Waungwana Mpoo?

2 views
Skip to first unread message

braille

unread,
Mar 24, 2007, 1:03:56 AM3/24/07
to LJS 2000 class


The Google Groups Team
Date: Fri, 23 Mar 2007 21:57:32 -0700 (PDT)
From: braille <brai...@yahoo.com>
Subject: Jamani kwa wali mliopitwa na msg siku hizi mbili samahanini sana
To: LJS 2000 class <ljsclas...@googlegroups.com>

Samahani waungwana mliopitwa ao kuchanganywa na msg za siku hizi mbili tulikua kwenye mpango wakupunguza wingi wa email lakini naona bado utaratibu huo haujafikia unapotakiwa hivyo tutaendelea kama dhamani.
 
 Mama watotos, yaani Rhobi, Mtindo, Shubi, dada Emily na kaka Gilbaiture  Gregory mmetesa sana jana hopo UK, Subira angekua yuko darasani angewaandika majina msafishe darasa kesho. Jamani nawatakia wote wkend njema.
 
Nyagawa nakupata kwa mbaliii ila sina haraka ushatoa ahadi siku na saa.
 
 
    
Zifuatazo ni msg zilizowapita   wengi wetu
From: amymche...@yahoo.co.uk
Date: Mar 23, 4:04 am
Subject: hi
To: LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)

wapendwa habari zenu,mimi sijambo naendelea poa na afya yangu.
saivoiye nna ham mno ya kukuona mh ila sijui itakuwa lini,
mh emma chan hatukumbukani mshkaji?
isyu mbona namna hiyo kimyaa,
mtindo mambo niaje?
jaman wengine ambao mmejiunga na haka ka mtandao mbona kimya?
nawamiss wote
weekend njema
amy
 
 
From: thomas nyagawa <t_nyag...@yahoo.com>
Date: Mar 23, 3:31 am
Subject: salaam
To: LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)

WANADARASA POLENI SANA KWA MAJUKUMU MAANA NAONA HATA
SPEED YA KUINGIA KWENYE MTANDAO IMEPUNGUA AHAHAHAHA
POLENI SANA RAS,GLADY,KONGA,WALTER,RHOBI MAMAA,
HAMSIKIKI KABISA .........
POA MWENYEKITI HAPA NAWAPA HI.........
KAKA BRAILLE USIJALI KUHUSU PICHA ZA BIRTHDAY ZITAKUA
HEAWANI SOON....KUNA LOGISTIC NAREKEBISHA
  MBARIKIWE WOTE
    TOM WA NYAGAWA
 
 
From: "Lilian Nsyenge" <lin...@hotmail.com>
Date: Mar 21, 5:52 am
Subject: salaam
To: LJS Class of 2000 (O~Level 1997 and A~Level 2000)

Shalom Twin,
Asante kwa kazi njema. Nimeshacheck na biarusi mtarajiwa na utajulishwa
maendeleo soon.
Dada Shubby, usikonde mambo yako yameeleweka hakuna shida. Nimeshacheck na
wahusika.
Dada Mtindo asante, mambo yako yameeleweka pia hakuna shida.
Dada Emma na Kaka Benjamin, asanteni nimeshacheck na wahusika na mambo
yanakwenda sawa.
Wanadarasa Mungu awatie nguvu mwendelee vema. Bado niko uhamishoni kwa
muda.Kazi njema.
 
 
From: braille <brail...@yahoo.com>
Subject: [LJSclassof2000] Re: salaam
Date: Tue, 20 Mar 2007 08:22:08 -0700 (PDT)
 
Dada Lily nimekupata vema kabisa, pole kwa safari twin, Hii email add
nimesha iongeza kwahiyo namkaribisha huyoooo kondo mwenzetu.
Naomba umkumbushe subira ampigie Mama Ndanshau simu kuhusu maagizo
aliyoachiwa na Bhoke.
      Waungwana wengine wote I will catch you in the next bus... LJS 2010
express
   Thanks
   oohh bwana T. mtandao Nyagawa... ahadi ni deni... Picha baba 
tunazisubiri
_________________________________________________________________
 


Mtindo Shilla

unread,
Mar 26, 2007, 9:14:45 AM3/26/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Habari zenu wanadarasa..
Mh.. nimekupata Braille.. lakini kama sikosei ile sell ilikuwa ni buy one get two free saaaasaa naona imekuwa five.. eti wenza mnasemajeeee? Bhoke... Shubi... hadi kaka Gilbert.. itabidi tumtate mchumi wa kiswahili...
Siku njema

 

Mtindo Shilla

unread,
Apr 2, 2007, 5:46:35 AM4/2/07
to ljsclas...@googlegroups.com
Izaaa duuu.. umupanga ne? ine nkoli du kunu kunsii za antu, nishomashoma inino, hongera sana kutola gule wane. songela sana kunjuka, ukembetwe. Mariamu ukoli nee paso?
 
Wanadarasa natumaini wote wazima. Mrs Mwakapeje hongera sana Dear.
Nimefurahi sana kusikia kutoka kwa wengine wote kina BiMchina ... naona Mungu amejibu sala zetu. Dada Duah kakubali, Duah usikonde mi nitakuwa Matron.
''DADA'' Emily International, Happy bilated Birthday... Mungu akubariki.
 Mama Victor, upo? Katibu, Isyu... Sina la kusema zaidi... tutakutana kwenye kijiwe chetu, lol.
All the best wanadarasa wote, Mtindo
 
 
Wilile yani?uko wapi we mnyiramba?miaka mingi kweli, duh!


On Mar 26, 3:14 pm, "Mtindo Shilla" < muloe...@gmail.com> wrote:
> Habari zenu wanadarasa..
> Mh.. nimekupata Braille.. lakini kama sikosei ile sell ilikuwa ni buy one
> get two free saaaasaa naona imekuwa five.. eti wenza mnasemajeeee? Bhoke...
> Shubi... hadi kaka Gilbert.. itabidi tumtate mchumi wa kiswahili...
> Siku njema
>
> On 24/03/07, braille < brail...@yahoo.com> wrote:
>
>
>
>
>
>
>
> > The Google Groups Team
> > Date: Fri, 23 Mar 2007 21:57:32 -0700 (PDT)
> > From: braille <brail...@yahoo.com >
> --
> Mtindo Muloelia Shilla,
> 88 Blakenall lane,
> Walsall,
> WS3 1HH
> Mobile: +447889749588- Hide quoted text -
>
> - Show quoted text -




--
Mtindo Muloelia Shilla,
88 Blakenall lane,
Walsall,
WS3 1HH
Mobile: +447889749588

emily saivoiye

unread,
Apr 2, 2007, 8:21:07 AM4/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com

mmh mtindo naoan una utani na mimi??. anyway uleleani?...pola za ntondo lol

well kishaka,lilian asanteni kwa kunitakia heri ya kuzaliwa ,,,jana kulikuwa hamna shibobo ..si unajua mambo ya mchacho....

wanadarasa wengi wazima?....siku njema




"A candle loses nothing by lighting another candle !


FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar MSN Toolbar Get it now!

braille

unread,
Apr 2, 2007, 9:01:52 AM4/2/07
to LJSclas...@googlegroups.com
Kaka W. Shaila ni baraka tele kusikia toka kwako, karibu sana na hongera kwa kuuaga ukapera, mungu akujalieni mema katika ndoa yenu.
 
Dada Emily, Hongera kwa kutimiza miaka....... Mungu akuzidishia mingine 100 na .... Natumani kuchacha hakukuzuiya kucheka na kumshukuru Mungu kwamba angalau uko hai.
 
Dada Gigwa, Mimi nipo na sina jipya nakimbiza wakati tu.
 
Dua, umajibu vema naona kwa mtandao huo soon utafika Machame.
 
M/kt Mtindo kumbe redio yako inakamata idhaa za mangaribi ya mbali...(kilugha) ... basi mbona issue!!!!
 
Kishaka nakutakia kila jema kwenye kazi yako na mungu akutangulie hapo makao mapya.
 
Wengine wote nawatakia Siku na wiki njema.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages