Re: [ludewamakini] Taarifa ya Msiba (Taratibu za kuaga)

5 views
Skip to first unread message

Primus Nkwera

unread,
Nov 6, 2012, 8:37:24 AM11/6/12
to ludewa...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com

Tupo pamoja na poleni sana. Kwa bahati mbaya nipo Kigali na hivyo sitaweza kuhudhuria.

On 6 Nov 2012 15:17, "faraja kristomus" <faraja...@yahoo.co.uk> wrote:
 


Wapendwa wana ludewa,

Kuhusu taratibu za kumwaga ndugu yetu Dr Haule, ni kwamba kesho mwili utaletwa nyumbani kwake kileleni namba 8 saa 4 asubuhi ila taratibu zote za kumwaga zitafanyika katika kanisa la Chuo Kikuu kuanzia saa 6 mchana. Baada ya ibada ya kumwaga, mwili utaagwa na safari ya kumpeleka nyumbani kwao Madunda - Ludewa, mkoa wa Njombe itaanza. Kwa watakaoweza kwenda nyumbani kwa marehemu, unashuka kituo cha daladala Ardhi, rudi nyuma kidogo utakuta barabara inachepuka kulia ifuate hiyo. Mbele kidogo utaona inayochepuka kushoto usiifuate, endelea mpaka mbele kidogo na fuata inayoelekea kushoto. Nyumba aliyokuwa akiishi marehemu ipo upande wa kushoto. Zipo mbili zinatazama, ila ya kwake ni Kileleni namba 8. 

Asanteni
 
Mr. Faraja Kristomus
(Katibu - UDASA)
Department of Foreign Languages and Linguistics
University of Dar es Salaam
P.O.Box 35040, Dar es Salaam
Tanzania
Mobile: +255 787 52 53 96 / +255 717 086 135

"All human beings are equal except our colours, beliefs, tribes and thinking, which are always accidents and never the essences of our humanity. We acquire them after getting out of the wombs of our mothers".





__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (1)
Recent Activity:
.

__,_._,___

Benjamin Ngatunga

unread,
Nov 8, 2012, 11:57:38 AM11/8/12
to lud...@googlegroups.com, ludewa...@yahoogroups.com
Poleni sana kwa msiba huo mzito, tupo pamoja ingwa nipo mbali safarini kikazi.
Dr. Ngatunga


Date: Tue, 6 Nov 2012 16:37:24 +0300
Subject: Ludewa Re: [ludewamakini] Taarifa ya Msiba (Taratibu za kuaga)
From: pnk...@bestfm.co.tz
To: ludewa...@yahoogroups.com; lud...@googlegroups.com
--
You received this message because you are subscribed to the Google
Groups "Ludewa" group.
To post to this group, send email to lud...@googlegroups.com
To unsubscribe from this group, send email to
ludewa+un...@googlegroups.com
For more options, visit this group at
http://groups.google.com/group/ludewa?hl=en?hl=en
Ukumbi huu haubebi dhamana ya kisheria ya maoni yanayotolewa na wanaukumbi.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages