MATAYARISHO YA HARUSI YA Dr. ALPHA KING'HOMELA

36 views
Skip to first unread message

bernard konga

unread,
May 18, 2012, 8:51:13 AM5/18/12
to Lutheran Junior
Wapendwa wana LJS

Nimatumaini yangu kuwa mu buheri wa afya!

Hapa ninawaletea hali halisi ya michango ya Dr. Alpha King' kwa ajili ya rejea yenu. Kama mtakavyoona, hali bado si nzuri sana kwa sisi ambao ni wana LJS wenzake hasa ikizingatiwa kuwa siku zimekaribia sana. Mnaombwa kuendelea kuta pledges zenu na pia kutoa michango yeniu ikiwa ni upunguza ahadi zenu ambazio mliahidi hapo awali.

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, kikao last week hakikufanyika na hivyo wajumbe mlio wengi natumai mwenyekiti kwa nafasi yake amekwisha wajulisha kuwa kikao kitakuwepo siku ya jumamosi pale mama Kamche kuanzia saa kumi na mbili jioni.

Upatapo ujumbe huu tafadhali msihii na mwingine ambaye hajapata taarifa hii

(Sent on behalf of chairman GQ and his Committee)

Mbarikiwe!
 
Konga, Bernard  (BSc, MSc. Economics)
Assistant Director - Planning and Budgeting
Department of Policy and Planning
Ministry of Health and Social Welfare
P.O. Box 9083
Dar es Salaam, Tanzania
HARUSI ALPHA KING.xls
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages