Wapendwa.

101 views
Skip to first unread message

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Feb 22, 2007, 1:27:28 PM2/22/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Wapendwa,
 
Nafurahi sana kusoma kutoka kwenu wote...  Namshukuru sana MUUMBA kwa afya na uzima anaotujalia kila siku.
 
Dhumuni la barua hii pepe ni kuwajulia hali wapendwa wangu wote...
 
Kweli kaka Braille ubarikiwe na mwenyezi MUNGU... akupe watoto mapacha... kama hutaki twins basi walau usikose triplets... hii idea ya haka kagroup inamake sense saaana... 
 
Nimekupata pia kuhusu idea ya kutoa album... hapo bila wenye sauti tamu wakina Mama Mwakapeje ( Subira) ,dada Lili, Shubi, album itakuwa shaky ikiingia sokoni si unaelewa tena... eeh bila besi ya Ras ndiyo kabisa tutakosa distributor wa hiyo kitu.... I hope  mnakubaliana na mimi   maana alikuwa hakosi tripu za kwaya na mchungaji Hafferman hahaha...
pia na mzee mwenyewe Amos kwanza lazima aambiwe atune hizo sauti..
 
Kumbe internet inafika mpwapwa? Maana lockermate naona alikuwa amekaa sana kimya... Unakumbuka marks za number (Simtala) ?? Maana zilikuwa zinarange sawasawa na zile namba za lockers mle darasani.... hahaha miss you dear tuwasiliane jamani...my neighbour is understanding
 
Neighbour,nisamehe bure tu mpenzi wangu... ila nitakupigia simu soon ni haya maisha na time difference...ila will give you a call soon...
 
La aziz Emma, nitakutafuta mama... siyo kidogo...!!
 
Mpendwa Mwenyekiti... the fact that you are always on the road lakini hukosi kudrop a line inafurahisha... mimi nakuombea sana kwa Muumba si unajua tena...ila nimemwelewa sana mjumbe dada Lili... esp. comment yake kuwa inawezekana unachangia sana katika kuongeza ugonjwa wa bonde la ufa???? mmh jamani lakini siku hizi kuna maneno na magonjwa mapya kila siku
 
Dada Lilian, asante kwa juhudi zako za kuongeza wanakondoo wengine.. will surely add them...
 
Mama Mwakapeje pole sana kwa shughuli ...Ubarikiwe...
 
Econ. Konga, good to read from you.... msalimie sana Mariam... aisee... ni siku nyingi sana sijamwona huyo dada....
 
My wii inakuwaje?? Nakumiss sana dear.. poleni sana na majukumu...
 
Mtindo, za masiku kidogo?? How is shule... Pole sana... 
 
Isyu inakuwaje mama? Mbona kimya?? Pole sana  na shule ila a line will put a smile on all of us... Madethe pia... come on girl....
 
Mmemtaja Axwesso yaani ... Yuko wapi huyo binadamu ?? Tafadhali msalimieni sana.
 
Hawa ndiyo kusema waungwana wengine hwamo kwenye haka kamtandao au??
 
Mamaa Safina.... well  of coz namuulizia na Fads mollel pia, Naomi Kawiche... Roselyn??? Sup people..
 
Nuya na Kibibi... nyie warembo nani amewaficha?? Washindwe kabisa...
 
Mushendwa,Stewart, Sikaona, Kweka David,Lukelo, Esupat, jamani yote tisa dada Judy... where u at mama ?? Edwin Kabwoto... upo ndugu yangu?? Hivi ndiyo kusema Muhimbili hamna mtandao mbona Dr. Mawalla uko kimya sana?? Give us some love man.
 
eeh yu wapi  , Fadhili Kilameli ( hope nimespell  surname vizuri)
 
Jamani nawapenda saaaaaaaaaaaaaaaaaana na MUNGU awabariki wote...
 
LETS KEEP IN TOUCH.


--
Jeremiah 29:11

For I know the plans I have for you, 'declares the LORD', plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future.

brai...@gmail.com

unread,
Feb 22, 2007, 1:54:14 PM2/22/07
to LJS classof 2000(o-level of 1997 and a-level -2000)
Dada Rhobi asante kwa mistari,nashukuru kwa changamoto yako, im
having a nice time reading from U and the rest of my people. Thanks,
may you have a good day

Mtindo Shilla

unread,
Feb 22, 2007, 5:35:26 PM2/22/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Abarikiwe aliyeanzisha masuala ya internet... utadhani tupo Junior...!! inapendeza sana wanadarasa. Rhobi mi nipo, shule inanikong'oli tu. vipi lakini mbona vodacom yako haipatikani?
Nawatakia kila la heri wote,
Mtindo

 

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Feb 22, 2007, 7:33:46 PM2/22/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Braille,
I enjoy reading from you too baba.. unakumbuka Mr.Mnguruta alivyokuwa anakata ile kona ya History and Geograghy 90 degrees.. Hivi crazy Pri yuko wapi? Coz Nakumbuka alivyo define EQUAL NO MIX tukiwa bado wageni in Economics class...
 
Mtindo... we acha tu mama...
I have misplaced my cellphone... so kwa sasa ni ngumu.... pounds zenyewe hazipatikani... sijui ni lini nitapata hela ya kununua nyingine...but u can call me on my my landline number 0121 244 5226...
Stay BLESSED.
 
Isyu,
Good to read from you...
Ubarikiwe.

 

Emma Chanim...

unread,
Feb 22, 2007, 10:22:43 PM2/22/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Rhobi...You do it best my dearest....good to read from you la azizi wangu...
na ninasubiri unitafute sio unasema tuu hapa...
wengine wote habarini jamani.....
take care

Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim


----Original Message Follows----
From: "Rhobi Sandra Mukami" <rhobi...@gmail.com>
Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Wapendwa.
Date: Thu, 22 Feb 2007 18:27:28 +0000

Wapendwa,

Nafurahi sana kusoma kutoka kwenu wote... Namshukuru sana MUUMBA kwa afya
na uzima anaotujalia kila siku.

Dhumuni la barua hii pepe ni kuwajulia hali wapendwa wangu wote...

Kweli kaka Braille ubarikiwe na mwenyezi MUNGU... akupe watoto mapacha...
kama hutaki twins basi walau usikose triplets... hii idea ya haka kagroup
inamake sense saaana...

Nimekupata pia kuhusu idea ya kutoa album... hapo bila wenye sauti tamu
wakina Mama Mwakapeje ( Subira) ,dada Lili, Shubi, album itakuwa shaky
ikiingia sokoni si unaelewa tena... eeh bila besi ya Ras ndiyo kabisa
tutakosa distributor wa hiyo kitu.... I hope mnakubaliana na mimi maana
alikuwa hakosi tripu za kwaya na mchungaji Hafferman hahaha...
pia na mzee mwenyewe Amos kwanza lazima aambiwe atune hizo sauti..

Kumbe internet inafika mpwapwa? Maana lockermate naona alikuwa amekaa sana
kimya... Unakumbuka marks za number (Simtala) ?? Maana zilikuwa zinarange
sawasawa na zile namba za lockers mle darasani.... hahaha miss you dear
tuwasiliane jamani...my neighbour is understanding

Neighbour,nisamehe bure tu mpenzi wangu... ila nitakupigia simu soon ni haya
maisha na time difference...ila will give you a call soon...

La aziz Emma, nitakutafuta mama... siyo kidogo...!!

Mpendwa Mwenyekiti... the fact that you are always on the road lakini hukosi
kudrop a line inafurahisha... mimi nakuombea sana kwa Muumba si unajua
tena...ila nimemwelewa sana mjumbe dada Lili... esp. comment yake kuwa
inawezekana unachangia sana katika kuongeza ugonjwa wa bonde la

ufa????* *mmh jamani

Lilian Nsyenge

unread,
Feb 23, 2007, 4:20:38 AM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com



Wapendwa katika Kristo,

Asante kwa wote mloandika na mnaoendelea kuandika.

Nawaleta kondoo wengine kama ifuatavyo

 

Mgendi Mariam

mamg...@yahoo.com

 

Gladys Jefta

gje...@yahoo.com

 

Lilian Minja

lilia...@hotmail.com

 

Resp. Martin

res...@yahoo.com

 

Mutente Abraham

abraham...@yahoo.co.uk

 

Nuya Makindara

nuya...@yahoo.com

 

Kibibi Makindara

kaymak...@yahoo.com

 

David Kweka

davi...@yahoo.co.uk


From:  "Mtindo Shilla" <mulo...@gmail.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Wapendwa.
Date:  Thu, 22 Feb 2007 22:35:26 +0000
<br




Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!

Lusajo Mwakoba

unread,
Feb 23, 2007, 8:37:51 AM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com

haha haaaaaaaaa.....rhobi umenikumbusha mambo
kibaooo!!!!!!!!! na kunifanya nicheke mpaka
nimewadisturb washikaji kwenye cafe..anyway i feel so
gud when i read from my ljs colleagues..napata faraja
sana.its a real 'steadfast love'kweli tumeunganishwa
na kituo cha bwana! mungu ana makusudi na darasa
hili...mapenzi yake na yatimizwe... AMEN!

wapendwa wanadarasa wote tuendelee kukumbukana,inatia
faraja sana! even though we are far apart i feel like
we are stil together, au sio baba askofu Amos!?

we rhobi mimi siko mpwapwa alaaaaaaahh...Lowasa akija
bungeni huwa anakuja hm kunipa hi...tehe tehe
teheeee...

otherwise i wish a good luck to everybody...stay
blessed..i love you all!!!!!!!!1



___________________________________________________________
The all-new Yahoo! Mail goes wherever you go - free your email address from your Internet provider. http://uk.docs.yahoo.com/nowyoucan.html

Pam C. Maeda

unread,
Feb 23, 2007, 9:13:49 AM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Dada Lilian,
 
Nashukuru kwa address za hao wanakondoo, wote wameshakuwa added tunasubiri kusikia kutoka kwao.
 
Weekend njema wote.

 

Mtindo Shilla

unread,
Feb 23, 2007, 9:36:10 AM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Nina ombi kwa Dada Lily, Pamela, Rhobi na Kaka Braille naomba mziupdate CV zenu, maana hii ni moja ya Workexperience... hongereni kwa kazi mnayoifanya..mbarikiwe.

Mobile: +447889749588

duah joselyne

unread,
Feb 23, 2007, 11:20:23 AM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Jamani wapendwa naamini wote wazima na mungu azidi kuwabariki..

Lilly mi nipo mama.. ntakucheck tu usipate shida .. but am proud of u ..
keep up with the good work..
Suby nilipata message yake sikuwa online mamama i hope u understand ..
lakini pole sana na mashughuli..

Braille that phone call men.. was kinda touchyyyyyy suprise . i loved it ..
thanks..

Neighbour hapo kwenye mama Safina aka Fads sipaelewi kabisaaaaaaaaaa..
umenigusaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Otherwise i love u guys.. peace out !

_________________________________________________________________
Don't just search. Find. Check out the new MSN Search!
http://search.msn.click-url.com/go/onm00200636ave/direct/01/

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Feb 23, 2007, 12:25:24 PM2/23/07
to LJSclas...@googlegroups.com
hahahaha
 
Mtindo, umenifurahisha saana will definately add the experience in my CV..
 
Emma mama, mbona umesound so mkali? Nitakupigia mama... Miss you la aziz..
 
Neighbour... you know i got nothing but love for you mama.... samahani sana kama kale kamstari kamestua adrenaline kwenye mwili wako mama... hahahaha ni katika kuwakumbuka wapendwa majina yao nikayakumbuka kwa pamoja..
 
Isyu, karibu hewani mama.. unaniona kwenye messenger gani? Last time nimechat online nadhani ilikuwa last year summer... sijachat siku nyingi sana... siwezi kukuchunia... mbona isyu????
 
Lockermate una utani na Lowassa? I just sent him text nimekusemea....nimesikia kuna homa ya bonde la ufa... halahala hizo nyama hapo town...
Dada Lili, ubarikiwe sana keep up the good work...
 
Mbarikiwe saaaana.

 
.

Abraham Mutente

unread,
Feb 24, 2007, 7:28:37 AM2/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Hellow,
 
Warembo na Gentlemen wa LJS 2000.
 
Mahali ni Pazuri Ndugu Wanapokaa, Wakipatana Vyema na Wakipendana.Upendo na Udumu Kati Yetu.
It is very true that we are far away from each other. In fact, we are very busy occupied with our daily activities.Every day We wake up very early and we go to sleep very late during the night,very tired. However, don't let all these keep us apart.
 
I always remember that beautiful environment of LJS, but to tell you the truth, without you there, IT DOESN'T FEEL THE SAME ANYMORE.
 
You are precious!!!!. Always remember this.
 
 NA        TUKIONANA      AWEPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.
 
 
 

 

duah joselyne <du...@hotmail.com> wrote:

New Yahoo! Mail is the ultimate force in competitive emailing. Find out more at the Yahoo! Mail Championships. Plus: play games and win prizes.

danstan kishaka

unread,
Feb 24, 2007, 10:01:50 AM2/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Hello everybody,its nice 2read frm all of u,am doin
fine a bit bizy bt that cant stop me frm sayin hi! Its
real gud readin frm
RHOBI,MUTENTE,RAS,BRAILLY,EMMA,DUAH,walter,TOM,LILIAN
NSYENGE,KONGA,Lilian il get intouch with u very
soon,other guyz jst wana wish u z best of lucky in ur
daily schedules,KABWOTO wishes z same 2u n may get in
touch with us very soon,just be bizy guys coz life is
1big party wen ur stil young,my regards 2everybody

--- LJSclas...@googlegroups.com

> ---------------------------------


> New Yahoo! Mail is the ultimate force in
competitive emailing. Find out more at the Yahoo! Mail
Championships. Plus: play games and win prizes.
>
>


____________________________________________________________________________________
Cheap talk?
Check out Yahoo! Messenger's low PC-to-Phone call rates.
http://voice.yahoo.com

Lilian Nsyenge

unread,
Feb 24, 2007, 11:03:55 AM2/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Nilipoona jina lako nikakumbuka choir yenu ya huruma na wimbo wenu wa Africa ukizingatia leo jmosi siku ya fellowship nikamiss kweli LJS. karibu sana hewani mtumishi. Najua David Kweka ataandika soon.

Wanadarasa nimefurahi kusoma toka kwenu.

Katibu usijali nasubiri. nitacheck nawe soon nami nimetingwa pia. lakini yote mema.

Duah mama, asante sifa kwa Yesu.

Mtindo usicheke sana mwenyekiti wa nidhamu atakuadhibu.

Wee Isyu yale mazoezi kama ya 'laundry room' unaendelea nayo au?hahahaha!!!

Kaka Bern nimeona daladala imeandikwa KONGA FAMILY sijui yenu? bado kidogo niingie kisha niwaambie mi staff, mh nikaogopa.

Dada Pam Mungu akubariki namleta kondoo mwingine hapa

Naomi Kawiche            

nkaw...@yahoo.com

Kesho jumapili ibada jamani!

Mungu awabariki.

 



 


From:  Abraham Mutente <abraham...@yahoo.co.uk>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Miss you all.
Date:  Sat, 24 Feb 2007 12:28:37 +0000 (GMT)


Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

braille

unread,
Feb 25, 2007, 11:33:29 PM2/25/07
to LJSclas...@googlegroups.com
MR. Abraham Mutente nimekupata kwa wingi na ufasaha kabisa, Yaani nimemalizia fungu  la winbo Mungu awenanyi Daima............
NAaaaaaa tukionanaaaaaaa Aweeeee pooooo Natuooooonane Kwakeeee
Mungu awenyiiiiiii Daima.
 
Nifuraha tuuu.
     

walter mushi

unread,
Feb 26, 2007, 2:35:27 AM2/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com


Rhobi yaani umenikumbusha mbali sana kuhusu Mr Mgurutta duh ile kona ya history and georgraphy coner alikua akiikata na mia.
 
jamani hamjambo wote am so happy to hear from you all its so good to be in touch like this
wapendwa wote nawatakia kila lakheri na Mungu awabariki sana na awatie nguvu.
 
kaka beny vipi upo mjini hapa hatuonani mkuu wangu?
 
mzee wa kizunguzungu upo?


Need Mail bonding?
Go to the Yahoo! Mail Q&A for great tips from Yahoo! Answers users.

Ras Frah

unread,
Feb 26, 2007, 3:44:30 AM2/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
wasaalam wote ktk jina la muumba....!
natumaini wote wazima na mwaendelea vizuri na
maisha...
Kweli Rhobi hujakosea.... Besi hapa ndio
limefika...Huku wahindi wananiita Van diesel(besi)..
au big B- A.batchman.... Ljs waliniminyia tuu wakasema
sauti yangu ipo "Flati" sasa sijui ili uimbe kwaya
sauti inatakiwa kuwa na "mabonde" kama barabara nzuri
ni iliyo flati kwanini sauti iliyo flati isiye ndio
nzuri...? "walininyanyapaa"
Ila rhobi majina umeyakamata.. au ulikuwa na list ya
majina ya ile siku ya graduation-ljs (hata mie home
ninayo), ila hongera..
Dada Lily huku sio tuu kwamba naenda kanisani... ila
napanda madhabahuni... "quiz za mzungu zinasaidia..."
kuna mistari nimeishika wahindi wananiona mie nabii
kanisani wananifananisha na suleimani... siunajua
paliko na kondoo hata mbwa mwitu asiye na meno bado ni
mfalme... au penye vipofu, mwenye chongo lazima awe
mfalme... "thanx God hakuna mwana LJS huku taito yangu
ingeshuka...! ila neno lenya matumaini wanalipata..
Sema kaka braille.... niambie miji ya watu-Tx(hou)
inasemaje...? nimemiss mji huo kaka, kaka wanasema
historia ina tabia ya kujirudia... wanadai hata
muingereza kuna siku atarudi tanzania kuja
kutazama/kutawala koloni lake tena... kaka kwanini na
mie nisije siku moja Houston kuucheki mji uliokuwaga
wangu kwa muda..... hahahaaaa... nimeumiss kinoma kaka
kaka sijapotea matatizo mingi.. si unajua tena huku
india, maisha ya kihindi "yanabana" kaka mtoto wa
kiume hupumui...usiku mchana busy, "shule" ngumu
kaka...
Ila bro wape hi bro/sis wote ndani ya H-town,
nimewamiss kinoma...
peace & love
Vipi nimesahau tena...nani alikuwa anaomba number ya
Tusajigwe isaga mwalukasa(sorry nimesahau lipi
linatangulia..isaga au mwalukasa)- kama bado hujaipata
wasiliana na mie ninayo ntakupatia...tusa bibie majina
yako yote matatu ya "jadi" kweli si mchezo hongera kwa
kushikilia asili ya mtanzania...
bro & sis ngoja niwakimbie kidogo... majukumu mengi
wakuu...
peace & Love

> ufa????* *mmh jamani


____________________________________________________________________________________
Looking for earth-friendly autos?
Browse Top Cars by "Green Rating" at Yahoo! Autos' Green Center.
http://autos.yahoo.com/green_center/

Ras Frah

unread,
Feb 26, 2007, 4:11:14 AM2/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
King......
Karibu kaka ktk mtandao wa wana "LJS-2000"
hahahaaa
Ila huu ni urafiki wa mashaka.... mzee wa "exile"
tunakukaribisha sie hatuna hiyana...tumekulia
madhabahuni..bible mdio ilikuwa novel yetu...
Ila wapendwa tusisahau GQ aliwahi kusema usione chui
kalowa ukadhani paka ukamkaribisha ktk kundi la wana
kondoo...! "atawala"
Vipi mambo ya Hospital ila kaka hongera kwa kuwa
"DOCTA" (hata valentino rossi ni doctor).. mzee
niliona umeandika kuwa umetoka ktk kuongeza idadi ya
watu ktk population ya tanzania(Tungo tata hii-nina B
ya kiswahili), mtoto wako au wa mtu umetoka kumsaidia
ktk kumzalisha hospitali...! ila kaka hongera kwa kazi
nzuri ya wito... ila kaka tatizo ni kwamba jee baada
ya kumzalisha huyo mtoto atasurvive kwa muda gani...
iseje kuwa kama brian... muhimbili wanalia..kila
anayezalishwa nae baada ya wiki ni kilio... ila
nakuaminia kaka....
kaka pilipili nala kama pipi... ukiwa india pilipili
hadi ktk ishklimu-ice cream... kaka kuoa uhindini
faida tuu..(take 1, get 1 free) unachukua
wife..unapewa na hahari ya nguvu juu kaka....! mtoto
wa kiume huku blue diamond, nini tena unataka kaka...
Kina dada/kaka nimewamiss kinoma...
respikius bagabambiii(baba) kaka upo karibu na
mitandao angusha hata kamstari... pie naomba number ya
lugajo(rum mate) kama unayo
peace & love



____________________________________________________________________________________
Get your own web address.
Have a HUGE year through Yahoo! Small Business.
http://smallbusiness.yahoo.com/domains/?p=BESTDEAL

Lilian Nsyenge

unread,
Feb 27, 2007, 3:14:41 AM2/27/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Kaka Frank,

Hongera kwa kufikia level ya kutoa unabii na kupanda madhabahuni bila shaka na kuongoza kwaya huko uhindini. Hakika roho ya kinabii huwatii manabii.Sipati picha ukiwa madhabahuni lakini katika yote ninamshukuru Mungu kwa ajli yako naamini amefanya kitu na si bure uyasemayo. Umishenari si kwa wafungwa tu kule wami vijana au kingolwira hata huko uliko tumika mtumishi wa Bwana nawe utalipwa usipozimia moyo.Kumbuka ni siku za mwisho hizi ajidhaniaye amesimama aangalie asije akaanguka unapowatia watu moyo jikumbuke pia Mungu akutie nguvu usimame katika kweli yake. Neno la Mungu halimrudii bure ni lazima lifanye kazi yake. 

Shukrani za dhati zimwendee Mch. Herb kwa kazi njema aliyokubali toka kwa Muumba kutulea katika mazingira ya kujua NENO. Alipanda mbegu tunayoiona sasa ikichipuka na kuzaa matunda mema.

Mungu akubariki kaka. Nabii hakosi hesshima isipokuwa nyumbani kwake. Simama na Mungu


Jefta Gladys

unread,
Feb 27, 2007, 8:11:27 AM2/27/07
to LJSclas...@googlegroups.com
heeeeeeee!!jamani siamini macho yangu hiv mpo nyie binadamu hasa mtindo,braille,mutentee,alpha,dua!!!! hope ur doing  gud popte pale mlipo.
thanx to lily jamani kwa kutuunganisha mungu akuzidishie.
mbarikiwe sana

Mtindo Shilla <mulo...@gmail.com> wrote:

TV dinner still cooling?
Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.

Mtindo Shilla

unread,
Feb 27, 2007, 11:49:03 AM2/27/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Habarini wanadarasa wote, kwa kusoma hizi mails tu najua wote wazima... ambao wagonjwa poleni.. mtapona tu, bwana Yesu atawaponya kupitia watumishi wake kama Kina Ras Frah hivi.. 
Glady mamaaa mi nipo, macho yako hayadanganyi, maisha tu ndio maana hatuonani.. kila la heri wote jamani, Mtindo
 
Walsall,
WS3 1HH
Mobile: +447889749588

duah joselyne

unread,
Feb 28, 2007, 12:45:39 AM2/28/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Gladyssssssssss yani nimekumiss ile kichizi mshikaji wangu . uko wapi wewe ?
umewekwa ndani nini.. well its so so good to hear frm u.. Mtindoooooooooooo
i hear u still beautifulll............

Ms Duah Joselyne.

>---------------------------------

>---------------------------------


> Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!
>
>Mobile: +447889749588
>
>
>
>
>
>
>
>

>---------------------------------


>TV dinner still cooling?
>Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.
>>

_________________________________________________________________
FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar - get it now!
http://toolbar.msn.click-url.com/go/onm00200415ave/direct/01/

Kibibi Makindara

unread,
Feb 28, 2007, 4:05:49 AM2/28/07
to LJSclas...@googlegroups.com
HI!
Sie hatujambo kabisa wala hatujajificha.
We are happy 2hear from you all. God bless you all.


Kibibi Makindara

Cell (255) 0 744 884 356



____________________________________________________________________________________
8:00? 8:25? 8:40? Find a flick in no time
with the Yahoo! Search movie showtime shortcut.
http://tools.search.yahoo.com/shortcuts/#news

anna woiso

unread,
Feb 28, 2007, 8:02:35 AM2/28/07
to LJSclas...@googlegroups.com
halloooooooo dears, i hope wote mu wazima. Kweli mungu ni mkubwa maana ni km ndoto wote kuunganika tena. i hope this will go forever,
Mungu awabariki be a good guys.

duah joselyne <du...@hotmail.com> wrote:

Gladyssssssssss yani nimekumiss ile kichizi mshikaji wangu . uko wapi wewe ?
umewekwa ndani nini.. well its so so good to hear frm u.. Mtindoooooooooooo
i hear u still beautifulll............



Ms Duah Joselyne.





>From: Jefta Gladys
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!
>Date: Tue, 27 Feb 2007 05:11:27 -0800 (PST)
>
>heeeeeeee!!jamani siamini macho yangu hiv mpo nyie binadamu hasa
>mtindo,braille,mutentee,alpha,dua!!!! hope ur doing gud popte pale mlipo.
> thanx to lily jamani kwa kutuunganisha mungu akuzidishie.
> mbarikiwe sana
>
>Mtindo Shilla wrote:
> Nina ombi kwa Dada Lily, Pamela, Rhobi na Kaka Braille naomba mziupdate
>CV zenu, maana hii ni moja ya Workexperience... hongereni kwa kazi
>mnayoifanya..mbarikiwe.
>
> On 23/02/07, Pam C. Maeda wrote: Dada
>---------------------------------
> Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!
>
>Mobile: +447889749588
>
>
>
>
>
>
>
>
>---------------------------------
>TV dinner still cooling?
>Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.
>>

_________________________________________________________________
FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar - get it now!
http://toolbar.msn.click-url.com/go/onm00200415ave/direct/01/



Want to start your own business? Learn how on Yahoo! Small Business.

alpha kinghomella

unread,
Feb 28, 2007, 11:04:59 AM2/28/07
to LJSclas...@googlegroups.com
haya sasa ndio hivyo asa kama mtu ameamua kula pilipili za kihindi mimi ntafanyaje jamani nisaidieni tumtoe ndugu yetu frak jamani oooh, uinjilist na pilipili jamani tutampoteza hivihivi....
glady naomba uwe secretary ktk kamati hii......
 
najua dada judy huku mwanza atakuwa mjumbe wa kudumu na lili-Tina minja hawa niko nao hawataniangusha katika hilo...
 
braille na hiii kwaresma naomba tufunge pamoja kumsaidia huyu ndugu jamani, najua kabisa Ntulo na familiar yake hatoacha kupiga goti ktk hili!
 
GQ tunakutegemea kama mwanasheria uliyebobea ingawa uko chuoni tutakuconsult tu mtu wangu...
Pam naomba usiache kumtumia ujumbe hata kwa kupitia simu zake zooote...
 
the great family ever scattered all over the world .... nawasalimu ktk yeye atutiaye nguvu haswa ktk kipindi hiki cha kutafakari maisha yake na ukombozi wetu na kutufanya tuwe Huru yaani HURU kwelikweli... DUA upo hapo lakini? namaanisha Yesu Kristo...
 
unajua bwana mtoto wa mlawi ni mlawi tu akipotea ataitwa mwana wa ASAF wale waliokuwa wakipiga vinubi mbele ya sanduku la agano lilipokuwa likisafiri na wana waIsraeli kuelekea nchi ya maziwa na asali....
 
pple i love you all  "God bless you abundantly and exceedingly"
 
miss you all
 
king

Lilian Nsyenge

unread,
Feb 28, 2007, 11:36:27 AM2/28/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Watumishi wa Mungu aliye hai!

Ninawasalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

Poleni na majukumu ya siku kwa siku.

Ni furaha kusikia toka kwa Gladys na Anna Woisso bila shaka

wanadarasa wengine wataungana nami kuimba wimbo wa

NA TUKIONANA AWEPO

NA TUONANE KWAKE...... MUNGU AWE NASI DAIMA!!!

Karribuni katika ulimwengu huu.

Shukrani ziwaendee wahusika wote wanaokubali majukumu ya kutuweka pamoja. Your work is not in vain. Wote mnaoandika Mungu awabariki. wapo wanaopona wakisoma michapo yenu.

Ninawatangazia kwamba tutakutana jumapili tarehe 3/3/2007 pale Hillpark kwa ajili ya kutathmini maendeleo ya maandalizi ya harusi ys Dada Subira kuanzia saa tisa alasiri. Please jitahidi uwepo na tujulishane na kukumbushana. Ni siku ya kuwasilisha mchango wako pia kama ulishindwa leo. WADADA msikose tutakuwa na issue inayotuhusu sana. kwa kweli itakuwa njema, hata wale waliokuwa addes hivi karibuni nafikiri watakuwepo. Tuombeane katika hilo.

Mungu awabariki.


From:  anna woiso <anna...@yahoo.com>

Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!
Date:  Wed, 28 Feb 2007 05:02:35 -0800 (PST)
><BR

>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>---------------------------------
> Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!
>
>Mobile: +447889749588
>
>
>
>
>
>
>
>
>---------------------------------
>TV dinner still cooling?
>Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.
>>

_________________________________________________________________
FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar - get it now!
http://toolbar.msn.click-url.com/go/onm00200415ave/direct/01/



Want to start your own business? Learn how on Yahoo! Small Business.</a


Ms. Maeda

unread,
Feb 28, 2007, 3:55:34 PM2/28/07
to LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)
Dada Lily na wengine mtakaohudhuria harusi ya dada yetu mpendwa Subira
msisahau kutuleta picha ya matukio yote kwa sisi ambao hatutakuwepo.
Kila la kheri kwenye maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya siku
yenyewe.

Wiki njema na kazi njema.

On Feb 28, 10:36 am, "Lilian Nsyenge" <lin...@hotmail.com> wrote:
> Watumishi wa Mungu aliye hai!
>
>
>
> Ninawasalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
>
>
>
> Poleni na majukumu ya siku kwa siku.
>
>
>
> Ni furaha kusikia toka kwa Gladys na Anna Woisso bila shaka
>
>
>
> wanadarasa wengine wataungana nami kuimba wimbo wa
>
>
>
> NA TUKIONANA AWEPO
>
>
>
> NA TUONANE KWAKE...... MUNGU AWE NASI DAIMA!!!
>
>
>
> Karribuni katika ulimwengu huu.
>
>
>
> Shukrani ziwaendee wahusika wote wanaokubali majukumu ya kutuweka pamoja. Your work is not in vain. Wote mnaoandika Mungu awabariki. wapo wanaopona wakisoma michapo yenu.
>
>
>
> Ninawatangazia kwamba tutakutana jumapili tarehe 3/3/2007 pale Hillpark kwa ajili ya kutathmini maendeleo ya maandalizi ya harusi ys Dada Subira kuanzia saa tisa alasiri. Please jitahidi uwepo na tujulishane na kukumbushana. Ni siku ya kuwasilisha mchango wako pia kama ulishindwa leo. WADADA msikose tutakuwa na issue inayotuhusu sana. kwa kweli itakuwa njema, hata wale waliokuwa addes hivi karibuni nafikiri watakuwepo. Tuombeane katika hilo.
>
>
>
> Mungu awabariki.
>
>
>
>
>
>
>

> From: anna woiso <anna...@yahoo.com>
> Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
> To: LJSclas...@googlegroups.com
> Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!

> Date: Wed, 28 Feb 2007 05:02:35 -0800 (PST)halloooooooo dears, i hope wote mu wazima. Kweli mungu ni mkubwa maana ni km ndoto wote kuunganika tena. i hope this will go forever,
>
> Mungu awabariki be a good guys.duah joselyne <du...@hotmail.com>wrote:

> Want to start your own business? Learn how onYahoo! Small Business.</a
>
>
>

Fadhili Mollel

unread,
Mar 1, 2007, 12:22:01 AM3/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com

wapendwa katika kristo nafurahi kusoma kutoka kwenu woote
Kweli mungu ni mwema

Rhobi mzima Bi Mkubwa ivi locker yetu ilikua namba ngapi tena......

Braille heshima kaka sina lakuongeza maana kuna siku nilipata SMS afu
nika data

Frank endeleza injili ya bwana maana kipaji unacho

Dada Lily nitakuja kwenye kikao na fain juu........

Emily ume ntosa sana kwanini

Subira, Ema, Mtindo,Duah na wakosa kweli Dada zangu
Muntete, Lusajo respect wakubwa wakazi
na wanadarasa woote

_________________________________________________________________
Express yourself instantly with MSN Messenger! Download today it's FREE!
http://messenger.msn.click-url.com/go/onm00200471ave/direct/01/

Emma Chanim...

unread,
Mar 1, 2007, 2:48:30 AM3/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
i am so glad you wrote ....its been such a long time...
mzima wewe jamani?
take care dear

Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim


----Original Message Follows----
From: "Fadhili Mollel" <fadhil...@hotmail.com>


Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: Wapendwa.

Date: Thu, 01 Mar 2007 05:22:01 +0000

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Mar 1, 2007, 6:22:23 AM3/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Wapendwa nawasalimu wote
 
Fads... its great reading from you.... Unakumbuka marks yangu ya mtihani wa mock wa number??Ndiyo ilikuwa number ya locker hahahahahah
 
Ras... upo ?? Ni hao warembo wamekuficha??
 
Anna... Ndene.... Karibuni sana
 
MUNGU AWABARIKI. 

Lilian Nsyenge

unread,
Mar 1, 2007, 7:03:26 AM3/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Wanadarasa, nisameheni bure!!!!

Nilichapia tarehe ya kikao. Ni JUMAPILI Tarehe 4th Feb. 07  saa tisa alasiri. na siyo 3rd Feb ambayo itakuwa Jmosi.. Majukumu mengi kweli mpaka nachapia. nafikiri nilichanganya muda 3pm nikadhani nimeandika tarehe.ooooh mbaya kwelikweli.

Fadhili usijali baba karibu jisikie nyumbani. Wengine wameshatoa udhuru wa kutoweza fika lakini yote mema tunaamini wako nasi kwa maombi.

dada Pam na wengine wote asante kwa kutuombea naamini itakuwa njema kweli.

Wakati mzuri!



 


From:  "Ms. Maeda" <cathy...@gmail.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  "LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)" <LJSclas...@googlegroups.com>
Subject:  [LJSclassof2000] Re: TUONANE HILLPARK MARCH 3rd 07
Date:  Wed, 28 Feb 2007 20:55:34 -0000

braille

unread,
Mar 1, 2007, 11:49:29 PM3/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Waungwana wana wa LJS class of 2000.
   I'm  happy to read from all of you,  trust me when I say it makes things better on my day to day struggles. After a day of few words and zero laughter's  I just know I'm blessed to have and to be a member of this class as I smile and lough after reading from you all.
   I know this unit is growing strong and I thank you all for keeping it real and alive.
      We are all we got
 May God take care of you.
 
 
Baada ya kuweka hayo wazi, naomba Amosi atuambie ukimya huu maana yake nini? pia Bwana Primo Busy imebadili jina nakua Moshi? Kuna mtu anaitwa Mawala B, je ni kweli yuko busy kuliko sie wote? Dango nae naona katususa.
   Kaka Fadhili aka Fads kama wakuitavyo warembo...., nakushukuru kwa lines, wajulishe  na majirani basi yakheee tunawasalimu na tungependa kuwasikia ...
   Momu, Ress na wangine sina lakusema kimya chenu ni pigo kubwa....
Gladis... Nashukuru, tukopamoja nguvu nyingiiii, na wewe mfikishie jirani habari.
  Gigwa naona aamshwe maana usafi  umegoma bwalo na deo yuko nje ya kitua kwa swala la kikazi....(familia) ....  Dada mkuu nasikia atakua anawakilisha kitua mjini kiukwata na amosi na mwandish hapa wako na mhubiri frank umasaini.(.Uhindini)
    Mutu naafikishie ujumbe Lukelo Matibwi mwambie ni kipindi cha mtenzi.
                Asanteni
Kabla sijasahau Arooo kipindi cha Chem kimeahirishwa leo mwalimu yuko zamu kwahiyo mjisomee. Sasa hapo mtafuteni Kaboto kupitia kwa Kishaka ... waambieni Mr Maro yuko bwalo .....
 
 

Mtindo Shilla

unread,
Mar 2, 2007, 4:26:16 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Helloo Wanadarasa,
Ni furaha kweli kusikia kutoka kwenu wote, Dada lilly na wanadarasa wengine asanteni kwa kutuwakilisha kwenye vikao vya Subira, Mbarikiwe sana na Bwana Yesu.
Nawatakia mema wote, Mungu wangu ninayemwamini awabariki, :-) Mtindo


 
WS3 1HH
Mobile: +447889749588

emily saivoiye

unread,
Mar 2, 2007, 5:10:59 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com

heey kibibi..nice to hear from you,,,,

amy mambo?...duuh si mchezo...maaanake huo mchuno,,,anyway  nimekumiss....

well braille,naomba umuongezee huyu kondoo (emman...@hotmail.com) kwenye hili kundi,na anawasalimu wanadarasa wote

take care.




"A candle loses nothing by lighting another candle !


amymc...@yahoo.co.uk

unread,
Mar 2, 2007, 5:23:39 AM3/2/07
to LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)
oyaa saivoiye mi sijauchuna bwana mtu wangu!kama mnakuona vile sa5
usiku unakuja rum kwetu kuomba mzoga wakati huo safina anachemsha maji
ya chai,inhii inhiii,ahhhhhhhhhhhh shule bwana ila sio wewe
pekeyako.mizoga imetusave au mnabisha wana seminary kama hamuamini
mulizeni mugendi.najua nawachona wengi nimemtumia saivoiye kuficha
ukali wa maneno.tehe tehe pamela,mzima wewe?
jaman nawapenda wote
amy

On Mar 2, 1:10 pm, "emily saivoiye" <sene...@hotmail.com> wrote:
> heey kibibi..nice to hear from you,,,,
>
>
>
> amy mambo?...duuh si mchezo...maaanake huo mchuno,,,anyway nimekumiss....
>
>
>
> well braille,naomba umuongezee huyu kondoo (emman...@hotmail.com) kwenye hili kundi,na anawasalimu wanadarasa wote
>
>
>
> take care.
>

> "A candle loses nothing by lighting another candle!Don't just search. Find.MSN SearchCheck out the new MSN Search!

emily saivoiye

unread,
Mar 2, 2007, 5:30:17 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com

hahhahahah..amy hiyo kali sasa kwani nilikuwa nakuja kuomba au kuchukua kilichochangu....maana wewe si ndio ulikuwa unatubebea mizoga wanabweni wote ...

anyway umenichekesha kweli na story za seminary yaani si utani nimemiss makandeee... 




"A candle loses nothing by lighting another candle !


FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar MSN Toolbar Get it now!

amymc...@yahoo.co.uk

unread,
Mar 2, 2007, 5:35:22 AM3/2/07
to LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)
mambo vipi dada lily,pole na majukumu ya kila siku,asante kwa taarifa
ya kikao lakini bahati mbaya sitaweza kuhudhuria nna uwezekano wa
kusafiri.mambo lakini?Mungu awasimamie mkamilishe mambo salama
nisiposafiri ntakuja.

amy
/

On Mar 1, 3:03 pm, "Lilian Nsyenge" <lin...@hotmail.com> wrote:
> Wanadarasa, nisameheni bure!!!!
>
>
>
> Nilichapia tarehe ya kikao. Ni JUMAPILI Tarehe 4th Feb. 07 saa tisa alasiri. na siyo 3rd Feb ambayo itakuwa Jmosi.. Majukumu mengi kweli mpaka nachapia. nafikiri nilichanganya muda 3pm nikadhani nimeandika tarehe.ooooh mbaya kwelikweli.
>
>
>
> Fadhili usijali baba karibu jisikie nyumbani. Wengine wameshatoa udhuru wa kutoweza fika lakini yote mema tunaamini wako nasi kwa maombi.
>
>
>
> dada Pam na wengine wote asante kwa kutuombea naamini itakuwa njema kweli.
>
>
>
> Wakati mzuri!
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>

> ...
>
> read more »

Lusajo Mwakoba

unread,
Mar 2, 2007, 9:05:00 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com

kwa kweli inapendeza sana wanadarasa kama tutaendelea
kuwasiliana...siwezi kuwaonyesha jinsi gani
nafurahi,ila nawahakikishieni kuwa tupo pamoja katika
sala...one love guyz....

Fadhili mollel najaribu kila mara kukutafuta kwenye
simu lakini sikupati vp umechange # Au?

kwa faida ya wanadarasa wengine pia,nimebadili namba
yangu ya simu.the new one is 0773533733.lets kp in
touch dear brothers & sisters...i love you all!!!!!!!

Lusajo.



___________________________________________________________
Copy addresses and emails from any email account to Yahoo! Mail - quick, easy and free. http://uk.docs.yahoo.com/trueswitch2.html

Jefta Gladys

unread,
Mar 2, 2007, 9:17:29 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
jamani dua nimekumiss ile mbaya esp baby face yako nadhani sasa hiv imezid  mi nipo dar bwana wala sijawekwa ndani bado sanaa hahahaaa !!
eheee tell me umenenepa au bado miss vilevile!anywayz hope ur doing gud mpenzi.
all the best


duah joselyne <du...@hotmail.com> wrote:

Gladyssssssssss yani nimekumiss ile kichizi mshikaji wangu . uko wapi wewe ?
umewekwa ndani nini.. well its so so good to hear frm u.. Mtindoooooooooooo
i hear u still beautifulll............



Ms Duah Joselyne.





>From: Jefta Gladys
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!
>Date: Tue, 27 Feb 2007 05:11:27 -0800 (PST)
>
>heeeeeeee!!jamani siamini macho yangu hiv mpo nyie binadamu hasa
>mtindo,braille,mutentee,alpha,dua!!!! hope ur doing gud popte pale mlipo.
> thanx to lily jamani kwa kutuunganisha mungu akuzidishie.
> mbarikiwe sana
>
>Mtindo Shilla wrote:
> Nina ombi kwa Dada Lily, Pamela, Rhobi na Kaka Braille naomba mziupdate
>CV zenu, maana hii ni moja ya Workexperience... hongereni kwa kazi
>mnayoifanya..mbarikiwe.
>
> On 23/02/07, Pam C. Maeda wrote: Dada
>---------------------------------
> Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!
>
>Mobile: +447889749588
>
>
>
>
>
>
>
>
>---------------------------------
>TV dinner still cooling?
>Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.
>>

_________________________________________________________________
FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar - get it now!
http://toolbar.msn.click-url.com/go/onm00200415ave/direct/01/



Never Miss an Email
Stay connected with Yahoo! Mail on your mobile. Get started!

Jefta Gladys

unread,
Mar 2, 2007, 9:23:05 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
heeeeeeeee!!jamani kibib mzima habari za masiku tele?

Kibibi Makindara <kaymak...@yahoo.com> wrote:

HI!
Sie hatujambo kabisa wala hatujajificha.
We are happy 2hear from you all. God bless you all.
> >---------------------------------
> > Don't just search. Find. MSN Search Check out
> the new MSN Search!
> >
> >Mobile: +447889749588
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >---------------------------------
> >TV dinner still cooling?
> >Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.
> >>
>
>
_________________________________________________________________
> FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar - get
> it now!
>
http://toolbar.msn.click-url.com/go/onm00200415ave/direct/01/
>
>
>
>
>


Kibibi Makindara

Cell (255) 0 744 884 356



____________________________________________________________________________________
8:00? 8:25? 8:40? Find a flick in no time
with the Yahoo! Search movie showtime shortcut.
http://tools.search.yahoo.com/shortcuts/#news

Jefta Gladys

unread,
Mar 2, 2007, 9:25:27 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
 wewe frank!!! kwanza hujambo hiv huo unabii umeutoa wapi lakini? au una mashetani ya kihindi siku hiz kwakweli sijakuelewa bado.


Ras Frah <ras_...@yahoo.com> wrote:

Jefta Gladys

unread,
Mar 2, 2007, 9:36:18 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
amy hujambo? vip mwanamke hatuonani eng mwenzangu hata board sikuon au hauko mjin hapa.kip in tachn jamani
stay blessed

amymc...@yahoo.co.uk wrote:

oyaa saivoiye mi sijauchuna bwana mtu wangu!kama mnakuona vile sa5
usiku unakuja rum kwetu kuomba mzoga wakati huo safina anachemsha maji
ya chai,inhii inhiii,ahhhhhhhhhhhh shule bwana ila sio wewe
pekeyako.mizoga imetusave au mnabisha wana seminary kama hamuamini
mulizeni mugendi.najua nawachona wengi nimemtumia saivoiye kuficha
ukali wa maneno.tehe tehe pamela,mzima wewe?
jaman nawapenda wote
amy

On Mar 2, 1:10 pm, "emily saivoiye" wrote:
> heey kibibi..nice to hear from you,,,,
>
>
>
> amy mambo?...duuh si mchezo...maaanake huo mchuno,,,anyway nimekumiss....
>
>
>
> well braille,naomba umuongezee huyu kondoo (emman...@hotmail.com) kwenye hili kundi,na anawasalimu wanadarasa wote
>
>
>
> take care.
>
> "A candle loses nothing by lighting another candle!Don't just search. Find.MSN SearchCheck out the new MSN Search!



Don't get soaked. Take a quick peak at the forecast
with theYahoo! Search weather shortcut.

Jefta Gladys

unread,
Mar 2, 2007, 9:37:56 AM3/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
hujambo mmasai??mbona huonekani kijana!!

Fadhili Mollel <fadhil...@hotmail.com> wrote:

Have a burning question? Go to Yahoo! Answers and get answers from real people who know.

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Mar 3, 2007, 7:37:02 AM3/3/07
to LJSclas...@googlegroups.com
 
Naam..rabeka baba mwenyekiti... pole na mihangaiko mpenzi... nakuombea sana kwa MUNGU ... mambo yetu yawe mazuri walau watoto wetu nao waende kusoma Academy
Naona mambo yako mazuri tu, chondechonde baba uwe macho na hiyo homa ya bonde la ufa..Huyo David Diallo, Is he the one known as David Nyalla?? Mpe Salams na hongera nyingi.
 
Kibibi.. za siku mingi?? jamani mmepotea sana... pacha vp?? Mpe hi sana.
 
Emily, MUNGU wetu mwema anatupigania... tupo tu na dada yetu.. outing yetu kwenda kanisani..
 
Braille, sorry i missed your call... nimepata vm will get back to you soooooon..Miss you BIG
 
Ras.. salamu nyingi zikufikie hapo ulipo... Endleza uanaseminari..
 
Dada Lily, na wapendwa wengine ambao mtatuwakilisha kwenye kikao... MUNGU awabariki saaaana.
 
Ndene... umepotea best.... any updates? Still sweet sixteen ?? 
 
Neighbour...!!!!! Hujambo mama... usininunie mpenzi najua kosa langu... lakini nakukosa ...
 
Sasa Amy, kuna watu kibao humu ndani wako kimya... mbona hawajauliziwa?? Ni nanilii tu... hahahaha...
 
Isyu, pole na shule mama... tafadhali naomba namba yako...
 
Bibi harusi, pole na mihangaiko... tunakuombea kwa MUNGU...
 
Kina Lukelo, Respikias... Brighton... Manase ... Anna Joyce ... Mko wapi ??
 
Weekend njema wapendwa.

bernard konga

unread,
Mar 5, 2007, 12:16:07 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
....Siyo kidogo mama mwenyekigoda....
 
.....mama mwenyekiti,, Muombee na mtafaniukiwa tu kwa mwendo huu maana jamaa hatulii kama alikula miguu ya kuku na kongolo kwa sana, u know what, this is the third time kila nikija Arusha hapatikani yuko nairobi tu....Baba mwenyekiti this is serious now nikiwa kama mtumishi ndani ya sekta ya Afya inabidi nifuatilie kwa karibu nyendo zako manake usije ukawa una mkataba na hawa jamaa wa kutusambazia rift valley fever...hahahahahahahaha
 
In short wajumbe nalalamika kwa kuwa niko arusha and among watu niliotegemea kuwa wa kwanza kuonana nao was baba Mwenyekiti, lakini ndio hivo tena nimebuma ukirudi nitafute mkuu nipo kwa wiki nzima....
 
Dada Lili pamoja na uongozi mzima wa kamati ya dada yetu mpendwa Subira sorry kwa kuto attend jana nilikuwa safarini lakini nipo nanyi kwa lolote lililoamuriwa......
 
Kaka Walter upo? unanitenga mtu wangu.......
 
Wengineo siku njema na Mungu azidi kuwa nanyi
 
Tchaaao


Rhobi Sandra Mukami <rhobi...@gmail.com> wrote:

Sucker-punch spam with award-winning protection.
Try the free Yahoo! Mail Beta.

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Mar 5, 2007, 7:00:03 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
 
Moja kwa moja shout out kwa baba mwenyekiti... Pole na kazi na majukumu...Ndiyo maisha mpenzi... Nimepoteza simu Tom we acha tu ... samahani sana.. will let u know as soon as nikipata nyingine...Thanks for checking on me...
 
Mchumi wetu Kongajr, sasa naona umeamua kunichokoza mimi personally, mambo ya kumsema wangu wa moyo hatulii kama alikula miguu ya kuku na kongolo ndiyo nini?? Anatutayarishia maisha ... wakina Mtandao jr ni kula steki tu na fillet no nyama ya mchanganyiko... hahahahaha Tom baba Nakuombea MUNGU akupe mafanikio.
 
Nuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, mpaka tulie jamani??? its great reading from you mama... Bi mdogo yeye bado yuko huko... msalimie saaaana pacha...
 
Subira, nakupenda tu..
 
Lilian, Kishaka vp kikao ??? MUNGU awabariki sana... any updates??? 
 
My wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?? Naona upo kimya... mzima lakini?? Ni nani huyo tena?? hahahahah Nakumiss...
 
Best Ndene.... naona naambiwa mambo yako safi... nateremka huko muda si mrefu... 
 
Ras, lipia tu hiyo bill ya cable na net walau uongeze frequency ya kuwa mtandaoni... hahahaha.. Pole na shule..
 
Wapi Hillary Rite ?? ... namuulizia pia na Rebecca Gembe...? Still in the library ?  Dont be sooo quiet...Miss u guys..
 
Wapendwa wooooote , MBARIKIWE

Jefta Gladys

unread,
Mar 5, 2007, 7:18:50 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
hi rhob mzima mambo shost?
bwana huyo tom mzushi hata usimsikilize niko choka mbaya na kuzeeka nishazeeka maisha magumu hiv unitafutie mchumba huko uje nae naona inabid niolewe hamna jinsi...............hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
jamani watoto wengine wa mersali nadhani muwazima wa afya, kaka auxwesso tunamwombea mola atapona tu bila shaka.
na wewe tom tabia yako hata sijaipenda kwanin umdanganye rhob bwana, ila elekea mambo yako yako juu maana biashara yako naona iko kwenye east africa community boundaries.all the best.
hiv jamani mbona sioni kama kuna mtu yoyote anajitihada za kuwaleta kondoo wengine kundin esp b.mawalla na neema francis??rhobi nakupa hii kazi
 
mbarikiwe sana

thomas nyagawa

unread,
Mar 5, 2007, 7:28:37 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com

helo dada glad sijamdanganya jamani nilikua nampa
taarifa...mama mwenyekiti inabidi uje na mchumba wa
glad lakini angalia.....usijali haitakua dhambi yako
we mletee kama mbaya acha iwe mbaya ahahahahahahahah
kaka braille mzuie basi mshkaji anaweza kuuwa
huyo............. ahahahahah lol....mupoooo
hapooooooooo
BARIKIWE SANA EEEEEHHH

>
>


____________________________________________________________________________________
We won't tell. Get more on shows you hate to love
(and love to hate): Yahoo! TV's Guilty Pleasures list.
http://tv.yahoo.com/collections/265

thomas nyagawa

unread,
Mar 5, 2007, 7:30:40 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com

helo dada glad sijamdanganya jamani nilikua nampa
taarifa...mama mwenyekiti inabidi uje na mchumba wa
glad lakini angalia.....usijali haitakua dhambi yako
we mletee kama mbaya acha iwe mbaya ahahahahahahahah
kaka braille mzuie basi mshkaji anaweza kuuwa
huyo............. ahahahahah lol....mupoooo
hapooooooooo
BARIKIWE SANA EEEEEHHH

>
>


____________________________________________________________________________________
No need to miss a message. Get email on-the-go
with Yahoo! Mail for Mobile. Get started.
http://mobile.yahoo.com/mail

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Mar 5, 2007, 7:45:46 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Hahahaha,
 
Kweli Merisali alikuwa ana tabu sana...Nimekumbuka alivyokuwa anapita kule nyuma ya madarasa ya Arts na History and Geography.. anatuchungulia darasani...
Chairman, nipo online baba... nahisi simu niliiangusha mtaani... bado tunashangaa shangaa tu huku...
 
Wewe Ndene kumbe bado... ngoja kwanza hicho kichwa kipoe.... sasa wataka mchumba wa nini?  umenifurahisha sana... nakumiss sana... wachumba wako huko huko bongo... naaaaam nimekusikia mama... hao kondoo waliopotea tutawatafuta.... haki ya Mungu kazi kweli kweli...

walter mushi

unread,
Mar 5, 2007, 8:10:56 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
my wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mambo vipi?Glady anajua vizuri hao kondoo wanapo patikana anakupa kazi ya bure tu tu mwachie mwenyewe awarudishe zizini


Rhobi Sandra Mukami <rhobi...@gmail.com> wrote:

Expecting? Get great news right away with email Auto-Check.
Try the Yahoo! Mail Beta.

Jefta Gladys

unread,
Mar 5, 2007, 8:39:51 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
loooooooooooh walter jamani we ndio mzushi mtu gani ukitafutwa mpaka tukufuate jazz na sie wengine ma ustaadha haturuhusiwi.unaona sasa mambo yanavyokuwa magumu hapo hahaaaaaaa.
halafu hiyo kazi nimemwachia rhobi aifanye ebu usimfanye akagahili kuwa tafuta hao kondooo.mwanya rhobi utapata dhawabu kwa mungu we beba hayo majukumu niiyokupa sawa mamaaaa eeeeeeeeeeee!!haya mpenzi


walter mushi <wall...@yahoo.com> wrote:

braille

unread,
Mar 5, 2007, 11:54:50 AM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Wapendwa mie ni mzima, kama kawaida nimeamkia kusoma salamu na doondoo zenu na nimefarijika kusoma kotoka kwenu wote.
  Mwenyekiti usitafute kesi wewe  wataka mie nisema halafu moto uniwakie ? wewe ndio mwenyekiti baba, longa sie twakusikia...na moto ukiwaka sie maji pale sinza yamekatika.
     Mama mwenyekiti naona rohoooooo kwatuuu maana huna zamu ya kudeki darasa sawa tu...
     W. mushi nimekupata mkuu pole kwa shughuli nyingi na mambo ya maisha. Vipi mbona Ben K anasema umepotea?
    Ben K, Nona wewe hujui pakumtafuta huyo bwana hapo Arusha ila fanya serch ya kitaalamu utampata kwani najua by now yoko hapo mjini.
    Pam mama kazi nzuri na shukrani kwa kurudiha saa nyuma miaka kadhaa inakumbusha who we were inafurahisha kuona bado tuko pamoja.
    Gladis  mie sina lakusema, yaani nakutakia week njema na burudani tele bila kusahau mafanikio yakumwaga.
     Amos Katususa so kwahiyo mpeni Hiiii bado tunampenda tu.
Mutetente Keep the good work and stay safe bro.
    Jamani mpeni Godwin A, pole nyingi, tuzidi kumwombea.
 
 
  

shubby rwegasira

unread,
Mar 5, 2007, 12:21:38 PM3/5/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Mbabe mambo! Umenikumbusha sana mizoga... makande ya vigozi hahaha!! si
mchezo... Nakumiss siku nyingi ndugu yangu! Babu salama lakini? Wapendwa
wanadarasa wengine nawasalimu sana.Mungu awabariki!


>From: amymc...@yahoo.co.uk
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: "LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)"

><LJSclas...@googlegroups.com>
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!

_________________________________________________________________

Ms. Maeda

unread,
Mar 5, 2007, 2:16:03 PM3/5/07
to LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)
Mzima kabisa my dear za miaka tele?? Natumaini kila kitu salama
kabisa.

PCM.


On Mar 2, 4:23 am, amymche...@yahoo.co.uk wrote:
> oyaa saivoiye mi sijauchuna bwana mtu wangu!kama mnakuona vile sa5
> usiku unakuja rum kwetu kuomba mzoga wakati huo safina anachemsha maji
> ya chai,inhii inhiii,ahhhhhhhhhhhh shule bwana ila sio wewe
> pekeyako.mizoga imetusave au mnabisha wana seminary kama hamuamini
> mulizeni mugendi.najua nawachona wengi nimemtumia saivoiye kuficha
> ukali wa maneno.tehe tehe pamela,mzima wewe?
> jaman nawapenda woteamy
>
> On Mar 2, 1:10 pm, "emily saivoiye" <sene...@hotmail.com> wrote:
>
>
>
> > heey kibibi..nice to hear from you,,,,
>

> >amymambo?...duuh si mchezo...maaanake huo mchuno,,,anyway nimekumiss....
>
> > well braille,naomba umuongezee huyu kondoo (emmanue...@hotmail.com) kwenye hili kundi,na anawasalimu wanadarasa wote
>
> > take care.
>
> > "A candle loses nothing by lighting another candle!Don't just search. Find.MSN SearchCheck out the new MSN Search!- Hide quoted text -
>
> - Show quoted text -

Jefta Gladys

unread,
Mar 6, 2007, 3:11:04 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
hiv ni shubi wewe ninaekujua au mwingine?dah! loooooooooooooong taim

shubby rwegasira <shu...@hotmail.com> wrote:

Mbabe mambo! Umenikumbusha sana mizoga... makande ya vigozi hahaha!! si
mchezo... Nakumiss siku nyingi ndugu yangu! Babu salama lakini? Wapendwa
wanadarasa wengine nawasalimu sana.Mungu awabariki!


>From: amymc...@yahoo.co.uk
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: "LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)"
>
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!
>Date: Fri, 02 Mar 2007 02:23:39 -0800
>
>
>oyaa saivoiye mi sijauchuna bwana mtu wangu!kama mnakuona vile sa5
>usiku unakuja rum kwetu kuomba mzoga wakati huo safina anachemsha maji
>ya chai,inhii inhiii,ahhhhhhhhhhhh shule bwana ila sio wewe
>pekeyako.mizoga imetusave au mnabisha wana seminary kama hamuamini
>mulizeni mugendi.najua nawachona wengi nimemtumia saivoiye kuficha
>ukali wa maneno.tehe tehe pamela,mzima wewe?
>jaman nawapenda wote
>amy
>
>On Mar 2, 1:10 pm, "emily saivoiye" wrote:
> > heey kibibi..nice to hear from you,,,,
> >
> >
> >
> > amy mambo?...duuh si mchezo...maaanake huo mchuno,,,anyway
>nimekumiss....
> >
> >
> >
> > well braille,naomba umuongezee huyu kondoo (emman...@hotmail.com)
>kwenye hili kundi,na anawasalimu wanadarasa wote
> >
> >
> >
> > take care.
> >
> > "A candle loses nothing by lighting another candle!Don't just search.
>Find.MSN SearchCheck out the new MSN Search!
>
>
>>

_________________________________________________________________
Express yourself instantly with MSN Messenger! Download today it's FREE!
http://messenger.msn.click-url.com/go/onm00200471ave/direct/01/


bernard konga

unread,
Mar 6, 2007, 7:43:08 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
asalam Alheikum
 
Hope wote mu wazima.......
 
Kaka Walter sikupati simuni upo? tuwasiliane mtu wangu.....
 
Mama Mwewnyekiti sorry kwa ku attack direct (mbona ninalo nimeingia ikulu bila kujua hahahahahahahahahahaha ) lakini nashukuru kama kaka Braille alivyonielekeza namna ya kumpata huyu mheshimiwa, leo naonana nae saa 11 jioni....
 
Ras endeleza neno si unakumbuka ulishaenda kuhubiri kwa mtawala tukiwa na Mwinjilisti John Ntunde? Tumika mtumishi wa Mungu.....
 
Eng. Glady heri ya mwaka mpya na habari ya siku mingi....
 
Dada Shuby habari ya ughaibuni?
 
Dada Pam habari ya miaka 10 iliyopita? hope u r fine.....
 
Wana LJS 1997/2000 Mungu awabarina mzidi kuvumbua mema mengi ya nchi yafananayo na kuzidi na haya.....
 
Tchaaaaaaaaaooooooo

Any questions? Get answers on any topic at Yahoo! Answers. Try it now.

Jefta Gladys

unread,
Mar 6, 2007, 8:02:47 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
vip bwana ben mi zima bwana naona hatuonani kabisaaaaaaaa kweli jiji kubwa nakusikia tu unavyopaa utasema rais kikwete leo hapa kesho kule ila ndio mambo ya kazi.si tupo bwana tunaendelea kujenga hayo mafungu unayoyakusanya utuletee tukujengee bwana usitafute mafundi wazoefu tupo proffesional fundiz hahaaaaaaaaaaaa......................!
msalimie saaaaaaaaaaana huyo menyekiti hiyo jion mkionana

bernard konga <kon...@yahoo.com> wrote:

Pam C. Maeda

unread,
Mar 6, 2007, 8:47:41 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Kaka Bernard nipo mzima kabisa nashukuru kwa salamu, msalimie sana Deo na mpe hongera zake. Mwambie aingine mtandaoni atume salamu angalau mara moja.
 
PCM.
 
 
 
 

 
It knows it must run faster than the fastest lion or it will be killed.

Every morning a lion wakes up.
It knows that it must outrun the slowest gazelle or it will starve to death.

It doesn't matter whether you are a lion or a gazelle.
When the sun comes up, you better be running.

Abe Gubegna
Ethiopia, circa 1974

walter mushi

unread,
Mar 6, 2007, 9:07:40 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Ndugu waumini wa kanisa la kikristo lililo moja tu nawasalimu wote kwa jina la Bwana.
 
Dada Pam mambo vipi?pole kwa shule hope unaendelea fresh mimi mzima bwana na mambo sio mbaya sana namshukuru mola anendelea kunitunza siku hadi siku.kuhusu ila work nilikosa dada yangu mambo hayakuwa mazuri am still at the sama org.
 
frank nakushangaa sana unavyo sema kuwa umeacha ulevi wakati tulikua wote juzi ulivyokua bongo au tuwatafute waumini wengine wa kanisa hilo tuliokua nao au umeamua kuwadanganya wakristo?kuhusu glady mimi nilikua natania bwana wewe endelea tu kama umewekeza usitoe hisa zako endelea kuongeze mtaji ili company iendelee kusimama au sio glady na wewe acha uzushi nikiwa na brian tukikuita hauji then sasa hivi wajua fika kazi zinambana unamtafuta kwenye mtandao acha mambo zako wewe jirani.glady nafikiri frank amekuelewesha kuhusu hiyo 2010 na wote mmeelewa jamani tuna karibisha mawazo na michangu tuanzie wapi ili tutimize lengo letu.
 
kaka braille pole kwa majukumu mzee mwenzangu hope uko fresh mimi nipo poa ila mambo yanakua mengi maisha sio lelemama mkuu.kaka konga tunaonana lkn yuko busy sana yeye anatoka ofisini mimi nakua nimesha sali sala ya jioni nakua nipo kitandani nasoma bibilia nakutafakari neno nakua siwezi kutoka tena hilo ndio tatizo lakini nashukuru tumewasiliana sasa hivi akiwa arusha na baba mwenyekiti.
 
shubi ni wewe shubi mtajwaa au mwingine kwakweli long time sija kusikia how are you by the way maisha yanaendaje?
 
jama wakristo wengine niwatakie tu baraka za bwana awalinde na awaongoze kila muwapo na myafanyayo lamsingi kabisa ni waombeni tulichukulie hilo swala la 2010 kua ni muhimu na tuanze kutoa mawazo what to do ili tuweze kulifanikisha.
 
mbarikiwe sana ndugu zanguni ktk kristo aliye hai.


Access over 1 million songs - Yahoo! Music Unlimited.

Pam C. Maeda

unread,
Mar 6, 2007, 9:28:56 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Hey Walter,
 
Nashukuru kusikia kwamba kila kitu kinaenda poa, pole kwa mihangaiko. Shule inakwenda si unaelewa mwenyewe ila "yana mwisho" au sio hahaha najipa moyo. Kuhusu hiyo kazi well usijali najua itakuja nyingine, keep fighting brotha nakutakia kila la kheri.
 
PCM.
--
Every day in Africa a gazelle wakes up.

Godwin Axwesso

unread,
Mar 6, 2007, 10:00:07 AM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Wowwwwwww!!!!!!!!!!!!!
Habari zenu woooote huko mlikooooo????????????
Kwanza asanteni kwa maombi yenu kwani naendelea vizuri na mwenye afya njema.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza na kuendelea na moyo huo. Braille asante kwa ndoto zako za 2010.Itapendeza kama hizo dreams will come true.
Litakuwa jambo la kufurahisha sana baada ya miaka kumi kuonana kuonana.Tumwombe Mungu atujalie maisha. I am sorry natamani kuendelea kuandika mengiiiii
 lakini nimepata message kutoka kwa mama Ahimidewe-elyvictor ananihitaji nyumbani right now ile twende sokoni na katika majukumu mengine.........   pia  naogopa jamani nipasheni kidogo huyo mwenyekiti nisije mie nikapitiliza....alafu itakuwa........
Nawapenda wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote.
Mungu awabariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!!!!!!

,braille <brai...@yahoo.com> wrote:
  
What kind of emailer are you? Find out today - get a free analysis of your email personality. Take the quiz at the Yahoo! Mail Championship.

shubby rwegasira

unread,
Mar 6, 2007, 4:33:35 PM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Glady ni mimi,shubi yule yule, mzima wewe? siku nyingi kweli!!

>---------------------------------


>Now that's room service! Choose from over 150,000 hotels
>in 45,000 destinations on Yahoo! Travel to find your fit.
>>

_________________________________________________________________

shubby rwegasira

unread,
Mar 6, 2007, 4:47:02 PM3/6/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Bernard kipindi ndugu yangu? msalimie sana Deo!

>Subject: [LJSclassof2000] Re: Wapendwa.
>Date: Tue, 6 Mar 2007 04:43:08 -0800 (PST)
>
>asalam Alheikum
>
> Hope wote mu wazima.......
>
> Kaka Walter sikupati simuni upo? tuwasiliane mtu wangu.....
>
> Mama Mwewnyekiti sorry kwa ku attack direct (mbona ninalo nimeingia

>ikulu bila kujua hahahahahahahahahahaha ) lakini nashukuru kama kaka

>---------------------------------


> Have a burning question? Go to Yahoo! Answers and get answers from real
>people who know
>
>

>---------------------------------


> Sucker-punch spam with award-winning protection.
>Try the free Yahoo! Mail Beta.
>
>
>
>
>
>
>

>---------------------------------


>Any questions? Get answers on any topic at Yahoo! Answers. Try it now.
>>

_________________________________________________________________

Jefta Gladys

unread,
Mar 7, 2007, 2:29:04 AM3/7/07
to LJSclas...@googlegroups.com
yani sina hata la kusema bi shubi nimefurahi kweli angalau kuona mwandiko wako
mi mzima mpenz tupo mjin tunahangaika na maisha,vip wewe hiv bado unaosoma au ushamaliza?
 

shubby rwegasira <shu...@hotmail.com> wrote:

Glady ni mimi,shubi yule yule, mzima wewe? siku nyingi kweli!!


>From: Jefta Gladys
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Na Kondoo wengine hawa hapa!
>Date: Tue, 6 Mar 2007 00:11:04 -0800 (PST)
>
>hiv ni shubi wewe ninaekujua au mwingine?dah! loooooooooooooong taim
>

Ras Frah

unread,
Mar 7, 2007, 11:15:10 AM3/7/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Gladies najua ubongo wako.... uelewa mdogo....
Mpaka uandikiwe kigazeti ndio uelewe....
haya sasa ushaelewa 2010...toa mawazo yako...
peace & Love

> ---------------------------------


> Expecting? Get great news right away with email
> Auto-Check.
> Try the Yahoo! Mail Beta.
>
>
>


____________________________________________________________________________________


Sucker-punch spam with award-winning protection.
Try the free Yahoo! Mail Beta.

http://advision.webevents.yahoo.com/mailbeta/features_spam.html

Mtindo Shilla

unread,
Mar 7, 2007, 11:30:05 AM3/7/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Habari zenu wote jamani, Frah naona uko online..
Nafurahi sana kusikia kutoka kwenu wote, yaani sio siri inafurahisha saaaaana,
Glady asante sana kwa kusisitiza kueleweshwa kuhusu reunion, maaaana...  Mh.. simaliziii... Sasa hivi nimeelewa na naafiki wazo la reunion2010...tuombe uzima tu.. Dada Pam asante kwa ukumbusho mzuri wa pics..
Kila la heri wote,
Mty
 
--
Mtindo Muloelia Shilla,
88 Blakenall lane,
Walsall,
WS3 1HH
Mobile: +447889749588

Ras Frah

unread,
Mar 7, 2007, 11:39:43 AM3/7/07
to LJSclas...@googlegroups.com
yea mtindo shyla....
nimepita kwa mshikaji wangu wa sudan(darfur) ana
kamtandao ndani ndio nakacheki nikisubiria match ya
washika bunduki vijana wa london-Arsenal.....
Tuiombee arsenal......!
hope unaendelea vizuri....vipi dada amy? yupo
yeye yupo wapi? maana nilimuuliza maswali kidogo ila
hakujibu....vipi yupo wapi? kaolewa au bado? wewe
vipi? au bado kidogo kama sie wengine....!
wape hi wote ninaowajua ambao mwaonana huko
ulipo....
aisee nani anajua alipo ROSELYN ALPHONCE....? au
hata contact zake.../ wahusika muongezeni na huyu
kondoo tusije mpoteza..... nakumbuka luka 15.."lost
thing" ni muhimu kuancha kondoo 99 porini na kwenda
kumtafuta yule mmoja umlete kundini......!!!! wahusika
muongezeni huyu...plseeeeeeee plseeeeeeeeeee
love u all

Mtindo Shilla

unread,
Mar 8, 2007, 8:02:10 AM3/8/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Natumaini wote wazima wanadarasa..
mimi sijambo pia..
Yes Frah.. umefanya la maana kuniuliza mimi nikiwa msemaji mkuu wa familia ya Mr and Mrs Victor kuhusu Mrs. Amy Victor ( Sio Mchelle tena) Yeye na  Mr. Victor hawajambo, ila kwa sasa Mrs. Amy Victor yupo safari ya kikazi ndio kaniomba nikujulishe pamoja na wanadarasa wengine (usinichape Amy, mbona nnaaaaaalo)
Mimi nipo tu Frah... nakusubiri wewe kwanza uoe... lol...
Haya jamani nafurahi kusikia kutoka kwenu wote... Mutsentse siku nyingi sana..
Cheers, Mty
 

braille

unread,
Mar 8, 2007, 1:43:21 PM3/8/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Bibi Harusi, najua umesha fungiwa by now kwahiyo by the time unasoma hii email ujue watu tulikua tunakukumbuka kwa sala na kukutakia mema.
   Hilary na Pamela mawazo na input zenu nimezipata na nina endelea kukusanya toka kwa wananchi wengine ila msiishie hapo natuzidi kushauriana.
Mzee Konga   nashukuru kwa input yako, najua kutoka kwako na wahusika uliowataja tutapata mawazo na information muhimu. Haya mupe hii muzee wa manyani au kwa jina jipya MSHENGA...
Best... Shubi,  naona unamtafu mwenyekiti wa bwalo, leo kaenda na Mahonge kuchukua mchele, Naona na mzee Res nae yuko washing R. anasoma sasa mpe ujumbe mugendi atafute mtu akasimamie line ya chakula cha wagonjwa  .... mambo ya mchicha  na matunda yanakwenda vibaya.
 Mtindo (mwenyekiti)
     Mimi niko zamu on line sasa nisaidie badi kuchangia na kukusanya maoni ya watu.
Rhobi . natumaini swala la reunion utalivalianjuga soon ili mwenyekiti atusaidie kukusanya habari na mawazo ya wananchi.
Dada Lily  Mie nazidisha shukrani kwa kutusaidia kuendesha mambo mpaka hapo yalipofikia naamini utatupa email nyingine kuwaeleza wadada wote Kitchen Party ilikuaje....asante.
Gladis    sala ni muhimu mnooo maana huyo Ras naona bado injili inamtatanisha.... waambie waumini  kule india .... Hizi ni siku za mwisho..
MR Mutente.... stay in touch and keep the msgs going.. thanks
 Mushi W. nguvu nyingiiii OOhhhhhoooppp, waamshe mchizi, Brian, Dango, na David Kihaka.   najua hilo sio zito kwako.... asante kaka.
 
Bwana amos  kwaya inalegalega tunahitaji neno la busara....
 
    Asanteni woooooooteeee,
 
 
   
  

shubby rwegasira

unread,
Mar 9, 2007, 3:42:56 PM3/9/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Nimekupata kaka braille!

_________________________________________________________________

Rhobi Sandra Mukami

unread,
Mar 12, 2007, 2:44:06 PM3/12/07
to LJSclas...@googlegroups.com
 
Wapendwa wote,
 
Natumaini hamjambo... Nawasalimu katika jina la YESU...
 
Baba wototo (Mwenyekiti)... nafurahi kusoma kutoka kwako... MUNGU akubariki baba.. mimi mzima tu... nahangaika na haya maisha...
 
Dada Subira, hongera saaana naona ule mlolongo wa sikukuu ndio umeanza kama ifuatavyo... nakutakia sherehe njema kwa hizo zinazofuatia... MUNGU akubariki mama... ila tu tunaomba picha... Dada Lili...
 
Braille, the 2010 re union inamake sense.... that will be exactly ten yrs baada ya kuondoka kituo cha bwana.. ni miaka mingi saaana mtoto wa ten yrs yuko class five... hopefully will have my juniors by then hahaha... Ila huu umri unakimbia sijui kwenda wapi... anyway... Lets work on it mkuu..
 
Wapendwa wengine... hebu leteni hio kitu ambayo nimeilipia...
 
Mbaki salama na ninawatakia wiki njema.
 
Stay BLESSED.
 
 
 
 

 

emily saivoiye

unread,
Mar 24, 2007, 2:20:57 PM3/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Hi amy mzima my dear ?

jamani hata mie na hamu sana ya kukuona...yaani kwa kifupi nimemiss vichekesho vyakooo..so.vipi lkn wewe na shem mnaendeleaje?sorry km nimekosea hiyo surname ya shem maanake leo mtindo kanitajia nikajikuta nalidondokea ghafla hilo jinaaaa...hahahaha

...anyway mi nipo tu mzima wa afyaaa...

tcare....




"A candle loses nothing by lighting another candle !


Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

emily saivoiye

unread,
Mar 24, 2007, 2:37:15 PM3/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Halow wapendwa wazima wotee...natumaini wote mu heri wa afya

....rhobi,shubi,gilbert n mtindo ...natumaini na nyie pia wazimaaa...na bado mmelala hhahaha nyway mie nimefika salama bin salimin,,,nashukuruni sana kwa company nzuri mliyonipa,,yaaani i really had fun with you guys..... ..god bless u all,

rhobi nakutakia safari njema  na chweee jema....maanake la jana lilikuwa si mchezooo

braille thanks for a call in the morning,,,hope you a had a nice sleep after talkin to me(lol)....

anyway all the best to wanadarasa woteeee

Miss u all.




"A candle loses nothing by lighting another candle !

duah joselyne

unread,
Mar 24, 2007, 10:18:37 PM3/24/07
to LJSclas...@googlegroups.com
jamani ndugu zangu natumaini wote wazima na hii weekend mnaifurahAi..mi ni
mzima namshukuru muumba..
Mtindo,Shubi na neighbor ur guys are the greatest!!1 thanks for the big
suprise samahani tu nilikuwa na kajitarehe kadogo yani sikuami nimeingia
ndani i just kept smilling to myself remembering the good days with u guys
.. THnks a BunCH!
Neighbor yani nakusubiri mi sijuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii usipitie
cleve.. kwanza hapa ni 1st stop

Wengine wote tuzidi kuombeana
I love u ALL!

Ms Duah Joselyne.

>Subject: [LJSclassof2000] Re: Greetings
>Date: Sat, 24 Mar 2007 18:37:15 +0000
>
>
>
>Halow wapendwa wazima wotee...natumaini wote mu heri wa afya
>
>....rhobi,shubi,gilbert n mtindo ...natumaini na nyie pia wazimaaa...na
>bado mmelala hhahaha nyway mie nimefika salama bin salimin,,,nashukuruni
>sana kwa company nzuri mliyonipa,,yaaani i really had fun with you
>guys..... ..god bless u all,
>
>rhobi nakutakia safari njema  na chweee jema....maanake la jana lilikuwa si
>mchezooo
>
>braille thanks for a call in the morning,,,hope you a had a nice sleep
>after talkin to me(lol)....
>
>anyway all the best to wanadarasa woteeee
>
>Miss u all.
>
>
>
>
>
>"A candle loses nothing by lighting another candle !

>Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today
>it's FREE!
>
>
>>
>
>

_________________________________________________________________
Express yourself instantly with MSN Messenger! Download today it's FREE!
http://messenger.msn.click-url.com/go/onm00200471ave/direct/01/

emily saivoiye

unread,
Mar 25, 2007, 4:35:16 PM3/25/07
to LJSclas...@googlegroups.com

hi kishaka

mambo? za masiku?..thanks for ya txt mesg n sorry jamani i couldnt reply back..

wanadarasa wengine hamjambooo??....

take care!!




"A candle loses nothing by lighting another candle !


FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar MSN Toolbar Get it now!

Mtindo Shilla

unread,
Mar 26, 2007, 9:33:28 AM3/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Habari zenu tena wote..
Kwakweli we had a great time togather weekend hii.. asanteni sana wote kwa company nzuri.. naona Shubi bado umelala. 
Emily International Saivoiye nafurahi kusikia umefika salama, Bhoke pole na safari.
Duah nilifurahi kusikia sauti yako pia, ni baada ya kuikosa kwa miaka 7..
Katibu asante sana kwa salamu za Kisumbo, msalimie sana pia.. Tulifurahi pia kusikia Shibobo kutoka kwako..
Isyu mamaaaa wiki ya ngapii vile...?
Mungu awatunze wote,
Mtindo
 
On 25/03/07, duah joselyne <du...@hotmail.com> wrote:

jamani ndugu zangu natumaini wote wazima na hii weekend mnaifurahAi..mi ni
mzima namshukuru muumba..
Mtindo,Shubi na neighbor ur guys are the greatest!!1 thanks for the big
suprise samahani tu nilikuwa na kajitarehe kadogo yani sikuami nimeingia
ndani i just kept smilling to myself remembering the good days with u guys
.. THnks a BunCH!
Neighbor yani nakusubiri mi sijuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii usipitie
cleve.. kwanza hapa ni 1st stop

Wengine wote tuzidi kuombeana
I love u ALL!



Ms Duah Joselyne.





>From: "emily saivoiye" <sen...@hotmail.com>
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Greetings
>Date: Sat, 24 Mar 2007 18:37:15 +0000
>
>
>
>Halow wapendwa wazima wotee...natumaini wote mu heri wa afya
>
>....rhobi,shubi,gilbert n mtindo ...natumaini na nyie pia wazimaaa...na
>bado mmelala hhahaha nyway mie nimefika salama bin salimin,,,nashukuruni
>sana kwa company nzuri mliyonipa,,yaaani ireally had fun with you
>guys..... ..god bless u all,
>
>rhobi nakutakia safari njema na chweee jema....maanake la jana lilikuwa si
>mchezooo
>
>braille thanks for a call inthe morning,,,hope you a had a nice sleep

shubby rwegasira

unread,
Mar 26, 2007, 5:26:06 PM3/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Wanadarasa wate salama lakini..

Emily twashukuru Mungu ulifika salama,yaani kuamka kesho yake ilikuwa... we
acha tu,kujumlisha na mbavu kwa kucheka.Turewind nini??

Dua! Yaani nilifurahi kuongea na wewe, baada ya miaka mingapi vile? saba ,
sita..

Amy (Mrs Victor) Nakusalimu sana, natumaini wewe ni mzima!

Wapendwa wanadarasa wengine nawasalimu wote, Mungu awatangulie!

>From: "emily saivoiye" <sen...@hotmail.com>
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Greetings
>Date: Sat, 24 Mar 2007 18:37:15 +0000
>
>
>

>Halow wapendwa wazima wotee...natumaini wote mu heri wa afya
>
>....rhobi,shubi,gilbert n mtindo ...natumaini na nyie pia wazimaaa...na
>bado mmelala hhahaha nyway mie nimefika salama bin salimin,,,nashukuruni
>sana kwa company nzuri mliyonipa,,yaaani i really had fun with you
>guys..... ..god bless u all,
>
>rhobi nakutakia safari njema  na chweee jema....maanake la jana lilikuwa si
>mchezooo
>
>braille thanks for a call in the morning,,,hope you a had a nice sleep
>after talkin to me(lol)....
>
>anyway all the best to wanadarasa woteeee
>
>Miss u all.
>
>
>
>
>
>"A candle loses nothing by lighting another candle !

>Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today
>it's FREE!
>
>
>>
>
>

_________________________________________________________________
Don't just search. Find. Check out the new MSN Search!
http://search.msn.com/

braille

unread,
Mar 26, 2007, 5:57:10 PM3/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Best naona umeamka, haya wiki njema shuleni na kazini.
 
True-Way naona bantu bamembana  maana naona kapotea.
 
Gladis upo? Kimya kingi kinatisha mdada.
 
Mrs victor, asante kwa kuendelea kudrop lines hata pale kina yakhe wanapopotelea huko busy.
 
Bernad K naona umeasi kidogo vipi salama lakini?
 
W. Mushi, Nyida ro Mangii?
 
D. Kweka, usipotee tena yakhee.
 
Dada Gigwa tudondoshee japo nukta ....
 
Ayesiga, Gabagambi, Mchome S., Fadhili M, Brian, Dango na Alfa K, Vipi tena jamani mbona hatuwasikii? Salamu haigombi jamani , same to Amos, Deo na waungwana wote mliokaa kimyaa.
 
Salamu haigombi  ... Jamanini mpo?
 
 

David Kweka

unread,
Mar 31, 2007, 12:57:50 PM3/31/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Bwana asifiwe watu wa mungu.

Kaka Braille: Nipo mzee sijapotea tena kama enzi zile
zileee.....natumaini mambo yako yanasonga wether ni
kama farasi au kinyonga.

Mpenzi duah: Mzima wewe, sasa ndo unafanya mambo gani,
miaka 7 imekwisha sasa mi bado nakusubiri bongo
nikuwowe hutaki kurudi, watu wa mungu mnisaidie kwa
hilo.

Kishaka man: mambo niaje mtu wangu. long time sana
hatujatiana kwa macho, tuwasiliane mzee.

Amy: Daktari wa damu nipo kamili niletee matatizo yako
niyasolve, nadhani umenipata hapo. mpinzani wangu
victor hajambo. hi kwa sana.

Isyu: hahaha... habari yako dada, wewe nakutafutia
muda muafaka nina mambo mengi ya kudiscuss, take care.

Dilinga: Najua unanipata bro, tuchekiane na huku pia
man sio tunameet maeneo yaleeee...

Emily, bi mchina, linsye, kaka yenu nipo.


___________________________________________________________
The all-new Yahoo! Mail goes wherever you go - free your email address from your Internet provider. http://uk.docs.yahoo.com/nowyoucan.html

braille

unread,
Mar 31, 2007, 2:12:20 PM3/31/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Poa kaka kaka David, nakupata kwa ufasaha kabisa, mammbo yangu yanakimbia kwa mwendo wa farasi hivyo niko huko busy  nakimbizana nayo. Nimefurahi kusikia toka kwako mutu wangu......., wape hiii wote.
    Dua haya mashtaka toka kwa cousin wangu kwakweli yamenigusa mnoo, yaaniiiii inabidi uwe wazi unarudi bongo jamaa afix au ndio bado kama usemavyo ...You need time...
  HAHAHAH kweli shughuli unayo, Mbona unalooooo.....
Kishaka, umekua kimya munooooo, vip salama lakini?
 
Bibi harusi hongera tunasubiri mwezi wa asali uishe watu tudai picha....
najua utatukimu kabla hatujadai.... nakuaminiaaa......
 
Dada Lily naona umekwenda likizo baada ya kazi ngumu.... haina shida mpendwa naomba ukimaliza likizo utujulishe uhali gani mpendwa.
 
Waungwana woooo teeeee nawatakia baraka tele

tusajigwe isaga

unread,
Mar 31, 2007, 2:34:06 PM3/31/07
to LJSclas...@googlegroups.com
mambo wanadarasa!
mi namshukuru mungu sijambo sijui nyie
dav vip khali?nimekumiss sana mshikaji halafu namba yako wala sina hebu nitumie basi one day nikutwangie,mambo mengine?mi sijambo busy sana.
jamani wengine mambo yanaendaje?kishaka upo duu long time sana hope ur doing fine.
ok nawatakia wote wkeend njema.

David Kweka <davi...@yahoo.co.uk> wrote:

David Kweka

unread,
Apr 1, 2007, 1:46:58 AM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Tusa: mambo ni mstari yani poa. kaka yako nipo kamili
nafanya mambo kimyakimya, makubwa hujawahi
kuyafikiria. namba yangu ya simu sijabadili, 0713
546081. nitumie yako pia.

--- LJSclas...@googlegroups.com

> ---------------------------------


> Now that's room service! Choose from over 150,000
hotels
> in 45,000 destinations on Yahoo! Travel to find your
fit.
>
>


___________________________________________________________

What kind of emailer are you? Find out today - get a free analysis of your email personality. Take the quiz at the Yahoo! Mail Championship.

http://uk.rd.yahoo.com/evt=44106/*http://mail.yahoo.net/uk

danstan kishaka

unread,
Apr 1, 2007, 6:42:08 AM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
hi! Tusa nashukuru kwa kunikumbuka am doin fine,Kaka
BRAILLY me nipo majukumu tu ndugu yangu, EMILY SAIVOYE
happy birthday,naamia IRINGA KIKAZI TANROAD so ill hv
a chance 2catch up with GQ,ol z best 2everybody
--- LJSclas...@googlegroups.com


____________________________________________________________________________________
Bored stiff? Loosen up...
Download and play hundreds of games for free on Yahoo! Games.
http://games.yahoo.com/games/front

tusajigwe isaga

unread,
Apr 1, 2007, 7:04:55 AM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
ok dav i got u we will keep in touch yangu ni +447932764203.
cheers

David Kweka <davi...@yahoo.co.uk> wrote:

Tusa: mambo ni mstari yani poa. kaka yako nipo kamili
nafanya mambo kimyakimya, makubwa hujawahi
kuyafikiria. namba yangu ya simu sijabadili, 0713
546081. nitumie yako pia.

--- LJSclas...@googlegroups.com

It's here! Your new message!
Get new email alerts with the free Yahoo! Toolbar.

tusajigwe isaga

unread,
Apr 1, 2007, 7:05:54 AM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com
kishaka naona unapeta mambo ya tanroad si mchezo ok all the best.
bye

danstan kishaka <dkis...@yahoo.com> wrote:

hi! Tusa nashukuru kwa kunikumbuka am doin fine,Kaka
BRAILLY me nipo majukumu tu ndugu yangu, EMILY SAIVOYE
happy birthday,naamia IRINGA KIKAZI TANROAD so ill hv
a chance 2catch up with GQ,ol z best 2everybody
--- LJSclas...@googlegroups.com
wrote:
> Poa kaka kaka David, nakupata kwa ufasaha kabisa,
mammbo yangu yanakimbia kwa mwendo wa farasi hivyo
niko huko busy nakimbizana nayo. Nimefurahi kusikia
toka kwako mutu wangu......., wape hiii wote.
> Dua haya mashtaka toka kwa cousin wangu
kwakweli yamenigusa mnoo, yaaniiiii inabidi uwe wazi
unarudi bongo jamaa afix au ndio bado kama usemavyo
...You need time...
> HAHAHAH kweli shughuli unayo, Mbona
unalooooo.....
> Kishaka, umekua kimya munooooo, vip salama lakini?
>
> Bibi harusi hongera tunasubiri mwezi wa asali
uishe watu tudai picha....
> najua utatukimu kabla hatujadai....
nakuaminiaaa......
>
> Dada Lily naona umekwenda likizo baada ya kazi
ngumu.... haina shida mpendwa naomba ukimaliza likizo
utujulishe uhali gani mpendwa.
>
> Waungwana woooo teeeee nawatakia baraka tele
>
>
>




____________________________________________________________________________________
Bored stiff? Loosen up...
Download and play hundreds of games for free on Yahoo! Games.
http://games.yahoo.com/games/front


8:00? 8:25? 8:40? Find a flick in no time
with theYahoo! Search movie showtime shortcut.

Lilian Nsyenge

unread,
Apr 1, 2007, 7:09:05 AM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Amen Kaka!

Asante kwa kutukumbuka na kututia moyo kwamba upo. Endelea kusugua magoti
kwa ajili ya Dua kama ni wako ulopewa na Mungu atarudi tu mpate kufunga ndoa
takatifu lakini kama si wako jiandae kukubali matokeo na kumruhusu Mungu
afanye yaliyo mapenzi yake kwako. hee, sasa wacheka nini?! usicheke niko
serious naomba ili kusudi la Mungu lisimamame au maana yake kutuambia
tukusaidie kwa hilo? Duah dear endelea kumtafuta Mungu wako akuthibitishie
kama David ndiye au siye! usicheke namaanisha nisemalo.

Anyway wanadarasa Kaka David anahitaji msaada naomba tumwinue katika maombi!

Weekend njema wanadarasa.

>From: David Kweka <davi...@yahoo.co.uk>
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Greetings

_________________________________________________________________
Express yourself instantly with MSN Messenger! Download today it's FREE!
http://messenger.msn.click-url.com/go/onm00200471ave/direct/01/

duah joselyne

unread,
Apr 1, 2007, 10:54:09 PM4/1/07
to LJSclas...@googlegroups.com

Nawasalimu katika jina la bwana! naamini wote ni wazima .. Subira hongera
sana am sure uko somewhere right now having fun ..

David Kweka nimepata ujumbe wako usikonde mi nipo .. bado ni wako wa
milele..natemegea kurudi punde utakaponichumbia..si tuliongea the other day
au ? anyways i miss u boo!

Wengine wote mungu azidi kuwa nanyi na nawapenda!

Ras Frah

unread,
Apr 25, 2007, 2:04:42 AM4/25/07
to LJSclas...@googlegroups.com

amy mambo...
hope bado huko kuitwako kutakatifu...."pamoja
kuna vita" Huchelewi kusikia hamas kashusha kitu
nyumba ya pili... hujapata kipeperushi kuwa leo ndege
za israeli zitashusha makombora mtaa wa
pili...-psychological war game.. hapo ndio napowazimia
hao waisrael...
aisee kuna ukuta huko hao jews wanaendaga kuubusu..
wewe umeenda? nasikia wanaamini ni moja kati ya hekalu
lilojengwa na mfalme solomon..ni kweli...? ning'ofolee
na mie kakipande..
Embu check pia yale yanayoitwa masonagogi ni nini?
wanawake na wanaume wanachanganyika ktk sinagogi...jee
watu huvua viatu ktk sinagogi..? yesu alivua?..plsee
nisaidie amy...huu ni wakati pekee ninaoweza kupata
majibu mengi kuhusu bibilia... msaidie mtumishi wa mungu...plseee

CEO & PRESIDENT
"ZION PHARMACEUTICAL INDUSTRY"
Tel: +919894155529

"Bravery is not a quality of the body, it is of the soul"

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com

amy mchelle

unread,
Apr 25, 2007, 6:14:24 AM4/25/07
to LJSclas...@googlegroups.com
mambo vipi ras frah,mie niko poa bado nipo huku kwa wateule ambao wao kupigana ni kawaida.aisee mie ndokwanza nimeoana bbc jana kuna watu wanatwangana huko gaza.mh noma.kuna wenzetu walikuja 3 days ago walipofika ukuta wa gaza wakaambiwa wawewapole kulikuwa na maaskari na vifaru vya kufa mtu nafikiri ndo walikuwa wanajiandaa na hiyo vita yao.ila wanapopigania ni tel aviv the largest city in israel sie tuko mbali kidogo kama saa moja na nusu kutoka hapo kwahiyo nahisi we are safe,
aisee masinagogi kweli yapo,jana tulienda church ofb anunciation nafikiri unamkumbuka hafermann vizuri au ulikuwa mzee wa honda ushasahau na mount of transfiguration.
pia mount gilboa,mlima ambako kuna vita zilipiganwa na saul na philistines na baadae mlima ulilaaniwa usiote kitu na kweli mpaka leo hamna mvua na vitu havioti ingawa wanajitahidi kupanda miti.
pia nguzo ya mkewe wa lutu alivogeuka kuwa nguzo ya chumvi ipo hadi leo na inashape ya  mwanamke.
aisee ngoja nikapate msosi.wkeend tutaenda jerusalem kuona kaaburi la yesu ntakwambia kama kweli kuna jiwe kubwa mlangoni au walituzuga tu
bye for now
amy

Ras Frah <ras_...@yahoo.com> wrote:

Yahoo! Answers - Got a question? Someone out there knows the answer. Try it now.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages