Taarifa ya Mapato na Matumizi ya mwaka 2014 na Bajeti ya Makisio na Mapato 2015 Uaharika wa Highland

132 views
Skip to first unread message

Stanley Mwabulambo

unread,
Mar 24, 2015, 12:46:03 PM3/24/15
to Nsaghurwe Alpha, Nsaghurwe Alpha, Baraza la Wazee KKKT Highland, ferdinand...@tanesco.co.tz
Katibu wa Baraza,
Nakutumia  Taarifa ya Mwaka  2014ya Mapato na Matumizi ya Usharika wetu na Draft Bajeti Makisio ya Mapato na Matumizi ya mwaka 2015.
Ni kamati ya ustawi wa jamii tu ambayo iliwakilisha Mapendekezo yao. Kamati ya fedha imelazimika kutumia trend analysis katika kuandaa Makisio ya Mapato na matumizi ya mwaka 2015 kutokana na uzoefu wa miaka iliyopita. Naituma kwa Wazee wote ili waweze kuipitia na kutoa maoni yao.Vikundi vyenye akaunti kama Kwaya Kuu, kwaya ya Uinjilist, Vijana na Felowship hawajawasilisha taarifa zao za mapato na matumizi kupitia Kamati husika .
 
Stanley Mwabulambo
Cellular phone :+255-784/767-601299
Bajeti ya Mapato na Matumizi 2014 na Makisio ya 2015.xls
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages