Mabibi na Mabwana!

59 views
Skip to first unread message

Amos Malongo

unread,
Jan 7, 2008, 7:15:10 PM1/7/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe!
 
Ama baada ya salamu hiyo takatifu, naomba nikusalimuni zaidi kwa kusema Heri ya mwaka mpya 2008!
 
Napenda kuungana na wote waliokwishaandika mistari katika huu wavuti wetu, hasa naona mzee wa UN ameanza kwa kasi nzuri mwaka 2008,endelea kaka usiache. Braille mkuu wangu wa kazi wewe na mimi ni sawa na "Wapemba wa Bara" wala si waarabu wa pemba...hahahaa!
 
Leo ni tarehe nane(mtanisamehe kwa wale mtaosoma email hii kabla ya tarehe 8), naamini zimebaki siku 3 takribani ya Birthday ya Tusa...of course na siku ya Harusi pia. Tumejiaandaje kama wanadarasa? Tumemaliza ahadi za michango yetu? Jamani shughuli yahitaji watu eti, na watu wenyewe ndio siye...sasa? Kieleweke basi by terehe 10 hivi ili dada yetu atoke kimasomaso!
 
Nashuhudiwa na Roho wa Mungu kwamba atakayefuata baada ya Tusa ni....ni......ni......ni......ni.......!
nakutakieni wakati mzuri wajameni!
amos.


"Do nothing from selfishness or empty conceit, but with humility of mind, regard one another as more important than yourselves;do not merely look out for your personal interests,but also for the interest of others.""So then, while we have opportunity,let us do good to all people,and especially to those who are of the household of the faith."
Philippians 2:3;Galatians 6:10


Never miss a thing. Make Yahoo your homepage.

Ras Frah

unread,
Jan 8, 2008, 7:17:24 AM1/8/08
to LJSclas...@googlegroups.com
HERI YA MWAKA MPYA.......
kaka braile na dada pam tunashukuru kwa neno la
kutuongoza mwaka huu wa 2008 na wengine wote
waliochangia mawazo ktk kukaribisha mwaka bila
kumsahau mzee wa UN.....mungu awabariki...

Dada lily sidhani kama liloliongelewa "radio mbao"
kuhusu mkikuyu kama litafika huko....mungu mkubwa
mambo yatakaa sawa karibuni...

kaka amos harusi ya tusa nipo mlangoni mwa kanisa
zuilio la haki ninalo mkuu....bila kuelewana
hakieleweki kitu...joke

Dada Tusa nakutakia siku nzuri yenye furaha, nikiweza
ntakuja ila siku hiyo hiyo ntakuwa na harusi hapa home
nawakaribisha wote....ila hata kwa 5min lazima nije
aisee......ntadondosha chozi aiseeeeee....!!!!!!!!!

Jamani anayefuata nani ktk mambo ya kuuaga ukapera???
dada zetu mkiisha nafikiri ndio tutashtuka na sie
kuanza kutangaza... wazungu si wanasema "wanawake
kwanza" mie natangaza yangu na gladies ila itakuwa ya
mwishoni....wanga msinibanie...ndio nshaitangaza hiyo.

> ---------------------------------


> Never miss a thing. Make Yahoo your homepage.
>
>
>


CEO & PRESIDENT
"ZION PHARMACEUTICAL INDUSTRY"
Tel: +919894155529

"Bravery is not a quality of the body, it is of the soul"


____________________________________________________________________________________


Never miss a thing. Make Yahoo your home page.

http://www.yahoo.com/r/hs

Lilian Nsyenge

unread,
Jan 8, 2008, 8:21:59 AM1/8/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Ni kweli Ras naona mabo yanakuwa shwari baada ya kenya kuuza magazeti kwa zaidi ya week 2.

Hakuna atakayekubania katika uamuzi wako kaka. Ila bibiye Gladys hajatujuza hilo na tulikuwa wote kitchen party ya Isyu. Nafikiri alikuwa akitafakari yake itakuwaje na Pastor wa Gujarati. hahahahaaaaa! saafi sana! mwaka huu unagawanyika kwa mbili so tutegemee lolote. hata Jitu anaomba mwaka huu usipite bila Mungu kutenda muujiza. Amos ndo usiseme anasugua goti kama yuko gethsemane.

Lakini katika yote, tukumbuke kushukuru na kumtanguliza Mungu! Alamsik!



 


From:  Ras Frah <ras_...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] HERI YA MWAKA MPYA
Date:  Tue, 8 Jan 2008 04:17:24 -0800 (PST)

David Kweka

unread,
Jan 8, 2008, 1:46:29 PM1/8/08
to lin...@hotmail.com, LJSclas...@googlegroups.com
Good People,
Kwanza natanguliza shukrani kwa anayeniwezesha kupumua mpaka usawa huu.
Pili napenda kuwatakia mwanzo na mwendelezo mwema wa 2008. Ni jambo la kushukuru mungu kwamba wanadarasa tumeuona mwaka mpya &#39;08.
Tatu naomba niwarudishe kundini watu hawa, MHUJI KILONZO email add: m_ki...@yahoo.com na STEVEN NGOWI email add: steven...@yahoo.com. Braill pls add them to our group.
Ni siku chache tu zimepita tangu kuanza mwaka, naona watu wameshaanza kujiwahia vyao kabla mambo hayajaharibika. Huu mwaka naona umenikalia mkono wa kulia, yani kama ni futiboli niko ndani ya penati boksi. Kama alivyokwishaanika Ras Frah na mimi naweka open ya kwamba mamaa niliyemsubiri takriban miaka 7 amerudi bongo na ahadi kemkem. Si mwingine ni kimwana D..h. Kwa sasa namiliki bastola atakayeingia kwenye anga langu nitamtegua kiuno. Amos nimesikia ulimfuata ughaibuni kwa lengo la kumrubuni, nadhani msg umeipata.

Kaka Braille, mbon nta foo?

Hillary aka OPAM, bado nakukumbuka mzee ingawa siku hz umenimwaga.

Isyu mambo niaje? kama siamini vile, lakini poa tu. najua uko busy mida hii, wish u tha best mpendwa.

Bandugu wengine mnafeel ajeee........! Tupo pamoja, kudadadeki.

&quot; IT DOESN&#39;T MATTER HOW SLOWLY WE GO SO LONG AS WE DONT STOP&quot;. Confucius

Lilian Nsyenge wrote:
> Ni kweli Ras naona mabo yanakuwa shwari baada ya kenya kuuza magazeti kwa zaidi ya week 2.
> Hakuna atakayekubania katika uamuzi wako kaka. Ila bibiye Gladys hajatujuza hilo na tulikuwa wote kitchen party ya Isyu. Nafikiri alikuwa akitafakari yake itakuwaje na Pastor wa Gujarati. hahahahaaaaa! saafi sana! mwaka huu unagawanyika kwa mbili so tutegemee lolote. hata Jitu anaomba mwaka huu usipite bila Mungu kutenda muujiza. Amos ndo usiseme anasugua goti kama yuko gethsemane.
> Lakini katika yote, tukumbuke kushukuru na kumtanguliza Mungu! Alamsik!
>  

> From:   Ras Frah <ras_...@yahoo.com> Reply-To:   LJSclas...@googlegroups.com To:   LJSclas...@googlegroups.com Subject:   [LJSclassof2000] HERI YA MWAKA MPYA Date:   Tue, 8 Jan 2008 04:17:24 -0800 (PST) > >HERI YA MWAKA MPYA....... >kaka braile na dada pam tunashukuru kwa neno la >kutuongoza mwaka huu wa 2008 na wengine wote >waliochangia mawazo ktk kukaribisha mwaka bila >kumsahau mzee wa UN.....mungu awabariki... > >Dada lily sidhani kama liloliongelewa "radio mbao" >kuhusu mkikuyu kama litafika huko....mungu mkubwa >mambo yatakaa sawa karibuni... > >kaka amos harusi ya tusa nipo mlangoni mwa kanisa >zuilio la haki ninalo mkuu....bila kuelewana >hakieleweki
> kitu...joke > >Dada Tusa nakutakia siku nzuri yenye furaha, nikiweza >ntakuja ila siku hiyo hiyo ntakuwa na harusi hapa home >nawakaribisha wote....ila hata kwa 5min lazima nije >aisee......ntadondosha chozi aiseeeeee....!!!!!!!!! > >Jamani anayefuata nani ktk mambo ya kuuaga ukapera??? >dada zetu mkiisha nafikiri ndio tutashtuka na sie >kuanza kutangaza... wazungu si wanasema "wanawake >kwanza" mie natangaza yangu na gladies ila itakuwa ya >mwishoni....wanga msinibanie...ndio nshaitangaza hiyo. > > >--- Amos Malongo <amos_...@yahoo.com> wrote: > > > Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe! > > > >   Ama baada ya salamu hiyo takatifu, naomba > > nikusalimuni zaidi kwa kusema Heri ya mwaka mpya > > 2008! > > > >  
> Napenda kuungana na wote waliokwishaandika mistari > > katika huu wavuti wetu, hasa naona mzee wa UN > > ameanza kwa kasi nzuri mwaka 2008,endelea kaka > > usiache. Braille mkuu wangu wa kazi wewe na mimi ni > > sawa na "Wapemba wa Bara" wala si waarabu wa > > pemba...hahahaa! > > > >   Leo ni tarehe nane(mtanisamehe kwa wale mtaosoma > > email hii kabla ya tarehe 8), naamini zimebaki siku > > 3 takribani ya Birthday ya Tusa...of course na siku > > ya Harusi pia. Tumejiaandaje kama wanadarasa? > > Tumemaliza ahadi za michango yetu? Jamani shughuli > > yahitaji watu eti, na watu wenyewe ndio siye...sasa? > > Kieleweke basi by terehe 10 hivi ili dada yetu atoke > > kimasomaso! > > > >   Nashuhudiwa na Roho wa Mungu kwamba
> atakayefuata > > baada ya Tusa > > ni....ni......ni......ni......ni.......! > >   nakutakieni wakati mzuri wajameni! > >   amos. > > > > > > "Do nothing from selfishness or empty conceit, but > > with humility of mind, regard one another as more > > important than yourselves;do not merely look out for > > your personal interests,but also for the interest of > > others.""So then, while we have opportunity,let us > > do good to all people,and especially to those who > > are of the household of the faith." > > Philippians 2:3;Galatians 6:10 > > > > --------------------------------- > > Never miss a thing.   Make Yahoo your homepage. > > > > > > > > >CEO &
> PRESIDENT >"ZION PHARMACEUTICAL INDUSTRY" >  Tel: +919894155529 > >  "Bravery is not a quality of the body, it is of the soul" > > >       ____________________________________________________________________________________ >Never miss a thing.  Make Yahoo your home page. >http://www.yahoo.com/r/hs > >
>


__________________________________________________________
Sent from Yahoo! Mail - a smarter inbox http://uk.mail.yahoo.com

braille

unread,
Jan 8, 2008, 11:24:55 PM1/8/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Mimi sisemi lolote binamu (David,) Naona unatangaza ulinzi mkali mwaka huu wa 2008. Mimi nilikua nasubiri sana kusikia wanadarasa 2000 wanafix kua faimilia maana ni baraka na gundi muhimu kwa udugu huu.....Mwana ma shifonisha deny-en mbee.
  Kaka Frank sijasoma email yako for some reason ukituma email mimi  sizipati, unafanya makusudi nini? Usiogope Ukatibu nishaastaafu kaka tupeane taarifa zaidi. Wacha nikatafute email yako kwanza...
   Lilian  N, asante kwa salamu nakutakia mema mengi mwaka huu unaogawanyika kwa 2.
 
All the best to all of you out there 
 


brai...@hotmail.com
http://braillen.hi5.com
http://braille.hi5.com

Amos Malongo

unread,
Jan 8, 2008, 11:39:47 PM1/8/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Kama Braille katibu alah samahani mwenyekiti akiandika mimi ni nani basi hata nikae kimya. Braille si umesoma mwanyewe David alivyochimba mkwara kuhusu Duah...kitu ninachoweza kumwambia ni kwamba kutesa kwa zamu(kuna wanamuziki waliimba), mimi nasubiri tu Duah si atarudi huku wewe David uliye tu...si unajua kelele za chura hazimzuii Tembo kunywa maji? Frenk kaka wewe endelea usirudi nyumba, hapo ni sawasawa kabisa....ninarecommend kama katibu. Lily kwa kweli kama kusugua goti nimesugua kweli huyu Mungu kama hatafanya kitu mwaka huu basi nitatuliza boli kwa muda. Maana kila mwaka unaogawanyika kwa mbili huwa kuna matukio mawili mawili....sasa!!!!
 
Haya jamani nikutakieni wakati mzuri...Duah hebu rudi haraka nimekumiss, sema hapo David hahahahaaa!!
amos

braille <brai...@yahoo.com> wrote:

Looking for last minute shopping deals? Find them fast with Yahoo! Search.

Jefta Gladys

unread,
Jan 11, 2008, 9:05:01 AM1/11/08
to LJSclas...@googlegroups.com
natumain wapendwa wote m wazima kwanza heri ya mwaka mpya tunamshukuru mungu tumeuona.
Yani lily huwezi amin furaha niliyo nayo rohoni kwa kupata mchumba ras japo wa kiuongouongo hata mie hiz breaking newz nimezipata  humuhumu kwenye blog,hata siku ya kpat ya isyu nilikuwa sijui kama mwenyezi mungu amenipa mchumba hahahaaa!ila hiyo nyumba siipatii picha ya glady &frank .hope tutakutana jmosi kwenye harusi ya bibie isyu.
 
all the best dia pipo

Lilian Nsyenge <lin...@hotmail.com> wrote:

Jefta Gladys

unread,
Jan 11, 2008, 9:13:55 AM1/11/08
to LJSclas...@googlegroups.com
hujambo!!
nakushukuru sana mume wangu mtarajiwa kwa kuniteua mimi out of them kula kiapo mbele ya mashahid kwamba kwa shida na raha mpaka hapooooooo kifo kitakapotutenganissha.
ubarikiwe sana hahahaaa

Ras Frah <ras_...@yahoo.com> wrote:

HERI YA MWAKA MPYA.......
kaka braile na dada pam tunashukuru kwa neno la
kutuongoza mwaka huu wa 2008 na wengine wote
waliochangia mawazo ktk kukaribisha mwaka bila
kumsahau mzee wa UN.....mungu awabariki...

Dada lily sidhani kama liloliongelewa "radio mbao"
kuhusu mkikuyu kama litafika huko....mungu mkubwa
mambo yatakaa sawa karibuni...

kaka amos harusi ya tusa nipo mlangoni mwa kanisa
zuilio la haki ninalo mkuu....bila kuelewana
hakieleweki kitu...joke

Dada Tusa nakutakia siku nzuri yenye furaha, nikiweza
ntakuja ila siku hiyo hiyo ntakuwa na harusi hapa home
nawakaribisha wote....ila hata kwa 5min lazima nije
aisee......ntadondosha chozi aiseeeeee....!!!!!!!!!

Jamani anayefuata nani ktk mambo ya kuuaga ukapera???
dada zetu mkiisha nafikiri ndio tutashtuka na sie
kuanza kutangaza... wazungu si wanasema "wanawake
kwanza" mie natangaza yangu na gladies ila itakuwa ya
mwishoni....wanga msinibanie...ndio nshaitangaza hiyo.


Ras Frah

unread,
Jan 11, 2008, 9:53:36 AM1/11/08
to LJSclas...@googlegroups.com
waungwana lamgambo limelia.....dakika ya tatu... bao
tatu tunaongoza.....vurugu zimeanza match imekatishwa
na ushindi tumepewa....tukutane istana....

tusajigwe isaga andendeksye mwakikole mwana wa
mwalukasa kaamua kuuaga ukapera.....ni furaha ila
inaniuma, najikaza kijeshi tuu mtoto wa manyara

Gladies biashara asubuhi, tufanye hima bibie... au na
mie ninunue bastola? maana kweka yeye katangaza vita
kabisa...bugando sio mbali.


____________________________________________________________________________________
Be a better friend, newshound, and
know-it-all with Yahoo! Mobile. Try it now. http://mobile.yahoo.com/;_ylt=Ahu06i62sR8HDtDypao8Wcj9tAcJ

Ras Frah

unread,
Jan 11, 2008, 10:33:38 AM1/11/08
to LJSclas...@googlegroups.com
RWAGABABO & WOISO

YAHOO HAIWEZI FUNGWA BWANA.... RWAGA NAJUA WAHAYA
WAJANJA WEWE UMETOKEA WAPI UNAWEZA DANGANYWA HARAKA
HIVI KAMA MMAKONDE...?
HAO JAMAA WANATAKA MAIL ADDRESS ZENU TUU ILI KESHO
AU MWAKANI MKIWA MMESAHAU WAANZE KUTUMA MADUDU-ADS
YAO..... "MAISHA AKILI-KUJITANGAZA UJANJA" HAPO WANA
WA LJS GROUP WOTE EMAIL ZETU MSHAZIUZA
BURE....NIKILETEWA ADVERT YA VIAGRA KESHO LAZIMA
TUSHIKANE MASHATI....

YAHOO MEMBER WANAVYOKUWA WENGI...WAO NDIO WANAPATA
HELA....KUJITANGAZA KWA YAHOO INAKUWA GHALI ZAIDI...
NI KAMA UNAPOKUWA NA BLOG YAKO NA WATU WANAOINGIA PALE
KUICHECK KWA SIKU WAKIZIDI KUWA WENGI NDIO UNAPATA
MADILI MAZURI YA BIASHARA YA MATANGAZO....FUNGUENI
BLOG WAKUU... MIE COMPUTER ZERO...MAMBO YA KU-UPDATE
KILA SIKU SIWEZI....PC NAGUSA MARA MOJA KWA WEEK.

LOVE U ALL


____________________________________________________________________________________


Looking for last minute shopping deals?

Find them fast with Yahoo! Search. http://tools.search.yahoo.com/newsearch/category.php?category=shopping

mary mrema

unread,
Jan 14, 2008, 7:17:27 AM1/14/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Shalom wanadarasa!
Kwa wale mlioshindwa kuhudhuria harusi Tusa kwa kweli
harusi ilikuwa nzuri sana na ilipendeza.Tun#amshukuru
mwenyezi mungu kwa kumpa Frank ujasiri wa kuweza
kuhudhuira harusi toka mwanzo lakini uzalendo
ulimshinda mwishoni ikabidi aondoke mapema kabla ya
sherehe kuisha kwa kisingizio cha kuwa anaishi nje ya
mji, kumbe roho ilimuuma baada ya kugundua kuwa
alichezea bahati.
Walioweza kuhudhuria ni Benard,
Saphina,Phadhil,Anna,Lulu,Frank na Mary.

danstan kishaka

unread,
Jan 15, 2008, 5:52:46 AM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com


Just to inform all of you that our fellow Stewart Sabuka has lost his father, his father who was admitted at Kairuki hospital has died 2day in the morning.Stewart is currently in Finland and thats what i know so far, Lets pray for the guy

Mhuji kilonzo

unread,
Jan 15, 2008, 6:09:08 AM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Hi everybody!!

This is just to say hellow. Mimi nipo morogoro doing
my Msc in forestry at SUA.

I MISS YOU GUYS!

mhuji kilonzo

Lilian Nsyenge

unread,
Jan 15, 2008, 7:53:14 AM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Oh pole sana kaka Stewart. Mungu akufariji pamoja na familia yote katika wakati huu mgumu.

Uwe na moyo mkuu na mwangalie Mungu. Ninakuombea kaka.

Kaka Kishaka asante kwa taarifa. 

Wanadarasa wote poleni kwa msiba huu.


From:  danstan kishaka <dkis...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Sad news
Date:  Tue, 15 Jan 2008 02:52:46 -0800 (PST)




Just to inform all of you that our fellow Stewart Sabuka has lost his father, his father who was admitted at Kairuki hospital has died 2day in the morning.Stewart is currently in Finland and thats what i know so far, Lets pray for the guy

      
Never miss a thing.   Make Yahoo your homepage.





Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

Lilian Nsyenge

unread,
Jan 15, 2008, 8:04:40 AM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Hello Mhuji,

That was nice. thanks for dropping a line. all the best in your studies. God bless.


From:  Mhuji kilonzo <m_ki...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] greetings from morogoro!!
Date:  Tue, 15 Jan 2008 03:09:08 -0800 (PST)

Hillary Rite

unread,
Jan 15, 2008, 9:59:13 AM1/15/08
to ljsclas...@googlegroups.com

Mr. Sabuka pole sana ndugu yetu,

Huu ni wakati mgumu sana kwako na watu wa familia yako na marafiki, na zaidi kwa wote tunaoishi mbali na wazazi wetu
Mungu akufariji na kuwasaidia katika taratibu zote za msiba
Kama wanandugu tuko pamoja nawe kwa hali na Mali
Bwana azidi kukutia Nguvu pole sana mzee.

Wanadarasa wengine poleni sana kwa msiba,

Kaka Kishaka Asante kwa taarifa na tunategemea sana uwakilishaji wako na kutupa taarifa zaidi.

hilly2004




From: lin...@hotmail.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: Sad news
Date: Tue, 15 Jan 2008 15:53:14 +0300


Get the power of Windows + Web with the new Windows Live. Get it now!

Amos Malongo

unread,
Jan 15, 2008, 11:34:55 AM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Hi wanadarasa!
 
This is indeed a sad news to all of us as classmates to Mr. Stewart, ninapenda kuchukua nafasi hii kuungana na wanadarasa wengine waliotangulia kukupa pole. Pole sana kaka, najua ni vigumu kuamini hasa pale inapotokea kwa mtu wa karibu hivi(mzazi) lakini nakuomba jipe moyo wa ushujaa na imani kuwa mzee amepumzika kwa amani. Tulia, mtafakari Mungu zaidi hatimaye yatapita, Mungu mwenyewe akupeni faraja ya kweli kipindi hiki chote cha msiba na taratibu za mazishi. Pole sana kaka!
 
Wito kwa wanadarasa tulioko Dar na mahali pa karibu na Dar, tuungane pamoja katika kuhudhuria na kuifariji familia ya kaka yetu Stewart kama wanadarasa, kisha tujulishane maswala mengine ya namna ya kumpa pole ndugu yetu. Kishaka Asante kwa kutupa taarifa, tupigiane simu pia kupeana taarifa hii.
 
Asante!
Amos.

Hillary Rite <hill...@hotmail.com> wrote:
color=#0000ff>"Do nothing from selfishness or empty conceit, but with humility of mind, regard one another as more important than yourselves;do not merely look out for your personal interests,but also for the interest of others.""So then, while we have opportunity,let us do good to all people,and especially to those who are of the household of the faith."
Philippians 2:3;Galatians 6:10

Hillary Rite

unread,
Jan 15, 2008, 4:36:02 PM1/15/08
to ljsclas...@googlegroups.com

HONGERA SANA KIJANA WA MJI KASORO BAHARI KWA KUANZA MSc. KEEP IT UP BRO.
KARIBU SANA KWENYE UMOJA WETU HUU
BILA SHAKA ULIWEZA KUTUWAKILISHA KATIKA HARUSI YA HP HUKO MORO
WENGINE WOTE NAWASALIMU KATIKA JINA LA BWANA

hilly2004



> Date: Tue, 15 Jan 2008 03:09:08 -0800
> From: m_ki...@yahoo.com

> Subject: [LJSclassof2000] greetings from morogoro!!

Amos Malongo

unread,
Jan 15, 2008, 6:22:10 PM1/15/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Hakika Hilary umekumbuka nyumbani baada ya Mheshimiwa sana Mhuji Kilonzo kuangusha mistari michache katika wavu huu wa LJS class of 2000.
 
Aidha nichukue nafasi hii kukusalimu sana kijana Mhuji, habari za miaka mingi kaka! Aise nimefurahi sana kuona maandishi yako kwa kompyuta. Karibu rasmi katika ulimwengu wa mawasiliano ya wanadarasa. Naamini utafurahia raha ya huu mtandao kaka, hutatamani kuacha kuandika kila upatapo wasaa maridhawa! Wape hi huko mji kasoro bahari bila kumsahau bwana Mkude, Banzi na Koba...hahahahaaa!!!!
 
Haya basi ni hayo tu kwa leo wajameni maana hali ya hewa ni..........na nanihii ni............
 
A.A.M.

Hillary Rite <hill...@hotmail.com> wrote:
Philippians 2:3;Galatians 6:10

lulu tunu

unread,
Jan 16, 2008, 5:25:53 AM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Helo wanadarasw, kwanza naomba nianze kutoa asante kwa salamu tele ninazoziona mtandaoni na kwa wale wote waloweza kuja home na kunipigia simu yote katika kunipa pongezi na baby boy wangu, nasema asante na mungu awabariki.
 
Pili nawapongeza wengine wote kwa neema nyingi ambazo mungu amewajalia from graduation (Duah et al.), marriage (Tusa et al.), Kazi, shule and babies. Na  pia naomba kuwapa pole wote waliouguliwa kama Naomi na waliopata misiba kama Sabuka.Yote ni mema machoni pa bwana.
 
Sasa nimerejea kazini na natumai tutaendellea kuwa karibu humu kwenye mtandao.
 
Att: Amos Malongo: UPOOO, nimekukumbuka, last time before u left tulionana juujuu sana. NAkupata sana kwenye kwayakuu mail. Sasa naomba uniambie upo mji gani na phone number yako. ninayo ya kuteta kaka
 
Wengine wote, mungu awazidishie. Ujumbe wangu kwenu wa mwaka 2008
" DO MORE, HAVE MORE, BE MORE and GIVE MORE". Hope the message inspires you.
 
Ni mimi Mama Harrison (former Lulu Tunu).

Amos Malongo <amos_...@yahoo.com> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 16, 2008, 6:31:40 AM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com
ahsante kwa kuni co-opt kwenye umoja wenu /wetu wa wana darasa . mie nianze kwa kusema umoja huu ujaribu  ku balance ma swala ya msingi. mie nasikitika kuwa pamoja na kufanya kazi karibu kabisa na sketi ya nje ya posta ( outskirt) bado vijana hawajawa na ushirikiano wa wawazi. habari nyingi zikitoka mie sipati taarifa, sio kwamba mnanitenga lakini nadhani ni jinsi ya umoja ulivyo. mwalimu wangu wa LJS alipenda kutumia neno mode of operendai . tujipange maana other wise hii itakuwa ni umoja kama paper tiger. kwa mfano habari za msiba wa Mr.Sabuka mie sina, kwenye harusi ya Njunwa , Mhuji si kumuona ? ndugu yangu Amosi ame kuwa nyatunyatu si jui yupo wapi!!!!!!!! na jiuliza sauti ya Amosi nitaisikia wapi ? labda kwenye Haleluya Collections? ndugu yangu Hillary anarudi Dar kimya kimya? na  mimi Festo Kandonga, nina problem zangu si kuwa mimi ni msafi nani pia kwa jinsi yangu nimeuyumbisha umoja huu. sasa tunaendeleaje? which Way LJS 2000? kwa maoni yangu tupate viongozi wanao julikana , pia tuwe na utaratibu wa wazi kabisa  wa kukutana. mie ofisini kwangu hata ukumbi bure mta pata na usafiri ikiwezekana. lakini pia ni shukuru ndugu zangu moyo mmeuonyesha Sabuka mmempa ploe. pia nani natoa pole , ndugu yetu Njunwa mlimchangia, mie nilienda harusi. Ahsante. jamani mmwaka mpya tuanze upya
 
Festo Kandonga , B.A ( UDSM) , M.A ( UDSM)
Senior Administrative Officer
National Board of Accountants and Auditors ( NBAA)
Mhasibu House Bibi Titi Mohamed Street  , 2nd Floor
P.O Box 5128
DSM
0713- 755 636 


Sent from Yahoo! - a smarter inbox.

festo kandonga

unread,
Jan 16, 2008, 6:33:14 AM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com

festo kandonga

unread,
Jan 16, 2008, 6:34:01 AM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com
ahsante kwa kuni co-opt kwenye umoja wenu /wetu wa wana darasa . mie nianze kwa kusema umoja huu ujaribu  ku balance ma swala ya msingi. mie nasikitika kuwa pamoja na kufanya kazi karibu kabisa na sketi ya nje ya posta ( outskirt) bado vijana hawajawa na ushirikiano wa wawazi. habari nyingi zikitoka mie sipati taarifa, sio kwamba mnanitenga lakini nadhani ni jinsi ya umoja ulivyo. mwalimu wangu wa LJS alipenda kutumia neno mode of operendai . tujipange maana other wise hii itakuwa ni umoja kama paper tiger. kwa mfano habari za msiba wa Mr.Sabuka mie sina, kwenye harusi ya Njunwa , Mhuji si kumuona ? ndugu yangu Amosi ame kuwa nyatunyatu si jui yupo wapi!!!!!!!! na jiuliza sauti ya Amosi nitaisikia wapi ? labda kwenye Haleluya Collections? ndugu yangu Hillary anarudi Dar kimya kimya? na  mimi Festo Kandonga, nina problem zangu si kuwa mimi ni msafi nani pia kwa jinsi yangu nimeuyumbisha umoja huu. sasa tunaendeleaje? which Way LJS 2000? kwa maoni yangu tupate viongozi wanao julikana , pia tuwe na utaratibu wa wazi kabisa  wa kukutana. mie ofisini kwangu hata ukumbi bure mta pata na usafiri ikiwezekana. lakini pia ni shukuru ndugu zangu moyo mmeuonyesha Sabuka mmempa ploe. pia nani natoa pole , ndugu yetu Njunwa mlimchangia, mie nilienda harusi. Ahsante. jamani mmwaka mpya tuanze upya
 
Festo Kandonga , B.A ( UDSM) , M.A ( UDSM)
Senior Administrative Officer
National Board of Accountants and Auditors ( NBAA)
Mhasibu House Bibi Titi Mohamed Street  , 2nd Floor
P.O Box 5128
DSM
0713- 755 636 



----- Original Message ----
From: Hillary Rite <hill...@hotmail.com>
To: ljsclas...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, 16 January, 2008 12:36:02 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: greetings from morogoro!!


HONGERA SANA KIJANA WA MJI KASORO BAHARI KWA KUANZA MSc. KEEP IT UP BRO.
KARIBU SANA KWENYE UMOJA WETU HUU
BILA SHAKA ULIWEZA KUTUWAKILISHA KATIKA HARUSI YA HP HUKO MORO
WENGINE WOTE NAWASALIMU KATIKA JINA LA BWANA

hilly2004



> Date: Tue, 15 Jan 2008 03:09:08 -0800
> From: m_ki...@yahoo.com
> Subject: [LJSclassof2000] greetings from morogoro!!
> To: LJSclas...@googlegroups.com
>
>
> Hi everybody!!
>
> This is just to say hellow. Mimi nipo morogoro doing
> my Msc in forestry at SUA.
>
> I MISS YOU GUYS!
>
> mhuji kilonzo
>
>
> ____________________________________________________________________________________
> Looking for last minute shopping deals?
> Find them fast with Yahoo! Search. http://tools.search.yahoo.com/newsearch/category.php?category=shopping
>
>

Mhuji kilonzo

unread,
Jan 16, 2008, 2:23:57 PM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Hellow guys!! Once again, this is just to holla out
everybody! Festo Kandonga nimekupata mtu wangu,Amos
Malongo..tuko pamoja,i promise to keep in touch.
Jamani Glady Jefta popote ulipo...Nakukumbuka sana...

____________________________________________________________________________________


Never miss a thing. Make Yahoo your home page.

http://www.yahoo.com/r/hs

Hillary Rite

unread,
Jan 16, 2008, 6:14:06 PM1/16/08
to ljsclas...@googlegroups.com
Mhuji

Its too late my brother nanukuu email ya Frank ameshatangaza kabisa

"nani anayefuata nani ktk mambo ya kuuaga ukapera???

dada zetu mkiisha nafikiri ndio tutashtuka na sie
kuanza kutangaza... wazungu si wanasema "wanawake
kwanza" mie natangaza yangu na gladies ila itakuwa ya
mwishoni....wanga msinibanie...ndio nshaitangaza hiyo."

Hayo ni maneno ya room-mate wako, kwahiyo ujishike kijana.

Wanadarasa wengine Bwana awabariki

Mzee Kandonga nakuunga mkono






hilly2004



> Date: Wed, 16 Jan 2008 11:23:57 -0800
> From: m_ki...@yahoo.com
> Subject: [LJSclassof2000] Re: greetings from morogoro!!
> To: LJSclas...@googlegroups.com
>
>

Amos Malongo

unread,
Jan 16, 2008, 7:42:34 PM1/16/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Wanadarasa wote Oyeeeee!!! Festo Oyeeee!!!! Mhuji Oyeeeee!!! Lulu Tunu Oyeeeee!!!!
 
Ama baada ya shamrashamra hizo nipende kukusalimuni wanadarasa wote katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth. Kisha niseme kuwa mimi sijambo sana ninaendelea na ujenzi wa kanisa na Mataifa kwa ujumla wake.
 
a)Lulu, asante kwa kurejea mtandaoni baada ya Likizo ya mama mzazi. Ujumbe wako nimeupokea kwa ukubwa wote, aidha naamini umepata anuani zangu za mawasiliano kulingana na ombi lako dada. Kweli nami nina mengi ya kuongea nawe kama kipanga wangu wa kwenye kwaya kuu....ninaikosa mno. Barikiwa sana!
 
b)Mhuji, umekuwa hodari kudondosha mistari humu mtandaoni. Hakika hii ndio moja ya malengo ya umoja huu. Hongera kaka, nami ninakupata kutoka pale Mlogolo(morogoro) mji kasoro bahari. Wewe nitakutafuta siku moja tukae mahali tuzungumze,tule,tunywe na kufurahi(soon). Shule njema na mafanikio pia, kaza msuli!
 
c)Festo Kandonga,(namba kumi na moja machachari wa timu ya darasa na ya LJS pia), mambo vipi ndugu yangu. Baada ya kusoma email zako nikaguswa nami kuandika japo kidogo labda itaweza kusaidia kujibu tuhuma, kero na maswali mbalimbali uliyoyauibua kuhusu mtandao, umoja na mimi binafsi.
 
1. Labda nianze kwa kukupongeza kwa kazi nzuri ambayo Mungu amekujalia kama mwanadarasa ninasema, heko nyingi....songa mbele kwa mafanikio zaidi. Lakini pia nikupe hongera kwa kuunganiswa/kujiunga katika mtandao wa umoja wetu wa LJS class of 2000! Najua utatamani sana kuandika kila siku upatapo nafasi, au vipi? kwani kuna mengi mazuri yanaendelea humu.
 
2. Ningependa usahihishe hili,badala ya umoja wenu.....tumia umoja wetu kwani kabla ya kuwepo kwa mtandao wa wanadarasa, tulikuwa na umoja huu tangu pale Luth. Jr. Seminary na tumeendelea nao siku zote mpaka pale tulipoamua kuwa na njia rahisi ya kuwasiliana/kufikiana. Sababu ni kwamba wanadarasa tumetawanyika sana kwa hiyo njia pekee ni huu mtandao...ndio ukawepo. Kwa hiyo umoja ni uleule tangu LJS haujabadilika, kilichoongezeka ni huu mtandao wa pamoja ambao wewe kama mwanachama mmojawapo ulikuwa bado hujaunganishwa labda kutokana na sababu mbalimbali za kiufundi au kutopatikana mapema kwa anuani yako. Mimi nimeunganishwa Augusti mwaka jana, mhuji ameunganishwa hivi juzi, Benja mwishoni kabisa mwa mwaka n.k kwa hiyo usilaumu kaka!
 
3.Kandonga, kwa jinsi ninvyokufahamu(mzee wa deeper), utatusaidia kutueleza haya maswala ya msingi ili tuweze kuya'balance'(kuyawekea uzito sawa). Ni kwa sababu tu umechelewa kuunganishwa, labda nikutoe wasiwasi Festo.....mara zote tunajaribu kuweka mambo ya msingi katika wavu huu, hata ninakumbuka wakati fulani niliandika kuhusu malengo ya umoja wa wanadarasa katika mtandao huu, na watu mbali mbali walitakiwa kuongeza,kupunguza au kutoa mawazo zaidi ya kupinga au kukubali baadhi ya yale madhumuni(malengo), kama nikiikuta ile email nitakutumia ili uisome na kutoa mchango wako. Narudia tena ni kwa sababu umejiunga tu kwa hiyo sio rahisi kujua yote yaliyokuwa yanaendelea katika gurudumu hili, ila kwa kweli ninaheshimu mno hizo 'concern' zako mkuu wangu wa kazi ndio maana najaribu kupunguza maelezo labda wengine watanisaidia kueleza zaidi na kukukaribisha rasmi katika mtandao(tayari ulikuwapo katika umoja-nasisitiza) ila kama kulikuwa na mapungufu ya hapa na pale,basi twaomba radhi yakhe!
 
4. Kuhusu vijana kutokuwa na ushirikiano, na kwamba hupati taarifa mfano ya msiba wa baba wa Stewart: Ni kweli, mara nyingi tumejaribu kusisitiza jamani tutafutane mjini hapo na mahali pengine ili kwenye vikao vyetu au matukio kama harusi, misiba n.k watu washiriki kikamilifu(lakini twaelewa tofauti ya majukumu...hatuwezi kutegemea asilimia 100 kila wakati) kwa hiyo hilo limekuwa na udhaifu wake lakini si kosa la umoja, ila tushirikiane sasa tuweze kupata ufumbuzi wa kudumu, au sio kaka! Nadhani kuna email niliandika kuwa jamani tupeane taarifa kwa njia ya simu pia ili wale ambao bado hawajaunganishwa humu lakini mawasiliano yao mengine kama Cell phones, officephones n.k tunayo basi wafikwe na taarifa hizo. (nisisitize, tutumie njia zote mbili wanadarasa ili kuwafikia watu). Kuna email ilikuwa inazunguka ili watu watoe taarifa zao za sasa(their personal profile) ili ziingizwe kwenye data base ya darasa.....hili bado liko kwenye mchakato kwa hiyo hujachelewa Kandonga na wengine. Nikuombe, tusaidie kupata taarifa za wengine kama unazo, kwa mfano Denis Njelwa, Lamsey(sikumbuki vizuri majina) au hata namba zao za simu.
 
5. Mhe. nikutoe wasiwasi, kweli hatujaonana siku nyingi na hatukuwa na mawasiliano kwa muda fulani(na ndio umuhimu wa mtandao huu kwamba wajua nani yuko wapi na anafanya nini). Mimi niko Marekani, mji wa Nashville, jimbo la Tennessee, ninafundisha katika Fisk University.(Ingia katika google: search for Amos Malongo) Mawasiliano yangu ni: (615) 568-1405 cell phone, na (615) 329-0191 home, na (615) 329-8801 office. Au kwa njia hii ya email utanipata. Kweli sikuweza kuaga kila mtu lakini watu kadhaa walijua na hata baadaye nilisema katika mtandao huu huu(ila kwa kuwa ulikuwa bado hujaunganishwa ndio maana hukujua....si kosa lako,ni langu kaka...nisamehe sana nisije nikakosa kazi nikija huko boss! Hahahahaaaa!!!! Sauti yangu utaisikia tu nikikuimbia siku ya harusi yako mkuu, tena nitajiandaa vya kutosha..hivi ni mwaka huu au? Nakumbuka uliniambia siku moja! Hebu nikumbushe tena kupitia mtandao huu if possible!
 
Na mwisho nipende kuomba samahani wanadarasa kwa kuandika email ndefu sio kawaida, lakini ni katika kuelekezana na kukumbushana mambo ya muhimu katika umoja WETU na mtandao WETU wa LJS CLASS OF 2000. Naomba tushirikiane, tuwasiliane, tushirikishane, tupendane,tudumishe umoja wetu, tupeane taarifa kama ilivyo ada yetu, n.k.
 
Festo tumekupata sana kaka, kweli umeleta changamoto nzuri, nami naungana nawe kuhusu uongozi unaojulikana, na kwamba tuwe na utaratibu wa wazi wa kukutana ikiwezekana hapo kwa ofisi yako...thats good, ilimradi kila mtu akiridhia na akiwa huru tutafanya hivyo mkuu.
 
Daima TUSONGE mbele, nyuma TUSIRUDI kamwe. UNITY FOREVER!
Mungu bariki ljsclassof2000!!!!
Ndimi kijana wenu,
amos
 


festo kandonga <festok...@yahoo.co.uk> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 17, 2008, 12:54:42 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
sawa Mzee wangu Amosi mpiganaji . hongera sana. nafurahi kusikia unafundisha tennesee, au kitenesse. mie nasema ulivyo andika tennesse imenikumbusha TVA . pia nikamkumbuka mwalimu Maro . alipo kuwa anasema iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mie nimefika TVA acha walimu wako wanaokufundisha juu ya TVA ili hali hawajafika!!!!!!!!!!!!!!!!!. Ok, ndugu yangu kila la kheri ukija bongo sinto kunyima kazi , pia ujue ndugu zako huku bongo tanaoa na wanaolewa . Njunwa tayari. umoja udumu.vipi Athumani yupo wapi siku hizi

----- Original Message ----
From: Amos Malongo <amos_...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com

braille

unread,
Jan 17, 2008, 8:29:55 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Mr Stewart Sabuka, Mungu na itangulie familia yenu na marafiki na kuwapa ujasiri. Kaka Stewart tupo pamoja na tunakuombea sana na kukutakia faraja toka kwa Mungu maana kumpoteza mzazi sio kitu ambacho kinazoeleka au kuhimilika. Basi mungu awakarimu na kuwafariji sana hasa kipindi hiki mtakachokua mkimsindikiza baba kwenye nyumba ya milele.
   
Wana LJS 2000, Naomba Mungu awatunze na kuwawezesha wote. Baraka za Mungu zitutangule wote tunaposhirikiana na kumfariji Kaka yetu S. Sabuka.

mwalumuli subira

unread,
Jan 17, 2008, 10:05:51 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
hamjambo wana ljs 2000?
nichukue nafasi hii kukupa pole kaka stewart sabuka kwa kumpoteza baba,yote ni ya mungu jipe moyo tu mungu wa ajabu sana ni mwingi wa faraja,atakufariji kipindi hiki kigumu,kaka kishaka asante kwa taarifa.
sina zaidi ya salaam,nikaona nidondoshe japo kamstari nisionekane kimya sana.
emma i do miss you,upo, mbona kimya huku ljs,duah it was nice to see you,umemtafuta kweka lakini?asije poteza pesa ya bastola bure,chonde dada miaka saba kusubiri mtu si mchezo...si unajua wengi wameshindwa....rhobi mama thanx kunifanya nionanae na huyo mwendawazimu,dakika 20 mbavu sukuwa nazo.mlinikumbusha ljs mpaka nikatamani tuwe huko.howz joboo
mary mama thanx for the update ya harusi ya dada tusa,naumia sikuhudhuria wakati yeye bega lake nliliona japo alikuwa nje,my son is tooo young to be left alone or with any other person than me nikashindwa kuja...jamani mama mdoe alisemaje??nasikitika kukosa miundo mbinu....hata mimi nahitaji updates za mara kwa mara.
frank hongera kukaza moyo,hey guys some thing to learn hapo.
breille umepotea sio siri,kama mjumbe mmoja alivosema amos ana dalili za kupokonya kiti.yote mema lakini.
nimekuwa na wakati mgumu wa kusoma mail zote ndipo niandike,akili imechoka nalazimika ku sign off maana nimekuta mail zaidi ya 150.
niwapongeze mliorudi makazini dada lulu,mlioolewa dada tusa,na niwapongeze pia mnaojipanga...kaka jitu,kweka frank dada glady etc kama dada lily alivosema huu ni mwaka mzuri ugawanyikao kwa mbili.....mimi kama kawaida yangu ya kupenda minuso hasa ya harusi harusi,labda nikose wa ku babyseat junior.
amos sijakusahau,huyo kaka yako mwambie alete hayo matokeo ya hesabu,niko tayari ku ghalamia nauli yake hata kwa ndege...kwa nyie mlioko nje huku tuna ndege inaitwa comunity air line nauli yake kama ya basi ..its for the whole community coz anyone can fly,sasa alete hiyo pepa mi ntalipa nauli,acha kutudanganya amos kwani nani hakujua mahusiano yako na hesabu...au unafikiri kiswahili...acha utani hesabu noma.dada lily uongo kweli.
mliojiunga mtandaoni karibuni....u see wat u hav been missin.
niishie kwa kuwatakia siku njema
 
i love u all
mama junior.(reuben)
mzee wa deeper umeongea kitu moja ya akili kuhusu ljs 2000,tunatakiwa kuifanyia kazi.
kuna mtu nimemspare,ninamengi ya kuandika juu yake...aliye jifanya anajoke kwa kulinganisha mwanamke na pesa...naomba niwe wazi umenikura whether it was a joke or not.heshima kwa mama yangu imeongezeka baada ya kuzaa.u need help brother trust me.

braille <brai...@yahoo.com> wrote:
how great your problems are.Tell your problems how great God is"

braille

unread,
Jan 17, 2008, 10:29:33 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
 
 
Mzee Kandonga, Kwanza nikushukuru kwa changamoto yako na kukuomba utekelezaji uwe toka kwetu sote.Nimeguswa na maswali yako yote na nimekuelewa kwa upeo wangu huu mdogo, mheshimiwa sina jibu la moja kwa moja dakika hii ila nakuomba nikupe link ya class group ambayo utaweza kusoma email zilizokutangulia na kuona picha za matukio ya walio tangulia kisha tuweze kuwa ukurasa mmoja na tuwezi kutumia nyenzo zako ulizotupa katika changamoto yako. Mimi binafsi nakumbuka cross za ushindi wa ljs 2000 class na uwezo wako wa kuwa muunganishi wakati ule wa kipindi kileeeeeeeeeeee....Naomba tena utumie kipaji chako ili tuzidi kuunganika na kuliweka kundi hili pale panapotakiwa.
   Kwa sasa niko USA -Texas, kama mfanyabishara mdogo mdogo, niko karibu na mheshimiwa amosi katika mawasiliano kwahiyo lolote utakalokuanalo wewe weka hewani na wanadarasa wote mtandaoni tutakua pamoja nawe.
    Hongera kwa mafanikio yote hapo nyumbani, kikazi na kimaisha mkuu naomba mungu azidi kukuinua na kukutunza.
 
 
 
 
 

-

Pam C. Maeda

unread,
Jan 17, 2008, 10:31:39 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Dear all,
 
Kwanza kabisa, my deepest symapthy goes out to Mr Stewart Sabuka, please accept my condolences on the loss of your father. My thoughts and prayers are with you and your family, may he rest in peace.
 
Pili, natumaini wana LJS wote ni wazima kabisa na mmeanza mwaka vizuri kwa nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya vile vile. Hongereni wote kwa kutimizia mambo muhimu katika maisha yenu. Tusa my dear, hongera sana kwa kupata mwenzi wa maisha, nakutakia wewe na mmeo kila la kheri na Mungu azidi kuwabariki daima. Subira I hope the little one is doing well, hongera sana. Wapendwa wengine kama alivyosema Dada Lily tuombe mwaka huu usipite bila Mungu kutenda miujiza katika maisha yetu. Nawatakia wote baraka za bwana katika huu mwaka na katika kila mlitendalo awatangulie awe ndio taa na nuru yenu.
 
 
PCM.
--
Every day in Africa a gazelle wakes up.
It knows it must run faster than the fastest lion or it will be killed.

Every morning a lion wakes up.
It knows that it must outrun the slowest gazelle or it will starve to death.

It doesn't matter whether you are a lion or a gazelle.
When the sun comes up, you better be running.

Abe Gubegna
Ethiopia, circa 1974.

braille

unread,
Jan 17, 2008, 10:38:10 AM1/17/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Mama Mwakapeje Mimi nashukuru kusikia toka kwako nimekua kimya kwasababu za kimaisha  na mizunguko ya hapa na pale sijaweza kuwa online kama ninavyotakiwa. Kuhusu nafasi kuchukuliwa na Amosi hiyo ni Baraka kubwa kwani ni nani basi ninae mwamini zaidi ya mtendaji wangu Mzee A Malongo!!!! Ukweli ni kwamba wapendwa mtandao ni wetu sote kwahiyo hatanikifa leo hautakua mwisho wa mawasiliano kwetu ljs 2000.
   Mama Mwakapeje ntakutafuta ila sijajua lini maana nimebanwa na vijisfari hapa na pale.
Nb Naomba Kina kaka hapo mjini Deo, Frank,Bernad K. Mugisha Jitu, Wolter Mushi Na wakina Dada wapendwa Mshirikiane na kaka Festo kandonga hapo kumwingiza kwenye phone text na kumjulisha yanayojiri.
     Asanteni wote na mungu awatangulie wote.

festo kandonga

unread,
Jan 18, 2008, 1:40:14 AM1/18/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Braille, Mungu akubariki. mie na wazo binafsi , unajua sisi ndiyo wadau wa nchi yetu. je, mmetoa pole ya misiba, mume toa hongera ya harusi, mmepongeza juu ya babies kuzaliwa , hao wanataka shule in the future , tuna majukumu lukuki pia. kwa upande mwingine tuna watu wa fani mbalimbali madaktari e.g. Barbabasi na Bryan ,  e.g. watawala, political scientist  Kandonga, na  Kev , wanasheria e.g Shailla na Dua, Walimu  e.g. Amosi , Bankers , Rhobi , Bhoke , David,  nachosema tuna watu wa kila fani bila kusahau kuwa tuna engineer Kishaka, Amani . nacho maanisha tuchukue picha kubwa kabisa , nzito tuu tujue kuwa miaka 10 nyuma tulikuwa form 5 , leo after ten yiazi ukiuliza Konga yupo wapi unaambiwa yupo Ghana kikazi , Kandonga yupo wapi unaambiwa hatumjui sie hapo tunaye mjua ni Boss kandonga , sio naji fagilia ila nataka kuonyesha kuwa Mungu ametujalia tunabadilika. Sasa je, hatuoni kuwa ni muda mahsusi tukawa say hata  na Akaunti namba yetu ili kupitia hiyo tukaweza kusaidia , pia kuwa na malengo ya muda mrefu katika hili. timiza ahadi yako LJS 2000 yenye akaunti inawezekana.

----- Original Message ----
From: braille <brai...@yahoo.com>
To: LJSclas...@googlegroups.com

Support the World Aids Awareness campaign this month with Yahoo! for Good

samson mugisha

unread,
Jan 18, 2008, 6:33:37 AM1/18/08
to LJSclas...@googlegroups.com
abantu ba LJS mlyotya?
Nimbashula muno omu ibala la YESU Kristo.
Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam>
Kaka nimeruditena ninaombamnisamehe kwa kuwa na ukimya mwingi katika Website yetu kubwa  hii inatokana na ukali wa maisha ya kuhangaika ugaliwamtu mmoja tu na sijui nikipata wa piliitakuwaje? 
kaka nimekuelewa sanaaaaaaaaaaaaaaaa kupita maelezokama nilivyokuwa namsikiliza O.Mtenzi nakumtengeneza ndivyonawe nilivyokupata.
nitajitahidi sana kwa kuwa na umoja na ukaribu wa kuyafuatilia maagaizoyote.
LJS ivume na idumu. 

braille <brai...@yahoo.com> wrote:

festo kandonga

unread,
Jan 18, 2008, 6:59:29 AM1/18/08
to LJSclas...@googlegroups.com
sawa kaka nimekupata .ahsante sanaaaaaaa

Roselyne Alphonce

unread,
Jan 18, 2008, 7:50:38 AM1/18/08
to LJSclas...@googlegroups.com
habari na heri ya mwaka mpya wanaseminari wote; pole kaka sabuka na hongera dada tusa, nilishindwa kabisa kupatticipate kwenye your wedding my sister alifiwa na mtoto wake kichanga usiku wa your wedding it was very sad
 
regards
 
Roselyne

lulu tunu <lulu...@yahoo.com> wrote:

shubby rwegasira

unread,
Jan 18, 2008, 8:45:54 AM1/18/08
to ljsclas...@googlegroups.com
Mambo wana ljs2000? Natumaini wote ni wazima!
Pole sana Stewart kwa msiba uliokupata, Mungu awafariji wewe na familia yote ya Sabuka."..Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana Yesu libarikiwe, Amin!"
Isyu mama hongera sana,Lulutunu nakutakia kila la kheri kwenye malezi ya mwanao.
Wanadarasa wote nawatakia mafanikio mema! 



Date: Thu, 17 Jan 2008 07:05:51 -0800
From: smwal...@yahoo.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: Sad news- Pole sana Kaka Stewart Sabuka
To: LJSclas...@googlegroups.com
Be a better friend, newshound, and know-it-all with Yahoo! Mobile. Try it now.</a

Hillary Rite

unread,
Jan 18, 2008, 5:17:56 PM1/18/08
to ljsclas...@googlegroups.com
Pole sana dada Rose kwa kufiwa na mtoto wa dada yako
Bwana Yesu awafariji wote katika  hilo.
Psalm 133.1
Wanadarasa wengine mbarikiwe.

hilly2004




Date: Fri, 18 Jan 2008 04:50:38 -0800
From: roselyne...@yahoo.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: Shukurani
To: LJSclas...@googlegroups.com
> </HTML


Philippians 2:3;Galatians 6:10


Connect and share in new ways with Windows Live. Get it now!

Amos Malongo

unread,
Jan 18, 2008, 6:34:26 PM1/18/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Dkt Hillary Rite, mambo vipi? Pole kwa majukumu(ukiweza naomba nipasishie nambari yako ya simu ili tufanye mazungumzo mawili matatu mkuu wangu.
 
Roselyne pole kwa kufiwa na kachanga ka dada yako...farijianeni kwa ushujaa mkuu, ni maisha tu wala dada asikate tamaa.
 
Festo asante kwa observation yako kuhusu falsafa ya neno Imani (Faith), mimi sijaisoma bado ila nitaipitia kwa makini. Ni vizuri kupata uelewa wa mambo(knowledge) kwa njia hii ya mtandao wetu. Hujajibu sms yangu kaka Festo! Wazo lako la akaunti ni zuri, kuna kipindi tulilizungumzia swala hili (nadhani Davidi Kweka, Lilian na wengine tuliokuwapo pale kikaoni Hillpark au..) lakini hatukulifikisha mbali. Pia nilipokutana na classmates Houston(Braille utakumbuka tulizungumza sana hili) lakini pia hatukufikia uamuzi wa kuliweka humu. Nakiri huu ni udhaifu kwa sehemu yake lakini so long tunayo issue hii in hand, basi tuichangie jamani tuone tutafikia wapi. Asante dada Marium kwa ujumbe wa kunoa ubongo!
 
Pam, nimekupata leo mtandaoni. Naamini waendelea vema huko uliko...pole kwa majukumu ya hapa na pale.
 
Bhoke upo mama? Nimekukosa kweli dadake,au ndio majukumu ya familia?
 
Mugisha(jitu), wabonaki? Leo nimekusoma mkurugenzi wangu katika mtandao. Ni kweli siku nyingi sijakusikia,mambo yanaendaje kaka. Yani nikiona maneno yako humu mtandaoni ninakumbuka mbali sana.....Seminariiiiiii.....
 
Kaka Barille, naamini u shwari.Pole kwa harakati zako boss wangu najua ipo siku tutakutana woooote pale LJS na tutakumbukia mambo mengi. Nitakutafuta baadaye.
 
Sabruuuu!!! Mama Reuben Jr. mambo? Wewe unanifurahisha, yani nimecheka niliposoma email yako. Haya bwana itabidi nikubali tu ingawa najua kabisa sikuipata hiyo.......mimi nakumbuka kwa mwalimu Makala ndio nilitia fora mpaka sikutaka kuchukua paper yangu darasani nikamfuata ofisini lakini bado hakuacha kunipasha(aliniambia...."malongo mbona hufananii na hii marks?.....jitahidi bwana, ) sasa nilipoichukua ile paper ile alama haki ya nani sijawahi kupata maishani...sitaisema hata ukiniuliza vipi Subira,siri yangu...hata Deo hakujua! Otherwise mambo mengine yanaendaje? Unajua bado siamini kama una mtoto aise! Nikikumbuka Lizwiii....kulumbax3, na Ntwanano Ntwanano Ntwanano Ntwanano....... halafu leo una baby boy, haki ya nani huu mwaka Mungu afanye miujiza, haiwezekani kwa kweli.
 
Godwin Axwesso upo kakangu? Naamini huko uliko mambo yanaendelea vema. Tutashukuru ukiangusha japo mstari mmoja humu mtandaoni, tumekumiso.
 
Duah je,na wewe unahitaji nikukumbushe katika hili? Nadhani wajua wajibu wako. Hizo ni salamu zangu tu sikwambii ufanye!
 
Baba mdogo(Bernard), naona safari ya Ghana imekufanya ulipofika Tz ukutane na kazi lukuki ambazo zimekufanya usionekane humu wavuni. Dondosha basi hata verse moja kakake, tunamiss busara zako.
 
Jamani hivi Lusajo Mwakoba yupo? Mpeni salamu zangu. Tumalize tofauti zetu kaka, Duah huyo huko kazi kwenu sasa maana ulikuwa tayari kukodi Community Airline unijie huku.. Sema neno moja tu nasi tutasalimika.
 
Shubby Mutajwaa, hujambo mama! Sisi(mimi) sijambo dadangu, nimekukumbuka kweli. Waendeleaje huko kwa Blair? Basi fikisha zangu salamu kwa Mtindo na wengineo wa kipande hii.
 
Walter, Boss wangu mimi na wewe tuna mengi. Basi usituache yatima kaka, tunakumiss huku wadogo zako. Najua shule imekubana, ukipata japo nafasi tuachie busara humu ndani.
 
Glady najua uko baranbarani kama ulivyosema wakati fulani. Sasa angalia mkiungana na Frank isije mkaishia huko barabarani! Haya bwana natumaini hamjambo.
Res, Brian,Mutente, Primo, Benja,Deo,Siima, na wengine woooooote kama sijakutaja hapa usijisikie vibaya ila ujue kwamba umo mawazoni mwangu wakati wote kama wewe ni mwana darasa wa ljs 2000. Tushikamane, tuijenge na kuuimarisha UMOJA WETU.
 
N:B. Nitashukuru tukijulishwa lolote linaloendelea katika msiba wa mzazi wetu kupitia Stewart, kwa mlioko hapo mtuupdate.
 
Si mwingine, ni mimi kutoka Tekoa,
Amos wa Malongo

Hillary Rite <hill...@hotmail.com> wrote:

Hillary Rite

unread,
Jan 18, 2008, 11:39:52 PM1/18/08
to ljsclas...@googlegroups.com

Proff. Malongo nimefurahi kuzungumza nawe na kujua unaendelea vizuri na kazi. Nikikumbuka ulivyokuwa ukipiga "mkate ni chakula" pale LJS
basi naamini wanafunzi wako wanaweza kuwapita baadhi ya watanzania kwenye mtihani wa kiswahili.!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Abeli sikaona uko wapi kijana?
Amani makala "The Engineer" salamu tu mkuu
Kweka na Ndanshau nyinda ro mbe muifoenda ????
Benjamin Sita Vipi kaka mbona umepotea?
Mshangila Daktari pole na majukumu.
Fadhili Mollel mtoto wa simtala vipi kijana dondosha mstari mmoja basi.
Rebecca Gembe Binti wa simtala tudondoshe equation moja basi.
Duah Kazimoto...mapumziko mema home
Masanja "Mr. Opamp" tudondoshe mstari mmoja ndugu.
Respikius,Nyagawa,Tarimo,Chuma,mwakoba,Rwegabago,Njunwa,Boss Kandonga,Walter, Shailla,Matibwi,na Greyson Elisa,
Nawasalimu wote katika jina la bwana, Nawatakia mafanikio mema katika kila jambo mwaka huu 2008.




Shed those extra pounds with MSN and The Biggest Loser!! Learn more.

Lusajo Mwakoba

unread,
Jan 19, 2008, 6:20:23 AM1/19/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Brother stewart,i'v just read an e-mail from our
fellow Dastan regarding sad news of passing away of
your beloved father,its really sad! despite the
distance between us,we are still together in soul &
prayers...I join my fellow brothers & sisters of
LJSCLASSOF2000 to sympathise with u but above all we
should remember that this's the work of our almighty
God,He gives & take away...everything gonna b
alright..its just the matter of time!! pole sana ndugu
yangu..tupo pamoja...
Wanaseminari nawapenda sana!!tuendeleze upendo huu...
Mungu awabariki wote!


___________________________________________________________
Support the World Aids Awareness campaign this month with Yahoo! For Good http://uk.promotions.yahoo.com/forgood/

mwalumuli subira

unread,
Jan 19, 2008, 7:15:07 AM1/19/08
to LJSclas...@googlegroups.com
shalom
imekuwa njema kusoma toka kwenu w-end hii.
mimi na familia yangu tu wazima twamshukuru mungu,junior is beeng nursed by the mighty one so u can imgin how good is doing,infant myself n the dad,we thnk God who is on our side...my husband is right hear n saying hi,anashangaa tu how close we are,kwa kweli ljs2000 tumebarikiwa.
kaka breille usirudie tena kuongea habari za kifo ingawa wote tutakufa,cant imgn kukosekana kwako sio ambavo kutaathili ljs 2000 group bali mimi binafsi,busara zako bado nazihitaji,lost yo number brother!!!si hujasahau life la bongo,kibaka alijisevia dirishani mwa gari simu yangu si i lost lots of important phone numbers.
kaka amos nafurahi kusikia umekubaliUKWELI,asante,truth will alwys set u free,unaona sasa yo free mpaka wewe mwenyewe hutaki tuulize marks ambayo haiku fanana nawe.i knew i wasnt lying.ma baby is very well i thank god,unajua mi mwenyewe huwa ometimes siamini mtoto ni wangu,its as if some dropped hear for me to babyseat for her,ila nikitingisha kichwa naona alaaa kumbe wangu...i smile n thank god..watoto ni watam asikudanganye mtu.i remember nilivoambiwa na nurse...u hav a baby boy...hold yo baby...broke in tears,ilikuwa ni furaha na kutoamini.SO KAKA AMOS AMINI TU.a coincedence is that unaonglea nyimbo za ljs wakati mi nasikiza...kaka berny alininyonyea so i hav the whole album..good memories.
dada pam vip mambo,za huko majuu..i thank go the little one is under God's nursing,he's great.
dada rose pole kwa kupotelewa na mtoto wa dada..mungu mwema atampa  mwingine,
shubi dada asante kwa mstari,salimia wote huko.
wana ljs wote..w-end hii niwatakieni kheri..
nawapenda wote.

Amos Malongo <amos_...@yahoo.com> wrote:

David Kweka

unread,
Jan 19, 2008, 12:48:55 PM1/19/08
to lmwa...@yahoo.co.uk, LJSclas...@googlegroups.com
Good People.
Nawasalimu wote katika jina lake yeye aliye juu kabisa.

Stewart Sabuka, napenda kuungana na wengine waliotangulia kutoa pole zangu kwa pigo kubwa lilikupata kwa kumpoteza mzee wetu. Najua jinsi gani ulivyo na wakati mgumu sasa, ni kipindi ambacho hata strongest men unaowafahamu hapa duniani huangusha machozi kwa kupoteza wapendwa wao, lakini sisi rafiki zako tunakuombea upate nguvu za kusimama imara. Nitakutafuta kwa simu bro tuongee zaidi. Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen

festo kandonga

unread,
Jan 21, 2008, 1:12:56 AM1/21/08
to LJSclas...@googlegroups.com
ahsante sana ndugu yangu

----- Original Message ----
From: Hillary Rite <hill...@hotmail.com>
To: ljsclas...@googlegroups.com
Sent: Saturday, 19 January, 2008 7:39:52 AM
Subject: [LJSclassof2000] Re: Weekend njema!


Proff. Malongo nimefurahi kuzungumza nawe na kujua unaendelea vizuri na kazi. Nikikumbuka ulivyokuwa ukipiga "mkate ni chakula" pale LJS
basi naamini wanafunzi wako wanaweza kuwapita baadhi ya watanzania kwenye mtihani wa kiswahili.!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Abeli sikaona uko wapi kijana?
Amani makala "The Engineer" salamu tu mkuu
Kweka na Ndanshau nyinda ro mbe muifoenda ????
Benjamin Sita Vipi kaka mbona umepotea?
Mshangila Daktari pole na majukumu.
Fadhili Mollel mtoto wa simtala vipi kijana dondosha mstari mmoja basi.
Rebecca Gembe Binti wa simtala tudondoshe equation moja basi.
Duah Kazimoto...mapumziko mema home
Masanja "Mr. Opamp" tudondoshe mstari mmoja ndugu.
Respikius,Nyagawa,Tarimo,Chuma,mwakoba,Rwegabago,Njunwa,Boss Kandonga,Walter, Shailla,Matibwi,na Greyson Elisa,
Nawasalimu wote katika jina la bwana, Nawatakia mafanikio mema katika kila jambo mwaka huu 2008.



Shed those extra pounds with MSN and The Biggest Loser!! Learn more.

Jefta Gladys

unread,
Jan 30, 2008, 8:27:50 AM1/30/08
to LJSclas...@googlegroups.com

Habari wapendwa??happy new year!
kwanza kabisa napendwa kuwapa pole wafiwa wote hasa stewart na roselyn mungu awape faraja bwana alitoa na ametwaa jina la bwana ..........!
bwana mhuji mi nipo mjin nimejaa tele nafanya kazi nhc ukija mjin nitafute no yangu 0773 583268.aisee nina hamu ya kukuona siku nying mtu wangu.
amos mzima ndugu yangu nimerudi tena uwanjani baada ya kupote kwa muda.
 
 

Mhuji kilonzo <m_ki...@yahoo.com> wrote:

Mhuji kilonzo

unread,
Jan 30, 2008, 1:53:26 PM1/30/08
to LJSclas...@googlegroups.com
Hellow Glady, am happy to hear from you. It has been
long time... you know!
Ntakupigia mtu wangu tuchonge kidogo,au vipi!

Wanadarasa wengine natumaini hamjambo.

Best of luck1

mhuji

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages