Udaku Specially

585 views
Skip to first unread message

Udaku Specially

unread,
Mar 18, 2013, 5:20:42 PM3/18/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Natafuta Mume wa Mtu

Posted: 18 Mar 2013 02:15 PM PDT


Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu

1. Hawajui kujali
2. Hawajui mapenzi
3. wanapenda kutunzwa


Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi.

Kama uko serious wacha number yako hapo chini nitakutafuta mwenyewe tuanze mchakato.

Why 90% ya Mamiss wa Bongo Hawaoleki?

Posted: 18 Mar 2013 01:56 PM PDT


WAKATI mashindano ya u-miss yanaanzishwa Bongo, wazazi wengi walikuwa wazito kuwaruhusu watoto wao kushiriki wakiamini kwamba ni uhuni. Kadiri miaka ilivyozidi kusonga mbele, taratibu walianza kuelewa kuwa siyo uhuni na wakawaruhusu watoto wao kwa kuyaona yana tija.
Matunda ya warembo yalionekana, lakini kumekuwa na dosari kwao, licha ya mafanikio makubwa wanayoyapata, asilimia kubwa hawaolewi. Swali la kujiuliza hapa ni kwa nini hawaoleki, why?
Mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema, sababu inayosababisha  warembo hawa wasiolewe au hata wakiolewa wasidumu kwenye ndoa ni jinsi wenyewe walivyojijenga akilini kuwa ni watu maarufu, wazuri hivyo wamekuwa wakichagua wanaume na kuishia kutumiwa, wakija kushtuka umri unakuwa umewatupa.

“That’s true (ni kweli) Nimemtia Mimba Penny-Diamond

Posted: 18 Mar 2013 01:48 PM PDT


NASIBU Abdul ‘Diamond Platnumz’ amethibitisha madai kuwa mpenzi wake wa sasa, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ni mjamzito a.k.a kitumbo ndiii!

Kwa mujibu wa Diamond, ni kweli yeye na Penny ambaye ni presenta wa Kituo cha Runinga ya DTV wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza kabla hata ya ndoa waliyopanga siku zijazo.
Diamond alifunguka kuwa tayari amempa mrembo huyo gari la kutembelea huku akimwagizia lingine jipya aina ya Hyundai ix35.

“That’s true (ni kweli) nimemtia mimba Penny, unajua sipendi kusema mpenzi wangu, sasa hivi ni mama watoto wangu. Ni kweli pia nimempa gari kwa sababu ya mizunguko ya kwenda kliniki na nini, nikaona siyo vizuri kwenda kugombea daladala,” alisema Diamond.
Gari hilo jipya aina ya Hyundai ix35 gharama yake inakadiriwa kufikia Sh. milioni 50.

Askari Usalama Barabarani Agongwa Na Kufariki Papo Hapo Jijini Dar Es Salaam

Posted: 18 Mar 2013 05:09 AM PDT


Trafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa akiongoza magari eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo.

Polisi Wapekua Ofisi za Chadema, Lwakatare Kufikishwa Mahakamani Leo

Posted: 18 Mar 2013 04:48 AM PDT

Wakati Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo, jana mchana ofisi za makao makuu ya chama hicho zilipekuliwa na polisi na kuondoka na nyaraka mbalimbali.

Tukio hilo lilitokea jana ikiwa ni mwendelezo wa upelelezi wa tuhuma zinazomkabili Lwakatare ambazo zinazomhusisha na picha ya video iliyorushwa kwenye mitandao ya kijamii. Lwakatare alikamatwa Jumatano iliyopita akihusishwa na picha hiyo iliyomwonyesha Lwakatare akiwaelekeza watu ambao hawakuonekana, kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani au uhalifu.

Upekuzi katika ofisi

Polisi hao wakiwa na Lwakatare na mmoja wa mawakili wake, Nyaronyo Kicheere walikwenda kwenye ofisi za Chadema saa 9.00 alasiri kwa ajili ya kufanya upekuzi.

Upekuzi huo uliendeshwa zaidi kwenye ofisi za Lwakatare kwenye Makao Makuu ya Chadema yaliyoko Mtaa wa Ufipa, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Upelelezi wa kesi hiyo unaongozwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Obadia Jonas. Uchunguzi wa gazeti hili unaonyesha kuwa upekuzi huo ulikuwa na lengo la kupata hati zenye mwandiko wa Lwakatare ili kufananisha na nyaraka mbalimbali walizonazo polisi. Kwa nyakati tofauti, Nyaronyo Kicheere na Ofisa Habari Mwandamizi wa Chadema, Tumaini Makene walithibitisha juu ya upekuzi huo.

Kicheere alisema aliitwa jana kwenda Kituo Kikuu cha Polisi, alipofika alielekezwa kufuatana na mteja wake na polisi kwenda Makao Makuu ya Chadema.

“Walifanya upekuzi kusaka nyaraka kwa ajili ya kuongeza ushahidi wa uchunguzi wao,” alisema Kicheere.

Naye Makene alikiri kufanyika kwa upekuzi na kufafanua ulifanyika ndani ya ofisi za Chadema.

Lwakatare kufikishwa mahakamani

Pia kwa nyakati tofauti Kaimu Mkurugenzi wa Upelelezi, Isaiah Mungulu na Msemaji wa Polisi, Advera Senso waliithibitishia Mwananchi kuwa Lwakatare atapandishwa kizimbani leo.

“Upelelezi umekwenda vizuri na kesho (leo) atapandishwa kizimbani ili kujibu mashtaka yanayomkabili,” alisema Mungulu.

Siri ya Wanaume Wasafisha Kucha na Wanawake

Posted: 18 Mar 2013 04:45 AM PDT

Kama wewe ni mwanaume, huenda si wa kwanza kujiuliza maswali kila uonapo wanawake wengi wakiwa wamejipanga mstari kusafishwa kucha, kupakwa rangi kucha na kuoshwa miguu na vijana mbalimbali walioamua kujiajiri wenyewe.

Ni biashara maarufu mjini na ambayo inazidi kukua kila kukicha. Katika biashara hiyo wanawake husafishwa kucha na kuoshwa miguu na wakati mwingine hadi sehemu za mwili za wanawake zinazokaribia maeneo ya mapaja (sehemu sensitive haswaa). Je! Shughuli hii ina madhara katika mahusiano? Vijana hawa wanaaminika?

Hiyo ni kwasababu kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa imebainika kuwa baadhi ya wake wa vigogo na wanawake wengine nchini hufanya ngono na vijana hao wasafisha kucha na watengeneza miguu! Swali kwa wanaume:

Unamruhusu mkeo/ mpenzi wako kwenda kupata huduma hii? Swali kwa wanawake: Kuna kitu gani special kwenda kusafishwa miguu badala ya kujisafisha mwenyewe nyumbani? Bongo5 wamekaribisha mjadala huu kwenye ukurasa  wa Facebook, na hivi ndivyo wadau wanavyojadili:

Brenda Hance: Ila jaman kupakwa rangi nao yes not bad koz wanapaka vizuri na kuturemba just like salun ila hyo ya kusuguliwa miguu sijui nn duuuh.

Mark Rose Msemwa: Kusafisha miguu na mikono ni taaluma kama taaluma nyingine, mengine ni hulka ya mtu. Mtengeneza kucha be professional, mwanamke be a good client.
Adams Davids: Nishawah mwona mwanamke eti anasafishwa miguu wakati nusu ya mwili wake uko mtupu afu kajiachia tu, na ndo maana wanauchezea afu walivyo na akili fupi wanapangwa tu kutokana na tamaa zao.

Haji Mushy: Ebwana wakina dada zetu wana tamaa sana cjui wapenz au waume zao huwa hawawaridhishi? Coz nshashuhudia matukio mengi dhidi ya hawa wapaka rangi na pia dada zetu wanavaa vimini wakati wanapokuja pakwa rangi…watu wazima na heshima zao mnaacha wanaume wenye hadhi!lllooo. Mpaka rangi mmmoja alimpa dem mmoja hv mimba iliyompelekea kuachana na masomo nakusota kitaa!til 2day!!! alikua chuo mwaka wa kwanza! Afu wengi wawapaka rang niwagosi mpaka leo ndug zake wamechukia wagosi.

Fredy Chackes: Sio kama kuna issue yyte ambayo ni xtra ordnary kwenye kusafisha kucha we hujajiuliza kwann wake wa vgogo kwa sana? ni hivi vgogo wengi wako busy na watoto wa dogo wa shule na vyuo, issue inakuja sasa wake zao pia ni binadamu wanakidh vp mahtaj ya mwili ndo jbu linaptkana kwa wasafisha kucha na vjana wengine pia simple tu.

Mohamed Mputi: Sioni ajabu hao vigogo mbona wapo bizz acheni wasaidiwe utakuta jamaa anakaa hata wiki mbili kila siku yeye anarudi usku kwanini mkeo asijisikie hamu ndoo maana hao vijana wanapomshika mkeo miguu tuu mwana mke anaanza kuhiss vibaya mara utasikia unanigusa vibaya alazima atamuliza tuu hapo ndoo shuhuli inanza mm naona nyee vigogo badilkeni wanawake nao watabadilika.

Bahati Nelly: Hahahaaaa,mbona wanaume wanaenda kufanyiwa massage,wanasuguliwa pia huko wanakandwa,mara pedicure,afu wanawachkua wadada wa humo,mkuki kwa nguruwe heheheee.

Ericka William: Hakuna lolote na wanaume wanavoenda kunyoa na kufanyiwa Scrub hko masaloon wao ndiyo sahiHi au kwann asimwambie mkewe amsugue? Maana mwanaume anasuguliwa uso na vidole vinapitishwa maskioni mpka anansinzia kha! Na kumtaka mtu ni hulka ya mtu tu na c kwenda kutengenezwa kucha saloon hakuhusiani kabisaa.

Emmanuel Mchicha: Hzo ni story2, kama dem wako unamfanyiaga u2ndu mwing kitandan mpaka anaridhka hawez kukusalit kwa msugua miguu.

Nasiri N Mussa: Wanawake ni watu wa kushawishka so anaweza akawa hajafkiria kufanya mapenzi lakini katka hali ya kushkwashkwa miguu anajikuta akimvumtia hisia mtu anaemshka na pengne mpenzi wake hamridhishi nayo inachagia sana.

Samantha Shyroh Mary: kama vile huwezi jitengeza nywele we mwenyewe, the same case applies on pedicure, you can’t be able to accomplish everything that is needed!

Rukia Ali: hahaha makubwa haya mayb hawakuwi satisfied na waume zao.

Sele Rnb: Kwaiyo samantha kama huwezi kujtengeneza mwnywe ndo uachie mlango wako wazi?

Carymie Paulyne Lyniedo: shida iko wapi???

Alfer Inzaghi: Nafanya hiyo kazi na nina customer ambaye unilipa hadi nikilala naye ni kazi nzuri sana.

Nassir Ahmed Allshandy: Wanawatengeneza kucha wanawatekenya wanawagonga. Kuna stile fulan yakutengeneza kucha ukimgusa tu mwanamke lazima umchape.

David Njogu Many: women wakuwanga small minded,very petty, vitu ndogo ndogo zinafanya watoe c***pi.

Fatya Fetty: mm nadhani kuto jiheshimu na kuto kujitambua thamani ya mwili wako.

Aibu Kubwa:Mwanaume Anaswa Akitongoza Wanawake Kwa Kuwatumia Picha zake Chafu

Posted: 18 Mar 2013 04:40 AM PDT

Huyu ni  mwanaume  mtu  mzima  ambaye  hujipiga  picha  chafu  za  uchi  na  kuzituma  kwa  warembo ili  awanase kimapenzi......

Mtandao  huu umefanikiwa  kuzinasa  picha  6  za Mwanaume  huyu aliyetambuliwa  kwa  jina  la  Moses Kadey ....

Kati ya picha  hizo, 5  yuko  mtupu  akijinadi  na  moja  kavaa  kikazi.

Akiongea na mtandao  huu, mmoja  wa  wasichana  hao   amedai  kuwa  jamaa  huyo  amekuwa  akizituma picha  hizo  kwa  warembo  saba  ambao  kwa  bahati  nzuri  au  mbaya  ni  MARAFIKI.

"Huyu mtu anaitwa Mosses Kadey amekuwa anatutumia mipicha ya ajabu eti anatutongoza mimi na rafiki zangu karibia 7 wote anatutumia mipicha kama hii au mbya zaidi hata kuonyesha aibu jamani akome"....Alifunguka  mrembo  mmoja  mbele ya mpekuzi wetu

Tunawapongeza warembo  hao kwa uamuzi wao wa busara  wa KUMKIMBIA  FATAKI  HUYU

Hii  ni  mara  ya  kwanza  kushuhudia  mwanaume  akimtongoza   binti  kwa  kutumia  picha  za  uchi.....Kama   ni  mzuri  ni  mzuri  tu......

Ni  vyema  jamii  ikajifunza  kutokana  na  matukio.Mapenzi  ya  picha  za  uchi  ni  sumu   na  ni  aibu  ya  milele....

Haya Ndio Masharti Kama Unataka Kumuoa Msanii Snura

Posted: 18 Mar 2013 04:32 AM PDT

MSANII wa filamu na muziki mwenye mvuto wa aina yake Snura Mushi ‘Snura’, ameamua kutoa la moyoni kwa madai kuwa sasa anatafuta mwanaume wa kuweza kufunga naye pingu za maisha lakini kwanza kabisa akubali kumpa muda mrefu wa kutafuta pesa ili asiwe tegemezi baada ya kuingia ndani ya ndoa hiyo.

Kauli ya msanii huyu imekuja mara baada ya mwandishi wa DarTalk kupiga naye story za hapa na pale ndipo alipounganisha ishu hiyo, kwa kudai kuwa si kwamba hataki kuolewa bali hataki kuishi ndani ya ndoa na kuwa tegemezi kwa mwanaume.

“Sitaki kuishi na mwanaume kabla hajakumbali kunipa muda wa mimi kutafuta pesa najua anaweza kuwa na uwezo wa kila kitu lakini hivyo vyote vitakuwa vya kwake na mimi natakiwa kuwa na mali zangu, lakini bila hivyo nitazeekea kwangu,” alisema.

Skendo Chafu zamkoseshanisha Rayuu na Familia yake

Posted: 17 Mar 2013 11:18 PM PDT

BAADA ya kuandamwa na skendo chafu, msanii wa filamu na tamthilia Rayuu, ameamua kuweka wazi kuwa kitendo hicho kimemfanya atofautiane na familia yake hasa wazazi, huku wakimtaka kuchukua hatua za haraka ili aweze kuachana na tabia hizo ambazo zinaweza kuichafulia jina familia.

Msanii huyo amekuwa akionekana kwenye picha kadhaa chafu ambazo zimekuwa zikimchafulia jina, akiongea na mwandishi wa DarTalk alisema kuwa zimemfanya hadi kutoelewana na familia yake kwani wanahisi ni muhuni kitu ambacho si kweli.

“Familia yangu imechukia sana kutokana na picha zangu ambazo sijui watu wanazipata wapi, naonekana muhuni mbele ya wazazi wangu wakati siko hivyo, kuna watu wana nia ya kunifanya niwe mbaya mbele ya wazazi wangu na watu wanaonizunguka nashindwa kuelewa wananitafutia nini,” alisema.
You are subscribed to email updates from Udaku Specially
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 20 West Kinzie, Chicago IL USA 60610

Udaku Specially

unread,
Mar 19, 2013, 4:27:03 PM3/19/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


'I slept with my brother-in-law by mistake''

Posted: 19 Mar 2013 11:50 AM PDT


I had séx with my brother-in-law by mistake. In the dark I thought he was my husband.

I’m 29, my husband’s 31. His parents held a family party for his niece’s 18th birthday last weekend.

Everyone was there, including my husband’s brother who was home from working away in Saudi. He’s 36.

We all get on well and there was plenty of alcohol and food. It was a nice party and we carried on drinking and dancing into the small hours.

My husband went up to bed before me and said he’d be waiting for me. I followed him up 20 minutes later. I got into bed feeling frisky and we ended up having séx.

I woke up a couple of hours later and sat up to get a drink of water. I pulled back the curtain to let some light in through the window from the street lamp right outside the bedroom.

I looked round and got the shock of my life when I realised I was in bed with the wrong man. The man beside me was my husband’s brother. I’d gone into the wrong bedroom and I guess my brother-in-law thought it was his lucky day. We had all had a lot to drink.

I ran to the right bedroom and crawled into bed with my husband who was fast asleep. Then I realised I’d left my underwear in the other room, so I sneaked back.

My brother-in-law was stirring so I hissed that we must keep quiet about what had happened. He just said, “Whatever.”

He’s flown back to Saudi now but I don’t know whether to admit everything to my husband. If this comes out I’ll lose a man I love more than anything and cause family ructions.

[PHOTO] Muonekano Mpya Wa Amber Rose Baada Ya Kujifungua

Posted: 19 Mar 2013 11:40 AM PDT


The stunning star Amber Rose amekuwa under the "Radar" tangu ajifungue mtoto wake wa kiume, ambae pamoja na mpenzi wake Wiz Khalifa walimpa jina la Sebastian ''Taylor'' The Bash ametupia picha zinazomuonesha alivyo sasa...
Hatimaye mwanamama huyo Amber, kupitia ukurasa wake wa Twitter masaa machache yaliyopita alipost picha zinazomuonyesha muonekano wake wa sasa.

Eti Kumbe! Every woman needs vagina reconstruction!

Posted: 19 Mar 2013 11:12 AM PDT



The pioneer of cosmetic surgery in Nigeria and CEO of Body Enhancement Limited, Modupe Ozolua said every woman at some point would need vagina reconstruction. She told Chuks Eze of The Sun:
"As long as women have vaginal birth, as long as they have intercourse, and as long as they age, at some point in time, they would need reconstruction. I'm not encouraging every woman to do it, just those who feel they need it or if their gynecologist advises them to do it. But women need to know that vagina reconstruction is different from vagina tightening. If you want to feel like a virgin again, I would ask you to see a gynecologist who will repair the appropriate muscles. Vagina reconstruction is different from going in and repairing whatever to restore virginity.

Simba:Sakata la Rage Kuenguliwa Madarakani Kuamuliwa Kisheria

Posted: 19 Mar 2013 11:02 AM PDT


Hatima ya kubaki madarakani kwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage itaamuliwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayoongozwa na wakili Alex Mgongolwa.

Hatua hiyo imefikiwa na TFF baada ya kupokea barua kutoka kwa uongozi wa Simba ikielezea kutotambua mkutano ulioandaliwa na wanaodaiwa kuwa wanachama wa Simba na kufanyika juzi kwenye Uukumbi wa Starlight, Dar es Salaam na kumwengua madarakani Mwenyekiti wa Simba, Rage.

Ofisa habari wa TFF, Boniface Wambura alisema jana kuwa katika barua hiyo uongozi wa Simba umeahidi kuitisha mkutano wa wanachama wake na mMkutano huo utaitishwa na Mwenyekiti wa Simba kwa mujibu wa katiba ya klabu yao.

“Kutokana na hali hiyo, TFF imeitisha mara moja kikao cha Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji kinachoongozwa na Wakili, Alex Mgongolwa kwa ajili ya kutoa mwongozo kwa matukio ya aina hiyo na kutoa hatima ya Rage,”alisema Wambura.

Hata hivyo Wambura alisema TFF inawasisitizia wanachama wake ikiwamo Simba kuwa wanachama wanapotaka kufanya uamuzi wowote ule wanatakiwa kuzingatia katiba na kanuni zilizopo.

Makosa Makubwa Tunayofanya Wanaume Katika Mapenzi

Posted: 19 Mar 2013 06:15 AM PDT

NAWAPA KISA KIFUPI TUU AMBACHO KINANISIBU KWA SASA,

Mimi ni mwanaume, nimeoa ila kwa sasa mke wangu na mtoto wako mkoa mwingine na mimi mkoa mwingine kikazi.
Familia yangu naipenda sana na huwa nawapatia kila aina ya mahitaji mara ninapoambiwa kuna upungufu fulani wa mahitaji, hata kama sina hela niko tayari kukopa mahali lakini siyo mke wangu kwenda kukopa kwa watu. Kuna sababu kuu mbili za kutokuruhusu mwanya wa mke wangu kukopa: Moja, ni kuruhusu mwanya wa kutongozwa na hao watakaomkopesha (kama ni wanaume). Pili, inatengeneza umbea, majungu na unafiki usio na msingi especially akina mama.

Hivi karibuni kuna jamaa yangu tunafahamiana naye, naye yuko mbali na mkewe japo huja walau mara moja kwa mwezi au miezi miwili hivi, then hurudi kwenye biashara na kazi zake. Mke wake amekuwa akinisumbua sana mara kwa mara, huniomba nimkopeshe pesa. Wakati fulani nilimpa, akanirudishia. Mara ya pili akanikopa tena, muda wa kulipa ulipofika akaniambia kuwa Mr. amempigia simu kuwa bado hajapata hela, hivyo afanye atakaloweza kurekebisha mambo nyumbani. Akaniomba nimkopeshe tena, basi nikawa mpole tuu, nikaipotezea maana haikuwa hela kubwa (30,000).

Baada ya muda, akanisihi tena nimsaidie mama yake anaumwa anatakiwa aende kwao (Nauli 40,000/-) akanisihi kuwa Mr. atatuma hela wiki ijayo. Nikampa akaenda, alipofika huko dada yake akafariki ikawa ni msiba huku mama akiwa mgonjwa. Nikampa pole. Aliporudi sikudai ile 40,000/- nikijua alipatwa na matatizo, acha iwe msaada.

Baada ya wiki ananiambia Mr. anasema kuna mtu alikuwa anamdai laki 4, ametokomea na simu haipatikani. Akawa ananiuliza kuwa nimshauri afanyeje maana hata matumizi hana. Kisaikolojia ni kwamba alitaka nimsaidie tena, nikampa 10,000/-. Hiyo hali ikaendelea kidogo kidogo hivyo hivyo.

Siku moja alinitumia msg kuwa nimpigie kuna kitu anataka kuniambia. Nilipompigia alinishukuru kwa yote niliyomsaidia. Kwenye mazungumzo baadaye akaniambia njoo tulale, nikashtuka. Akaanza kunisemesha kwa sauti ya mahaba. Mwishowe uvumilivu ukamwishia, akapasua jipu. Anahitaji kuwa na mimi. Ameniambia hawezi kuvumilia tena, na amedhamiria liwalo na liwe lazima awe na mimi anipe tunda nilifaidi kama shukrani. Nilikata simu na tangu hapo nimejikuta kama vile nimelewa mawazo nimekuwa na hali ya kuchanganyikiwa kimawazo. ananitumia message za mapenzi kibao, japo mimi nimeamua kutokujibu message hizo.

Najua fika, mke wa mtu ni sumu. Lakini hoja yangu ni kuwa haya yote yasingetokea kama huyu mumewe angekuwa responsible na familia yake. Inakuwaje mtu akae miezi miwili mbali na familia yake na hatumi hela kwa visingizio vya kubanwa au kukosa hela? Sijui wadau, naombeni comment zenu hatua za kuchukua haraka at least to rescue the situation. Sisemi kuwa mimi nina hela sana, maana katika maisha kuna wakati wa kupata na kuna wakati wa kukosa, na inapotokea umekosa, wewe mwanaume fanya juu chini, bora ukope wewe mwanaume mtajuana na mdeni wako, lakini hawa wanawake ni viumbe dhaifu, ni rahisi kuingia majaribuni. Mimi sijamtongoza huyu dada na sijawahi kumtamkia mambo ya mapenzi lakini mwenyewe kalianzisha. Sasa mambo yakiharibika nani alaumiwe?

Tundu Lissu Aongea Kuhusu Tuhuma za yeye Kujifungia Chooni Kukwepa Waandishi

Posted: 19 Mar 2013 05:51 AM PDT

ZIPO taarifa kwamba Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, wiki iliyopita alijifungia chooni kukwepa waandishi wa habari waliotaka kauli yake juu ya video hatari ambayo inadaiwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa chama hicho, Wilfred Rwakatare, alirekodiwa akieleza njama za uhalifu.

Tundu ambaye ni Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, amesema kuwa maelezo yaliyotolewa kwamba alijificha chooni kwa muda wa saa mbili si kweli, kwani hawezi kufanya hivyo.

“Jamani mimi na umri wangu huu nawezaje kuwakimbia waandishi wa habari? Siku zote mimi nafanya kazi na waandishi wa habari,” alisema Lissu na kuongeza:

“Ofisi yangu pale Ofisi Ndogo za Bunge, Dar es Salaam ina choo ndani, nikiwa ofisini kama mtu yupo nje wala hawezi kujua kama mimi nipo chooni. Nadhani hizo taarifa za kusema nilijifungia chooni ni za upotoshaji.

“Halafu haiwezekani mimi nikimbie suala la Rwakatare kwa sababu tayari nilishalitolea maelezo. Mpaka sasa, mimi kama mmoja wa mawakili wanaomtetea, nina maswali yangu kwa jeshi la polisi, kwani ile video haioneshi uhalifu wowote ambao umetendeka.

“Ni kweli niliweka miadi ya kuzungumza na waandishi lakini nilisahau. Nakumbuka jioni kabisa ya siku hiyo, nilipokea SMS ya mwandishi, akiniambia alikaa sana Ofisi Ndogo za Bunge, Dar es Salaam mpaka akachoka, kwa hiyo alishindwa kuniona.”

Wikiendi iliyopita, iliripotiwa na mitandao mbalimbali pamoja na gazeti moja la kila siku kwamba Lissu alijificha chooni kwa saa mbili kukwepa kuonana na waandishi wa habari, waliotaka ufafanuzi wake kuhusu kile kinachoendelea juu ya kesi inayomkabili Rwakatare ambaye ni Kiongozi Mstaafu wa Kambi ya Upinzani Bungeni.

Please Help-Siwezi Pitisha Siku Bila kutembea na Malaya

Posted: 18 Mar 2013 11:12 PM PDT

Mimi ni Kijana wa Miaka 27 , Nimemaliza chuo Mwaka Jana ...Now nafanya kazi katika shirika moja kubwa hapa Dar es salaam , Wakati nilipokuwa  chuo mimi na wenzangu tulikuwa na mchezo wa kwenda pale Corner Bar Kuchukua wasichana wanao Jiuza wa bei ndogo na kujiridhisha...Mchezo huu umeendelea mpaka nimemaliza chuo na nina kazi yangu ..Huwa nasikia raha sana kulala na hao watu...Nina Girlfriend wangu ila huwa nikilala nae sisikii  raha kama nikiwa na changudoa....Sasa jioni mara nyingi huwa natoka na kwenda mitaa ya Sinza kutafuta wa kuwa nae kwani kupitisha siku bila hiyo kitu siwezi...Nataka niiache hii Tabia Naomba Ushauri nifanyaje....Admin Plse Post hii Ili watu wanipe Ushauri....

Shocking: Another ICC Witness Withdraws From William Ruto’s Case … Reveals Who Coached Him

Posted: 18 Mar 2013 11:01 PM PDT

It seems the International Criminal Court (ICC) cases are crumbling day after a crucial witness, who was expected to testify against the Deputy President elect William Ruto stepped down on Monday.

Through his lawyer Paul Gicheru, the witness wrote to the ICC Chief Prosecutor Fatou Bensouda withdrawing each and every piece of evidence attributed to him and asked to have his name expunged from the list of the prosecution witnesses.

In a sworn affidavit presented to the ICC court, the witness explained that during the 2007 General Election, he was a PNU official but after election he was induced and enticed to be a witness of the of  ICC court.

“I have never personally visited any of the homes of William Ruto and I did not witness any event and cannot vouch for the truth or otherwise of any allegation that has been made or attributed to me against him,” the witness said in the affidavit.

He said Non Government Bodies and civil societies organizations paid him to testify against Ruto.

The Non Government Organisations that interviewed him included the Kenya National Commission on Human Rights (KNHCR), the commission of Inquiry into the Post election Violence (CPV) led by Justice Phillip Waki, the Kenya Police, Maina Kiai, Cynthia Tai and other officers from the ICC.

The Kenyan DAILY POST

I Won The Election by 1 Million votes – Raila Odinga Tells Kenyans

Posted: 18 Mar 2013 10:58 PM PDT

Prime Minister Raila Odinga has sensationally stated that he won the just concluded election by over 1 million votes, only to be rigged out by rogue Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).

Addressing hundreds of his supporters at Kwa Hola in Changamwe on his way to Mombasa Island on Monday, Raila said he garnered 5.7 million votes against the Jubilee candidate Mr Uhuru Kenyatta’s 4.5 million votes, but Mr Kenyatta was declared the winner prompting his coalition to move to the Supreme Court to contest the outcome.

He said in the 2007 election he won by 60,000 votes, only for President Kibaki to be declared the President by the late Samuel Kivuitu who was  the chairman of defunct Election Commission of Kenya.

“In 2007 I won the General Election with 60,000 votes but the victory was robbed from us. This time round, we have said no, never again,” Raila said.

The PM who arrived aboard a private white jet was accompanied by Mr Ababu Namwamba, Mr Johnson Muthama and Mr Wycliff Oparanya among other CORD big shots.

The Kenyan DAILY POST

Udaku Specially

unread,
Mar 20, 2013, 4:50:48 PM3/20/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


How Long Would You to Date a Lady Before you Expect S*x From her?

Posted: 20 Mar 2013 10:30 AM PDT


How long would you to date a lady before you expect s"x from her?

1. A few days
2. A week
3. A month
4. Three months
5. Other (specify)

Kanye West wants to name his child North West?

Posted: 20 Mar 2013 10:22 AM PDT


Eccentric Kanye West wants to call his baby by Kim Kardashian, North. The rapper, 35, came up with a list of potential names for the baby due in July, but North is at the top because he thinks it sounds good with his surname.
He sounded out pals about the moniker last month while working in Paris during fashion week. But the title is unlikely to go down well with girlfriend Kim, 32, whose family have a tradition of starting their first names with a K.
Kim might also have a problem with her boyfriend’s next album title - I Am God.

Diamond: Msimamo wangu wa kujenga msikiti bado uko pale pale!

Posted: 20 Mar 2013 03:35 AM PDT

Ikiwa imepita mda sasa tangu alipogusia swala la kujenga msikiti, ambao utakuwa kumbukumbu yake kwa watakaoutumia, na ikiwa ni
njia moja wapo ya kurudisha katika jamii, Diamond amesema msimamo wake bado uko palepale.

"Sasa hivi mimi nina maeneo yangu, kwasababu ninapokuwa na hela mi nakuwa muoga sana kuwekeza najitahidi sana kununua nunua viwanja au kama hivi vijumba vidogo vidogo vya kuvunja maeneo tofauti tofauti.

Sasa hivi niko plani kwamba niujengee sehem gani, nitengeneze msikiti sehemu ambayo itakua ni nzuri,msikiti ambao hata kesho na kesho kutwa mi nikifa, mababu vizazi na vizazi viwe wanaswali pale kama msikiti ambao aliutengeneza kijana wetu Diamond.Watu wanaswalia, mi naamini itanipa baraka kubwa sana, na soon too naimani mwenyezi Mungu naimani atanisaidia, nitangeneza huo msikiti" amesema Diamond licha ya kuwa na plani ya kujenga mskiti huo.

Iliripotiwa kuwa kwa sasa ameshakamilisha ujenzi wa nyumba ya mama yake mzazi iliyogharimu zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 260

Ladies need to Read This: 9 Ways to Make Your Husband Happy

Posted: 20 Mar 2013 03:33 AM PDT

It doesn’t take much time or effort to see that our culture is pessimistic about marriage. A happy marriage seems more like a fairy tale that Pollyanna dreamed up fifty years ago. Many of today’s wives are complaining left and right about their husbands’ many shortcomings. So why should a wife make her husband happy when he’s not making her happy?

I like what host Bob Lepine of Family Life Today says, “Our role is not to figure out how to fix our spouse. Our role is: How do we reflect Christ in the marriage?” The game changes when we as wives make it our aim to bring joy to the marriage for the glory of God. It’s no longer about “What have you done for me lately?” it’s about “What have I done for you lately?” Instead of being disappointed in what your husband hasn’t done, you can experience great peace knowing that you are doing him good and not evil all the days of his life (Proverbs 31:12).

And guess what? I can attest that when you respect your spouse and practice making your husband happy, he will turn around and pour that love right back onto you.

Ready to get started? Here are the top ten ways to make your husband happy:

Make s*x a priority.

No big surprise here. Women understand intellectually that sexual fulfillment is a top need of a man. But do your actions demonstrate that you really get it? Maybe you’ve taken care of the kids, cooked a delicious dinner, and even endured an action flick. Compared to the other wives you know, you’re doing pretty well. Yet you may be discounting his need for fulfilling s*x. Most husbands would rather have dishes in the sink and a wife waiting in the bedroom.

Make your home a haven.
The world can be a tough place. When your husband walks in the door, he needs to breathe a sigh of relief. He’s home. Think of how you greet your husband. Does he see the back of your head as you type furiously on the computer or do you look him in the eyes and say, “Honey I’m so glad you’re home”? Make your home a place where your husband feels welcome.

Respect your man’s needs.
What need does your husband have that perhaps you have discounted? It may be sex, quality time, the cookies you used to bake him, or going to ball games together. Don’t get defensive when your husband voices a need. Listen instead and then act positively to meet that need the best you can.

Let your man lead.
The idea of submission has many women up in arms. That does not need to be the case. The New Testament speaks clearly in three passages that we wives are to submit to our husbands as unto the Lord (Ephesians 5:22, Colossians 3:18, 1 Peter 3:1). This doesn’t mean you become a door mat. What it does mean is that your respect your husband’s role as the leader of the home. After you’ve weighed in on a topic, the final decision belongs to your man.

Kiss every day for five to thirty seconds.

Here’s something your husband will really like! It doesn’t cost a penny and it hardly takes any time. A healthy daily dose of passionate kissing will boost your marriage and keep the pilot light lit between you. Give out plenty of kisses, just like when you were dating.

Take care of your appearance.
When you were dating, your husband found your body type attractive. He was hooked on your looks. Now that you’re married, it’s important that he still finds you attractive. When you take time and effort to watch your weight and dress nicely for your spouse, it communicates volumes. I care about you. You’re still the one for me. I want you to approach me.

Bring back date night.
Someone once wisely said to me that date nights are less expensive than marriage counselling  When you have time to regularly connect with your spouse to be fun and romantic, you prevent the Arctic chill from settling between you. Date nights give you something to look forward to. Make sure they don’t become family business meetings. Guard your date nights as pure recreation and pleasure.

Smile.
You’ve probably heard the saying “Happy wife, happy life.” Most, if not all, husbands would certainly agree to that! When a wife is unhappy, everyone in the household knows. Some days you may not feel like smiling around the house, but go ahead and fake it at first. Put that plastic smile on and most likely, your natural beautiful smile will emerge shortly after. Your smile communicates to your man, “I’m happy to be married to you. I am thankful for a great life with you.”

Bonus: Speak kindly.
If someone were to repeat all the things you say to your husband, would it be “news that’s fit to print?” Are you heaping on praise and encouragement, or criticism and sarcasm? Treasure your husband’s efforts to please you and provide for your family. Don’t trash what he does either to his face or behind his back.  Your words matter more to him than anyone else’s.

Makubwa:Wilfred Lwakatare Aachiwa Huru na Kukamatwa Tena Hapo Hapo

Posted: 20 Mar 2013 03:25 AM PDT

Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Muganyizi Lwakatare, muda huu ameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya mashitaka yote yaliyokuwa yanamkabili kufutwa na muda huohuo kukamatwa tene na kufunguliwa mashitaka mengine.
Bado Hatujajua Sababu Halisi za Kukamatwa tena

Diva Loveness Akianika Kiuno Chake Mtandaoni na Kusema Haya.

Posted: 20 Mar 2013 01:48 AM PDT

 "Hey guys.
so this is how i look now and am loving it… alot of Protein and i eat only once and slimming tea is no longer my bff coz nshatoa nilichotaka but am doing the Stallion Booty Video alot. i workout alot. blogging this nikiwa so tired and Confident enough to say that i love my body now…… ladies go get that body pliz…. love yourself. workout and dont forget that Apple Pliz 8glasses of water per day. kisses" Says Diva

Raisi Kikwete Ahani msiba wa Trafic Aliye Gongwa na Gari na Kuuwa Mataa ya Bamaga

Posted: 19 Mar 2013 11:40 PM PDT

Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa  yule dereva aliyemgonga askari polisi wa usalama barabarani WP 2493 CPL-Elikiza  Lokisa Nko na kutokomea, amekamatwa juzi usiku masaa kadhaa baada ya kupoteza uhai wa askari huyo maeneo ya Bamaga mapema jana mchana.

Kwa Mujibu wa Mkuu wa Kikosi cha Polisi cha Usalama barabarani nchini, Kamanda Mohamed  Mpinga alisema jana kuwa gari lilohusika kwenye ajali hiyo aina ya Landlover Discovery rangi nyeusi limepatikana likiwa limefichwa maeneo ya Tabata dampo jijini Dar.

Kupatikana kwa gari hilo kumekuja baada ya Polisi kufuatilia na kujua mmiliki wa gari hilo kuwa ni kanisa la TAG chini ya Mchungaji Wambura, ambaye kwa ushirikiano alioutoa dereva aliyetambuliwa kama Jackson Stephen, alijulikana na hatimaye kupatikana

Kamanda Mpiga alitoa taarifa hiyo mbele ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana jioni nyumbani kwa Marehemu hukoUnunio kiasi cha kilomita 25 hivi Kaskazini mwa jiji la Dar.

Rais Kikwete pamoja na uongozi wa juu wa jeshi la polisi walifika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu ambaye ameacha  Mume na watoto watatu. Mume wa marehemu pia ni askari polisi.

Pichani juu Rais Kikwete akimfariji mume wa marehemu na watoto wake pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Saidi Mwema.

Updates:Dereva Aliye Mgonga na Kumuua Trafic Pale Bamaga Amekamatwa

Posted: 19 Mar 2013 11:36 PM PDT

Taarifa iliyotufikia inaeleza kuwa  yule Dereva aliyemgonga askari polisi wa usalama barabarani WP 2492 CPL-Elikiza na kutokomea, amekamatwa  masaa kadhaa baada ya kupoteza uhai wa askari huyo maeneo ya Bamaga
kwa Mujibu wa kamanda wa Polisi kikosi cha Usalama barabarani nchini,Kamanda Mohamed  Mpinga amesema leo kuwa gari lilohusika kwenye ajali hiyo limepatikana likiwa limefichwa maeneo ya Tabata dampo jijini Dar.

Kamanda Mpiga ametoa taarifa hiyo mbele ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete nyumbani kwa Marehemu,hukoUnunio,kaskazaini mwa jiji la Dar. Rais Kikwete alifika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu ambaye ameacha  Mume na watoto watatu.

Mume Wangu Hanitoshelezi Kitandani-Now I’m Sleeping With My ex'' - lady

Posted: 19 Mar 2013 10:43 PM PDT

 Hello, please post this as you might just be helping me save my future.

My name is Daisy. I’m 25 and might be getting married in December, if only I will say yes to my man.

He’s 31 by the way, but I told him I was going to think about it. To cut the story short, I’m really scared of getting married to him because I wouldn’t want to cheat on my husband. This guy is not even a one minute man when it comes to scx. He is a 5 seconds person. I’ve complained severally and he has tried to take all kinds of drugs to make him last but they don’t work.

Whenever we are ready to get down and he is inside me, he just thrusts for 5 seconds and that’s it. Then he leaves me wanting and he can’t go a second round because his body can’t do it. There was a time I was so horny, I had to go meet my ex and yes he made me feel like a woman. But with my soon to be hubby I don’t feel that way. He does not smooch me, he just goes straight in and then everything is over in a blink. I’m just frustrated and I need advice because he has tried basically every solution including Viagra, but the after effect was bad.

How can I be a faithful wife after I get married to this guy when he can’t even satisfy my urge? What should I do?

Udaku Specially

unread,
Mar 21, 2013, 4:13:23 PM3/21/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Hawa Ndio Wasanii Wataalam wa Picha za Utupu Bongo

Posted: 21 Mar 2013 06:40 AM PDT


 NCHI za wenzetu staa kupiga picha za utupu si kitu kigeni lakini Kibongobongo sheria na maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya hivyo.
Licha ya kubanwa na sheria pamoja na maadili, wapo wasanii ambao kwa nyakati tofauti walijikuta katika adha ya kupigwa kama si kujipiga picha za utupu kisha zikazagaa mitaani.
Wapo waliotajwa kupiga picha hizo kwa kusaka umaarufu, waliopigwa na wapenzi wao kisha wakazivujisha lakini wengine imedaiwa kuwa wamezivujisha wenyewe na kusingizia zimevujishwa na wapenzi wao.
Ifuatayo ni orodha ya wasanii mbalimbali Bongo ambao waliwahi kukwaa skendo ya picha za utupu:

Wema Sepetu:

Mwaka 2010 picha yake ya utupu ilizagaa mtandaoni huku ikidaiwa kuwa chanzo cha kusambaa kwake ni boifrendi wake ambaye alimpiga na kuzisambaza. Kama hiyo haitoshi, mwaka huu mrembo huyo alidaiwa kuposti picha zake nyingine za utupu katika mtandao wa Instagram.

Diana Hussein:
Huyu  ni Miss Dar Indian Ocean ambaye pia ni Miss Kinondoni namba 2 mwaka jana, mrembo huyo hivi karibuni amejikuta akipata aibu baada ya picha yake ya utupu kuvuja. Ilidaiwa kuwa alifanya hivyo kwa azma ya kusaka umaarufu.

Jack wa Chuz:

Ni bonge la ‘actress’ Bongo Movie, mwaka 2012 alipigwa picha za utupu na kusambazwa kila kona ya Jiji la Dar. Ilidaiwa kuwa kuna mtu alizichukua picha hizo kutoka kwenye simu yake na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari.

Agness Masogange:

Nini picha! Yeye ilivuja video yake ya utupu kabisa. Ilisambaa kama njugu katika mitandao ya kijamii mwaka jana. Vyanzo makini vilidai kuwa video hiyo alipigwa na mpenzi wake na haikujulikana mara moja chanzo kilichozivujisha.


Marry John:

Msanii wa filamu Bongo, Mary John ‘Maua’ mwaka jana alijipatia jina baada ya kupiga picha kadhaa za utupu na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii yeye mwenyewe.

Aunt Lulu:

Mara kadhaa amekuwa akitengeneza vichwa vya habari magazetini kwa kupiga picha za utupu. Mfano hai ni picha ambazo alipiga mwaka jana, ambapo alidai kuwa alipigwa bichi alipokwenda ‘kula bata’.

Lulu:

Mwaka 2010 alijikuta akichafuka kwa kutajwa kwenye skendo ya kupiga picha ya utupu. Alipoulizwa kuhusiana na picha hiyo alikanusha kuwa si ya kwake na kudai kuwa ilitengenezwa na watu ili kumchafua.



Jack Patrick

Kwa upande wake suala la kuvuja kwa picha zake za utupu siyo ishu. Mwaka jana ilidaiwa kuwa aliziposti picha zake za utupu kwenye mtandao wa BBM, haileweki ni kwa nini huwa anafanya hivyo.

Isabela ‘Vai wa Ukweli’:
Huyu ni chipukizi kwenye anga la filamu Bongo, mara kadhaa amepigwa picha za utupu na kusambazwa kwenye vyombo vya habari. Imedaiwa kuwa hufanya hivyo kama kutafuta mlango wa kutokea kwenye ustaa.
Maadili ya Mtanzania yanatukataza kufanya vitendo vya namna hii hivyo ni vyema wahusika wakawa makini, waepuke kupiga wala kuhusika kusambaza picha zao za utupu kwa namna yoyote ile. 

Source:Global Publisher

Kauli ya Wema Sepetu Kuhusu Hatua Alizochukua baada ya Kupata Vitisho

Posted: 21 Mar 2013 06:05 AM PDT

Idadi ya matukio ya kutisha inazidi kuongezeka kwenye vichwa vya habari, naitumia post hii kutoa info za alipofikia mwigizaji Wema Sepetu kuhusu ile ishu ya kutishiwa maisha na wasiojulikana siku chache tu baada ya kufungua ofisi yake mpya na ya kisasa itakayokua inaandaa filamu za kitanzania na kazi nyingine kama hizo.

Namkariri Wema akisema “nilichokifanya nilitoa taarifa, nimekwenda kuripoti polisi kwa hiyo nawasubiria tu wanifanyie walichokua wanataka kufanya, mpaka sasa hivi sijagundua ni kina nani ila mtu alienipa ripoti za vitisho aliniambia ni watu ambao nina uhasama nao na hawapendi maendeleo yangu, akasema pia hao watu nawajua lakini hakusema kama ni waigizaji au ni kina nani ila wanataka kunivamia ili kunikomesha…. mimi sina uhasama na mtu yeyote”

Kuhusu ulinzi  wake kwa sasa, Wema amesema “nyumbani nimeongeza ulinzi japo nilikua na walinzi, sikua na walinzi wenye silaha ambao sasa hivi wanakuepo, pia nimeweka alarm system kali na za kisasa…… vitu vingine ni kama kuwa makini ninapokwenda na watu ninaokuwa nao”

I can't stand my wife anymore; should I stay or go?

Posted: 21 Mar 2013 05:56 AM PDT

 "I found out my wife of 11 years cheated on me with some guy. This was last year June. She confessed to me after I confronted her with the facts.

I decided to forgive her and stay married to her because I have cheated on her in the past too and I didn't want to destroy our family because we have four small children together. The thing now is; I don't love her anymore.

I can't stand her and can't even bare to touch her. When she talks to me I get so angry I feel like stabbing her in the eye but I've never laid hands on her. I don't talk to her much except when we want to talk about the kids. We live in the same house but as strangers. She's really tried to make it up but it's not working. I actually hate it when she's around me, and haven't touched her since I found out about the cheating

I thought my anger and disgust at her would fade with time but it's been 9 months and I still feel this way. Will this anger ever go away or should I just end things with her?

Kila nikimnyonya naishia kutapika, kumuacha siwezi sijui nifanyeje!

Posted: 20 Mar 2013 10:50 PM PDT

Ama kweli mapenzi yana raha na karaha yake. Ila hii ya huyu dada ni kali kwa kweli.

 Kama ilivyo kawaida ya wadada walioshibana wawapo zaidi ya wawili, hawakosi kuongelea mambo yao ya ndani ya malovee. malalamiko ya shosti huyu ni juu ya mpenzi wake wa kiume ambaye amedumu naye kwa miezi sita hadi nautundika huu uzi.

    Kimsingi dada wa watu analalamika kuwa bf wake ambaye hajaenda suna anapenda sana kunyonywa 'mkono wake wa sweta' na kwa kuwa binti wa watu amempenda amekuwa akimtimizia hiyo haja yake. Ila tatizo kwa dada wa watu ni kwamba pindi anapokuwa ametulia baada ya kupeana raha ya mapenzi, na hasa anapo-recall ile exercise nzima ya 'kulamba koni' isiyofanyiwa tohara hijisikia kichefu chefu nakuishia kutapika.

    Kuna siku dada yake alimtilia shaka na kwenda kumpima akidhani huenda ana mimba baada ya kutapika mara 3 siku alotoka kufanya mapenzi na huyo bf wake mwenye 'mkono wa sweta'. Baada ya kumweleza dadake sababu ya kutapika, dada mtu alimshangaa iweje anakubali kulamba koni ya mkono wa sweta! Binti wa watu hajui itakuwaje maana mwanaume anampenda ila hiyo karaha ya kunyinya na kutapikatapika ndiyo inayomkosesharaha ya mapenzi na bf wake.

    Kidume kimekataa katakata kufanyiwa tohara kwa madai kwao ni mwiko na kwamba anajisikia raha sana ku-sex na sweta hivyo hawezi kuliondoa. Sitaki kuulizwa huyo mwanaume anatoka mkoa gani na kabila gani!

    My take: Kina dada vumilieni tu maisha ya mapenzi ndivyo yalivyo, mweeeeee!

Kaseja, Yondani wafuatwa na wazungu Dar es Salaam

Posted: 20 Mar 2013 10:29 PM PDT

CHAMA cha Soka nchini Denmark (DBU), kimetuma kikosi kazi cha watu wawili kwa ajili ya kuwafuatilia nyota wa Taifa Stars.
Hatua hiyo inakuja kufuatia Kocha Mkuu wa Stars, Mdenishi Kim Poulsen, kufanya mazungumzo na chama hicho na kukikaribisha nchini kufuatilia maendeleo ya kikosi chake pamoja na timu za vijana ambazo zipo chini ya Jacob Michelsen.
Wageni hao walishuhudiwa na Championi Jumatano wakiwa ‘bize’ kuchukua video za mazoezi ya Taifa Stars yaliyokuwa yakifanyika juzi jioni kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya pili tangu waanze kazi hiyo.
Wazungu hao walikuwa bize mara kwa mara wakielekeza kamera zao kwa beki wa Yanga Kelvin Yondani na kipa wa Simba Juma Kaseja.
Wakizungumza na Championi Jumatano, Wazungu hao, wote wakiwa ni raia wa Denmark, Jonas Ryefect na Kristian Andersen, wamesema kazi yao kubwa ni kufuatilia maendeleo ya nyota wa Stars na mara baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Morocco, watapeleka mikanda hiyo nchini Denmark ambapo itakabidhiwa kwa DBU.
“Kazi hii nadhani itaweza kuwa na maana kubwa kwa wachezaji wa timu ya taifa na Tanzania kwa jumla ambapo viongozi mbalimbali wa timu za soka na hata chama cha soka, wataweza kuangalia viwango vya wachezaji jambo linaloweza kuwapa nafasi ya kuviuza vipaji vyao.
“Lakini pia tunafuatilia maendeleo ya kazi wanazofanya Kim pamoja na Michelsen,” alisema Ryefect huku akiungwa mkono na Andersen.
Wakati wawili hao wakitamka hayo, Kim amesema ni wakati muafaka kwa nyota wa timu yake kujituma zaidi katika mchezo dhidi ya Morocco kwani wataonekana kwa mawakala mbalimbali ambao wanaweza wakawafanyia mipango ya kucheza soka la kulipwa Ulaya.
Mbali na Yondan na Kaseja kikosi hicho pia kina nyota wengine wengi kutoka Simba, Yanga, Azam pamoja na Mtibwa Sugar.

Ay Asema "Mimi ni Bonge la Mwigizaji"

Posted: 20 Mar 2013 10:19 PM PDT

MSANII wa Bongo fleva ambaye alifanya vizuri katika filamu ya Girlfriend mwanzoni mwa miaka ya 2000, Ambwene Yesaya ’AY’ amefunguka kwamba yeye ni bonge la mwigizaji wa filamu na akiingia  moja kwa moja kwenye tasnia hiyo atawafunika wasanii kibao wanaoigiza hivi sasa.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, AY amesema kwa sasa ana mambo mengi yanayomfanya ashindwe kuigiza lakini kama kuna mwandaaji wa filamu akimuhitaji afanye muvi, basi ajipange na awe na mkwanja mrefu wa kumpa.
“Nilipanga kuandaa muvi na  (Hamis) Mwinjuma ‘MwanaFA’ lakini mambo yamekuwa mengi ila dhamira ipo palepale kama muda ukipatikana tutafanya muvi wadau wangu wakae mkao wa kula,” alisema.
Pamoja na hayo, Ay aliongeza kuwa kati ya wasanii anaowakubali katika tasnia hiyo ni Irene Uwoya kwani anafanya filamu kwa uhalisia.

CCM, Chadema Dar wamgeuzia kibao JK

Posted: 20 Mar 2013 10:13 PM PDT

Ni nadra kutokea lakini wafuasi wa vyama vya siasa vya CCM na Chadema, wameungana kumweleza Rais Jakaya Kikwete kuhusu kero ya maji eneo la Kimara-Golani, Dar es Salaam.

Rais Kikwete alikutana na hali hiyo wakati akifungua Daraja la Kimara jana, tukio hilo liliwakusanya watu wengi hasa wanachama wa CCM na Chadema waliokuwa wamevalia sare za vyama vyao.


Wafuasi wa Chadema waliongozwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ambao walikuwa wakipeperusha bendera za chama chao na kuimba nyimbo mbalimbali huku wakidai maji. Hata hivyo, kutokana na hali hiyo, wafuasi wa CCM waliungana na wenzao wa Chadema, kupiga kelele juu ya suala hilo kiasi cha kugusa hisia za Rais Kikwete.


Akizungumza baada ya uzinduzi wa daraja hilo, Rais Kikwete aliahidi kuitisha kikao Jumatatu ijayo kitakachomhusisha Profesa Maghembe na maofisa wa wizara yake, wabunge wa Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa, wakuu wa wilaya ili kuweka mikatati ya pamoja kutafuta ufumbuzi wa suala hilo.


“Ninaomba Machi 25... tukutane ili tuweke mikakati ya pamoja kutafuta ufumbuzi wa suala hili,” alisema Rais Kikwete.


Akiwa Hospitali ya Mwananyamala, Rais Kikwete alizindua maabara ya kisasa kwa ajili ya uchunguzi na akazungumzia suala la dawa za kulevya kwa kusema atahakikisha mapambano yanaendelea kwani dawa hizo zinaua nguvu kazi ya taifa ambayo ni vijana.

Picha za Ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam

Posted: 20 Mar 2013 10:10 PM PDT


  Kamati ya Bunge ya Miundombinu ikiangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo.

 Mafundi wakiwa kazini.

Tume ya Pinda Yaanza Kupata ‘Harufu’ ya Wanafunzi Kufeli

Posted: 20 Mar 2013 10:04 PM PDT

Ukosefu wa walimu, upungufu wa vitabu na mazingira duni ya kujifunzia, ni baadhi ya sababu zilizotolewa kwa wingi na wadau wa elimu waliohojiwa na Tume ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2012 iliyoundwa na Waziri Mkuu.


Hayo yalielezwa jana na Mwenyekiti wa tume hiyo, Profesa Sifuni Mchome alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.


“Watu wengi wanasema sababu za matokeo kuwa mabaya ni shida ya walimu, vitabu vichache na vingine vimepitwa na wakati, wanazungumzia pia usimamiaji wa shule na ukaguzi,” alisema Profesa Mchome.


Profesa Mchome alitaja sababu nyingine zinazotolewa kuwa ni pamoja na shule nyingi kutokuwa na mabweni pamoja na miundombinu mibovu ya kujifunzia.


Profesa Mchome alisema kuwa, maelezo hayo ni kutoka kwa wadau mbalimbali waliotembelea kwenye tume hiyo, kutuma baruapepe, maandiko ama kutoa maoni kupitia kwenye tovuti ya tume hiyo.


“Pia wapo waliozungumza kwenye shule 26 za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo wajumbe walizitembelea kuzungumza na walimu, wajumbe wa bodi za shule na wanafunzi,” alisema Profesa Mchome.


Alibainisha kuwa, katika kila shule waliyotembelea walizungumza na watu wasiopungua 40, ambao kwa ujumla wake alisema walitoa maoni mazuri.


Profesa Mchome alifafanua kuwa, kwa sasa wajumbe wa tume hiyo wapo mikoani wakizungunza na wadau mbalimbali ili kuweza kupata sababu ya matokeo mabovu.


Alisema kuwa wananchi wajitokeze kwa wingi ili kuweza kutoa maoni juu ya sababu zinazokwamisha elimu nchini.


Profesa Mchome alisema kuwa, mpaka sasa maelfu ya watu wametoa maoni yao kwa njia mbalimbali ikiwamo kufika moja kwa moja katika ofisi za tume, kupitia tovuti ya tume, baruapepe, kuandika maandiko mbalimbali pamoja na kufika kutuma ujumbe mfupi wa simu.


Alisema tayari tume yake imezungumza na makundi 12 ya wadau mbalimbali wa elimu yakiwamo ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Wamiliki wa Shule Binafsi (TAMONGSCO), Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta)


Hata hivyo alisisitiza kwamba mahojiano ya Necta na Tet ni ya awali. Kwa sasa wajumbe wako katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Manyara, Arusha, Morogoro, Pwani, Simiyu, Shinyanga, Mbeya na kati ya Machi 24 na 26 watakuwa katika Mkoa wa Dodoma, Unguja na Pemba.

Huku ikidaiwa ni Wapenzi-Ngasa na Shilole Wazua Timbwili

Posted: 20 Mar 2013 10:02 PM PDT

HUKU ikidaiwa kwamba ni wapenzi, mastaa wawili wa fani tofauti, mcheza filamu na mwanamuziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na msakata kabumbu wa klabu ya Simba, Mrisho Ngassa, Jumatano iliyopita walizua timbwili katika klabu ya usiku ya SunSiro iliyopo Ubungo jijini Dar.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Ngassa alifika katika klabu hiyo saa saba za usiku kushuhudia Bendi ya Mashujaa iliyokuwa ikitumbuiza akifuatana na watu wawili, mmoja mwanaume na mwingine mwanamke.
Inadaiwa kuwa Shilole alipoingia ukumbini humo na kuonana na Ngassa aliyekuwa na kampani yake, alipandwa na hasira na kuanza kujibishana naye.
Chanzo kinatiririka kuwa kabla Shilole hajaingia ukumbini humo, alimuomba kijana anayeuza pipi aitwaye Abdallah Rashid amuoshee gari lake kwani lilikuwa limechafuka bila ya kukubaliana naye bei.
Baada ya Shilole kutoka kwa hasira kutokana na kujibishana na Ngassa, moja kwa moja aliingia kwenye gari lake na kutaka kuondoka bila ya kumlipa kijana aliyemuoshea gari lake.

“Kwani unanidai shilingi ngapi?” Shilole alimuuliza kijana aliyesema kwamba anadai shilingi elfu tano.
“Baada ya Shilole kutajiwa kiasi hicho, alikataa kulipa kwa kuwa ni kikubwa na kumfanya kijana huyo kuwa mbogo na kuanza kurushiana maneno na staa huyo,” kilisema chanzo chetu.
Chanzo  hicho kikaendelea kutoboa kuwa wakati kijana huyo akipigizana kelele  na Shilole, Ngassa alitokea na kumvaa huku akimuuliza kwa nini anagombana na wanawake na kuanza kurushiana naye maneno, kiasi cha kutaka kuzipiga lakini wakatulizwa na wasamaria wema.
“Ngassa alikunjwa na jamaa ambaye alikuwa amekasirika kutokana na kudhulumiwa haki yake,” kilisema chanzo chetu.
Hata hivyo, baada ya ugomvi huo, Shilole na Ngassa kila mmoja aliingia kwenye gari lake na kutokomea bila kumlipa aliyeosha  gari.
Baadhi ya mashuhuda walisema kuwa Ngassa na Shilole walikuwa na ugomvi uliohusiana na masuala ya kimapenzi.
“Hata yule mwanamke aliyekuwa na Ngassa alisema kwamba Shilole anahangaika kumfuata Ngassa wakati mcheza soka huyo hamtaki,” kilisema chanzo chetu.

Paparazi wetu alipompigia simu Ngassa kumuuliza kuhusiana na timbwili hilo, alikiri kutokea na kusema kuwa alikuwa akimsaidia Shilole.
Aidha, Ngassa alikanusha madai ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Shilole kwa kusema kuwa hawezi kutembea na msanii wa filamu.
Naye Shilole alipopigiwa simu alisema kuwa timbwili lilizuka kati yake na mtu aliyeosha gari lake bila ya ridhaa yake.
“Miye nimeenda pale kimpango wangu wala sikumfuata Ngassa ingawaje kweli nilimuona lakini wala sikuongea naye,” alisema staa wa muziki na filamu.

Mbwa Watumika Kutuliza wafuasi wa Chadema Jana Baada ya Lwakatare Kurudishwa Rumande

Posted: 20 Mar 2013 09:55 PM PDT

Jana asubuhi mbwa wa polisi waliwatuliza wafuasi wa Chadema waliofika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama wa Chama hicho, Wilfred Muganyizi Lwakatare. Polisi wa kikosi cha mbwa na vikosi vingine walikaa tayari kuwadhibiti wafuasi hao walioanza kupiga mbiu ya chama hicho ya "Pipooooz..." baada ya kiongozi wao kushindwa kutolewa kwa dhamana. Lwakatare amerudishwa tena rumande baada ya kufutiwa mashitaka yake yote yanayomkabili na baadaye kukamatwa na kurudishwa rumande. Kesi yake itatajwa tena Aprili 3, mwaka huu.

Udaku Specially

unread,
Mar 22, 2013, 4:13:05 PM3/22/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Facebook Picture Of The Day

Posted: 22 Mar 2013 06:42 AM PDT

Nimekutana Nayo hii Facebook ....Embu tumpe Maksi zake kwa Comment Hapo chini.

Lissu apeleka kesi ya Lwakatare Mahakama Kuu

Posted: 21 Mar 2013 11:52 PM PDT

Dar es Salaam. Kesi inayowakabili Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura imechukua sura mpya kutokana mawakili wanaomtetea kiongozi huyo na mwenzake kupeleka suala hilo Mahakama Kuu.


Mmoja wa wanasheria watano wanaowatetea Lwakatare na mwenzake, Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa habari jana alisema hatua yao ya kwe nda Mahakama Kuu inatokana na ukweli kwamba Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameingilia uhuru wa Mahakama bila sababu za msingi.


Mbali na Lissu, mawakili wengine wanaomtetea Lwakatare ni Peter Kibatala, Mabere Marando, Abdallah Safari na Nyaronyo Kicheere.
Juzi, Lwakatare na Ludovick walifutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yakiwakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuachiwa huru, lakini hapohapo wakisha kukamatwa tena na kusomewa mashtaka yaleyale ya awali.


Juzi waliposomewa mashtaka upya, watuhumiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa Mahakama ya Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za ugaidi, tofauti na Jumatatu waliposomewa mashtaka kwa mara ya kwanza ambapo walipewa fursa ya kukubali au kuyakana mashtaka hayo.


Kwa kuzingatia mazingira hayo, Lissu alisema katika maombi yao watakayoyawasilisha leo Mahakama Kuu, wataiomba iingilie kati mchakato huo ambao wanasema kimsingi unakiuka sheria.

Kikwete Aivulia Kofia Azam

Posted: 21 Mar 2013 11:47 PM PDT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameisifu klabu ya Azam FC kwa dhamira yao ya kuendeleza soka nchini hasa katika uwekezaji wa kiufundi.
Rais Kikwete aliyasema hayo jana wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamanzi, Mbande jijini Dar es Salaam.

Alisema, “Nawapongeza Kampuni ya Bakhresa kwa kuendeleza soka nchini kwani mmekuwa mfano kutokana na mfumo mlionao wa kuendeleza vipaji vya soka kuanzia vijana hadi wakubwa.”

“Siyo kwamba ni mafanikio tu, Azam sasa imekuwa kiboko na inaogopewa na vigogo wa Ligi Kuu, kila mmoja akijua ana mechi na Azam anakuwa na hofu,” alisema Kikwete.
Alisema, “Kutokana na hilo nawasifu kwa sababu mmefanikiwa kuvunja ukiritimba wa Simba na Yanga kwani hivi sasa hatujui mkubwa ni nani kwenye ligi.

“Hii ni kutokana na jinsi mlivyowekeza katika ufundi na siyo kamati za ufundi. Ninaposema ufundi namaanisha kocha, wachezaji na mazingira mazuri, lakini zipo timu badala ya ufundi kazi yao ni kuhonga makipa, wachezaji... ili washinde wakija kuiingia kwenye mashindano makubwa mechi ya kwanza au ya pili nje,” alisema Kikwete.

Akizungumzia Uwanja wa Azam, Kikwete alisema ni jambo zuri na mfano kwa wengine huku akitolea mfano wa Ulaya kuwa timu haziwezi kucheza kwenye uwanja wa kuazima. “Sisemi kwamba TFF wazuie, lakini kila timu inatakiwa kuwa na malengo hasa katika hili la uwanja,” alisema Kikwete.

Pia rais Kikwete alikemea suala la ushirikina katika soka na kusema kama ungekuwa na maana basi Afrika ingekuwa ya kwanza katika michuano ya dunia.

“Hakuna ushirikina kwenye michezo kwani kama uchawi ungekuwa unafanya kazi Afrika wangekuwa mabingwa kila siku, tusikekeze kwenye uchawi tuwekeze kwa wachezaji, wachezaji wanatakiwa kulelewa vizuri, walale pazuri, wale vizuri siyo kula chips mayai.” “Kijumla ninawapongeza Azam kutokana na jinsi nilivyojionea mwenyewe, wao wametekeleza kwa vitendo, nimeona vifaa, gym, bwawa la kuogelea, vyumba vya kulala na kila kitu safi,” alisema Kikwete.

Nguvuni kwa tuhuma za kutengeneza soda kienyeji

Posted: 21 Mar 2013 11:45 PM PDT

Moshi. Polisi mkoani Kilimanjaro, wamemtia mbaroni mtu mmoja mjini Moshi, kwa tuhuma za kuzalisha kienyeji soda za jamii ya Cocacola, zinazozalishwa na Kiwanda cha Bonite Bottlers Ltd.


Kiwanda hicho kinamilikiwa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi na kinazalisha soda mbalimbali zikiwamo Fanta, Cocacola, Krest, Sparlleta, Sprite na Stone Tangawizi.
Mtuhumiwa huyo mkazi wa Kibosho Kindi Kibaoni, Moshi Vijijini, alikamatwa juzi usiku katika operesheni ya polisi wakishirikiana na maofisa usalama wa kiwanda hicho.


Habari zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz zilisema mtuhumiwa pia alikutwa na masanduku sita ya soda alizokuwa amezitengeneza na masanduku 11 ya chupa za soda kubwa.


Alisema katika upekuzi katika nyumba ya mtuhumiwa, polisi walikuta masanduku zaidi ya 400 ya chupa tupu za soda ya jamii ya Cocacola.


“Tulimkuta anazalisha soda za jamii ya Cocacola nyumbani kwake. Kuna wakati alikuwa akichukua soda zilizomo kwenye chupa kubwa anazijaza kienyeji kwenye chupa ndogo,”alisema Kamanda Boaz.


Kwa mujibu wa Kamanda Boaz, mtuhumiwa huyo pia alikuwa akichukua soda za unga zilizopo katika paketi na kuzichanganya kwenye maji na kisha kuzijaza kienyeji kwenye chupa za jamii ya Cocacola.

Shilole Aongelea Sakata la Mastaa Wengi wa Kike kutokuvaa Nguo za Ndani

Posted: 21 Mar 2013 11:42 PM PDT

MEBAINIKA kuwa baadhi ya wasanii wa kike nchini hawavai nguo za ndani kwa madai kwamba joto linawaumiza na kuwasababishia michubuko katika baadhi ya sehemu za mwili wao

Hali hiyo ya kutovaa nguo za ndani inasababishwa na wasanii hao kutaka kupata hewa na kuepuka kubanwa kwa madai kuwa wanahitaji kuwa huru zaidi na mavazi wanayovaa huku baadhi ya sehemu zao za mwili kuonekana vizuri

Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam juzi  na msanii wa filamu pamoja na muziki wa miondoko ya miduala Zuwena Mohamed 'Shilole' alipokuwa akizungumza na jarida hili ....Shilole alisema kuwa kutovaa nguo za ndani hususani kwa mtoto wa kike ni kujiaibisha na kujishushia heshima katika jamii

Alisema kuwa wapo wasanii ambao hawavai nguo za ndani kwa madai kuwa wanaogopa kuchubuka jambo ambalo yeye aliliona si sahihi hivyo na kudai kuwa tabia ya kujirahisisha katika maswala ya ngono ndiyo inayopelekea kuvaa bila nguo yoyote ndani

"Unajua kiukweli ni kujishusha thamani hauwezi kukaa bila ya kuvaa nguo ya ndani tena mtoto wa kike ni kujidharilisha hata kama ni kuiga tusifikie huko jamani" alisema Shilole

Pamoja na hayo aliongezea kuwa sababu nyingine inayosababisha wasanii hao kubaki utupu ni kuonyesha viungo vya mwili wao jinsi walivyoumbika jambo ambalo yeye aliliita ni njia moja wapo ya kujidharilisha na kuutangaza uhuni kwa jamiii

"Kama hauna makalio makubwa huna tuu hata usivae nini hayaonekani hivyo ni bora ujistili kama mtoto wa kike" alisema Shilole

Alipoulizwa kuwa na yeye ni miongoni mwa wasanii wanaokaa utupu Shilole alisema kuwa amelelewa katika mazingira ya kuvaa nguo mbili kabla haujavaa ile inayoonekana na jamii hivyo hawezi kutoka nyumbani bila ya kuvaa nguo ya ndani

Kwa upande wake mwanamitindo Joketi Mwegelo alisema kuwa wasanii hao wanaovaa nguo bila ya kuvaa za ndani wanatakiwa kujistiri na kwenda na mazingira ili waendelee kulinda heshima yao kwa jamii

Alisema kuwa kama mtoto wa kike ni vyema ukafuata maadili na mazingira ya nchi hivyo basi kukaa utupu ni moja ya kujidharilisha na kushusha soko lako katika sehemu yako ya kazi na kuchangia kupunguza mashabiki ambao kwa namna moja au nyingine unaweza kuwapoteza kutokana na tabia

Credit: Pro-24

Ommy Dimpoz, Ay na Mwana Fa Warekodi Wimbo na J Martins..Big Up Sana

Posted: 21 Mar 2013 11:15 PM PDT

 Picha zote hizi ni wakati wako studio kwa Master J ambapo mikono ya Marco Chali ndio imehusika kuisuka kolabo.


Eti... Hili ji-ng'ombe limefikaje hapa?

Posted: 21 Mar 2013 10:45 PM PDT

I do remember dis story...The owner of dis cow hapa kijijini alikua akimuachia ngo'mbe wake bila ya kumfunga kamba, na kuharibu mazao ya wakulima, Kila akiambiwa hasikii..so wakamua kumpachika ng'ombe wake juu ya paa la nyumba yake kwa njia za kishirikina. It was a real story people....hahahah wamempata kweli.

CHADEMA yafichua siri video ya Lwakatare

Posted: 21 Mar 2013 02:15 PM PDT


SAKATA la Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, kufunguliwa kesi ya ugadi akidaiwa kupanga mikakati ya kudhuru watu, limechukua sura mpya baada ya chama hicho kudai kunasa mawasiliano ya watu kinaowatuhumu kuandaa video hiyo.
Pia CHADEMA imesema kuwa mawakili wake wamepeleka hati ya dharura katika Mahakama Kuu wakiiomba iingilie kati kwa kuitisha mafaili yote mawili ya kesi hiyo inayomkabili Lwakatare na mwenzake Ludovick Joseph.
Lwakatare alikamatwa Machi 13 mwaka huu na kuhojiwa kwa siku nne kisha kufikishwa mahakamani Machi 18 na kufunguliwa kesi namba 37/2013 yenye mashtaka manne huku Ludovick akisomewa mashtaka matatu.
Akizungunza na waandishi wa habari jana makao makuu ya CHADEMA, mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu, alidai kuwa wamenasa mawasiliano ya watu mbalimbali wanaowahisi kuhusika kurekodi video hiyo.

Lissu aliwataja watu hao kuwa ni Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky, Ludovick na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigullu Nchemba.
Alifafanua kuwa Desemba 27 siku moja kabla ya video hiyo haijarekodiwa kulikuwa na mawasilano ya simu kutoka kwa Msacky kwenda kwa Lwakatare akimuulizia sehemu alipo.
Alisema katika mawasiliano hayo, Msacky anayetajwa kudhuriwa na mkakati huo alimpigia simu Lwakatare na kumuulizia mahali alipo ambapo alijibiwa kuwa alikuwa yuko njiani kurejea Dar es Salaam.

Lissu ambaye pia ni mmoja wa jopo la mawakili wanaomtete Lwakatare, aliongeza kuwa Desemba 28, Ludovick alifika nyumbani kwa Lwakatare siku ambayo video hiyo ilirekodiwa saa 11:59.
Aliongeza kuwa kulikuwa na mawasiliano baina ya Ludovick na Nchemba kwa kutumia namba za simu ya Nchemba inayoonekana katika kitabu cha Bunge.
Lissu alidai kuwa baada ya mawasiliano hayo kati ya Desemba 29 mwaka jana na Januari 2 mwaka huu, Nchemba alinukuriwa katika kituo cha televisheni akisema anayo video inayowaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga njama za mauaji.
“Tumegundua mengi katika haya na kama tutafika mahakamani jaji au hakimu atakayekuwa anasikiliza tukiwa na hoja zetu atamaliza kesi hii ndani ya saa zisizozidi tatu,” aliongeza Lissu.
Alipotafutwa Msacky kwa simu yake ya kiganjani ili afafanue madai hayo, alikataa akidai kuwa kesi iko mahakamani.
Kuhusu kupeleka hati ya dharura kuiomba mahakama iitishe mafaili yote mawili na kutengua uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka wa kumfutia Lwakatare mashtaka uliotolewa juzi, Lissu alisema wanatambua mamlaka ya kiongozi huyo katika kufungua na kuiondoa kesi mahakamani.
Alisema lengo ni kulinda maslahi ya taifa au kuboresha utendaji wa haki, suala alilodai halikufanyika katika dhamira nzima ya kufuta kesi ya kwanza ya Lwakatare.
“Tumekaa jopo la mawakili watano; tumeiomba mahakama kuu iingilie kati na kuitisha mafaili yote mawili ya kesi hii na kisha ijiridhishe kama sababu ya kufutwa kwa kesi ya kwanza ni kwa ajili ya maslahi ya taifa,” alisema.
Alisema maombi mengine katika hati hiyo ni pamoja na kuiomba mahakama ichunguze ili kuona kama haki imetendeka kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, pia wameiomba ifute hati ya kufutiwa mashtaka kwa Lwakatare na ifute amri ya kumaliza kesi hiyo.
Pia alieleza kuwa wameiomba mahakama kuu iiamuru mahakama ya hakimu mkazi kisutu kuendelea na kesi ya awali iliyofunguliwa Machi 18 mwaka huu na pia itamke kuwa kilichofanywa na mawakili wa serikali ni kuingilia uhuru wa mahakama wa kufanya uamuzi.
Aliongeza katika kesi ya awali walihoji uwepo wa hati ya ridhaa ya DPP juu ya mteja wao kushtakiwa kwa sheria ya kupambana na ugaidi na wakaonyeshwa makaratasi yasiyokuwa na nembo yoyote ya taifa, hali iliyowafanya wahoji na kumuomba hakimu aifute kesi hiyo ombi lililokuwa linatarajiwa kutolewa uamuzi juzi.

Lissu alisema kuwa kwa mujibu wa sheria ya ugaidi ili kosa liwe la kigaidi lazima maelezo ya kosa hilo yaonyeshe kuwepo kwa malengo ya ugaidi hali aliyosema katika mashtaka yote mawili suala hilo halionekani.

Chanzo: Tanzania Daima

My wife brings Big Butt Ladies to spend the night in my house.

Posted: 21 Mar 2013 02:06 PM PDT


I wonder the kind of friends she has. It seems she selected them from the slim and big butt market.

Each time they come to look for her, she will ask them to spend the night in my house. The other day, I was watching movies in the sitting room and one of them came to the bar to take a shot of wine with a short skirt.

I will not lie that I looked and I saw something. Her butt is huge but she is slim. Honestly, I had an attention disorder that day.

At night I told her to stop bringing those home breakers home again to spend the night else I will disappoint her.

Mi ni Mti wenye Matunda Milele siogopi Kupigwa Mawe"Diamond Platnumz

Posted: 21 Mar 2013 01:31 PM PDT

Nimekutana na hii picha katika wall yake ya Facebook huku akiwa ameandika haya maneno "Mi ni Mti wenye Matunda Milele siogopi Kupigwa Mawe"

Hapa Ni Picha Akiwa Kisiwa cha Ukerewe Alipowasili kupiga show ya Nguvu Last week...

Wema Sepetu"Nawashangaa Sana wanao Fatilia Maisha Yangu"

Posted: 21 Mar 2013 01:25 PM PDT


Msanii anayetafuta mafanikio kwa kasi, Wema  Sepetu amesema kuwa haoni sababu ya watu kutishiana maisha hasa kwa kipindi hiki ambacho maisha yapo juu.

Wema alisema hayo kufuatia hivi karibuni  kutishiwa maisha na watu asiowafahamu na  kulazimika kuongeza ulinzi nyumbani kwake na  kila anapokuwa anatoka.

Alisema maisha ni magumu na kila mmoja  anatakiwa afanye kazi kwa bidii ili kufikia  malengo, badala yake watu wanaanza kutishiana  maisha.

"Nawashangaa watu wanaoendelea kuwafuatafuata  wengine wanapata wapi ujasiri huo na hali ya  maisha ilivyo ngumu na kuhitaji muda mwingi wa  kufanya kazi ili kujikwamua,"alishangaa Wema.

Aidha, aliongeza kuwa hana adui wala mtu ambaye  anamdai au kitu kama hicho hivyo watu  wanaomtumia mesaji za vitisho anahisi wana chuki  binafsi na si kingine.

Baada ya Kuwapa Ukweli Bongo Movies Ney Ahamia Kwa Nick Mbishi Ampa za Uso

Posted: 21 Mar 2013 01:22 PM PDT


Katika kile kinachoonesha bifu ya Ney wa Mitego na Nikki Mbishi kufikia pabaya, Ney amemmwagia matusi ya nguoni rapper huyo wa ‘Kill Yo Self’ kupitia BBM.

 Bifu la wasanii hao lilianza baada ya Nikki kudaiwa kurekodi wimbo uitwao Ney wa Mitego ambayo anamzungumzia msichana mwenye jina hilo na ambaye ana tabia za ukicheche.



“Nikki Mbishi acha us***ge k***m*yako utaf***a siku si nyingi kwa ambao huyu shoga ni rafiki yao BBM mtajua kwanini naongea hivi. Serious Nikki utaf**ika muda si mrefu unatambia za kike we m***nge nimekuvumilia sana kumbe una tabia sawa na dada yako …!! Jipange,” ameandika Ney.

Udaku Specially

unread,
Mar 23, 2013, 4:31:12 PM3/23/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Inawezekana Kupata Mume au mke Mzuri Kupitia Facebook?

Posted: 23 Mar 2013 10:21 AM PDT


Katika safari ya mapenzi wanandoa huwa wanakutana katika maeneo mbalimbali, wapo wanaokutana vyuoni,shuleni, kwenye nyumba za ibada, sokoni, kwenye daladala, kuunganishwa na mtu mwingine, au baada ya kusikia sauti kwenye simu, redioni, hotelini na sasa wengine kupitia mitandao ya kijamii kama facebook

Ukweli ni kwamba katika mitandao unapoanzisha uhusiano na mtu usiyemfahamu inawezekana ameona picha yako tu nakukuambia kuwa anakupenda na wewe ukiona picha yake ukaridhika naye mkaamua kuanzisha uhusino ni vyema kuonana kabisa ili kuwa na uhakika na uhusiano mnaotaka kuanzisha  kwani unahitaji kumfahamu zaidi  na ndipo utakapoweza kufanya maamuzi ya kukubali au kukataa.

Anaweza kuwa rafiki yako wa kawaida lakini uhusiano ukaja baada ya kuonana mkafahamiana zaidi, kwani ukikurupuka na kutaka kuoana haraka haraka na yule ambaye mna chat tu kwenye mitandao unaweza kujikuta unajuta baadaye kwa maamuzi yako ni vyema kufahamiana zaidi ya kuchat ili kuwa na uhakika na maamuzi yako.

Kila la kheri Taifa Stars, Morocco inafungika

Posted: 23 Mar 2013 07:25 AM PDT


Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inashuka kwenye Uwanja wa Taifa kesho kuanzia saa 9:00 alasiri tayari kuwavaa Morocco katika mechi ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia, zitakazofanyika mwakani nchini Brazil.

Tanzania haijawahi kucheza fainali za Kombe la Dunia zaidi ya kuishia hatua za awali, lakini kama mikakati ikiandaliwa kikamilifu, nafasi hiyo ipo na inaweza kufika mbali.

Kama ilivyo kwenye msimamo, Tanzania inashika nafasi ya pili nyuma ya Ivory Coast ikiwa na pointi tatu, ikiwa ni pointi moja nyuma ya vinara hao wa pili kwa soka Afrika.

Morocco kabla ya mchezo wa kesho ina pointi mbili baada ya sare mbili wakati Gambia ni ya mwisho ikiwa na pointi moja.

Ushindi wa timu hiyo, utafufua na kutia chachu nafasi ya Tanzania kufika mbali katika fainali hizo za Kombe la Dunia kupitia Kanda ya Afrika.

Kinachotakiwa ni kwa wachezaji kucheza kwa nguvu, ari, moyo na mshikamano kuhakikisha wanashinda mchezo huo, huku kila mmoja kwa nafasi yake akiomba dua ya kheri na mafanikio kwa Taifa Stars.

Lazima Morocco washangazwe na soka ya Tanzania. Haiwezekani kila siku Nigeria, Ghana au Cameroon kama tuliwamudu Zambia na Cameroon katika mechi za kirafiki, kwa nini leo isiwe Morocco?

Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?

Posted: 23 Mar 2013 07:11 AM PDT


Nimeuliza hili swali kwa sababu kwenye jamii yetu baadhi ya kina dada ambao hawajaolewa hadi umri fulani wanakuwa 'desparate' na kupelekea kuchukua maamuzi yanayoshangaza au hata kuwaumiza.
Ingawa ni wachache sana wanaokiri kwa maneno frustrations zao kwa watu, tumekuwa tukishuhudia wengi wao wakikiri kwa matendo yao.

Tunashuhudia kina dada wakisacrifice heshima zao na 'kulazimika' kufanya vitu vya ajabu ili tu kumridhisha mchumba.

Tunashuhudia kina dada wakifyatua mimba kila siku zilizotokana na 'kutii' hamu ya wachumba ambao wanaishia kuwatelekeza

Tunashuhudia kina dada wakiingia katika mahusiano na wanaume lukuki kwa sababu tu wanataka ku-maximize chance ya kuolewa.

Tunashuhudia kina dada wakivunja mahusiano na wanaume wanaowapenda kwa sababu wamekutana na aliye tayari kuoa hata kama hawapendani...

Mbaya zaidi wapo wadada wanaoona kabisa unreliability ya ndoa wanazoingia lakini wanasema "bora tu niolewe mwaya, hata nikiachika nitakuwa nimetoa mkosi!!!!"

Kama Mungu kakujaalia uwezo wa kufanya kazi na kuingiza kipato cha kukuwezesha kujikimu na kuwakimu wanaokutegemea, kwa nini uumize kichwa na kuingia kwenye ndoa za mateso na za kukudhalilisha, ili na wewe uonekane umeolewa?
 Kina Dada, Kwani Kuolewa ni lazima?

Dogo Janja Afunguka Kuhusu Wanao Mponda Kuwa Kafeli Shule

Posted: 23 Mar 2013 06:41 AM PDT


While still in his tour, msanii wa muziki wa kizazi kipya toka Tanzania maarufu kama Dogo Janja au unaweza muita "Dogo Janjaro" amefunguka ya moyoni.
Janjaro aliyasema haayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kuandika mengi tu kuhusiana na kinachoendelea kuhusu muziki na maisha yake...
Cheki hapa chini alichokiandika Janjaro:


Hemed PHD "Nimeshindwa kuhandle pressure ya Wanawake Bora Nioe Sasa"

Posted: 23 Mar 2013 06:35 AM PDT


Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambae pia ni mcheza filamu hodari hapa Bongo, Hemedy PHD jana aliandika kupitia mtandao mmoja wa kijamii na kusema BORA KUOA...
Ni nini kilichomkuta PHD?? Well PHD aliandika hayo kutokana na usumbufu mkubwa anaoonekana kuupata kutoka kwa watu katika simu yake ya mkononi...
Hemedy (@hemedyPHD) ambae alilalamika kuwa amechoka na kuwa-block simu/watu hawa lakini pia kufikia kuona bora aoe alitweet " Nimeshindwa kuhandle pressure ya wasumbufu ktk simu yangu! Maisha ya kublock simu pia nimechoka! BORA KUOA! sijui itasaidia?? NABADILISHA NUMBER"
Hemedy aliandika haya huku ikonekana wanaomsumbua zaidi ni wasichana/wanawake ambapo amefikiria ni bora aoe ili kupunguza au kuondoa usumbufu huu...
Pamoja na mawazo haya, pia PHD (Star wa single GOING CRAZY) amejiuliza kama hili litasaidia kuondokana na usumbufu huu anaoupata sasa...
Hemedy amekuwa akiongelea mara kwa mara kuhusu yeye kupendwa na wasichana ambayo may be ni muonekano au kazi zake za kisanii anazofanya...
PHD pia aliwahi kusema kuwa siku akiamua kuoa inabidi aandae shindano la kutafuta mke bora (kama ilivyo katika kusaka vipaji) ambae ataishi nae milele ili kumpata yule anaefaa...

Baada ya Video yake Chafu Kuvuja Agness Ajitokeza Tena Instangram

Posted: 23 Mar 2013 06:16 AM PDT


Kwa mara ya kwanza tangu ile skendo ya video queen wa music wa bongo fleva
Agnes Masogange kurindima ,baada ya video yake ya ngono kuvuja kama
Maji kwenye Mitandao ya Kijamii...Jana alionekana kwenye mtandao wake
wa kijamii wa INSTANGRAM Akipost picha kadhaa akiwa ni mtu
mwenye furaha tele na Amanii.....



Baadhi yao walionekana kumuelewa kwa kutupia likes na comment pia
japo wengine walicomment wakisema
''Wewe ni simba uliyejivika Ngozi ya Kondoo....''
Baadhi yao kutukanana...ikionekana kuna raia wanamuelewa Agnes
na wengine bado wakiwa na kinyongo.....!!



Comment nyingine ilisomeka ..''My dear nobody is perfect....shit happens
live your life nobody has no right to judge u''

Picha hizo zilimwonesha agnes akiwa kwenye pozi tofauti tofauti
nyumbani kwakwe.....!!


Diva Loveness Afunguka Kuhusu Kosa Kubwa Alilolifanya Katika Maisha Yake

Posted: 23 Mar 2013 06:08 AM PDT


Diva jana alifunguka kuhusu kosa kubwa alilolifanya katika maisha yake
tangu azaliwe. Na alichosema kajuta ni kua na uhusiano wa kimapenzi na
msanii Mo Racka. Hiki ndicho alichokiandika Twitter jana usiku

Sintah Ataka Kujua Chuo Gani Kina Ongoza kwa Ukahaba Tanzania

Posted: 23 Mar 2013 06:00 AM PDT


"Dearest Wadauzii

Nadhani wote tunajua kwamba vyuoni kuna mambo mengi sana na wanafunzi wa mageti kali huharibikia pale ama hujifunza ujanja chuoni, lakini mpaka dakika hii sijajua ni chuo gani kinachoongoza kwa ukahaba Tanzania perhaps hii itasaidia wazazi wanaongia ktk website hii, nimesikia mara nyingi kuna wanafunzi wengine wapo chuoni kwaajili ya kukuwadia wenzao wanaume na wakati mwingine wanazichanga mpaka wananunua gari mfano Chuo cha ustawi wa jamii kuna mwanafunzi kanunua Vitz kwaajili ya kukuwadia wenzie wanaume what a mess? mimi namjua huyo tu labda kuna mengi mimi na wewe hatuyajui ila yule anayajua hebu tulichnganue hili kujua ni chuo gani danguro.

Naomba utaje Chuo ambacho kina scandal nyingi za ukahaba na pia kama kuna maovu yanayoendelea, kuna maovu kama ya ku share bwana, lesbianism,  hayo kwa chuo yanafamika lakini kukuwadiana wanaume mpaka tuna drive bima heee si kitu kidogo inamaana huyo ni kungwi.

drop ya comment " Sintah

Jamie Foxx and Kelly Rowland secretly hooking up?

Posted: 23 Mar 2013 05:47 AM PDT


According to reports, Jamie Foxx and Kelly Rowland are secretly seeing each other. Jamie Foxx shamelessly flirted with Kelly Rowland on the Oscars red carpet and according to The National Enquirer they swapped numbers after the show and have been hooking up secretly since then.

Kelly, who has been single for a while, has been seen visiting the unrepentant bachelor at his LA home according to NE but no photo to prove this. Jamie has two kids with two different women.

You know what they say, in Hollywood, everyone sleeps with everyone. But why creep when you are both grown and single? They will make a cute couple.

"We don't own a private jet yet, but hope to buy one in the future' - PSquare

Posted: 23 Mar 2013 05:42 AM PDT


When asked by Vanguard if the rumour that they bought a private jet was true, P-Square replied:
"There was nothing like that. I guess because it was included in our list that whenever we are going for a specific show,  the organsiers must provide us with a private jet. We had a deal with a private jet company which always hire their private jet to us whenever we are in need of it. It’s like, we have a private jet at our disposal. I remember, I once tweeted that a private jet has been included in our list.  That was how people started speculating that Psquare has bought a private jet. But we always  travel with the jet all the time.
Do they plan to buy a private jet someday?
To be honest with you, the way things are going, we are planning to buy one. And it’s not because of the cost implication of hiring a private jet, but the fact that we want to meet up with our concerts.

'How do I tell my husband that he's not the father of our child'

Posted: 23 Mar 2013 05:40 AM PDT


I need to find an easy way of telling my husband that I am in love with another man and that our baby boy is not his child.

I am 38 and have been with my partner for 10 years. I met a man sometime ago.

We chat very often and one day he suggested we go for a drink. I told my partner I had a meeting. There have been lots of “meetings” since.

We make love in his car every week. I had been starved of love for years. When I started the fling it was just for the sex. I thought about it all day.

Then I fell pregnant. My partner just assumed the child was his and I didn’t want to destroy him by telling him different but I am 100 per cent certain our eight-month-old son is my lover’s child. He knows the baby is his and dotes on him.

We have fallen in love and are now planning on being together. My lover is going to tell his wife soon.

I know it will tear my partner’s heart apart to find out I am in love with another man and want to be with him, and that he will lose his little boy.

I never meant to hurt him but I need to find an easy way of breaking the news

Man Jailed For Killing 3 Girls And Drinking Their Blood Escapes From Prison

Posted: 23 Mar 2013 05:34 AM PDT


A convicted rapist and cult leader known as Black Jesus, who was accused of murdering three girls and then eating their flesh and drinking their blood, has escaped from jail with 48 other prisoners.

A huge manhunt is underway in Papua New Guinea's jungles for Stephen Tari and the other inmates, who broke out of prison in Madang in the north of the country while a guard changed shift.

Police have warned that some of the escapees are very dangerous and stressed officers are working 'around the clock' to catch them.

Tari, 40, a failed Bible class student, called himself Black Jesus as he travelled through the highland jungles in 2006, gathering thousands of disciples who moved with him, following his instructions to increase his 'flock'.

But he was also accused of raping three young girls, murdering them and then drinking their blood and eating their flesh.

Villagers eventually captured him in March 2007, beat him into unconsciousness, tied him up and handed him over to police.

In 2010 he was convicted of four counts of rape but was not charged with murder due to lack of evidence, despite protests by the relatives of three dead girls.

Now the enigmatic figure, who wore long white robes as he stood on a rock in a jungle clearing and preached his own gospel to his disciples, has sparked fears that he plans to look for new followers with his escape.

'The guard left his tower,' PNG Correction Service’s spokesman Richard Mandui told Radio Australia today.

'While the shift was taking place, the detainees used a tool to cut through a fence and they left for freedom.'

'We’re working around the clock to find Stephen Tari and the other men,' said Madang’s Acting Provincial Police Commander Inspector Jacob Bando.

During his days of freedom he gathered more than six thousand disciples by telling them they would recieve gifts from heaven if they followed him.

But jungle communities were horrified to be told that Stephen Tari had sacrificed three young women, drinking their blood and eating their flesh as part of his bizarre religious ceremonies.

In one case, a mother who had fallen under his influence, drank her daughter’s blood, according to relatives who the Daily Mail spoke to at the time. He gradually became a figure of fear.

Tari was eventually captured in the small village of Matapi, a seven-hour walk from the nearest road.

Church pastor Paul Makura said it had been difficult for police to catch Tari as he never stayed for long in one place and was always warned by his disciples when police were in the area.

When he turned up in Matapi villa, frightened villagers pounced on him while he was sleeping in a hut and tied him up.

Messages were passed through villages until one man with a mobile phone was able to get a call to police in the town of Madang.

Heavily-armed officers found the badly-beaten Tari tied to a makeshift stretcher when they arrived in the village.

There was no sign of Black Jesus’ bow-and-arrow bodyguards who on an earlier occasion when Tari escaped had engaged in a fight to the death with police.

Now police are hoping that with the notorious Black Jesus on the run once again they will be able to recapture him before he gets another cult up and running.

Changudoa Ananipiga Mizinga na Kuniambia Ananipenda

Posted: 22 Mar 2013 10:50 PM PDT


Nilipita club moja nikaopoa changudoa moja ambaye ni mwanafunzi wa udsm. Kabla sijapiga mambo alinidai nimpe chake kabisa. Sasa kwa vile ni toto limeumbika balaa kama mnavyo muona Hapo Juu kwenye picha nikachukua namba ili nilitafune tena sikunyingine na yeye akaomba yangu nikampa.
Sasa nashangaa linanitumia msg za kuniomba hela na kuniambia ananipenda anataka kuwa wangu kimoja wakati linajua mi siyo bwanaake na uhusiano hapa ni wa nipe nikupe. Sijamtumia ananisumbua sana mpaka kero sasa. Sasa sijui nifanye nini kwa uzuri ni mzuri hasa hasa umbo na weupe wake ndio wanichanganya..ila ile fact ya kuwa nilimkuta katika madhingira ya kujiuza inaniumiza kichwa nahisi sinta kuwa na amani nikimkubalia...Nifanyaje wadau ? Nimtose ama?

Sakata la Kibanda: Magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima hatarini kufungiwa!

Posted: 22 Mar 2013 10:24 PM PDT


HATUA ya vyombo vya habari kulivalia njuga suala la kutekwa, kuteswa na kuumizwa kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda haiwafurahishi watendaji wa serikali.

Vyombo kadhaa vya habari yakiwemo magazeti, vimekuwa na habari, makala na maoni mfululizo kuisukuma serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi iwasake na kuwafikisha mahakamani wahusika wa tukio la Kibanda ambaye pia ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006).

Katika habari hizo, vyombo hivyo vinaeleza kushangazwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kushughulikia matukio mepesi haraka na kwa kutumia nguvu nyingi, huku sakata la Kibanda na lile la Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk. Stephen Ulimboka uchunguzi wake ukidorora.

Msukumo huo wa vyombo vya habari kuvisakama vyombo vya dola na baadhi ya vigogo serikali kuhusika na matukio hayo umepokelewa kwa mtazamo hasi.

Habari za uhakika zinasema kuwa vigogo kadhaa wameanza kuhaha kupanga mikakati ya kuvizima vyombo hivyo, hususani magazeti ya Tanzania Daima na Mtanzania ambayo yamekuwa mstari wa mbele kuandika sakata hilo.

Katika mkakati huo, tayari gazeti la Mtanzania limeandikiwa barua na Msajili wa Magazeti ambapo Kaimu Mhariri wake anatakiwa kwenda kujieleza Idara ya Habari (Maelezo) kuhusu habari iliyochapishwa Machi 20, mwaka huu.

Akithibitisha kupokea wito huo, Mhariri wa Mtanzania, Kulwa Karedia, alisema barua hiyo ina kumb. Na. IR/RN/336/57 ya Machi 21 mwaka huu, na imesainiwa na Jamal Zuberi kwa niaba ya Msajili wa Magazeti.

Alisema kuwa Kaimu Mhariri wao anajulishwa, “Madhumuni ya wito huo ni kujadili habari iliyochapishwa na gazeti lako toleo Na.7262 yenye kichwa cha Urais wa damu.”

Karedia alisema kuwa habari husika iliyoandikwa na Mtanzania ilielezea kuwa sakata la kushambuliwa kwa Kibanda limeanza kuibua tetesi na kutaka Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe ahojiwe kutokana na kauli yake.

Membe alihojiwa na kituo cha televisheni cha ITV Julai mwaka jana, katika kipindi cha Dakika 45 na kudai kuwa anao maadui 11 wakiwemo waandishi wa habari wawili ambao atawatwanga kweupe.

Hatua ya kutaka Membe ahojiwe ni kutokana na Kibanda kuumizwa ikiwa ni takribani miezi tisa tangu kauli hiyo itolewe bila kufafanua maadui zake aliwakusudia akina nani.

Hata hivyo gazeti hili lilidokezwa kuwa baadhi ya vigogo waandamizi wa serikali, CCM na maofisa kadhaa wa Usalama wa Taifa wamekuwa na vikao vya kujadili namna ya kunyamazisha magazeti hayo.

Lengo la mkakati huo ni kuhamisha mjadala ili wananchi wahangaike na mambo mengine wasahau sakata la kuteswa kwa Kibanda.
Miongoni mwa wanaohaha katika suala hili ni waziri mmoja machachari ambaye anatajwa kuusaka urais kwa nguvu akishirikiana na kigogo mwingine wa CCM.

Inadaiwa kuwa kumekuwa na vikao vya mfululizo ambapo vya mara ya mwisho vimefanyika juzi kwa siku mbili ofisini na nyumbani kwa waziri huyo jijini Dar es Salaam kujadili mkakati wao.

Miongoni mwa walioshiriki vikao hivyo yumo pia kigogo mmoja wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

Baadhi ya mambo waliyojadili ni kuyafungia baadhi ya magazeti, hasa Tanzania Daima na Mtanzania, ambayo wamesema yanafuatilia na kuripoti sana habari za masaibu yaliyompata Kibanda.

Hata hivyo, baada ya mjadala mrefu walikubaliana kwamba ni rahisi kuanza na Mtanzania kwa sababu za kimkakati na kisiasa.
Kwa sababu zao za kimkakati walikubaliana kuanza na Mtanzania na kuliacha Tanzania Daima ambalo linamilikiwa na kiongozi wa upinzani.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kujiridhisha kwamba mchakato wa kuvishitaki vyombo hivyo unaweza kuchukua muda mrefu na kuibua masuala mengine wasiyotaka jamii iyajue.

Vigogo hao walienda mbali zaidi wakimhusisha Ofisa Mkuu Mtendaji wa New Habari (2006), Hussein Bashe wakidai amekuwa akitumia magazeti ya Rai na Mtanzania kuelekeza yaandike masuala yanayochafua serikali, waziri mmoja na kundi lake na makundi kadhaa ndani ya CCM.

Ingawa suala la uraia wa Bashe lilishamalizika kwa Idara ya Uhamiaji kuuthibitisha, mipango ya kundi hili sasa imejielekeza katika kuibua upya suala hilo kisiasa ndani ya chama kwa kumtumia kijana machachari na bingwa wa propaganda ambaye ana wadhifa mkubwa ndani ya chama.

Taarifa zinasema suala hilo litaibuliwa ndani ya vikao vikuu vya chama vijavyo ili CCM iendelee kusisitiza haitambui uraia wake na iweke shinikizo afukuzwe uanachama.

Vile vile waliweka mkakati kuwa shinikizo hilo litapelekwa hadi kwa mwajiri wa Bashe, Rostam Aziz ili amwondoe kwenye cheo hicho au amfukuze kazi kwa sababu magazeti yake yamekuwa hayatimizi malengo asilia yaliyomsukuma kuyanunua.

Bashe ashangaa

Alipotafutwa Bashe jana kueleza kama ana taarifa za mikakati ya kikao hicho, alijibu kwa kifupi; “Sijazipata taarifa hizo ila nitazifanyia kazi.”

Bashe alikiri kupokea barua ya Msajili wa Magazeti ikiwataka wafike kujieleza Jumatatu mchana, lakini akaongeza; “Hilo suala la uraia wangu kama kweli wanaendelea nalo watakuwa wanajisumbua bure.”

Nape ang’aka

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnuye, alipoulizwa kama anafahamu ama ameshiriki vikao hivyo vya mikakati ya kuyanyamazisha magazeti hayo, aling’aka na kusema CCM hawana matatizo na Tanzania Daima wala Mtanzania.

“Hicho kikao kinafanyikaje? Mimi ni Katibu wa Itikadi na Uenezi, huyo waziri anashughulika na wizara yake halafu huyo mtu wa Maelezo ana idara yake,” alisema.

Nape alidai hajawahi kuonana na waziri mtajwa kwa muda mrefu na kwamba hata hajui kama amerudi nchini tangu walipokutana nchini Afrika Kusini wiki kadhaa zilizopita.

“CCM kama chama hatuna matatizo na Tanzania Daima wala Mtanzania, hizo ni fitina zenu mnataka kutengeneza, vyombo hivi tunashirikiana vizuri hata niliwahi kutembelea ofisi zao baada ya kuteuliwa na hata kwenye ziara zetu mikoani tunavichukua,” alisema.

Waziri tajwa na kigogo mmoja wa Maelezo hawakupokea simu zao kutoa ufafanuzi hata walipoandikiwa ujumbe mfupi wa simu (sms) hawakujibu.

Sakata la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa Kibanda linafananishwa na lile la Dk. Ulimboka kwani hadi sasa uchunguzi wa kuwasaka waliohusika unafanyika kimzaha.

Tangu alipoumizwa Dk. Ulimboka Juni 26 mwaka jana, ni mtuhumiwa mmoja pekee amefikishwa mahakamani akidaiwa kuhusika na tukio hilo ingawa inaelezwa kuwa alikuwa amerukwa na akili akajipeleka kanisani na kudai kuhusika.

Zikiwa sasa ni wiki tatu tangu kujeruhiwa kwa Kibanda, hakuna mtuhumiwa hata mmoja aliyekamatwa na vyombo vya dola kuhusiana na tukio hilo, ingawa ndani ya wiki moja Jeshi la Polisi limekamata na kumchunguza Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare kisha kumfikisha mahakamani akidaiwa kujihusisha na ugaini kwa kutumia usahidi wa video.

CHANZO: TANZANIA DAIMA

Madenti wa Kike Udom Wasema:Wabunge ni Mabuzi Yetu Huku

Posted: 22 Mar 2013 10:16 PM PDT



MITANDAO mingi ya kijamii na kurasa binafsi za mawasiliano zinazopatikana ndani ya simu za viganjani kama Instagram, WhatsApp na BBM (Blackberry Messenger) zinazomilikiwa na baadhi ya wasichana wanaosoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) zimejaa mambo ya ngono na kashfa kwa baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Unyemeleaji taarifa uliofanywa na Ijumaa kwa muda mrefu kwenye huduma hizo za mawasiliano ya kisasa  umebaini wanafunzi wa kike wamewabatiza jina la ‘mabuzi yao’ baadhi ya wabunge.

Bila kupepesa mitandao hiyo imekuwa pia ikitumiwa na wasichana hao kuuza miili yao huku ufahari kama si ujanja ukiwa ni mtu kujipatia bwana mwenye cheo cha ubunge ambaye anaaminika waleti yake haikaukiwi fedha kutokana na posho za vikao na utumishi wa umma.
 
SIKILIZA TUKUPASHE
“Shoga naona unawapanga tu waheshimiwa,” mchangiaji mmoja kupitia kundi la BBM alichangia kwenye moja ya picha aliyoweka rafiki yake akiwa amepozi na mbunge mmoja kutoka mikoa ya Magharibi  (jina kapuni) ambapo bila haya majibu ya mwenye ukarasa huo yalikuwa: “Maisha bila mabuzi hayaendi bi dada.”

Upekuzi wa kiintelijensia wa Ijumaa ulichungulia dokezo za wachangia mada na kubaini kuwa waheshimiwa wanaoingia mjengoni kama wawakilishi wa wananchi wanachukuliwa kama mabuzi kwa tafsiri ya kuchunwa fedha huku kipindi cha vikao vya bunge vikichukuliwa kama nyakati za migodi kutema dhahabu.

MAMBO YA KUFEDHEHESHA
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wasichana hao wa chuo wamekuwa wakihifadhi picha za utupu za wabunge wenye uhusiano nao kwenye simu zao za mikononi walizowapiga walipokuwa wakifanya nao ngono ambapo wakati mwingine huzitundika mitandaoni kwa kubipu na kuziondoa haraka lengo likiwa ni kuwaonesha ushahidi huo marafiki zao.

Miongoni wa wabunge waliokumbwa na aibu hiyo ambao Ijumaa liliziona picha zake za aibu ni pamoja na mbunge anayetoka kanda ya Kusini, mwingine kanda ya ziwa na mmoja kutoka jijini Dar es Salaam huku waziri mwenye heshima kubwa naye akiingia mkenge kwa kupiga picha na msichana wakiwa kitandani vifua wazi.

WANAFUNZI WA KIUME WANASEMAJE?
Ijumaa lilipowauliza baadhi ya wanafunzi wavulana wanaosoma chuoni hapo juu ya kuwepo kwa tabia za  baadhi ya wabunge kutembea na wanafunzi wa kike walikiri na kuongeza kuwa ukata ndiyo unaosababisha baadhi ya wanachuo wajitongozeshe kwa waheshimiwa.

“Wanachofuata ni fedha siyo mapenzi, wapo wasichana hapa kipindi cha bunge hawaonekani kabisa chuoni, wanakuwa na waheshimiwa wakistarehe, kuna wengine wanasomeshwa, wanahudumiwa,” alisema mwanafunzi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Bonny.

IJUMAA LINASEMAJE?
Dawati la Ijumaa linawatahadharisha waheshimiwa wabunge wenye tabia za ukware kuachana na mambo ya kihuni, badala yake wajiheshimu vinginevyo watajikuta matatizoni na kuambulia aibu kubwa mbele ya jamii kwa kuanikwa kwenye magazeti siku si nyingi pia picha zao za aibu zitafikishwa kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda.

RIPOTI IMEANDIKWA NA  GLOBAL PUBLISHERS

Agness Masogange"Makalio Yangu Hunifanya Nikose Amani Mtaani"

Posted: 22 Mar 2013 10:08 PM PDT


VIDEO Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ambaye muda mwingi amekuwa akiishi Afrika Kusini ameelezea jinsi maisha ya Bongo yalivyomchosha huku usumbufu anaopata kutokana na makalio yake makubwa ikiwa moja ya sababu.

Akipiga stori mwandishi wetu, Masogange alisema umbile lake hilo limekuwa likimfanya akose amani anapokatiza mitaani, tofauti na Sauzi ambako wanawake wengi wamefungashia huku yeye akionekana ‘cha mtoto’.


“Muda mwingi niko Sauzi, Bongo miyeyusho na hili umbo langu nimekuwa nikisumbuliwa sana na wanaume lakini Sauzi hili langu la kawaida, wengi wamefungashia ile mbaya, kwa hiyo muda mwingi nitakuwa huko, huku nitakuwa nakuja na kuondoka,” alisema Masogange.

Udaku Specially

unread,
Mar 24, 2013, 4:18:50 PM3/24/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Mpenzi wangu Anataka Niwe na Girlfriend wawili yeye na Mwenzake

Posted: 24 Mar 2013 12:08 PM PDT

Nashindwa kuelewa ana maana gani..Huyo mpenzi wangu amekuwa na rafiki yake wanapendana sana kila mahali wako wote na siku zingine huwa nikitoka na mpenzi wangu out analazimisha na rafiki yake awepo...Sasa siku za hivi karibuni amekuwa akiniambia kuwa its ok kuwa naye na huyo rafiki yake...week iliyopita alikuja nyumbani kututembelea usiku ulipofika akaamua kulala japo tuna chumba kimoja tu, mie kwa aibu nikalala sebuleni japo mpenzi wangu alikuwa ananishawishi tulale naye kitanda kimoja..na its ok tukifanya theresome ila mimi nilikataa...Naomba ushauri wana udakuz hii ni Halali ? Je niendelee kuwa na wote ama nisimamie msimamo wangu wa kuwa na mmoja?

Jeee Unatamani Kua na Mume Kama Huyu?

Posted: 24 Mar 2013 11:35 AM PDT


Kwa kawaida kina dada wengi wanajisikia kumpata mume aliobora

Kwa akina dada jeee unafurahia kumpata mtu wa aina hiii au unachukia?

Na jeee wanaume munafurahia hii hali ya kuwasaidia familia zenu au kwenu ni ubwege?

Mavazi ya Dada Zetu Kwenye Nyumba za ibada yanatia Aibu

Posted: 24 Mar 2013 11:31 AM PDT


Nimehudhuria kanisani leo, nashangaa baadhi ya mabinti wanavaa nguo za aibu hadi uongozi wa kanisa ninako sali wamepitIsha azimio la kuwavika kanga wanawake watakaokuja na nguo zisizo na staha kanisani....,
maswali yangu ni kwamba mwanamke anapovaa nguo isiyo na staha kanisani huwa anamfurahisha nani? Pia huwa najiuliza hata kwenye bendi za muziki ukitazama wacheza shoo wa kiume na wa kike utashangaa tofauti ya uvaaji wao, maana utakuta wanaume wamevaa kiheshima sometimes suti kabisa lkn kwa dada zetu daaaaaaaaahhh wanavaa nguo za kubanaaa na vitovu vikiwa nje, halafu wanaharakati wa haki za kijinsia wapo kimyaaa. Big up kwa wanawake wote wanaovaa nguo za heshimu kwa maadili ya ki-tz.

Huyu Ndio Thomas Ulimwengu Mfungaji wa Bao La Kwanza Taifa Stars Vs Morocco

Posted: 24 Mar 2013 08:21 AM PDT

Kama ulikuwa haumjui Thomas Ulimwengu  basi ndio huyu- Thomas Ulimwengu Mfungaji wa Bao La Kwanza Taifa Stars Vs Morocco na kusaidia kuipa Ushindi wa bao 3-1..Thomas anachezea Team ya Mpira  ya TP Mazembe ya Kongo
Thomas Ulimwengu Akimtoka Mchezaji

Huyu Ndio Mbwana Samatha Mfungaji wa Mabao Mawili Taifa Star Vs Morocco

Posted: 24 Mar 2013 08:04 AM PDT

Mbwana Samatha katikati wakishangalia bao
 Huyo ndio mchezaji ajulikanae kwa jina la Mbwana Samatha, Ndio Aliye ipatia Taifa Star Mabao wawili dhidi ya Morroco Leo ...Nakuweza kupata Ushindi wa Bao 3-1..Thomas anacheza Mpira wa kulipwa huko Kongo na Team ya TP Mazembe...Picha Zaidi Hizi Hapa Chini  katika Mapozi Mbali Mbali:
Mbwana Samatha

Mbwana Samatha Akimtoka Mchezaji wa Kameroon

Mbwana Samatha akishangilia Bao

Hayawi Hayawi...Jack Chuzi Abadili Dini na Kuolewa

Posted: 24 Mar 2013 04:36 AM PDT

 Katika Hali ya Kushtusha na Kufuraisha....Staa wa Bongo Movie Jack Pentezel
Amewashtusha wengi baada ya Kuamua kubadili dini kuwa Muislamu kisha
kuolewa na Mpenzi wake wa Muda Gadner Dibibi....wadau wengi na wapenzi
wa Bongo Movie wamekuwa wakihoji juu ya Ndoa Hiyo iliofungwa kisiri sana
na kwa haraka,Je Ndoa Hiyo Itadumu? Je ni kweli wamehamua kukaa kwenye
Maadili ya Ndoa..? au Ni kama Mchezo wa Mjini kubadilishana Dini na kuoana
mwishowe ni kuachana....Tusubiri Tuone.....
This Is Diamond inapenda kumtakia Jack Pentezel na Mumewe Gadner Dibibi
Baraka Tele,Amani na Upendo utawale kwenye Maisha yao ya Ndoa..
Angalia Picha Hapa Chini:




Mjue Nancy Njozy Chipikizi Mpya Anayekuja kwa Kasi Bongo Movies

Posted: 24 Mar 2013 03:49 AM PDT

Anaitwa Nancy Njozy Amefanya  filam moja inaitwa Seven Dadaz storyake ni madada 7 wanaofanya kazi ya kujiuza katika Movie hiyo yupo Mlela na Mastaa Wengine na  nyingine aliyofanya bi Dada huyu ni hii inayo kuja Inaitwa Bonge La Bwana ndani Filam hiyo yupo Jb,Mtambalike na Dk Chen , Pia Nancy anaonekana kwenye Moviez Zingine kama Uyoga ya Mtambalike na ameshoot Video atu Kama Video Model  Nataka kulewa ya Diamond, Jimwage ya nature na Ayaya ya Speinceft Alikiba na anatarajia kushoot Wimbo mpya wa Abdu kiba...!




Wakati Kikwete Akiponda Uongozi wa Simba na Yanga, Mwanae Apewa Uongozi Yanga

Posted: 23 Mar 2013 10:41 PM PDT


DAKIKA chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kuponda mfumo wa uongozi wa klabu kongwe chini zikiwemo Simba na Yanga, mtoto wake, Ridhiwani leo ametangazwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa kitega uchumi cha Yanga katika eneo la makutano ya Mitaa ya Mafia na Nyamwezi, Ilala jijini Dar es salaam.

Kikwete akiwa katika uzinduzi wa kituo cha michezo cha Azam Complex huko Mbande Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, alisema viongozi wengi wa klabu hizo wapo kwa maslahi yao binafsi na si kuzinufaisha klabu.

“Hawa Azam hawana gozigozi katika utawala tofauti na klabu kubwa za hapa nchini na mimi nawaambia Azam sasa ni timu kubwa na inazisumbua sana hizo mnazoziita timu kubwa,” alisema Kikwete na kuongeza;

“Leo hii ninyi mna kituo cha kukuza vijana, wenzenu Simba na Yanga hawana kitu kama hiki, wamekalia ukiritimba tu siku zote na ndiyo maana hawafanikiwi.”


Kikwete aliyasema hayo leo mchana huko Mbande Chamazi, lakini katikati ya jiji la Das es Salaam kwenye makutano ya mitaa ya Jangwani na Twiga yalipo makao makuu ya Yanga, Mwenyekiti wa timu hiyo, Yusuf Manji alikuwa akimtambulisha Ridhiwani Kikwete kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa kitega uchumi katika eneo la klabu lililopo makutano ya Mafia/Nyamwezi eneo la Ilala jijini Dar es salaam.

Manji alisema uteuzi wa Ridhiwani umezingatia uwezo wake kwa taaluma yake, na moyo alionao katika kujitolea katika kazi mbalimbali za klabu ya Yanga.

"Wote tunamfahamu Ridhiwani amekua ni mwanachama wa Yanga kwa muda mrefu, amekua akijitoa katika kazi mbalimbali za maendeleo ya klabu, hivyo tumeona ni vizuri kumpa fursa hiyo ili aweze kusaidia katika kuleta maendeleo ya klabu" alisema Manji

Katika kamati hiyo ambayo Ridhiwani ameteuliwa, amepewa fursa ya kuteua/kuchagua wajumbe atakaoshirikiana nao katika ujenzi wa kitega uchumi hicho, pia atakua na uwezo wa kuongeza wajumbe au kupunguza kulingana na mahitaji kwa kipindi hicho.

Mara baada ya kutambulishwa kwa wanachama na waandishi wa habari, Ridhiwani alisema anashukuru kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kuahidi kuwa atajitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha ujenzi huo unafanikiwa.

"Nitakaa na kuangalia ni wajumbe gani ambao tutaweza kukaa pamoja na wajenzi (wakandarasi) ili kuweza kufanikiwa katika ujenzi wa kitega uchumi, kwani napenda eneo hilo liwe sehemu ambayo litasaidia katika uchumi wa klabu" alisema Ridhiwani


MASWALI TATA

Je, leo Kikwete amewaponda viongozi wa klabu kubwa nchini, na wakati huo huo mtoto wake anateuliwa kushika nafasi kubwa katika klabu, Ridhiwani ni mmoja kati ya viongozi waliopondwa?

Ridhiwani anaweza kumfanya baba yake ageuze au kupindua kauli yake aliyoitoa leo?

Je, maneno ya Kikwete yalihusiana na uteuzi wa Kikwete?

Au Kikwete alitamka bila kujua kama Ridhiwani amepewa uongozi Yanga?

Kazi kwenu!


Picha:Messi Achora Tattoo ya Mkono wa Mwanae Katika Mguu Wake

Posted: 23 Mar 2013 10:36 PM PDT

 Messi Akichorwa Tattoo katika Mguu wake ...Tatoo Aliyochorwa ni ya Mkono wa Mtoto wake Thiago


Wasichana wadogo wafanya biashara ya ngono

Posted: 23 Mar 2013 10:26 PM PDT


Ni usiku wa saa 4 nipo katika eneo maarufu la Buguruni lililopo jijini Dar es Salaam nikiwa nimekaa napata kinywaji kwenye baa moja.


Katika eneo hilo ambalo lipo pembezoni mwa Barabara ya Mandela si tulivu sana kutokana na pilika pilika za magari na watu wanaopita karibu kwa shughuli mbalimbali.
Huku nikiendelea kupata kinywaji mara naona wasichana wadogo wenye umri wa miaka 14 hadi 16 wakizunguka zunguka katika eneo hili la baa.


Awali nilifikiri walikuwa wakitafuta msaada au wakipita kuelekea nyumbani kwao, kwani umri wao haukunipa picha kwamba walikuwa kazini wakati huo wa usiku wa kiza kinene.
Kilichonifanya niwaangalie kwa udadisi zaidi ni kuona jinsi walivyovaa nguo ambazo zilionyesha nusu ya sehemu zao za mapaja, huku kifuani wakiwa wamevaa blauzi zilizobana zikionyesha matiti yao madogo ambayo yanaanza kuchipua.


Kilichonitisha zaidi ni kuona wasichana hawa ambao wakati huo walipaswa kuwa nyumbani wakiwa mkononi wameshika vinywaji vikali aina ya ‘viroba’ na wengine wakivuta sigara.
Hawa ni sehemu ndogo tu ya wasichana wadogo ambao hukesha usiku kucha katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es Salaam wakitafuta wateja ili wapate fedha za kujikimu.
Mwandishi analazimika kuwadadisi wasichana hawa ili kujua nini kilichosababisha waingie katika biashara hii.

Inavyokuwa
Mwandishi ana mwita mmoja wa wasichana hawa Neema Mashiri (16) (sio jina lake halisi) na kuongea naye katika sehemu tulivu katika baa hiyo huku wakitumia vinywaji kunogesha mazungumzo.


Neema akiwa mwenye kujiamini na kazi yake bila ya kutetereka anasema kazi hiyo aliianza zaidi ya miezi sita nyuma huku akiwa tayari amekutana na idadi ya wanaume ambayo haikumbuki kutokana na wingi wake.


“Kwa siku moja nakutana na wanaume katiya watano hadi saba na hii hutegemea siku na siku, kwani kuna siku huwa na biashara ya kutosha na tunapata fedha za kutosha,” anasema Neema.


Neema akieleza ujira ambao hulipwa anasema ni Sh3,000 hadi Sh5,000 kwa muda usiozidi dakika 30 kwa mwanamume mmoja huku wakati kwa yule anayetaka kulala naye hadi asubuhi hutakiwa kulipa Sh10,000 hadi Sh15,000.


“Baadhi ya wanaume wamekuwa wakitufanyia vitendo vya kikatili kwa kutuingilia kinyume cha maumbile, lakini kutokana na hali ngumu ya maisha hukubali kwani dau huwa kubwa Sh10,000 hadi Sh12,000, lakini wengine hutumia ubabe tu na kututumia bila kutulipa,” anasema Neema na kuongeza;

Sad:Wakili Mawalla Ajiua

Posted: 23 Mar 2013 10:20 PM PDT


Arusha. Giza limeukumba Mkoa wa Arusha baada ya kutokea vifo vya ghafla vya watu maarufu. Jana Wakili Nyaga Mawalla alifariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani akiwa jijini Nairobi, Kenya alikokwenda kwa matibabu.


Habari zilizopatikana zinaeleza kuwa Nyaga alikufa baada ya kujirusha kutoka katika jengo la ghorofa ya hospitali aliyokuwa akitibiwa jijini Nairobi usiku wa kuamkia jana.


Mfanyakazi wa Kampuni ya Mawalla Advocate, John Minja aliliambia gazeti hili kuwa mwili wa marehemu ulitarajiwa kurejeshwa nchini jana.


“Hali yake haikuwa mbaya, kwani juzi mchana tulizungumza naye tukitaka kwenda kumsalimia lakini, alitueleza kuwa angerejea jana nchini,”alisema Minja.


Hata hivyo, bado haijajulikana sababu za kujiua, lakini baadhi ya ndugu zake wanasema ni kutokana na msongo wa mawazo.


Taarifa za kifo cha Mawalla anayemiliki kampuni kadhaa ikiwamo Kampuni ya uwakili ya Mawalla Advocates, kimeshtua wengi akiwamo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliyesema taifa limepoteza kijana mwenye maono, akili na mjasiriamali aliyetajirika bila kuiba.


“Nimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha Nyaga. Licha ya udogo wake kiumri, lakini alikuwa mshauri wangu kwenye mambo mengi kiuchumi, kibiashara na kijamii. Nyaga alikuwa kiongozi wa jamii asiye na mipaka katika huduma tofauti na wafanyabiashara wengi nchini walishirikiana naye,” alisema Mbowe.

Miss Anusurika Kuchezea Kichapo Kutoka kwa Omba Omba Kisa Misaada aliyotoa

Posted: 23 Mar 2013 10:22 PM PDT


MLIMBWENDE wa East Africa 2010, Anneth Kaguo, Jumatano iliyopita alinusurika kuchezea kichapo kutoka kwa vijana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu ‘ombaomba’ katika maeneo ya Mnazi Mmoja jijini Dar.

Tukio hilo lilitokea saa moja usiku na kushuhudiwa na mwandishi wetu baada ya mlimbwende huyo kujikusanya na kwenda  maeneo hayo kwa lengo la kutoa msaada kwa vijana na watoto hao wanaojitafutia riziki zao mitaani.

Tofauti na matarajio yake, baada ya mrembo huyo kufika eneo hilo aliwakuta vijana na watoto hao wakiwa wachache, hata hivyo aliamua kuwapa nasaha za maisha kabla ya kuwapa alichowapelekea.

Ghafla, kundi lingine la vijana hao liliibuka na kujichanganya na wenzao hasa baada ya kusikia kwamba kulikuwa na msaada utakaotolewa.

Anneth alipomaliza kutoa nasaha zake, alianza kugawa vitu alivyovibeba ikiwa ni pamoja na nguo, sabuni na sukari.

Songombingo lilianza mara baada ya kumaliza kugawa misaada ambapo baadhi ya vijana na watoto hao walianza kulalamika kuwa vitu hivyo havikuwa na ubora halisi na kwamba alitumwa na Freemason.Wakaanza kumzonga na kumwambia watamkomesha.

Makelele yaliyoambatana na kuzomea, huku wengine wakitishia kuvunja vioo vya gari lake, yaliwafanya watu wengi kusimama na kutaka kujua kinachoendelea.

Baada ya vijana hao walizidi kuja juu na kuanza kumtia masingi mrembo huyo, akaamua kukimbia.

Anneth alifanikiwa kuingia ndani ya gari lake na kuondoka kwa kasi eneo hilo huku akiapa kutorudia tena kutoa misaada kiholela.

“Ni heri ningeenda katika kituo cha watoto yatima,” alisema.

Mr Chuzi Kulikoni? Akimbiwa na Wasanii 35

Posted: 23 Mar 2013 09:59 PM PDT


Mkurugenzi wa Kampuni ya Tuesday Entertainment Ltd, Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuz’ amekimbiwa na wasanii wake 35 ambao wamekwenda kuanzisha kundi lao jipya waliloliita Green Message Entertainment.

Meneja uzalishaji wa kundi hilo jipya, Erica Swila aliliambia gazeti hili kuwa miongoni mwa wasanii waliomkimbia Mr. Chuz ni Mustapha Kirobo aliyetunga Tamthilia ya Milosis na Red Apple na tayari kundi hilo limekamilisha tamthilia yao itwayo Green Message ambayo inarushwa katika Runinga ya TBC 2.
“Mimi na wenzangu tulioondoka kwa Mr. Chuz tumefanikiwa kucheza tamthilia yetu ya kwanza tuliyoipa jina la Green Message, tunawakaribisha wasanii wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea, waje wajiunge nasi,” alisema Erica.

Aibu:Wanafunzi wa Chuo Maarufu Dar Wajiphotoa Picha Wakifanya Ufuska

Posted: 23 Mar 2013 09:56 PM PDT


Wanafunzi  watatu  wa chuo  maarufu  nchini wametia aibu ya mwaka   baada  ya  kunaswa wakivunja  amri ya  sita  huku  wakijipiga  picha  chafu  za  tukio  hilo.....

Kwa mujibu wa ripota wetu, tukio hilo la aibu  linahusisha  wanaume  wawili  na  msichana  mmoja  aliyetambuliwa  kwa  jina  moja  la  Fetty.....

Katika tukio  hilo la aina yake, Fetty  anaonekana  akigawa  penzi  kwa  jamaa    huku  jamaa  mwingine  akiwapiga   picha  hatua  kwa  hatua.....

Kuvuja  kwa  picha:
Picha  hizi  zinadaiwa  kusambaa na kumfikia  mpekuzi wetu  baada  ya  wanafunzi  hao  kutofautina  na  hivyo  kuamua  KUTUBU  DHAMBI  HII  kwa  staili  ya  KUUMBUANA

Source:Mpekuzi

Demu wa Mwinyi wa Machozi Band:Madawa ya Kulevya yalitaka Kuniua

Posted: 23 Mar 2013 09:53 PM PDT


Mwanamitindo wa Bongo, Nesha Mfinanga ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa muimbaji wa Bendi ya Machozi, Mwinyi Ahmed, ameeleza jinsi madawa ya kulevya yalivyotaka kuharibu maisha yake.
Akizungumza na Ijumaa kwenye kituo cha kutibia mateja cha Pilli Missana Foundation kilichopo Kigamboni jijini Dar, Nesha alisema mwanzo alikuwa msichana safi aliyekuwa akijipenda lakini ghafla akajikuta kwenye ulevi huo na kuharibika.

Nesha afunguka
Akizungumzia jinsi alivyoanza ulevi huo, mrembo huyo alidai kuwa, alipata msukumo kutoka kwa mpenzi wake na hata yeye (huyo mpenzi wake) alikuwa akitumia.
“Nilikuwa na maisha mabaya sana kutokana na uvutaji wa unga. Aliyesababisha niingie huko ni mpenzi wangu ila nashukuru nimekuja hapa, nimetibiwa na sasa niko safi. Nimerudi kuwa mrembo.
“Nawashauri sana wasichana wenzangu kuwa makini na wapenzi wao, hasa hawa mastaa maana usipojiangalia unaweza kuharibikiwa hivihivi unajiona.”

Mwinyi ahusishwa
Kumekuwepo na madai kuwa, mrembo huyo alijiingiza kwenye utumiaji wa madawa hayo baada ya kuwa kwenye uhusiano na Mwinyi na inadaiwa ndugu wa Nesha waliwahi kumpiga msanii huyo wakimtuhumu kumharibu binti yao.
Mwinyi anazungumziaje madai hayo? Msikie kwenye mahojiano haya hapa chini;
Ijumaa: Kuna madai kuwa Nesha alikuwa ni mpenzi wako na wewe ndiye uliyemfundisha uteja, unalizungumziaje hili?
Mwinyi: Kwa kweli hayo madai si kweli, Nesha sikatai alikuwa demu wangu licha ya kwamba nina mchumba anayeishi Sweden. Hilo la kumvutisha unga si kweli. Namfahamu ambaye alikuwa anampa kilevi hicho, anaitwa Zahir.
Ijumaa: Mbona inadaiwa wewe ndiye uliyemuingiza huko na mpaka ikatokea ndugu zake kukupiga kwa madai ya kumharibu binti yao?
Mwinyi: Kweli, nakumbuka ilikuwa mwaka jana, mwezi wa 12 kwenye msiba wa mama wa Nesha kule Kiwalani. Nikiwa pale msibani baadhi ya ndugu zake walinivamia na kunipiga hadi nikazimia kwa madai hayo, nilikwenda kuripoti polisi na kesi ipo.
Ijumaa: Lakini inasemekana hata wewe mwenyewe unatumia kilevi hicho, funguka.
Mwinyi: Siyo kweli, niko tayari hata kwenda kupima, sitaki kuchafuka kwa skendo hiyo.

Udaku Specially

unread,
Mar 25, 2013, 4:20:04 PM3/25/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Wema Sepetu Afunguka"Sikufikiria Mara Mbili Kumsaidia Kajala Asiende Jela"

Posted: 25 Mar 2013 11:10 AM PDT


Mrembo Wema Sepetu leo amemake headline baada ya kutoa mfukoni mwake shilingi milioni 13 kulipa faini aliyopigwa muigizaji mwenzie Kajala Masanja aliyehukumiwa leo kwenda jela miaka mitano ama kulipa kiasi hicho cha fedha.

Kajala na Wema wakikumbatiana
Akiongea  kwa  kujiamini, Wema amesema hakufikiria mara mbili kutoa kiasi hicho cha fedha.

“Kusema kweli wanasemaga kwamba kutoa ni moyo so naamini what I did is best, nimetoa kwasababu I had to do it and sikuthink twice kuhusu kufanya hivyo,” amesema Wema.

Wema akwa na Kajala
“Nimefanya kama namsaidia rafiki yangu kama namsaidia ndugu yangu na sidhani kama ingekuwa ni kitu kizuri kumuona mwenzako anaingia kwenye dhahama, kwenye tabu, kwenye mateso na wakati nina uwezo wa kumsaidia kwahiyo I just did what I had to do.”

Kuachiwa kwa Kajala kumepokelewa kwa furaha kubwa na mastaa mbalimbali nchini.

Cpwaa
So I hear Kajala is out! Good news..Hongereni sana wana BOngoMovies! Bongoflava tujipangeni..tutaendelea kupigwa bao kila siku while we are sitting on a Multi-Billion Industry, it’s time to stop fantasizing posing in front of camera poppin bottles of Champagne,Rented Fancy cars,Cheap Wardrobe n ( No..The Ladies are fine,I love them too sitaki ubaguzi)… Tufikirie kibiashara zaidi na sio sifa tu.

Rio Pol
It’s a blessed Monday I say this because finally someone stood up and did something right and righteous. I’ve worked in the entertainment industry for the past seven years and no star or their glam team or entourage would do what Miss Wema Abraham Sepetu did. Thank you god both my girls Elizabeth Michael and Kajala Masanja are free. God bless you wema.


Kajala akikumbatiana na Zamaradi
Mboni Masimba
KAJALA outtttttttttt# Mungu mkubwa # WEMA mwokozi wa KAJALA # Mwenyez Mungu akuzdishie na akupe ulipo pungukiwa. Una moyo wa pekee. Lov u always my Dogo

Ben Pol ‏

Nimemvulia kofia Wema, ameni-inspire …moyo kama huo anao mtu mmoja Kati ya Milioni moja, watu hujifanya wakisikitika humu twitter tu…

Elizabeth Michael aka Lulu
Welcome back kay wangu…….Kajala wangu….mamy wangu

Picha Mbali Mbali za Tukio la Kajala Kuachiwa Huru leo

Posted: 25 Mar 2013 07:15 AM PDT

 Picha Mbali Mbali za Tukio la Kajala Kuachiwa Huru leo











Beef ya Wakenya na Wanageria Yafikia Pabaya-Comedian attacks Kenyans

Posted: 25 Mar 2013 06:20 AM PDT

Last week, a tweef generated between Kenyans and Nigerians after Kenya’s Harambee stars were poorly treated in Lagos. Well as Nigerians attacked Kenyans, Kenyans were also neutralizing all the tweefs.

Among some of the personalities who joined in the tweef is comedian Klint the Drunk who always comes for the yearly show Night of a thousand laughs in Kenya.

Although his other countrymates had nothing to lose in their attack Klint may never set foot again in Kenya after the tweets he wrote on the harsh tag #someonetellKenya.

Below are his tweets:

The Only Positive thing in Kenya is H.I.V

A burnt Ghanian = KENYA

Dear Kenyans, I know now you feel neglected, bad and rejected! But twit-fighting us WON'T put you on the africa map!! YOU ARE NOT A COUNTRY

Skeletons + Black Paint = Kenyans

The Kenyan DAILY POST

Wema Sepetu Ajitolea Kutoa Faini ya Shilingi Milion 13 Kumtoa Kajala Jela

Posted: 25 Mar 2013 02:22 AM PDT

Baada ya Mahakama Kumuhukumu Kajala kwenda Jela Miaka Minane ama faini ya Shiling Milion 13, Baada ya hukumu hiyo Msanii mwenzake Ajulikanae kama Wema Sepetu Amekimbia Bank ili kutoa hizo hela za kumlipia Fine Kajali aweze kuachiwa Huru ..Big Wema Sepetu ...

Isha Mashauzi Classic Akiri Kutumia Madawa ya Kulevya Kabla ya Kupanda Jukwaani

Posted: 25 Mar 2013 02:01 AM PDT

STAA wa muziki wa taarab na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’ ameibua gumzo na kushangaza mashabiki baada ya kukiri kuwa yeye ni mtumiaji wa pombe kali na madawa ya kulevya aina ya mirungi

Ishu hiyo ilijiri Alhamisi ya wiki iliyopita wakati akihojiwa na mtangazaji wa Redio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ kupitia kipindi chake cha Mitikisiko ya Pwani ambapo alisema mirungi na pombe kali ndiyo starehe yake kwani inampa stimu kabla hajapanda jukwaani na katika maisha yake ya kawaida nje ya usanii.

Mashauzi alifunguka hayo baada ya Dida kumtaka atoe ufafanuzi juu ya skendo ya kuvuta bangi inayomkabili ambapo alisema siyo kweli kwamba anavuta bangi ila akakiri kuwa anakula sana mirungi na kugida ulabu. Aliongeza kwamba kwa kuwa hana mume, mtoto wala hataki kuwa na familia, mirungi na pombe ndiyo vitu vinavyompa furaha maishani mwake.

Breaking News:Kajala Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka Nane Ama Faini ya Million 13

Posted: 25 Mar 2013 01:56 AM PDT

Kwa habari tulizozipta muda si mrefu ni kuwa msanii wa Bongo Movies Kajala Aliye kuwa anakabiliwa na kesi Amehukumiwa kifungo cha miaka nane ama kulipa Faini ya shilingi milion 13 ...Tutazidi kuwapa yaliojiri huko mahakamani..

Wanaume wenye wake wazuri, huwa na ‘nyumba ndogo’ zisizotazamika kwa sura au umbo

Posted: 25 Mar 2013 01:34 AM PDT

Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanyia kwenye eneo langu la kazi na kwa majirani zangu nimebaini kwamba, kati ya wafanyakazi watano niliofuatilia nyendo zao, ni wawili ambao walikuwa na ‘nyumba ndogo’ nzuri na zenye mvuto kuliko wake zao. Watatu walikuwa na ‘nyumba ndogo’ ambazo zinaweza kumpelekea mtu kujiuliza inakuwaje mwanaume huyo kuwa na ‘nyumba ndogo’ hiyo ambayo hata kwa mbali sana haiwezi kulingana na mkewe. Kwa jirani zangu wanne hali haikuwa nzuri, kwani hapa watatu walikuwa na ‘nyumba ndogo’ zilizo kinyume na wake zao kwa sura na umbo.

Watu saba niliowahoji kuhusu jambo hili, watatu walisema kwamba, wana ushahidi kuhusu wanaume wanaowafahamu wenye ‘nyumba ndogo’ zisizotazamika ukilinganisha na wake zao. Wengine wanne walitoa ushahidi wa wanaume wanaowafahamu ambao wana ‘nyumba ndogo’ nzuri sana ukilinganisha na wake zao.

Ni kitu gani kinatokea?

Ni kwamba, kuna ukweli kuwa wanaume wanaweza kuacha wake zao wazuri sana nyumbani na kufuata wanawake wabaya wasiotazamika kwa sura na umbo huko nje. Lakini pia wanaweza kuacha wake zao wabaya kwa sura ndani na kwenda kufuata wanawake wazuri kwa sura na umbo huko nje.


Hii ina maana gani?

Hii ina maana kwamba kuna mkanganyiko kwenye jambo hili. Lakini kwa bahati nzuri mkanganyiko huu kamwe siyo mkubwa na unaoweza kuumiza kichwa cha mtu.

Binadamu ana kitu kiinachoitwa ukinaifu. Ukinaifu ni hali ya mtu kuchoka kukiona kitu kilekile mara zote. Kwa mfano, mtu anaponunua nguo mpya leo huipenda sana. Lakini baada ya muda fulani, ikiwa bado haijachakaa hujikuta kiwango cha kuipenda kikishuka.

Lakini ni vizuri nikarudi nyuma na kusema kwamba, kwenye suala la mapenzi. Ukinaifu huwapata wanaume kuliko wanawake. Inawezekana sababu ni za kimaumbile na hivyo ni vigumu kusema ni kwa nini inakuwa hivyo.

Kwa sababu ni suala la kimaumbile inakuwa kama lazima kwa mwanaume kupata ukinaifu. Anapopata ukinaifu siyo lazima atoke nje, yaani dawa yake au ufumbuzi siyo kutoka nje ya ndoa, ingawa wanaume wengi hufanya hivyo. Wanapofanya hivyo siyo kwamba, wanajua kwamba, wamepata ukinaifu, hapana. Wao hudhani tu kwamba, wamempenda mwanamke fulani kwa sababu hizi au zile.


Nadharia moja kuhusu ukinaifu ni kwamba, ili ukinaifu ushibishwe ni lazima mtu apate kitu kilicho kinyume na kile ambacho kimempa ukinaifu huo, au kuwa nacho mbali kwa muda fulani. Kwa mfano, kama mwanaume amepata ukinaifu wa umbile la mkewe ambaye ni kimbaumbau, ni lazima kama ataamua kwenda kutafuta mwanamke wa nje, atatafuta mwanamke tipwatipwa.

Kwa mkabala huo, ndiyo pale tunapokuta mwanaume akimfuata mwanamke wa nje mbaya ukilinganisha na mkewe. Labda anaamua kumfuata mwanamke huyo kwa msukumo wa ukinaifu – amekinaishwa na umbo au sura ya mkewe na hivyo angetaka kuona sura ya aina nyingine, ili afute ukinaifu wake. Kinyume cha sura nzuri ni sura mbaya, kwa hiyo atatafuta mwanamke mwenye sura kinyume na ile ya mkewe.



Kuna ukinaifu wa aina nyingi kwenye maisha ya ndoa. Mwanaume anaweza akakinaishwa na mtindo wa nywele wa aina moja wa mkewe. Kama mwanaume huyu hatakuwa mwangalifu, atajikuta akitafuta ‘nyumba ndogo’ yenye mtindo tofauti na mkewe. Inawezekana mkewe anatumia mtindo wa ‘twende kilioni’ kila akisuka nywele zake. Mwanamume anapokwenda kutafuta kilicho kinyume huko nje, anaweza akajikuta amevutiwa na mwanamke mwenye kunyoa na kuchana nywele zake fupi.

Kwa hiyo, inawezekana kabisa mwanaume akatoka nje ya ndoa yake kutafuta kinyume ambacho siyo sura wala umbile. Inawezekana akatoka kwa sababu amekinaishwa na ukimya wa mkewe, hivyo anatafuta kelele. Huyu anaweza kujikuta akiwa na mwanamke wa nje muongeaji na chakaramu sana, ambaye kisura na kiumbile anaweza kuwa sawa na mkewe.

Mike Sonko to award Harambee Stars Sh.1Million after Nigeria Draw.

Posted: 25 Mar 2013 12:45 AM PDT

Nairobi County Senator Miko Mbuvi alias Sonko has promised to award the Kenya National football side one million cash prize after they held Nigerian to a famous 1-1 draw at Calabar on Saturday evening,

The flamboyant politician had promised the award if they managed to beat the African Champions but although they were unlucky to draw, the former Makadara legislator has promised to reward the stars for their patriotic performance.

Sonko will also top up a 100, 000 Shillings for Francis Kahata’s sublime free kick that nearly won the game for Kenya.

The National Alliance (TNA) chairman Johnson Sakaja and Sonko’s close ally tweeted via his handle@SakajaJohnson Tweeted : Sonko says he'll still give the 1m. #HarambeeStars are winners!!

Prime Minister Raila Odinga has also promised to host the team for dinner and award team members and the technical bench.

FKF chairman Sam Nyamweya will also part with a cool one million as a token of appreciation for job well done.

Kenya has two points from three games in a group that also includes of Namibia and  Malawi.

The Kenyan DAILY POST.

Naibu Waziri Elimu katika kashfa ya vyeti

Posted: 24 Mar 2013 11:43 PM PDT

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti.

Philipo Augustine Mulugo ndiyo jina lake halisi ambalo alilisomea mpaka alipohitimu darasa la saba kwa mara ya kwanza 1988, lakini kutokana na kwamba hakufaulu kwenda sekondari alirudia darasa hilo.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa takriban miezi mitatu sasa umebaini kuwa 1989, Mulugo alirudia darasa la saba katika Shule ya Msingi Rukwa ya mkoani Mbeya akitumia jina la Hamimu Hassan.

Imebainika kuwa kabla ya kuhitimu darasa la saba kwa mara ya pili, alibadili jina hilo (kutoka Hamimu Hassan) na kuwa Hamimu Augustino ambalo aliendelea nalo wakati akisoma elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari kutwa ya Mbeya (Mbeya Day) mwaka 1990.

Hata hivyo, Mulugo mwenyewe akizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam alipuuza tuhuma hizo kwa kusema kuwa ni njama za kisiasa zinazofanywa na maadui zake. Mulugo anasema madai hayo yamekuwa yakitolewa mara kwa mara na amekuwa akiyajibu kwa kuwaonyesha vyeti vyake halali vya shule.

“Hayo madai ni ya muda mrefu, wewe sijui utakuwa mtu wa 20 kuuliza swali kama hilo. Mimi vyeti ninavyo na hata ukitaka ushahidi nitakuonyesha,” alisema Waziri Mulugo na kuongeza:

“Haya mambo kabla hata sijachaguliwa kuwa Mbunge, tulivyokuwa bado kwenye mchujo wa ndani, usiku wa manane watu walisambaza huu uvumi na nilivyoenda kwenye kikao nikatoa vyeti vyangu, wakaviona.”

Waliomfundisha
Baadhi ya walimu waliomfundisha Mulugo, watu waliofanya kazi naye pamoja na wakazi wa Kijiji cha Udinde alikozaliwa, maelezo yao yanathibitisha mabadiliko ya majina ya Mulugo kwa nyakati tofauti pia ngazi mbalimbali za kielimu.

Uchunguzi unabainisha kuwa baada ya kuhitimu kidato cha nne, alifaulu kwenda Shule ya Sekondari ya Wavulana, Songea ambako alisoma kati ya 1994 na 1996 akiendelea kutumia jina la Hamimu Mulugo.

Baada ya kuhitimu kidato cha sita, uchunguzi ulibaini kuwa Mulugo alirejea Mbeya na 1998 alilazimika kubadili tena jina pale alipotumia cheti cha mtu aitwaye Dickson Mulungu, kuombea kazi ya kufundisha katika Shule ya Sekondari ya Southern Highlands.

Habari zinasema Mulugo alichukua hatua hiyo ili kumshawishi mmiliki wa shule hiyo mfanyabiashara, Gulnoor Dossa (sasa ni marehemu), kumpa nafasi ya kufundisha shuleni hapo.

“Mulugo alilazimika kutumia cheti cha rafiki yake aliyekuwa akiitwa Dick Mulungu ambaye alipata daraja la pili katika Shule ya Sekondari ya Songea Boys, hivyo ikawa rahisi kwake kupata kazi ya ualimu katika shule hiyo,” alisema mmoja wa waliofanya kazi naye shuleni hapo (jina tunalihifadhi kwa sasa).

Aliongeza kuwa Mulugo alianza kama mwalimu wa kawaida, lakini baadaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Shule (headmaster) wakati hakuwa hata na cheti cha ualimu. Alichukua nafasi hiyo ya ukuu wa shule baada ya aliyekuwapo kufariki dunia.

“Unajua wale wahindi (wamiliki) walikuwa ni wafanyabiashara kwa hiyo hawakufuatilia kiwango cha elimu ndiyo maana walimpandisha tu madaraja bila kujali kuwango cha elimu,” alisema rafiki yake huyo na kuongeza:

“Nilimshauri aachane na cheo hicho kwani kama ungefanyika ukaguzi wa Serikali na kumkuta bila vyeti vya ualimu angechukuliwa hatua, hivyo alinisikiliza na akaachia nafasi hiyo na kujipa cheo cha umeneja wa shule.”

Chanzo: mwananchi.co.tz

Report ya Polisi:Madai ya Kulawitiwa kwa Wanafunzi wa IFM si ya Kweli

Posted: 24 Mar 2013 11:37 PM PDT

Kamati iliyoundwa kuchunguza vitendo vya udhalilishaji na kuporwa vitu vyao  wanavyofanyiwa wanafunzi  wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), wanaoishi  katika hosteli zilizopo Kigamboni Manispaa ya Temeke imebaini hakuna wanafunzi waliofanyiwa vitendo hivyo.

Kamati hiyo iliyoundwa na Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Polisi jijini Dar es Salaam, Suleiman Kova baada ya kuwahutubia wanafunzi hao katika Viwanja vya Machava, ilijumuisha wanafunzi wanne wa IFM na wakuu wa upelelezi kutoka kanda hiyo .
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Englebert Kiondo, alisema kamati hiyo ilichunguza kwa kina madai hayo ya wanafunzi, lakini hakuna na hata moja walilobaini kuwa na ukweli .

Alisema suala la ulawiti walilodai wanafunzi, walijaribu kufuatilia kwa ukaribu  kutumia dawati la jinsia  ikiwamo kuwauliza wanafunzi hao ni nani alifanyiwa kitendo hicho, lakini hamna hata mmoja aliyejitokeza kusema amefanyiwa.
“Tuliwauliza wanafunzi ni nani amefanyiwa kitendo kama hiki ili tujue cha kufanya, lakini hakuna aliyejitokeza kukiri kuwa alilawitiwa tofauti na walivyodai hivyo wakati wa maandamano ,” alisema Kamanda Kiondo.

Udaku Specially

unread,
Mar 26, 2013, 4:14:43 PM3/26/13
to mbara...@googlegroups.com

Udaku Specially


Zitto Kabwe Amaliza Mafunzo ya Kijeshi JKT

Posted: 26 Mar 2013 04:47 AM PDT

 Mbunge wa Kigoma CHADEMA, Zitto Kabwe pamoja na Wabunge wenzake kadhaa vijana leo wakemaliza rasmi mafunzo yao ya awali ya JKT katika kambi ya Mgambo 835KJ kilichopo Mkoani Tanga.



Pichani juu ni Zitto Kabwe akijiandaa kwenda katika gwaride la mwisho na picha chini akiwa shambani pamoja na Mbunge mwenzake  Iddi Azan, Abdallah haji, Raya Ibrahim na Antony Mbassa kambi ya Mgambo 835KJ.

 Aidha Zitto Kabwe amesema anafuraha iliyo pitiliza kumaliza mafunzo hayo na ameweka historia ya kubwa katika maisha yake hii leo. Anapasha zaidi katika wakati wa Zoezi la kulenga shabaha alifanikiwa kulenga risasi 3 akiwa amelala, 3 akiwa amepiga magoti na 1 akiwa amesimama..

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Ajinyonga Mpaka Kufa

Posted: 26 Mar 2013 04:39 AM PDT

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka wa pili Kitivo cha Sheria, Joseph Bernadina (25), amejinyonga kwa kutumia kamba na kukutwa ameifunga juu ya mti, katika eneo la Yombo chuoni hapo.

Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Utawala, Profesa Yunus Mgaya, alithibitisha  kutokea kwa tukio hilo na kwamba alipata taarifa hizo jana asubuhi.

Aliongeza kuwa Jumamosi iliyopita alipokea simu kutoka kituo cha polisi cha chuo hicho akielezwa kuwa kuna mwanafunzi alitishia kujiua, lakini aliwahishwa hospitali na kupatiwa ushauri kutoka kitengo maalum cha washauri wa chuoni hapo na kuruhusiwa Jumapili.

“Nilikuja tena kushituka leo asubuhi napokea simu kutoka kwa mshauri wa wanafunzi kuwa kuna wanausalama wamemkuta mwanafunzi akiwa amejinyonga juu ya mti huku akiwa na karatasi kwenye mfuko wa sharti ikimtambulisha pamoja na ujumbe uliosema, kifo chake kisihusishwe na mtu yeyote kwani amejiua kwa ridhaa yake --asisumbuliwe mtu yeyote kwani nimefanya hivi kwa maamuzi yangu mwenyewe pia nizikwe kwetu--” alisema.

Profesa Mgaya alisema taratibu za mazishi zinaendelea kufanywa na Uongozi wa chuo kwa kushirikiana na ndugu wa marehemu na kwamba Chuo kitagharamia kuusafirisha mwili kama alivyoomba katika ujumbe aliouacha wa kupelekwa wilayani Ludewa Mkoa wa Iringa.

Naye rafiki wa marehemu, Daniel Mwamlima, alisema marehemu hakuwahi kuzungumza chochote kilichoashiria kuwa ana matatizo wala mgogoro na mtu yeyote.  Alisema walimuacha hospitalini Jumamosi na kesho yake kumchukua, lakini  baadaye aliwatoroka.

“Sasa leo (jana) asubuhi tulipata taarifa za mwanafunzi kujinyonga mbaya zaidi tukakuta ni yeye,” alisema Mwamlima.

Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi wa chuo hicho (DARUSO), Yasini Athumani, alisema wamezipokea taarifa hizo kwa masikitiko makubwa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela, alithibitisha kutokea kwa tukio na alisema uchunguzi wa awali umebaini kwamba marehemu aliwahi kuwa na historia ya kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa wa msongo wa mawazo

Mahakama yaamuru matokeo ya urais Kenya yachunguzwe

Posted: 26 Mar 2013 02:13 AM PDT

Nairobi. Mahakama ya Juu (Supreme Court) ya nchini Kenya imeagiza kuchunguzwa kwa fomu 34 za matokeo ya uchaguzi wa rais kutoka katika vituo vyote 34,400, vilivyotumika kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Machi 4, mwaka huu.


Kadhalika mahakama hiyo jana iliagiza kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo vya kupigia kura 22 kati ya elfu 33 vilivyolalamikiwa na aliyekuwa mgombea urais wa Muungano wa Cord, Raila Odinga.


Katika malalamiko yake yaliyowasilishwa katika mahakama hiyo kupinga Uhuru Kenyatta kutangazwa mshindi wa urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Machi 4, Odinga alidai kuwa vituo hivyo 22 kura zilizopigwa zinazidi idadi ya wapigakura walioandikishwa.


Akisoma uamuzi huo kwa niaba ya majaji wenzake watano, Jaji Smokin Wanjala alisema kwamba uhesabuji kura wa vituo hivyo utafanyika leo kuanzia saa 2.00 asubuhi kwa lengo la kubaini ukweli kuhusu madai hayo.


“Matokeo ya kura zitakazohesabiwa katika vituo hivyo 22 yawasilishwe katika mahakama hii Jumatano, saa 10.00 jioni,” alisema Jaji Wanjala.
Kikao hicho, ambacho Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande amealikwa kama mwangalizi, ni cha awali kabla ya kesi hiyo kuanza kusikilizwa rasmi keshokutwa (Alhamisi) na kuendelea kwa mfululizo hadi kufikia uamuzi ikiwa madhumuni yake.


Lengo ni kupitia madai yaliyowasilishwa mahakamani hapo na pande zote zinazohusika na kuamua mwenendo wa kesi utakavyofanyika.

Source:Mwananchi

Cheti alichotumia DK Mulugo ni cha Mhadhiri wa Mkwawa

Posted: 26 Mar 2013 02:11 AM PDT

 Imebainika kuwa mmoja wa watu ambao Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo (pichani)anadaiwa kutumia jina lake kutafuta kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari ya Southern mkoani Mbeya ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa (Muce), kilichopo mkoani Iringa.
Mhadhiri huyo ni Dick Aron Mulungu ambaye alisoma na Mulugo katika Shule ya Sekondari ya Songea Wavulana kati ya 1994 na 1996 na alijiunga na shule hiyo baada ya kuhitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kafule, ambayo iko mkoani Mbeya.
Taarifa zinaonyesha kuwa Mulungu alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kupata Shahada ya kwanza katika Elimu (BA Education) 2001 na baadaye alisoma na kupata Shahada ya Uzamili (MA Development studies ) 2007.
Alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi, mahojiano yalikuwa hivi:

Mwandishi: Hallow…(mwandishi akajitambulisha)
Mulungu: Sawa, unasemaje?

Mwanishi: Nazungumza na Dick Mulungu?
Mulungu: Ndiyo mimi.

Mwandishi: Hivi unamfahamu mtu anayeitwa Hamimu Agustino?
Mulungu: Aah… hivi ulisema unaitwa nani?

Mwandishi: Si nimeshajitambulisha jina na ofisi ninayotoka?
Mulungu: Nipigie kesho naona hapa kuna kelele.
Mwandishi: Mbona nakusikia vizuri tu?
Mulungu: Nipigie baada ya nusu saa basi.

Baada ya nusu saa…….
Mwandishi: Haloo… naona nusu saa imekwisha, uko tayari kuzungumza?

Mulungu: Huyo simfahamu.
Mwandishi: Kwani wewe si ulisoma Songea Boys?
Mulungu: Ndiyo
Mwandishi: Kwa hiyo humkumbuki mtu aliyekuwa akitumia jina hilo?

Mulungu: Huyo mtu namkumbuka ndiyo.
Mwandishi: Kwa sasa yuko wapi?

Mulungu: Siwezi kujua, si unajua tumesoma siku nyingi sasa huwezi kujua mtu amekwenda wapi… ni siku nyingi mno.
Mwandishi: Ahsante.

Chuo Kikuu na siasa
Taarifa zinaonyesha kuwa Waziri Mulugo alijiunga na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania 2002 akitumia majina ya Philipo Hamimu Augustino na alisomea Shahada ya Sanaa katika Elimu (BA. Ed). Namba yake ya usajili chuoni hapo ni 08652/T.02.

Alipokuwa akiendelea na kazi ya ualimu Mulugo alianza harakati za kisiasa na ndipo alipoamua kwenda kugombea ubunge katika majimbo ya wilaya ya Chunya.
Kada wa chama cha NCCR Mageuzi wilayani Chunya, Nyawili Kalenda aliyejitambulisha kama mlezi wa siasa wa Waziri huyo alisema walifahamiana naye 2004 wakati Mulugo na rafiki yake walipokwenda kumtaka ushauri wa kugombea ubunge katika jimbo la Songwe.
Katika nakala za wasifu wake zinaonyesha kuwa 2008 alishika nafasi ndani ya CCM ambazo ni pamoja na mjumbe wa baraza la jumuiya ya wazazi wilaya ya Chunya, Katibu wa Elimu, Uchumi, Malezi na mazingira wa jumuiya ya wilaya hiyo na mjumbe wa baraza la wazazi mkoa wa Mbeya.

Kauli yake
Mulugo anasema madai hayo yamekuwa yakitolewa mara kwa mara na amekuwa akiyajibu kwa kuwaonyesha vyeti vyake halali vya shule. “Hayo madai ni ya muda mrefu, wewe sijui utakuwa mtu wa 20 kuuliza swali kama hilo. Mimi vyeti ninavyo na hata ukitaka ushahidi nitakuonyesha,” alisema Waziri Mulugo.
Licha ya kukiri kurudia darasa la saba, Waziri Mulugo alisema jina la Hamimu amekuwa akilitumia katika elimu tangu awali na kwamba hakuvunja sheria kufanya hivyo.
“Jina la Hamim ni la nyumbani Philipo ni jina langu la ubatizo, nadhani haya ni mambo ya kawaida na kweli nilipokuwa shule watu walikuwa wananifahamu kama Hamimu pia Philipo ni jina langu la ubatizo na kumbuka tukifika chuo huwa tunatumia jina la baba.
“Na pia ni kweli nilirudia shule kwa sababu wakati ule wa Mwalimu Nyerere na Mwinyi (Ali Hassan), sheria ilikuwa inaruhusu maana wanafunzi walikuwa wachache mno, fikiria katika darasa letu la saba tulimaliza watu saba tu. Baadaye sheria hiyo ilibadilishwa,” aliongeza.

Kuhusu jina la Dick Mulungu, alikiri kumfahamu mtu huyo na kwamba walisoma wote shule ya Sekondari ya Songea Boys. Hata hivyo, alipinga kutumia vyeti vyake.
“Ni kweli Dick Mulungu tulisoma wote Songea Boys. Lakini hili jina la Mulungu ni jina letu la ukoo. Babu yangu alikuwa akiitwa Filipo Milambo Mulungu, kwa hiyo niliendelea kulitumia hivyo hivyo na hata jina la Mulugo ni letu pia,” alisema.
Mwananchi

Eti Anasema Ana Mimba Yangu !..Wataalam Nisaidieni Pliz

Posted: 25 Mar 2013 10:30 PM PDT


Ni kweli nilifanya nae mapenzi siku ya 6 tangu kuanza bleeding,leo ananiambia ujauzito wangu,nimemtoa nduki kwanza....nifanye utafiti kwanza kama inawezekana.....

Eti wadau,siku ya 6 inawezekana kweli?? kwa elimu yangu ya baiolojia kwa vidato sita,,,,,sioni uwezekano kwa kweli....nahisi nataka kubambikiwa mzigo hapa...

Kwa wataalamu wanaofahamu zaidi kuhusu huu utaratibu naomba wanisaidie ufahamu...

Stamina Aandaa WAZO LA LEO [REMIX]... Je MwanaFA Atakuwemo??

Posted: 25 Mar 2013 10:22 PM PDT


Rapper kutoka MORO TOWN, Stamina Kabwela seem to be busy now kutengeneza remix ya ngoma kali inayojulikana kama WAZO LA LEO...
Stamina ameonekana kufanya hivyo hasa baada ya original version ya ngoma hiyo kufanya vizuri sana akiwa ameshirikisha rapper kutoka Rock City [MWANZA] Fid Q...
Stamina ameshawishika kufanya hivi as in fans pia kutaka kuona wakali wengine wa hip-hop ambao wanafanya kama yeye wanawezaje kuonesha umahiri kwenye mdundo mkali huo wa Producer P-Funk Majani [BONGO RECORDS].
Earlier today, rapper Stamina alionekana kumu-approach rapper mwingine mkali kutoka TANGA, Hamis Mwinjuma famously known as MwanaFA na kumuhitaji kushiriki katika remix hiyo...
This is how it went down... Stamina (@StaminaKabwela on twitter) alianza,"FA fresh bro nafanya rmx ya wazo la leo nakuhitaji braza kwa uwepo wako wa mistari 8 tu kama inawezekena"... Stamina wouldnt ask for more kutoka kwa braza MwanaFA but mistari 8... #HipHop
MwanaFA (@MwanaFA on twitter) replied, "Tuongee kwenye simu bro..."
Stamina amekuwa ni msanii mpya kwenye game la hip-hop hapa Bongo akifanya vizuri kwa takribani tracks 4 au 5 sasa... He's making WAZO LA LEO remix... And MwanaFA can surely fit on this one...

Swali : Je MwanaFA atakuwemo kwenye remix hiyo??
Naamini mimi na wewe tunaruhusiwa kusubiria hii... Stay Tuned !!
Source: GongaMx

Cyril Apata Meneja Mpya Wa Kusimamia Kazi Zake...

Posted: 25 Mar 2013 10:19 PM PDT


Mkali kutoka kundi la Wakacha maarufu kama Cyrill a.k.a Kamikaze, tokea Singida ambae kwa sasa anatikisa industry ya muziki, kupitia na track yake iitwayo Nafanya ambayo amempa shavu Jux, one of the crew members in Wakacha.
Not only that... Cyrill anafanya vyema pia kupitia joint nyingine iitwayo Utamu Wa Chocolate aliyomshirikisha shombe shombe, Bob Junior
Nyota huyu, ameamua kumtangaza Manager wake mpya atakayesimamia kazi zake kuanzia sasa...
Mcheck hapa chini:

Prezzo Kupiga Show Dar Es Salaam Hivi Karibuni...

Posted: 25 Mar 2013 10:17 PM PDT


Ule wakati uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kwa rapper kutoka Kenya maarufu kama Amb Prezzo kuja kupiga show ndani ya jiji la Dar Es Salaam sasa umewadia.
Prezzo anatarajia kupiga show moja katika ukumbi disco wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar.
Katika show hiyo Prezzo atasindikizwa na baadhi ya wasanii kutoka Bongo kama kundi la Shosteez, Stereo, AY, MwanaFA na wengine wengi. Show hii inatarajia kufanyika tarehe 5 April mwaka huu.

Alichokiandika Chidi Beenz Baada Ya Kusikika Ugomvi Wake Na Ngwair.

Posted: 25 Mar 2013 10:12 PM PDT


Siku ya jumamosi katika ukumbi wa disco wa Ambassador Lounge kulitokea ugomvi kati ya rapper kutoka Ilala, Chidi Benz pamoja Ngwair kutoka #DenjaVuMusic.
Ugomvi huo ulitokea baada ya Chidi kuonekana kutofautiana na Dully Sykes alipokuwa akiingia ndani ya ukumbi huo, na baadae Dully alipoamua kuondoka ndio Ngwair alimuliiza Chidi inakuwaje unamzingua Dully??!
Hapo ndipo inaonekana ugomvi kuanzia na rapper huyo kuanza kumrushia mwenzie lugha chafu na kutaka kuanza kupigana...
Chidi ameonekana kuomba msamaha kwa fans wake na kwamba yeye hana matatizo yeyote na Ngwair... check alichoandika Chidi Beenz hapa chini:


Udaku Specially

unread,
Mar 27, 2013, 4:41:40 PM3/27/13
to mbara...@googlegroups.com

Tusker Project Fame COMING SOON…..Bigger and Better

Posted: 27 Mar 2013 11:43 AM PDT


Aha, they are coming back and this time have assured Kenyans that they are bigger and better. It is official now, Tusker Project Fame will be back in six months’ time.

Apparently the show will premier in September with auditions which will be starting in August.

Speaking about the show, TPF judge Ian Mbugua said that the next season of the show will be much better as they are making more changes on some of the areas they felt were falling apart.

He further added that he can promise contestants this time round going home with better vocals and ready for the competitive industry. He pointed out that there have been redundancies in prior talents mainly due to mismanagement.

Mbugua indicated that they have made a proposal to EABL who are their main sponsors to have better recording companies to help nurture the talents even after leaving the academy.


The Kenyan DAILY POST

I need to find an easy way of telling my husband that I am in love with another man and that our baby boy is not his child.

I am 38 and have been with my partner for 10 years. I met a man sometime ago.

We chat very often and one day he suggested we go for a drink. I told my partner I had a meeting. There have been lots of “meetings” since.

We make love in his car every week. I had been starved of love for years. When I started the fling it was just for the sex. I thought about it all day.

Then I fell pregnant. My partner just assumed the child was his and I didn’t want to destroy him by telling him different but I am 100 per cent certain our eight-month-old son is my lover’s child. He knows the baby is his and dotes on him.

We have fallen in love and are now planning on being together. My lover is going to tell his wife soon.

I know it will tear my partner’s heart apart to find out I am in love with another man and want to be with him, and that he will lose his little boy.

I never meant to hurt him but I need to find an easy way of breaking the news.

Zitto Kabwe Akanusha Kuhusu Habari iliyoandikwa na Mtanzania Leo Kuhusu Njama za Kumuua

Posted: 27 Mar 2013 09:26 AM PDT


KATIKA gazeti la Mtanzania toleo na. 7269 la Jumatano Machi 27, 2013 kuna habari yenye kichwa chenye maneno ‘SIRI YA KUUWAWA ZITTO YAFICHUKA’ na vichwa vidogo ‘yadaiwa ilipangwa anyweshwe sumu hotelini’ Dk. Slaa atajwa kumtuma Saanane kummaliza’. Habari hii imeniletea usumbufu mkubwa kwani ndugu, jamaa, marafiki na wapiga kura wangu, wamejazwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba ninaweza kuuwawa.

Napenda kusema yafuatayo:
Moja, sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa Ben Saanane na hivyo hicho kikao ambacho inasemekana nilikuwa naye na akajaribu kunipa sumu hakijawahi kutokea. Imetajwa Hoteli ya Lunch Time ambayo sio tu sijawahi kufika, pia hata siijui ipo wapi. Haijawahi kutokea mimi kufanya kikao cha pamoja na Ben Saanane, Juliana Shonza na Mtela Mwampamba. Hivyo habari iliyoandikwa ni ya kufikirika na hivyo naomba mwandishi ahakikishe kuwa vyanzo vyake vya habari vimempa habari sahihi.

Pili, Siamini kamwe kuwa Katibu Mkuu wa chama changu anaweza kupanga kuniua maana hana sababu ya kufanya hivyo. Napenda kurudia kusema kwamba mimi ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti. Kila mtu atakufa. Kama nitakufa kwa kuuwawa na mtu mwingine ndio itakuwa nimeandikiwa hivyo na Mungu. Ndio maana hata siku moja silalamiki kuhusu vitisho vya kuuwawa nk. Kama kuna mtu anafikiria kuwa kumuua Zitto ndio furaha ya maisha yake atakuwa anajidanganya tu maana Zitto anaweza kufa kimwili lakini mawazo, fikra na maono ya Zitto yataishi tu. Siogopi kufa maana maisha niliyoyachagua ndio haya ambayo yamejaa vitisho. Muhimu kwangu ni kufanya kazi zangu kwa bidii, uhodari na uaminifu. Siku zote nitasimamia ukweli bila kujali uchungu wa ukweli huo.

Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.

Nne, Nawashauri viongozi wenzangu wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.

Imetolewa na Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Tanzania Bara,

Mh. Zitto Z Kabwe

Source:Global Publisher

Kocha wa Morocco Aongea "Sinta Wasahau Kiemba na Thomas Ulimwengu"

Posted: 27 Mar 2013 09:20 AM PDT


KOCHA Msaidizi wa Morocco, Rachid Bin Mahmoud, amechukizwa na kipigo ilichopata timu yake, lakini akatamka hatawasahau kiungo Amri Kiemba na mshambuliaji Thomas Ulimwengu.

Amri Kiemba.

Kauli hiyo ya Mahmoud inakuja kufuatia Morocco kukubali kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya wenyeji wao Taifa Stars katika mchezo wa kuwania nafasi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia mwakani uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Championi Jumatano, Mahmoud alisema Kiemba alikuwa tatizo kubwa kwa viungo wa timu yake (Morocco) ambapo aliweza kuwaongoza vyema wenzake katika kutibua mipango mingi ya wachezaji wake, jambo ambalo liliwapa wepesi Stars.
Mahmoud ambaye alionekana kuwa na hasira kwa kukunja uso, alisema mbali na Kiemba, pia kuingia kwa Ulimwengu lilikuwa pigo kubwa kwa kikosi chake ambapo mshambuliaji huyo alionekana kuwa na nguvu zaidi akijua upungufu wa mabeki wake na kutoa mchango mkubwa katika ushindi wa mabao hayo.
“Tumefungwa mechi ambayo hatukutarajia, hakuna tunayeweza kumlaumu katika hili lakini yule mchezaji mwenye jezi namba tisa (Kiemba) alikuwa na uwezo mkubwa, alifanikiwa kutibua kila kitu cha timu yetu,” alisema Mahmoud na kuongeza:
 “Ukiachana na huyo, yule mshambuliaji mwenye jezi namba kumi na moja (Ulimwengu) alitupa tabu tangu mwanzo alivyoingia, alikuwa na msaada mkubwa sana, mabeki wetu walishindwa kumdhibiti, lakini ndiyo mpira, nafikiri tunatakiwa kujifunza na tutawadhibiti katika mchezo wa marudiano.”

Kali:Angalia Maisha ya Wadada wa Mjini Katika Picha

Posted: 27 Mar 2013 03:28 AM PDT

" I don't know the key to success, but the key to failure is trying to please everybody." Bill Cosby

Mwanamke Ajitokeza na Kudai Jack wa Chuzi Kamuibia Mume

Posted: 27 Mar 2013 02:08 AM PDT

ZENGWE limeanza! saa 48 baada ya Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ kufunga ndoa na jamaa aitwaye Gadna Dibibi, mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Mariam Omary ameibuka na kudai muoaji ni baba mtoto wake wa miezi minne hivyo anamuomba msanii huyo amwachie mumewe.

Mariam Omary anayedai Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ kamchukulia baba watoto wake akiwa na mwanaye.
Kwa mujibu wa chanzo makini, baada ya kuenea kwa habari za Jack Chuz kufunga ndoa na kijana huyo wikiendi iliyopita, ndipo ilipogundulika kuwa ana mwanamke ambaye wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa takribani miaka mitatu na wana mtoto huyo mmoja wa kiume.
Baada ya ripota wetu kuidaka ishu hiyo aliingia mzigoni kutafuta ukweli wa jambo hilo ndipo akakutana na mwanamke huyo aishie Kigogo, Dar ambapo alikutwa akiwa anambembeleza mtoto huyo anayeitwa Price Laden.
Akifunguka mbele ya paparazi wetu, Mariam alidai kwamba siku ambayo mwanaume huyo alifunga ndoa (Ijumaa), alimuaga anasafiri kwenda Morogoro hivyo hatakuwepo Dar lakini wanusaji wa mambo ya watu walishampa ‘infomesheni’ kwamba anafunga ndoa na Jack Chuz.

“Unajua mtu atakunyima ugali ila siyo maneno, nilishajua na nilikuwa namwangalia tu nione atasemaje,” alisema.
Mariam aliendelea kutiririka kwamba anamjua vizuri Jack Chuz linapokuja suala la wanaume wa wenzake lakini kwake atachemsha kwa kuwa msanii huyo anajua kila kitu juu ya uhusiano wake na mwanaume huyo ambaye ni halali yake.
“Hakuna asichokijua kati yangu na Dibibi, kwa usalama wake Jack aniachie mume wangu,” alilalama mwanamke huyo.
Baada ya kuzungumza na Mariam, mwandishi wetu alimvutia waya mume wa Jack na kusomewa mashitaka yake ambapo alisema kuwa baba wa mtoto anayemjua ni mama peke yake na isitoshe kuzaa naye isiwe sababu kwani yeye hakumuoa.
“Alikuwa demu wangu na kuzaa mtoto isiwe sababu. Hata hivyo, ukweli wa baba wa mtoto anayejua ni mama. Sikumtolea mahari wala kumvalisha pete ‘so’ hana kizuizi na ndoa yangu,” alisema jamaa huyo kisha akakata simu.

Ukatili:Binti Abakwa Mpaka Kufa mbele ya Kanisa

Posted: 27 Mar 2013 01:57 AM PDT

Bint aliyejulikana Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.Marehemu akitoka Nachingwea Resort(NR) ktk muziki cku ya ijumaa.Inasadikika marehemu alilewa na wabakaji alitoka nao muziki.

First Lady wa China, Moto wa Kuotea Mbali.

Posted: 27 Mar 2013 12:33 AM PDT

Peng Liyuan, wife of Xi Jinping, who's recently chosen to be China's top leadership post, is a famous singer in China, an WHO AIDS ambassador, as well as a major general in China's People's Liberation Army.

Askari amshika makalio mfanyakazi wa ndege wa fast jet

Posted: 27 Mar 2013 12:28 AM PDT

Picha si ya Tukio Hilo.
Askari mmoja alievalia nguo za kiraia amewekwa ndani kituo cha polisi airport kwa kutuhumiwa kumshilka makalio mfanyakazi wa ndege wa fast jet.

Tukio hilo limetokea leo saa nne wakati askari huyo aliekuwa akienda mkoani akiwa bwii alipofika kwenye sehemu ya usalama aanze kuvua viatu na mengineyo gafla akaona binti amevaa kimini na huku nyuma kijungu kikipumua kwa kweli alishindwa kuhimili ndipo akamfwata na kumshika makalio alipoulizwa kwa nini amefanya vile alisema alikuwa anayatest kama ni yake kweli ama lah maana wengine wamezoe kutuwekea naniino huko nyuma ndipo wakuu wake wakaamua kumsaidia kwa kwenda kumtuliza ndan huku binti akienda kufungua kesi.

Kazi kweli kweli jaman sitaki kusema nani mbaya ila na mabinti tujilinde jamani mmhh vimini vyao hata kama aisimami unasikia inapga kwitukwitu kwitu
Source:Jamii Forums

Mahakama yatupa maombi kesi ya uchaguzi Kenya

Posted: 27 Mar 2013 12:00 AM PDT

Nairobi. Mahakama ya Juu (Supreme Court) nchini Kenya jana ilitupilia mbali viapo viwili katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee.

Maombi yaliyotupwa ni lile la muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali lililoitaka mahakama iamuru tume ya uchaguzi kufikisha mahakamani hapo nyaraka zote zilizotumika wakati wa uchaguzi huo.

Kadhalika mahakama hiyo ilitupilia mbali hati ya kiapo yenye kurasa 839 kilichowasilishwa na upande wa Muungano wa Cord ambacho kilidai kwamba kura katika majimbo 120 zilikuwa haziwiani na idadi ya wapigakura, hivyo kuitaka mahakama hiyo iitishe uchunguzi wa kina kwa daftari hilo pamoja na kura zilizopigwa.

Katika kiapo cha Cord, Jaji Phillip Tunoi alisema kwa mujibu wa sheria hati za kiapo si haki ya mlalamikaji au mlalamikiwa hivyo kabla wa kuwakilishwa walalamikaji walipaswa kupata ruhusa ya mahakama, jambo ambalo halikufuatwa.

Kwa upande wake Jaji Mohammed Warsame aliyesoma uamuzi dhidi ya kiapo cha mashirika yasiyokuwa ya kiserikali alitupilia mbali maombi yao kwa maelezo kwamba yalifikishwa mahakamani nje ya muda uliowekwa kisheria.

Katika ombi lao muungano huo wa Africog ulidai kuwa kufeli kwa mfumo wa kielectronikiwa kuhesabu kura ulikuwa umepangwa kwa madhumuni ya kuiba kura. Hivyo tume hiyo iamuriwe kuleta mahakamani hapo nyaraka zote ili zifanyiwe uchunguzi wa kitaalamu

Dk Slaa awatuhumu Usalama wa Taifa

Posted: 26 Mar 2013 11:57 PM PDT

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa ameanza kuisakama Idara ya Usalama wa Taifa kuwa wanatumia mbinu mbalimbali kuwahujumu na kwamba mbinu zinazofanywa na idara hiyo ni kueneza propaganda walizodai za uongo dhidi yao.


Akizungumza jana makao makuu cha chama hicho jijini Dar es Salaam, Dk Slaa alisema: “Tumezibaini mbinu zinazofanywa na Usalama wa Taifa kwa kutumiwa na CCM kueneza propaganda za uongo dhidi yao kwa lengo la kukichafua chama, lakini haziwezi kufanikiwa kwani tayari tumegundua mbinu zao.”


“Chadema ni chama makini na hakiwezi kuyumbishwa na mtu yoyote wala idara yoyote inayotumiwa na baadhi ya watu ili kutaka kukizohofisha,” alisema Dk Slaa ambaye mara kwa mara amekuwa akilalamika kuchezewa rafu.


Hata hivyo, viongozi wanaohusika na idara hiyo akiwamo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika walipotafutwa na gazeti hili kwa nyakati tofauti ili kuzungumzia tuhuma hizo za Dk Slaa, hawakuwa tayari kuzizungumzia.


Waziri Mkuchika alisema asingeweza kuzungumzia tuhuma hizi kwa kuwa hakuwa amezisikia wala hafahamu ni ujumbe upi uliomo katika kauli ya Dk Slaa.


“Mimi nimeshinda kwenye Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala tangu asubuhi na sasa ndiyo natoka, kwa hiyo sijasikia hiyo kauli wala huo mkutano wa (Dk Slaa). Kwa hiyo siwezi kujibu chochote kwa sasa,” alisema Mkuchika na kuongeza:


“Nadhani tumeelewana na pengine tusubiri pindi nitakapofahamu ni kipi amekizungumza na nikafanyia uchunguzi tutaona kama kuna cha kujibu basi tutajibu wakati huo, lakini kwa sasa siwezi kusema chochote.”


Mapema gazeti hili lilimtafuta Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Rashid Othman ili kuzungumzia madai hayo ya Chadema lakini mara zote simu yake ilikuwa haipatikani.


Baadaye Mwananchi iliwasiliana na Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Jacky Nzoka ambaye alijibu kwa kifupi na kukata simu: “Mimi siyo msemaji tafadhali.”


Hata hivyo, katika tuhuma hizo Dk Slaa alisema mifano hai ipo kwake kwani kila wakati amekuwa akizungukwa na watu wa idara hiyo kwa malengo yao binafsi, lakini malengo yao hayawezi kufanikiwa kwani wao wapo makini katika hilo.


“Mimi kila wakati Usalama wa Taifa wamekuwa wakinizunguka zunguka kwa mambo yao binafsi wanayoyafuatilia kwangu, lakini nataka niwaambie kwamba nimewagundua na mbinu zao haziwezi kufanikiwa ila nawataka wasichoke kunifutalia na waendelee tu,” alisema.

Photos:Huyu Ndio Dereva Aliyemgonga Trafiki Polisi Bamaga

Posted: 26 Mar 2013 01:42 PM PDT




Jackson  Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge  jijini Dar ss Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Wilaya ya Kinondoni.

Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka huu
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages