Ngwea Dakika Moja Mp3 Download __EXCLUSIVE__

0 views
Skip to first unread message

Artemisa Sommers

unread,
Jan 24, 2024, 12:48:22 PM1/24/24
to leminewsli

Umati wa wasanii na mashabiki wa muziki kutoka kila kona ya Tanzania unatarajiwa kuungana na familia yake kumuaga katika msiba ambao kwa takriban wiki nzima umekuwa gumzo, kila mmoja akizungumza lake.

Kwa kifupi Mangwea alifariki Jumanne asubuhi baada ya kuanguka na kuzimia katika nyumba aliyofikia huko Afrika Kusini. Alipopelekwa katika Hospitali ya St. Hellen, hakuamka tena ndipo taarifa za kifo chake zikaanza kusambazwa.

ngwea dakika moja mp3 download


Download File https://t.co/hCWBH0YJMj



Ilikuwa ni ziara ya kimuziki, aliondoka na msanii mwingine Mtanzania, M2 the P, ambaye ni mwanamuziki mwenzake wanayeelewana kikazi mpaka kwenye maisha ya kawaida. Mangwea alikuwa pamoja na kijana huyo ambaye jina lake halisi ni Mgaza Pembe. Iko wazi kwamba Mangwea alikuwa katika kuutangaza muziki wa Tanzania nje kupitia matamasha.

Paul Mathyesse, a.k.a P Funk ambaye ni prodyuza aliyefanya idadi kubwa ya muziki wa Ngwea, ameithibitishia Mwanaspoti kuwa hadi sasa haelewi nini kimetokea lakini anachofahamu ni kuwa Albert Mangwea ni zaidi ya msanii kwake.

P-Funk ambaye ni Mkurugenzi wa Bongo Records ambayo marehemu alikuwa akifanyia kazi zake hadi anafikwa na umauti, anafafanua kuwa hata albamu zote mbili za Ngwea yeye ndiye amezifanya ukiachilia mbali nyimbo ambazo alikuwa akifanya moja moja ambazo hadi sasa wanazo nyimbo 50 ambazo hawajazitumia.

f5d0e4f075
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages