Daah nashkuru kwa responce yako mdau, enhe najua mida hii ni homa ya matokeo ya urais wa nchi hii nzuri na tuipendayo....
umemskia Dr. Slaa BBC na Magazetini? @Slaa kura zimehujumiwa na ushahidi mzito anao atatinga nao NEC, mahakamani na umoja wa mataifa kuhakikisha CCM hawampori hata kura moja