Kuna mashindano ya koding hapa ambayo yametayarishwa na google:
http://code.google.com/codejam/africa/
Nimepata taarifa late kidogo.
Lakini bado kuna masaa kadhaa ya kuingia, round hii inaisha saa 9
usiku.
Hii ni qualification round tu, unahitaji point kadhaa tu ili kuingia
kwenye final, kwa hiyo hujachelewa.
Arnold.