Heri ya Mwaka mpya 2011

1 view
Skip to first unread message

Albert Kissima

unread,
Dec 31, 2010, 10:40:48 AM12/31/10
to Lux.mund
Ndugu wanaLuxmund,

Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia mwaka mpya mwema wenye baraka,
mafanikio tele, amani, upendo na umoja.

Tuzidi kuwa mwanga wa kweli katika kuifanya jamii yetu na watanzania
kwa ujumla kuweza kuyaona na kuyasimamia yale yote yaliyo na manufaa
na tija kwetu sote.

Mwaka 2011 uwe ni wa kasi zaidi, bidii zaidi, ubunifu zaidi na
mafanikio zaidi kwa wanajamvi na jamvi letu hili.

Niwatakie kila lenye kheri.

JOHN MKUMBWA

unread,
Jan 1, 2011, 1:33:23 AM1/1/11
to lux...@googlegroups.com
Na wewe pia ndugu, tumeusherehekea vyema kwakweli..


--
John M. Mkumbwa.

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages