You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to cfreconomicd...@googlegroups.com, freddy maro, mwen...@gmail.com, alice masaki, op...@tasaf.org, msim...@yahoo.com
DIPLOMATS HABARI TRH 30/01/2014 GRADUATION Nikitambua kuwa sio wote
tunaopata Muda wa kuonana pia sio wote wapo kwenye group yetu ya Whasup
kumekuwa na baadhi ya Maombi au Mawazo toka kwa wenzetu nkasema ngoja
niletee humu tuzungumze Pamoja Wazo lenyewe ni"JOINING PARTY"
Wadau walikuwa wanapendekeza baada ya graduation kuisha jioni huwa watu
wanakwaida wengine ya kuaandaa party pamoja na ndugu na Jamaa zake kama
sehemu ya Furaha Watu wanapendekeza kwa kuwa graduation imekuja
kama ghafla Je ingekuwa vizuri wale wakajumukika kufanya party ya
pamoja ,pamoja na familia zao Kwa Mfano mnaweza Mkawa 20 ukawachangia na
wale ambao ungependa ushiriki nao kama Mume/Mke au WAZAZI Then
Mkajumuika pamoja amount utakayo contribute inategemea Unawalipia
wangapi??.........Nikaona sio wazo Baya Lets share that na wenzangu
Ukizingatia UMOJA NI NGUVU na nisehemu pia ya kukuza NETWORK na Huenda
ikapunguza Gharama kwa wadau kwa wale wenye Interest ya kufanya
Induvidual.
........Sio lazima tuwe wote but in "the Coalition of the willing".......