Swali lako ni zuri sana. Kwanza kwa uwelewa wangu, ndege wanao fanana
huruka pamoja; hata marafiki tabia zao hufanana. Hivyo nategemea
kufanana kitabia kati ya mke na mume zaidi hata ya marafiki au ndege.
Hata Biblia imeagiza kumuoa mtu anaoamini.
Soma 2Wakorintho 6:14 "Msifungwe nira pamoja na wasioamini kwa jinsi
isivyo sawasawa kwa maana kuna urafiki gani kati ya haki na uasi? tena
pana shirika gani kati ya nuru na giza?."
Natumaini nitakuwa nimejibu swali lako.