RAIS SAMIA KUZINDUA CHUO CHA SIASA MJINI KIBABA FEB.23

2 views
Skip to first unread message

Bernard Komba

unread,
Feb 19, 2022, 9:42:52 AM2/19/22
to Bernad Komba, rfa radio, matukio, kissfm...@gmail.com, Amina Chekanae, Abdul Diallo
Ben Komba/Pwani-Tanzania/19-02-2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SAMIA SULUHU HASSAN, siku ya Jumatano Februari 23 atafanya ziara ya kikazi kuzindua Chuo cha Siasa kilichopo mjini Kibaha.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, ABUBAKAR KUNENGE akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha amesema ziara hiyo ina lengo la kuzindua Chuo cha Siasa katika eneo la Viziwaziwa mjini Kibaha.

Ameongeza kuwa kbala ya uzinduzi wa Chuo hicho, Katibu wa CCM, DANIEL CHONGOLO  akiambatana na Makatibu wa vyama wa nchi zilizokuwa na kambi zao za kijeshi wakati wa harakati za kugombea uhuru wa nchi zilizokuwa bado zinatawaliwa na wageni........


Abubakar Kunenge- Mkuu wa Mkoa wa Pwani.mp3
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages