RE: [ludewamakini] SIASA ZETU NA VIONGOZI

29 views
Skip to first unread message

PD Nkwera (BEST FM)

unread,
Oct 30, 2011, 2:23:12 PM10/30/11
to ludewa...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com

 

Looks too early !

 

From: ludewa...@yahoogroups.com [mailto:ludewa...@yahoogroups.com] On Behalf Of gmha...@udsm.ac.tz
Sent: Sunday, October 30, 2011 12:29
To: ludewa...@yahoogroups.com
Subject: [ludewamakini] SIASA ZETU NA VIONGOZI

 

 

Wasomi wa Ludewa nawasalimu. Nimekuwa nikijaribu kuangalia mwelekeo wa
siasa za Ludewa imefika mahali nina wasiwasi na tunakoelekea.Kama
hatujajipanga sasa hivi inaonekana tutapewa viongozi wa kupewa pasipo
ridhaa yetu.
Naomba niwashauri wasomi wa Ludewa kama vile lakini siyo hawa tu;
Evaristo Mtitu,Evaristo Haule, Faraja Lugome.....kutafakari juu ya siasa
za Ludewa.Na pia nawaomba mtangaze nia.
Nimetaja majina haya kwa sababu yamekuwa karibu sana kwenye kinywa changu
na nafikiri wakikaa hawa na wengine wanaweza kupendekeza viongozi
wanaotakiwa kuwawakilisha wana Ludewa.
Kimsingi hali inakoenda inaweza ikawa tofauti na mategemeo ya wengi
kulingana na mikakati ambayo baadhi ya watu wameanza kujiwekea kuanzia
sasa.
Nawatakia safari njema ya 2015.

__._,_.___

Recent Activity:

.

Description: Image removed by sender.

__,_._,___

image001.jpg
image002.jpg

domy Haule

unread,
Nov 14, 2011, 6:29:41 AM11/14/11
to lud...@googlegroups.com

Wapendwa wanaludewa, Mathias Luoga, Mwalongo, Signifrid Bonifas, Gm Mhagama, Beda Mwalongo, Signifrid Mwalutambi, Bonifas Msingwa, Evaristo Haule, Siripius Mbawala, Ladslaus Kario,  Msugu Jonathan B, Haule Benedict Evaristo, na Tito Mganwa.

Nawashukuru sana kwa michango yenu mliyoitoa kuhusu mada zangu na maoni yenu mazuri. Hata hivyo, kwa manufaa ya wanaludewa ambao wanapata maoni mbalimbali katika jamvi hili ningelipenda kusema kuwa, maoni mengi kuhusu mimi "domy" yanatokana na mawaidha yangu binafsi kuhusiana na mada hii hapa chini.

Wengi wamezungumza mambo mengi sana lakini mimi bado ninaamini kuwa aliyeandika mada hii ni mtu ambaye si wa kumdharau. Na maadamu ni mwanaludewa mwenzetu mimi maoni yangu ya msingi ni kwamba jambo hilo ni mapema zaidi.

Katika maoni mengi yaliyotolewa, hili halijazungumzwa na mchangiaji yeyote isipokuwa mwanaludewa mwenzetu Primus Nkwera ambaye naye anaamini kuwa mawazo katika mada hii ni mapema mno. Ni matarajio yangu kuwa michango mingi ingelielekea katika mada hii lakini kwa bahati mbaya sana, huenda hii imechangiwa na uelewa wa wachangiaji ambao nimejifunza au kwa makusudi au kwa kutoelewa hawajaweza kuchangia maoni katika mada hii ambayo kwa mara nyingine ninaiweka tena hapa chimi.

Imekuwa ni tabia ya baadhi ya watanzania na wanaludewa kutozingatia mada zinazohusika kwa wakati kwa malengo tofauti. Naomba niweke sawa pia kuwa, pamoja na yote yaliyozungumzwa, mimi ninatoa mawazo na fikra huria kwani sina fungamano na upande wowote zaidi ya kuegamia upande ambao kwa maoni yangu ninaamini ndiyo yatakayoivusha Ludewa kimaendeleo.

Hayo mengine sina maoni labda kusema tu kimsingi kwa wale wasioelewa ni kwamba binadumu hususani wana jamvi hili wengi hamtegemewi kufahamika tabia kwa kukutwa mnarushwa ngumi baa au vilabuni bali tabia hujulikana kwa namna mtu unavyoonekana, unavyovaa, unavyoandika, unavyochangia mada husika, (Hapa huwa mchangiaji huweza kuacha mada na kutukana au kukejeli au kuinginza mada isiyohusika lakini kwa wajuvu huwezi kuwatowa kamwe katika mada husika) jinsi unavyoangalia, jinxi unavyoongea na jinsi unavyoyachukulia mambo.

Wakati mwingine laana huwa hazitokani na wazazi wetu bali hata wale ambao unawakosea kwa kujua au kwa kutojua, dhambi hulipwa hapa hapa duniani bila kujali unayemdhalilisha ana umri gani.

Ki msingi, maoni yangu yalizingatia mada hii hapa chini ambayo, huenda wenzangu mliochangia hamjaisoma, hamjaielewa au hamjataka kuizingatia. Kwangu mimi, mada hii na maoni ya baadhi ya wanaludewa walio wazi, ilinipelekea kutoa mtazamo wangu. Bado ninawasihi sana wadogo zangu kuwa kuwa transparent ni kitu kizuri na cha msaada kwa mhusika. Siasa za ludewa zitakuwa nzuri sana kama wengi tutakubaliana kukubaliana au kukubaliana kuto kubaliana. UNAFIKI haujawahi kuwa ni msaada katika maendeleo.


Siasa zetu na viongozi,

Wasomi wa Ludewa nawasalimu. Nimekuwa nikijaribu kuangalia mwelekeo wa
siasa za Ludewa imefika mahali nina wasiwasi na tunakoelekea.Kama
hatujajipanga sasa hivi inaonekana tutapewa viongozi wa kupewa pasipo
ridhaa yetu.
Naomba niwashauri wasomi wa Ludewa kama vile lakini siyo hawa tu;
Evaristo Mtitu,Evaristo Haule, Faraja Lugome.....kutafakari juu ya siasa
za Ludewa.Na pia nawaomba mtangaze nia.
Nimetaja majina haya kwa sababu yamekuwa karibu sana kwenye kinywa changu
na nafikiri wakikaa hawa na wengine wanaweza kupendekeza viongozi
wanaotakiwa kuwawakilisha wana Ludewa.
Kimsingi hali inakoenda inaweza ikawa tofauti na mategemeo ya wengi
kulingana na mikakati ambayo baadhi ya watu wameanza kujiwekea kuanzia
sasa.
Nawatakia safari njema ya 2015.

2011/10/30 PD Nkwera (BEST FM) <pnk...@bestfm.co.tz>

--
You received this message because you are subscribed to the Google
Groups "Ludewa" group.
To post to this group, send email to lud...@googlegroups.com
To unsubscribe from this group, send email to
ludewa+un...@googlegroups.com
For more options, visit this group at
http://groups.google.com/group/ludewa?hl=en?hl=en
Ukumbi huu haubebi dhamana ya kisheria ya maoni yanayotolewa na wanaukumbi.



--

CELL: +255-773-11-1163




image001.jpg
image002.jpg

PD Nkwera (BEST FM)

unread,
Nov 15, 2011, 11:20:39 AM11/15/11
to lud...@googlegroups.com, ludewa...@yahoogroups.com, lud...@yahoogroups.com

Hi Dominic

Nimepata ujumbe wako kwa mtandao wa Lud...@googlegroups.com lakini ninaimani ulilenga kuupeleka kwenye jamvi la yahoogroups ambako mjadala huo huenda ndiko ulikofanyika. Pamoja na kutojua kilichoendelea huko, nachelea kukubaliana na maoni yako na kuendelea na maoni ya kuwa mjadala huu ni wa mapema mno kwa wana-Ludewa. Tuna muda wa kushuhudia juhudi za viongozi na kuwasaidia inapobidi. Muda ukifika wananchi wataamua kutokana na rekodi za utendaji na ushawishi wa watakaojitokeza.

Kila la heri.

-------

Director,

BEST FM Ltd,

P. O. Box 73,

Ludewa,

TANZANIA

 

Tel:    +255 26 2790061

Mob: +255 754 302152

Web: www.bestfm.co.tz

Description: BEST logo blue -web

image003.png
image004.jpg
image005.jpg
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages