2012 Graduands

3 views
Skip to first unread message

Humphrey Simba

unread,
Oct 13, 2012, 1:49:37 AM10/13/12
to cps...@googlegroups.com
Pongezi zangu kwenu nyote ambao leo tutatunukiwa cheti cha juu kabisa
cha manunuzi na usimamizi wa mifumo ya ugavi na Waziri wa Fedha wa
Tanzania. Japo nimesikitishwa na kitendo cha bodi kuchelewa kutoa
majibu mapema kwa wenzetu waliokuwa na masahihisho,hii inatia shaka
ufanisi wa bodi yetu muda huu ambao procurement inaona jua na kuwa
idara mkakati katika taasisi nyingi. Wajifunze kutoka NBAA,
Ndimi,
Simba

--


"For hope is but the DREAM of those that wake"
LOVE, HOPE AND FAITH!
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages