
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
--
Shalom! Na mimi niongeze kwamba, mtumishi wa Mungu tuainishie kimaandiko , kwa sababu watumIshi wanaofundisha mafundisho hayo hutumia maandiko na ndio maana yanaaminiwa, sasa hili kusafisha ufahamu wetu ( maana tumedaka na yamekaa na mengine tunayafanyia kazi) tusafishe kwa maandiko. Amen.
Mary J S
9 Similarly also nashim (women) should adorn themselves with respectable ..................., 10 But with what is proper for nashim professing,............. 11 Let the isha (wife) learn in silence in all submission. 12 I do not allow an isha (wife) either to have teaching authority over or to have hishtaltut (domination, taking control) over [her] man, but to be in silence. 13 For Adam was formed rishonah (first), then Chavah. (Orthodox Jewish Bible - Msisitizo added).
Pastor Rwezaura japokuwa umechangia kwa kifupi nimekuelewa Mtumishi, Barikiwa. Mpwendwa Nzali ni kweli inatupasa kuyapima mafunuo na zaidi ya yote kutoya-generalize kwa kila mtu. Jei Wi wa Bwana Yesu kumbuka kuwa kila aliyezoea kuchangia mada mbali mbali kwenye Kanisa hili akiwa kimya kwa kipindi kirefu (say a month or so) huwa (s/he counted yuko) kwenye Tempoary Unyakuo.
Wapendwa SG kwa kuwa ndugu yenu Milinga ameombwa atoe maandiko kuthibitisha upotovu wa mafundisho aliyoyaorodhesha niishie hapa kwa sasa. Yawezakana nikarudi tena ikiwa mpendwa wetu Milinga atakuwa kwenye temporary unyakuo.
Keep on digging.
Mathew.
Wapendwa nataka kuchangia kidogo katika moja ya zile hoja kumi za mafundisho potofu. Ninaamini mtoa mada yuko bize akiaandaa maandiko yanayo-support hoja yake, lakini ili wachungaji (???) tusije tukaathirika (???) ngoja niijibu fundisho la pili - KUTOA ZAKA kila mwezi au kila upatapo kipato.
Wana SG, mafundisho ya kutoa zaka kila upatapo kipato ni SAHIHI, sio mafundisho potofu hata kidogo. Naomba ninukuu maandiko ambayo tunayafahamu sote kisha nitayafafanua. "Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi". - Mwanzo 28:22. Hebu ongezea na andiko hili "Lakini, ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili". - LUKA 11:42 (SUV msisitizo added).
Utoaji wa Zaka/Fungu la kumi/Sehemu ya kumi ni jambo lilikuwepo hata kabla na baada ya sheria. Yakobo anasema katika kila utakalonipa hakika .......... Bwana Yesu anawaambia mafarisayo wasiache kutoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga. Swali ni kwamba ni wakati gani mboga mboga hizi zinapatikana? Je si wakati wa kuzivuna? Lakini jambo la kuzingatia ni kuwa kila atoae zaka yampasa kuleta ZAKA KAMILI ( Malaki 3:10). Logical thinking rahisi ni zipi, kuleta zaka kamili kwa mtu wa kawaida ambaye uwekaji wa kumbu kumbu sio kivile? Hivi Mungu huagiza wanawe na kisha kuweka ugumu wa kuyatekeleza. ukikaa na zka muda mrefu hakuna uwezekano wa kusahau, na ukisahau itakuwa umetoa zaka kamili? Kwa nini mambo yasiwe rahisi kwa kutoa kila unapopata? Hebu chukulia mfanyakazi akae na zaka kisha baada ya mwaka ndipo atoe, Je, ataweza kutoa mapato ya 120% (yaani 10% mara miezi 12)?
Ninajua tunakubaliana kuwa kutoa Zaka ni wajibu wa kila mwamini. Sasa frequency (mara ngapi kwa kipindi gani) isiwe issue. Huenda mpendwa Milinga unatatizwa na andiko lifuatalo; nanukuu "Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka". - KUMB 14:22. Kama ndiyo andiko hili, basi naomba uangalie tafasiri zingine zinasema nini kuhusu maongeo. Hebu angalia ya KJV - neno maongeo limetafsiri ni "increase", yaani ongezeko. Hawa ndugu zetu walikuwa na aina mbali mbali za Zaka katika kitu kimoja. Wote tunajua kuwa zaka zinatolewa nyumbani mwa Bwana lakini hebu ona hii "Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako;". - KUMB 14:28(SUV - msisitizo added). Agizo hapa ni kuiweka zaka ndani ya malango yako sio nyumbani mwa Bwana!!!
Shalom wapendwa SG wote,
Sichangii Ila. Naomba moderate WASEME kama Mr. Milinga yuko kwenye group emails, maana nimezoea kumwona kwenye blogs. Hivyo haya maswali yangewekwa kwenye blog angejibu haraka yuko active sana huwa naona michango yake.
Pili napenda kuwajuza kuwa kuna wapendwa wengi wapo kwenye blog na wanachangia sana lakini kwenye email group hawachangii.
Niwashukuru sana wote Najifunza kitu. Nimekuwa kwa ajili ya hii online church. Mungu awabariki sana
Anthony. A Mwenda
|
Bwana Yesu asifiwe,
Kweli nami naomba Mr Milinga ajitokeze tena. Alisema anasoma Biblia sana na vingine vitabu. Ebu atambie kama ni siri yake tu ao alete hazarani vile vitabu na mitandao na shairi za Biblia.
Asante
-------Message original-------
|
From: Mathew Maduhu <mdma...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, July 10, 2013 12:53 PM
Subject: Re: Je Mafundisho haya ni potofu?
Mpendwa Mabinza na SG wote Shalom,Mafundisho ya kuwazuia Wanawake wasiwe Viongozi na Wasifundishe YALISHA ONGELEWA KWA KIREFU SANA nyakati za nyuma na kuamsha hisia nyingi. Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 yamekuwa yakitumiwa kimakosa na Watumishi wengi kama reference ya kuwanyima Wanawake Utumishi katika Uongozi na Kufundisha. Lakini niseme kuwa Watumishi hao wanayatumia maandiko hayo bila kuzingatia kanuni za kusoma na kupata tafsiri sahihi ya Maandiko.Kwa mfano ukisoma maandiko haya utaona kuwa yanawataka Wanawake Wazee WAFUNDISHE. Naomba ninukuu "Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji ....., bali wafundishao mema; ili wawatie wanawake vijana akili,......." 1Tito 2:3-4. (SUV - msisitizo added). Tafsiri zingine kwenye mistari hii zinasema " The aged women ......... teachers of good things that they may teach young women...." (KJV), "Bid the older women ........ they are to teach what is good and so train the young women....." (RSV). Hapa mtu anaweza kujiuliza mbona hili agizo linatofautiana na ile lililopo kwenye Timetheo lakini maagizo yote mawili yanayotoka kwa mtu mmoja - Mtume Paulo? Hebu tuangalie tafsiri zingine kuhusiana na Maandiko ya 1Timetheo 2:11-13 ambayo ndugu yangu Mabinza ameyanukuu. Nitaangizia mstari wa 9.9 Similarly also nashim (women) should adorn themselves with respectable ..................., 10 But with what is proper for nashim professing,............. 11 Let the isha (wife) learn in silence in all submission. 12 I do not allow an isha (wife) either to have teaching authority over or to have hishtaltut (domination, taking control) over [her] man, but to be in silence. 13 For Adam was formed rishonah (first), then Chavah. (Orthodox Jewish Bible - Msisitizo added).Ni dhahiri kuwa kuna maneno mawili ambayo yametumiwa kum-adress, mtu huyu mwenye jinsia ya kike. Neno la kwanza ni NASHIM (yaani Mwanamke) na neno la pili ni ISHA (yaani Mke). Kwa kifupi ukiusoma vizuri mstari wa 11 hadi 13 unazungumzia mahusiano ya Mme na Mke. Kwa hiyo kulifanya agizo hilo li-apply kwa Kanisa /Jamii sio sahihi na linazua maswali kama mwanamke kazuiwa kufundisha wapi, kutawala wapi? n.k. Pia jambo jingine ambalo ni la msingi kwa wapendwa kulielewa ni jinsi mstari wa 11 ulivyoanza; unasema - SIMPI ...... ni nani huyo ambaye hatoi ruhusa? Je, hili ni agizo la Bwana kwa kila mtu? Hapana, lugha yake ingekuwa ni tofauti.Pastor Rwezaura japokuwa umechangia kwa kifupi nimekuelewa Mtumishi, Barikiwa. Mpwendwa Nzali ni kweli inatupasa kuyapima mafunuo na zaidi ya yote kutoya-generalize kwa kila mtu. Jei Wi wa Bwana Yesu kumbuka kuwa kila aliyezoea kuchangia mada mbali mbali kwenye Kanisa hili akiwa kimya kwa kipindi kirefu (say a month or so) huwa (s/he counted yuko) kwenye Tempoary Unyakuo.Wapendwa SG kwa kuwa ndugu yenu Milinga ameombwa atoe maandiko kuthibitisha upotovu wa mafundisho aliyoyaorodhesha niishie hapa kwa sasa. Yawezakana nikarudi tena ikiwa mpendwa wetu Milinga atakuwa kwenye temporary unyakuo.Keep on digging.Mathew.
Mpendwa Mr. Milinga,
Hili ulilolisema hapachini (No.9) unalo uhakika kuwa hilo nalo ni Moja ya mafundisho potofu, au umepitiwa tu? Hebu lisome tena umeandika hivi, “9. Mafundisho ya kuzuia wanawake wasiwe viongozi wa kanisa, au wasiruhusiwe kufundisha,”
Kama hukupitiwa, yaani ulimaanisha hivyo, nipe maandiko yanayokusapoti Mista! La sivyo, uwe muungwana tu “Ubatilishe kauli” Kama namwelewa vizuri Paulo katika fundisho lake kwa wagalatia sura ya kwanza Wgal. (1:8); Basi Ukikataa, Yesu atakutia hatiani kwa lile fundisho alilolitoa kupitia Mtumishi wake mwaminifu Paulo, ambaye alifundisha hivi, “8Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! 9Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!” Maana kama Paulo unamwamini kuwa ni Mtume wa Bwana Yesu Kristo, na pia kama unaiamini Biblia kuwa ni Neno la Mungu lisilogoshiwa. Basi Paulo alisema hivi katika ile, 1Tim. 2:11-13, “11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya. 13Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva. 14Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.”Ila ndugu jipine kwa Neno, isije kuwa wewe ndiye unapotosha, Kama hutaki haya tu!Mabinza LS.
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
Hello SG,
Napenda nami nichangie ktk hoja izi maana naona mtumishi huyu mtoa hoja alisha kwenda kwa muda JUU, atatukuta tunaendelea kula gombo hapa barabara kabisa pasi na shaka yoyote. Ninapenda sana nani baraka kwangu( to be always sincere) kuchangia/ kuongea nikiwa mimi halisi, free, relaxed, peace, social, straight and little very serious kwakua pretedence hunishinda mie.Maoni yangu ni kwa njia aidha za moja kwa moja na fupi yaani‘’tit for tat’’ and ‘’Ki-summary-summary’’ au pia kujadili kitu/kuchambua jambo Ki-Biblia, Kimaisha, Akili, Ufahamu huu huu wa kawaida pia Common senses ambazo husaidia kung’amua mambo, nyenzo za kupata maarifa/taarifa ambazo Bwana alitoa kwa Wanadamu wote, hauhitaji shule kubwa sana ya Chuo. Nitatumia pia Mahojiano nk na kwa kufanya ivyo, nina nia kabisa ya kuongea mambo mengi au machache ktk kitu/hoja moja ili kuleta tafakari nyingi ambazo mwisho wa siku zitatusaidia aidha kujijibu wenyewe au kutazamisha jibu lilipo au hoja gani ya kuchukua na kuiishi iyo.Nitakua nanukuu ya Milinga kisha nachangia yangu, leo naanza na hoja yake ya kwanza.
Milinga:’’Mafundisho kuhusu NYOTA ZILIZOIBWA’’
Maoni:Perfect statement kabisa na si tu ni potofu bali pia ni uhuni na dhambi
kutapeli watu innocent labda wale wanaofuata-fuata mkumbo na fasheni za
mbwembwe za utumishi wa kileo. Embu fikiri very seriously fact hii uone/u-feel
watu wanavyotuchezea akili. Tunatoka nyumbani kwetu twaja ibadani sunday au seminar
uliyotualika kwa matangazo mengi sana kama kuuza bidhaa vile, twajua twaja
kusikia toka mbinguni Mungu anasemaje/ anatupozaje/anatutiaje moyo/ atuonyaje/tunasongaje
mbele kwenye huduma iliyokwama au inayopata changamoto ya kuendelea, tufanyaje
kupata mpenyo au karama hazitendi kazi ipasavyo, tufanyeje watu ktk mitaa yetu
au ktk ukoo hawaookoki kirahisi pamoja na kuwashuhudia na kuishi kati yao kwa kiroho
chote full cha Bible na cha man-made e.g kunyenyekea mpaka kuongea taratiibu na ku-create sura ya
kulegea/ya upole na mororo hata kutembea mwendo wa pole, tufanyeje mchumba
katuacha/katupiga chini wakati tulisha ji-commit mambo mengi naye na moyo
tulishaufungua kwa ajili yake tu, ndugu wa mume wangu aliyefariki wanata
ninyanganya mali zangu kwa jina langu, alizoniachia mpenzi wangu kabla hajafa,
watoto wanafukuzwa shule karo kubwa sasa, kiwanja cha kanisa kinataka
kununuliwa kwa utapeli/dhuluma na ubabe ili wajenge msikiti ilihali tulifunga
na kuomba siku 40 Mungu akatupa kupitia Rashidi mjahidina kabisa aliyeamua kwa
nia safi na kwa procedures zote kutuuzia na tulishamalizana nae kwa taratibu
zote sema tu ukoo/jamaa na jumuiya ya waislamu wenziwe wameshikilia bango kua
ni kufuru kuuza kiwanja kwa ‘makafiri’ ivyo Rashidi kaamuriwa arudishe ela yetu
na kisha kukiuza kwa muislam, kuhubiri Injili kunazuiliwa na wapendwa kadhaa
wamewekwa rumande,mume mkorofi mpiga mke anakuja kanisani analia lakini akifika
geti la church anajitia moyo kufuta machozi maskini, au mke tukutu mdharau mume
mwenye maneno kama filimbi uwanja wa taifa mechi kati ya Yanga na Simba na
anakufanyia ivyo akiwa na confidence over 500% kwakua anajua wote ni wana wa
Mungu na kama mume bora wa KiBiblia na wa mbinguni, kamwe hutaleta mwali
mwingine na wala never on earth utakuja mduda ngumi moja tu ndogo na laini
angalau mara moja kwa mwaka mzima, kazi tunazo lakini kipato kidogo na mahitaji
ya michango mtaani pale, ktk familia, ukoo, kanisani ni mingi na bado kodi ya chumba,
kibanda, nyumba, kioski, genge, hujalipa wala fuel ya mwezi hujatenga ela yake,
magari yetu yamepata ajali na spare parts bei mauaji, umelipia kiwanja million 10
kisha unagundua umetapeliwa kwakua unashangaa mnajikuta wamiliki mko 3 na wote
mna hati kabisa toka serikalini, Nchi inakwenda kama shamba la Bibi, kila mtu
anachota tu na hatimaye akina mama wanajifungulia vibarazani na kulala chini
kisa hakuna vitanda, wakati mwingine twaja na mizigo, challenges, confusions/ michubuko,
michano kuraruliwa na makwazo ya wanadamu tuliyokutana nao week nzima shuleni,
vyuoni, hudumani, biasharani, majirani,kanisani,ofisini, kati ya ndugu na jamaa
wa karibu, umesikia Mungu amekuita ktk utumishi na umeshakwenda uko remote area
Mtwara na tayari umechapa Injili lakini ni mwaka sasa Mkeo aliyekulia Mijini na
Majijini amekataa kuku-join ktk huduma uko village, hataki kuacha saloon za
Dar, umeomba na kufunga mpaka basi na ndio kwanza anafungua saloon yake Ilala
mitaa ya kati,
Yaani tuna mambo yote hayo tumebeba na tuna jua kwa
hakika Bwana usema na kanisa lake, twaja ili Bwana aseme kupitia madhabahu na
weye kiumbe pale uliyerehemiwa tu na kua trusted na Mungu kusimama mbele yetu
kutuongoza/lisha mana safi, halafu ati una-take advantage ku-coin somo/fundisho
liendane na hali halisi ati nyota zetu zimepigwa kabari/roba au vibaka wa
ulimwengu wa roho waliiba! Zipi nyota zenyewe izo kwanza? Mbona Mitume na
Manabii hawakuwahi kua na ‘’ze nyota kuibiwa doctrine’’? So wewe unayeleta
karne hii ilo dude ndio spesheli mpendwa mwenye Roho, ops! I mean roho sana na
una pata vitu vikali direct toka kiti cha enzi nini? nondo ambazo huwezi au eti
si lazima uzikute ktk Bible! Yaani mpaka inatia hasira because mnenaji anajua
kabisa kati ya wasikilizaji wake, si watoto wadogo kiroho au watu wa dini,
anafahamu kwa hakika sisi hatutaki longolongo kwakua tumelishwa/tunajilisha Neno(
sound doctrine) la msingi la Mitume na Manabii wa KWELI na above all, tumefurikishwa Roho Mtakatifu wa Mungu, Roho
ya Mola mwenyewe inayotusimamia na kutuongoza ktk kweli yote hata kutunong’oneza
na kutung’amulisha kujua kati ya madude na madudu Vs. KWELI ya Neno still bado
mtu anasimama confidently kufundisha hayo? Nakwambia kwa wana wa Mungu aina
yetu, hatumkawizi, ni haraka sana tunamshusha chini ya altar au tuna mzimia mic
au tunamtumia kikaratasi pale juu kua akatishe mahubiri muda umekwisha au
akishuka baada ya kuachilia madude yake, tunapo mpokea mic yeye akiwa amekaa
chini pale anapumzika na kunywa maji, tuna-crush alichosema MBELE YAKE ili si tu
kanisa lipone na yeye mwenyewe apone mara 3 na next time akikaribishwa mahala,
kabla hajatiririka madude hayo tena, He/She will think twice.
Tutateda ivyo kwa ‘mtumishi’ wa ivyo na bado inakua kiroho safi tu na kama unadhani si sawa, basi angalia kama unaweza mzidi ukiroho rafiki na kaka yetu yetu mpenzi huyu aliyefanya ivi Yoh.2:11-17, Mat.21:12-13!!!! Ingawa specific context ni watu kugeuza nyumba ya Baba yake pango la wanyang’anyi nonetheless, general context does serve the purpose hapa pia kua SOME watumishi wa ivi leo na hayo wayafanyayo ni sawa tu na kugeuza madhabahu kijiwe cha kuchonga channels za kuleta watu na kuwavuna. Pia nampenda rafiki huyu kwa ukali na hasira zake takatifu dhidi ya watu wanaochezea kanisa, aliposema si tu mwanadamu lakini hata kiumbe toka mbinguni akiwachanganya tu wana wa Mungu au watu kuwafundisha Injili nyingine basi na alaaniwe Wagal.1:6-10.Watu wengine kwa jinsi walivyopitilizia utani kwa maisha yetu ya kwenda kwa Baba, some of us hatuhitaji kua kiroho kudeal nao! Unashituka ee! Ask Master kwa nini hakuanza kuwaombea au sijui kutumia yale mambo yetu yale tunapendaga ya ‘mpendwa plz tumia hekima eee’’alipokua ana-deal na wale waliopitiliza uhuni pale hekaluni lakini alitengeneza kikoto/fimbo na kuwanyuka huku akihakikisha njiwa wanatambaa na kupaa wakiimba pambio kuelekea wawinguni na mbuzi, kondoo, ng’ombe waki-dance kwa raha zao kuelekea mabondeni malishoni bila kusahau machenza na chungwa zikitambaa usawa wa chini kuwabariki watoto bila shaka waliokua wanarukia 1,2,3 na hata pesa zilizosambaa chini baada ya kubinua meza cha ‘burea de change’’ dealers wale, zikasaidia bajeti zao watu walikuwepo ktk tafrani ile.
Mambo ya sijui nyota
zimeibiwa, sijui tufanyiwe maombi spesheli ili kuzi-win back au sijui kuna vitu
havijakaa sawa ivyo inatupasa kumsikiliza nabii na mtume fulani kisha atufanyie
maombi spesheli ku-settle ishu kadhaa ambazo baada ya kuookoka, hua zinabaki au
hazikukamilikaga zote, yote mafundisho ovyo kama hayo, yanatupiliwa mbali na
Neno la Mungu lililo wazi kabisa mfano Wakolosai 1:13 “Naye
alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza
katika ufalme wa Mwana wa pendo lake” Ukichunguza kwa makini maandiko
haya utangundua kwamba mtu anapookolewa kwanza “ROHO YAKE HUZALIWA UPYA”
na kisha “HUTOLEWA” kwa 100% kutoka katika ufalme wa shetani
(kama vile wana wa Israeli walivyotolewa Misri) na “HUINGIZWA”
kwa 100% katika ufalme wa Mungu (kama vile wana wa Israel walivyokuwa chini ya
utawala wa Mungu walipokuwa wakiiendea nchi ya ahadi)!Ktk 1 Yohana 5:19
“Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu (sisi tuliookoka); na dunia yote pia
(wote ambao hawajaokoka) hukaa katika yule mwovu”. Sisi tu wa Mungu na
kwa maana hiyo tu chini ya baraka na wasio na Yesu wao hukaa ktk yule
mwovu kwa maana hiyo wako chini ya laana na madude yake yote e.g mambo
ya nyota, unajimu wa majini, elimu dunia, nguvu za giza na wanga, roho za
uharibufu na mafundisho ya mashetani na kuzimu nk!
Yesu alisema mtaijua Kweli nayo Kweli itawaweka huru Yoh.8:32. Unajua wapendwa kujua Kweli= Neno au from Neno, ni raha, ulinzi na confidence tamu sana, mtu atakuja na maneno yake, mbwembwe nyiiiingi, vurugu kweli, matangazo weee,kelele, tambo nyingi, show off sana, we na Kweli yako ndani moyoni umejazaa, aaa huna presha, ana piga hadithi na longolongo zake hapo madhabuhuni au redioni or ktk Tv then una choice aidha kumsikiliza, au kumwacha uende kwenye shughuli za maana nyingine au ukiwa jasiri kama wengine siye bila aibu wala kusitasita maana na yeye hakua na soni na alikua na uthubutu huo na kama yuko kanisani kwako/ kwenu, simple tu! no maombi ya kukemea apigwe ganzi, no so called hekima inayocheleweshaga mambo sometimes bali unamshusha chini au zima mic au crush akiwa palepaple au andika kinote na mtume Mze/ shemasi kumuwekea pale mezani akiwa juu kua amalize in 2 minutes muda kwisha, kuna other internal church activities/ announcements/arrangements.
Kweli nyingine ni hii..2Wakor.5:17-‘’Kwa hiyo mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama yamekua mapya’’. Sasa ako kanyota kalikoibiwa ka nini kukataka tena? Uko kalikokwenda si safi tu maana sasa ni mambo mapya na kila kitu chema tunapewa. Presha ya nini kujshughulisha na kuleta manyota yaliyofutwa na kuanzishiwa maisha mapya? Why kutafuta/kuunda na kukomalia ‘’fruitless UnBiblical spiritual home works izi’’? Si unaona tu ni uhuni wa madhabuhuni tu wa BAADHI ya wanadamu kuunda mambo ili kupata noti za kuishi mjini na kusaidia family na koo zao kisha kununua magari ya hammer, mashamba na plots Dar, Moro, Arusha, Mpanda, Iringa, Mbeya,Mwanza na pia kudaka vitalu vya kuwinda tembo wetu na na mashimo ya dhahabu na tanzanite tu!
Nitaendelea na hoja ya 2 mpaka mwisho kuchangia
Press on kunoana chuma kwa chuma,Amen.
Edwin Seleli
Hello SG,
Napenda nami nichangie ktk hoja izi maana naona mtumishi huyu mtoa hoja alisha kwenda kwa muda JUU, atatukuta tunaendelea kula gombo hapa barabara kabisa pasi na shaka yoyote. Ninapenda sana nani baraka kwangu( to be always be sincere) kuchangia/ kuongea nikiwa mimi halisi, free, relaxed, peace, social, straight and little very serious kwakua pretedence hunishinda mie.Maoni yangu ni kwa njia aidha za moja kwa moja na fupi yaani‘’tit for tat’’ and ‘’Ki-summary-summary’’ au pia kujadili kitu/kuchambua jambo Ki-Biblia, Kimaisha, Akili, Ufahamu huu huu wa kawaida, Common senses ambazo hazihitaji shule kubwa ya Chuo kung’amu mambo kwakua Bwana alitoa tu kwa Wanadamu wote,Mahojiano nk na kwa kufanya ivyo, nina nia kabisa ya kuongea mambo mengi au machache ktk kitu/hoja moja ili kuleta tafakari nyingi ambazo mwisho wa siku zitatusaidia aidha kujijibu wenyewe au kutazamisha jibu lilipo au hoja gani ya kuchukua na kuiishi iyo.Nitakua nanukuu ya Milinga kisha nachangia yangu, leo naanza na hoja yake ya kwanza.
Milinga:’’Mafundisho kuhusu NYOTA ZILIZOIBWA’’
Mchango:Perfect statement kabisa na si tu ni potofu bali pia ni uhuni na dhambi kutapeli watu innocent labda wale wanaofuata-fuata mkumbo na fasheni za mbwembwe za utumishi wa kileo. Embu fikiri very seriously fact hii uone/u-feel watu wanavyotuchezea akili. Tunatoka nyumbani kwetu twaja ibadani sunday au seminar uliyotualika kwa matangazo mengi sana kama kuuza bidhaa vile, twajua twaja kusikia toka mbinguni Mungu anasemaje/ anatupozaje/anatutiaje moyo/ atuonyaje/tunasongaje mbele kwenye huduma iliyokwama au inayopata changamoto ya kuendelea, tufanyaje kupata mpenyo au karama hazitendi kazi ipasavyo, tufanyeje watu ktk mitaa yetu au ktk ukoo hawaookoki kirahisi pamoja na kuwashuhudia na kuishi kati yao kwa kiroho chote full cha Bible na cha man-made e.g kunyenyekea mpaka kuongea taratiibu na ku-create sura ya kulegea hata kutembea mwendo wa pole, tufanyeje mchumba katuacha/katupiga chini wakati tulisha ji-commit mambo mengi naye na moyo tulishaufungua kwa ajili yake tu, ndugu wa mume wangu aliyefariki wanata ninyanganya mali zangu kwa jina langu, alizoniachia mpenzi wangu kabla hajafa, watoto wanafukuzwa shule karo kubwa sasa, kiwanja cha kanisa kinataka kununuliwa kwa utapeli ili wajenge msikiti ilihali tulifunga na kuomba siku 40 Mungu akatupa kupitia Rashidi mjahidina kabisa aliyeamua kwa nia safi na kwa procedures zote kutuuzia na tulishamalizana nae kwa taratibu zote sema tu ukoo/jamaa na jumuiya ya waislamu wenziwe wameshikilia bango kua ni kufuru kuuza kiwanja kwa ‘makafiri’ ivyo Rashidi kaamuriwa arudishe ela yetu na kisha kukiuza kwa muislamu, kuhubiri Injili kunazuiliwa na wapendwa kadhaa wamewekwa rumande,mume mkorofi mpiga mke anakuja kanisani analia lakini lakini akifika geti la church anajitia moyo kufuta machozi maskini, au mke tukutu mdharau mume mwenye maneno kama filimbi uwanja wa taifa mechi kati ya Yanga na Simba na anakufanyia ivyo akiwa na confidence over 500% kwakua anajua wote ni wana wa Mungu na kama mume bora wa KiBiblia na wa mbinguni, kamwe huleta mwali mwingine na wala never on earth utakuja mduda ngumi moja tu ndogo na laini angalau mara moja kwa mwaka mzima, kazi tunazo lakini kipato kidogo na mahitaji ya michango mtaani pale, ktk familia, ukoo, kanisani ni mingi na bado kodi ya chumba, kibanda, nyumba, kioski, genge, hujalipa wala fuel ya mwezi hujatenga ela yake, magari yetu yamepata ajali na spare parts bei mauaji, umelipia kiwanja million 10 kisha unagundua umetapeliwa kwakua unashangaa mnajikuta wamili mko 3 na wote mna hati kabisa toka serikalini, Nchi inakwenda kama shamba la Bibi, kila mtu anachota tu na hatimaye akina mama wanajifungulia vibarazani na kulala chini kisa hakuna vitanda, wakati mwingine twaja na mizigo, challenges, confusions/ michubuko, michano kuraruliwa na makwazo ya wanadamu tuliyokutana nao week nzima shuleni, vyuoni, hudumani, biasharani, majirani,kanisani,ofisini, kati ya ndugu na jamaa wa karibu.
Tuna mambo yote hayo yote hapo juu tumebeba na tuna jua kwa hakika Bwana usema na kanisa lake, twaja ili Bwana asema kupitia madhabahu na weye kiumbe pale halafu ati una-take advantage ku-coin somo/fundisho liendane na hali halisi ati nyota zetu zimepigwa kabari/roba au vibaka wa ulimwengu wa roho waliiba! Zipi nyota zenyewe izo kwanza? Mbona Mitume na Manabii hawakuwahi kua na ‘’ze nyota kuibiwa doctrine’’? So wewe unayeleta karne hii ilo dude ndio spesheli mpendwa mwenye Roho, ops! I mean roho sana na una pata vitu vikali direct toka kiti cha enzi nini? nondo ambazo huwezi au eti si lazima uzikute ktk Bible! Yaani mpaka inatia hasira because mnenaji anajua kabisa kati ya wasikilizaji wake, si watoto wadogo kiroho au watu wa dini, anafahamu kwa hakika sisi hatutaki longolongo kwakua tumelishwa/tunajilisha Neno( sound doctrine) la msingi la Mitume na Manabii wa KWELI na above all, tumefurikishwa Roho Mtakatifu wa Mungu, Roho ya Mola mwenyewe inayotusimamia na kutuongoza ktk kweli yote hata kutunong’oneza na kutung’amulisha kujua kati ya madude na madudu Vs. KWELI ya Neno still bado mtu anasimama confidently kufundisha hayo? Nakwambia kwa wana wa Mungu aina yetu, hatumkawizi, ni haraka sana tunamshusha chini ya altar au tuna mzimia mic au tunamtumia kikaratasi pale juu kua akatishe mahabiri muda umekwisha au akishuka baada ya kuachilia madude yake, tunapo mpokea mic yeye akiwa amekaa chini pale anapumzika na kunywa maji, na-crush alichosema MBELE YAKE ili si tu kanisa lipone na yeye mwenyewe apone mara 3 na next time akikaribishwa mahala, kabla hajatiririka madude hayo tena, He/She will think twice. Tutateda ivyo kwa ‘mtumishi’ wa ivyo na bado inakua kiroho safi tu na kama unadhani si sawa, basi angalia kama unaweza mzidi ukiroho rafiki na kaka yetu yetu mpenzi huyu aliyefanya ivi Yoh.2:11-17, Mat.21:12-13!!!! Ingawa specific context ni watu kugeuza nyumba ya Baba yake pango la wanyang’anyi nonetheless, general context does serve the purpose hapa pia kua SOME watumishi wa ivi leo na hayo wayafanyao ni sawa tu na kugeuza madhabahu kijiwe cha kuchonga channels za kuleta watu na kuwavuna. Pia nampenda rafiki huyu kwa ukali na hasira zake takatifu dhidi ya watu wanaochezea kanisa, aliposema si tu mwanadamu lakini hata kiumbe toka mbinguni akiwachanganya tu wana wa Mungu au watu kuwafunisha Injili nyingine basi na alaaniwe Wagal.1:6-10.
Watu wengine kwa jinsi walivyopitilizia utani kwa maisha yetu ya kwenda kwa Baba, some of us hatuhitaji kua kiroho kudeal nao! Unashituka ee! Ask Master kwa nini hakuanza kuwaombea au sijui kutumia yale mambo yetu yale tunapendaga ya ‘mpendwa plz tumia hekima eee’’alipokua ana-deal na wale waliopitiliza uhuni pale hekaluni lakini alitengeneza kikoto/fimbo na kuwanyuka huku akihakikisha njiwa wanatambaa na kupaa wakiimba pambio kuelekea wawinguni na mbuzi, kondoo, ng’ombe waki-dance kwa raha zao kuelekea mabondeni malishoni bila kusahau machenza na chungwa zikitambaa usawa wa chini kuwabariki watoto bila shaka waliokua wanarukia 1,2,3 na hata pesa zilizosamba chini baada ya kubinua meza cha ‘burea de change’’ dealers wale zikasaidia bajeti zao watu walikuwepo ktk tafrani ile.
Mambo ya sijui nyota zimeibiwa, sijui tufanyiwe maombi spesheli ili kuzi-win back au sijui kuna vitu havijakaa sawa ivyo inatupasa kumsikiliza nabii na mtume fulani kisha atufanyie maombi spesheli kusettle ishu kadhaa ambazo baada ya kuookoka, hua zinabaki au hazikukamilikaga zote, yote mafundisho ovyo kama hayo, yanatupiliwa mbali na Neno la Mungu lililo wazi kabisa mfano Wakolosai 1:13 “Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake” Ukichunguza kwa makini maandiko haya utangundua kwamba mtu anapookolewa kwanza “ROHO YAKE HUZALIWA UPYA” na kisha “HUTOLEWA” kwa 100% kutoka katika ufalme wa shetani (kama vile wana wa Israeli walivyotolewa Misri) na “HUINGIZWA” kwa 100% katika ufalme wa Mungu (kama vile wana wa Israel walivyokuwa chini ya utawala wa Mungu walipokuwa wakiiendea nchi ya ahadi)!
Ktk 1 Yohana 5:19 “Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu (sisi tuliookoka); na dunia yote pia (wote ambao hawajaokoka) hukaa katika yule mwovu”. Sisi tu wa Mungu na kwa maana hiyo tu chini ya baraka na wasio na Yesu wao hukaa ktk yule mwovu kwa maana hiyo wako chini ya laana na madude yake yote e.g mambo ya nyota, unajimu wa majini, elimu dunia, nguvu za giza na wanga, roho za uharibufu na mafundisho ya mashetani na kuzimu nk! Yesu alisema mtaijua Kweli nayo Kweli itawaweka Huru Yoh.8:32. Unajua wapendwa kujua Kweli= Neno au from Neno, ni raha, ulinzi na confidence nyingi sana, mtu atakuja na maneno yake, mbwembwe nyiiiingi, vurugu kweli, matangazo weee,kelele, tambo nyingi, show off sana, we na kweli yako ndani moyoni umejazaa, aaa huna presha, ana piga hadithi na longolongo zake hapo madhabuhuni au redioni or ktk Tv then una choice kumsikiliza, au kumwacha uende kwenye shughuli za maana nyingine au ukiwa jasiri kama wengine siye na kama yuko kanisani kwako/kwenu, simple tu ..unamshusha chini au zima mic au crush akiwa palepaple au andika kinote na mtume Mze/shemasi kumuwekea pale mezani akiwa juu kua amalize in 2 minutes muda kwisha kuna other internal church activities/ announcements/arrangements.
Kweli nyingine ni hii..2Wakor.5:17-Kwa hiyo mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama yamekua mapya’’. Sasa ako kanyota kalikoibiwa kamekwenda wapi au kalipenyaje chekecheo ili la yote kua mapya kwa ya kale kuzikwa/kutupwa? Si unaona tu ni uhuni wa madhabuhuni tu wa wanadamu kuunda mambo ili kupata noti za kuishi mjini na kusaidia family na koo zao kisha kununua magari ya hammer, mashamba na plots Dar, Moro, Arusha, Mpanda, Iringa, Mbeya,Mwanza na pia kudaka vitalu vya kuwinda tembo wetu na na mashimo ya dhahabu na tanzanite tu!
Nitaendelea na hoja ya 2 mpaka mwisho kuchangia
Press on kunoana chuma kwa chuma,Amen.
Edwin Seleli