NYAMULENGE NA INTARAHAMWE 10,000 KUHAMISHIWA LUDEWA

20 views
Skip to first unread message

domy Haule

unread,
Aug 22, 2011, 2:19:58 AM8/22/11
to lud...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com
Kama vile ni bahati mbaya. Nyamulenge umekuja wakati mbaya. Serikali imeamua kuhamishia Banyamulenge na Intarahamwe elfu kumi wilayani ludewa. Lakini nadhani ingelipendeza kama wangelihamishiwa wilaya nyingine kwani wilaya ya ludewa tayari ipo katika kulemewa na mzigo mkubwa wa wageni watakaokuja na ujio wa uwekezaji.

Hawa jamaa wahutu na watusi kwa kawaida huwa na wana sera ya kuzaliana sana sana. La sivyo tuwe tayari kupotea kabisa wapangwa na wakisi. Fikiria ludewa tupo watu laki moja.  Hawa jamaa wanahitaji miaka kumi tu kuwa laki moja. Ukizingatia watashughulika pia na dada zetu basi wakati sisi tutakuwa tunapungua, wao watakuwa wanasonga mbele kwa kwenda mbele.

Pamoja na mambo mengine, mimi ninashauri tujaribu kuona mabadiliko yajayo ludewa tunashiriki kwa kuyaandaa. Mabadiliko yasitushitukize bali tujiandae nasi tuwe sehemu ya mabadiliko kwa kushiriki kuyaleta. Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukiandikiana mawazo na ushauri mbalimbali, imefika wakati wa kukutana ndugu zangu. Au TUMEAMUA KUITOSA WILAYA YETU? WAPI UKULU, WAPI LUDEWA WING, WAPI WANALUANA, WAPI JAMII YA WANAZUONI, MA-DR, MA-PROF, WAPI WASHAURI ELEKEZI.

Oooh Ludewa, Kwaheri Ludewa. Wana Ludewa tunakupenda sana kwa maneno, MUlomo, Kwa vitendo laa.


Dominick (Mkhisi)





--

CELL: +255-773-11-1163




domy Haule

unread,
Aug 22, 2011, 12:48:33 PM8/22/11
to lud...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com
Kimsingi ni warundi elfu kumi na wasomali elfu tatu na mia tano. Hau wasomali wengi wao ni wanajeshi waliokimbia kule. Msisahau kuna wasomali waliokamatwa ludewa kwa mamia, wengi wao ni wanajeshi na huwa daima wanachanganyika na Al-shabaab {vijana wa kazi} na mara nyingi wanafadhiliwa na Al caida.

Serikali yetu ya sasahivi siyo makini sana kwani mnaweza kushuhudia mambo mengi ambayo yanawafanya viongozi wetu wapo bizze wanataka urais wa 2015. Mfano, Wakati Ethiopia na njaa yao, na jangwa lao, wamejenga kwa siri mabwawa makubwa mawili kwaajili ya kuzalisha MA MEGAWATTES Mengi, sisi wenye maji yetu tunavimegawatts.

Ethiopia wana mpango wa kuzalisha megawatts 20,000 za umeme (sisi tuna megawatts 650) miaka hamsini ya uhurui. Ethiopia wanampango wa kutuuzia umeme afrika nzima. Hawawezi lima ukame. 

Ninachotaka kushauri ni kukutana ndugu zangu. Tusingoje serikali. Twaweza paza sauti zetu na zikasikika. Saa ya ukombozi ni sasa.
2011/8/22 msugu jonathan.B <msu...@yahoo.co.uk>
 

`Haya kaka Dommy wageni ndo haooo wanakuja. 

KAKA Any idea watasettle maeneo gani ya Ludewa??? 

SASA inabidi tujipange kushughulika na dada zao zaidi ya wao watakavyo shughulika na dada zetu (JOKE...)

Kuna mwanazuoni mmoja Mholanzi aliniambia kuwa Tanzania ingekuwa na watu wengi hata kuifikia au kuizidi Nigeria,  maendeleo ya uchumi wake yangepanda kwa kasi kwa sababu watu wangekuwa wanapeana challenges na kufikiria zaidi ili ku-survive!=ENTREPRENEURSHIP. Alifananisha na England ambayo ina population density kubwa zaidi Ulaya na uchumi wao ni mzuri hata hawataki kujiunga na Euro. :-SS nail biting

Hivi usemi huu ni wa kweli?? might it be there a positive impact if LUDEWA population density increases??? 

Msinilime jamani ni changamoto tu nataka tufikirie positive side out of this-if at all zipo, kwa sababu serikali ndo imekwisa kuamua

RAMADAM KAREEM

Msugu

From: domy Haule <domini...@gmail.com>
To: lud...@yahoogroups.com; lud...@googlegroups.com
Sent: Monday, 22 August 2011, 9:19
Subject: [ludewa] NYAMULENGE NA INTARAHAMWE 10,000 KUHAMISHIWA LUDEWA



--

CELL: +255-773-11-1163




Leonard Ludewa

unread,
Aug 22, 2011, 1:08:28 PM8/22/11
to lud...@googlegroups.com, lud...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com
Huu ni utani au kweli..?
Naomba kupata uhakika wa habari hii ndg Dominick! Inabidi tuifanyie kazi mapema.

Sent from my iPad
--
You received this message because you are subscribed to the Google
Groups "Ludewa" group.
To post to this group, send email to lud...@googlegroups.com
To unsubscribe from this group, send email to
ludewa+un...@googlegroups.com
For more options, visit this group at
http://groups.google.com/group/ludewa?hl=en?hl=en
Ukumbi huu haubebi dhamana ya kisheria ya maoni yanayotolewa na wanaukumbi.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages