My Dear Sister Grace,
I would like to convey my deepest condolences on the death of your beloved father.
He was a wonderful Leader, who gave so much of his life and time for others, and was very devoted towards his work.
Although it is impossible to see beyond your pain,
May your heart and soul find peace and happiness. May the blessings of God be upon you,
May peace always be within your soul, May its essence illuminate your heart, Now and forever more.
Pole sana dada yangu, Mungu akupe nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu, ni wakati mgumu sana dada ila muda utaponya na kuyakabili yote, Eng. Danstan A. Kishaka Regional Secretariat Engineer, MBEYA --- On Sun, 11/18/12, graf...@yahoo.com <graf...@yahoo.com> wrote: |
bwana wetu yesu kristo asifiwe wana darasa, japo nimechelewa kwa kua porini kwenye majukumu ya kikazi na hakuna mtandao napenda kuungana na wenzangu wote kutoa salaam za pole kwa mufiwa na baba mzazi dada yetu grace.basi tuiombee familia yote amani na upendo katika kipindi hiki kigumu. tom nyagawa --- On Sat, 11/17/12, brai...@yahoo.com <brai...@yahoo.com> wrote: |
|