Harusi ya Dada Subira Mwalumuli

72 pagtingin
Lumaktaw sa unang mensaheng hindi pa nababasa

brai...@gmail.com

hindi pa nababasa,
Dis 14, 2006, 10:16:15 AM12/14/06
para kayLJS classof 2000(o-level of 1997 and a-level -2000)
Wana LJS 2000 kaeni mkao wa kula maana kwa habari za kuaminika dada
Subira O.M
Anatarajia kuolewa miezi ya mwanzoni mwa mwaka 2007. Naomba tuweke hilo
kwe maombi na tuzidi kuwasiliana ili tuwe pamoja.
Asanteni

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Dis 15, 2006, 2:53:30 AM12/15/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com
HONGERA SASA DADA SUBI NIKIWA KAMA MWENYEKITI WAKO
NATOA RUKSA SI UNAJUA WEWE NDIO KATIBU WANGU...MIMI
PAMOJA NA MAMA MWENYEKITI TUNAKUPONGEZA SANA.
AMEN
BABA MWENYEKITI TOM NYAGAWA


:


____________________________________________________________________________________
Any questions? Get answers on any topic at www.Answers.yahoo.com. Try it now.

walter mushi

hindi pa nababasa,
Dis 21, 2006, 1:55:53 AM12/21/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Bwana asifiwe sana ndugu zangu ktk Kristo
we all thanks mambo ya deo yamekwisha salama na tunamuombea maisha bora na salama.
jamani jamani napata machungu kweli yaani uwezi amini watu wanaolewa na kuoa kaka berny vipi inabidi tujitaidi.
Subira hongera sana kwa kupata mwenzi wako na Mungu akubariki sana.

__________________________________________________
Do You Yahoo!?
Tired of spam? Yahoo! Mail has the best spam protection around
http://mail.yahoo.com

braille

hindi pa nababasa,
Dis 22, 2006, 1:09:12 AM12/22/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Asante mzee Mushi

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Dis 24, 2006, 4:15:37 AM12/24/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com

HELO WANADARASA MWENYEKITI HAPA NAWATAKIA X-MASS NJEMA
NA HERI YA MWAKA MPYA 2007
POA MUNGU AWABARIKI SANA
TOM NYAGAWA

braille

hindi pa nababasa,
Dis 24, 2006, 11:58:06 AM12/24/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com
NAWATAKIA X-MASS NJEMA
NA HERI YA MWAKA MPYA 2007
     MUNGU AWENANYI DAIMA.
    

braille

hindi pa nababasa,
Dis 24, 2006, 12:02:30 PM12/24/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Harusi ya Dada Subira  Mwalumuli haiko mbali jamani, Naomba mtu ajitokeze hapo awe point of contact ili watu tujulishane mambo ya michango na vikao. Naomba Dada Lilian kama unaweza utusaidie. Hili ni wazo na ombi maana nionavyo march sio mbali.
    Asanteni waungwana.

Hilly rite

hindi pa nababasa,
Dis 26, 2006, 9:07:54 AM12/26/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com



Hello Every one.

Glory to God in the highest, and on earth peace, good will toward men.
Luke 2:14

    During Christmas, we gather with family and friends to celebrate the birth of our Savior, Jesus Christ. As God's only Son, Jesus came to Earth and gave His life so that we may live. His actions and His words remind us that service to others is central to our lives and that sacrifice and unconditional love must guide us and inspire us to lead lives of compassion, mercy, and justice.

   The true spirit of Christmas reflects a dedication to helping those in need, to giving hope to those in despair, and to spreading peace and understanding throughout the Earth. As we share love and enjoy the traditions of this holiday we remember those people who work tirelessly to help our school (kituo cha Bwana) and unite us together. May God grant you a prosperous year 2007, Give you Peace, Love and Hope,

Again Merry christmass and Happy New Year.

 

God Bless LJS,

God Bless Tanzania, and God bless all of you

 

Hillary Rite

 

 


hilly2004


From: braille <brai...@yahoo.com>
Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: NAWATAKIA X-MASS NJEMA
Date: Sun, 24 Dec 2006 08:58:06 -0800 (PST)



NAWATAKIA X-MASS NJEMA
NA HERI YA MWAKA MPYA 2007
     MUNGU AWENANYI DAIMA.

    
</div

bernard konga

hindi pa nababasa,
Dis 27, 2006, 12:57:51 AM12/27/06
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Brethen, I salute u...

..Poleni na uchovu wa sikuku ya kumpokea Masiah

...Dada yetu Sabrue hongera kwa yote..

...Kwa kweli mwezi wa tatu si mbali hivyo naungana na
kaka Braille kuwa mchakato mzima wa ushehereshaji wa
tukio hilo muhimu uanze mara moja...

..Dada Lily hata mimi namfagilia kwa hiyo naendelea
kuunga mkono kuwa apeperushe bendera ya wana junior
mpaka mwisho wa tukio hili kama ilivyopeperushwa huko
babati...

...Solidarity forever ndo kauli mbiu
--- braille <brai...@yahoo.com> wrote:


Peace n luv
Kongajr
Tel: +255 786 661 221

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Ene 3, 2007, 3:55:59 AM1/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com



Shalom wana darasa  LJS 2000!

Heri ya mwaka mpya 2007.

Asante kwa taarifa njema kuhusiana na mategemeo ya dada Subira kuuaga ukapera msimbo(aka) useja hivi karibuni. Ni jambo jema; la muhimu ni kupeana taarifa na kuliombea jambo hili ili kusudi na mpango wa Mungu usimame kwa wawili hao ambao bila shaka tutajulishwa muoaji ni nani? au sivyo?

Heri na fanaka katika mwaka huu. kama kawaida Mungu kwanza!

 

 


From:  brai...@gmail.com
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  "LJS classof 2000(o-level of 1997 and a-level -2000)" <LJSclas...@googlegroups.com>
Subject:  [LJSclassof2000] Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Thu, 14 Dec 2006 15:16:15 -0000

braille

hindi pa nababasa,
Ene 7, 2007, 3:56:02 PM1/7/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Jamani kimya kingi kinatisha, Mimi naulizia  waungwana yale mambo ya pilau kwa Miss Oden Mwalumuli yanakuaje huko?
   Kinyume na hapo Nazidi kuwatakia Mwaka mwema wenye nyingi baraka.
Asanteni.

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Ene 8, 2007, 8:38:11 AM1/8/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

-
kweli kaka braille kimya kingi....mzima wewe
lakini?natumaini hata wana darasa mmenipata mu-wazima
kabisa....sasa kaka braille umesahau huku ndio kipindi
cha wazazi kupeleka watoto shule? watu wako kwenuye
majukumu baada ya wiki utawasikia tu usihofu
ahahahahahah ...... kaka mi kwa nipo Nairobi kwa siku
mbili tatu hivi then nirudi arusha ....poa salaam kwa
wote

baba mwenyekiti
tom nyagawa

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Ene 10, 2007, 5:55:43 AM1/10/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com



Shalom Watumishi wa Mungu aliye hai!

Kaka Braille na wanadarasa wote!

Napenda kuwajulisha kuwa niko tayari kutumika kama kiunganishi katika kufanikisha harusi ya Bi Sabrue. Samahani kwamba nimechelewa kuona message hii na kujibu mapema. Sijakuwa na mawasliano ya karibu na dada Sabrue kwa muda kidogo lakini hilo halizuii utendaji.

Kazi hii inahitaji commitment na mashauriano. nitaomba wahusika wa kaka Deo tuwasiliane tuweze kuweka mambo sawa na wanadarasa kwa ujumla. Uwenu ni muhimu sana katika hilo.

Bi arusi mtarajiwa naomba tuwasiliane pia mara usomapo email hii. mawasiliano ni muhimu.

Napatikana kwa namba +255 753 116295

 
Asanteni wapendwa!
    Asanteni waungwana.</div




Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

braille

hindi pa nababasa,
Ene 10, 2007, 1:32:23 PM1/10/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Tunakushukuru Dada Lilian.
Mimi nitafikisha salamu kwa wazawa wa kipandee hii, japo najua tayari wanahabari kwambali. Shughuli ni watu na watu wenyewe ndio sie, haya tusemezane ili mambo yaende.
    I will be in touch 12hrs A day, just email me, brai...@yahoo.com.
   Asanteni waungwana.

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 11, 2007, 3:53:43 AM1/11/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

heri ya mwaka mpya wana ljs wote wa 2000,mimi ni mzima,nimefurahi kusoma email zenu hasa dada lili ambaye nilikuwa nakutafuta muda mrufu baada ya kusoma mail ya kaka braille,kaka braille nashukuru kwa kukeep in touch,bila kumsahau mwenyekiti,kaka benard, walter na deo ambao email zenu nimezisoma muda sio mrefu sana,keep in touch please,nilikuwa kimya kipindi kirefu baada ya kubanwa na shughuli nyingi,kaka deo atanielewa coz kuandaa haya mambo ni issue but god is on ma side all is goingon well,
kwa kuwa brief dada lili kauliza bwana harusi ni nani,anaitwa elibariki mwakapeje bahati nzuri wana ljs kadhaa wanamfahamu,alikuwa blok moja mabibo hostel  na deo na amos yeye anawafahamu sijui kama wao wanamkumbuka,pia anamfahamu benard ingawa benard hamfahamu,anadai huwa wanaonana lunchtime baada ya kazi pale ofisini,wengine wanapicha yake rhobi,emma,duah,hata wewe dadalili nakumbuka nikiituma kama attachment kwako,haudhuru mtamjua tu,simfagilii but he is a loving humble guy,down to earth,etc.nisiongee sana kuhusu ili mtakutana nae oneday.
nipo dar but ever up n down,hii shughuli ni nzito,ila nashukuru kupata no ya simu ya dada lili ntakutafuta soon.
thanx again,mungu awabariki hata kwa kunikumbuka
bi harusi mtarajiwa
subira owden


Everyone is raving about the all-new Yahoo! Mail beta.

braille

hindi pa nababasa,
Ene 11, 2007, 1:31:08 PM1/11/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Asante Dada Subira,
Nashukuru kusikia toka kwako, sasa natuzidi kuwasiliana na kupeana taarifa.
 Nawatakia shughuli njema na afya tele.
 

bernard konga

hindi pa nababasa,
Ene 15, 2007, 8:26:34 AM1/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Hi!
 
nimepata ujumbe wako dada Liliy khs mchakato mzima wa suala mlililopo mbele la Dada Saburu, niko Arusha kwa sasa nirudipo dar  next wek, tuwasiliane ili nami niweze kutoa mchango wa mawazo.
 
..kaka Braile hongera na udumu kwa kuwa mstari wa mbele kwa mawasiliano kuliko hata sisi tuliopo chini ya himaya hii ya J.K.
 
Keep it man......
 
Goodday an tuwasiliane......

braille <brai...@yahoo.com> wrote:

Have a burning question? Go to Yahoo! Answers and get answers from real people who know.

bernard konga

hindi pa nababasa,
Ene 15, 2007, 8:26:49 AM1/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Hi!
 
nimepata ujumbe wako dada Liliy khs mchakato mzima wa suala mlililopo mbele la Dada Saburu, niko Arusha kwa sasa nirudipo dar  next wek, tuwasiliane ili nami niweze kutoa mchango wa mawazo.
 
..kaka Braile hongera na udumu kwa kuwa mstari wa mbele kwa mawasiliano kuliko hata sisi tuliopo chini ya himaya hii ya J.K.
 
Keep it man......
 
Goodday an tuwasiliane......

braille <brai...@yahoo.com> wrote:

We won't tell. Get more on shows you hate to love
(and love to hate): Yahoo! TV's Guilty Pleasures list.

rhobi...@gmail.com

hindi pa nababasa,
Ene 16, 2007, 12:17:29 PM1/16/07
para kayLJS classof 2000(o-level of 1997 and a-level -2000)
Wapendwa wanadarasa..

Heri ya Mwaka mpya..

Its just so great reading from all of you....

Tunamshukuru Mungu we are all good...

Mpendwa Subira..
I am so happy for you.. and promising you lots of my prayers...
I was in Dar for abt three weeks in Dec. to early Jan..tried all your
cell phone numbers hazipatikani.. Please let me know of the number i
can reach you mama..
it better be soon kabla sijakuchenjia.. still using same number
+447951323837

wapendwa,Nimefunuliwa kuna mkaka anataka kuoa... tafadhali haya mambo
ni ya heri tu... tuyaweke wazi... hahahahaha

Miss you people..

GOD BLESS YOU.

Lets keep in touch

:)....Mama Mwenyekiti... :)


On Jan 15, 1:26 pm, bernard konga <kong...@yahoo.com> wrote:
> Hi!
>
> nimepata ujumbe wako dada Liliy khs mchakato mzima wa suala mlililopo mbele la Dada Saburu, niko Arusha kwa sasa nirudipo dar next wek, tuwasiliane ili nami niweze kutoa mchango wa mawazo.
>
> ..kaka Braile hongera na udumu kwa kuwa mstari wa mbele kwa mawasiliano kuliko hata sisi tuliopo chini ya himaya hii ya J.K.
>
> Keep it man......
>
> Goodday an tuwasiliane......
>

> braille <brail...@yahoo.com> wrote: Asante Dada Subira,


> Nashukuru kusikia toka kwako, sasa natuzidi kuwasiliana na kupeana taarifa.
> Nawatakia shughuli njema na afya tele.
>

> Econ. Konga, Bernard
> Ministry of Health and Social Welfare
> P.O. Box 9083
> Dar es Salaam, Tanzania
> Tel: +255 (0)22 212 0261/7
> Mob: +255 786 661 221
>
> ---------------------------------

braille

hindi pa nababasa,
Ene 16, 2007, 2:05:12 PM1/16/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com, rhobi2 mukami
Asante Dada Rhobi, nimekupata kwa karibu, Naomba dada subira utupatie phn#  yako ili mawasiliano yawe mwanana hasa tunapoelekea wakati huu wa maandalizi.
Wana 2000 mie sina jipya nazidi kuwashukuru akuwaomba tuzidishe mawasiliano.
 
 
 
 
 

walter mushi

hindi pa nababasa,
Ene 17, 2007, 2:20:20 AM1/17/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
nimewapata wote wote
jamani heri ya mwaka mpya kwa wote namshukuru mola kwa kutuwezesha kuuona mwaka huu mpya na mzuri ajabu coz umeanza kwa mbwebwe za aina yake watu kuolewa na kuoa.
thanks for all coz tukopamoja na tuendeleze ushirikiano wetu.
rhobi nimekumind ajabu yani nimekumind mbaya yaani ulikua dar then ujasema japo tupeane hi ya kuonana kabisa kabisa.
subira najua uko bize lakini sio kiasi hicho cha kushindwa kumwambia x-wako uko mjini hapa na unionyeshe kwa ukaribu b4 the day aliyenizidi maarifa.
nihayo tu ndugu zangu other wise tuko pamoja.

braille <brai...@yahoo.com> wrote:
 
The fish are biting.
Get more visitors on your site using Yahoo! Search Marketing.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 17, 2007, 12:36:06 PM1/17/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
 ..My wi....Walter
 
I apologise for not communicating..
 
I spent four days in total Dar.. si unajua.. I spent the rest of the days... guess where?? Tarime... tulikuwa na misa ya mzee pia..
 
I know thats not  a good excuse my wi... nisamehe tu mpenzi wangu... mwaaaaaaaaa SAMAHANI.. 
 
I am currently working on coming back home.. hopefully i'll see you all soon...  I just cant wait.. :)
 
and for Subira... girl you better keep in touch mama...
 
Miss you guys..
 
Love and kisses to you all..
 
Mama Mwenyekiti a.k.a Mama Mtandao.. :)

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 18, 2007, 8:45:01 AM1/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
my dears,nawashukuru,i thank god for you all,am now in dar but dada lili nimeisha oana nae na nimemkabidhi majukumuyote hasa taarifa za maandalizi,kifupi tu ingawa ntakuwa naingilia kazi yake kama nilivo kabaliana nae kuwa taarifa zote muhimu kwa wana 2000 ljs atatoa yeye but itakapo bidi sitasita kuwataarifu,kwanza nini kitchen party dar as you can remember nimeishi na aunt yangu for a while na ameona vema anifanyie kitchen party dar,tarehe not yet conferen but ntawajulisha soon hasa dada zangu wote mliopo dar,secondly kuna kitchen party mbeya mjini amboyo mama yangu mazazi ameiandaa,itakuwa blok t kwa wale walioko mbeya,tarehe pia ntawajulisha soon,then kuna sendoff mbeya mjini iliyooandaliwa na wazazi tarehe pia ntawajulisha,then sendoff kyela kwa bibi angu iliyoandaliwa na madada na makaa wa bi harusi,helo helo siamini mi ni bi harusi mtarajiwa.yaani kuhudhuria harusi raha kweli ila yakikukutalazima uchanganyikiwe,any way baada ya hapo then harusi itakayo fanyika tukuyuitete nyumbani kwa bwana harusi mtarajiwa,then kuna inner party itakayo fanyika dar.kwakifupi tu hii ndo ratiba yamatukio. in case of any changes ntawasiliana na dada lili ambaye nimsaada mkubwa kwangu katika hiki kipindi.
dears nikiandika sana ntawachosa,kaka braille ameomba no ni +255786857519 will make sure its on 24,7 so that i dont miss a single call.
rhobi eti utanichangia ..nani mimi..alaaa!na utuambie nani huyo uliyefunuliwa?umenisikitisha kwa kuondoka bila kuonana but ma no got lost nimekusamehe kwa hilo,hi to bhoke.
da lili will call soon
the rest i love you al n god bless.
 


It's here! Your new message!
Get new email alerts with the free Yahoo! Toolbar.

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 18, 2007, 8:52:40 AM1/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
kaka braille,thanzx again for just being you,the way you r,kaka benard will look for u tena ofosini nikikuaribia shauri yako,kwani deo na amosi wako kijij gani ambacho net haifiki?mary n the rest i know how totress you since dada lily yupo.mwenyekiti vipi?/mama mwenyekiti mfichue basi mwenyekiti ulikomficha,come on walter you kno yo ma bro,mo over a friend so i will definately look for you since am still in dar.i have yo no and i know yo office ila nsije pigwa nitaarifu kabisaa time za kuja coz man unaweza kutana na ... just jokin.how r u man,will giv u a call.take care all
love u big


Don't pick lemons.
See all the new 2007 cars at Yahoo! Autos.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 18, 2007, 10:02:33 AM1/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Peeps..
 
Hope you are all good.
 
Sabrue,
It was nice talking earlier today and thanks for your emails..
Mama, naona kichekesho tu... can see there will be a chain of parties... and surely i ain't prepared to miss any.. tuombeane uzima na afya... will give you a call ... best wishes & much love..
 
Dada Lily,
Hope and pray that you are good too..
I hope you will keep us informed on the progress of Sab's wedding...
 
 
Darling Mwenyekiti,
Better get in touch with your Katibu naona yeye anaamini your silence has to do with me.. Kweli shetani mbaya kweli... Subira !!!??? Lol
 
Bernard,
Hope you are back in Dar.. Sasa hiyo perdm hatugawani ?Kimyakimya...
 
Wapendwa I got love for you all....Lets keep in touch.
Love,
rS
 
--
Jeremiah 29:11

For I know the plans I have for you, 'declares the LORD', plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future.

braille

hindi pa nababasa,
Ene 18, 2007, 1:12:42 PM1/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Nashukuru kusikia toka kwa dada Subira, Natumaini wapendwa mmepata # ya simu kwahiyo mawasiliano ya moja kwa moja na subira yatakua rahisi.
Nafikiri dada rhobi kashafungua dimba haya kazi kwenu.
 
Kaka Amos, Deo na Lusajo sijawasikia  siku nyingi, kulikoni? Brian, Dango, Primo, Kiwope na Alfa King jamaini mpo? 
 
 Nb: Naomba email adds za Tusa na Mtindo

bernard konga

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 12:59:42 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Salamu kwenu ninyi nyote...
 
Am ok na ninashukuru Mungu kuwa nimerudi salama jijini......
 
Dada Subilaga( Samahani mimi nalikumbuka hilo tukiwa itete kabla hatujaja mjini walikokuita Sabrue), pole na mchakato mzima wa shughuli iliyopo mbele yako.....Mungu akuimarishe. Niko ofisini leo ijumaa na pia kuanzia jumatatu kama kawaida natekeleza ilani ya chama. So  r warmly welcome hata nipate nafasi ya utambulisho kwa semeji wa upendeleo.....
 
Rhobi, Am happy to read from u.... upo? Thanx for calling last time but unfortunately sikujua kuwa una muda mfupi namna ile wa kukaa bongo kiasi kwamba nikawa nikikusaka naambiwa not reachable....naomba tushirikishe ni nani huyo anaetaka vuta jiko?
 
Dada Lily, am back in Dar kwa hiyo ntakutafuta pindi nipatapo nafasi ili tuone mchakato huu unaanzaje...
 
Ok guys, mchana mwema na kazi, shule na shughuli njema.....

No need to miss a message. Get email on-the-go
with Yahoo! Mail for Mobile. Get started.

walter mushi

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 1:12:42 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

duh? simchezo am so happy kusikia kutoka kwa wote
am happy coz watu wako very current na shughuli
mimi nafurahi kwa hilo,naomba tuwasiliane tu kwa watu tuliopo dar ili tuweze kuweka mikakati ya kufanikisha shughuli nzima ya mpendwa subby coz kuna mlolongo wa part za kufa mtu.
nawatakia wote baraka za bwana aliye hai.
kaka berny unaingia mjini kimya kimya?

 


Get your own web address.
Have a HUGE year through Yahoo! Small Business.

bernard konga

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 1:26:29 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Kaka nimeingia jana nite kali nikapangilia nikusake katika simu mkuu wangu....
 
Nisamehe kwa hilo ila tutafutane kaka manake ni aibu tangu mwaka umeanza hatujaonana...


walter mushi <wall...@yahoo.com> wrote:
Have a HUGE year through Yahoo! Small Business. bold;">Mob: +255 786 661 221


Cheap Talk?
Check out Yahoo! Messenger's low PC-to-Phone call rates.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 5:13:38 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
 
Kondoo wa bwana
 
Shalom..
 
Bernard,
Good to read from you..
Nilihisi wameshakuficha... i just dont want to comment further..
Nitakutafuta... ila naona hujagusia chochote kuhusu hiyo kitu... ( per dm) !!!!
 
Braille,
Mwaaaaa..
Got your voice mail.. will work on the issue and will get back to you soon.
 
Lockermate,
Please huko Dodoma najua ndiyo makao makuu ni kwamba hamna net au?? Boy lets keep in touch..MTU GANI WEWE ??
 
My Wi..
Glad to know you are good too.. MUNGU akubariki...
 
Sabrue,
I have been trying to get hold of you on your cell... mama simu inaita tu.. Please mama need to talk...Stay BLESSED
 
 
GOD BLESS YOU ALL..
 
Love,
rS

 

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 7:36:54 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Picture (Device Independent Bitmap) 
 
ole0.bmp

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 11:52:40 AM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Waungwana wa Kristo!

Asante Dada  Subbie kwa brief. Mtandao wetu ulileta mushkeli kidogo nikashindwa kwenda hewani.Kwa kuwa muda wetu ni mfupi kuelekea tukio na kutokana na ufinyu wa muda wa kukutana tunaomba udeposit mchango wako katk account ifuatayo:

Lilian Habakkuk Nsyenge

CRDB Holland House Branch.

Acc. No. OIJ2022011100

Tunza bank slip yako na tuwasiliane. Kwa wale watakaoshindwa kudeposit, usisite kuwasiliana nasi tutafika kuchukua mchango. Tupo kwa kazi hiyo.Tutakuwa na kikao soon kwa wale wa Dar es Salaam. Kwa kuwa hatuna contacts za wanadarasa wote tafadhali wasiliana na wengine ulio karibu nao wajulishe juu ya tukio hili linalotuhusu sana. 

Waweza kucheki na Mchungaji Amos Malongo kwa no. 0754631279 au Kaka Bernard Konga no. 0786661221 au Dada Lilian 0753116295. 

Deadline ya michango ni tarehe ya mwisho wa February 2007. Tafadhali tusaidiane katika hilo.

Tuiweke shughuli hii mikononi mwa MUNGU kwa maombi.

Mungu akubarikini sana.


 


From:  braille <brai...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Wed, 10 Jan 2007 10:32:23 -0800 (PST)


FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar MSN Toolbar Get it now!

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 12:07:54 PM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Huree Mama Mwenyekiti!

Kumbe baada ya Subira wewe ndo wachukua kijiti! inapendeza kwelikweli.

Hayo mafunuo mmh! nina wasiwasi yasije kuwa mafuniko.

anyway mzima lakini we mdada?

Mzee wa Manyani upooooo? huko nairobi kuna nini au ndo mafunuo yamefunuliwa

huko tusubiri kutangaziwa?

Wanadarasa Mungu akubarikini kwa baraka za rohoni na mwilini!



 


From:  rhobi...@gmail.com
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  "LJS classof 2000(o-level of 1997 and a-level -2000)" <LJSclas...@googlegroups.com>

Subject:  [LJSclassof2000] Re: Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Tue, 16 Jan 2007 17:17:29 -0000

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Ene 19, 2007, 3:53:54 PM1/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Happy new year to everyone! It has been great reading from everyone..It
definately brings back the good old memories. I am fine and hope the same to
everyone out there.

I saw Deo's wed pics ( thanks to kaka Braille) congratulations may you be
blessed, very cute wife..Well its definately another year full of mercies
and grace and so congratulations to Subira .. ( when is the big day?) am so
happy for you, its such a blessing to find a soul mate. .. sorry i wasn't
online the other day am just always logged in but will call you sometimes..

Well peace out to everyone and have fun out there. life is just too short:)

I miss you guys..

_________________________________________________________________
Don't just search. Find. Check out the new MSN Search!
http://search.msn.click-url.com/go/onm00200636ave/direct/01/

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 20, 2007, 2:35:04 AM1/20/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Neighbour,
 
Happy 2007 to you too mama..
 
How are you doing?
 
Good reading from you mama...

 Tunamshukuru MUNGU kwa kila siku mpya.
 
 Stay BLESSED  and BEST wishes.
 
 Neigh.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 20, 2007, 2:41:42 AM1/20/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Dada Lili,
 
Tunashukuru sana kwa info...
 
Will get back to you in few days.
 
MUNGU akubariki.

 

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 20, 2007, 2:50:14 AM1/20/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
Hahahaha...
 
Mama kwa nini nikatae?
 
Yote heri ... na hivi ni mambo mazuri... Tuombeane kwa MUNGU.
 
Akitokea mwenye nia hiyo njema, utapata taarifa tu mama..

Mimi mzima mama.. Namshukuru MUNGU..
 
Mama chonde chonde... Mzee huko Nairobi ni shughuli tu za kujiongezea kipato...Yupo busy jamani... atakutafuta soon... Hahahahahah.
 
Please MZEE WA MANYANI keep in touch.
 
Its great reading from you Lily..
GOD BLESS YOU.
 
 
On 19/01/07, Lilian Nsyenge <lin...@hotmail.com> wrote:

Huree Mama Mwenyekiti!

Kumbe baada ya Subira wewe ndo wachukua kijiti! inapendeza kwelikweli.

Hayo mafunuo mmh! nina wasiwasi yasije kuwa mafuniko.

anyway mzima lakini we mdada?

Mzee wa Manyani upooooo? huko nairobi kuna nini au ndo mafunuo yamefunuliwa

huko tusubiri kutangaziwa?

Wanadarasa Mungu akubarikini kwa baraka za rohoni na mwilini!

braille

hindi pa nababasa,
Ene 21, 2007, 1:54:21 PM1/21/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Waungwana nawapata vizuri kabisa, Mimi sina jipya bali nawatakia wiki njema na kazi njema. Baraka za Muumba  naziwafurikie, amani ya bwana iwe nanyi.
Tuzidi kuwasiliana na kuombeana.
 
 
 
  
 

Emma Chanim...

hindi pa nababasa,
Ene 21, 2007, 6:28:40 PM1/21/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

nawewe pia.




Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim
Subject:  [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Sun, 21 Jan 2007 10:54:21 -0800 (PST)


Waungwana nawapata vizuri kabisa, Mimi sina jipya bali nawatakia wiki njema na kazi njema. Baraka za Muumba  naziwafurikie, amani ya bwana iwe nanyi.
  
Tuzidi kuwasiliana na kuombeana.
  
  
 
  
 
  
  
  
  </div


mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 10:31:16 AM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
hey guys i get you all esp duah who just got lost,thanx nice reading from you,glad yo ok,emma you know how it means to hear from you...,rhobi sorry mama got yo missed calls, uk si expensive vile, remember nilikuwa na jelo yaani 500 n talked with you so will call back,kaka braille nashukuru u mzima n for communicating,dada lili pole kwa majukumu n for being there,will hav to see you soon,kaka benard nilikuta missed call will get back to you,kaka walter thanx 4 communicating keep it up,mwenyekiti rudi basi huku bongo pia tunataka kukuona au mama mwenyekiti unasemaje?the rest wherever you r keep in touch,as duah said...hav fun n be good ,life is short so take care,
nimejistukia bi harusi sijatulia,naomba mniruhusa kukaa kimya..bi harusi gani haishi kuongea.
thank you all
love you all.

"Emma Chanim..." <ech...@hotmail.com> wrote:

Need Mail bonding?
Go to the Yahoo! Mail Q&A for great tips from Yahoo! Answers users.

braille

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 10:36:37 AM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Sema wee Bi harusi/ katibu tukisema sie tutaambiwa mnapiga kelele darasani.
 
   

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 10:50:32 AM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
yo online?thats so cool,yaani ungekuwa msn ingekuwa poa,sign in

braille <brai...@yahoo.com> wrote:
Sema wee Bi harusi/ katibu tukisema sie tutaambiwa mnapiga kelele darasani.
 
   
Don't be flakey. Get Yahoo! Mail for Mobile and
always stay connected to friends.

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 11:25:01 AM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com


Wapendwa katika Jina la Yesu! Salaam!

Kwa kweli ninabarikiwa sana kukuta vichapo na vimbakora vya wanadarasa. Inapendeza kuona ndugu wakiishi pamoja kwa umoja.

Langu ni updates za harusi. Kwa wale mlioko Dar nawaomba sana tuonane pale Hillpark Udsm Jumapili 28/01/2007 saa nane mchana tukajue mambo yanakwendaje. Itakuwa vema tukijulishana ili kila anayeweza asikose tukio hili. Bi arusi mtarajiwa atakuwepo kwa dakika chache pamoja nasi kabla ya kuendelea na pilika za shughuli yake.

Naomba tujulishane wapendwa na tutunze muda.

Jamani wanadarasa nawapenda katika Kristo. Tuombeane na tusikose Jpili pale Hillpark!!!


From: "Emma Chanim..." <ech...@hotmail.com>

Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date: Sun, 21 Jan 2007 23:28:40 +0000

braille

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 12:11:32 PM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Sawa dada Lilian, Najua mtaonana hiyo jumapili mimi naiweka katika maombi siku hiyo ili wote walioko kule busy waweze kutoroka na kuhudhuria kikao hicho.
   I will wait to hear from you all about sunday the 28th meeting.
Asanteni

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 12:19:01 PM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
 
Natumaini waheshimiwa wote hawajambo...
 
Its just great reading from you all.
 
Bibi Harusi,
Ni vizuri tu mama.. tunakuombea kwa MUNGU
Si kidogo... mbona tunalo... mimi najiona tasuuuu... nina hakika neigh na Emma wanakubaliana na mimi...Mtu gani wewe..
Sab.. kindly check on Bhoke on her cell.. 0784 246536
 
Dada Lili,
Thanks for the updates... ila nakuomba kitu kimoja.. pacha yeye yupo hapo Dar na mama..may you kindly send her an sms umwambie kuhusu hicho kikao.. maana hata email siku hizi haangalii.. i hope bado atakuwepo hicho kipindi angalau na yeye afikepo... cell yake hiyo hapo juu...
 
I know kwenye haka kamtandao kuna watu wengi.. Pse  people.. drop few lines..
 
MUNGU awabariki.

bernad kiwope

hindi pa nababasa,
Ene 22, 2007, 1:00:36 PM1/22/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Subira Mwalumuli sio? safi sana, basi na mi nimo................. keep intouch guys ili tufanikishe mambo au vp?? easy, long life LJSclassof2000. peace n' luv. tkea all.

Emma Chanim...

hindi pa nababasa,
Ene 23, 2007, 6:32:24 PM1/23/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

bi harusi gaaaaaniii wewe!!! i hope you remember how to say that as it is said...lol




Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim

From:  mwalumuli subira <smwal...@yahoo.com>

Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Mon, 22 Jan 2007 07:31:16 -0800 (PST)

Emma Chanim...

hindi pa nababasa,
Ene 23, 2007, 6:46:54 PM1/23/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Rhobi...email me my dear...utasu utaacha wewe!!!



 




Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim

From:  "Rhobi Sandra Mukami" <rhobi...@gmail.com>

Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Mon, 22 Jan 2007 17:19:01 +0000

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Ene 27, 2007, 3:47:06 AM1/27/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
kaka kiwope mzima wewe?? long time mshkaji..uko wapi
mheshimiwa???kama umepoteza namba yangu ni hii mshkaji
0754 679929 ....ahahaha najua wanadarasa sijapendelea
najua wengi mnayo au vipi??? BRAILLE,SUBIRA,KONGA
Jr.,WALTER,LILI,AMOS,BHOKE,MAMA MWENYEKITI RHOBI, na
wanadarasa wengine wote ambao sijawataja kwa kifupi
nawasalimu kwa jina la bwana wetu yesu
kristo.......wapendwa mi mzima mungu anaendelea
kunipigania kwa sasa nipo Mwanza kwa muda kidogo next
week nitakua Nairobi ndio nirudi ARUSHA.....dada
subira kilio chako naamini mungu amekisikia nategemea
mwezi ujao kuhamia Dar kikazi tutawasiliana
zaidi...mwenyekiti lazima niwe na katibu wangu bega
kwa bega....halafu sijakupa kazi siku nyingi sasa
tayarisha watu wa KUDEKI HILI DARASA LA MTANDAO
OKEY???? KUMBUKA MAMA MWENYEKITI hapangwi zamu.......
mnacheka nini sasa ..............

ciao baba mwenyekiti hapa


---------------------------------

Subira Mwalumuli sio? safi sana, basi na mi
nimo................. keep intouch guys ili
tufanikishe mambo au vp?? easy, long life
LJSclassof2000. peace n' luv. tkea all.


---------------------------------


FREE pop-up blocking with the new MSN Toolbar MSN
Toolbar Get it now!


____________________________________________________________________________________
Any questions? Get answers on any topic at www.Answers.yahoo.com. Try it now.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Ene 27, 2007, 5:29:02 AM1/27/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
Hahahaaa,
 
Inamake sense utakuwa tu mama mwenyekiti bila priviledges??
Asante sana kwa kunikumbuka baba.. Its good to read from you...
Pole na shughuli za maisha...
 
Wapendwa wote..
Natumaini nyote ni wazima.. Mh. Kiwope its good to read from you too...  Emma likewise will keep in touch.
 
Subira naomba namba nyingine ya kukupata mama naona hii uliyonipa hupokei...
 
MUNGU awabariki sana nawatakia weekend njema.

 

danstan kishaka

hindi pa nababasa,
Ene 28, 2007, 12:24:31 PM1/28/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Hellow hope everybody is doing fine out there, iam doing fine as well. i just wana let you know that we had the first kikao 4 dada subiras wedding and it was real nice.i was chosen to be Katibu 4 this and i enjoyed beeing with some people i hant seen for a long time like Mutente who is now working at Makamu wa Rais Office. Mtuombee tufanikishe hili kwa pamoja. Those who were there:- Bhoke,Kishaka,Amos,Tula,Lilian Nyenge,Mutente and Ammy Mchele hope mumewe atanisamehe jina lake silijui ningelitaja plus bibi Harusi mtarajiwa,
 
i wana wish the best of lucky you people. Keep that solidarity coz for sure people are admiring us and its real nice


Food fight? Enjoy some healthy debate
in the Yahoo! Answers Food & Drink Q&A.

braille

hindi pa nababasa,
Ene 28, 2007, 4:32:30 PM1/28/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
MR Kishaka in the mix.
Katibu wa kikao nashukuru  kusikia toka kwako. Najua mtatujulisha makubaliano na mipango kwa ujumla kadri mpatapo nafasi. Mimi sina jipya nazidi kuwaweka kwenye maombi na mungu awatangulie kwenye kazi zenu na maisha kwa ujumla.
    Salamu kwa wote wote. Bhoke,Kishaka,Amos,Tula,Lilian,Mutente and Ammy Mchele asanteni sana.
 
Mwabieni Mr Mutente naomba email add  yake tafadhali.

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Ene 29, 2007, 3:20:54 AM1/29/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
KWANZA MAMA MWENYEKITI AKSANTE KWA SALAMU
HAYA NAANZA
mheshmiwa kishaka ubarikiwe sana najua jahazi ilo la
ukatibu linakufaa na wote waliohudhuria hongereni sana
maana nikiwa kama mwenyekiti wengine hapo ni long time
kama ammy mchele na mutenteee aah sorry wakina dada
ndio walikua wanaweza sana kutamka jina lake ..si ndio
kaka braille????
pia nikiwa kama mwenye kigoda yaani mwenye kiti idadi
iyo haijitoshelezi jamani maana konga,walter
sijawasikia au hawapo dar???? wazeee wa
logistic....ahahahahaha
poa kwa kifupi jamani nwatakia mafanikio kwa hilo
maana ambao hutuja oa tunatengeneza CV..hapa mwanza
shwari nakula samaki kwa fujo samahani kaka braille
najua wewe huwa hupendi samaki
MBARIKIWE SANA
BABA MWENYEKITI HAPA


____________________________________________________________________________________
Sucker-punch spam with award-winning protection.
Try the free Yahoo! Mail Beta.
http://advision.webevents.yahoo.com/mailbeta/features_spam.html

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 29, 2007, 7:00:04 AM1/29/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
emma mtu gaani wewe,i do remember si ni ascent ya ntulo?au nimekosea.
guys thanx,it was so nice seeing all of you that day,i was in hurry but hope to see you soon
god bless.
bi harusi gani vikao mia?

"Emma Chanim..." <ech...@hotmail.com> wrote:

Finding fabulous fares is fun.
Let Yahoo! FareChase search your favorite travel sites to find flight and hotel bargains.

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Ene 29, 2007, 7:09:46 AM1/29/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
kaka kiwope habari long time.its good yo in touch,mwenyekiti nasubiri kazi,nakuombea tu uhamisho mwema utanikuta,mama mwenyekiti unakumbuka kukaaa tuuu bila kupangiwa usafi?mtu gaaaaasani wewe.isistoshe hukuwa peke yako kwenye hilo swala any way i miss all those moments.mbona simu yangu iko on 24 7?.mbona nimeongea na berny,dada lili tumeongea leo ,we rhobi simu yako inashida gani?any way will solve the prob and get back to you.
mutente amy bhoke lily amos lulu n kishaka,it was nice seeing you,thanks
peace n love
bi harusi

TV dinner still cooling?
Check out "Tonight's Picks" on Yahoo! TV.

walter mushi

hindi pa nababasa,
Ene 29, 2007, 8:39:36 AM1/29/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
kwa kweli hakuna kitu kilicho nisikitisha kama kukosa kikao but hope next kikao mimi na mzee mwezangu wa logistic kama alivyosema mzee wa manyani tutakua ndani ya nyumba unajua w,end huwa tunabinafsisha maisha kidogo ndio maana mambo yanakua mengi kama mnavyo jua hapa town ukilemaa tu utakua unawasindikiza wenzako kwa hiyo mtu wie radhi lakini next kikao tutakuwa pamoja.
 sasa naomba kuambiwa kikao cha pili kimepangwa kufanyika lini na wapi?
 
subira vipi upo town hapa au ndio mambo mengi mtu wangu?

mwalumuli subira <smwal...@yahoo.com> wrote:

Everyone is raving about the all-new Yahoo! Mail beta.

bernard konga

hindi pa nababasa,
Ene 29, 2007, 8:49:46 AM1/29/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 Wadau naungana na kaka Walter kwa yote aliyoyasema.....
 
kwa kweli kukosa kikao cha mdau aliyepo Dar kwetu huwa ni kufuru, hivyo alichokisema ni sahihi kuwa next meeting tutakuwa wa kwanza tukiangalia logistics ndogo na kubwa.....
 
Guyz nice to read kutoka kwenu, manake inakumbusha mengi...
 
Bibi harusi tuko wote mwanzo hata ukamilifu wa dahari.....
 
Kaka Walter hope uko online, wapi leo nikukute bosi wangu? najiandaa kutoka ili tupange mikakati ya kuwahi kikao kijacho na kuangalia mchakato mzima wa logistics...
 
Tttttttttttttttcccccccchhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaooooooooooo

walter mushi <wall...@yahoo.com> wrote:
Everyone is raving about the all-new Yahoo! Mail beta. Tanzania

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Peb 2, 2007, 2:36:22 AM2/2/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Wapendwa wanadarasa!

Bila shaka mu wazima mkiendelea vema na majukumu yenu. Nasikitika kuwajulisha kuwa Dada Mary Aiwinia kafiwa na Baba yake Mkubwa na mazishi yamefanyika kule Moshi. Tumkumbuke katika sala zetu na kumfariji. Anapatikana kwa namba 0755863513.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe.



 


From:  braille <brai...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Sun, 28 Jan 2007 13:32:30 -0800 (PST)


MR Kishaka in the mix.
  
Katibu wa kikao nashukuru  kusikia toka kwako. Najua mtatujulisha makubaliano na mipango kwa ujumla kadri mpatapo nafasi. Mimi sina jipya nazidi kuwaweka kwenye maombi na mungu awatangulie kwenye kazi zenu na maisha kwa ujumla.
  
    Salamu kwa wote wote. Bhoke,Kishaka,Amos,Tula,Lilian,Mutente and Ammy Mchele asanteni sana.
  
 
  
Mwabieni Mr Mutente naomba email add  yake tafadhali.</DIV




Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Peb 2, 2007, 2:59:48 AM2/2/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

SWhukrani kwa wote tuliowezeshwa kuhudhuria kikao.

kikao kingine ni Jumapili tarehe 11/02/2007 pale pale Hillpark

saa tisa alasiri.

Mungu awabariki as you plan to miss not!



Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

braille

hindi pa nababasa,
Peb 3, 2007, 12:36:50 AM2/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Pole nyingi kwa dada Mary Awinia na familia kwa ujumla. Mola awazidishie ujasiri na moyo wakukubali mapenzi ya muumba.
      Nawatakia wafiwa afya njema na baraka za Mungu ziwamiminikie.
Pole dada Mary.

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Peb 3, 2007, 5:53:48 AM2/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Hi Mary and the family,
 
Poleni sana kwa msiba..
 
MUNGU awape nguvu.
 
Stay BLESSED.

 

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 3, 2007, 5:51:47 PM2/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Pole sana sana Mary mungu azidi kuwa nawe na familia nzima wakati huu mgumu.

_________________________________________________________________
Express yourself instantly with MSN Messenger! Download today it's FREE!
http://messenger.msn.click-url.com/go/onm00200471ave/direct/01/

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 3, 2007, 5:53:58 PM2/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Danstan Kishaka .. jamani nimekumiss.. za siku nyingi lakini? hongera kwa
kuwa katibu wa harusi nadhani mtatuwakilisha vizuri .. sina uhakika harusi
ni lini lakini ningependa kujua..
Peace out everybody!


Ms Duah Joselyne.

>From: danstan kishaka <dkis...@yahoo.com>
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira
>Mwalumuli

>Date: Sun, 28 Jan 2007 09:24:31 -0800 (PST)
>
>
> Hellow hope everybody is doing fine out there, iam doing fine as
>well. i just wana let you know that we had the first kikao 4 dada subiras
>wedding and it was real nice.i was chosen to be Katibu 4 this and i enjoyed
>beeing with some people i hant seen for a long time like Mutente who is now
>working at Makamu wa Rais Office. Mtuombee tufanikishe hili kwa pamoja.
>Those who were there:- Bhoke,Kishaka,Amos,Tula,Lilian Nyenge,Mutente and
>Ammy Mchele hope mumewe atanisamehe jina lake silijui ningelitaja plus bibi
>Harusi mtarajiwa,
>
> i wana wish the best of lucky you people. Keep that solidarity coz for
>sure people are admiring us and its real nice
>
>
>
>
>

>---------------------------------


>Food fight? Enjoy some healthy debate
>in the Yahoo! Answers Food & Drink Q&A.
>>

_________________________________________________________________

Na-delete na ang mensahe
Na-delete na ang mensahe

Pam C. Maeda

hindi pa nababasa,
Peb 3, 2007, 6:58:50 PM2/3/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Mary,

I'm really sorry to hear about your loss and I know that words cannot heal
the pain of loosing someone so dear, so may the Lord give you strength to
overcome all the pain. It will take time for the pain to heal and I
pray that the Lord gives you the strength and guide you and your family in
this difficult time. May the warm memories of your dear one soothe you in
this difficult time and help you to be at peace. My prayers are with you and
your family. May he rest in peace.

Ms Maeda.

 


"Intellectual growth should commence at birth and cease only at death." (Albert Einstein)

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 6:47:59 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

HELO MARY,
POLE SANA KWA MSIBA WA MZEE WETU,MUNGU AWABARIKI
KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU.
STAY BLESSED



____________________________________________________________________________________
Never miss an email again!
Yahoo! Toolbar alerts you the instant new Mail arrives.
http://tools.search.yahoo.com/toolbar/features/mail/

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 6:54:34 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

HELO WANA DARASA TOM.NAWASALIMU KTK JINA LA BWANA WETU
YESU KRISTO...HAPA ARUSHA SHWARI KABISA...
VIPI JAMANI MKO BUSSY SANA SIWASIKII KABISA HATA MAMA
MWENYEKITI UPO KIMYA?? DUAH NIMEFURAHI KUSIKIA U-MZIMA
MAANA LONG TIME...
BIBI HARUSI NAKUSAMEHE MAANA NAJUA UKO KWENYE
LOGISTIC...
POA
NEXT TIME AM OUT

linsye

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 9:07:43 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
          
         photo                                photo2                            photo3
Video_part.mim

bernard konga

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 9:11:23 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Dada Mary pole sana kwa msiba uliokupata wewe na familia yako. Mungu azidi kuwapa nguvu katika kipindi hiki mlichopo na tuko nanyi katika maombi.
221

Rhobi Sandra Mukami

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 9:28:24 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
 
Hamjambo wapendwa,
 
Its great reading from all of you.
 
Dada Lili, MUNGU akubariki na kazi nzuri mliyoianza ya kufanikisha harusi ya mpendwa wetu Sabrue.
 
Kaka Kishaka, wote tunafahamu utendaji wako wa kazi... na ndiyo maana umekabidhiwa hayo majukumu.. tunaamini kazi yako.... mbarikiwe sana
 
Mwenyekiti, naona mambo yako ni mazuri.. mara NRB, MWZ, ARS... si bure... tuzidi kukumbukana katika ufalme wa bwana... Its all abt sharing the little we have.. :) Mimi na wewe tena... hahahaaa
 
Kaka Braille, tuwasiliane.
 
GOD BLESS YOU ALL.

linsye

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 10:20:08 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
DSC-00465.jpg
 
DSC-00466.jpg
 
DSC-00467.jpg
Video_part.mim

linsye

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 11:03:57 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Attachments00.HQX

danstan kishaka

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 11:49:25 AM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Hi everybody! Hope you are doin greet, Just wana say hello and remaind you of our next meeting at HILL PARK on 11th of this month, Lets unite and TOGETHER WE WIN,Nice to read from Nyagawa,RHOBI, Brailly,Duah and am wishing you the best of LUCK and the whole class at large


danstan kishaka

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 12:00:14 PM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Duah! Its real nice to hear from you and hope you are doin fine,mambo lazima yafanikiwe kwani mungu yupo upande wetu,kwa mema mungu hana tatizo na atatuongoza, tuzidi kuombeana


Yahoo! Toolbar alerts you the instant new Mail arrives. Check it out.

Emma Chanim...

hindi pa nababasa,
Peb 5, 2007, 6:29:35 PM2/5/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Mary poleni sana....mungu awapeni nguvu katika kipindi hiki kigumu.



 




Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim

From:  bernard konga <kon...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Msiba kwa dada Mary Aiwinia
Date:  Mon, 5 Feb 2007 06:11:23 -0800 (PST)

linsye

hindi pa nababasa,
Peb 6, 2007, 2:02:11 AM2/6/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Attachments00.HQX

linsye

hindi pa nababasa,
Peb 6, 2007, 2:31:15 AM2/6/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Attachments00.HQX

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Peb 6, 2007, 7:32:55 AM2/6/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

naam nimekupata mama mwenyekiti usijali mimi na wewe
tena...yani hapo nikama mtu anaulizia VUMBI
STOO...kwmba lipo tuu au vipi....ahahahahaha
lol...braille umecheka sana ...
oya wanadarasa mu poooooo
poa nawapa jambo
am out
MBARIKIWE
BABA MWENYEKITI HAPA



____________________________________________________________________________________
Yahoo! Music Unlimited
Access over 1 million songs.
http://music.yahoo.com/unlimited

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Peb 10, 2007, 3:48:24 AM2/10/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
dada mary
naungana na wanadarasa wote ljs2000 kukupa pole ya msiba,mungu awe na familia yote katika kipindi hiki .
subira


We won't tell. Get more on shows you hate to love
(and love to hate): Yahoo! TV's Guilty Pleasures list.

mwalumuli subira

hindi pa nababasa,
Peb 12, 2007, 8:51:40 AM2/12/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
hey broz n sisters,soo gud to read from you all.mzee wa mtandao baba mwenyekiti naomba taratibu usije vunja mbavu za bi harusi.
mwenyekiti wa kikao nashukuru kwa taarifa na utayari wako.nimeshauliwa kuwa bibi harusi sitakiwi kuongea sana so sana sana niwashukuru wote na mungu awabariki.
love you all
you have really touched ma heart and i will always be touched.
love.
subira
 


Have a burning question? Go to Yahoo! Answers and get answers from real people who know.

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Peb 13, 2007, 3:14:15 AM2/13/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com, teddyd...@yahoo.com, grace...@yahoo.com

Wapendwa wanadarasa,

Bila shaka mu wazima mkiendelea vema na majukumu mbalimbali katika kujipatia kipato ili tusiende mbele za Bwana mikono mitupu na akili ametupa lakini pia kutimiliza maandiko kwamba asiyefanya kazi na asile. Yote ni mema.

Niwashukuru wote mnaoandika kwa kweli tunabarikiana. Ras Frah karibu tena ktk mtandao.

Kaka Braille na wengine walipenda kujua tarehe ya mwisho wa michango. ni 28th feb 2007. Ili tupate nafasi ya kufanya taratibu nyingine kwani shughuli i mlangoni.

Niwashukuru Katibu Kishaka, Kaka Walter na Bernard kwa kuhudhuria kikao Jpili. Poleni kwa kusubiri na asanteni kwa kuwa waaminifu. naamini majukumu yalituzidi tukashindwa kufika. Lakini mmh1! ahadi ni deni eti!

Niwatakieni kila la heri katika kazi zenu. kama kawaida TUSISAHAU KUMTANGULIZA MUNGU NA KUMRUDISHIA SIFA NA UTUKUFU.


From:  danstan kishaka <dkis...@yahoo.com>
Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: [LJSclassof2000]Harusi ya Dada Subira Mwalumuli
Date:  Mon, 5 Feb 2007 08:49:25 -0800 (PST)



Hi everybody! Hope you are doin greet, Just wana say hello and remaind you of our next meeting at HILL PARK on 11th of this month, Lets unite and TOGETHER WE WIN,Nice to read from Nyagawa,RHOBI, Brailly,Duah and am wishing you the best of LUCK and the whole class at large


Food fight? Enjoy some healthy debate

walter mushi

hindi pa nababasa,
Peb 13, 2007, 5:23:54 AM2/13/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

nawashukuruni wote wanaojitaidi kuendeleza haka kamtandao nikazuri sana kwa kweli.
mimi nakapenda sana kwa kweli na nawaomba wote tuwe active ili tusije tukapotezana na ushirikiano wetu ukalegalega.
 
wapendwa wana ljs2000 tulihudhuria kikao ingawa watu hawakufika kama ilivyo takiwa lakini nashukuru sisi tuliokuwepo tuliongea kidogo tuka mwachia majukumu mheshimiwa katibu.kama tulivyo sikia mwisho ni mwisho wa mwezi huu so jamani tujitahidi kutimiza na kutoa michango yetu.
 
sijajua mtunza fedha ninani ili nimtafute nimpatie mchango wangu na mzee mwenzangu wa logistics tafadhali jitokeze na useme unapopatikana ili tukupatie fasta kabla ya w'end zinaweza kuisha na kupata nyingine inakua kazi sana hapa town coz mambo ni mengi mnoooooooo.
 
ras frah vipi kaka mbona kimya sisi watu wamungu bibilia inasema tupendane na hiyo ndio amri iliyo kuu kuliko zote sasa mbona hutupendi ndugu zako na waswahili wanasema kizuri kula na mwenzio huo ndio upendo aliotuachia kristo sasa wewe uko upande gani kaka?
mungu ibariki ljs2000,mungu bariki kituo cha bwana,mungu bariki kkkt na mungu ibariki tz.
asanteni kwa kunisikiliza.


Don't get soaked. Take a quick peak at the forecast
with theYahoo! Search weather shortcut.

braille

hindi pa nababasa,
Peb 13, 2007, 7:17:34 AM2/13/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Asanteni waungwana, poleni kwa shughuli za kimaisha.  Naungana nanyi kuitikia wito wa tarehe ya mwisho wa mchango feb 28. Sasa mweka hazina atutonye ili nimuagizie kwa mwakilishi atake nisaidia kufikisha huo mchango. Kwa wale mliopo USA na bado hamjaweza kufikisha michango yenu kama mimi basi kuna mtu anaondoka hapa TX tarehe 20/02/2007 kuelekea TZ hivyo tunaweza kuwasiliana ili tukamtumia huyu ndugu kufikisha michango yetu.
   Asanteni sana

bernard konga

hindi pa nababasa,
Peb 13, 2007, 7:22:27 AM2/13/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
asalam alheikum...

Ni jambo la kheri pale ndugu wanapokuwa wakiwasiliana huku maneno ya upendo yakiwa yanakonga nyoyo zako na nyuso zikiwa zina amani....

Kaka Walter muzee wa kizunguzungu na logistic nimekupata vilivyo na rejea hadidu za rejea tulizokuwa tumejiwekea katika mchakato huu. Lazima twende Mbeya babake......

Dada saburu usihofu mambo lazima yawe muswano yaani poa....

Kaka Frank, nimesikia ulikuwa bongo nikakusaka nami pasi mafanikio, but I hope next time tutaonana..si unajua mi ndo mtumishi wenu ninyi watu wa sekta husika?/

Dada Duah, upo? long time kinyama tangu gradue? Hope u r doing fine...

Dada Ema hope uko gado?

Mzee wa mtandao vipi? Ulituahidi unatia timu dar, lini mkuu?

Mama Mwenyekiti mambo yako vipi? habari ya skuli? hope u r fine......

Kaka braille, mambo yanakwendaje....am ok kaka,

na jamii nzima ya Wanaljs wote mbarikiwe na Bwana...

Goodday


walter mushi <wall...@yahoo.com> wrote:

Need a quick answer? Get one in minutes from people who know. Ask your question on Yahoo! Answers.

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 14, 2007, 9:28:08 AM2/14/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Hey Happy Valentine to my dear ones..
nakubaliana na walter huu mtandao ni kitu kizuri sana najua wengi tumetingwa
lakini mara moja moja si mbaya.
Nazidi kuwashukuru wote waliotuwakilisha kwenye kikao cha rafiki mpenzi
Subira .. ambacho mpaka sasa hivi sijui harusi ni lini.. nimeongea na Bi
hrusi na Lilly siku chache zilizopita lakini hamna aliyeniambia .. jamani ni
lini .. Subira u never i might be one of the maids.....

Bernard na Walter nipo tu nahangaika na maisha lakini nawakumbuka vibaya
sana .. napigwa tu baridi kali Valentine hiii..lakini Bernard ulipendeza
sana kwenye harusi ya Deo.. naona yeye bado yuko honeymoon..

Neighbour neighbour i will drop u like its hot.. hunipigiiiiiii.. yani nna
storiiiiiiiiiiiiiiiii kwanza ntakutukana we acha call me this w/end pss niko
off #614-209-4828

Jamani where is my baby GQ.... yaani he is wanted so bad..( anyone with his
info)

Peace out y'all!

Ms Duah Joselyne.

>---------------------------------


> Don't get soaked. Take a quick peak at the forecast
> with theYahoo! Search weather shortcut.
>
>
>
>
>

>---------------------------------


>Need a quick answer? Get one in minutes from people who know. Ask your
>question on Yahoo! Answers.
>>

_________________________________________________________________

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Peb 14, 2007, 9:34:04 AM2/14/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

DUAH ARE ALIVE? HAPPY VALENTINE TO YOU 2



____________________________________________________________________________________


Food fight? Enjoy some healthy debate
in the Yahoo! Answers Food & Drink Q&A.

http://answers.yahoo.com/dir/?link=list&sid=396545367

Ras Frah

hindi pa nababasa,
Peb 15, 2007, 6:33:54 AM2/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
MUHIMU.....
MWENYE NUMBER YA SIMU YA "ALTEN WASONGURE KITETERO
NTULO" WA MAKETE TAFADHALI NAOMBA...

Wapendwa ktk kristo nawatakia siku njema ya
wapendanao.......!!!!
"LJS siku hii ilikuwa ikisherehekewa kila siku" - i
love ljs" kaka walter utakubaliana na mie ktk hili...!
Nilipo mie noma, ukimwambia mtoto wa watu happy
valentine hachelewi kwenda kushtaki na kusema
unachumbia njiani- "kinyume na matakwa"....!

Dada DUA karibu ktk haka kamtandao ka wana
LJS-2000..Tupo swafi kama kawaida yetu wapenda kwa ktk
bwana.... siri ya mafanikio na muungano huu ni ile
ile.. "bwana yesu asifiwe" na hata kondoo wasio wa
zizi hili pia tunachungika nao ktk malisho mamoja..!-
nukuu luke/mathayo/mark... msiangalie marks zangu za
divinity... hata mafarisayo waliijua bibble pia zaidi
ya wateule...
Ombi lako la number ya GQ(loth-1)hahahaaaa
limesikilizwa na kutekelezwa...number hiyo hapo...ila
bibie angalia mida ya kupiga, ukipiga time za askari
wa makamba umeharibu...
+255754911371-GQ

Wana LJS wengine wote nawatakia maisha mema na yenye
mafanikio... tukijitahidi tutafika....na maisha bora
kwa kila mtanzania inawezekana***...
-baba wa taifa(J.K. Nyerere) alisema.... utu wa mtu
ni kazi, tujitahidi kukaza mwendo...!!
-Sungura...sungura... sungura unakwenda wapi...?
nakwenda kuua tembo..(jk nyerere) pene nia ipo njia..
tujitahidi..tuwe na moyo wa sungura kama alivyosema
baba wa taifa.

Peace & Love


____________________________________________________________________________________
Never Miss an Email
Stay connected with Yahoo! Mail on your mobile. Get started!
http://mobile.yahoo.com/services?promote=mail

emily saivoiye

hindi pa nababasa,
Peb 15, 2007, 6:59:47 AM2/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

habari zenu wana ljs...

kwakweli nimeipenda sana mifano ya frank..vipi kijana(frank)..umepoteaa... naona umebanwa sana sikuhizi ??hatuwasiliani??..lol

hallow duah na wengine ambao sijawasiliana nanyi kwa muda...natumaini wote mu wazima wa afya

nawatakia kila la kheri ktk kulisukuma gurudumu la maendeleo..

 

take care....




"A candle loses nothing by lighting another candle !


Don't just search. Find. MSN Search Check out the new MSN Search!

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Peb 15, 2007, 10:00:15 AM2/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 15, 2007, 10:47:31 AM2/15/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Hey thanks Tomo .. nipo tu nimetulia naona umekuwa baba wa safari .. i like
that!

Ms Duah Joselyne.

>From: thomas nyagawa <t_ny...@yahoo.com>
>Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
>To: LJSclas...@googlegroups.com
>Subject: [LJSclassof2000] Re: Harusi mlangoni!

_________________________________________________________________

Emma Chanim...

hindi pa nababasa,
Peb 16, 2007, 3:03:10 AM2/16/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
thom just to remind you Rhobi kaona hiyo msg uliyomwandikia Dua....

Emma.
Dont forget to check out my web site at www.marykay.com/echanim


----Original Message Follows----
From: "duah joselyne" <du...@hotmail.com>


Reply-To: LJSclas...@googlegroups.com
To: LJSclas...@googlegroups.com
Subject: [LJSclassof2000] Re: Harusi mlangoni!

Date: Thu, 15 Feb 2007 15:47:31 +0000

thomas nyagawa

hindi pa nababasa,
Peb 16, 2007, 8:09:54 AM2/16/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
AHAHAA
KAMWENE DADA YANGU....SAMAHANI KWA AMBAO HAWAJANIELEWA
NI SALAM TUU...UMESIKIA BRAILLE....USIJALI... RHOBI
HAPO KANIELEWA MAANA BIBIE DUAH SIKUMSIKIA MUDA
SANA...EEEH WAPENDWA WANA LJS 2000 NATEGEMEA
MNAENDELEA VIZURI POPOTE MLIPO...MIMI NDUGU YENU NIPO
MZIMA WA AFYA KWA UJUMLA NDANI NAIRO POA
KABISA....INAPENDEZA KWA KWELI KUSIKIA KUTOKA KWA
FRANK,SAIVOIYE,DUAH,EMMA,LILI,KISHAKA,PAM,WALTER,KONGA
JR,BI HARUSI SABRUE,RHOBI,BRAILLE HONGERA KWA
KUSIMAMIE NINARUHUSIWA KUKUKABIDHI UENYEKITI WA
MTANDAO MUDA WOTE UKO AVAILABLE..
KAKA FRANK NIMEPENDA HIYO sungura sungura unaenda
wapi......................................... lol....
POA WAJAMENI NAWATAKIA MAISHA MEMA NA SIKU NJEMA
..MIMI KAMA KAWA NIPO SAFARINI ...
AM OUT


____________________________________________________________________________________
Expecting? Get great news right away with email Auto-Check.
Try the Yahoo! Mail Beta.
http://advision.webevents.yahoo.com/mailbeta/newmail_tools.html

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 16, 2007, 10:51:33 AM2/16/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Emma ntakuchapa! neighbour mwenyewe anaringa watu tutajinyakulia.....

Hey Amy za siku jamani.. it was nice to read frm u and Ras.. man i love ur
pics from hi5 si mchezoooooooooo thanks for Gq # ntamtafuta wakati decent ..
thanks much...

And to everyone out there .. i miss u guys .. and where is my baby Fads.. i
knw he might be married but nataka tu kumjulia hali anyone with his # pss
help..

Peace out!

Ms Duah Joselyne.

braille

hindi pa nababasa,
Peb 16, 2007, 1:15:17 PM2/16/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
Kaka, Thomas, Nimekupata kwa kirefu, Uenyekiti wewe utunze tu, mimi sistahili hata kugusa kiatu chako msafiri wewe. Waungwa mimi sina jipya nawatakia heri.
   Mchango wangu nitaufikisha kwa mweka hazina by feb 25. naomba nijulishwe mweka hazina ni nani au nimsumbue Bi harusi moja kwa moja?
    Waungwana naomba niishie hapo nikingoja kusikia toka kwenu wote. Nawatakia pilika njema na mafanikio tele.
   Kizunguzungu kama kawa.

Ras Frah

hindi pa nababasa,
Peb 18, 2007, 4:37:32 AM2/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
KIDUMU......
NAWASALIMU KTK JINA LA BWANA....
Nimetoka kanisani sasa hivi... bado nadumisha mila
na desturi...
Dua upo? umeolewa au bado hujaukimbia ukapera kama
sie/mie....? natumai unaendelea vizuri na maisha, wape
salamu vijana wote wa huko kunakoitwa dunia ya
bwanza(wakati civilization imeanzia africa)
Dua Fad's ndio nini...? kuna mwanadarasa alikuwa
anaitwa fads? usije kuta ndio unamaanisha
fadhili(morani),aisee morani wakisikia wanamtenga na
jamii..
Dada yangu Emily saitoti saivoiye(mwana wa kibaki)
hahhaaaaaa umenipata sio... mambo ya codes haya.. Vipi
ushaolewa? Nilikuwa naogopa kuoa wamasai zamani, kwa
vile mahari ilikuwa kubwa ila VODACOM imesaidia, kila
mmasai anajiita ole AKA VODACOM nasikia sasa hivi kuoa
mtoto wa kimasai mahari ni mtandao wa vodacom na simu
tuu.... ukimpa hiyo mzee wa kimasai sio mtoto tuu hata
mke wake anaweza kukuozesha pia...(buy 1 get 1
free)-(2 in 1)..kama mchaga na Toyota stout.. Emily
sio kwamba nimepotea, simu iliingia ktk maji number
yako ikafutika..
Vijana wangu wengine wote nauhakika mpo safi
mnapambana na maisha... safi wakuu, kijana wenu naja
karibuni, tuongozane nisipotee town hapo...Director
mbona huonekani...? au majukumu..haya kaka si mchezo.
Peace & Love

Lilian Nsyenge

hindi pa nababasa,
Peb 18, 2007, 7:25:50 AM2/18/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com

Nichukue fursa hii kuwasalimu wanadarasa wote na kuwatakia mwisho mwema wa wiki hii.Asanteni kwa maombi yenu na kwa updates mbalimbali zinazoendelea. Ras Frah hongera kwa kudumisha mila isiwe kwa mwaka au mwezi huu tu. Kaka Kishaka,Braille, Tom, Bern,Walter,Kishaka, Dada Shubi, Duah, Emma, Rhobi, Pam,Emily na wanadarasa wote kwa ujumla Mungu awabariki kwa kuandika.

Kwa habari ya michango kwa wale mtakaoagiza kutoka nje mwaweza wasiliana na kaka  Kishaka au dada Lily au mwanadarasa yeyote ambaye unawasiliana naye kirahisi kisha tukajulishana na kuwasiliana.Ninaamini mchango utatufikia. Au mwaweza wasiliana na dada Duah kwa ushauri wa kutuma. dada Duah asante kwa utayari wa kusaidia watakaohitaji ushauri wako jinsi ya kutuma mchango wao.

Mungu awabariki kwa utendaji wenu

Wiki njema



 


From:  braille <brai...@yahoo.com>

Reply-To:  LJSclas...@googlegroups.com
To:  LJSclas...@googlegroups.com
Subject:  [LJSclassof2000] Re: Harusi mlangoni!
Date:  Tue, 13 Feb 2007 04:17:34 -0800 (PST)


Asanteni waungwana, poleni kwa shughuli za kimaisha.  Naungana nanyi kuitikia wito wa tarehe ya mwisho wa mchango feb 28. Sasa mweka hazina atutonye ili nimuagizie kwa mwakilishi atake nisaidia kufikisha huo mchango. Kwa wale mliopo USA na bado hamjaweza kufikisha michango yenu kama mimi basi kuna mtu anaondoka hapa TX tarehe 20/02/2007 kuelekea TZ hivyo tunaweza kuwasiliana ili tukamtumia huyu ndugu kufikisha michango yetu.
  
   Asanteni sana</div




Express yourself instantly with MSN Messenger! MSN Messenger Download today it's FREE!

duah joselyne

hindi pa nababasa,
Peb 19, 2007, 10:01:10 AM2/19/07
para kayLJSclas...@googlegroups.com
salaam kwa wote !
mi mzima nyie tu..
Ras mi bado sijaolewa bado ni kapera kama wewe tu nahangaika na maisha
kivyanguvyangu ..jamani Fads maaaannnnnn ni Morani wangu .. u got it right
bro .. ni Fadhili .. maybe i was the only one calling him Fads ..
Neighbor naona umeamua kunichunia .. thanks for the call over the w/end
love u!

Ms Duah Joselyne.

Tumugon sa lahat
Sumagot sa may-akda
Ipasa
0 bagong mensahe