Je Mafundisho haya ni potofu?

320 views
Skip to first unread message

Strictly Gospel

unread,
Jul 7, 2013, 11:11:10 PM7/7/13
to Strictly Gospel Group

false

Wapendwa,

Miongoni mwetu kuna wapendwa ambao ni wavivu wa kusoma maandiko na vitabu na mitandao ya kutosha kuwapa elimu pana. Wengi wetu si tu kwamba hata Biblia hatusomi bali hata vitabu vya waandishi mahiri na wazuri hatusomi.

Tunapaswa kuelewa kwamba mafundisho yafuatayo ni potofu ukubali au ukate:

1. Mafundisho kuhusu NYOTA ZILIZOIBWA
2. Mafundisho kuhusu kutoa ZAKA kila mwezi au kila upatapo kipato
3. Mafundisho ya kukataza wanawake kuvaa nguo za suruali ili hali zinafunika uchi na mwili wao kwa usahihi zaidi kuliko hata siketi na gauni,
4. Mafundisho kuhusu kuwazuia Watumishi wa Mungu wasioe
5. Mafundisho kuhusu SABATO kwamba ni sku ya Jumamosi na mtu asiyeacha kufanya kazi siku hiyo eti anakuwa mtenda dhambi
7. Mafundisho ya Kupaka watu MAFUTA eti ndio UPAKO hadi wengine huitwa wazee wa UPAKO,
8. Mafundisho ya kuhimiza UTAJIRI kwa masharti ya kutoa kwanza SADAKA kwamba ndipo utatajirikka badala ya kuhimiza watu kujiendeleza kiujuzi, kielimu na kufanya KAZI ili kupata utajiri.
9. Mafundisho ya kuzuia wanawake wasiwe viongozi wa kanisa, au wasiruhusiwe kufundisha,
10. Mafundisho ya kuzuia wanawake kufanya kazi zenye kipato kwa misingi ya dini au mafundisho,
11. Mafundisho ya Malango……, Mzaliwa wa kwanza…., mafundisho ya kufanya jambo fulani ndipo upate kitu fulani kwa Mungu,Na mengine mengi kama hayo.

Wapendwa Yote hayo mimi nayaweka kuwa ni mafundisho yenye utata sana na bila kujizungusha naomba niseme kwamba ni POTOFU.

Kama kanisani kwako mafundisho kama hayo bado yapo, na yanasisitizwa kila siku, tafakari upya kisha chukua hatua.

--Mr. Milinga

jwmsella .

unread,
Jul 8, 2013, 1:12:56 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Naomba nisiwe wa kwanza ku comment....!


2013/7/8 Strictly Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>

--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 



--
Love, the sum of whole law.

maria abeid

unread,
Jul 7, 2013, 11:24:07 PM7/7/13
to strictl...@googlegroups.com
Eeeee Mungu tusaidie jaman. Maana mambo ni mengi na yanachanganya sana. Kilichobakia hapa ni kumuomba Mungu atupe ufahamu na macho ya rohoni ili tuweze kujua lipi la kufuata.

flano mambo

unread,
Jul 8, 2013, 3:44:03 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Milinga umenena mwana wa Mungu, lakini bila shaka unafahamu kuwa utawashitua wengi kwa hoja yako hiyo na pengine utapingwa na wengi pia. Unachotakiwa kufanya ni anza kuelezea hoja moja moja kama ulivyoainisha hapo chini tena kimaandiko kabisa ili mtu anaposoma na maandiko yameoneshwa hapo unakua umepunguza idadi ya maswali ambayo pengine ungeulizwa.

Nawasilisha

Flano


From: Strictly Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>
To: Strictly Gospel Group <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Monday, July 8, 2013 6:11 AM

Subject: Je Mafundisho haya ni potofu?

Alice Kihamia

unread,
Jul 8, 2013, 2:54:31 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
asante sana mtumishi kwa mchango wako.......
natatizwa na swala la zaka labda sina ufahamu juu yake hivyo kujikuta namaswali
Kama kutoa zaka kila upatapo kipato ni potofu je zaka itolewaje? kwa mwaka mara moja kutoka kwenye kipato utakacho jisikia? au over all kipata cha mwaka au namana gani hapo nimetatizwa? nahitaji elimu.
 
kipengele cha 11. hayo nayo ni mafundisho gani mfano wake ni nini? nahitaji elimu juu yake nisipotoke
 
ubarikiwe sana
Alice
From: Strictly Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>
To: Strictly Gospel Group <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Sunday, 7 July 2013, 23:11

Subject: Je Mafundisho haya ni potofu?

Mathew Maduhu

unread,
Jul 8, 2013, 6:02:04 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa Milinga na SG wote,
Kabla sijatoa maoni yangu kuhusu mambo uliyorodhesha kama Mafundisho potofu; naomba nitutofautishe kati ya Mafundisho na Ufunuo.  Fundisho linaenda na Agizo la moja kwa moja katika Neno la Mungu wakati Ufunuo ni jambo mtumishi analolipata unaposoma Neno kwa ajili ya kutatua shida iliyopo kwa mtu, watu au jamii fulani. Katika orodha ilyotolewa, kwa uelewa wangu yafuatayo ni:
 
A) Ufunuo:
  • Nyota zilizoibiwa
  • Watumishi wasioe
  • Utajiri kwa kutoa Sadaka
  • Kupaka watu mafuta
  • Kuwazuia Wanawake wasifanye kazi
  • Malango, Mzaliwa wa kwanza na kufanya jambo ili upate kitu
B) Mafundisho:  
  • Kutoa Zaka
  • Wanawake kuvaa suruali
  • Sabato
  • Wanawake wasiwe viongozi wa Kanisa
Haitegemewi ufunuo fulani u-apply kwa kila mtu au jamii. Hivyo wanaotumia ufunuo ku-universalize  (kuufanya utumike kwa kila mtu) wanaweza kuonekana wanaleta mafundisho potofu. Kuhusu Mafundisho; kwa ujumla naweza kueleza kuwa yapo Mafundisho/Maagizo ambayo ni endelevu na ambayo yana ukomo. Katika Mafundisho yenye ukomo, mtu anaweza kuyaona kuwa ni potofu ikiwa mhusika atataka kuendeleza, lakini si hivyo, kinachotakiwa ni uelewa wa kina na kutofautisha majira na nyakati.
 
Niishie hapa kwa sasa, Nimefurahi kukuona tena Jei Wi wa Bwana Yesu (Msella). Je na wewe ulikuwa na temporary unyakuo kama mimi?
 
Keep on digging,
Mathew.

 

 

 

 
 
 
 


2013/7/8 Strictly Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>

--

Cathy Marco

unread,
Jul 8, 2013, 5:43:41 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm. nothing to say juu ya hili.


2013/7/8 maria abeid <maria...@yahoo.com>

Sabihi, Mary

unread,
Jul 8, 2013, 7:02:48 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com

Shalom! Na mimi niongeze kwamba,  mtumishi wa Mungu tuainishie kimaandiko , kwa sababu watumIshi  wanaofundisha mafundisho hayo hutumia maandiko na ndio maana yanaaminiwa, sasa hili kusafisha  ufahamu wetu ( maana tumedaka na yamekaa na mengine tunayafanyia kazi) tusafishe  kwa maandiko. Amen.

 

Mary J S

LYATUU EMMANUEL

unread,
Jul 8, 2013, 8:21:23 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Kweli mimi nitakubaliana na hoja hii kama ikithibitishwa kimaandiko. Inawezekana kwamba miongoni mwa hoja hizi pia ikawa ni mafundisho potofu. Kwa mfano kusema kwamba "Mungu anadai ufanye jambo fulani ndipo naye afanye kwetu" ni mafundisho potofu si sawa kwa sababu ukisoma 2 Nya 7:14 inasema "ikiwa watu wangu... wata... basi nita..." na huyo ni Mungu aliyeweka hilo sharti.
Sina maana kuwa mtoaji wa hoja analeta mafundisho potofu maana it is not what you say pollutes but how you say it!! Unaweza ukasema jambo zuri lakini ukalisema bila hekima au uangalifu likaua mtu kabisa kiroho au hata ukilisema nusu-nusu likawa sawa na mtu aliyepika chakula halafu hakukimalizia kikawa kibichi na waliokila wakikiona kuwa kizuri kikawadhuru vibaya. Kutoa hoja za kimaandiko bila kuthibitisha kimaandiko ni hatari sana. Ni afadhali umpe mtu maandiko ayatafsiri vibaya kuliko kumpa fundisho lisilo na mashiko ukamfanya akapotelea mbali na kweli.
Roho Mtakatifu afundishaye atusaidie sisi sote
Imma



From: "Sabihi, Mary" <mary....@ttcl.co.tz>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, July 8, 2013 2:02 PM
Subject: RE: Je Mafundisho haya ni potofu?

Mary Smith

unread,
Jul 8, 2013, 7:21:00 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Asante sana dada Maria kwa mchango wako , na ndivyo ilivyoandikwa ktk zaburi 32:8 anasema Nitakufundisha nitakuonyesha njia utakayoiendea nitakushauri na jicho langu likikutazama.

jwmsella .

unread,
Jul 8, 2013, 11:42:30 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Mathew Maduhu umenichekesha kweli! Kumbe kuna temporary unyakuo ulipita! Mie nausubiri ule permanent....anyway, mjadala uendelee. Nimekaa mkao wa kujifunza....asanteeeeee!

JWM


2013/7/8 LYATUU EMMANUEL <babad...@yahoo.com>



--

lev...@ymail.com

unread,
Jul 8, 2013, 10:30:46 AM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com, <strictlygospel@googlegroups.com>


Sent from my iPhone

John Rwezaura

unread,
Jul 8, 2013, 4:22:54 PM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com, strictl...@googlegroups.com
Asante sana Milinga, nimekupata sawasawa Hata bila mafafanuzi, lakini ni kweli inahitajika clarification kwa kiasi fulani ili kuonesha mtazamo wako katika mafundisho uliyoyaorodhesha. Kwa kuwa ni mengi mimi natoa mchango wa jumla bila kutaja fundisho mojamoja kama ifuatavyo;

 Madhara ya mafundisho huwa hayatokani na fundisho lenyewe hasa, isipokuwa inachangiwa na vitu mbalimbali. Kwanza ni nia ya mfundishaji na uelewa alionao katika neno la Mungu, ambao mara nyingi huathiriwa na misingi ya dini yake.

Nikianza na nia ya mhubiri ni kwamba akitoa fundisho lolote kutoka katika nia ya kujipatia faida au umaarufu, watu wataona na kwa huyo mtumishi atakuwa amepotosha fundisho kwa application ambayo si sawa. Hivyo kabla ya kuhukumu fundisho, kwanza tumuangalie anayefundisha ili kujiridhisha na ule uaminifu wake (genuine in his speech). Mtu ambaye hana nia ya kujinufaisha huwa mwepesi kujifunza na kubadilisha fundisho lake (maana hakuna anayeanza na ujuzi).

La pili ni uelewa wa anayefundisha. Hii inachangia sana katika kupotosha maandiko. Watu wanakwepa elimu ya Mungu kwa maana ya kwenda shule angalau secular, kwa madai ya kuongozwa na 'roho'. Hii mentality imeleta shida kubwa sana katika kanisa. Wahubiri wanakuwa na nia nzuri lakini ujuzi wa kuyaelewa maandiko katika context yake wanashindwa. Hivyo wanaanza kudandia mafundisho wanayosikia kwa wengine kupitia wahubiri wakubwa bila kujua kwamba "udanganyifu wa mafundisho huvuta watu wengi kuliko ukweli wa mafundisho" 

Fundisho lolote la kweli lazima liwe wazi kwa kila mtu. Kuwaambia watu kwamba unachofundisha ni cha hali ya juu na kinahitaji mtu wa rohoni ndiye anaweza kuelewa, huko ni kuficha makucha ili kughiribu akili za watu wasio na ujuzi.

Mwisho nasema, tusiwe na haraka kusema ni mafundisho potofu tu lakini twende mbali kidogo kwa kuwachunguza pia wasemao. Ishara ya kuwa mtu ni potofu ni nyingi lakini naeleza chache hapa;

1. Watu hawa hudai kuwa wao wanongea na Mungu moja kwa moja kuliko wengine.
2. Watu hawa hawana uwazi kwa washirika wao bali wanadai kutetemekewa na hawataki kuhojiwa kwa fundisho lolote.
3. Akitokea mtu akahoji fundisha, kinachofuata ni vitisho vya kupatwa na mabaya.
4. Hutumia maneno ya Biblia yanayohusu manabii na Bwana Yesu, wanayageuza na kujiweka wao wenyewe kana kwamba maandiko hayo yanawahusu wao.
5. Zaidi ya yote hayo, wanawadharau watumishi wengine na kuwafundisha washirika wao kuwa wao ndio walioitwa tu.

JohnR.
Sent from my iPad

maria abeid

unread,
Jul 8, 2013, 3:01:08 PM7/8/13
to strictl...@googlegroups.com
Amina Dada Mary Smith.

Janeth mmari

unread,
Jul 9, 2013, 1:34:48 AM7/9/13
to strictl...@googlegroups.com
Shaloom
 
Emanuel naungana na wewe asilimia zote kabisa kwamba miongoni mwa hoja hizi pia ikawa ni mafundisho potofu.
 
Tafadhali mtoa hoja tunaomba maandiko, Tena Neno linasema kuwa mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume mtoa hoja tafadhali tupe maandiko

From: LYATUU EMMANUEL <babad...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Monday, July 8, 2013 5:21 AM
Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
Kweli mimi nitakubaliana na hoja hii kama ikithibitishwa kimaandiko. Inawezekana kwamba miongoni mwa hoja hizi pia ikawa ni mafundisho potofu. Kwa mfano kusema kwamba "Mungu anadai ufanye jambo fulani ndipo naye afanye kwetu" ni mafundisho potofu si sawa kwa sababu ukisoma 2 Nya 7:14 inasema "ikiwa watu wangu... wata... basi nita..." na huyo ni Mungu aliyeweka hilo sharti.
Sina maana kuwa mtoaji wa hoja analeta mafundisho potofu maana it is not what you say pollutes but how you say it!! Unaweza ukasema jambo zuri lakini ukalisema bila hekima au uangalifu likaua mtu kabisa kiroho au hata ukilisema nusu-nusu likawa sawa na mtu aliyepika chakula halafu hakukimalizia kikawa kibichi na waliokila wakikiona kuwa kizuri kikawadhuru vibaya. Kutoa hoja za kimaandiko bila kuthibitisha kimaandiko ni hatari sana. Ni afadhali umpe mtu maandiko ayatafsiri vibaya kuliko kumpa fundisho lisilo na mashiko ukamfanya akapotelea mbali na kweli.
Roho Mtakatifu afundishaye atusaidie sisi sote
Imma


From: "Sabihi, Mary" <mary....@ttcl.co.tz>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, July 8, 2013 2:02 PM
Subject: RE: Je Mafundisho haya ni potofu?
Shalom! Na mimi niongeze kwamba,  mtumishi wa Mungu tuainishie kimaandiko , kwa sababu watumIshi  wanaofundisha mafundisho hayo hutumia maandiko na ndio maana yanaaminiwa, sasa hili kusafisha  ufahamu wetu ( maana tumedaka na yamekaa na mengine tunayafanyia kazi) tusafishe  kwa maandiko. Amen.
 
Mary J S
 
From: strictl...@googlegroups.com [mailto:strictl...@googlegroups.com] On Behalf Of flano mambo
Sent: Monday, July 08, 2013 10:44 AM
To: strictl...@googlegroups.com
Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
 
Milinga umenena mwana wa Mungu, lakini bila shaka unafahamu kuwa utawashitua wengi kwa hoja yako hiyo na pengine utapingwa na wengi pia. Unachotakiwa kufanya ni anza kuelezea hoja moja moja kama ulivyoainisha hapo chini tena kimaandiko kabisa ili mtu anaposoma na maandiko yameoneshwa hapo unakua umepunguza idadi ya maswali ambayo pengine ungeulizwa.
 
Nawasilisha
 
Flano
 

Daniel Nzali

unread,
Jul 9, 2013, 2:45:51 AM7/9/13
to strictl...@googlegroups.com

Amen Mr.Methew,

  Ki ukweli hatutakuwa sawa kusema kwamba yote yanayofundishwa ni mafundisho potofu. Mafunuo yapo ili kuwasaidia watu wa Mungu pia.Maana si kila mkristo anakuwa busy kuutafuta uso wa Mungu katika kujua siri za ufalme.Na si kila mtu anajua namna ya kusikia sauti ya Mungu. Nakumbuka wakati fulani nilikuwa nina maombi yngu binafsi, Mungu alimtumia mtu wa mbali kabisa ambaye sikumtegemea kunipa majibu , tena moja kwa moja bila kukwepesha  akalenga kwenye shida..Nilimshangaa sana Mungu. Mafunuo yapo, ingawa inatakiwa yapimwe pia. Na hata katika Yohana 16:12 - 16 maandiko yanasema ''Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. 13. Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. 14. Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. 15. Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari. Biblia imejaa siri nyingi za Mbinguni ambazo bila kupewa ufunuo ni ngumu kuzielewa. Hata kipindi cha Yesu,wanafunzi waliposhindwa kumtoa pepo, Bwana Yesu aliwapa ufunuo mwingine wa nama ya kutoa pepo.Ina maana Wanafunzi wake wao kama wao walikariri tu kuwa Kummtoa pepo ni Kukemea kwa kwenda Mbele,kumbe sivyo. Kuna mambo mengi sana tunahitaji kutulia na kujifunza kwa kuongozwa na Roho mwenyewe.
 Shetani kila siku anabuni mbinu mpya katika kuujenga ufalme wake, Na sisi kama watumishi wa Mungu bila kupata ufunua wa Roho Mtakatifu itakuwa vigumu kupambana na shetani pia.

Ubarikiwe Mtumishi..!
 



From: Mathew Maduhu <mdma...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, 8 July 2013, 13:02

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?

jwmsella .

unread,
Jul 9, 2013, 7:22:48 AM7/9/13
to strictl...@googlegroups.com
Mtumishi John Rwezaura, nimekupata sawia. Kwa sasa niongezee tu kuwa pia kuna madhara ya mafundisho yenyewe, iwapo ni potofu, hata kama aliyeyatoa alikuwa na nia nzuri. Ndio maana mtume Yakobo alionya walimu wawe makini na kile wanachofundisha:

"Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.  Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu". (Yakobo 3:1-2)

Mbarikiwe.

JWM


2013/7/8 maria abeid <maria...@yahoo.com>



--

Stephen Mabinza

unread,
Jul 9, 2013, 9:59:48 AM7/9/13
to strictl...@googlegroups.com

Mpendwa  Mr. Milinga,

Hili ulilolisema hapachini  (No.9) unalo uhakika kuwa hilo nalo ni Moja ya mafundisho potofu, au umepitiwa tu? Hebu lisome tena umeandika hivi,   “9. Mafundisho ya kuzuia wanawake wasiwe viongozi wa kanisa, au wasiruhusiwe             kufundisha,”
Kama hukupitiwa, yaani ulimaanisha hivyo, nipe maandiko yanayokusapoti Mista! La sivyo, uwe muungwana tu “Ubatilishe kauli” Kama namwelewa vizuri Paulo katika fundisho lake kwa wagalatia sura ya kwanza Wgal. (1:8); Basi Ukikataa, Yesu atakutia hatiani kwa lile fundisho alilolitoa kupitia Mtumishi wake mwaminifu Paulo, ambaye alifundisha hivi,
8Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! 9Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!” Maana kama Paulo unamwamini kuwa ni Mtume wa Bwana Yesu Kristo, na pia kama unaiamini Biblia kuwa ni Neno la Mungu lisilogoshiwa. Basi Paulo alisema hivi katika ile, 1Tim. 2:11-13,  11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 13Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 14Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.”
 
Ila ndugu jipine kwa Neno, isije kuwa wewe ndiye unapotosha, Kama hutaki haya tu!
 
Mabinza LS.

From: Janeth mmari <jane...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tuesday, July 9, 2013 8:34 AM

Mathew Maduhu

unread,
Jul 10, 2013, 5:53:56 AM7/10/13
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa Mabinza na SG wote Shalom,
Mafundisho ya kuwazuia Wanawake wasiwe Viongozi na Wasifundishe YALISHA ONGELEWA KWA KIREFU SANA nyakati za nyuma na kuamsha hisia nyingi. Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 yamekuwa yakitumiwa kimakosa na Watumishi wengi kama reference ya kuwanyima Wanawake Utumishi katika Uongozi na Kufundisha. Lakini niseme kuwa Watumishi hao wanayatumia maandiko hayo bila kuzingatia kanuni za kusoma na kupata tafsiri sahihi ya Maandiko.
 
Kwa mfano ukisoma maandiko haya utaona kuwa yanawataka Wanawake Wazee WAFUNDISHE. Naomba ninukuu "Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji ....., bali wafundishao mema; ili wawatie wanawake vijana akili,......." 1Tito 2:3-4. (SUV - msisitizo added). Tafsiri zingine kwenye mistari hii zinasema " The aged women ......... teachers of good things that they may teach young women...." (KJV), "Bid the older  women ........ they are to teach what is good and so train the young women....." (RSV). Hapa mtu anaweza kujiuliza mbona hili agizo linatofautiana na ile lililopo kwenye Timetheo lakini maagizo yote mawili yanayotoka kwa mtu mmoja - Mtume Paulo? Hebu tuangalie tafsiri zingine kuhusiana na Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 ambayo ndugu yangu Mabinza ameyanukuu. Nitaangizia mstari wa 9.

9 Similarly also nashim (women) should adorn themselves with respectable ..................., 10 But with what is proper for nashim professing,............. 11 Let the isha (wife) learn in silence in all submission. 12 I do not allow an isha (wife) either to have teaching authority over or to have hishtaltut (domination, taking control) over [her] man, but to be in silence. 13 For Adam was formed rishonah (first), then Chavah. (Orthodox Jewish Bible - Msisitizo added).

 

Ni dhahiri kuwa kuna maneno mawili ambayo yametumiwa kum-adress, mtu huyu mwenye jinsia ya kike. Neno la kwanza ni NASHIM (yaani Mwanamke) na neno la pili ni ISHA (yaani Mke). Kwa kifupi ukiusoma vizuri mstari wa 11 hadi 13 unazungumzia mahusiano ya Mme na Mke. Kwa hiyo kulifanya agizo hilo li-apply kwa Kanisa /Jamii sio sahihi na linazua maswali kama mwanamke kazuiwa kufundisha wapi, kutawala wapi? n.k. Pia jambo jingine ambalo ni la msingi kwa wapendwa kulielewa ni jinsi mstari wa 11 ulivyoanza; unasema - SIMPI ...... ni nani huyo ambaye hatoi ruhusa? Je, hili ni agizo la Bwana kwa kila mtu? Hapana, lugha yake ingekuwa ni tofauti.
 

Pastor Rwezaura japokuwa umechangia kwa kifupi nimekuelewa Mtumishi, Barikiwa. Mpwendwa Nzali ni kweli inatupasa kuyapima mafunuo na zaidi ya yote kutoya-generalize kwa kila mtu. Jei Wi wa Bwana Yesu kumbuka kuwa kila aliyezoea kuchangia mada mbali mbali kwenye Kanisa hili akiwa kimya kwa kipindi kirefu (say a month or so) huwa (s/he counted yuko) kwenye Tempoary Unyakuo.

 

Wapendwa SG kwa kuwa ndugu yenu Milinga ameombwa atoe maandiko kuthibitisha upotovu wa mafundisho aliyoyaorodhesha niishie hapa kwa sasa. Yawezakana nikarudi tena ikiwa mpendwa wetu Milinga atakuwa kwenye temporary unyakuo.

Keep on digging.

Mathew.

 

 

 

 

 

 


2013/7/9 Stephen Mabinza <stephen...@yahoo.com>

thobiasi mosha

unread,
Jul 10, 2013, 3:06:44 AM7/10/13
to strictl...@googlegroups.com
watumishi siku za leo watu wengi wanahubiri au kufundisha kwa kuangalia lipi hitaji la wengi pasipo kulenga uponyaji wa roho za hao watu na kwa vile watanzania ni wavivu kusoma vitabu ikiwepo(sehemu ya maktaba ya mbinguni yaani-BEST INFORMATION BEFORE LIVING EARTH) wanashindwa kuujua ukweli kupitia maandiko

watanzania wakijizoeza kusoma hata milango kumi ya biblia kwa kila siku watakuwa wamesoma biblia yote -MWANZO-UFUNUO kwa miezi minne na kujiepusha na mafundisho yasiyo lenga roho zao
pastor thobiasi TAG mponda  



From: LYATUU EMMANUEL <babad...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Monday, July 8, 2013 3:21 PM

SELELI EDWIN

unread,
Jul 10, 2013, 8:37:09 AM7/10/13
to strictl...@googlegroups.com
Pastor Mathew Maduhu,

Mpaka nimefurahi...Ha ha ha ha imeniingia kweli  hii....''temporary unyakuo'' pia nimependa sana,sana, sana kabisa ufafanuzi  kuhusu wanawake na role yao  kwa kanisa..yaani mimi hua nina tatizo binafsi la kutoelewa/kutomwelewa  kabisa  yeyote anaye wa treat women second hand ktk sphere yoyote iwe social-economical or strictly spiritual/churchish matters.. Sasa wakati tuna hamu na Milinga aje na vyakula hapa, ngoja tuendelee kupata vingine ivi.

Pastor Thobias Mponda,

Ubarikiwe sana..ndo nasikia leo hii revelation/understanding..''BEST INFORMATION BEFORE LIVING EARTH, great creativity. Nimekuelewa sana pia kuhusu uvuvi wa kutosoma Neno-  such very disappointing character in the church...juzi  kati kulikua na fainali ya kombe la mabala kati ya Brazil na Spain....am sure kuna wana wa Mungu wali manage kukaa mpaka mechi kwisha na kesho wakaenda job but to pick just one chapter ya Bible na kukomaa nayo,,,week inakatika no eating the word! sasa kwenye tamthilia  za masaa kwa akina.... ndo usiseme.....something is terribly wrong somewhere.

Press on,

Edwin Seleli

2013/7/10 thobiasi mosha <thob...@yahoo.com>

flano mambo

unread,
Jul 10, 2013, 9:28:16 AM7/10/13
to strictl...@googlegroups.com
Ninakubaliana nanyi nyote wana wa Mungu Seleli na Mathew na Mponda, mbarikiwe sana. Uvivu wa kutokusoma neno la Mungu ndio unaotuangamiza, Mungu aliumia akasema "WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA" imagine mtu anakalia kusikiliza tuuu kutoka kwa watumishi wa Mungu ndo anameza sasa hata mtu akianguka akapotoka atakua anawalisha watu matango mwitu na wao watadhani ni sawa kwakuwa hawana muda na standards zilizomo kwenye neno la Mungu. Hata ukipata kitabu cha mtumishi kizuri sana usomapo make sure Biblia yako iko pembeni maana kuna vitabu vinaandikwa wananukuu mistari ya kwenye Biblia jinsi ilivyo sasa wakati mwingine kunawezakua na upotoshaji au typing error na ukakuta maana nzima inapotea.
  Mfano mimi nimewahi kuona Biblia inayosema katika Ebrania 12:13 inasema "tafuteni kwa bidii kuwa na IMANI na watu wote........." imagine kama husomi neno la Mungu utakwenda chaka tu. hivo wana wa Mungu tuamke.


From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, July 10, 2013 3:37 PM

Daniel Nzali

unread,
Jul 11, 2013, 7:32:21 AM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com

Umenichekesha sana kwenye kipengele cha Spain vs Brazil, lakini pia Message imekuwa Sent to me. Maana katika wapendwa waliokesha siku hiyo mie ni mmoja wapo, na nilikaa nikiangalia mpira huku  najiuliza maswali mengi sana. Inakuwaje kuangalia mechi katika muda huo inakuwa rahisi namna hiyo lakini Kuamka muda kama huo kufanya maombi inakuwa Shughuli nzito....... Ooooh Mungu niwezeshe katika hilo...!

Ubarikiwe Seleli..


   



Sent: Wednesday, 10 July 2013, 15:37

Mathew Maduhu

unread,
Jul 11, 2013, 7:09:42 AM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com
All SG,
Haya Wapendwa, Edwin, Flano na SG wengine, sifa na utukufu ni kwa Mungu wa Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyemtoa Roho wake kwa ajili yetu ambaye anatupa kulielewa Neno lake. Asifiwe sana Yeye. Edwin kama utakumbuka terminology ya kunyakuliwa ilianzia kwako, Labda (if not u also) kama kuna kitu nimeongezea ni neno Temporary. Kwa hiyo nime-copy na ku-paste kutoka kwako braza.

Wapendwa nataka kuchangia kidogo katika moja ya zile hoja kumi za mafundisho potofu. Ninaamini mtoa mada yuko bize akiaandaa maandiko yanayo-support hoja yake, lakini ili wachungaji (???) tusije tukaathirika (???) ngoja niijibu fundisho la pili - KUTOA ZAKA kila mwezi au kila upatapo kipato.

Wana SG, mafundisho ya kutoa zaka kila upatapo kipato ni SAHIHI, sio mafundisho potofu hata kidogo. Naomba ninukuu maandiko ambayo tunayafahamu sote kisha nitayafafanua. "Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi". - Mwanzo 28:22. Hebu ongezea na andiko hili "Lakini, ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili". - LUKA 11:42 (SUV msisitizo added).

Utoaji wa Zaka/Fungu la kumi/Sehemu ya kumi ni jambo lilikuwepo hata kabla na baada ya sheria. Yakobo anasema katika kila utakalonipa hakika .......... Bwana Yesu anawaambia mafarisayo wasiache kutoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga. Swali ni kwamba ni wakati gani mboga mboga hizi zinapatikana? Je si wakati wa kuzivuna? Lakini jambo la kuzingatia ni kuwa kila atoae zaka yampasa kuleta ZAKA KAMILI ( Malaki 3:10). Logical thinking rahisi ni zipi, kuleta zaka kamili kwa mtu wa kawaida ambaye uwekaji wa kumbu kumbu sio kivile? Hivi Mungu huagiza wanawe na kisha kuweka ugumu wa kuyatekeleza. ukikaa na zka muda mrefu hakuna uwezekano wa kusahau, na ukisahau itakuwa umetoa zaka kamili? Kwa nini mambo yasiwe rahisi kwa kutoa kila unapopata? Hebu chukulia mfanyakazi akae na zaka kisha baada ya mwaka ndipo atoe, Je, ataweza kutoa mapato ya 120% (yaani 10% mara miezi 12)?

Ninajua tunakubaliana kuwa kutoa Zaka ni wajibu wa kila mwamini. Sasa frequency (mara ngapi kwa kipindi gani) isiwe issue. Huenda mpendwa Milinga unatatizwa na andiko lifuatalo; nanukuu "Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka".  - KUMB 14:22. Kama ndiyo andiko hili, basi naomba uangalie tafasiri zingine zinasema nini kuhusu maongeo. Hebu angalia ya KJV - neno maongeo limetafsiri ni "increase", yaani ongezeko. Hawa ndugu zetu walikuwa na aina mbali mbali za Zaka katika kitu kimoja. Wote tunajua kuwa zaka zinatolewa nyumbani mwa Bwana lakini hebu ona hii "Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako;". - KUMB 14:28(SUV - msisitizo added). Agizo hapa ni kuiweka zaka ndani ya malango yako sio nyumbani mwa Bwana!!!

Pia kuhusu ile zaka ya kila mwaka inawezekana walikuwa wanavuna mara moja kwa mwaka. Ona tafasiri hii  “You shall tithe all the yield of your seed, which comes forth from the field year by year". - Deut 14: 22 - RSV. Hivyo mavuno ya shamba ni tofauti na mambo ya msharaha au faida katika biashara ambayo mpendwa anapata mapato kila mwezi, wiki n.k. Nimalizie kwa kusema, Zaka ya kila mwaka iliyoonyeshwa hapo juu, ilikuwa inatolewa nyumbani mwa Bwana lakini inaliwa na mtoaji pamoja na mlawi. Swali ni hili Je, Zaka unazotoa huwa unakula mwenyewe? Zaka ya kila baada ya miaka mitatu ilikuwa inatolewa na kuwekwa malangoni ili mlawi, mjane, watima na mgeni wakiiona waweze kuchangamkia (Soma mwenyewe KUMB 14:22-29 uthibitishe).
 
Ninaona kuwa nimejibu hoja hii na kuthibitisha kuwa kutoa zaka kila unapopata mapato ni mafundisho sahihi na inawezekana pia nimekuongezea na aina nyingine ya Zaka.
Keep on digging.
Mathew.
 


2013/7/10 flano mambo <fle...@yahoo.com>

SELELI EDWIN

unread,
Jul 11, 2013, 9:08:18 AM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com
Mathew Maduhu Brother,

Bless u again for mchanganuo on Zaka....nimecheka kweli eti Wachungaji, msije mkaadhrika ! hahaha na kweli kwa kua nina fahamu baadhi ya Makanisa, washirkka wake ili jambo la Zaka ni debate kubwa na wengi, wamegoma na kwa kweli adhari kwa huduma za kila siku za nyumba ya Bwana pale na watumishi wa mahali pale tena wa ukweli na moyo wa kujitolea, ni dhahiri. Mimi naendelea kubarikiwwa na michango yenu sana kwa kweli hata kama mtoa mada JUMA VENERANDO my mate hatatokea huku SG family , yatosha uwepo wa RM via nyie watumishi na wapendwa wote

Yes, no more temporary neither permanent unyankua rather ONCE FOR ALL RAPTURE.., i coined it all i remember very well, but nimekuta kumbe ni so funny nikisoma pia...

Press on digging man of God,

Edwin Seleli

2013/7/11 Mathew Maduhu <mdma...@gmail.com>

Anthony Athanas

unread,
Jul 11, 2013, 12:55:45 PM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com

Shalom wapendwa SG wote,

Sichangii Ila. Naomba moderate WASEME kama Mr. Milinga yuko kwenye group emails,  maana nimezoea kumwona kwenye blogs.  Hivyo haya maswali yangewekwa kwenye blog angejibu haraka yuko active sana huwa naona michango yake.

Pili napenda kuwajuza kuwa kuna wapendwa wengi wapo kwenye blog na wanachangia sana lakini kwenye email group hawachangii.

Niwashukuru sana wote Najifunza kitu. Nimekuwa kwa ajili ya hii online church.  Mungu awabariki sana

Anthony. A Mwenda

Mary Damian

unread,
Jul 11, 2013, 1:00:56 PM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com
Shalom shalom.

Mr. Milinga yupo kwenye group email tangu tulipoweka mada yake. Naamini anaona na atakuwa na majibu ya maswali au maoni. Pia sijamuona kwenye blog pia, huenda anajiandaa.

Mungu akubariki kiongozi wetu.

--Mary

flano mambo

unread,
Jul 12, 2013, 2:28:17 AM7/12/13
to strictl...@googlegroups.com
Haleluya wana SG, naam naona mada inaanza kushika kasi. safi mtumishi wa Mungu Maduhu, sasa mimi kwa faida ya wote napenda kuuliza , ukisoma sehemu ya hoja yako tunaona Yakobo akipropose au kajitolea yeye mwenyewe kuwa kwakila atakachobarikiwa na Mungu yeye Yakobo atamtolea Bwana sehemu ya Kumi. Pia ukirudi enzi za Ibrahim utaona alipokutana na Kuhani nadhani Melkizedek akamtolea sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokua navyo. Ukija kwenye torati Mungu kupitia nabii Musa anatoa agizo, na lilipovunjwa au kupuuzwa anawakumbusha kupitia Malaki. Swali: Je tufuate mfano wa Yakobo na Ibrahim kutoa sehemu ya kumi? au tufuate torati?? kumbuka ibra na yakobo wao walifanya kwa kupenda tu na si sheria, ila kwa torati it is a must! what is your opinion??

Flano


Sent: Thursday, July 11, 2013 4:08 PM

Mathew Maduhu

unread,
Jul 12, 2013, 3:33:51 AM7/12/13
to strictl...@googlegroups.com
Flano,
Asante kwa swali lako na ufafanuzi unaouhitaji. Lakini kwa sababu mama wa ma-link (Mary Damian) ameshaiweka kuwa mada inayojitegemea, swali lako nitalijibu kwenye Mada - KUTOA ZAKA kila mwezi au kila upatapo kipato.
Mathew.


2013/7/12 flano mambo <fle...@yahoo.com>

ck Lwembe

unread,
Jul 12, 2013, 9:21:37 AM7/12/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa,
Binafsi nimefurahishwa sana na mchango wa ndg Mathew kuhusu Fundisho la kuwazuia Wanawake kuwa Viongozi na Kufundisha, akiliweka Fundisho hili katika UPOTOFU! Kuhusu watumishi hao wanaowazuia wanawake kuwa hivyo, anasema, “Wanayatumia maandiko hayo bila kuzingatia kanuni za kusoma na kupata tafsiri sahihi ya Maandiko.” Kwa jambo hili la “kanuni za kusoma na tafsiri” ninakubaliana naye kwa mapana na marefu, iwapo tutaichukulia Biblia kuwa ni kitabu cha tamthilia na tamaduni zake, intellectually! Huu ni upande mmoja.
 
Lakini, upande wa pili ni mgumu kidogo, maana upande huu Biblia hujulikana kuwa ni Neno la Mungu, tena anasema amelihakiki mara saba, ndipo ameliwekwa hapo, hiyo Biblia. Basi ni katika kuzioanisha pande hizi mbili ndipo mitafaruku hutokea, kwani ule upande intellectual, wao hufika mahali wakawaona watu walioandika hivyo vitabu vilivyomo humo, ndipo katika namna ya kuyagawa Maandiko hayo, ili kuyafisha, basi wangekuambia kuwa hilo lilikuwa ni wazo lake tu, kila wanapolifikia jambo ambalo hawataki kuliafiki. Kuna kundi linalokuambia kuwa kuna Sheria za Musa na kuna Sheria za Mungu alizoziandika kwa kidole chake. Sasa unapowauliza zi wapi hizo alizoziandika Mungu kwa kidole chake, mnayo hiyo original copy? Hawana, wanayo hadithi yake tu! Ni sawa kabisa na swali hili analoliuliza ndg Mathew, hapo anaposema, “SIMPI ...... ni nani huyo ambaye hatoi ruhusa?” Mwisho wake Biblia hugeuka kuwa “Fable”!!!
 
Lakini kwa upande wa pili, sisi twafahamu kuwa humo katika Biblia, HAKUNA neno la mtu yeyote yule, yote yaliyomo humo ndiyo yanayolifanya na kulikamilisha hilo Neno. Tena tunapolifikia Agano Jipya, sisi twafahamu kwamba Efeso, Korintho, Galatia nk, zote hizo ni roho, na kwahiyo hazifungwi katika wakati, kwamba eti zimezeeka, hapana, ndio maana unaweza kuziona leo hii tena zikiendelea katika shughuli ile ile waliyoikemea mitume huko nyuma!
 
Nikija katika tafsiri anazozifundisha ndg yangu Mathew, bado ninaziona zina mapungufu makubwa kwa kadiri ya Injili inavyofundisha. 1 Tito 2:3-4 "Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji ....., bali wafundishao mema; ili wawatie wanawake vijana akili,......."  katika namna yoyote ile utakavyolichukua agizo hili, sioni ni kwa namna ipi unaweza kuliunganisha na hilo linalo mkataza mwanamke kufundisha. Maandiko yako wazi kuwa wanawake wazee wawafundishe wanawake vijana, tena wanawake hao wazee ni hao wenye mwenendo wa utakatifu. Ninaamini huo ndio utaratibu anaotuwekea ili kuyaongoza maisha yetu katika utakatifu. Kuna mambo yawahusuyo wanawake, ndipo vijana wa kike hufunzwa hayo na akina mama hao wazee, waliokomaa katika Kristo. Sina uhakika kama ndg yangu Mathew atakomea hapo alipofika tu, inawezekana kabisa kwa andiko hili akawapa USHEMASI na UASKOFU hao wanawake wenye “mke mmoja”!
 
Pia hii 1Timothy 2:9-13, katika namna alivyoileta hii tafsiri ya Kiebrania, ni jambo la kupendeza tena linalotia moyo, ile kiu ya kuijua zaidi tafakari ya Neno la Mungu. Isipokuwa, ninapojaribu kuioanisha tafsiri hii ya Kiebrania ili kulipata Fundisho la kuwasimika wanawake kuwa wachungaji, bado naona litakuwa ni jambo la kulazimisha! Labda ndg Mathew arudi tena katika hiyo tafsiri, kisha aje na upambanuzi zaidi ili tuelewe anachotaka kufundisha ni nini haswa. Nashim=wanawake, ndipo kuhusu mavazi ya kujisitiri inaeleweka. Isha=mke, basi katazo la kufundisha na kumtawala mwanamume, kulingana na Mathew, linamuhusu mwanamke aliyeolewa, huyo ndiye anayekatazwa kumfundisha mumewe na kumtawala, bali nashim, yaani wanawake, sijui ni wale wasioolewa au wasichana au ..., hawa katazo hilo haliwahusu! Ndipo huyo Isha anaweza kuwa mchungaji wa kanisa, lakini ili katazo hilo liheshimiwe basi mumewe anapaswa asikusanyike hapo au la itamlazimu afundishwe na kutawaliwa na huyo Isha!
 
Ktk kifungu cha 14, mtume Paulo anatamatisha Fundisho lake hilo pale RM anapomrudisha Edeni kuitazama hali ilivyokuwa, ndipo analifunga Fundisho hilo kwa kutuambia, “Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.” Hiyo ndiyo sababu Mungu amemkataza mwanamke Kufundisha! Labda katika ile tafsiri twaweza kupata maana iliyo bora zaidi ili tumpe mwanamke (nashum) nafasi ya kufundisha, kwamba labda tuseme aliyedanganywa ni Isha! Lakini Hawa aliumbwa akiwa Isha, nayo Biblia yangu (KJV) inaniambia mwanamke, sasa sijui ndiyo huyo Nashum au Isha! Unaziona “kanuni za kusoma na tafsiri” zinakoishia, kwenye mkanganyiko, bali Neno la Mungu hufikiwa kwa Imani!!!
 
Labda katika kutamatisha maelezo yangu niseme hivi, kuwa hilo andiko ktk Timotheo, si andiko linaloning’inia hewani, bali ni Fundisho kamili linalosimama kulingana na Injili aliyokabidhiwa mtume Paulo kuja kutufundisha sisi watu wa Mataifa; 1Tim 2:7 “Nami kwa ajili ya huo naliwekwa niwe mhubiri na mtume, (nasema kweli, sisemi uongo), mwalimu wa Mataifa katika imani na kweli.” Basi, ktk 1Kor 11:3 anatufundisha, akitusisitizia kuwa, ““Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.” Huo ndio utaratibu na nafasi zilivyopangwa! Ukimkuta mwanamke kawa kichwa, naye mwanaume kawa "gigolo", basi jua kuwa hapo kuna tatizo. Wote wawili, mwanaume aliyegeuka kuwa kiwiliwili na huyo mwanamke aligeuka kuwa kichwa wametoka katika nafasi zao na wanapaswa kufungiwa kama wale wa Yuda 1:6!!
 
Pia waweza kupata ushahidi zaidi wa jambo hili ktk 1Kor 14:34-37, “Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii (sijui hawa ni Nashum au Isha!), kama vile inenavyo torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana. Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.
Kwa kauli yake hiyo ya mwisho, ni dhahiri kuwa mtume Paulo ameliona Fundisho la kusimika wanawake litakavyo sambaa, ndipo ametamatisha hivyo kuwa “..mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.” Yaani ni ruksa kuendelea katika ujinga maana yote yamekwisha kuwekwa wazi!
 
Pia ni vema mkafahamu kwamba, Nashum na Isha, hawa wote hupatikana ndani ya familia, naye kiongozi wa familia ya kikristo ni mume, ndipo wote wawili, mke na binti, hutawaliwa na baba wa nyumba, binti huondoka katika utawala wa babaye hapo anapo olewa. Biblia inawazungumzia hao katika utaratibu huo. Siamini kuwa Biblia inamzungumzia kahaba au mwanamke aliyekata kamba, bali hao walio katika utakatifu; nayo mafundisho yanayoweza kuwaleta katika utakatifu ndiyo haya mtume Paulo anayoyawekea Msingi!
 
Mbarikiwe nyote!


From: Mathew Maduhu <mdma...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, July 10, 2013 12:53 PM

Angel Jacob

unread,
Jul 14, 2013, 12:26:20 PM7/14/13
to strictl...@googlegroups.com
Thanks for letting me know.

----------
Sent from my Nokia Phone

------Original message------
From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
To: <strictl...@googlegroups.com>
Date: Thursday, July 11, 2013 4:08:18 PM GMT+0300
Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?

> tukaathirika (???) ngoja niijibu fundisho la pili - *KUTOA ZAKA kila
> mwezi au kila upatapo kipato.*
>
> Wana SG, mafundisho ya kutoa zaka kila upatapo kipato ni SAHIHI, sio
> mafundisho potofu hata kidogo. Naomba ninukuu maandiko ambayo tunayafahamu
> sote kisha nitayafafanua. *"Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa
> pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na
> nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana
> atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa
> nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe
> sehemu ya kumi". - *Mwanzo 28:22. Hebu ongezea na andiko hili *"Lakini,
> ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila
> mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa
> kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili". - *LUKA 11:42 (SUV
> msisitizo added).
>
> Utoaji wa Zaka/Fungu la kumi/Sehemu ya kumi ni jambo lilikuwepo hata
> kabla na baada ya sheria. Yakobo anasema *katika kila utakalonipa hakika *..........
> Bwana Yesu anawaambia mafarisayo wasiache kutoa zaka za mnanaa na mchicha
> na kila mboga. Swali ni kwamba ni wakati gani mboga mboga hizi
> zinapatikana? Je si wakati wa kuzivuna? Lakini jambo la kuzingatia ni kuwa
> kila atoae zaka yampasa kuleta ZAKA KAMILI ( Malaki 3:10). Logical
> thinking rahisi ni zipi, kuleta zaka kamili kwa mtu wa kawaida ambaye
> uwekaji wa kumbu kumbu sio kivile? Hivi Mungu huagiza wanawe na kisha
> kuweka ugumu wa kuyatekeleza. ukikaa na zka muda mrefu hakuna uwezekano
> wa kusahau, na ukisahau itakuwa umetoa zaka kamili? Kwa nini mambo yasiwe
> rahisi kwa kutoa kila unapopata? Hebu chukulia mfanyakazi akae na zaka
> kisha baada ya mwaka ndipo atoe, Je, ataweza kutoa mapato ya 120% (yaani
> 10% mara miezi 12)?
>
> Ninajua tunakubaliana kuwa kutoa Zaka ni wajibu wa kila mwamini.
> Sasa frequency (mara ngapi kwa kipindi gani) isiwe issue. Huenda mpendwa
> Milinga unatatizwa na andiko lifuatalo; nanukuu "*Usiache kutoa zaka ya
> fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka
> baada ya mwaka". *- KUMB 14:22. Kama ndiyo andiko hili, basi naomba
> uangalie tafasiri zingine zinasema nini kuhusu maongeo. Hebu angalia ya KJV
> - neno maongeo limetafsiri ni "increase", yaani ongezeko. Hawa ndugu zetu
> walikuwa na aina mbali mbali za Zaka katika kitu kimoja. Wote tunajua kuwa
> zaka zinatolewa nyumbani mwa Bwana lakini hebu ona hii "*Kila mwaka wa
> tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke
> ndani ya malango yako;".* - KUMB 14:28(SUV - msisitizo added). Agizo hapa
> ni kuiweka zaka ndani ya malango yako sio nyumbani mwa Bwana!!!
> Pia kuhusu ile zaka ya kila mwaka inawezekana walikuwa wanavuna mara moja
> kwa mwaka. Ona tafasiri hii * “You shall tithe all the yield of your
> seed, which comes forth from the field year by year".* - Deut 14: 22 -
>> ------------------------------
>> *From:* SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
>> *To:* strictl...@googlegroups.com
>> *Sent:* Wednesday, July 10, 2013 3:37 PM
>>
>> *Subject:* Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
>> ------------------------------
>> *From:* LYATUU EMMANUEL <babad...@yahoo.com>
>> *To:* "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
>>
>> *Sent:* Monday, July 8, 2013 3:21 PM
>>
>> *Subject:* Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
>>
>> Kweli mimi nitakubaliana na hoja hii kama ikithibitishwa kimaandiko.
>> Inawezekana kwamba miongoni mwa hoja hizi pia ikawa ni mafundisho potofu.
>> Kwa mfano kusema kwamba "Mungu anadai ufanye jambo fulani ndipo naye afanye
>> kwetu" ni mafundisho potofu si sawa kwa sababu ukisoma 2 Nya 7:14 inasema
>> "ikiwa watu wangu... wata... basi nita..." na huyo ni Mungu aliyeweka hilo
>> sharti.
>> Sina maana kuwa mtoaji wa hoja analeta mafundisho potofu maana it is not
>> what you say pollutes but how you say it!! Unaweza ukasema jambo zuri
>> lakini ukalisema bila hekima au uangalifu likaua mtu kabisa kiroho au hata
>> ukilisema nusu-nusu likawa sawa na mtu aliyepika chakula halafu
>> hakukimalizia kikawa kibichi na waliokila wakikiona kuwa kizuri kikawadhuru
>> vibaya. Kutoa hoja za kimaandiko bila kuthibitisha kimaandiko ni hatari
>> sana. Ni afadhali umpe mtu maandiko ayatafsiri vibaya kuliko kumpa fundisho
>> lisilo na mashiko ukamfanya akapotelea mbali na kweli.
>> Roho Mtakatifu afundishaye atusaidie sisi sote
>> Imma
>>
>>
>> ------------------------------
>> *From:* "Sabihi, Mary" <mary....@ttcl.co.tz>
>> *To:* strictl...@googlegroups.com
>> *Sent:* Monday, July 8, 2013 2:02 PM
>> *Subject:* RE: Je Mafundisho haya ni potofu?
>>
>> Shalom! Na mimi niongeze kwamba, mtumishi wa Mungu tuainishie
>> kimaandiko , kwa sababu watumIshi wanaofundisha mafundisho hayo hutumia
>> maandiko na ndio maana yanaaminiwa, sasa hili kusafisha ufahamu wetu (
>> maana tumedaka na yamekaa na mengine tunayafanyia kazi) tusafishe kwa
>> maandiko. Amen.
>>
>> Mary J S
>>
>> *From:* strictl...@googlegroups.com [mailto:
>> strictl...@googlegroups.com] *On Behalf Of *flano mambo
>> *Sent:* Monday, July 08, 2013 10:44 AM
>> *To:* strictl...@googlegroups.com
>> *Subject:* Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
>>
>> Milinga umenena mwana wa Mungu, lakini bila shaka unafahamu kuwa
>> utawashitua wengi kwa hoja yako hiyo na pengine utapingwa na wengi pia.
>> Unachotakiwa kufanya ni anza kuelezea hoja moja moja kama ulivyoainisha
>> hapo chini tena kimaandiko kabisa ili mtu anaposoma na maandiko yameoneshwa
>> hapo unakua umepunguza idadi ya maswali ambayo pengine ungeulizwa.
>>
>> Nawasilisha
>>
>> Flano
>>
>> ------------------------------
>> *From:* Strictly Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>
>> *To:* Strictly Gospel Group <strictl...@googlegroups.com>
>> *Sent:* Monday, July 8, 2013 6:11 AM
>> *Subject:* Je Mafundisho haya ni potofu?
>>
>> [image: false]<http://strictlygospel.files.wordpress.com/2013/07/falsejpg>

Amin Jeremiah

unread,
Jul 13, 2013, 10:35:14 AM7/13/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa katika Bwana Yesu Kristo Mwana wake Mungu wetu Salaam.
Nimelazimika kutoka mafichoni ambapo nilikuwa nakula raha ya mafundisho yaliyojaa hekima kutoka kwa wana SG kwenye blog. Lakini nimelazimika kujitokeza hadharani baada ya kuona tumeingia mahali ambapo tumeamua kwa makusudi kukengeuka.
Awali nilipoona post ya kwanza kuhusiana na mafundisho ambayo mtoa post aliyaita pototfu na mojawapo ya mambo aliyoyaeleza kuwa ni mafundisho potofu ni utoaji wa ZAKA. Huenda mengine ameyakosea lakini hili ni la kweli kabisa kuwa ni fundisho potofu ingawa wachangiaji wengi wanajaribu kukana kwa kutumia maandiko ya kufundishwa na viongozi wao wa madhehebu.
Lakini hebu ndugu yangu mkristo unayeamini katika Yesu kristo na kutambua kuwa Roho wake ndiye atuwekaye huru kweli kweli na ya kuwa Roho huyu ndiye atufundishaye kuyashika yote ALIYOTUFUNDISHA YESU jiulize mambo yafuatayo:
1. Zaka ni nini???
2. Yesu aliwahi kutoa zaka kama Mkristo???
3. Kanisa la kwanza walitoa Zaka????
4. Zaka ina kazi gani kwenye kanisa????
5. Utaratibu wa kutoa zaka ni upi kwa mujibu wa maandiko matakatifu????
Pengine leo niishie hapo kabla sijaendelea kutoa mchango wangu hap kesho asubuhi
--------------------------------------------
On Fri, 7/12/13, flano mambo <fle...@yahoo.com> wrote:

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Date: Friday, July 12, 2013, 6:28 AM

Haleluya wana SG, naam
naona mada inaanza kushika kasi. safi mtumishi wa Mungu
Maduhu, sasa mimi kwa faida ya wote napenda kuuliza ,
ukisoma sehemu ya hoja yako tunaona Yakobo akipropose au
kajitolea yeye mwenyewe kuwa kwakila atakachobarikiwa na
Mungu yeye Yakobo atamtolea Bwana sehemu ya Kumi. Pia
ukirudi enzi za Ibrahim utaona alipokutana na Kuhani nadhani
Melkizedek akamtolea sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokua
navyo. Ukija kwenye torati Mungu kupitia nabii Musa anatoa
agizo, na lilipovunjwa au kupuuzwa anawakumbusha kupitia
Malaki. Swali: Je tufuate
mfano wa Yakobo na Ibrahim kutoa sehemu ya kumi? au tufuate
torati?? kumbuka ibra na yakobo wao walifanya kwa kupenda tu
na si sheria, ila kwa torati it is a must! what is your
opinion??
Flano
All SG,Haya Wapendwa,
From: Strictly
Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>

To: Strictly Gospel Group <strictl...@googlegroups.com>


Sent: Monday, July 8, 2013 6:11 AM

Subject: Je Mafundisho haya ni
potofu?





 












SELELI EDWIN

unread,
Jul 11, 2013, 5:42:21 PM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com
Kwa kweli yote mema tu, ya baraka kabisa, matamu kweli na yenye kuleta faida kwa Kanisa.

Ninawaza tofauti  kwamba ingawa wako wapendwa uku na kule na kwa kua kuna uwezekano wako wana wa Mungu humu ktk SG group email ambao hawako kule SG blog na kwakua wako wengi kule  SG blog ambao hawako humu SG E-group AU wako humu  ila waga hawatembelei sana kule ktk blog na ukweli pia kua wa kule hawaji huku kabisa, therefore, kuchomolewa vitu kule na kuvishare/kuchokoza/kuprovoke for good/kuhuisha/kuchajisha/kufaidisha wa uku au kuchukua vya uku na kufadia wa kule pia, ni njema sana. Kupitia hizi hoja za Milinga aliyeoko kule, hapa kuna vitu VERY SERIOUS SWEET STUFF RM VIA WATU AU WATU, WAMESEMA HAPA, wow! great stones indeed. I strongly recommend kama mmoja wa watu nisiye tembelea sana kule kwa kuko-comment but kusoma tu sometimes, kwa faida na kujengwa/kuchalenjiwa/furaha/kuburudishana/kusisitiziana/kutaadharishana uku kulikotokea hapa kama ilivyo siku nyingine kwa kutwaa ya kule na kuleta hapa na viceV,  hii exchange iendelee until Master comes back

Alternatively, aidha moderate awe na kazi kwa kweli kubwa sana ya kua anachukua tena commments zoooote za upande mmoja na kuwapastia upande wa pili au majibu ya hoja ya mhusika wa upande mmoja kuyachukua yote na kuwapastia wa upande mwingine.lo! akiweza iyo kila mara very well, otherwise, sisi umu umu kwa bidii zetu na neema juu plus RM atatutumima wote au baadhi umu umu kuclear kila kitu kama walivyokwishaanza baadhi extremely very well..In fact hamna haja ya kueendelea kumsubiri Milianga,may be katwaliwa temporarily, the best thing ni kwa kua watu tuna njaaa,  yeyote anayesikia mafuta yanachemka na bwawa la maji vifuani mwake limeshatibuliwa basi na amwagige na kutiririka smoothly, joyfully, confidently in Jesus name for the glory of the Father and benefits for church, Or else kama ni lazima/muhimu sana( if at all it is  that much mandatory) basi, SPECIFICALLY Milinga awe emailed wishes za baadhi ya wachangiaji ili atume mchango/majbu yake hapa la sivyo unawezakuta naye alituma izo hoja, kuchokoza tu ili watu wafunguke kutela mana!!!!!! All in all, mwisho wa siku ni faida tu maana ktk yote Bwana hu-take aadvantage ili sie wanae tufaidike..Romans 8:28-..'''Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hutenda kazi pamoja na wote wampendao, wale ambao wameitwa kufuatana na mapenzi yake. Mungu hufanya hivyo kwa faida yao'''.

Kwa wapendwa wanaochangia SANA kule hapa hawachangii! very suprising indeed!!!!!!!!! Wawezaje mtumishi wa Mungu kutulia ikiwa Bwana anajambo na wewe! amewekeza hazina, vipawa, karama, talents, uwezo, uzoefu, mafuta/upako, Neno, shuhuda nk! kweli una vitu unajua kwa hakika ni cha kiMungu, KIBiblia ni hoja, mhadala. debates,  onyo, angalizo, maswali ili kuchajisha mambo matamu yaje, au hata issues za kimaisha tu eg job vacancies,ufahamu tu wa kawaida from tips, stories mbalimbali za socail-economical life, schorlarships, then una kitu/vitu vyote ivyo au vichache kati ya ivyo, halafu mtu hashei kabisa! why? problem itakua ni nini? personal, kaisari kabana, hofu, commitments au nini? hata sielewi! Wacha nifanye huduma ya kuwatia moyo wote wenye vitu kule but hapa hawatupi, plz Bwana aliwapa tusaidiene. kufaidiana, kutiana moyo, kukosoana, kuchallenjiana in love, kupeana akili za JUU  na marifa mengiii ya mambo yake, tupendeni jamani kama tunavyowapendeni, Bwana ataidai talanta iyo, therefore, delay is not denial, failure is not the final and it is not over yet unti He says it is, anza leo. anza sasa,karibuni wenye vitu kule but hapa hamtupi, plz karibunii and I /we love u in Jesus name.

Press on sharing freely, peacefully,lovely to boost each other kadiri tuonapo siku inakaribia.

Edwin Seleli

2013/7/11 Anthony Athanas <kiman...@gmail.com>

flano mambo

unread,
Jul 15, 2013, 6:05:47 AM7/15/13
to strictl...@googlegroups.com
Ndugu Amin Jeremiah naomba nikusahihishe kidogo kwenye orodha ya mambo uliyotaja kuwa tuyatafakari. Ni hivi Yesu hajawahi kuwa mkristo maana yeye ndiye Kristo, mwanzilishi wa imani yetu tunayojitanua nayo leo. Ndo maana tunapoiamini injili tunakuwa ndani mwake yeye so thats why sisi ni wa-kristo. Yaani maisha yako yote unamuishi yeye. Hivyo Bwana Yesu hajawahi kuwa mkristo.

Pili Malaki 3:10

Malachi 3:10

New International Version (NIV)
10 Bring the whole tithe into the storehouse, that there may be food in my house. Test me in this,” says the Lord Almighty, “and see if I will not throw open the floodgates of heaven and pour out so much blessing that there will not be room enough to store it.

Kwa hiyo kazi ya zaka ni ili kiwemo chakula gharani mwa Bwana. Nani hula hicho chakula ni makuhani, walawi wanaotumika madhabahuni pa Bwana sawa sawa na torati


From: Amin Jeremiah <ngulu...@yahoo.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Saturday, July 13, 2013 5:35 PM


 

 



   









--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa
Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru
kuchangia, kufundisha,
kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la
Mungu. Kujiunga na
Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email.
strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370




 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 









--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370




 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 



   



--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370




 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 


   



--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370




 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 






--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370



 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 


   



--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370



 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 






--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370


 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 






--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424.
Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370

 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 


   



--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu
Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo.
Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa
sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team
ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424.
Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370

 

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

 

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:



 

 



--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370

Blog: www.strictlygospel.wordpress.com

Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:

Mathew Maduhu

unread,
Jul 15, 2013, 12:08:34 PM7/15/13
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa Lwembe na SG wote.
Ck, umenichekesha kweli kweli kuhusiana na kauli hii - Siamini kuwa Biblia inamzungumzia kahaba au mwanamke aliyekata kamba.....Yaani kumbe mwanamke kafungwa kamba!!!!
 
Nimeyasoma maelezo yako uliyoyaandika nimeyaona kuwa hayana tofauti na yale uliyoyatoa nyakati za nyuma. Na kwa sababu maelezo uliyoyatoa sio maswali, nami sina kawaida ya kujadili hoja za mtu kwa kirefu, sitakuwa na maelezo mengi na ushauri wangu ni huu, Ni vema ukatafuta maana na chanzo cha jambo ili uwe katika mstari sahihi, usije ukaishia kuwa na Mungu wa JINSIA.
 
Lakini umenukuu 1Kor 14:34-37 na 11:3. Kwa sababu umenukuu maandiko haya nina sababu ya kuyatolea ufafanuzi ufuatao. Nikianza na 1Kor 11:3 - " ....kichwa cha KILA mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume,.......". Ck, ukiangalia vizuri neno KILA nimetumika ktk uhusiano wa mtu na Kristo, lakini neno hilo halipo kwenye uhusiano wa mtu mme na mtu mke. Maana kama wewe ungekuwa kichwa cha kila mwanamke ingekuwaje? Haya ni mahusiano ya mme na mke na kwa hilo halina mjadala. Isipokuwa sio kila mwanamume ni kichwa cha kila mwanamke.
 
1Kor 14:34-37 umenukuu hivi; " “Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii (sijui hawa ni Nashum au Isha!),kama vile inenavyo torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana. Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.
 
Ndugu ya Lwembe umeuliza kuwa hawa ni Nashim au Isha. Kwenye mstari wa 34 na 35, katika tafasri ya OJB inasema hivi "Let the nashim in the kehillot be silent, for it is not permitted for them to blurt out, but let them become submissive, as it says in the Torah.  And if the nashim wish to inquire about something, let them inquire of their own be’alim b’bayis, for it is a bushah (shame) for an isha to blurt out in the kehillah." (bold added). Jibu la swali lako ni kuwa wote mwanamke na mke (Nashim na Isha). Kabla ya yote ieleweke kuwa maneno yaliyosema kuwa bali watii kama vile inenavyo torati nayo. Reference ya maneno haya ktk agano la kale ni Mwanzo 3:16 tukio la Adamu na Hawa (mme na mke). Ebu sasa linganisha na kipange hiki cha tafasri ya OJB - but let them become submissive, as it says in the Torah. Mwanamke aliambia hivi ".....na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala."
 
Halafu ukiangalia maneno niliyoya-bold (be silent, blurt out, inquire...) utaona kuwa kunachoongelewa hapo sio kufundisha!!! Kwa uelewa wangu hapa Mtume Paulo alikuwa anatibu tatizo lililopo kwa akina mama wengi la kujibishana pasipo utaratibu. Yaani mara huyu kasema kitu fulani mwingine kadaki na huku hivi, n.k. Kama kweli tafasri unayonayo (ndugu yangu Lwembe) ni sahihi... Tuseme Mtumishi akiwa anafundish/hubiri kanisani na anataka Kanisa wajibu/itikie neno fulani je akina mama wakiitia mfano - Ameen, kwao ni aibu? Maana Biblia imeandika ........ wanawake wanyameze katika kanisa .......maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. Au kuitika/kujibu swali kanisani sio kunena. Hebu fikiria Lwembe unafundisha semina ya akina mama halafu ndiyo una huo msimamo - wanawake hawatakiwi kusema ktk kanisa, Je hapo tena kutakuwa na semina kweli ndugu yangu, semina ya unayofundisha watu wakuangalia tu au tukubali kwamba tumekosa ufahamu sahihi? 
 
Kwa kumalizia niulize hili; Je, mtu anaweza KUTABIRI bila kusema? Ngoja tusome maandiko haya "Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono; tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile, nitamimina roho yangu. - YOEL 2:28-29. Petro yeye amesema..... wana wenu na binti zenu watatabiri..... Mdo 2:17. (SUV msisitizo added). Ck, kama bado unaendelea kushikilia msimamo wako unawataka wanawake wasitabiri kanisani kwenu? Kwenu watakaotoa unabii watakuwa wanaume tu!!!  Lakini wako manabii wa kike  (Debora aliongoza Israel na Hulda alitoa maelekezo ya Bwana kwa wafalme na Israel), Je Nabii wa kike Ana aliyewatolea Israel habari za mtoto Yesu kuwa ni mwokozi hekaluni (LUKA 2:36-37) ingekuwa ni nyakati hizi, mhh???
 
Huyo Mungu wa Jinsia jamani !!! Bwana aturehemu, halafu yake sisi wanaume tuwaache wanawake wafanye kazi ya Mungu zikiwemo za kufundisha na kuongoza pasipo kuwawekea mipaka ya kijinsia na SG wote bila kujali jinsia waseme Ameeeeen ya nguvu.
Keep on digging,
Mathew.
 
 


2013/7/12 ck Lwembe <cklw...@ymail.com>

Alphonse Ziragora

unread,
Jul 15, 2013, 10:18:46 AM7/15/13
to strictl...@googlegroups.com
Bwana Yesu asifiwe,
 
Kweli nami naomba Mr Milinga ajitokeze tena. Alisema anasoma Biblia sana na vingine vitabu. Ebu atambie kama ni siri yake tu ao alete hazarani vile vitabu na mitandao na shairi za Biblia.
 
Asante
 
-------Message original-------
 
Date : 11/07/2013 18:57:24
Sujet : Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
faint_grain.jpg
butterfly_top.gif
butterfly_bottom.gif

kah-MEE-loh Freedom

unread,
Jul 15, 2013, 7:18:38 AM7/15/13
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa wangu Katika Kristo Yesu Mr. Milinga,
Ninafikiri kwamba lengo la mtandandao huu ni kufundishana, kushauriana, kwahiyo unaposema kuwa mafundisho yanayotolewa ni potofu nadhani inafaa utoe mawazo yako au kile unacho fahamu juu ya hayo ili tuweze kuelewa na kufunguka kwa faida yetu sote kwa ustawi kimwili na kiroho. lakini unaposema kuwa mafundisho hayo ni potofu halafu wewe mwenyewe binafsi hujatufundisha au hujatueleza nini sahihi ili tuweze kujitoa katika huo upofu tulio nao katiks roho zetu unatuacha katika njia panda hatujui nani yuko sahihi. na wakati mwingine itaonekana tunabeza mafundisho ya wenzetu, kwa hali hiyo hautaepuka kufananishwa na Mfarisayo aliye jiona yeye ni msafi mbele za Mungu kuliko yule mtoza ushuru. Hekima zetu zitadhihirika pale tunapo wafundisha na kushirikishana kujua ukweli wa neno la Mungu
Nimependa comment kama alizotoa mchangiaji Mabinza LS. na wengine wenye mwelekeo kama hayo, hapo anatusaidia sisi sote kuyafuatilia maandiko Matakatifu kwa ukaribu zaidi na kufanya tafakari ni nini kinachoelezwa katika maandiko matakatifu. Tuombe sana Roho Mtakatifu azidi kutuangaza juu ya kuyajua Maandiko Matakatifu na atuongoze katika Kufundisha kwetu ili tuweze kupata mafundisho yale ambayo yatatustawisha kiroho.



From: Stephen Mabinza <stephen...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tuesday, July 9, 2013 4:59 PM

imani moshy

unread,
Jul 15, 2013, 2:33:29 PM7/15/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa,Bwana Yesu Kristo asifiwe,
Jana nilikuwa na mazungumzo na ndugu katika Bwana kuhusiana na swala la sadaka ya FUNGU LA KUMI, hivi jamani ni nani anastahili kupewa fungu la kumi mana ukisoma biblia fungu la kumi anatakiwa kula ''mlawi wako''
kwa uelewa wangu mdogo mlawi ni yule anayebeba mzigo wako kwa maombi bila kujali ni mchungaji, nabii, mwalimu, mama, kaka, n.k.
sasa naomba mnisaidie fungu la kumi anatakiwa apewe nani,
MBARIKIWE KTK BWANA 
Sent: Monday, July 15, 2013 7:08 PM

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?


2013/7/12 ck Lwembe <cklw...@ymail.com>
From: Mathew Maduhu <mdma...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, July 10, 2013 12:53 PM

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
Mpendwa Mabinza na SG wote Shalom,
Mafundisho ya kuwazuia Wanawake wasiwe Viongozi na Wasifundishe YALISHA ONGELEWA KWA KIREFU SANA nyakati za nyuma na kuamsha hisia nyingi. Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 yamekuwa yakitumiwa kimakosa na Watumishi wengi kama reference ya kuwanyima Wanawake Utumishi katika Uongozi na Kufundisha. Lakini niseme kuwa Watumishi hao wanayatumia maandiko hayo bila kuzingatia kanuni za kusoma na kupata tafsiri sahihi ya Maandiko.
 
Kwa mfano ukisoma maandiko haya utaona kuwa yanawataka Wanawake Wazee WAFUNDISHE. Naomba ninukuu "Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji ....., bali wafundishao mema; ili wawatie wanawake vijana akili,......." 1Tito 2:3-4. (SUV - msisitizo added). Tafsiri zingine kwenye mistari hii zinasema " The aged women ......... teachers of good things that they may teach young women...." (KJV), "Bid the older  women ........ they are to teach what is good and so train the young women....." (RSV). Hapa mtu anaweza kujiuliza mbona hili agizo linatofautiana na ile lililopo kwenye Timetheo lakini maagizo yote mawili yanayotoka kwa mtu mmoja - Mtume Paulo? Hebu tuangalie tafsiri zingine kuhusiana na Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 ambayo ndugu yangu Mabinza ameyanukuu. Nitaangizia mstari wa 9.
9 Similarly also nashim (women) should adorn themselves with respectable ..................., 10 But with what is proper for nashim professing,............. 11 Let the isha (wife) learn in silence in all submission. 12 I do not allow an isha (wife) either to have teaching authority over or to have hishtaltut (domination, taking control) over [her] man, but to be in silence. 13 For Adam was formed rishonah (first), then Chavah. (Orthodox Jewish Bible - Msisitizo added).
 
Ni dhahiri kuwa kuna maneno mawili ambayo yametumiwa kum-adress, mtu huyu mwenye jinsia ya kike. Neno la kwanza ni NASHIM (yaani Mwanamke) na neno la pili ni ISHA (yaani Mke). Kwa kifupi ukiusoma vizuri mstari wa 11 hadi 13 unazungumzia mahusiano ya Mme na Mke. Kwa hiyo kulifanya agizo hilo li-apply kwa Kanisa /Jamii sio sahihi na linazua maswali kama mwanamke kazuiwa kufundisha wapi, kutawala wapi? n.k. Pia jambo jingine ambalo ni la msingi kwa wapendwa kulielewa ni jinsi mstari wa 11 ulivyoanza; unasema - SIMPI ...... ni nani huyo ambaye hatoi ruhusa? Je, hili ni agizo la Bwana kwa kila mtu? Hapana, lugha yake ingekuwa ni tofauti.
 
Pastor Rwezaura japokuwa umechangia kwa kifupi nimekuelewa Mtumishi, Barikiwa. Mpwendwa Nzali ni kweli inatupasa kuyapima mafunuo na zaidi ya yote kutoya-generalize kwa kila mtu. Jei Wi wa Bwana Yesu kumbuka kuwa kila aliyezoea kuchangia mada mbali mbali kwenye Kanisa hili akiwa kimya kwa kipindi kirefu (say a month or so) huwa (s/he counted yuko) kwenye Tempoary Unyakuo.
 
Wapendwa SG kwa kuwa ndugu yenu Milinga ameombwa atoe maandiko kuthibitisha upotovu wa mafundisho aliyoyaorodhesha niishie hapa kwa sasa. Yawezakana nikarudi tena ikiwa mpendwa wetu Milinga atakuwa kwenye temporary unyakuo.
Keep on digging.
Mathew.
 
 
 
 
 
 


2013/7/9 Stephen Mabinza <stephen...@yahoo.com>

Mpendwa  Mr. Milinga,

Hili ulilolisema hapachini  (No.9) unalo uhakika kuwa hilo nalo ni Moja ya mafundisho potofu, au umepitiwa tu? Hebu lisome tena umeandika hivi,   “9. Mafundisho ya kuzuia wanawake wasiwe viongozi wa kanisa, au wasiruhusiwe             kufundisha,”
Kama hukupitiwa, yaani ulimaanisha hivyo, nipe maandiko yanayokusapoti Mista! La sivyo, uwe muungwana tu “Ubatilishe kauli” Kama namwelewa vizuri Paulo katika fundisho lake kwa wagalatia sura ya kwanza Wgal. (1:8); Basi Ukikataa, Yesu atakutia hatiani kwa lile fundisho alilolitoa kupitia Mtumishi wake mwaminifu Paulo, ambaye alifundisha hivi,
8Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! 9Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!” Maana kama Paulo unamwamini kuwa ni Mtume wa Bwana Yesu Kristo, na pia kama unaiamini Biblia kuwa ni Neno la Mungu lisilogoshiwa. Basi Paulo alisema hivi katika ile, 1Tim. 2:11-13,  11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 13Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 14Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.”
 
Ila ndugu jipine kwa Neno, isije kuwa wewe ndiye unapotosha, Kama hutaki haya tu!
 
Mabinza LS.

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:

Amin Jeremiah

unread,
Jul 16, 2013, 6:09:14 AM7/16/13
to strictl...@googlegroups.com
Nawasalimu tena katika jina la Bwana Yesu kristo aliye hai.
Nimeona leo niendelee kuchangia mada ambayo imekuwa ikichangiwa sana wakati huu hasa kuhusu kipengele chake cha pili kihusucho utoaji wa zaka kama moja ya mafundisho potofu.
Katika mchango wangu uliopita nilibainisha namna ninavyounga mkono kuhusiana na upotovu wa utoaji wa zaka kwa wakristo nikiweka mezani maswali kadhaa yanayowataka wapendwa wakristo kuyatafakari kwa kina. Leo nimeona nianze kuyatolea ufafanuzi ili kusaidia wale ambao wamepata ugumu wa kuyapatia ufumbuzi ili walau wapate namna yao ya kuyapatia ufumbuzi ama kukubaliana nami katika mchango wangu.
Nilianza na swali linalosema; ZAKA NI NINI??
Ni vizuri kupata kwanza maana ya neno hili Zaka ili tuweze kufahamu kama fundisho lake sasa kwenye makanisa ni potofu ama la.
Waamini wa utoaji wa zaka wanaamini kuwa ZAKA ni sehemu ya matoleo/Sadaka ambayo mkristo anapaswa kumtolea Mungu kwa kuwakilisha matoleo/sadaka kwa mwakilishi wa Mungu (Kuhani,Mchungaji,askofu n.k). Kwa kutumia mafundisho kadha wa kadha,nukuu za maandiko matakatifu,fafanuzi,vijitabu,vijarida n.k. Wengi wameweka mkazo kwenye kitabu cha Malaki 3:6-10 na nukuu mbali mbali za kutoka vitabu vya torati yaani Mwanzo,kutoka,Walawi,Hesabu na kumbu kumbu la torati.
Nafikiri njia nzuri ya kufahamu ukweli wa jambo hilo hilo ni kwa kwanza kujiuliza kwa kina kuhusu tafsiri ya mafundisho hayo kwa kuyaangalia sana nukuu ya maandiko hayo.
Wasomaji makini wa biblia hawawezi kamwe kukubaliana na maana ya kuwa zaka ni toleo la kupeleka kwa mwakilishi wa Mungu,bali wanakubaliana na hoja ya kuwa Zaka ni TENGO ambalo wana wa israeli walijiwekea kama chakula cha kushiriki kwenye mikusanyiko ya ibada. Naomba mkristo yeyote asome kwa makini kitabu cha Kumbu kumbu la torati 14:21-26
Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Nawe utakula mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng'ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha Bwana, Mungu wako, daima.
Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua Bwana, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia Bwana, Mungu wako; ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako; na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za Bwana, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;

Lakini pia biblia inatufundisha kuwa Zaka ni tengo la chakula kwa wageni,yatima,wajane na WALAWI (Kumb 14:28-29) Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako; na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba Bwana, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.

Haiishii kwenye kujua Zaka ni nini kwa kufahamu tu kuwa ni TENGO,lakini kwa wanaofundisha kuhusu zaka pia tunaweza kupitia kwa makini kinachoitwa zaka kwa kutazama mstari ule wa 21 katika kumbu kumbu la torati 14. Usiache kutoa Zaka YA FUNGU LA KUMI (ZAKA YA FUNGU LA KUMI???) Kwenye biblia ya kiingereza maneno haya yanatamkwa kama TENTH PART OF TEETH (NEV) na kwa hiyo tunaona kuwa kilichokuwa kinapaswa kutolewa kwa Mungu ni sehemu tu kutoka kwenye ile zaka.( Nataka nithibitishe hili nalo)

Katika kitabu cha Hesabu sura ile ya kumi na nane kuna maneno yafuatayo;
Sadaka zote za kuinuliwa za vitu vitakatifu, wana wa Israeli wavisongezavyo kwa Bwana, nimekupa wewe na wanao na binti zako pamoja nawe, ni haki yenu ya milele; ni agano la chumvi la milele mbele za Bwana kwa ajili yako, na kizazi chako pamoja nawe.
Na wana wa Lawi, nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao, badala ya huo utumishi wautumikao, maana, ni huo utumishi wa hema ya kukutania.
Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote. (Hesabu 18:19,21,24)

Kile ninachotaka wakristo makini kufahamu ni kuwa kulikuwa na tengo lililoitwa ZAKA ambalo lilikuwa ni chakula cha wana wa israeli wakati wa makusanyiko yao mbele za Bwana ama tengo lililopaswa kuwekwa nyumbani kuwa chakula cha wageni,wajane,yatima na WALAWI. Lakini kulikuwa na SADAKA YA KUINULIWA ambayo ilipaswa kutolewa kutokea kwenye ile ZAKA ambayo ilijulikana kama ZAKA KATIKA ZAKA ambayo ilikuwa ni gawio la chakula cha kwa ukoo wa KIKUHANI hii ndiyo ilipaswa kuitwa Zaka ya kupewa wawakilishi wa Mungu(Makuhani).
Pengine nitatoa mstari mwingine ambao hutumiwa sana kuhalalisha utoaji wa zaka kwa wakristo kutoka kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi ili kunyoosha mapito kwa ambao huenda tumewaacha nyumba kidogo,nao unasema:
Tena zaka yote ya nchi, kama ni mbegu ya nchi, au kama ni matunda ya nchi, ni ya Bwana; ni takatifu kwa Bwana.
Na kama mtu akitaka kukomboa cho chote cha zaka yake, ataongeza sehemu yake ya tano juu yake.
Tena zaka yote ya ng'ombe, au ya kondoo, kila apitaye chini ya fimbo; sehemu ya kumi watakuwa ni watakatifu kwa Bwana.

TENA ZAKA YOTE YA NG'OMBE AU YA KONDOO,KILA apitaye chini ya FIMBO,sehemu yake ya kumi............................. Tunapaswa kujiuliza kuwa JE WANAPITISHWA CHINI YA FIMBO WAKATI GANI????,NI NANI ANAYEWAPITISHA CHINI YA FIMBO?????

( nimelazimika kuandika Kikuhani kwa herufi kubwa kwa sababu wengi hudhani kuwa WALAWI WOTE NI MAKUHANI,Lakini biblia inatambua kuwa ingawa kabila zima la Lawi lilifahamika kuwa la KIKUHANI,lakini ni ukoo wa HARUNI PEKEE ndio waliokuwa na hadhi ya ukuhani na ndio maana unaona katika kumbu kumbu ya torati unaona TENGO la kuweka nyumbani ZAKA amabayo itakuwa chakula cha wageni,yatima,wajane na WALAWI akiwalenga walawi kutoka nje ya ukoo wa HARUNI.)

Kwa leo niachie hapa ili kupata michango kutoka kwa wadau wa injili ili mara tutokapo hapa tuingie kwenye swali jingine nalo

Mungu awabariki sana


--------------------------------------------
On Thu, 7/11/13, SELELI EDWIN <selel...@gmail.com> wrote:

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
To: strictl...@googlegroups.com
Date: Thursday, July 11, 2013, 9:42 PM
All SG,Haya Wapendwa,
From: Strictly
Gospel <strictl...@yahoo.co.uk>

To: Strictly Gospel Group <strictl...@googlegroups.com>


Sent: Monday, July 8, 2013 6:11 AM

Subject: Je Mafundisho haya ni
potofu?





 














SELELI EDWIN

unread,
Jul 16, 2013, 6:18:47 AM7/16/13
to strictl...@googlegroups.com
My dear rafiki Imani Moshy,

Umeongezea kichwa kingine so tutakua na  3 subjects namely...''Je mafundisho haya ni potofu''''Kutoa zaka kila mwezi au kila upatapo kipato'' na hiki chako..  ''Naomba ufafanuzi''.Tunatiririkaje mana? Nikuchajishe/kukutia moyo upitie mchango wa Flano wakati anamjibu Amini Jeremiah ktk kichwa cha mada..Je mafundisho haya ni potofu?...alitoa andiko linalojibu kabisa au kiasi kikubwa swali lako zuri  tu. Hivyo basi, tutakua na vichwa viwili tu, cha mtuma mada wa kwanza JUMA VENERANDO na cha  muongozo from Mary D cha  mada ya Zaka kua peke yake, kwa kuzingatia hii, tutafloo mana smoothly and smartly na ku-enjoy/kujengwa safi. Ukisoma ilo andiko a bado utakua hujapata ufafanuzi , plz karibu tena lakini ktk vichwa vile viwili mtumishi, amen? sawa kabisa

By the way, Imani, nilitaka nikukataze usijsemelee kua ''kwa ufahamu wako mdogo''!!!!!!!wewe huna ufahamu mdogo mpendwa kwakua mpaka ukafakari vile na uje na swali hilo, iyo kutakafari capacity ni big ufahamu/akili na upako wa uelewa. Wenye ufahamu mdogo, hawawezi kua na tafakari au tafakuri ya level iyo! maana kuna some facts/truths unazijua/umeziona..zinapiga kelele kwa akili na ufahamu wako wa rohoni na akilini ndipo sa una-think/meditate  West-East, North-South ktk mambo ya Mungu na Neno lake ili uje kwenye conclusion moja maridadi kabisa, therefore you are and you will be blessed more and more in your ufahamu iwe wa rohoni au akilini/mwilini-yote safi tu.Amen


Press on,

Edwin Seleli

2013/7/15 imani moshy <imani...@yahoo.com>

SELELI EDWIN

unread,
Jul 17, 2013, 6:21:12 AM7/17/13
to strictl...@googlegroups.com

Hello SG,

Napenda nami nichangie ktk hoja izi maana naona mtumishi huyu mtoa hoja alisha kwenda kwa muda JUU, atatukuta tunaendelea kula gombo hapa barabara kabisa pasi na shaka yoyote. Ninapenda sana nani baraka kwangu( to be always  sincere) kuchangia/ kuongea nikiwa mimi halisi, free, relaxed, peace, social, straight and little very serious kwakua pretedence hunishinda mie.Maoni yangu ni kwa njia aidha za moja kwa moja na fupi yaani‘’tit for tat’’ and ‘’Ki-summary-summary’’ au pia kujadili kitu/kuchambua jambo Ki-Biblia, Kimaisha, Akili, Ufahamu huu huu wa kawaida pia Common senses ambazo husaidia kung’amua mambo, nyenzo za kupata maarifa/taarifa ambazo Bwana alitoa  kwa Wanadamu wote, hauhitaji shule kubwa sana ya Chuo. Nitatumia pia Mahojiano nk na kwa kufanya ivyo, nina nia kabisa ya kuongea mambo mengi au machache ktk kitu/hoja moja ili kuleta tafakari nyingi ambazo mwisho wa siku zitatusaidia aidha kujijibu wenyewe au kutazamisha jibu lilipo au hoja gani ya kuchukua na kuiishi iyo.Nitakua nanukuu ya Milinga kisha nachangia yangu, leo naanza na hoja yake ya kwanza.


Milinga:’’Mafundisho kuhusu NYOTA ZILIZOIBWA’’


Maoni:Perfect statement kabisa na si tu ni potofu bali pia ni uhuni na dhambi kutapeli watu innocent labda wale wanaofuata-fuata mkumbo na fasheni za mbwembwe za utumishi wa kileo. Embu fikiri very seriously fact hii uone/u-feel watu wanavyotuchezea akili. Tunatoka nyumbani kwetu twaja ibadani sunday au seminar uliyotualika kwa matangazo mengi sana kama kuuza bidhaa vile, twajua twaja kusikia toka mbinguni Mungu anasemaje/ anatupozaje/anatutiaje moyo/ atuonyaje/tunasongaje mbele kwenye huduma iliyokwama au inayopata changamoto ya kuendelea, tufanyaje kupata mpenyo au karama hazitendi kazi ipasavyo, tufanyeje watu ktk mitaa yetu au ktk ukoo hawaookoki kirahisi pamoja na kuwashuhudia na kuishi kati yao kwa kiroho chote full cha Bible na cha man-made e.g kunyenyekea  mpaka kuongea taratiibu na ku-create sura ya kulegea/ya upole na mororo hata kutembea mwendo wa pole, tufanyeje mchumba katuacha/katupiga chini wakati tulisha ji-commit mambo mengi naye na moyo tulishaufungua kwa ajili yake tu, ndugu wa mume wangu aliyefariki wanata ninyanganya mali zangu kwa jina langu, alizoniachia mpenzi wangu kabla hajafa, watoto wanafukuzwa shule karo kubwa sasa, kiwanja cha kanisa kinataka kununuliwa kwa utapeli/dhuluma na ubabe ili wajenge msikiti ilihali tulifunga na kuomba siku 40 Mungu akatupa kupitia Rashidi mjahidina kabisa aliyeamua kwa nia safi na kwa procedures zote kutuuzia na tulishamalizana nae kwa taratibu zote sema tu ukoo/jamaa na jumuiya ya waislamu wenziwe wameshikilia bango kua ni kufuru kuuza kiwanja kwa ‘makafiri’ ivyo Rashidi kaamuriwa arudishe ela yetu na kisha kukiuza kwa muislam, kuhubiri Injili kunazuiliwa na wapendwa kadhaa wamewekwa rumande,mume mkorofi mpiga mke anakuja kanisani analia lakini akifika geti la church anajitia moyo kufuta machozi maskini, au mke tukutu mdharau mume mwenye maneno kama filimbi uwanja wa taifa mechi kati ya Yanga na Simba na anakufanyia ivyo akiwa na confidence over 500% kwakua anajua wote ni wana wa Mungu na kama mume bora wa KiBiblia na wa mbinguni, kamwe hutaleta mwali mwingine na wala never on earth utakuja mduda ngumi moja tu ndogo na laini angalau mara moja kwa mwaka mzima, kazi tunazo lakini kipato kidogo na mahitaji ya michango mtaani pale, ktk familia, ukoo, kanisani ni mingi na bado kodi ya chumba, kibanda, nyumba, kioski, genge, hujalipa wala fuel ya mwezi hujatenga ela yake, magari yetu yamepata ajali na spare parts bei mauaji, umelipia kiwanja million 10 kisha unagundua umetapeliwa kwakua unashangaa mnajikuta wamiliki mko 3 na wote mna hati kabisa toka serikalini, Nchi inakwenda kama shamba la Bibi, kila mtu anachota tu na hatimaye akina mama wanajifungulia vibarazani na kulala chini kisa hakuna vitanda, wakati mwingine twaja na mizigo, challenges, confusions/ michubuko, michano kuraruliwa na makwazo ya wanadamu tuliyokutana nao week nzima shuleni, vyuoni, hudumani, biasharani, majirani,kanisani,ofisini, kati ya ndugu na jamaa wa karibu, umesikia Mungu amekuita ktk utumishi na umeshakwenda uko remote area Mtwara na tayari umechapa Injili lakini ni mwaka sasa Mkeo aliyekulia Mijini na Majijini amekataa kuku-join ktk huduma uko village, hataki kuacha saloon za Dar, umeomba na kufunga mpaka basi na ndio kwanza anafungua saloon yake Ilala mitaa ya kati,  


Yaani  tuna mambo yote hayo tumebeba na tuna jua kwa hakika Bwana usema na kanisa lake, twaja ili Bwana aseme kupitia madhabahu na weye kiumbe pale uliyerehemiwa tu na kua trusted na Mungu kusimama mbele yetu kutuongoza/lisha mana safi, halafu ati una-take advantage ku-coin somo/fundisho liendane na hali halisi ati nyota zetu zimepigwa kabari/roba au vibaka wa ulimwengu wa roho waliiba! Zipi nyota zenyewe izo kwanza? Mbona Mitume na Manabii hawakuwahi kua na ‘’ze nyota kuibiwa doctrine’’? So wewe unayeleta karne hii ilo dude ndio spesheli mpendwa mwenye Roho, ops! I mean roho sana na una pata vitu vikali direct toka kiti cha enzi nini? nondo ambazo huwezi au eti si lazima uzikute ktk Bible! Yaani mpaka inatia hasira because mnenaji anajua kabisa kati ya wasikilizaji wake, si watoto wadogo kiroho au watu wa dini, anafahamu kwa hakika sisi hatutaki longolongo kwakua tumelishwa/tunajilisha Neno( sound doctrine) la msingi la Mitume na Manabii wa KWELI na above all,  tumefurikishwa Roho Mtakatifu wa Mungu, Roho ya Mola mwenyewe inayotusimamia na kutuongoza ktk kweli yote hata kutunong’oneza na kutung’amulisha kujua kati ya madude na madudu Vs. KWELI ya Neno still bado mtu anasimama confidently kufundisha hayo? Nakwambia kwa wana wa Mungu aina yetu, hatumkawizi, ni haraka sana tunamshusha chini ya altar au tuna mzimia mic au tunamtumia kikaratasi pale juu kua akatishe mahubiri muda umekwisha au akishuka baada ya kuachilia madude yake, tunapo mpokea mic yeye akiwa amekaa chini pale anapumzika na kunywa maji, tuna-crush alichosema MBELE YAKE ili si tu kanisa lipone na yeye mwenyewe apone mara 3 na next time akikaribishwa mahala, kabla hajatiririka madude hayo tena, He/She will think twice.


Tutateda ivyo kwa ‘mtumishi’ wa ivyo na bado inakua kiroho safi tu na kama unadhani si sawa, basi angalia kama unaweza mzidi ukiroho rafiki na kaka yetu yetu mpenzi huyu aliyefanya ivi Yoh.2:11-17, Mat.21:12-13!!!! Ingawa specific context ni watu kugeuza nyumba ya Baba yake pango la wanyang’anyi nonetheless, general context does serve the purpose hapa pia kua SOME watumishi wa ivi leo na hayo wayafanyayo ni sawa tu na kugeuza madhabahu kijiwe cha kuchonga channels za kuleta watu na kuwavuna. Pia nampenda rafiki huyu kwa ukali na hasira zake takatifu dhidi ya watu wanaochezea kanisa, aliposema si tu mwanadamu lakini hata kiumbe toka mbinguni akiwachanganya tu wana wa Mungu au watu kuwafundisha Injili nyingine basi na alaaniwe Wagal.1:6-10.Watu wengine kwa jinsi walivyopitilizia utani kwa maisha yetu ya kwenda kwa Baba, some of us hatuhitaji kua kiroho kudeal nao! Unashituka ee! Ask Master kwa nini hakuanza kuwaombea au sijui kutumia yale mambo yetu yale tunapendaga ya ‘mpendwa plz tumia hekima eee’’alipokua ana-deal na wale waliopitiliza uhuni pale hekaluni lakini alitengeneza kikoto/fimbo na kuwanyuka huku akihakikisha njiwa wanatambaa na kupaa wakiimba pambio kuelekea  wawinguni na mbuzi, kondoo, ng’ombe waki-dance kwa raha zao kuelekea mabondeni malishoni bila kusahau machenza na chungwa zikitambaa usawa wa chini kuwabariki watoto bila shaka waliokua wanarukia 1,2,3 na hata pesa zilizosambaa chini baada ya kubinua meza cha ‘burea de change’’ dealers wale, zikasaidia bajeti zao watu walikuwepo ktk tafrani ile.


Mambo ya sijui nyota zimeibiwa, sijui tufanyiwe maombi spesheli ili kuzi-win back au sijui kuna vitu havijakaa sawa ivyo inatupasa kumsikiliza nabii na mtume fulani kisha atufanyie maombi spesheli ku-settle ishu kadhaa ambazo baada ya kuookoka, hua zinabaki au hazikukamilikaga zote, yote mafundisho ovyo kama hayo, yanatupiliwa mbali na Neno la Mungu lililo wazi kabisa mfano Wakolosai 1:13Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake Ukichunguza kwa makini maandiko haya utangundua kwamba mtu anapookolewa kwanza “ROHO YAKE HUZALIWA UPYA” na kisha HUTOLEWA kwa 100% kutoka katika ufalme wa shetani (kama vile wana wa Israeli walivyotolewa Misri) na HUINGIZWA kwa 100% katika ufalme wa Mungu (kama vile wana wa Israel walivyokuwa chini ya utawala wa Mungu walipokuwa wakiiendea nchi ya ahadi)!Ktk 1 Yohana 5:19 “Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu (sisi tuliookoka); na dunia yote pia (wote ambao hawajaokoka) hukaa katika yule mwovu”. Sisi tu wa Mungu na kwa maana hiyo tu chini ya baraka na wasio na Yesu wao hukaa ktk yule mwovu kwa maana hiyo wako chini ya laana na madude yake yote e.g mambo ya nyota, unajimu wa majini, elimu dunia, nguvu za giza na wanga, roho za uharibufu na mafundisho ya mashetani na kuzimu nk!  


Yesu alisema mtaijua Kweli nayo Kweli itawaweka huru Yoh.8:32. Unajua wapendwa kujua Kweli= Neno au from Neno, ni raha, ulinzi na confidence  tamu sana, mtu atakuja na maneno yake, mbwembwe nyiiiingi, vurugu kweli, matangazo weee,kelele, tambo nyingi, show off sana, we na Kweli yako ndani moyoni umejazaa, aaa huna presha, ana piga hadithi na longolongo zake hapo madhabuhuni au redioni or ktk Tv then una choice aidha kumsikiliza, au kumwacha uende kwenye shughuli za maana nyingine au ukiwa jasiri kama wengine siye bila aibu wala kusitasita maana na yeye hakua na soni na alikua na uthubutu huo na kama yuko kanisani kwako/ kwenu, simple tu! no maombi ya kukemea apigwe ganzi, no so called hekima inayocheleweshaga mambo sometimes bali unamshusha chini au zima mic au crush akiwa palepaple au andika kinote na mtume Mze/ shemasi kumuwekea pale mezani akiwa juu kua amalize in 2 minutes muda kwisha, kuna other internal church activities/ announcements/arrangements.


Kweli nyingine ni hii..2Wakor.5:17-‘’Kwa hiyo mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama yamekua mapya’’. Sasa ako kanyota kalikoibiwa ka nini kukataka tena? Uko kalikokwenda si safi tu maana sasa ni mambo mapya na kila kitu chema tunapewa. Presha ya nini kujshughulisha na kuleta manyota yaliyofutwa na kuanzishiwa maisha mapya? Why kutafuta/kuunda na kukomalia ‘’fruitless UnBiblical spiritual home works izi’’? Si unaona tu ni uhuni wa madhabuhuni tu wa BAADHI ya wanadamu kuunda mambo ili kupata noti za kuishi mjini na kusaidia family na koo zao kisha kununua magari ya hammer, mashamba na plots Dar, Moro, Arusha, Mpanda, Iringa, Mbeya,Mwanza na pia kudaka vitalu vya kuwinda tembo wetu na na mashimo ya dhahabu na tanzanite tu!



Nitaendelea na hoja ya 2 mpaka mwisho kuchangia


Press on kunoana chuma kwa chuma,Amen.


Edwin Seleli


2013/7/17 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

Hello SG,

Napenda nami nichangie ktk hoja izi maana naona mtumishi huyu mtoa hoja alisha kwenda kwa muda JUU, atatukuta tunaendelea kula gombo hapa barabara kabisa pasi na shaka yoyote. Ninapenda sana nani baraka kwangu( to be always be sincere) kuchangia/ kuongea nikiwa mimi halisi, free, relaxed, peace, social, straight and little very serious kwakua pretedence hunishinda mie.Maoni yangu ni kwa njia aidha za moja kwa moja na fupi yaani‘’tit for tat’’ and ‘’Ki-summary-summary’’ au pia kujadili kitu/kuchambua jambo Ki-Biblia, Kimaisha, Akili, Ufahamu huu huu wa kawaida, Common senses ambazo hazihitaji shule kubwa ya Chuo kung’amu mambo kwakua Bwana alitoa tu kwa Wanadamu wote,Mahojiano nk na kwa kufanya ivyo, nina nia kabisa ya kuongea mambo mengi au machache ktk kitu/hoja moja ili kuleta tafakari nyingi ambazo mwisho wa siku zitatusaidia aidha kujijibu wenyewe au kutazamisha jibu lilipo au hoja gani ya kuchukua na kuiishi iyo.Nitakua nanukuu ya Milinga kisha nachangia yangu, leo naanza na hoja yake ya kwanza.


Milinga:’’Mafundisho kuhusu NYOTA ZILIZOIBWA’’


Mchango:Perfect statement kabisa na si tu ni potofu bali pia ni uhuni na dhambi kutapeli watu innocent labda wale wanaofuata-fuata mkumbo na fasheni za mbwembwe za utumishi wa kileo. Embu fikiri very seriously fact hii uone/u-feel watu wanavyotuchezea akili. Tunatoka nyumbani kwetu twaja ibadani sunday au seminar uliyotualika kwa matangazo mengi sana kama kuuza bidhaa vile, twajua twaja kusikia toka mbinguni Mungu anasemaje/ anatupozaje/anatutiaje moyo/ atuonyaje/tunasongaje mbele kwenye huduma iliyokwama au inayopata changamoto ya kuendelea, tufanyaje kupata mpenyo au karama hazitendi kazi ipasavyo, tufanyeje watu ktk mitaa yetu au ktk ukoo hawaookoki kirahisi pamoja na kuwashuhudia na kuishi kati yao kwa kiroho chote full cha Bible na cha man-made e.g kunyenyekea  mpaka kuongea taratiibu na ku-create sura ya kulegea hata kutembea mwendo wa pole, tufanyeje mchumba katuacha/katupiga chini wakati tulisha ji-commit mambo mengi naye na moyo tulishaufungua kwa ajili yake tu, ndugu wa mume wangu aliyefariki wanata ninyanganya mali zangu kwa jina langu, alizoniachia mpenzi wangu kabla hajafa, watoto wanafukuzwa shule karo kubwa sasa, kiwanja cha kanisa kinataka kununuliwa kwa utapeli ili wajenge msikiti ilihali tulifunga na kuomba siku 40 Mungu akatupa kupitia Rashidi mjahidina kabisa aliyeamua kwa nia safi na kwa procedures zote kutuuzia na tulishamalizana nae kwa taratibu zote sema tu ukoo/jamaa na jumuiya ya waislamu wenziwe wameshikilia bango kua ni kufuru kuuza kiwanja kwa ‘makafiri’ ivyo Rashidi kaamuriwa arudishe ela yetu na kisha kukiuza kwa muislamu, kuhubiri Injili kunazuiliwa na wapendwa kadhaa wamewekwa rumande,mume mkorofi mpiga mke anakuja kanisani analia lakini lakini akifika geti la church anajitia moyo kufuta machozi maskini, au mke tukutu mdharau mume mwenye maneno kama filimbi uwanja wa taifa mechi kati ya Yanga na Simba na anakufanyia ivyo akiwa na confidence over 500% kwakua anajua wote ni wana wa Mungu na kama mume bora wa KiBiblia na wa mbinguni, kamwe huleta mwali mwingine na wala never on earth utakuja mduda ngumi moja tu ndogo na laini angalau mara moja kwa mwaka mzima, kazi tunazo lakini kipato kidogo na mahitaji ya michango mtaani pale, ktk familia, ukoo, kanisani ni mingi na bado kodi ya chumba, kibanda, nyumba, kioski, genge, hujalipa wala fuel ya mwezi hujatenga ela yake, magari yetu yamepata ajali na spare parts bei mauaji, umelipia kiwanja million 10 kisha unagundua umetapeliwa kwakua unashangaa mnajikuta wamili mko 3 na wote mna hati kabisa toka serikalini, Nchi inakwenda kama shamba la Bibi, kila mtu anachota tu na hatimaye akina mama wanajifungulia vibarazani na kulala chini kisa hakuna vitanda, wakati mwingine twaja na mizigo, challenges, confusions/ michubuko, michano kuraruliwa na makwazo ya wanadamu tuliyokutana nao week nzima shuleni, vyuoni, hudumani, biasharani, majirani,kanisani,ofisini, kati ya ndugu na jamaa wa karibu. 


Tuna mambo yote hayo yote hapo juu tumebeba na tuna jua kwa hakika Bwana usema na kanisa lake, twaja ili Bwana asema kupitia madhabahu na weye kiumbe pale halafu ati una-take advantage ku-coin somo/fundisho liendane na hali halisi ati nyota zetu zimepigwa kabari/roba au vibaka wa ulimwengu wa roho waliiba! Zipi nyota zenyewe izo kwanza? Mbona Mitume na Manabii hawakuwahi kua na ‘’ze nyota kuibiwa doctrine’’? So wewe unayeleta karne hii ilo dude ndio spesheli mpendwa mwenye Roho, ops! I mean roho sana na una pata vitu vikali direct toka kiti cha enzi nini? nondo ambazo huwezi au eti si lazima uzikute ktk Bible! Yaani mpaka inatia hasira because mnenaji anajua kabisa kati ya wasikilizaji wake, si watoto wadogo kiroho au watu wa dini, anafahamu kwa hakika sisi hatutaki longolongo kwakua tumelishwa/tunajilisha Neno( sound doctrine) la msingi la Mitume na Manabii wa KWELI na above all,  tumefurikishwa Roho Mtakatifu wa Mungu, Roho ya Mola mwenyewe inayotusimamia na kutuongoza ktk kweli yote hata kutunong’oneza na kutung’amulisha kujua kati ya madude na madudu Vs. KWELI ya Neno still bado mtu anasimama confidently kufundisha hayo? Nakwambia kwa wana wa Mungu aina yetu, hatumkawizi, ni haraka sana tunamshusha chini ya altar au tuna mzimia mic au tunamtumia kikaratasi pale juu kua akatishe mahabiri muda umekwisha au akishuka baada ya kuachilia madude yake, tunapo mpokea mic yeye akiwa amekaa chini pale anapumzika na kunywa maji, na-crush alichosema MBELE YAKE ili si tu kanisa lipone na yeye mwenyewe apone mara 3 na next time akikaribishwa mahala, kabla hajatiririka madude hayo tena, He/She will think twice. Tutateda ivyo kwa ‘mtumishi’ wa ivyo na bado inakua kiroho safi tu na kama unadhani si sawa, basi angalia kama unaweza mzidi ukiroho rafiki na kaka yetu yetu mpenzi huyu aliyefanya ivi Yoh.2:11-17, Mat.21:12-13!!!! Ingawa specific context ni watu kugeuza nyumba ya Baba yake pango la wanyang’anyi nonetheless, general context does serve the purpose hapa pia kua SOME watumishi wa ivi leo na hayo wayafanyao ni sawa tu na kugeuza madhabahu kijiwe cha kuchonga channels za kuleta watu na kuwavuna. Pia nampenda rafiki huyu kwa ukali na hasira zake takatifu dhidi ya watu wanaochezea kanisa, aliposema si tu mwanadamu lakini hata kiumbe toka mbinguni akiwachanganya tu wana wa Mungu au watu kuwafunisha Injili nyingine basi na alaaniwe Wagal.1:6-10.


Watu wengine kwa jinsi walivyopitilizia utani kwa maisha yetu ya kwenda kwa Baba, some of us hatuhitaji kua kiroho kudeal nao! Unashituka ee! Ask Master kwa nini hakuanza kuwaombea au sijui kutumia yale mambo yetu yale tunapendaga ya ‘mpendwa plz tumia hekima eee’’alipokua ana-deal na wale waliopitiliza uhuni pale hekaluni lakini alitengeneza kikoto/fimbo na kuwanyuka huku akihakikisha njiwa wanatambaa na kupaa wakiimba pambio kuelekea  wawinguni na mbuzi, kondoo, ng’ombe waki-dance kwa raha zao kuelekea mabondeni malishoni bila kusahau machenza na chungwa zikitambaa usawa wa chini kuwabariki watoto bila shaka waliokua wanarukia 1,2,3 na hata pesa zilizosamba chini baada ya kubinua meza cha ‘burea de change’’ dealers wale zikasaidia bajeti zao watu walikuwepo ktk tafrani ile.


Mambo ya sijui nyota zimeibiwa, sijui tufanyiwe maombi spesheli ili kuzi-win back au sijui kuna vitu havijakaa sawa ivyo inatupasa kumsikiliza nabii na mtume fulani kisha atufanyie maombi spesheli kusettle ishu kadhaa ambazo baada ya kuookoka, hua zinabaki au hazikukamilikaga zote, yote mafundisho ovyo kama hayo, yanatupiliwa mbali na Neno la Mungu lililo wazi kabisa mfano Wakolosai 1:13Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake Ukichunguza kwa makini maandiko haya utangundua kwamba mtu anapookolewa kwanza “ROHO YAKE HUZALIWA UPYA” na kisha HUTOLEWA kwa 100% kutoka katika ufalme wa shetani (kama vile wana wa Israeli walivyotolewa Misri) na HUINGIZWA kwa 100% katika ufalme wa Mungu (kama vile wana wa Israel walivyokuwa chini ya utawala wa Mungu walipokuwa wakiiendea nchi ya ahadi)!


Ktk 1 Yohana 5:19 “Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu (sisi tuliookoka); na dunia yote pia (wote ambao hawajaokoka) hukaa katika yule mwovu”. Sisi tu wa Mungu na kwa maana hiyo tu chini ya baraka na wasio na Yesu wao hukaa ktk yule mwovu kwa maana hiyo wako chini ya laana na madude yake yote e.g mambo ya nyota, unajimu wa majini, elimu dunia, nguvu za giza na wanga, roho za uharibufu na mafundisho ya mashetani na kuzimu nk!  Yesu alisema mtaijua Kweli nayo Kweli itawaweka Huru Yoh.8:32. Unajua wapendwa kujua Kweli= Neno au from Neno, ni raha, ulinzi na confidence nyingi sana, mtu atakuja na maneno yake, mbwembwe nyiiiingi, vurugu kweli, matangazo weee,kelele, tambo nyingi, show off sana, we na kweli yako ndani moyoni umejazaa, aaa huna presha, ana piga hadithi na longolongo zake hapo madhabuhuni au redioni or ktk Tv then una choice kumsikiliza, au kumwacha uende kwenye shughuli za maana nyingine au ukiwa jasiri kama wengine siye na kama yuko kanisani kwako/kwenu, simple tu ..unamshusha chini au zima mic au crush akiwa palepaple au andika kinote na mtume Mze/shemasi kumuwekea pale mezani akiwa juu kua amalize in 2 minutes muda kwisha kuna other internal church activities/ announcements/arrangements.


Kweli nyingine ni hii..2Wakor.5:17-Kwa hiyo mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama yamekua mapya’’. Sasa ako kanyota kalikoibiwa kamekwenda wapi au kalipenyaje chekecheo ili la yote kua mapya kwa ya kale kuzikwa/kutupwa? Si unaona tu ni uhuni wa madhabuhuni tu wa wanadamu kuunda mambo ili kupata noti za kuishi mjini na kusaidia family na koo zao kisha kununua magari ya hammer, mashamba na plots Dar, Moro, Arusha, Mpanda, Iringa, Mbeya,Mwanza na pia kudaka vitalu vya kuwinda tembo wetu na na mashimo ya dhahabu na tanzanite tu!


Nitaendelea na hoja ya 2 mpaka mwisho kuchangia


Press on kunoana chuma kwa chuma,Amen.


Edwin Seleli



2013/7/16 Amin Jeremiah <ngulu...@yahoo.com>

Pastor JCC

unread,
Jul 16, 2013, 8:59:47 AM7/16/13
to strictl...@googlegroups.com
Ndugu yangu Imani,
 
Mlawi si mtu anayekubebea mzigo tu bali anayekulisha kiroho. Mlawi hana maana ya kuwa ni mtu yeyote ni yule ambaye anawajibika kwa maisha yako ya kiroho. Kwa mfano mimi Mchungaji Mkenda ndiye Mlawi wa Washirika wangu wote, nawajibika kuwalisha neno la Mungu, kuwabatiza, kuwaombea, kufunga ndoa zao, kuwaweka wakfu n amabo ya kiroho kama hayo. Pia mimi ndiye nitakayetoa hesabu yake mbele za Mungu. KWA HIYO FUNGU LAO LA KUMI, MALIMBUKO, SADAKA NA SHUKRANI ZOTE WANATAKIWA WAZILETE KATIKA MADHABAHU AMBAYO MIMI NDIYE KUHANI. Amen
 
Rev. Damasus F. Mkenda
Redeemed Gospel Church Tanzania
Jesus Celebration Centre Dar es salaam
Off Morogoro Road at Kinesi (Urafiki) Football Grounds
P O BOX 55667
Dar es salaam - Tanzania
Tel: +255-787-661125/+255-754-585415/+255-712-340953
From: imani moshy <imani...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Monday, July 15, 2013 9:33 PM
Subject: NAOMBA UFAFANUZI

Pastor JCC

unread,
Jul 16, 2013, 8:41:28 AM7/16/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa nawasalimu katika Jina La Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai. Ni furaha yangu kuunganishwa katika mtandao huu. Nimeisoma mada hii lakini sijajua ni kwanini mtoa mada anasema wazi kuwa ni potofu na mimi kabla ya kuchangia basi angethibitisha Kimaandiko kuwa ni potofu. Mimi binafsi baadhi yake najua ni potofu lakini mengine sii Potofu hata kidogo. Thibitisha tafadhali. Asante sana
 
Rev. Damasus F. Mkenda
Redeemed Gospel Church Tanzania
Jesus Celebration Centre Dar es salaam
Off Morogoro Road at Kinesi (Urafiki) Football Grounds
P O BOX 55667
Dar es salaam - Tanzania
Tel: +255-787-661125/+255-754-585415/+255-712-340953
From: maria abeid <maria...@yahoo.com>
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Monday, July 8, 2013 6:24 AM

Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?

Eeeee Mungu tusaidie jaman. Maana mambo ni mengi na yanachanganya sana. Kilichobakia hapa ni kumuomba Mungu atupe ufahamu na macho ya rohoni ili tuweze kujua lipi la kufuata.

SELELI EDWIN

unread,
Jul 11, 2013, 9:17:49 AM7/11/13
to strictl...@googlegroups.com
Nzali,

Glory to God....ni raha na kitu chema wana wa Mungu kufurahi pia na kucheka, safi sana, pole kwa kujaribiwa kiasi icho wakati wa mechi ile nzuri mradi usiniulize tu nimejuaje kua ilikua game tamu....hahahaha. I would suggest ili sijui kuondoa au kupunguza hatia next time ili  kumshinda devo asikuzomeee , kabla ya mechi au baada, soma Neno kama kwa hasira zote eg badala ya sura 1 , you eat up to 10..unalipiza kisasi kila kitu, amen? ndivyo nafanyaga kuadjust mambo au badala ya kuomba lisaa moja, una miminika uweponi masaa 3 then mechi dak 90 au 120 basi, umeshinda, hakuna guilty wala mawazo ya devo kupreach noisily

Press on brother enjoying the Word reading and STUDYING.

Edwin Seleli

2013/7/11 Daniel Nzali <nza...@yahoo.com>

Patrick Kamera

unread,
Jul 18, 2013, 2:45:56 AM7/18/13
to strictl...@googlegroups.com
Amen Edwin,

Nimependa ulivyosema wazi bila kukwepesha wala kuzunguka kuwa Mafundisho ya "Nyota kuibiwa" ni potofu, halafu ukaongezea hivi: "Perfect statement kabisa na si tu ni potofu bali pia ni uhuni na dhambi..." Huo ndio ukweli wenyewe. 

Tuendelee kujifunza Neno la Mungu,

Patrick



2013/7/11 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

SELELI EDWIN

unread,
Jul 18, 2013, 10:40:36 AM7/18/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick Kamera,

Sawa  and amen, wasitusumbue kanisa la Mungu, we need MORE OF GOD THAN THESE fix fix man-made stuff!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Press on,

Edwin Seleli

2013/7/18 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>

festus chongoma

unread,
Aug 7, 2013, 8:21:15 AM8/7/13
to strictl...@googlegroups.com
MUNGU AWABARIKI.,MCH MKENDA NA IMANI

On 7/16/13, Pastor JCC <jcc.p...@yahoo.com> wrote:
> Ndugu yangu Imani,
>
> Mlawi si mtu anayekubebea mzigo tu bali anayekulisha kiroho. Mlawi hana
> maana ya kuwa ni mtu yeyote ni yule ambaye anawajibika kwa maisha yako ya
> kiroho. Kwa mfano mimi Mchungaji Mkenda ndiye Mlawi wa Washirika wangu wote,
> nawajibika kuwalisha neno la Mungu, kuwabatiza, kuwaombea, kufunga ndoa zao,
> kuwaweka wakfu n amabo ya kiroho kama hayo. Pia mimi ndiye nitakayetoa
> hesabu yake mbele za Mungu. KWA HIYO FUNGU LAO LA KUMI, MALIMBUKO, SADAKA NA
> SHUKRANI ZOTE WANATAKIWA WAZILETE KATIKA MADHABAHU AMBAYO MIMI NDIYE KUHANI.
> Amen
>
> Rev. Damasus F. Mkenda
> Redeemed Gospel Church Tanzania
> Jesus Celebration Centre Dar es salaam
> Off Morogoro Road at Kinesi (Urafiki) Football Grounds
> P O BOX 55667
> Dar es salaam - Tanzania
> Tel: +255-787-661125/+255-754-585415/+255-712-340953
>
>
> ________________________________
> From: imani moshy <imani...@yahoo.com>
> To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
> Sent: Monday, July 15, 2013 9:33 PM
> Subject: NAOMBA UFAFANUZI
>
>
>
> Wapendwa,Bwana Yesu Kristo asifiwe,
> Jana nilikuwa na mazungumzo na ndugu katika Bwana kuhusiana na swala la
> sadaka ya FUNGU LA KUMI, hivi jamani ni nani anastahili kupewa fungu la kumi
> mana ukisoma biblia fungu la kumi anatakiwa kula ''mlawi wako''
> kwa uelewa wangu mdogo mlawi ni yule anayebeba mzigo wako kwa maombi bila
> kujali ni mchungaji, nabii, mwalimu, mama, kaka, n.k.
> sasa naomba mnisaidie fungu la kumi anatakiwa apewe nani,
> MBARIKIWE KTK BWANA
>
>
> ________________________________
>>Kwa kauli yake hiyo ya mwisho, ni dhahiri kuwa mtume Paulo ameliona
>> Fundisho la kusimika wanawake litakavyo sambaa, ndipo ametamatisha hivyo
>> kuwa “..mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.” Yaani ni ruksa kuendelea katika
>> ujinga maana yote yamekwisha kuwekwa wazi!
>>
>>Pia ni vema mkafahamu kwamba, Nashum na Isha, hawa wote hupatikana ndani ya
>> familia, naye kiongozi wa familia ya kikristo ni mume, ndipo wote wawili,
>> mke na binti, hutawaliwa na baba wa nyumba, binti huondoka katika utawala
>> wa babaye hapo anapo olewa. Biblia inawazungumzia hao katika utaratibu
>> huo. Siamini kuwa Biblia inamzungumzia kahaba au mwanamke aliyekata kamba,
>> bali hao walio katika utakatifu; nayo mafundisho yanayoweza kuwaleta
>> katika utakatifu ndiyo haya mtume Paulo anayoyawekea Msingi!
>>
>>Mbarikiwe nyote!
>>
>>
>>
>>________________________________
>>>________________________________
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages