Re:Digest for cfreconomicdiplomacy2012@googlegroups.com - 2 updates in 1 topic

4 views
Skip to first unread message

irene...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2014, 6:21:11 PM3/26/14
to cfreconomicd...@googlegroups.com
Sorry,kama huna kadi zote tano za library inakuwaje?

cfreconomicd...@googlegroups.com wrote:

Group: http://groups.google.com/group/cfreconomicdiplomacy2012/topics

    Abdu Maheta <abdum...@gmail.com> Mar 25 01:39PM -0700  

    Habari Diplomats Heshima zenu
     
     
    Ndg,
     
    Kwa wale wanaohitaji ACADEMIC TRANSCRIPT procedure zifuatazo ni muhimu
    kufuata.
     
    1.Unaenda masijala unachukua Clearence form then unapita kwa wahusika wote
    then wanakujazia na kukusainia but make sure wakati unaenda kusainiwa
    library uwe na ID zao
     
    2. Then ukimaliza kuijaza unaenda kuilipia hyo Transript katika A/C no hyo
    NMB 20101100061 unaenda na risit yako kwa mhasibu wankubadilishia.
     
    3. Unaambatanisha risit,Clearence Form na Barua yakuomba Hyom TRANSRIPT
     
    4. Unairudisha kwa Masijala unasubiria TRANSCRIPT yako
     
    NB; Ukumbuke hata utaratibu wa kuchua cheti lazima uwe umefanya hvo vote
    kwa wale ambao tupo mbali unaweza ukamuomba mtu akakusaidia kukuchukulia
    inaruhusiwa

     

    "patt...@yahoo.com" <patt...@yahoo.com> Mar 25 08:51PM -0700  

    Ahsante Dullah hiyo fee ni Tsh.ngapi?
    Lkn kwanini tulipie Transcript na tulilipa ada? Yani wao wanachukulia kuwa tuna kazi na hivyo kila huduma tuilipie tu. Hiki chuo kina uswahili na urasimu uliokithiri. Wamekaa na vyeti muda mrefu tunekosa opportunity nyingi saiv wanaleta mlolongo mrefu wa kuvitoa.
     
    Sent from Yahoo Mail on Android

     

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "cfreconomicdiplomacy2012" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to cfreconomicdiploma...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages