Taarifa ya Msiba

5 views
Skip to first unread message

Frank Tilugulilwa

unread,
Jul 10, 2014, 2:10:43 PM7/10/14
to TwendePamoja
Wapendwa;
Familia ya Bw. na Bi Denice Cyprian wamepatwa na msiba wa Baba Mzazi wa Sarah. Amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 10 Julai 2014 huko Lushoto. Sarah alikwishatangulia Lushoto katika kumuuguza na Denis anaanza safari kesho kwenda kwenye mazishi.
Kwa taarifa zaidi Piga 0653 36 30 49
Bwana Ametoa Bwana Ametwaa, Jina lake Lihimidiwe.
Poleni sana wafiwa.
M/KITI PAMOJA

jimmy mbelwa

unread,
Jul 12, 2014, 9:34:44 AM7/12/14
to twende...@googlegroups.com
Tunawapa pole familia ya  Bw. na Bi Denice Cyprian kwa kuondokewa na baba yetu mpendwa.
Bwana alitoa, Bwana Ametwaa


Jimmy, Loveness and John


--
--
You received this message because you are subscribed to the Google
Groups "Twende.Pamoja" group.
To post to this group, send email to Twende...@googlegroups.com
For more options, visit this group at
http://groups.google.com/group/TwendePamoja?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Twende.Pamoja" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to twendepamoja...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


Denice Kamugumya

unread,
Jul 13, 2014, 2:01:02 PM7/13/14
to twende...@googlegroups.com
Asanteni

Denice K
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages