To ALL of You

8 views
Skip to first unread message

alpha kinghomella

unread,
Apr 16, 2012, 5:37:28 PM4/16/12
to ljsclas...@googlegroups.com
Nimenyamazaaa lakini mmh naona nijitose kusema ukweli manake Lol kaazi kwelikweli.
Pamoja najua kwamba watu tuko kwenye wk ya maombolezo, lakini niwape habari njema kidogo.
NIMEAMUA KUACHANA NA UKAPELA RASMI MWEZI WA 6 TAREHE 23 YA MWAKA HUU.
Nategemea kufunga pingu za maisha na Mrembo mmoja nadhani wengi wenu mtakuwa mnamfahamu; Happiness Koda. Napenda kuwashirikisha ktk maandalizi ya harusi hii.
 
Kwa kifupi Bwana Gq( Grayson Elisa Kavumo, Mpare aka Shemejiiii) akishirikiana na Dr Mrita Felix ndio wenyekiti, kaka Bernard Konga akiwa kama Katibu na ndugu yangu Dezema, Deo Mahawe mwenyekiti wa kamati ya maandalizi, ninapenda kuwakaribisha sanasana ktk maandalizi haya. Baadhi yenu mtakuwa mmeshapata taarifa lakini ningependa kuwataarifu wadau wengine ambao hawajafahamu kupitia groupmail hii. more details tutaendelea kupashana habari.
 
Napenda kuwakilisha Hoja!!!
 
Mungu awabariki
 
Alpha King aka "mume mtarajiwa"
 
 
 

respikius martin

unread,
Apr 16, 2012, 6:02:10 PM4/16/12
to ljsclas...@googlegroups.com
Big up King
Let's keep intouch though sitakuwepo physically but mchango wangu nitautuma. Nipe jina la mweka hazina au ni wewe mwenyewe? Maadamu GQ ni mwenyekiti naamini hatutatindikiwa vinywaji.
 
Naomba kuwakirisha
Respikius

--- On Mon, 4/16/12, alpha kinghomella <alphaki...@yahoo.com> wrote:
--
For more options, visit this group at http://groups.google.com/group/LJSclassof2000

thomas nyagawa

unread,
Apr 18, 2012, 1:02:30 AM4/18/12
to ljsclas...@googlegroups.com

kaka alpha hongera sana.tuwasiliane 0754679929.tom nyagawa
------------------------------

kon...@yahoo.com

unread,
Apr 20, 2012, 2:25:40 AM4/20/12
to ljsclas...@googlegroups.com
Dear brothers and sisters

Poleni na majukumu.

Kwanza nampongeza Dr. King kwa uamuzi wa kuachana na ukapera!

Pili kwa niaba ya mwenyekiti wa kamati Mhe. Grayson Elisa Kavumo (GQ) naomba niwajulishe kuwa michango inapokelewa na Bw. Deo Mahawe ambaye ndiye mtunza fedha wetu kwa mpesa 0754631330. Tulikaa kama kamati ndogo ya marafiki na tukaweza pata pledges isiyopungua 2.5 Tshs za kitanzania. Lengo ni kwenda zaidi ya 5 milioni ili kuwawezesha wapendwa wetu kutimiza azma yao.

Tunatarajia kuwa na kikao kingine soon hivyo tutawataarifu ili tuweze kudumisha ushirikiano wetu katika hili pia.

Naomba niwatakie siku njema na utekelezaji mwema wa mipango yenu, zaidi ya yote Mungu awabariki.

Regards!

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: alpha kinghomella <alphaki...@yahoo.com>
Date: Mon, 16 Apr 2012 14:37:28 -0700 (PDT)
Subject: [LJSclassof2000] To ALL of You

--

kon...@yahoo.com

unread,
May 7, 2012, 1:50:47 PM5/7/12
to ljsclas...@googlegroups.com
Shaloooom!

Wapendwa wana 2000 poleni na majukumu ya kila siku!

Kwa niaba ya kamati ndogo ya kuratibu harusi ya Dr. Alpha King', nawakaribisha katika kikao cha maandalizi siku ya jumamosi ya tarehe 12 mwezi huu. Mahali ni mama Kamche opposite na kanisa la Kakobe, na muda ni kuanzia saa 11 jioni.

Tafadhali upatapo ujumbe huu, mtaarifu na mpendwa mwingine. Mchango wa hali na mali unaendelea kupokelewa!

'Karibu tupange, si tu kwa ajili ya hili bali pia kwa mustakabali na ustahimili wa kundi hili,

Mbarikiwe!

Konga Bernard!
Katibu!
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: alpha kinghomella <alphaki...@yahoo.com>
Date: Mon, 16 Apr 2012 14:37:28 -0700 (PDT)
Subject: [LJSclassof2000] To ALL of You

--

Deogratius mahawe

unread,
May 7, 2012, 4:56:40 PM5/7/12
to ljsclas...@googlegroups.com
Thanks konga kwa taarifa nawaombeni wajumbe/wanadarasa waliotoa ahad kupunguza michango yao kwan siku zimebaki chache pia tunakaribisha ahad mpya.
Kwa pamoja tunaweza tumwombe mwenyezi mungu atuwezeshe! Nawatakia siku njema
Regards
Deo
Sent using a Son Ericsson mobile phone
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages