You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to ex-bunge
Wanabunge,
Nimeona kwenye Facebook group moja ya wana-Bunge barua toka kwa Mwalimu Mkuu wa Bunge juu ya suala la madawati. Inaonekana kama kuna wana-Bunge ambao walikuwa wana-campaign ya kupata madawati kwa ajili ya shule yetu.
Sina taarifa kamili juu ya hili suala ila nafikiri mmoja wetu mwenye taarifa zaidi anaweza kutuhabarisha. Nimeambatanisha hiyo barua toka kwenye hiyo group ya Facebook na pia link ya Facebook: