Ushiriki wa mwanamke katika kuhubir, Biblia inasemaje?
17 views
Skip to first unread message
Honorati Manang
unread,
Aug 4, 2011, 5:03:04 AM8/4/11
Reply to author
Sign in to reply to author
Forward
Sign in to forward
Delete
You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to iman...@googlegroups.com
Ndugu wana imaniyetu naomba msaada kuhusu somo hilo hapo juu. Ninapata mkanyiko kwani kuna kundi linalosomea ni sahihi kwa wanawake kuhubiri na lingine linasema si sahihi!
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu hili kwa undani zaidi.
bonnyluv
unread,
Aug 4, 2011, 5:25:26 AM8/4/11
Reply to author
Sign in to reply to author
Forward
Sign in to forward
Delete
You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to iman...@googlegroups.com
Sio mtaalam sana wa biblia lakini sidhani kama kuna kifungu chochote kinacho muondoa mwanamke kuhubiri injili.Mtu yeyote anaweza shukiwa na maono au roho mtakatifu au upeo na kuanza ubiri injili.Japo kuwa dini zingine zina zuia.