Udaku Specially

221 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Sep 29, 2014, 4:33:09 PM9/29/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Sugu amwagana na Mke wake…Mwanamke Afunguka Mazito

Posted: 29 Sep 2014 12:09 PM PDT


Mwigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu …

Kupiia Instagram, Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema.

Wema Sepetu 'Watu Wenye Majungu Hawanisumbui Kichwa Kabisa Nabaki Nawatazama Tu'

Posted: 29 Sep 2014 07:30 AM PDT

Stori: Mayasa Mariwata
MADAMUUU! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amecharuka na kudai anachukizwa kwa kiasi kikubwa na wasanii ambao wanapenda kumfanyia majungu kutokana na chuki zao binafsi.

Akipiga stori na paparazi wetu, Madam alisema anajua wapo wengi wanaomchukia kutokana na sababu zisizo za msingi kwa kudai kuwa anaringa na vyovyote vile wanavyojadili lakini hajali kwa kuwa hakuna ukweli wowote.

“Watu wenye majungu hawanisumbui kichwa kabisa nabaki nawatazama tu, sababu sina maringo wala majivuno kwa mtu yeyote, sasa cha ajabu wengine wanasema naringa, kwa staili hiyo hatutafika mbali maana wasanii wa nchi za wenzetu wana umoja hawana mambo ya aina hiyo,” alisema Wema.

Sitta: Nyaraka Zinazosomwa Makanisani Kuhusu Bunge la Katiba ni za Kipuuzi

Posted: 29 Sep 2014 07:19 AM PDT

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Amber Rose Alimfumania Wiz Khalifa Saa Nane Usiku, Wiz Asema Alifanya Makusudi

Posted: 29 Sep 2014 07:15 AM PDT

Uamuzi wa Amber Rose kutaka kutalakiana na mumewe Wiz Khalifa ulizua maswali mengi huku ‘uchepukaji’ ukitajwa kuwa chanzo cha yote.

Lakini kwa mujibu wa TMZ, Amber Rose alichukua uamuzi huo baada ya kumfumania Wiz Khalifa akiwa na mwanamke mwingine nyumbani kwake majira ya saa nane usiku.

Taarifa hizo zimeunganishwa na tweet ya Amber Rose inayoeleza kuwa anaendelea kulikumbuka tukio hilo.

Hata hivyo chanzo cha karibu na Wiz Khalifa kiliieleza TMZ kuwa rapper huyo aliwaambia kuwa alifanya makusudi kwa kuwa hataki tena kuendelea kuwa mume wa Amber Rose.

“I just didn't want to be married to her anymore.” Chanzo hicho kimemkariri Wiz Khalifa.

Inaelezwa kuwa hii ni moja kati ya sababu zilizomfanya Wiz Khalifa kutopinga uamuzi wa Amber Rose kudai talaka yake.

Taarifa za awali zilieleza kuwa Amber Rose na Nick Cannon walianzisha uhusiano wa mapenzi na kuwala kisogo Wiz na Mariah Carey lakini wote walikanusha taarifa hizo.

TCRA Yaanza Kuwashughulikia Wanaotumia Vibaya Mitandao ya Kijamii

Posted: 29 Sep 2014 07:10 AM PDT

Mamlaka  ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kuwakumbusha wananchi  kutumia njia ya mawasiliano ipasavyo ili kujijengea heshima kwani kwa sasa hatua kali za kisheria zimeanza kuchukuliwa kwa wale wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na Times fm,  Meneja mawasiliano wa  (TCRA) Inocent Mungy amesema kuwa ipo haja kwa wasichana kujiheshimu kwani picha nyingi mbaya zinazoonekana kwenye mitandao hiyo  ni zao.

Naye Mkuu wa kitengo cha masuala ya watumiaji wa mitandao Isack Mruma amesema watu wanapaswa kuelewa matumizi  sahihi ya mitandao na lazima kuwe na usiri wa akaunti za mitandao ili kuweza kuepukana na matatizo ya usambazaji wa picha mbaya kwenye mitandao hiyo.

Obama:Tumekadiria Vibaya Nguvu za Wanamgambo wa Kiislam wa IS

Posted: 29 Sep 2014 07:03 AM PDT

Rais Obama amekiri katika televishen ya kitaifa kuwa Mashirika ya Marekani yalikosea katika kukadiria hatari ya wapiganaji wa dola ya kiislam, Islamic State nchini Iraq na Syria.
Amesema kuwa wapiganaji hao wenye uhusiano na Al Qaeda walitumia fursa ya kutokuwepo serikali thabiti nchini Syria na kuongezewa nguvu zaidi na vijana waliojiunga kupigania jihadi kutoka mataifa mengine.
Hata hivyo Obama amesema wapiganaji hao waliwahi kuvurumishwa huko Iraq na majeshi ya nchi yake yakishirikiana na kabila la Sunni.
Obama amekiri vyombo vya Ujasusi vya Marekani zilikadiria vibaya uwezo wa majeshi ya Iraq kupambana na wapiganaji wa kiislamu ambao wameteka maeneo mengi nchini humo.

Ndoa ni DIRECT VISA To Hell Kama Ukiichukulia Poa, Ni Heri Usioe ama Kuolewa Kama Humaanishi

Posted: 29 Sep 2014 06:56 AM PDT

Kila mtu anataka Kuolewa lakini shida ni Vigezo vya Waoaji vikoje??Kila siku vigezo vinabadilika..Sasa hivi unaangaliwa sana uwezo wako wa mfukoni kabla hujaambiwa NDIO...Hela imekuwa ndo GREEN LIGHT,ukiwa hohehahe basi utazungushwa wee na utaambiwa kila siku,"IAM NOT READY FOR MARRIAGE"
Kuna watu wametoswa kisa Wallet hazisomi na ukashangaa wameolewa na watu kisa WANA HELA..
Hela ingekuwa kila kitu AMBER ROSE na WIZ KHALIFA wasingeachana..Wana kila kitu wale...
Hela ingekuwa jawabu NICK CANNON na MARIAH CAREY wasingeachana...
Hela ingekuwa kila kitu JASON DERULLO na JORDIN SPARKS wangekuwa happily married lakini Wapi...
Raha ya ndoa itoke Moyoni...Mpendane kwa jinsi mlivyo...Mpendane kwa hali yoyote mliyonayo na muelewane..
Kuna watu kula kwao ni kwa mbinde lakini ndoa yao ina amani na furaha mwaka wa 20 huu...Kuna watu wana kila kitu,Magari,Mashamba,Viwanja,Akaunti zilizonona lakini hata miaka 3 wameshindwa kufikisha...Wamekuwa WATALAKA VIJANA...
Ndoa ni DIRECT VISA to Hell kama ukiichukulia poa,ni heri Usioe ama kuolewa kama humaanishi...Maana ukiachana na mwenza wako ndani ya miaka 3 hiyo miaka mingine yoooteee UNAZINI TU...Mbingu utaisikia kwenye kipindi cha JAHAZI tu...
Jifunze kwa Wajane na Watalaka...Jua unachotamani na UJIPANGE!

By Seth

Anashinda Whatsapp Masaa Yote, Ila Nashindwa Kumbwaga

Posted: 29 Sep 2014 02:47 AM PDT

Huyu dada nimemfahamu miaka mitatu iliyopita.

Ni mwanasheria kwenye firm fulani jijini Dar, nilikuwa nina mpango wa kumuoa haraka, ila mmoja wa marafiki zake wa karibu aliniambia nijitahidi kumfahamu kwanza kabla sijaamua kumuoa nadhani alihisi kitu.

Kufahamiana naye kwa muda tukaishia kupata mtoto mmoja wa kike ambaye sasa ana miaka miwili.

Ni mwanamke mzuri sana, ni gumzo kila anapopita au kufanya kazi, hata nilitaka nitoane macho na patina mmoja wa firm yake. 

Kwa kweli anaita kila jicho ana mengi mazuri, lakini pia ana mapungufu yaliyonipigisha breki kali juu ya tope.

Kwa sasa anaishi na wazazi wake, lakini mara nyingi saba tunalala kwangu. Nafahamika kwao kama mzazi mwenza, kwetu pia kaskazini wanamtambua.

Amekuwa ni mwepesi sana wa kupata marafiki wa kiume, ana hasira za karibu, kujiachiachia sana kwa wanaume imekuwa sehemu ya maisha yake, yeye anadai si wapenzi wake. Wanataniana tu hii ni moja ya sababu iliyonizuia kumuoa.

Nilihisi kama hajiheshimu.hayuko tayari kuishi kama mke wa mtu nikadhani nimwache kwanza ale maisha wakati nami nakula taratibu ingawa nahofu ya magonjwa.

Simu zake sijawahi ziona hata mara moja zikiita kwa sauti toka nimfahamu.anashinda watsapp 24/7. 

Facebook kwake ni kama oxgen, kila siku anaongeza wanaume, viber anatumiwa mioyo na mikisi ya wanaume, linkedin pia hayuko mbali.

Nahisi kweli atakuwa ananipenda, lakini kwa hayo nashindwa kuji commit, ila bahati mbaya nashindwa hata kumuacha, hasa ukizingatia nina mtoto naye. 

Yaani sijui nifanyeje, nimbwage.

Naona sio waifu matirio.

Ataniua jamani.

Tibaigana Aibuka na Kusema 'Wapinzani Wana Haki kuandamana'

Posted: 29 Sep 2014 02:35 AM PDT

Katika mahojiano maalumu na gazeti hili nyumbani kwake Buganguzi wilayani Muleba, Kamishna Tibaigana alisema suala la maandamano halikumsumbua kwa kuwa alielewa kuwa sheria inayaruhusu, hivyo alichokuwa akifanya ni kuwaita viongozi wa vyama vinavyotaka kuandamana na kufanya nao makubaliano ya namna maandamano hayo yanavyopaswa yafanywe kabla ya kuyaruhusu.

“Pengine hiyo ndiyo sababu sikuwahi kushambuliwa kwa maneno ya kejeli au matusi na wanasiasa kwa kuwa sikuwahi kuzuia maandamano yao bila sababu na hata kama kulikuwa na sababu niliwaita na kuwaeleza na tulikubaliana.

“Kikubwa ni kujenga tabia ya kuwaita viongozi wa waandamanaji na kujadiliana nao, vinginevyo wanaweza pia hata kukufikisha mahakamani wakipinga kuzuiwa maandamano yao,” alisema Tibaigana ambaye alikumbana na sakata la kudai maandamano wakati akiwa Kamanda kwenye mikoa ya Tanga, Arusha na Dar es Salaam.

“Nilikuwa nawaita viongozi nakaa nao tunakubaliana. Hata kama ningeambiwa na kiongozi gani nisitoe kibali, kama hakuna sababu za kweli, nilikataa kwa kuwa kisheria mimi ndiye nawajibika kama vyama vikishtaki. Ili uzuie maandamano unapaswa kuwa na sababu za msingi ambazo ukiwaeleza waandamanaji wanakuelewa.”

TBS: Wananchi Acheni Kununua Nguo za Mitumba

Posted: 29 Sep 2014 02:30 AM PDT

Shirika la Viwango (TBS) limewataka wananchi kutonunua nguo za ndani za mtumba ili kuua soko la bidhaa hizo zenye athari kiafya.

Kaimu mkurugenzi anayehusika na udhibiti ubora wa TBS, Mary Meela alisema nguo hizo ni hatari kwani zinaweza kueneza magonjwa mbalimbali hasa ya ngozi.

Alisema lengo la ombi hilo ni kukomesha uuzaji wa nguo hizo ambazo zinaweza kusababisha maambukizi kutoka kwa aliyekuwa anavaa nguo hiyo kwenda kwa mtu wa pili.

Meela alisema shirika lake linashindwa kukomesha biashara hiyo kwa sababu halijapewa nguvu za kisheria kukataza watu kufanya biashara hiyo kama ilivyo Zanzibar, hivyo amewataka wananchi kutambua madhara hayo na kuacha kununua.

“Nguo za ndani zina bei ndogo hata mtu wa chini anaweza kumudu. Sioni sababu ya mtu kwenda kununua za mtumba,” alisema.

Tuzo aliyojipa H.Baba ‘Mtumbuizaji Bora’ ni diss kwa Diamond Platnumz?

Posted: 29 Sep 2014 02:19 AM PDT

Pamoja na H.Baba kuwahi kudai kuwa hana tena beef na Diamond Platnumz, kuna kila ishara kuwa mafahari hao wawili bado hawawezi kukaa kwenye zizi moja. Kama umesahau, wacha tukukumbushe; Wasanii hao wawili wamewahi kuingia kwenye beef zito baada ya H.Baba kumtuhumu Diamond amemuibia wimbo wake ‘Sitaki Kulewa’.

So, Jumamosi iliyopita, H.Baba na mke wake, Flora Mvungi waliandaa tuzo zao wenyewe ambazo tofauti na vile wengi wanavyodhani, tuzo hizo zilikuwa serious kabisa kwa kuhusisha watu muhimu kwenye tasnia ya burudani Tanzania, waandishi wa habari na pia kutolewa trophy na fedha taslimu kwa washindi.

H.Baba alijipa tuzo ya ‘Mtumbuizaji Bora’ na tunafahamu kuwa Diamond Platnumz ni mshindi wa kipengele cha ‘Mtumbuizaji bora wa kiume wa muziki’ kwenye tuzo za KTMA 2013. H.Baba anataka title yake kutoka kwa Diamond?

Haya ni maneno aliyosema wakati akipokea tuzo hiyo:

Tuzo hii hapa ni ya mtumbuizaji bora Tanzania,” alisema muimbaji huyo. “Mimi nina tuzo ya East Africa mtumbuizaji bora, Tanzania sina hata tuzo moja kwa sababu ya nini nimeshatangaza naanzisha hii tuzo kwa akili timamu na wala sivuti bangi. Mimi sivuti sigara wala sinywi pombe, kama kuna msanii anaona hii tuzo sio halali yangu mimi ajitokeze. Promota yoyote ajitokeze huyo msanii alipwe pesa mimi nita- perform bure na awadhihirishie watanzania kwamba yeye ni mkali ya stage Tanzania.

Kama ananizidi mimi, promota amlipe yeye ila mimi kama H.Baba nitaperform bure na nitakuja peke yangu na yeye inatakiwa aje peke yake. Kwa sababu kuna Kiswahili fasaha ambacho kinakosewa kuna neno linaitwa mtumbuizaji bora na kuna watumbuizaji bora. Mimi ni mtumbuizaji bora, wengine ni watumbuizaji bora. Kwanini nasema watumbuizaji bora kwa sababu msanii yeye mwenyewe hajiwezi mpaka awe na watu wakucheza naye, ila mimi binafsi najiweza kwa sababu mimi mwenyewe ninaweza fanya kazi na ikaeleweka.

Ndiyo maana ya hii tuzo niliyopata leo. Ninaowatambua walikuwa watumbuizaji na ninawaheshimu mpaka leo nawataja watu wawili, kuna Mr Nice kuna TID (Top In Dar ) hao ndo watu wanaweza kusimama kwenye show na kuburudisha na watu wakasema asante.

Muuguzi Anusurika Kushambuliwa Chumba cha Operesheni Baada ya Kumzalisha Mwanamke Watoto Wakiwa Wamekufa

Posted: 29 Sep 2014 12:30 AM PDT

Muuguzi wa Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga, Yasinta Thomas, amenusurika kushambuliwa na wananchi wakati akimhudumia binti wa miaka 15 (jina linahifadhiwa), aliyekuwa mjamzito wa miezi sita na kisha kujifungua kabla ya muda watoto mapacha waliokufa.

Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk. Fredrick Mlekwa, jana alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 12 jioni wakati binti huyo alipofikishwa hospitali hapo akitokea katika Kituo cha Afya cha Kambarage, mjini Shinyanga.

“Tulimfanyia uchunguzi na kugundua alikuwa na mimba ya mapacha lakini wakiwa tayari wamefia tumboni, hivyo muuguzi wa zamu katika wodi ya wazazi alianza kumhudumia ili kuwatoa watoto hao tumboni” alisema.

Alisema wakati muuguzi wa zamu akiendelea na zoezi hilo, mama mzazi wa binti huyo aliingia chumba cha kuzalishia na kumkuta mwanae ametolewa viumbe mfu na kuanza kupiga kelele na kumfokea muuguzi huyo kwa matusi hali iliyosababisha vurugu na wananchi kujaa kutaka kumshambulia muuguzi huyo kwa madai amesababisha vifo vya mapacha hao.

Mlekwa alisema watoto hao walikuwa na uzito wa gramu 200 na 500 na ujauzito huo wa miezi sita uliharibika mapema na kulazimika kuwatoa watoto hao kwa upasuaji mdogo ili kuokoa maisha ya binti huyo.

Mama mzazi wa binti huyo, Mwanahamisi Juma, mkazi wa mtaa wa Mshikamano mjini Shinyanga, alisema mwanaye ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mwasele, mjini humo, alishindwa kuhudumiwa kutokana na muuguzi huyo kuonekana bize akichati na simu.

“Nilipoingia katika chumba cha kuzalishia nilimkuta mwanangu anajifungua watoto hao huku muuguzi akichati na simu na kutompa msaada wowote unaohitajika, hivyo kuamua kumfokea kwa hasira,” alisema Mwanahamisi.

Hata hivyo, muuguzi huyo, Yasinta, alisema wakati binti huyo anajifungua watoto walikuwa tayari wamekufa hivyo aliamua kuwapigia wenzake simu ili wamsaidie na ghafla alivamiwa na mama huyo na kuanza kuporomoshewa matusi hadi Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo alipoingilia kati na kuokoa.

Skirt Fupi Maofisini Zinapunguza Ufanisi wa Kazi kwa Wanaume

Posted: 29 Sep 2014 12:15 AM PDT

Moja kwa moja nianze kuwaomba dada zangu ambao wanatuvalia vimini ofisini punguzeni au acheni jamani wengine tuna mioyo ya udongo kwa sababu mnapofanya kazi na sisi halafu karibia mapaja yote yapo nje jamani mnatufanya tufanye kazi ambazo hazina ufanisi maana mnatunyima concentration jamani vaeni basi sketi ndefu au kusema sketi fupi inaendana na mambo ya ofisini.
Jamani acheni wengine jamani tuna mioyo ya petroli.

Gari Mpya Aina ya Toyota Passo 2005 Inauzwa Kwa Bei Nafuu, Haijatumika Bongo Ndio Imefika Kutoka Japan

Posted: 29 Sep 2014 12:05 AM PDT




Toyota passo 2005
990cc very economy
Vvti engine
Metallic light blue
Just arrived
Call/whatsapp +255768570703

Ray C sasa Ataka Kuolewa na Mzee, Ataki Viserengeti Boys

Posted: 29 Sep 2014 12:02 AM PDT

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Utu uzima dawa! Staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amefunguka kuwa kwa sasa hana mpenzi wala hajapata mtu wa kumuoa ila anataka kuolewa na mzee atakayeweza kumlea.

Akizugumza na wanahabari wetu kwenye mgahawa wake wa Ray C uliopo Mwananyamala, Dar, mwanadada huyo alisema yeye kama mwanamke anatamani kuolewa na kupata mtoto si na ‘serengeti boy’ bali mzee.

Aliendelea kutiririka kwamba akikosa wa kumuoa atatafuta mwanaume atamlipa kwa ajili ya kuzaa naye tu lakini ni pale atakapokuwa anaweza kulea  mwenyewe.

Ray C aliongeza kuwa, kwa sasa anatafuta wadhamini kwa ajili ya kuendesha taasisi yake ya Ray C Foundation kwani amefanikiwa kuwasaidia watu wengi kupata kazi na kuachana na dawa za kulevya.
GPL

Picha za Model Maarufu Bongo Calisa Akiwa na Miss Sinza Wakiwa Kitandani zavuja Mitandaoni

Posted: 28 Sep 2014 11:58 PM PDT

Stori: Gladness Mallya
KABAANG! Miss Sinza 2001 na aliyekuwa pia mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amenaswa akiwa kimalovee laivu kitandani na modo maarufu Bongo aliyejulikana kwa jina moja la Calisa.

Picha hizo ambazo zinamuonesha Husna na Calisa wakiwa wamekumbatiana zimevuja kiitelejensia na kumfikia paparazi wetu kisha akawauliza kulikoni?  Ni wapenzi?

“Siyo kweli sina uhusiano na Calisa, sina boyfriend na sitaki mwanaume kwa sasa, Calisa ni rafiki yangu tu,” alijibu Husna huku Calisa akijibu:

“He hebu ngoja kwanza nitakupigia, hizo picha kaleta nani?”
GPL

Rose Ndauka na Mchumba Wake Malick Waachana Baada ya Kuishi Kama Mume na Mke Kwa Miaka Mitatu

Posted: 28 Sep 2014 11:43 PM PDT

Stori: Imelda Mtema
Ooh…nooo! Wachumba wa muda mrefu, staa wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka na Malick Bandawe ambao maisha yao ya kimapenzi yamekuwa yakitawaliwa na msuguano wa chini kwa chini, hatimaye wameachana, Ijumaa Wikienda linakupa mkanda mzima.

TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini na cha uhakika kimemwaga data kwamba wachumba hao ambao walivalishana pete kwa mbwembwe miaka mitatu iliyopita huku wakipika na kupakua lakini wamekuwa katika mzozo wa muda mrefu wa kifamilia, ambapo mara kadhaa wameripotiwa kuchapana wameachana.
“Unajua hawa jamaa wamekuwa na maisha ya kutoaminiana sana, nadhani wivu ndiyo sababu kubwa, lakini naona safari hii hali imekuwa mbaya zaidi kwa sababu Rose  ameamua kubeba kilicho chake na kuondoka kwa mwenzake,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:

“Hiyo ndiyo habari ya mjini, bidada karudi kwao (Kigogo, Dar) na mwanaye. Ilikuwa ni lazima ndoa isiwepo kwani licha ya kupata mtoto hakukuwa na furaha hata kidogo.”

TATIZO NI NINI?
Ingawa chanzo hicho hakikuweza kuingia kwa undani kuhusu tatizo hasa lililotokea safari hii, lakini kilibainisha kwamba kabla ya tukio la sasa, mzozo mwingine mkubwa uliibuka kati yao.
“Kuna kipindi hali ilikuwa tete sana, Malick akaamua kuchukua mabegi yake na kutokomea kusikojulikana ambako alikaa kwa muda wa kama wiki mbili.

“Haikujulikana alikuwa wapi kwa muda wote huo, lakini baadaye tukamuona jamaa anarudi na maisha yao yakaendelea.

NDOTO YA NDOA YAYEYUKA
“Lakini wakati bado mambo hayajatulia, kumeibuka tatizo lingine kubwa ambalo limesababisha Rose kuamua kuondoka huku ndoto ya ndoa ikiyeyuka,” kilisema chanzo hicho.

VIPI KUHUSU MTOTO?
Katika mtafaruku huo, Malick alikataa katakata mtoto wake kuondoka na mama yake, lakini kutokana na umri wa mwaka mmoja wa kijana wao huyo, Naveen, alilazimika kuondoka na mama yake kwa vile bado ananyonya.

Rose, mmoja kati ya waigizaji warembo wa filamu Bongo, inasemekana kwamba yupo nyumbani kwa wazazi wake, Kigogo kutoka kwa mchumba wake, anayeishi Tandale, Tanesco jijini Dar.

IJUMAA WIKIENDA MZIGONI
Baada ya kunyetishiwa ‘ubuyu’ huo, Ijumaa Wikienda lilizama mzigoni ambapo stepu ya kwanza ilikuwa ni nyumbani walikokuwa wakiishi wapenzi ambapo hawakuwepo.

JIRANI ANASEMAJE?
Akizungumza na gazeti hili juu ya kuondoka kwa Rose nyumbani hapo, mmoja wa majirani zake aliyejitambulisha kwa jina moja la Sudi alikuwa na haya ya kusema:
“Rose Ndauka ana muda hatumuoni kama miezi sasa lakini ‘mista’ tunamuonaona labda kama amehama ‘but’ sina uhakika sana.”

ROSE VIPI?
Katika kutafuta ukweli alitafutwa Rose kila kona baada ya simu yake ya kiganjani kutokuwa hewani lakini jitihada ziligonga mwamba hivyo zinaendelea.

Mchumba mtu, Malick alipoulizwa juu ya ukweli wa sakata hilo, alikiri kutokea na kwamba baada ya jitihada zake nyingi za kulinusuru penzi lao kushindikana, amekubali matokeo.
“Nimejitahidi sana kumwelewesha Rose ili apate kunielewa, ajue namna ya maisha yalivyo, lakini imekuwa ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Nimekubali yaishe.

“Kinachonisikitisha sana ni kuona kuwa mwanangu anakwenda kulelewa na mwanaume mwingine, inauma sana tena sana,” alisema bila kufafanua maana ya kauli hiyo.
Katika uchumba wao mrefu, Rose na Malick wamejaliwa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Naveen.

Gari Mpya Toyota Porte ya 2005 Inauzwa Kwa Bei Poa, Ndio Imefika Haijatumika Tanzania

Posted: 28 Sep 2014 11:21 PM PDT

Toyota Porte 2005
1290cc
Vvti engine
88000km
Metallic black
Just arrived From Japan
Call/whatsapp +255768570703

Jinsi ya Kusign Out Kwenye Google Play Kwa Wale Wenye Simu za Android Kama Unataka Kumuuzia Simu Mtu Mwingine

Posted: 28 Sep 2014 11:16 PM PDT

Kumekuwa na Malalamishi Mengi Sana kwenye Hizi Simu za Anroid Pale Unapotaka Kumuuzia ama Kumpa Simu Mtu Mwingine Kwani kutumia hizo simu ni Lazima Uwe Umesign in kwenye Google Play  kwa kutumia e-mail yako ya Gmail ..Sasa kuna kitu kimoja ambacho kinawashinda wengi ni Kusign Out ama kutoka kwenye hiyo Google Play Pale unapokuwa Unataka Kumpa Mtu Mwingine Simu ili asiweze kuona mambo yako, Hii Imepelekea Siri za Watu wengi Kuvuja ikiwemo message za Whats app na E-mail ulizozifanyia Back up kusomwa na watu wengine

Haya Hizi ni Steps Ambazo Unaweza Fanya..Sorry Zipo Kwenye Kidhungu:

Sign Out Using Your Android Settings:

Generally there is no place found in Google Play Store to sign out while using on Android. So, by using this method you can simply sign out from Google Play Store in your Android device. You can simply do it by removing your existing account from Google Play. Read the following steps to know how –

Open Settings in your Android Device and Navigate to Accounts & Sync. Now Tap on the account you want to remove


When you tap on your Google account, you’ll see a screen for Data & Synchronization. Here on the right top corner, you’ll see a drop down button as shown in Picture below. So, tap on it and select Remove account.
That’s all! After removing your account from here, you will be unable to log in to your Google account. Further if you want to log in to your account for any reason like to install any app, then you can again add the same account and then you can simply sing in

Picha: Samaki Mwingine Aina ya Nyangumi Aonekana Ufukweni Pemba, Wananchi Wachangamkia Nyama

Posted: 28 Sep 2014 10:59 PM PDT

Wananchi wakikata minufo ya Nyangumi aliyeangukia katika ufukwe wa bahari ya Pemba maeneo ya shamiani, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hizo.

Wafanyakazi wa Uvuvi pemba wakimpima Nyangumi aliyeonekana Pemba akiwa ameanguka ufukwe wa bahari wa shamiani.

Mtuhumiwa Auawa kwa Kuchomwa Moto Baada ya Kushindwa Kujieleza

Posted: 28 Sep 2014 10:54 PM PDT

MTU mmoja mwenye umri kati ya miaka 25 na 30 ambaye jina lake halifahamiki, ameuawa baada ya kushindwa kujieleza juu ya pikipiki ambayo yeye na mwenzake walikuwa wanajaribu kuiuza Chalinze.

Watu hao walifika Chalinze wakidai kutokea Gairo wakitaka kuuza pikipiki aina ya Toyo yenye namba za usajili T 336 BZC.

Lakini walipobanwa kuhusu kadi ya pikipiki walibabaika na hivyo kuanza kupigwa ambapo mmoja alitoroka na huyo mwingine kuuawa kwa kuchomwa moto baada ya kipigo.

Tukio hilo limethibitishwa na kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Athuman Mwambalaswa.

Kamanda huyo alisema kwamba tukio hilo lilitokea Septemba 25 mwaka huu, majira ya saa 1 asubuhi eneo la Pera Chalinze wilaya ya Bagamoyo.

Kamanda huyo aliwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwani ni kinyume cha sheria na kuwataka kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria, ikiwa ni pamoja na polisi ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

Wiz Khalifa Azungumzia Kufumaniwa Na Amber Rose.

Posted: 28 Sep 2014 10:49 PM PDT

Rapper Wiz Khalifa amesema aliachana na mke wake Amber Rose kabla hajaomba talaka yake.
Wiz Khalifa amezungumza haya baada ya Amber kusema kuwa Wiz alikuwa na wanawake wengine, Wiz amesema ni kweli Amber alinikuta na mwanamke ndani ya nyumba saa nane usiku ila tulisha achana kwahiyo sikuwa namsaliti. Wiz aliendelea kusema kuwa amehamia nyumba yake nyingine ila Amber alizidi kumfuatilia. Wiz Khalifa bado anaamini Nick Cannon anamahusiano na Amber Rose.

Birthday ya Wema Jana: Diamond Amnunulia Gari Jipya Kama Zawadi ya Birthday

Posted: 28 Sep 2014 10:22 PM PDT

Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.

Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.

“Nlitama nikupe vingi, wenda ingenisaidia kueleza ni kias gani napenda nikuone ukifurahi kwenye siku yako hii ya kuzaliwa…lakini tu sina uwezo huo mumy… tafadhari pokea kidogo hichi nlichojaaliwa leo….” Huku akionesha gari hilo pichani
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 20 West Kinzie, Chicago IL USA 60610

Udaku Specially

unread,
Sep 30, 2014, 4:50:33 PM9/30/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Kenya Yapaa Kiuchumi na Kuwa Katika Nchi za Uchumi wa Kati

Posted: 30 Sep 2014 11:08 AM PDT

Kenya imezidi kuimarika ki uchumi na kujikuta inahama kutoka nchi maskini na kuwekwa kundi la nchi zenye uchumi wa kati duniani na hivo kujikuta inakuwa miongoni mwa nchi 4 zeneye uchumi imara kusini mwa jangwa la sahara.
Saurce BBC.

Tabia za Wasichana wa Tanzania Kulingana na Makabila Yao

Posted: 30 Sep 2014 11:06 AM PDT

1.WASUKUMA:
Hawa ni madem tuseme tu blackbeauty yaani mademu wana ngozi smooth ya kupendeza sana lakini niweusi kama mkaa but mimi huwapendea one thing. Demu msukuma akikupenda amekupenda for real ("Eti" walivyo mabwegge washaanza kusmile aaaiii..!) Hawa ni mademu hawapendi usafi, sufuria ya kupika chakula ndio wanaoshea nguo ndio wanaogea .na pia kufulia chupi zao. Figure ni nzuri sana sauti poa kama ya rihana lakini tabia ni mbovu.

2.WARANGI
Hawa ni mademu wengine wasupuu sana yaani hawa ndio mungu alicopy paste the real image yake akawapa yaani mademu wameiva poa, rangi ya mtume figure nzuri lakini ni wafupi, shida moja tu, wao ni washamba sana wamelogewa kazi za bar.

3.WABENA
Mademu wana sura middle body, figure nzuri lakini ngozi ngumu kama ya ngamia shida ingine ni kuiga iga kama wachina ushamba nao ni asili yao asipofanya kazi ya ndani kwake maisha ni bado.

4.WACHAGA
Hawa ni madem wanajua maisha ni nini yaani madem wako na bidii sana lakini shida ni wezi!!! sura wako poa sana,body figure aina shape yaani yao wengi ni flat screen na pia ziko shapeless.

5.WANYAKYUSA
Hawa ni mademu wana tabia nzuri yaani mademu watulivu but shida ni sura aipo sura haiko, body na figure iko D ni watu wako hardworking sana ushamba pia upo kwa wingi hupenda Kujivunia kuwa washamba.

6.WAZARAMO
Tunajua nyinyi mnajua kupika poa sana, watoto wazuri wameiva lakini matusi yanashinda akili zenu na uvivu yaani demu ameiva lakini akikutusi unafeel tu kumlima makofi kazi yao kubwa kupaka rangi kucha.

7.WAZIGUA
Mademu wasupuu kama mtoto wa Kagame figure poa lakini shida ni kimbelembele na makelele sjui ni nani aliwafunza kulia kisanii kwenye misiba pia mna hasira za kishenzi na utoto mwingi na kujiona eti mnajuuuwa, kumbe hewa tu.

Asante na matusi nishazoea ila ukweli tutawaeleza tu.

Hizi Ni Sababu Kuu Tano Kwanini Lowassa Anafaa Kuwa Rais 2015

Posted: 30 Sep 2014 11:01 AM PDT

Maisha ya watanzania yamekua magumu mno,sasa sukari ipo juu ikiwa ardhi na mabonde kama ruvu mtibwa na kageara tunayo, umeme usio wa uhakika wakati gesi ya mtwara na RUBADA, madawa hakuna hospitalini, viongozi wanatuziba masikio kwa vizungumkuti vya ESCROW huku madawati hakuna shuleni, vitendo vya kihalifu vimejaa kila kona watu wakisaka ridhiki kwa nguvu, tumaini la katiba mpya ni kizunguzungu kiasi kutuacha wakiwa Zaidi sisi masikini wakitanzania, huku tukijengewa chuki na serikali na watawala kwa upenyo wakushuka uzalendo na kiasi cha kusema watu kuikimbia nchi kwa vijana ni kawaida kutafuta maisha ughaibuni na kusema hii nchi sasa si ile ya NYERERE bali ni ya watawala makatili mno. Lakini kwa muktadha ule ule wa kidemokrasia ambao hata rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tatu Mh. Benjamin Mkapa aliyasema pale alipo chagiza kabla kuteuliwa Dk Jakaya Kikwete ndani ya CCM kuwa achaguliwe mgombea ambaye vijana na wapiga kura wengi wanamtaka kitu ambacho kilipelekea Dk. Kikwete kushinda kwa kishindo ndani ya chama na hata katika uchaguzi mkuu 2005. Sasa zifuatazo ni sababu ambazo Lowassa atapitishwa kugombea URAIS kwani wanachama na watanzania wanamuhitaji.


1.MRITHI SAHIHI WA MWL. NYERERE KATIKA VITA DHIDI YA UJINGA

Edward Lowassa ni mwana siasa Pekee ambae ndani ya CCM,anaefaham Vission ya Mwalimu Nyerere 1961 Mwalimu alitangaza maadui watatu (1)Ujinga (2)Maradhi (3) Umasikini. Mwalimu katika miaka yake 24 alisimamia swala moja Elimu ya Kujigetemea na baada ya kuondoka mfumo huu uliharibika,Ili kupambana na Adui hao Mwalimu alianzisha Vijiji vya Ujamaa,msingi hapa ili kuongea Uzalishaji,huduma ya afya na Shule, akajenga shule za msingi katika kila kijiji. Mwaka 2005 Edward Lowassa aliamua kufufua upya utekelezaji wa Dira ya Mwalimu nayo ni kuwekeza kwenye Elimu na Kupambana na maadui 3.Alisimamia Ujenzi wa Miundo Mbinu ya Elimu kila kata( sekondari),Kupanua elimu ya Chuo Kikuu, Kusukuma Ujenzi wa vyuo vya kada ya kati (Veta) ili kujenga Kada la kati ya wataalam wa Ufundi mbali mbali, Kupanua Vyuo vya Ualimu ili kuziba pengo la upungufu wa waalim,mambo haya hayana tofauti mapambano alianzisha Mwl Nyerere baada ya uhuru kupambana na maadui watatu. Elimu imekua Agenda kuu ya Edward lowassa,Anaamini katika hilo Jambo kuwa msingi wa kupambana na Umasikini,Elimu itasaidia Uzalishaji,Elimu Itapambana na Maradhi,Elimu Itaondoa Ujinga miongoni mwa Jamii yetu, hii ni sababu pekee itakayo ifanya CCM kumpitisha kurudisha taswira ya chama.


2. MAAMUZI MAGUMU NA MAKINI KATIKA UONGOZI

Kwa kipindi kirefu sasa ndani ya nchi yetu tuna tatizo la maamuzi katika utekelezaji wa sera za serikali, viongozi wamekuwa wazito mno kutekeleza makubaliano ya vikao vyao wakiogopana au hata rushwa kutawala miongoni mwao hivyo kushindwa kutekeleza maamuzi hayo. Edward Lowassa ni kiongozi ambaye kwa kipindi chake alicho kuwa madarakani ameonyesha kuwa si kigeugeu kwa maana ya kwamba mara zote ambazo baraza la mawaziri katika vikao vyake vya ndani walipo fika makubaliano yeye alitekeleza, Utekelezaji wa ujenzi wa chuo kikuu Dodoma. Taarifa za ndani za viongozi zilionyesha ugumu mno wa utekelezaji wa sera hii ya chama, Lowassa ilifikia hatua kuwaeleza viongozi mbalimbali waandamizi katika ngazi za maamuzi na utekelezaji kama yeyote anaona ujenzi wa chuo kile hauwezekani aandike barua ya kujiuzulu na akabidhi kwake ampatie Rais Dk.Jakaya Kikwete, kitu ambacho kiliongeza ujasiri wa utekelezaji wa sera na sasa tunaona watoto wa masikini wakipata elimu. Alivunja mkataba wa city water, mkataba ambao ulifanya serikali kushtakiwa lakini na hata kuleta nafuu katika upatikanaji wa majia ndani ya jiji la dar es salaam pia bila kusahau alivunja mkataba wa kimataifa katika usambazaji wa maji kanda ya ziwa kitu kilicho mfanya mpaka aogepeke na jumuia za kimataifa akiwa anatetea haki ya Mtazania kwa hakika ni mzalendo na mtu pekee ndani ya CCM hii ya DK. Jakaya na Kinana anaefaa kuipeleka dira ya taifa mbele.

3. MPAMBANAJI ALIAZIMIA KUFUTA UMASIKINI

Lowassa ni Mwana siasa Pekee ndani ya CCM ambae Anaamini UMASIKINI si sifaa bora kwa Mtanzania kujisifia,Umasikini si Sifa ya Kiongozi,Umasikini unaendana na udhalilishaji na Ujinga na Maradhi,ni mwana Siasa pekee ambae hasifiii umasikini kwani ni vita katika vita kuu za taifa hili tangu tunapata uhuru. Hii imekuwa hulka ya viongozi kadhaa hasa wabunge wetu hutuhadaa wakisema tuwape ridhaa ya kutuongoza kwa sababu wao ni masikini wenzetu, siasa sasa ya leo na kimataifa imebadilika mno tukiangalia mataifa makubwa hata madogo , viongozi ni wale wenye majibu sahihi katika kuufuta umasikini na si kujisifia kuwa wewe ni masikini tukupe ridhaa tena ridhaa ambayo utahakikisha kujinufaisha wewe na famia yako kwanza, na CCM sasa inataka kujenga uchumi imara uchumi ambao utafuta umasikini kwa kumpa Mtanzania Elimu, kuimarisha miundombinu na kufungua biashara tujifunze haya toka Kenya waungwana.Pia ni miongoni mwa sababu zinazo wavutia wana CCM kumpa ridhaa ya kupeperusha bendera.

4.ANAPENDWA NA WATANZANIA WOTE NA WANAMUHITAJI

Ni mtu ambaye ana mvuto mkubwa kwa watanzania na ana sifa ya kuwa muadilifu, mtendaji mzuri, mbunifu, huheshimu mawazo ya wengine, anaijua Tanzania, Mfuatiliaji wa kazi, anatabia ya kuwapa watu matumaini Mpambanaji (fighter) na anaheshimika kikanda na kimataifa. Ni Mtanzania pekee anayependwa na kukubalika Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar ndani na nje ya chama chake. Ni mtu ambaye ana Aura ya aina yake na huleta matumaini unapokaa naye na kusikiliza.Ni kweli kabisa..Edward Lowassa (is the chosen one) kaatika uhai wa siasa ya chama chochote inatakiwa kuwa na gombea anaye uzika, anayekubalika na ambaye ni tumaini la mahitaji wananchi husika, Lowassa amekidhi vigezo vyote na hakika anafaa ndani ya CCM na ndio chaguo sahihi kama chama kinahitaji uhai wa muda mrefu.

5.KIONGOZI ALIYEPITIA MENGI NA ANAYEIJUA NCHI.

Lowassa ni kiongozi alie pitia mengi kama rais wa awamu ya pili alhajj Ali Hassan Mwinyi kufikia hatua ya kujiuzulu na kuwajibika kama kiongozi ambaye anjua fika maadili ya kiongozi wa umma, Lowassa amengia katika mfumo wa chama na serikali tangu mwaka 1977 ambapo imepita miaka Zaidi ya 30 akipambana na shida na mahitaji ya watanzania, mwenyekujua nini Watanzania wanahitaji, mtu ambaye amepitia mengi na kuwa na ufahamu wa kutosha wa serikali na chama chake kiasi cha kufanya kuwa kiongozi pekee kwa sasa anayekijua chama na serikali. Chama cha Mapinduzi kimekosa mtu mwenye sifa hizi mtu ambaye amepitia mikiki mikiki ya kina katika kuwatetea wananchi, kiongozi ambaye amepambana mpaka na mahafidhina ndani ya chama na kiongozi ambae si rahisi kumpelekesha, kiongozi huyu ameweza kuwa adui mkubwa wa mahafidhina kwa sababu hana si ya woga dhidi yao, hawafumbii macho na naweza sema huyu ni kama TAKUKURU kwa mahafidhina sababu hafumbii macho machafu.

MWISHO.
Watanzania tunahitaji kiongozi ambae atakuwa mrithi sahihi wa serikali ya awamu ya tatu, mtu ambae atatuongoza katika kukabiliana na mahitaji yetu yaani nini watu wa namanyere, uvinza nantumbo na Tanzania kwa ujumla nini wanataka, Mtu ambaye atakuwa msikivu na mpambanaji wa mahitaji yetu , nashauri wote kwa pamoja tuwajadili watu wanaoweza kuiongoza nchi yetu bila kejeli, matusi au woga na aina yeyote ya kufumbia macho machafu , kuukuza uzalendo ni pamoja na kuukana woga wa kivuli chako. MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Mkasi TV yamuhoji Gardner G. Habash… Aliyoyaongea ni Pamoja na Haya.

Posted: 30 Sep 2014 10:55 AM PDT

Mtangazaji Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.
Wakati huu ambapo kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi, show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata nafasi Exclusive ya kuongea nae.
Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya sentensi alizoziongea Captain G kwenye Mkasi on EATV.

Kwanza alianza kwa kuongelea jinsi alivyoingia kufanya kazi Redioni huku akimkumbuka Othman Njaidi aliemchukua na kumpeleka CloudsFM sio kama mtangazaji bali akajiunge na timu ya Marketing, akakutanishwa na Ruge Mutahaba aliekua General Manager wakati huo ambae alipoisikia tu lafudhi ya Gardner akasema huyu anafaa kuwa mtangazaji.

Staa aliefurahi baada ya kukutana nae ni D’Banj wa Nigeria, alifurahia uchangamfu wake…
Salama alipomuuliza kuhusu uhodari wake wa kutangaza habari za mastaa wa dunia… Captain G. akasema ‘nilikua nanunua majarida kwenye maduka yanayouza majarida kutoka nje, wakati Internet hamna kulikua na majarida mengi kidogo’

‘Mimi ni mchaga kabisa wa Baba na Mama lakini Wazazi wangu walihamia Tanga zamani alafu mimi nimezaliwa Ngamiani pale Hospitali na tukaishi Chumbageni muda mrefu kwa hiyo nilipata lafudhi ya Tanga pale, na hiyohiyo lafudhi ya Tanga ndio iliyonipa kazi kwenye Radio’

Salama akamuuliza ‘Unajisikiaje ukisikia mtu anatangaza kama wewe‘ >> Gardner akajibu ‘kuna baadhi ya watu kusema ukweli wanachukizwa sana na hicho kitu na wananilalamikia sana kwamba kuna Watangazaji wengi wamekua wanakuiga kwenye kutangaza Redioni na kwenye kutengeneza jingle kama za kwako lakini mimi nimeiona ni baraka kwangu, kama watu wamekupenda kiasi kwamba wanakuiga ni jambo la kufurahisha kwangu mimi linanifurahisha sana’

Kuhusu kitu kilichomfanya akaondoka kwenye Radio, Captain amesema ‘Nilifanya kazi miaka 9 akili ikawa imechoka nikafikiria lazima pia nifanye biashara watu wanakusifia kwamba una uhodari flani kwa hiyo unajipa challenge kwanini nisitengeneze kitu changu, ndio tukafungua biashara za chakula lakini zaidi nilikua nataka kupumzika’

Swali jingine kutoka kwa Salama likawa ‘nasikia kuna stori kwamba hivi karibuni pia unaweza kurudi kule ama ukaenda sehemu nyingine‘ Captain G. akajibu >>> ‘ni mmoja kati ya hao wawili, stori ni ya ukweli ndio maana naondoka, nimemaliza mkataba nimepata ofa nyingine kubwa naichukua’

Swali jingine lililokua linasubiriwa ni hili alilouliza Salama >> ‘kuna stori mtaani kwamba wewe na Lady Jaydee mmeachana’  Gardner akajibu ‘mimi sijawahi kupata interview muda mrefu sana… nadhani hii inaweza kuwa interview yangu ya kwanza, kwahiyo nilikua nataka nikuombe tuongee kuhusu mimi kwanza manake tukizungumzia kuhusu JayDee nitafunikwa hapa’

Pic of The Day: Mwanamuziki Recho Katika Pozi Ofisini

Posted: 30 Sep 2014 06:55 AM PDT

Mwanamuziki Recho Katika Pozi Ofisini, Haikuweza Kufahamika ni Ofisi gani ila Mazingira yanaonesha ni ofisi fulani...Kivazi hicho Jamani Chanimalizaaa

Kuachana kwa Jason Derulo na Jordin Sparks Kwamfanya Lulu Asiamini ‘Mapenzi’ Tena!

Posted: 30 Sep 2014 04:13 AM PDT

Kama uliumizwa au kushangazwa na kuachana kwa Jason Derulo na Jordin Sparks, basi hauko peke yake.

Elizabeth Michael aka Lulu, ni mmoja wa watu waliomuizwa na kuvunjika kwa uhusiano wa wanamuziki hao wa Marekani ambao kwa wengi walionekana kupenda sana. “Guys u broke my heart too, I dnt believe in love n relations anymore, Ths pipo wr sooo in love…wat happened..!!?,” aliandika Lulu kwenye picha ya wapenzi hao aliyoiweka kwenye Instagram.

Wakati ambapo Jordin Sparks bado hajazungumza chochote kuhusu taarifa za kuachana kwao, muimbaji huyo wa ‘Wiggle’ amezungumza tena kukanusha tetesi kuwa alimsaliti mpenzi wake.

“Though I think it is a private matter and intended to keep my break-up Jordin personal, due to bogus and irresponsible lies being reported by insensitive media outlets it became necessary for me to comment,” Jason aliiambia ABC News Sept. 26.

“I spent three great years with Jordin and she is one of the most amazing people that I have ever met. But as in all relationships there are ups and downs and at this time we have decided to amicably part,” he said, echoing an earlier statement he made on Minneapolis radio station KDWB, claiming that “everything is cool” and that their breakup was not “a bad situation. Infidelity, cheating or deceit played no part in our relationship or our break-up, and I hope that people respect our privacy as we move forward with our lives.”

Je Unaipenda Facebook ? Mtandao Pinzani Umezinduliwa , Waja kwa Kasi ya Ajabu

Posted: 30 Sep 2014 04:04 AM PDT

Mtandao wa kijamii wa Ello unapokea maombi 31,000 ya watumiaji wanaotaka kujiunga kila saa moja hali ambayo inaibua ushindani mkubwa kwa mtandao wa Facebook.
Muanzilishi wa mtandao huo Paul Budnitz ameiambia BBC kuwa wakati mtandao huo unaazishwa ulilenga watu kuhudumia marafiki 90 tu.
Mtandao huu kwa mjibu wa muanzilishi umeanzishwa August mwaka huu ukiwa ambapo hauna gharama yoyote kwa mtumiaji iwe matangazo ama kulipia data.
Hata hivyo baadhi ya watumiaji wameubatiza kwa jina la Anti-Facebook mtandao huo, wakimaanisha kwamba ndiye mpinzani mkubwa wa Facebook.
Baadhi ya wataalam wa masuala ya kimitandao wamekosoa mfumo wa Ello kutotoza gharama yoyote wakidai kuwa katika siku za usoni huenda mtandao wa Ello utalazimika kutoza kiasi kidogo cha fedha kwa watumiaji wake.
Paul Budnitz mtengenezaji wa baiskel za kampuni ya Vermont ameiambia BBC kuwa wapo imara katika ushindani wa kimitandao na kujigamba kuwa ana wataalamu wa kutosha kukabiliana na makampuni pinzania.
Hata hivyo kuhusiana na baadhi ya watu kuuiita kwa jinala bandia la anti-Facebook mtandao huo yeye amesema wanajiendesha kama mtandao wenye mtazamo wake binafsi na si kutegemea mtazamo wa mtandao wa Facebook.

Video: Irene Uwoya na Mwigizaji Rich Wapigana Denda Live Live

Posted: 30 Sep 2014 03:43 AM PDT

Kama mpenzi wako ana ndoto za kuwa muigizaji wa filamu za hapa Tanzania, huenda ukabadilisha mawazo yako ukiona video hii ya Irene Uwoya na Single Mtambalike aka Rich wakibadilishana mate kwenye scene ya filamu yao mpya.

Mchungaji TB Joshua Kushtakiwa na Serekali ya Nigeria Baada ya Jengo Lake Kuanguka na Kuuwa Watu 115

Posted: 30 Sep 2014 12:05 AM PDT

Serekali ya Nigeria Imesema Inaanzisha Uchunguzi wa Kina Kujua sababu za Jengo la Hotel ya Mchungaji TB Joshua Ambapo Waumini wake ufikia lililo anguka Tarehe 12 September na kuuwa zaidi ya watu 115, Source zimesema ikiwa itakuwa ni uzembe wa TB Joshua basi atashitakiwa kutoka na Sheria za Nchi hiyo

Ile Video ya Izzo B ya Walala Hoi Iliyofanywa Kwa Mil 1.3 Hii Hapa, Embu Linganisha Hii na Zile za Mil 40

Posted: 29 Sep 2014 11:58 PM PDT

Week iliyopita Izzo B alifunguka Gharama za Video yake ya Wimbo wa Walala Hoi kwa Kusema Ameifanya kwa Milioni moja na Laki Tatu Pale kwa Director Nick Dizzo ...Sasa Embu Angalia Hii Video Alafu Uniambie Kama kweli Kuna Ulazima wa Kwenda Nje Kufanya Video za Milion 40.

Audio yake imefanywa na mikono ya producer Dupy kutoka Uprise Music navideo imeafanywa na Director Nick Dizzo ambaye ameshiriki kuongoza video kadhaa ikiwemo ya Nishike Mkono ya D Knob, My baby ya Quick Rocker.

Ninaachika Kila Mara Kwasababu ya Msimamo Wangu wa Kutokufanya Mapenzi Mpaka Siku ya Ndoa..Ushauri Pliz

Posted: 29 Sep 2014 11:39 PM PDT

Mpenzi wangu ambaye nimedumu naye kwa mwaka mmoja leo amenitamkia kuwa hawezi kuendelea kuwa na uhusiano na mimi, amesema ameshndwa kuvumilia kuwa na mpenz bila kufanya S3X.

Amesema hawezi kunifanya pambo awe ananiangalia tu, lakn wakat tunaanza uhusiano alinikubalia kuwa hatufanya S3X mpaka tukifunga ndoa lakini leo amenigeuka. Nimelia saaana toka asubuh mpk asahv lakn naona haina maana, NAOMBEN ushaur wenu jaman nimrudie nikubal kuS3X nae au? 

Manake mpaka leo tayari nimeshaachika kwa wanaume kama wanne yote chanzo ni S3X, sasa nitaachika mpaka lini? Manake inavyoonyesha ni kwamba wanaume hawawezi kukaa na mwanamke bila ku-s3x kama atakwambia yupo tayari kukaa na wewe hivyohivyo huwa wanakuwa na wanawake wengine wa nje wanao s3x nao.

Nilishaurini jamani, nimwambie nipo tayari ku-s3x nae au niachane nae tu? Ukweli nampenda sana .

Mchungaji Aliyewalisha Waumini Majani Aja na Mpya..Sasa Awaponya Wagonjwa kwa Kuwakanyaga Kanyaga

Posted: 29 Sep 2014 11:29 PM PDT

Yule Pastor Mwenye Vituko Vingi Kutoka South Afrika anayejulikana kwa jina la Lesego Daniel amekuja na Mpya baada ya kuwalisha majani waumini na kubadilisha petrol kuwa Juice ya Apple , Sasa eti anawaponya Waumini wake ambao wanasumbuliwa na magonjwa kwa kuwakanyaga migongoni...Angali Picha Hapo Juu

Zawadi ya Gari Aliyopewa Wema Sepetu Siku ya Kuzaliwa Yaleta Kizazaa, Wadada Wamjini Wamecharuka

Posted: 29 Sep 2014 11:17 PM PDT

Juzi ilikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Mrembo Wema Sepetu, Kitu kilichovuta Hisia za Watu wengi ni zawadi ya Gari aliyopewa Wema Sepetu kutoka kwa Mpenzi wake Diamond Platnumz...Inasemekana huko mjini wadada wamechachamaa hawataki tena zawadi mchwara za maua , visimu ama saaa siku za sikukuu zao za kuzaliwa nao wanataka magari nao kutoka kwa Maboifriend zao.

Hili ni Tamko la Umoja huo wa Magelofurendi :

Masheikh Wakiislam Nao Waikataa Rasimu ya Sitta

Posted: 29 Sep 2014 11:01 PM PDT

SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.

Hatua hiyo imekuja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, kuiweka kando Mahakama ya Kadhi.

Akizungumza na MTANZANIA jana mara baada ya kumalizika kikao cha maimamu wa 

nchi nzima, Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba, alisema hatua ya kupiga kura ya hapana ni moja ya azimio lililoafikiwa na kikao hicho.

“Msimamo wetu kwa asilimia 100 ni hapana, hatuungi mkono, tunalaani vikali jinsi mchakato huu wa Katiba ulivyovurundwa kwa sababu maoni ya Waislamu hayakuzingatiwa.

“Leo (jana) tulikuwa na kikao kilichojumuisha maimamu wote kutoka Tanzania na msimamo wetu katika hilo ni hapana,” alisema Sheikh Katimba.

Udaku Specially

unread,
Oct 1, 2014, 4:09:37 PM10/1/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Chenge: Asilimia 75 ya mapendekezo ya Katiba Mpya ni ya Tume

Posted: 01 Oct 2014 06:53 AM PDT

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge la Katiba, Andrew Chenge amesema Katiba inayopendekezwa imebeba asilimia 75 ya maudhui ya Rasimu ya iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Chenge alitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma alipokuwa akihitimisha michango ya hoja za wajumbe wa Bunge hilo na kamati waliyoitoa wakati wa kuhakiki Rasimu ya Katiba hiyo.

“Bunge hili limeboresha Rasimu ya Katiba vizuri sana. Rasimu hii imebeba asilimia 75 ya maudhui ya Rasimu ya Tume ya Jaji Warioba (Joseph) na nyie wajumbe mmeboresha kwa asilimia 25 tu,” alisema Chenge.

Chenge, ambaye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), aliwataka wajumbe na wananchi wasidanganywe na tafsiri zinazotolewa pembeni baada ya Mahakama kutoa hukumu yake.

Katika hukumu iliyotokana na kesi iliyofunguliwa na mwandishi wa habari, Saed Kubenea, Mahakama ilitamka kuwa Bunge la Katiba lina mamlaka ya kuboresha na kurekebisha rasimu ya Tume.

“Maoni ya wananchi yamezingatiwa kwa kiwango cha juu sana na matumaini ya Watanzania juu ya Katiba hii ni makubwa. Mambo yao yanayowagusa yamezingatiwa,” alisema.

Clouds FM Wamshindwa Kumtumia Diamond Kwenye Show zao za Fiesta

Posted: 01 Oct 2014 03:15 AM PDT

Wakati wasanii wakibongo kwa ujumla wao wakihangaika na shoo za Fiesta msimu huu, Diamond ameendelea kujidhihilisha kwamba ni msaanii mkubwa sana kiasi cha jamaa wa Clouds Entertainments kushidwa kumtumia vilivyo mwaka huu kwenye show zao!

Ieleweke kwamba kipindi hiki huwa ni cha neema kwa wasanii nyumbani ambao wengine hufikia kuomba angalau tu wapate fursa japo tu ya kupanda jukwaani kuonana na mashabiki.

Diamond kwa kipindi kirefu sasa amekuwa ni msanii wa Tanzania mwenye show nyingi sana nje ya nchi kiasi kwamba imeshindikana kumbakisha hapa nyumbani kushiriki show za hapa. 

Pamoja na upizani mkubwa mno naoupata kijana ameendelea kukomaa na kujenga heshima hata kwa wale ambao bado walikuwa wabishi kumkubali Diamond.

Tunachoweza kusema kwa sasa ni kumtakia mafanikio mema na aendelee kufanya haya mapinduzi makubwa kabisa kimuziki wa Tanzania. Keep it up Diamond.

Alikiba Yuko Wapi..Team Kiba Mko Wapi Mbona Kimya ?

Posted: 01 Oct 2014 03:04 AM PDT

Jamani wale Team Alikiba vipi tena mbona Kimya, Hatumsikii Kabisa Kiba Tena si mlisema Amerudi Upya Kukufuta Kiti chake Mavumbi na Kukikalia
Habari ya mwana imeishia wapi?
Tupeni Update yupo wapi? Show Wapi? Anapanga kufly kwenda kufanya show nchi ipi na ipi?

Eti jamani vitu kama hivyo, hata kama ni Udaku wa uongo nyie tuleteeni tuu Tumpe Kick, acheni kumdrop down mtu wenu Jamani.


Pozi za Picha za Director Mkubwa wa Video Bongo Zaleta Utata Huko Instagram..

Posted: 01 Oct 2014 03:00 AM PDT

Haya mambo ya instagram sasa sijui ndo coming out the closet au ndo tunaenda sambamba na kina lulu kwa mwendo wa WCW wtva! Jack Wolper upo hapo? Ma selfie hayooo. innanilah......koh!

Soma Comments za Jamii Forums Hapa: Jamii Forums

Shikamoo Wasanii wa Bongo, Naomba Mnijibu Maswali Yangu

Posted: 01 Oct 2014 02:47 AM PDT

1.Mimi nashindwa kuwaelewa kabisa, Hivi ni kweli nyie ni mambo safi? Yaani hela mnazo za kutosha au wanawazushia?
2.Hivi ni kweli zile picha za uchi ninazo ziona kwenye mitandao ya kijamii na magazeti ni kweli au wanawasingizia?
3.Hizo nyumba ninazosikia mnajenga, wengine nasikia wanasema wananyumba nne, je ni kweli ni zenu au ni za kuzugia kibongobongo ili maisha yaende? Kama ni zenu kwanini bado mnakaa nyumba za kupanga?


4.Samahani kwa maswali yangu, nia yangu ni kutaka kutoamini watu wanayo yasema.
Kuna watu nliona na kuhakikisha wanayo yafanya ni kweli Mfano, Mhogo mchungu na Kingwendu wana nyumba kule Mbagala, Ney wa Mitego ana nyumba, Masanja joti na Mpoki, vengu, wakuvwanga wananyumba japo bado baadhi yao hawajamalizia, Madee anagari na kashanipa lifti.


Lady jay dee ana nyumba ana range ana kampuni, Juma nature ana nyumba na benz, Matonya alijengewa nabarabuu japo yeye kamalizia so ni nyumba yake ipo Tanga, Prof.Jay ana nyumba kimara na gari Mbili. Marehemu Kanumba alikua na gari, Ray wa bongo movie ana gari na Mke(chuchu hans) wanaishi pamoja sijajua kama kaoa kihalali sababu huyu mwanamke alikua mke wa mtu.


Dully sykes aka Mr Misifa anamiliki nyumba Tabata ana gari aina Honda anamiriki studio pia(Dhahabu records). Afande Sele kajenga Morogoro.

Ndugu zangu Wasanii, Kuna baadhi yenu sijui wanachokifanya.

1.Diamond nasikia ana hela yaani utajiri unao karibia billion, Kanunua Mtaa Kijitonyama Makumbusho, ana nyumba nne. Hivi haya maneno ni kweli?
Mfano juzi kati alipiga picha kwamba Kanunua V8 kumbe gari ni ya Papa Chifu Kiumbe.

Diamond ana nyumba nne lakini Mbona Mama yake Hamhamishi Pale Tandale Kila siku ya Mafuriko maji yanaingi Ndani?. Kaka Diamond anasema anahela na wasanii wengine lakini Mbona bado amepanga? Kwanini Hajakamilisha nyumba japo moja tu ahamie?

Diamond anasema ana hela, Mbona wacheza show wake Wanaishi Maisha ya dhiki kiasi kwamba kwenda makwao wanaenda kwa kujificha. Wacheza show wapo nane, kwenye hiyo billion ameshindwa kutoa hata mil 50 japo awanunulie magari used?. Anazidiwa na Nyandu tozi anayesomesha Ndugu zake sekondari karibia watoto sita.

Kaka diamond anasema Kanunua Mtaa Makumbusho, Mbona mbona akienda kwa Wema gari anapaki nje?

2.Wema Sepetu sidhani kama kweli Mambo safi, ananitia Mashaka kwa sababu Mara ya kwanza alisema amejenga nyumba Kijitonyama kumbe nyumba ni ya Mama Ngoma Mwisho wa siku akahama na sasa yupo Makumbusho. Siku za nyuma alidanganya Kanunu Gari aina ya AUDI na akawa nanipita eti hi figganigga lakini Mwisho wa siku Akaja kunyang'anywa pale Maeneo ya Namanga na Kampuni ya Majemba sababu gari ilikua ya Kaka CK(Clement huyu anayetembea na Kajala) na alikua hajamaliza kuilipia alipoinunua. Yani ile Gari Clement akua hajamaliza deni kwa mtu aliyemuuzia. Baada ya Kunyan'ganywa Diamond akasema atamnunulia V8. Hadi leo sijaona V8.

Kama Wema na Diamond wangekua na Hela wangeshindwa kulipia kipindi chao cha IN MY SHOES cha channel 5 hadi kimefungwa na Wanadaiwa bado. Kweli wana hela?

Nimetaja hawa baadhi sababu ndio Habari ya Mjini. Naomba Mniondoe ushamba wangu jamani, Hizi hela zenu wasanii Mnaosema Mnahela, Mmeziweka wapi? Au ni kipi cha maana Ambacho mumefanya. Sioni chochote zaidi ya kununua vinywaji, nguo, kuazima Magari, Majungu na Umbea. Naomba mnifafanulie hela zilipo.

Ingependeza Mtu aishi maisha yake kama Anavyo fanya B12. B12 Angarau anajitahidi ana duka pale Mwenge japo wateja sasa wamepungua sababu ya kuhamisha kituo cha basi lakini Maisha kapiga bao. Hana nyodo anatoa hai kwa washikaji. Nia yangu ujirudi kwa sababu umri unaenda na dogo kashaanza shule.

Nyie Bongo Movie Hela zenu zipo wapi? Watu wanashindwa hata kuwasaidia sababu wanajua Mnahela kumbe weupe.
Nawapenda Sana ndugu zangu. Mia

Written By figganigga Via JF

Aliyemchapa Raila Odinga Bakora za Matako Ashitakiwa

Posted: 01 Oct 2014 02:27 AM PDT

MWANAMUME aliyemshambulia kiongozi wa Cord, Raila Odinga na Gavana wa Jimbo la Kwale, Salim Mvurya ameshtakiwa juzi katika mahakama ya Kwale nchini Kenya.Bwana Lengo Karisa Mudzomba (40), alishtakiwa mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi wa Kwale, Christine Njagi kwa kuwashambulia viongozi hao wawili na kuvuruga mkutano wao katika soko la Kinango Jumatatu ya Septemba 29, mwaka huu. Baadaye mtuhumiwa aliachiliwa kwa dhamana.

Bw Mdzomba alikiri mashtaka hayo na kuomba mahakama impe muda wa kuomba msamaha kutoka kwa wanasiasa hao. “Nimekubali mashtaka dhidi yangu ila naomba mahakama hii inipe muda wa kuomba msamaha kwani kosa si kosa ila kurudia kosa ndiyo kosa,” alisema Lengo.

Mtuhumiwa huyo alidai atahitaji muda wa wiki mbili kufanya hivyo akisema familia yake iko mbali.

Kiongozi wa mashtaka George Mungai alikubali ombi hilo akisema litatoa fursa kwa waathiriwa kujitokeza.

Mahakama iliamua kutaja kesi hiyo Oktoba 14, 2014 na Bw Mudzomba hakupinga.

Mwajiri wa mshtakiwa, Bi Nassim Issa, alisema alishangazwa na tukio hilo kwani hakulitarajia.

Bi Issa alimtaja Bw Mdzomba kuwa mtu mpole, mnyenyekevu na mwenye akili timamu.

“Nimekuwa nikiishi naye kama mfanyakazi wa nyumbani kwa muda wa miezi mitatu na hakuonyesha dalili zozote za upungufu wa kiakili,” alisema Bi Issa.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 60 alifichua kuwa siku ya tukio hilo alimkuta Bw Mdzambo ameketi nje ya nyumba yake akionekana mwenye hasira nyingi.

Shehe: Aunt Ezekeil Hana Ndoa Tena Kwa Mujibu wa Dini ya Kiislam

Posted: 30 Sep 2014 11:39 PM PDT

Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah
SHEIKH Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa ameweka wazi kuwa msanii nyota wa filamu, Aunt Ezekiel ambaye aliolewa na Sunday Demonte hana ndoa kutokana na kukaa mbali na mumewe kwa zaidi ya miezi sita.

“Hakuna ndoa kati ya mtu yeyote ambaye amezidi miezi 6 bila kukutana na mumewe kwa mujibu wa dini ya kiislamu.

“Kwa kawaida mwanamke ambaye hajakutana na mumewe kwa miezi 6 au zaidi baada ya ndoa yao, hupaswa kwenda mara moja Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kulalamika na hatimaye kudai talaka, ikiwa mwanamke ameridhika na hali hiyo, naye akaamua kukaa kimya huku akifanya mambo yake na kuanzisha uhusiano na wanaume wengine maana yake amejitoa mwenyewe kwenye mamlaka ya mumewe, hivyo hapo kunakuwa hakuna ndoa tena,”alisema Shehe.
GPL

Bifu la Waigizaji Kati ya Flora Mvungi na Nisha Lafika Pabaya

Posted: 30 Sep 2014 11:31 PM PDT

Stori: Gladness Mallya
WASANII wawili waliowahi kuwa marafiki wa kupika na kupakua, Flora Mvungi na Salma Jabu ‘Nisha’ bifu lao sasa limefika pabaya baada ya hivi karibuni kuwaacha watu midomo wazi kwa kitendo chao cha kupitana kama hawafahamiani.

Ishu hiyo ilitokea wikiendi iliyopita kwenye sherehe ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya staa wa filamu, Wastara Juma iliyofanyika katika ukumbi wa Dar West uliopo Tabata jijini Dar es Salaam. Wawili hao walikutana mlangoni wakati wa kuingia, lakini Flora alimpita Nisha kama hamfahamu na kama hiyo haitoshi, walipoingia ndani, kila mmoja alikaa meza yake.

Wakati sherehe zikiendelea, ukafika wakati wa kufungua shampeni na baada ya tukio hilo, Nisha alipewa jukumu la kuwagawia wageni waalikwa kwa kuwamiminia kwenye grasi zao, lakini alipofika kwenye meza aliyokaa mwenzake, Flora alikataa glasi yake kuwekwa kinywaji hicho.

Baada ya tukio hilo, paparazi wetu aliwafuata mastaa hao na kuwauliza kulikoni, na Flora alisema: “Sikumuona Nisha mimi, na shampeni nimekataa kwa sababu huwa siipendi.”

Kwa upande wake, Nisha alisema: “Mimi sikumuona Flora, kuhusu Shampeni mbona nilimimina kwenye glasi zote jamani!”

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno

Posted: 30 Sep 2014 11:26 PM PDT

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli hiyo, waalikwa ambao sehemu kubwa walikuwa watu wenye majina, walikula na kunywa kuanzia mchana hadi usiku mnene.

NISSAN MURANO
Akiwa Marekani, Diamond alimuagiza mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ apeleke gari aina ya Nissan Morano lenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 36 za madafu ikiwa ni zawadi ya jamaa huyo kwa mkewe huyo mtarajiwa.

Alipoliona gari hilo, Wema alipigwa na butwaa huku akimshukuru Diamond ambaye kwa sasa amempachika jina la Chibu baada ya lile la Dangote ‘kueksipaya’.

MANENO KUNTU
Huku akiambatanisha na picha ya gari hilo, kupitia ukurasa wake wa Instagram alimwandikia Wema: “Nilitazama nikupe vingi huenda ingesaidia kukueleza ni kiasi gani napenda nikuone ukiwa umefurahi kwenye siku yako hii ya kuzaliwa...lakini tu sina uwezo huo Mumy...tafadhali pokea hicho kidogo hiki nilichojaliwa leo.”

BMW UTATA MTUPU!
Gari aina ya BMW alilokabidhiwa na meneja wake, Martin Kadinda ndilo habari ya mjini huku nyuma yake kukiwa na maswali kibao.
MAMA WEMA AHOJI
Wa kwanza kuhoji alikuwa ni mama mzazi wa Wema, Mariam Sepetu ambaye alikataa kwamba Kadinda hawezi kutoa zawadi ya gari kama hilo hivyo minong’ono ikawa ni mingi.
Baada ya kuona hivyo, Kadinda alitoa kadi ya gari hilo lenye namba spesho za usajili ambapo jina la mmiliki lilisomeka Wema Sepetu.

MKONGO ATAJWA
Hata hivyo, pamoja na utetezi wake, maneno yaliendelea kusambaa kama moto wa kifuu kwamba nyuma ya gari kuna stori kubwa inakuja.

Minong’ono mingine ilikwenda mbele zaidi huku jamaa mmoja mfanyabiashara kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Mkongomani) akitajwa kulinunua na kumpa Kadinda akakabidhi.
Baada ya kuona gari hilo lenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 56 za madafu zinaleta utata, kama kawaida yake, Kadinda alikimbilia kwenye ukurasa wake wa Instagram akaandika:

“....Gari hili linatokana na kazi ndogo tuzifanyazo na sapoti kubwa ya watu wanaotutakia mema. Peke yangu nisingeweza bila sapoti yao....”

MSISITIZO
Akizungumza na gazeti hili juu ya sakata hilo, Kadinda alisema kwa msisitizo: “Ni mimi ndiye nimemnunulia Wema hilo gari.”

MASWALI
Huku Kadinda akisisitiza hivyo, waalikwa walibaki na maswali vichwani likiwemo lile linaloulizwa zaidi kwamba iweje yeye (Kadinda) aendeleshe gari la thamani ndogo aina ya Toyota Corola halafu ampe Wema BMW?
“Hapa pana kitu na kitakapobumburuka itakuwa soo, ni bora Kadinda angefunguka ukweli kuliko kuja kunyooshewa vidole baadaye, ngoja tusubiri,” alisikika mmoja wa mastaa walioalikwa (jina kapuni).
GPL

Nani Alimuelewa Mh.sitta Aliposema Wanataka Kujadiliana na Walio Piga Kura ya Hapana Bunge la Katiba

Posted: 30 Sep 2014 09:23 PM PDT

Wakati wa kipindi cha bunge Jana, kama ambayo wengi wenu humu mlimsikia, mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mh. Samwel Sitta alisema ameunda kamati ya maridhiano kwa lengo la kukutana na kujadiliana na wajumbe waliopiga kura ya hapana kwa ibara zote za katiba siku ya jana na aliongezea kuwa sio kitu cha kawaida kwa mtu kukaa muda huo waote bungeni alafu apige kura ya hapana. Ambacho sijakielewa ni,lengo la kujadiliana na waliopiga kura ya hapana ni nini?Baadaya ya mjadala,ina maana wanaweza kupewa fursa ya kupiga kura tena kama watabadili misimamo yao?Ana maana kuwa pia UKAWA walikuwa sahihi kutohudhuria vikao kwani wangeshiriki alafu siku ya mwisho wakapiga kura ya hapana wangeonekana wa ajabu na wangeundiwa kamati ya maridhiano?nilijiuliza maswali mengi bila majibu,walau nianze na haya kwa mwenye ufahamu wa kile kinachoendelea ukizingatia kuwa kuna waliopiga kura ya hapana kwa siri,nao wanatakiwa wahudhurie kikao cha maridhiano au ni vipi?

Jussa Anena - 2/3 Bunge la Katiba Imekwama Angalia Mahesabu Hapa

Posted: 30 Sep 2014 09:20 PM PDT

The game is over!
Kwa mujibu wa Samuel Sitta alivyotangaza jana, jumla ya Wabunge wote wa Bunge la Katiba = 629
Tanganyika = 419
Zanzibar = 210
2/3 ya 210 = 140
1/3 ya 210 = 70
Kwa hesabu ndogo tu hapo ni kwamba kuinyima Rasimu ya Vijisenti theluthi mbili (2/3) ya Zanzibar zilitakiwa zaidi ya kura 70 (kwa maana zikipatikana 71 itakuwa hapana 2/3 ya Zanzibar).
Sasa naomba tuhesabu pamoja. Miongoni mwa wajumbe 210 wa Bunge la Katiba wanaotoka upande wa Zanzibar:
Wawakilishi wa CUF = 33 
Wabunge wa CUF ZNZ = 25
Wabunge wa Chadema ZNZ = 4
Wana UKAWA walotoka ZNZ miongoni mwa 67 = 5
Walopiga wazi HAPANA jana = 7
Wajumbe wawili (Mwanasheria Mkuu wa SMZ Othman Masoud na mjumbe Abdalla Abbas) hawakupiga kura = 2
Jumla = 76
Kuinyima two thirds ya Zanzibar ilitakiwa anything above 70 out of 210. 
Hapa pana 76
Kwa lugha rahisi kufahamika ni kwamba Katiba inayopendekezwa haitopita maana haikupata theluthi mbili ya Zanzibar.
Hapa hatujui matokeo ya kura zilizopigwa SIRI. Pia wapo wale waliotajwa kwamba wameorodheshwa watapiga kura wakiwa nje ya Bunge Maalum. Lakini hata ukichukulia zote zitakuwa NDIO basi haziwezi kubadilisha uhalisi na ukweli wa kitakwimu uliopo hapo juu.
Kwa kifupi ni kwamba theluthi mbili ya kura za Wajumbe wote wa Bunge la Katiba wanaotoka Zanzibar HAIPO.
Sijui wale waliolazimisha kuendelea na Bunge Maalum la Katiba bila ya kupata maridhiano ya pamoja na wakapelekea kutumika mabilioni ya fedha za walipa kodi masikini wa Tanzania huku wakijua kwamba hawatopata theluthi mbili ya kura za Wabunge wote wa Zanzibar sasa watasemaje?

Ugonjwa wa Ebola Watua Marekani, Mgonjwa wa Kwanza Agundulika

Posted: 30 Sep 2014 09:09 PM PDT

Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi na idadi ndogo ya wafanyakazi wa Marekani wa mashirika ya misaada wamepata nafuu baada ya kupelekwa kutibiwa Marekani.
Jumatatu, maafisa wa kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian ya Dallas wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa jina alikuwa akichunguzwa virusi vya Ebola na ametengwa katika hospitali hiyo.
Shirika la Afya Duniani, WHO limesema mpaka sasa zaidi ya watu 3,000 wamekufa kutokana na virusi vya Ebola, wengi wa waliokufa ni kutoka Liberia.
Nchini Nigeria, nchi yenye idadi kubwa ya watu barani Afrika kuna wagonjwa 19 waliothibitika kuugua ugonjwa wa Ebola na watu wanane wamekufa tangu mgonjwa wa kwanza kuthibitishwa nchini humo mwezi Julai..
Kuna mgonjwa mmoja aliyethibitika nchini Senegal, lakini hakuna taarifa za kifo mpaka sasa.
Ebola ni ugonjwa hatari wa virusi kuwahi kuzuka duniani.

Udaku Specially

unread,
Oct 2, 2014, 4:25:39 PM10/2/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Laana! Kijana Adata na Penzi la Nguruwe Huko Sumbawanga….Aamua Kuacha Shule Baada ya Kunogewa

Posted: 02 Oct 2014 10:17 AM PDT

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.

Amelalamika akidai kuwa kijana huyo amenogewa `penzi’ la mnyama huyo maarufu hapa kama “kitimoto au noah”, kiasi cha kumfanya aache masomo na kuwa mtoro sugu shuleni.

Nguruwe huyo jike, inadaiwa anafugwa na familia ya mwanafunzi huyo anayesoma katika shule moja ya umma ya sekondari katika Manispaa ya Sumbawanga.

Hayo yalithibitishwa na Mkuu wa Kitengo cha Polisi Jamii mkoani Rukwa, Sixmund Kibassa aliyemweleza mwandishi wa habari hizi jana kuwa mama mzazi wa mtoto, ameripoti tukio hilo katika jeshi polisi.

Kibassa alisifu uamuzi huo, akisema ni mafanikio makubwa yanayotokana na Mpango Shirikishi wa Kitengo hicho wa kuwarejesha shuleni watoto, ambao ni watoro sugu.

Alisema mwanafunzi huyo (jina limehifadhiwa) ni miongoni mwa watoro sugu 70 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Manispaa ya Sumbawanga, waliorejeshwa hivi karibuni kupitia mpango huo shirikishi wa kuwarejesha watoro shuleni, unaotekelezwa na Kitengo cha Polisi Jamii mkoani humo.

Kibassa alisema wazazi na walezi wenyewe wanafika katika kitengo hicho cha polisi jamii na kuripoti kuhusu watoto wao ambao wamekatiza masomo.

Alisema wazazi na walezi hao, wanafichua kwamba watoto wao hao licha ya kutokwenda shuleni, pia nyumbani hawaonekani na kwamba baadhi yao wamebainika kutumia muda wao mwingi kunywa pombe vilabuni badala ya kusoma.

“Ni juzi tu mama mmoja alinifuata na kuripoti kisa cha mwanawe wa kiume anayesoma Kidato cha Pili katika shule moja ya sekondari, kwamba licha ya kuwa mtoro sugu shuleni, lakini pia amekuwa na tabia chafu ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara…Nilipomhoji kijana huyo alikiri kufanya hivyo …basi tulimnasihi,“alieleza.

Kwa mujibu wa Kibassa, baada ya kumsihi mwanafunzi huyo, alikubali kuendelea na masomo, ambapo alirejeshwa shuleni kwake na kupokewa na walimu na wanafunzi wenzake kwa furaha.

Akizungumzia tukio hilo, Daktari wa Tiba ya Binadamu, Dk Paulo Maiga alisema mwanadamu kufanya mapenzi na mnyama, kuna madhara makubwa, ikiwemo kuambukizwa virusi ambavyo vikiingia katika mwiliwa binadamu, kuna uwezekano mkubwa visiweze kutibiwa.

“Hili ni tatizo kubwa, madhara yake ni makubwa, huyu nguruwe anaweza kuwa ameshambuliwa na virusi vya ugonjwa ambao ukiingia na kumshambulia mwanafunzi huyo, upo uwezekanao mkubwa kusiwepo na tiba,“ alisisitiza Dk Maiga.

Lemutuz Aanzisha Mission ya Kuwashughulikia Wanao Tukana Wengine Kupitia Mitandao ya Kijamii

Posted: 02 Oct 2014 10:12 AM PDT

Kwa Kile Kinachoonekana ni Kukerwa na Watu wanao tumia Mitandao ya Kijamii Kama facebook na Instagram Kutukana Wengine Mzee Mzima Lemutuz Ameanzisha Misheni ya Kuwakomesha Wale wote Wenye Tabia Hizo Kwa kushirikiana na Polisi..

Hii Hapa Chini ni Message aliyopost Kupitia Ukurasa Wake wa Instagram Leo:

"Good Morning Instagram leo ninarudi tena Polisi Makao Makuu kuendelea na this thing wanyonge wanatukanwa sana kwenye mitandao WHY? Ina maana Serikali ya Tanzania haipo mitandaoni? Wananchi wanaoishi kwa hofu ya kutukwanwa kwenye Mitandao yao wenyewe katika nchi yao wenyewe wataenda kupiga kura kweli? Je wataiamini Serikali yao? Mbona wakitukanwa viongozi Serikali inaonekana mitndaoni ni maswali yanayohitaji majibu ya haraka sana toka kwa Serikali yetu! Kama una tatizo na my mission ichukie my MESSAGE sio mimi cause nawasaidia tu WANYONGE! Na it is ok na my God "- Le Mutuz

Dada wa Diamond Esma Atoa Mipasho Kupitia Instagram Week Mbili tu Baada ya Kuolewa

Posted: 02 Oct 2014 09:42 AM PDT

Dada wa Mwanamuziki Diamond Anayejiita Esma Plainum Ambae Ameolewa Hivi Karibuni na Petit Man Amepost Video Kwenye Instagram Page yake Huku Akitoa Mipasho ya Taarabu yenye Kuwananga Wanao Ona Wivu Juu Yake Kuolewa...Baadhi ya Maneno yanasikika Akiimba
'Mwaona Donge la Nini Kama Mnaweza Pandani Juu mkazibe'

Je Kunani Tena ? 

Jionee Mwenyewe Hapa:


Ukawa Sasa Waja na Tuhuma Nzito Kuhusu kura za Bunge la Katiba

Posted: 02 Oct 2014 06:05 AM PDT

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeibua shutuma dhidi ya uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba kwamba unawarubuni kwa fedha baadhi ya wajumbe wa umoja huo ili kuipigia kura Katiba inayopendekezwa.

Kamati ya Ufundi ya Ukawa, ilisema jana kuwa wajumbe wanaorubuniwa wapige kura ya ‘ndiyo’ kwa ahadi ya kupewa zaidi ya Sh500 milioni ni wa CUF na wengine wanne wa Chadema wanaotoka Zanzibar.

Hata hivyo, Katibu wa Bunge la Katiba, Yahya Khamis Hamad alikanusha madai hayo, akisema hajasikia kitu kama hicho na ndiyo kwanza alikuwa anasikia hilo kutoka kwa mwandishi wa habari hizi... “Hakuna kitu kama hicho, hilo jambo ndiyo nalisikia kutoka kwako.”

Kutokana na madai hayo, Mwenyekiti wa Kamati ya Ukawa, John Mnyika alisema kamati hiyo ilianza kikao cha siku mbili kuanzia jana kujadili hali hiyo na kutoa mapendekezo kwa uongozi wa juu wa umoja huo.

Licha ya Mnyika kukataa kutaja majina ya wajumbe waliorubuniwa, wajumbe wa Chadema wanaotokea Zanzibar ni Zeudi Abdallah ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), Maryam Msabaha, Mwanamrisho Abama na Raya Ibrahim. “Tumewataka wajumbe wetu wote kukusanya ushahidi na kuuwasilisha kwa viongozi wa Ukawa,” alisema Mnyika ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara.

Aliongeza, “Chadema ina wajumbe wanne, watatu ni wabunge wa kawaida na mmoja wa kuteuliwa na Rais (Kundi la 201). Tumepata taarifa kutoka kwa wajumbe hao kwamba wanapigiwa simu na uongozi wa Bunge ukiwataka wasaini karatasi za kupigia kura ili uongozi wa Bunge uchakachue kura.

“Tumeanza kikao kujadili suala hili ila tumeamua kwanza tuueleze umma kupitia vyombo vya habari juu ya ‘uharamia’ unaofanywa na Bunge la Katiba linaloongozwa na Sitta (Samuel) na Makamu wake Samia (Suluhu Hassan).”

Kuvunjika Kwa Uchumba wa Rose Ndauka Wanawake Wawili Watajwa

Posted: 02 Oct 2014 04:03 AM PDT

STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka ameanika ukweli kuhusu uhusiano wake na aliyekuwa mchumba wake Malick Bandawe baada ya kuwagundua wanawake wawili aliozaa nao mbali na yeye.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Rose aliamua kufungasha virago vyake na kurudi kwa mama yake mzazi maeneo ya Kigogo baada ya kugundua kwamba mchumba’ake huyo alizaa na wanawake wawili tofauti na yeye ambaye ni wa tatu.

“Alichokizungumza Malick kwamba alishamuweka chini Rose na kuzungumza naye si kweli, ila yeye Rose aliamua kurudi kwao baada ya kugundua jamaa ana wanawake wawili aliozaa nao kabla yake,” kilisema chanzo hicho.

Akaongeza: “Kile kilichosemwa na  Malick kuwa anasikitika kuona mtoto wake anakwenda kulelewa na mwanaume mwingine ni kujitetea tu lakini ukweli ni kwamba mwanaye analelewa na yeye mwenyewe kwa sababu yuko nyumbani kwa mama yeke.”

Juzi, paparazi wetu alimtafuta Rose kwa njia ya simu yake ya mkononi, alipopatikana na kusomewa madai hayo alikata simu huku akisikika akisema hayuko tayari kufunguka lolote kwa sasa.
GPL

Taarifa ya Balozi wa Tanzania China Kuwatishia Wafungu wa Madawa ya Kulevya Waliokamatwa China

Posted: 02 Oct 2014 03:57 AM PDT

Gazeti la South China Morning Post linadai kuwa Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Generali mstaafu Abdulrahman Shimbo amewatishia wafungwa wa Kitanzania walioko magerezani Hong Kong kwa kupatikana na hatia ya kusafirisha madawa ya kulevya nchi humo. Balozi Shimbo anadaiwa kuwaonya wafungwa hao kuwa familia zao nchini Tanzania zitakuwa hatarini kama wafungwa hao wataendelea na kampeni yao ya kuwaonya Watanzania wengine kutojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya. 

Mwezi uliopita Balozi Shimbo alifanya zaira katika gereza la Stanley nchini Hong Kong. "Ziara ya balozi wetu ilikuwa kama janga kwetu" alisema Gervas, ambaye ni moja ya wafungwa katika gereza la Stanely." Gervas aliongeza "Ametukatisha tamaa katika kampeni yetu dhidi ya madawa ya kulevya, ikiwa ni pamoja na kututahadharisha kuwa tuwe makini au tutahatarisha maisha ya familia zetu Tanzania. Pia Balozi Shimbo alienda mabli zaidi na kukosoa kampeni zetu akisema kuwa hazijaleta mabadiliko makubwa".

Hata hivyo, Edmund Kitokezi, ambaye ni afisa katika Ubalozi wa Tanzania uliopo jijini Beijing, amekanusha kuwa Balozi Shimbo amewatishia wafungwa hao na kuongeza kuwa badala yake Balozi aliwapa moyo wa kufunguka zaidi. "Tunaunga mkono kampeni yao - hii ndiyo position ya serikali. Siyo kazi ya ubalozi kumwambia kila mtu aachane na hiyo kampeni" alisema Kotokezi.

Watanzania waliofungwa Hong Kong walianza kampeni yao dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya kwa kuandika barua ambazo zimekuwa zikichapishwa na Padri Fr John Wotherspoon katika tovuti yake  Padri Wotherspoon anatoa huduma za kiimani katika magereza huko Hong Kong. 


Ni rahisi sana Sana Kwa Mwanandoa Aliyeajiriwa Hapa Mjini Kuchepuka, Hivi Ndivyo Wanavyofanya

Posted: 02 Oct 2014 02:47 AM PDT


Nina uzoefu kidogo na mambo ya kazi za ajira maofisini, nimefanya hivi kwa muda mrefu. Wakati flani nilifanya kazi katika ofisi zilizo katikati ya jiji, kule mitaa ya Posta jijini Dar es Salaam.
Ofisi nyingi za serikali na watu binafsi zinapatikana mitaa ile. Kutokana na sababu hiyo, kuna idadi kubwa pia ya migahawa, hoteli, mama ntilie, pub na kadhalika.
Kuna mambo mawili makubwa yenye ushawishi mkubwa wa usaliti. Ofa za chakula au vinywaji na usafiri. Kwa kawaida, wafanyakazi wa ofisi moja hupenda kutoka pamoja wakati wa chakula cha mchana, wenyewe tunapendelea zaidi kusema lunch!
Kila mmoja ana sehemu yake anayokula kulingana na kipato chake, wapo wanaokwenda Southern Sun kupata chakula cha mchana, na wapo wanaowafuata mama ntilie wanaojibanza kwenye vichochoro vingi vilivyopo mjini.
Huko ndiko tunakokutana na akina dada waliovalia vizuri na kupendeza, wakitokea katika maofisi mbalimbali, huwezi kujua yupi ni mhudumu wa chai, yupi ni bosi, wote wanang’ara. Na hapa ndipo ofa za misosi zinapoanza kushawishi ngono.
Kijana mmoja mwenye kipato kikubwa ofisini kwake, atavutiwa na msichana mrembo mwenye mshahara wa wastani. Ili kumsogeza karibu, atalipia chakula cha siku hiyo na kumualika kwa kesho yake. Kulipiwa chakula ni jambo dogo, lakini lenye thamani kubwa sana. Si rahisi mtu aliyekulipia chakula kwa nia njema, ukaacha kumshukuru na hata kumwelekeza unapofanya kazi.
“Mimi nipo pale Oj Traders,” msichana anaweza kujita mbulisha jina na kusema anapofanyia kazi huku mkaka akimweleza kuwa yeye ni mhasibu katika ofisi flani. Watakapo
kutana mara ya pili, wataachiana namba za simu.
Baada ya hapo, mkaka atafanya mbwembwe za kuhamahama maeneo ya lunch ili mradi tu mdada wa watu aingie kwenye laini. 
Ukimaliza suala la lunch, kuna hii kitu foleni, hasa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Raha ya kufanya kazi katikati ya jiji inaingia shubiri kadiri jioni inavyozidi kusogea. Kuanzia saa kumi, ni vurugu katika vituo vya daladala na hasa wakati kama huu ambao bodaboda zimezuiliwa kuingia mjini.
Wenye magari binafsi ndiyo wakati wao wa kujidai, ingawa foleni inawakumba wote. Lakini ni afadhali ukiwa kwenye foleni ndani ya gari dogo, mko wawili kuliko foleni, umeshika bomba kwenye daladala.
Siyo rahisi kwa mdada kukataa lifti ya kijana mwenye gari. Na katika foleni ndefu, ni wazi kwamba hadi mwisho wa safari, watakuwa wameshabadilishana namba. Kwa msichana, kuwa na uhakika wa usafiri kila siku ni ukombozi.
Tusidanganyane, hakuna msichana ambaye hatajua kuwa lunch au usafiri anaopewa unahitaji malipo maalum, ambayo ni penzi. Hali hii haiko Dar tu, bali nchi nzima na pengine duniani kote.
Mwanamke aliyeajiriwa anakuwa katika mitihani mikubwa zaidi ya kusaliti ndoa au uhusiano wake, kwa sababu hata kama haitakuwa kwenye chakula au usafiri, bado watu anaokutana nao katika utendaji wake, wanaweza kumghasi. Fikiria anakutana na mabosi, marafiki wa mabosi wake, wafanya biashara, atapona kweli?
Hata hivyo, simaanishi kama tabia hii inawakumba waajiriwa wote, isipokuwa nadhani ni sehemu kubwa wanahusika!
By Mike Tee

Tanzania Yashuka Kiwango cha Uongozi Bora Katika Nchi za Afrika

Posted: 02 Oct 2014 02:41 AM PDT

Tanzania tumbles in governance index
Dar es Salaam. Tanzania performance in the 2014 Mo Ibrahim Index of African Governance has tumbled—with the country dropping five places—from 10th position in 2012 to 15th in the latest index—that ranked 52 countries in Africa.

But, in the East African region, Tanzania ranks second behind Rwanda, followed by Kenya, Uganda and Burundi.

Steve Nyerere: “Bongo movie watanikumbuka

Posted: 02 Oct 2014 02:29 AM PDT

MSANII wa filamu Bongo aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa ana mengi ya kujivunia katika klabu hiyo ambayo anaamini yatawafanya wasanii wakumbuke kipindi cha uongozi wake.

Akipiga stori na paparazi wetu, Steve alisema kuna vitu vingi ambavyo ameifanyia Klabu ya Bongo Movie ikiwemo kurudisha heshima katika jamii kwa ujumla kuwa klabu hiyo haihusiani na vitendo vya kifuska bali ni wasanii wanaojiheshimu na kuthamini kazi zao kwa kukemea maovu.

“Naamini wasanii wa Bongo Movie watanikumbuka kwa mengi niliyowafanyia, hata kama wanatazama mabaya yangu lakini yapo na mazuri ambayo ni wazi hayapingiki, niliondoa matabaka pamoja na kufanya mambo mbalimbali ya kimaendeleo ni wazi jinsi ilivyo sasa ni tofauti na nilivyoingia madarakani, nimewakutanisha na fursa mbalimbali na kusimamia nidhamu,” alisema Steve.

Je hiki Kipigo cha Katiba ni Uthibitisho UKAWA Sii Lolote Sii Chochote, 2015 Ni CCM Tena?

Posted: 02 Oct 2014 02:23 AM PDT

Kufutia hiki kipigo cha Katiba Mpya kwa kundi la Wana UKAWA, Tume ya Warioba na Watanzania wote wapenda demokrasia ya kweli!, jee kinaweza kuwa ndio kiashiria cha awali kuwa hawa Wa UKAWA sii lolo, sii chochote, hata kama wataunganisha nguvu, na kumsimamisha mgombea mmoja!, na hata mgombea huyo akiwa ndie Joseph Sinde Warioba mwenyewe, bado watapigwa mwereka?!.

Huu unaweza kuwa pia ndio uthibitisho hata CUF, kule Zanzibar sii lolote sii chochote!, 2015 ni CCM Tena?!.

Ni swali tuu!.

Pasco

Matokeo ya Katiba Mpya Haya Hapa, Ukawa Kubalini Matokeo Tujenge Nchi

Posted: 02 Oct 2014 02:19 AM PDT

Matokeo ya Katiba Mpya ndio haya, imepita!, japo Watanzania tulitaka "Katiba Bora", lakini BMK Imetupatia "Bora Katiba!", if you can't get what you want, just take what you get!, hivyo natoa wito kwa Wana UKAWA, na wale waumini wote wa rasimu ya Warioba, tukubali matokeo!, tuweke silaha chini na ku surrender rasmi. CHADEMA sitisheni maandamano na ku concentrate on what is next, ndio most important kuliko hata hii katiba.

Hata akidi kama isingetimia, ingetimilizwa na kura za Ndio hata kama hazikutosha, zimetosheshwa na zisinge tosheleza kupata "Bora Katiba!".

Zingetoshelezwa!, mchezo mzima umemalizwa kwenye kura za siri na kura za nje ya BMK, na maadam kura za siri, hairuhusiwi kusema nani amepiga nini, deal ni kutangaza kura ya siri moja tuu, ila kila aliyepiga ajue hiyo ndie ile kura yake, kiwisha game, The end justify the means.

Huu ni ushindi mkubwa sana kwa Samweli Sitta, huyu awe ndie rais wetu 2015 ili kukamilisha process ya implementation ya Katiba Mpya.

Pasco.

Mwanasheria Mkuu Z’bar akataa rasimu ya Sitta, Wenzake wamwita UKAWA, Wataka Kumpa Kipigo

Posted: 02 Oct 2014 02:12 AM PDT

MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, jana alinusurika kupigwa na wajumbe wenzake wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya mwanasheria huyo kupiga kura ya wazi ya “hapana,” kukataa rasimu ya Katiba inayopendekezwa na Bunge hilo.

Awali, Othman alikuwa amesusia Bunge hilo na kujiuzulu katika kamati ya uandishi iliyoandaa rasimu hiyo, akidai kwamba hoja 17 za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zimepuuzwa katika katiba mpya.

Jana asubuhi, mwanasheria huyo aliingia ghafla ukumbini, muda mfupi baada ya Bunge kuanza huku baadhi wajumbe ambao hawakuwepo wakati wa kupiga kura, wakiwa wamemaliza kufanya hivyo, lakini wakati Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta, akimalizia matangazo ili kuahirisha Bunge. Ndipo alipotaarifiwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar alikuwa amefika, apewe nafasi ya kupiga kura.

Othman alisimama taratibu, kwa kusitasita mithili ya mtu aliyelazimishwa, akasema, “napiga kura ya wazi, na vifungu ambavyo sivikubali ni ibara ya 2, 9, 70, 71,72,73,74, 75, 128,129,158,159,160,161,243 hadi
251 na nyongeza ya kwanza, vingine vilivyosalia navikubali.”

Vifungu alivyokataa vinahusu mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (2), ukuu wa katiba (9), muundo wa muungano (70), utekelezaji wa shughuli za mamlaka ya nchi (71), mamlaka ya serikali ya jamhuri ya muungano (72) na mamlaka ya serikali ya Mapinduzi Zanzibar yasiyo ya
muungano (73).

Uhusiano kati ya serikali ya jamhuri ya muungano na serikali ya Mapinduzi Zanzibar (74), wajibu wa viongozi wakuu kulinda muungano (75), madaraka ya kutunga sheria (128), utaratibu wa kubadilisha katiba (129), SMZ na mamlaka yake (158), Rais wa Zanzibar na mamlaka yake (159), Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na kazi zake.

Baraza la Wawakilishi la Zanzibar (161) na kuanzia ibara ya 243 hadi 25, inahusu Mfuko Mkuu wa Hazina na Fedha za Jamhuri ya Muungano wakati nyongeza ya kwanza ni kuhusu mambo 16 ya muungano.

Baada ya Othman kupiga kura hiyo, Bunge lilionekana kutaharuki hususani wajumbe kutoka Zanzibar, na muda mfupi baadaye alisimama Yahaya Kasimu Issa na kuomba aruhusiwe aseme kidogo.

“AG amepiga kura wakati kwenye mjadala hakuwepo… na si kwamba alikuwa anaumwa bali kwa kejeli yake ya kuonesha kwamba amesoma.

“Tulitegemea awepo hapa tangu mwanzo lakini yeye akatoroka…hivi mwanasheria kama huyu ana maslahi gani kwa Wazanzibari? Yaani Rais amemteua awe msaidizi wake wa kazi lakini yeye ametoroka…hivi unaweza kutuambia tuna maslahi gani na mtu kama huyu?” Alihoji huku akishangiliwa.

Wajumbe wenzake wa Zanzibar walianza kupiga makofi na kumzomea mwanasheria huyo wakimwita “kamanda aliyekimbia vita, msaliti, UKAWA, hafai aondoke,” na kejeli nyingine, lakini yeye alikuwa mtulivu tu kwenye kiti chake.

Baada ya kuona vurugu hizo, Sitta aliinuka na kutangaza kufunga mjadala huo huku akiwataka wajumbe waache kumwandama mwanasheria huyo kwa kuwa kikatiba na kisheria, anao uhuru wa kuamua anavyoona inafaa kwani mle ndani hajaingia kwa wadhifa wake bali amepiga kura kama mjumbe.

Kauli hiyo ya Sitta, haikufua dafu kwani baada ya Bunge kuahirishwa,Wazanzibari wengi waliendelea kumzomea huku wakiinuka kwenye viti na kuanza kumfuata wakitaka kumpiga.

Baadhi ya viongozi wakuu wa Zanzibar, wakiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Idd waliingilia kati na kisha askari wa Bunge walizingira eneo hilo na kumwondoa wakimpitisha mlango wa viongozi wakuu.

Sitta Akalia Moto, Apambana na Viongozi wa Kikristo

Posted: 02 Oct 2014 02:07 AM PDT

MWENYEKITI  wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amejiweka katika wakati mgumu kwa kuzua mgogoro mpya dhidi ya viongozi wa dini ya Kikristo, baada ya kuita waraka wao kuwa ni wa kipuuzi na wa hovyo hovyo.


Huku yeye akisema kuwa waraka wao una lugha ya UKAWA, wao wamesisitiza kwamba ni waraka wa kinabii, kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi.

Wakati yeye akikemea waraka wao, maaskofu wamesema ile ilikuwa sauti kutoka mbinguni, na kwamba anapambana na Mungu.

Wakati yeye akisema waraka wao haukuwa na utukufu wowote, wao wamemfananisha yeye na Goliati wa kwenye Biblia aliyeshindwa na Daudi kwa sababu ya jeuri na matusi kwa Mungu. Wamesisitiza kwamba kwa sababu ya jeuri yake, wataanzia pale atakapoishia baada ya Bunge Maalumu la Katiba.

Juzi na jana asubuhi, Sitta alitoa maneno ya kejeli dhidi ya viongozi wa Kikristo, hasa Jukwaa la Wakristo,  ambao walitoa waraka kuonyesha kutoridhishwa kwao na mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.

Sitta alitoa kauli hiyo bungeni alipokuwa akielezea mwenendo wa upigaji kura za kupitisha ibara na sura za rasimu ya katiba inayopendekezwa, akisema amekuwa akituhumiwa kwenye mitandao kwamba anadharau maaskofu.

Amber Rose Kaitaja Sababu Nyingine ya kuachana na Wiz Khalifa, Picha ya Ushahidi iko Hapa Pia

Posted: 02 Oct 2014 01:52 AM PDT

Kuvunjika kwa ndoa ya mastaa Amber Rose na Wiz Khalifa kumeendelea kuchukua nafasi kwenye headlines za dunia na hii ni baada ya Amber kutaja chanzo mojawapo cha kuvunjika kwa uhusiano huo.
Kwenye interview ya Radio Amber amesema kingine kilichomkasirisha ni kuona Wiz anawaendekeza warembo flani wawili mapacha ambao inaaminika amekua akijihusisha nao kimapenzi.
Amber amesema alipenda kuiokoa ndoa yake ili waendelee kuwa pamoja lakini anaeonekana kukataa kuendelea kuwa kwenye ndoa ni Wiz mwenyewe, Amber anasema hata taarifa za mwanzoni kwamba walitengana siku nyingi kabla ya kutaka talaka zilikua za uongo…. hakufanya maamuzi yao sababu alitaka kuiokoa ndoa yake

Amber amemshutumu Wiz kwa kutoka kimapenzi na hawa mapacha kwenye hii picha hapa chini…

Kimenuka! Kajala Amshitaki Mama Wema, Kisa Kamili Kiko Hapa

Posted: 02 Oct 2014 01:45 AM PDT

KIMENUKA! Habari ya mjini kwa sasa ni bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutimiza miaka 26 tangu kuzaliwa, lakini ndani ya tukio hilo, mengine yameibuka!

Miongoni mwa yaliyoibuka kwenye sherehe hiyo iliyofanyika Jumapili iliyopita nyumbani kwa Wema, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar es Salaam ni madai ya mama Wema, Mariam Sepetu kudaiwa kupewa nafasi ya kutoa ‘neno la hekima’ lakini akaitumia kumvurumishia mitusi aliyekuwa shosti wa Wema, Kajala Masanja.
KUNASWA KWA SAUTI NA PICHA
Baada ya sherehe hiyo, Jumatatu na Jumanne, mitandao mingi ya kijamii ilitumbukiza video yenye sauti ikimuonesha mama Wema akimrushia matusi Kajala kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutokana na kukorofishana kwa mwanaye na Kajala aliyewahi kumfadhili mahakamani kwa kumlipia faini ya shilingi milioni 13 asiende jela kwa kesi ya kuuza nyumba iliyokuwa na zuio la kisheria.


KAJALA AAMUA ZITO
Katika kufuatilia sakata hilo, Amani lilinyetishiwa kwamba Kajala baada ya kushindwa kuvumilia, ameamua kumshitaki mahakamani mama Wema.
Chanzo chetu kinadai kuwa Kajala alifikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na familia sanjari na wafuasi wake (Timu Kajala) ambapo sasa, timu hiyo na Timu Wema wameingia vitani tena.
“Kajala ameshawasiliana na wanasheria wawili na kutoa maelezo yake, wao wanaandaa faili ili mashitaka yafike mahakamani, amekasirika sana.“Amesema mama Wema ametumia nafasi ya kukutana na watu kumdhalilisha bila kumpa nafasi ya kujitetea, ameona si sawa hata kidogo,” kilisema chanzo hicho ambacho ni jirani na Kajala.

MATUSI YENYEWE
Katika sauti, mama Wema anasikika akitamka matusi (hayaandikiki gazetini)  huku Wema naye anasikika akimsihi mama yake asimtaje jina Kajala kwa kuwa kufanya hivyo ni kumpaisha. Hapa inamaanisha kwamba, Wema alitaka mama yake afunguke lakini bila kutamka jina la mtu.
AGUNDUA TIMU KAJALA IMO NDANI YA BETHIDEI
Katika hatua nyingine, mama Wema alisema kauli iliyoashiria kwamba Timu Kajala ilikuwemo ndani ya bethidei ya mwanaye. “Nasema haya huku najua humu ndani kuna Timu Kajala, lakini nasema….(matusi mazito)”
KAJALA SASA
Baada ya madai hayo yote, juzi, Amani lilimsaka Kajala kwa njia ya simu ili kumuuliza ukweli wa madai hayo. Licha ya kutopokea simu ya paparazi wetu, alitumiwa ujumbe mfupi wa maneno ‘SMS’ na kuulizwa kila kitu.
Hata hivyo, badala ya kujibu alikaa kimya, baada ya dakika kama kumi na tano  alimrushia kwa simu mwandishi wetu video hiyo ambayo anadai kutukanwa na mama Wema bila kusema chochote hali iliyotafsiriwa kuwa kama alisema; ‘hebu oneni wenyewe jamani, nimemkosea nini mama Wema?

ALICHOKIFANYA MARTIN KADINDA
Katika hatua nyingine siku hiyo, meneja wa Wema, Martin Kadinda alikuwa na kazi ya ziada kuhakikisha, mama Wema na mama Diamond, Sanura Kasim ‘Sandra’ hawakai jirani au meza moja licha ya kwamba watoto wao wamependana.
“Kadinda ana kazi ngumu sana, unajua anatakiwa kuhakikisha kwamba mama Wema na mama Diamond hawakai meza moja. Sijui anaogopa nini, kwani hawa si watu ambao watoto wao wana mpango wa kuoana?” alihoji mwalikwa mmoja.
KUMBUKUMBU MUHIMU
Katika bethidei hiyo, Wema alizawadiwa magari mawili, Nissan Murano lenye thamani ya shilingi milioni 36 alilopewa na Diamond na BMW 545i lenye thamani ya shilingi milioni 56, inadaiwa alizawadiwa na Kadinda!

Picha Instagram: Hamisa Mabeto Atupia Picha Zilizoleta Gumzo na Kuwaacha Watu na Maswali

Posted: 02 Oct 2014 01:34 AM PDT

Wengi sana wamekoment kuhusiana na staa huyu kutupia picha na hili vazi…..Hebu toa maoni yako wewe unasemaje – vazi hili lipo vipi kwa maadili yetu?  Na wakati huo huo  juzi tu amemtambulisha Mpenzi wake.


Udaku Specially

unread,
Oct 3, 2014, 5:20:21 PM10/3/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Batuli Afunguka Kuhusu Tetesi ya Yeye Kuvunja Uchumba wa Rose Ndauka

Posted: 03 Oct 2014 05:32 AM PDT

Stori: RHODA JOSIAH
MSANII wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameshangazwa na madai kuwa, anahusika kuvunjika kwa uchumba wa msanii mwenzake Rose Ndauka na kueleza kuwa hayo ni maneno ya watu wasiomtakia mema.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kufuatia madai hayo, Batuli alisema hajawahi kuwa na uhusiano wowote na bwana wa Rose (Malick) na kwamba ukaribu wao ni wa kikazi tu.

“Jamani siwezi kutoka na mchumba wa Rose kutokana na kwamba ni mtu ambaye namheshimu sana na tumekuwa tukifanya kazi na Rose bila matatizo yoyote. Hizi taarifa zinanishangaza na najua wanaozieneza hawanitakii mema,” alisema Batuli.

Mtitu Afunguka Kuhusu Beef Lake na Steve Nyerere

Posted: 03 Oct 2014 05:23 AM PDT

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya tetesi kuzagaa kwamba aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kwamba ana bifu kali na aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ mwenyewe amefunguka kwamba hawezi kufanya kitu kama hicho.

Akistorisha na paparazi wetu, Mtitu amesema anashangazwa na taarifa hizo licha ya kwamba hawajawahi kuzungumza na Steve tangu alipoachia ngazi ya ukatibu.

“Sijawahi kutishia kuua mtu kama watu wanavyosema, Steve ni mdogo wangu hivyo kama atakuwa na bifu na mimi ni yeye na sitajali kwani wangekuwa ni kina Ray au wasanii wengine wakubwa wamenichunia ningewaza lakini huyo haniumizi kichwa,” alisema Mtitu.

Maddi yaliyopo mtaani ni kwamba, wasanii hawa kwa sasa ni kama paka na panya na imefika hatua ya kutishiana kuuana.

Liberia Kumshitaki Mgonjwa wa Ebola Aliyepatikana na Ugonjwa Huo Marekani

Posted: 03 Oct 2014 03:30 AM PDT

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo kuhusu kukutana na jamaa wake aliyekuwa anaugua ugonjwa huo.

Mgonjwa huyo Thomas Eric Duncan alitakiwa kujibu maswali kadhaa kabla ya kusafiri kwenda Marekani mwezi jana lakini maafisa wanasema aliulizwa ikiwa alikutana na jamaa yake mwenye virusi hiyo akasema la. Alisema hakuna jamaa yajke yeyote anaugua ugonjw ahuo.
Lakini waziri wa afya amesema kuwa mwanamume huyo alionekana akimpeleka jamaa wake mgonjwa hospitalini.

Bwana Duncan yuko katika hali mahututi, katika hospitali ya Dallas.
Ni mgonjwa wa kwanza wa Ebola kugudnulika nchini Marekani ambako zaidi ya watu 100 wanachunguzwa ikiwa wameambukizwa ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 3,330 wamefariki kutokana na Ebola katika nchi nne za kanda ya Afrika Magharibi.
Taarifa ya kutaka kumfungulia mashitaka mghonjwa huyo ilitolewa katika mkutano wa kila wiki wa serikali kuarifu waandishi wa habari kuhusu hali ya ugonjwa huo nchini humo.

Baada ya P Diddy kusema J Lo Anamfunika Kim Kardashian kwa 'Makalio', J Lo Nae Amzungumzia P Diddy

Posted: 03 Oct 2014 03:22 AM PDT

Rapper mkongwe mwenye mafanikio makubwa, P Diddy juzi alimwagia sifa aliyekuwa mpenzi wake enzi hizo Jennifer Lopez akieleza kuwa alikuwa mwenye bahati sana kuwa nae.

 Aliongeza kuwa hata hivi sasa ni mkali na na kwamba ana makalio aka asset bomba zaidi hata ya Kim Kardashian.

J Lo pia amefunguka yake kuhusu P Diddy wakati anaongea na Access Hollywood  na kueleza kuwa alijifunza mengi sana wakati wa uhusiano wao na kwamba amechangia sana katika maendeleo yake kimuziki.

Hivi ndivyo J Lo alivyoeleza:

"We spent three years of our lives together, you know almost every single day,As much as he roots for me and as proud as he is of me and of the time we had together, I, I am just as proud to see what he's done.Seeing him involved in Revolt and all the things that he's done as a business man and still being so true to his music and his art trying to uplift his community in his own way, and it's the same thing that I try to do and I feel like I learned a lot from him coming up, watching him. He gave me so many cues and taught me so many things,' I'll always be grateful to him for that and I love that he can be so supportive of me so many years later and that there's still so much mutual respect, admiration and love there.

Belle 9: Sioni Chemistry kati yangu na Diamond Platnumz

Posted: 03 Oct 2014 02:26 AM PDT

Mwimbaji wa Bongo Flava kutoka Morogoro, Belle 9 hafikirii kufanya collabo na Diamond Platinumz hivi karibuni kwa kuwa bado haoni chemistry (muendano sawa) kati yao.

Akiongea katika Exclusive Friday ya kipindi cha Sunrise cha 100.5 Times Fm, Belle 9 amesema haoni kama kuna chemistry kati yake na mwimbaji huyo ingawa haweki mipaka ya collabo kati yao, ikitokea wamepata kitu wanaweza kufanya.

“Kama ikitokea nina wimbo ambao yeye anaweza kuplay part yake vizuri tunaweza tukafanya. Ikitokea mimi nimeandika wimbo ambao nahisi kabisa yeye akikaa atafit tunaweza tukafanya. Lakini sio chemistry hapo kwanza.” Belle 9 ameiambia Sunrise ya 100.5 Times Fm.

Mwimbaji huyo amesema hivi sasa anafikiria kufanya kazi na mzee Zahir Zorro au Banza Stone kwa ajili ya kupata kitu cha kipekee.

“Hawa vijana wanaimba vizuri. Kiwango kipo, sijasema sioni… lakini the same. Mimi ninahitaji kitu unique kwa sababu nahisi kwa kumshirikisha Zahir au Banza Stone hivi…yaani watu ambao mimi naweza kuchukua kitu pale. Kuna watu wengi ambao naweza kujifunza vitu vingi.” Belle 9 amefafanua.

Hata hivyo, amesema wasanii wapya wa kizazi kipya wanafanya vizuri sana pia na akawataja wengi aliowashirikisha kwenye nyimbo zao kuonesha jinsi anavyowakubali.

Kivazi cha Min Sketi Chazua Balaa Huko Arusha, Demu Atamani Ardhi Ipasuke

Posted: 03 Oct 2014 02:17 AM PDT

Kivazi cha Min Sketi Kidogo Kimtokee Puani Dada mmoja Huko Arusha Mitaa ya Soko kuu Katika ya Mji Baada ya Vijana Kuanza Kumzomea na Kumfuata nyuma Wakitaka Kumshika Makalio , lilikuwa ni tukio la aina yake lililovuta Hisia za watu wengi, Watu walivyozidi ilibidi Dada huyu kukimbilia kwenye Duka moja kujisitiri ndio ikawa salama yake ...Jamani wadada tunapotoka out tujiangalie tumevaa nini ...Vijana huko mtaani wananjaaaaa msije Adhirika..

Mke Akosea na Kumtumia Mume Wake Picha ya Uchi Aliyokuwa Anamtumia Mchepuko Wake

Posted: 03 Oct 2014 02:02 AM PDT

Dada mmoja Mitaa ya Migomeni Dar es Salaam Amezua Kioja Baada ya Kumtumia Mume wake Picha ya uchi Kupitia Whats app, Inasemekana Mume alikuwa Kazini Akashangaa Message imeingia kwenye simu yake kucheki ni mke wake kamtumia picha ya uchi , Jamaa anadai toka amuoe huyo dada miezi sita iliyopita hakuwa kumtumia picha kama hizo kitu kilichosababisha jamaa arudi nyumbani na kumshushia kipigo cha Haja Mke Wake Huku Majirani wakishuhudia Mpaka Mke alipokiri kuwa alikuwa anamtumia mtu mwingine ambaye ni mchepuko wake...Baada ya kukiri jamaa alimtupia mizigo yake nje aende kwao...Haya Jamaa Tuweni Makini ...

Kweli Mapozi Kikohozi, Wazidiwa Nakuanza Kufanya Yao Ndani ya Dala Dala

Posted: 03 Oct 2014 01:45 AM PDT


Kale Ka Usemi kuwa Mapenzi ni Kikohozi Kamedhiirika Juzi Huko Kenya Baada ya Wapenzi Wawili Kuanza Kunyonyana Ndimi Ndani ya Matatu ama Dala Dala Bila Kuona Aibu Kuwa kuna Watu wanawaangalia , Abiria Walibaki na Mshangao tu na kubaki wakishuuhudia sinema ya bure huku wengine wakipiga picha na kuzituma kwenye mitandao ya kijamiii....

Tazama picha zote za birthday ya Diamond ilivyokuwa jana. Apewa zawadi ya gari aina ya BMW X6

Posted: 03 Oct 2014 12:49 AM PDT

 Tazama picha zote za birthday ya Diamond ilivyokuwa jana. Apewa zawadi ya gari aina ya BMW X6 na Team ya Uongozi Wake









Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Wabunge Waserebuka Ndani ya Bunge

Posted: 03 Oct 2014 12:09 AM PDT

 Licha ya upinzani kutoka makundi kadhaa ya wananchi, Bunge la Katiba jana lilihitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa baada ya kupata theluthi mbili za wajumbe wa kila upande wa Muungano.

Matokeo hayo yaliyohitimisha mchakato huo, yalifanikishwa kwa tofauti ya kura mbili za wajumbe katika baadhi ya ibara na nyingine kwa kura moja tu, ikimaanisha kuwa iwapo kura hizo mbili zingekosekana hadithi ingekuwa tofauti.

 Kutangazwa kwa matokeo hayo kuliwafanya wajumbe walioshiriki mchakato hadi hatua ya mwisho baada ya wenzao wa kundi la Ukawa kususia, kulipuka kwa furaha, nyimbo, tambo, vijembe na vigelegele huku wakijimwaga ukumbini kusakata dansi.

Akitangaza matokeo hayo, Naibu Katibu wa Bunge hilo, Dk Thomas Kashililah alisema hali ya upigaji kura ilikuwa ni nzuri na kila kura za kila upande zilitosheleza na kutoa uhalali wa Katiba inayopendekezwa kupelekwa kwa wananchi.

Katibu huyo alianza kutoa matokeo ya upande wa Zanzibar ambako wajumbe wengi walikuwa na wasiwasi kuwa huenda usipate akidi ya kura 146 iliyotakiwa.

Kwa jumla, kura za ‘ndiyo’ za Zanzibar zilikuwa ama 147 au 148 na ‘hapana’ ama saba au nane; wakati kwa matokeo ya Tanzania, wajumbe waliopiga kura walikuwa 335 na kura moja tu ndiyo ilikataa ibara zote na kura mbili zilichomoza kukataa baadhi ya ibara.

Matokeo hayo yalithibitishwa na mawakala Amina Makilagi na Waziri Rajabu Salum ambao walisimama na kueleza namna ambavyo kura hizo zilihesabiwa kwa uhuru mpana.

Kuserebuka bungeni

Baada ya matokeo hayo, Ukumbi wa Bunge ulihanikizwa kwa nyimbo za mipasho na mafumbo zikiambatana na kuwashwa vipaza sauti bila ya utaratibu na wajumbe kurukaruka na kukumbatiana kwa furaha.

Hali hiyo, iliwalazimu walinzi wa viongozi kuingia ndani ya ukumbi kwa kuweka hali ya amani kwani wajumbe walianza kuvamia viti vyao kwa nia ya kuwapongeza.

Hali ilipozidi, walinzi wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda walimwondoa haraka na kumweka katika chumba maalumu hadi hali ilipotulia huku idadi kubwa ya walinzi ikisogea kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta.

Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na Kile Cha Shigongo, Straight Talk Africa

Posted: 03 Oct 2014 12:00 AM PDT

Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV vinavoangaliwa na watu wengi duniani kote.So,jana tar.30/9 nilimsikiliza Diamond akiamua kuwa jasiri na kupima uwezo wake wa kukimudu kimombo pale alipofanya interview ya kimombo na Mrembo Sporah Njau wa The Sporah Show kinachorushwa Clouds TV kutokea London.

Na wakati huu namsikiliza Eric Shigongo akifanya interview na presenter mahiri wa kipindi cha Straight Talk Africa,Prof Chaka Ssali wa The Voice of Africa.Nawapongeza kabisaaaaaa but man,we can still pick a hole or two in the interviews: (1).The guys are trying too hard to impress and to sound relevant,nafikiri wakati mwingine wasipanie au wasiwe na fikra kuwa ndugu zao tunaowaangalia huku tuwakome,i mean wafanye interview wakiwa totally focused on the issues raised in the interviews na wasitake tunaowasikiliza "tuwakome" (2).Sporah alizungumza Queen's English wakati Diamond alitaka watazamaji tuamini kuwa yeye ni Kanye West au 50 Cent.

Hivyo hivyo Eric Shigongo wants us to believe kuwa yeye ni wa mitaa ya Brooklyn New York wakati yeye ni Msukuma through and through....ninachosema,they need not fake their accent,mbona Chaka Ssali ni profesa na anazeekea Marekani lakini hathubutu kusema accent ya kimarekani?

Yeye bado anapiga kiingereza chake cha Kabale Uganda and he's doing good!Nasema hivi,wanastahili pongezi lakini wazungumze kiingereza cha kawaida tu wasitake kutafuna maneno kama kina Obama,kufanya hivyo kunawaboa viewers because for one,they are not fluent,sasa kama hauko fluent utatakaje kujiongelesha accent ya kimarekani,people!Wanigeria na Wakenya mbona wanaongea tu kivyao vyao and we have come to like Nigerian English'oooo,haven't we?

Hongera Diamond,hongera Shigongo,mna afadhali kuliko Mh.Membe,siku moja nilimsikiliza kwenye kipindi kilekile cha Straight Talk Africa niliboreka sana,sikuona tofauti yake na Mulugo

Hii Ndio Zawadi Aliyopewa Diamond Jana Kwenye Birthday Yake, Kwa Taarifa yako Haikutoka Kwa Wema

Posted: 02 Oct 2014 11:55 PM PDT

Jana Ilikuwa Ni Siku ya Kuzaliwa ya Mwanamuziki Anaye Make Headlines Bongo na Nje ya Nchi Diamond Platnumz, Hakika wengi Walisubiri Kuona Mpenzi wake Wema Sepetu Atamzawadia Zawadi gani Kwa Vile Yeye Alizawadiwa gari na Diamond..So Wengi Tulisubiri kuona Atafanya nini ....Lakini Jana Zawadi kubwa iliyotolewa ilikuwa ni Gari Aina la BMW ambalo Diamond Alipewa Zawadi na Management Team yake ..Ikimaanisha kina Babu Tale....Mie Sikuwepo kwenye Party Hiyo kwa anayejua Wema Alitoa zawadi Gani Atujuze Basi Hapo Kwenye Comment.

Kweli Mwisho wa Dunia Umekaribia..Embu Ona Huyu Mchungaji Anavyomwombea Huyu Mama

Posted: 02 Oct 2014 11:40 PM PDT

Wanawake MUNGU awasaidie sana Mjue kujenga Mahusiano binafsi ya karibu na MUNGU mwenyewe kuliko kutegemea sana kuombewa hovyo hovyo,Kisa tu Umeambiwa na Rafiki yako kwamba yuko Apostle flani ana Upako sana.
Ndio ni kweli mna Matatizo mengi yamewasonga yakiwemo Ndoa zenu Watoto wenu,Biashara zenu,na Kadharika,Na mara nyingi nia yenu ni kufunguliwa kwenye hivyo vifungo vinavyowasumbua.Na shetani yuko karibu sana nanyi kwasababu anajua Nguvu iliyomo ndani yenu, ila wengi wenu hamjielewi.Ndio maana Mnafanyiwa vitu vingi sana kwa jina la kukombolewa na baadhi ya Watumishi kwa imani kwamba Mtapona.Na ndio maana kila huduma maombezi Mmejaa nyie na Ndio maana inakuwa rahisi sana kwenu kudhurumiwa mambo mengi kwa kujenga imani kubwa sana kwa watu kuliko BABA yenu.
Hebu tazama picha kama hii,Mumeo akikukuta unafanyiwa Maombi ya Staili hii "Atakuelewa kweli!?
Jifunzeni kumlilia MUNGU vyumbani mwenu na Mkumbusheni ahadi zake juu ya Maisha yenu na vizazi vyenu

Udaku Specially

unread,
Oct 4, 2014, 4:11:36 PM10/4/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mume na Mke Watwangana Hadharani kisa Pombe

Posted: 04 Oct 2014 07:22 AM PDT

Njemba mmoja aliyefahamika kwa jina la Zeno na mkewe Mwajuma Mtata, wakazi wa mtaa Mrefu,  Kigogo-Luhanga jijini Dar wamenaswa wakiangusha bonge la timbwili barabarani na kusababisha umati wa watu kujikusanya eneo hilo kujionea ‘sinema’ ya bure.

Tukio hilo lililofananishwa na muvi ya kivita lilitokea usiku wa Jumanne iliyopita ambapo chanzo kimedaiwa kuwa ni mwanamke huyo kutelekeza jikoni kitoweo cha maini ya mbuzi na kwenda baa kupata kilaji.

Kwa mujibu wa chanzo  cha  kuaminika, siku ya tukio, Zeno alirudi nyumbani mida ya jioni mkononi akiwa na kifurushi chenye maini ya mbuzi pamoja na mazagazaga mengine zikiwemo ndimu, tangawizi, pilipili hoho, nyanya na vitunguu kupokelewa na ‘mai waifu’ wake huyo.

 Baada ya Zeno kumkabidhi mkewe mazagazaga hayo kwa ajili ya mlo wa usiku, alimuaga mkewe kuwa anakwenda kutembea ili akirudi akute msosi uko tayari, wale, walale.

“Sasa akiwa pale baa, alizidi kunogewa na masaa yalizidi kupotea ndipo Zeno alirudi nyumbani na kukuta mlango umeegeshwa na mkewe hayupo huku akisikia harufu kali ya kitu kuungua na kumfanya apige chafya.

Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwamba, Zeno akiwa katika sakasaka yake ndipo alipombamba mkewe kwenye baa hiyo akimalizia ‘kunyonya’ kilevi kikali.

Bila kuuliza, Zeno alimkunja mkewe na kumtoa nje huku akimpa makofi ndipo Mwajuma akaona kama anaonewa hivyo akamvizia mumewe na kumchota mtama ambapo wote walikwenda chini kutokana na kuwa katika hali ya kuzidiwa na kilaji.

Timbwili hilo liliendelea nje ya baa hiyo ambapo vijana wawili wa mtaani hapo waliofahamika kwa majina ya Haidani na Kulwa walihofia yangeweza kutokea machafuko zaidi wakakimbilia kwa mjumbe wa eneo hilo aliyefahamika kwa jina la Shukuru lakini walimkuta mke wa mjumbe ambaye aliwaambia mumewe alikuwa kazini.

Wapenzi hao baada ya kugaragazana vya kutosha ikiwa ni pamoja na kuvuana nguo, mwanaume alianza kumburuza mkewe na kurudi nyumbani kwao ambapo walipofika eneo la Kwamkoma walianza kutifuana tena kabla ya kuamuliwa na wasamaria wema.

Mateka Mwengine wa Uingereza Akatwa Kichwa na Wanamgambo wa Kiislam (ISIS)

Posted: 04 Oct 2014 07:09 AM PDT

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning raia wa Uingereza akikatwa kichwa.
Henning mwenye umri wa miaka 47 ambaye ni dereva wa texi kutoka kaskazini mwa Uingereza alitekwa nyara mwezi Disemba mwaka uliopita alipokuwa akilifanyia kazi shirika moja la kutoa huduma za misaada kwa wakimbizi nchini Syria.
Kundi la Islamic State ambalo limechukua udhibiti kwenye maeneo ya mpaka kati ya Syria na Iraq tayari lishawaua waandishi wa habari raia wa Marekani James Foley na Steven Sotlof pamoja na mfanyikazi wa kutoa huduma za misaada kutoka Scotland David Haines.
Mapema babake John Cantlie raia wa Uingereza ambaye anashikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State aliomba kuachiliwa kwa mwanawe

Ushauri Wa Sintah Kwenda Kwa Mke wa Sugu Faiza Baada ya Kupost Instagram Kuwa Ndoa Yao Imevunjika

Posted: 04 Oct 2014 12:37 AM PDT

"Wakati pepo linaendelea kusimamia kucha na kutawanya ndoa/mahusiano ya mastar abroad na Bongo city, mie naendelea kuswali sana kumuomba Mungu anusuru mahusiano na ndoa ambazo tayari zina watoto ndani yake, wakati Faiza analia sana na akiamini kwamba kwenye Instagram atapata afueni naomba nimwambie BIG NO.....

  Faiza dear ,naomba nigeuke kuwa mshauri wako leo 
Social Media haikusaidii chochote ndugu ukitangaza unamatatizo kuna watu wanafurahia matatizo yako na wengi wakichekelea bora, wengi katika page yako wata comment pole lakini wanakun'gon'ga,,,,bora ungekuja huku kama anonymous tukakushauri bila mtu kujua ni wewe ama? hizo sifa za Instagram ziache na si kwa sugu tu, bali hata your next, i know how u feel but Instagram audience wont help u dear ....

muombe Mungu kwa sasa na acha ku post ujinga on IG katika hii dunia hakuna asiye na matatizo katika ndoa/mahusiano yake, hata hao unawaona wanacheka nje ila ukiingia ndani ni kiama, plz try to be secretive 
watu wana matatizo yako madogo but huwasikii waki yaraya  IG, nakuonea huruma sana tena sana ila ukweli naomba nikwambie .

not only you hata wasichana wengine pia but nakuchukulia wewe kama case study kwakuwa umejitangaza
hii ni dunia utakuja tu kugombana na mtu watatumia udhaifu wako kuku  destroy , usione sie tunaambiwa tunaficha watoto ktk box we try to put our family issues outside the box kwa kuhofia hayo mtu akiku destroy should be u not ure family member

ukichukua ushauri wangu well n good, usipochukua uache but ipo siku utanikumbuka na kusema kuna mtu aliniambia, hii blog huwa tunatoa ushauri na kuwapa watu ukweli ila kama unavyojua watu hawapendi ukweli... ila hatutochoka kusema ukweli" Sintah

Bendera ya Kenya Yapepea Pemba

Posted: 04 Oct 2014 12:04 AM PDT

Haya wadau jipya hilo wakazi wa Pemba sasa ameanza kupeperusha bendera ya Kenya hii ikiashiria kuwa wapo tayari kuwa sehemu ya Kenya ,bendera hizo zimeonekana zikipepea juu ya Miti mkubwa ikiwemo miembe na minazi'

Bendera hizo zimeonekana sehemu za Mkoani ,Chake na Konde ikiwemo Wete ,vyombo husika vimegoma kuipanda miti hiyo na kupachua bendera hizo wakiogopa mambo ya kishirikina.

Sasa haijulikani kama hii ni njia mbadala ya kisiwa hicho kuendeleza madai ya kujitenga au ni hasira za kuchakachuliwa theluthi za Zanzibar huko Dodoma.

Mtifuano Wa Katiba Mpya Wahamia Uraiani, CCM Kupata Kibarua Kigumu

Posted: 03 Oct 2014 11:57 PM PDT

Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia uraiani.

Msuguano kuhusu Katiba hiyo unatarajiwa kuendelea mitaani, ndani ya vyama vya siasa na kwenye majukwaa kutokana na tofauti ya mitizamo iliyoibuka kuhusu Rasimu ya Katiba iliyopitishwa.

Ingawa matokeo ya kura za ushindi yalipokewa kwa furaha na wajumbe waliokuwapo bungeni kwa kucheza na kurusha vijembe kwa wapinzani, huenda kibarua kitakuwa kigumu kwa CCM itakapolazimika kupambana na wananchi, wanasiasa, wanaharakati na viongozi wa dini ‘waliojeruhiwa’ na mwenendo wa Bunge.

Bunge hilo liliendeshwa kwa upinzani mkali kutoka kwa makundi mbalimbali ya watu waliokuwa wakitaka lisimamishwe kwa madai kuwa limechakachua maoni yao kama yalivyopendekezwa kwenye Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Jaji Joseph Warioba.

Wanaume Wakizungu Wanajua Mapenzi Zaidi Kuliko Weusi ...Kuna Ukweli Juu ya Hilo ?

Posted: 03 Oct 2014 11:42 PM PDT

Dada Zetu wa Kibongo Wana Kamsemo kao Kuwa Wanaume Wa kizungu Wanajua zaidi Mapenzi kuliko Wabongo,  Je Kuna Ukweli Wowote Juu ya Hilo ? Au Wanafuata Pesa tu ?

Didas Fashion Amshukia Clouds 112 wa Bongo Movies , Asema Amelamba Ndimu na Kufunguka Mazito

Posted: 04 Oct 2014 06:01 AM PDT

Kupitia ukurasa wa Didasfacion wa Instagram Jana , Mwanadada huyu aishie UK ..Amefunguka Makubwa Kuhusu Bongo Movies hususan Muingizaji Clouds 112...Ambae Imejulikana kuwa Alimzibia Riziki ya Kwenda Ulaya Mwigizaji Frank na Kujipigia debe yeye kwenda Kuigiza Movie ya Mateso Yangu Ughaibuni iliyoandaliwa na Didas fashion aishie Huko ..Jisomee Mwenyewe Hapo chini:

"Hahahaha @eshasbuheti na wewe umejitoa kwa ajili yangu kama @stevenyerere2 au?. Mungu huyu analipa hapa duniani. ... Nina mengi ya kuongea alafu mie huwa siongei kwa maneno naongea na evidence. Nina dhambi za mtu natembea nazo na siku kichaa kikinipanda nitazimwaga hadharani, watu wataacha midomo wazi. Watu wanavaa majoho ya mungu kujifanya wema. Na hapo ndio mtajua kwanini movie yangu ya Mateso Yangu Ughaibuni sijaitoa mpaka leo. Nilinyamaza, ila subirini ma evidence yanakuja. Mi mstaarabu ila ni Kiazi kibovu mnooo.

Nasema nimeramba ndimu, nimechoka sasa ni wakati wa kutapika, naomba waandishi wa habari msogee huku kwa page yangu haraka. Maana ule muda muwafaka umekaribia. Mimi ni Mmanyema halisi. Nimekaa kimya nimechoka. Hawa ni wanawake wenzangu. Pole sana @sabrinarupia alafu ninavyo kupenda wewe dada acha tu. It's time.

Jamani mnamuona huyu kaka hapa? Huyu kaka anaitwa Frank kwa wale msio mjua. Huyu kaka ndio alikuwa aje UK kucheza movie ya MATESO YANGU UGHAIBUNI. Na tulisha kubaliana hadi bei maskini na kila kitu kilikuwa poa. Mara ghafla nikapokea simu ya kinafki, na wakati huo mie nilikuwa sijui lolote kuhusu bongo movie. Nikaambiwa huyu kaka ninae taka kumchukua hajui kucheza wala ku direct movie. Nika pampiwa vibaya mnoo mpaka nikatia akili. Frank kokote ulipo naomba unisamehe najua ulikuwa tayari umekuwa na tamaa ya safari ya kuja ulaya, ila waziba rizki wakafanya yao. Wacha naishi hapo. Hii ni intro tu. Hadithi kamili inakuja. Kaeni na ndimu zenu.
-----------------------------------
Clouds 112 Haya uliniita mimi tapeli tena mzulumati, nimekudhulumu million 8 za kuja kucheza movie, ukaenda mpaka kwenye magazeti kusema, nikapigiwa na wenye magazeti, nikawapa ukweli na ushahidi. Tena huu ni mfano tu, ninazo nyingi na za aibu, na bado naendelea. Frank aliniomba nimlipe Tsh 2 million kucheza hiyo movie, nikakubali, wewe ukasema kila kitu utafanya bure ila nikisha uza movie nikufikirie, sasa leo umemfanya @stevenyerere2 kajiuzulu eti kisa kanisaidia uzinduzi, na hela ya PSPF tumekula, huu ni mfano nakuja kumwaga mengi. Ulijitole kila kitu bure uje ulaya, leo umenipaka mavi dunia nzima mimi tapeli, unawafanyia fitna watu wote wanao kaa karibu na mimi. Hii ni haki? Sawa mimi tapeli dhulumati, zote ni njia za kutafuta riziki. Tutafika hata mahakamani. Bado na rudi na mazito zaidi. Ongezeni ndimu



Clouds 112 Nilihangaika kwa nguvu zangu ili nifanye kitu tofauti. Nahangaika na familia yangu. Hata kama movie niliicheza kimaskini, kwani nyie movie zenu mnazicheza kitajiri? Nimeiba, nimenyang'anya, nimekopa kukupandisheni ndege kuja kucheza movie. Kuna matajiri wangapi wana hela zao na visa kupata hawapati? Wangapi wanaingia ubalozini wanakosa visa. Eti unaaenda kumwambia distributors wasichukue movie yangu kisa umedhulumiwa. Unaweza wewe kuzilipa gharama zangu hata kama ni ndogo? Rizki yangu ninavyo itafuta unaijua? Ninavyo hangaika kutafuta maisha na kupigana usiku na mchana unajua? Hujaziba bado rizki yangu ya hiyo movie, mungu akiniandikia hata Kenya watanunua na wata distribute, karoge sasa. Am sick and tired. Nime nyamaza ila nimeshindwa kuvumilia. Wapenzi wangu naomba mnisamehe. Nahangaika kutafuta riziki nile kwa jasho langu na nguvu yangu. Sijakutuma unipe offer yakucheza movie bure ili ukalalamike. Sijamaliza evidence. Mpaka za mapenzi pia. Nakuja nazo

Nadhani Kuna haja ya Kusikia Kutoka Upande wa Pili wa Clouds 112...


Bongo Movie Yazidi Pukutika Esha Buheti Ajitoa Rasmi na Kusema Haya Hapa Chini

Posted: 03 Oct 2014 08:48 PM PDT

Mrembo Mcheza Filamu za Bongo Esha Buheti Amefunguka Haya Hapa chini Kuhusu Uozo wa Kundi la Bongo Movies.....

Udaku Specially

unread,
Oct 5, 2014, 4:28:20 PM10/5/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Matokeo ya Yanga SC dhidi ya Wanajeshi JKT Ruvu Haya Hapa

Posted: 05 Oct 2014 10:29 AM PDT

Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Kelvin Yondani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga Imeshinda katika Mchezo Huo

Matokeo ya Arsenal vs Chelsea Haya Hapa

Posted: 05 Oct 2014 10:25 AM PDT

Ile mechi ya kuamua nani mbabe wa jiji la London kati ya Chelsea dhidi ya Arsenal imemalizika muda mfupi uliopita.
Matokeo kwenye mchezo huo uliokuwa na kashi kashi nyingi ukiwemo ugomvi wa kushikana mashati wa Wenger dhidi ya Mourinho – ni ushindi wa 2-0 kwa Chelsea.
Eden Hazard alianza kuiadhibu Arsenal kipindi cha kwanza baada ya kufunga mkwaju wa penati baada ya kufanyiwa madhambi na Koscienly.
Kipindi cha pili katika dakika za mwishoni Diego Costa alipokea pasi nzuri kutoka kwa Cesc Fabregas na akaifungia Chelsea goli la pili na kuhitimisha ushindi huo dhidi ya Gunners.

EPL: Matokeo ya Manchester United vs Everton Haya Hapa

Posted: 05 Oct 2014 10:22 AM PDT

Baada ya kukubali kunyanyashwa mara mbili mfululizo msimu uliopita na Everton, hatimaye leo Manchester United ilipata nafasi kufuta uteja wao kwa klabu hiyo ya Merseysed.
Katika mchezo uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Old Trafford umemalizika kwa Man United kufuta uteja mbele ya Everton.
Kikosi cha Louis Van Gaal kimefanikiwa kupata ushindi wa 2-1.
Angel Di Maria alifungua akaunti ya magoli katika mchezo wa leo katika dakika ya 25 baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Juan Mata.
Dakika moja kabla ya mapumziko Leighton Baines alikosa mkwaju wa penati baada ya Luke Shaw kumkwatua mchezaji wa Everton.
Kipindi cha pili Everton walirudi vizuri na kufanikiwa kupata goli la kusawazisha kupitia Naismith.
Baada ya goli hilo Man United wakajipanga upya na alikuwa yule yule Angel Di Maria akatoa pasi nyingine ya mwisho kwa Falcao aliyefunga goli la ushindi.
United inabidi wamshukuru kipa David De Gea kwa kazi nzuri aliyoifanya kuokoa michomo ya magoli ya wazi na hatimaye wakafanikiwa kumaliza mchezo wakiwa na ushindi wa 2-1.

Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo

Posted: 05 Oct 2014 06:27 AM PDT

Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Stamina ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani.

Stamina aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye.

“Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, pili alijua kucheza na timing kitu ambacho ni cha umuhimu sana,” Stamina aliambia Bongo5. “Na tatu jinsi alivyopandisha thamani ya wimbo huo kwa kufanya kolabo na msanii mkubwa Africa kama Davido. Sasa kwanini isifanye vizuri? Kwahiyo timing, yaani muda wa kutoa hiyo remix. Kwasababu hauwezi kutoka remix kabla haijatoka original version. Unakuta original version imekufa wewe unadhani kufanya remix ndo utairudisha? Umefanya nyimbo ya masikitiko, nyimbo ya masikitiko unaifanyiaje remix, unataka usikitike nini zaidi? Remix nyingi zinakuwa ni nyimbo za party au nyimbo za umimi. Yaani zile nyimbo za kama kutuNishiana na kuoneshana nani zaidi. Kwahiyo tatizo kubwa wasanii wengi wanakosa kujua mambo kama hayo,” alisema Stamina.
-Bongo5

Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa

Posted: 05 Oct 2014 06:28 AM PDT

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa.

Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. “Sasa hivi tuna miezi tisa, nadhani ndio the longest relationship,” amesema Ben kuhusu uhusiano na Latifa.

“Unajua nimekutana na watu wa aina tofauti. Nimekutana na watu ambao labda wanakuwa na expectations kubwa zaidi kuhusu mtu fulani, kwahiyo akiingia kwenye maisha yako labda kuna vitu ambavyo yeye tayari alishapicture, ‘labda Ben Pol tutakuwa tunakula bata every weekend, tunakula bata milioni, tunaenda huku kule everyday. Kwahiyo mtu anaweza akaja kwenye maisha yako akakuta sio mtu wa hivyo, ni staa ndio lakini you don’t go to clubs mara kwa mara, you don’t do this, you don’t do that kama mastaa wengine. Kwahiyo mtu anakuwa disappointed anatoka kwenye maisha yako. Ndio hicho ambacho nimeexperience zaidi kwenye mahusiano yangu yaliyopita.”

“Kwahiyo ukipata mtu ambaye akakuelewa hivyo, inatia moyo kidogo.”

Ben Pol amesema hata hivyo uhusiano wake na Latifa haujawa rasmi kabisa kwakuwa bado hajaenda kujitambulisha kwao.

“Lakini at least naweza kusema nina hatua moja katika tano au katika tatu.”
-Bongo5

Uzuri Wamponza Dada Huyu, Wenzake Wamuonea Wivu na Kumrarua Sura

Posted: 05 Oct 2014 06:09 AM PDT

WASICHANA ndugu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 na 18 wamemshambulia kwa visu binti mwenye miaka 15, kwa lengo la kumkomesha kwa sababu anasifiwa kuwa mzuri. 

Katika tukio hilo la aina yake, ndugu hao walimvizia msichana huyo, Julia Alvarez(15), njiani wakati anakwenda nyumbani mjini Juan Domingo Peron kwenye jimbo la Formosa Kaskazini mwa Argentina.

Kwa mujibu wa kauli za wasichana hao, walifanya unyama huo kwa kuwa hawakupenda kusikia sifa alizokuwa anapewa binti huyo kuwa ni mrembo sana.

Mwathirika huyo, Alvarez alisema wakati anashambuliwa, wasichana hao walisema, walitaka kumharibu awe anatisha kama mcheza sinema za kutisha, Chucky.

Msichana huyo alisema alivamiwa wakati anakwenda nyumbani kujiandaa kwenda kuwatembelea rafiki zake, wasichana wawili walimvamia, wakaanza kumpiga na kumwangusha chini. Alvarez amesema, baada ya yeye kuanguka, wasichana hao walitoa visu na wakasema,

“Kila mtu anasema una mvuto, tukikumaliza mvuto wote utaisha, watu watakuita Chucky”. Mtoto huyo alikatwa kwa visu kwenye sehemu mbalimbali mwilini hasa usoni na mgongoni. Baada ya kumuumiza binti huyo, wasichana hao walikimbia na kumwacha amelala kwenye dimbwi la damu, mpita njia alimwona, akamkimbiza hospitali.
Inadaiwa kuwa, awali polisi hawakuchunguza tukio hilo lakini dada wa majeruhi aliweka picha za mdogo wake kwenye mtandao wa facebook, ndipo watu wakashinikiza haki itendeke. Wasichana waliomshambulia Alvarez wakamatwe.

“Walimwonea wivu mdogo wangu kwa muda mrefu, na kila mara walimkashifu na kumtukana lakini hatukutarajia kufika mbali kiasi hiki. Nimejaribu kuwa mvumilivu kwa ajili ya mdogo wangu mrembo lakini kila mara nikimwona nataka kutokwa machozi, wameharibu maisha yake,” amesema mwanamke kwenye ukurasa wa facebook akijitambulisha kuwa ni dada wa binti aliyejeruhiwa.

“Alisema anataka kujiua kwa sababu sasa akijitazama kwenye kioo anajiona mbaya, imeharibu familia yetu,” alieleza mwanamke huy

Lulu Michael Afunguka Kuhusu Ukaribu Wake na Martin Kadinda

Posted: 05 Oct 2014 06:07 AM PDT


Binti  Mrembo  ndani  ya Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada.
Akizungumza na mwandishi wetu, Lulu alisema yeye na Kadinda ni marafiki wa kweli na amekuwa akiyafurahia  maisha yao kwa kushauriana masuala mbalimbali ya kimaisha tofauti na wengine wanavyojiongeza.

“Kadinda ni mtu wangu wa nguvu hakuna kingine zaidi ya urafiki wa kawaida, manenomaneno ni kawaida kwa wanadamu,” alisema Lulu.

Mara ya Tatu Sasa Namwota Secretary wa Kazini Kwetu Nikifanya Nae Mapenzi

Posted: 05 Oct 2014 12:50 AM PDT

Kaushauri ndugu zangu; usiku wa kuamkia leo ni siku ya tatu siyo mfululuzo naota nafanya mapenzi na secretary mmoja ambae yupo kazini kwetu ila sipo nae ofisi moja.

Sijawahi kumtongoza, sina feelings zozote na yeye, wala sijawahi kufikiria kumtongoza. Hizo mara mbili nilivyomwota sikumwambia maana niliona kama ninaweza kujenga ukaribu ambao sijau-plan. Lakini mara hii ya tatu naona si vema nikae tu kimya maana siku hiz watu wana technic-know-how. Nitamweleza mbele za watu kuwa nimeota nimefanya nae mara tatu. Sina mazoea ya kuota kufanya mapenz ndotoni imetokea kwake tu ndo maana nimeona si kitu cha kawaida kwangu na pia bora angekuwa mtu hata nam-feel ningechukulia hivo. Naombeni Ushauri Kwa Wanaojua Mambo ya Ndoto

Katiba Iliyopendekezwa Bunge la Katiba Sitta ni Shujaa au Msaliti?

Posted: 05 Oct 2014 12:42 AM PDT

HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.

Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii...Je wewe Unamweka Katika Kundi lipi Kati ya Hayo Mawili ?

Hatimaye Mwigulu Afunguka Kuhusu Urais 2015, Wanafunzi, Wafugaji Wachangisha Fedha za Fomu

Posted: 05 Oct 2014 12:37 AM PDT

Akizungumza na gazeti la Mwananchi. Mtoto wa Mfugaji ambaye ni Naibu Waziri wa fedha amesema tayari watu mbalimbali na makundi mbalimbali wameshaanza kuchangisha fedha kwaajili ya Kumchukulia fomu ya Urais mwaka 2015.
Hii inatokana na uadilifu wake na Utendaji wake uliokatika kiwango cha juu hasa katika kutetea wanyonge....Toa Maoni Yako Kama Unaona Anafaa Kuwa Rais Wako Ama la?

Wanawake Safarini Hawajui Kukataa Wakitongozwa , Kabla Hata Hamjafika Kitu Mchelemchele

Posted: 05 Oct 2014 12:26 AM PDT

Yaani ni mchele mchele ukikaa naye siti moja katika basi moja kwa safari ndefu ya kutoka dar kwenda kwa mfano Mbeya, Bukoba, Mwanza nk, Ikitokea Umemtongoza tu kabla hata hamjafika morogoro tayari kitu kimeshaeleweka, ila tu jiandae kubeba jukumu la kumnunulia "tuvyakula" njiani...Kuna Jamaa Alishawahi kutuandikia na Tukapost hapa kuwa alimtongoza demu kwenye basi na akala mzigo siti za nyuma za basi ..Je Kuna Ukweli Juu ya Hili ...Please Leave Your Comment 

Picha Mbali Mbali Jinsi Halima Mdee na Wanawake wa Bawacha Walivyochukua Kichapo na Kukamatwa na Polisi

Posted: 05 Oct 2014 12:20 AM PDT




Jana mchana taarifa za kukamatwa kwa M/kiti mpya wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Mh Halima Mdee ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Kawe zimesambaa kila kona ya mitandao na vyombo vingine vya habari....

Wamekamatwa kwa kufanya maandamano ya Amani ya kuelekea Ikulu kumwomba Mh Rais asipokee rasimu iliyochakachuliwa...naimani unafahamu fika jinsi rasimu hiyo imekuwa na utata na mpaka mwisho mambo mengi muhimu na ya msingi ya Kitaifa yameondolewa na wabunge wa Bunge maalumu la Katiba....

Sasa nauliza, kosa la Halima na wafuasi wake (Bawacha) ninini? Kupeleka kilio chao kwa Rais? Je maandamano si haki ya kikatiba? Kuna nini nyuma ya huu mtindo wa polisi kupiga raia badala ya kuhakikisha usalama wa raia???

Ugomvi wa Mipaka ya Viwanja Ni Shidaa, Embu Ona Hawa Walivyofanyiziana

Posted: 05 Oct 2014 12:02 AM PDT

Ugomvi wa Mipaka ya Viwanja vya Kujenga Nyumba unapofikia hali hii kuna hatari hata ya kukatana mapanga , Kinachoonekana Hapo kwenye hiyo Nyumba ni kukosa maridhiano kati ya majirani hao wawili , Huyu mwenye nyumba inaonekana alijenga nyumba yake na kuingia kidogo katika kiwanja cha mwingine ambae nae baada ya kukuta hivyo akajenga ukuta kwenye mpaka wake ambao ukuta umeingia mpaka kibarazani kwa Jirani.....Unawaambia nini Watu Hapo ?

Udaku Specially

unread,
Oct 6, 2014, 4:40:53 PM10/6/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Gari Aina ya Rav 4 Inauzwa Kwa Bei Nafuu Kabisa..Changamkia Kabla Halijanunuliwa na Mwingine

Posted: 06 Oct 2014 03:23 AM PDT

 Gari Aina ya Rav 4 Inauzwa Kwa Bei Nafuu Kabisa..Changamkia Kabla Halijanunuliwa na Mwingine..Gari ina Number ya CHY ,,Ipo Dar Es Salamaa na Ina Hali Nzuri Kama Unavyoona Kwenye Picha ....Piga Simu 0658139888



Tofauti na Ilivyofikiriwa Diamond Aonyesha Live Hadharani Kuwa Anamkubali Shem Wake Petit Man

Posted: 06 Oct 2014 03:15 AM PDT

Stori: Mayasa Mariwata
HESHIMA! Tofauti na ilivyokuwa ikifikiriwa na wengi kwamba hamkubali shemeji yake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonyesha kumkubali shemeji yake Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ hadharani.

Hivi karibuni uvumi uliibuka kuwa Diamond hakufurahishwa na kitendo cha dada’ke kuolewa na Petit ndipo msanii huyo alipoamua kukata ‘vilimilimi’ kwa kusema uvumi huo hauna ukweli katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Oktoba 2, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Golden Jubilee Tower, Posta jijini Dar.

“Kwa bahati mbaya dada yangu Esma anaumwa hajafika humu ndani, sasa kwa kuwa sasa hivi ameolewa na mtu ninayemkubali, namuita mumewe, shemeji yangu ninayemkubali, Petit Man aje kula keki badala yake,” alisikika Diamond.

Tanzania Yang’ara Uzinduzi wa Big Brother Africa, Mtanzania Achaguliwa Kuwa Head Of House

Posted: 06 Oct 2014 03:11 AM PDT

Shindano linalopendwa  na wengi  barani Afrika, maarufu la Big Brother Afrika ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa 9 likijulikana kama Big Brother Hotshot lililoanza usiku wa kuamkia leo Tanzania imeng’ara hasa kwa washiriki wake kufanya vizuri katika muonekano wa awali sambamba na shoo iliyopigwa na mwanamuziki Nasseb Abdul ‘Diamond’ aliyeteka umati uliohudhuria uzinduzi huo.

Halfa hiyo ya masaa mawili ambayo imeweza kushuhudia washiriki  26,  imekuwa  gumzo pale washiriki wanaoiwakilisha Tanzania msimu huu wa 9, Laveda na Idriss wakifanya kweli katika utambulisho wao huku mwanamuziki Diamond akikonga vilivyo na wimbo wake wa ‘My Number One’.

Tanzania imekuwa na bahati ya kipekee kwa mshiriki wake huyo, Laveda ambapo aliteka umati mkubwa kwa kuonesha uhodari wake wa kupuliza “Saxophone”, hali iliyopelekea kupigiwa kura nyingi huku akishangiliwa kwa shangwe muda wote.

Kura hizo alizopigiwa Laveda na kuwa juu ya washiriki wote 26, pia zimemfanya awe Mkuu wa jumba hilo ‘Head of the House’ mpaka hapo itakapoamuliwa na Biggy. Kura alizopigiwa Laveda ni 85.0 huku mshiriki wa Kenya, Sabina akipata kura 78.3, ambaye yeye alionyesha uwezo wake wa kuchekesha kwa kutumia maneno.

Angalia Video zao Hapa Chini:

‘Batuli’ Azua Utata wa Aina Yake Kufuatia Kunaswa Akimpiga Busu Mzee Chilo

Posted: 06 Oct 2014 02:41 AM PDT

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amezua utata wa aina yake kufuatia kunaswa akimpiga busu matata mkongwe, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’.

Baada ya picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa ‘very close’ wakifanya tendo hilo kunaswa na paparazi wetu, paparazi wetu alimtafuta Batuli na kumuuliza kulikoni?

“Aaah wewe acha mambo yako, busu la kawaida hilo bwana hakuna cha ziada, tulikuwa katika sherehe flani hivi Dodoma ndipo nikajikuta tu nimempiga busu,” alisema Batuli.

Wema Sepetu na Mwanamuziki Diamond Wazindua Gari Kwa Mahaba Mazito Huku Watu Wakishuhudia

Posted: 06 Oct 2014 02:23 AM PDT

Stori: Richard Bukos
Mahaba nimalize! Mastaa wapendanao, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wamesababisha tukio jipya kama kawaida yao, safari hii wameishtua kadamnasi kwa kuzindua gari jipya kwa mahaba mazito ndani yake, Ijumaa Wikienda lilinyaka mchongo mzima.

KAMA MUVI YA MAPENZI
Tukio hilo lililojiri kama muvi ya mapenzi (romantic movie) lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Ukumbi wa Golden Jubilee uliopo Posta jijini Dar wakati Diamond alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na kujizawadia ndinga aina ya BMW X6 ambalo waliligeuza kuwa uwanja wa malovee wakati walipokwenda kukabidhiwa na menejimenti yake ya Wasafi.

SHEREHE ILIVYOANZA
Awali, waalikwa sambamba na mastaa mbalimbali wakusanyika kwenye ukumbi huo na ilipofika saa 5:00 usiku, Diamond akiwa ameambatana na ubavu wake, Wema sambamba na mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’, waliingia na sherehe kuanza.

TUKIO LA ZAWADI
Baada ya sherehe hiyo kupambwa na matukio mbalimbali zikiwemo bendi za asili na wasanii, ulifika wakati wa zawadi ndipo wageni waalikwa walipoanza kujinadi kupitia kipaza sauti na mwishoni ikawa ni zamu ya menejimenti ya Wasafi ambayo ilitamka kuwa inatoa gari hilo.

CHIEF KIUMBE NDANI
Pedeshee maarufu Bongo ambaye kwa sasa amemrudia Mungu na kuwa mtu wa ibada, Chief Kiumbe hakuwa nyuma katika eneo la zawadi, alifanya kufuru kwa kumrushia Diamond mabunda ya dola za Kimarekani.

BABU TALE SASA!
Baada ya kufuru ya kurushiwa ‘madolari’, funga kazi ya zawadi ilimaliziwa na meneja wa msanii huyo, Bab Tale aliyepanda jukwaani na kutangaza kuwa uongozi na familia ya mwanamuziki huyo wamemnunulia gari jipya aina ya BMW X6 na kumtaka ampeleke lilipoegeshwa amkabidhi.

WATU WASHUKA UKUMBINI
Kwa kuwa ukumbi huo upo ghorofani, waalikwa wote sambamba na ‘birthday boy’, Dangote au Chibu, walishuka kwa kutumia lifti za jengo hilo kwenda kuliona gari hilo lililokuwa limeegeshwa katika ‘parking’ maalum.
MAMA AKABIDHI
Mbwembwe na mikogo ya kimahaba kati ya Diamond na Wema iliendelea hadi pale mama Diamond, Sandra alipomkabidhi mwanaye huyo funguo za gari hilo, wakazama ndani.

MAHABA MAZITO
Kitendo cha wawili hao kuingia ndani ya gari hilo lenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 90 za Kitanzania na kufunga milango, kilikuwa ni mwanya mzuri kwao kuanza kuoneshana mahaba motomoto ambapo Diamond alimminia mtoto wa kike mabusu ya kumwaga kisha kugandana kama kumbikumbi.

WATUMIA DAKIKA 20
Wapendanao hao walionekana kuzidisha mahaba ambapo walijifungia ndani ya gari hilo kwa zaidi ya dakika 20 na kufanya yao huku watu wapenda ‘ubuyu’ wakiwachungulia kwa dirishani lakini wale waungwana waliamua kutazama pembeni wasione mambo ya chumbani hadharani.
Baada ya kushuka ndani ya gari hilo, wawili hao walikumbatiana tena na kurudi ukumbini ambapo burudani za kula na kunywa ziliendelea.

KUMBUKUMBU MUHIMU
Hivi karibuni ilifanyika bethidei ya Wema ambapo Diamond alimzawadia mpenzi wake huyo gari aina ya Nissan Murano lenye thamani ya Sh. milioni 36 za madafu huku meneja wa wema, Martin Kadinda akimpa BMW ambalo limeibua mjadala juu ya uhalali wa meneja huyo kuwa na uwezo wa kulinunua.

Udaku Specially

unread,
Oct 7, 2014, 4:30:44 PM10/7/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Ukiachika Kama Siyo Malaya Utakuwa Malaya! Kama ulikuwa Malaya Utakuwa Malaya Zaidi na Zaidi

Posted: 07 Oct 2014 11:08 AM PDT

Tumekushauri kuvumilia umekataa katakata 'siwezi kuishi na huyu mwanaume, ni malaya sana, ataniua bure na maradhi'. Umeamua mwenyewe kuachika, tena kwa maneno ya kejeli eti najimudi kiuchumi so maisha yataenda tu bila huyu mume.

Haya! ndg zako tumeamua kukuacha uishi utakavyo mwenyewe na maisha yako. Cha ajabu hata miezi sita haijafika na wewe unakazi ya kukitomb....tu!! tulidhani wewe utaendelea kutulizana, mbona sasa na wewe unakazi ya kuwapanga tu!! Bora hata ungekuwa na mmoja tungedhani pengine ndo unategemea awe hubby mpya, sasa huo msululu ndg yangu, si unatutia aibu hata sisi ndg zako!? Halafu sasa tukutofautisheje na ulichokimbia kwa mumeo?

My general rule: ukiachika kama hukuwa malaya basi utaanza kuwa malaya, na kama ulikuwa malaya basi ndo utakuwa malaya hataree.

Msinitusi tafadhali, ni kauzoefu wangu ktk kuishi na kuona na ku-experience mengi ya mahusiano.

Mpishi Amchinja na 'kumpika' Mpenziwe

Posted: 07 Oct 2014 09:16 AM PDT

Mwanamume ambaye kazi yake ni ya upishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.
Aliyafanya unyama huo kabla ya yeye mwenyewe kujitoa uhai wake.
Marcus Volke, mwenye umri wa miaka 28, alijikataa koo yake huku akiwatoroka polisi waliokuwa wamekuja kufanya uchunguzi baada ya majirani zake kuripoti kuwepo harufu mbaya mfano wa nyama iliyooza iliyokuwa inatoka nyumbani kwa mwanamume huyo.
Maafisa wa polisi walipata sehemu za mwili wa mwanamke huyo zikitokota kwenye sufuria iliyokuwa imejazwa kemikali huku vipande vingine vikiwa kwenye karatasi za plastiki za takataka nje ya nyumba katika mtaa wa kifahari za Teneriffe.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa jarida la Brisbane Courier Mail. Mwanamke huyo raia wa Indonesia bado hatajambulishwa rasmi.
Wapenzi hao waliokuwa wanaishi pamoja walikutana wakiwa wanafanya kazi kwa meli za kifahari na wote walikuwa wameajiriwa.
Wakazi wa mtaa huo waliambia vyombo vya habari kuwa harufu mbaya ilikuwa inatoka katika myumba ya Volke na ikazidi kuwa mbaya siku ziliposonga.
"nilipotoka nje harufu hiyo ilisababisha machozi kutoka machoni na hata kunifanya kujihisi mgonjwa,'' alisema mkazi mmoja. ''Ungedhani chakula cha Mbwa au nyama ilikuwa imeachwa nje kwa siku kadhaa.''
Polisi wangali wanafanya uchunguzi.

Eric Shigongo Hakusoma Sekondari Kabisa ila ni Moto wa Kuotea Mbali

Posted: 07 Oct 2014 09:09 AM PDT

Jamaa amekuwa inspirational kwa rika tofauti,mjasiriamali mwenye mafanikio ila historia ya elimu yake yakushangaza sana alifeli darasa la saba mara mbili na ajasoma secondary kabisa ila ni mwandishi wa hadithi na vitabu mzuri kabisa na Anajua Kingereza Vizuri, Kingereza Alijifunza Ukubwani baada ya Kuona Kina manufaa katika Biashara zake ..Kwa Walio Angalio Kipindi cha  Profesa Shaka Ssali wa VOA katika kipindi straight talk of Africa walishudia alivyofit ....Jamani kukosa Elimu isiwe Kikwazo ,U can still do mambo Makubwa Tusikate Tamaa

Diamond ni Zawadi Kutoka kwa Mungu Kwa Watanzania..Ushahidi Huu Hapa

Posted: 07 Oct 2014 09:01 AM PDT

Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??

kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..

Zaidi hata ya Ally Kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!! ………………

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.

Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

Posted: 07 Oct 2014 08:59 AM PDT


Instagram Party Tanzania Tour 2014 juzi imeweka historia mpya ya Sherehe hizo zilizoanza mjini Dar Miezi 2 iliyopita baada ya watu Elfu Tano kufurika Ukumbi wa Jembeni Jembe wa Mjini Mwanza kusherehekea Sherehe hizo ambazo kwa mara ya kwanza zimetoka nje ya mkoa wa Dar kuanza na Mwanza juzi. Wakurugenzi wote 4 wa Instagram Party Tanzania Freddy + Gillsant + Bikira wa Kisukuma na Le Big Show wote walikuwepo kwenye sherehe hizo ambazo zilitumbuizwa na Ben Paul, Shilole, Jokate, pamoja na Wabiro. Sasa sherehe hizo zitakazozunguka Tanzania nzima zinahamia Mbeya. - Le Mutuz

Breaking News: Halima Mdee na Wenzake Wapelekwa Segerea

Posted: 07 Oct 2014 08:51 AM PDT

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee na wenzake tisa wamepelekwa katika Gereza la Segerea jijini Dar baada ya kushindwa kutimiza baadhi ya masharti ya dhamana yao.

Mdee na wenzake nane mapema leo walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar na kukana tuhuma zinazowakabili.

Mdee na wenzake hao wanashitakiwa kwa makosa mawili kototii amri za maofisa wa polisi na kufanya maandamano kinyume na sheria Jumamosi iliyopita ya Oktoba 4, mwaka huu.

Watapandishwa tena kizimbani hapo kesho saa 4 asubuhi.

(Habari na Deogratius Mongela/GPL)

Jaji Warioba: Siendi Ng'o Dodoma Kwenye Makabidhiano ya Katiba

Posted: 07 Oct 2014 08:49 AM PDT

Wakati Katiba inayopendekezwa ikikabidhiwa kesho kwa Rais Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hata akialikwa katika sherehe hizo hatahudhuria kutokana na majukumu aliyonayo kwa sasa.

Jaji Warioba alisema angependa kuhudhuria sherehe hiyo ambayo pia itahudhuriwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wakuu wa mikoa, mabalozi na wageni mbalimbali, lakini kutokana na dharura aliyoipata haitawezekana.

Sherehe hiyo itafanyika mkoani Dodoma kesho na Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta atakabidhi nakala ya Katiba inayopendekezwa kwa Rais Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein.

Katika hafla hiyo itakayofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri, wajumbe wa Bunge hilo walioshiriki mchakato huo kuanzia mwanzo mpaka mwisho watapewa vyeti.

Mungu Mkubwa Wale Watoto Pacha Waliotenganishwa India Sasa Waanza Kutembea

Posted: 07 Oct 2014 08:43 AM PDT

Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.

Watoto hao, ambao mwaka jana walifanyiwa upasuaji wa kuwatenganisha India, walilazwa katika hospitali hiyo kwa ajili ya kufanyiwa matibabu ya marekebisho madogo ya kuziba njia za kutolea haja kubwa na kuwekewa njia ya kudumu.

Hata hivyo, kabla ya kufikishwa hospitalini hapo, Eliud alifanyiwa upasuaji wa aina hiyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam na alipopelekwa Mbeya alifanyiwa tena marekebisho.

Upasuaji huo ulifanywa na Daktari Bingwa wa Upasuaji, Kitengo cha watoto Muhimbili, Dk Zaituni Bokhary.

Wakizungumza nyumbani kwao katika Kijiji cha Kusumulu, Kyela juzi, wazazi wa watoto hao walisema afya za pacha hao zinaendelea kuimarika siku hadi siku, kwa kuwa vidonda vyao vimepona na wana furaha muda wote.

“Kwa kweli tunamshukuru Mungu, kama unavyowaona maendeleo yao ni mazuri, sasa Elikana ameanza kutembea kabisa na huyu mwenzake Eliud, bado ila ameanza kutambaa na hata uzito wanaongezeka.

“Elikana ameongezeka hadi kufikia kilo 13 kutoka kilo 10 alizokuwa nazo Agosti mwaka huu na Eliud amefikisha uzito wa kilo tisa kutoka kilo saba,” alisema mama yao mzazi, Grace.

Alisema kutokana na kuendelea vizuri kwa watoto wake, wanasubiri muda ufike wa kufanyiwa tena upasuaji mdogo wa njia ya mkojo.

Alisema waliambiwa na Dk Bokhary kwamba Mei mwakani watatakiwa kurudi India ili wakafanyiwe upasuaji tena.

“Wakati ule tukiwa Hospitali ya Rufaa Mbeya, Dk Zaituni alituambia kwamba Desemba atarejea kutoka masomoni na Mei mwakani watatakiwa kwenda India kufanyiwa upasuaji wa njia ya mkojo na kuwekewa ya kudumu, hivyo tunamsikiliza yeye,” alisema.

Baba mzazi wa watoto hao, Erick Mwakyusa alisema wanaye wanamletea faraja kubwa kwani hata ile tabia ya kuchagua chakula walivyokuwa nayo awali, hawana tena na badala yake wanakula chakula chochote wanachopewa.

“Kutokana na uchumi wetu kutokuwa mzuri sana, hata chakula wanakula kile tunachokuwa tumepika siku hiyo na kwa bahati nzuri hata wao hawasumbui kama ilivyokuwa awali japo daktari wao alituhimiza zaidi kuwapatia maziwa na sisi tumekuwa tukifanya hivyo mara kwa mara,” alisema.

Aliishukuru Kampuni ya Mwananchi Communications Limited kwa kuwa karibu na familia yake kwa kipindi chote huku akibainisha kwamba imekuwa msaada mkubwa wa kufanikisha matibabu ya watoto wake.


“Bila ya ninyi waandishi wa Mwananchi, sijui hali yangu na watoto wangu ingekuwaje, msaada wenu ndiyo umenifanya niweze kukabiliana na hali halisi kwani ndiyo umenifanya nipate pikipiki ambayo kwa sasa ndiyo mkombozi wa familia yangu,” alisema.

Wanaume Wafupi Ndio Waume Bora Kabisa Ndoa zao Zinadumu Kuliko Wale Warefu

Posted: 07 Oct 2014 08:38 AM PDT

Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu.
Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo.
Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi.
Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa kile kinachoweza kusemekana kuwa jamii ya wanaume wenye kimo kifupi.
Waandishi wa waraka huo wa maswala ya kijamii unaashiria kwamba wanaume wenye haiba ya kuvutia mara nyingi hupendelewa katika maisha yao hivyo wanaripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na zaidi ya mpenzi mmoja.
Hata hivyo, hitimisho la waraka huo, pindi mtu anapoupitia, unashangaza. Ni kwamba, watu wafupi wana ndoa za kudumu zaidi.

nafanya hayo, katika mazingira magumu wakiwa katika umri tofauti na kipato tofauti, na wanayafanya hayo wakiwa na wanawake wafupi ambao wanawaoa, na wakati mwengine na hata wanawake warefu wanaokutana nao.
Wanaume wafupi wanaoa kuchelewa, lakini pindi wanapooa, wanadumu katika ndoa kwa muda mrefu, na kwa kiwango cha sayansi ya kijamii, angalau wanakuwa na furaha.
Kuna sababu zinazoonyesha kwa nini wanaume wafupi wanadumu kwenye ndoa.
Nazo ni, wanaume wafupi wanaonyesha kukata tamaa. Wanaume wafupi wanaishi katika ulimwengu wa wanaume warefu na wanajua kila fursa inayopatikana, ni bora kuidhibiti.

Hali ya kukata tamaa ndio inayowafanya wanaume wafupi kuwa wanaume bora kwa wake zao. Watafiti hao pia walisema kuwa wanaume wafupi hukimbilia kufanya kila kitu kuwafurahisha wapendwa wao wakati wanume warefu hilo halliwajalishi.
Moja wapo ya ufumbuzi wa ripoti hiyo pia ni kwamba wanaume wafupi wanafanya kazi chache za nyumbani wanapokuwa kwenye ndoa kuliko wanaume warefu, ingawa utafiti pia unaonyesha kwa wanaume wenye kimo kirefu, aina ya kazi zao za nyumbani inatofautiana.
Kwa maana nyengine, wanaume wafupi hawafiki juu ya makabati. Wanaume wafupi hawadumu kwenye ndoa kwa sababu ya kutaka kuridhisha, bali wanadumu kwenye ndoa kwa sababu wanataka kuonekana.
Utafitio huu kama ulivyosoma hapo awali umeua mjadala mkali lakini pindi mtu anaposoma utafiti wao kinachojitokeza zaidi ni kuwa wanaume wafupi wanakuwa na ndoa za kudumu.
Hii ni licha ya mazingira magumu wanayokabiliwa nayo katika ndoa zao na hufanya hivyo na wake wafupi waliowaoa lakini pia na wanawake warefu wanaokuwa wamewaoa.

Utafiti huo unahitimika kwa kusema wanaume wafupi hawana kasi ya kuoa lakini wanapooa wao hudumu katika ndoa zao.

Mama Amkata Mwanaye Paja Na Kuchoma mshikaki Kipande cha Nyama

Posted: 07 Oct 2014 04:02 AM PDT

Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki.
Mwananmke huyo aliyetajwa kwa jina la Dafrosa Massawe anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa wiki na majirani wanasema mama huyo alifanya hivyo akiwa amelewa.
Kamanda wa Polisi Kilimanjaro Koka Moita alisema mwanamke huyo ataendelea kushikiliwa hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika kabla ya kupelekwa mahakamani.
Akizungumza na Gazeti la MWANANCHI katika hospitali ya Kibosho mtoto huyo alisema hafahamu kosa alilofanya hadi mama yake ambaye ni mtengenezaji wa pombe za kienyeji kumfanyia kitendo hicho.
Alisema mama yake alirudi nyumbani usiku na kumkuta amekaa na kumsalimia kisha akamwomba chakula wakati akijua hakuna na baadae aliingia jikoni na kuchukua kisu kisha kumkata nyama kwenye paja lake baada ya kumwambia alishinda na njaa siku nzima.
Alisema baada ya kuikata aliichoma kama mshikaki na ilipoanza kufuka moshi na kutoa harufu aliitoa jikoni na kumwekea mtoto huyo puani ili avute harufu yake.

Utekaji wa Watoto Walitikisa jiji la Dar

Posted: 07 Oct 2014 03:59 AM PDT

Lile sakata la utekaji na upoteaji wa watoto ambao wengi ni wanafunzi wa shule za msingi katika Jiji la Dar na kudaiwa linafanywa na watu walio kwenye magari aina ya Toyota Noah limeingia katika sura nyingine.

Safari hii, gari moja lilitupiwa mawe na dereva nusura kuuawa kufuatia kufika katika Shule za Msingi za Kombo na Mtakuja zilizopo Vingunguti, Dar kwa lengo la kuzungumza na walimu kuhusu mikopo lakini likahofiwa lilikwenda kuteka watoto.

Tukio hilo lilijiri Ijumaa iliyopita na kusababisha vurugu kubwa kati ya wazazi na walimu hali iliyowafanya maafande wa Kituo cha Polisi Buguruni kuwasili katika eneo la tukio ili kutuliza ghasia na kwanusuru walimu.

Uwazi lilifika eneo la tukio muda mfupi na kuwakuta walimu wakiwa chini ya ulinzi wa polisi ili wasishambuliwe na wazazi ambao walivamia shule wakidai kwamba watoto watatu walitekwa na watu wenye Noah jeusi.

Vurugu hizo zilizoanza saa nne asubuhi siku hiyo zilitokea baada ya gari moja jeusi aina ya Toyota Noah kufika shuleni hapo na kushambuliwa na wananchi wakidai kwamba ndilo linalotumika kuwatekea watoto wao shuleni hapo.

Mmoja wa wazazi aliyejitambulisha kwa jina la Huma Selemani alisema Noah hilo la mikopo kwa walimu lililokuwa na vioo vyeusi lilihisiwa ni la utekaji baada ya jana yake (Alhamisi) ambapo gari kama hilo lilifika shuleni hapo na dereva kumuuliza mmoja wa wanafunzi sehemu hiyo inaitwaje ambapo mwanafunzi huyo alisema haijui.

Ilidaiwa kuwa, pamoja na denti huyo kusema haijui  sehemu hiyo walimchukua na kumuingiza ndani ya gari hilo ili kuondoka naye lakini mzazi mmoja aliona na kupiga kelele huku akilishambulia kwa mawe gari hilo hadi walipomshusha mwanafunzi huyo na wao kutimka.

Mayowe hayo yaliwafanya wazazi kuvamia shule hizo na kusababisha wanafunzi kutoka madarasani huku wengine wakiruka ukuta na kukimbilia majumbani na baadhi kwenda kusikojulikana.

Wazazi waliokuwa karibu na shule hizo walifika na kuwachukua watoto wao kisha kwenda nyumbani huku wengine wakitegemea msaada toka polisi ambao walipofika walifyatua risasi hewani kuwatawanya wananchi hao.

Hata hivyo, walimu wakuu wa shule hizo hawakupatikana mara moja lakini mwalimu mmoja ambaye hakupenda jina lake liandikwe  alisema hakuna utekaji wa watoto shuleni bali baadhi ya watu wamekuwa wakivumisha habari hizo na hivyo kuwatia hofu watoto.

Baadhi ya watu walioongea na Uwazi walisema kuwa, wana taarifa mbaya kwamba watekaji hao wakishawapata watoto huenda kuwaua ili kutwaa viungo vyao kwa ajili ya ushirikina wa kupata utajiri.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kombo, Jastin John Chiganga alipohojiwa alikiri kutokea kwa vurugu hizo hali iliyomfanya awaite polisi kutuliza ghasia lakini alisema kwa upande wa kutekwa watoto na gari aina ya Noah hajawahi kusikia.

“Shule ilibidi ifungwe, watoto waruhusiwe kutawanyika hadi hapo taarifa itakapotolewa. Hata hivyo, wazazi wameniomba kwamba kabla watoto wao hawajarejea shuleni hapo anatakiwa kiongozi wa juu, awe DC (mkuu wa wilaya) au yeyote afike kutoa tamko na kuweka mambo ili kuwatoa hofu wazazi na wanafunzi,” alisema mwenyekiti huyo.

Polisi wa Buguruni waliokuwepo kwenye tukio hilo walisema hawana taarifa ya watu waliojeruhiwa au  kukamatwa bali zoezi la kudhibiti amani lilifanyika kwa uangalifu wa hali ya juu.

Wakati huohuo, wazazi wa mwanafunzi Hadija Hansi (10) anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Magomeni, Dar wanahaha kumtafuta mtoto wao huyo ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha ikidaiwa alitekwa na Noah.

Akizungumza na Uwazi  wiki iliyopita, Zena Amour ambaye ni mama mzazi wa mtoto huyo alisema mwanaye alipotea katika mazingira ya kutatanisha Septemba 30, mwaka huu wakati akicheza na wenzake na ameshamtafuta katika vituo vya polisi jijini kikiwemo cha Tandale TAND/RB/1059/2014 na hospitali zote bila mafanikio.

LAANA! Mwanaume Afunga Ndoa na Mama Yake wa Kambo

Posted: 07 Oct 2014 03:55 AM PDT

Mwanamke nchini Ufaransa, juzi amefunga ndoa na mwanae wa kambo baada ya kusuguana na mamlaka za nchini humo kuhusu haki yake ya kuolewa.

Elisabeth Lorentz, 48, amefunga ndoa na Eric Holder, kanisani kwenye kijiji kidogo Dabo huko Alsace-Lorraine, kaskazini mashariki mwa Ufaransa. Ms Lorentz alikutana na baba yake na Holder mwaka 1989, wakati huo akiwa na miaka 24.

Wawili hao walipata mtoto wa kike mwaka 1997 – ambaye ni dada yake na Holder lakini pia mtoto wake wa ubatizo.

Holder pia alikuwa na mtoto kipindi hicho. Ms Lorentz aliolewa na baba yake Holder mwaka 2003, lakini walitengena baada ya miaka mitatu.

Ms Lorentz ameviambia vyombo vya habari kuwa baada ya kuachana na mume wake, mwanae wa kike ambaye alikuwa  na  miaka 9 aliumizwa vibaya na alikuwa akilia kila siku. “Hapo ndipo Eric akawa msaada mkubwa kwetu na uhusiano ulizaliwa,” alisema.

Holder, ambaye anasema alijitahidi kumliwaza dada yake aliyekuwa pia mtoto wake wa kuzaliwa na sasa mwanae wa kambo, alisema: ‘Baada ya baba kumwacha mama, nilihisi kutengwa. Nilijua alivyojisikia.

Haikuchukua muda Holder akaamua kumwomba uchumba mama yake wa kambo. Hata hivyo walikumbana na kikwazo kwakuwa sheria za Ufaransa zinakataza ndoa ya watoto na wazazi wa kambo.

Hatimaye Diamond Ambwaga Davido Kwa Kishindo Kwenye Tuzo za World Music Awards

Posted: 07 Oct 2014 03:52 AM PDT

Diamond Platnumz amewabwaga Davido, Awilo Longomba, Willy Paul Msafi (Kenya) na Eddy Kenzo wa Uganda na kushinda kipengele cha ‘mtumbuizaji bora wa Afrika – Best African Entertainer kwenye tuzo za IRAWMA (International Reggae and World Music Awards).

It always seems impossible until it’s Done!…ningependa kuwataarifu Wadau wangu kwamba #MdogoMdodo ndio nyimbo bora yenye Mahadhi ya Kiafrika na Kijana wenu Diamond ndio M’burudishaji bora wa Mwaka kwenye tunzo hizi za #IRAWMA zilizofanyika nchini Marekani 04|10|2014….. Asanteni sana sana…hakika Umoja ni nguvu, tuhamieni kwenye nyingine sasa,” ameandika msanii huyo kwenye Instagram.

Udaku Specially

unread,
Oct 8, 2014, 4:26:23 PM10/8/14
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Breaking: Taarifa Mpya ya Kusikitisha Kuhusu Yule Mgonjwa wa Ebola Marekani

Posted: 08 Oct 2014 10:35 AM PDT

Thomas Eric Duncan mwanaume aliesafiri kutoka Liberia mpaka Marekani akiwa ameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola amefariki muda mfupi uliopita nchini Marekani baada ya kuwa kwenye hali mbaya.
Pamoja na hayo pia mamlaka husika zinaendelea na jitihada za kuhakikisha ugonjwa huo hausambai nchini humo na wanafahamu kabisa kwamba virusi vya Ebola vinaweza kuishi kwenye miili ya watu waliofariki ndio maana wakati wa kuizika ni watu pekee wenye mafunzo maalum tena wakiwa wamejikinga ndio wanaruhusiwa

Baba Mzazi Adaiwa Kumchinja Mwanaye

Posted: 08 Oct 2014 10:23 AM PDT

Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.

Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo juzi alfajiri baada ya kumchinja aliuchoma kwa kisu mwili wa mtoto huyo sehemu mbalimbali ikiwemo masikioni na kifuani.

Gazeti la MWANANCHI ambalo lilikua shuhuda limedai baada ya kufanya kitendo hicho alianza kufukuza wananchi waliokusanyika eneo hilo kwa kuwatishia kuwachoma na kisu.

Hata hivyo mtuhumiwa huyo alizidiwa nguvu na wananchi na kuanza kumshambuliwa kwa kipigo hadi alipookolewa na Mwenyekiti wa mtaa.

Mama mzazi wa watoto hao alisema kabla ya kutengana na mumewe huyo alizaa nae watoto watatu na kwamba ameshangazwa kupata taarifa za mwanaye kuuawa na baba yake.

Jeshi la Polisi linamshikilia kwa uchunguzi huku likisubiri taarifa ya hospitali kuhusu utimamu wa akili yake.

One Word To these Student Who Shows off their Goodies Like This?

Posted: 08 Oct 2014 10:21 AM PDT

One Word To these Student Who Shows off their Goodies Like This? Ni wanafunzi wa Shule Moja Maarufu Bongo..Mmoja wapo alipost kwenye Instagram Profile

Walio Kuwemo Kwenye Basi Hili Hawaita Isahau Siku Hiyo...Mambo ya Mlima Kitonga

Posted: 08 Oct 2014 10:17 AM PDT

Walio Kuwemo Kwenye Basi Hili Hawaita Isahau Siku Hiyo...Mambo ya Mlima Kitonga Hayo

Mbunge wa Kawe Halima Mdee Hastahili 'Kutendwa' Vile

Posted: 08 Oct 2014 04:50 AM PDT

Hata kama ni mambo ya kisiasa,twende taratibu. Jana, Mbunge wa Kawe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee alikosa dhamana na kuswekwa rumande. Ikatolewa sababu kuwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Sasa, hebu twende hatua kwa hatua. 

Kwanza Halima Mdee alikamatwa. Pili Halima Mdee akaachiwa kwa dhamana ya Polisi. Tatu Halima Mdee alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yake. Nne, upande wa Mashtaka haukuwa na pingamizi juu ya dhamana ya Halima Mdee wala wenzake. Tano,Hakimu akatoa masharti ya dhamana. Sita, washtakiwa wote walikuwa tayari kuyatekeleza na kuachiwa kwa dhamana. Saba, upande wa Mashtaka ukataka kwenda kuhakiki wadhamini wa Halima Mdee na wenzake.

Umepagundua penye tatizo? Ni hapo pa kuhakiki wadhamini. Halima Mdee anajulikana. Wadhamini wake, ambao wengi ni Wabunge na Maafisa wa CHADEMA Makao Makuu wanajulikana. Kuhakiki kulikujaje? Wengine mbona hawafanyiwi hivyo? Kibaya zaidi,wahakiki hawakuenda mahali popote hadi Halima Mdee alipopandishwa karandinga na kwenda mahabusu. Wahakiki walitokomea kusikojulikana. Why?........Kwanini?

Nitoe rai kwa wahusika wote kufanikishadhamana ya Halima Mdee. Ingawa si wachama changu, hastahili kombolela lililochezwa jana. Hakuna haja ya 'kuipaisha' CHADEMA na viongozi wake kupitia Mahakama. We are suffering from that;it must end! Pole sana Halima Mdee.

Siri wa Wabunge Kufurahi na Kucheza Bungeni Yajulikana

Posted: 08 Oct 2014 04:22 AM PDT

Baada ya "Rasimu ya Sitta" kupitishwa na Bunge maalumu baadhi ya wabunge walilipuka kwa furaha na wengine wakakata mauno hadharani, huku mbunge wa Njombe kaskazini Deo Sanga akicheza "Kitorondo" na kukata mauno mbele ya halaiki.

Pia kuna wabunge wengine walikua wakicheza kwa kufuatisha milio ya miziki iliyokua ikirindima kupitia simu
zao za mkononi. Watu wengi walihamaki kitendo cha wabunge kufurahia Rasimu hiyo hadi kufikia hatua ya kujitoa akili.

Hii hapa siri ya furaha ya Wabunge hao..
RASIMU YA WARIOBA ILIPENDEKEZA:

1. Mbunge akigombea vipindi vitatu basi, awaachie wengine.

2. Mbunge akivurunda ktk utendaji wake, wananchi wana
uwezo wa kumuondoa na kuchangua mwingine.

3. Hakuna mbunge kuwa Waziri, Mkuu wa mkoa, m/kiti wa bodi ya shirika etc. (kwanini vyeo vyote mjilundikie nyie?).

4. Elimu ya mbunge iwe angalau stashahada (diploma) na kuendelea.

RASIMU YA SITTA (ILIYOPITISHWA) IMEPENDEKEZA HIVI:

1. Ukomo wa Ubunge usiwe vipindi vitatu.. Hata wazee waliokaa bungeni miaka 50 kama Kingunge, waendelee tu kugombea. Vijana wanaotaka kuwa viongozi labda wakajaribu kwny SACCOSS sio UBUNGE.

2. Mbunge akivurunda wananchi hawawezi kumfanya kitu chochote hadi miaka mitano iishe na mbunge apewe pensheni yake (Mil.160).

3. Ruksa Mbunge kuwa waziri, Mkuu wa mkoa, DC, Mwenyekiti wa shirika, na vyeo vingine kadri anavyoweza
kujilundikia. Wanaosema mbunge asiwe na vyeo viwili au zaidi, wana "wivu wa kike" (according to Pius Msekwa).

4. Rasimu ya Sitta inasema si lazima mbunge awe na degree, diploma, au cheti. Si lazima mbunge awe na elimu ya sekondari. Si lazima
Mbunge awe amemaliza elimu ya msingi. Hata kama alisoma akaishia darasa la 3 lakini anajua kusoma na
kuandika RUKSA KUGOMBEA UBUNGE.

Sasa je katika mazingira haya wabunge wataacha kukata mauno na kucheza "kitorondo" kwa Rasimu hii kupita?

5. Ongezea kama kuna mengine

JIPU LIMEPASUKA, SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA
UKWELI...

Mwanamke Mcharuko Awapa Watu Senema ya Bure, Kisa Mzuka wa Mziki

Posted: 08 Oct 2014 03:21 AM PDT

Kadri mapigo ya Vijana wa Masauti yalivyozidi kuchanganya, ndivyo midadi ya ‘mtu mzima’ ilivyozidi kupanda na kuanza kukata kiuno isivyo kawaida huku akichojoa kiwalo kimoja baada ya kingine.

Mzuka ulipokolea barabara, mama alijikuta akivua miwani yake ‘tintedi’ kwani ilikuwa ikimnyima raha kwa kutoona vizuri kwenye giza.

Baada ya miwani vilifuatia viatu, blauzi na kubakiza sidiria, huku chini akishusha ‘skini jinsi’ yake na kusababisha bikini na viungo nyeti kuwa nje nje mbele ya mwanaye aliyekuwa akiangalia pembeni kwa aibu kuu.

Mizuka ya mama huyo ilishindwa kutulizwa mpaka wasamaria walipoamrisha Vijana wa Masauti kuzima muziki ndipo mzazi huyo akatulia na kwenda kukaa huku watu wakimponda kwa kitendo chake cha kumwaga radhi mbele ya mwanaye. Baadaye alitimkia kusikojulikana huku mtoto akielekeza njia tofauti na walipoingia kwani mama ndiye aliyekuwa ‘dairekta’.

Tetesi za Edzen Kuwa Ndani ya Penzi Jipya Baada ya Kutemana na Mkewe Dida

Posted: 08 Oct 2014 01:42 AM PDT

"Couple" mpya mjini? Mtangazaji maarufu nchini @ezdee255 hivi karibuni ameonekana "benet" na msanii wa filamu na mfanya biashara @mozzah255 Katika mapozi yenye utata. Mtangazaji huyo hivi karibuni aliachana na aliyekuwa mkewe @didashaibu ambaye pia ni mtangazaji wa redio maarufu nchini kwa talaka "chungu" yenye kutawaliwa vyombo vya habari mpaka ikapelekea "Ezdee" kuongelea kwa undani masuala ya ndani ya mkewe na kumshutumu kwenye TV. Hata hivyo mashabiki wengi kwa pande zote hawakupendezwa na shutuma hizo za masuala ya ndoa kuanikwa hadharani namna ile. Mbali na kupiga picha na anayesemekana mpenzi wake mpya wa sasa, "Ezdee" amekana mara nyingi kwamba hawana mahusiano ya kimapenzi. Hata hivyo wengi wamewapongeza kuonesha kuwakubali japokuwa wachache bado wanaona ni mapema sana kujionesha kimapenzi wakati ameacha na mkewe karibuni. Haya sasa....sisi tunauliza, je hawa ni wapenzi au siyo wapenzi?

Ona Hawa Askari Wawili Wanavyo lizalilisha Jeshi la Polisi..Kama si Maigizo Haya Basi Hawafai Kabisa Hawa

Posted: 08 Oct 2014 01:39 AM PDT

Hivi hii picha wanafanya kweli au wako maigizo???? Yaan dah! Ukute hapo Wakisikia gari inakuja wanakurupuka kuwahi barabarani kuomba rushwa na mikwara kibao. Wakubwa tunaomba majina yao...

Mwigizaji Cloud Akana Tuhuma Kumfitinisha Frank ili Asisafiri Kwenda Uingereza Kucheza Filamu

Posted: 08 Oct 2014 01:10 AM PDT

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
MSANII mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’ amekana tuhuma zinazosambazwa mtandaoni kuwa alimfitini muigizaji mwenzake, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ ili kumzuia asisafiri kuelekea Uingereza miezi michache iliyopita

“Mimi sikumfitini Frank, yule mtu alinifuata mwenyewe kwa makubaliano ya mdomo kuwa nikacheze filamu, sikuwa peke yangu, tuliongozana na kina Monalisa na Riyama, tatizo ni la huyo aliyenipeleka kule, nilifanya mambo kwa mazoea na ndiyo sababu anaamua kusambaza uongo dhidi yangu,” alisema mkongwe huyo wakati akizungumza na Global Tv.

Aliwasihi wasanii wenzake nchini kuacha kufanya kazi kwa mazoea bali wahakikishe wanaingia mikataba ya maandishi ili wawe na ushahidi wakati waliokubaliana nao kazi wanapoleta ujanjaujanja kama ilivyomtokea yeye katika safari hiyo ya Uingereza ambayo sasa inamletea uadui na Frank.

Hali Bado Si Shwari Bongo Movies, Mastaa Wengine Watano Wajiondoa

Posted: 08 Oct 2014 01:05 AM PDT

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
HALI bado tete! Siku chache baada ya Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kujiuzulu, upepo mbaya unaendelea kuitafuna klabu hiyo ambapo sasa wasanii wengine watano wamejiengua, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili.

Kutokana na wasanii hao kujitoa, klabu hiyo inaonekana kupoteza muelekeo ambapo kwa sasa wanachama waliobaki kundini wanajipanga upya ili kuisimamisha upya.
Kwa mujibu wa chanzo makini, wasanii waliojiengua ni Halima Yahya ‘Davina’, Esha Buheti, Kajala Masanja, Flora Mvungi na  Salma Salmini ‘Sandra’ huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni kukithiri kwa vitendo vya ngono na ubaguzi wa kimaslahi.

Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwamba, hivi karibuni kulitokea safari ya wasanii kwenda mkoani Tanga lakini baadhi ya viongozi wamedaiwa kujichagua kwa ‘kapo’ bila kujali kuwa wapo wanachama wengine ambao wanatakiwa kwenda huko.

Kikifafanua madai hayo, chanzo hicho kilikwenda mbele zaidi na kuzinadi kapo hizo kama ifuatavyo:
Cloud 112 (Issa Musa) alidaiwa kuongozana na Coletha Raymond, JB (Jacob Steven) na Shamsa Ford, Rose Ndauka na Single Mtambalike (Rich) na wengine.

Baada ya madai hayo kutua kwa mapaparazi wetu, walianza kwa kuwatafuta walengwa ambao wamedaiwa kubaguliwa na kuamua kujitoa klabuni hapo. Mambo yalikuwa hivi:

Davina: 
“Mimi nimeamua kujitoa kwa sababu naona mambo mazuri wanachaguana mapatna tu sisi tunakumbukwa pasipo mazuri, kwenye pesa wanapeana wao wenyewe, mimi mpaka mume wangu alikuwa akiniuliza kwamba napata faida gani.”

Sandra: 
“Sijapata faida yoyote Bongo Movie, watu wanapeana mapatna inapotokea suala la safari na pesa.”

Esha Buheti:
“Mimi nimeamua kujitoa kwani watu wamekuwa na ubaguzi, sisi tunaitwa unapotokea msiba tu, nitafanya kazi zangu mdogomdogo, nitatoka tu.”

Kajala:
“Nimejitoa kwa sababu kule nilikuwa nikimfuata Steve Nyerere, sasa ameshatoka nafuata nini tena?”    
Jitihada za kuwapata wasanii wanaotajwa kuwa ni wabaguzi ziligonga mwamba kwa baadhi ya wasanii lakini alipopatikana Cloud 112, alikanusha taarifa hizo.

“Hakuna kitu kama hicho, sisi tunasafiri kulingana na matakwa ya waandaaji wa safari, waandaaji ndiyo wanaosema wanamtaka nani katika shughuli yao, wanaosema hivyo wamekosa la kuongea,” alisema Cloud 112.

Matusi ya Mama Wema..Kajala na Wema Sepetu Watoana Jasho Polisi

Posted: 08 Oct 2014 12:57 AM PDT

Kufuatia matusi ya mama wa staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu, Miriam Sepetu kwenda kwa mwigizaji Kajala Masanja ‘Kay’, mastaa hao wamejikuta wakitoana jasho kwenye Kituo cha Polisi cha Kijitonyama almaarufu Mabatini jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita.

DURU ZA ‘KIUBUYU’
Duru za ‘kiubuyu’ zilidai kwamba Kajala, baada ya kuchoshwa na matusi hayo ambayo yalianzia kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa Wema, alijikuta akiishiwa na uzalendo kisha kuingia mzigoni ili kukomesha matusi hayo kwenye mitandao ya kijamii.

MATRIDA MBARONI
Ilidaiwa kwamba, Kajala akiwa na timu yake (Team Kajala) alifanikiwa kumtia mbaroni dada mmoja aliyetajwa kwa jina la Matrida akidaiwa kwamba ni mfuasi wa Wema (Team Wema).
Ilisemekana kwamba Matrida anayetumia jina la ‘Mat Kiboko Yao’ kwenye ukurasa wake wa Instagram ndiye ambaye amekuwa akiongoza jahazi la kumtusi Kay.

Ilizidi kunyunyizwa kwamba sakata hilo la kuanikwa Instagram lilianza siku mbili baada ya ile pati ya kuzaliwa ya Wema ambapo Mat Kiboko Yao alimtukana Kajala matusi ya nguoni (hayaandikiki gazetini) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao huo.

KAJALA ACHOKA, AKIMBILIA POLISI
Ilidaiwa kwamba Kajala alipoona amechoka kutukanwa, alitafuta wataalam ili kujua namna ya kumkamata na alipomjua ndipo akakimbilia Kituo cha Polisi cha Mabatini kwenda kutoa taarifa.
RB
Gazeti hili lilifanikiwa kunasa namba ya jalada la kesi hiyo iliyosomeka KJN/RB/8854/2014-MATUMIZI YA MATUSI MTANDAONI.

Ilisemekana polisi walitumia mbinu zao na kufanikiwa kumkamata Mat Kiboko Yao na kumweka nyuma ya nondo za mahabusu kituoni hapo ndipo sarakasi za pande mbili zikaanza.

KWANZA
Mara tu baada ya Mat Kiboko Yao kukamatwa mishale ya saa 2:00 usiku, taarifa zilisambaa kama moto wa kifuu ndipo Team Wema ikaingia mzigoni kutaka kumtoa mwanadada huyo lakini wakagonga mwamba.

WEMA, PETIT MAN WATINGA MABATINI 
Ilidaiwa kwamba, baada ya Mat Kiboko Yao kutiwa mbaroni, Wema na jeshi lake akiwemo Petit Man walitinga Mabatini kwa ajili ya kumtoa mwanadada huyo lakini aligonga mwamba na kumuacha akilala kituoni hapo.

“Yaani ulikuwa ni usiku wa kutoana jasho na kupimana ubavu kwamba nani ni nani. Ilikuwa akitoka Kajala kuhakikisha kwamba mtuhumiwa wake aachiwi, Wema naye anatinga kituoni kwa mbwembwe kutaka Mat Kiboko Yao aachiwe kwa gharama yoyote.

“Hapo ndiyo ngoma ilikuwa nzito, kila mmoja alikuwa anamuonyesha mwenzake kuwa ni zaidi na ni maji marefu hadi kulipokucha muvi likaendelea,” alisema shuhuda aliyefuatilia sakata hilo kinagaubaga.

WAANDISHI WAPEWA UBUYU, WATINGA MABATINI   
Kulipokucha, waandishi wetu walipewa ubuyu huo ndipo wakatinga Mabatini kisha wakatega ‘rada’ zao na kuweka doria.

Wanahabari wetu, wakiwa kituoni hapo walimshuhudia Kajala akilinda kituoni hapo asitokee mtu yeyote akamtoa Mat Kiboko Yao.
Hata hivyo, alipoulizwa Kay kulikoni kuwa eneo hilo alisema alikuwa ameitwa kwa ajili ya kusuluhishwa badala ya kupoteza muda kwa jambo kama hilo.

KAJALA NA KUNDI LAKE
Awali Kay alionekana akiingia kituoni hapo na kundi lake la watu watatu akiwemo mwanaume mmoja ambapo yeye aliingia mpaka kwenye chumba cha mkuu wa kituo.

Kajala akiwa kwa mkuu wa kituo, haikujulikana kilichokuwa kikiendelea ndani kwani kulikuwa na kikao cha muda mrefu ambapo ghafla Kajala na mtuhumiwa wake waliyeyuka.

WEMA AINGIA MITINI
Wakati hayo yakiendelea kituoni hapo, si Wema wala jeshi lake waliofika kwa ajili ya kumtetea Mat Kiboko Yao ambaye ndiye kiongozi wa Timu Wema kwa kutukana.

Hata hivyo, baadaye alionekana mmoja wa marafiki wa karibu ambaye ni ndugu wa Mat Kiboko Yao aliyekuwa akihaha kumtoa mwenzake.

TUJIKUMBUSHE
Hivi karibuni Mama Wema alimtolea uvivu Kajala na kumtusi ndipo akafufua upya kile kidonda cha Sh. milioni 13 ambazo Wema alimlipia Kay asiende jela na kinachoonekana, bado fedha hizo ni tatizo kubwa.

Imeandaliwa na Hamida Hassan, Imelda Mtema, Mayasa Mariwata na  Shani Ramadhani.

Wanawake Wenzangu Njooni Tuwatete Huku Hawa Viumbe, Funguka Kuhusu Maudhi ya Mume

Posted: 07 Oct 2014 10:58 PM PDT

Wanawake ni jeshi kubwa.
Hii mada itakuwa msaada mkubwa sana kwa wale wanaojiandaa kuingia katika ndoa, itasaidia kuwaanda kisaikolojia kupambana na maudhi ya mume maana kwa kweli ni mengi sana na usipoangalia yanaweza angamiza ndoa yako.

Karibuni tuyabainishe haya maudhi.

Mimi naanza.
kutoa maagizo kama anaongea na mtoto mdogo.
kurudi usiku huku yamelewa
hakutomasi tomasi kama mwanzo

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Afukuzwa Kazi, Said Hassan Said Apewa Nafasi hiyo

Posted: 07 Oct 2014 10:43 PM PDT

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amefanya Uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serekali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu 55(1)cha Katiba ya Zanzibar ya 1984.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amemteuwa Mhe, Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Uteuzi huo umeaza leo 7,Oktoba 2014. Kabla ya uteuzi huo Mhe, Said Hassan Said alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Mhe, Said Hassan Said, anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe, Othman Masoud Othman ambaye uteuzi wake umefutwa kwa mujibu wa Vifungu vya 53,54 (1) na 55(3) vya Katiba ya Zanzibar ya 1984 na kifungu 12 (3) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 2 ya 2011.

My Take:
Hii ni Kama: Nakufukuza kazi kwa sababu umetumia demokrasia yako vibaya kwa kupiga kura ambayo siitaki!

Wakamatwa na Polisi kwa Kulima Shamba Huku Wakiwa Uchi wa Mnyama

Posted: 07 Oct 2014 09:35 PM PDT

Watu wanne wa familia moja wamekatwa na polisi katika kata ya Busega, mkoani Simiyu baada ya kukutwa wakilima huku wakiwa uchi. Kaimu Kamanda ya Polisi mkoani Siminyu Venance Kimario amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo baada ya polisi kufahamishwa na raia mwema katika kijiji cha Bushigwamala kilichopo Kivukoni wilayani Busega. 

Waliokamatwa ni baba mzani Makoye Gamoge (42), mama mzani Neema Kugela (31), mtoto wao wa kiume Juma Makoye (15) na mtoto wao wa kike Esther Makoye (12). Watoto hao wanasoma katika shule ya msingi ya Bushigwamala. Wote wanne hawakukimbia baada ya kuwaona polisi kwenye mida ya saa kumi na mbili za asubuhi. Waliendelea kulima huku wakiimba bila kuogopa uwepo wa polisi shambani hapo mpaka pale polisi walipowaamuru waweke majembe yao chini.

Kwa mujibu wa RPC baba mzani Gamoge amedai kuwa kitendo cha mtu kulima wakati akiwa uchi ni sehemu ya tamaduni za Wanyantuzu ambao ni sehemu ya kabila la Wasukuma na madhumuni yake ni kuleta mvua za kutosha na hivyo mavuno mazuri. Amesema kuwa walikuwa wanalima uchi kutoa heshima kwa nasaba zao. Gamoge aliongeza kwa kuwambia polisi kuwa familia yake ilishauriwa na mganga wa kienyeji aliyewahakikishia "mapinduzi ya kijani" kama kama wangefuata ushauri wa kulima mapema asubuhi huku wakiwa uchi

Kumekucha : Maalim Seif Hamad Kujiuzulu Umakamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar...

Posted: 07 Oct 2014 09:29 PM PDT

Hali ya mambo visiwani Zanzibar siyo nzuri hata kidogo, (wala si ya kufurahia) toka jana jioni ilipotoka taarifa ya kufukuzwa kazi kwa Mwanasheria Mkuu wa SUK Athuman Masoud.

Kumekuwa na vikao usiku kucha kwa viongozi na wanachama wa CUF Zanzibar, na kuazimia pamoja na mambo mengine kufanya tathimini ya "KUJIUZULU" kwa makamo wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa. Maalim Seif.

Naam, mmoja wa vijana aliepewa kazi ya kupima upepo ambaye ni mwanasheria wa CUF, anaangalia swala hili kisheria (ikumbukwe kuna makubaliano ya kisheria katika kuongoza SUK).

Baadhi wamepewa angles tofauti na kutoa majibu mapema iwezekanavyo.
Ili Mheshimiwa achukue uamuzi Mgumu haraka leo.

Kama ikiwa ndio hivyo, kesho Media zote ni kujiuzulu kwa Sharif na si kupokeaji wa katiba.

My take:
Kama karidhia yeye mwenyewe Mh.Maalim, na iwe hivyo ila kama ni kupata attention ya media tu siyo.

Stay tuned...
Source:Jamii Forums
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages