RE; THANKS

3 views
Skip to first unread message

Abdu Maheta

unread,
Jun 23, 2014, 4:29:53 AM6/23/14
to cfreconomicd...@googlegroups.com, sir...@hotmail.com, op...@tasaf.org, Evance Dadi, kal...@yahoo.com, Isack David
ABDU,
      Whatsup yangu inasumbua na pia sina Email za watu wote,.......Nakuomba unifikishie huu kwenye group la Diplomats na wana PGD wote .

Binafsi nakosa neno la shukrani kwa upendo wenu mlionesha kwangu nimefarijika sana na wale wote mlioshikamana na mimi na kunifariji toka siku mliopata msiba wa Baba yangu Mzazi mpaka leo nakosa neno la kusema zaidi ya asanteni sana sana na Mwenyezimungu awazidishie...Muhimu tuzidi  kuwa na upendo miongoni mwetu.......
                 MSG    FROM   LEILA  MUSHI PGD  2012/2013
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages