HUJUMA DHIDI YA WILAYA YETU YA LUDEWA - KUONDOLEWA KWENYE WILAYA ZENYE MAZINGIRA MAGUMU

23 views
Skip to first unread message

Fortunatus Fungatwende

unread,
Apr 3, 2013, 11:02:23 AM4/3/13
to lud...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com
Ndugu wana Jamvi kuna taarifa za kuhuzuninisha sana za kuiondolea wilaya yetu Ruzuku ya Mazingira Magumu.

Kuna kitendo cha kinyama kilichofanywa na MwanaLudewa akishirikiana na wazindiki wasioitakia mema wilaya yetu kwa kuitoa kinyemela na kwa hila Kati ya Wilaya 11 zilizokuwa zinapata hela ya Ruzuku kwa ajili ya ujenzi wa Nyumba za walimu, Ujenzi wa Nyumba za wafanyakazi katika maeneo hatarishi yaliyopembezoni mwa wilaya yetu. kumbuka hata zile nyumba 11 za wafanyakzai wa halimashauri karibu na kituo cha BEST FM zimejengwa na fedha hiyo. Je huyu mtu anaitakia mema wilaya yetu????

Mtu huyu ni Mwnamke aliyeshirikiana na mmoja ya wakurugenzi wa TAMISEMI naye Mwanamke mwenye haiba ya Kichaga na baba wawili watokao Iringa uliokuwa Mkoa wetu.

Fuatilia ona Machungu haya.


Nawasilisha kwa Maoni zaidi

BOSCO haule, Tito, Domy, Ngalawa Mpo hapo.


FUNGATWENDE

haulledict

unread,
Apr 3, 2013, 12:26:55 PM4/3/13
to lud...@yahoogroups.com, lud...@googlegroups.com
Asante kaka Fungatwende,

Mie hapa nashangaa sana anafaida gani huyo unaemsema mwanamke?? Ni sababu za kisiasa?? au ni nini? nini vigezo sahihi vya wilaya kuwekwa ktk list hiyo. Kunashida gani kumweka wazi au ndo usalama?? Nadhani tunahitaj kufahamu hivyo vigezo na pengine tuamue kifuatacho
 
HAULLE, Evaristo

IRINGA- TANZANIA
I cant teach you violence  because I dont know, I can only teach you not to bow your heads before any one, even at the cost of your life - Gandhi


From: Fortunatus Fungatwende <hau...@gmail.com>
To: lud...@yahoogroups.com; lud...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, 3 April 2013, 11:02
Subject: [ludewa] HUJUMA DHIDI YA WILAYA YETU YA LUDEWA - KUONDOLEWA KWENYE WILAYA ZENYE MAZINGIRA MAGUMU

 
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages