TAARIFA YA MSIBA

914 views
Skip to first unread message

Bhoke Mukami

unread,
Feb 19, 2008, 12:36:21 PM2/19/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Habari za Masiku wanadarasa?
 
Nasikitika kuwa taarifu kwamba Mwanaseminari mwenzetu Lusajo Mwakoba amefiwa na baba yake mzazi leo hii 19/02/2008 huko Dar es salaam, Tanzania.
 
Nawaomba tushirikiane kama ilivyo kawaida yetu.
 
Mungu ailaze Roho ya baba yetu mahali pema peponi. Amina.

Lusajo anapatikana kwenye namba yake ya mkononi  0773 533 733
 
Asanteni na Mungu awabariki.
 
Bhoke.


Jeremiah 33:2-3
2 "This is what the LORD says, he who made the earth, the LORD who formed it and established it葉he LORD is his name: 3 'Call to me and I will answer you and tell you great and unsearchable things you do not know.

Bhoke Mukami


Never miss a thing. Make Yahoo your homepage.

braille

unread,
Feb 19, 2008, 5:36:34 PM2/19/08
to LJSclas...@googlegroups.com
pole sana kaka Lusajo, Tunaomba Mungu  akujalie na akuzidishie ujasiri na moyo wa kuzidi kuamini, Muumba anampango na maisha yetu na kila  litukutalo Mungu hutuwezesha kulikabili kwa namna ya uwezo utokao kwake. Naungana na ndugu na marafiki wote kuiweka familia yenu kwenye maombi, Alie Twaa hatuachi bila mfariji, basi natumtazame mokozi atupitishe katika hili.
Poleni sana wana ljs
    


brai...@hotmail.com
http://braillen.hi5.com
http://braille.hi5.com

Amos Malongo

unread,
Feb 19, 2008, 8:31:03 PM2/19/08
to LJSclas...@googlegroups.com
wapendwa wanadarasa, nichukue nafasi hii kipekee kuungana na waliotangulia kutoa pole kwa Lusajo. Ndugu Lusajo, naelewa kuwa ni kipindi kigumu kwako na familia nzima kwa kuondokewa na baba mzazi. Jipe Moyo mkuu na MUngu mwenyewe awe mfariji wenu katika simanzi nzima. Mungu hatakuacheni yatima. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake na lihimidiwe. Poleni wanadarasa kwa misiba hii, tutulie mbele za Mungu na kufarijiana. Tunaomba uwakilishi mzuri katika swala hili hapo nyumbani jamani, tuko pamoja.

braille <brai...@yahoo.com> wrote:

Looking for last minute shopping deals? Find them fast with Yahoo! Search.

danstan kishaka

unread,
Feb 20, 2008, 4:34:32 AM2/20/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Kaka yangu Lusajo,
 
Pole sana kwa kumpoteza baba yetu mpendwa, natambua ni kipindi kigumu sana kwako nasi pia lakini Mungu atakupigania na kukutia nguvu. Tupo pamoja katika maombi na kwa hali na mali. Mungu akupe ujasiri wa kukabiliana na hali hii. Tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu.
 
 
 


Be a better friend, newshound, and know-it-all with Yahoo! Mobile. Try it now.

mariam godwin

unread,
Feb 20, 2008, 4:36:24 AM2/20/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Wapendwa wanadarasa, nawasalimu wote kwa jina moja tu la Yesu kristo mnazareti. Napenda kuwashukuru wote ktk mtandao huu kwani tunaweza kupata taariifa na matukio mbalimbali yanayojiri kila siku iitwapo leo. Mnisamehe kwakuwa kimya ila tupo pamoja.
 
Napenda kukupa pole kwa kaka Lusajo kwa msiba wa baba. Mungu Roho mtakatifu na awe mfariji wa mioyo yenu kwa sasa, tuko pamoja ktkt kuwaombea neeme ya Mungu iwatangulie ktkt shughuli nzima za mazishi.
 
Dada Naomi pole kwa kuuguza baba, naelewa ni kipindi kigumu lkn Jehova ni mweza. Tunamwombea baba kupona haraka na kuwa na afya njema.
 
Jina la B wana libarikiwe na ninawatakia siku njema wote.

Amos Malongo <amos_...@yahoo.com> wrote:
Find them fast with Yahoo! Search.
Sent from
Yahoo! - a smarter inbox.

Hillary Rite

unread,
Feb 20, 2008, 6:59:43 AM2/20/08
to ljsclas...@googlegroups.com

Bwana Yesu asifiwe wanandugu
Napenda kuungana na wanadarasa wenzangu kukupa pole za kutoka moyoni kaka Lusajo Mwakoba kwa msiba mzito wa kumpoteza baba. Tunazidi kuwa nawe katika maombi kwa kipindi hiki kigumu.
Mungu wetu wa Rehema na Upendo akaifariji famili yako, ndugu wa karibu, na marafiki wote waliyoguswa na msiba huu. Pole sana Kaka.
Hillary.
Psalm 23:4




Date: Tue, 19 Feb 2008 09:36:21 -0800
From: bhoke...@yahoo.com
Subject: [LJSclassof2000] TAARIFA YA MSIBA
To: LJSclas...@googlegroups.com


Habari za Masiku wanadarasa?
 
Nasikitika kuwa taarifu kwamba Mwanaseminari mwenzetu Lusajo Mwakoba amefiwa na baba yake mzazi leo hii 19/02/2008 huko Dar es salaam, Tanzania.
 
Nawaomba tushirikiane kama ilivyo kawaida yetu.
 
Mungu ailaze Roho ya baba yetu mahali pema peponi. Amina.

Lusajo anapatikana kwenye namba yake ya mkononi  0773 533 733
 
Asanteni na Mungu awabariki.
 
Bhoke.


Jeremiah 33:2-3
2 "This is what the LORD says, he who made the earth, the LORD who formed it and established it--the LORD is his name: 3 'Call to me and I will answer you and tell you great and unsearchable things you do not know.

shubby rwegasira

unread,
Feb 21, 2008, 6:08:06 AM2/21/08
to ljsclas...@googlegroups.com
Lusajo,
 
Pole sana kwa msiba wa baba.Mungu awatangulie wewe na familia yote katika kipindi hiki.



Date: Wed, 20 Feb 2008 01:34:32 -0800
From: dkis...@yahoo.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: TAARIFA YA MSIBA
To: LJSclas...@googlegroups.com

Kaka yangu Lusajo,
 
Pole sana kwa kumpoteza baba yetu mpendwa, natambua ni kipindi kigumu sana kwako nasi pia lakini Mungu atakupigania na kukutia nguvu. Tupo pamoja katika maombi na kwa hali na mali. Mungu akupe ujasiri wa kukabiliana na hali hii. Tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu.
 
 
 

Be a better friend, newshound, and know-it-all with Yahoo! Mobile. Try it now.</a

Gigwa STEVEN

unread,
Feb 21, 2008, 8:19:01 AM2/21/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Nawasalim woote ktk jina la Yesu Kristo.

Ama baada ya salaam napenda nitoe yangu machache
niliyoyaona jana kwenye msiba wa baba yetu mpendwa
Mzee mwakoba pale Muhimbili hospital.

Binafsi niliguswa na jinsi uwakilishi ulivyokuwa mzuri
pamoja na majukumu mengi mliyonayo .
Inaonyesha kuwa kweli tunaishi kiblia kwa kupendana
kidugu.
Kwa wale walio mbali msiwe na wasiwasi uwakilishi
ulikuwa mzuri sanaa.
Sina mengi zaidi ya kusema kep it up wana Seminary.
Dada Rhobi asante kwa huduma yako kaka Benardi, Frank,
Sabuka, Walter, Abel, Kandonga, Grace ,Duah,
Naomi,Fadhil,Amani na wegine woote...... Jamani Bila
Kumsahau MAMA YETU MPENDWA MAMA MUKAMI ASANTE.

Kaka Lusajo Mungu awafariji.

Amosi Asante kwa salaam Kaka Konga alizifikisha.
Nawapenda sana.
Udumu Umoja huu.
G

--- braille <brai...@yahoo.com> wrote:


Gigwa Stephen (Mrs)
University of Dar es Salaam
Mlimani Postal Mail Bag
P. O. Box 110 136
Dar es Salaam
Tanzania.
Tel.(Mobile) +255 (0)744 387 643

____________________________________________________________________________________


Looking for last minute shopping deals?

Find them fast with Yahoo! Search. http://tools.search.yahoo.com/newsearch/category.php?category=shopping

Lilian Nsyenge

unread,
Feb 21, 2008, 8:29:52 AM2/21/08
to ljsclas...@googlegroups.com
Kaka Lusajo pole kwa msiba. Mungu akufariji pamoja na familia yote hapo nyumbani.
 
Wanaseminari Mungu awabariki kwa moyo wa ukarimu ambao asili yake ni aliye ndani
yetu.  Mama Mukami barikiwa.Mbarikiwe sana wapendwa. Inapendeza.
 
Dada Naomi naamini Mungu atafanya yaliyo mapenzi yake kwa Baba yetu mzee Kawiche na
atapokea uzima wa rohoni na mwilini kw wakati wake.
 
Ninafuatilia kwa ukaribu kila hatua inayoendelea katika kuimarisha umoja huu. tuakaze buti
 
Na tuenende katika upendano huo tukidumu katika kuombeana.
 
Mjoli wenu katika Kristo,
Lilian
 
 


> Date: Thu, 21 Feb 2008 05:19:01 -0800
> From: gig...@yahoo.com
> Subject: [LJSclassof2000] Re: UPENDANO WA UDUGU NA UDUMU
> To: LJSclas...@googlegroups.com

amy mchelle

unread,
Feb 23, 2008, 4:09:06 AM2/23/08
to LJSclas...@googlegroups.com
habari zenu wapendwa wanadarasa,
napenda kuchukua nafasi hii kutoa pole kwa lusajo na familia yake kwa msiba mzito wa baba,Mungu na awape faraja sikuzote,Kutoka 14:14
Naomi pia mungu ampe nguvu baba,tuzidi kumwombea Zab 107:20
Mbarikiwe wote
Amy a.k.a Mrs.Victor

Lilian Nsyenge <lin...@hotmail.com> wrote:

Rise to the challenge for Sport Relief with Yahoo! for Good
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages