On Wed Nov 3rd, 2010 10:33 AM EDT Mdoti Com-kom wrote:
>Analojiuliza mkubwa ni kweli, nimejiuliza mimi pia. Nadhan ilikuwa ni homa ya uchaguza ambao watokeo yake ni dalili za kutaka kuwepo mabadiliko katika kila kona. Ipo haja ya kuutathmini, na kutenda ipasavyo. Tuamke jamani?
>
>On Wed Nov 3rd, 2010 12:15 AM PDT JOHN MKUMBWA wrote:
>
>>Jamani ukimya namna hii ni mbaya sana kwa maendeleo ya forum yetu... ila ni
>>kwa nini na inawezekana kweli kwamba hamna lolote la kushirikishana!!!
>
>
>
>