habari

13 views
Skip to first unread message

amy mchelle

unread,
Jan 21, 2008, 5:54:39 AM1/21/08
to lutheran junior
bwana yesu asifiwe wapendwa wanadarasa
nafurahi sana kusoma email zenu na kuona kuna watu wanazidi kuongezeka kama kandonga na wengineo maana ni muda mrefu umepita hatujaonana wala kuwasikia.
naomba nichukue fursa hii kumpa pole stewart kwa kumpoteza baba yake,mungu ni mwema na awafariji na kuwatunza familia iliyobaki.
wale waliomaliza masomo nawapa hongera pia,kaka njunwa hongera kwa kupata ubavu nadhan nlikuwa sijakupongeza.kama kuna niliyemsahau hongera zake pia.ohoo nilisahau pia roselyn pole kwa kufiwa na mtoto wa sister,mungu ampe moyo mkuu your sister.
mungu awabariki wote
Amy


Support the World Aids Awareness campaign this month with Yahoo! for Good

festo kandonga

unread,
Jan 21, 2008, 6:37:51 AM1/21/08
to LJSclas...@googlegroups.com
wewe ndiyo nakutafuta maana umesema watu wanazidi kuongezeka kama kandonga. haya AMMY Mchelle. upo wapi ?


Sent from Yahoo! - a smarter inbox.

amy mchelle

unread,
Jan 21, 2008, 7:23:00 AM1/21/08
to LJSclas...@googlegroups.com
ha ha ha,umenchekesha sana kandongan kwamba wantafuta yakhe?asa mbona husemi mwanawane?mie nipo hapa hapa jiji la mafisadi.
nipo bwana nafanya kazi wizara ya kilimo,makao makuu kama Irrigation Engineer,naishi kimara.

festo kandonga <festok...@yahoo.co.uk> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 21, 2008, 7:49:13 AM1/21/08
to LJSclas...@googlegroups.com
unapo liita jiji la mafisadi unataka kusema jiji hili halita uona ufalme wa mbinguni?  Ok, kumbe upo na classmate wangu anaitwa Lucy Kiowi yupo Administration hapo. sawa mie nipo naishi sinza africa sana. karibu sana tuendeleze huduma ya uinjlisti japo vocolist wetu AMosi hsyupo

Madethe Mdegella

unread,
Jan 22, 2008, 2:29:20 AM1/22/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Wanadara mmnaendelea je? nafurahi kwamba tumevuka mwaka salama,
Pole sana Stewart kwa msiba ulio kupa, waliotangua siku moja tutawafuata, hawajaenda mbali siku zote tupo nao katika ulimwengu wa roho, Mungu amempuzisha mahali pema, Na Mungu alie mwita Baba,ndio Mungu huyohuyo atakae kupa farajamoyoni ili uweze kusonga mbele, POle sana na Mungu awafariji wote.
Rosely Pole sana kwa msiba uliowapata kufiwa na mtoto wa DAda yako, Mpe pole sana, mimi ni Mama naelewa how she feels, is just so hard to walk in that road jamani just mpe pole, pole sana, mtoto anauma sana hasa kwa mama jamani Poleni sana.
Amy ulipotelea wapi? I will write to you soon.
Subira hivi nilikuwa hongera? hope I did sababu I keep thinking about it, HOngera sana kwa kumleta Junior Gwakisa, Tulamwona, Twisakumketa, Tupeligwe,wa Ukoo wa Judah, yaani kabila moja na Yesu. Alivyozaliwa Sia... wifi zangu wanyakyusa walimpa majina hayo... walilo likazanania ni NGuse na wengine Gwatwa... sijui hata yana maana gani ila I just call her Sia....
 Wanadarasa wote nawapenda sana, nawatakia siku njema....
Love mama Sia.
----- Original Message ----
From: amy mchelle <amymc...@yahoo.co.uk>
To: lutheran junior <ljsclas...@googlegroups.com>
Sent: Monday, January 21, 2008 2:54:39 AM
Subject: [LJSclassof2000] habari

bwana yesu asifiwe wapendwa wanadarasa
nafurahi sana kusoma email zenu na kuona kuna watu wanazidi kuongezeka kama kandonga na wengineo maana ni muda mrefu umepita hatujaonana wala kuwasikia.
naomba nichukue fursa hii kumpa pole stewart kwa kumpoteza baba yake,mungu ni mwema na awafariji na kuwatunza familia iliyobaki.
wale waliomaliza masomo nawapa hongera pia,kaka njunwa hongera kwa kupata ubavu nadhan nlikuwa sijakupongeza.kama kuna niliyemsahau hongera zake pia.ohoo nilisahau pia roselyn pole kwa kufiwa na mtoto wa sister,mungu ampe moyo mkuu your sister.
mungu awabariki wote
Amy


Support the World Aids Awareness campaign this month with Yahoo! for Good



Never miss a thing. Make Yahoo your homepage.

Gigwa STEVEN

unread,
Jan 22, 2008, 8:38:01 AM1/22/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Habari zenu Watumishi wa Bwana,
Nilipotea jamani lakini mnisamehe tu ni vijimambo.

Naomba niungane na wengine waliotangulia na Mimi
nikupe POlea sana Kaka Sabuka Mungu akutie nguvu.
Pia naomba Umpe salaam nyingi sana Dada Yako Sarah
mwambie ninampa pole nyingi sana.

Hata hivyo tunaushukuru mtandao kwa kutuunganisha japo
twapoteana lakini shughuli zikipungua unajua pa
kuwapata wapendwa na kuwajua hali . Asante sana.

Sina mengi wapendwa .
Mungu awangazie Nuru ya Uso wake na kuwapa Amani.
Wote tuseme AMEN.

Love,
Gigwa.

> Support the World Aids Awareness campaign this month
> with Yahoo! for Good
>
>
>
>

____________________________________________________________________________________


> Never miss a thing. Make Yahoo your home page.

> http://www.yahoo.com/r/hs
>
>
>


Gigwa Stephen (Mrs)
University of Dar es Salaam
Mlimani Postal Mail Bag
P. O. Box 110 136
Dar es Salaam
Tanzania.
Tel.(Mobile) +255 (0)744 387 643

____________________________________________________________________________________


Never miss a thing. Make Yahoo your home page.

http://www.yahoo.com/r/hs

Ras Frah

unread,
Jan 22, 2008, 11:17:04 PM1/22/08
to LJSclas...@googlegroups.com
helo amy...
dada yangu mbona ulipotea sana toka harusi.....
au kuwa msimamizi ndio ukaamua kwenda kusimamia hado
honey-mooon...dada yangu kwa kupenda ushahidi.....
mambo vipi lakini..? Nimekumiss tuu ndugu yangu...
ubarikiwe...mie nipo tuu mjini hapa napambana.


--- amy mchelle <amymc...@yahoo.co.uk> wrote:

> bwana yesu asifiwe wapendwa wanadarasa
> nafurahi sana kusoma email zenu na kuona kuna watu
> wanazidi kuongezeka kama kandonga na wengineo maana
> ni muda mrefu umepita hatujaonana wala kuwasikia.
> naomba nichukue fursa hii kumpa pole stewart kwa
> kumpoteza baba yake,mungu ni mwema na awafariji na
> kuwatunza familia iliyobaki.
> wale waliomaliza masomo nawapa hongera pia,kaka
> njunwa hongera kwa kupata ubavu nadhan nlikuwa
> sijakupongeza.kama kuna niliyemsahau hongera zake
> pia.ohoo nilisahau pia roselyn pole kwa kufiwa na
> mtoto wa sister,mungu ampe moyo mkuu your sister.
> mungu awabariki wote
> Amy
>
>

> ---------------------------------


> Support the World Aids Awareness campaign this
> month with Yahoo! for Good
>
>
>


CEO & PRESIDENT
"ZION PHARMACEUTICAL INDUSTRY"
Tel: +919894155529

"Bravery is not a quality of the body, it is of the soul"

festo kandonga

unread,
Jan 23, 2008, 12:20:15 AM1/23/08
to LJSclas...@googlegroups.com
ukitaka maana ya majina ya kinyakyusa hata mie ni mtaalamu tuu. ni consult mfano gwandumi, gwamaka , ndusa , lusekelo, etc etc

----- Original Message ----
From: Madethe Mdegella <mad...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, 22 January, 2008 10:29:20 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: habari

Wanadara mmnaendelea je? nafurahi kwamba tumevuka mwaka salama,
Pole sana Stewart kwa msiba ulio kupa, waliotangua siku moja tutawafuata, hawajaenda mbali siku zote tupo nao katika ulimwengu wa roho, Mungu amempuzisha mahali pema, Na Mungu alie mwita Baba,ndio Mungu huyohuyo atakae kupa farajamoyoni ili uweze kusonga mbele, POle sana na Mungu awafariji wote.
Rosely Pole sana kwa msiba uliowapata kufiwa na mtoto wa DAda yako, Mpe pole sana, mimi ni Mama naelewa how she feels, is just so hard to walk in that road jamani just mpe pole, pole sana, mtoto anauma sana hasa kwa mama jamani Poleni sana.
Amy ulipotelea wapi? I will write to you soon.
Subira hivi nilikuwa hongera? hope I did sababu I keep thinking about it, HOngera sana kwa kumleta Junior Gwakisa, Tulamwona, Twisakumketa, Tupeligwe,wa Ukoo wa Judah, yaani kabila moja na Yesu. Alivyozaliwa Sia... wifi zangu wanyakyusa walimpa majina hayo... walilo likazanania ni NGuse na wengine Gwatwa... sijui hata yana maana gani ila I just call her Sia....
 Wanadarasa wote nawapenda sana, nawatakia siku njema....
Love mama Sia.
----- Original Message ----
From: amy mchelle <amymc...@yahoo.co.uk>
To: lutheran junior <ljsclas...@googlegroups.com>
Sent: Monday, January 21, 2008 2:54:39 AM
Subject: [LJSclassof2000] habari

bwana yesu asifiwe wapendwa wanadarasa
nafurahi sana kusoma email zenu na kuona kuna watu wanazidi kuongezeka kama kandonga na wengineo maana ni muda mrefu umepita hatujaonana wala kuwasikia.
naomba nichukue fursa hii kumpa pole stewart kwa kumpoteza baba yake,mungu ni mwema na awafariji na kuwatunza familia iliyobaki.
wale waliomaliza masomo nawapa hongera pia,kaka njunwa hongera kwa kupata ubavu nadhan nlikuwa sijakupongeza.kama kuna niliyemsahau hongera zake pia.ohoo nilisahau pia roselyn pole kwa kufiwa na mtoto wa sister,mungu ampe moyo mkuu your sister.
mungu awabariki wote
Amy

Support the World Aids Awareness campaign this month with Yahoo! for Good




Never miss a thing. Make Yahoo your homepage.

festo kandonga

unread,
Jan 23, 2008, 12:22:06 AM1/23/08
to LJSclas...@googlegroups.com
tuanze kuwa tambua kwa majina ya familia zenu mfano gigwa wewe ni Mrs nani? mwanao je anaitwaje? maana tuna vijana wa kiseminari wengine hawachelewi kuwaita majina ya utani. sasa jiite  e.g. Mrs ........................zamani Gigwa

----- Original Message ----
From: Gigwa STEVEN <gig...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, 22 January, 2008 4:38:01 PM
Subject: [LJSclassof2000] Re: Pole kwa kaka Stewart


Habari zenu Watumishi wa Bwana,
Nilipotea jamani lakini mnisamehe tu ni vijimambo.

Naomba niungane na wengine waliotangulia na Mimi
nikupe POlea sana Kaka Sabuka Mungu akutie nguvu.
Pia naomba Umpe salaam nyingi sana Dada Yako Sarah
mwambie ninampa pole nyingi sana.

Hata hivyo tunaushukuru mtandao kwa kutuunganisha japo
twapoteana lakini shughuli zikipungua unajua pa
kuwapata wapendwa na kuwajua hali . Asante sana.

Sina mengi wapendwa .
Mungu awangazie Nuru ya Uso wake na kuwapa Amani.
Wote tuseme AMEN.

Love,
Gigwa.



--- Madethe Mdegella <mad...@yahoo.com> wrote:

> Support the World Aids Awareness campaign this month
> with Yahoo! for Good
>
>
>     
>
____________________________________________________________________________________
> Never miss a thing.  Make Yahoo your home page.
> http://www.yahoo.com/r/hs
>
>
>


Gigwa Stephen (Mrs)
University of Dar es Salaam
Mlimani Postal Mail Bag
P. O. Box 110 136
Dar es Salaam
Tanzania.
Tel.(Mobile) +255 (0)744 387 643



      ____________________________________________________________________________________
Never miss a thing.  Make Yahoo your home page.

festo kandonga

unread,
Jan 23, 2008, 12:23:48 AM1/23/08
to LJSclas...@googlegroups.com
kwa hiyo unataka kusema amy yeye ni kama tomaso? mpaka aone ndipo aamini!!!!!!!! kama ndivyo kwenye harusi yako asiwe Matron

----- Original Message ----
From: Ras Frah <ras_...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, 23 January, 2008 7:17:04 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: habari-emy


helo amy...
  dada yangu mbona ulipotea sana toka harusi.....
au kuwa msimamizi ndio ukaamua kwenda kusimamia hado
honey-mooon...dada yangu kwa kupenda ushahidi.....
  mambo vipi lakini..? Nimekumiss tuu ndugu yangu...
  ubarikiwe...mie nipo tuu mjini hapa napambana.


--- amy mchelle <amymc...@yahoo.co.uk> wrote:

> bwana yesu asifiwe wapendwa wanadarasa
>  nafurahi sana kusoma email zenu na kuona kuna watu
> wanazidi kuongezeka kama kandonga na wengineo maana
> ni muda mrefu umepita hatujaonana wala kuwasikia.
>  naomba nichukue fursa hii kumpa pole stewart kwa
> kumpoteza baba yake,mungu ni mwema na awafariji na
> kuwatunza familia iliyobaki.
>  wale waliomaliza masomo nawapa hongera pia,kaka
> njunwa hongera kwa kupata ubavu nadhan nlikuwa
> sijakupongeza.kama kuna niliyemsahau hongera zake
> pia.ohoo nilisahau pia roselyn pole kwa kufiwa na
> mtoto wa sister,mungu ampe moyo mkuu your sister.
>  mungu awabariki wote
>  Amy
>
>       
> ---------------------------------

>  Support the World Aids Awareness campaign this
> month with Yahoo! for Good
>
>
>


CEO & PRESIDENT
"ZION PHARMACEUTICAL INDUSTRY"
Tel: +919894155529
     
"Bravery is not a quality of the body, it is of the soul"


      ____________________________________________________________________________________
Never miss a thing.  Make Yahoo your home page.
http://www.yahoo.com/r/hs


Mhuji kilonzo

unread,
Jan 24, 2008, 12:58:19 PM1/24/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Hellow! nashukuru kwa sms yako,nilijaribu kureply back
sijui kama uliipata.Huko unafundisha nini? Kiswahili?

amy mchelle

unread,
Jan 28, 2008, 4:18:12 AM1/28/08
to LJSclas...@googlegroups.com
nnachojua ras frah huna msaada,huwezi kusema mie hadi nikashuhudie honeymoon ingawa kweli wangekosea tu wakasema au kutania kwamba twende wote walah nisingeikosa nafasi hiyo adhimu,ha ha ha.ras uko kimya au nawewe unaandaa harusi kimya kimya maana sina imani na wewe!!1inawezekana umerudi na muhindi ila siri yako,kama kuna siku nimekuona uko na kimwana wa kihindi.ukitaka nisiseme sana hapa nitafute nikufichie siri kama vipi mi naharibu humu najua kuna ndege ntawapeperusha tuuuu
festo usimwamin ras si unajua hajakua ila akikua ataacha
wanadarasa wengine woooote habari zenu,i hope God is good na anatupigania na maisha yetu
much love,amy

festo kandonga <festok...@yahoo.co.uk> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 28, 2008, 5:25:49 AM1/28/08
to LJSclas...@googlegroups.com
engineer una maneno mengi sana. any way mie nakutafuta japo nikuone maana upo katika kipindi hiki cha megeuzi ya kilimo . chini ya tyson na amini mtaenda vizuri. 0713 755 636

----- Original Message ----
From: amy mchelle <amymc...@yahoo.co.uk>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Monday, 28 January, 2008 12:18:12 PM
Subject: [LJSclassof2000] Re: habari

braille

unread,
Jan 28, 2008, 9:55:10 AM1/28/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Tunashukuru mheshimiwa Kishaka.
   Mzee Kishaka tupe namna ya kukufikishia rambirambi zetu, benki akaunti au mjumbe hapo mjini dar. Tunaomba maelekezo yako kaka.
Wapendwa naomba tushirikiane na kaka Kishaka katika swala zima la rambirambi.
  Asanteni waheshimiwa
  
  


brai...@hotmail.com
http://braillen.hi5.com
http://braille.hi5.com

danstan kishaka

unread,
Jan 29, 2008, 1:05:05 AM1/29/08
to LJSclas...@googlegroups.com


Kaka nashukuru, dada Liliani nadhani amekuwa akikusanya michango ya nyie mliopo nje na anauzoefu zaidi jinsi ya kukusanya hiyo michango, Nina Account namba ya NBC na sijui ni expensive kiasi gani kutuma mchango kwa walioko nje,labda dada Liliani nikuombe unisaidie na kwa tulioko Dar NBC hakuna charges zozote zaidi ya muda wako. My Account name is KISHAKA DANSTAN, Account Number is 040201000121, and please whoever puts in anything Let me know. Wish you the best of lucky


Looking for last minute shopping deals? Find them fast with Yahoo! Search.

braille

unread,
Jan 29, 2008, 1:21:58 AM1/29/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Asante Mr. Kishaka,
Kuhusu wa huku nje maranyingi huwa wanawapa ndugu zao au marafiki zao ambao hufanya hizo deposits au kutuma kwa westen union/ money orders, Kwahiyo wa-nje ...mnajijua ..tuwasiliane kama kunaanayetatizwa na namna ya kufikisha rambirambi zake.
    Mungu awazidishe nyote kabla hata ya kupungukiwa.
Asanteni 

Jefta Gladys

unread,
Jan 29, 2008, 3:09:42 AM1/29/08
to LJSclas...@googlegroups.com
habari wana darasa natumain hamjambo wote na heri ya mwaka mpya.napenda kuchukua nafasi hii kumpa pole kaka stewart kwa kumpoteza baba yake mpendwa mungu aitie nguvu familia yako katika kipindi hiki kigumu cha majonzi,pia roselyne pole kwa kufiwa na mtoto wa dada yako.
bwana festo mzima umepotelea wapi rafiki yangu enzi zileeeeeeeeeeeeee za mabibo zijakutia machoni tena hope ur fine ubarikiwe!!
matron amy mzima wewe!!kumbe unafaa bwana itabid tuanze kukukodisha sasa haaaahaaaa!!
cheers

festo kandonga <festok...@yahoo.co.uk> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 29, 2008, 7:19:38 AM1/29/08
to LJSclas...@googlegroups.com
wewe mambo jamani mie nipo nipo mjini napiga kazi wewe je? upo wapi? nakumbuka ulivyo kuwa unajipa raha !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

----- Original Message ----
From: Jefta Gladys <gje...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, 29 January, 2008 11:09:42 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: habari

festo kandonga

unread,
Jan 29, 2008, 7:20:22 AM1/29/08
to LJSclas...@googlegroups.com
tumekusoma tumekusoma

----- Original Message ----
From: braille <brai...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com

Roselyne Alphonce

unread,
Jan 31, 2008, 5:17:51 AM1/31/08
to LJSclas...@googlegroups.com
habari wanadarasa,
 
asanteni sana wote kwa pole zenu, tumeshapoa na lucy anaendelea vizuri ndio kidogo ameanza kurecover but it is indeed very painful. stewart pole sana baba. Duah upo? nilipoteza simu so i lost your number communication.
 
regards
 
Roselyne

Madethe Mdegella <mad...@yahoo.com> wrote:

samson mugisha

unread,
Feb 4, 2008, 3:04:46 AM2/4/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Madethe mbona unatisha na hiyo biblia ambayo mmeitengeneza nyie wenyewe.
Yaani banyakyusha gani wanaukoo mmoja na Yesu? Bakina Subiraga Owden Mwalumuli?
Bajmani Hiyo ni Biblia ya Askfu Owden Mdegela bajamani? Ndivyo anvyowafundishaga bantu ba Iringa? Ndivyo alivyokufunda tangu ungali mdogo ama tangu ungali tumboni? Mi nadhani ulimsikiaga Askofu ungali tumboni na ukasiaga in a negative way. 
Muangaliage msije mkaanzisha makanisa ya kikabila an maukoo ya kwenu nyie?
maana ni uwifi na uwifi tu mnaanza kuwakena matawi ya juu ya ukoo wa JESUS? ili tubaogope? Mbona ... mbona................................ hayafananigi na YEYE?
mie yangu ni gamacho tu.
 
mambio niaje mkuu wangu, natumai ni mzima na unaendelea kutoa hotel kwa huyo binti mpandwa.
 
Dada Subiraga unaongea kingereza kigumu mimi mwenzio maamuma. Ulisomeaga wapi vile China?, Korea? au Phillipins?
 
Bandugu ba LJS maneno aliyoyaongea Kaka Amosi yana umakini na yanatakiwa ufanisi kwelikweli.
 
I can see how people are serious in this LJS and i do beleive together we can achieve this.
My suggestion are:
1. all of us should contribute our ideas towards this thing through internet.
2. Those ones in Dar and other Regions, Let them come together for a meeting.
3. Then all the suggestion and a way forward will be brought back in the website so that all of them can read and come for a conclusion.
 
Hopefull from there we can what to do.
 
there is a lot to do and there is a lot of regulations and procedures to tackle all.
 
lets do this more professionally tusikukuluke and at the end of the day we'll be throwing a ball to one another and hence findin difficulty in meeting the people you luv (i.e. us together)
 
thank you all.
 
May God Bless you all And Presserving you all for His Divine Purposes.
 
I want all of you to know that "TOGETHER WE CAN ACHIEVE THIS AND FOREVER WE CAN STAND UNITE"
 
Love you all.
 
your Big bor. THE JITU JITU.
 

Madethe Mdegella <mad...@yahoo.com> wrote:

Madethe Mdegella

unread,
Feb 6, 2008, 2:02:37 PM2/6/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Jutuuuuuuuuuuuuuuu, Jutu, is just so nice to hear from you, nimesoma email yako, nakuanza kupata madongo, yaani Jitu, you are so fun, I just laugh so hard watu wanaweza kufikiri mikichaaa, kumbe mwenzio nilisha changanyikiwaga "notice the 'ga' there" kitambo cha Jaja. Nimefurahi kusikia kutoka kwako.
Amos mimi sielewi vitu gani? gani yaaani kwamba? any way nitakupigia baadae unieleweshe what you try to do  and say you and Gigwa Okay
wanadarasa Big Love to you all.

----- Original Message ----
From: samson mugisha <samu...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com
Sent: Monday, February 4, 2008 12:04:46 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: habari


Be a better friend, newshound, and know-it-all with Yahoo! Mobile. Try it now.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages