zaidi, Rwegasira alidai kuwa msako huo pia ulifanyika wilayani Nkasi ambako alitiwa nguvuni mganga wa kienyeji aitwae Charles Misalaba (47) , mkazi wa kijiji cha Kacheche ambapo alikutwa na yai la mbuni , kucha za chui , pembe ya korongo , ngozi ya paka pori na kobe aliyekaushwa.
 
Amesisitiza kuwa msako huo bado unaendelea na kwamba watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani mara tu baada ya upelelezi wa awali wa shauri lao kukamilika.
 
Kwa mujibu wake msako huo unafuatia watu wasiojulikana kumshambulia na kumkata kiganja mtoto mwenye umri wa miaka sita, Baraka Cosmas na kisha kutokomea nacho kusikojulikana usiku wa kuamkia Machi 08, mwaka huu.
 
Tukio hilo lililotokea katika kijiji cha Kipeta Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, ambako mtoto huyo anaishi na wazazi wake, Cosmas Yoram (32) na Prisca Shaaban pamoja na watoto wengine wawili ambao nao ni albino wakiwa na umri wa miaka nane na minne.
 
Alisema tukio hilo ni la saa nane usiku wa kuamkia Jumapili wakati mtoto huyo akiwa amelala na mama yake. Baba wa mtoto huyo hakuwepo wakati huo.
 
Akielezea zaidi, Kaimu Kamanda Rwegasira alisema usiku huo kikundi cha watu wasiojulikana walivamia nyumba alimolala Baraka na mama yake mzazi, Prisca wakiwa na silaha za jadi, ikiwemo mapanga na fimbo na kuanza kumshambulia kwa kumcharaza viboko Prisca baada ya kukataa kuwapatia mtoto huyo, mwenye ulemavu wa ngozi.
 
“Baada ya kuingia ndani ya nyumba hiyo walimwamuru mama mzazi wa mtoto Baraka kuwakabidhi mtoto huyo, lakini alikaidi ndipo walipoanza kumshambulia kwa kumpiga kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kumjeruhi vibaya …
 
“Waliingia ndani baada ya kuvunja mlango wa nyumba hiyo, ndipo katika patashika hiyo wavamizi hao walimkata mtoto Baraka kiganja cha mkono wake wa kulia na kuondoka nacho kusikojulikana,” alibainisha.

Lady Jay Dee Akerwa Kuzushiwa Kutundikwa Mimba

Posted: 10 Mar 2015 11:16 PM PDT

Mwanamuziki nguli wa kike hapa Tanzania Lady JayDee ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake wa Forever amefunguka na kuonyesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya mashabiki wake wa Instagram ambao walimuelewa vibaya baada ya kupost picha jana na kusema kuwa tumbo lake limevimba na kusema ana mimba

"Imebidi nifute post Ili nielezee upya.Hivi watu hamuelewi kiswahili au ni nini ??? Nimesema tumbo limevimba sababu ya sahani,nikimaanisha mlo na nili post nakula hapo awali Sasa hayo maneno mengine yanatokea wapi? Au niwe naandika kichina? Kwani mliambiwa nitazaa Rais atakayewatoa katika shida zote mpaka mnishikilie mimba mimba..Hebu niacheni basi khaaa Nisiishi Kisa mimba? Aisee mnaboa sana. Basi niueni Kisa sijazaa Ili niwaondolee kero kabisa." aliandika Jide

Unalipi la kumwambia Jide hapo?

Udaku Specially

unread,
Mar 12, 2015, 4:19:19 PM3/12/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Picha: Ni Wema Sepetu na Ommy Dimpoz wakipeana 'Kiss' mdomoni huku wakiwa kwenye hali ya mahaba mazito!

Posted: 12 Mar 2015 12:03 PM PDT

Hatimaye ile project iliyokuwa inasubiriwa kwa muda mrefu sasa kesho ndio siku rasmini itakayo toka. Ambapo Ommy Dimpoz ame share picha ikimuonyesha akiwa na Wema Sepetu kitandani kama wana peana kiss mdomoni nakuandika "Tomorrow...Saa 4 Asubuhi kwenye TV na Radio zote Ndani na Nje ya Nchi....#WANJERA"
Lakini pia hata Wema Sepetu ame share picha ikionyesha wamesimama na Ommy Dimpoz wakiwa kwenye hali ya kimahaba na kuandika "Stay tuned... tomorrow @10 am... Kweny radio na Tv zote....(Local & International) I cant wait... Finally...!!Wanjera..!!!".

Juma Jux Showing His House, The Whole House This Time...Tuone Kama na Hii Mtaponda!

Posted: 12 Mar 2015 11:37 AM PDT

Some Weeks Ago Juma Jux aliweka Picha ikionyesha kipande cha nyumba yake , picha hiyo ilitafsiriwa vibaya na  baadhi ya mashabiki wake na wengine kusema anajenga gala...Sasa leo amepost ikiwa inaonekana vizuri na kusema haya

Major plans for my humble abode - home recording studio, gym and pool and maybe a puppy for bae. God is good! Planning ahead #RealEstate #Lifestyle #Property #Blessings #AfricanBoy


Aunt Ezekiel Akanusha Taarifa za Kujifungua

Posted: 12 Mar 2015 11:19 AM PDT

Aunty Ezekiel
Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wa GPL ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli.

Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video kinachomuonyesha mwigizaji huyo akiwa ammbeba mtoto mchanga.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Aunt Ezekiel jana aliweka kipande cha video akiwa amembeba mtoto mchanga bila kuandika chochote ambapo mashabiki wake walimiminika na kuanza kumpongeza wakijua tayari kajifungua.

Akiongea na mwanahabari wa GPL Aunt amesema kuwa , hicho ni kipande cha mojawapo ya filamu yake aliyocheza siku nyingi. Na taarifa zilizoenea mitandaoni kuwa kajifungua si za kweli.

Kwa upande wa pili kijana anaesemekana ndio alimpa ujauzito huo, Mosesi Iyobo ambae ni mcheza dansi wa mwanamziki Diamond alibandika mtandaoni picha ya mama akiwa amebeba katoto (itazame hapo juu) na kupeleka watu kumpa pongezi pia.

Nimemharibu Mpenzi Wangu ila yote Kasababisha Mwenyewe

Posted: 12 Mar 2015 11:14 AM PDT

Kwa muda wa miezi 3 sasa nipo kwenye mahusiano na dada mmoja toka kule visiwa vya karafuu,ni mzuri ana sifa zote ila tatizo lake huja wakati wa faragha,toka nimekuwa nae kwenye game yeye ananipa kinyume na maumbile tu haijalishi nitapiga mara ngapi.

Kiukweli na mimi nimezoea ingawa namwonea sana huruma ila yeye anadai nisijali niendelee kufanya hivyo, sasa tatizo limekuja anadai nipeleke barua kwao, lakini kwa jinsi nilivyomfanya kinyume na maumbile napata mashaka kuwa nikishamuoa haitakuja kuwa aibu kwangu.Je kuna uwezekano wa kule back kwake kukarudi hali ya kawaida.

Ushauri wenu wakuu

Sikiliza na Download Linex Ft. Diamond Platnumz - Salima

Posted: 12 Mar 2015 11:06 AM PDT


Sikiliza ama Download Wimbo mpya wa Linex Akishirikiana na Diamond Platnumz..Wimbo unaitwa Salima Huu Hapa Chini ..Ukishasikiliza Toa Maoni yako:

Yanga yagomea ushindi wa Simba FIFA

Posted: 12 Mar 2015 10:27 AM PDT

Yanga jana wameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupinga ushindi wa Simba walioupata dhidi yao Jumapili iliyopita wakitaka wanyang’anywe pointi tatu na kama TFF itashindwa kufanya hivyo basi wameweka wazi dhamira yao ya kulipeleka suala hilo mpaka Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kutafuta haki yao.

Kikubwa kilichoifanya Yanga kufikia uamuzi huo na kuitaka Simba ipokonywe pointi hizo ni baada ya Simba kumchezesha mchezaji wao, Ibrahim Ajibu mwenye kadi tatu za njano.

Awali kabla ya mchezo huo, Yanga ilituma barua TFF kutaka kujua ni kanuni ipi inamruhusu mchezaji mwenye kadi tatu kuchagua mechi za kucheza wakati ipo wazi kwamba anapaswa kukosa mechi zinazofuata kisha akaendelea na nyingine, lakini ilikosa majibu na ndipo ikaamua kuandika nyingine iliyotumwa jana iliyojumuisha na azimio jingine la Simba kunyang’anywa pointi tatu.


Katibu Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha, alifafanua kuwa endapo kama wao wangeshinda mchezo huo basi ingebidi Simba wapigwe faini lakini kwa kuwa wameshindwa, basi inapaswa Simba wanyang’anywe pointi tatu ambapo alisisitiza kuwa katika hilo hawatarudi nyuma mpaka wapate haki yao stahiki.

“Tumeandika barua leo (jana) mapema na tayari tumeshaipeleka TFF kuhusu kutaka Simba kupokwa pointi walizozipata kwenye mchezo wetu wa Jumapili kwa kuwa walimchezesha Ibrahim Ajibu, mwenye kadi tatu za njano, kitu ambacho ni kinyume na kanuni za soka zinavyotaka.

“Na kama itatokea TFF watakosa jibu stahiki la kutupa au kushindwa ‘ku-solve’ kesi hii, basi sisi tutasonga mbele na tutakwenda Caf (Shirikisho la Soka Afrika) na kama hapo pia itakosa ufumbuzi basi tutafika mpaka Fifa, ilimradi tuhakikishe haki yetu inapatikana.

“Kama ingekuwa tumeshinda sisi siku ile, basi Simba lazima ingepigwa faini lakini kwa kuwa wao wameshinda basi adhabu yao ni kupokonywa pointi tatu, hata mechi zao walizocheza na Stand United na Prisons pia zinapaswa kupokonywa pointi kwa kuwa walikiuka kanuni kama hii.

“Kitu cha kujiuliza ni kwamba kanuni zinawezaje kubadilishwa bila ya wahusika ambao ni timu za ligi, kuwa na taarifa isipokuwa Simba pekee.

Aunty Ezekiel Amejifungua?!!

Posted: 12 Mar 2015 10:04 AM PDT


Muigizaji Aunty Ezekiel kwenye ukurasa wake wa Istagram jana usiku aliweka video ikimuonesha akiwa Hospitali na akiwa amembeba mtoto mkononi ilivuma na katika picha zake zote hiyo ndo ilipata comments nyingi zaidi watanzania wakimpongeza kwa kujifungua,  Mose Iyobo ambaye mara nyingi ametajwa kuwa ndiye baba wa mtoto huyo, amesema  Aunty yuko location wanashoot movie mpya aliyocheza na msanii Dude.

Ni movie kweli au kajifungua?

Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA

Posted: 12 Mar 2015 02:07 AM PDT

Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).

Kauli ya hiyo ya Bunge imekuja siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza kumvua uanachama Zitto, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, alisema kutokana na hali hiyo, Zitto bado ni mbunge halali wa Kigoma Kaskazini na kwamba anapaswa kuendelea na shughuli zake kwa mujibu wa sheria.

Dk Thomas Kashililah, amebainisha kuwa endapo Bunge litapata taarifa rasmi ya Chadema kumvua uanachama Zitto, lazima Bunge hilo lifanye kwanza uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili ndipo litoe uamuzi.

Pia amesema sakata la mbunge wa Bunge hilo kuvuliwa uanachama na chama chake si la kwanza, kwani tayari kuna mbunge aliyevuliwa uanachama na chama chake lakini Bunge hilo halikumvua uanachama wake baada ya kumaliza uchunguzi wake. Hata hivyo hakumtaja mbunge huyo.

“Utaratibu ulivyo, chama huliandikia Bunge kuhusu kumvua uanachama mbunge na Bunge kabla ya uamuzi wowote hufuatilia kwanza sababu za kuvuliwa uanachama huo, ili kujiridhisha kama zilikuwa halali au la,” alisema Kashililah.

Alisema baada ya hapo Bunge hilo huwasiliana na Msajili wa Vyama vya Siasa ili ofisi hiyo ya msajili iweze kupitia Katiba ya chama husika na kupitia sababu za chama husika zinazoweza kumvua uanachama mwanachama wake na kama kweli zimekiukwa.

“Baada ya suala hilo kupelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa, Spika wa Bunge, hutoa uamuzi baada ya kuchunguza na uamuzi huo, hupelekwa kwa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) kwa ajili ya kufanyiwa kazi zaidi,”alisisitiza.

Aidha alisisitiza: “Si lazima Spika akubaliane na uamuzi wa kutengua ubunge wa mbunge husika kwani kama haikuwa halali kwa mbunge huyo kuvuliwa uanachama, Spika hubatilisha uamuzi wake wa kumvua ubunge mhusika,” alisema.

Alisema Spika Anne Makinda katika kipindi chake alishawahi kutoa uamuzi wa kubatilisha mbunge fulani kuvuliwa ubunge hata baada ya chama chake kumvua uanachama.

Akizungumzia suala hilo, Zitto, alisema kwa upande wake bado ni mbunge na anaendelea na kazi yake ya Uenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) hadi pale atakapopatiwa taarifa rasmi ya kuvuliwa uanachama na ubunge wake.

“Naendelea na kazi kama vile hakuna kilichotokea, sina taarifa yoyote ya kuvuliwa uanachama wangu wala ubunge, habari hizi nimezisikia kwenye vyombo vya habari, sijaitwa na Mahakama kuambiwa kinachoendelea,”alisema Zitto.

Alisema kwa sasa anaendelea kuongoza kamati hiyo na jana alikutana na menejimenti ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), leo kamati yake inatarajia kukutana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), pia watakutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mwanasheria Mkuu kuhusu mapato ya akaunti za madini.

Aidha alisema pamoja na kuendelea kama kawaida na shughuli zake za kibunge bungeni, pia anatarajia kesho kwenda Kigoma kwa ajili ya shughuli za maendeleo jimboni kwake, kabla ya kuhudhuria vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza rasmi Machi 17, mwaka huu.

Alisema kwa upande wake, anachukulia suala hilo kama changamoto ambayo inazidi kumkuza na kumkomaza katika medani za siasa nchini na duniani kote.

Kwa upande wake, Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene alisema chama hicho kinajitahidi kulifanyia kazi suala hilo kwa kuzingatia sheria na taratibu zote, ikiwemo kuandaa na kuiwasilisha wakati wowote barua inayomvua uanachama Zitto, ili suala hilo lifanyiwe uamuzi mapema.

“Kwa sasa suala hili la Zitto limewaingia Watanzania wengi, sasa sisi tunataka tulifanyie kazi mapema, ili uamuzi ufanywe mapema na suala hili liishe. Kuna mambo mengi ya maana yanahitaji kujadiliwa kitaifa kama vile masuala ya uandikishaji katika Daftari la Wapiga kura kwa mfumo wa BVR,” alisema.

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu ambaye juzi alitangaza kuwa chama hicho kimemvua uanachama mbunge huyo, jana alimwambia mwandishi kuwa, jopo la wanasheria wa chama hicho litaifikisha taarifa ya Zitto kuvuliwa uanachama kwa Kamati Kuu ya chama ifikapo Mei, mwaka huu.

Alisema, "Kutokana na utaratibu uliopangwa wa Kamati Kuu kukutana kila baada ya miezi mitatu, suala la Zitto litasubiri kikao kingine cha kawaida cha kamati hiyo kitakachokaa mwezi Mei. Kikao kilichopita kilikaa Februari mwaka huu".

Kwa maelezo ya Lissu, baada ya hapo ndipo wataiandikia barua Tume ya Uchaguzi (NEC) kuijulisha kuwa Zitto si mwanachama wa chama hicho tena au la.

Majina ya Abiria Wote Waliokuwa Katika Ajali iliyouwa Watu Iiringa Jana

Posted: 12 Mar 2015 02:05 AM PDT

"Ni ajali ambayo haijawahi kutokea katika maeneo haya," ni baadhi ya maneno yaliyosikika kutoka kwa wakazi wengi wa mjini Mafinga na vitongoji vyake, ambao jana walishuhudia ajali  katika historia ya mji huo.

Ajali hiyo ilihusisha lori aina ya Scania namba T 689 APJ, mali ya Cipex Company lililokuwa likiendeshwa na Maka Sebastian (26)  na basi aina ya Scania namba T438 CED, mali ya kampuni ya Majinja lililokuwa likiendeshwa na Baraka Gabriel (38).

 

Wakati lori lilikuwa likielekea Barabara ya Mafinga-Mbeya, basi hilo lilikuwa likitokea Mbeya kuelekea jijini Dar es Salaam.

 

Ajali hiyo iliyosababisha vifo vya watu 42 wakiwemo 40 waliokuwemo katika basi na wawili katika lori hilo, ilitokea katika eneo la Changarawe takribani kilometa 5 kutoka mjini Mafinga, mkoani Iringa, katika barabara kuu ya Mafinga-Mbeya.

 

Kati ya waliokufa yupo dereva wa basi hilo, huku dereva wa lori akijeruhiwa vibaya baada ya kuchomwa na kitu kama nondo shingoni mwake.

Akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza, Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa, Salim Asas na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, Mungi alisema ajali hiyo ilitokea jana asubuhi saa tatu na nusu.

 

Kamanda Mungi alisema jeshi lake kwa kushirikiana na hospitali za Mafinga na Mkoa wa Iringa wanaendelea kutambua majina ya watu waliokufa na  majeruhi.

 

Kamanda Mungi alisema taarifa zao za awali zinaonesha chanzo cha ajali hiyo ni ubovu wa barabara. Mungi alisema lori na basi hilo yaligongana uso kwa uso wakati madereva wake wakishindana kuwahi kuchepuka moja kati ya mashimo makubwa yaliyopo pembezoni na katikati mwa barabara hiyo katika eneo hilo.

 

Baadhi ya watu waliotajwa kuwepo katika basi na lori hilo ambao hata hivyo hawakuweza kufahamika mara moja, nani kafa na nani kajeruhiwa ni pamoja na Ester Emanuel, Lusekelo Enock, Jeremia Watson, Digna Solomoni na Frank Chiwango.

 

Wengine ni Luteni Sanga, Teresia Kamingage, Dotto Katuga, Ester Fidelis, Paulina Justine, Mbamba Ipyana, Catherine, Mwajengo, Zera Kasambala, Rebeka Kasambala, Shadrack Msigwa, Mathias Justine, Juliana Bukuku, Cristina Lyimo, Martin Haule na Dominick Mashauri.

 

Wengine ni Ester Willy, Lucy Mtenga, Erick Shitindi, Edwiga Kamiyeye, Frank Mbaula, Mustapher Ramadhani, Kelvin Odubi, Upendo William, Charles Lusenge, Neto Sanga, Pili Vicent, Daniel, Jacob Doketa Iman Mahenge na Juma Sindu.

Wengine waliokuwepo katika ajali hiyo wametambuliwa kwa jina moja Amadi, Musa, Elias, Raphael, Hussein na Oswald.

 

Habari kutoka Mbeya zinaeleza kuwa wakati basi hilo linaondoka kituoni abiria waliokuwepo kwenye basi hilo walikuwa ni 37 ambao ni: 

 

Baraka Ndone  ambaye ni dereva, Yahya  Hassan ambaye ni kondakta, Esther    Emmanuel, Henry Lugano, Lusekelo Enock, Jeremia  Watson, Hamad, Olga Solomon, Neto, Theresia Kaminyoge, Frank Chiwanga, Luteni Sanga, Alfred Sanga, Doto Katunga,  Juliana Bukuku, Esther Fidel,  Paulina Josia.

 

Wengine ni Iman Mahenge,  Catherine Mwate, Mathias Justine,  Rebeka Kasambala,  Upendo William, Mbamba Ipyana,  Ndulile Kasambala, Dk A. Shitindi, Six Erick, Frank Mbaule, Mustafa Ramadhani,  Musa, Omega Mwakasege, Shadra Msigwa, Lucy Mtanga, Charles Mweisonga, Martin Haule, Dominick Mashauri, Kelvin Ebadi, Juma Saidi,  na Nicko.

 

Meseji za Mapenzi za Kajala na Bwana Aliyekuwa na Wema Sepetu Zanaswa

Posted: 11 Mar 2015 10:22 PM PDT

BAADA ya taarifa za mwigizaji Kajala Masanja kudaiwa kumuibia bwana aliyekuwa shosti yake, Wema Sepetu kudumu kwa muda mrefu na kukosa ushahidi wa moja kwa moja, hatimaye ushahidi wa SMS za mapenzi za Kajala na bwana huyo wa Wema ambaye ni kigogo zimenaswa, Amani linakumegea mchongo kamili

Chanzo makini kilichokuwa karibu na Kajala na kigogo huyo, kilipenyeza habari kuwa kimefanikiwa kuzinasa meseji za Kajala kupitia kwenye simu ya kigogo huyo ambaye alidumu katika penzi na Wema kisha kumwagana baada ya Kajala kuingilia kati.

“Nimetumia ujanja wa hali ya juu hadi nikafanikiwa kupata SMS za Kajala na yule kigogo wa Wema, kama vipi niwatumie,” kilisema chanzo chetu.Kama hiyo haitoshi, chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, SMS hizo zilionesha namna Kajala alivyokuwa akiitana baby na kigogo huyo, huku wakiwa ‘dip kimalovee’ kiasi cha kigogo huyo kuwagharamia wazazi wa Kajala mahitaji mbalimbali.

“Jamaa walikuwa wanapika na kupakua, kigogo alikuwa akigharamia kila kitu, kuanzia misosi ya nyumbani, usafiri wa location na hata kwa wazazi wa Kajala, alikuwa anatuma fedha,” kilisema chanzo hicho.

Mwanahabari wetu alifanikiwa kuzinasa SMS hizo na kujionea zikiwa na majibizano ya muda mrefu huku zikitaja pia marafiki wa Kajala anaofanya nao kazi kwa muda mrefu.

Baada ya paparazi wetu kumwagiwa SMS hizo, alimvutia waya Kajala ambaye alizikana SMS hizo na kuomba atumiwe ndipo atoe jibu ambapo mwandishi wetu alifanya hivyo lakini hakujibu chochote na hata alipopigiwa tena, hakupokea.
GPL

Ombi Hili la Wema Sepetu, Likufikiae na Wewe….Tubadilike

Posted: 11 Mar 2015 10:04 PM PDT

“Watanzania wenzangu, naombeni leo tujiulize: mitandao ya kijamii ina kazi gani kama sio kuelimisha, kuendeleza na kunufaisha jamii?

Huu ni mwaka 2015. Kama kupendana bure, tushapendana vya kutosha. Kama kutukanana bila sababu, tushatukanana vya kutosha. Kama kushabikia vitu ambavyo havina msaada wowote kwa sisi na familia zetu, tushashabikia vya kutosha.

Imefika hatua ya kunyanyuana, sio kushushana. Kuelimishana, sio kusemana. Kupeana moyo, sio kukatishana tamaa.

Imefika hatua ya kutegemea mabadiliko, na kupigania mabadiliko.

Nakuomba wewe kaka angu, dada angu, mama angu, baba angu...nakuomba ufanye maamuzi leo, kwamba kesho yako haitakua kama jana yako.

Kwa jina naitwa Wema Sepetu. Na leo hii nimeamua kwamba kesho yangu, haitakua kama jana yangu!

Wewe je? “.-Wema  mwenye followers zaidi ya laki nne mtandaoni ameandika haya na kuungwa mkono na mashabiki wengi na hata wale wanomdisi.

Asante sana Wema, ujumbe umefika.

Kwa jina naitwa Mzee wa Ubuyu  na leo hii nimeamua kesho yangu haitakauwa kama jana yangu.

11.03.2015 -  Tags:  WEMA

Udaku Specially

unread,
Mar 13, 2015, 4:05:38 PM3/13/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Ommy Dimpoz:Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema

Posted: 13 Mar 2015 09:23 AM PDT

Mwanamziki Ommy Dimpoz ameyasema hay oleo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM alipokuwa anautambulisha wimbo wake wa Wanjera ambao mrembo Wema Sepetu amecheza kama Wanjera kwenye video wa wimbo huo na kushiriki kupiga picha za kuutangaza wimbo huo.

Ommy alisema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.

 “Labda hajaposti yupo busy na simu yake, hata mimi kuna vitu vingine huwaga anaposti na mimi vinanipita pia,” amesema Ommy. “Kwahiyo huwezi ukasema hajaposti kwa sababu fulani na fulani. Diamond si yuko na Zari au? Kwahiyo hawezi tena akawa anafocus kwa mambo ya Wema. Wala hawezi kunimind mimi kwa sababu kamuona Wema, haiwezekani. Halafu kumbukeni shemeji yetu Zari ni mjamzito msitake kuwatia watu pressure.”

Chuo Kikuu cha Dar es salaam Kimapoteza Wanafunzi Watano Katika Ajali ya Basi Iringa..Majina Haya Hapa

Posted: 13 Mar 2015 09:18 AM PDT



Takribani wanafunzi watano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam wamepoteza maisha katika ajali iliyotekea juzi
Wanafunzi hao walikuwa wakirejea chuo baada ya likizo kuisha.
WALIOFARIKI WATANO NI
1. CHIWANGU DIDIMO (mwaka wa 3)
2. KILLEO ERICK ( mwaka wa 3)
3. SOSTEN DAUD (Mwaka wa 3)
4. WATSON JEREMIA (Mwaka wa 2)
5. MBAULE FRANK (Mwaka haujajulikana)
MAJERUHI WAWILI
1. TUPATE MOSIGWA (Mwaka wa 1)
2. RAPHAEL NELBERT (Mwaka wa 1)
Tunawapa pole wafiwa na Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi ..

Wakamatwa na Viungo vya Albino Mwanza

Posted: 13 Mar 2015 02:57 AM PDT


Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewakamata waganga wa kienyeji 55 wakiwa na viungo vya binadamu vikiwamo meno na nywele vinavyodaiwa kuwa ni vya watu wenye albino. Vitu vingine walivyokutwa navyo ni ngozi ya simba, nyumbu, mamba, vibuyu, njuga, vioo, shanga na debe tatu za bangi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, alisema waganga hao walikamatwa katika wilaya za Mkoa wa Mwanza kwenye msako ulioanza juzi. Alisema katika msako huo wamefanikiwa kuwakamata waganga hao wanaodaiwa kupiga ramli chonganishi zinazosababisha kuchochea matukio ya mauaji kwa albino na vikongwe.

“Katika msako wa Jeshi la Polisi ulioanza juzi tumefanikiwa kuwatia mbaroni waganga wa jadi 55 ambapo kati yao tumewakuta na nywele, meno za watu wenye albino waliouawa katika matukio tofauti mkoani hapa,” Mlowala.

Kamanda huyo wa Polisi alisema waganga hao watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili ikiwamo kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria pamoja na viungo vya binadamu.

Mbali na tukio hilo, taarifa kutoka wilayani Misungwi zinaeleza kuwa watu wanne wamefikishwa kortini mjini hapa kwa tuhuma za kuuza mafuta maalumu ya ngozi yanayotumiwa na watu wenye albino. Mafuta hayo yenye thamani ya Sh milioni tano, ambayo yalitolewa na Hospitali ya Bugando kwa watoto wenye albino wilayani humo.

Chanzo. Gazeti la Mtanzania

Video ya Ommy Dimpoz na Wema Sepetu Iliyoleta Ngumzo Hii Hapa..Wanjera

Posted: 13 Mar 2015 01:09 AM PDT

Ommy Dimpoz na Wema Sepetu walichukua headlines kwa zaidi ya mwezi mmoja kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusambaa kwa picha zenye utata zikiwaonyesha wakiwa mapenzini na ikapelekea watu kujua labda Ommy ameamua kurithi kiti cha Diamond Platnumz.
Kumbe bwana ilikua ni video mpya ya Ommy aliyokwenda kuifanya South Africa na imemuhusisha Idriss wa BBA pia, itazame hapa chini alafu uniachie comment yako umeionaje mtu wangu, uigizaji wa Wema, Idriss na idea nzima ya video.

Makalio Makubwa Yampaisha Chat Agness Masogange Marekani na Nigeria..

Posted: 12 Mar 2015 11:02 PM PDT

Staa  aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’ sasa amepaa kimataifa zaidi na kuwa  gumzo hadi Marekani baada ya hivi karibuni mtandao mmoja wa watu maarufu nchini humo kumpa shavu.

Masogange aliripotiwa na mtandao wa Media Take Out na kumuelezea kuwa ni staa mwenye makalio makubwa barani Afrika akitokea Tanzania.Mbali na maelezo kibao ya kusifia wowowo lake, mtandao huo uliposti picha kibao za mwanadada huyo ambaye sasa anaishi Afrika Kusini akiweka mapozi tofauti ya kimitego.. Baada ya Mtandao huo Mkubwa kumuandika Mitandao mingine mikubwa ya Nigeria Kama Aquavibes nao walimuandika

Hata hivyo, baadhi waliponda maelezo hayo kwa kusema kuwa, Afrika ina mabinti wenye maumbo tata kuliko Masogange hivyo mtandao huo ungefanya uchunguzi kabla ya kuripoti habari hiyo.

Polisi Wamkamata Moza Kwa Kudaiwa Kumdhalilisha Mtangazaji wa TV1 Edzen kwa Video ya Uchi

Posted: 12 Mar 2015 10:44 PM PDT

Polisi wamemkamata moza kwa kudaiwa kumdhalilisha mtangazaji wa kituo TV1 ezden jumanne...uchunguzi ukikamilika ataburuzwa mahakamani muda wowote...moza aliyekuwa mpenzi wa ezden na kuachwa alimrecord video hiyo kipindi cha mahusiano yao...moza alikamatwa na kuwekwa mahabusu oysterbay polisi....ezdee alisema mimi ni mtu ninayejiheshimu so kitendo alichokifanya hakunitendea haki na amenidhalilisha...moza amedaiwa kufanya hivyo baada ya kuachwa ili kumkomoa dida...mwisho wa kunukuu.....INASEMEKANA MOZA KAMUANGUKIA EZDEE KUMUOMBA SAMAHANI NA YAMEISHA SIJUI........MIMI BINAFSI NASEMA HIVI HAKUNA ASIYEJUA MITANDAONI WASICHANA NDIO WANAONGOZA KWA KUDHALILISHWA KWA KURECORDIWA AU KUPIGWA PICHA CHAFU...SIWEZI KULAUMU MOJA KWA MOJA ZINAPOTOKEA PICHA CHAFU ZA MTU SABABU WENGINE WANARECORDIWA AU KUPIGWA PICHA WAKIWA HAWANA TAARIFA KAMA HIVYO EZDEE HAKUWA NA HABARI SO MTU AKIPANIA ANAKUFANYIA TU UBAYA....SASA IFIKE WAKATI WASICHANA MJITAMBUE USIKUBALI KUPIGWA PICHA YA UTUPU HATA UKIGUNDUA UMEPIGWA BILA KUJIJUA KAMSHITAKI FASTA MUHUSIKA AWE BADO MPENZIO AU MMEACHANA PELEKA POLISI FASTA MTU ANAYEKUPENDA HAWEZI KUKUFANYIA HIVI....HATA KAMA MMEACHANA HANA HAKI YA KUKUDHALILISHA HIVYO...MMEONA WANAUME WALIVYO NA MSIMAMO??....MKIWA WAOGA MTAENDELEA KUSHIKA RECORD YA KUDHALILISHWA....

Usipojipanga Nitakupanga

Sipendi Watu Wanavyoniambia Nina Kalio Fake, Wakati Nimebarikiwa na Mungu

Posted: 12 Mar 2015 10:39 PM PDT

Admin , Sipendi Jinsi watu wanavyonisema kila nipitapo eti makalio yangu ya Mchina wakati mimi nimezaliwa hivyo hivyo toka nikiwa mdogo makalio yangu yalikuwa makubwa , kama unabisha uliza hata nilio soma nao shule ya msingi , Ki kweli sipendi hiyo tabia ya watu kila wakiona mtu amejaliwa basi eti ni fake wengine tumezaliwa hivyo jamani ..Khhaaaa Wabongo Acheni Ushamba

By Camila, Sinza

Udaku Specially

unread,
Mar 14, 2015, 4:16:30 PM3/14/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mwanamuziki Davido Kutoka Nigeria Apata Mchumba...(He is Taken) Wink* Wink

Posted: 14 Mar 2015 07:24 AM PDT

Baada ya Mwanamuziki Maarufu Kutoka Nigeria Davido Kukaa Muda mrefu bila kuwa na Girlfriend Huku Wasichana mbali mbali Africa wakipiga chapuo kupata nafasi ya kuwa na Kijana huyo Machachari Hatimae Moyo wa Davido umeangukia kwa Msichana kutoka nchi ya Guinea ambayo anaishi Marekani Kwa Sasa..kwa takribani mwezi sasa Davido anaonekana na mrembo huyo kila kona anazoenda...Na mwenywe amepost picha ya msichana huyo kwenye instagram yake na kuandika 'SHE IS MY TRAP LET HER HIT DA BANDO!"


Siku za Mwezi ni Arobaini..Mwanamke Akatwa Ziwa Baada ya Kukamatwa Akiiba

Posted: 14 Mar 2015 07:16 AM PDT


Mwanamke Mmoja Huku Nigeria Amekubwa na ule msemo usemao siku za mwizi ni Arobaiini ..Picha hiyo hapo chini inasemekana Mwanamke huyo alikatwa ziwa lake moja na wananchi wenye hasira kali baada ya kukamatwa akiiba.....Aibu Kubwa....


Boss Zari The Lady Released Photos of Her Hot Young Sister and Her Mother..Mdogo Wake ni Shida

Posted: 14 Mar 2015 05:13 AM PDT

Zari The Lady Boss Released Photos of Her Hot Young Sister and Her Beutiful Mother
See Photos Below"
Zari and Her Mother

Zari and Hot Sisters..Mpo?

Moza Akana Kumrekodi Edzen Akiwa Uchi, Polisi Wambana, TCRA Wajitosa Kushugulikia

Posted: 14 Mar 2015 07:39 AM PDT

Uwiiiii tatenaneeeee, mambo yamefika mahala pake, Moza alikamatwa monday na kuwekewa dhamana jumatano na kesi bado inanguruma, haaa picha linaanza pale ambapo yeye mwenyewe anakataa oooh sio mie niliochukua ile video ze police wakamuuliza pale ni kwako YES so nani alichukua video sio miee, nasubiria movie iendeleee haki vile palipofika nimefurahi hatimaye TCRA watalifanyia kazi si kwa wanaume /wanawake hii ni kwa wote wanaowadhalilisha watu umelala na mtu halafu unamrekodi ili iweje?? kama sio kudhalilishana ni nini kwa kweli im so hapyyyyyyy na TCRA big up kwa ku follow up this case, its high time vimbelembele wavitulize 
NB
mwanamke/mwanaume  mwenye akili zake hawezi kufanya hivi ukiona mtu anafanya hivi ujue maisha yake hajielewi of-course she/he got nothing to lose, jamani hata Ezden mwenyewe nilivyoongea naye katika simu nimemwambia na nyie muangalie na wanawake wa kutoka nao jamani khaaaaa.
~Sintah

Wimbo Mpya wa Ommy Dimpoz Wapondwa ila Video Yasifiwa

Posted: 14 Mar 2015 07:39 AM PDT

Baada ya Video mpya ya Ommy Dimpoz Kutoka Jana Baadhi ya Watu wakiwemo bloggers Maarufu kama U-turn Wameendeleza kuponda tunzi na melody za nyimbo zinazotolewa hivi sasa hasa kutoka kwa wanamuziki wakubwa ..Tukija kwenye hii nyimbo mpya ya Ommy Dimpoz ya Wanjera Wengi wamesema hakuna jipya kwenye wimbo na mashairi ila Video imetokea bomba hasa ukichukulia na uwepo wa Wema Sepetu ndani yake ... ...Bado msisitizo wa wasanii wakubwa kukubali kutungiwa nyimbo unawekwa ili kupata ladha tofauti ...Je wewe una maoni gani??

Watu Wamvaa Aunty Ezekiel, Wamlaumu kwa Kudanganya Amejifungua

Posted: 14 Mar 2015 07:42 AM PDT

Kutokana na uzushi  ulioenea  kuwa staa wa  Bongo Movies, Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu, jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi, lakini walipokuta habari tofauti walimvaa na kumlaumu kwa kuwadanganya.
Jumatano usiku katika mtandao wa kijamii wa Instagram, msanii Aunt Ezekiel ambaye ni mke wa mtu aliyepata ujauzito mumewe akiwa jela, alitupia picha ikimuonyesha akiwa na kitoto kichanga, ambacho watu wengi waliamini ni wa kwake, hasa kwa vile katika siku za hivi karibuni ameonekana kupunguza mitoko.
Watu wa karibu wa muigizaji huyo ambaye hivi sasa ana uhusiano wa kimapenzi na mcheza shoo wa Diamond Platnumz aitwaye Iyobo, walikwenda nyumbani kwake kwa ajili ya kumpongeza, lakini walipatwa na mshangao baada ya kumkuta akiwa na tumbo lake kama kawaida.
“Sisi tulijua mwenzetu amejaaliwa kujifungua salama, sasa jambo la kushangaza wenzake tumekuja kwa furaha tunakutana na mtu mzima kabisa, hivi aliwaza nini kuweka picha ile katika mtandao na wala asiseme ukweli wa kinachoendelea,” shoga mmoja wa muigizaji huyo aliliambia gazeti hili nje ya nyumba yake, lakini akaomba jina lake lihifadhiwe gazetini.
Mmoja wa marafiki waliodaiwa kufika wakiwa wamekasirika nyumbani kwa Aunt, alikuwa ni shosti yake Wema Sepetu, aliyeshangaa sababu za kutoambiwa mapema kuhusu ukweli wa ishu hiyo.
“Nilishtuka kweli, nikasema inakuwaje Aunt apate mtoto halafu mimi nione kwenye mitandao ya kijamii? Nafika hapa kumbe hamna lolote Aunt naye hakufanya fair bwana,” alisema Aunt.Ujauzito wa Aunt kwa sasa unadaiwa kukaribia mwezi wa saba, hivyo wengi waliposikia amejifungua walidhani amepata kiumbe njiti.
GPL

Wanafunzi Wakutwa Wakilawitiana Katika Shamba la Migomba huko Moshi

Posted: 14 Mar 2015 07:43 AM PDT

Wanafunzi  wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ongoma iliyopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamekutwa wakilawitiana katika shamba la migomba jirani na shule hiyo.

Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Jerad Kesi, amesema kuwa tukio hilo lilitokea Machi 5 mwaka huu.

Kutokana na tukio hilo, Mwalimu Kesi alisema mmoja wa wazazi wa watoto hao alivamia shuleni hapo na kuwapiga walimu kwa kile alichosema kuwa walimu hao walikuwa wamemdhalilisha mtoto wake.

“Siku ya tukio, wanafunzi wawili wa darasa la pili na mmoja wa darasa la kwanza walikutwa na mwalimu wangu wakilawitiana kwenye migomba.

“Walipojua mwalimu amewaona, walikimbia na kuacha nguo zao pamoja na yule wa darasa la kwanza. Tulipomhoji yule mtoto aliyebaki alikubali kwamba amekuwa akilawitiwa na kwamba ameshafanyiwa kitendo hicho kama mara saba hivi,” alisema Mwalimu Kesi.

Baada ya wanafunzi hao kutimua mbio, Mwalimu Kesi alisema walirudi nyumbani na baadaye mmoja wa wazazi wao alifika shuleni hapo na kuwashutumu walimu hao kwamba wamemdhalilisha mtoto wake kwa kumvua nguo.

“Baada ya majibizano kati ya walimu na mzazi huyo, mzazi huyo aliwapiga walimu kwa fimbo na kuwajeruhi.

“Kwa hiyo, nilichokifanya nilikwenda kutoa taarifa polisi na kupewa RB namba MJ/RB/988/15 kwa ajili ya kumkamata mzazi huyo,” alisema mwalimu huyo.

Naye Mwalimu Idda Kilawe ambaye ndiye aliyewakuta wanafunzi hao wakilawitiana, amesema kuwa siku ya tukio aliwakuta wanafunzi hao wakiwa ndani ya kibanda walichokuwa wamekijenga kwenye migomba.

“Niliwakuta wakiwa wamejenga kibanda cha miti na kukiezeka kwa matawi ya miti na ndani yake walikuwa wanafunzi watatu na wawili kati yao ndiyo walikuwa wakilawitiana.

“Nakumbuka siku hiyo nilikuwa natoka kuchukua matokeo ya mitihani na nilipokaribia eneo la tukio, nikasikia sauti za watoto. Niliposogelea eneo hilo niliwaona wanafunzi wawili wakiwa uchi na yule mdogo ndiye alikuwa amevaa sare. waliponisikia, wakakimbia,” alisema mwalimu Kilawe.

Mtoto Albino Anusurika Kuuawa na 'Wawindaji' wa Albino Alipokuwa Mpirani Akicheza ..Wenzake Wamuokoa

Posted: 14 Mar 2015 03:49 AM PDT

Mtoto wa umri wa miaka sita, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), anayeishi Kijiji cha Ndoleleji, amekoswakoswa na watu waliokuwa wakimvizia akiwa katika michezo, baada ya watoto wenzake kuchukua uamuzi wa kumlinda.

Taarifa zilizomfikia mwandishi, zilieleza kuwa ‘wawindaji’ hao waliokuwa na gari lililokuwa na vioo vya giza, walionekana wakimfuatilia mtoto huyo Jumamosi ya wiki iliyopita alipokuwa akiogelea mtoni na baada ya kumkosa, wakamfuatilia katika uwanja wa mpira Jumatatu, ambako nako walimkosa.

 

Akizungumza na mwandishi, diwani wa Kata ya Shagihilu wilayani Kishapu mkoani hapa, Mohamed Amani alisema  kumefanyika majaribio mawili ya kutaka kumteka mtoto huyo (jina limehifadhiwa), lakini kwa msaada wa watoto wenzake hayakufanikiwa.

 

Kwa mujibu wa Diwani Amani, Jumamosi iliyopita watu watatu wakiwa kwenye gari hilo, walifika kijijini hapo na kwenda mpaka mtoni, ambako mto huyo mwenye ulemavu wa ngozi alikuwa akicheza na wenzake.

 

Baada ya kufika mtoni, watu hao wote watatu waliteremka kwenye gari na kusogea katika eneo la mto, hatua iliyowashitua watoto wenzake waliokuwa wakicheza wote mtoni.

 

Kwa mujibu wa Amani, watoto hao wenye umri mkubwa zaidi ya mtoto huyo, walitambua hatari iliyokuwa ikimkabili mwenzao mwenye ulemavu wa ngozi na dalili za watu hao waliokuwa hawawafahamu, waliokuwa wakizidi kuwasogelea.

 

Baada ya kuona watu hao wakizidi kusogelea eneo lao la michezo, watoto hao walimshauri mwenzao mwenye ulemavu wa ngozi, akimbilie nyumbani kwao na mtoto huyo akasikia ushauri huo na kurudi nyumbani.

 

“Baada ya mtoto (albino) kukimbilia nyumbani kwao, wale watu waliingia kwenye lile gari na kuondoka,” alisema Amani na kuongeza kuwa hatua ya watu hao kutosema lolote kwa watoto hao lilizidi kuwapa mashaka.

 

Jumatatu ya wiki hii jioni wakati mtoto huyo alipokuwa na wenzake, wakiwemo wale aliokuwa nao mtoni, wakicheza mpira wa miguu katika kiwanja cha kijijini hapo, gari hilo lililoonekana mtoni, lilifika uwanjani hapo na kusimama.

 

Inaelezwa kuwa baada ya kusimama, watu wale watatu walioonekana mtoni walishuka katika gari hilo, wakaegemea gari na kuangalia watoto hao wakicheza mpira, akiwemo mwenzao mwenye ulemavu wa ngozi.

 

“Safari hii haikuwa mtoni, bali katika eneo jingine tena la wazi ambalo mtoto huyo alikuwa akicheza mpira na wenzake… walipofika walisimama nje ya gari lao,”alisema Diwani Amani.

 

Kutokana na hali hiyo, watoto hao walihisi kuna hali ya hatari kwa mwenzao, baada ya watoto hao kuona gari hilo kwa mara nyingine, na watu hao wakiwa wamewasimamia na hawakuwa wakizungumza chochote.

 

Diwani huyo alisema watoto hao walisitisha mchezo wao, na kumtaka mwenzao kwa mara nyingine akimbilie nyumbani kwao, ili kusalimisha maisha yake kutokana na utata wa usalama ulioanza kujitokeza hapo.

 

Akizungumza na mwandishi, mama mzazi wa mtoto huyo, Regina Malando, alithibitisha kurejea nyumbani mara mbili kwa mtoto wake huku akikimbia.

 

Binamu Yangu Anapenda Kukaa Utupu Kila Akiniona Sijui Kwanini?

Posted: 14 Mar 2015 02:48 AM PDT

Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi desemba nilienda kumtembelea binamu yangu alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya ukonga.

Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza,sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakat naenda bafuni kuoga nilimkuta binamu yangu kaacha mlango wazi huku yuko uchi nikageuka haraka nikarudi nilikotoka.

Mara ya pili binamu yangu alikua ametoka chooni, sasa mimi nilikua naenda kuoga nikamwona bwana akiwa uchi, mara ya tatu tena alikua uchi chumbani huku ameacha mlango wazi cha kushangaza alipogundua hakuhangaika kujisitiri aliendelea na mambo yake,nilipogeuka kumkwepa ndio nikasikia samahani huku yupo very relaxed.

Sijui nifanye nini wadau,msaada tafadhali

Nini kilivunja Pah One, je watarudiana tena? Navy Kenzo ilianzaje? Hapa yako majibu

Posted: 14 Mar 2015 02:34 AM PDT

 Pah One 
Ola amesema walikuwa Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kimuziki pia huku wenzao wakijitoa na kuunda Navy Kenzo.

Pah One wamerudi Tz, Ola amesema hawezi kujiunga na Navy Kenzo, kingine alichokisema ni ishu ya beat za album ya kundi hilo kuuzwa kwa wasanii wengine.

Soudy Brown alimtafuta Nahreel ambaye amesema toka kundi hilo livunjike hawajawasiliana ila chanzo cha kuvunjika ilikuwa nidhamu akaamua kujitoa, kuhusu beat kutumiwa na wasanii wengine amesema ni kweli imetokea hivyo ila yeye ndio alizitengeneza na hazikuwa mali ya kundi hilo.
Bonyeza play hapa mtu wangu kusikiliza U Heard la leo March 13…

Sakatala kuuawa Dk. Slaa lageuka..Wanachama Watatu Wafikishwa Kizimbani

Posted: 14 Mar 2015 01:26 AM PDT

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumchunguza Josephine Mushumbusi, ambaye ni mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anayetuhumiwa kula njama za kumuangamiza.


Uchunguzi dhidi ya Mushumbusi ulitangazwa jana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyia ofisini kwake, Dar es Salaam.


Kamishna Kova alisema kuanzishwa kwa uchunguzi huo ni matokeo ya maelezo ya Khalidi Kangezi, ambaye alikuwa mlinzi wa Dk. Slaa aliyefikishwa polisi baada ya kuteswa na kutekwa kwa tuhuma za kushiriki mipango ya kumuua bosi wake huyo.


Alisema, Kangezi baada ya kufikishwa katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, katika maelezo yake aliwataja Mushumbuzi na mchungaji mmoja ambaye jina lake halijawekwa hadharani kuwa ndio waliokuwa na mpango huo, lakini yeye aliuzuia


Mbali na wawili hao, Kamanda Kova alisema uchunguzi huo pia utawagusa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, ambaye ametajwa na baadhi ya makada wa chama hicho kuwa mmoja wa wahusika wa mpango wa mauaji ya Dk. Slaa.


Wakati Jeshi la Polisi likitangaza kuanzishwa uchunguzi huo, wanachama
watatu wa Chadema wanaotuhumiwa kumteka na kumtesa Kangezi, jana walishtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kutenda makosa mawili.


Washtakiwa hao walisomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema, majira ya saa nane mchana.
Wakili Kitali alidai mahakamani hapo kuwa kosa la kwanza la washtakiwa, Diwani Boniface Jacob (32), Mlinzi Hemedi Sabula (48) na Ofisa Utawala wa chama hicho, Benson Mramba, ni kumjeruhi Kangezi, kosa ambalo walilitenda Machi 7, mwaka huu.


Katika shtaka hilo washtakiwa wanadaiwa kwamba tarehe hiyo wakiwa Makao Makuu ya Ofisi za Chadema zilizopo Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Dar es Salaam, walimjeruhi Kangezi kwa kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia maumivu makali.


Aliendelea kudai kuwa tarehe na eneo walipofanya kosa la kwanza, walitenda kosa jingine la kumteka Kagenzi na kumpeleka katika Hotel ya River View Hotel iliyopo Sinza, Kinondoni, Dar es Salaam, kwa nia ya kumnyima uhuru wake


Washtakiwa hao wanaotetewa na Wakili Peter Kibatala na John Malya, walikana mashtaka yote na upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika, hivyo kesi iliahirishwa hadi Machi 26 mwaka huu, itakapotajwa tena.


Hakimu Lema aliwataka washtakiwa kuwa na wadhamini wawili kila mmoja ambao wanatoka katika taasisi inayotambulika au serikalini isipokuwa walimu. Wadhamini hao walipaswa kusaini hati ya dhamana ya maandishi ya Sh milioni 10.


Washtakiwa walishindwa kutimiza masharti ya dhamana na kupelekwa gereza la Keko hadi hapo upande wa mashtaka utakapomaliza kufanya ukaguzi wa barua za wadhamini wao kuona kama wamekidhi vigezo.


Kabla ya kupandishwa kizimbani kwa washtakiwa hao, Kamishna Kova aliwaambia waandishi wa habari kuwa kitendo cha makada watano wa Chadema cha kumuweka chini ya ulinzi na kumtesa kwa muda wa saa 15 Kangezi ni kosa kisheria, hivyo Jeshi la Polisi limewafunguliwa shauri la kushambulia hadi kumjeruhi mlinzi huyo.


Kova alisema Jeshi la Polisi limechukua uamuzi huo kutokana na maelezo pamoja na majeraha aliyoyapata Kangezi mara baada ya kufikishwa katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay.
Alisema, ingawa Wakili wa Chadema, John Malya alimfikisha Kangezi katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay na kumfungulia shitaka la kupanga njama za kumuangamiza Dk. Slaa kwa kumuwekea sumu kwenye maji au chakula, Kangezi kwa upande wake alitoa maelezo ya kutekwa nyara na makada watano wa Chadema ambao walimuweka chini ya ulinzi na kumtesa hadi kumuumiza.


“Tumefungua mashauri mawili, la kwanza ni uchunguzi dhidi ya tuhuma na mpango wa kutaka kumdhuru Dk. Slaa na pili ni uchunguzi dhidi ya watuhumiwa wanaodaiwa kumtesa kwa kumshambulia Kangezi na kumsababishia majeraha mwilini mwake,” alisema Kamishna Kova.


Kamishna Kova alisema kutokana na maelezo ya Kangezi, Jeshi la Polisi linaendelea kuwasaka watuhumiwa waliotajwa na Kangezi kuhusika kumtesa na kumteka.
Alisema baada ya uchunguzi wa awali wa mashauri yote mawili kukamilika, yatapelekwa kwa Wakili wa Serikali ili wote wanaohusika katika suala hilo wafikishwe mbele ya sheria.


Chanzo:Mtanzania

Kinana Afunguka Urais ..Lowassa safi, Nyalandu Anazurura Tu

Posted: 14 Mar 2015 01:17 AM PDT

Kinana
Jana ilikuwa siku ya hisia tofauti kwa watu wawili wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais, Edward Lowassa na Lazaro Nyalandu baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kumsifu mmojawao na kumponda mwingine.

Akiwa Kondoa, Kinana alitumia muda mwingi kujibu kilio cha wananchi wanaosumbuliwa na askari wa wanyamapori kwa kumponda Waziri Nyalandu kuwa anazurura bila kushughulikia matatizo ya wananchi, lakini saa chache baada ya kuwasili Monduli alimsifu Lowassa kuwa ni kiongozi shupavu.

Tayari Nyalandu ameshatangaza nia ya kugombea urais, wakati Lowassa, mmoja wa wanachama wa CCM wanaotajwa sana kwenye kinyang’anyiro hicho, hajatangaza uamuzi wake lakini anatumikia adhabu ya chama chake kilichomfungia kujihusisha na harakati za uongozi pamoja na makada wengine watano.

Baada ya msafara wa Kinana kuwasili Monduli na kupokewa na viongozi wa chama hicho wa eneo, katibu huyo wa CCM, Kinana alipata nafasi ya kuzungumza machache kabla ya kuanza safari ya kukagua shughuli mbalimbali.

“Hatuna shaka na Monduli kwa kuwa yupo kiongozi shupavu, ndugu yetu Waziri Mkuu mstaafu na mjumbe wa (Halmashauri Kuu ya CCM) Nec,” alisema Kinana akiwaelezea wananchi waliokuwapo eneo hilo.

“Wa Monduli mna kiongozi shupavu na mchapakazi. Hongera Bwana Lowassa.”

Baadaye, Lowassa aliwakaribisha akisema: “Mmefanya kazi kubwa sana ya kukijenga chama chetu. Nawashukuru sana, karibuni.”

Naye katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema: “Nafurahi kuwa katika jimbo la mzee wangu, rafiki yangu Edward Lowassa. Mapokezi mazuri, bila shaka Arusha mmeamka.”

Kinana amekuwa akitumia sehemu kubwa ya ziara yake kushuhutumu viongozi wa Serikali na hasa mawaziri kwa kushindwa kuwatatulia wananchi matatizo yao na ilifikia wakati aliwataja mawaziri wanne aliowaita kuwa ni mizigo, tofauti na alivyofanya kwa waziri mkuu huyo wa zamani.


Zitto Achukua Maamuzi Magumu..Akutana na Wazee wa Jimbo lake na Kusema Haya

Posted: 14 Mar 2015 01:04 AM PDT


Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Zubery kabwe Leo Alikutana na Wazee wa Jimbo Lake na Kutoa Maamuzi magumu mbele ya wazee hao kama hatogombea tena Ubunge kwenye jimbo hilo alilolitumikia kwa muongo moja (miaka 10) huku wazee wakimbariki achukue maamuzi  yanayofaa kulingana na hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa.
Katika page yake ya facebook amepost ujumbe huu kama unavyosomeka hapa chini:


Mwanamuziki Matonya Ataja Sababu za Kwanini Ngoma zake Hazihit Kama Zamani

Posted: 14 Mar 2015 12:52 AM PDT

Mwanamuziki Matonya
Matonya amesema sababu kubwa iliyomfanya apotee kwenye muziki na nyimbo zake za sasa kutofanya vyema kama mwanzo ni kukosa uongozi mzuri wa kumsimamia.

Matonya ameambia Bongo5 kuwa muziki wa sasa hivi upo tafauti na ule wa zamani uliokuwa hauhitaji mambo mengi kama muziki wa sasa.

“Tatizo kubwa kadri siku zinapozidi kwenda wasanii tunazidi kuwa wengi, zamani wasanii walikuwa wanafanya kazi ndogo kwenye muziki wao tofauti na muziki wa sasa ambao kila msanii anataka kuwa juu ya mwenzake,” amesema msanii huyo. “Pia kazi zangu nilikuwa nazisimamia mwenyewe kitu ambacho ilifika wakati hali ikawa ngumu baada ya kushindwa kufanya kila tu. Ila sasa hivi nimejipanga kikamilifu kuna kampuni inaitwa 360 ni ya kwangu lakini nimewapa watu kazi mbalimbali za kusimamia muziki wangu kwahiyo sasa hivi tayari nimeanza kuona utofauti kwenye mapokezi ya ngoma zangu, hii ni dalili kila kitu kitakaa sawa siku za usoni,” ameongeza.

Kwa upande mwingine, Matonya amesema sasa hivi amerudisha mahusiano yake na Tunda Man ambaye walikuwa hawaelewani.

“Tunda hana tatizo na mimi, yule ni mdogo wangu na soon kuna kazi inakuja nikiwa naye, kwahiyo mashabiki wakae mkao wa kula.”

Ma Group ya Whats app ya Mahusiano (Makungwi) Yanavyoharibu Ndoa na Kudhalilisha Utu

Posted: 14 Mar 2015 12:41 AM PDT

Hey guys...naomba nimalizie kutoa dukuduku langu kuhusu Makundi ya Mahusiano sijui makungwi kwenye whatsapp groups....asilimia 80 yanatumika kuharibu ndoa za watu au kuvunja kabisa mahusiano ya mapenzi au hata urafiki! humo watu wanafundishana kila kitu... upuuzi na kuna wasichana/wanawake wajinga wanapenda kuhurumiwa wanaanza kuongea siri zao za ndani....then watu wana copy maongezi na kusambaziana...matokeo yake unalia umedhalilishwa mara huamini tena mtu au yanamfikia mhusika lkn chanzo ni wewe.

Yapo makundi ambayo ni mazuri ila huwezi kujiingiza kichwa kichwa eti umeumizwa na boyfriend unalia lia kwenye whatsap groups kwani huyo mumeo? Yaan unajifunuaaa maisha yako yote kwa watu ambao si mamako au ndugu yako. Jaman!!! Wengine mnafundishwa jinsi ya kufanya mapenzi na kuweka madude kibao sehemu za siri...seriously? ?? Hapo hujaolewa..baadae ukikutwa na kansa ya kizazi? Jitihada zoote halafu asikuoe?? Utasingizia kungwi wa whatsapp ukute hata hujawahi kuonana naye?

Kama unataka kufundwa muulize mzazi wako au mtu mzima au jichagulie mtu mmoja utakayemwamini sana hakuna siri zaidi ya watu wawili, soma vitabu mbali mbali khs mahusiano au hapana soma vitabu vya dini vimeeleza kila hatua ya kuishi na mwenzi wako. Mnatozwa pesa huko whatsap halafu mambo bado hayaendi unavyotaka unabaki kulalamika...tatizo ni UFAHAMU wako. Samahan simharibii mtu biashara yake ila acheni kutumia madhaifu ya wengine kama dampo la kuwapoteza zaidi, kwanini usiwasiliane na mtu binafsi mpaka kumuunganisha kwenye magroup?

Jifunzeni kutunza siri zenu. Usimuamini kila mtu.

Mrekebisha Tabia

Unahisi Adhabu Gani Inawafaa Waganga ama Watu Wanaohusika na Mauaji ya Albino?

Posted: 14 Mar 2015 12:33 AM PDT

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewakamata waganga wa kienyeji 55 wakiwa na viungo vya binadamu vikiwemo meno na nywele vinavyodaiwa kuwa ni vya watu wenye albino. Inasemekana waganga ngio huagiza watu viungo vya albino ili wawafanyie dawa.

Kwa maoni yako, watu hawa wanaosababisha ndugu zetu albino wanauwawa, unahisi adhabu gani inawafaa?

Is Wema Sepetu going back to school?...see this photo

Posted: 14 Mar 2015 12:22 AM PDT


Is Wema Sepetu going back to school?...Watch this Space ......

Wema Sepetu Posted the Above Photo and wrote:

"Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?"

God Will Forever Bless SONKO - He Did This for OJWANG After Everyone Abandoned Him-KENYA

Posted: 13 Mar 2015 11:51 PM PDT


Philanthropic Nairobi Senator, Mike Mbuvi Sonko’s Rescue Team has once again lived up to its expectation of saving the lives, not only for Nairobians, but all Kenyans.

This is after it rescued Mr. Benson Wanjau Karira, popularly known as Mjee Ojwang, one of the pioneers of Kenya’s TV comedy who has graced our screens for over three decades.

The Sonko Team rescued Mzee Ojwang, who was suffering from depression and visual impairment, and rushed him to hospital when his condition got worse.

Ojwang got into depression when he was fired from KBC together with the comedy crew where they spent almost all their lives building a career that hardly bore fruits.

 Sonko sent a team of doctors and ambulances to take Mzee Ojwang to Losesho Hospital where he underwent specialized check up and treatment, including surgery, and is expected to regain his sight and health.

The Nairobi Senator also agreed to settle his hospital bill and promised to present the matter to President Uhuru Kenyatta so that the Government can take care of the veteran comedian and other Kenyan heroes who have done this country proud in various fields.

He expressed disappointment that the Government had left its heroes like Ojwang to languish in poverty.


The Kenyan DAILY POST

Tanzania Yapaa Wiwango vya Mpira FIFA

Posted: 13 Mar 2015 11:19 PM PDT

Tanzania imepaa kwenye viwango vya kila mwezi vya FIFA kwa kupanda kwa nafasi saba (7)  katika viwango vya shirikisho hilo la kimataifa vilivyotolewa leo.
Rwanda ndiyo imetia fora kwa kupanda kwa nafasi nane (8) na kuongoza Afrika Mashariki ikiwa nafasi ya 64 duniani ikifuatwa na Uganda (74), Tanzania, Kenya (118) na Burundi (126).

Algeria wanaendelea kushikilia usukani Afrika wakifuatwa na Ivory Coast, Ghana, Tunisia, Senegal, Cape Verde, Nigeria, Guinea, Congo DR na Cameroon wanaokamilisha 10 bora barani.

10 bora duniani inaendelea kuongozwa na Ujerumani wanaofuatwa na Argentina, Colombia, Ubelgiji, Uholanzi, Brazil, Ureno, Ufaransa, Uruguay na Italia waliopanda kwa nafasi mbili na kuitoa Hispania.

Penny Adaiwa Kunywa Sumu Kisa Kunyang'anywa Bwana na Shosti Yake

Posted: 13 Mar 2015 11:13 PM PDT

MTANGAZAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amedaiwa kunywa sumu kufuatia kunyang’anywa bwana na shosti yake aliyefahamika kwa jina la Diana.

Kwa mujibu wa chanzo, Penny na Diana walikuwa marafiki lakini wakatofautiana baada ya Diana kumteka akili mwanaume wa rafiki yake huyo na kumkoleza mapenzi hadi kufikia hatua ya kumtangazia ndoa.

“Diana kampagawisha mwanaume wa watu, jamaa akatangaza ndoa na hivi ninavyokwambia siku siyo nyingi Diana anaolewa hicho ndicho kikasababisha Penny apandwe na presha hadi kufikia hatua ya kunywa sumu, alikimbizwa hospitali, akalazwa lakini sasa ametoka anaendelea vizuri,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kuzinyaka habari hizo, mwanahabari wetu alimtafuta Penny ili kujua anazungumziaje habari hizo za kunywa sumu hadi kulazwa hospitali ambapo alikanusha madai hayo.
“Sijanywa sumu, suala la mimi kulazwa huwa linatokea sababu nasumbuliwa na pumu mara kwa mara,” alisema Penny.

Chanzo:Globalpublishers

Wema Sepetu Afunguka Haya 'Mume wa Zari Anataka Kunioa'

Posted: 13 Mar 2015 11:08 PM PDT

Wema Sepetu na Mume wa Zari South Africa
MAMBO hadharani! Supastaa wa Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ ameanika siri zilizojificha nyuma ya pazia kati yake na aliyekuwa mume wa mwanamuziki nyota wa Uganda, Zarina Hassan ‘Zari’, Ivan Semwanga, kuwa anataka kumuoa, Risasi Jumamosi lina full stori.

WALIANZIA KUKUTANA SAUZ
Katika mazungumzo yake exclusive na mwanahabari wetu juzi jijini Dar, Wema alianza kwa kuweka bayana kwamba, mawasiliano yake na Ivan yalianzia nchini Afrika Kusini wakati alipokwenda kikazi, Februari, mwaka huu.

“Nilikwenda na Ommy Dimpoz (Faraj Nyembo). Tulikuwa na project yake lakini tulipokuwa kule, Ivan na marafiki zake walisikia kuwa mimi nipo, wakatuomba sana kupitia kwa wenyeji wetu kuwa wanataka kutuona na kutoka nao out pamoja.”

ALIBANA, AKALEGEZA
“Mimi nilikuwa bize sana na kazi zangu, awali niliwaambia kuwa hatutaweza lakini baadaye walitubahatisha klabu, wakaomba kukaa na sisi, mwishoni ilibidi tuwakubalie lakini kwa masharti ya kuwa wasije wakatuzushia lolote.

“Tulikubali, wakaja, tukakaa nao meza moja, tukabadilishana mawasiliano kama marafiki. Lakini baadaye tukaona wanaongezeka, sikupenda vurugu ya watu wengi, mimi na Ommy tukaamua kuondoka zetu,” alisema Wema.

IVAN AANZA ‘KUIMBISHA’
Akizidi kumwaga siri zake na mwanaume huyo, Wema alisema baada ya yeye kumaliza project yake nchini humo, alirejea Bongo na ndipo Ivan alipozidisha ufundi wa kumuomba urafiki wa kimapenzi huku akimuahidi mambo mengi ya muhimu.

Msikie Wema: “Baada ya hapo tulikuwa tunawasiliana na Ivan, lakini kadiri siku zilivyokuwa zikisonga mbele, nikaona mwenzangu anaanza kunitongoza, tena akawa anaendelea kila siku licha ya mimi kutomkubalia.”

AHADI  NI  MAGARI, NYUMBA
Wema alizidi kutiririka kuwa, hadi sasa (mapema wiki hii), Ivan hajakata tamaa, amekuwa akiendelea kumtongoza na kumuahidi ahadi mbalimbali.
Endapo atamkubalia na kuwa baby wake, basi atampa nyumba ya kifahari na magari ya kisasa (awe kama Zari).

Wema anakiri mwenyewe: “Alianza kuniahidi maisha mazuri, nyumba, magari na hata kunioa lakini kimsingi sijamkubalia kwani sijamwamini kama ana mapenzi ya dhati. Nahisi kuna kitu nyuma yake kinamsukuma kufanya hivyo.”

ATAKIWA KUTOICHEZEA BAHATI
Kwa mujibu wa chanzo makini, kuna uwezekano mkubwa Wema akaingia kwenye himaya ya Ivan kutokana na ushawishi wake mkubwa anaoufanya kwa madam huyo, hivyo akawa tajiri mkubwa.
“Wema kwa sasa hatakiwi kuichezea bahati kwani Ivan ni mtu anayejiheshimu. Ana biashara zake kubwakubwa, hivyo suala la fedha za maisha hazimpigi chenga,” kilisema chanzo hicho.

WEMA KUWA KAMA MCHARO?
Akizungumzia suala hilo, rafiki wa karibu wa Wema ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini, alisema licha ya Wema kutokubali ombi la Ivan lakini anaamini siku si nyingi atakubali na atakuwa vizuri kiuchumi kuliko alivyo sasa.

“Jamaa yupo serious na ndoa, Wema atakubali tu na ndoa itafungwa. Mtoto wa kike sasa atakuwa si wa magari ya kawaida, full kubadilisha, atakuwa mtamu kama mcharo,” alisema rafiki huyo.

KINACHOMPA WASIWASI WEMA
Rafiki huyo aliendelea kusema kuwa, Wema ana wasiwasi kwamba, mapenzi ya Ivan kwake ni kwa ajili ya kulipa kisasi kwa sababu ya Diamond (aliyekuwa mpenzi wa Wema) sasa yuko na Zari (aliyekuwa mke wa Ivan).

“Kwa hiyo Wema ana wasiwasi kwamba, siku akimkubalia tu Ivan akapiga naye ngwara, biashara itakuwa imeishia hapo kwani nia ya kisasi ya mwanaume huyo itakuwa imekamilika,” alisema rafiki huyo.

Chanzo:Globalpublishers/Mateja

Watu Waanza Kuhoji Mimba ya Zari..Wadai Siku Zinaenda na Hawaoni Chochote

Posted: 13 Mar 2015 11:03 PM PDT

Nimekutana na Huu Mjadala Jamii Forums Mdau mmoja Ameuliza kuhusu Mimba ya Zari aliyepewa na Diamond.......

Mdau Alifunguka Hivi:

'waungwana ile mimba ya mwana bongo fleva platinum kwa mke wake zari imefikia wapi?
Nauliza hvyo kwakua siku zinavyo zidi kwenda mzigo hauonekani au ni macho yangu mimi
Samahanini kwa usumbufu'

Baada ya Mtoa Mada kuandika hayo hizi ni Baadhi ya Comments walizotoa:

-Hahaha hapo sasa inatia mashaka sna

-afu zari mbona ana block watu saana mimi mmoja wapo kani block

-Hahaaa...hapo ndo kwenye mashaka

-mh mawifi na mashemeji wa Tanzania mna gubu sana....

-Si vibaya kutaka kujua, ukishakua celeb. ni kawaida raia kufuatilia each of ur biz., hata unavyotiana.

-Wengi wenu ni timu mama Ubaya.!

-jana tuu katoka kuwaambia amebebewa na mama zao, sasa sijui hawakielewa??

-mtoa mada jaribu kufikiri hata kwa kutumia akili za kukopa,, mimba ya Zari ww inakuhusu nn??

Udaku Specially

unread,
Mar 15, 2015, 4:36:31 PM3/15/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Penny Apangua Tetesi za Kupata Mrithi wa Diamond, Asema Mabusu Anayopigwa na Sweddy na Kushikwa Kiuno ni Kawaida

Posted: 15 Mar 2015 08:24 AM PDT

Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Diamond Platinumz, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameonekana kuwa karibu na kijana aitwae Sweddy, hali iliyoibua maswali mengi kwa mashabiki wake kuwa huenda ndo mrithi wa Diamond.

Baada ya gazeti la Ijumaa march 9 kuandika kuwa Penny amepata mrithi wa Diamond, Bongo5 iliamua kuwatafuta wote wawili Penny na Sweddy na kuzungumza nao kuhusiana na uvumi huo.

Penny ameiambia Bongo5, kuwa karibu na kijana huyo haimaanishi kuwa ni mpenzi wake.

Hahahahaha hah yakawaida haya mabusu,” alisema Penny, sisi ni washikaji, Sweddy namjua toka akiwa mdogo ndo maana unaniona naye kila sehemu,” alimalizia huku alicheka Penny.

Sweddy naye alisema kuwa Penny ni mshikaji wake huku akidai kumpiga mabusu hata hadharani ni kawaida yake na wameshazoea.

Penny ni mshikaji wangu wa muda sana, mimi nina demu wangu na yeye anajua kila kitu, haya mabusu yakawaida tu, tumeshazoea,” alisema Sweddy huku akicheka.

Stara Thomas Awaponda Wasanii na Maproducer wa Bongo Flava

Posted: 15 Mar 2015 08:15 AM PDT

Msanii wa muziki Stara Thomas amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wanashindwa kufika mbali kutokana na uoga na kutokuwa serious na kazi zao.

Stara ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wa sasa wanashindwa kujitanua zaidi.

“Asilimia kubwa ya wasanii waoga, bado wamekuwa na akili za kujiangalia hapa walipo, wengi bado hawajapata akili ya kutoka na kujitegemea wenyewe nje, hii inawafanya wasanii wengi wasikue wabaki pale pale,” alisema Stara.

Pia Stara alisema watayarishaji wa muziki wanachangia kuuangusha muziki kutokana na kushindwa kuwa wabunifu.

“Wapo maproduce wazuri lakini njia wanazo zitumia zinafanya muziki unafanana, wengi wanakuwa wanaandika juu wa beat tofauti na zamani sisi tunaandika kwanza ndo beat inatengenezwa, kwahiyo unakuta anayeandika anakuwa controlled na beat, kwahiyo kama producer alitengeneza beat inafanana katika watu watatu au wanne basi hata kile kinachokuja kuimbwa kitapenya katika ile melody,” alisema Stara.

Pia Stara ameongeza kuwa sasa amerudi rasmi kwenye muziki huku akiwataka mashabiki wa muziki wake kuendelea kusupport kazi zake.

Florah mbasha: Nipo Tayari Kurudiana na Mume Wangu.

Posted: 15 Mar 2015 03:58 AM PDT

Muimbaji wa muziki wa injili, florah mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake emmanuel mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia mguuni na kumuomba msamaha.

Florah alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa ushahidi mahakamani juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili mume wake ambayo inasikilizwa katika mahakama ya wilaya ya ilala.

"Mbasha nimeshamsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja kuniangukia miguuni na kuniomba msamaha..lakini hili la ubakaji ni suala la mahakama" Alisema.

DJ Mkongwe Tanzania John Dillinga aka DJ JD Aonyesha Utajiri Wake

Posted: 15 Mar 2015 03:39 AM PDT

DJ mkongwe Tanzania John Dillinga aka DJ JD (The Legend) leo kupitia ukurasa wake wa Facebook ametupia picha ya mjengo wake wa mbezi beach.Mjengo huo wa mbezi beach wenye thamani ya 500milioni Tsh ukiwa umejengwa kwenye eneo la sqm 2000(50m x 40m).

Mbali na Mjengo huo wa hatari,JD anamiliki magari manne ikiwepo sports car yake ya zambarau inayoonekana kwa mbali kwenye picha pamoja na kampuni ya JD's Entertainment.

Mastaa Saba Bongo Wanaoetembelea Magari ya Kifahari

Posted: 15 Mar 2015 03:23 AM PDT

Asilimia Kubwa ya mastaa Wa bongo wamekuwa wakionekana wakijivinjari katika mitaa mbali mbali wakiwa katika magari ya kifahari. Lakini ukichunguza utagundua kuwa wengi Wa wasanii hao siyo wamiliki halali Wa magari hayo. Baadhi ya mastaa wanaosukuma ndinga za bei Kali apa bongo ni.

1: DIAMOND PLATNUM
Mwanamuziki anayedaiwa kuongoza kwa kuwa na gari la bei mbaya zaidi nchini ni Diamond Platnums ambaye kwa sasa anamiliki BMW X6 ambalo linauzwa kwa thamani ya dola 62,850 za marekani karibu shillingi million 150 za kibongo.

2: LADY JAYDEE
Anayefuata ni mwanadada lady jaydee anayemiliki magari mawili ya kifahari ikiwemo Nissan Murrano alilonunua kwa thamani ya shilingi mil 60 miaka kadhaa iliyopita na Range rover E lenye thamani ya dola za kimarekani 60,000 sawa ni shilingi mil 100 .

3: AY
Nafasi ya tatu imeshikwa na rapa mkongwe Ambwene yesaya anayemiliki Vogue sports lenye thamani ya sh92 miliion.

4: MASANJA MKANDAMIZAJI
Huyu anamiliki gari aina ya Land cruiser lenye thamani ya shillingi mil. 75

5: MRISHO MPOTO
Namba tano inamilikiwa na mtaalamu Wa mashairi nchini, mrisho mpoto anayemiliki Toyota Prado new model yenye thamani ya shilling mil 65.

6: JACKLINE WOLPER
Kwa upande wake muigizaji jackline wolper anamiliki land cruiser Prado lenye thamani ya shillingi mil 65.

7: WEMA SEPETU
Nafasi ya saba inashikiliwa na mwigizaji wema sepetu anayemiliki BMW 545 yenye thamani ya shilingi million 56, pamoja Na Nissan murrano alilopewa Na aliyekuwa mchumba wake diamond lenye thamani ya shillingi mil 36.

Umoja wa Machinga Wampatia Lowassa Fedha za Fomu ya Urais..Wamtaka Afanye Maamuzi Sasa

Posted: 15 Mar 2015 03:01 AM PDT


*Wamtaka Atangaze Nia,Agombee Urais Awamu Ya Tano.

*Wasema Sasa Ni Wakati Wa Matumaini Mapya Wakiamini Edward Ndio Mtu Pekee Wa Kutegua Bomu La Ajira

Umoja Wa Wafanya Biashara Wadogo Wadogo Nchini Almaarufu Machinga Kupitia Umoja Wao Wa Wamachinga Tanzania SHIUMA ~ TZ Wamefunga Safari Kutoka Makao Makuu Ya Shirika Hilo Mkoani Mwanza Mpaka Arusha Wilaya Ya Monduli Kumuomba Mzee Edward Ngoyai Lowassa Atangaze Nia.

Akisoma Tamko Lao Mwenyekiti Wa Umoja Huo Bwana Tatendo Alisema " Madhumuni Ya Safari Yetu Kwako Mh Edward Ngoyai Lowassa.

Kwa Nia Thabiti Na Dhamira Njema Kabisa Sisi Kama Jamii ya Watu Watanzania Tumepata Msukumo Wa kweli Na Dhati kuja hapa na Kukuomba Ndugu Yetu Kiongozi Wetu Ugombee Nafasi Ya Urais Katika Uchaguzi Mkuu Wa Urais.

Umoja Wa wamachinga tanzania Shiuma~Tz bila Ya Shinikizo lolote kwa maslai mapana ya taifa letu tumekaa na kufikiri kwa kina ikiwa ni pamoja na kufanya tathimini juu ya mustakabali wa taifa letu katika uchaguzi ujao, Tumejiridhisha wewe ndio Mtu sahihi kumpokea majukumu ya kuliongoza taifa hili ndugu jakaya mrisho kikwete katika awamu ijayo awamu ya Tano.

Tumejiridhisha juu ya Uwezo wako ndani ya chama na katika serekali, utumishi wako uliotukuka, uwajibikaji na uzalendo wako kwa taifa hususani katika kuona unawakomboa watanzania na kuondoa umasikini.

Kwa sababu hizo tumeshawishika kuja na maombi matatu

1.Kukuomba ufikirie kugombea uraisi kama hukuwa na nia hiyo

2.Utangaze nia ya kugombea urais

3.Uchukue form endapo mchakato huo utaruhusiwa rasmi kupitia chama chako.

Kwa kuwekea mkazo zaidi katika hilo hapa tumeambatana na kiasi cha pesa kitakachosaidia katika gharama za kuchuku form ya urais.

Rai yetu Kwa Watanzania Sisi kama wakazi wa mkoa wa nwanza na umoja wa wafanya biashara wa machinga tanzania, Tunawaomba watanzania wenzetu nchini kote kuhakikisha tunakuwa wamoja katika safari hii ya matumaini mapya kwa watanzania.

Mungu Mbariki Lowassa Mungu Tubari Wamachinga Tanzania Na Mungu Ibariki Tanzani"

Ombi Hilo kwa Mh Lowassa Ni Sehemu Ya Mavuguvugu Ya Nguvu Ya Umma Inayomtaka Mh Edward Lowassa Kugombea Uraisi Kupitia Ticket Ya Chama Hicho, Vijana Hao Wa Kitanza Kutoka Mikoa Kumi Inayounda Umoja Huo Wa Machinga Tanzania Wameweka wazi msimamo wao kwa sasa ni kupata kiongozi mwenye utayari wa kumaliza changamoto zao.

Akizungumzia Tamko Na Ombi Hilo Mh Edward Ngoyai Lowassa Mbunge Na Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Kutoka Wilaya Ya Monduli Alisema Kwa Sasa Hana Cha Kusema Zaidi Anawataka Watanzania Wasubiri Utaratibu Kutoka Katika Chama Chake Cha Mapinduzi Utakapo mruhusu Kufanya Hivyo.

If Today Was Election Day, Who Would You Vote For?

Posted: 15 Mar 2015 03:26 AM PDT

Poll: If Today Was Election Day, Who Would You Vote For As a President of Tanzania....??
Choose from the Photo above or Add your Name.......

Zitto apokelewa kifalme Kigoma na kukabidhi Ambulance

Posted: 15 Mar 2015 12:08 AM PDT

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe leo March 14 ametoa gari mpya ya kubebea wagonjwa (Ambulance)kama moja ya ahadi zake alipokuwa kwenye kampeni ambapo aliahidi kabla ya kumaliza kipindi cha uongozi wake atatoa gari hiyo.

Wakipokea msaada huo Michael Mwandezi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Kigoma pamoja na Hamis Said Betese ambaye naye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ambapo kwa niaba ya wananchi wa kata ya Nyarubanda ambao ndio msaada huo wamemshukuru sana Mbunge Zitto Kabwe.

Hata hivyo kabla ya kuelekea kukabidhi Gari hiyo ya kubebea wagonjwa,Zitto Kabwe aliwatembelea Wanachama wa Chama cha Ushirika Rumaco ambao wanajishughulisha na kilimo cha Kahawa kutoka kijiji cha Matyazo Kigoma Kaskazini.

Je Unafikiri Kufukuzwa Chadema Kumemuongezea Umaarufu Ama la?

Hili la Kufanya Mapenzi Kwenye Gari ni Ashki, Ubahili au Ujinga?

Posted: 15 Mar 2015 12:01 AM PDT

Ukitembea maeneo kadhaa ya Dar es Salaam hasa Coco Beach, Parking za Mlimani City, Sea Cliff, Airport, Sinza Mapambano na Mori hutakosa watu wakipigana miti kwenye magari hasa yenye Tinted Noah ndio zinaongoza.

Sasa mimi najiuliza hivi kweli watu wazima mnaamua kufanya mapenzi kwenye gari ni kukosa pesa, au ashki imekuwa kali sana hauwezi kuvumilia ama ni nini.Maana kama mtu umeweza kununua gari kama Noah milioni kadhaa, ukajaza mafuta.

Maana mara nyingi wakati watu wanafanya gari huwa lipo silence kwa ajili ya kiyoyozi na Emergency kwa ajili ya kuondoka haraka ikitokea la kutokea unashindwaje kupata hela ya Guest hata short time.

CCM wamsimamishe Zitto Kabwe Kugombea Uraisi 2015

Posted: 14 Mar 2015 11:39 PM PDT

Wadau, tangu Zito Kabwe aingie kwenye mgogoro wa kimaadili na kilichokuwa chama chake cha awali CHADEMA, umaarufu na kukubalika kwake katika chama tawala ccm kumeongezeka sana. Tumeona viongozi wa ccm wa kitaifa hadi waandishi wa mitandaoni, wakimpigia debe sana Zito kwamba ni kijana shupavu; mchapa kazi; mzalendo; na kiongozi bora asiyestahili kuwa chini ya uongozi wa mtu mwingine yeyote. Tumemsikia Nchemba akimsifia sana ZITO kwamba ni mtu ambaye hakuwa kiwango cha CHADEMA. Wengine wanasema bila Zito CHADEMA hakipo n.k.


Baada ya Zito kufukuzwa CHADEMA, ccm wameumia sana kwamba sasa. Ccm wamekuwa wakilia sana kwamba CHADEMA kimekufa kwa kuondokewa na huyu mtu Zito ambaye mara zote ccm wamekuwa wakimpgia CHAPUO LA wazi kwamba anastahili kuwa Mwenyekti wa taifa na mgombea wa uraisi kwa kuwa anasifa zote.

Sasa sina shaka, kwamba CCM ina uhaba wa watu wenye sifa za kugombea uraisi hadi wanaanza kuambizana wasinyosheane vidole maana wote ni wachafu;, na hivo kuanza sera mpya ya kutafuta aliye msafi angalau kuliko wenzake. Sera ya kutafuta kisafi katika jalala.

Ninaomba ccm msihangaike tena kutafuta mtu msafi jalalani. Zito Kabwe yupo huru hana chama ni mnampenda, mnamkubali kwa sauti moja na kwa mujibu wenu anasifa zote pasipo swali. Mmvalishe jembe na nyundo, mmfanye mwenyekiti wenu wa taifa na mgombea wa kiti cha Uraisi ili mshinde. Hapo mtapiga bao la kisigino kwa sababu mtakuwa mmesimamisha mgombea ambaye anauwezo kuliko ccm wote, na pili vyama vya upinzani vitakuwa vimekufa kwa kuondokewa na Zito.

Sina wivu na ccm, ninawatakieni mema. Au mnasemaje wadau?

Lulu Michael 'Fedha za KUHONGWA na Wanaume ni Nzuri Lakini Zina PRESHA Kubwa Sana

Posted: 14 Mar 2015 11:33 PM PDT

Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth  Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa  fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.

Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa

" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili kumtuliza mwandani wako asikukimbie au kukunyang'anya vitu vyake."

Nuh Mziwanda: Kupigwa Raha Jamani..Nazidi Kupata Ufahamu Jinsi Navyopendwa na Shilole

Posted: 14 Mar 2015 11:30 PM PDT

Msanii  wa muziki wa kizazi kipya, Nuh Mziwanda, ametoa kali ya mwaka kwa kudai kwamba kitendo cha kupigwa mara kwa mara na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, kinampa furaha na ufahamu wa namna anavyopendwa.                        

“Kwanza kupigwa raha, mpenzi wako asipokupiga hakuonei wivu, mimi nafurahi sana na namtaka anipige tu! kila siku akijisikia, ananidhihirishia kuwa ananipenda,” alisema.

Nuh alisema mengi yamesemwa kutokana na kupigwa kwake mara kwa mara, huku akidai kwamba hilo halina tatizo kwake, kwa kuwa halitaharibu mapenzi yao wanayoamini yatafika mbali.
“Sisi tunawezana na Mungu atusaidie tufikie katika hatua ya ndoa tuliyojiwekea,’’ alimaliza.

Udaku Specially

unread,
Mar 16, 2015, 4:21:58 PM3/16/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


My Husband Doesn't Know How To Handle Me In The Bedroom

Posted: 16 Mar 2015 09:23 AM PDT

This is one issue causing serious wahala in many young marriages today. Read this one's story:

 I don't enjoy s*x with my hubby because of many reasons which I cannot state here. Its really frustrating. I have tried to subtly give him clues so I wont hurt his feelings but he never learns and would release even before I finish removing my pant.

 My elder sister bought a rabbit vibrator from the UK for me and its out of this world. I am a house wife and I now see myself looking forward to my husband's leaving in the morning so I can indulge. My problem now is that I cant seem to get enough. I cum like 2/3 tyms every day before he comes home from work.

My orgasm always knocks me out and I tend to deeply sleep off immediately. My kids are home on mid term break and I had to chase them out of my room yesterday so I can indulge. I slept from 11am to almost 3pm and my kids were hungry.

 I was so ashamed of myself when I woke up and the thing was still in my veejay. I feel as if my new rabbit is beginning to change me into something else. I rarely have strength to do any thing these days and my hubby is beginning to complain though I pretend to be sick to get him off my back. I hid it inside one old long shoe but I am never comfortable.

Whenever hubby goes to the wardrobe my heart jumps into my mouth. I really am very confused about this thing. It has taken me to heaven yet has stolen my sanity and peace of mind. I have thought about throwing it away but I really don't know if I can cope without it.

Please what do I do? 

Kimenuka Siwena na Nay wa Mitego, Nay Afunguka ' Sina Mke Sijaoa na sina mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke yoyote Yule'

Posted: 16 Mar 2015 08:58 AM PDT

Msaniii Emmanuel Elibarick alimaarufu kama Mr Nay ameonesha dalili ya wazi kuwa hana mpango tena wa kuwa katika mahusiano na Mchumba wake huyo Siwema ambaye amezaa nae mtoto wa kiume aitwae Curtis miezi kadhaa iliyopita.


Kupitia ukurasa wake wa Instgram Nay wa mitego siku mbili zilizopita aliweka post ambayo ilikuwa inasema kuwa kwa sasa ana watoto watatu na ana mapenzi ya kweli na watoto wake lakini hana mpango wala hana mahusiano ya kimapenzi na mama wa watoto wake hao bali anawaheshimu wanawake hao kama wazazi wenzake.

"Mr_Nay Baba wa watoto watatu... Sina Mke I mean Sijaoa na sina mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke yoyote Yule... Kati ya niliozaa nao. Nawapenda watoto wangu nawaheshim mama zao..SingleBoy am in love with my son and daughters... Rishma, Curtis na Munie"
Kwa upande wake Siwema ambaye ni mama wa Mtoto wa Nay juzi aliweka picha ya Mzazi mwenzake na kuwataka mashabiki zake wafunguke lolote juu ya picha ile ila Comment nyingi zilionesha kuwa watu hao hawapo sawa au hawapo pamoja kwa sasa kama ambavyo baadhi zinasema.

"kaysamira: Siwema Mimi nakupenda siwez kukujudge chochote sababu mapenzi upofu namuomba Mungu akupe jicho la tatu na uweze kusonga mbele,mambo kama hayo hutokea na yanapita na kama yeye hakutaki usijali kuna wanaume wengi tu wanaopenda kuwa na mtu kama wewe tena wazuri kuliko yeye labda ndio chance mungu kawapa ili uweze kukutana na prince charm wako lakini kama umeandikiwa kuwa na baba Curtis hakuna mwenye kupinga hilo lakini aache kuwadhalilisha na kutumia udhaifu wenu kama mwanamke inauma anachezea sana hisia zenu"
"Augustinasimon37: Hakuna wa kumjudge mtu hapa, mapenzi ni ya wawili tu. kabla hakuzaa walikuwa sawa wakipendana iweje sasa ndio maana tunaumia, tunawaombea wasiachane, kibinadam sio vizuri. Nakupenda bure Siwema mpende mtoto wako ndio kila kitu kwako"
Lakini pia Nay wa Mitego leo amepost picha akitoka Mwanza huku akiwa na Mwanae Curtis akimnywesha Maziwa ya kopo hali ambayo inaonyesha wazi kuwa huenda mtoto huyo yupo chini ya himaya ya baba na si mama tena kitu ambacho kinaweza kutoa majibu ya wazi kuwa watu hao huenda wameachana.

Snura Adaiwa Kupora Mume wa Davina

Posted: 16 Mar 2015 07:00 AM PDT

Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake ambae ni staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’.

Kwa mujibu wa chanzo cha GPL , kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo.

“Yaani mastaa wa Bongo bwana, wanapenda sana kuchukuliana mabwana. Huyu Snura anatoka na mume wa mwenzake. Mume wa Davina huwa anakuja nyumbani kwa Snura mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

“Wakati mwingine anakuja na gari na kupaki jirani na nyumbani kwa Snura kisha wanakaa kwenye gari kwa saa kibao. Snura anamzunguka rafiki yake,  fuatilieni mtaujua ukweli,” kilisema chanzo chetu.

Baada ya kuunyaka ubuyu huo, GPL iliamua kuingia mzigoni kwa kumsaka Snura na alipopatikana, akasomewa tuhuma zake ambapo katika hali ya kushangaza, msanii huyo, alimwaga chozi.

Alipomaliza kulia, Snura alianza kufunguka ukweli wa kisa hicho ambapo alikiri kuwa ni kweli mume wa Davina alikuwa akienda nyumbani kwake mara kwa mara lakini ilikuwa ni kipindi ambacho Davina na mwanaume huyo walikuwa wametibuana kiasi cha msanii huyo kufungasha virago vyake na kutokomea kusikojulikana.

“Mimi nilikuwa nahangaika kuwapatanisha kwa sababu walikuwa kwenye mgogoro mkubwa, mumewe akawa ananiomba nimsaidie kumbembeleza Davina arudi wayazungumze na kumaliza matatizo yao ili kuokoa ndoa yao isivunjike.

 Davina nae alitafutwa ili kujua kwa upande wake analizungumziaje sakata hilo ambapo msanii huyo alitema nyongo. Hebu msikie:

“Watu wengine hawana kabisa kazi za kufanya, yaani walikuwa wanataka kunigombanisha na shosti wangu lakini wameshindwa. Ni kweli na mimi niliwahi kuletewa taarifa kwamba mume wangu anaonekana nyumbani kwa Snura usiku lakini ilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa kwenye matatizo na mume wangu.

“Kiukweli Snura hawezi kufanya hivyo kwa sababu yeye ndiye aliyepigania ndoa yangu isivunjike. Isitoshe sisi tunaishi kama ndugu, watoto wangu huwa wanaenda kushinda kwake na wakati mwingine huwa namtuma mume wangu akawachukue kwa hiyo hata kama wanamuona kwake, siyo kwa nia mbaya, watu aache uchonganishi,” alisema Davina.

Kamikaze Ampiku Demu Bob Junior ! Picha na Video Wakifanya Yao Kitandani zavuja..

Posted: 16 Mar 2015 06:42 AM PDT

Mwanamuziki Kamikaze amezidi kupigilia msumari beef aliyonalo na Bob Junior kwa kumchukulia Demu..Demu huyo mwigizaji wa Bongo Movies anayejulikana kwa Jina la Sabby amenaswa sehemu mbali mbali akijivinjari na Mwanamuziki Kamikaze huku Bob Junior akiachwa kwenye mataa.. Picha na Video wakiwa faragha zimevuja mtandaoni zikionesha mahaba makubwa kati yao .... Angalia Video Hapa ujionee.....


Udhaifu wa Wanaume wa Kibongo Wawapo Kitandani na Mwanamke

Posted: 16 Mar 2015 02:07 AM PDT

Hapa chini ni baadhi tu ya udhaifu wa wanaume wa kibongowawapo kitandani.

1. Kudandia haraka haraka bila kumuandaa mwanamke

2. Hakuna lugha ya mwili kutwanga na kumaliza kisha kugeukia ututani nakukoroka.

3. Harufu mbaya ya kwapa au kinywa, yaweza kuwa ya pombe, sigara au kinywakichafu.

4. Kumlazimisha mwanamke kulamba koni bila ridhaa yake

5. Kujisafisha na shuka baada ya kumaliza

6. Kutupa kondom kwenye sakafu baada ya kumaliza

7. Kupiga makelele na kuuliza maswali mengi yasiyo na maana

8. Kutohakikisha kama mpenzi wake amefika kileleni au ameridhika.

9. Kuomba tendo kama vile anaomba kibarua cha kulima hakuna lugha ya kubembeleza

10. Kutosema ahsante baada ya tendo, anamalizana kukimbilia kuvaa

TCRA Yakanusha Kuwa na Mpango wa Kufungia Mitandao ya kijamii

Posted: 16 Mar 2015 02:01 AM PDT

Baada ya Gazeti Moja Kubwa Kuandika kuwa TCRA ipo Mbioni kufunga Mitandao ya Kijamii inayotumika Vibaya ..TCRA wameibuka na Kusema :

'TCRA haina mpango huo na haikusudii kufanya hivyo na haina Mamlaka ya kufungia mtandao uliosajiliwa nje ya Tanzania.

Tumejikita zaidi kutoa elimu kwa umma juu ya matumizi mazuri ya mawasiliano. Wanaotumia mitandao vibaya ni wachache kuliko wanaotumia vizuri

Habari hii sio kweli hakuna wakati wowote ambapo yeyote katika mkutano huo alizungumzia kufunga mitandao ya kijamii. Kwa mtu anayefahamu teknolojia anaelewa madhara na hasara ya kufanya hivyo.

Waandishi wa habari wanaaswa kuwa makini wanapoandika habari kuepusha kutoa habari ambazo sio sahihi na zinazoweza kuleta mtafaruku kwa jamii'

Breaking News:Baadhi ya Picha zikionesha Majengo ya Mabibo Hostel yakiungua Hivi Sasa

Posted: 16 Mar 2015 01:49 AM PDT

 Taarifa zlizotufikia hivi punde ni kuwa moto mkubwa umezuka katika Jengo B lililopo ndani ya Mabibo Hostel zinazomilikiwa na kuendeshwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Shuhuda aliyekuwa eneo la tukio ametujuza kuwa Askari wa Zimamoto wamechelewa kufika na athari zilishaanza kuwa kubwa, jitihada za kuuzima moto huo zinaendelea.

Mtu mmoja ameumia kutokana na kuruka kutoka ghorofani



DIAMOND's Girlfriend ZARI Shows You Her NINI, See it Here

Posted: 16 Mar 2015 12:52 AM PDT

DIAMOND's girlfriend ZARI shows you her body in Bikini ...
Many are asking where is the Dimond's  Mimba (Prego) She was bragging about?


FAIZA ALLY Awajibu Wambea Kuhusu SUGU na Mwanaye na Kuhusu Ndoa yao Kuvunjika

Posted: 16 Mar 2015 12:44 AM PDT

Sugu na Mwanaye
MSANII wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.

Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa    

"Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"

Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani kabisa na wala hatukuwa tunaonana lakini kwa sasa tofauti zetu zimeisha hatuna ugomvi japo hatuko pamoja"
Sugu na Faiza Ally

"Lakini mwisho wa siku huyo ndiyo baba Sasha na mzazi siku zote atakuwa mzazi tu, haijalishi tuna tofauti kiasi gani" Alimalizia kuandika msanii huyo asiyeishiwa vituko.

Baada ya kuwek picha hiyo wengi wa mashabiki wa Faiza walimpongeza kwa hatua hiyo huku wengine wakiwataka warudiane ili walee mtoto pamoja.

Diamond Anusirika Kukatwa Mguu...Ugonjwa Unaomsumbua ni Hatari Sana..Afanyiwa Upasuaji..Video

Posted: 16 Mar 2015 12:31 AM PDT

Mwanamuziki Diamond Platnumz Amejikuta katika wakati mgumu Baada ya Tatizo la Mguu lilikuwa likimsumbua kwa miaka miwili kufikia hatua mpaka kufanyiwa upasuaji kuokoa mguu wake usikatwe..Diamond alipelekwa Hospitali ya TMJ baada ya maumivu kuzidi na baada ya kufanyiwa uchunguzi aligundulika na Ugongwa unaitwa FOOT CORN ama Kisahani kwenye Goti ..Ambapo Daktari alisema ni Ugonjwa mbaya sana ambao usipotibiwa haraka hulazika mgonjwa kukatwa Mguu..Diamond amefanyiwa upasuaji na kuondoa Tatizo hilo katika Mguu wake ..

Angalia Video Hapa chini Akiwa Katika Chumba cha Upasuaji:

Jini Kabula Ajiweka Kwa Mwisho ...Mwenyewe Adai Kumpenda..Amwita Mzungu

Posted: 15 Mar 2015 11:57 PM PDT

Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’amefunguka na kusema wazi kuwa anampenda staa mwenzake, Mwisho Mwampamba kwa kile alichodai kuwa ana roho nzuri, na kusisitiza kuwa kwa sasa yeye hana mahusianao ya mwanaume wa kitanzania na ieleweke hiyo.

Kabula  aliyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kubandika picha ya Mwisho.

“Wee ndo mchizi wangu jambazi wangu nakupendaga tu kwa roho yako mzungu wangu ndo vile ukiibukaga Tanzania nakuwaga happy....sihitaji fununu bandugu nishasema sina mahusiano na mwanaume wa kitanzania maana kama nawaona mtavyo taka kuyabadirisha....kichwa cha habari jini kabula ajiweka kwa MWISHO hiyo kesi mtaijibu wenyewe kwa mkewe..” –Kabula aliandika.

Nadhani ameeleweka vyema hapa.

Mzee wa Ubuyu/Bongo Movies

Udaku Specially

unread,
Mar 17, 2015, 4:12:08 PM3/17/15
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Baada ya Watu Kuponda, Huu Ndio Msimamo wa Wolper Kuhusu Kipini Chake Puani

Posted: 17 Mar 2015 06:52 AM PDT

“Wapenzi mnaotukana kisa nimevaa kipini kwa pua msipoteze muda hiko akitoki ndo kimeshafika zaidi nitakua tuu na badilisha leo cha njano kesho chekundu, why mnakua wagumu kuelewa  kinipendeze kisinipendeze ni mimi so please msinijazie comment za zamatusi nakukosoa  kwenye picha zangu kama nyie ndo wavaaji sitaki ushauri sitaki jamani pipo chilaaax me nakipini dam dam...  in love with my kipini najikuta jacq khan mwenzenu kila nikijitizama....Am so soleee. Nawapenda sana napenda ushauri lakini kipini kiacheeni pua kitasharikiana na pua na uso kushauriana kwamba leo kivaliwe au kisivaliwe lakini siyo wewe mtukanaji ok byeeeee”-Wolper amebandika andiko hilo kwenye ukurasa wake mtandaoni.

Nadhani ameeleweka, wale wanaomshabulia kwa lugha kali muache jamani.

Mzee wa Ubuyu

Mcheza Filamu Bongo Movies Aingia Katika Kashfa Nzito ya Kuwadanganya Wadada wa Mikoani na Kuwatumia Kimapenzi

Posted: 17 Mar 2015 06:38 AM PDT

Ubuyu Kutoka Insta Leo hii unamuhusu Mcheza Filamu Rammy ...
Page ya Mrekebisha Tabia wamemrusha na kufichua makubwa...Jisomee Mwenyewe Hapo chini:

"Jamani @rammygalis hata wewe? Nilikupenda nilipoona ulivoigiza ile movie ya CHAUSIKU nkakuona bonge la mtanashati, kipaji kipo lkn hizi tabia unazofanya za kutongoza wasichana kupitia mitandao ya kijamii unawaambia utawapa nafasi ya uigizaji unawafanya halafu unaingia mtini zimenichefua sana!!!....wasichana wengine unawatoa hadi mikoani unawatelekeza hotelini ukishawafanya hawakuoni tena... Unabisha????? Haya sasa na yule dada mwingine mliyewasiliana kwa facebook ukamuita kutoka Mbeya akaja dar kwa lengo la kuigiza movie alipofika dar ukampangia hoteli maeneo ya Ubungo. Ulikaa nae siku hiyo moja tu akamfanya then hurudi tena pale hotelin yule dada kila alipokuwa anakupigia simu unamdanganya utaenda mwisho wa siku hukutokea wala hakukuona tena mpaka alipotafuta msaada wakurudi kwao na hotelin alikuwa anadaiwa Manager wa hotel ikabidi amsamehe tu deni lake la hotel.

This is HAPANA Rammy!!! Uache kabisa...na wengine mlio na tabia hizo chafu tutawapata tu ili iwe fundisho kwa wengine.

Pia wasichana nyie mnaniliza hadi basi why jaman!! Umvulie nguo mtu ili upate kazi...halafu unaambulia kulalwa na kazi hakuna. Hivi mnajua UKIMWI bado upo? Na mpaka sasa bado dawa haijapatikana?"

Source:Mrekebishatabia/Instagram

Zari Flaunts Her Mgongo While Having Good Time in Swimming Pool

Posted: 17 Mar 2015 06:23 AM PDT

 Zari Flaunts her Mgongo while having good time in swimming pool with Children...
See other Photos Below and tell us if she is still hot During this time of Pregnancy

os 


Jokate Afunguka Upya 'Hashim Thabit Mtamu Kuliko Wanaume Wote Bongo ...Diamond Ndio Hamna Kitu Kabisa'

Posted: 17 Mar 2015 06:07 AM PDT

Miss Tanzania Namba 2 Mwaka 2006, Jokate Mwegelo maarufu kama Kidoti amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo ..Akizungumza na Gazeti la Kiu , Kidoti amesema kwa sababu ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu Adimu sana ambavyo hawezi kuvitaja.....Kuhusu Diamond Ambae pia amewahi kutoka nae Kidoti amesema hakuenjoy nae kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana.

Petiman:Bora Ninyang'anywe Mke Kuliko Kuachana na Wema Sepetu

Posted: 17 Mar 2015 05:53 AM PDT

Mpambe na Rafiki Mkubwa wa Wema Sepetu Petit Man Amesema Kamwe Hawezi kuachana na Wema eti kwa Sababu Shemeji yake Diamond Ana mahusiano na Mwanamke mwingine..
Kauli hiyo inaashiria kwamba Petman yupo tayari kunyang'anywa Mke endapo uhusiano wake na Wema Sepetu hautaipendeza familia ya Diamond kuliko kuvunja uhusiano na Wema Sepetu ..

Petitman ameyasema hayo akiwa na Ommy Dimpoz alipokuwa akitambulisha nyimbo yake mpya katika vyombo mbali mbali vya habari

Alisema "Mimi na Wema ni Damu Damu ...ila mambo ya mahusiano kila mtu na mambo yake hatuingiliana wala kuwekeana mipaka "


Kakobe :Rose Muhando Sio Mlokole Hata Kidogo Anawakatisha Wanaume Viuno Stejini

Posted: 17 Mar 2015 05:35 AM PDT

Kiongozi wa Kanisa la Full Bible Gospel Fellowship, Askofu Zakaria Kakobe Amewalipua baadhi ya Wanasiasa na waimbaji wa Injili wanaotumia neno uokovu katika maisha yao wakati haipo hivyo...
 Askofu Kakobe aliyasema hayo alipokuwa akihubiri kanisani kwake na kumtolea mfano Mwimbaji Rose Mhando na kusema hana sifa za ulokole kwa kuwa anawachezesha wanaume kwa kukata mauno kwenye nyimbo zake , Amesema "Hivi kweli mtu kama Rose Muhando unaweza sema ameokoka ..embu tuache utani na kumrudia Mungu Jamani"

Jinsi ya Kumtambua Mwanaume Asiye na Pesa

Posted: 16 Mar 2015 10:13 PM PDT


Zifuatazo ni dalili za mwanaume asiye na pesa;

1. Kila siku appointment zake yeye ni gheto kwake au anang'ang'ania kuja kwako, hakuna hata kwenda beach wala hotelin.

2. Siku ukiwa unaenda kwake, anakwambia njoo kwenye saa tisa au kumi. Ujue amekadiria hiyo mida utakuwa umeshapata lunch.

3. Ukiwa unaenda kwake hasemi ukikaribia nishtue nitoke kukupokea, ujue anaogopa akifika kabla yako itabidi alipie bajaji.

4. Ukiwa unaondoka kwake anasema sijisikii vizuri kwahiyo siwezi kukusindikiza, ujue anaogopa unapopanda bajaji itabidi akulipie.

5. Ukimwambia umefulia, anakwambia "pole mpenzi ndio maisha hayo" ujue hana cha kukupa.

6. Mkiwa mpo mahali inabidi kila mtu aondoke peke yake ukasikia anasema mi ntapanda bajaji pale mbele kuna sehemu napitia, ujue hana hela anaenda kupanda daladala.

7. Kila mkienda kula restaurant jamaa anasema "mi nimetoka kula sio mda njaa haiumi" haagizi hata maji ya kunywa ujue jamaa hana kitu.

8. Kama upo mtandao tofauti na yeye kila siku ye anatuma tu sms, siku akitaka kupiga simu anakwambia "weka line ya tigo tuongee" ujue hana kitu huyo.

9. Ukiona anasisitiza kwamba hapendi wanawake wanaopenda vitu vya gharama kama simu n.k, ujue kaishiwa huyo akaoe ma house girl.

10.Ukiona kila siku ukikaa nae anakupa wosia kwamba mapenzi sio pesa, ujue hana kitu huyo.

Posted by: SUPU YA MAWE

Waraka wa wazi kwa Waheshimiwa Tundu Lissu, Mdee na Wenje Kufuatia Kufukuzwa Kwa Zitto Chadema

Posted: 16 Mar 2015 10:11 PM PDT

Mwishoni mwa juma lililopita uliibuka mjadala juu ya kauli za baadhi ya viongozi wa juu wa CHADEMA kuhusiana na kufutwa uanachama kwa Mbunge wa Kaskazini Mhe.Zitto Kabwe.

Mjadala mkubwa ulikua juu ya kauli za wabunge watatu wa CHADEMA ambao ni Mhe.Tundu Lissu, Halima Mdee na Ezekia Wenje.

Mjadala ulianza baada ya Lissu kueleza msimamo wa Katiba juu ya hatma ya mwanachama aliyefungua kesi mahakamani dhidi ya chama na akashindwa. Je nini kinatokea?

KWANINI LISSU ALIKUA SAHIHI.

Lissu alieleza msimamo wa Katiba. Alichokisema Lissu si mawazo yake. Ingekuwa mawazo yake bila shaka hata mimi ningempinga, lakini kwa kuwa ni msimamo wa katiba huwezi kupinga unless uombe Constitutional amendment kwa taratibu zilizowekwa.

So hata kama angesema mtu mwingine ambaye si Lissu angesema kauli ileile aliyoisema Lissu kwamba "ukifungua kesi mahakamani dhidi ya chama na ukashindwa unakuwa umejifukuzisha uanachama mwenyewe".

Kwa hiyo sio mawazo ya Lissu, ni msimamo wa katiba. Yani hata angesema Mbowe, Dr.Slaa, Mnyika au mwingine yeyote angesema vilevile alivyosema Lissu.

Wapo wanaohoji kwanini Lissu aseme na sio Mbowe ambaye ndiye mwenyekiti? Jibu lake ni kuwa masuala ya kisheria ndani ya chama yanaweza kusemewa na mwanasheria wa chama. Na wanasheria wa chama ni pamoja na Lissu, John Mallya, Mabere Marando na wengineo.

Sasa nashangaa wanaohoji uhalali wa Lissu kuongelea msimamo wa katiba ambalo ni jambo la kisheria. Mmesahau kuwa Lissu ni mwanasheria wa Chama? Sasa kama mnajua Lissu ni mwanasheria wa chama mnashangaa nini anapotoa ufafanuzi wa kisheria? Au mlitaka mambo ya sheria ayaongelee mlinzi wa Dr.Slaa?

Wengine wamehoji kwanini baada ya ile hukumu hakikukaa kikao kikaafikiana kumfukuza Zitto badala ya Lissu tu kusema. Hawa ni wale ambao hawajui hata wanachozungumza. Either ni watu wa vyama vingine so hawaijui katiba ya CHADEMA au ni wapenzi wa chadema lakini hawapendi kusoma.

Sasa kwa kuwasaidia ngoja niwaambie hivi. KATIBA ya CHADEMA ya mwaka 2006 inasema mwanachama yeyote atakayekipeleka chama mahakamani na akashindwa anakua amejifukuzisha uanachama mwenyewe. Hii ina maana kuwa baada tu ya hukumu kutoka automatically yeye sio mwanachama tena.

So bila haya Lissu kuongea lolote, Zitto alishajua yeye sio mwanachama tena. Thats legal stand.

Katiba haikusema hukumu ikishatoka kamati kuu ikae itoe tamko NO. Katiba inasema hukumu ikitoka kama umeshindwa kesi fungasha virago katafute chama kingine.

Kwa hiyo hata kama chama kisingesema lolote. Yani Lissu angekaa kimya na viongozi wengine wote wakakaa kimya, Zitto angeondoka tu.. maana hakuna namna nyingine. Na ungemfuata Zitto umuulize akaamua kuwa honesty angekuambia wazi kuwa kikatiba amejifukuza uanachama mwenyewe.

Kwa hiyo kama kuna tatizo, basi tatizo halipo kwa Lissu au Mallya au mwanasheria yeyote wa Chadema. Kama kuna tatizo basi Tatizo lipo kwenye Katiba ya chama.

Na ikumbukwe wakati kipengele hicho cha katiba kinaundwa mwaka 2006 Tundu Lissu hakuwa hata mwanachama wa CHADEMA (alikua Nccr Mageuzi), so huwezi kuhoji legitimacy yake kwenye hicho kipengele.

Labda ambaye anaweza kuhojiwa kwanini kipengele hicho kiliwekwa na akatoa maelezo mazuri ni Mhe.Zitto Kabwe ambaye wakati marekebisho ya katiba yanafanyika mwaka 2006 yeye alikuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Kwa hiyo yeye ndiye anayeweza kutupa logic ya hicho kipengele. Walikiweka ili iweje? Walimlenga nani? Kama alishiriki kuweka kipengele hicho mbona analalamika kinapotumika kwake? Alitaka kitumike kwa nani?

Ikumbukwe sheria ni msumeno hukata huku na huku. Unapotunga sheria yoyote jiulize hii sheria ikitumika kwangu nitajisikiaje? Sio unatunga then ikikurudia unahisi umeonewa.

Viongozi wengi wa kiafrika wanapotunga sheria kandamizi (Draconian Laws) hudhani ni kwa ajili ya tabaka la chini tu na sio kwa ajili yao. Siku zikiwageuka wanaanza kutafuta mchawi. Katika hili Zitto hapaswi kulalamika kabisa kuhusu kifungu cha katiba kinachomvua uanachwma maana alishiriki kukitunga mwaka 2006.

KWANINI MDEE ANAPASWA KUJIUZULU.

Halima Mdee alitweet kile alichokiita "mawazo yake" kuwa yeye anaamini Zitto bado ni mwanachama wa CHADEMA.

Pamoja na kuwa ni mawazo yake lakini amekosea kwa kuwa yeye kama kiongozi mkuu ndani ya CHADEMA hakupaswa kukosoa chama chake mitandaoni. Hii ni kwa sababu anazo platform nyingi za kukikosoa chama zaidi ya mitandaoni kama alivyofanya.

Yeye ni mjumbe wa Kamati kuu angeweza kuyasema huko. Yeye ni M/kiti wa BAWACHA angeweza kuyasema huko, yeye ni mjumbe wa Baraza kuu la chama angeweza kuyasema huko. Yeye ni mjumbe wa mkutano mkuu, angeweza kuyasemea huko.

Kwa kifupi Mdee alikua na fursa nyingi za kusemea hayo mawazo yake badala ya kusemea mitandaoni. Huku mitandaoni ni kwa wale wasio na fursa ya kuwasilisha mawazo yao moja kwa moja kama ilivyo kwa Mdee. So katika hili amekosea.

Pili, Mdee anajua kuwa maamuzi ya Zitto kuvuliwa uanachama ni ya Katiba si ya mtu mmoja. Si ya Lissu wala Mbowe. Ni maamuzi ya Katiba. Na Katiba hiyo Mdee alishiriki kuitunga mwaka 2006 akiwa Mbunge viti maalum na mjumbe wa kamati kuu. Leo anawezaje kupinga kitu kilekile alichoshiriki kukitunga? Huu ni wendawazimu.!

Lakini pia Mdee anajua kuwa hata kama ameona kasoro kwenye suala hili, ni kasoro za kikatiba sio za Lissu au Mbowe. Hivyo basi mahali pazuri pa kurekebisha kasoro hizo ni kwenye vikao vya chama si mtandaoni kama alivyofanya. Maana hata akitweet kila siku kuwa anamtambua ZZK kuwa mwanachama, bado Katiba iko palepale kuwa haimtambui.

Nne, Mdee ni kiongozi wa Baraza la Wanawake na alipochaguliwa alikula kiapo cha kuilinda Katiba ya chama. Katiba aliyoapa kuilinda ndiyo hiyohiyo inayosema "mwanachama akikipeleka chama mahakamani akashindwa kesi amejivua uanachama wake mwenyewe."

Sasa mbona Mdee anapingana na katiba aliyoapa kuitetea na kuilinda? Hii ni ajabu. Au alipoapa hakujua ndani kuna nini? Aliapa kuilinda katiba asiyoijua? Lakini ataachaje kuijua na alishiriki kuitunga mwaka 2006? This is paradox.!

Katika hili Mdee kadhalilisha nafasi yake kama Mwenyekiti wa Baraza la wanawake na mimi nashauri AJIUZULU ili kuonesha dhana ya uwajibikaji. Ni lazima viongozi wajifunze kuwajibika kwa kauli zao.

Hatuwezi kila siku kupigia kelele mawaziri wa serikali ya CCM wawajibike wakati sisi wenyewe dhana ya uwajibikaji inatushinda. Kipimo kilekile tunachowapimia CCM nasi tujipimie vivyo hivyo. Mdee achia ngazi maana umeikana Katiba uliyoapa kuitetea.

KWANINI WENJE YUPO SAHIHI,

Ujumbe uliosambaa ukionesha ni wa Ezekiah Wenje akichat na wabunge wenzie kwenye group la Whatsapp juu ya sakata la Zitto nao umeibua mjadala mkubwa kwenye jamii. Wengine wakisema ni wake wengine wakidai ni photoshop. Na wale waliosema ni wake nao wakagawanyika. Wengine wakasema alikua sahihi huku wengine wakiponda kuwa amekosea.

Ili kujiridhisha kabla sijacomment kuhusu ujumbe huo nilimpigia simu Wenje lakini hakupokea, baadae nikawapigia simu wabunge naofahamiana nao. Wakadhibitisha kuwa ule ujumbe ni wa Wenje alioutoa kwenye group lao la whatsapp liitwalo "CHADEMA MPs"

Baada ya kujiridhisha kuwa ujumbe ule ni wa Wenje nikawa kwenye position nzuri ya kuchangia, maana huwa najihadhari sana kuchangia taarifa ambayo siielewi vya kutosha (partial informed).

So kwa maoni yangu Wenje alikua sahihi kwa sababu alikotoa mawazo yake ni mahali sahihi. Group ya wabunge wa CHADEMA ni sawa na kikao cha wabunge wa chadema. So ni kikao kama vilivyo vikao vingine vya chama. Tofauti tu ni kuwa kikao hiki kinafanyika online.

So hiki ni kikao cha uongozi cha chama hata kama hakikua rasmi. Ndani ya vikao kama hivi ni kawaida kuwa na mawazo tofauti baina ya wajumbe. Yani kupingana kwa hoja lakini mwisho wa kikao wanatoka na msimamo mmoja na msimamo huo ndio unaoenda kwa wananchi.

Sasa Wenje ndani ya kikao kile alikua na mawazo tofauti na wenzie. Hii si dhambi, maana ni kawaida ya vikao. Na baada ya majadiliano makali Wenje na wengine waliokua na mtizamo tofauti wakakubaliana na maamuzi ya chama ya kumvua uanachama Zitto maana ni ya kikatiba.

So hadi hapo Wenje hana kosa. Kosa lipo kwa aliyevujisha taarifa hiyo ya kikao cha ndani na kuileta public. Huyu ndiye anayepaswa kuadhibiwa.

Kuvujusha taarifa ya vikao vya ndani ya mjumbe mwenzio kisa tu hujakubaliana nae mawazo, ni kosa kubwa katika maadili ya uongozi.

Mbona kuna mgogoro kwenye baraza la mawaziri na wapo ambao hawamtaki Pinda, lakini je ni waziri gani amewahi kumrekodi mwenzie asiyekubaliana nae mawazo na kurusha mtandaoni? Yani waziri anayemuunga mkono Pinda akamrekodi mwenzie anayemponda Pinda kisha akarusha mtandaoni.!

Kama hamna, sisi CHADEMA tunaojiona wakamilifu kuliko CCM hii tabia tumeipata wapi? Mbona hao CCM tunaowakosoa kila siku wanatushinda maadili?

Nashauri mbunge aliyehusika "kuscreen shot" ule ujumbe wa Wenje na kuusambaza achukuliwe hatua. Huyu hana sifa za kuwa kiongozi.

Kama ameweza kuvujisha taarifa ya kikao cha ndani kisa tu hakubaliani na aliyeitoa taarifa hiyo, huyu akipewa nafasi kubwa anaweza kuvujisha hata taarifa za kuitia nchi hatarini kisa hakubaliani nayo. Narudia, mbunge aliyehusika hafai kuwa kiongozi.!

JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.

Malisa GJ || Your Partner In Critical Thinking.!

Aunty Ezekiel Anena Mazito Bifu la Kajala na Wema Sepetu

Posted: 16 Mar 2015 10:01 PM PDT

STAA anayefanya vizuri kwenye tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.
Wema na Kajala enzi wakiwa bado mashosti.
Akizungumza na gazeti hili, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.

“Jamani maisha haya ni mafupi sana na tunatakiwa kujifunza kutoka kwa wenzetu tuliokuwa nao lakini sasa hivi hawapo tena, natamani sana Wema na Kajala wamalize tofauti zao  kwani ipo siku watakuja kujuta siku ambayo mmoja wao atakapokuwa hayupo japo siwaombei ila hilo ndilo tamanio langu kuwaona wakizungumza,” alisema Aunt.

Zitto: 'Kipengele kilichotumika kunifukuza Chadema kilitungwa kwa ajili yangu..'

Posted: 16 Mar 2015 09:55 PM PDT

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amevunja ukimya baada ya kuzungumzia tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikielezwa juu yake, ikiwamo usaliti ndani ya chama chake na hatima yake ya siasa baada ya kutimuliwa.

Katika mahojiano haya, zitto anatoa maelezo yote juu ya tuhuma dhidi yake.
Swali: Mwaka 2009, ulitaka kugombea uenyekiti wa Chadema, uamuzi huo ulikuwa ni wako mwenyewe ama kuna watu nyuma yako walikushawishi kufanya hivyo?
Jibu: Chadema nilivyoingia kwenye uongozi Makao Makuu, kulikuwa na wabunge watano, wanne wa kuchaguliwa na mmoja wa viti maalumu.
Nilivyoingia pale nilipewa nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi na wa Mambo ya Nje kwa ajili ya kujenga mahusiano ya chama chetu na vyama vingine vya kimataifa, hiyo kazi niliifanya kwa ubora na mpaka sasa uhusiano wote ya Chadema na vyama vya nje, niliyajenga mimi.
Mwaka 2005 niliandika mkakati wa uchaguzi tukapata majimbo mengi zaidi, tulipata asilimia nane ya kura hivyo tukapata wabunge sita wa viti maalumu.
Kabla ya hapo Chadema ilikuwa ikizidiwa hata ya UDP, pamoja na kwamba kilikuwa na wabunge tangu 1995.

Wabunge wake hawakujitanabaisha kama wapambanaji wa misingi ya kitaifa, tulivyoingia (Bungeni) sisi na kina Ndesamburo (Mbunge wa Moshi mjini, Philemon Ndesamburo), DK Slaa (Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa), tukaanza kubadilisha hali hiyo.
Tukaanza kupambana na ufisadi, kabla ya hapo Dk. Slaa alikuwa bungeni kwa miaka 10 lakini hakuwa machachari kama ilivyokuwa kuanzia 2005.

Alivyoingia mwaka 2005 ndipo tukaanza na hoja kama zile za EPA na Buzwagi.
Baada ya hapo mimi na kina Profesa Kitila Mkumbo tukaona kuna haja ya kubadilisha chama, mwaka 2009 nilivyotaka kugombea uenyekiti nilikuwa na nia ya dhati kabisa.

Ndani ya Chadema kuna watu wanaamini katika uliberari, kama biashara na mtaji, hawa ni watu kama kina Mbowe (Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe), sisi tunaamini katika demokrasia ya jamii. Hapa kwenye kundi hili unatukuta mimi kina Profesa Mkumbo, Profesa Mwesiga Baregu, na wenginr, tulitaka kukitoa chama kwenyel mrego wa kihafidhina kwenda kwenye ujamaa.
Hata hivyo wazee walinitaka niache kugombea nikaacha, ni kweli ukiangalia chanzo cha ugonzi ni mwaka 2009, ila mimi sikudahani kama kitu kile kingeleta chuki, nilidhani mambo yangeishia pale.

Swali: Nini kilifanya iwe vigumu kumaliza tofauti zako na Chadema?
Jibu: Mara zote nimekuwa nikiwaambia Chadema kwanza waniambie kosa langu ni nini, Ndesamburo aliwahi kunifuata ili tuyamalize, Wenje naye alinifuata na siku kutaka tuyamalize, lakini upande mwingine viongozi nao wanasema yao kwa hiyo ni undumilakuwili tu kila mahali.

Swali: Kuna baadhi ya watu wanaamini kuwa wewe na Mbowe mna ugomvi binafsi, tofauti na vile ambavyo watu wanadhani kuwa mnagombea uongozi. Wengine wanasema uliwahi kutoa siri zake, juu ya kuwa na nyumba Dubai, madai haya yana ukweli?
Jibu: Kama Mbowe ana mali nje mimi kwa kweli sijui, mimi nilitoa hoja ikaundwa kamati ya uchunguzi, kama ilimkuta ana mali nje sijui.
Hata hivyo kama ana nyumba, ama mali nyingine ni kwa nini auogope? Kama una nyumba Marekani, Afrika Kusini, Dubai ama wapi hiyo siyo tabu, ilimradi kwenye tamko la maadili (Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma) uwe umesema kuwa unazo na TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) wajue umepata wapi hizo fedha.

Swali: Lakini inadaiwa kuwa ulikaa na Mbowe wewe akakueleza kama mtu wake wa karibu kuwa ana nyumba Dubai na wewe ukatoa hizo habari kwa umma na ndicho kilichomuudhi.
Jibu: Mimi sijawahi kukaa na Mbowe kuzungumza hayo mambo. Sina ugomvi binafsi Mwenyekiti wa Chadema, siku zote nimekuwa nikimchukulia kama kaka, ndiyo maana hata akinishambulia nimekuwa nikijitahidi kukaa kimya.
Mwanzoni kabisa yeye alikuja chuo kikuu kunifuata, mwanzoni mwa mwaka 2001, nikiwa mwanachama wa Chadema lakini siyo kiongozi, yeye akiwa Mbunge wa Hai, alikuja akaniambia naomba tuzungumze utusaidie kwenye chama.

Alikuwa anataka kufanya mabadiliko ya katiba ya chama, nikatumia nafasi yangu ya uanaharakati wa wanafunzi na uwezo wangu wa uchambuzi tukafanya hivyo tulivyofanya.
Tukabadilisha chama mimi na yeye, mabadiliko makubwa ambayo yanaonekana hivi sasa Chadema ni kazi ambayo tulifanya mimi na yeye, hata gumboe mwaka 2009 niliona ni jambo la kawaida. Kilichopo ni mitizamo tofauti ya namna ya kuendesha siasa, na tofauti hizo zimesababisha yatokee yaliyotokea.
Wakati mwingine nikikaa peke yangu huwa yangu na kujiuliza, huwa sioni msingi wa ugomvi wangu na chadeama, naona ni ugomvi tu wa madaraka na juhudi za watu kutaka kuondoa wengine katika ulingo.
Katika mazingira kama hayo ni rahisi kutoa tafsiri kwamba kuna ugomvi binafsi.

Yeye (Mbowe) alikuja hapa Kigoma akafanya mkutano wa hadhara akanitukana, akasema alinisaidia sijui gari, sijui nini, yaani alikuja nyumbani kwetu kunisimanga.
Nikasema huyu mtu ananisimanga, kwanza ni mambo ya kishamba, kwamba unamsaidia mtu halafu unakuja kumsema, kwanza kuna vitu ambavyo mimi mwenyewe nimemsaidia labda kifedha ama siyo fedha, na tunajua kati ya mimi na yeye.

Siyo vitu naweza kuibuka nikasema nilimdharau sana kwa kweli, na juzi nimemsikia huko Shinyanga akisema kuwa hawezi kukaa na kuongea na mimi kwamba ni msaliti na mambo kama hayo. Huu ni undumilakuwili kwa kweli kwa sababu huku anatuma watu kwamba kina Ndesamburo (Philemon Ndesamburo), kwamba tuongee tuone namna ya kuyamaliza haya mambo alafu yeye huku nyuma akikaa anaongea yake.
Kwa hiyo binafsi naamini sina ugomvi naye sanasana ni tofauti za kiitikadi. Mimi na yeye tumekaa Bungeni miaka 10, naomba tu watu watupime.

Katika miaka yangu 10 ni hoja gani nimezisimamia na yeye ni zipi amezisimamia.
Mimi siku zote siasa zangu ni hoja na issue za kusaidia wananchi na nafurahi ninavyosimamia vitu na kuona vikienda.

Swali: Mara kadhaa viongozi wa chama chako wamekuwa wakikutuhumu kwa kusaliti chama, na kwamba kwa upande mmoja unatumiwa na CCM na upande mwingime usalama wa taifa, ni kwa nini ushutumiwe kwa tuhuma kama hizo?
Jibu: Kwenye siasa ukitaka mwanasiasa amalizike ni kumpa hizo tuhuma. Lakini waulize (Chadema), ni taarifa zipi zinapelekwa kwenye usalama wa taifa, watu haohao walisema siendi kwenye vikao vya chama, wala ofisini, sasa hizo taarifa ninazozipeleka ni zipi wakati kwenye vikao wala ofisini siendi? Mtu anayepeleka taarifa ni yule asiyekosa kwenye vikao. Anahudhuria kila kikao ili apate taarifa za kupeleka.

Lakini pia angalia, mwaka 2010 nilitoa taarifa ya kumuomboa Waziri Mkuu, hoja ile ikaungwa mkono kwa kusainiwa na wabunge wa pande zote, hivyo ikasaidia kuondoa baadhi ya mawaziri waliokuwa na shutuma.
Mwaka 2013 kulikuwa na Operesheni Tokomeza. Ripoti ya Kamati ya Bunge iliyokuwa imewasilishwa ilikuwa inamtaja waziri mmoja tu, lakini nilisimama na kujenga hoja mawaziri wengi tu wakaondolewa.

Mwaka 2014 nimepeleka hoja ya Escrow na nikaisimamia, mawaziri wameondoka, serikali imetikisika, sasa mtu anayetumika na Chama Cha Mapinduzi kwa nini aiangushe serikali ya chama hicho mara tatu ndani miaka mitano? Mtu ambaye anatumika inawezekanaje alete mjadala utakaoingusha serikali?
Ndiyo maana sipotezi muda kujibizana na propaganda za aina hiyo, watuambie ni taarifa gani zilipelekwa huko zikawaathiri?

Swali: Baada ya Mahakama kutoa uamuzi wake na Mwansheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lisu kutangaza kuwa umefukuzwa uanachama kwa kuwa kukishitaki chama ni kujifukuza katika chama moja kwa moja, tangu ukiwa kiongozi wa chama uliwahi kukitilia shaka kifungu hicho kwa kuwa hivi sasa umeonekana kukilalamikia.

Jibu: Hiki kifungu kipo kwenye kanuni na wala siyo Katiba, kilitungwa mwaka 2013. Mwaka huo kuna mabadiliko fulani fulani yalifanywa. Mabadiliko yale yalikuwa na malengo fulanifulani ikiwamo kulenga watu fulanifulani.
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri, mamlaka ya kutoa haki iko kwenye chombo kimoja tu nacho ni Mahakama, kila raia ana haki ya kwenda mahakamani kudai haki, unaposema mwananchama wa Chadema akienda mahakamni amejivua uanachama ina maana wewe huitambui Katiba ya Jamuhuri.
Hii ina maana kama mwanachama amekipangisha chama, na chama kikashindwa kulipa kodi, yule mwanachama akienda mahakamani amejivua mwenyewe uanachama kwa kuwa haruhusiwi kwenda mahakamani.

Hicho ni kipengele ambacho hakikupaswa kuwap, Wanachama wa Chadema waende mahakamani kushtaki kipengele hicho ili kitangazwe kuwa siyo halali.
Chama kinachopambana kushika dola hakipaswi kuwa na vipengele kama hivi. Ila yote kwa yote hiki kipengele kimewekwa mwaka 2013 na mwaka 2015 kikatumika kwangu, ni wazi kilitungwa kwa ajili yangu.

Swali: Baada ya kufukuzwa Chadema, ni nini hatma yako kisiasa?
Jibu: Nina ziara ya kuzunguka na wananchi wa jimbo langu kuangalia jinsi ya kuwatumikia, leo (jana) nawaaga rasmi kwamba sintakuwa nao baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, lakini ni nini kinachokuja baadaye ya hapo tutakijua vizuri wiki ijayo (wiki hii).
Hatujajua kama Chadema wameandika barua kwa Spika ili kunitangaza kuwa jimbo liko wazi, kama ndivyo tutakaa kujua ni nini cha kufanya.
Ilipaswa baada ya kesi kwisha taratibu zifuatwe, mpaka sasa sijapata taarifa zozote za kufukuzwa ndiyo maana nasema mpaka wiki kesho iishe tutajua, nitakuwa na nia ya kuendelea kutumikia kwenye jimbo lolote Oktoba.

Swali: Una mpango wa kujiunga na ACT?
Jibu: Tusijaribu kuvuka mto kabla hatujafika pa kuvukia.
Swali: Vipi hukumu ya Mahakama Kuu juu ya kesi yako na Chadema?
Jibu: Kwenye kazi yangu kuna miguu ya watu wengi naikanyaga, taarifa yangu ya Escrow nimewakanyaga mpaka mahakama. Kwa hiyo yawezekana kabisa mahakama iliona hapa ndipo kwa kunikanyaga, ama yawezekana kabisa ni taratibu.

Inaonekana kuna uhusiano wa karibu wa mahakama na wanasheria wa Chadema, sisi tulisikia kwenye vyombo vya habari kwamba hukumu ya kesi yetu imetolewa.
Hata baada ya hukumu hiyo, tulijaribu kufuatilia ili kupata hukumu, kwa siku mbili tulizungushwa, siku ya tatu tukaambiwa kuwa jalada lipo kwa jaji kiongozi.
Lakini mimi bado nina imani kwamba wakuu wa mahakama watachunguza jambo hili na kuona kama kuna cha kufanya.

Sisi tulipaswa kuitwa mahakamani, lakini hatukuitwa, kuna taratibu za mahakama hazikufuatwa, tuna imani kuwa viongozi wa mahakama watachunguza kama kuna suala la rushwa katikati hapa ama kuna nini.
Lakini pia hali hii imenifanya niwe na kiu zaidi ya kuhakikisha nikipata tena nafasi nitafanya operesheni kwenye mfumo wa mahakama kwa kuwa umekuwa na malalamiko sana ya kuwaumiza wananchi.

Agness Masogange Ndio Mwanamke Mwenye Makalio Mazuri Afrika Mashariki..Ushindi Huo Wamshitua

Posted: 16 Mar 2015 09:51 PM PDT

MODO maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’ ameshtushwa na ushindi wa makalio yake baada ya kutojua kama ametajwa kuwa ni mwanamke mwenye makalio mazuri Afrika Mashariki.

Masogange alishinda nafasi hiyo kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa Media Take Out ambapo kwa kutumia vigezo vyao, walimwanika Masogange kuwa ndiye mwanamke pekee mwenye makalio bomba wakidai amejengeka vizuri zaidi.
“Daah! Mimi mwenyewe nilikuwa sijui, nashukuru kama wao wameona mimi ndiyo mwenye kiungo hicho muhimu cha kuvutia na bora kwa wanawake wengine wote,” alisema Masogange ambaye kwa sasa amehamishia makazi yake nchini Afrika Kusini.

Mwanafunzi Atekwa, Abakwa na Kuuwawa Kinyama..

Posted: 16 Mar 2015 09:48 PM PDT

DUNIA imekwisha jamani! Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Mabibo, Dar, Irene Said (15) ametekwa, amebakwa na kuuawa kikatili kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili huku ikidaiwa kuwa, kijana mmoja asiyejulikana alifika nyumbani kwao, Kigogo Luhanga na kutaka kiroba na mtu mmoja waongozane akabebe ndizi.

Akizungumzia tukio hilo la kusikitisha sana, mama mdogo wa marehemu, Doto Lucas alisema:
 “Siku ya tukio ambayo ni Alhamisi iliyopita (Machi 12), kijana mmoja ambaye hakuna aliyemfahamu alikuja hapa nyumbani na kumtaka mtu mmoja na kiroba ili akachukue ndizi ambazo kuna mtu aliagiza ziletwe.

“Marehemu ndiye aliyekuwa karibu akijisomea baada ya kutoka shuleni. Mtu mkubwa aliyekuwa nyumbani muda huo ni bibi wa marehemu ambaye ni mtu mzima hivyo alimwambia Irene aongozane na mtu huyo akachukue mzigo akijua uko jirani kwa mujibu wa mtu huyo.

“Baada ya muda, yule kijana alirudi akiwa peke yake na kusema anataka chombo kingine cha kubebea kwa kuwa kile kiroba kilikuwa hakitoshi.“Bibi mtu alimuonesha ndoo kwa vile hakukuwa na kiroba kingine, alipoitwaa na kuondoka nayo ndiyo  hakurudi yeye wala Irene.

“Baada ya kuona muda unayoyoma bibi wa marehemu alianza kupata wasiwasi. Ndipo akatutaarifu kilichotokea nyumbani na sisi tukaanza kumsaka Irene na kijana yule.”

KWA NINI WALIMWAMINI KIJANA HUYO?
“Sisi tuna makaka zetu wakubwa ambao wana kawaida ya kutuagizia mizigo mbalimbali kwenye magari, kwa hiyo tuliamini ni wao. Lakini tulipowapigia simu na kuwaeleza tukio hilo wote walikanusha kuwa si wao na kushangaa.

“Kauli hiyo ilianza kututia shaka zaidi hivyo tulianza kuwasiliana na ndugu na jamaa ambao wote waliishia kushangaa. Tukaenda kutoa taarifa Kituo cha Polisi, Kigogo na kuanza msako wa kumsaka binti yetu pamoja na mtuhumiwa.”

IRENE APATIKANA AKIWA AMEUAWA
Mwanamke huyo anaendelea kusimulia: “Kesho yake asubuhi  (Ijumaa) tukasikia kuna binti amekutwa ameuawa kinyama kwenye Bonde la Mto Msimbazi, eneo la Sukita. Tulipatwa na mshituko, tukaenda na kuukuta mwili, tulipoukagua tuligundua ni Irene.

“Alikuwa ameharibiwa vibaya. Sehemu za mwii alikuwa na damu, alichomwa na kitu chenye ncha kali. Kwa vyovyote yule kijana alikuwa na wenzake, walimteka huko mbele ya safari na kumbaka kabla ya kumuua. Inauma sana jamani.”

Marehemu Irene ambaye katika mazishi yake wanafunzi wenzake walikuwa wakilia sana, alizikwa Jumamosi iliyopita katika Makaburi ya Mburahati, Dar.

Katika ibada hiyo, Katekista aliyesaidiana na paroko kuendesha ibada hiyo aliyetajwa kwa jina moja la Henjewele aliwalaani vikali walioshiriki kufanya unyama huo na kuwataka wafanye toba haraka iwezekanavyo na kumrudia Mungu wao vinginevyo laana na moto wa milele utawaangukia.
Mungu ailaze roho ya marehemu Irene mahali pema peponi- Amina.
Globalpublishers
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages