Mr
Privanus
Sisi hatujambo, nimepokea ujumbe toka kwa
Alphonce Massaga kwamba mtoto wake Catherine ni mgonjwa amefanyiwa upasuaji
huko Ocean Road Hosp. Tumkumbuke kwa maombi. Mwenyezi Mungu anusuru maisha ya
mtoto huyu na tutue michango kama alivyotuomba.
Sisi kama TOT wa Ujasiriamali lazima tuwe
wabunifu. Utakumbuka walimu wetu waliotufundisha walivyoambiwa waondoke kwenye
kikao na kutafuta namna ya kunusuru kitengo kwasababu chuo hakikuwa na fedha.
Walipata fedha na sisi tungetumia fursa zilizopo tunaweza tukajitengenezea
programme hasa jinsi ya kuelimisha watu fursa zilizopo kwenye soko la Africa
Mashariki.
Tuendelea kupeana Mawazo.
Ernest
S.Mkonyi
Arusha
Municipal Community Foundation (AMCF)
P.O.BOX
2076
ARUSHA
Mobile:
0767-245861