You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to TwendePamoja
Habarini wanapamoja.
Wenzetu Familia ya Bwana na Bibi Bakuza wamekumbwa na mkasa wa kuibiwa pesa na baadhi ya vifaa vya electroniki kwenye eneo lao la biashara ambalo wote nadhani mnalifahamu.
Kama mtakumbuka hii ni mara ya pili kwa tukio la namna hii kutokea kwao.Kama pamoja tunatoa pole kwa familia, maana tukio la namna hii linarudisha nyuma maendeleo kwa ujumla.
Wasiliana na familia ya Bakuza kupitia 0769210202.