Udaku Specially

332 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Mar 23, 2014, 4:02:54 PM3/23/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


MASHOGA WAZIDI KUONGEZEKA BONGO DSM....NINI HASA SABABU... AU WATEJA WAMEKUWA WENGI??

Posted: 23 Mar 2014 08:27 AM PDT

Nimepita pita huko mitaani hasa Kinondoni, kwenye mahotel ,ma bar na kumbi za starehe, Nimeshangaa sana kuona wakaka poa kibao, tena wamejiremba kama wadada vile, nao wakijiuza kama machangudoa, nini hasa tatizo ?? 

embu toeni comment zenu hapa na mwono wako juu ya swala hili labda tunaweza pata wazo jipya kuhusu hawa watu!!

MTANGAZAJI MAARUFU GODWIN GONDWE KAHAMIA CLOUDS FM/TV ?

Posted: 23 Mar 2014 08:23 AM PDT

Nimekutana na Picha Mbali mbali za Mtangazaji Maarufu wa Redio One akiwa amepiga na watangazaji wa Clouds Fm Wakiwa Wanatoka Mapumziko/Semina Arusha ambapo walikuwa huko kwa Takribani Week moja...Anaye jua atujuze kama ninachoona ni sahihi......ama wamekutana tu uwanja wa ndege na kupiga picha nae....

MWANDISHI ALIYE ALIKWA NA SEREKALI AFUKUA JIPYA (WORLDS BIGGEST STOCKPILE OF ILLEGAL IVORY)

Posted: 23 Mar 2014 08:27 AM PDT

Mail on Sunday's Martin Fletcher goes inside the warehouse in Tanzania
Dar es Salaam holds 34,000 tusks ripped from 17,000 elephants
The tusks would be worth some £150million on China's black market
Biggest is nearly 7ft long, weighs 191lb and takes three people to lift
Last month, MoS asked how Prince of Wales and Cameron could shake the hand of the Tazanian PM who has presided over slaughter
Minister for Natural Resources and Tourism invited MoS to Tanzania
‘We have nothing to hide,’ Lazaro Nyalandu said

It takes your eyes, and your brain, a moment to adjust as you move from the dazzling Tanzanian sun into the dusty, dimly lit warehouse.
Workers stand by a pile of elephant tusks, systematically weighing each one on a large red Avery scale.
Behind them, rows of tall metal shelves recede into the gloom. They are stacked solid with tusks, each pair the sole remnant of a once-magnificent elephant.


More tusks lie in sacks on the concrete floor. It is an appalling, sickening sight.
This is the world’s largest ivory stockpile. More than 34,000 tusks weighing roughly 125 tons are stored in the warehouse behind  the Ministry of Natural Resources and Tourism in Dar es Salaam. They would be worth about £150 million on China’s black market.

TANZANIA NA MALAWI ZASHINDWA KUFIKIA MUAFAKA MGOGORO WA MPAKA ZIWA NYASA

Posted: 23 Mar 2014 05:58 AM PDT

Tanzania and Malawi on Friday ended negotiations over a border dispute on Lake Malawi (Lake Niassa in Mozambique) without reaching any agreement.

According to the chief mediator of the dispute, former Mozambican president Joaquim Chissano, Malawi and Tanzania differ on how to start solving the dispute with Tanzania insisting on the delimitation of the border line while Malawi more on mineral.

The team of mediators under Chissano also includes the second post-apartheid president of South Africa, Thabo Mbeki, and former president of Botswana Festus Mogae.

The delegations from the two countries met in the Mozambican capital Maputo again after the first negotiation failed in Lilongwe, the capital of Malawi, at the end of last year.

Chissano said the mediators recommended the two countries first use the natural resources in common benefit and then discuss the delimitation.

"There is no agreement on management of the Lake for the benefit of Malawians and Tanzanians," Chissano said.

UTENDAJI KAZI WA LOWASSA Vs WA SUMAYE KAMA WAZIRI MKUU

Posted: 23 Mar 2014 05:54 AM PDT


Mh Lowassa na Mh Sumaye Wote wawili walishakuwa Mawaziri wakuu katika Serekali ya Tanzania kwa vipindi Tofauti na Wote kwa sasa kwa njia moja ama ingine wameonesha nia ya kuwania Nafasi ya Uraisi wa Tanzania 2015.....Je Tukilinganisha Utendaji wao wa Kazi walipokuwa Mawaziri na Kuchukulia hicho ndio kigezo cha kumpa mmoja Uraisi Nani alifanya Vizuri Kati yao....Taja Kitu Kizuri unachokumbuka
-John K

GIRL REJECTS MAN BECAUSE HE'S POOR..NOW SHE WANTS HIM AFTER KNOWING HE'S RICH

Posted: 22 Mar 2014 11:46 PM PDT

Ladies, please stop putting money ahead of everything. Here's the story as shared by Ada Okeke: My cousin (male) came home last Christmas looking for a wife, I told him about my girlfriend and we agreed to invite her over so that he can see her. At last he liked her, collected her phone number from me. But here is the deal between me and him, he made it clear to me never to disclose what he does for a living to her now, but rather I should tell her he is a security man living in Mushin. (note: he is a rich business man but he is afraid to disclose his identity now, because according to him, he is looking for a lady that will love him for whom he is and not for what he is). They met, he told her the same thing. After everything she came to me to know whether it's true, I told her yes but that she should give him a chance, and try to know him very well. My girlfriend told me she is not interested, that she is not ready for marriage yet... I tried all my best to convince her but to no avail, I let go! Later he found another lady, paid her bride price last February, they are planning for their traditional marriage soon. Now, I don't know how my girlfriend ran into him and discovered he is a rich business guy. She called me and gave me the insult of my life. Her reason is that I shouldn't have lied to her in the first place, knowing fully well we are friends... that a friend is not supposed to lie to a friend. Her sisters called me and told me the same thing. But when I tried to explain things, they hung the phone on me. I am planning to go over to their place today to explain things to her sisters and apologise too, but my own sisters are still with the opinion that I did nothing wrong.... What do you think? Did I do the right or the wrong thing? 

2014 LIST OF TOP 10 BILLIONAIRES (Richest People on Earth)

Posted: 22 Mar 2014 11:36 PM PDT

As some of you struggle to put a meal on your table or pay house rent, someone somewhere is filthy rich and has the capability to get all that which money can possibly buy.

According to Forbes Magazine, Bill Gates, Microsoft founder regained his position as the richest person on earth. Estimates show that Bill Gates’ wealth has increased from $67bn to $76bn becoming the richest individual in the whole wide world.

Bill Gates replaced last year’s top billionaire Carlos Slim who is a Mexican telecoms tycoon. Forbes recorded a total of 1,645 billionaires where Bill Gates has been topping the list for 15 years within the 20 years Forbes Magazine has been carrying out the exercise.

Forbes upheld that technology firms featured like never before in the list with Mark Zuckerberg, founder of Facebook being the biggest gainer in net worth.

His rise is directly related to the sharp increase in social network shares. The CEO of social networks Sheryl Sandberg also made it to the list of the richest for the first time ever.

In addition, the WhatsApp founders Jan Koum and Brian Acton joined the league of the most richest in the world at numbers 202 and 551 respectively. Their presence in this list is attributed to the purchase of their message app by Facebook at $19bn.

Region wise, the US continued to dominate the list with most billionaires amounting to 492, Europe coming in second with slight 468 billionaires and Asia with 444 billionaires.

New countries featuring in the list are Uganda, Tanzania, Lithuania and Algeria. Aliko Dangote, Africa’s richest man from Nigeria made it to the top 25 list of world’s richest people with a net worth of $25bn.

Here is the list of the top ten richest people on earth

Name
Wealth

Main business

Bill Gates $76bn Microsoft, software
Carlos Slim $72bn America Movil, telecoms
Amancio Ortega $64bn Zara, fashion
Warren Buffet $58.2bn Berkshire Hathaway, investment
Larry Ellison $48bn Oracle, software
Charles Koch/David Koch $40bn/$40bn Koch Industries, various
Sheldon Adelson $38bn Las Vegas Sands, casinos
Christy Walton $36.7bn Wal-Mart, retail
Jim Walton $34.7bn Wal-Mart, retail
Liliane Bettencourt $34.5bn L’Oreal, retail

PICHA ZA HARUSI YA PAUL OKOYE WA P-SQUARE ILIYOFANYIKA JANA

Posted: 22 Mar 2014 11:26 PM PDT

Harusi ilifanyika Jana jionee Picha mbali mbali hapa chini
First photos of the bride and groom: Paul Okoye & Anita Isama


 

MTANGAZAJI MAREKANI ASEMA JAY Z ANA MIAKA 50 NA SIO 43 KAMA ANAVYODAI

Posted: 22 Mar 2014 11:12 PM PDT

Radio legend and culture critic Troi Torain popularly known as Star who became famous for being outrageous on NYC radio, has revealed Jay Z's real age. According to him, Jay Z is his age mate, and Star is almost 50. He made the revelation while speaking with a caller on his live radio show recently
I shouldn't blow this up, maybe because he doesn't promote it publicly, but Jay Z and I are the same exact age. I will be 50 May 3rd. He and I had this conversation so all these, he's 43, 42...that's just media bull shit!" Star, pictured right, said.
If Jay Z is truly 50, then he's the best looking 50 year old I've ever seen! He looks damn good for his age

WASANII WAMWOMBA JK AWASAIDIE KUPATA HAKI ZAO NYIMBO/VIDEO ZINAPOCHEZWA KWENYE RADIO/TV

Posted: 22 Mar 2014 09:34 PM PDT

Giza nene bado limetanda kwa wasanii kuhusu hakimiliki ya kazi zao kutokana na Chama  cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), kukiri wazi kwamba wameshindwa kukusanya mirahaba ya wasanii kupitia vyombo vya matangazo, zikiwemo redio na televisheni, kutokana na kukosa mitambo ya kisasa ya kufuatilia kazi hizo.

Vyombo hivi vya matangazo vimeshindwa kuwalipa wasanii, lakini hivi sasa vimekuwa vikiongoza kuwatoza wasanii fedha ili kazi zao zipate kusikika redioni au video zao kuonekana hadharani. Hata hivyo, wasanii nao wamekuwa wakilipia fedha nyingi ili  nyimbo zao zipigwe na kufahamika kwa mashabiki, kwa lengo la kupata shoo ambazo ndiyo malipo ya kazi zao.

Kinachowaingizia fedha wasanii wa sasa ni kupitia shoo, mfumo ambao umekuwa ni ‘mama’ katika mataifa mengi duniani. Shoo ndiyo msingi pekee kwa msanii, hii inamaanisha nini?

Iwapo msanii atachuja na nyimbo zake kuendelea kupigwa redioni na hata video zake kuendelea kuchezwa kwenye vituo vya televisheni, inamaanisha kwamba hatakuwa na stahili yoyote anayoipata kupitia jasho lake, ilhali chombo cha habari husika kinaingia fedha kupitia matangazo mbalimbali.

Akizungumza na gazeti hili, Mwanasheria wa Cosota, Maureen Fondo Jandwa anasema mpaka sasa kuna kituo kimoja tu cha redio kilichopo mikoani, ndicho kinacholipa mirabaha kwa wasanii ambapo hata hivyo ni kiasi cha shilingi laki tano tu kwa mwaka.

“Licha ya kwamba Cosota hatuna mitambo ya kurekodi lakini sheria ya leseni kwa vyombo vya utangazaji wa kazi za wasanii ya mwaka 2003, imepitwa na wakati hivyo kwa sasa tunasubiri mchakato wa sheria mpya ili wasanii waweze kunufaika,” anasema Jandwa huku akifafanua kuwa wasanii wanalipwa mirabaha inayotokana na kazi mbalimbali zilizorekodiwa kupitia Juck Box na kwenye kumbi za starehe na bado kuna utata katika maonyesho ya umma na vyombo vya utangazaji.

Anasema kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mazungumzo kati ya vyombo vya habari na Cosota ambapo wamiliki wamekuwa wakionyesha nia ya kulipa mirabaha.

“Bado vyombo vya habari havijaanza kulipa mirabaha, hivi sasa tupo kwenye mazungumzo na wamiliki wa vyombo hivi na wengine wameonyesha nia ya kufanya hivyo kwa kutoa mwongozo mbalimbali njia zipi zitumike katika kulipa mirabaha,” anasema Jandwa na kuongeza kuwa wameshakaa vikao mbalimbali kuhakikisha suala hilo linakamilika kwa uharaka zaidi.

Kauli ya Cosota inatofautiana na ile ya wasanii ambapo Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Ado Novemba, yeye anasema wasanii hasa wa muziki wanahitaji kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kuweza kukamilisha mchakato wa haki za wasanii hasa kuhusu mirabaha kabla hajaondoka madarakani mwaka 2015.

“Rais JK ndiye aliyetusaidia wasanii mpaka kufika hatua hii tuliyopo sasa, tunamwomba tena kwa mara nyingine akutane na sisi ili tuweze kumweleza mapungufu yaliyopo katika sanaa yetu, kwani kuna watu wanamzunguka, kwa kufanya hivyo ataweza kukamilisha kile alichokianzisha kabla hajaondoka madarakani mwaka 2015, kwani hatujui kama ajaye atakuwa na mapenzi na wasanii,” anasema Novemba. Anasema japokuwa wanapokea mirahaba lakini ni kwa kipindi cha miezi sita huku msanii mmoja akiambulia kiasi cha shilingi 60 elfu licha ya kwamba wimbo wake au filamu yake imeonyeshwa mara nyingi zaidi katika maonyesho ya wazi.

“Kiasi tunacholipwa kama mirabaha ni kidogo bado kuna mabasi ambayo yanatumia kazi hizi za wasanii, lakini hayalipi yaani kuna utamaduni ambao ulianzishwa na bado unaendelezwa mpaka leo. Hata kwa watu wa vyombo vya habari Cosota wanasema hawana mitambo ya kurekodi lakini mbona TCRA waliwaambia warekodi uwezekano upo ila imefanywa kuwa mazoea,” alisema na kusisitiza kuwa bado wizi wa kazi za wasanii unaendelea kufanya na hata kampuni za simu kwani bado zimekuwa zikiwanyonya wasanii kwa kukata asilimia kubwa katika malipo ya miito ya simu.

“Kilio kikubwa zaidi ni kuhusu stika za TRA kwani mpaka sasa bado mchakato huu haueleweki, kazi zilizokuwepo awali walisema kwamba zingeondolewa lakini mpaka sasa bado hazijaondolewa na bado ulipaji wa stika hizi ni wa kiholela sana,” alisema Novemba
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 20 West Kinzie, Chicago IL USA 60610

Udaku Specially

unread,
Mar 24, 2014, 4:12:54 PM3/24/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


WHY SECRET BALLOT IS NOW SITTA'S NIGHTMARE

Posted: 24 Mar 2014 11:58 AM PDT

The chairman of the Constituent Assembly, Mr Samuel Sitta, today embarks on what could be his baptism of fire since his election to the sensitive position over a week ago.

Mr Sitta will attempt to solve one of the thorniest issues yet to bedevil the CA, with the 629 members so far failing to agree on what mode of voting should be adopted by the assembly.

The matter was so divisive that it was left pending when the committee that formulated the CA regulations under Prof Costa Ricky Mahalu presented its report.

Not even a reconciliatory team named by the then interim chairman, Mr Pandu Ameir Kificho, could break the deadlock on the method of voting.

Many CA members and independent commentators view how Members the Constituent Assembly (MCAs) should vote as an important weapon in winning  in sticky points of the new constitution making process in the face of any stark political differences or vested interests.

Some  MCAs have told The Citizen that the high stakes on whether an open or secret vote should prevail has been heightened by early signs that the ruling CCM was hell bent on pushing its own agenda.      

“We know CCM has a direct interest with the open voting system with President Kikwete and Mr Sitta having already taken sides on this. Therefore the MCAs shouldn’t  allow it to happen,” Mr John Mnyika told The Citizen yesterday.

Mr Mnyika, who is also the Ubungo MP from the opposition Chadema, cautioned that adopting an open voting system would mean CCM will bulldoze its way  through. “It will kill democracy and public interest at the altar of political demigods,” he said.

While those who overwhelmingly voted for Mr Sitta say he should be given the benefit of doubt to remain neutral, others argue his CCM membership, and the President’s weekend address to the CA that left little doubt what he expects of the process – lives him with little room to manoeuvre.

“Sitta is now faced with making a tough decision to either side with CCM that has expressly told its MPs and other inclined members to settle for nothing other than open voting,” said a CCM member who asked not to be named due to the sensitivity that his party has attached to those it viewed as ‘rebels’ advocating the secret vote.

He said a secret vote will enable members make independent decisions. “Some of us from CCM have not been swayed by President Kikwete’s position and will not change the resolve to back secret vote,” said the MP from the Lake Zone.

He advised that Mr Sitta to look for a mutual consensus on the matter before proceeding. Mr Sitta was not immediately available yesterday for comment but soon after his election, he was quoted as pledging to steer the house fairly, and that he will be guided by the wider interest of the nation.

He pledged last Friday that stalemate on the voting method will be resolved this week ahead of naming of various committees to embark on the job proper.          

Mr Mnyika pleaded with fellow MCAs to defeat any party propaganda and instead defend their right of a secret vote.

However, he added that the decision to go for open or secret vote will depend on who will become the steering committee chairperson. He added that the decision will also depend on who will be selected to join the chairman’s advisory committee.

Mr Ezekiah Oluoch said MCAs had already agreed to reach a consensus by sidelining selfish interests.

 “I cannot speak for others but I believe in the secret vote…. this will ensure privacy and security to all MCAs,” the trade unionist said.

Yesterday, CCM’s publicity and ideology secretary, Mr Nape Nnauye, said the CA should be left alone to decide on the matter.

SHOPRITE IMEUZWA WAFANYA KAZI WAGOMA NA KUANDAMANA MLIMANI CITY

Posted: 24 Mar 2014 11:55 AM PDT

Leo mida ya Jioni pale mlimani City nimeshuhudia wafanya kazi wa Duka Kubwa la Shoprite wakiwa wamegoma wakizua watu wasiingie kwenye duka hilo kwa kile kilichodaiwa kuwa duka hilo limeuzwa bila wao kupewa mafao yao ...Habari zilizopo ni kuwa duka hilo limenunuliwa na Super Market Ingine kubwa Nchini Kenya Ambayo inakuja kupanua biashara zake hapa Dar .....

WEMA SEPETU JIPANGE: DIAMOND PLATNUMZ KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM AFUNGUKA NA KUSEMA

Posted: 24 Mar 2014 11:42 AM PDT

Tunamtoa mtoto wetu mwingine toka kwa bwana #Moze_Iyobo na bi #Mwengi.... Eeh! Mwenyezi Mungu, wajaalie na hawa vijana wawili walio baki @emma_platnum na @tonser66wamalize haraka nao, ili Mtu mzima sasa nianze kufyatua copy zangu ��.. �������� au mda wangu Bado???

UTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA-NI KWELI AIR MALAYSIA ILIANGUKA INDIAN OCEAN NA HAKUNA ALIYE PONA

Posted: 24 Mar 2014 09:10 AM PDT

Baada ya ndege ya Air Malaysia kupotea Mtabiri TB Joshua Alisema Kuwa Ndege hiyo itakuwa imeanguka Kwenye Bahari ya Hindi na Hakuna Aliyepona ,,,Utabiri huo kwa wengi ulichukuliwa kama mzaha lakini leo imedhihirika tena kwa mara nyingine kuwa utabiri wake ni wa Kweli , kwani imethibitika kuwa ndege hiyo ilianguka kwenye bahari hiyo na hakuna aliye pona...

AIR MALAYSIA PLAN IS LOST NOBODY SURVIVED-PM CONFIRMS THE AIRCRAFT CRASHED INTO SEA

Posted: 24 Mar 2014 09:11 AM PDT

The missing Malaysian Airlines flight MH370 must be assumed lost with everybody on board dead - Prime Minister Najib Razak said today.

At an emergency press conference, the Malaysian PM said that it is "with deep sadness and regret" that new data shows the flight "ended in the southern Indian Ocean".

After further tests of data British-based satellite company Inmarsat concluded that MH370 crashed into the sea, thousands of miles off course.

It wasn't close to any possible landing sites, said the PM, and was in the southern Indian Ocean to the west of Perth.

Investigators are still searching for any debris from wreckage and, crucially, the black box.

Razak said families had been informed of the latest developments by Malaysia Airlines.

He said: "The last two weeks have been heartbreaking. This news must be harder still."

There will be a further press conference tomorrow with more details, he added, from the press conference held in Kuala Lumpur.
The southern Indian Ocean is believed to be where the jet went down because Malaysian authorities have said pings sent by the Boeing 777-200 for several hours after it disappeared indicated that the plane ended up in one of two huge arcs: a northern corridor stretching from Malaysia to Central Asia, or a southern corridor that stretches towards Antarctica.

Malaysian authorities have not ruled out any possible explanation for what happened to the jet, but have said the evidence so far suggests it was deliberately turned back across Malaysia to the Strait of Malacca, with its communications systems disabled. They are unsure what happened next.

Authorities are considering the possibilities of hijacking, sabotage, terrorism or issues related to the mental health of the pilots or someone else on board.

Malaysia's police chief, Inspector General Khalid Abu Bakar, has reiterated that all the passengers had been cleared of suspicion.

But he said that the pilots and crew were still being investigated. He would not comment on whether investigators had recovered the files that were deleted a month earlier from the home flight simulator of the chief pilot.

In the US, Tony Blinken, President Barack Obama's deputy national security adviser, said on CNN: "There is no prevailing theory."

"Publicly or privately, we don't know," he said. "We're chasing down every theory."



ANGALIA VIDEO MPYA YA SHILOLE -CHUNA BUZI-(EXPLICIT-WAKUBWA TU)

Posted: 24 Mar 2014 03:36 AM PDT

Video hii imetoka ila hii ni kwa ajili ya Mitandao tu kwani humo ndani ni maono matupu ..yakuonekana kwenye Tv itafuata soon.....Angalia hapa ujionee mwenyewe Buzi linavyochunwa

MSICHANA AMCHANA MWENZAKE NA KISU BAADA YA KUGUNDUA ANATOKA NA MWANAUME WAKE

Posted: 24 Mar 2014 03:24 AM PDT

Je Unaweza kufanya unyama kama huu ukisikia mtu wako anatoka kimapenzi na mtu mwingine? Basi hii imetokea hivi karibuni msichana mmoja baada ya kusikia boyfriend wake anatoka na msichana mwingine alitoka na kumtafuta huyu msichana na kumchana chana na kisu kama unavyoona hapo kwenye picha.......

MABAKI YA MIFUPA YA BINADAMU NA BINADAMU WANAO SUBIRIWA KUFA VYAGUNDULIKA KATIKA JUMBA

Posted: 24 Mar 2014 03:18 AM PDT

Human skeletons, body parts, decomposing bodies, skulls and bones on bloodstained floors were discovered at an abandoned building in Soka, Oluyole LGA of Oyo State yesterday March 22nd. The bodies are believed to be unfortunate victims of ritual killing. Police officers also rescued about seven people who were chained together in leg-irons and looked emaciated. (The old woman pictured above was one of those rescued yesterday).

Containers containing human parts were also discovered in the bush surrounding the building. It is believed that people go to the place in the dead of the night to buy human parts.

The abandoned house of horror was discovered after Okadamen in Ibadan discovered that some of their colleagues had gone missing...especially when they took passengers to that area. They decided to search the area and discovered skeletal remains...

The police said they have arrested a few people over the discovery and plan to 'investigate the crime in all its ramifications'. Continue to see very graphic pics from the House of Horror...


KWANINI UVAE NGUO FUPI MWENYEWE HALAFU UKOSE AMANI

Posted: 24 Mar 2014 02:23 AM PDT

Umevaa nguo fupi mwenyewe na ulivyotoka nyumbani ulijiona umependeza umefika njiani unaanza kuhangaika kuishusha kuziba mapaja au sehemu iliyo wazi, kwani ulivyo vaa hukulijua hili? Kama umea amua kuvaa vaa na ujiamini, ukianza kuhangaika nayo unaoneka muhuni , au mshamba. Vaa kitu kitacho kufanya uwe comfortable. mwili ni wako nguo ni zako pia maamuzi ni yako kwanini upate shida..??? 

AGANO LA DAMU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Posted: 24 Mar 2014 12:18 AM PDT

Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana!

Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu.

Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mwenzi wako alichepuka na kufanya maagano: ugomvi, mapigano, kutishiana, chuki na hata kutaka kuuana hakuishi kila leo! Swala sio wivu kwamba unahisi mwenzi wako anakusaliti au kuhitilafiana katika mambo tu ya kawaida, issue ni yale maagano ya damu ambayo "hudemand price"!

Mara nyingi unasikia watu wanalalamika kuhusu tabia za watoto "huyu mtoto tabia kaichukua wapi, mbona baba na mama yake au ukoo wao hawako hivyo?". Chanzo cha tabia za ajabuajabu za watoto ni matokeo ya michepuko iliyofanya maagano na watu/koo zingine zenye laana. Laana na matatizo yanayoletwa na agano la damu katika familia havihitaji mtu kuchepuka na kuzaa nje ya ndoa, bali tu kuhusiana katika mapenzi!

Mimi nilipoingia kwenye mahusiano na mke wangu nilivunja maagano yote kwa jina la Yesu. Lakini kumbuka kuwa huwezi kuvunja maagano kama vile ya michepuko kwa jina la Yesu ili "kufavor your own evil deeds"!

Maagano yanayofanywa na watu kwa njia ya mapenzi huenda vizazi hadi vizazi. Hii ni sawa kabisa kwa mjibu wa sayansi kwani "hereditary information" kutoka kizazi hadi kizazi hubebwa na viasili vilivyopo katika damu, mfano DNA. 
Pasco anaweza kuendeleza hii mada kwa uchambuzi zaidi.

Mie na mke wangu tuna furaha fulltime kwa sababu mapenzi yetu yananawiri kila kukicha, na huwa hatuelewi kabisa matatizo katika ndoa za watu yanatokana na nini! "We are the happiest couple" kwa sababu "we posses several life secrets" mojawapo ni siri kuhusu agano la damu!

Tambueni ya kwamba one of the great decisions a person can make in his/her life ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi (hata kwa dakika moja) na mtu kwa sababu anafanya naye life covenant "blood covenant"!
We teach you things that matter most!
- LifeHacker

KUMEKUCHA DODOMA"TAMKO LA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WA KUNDI LA “TANZANIA KWANZA”

Posted: 24 Mar 2014 12:13 AM PDT

Sisi Wajumbe Wa Bunge Maalum la
Katiba tunaotoka makundi mbalimbali na pia tunaoamini katika kauli mbiu isemayo “TANZANIA KWANZA”, tunapenda kutoa tamko rasmi la kuunga mkono hotuba aliyoitoa Mheshimiwa Rais alipokuwa akihutubia Bunge Maalum la Katiba Tarehe 20/03/2014 kama ifuatavyo:

Kwanza, tunampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kwa hotuba yake aliyoitoa wakati akizundua Bunge Maalum la Katiba tarehe 20 Machi 2014.

Tunaamini Rais, kama Mkuu wa Nchi, alikuwa na haki na wajibu wa kutoa mwelekeo na maono yake kuhusu Rasimu ya Katiba na hatua hii tuliyonayo sasa ya kuipitia Rasimu kwenye Bunge la Katiba. 

Tunafarijika kwamba hotuba hiyo imepokelewa vizuri na Watanzania wengi kwenye kila kona ya nchi yetu na wengi wao wamekuwa wakitutumia ujumbe wakituhimiza kuizingatia hotuba hiyo katika kutimiza wajibu wetu.

Pili, tunamshukuru Rais kwa uchambuzi wake wa kina wa Rasimu na ushauri wake kwetu kuhusu haja ya kuweka taifa mbele, kushawishiana kwa hoja kuliko kulazimisha hoja na haja ya kutunga Katiba itakayoliimarisha taifa letu na kuendeleza umoja na ustawi wa
Watanzania. Sisi wana TANZANIA
KWANZA tutaendelea kushawishi kwa hoja na wala hatutalazimisha.

Tatu, tumeshangazwa na hamaki
iliyoonyeshwa na baadhi ya wajumbe wenzetu kuhusu hotuba ya Rais.

Tunasikitishwa na kauli zao zenye
mwelekeo wa kuhujumu mchakato wa kupata Katiba mpya. Viongozi
hawahawa wanaotoa kauli hizi
walionekana wakishangilia hotuba ya Rais pale aliposema yale waliyokuwa wanakubaliana nayo. Iweje watishie vurugu na kususia kisa tu Rais kasema baadhi ya mambo wasiyokubaliana nayo. 

Ustahamilivu wa kidemokrasia,
ustaarabu na hekima ya uongozi na utu uzima hautaki hivyo.Hotuba ya Rais imeweka wazi faida na hasara za mifumo yote ya Muungano wa Nchi yetu kwa hoja ili Watanzania wawe na fursa pana zaidi ya kutafakari na mwisho kuamua. 

Mheshimiwa Rais ametimiza kauli yake ya kushawishi kwa hoja na si kwa kulazimisha.

Nne, Hotuba ya Mheshimiwa Rais
haikuvuruga wala kuingilia mchakato uliopo mbele yetu. Rais hakuingilia kanuni za Bunge maalum
tulizozipitisha, Rais hakubadilisha
Sheria ya mabadiliko ya Katiba, Rais
hakupiga kura kwenye vifungu vya
Katiba, Rais ameanza kwa kuipongeza Tume ya Mh. Jaji Warioba na kuipongeza kuwasilishaji wake.

Alichokifanya Mheshimiwa Rais kama kiongozi mkuu wa Nchi mwenye hekima na busara na uchungu wa Nchi yake na kutambua dhamana aliyopewa na Watanzania wote bila kujali makundi ameelezea faida na hasara za mifumo ya Serikali iliyowasilishwa kwenye hotuba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Tume. Rais katupa moyo na kutuhimiza tumalize kazi haraka na
tuifanye kwa weledi huku tukiweka maslahi ya Taifa mbele. Hata pale
alipotoa maoni na ushauri kuhusu baadhi ya vifungu bado Mh.Rais
alisisitiza kwamba uamuzi wa mwisho ni wetu sisi Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

Tano, dhana ya kuichambua na
kuikosoa rasimu maana yake si
kumdhalilisha Mwenyekiti wa Tume na Wajumbe wake. Msingi mzima wa
kutolewa Rasimu hii ni kwamba
Wananchi tuichambue, tuikosoe,
tuirekebishe, tuiboreshe na hata ikibidi tuibadilishe na mwisho tutaipigia kura sote kwa pamoja. Rasimu haikuletwa kama Msahafu wala Biblia na ndiyo maana zimewekwa hatua mbili baada ya kazi ya tume kukamilika: 

BUNGE MAALUM LA KATIBA na KURA YA MAONI YA WANANCHI. 

Rais akiwa mkuu wa Nchi, naye ana nafasi yake katika mchakato wa Katiba. Sisi wana TANZANIA KWANZA, tunashukuru kwamba Mh. Rais alitutanabahisha kuhusu maeneo muhimu ya kuzingatia ambayo Tume haikuyaainisha kwa upana wake ikiwemo mipaka ya Nchi
yetu. Tunawapongeza Wajumbe wa tume kwa kazi waliyoifanya na kuikamilisha.

Kazi inayofuatia sasa ni uchambuzi wa Rasimu waliyoiwasilisha. Katika hatua hii ya sasa ya Bunge la Katiba, Rasimu hii inaweza ikakosolewa na hata inaweza kubadilishwa sana. 

Tunawasihi Wajumbe wa Tume waondokane na dhana kwamba kazi yao inapojadiliwa tofauti na mapendekezo yao siyo udhalilishaji wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Sita, Sisi Wajumbe wa Bunge Maalum, wana TANZANIA KWANZA ambao idadi yetu ni zaidi ya Wajumbe 400 na ambao orodha yetu tutaitoa hivi karibuni kwa
wingi wetu na umoja wetu tunayo
dhamira ya kutimiza wajibu wetu kwa mujibu wa Sheria na kwa kuzingatia matarajio ya Watanzania. 

Tunawasihi wale wenzetu ambao hawakuipenda hotuba ya Mheshimiwa Rais watulie, waondoe hamaki na sote tushirikiane kuifanya kazi hii, kama wapo ambao kitendo cha Rais kuja kuhutubia na kutoa uchambuzi wake kuhusu Rasimu, kinawafanya wasitake tena kushiriki
katika mchakato huu, basi uamuzi wao huo waufanye kwa namna ambayo haitatukwaza au kutuzuia sisi wengine tunaotaka kuendelea na shughuli hii ya mchakato wa Katiba. 

Tunawasihi viongozi wa Bunge Maalum wasivumilie wala kuendekeza vitendo vya vurugu za
makusudi vitakavyozuia uendeshaji wa Bunge. Tunawasihi msiruhusu watu wachache wakaliweka rehani Bunge Maalum ili kutengeneza mtaji wa kisiasa. 

Tunawasihi Watanzania wawaone na kuwahukumu wale watakaotaka kuvuruga au kukwamisha mchakato adhimu wa kupata Katiba mpya kisa tu Mh. Rais kaja kuhutubia Bungeni.

Mwisho, tunapenda kusisitiza kuhusu umuhimu mkubwa wa vyombo vya habari katika mchakato huu. Hiki ni kipindi muhimu sana katika uhai wa Taifa letu. Wananchi wengi wanafuatilia mchakato huu kupitia vyombo vya habari. 

Tunawasihi wamiliki, wahariri na waandishi wa habari wazingatie
weledi wa hali ya juu sana katika
kuripoti mchakato huu. Wananchi
wanapenda kusikia, kuona na kusoma yanayojiri wala sio propaganda za wanasiasa au makundi mbalimbali.

Tunapenda kuvisihi vyombo vya habari viwaunganishe Watanzania wote katika kipindi hiki muhimu na cha kihistoria.

Hata hivyo tunatoa shukrani zetu za
dhati kwa vyombo vya habari na wanahabari wote kwa ushiriki wao
katika mchakato huu wa Katiba. Tunazidi kuwasihi waendelee kufanya kazi zao kwa weledi mkubwa, kutokufanya kazi kwa kufuata propaganda za kisiasa au kufuata makundi, kutoa mizania sawa kwa maoni tofauti bila kuegemea maoni ya kundi moja au matakwa ya makundi fulani kwa kuwa mwisho wa siku sisi sote tuna jukumu kubwa la kuhakikisha tunakuwa na Tanzania moja.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Libariki Bunge Maalum la Katiba

“TANZANIA KWANZA”

Tunawashukuru kwa kutusikiliza.

Kwa niaba ya Wabunge wa Bunge la Katiba “WANATANZANIA
KWANZA”

STEVE NYERERE AMPATANISHA WOLPER NA MBAYA WAKE

Posted: 24 Mar 2014 12:02 AM PDT

Stori: Gladness Mallya

CHUKUA tano! Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefanikiwa kumpatanisha Jacqueline Wolper Massawe na mbaya wake ambaye ni msanii mwenzake wa filamu (jina kapuni).

Akizungumza na gazeti hili, Steve alifunguka kuwa uongozi wake upo kwa ajili ya kuweka kundi hilo likae katika njia sahihi hivyo aliamua kumuita Wolper na huyo msanii mwenzake ambapo alifanya nao kikao cha saa kadhaa maeneo ya Mbezi Beach, Dar.

Alisema kuwa alifurahishwa kuona bifu hilo limekwisha kwani yeye anapenda watu wapendane na kundi liwe na amani, kusiwe na mifarakano ya hapa na pale ndiyo maana alichukua jukumu hilo na sasa wako vizuri.
Kwa sasa wawili hao wanazungumza tofauti na zamani ambapo walikuwa hawasalimiani hata wakikutana uso kwa uso.

“Nimefurahi sana kwa kuwa nimeweza kuwapatanisha, haikuwa kazi rahisi lakini nimefanikiwa, naamini wataendelea kuzungumza vizuri na kupendana maana mimi ni mtu wa amani, napenda na wasanii wangu wawe na amani na wapendane pia,” alisema Steve ambaye naye amepatana na Wema Sepetu baada ya kuwa Mwenyikiti wa Bongo Movie Unity.

Wolper na msanii huyo waliingia kwenye gogoro zito baada ya mbaya wake huyo kumkashifu Wolper laivu runingani na kumshambulia kwa maneno makali
GPL

MAUAJI MENGINE YA KIGAUDI YATOKEA KANISANI HUKO MOMBASA

Posted: 23 Mar 2014 11:56 PM PDT

Jana jumapili tarehe 23/3 watu kadhaa ambao wanasadikika kuwa ni magaidi wamevamia kanisa moja linalojulikana kwa jina la Joy Jesus Church huko Mombasa na kuanza kupiga risasi kanisani hapo.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema baada ya watu hao kutekeleza tukio hilo walikimbia kwa miguu kuelekea pasipo julikana.
Afisa wa polisi wa eneo hilo amesema hadi sasa wamefariki watu wawili na wengine kumi wamepata majeraha ya risasi nakukimbizwa hospitali.
Kikundi cha Al Shabaab kiliwahi kuhusishwa na tukio kama hili huko Nairobi lakini hivi sasa limetokea Mombasa.
Maafisa wa polisi wamesema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kuwakamata watu hao japokuwa hadi sasa bado hawajapata tetesi yoyote juu ya watuhumiwa hao.
-Regina Iwole

CHRIS BROWN AZIDI KUCHANGANYIKIWA HALI WALA HALALI HUKO JELA

Posted: 23 Mar 2014 11:53 PM PDT

Chris Brown baada ya kuvunja sheria za rehab alifukuzwa na baadae kukamatwa, hivi sasa amewekwa jela kwa muda wa mwezi mmoja.
Mtandao mmoja wa huko Marekani umeripoti kwamba Chris Brown yupo kwenye hali mbaya ndani ya gereza hilo kiasi kwamba hali chakula,usiku halali,anaongea peke yake na maisha ya humo ndani ni magumu kwake.
Wanaendelea kuripoti kwamba Chris anakunywa maji tu na wakati mwingine anapewa juisi ya machungwa.Huwa anapewa sandwich kwenye chombo kibovu na Chris Brown huwa anakataa hiyo sandwich.
Chris bado anakabiliwa na mashtaka mengine ambayo ni kumpiga kijana mmoja na kama kesi hiyo ikimuendea vibaya anaweza kwenda jela miaka 4.
Taarifa zinazotoka hivi sasa ni kwamba mwanasheria wa Chris Brown anafanya juhudi zote za kumlipa kijana huyo ili mteja wake akimaliza mwezi mmoja wa jela asiwe na kesi yoyote.
Mwezi huu mmoja anaotumikia Chris ni kutokana na jaji kumtaka akae rehab baada ya kuvunja sheria alizowekewa baada ya kesi ya Rihanna. Lakini pia akavunja sheria za Rehab na kujikuta anafungwa kwa mwezi mmoja.

KUAMBIANA: KIPIGO NILICHOWAPA WEMA SEPETU NA AUNT KIMEWAPA ADABU

Posted: 23 Mar 2014 11:50 PM PDT

Stori: Imelda Mtema

‘DAIREKTA’ na muigizaji wa filamu Bongo, Adamu Phillip Kuambiana amefunguka kuwa kitendo cha kuwatia makofi waigizaji Wema Spetu na Aunt Ezekiel kilikuwa cha kiungwana sababu amewafundisha.

Akipiga stori na paparazi wetu, Kuambiana alisema bila kuwa mkali wakati mwingine mambo huwa hayaendi kwenye uigizaji hivyo anapotembeza kichapo kidogo, mambo yanakwenda katika mstari.

“Kipigo kinasaidia, watoto wa kike hawa bila kuwatishia wanafanya wanavyotaka na ukiwaruhusu unaweza kuharibu kazi,  lakini nashukuru wamenielewa, tunapiga kazi,” alisema Kuambiana.
GPL

NKAMIA "NTAYAFUNGIA NA KUFUTA MAGAZETI

Posted: 23 Mar 2014 11:46 PM PDT

VITISHO vya watendaji wa serikali kwa vyombo vya habari vimezidi kushika kasi, safari hii Naibu Waziri wa Habari, Michezo na Utamaduni, Juma Nkamia, akitishia kuvifungia au kuvifuta.

Nkamia amebainisha kuwa magazeti yanayowachafua watu, serikali na kuhatarisha usalama wa nchi yatakumbana na kifungo.

Itakumbukwa mwaka jana serikali ililifungia gazeti la Mtanzania kwa miezi mitatu na Mwananchi kwa wiki mbili, kwa madai ya kuandika habari za kichochezi.

Nkamia, alitoa vitisho hivyo  jana jijini hapa  kwenye tamasha la vijana lililoandaliwa na Taasisi ya Voice of Youth (VOYC) lililokuwa likijadili masuala mbalimbali yahusuyo vijana.

Miongoni mwa mambo yaliyokuwa yakijadiliwa ni ujira, uzalendo, ujasiriamali na ajira,
Nkamia alisema hatakubali siku moja asutwe kwa kutotimiza wajibu wake katika wizara anayoisimamia, kwa kuwaachia waandishi wasiofuata maadili ya taaluma yao.

“Mimi sitaki kufanya kazi na waaandishi wa habari makanjanja, ambao si makini na wanaofanya kazi kwa masilahi ya kundi fulani la watu.

“Tutakifuta, kukifungia chombo chochote cha habari pamoja na waandishi wake wanaokwenda kinyume cha maadili ya uandishi wa habari, sitaruhusu wanaoendekeza kuwachafua wengine, umbea,” alisema.

Alisema amefanya kazi hiyo kwa kuzingatia maadili ya taaluma hiyo kabla ya kuingia kwenye siasa ambako sasa anasimamia wizara inayoshughulika na waandishi wa habari.

Nkamia pia alitumia fursa hiyo kuwasihi vijana waache kushiriki kwenye maandamano yanayoitishwa na vyama vya siasa alivyoviita havina malengo mema kwa taifa.

Alibainisha kuwa vijana hawawezi kupatiwa fedha kama hawafanyi kazi yoyote, kwani hata mataifa yaliyoendelea ambayo ni Marekani na Uingereza hawafanyi hivyo.

Hata hivyo katika mkutano huo, viongozi wa halmashauri na mkoa walikacha kuhudhuria na hawakutuma wawakilishi katika tamasha hilo licha ya kualikwa.

Kukacha kwao huko kulisababisha gumzo kubwa na Afisa Tarafa ya Nyamagana, Maximilian Kailanga, alibeba jukumu la kumkaribisha Nkamia.

MWANDISHI UINGEREZA AIBUA MAPYA MENO YA TEMBO TANZANIA.

Posted: 23 Mar 2014 11:36 PM PDT

Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ahadi ya kuteketeza maelfu ya meno ya tembo yaliyo kwenye ghala la Serikali, imeelezwa kuwa uwezekano huo ni mdogo.

Mwandishi wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, Martin Fletcher ameeleza kushtushwa na hali ya ulinzi kwenye ghala hilo lililosheheni meno 34,000 ya tembo ambayo kwa biashara ya magendo nchini China yanagharimu Pauni 150 milioni za Kiingereza (Sh403.5 bilioni)

Fletcher, ambaye aliandika habari ya kuhusika kwa wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa wa Tanzania katika biashara haramu ya meno hayo kiasi cha kuifanya nchi kuwa muuzaji mkuu wa nyara hizo, aliandika hayo kwenye taarifa kuhusu ziara yake nchini iliyochapishwa na gazeti hilo jana.

Habari ya awali ilitikisa ulimwengu ambao unapambana kulinda viumbe walio hatarini kutoweka ikiwatuhumu wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa nchini kuhusika, huku Serikali ikishindwa kuwadhibiti.

Habari hiyo iliifanya Serikali ya Tanzania kufungua milango kwa vyombo vya habari vya nje kuja nchini kupata habari sahihi kuhusu tatizo hilo, akiwamo Fletcher wa Daily Mail.

Katika ziara yake, Fletcher alipata nafasi ya kutembelea ghala la nyara hizo, kuzungumza na maofisa wanyama pori pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.

“Nyalandu pia aliweka bayana kuwa uteketezaji wa shehena ya Tanzania ni kitu ambacho kiko mbali na uhalisia, licha ya ahadi ya Kikwete jijini London,” Fletcher alimkariri Nyalandu kwenye habari hiyo ambayo imeambatana na picha alizozielezea kuwa za kushtua za ghala hilo, lenye idadi kubwa ya meno ya tembo kuliko maghala yote duniani.

“Alisema Rais alikuwa na nia ya kuteketeza (shehena hiyo), lakini Tanzania ilitaka ilipwe takriban Pauni 30 milioni za Uingereza kutoka Jumuiya ya Kimataifa kwa ajili ya Mfuko wa Hifadhi ya Tembo.”

Hata hivyo mwandishi huyo anaripoti kuwa; “Wahisani ambao wangeweza kutoa fedha hizo, walikejeli kiwango hicho wakisema hakina uhalisia.”

Alipoulizwa kuhusu kauli hiyo jana, Nyalandu alisema baadhi ya mambo kwenye habari ya mwandishi huyo yamekuzwa, lakini alisema uamuzi wa kuteketeza nyara hizo haujafikiwa.

Alisema Serikali ilichofanya hadi sasa ni kupiga marufuku biashara zote za meno ya tembo, hivyo haitauza yaliyopo na haitaomba kibali tena cha kufanya biashara hiyo na kwamba kinachoendelea sasa ni mazungumzo ya namna ya kushughulika na shehena iliyopo.

“Meno mengine yaliyopo ni ya kihistoria. Ni marefu kuliko mengine na tembo wa aina hii hawapo tena, hivyo kuwa nayo pia ni kitu kizuri. Haya meno ni mali ya Watanzania wote, uamuzi wa kuyateketeza lazima uchukuliwe kwa busara,” alisema.
Kwa mujibu wa Fletcher meno mengine yana urefu wa futi 7, uzito wa tani 125 na moja linaweza kubebwa na watu kuanzia watatu, huku jino fupi likiwa na uzito wa kilo 0.4500 na kwa mujibu wa jangili aliyekiri kuua tembo 30 kwa siku, jino hilo dogo liling’olewa kutoka kwa tembo mtoto.

Mara tatu katika kipindi cha miaka minane, Tanzania imeomba bila mafanikio kibali cha kuuza shehena yake kutoka katika nchi 180 zilizosaini makubaliano ya kudhibiti biashara ya kimataifa ya viumbe walio hatarini kutoweka, Cites, licha ya ushahidi mkubwa kuwa kitendo cha kuuza mara moja tu, kitazidisha tamaa ya China kupata meno hayo.

Akizungumzia ziara yake nchini, mwandishi huyo anaelezea udhaifu katika ulinzi wa ghala hilo lililo nyuma ya jengo la Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.

“Ghala hilo niligundua siyo kama ngome (yenye ulinzi mkali). Lina milango ya chuma ya kusukuma ikiwa na kufuli nzito tano ambazo funguo zake zimegawanywa kwa maboharia wawili, lakini milango ilifunguliwa yote nilipofika,” makala hiyo inaeleza. “Kila jino limewekwa alama na namba na ghala ina kamera za ulinzi wa ndani, lakini sikuona mlinzi mwenye silaha nje.”

Mwandishi huyo anaeleza kuwa habari yake ya kwanza iliyohoji kama mtoto wa Mfalme wa Wales na Waziri Mkuu wanaweza kushikana mkono na Rais Kikwete wakati alipotembelea Uingereza, ilizua kizaazaaa kiasi cha Rais Kikwete kuitisha kikao na maofisa waandamizi wa Maliasili na kutoa maelekezo kuwa wafanye kazi.

Mwandishi huyo alitembelea maghala ya meno ya tembo, Hifadhi ya Selous ambayo mwaka 2006 ilikuwa na tembo 70,000 lakini hadi sasa wamesalia 13,000 tu. Baadhi ya meno yalichukuliwa kutoka tembo waliokufa na mengi kukamatwa kutoka kwa majangili na hayawezi kuuzwa kwa sababu ya biashara hiyo kuzuiwa duniani.


"RAIS KIKWETE ALIKUWA SAHIHI HAKUKOSEA" KUNDI LA TANZANIA KWANZA

Posted: 23 Mar 2014 11:34 PM PDT

KITENDO cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kukosoa hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutoa maoni yake kuhusu rasimu ya Katiba, kimekosolewa.

Pia, imesisitizwa kuwa hakukosea kufanya hivyo na kwamba hotuba yake, haikuvuruga wala kuingilia mchakato ulio bungeni.

Kundi la Wajumbe wa Bunge Maalumu, linalojipambanua kama Tanzania Kwanza, limesema Rais alichofanya kama kiongozi wa nchi mwenye hekima na busara na uchungu kwa nchi yake ni kueleza faida na hasara ya mifumo ya serikali, iliyowasilishwa kwenye rasimu ya Katiba.

Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, wajumbe wa kundi hilo linaloongozwa na Said Nkumba na Dk Emmanuel Nchimbi, walisema kitendo cha Rais kuchambua rasimu, si kumdhalilisha Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba na wajumbe wake.

Wajumbe wanaounda kundi hilo wako 400 na waliozungumza jana na waandishi wa habari jana ni Nkumba, Nchimbi, Evod Mmanda, Seleman Jaffo, Mahmoud Thabit Kombo, Asha Mtwangi, Amon Mpanji na Waride Jabu.

Akisoma tamko la wajumbe hao, Said Nkumba alisema Rais hakubadilisha sheria ya mabadiliko ya Katiba, hakupiga kura kwenye vifungu vya Katiba, bali alieleza faida na hasara ya mifumo ya serikali, iliyowasilishwa kwenye rasimu ya Katiba na kuachia wajumbe kazi yao.

Nkumba alisema Rais Kikwete kawapa wajumbe moyo na kuhimiza wamalize kazi haraka na waifanye kwa weledi huku wakiweka maslahi ya taifa mbele.

“Hata pale alipotoa maoni yake kuhusu vifungu vya rasimu hiyo, alisisitiza kuwa uamuzi wa mwisho ni wetu sisi wajumbe wa Bunge hili.”

Katika hotuba yake, Rais alisema msingi wa kutolewa kwa rasimu ni kuwezesha wananchi waichambue, waikosoe, wairekebishe, waiboreshe na hata ikibidi waibadilishe na mwisho wapige kura kwa pamoja.

Rais Kikwete alisema rasimu hiyo haikupelekwa bungeni kama Msahafu wala Biblia na ndiyo maana zimewekwa hatua mbili baada ya kazi ya Tume kukamilika.

Kundi hilo la wajumbe, limesema Rais akiwa Mkuu wa Nchi, pia ana nafasi yake katika mchakato wa Katiba “Sisi wana Tanzania Kwanza tunashukuru kwamba Rais alitutabanaisha kuhusu maeneo muhimu ya kuzingatia ambayo Tume haikuyaainisha kwa upana wake ikiwemo mipaka ya nchi yetu.”

Alisema pamoja na kazi nzuri, iliyofanywa na Tume, rasimu hiyo inaweza kubadilishwa na kufanya hivyo siyo kuwadhalilisha wajumbe wa Tume hiyo.

Mwenyekiti huyo alisema wajumbe watimize wajibu wao kwa mujibu wa sheria na kwa kuzingatia matarajio ya Watanzania.

Umoja huo ulitaka watu ambao hawakufurahishwa na hotuba ya Rais, waondoe hamaki, watulie na washirikiane kufanya kazi ya kuandika Katiba mpya.

Nkumba alisihi Watanzania kutoruhusu watu wachache, kuweka Bunge Maalumu rehani kwa malengo ya kutengeneza mtaji wa kisiasa.

“Tunataka Watanzania wawaone na kuwahukumu wale watakaotaka kuvuruga au kukwamisha mchakato adhimu wa kupata Katiba mpya kisa tu Rais kaenda kulihutubia Bunge hilo,” alisisitiza.

Juzi viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walikutana na kushutumu kile walichodai hatua ya Rais kuhutubia Bunge hilo na kutoa maoni yake kwa kuichambua rasimu wakati yeye siyo mjumbe wa Bunge hilo.

Walisema walikerwa na kitendo hicho, wakidai kinaonesha wazi kwamba CCM haina utashi wa kuandika Katiba kwa maridhiano, bali kwa kutumia ubabe ukiwemo wa kuvuruga Katiba.

HUU NDO UFUSKA WA MASTAA BONGO YANI HUWEZI AMINI KAMA WAO NDO WANAFANYA

Posted: 23 Mar 2014 11:27 PM PDT

Husna Idd 'Sajent' naye akionyesha machejo yake.



NI laana! Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska, Tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo maeneo ya Victoria, Dar wikiendi iliyopita ambapo kulikuwa na Kibao Kata cha mtoto wa mjini, Rose Alphonce Nungu ‘Muna Love’.

Udaku Specially

unread,
Mar 25, 2014, 4:24:26 PM3/25/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


SONGSBIRD RAY C SHARES DISTURBING PICTURE OF HERSELF AS A DRUG ADDICT (PHOTO)

Posted: 24 Mar 2014 11:08 PM PDT

Songbird Ray C Shares Disturbing Picture Of Herself As a Drug Addict (PHOTO)

Tanzanian songbird Rehema Chalamila aka Ray C is a lucky girl because she escaped death narrowlyand she owes her life to Tanzanian President and adoptive dad Hon. Jakaya Kikwete. That was two years ago when an entertainment magazine published a photo of Ray C deeply asleep and in a very bad state.

The photo left many in shock as it was clear that she was so deep into drug addiction and her appearance had even changed from that of a hot lady to a junkie who was just who had lost hope in life. The photo captured the attention of Tanzanian President Jakaya Kikwete who took her under her wings and saw to it that the ‘Sogea’ artiste was taken to a rehabiltation centre .

She is now a reformed woman and is back to her beautiful self once again. Ray C has clearly learnt her lesson and she is now stretching out her hand to help people who were still wallowing in the sea of drug addiction. She recently called out her ex boyfriend ( who according to her revelation is the one who introduced her to drugs) asking him to change his ways and seek help for his drug problem. Ray C is not ashamed of her past but very proud of her present and she has now shared the pictures that showed her in a very bad state asking her fans to keep off drugs,

“STOP USING DRUGS PEOPLE…..DRUGS KILL….MLIOKO TOKENI JAMANI!!!THANK YOU GOD…….FREE AT LAST.”
We are happy for Ray C and we hope that others learn from her mistakes and seek help before it is too late.

KUVAA CHENI ZA MGUUNI (KI KUKU), INA MAANISHA NINI, NA JE NI SAWA

Posted: 24 Mar 2014 11:02 PM PDT

Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya kinyume na maumbile, au analika pande zote tetesi hizi zimeleta mchanganyiko kidogo kwenye urembo huu.

Watu wengine wamediriki hata kukataza kabisa wapenzi wao wasivae urembo huo, mimi binafsi siwezi kuongozana na mtu amevaa kitu kama hicho. Haya sasa kazi kwako mdau, wewe unaonaje ni sawa urembo huo kutumika, na je mwenza wako akivaa urembo huo, utaafiki..!!?

MPENZI WANGU ANAPENDA PICHA MPAKA ANAKERA..!! KILA SAA PICHA

Posted: 24 Mar 2014 10:56 PM PDT

Nimejaribu kumkanya sana bado tu haachi tabia hiyo ya kupiga piga picha, Bora basi hata picha zenyewe ziwe za maana, Picha zake ni shida tupu, yani za utata, unaweza hata ukafa kwa presha ukiziona, ni hatari sana. Naombeni ushauri jamani maana nimeshasema mpaka nimechoka..!!

KAZI NI KAZI BORA MKONO UENDE KINYWANI....NAIPENDA NCHI YANGU MAARUFU

Posted: 24 Mar 2014 10:54 PM PDT

Haijalishi wewe ni Mwanamke au Mwanaume...Tujenge nchi yetu..Naipenda Nchi yangu

UJUMBE WA LEO KUTOKA KWA RAY C KUJA KWAKO

Posted: 24 Mar 2014 10:43 PM PDT


SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!

Posted: 24 Mar 2014 10:38 PM PDT

SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao.
Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa msambazaji badala ya msanii ambaye kimsingi ndiye mhusika mkuu katika utayarishaji.

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amefafanua mengi kuhusu changamoto zilizopo katika sanaa hiyo.

WOLPER, HUSNA WAMGOMBEA MKONGO

Posted: 24 Mar 2014 10:35 PM PDT

Stori: Shakoor Jongo
KUCHAMBANA, kutoleana lugha chafu ndiyo ishu iliyopo kwa sasa kati ya nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2011 iliyomtoa mlimbwende Salha Israel, Husna Maulid kufuatia madai kwamba, wanamgombea mwanamume Mkongo aliyejulikana kwa jina moja la Mwami.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Husna ndiye aliyeanza kuwa na uhusiano na Mkongo huyo mwaka jana na kila anapofika nchini hutanua naye kwenye ‘viwanja’ mbalimbali.

“Husna ndiye mwenye mwanaume, akija Bongo wako wote, lakini hivi karibuni ghafla tu, jamaa kaja na kuwa na Wolper, Husna kapigwa chini, sijui Wolper alimpatia wapi?” kilisema chanzo hicho.

Jumamosi iliyopita, Uwazi lilimtafuta Husna na kumuuliza kuhusu madai hayo ambapo alifunguka kwa kusema:
“Ni kweli kabisa, Wolper amenichukulia mwanaume wangu. Mi nimemshangaa sana. Halafu eti ananitumia meseji za ajabu ajabu mimi, eti anasema hajanichukulia bali ni bwana ‘ake siku nyingi (huku akionesha meseji hizo).

Baadhi ya meseji hizo zinaonesha Husna akijibu mapigo upande wa pili huku akishambulia kwa maneno makali kufuatia madai kwamba anatembea na Mkongo wake.

“Jana (Ijumaa) alikwenda naye hoteli…(anaitaja jina) iliyopo Masaki (Dar), wakala chakula kisha wakaenda kulala hoteli… (pia anaitaja jina). Mimi najua kila kitu,” alisema Husna akionesha hasira.
Kwa mujibu wa Husna, awali siku hiyo alitaka kwenda kumfumania Wolper na Mkongo huyo kwenye hoteli waliyokuwa wakila chakula lakini machale kama yalimcheza wakaondoka.

Baada ya kuzungumza ana kwa ana na Husna, Uwazi lilimsaka Wolper kwa njia ya simu ili kumuuliza lakini hakupokea. Wakati mwingine simu yake ilipopigwa ilionekana kuwa bize.

Hata hivyo, ili kumpa nafasi zaidi ya kujieleza, Wolper alitumiwa meseji saa 5:05 asubuhi ikiwa na mashitaka yote ambapo ‘ilideliva’ kwenye simu yake, lakini pia hakuijibu mpaka saa 10:13 jioni wakati gazeti hili linakwenda mitamboni.
GPL

WANASOKA WA AFRIKA WASAMBAA KILA KONA DUNIANI

Posted: 24 Mar 2014 10:32 PM PDT

Ni hali ambayo imekuwa kama kawaida kwa wachezaji wa Afrika kutafuta kwenye klabu mbalimbali barani Ulaya.

Kutokana na hali ya uchumi iliyopo katika nchi za Afrika, kijana anayecheza soka kwenye viwanja vyenye vumbi kwa sababu ya kukosekana viwanja bora hujikuta akiwa na ndoto ya kujiendeleza kucheza soka nje ya Afrika ili aweze kufanikiwa kimaisha kwa kutumia kipaji chake.

Lakini wakati wachezaji wengi wa Afrika wakiwa na ndoto za kucheza soka katika Ligi Kuu za England, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Ureno na Hispania, ripoti iliyotolewa na Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) hivi karibuni inaonyesha wachezaji wa Afrika wamezidi kumiminika sehemu mbalimbali za dunia kutoka Albania hadi Yemen kwa ajili ya kutafuta ‘malisho’.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya FIFA, katika kipindi cha miaka 25 iliyopita, ukiacha nchi zilizokuwa zikitamba kisoka barani Ulaya, wachezaji wa Afrika wameingia mpaka katika nchi za Ulaya ambazo zilikuwa hazitambi kisoka.

Ripoti hiyo inaonyesha katika miaka ya 1990 wachezaji wa Afrika walikuwa katika timu kubwa tu za Ulaya zinazoshiriki kwenye ligi za juu za nchi, lakini hivi sasa wachezaji wa Afrika wamesambaa mpaka kwenye ligi mbalimbali za chini.

FIFA inasema idadi ya wachezaji wa Afrika itaendelea kuongezeka barani Ulaya. Pia wachezaji wa Afrika wana nafasi kubwa nje ya bara la Ulaya na sasa wengi wapo katika Ligi Kuu ya Marekani, Vilevile wapo katika nchi za Mashariki ya Kati wanacheza soka na kunufaika na fedha zinazotokana na mauzo ya mafuta.

Ukitazama Ligi ya Mabingwa Asia, msimu uliopita kulikuwa na wachezaji wengi wa kiafrika kwa sababu wanacheza soka katika ligi mbalimbali za bara hilo kama ligi ya India, Indonesia, China na nyingine nyingi.

Katika hali ya kushangaza, taarifa ya FIFA inaonyesha wachezaji wa Afrika ni wachache katika Ligi ya Mabingwa ya Amerika ya Kusini.

BUNGE LA KATIBA NA WANANCHI WAKO NJIA PANDA

Posted: 24 Mar 2014 10:26 PM PDT

Kwa neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”.

Hii ni baada ya hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuibua mambo mazito ambayo kimsingi yanatofautiana na mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni na mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.

Huku wananchi wakijiuliza nini hatima ya Bunge hilo baada ya hotuba hiyo, baadhi ya wajumbe ambao wiki hii ndiyo wanaanza kujadili rasimu hiyo, watakuwa katika wakati mgumu wa kuamua wafuate maoni ya nani, kati ya viongozi hao wawili.

Ingawa Rais Kikwete amesema mara kadhaa kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba ndiyo waamuzi. Mambo mengi aliyoibua yanaonyesha kutokubaliana kwake na baadhi ya maoni ya wananchi yaliyomo katika rasimu, ambayo Jaji Warioba amewahi kusema kuwa yanatakiwa kuheshimiwa.

Wakizungumzia tofauti hizo, mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch alisema kauli za Rais Kikwete na Jaji Warioba zimezidi kuwagawa wajumbe wa Bunge hilo kwa maelezo kuwa tangu awali wajumbe hao walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili; ya wanaotaka muundo wa Muungano uwe wa serikali tatu na wale wanaotaka serikali mbili.

Alisema kama suala la muundo wa Serikali likishindikana kupatiwa mwafaka ni vyema likarudishwa kwa wananchi ili wapige kura ya maoni kuchagua aina wanayoitaka, kisha suala hilo lirejeshwe tena katika Bunge la Katiba kwa ajili ya kuboreshwa.

“Rais alipoanza kuzungumza alikuwa kama mkuu wa nchi lakini mwisho wa hotuba yake aligeuka kuwa mwenyekiti wa CCM. Kifupi alichokizungumza kimekwenda tofauti na wadhifa wake,” alisema.

Naye Deo Filikunjombe alisema: “Nadhani kwa hotuba hizi mbili, kazi ya wajumbe wa Bunge la Katiba itakuwa rahisi. Maana sasa wameshajua uzuri na ubaya wa serikali tatu na mbili.

“Hata kama kutakuwa na tofauti, wananchi ndiyo watakuwa wa mwisho kuamua kama Katiba hii ipite au isipite. Tunachotakiwa wajumbe ni kuwa makini na uamuzi wetu.”

Naye Yusuf Manyanga alisema: “Bunge la Katiba limejaa watu wenye busara. Sidhani kama tutashindwa kuelewana maana hata katika biashara ya utumbo inzi ni wengi lakini utumbo unauzika.”

Katika hotuba yake aliyoitoa Ijumaa iliyopita Rais Kikwete aligusia mambo saba ya msingi yaliyomo katika rasimu ya Katiba na kutaka yatazamwe kwa kina, huku akibainisha kuwa mengine hayawezekani kutekelezeka.

Udaku Specially

unread,
Mar 26, 2014, 4:36:54 PM3/26/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


MLINZI WA OBAMA AFUKUZWA KAZI KWA KULEWA CHAKARI AKIWA KAZINI

Posted: 26 Mar 2014 11:25 AM PDT

Jarida la Washington Post nchini Marekani limeripoti kwamba askari watatu ambao ni walinzi wa president wameachishwa kazi kwa muda na kurudishwa nyumbani ili uchunguzi ufanyike.
Askari mmoja kati ya hao alikutwa amelewa pombe chakari kwenye hoteli moja huko Amsterdam ambapo Obama alienda kwa ajili ya mkutano wa mambo ya Nuclear.
Msemaji wa idara ya upelelezi Marekani alikataa kutoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo ingawa alisisitiza kuwa watatu hao wameachishwa kazi kwa muda huku uchunguzi ukiendelea.
Mwaka 2013 majasusi wawili waliondolewa katika kikosi cha ulinzi cha Rais Obama kufuatia tuhuma za kuhusika na kashfa ya ngono na utovu wa nidhamu.
Mwaka 2012 majasusi kadhaa waliachishwa kazi kufuatia madai kuwa walikodi makahaba walipokuwa mjini Cartagena Colombia.

YANGA NA AZAM WAZIDI KUKABANA KOO..WOTE WASHINDA LEO

Posted: 26 Mar 2014 11:12 AM PDT

Vilabu vya Azam FC na Yanga SC leo vimeendelea kukabana koo katika mbio za ubingwa wa ligi kuu Vodacom baada ya vyote viwili kupata ushindi kwenye michezo yao waliyokuwa wakicheza leo hii.
Azam FC ikiwa katika dimba la Mkwakwani ilikuwa ikicheza na Mgambo JKT na matokeo ni kwamba wamefanikiwa kushinda kwa magoli 2-0.
Magoli ya Azam yalifungwa na Brian Omony na John Bocco Adebayor.
Kwa upande wa Yanga ambao leo walikuwa wakicheza na Tanzania Prisons kutoka Mbeya katika uwanja wa taifa – matokeo ni Yanga wameshinda 5-0.
Magoli ya Yanga yalifungwa na Emmanuel Okwi, Mrisho Ngassa, Hamis Kiiza alifunga mawili na nahodha Nadir Haroub Cannavaro aliyefunga kwa penati.

KWANINI WANAWAKE WANAPENDA KUCHORA TATOO NYUMA YA KIUNO ?

Posted: 26 Mar 2014 11:06 AM PDT

Tujuzane Jamani kama unajua ina Maana Gani......

ANGALIA VIDEO SHABIKI WA MAN U AKIMTUKANA MOYES BAADA YA KUFUNGWA JANA NA MAN CITY

Posted: 26 Mar 2014 06:47 AM PDT


"You've lost the fans tonight, you don't deserve the fans,"

'He's the biggest fool in Manchester': Watch Man United fan slam David Moyes after derby defeat 

INASIKITISHA WATOTO WATEKETEA KWA MOTO WAKIWA WAMELALA TABORA

Posted: 26 Mar 2014 06:35 AM PDT


Watoto hao walipokuwa wamelala na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.

Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na mdogo wake Emmanuel Paul(3) ambao wamepoteza maisha baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto huku wakiwa wamelala ndani majira ya saa moja asubuhi peke yao  huko eneo la mtaa wa Rufita Mwanza road Tabora mjini.

LIPUMBA SNUBS SITTA'S APPOINTMENT

Posted: 26 Mar 2014 06:26 AM PDT

Dodoma. In what appears to be the opposition’s discontent with developments in the Constituent Assembly (CA), the national chairman of the Civic United Front (CUF), Prof Ibrahim Lipumba, stunned members when he snubbed CA chairman’s appointment in the crucial committee.

Mr Lipumba’s decision came just a few minutes after the chairman of the CA, Mr Samuel Sitta, announced a team of five members of the Steering Committee which included only one member from the opposition.

The CA chairman announced five members of the Steering Committee, amid criticism from members. They include Ms Mary Chatanda (Special Seats -CCM), Prof Ibrahim Lipumba (CUF), Mr Amos Mpanju (People with Disabilities), Fakharia Khamis Shomari (Special Seats - CCM) and Hamoud Abuu Jumaa (MP for Kibaha Rural -- CCM).

But in a quick reaction, Prof Lipumba stood up and said he was aware the ruling CCM was planning to bulldoze the opposition by ensuring that their agenda sails smoothly through the Steering Committee and that he was not ready to be used under the umbrella of the opposition.

Mr Sitta said he only had five positions and he could not include many more members from the opposition because if he did so it would mean he was segregating others. “We appointed Prof Lipumba because he is the leader of a strong opposition party and chairman of the Coalition of Defenders of the People’s Constitution (Ukawa). Therefore all queries from the opposition can easily be channelled through the CUF leader,’’ he said.

DIAMOND AWACHANA BASSATA..BAADA YA KUONDOA NYIMBO KADHAA KATIKA KILL AWARDS

Posted: 26 Mar 2014 06:18 AM PDT

Baada ya nyimboz ya SNURA (MAJANGA), TEMA MATE TUWA CHAPE ya MADEE na JUX (UZURI WAKO) kuondolewa katika KILI Awards hiki ndicho alicho kisema msani Nassib Abdul A.k.A DIAMOND PLATNUMZ…. 
“ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje… Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu… Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu” 


MAHABA NIUWE...DIAMOND AKIWA AMEVAA WIGI LA WEMA SEPETU..MAPENZI MATAMU

Posted: 26 Mar 2014 06:11 AM PDT

Mahaba nipige makonde...Mahaba nikaushe damu...Diamond akiwa amevaa Wigi la Wema....Mapenzi matamu sana.

HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA..ALI KIBA ATOA WIMBO MPYA-SIKILIZA HAPA

Posted: 26 Mar 2014 06:03 AM PDT

Baada ya Muda mrefu kukaa bila Single Mpya kutoka kwa mkali Ali Kiba sasa Mkali huyo ameamua kutoa Single hii hapa chini ..Embu Isikilize hapa alafu useme kama Itabamba:

MBOWE:NI KWELI UKAWA TULIFIKIRIA KUJITOA BUNGE LA KATIBA

Posted: 26 Mar 2014 06:00 AM PDT

Akihojiwa na Sauti ya Ujerumani Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa UKAWA amekiri kwamba ni kweli mpango wa kujitoa upo na kwamba wamekubaliana kuvumilia kwa muda kuwapa Ccm muda wa kufikiria mara mbili kuaha kuvuruga mchakato. "Ni kweli wazo la kujitoa lilikuwepo tangu jana na katika kikao cha leo, lakini tumesihi wenzetu kuvumila kidogo huku tukiwapa nafasi wenzetu kujaribu kerekebisha hali inyoendelea."

Amesma pia kwamba UKAWA hawalalamikii nafasi katika kamatia bali uvunjifu wa makusudi wa kanuni.

WANAO TEMBEA NJE YA NDOA NI MATAAHIRA NA WANA IQ NDOGO

Posted: 26 Mar 2014 05:53 AM PDT


Wengi wa watu wetu ni Mataahira, ni kwamba tu hatujakuwa na utaratibu wa kuwacheki watu wetu, lkn naamini idadi ni kubwa sana inaweza kuwa zaidi ya 30%!

Ukiangalia kuanzia Magomvi Majumbani mpaka Ngono Zembe ndio utaliona Hilo, Watu wanaotembea Nje ya ndoa ni Mataahira, yaani wana IQ ndogo kuliko wale wasiotembea nje ya Ndoa!
Kwa maana nyingine IQ zao hazitoshi kuweza kumudu Maisha ya kawaida, ni sawa na Watu wanaofanya Uhalifu pia ni Mataahira wana IQ ndogo...

SIJUTI KUZALIWA MWANAMKE, NAHONGWA SI HONGI, SI PIGI NAPIGIWA-MBONA RAHAA.

Posted: 26 Mar 2014 05:49 AM PDT

Hata Sikumbuki mara ya mwisho lini kununua Vocha...Nikiguna tu vidume vinanitumia vocha wala siombi .....Nahongwa mie Babu eeehh Mimi Sihongii....Sijutii Kuzaliwa Mwanamke..Raha tupu

MASHABIKI WA MAN U WAELEKEZA HASIRA ZAO KWA MOYES NA ALEX FERGUSON

Posted: 26 Mar 2014 05:44 AM PDT

Shabiki akimtukana David Moyes
Kichapo cha bao 3-0 walichopata jana kutoka kwa Manchester City kimewakasirisha mashabiki wa Manchester United, na wameamua kuelekeza hasira zao kwa kocha Davidi Moyes na Sir Alex Ferguson.

Shabiki akimtukana David Moyes

Kufungwa huko kulipandisha hasira za mashabiki wa timu hiyo ambapo wale waliokuwa karibu na David Moyes walilazimika kushikwa na walinzi wakitaka kumshambulia huku wengine wakielekeza hasira zao kwa Ferguson.

Mashabiki wanalaumu uamuzi wa Ferguson kumwachia mikoba Moyes kama kocha wa Manchester United.

SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA

Posted: 26 Mar 2014 05:02 AM PDT

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya

KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh Mziwanda, Risasi Mchanganyiko limeinasa.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Shilole kwa sasa hasikii wala haoni kwa Nouh pamoja na kwamba wawili hao wanaonekana kuwa na tofauti kubwa ya kiumri , Shilole akionekana kuwa mkubwa zaidi ya Nouh.

“Shilole ni kama anambemenda  Nouh lakini ndiyo hivyo, haoni wala hasikii, kila siku wako pamoja kama kumbikumbi,” kilisema chanzo chetu.

Waandishi wetu waliwafuatilia wawili hao kwa nyakati tofauti na kufanikiwa kuzinasa picha zao walizozipiga katika mikao ya kimahaba.
Baada ya kuzinasa picha hizo, mapaparazi wetu walimtafuta  Nouh na kumweka mtu kati kuhusu uhusiano wake na Shilole.

“Ni kweli ninatoka na Shilole ni mpenzi wangu na sidhani kama nitakuja kuachana naye maana tunapendana sana na nimevutiwa na mavituz yake,” alisema Nouh.
Kuhusu tofauti ya umri wake na ule wa Shilole, Nouh alisema umri huwa haumati katika mapenzi.

“Mapenzi ni mapenzi na umri utabaki kuwa namba tu, ni vyema  mtu ukaongozwa na hisia zako kuliko kuhofia umri wa mtu ndiyo maana miye ninakula vinono,” alisisitiza.
Pia, Nouh alisema hakutarajia kukubaliwa na  Shilole baada ya kumtokea walipokutana  katika  studio moja jijni Dar na sasa wamekolea kwenye penzi motomoto.

“Nampenda Shishi, nafanya kila njia nimshawishi awe mke wangu wa ndoa,” aliongeza. 
Hata hivyo, Shilole alipozungumza na waandishi wetu alipatwa na  kigugumizi kukubali uhusiano wake wa kimapenzi na kinda huyo wa Bongo Fleva.

Shilole alisema Nouh ni rafiki yake kama walivyo marafiki zake wengine.
Waandishi wetu walipomuonesha picha zao walizokuwa wamekaa katika mikao ya  kihasarahasara, Shilole aliangua kicheko na kisha akasema:

“Mh! Sina la kuwajibu kama picha zinasema mimi na Nouh ni wapenzi haya.”  
Hii siyo mara ya kwanza kwa Shilole kuripotiwa kutoka na Serengeti Boy, siku za nyuma alishawahi kuripotiwa na gazeti dada na hili la Ijumaa Wikienda akisema anapenda kutoka na ‘Serengeti Boys’.
GPL

DIAMOND ANYANG'ANYWA GARI NA CHIEF KIUMBE...LAWEKWA YADI KUUZWA

Posted: 26 Mar 2014 04:55 AM PDT

Stori: Mussa Mateja na Shakoor Jongo

LILE gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 alilokuwa akitanua nalo staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ liko sokoni linapigwa bei.
Gari hilo linalomilikiwa na pedeshee maarufu Bongo, Mohammed Kiumbe ‘Chief Kiumbe’ limewekwa sokoni baada ya staa huyo kuchemsha kutoa fedha za kulinunua pamoja na kupewa muda wa kufanya hivyo.

Awali, iliripotiwa kuwa gari hilo ni mali ya Diamond ambaye alikuwa akitamba nalo kila pembe ya Jiji la Dar huku akijinasibu kwamba amelishalipa fedha za kutosha kwa ‘Big Boss’, Chief Kiumbe.

Wengi waliamini na kumweka Diamond au Sukari ya Warembo katika matawi ya juu kutokana na kumiliki gari hilo lenye thamani kubwa na lililojaa vikorombwezo vingi ndani yake.

Picha za Diamond akiwa ndani ya gari hilo zilionekana kwenye magazeti huku akikaririwa kwamba analimiliki kihalali gari hilo aina ya Toyota Landcruiser V8 lenye thamani ya shilingi milioni mia moja na laki moja (100,100,000).

Siku chache zilizopita, Chief Kiumbe alimnyang’anya Diamond gari hilo kwa kile kilichodaiwa kuwa staa huyo alishindwa kutoa ‘mpunga’ wa kulinunua pamoja na kukaa nalo kwa muda mrefu.
Baada ya hapo gari hilo likapotea machoni mwa watu kwa kutojulikana lilipokuwa limefichwa ingawaje ilidaiwa kuwa Chief Kiumbe alikuwa ameliweka stoo.

Mapaparazi wa Risasi Mchanganyiko walilitafuta gari hilo kwa udi na uvumba, ndipo walipobaini kwamba  lilikuwa limewekwa sokoni katika yadi moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama, Dar likipigwa bei.
Waandishi wetu walifika katika yadi hiyo na kujifanya wanunuzi na kuambiwa kuwa gari hilo lilimshinda Diamond.
“Hili gari lina vitu vingi vizuri, ukiwa na ‘sensa’ ndipo unapoweza kuondoka nalo kwa sababu halitumii funguo, bila hivyo huwezi, Diamond ameshindwa kulinunua,” alisema jamaa aliyekutwa katika yadi hiyo. 
Waandishi hao walitajiwa bei na kupewa nafasi ya kulikagua gari hilo kila kona, hatimaye waliondoka ndani ya yadi hiyo wakiahidi kurudi na mkwanja ili kufanya kile kilichomshinda Sukari ya Warembo.
GPL

JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA

Posted: 26 Mar 2014 04:44 AM PDT

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke aliyeko Afrika Kusini.
Akipiga stori na gazeti hili, Kabula alisema: “Ndoa yangu itakuwa na Bushoke tu. Sijali umbali wetu, lakini naamini siku moja atakuja na atanioa. Uhusiano wetu uko poa na tunawasiliana vizuri kila wakati,” alisema Kabula na kuongeza:

“Siwezi kusema atakuja lini lakini nawaambia kabisa wanaonizengea, watafute kitu kingine cha kufanya, mimi na Bushoke kilichobaki ni ndoa tu.”
GPL

TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

Posted: 26 Mar 2014 04:37 AM PDT

Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012.

Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3,

Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba baada ya Rasimu ya Katiba kuwasilishwa Bungeni.

Mnamo tarehe 18 Machi, 2014 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge Maalum.

Kutokana na hatua hiyo, na kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Jamhuri ya Muungano alivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba tarehe 19 Machi,2014 kwa Tangazo la Serikali Na.81 la tarehe 21 Machi, 2014.

Hivyo kwa Tangazo hilo, shughuli zote za Tume ya Mabadiliko ya Katiba zimemalizika rasmi tarehe 19 Machi, 2014.

Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dar es Salaam.
25 Machi, 2014

Udaku Specially

unread,
Mar 27, 2014, 4:33:37 PM3/27/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


UKWELI KUHUSU TREY SONGZ KUWA SHOGA!

Posted: 27 Mar 2014 05:52 AM PDT



Jana katika mitandao mbali mbali ya kijamii ilionyesha snap inayodaiwa kupigwa katika akaunti ya msanii Trey Songz  na kudai kuwa amekubali mbele ya jamii kwa yeye ni "Shoga", katika snap hiyo inayodaiwa kupigwa katka akaunt ya Trey Song tarehe 25/03/14  saa 17:48 iliandika kuwa “I think it’s time to finally tell my fans. All games and jokes aside…I’m gay”

OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI

Posted: 27 Mar 2014 01:41 AM PDT

Na Gabriel Ng’osha
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.

Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini kubwa zaidi ni kamera kubwa, nzuri ya kisasa kwa ajili ya kerekodia filamu,” kilipasha chanzo hicho.

Amani lilifanikiwa kumpata Ostaz kwa njia ya simu, akafafanua: “Ni kweli nilikuwa Afrika Kusini. Kuhusu Johari, ni kweli si mke wangu? Nimemletea zawadi nyingi sana, achana na hiyo kamera unayosema.

“Lengo ni kuweka uchumba wangu  na yeye sawa. Nilitamani sana kusafiri naye lakini sikutaka kufanya hivyo ili kuweka usawa, mke wangu asione nimeegemea zaidi kwa mke mdogo.”

Alipoulizwa kwa nini amemuita Johari mkewe, haraka alisema: “Ndoa ipo karibu, nimeshaamua Johari awe mke wangu wa pili. Wadau wasubiri waone, uzuri ni kwamba dini yangu si kikwazo.”

hagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.
Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini kubwa zaidi ni kamera kubwa, nzuri ya kisasa kwa ajili ya kerekodia filamu,” kilipasha chanzo hicho.

Amani lilifanikiwa kumpata Ostaz kwa njia ya simu, akafafanua: “Ni kweli nilikuwa Afrika Kusini. Kuhusu Johari, ni kweli si mke wangu? Nimemletea zawadi nyingi sana, achana na hiyo kamera unayosema.
“Lengo ni kuweka uchumba wangu  na yeye sawa. Nilitamani sana kusafiri naye lakini sikutaka kufanya hivyo ili kuweka usawa, mke wangu asione nimeegemea zaidi kwa mke mdogo.”

Alipoulizwa kwa nini amemuita Johari mkewe, haraka alisema: “Ndoa ipo karibu, nimeshaamua Johari awe mke wangu wa pili. Wadau wasubiri waone, uzuri ni kwamba dini yangu si kikwazo.”
GPL

HATIMAYE COLONEL MUSTAPHA AWAOMBA RADHI WANAWAKE WA AFRIKA MASHARIKI

Posted: 27 Mar 2014 01:39 AM PDT

Baada ya Nyota Ndogo wiki iliyopita kufanya maandamano na wanawake wengine mjini Mombasa Kenya kupinga kile walichokiita ‘udhalilishaji dhidi yao’ uliofanywa na rapper Colonel Mustafa na kumtaka awaombe radhi, mkali huyo wa ‘Lenga Stress’ amekuwa mpole na kuomba radhi

Mustafa ameliambia gazeti la The Star la Kenya:

“Wana sababu za msingi kama wanawake. Nawaomba radhi wanawake wote wa Afrika Mashariki waliochukizwa na picha lakini ningependa kusema kuwa, wanawake kwenye picha hizo hawakulazimishwa kupose. Siku hizi uanamitindo umeingia kwenye kugeuza mwili kuwa sanaa.”

Picha zilizoleta utata ni zile alizopiga Huddah Monroe.

WEMA SEPETU "ALL I NEED IN THIS LIFE I SWEAR. JUST ME AND MY BABY"

Posted: 27 Mar 2014 01:17 AM PDT

She shared this pic on Instagram with a caption "All I need in dis life I swear, jus me nd my baby....."

MWANAMUZIKI H-BABA AKUTWA KITAA AMEMBEBA MTOTO WAKE MGOGONI

Posted: 27 Mar 2014 01:07 AM PDT


Mwanamuzi Maarufu wa Bongo Flava H-Baba Hivi Karibuni amekutwa amembeba mtoto wake mgogoni kwa kutumia mbeleko kama wabebavyo wamama huku akiwa hana habari na mtu alipoulizwa alisema yeye anapenda kumsaidia mke wake (Flora Mvungi ) Kulea mtoto kwani ni Jukumu lao wote wawili........Any COMMENT?

VITUO VYA TELEVISION VYA TANZANIA VINAKOSA UBUNIFU

Posted: 27 Mar 2014 01:00 AM PDT

Sijui ni kutokuwa na ubunifu wa vipindi au ni Uvivu, nakereka sana na hizi chaneli zetu kuonesha chaneli za nje mfano
tbc_cctv
itv_bbc, aljazeera
star tv_dw
chanel ten_sky news
na wakati hizo chanel zote tunazipata kwenye ving'amuzi hususan dstv muwaige wenzenu wa kenya hawaonyeshi hayo machanel mnazidi tu kuwapa promo tengenezen vipindi vyenu kuwenu wabunifu mnapoteza airtime bure tu

KUNA NJAMA YA KUVURUGA BUNGE LA KATIBA

Posted: 27 Mar 2014 12:49 AM PDT

Kuna njama. Maneno haya mawili ndiyo yametumiwa na pande mbili zinazopingana ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, kuelezea hali iliyojitokeza jana wakati wa kikao cha Bunge hilo kuhusu mvutano wa mabadiliko ya kanuni.

Njama zinazoelezwa na pande hizo ni za kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya, zikirejea yaliyotokea jana jioni ikiwamo zomeazomea hali iliyomlazimu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuliahirisha Bunge hadi leo jioni.

Baada ya kuahirisha Bunge hilo, Sitta alikutana na waandishi wa habari na kusema kwamba kuna njama za baadhi ya wanasiasa kutumia vurugu kuhujumu mchakato wa upatikanaji wa Katiba, badala ya kujenga hoja.

Bila kuwataja wanasiasa hao, Sitta alisema ikiwa hawataki kuendelea na mchakato huo, basi waondoke na kuwaacha wenye nia njema.

“Wanasiasa hawa wamedhamiria kuvuruga mchakato wa Katiba, tuhuma ambazo tumetuhumiwa leo na Lissu (Tundu) ni uongo na uzushi, mimi sihusiki na kupeleka marekebisho ya kanuni kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge,” alisema Sitta.

Sitta alikuwa anajibu mchango wa mjumbe wa Bunge, Tundu Lissu alioutoa mapema kwenye kikao cha jioni, akipinga kilichoelezwa ni njama za kutaka kubadili kanuni kinyemela ili kumsaidia mwenyekiti kulidhibiti Bunge.

Sitta alisema kwa kuzingatia kanuni ya 59 (1), Kamati ya Uongozi ina mamlaka ya kupeleka marekebisho ya kanuni ili kuliwezesha Bunge kufanya kazi vizuri.

Alisema hoja kwamba haiwezekani kufanyika mabadiliko hata kabla ya kuanza kutumika kanuni, siyo ya msingi kwani kila kitu kinabadilika kutokana na mazingira yake.

“Kamati ya Uongozi ndiyo ilipeleka waraka wa mabadiliko ya kanuni kwa Kamati ya Kanuni na Haki kwa kuzingatia kanuni, lakini hata kabla ya kujadiliwa na kamati husika inaonekana kuna wajumbe ndiyo wameichukua na kuifikisha bungeni,” alisema Sitta.

Alisema kwa kiasi kikubwa marekebisho ambayo yangesomwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Pandu Ameir Kificho, yalilenga kutoa ufumbuzi wa kanuni ya 37 na 38 juu ya upigaji kura ama uwe wa wazi au siri.

Sitta alisema pamoja na hilo, kulikuwa na marekebisho ya msingi kama kuweka utaratibu mzuri wa majadiliano katika kamati pia kuweka utaratibu wa vikao vya Bunge kuanzia Jumatatu hadi Jumapili.

“Mengi ambayo alikuwa anayasema Lissu kama ni takataka hayakuwapo katika taarifa ya Kificho,” alisema Sitta.

Udaku Specially

unread,
Mar 28, 2014, 4:38:57 PM3/28/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


KASHFA YA USHOGA YAMTESA ASHLEY COLE..AKUNUSHA

Posted: 28 Mar 2014 10:03 AM PDT

MAPEMA wiki iliyopita uvumi ulisambaa nchini England kwamba gazeti maarufu la The Sun lilikuwa mbioni kuchapisha stori ndefu iliyohusu kashfa ya ushoga ya mlinzi mmoja wa sasa wa kushoto wa timu ya taifa ya England.

Hata hivyo, Gazeti la The Sun la juzi Jumapili lilikanusha kutaka kuandika stori hiyo, lakini bado mlinzi wa kushoto wa England na Chelsea, Ashley Cole akawahi kukanusha kwamba alikuwa hahusiki na kashfa hiyo.

Cole ameimiliki nafasi ya ulinzi upande wa kushoto tangu Machi 2001 na ndiye mchezaji wa pembeni aliyecheza mechi nyingi zaidi katika kikosi cha timu ya taifa ya England.

Na kama kutakuwa na ukwlei wowote katika habari hiyo ni wazi kwamba hilo litakuwa pigo jingine kwa mchezaji huyo ambaye kwa sasa anahaha kupata namba hiyo hiyo aliyoitawala muda mrefu katika kikosi cha Chelsea na hivyo hiyo kuwa nuksi nyingine inayomuandama mchezaji huyo.

Mashabiki wengi waliamini kwamba Cole alikuwa anahusika na kashfa hiyo.

Mwingine aliyeonekana kuhisiwa katika kashfa hiyo ni mlinzi kinda, Luke Shaw ambaye ameanza kuichezea timu ya taifa ya England katika pambano la kirafiki dhidi ya Denmark Machi 8 mwaka huu. Hata hivyo wote wawili wametumia mitandao yao ya mawasiliano kukanusha uwepo wa habari hiyo.

Cole aliandika katika mtandao wake akisema ‘strictly chicks only’, akimaanisha anapenda wasichana tu, wakati Shaw aliandika kwa kusema ‘Si mimi’. Cole alikuwa katika ndoa na mwanamuziki maarufu wa Kundi la Girls Aloud, Cheryl Cole ambaye pia aliwahi kuwa jaji wa michuano ya kusaka vipaji ya X Factor lakini ndoa yao ikavunjika mwaka 2010 kutokana na kile kilichodaiwa kuwa Cole hakuwa mwaminifu katika ndoa hiyo.

Uvumi ulitanda Jumamosi usiku iliyopita katika mitandao ya kijamii kwamba The Sun la Jumapili lingemtaja mchezaji mmoja katika kikosi cha kocha Roy Hodgson ambaye anahusika na kashfa ya ushoga.

Kama gazeti hilo lingefanya hivyo, huyo angekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya timu ya taifa ya England kujitangaza kuwa shoga. Hata hivyo gazeti hilo lilikanusha waziwazi kwamba stori hiyo ilikuwa imepikwa na watu wasiojulikana.

Huo ni mwendelezo wa habari za ushoga zikuibuka katika vyombo vya habari vya Uingereza baada ya staa wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani, Thomas Hitzlspelger kujitangaza kuwa shoga Januari mwaka huu.

Nyota huyo wa zamani wa Aston Villa, Everton na West Ham amekuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi Kuu England katika mfumo mpya kujitangaza kuwa shoga.

KASEJA AMHENYESHA DIDA YANGA

Posted: 28 Mar 2014 10:00 AM PDT

UMAHIRI wa kipa, Juma Kaseja na Ally Mustapha ‘Barthez’, umemhenyesha Deo Munishi ‘Dida’ ambaye analazimika kukesha mazoezini ili asichuje.

Dida ametamka kuwa ubora wa makipa hao unamfanya afanye kazi ya ziada ambayo anahisi hakuwahi kuifanya katika klabu nyingine zote alizowahi kucheza, pia anaogopa kupigwa benchi na Kaseja kama enzi hizo walipokuwa Simba pamoja.

Kiwango cha Dida kimeimarika kwa sasa na mwenyewe anasema: “Ubora wangu umeongezeka na kuwa juu kwa sababu ya uwepo wa Kaseja na Barthez, ni makipa mahiri kwenye ligi.

“Kwa sababu ya ubora wao, inanifanya nisibweteke, nijitume ili niwe bora zaidi na zaidi. Kama nitabweteka na kuwa chini ya kiwango hata kidogo tu, ni wazi sitapata namba.

“Lakini kama ningekua nacheza kikosi kimoja na makipa wengine wasio na uwezo, lazima ningebweteka kwa sababu ningekosa ushindani na kiwango kingebaki kama kilivyo kwa kukosa changamoto.”

Dida anatarajia kuanza mazoezi mwishoni mwa wiki hii, alikuwa kwenye mapumziko akiuguza kidonda kwenye bega la kushoto.

Alijikata na geti nyumbani kwake, lakini aliibua tatizo lingine baada ya kupakaa dawa ya spiriti nyingi iliyomuunguza na kusababisha kidonda hicho kuongezeka. Yeye amesisitiza anaendelea vizuri na atarudi uwanjani akiwa na kasi hiyo hiyo.

JE, MH. SITTA AMECHUJA AU AMEPAUKA?

Posted: 28 Mar 2014 06:55 AM PDT

Alipokuwa spika wa bunge la 9,alitupa mwamko wa kufuatilia vikao vya bunge.Hasa pale aliporuhusu uundwaji wa kamati ya Mwakyembe iliyochunguza dili la richmond na hatimaye kupelekea kumwagika kwa unga wa EL.Wengi tulijua kuwa mzee amedhamilia kuleta mapinduzi ya kisiasa,kwamba hajali ni mtu wa chama gani,ila anachojali ni viwango na kasi.

Juzi ameaminika na kuchaguliwa kwa kishindo pale bungeni ili kuongoza bunge la katiba,akarudia katika maelezo yake kuwa atakuwa yule yule wa viwango na kasi,wengi wakampigia vigelegele,hata mimi nilifurahi na kurukaruka nikijua jembe limerudi shambani.

Ghafla,akatuacha solemba,akatuduwaza na kutuacha na mshangao mkubwa.Hii ilikuwa ni wiki jana pale alipokubali kanuni zisivunjwe ila zipindishwe.Ilikua amkaribishe JK aanze kuzindua bunge kisha afuatiwe na Warioba.Yeye 6,akapiga tiktaka akiwa amevaa taulo,akamleta kwanza Warioba ! Hii haikuwa kwa bahati mbaya,ila ilikuwa planned kabsaa! Yakawa yaliyokuwa na wote tumeshuhudia na kuhudhunika.Hivi kanuni walizojitungia zitafuatwa kweli kama wa kwanza kuzivunja ni 6 na rais wa nchi!?

Wadukuzi wa siasa zetu wanasema 6 alipewa shinikizo na chama chake ili aruhusu kwanza mwenyemeza wao(mwenyekiti) atanguliwe na Mzee Warioba ili baadae mwenyekiti aje kujibu mapigo.Vipi kama angetangulia mwenyekiti na kisha Warioba angefuata,je,mwenyekiti angesomeka kwa ile hotuba yake kweli?

Kwanini 6 anaonekana kuwa refa anayebeba timu fulani waziwazi? Mmeona kwenye kamati za uongozi alivyoteua?

Je, 6 amechuja au amepauka ?

SINTAH KUINGIA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU ....MWEEE!

Posted: 28 Mar 2014 06:02 AM PDT

Baada ya Sinta Kupost Instagram akimshukuru Boss Lady Zari wa Uganda na watu kuanza kuanza kusema anajipendekeza na kuwa hana hadhi ya Zari Sintah aliamua kuwajibu hao baadhi ya watu kupitia Blog yake na katika majibu hayo amegusia kuwa subiri tumuone kwenye Jumba la Big Brother Africa ..na Kwamba alimwambia Zari See you Soon akiwa na maana wataonana kwenye Jumba Hilo.....Jisomeee hapo chini Mwenyewe na Ujumlishe na Kutoa kama ndio hivyo navyohisi mimi.....


"Kadiri ninavyokuwa ninaamini adui ya mwanamke ni mwanamke aisee,ila kuna kaboy kamoja sijui ni kenyewe ama kametumika kama chambo hapo sasa hawa ndio wanaanzia utotoni ku comment ujinga hivyo,  daah jana i had a long talk wit Zee over the phone, of course was down she was trynaa to cheer me up, hee nikajisikia tu kumuweka kama my friend ona akili nyingine za wasiojielewa zilipotokea ooh huwezi kufanana kama yeye kwani nilikuwa najifananisha? ooh kwakuwa tajiri kwahio matajiri hawana marafiki na je atazikwa na mali zake? mnamkuza dada wa watu wala  hana shauwo kihivyo mwenye nacho anacho tu, sio wale wakipata matako hulia mbwata......

yaani watu wengine mnataka tuwanike whatever we do in Social Media my dear some of us, went to school and learn Ethics in Diplomacy, hapa nimeandika coz naingiza hela nilikwambia nitukane IG,fb, Twitter siwezi kukujibu hapa nipo kama sintah na kule nipo kama Christine John Manongi

kama unaona nafaidi angekuita wewe Ug n you know what i never slept in the hotel nimeishi kwao na wazazi wake of course is not something to be proud of ndio maana nilinyamaza

sasa wewe unaeonekana kituko maana baada ya kuona ule upuuzi ambao mlio comment  auone dada wa watu aliniuliza whats wrong with Tanzanians? maana anakijua kiswahili fika nikamwambia those are small minds pipo they think i benefit alot from you
sasa wewe unayeyaona maisha yake kwenye IG subiri na mimi unione ktk jumba lile la Big bro soon SA, ndio maana nilimwambia see you soon, take note ..... Cheers ukipata maumivu meza Hedex

kwa kifupi mmejichoresha mlio comment utumbo kawaona hamna akili kweli eti najigonga angekuwa anakupigia wewe simu   basi unatamani sana lolest " SINTAH

NA HII NDIO KAULI YA WAZIRI WA CCM ILIYOZUA KIZAA ZAA JANA BUNGENI LIVE

Posted: 28 Mar 2014 05:33 AM PDT

Naibu Katibu wa Fedha, Mwigulu Nchemba  jana  katika Bunge Maalum La Katiba alichafua hali ya hewa baada ya kumwambia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na mwakilishi wa Mji Mkongwe, Ismail Jussa kwamba wanataka wabunge wa bunge hilo watumie kura ya siri badala ya wazi kwa kuwa ni mashoga.

"Wanaotetea kura ya siri itumike katika kupitisha Katiba ya Watanzania, wanaunga mkono sera za ushoga, ni wale ambao vyama vyao vinazaminiwa na wanaotetea sera za ushioga," alisema Nchemba bungeni.

Kutokana na Kauli ya Nchemba, bunge hilo lilipuka likitaka aombe radhi huku akionyesha kusita kuomba radhi, lakini Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu Hassan alimtaka aombe radhi mara kadhaa.

"Mheshimiwa Mwigulu, naomba usimame na kuomba radhi wabunge wenzako, tafadhali simama," alisema Samia

Baada ya kauli ya Makamu Mwenyekiti Samia, Mwigulu alisimama na kusema: "Mheshimwa Makamu Mwenyekiti, Naomba radhi kwa wote wanaodhani wao wako hivyo kama nilivyosema."

Kauli hiyo ilionekana kuendelea kuwachefua wabunge wa bunge hilo huku wakimzomea na kumtaka aombe radhi kwa kuwa bado alikuwa hajaomba radhi moja kwa moja bali kauli yake ilionekana kuwa na utata.

Kwa mara nyingine, Makamu Mwenyekiti, Samia alisimama tena na kumtaka aombe radhi. "Mheshimiwa Mwigulu tafadhali omba radhi bila condition, tafadhali, bila kuomba radhi, Bunge haliwezi kuendela, na ninyi wabunge wengine kaeni kimya bila utulivu hatuwezi kusikilizana, tafadhali," alisema Samia.

Baada ya kauli kauli ya Makamu Mwenyekiti, Samia, Mwigulu alisimama tena na kuomba radhi kwa heshima na bunge kuendelea na utaratibu wake.

"Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti, nakiheshimu hicho kiti hapo mbele, siwezi kudharau, Naomba radhi kwa wote nilowaudhi," alisema Mwigukulu na kukaa chini.

Baada ya kauli ya Mwigulu ya kuomba radhi, shughuli za bunge ziliendelea kama kawaida

WACHINA KESI YA SAMAKI WA MAGUFURI WASHINDA RUFAA

Posted: 28 Mar 2014 05:11 AM PDT

RAIA WA KIGENI wawili Tsu Chin Tai na Zhao Hanqueing waliokuwa wanatetewa na wakili John Mapinduzi na Ibrahim Bendera, Februali 23 Mwaka 2012 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ,iliwakuta na hatia katika kwa kosa la kufanya uvuvi haramu katika bahari ya Hindi Ukanda wa Tanzania, maarufu kesi samaki wa Magufuli"kifungo Cha jumla ya Miaka 30 Jela au KULIPA faini ya sh. Bilioni 22,Leo Mahakama ya Rufaa imewaachilia Huru baada ya kuona hukumu iliyotolewa na Mahakama Kuu ilikuwa na makosa ya kisheria. Ila washitakiwa Hao wamerejeshwa gerezani kwaajili ya Taratibu nyingine za JESHI Hilo la Magereza ili wawe za KUACHILIWA Huru.

DIAMOND ACHEFUA WAISLAM..ACHEZA NGOLOLO MAULIDINI

Posted: 28 Mar 2014 05:04 AM PDT

Stori: Hamida Hassan na Shakor Jongo

KIJOGOO wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewachefua waumini wenzake wa Kiislamu baada ya kutupia swaga za staili ya Ngololo kwenye shughuli ya Maulidi.
Tukio hilo lililowagusa waumini hao lilitokea juzikati ambapo kulifanyika Maulidi ya kumtoa nje mtoto wa dansa wake aitwaye Moze Lyobo maeneo ya Mbagala, jijini Dar.

Awali watu waliokuwepo eneo hilo walifurahia uwepo wake lakini kadiri walivyoaanza kugundua kasoro ndipo mambo yalipoanza kuharibika.

“Watu hawakumshtukia, lakini walipomkagua kwa makini na kugundua licha ya kuvaa mavazi ya
Kiislamu ndani yake ana macheni ya dhahabu shingoni kitu ambacho dini hairuhusu,” kilidai
chanzo baada ya mwandishi wetu kufika eneo la tukio na kukuta shughuli imeisha.

Kama hiyo haitoshi, ikaelezwa kuwa Diamond alizidi kuchafua hali ya hewa baada ya kucheza
staili ya Ngololo kwenye kaswida kitu ambacho kiliwashangaza wengi.

“Mwanzo alianza vizuri lakini kadiri dufu lilivyokuwa linakolea, akawa anajisahau na kucheza
Ngololo, kimsingi aliwaboa baadhi ya Waislamu waliokuwa pale,” alisema shuhuda wetu.
Hata hivyo paparazi wetu alitonywa kuwa, baada ya kucheza sana, Diamond alichoka huku jasho
likimchuruzika ambapo aliamua kupumzika na kuwaacha wengine wakiendelea.
GPL

D'BANJ AKANUSHA FUNUNU KUWA HAYUPO TENA KWENYE LABEL YA KANYE WEST..GOOD MUSIC

Posted: 28 Mar 2014 04:56 AM PDT

D’banj amekanusha fununu kuwa hayupo tena chini ya label ya Kanye WestG.O.O.D Music. Tetesi hizo zilianza mwezi uliopita baada ya staa huyo wa Nigeria kufuta ‘G.O.O.D Music’ kwenye biography ya Twitter na hivyo kuamsha fununu kuwa hayupo tena kwenye label hiyo.

Hata hivyo D’banj amesisitiza kuwa yeye na Kanye bado ni watu wa karibu kwenye biashara.

“Me and Ye (Kanye) are cool; the last time we spoke we talked generally about my career and what his visions are. He is still my mentor, he is still the one I go to when I need something,” D’banj alimuambia mtangazaji wa Uingereza Tim Westwood.

Koko Master pia alisema kuwa yeye na Kanye West wamepanga kufanya video ya wimbo wao are ‘Scape Goat’. “We are still working together. ‘Scape Goat’ is still in the working and we are still trying to work on the video. We just want to get everything right because we have done so much music together,” alisema.
-Bongo5

TANZANIAN GOVERNMENT IN SHOCK OVER NEW DAILY MAIL ON SUNDAY REPORT

Posted: 28 Mar 2014 04:45 AM PDT

Daily Mail on Sunday repays Tanzania’s hospitality with an even more damning article

Regular and usually well informed sources in Dar es Salaam confirmed that there is a mood of incredulity if not outright shock in Tanzanian government circles, as a sponsored visit by a Daily Mail on Sunday journalist spectacularly backfired with a follow up report about his experiences in the country, to which he was flown and hosted entirely at the expense of the Tanzanian government.
The article in last Sunday’s edition showed that some 34.000 tusks were kept in a central store in Dar es Salaam, constituting over 17.000 elephants, some of which died of natural causes with the ivory collected by park personnel and sent to the store but most apparently, at least going by the Daily Mail on Sunday report, originating from confiscated blood ivory.
The PR consultants the Tanzanian government hired, and which most likely recommended that the journalist be flown to Dar for a fact finding mission, clearly misread intent and purpose of Martin Fletcher’s trip and to have to pay them adds injury to insult, as the entire response now is exposed as one bodged operation, over which many surely must hang their head in shame to have so misjudged the final outcome.
The story also insists that President Kikwete is in possession of the names of the alleged ringleaders responsible for the unprecedented elephant slaughter in recent years, when little if anything was done to prevent the massacres in the Selous and in Ruaha, which decimated the great elephant herds from the previous game count standing at between 65 – 70.000 elephant in 2005 to a mere 13.000 as of late last year.
President Kikwete will go into the history books with this black mark against his name for having presided over the globally worst elecide in human history, perhaps only comparable with the wiping out of the bisons in North America in the 19th century.
For the Tanzanian government it is surely back to the drawing board now, to find ways and means to deal with the PR disaster now unfolding, and is well advised to fast track the return of Operation Tokomeza with real tangible results, including the naming, shaming and prosecution of those fund involved, by funding and trading and influence peddling to facilitate the killings of what once was Tanzania’s prized natural wildlife heritage. But going by past experience, results may be a long way off as more political horse trading is presently going on in Tanzania with a new constitution in the making, which may perhaps preclude, until its completion, to rock the boat and bring regime sycophants behind the poaching tsunami to justice while they are needed to swing crucial opinion the way of the ruling party. Observers in fact expect that while actual footsoldiers of the poaching syndicates may be arrested, even killed in the field, the big shots behind it all, those 50 on that nebulous list compiled by former minister Amb. Khamis Kagesheki, who was then put to the political sword, will remain foot loose and fancy free to recruit more to continue their bloody handiwork.
In a notable development yesterday in Arusha did Kenyan President Uhuru Kenyatta, when addressing the East African Legislative Assembly, liken poaching with terrorism and called for a unified approach to fight a war on poaching in the same fashion like fighting a war on terror, as after all evidence is at hand that at least Uganda’s LRA and Somalia’s Al Shabaab have in the past financed operations and fresh supplies from proceeds of blood ivory and of rhino horn. Watch this space for what will undoubtedly see more twists in the tail of this monstrous saga.
About these ads
Share this:

WAPINZANI NA SWALA LA SEREKALI TATU..KUNA NINI?

Posted: 28 Mar 2014 04:41 AM PDT


Kwanini wapinzani wamenga'nga'na sana na swala la serikali tatu? Ni kweli ni kwa ajili ya maslahi ya watanzania au maslahi ya kisiasa?

Wapinzania hawajawahi kuwa pamoja kwenye maswala ya msingi wala hata kuungana tu kwenye chaguzi ili kutengeneza nguvu ya kuing'oa CCM, ila hapa kwenye serikali 3 wamekua pamoja hasa?

Kwenye kampeni za Lipumba misikitini anawaponda CHADEMA, na CHADEMA wanafahamu hilo, yaani hawa jamaa nje ya malumbano ya serikali 3 ni maadui.

Kwanini tusilazimishe serikali 1 au turekebishe makosa yaliyopo?

USA ilinunua Alaska na New Mexico ili kujiongezea rasilimali watu na ardhi, Huyu Nyerere ambaye wapinzani wanajidai kumuenzi alisema ili tuendelee tunahitaji WATU, ARDHI, SIASA SAFI NA UONGOZI BORA.

Hapa tunachokosa ni SIASA SAFI NA UONGOZI BORA sasa tuna sababu gani ya kupunguza ardhi na rasilimali watu?

Tukirekebisha kasoro za muungano na wapinzani wakasimamia maswala ya msingi ya nchi hii ambayo CCM wamekua wakibabaisha kama UFISADI ULIOKITHIRI, RUSHWA ELIMU DUNI NA MENGINE LUKUKI TUNAYAFAHAMU.

Nitakuwa wa mstari wa mbele kwenye maandano yatakayoitishwa na wapinzani. Hili la serikali 3 likifanikiwa we will be the f***in' loosers.

VIDEO:UKWELI WA KUTISHA KUHUSU MALAYA WA UWANJA WA FISI

Posted: 28 Mar 2014 04:27 AM PDT

Uwanja wa Fisi (2007)in Dar Es Salaam is the favoured hang out for Tanzania's young prostitutes. Their heartbreaking stories reveal brutal histories of poverty and exploitation, yet they still find hope for the future.

MCHEZA MPIRA TAMBWE ATANGAZA KUONDOKA SIMBA

Posted: 28 Mar 2014 12:12 AM PDT

Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe huenda akavunja mkataba wake na klabu hiyo na kuondoka zake mara baada ya kumalizika kwa msimu huu, ikiwa timu hiyo haitapata nafasi ya kuwakilisha taifa kwenye mashindano ya kimataifa.

Tambwe ambaye ndiye kinara wa mabao katika Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 19, amesema kuwa matarajio yake wakati anajiunga na klabu hiyo yalikuwa ni kuiona ikishiriki mashindano ya kimataifa, hivyo kukosa kushiriki michuano hiyo kutamtibulia mipango yake na ametamka wazi anafikiria kuondoka klabuni hapo.

Simba ipo katika nafasi ya nne na haina matumaini ya kushika nafasi ya kwanza wala ya pili kwa kuwa imesaliwa na michezo minne, ambapo imezidiwa pointi 10 na Yanga inayoshika nafasi ya pili.

Akizungumza na Championi Ijumaa, Tambwe, raia wa Burundi alisema hatma yake ya kuendelea kubakia Simba itajulikana baada ya kumalizika kwa ligi ya msimu huu ambayo ipo katika hatua za lala salama.
Alisema anaweza kuondoka au asiondoke Simba lakini alisisitiza kuwa kila kitu kitajulikana baada ya Aprili 19 ambapo ligi itakuwa inafikia tamati.
GPL

BABA MDOGO AMEINGIA GHAFLA CHUMBANI KWANGU NA KUNIKUTA UCHI NIKIVAA NGUO, SASA ANATANITAKA

Posted: 27 Mar 2014 11:46 PM PDT

Baba mdogo wangu ananitaka kimapenzi, alikuja gafla chumbani kwangu na kuingia bila kupiga hodi kuniambia kwamba mama amezimia gafla kutokana na ugonja wa kifafa unaomsumbua.

Bahati mbaya wakati anaingia chumbani kwangu gafla alinikuta nikiwa uchu nikiwa nimevaa chupi tu, sasa toka wakati huo amakua akiniangalia kwa macho ya kimapenzi na anataka kutoka na mimi out anasema kuna jambo anataka kuongea na mimi.
Nimefikiria kumwambia kaka yake , lakini  nahisi nikimwambia baba  naweza kufanya tatizo kuwa  kubwa zaidi, naombeni  ushauri wanajamii forums, sababu sasa ameanza kunitumia message za mapenzi usiku, na huyu ni baba yangu mdogo na amenipita miaka mingi kwa kweli, namheshimu na naogopa kumjibu vibaya.

KUNDI LA UKAWA LAWA TISHIO BUNGENI..LAPANGWA KUSAMBARATISHWA

Posted: 27 Mar 2014 11:37 PM PDT

KUNDI la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalowashirikisha wanasiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limekuwa mwiba mkali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinapanga mikakati kulisambaratisha.

Ukawa inayoongozwa na vinara wa vyama vikubwa vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi pamoja na vingine vidogo visivyokuwa na wabunge, inaonekana kuwa mwiba kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta kwa kudhibiti uvunjwaji wa kanuni ili kuibeba CCM.

Awali CCM ililipuuza kundi hilo na kulibeza, lakini baada ya kuona nguvu yake wakati wa kumtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba apewe muda wa kutosha, hofu ilitanda.

TUHUMA NZITO DHIDI YA WAZIRI MKUU NDANI YA BUNGE LA KATIBA

Posted: 27 Mar 2014 11:20 PM PDT

Dar es Salaam. Hali ya hewa jana ilichafuka kwenye Bunge la Katiba baada ya mjumbe Ezekiel Wenje kuwatuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya mawaziri kuwa waliwahonga baadhi ya wajumbe wa kundi la 201.

Katika tuhuma hizo, Wenje alimtaja Waziri Profesa Jumanne Maghembe, Dk. Shukuru Kawambwa na Gaudensia Kabaka akisema kuwa walitoa rushwa ya vyakula, maji na vinywaji kwa wajumbe hao ili waunge mkono msimamo wa serikali mbili.

Kauli hiyo, iliyotolewa katika mjadala wa mabadiliko ya kanuni, ilisababisha mawaziri hao kunyanyuka kujibu tuhuma hizo, huku Wenje akisisitiza kuwa aliyoyasema ni kweli tupu.

Vilevile baadhi ya wajumbe wanaotoka katika kundi hilo walicharuka na kujaribu kujitetea huku mmojawapo akitishia kuwa iwapo Wenje asingeomba radhi, asingetoka ndani ya Bunge hilo.

Hoja ilipoanzia

Wenje, ambaye pia ni mbunge wa Nyamagana (Chadema), alianza kwa kueleza kwamba wapinzani “walilia” sana kuwa Bunge la Katiba lisingekuwa na usawa kutokana na Chama cha Mapinduzi kuwa na wajumbe wengi, ndipo ikaonekana wapatikane wajumbe wengine 201, lakini jambo la ajabu ni kwamba walioteuliwa katika kundi hilo asilimia 80 ni makada wa CCM akiwamo mzee maarufu ambaye ameingizwa kama mganga wa jadi.

Ingawa hakumtaja jina, Wenje alikuwa anamaanisha kada mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru aliyeteuliwa kupitia kundi la waganga wa jadi.

Kuhusu rushwa, Wenje alisema:“…Sasa kuna wajumbe wa kundi la 201 walipelekwa kwa Profesa Maghembe na Dk. Kawambwa wamepeana rushwa, vikao vingi vilifanyika usiku. Hii haikubaliki.”

Baada ya kauli hiyo ya Wenje, Profesa Maghembe alisimama ghafla huku akionekana kutaharuki, ambapo Makamu Mwenyekiti Samia Suluhu Hassan alimpa nafasi ya kujieleza.

Profesa Maghembe alikiri kuwakaribisha baadhi ya wajumbe wa kundi hilo, akieleza kwamba ilikuwa ni katika hali ya ukarimu uliozoeleka miongoni mwa jamii ya Kitanzania.

“Kuna kundi lipo hapa ambalo linafanya kazi ya kudhalilisha wenzao. Ni kweli niliwaalika kwa chakula wajumbe hao kwa taratibu za kawaida, lakini hakuna mbunge hapa anayeshindwa kujinunulia chakula, hakuna anayeweza kupewa rushwa.

“Kwa sababu hiyo ninaomba kiti chako kimtake mjumbe aliyewasilisha hoja hiyo aniombe radhi. Wenje aniombe radhi,” alisema Profesa Maghembe akiwa katika hali ya hasira, huku kukiwa na sauti za kuzomea na kushangilia kutoka kwa wajumbe.

Makamu mwenyekiti pia alifanya jitihada za kuwataka wajumbe kuwa wavumilivu, huku akitoa nafasi kwa Dk. Kawambwa kujieleza akisisitiza kwamba ni tuhuma nzito.

Kawambwa alisema: “Ni kweli nilikutana nao; ni wajumbe ambao wanatoka kwenye taasisi zinazojihusisha na masuala ya elimu, lakini mbona wameshafanya mikutano yao mingine mingi ambayo mimi hawakuniita. Kama mtu akiwa hana hoja bora akae chini.”

Makamu Mwenyekiti alimtaka Wenje aombe radhi kutokana na kauli yake, lakini katika hali ya kushangaza mjumbe huyo alisisitiza kwamba Profesa Maghembe na Dk. Kawambwa wamekiri.

“Maghembe amekiri aliwaita wafugaji na wavuvi ndiyo waliokula chakula cha rushwa, pia wapo wengine walienda kwa Waziri Gaudensia Kabaka, kuna ushahidi mama mmoja siwezi kumtaja jina hapa alikwenda huko akafukuzwa, nitakupa jina lake mwenyekiti baadaye. Aliambiwa kwamba anatoa siri… hoja iliyojadiliwa huko ilikuwa ni kwamba msimamo ni wa serikali mbili… rushwa ya chakula, maji na bahasha walipewa,” alisema Wenje na kusababisha kulipuka kwa kelele zaidi.

Wenje aliongeza kuwa kuna wajumbe wengine walikwenda hadi kwa waziri mkuu ambako walikula, walikunywa hadi saa 7:00 usiku.

Alisema wengine walikwenda kwa Gaudensia Kabaka (Waziri wa Kazi na Ajira) na walikula na kunywa na kupewa bahasha.

Baada ya Wenje kukaa, baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 walichachamaa wakitaka kutetea hadhi yao, akiwamo mjumbe kutoka kundi la wafugaji, Esther Juma aliyesema hawatendewi haki kama kundi kusema kwamba walihongwa.

Alisema yeye ana ng’ombe 3,000 na asingeweza kwenda kupokea rushwa ya chakula na kumtaka mbunge huyo kuwaomba radhi la sivyo asingetoka mlangoni.

Wakati mjadala huo ukiendelea, mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta aliyekuwa ametoka kwa udhuru, alirejea kimya kimya, na kumtaka Wenje kueleza iwapo anadhani kauli yake haikuwaudhi baadhi ya wajumbe.

Wenje alikiri kuwa ni kweli baadhi ya wajumbe wameudhika kutokana na ukweli aliosema dhidi yao na kuwaomba radhi kwa ukweli huo.

Kauli hiyo ilimfanya Sitta kutangaza kuwa anapeleka suala hilo kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge na uamuzi utakaotolewa atautangaza bungeni.

VICTORIA KIMANI" SIDHANI KAMA KUNA KITU KAMA FREEMASON AU ILLUMINATI"

Posted: 27 Mar 2014 11:18 PM PDT

Victoria Kimani, mwimbaji aliye chini ya usimamizi wa Chocolate City yenye makao makuu nchini Nigeria ameeleza kile anachoamini kuhusu uwepo wa freemason au Illuminati kwenye muziki muziki wa Kenya na imani yake kuhusu suala hilo.

“Ngoja niwaambie kitu, sidhani kama kuna kitu kama Illuminati au vyovyote vile ilivyo. Sidhani watakuja Kenya na kuwachukua wasanii wetu kwa sababu hatuna hata twitter verification. Hatuna hata video za nyimbo zilizohit zaidi ya milioni kwenye YouTube. Kwa hiyo sidhani kama niko kule lakini ninawa-apreciate kwa kunifikiria kwenye fikra zenu za timu ya illuminate. Mimi sio sehemu ya shirika ama jamii yoyote ya ‘secret society’.” Victoria Kimani ameuambia mtandao wa Ghafla wa Kenya.

Ameongeza kuwa yeye ni mwanamuziki ambaye yuko chini ya Chocolate City ambao wana imani ya Kikristo na endapo akijaribu kufanya kitu kama hicho wangemzingua.

Hata hivyo kwa pointi ya twit

SNURA"NITAPUNGUZA VIUNO KATIKA VIDEO ZANGU ILA KWENYE SHOW NITAZIDISHA MAUNO"

Posted: 27 Mar 2014 11:09 PM PDT

Mwimbaji wa bongo flava ambaye pia ni muigizaji wa filamu za kitanzania, Snura amesema kuwa amepunguza viuno kwenye video za nyimbo zake kutokana na kukosolewa na hata kutolewa kwenye baadhi ya vipengele vya KTMA.

Akiongea katika kipindi cha Mitikisiko ya Pwani cha 100.5 Times Fm na Dida Shaibu, Snura ameeleza kuwa hata kabla BASATA hawajapiga stop ushiriki wa nyimbo zake kwenye kinyang’anyiro cha Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa ameshabadilika kwa kuwa tayari video yake ya ‘Nimevurugwa’ ilikuwa imefungiwa.

“Tayari mimi nimeshabadilika kabla hata hatujafika huko kwenye Kili kwa sababu ilifungiwa muda kidogo kabla mambo ya Kili hayajaingia. Na wimbo wangu wa Ushaharibu nilikuwa nimeshafanya video pia, unajua nilikuwa nimeshafanya video ya Ushaharibu. Wimbo wangu wa Ushaharibu ukitoka watu watajua ni jinsi gani nimeweza ku-change.” Amesema Snura.

Ameeleza kuwa sio kwamba kwenye ‘Usiharibu’ hakutakuwa tena na uchazaji ule wa kukata viuno bali atapunguza kidogo.

“Kweli kwenye video sio kwamba hakuna kabisa kiuno ila nimepunguza. Nilichokifanya nimepunguza, nimeacha viuno ambavyo ninauhakika kwamba siwezi kufungiwa jamani. Sijakatika kama kwenye Nimevurugwa. Wakati nafanya wimbo wa Nimevurugwa sikuhisi kama naweza nikafungiwa kiukweli. Laiti kama ningejua nisingeweza kufanya vile. Nilichukulia kama ni ubunifu na utundu wangu ndio maana nikafanya vile.” Snura ameeleza.

Hata hivyo, amedai kuwa kuna mashabiki wake ambao wangependa kuona anacheza kama alivyokuwa akicheza zamani hivyo ataendeleza mchezo huo kwenye shows zake atazofanya kwenye kumbi.

“Najua nina mashabiki wale ambao wanakuwa wanapenda sana viuno, naomba wanivumilie kwenye video hawataweza kuona viuno kama vile ambavyo wao wanavihitaji, watakutana tu na kiuno cha kawaida. Ila kwa wale ambao wanaoweza kufika kwenye show zangu…kwenye show naweza kujiachia kama kawaida.”

Amefafanua kuwa havitakuwa viuno vitakavyokiuka maadili ya kitanzania na kuongeza kuwa yeye binafsi hapendi kuonesha jinsi anavyoweza kukata viuno.

“Lakini toka naanza kwenye muziki, nimefanya research nisipokatika…unajua kuna show nafanya nimesimama, lakini mashabiki wanalalamika wanataka kunipiga ‘sio  wewe yaani wewe sio Snura kabisa, tunataka miuno’. Mimi nimfanya biashara sina jinsi inabidi nikatike ili niwafurahishe wateja wangu ili waweze kujaa kwenye show ili waweze kuingia kwenye show ili waweze kunikubali..mimi natafuta riziki.

ALI KIBA AUKANA WIMBO WAKE MPYA"SIFAHAMU LOLOTE KUHUSU HUO WIMBO WANGU MPYA"

Posted: 27 Mar 2014 11:04 PM PDT

Siku kadhaa baada ya kusambaa wimbo ulioaminika kuwa ni wa Ali Kiba ukiwa na jina la Rosa, mwimbaji huyo ameukana wimbo huo na kudai hafahamu lolote kuhusu wimbo huo na hata hajawahi kuusikia.

“Nyimbo zipo lakini sija release nyimbo, sijatoa nyimbo so far na sijui nani ameimba na sijawahi hata kuusikia.” Amesema Ali Kiba.

Mwimbaji huyo ameongeza kuwa watu wameona yuko kimya na wameamua kutoa wimbo kwa jina lake kitu ambacho hakina mantiki na kwamba anadhani watu hao wamefanya makusudi au wametumia sayansi ya sauti ku-fake sauti yake.

Amesema hajui lengo la mtu aliyefanya, “I think ni trick moja ambayo imefanywa sielewi na nani lakini I don’t know if in a good way or bad way”.

Ameiweka positively pia kuwa huenda aliyeiimba ni mtu anaemkubali yeye kama role model wake.

Udaku Specially

unread,
Mar 29, 2014, 4:17:13 PM3/29/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


KUNUKA KIKWAPA NA WEUSI KATIKATI YA MAPAJA YANGU VINANINYIMA RAHA

Posted: 29 Mar 2014 08:57 AM PDT

Naomba niombe msaada kwenu wadau,nina matatizo sijui niseme shida  ambazo kiukweli zinanikosesha raha,nimekua nikihangaika sana kutafuta dawa ya kumaliza harufu ya kikwapa,yaani ni kwamba nimejaribu kila aina ya deodorant,na perfumes za kila aina lakini harufu haiishi,itokee bahati mbaya nisahau kupata Deodorant jamani sio siri najisikia hata mimi mwenyewe jinsi ninavyotoa harufu kali,zaidi ya harufu makwapa yangu ni meusi,ajabu,niliambiwa deodorant za Forever Living zinasaidia kumaliza weusi makwapani lakini wapi sioni tofauti,nawaombeni mnisaidie jamani nakosa raha,kifupi harufu utadhani lile jasho wanalonuka wanaume,wakati mwingine nafikia hata kujinyanyapaa mwenyewe,kwa kutokwenda kwenye shuhuli,nahisi wenzangu wananisema,shida inakuja muda wa kazi,kwani siwezi kukwepa kwenda ofisini,kiukweli it is so embarrassing.

La pili,huohuo weusi,katikati ya mapaja nako hakufai,yaani nikipanua miguu utadhani nimesilibwa lami hapo kati,nimejaribu kutumia mikorogo,haikusaidia,cream zile za hospitali za ngozi,pia nimejaribu,angalau kidogo utaona natakata,tatizo lake baada ya muda yanatoka mapele kama vijipu nashindwa hata kutembea shauri ya friction,nilipata ushauri wa kuvaa skin tight ili kuepusha friction,lakini lile la weusi lipo palepale,wenzangu nawaomba,kama kuna mtu alishawahi pata  matatizo kama yangu,naomba msaada tutani,jamani siyo siri,pamoja na kutaka nionekane maridadi,lakini pia wakati wa majambos si mwajua kuna muda wa mahabuba kwenda down,sasa inapofikia hapo,dah,najisikia aibu kwa maana naona kama vile najichoresha,na jamaa yangu huwa hakubali bila kunipagawisha kwa njia hiyo,sasa nipo na wakati mgumu
.
Huwa napendelea sana kusoma story kila wikiendi ila wamama/wadada saa nyingine mna maneno makali ambayo yanatukatisha tamaa kuomba ushauri humu,nawaombeni jamani,wengine hatuna pa kusemea wala wa kutupa ushauri wa kweli,tusaidiane jamani,Samahani kama nimewakwaza

TOYOTA CELICA SPORT INAUZWA KWA BEI POA..CALL 0714604974

Posted: 29 Mar 2014 08:52 AM PDT

 ABOUT 2000 TOYOTA CELICA :

Vehicle Type: Sports Car
Price: TZS 8,500,000
Negotiable: Yes
Kilometers: 130,000
Transmission: Automatic
Four Wheel Drive: No
Vehicle Current Location: In Tanzania
Import Duty is Paid: Yes
Date Listed: 29-03-2014

Its a Toyota Celica, Sport Car , Engine capacity 1800, Its in Dar es Salaam,
CONTACTS:
Location: Dar Es Salaam 

Viti vya Nyuma
Viti Vya Mbele


Dash Board


SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA "HATUITAMBUI BONGO MOVIE UNITY YA STEVE NYERERE"

Posted: 29 Mar 2014 04:10 AM PDT

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania(TAFF) Simon Mwakifwamba amedai shirikisho lake haliwatambui wasanii wanaounda kundi la Bongo Movie Unity na kudai kuwa kundi hilo linaundwa na watu sita tu huku wengine wakifuata mkumbo.

Akizungumza na Global Publishers, Mwakifwamba ambaye pia ni muigizaji wa muda mrefu na muongozaji wa filamu amesema hawatambui wasanii hao na anawashauri wajiunge ili watambulike. “Bifu la nini? Mimi ni baba, wao ni watoto. Kwanza sikia… wale sio wanachama wangu.Nawashauri wajiunge kwenye vyama vyangu ili niwatambue kama sehemu ya shirikisho,” alisema.

“Unajua wale wanaongozwa na ustaa. Wanaamini ustaa upo juu ya sheria, sio kweli. Mimi naamini katika uelewa na uwezo.Isitoshe mtu wa kwanza aliyetoa wazo la Bongo Muvi ni mimi. Nakumbuka nilikuwa mimi, Dude (Kulwa Kikumba), William na Ruge Mutahaba, tukaunda Bongo Muvi ili tucheze mechi na Bongo Fleva kwa ajili ya kuchangisha fedha za waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto. Tulifanikiwa sana. Hapo sasa walafi wachache wakalazimisha wasanii waende Mwanza wakacheze mechi nyingine ili wapate fedha, nikakataa hilo wazo, ndiyo mwanzo wa kutengana nao. Niwaambie tu Watanzania, chombo mama cha wasanii wa filamu nchini ni TAFF, si vinginevyo,” aliongeza.

“Kwanza Bongo Muvi si chama kama wengi wanavyofikiri, ni kampuni na ina wamiliki wake tisa, hao wengine wanafuata mkumbo kwa sababu hawajitambui. Kama wanabisha, waonyeshe usajili wao wa Basata, maana chombo pekee kinachosajili kazi za wasanii ni Basata.”

Hata hivyo Bongo5 imejaribu kumtafuta mwenyekiti wa BMU, Steve Nyerere kuzungumzia kauli hiyo, lakini amekuwa hapokei simu.
-Bongo5

DAVID MOYES AJITETEA ..."HATA INGEKUWA NI FERGUSON MSIMU HUU ANGEPATA WAKATI MGUMU"

Posted: 29 Mar 2014 04:04 AM PDT

Meneja wa klabu ya Manchester United, David Moyes amedai kwamba msimu huu wa kwanza kwake hata ungekuwa kwa Sir Alex Ferguson angepata shida kufanya la maana ndani ya msimu ukilinganisha na wachezaji wake wenye umri mkubwa.
“Ukweli nadhai kwamba kama Sir Alex angekua hapa mwaka huu ingekua ngumu kwa Sir Alex pia,nina uhakika hata yeye analijua hilo. Nafikiri watu wanatambua kwamba kuna kikosi ambacho kimepita umri, kwa maana hiyo nadhani ingekua ni msimu mgumu labda kwa yeyote ambaye angekabidhiwa Manchester United mwaka huu,” alisema Moyes

Kauli hiyo ya Moyes imekuja huku Jumamosi hii kundi la mashabiki wa Manchester United likipanga kukodisha ndege itakayopeperusha kibendera chenye maandishi ya kumpinga kocha huyo. Manchester United imekuwa na msimu mbaya kiasi cha mashabiki wa timu hiyo kuanza kulalamika vikali wakimtaka Moyes afutwe kazi.

TAZAMA PICHA HIZI ZINAZOONYESHA TASWIRA YA TRENI ILIYOPINDUKA NA KUUA

Posted: 29 Mar 2014 03:57 AM PDT

Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa Wilayani Mpwampwa.
Sehemu ya mabehewa ya mafuta na ngano ambayo hayakusombwa na maji katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika stesheni ya Gulwe, hiyo imetokea saa 9.15 usiku. Treni hiyo ya Mizigo ilikuwa ikitokea Dar es Salaam na kuelekea Mkoani Kigoma na ilikuwa na mabehewa yaliyobeba ngano, sukari na mafuta.

Njia ya Reli iliyoondolewa na maji katika stesheni ya Gulwe Wilaya ya Mpwampwa kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneno mbambali nchini.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka akitoka kwenye maji baada ya kuangalia kichwa cha treni kilichopata ajali na kusombwa na maji katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa, usiku wa kuamkia leo, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali za nchi. Ajali hiyo imesababisha kifo cha watu wawili na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa iliyoko wilayani Mpwampwa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk, Shaaban Mwinjaka akimfariji mmoja wa Majeruhi wa Ajali ya treni ya mizigo iliyotokea katika Stesheni ya Gulwe Bw. Michael Lupatu wakati alipomtembelea katika hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Wilayani Mpwampwa leo mchana. Ajali hiyo ya treni ya mizigo imetokea usiku wa kuamkia leo na kusababisha kifo cha watu wawili na wengine saba kujeruhiwa.
(Picha na kitengo cha Mawasiliano Serikalini uchukuzi)

NAHISI ANA MWANAMKE ZAIDI YANGU..NATAKA NIMFUMANIE KWA SUPRISE VISIT KWAKE

Posted: 29 Mar 2014 01:29 AM PDT

Nina age ya 22 nipo kwenye relationship na mwanaume kama miezi 3 saizi tatizo limeanza baada ya mimi kuwa mbali kama 3weeks hivi.
Nahisi anamwanamke zaidi yangu kwasababu hata namna ya kuongea
inanitia mashaka.
Kuna wakati akiongea na mimi anaongea vizuri sana but sometimes nikimpigia simu anaweza akaongea haraka haraka and mda huo najua yupo nyumbani kwahivo hayupo bize.
Nkimuuliza mbonahivo upo na nani? anakata simu then anafunga simu kabisa, kesho yake anaweza kuniambia simu imezima haikuwa na chaji au hapendi maswali yangu kwani
naonyesha kama simuamin.
Nataka nimfanyie suprise visit, sababu nimesharudi safari naye hajui kama nipo hapa mjini ili nijue kama kweli anakua bize au maswali yangu yanamkera na hamna kingine.

Je hii suprise ndio itaua kabisa mapenzi au nifanyaje?

KANGA MOKO, VIGODORO NA T-SHIRT NDEMBENDEMBE VYAOIGWA MARUFUKU MISS TANZANIA

Posted: 29 Mar 2014 01:13 AM PDT

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), limeitaka Kamati ya Miss Tanzania kutohusisha burudani zinazokiuka maadili ya Mtanzania wakati wa mashindano yao mwaka huu.

Akizungumza wakati wa kikao cha tathmini ya mashindano ya Miss Tanzania 2013 kilichofanyika kwenye ukumbi wa baraza hilo, Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Idaya ya Ukuzaji Sanaa Basata, Vivian Shalua, alisema kuwa, maadili ni muhimu kuzingatiwa katika mashindano hayo ili kuepukana na dhana potofu kuwa, yanahusiana na uhuni.

“Maadili yazingatiwe katika mashindano ya mwaka huu, kuanzia kwa washiriki hadi burudani zitakazohusishwa, kama ‘vigodoro’, ‘kanga moja mbendembende’ na nasikia siku hizi kuna ‘tisheti ndembendembe’,” alisema mkurugenzi huyo.

Alisema kuwa, Basata ipo tayari kuyapigania mashindano ya Miss Tanzania kuhakikisha yanakuwa katika ubora wa hali ya juu, kwa kushirikiana na Kampuni ya Lino International Agency ambao ndio waandaaji.

Mkurugenzi huyo pia aliitaka Lino kuwaelimisha mawakala wanaoandaa mashindano hayo juu ya umuhimu wa kuwa na vibali kutoka Basata, ikiwa ni pamoja na kutowavumilia watovu wa nidhamu bila kujali ukongwe wao katika tasnia hiyo.

Kwa upande wake, Ofisa Sanaa Kitengo cha Matukio, Kurwijira Maregesi, aliitaka Lino kujipanga kujiweka tayari kufanya mashindano hata pale inapokosa mdhamini, huku mjumbe mwingine katika kikao hicho, ambaye ni Ofisa Sanaa Basata, Philemon Mwasanga, akisisitiza mawakala kuwekeana mikataba na warembo kabla ya mashindano kuanza.

“Lino isiwafumbie macho mawakala wasiojali mikataba na warembo, na warembo waisome na kuielewa ili kuepusha migogoro inayoweza kutokea,” alisema.

Akijibu hoja kadhaa zilizoibuliwa katika kikao hicho, Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashimu Lundenga, alisema kuwa, wamejipanga ili kuweza kufanya mashindano yao bila kutegemea wadhamini, huku akiitaka Basata kuwasaidia katika hilo.

“Tatizo mashindano yetu gharama yake ni kubwa sana, nasi hatupendi kuona ubora wake ukishuka kutokana na kushindwa kumudu gharama, ndio maana tumekuwa tukihangaika kuomba udhamini kutoka katika makampuni mbalimbali makubwa hapa nchini,” alisema.

Juu ya mikataba baina ya warembo na mawakala, Lundenga alisema: “Mwaka huu tumesisitiza mawakala waingie mikataba na washiriki kabla ya mashindano na tutakuwa makini katika kufuatilia hilo na changamoto nyinginezo zilizoibuliwa katika kikao hiki.”

Mmoja wa warembo walioshiriki mashindano ya mwaka jana ambaye ni Miss Sinza 2013, Prisca Clement, alisema kuwa, kuna umuhimu wa kuongezwa kwa zawadi katika ngazi za chini ili kumwezesha mshiriki kujivunia na kujitosa kwake katika mashindano hayo bila kujali kama ameshinda au la.

Mashindano ya Miss Tanzania 2014 yamezinduliwa mapema wiki hii, ambapo fainali zake zinatarajiwa kuwa kati ya Septemba na Novemba mwaka huu chini ya udhamini wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Redd’s Original.

MAFURIKO YATIKISA JIJI LA DAR..HALI NI MBAYA

Posted: 29 Mar 2014 01:04 AM PDT

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana.

Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa kuamkia jana, ziliambatana na upepo mkali, radi na ngurumo nzito zilizowatia hofu wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam.

Wakazi waishio mabondeni walikuwa na kazi ya ziada kwani wengi nyumba zao ziliingia maji na kusababisha baadhi yao kuhama makazi yao usiku, huku wengine wakipoteza vitu  na samani mbalimbali.

Kutokana na barabara za Jiji la Dar es Salaam kufurika maji, askari wa Usalaama Barabarani (Trafiki), walikuwa na kazi ya ziada kuyaruhusu magari kupita njia ambazo ziko salama bila kujali sheria.

Tanzania Daima ilishuhudia barabara kuu zote na maeneo mengine kufurika maji na kusababisha wakazi wa jiji hilo kupita kwa shida.

Aidha, baadhi ya wakazi  waliokuwa wakitoka Pugu, walilazimika kupanda magari ya kubeba ng’ombe yaliyokuwa yakitokea mnadani baada ya daladala nyingi kusitisha safari zake.

Wakati hali ikiwa hivyo, eneo la Jangwani maji hayo  yalizoa miundombinu ya mabomba ya maji ikiwemo yale yaliyojengwa hivi karibuni kupisha ujenzi wa barabara ya magari yaendayo haraka (DART).

Pia kulikuwa na baadhi ya vijana katika eneo hilo waliokuwa wakijiokotea vitu mbalimbali vilivyokuwa vikielea juu ya maji.

Akizungumzia kufurika kwa maji kwenye barabara hizo kuu, Sajenti James Walter, alisema ilibidi kuyaruhusu magari ya abiria yapite njia nyingine kinyume cha  sheria, lengo likiwa kuwafikisha salama abiria kule wanakokwenda.

“Kwa kweli hali ni mbaya lakini tumejipanga vizuri kuhakikisha abiria na watumiaji wa barabara hizi hawakwami njiani,” alisema Walter.

KWANINI WANAWAKE WENGI WAKISHAJIFUNGUA WANAKUWA RAHISI KUCHUKULIWA NA VIDUME

Posted: 29 Mar 2014 01:02 AM PDT

Katika pita pita zangu wale wadada wanajidai wana misimamo wanapozalishwa na wanaume na kuachwa alone huwa wanashuka chini na inakuwa rahisi kupiga sound ya kawaida na kuchukua mzigo ila kipindi kabla ilikuwa hata kusalimia watu ni tabu kwake.Najiuliza kwa nini hulainika na kuwa na heshima pindi wanapo kuzalishwa?

KURA MCHANGANYIKO BUNGE LA KATIBA-UWAZI NA SIRI SASA ZOTE RUKSA

Posted: 29 Mar 2014 12:57 AM PDT

Wajumbe wa Kamati ya Maridhiano jana walinusuru Bunge Maalumu la Katiba kuvunjika, baada ya kukubaliana kutumika kwa utaratibu wa upigaji kura wa wazi na siri kama ilivyopendekezwa na Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge.

Wajumbe hao walitangaza uamuzi huo bungeni kutokana na makubaliano yaliyofikiwa katika kamati ndogo ya maridhiano iliyofanyika jana asubuhi baada ya kushindwa kuafikiana katika kikao cha awali kilichofanyika juzi kuanzia saa 3:00 usiku hadi usiku wa manane ili kunusuru kukwama kwa Bunge hilo.

Kabla ya uamuzi huo, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta alisema juzi usiku walikutana hadi usiku wa manane baada ya hapo, walikabidhi kamati ndogo yenye mchanganyiko wa wajumbe kutoka Kamati ya Kanuni na Kamati ya Maridhiano.

“Baada ya kukamilisha kazi, wajumbe wa kamati ndogo watatoa taarifa hapa ambao ni John Mnyika, Profesa Ibrahimu Lipumba, Vual Ali Vual na Askofu Donald Mtetemela,”alisema Sitta.

Akitoa taarifa ya maridhiano hayo, kwa niaba Freeman Mbowe, Mjumbe John Mnyika alisema, alianza kwa kunukuu kitabu kilichoandikwa na Mwalimu Nyerere, mwaka 1962 chenye ujumbe mahususi kwa Chama cha TANU akisema ujumbe huo kwa sasa ni sahihi kwa watu wengi na taasisi ikiwamo CCM.

Mnyika pia alisema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawana nia yoyote ya kuvuruga mchakato wa katiba kama ambavyo imeelezwa katika siku za karibuni na viongozi, kwani wazo la kutaka Katiba Mpya imekuwa ni kilio chao cha muda mrefu.

Naye Profesa Lipumba alisema suala ambalo tumekuwa tukisimamia kwa muda mrefu suala ambalo lina utata, kati ambao wanapenda kura za uwazi na wale wa siri.

Alisema: “Tuliletewa mchanganyiko wa uwazi na siri, lakini maana yake ni kura ya uwazi, wenzetu wamekuwa na msimamo mkali hata hili la kufanya uamuzi ilikuwa tufanye kwa siri, lakini hata hivyo hawakukubali.”

“Tulifanya uamuzi ili tusonge mbele, basi tulipendekeza upigaji kura wa kuamua tupige kura kwa mfumo wa siri, lakini pia wenzetu walikataa,”alisema Profesa Lipumba.

Alisema kwa kuzingatia kutokwama kwa zoezi la kuanza kujadili rasimu, wameamua kukubali kutokubaliana.

“Ili kusonga mbele tunahitaji kusonga mbele tuanze kujadili Katiba, natoa wito kwa wenzangu wa chama tawala kwa kuwa mpo wengi mnadhamana kubwa, ni vyema mkawa na utaratibu wa kuwasikiliza wachache,” alisema.

Mjumbe Vuai Ali Vuai alisema, wamefikia maridhiano hayo, ili kuwezesha kuendelea na mchakato wa katiba mpya kwani kila upande uliendelea kutetea msimamo wake hata katika kikao cha maridhiano.

Udaku Specially

unread,
Mar 30, 2014, 4:20:06 PM3/30/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


MASHALI AMPIGA KASEBA KWA POINTI

Posted: 30 Mar 2014 10:18 AM PDT

Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba, wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi wa UBO Africa Mashali.  Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mashali alimshinda mpinzani wake kwa Pointi.

POLICE MURDER AL SHABAAB TERRORISTS WHO KILLED 6 AND LEFT A BULLET IN BABY SATRIN'S BRAIN

Posted: 30 Mar 2014 10:12 AM PDT

Barely a week after the Government of President Uhuru Kenyatta and his Deputy, William Ruto, gave the shoot to kill order against Al-Shabaab terrorists and radical Muslims, it has finally yielded fruits.

This is after police in Mombasa gunned down 2 of the terrorists who attacked a church in Likoni, killing 6 people and maiming scores among them baby Satrin Osinya, who was left with a terrorist bullet embedded in his brain.

Speaking yesterday, Mombasa Police Commander, Robert Kitur, confirmed the killing, saying the terrorists were fleeing on a motorbike and were gunned down on sight just as ordered.

Kitur noted that the gunmen, who were on the motorbike, were stopped by the police but they opened fire, the police returned fire and killed 2 on the spot but one escaped with a gunshot wound.

A pistol and several rounds of ammunition, similar to the ones used to kill the six people in church, were recovered.

Mombasa County Commissioner, Nelson Marwa, said the one who escaped with gunshot wounds would be tracked down and will be killed on sight.

CHAMELEONE ANYANG'ANYWA GARI AINA YA ESCALADE KWA KUSHINDWA KULIPA KODI

Posted: 30 Mar 2014 09:54 AM PDT

Jose Chameleone amenyang’anywa gari yake aina ya Escalade na maofisa wa URA baada ya mamlaka hiyo kudai kwamba msanii huyo ameshindwa kulipa kodi yenye thamani ya shilingi milioni saba ya Uganda.
Muda mchache kabla ya kuanza kwa onyesho kubwa la Tubonge la msanii huyo, maofisa wa URA waliikamata gari yake hiyo ya kifahari.
Kwa mujibu wa mtandao wa Redpapper wa nchini Uganda,msanii huyo alijaribu kuwakatalia wasikuchukue gari lake akidai atakufa na mtu atakayeichukua lakini kauli hiyo haikufua dafu kwa mamlaka hiyo. “Hii ni gari yangu binafsi na nina haki yake, mtu yeyote akigusa Escalade yangu, nami tufe pamoja naye,” alidai Chameleone.

Hata hivyo Chameleone alidai kuwa hana tatizo lolote kulipa kodi lakini mamlaka hiyo haikutolea vigezo walivyotumia kupata jumla ya shilingi milioni 7 za Uganda ambazo ndizo pesa wanazomdai

COLONEL MUSTAPHA OPENS UP ABOUT HAVING SE'X WITH HUDDAH

Posted: 30 Mar 2014 09:41 AM PDT

I don't usually listen to 1Fm in the morning. I actually like a lot less noise from the radio. i don't like all the shouting and hooting that takes place. But I am sure now that Lulu Saida has found her voice, she will take charge of the show -and she has already begun to show some promising signs that she is coming up from under the noisey shadow.

That said, today's topic was a very interesting topic and once you could filter the noise from the fact, Saida came top asking all the right questions. She was hosting Colonel Moustapha and he was put under the third degree by a very able interviewer who like a piranha caught scent of blood and homed in.

The most interesting question that was asked was how Colonel Moustapha would rate sleeping with Huddah. how was the experience. Colonel Moustapha got cagy. He feigned and dipped from the question and at some point it seemed like he was going to be let off the hook but Saida stuck to her guns.

And he eventually answered thus, "Yuko tu. Siezi sema nini ama nini, yuko tu."

So she isn't all that plus a bag of chips Mr. Moustapha?

MUST WATCH VIDEO:THE FABULOUS LIFE OF JAY Z AND BEYONCE

Posted: 30 Mar 2014 09:32 AM PDT

Jay Z and Beyonce are one of world's richest and most talented couples. Their net worth is estimated to be about $775 million. With that kind of money, you can live..not exist...but live! Lol.

When it comes to gifts, Beyoncé and Jay Z only buy the best of the best. By the time their daughter Blue Ivy was 2 days old, she had already amassed a collection of baby gear worth $1.5 million. For Beyoncé's 25th birthday, Jay got her a vintage Rolls Royce for a cool million bucks. Bey returned the favor and got him a $2 million Bugatti Veyron Sport, one of the most expensive cars in the world.

Beyoncé and Jay Z have exceptional taste and always look amazing from head to toe. From Bey's wig collection worth $1 million, to Jay's $2500 custom sneakers covered in nine animals skins and $4000 custom Tom Ford suits, these two truly are style icons.

When the King and Queen of Hip Hop need some R & R, they head to some of the most luxurious locales in the world. Dropping $20,000 a night for a Penthouse in Paris and $400,000 for a mansion in the Hamptons. Together, Beyoncé and Jay Z are the highest earning celeb couple in the world and have no qualms about spending a ton of cash on whatever they want! Check their fab life after the cut

MWANAUME UKITAKA KUWEKA HESHIMA KWA MPENZI WAKO FANYA HAYA

Posted: 30 Mar 2014 06:34 AM PDT

Mwanaume acha kucheka cheka hovyo na upuuzi ukiwa mjini MKEO ATAKUWA ANAPAKULIWA HOVYO...haya fuata haya UTAONA MAPENZI yatakavyo nyooka...wanawake viumbe vilivyoumbwa kwa kudanganya danganywa...so do this steps wala usiongee maneno...then rudi hapa utoe ushuhuda...
1: Kama una bastola na mkeo au mpenzi wako
humwelewi...akiwa yuko home...ww chukua uwe
unaiosha osha...huku unaiandaa vizuri akiwa
anaona...usiongee sana nae...
..2.. kama huna bastola..chukua hata PANGA...noa
vizuriiii...paka mafuta huku unaicheki...huku ukipita
pita karibu yake...na weka somewhere kabatini...

..3..Basi kama huna panga...noa vizuriiii kisuu na
kiandae huku akiona na unapita pita karibu yake
USIONGEE KITU...akikusemesha ww mwambie
kilikuwa BUTU...usijibu sana...ila usicheke cheke

....HUKU UNAIMBA KIFOO KIFOO...kifoo...kifooo ..oooh kifo hakina huruma....

...Mwanaume usiongee sana kwani ushajua message
sent....then mwonyeshe dalili kuwa ana kucheat...ila
...usimwambie...ww tulia tu...utaona mabadiliko makubwa ajabu...atanyooka...

...mwanaume acha kucheka cheka hovyo au kusema
hovyo na mkeo atakuzunguka..

LULU ASHAMBULIWA INSTAGRAM KWA KUCOPY NA KUPASTE KUTOKA KWA RIHANNA

Posted: 30 Mar 2014 03:55 AM PDT

Masaa machache tu baada ya lulu kupost mwonekano wa mbele wa jarida la VIBE utavyoonekana,  Watu wengi wameanza kumshambulia kwa kuiga pozi la Rihana alilotumia katika Jarida GQ mwaka jana. WEngi wamelalamika na kusema kua amejishusha sana na uchafua sifa ya gazei hilo kwa kucopy na kupaste.

Baada ya taarifa hizo kumfikia lulu alikua na haya ya kusema. "Doh naona imekuwa TOPIC ila sishangai Nina hiyo damu ya kufanya kitu na kikawa gumzoooo...!nadhani kitu kimoja watu hamuelewi Ku Copy na Ku Paste huko mnakosema nyinyi cdhani Kama mnakuelewa...!hapa kilichofanana ni idea only not otherwise...!n ofcoz dunia tunayoishi hakuna kitu kipya ni vitu vile vile ila vinafanyika kwa namna ya tofauti....majadiliano hayakuwa mabaya coz ndo inamaanisha habari imefika vilivyo....nimejaribu kuiweka clear mana watu mpk vidole vinakaribia kupata sugu kwa kuandika comment hehehe...!tuachane na hayo ila dada @badgalriri dah nimekukimbiza kwa mbali heheheh.... @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri ��������nione basi������....haya namalizia Kama bdo hutaki kukubaliana na maelezo yangu njia hii apa������������������������������������������������������������������Haina mafuriko,madimbwi wala foleni....kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!��Nawapenda lkn��"

INSTAGRAM KUNA MAMBO ETI HUYU NDIO DEMU MWINGINE ANAYETOKA NA DIAMOND

Posted: 30 Mar 2014 03:49 AM PDT

Kwamujibu wa TeamUkwelinaUwazi instagram.... Nanukuu....
Umbea wa mjini ambao unajulikana Dar nzima na kwa watu wa karibu wa dangote na madame ila kuna watu ambao hawaujui Pia nimeona niwajuze na nyie ambao hamjaupata .. Huyu ndio demu anaetoka na dangote tena alikua ni demu wa mtu wa karibu yake kama mnamjua Prezi Tito.. Huyo prez Tito na alikua best. Sana na petitman ila kwa sasa naona urafiki umeyumba sababu Ya hii ishu .. Demu anaitwa latifa almaarufu kama Latifah Tito .. Sasa dangote hapo ndio anapomalizia stress Za jiji na madame anajua hilo yaani sio Siri demu yupo na sangote kwenye starehe zote mara kwa mara utawaona skylite pamoja na group la akina sheta.. Amefikia hatua hadi kapangiwa na dangote kinondoni kwa manyanya pale wanapouza baiskel.. Prezitito hana sauti maana na yeye ni Mario kama alivyo petitman si unajua tena hawa Mario hua hawanaga kitu basi hata sauti hawana wanaishiaga kulalamika chini kwa chini .. Basi sasa hiyo ndio ishu inayoendelea mjin hata madame analijua hilo ila ndio atafanya nini maana Latifah mbabe balaa hahaha chezaea Halima kimwana wewe harafu mnamtukana Halima nyooo hamjui kama ndio tulizo la dangote kwani dangote si anajua kabisa kua Halima na wema haziendani harafu si wema ndio ubavu wa dangote plus kwani dangote na Halima wameshare tumbo moja lakini hamjiulizi kwanini bado dangote hatengenezi njia hawa watu wakaelewana ndio kwanza yupo na Halima wake kipenzi .. Mwenyewe anakwambia salamu zangu Za pili ziende kwa dada yangu Halima mwambieni nampenda sana.. Halima ana nguvu kuliko madameeeee... Sisi bado tunangojea movie .... Oopszion haha madame eti anasema Latifah mbaya hamuingiii haya basi amuuluze dangote kamfatia nini huyo latifah ???? Harafu walikuaga wanaelewana sana dah huyu dangote anapenda vya karibu kama Clement vile..........Ufafanuzi:Dangote- Diamond, Madame-Wemasepatu
Teamukwelina uwazi mara nyingi huwahawakosei
credit : swahilitz 


SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

WAKOREA WAAGIZWA KUNYOA KIDUKU KAMA RAISI WAO KIM

Posted: 30 Mar 2014 12:12 AM PDT

Wanaume Korea Kaskazini wanakabiliwa na mtihani mpya katika taifa lao; wa kunyoa nywele kwa mtindo ulioamuliwa na rais wao.

Watake, wasitake kuanzia sasa kila mwanamume atalazimika kunyoa nywele zake kwa mtindo anaoupenda Rais Kim Jong- un.

Kiongozi huyo kijana, aliyerithi wadhifa huo baada ya kifo cha baba yake, hana mzaha hasa kutokana na nia yake ya kujenga mfumo mpya wa utawala ambao matakwa yake tu ndiyo ya kufuatwa.

Ni wiki mbili sasa tangu serikali ya nchi hiyo kutoa agizo linalowataka wanaume kunyoa kama rais wao, huku wanawake nao wakielekezwa kutengeneza nywele zao kwa aina 18 tofauti na si zaidi ya hapo.

Hilo ni moja ya maagizo yenye utata kuwahi kutolewa chini ya utawala wake, ambapo amekuwa akifanya jitihada za kujijengea mizizi, ikiwamo kuwaondoa na kuwaadhibu wale waliokuwa katika utawala wa baba yake wanaoonekana kutokubaliana na aina yake ya uongozi.

KIGOGO IKULU AMHONGA KAJALA GARI

Posted: 30 Mar 2014 12:03 AM PDT

NI madai mazito! Kwamba, nyota wa muvi za Kibongo, Kajala Masanja amehongwa gari na mtu anayedaiwa kuwa ni kigogo wa Ikulu. Hii ndiyo habari ya mjini kwa sasa na  Risasi Jumamosi limeifukunyua.

Kwa mujibu wa habari hizo ambazo zipo hadi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram, Kajala alinunuliwa gari hilo aina ya Toyota Brevis lenye rangi ya bluu iliyoiva  wiki mbili zilizopita mara baada ya kutua Bongo akitokea nchini China ambako alikwenda kwa mambo yake binafsi.

TAARIFA ZINAVYODAI
Wasambaza taarifa hao walidai kuwa, kigogo huyo wa Ikulu ni yule Clement ambaye amewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.

“Mmeisikia hii? Kajala amenunuliwa gari na Kile (Clement), lina thamani ya shilingi milioni kumi na moja, Wema alie tu nakwambia. We ukisema cha nini wenzako wanajiuliza watakipata lini?

“Kwanza mnajua kama bifu la Wema na Kajala lilitokana na Clement? Alipoachana na Wema akatua kwa msichana anaitwa Naima, lakini akaona bado akaenda hadi kwa Kajala. Wema alipogundua ndiyo akamnunia na kuanza ushoga na Aunt Ezekiel,” msambaza habari za mjini mmoja aliliambia Risasi Jumamosi juzi.

Akaendelea: “Unajua nini? Naamini Wema alimwacha yule bwana na akurudi kwa Diamond baada ya kuona mambo yake siyo mazuri, lakini sasa jamaa (kigogo wa Ikulu) mambo ni safi kwa hiyo anataka kumwoneshea Wema ndiyo maana ameamua kumnunulia gari Kajala baada ya kuwa naye.”

RISASI LALISAKA MITAANI  
Baada ya kuzinyaka habari hizo za kimjini, timu ya waandishi wa Risasi Jumamosi, Jumatano iliyopita iliingia mitaani kulisaka gari hilo hasa baada ya Kajala kutopokea simu.

Awali, mtoa habari mmoja alisema Kajala yupo na gari hilo Kinondoni kwa Manyanya, lakini alipofuatwa hapo hakuonekana.
Habari zikapatikana kwamba, alikuwa kwenye Mgahawa wa Steers uliopo jengo la Millennium Tower, lakini pia alipofuatwa eneo hilo hakuonekana.

ALHAMISI SAA 9:06 ALASIRI
Juzi, saa 9:06 alasiri, Kajala alipigiwa simu ambapo alipokea na mahojiano yakawa hivi:
Risasi: Mambo Kajala?
Kajala: Poa tu, mambo?

Risasi: Mambo poa. Eti, namba za gari lako Toyota  Brevis ni ngapi?
Kajala: Mh! Yaani hata mimi mwenyewe sizijui, sijazishika kabisa.
Risasi: Sasa, kuna habari kwamba hilo gari umenunuliwa na Clement, yule aliyekuwa na Wema zamani. Kuna ukweli wowote?

Kajala: Mh! Hizo habari si za kweli. Wapo watu wanajiita Team Wema ndiyo wameamua kunipakazia hivyo, wameandika hadi kwenye Instagram, lakini siyo kweli kabisa.

“Mimi nimelinunua hili gari kwa mtu. Aliniuzia kwa shilingi milioni kumi na moja (11,000,000). Sijahongwa wala sijanunuliwa. Kuna watu wanataka kunichafua tu.

KUHUSU USHOGA WAO KUFA
Kuhusu kufa kwa ushoga wao, awali Kajala hakutaka kulizungumzia suala hilo lakini alipobanwa alidai hana tatizo na Wema na kwamba kwa sasa yuko bize kutengeneza filamu zake.

WEMA AKWEPA SIMU
Kwa upande wake, Wema alipopigiwa simu hakupokea lakini siku za nyuma aliwahi kuanika kwamba haamini kama Kajala anaweza kutembea na Clement. Hapo ni wakati ule wakiwa mashoga.

TUJIKUMBUSHE
Katika gazeti la Ijumaa, Machi 21, mwaka huu ukurasa wa mbele kulikuwa na habari ndogo yenye kichwa;

WEMA, KAJALA KIMENUKA!
Katika habari hiyo, ilidaiwa kuwa, wawili hao si mashoga tena huku sababu mbalimbali zikianikwa.
Ilidaiwa kuwa, kisa kilianzia kwenye saluni moja Kinondoni, Dar ambapo Kajala alifika akiendesha baiskeli iliyosababisha kuloa jasho sehemu kubwa ya mwili.

Chanzo kilisema, Wema alipomuona Kajala alitaka kumkumbatia lakini Kajala alimkwepa kwa sababu alikuwa na jasho jambo lililomfedhehesha Wema na kununa.
“Alichokifanya Wema, alimrushia Kajala maneno makali akimhoji kwa nini alimfanyia hivyo wakati hawana tatizo lolote kati yao,” kilidai chanzo.

Siku nyingine ilidaiwa kwamba Kajala alikwenda nyumbani kwa Wema, Kijitonyama  kwa lengo la kumchukua waende location (sehemu ya kurekodia sinema), lakini alipofika aliambiwa ‘bimkubwa’ huyo alilala na Diamond hawezi kuamshwa.

Chanzo hicho kilisema Kajala aliwasiliana na Wema kwa njia ya simu ya mkononi akamwambia asubiri lakini alikaa kwa muda mrefu bila mafanikio hivyo hawakwenda kushuti siku hiyo.

Chanzo hicho kilidai pia kwamba ushosti wa wawili hao ulianza kupepesuka muda mrefu lakini uzi wa mwisho umekuja kukatwa na Diamond mara baada ya kurudiana na Wema.
GPL

ROONEY, MATA WAMUOKOA DAVID MOYES

Posted: 29 Mar 2014 11:57 PM PDT

MABAO mawili yaliyofungwa na straika Wayne Rooney katika ushindi wa  Manchester United wa mabao 4-1
dhidi ya Aston Villa, umempa ahueni kocha wa man United David Moyes ambaye amekuwa akiandamwa na mabango ya kufukuzwa.

Mchezo huo, uliopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford, maskani kwa Man United, wageni ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 13 Ashley Westwood kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja golini.

Kuingia kwa bao hilo, liliwaamusha Man United kwa kulisakama bao la Aston Villa na kufanikiwa kujipatia bao dakika saba baadaye kupitia kwa Rooney kwa kumalizia kichwa mpira uliopigwa na kiungo Shinji Kagawa.

Wakati Villa wakipigana kusawazisha bao hilo, Mata alididimiza matumaini yao kwa kuongeza bao la tatu katika dakika ya 57, likiwa ni bao lake la kwanza tangu ajiunga na timi hiyo akitokea Chelsea msimu huu.
Chicharito, aliyeingia kuchukua nafasi ya Rooney, alishindilia msumari wa mwisho katika jeneza la Villa katika dakika 90 na kumpa ahueni Moyes ambaye amekuwa akiandamwa na mashabiki wakimtaka kuachia ngazi kutokana na mwenendo wa mbaya wa timu hiyo.

KINANA AICHAMBUA KAMA KARANGA TUME YA WARIOBA

Posted: 29 Mar 2014 11:44 PM PDT

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameikosoa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akidai imeshindwa kuwasilisha kwa usahihi maoni yaliyotolewa na wananchi.

Alisema Tume hiyo iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph Warioba iliwasilisha maoni yaliyokuwa yakiunga mkono mlengo wake badala ya maoni halisi yaliyotolewa na Mabaraza ya Katiba.

Madai hayo mapya ya Kinana yamekuja wakati tayari Tume hiyo imevunjwa rasmi na Rais, kwa mujibu wa sheria.

“Kulikuwa na utaratibu wa kupata maoni kutoka kwenye mabaraza na kuna kata zilihojiwa, tume haijatuambia kwa sababu gani hawakuyasema wanayoyataka wao,” alisema Kinana.

Alisena kuwa kulikuwa na mabaraza 171, lakini Tume pia ilishindwa kutoa takwimu za watu wangapi walikuwa wakiunga muundo wa muungano wa serikali mbili au tatu katika mabaraza hayo.

“Majaji walisema masilahi ya nchi yapo kwenye serikali mbili na wakuu wa mikoa hali kadhalika, lakini mbona Tume hawakusema hayo?” alihoji Kinana.

Katibu Mkuu huyo alikuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa hotuba aliyoitoa katika Bunge Maalumu la Katiba hivi karibuni.

Alisema chama chake kinaunga mkono mchakato wa kupata Katiba Mpya, lakini lazima wahakikishe katiba hiyo ni ya wananchi.

Hii ni mara ya pili kwa viongozi wa juu wa chama hicho kukosoa takwimu za Tume, mara ya kwanza Rais Kikwete alitilia shaka takwimu zilizomo katika ripoti ya Tume hiyo wakati akitoa hotuba yake bungeni.

Kinana alisema pamoja na kuhoji weledi wa Tume ya Warioba pia alitetea hoja ya wingi wa wajumbe wa CCM katika Bunge Maalumu la Katiba.

“Kuna watu kila siku wanalia eti wao wapo wachache na sisi tupo wengi, hii ni lugha ya ajabu kweli kweli, usiku na mchana wanakutana kujadiliana na walipoona chama kimoja kimoja hakiwezi wakaanzisha Ukawa.

“Hao wanaosema tunatumia wingi kupinga masilahi ya nchi, sasa ni masilahi gani yasiyowahusisha CCM?” alihoji Kinana huku akishangaliwa na wafuasi wa chama hicho.

SAFARI YA DIAMOND KWENDA NIGERIA KUFANYA VIDEO INGINE YAIVA-WEMA AMSINDIKIZA AIRPORT

Posted: 29 Mar 2014 11:35 PM PDT

Mrembo Wema Sepetu Akiwa na Baby Wake Diamond leo Asubuhi Uwanja wa Ndege wa JK , Diamond Anaelekea Nigeria Kufanya Video yake mpya na Pia Kufanya Collabo Mpya na Wanaigeria pamoja na Waghana...Diamond Ameambatana na Manager Wake Babu Tale....Have a Nice Trip Brodaaa

WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU WASUSIA BUNGE

Posted: 29 Mar 2014 11:28 PM PDT

Dodoma/Dar. Wakati Bunge Maalumu la Katiba linatarajia kuanza kujadili Rasimu ya Katiba kesho, baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wameanza kuondoka bungeni, kupinga mwenendo wa Bunge hilo.

Hatua hiyo ya wabunge hao inakuja wakati Bunge Maalumu la Katiba juzi lilipitisha azimio la kutumia kura ya siri na wazi katika kuamua vifungu vya rasimu.

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Saluhu alisema baada ya kupitishwa kwa utaratibu wa kupiga kura za siri na wazi katika Bunge hilo, kuanzia Jumatatu wataanza kujadili sura ya kwanza na sita ambayo inahusu Muundo wa Muungano.

Katika sura ya kwanza, mambo ambayo yanatakiwa kujadiliwa ni Jina, Mipaka, Alama, Lugha na Tunu za Taifa wakati sura ya sita mambo ambayo yanapaswa kujadiliwa ni Muundo wa Muungano.

Udaku Specially

unread,
Mar 31, 2014, 4:25:30 PM3/31/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


    DIAMOND AKIWA NDANI YA RADIO KUBWA NIGERIA BEAT 99.9 FM KWA MAHAOJIANO...

    Posted: 31 Mar 2014 11:14 AM PDT

    Baada ya Wimbo wa number One kumpa chat kubwa Nigeria na Africa kwa ujumla ..leo Radio kubwa kuliko zote Nigeria Beat 99.9 FM walikuwa wakimuhoji nguli huyo...hii ni kutokana na wimbo wake kukaaa number moja katika top chat za radio hiyo kwa zaidi ya week moja

    MUME WANGU JOGOO HALIWIKI, WIKI YA TATU SASA, YANI HATA NI MTEGE VIPI, NISAIDIENI PLZ

    Posted: 31 Mar 2014 11:07 AM PDT

    Nimeishi na mume wangu mwaka wa tatu sasa, amekua akipiga kazi mpaka nafurahi, ananifiki kilele hata mara nne kwa siku moja, lakini sasa hivi ni wiki ya tatu hasimamishi yani mpaka hata yeye mwenyewe anakosa amani kabisa, najaribu kumtega kwa kila mikao na visa visa vywa kimahaba lakini imeshindikana. Naombeni ushauri jamani  kama kuna namna nikamsaidia mume wangu, nampenda sana, sitaki kumsaliti. 

    TREY SONGZ AIKANA TWEET ALIYOANDIKA NA KUSEMA YEYE NI SHOGA

    Posted: 31 Mar 2014 11:02 AM PDT

    March 25, ilisambaa picha ya tweet inayoonesha kuwa wamei-screenshot kutoka kwenye akaunti ya mwimbaji wa R&B, Trey Songz na kuonesha amejitangaza kuwa yeye ni shoga.

    “I think it’s time to finally tell my fans. All games and jokes aside…I’m gay.” Ilisomeka picha ya tweet hiyo.

    Hata hivyo, mwimbaji huyo aliikana tweet hiyo mapema asubuhi na kuonesha kuchukizwa kwake na kitendo kilichofanywa na watu ambao wanaonekana walitumia teknolojia ya kuchezea picha maarufu kama Photoshop na kuichora tweet hiyo.

    Trey Songz alionesha masikitiko yake kwa tweets tatu zilizofuatana.

    “The things you people craft up with hatred in your hearts. The things people believe without question, or validity, all baffles me.

    “Photoshop and a retweet is all people need to believe, any and everything. I feel bad for the impressionable, no minds of their own.

    “If I’m gay then Tupac bringing me a ounce for this session wit Biggie tomorrow. No weapon. #LOVE.”

    DOWNLOAD WIMBO ULIYOIMBWA NA NA WASANII ZAIDI YA 19 AKIWEMO DIAMOND, AY, FALLY IPUPA, D-BANJ NA WENGINE WENGI

    Posted: 31 Mar 2014 11:01 AM PDT

    Zaidi ya wasanii watano kati ya wale 19 waliojumuika kutengeneza wimbo na video ya wimbo "Cocoa na Chocolate" kwa ajili ya kuhamasisha kilimo kwa vijana na kuwa kiimo kinalipa, wamekutana Lagos nchini Nigeria
    KODOWNLOAD BOFYA HAPO CHINI

    ONA SHOW YA DIAMOND ILIYOJAZA UWANJA KAMA VILE NI SIMBA NA YANGA..WATU WAKANYAGANA

    Posted: 31 Mar 2014 05:18 AM PDT

    Hii ilikuwa Pande za Mwanza...Dahhh huyu Jamaaa Noma embu jionee mwenyewe kwenye video hapa:

    ANGALIA VIDEO JINSI REMIX YA WIMBO WA NUMBER 1 ULIVYOKUWA UNATENGENEZWA NA TUDDY

    Posted: 31 Mar 2014 05:11 AM PDT

    Angalia 'My number One Remix' 'Diamond' akiwa na msanii wa Nigeria 'Davido' jinsi wanavyoitengeneza kwenye studio za Ngoma Records chini ya producer Tuddy Thomas.

    MVUA YAVUNJA NYUMBA NA GARI LA BABU AYUBU

    Posted: 31 Mar 2014 04:58 AM PDT

    Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia siku ya Ijumaa 28 March 2014 imeleta maafa maeneo Kimara na Kuvunja Nyumba ya msanii wa Sauti na Muziki wa Kizazi Kipya maarufu kama Babu Ayubu, yeye mwenyewe anasema siku hiyo alirudi saa saba usiku na kujifungia ndani kwake lakini ilipofika mida ya saa kumi usiku akaskia kishindo Puup kushusha mguu wake kutoka kitandani akaona maji yapo kimo cha ugoko wake akajaribu kufungua mlango ukawa haufunguki kumbe ukuta ulikua umeangukia mlangoni na kuzuia usifunguke ndipo alipopiga makelele kwa majirani, wakafika na kumpa msaada lakini alipotoka nje akakuta gari lake limepondwa na matofali 1200, Babu anasema Gari hilo haliwezi tena kukaa barabarani so itabidi auze kwenye vyuma chakavu na kuhusu kulala amesema atalala katika nyumba yake nyingine kwasababu alikua amejenga nyumba tatu katika eneo moja na iliyoathirika ni moja tu. - See more at: http://www.makorokocho.co/2014/03/you-heard-mvua-yavunja-nyumba-na-gari.html#sthash.fNDXNdIU.dpuf

    JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!

    Posted: 31 Mar 2014 12:43 AM PDT

    Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi?

    Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye mgahawa wa staa huyo wa Nyumbani Lounge uliopo Ada Estate, Kinondoni jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Jide alisema kuwa yeye na Gardner wamefikia hatua ya kuishi katika staili hiyo kutokana na mapenzi yao yaliyopitiliza.

    “Gardner ananipenda sana na mimi pia vilevile nampenda sana mume wangu. Mapenzi yetu yamepitiliza hadi tunajiona kama vile tumezaliwa tumbo moja na ndiyo maana nawaambia kuwa mimi na yeye tunaishi kama kaka na dada,” alifunguka Jide.

    Akiendelea kuzungumza kwa kujiamini, Jide alisema kuwa hadi simu ya mkononi wanatumia moja kwa ajili ya mawasiliano.

    “Mimi hapa sina simu, anayo mume wangu lakini wakati mwingine nakuwa nayo mimi ila muda mwingi anakuwa nayo Gardner,” alimalizia Jide.

    Kwa makala zaidi kuhusu usichokijua juu ya maisha ya Jide, nenda kurasa za nane na tisa za gazeti hili.

    PROF ISSA SHIVJI NA UBAKAJI WA MATAKWA YA UMMA KWENYE MUUNDO WA MUUNGANO

    Posted: 31 Mar 2014 12:17 AM PDT

    Sijawahi kufundishwa na Profesa huyu anaeishi Amerika akighani sheria zake katika uga wa Pwani ya Azania, nimjenzi mzuri wa hoja za kisheria vilevile jamii ya kiswahili inamuamini kwa misimamo yake,


    Baada ya Tanzania kuanza mchaato wa kupata katiba mpya ya Muungano, Prof Shivj alikuwa miongoni mwa watu wanaotazamiwa kulisaidia taifa kupata katiba bora kabisa ya "KIRAI", lakini katika hali isiyotegemeka, mamlaka zote za nchi zikamtelekeza, akawa sasa ni deiwaka tu msako wa katiba mpya, akionyesha kuheshimu misimamo ya uuma.

    Mnyukano wa kimaslahi kati ya Chama cha Mapinduzi na UMMA wa Watanzania, umemrejesha tena Issa Shivji mbobevu wa sheria za kiutawala, lakini akija kwa nadharia ya kusigina matakwa ya umma,

    Yule Issa Shivji aliyekuwa mtetezi wa matakwa ya umma, leo amekuwa mpiga zumari wa Lumumba. Issa Shivji anafikiri Watanzania ni wajinga kiasi cha kumfuata kila akifanyacho, vikao vyake vya ikulu wiki jana kwamalengo ya ghiriba wa umma havita saidia Watanzania kudai Muungano wao BORA kabisa wa Serikali TATU.


    Hebu tujirejeshe kidogo kuitazama Nadharia ya Muungano.


    Hoja za muudo wa serikali zinatafsiriwa na sababu kuu mbili ambazo ni hoja za kisheria na hasira za kisiasa.

    1.HOJA ZA KISHERIA

    Hoja za kisheria ni kwamba zinapoungana serikali mbili ni lazima pawepo na katiba ya serikali moja au tatu na wala sio mbili tena kisheria.Kwa mfano ni kwamba tume zote mbili zilizoundwa na Rais chini ya wasomi wa kisheria chini ya JAJI FRANSISI NYALALI na ile ya JAJI ROBERT KISANGA zote zilipendekeza serikali 3 na sio mbili.

    Kwa mfano endapo utampa msomi wa kisheria kazi ya kukuandalia katiba ya serikali mbili zinazotakiwa kuungana atakuandalia katiba ya serikali ama 1 au 3 lakini sio mboli kwani hazipo kisheria.

    2.HASIRA ZA KISIASA

    Hasira za kisiasa ni sababu nyingine ya kuwa na serikali tatu,Kwa mfano mwaka 1984 aliyekuwa rais wa Zanzibar ABDU JUMBE aliasisi hoja ya kuwa na serikali 3 na ikamgharimu kunyang'anywa kadi ya CCM na kupoteza urais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na MZEE ALI HASAN MWINYI 1984-1985 kabla ya kuchukuliwa na IDRISA ABDUL WAKIL 1985-1990.

    Mwaka 1993 paliibuka kundi la G55 liliokuwa na nia ya kuifufua Tanganyika kundi ambalo lilipelekea baraza la mawaziri kuvunjwa mwaka 1994 na baadhi ya mawaziri akiwemo waziri mkuu na makamu wa kwaza wa Rais kupoteza wadhifa wake.

    Mwaka huo huo 1993 Zanzibar ilitaka kujiunga na OAC wakakataliwa kwamba hawana mamlaka ya kufanya hivyo ndipo aliyekuwa Rais wa wakati huo DR SALIMIN AMOUR JUMA akasema Zanzibar imedharauliwa na kuzidi kupandisha homa na hasira za Wazanzibar kudai mamlaka kamili ya Zanziabar.

    Hata mwalimu Nyerere alikuwa na nia kwamba waunde serikali moja lakini kwa kuanzia alipendekeza kwamba waanze na serikali mbili ili wazanzibar wasiseme wamemezwa japo baadae alishindwa kuunda serikali moja.

    Kwahiyo hizo ndio sababu za mkanganyiko uliopo Tanzania katika mchakato wa katiba mpya.

    By Yericko Nyerere

    KAJALA APANGUA SKENDO YA KUJIUZA

    Posted: 30 Mar 2014 11:55 PM PDT


    Stori: Imelda Mtema

    UZUSHI! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameitolea mbavuni skendo ya kujiuza nchini China inayowatafuna mastaa wengi wa kike Bongo.
    Kajala ambaye mara kwa mara amekuwa akisafiri kwenda nchini China, alipozungumza na paparazi wetu aliruka viunzi na kufafanua:
    “China nakwenda kwa pesa zangu, nalipa dola 5000 (business class), nina dili zangu za kikazi na si kujiuza kama wapo wanaofanya hivyo ni wao lakini si mimi.”
    GPL

    SWALI KWA WADADA...HIVI WANAUME WAREFU NA WEUSI WANA NINI CHA ZIADA KWENYE MAPENZI?

    Posted: 30 Mar 2014 11:34 PM PDT

    Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine? 

    Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.

    Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?

    Karibuni sana.

    PIGO TAKATIFU LAIKUMBA YANGA....KAMA CHELSEA VILE

    Posted: 30 Mar 2014 11:23 PM PDT

    KAMA ilivyokuwa kwa Chelsea katika Ligi Kuu ya England juzi kwa kufungwa na kutibuliwa mbio za kuwania taji la nchi hiyo, Yanga jana ilipata pigo kama hilo kutoka kwa Mgambo JKT ya Tanga.

    Wakati Chelsea ikilala kwa bao 1-0 kutoka kwa Crystal Palace na kocha wake mbwatukaji, Jose Mourinho akikiri mbio za ubingwa zimekwisha, mabingwa watetezi wa Bara, Yanga jana walichapwa mabao 2-1 na timu hiyo ya Kabuku wilayani Handeni na kuwapa pigo kubwa katika mbio za ubingwa.

    Kwa matokeo hayo, Yanga imebakiwa na pointi 46 katika nafasi ya pili huku timu waliyokuwa wakibanana nayo, Azam FC imefikisha pointi 53 baada ya jana kuishinda Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

    Yanga sasa imebakiwa na mechi nne dhidi ya JKT Ruvu, Kagera Sugar, JKT Oljoro na Simba, ambazo kama ikishinda zote, itafikisha 58 wakati Azam FC imebakiza mechi tatu dhidi ya Ruvu Shooting, Mbeya City na JKT Ruvu ambazo ikishinda zote, itafikisha pointi 62 na kutawazwa bingwa msimu wa 2013/14.

    Kwa Yanga, matokeo ya jana kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, ni pigo kubwa kwao kwani sasa inabidi waiombee dua mbaya Azam FC na yenyewe ikihitaji kushinda mechi zilizobaki ili itetee ubingwa.

    Mgambo JKT ilikuwa ya kwanza kuandika bao katika dakika ya pili tu lililofungwa na Fully Maganga, ambalo lilidumu hadi mapumziko.

    Iliwachukua Yanga dakika nane za kipindi cha pili kusawazisha kwa penalti iliyokwamishwa wavuni na nahodha Nadir Haroub.

    Bao lililoipa pigo Yanga lilifungwa kwa penalti katika dakika ya 65 baada ya mwamuzi Alex Mahagi wa Mwanza kuamuru pigo hilo la adhabu kubwa kutokana na beki Kelvin Yondani kumfanyia madhambi Malimi Busungu akielekea kufunga.

    Busungu alipiga penalti hiyo na kumfunga kipa Juma Kaseja, na kuandika bao la pili ambalo licha ya juhudi kubwa za Yanga kutaka kusawazisha, hali haikuwa rahisi na hivyo Mgambo JKT kuandika ushindi wake wa pili mkubwa msimu huu, kwani kwenye uwanja huo, waliifunga Simba kwa bao 1-0.

    NDOTO ZA URAIS ZAMPONZA SITTA BUNGE LA KATIBA

    Posted: 30 Mar 2014 11:14 PM PDT

    MWENENDO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, umeanza kutiliwa shaka huku baadhi ya wajumbe wenzake wakidai anateswa na dhambi ya unafiki.

    Sitta, ambaye aliongoza Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano kwa uwezo mkubwa chini ya falsafa yake ya viwango na kasi, alichaguliwa kwa kura nyingi kuongoza Bunge la Katiba akiahidi kuendeleza falsafa hiyo.

    Hata hivyo Sitta ameanza kushindwa kuitekeleza ahadi hiyo baada ya kuruhusu kufinyangwa kwa kanuni za Bunge pamoja na kufanya uteuzi wa wajumbe wa kamati ya uongozi akiwapendelea wajumbe kutoka CCM.

    Tanzania Daima Jumapili limedokezwa kuwa kuyumba huko kwa Sitta kunachangiwa na ndoto zake za kutaka kuwania urais mwaka 2015, hivyo anatafuta kuungwa mkono na CCM.

    Sitta anatafuta kuungwa mkono na CCM kwakuwa chama hicho mwaka 2010 mara baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu kilimtosa kuwania uspika kwa madai ni zamu ya mwanamke.

    Miongoni mwa sababu zilizokuwa zikitajwa chinichini ni kuwa kiongozi huyo wakati akiwa spika aliruhusu mijadala iliyozusha makundi ndani ya chama na serikali.

    Katika utawala wake Sitta, aliunda Kamati Teule ya Bunge kuchunguza zabuni iliyoipa ushindi wa kuleta mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura Kampuni ya Richmond, iliyokuwa ikilipwa sh milioni 152 kwa siku.

    Kamati teule hiyo iliyokuwa chini ya Dk. Harrison Mwakyembe, ilitoa ripoti iliyobaini kulikuwa na utata katika kuipa ushindi zabuni ya Richmond, waliodai ni ‘hewa’ na yenye mkono wa ‘bwana mkubwa’.

    Kashafa hiyo ilimfanya aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kujiuzulu baada ya kuguswa na kashfa hiyo.

    Hata hivyo mchakato huo ulifungwa na Sitta, katika mazingira ya aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM), aliyeguswa pia na kashfa hiyo akitaka iundwe tume huru ya majaji watatu kuchunguza sakata hilo.

    Tangu hapo Sitta, amekuwa kwenye uahasama mkubwa na makada wenzake pamoja na chama ambacho kinaamini utawala wake ndio uliozalisha wapinzani wengi bungeni hivi sasa.

    Kutokana na dhana hiyo, Sitta hivi sasa amekuwa akifanya mambo yanayoonekana kutafuta huruma ya chama chake ambapo pia nusuru kisimpe ridhaa ya kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu, nafasi iliyokuwa ikitajwa kukaliwa na Andrew Chenge.

    Miongoni mwa mambo anayoshutumiwa kuyafanya Sitta ni kuwakemea wenzake kwa ufisadi wanaoufanya wanapotoa fedha kwenye harambee na shughuli za kijamii ilhali naye amekuwa akipita makanisani kuomba huruma ya wananchi.

    Sitta pia analaumiwa kwa kuruhusu uvunjwaji wa kanuni za kuliongoza Bunge kwa kuruhusu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe rasimu ya katiba kabla ya Rais Jakaya Kikwete.

    Inadaiwa alifanya hivyo ili kumtengenezea mazingira Rais Kikwete, kujibu mapendekezo yaliyokuwamo kwenye Rasimu ya Katiba ili kuipa ahueni CCM inayopinga mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasimu.

    Sitta pia anadaiwa kufanya uteuzi wa wajumbe watatu kati ya watano kuingia katika kamati ya uongozi ambayo inaongozwa na wenyeviti 12 kutoka CCM.

    Miongoni mwa walioteuliwa kwenye kamati hiyo ni Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye alikataa uteuzi huo huku akimlaumu Sitta kwa kufanya uteuzi unaoangalia zaidi masilahi ya chama chake kuliko taifa.

    Baadhi ya wajumbe hususan wapinzani wanadai Sitta anayumbishwa na Chama chake Cha Mapinduzi (CCM), hivyo kufikia hatua ya kuzivunja kanuni za Bunge na kuibua mivutano.

    Udhaifu wa Sitta

    Baadhi ya wajumbe wa upinzani wanasema tabia ya kutokuwa na msimamo aliyoanza kuionyesha Sitta hivi sasa kwa kufuata matakwa ya chama chake bila kujali uzito wa hoja husika kumemvunjia heshima.

    Hoja yao ni kuwa falsafa ya ‘Kasi na Viwango’ aliyoitangaza ameshindwa kuionyesha katika Bunge Maalumu kiasi cha kuyumbisha mchakato wa mijadala bungeni.

    Pia ndani ya CCM, Sitta anatazamika kwa sura mbili. Mosi, washindani wake kisiasa wanadai anaongoza Bunge hilo kwa kuwasikiliza zaidi wapinzani ili kujijengea uhalali wa kugombea urais 2015.

    Kundi la wafuasi wake, lenyewe linaona kama Sitta yuko imara kusimamia mchakato wa Katiba isipokuwa anakwazwa na mahasimu wake ndani ya chama wanaomuundia zengwe aonekane dhaifu.

    Kangi Lugola (CCM), alikuwa wa kwanza kumtahadharisha Sitta kuhusiana na uongozi wake, akisema nafasi yake ni sawa na Jaji wa Mahakama Kuu aliyepelekewa mtuhumiwa wa mauaji amhukumu.

    “Sitta ndiye amepewa jukumu la kuhakikisha anasimamia mchakato huu ili wananchi wapate Katiba mpya na nzuri, kushindwa kufanya hivyo wananchi wataondoa imani kwake na chama,” alisema Lugola ambaye pia ni Mbunge wa Mwibara.

    Lugola aliongeza kwamba licha ya CCM kuwa na wajumbe wengi katika Bunge hilo lakini Sitta alichaguliwa kwa kuaminiwa kutokana na utashi wake wa kisiasa, hivyo anapaswa kutumia busara.

    Naye Godbless Lema (CHADEMA) alimtaka Sitta kuwa makini na kila iana ya ushauri anaopewa na wenzake ndani ya CCM, kwamba mwingine una lengo la kumchafulia rekodi yake.

    Lema ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, alisema kuwa wabaya wa Sitta wamekuwa wakijidai kumshauri hata mambo ambayo baadaye yanaleta matatizo kwa lengo la kutaka kuonyesha kuwa alishindwa kusimamia mchakato wa kuandika katiba.

    “Wako wabaya wako wanataka mchakato huo usifanikiwe ili ionekane ulishindwa kusimamia wananchi wapate katiba, hivyo waseme haufai hata kugombea urais,” alisema Lema bungeni.

    Naye  John Shibuda, anasema Sitta anatafunwa na dhambi ya unafiki wake ambao hauwezi kumfikisha katika anachokifikiria.

    Shibuda alisema Sitta amejikuta wakati mwingine akifanya uamuzi wa kuibeba CCM ili kujinafikisha aonekane ni kada mwaminifu na wakati huo huo anataka kujijengea ushujaa ili katiba mpya ipatikane, atumie turufu hiyo kujipigia debe la urais 2015.

    Wiki iliyopita Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, alisema Sitta ni dhaifu na ndiyo maana anashindwa kuongoza Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ya kuegemea zaidi kwenye chama chake.

    Dk. Slaa alisema uongozi wa Sitta bungeni utasababisha mivurugano mikubwa na kutoelewana baina ya wajumbe waliopewa jukumu la kuandika Katiba inayopendekezwa, ambayo itakwenda kupigiwa kura ya maoni na wananchi.

    Sitta amekuwa akilalamikiwa na baadhi ya wajumbe tangu siku ya kwanza alipokalia kiti hicho kuwa anavunja kanuni alizotamba kuzisimamia kwa kasi na viwango.

    CCM WAZIDI KULIA NA WARIOBA

    Posted: 30 Mar 2014 11:10 PM PDT

    CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu.

    Lawama hizo zilitolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Mwembeyanga jijini Dar es Salaam.

    Mkutano huo uliandaliwa kwa lengo la kumpongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa hotuba aliyoitoa bungeni Machi 21, ambapo Kinana alisema tume hiyo iliyokuwa chini ya kada wao Jaji Joseph Warioba, haikueleza ni makundi mangapi yalitaka serikali tatu.

    Kinana alisema Tume ya Mabadiliko ya Katiba walisubiri Mwalimu Julius Nyerere afe ndipo waseme serikali tatu, kwani walikuwepo enzi hizo.

    “Muungwana angesema nani kasema nini wakati wa kuchukua maoni, tume haijasema katika mabaraza 171 ni mangapi yalitaka serikali tatu, ukiwauliza mara makaratasi yamepotea, hatukumbuki.

    “Tusitoane meno na macho kwa ajili ya Katiba, kwani ikishatengenezwa itawekwa kabatini na viongozi wataendelea kula kuku, umaskini upo palepale, ufisadi upo palepale, alichokisema Rais Jakaya Kikwete ni tahadhari tu, yapo maisha baada ya Katiba,” alisema.

    Kinana alibainisha kuwa wamepata taarifa kuwa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu kutoka upinzani wamedhamiria kuvuruga vikao vya Bunge ili Katiba mpya isipatikane.

    Alisema wajumbe hao wanafanya hivyo baada ya kuona hawawezi kuingiza matakwa yao, kwakuwa wingi wa wajumbe wa CCM unawatisha.

    Katika hatua nyingine, Kinana alisema kuwa ziara yake ya siku nne jijini Dar es Salaam ya kukagua miradi imeonyesha namna CCM ilivyopiga hatua katika utekelezaji wa ilani.

    Alisema kuhusiana na suala la maji alitembelea Ruvu Chini na Juu na kubaini kuwa ifikapo mwaka 2015 asilimia 72 ya wakazi wa Dar es Salaam watapata maji ingawa Wizara ya Maji inakabiliwa na uhaba wa fedha.

    Akizungumzia masuala ya umeme, Kinana alisema anayetaka umeme wa bei nafuu ahamie kijijini, kwani gharama za umeme mijini na vijijini ni tofauti.

    Kuhusu mji mpya wa Kigamboni, alisema kuwa watalizungumza suala hilo ili kulipatia ufumbuzi.

    “Hatujawahi kuona mji mpya unajengwa kwa kuhamisha watu, kama serikali imeamua mbona hawakuuliza wananchi?” alihoji.

    Alisema kuwa matatizo ya walimu yataendelea kutatuliwa ikiwemo serikali kuendelea kujenga nyumba za walimu na kuwapunguzia makali ya ugumu wa maisha.

    Kawa upande wa tatizo la ajira, aliitaka serikali kutafuta mbinu zisizo za kawaida za kutengeneza ajira nyingi zaidi ili watu wengi waajiriwe, hasa watu wa chini kwa kutengeneza viwanda vingi.

    “Watu wanaojiajiri wapewe nafasi, si mgambo kuwasumbua na kuwadai kodi zisizo na msingi, kodi ndogondogo zinasumbua watu na kupoteza muda,” alisema.

    Kuhusiana na tatizo la wizi wa dawa hospitalini, Kinana alisema kuwa serikali imepata suluhisho ambapo dawa zote zitaandikwa Serikali ya Tanzania.

    Kinana alisema ifike mahali matatizo yanayoikabili nchi yatatuliwe, kwani wao kazi yao ni kuisimamia serikali na kuwajibishana pale panapokosewa.

    Naye Mbunge wa Ilala, Idd Zungu, alisema Bunge halikutunga sheria kandamizi kwa bodaboda na wafanyabiashara bali Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini  (Sumatra) ndio waliotunga kanuni kandamizi.

    Posted: 30 Mar 2014 11:04 PM PDT

    ABOUT 2000 TOYOTA CELICA :

    Vehicle Type: Sports Car
    Price: TZS 8,000,000
    Negotiable: Yes
    Kilometers: 130,000
    Transmission: Automatic
    Four Wheel Drive: No
    Vehicle Current Location: In Tanzania
    Import Duty is Paid: Yes
    Date Listed: 29-03-2014

    Its a Toyota Celica, Sport Car , Engine capacity 1800, Its in Dar es Salaam,
    CONTACTS:
    Location: Dar Es Salaam 











    ABOUT 2000 TOYOTA CELICA :

    Vehicle Type: Sports Car
    Price: TZS 8,000,000
    Negotiable: Yes
    Kilometers: 130,000
    Transmission: Automatic
    Four Wheel Drive: No
    Vehicle Current Location: In Tanzania
    Import Duty is Paid: Yes
    Date Listed: 29-03-2014

    Its a Toyota Celica, Sport Car , Engine capacity 1800, Its in Dar es Salaam,
    CONTACTS:
    Location: Dar Es Salaam 

    Udaku Specially

    unread,
    Apr 1, 2014, 4:06:35 PM4/1/14
    to mbara...@googlegroups.com

    Udaku Specially


    UMESHAWAHI JIULIZA BARACK OBAMA ANATUMIA SIMU GANI? CHECK HAPA

    Posted: 01 Apr 2014 09:51 AM PDT

    For the past eight years, the well-connected world leader would use nothing but a BlackBerry to get their email on the move – and it is still Barack Obama’s phone of choice, according to a report published by the UK’s premier newspaper, the Guardian.

    The newspaper says Mr Obama uses a model specially enhanced by the US National Security Agency. But the news earlier this month that the White House Communications Agency is testing other phones, including models by Samsung and LG, sent shivers through fans of the struggling Canadian smartphone company, which has just announced an annual loss of $5.8 billion.

    “For a world leader, security is much more than just having a passcode on your phone; it also means protecting it against attempted incursions from all the amateur and professional hackers, and more importantly spy agencies, who want to know to whom, when, what and where you have been speaking and reading

    “For a country’s leader to have their phone eavesdropped is the ultimate failure of their national spy agency, and a huge loss of face. With enhancements, BlackBerry has been the spy agencies’ phone of choice to guard against that so far. Now, though, Apple and Samsung – the two largest makers of smartphones – are starting to knock on the security services’ doors,” says a report published by the Guardian on Sunday.

    And what if BlackBerry goes away? Though it may have pulled out of a death spiral, BlackBerry’s position as the phone of choice for top executives is less clear – and Apple has been touting (pdf) ever-improving security on its iPhone, which has been edging out BlackBerrys even in financial institutions such as Goldman Sachs, once a redoubt for the keyboard-reliant phones. Yahoo, Pfizer and Halliburton have all said sayonara too.

    As rival devices improve their security, it could only be a matter of time before Apple or Samsung becomes the US leader’s phone – perhaps not during Obama’s presidency, but in his successor’s.

    Though the White House press secretary has insisted that “the executive office of the president is not participating in a pilot programme” to replace Obama’s BlackBerry, it might only be a matter of time – though if Hillary Clinton succeeds him, her well-known affinity for it could extend its survival just a little longer.


    NAMPENDA KWASABABU ANANIGUSA PENYEWE KWENYE KIPELE

    Posted: 01 Apr 2014 09:38 AM PDT

    Nimepatikana mwenzenu, nimekutana na kijana hana adabu hata kidogo, amechukua moyo wangu mzima mzima. Kijana anasura mbaya yani hana hata mvuto ila uwanjani usipime, mambo anayo ni fanyia naogopa hata kusimulia ila kiufupi ni kwamba anaweza ndio mana niko nae. Mhhh Hatari....!

    MAKACHERO WA KAGAME WAKAMATWA DODOMA

    Posted: 01 Apr 2014 09:36 AM PDT

    Mashushushu wanawake wanne raia wa Rwanda wanaoaminika kutumwa na Rais Paul Kagame wamekamatwa mjini Dodoma. Wamekamatwa wakiwa wameshajenga uhusiano wa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi pamoja na wajumbe wa Bunge la Katiba.

    Pamoja nao Rwanda inadaiwa kuingiza makachero wengine wengi ili waungane na wakimbizi wa Kitutsi walioingia hapa nchini katika miaka ya 1958/1959 na mwaka 1994. Habari kutoka vyanzo vya uhakika zinasema wapelelezi wengi wamekuwa wakiingia nchini kupitia Karagwe mkoa wa Kagera, ambako kumeanza kuonekana kama sehemu ya Jamhuri ya Rwanda.

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ya Tanzania imethibitisha kukamatwa kwa makachero wanawaeke wanne raia wa Rwanda, wakijifanya ni makahaba, lakini baada ya uchunguzi imebainika pasi na shaka kwamba ni makachero toka Rwanda. Ukahaba unatumika kama moja ya nyezo adhimu katiak shughuli za ukachero.

    Duru za uchunguzi zimebaini kuwa wanawake hao ni sehemu ya makachero waliotumwa kuichunguza Tanzania, kwa lengo la kulinda maslahi ya Rwanda. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mathias Chikawe, amethibitisha kukamatwa kwa wanawake hao, lakini amekataa kuingia ktika undani wa suala hilo.

    Habari ipo kwa kirefu gazeti la Jamhuri.

    SIMBA WAJUTA KUMFUKUZA KIBADENI...NI BORA MARA MIA KULIKO HUYU KOCHA MZUNGU

    Posted: 01 Apr 2014 09:19 AM PDT

    Dar es Salaam. Kocha Mkuu wa Simba,  Zdavko Logarusic ‘Loga’  ametimiza mechi 10 za Ligi Kuu Bara akiwa amekusanya pointi 12  lakini amezidiwa na Abdalah Kibadeni, ambaye aliinoa na timu  hiyo kwenye mzunguko wa kwanza kwani alikusanya pointi 20 katika idadi hiyo ya mechi.

    Simba ikiwa chini ya Loga tayari imepoteza nafasi ya kuwania nafasi tatu za juu baada ya kufungwa Jumapili iliyopita na Azam 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, hivyo kubaki nafasi ya nne na pointi zake 36.

    Azam inaongoza ligi ikiwa na pointi 53, wakifuatiwa na Yanga (46) na Mbeya City imekamata nafasi ya tatu na pointi 45 wakiiacha Simba kwa tofauti ya pointi tisa wakati zimebakiza michezo mitatu.

    Loga alikabidhiwa jukumu la kuinoa Simba, Desemba mwaka jana baada ya uongozi wa klabu hiyo kumfuta kazi Kibadeni na msaidizi wake Jamhuri Kihwelo kwa madai ya kutoridhishwa na matokeo ya timu yao.

    Wakati huo Simba ilikuwa ikishika nafasi ya nne ikiwa na pointi 24.

    Kibadeni alidumu katika klabu hiyo kwa kipindi kisichozidi miezi sita na kuiongoza kushinda mechi tano, wakitoka sare tano katika michezo 10 kabla ya kufungwa na Azam.

    Mcroatia huyo aliyeanza kibarua chake kwa kishindo kwa kuiongoza Simba kushinda mabao 3-1 dhidi ya Yanga katika mechi ya kirafiki ya `Nani Mtani Jembe’, alishindwa kuhamisha mafanikio hayo katika ligi.

    Tangu Januari 26, mwaka hu, Loga ameiongoza Simba kushinda mechi tatu tu, akitoka sare tatu pamoja na kufungwa mechi nne dhidi ya Mgambo Shooting (1-0),  Coastal Union SC (1-0), JKT Ruvu (2 - 3) na Azam FC 2-1.

     Logarusic alisema: “Nashangaa tunacheza sisi lakini tunafungwa, nafikiri ni kutokuwa makini, tunacheza kwa kufikiria pasi na mashuti,” alilalamika kocha huyo wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya.

    Naye nahodha wa Simba, Nassor Masoud ‘Cholo’ alisema matokeo mabaya waliyoyapata kwenye kipindi hiki ni funzo kwao na sasa wajipange kwa ajili ya msimu ujao.

    Cholo alisema: “Tulichokipata, kinatukumbusha kuwa, duniani kuna kupanda na kushuka, sisi tumeshateleza haina jinsi, tukubaliane tu na matokeo haya.”

    MMMHH...HIII NI KWELI AMA NDIO SIKU YA WAJINGA...ETI DIAMOND NA MAMA YAKE...MHHH

    Posted: 01 Apr 2014 09:09 AM PDT

    Du! Nimekutana na Hii Screen Shot ya Gazeti hilo hapo juuu mpaka it almost made me choke on my water....alafu Baadae nikakumbuka leo ni siku ya wajinga.....Mweeeee

    SHOGA LATISHIA AMANI ZA WANAWAKE KARIAKOO..WANAWAKE WAJIKUSANYA KUMSUTA ILI AACHE KUCHUKUA WAUME ZAO

    Posted: 01 Apr 2014 08:58 AM PDT

    Idara ya Hekaheka leo ina taarifa kuhusu shoga mmoja aliyepo Kariako0 ambaye wanawake wa Kariakoo wamejikusanya mpaka kwa shoga huyo kwenda kumkanya na sababu ni tabia ya kuchukua wanaume wao,ungana na Geah Habibu kwenye Hekaheka hii.
    88.1 Clouds Fm inasikika ukiwa Mwanza.
    Bonyeza play kusikiliza. Credits:Millard ayo

    MLIPUKO WA MABOMU TENA KENYA...SITA WAFARIKI DUNIA

    Posted: 01 Apr 2014 08:53 AM PDT

    Watu sita wamepoteza maisha na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California mtaa wa Eastleig jijini Nairobi.
    Kamanda wa Polisi mjini Nairobi Benson Kibue amesema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha milipuko katika migahawa miwili midogo.
    Mlipuko wa tatu ulitokea katika kituo cha mabasi ya uchukuzi kilichopo karibu na zahanati ya mama na mtoto.
    Miongoni mwa waliojeruhiwa walikuwa ni wanawake waliokuwa wanauza mboga na bidhaa nyingine za rejareja.
    Kwa mujibu wa polisi watu waliouawa walikuwa wamekwama ndani ya mgahawa huo baada ya mlango wa kutoka nje kufungwa  na washambulizi waliorusha bomu ndani.
    Watu hao waliopoteza maisha walikuwa wameenda kununua chakula cha usiku.

    UJANA NA KURUKA RUKA UNA MWISHO HATIMAE BISHOO HEMEDY KUOA HIVI KARIBUNI

    Posted: 01 Apr 2014 08:40 AM PDT

    Mwimbaji Bishoo na Kipenzi cha wadada hapa mjini ...Aka Bongo Hemedy au PHD ametangaza kuwa soon ataoa na huyo kwenye picha ndio ubavu wa rohoo yake ..Humwambii kitu ....kweli Ujana maji ya Moto..Sasa yamepoa....

    So proud to call you my woman…..its official,” ameandika staa huyo wa filamu na muziki kwenye picha inayomuonesha akiwa na mpenzi wake aliyoiweka Facebook.
    -John K

    UBISHOO MWISHO AIRPORT KAMA HUAMINI LOOK AT THIS MZUNGUZ

    Posted: 01 Apr 2014 08:36 AM PDT

    Mzingu akifanya yake.....Hiyo kwa Kiswahili inaitwa Nguna.....aka Ugali....Je kwa Kabila lako ugali unaitwaje?

    KUHUSU TUKIO LA WANA NDUGU 12 KUPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BARABARANI WAKIENDA MSIBANI HUKO KILIMANJARO

    Posted: 01 Apr 2014 01:44 AM PDT

    Lori la mizigo aina ya Fusso likiwa limegongana na  gari ndogo aina ya Toyota Hilux Pick Up katika eneo la Hedaru, wilayani Same, Kilimanjaro, juzi  na kusababisha vifo vya watu 12.

    Mji wa Hedaru uliopo wilayani Same mkoani Kilimanjaro, jana ulizizima kwa vilio na simanzi baada ya waombolezaji 12 wote ndugu, kufariki dunia kwa ajali ya barabarani.

    Waombolezaji hao wanawake, walipewa lifti ya gari na Diwani wa Kata ya Hedaru, Gerard Mgwena (CCM), kwa ajili ya kuwapeleka msibani eneo la Majengo ambako mtu mmoja alifariki kwa kusombwa na maji.
    Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro (RPC), Robert Boaz alithibitisha ajali hiyo akisema ilitokea juzi saa 2:00 usiku na kwamba ilikuwa mbaya zaidi tangu kuanza kwa mwaka 2014.
    “Ni ajali iliyohusisha magari matatu kwa wakati mmoja…; watu 11 walifariki pale pale na mwingine alifariki dunia leo (jana), asubuhi Hospitali ya Rufaa ya KCMC,”alisema Boaz.
    Hata hivyo, alisema hakuwa na nafasi nzuri ya kufafanua kwa undani ajali hiyo kwa vile alikuwa nje ya Mkoa wa Kilimanjaro na kuelekeza atafutwe Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa (RTO), Joseph Mwakabonga.
    Akizungumza kwa niaba ya RPC, Mwakabonga alisema, lori aina ya Mitsubish Fusso lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar liligonga kwa nyuma gari aina ya Toyota Hilux Pick-Up.
    Alisema kuwa baada ya kuligonga gari hilo lililowabeba waombolezaji hao, nalo lilisukumwa na kwenda kuligonga lori aina ya Scania lililokuwa na tela lake.
    Lori hilo aina ya Scania lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Moshi likiendeshwa na dereva wake, Gabriel David. Madareva wawili wa Toyota Pick-Up na Toyota Fusso wote hawajulikani waliko.
    Taarifa zilizopatikana baadaye, zilisema dereva wa Fusso alikuwa amelazwa katika Hospitali ya KCMC, wakati Kigogo wa CCM aliyekuwa amewabeba waombolezaji akilazwa hospitali moja jijini Arusha.
    Mwakabonga aliwataja waliofariki kuwa ni Stella John(45), Salma Kizoka (33), Marry Senzige (49), Neema Daniel (52), Rehema George (29) na Sophia Mbike (51).
    Wengine ni Ritha Kalani (55), Mama Kalani Stephano (55), Kolina Mmatha(55), Bahati Daud(25) na Farida Kiondo mwenye umri wa miaka 25.
    Majeruhi mmoja, Maria John (33) ambaye ni miongoni mwa watu 10 waliojeruhiwa, alifariki dunia jana asubuhi katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikolazwa kwa ajili ya kuokoa maisha yake.
    Kwa mujibu wa watu walioshuhudia ajali hiyo, watu hao walipata ajali hatua 10 kutoka katika eneo ambalo ndugu yao aliosombwa na maji na kufa, ambapo maiti yake iliokotwa eneo hilo.
    Alex Shirima mmoja wa mashuhuda alisimulia kuwa gari la diwani lilikwama kweye tope katikati ya Barabara ya Moshi Dar es Salaam.
    Alisema, kabla ya kushuka kuangalia namna ya kulinasua gari lake, likatokea lori gari aina ya Fuso kwa nyuma ambalo liliigonga gari lake iwani na kulisukuma mita kadhaa mbele ambako lilikutana uso kwa uso na lori lingine aina ya Scania lililokuwa likitokea Dar es Salaam.
    Alisimulia kuwa kutokana na ukubwa wa ajali hiyo, eneo hilo lilitapakaa viungo vya binadamu na damu.
    Shirima ambaye ni dereva aliyefika katika eneo hilo dakika mbili baada ya ajali kutokea, alisema eneo hilo ni hatari kwa madereva kwa kuwa mvua zikinyesha, barabara hujaa maji na matope.
    Hali ilivyo kijijini
    Mmoja wa watoto ambaye mama yake mzazi amefariki katika ajali hiyo, Sebali Mkwizu alisema kuwa kijiji chao kimekumbwa na ukimya na majonzi, huku wakishindwa kuamini kilichotokea.
    Alisema kuwa ajali hiyo imechukua maisha ya ndugu zake wanane na kati ya hao, saba walikuwa wakiishi kijijini hapo kwenye nyumba tofauti zinazofuatana.
    “Nimepoteza mama yangu mzazi, mama mdogo, shemeji zangu watatu, mke wa ndugu yangu na watoto wawili. Hapa nyumba saba zina msiba,” alisema Mkwizu.
    Alibainisha kwamba mazishi ya wanawake hao yanatarajiwa kufanyika leo katika eneo la pamoja kijijini hapo.
    “Tumeambiwa watazikwa eneo moja, lakini bado hatujajua ni sehemu gani, hadi kesho (leo) ndiyo tutapata taarifa kamili,” alisema. 

    LULU KATIKA SKENDO YA KUPORA BWANA WA MTU

    Posted: 01 Apr 2014 01:39 AM PDT

    E LIZABETH Michael ‘Lulu’ anayetesa katika filamu za Kibongo, yupo kwenye bifu zito na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2012, Husna Maulid ambaye anadai amempora bwana’ke.

    Habari zinaeleza bifu lao limefikia hatua ya kuanikana waziwazi hadi kumwagiana matusi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram lakini huondoa majibizano yao machafu kila baada ya muda mfupi.

    Chanzo cha habari hizi kinapasha kuwa ugomvi wa Lulu na Husna ni juu ya mwanaume huyo ambaye anaishi jijini Arusha aliyetajwa kwa jina moja la Seki anayeelezwa kuwa na pesa za kutosha kusumbua mjini. “Hao wanamgombea jamaa fulani wa Arusha, anaitwa Seki, ana mawe (pesa) mbaya.

    Lakini wa kwanza kuwa na Seki ni Husna na Lulu alijua, sema Husna na huyo jamaa walikuwa wanagombana na kumwagana mara kwa mara. Sijui sasa nini kilimfanya Lulu kwenda kutembea tena na huyo jamaa wakati anajua ni wa shoga yake, labda ni baada ya kujua wamemwagana,” kilipasha chanzo hicho.

    Baada ya kupata habari hizi, mwandishi wetu aliwatafuta Lulu na Husna kwa ajili ya kuthibitisha madai hayo. Lulu alikuwa wa kwanza kupatikana ambapo alisema: “Jamani mimi simjui kabisa Husna Maulid wala hata katika fikra zangu hayupo... yaani kifupi simjui.”

    Husna alipopatikana na kuelezwa mkanda mzima, kwanza alishangaa Lulu kutomjua, akasema: “Hakuna mtu asiyejua kuwa Lulu kanipora mwanaume wangu. Lakini anajifanya mjanja, tutaoneshana tu. Anajidai sana, anajifanya wa mjini hanijui mimi, lakini mimi ni wa mjini zaidi yake.”
    GPL

    MASKINI:MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!

    Posted: 01 Apr 2014 01:40 AM PDT

    NI vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokuwa! Mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wa Ubalozi wa Qatar nchini  Tanzania unaoongozwa na Balozi Jassim Mohammed Mubarak Daruwesh.

    Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 26, mwaka huu Jangwani Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo alishambuliwa na mbwa wa kigogo huyo alipokuwa na baba yake jirani na nyumba hiyo ya kupanga yenye nyumba nyingine mbalimbali (apartment).
    MAELEZO KWA UFUPI
    Inaelezwa kuwa, baba wa marehemu pia anaishi kwenye moja ya nyumba hizo akifanya kazi ya kutunza mazingira endapo mpangaji mmoja anahama. Wote wanaoishi humo wanatumia mageti mawili tu, kuingia na kutoka.
    Mama wa mtoto Christian Alex akiwa amezimia wakati mwili wa mwanae unazikwa
    BABA WA MAREHEMU ASIMULIA
    Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi  kwenye msiba uliogubikwa na vilio na simanzi, baba wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Alex, alisema siku ya tukio yeye alikuwa akitoka nje ya nyumba anayoishi katika ‘apartment’ hizo, lakini  ghafla nyuma yake alisikia kelele za mwanaye.
    “Kwa kawaida ili utoke lazima uwe makini, kwanza ujue mbwa wako wapi? Nilipotoka nikiwa nawaangalia walipo, mara nikasikia kelele mtoto wangu analia, nilirudi haraka, nikamkuta mwanangu anashambuliwa na mbwa watatu huku tayari akiwa na majeraha makubwa.
    Mazishi ya Mtoto Christian Alex (6).
    “Ilibidi nimng’ang’anie mtoto ili kumwokoa ambapo pia niliokota jiwe kutaka kuwapiga, wakataka kuondoka lakini wakarudi tena na kumvamia.
    “Hapo ndipo ilikuwa shughuli kwani walimfumua utumbo, wakazinyofoa sehemu zake za siri na kuziingiza midomoni huku kisogoni wakimtia kucha kali mpaka kumtoa ngozi.
    “Wakati kitendo hicho kinaendelea huku nikishuhudia kwa macho, yule balozi akawa anaingia ndani, akawaamuru mbwa wake waache, walitii amri hiyo lakini hali ya mtoto wangu ilikuwa mbaya sana, akawa hasemi wala hapigi kelele tena za kuomba msaada,” alisema baba huyo huku akimwaga machozi. Inauma sana!
    Mtoto Christian Alex  baada ya kujeruhiwa na mbwa wa ubalozi wa Qatar.
    Akaongeza: “Mpaka sasa siamini kilichotokea, nashindwa hata niongee nini, ninachoweza kusema ni kwamba mwanangu Christian nilikuwa nampenda sana kama vile ninavyompenda mwanangu mwingine, Sabina.
    “Nahisi ukiwa baada ya kupoteza mtoto wa kiume niliyekuwa namtegemea. Itanichukua muda mrefu sana kusahau kile nilichokiona kwa macho yangu. Nimeshuhudia mwanangu akishambuliwa na wala sikusimuliwa na mtu.”
    Mazishi yakiendelea.
    KUMBE TAHADHARI ILITOLEWA
    Baba anaendelea kusimuliza: “Kinachoniuma zaidi ni kwamba, nilishatoa angalizo tangu mwanzoni wakati huyu bwana anahamia kwenye nyumba hii. Nilimwambia mwenye nyumba  amwambie huyu awajengee banda  mbwa wake lakini wakapuuzia.”
    ADAKTARI WALIVYOSEMA
    Baadhi ya majirani walifika eneo la tukio na kukuta sakata hilo limefikia hatua ya mbwa kutii amri ya bosi wao na kurudi kwenye maskani yao.
    Walimchukua mtoto huyo na kumkimbiza kwenye Hospitali ya IMTU iliyopo Mbezi, Dar  ambapo madaktari walisema alishafariki dunia kitambo.
    VILIO VYATAWALA 
    Baada ya kuzinyaka taarifa hizo, haraka mwandishi wetu alifika eneo la tukio muda mfupi baada ya mtoto huyo kupelekwa hospitali na kushuhudia vilio vikitawala kwa kila jirani aliyepata taarifa za kifo hicho cha kusikitisha.
    MAJIRANI WASIMULIA
    Wakionesha jinsi walivyoumizwa na tukio hilo, baadhi ya majirani walisimulia jinsi mbwa hao wanavyowatishia amani katika nyumba hiyo ambapo tangu kigogo huyo ahamie ndani ya nyumba hiyo wamekuwa watu wa kujifungia siku nzima wakihofia mbwa hao wakali.
    “Jamani huyu mtoto kafa kifo kibaya sana, mbaya zaidi mbwa hawa wamekuwa tishio kiasi cha watu kushindwa kufanya shughuli zao za kila siku.
    “Mbwa huwa hawafungiwi kwenye banda, labda ingekuwa hivyo wasingefanya hivi,” alisema jirani mmoja huku akilia bila kikomo.
    POLISI WALIVYOFANYA
    Paparazi wetu alipojaribu kuingia ndani na kwenda kuongea na balozi huyo, askari waliodaiwa ni wa Kituo cha Polisi Kawe jijini Dar walitia ngumu huku ikidaiwa kuwa maelezo waliyoyaandika ni mmiliki wa mbwa kuwa mzembe kwa kuwaachia mbwa kudhuru binadamu.
    MAMA MZAZI AZIMIA
    Maria Mvile, mama mzazi wa marehemu Christian kwa sasa yupo katika hali mbaya tangu mkasa wa kushambuliwa mwanaye na mbwa hao utokee ambapo amekuwa akizimia mara kwa mara.
    Mwandishi wetu alimshuhudia mama huyo akishindwa kuweka shada la maua katika kaburi la mwanaye kwa kuanguka na kuzimia.
    MAZIKO
    Safari ya mwisho ya mtoto Christian ilifanyika kwenye Makaburi ya Mburahati, Dar es Salaam ikitanguliwa na misa iliyosomwa na Katekista wa Kanisa Katoliki Mburahati, Owen Hokororo.
    Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Camillius Wambura amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kukiri kuwa ni nyumbani kwa balozi wa Qatar nchini.
    Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
    GPL

    PATA BREAKING NEWS NA HABARI ZA MASTAA KUTOKA UDAKU SPECIAL KWA KUPITIA SIMU YAKO

    Posted: 01 Apr 2014 01:30 AM PDT


    Jiunge na UDAKU SPECIAL BREAKING NEWS Kupata Habari Mbali Mbali za Mastaa Kwenye Simu yako kwa Kutuma Neno "UDAKU" Kwenda Namba 15678 ...Fanya sasa Hivi Usipitwe...
    Note:Mitandao yote

    MCHUNGAJI MTIKILA ADAI AMEZUIWA KUCHANGIA BUNGENI

    Posted: 01 Apr 2014 01:24 AM PDT

    Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

    Hata hivyo, Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahaya Khamis Hamad alisema kuwa taarifa hiyo kwake ni mpya na haamini kuwa jambo hilo lipo.

    “Hili kwangu ni jipya na sidhani kuwa linawezekana na lipo,” alisema Hamad.

    Awali Mtikila aliliambia gazeti hili kuwa amepewa barua hiyo Jumatano iliyopita, ikiwa ni majibu ya barua yake aliyoandikia ofisi hiyo ya Bunge kutaka ufafanuzi wa kile alichoeleza kuwa amekuwa akinyimwa haki ya kuchangia bungeni.

    “Nilianza kuhisi baada ya kuona kuwa nanyimwa kuchangia, nikaandika barua kuomba maelezo kwa nini ninakosa nafasi ya kuchangia bungeni,” alisema Mtikila na kuongeza;

    “Lakini juzi nilipokea barua kutoka kwa Katibu wa Bunge ikinikataza kuchangia tena bungeni kutokana na statement (taarifa) zangu za kukosewa kwa mchakato.”

    Alisema kuwa alipomuuliza katibu kulikoni akatazwe kuchangia katika Bunge hilo alijibiwa kuwa ni maagizo kutoka kwa mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta.

    Mchungaji Mtikila alisema kutokana na katazo hilo atamwona Sitta ili amfafanulie tatizo lake.

    “Hii imeniathiri sana mimi. Bunge hili limepotoka wanachoangalia ni masilahi yao na si ya nchi,” alisema.

    Alisema mchakato wote umekosewa kwa kuwaweka wabunge na wawakilishi kuwa sehemu ya Bunge badala ya wananchi kuchagua wajumbe wa Bunge hilo.

    “Hakuna nchi yoyote ambayo imefanya hivyo, wanaharibu mabilioni ya fedha ambayo hayataleta Katiba yenye uhalali yoyote,” alisema.

    Alisema endapo Sitta atashindwa kutatua jambo hilo anakusudia kuunganisha katika ushahidi wake kwenye kesi inayopinga mchakato wa Katiba.
    Reply all
    Reply to author
    Forward
    0 new messages