HARUSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

6 views
Skip to first unread message

Abdu Maheta

unread,
Jun 18, 2014, 5:16:22 AM6/18/14
to cfreconomicd...@googlegroups.com, alice masaki, freddy maro, EDSON TOTO, patrick malogoi, mwen...@gmail.com, Isack David, op...@tasaf.org, Beatrice Ollotu, benn...@yahoo.com, otto super, sir...@hotmail.com, Renatus Sona, Evance Dadi, kadele...@hotmail.com, kal...@yahoo.com, Charles Kileo, abkha...@yahoo.com, anga_...@yahoo.com
Dear brother and Sisters,
 
Heshima yenu popote mlipo ,Poleni  na majukumu na harakati za maisha katika ujenzi waTaifa letu.

Kama ndugu jamaa na marafiki tulioishi  pamoja kwa Amani,Upendo na Furaha ,tumeshirikiana mengi katika Maisha hasa nyakati za huzuni majonzi na hata wakati wa kula Mbuzi pamoja now naomba tushirikiane katika hili la HARUSI (NDOA)...........


Ndugu yetu  KHAMIS  ABDULRAHMAN  BADRU Anatarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwezi wa tisa hivo kwa Moyo mkunjufu anaomba support yetu ya hali na Mali katika kuliendea Jambo jema kama kama hili haswa ukizingatia  hata vitabu vote va DINI vinalibariki Tukio hilo hivo nae anaomba ulibariki tukio hilo kwa Mchango wako kwake katika kuliendea jambo hilo zuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Hivo naomba kuliratibu jambo hilo ili kufanikisha hili jambo la mwenzetu hivo Karibuni nataandaa Form Maalum za michango hiyo ambayo tutakuwa tunatoa update hapa kila wiki juu ya michango hiyo.Jukumu langu ni kuratibu tu ila inahitajika support kutoka kwenu.

      Ahsanteni sana,

"MWENYEZIMUNGU AWAFANYIE WEPESI KATIKA SHUGHULI ZENU KOKOTE MLIPO"

josiah emmanuel

unread,
Jun 19, 2014, 3:53:59 AM6/19/14
to cfreconomicdiplomacy2012, alice masaki, freddy maro, EDSON TOTO, patrick malogoi, mwen...@gmail.com, Isack David, op...@tasaf.org, Beatrice Ollotu, benn...@yahoo.com, otto super, sir...@hotmail.com, Renatus Sona, Evance Dadi, kadele...@hotmail.com, kal...@yahoo.com, Charles Kileo, abkha...@yahoo.com, Samson Anga
Noted with thanks.

Josiah.


--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "cfreconomicdiplomacy2012" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to cfreconomicdiploma...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

ahmad mtengwa

unread,
Jun 19, 2014, 6:18:37 AM6/19/14
to CFR 2012 ECONOMIC DIPLOMACY
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages