Kuharibika kwa kura.

2 views
Skip to first unread message

albert kisima

unread,
Nov 5, 2010, 9:31:18 AM11/5/10
to lux...@googlegroups.com
Hivi ni sahihi kweli NEC kutangaza tu idadi ya kura zilizoharibika bila kueleza zimeharibikaje? Ni idadi kubwa sana ya kura zilizoharibika. Binafsi nadhani si sahihi. Wangetoa pia namna ya kura zilivyoharibika. Kama ni watu waliwachagua kikwete na Slaa kwa wakati mmoja, watueleze na ilikuwa mara ngapi, na namna nyingine zote zilizopelekea kuharibika kwa kura. Nadhani hili lingewezekana.
Sijui wadau ninyi mwasemaje.



JOHN MKUMBWA

unread,
Nov 5, 2010, 11:37:22 AM11/5/10
to lux...@googlegroups.com
Hapa umenena mkubwa lakini umeona leo Kikwete katangazwa presdent!!! then Slaa hajatokea kwenye mambo hayo kabisaaaaaaaaa..


2010/11/5 albert kisima <alber...@yahoo.com>

albert kisima

unread,
Nov 5, 2010, 10:34:28 PM11/5/10
to lux...@googlegroups.com
Pengine labda anao ushahidi wa kutosha, na anaona kuwa kuhudhuria sherehe hizo ni sawa na kuunga mkono hali ya kunyanganywa kura zake. Isingekuwa na maana yoyote kwa yeye (Dr Slaa) kuhudhuria hafla hiyo halafu baada ya hapo aendelee na movements za kuyakataa matokeo.



JOHN MKUMBWA

unread,
Nov 6, 2010, 12:47:59 AM11/6/10
to lux...@googlegroups.com
Nimeliona hilo na nahisi ndo nia haswaa ya mheshmiwa Dr. Slaa kutokuhudhuria japo kwa mtazamo wangu baado demakrasia ipo chini sana katika nchi yetu hii, mambo mengi yanafanyika kibabe na kwa kulazimisha upende uspende nahisi tatizo liko kwenye katiba yetu..

2010/11/6 albert kisima <alber...@yahoo.com>

albert kisima

unread,
Nov 6, 2010, 10:53:18 AM11/6/10
to lux...@googlegroups.com
Ni kweli John, democrasia ktk nchi yetu ni bado kabisa. Inaongewa tu mdomoni. Tuangalie uongozi mpya tuone utafanya nini, tuone kama utatutuwezesha kuwaza nini tulifanyie taifa letu.



albert kisima

unread,
Nov 6, 2010, 10:59:04 AM11/6/10
to lux...@googlegroups.com
Zaidi ya kura laki mbili na zisizozidi laki tatu ziliharibika. Ni kweli ziliharibika kihalali, au ni zile ambazo zilikusudiwa kwa mtu na ziliharibiwa kwa makusudi? Au ni zile ambazo wagombea wawili tofauti walichaguliwa kwa wakati mmoja? NEC wanawajibika kwa maswali haya.



JOHN MKUMBWA

unread,
Nov 6, 2010, 12:13:58 PM11/6/10
to lux...@googlegroups.com
Yeah ni wakati wa kurekebisha uchumi wa nchi na binafsi mifukoni mwetu kwahiyo siasa tuziweke pembeni kabisaaa.. japo bado najiuliza je kutangazwa rais ni tukio la kichama au kitaifa? Mbona njano na kijani zilitawala vile!!!!!!!!!!!

2010/11/6 albert kisima <alber...@yahoo.com>
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages